13
ISSN 0856 - 3861 Na. 1074 RAJAB 1434, IJUMA A JUNI 7 - 13, 2013 BEI TShs 500/=, K shs 50/= Sauti ya Waislamu www.annuurpapers.co.tz Mwenyezi Mungu Ameandaa MKUTANO MKUU Aloupa jina la HAJJ, unaowakusanya waislamu kutoka kila pembe ya dunia katika viwanja vya Arafa huko Makka. Wewe ndugu yetu umeshahudhuria huko angalau mara moja, na kujisikia ndani ya moyo wako kuwa u-miongoni mwa waislamu? Karibu na wahi kujiunga na Ahlu Sunna wal Jamaa. Gharama zot e ni Dola 4,300. Tafadhaliwasiliana nasi ifuatavyo: Tanzania Bara: 0717224437; 0777462022;Unguja: 0777458075;Pemba: 0776357117. (17) WAPI KAMA “ARAFA”! Zanzibar walilia Benki Kuu, Uraia Wasiotaka Dola kamili wajitokeze Mgombea Urais asitokee Dodoma Wakumbusha ya ‘Kura za Karume’  Maalim S eif Sharif  Hamad. Ismail Jussa Ladhu Inaendelea Uk. 3 KUNA mikasa mingi imetokea humu Tanzania ambayo haielezeki imetokea wapi na wala kwa nini imetokea. Lawa ma kub wa wametwikwa Waislamu ingawa mpaka leo hii  Jeshi la Polisi halijawe za kuwakisha mahakamani watu waliochoma msikiti Tunduma. Waislamu tuwe macho,  Vita kubwa ipo mbele Ni vita ya kuondoa dhulma, ubaguzi Bila kung’oa ‘MFUMO’ hakuna salama tutumie akili ya asili kuchanganua mambo. Vita kubwa iliyoko mbele yenu ni kuondoa dhulma iliyoshamiri nchini. Lengo liwe ni kutafuta  j i n s i g a n i Wa i s l a m u wanaweza kuushinda huu "MFUMO" ili Wananchi wote wa nchi hii wawe na haki sawa na waishi kwa amani kama ilivyokawaida. Uk. 8 Msiba mkubwa: Dini Mseto yaja Waislam, Wakristo kufundishwa dini moja Ni Heri Zanzibar watakuwa na nchi yao Bukoba kuna nini? Bakwata walitoka huko  Hawa ni viongozi wa Dini mkoani Kagera waliohudhuria uzinduzi mihutasari ya somo la Dini na Maadili. Katikati kutoka kushoto ni Askofu Elisa Buberwa KKKT ,  Askofu Nestory Timanywa Jimbo Katoli ki la Bukoba, Askofu Severine Niwemugizi  Jimbo Katoliki la Rulenge, nyuma kabisa ni Masista na Mapadre kutoka Kigoma, na mstari wa kwanza ni viongozi wa BAKWATA mkoa wa Kagera. Wajumbe w a kikao cha uzinduzi wa mihutasari ya somo la dini na maadili wakisiliza kwa makini na utulivu. Habari Uk. 12

ANNUUR 1074

Embed Size (px)

Citation preview

Page 1: ANNUUR 1074

7/16/2019 ANNUUR 1074

http://slidepdf.com/reader/full/annuur-1074 1/12

ISSN 0856 - 3861 Na. 1074 RAJAB 1434, IJUMAA JUNI 7 - 13, 2013 BEI TShs 500/=, Kshs 50/=

Sauti ya Waislamu

www.annuurpapers.co.tz

Mwenyezi Mungu AmeandaaMKUTANO MKUU Aloupa jina la

HAJJ, unaowakusanya waislamukutoka kila pembe ya dunia katika

viwanja vya Arafa huko Makka.Wewe ndugu yetu umeshahudhuria

huko angalau mara moja, nakujisikia ndani ya moyo wako

kuwa u-miongoni mwa waislamu?Karibu na wahi kujiunga na AhluSunna wal Jamaa. Gharama zoteni Dola 4,300. Tafadhaliwasiliana

nasi ifuatavyo: Tanzania Bara:0717224437; 0777462022;Unguja:

0777458075;Pemba: 0776357117.

(17) WAPI KAMA “ARAFA”!

Zanzibar walilia

Benki Kuu, UraiaWasiotaka Dola kamili wajitokeze

Mgombea Urais asitokee Dodoma

Wakumbusha ya ‘Kura za Karume

 Maalim Seif Sharif  Hamad.

Ismail Jussa Ladhu

Inaendelea Uk.

KUNA mikasa mingiimetokea humu Tanzaniaa m b a y o h a i e l e z e k iimetokea wapi na walakwa nini imetokea.

L a w a m a k u b w awametwikwa Waislamuingawa mpaka leo hii Jeshi la Polisi halijawezakuwafikisha mahakamaniwatu waliochoma msikitiTunduma.

Waislamu tuwe macho,

 Vita kubwa ipo mbeleNi vita ya kuondoa dhulma, ubaguziBila kung’oa ‘MFUMO’ hakuna salama

tutumie akil i ya asikuchanganua mambVita kubwa iliyoko mbeyenu ni kuondoa dhulmiliyoshamiri nchini.

Lengo liwe ni kutafu j i n s i g a n i Wa i s l a mwanaweza kuushinda hu"MFUMO" ili Wananchwote wa nchi hii wawe nhaki sawa na waishi kwamani kama ilivyokawaidUk. 8

Msiba mkubwa: Dini Mseto yajaWaislam, Wakristo kufundishwa dini mojaNi Heri Zanzibar watakuwa na nchi yao

Bukoba kuna nini? Bakwata walitoka huko

Hawa ni viongozi wa Dini mkoani Kagera waliohudhuria uzinduzi mihutasari yasomo la Dini na Maadili. Katikati kutoka kushoto ni Askofu Elisa Buberwa KKKT, Askofu Nestory Timanywa Jimbo Katoliki la Bukoba, Askofu Severine Niwemugizi Jimbo Katoliki la Rulenge, nyuma kabisa ni Masista na Mapadre kutoka Kigoma,na mstari wa kwanza ni viongozi wa BAKWATA mkoa wa Kagera.

Wajumbe wa kikao cha uzinduzi wa mihutasari ya somo la dini na maadili wakisilizakwa makini na utulivu. Habari Uk. 12

Page 2: ANNUUR 1074

7/16/2019 ANNUUR 1074

http://slidepdf.com/reader/full/annuur-1074 2/12

2 AN-NUU

RAJAB 1434, IJUMAA JUNI 7-13, 20

AN-NUURS.L.P. 55105, Simu: +022 2400786

Cel: 0784 370 208, 0713 110 148, 0755 260 087 , DSM.www.annuurpapers.co.tz E-mail: [email protected]

Ofisi zetu zipo: Manzese Tip TopUsangi House (Jengo dogo), barabara ya Morogoro, D'Salaam

MAONI YETU

Tahariri/Tangazo

 Al-farouq Seminary Secondary school is seeking for the suitable Headmastefor the school.Qualifications:The person should:1. Be a Tanzanian.

2. Be a holder of at least a degree in Education.3. Have held the position for not less than three years or have served

as a deputy for not less than five years.4. Have a proven good track record.

5. Knowledge of Arabic will be an added advantage.

 A good package would be offered. He should be ready to assume office

immediately.

 Applications with C.V and testimonials, should reach the undersigned throughemails below on or before 15th June 2013.

The Director,P.O.Box….9211.Dar-es-salam.

Email: [email protected]. [email protected]

Bismillahir Rahmanir Rahiim

 Vacancy-Headmaster

Kama hizi ndio ‘First Class’zetu nchi haiendi kokoteZIPO tuhuma nzito dhidiya Katibu Mtendajiwa Baraza la Mitihani( N E C TA ) Dr . J oyceNdal ichako ambazompaka sasa hazijapatiwamajibu. Tuhuma hizoni pamoja na ubaguzi

na ubalakala (doubles t a n d a r d ) k a t i k akutoa madaraja kwawatahiniwa.

Kwa mujibu wa tafitimbalimbali rasmi zakiserikali, imegundulikakuwa NECTA imekuwaikiwarahisishia wanafunziwa Kikristo kufaulu nakupata madara ja ya juu na wakati huo huokuwajengea mazingiraya kufel i wanafunziwa Kiislamu. Moja yanjia hizo ni kupandishaviwango vya ufaulu kwawanafunzi wa Kiislamu

na kwa upande mwinginek u s h u s h a v i w a n g ohivyo.

Hii ina maana kuwawakati ilitarajiwa kama ilikupata A mtahiniwa wasomo la Bible Knowledgealitakiwa kupata , kwamfano, alama 75 na kwamtahiniwa wa Somo laIslamic Knowledge iw ehivyo hivyo, lakini kwaNECTA sio hivyo. KwaA hiyo hiyo mtahiniwaM u i s l a m u a n a w e z akutakiwa kuwa na 85 ilikupata A hiyo hiyo.

Na sio ‘pass mark’ tu,lakini hata ‘pass range’

hutumika pia kufanyahujuma. D kwa mmojai n a w e z a k u f a n y w akuanzia 25 mpaka 40 hukuC ikianzia 41 na wengineikafanywa 35 mapaka44 huku C ikianzia 45.Namba hizo ni mfanotu lakini yamebainishwakatika tafiti jinsi  pa ssm a r k n a p a s s r a n g e zinavyotumika kuhujumu baadhi ya watahiniwa nakuwarahisishia ufauluwengine.

Katiba ya nchi inasemakuwa “Ni marufuku

kwa mtu kubaguliwa namtu au mamlaka yoyoteinayotekeleza madarakayake chini ya sheria yoyoteau katika utekelezaji wakazi au shughuli yoyoteya Mamlaka ya Nchi.”(Sehemu ya Tatu Kif: 12

(4))Katika kufafanua ninimaana ya ubaguzi kifungu12 (5) kinasema kuwa“Kwa madhumuni yaufafanuzi wa mashariti yaIbara hii neno “kubagua”maana yake ni kutimizahaja, haki au mahitajimengineyo kwa watumbalimbali kwa kuzingatiautaifa wao, kabila, pahalawalipotokea, maoni yaokisiasa, rangi, dini, jinsiaau hali yao ya maisha kwanamna ambayo watu waaina fulani wanafanywa aukuhesabiwa kuwa dhaifuau duni na kuwekewavikwazo au masharitiya vipingamizi ambapowatu wa aina nyinginewanatendewa tofauti auwanapewa fursa au faidailiyoko nje ya mashariti ausifa za lazioma…”

Bible Knowledge naIslamic Knowledge yoteni masomo ya d in i ,unaposema kuwa A kwaMkristo ni 75 lakini kwaA hiyo hiyo Muislamu nilazima apte 85, je huu sioubaguzi? Je, ubaguzi huundio Mbatia anaohimizaDr. Joyce Ndalichakoaendelee kuufanya bila

kuogopa?Ukiweka pass mark

ya A kuwa ni 75 mpaka100, maana yake ni kuwakwanza unafanya kuwawepesi kwa watahiniwakupata A, lakini piau n a t o a f u r s a k w awatahiniwa wengi kupatahiyo A. Na kwa upandemwingine unapopandishakuwa 85 mpaka 100n i k u w a u n a w e k augumu na kupunguzaidadi ya watakaopatahiyo A. Nini lengo laubalakala huu? Huku

ni kuwawekea vikwazoWaislamu au masharitin a v i p i n g a m i z i v y akufaulu ambapo Wakristowanarahisishiwa.

 J e , h i i i n a f a n y w amakusudi ili kuziwezeshazile shule zinazotakiwakutesa ziendelee kutesakila mwaka? Je, hii ndiyokazi Mheshimiwa Mbatia

a n a y o mw a mb i a D k t .Ndal ichako aendeleekuifanya bila kuogopa?

Baraza la Mit ihanil i m e a j i r i M c h u n g a j ianayerat ibu somo laBible Knowledge, lakinilimegoma kabisa kuajiriMaratibu wa Somo laMaarifa ya Uislamu. Je,huu nao sio ubaguzi kwamujibu wa Katiba yanchi?

Wakati NECTA ikiajiriMchungaji na wataalamuwa lugha za Kiingereza,Kiswahili na Kifaransa,

imegoma pia kuwekaMtaalamu wa Lugha yaKiarabu na kufanya somohilo kuratibiwa na mtuasiyejua hata ‘Alifu’. Je, huundio utaalamu unaotokanana “PhD First Class”?

M o j a y a t a f i t izinaonyesha kuwa katikasomo la Hesabu, mwaka2011 ili kupata A mtahiniwaalitakiwa kupata alama 75.Lakini mwaka 2012 iliupate A ilikuwa lazimauwe na alama 86 ambayoinaongeza ugumu wakupata alama kwa ‘point’

11. Kwa upande mwingine,‘Pass mark’ ya ‘Mathematics’ilipanda kutoka 32 mwaka2011 hadi 42, mwaka 2012.

Hakuna sababu zozoteza kitaalamu zinazowezakufafanua jambo hili hasaikizingatiwa kuwa somohili kwa miaka yote ndiolimekuwa likiongoza kwakufeli watahiniwa. Labda

Mheshimiwa Selas in iatueleze mtaalamu wakewa “PhD First Class” anamaelezo gani. Kukosekanaufafanuzi wa kitaalamu,zipo tuhuma kuwa mambokama haya yanafanyikak w a s a b a b u w a p o ba ad hi ya wa ta hi niw a‘wanarahisishiwa’ kufauluna iki tokea takribaniwote wakapata A na Btu, hasa kwa somo kamahesabu, hufanyika maarifai l i kuondoa wasiwasiunaoweza kujengeka .Na namna moja wapoya kuondoa wasiwasin i ‘ k u fa n y a ma a r i fa ’k u h a k i k i s h a k u w azinakuwepo japo C na Dchache. Lakini ukifanya hivipia maana yake ni kuwaunawafelisha wanafunziwengi waliotumia akilizao.

Kutokana na tuhumakama hizi, kumekuwana kilio cha Watanzaniakuwa pafanyike uchunguziwa kina na ulio huru ilik u l i n u s u r u t a i f a n a janga la kuzalisha A za

‘ k u s a i d i w a ’ a mb a zhatimaye zitatupa “FirClass” za kuchakachuna huenda hili ndio tatizkubwa linalofanya taifhili lisipige hatua katikmaendeleo.

Tumeambiwa kuwNECTA inaongozwa nmtu aliye na Shahada y

Uzamivu ya Daraja lKwanza. Sisi hatutaki kujumengi sana ya utaalamw a k e i l a m a c h a c htu: Ni sababu zipi zkitaalamu za kupandishA ya hesabu kutoka 7mpaka 86? Ni sababgani ameona umuhimwa kuajiri mtaalamu wBible Knowledge lakinakaona hakuna haja kwI s l a mi c K n o w l ed g eNi kwa nini baada yMtihani kusahihishwa nwasahihishaji kurekodalama, anajifungia nKamati yake ya Kutunukkwa SIRI kwa takribanm i e z i m i w i l i t o kusahihishaji ufanyikeAnafanyia nini alamhizo?

Zipo tuhuma kuwa tokWaislamu walalamikmatokeo ya mitihanambapo Baraza lililazimikkuyabadili baada ya kuonkuwa palifanyika makosidadi ya walimu wenymajina yanayoashiria kuwni Waislamu imekatwsana. Kwa nini?

Page 3: ANNUUR 1074

7/16/2019 ANNUUR 1074

http://slidepdf.com/reader/full/annuur-1074 3/12

3 AN-NUU

RAJAB 1434, IJUMAA JUNI 7-13, 20Habari

Zanzibar walilia Benki Kuu, UraiaKATIKA hatua hii ya awali

ya kuchambua Rasimu yaKatiba Mpya, imedhihirikakuwa Wazanzibari waliowengi, pamoja na kufurahiasuala la kuwa na Serikali tatu,wanataka pia wawe na Uraiawao, Uhamiaji, Benki Kuu naMambo ya Nje.

Wachambuzi wa mamboya kisiasa wanasema kuwakwa mujibu wa mapendekezoyaliyotolewa, “takribanmambo yote yanayohusushughuli zenye gharamakubwa za kila siku za nchiyametolewa katika muunganona kila serikali ya nchimshirika (Tanganyika naZanzibar) itaendesha mambohayo yenyewe.”

Na kwamba “Zanzibarinahitaji mamlaka kamili iliiweze kupanga sera zake

na uchumi wake na hivyokuweza kumudu gharamaza mambo lukuki ambayosasa hayatakuwa chini yamwamvuli wa muungano.”

Mambo yanayodaiwa kuwayakiingizwa katika Katibayataipa Zanzibar Mamlakaya kujimudu ni pamoja naUraia, Uhamiaji, Sarafu naBenki Kuu, Mambo ya Nje naVyama vya siasa.

Pengine kwa kudhani kuwamambo hayo ni muhimu kwaZanzibar, baadhi ya watuwameanza kusema kuwaiwapo hayataingizwa, kunakila sababu ya kupiga kuraya HAPANA Kwa katibaitakayokuja.

Kuhusu suala la Uraia naUhamiaji inaelezwa kuwa

m ambo h aya yakiwaya muungano, Zanzibaritashindwa kuhimili wimbi lauhamaji na usalama wake kwakukosa udhibiti wa moja kwamoja wa watu wanaoingia nakufanya makazi ya kudumu.

Na kwamba hilo likifanyika,inaweza kuf ikia mahaliZanzibar ikafurika wageniraia na hiyo ikawa njia nyepesiya kuja na hoja ya nchi mojaSerikali moja.

“ U t a m b u l i s h o waM z a n z i b a r i n a h a k izinazofungamana na sera zauraia na Mambo ya Nje, ndioitakuwa basi tena. Tutakosa

utambulisho wa nchi yetunje ya Zanzibar na twabaantutakosa fursa muhimukwa sasa za ajira za kibaloziambazo kwa wibi kubwala vijana wasomi tulionaovyuoni hili tungeliangaliasana kama ni fursa ya kukuzauchumi na kipato cha mtummoja mmoja na jamii kwa jumla.”

A n a s e m a m m o j a w awachambuzi kama uchambuziwake ulivyochapishwa katikamitandao ya kijamii.

Kwa upande wa BenkiKuu na Sarafu inaelezwakuwa kwa kufanya mambohayo kuwa ya muungano,

Na Mwandishi Wetu Zanzibar itashindwa kupangana kudhibiti uchumi wake.

“Uchumi wetu tutategemeapande zote za jamhurizitengamae kiuchumi etindio nasi tufanikiwe, haina

maana wenzetu hawawezikutengamaa najuwa wanarasil imali nyingi , ardhina watu wengi lakini kwaZanzibar fursa yake iko karibukama tutatulia na kuwa hurukufanya maamuzi huru.Tatizo hapa inabidi upandemmoja uchelewe kumsubirimwengine, hii sarafu ikishukawote tumeshuka, haijalishiwewe uchumi wako ni imarakwa kiasi gani bado Zanzibaritakuwa hivi hivi kama leo.Hapa muungano huu si dawa

kwa Zanzibar kama ilivyo leo.Inasikitisha sana.” Amesemamchambuzi huyo.

Kuhusu la vyama vya siasainaelezwa kuwa, muda woteZanzibar itakuwa inatawaliwa

na vyama vilivyo na nguvu‘Tanganyika’ hata kamaZanzibar havikubaliki.

“ A n g a l i a m i a k a 1 8ya siasa za uhasama zak u e n d e k e z a u v y a m ana Wazanzibari kukosamamlaka na kimaamuziya kisiasa kulivyoiathiriZanzibar. Inawezekana kwaWazanzibari watu wenyeutamaduni mmoja, lughasilka na muingiliano barabaratungeona mfumo fulani wasiasa ambao ni wa jamuhuri

unatuathiri tungeleta mfumowa aina yetu kwa mazingirayetu. Leo tutalazimika kufuatatu. hapa patazidisha uhasamana utengano wa Wazanzibariunaoweza kuchochewa na

watu wenye nia mbaya ambaowameunganishwa na siasa zavyama watatutilia sumu zakisiasa.”

“Lakini zaidi tutakosanguvu ya maamuzi yakuweka wazalendo wetukatika nafasi za Urais (kamasasa maamuzi ya viongoziyanavyofanyika Dodoma)na hili litakuwa na atharikiuchumi, ukishatwezwanguvu kisiasa unapotezauzalendo na nguvu zako zakiuchumi.”

Umesema uchambuhuo na kutoa wito kwWazanzibari kusoma Rasimya Katiba kwa undani ikugundua dosari kama hiz

Kwa hofu hiyo unapigw

mfano wa uchaguzi mkuwa mwaka 2000 ambapkatika kura za maoni zmgombea Urais kwa upandwa Zanzibar, waliokuww a m e t a k i w a n a C CZanzibar, sio walioteuliwkugombea Urais.

Waliteuliwa waliokuwa nkura chache za Wazanzibal a k i n i w a l i o k u wwakipendeza zaidi kwa wanCCM Bara.

Baadhi ya ambo yaliyotajwkatika uchambuzi huu wawali, yanawiana kwa karibna mapendekezo yaliyotolewna ile Kamati ya Mzee Moy

Katika mapendekezo yakkamati hiyo imesema kuw

“Uraia ndiyo msingi wujananchi. Kwa vyovyovile Katiba Mpya isijumuishsuala la Uraia kuwa la pamokupitia Muungano. Kinchi mwanachama katikmuungano ibakie na urawake na iratibu masuayote yanayohusu uraia wakna raia zake. Kwa kufuamfano kama wa Muunganwa Ulaya (European Unionunaweza kuwa na hainayotambulika kikatiba yuhuru wa raia wa nchi momwanachama kwenda katiknchi nyengine mwanachamkupitia utaratibu maaluutakaowekwa (free movemeof people). Hata hivyo, kinchi mwanachama iwe nhaki ya kuweka utaratibu wvipi raia hao watafaidi hana fursa za nchi mwanachamnyingine.”

Kamati hiyo ikasema kuwUraia ni jambo muhim“hasa kwa nchi ndogkama Zanzibar ambayo inrasilimali ndogo ya ardna hasa ikizingatiwa kuwardhi ilikuwa mojawapo ysababu kuu za kufanyikMapinduzi. Katika hali kamhiyo, Zanzibar ina sababnzito za kuona inadhibiti nkusimamia wenyewe Urawake na utambulisho wa rahao.”

Ikasisitiza Kamati hiyk u w a , k w a v y o v y o

itakavyokuwa “suala la Uralisiwemo katika mambo yMuungano na badala yakkila nchi isimamie yenyewmasuala ya Uraia.”

Na kwa sababu hizo hizikapendekezwa kuwa haUhamiaji, kila nchi iwe nIdara yake ya Uhamiaji.

Kamati inasema, “kutokanna sababu tulizozitaja hapo jukuhusiana na suala la Urainapelekea wazi kuwa kinchi mwanachama idhibna kusimamia wenyewmambo ya Uhamiaji. Hivy basi , ras imu ya Ka tibMpya isijumuishe suala

UTANGULIZI:Baada ya wananchi wa

Zanzibar kutoa maoni yao juu ya vip i Muungano waZanzibar na Tanganyikaunapaswa kuwa, hatimayeTume ya Mabadiliko ya Katibainatarajiwa kutoa rasimu yaawali ya Katiba Mpya ya Jamhuri ya Muungano waTanzania kati ya mwishonimwa mwezi Mei na mwanzonimwa mwezi Juni 2013.

Wakati tunaisubiri kwahamu rasimu hiyo itolewena kujua kilichomo, sisiwajumbe wa Kamati yaM a r i d h i a n o Z a n z i b a rtumekaa na kutafakari juu

ya upi unapaswa kuwamwelekeo wa Wazanzibarikatika kuijadili rasimu hiyopale itakapotoka.

Baada ya mashaurianoya kina kati ya wajumbewa Kamati ya Maridhianona pia kwa kuwahusishawatu wengine mashuhurihapa Zanzibar, tumekujana mapendekezo yafuatayoambayo leo hii tunayawasilishakwa wananchi wa Zanzibarkupitia Kongamano hili. Hayasi maagizo bali ni mashauriyenu na pindi mkiyakubali basitutakuombeni tuyafanyie kazikwa pamoja kwa kuyatumiakatika kuipokea na kujadilirasimu pale itakapotolewa.

Mapendekezo yetu ni kamaifuatavyo:1. Jina la Muungano:Muungano huu umetokana

na Jamhuri mbili kuunganakwa hiyari. Jamhuri hizoni Jamhuri ya Watu waZanzibar na Jamhuri yaTanganyika. Jina la awalilililotajwa katika Mkataba waMuungano la muungano wa jamhuri hizi mbil i lil ikuwani Jamhuri ya Muungano waTanganyika na Zanzibar. Jinahili baadaye mwezi Oktoba1964 lilibadilishwa na kuitwa Jamhuri ya Muungano waTanzania.

Ukiangalia mifano ya

MAPENDEKEZO YA KAMATI YA MARIDHIANO ZANZIBAR KUHUSUUPI UWE MWELEKEO WA WAZANZIBARI KATIKA KUIJADILIRASIMU YA KATIBA YA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIAITAKAYOTOLEWA NA TUME YA MABADILIKO YA KATIBA

nchi nyingine zilizoungana, jin a la muungano huweka bayana kwamba zilizounganani zaidi ya nchi moja, zaidiya falme moja au zaidi ya jamhuri moja. Kwa mfano ,muungano wa nchi (states)za Marekani unaitwa kwakiingereza United States ofAmerica (USA), ule uliokuwamuungano wa jamhuri zakisovieti ukiitwa Union ofSoviet Socialist Republics(USSR) na ule muunganowa falme za kiarabu unaitwaU n i t e d A r a b E m i r a t e s(UAE).

I l i kuondosha dhanai l i y o j e n g e k a k w a m b a

muungano wa jamhuri zetumbili umeunda nchi mojana kuzifuta nchi zetu, KatibaMpya inapaswa kuweka jinalinalotambua msingi huo nahistoria hiyo. Hivyo basi, jina jipya liwe ni Muungano wa Jamhuri za Tanzania na kwakiingereza United Republicsof Tanzania.

 J i n a h i l i l i t a s a i d i au t a m b u l i s h o w a n c h iw a n a c h a m a k a t i k auwanja wa kimataifa palelitapoambatanishwa katikanyaraka zote rasmi pamojana jina la nchi husika. Kwamaana hiyo katika uwanjawa kimataifa na katikapasi za kusafiria utaweka

wazi na kuwa na “UNITEDREPUBLICS OF TANZANIA– REPUBLIC OF ZANZIBAR”na “UNITED REPUBLICS OFTANZANIA – REPUBLIC OFTANGANYIKA”.

2. Mipaka ya Zanzibarna Tanganyika:

W a k a t i z i n a u n g a n a ,Zanzibar na Tanganyikazilikuwa tayari ni nchi zenyemamlaka kamili zikiwani wanachama wa Umojawa Mataifa na hivyo kilamoja ilikuwa na mipakayake inayoeleweka. Katibana sheria za nchi mbili hiziziliweka bayana mipaka hiyona mipaka hiyo ilitambuliwa

chini ya sheria za kimataifa.Rasimu ya Katiba Mpya

ni lazima itamke kwa uwazikabisa na kutambua nakuheshimu mipaka ya nchimbili hizi kama ilivyokuwakabla ya siku ya Muunganotarehe 26 Aprili, 1964.

Baada ya hapo, Katibaya Zanzibar na Katiba yaTanganyika (itakayotungwa baada ya kupata Katiba mpyaya Muungano) kila moja iwekewazi mipaka yake.

3. Uraia:Uraia ndiyo msingi wa

ujananchi. Kwa vyovyotevile Katiba Mpya isijumuishe

suala la Uraia kuwa la pamojakupitia Muungano. Kilanchi mwanachama katikamuungano ibakie na uraiawake na iratibu masualayote yanayohusu uraia wakena raia zake. Kwa kufuatamfano kama wa Muunganowa Ulaya (European Union),unaweza kuwa na hakiinayotambulika kikatiba yauhuru wa raia wa nchi mojamwanachama kwenda katikanchi nyengine mwanachamakupitia utaratibu maalumutakaowekwa (free movementof people). Hata hivyo, kilanchi mwanachama iwe nahaki ya kuweka utaratibu wavipi raia hao watafaidi haki

na fursa za nchi mwanachamanyingine.Hili ni la muhimu hasa kwa

nchi ndogo kama Zanzibarambayo ina rasilimali ndogoya ardhi na hasa ikizingatiwakuwa ardhi ilikuwa mojawapoya sababu kuu za kufanyikaMapinduzi. Katika hali kamahiyo, Zanzibar ina sababunzito za kuona inadhibiti nakusimamia wenyewe Uraiawake na utambulisho waraia hao.

Hivyo basi, suala la Uraialisiwemo katika mambo yaMuungano na badala yakekila nchi isimamie yenyewe

Inaendelea Uk.Inaendelea Uk. 4

Page 4: ANNUUR 1074

7/16/2019 ANNUUR 1074

http://slidepdf.com/reader/full/annuur-1074 4/12

4 AN-NUU

RAJAB 1434, IJUMAA JUNI 7-13, 20Habari

Zanzibar walilia Benki Kuu, UraiaInatoka Uk. 3

Uhamiaji kuwa ni suala laMuungano.”

W a k a t i h u o h u o ,wasiotaka Mamlaka kamili yaSerikali na Dola ya Zanzibar,wametakiwa kujitokezahadharani kama ilivyo kwawanaopigania mambo hayo.

Hayo yamesemwa naMakamu wa Kwanza waRais wa Zanzibar MaalimSeif Sharif Hamad, akiungamkono kauli iliyotolewaawali na Mwakilishi waMwenyekiti wa Kamatiya Maridhiano ZanzibarEddi Riyami ya kuwatakaWazanzibari wasiotakamamlaka kamili ya Zanzibarw a j i t o k e z e h a d h a r a n ikama wanavyofanya walewanaodai mamlaka kamiliya Zanzibar.

Maalim Seif ambaye pia niKatibu Mkuu wa CUF ametoa

wito huo katika viwanja vyaKibanda maiti mjini Zanzibarkatika mkutano wa hadharauliolenga kusherehekea“Umoja wa Wazanzibari”u l i o a s i s i w a k u f u a t i amaridhiano ya kisiasa.

Maalim Seif amesema,hatua ya Wazanzibari kudaimamlaka ni haki yao, nakwamba hakuna dhambi yakudai jambo hilo.

Amefahamisha kuwaWazanzibari walio wengiwameungana kudai mamlakaya nchi yao kwa njia ya amanina demokrasia, na kutoa witokwa wale wasiotaka mamlakaya Zanzibar wajitokeze

hadharani.A m e w a h a k i k i s h i awananchi kuwa hatorudinyuma katika kuiteteaZanzibar kuwa na mamlakayake, ili iweze kutambulikakimataifa na kuweza kuratibuna kushughulikia mamboyake ya nje.

K w a u p a n d e w a k eK a t i b u w a k a m a t i y amaridhiano Ismail JussaL a d h u , a m e w a o m b aviongozi wa vyama vyotekushirikiana na wananchikatika kudai mamlaka yanchi, ili Wazanzibari wawezekujikomboa kutokana nakile alichokiita ukoloni wa

Tanganyika.Katika risala ya wananchi

wa mikoa mitano ya Zanzibariliyosomwa na Ameir binAmeir kutoka Bwejuu,amesema pamoja na mambomen gin e , kat iba m pyaizingatie uwepo wa Jamhuriya Zanzibar na uraia wake.

M a m b o m e n g i n ewaliyotaka yatolewe katikao ro d h a ya mam bo yaMuungano ni pamoja nasarafu, Benki Kuu, Mambo yaNje, vyama vya siasa, Barazala Mitihani pamoja na mafutana gesi.

M A P E N D E K E Z O Y A K A M A T I Y AMARIDHIANO ZANZIBAR KUHUSU UPIUWE MWELEKEO WA WAZANZIBARIKATIKA KUIJADILI RASIMU YA KATIBA YAJAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

ITAKAYOTOLEWA NA TUME YA MABADILIKOYA KATIBA

Inatoka Uk. 3masuala ya Uraia.

Hata hivyo, kunawezakukawepo chombo chapamoja kinachojumuishanchi mbili hizi cha kuratibu

masuala ya Uraia na hakin a f ursa ambazo ra iawanaweza kuwa nazo kwakila upande.

4. Uhamiaji:Kutokana na sababu

t u l i z o z i t a j a h a p o j u ukuhusiana na suala la Uraiainapelekea wazi kuwa kilanchi mwanachama idhibitina kusimamia wenyewemambo ya Uhamiaji. Hivyo basi, rasimu ya Katiba Mpyaisijumuishe suala la Uhamiajikuwa ni suala la Muungano.

Kila nchi mwanachama katiya Zanzibar na Tanganyikaiwe na paspoti yake yenyeweyenye kubeba jina la nchiyake na nembo yake ya

Taifa na yenye kudhaminiusalama wa raia wake njeya nchi kupitia uhakikishounaotolewa na Serikali yanchi husika.

I l i kuonesha sura yakuwepo muungano wakisiasa, paspoti za nchimbili hizo zinaweza kuwana jina la Muungano juu nakufuatiwa na jina la nchimwanachama likiambatanana nembo ya Taifa ya nchihiyo. Kwa mfano, “UNITEDREPUBLICS OF TANZANIA– ZANZIBAR PASSPORT” na“UNITED REPUBLICS OFTANZANIA – TANGANYIKAPASSPORT”.

Kwa upande mwengine

k u n a w e z a k u k a w a n amamlaka ya kuratibu masualaya uhamiaji wa nchi hizimbili (Union immigrationregulatory authority) kwalengo la kuweka na kuratibumfumo mzuri wa mawasilianokati ya mamlaka za uhamiajiza nchi mbili hizi.

5. Mambo ya Nje:Mamlaka juu ya mambo ya

nje na uwezo wa nchi kuingiamikataba na nchi nyingine namashirika ya kimataifa ndiyoroho ya nchi yoyote dunianikutambulika kimataifa nakuweza kusimamia mamlakayake ya ndani yanapohitajim a s h i r i k i a n o n a n c h inyengine.

Ili nchi iweze kutambulikakimataifa inapaswa kuwa namambo manne yafuatayo:

(a) Eneo la ardhi lenyemipaka inayotambulika;

(b) Watu wana ois hik w e n y e e n e o h i l owanaojitambulisha na eneohilo;

(c) Serikali inayotekelezamajukumu yake; na

(d) Uwezo wa kuingiak a t i k a m a h u s i a n o y akimataifa na nchi nyengine.

K w a m s i n g i h u o ,Wazanzibari wanahitajikuona kuwa Mambo ya Njehaijumuishwi katika orodhaya mambo ya Muungano

na badala yake kila nchiisimamie yenyewe mamlakayake juu ya mambo ya nje.

Hata hivyo, uratibu wasera ya mambo ya nje (foreignpolicy coordination) inawezakuwa ni suala la muunganolakini utekelezaji wake kilanchi ikausimamia kupitiaWizara yake ya Mamboya Nje. Uratibu wa sera yamambo ya nje unawezakufanywa kupitia chombocha pamoja kitakachoundwana Wizara za Mambo ya Njeza nchi mbili hizi kwa mfanokuwa na Council on Foreign

Policy.Kutokana na hoja hizohapo juu inabaki kuwa kilanchi iwe na uanachama nakiti chake katika Umoja waMataifa na jumuiya nyengineza kimataifa. Hayo si ajabukatika miungano. Umoja wa Jamhuri za Kisoshal isti zaKisovieti (USSR) ulikuwan a uan ach ama n a k i t ichake Umoja wa Mataifalakini miongoni mwa nchiwanachama, Jamhuri tatuza Ukraine, Belarus naGeorgia ziliamua kuwa nauanachama na viti vyaokatika Umoja wa Mataifa nahilo liliwezekana.

Kwa msingi huo huo,Zanzibar iwe na uanchamawake katika Umoja waMataifa, Umoja wa Afrika, Jumuiya ya Madola, Jumuiyaya Afrika Mashariki, Jumuiyaya SADC na jumuiya nyengineza kikanda na za kimataifa.

6. Sarafu, Benki Kuu,Mikopo na Biashara ya Nchiza Nje, Ushuru wa Forodha,Kodi ya Mapato na Kodi yaMashirika:

U c h u m i s i s u a l a l aMuungano hata katika Katibainayotumika sasa. Hata hivyo,nyenzo za kuendeshea nakusimamia uchumi wa nchikwa maana ya sera za fedha nauchumi (fiscal and monetaryp o l i c i e s ) z i m e e n d e l e akudhibitiwa kupitia Serikali

ya Muungano.V y o m b o v i k u u

vinavyosimamia sera hizoambavyo ni Benki Kuu (BOT),Mamlaka ya Kodi Tanzania(TRA) na Wizara ya Fedhaya Serikali ya Muunganov i m e k u w a v i k i f a n y amaamuzi na kuyatekeleza bi la ya ku zi ng at ia ku wakwa maumbile uchumi waZanzibar ambao ni uchumiunaotegemea utoaji wahuduma (service orientedeconomy) hauwezi kuwa sawana uchumi wa Tanganyikaambao unategemea rasilimali(resource based economy).

Sera za fedha na uchumizikiwemo zile zinazohusuudhibiti wa sarafu na viwangovya kodi, ushuru na ribakatika mabenki zimekuwazikitungwa bila ya kuzingatiamsingi huo wa chumi mbilizilizo tofauti na badala yakemara zote zimeegemezwakwenye kulinda maslahi yauchumi wa Tanganyika.

Sarafu ya pamoja imekuwaikishuka thamani kwa kasikila uchao kutokana nasababu nyingi lakini miongonimwake zaidi zinatokana nauendeshaji mbaya wa uchumi

wa Tanganyika. Serikaliinapochapisha sarafu zaidiili kudhibiti mfumko wa beiathari zake zinaikumba piaZanzibar.

Z a n z i b a r i n a h i t a j ikujikomboa kiuchumi iliiweze kutekeleza malengoya Mapinduzi kwa wananchiwake na hivyo inahitaji kuwana mamlaka yake kamilikatika kusimamia masualaya sera za fedha na uchumiyakiwemo masuala yoteyanayohusu sarafu, viwangovya kodi na ushuru pamoja nariba katika mabenki, mikopona biashara ya nchi za nje.

Kutokana na hali hiyo,masuala ya sarafu, benki kuu,mikopo na biashara ya nchi

za nje, ushuru wa forodha,kodi ya mapato na kodi yamashirika kila nchi inapaswaiyasimamie yenyewe.

7. Polisi:Pamoja na kuwemo katika

mambo ya awali ya Muunganolakini uendeshaji wa Polisiumekuwa n a m atat izoyake katika muungano.Miaka yote Polisi Zanzibarimekuwa ikilalamika kuwainachukuliwa kama vileni Mkoa tu na hata bajetina mahitaji yake mengineyanachukuliwa hivyo hivyona makao makuu ya Polisiyaliyopo Dar es Salaam.

Katika nchi nyingi dunianiPolisi ambayo inashughulikana usalama wa raia na malizao imekuwa ikiendeshwachini ya Serikali za Manispaana hata Majimbo seuze kwanchi kama ilivyo Zanzibar.

Ukiondoa mishahara na bajeti ndogo ya uendeshaj iinayotolewa na makao makuuya Polisi, gharama nyengineza uendeshaji wa polisikwa Zanzibar zimekuwazikichangiwa na mamlakaza Zanzibar ikiwemo Bodi yaMapato Zanzibar (ZRB).

Hivyo basi, wakati umefikakuona mamlaka kuhusu Polisiyanaondolewa katika orodhaya mambo ya Muunganona kila nchi ishughulikieyenyewe Polisi yake.

8. Mafut a na GesiAsilia (pamoja na maliasilinyengine zote):

Baraza la Wawakilisla Zanzibar kwa niaba yWazanzibari lilishafanymaamuzi mwezi Apr2009 kuyaondoa masuaya mafuta na gesi asilkutoka kwenye orodha ymambo ya Muungano. Mbna maazimio ya Baraza Wawakilishi, masuala ymafuta na gesi asilia yanahuuchumi ambalo si suala Muungano.

Katiba Mpya haipaswkuyajumuisha masuala haymawili (pamoja na maliasnyengine kwa ujumla) kuwmambo ya Muungano.

H i v y o b a s i , r a s i myoyote itakayoyajumuishmasuala hayo ya Mafuna Gesi Asilia (pamoja nmaliasili nyengine zote kwujumla) kuwa masuala Muungano haitakubalikwa Wazanzibari.

9. Vyama vya Siasa:Muungano uliundw

n a J a m h u r i y a W awa Zanzibar na Jamhu

ya Tanganyika kupitserikali zao. Mazungumyaliyopelekea muunganhuo na hata utekelezaji whatua za kuunganisha ncmbili hizi katika muunganhayakuhusisha vyama vsiasa vya wakati huo, ASkwa upande wa Zanzibna TANU kwa upande wTanganyika. Ndiyo maankwa miaka 13 ya Muungan(kuanzia 1964 hadi 1977) knchi kati ya nchi mbili hiliendelea kuongozwa nchama chake cha siasa.

Moja kati ya dhorubkubwa dhidi ya makubalianya as i l i ya muun ganhuu ambayo ni Mkatabwa Muungano ilikuwa kuunganisha vyama vya sia

vya ASP na TANU na kuundCCM ambacho kilijitangazkushika hatamu na kuwa juya vyombo vyengine vyovya nchi zikiwemo SerikaUtaratibu huo uliingizwndani ya Katiba za nchi hivyo kuuhalalisha kisherTokea wakati huo, Zanzibimekosa mamlaka ya kisiaya kufanya maamuzi yakwa mambo yanayoihusNa pale ilipofanya hivyilifanya kwa kutegemea nkujiamini kwa uongozi uliopZanzibar ingawa majaribio kutumia nguvu ya vyamkuzuia maamuzi kama hayyamekuwa yakifanyika n baadhi ya wakati kufuzu.

Maongozi ya nchi yoyoyanategemea historia, mna utamaduni wa watu wnchi husika.

Kwa msingi huo basi, ili Zanzibar iweze kurejeshmamlaka yake ya kisiakatika kufanya na kusimammaamuzi kwa mambo yakrasimu ya Katiba haipaswkujumuisha suala la vyamvya siasa kuwa ni jambla Muungano. Zanzibar nTanganyika kila moja iwekuandikisha vyama vyavya siasa.

10. U t a r a t i b u wuendeshaji wa Mambo

Inaendelea Uk.

Page 5: ANNUUR 1074

7/16/2019 ANNUUR 1074

http://slidepdf.com/reader/full/annuur-1074 5/12

5 AN-NUU

RAJAB 1434, IJUMAA JUNI 7-13, 20Habari za Kimataifa

Inawatangazia Waislamu wote Kuwa Imeandaa Safari ya Hijja Mwaka 2013 Sawa na Mwaka 143Hijriakwa Dola US$ 3550 tu.Umra kwa Mwezi wa Ramadhani itakuwa ni Dola US$ 1995Fomu zinapatikana katika ofisi zifuatazo:-1. Ofisi ya Ahlul Daawa Dar es salaam Mtaa wa Dosi na Mkadini Nyumba Namba 26Mkabala na Showroom ya Magari Tel 0713 730 444, au 0773 804101 au 0785 930444 na0773 930444.2. Ofisi ya Ahlul Daawa Zanzibar Rahaleo Tel 0777 484982 au 0777 413 987.3. Abubakar Maulana wa Markaz Kiwalani Dar es salaam 0784 4538384. Abdallah Salehe Mazrui ( HOKO) Dar es salaam 0715 724 4445. Salim Is-haq Dar es salaam 0754 286010 au 0774 7861016. Dukani kwa Abdala Hafidh Mazrui wete pemba 0777 482 6657. Dukani kwa Mohamed Hafidh Mazrui Mkoani Pemba 0777 4569118. Sheikh Daudi khamis sheha 0777 6796929. Maalim Seif Humoud Hamed Kijichi Zanzibar 0777 417736

Wahi kulipia.Ofisi ya Ahlul Daawa Dar es salaam 0713 730 444 au 0773 804101 au 0785 930444.Ofisi ya Ahlul Daawa Zanzibar Rahaleo 0777 484982 au 0777 413 987.Maalim Seif Humoud Hamed Kijichi Zanzibar 0777 417736Sheikh Salim Mohamed Salim 0774 412974 au Kupitia ACCOUNT NAMBA 048101000030 NBC

Tanbih:Atakae maliza Taratibu zote kuanzia sasa Mpaka 15 July 2013 atapata Punguzo la asilimia 16%atalipia $ Dola 2982 tu.Atakae maliza Taratibu zote kuanzia Tarehe 16-july Hadi Tarehe 15 Augost 2013 atapata Punguzola Asilimia sita 6% atalipia Dola $3337 tu.Kutakuwa na umra ya utangulizi kabla ya Umra ya Hijja kwa atakae maliza kufanya hivyo.Atakae maliza taratibu zote mwanzo ndie atakae shughulikiwa mwanzo.Ukilipia kwa njia ya Account kwanza piga simu 0774 412975.Kumbuka Kikundi cha Ahlul Daawa Kwa Bei nafuu kuliko wote na Huduma bora Kuliko wengi

Nyote mnakaribishwa

 Ahlul Daawa Hajj And Travel Agency

Hizbullah waangamiza waasi 20 LebanonWANAHARAKATI waHizbullah nchini Lebanonwamewaangamiza waasi20 wanaopigana dhidi yaserikali ya Syria nchiniLebanon.

H a b a r i z i n a s e m a ,w a n a m g a m b o h a owameuawa katika mapiganoyaliyotokea Jumapili iliyopitamjini Balabak, kusini mwaLebanon.

A w a l i w a a s i h a ow a n a o p a m b a n a d h i d iy a s e r i k a l i y a S y r i awaliushambulia mji huokwa maroketi kutoka katikamaeneo ya mpakani ya Syriana kusababisha uharibifu wamali.

Aidha siku ya Ijumaawaasi hao waliyashambuliakwa maroketi 14 maeneo yaNabi Shith na Nasiriya, yaliyokaribu na mji wa Balabakupande wa mashariki mwaLebanon.

Kuendelea mashambuliziya waasi dhidi ya maeneoya mpakani ya Lebanon,yamewatia hasira kubwa raiawa nchi hiyo.

Hali hiyo imewalazimuviongozi wa Hizbullahkutoa onyo kwa waasi haona kubainisha kwambahawarudi nyuma kutokanana vitisho vyao.

Hivi karibuni Naibuwa Baraza la Utendaji laWanarakati hao, Sheikh NabilKaouk, alinukuliwa akisemakuwa mashambulizi ya waasiwa Syria dhidi ya maeneoya mpakani ya Lebanonh a y a w e z i k u w a f a n y awanaharakati hao kubadili

mwelekeo wake kuhusianana masuala ya Syria.

Tanzania yaiomba Japan kusaidia

masomo ya sayansi na hisabatiTOKYOSerikali ya Tanzaniaimeiomba Japan kusaidia

wal imu wa hisabat i

na sayansi namna ya

kufundisha walimu wamasomo hayo, kama njiaya kukabiliana harakana uhaba mkubwa wawalimu wa masomo hayonchini.

Rais Kikwete alisemakuwa moja ya changamotokubwa zinazoikabili sekta

ya elimu nchini, ni ukosefu

wa walimu wa hisabati nasayansi, masomo ambayoni msingi muhimu wamaendeleo ya nchi.

Ombi hilo kwa Japanl imeto lewa Jumatatuwiki hi i , wakati Rais Jakaya Mrish o Kik wet ealipokutana na kufanyamazungumzo na Mkuuwa Shirika la Ushirikianona Misaada ya Kimataifala Japan (JICA), DaktaAkihiko Tanaka, mjiniYokohama.

Aidha Rais Kikwete

ameiomba Japan kusaiduchapishaji wa vitabvya sayansi na hisabaili kuhakikisha kuwa kimwanafunzi wa Tanzananakuwa na nakala yvitabu vya masomo haykama njia ya kuongeubora wa elimu nchini.

Rais Kikwete alikuw Japan kwa ziara ya siku sakwa ajili ya kuhudhurMkutano wa Tano wTokyo kuhusu Maendelya Afrika (TICAD), ambumemalizika Jumann

wiki hii.

Misri wapinga ujenzi wa bwawa EthiopiaCAIROTaarifa kutoka Cairozinasema kuwa, viongoziwa serikali na wakuu wavyama mbalimbali vyaupinzani nchini Misriwamepinga ujenzi wabwawa kwenye mtoNile nchini Ethiopia.

W a j u m b e h a owalifikia uamuzi wa

kuizuia serikali yaEthiopia isijenge bwawakwenye maji ya mtoNile kufuatia kikaokilichoitishwa na Raiswa Misri, MohamedMorsi mapema wiki hii,kujadili hatua ya hiyo

 jirani kutaka kujenga bwawa hilo.

Taari fa z inaelezakuwa kiongozi mmojawa upinzani nchiniMisri amesema kuwa,kadhia ya ujenzi wa

 b wa wa h i l o n i yakitaifa hivyo kuyatakamakundi yote nchinihumo yashikamane kwalengo la kutafuta njiaza kuutatua mgogorohuo.

K i k a o h i c h o p i akimesisitiza juu yakufuatwa sheria nataasisi za kimataifakwa lengo la kuizuiaEthiopia isijenge bwawahilo, ambalo huendalikaziathiri Misri naSudan katika sekta yakilimo.

A w a l i R a i sMohammad Morsi wa

Misri, alivitaka vyamav y o t e v y a k i s i a s avikiwemo vya upinzani,kujadili mkakati waEthiopia wa kujenga

 bwawa kwa kutumiamaji ya Mto Nile.

Rais Morsi aliwaalikawanasiasa na viongoziwa taasisi mbalimbalinchini humo kuketi

p a m o j a m a p e m a Jumatatu kujadili kwakina mpango huo waEthiopia, ambao huendaukaathiri sekta ya kilimokatika nchi za Misri naSudan.

Hata hivyo baadhiy a v i o n g o z i w avyama nchini humowameripotiwa kukataa

wito wa kushiriki katikkikao hicho.

Uamuzi wa ghafla wEthiopia wa kubadilishmwelekeo wa maji ymto Nile kwa lengo lkujenga bwawa la Nahdha, umezusha hofkubwa kwa viongozi nwananchi wa Misri nSudan.

M A P E N D E K E Z OYA KAMATI YAM A R I D H I A N OZANZIBAR

Inatoka Uk. 4Muungano:

K w a y a l e m a m b oyatakayokubaliwa kubakikatika Muungano kamavile:

- Katiba ya Muunganowa Jamhuri za Tanzania;

- Serikali ya Muunganowa Jamhuri za Tanzania;

- Uratibu wa Sera yaMambo ya Nje;

- Ulinzi;- Usalama;- Mamlaka juu ya

mambo yanayohusika nahali ya hatari;

- Utumishi katikaSerikali ya Muungano wa Jamhuri za Tanzania; na

- Mahkama ya Rufaniya Muungano wa Jamhuri zaTanzania.

Utaratibu wa uendeshajiwake uwekwe wazi katikaKatiba kwamba maamuziy o t e y a t a f a n y w a k w amashauriano na makubalianokati ya nchi mbili zinazoundaMuungano huu na yatakuwahalali tu iwapo yatafuatamsingi huu.

HITIMISHO:Haya kimsingi ndiyo

mapendekezo yetu Kamatiya Maridhiano. Tunayaletak w e n u m u y a p o k e e ,muyajadili na kuwaombamuyaridhie ili yawe ndiyomsingi wa mwelekeo wawananchi wa Zanzibar ambaowengi wao waliojitokezambele ya Tume ya Mabadilikoya Katiba walitaka nchi yaoiwe na mamlaka kamili.

K w a m a p e n d e k e z ohaya, tunadhani Zanzibarna Tanganyika zitaendeleakuwa na mashirikiano yakidugu kupitia mfumo mpyawa Muungano na wakati huohuo kila nchi mwanachamawa muungano ikibaki namamlaka yake kamili katikayake maeneo ya msingiambayo kila nchi hupendakuwa nayo.

Imetolewa:Zanzibar25 Mei, 2013

Page 6: ANNUUR 1074

7/16/2019 ANNUUR 1074

http://slidepdf.com/reader/full/annuur-1074 6/12

6 AN-NUU

RAJAB 1434, IJUMAA JUNI 7-13, 20MAKALA

MATUKIO ya jeshi la polisikuhusishwa na vitendo vyauhal i fu nchini yamezidikushika kasi nchini.

 Ni jambo lina lo fahamikakwamba kazi kubwa ya jeshila polisi, ni kulinda usalamawa watu na mali zao na kuzuavitendo vyote vya kihalifu

nchini.Hayo ndio majukumu ya

msingi ya kuhalalishwa kuwepo jeshi hilo.

Kutokana na majukumu hayoya kiusalama ya jeshi letu la polisi, wananchi waliwaamini,kuwaheshimu na kuwategemeasana kiulinzi na kiusalama.

Hata hivyo kadiri sikuzilivyokuwa zikisonga mbele, jeshi hili limezidi kuporomokakimaadili na kiutendaji, haliinayowafanya wananchi kukosaimani na jeshi hilo.

Tamaa ya fedha kwa baadhiya askari na watendaji wa ngaziza juu wa jeshi hilo imekuwasababu kubwa ya chombo hikikuyumba kiufanisi na kutiliwa

mashaka.Rushwa inayotokana na tamaa

ya kupata fedha au maslahi kwanjia za mkato, imewafanya askariwengi katika jeshi hilo kuweka pembeni wajibu wao wa msingikwa wananchi na kujiingizakatika vitendo vya kihalifu.

Badala ya kuwa vinara wakupambana na uhalifu, sasawamekuwa vinara wa kutumiasare za jeshi kuchuma chumoh a r a m u . W a n a d h u l u m u ,wanapora , wanabambikiawatu kesi, wanaonea na kutesawatuhumiwa. Ile kazi ya msingiya kuzuia uhalifu imekuwa nichaguo la pili katika utendaji wakazi zao.

 Ni hivi karibuni tu, gari la

mkuu wa kikosi cha kutulizaghasia (FFU) mkoa wa Arusha,lilikamatwa huko Himo MkoaniKilimanjaro likisafirisha bangimagunia 18 kwenda TarakeaRombo. Habari zilizothibitishwana Kamanda wa Polisi Mkoawa Kilimanjaro, Robert Boaz,z i l ipasha kuwa gar i hi lolilikamatwa siku ya Jumamosimajira ya saa 4:00 usiku.

Tukio hili linaonyesha ni jinsi gani baadhi ya askari wa jeshi letu la Polisi, tena wenginewakiwa ni vigogo katika jeshihilo badala ya kuzuia uhalifu,wao ndio vinara wa uhalifuwenyewe.

Jambo la kushangaza nikwamba, hata yule askari dereva

aliyekuwa akiendesha gari hilo,naye ameripotiwa kutorokaakiwa mikononi mwa polisiwenyewe baada ya kukamatwa.

Bila shaka utoro wa askarihuu, hauwezi kuacha kuletadhana za kuhusika kigogo ndaniya jeshi hilo katika tukio hilo.

Siku za nyuma kidogo, Jeshihilo mkoani Morogoro liliingiakwenye kashfa nzito baada yaaskari wake watatu kukamatwawakiwa na kichwa cha binadamu.Tukio hilo lilitokea Mei 7 mwakahuu katika eneo la Mgudeni hukoDumila wilayani Kilosa.

Taarifa zinaelezwa kuwa polisi hao kwa kushirikiana naraia, walikwenda nyumbani kwa

Polisi kichaka cha uhalifu?

Na Shaaban Rajab

 ASKARI Polisi wakiwa katika moja ya operesheni ya kutuliza ghafia

mfanyabiashara aliyetajwa kwa jina la Samson Mura na kutakakumbambikizia kesi ya mauaji.

Polisi hao walidaiwa kuwawaliomba shilingi milioni 25kutoka kwa mfanyabiasharahuyo, ili wasimpeleke kituoni,kwa kosa hilo la kubambika.Harakati zote hizo bila shakazinatokana na tamaa ya kupatafedha kwa njia haramu yakutumia vibaya nafasi zao.

Mei mwaka huu, jeshi la polisi pia liliingia katika kashfa

hizo hizo za kihalifu, paleaskari wake walipotuhumiwakushirikiana na wafanyabiasharawanaokwepa kodi na maafisawa Mamlaka ya Kodi-TRA,kuingiza bidhaa kupitia njia za panja za pwani ya bahari yaHindi, yaani pwani ya Dar esSalaam na Bagamoyo.

Polisi Kanda Maalumuya Dar es Salaam, ilitangazakuwakamata askari wake 16kwa tuhuma za kushiriki nakupokea rushwa kutoka kwawafanyabiashara wa magendowanaovusha bidhaa zao kupitia banda ri bubu kandokando yaBahari ya Hindi na maeneomengine.

Hatua hiyo ilitokana na

kubainika kuwa baadhi yaaskari wametengeneza mtandaoulioanzishwa zaidi ya miezisita kwa kushirikiana na baadhiya wafanyakazi wa Mamlakaya Mapato Tanzania (TRA),ambao hukusanya f edhakinyume cha sheria kutoka kwawafanyabiashara wasiotakakulipa ushuru halali Serikalini.

Si hayo tu katika tukio jingine, baadhi ya po li si walida iwakuhusika katika upotevu wafedha zinazokadiriwa kufikiamilioni 150 katika tukio laujambazi lililotokea Kariakoo jijini Dar es Salaam.

Katika tukio hilo lililotokeaDesemba mwaka jana, Jeshi la

Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam liliwashikilia askariPolisi watano kwa tuhuma zakuhusika na upotevu wa fedhahizo zilizokuwa zimeporwana watu wanaosadikiwa kuwamajambazi eneo la Kariakoo,ambapo ilidaiwa majambazi haowalipozidiwa nguvu walizitupafedha hizo na kukimbia na polisikuziokota.

Watu watatu walipotezamaisha kwa kupigwa risasi namajambazi katika eneo la tukio

hilo.Aidha kuna wakati iliripotiwa

kuwa dawa za kulevya (unga)uliokuwa umekamatwa na jeshihilo, ulipungua kilo kadhaakuliko kiasi kilichokamatwa,na umebainika kupungukiamikononi mwa jeshi la polisiambako huhifadhiwa kamakidhibiti.

Ukiacha matukio hayoharamu, Polisi pia wanatuhumiwakukithiri katika vitendo vyarushwa katika kutoa huduma yaokwa wananchi hususan katikavituo (posts).

Siku hizi vituo vingi vya poli si vi megeuzwa of is i zakuchuma chumo haramu kwamshitaki na mshitakiwa.

Mchezo unaofanyika ni kwamlalamikaji kutoa pesa ili kupatahaki na mlalamikiwa naye kutoafedha ili kupindishwa haki.

Polisi wa usalama barabaraninao wanatuhumiwa vikalikwa rushwa kupitia vyombombalimbali vya usafiri nausafirishaji.

Kuna tuhuma kwamba hatakile kiasi cha fedha za rushwazinazopatikana barabaranihuwafikia pia hata wakubwamaofisini. Kwamba kuna hesabufulani ambayo kila askari wausalama barabarani, analazimikakupeleka kwa wakuu kila siku.

Katika hali hii, usalama barabarani umekuwa dhul ma

 ba raba rani . Kwa st ai li hi i,ni wazi kwamba hata yalemakusanyo ya faini halali kwawakosaji barabarani, yatakuwani kiduchu ikilinganishwa nakiasi kinachoishia mifukonimwa askari hao na serikalikuambulia pato haba.

Lakini ni polisi hao haoambao hufanya kazi yao kwaweledi na uhodari kabisa, pale wanapopewa jukumu lakuthibiti mikutano ya hadharaya kisiasa, mihadhara ya kidini

au maandamano.Hapa wanaonyesha ufundi

wao wa kudhibiti raia wasiokuwana silaha kiasi cha kupiliza hatakuua.

Haya ni baadhi tu ya matukioya kihalifu, ambayo Jeshi letula polisi limekuwa likihusishwanayo. Matukio ya namna hii ndioyanayochochea zaidi wananchikujichukulia sheria mikononi.

Yote haya ni kwasababu kwaushahidi wa matukio kama haya,wananchi wanafikia mahaliwanakosa imani na utendaji wa jeshi lao.

Lakini pia inaonekanakuwa jeshi la polisi limekuwalikitumika zaidi kisiasa. Hasakwa kuzingatia kwamba jeshi

letu limekuwa likitumia nguvuna vifaa vingi kudhibiti watuwanaoshiriki katika matukioya kisiasa kama maandamanona mihadhara, kuliko yale yakihalifu.

Pamoja na askari wa jeshila polisi mara kwa marakuhusishwa na vitendo vyakihalifu, lakini mara nyingiaskari wanaotuhumiwa kuhusikana uhalifu, kesi zao hazijulikanizinaishia wapi na wala hakunataarifa zinazotolewa kwa ummakuhusu hatua walizochukuliwadhidi ya watuhumiwa hao nahatma yao imefikia wapi.

Ili kukomesha mazea hayaya vyombo vya nguvu za dola

kujiingiza katika uhalifu wasijulikane wamechukuliwhatua gani, umefika wakati satuseme basi.

A i b u z i n a z o e n d e l ekulikumba jeshi letu zikomKuna haja ya serikali kuchukhatua za makusudi na za harakulisafisha jeshi letu la polisi mapema.

Kwanza kwa kuundwchombo maalum cha kushughu

 jinai zinazofanywa na baadhi maofisa na watendaji wa jeshili.

Haja hii ni muhimu kwkuwa uzoefu unaonyesha kuwkutokana na mfumo ulipo, vigumu sana wahalifu ambni watendaji wa jeshi la polkukamatwa na kuhukumiwa kwuhalifu wao.

Hali hii inatokana na ukwekwamba polisi ni chombkilichopewa mamlaka kisherkuchunguza, kukamata, kushtana kuendesha mashtaka kwwahalifu. Katika mazingihaya ni vigumu wao wenyewkujichunguza, kujikamatkuj i shtaki , kuj iendesh

mashtaka pale wanapohusishwna matukio ya kihalifu.

Katika mazingira hayni vigumu sana kupatikanushahidi wa kutosha wa kuwathatiani, kwa kuwa ni rahikwao kuchelewesha, kuvurugkuharibu, kupotosha na hakupoteza ushahidi dhidi ya wawao wenyewe, hivyo kusababiugumu wa wahusika kupatikana hatia na kuihumumiwa.

Kat ika mfumo huu, vigumu kuwatia hatiani vigowanaof anya b i a sha r a y bang i, wanaopora fedha kwwafanyabiashara, wanaoklurushwa, wanaodhulumu kw

nguvu na hata wale wanaoua.Kuna haja serikali kuunda ‘FB

yake maalum inayojitegemechombo ambacho kitakuwhakina mahusiano na chombkingine chochote cha nguvza dola, ambacho kazi yakubwa itakuwa ni kuchunguzkukamata na kuwashtawatendaji wa vyombo vingivya nguvu za dola nchini kam polisi.

Biashara ya makamanda maofisa wa ngazi za juu polikufanya makosa katika vituvyao, halafu adhabu yao iwni kuhamishwa makao maku bila kazi ya kueleweka, hiysiyo dawa sahihi ya kurekebis

hali.Aidha kuwafukuza tu wa

askari wanaokutwa na makoya kihalifu au utovu wa nidhamsio suluhu ya kuzuia uhalindani ya jeshi letu.

L a z i m a k i u n d wchombo maalum cha dokitakachojitegemea kwa ajili kuwawajibisha watendaji hawwajeshi la polisi. Kwa kufanhivyo nidhamu uadilifu ya jeshili utarejea na vitendo vya wawao kujihusisha na vitendo vkihalifu vitapungua kama skukoma kabisa. Na hapa ndipwananchi waterejesha imani yiliyopotea kwa jeshi hili.

Page 7: ANNUUR 1074

7/16/2019 ANNUUR 1074

http://slidepdf.com/reader/full/annuur-1074 7/12

7 AN-NUU

RAJAB 1434, IJUMAA JUNI 7-13, 20Makala/Matangazo

RAIS Barack Obama waMarekani, anatarajiwakuzuru nchini Julai Mosimwaka huu.

Hivi sasa serikali ipokatika harakati kubwa zamaandalizi ya ujio wa mgenihuyo, ambaye tumeelezwakuwa atatua nchini na ujumbe

usiopungua watu 700.Huyu ni Rais wa tatu waMarekani kuzuru nchiniachilia mbali Mawaziri waMambo ya Nje wa Taifahilo kubwa. Kabla ya kujaRais Obama, Juni 11 hadi13, 2011, aliyekuwa Waziriwake wa Mambo ya Nje Bi.Hillary Clinton, ambaye piani mke wa Rais wa zamaniwa Marekani Bill Clinton,naye alizuru nchini kwa ziaraya siku tatu.

Kwa mara ya kwanza Raiswa Marekani kuzuru Tanzaniatangu utawala wa marais 45waliowahi kuliongoza Taifahilo kubwa, ni Rais mstaafuBill Clinton.

Clinton alizuru nchiniAgos t i 27 , 2000 kwalengo la kushuhudia utiajisaini mkataba wa amaniwa kumaliza mzozo nchiniBurundi, hafla iliyofanyika

 j i j i n i Ar us h a amb apomsuluhishi mkuu wa mzozohuo alikuwa ni Rais wazamani wa Afrika Kusini,Mzee Nelson Mandela.

Hata hivyo katika ziarahiyo, mwenyeji wake alikuwani Rais mstaafu wa Jamhuriya Muungano wa Tanzania,Benjamin William Mkapa.

P a mo j a n a k w a mb aTanzania ni nchi inayosifikakwa amani na utulivu naukarimu wa watu wakeduniani kote, hilo halikuifanyaMarekani kuiamini.

Kabla ya kuja Clintonm a z i n g i r a y a T a i f ayalibadilika. Makachero waMarekani walitamalaki karibumaeneo yote nyeti ya Taifaletu. Tunakumbuka hata palealipotua uwanja wa ndege waKimataifa wa Kilimanjaro,kabla ya kuondoka uwanjanihapo na mwenyeji wake RaisMkapa, mbwa wa Kimarekaniwalikagua barabara gari lakifahari alilotumia Rais wetu,chini ya ulinzi mkali wamakachero wa Marekani.

Ulinzi wa serikali yetuuliwekwa kando. Mbwaaliokuja nao Clinton walinusakila kona ya gari la Rais

wetu, huku Maofisa wetuwa Usalama wa Taifa naviongozi wetu wakiwa kimyakando kushuhudia.

Katika ziara hiyo, pamojana kwamba Bw. Clintonalikuja kwa uzito wa jukumula Burundi, lakini katikahali ya kushtusha kidogo,tulisikia kwamba Rais wetuMkapa na Rais Clintontayari wameshatiliana sainimkataba wa anga huru.

Fursa ambayo Marekaniimekuwa ikipata wakatimgumu sana kuridhiwan a m a t a i f a m e n g i n eyanayofahamu vyema sera natabia za ndani za Taifa hilo.

 Ya akina Bush, Clinton

 yasijirudie kwa Obama

Na Shaaban Rajab.

 RAIS Jakaya Kikwete GEORGE W. Bush  RAIS Barack Obama

Lakini serikali yetu haikuonasababu ya kutafakari kwakina juu ya hatua hiyo kablaya kufikia maamuzi.

Ziara ya Clinton ilifunguliafursa zaidi za viongozi waMarekani kuzuru nchini. Bilashaka Clinton aligundua jambohapa kwetu na kulifikisha

 jikoni White House kwa ajiliya kufanyiwa kazi hata baadaya yeye kuondoka.

Tukio la kulipuliwa ubaloziwa Marekani jijini Dar essalaam na kule Nairobi Kenya

Agosti 7, 1998, kunawezakuwa kichocheo muhimucha White House kuitambuavyema Tanzania na kuonakuna haja ya kuwepo mikakatikabambe ya kiusalama na yakuvumbua fursa za kiuchumi

 pia.Tangu kipindi hicho,

ziara za vigogo wa ngaziza juu wa White Housezilikolea nchini kwa nyakatitofauti, ikilinganishwa nanchi nyingine za ukanda waAfrika Mashariki na Kati.Yawezekana ziara za vigogohawa zikawa nyingi zaidinchini ikilinganishwa na nchizile wanazofanya katika nchinyingine za bara la Afrika.

Julai 13, 2005 mke wa RaisGeorge Walker Bush, ambayealichukua nafasi ya Clinton,Bi. Laura Bush alitua jijiniDar es Salaam kwa ziara yasiku mbili.

Februari 2008 Rais GeorgeWalker Bush, akawa Raiswa pili wa Marekani kujanchini, akiwa ameambatanana mkewe Bi. Laura, ambayeyeye alishakuwa mwenyejikidogo kufuatia ziara yakeya awali.

Hata hivyo safari hii ugenihuo wa Rais wa Marekaniulisababisha adha kubwakwa Watanzania. Makacherowalitanda Ikulu ya Dar es

Salaam na kuvinjari kila konaza Ikulu ambayo MwalimuJulius Nyerere enzi zauhai wake iliita ni mahali

 pataka ti fu. Wali ning’iniakwenye paa kama vile ndiowenyeji wa eneo hilo kulikomakachero wetu.

Itakumbukwa kwambahata mawasiliano ya simuyalikuwa ya taabu, magariy a l i p e k u l i w a , ma e n e oa l i y o p i t a mg e n i h u y oyalidhibitiwa kiasi cha raiakutopita maeneo hayo akiwa

huru. Kwa kifupi ni kwambaile amani, uhuru na ustaarabuwa Watanzania hutowekakwa muda kila wanapokujawatu wa White House.

Lakini tukio lililoshituazaidi, ni kukamatwa nakuwekwa ndani baadhi yaMasheikh kule Arusha sikumoja kabla ya Rais Bushkuwasili mkoani humo kuzurukiwanda cha vyandarua. Kisani kile kilichoitwa wasiwasiwa ugaidi.

Mashekh hao walikaandani bila hatia yeyotehadi alipoondoka Bush namsafara wake. Ombaomba nawalemavu nao waliondolewa

 ba ra ba ra ni wa na ko om ba

n a k u s w e k w a n d a n ihadi waheshimiwa hawawaondoke.

Itakumbukwa kwambakatika utawala Bw. Bush,ndiye aliyeshinikiza nchim b a l i m b a l i i k i w e m oTanzania, kuchukua sheriaya Patriotic Act, ambayoiliyozaa sheria ya ‘chapchap’ya ugaidi nchini. Sheria hiyomara moja ilianza kutumika nakuleta athari kwa Masheikhw a k i t u h u mi w a u g a i d iambapo wapo waliokamatwakuswekwa ndani na wenginekufukuzwa nchini huku

 baadhi ya taasisi za Kiislamuzikifungwa n.k.

S e r i k a l i i l i o n e k a n akushughulishwa barabarakatika kutimiza matumizi yasheria hiyo, licha ya wengiwa l iopa ta misukosukokutodhihirika kuhusiana naugaidi wenyewe. Kupokelewaharaka na kwa bashasha sheriahii ilionekana kukidhi haja yaaliyeileta kiasi cha kuimarisha‘urafiki’ wa pande mbili.Miradi ya vyandarua na MCCimeonekana kuwa kivutiokikubwa cha kuimarishauswahiba wa pande mbili.

Hatupingi viongozi wa

Taifa hilo kubwa kuzurnchini. Shida ni bughudhwanazopata baadhi ya wawasio na hatia kwa sababu yugeni huo.

Ikizingatiwa kwambtayar i kuna wimbo wugaidi unaovuma Zanzibna Arusha, na ikizingatiwk u w a m a k a c h e r o wMarekani walishaombwa nserikali kusaidia kuchungukubaini watuhumiwa wugaidi huo, kuna daliya kurejea zile kadhia zkukamatwa Masheikh, simkudhibitiwa hasa katikmaeneo atakapokuwa akupita mgeni huyo kamilivyokuwa alipotua Bush.

Lakini linalotia hofzaidi ni falsafa ya Taifa hkubwa, kwamba hawanrafiki wa kudumu wala adwa kudumu, ila maslahi ykudumu. Taifa hili lenynguvu kubwa ya kiuchumduniani, limejijengea siya kutokuwa na urafiki wkuaminika kama hakunmaslahi hasa ya kiuchumYanapokosekana masla

haya, na uswahiba ni muhakudumu kama ilivyodhihutawala wa enzi za SaddaHussein wakati akiiongozIraq, uswahiba dhidi yPakistan.

Kutokana na fa lsahiyo kongwe kwa Taihilo, ziara za White Hou

nchini, zinaweza kuwa nsura ya urafiki tu. Lakini pinawezekana kabisa nyumya pazia yakalengwa maslamakubwa, ambayo ni zaiya maslahi watakayopaWatanzania na serikali yao

Ifahamike tu kwambkugunduliwa hazina kubwya gesi na uranium ukandwa Kusini ni moja ya vivut

vikubwa kwa mataifa ykibeberu.

Inawatangazia Waislamu ibada ya

ITIKAF.

Mahali:- Masjidi Idrisa, Kariakoo.

Siku:- Jumamosi, Juni 8/2013

Muda:- Baada ya Swalat Ishai

Masheikh Mbalimbali watakuwepo

Inshaallah.

Wabillah Tawfiiq

MUHADHARA MASJID

MTAMBANIMsikiti wa Mtambani, unawatangazia Waislamuwote Muhadhara.Utakaofanyika:- Msikiti hapo (Mtambani)Siku:- Ijumaa, Juni 7/2013 (Leo). Baada ya

Swala ya Al-Ijumaa.Muhadhiri:- Ustadhi SULEIMAN FILAMBI,

toka Morogoro.Imam, Masjidi Mtambani

Wabillah Tawfiq

SHURA YA MAIMAM (T)

Page 8: ANNUUR 1074

7/16/2019 ANNUUR 1074

http://slidepdf.com/reader/full/annuur-1074 8/12

8 AN-NUU

RAJAB 1434, IJUMAA JUNI 7-13, 20Makala/Tangazo

Na Khalid S Mtwangi

HIVI sasa imekubalika nawatu wengi kuwa kweliuhusiano kati ya Waislamna ndugu zao Wakristo siomzuri kama inavyostahili.

W a n a o h u s i k a n autawala wanatafuta njiaya kuinusuru nchi hii nama j a n g a y a n a y o w e z akutokea kutokana na hali hiiisiyoridhisha. Tayari RaisMhe. Jakaya Mrisho Kikwete,amekutana na viongozi wadini kulizungumzia jambohilo.

Imependekezwa vilevile kuwa viongozi wa dinimbalimbali, hasa wale waKiislam na Kikristo wawe namijadala na maongezi kuhusu

 jambo hili ili kutafuta njia yakupoza yale yaliyochemka.

 Ni maoni ya mso mi Dkt .Evarist Magoti wa ChuoKikuu cha Dar es Salaam,kwamba mazungumzo kamahayo (dialogue) hayatakuwana tija na tatizo litabaki pale

 pa le . So ma ma on i ya ke

katika THE CITIZEN ONSUNDAY of May 26, 2013.

Kuna sababu za msingikabisa ambazo zinawezakutolewa kuhakiki maonihayo. Dkt. Evarist Magoti,katoa sababu za kitaalamza kisayansi ya siasa na zakisaikologia; lakini ziko piaza msingi kabisa.

K w a n z a W a i s l a mwanakumbuka, penginezaidi ya ndugu zao Wakristo,kuwa katika mazungumzohayo ya pamoja kumekuwana msisitizo usiokuwa wakawaida kuhusu mihadharainayoitwa ya kashfa, ama pale

wahadhiri wanashutumiwakuwa wanakashifu dini zawengine. Jambo hili kwa kiasikikubwa sana limemalizwana mahakama kutokanana kesi ya Ustadh RajabDibagula, ambayo hukumuyake ilitolewa na Mahaklamaya Rufaa (ingawa hukumuile ilikuwa ya kisiasa zaidikuliko kutoa haki tupu).

H e b u W a i s l a mwakumbuke; hivi kwelimalalamiko yao ya dhulmayanaweza kuondolewa paleile inayoitwa mihadhara yakashfa itapusitishwa amaitakapokoma? Bila shaka jibu

Wakristo na Waislam: Panapotokea

 vita majeruhi wa kwanza ni ukwelila swali hili la msingi litakuwaLA! Sasa inawezekana kabisakuwa kumekuwa na msisitizousiokuwa na kifani, juu yakile kinachoitwa KASHFAkuliko lile la msingi laDHULMA wanayoipigiakelele Waislam.

Ikiwa kweli kutakapokuwahakuna ile kelele kuwadini moja inakashifu dininyingine, hapo ndipo tuamini

 p a t ak u w a mwi s h o waMFUMOKROSTO? Waislamwajiulize na watoe jibuwenyewe. Lakini muhimuzaidi ni kuwa macho, wasiwewanadanganywa walaleusingizi, ati hali sasa ni shwari

wakati MFUMIOKRISTOndio unapata nguvu zaidi.

Masheikh wanaweza kuwawanazungumza kila siku naMaaskofu kutafuta ridhaa(gani?) lakini hawa Maaskofusio watendaji wanaotekelezaMFUMOKRISTO katikakazi na majukumu yao yakila siku Serikalini. Kadhiaya mitihani ya somo laISLAMIC KNOWLEDGEni mfano mzuri sana. Uamuziumeto lewa na kuanzakutekelezwa wakati kila mtu,na hata Rais, anatia mkazo

 juu ya “dialogue” kat i yaviongozi wa Kiislam na wa

Kikiristo. Ni wazi kabisa kuwa kitendohicho kilichotekelezwa namaafisa humo Wizara yaElimu ni dhulma dhidi yaWaislam. Wamefanya hivyowakati kuna kutoelewanakwa hali ya juu kabisa katiya Waislam na Wakristo.Hawa watekelezaji ambaowengi wao, kama sio wote niWakristo, walionyesha dharaukubwa dhidi ya Waislam wanchi hii.

Baya zaidi ni kuwa hawa jamaa viongozi wa Kikristowalikuwemo katika njamaza hujuma hiyo bila hatakuwatahadharisha wenzaoWais lam. Ingawa h i lolisingetegemewa kutokea,Wakristo wasingeweza amawasingetaka kuwajulishaWaislam hata kidogo. Basikuna haja gani kuwa na hiyoinayoitwa “dialogue”?

Ikubalike kuwa hivi sasakuna vita vya maneno katiya Waislam na Wakristonchini humu. Inawezekanakabisa, kama baadhi ya watuwanavyodai, kuwa vita hivivinachochewa na watu kutokanje na wale wasioitakia memaTanzania. Ati Waislam nawananchi wenzao Wakristo

wamekuwa wakiishi kwaamani kwa muda mrefusana, sasa iweje leo kuwe namfarakano?

Hili la kuchinja hasaliwaamshe Waislam kuwakuna watu hawawapendi hatakidogo. Ukweli ni kuwa hukonyuma, Waislam walikuwawastahamilivu sana, labdakwa vile walikuwa mstariwa mbele katika kupiganiau h u r u . K w a o i l i k u w amuhimu kuukuza ule umojawa kitaifa. Hayati Mwalimu

 Nyerere alilifahamu hilo nakalitumia vizuri sana. Sasalabda Waislam wameamkana kuutambua vizuri uleMFUMOKRISTO. Nduguzao Wakristo hawakupendaiwe hivyo. Hivyo vimezukahivyo vita vya maneneo.

Wataalam wanasema kuwa panapozuka vita vya manenotu kama humu Tanzania hivisasa, majeruhi wa kwanzahuwa UKWELI. Lakinisio hivyo tu, bali pia hata

 binadamu hutolewa kafarakatika kutafuta ushindi wavita hivyo. Kuna mifanomingi ambayo gazeti hililimeitoa katika zile harakatiza Marekani, ati kupigana naugaidi.

Mpaka leo h i i kuna

mabishano ya nguvu kabisakama kweli ni vijana waKiislam ndio waliendeshandege kubomoa World TradeCentre pale New York naPentagon huko Washington.Wako wanaosema na kuaminikuwa zilikuwa mbinu zaBw. George Bush, kupatasababu za kuishambulia Iraqna Afghanistan kwa maslahiya Marekani. Historia nayoinatuambia kuwa hayohayawezi kuwa ya kwanza.

Wakati wa vinavyoitwaVita Vikuu vya Kwanza,Waingereza waliitega meli yaokubwa ya abiria LUSITANIA,

i p i g w e k o m b o r a n akuzamishwa na Wajerumani.Meli hiyo ilikuwa na bahariatakriban 1959; wakiwemoWamarekani 128. Wakatihuo Marekani walikuwa badowanasita kujiunga na madolaya Ulaya kushiriki katika vitahivyo.

L a k i n i k i t e n d o c h akuzamishwa meli hiyo yaLUSITANIA na kupotezamaisha ya waMarekani128, iliwafanya Marekaninao waingie katika vita vile(World War II 1939 mpaka1945). Mbinu za Waingerezakuwatoa kafara Wananchi

wake waliokuwa ndani yameli ile zilifaulu. Huo nimfano mmoja tu.

Wasomaji wa historiawanakumbuka mkasa waPearl Harbour kule Hawaii.Hapo palikuwa na kituokikubwa sana cha manowarina meli nyingine za kivitaza Marekani. Hasa zile melikubwa kubwa. Inastaajabishasasa kwamba msururu(armada) wa meli za Japantakriban sita za kubebandege, na nyingine za kilaaina zikifikia kumi na tanoziliweza kusafiri kutoka hukoJapan mpaka karibu kabisa,kiasi cha kilometa mia nne

tu kutoka kituo hicho bilaMarekani kutambua kuwamsururu wote huo umesafirimaelfu ya kilometa bilakutambulika.

H a i w e z e k a n i h a s aikikumbukwa kuwa askarimmoja wa zamu aliziona melihizo na madege katika “radar”zikikurubia. Alipowaelezaviongozi wake juu ya hatarihiyo walimwabia tu usijali.Basi kituo kilishambuliwakwa nguvu sana na WaJapanina maisha ya askari wengiMarekani kupotea.

Kama ilivyokuwa katikaVita Vikuu Vya Kwanza,

safari hii pia wananchi wengiwa Marekani walikuwahawakupendelea kushirikikatika vita hivi, iwe Ulayadhidi ya Hitler ama Pacificdhidi ya Tojo Hideki, WaziriMkuu wa Japani wakati ule.

Hivyo mpaka leo historiainafundisha kuwa Rais

Franklin Delano Roosevealiwatoa kafara askari wakna Wananchi wengine ikupata kile alichokitaka. Nani kutaka kujitosa vitani.

W a s o m a j i w a j a r i bkukumbuka wataona kuwkuna mikasa mingi imetokhumu Tanzania, ambayhaielezeki imetokea wana wala kwa nini imetokeLawama kubwa wametwikwWaislam ingawa mpaka lehii, Jeshi la Polisi Tanzanhalijaweza kuwafikishmahakamani wa tu hawaliochoma makanisa, kwmfano. Hali kadhalika misikilichomwa huko Tundummpaka leo imekuwa kimy

 bila taar ifa yeyote kutokkwa vyombo vya usalama.

Waislam tuwe machtu tumie ak i l i ya a s ikuchanganua mambo. Vikubwa iliyoko mbele yenu kuondoa dhulma iliyoshamnchini kutokana na uambao sasa unajulikana wakama MFUMOKRISTOMihadhara sio jambo zihata kidogo kwa vile Uislaumakuwa ukikashfiwa katikvijitabu vinavyozagazwa nMakanisa kwa muda mresana.

H a p a j a t o k e a r a b s hkuhusu hilo. Lengo liwe kutafuta jinsi gani Waislawanaweza kuushinda huM F U M O K R I S T O , iWananchi wote wa nchii wawe na haki sawa nwaishi kwa amani kamilivyokawaida.

Almadrasat Munawara Shaziliyaya Jibondo Mafia, inakabiliwa natatizo kubwa la vitabu hususan

Misahafu, Juzuu na kitabu chakufundishia cha Fath-lbaariiSharhe Ibukharii.

Tunaomba msaada wenu.Kwa mawasiliano tumia:0715 059250, 0784 059250

Wabilah Tawfiq

Msaada wa vitabu

Page 9: ANNUUR 1074

7/16/2019 ANNUUR 1074

http://slidepdf.com/reader/full/annuur-1074 9/12

9 AN-NUU

RAJAB 1434, IJUMAA JUNI 7-13, 20Makala/Tangazo

KUFUATIA mauaji yaPadri Evarist Mushi kuleZanzibar na shambulio

la bomu kwenye KanisaK a t o l i k i l a J o s e p hMfanyakazi lililosababishavifo vya watu watatu mjiniArusha, neno ‘kulaani’l i l is ikika mara nyingisana kupitia vyombo vyahabari.

M a a s k o f u , t a a s i s iza Kiislamu, Wanasiasa,Mashe ikh na makundimengine ya kijamii, wotewalilaani mara moja vitendovile viovu, kabla hata yaukweli wote kufahamikakuhusu matukio yale.

Wengine walikwenda mbalizaidi na kuanza kutoa kauli

za kuwalaumu Waislamu,ingawa hawakujitokezawazi.

Baadhi ya v iongoz iw a d i n i y a K i k r i s t owali tangaza hadharani

Hatari ya kuharakisha ‘kulaani’ matukio ya ugaidiNa Said Rajab kwamba mashambulizi yale

hayahusiani na dini, ingawasina hakika kama dhamira zaozinafanana na kauli zao. Kwasababu hawa wenzetu maranyingi yale wanayodhihirisha

kupitia vinywa vyao, ni tofautikabisa na yale wanayohifadhikwenye vifua vyao.

Mimi ugomvi wangusiyo kulaani pale matukiomaovu yanayofanyika, bali

 pale Waislamu wanapolaanimatukio hayo bila ya kuwawaanga l i fu . Maz ing i rayaliyojengwa hapa nchini,i n a o n e k a n a W a i s l a muwakilaani kuuawa kwaPadri, au kanisa kupigwa

 bomu, inakuwa kama vilewana j ikosha mbe le yaumma!

Y a a n i w a n a j a r i b ukuthibitisha kwamba wao

h a w a h u s i k i . M t a z a mouliojengwa mbele ya ummani kwamba Waislamu ndiyowanaofanya mashambulizihayo.

 Ni jambo la wazi kabisa

na sijui kama baadhi yetuwanafahamu hivyo, kwambavyombo vya habari vilikuwavikijaribu sana kuifanya jamiinzima, wakiwemo Waislamukulaani vikali matukio yakuchomwa moto makanisa,kuuawa Padri Zanzibar nakanisa kupigwa bomu, ingawahavikufanya hivyo katikamauaji ya Mwembechai,Misikiti kuharibiwa Tundumana mtoto kukojolea Qur’anMbagala!

S a s a W a i s l a m uwanapolaani matukio hayo

 bil a ya kuwa waangalifu,w a n a w e z a k u j i k u t awakisukuma mbele ajendaza maadui dhidi yao bilawenyewe kujitambua. Miyehuwa naogopa sana kuvamiamambo kwa kufuata mkumbotu. Lazima tufahamu kwamba

vyombo vya habari vinauwezo wa kujenga mtazamona kuwafanya watu wajadilimambo na wachukue hatuakwa mrengo wa vyombohivyo vinachokitaka.

Angalia mfano wa hivikaribuni tu, Waislamu kupitiaJumuiya na Taasisi zaowalikutana Jumapili iliyopitakatika ukumbi wa DiamondJubilee jijini Dar es salaam,

na kujadili masuala mazitoyanayowahusu. Vyombovya Habari karibu vyotevilialikwa kwenye mkutanohuo. Lakini angalia vileambavyo vimeripoti mkutanoule! Kimyaa kabisa kama vilehaukufanyika!

Lakini mkutano kama uleungeitishwa na Wakristo kwamalengo yale yale, magazetiyote yangeandika, Televishenina Redio zote zingetangaza.Waislamu wakiuawa kinyamaMwembechai, Maaskofuwanapongeza, lakini mauajikama hayo yakifanywaKanisani, baadhi ya Masheikh

wanaungana na Maaskofukulaani vikali - ujinga huumpaka lini?

Je? Waislamu wanafahamutafsiri sahihi ya hali hiyo?Wakati kuna uhuru wa habarikwa makundi yote ya kijamiihapa nchini, inaonekanauhuru huo si kwa ajili yaWaislamu! Subiri Serikaliitishie kuwaponda Waislamuau kuwatuhumu kwa vurugu,

 ba si vy om bo vy ot e vy ahabari nchini vitaandikakuwakanyaga Waislamu!

 Ni me sh awek a ba ya na ,lengo siyo kuwalaumuwale “wanaolaani” uovuunapofanyika, bali Waislamuwawe makini zaidi, kablahawajakimbilia kulaanimatukio hayo. Watu wabayawanaweza kutumia fursa yakuungwa mkono na Waislamu,

 japo kwa fikra, kuwahujumuWaislamu wenyewe.

Wanaweza kuwasingiziandugu zetu kuwa wamehusikana uhalifu huo. Utafanyajewakati tayari umeshalaani bilakikomo? Itabidi ukubalianenao - unaanza kumkanandugu yako!

Kule Marekani, baada yamabomu ya Boston, Waislamuwalilaani mno mashambuliziyale, bila hata ya kuacha

akiba ya maneno. Baadhiya Maimamu mashuhuri,hawakutosheka na kuonyeshamajonzi yao kwa waathirika,

 bal i wa li tamka bayanakwamba Uislamu unakatazavitendo hivyo.

W a l i k w e n d a m b a l izaidi hata kukataa kabisak u m z i k a m m o j a w awatuhumiwa wa mabomuya Boston kwenye makaburiya Waislamu. Unajuajekama kweli amehusika auunaingizwa tu kwenye ajendausiyoifahamu?

Kuna uwezekano wa hatari

gani kwa Waislamu kulaamatukio hayo bila kikomoMatatizo kadhaa yanakukichwani.

Kwanza, kwa viongozi wWaislamu kulaani matuk

hayo jumla jumla bila yuangalifu, inahamisha mzigwa lawama kutoka kwmshambuliaji halisi na sababzilizomsukuma afanye hivyYaani inapoteza maboya!

Pili, kulaani sana kicha mtu mmoja kwa kiakikubwa, inapunguza thamaya maisha ya maelfu ya wawaliouawa katika matukmengine mabaya kama hayambao mauaji yao hayapewumuhimu mkubwa na wahakuna anayelaani.

T a t u , i w a p o t a t i zlinaonekana lipo kwa jamii y

Waislamu, sera za kupambanna tatizo hilo zitalenga jamnzima ya Waislamu. KwaniMuislamu asiyehusika nuhalifu aadhibiwe kwkosa ambalo hakufanyaTunahitaji kuwa makisana na baadhi ya vyombvya habari vinapoendeshmijadala kuhusu matukhaya. Ukichunguza kwmakini, utaona ni mbinu tu ykuwatuhumu Waislamu, japhawasemi moja kwa moja.

Jamii ya Waislamu ndiyimekuwa begi la mazoezi ymasumbwi kwa wanasia

na watendaji wa Serikawanaolinda Mfumo KristVyombo hivi vimekuwkimya kabisa kuzungumzhatari za Mfumo Kristo kwmustakabali wa taifa, lakiviko tayari kuwakaangWaislamu yanapotokemauaji ya padri, makanikuchomwa moto au shambulla bomu kanisani, kabla hauchunguzi kufanyika!

Badala ya kuwafichuwale walioasisi MfumKristo hapa nchini, ambaunatishia kulisambaratishtaifa, wenyewe wanaendesh

kampeni za kuwadhalilishWaislamu wanaokememfumo huo. Baadhi yewamepoteza kujiamini nwamekubal i ku tumikmfumo huo kama majaaliwyao.

Kuna funzo kubwa sankwetu Waislamu jinsi y“kulaani” matukio hayyanayoitwa ya kigaidi wakayanapotokea. Tuache jazba nkufuata mkumbo wa kulaanKuna matokeo mabayyasiyoonekana katika kulaakwetu, iwapo hatutakuwwaangalifu.

KITUO CHA MAFUNZO NA AJIRA CHA TAMPRO

Jumuiya ya Wataalamu wa Kiislam Tanzania (TAMPRO) kupitia Kituo chake cha mafunzona Ajira inawatangazia Semina ya Mafunzo ya Ufugaji Kuku wa Kienyeji na Ujasirimalikwa kutumia wataalamu wenye uzoefu wanaoshughulikia masuala hayo kwa muda mrefu.Semina itakuwa kama ifuatavyo:-

Walengwa: Wafugaji, wanaotaka kuanza kufuga, wajasiriamali wadogo wadogo nawatakaopenda .

Siku: Kuanzia Jumamosi, Jumapili na Ijumatatu terehe 8 -10 June 2013Muda: Saa 3:00 asubuhi - 10:00 jioniMahala: Ofisi Kuu ya TAMPRO Magomeni Usalama, Dar es SalaamMada: Njia za ufugaji wa kuku, Uchaguzi wa kuku kwa ajili ya kufuga, Kuandaa chakula

 bora, magojwa ya kuku na tiba yake, Utunzaji wa vifaranga na mayai nk. Vile vile mafunzoya kutafuta soko la bidhaa zinazotokana na kuku, kutunza mahesabu na kumbukumbu zafedha pamoja jinsi ya kukuza mtaji yatatolewa.

Kujisajili: Shilingi 50,000/= kwa mtu mmoja. (Kwa ajili ya cheti cha ushiriki, Kitabu chamuongozo, na chakula kwa siku zote tatu)

Muhimu: Washiriki watapatiwa vyeti na kitabu cha muongozo wa ufugaji kukukilichoandikwa kwa lugha ya Kiswahili ili kukidhi haja. Pia watapata fursa ya kutembeleana kusoma kwa vitendo (field)

 Kujisajili: Ili kujisajili tuma SMS kwenye namba 0714 151532, 0767151532, 0716574266

au fika TAMPRO Makao Makuu, Magomeni Usalama, jirani na Halmshauri ya Manispaaya Kinondoni. Wahi kuijiandikisha kwani nafasi ni chache.

Kwa maelezo zaidi wasiliana nasi kupitia 0714 151532, 0767151532, 0716574266 [email protected]

MRATIBU MAFUNZOTAMPRO MAKAO MAKUU

SEMINA YA UFUGAJI BORA WA KUKU WA KIENYEJI

Page 10: ANNUUR 1074

7/16/2019 ANNUUR 1074

http://slidepdf.com/reader/full/annuur-1074 10/12

10 AN-NUU

RAJAB 1434, IJUMAA JUNI 7-13, 20Tangazo

 

1. Shule hizi ni za Kiislamu zenye lengo la kuwapa wanafunzi taaluma ya hali ya juu na malezi bora yaKiislamu kwa gharama nafuu. Shule hizi ni za mchanganyiko wa wavulana na wasichana na zinapokeawanafunzi wa bweni tu.

2. Masomo yanayofundishwa ni Islamic knowledge, ‘Combinations’ za SAYANSI, ARTS, BIASHARA pamojana COMPYUTA.

3. Muombaji awe na ‘Crediti’ 3 au zaidi na angalau ‘D’ ya Elimu ya Dini ya Kiislamu katika matokeo ya kidatocha nne. Ikiwa ana ‘F’ au hakufanya Elimu ya Dini ya Kiislamu, basi awe tayari kusoma programu maalum yaMaarifa ya Uislamu atakapokuwa kidato cha tano.

4. Kwa wale ambao walisharudisha fomu wanatakiwa wawasilishe result slips za matokeo mapya mapemakwenye ofisi waliporejesha fomu hizo ili yaunganishwe na fomu zao.

5. Waombaji wapya wenye sifa wanashauriwa kuendelea kuchukua fomu. Waliokwisha omba wataleta result slip ya matokeo ya pili wakati wa kuripoti shuleni. Tarehe ya mwisho ya kurejesha fomu ni tarehe 23/06/2013.

6. Fomu za Maombi zinapatikana kwa gharama ya shilingi 10,000/= katika vituo vilivyoorodheshwa hapa chini.

ISLAMIC PROPAGATION CENTRENAFASI ZA KIDATO CHA TANO – 2013/2014

• Arusha - Ofisi ya Islamic Education Panel Jambo Plastic Ghorofa ya 2 mkabala na msikiti Mkuu

Bondeni - 0763 282 371/ 0784 406 610

• Kilimanjaro - Moshi: Msikiti wa Riadha – 0654 723 418

- Same: Kirinjiko Islamic Secondry School: 0784 296424/0655 697 075

• Tanga - Uongofu Bookshop: - 0784 982525/

- Mandia Shop - Lushoto: 0782257533

• Mwanza - Nyasaka Islamic Secondary School 0717 417685/0786 417685

- Ofisi ya Islamic Education Panel - Mwanza - Mtaa wa Rufiji mkabala na Msikiti Al-Amin 0785 086 770

• Musoma - Duka la Kansolele -Stendi ya zamani sokoni - 0714587193

• Kagera - Bukoba: Alhuda Café Kwa mzee Kinobe karibu na ofisi za TRA. - 0688 479 667

• Shinyanga - Msiikiti wa Majengo-0718866869

- Kahama ofisi ya AN –NUUR Karibu na msikiti wa Ibadhi: 0753 993930

• Dar es Salaam- Ubungo Islamic High School 0754 260 241/0712033556

- Ofisi ya Islamic Ed. Panel –Temeke -Msikiti wa Nurul Yakin – 0655144474

• Morogoro - Wasiliana na Ramadhani Chale :0715704380

• Dodoma - Hijra Islamic Primary School : 0716 544757/0712 325086

• Singida - Ofisis ya Islamic Ed. Panel – karibu Nuru snack Hotel – 0714285465

• Manyara - Babati: Shule ya Msingi Hangoni: 0784 667575• Kigoma - Msikiti wa mwanga Kigoma: 0753 355224

- Kibondo – Islamic Nursery School: 0784 442860

- Kasulu: Murubona Isl.SS. 0714710802

• Lindi - Wapemba Store: 0784 974041/0786 959663

• Mtwara - Amana Islamic S.S 0786 729 973

• Songea - Kwa Kawanga Karibu na Msikiti wa NURU – 0715 681701/0716791113

- Mkuzo Islamic High School. 0716 791113

• Mbeya - Duka la vifaa vya Kiislamu nje ya Msikiti wa Uyole – 0713 200209

- Rexona Video mkabala na Mbeya RETICO: 0713 200209

• Rukwa - Sumbawanga: Masjid TAQWA 0717082 073

• Tabora - Kituo cha Kiislamu Isevya: 0784 944566

• Iringa - Madrastun – Najah: 0714 522 122

• Pemba - Wete: Wete Islamic Education Center: 0777 432331

• Unguja - Madrasatul – Fallah: 0777125074-

• Mafia - Ofisi ya ust. Yusufu Ally jirani na msikiti mkuu – 0653705627

6. Pia Fomu zinapatikana kwenye Tovuti: www.ipctz.org. Ikumbukwe kuwa watakaopata fomu kupitia tovuti (download) watatakiwa kuzilip

wakati wa kuzirejesha.

USIKOSE NAFASI HII ADHIMU – WAHI KUCHUKUA FOMU SASA!

Wabillah Tawfiiq

MKURUGENZI 

Page 11: ANNUUR 1074

7/16/2019 ANNUUR 1074

http://slidepdf.com/reader/full/annuur-1074 11/12

11 AN-NUU

RAJAB 1434, IJUMAA JUNI 7-13, 20Makala/Tangazo

ILE Mahakama ya Kadhii l iyokuwa iki l i l iwa naWaislamu nchini, wakitakairejeshwe na kutambuliwarasmi na Katiba ya Jamhuriya Muungano wa Tanzania,haipo katika rasimu yamapendekezo ya katiba

mpya.H a y o y a m e b a i n i k a

katika hafla ya uzinduzi waMapendekezo ya Rasimu yaKatiba Mpya uliyofanyika

 jijini Dar es Salaam Jumatatuwiki hii.

Mwenyekiti wa Tume yaMabadiliko ya Katiba, JajiJoseph Warioba, alisema Tumeimependekeza kutoingizwamahakama hiyo ndani yakatiba baada kuchambua nakutizama kwa kina utendajiwa Mahakama ya Kadhiya Zanzibar, ambayo alidaiimekuwa ikifanya kazi zake

 bila kuingizwa katika katibaya Zanzibar.

Aliongeza kuwa Waislamuwatakuwa huru na haki yakuanzisha na kuendeshaMahakama yao ya Kadhihata bila ya mahakama hiyokutambuliwa na Katiba yanchi.

K w a m u d a m r e f uWaislamu nchini wamekuwawakiitaka serikali kurejeshamahakama ya Kadhi nchini,ili kutenda haki katikamasuala ya kiibada, ambayoyamekuwa yakipindishwa

katika mahakama za kawaida pale yanapotokea matatizo.Aidha walitaka mahakama

hiyo ambayo itashughulikana mambo ya madai katikaUislamu, itambuliwe nakatiba ili hata pale hukumuitakapotolewa na mahakamahiyo kwa misingi ya Shariah,

 basi yasiweze kupuuzwa nakutupwa na mahakama yakawaida kwa kutotambuliwakwake na ka t iba . P iaigharimiwe na serikali kwakuwa Waislamu ni sehemu

ya jamii ya watanzania nawalipa kodi kama wananchi

wengine.Masua la ya l iyokuwa

yashughulikiwe na Mahakamahiyo kuwa ni pamoja na

 Ndo a na Talaka, Mirathi ,Wasia, Hiba, zawadi, tunu,wakfu, malezi ya watoto nausuluhishi wa migogoro yaKiislamu.

Ser ikali ya Tanzaniamwaka jana ilikubaliana naWaislamu juu ya kuanzishwakwa Mahakama ya Kadhi, na

Waziri Mkuu Mizengo Pinda,aliunda Kamati maalum katiya Taasisi za Kiislamu na

Hakuna Mahakama ya Kadhi-Tume

Na Mwandishi Wetu

serikali ili kupata ufumbuziwa utaratibu wa kuiendeshamahakama hiyo.

Hata hivyo mpango huoulipingwa vikali na viongoziwa Kikristo na kuitakaserikali kuachana na mpangohuo kwa kwa madai kuwa niwa kibaguzi na una nia yakuisilimisha nchi.

Hata hivyo baadae serikaliilisema imekubaliana nakuanzishwa mahakamahiyo lakini itakakuwa njeya Mfumo wa Serikali naitagharimiwa na kuendeshwana Waislamu wenyewe.

Jambo hilo lilipingwa naWaislamu hivyo mjadalakati ya serikali na Waislamukuendelea bila kujulikanau k o m o w a k e . K i m y akil ichukua nafasi hukuserikali ikishindwa kutoamajibu muafaka juu ya hatmaya kuanzishwa mahakamahiyo.

Hata hivyo suala hiloliliibuliwa tena na wabungewakati wa vikao vya bunge2012/20013.

Waziri Mkuu MizengoPinda, wakati akijibu hojaza wabunge zilizojadilikwenye hotuba ya bajeti yaOfisi ya Waziri Mkuu naWizara na Taasisi zake kwamwaka wa fedha 2012/2013,alisema kwamba mahakamahiyo itaanzishwa wakatiwowote baada ya maandalizikukamilika na kwamba,utekelezaji wake uko katika

hatua nzuri baada ya kamatindogo iliyoteuliwa na Waziriwa Katiba na Sheria yenyewawakilishi wa Waislamuna Serikali kutoa taarifa yakeya mwanzo ya namna yakuanzishwa kwa Mahakamaya Kadhi.

Waziri Mkuu wa TanzaniaMizengo Pinda alitaja masuala

yatakayoshughulikiwa katikaMahakama hiyo kuwa ni pamoja na Ndoa na Talaka,Mirathi, Wasia, Hiba/Zawadi/Tunu, Wakfu; Malezi yaWatoto na Usuluhishi waMigogoro ya Kiislamu nakwamba haitahusika namashauri ya Jinai.

Waziri Pinda alikuwaakijibu hoja za wabungew a l i o t a k a k u f a h a m umaendeleo ya Mahakamahiyo, huku wakitaka Serikaliitimize ahadi yake hiyoambayo ipo katika Ilani yaUchaguzi ya CCM ya mwaka

2005.“Katika kikao cha mwisho

cha pamoja kati ya Serikalina ujumbe wa Wawakilishiwa Waumini wa Kiislamukilichofanyika Machi mwakahuu, tumekubaliana katikakuwezesha suala hilo liendekwa haraka, kwa kuanzia,ni vyema zikaanzishwaMahakama za Kadhi katika

 baadhi ya maeneo machachenchini. Lengo ni kuwezeshaumma kulielewa vizuri sualahili kinyume na hisia potofuzilizopo sasa zikihusisha

Mahakama ya Kadhi na Shariachini ya Dini ya Kiislamu”.Alinukuliwa akisema Mh.Pinda.

Aliongeza kuwa katikakikao cha mwisho cha KamatiKuu inayosimamia suala hilo,iliamuliwa na pande zotekuwa baadhi ya wajumbekutoka upande Waislamu na

Serikali wakafanye ziara yamafunzo katika nchi za India,Uingereza, Kenya na baadayeZanzibar ili wakajifunzenamna ya kura t ibu na

kuendesha Mahakama zKadhi katika nchi hizambazo zina Mahakama Kadhi kwa muda mrefu.

Alisema lengo ni kupauzoefu na kujua njia boya kutuwezesha kuanzishMahakama hiyo nchina kwamba, ziara hiyilitarajiwa kufanyika karibu

na kugharimiwa na SerikalHata hivyo kimya kilizikutawala, hadi pale ghafaliposikika Mufti wa BakwaSheikh Issa Shaaban Simbakimtangaza Kadhi Mkuu wTanzania, Sheikh AbdullaYusuf bin Ali bin Yusuash-Shirazi Mnyas mjiDodoma.

Hatua hiyo iliwashangaWaislamu wengi nchia mb a p o M a s h e i k h nWaislamu kwa ujumla walionhatua hiyo ya Bakwata usaliti kwa Waislam.

Walisema inasikitishk u o n a k u w a m w a n zliliundwa jopo la Masheikkutoka taasisi mbalimbali Kiislamu nchini kwa ajili ykushughulikia mchakato wkuanzishwa Mahakam hiylakini BAKWATA wamesalkuamua kukaa wenyewe nkuiunda mahakama hiyambayo haina meno wawataalam wala mpangkazi.

Hivyo walihitimisha kwkusema Kadhi huyo ni wBakwata na serikali na si wWaislam.

H i v y o W a i s l a mwalitegemea kutumia furya kutoa maoni yao ya kuw

na mahakama ya Kadkatika mchakato wa Katibmpya, ambapo hapo anawekupatikana Kadhi mwenysifa walizozitaka.

Kitunda kibeberu Dar es salaam.Uongozi wa Masjid Aswabirina Tunapenda kutoa shukran zetuza Dhati kwa Waislamu wote waliofanikisha Msikiti huu kufikiahapa ulipo.Hivyo basi tunatarajia kufanya ufunguzi wa msikiti huo tarehe28 Shaaban ili uanze kutumika Rasmi katika mwezi mtukufuwa Ramadhani.Ili kufanya ufunguzi huo tunaomba msaada wenu wa kujengewachoo, Kisima cha maji pamoja na ununuzi wa Uwanja uliopombele ya Msikiti gharama ya uwanja huo ni Milioni Tisa ( 9) kwaajili ya upanuzi wa ujenzi wa shule ya awali na chuo.Pia Tunaendelea kuwaomba wahisani waendele kutusaidia ilikufanikisha kukamilika kwa ujenzi huu.Tuma Mchango wako Account Na: K.C.B 3300386233 jina laA/c Aswabirina au kwa Tigo Pesa 0714 565619 au Mpesa 0753673820

Amir Khatibu Yunus

Masjid Aswabirina

 BI Aisha Sururu (katikati) akiongea katika kongamano la Waislamu lililofanyika Diamond Jubilee, Jijini Dar es Salaam Jumapili iliyopita.

Page 12: ANNUUR 1074

7/16/2019 ANNUUR 1074

http://slidepdf.com/reader/full/annuur-1074 12/12

12 MAKALA 

 AN-NUUR12 RAJAB 1434, IJUMAA JUNI 7-13, 2013

Usikose kusoma AN-NUUR kila

Ijumaa

MKUU WA SHULE YA MATANGINI ISLAMIC HIGH SCHOOL ILIYOPO DAR-ES SALAAM ANAWATANGAZIA

 NAFASI ZA MASOMO YA KIDATO CHA TANO KATIKA MICHEPUO YA HKL, HGK, HGA, HKA NA KLA.

NAFASI KWA WANAOHAMIA NURSERY, PRIMARY NA SECONDARY ZIPO.

FOMU ZINAPATIKANA: TANGA: MUONE MKUU WA SHULE YA MAAWA SECONDARY SCHOOL.

KIGOMA: MUONE MKUU WA SHULE YA JIHADI SECONDARY SCHOOL.

MOROGORO: MUSLIM UNIVERSITY MOUNE USTADH FILAMBI.

DAR-ES SAALAM: KWA MKUU WA SHULE YA MATANGINI ISLAMIC HIGH SCHOOL NA MSIKITI WA

KIBO MUONE USTADH YAHYA.

SHULE NI YA BWENI NA KUTWA, KWA MAWASILIANO ZAIDI PIGA SIM  0719089737, 0712305928

 AU 0715381405.

MLETE MWANAO APATE ELIMU BORA NA MAADILI YA DINI(TUPO KIMARA MWISHO-DAR-ES SALLAM)

MASOMO YATAANZA TAREHE 01/07/2013  (Wahi nafasi ni chache)

 NB:WANAFUNZI WOTE WALIOMALIZA KIDATO CHA SITA WAMEFAULU KUINGIA CHUO KIKUU.(2013)

 KARIBU SANA 

MATANGINI ISLAMIC SEMINARY P.O.BOX 53732, TEL 2420088, MOBILE 0719-089737

E- mail: [email protected] NO: 1337

Msiba mkubwa: Dini Mseto yajaSOMO la ‘Dini Mseto’sa sa l i t a f u n d i sh w ar a s m i s h u l e n i n avyuoni Tanzania nzimakuanzia Januari 2013,imefahamika.

K u f u a t i a s o m ohi lo , watoto shulenihawatafundishwa tenaImani na Uchamunguk w a m u j i b u w aUislamu (au Ukristo), b a l i wa t af u n d i s h wakupendana, maadili nakutii utawala (bora) bila

kujali dini zao.Kwa mujibu wa taarifazilizopatikana kupitiaShirika la Utangazaji,TBC, ambalo ni Shirikala Serikali, mihutasari yasomo hilo ishaandaliwana kupitishwa.

Habari zilizopatikanakatika mtandao wa TBCzinasema kuwa Mihutasarihiyo imezinduliwa rasmina “UMAKA, yaani Umojawa Madhehebu Kagerawakishirikiana na Serikali baada ya mihutasarihiyo kupitishwa rasmina Kamishina wa Elimuil i isambazwe katikashule zote tayari kwa

kutumika kufundishiawanafunzi katika ngazimbalimbali.”

Hata hivyo haikuwezakufahamika ni kwa nini jam bo hilo limefan ywa

Na Mwandishi Wetu siri kati ya UMAKA naSerikali na hata uzinduziwake kufanyikia Bukoba badala ya Dar es Salaamambapo ndio MakaoMakuu ya Wizara yaElimu na Mafunzo yaUfundi.

Kwa mujibu wa taarifahiyo, “Somo la Dini naMaadili limerasmishwar a s mi k u fu n d i s h w ashuleni na vyuoni baaday a U M A K A k u o n aumuhimu wa kuwa namihutasari ambayo nirasmi na inayotambuliwa

na Serikali kupitia Wizaraya Elimu na Mafunzoya Ufundi ili itumikekufundishia watoto piana kutahiniwa kamamasomo mengine.”

Habari zaidi zinasemak u w a “ U m o j a w aM a d h e h e b u K a g e r a(UMAKA) ulianzishamchakato wa kuandaamihutasar i ya somola Dini na Maadi l iwakishirikiana na Serikaliili somo hilo liwe namihutasari inayofananak a t i k a k u f u n d i s h i awanafunzi kuliko hapoawali ambapo somo hilohalikuwa na mihutasari

ya kufundishia.”Ikafafanuliwa kuwa“Kupitia somo la Dinina Maadili, wanafunziwatafunzwa maadil imema ya kupendana na

kuwapenda Watanzaniawenzao, kujenga jamiiyenye kuwajibika nak u m c h a M w e n y e z iMungu bila kujali tofautiza ki-imani kwao, piakulelewa na kukua katikamalezi ya kufuata sheriana utawala bora.”

K a t i k a k u b o r e s h autumiaji wa Mihutasrihiyo mipya ya somo laDini na Maadili, inaelezwakuwa Serikali “imeagizasomo hilo likaguliwe nawakaguzi wa serikalipamoja na walimu wakuu

wa shule kama masomomengine na kutahiniwakatika ngazi zote hadi ileya taifa.”

Na kwamba kwa kuona“umuhimu wa somo la Dinina Maadili kufundishwashuleni, serikali imeamuamihutasar i ya somohilo itumike Tanzanianzima badala ya Mikoaya Kagera na Kigomawalioshirikiana na Serikalikuandaa mihutasari hiyoili wanafunzi wote waTanzania wafunzwe dini namaadili ya Kitanzania.”

“UMAKA ilianzishwamiaka ya 1980 ikiwa nalengo la kushirikiana

na Serikali na kushaurimasuala mbal imbal iyahusuyo maadili, amani,usalama na maendeleoya jamii ya Watanzania.UMAKA inajumuisha

B a l a z a l a M a a s k o fuTanzania (TEC), Balazala Waislamu Tanzania(BAKWATA), na Barazala Wakristo Tanzania(CCT).” Imesema taarifaya mtandao wa TBC.

Kuzinduliwa kwa somohili maana yake ni kuwa

mwanafunzi Muislamu badala ya kufundishwasomo la Dini na MwalimuMuislamu aliye na Elimuya Dini ya Kiislamu, sasaanaweza kufundishwa na

Mkatoliki, Sabato au haYahudi.

K a mi n a v y o k u m b u k wharakati za kuvunja taasiya Waislamu ya EAMWna baadae kuundwkwa Bakwata, ilianzBukoba na walitumikvijana na Masheikh w

Bukoba ambao baadhi yawalikuja kuwa viongowa Bakwata Makao Makukwa muda mrefu.

Suala hil i na ‘DinMseto’ kuibukia tenBukoba chini ya UMAKAlimewafanya Waislamwengi kuhoji, “Bukobkunani?”

Baadhi ya Masheikk u t o k a Z a n z i b awaliohojiwa wanasemkuwa Dua yao ni balahili lisiwakute kwa maankuwa kama ingewezekanZanzibar huru yenymamlaka yake ije kabya somo la Dini Msetkuanza kusomeshwskulini.

Wanasema, pamoja nyote, lakini wanaaminkuwa hakuna kiongozi wZanzibar atakayekubak u o n a m t o t o wKizanzibari akisomeshwDini mseto.

Habari zaidi zinasemkuwa kwa Dini Msetkufanywa somo la lazimna lenye kutahiniwhuenda kwa muda yaya Maarifa ya Kiislamyakafanywa kuwa somo hiyari na yasiyotahiniwa nSerikali kabla ya kupigwmarufuku kabisa.

BABA Askofu Nestory Timanywa Jimbo Katoliki LBukoba, ambaye amestaafu hivi karibuni mmoja wwashiriki uzinduzi somo Dini na Maadili.