12
ISSN 0856 - 3861 Na. 1075 SHAABAN 1434, IJUMAA JUNI 14-20, 2013 BEI TShs 500/=, Kshs 50/= Sauti ya Waislamu www.annuurpapers.co.tz Mtume (saw) amesema, “Mwenye kuja kunizuru baada ya mauti yangu ni kama aliyenitembelea wakati wa uhai wangu”. Kumzuru Mtume (saw) ni ushahidi wa imani na mapenzi ya Muislamu. Wewe umeshamzuru Mtume (saw) mara ngapi? Angekuwa yu-hai je? Karibu Ahlu Sunna wal Jamaa. Utahiji, utazuru, na utaridhika kwa malipo ya Dola 4,300. Tafadhaliwasiliana nasi ifuatavyo: Tanzania Bara: 0717224437; 0777462022;Unguja: 0777458075;Pemba: 0776357117. Hoja si Ndalichako kuwa na PhD daraja la kwanza Kuvuruga ushahidi haitasaidia sana bali… Tuchunguze aliyosema Mtanda, Mwingulu Watu wangeulizwa kwanza ‘Je, wanautaka?’- Jaji Mark Si Tanzania Bara, ni Tanganyika CCM watajikaanga kung’ang’ania mbili VIONGOZI wa Uamsho walikuwa wakiuliza, “Je, mnautaka?” Sasa Jaji Mstaafu wa Tanzania Jaji Mark Bomani anasema kuwa ingekuwa vyema kabla ya kujadili muundo wa muungano, watu waulizwe je, bado wanautaka? Uk. 7 (18) JE, UMESHAMZURU MTUME Somo la dini na maadili: Mpango wa Siri kubwa Yadaiwa lengo ni kuondoa ugaidi, udini Ulianzia kwa Mkapa akapasiwa Kikwete Ijue historia ya mpango huu angamizi FOLENI ya waliohama CCM. Wanachama hawa vijana, wanawake na wanaume huko Matemwe katika mkutano wa CUF, wameamua kujiunga na CUF kutokana na sera yake ya kudai mamlaka kamili ya Zanzibar. Jaji Mark Bomani. Uk. 7 DKT. Joyce Ndalichako. Uk. 6

ANNUUR 1075

Embed Size (px)

Citation preview

Page 1: ANNUUR 1075

ISSN 0856 - 3861 Na. 1075 SHAABAN 1434, IJUMAA JUNI 14-20, 2013 BEI TShs 500/=, Kshs 50/=

Sauti ya Waislamuwww.annuurpapers.co.tz

Mtume (saw) amesema, “Mwenye kuja kunizuru baada ya mauti yangu ni kama aliyenitembelea wakati wa uhai wangu”. Kumzuru Mtume (saw) ni ushahidi wa imani na mapenzi ya Muislamu. Wewe

umeshamzuru Mtume (saw) mara ngapi? Angekuwa yu-hai je? Karibu Ahlu Sunna wal Jamaa. Utahiji, utazuru, na utaridhika kwa malipo ya Dola 4,300. Tafadhaliwasiliana

nasi ifuatavyo: Tanzania Bara: 0717224437; 0777462022;Unguja: 0777458075;Pemba:

0776357117.

Hoja si Ndalichako kuwa na PhD daraja la kwanza

Kuvuruga ushahidi haitasaidia sana bali…Tuchunguze aliyosema Mtanda, Mwingulu

Watu wangeulizwa kwanza‘Je, wanautaka?’- Jaji Mark

Si Tanzania Bara, ni TanganyikaCCM watajikaanga kung’ang’ania mbili

VIONGOZI wa Uamsho walikuwa wakiuliza, “Je, mnautaka?”

Sasa Jaji Mstaafu wa Tanzania Jaji Mark Bomani anasema kuwa ingekuwa vyema kabla ya kujadili muundo wa muungano, watu waulizwe je, bado wanautaka? Uk. 7

(18) JE, UMESHAMZURU MTUME

Somo la dini na maadili:

Mpango wa Siri kubwaYadaiwa lengo ni kuondoa ugaidi, udiniUlianzia kwa Mkapa akapasiwa KikweteIjue historia ya mpango huu angamizi

FOLENI ya waliohama CCM. Wanachama hawa vijana, wanawake na wanaume huko Matemwe katika mkutano wa CUF, wameamua kujiunga na CUF kutokana na sera yake ya kudai mamlaka kamili ya Zanzibar.

Jaji Mark Bomani.Uk. 7

DKT. Joyce Ndalichako.Uk. 6

Page 2: ANNUUR 1075

2 AN-NUURSHAABAN 1434, IJUMAA JUNI 14-20, 2013

AN-NUUR S.L.P. 55105, Simu: +022 2400786

Cel: 0784 370 208, 0713 110 148, 0755 260 087 , DSM. www.annuurpapers.co.tz E-mail: [email protected]

Ofisi zetu zipo: Manzese Tip TopUsangi House (Jengo dogo), barabara ya Morogoro, D'Salaam

MAONI YETU

Tahariri/Makala

W E N G I t u n a f a h a m u kwamba imekuwa ndio nia ya serikali kutoa ruzuku kwa taasisi za afya za mashirika ya dini. Nia ilikuwa nzuri, kuziwezesha taasisi hizo kutoa huduma nafuu kwa wananchi hasa makabwela, hususan mahali ambapo hakuna hospitali, zahanati wala kituo cha afya cha serikali.

A i d h a t u n a f a h a m u lengo zuri la serikali la kutoa misamaha ya kodi kwa taasisi hizi za dini, ni kuziwezesha taasisi hizo kuingiza bidhaa na vifaa vya huduma kwa unafuu, ili kuziwezesha kutoa huduma hizo kwa unafuu zaidi kwa wananchi, hususan wale wa daraja la kawaida na lile la chini kimapato.

L a k i n i n i u k w e l i usiopingika kwamba, fursa hizi zinazotolewa na serikali kwa taasisi hizo, pamoja na nia nzuri ya kuziwezesha kutoa huduma kwa gharama nafuu kwa umma, lakini nia hiyo imekuwa ikitumiwa vibaya.

Badala ya wananchi kupata ile nafuu iliyokusudiwa, wamekuwa wakibebeshwa mzigo wa gharama licha ya serikali yao kufidia sehemu kubwa ya gharama hizo.

Hadi tunaandika maoni haya, ni uhakika kwamba hakuna hospitali ya kanisa inayotoa huduma kwa kuzingatia nafuu inayotolewa na serikali.

Hii ina maana kwamba, pamoja na kuondolewa kodi, kupewa ruzuku na serikali , lakini hakuna nafuu inayopatikana katika hospitali, zahanati na vituo vya afya vya makanisa. Kwa kifupi ni kwamba, hatuoni tofauti ya bei za huduma za afya kati ya hospitali hizi za ruzuku na zile za binafsi au taasisi ambazo hazina bahati ya ruzuku au msamaha wa kodi.

Wakati mwingine, hata huduma zilizokusudiwa kutolewa kat ika v i tuo h i v i v y a h u d u m a z a afya vya mashirika haya ya n a yo o n e k a n a n i ya kiroho na kiadilifu, wakati mwingine huwa hazipo. Kila uchao wimbo ni dawa hakuna n.k.

Na kwa kuwa pamoja na kwamba serikali inatoa ruzuku na dawa katika taasisi hizo za kiroho, lakini hakuna ufuatiliaji wa karibu unaofanywa na serikali juu

ya matumizi ya ruzuku na dawa zinazotolewa katika taasisi hizi. Mwanya huo hutumika barabara kufanya udhalimu wa afya kwa wananchi walio wengi huku wachache wakifaidi.

Ser ikal i imeshasema kwamba ina mpango wa kujenga zahanati kila kijiji. Aidha ina mpango wa kuongeza idadi ya vituo vya afya baada ya kuzifanya Hospitali karibu zote za mikoa kuwa za rufaa.

Ili kuharakisha mpango huo wa serikali ambao ndio muhimu zaidi kwa maslahi ya wananchi, kuna haja sasa ya serikali kufanya uamuzi mgumu.

Nao s i mwingine ni kuondoa utaratibu wake wa kutoa ruzuku kwa mashirika na taasisi za afya za kidini, na kuelekeza mapato yake katika kujenga zahanati na vituo vyake vya afya kwa maslahi ya umma wa Watanzania.

Hapo hata uki tokea u b a d h i r i f u , u f i s a d i a u h u j u m a , wa n a n c h i watakuwa na haki na mamlaka ya kuihoji serikali kodi zao zimetumikaje kiasi cha wao kukosa huduma iliyokusudiwa.

Lakini hilo ni vigumu kufanyika kwenye mashirika ya d i n i a m b a yo n d i o yanayomiliki vituo hivyo vya afya.

Kuendelea kuyakumbatia mashirika ya afya ya dini na kuyapa majukumu ya kiserikali katika kuhudumia Watanzania, ni sawa na kuendelea kuwahujumu Watanzania katika afya zao.

Utaratibu wa ruzuku za afya katika taasisi za afya za kidini ufutwe sasa. Zijengwe na kuboreshwa hospitali za serikali.

Zile za madhehebu ya dini zijiendehshe zenyewe kwa kupitia njia zake za mapato. Hatudhani kama zilianzishwa ili ziendeshwe na serikali. Katika utaratibu wa sasa kwa kweli ni serikali inazisaidia taasisi za kidini sio taasisi hizo kuisaidia serikali. Ufupi wa maneno serikali inatumia fedha za walipa kodi kuimarisha Wakristo na Ukristo huku ikiwaweka kando wananchi wa dini nyingine.

Na huu ndio Waislamu wanasema kuwa ni ubaguzi, upendeleo na dhulma.

Serikali ijenge hospitali z a k e z a k u t o s h a s i o kuimarisha za taasisi za kidini.

UHAI ni jambo la msingi na la umuhimu wa kipekee katika maisha ya mwanadamu. Uhai wa mwanadamu unategemea zaidi afya na siha nzuri. Ili kupata maisha salama, ni lazima mwanadamu awe ana uhakika wa kula na kunywa na kuhakikisha anapata matibabu pale anapopata hitilafu ya afya yake iwe ni kwa maradhi, kwa kuumia au anapopata matatizo ya kisaikolojia.

Yatakuwa ni maisha ya hatari sana iwapo mwanadamnu atakosa uhakika wa kupata mahitaji muhimu yaliyotajwa. Bila shaka akishindwa kula, atadhoofu kimwili na kiakili na hatima yake ni kifo. Kadhalika akikosa matibabu pale afya yake inapokumbana na maradhi, hatima yake ni kifo pia.

Hata hivyo, katika hali ya kawaida, kula na kunywa ni mambo ambayo yapo ndani ya uwezo wa binadamu m w e n y e w e . K w a m b a atahakikishia anatumia nguvu zake na uwezo wake kupata mlo. Hata serikali haina bajeti ya kulisha kila mtu katika himaya yake, ikiamini kuwa huo ni wajibu wa kila raia wake kujihakikishia mlo, malazi na mavazi.

Msaada wa serikali katika mahitaji hayo muhimu ni iwapo tu, jamii imepatwa na majanga au maafa.

Lakini katika suala zima la afya za watu, haiwezekani kila mmoja akawa mfamasia, mkunga, muuguzi au daktari wa kujitibia au kutengeneza dawa pale anapougua au kupata madhara ya kiafya.

Katika hili, serikali au taasisi zinawajibika kutoa huduma hiyo ili kulinda afya za watu wake. Na katika jukumu hili la serikali, utendaji unakuwa ni wa huduma zaidi kuliko biashara, kwa kuwa kulinda afya na uhai wa watu wake ni jambo la msingi kwa mwanadamu yeyote.

Kadhalika mashirika ya dini kwa uhalisia wake, yamebuniwa kwa ajili ya kutoa huduma za kiroho n a k i m w i l i k wa wa t u . Lakini lengo kubwa zaidi ni kuhakikisha kuwa huduma zinazotolewa na mashirika haya ya dini, zinakuwa na nafuu na za kiutu zaidi, kwa kuwa zinafuata zaidi misingi ya imani za kidini katika kutoa huduma hizo za kiroho na kimwili. Kwa msingi huo, sehemu kubwa ya mashirika ya kidini, ambayo mengi ni ya hiari, kujitolea au ya kusaidia, yamekuwepo kwa ajili ya

kusaidia zaidi kihuduma kuliko kufanya biashara ili kupata faida.

S i k u ya I j u m a a M e i 31 mwaka huu, Hospitali ya Rufaa ya Kilimanjaro Christian Medical Centre ( K C M C ) , i m e t a n g a z a kupandisha gharama za huduma zake za afya kwa wagonjwa. Yalishuhudiwa matangazo kwenye mbao za hospitali hiyo yakibainisha kuwa kuanzia Jumamosi Juni 01 mwaka huu, huduma za matibabu zimepanda kwa viwango tofauti kati ya asilimia 640 hadi 945.

B a a d h i y a g h a r a m a zilizoorodheshwa ni kama ifuatavyo: Kumuona daktari kutoka shilingi 2,500 hadi kuf ikia shi l ingi 10 ,000. Oparesheni ya kuzalisha mtoto tumboni kutoka shilingi 100,000 hadi shilingi 520,000. Kufanya operesheni ndogo kutoka shilingi 100,000 hadi kufikia shilingi 450,000. Kufanya operesheni kubwa (operation kama kupasua tumbo) shilingi 650,000.

Upasuaji mgumu (extensive surgeries) kama kupasua kichwa shilingi 1,600,000. Gharama za kitanda kutoka shilingi 5,000 hadi shilingi 35,000 kwa siku.

Operesheni za kutumia c a m e r a ( l a p a r a s c o p i c surgeries) kutoka shilingi 100,000 hadi kufikia shilingi 800,000.

Hata hivyo wakati gharama hizi zikipanda kwa kasi ya ajabu, KCMC imekuwa ni moja ya hospitali za rufaa nchini, ambazo zimekuwa zikipokea ruzuku kutoka serikalini kwa ajili ya kuendesha huduma zake za afya.

K a t i k a m p a n g o h u o , bila shaka hata Bohari Kuu ya Dawa Nchini (MSD), ambayo ni taasisi ya serikali nayo imekuwa ikiipatia hospitali hii mgawo wa vifaa na dawa ili kusaidia kutekeleza majukumu yake ya kuwahudumia wananchi. Ni hivi karibuni tu, katika vikao vya Bunge la Bajeti v i n a v y o e n d e l e a m j i n i Dodoma, serikali ilieleza kuwa imekuwa ikitoa ruzuku ya shilingi bilioni 36.7 kila mwaka kwa hospitali 97 za mashirika ya dini nchini.

Naibu Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk. Seif Rashid, alitoa kauli hiyo bungeni wakat i aki j ibu swali la Mbunge wa Muleba Kaskazini, Charles Mwijage, aliyetaka kujua ni kwanini serikali isitumie hospitali za misheni kwa kuzipa ruzuku ya dawa na mishahara ya watumishi ili ziweze kutoa huduma bora na kwa gharama

nafuu kwa wananchi.Aidha, Mbunge huyo

aliihoji serikali kama iko tayari kupandisha hadhi zahanati ya Bumbile, ili iweze kuhudumia visiwa vya Bumbile, Kalebe na Makibwa vilivyo mbali na hospitali za misheni za Ndolage, Rwantege na Kagondo.

Dk. Rashidi ali l ieleza Bunge kuwa ruzuku hiyo inayotolewa na serikali, ni mbali na ile iliyotolewa na halmashauri za mashirika ya dini kutoka katika mfuko wa maendeleo na mishahara ya watumishi walioshikizwa katika hospitali hizo.

Sambamba na hilo, Waziri Rashid al isema serikal i i n a e n d e l e a k u b o r e s h a mazingira yatakayoziwezesha hospitali hizo ziweze kutoa huduma bora kwa wananchi kwa gharama nafuu.

Ukiacha ruzuku hizo kutoka serikalini na katika Halmashauri zake, ni wazi kwamba, serikali kwa miaka mingi imekuwa hai tozi kodi (VAT) katika bidhaa zinazoagizwa au kuingizwa nchini na taasisi za dini.

B i d h a a h i z o z i w e zinaingizwa nchini kama misaada au zimeagizwa na taasisi husika, hazitozwi kodi. KCMC ikiwa ni taasisi ya dini, nayo ni mongoni mwa taasisi zinazofaidika na kuondolewa kodi hii.

We n g i t u n a k u m b u k a namna serikali ilivyowasilisha taarifa yake bungeni ya kuondoa msamaha maalumu wa Kodi ya Ongezeko la Thamani (VAT) kwa mashirika ya dini, baada ya kubaini kupoteza mapato mengi kupitia mwanya huo. Hii ilikuwa ni katika mjadala wa bajeti ya serikali bungeni mwaka 2009/2010.

Hoja ya serikali kufuta msamaha huo ilikuwa ni kufuatia kubaini kwamba imekuwa ikipoteza mapato mengi kupitia misamaha ya kodi kwa taasisi hizi, lakini msamaha yenyewe ilikuwa ikitumiwa vibaya na nafuu yake haiwafikii walengwa hivyo kupoteza lengo la serikali. Badala yake inawanufaisha wajanja wachache wanaoendesha taasisi hizo za dini.

Kwamba serikali inatoa misamaha kwa mashirika na taasisi za dini, ili kuzipa nafuu taasisi hizo kuwahudumia wananchi kwa gharama nafuu zaidi. Lakini hali haikuwa hivyo, kwani huduma bado ziliendelea kuwa za gharama za juu na za kibiashara zaidi na kunufaisha watu wachache

Serikali ijenge hospitali zake badala ya kuimarisha za kidini

Inaendelea Uk. 4

Kwa bei hizi KCMC hakuna sababu ya kupewa ruzuku

Na Shaban Rajab

Page 3: ANNUUR 1075

3 AN-NUURSHAABAN 1434, IJUMAA JUNI 14-20, 2013Habari

Mpango wa Siri kubwaIMEFAHAMIKA kuwa suala la kuwa na somo la dini na maadili ni la muda mrefu ila limekuwa l iki fanywa kwa s i r i kubwa.

Kuanzishwa kwa somo hilo kutaondoa somo la Maarifa ya Uislamu na I s l a m i c K n o w l e d g e l i n a l o l e n g a k u j e n g a imani na uchamungu na badala yake kufanywa kuwa ‘academic’, yaani la kitaaluma tu kama jiografia.

Wanaokuja na somo hilo, wanasema kuwa somo la dini na maadili litasaidia kuondoa udini, kupambana na mawazo ya kigaidi na kujenga uzalendo wa Kitanzania.

Wanadai kuwa masomo ya Islamic Knowledge na Bible hayahusianishwi na maadili mfano vita dhidi ya ukimwi, rushwa, ukahaba, ubakaji, ugaidi, ujambazi n.k.

Utafiti zaidi unaonyesha kuwa jambo hili limekuwa likifanywa kwa siri mno t a n g u m w a k a 2 0 0 4 ilipotangazwa kwa mara ya kwanza kuwa serikali ina mpango wa kufundisha somo la Dini moja.

Waislamu walipopinga k w a k u m u a n d i k i a barua Rais wakati huo mheshimiwa Benjamin W i l l i a m M k a p a , EDUSHUTA ikabadilishwa na kuwa EDIMASHUTA mwaka 2006 ambapo walikutana na Rais Kikwete na kuanza mchakato wa Dini na Maadili.

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa awali kupitia mwandishi wa habari wa TBC mkoa wa Kagera, Charles Mwebeya, mpango wa kurasimisha somo la dini na maadili unakabiliwa na changamoto kubwa ya ukosefu wa walimu wajuzi wa somo hilo.

Hiyo huenda imekuwa ndiyo sababu mpaka sasa kwa kiwango kikubwa halijaanza kusomeshwa katika shule nyingi za msingi na sekondari licha ya kuwa ilikusudiwa somo hilo lianze kusomeshwa toka Januari mwaka huu 2013.

C h a n g a m o t o h i y o ilijidhihirisha toka awali kilipofanyika kikao cha uzinduzi wa muhtasari wa somo hilo, kilichoandaliwa na Umoja wa Madhehebu

Afisa Elimu wa Mkoa wa Kagera, Florian Kimolo

Na Mwandishi Wetu mkoani Kagera (UMAKA) na kuwashirikisha wadau mbalimbali kutoka sekta za elimu na madhehebu mbalimbali kutoka mikoa ya Kagera na Kigoma.

Hata hivyo katika kikao hicho ambacho kilifanyika katika ukumbi wa Ofisi ya Mkuu wa wilaya ya Bukoba Zipora Pangani, m k u u h u y o a l i s e m a kuwa kwa kuwa “serikali imekwisharasimisha somo hilo, ni dhahiri kuwa inatambua changamoto iliyoko mbele yake.”

Na ni kwa kutambua changamoto hiyo, mkutano huo ulipitisha azimio la kuunda chombo cha pamoja kitakachohakikisha muhtasari huo unatumika ipasavyo mashuleni na

kutaka wadau wote kushirikiana kwa pamoja ili somo la dini na maadili liweze kusomeshwa kama ilivyopangwa.

Mpango wa kuwa na somo la dini moja kwa wanafunzi wote wa shule za msingi, sekondari na vyuo vya Ualimu una historia ndefu kidogo.

Kumbukumbu za vikao na nyaraka mbalimbali zinaonyesha kuwa kasi ya mpango huu ilianzia mwaka 2006 ambapo kuliundwa kitu kilichoitwa EDMASHUTA yaani Elimu ya Dini na Maadili Shuleni Tanzania.

K a t i k a k i k a o c h a E D M A S H U T A kilichofanyika 30/3/2007 katika ukumbi wa Baraza la Maaskofu, Kurasini, (TEC DAR) -ilielezwa historia ya EDMASHUTA kuwa ilianzia UMAKA, yaani Umoja wa Madhehebu Kagera ambapo malengo yake n i kushir ik iana na serikali kuboresha U f u n d i s h a j i wa d i n i mashuleni.

Ilielezwa kuwa somo hilo l i tashughulikiwa na Serikali na kwamba kutateuliwa washiriki kutoka taasisi za kidini ambapo atakayeteuwa ni Waziri wa Elimu na watafanya kazi chini ya uongozi wa Edmashuta.

Katika kumbukumbu za kikao cha tarehe 29/8/2006 (ukumbi wa TEC-DAR) z i l i z o s o m wa k i k a o n i hapo i l ie lezwa kuwa ilishakubaliwa na Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi kwa barua ya siri aliyoandikiwa tarehe 17 Feb 2006 na kupokelewa April 18, 2006.

M w e n y e k i t i w a Edmashuta alikutana na Afisa Elimu Kiongozi

na kuongea naye kuwa alishawaandikia taasisi ya elimu (TIE) kupata maelekezo ya utekelezaji na kwamba EDMASHUTA itashirikishwa kikamilifu.

Kat ika k ikao hicho w a j u m b e Wa i s l a m u walipinga dhana ya somo la Dini na Maadili kwa kueleza kuwa kat ika Uislamu hakuna dini na maadili kwani kila kitu kipo katika dini.

Baada ya vikao hivyo vya awali, palifanyika Warsha ya wadau wa masomo ya dini iliyokuwa na lengo la kuangalia namna ya kuboresha mihutasari ya dini.

Warsha hiyo ilifanyika M e i 1 0 , 2 0 0 7 a m b a p o Jumuiya na Taaisis za Kiislamu iliwakilishwa na wajumbe 10 Bakwata nao walikuwa na wajumbe kadhaa.

Mjadala ulikuwa mkali kiasi kwamba Afisa Elimu Kiongozi (Kamishan kwa sasa) wa wakati huo Bw. Mpama alitoa tamko kuwa serikali haitaingilia dini.

K i la taas i s i i andae m i h u t a s r i y a k e n a inakaribishwa kupata ushauri kutoka TIE.

Katika hali ya kutaharuki, viongozi wa EDMASHUTA wakamuomba arudishe agenda ya Dini na Maadili akakataa na kusema kikao kilikuwa cha Serikali na sio EDMASHUTA.

Wa r s h a i l i m a l i z i k a kabla ya muda uliokuwa umepangwa baada ya Waislamu kupinga mjadala huo kuendelea.

I l ipof ika tarehe 13 Mei, 2007, Waislamu walikutana katika Msikiti wa Kichangani, Magomeni (TIC) na kuzindua rasmi Islamic Education Panel na baadae serikali kuarifiwa juu ya chombo hicho.

Inavyoelekea ni kwamba kupitia EDMASHUTA serikali imekuwa ikipitisha maamuzi yake juu ya mitaala ya dini kwa kipindi kirefu hadi pale Waislamu walivyogutuka mwaka 2007 na ghafla serikali katika warsha ya Mei 10, 2007 Afisa Elimu Kiongozi alivyowakana washirika wake hadharani na wao wakamshangaa.

Walivyotoka nje ilibidi waitane kujadili kitu gani kimetokea.

Bakwata katika warsha i le walionekana wazi walikuwa dhehebu tofauti na Waislamu kwa sababu Waislamu walipopinga hoja ya ‘Dini Mseto’ chini

ya mwavuli wa Dini na Maadili, wao hawakupinga msimamo wao ukawa sawa na ule wa EDMASHUTA.

Msomi wa Chuo Kikuu aliyeshiriki warhsa ile (Mkristo) al i ishangaa serikali kuvunja katiba kwa kuingilia mambo ya dini.

Kama inavyoelezwa katika nyaraka mbalimbali, m a l e n g o m a k u u y a E D M A S H U TA n i ( i ) Kuhakikisha somo la DINI na MAADILI linafundishwa vema shuleni kuanzia shule za awali hadi vyuoni.

P i l i , k u b o r e s h a mihutasari na mitaala ya somo la dini katika shule za Msingi na sekondari na kuandaa mihutasari na mitaala kwa vyuo vya Ualimu

TatU, kuweka mikakati ya kuandaa walimu na njia bora za kufundishia na kujifunzia somo la dini na maadili.

I n a e l e z w a k u w a sababu kubwa ya kuja na Somo la Dini na Maadili ni kuwa iliyotolewa ni kuwa (eti) masomo ya Islamic Knowledge na Bible hayahusianishwi na maadili mfano vita dhidi ya ukimwi, rushwa, ukahaba, ubakaji, ugaidi, ujambazi n.k Na kwamba somo hilo ni muhimu katika kuimarisha nguvu katika mshikamano wetu na umoja miongoni mwa Watanzania ili kujenga maadili.

Ho ja ya ms ing i ya Waislamu ni kuwa kuwa na somo moja ambalo linaweza kusomeshwa na

John au Ali, maana yake ni kuwa kwanza utakuwa umechanganya Qur ’an na Bibl ia na kufanya rejea moja ya dini wakati v i tabu h ivyo hav ipo sawa. Pili, utakachokuwa unafundisha hakitakuwa na imani ya Mungu wala uchamungu. Itakuwa ni ‘academics’ kama ilivyo j iogra f ia na masomo mengine. Lakini hoja nyingine ni kuwa maelezo y a n a y o t o l e w a k u w a mihutasari ya somo la dini kuwa hayahusishi imani na maadili, hayana ukweli kwa kuwa kwanza yanatolewa kwa ujumla mno lakini pili tofauti na Ukristo Uislamu ni mfumo mzima wa maisha ya binafsi na kijamii na katika kufundisha Uislamu mambo yote yaliyotajwa k a m a m a p u n g u f u yamezingatiwa katika m i h u t a s a r i ya s o m o la Islamic Knowledege na El imu ya Dini ya Kiislamu.

Utafiti zaidi unaonyesha kuwa jambo hili limekuwa l i k i f a n y wa k wa s i r i mno tangu mwaka 2004 ilipotangazwa kwa mara ya kwanza kuwa serikali ina mpango wa kufundisha somo la Dini moja.

Waislamu walipopinga k w a k u m u a n d i k i a barua Rais wakati huo mheshimiwa Benjamin W i l l i a m M k a p a , EDUSHUTA ikabadilishwa na kuwa EDIMASHUTA mwaka 2006 ambapo walikutana na Rais Kikwete na kuanza mchakato wa Dini na Maadili.

Page 4: ANNUUR 1075

4 AN-NUURSHAABAN 1434, IJUMAA JUNI 14-20, 2013Habari

CHUO CHA UALIMU UNUNIO DAR ES SALAAM

MAFUNZO YA UALIMU 2013 NAFASI ZA MASOMO

SIFA ZA MUOMBAJI

KUJIUNGA NA CHUO PIGA SIMU MOJA KWA MOJA CHUONI

FOMU ZINAPATIKANA KWA MAWAKALA WETU MIKOANI AU PIGA SIMU MOJA KWA MOJA CHUONI AU SHULENI, HAKIKISHA UMEPEWA FOMU ZA CHUO CHA UALIMU UNUNIO SI VINGINEVYO

BISMILLAHIR RAHMANIR RAHIIM

USAJILI NA: CU. 112

STASHAHADA (DIPLOMA) AWE AMAMALIZA KIDATO CHA SITA NA KUPATA

KUANZIA PRINCIPLA – (E) 1 NA SUBSIDIARY –(S)-1

CHETI (GRADE III A) AWE AMAMALIZA KIDATO CHA NNE NA AMEPATA ALAMA ZISIZOZIDI DIV IV-27

ALIYERUDIA (RESITING) AWE NA C-4

CHUO NI CHA BWENI KWA WASICHANA NA WAVULANA HUDUMA ZETU NI ZA KIWANGO CHA HALI YA JUU. ADA NI NAFUU SANA KULIKO POPOTE NA INALIPWA KWA AWAMU WAHI SASA

NAFASI NI CHACHE WAHITIMU WOTE WANAAJIRIWA SERIKALINI

MKUU WA CHUO

0713 673495

MSAJILI 0715 822332 0756 822332 0784 822332

NAFASI ZA KIDATO CHA TANO F5 KWA WASICHANA COMB ZOTE NA WANAORUDIA MTIHANI ZINAPATIKANA KUNDUCHI GIRLS ISLAMIC HIGH SCHOOL

KWA MAWASILIANO PIGA 0713 465437AU 0713 515054

CHUO KITAFUNGULIWA TAREHE 16/07/2013.

CHUKUA FOMU MAPEMA

kinyume na ilivyokusudiwa. Hata hivyo uamuzi huo wa serikali ulipingwa vikali na Maaskofu na baada ya muda mfupi, serikali ililazimika kurejesha msamaha huo mara moja.

Katika hoja za Maaskofu, walidai kuwa ni kweli zipo taasisi zinazotumia vibaya fursa hiyo ya serikali ya kutoa msamaha wa kodi lakini sio taasisi zote.

Waziri Mkuu, Mheshimiwa Mizengo Pinda wakat i akizungumza na waandishi wa habari alisema uamuzi huo wa serikali , ambao u n a d h i h i r i s h a n g u v u walizonazo viongozi wa taasisi za dini, umepata baraka zote za Rais Jakaya Kikwete. Waziri Mkuu alisema Rais Kikwete aliridhia uamuzi wa kurejesha msamaha huo baada ya kusikia maoni ya viongozi wa taasisi za kidini waliokuwa wamekutana na Waziri Mkuu Pinda mjini Dodoma. Mhe . P inda alisema uamuzi wa kurejesha misamaha hiyo umekuja baada ya serikali kuona kuwa, mpango huo umepokewa kwa upinzani mkali na wabunge, viongozi wa mashirika ya dini, wananchi na wahisani wa nje, ambao wanasaidia miradi ya maendeleo kupitia mashirika ya dini.

Alisema serikali imeona mpango huo haujaeleweka vizuri, kwani azma yake

wa kutoza gharama kubwa za matibabu? Kwa bahati mbaya kabisa, serikali pamoja na kuchota fedha hazina na kuzipa taasisi hizi za kidini, lakini haina mamlaka wala ujasiri wa kufanyia ukaguzi fedha zake iwapo zimetumika kihalali.

Nieleweke tu kwamba, s ipingi mashirika haya ya dini kuongeza bei ya huduma zao. Bali yangeweza kufanya hivyo, kwanza kwa kutochukua ruzuku serikalini, ruzuku ambayo ni zao la kodi za Watanzania wote. Pili, iwapo taasisi hizi za dini zingekuwa hazina misamaha ya kosi ya serikali na wala hazina mgawo wowote kutoka MSD wala Halmashauri zetu.

Kwa bei hizi KCMC hakuna sababu ya kupewa ruzukuInatoka Uk. 2 ilikuwa si kufuta misamaha

ya kodi hata katika huduma muhimu za jamii kama afya, maji na elimu kama ilivyoeleweka. Pinda alisema lengo lilikuwa kujaribu kubana mianya ya matumizi mabaya ya misamaha hiyo kwa baadhi ya viongozi wa mashirika ya dini, ambao wa m e k u wa wa k i t u m i a misamaha ya kodi katika masuala ya elimu, afya, ujenzi na ununuzi wa magari kwa kujinufaisha wenyewe.

Miongoni mwa wabunge walioupigia kelele kuupinga uamuzi wa serikali kufuta misamaha ya kodi kwa taasisi za kidini, alikuwa ni Naibu Kiongozi wa Upinzani Bungeni na Mbunge wa Karatu, wakati huo Dk. Wilbrod Slaa.

Waziri Mkuu Pinda alisema mkutano wake na viongozi wa kidini uliosababisha kufikiwa kwa uamuzi huo ulihudhuriwa na Askofu Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri (KKKT), Alex Malasusa, Aliyekuwa Askofu Mkuu wa Kanisa la Anglikana, Valentino Mokiwa, Askofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Dayosisi ya Dodoma, Peter Mwamasika.

Aidha alikuwepo Sheikh Mkuu wa Mkoa wa Dodoma na Masheikh wengine, ambao bila shaka walikokotwa kwa ajili tu ya kutimiliza uwepo wao ili neno ‘viongozi wa dini’ litimie sawia. Hata majina yao hayakutajwa.

Katika rai ya viongozi hao kwa Waziri Mkuu, ilikuwa ni kuisihi serikali kusitisha azma hiyo, kwa vile ingeweza kuleta sura mbaya kwa wahisani wa nje, ambao ndio wanasaidia mashirika hayo kuleta misaada nchini.

Waziri Pinda alisema aliwaelewa viongozi hao, ingawa pia aliwaeleza nia nzuri iliyokuwa nayo serikali katika mpango huo, kwani fedha hizo zingekusanywa zingeweza kuleta mchango mkubwa kwa maendeleo ya wananchi wote.

Viongozi hao wa mashirika ya dini waliahidi kuisaidia serikali katika kuwasaka na kuwadhibiti viongozi wa dini wanaotumia mianya ya misamaha hiyo.

Akiwasilisha bajeti ya serikali kwa mwaka 2009/2010, aliyekuwa Waziri wa Fedha, Bw. Mustafa Mkulo, alisema hatua ya kufuta misamaha ya kodi itahusisha madhehebu yote ya dini na kwamba haitahusu vifaa vya kiroho na ibada. Alisema serikali imefikia hatua hiyo baada ya kubaini taasisi kadhaa za kidini zinatumia vibaya misamaha hiyo na badala yake kujinufaisha binafsi. Alisema serikali imetangaza kufuta matangazo 405 yanayotoa misamaha ya kodi kwa kampuni binafsi, asasi zisizo za kiserikali zikiwamo taasisi za dini na mashirika ya miradi ya kimataifa.

Wengi tunafahamu kuwa

hata katika ule mkataba kati ya Serikali na Makanisa (MoU) wa mwaka 1992, pamoja nakwamba unaitaka Serikali kuyapa makanisa misaada ya kifedha, lakini pia ulikuwa unaibana serikali kuziombea taasisi za makanisa misaada. Bila shaka mkataba huo umekuwa kichocheo kikubwa cha taasisi kama KCMC kunufaika.

Pamoja na kuwepo fursa zote hizo, inashangaza na kusikitisha kwamba hospitali hizi za mashirika ya dini ndizo zimekuwa vinara wa gharama za juu za matibabu nchini.

Tu n a h o j i , s a s a k u n a haja gani ya serikali kutoa misamaha ya kodi na kutoa ruzuku kwa mashirika haya ya dini huku yakiwa vinara

Nyasaka Islamic High SchoolP.O.BOX 11404, TEL: 0786/0717-417685, OR 0717/0785 -417680 MWANZA – TANZANIA

Email: [email protected]

WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO – MWAKA 2013/2014

Na JINA COMB1 NURU HAMISI HGK2 AH MED OTHMAN JUMA CBG3 MWANAIDI S. KOMBO HKL4 ASNATH YUSUPH KHALID CBG5 IDRISA Y. MTANDA EGM6 RAKIATH K. KASSIM CBG7 KHALID HUSSEIN HKL8 MBAROUK YUSUPH HKL9 JAMAL A. IDRISA PCB10 MICKIDADI MAHMOUD PCB11 LATIFA HUSSEIN PCB12 FLORIDA J. KIDIMA HKL13 ABDULRAHMAN M. KHALFAN PCM14 HALIMA KHAMIS MAYALA HKL15 TAHIYA KHALID CBG16 ABOUBAKARY KHAMIS JUMA HGE17 ALWANTUM ALLY SULTAN PCB18 AMANI MAJID IGUNGULA PCB

MAELEZO:1 . WA N A F U N Z I W O T E WA L I O C H A G U L I WA

WANATAKIWA KUCHUKUA MAELEZO YA KUJIUNGA NA SHULE (JOINING INSTRUCTION) SHULENI .PIA UNAWEZA KUPATA MAELEKEZO KWENYE TOVUTI:www.ipctz.org

2. SHULE ITAFUNGULIWA RASMI TAREHE 30/06/2013.3. MAOMBI MAPYA YANAENDELEA KUPOKELEWA

HADI TAREHE 23/06/2013.HIVYO NENDA KACHUKUE FOMU NA UIRUDISHE UBUNGO AU NYASAKA ISLAMIC KABLA YA TAREHE HIYO.

KARIBU NYASAKA ISLAMIC HIGH SCHOOL NA TUNAWATAKIA MAANDALIZI MEMA.

WABILLAH TUFIIQMKUU WA SHULE.

Inaendelea Uk. 5

Page 5: ANNUUR 1075

5 AN-NUURSHAABAN 1434, IJUMAA JUNI 14-20, 2013Habari za Kimataifa/Tangazo

Inawatangazia Waislamu wote Kuwa Imeandaa Safari ya Hijja Mwaka 2013 Sawa na Mwaka 1434 Hijria kwa Dola US$ 3550 tu.Umra kwa Mwezi wa Ramadhani itakuwa ni Dola US$ 1995 Fomu zinapatikana katika ofisi zifuatazo:-1. Ofisi ya Ahlul Daawa Dar es salaam Mtaa wa Dosi na Mkadini Nyumba Namba 26 Mkabala na Showroom ya Magari Tel 0713 730 444, au 0773 804101 au 0785 930444 na 0773 930444.2. Ofisi ya Ahlul Daawa Zanzibar Rahaleo Tel 0777 484982 au 0777 413 987.3. Abubakar Maulana wa Markaz Kiwalani Dar es salaam 0784 4538384. Abdallah Salehe Mazrui ( HOKO) Dar es salaam 0715 724 4445. Salim Is-haq Dar es salaam 0754 286010 au 0774 7861016. Dukani kwa Abdala Hafidh Mazrui wete pemba 0777 482 6657. Dukani kwa Mohamed Hafidh Mazrui Mkoani Pemba 0777 4569118. Sheikh Daudi khamis sheha 0777 6796929. Maalim Seif Humoud Hamed Kijichi Zanzibar 0777 417736Wahi kulipia. Ofisi ya Ahlul Daawa Dar es salaam 0713 730 444 au 0773 804101 au 0785 930444.Ofisi ya Ahlul Daawa Zanzibar Rahaleo 0777 484982 au 0777 413 987.Maalim Seif Humoud Hamed Kijichi Zanzibar 0777 417736 Sheikh Salim Mohamed Salim 0774 412974 au Kupitia ACCOUNT NAMBA 048101000030 NBC

Tanbih:Atakae maliza Taratibu zote kuanzia sasa Mpaka 15 July 2013 atapata Punguzo la asilimia 16% atalipia $ Dola 2982 tu.Atakae maliza Taratibu zote kuanzia Tarehe 16-july Hadi Tarehe 15 Augost 2013 atapata Punguzo la Asilimia sita 6% atalipia Dola $3337 tu.Kutakuwa na umra ya utangulizi kabla ya Umra ya Hijja kwa atakae maliza kufanya hivyo.Atakae maliza taratibu zote mwanzo ndie atakae shughulikiwa mwanzo.Ukilipia kwa njia ya Account kwanza piga simu 0774 412975. Kumbuka Kikundi cha Ahlul Daawa Kwa Bei nafuu kuliko wote na Huduma bora Kuliko wengi.

Nyote mnakaribishwa

Ahlul Daawa Hajj And Travel Agency

Aliyefichua siri za ujasusi wa Marekani mitandaoni atoweka ALIYEKUWA mfanyikazi wa shirika la Ujasusi la CIA nchini Marekani Edward Snowden, ambaye alitoa siri ya serikali yake kuchunguza mitandao na mawasiliano ya simu za watu duniani sasa hajulikani aliko.

Snowden, aliyefichua siri hiyo akiwa Hong Kong ametoweka baada ya kuondoka ghafla kwenye hoteli alimokuwa anaishi.

M w a n a u m e h u y o mwenye umri wa miaka 29, alisema kuwa aliamua kutoa siri hiyo kwa lengo la kuwakomboa watu duniani kutoka serikali ya Marekani na kuionyesha

nchi yake kuwa ni lazima iheshimu haki na uhuru wa watu.

Wiki iliyopita ilibainika kuwa idara ya ujasusi nchini Marekani (CIA) i l i k u wa i n a k u s a n ya mamilioni ya rekodi za simu na pia imekuwa ikichunguza watumizi wa mitandao.

Idara hiyo ya ujasusi imesema kuwa hatua ya Snowden kutoka siri hiyo ni kosa kubwa la kihalifu na anafanyiwa uchunguzi ili kufunguliwa mashitaka.

Awali Snowden aliomba kupewa hifadhi katika kisiwa cha Iceland kutokana

na kufichua kwake siri ambao anaamini hatua hiyo itamweka matatani baada ya kutoa siri ya serikali.

Kufichuka kwa siri hiyo kumezua mjadala nchini Marekani kuhusu mpango wa serikali kuchunguza mitandao, suala ambalo i n a e l e z w a k u w a n i kuingilia uhuru wa watu.

Rais Barack Obama ametetea mpango huo wa idara ya ujasusi ya nchi yake akidai kuwa ni n j ia mojawapo ya kupambana na ugaidi duniani na kuhakikisha kuwa Marekani inakuwa salama. (Habari na rfi.fr).

Serikali ya Mali na waasi wa Tuareg waafikiana kuhusu Uchaguzi Mkuu OUAGADOUGOUSerikali ya Mali na waasi wa Tuareg wamekubaliana kuhusu kufanyika kwa uchaguzi Mkuu mwezi u jao kat ika eneo la Kidal, ambalo kundi hilo linathibiti.

M a a f i k i a n o h a y o yalifikiwa siku ya Jumatatu jijini Ouagadougou, nchini Burkinafaso baada ya siku tatu ya mazungumzo kati ya pande mbili hizo, muda mfupi baada ya majeshi ya serikali kuanza oparesheni dhidi ya kundi jingine la waasi la MNLA.

K u n d i l a M N L A limekataa wito wa serikali ya Mali kurudisha silaha na linapinga kuwasili majeshi ya serikali mjini Kidal.

Serikali ya Bamako imekuwa ikisema inataka kusimika uongozi wake katika eneo la Kidal kabla ya Uchaguzi Mkuu wa tarehe 28 mwezi ujao na kutishia kuchukua mji huo iwapo suluhu haitapatikana.

Kundi la Tuareg kwa muda mrefu limekuwa l iki taka kuj i tenga na kujiongoza kivyao na wanaliita Azawad kwa madai kuwa eneo hilo l imekuwa l ik i tengwa kimaendeleo na kisiasa na uongozi wa Bamako.

Baada ya kufanyika mapinduzi ya serikali nch in i humo mwaka uliopita, kundi la Turaeg

liliungana na makundi mengine ya Kiislamu kujitenga na serikali ya Bamako na kuzua ukosefu wa usalama Kaskazini mwa nchi hiyo, suala

ambalo l i l i sababisha U f a r a n s a k u a n z i s h a oparesheni ya kijeshi dhidi ya waasi hao .Serikali ya Ufaransa imesema kuwa

italiachia jeshi la Umoja wa Mataifa jukumu la kulinda amani mwezi ujao, baada ya kuwepo nchini humo tangu mapema mwaka huu (rfi.fr).

Edward Snowden.

Kwa bei hizi KCMC hakuna sababu ya kupewa ruzukuInatoka Uk. 4Baada ya kukosa nafuu

zote hizi wanazopata, hapo wangekuwa na hiari ya kupandisha gharama vile wa n a v yo t a k a . H a k u n a angewauliza. Lakini pia wanastahili kuondoa hizi kauli mbiu za huduma nafuu ambazo tunazo na kama geresha za kidini kama ‘msamaria mwema’ nk. wakati wao wanafanya biashara kamili.

N i s e m e t u k wa m b a umefika wakati sasa serikali kuamia kwa dhati kwamba haipo tayari kunufaisha kundi la watu wabinafsi wachache na kuwaangamiza wananchi walio wengi.

Hizi ruzuku na misamaha ya kodi, ikiratibiwa na kusimamiwa vizuri, inaweza kuwa ahueni kwa Watanzania wote.

Kuna haja kwa serikali sasa kufuta mara moja hii misamaha inayonufaisha wajanja wachache, na fedha inayopat ikana inaweza kusaidia kujengwa vituo zaidi vya afya nchini.

Pia kwa serikali kuondoa ruzuku na misamaha katika mashirika ya kidini yaliyokosa utu na uaminifu, kunaweza kuleta ongezeko kubwa la mapato ambayo yatasaidia kupatikana huduma bora, nafuu na za kuaminika kwa Watanzania wote katika hospitali za rufaa mikoani kama Mawenzi, Sekou Toure, Amana, Mwanayamala nk.

Kama lengo la serikali ni kutoa huduma nafuu za afya kwa wananchi wake, basi wakati ni sasa wa kufanya maamuzi bila hofu. Taasisi za dini zilianzisha vituo vya afya kwa hiari yao kwa lengo la kuisaidia serikali kutoa huduma kwa wananchi. Hazikuanzishwa ili zisaidiwe na serikali kujiendesha katika kutekeleza kazi hiyo. Wao waisaidie seriali, sio serikali wazisadie taasisi hizo huku zenyewe zikifanya biashara.

Kazi ya seriali ni kuzipa vibali na kuziwekea miundo mbinu kama barabara, maji, umeme nk. Sio kupewa

hadi fedha na misamaha ambayo inatumika kifisadi kwa maslahi ya kundi fulani la watu.

Hata hivyo kuna taaarifa kwamba hospital i hiyo imekubali kurejesha viwango vya awali baada ya kujadiliana na serikali.

Pamoja na hayo tunahoji kilichoisukuma uongozi wa hospitali hiyo kupandisha g h a r a m a g h a f l a h u k u ukitambua kuwa hospitali hiyo imeteuliwa na serikali kutoa huduma kwa wananchi kwa mujibu wa makubaliano na serikali na kupokea ruzuku.

Page 6: ANNUUR 1075

6 AN-NUURSHAABAN 1434, IJUMAA JUNI 14-20, 2013MAKALA

KWA muda mrefu sasa Wais lamu wamejenga h o j a k w a m b a k u n a ubaguzi ambapo wananchi hawatendewi sawa na kwamba ubaguzi huu hufanywa na baadhi ya watendaji wa serikai na taasisi za umma. Waislamu wameweka wazi kwamba utaratibu huu ambao ni haramu kwa kuwa uko kinyume na katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania siyo mfumo rasmi. Aidha wamekuwa wakieleza kwa kutumia vigezo vinavyokubalika kisayansi kwamba mfumo huu unaendeshwa na watu binafsi ambao unaweza kusema kuwa wana mawazo ya kibaguzi, chuki na kwamba hawaitakii mema nchi yetu. Lakini kwa bahati mbaya watu hawa wapo wengi na mahali pengi katika sekta mbalimbali hapa nchini.

Katika makongamano ya kitaifa yaliyofanyika mwaka 2011 Diamond Jubilee na pia nchi nzima Waislamu waliwasilisha rasmi serikalini kijitabu kilichojaa vielelezo jinsi serikali inavyotumia r a s i l i m a l i z a u m m a kulinufaisha kanisa. Katika kijitabu kile na kwenye makongamano yao Waislamu wameuelezea utaratibu huu wa kuwabagua na kuwalazimisha wao kuwa raia wa daraja la pili kwa jina la mfumokristo. Lakini sasa inaonekana nongwa kutamka msamiati huo. Nadhani muhimu hapa sio neno. Tuchukue tafsiri halisi ya wanaotoa msamiati huo na kuangalia madai yao kama ni ya kweli au la. Tuwahukumu kwa ukweli au uwongo wa madai yao sio kwa msamiati.

Pamoja na harakati zote za kuzunguka nchi nzima kueleza mawazo yao juu ya ubaguzi wanaoona kufanyika nchini, serikali haikujali wala kusema lolote juu ya madai hayo ya Waislamu. I l i p i g a k i m y a . B a a d a ya muda kupita na kama tulivyotegemea maaskofu w a l i a n z a k u i s h i n i k i z a serikali iwachukulie hatua watu inaodai wanachochea mauaji, uharibifu wa mali za makanisa na uvunjivu wa amani. Kama tulivyozoea h u k o n y u m a n a k a m a tulivyoona wakati wa mauaji ya Mwembechai mwaka 1998, serikali ghafla ikaibuka na kuanza kutoa vitisho kwa Waislamu. Waislamu waliokutana Diamond Jubilee na viongozi wao wakawa ndiyo walengwa. Maaskofu wanataka wakamatwe na

Hoja si Ndalichako kuwa na PhD daraja la kwanza

Kuvuruga ushahidi haitasaidia sana bali…Tuchunguze aliyosema Mtanda, Mwingulu

Na Hashim Saiboko

DKT. Joyce Ndalichako, Katibu Mtendaji wa Baraza la Mitihani Tanzania

kuchukuliwa hatua mara moja. Katika mlolongo huo kwa mara ya kwanza hotuba ya Rais ya mwisho wa mwezi wa Machi 2013 ikaongelea kwa kirefu dhana ya mfumokristo.

Vyombo vya habari na w a a n d i s h i w a h a b a r i , maaskofu wenyewe na watendaj i wa ser ika l i , wanalenga kuharibu maana ya dhana ya mfumokristo.

Upotoshaji huu ni wa makusudi kwani tafsir i halisi ya neno hili imo kwenye kijitabu nilichokitaji ambayo imewasi l ishwa serikalini na bila shaka kama ambavyo maaskofu waliweza kupata DVD za makongamano ya Waislamu yaliyofanyika kote nchini, pia watakuwa wamepata kijitabu kile. Katika sehemu yake ya utangulizi dhana ya mfumokristo imeelezwa kama ifuatavyo, “Hivi sasa imebainika kwa Waislamu na wananchi wenzao walio weng i nch in i kwamba

Mfumokristo, ni mfumo wa UDINI dhidi ya Uislamu na Waislamu . Japo kwa misingi ya kiserikali mfumo huu haupo rasmi, kiutendaji, mfumo huu umefanywa kuwa mila, desturi na utamaduni wa watendaji walio wengi serikalini na katika taasisi za nchi ambako unatumika kukandamiza na kudhulumu haki za Waislamu. Aidha utamaduni huu umeenezwa pia kwa watendaji walio wengi katika taasisi za umma, jumuiya zisizo za kiserikali na katika baadhi ya mashirika binafsi nchini”.

Kwa ku tumia dhana h i i hutashangaa kuona kwamba juhudi zinafanyika kupotosha ukweli kwani hakuna anayeweza kusimama kutetea ubaguzi. Ndiyo tunaona zinafanyika juhudi za kunyamazisha sauti za wale wanaopinga mfumo huo. Na kama ulivyokuwa msemo wa Kiingereza dead man tell no tales hivyo ukitaka kuvuruga ushahidi unaua shahidi.

Labda tujikumbushe nini hasa ulikuwa ujumbe wa Waislamu kwa wenzao. Tazama utangulizi wa waraka wa Waislamu uliosomwa Diamond Jubilee 16.10.2011, “……… kauli ya Waislamu k a t i k a m a k o n g a m a n o yaliyofanyika sehemu zote nchini inawakumbusha na kuwanasihi viongozi wa nchi, serikali, vyama vya siasa, taasisi na mashirika yote kwamba Waislamu ni binadamu, na Watanzania, Waislamu ni wananchi. Wana haki ya kuheshimiwa na kuthaminiwa kwa misingi hiyo. Kuendelea kuwabagua na kuwakandamiza, siyo tu kunawagawa wananchi kitaifa; bali kunaandaa mazingira ya vurugu na machafuko yanayoweza kutokea hapo baadae. Maana kanuni ya ukandamizaji huzaa ukombozi. Na ukombozi hutokea pale wadhulumiwa wanapoona njia zilizopo za kuondoa dhulma hazitumiki kwa makusudi. Na hivyo

kuamua kusema sasa basi! Hali hiyo si nzuri kwa nchi inayopenda kujivunia umoja na amani”

Ni wazi basi kwamba hakuna ambaye anaweza akapinga yaliyoandikwa kwenye aya hiyo hapo juu. Lakini pia kwa wale wanaofaidika na hali iliyopo inakuwa ni busara kuhakikisha kwamba jambo hili halipati fursa ya kujadiliwa. Njia pekee ya kuzuia mjadala huo ni kuzua uongo na kutengeneza propaganda.

Hivi karibuni vyombo vya habari vimearifu kwamba Chama cha Mapinduzi (CCM) kimelazimika kufanya mkutano wa dharura kujadili udini ambao unadaiwa ulihusika kupitishwa kwa bajeti ya Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, M h e s h i m i w a S h u k u r u Kawambwa. Gazeti la Nipashe la Jumapili Juni 9, 2013 lilibeba kichwa cha habari kisemacho, “Mgawanyiko mpya CCM: Watumia udini kupitisha bajeti”.

Katika habari hiyo gazeti linaeleza kwamba mkutano huo ambao ulikuwa ufanyike ch in i ya uenyeki t i wa Waziri Mkuu, mheshimiwa Mizengo Pinda, ulitokana na hoja ya Mheshimiwa Said Mtanda aliyehoji ni kwa nini gredi za somo la Elimu ya Dini Ya Kiislamu ziwe juu kulinganisha na somo la Maarifa ya Biblia. Pia jambo jingine la mbunge huyo wa Mchinga lililowakera baadhi ya wabunge wa CCM kiasi cha kuitisha mkutano huo ni kushiriki kwenye kipindi ya Jambo kinachorushwa na televisheni ya TBC1 kuelezea kukerwa kwake na ubaguzi wa kidini unaofanywa na NECTA kupi t ia Kat ibu wake Mtendaji Dr Joyce Ndalichako na Kamati yake ya kutunuku.

Hoja kuu katika habari hiyo kwa mujibu wa gazeti hilo ni kuwa wabunge waliochangia wamei taka CCM izu ie mgawanyiko unaoendelea ndani ya CCM ukaachwa bila kushughulikiwa utaigawa jamii ya Watanzania. Tazama mawazo ya mbunge mmoja wa CCM kama alivyonukuliwa na gazeti hilo la nipashe:

“Inakuwaje Mbunge wa chama tawala, hata kama ni mawazo yake binafsi, anajielekeza katika kuchochea tofauti za kidini, anajenga hoja kumtetea Waziri kwa misingi ya dini, tunakwenda wapi”.

Kama inavyojidhihirisha hapa ni kwamba wapo baadhi ya wanasiasa popote walipo kinachochukua nafasi ya kwanza ni kulinda hali iliyopo ambayo Waislamu

Inaendelea Uk. 11

Page 7: ANNUUR 1075

7 AN-NUURSHAABAN 1434, IJUMAA JUNI 14-20, 2013Matangazo

VIONGOZI wa Uamsho walikuwa wakiuliza, “Je, mnautaka?”

Sasa Jaji Mstaafu wa Tanzania Jaji Mark Bomani anasema kuwa ingekuwa vyema kabla ya kujadili muundo wa muungano, watu waulizwe je, bado wanautaka?

“ B o m a n i a l i s e m a kabla ya rasimu hiyo haijapendekeza muundo wa Muungano wananchi walitakiwa waeleze kama bado wanautaka au la.”

H i v y o n d i v y o a l i v y o n u k u l i w a J a j i B o m a n i n a b a a d h i ya magazeti wiki hii yakiarifu alivyotoa maoni yake alipozungumza na waandishi wa habari juu ya maoni yake kuhusu rasimu ya katiba mpya.

Katika maoni yake, Jaji Bomani amepinga k u t u m i w a j i n a l a TANZANIA BARA.

Amenukuliwa akisema: “Hili jambo la kuziita katika Rasimu ya Katiba

Watu wangeulizwa kwanza‘Je, wanautaka?’- Jaji Mark

Na Mwandishi Wetu

Mwanasheria Mkuu wa Serikali wa zamani, Jaji Mark Bomani.

Mpya Serikali ya Tanzania Bara na Serikali ya Zanzibar silipendi hata kidogo, tunaogopa nini kuiita Serikali ya Tanganyika.”

Ja j i Mark Boman i ambaye ni Mwanasheria Mkuu wa Serikali wa zamani, amesema kuwa k a b l a y a m u u n g a n o kulikuwa na Serikali ya Tanganyika na Serikali ya Zanzibar ndio zikafanya Serikali ya Jamhuri ya Muungano Tanzania.

Sasa kama tunarudi kuwa na serikali tatu, basi turudi kwa Serikali ya Tanganyika na Serikali ya Zanzibar.

A k i z u n g u m z a n a waandishi wa habar i mapema wiki hii, Jaji Bomani alisema:

“Pendekezo la kuwa na Serikali tatu limekuwa

likipendekezwa na tume zote zilizowahi kuundwa k u h u s u m u u n d o w a Muungano.”

Bomani alizitaja tume hizo kuwa ni ya Jaji Francis Nyalali ya mwaka 1991 na Kamati ya Jaji Robert Kisanga ya mwaka 1998.

Alisema, muundo wa Serikali mbil i ul iopo ulibuniwa haraka haraka na waasisi wa nchi hizi mbili Hayati Mwalimu Julius Nyerere na Hayati Sheikh Abeid Karume na kwamba muundo huo umekuwa ndio chanzo cha migogoro ambayo imekuwa ikijitokeza mara kwa mara hasa kwa upande wa Zanzibar.

Kwa upande mwingine, wakati Jaji Bomani akitoa maoni ya kuunga mkono Serikali Tatu, Kamati Kuu ya CCM iliyokutana Dodoma imetoa tamko linaloonesha kuwa bado chama hicho kinapigania kuwepo kwa Serikal i mbili.

Hata hivyo, Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya

Inaendelea Uk. 11

SHULE IPO CHALINZE WILAYA VA BAGAMOYO KILOMETA 7 KUTOKA NJIA PANDA YA CHALINZE-TANGA KUELEKEA MOROGORO.

M I C H E P U O T U N A Y O S O M E S H A N I - P C M , P C B , CBG,PGM,EGM,HE,HGL,HGK, HKL, HKA, KLA,HGA,

KWA MAELEZO ZAIDI WASILIANA NA UONGOZI KWA NAMBA ZIFUATAZO: 0762-270378 0657-935148 0784-323203

FOMU ZlNAKOPATIKA MIKOANI KATIKA VITUO VIFUATAVYO:CHALINZE: Shuleni 0762270378, 0657935148, 0784-323203 Zanzibar: Rashid Masoud-Simu: 0777-478246Dar es Salaam: Hassanali (Koosa stationery) - Simu: 0719-350044 au

Yahya Tatee (Kariakoo)-Simu: 0715-361444 MOROGORO: Rama (Wastara) - Simu: 0718-778300 au Mohamed Shayo - MUM Simu: 0717-172804

Iringa: Sheikh Abdulkarim Mshana-Simu: 0715878883, au Sheikh Shamsi Elmi 0784 448484.

Mbeya: Sheikh Suleman (Ofisi za Happy Nation) - Simu: 0783-840060.Tanga: Shemtoi (Raha Stationery) - Simu: 0714-335030.Mombo: Sheikh Biko (Lango la Msikiti Mkuu) simu: 0754 983733.Handeni: Sheikh Mafiga-Simu: 0657-093983/0782105735 Moshi: Mzee

Issa Simu- 0766-796807 (Muuza Magazeti Msikiti wa Riadha) au KUTAYBA SACCOS Moshi Simu- 0716-109000 /0713-719441

Hai: Smart Stationery Services - Simu: 0717-806566Arusha: Imamu Hambal Simu-0754-290329 Msikiti Mkuu wa Ijumaa

au Abdulkarim – Kandahar Simu- 0754 316948 (Masjid Qubah Shopping Centre).

Babati:-Sheikh Juma Ibuva Simu-0714-262706 Singida: Sheikh Ramadhani ni Mtipe- Simu: 0786-797695 Dodoma: Sheikh

Said Chobo-Simu: 0712-217072 Tabora/Nzega: Garden Cafe: Simu: 0784-640112Kondoa: Mwalim Jabir Issa Isere-Simu: 0784 780869/0716 588420Ibra Line Booking Offices: Arusha, Moshi na DSMMLETE MWANAO CHALINZA ISLAMIC SEMINARY KWA DUNIA YAKE NA AKHERA

YAKE

Wabillahit Tawfiq

CHALINZE ISLAMIC SEMINARYINAWATANGAZIA NAFASI ZA MASOMO KIDATO CHA TANO

(V) KWA MWAKA WA MASOMO 2013/2014

Jumuiya ya Wataalamu wa Kiislam Tanzania (TAMPRO) kupitia Kituo chake cha mafunzo na Ajira inawatangazia SEMINA YA UFUGAJI UJASIRI AMALI JINSI YA KUANZISHA BIASHARA BORA NA UANDAAJI WA MCHANGANUO WA BIASHARA kwa kutumia wataalamu wenye uzoefu wanaoshughulikia masuala hayo kwa muda mrefu. Semina itakuwa kama ifuatavyo:-

Walengwa: Wafanyabiashara wadogo wadogo, wahitimu wa vyuo vikuu na vya kati, wanaotaka kuanza biashara na watakaopenda .

Siku: Jumamosi na Jumapili terehe 29 - 30 June 2013 Muda: Saa 3:00 asubuhi - 10:00 jioni Mahala: Ofisi Kuu ya TAMPRO Magomeni Usalama, Dar es Salaam Mada: ujasiri amali na mjasiriamali, uamuzi sahihi wa biashara unayotaka,

uamuzi wa mshirika sahihi katika biashara, muundo bora wa biashara yako, uteuzi wa uongozi bora. kuanguka kwa biashara, leseni ya biashara (umuhimu wake na jinsi ya kupatikana), muundo wa mchanganuo wa biashara, kutengeneza mchanganuo bora wa biashara.

Kujisajili: Shilingi 50,000/= kwa mtu mmoja. (Kwa ajili ya cheti cha ushiriki, Kitabu cha muongozo, na chakula). Kikundi/jumuiya ikisajili watu 10 watalipia 40,000 tu kila mmoja.

Muhimu: Washiriki watapatiwa vyeti na kitabu cha muongozo kilichoandikwa kwa lugha ya Kiswahili ili kukidhi haja. Pia watapata fursa ya kutengeneza michanganuo kivitendo chini ya usimamizi wa wataalamu bobezi katika fani ya uandishi wa miradi.

Kujisajili: Ili kujisajili lipia ada yako kwenye namba 0714 151532, 0767151532 au fika TAMPRO Makao Makuu, Magomeni Usalama, jirani na Halmshauri ya Manispaa ya Kinondoni. Wahi kuijiandikisha kwani nafasi ni chache.

Kwa maelezo zaidi wasiliana nasi kupitia 0714 151532, 0767151532, 0716234391

MRATIBU MAFUNZO TAMPRO MAKAO MAKUU

KITUO CHA MAFUNZO NA AJIRA CHA TAMPRO

MAFUNZO MAALUM YA UJASIRI AMALIJINSI YA KUANZISHA BIASHARA BORA NA

UANDAAJI WA MCHANGANUO WA BIASHARA

Page 8: ANNUUR 1075

8 AN-NUURSHAABAN 1434, IJUMAA JUNI 14-20, 2013Makala/Tangazo

Na Khalid S Mtwangi

INAFAHAMIKA kwamba viongozi wa Makanisa yote ya kila madh-hebi za Kikristo huwafundisha waumini wao uwongo mwingi kuhusu Uislamu na Waislamu. Nimebahatika kuvipata baadhi ya vitabu ambavyo hawa viongozi h u w a w a n a v i t u m i a kuwafundisha waumini wao Uislamu ni nini. Hapa chini naorodhesha baadhi ya mafundisho hayo . Waislamu, hasa masheikh na alim wote kwa jumla wayatafakari haya khalafu bi la kukosa tafadhali wawaambie Waislamu ukweli uko wapi kati ya haya wanayozua Makasisi wa Kikristo na yale wao masheikh na alim wanayo wawaidhi waumini wao.

Kwa Mfano imeandikwa: As a young man Muhammad was employed by Khadija, a wealthy widow, to manage her caravan trade. Although she was fifteen years her senior, Muhammad married Khadi ja when he was twenty-five…AFTER HER DEATH MUHAMMAD MARRIED A FURTHER T W E L V E W I V E S , THEREBY SANCTIONING POLYGAMY. (Tafs i r i : Akiwa kijana Muhammad a l ia j i r iwa na Khadi ja , mwanamke tajiri, kuangalia misafara ya biashara. Ingawa Khadija alikuwa mkubwa kwake kwa miaka kumi na tano, Muhammad alimuowa Khadija wakati akiwa na umri wa miaka ishirini na tano. Baada ya kifo cha Khadija, Muhammad alioa wake kumi na mbili zaidi na hapo akahalalisha ndoa za wake wengi). Ni kweli hayo?

M e n g i n e y a n a h u s u historia ya Uislamu Afrika ya Mashariki; kwa hili wapo waalimu wa zile shule za Kiislamu ambao bila shaka w a o w a n a w a f u n d i s h a wanafunzi wao historia kama hiyo. Ipi sahihi hiyo wao wanayoifundisha ama hii wanayoimwaga Makanisa k w a w a u m i n i w a o ? Ikumbukwe kwamba takriban

mara zote, na hasa katika Kanisa Katoliki, analosema kiongozi wa Kanisa huwa halipingwi; ni ukweli kama vile Injili. Mengine yanaweza kabisa kuwa ni kashfa dhidi ya Uislamu, hivyo inakuwa ni jukumu la ulema kutuongoza hivyo watupe ukweli. Ikiwa kwel i ni kahfa ni kwa vipengele gani.

1 Jina la kitabu: LAW GROSSARY OF ISLAMIC TERMS IN SWAHILI by Dr. Jan Knappert;

P u b l i s h e d b y B E N E D I C T I N E P U B L I C A T I O N S , NDANDA-PERAMIHO, 2001 Mwandishi wa kitabu hiki, Jan Knappert, anasema hivi katika utangulizi:-

During the first years of independence I was secretary of the Law Translations Committee, a body created by Sheikh Amri Abedi, who was, until death in early 196, Minister of Justice in the Republic of Tanzania. (Nadhani hakuna haja ya kutafsiri hili la kujigamba kwake)

Kuhusu Iran ameandika hivi:-

If one asks about Iran, the reaction is either “They practice the same Islam” or “They are wandering in error; because they worship Husayn, they are polytheists and s inners” (Tafs i r i “Wanafuata Uislamu huu huu”. Ama “Wanahangaika wakipotea kwa sababu wanamuabudu Husayn, wao wanaabudu miungu wengi (washirikina?) na ni watenda d h a m b i ) p g . 9 . 2. Anaendelea sasa akiingia katika historia:-

From the Portuguese records of the sixteenth and seventeenth century (sic) one may conclude that Islam was almost totally eradicated in towns like Mombasa and Malindi, the chief ports of the Swahili coast. Malindi was abandoned in mid-seventeenth century and so was Quelimani (now the ruins of Gedi) as a result of the Galla raids…Witu was destroyed by the British and Bagamoyo and Pangani by the Germans at the beginning of the colonial period…

Tafsir i : Kutokana na kumbukumbu za Wareno za karne ya kumi na sita na kumi na saba mtu anaweza kuamua kuwa Uis lamu uliteketezwa kabisa kutoka miji kama vile Mombasa na Malindi, zilizokuwa bandari muhimu pwani ya sehemu za Waswahili. Waliikimbia

Malindi katikati ya karne ya kumi na saba hali kadhalika Qualimanci (sasa ikiitwa magofu ya Gedi) kutokana na mashambulio ya watu wa kabila la Galla……..Wi t u i l i t e k e t e z w a n a Waingereza, Bagamoyo na Pangani (ziliteketezwa) na Wajeremani mwanzoni mwa utawala wa kikoloni).

Hivi Ibn Batuta alipita huku mwaka gani alipokuta Kilwa kwa mfano imeshamiri kweli kweli?

3. Ameingilia katika swala na anasema hivi:-

Prayer in Islam is hardly comparable with prayer in Christian practices. Jesus admonished his disciples to pray individually and alone (Mathew 6:6). In Islam it is preferable to pray in public, in the mosque, or even in a street (so that traffic has to stop) and collectively rather than individually. THE MUSLIM PROUDLY WANTS TO BE SEEN PRAYING, expressing in that way his total devotion to God for whose service daily worries and business has to stop. (Tafsiri: Swala katika Uislamu haiweza kulinganishwa na mienendo katika Ukristo. Yesu aliwakemea wafuasi wake wawe wakisali mmoja mmoja na kila mtu peke

yake (Matayo 6:6). Katika Uislamu inapendekezwa kuswali hadharani, msikitini, a m a h a t a b a r a b a r a n i (ilimuradi magari yatakuwa yamesimamishwa) na katika jamaa badala kila mtu akiwa mwenyewe. MUISLAM HUJIGAMBA AKITAKA KUONEKANA ANASWALI, akionyesha imani yake kwa Mungu ambaye kwake kila siku anamkumbuka na hata shughuli zote kusitishwa).

4. Itakumbukwa kuwa wakat i nchi i l ipoamua kuhesabu watu yaani sensa k u l i t o k e a m a l u m b a n o makubwa sana. Waislamu walikuwa na hoja nzito kutaka sensa hiyo pia ijumuishe idadi ya waumini wa kila dini. Ni bahati mbaya sana hata baadhi ya masheikh waliwakosoa sana wale Waislamu waliosis i t iza kuwa sensa nayo itoe idadi ya waumini wa dini zote. Sasa hebu wale Waislamu walioona kuwa hakukuwa na muhimu kufahamu nchi hii idadi ya Waislamu watafakari haya:-

“ I n Ta n g a n y i k a , F r Sch i ldknecht , the bes t e x p e r t , e s t i m a t e d t h e Muslim population at 22% in 1963. With Zanzibar and Pemba added since then the percentage of Muslims in Tanzania may now be

25% but not much higher. Islamic publications usually exaggerate their statistics”. (Tafsiri: Huko Tanganyika Fr Schildknecht (Bavarian?) mtaalam bora kabisa, anakisia idadi ya Waislamu ni 22% mwaka 1963. Kuongeza Zanzibar na Pemba asili mia ya Waislamu sasa inaweza kuwa 25%, sio zaidi sana ya hapo. Majarida ya Waislamu kwa kawaida hutia sana chumvi takwimu zao). P 11

Pamoja na haya bila shaka Waislamu watakumbuka huko nyuma magaze t i y a n a y o c h a p i s h w a n a baadhi ya makanisa ya nchi hii hakika yalikuwa yakichapisha kwa mapana kabisa hayo waliyokuwa wakisema kuwa ni tafsiri za Kur’an na Hadith. Walifika hata kuandika kuwa Rasu-ul-Llah Muhammad SAW alikufa kwa sababu aliugua UKIMWI. Astaghfirullah. Wais l amu wa l ipokuwa wakiwaandikia kutoa maelezo yaliyo sahihi wachapishaji wa magazeti hayo hawakuyatoa yale maoni na mafundisho waliyoyaandika Waislamu.

Hawa hawakushutumiwa k w a m b a w a l i k u w a wakikashifu dini zingine. Wasomaji tunawarifu kuwa makala hii itaendeklea wiki ijayo, inshaallah.

Haya ni mafundisho ama ni kashfa?

Bismillahir Rahmaniir RahiimKAMATI YA KUENDELEZA UISLAMU TANZANIA

TAMASHA LA KITAIFA, SHENGE JUU – PEMBA 28, JUNI – 05 JULAI, 2013

Waislamu wote nchini mnaalikwa kuhudhuria Tamasha la Ujenzi wa Kituo cha Kiislamu Shenge Juu – Pemba litakalofanyika kuanzia tarehe 28, Juni – 05 Julai, 2013.

Shime Waislamu tujitahidi kuhudhuria kwa wingi. Wasio na wasaa wa kuhudhuria wachangie fedha na vifaa vya ujenzi.

Tukumbuke, tukifanya hivyo tutakuwa tumefanya biashara na Allah (s.w) kwa mafanikio ya hapa duniani na malipo ya Pepo – Qur’an (61:10-13)

Muhimu:• Kwa kupitia Tanga nauli ya kwenda na kurudi ni Tshs. 50,000/-.

Wanatamasha wote wataripoti Tanga tarehe 24/06/2013 (0715 894111/0787 894111).• Kwa kupitia Dar es Salaam nauni ni Tshs. 80,000/- kwenda na

kurudi. Kuripoti Dar es Salam ni tarehe 25/06/2013 (0783 812576/0716 058538).• Kila msafiri awe na kitambulisho.• Mwisho wa kukusanya Nauli ni tarehe 20/06/2013.

Wabillah TawfiiqAMIR

Page 9: ANNUUR 1075

9 AN-NUURSHAABAN 1434, IJUMAA JUNI 14-20, 2013Tangazo

WASICHANA/N JINA KAMILI1 AISHA M. KIDULA PCB2 AISHA Y. SHABANI ECA3 ARAFA MATICO CBG4 ASMA A. SALEH KLA5 BIUBWA M. ISSA PCB6 FATHIYA T. KAMUGISHA HKL7 FATMA A. KHAMIS CBG8 FATMA Y. ABDALLAH HKL9 FAUDHIA K. GWEBE ECA10 HUSNA R. CHISHAKO HGK11 IKRAN H. AHMMED EGM12 JAMILA MAHMOUD CBG13 KHADIJA Y. HASSAN PCB14 KULTHUM A. DILANGALE ECA15 MAISARA A. MTAULAH HGL16 MARYAM M. MLOWE HKL17 MINAR M. MIRAJI EGM18 MWAJUMA F. MDIMU HKL19 MWAJUMA J. MHANDO HGL20 MWANAMKUU S. MBUYU EGM21 SALMA R. ALLY ECA22 SAMIRA H. AHMAD CBM23 SAUDA M. KHALID ECA24 SHADYA S. MUSSA HKL25 TAUSI I. RUSHANSHUMA HGK26 UMMUKULTHUM SALUM CBG27 ZAINAB S. ALLY PCB28 ZAITUN A. RAMADHANI HGK

UBUNGO ISLAMIC HIGH SCHOOLP.O. Box 55105, Dar es Salaam Tel: +255 - 2450069, 0712974428 & 0659 204013 Fax: 022-2450822

WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA TANO-UBUNGO ISLAMIC HIGH SCHOOL 2013

WAVULANA

1 ABDALLAH O. ABDI EGM2 ABDULWAHID R. RAMADHAN HKL3 ABUBAKAR S. MSEKWA EGM4 ALLY H. RAMADHAN HGE5 ALLY N. TIMAMY PCB6 ALLY S. BYARUGABA PCM7 FUAD H. AHMMED PCM8 HAJI M. JUMA PCB9 HAMAD I. HAMAD ECA10 HAMIS A.MDEE ECA11 HUSSEIN ABDALLAH HGK12 ISACK Y. HASSAN PCM14 MALIK U. HAMIDU PCM15 MBARAKA M. KIGZA PCB16 MOHAMMED AMIR ECA17 MOHAMMED S. HAMAD EGM19 RAMJI H. TELLACK HKL20 RASHID I. MUSSA ECA21 SALUM A. MOHAMMED CBG22 SEIF N. SAID PCB23 SUDI YASIN PCM24 TWALIB H. JAFFAR HGK25 YAQUB O. KILIMA HGE

MAELEZO:

1. WANAFUNZI WOTE WALIOCHAGULIWA WANATAKIWA KUCHUKUA MAELEZO YA KUJIUNGA NA SHULE (JOINING INSTRUCTION) SHULENI UBUNGO ISLAMIC HIGH SCHOOL. PIA UNAWEZA KUPATA MAELEKEZO KWENYE TOVUTI:www.ipctz.org

2. SHULE ITAFUNGULIWA RASMI TAREHE 30/06/2013.

3. MAOMBI MAPYA YANAENDELEA KUPOKELEWA HADI TAREHE 23/06/2013. HIVYO NENDA KACHUKUE FOMU NA UIRUDISHE UBUNGO AU KIRINNJIKO ISLAMIC KABLA YA TAREHE HIYO.

KARIBU UBUNGO ISLAMIC HIGH SCHOOL NA TUNAWATAKIA MAANDALIZI MEMA.

WABILLAH TUFIIQ

MKUU WA SHULE

26 SAID ATHUMAN HGK

Page 10: ANNUUR 1075

10 AN-NUURSHAABAN 1434, IJUMAA JUNI 14-20, 2013Tangazo

MAELEZO:1. WANAFUNZI WOTE WALIOCHAGULIWA WANATAKIWA KUCHUKUA MAELEZO YA KUJIUNGA NA SHULE (JOINING INSTRUCTION)

KATIKA SHULE YA UBUNGO ISLAMIC AU KIRINJIKO.PIA UNAWEZA KUPATA MAELEKEZO KWENYE TOVUTI:www.ipctz.org2. SHULE ITAFUNGULIWA RASMI TAREHE 30/06/2013.KWA WANAFUNZI WANAOTOKEA DAR ES SALAAM KUTAKUWA NA USAFIRI

WA PAMOJA SIKU HIYO.NENDA KALIPIE NAULI UBUNGO ISLAMIC HIGH SCHOOL KUANZIA TAREHE 25-28/06/2013.3. MAOMBI MAPYA YANAENDELEA KUPOKELEWA HADI TAREHE 23/06/2013.HIVYO NENDA KACHUKUE FOMU NA UIRUDISHE

UBUNGO AU KIRINNJIKO ISLAMIC KABLA YA TAREHE HIYO.KARIBU KIRINJIKO ISLAMIC HIGH SCHOOL NA TUNAWATAKIA MAANDALIZI MEMA.

WABILLAH TUFIIQMKUU WA SHULE.

KIRINJIKO ISLAMIC HIGH SCHOOL P.O Box 62 Same - Kilimanjaro, Tel. (027) 2758180 Mob. 0784 296424 & 0784 681784

WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO-2013/2014S/N JINA LA MWANAFUNZI COMB1 AMINA O. MBAROUK ECA2 AMINA RAMADHAN SULEIMAN HKL3 AMINA SWAHIBU CHAMBO CBG3 FATMA ALLY MWICHANDE HGK4 FATMA SUDI KHALFAN KLA5 FIRDAUS SALUM KHALFAN HGE6 HABIBA Y. MUNISI CBG7 HALIMA MUSTAFA FUNGO CBG8 HIDAYA ALLY RAJABU HGL9 JALINA NASSOR HGK10 JAZILA TWAHA MSABAHA ECA11 KHADIJA H.ABEID CBG12 LATIFA HAMIS MNJALE CBG13 LIGHTNES H. SHEKIAO HKL14 MARYAM AYOUB ATHMAN HGK15 MWANAID K. MOHAMMED HKL16 MWANTUM M. MWAKIVUMA PCB17 NURAT AMIRI MALOLO HGL18 NUSAIBA FUAD BARAHIYANI PCB19 RIHLA HASHIM MNYAKA HGK20 SAADA ABUSHEHE ITASU ECA21 SAFINA FADHILI TESUA HGK22 SALMA SAID ALLY KHL23 SALMA SALMIN SHALIMOH PCB24 SUBIRA ALLY MAHUNA PCB25 SUMAIYAH K. MSUYA CBG26 ZUHURA ABDALLAH MFANGA PCB27 ZULFA SAID MTEPA HGK. 28 ASMA HASSAN HONI EGM

S/N JINA KAMILI MCHEPUO

1 ABDALLAH I, ABDALLAH PCB2 ADINAN HUSSEIN MZIMBIRI HKL3 AHMADA A. JUMA CBG3 ALLY M. ABDALLAH HGK4 ALLY SALUM KHALFAN HGL5 BABUU MOHAMED PAWA HGE6 HAMID S. KAIS ECA7 HAMZA HAMISI MAWAZO PCB8 HASHIM SHABANI MWASHEMBE PCB9 HASSAN A. MTOGO PCB10 HASSAN ABBAS MSANGI PCB

11 IBRAHIM R. IBRAHIM PCB12 IDD IBRAHIM MSOKE CBG13 IDD KASSIM IDD HGK14 ISMAIL HAMIDU MGAYA PCM15 ISSA ATHUMANI IBRAHIM PCB16 JIWA OMARY MSUNGU EGM17 JUMA HAJI JUMA EGM

18 JUMA HASSAN MUSSA CBG

19 JUMA KIBUA JUMA PCB

20 KHALID MUSTAFA KISATU PCB

21 KIBARY MWINYI MOHAMMED ECA

22 LUQMAN F. MTIKA CBG

23 MAKUNGU S. MAKUNGU ECA

24 MNG`WALA MOHAMED NASSORO HGE

25 MOHAMMED I. MATEMANGA PCB

26 MOHAMMED M. KABALA PCB

27 MOHAMMED O. MOHAMMED PCB

28 MOHAMMED T. FADHILI HGK

29 MUHAMMED R. MKONGO PCB

30 MULLAH M. MOHAMMED HGK

31 MWINSHEKHE H. IGUDU PCB

32 OMARI MOHAMED AWESO PCB

33 OMARY JUMANNE MSANGI PCB

34 RAMADHAN M. SHABAN EGM

35 SALEHE HAMISI KOMBO PCB

36 SHABAN A. NYANGE CBG

S/N JINA KAMILI MCHEPUO37 SHABAN IBRAHIM LUSAMA PCB

38 SIMAI SHAIBU NANDOPE HGE

39 SHARIF S. MWINDI EGM

40 SHOMAR R. IBRAHIM PCB

41 SHOMARI RAMADHANI JUMANNE PCB

42 SOUD SULEIMAN SOUD PCB

43 SULEIMAN ATHUMANI MALOZO EGM

44 SWALEHE HASSAN CBG

45 TARIQ ALAWI BARAKATI HGL

46 TARIQ SULEYMAN. SOUD PCM

47 YUSUF ABDALLAH MSANGI CBG

48 USAMA MOHAMED NASSOR PCB

Page 11: ANNUUR 1075

11 AN-NUURSHAABAN 1434, IJUMAA JUNI 14-20, 2013Makala

Hoja si Ndalichako kuwa na PhD daraja la kwanza

Inatoka Uk. 6wanailalamikia kuwa ipo dhidi yao. Hawajali kama kufanya hivyo ni kinyume cha katiba ya nchi au ya chama cha siasa wanachokiwakilisha bungeni. Katika kulinda misingi hiyo huko bungeni basi wahusika hushirikiana bila kujali vyama na itikadi zao. Wabunge wa CCM huunganisha nguvu na akina Joseph Selasini (CHADEMA) - Rombo na Felix Mkosamali ( NCCR-MAGEUZI) – Muhambwe.

Kauli ya Mheshimiwa Selasini kutuhumu uongozi wa Chuo Kikuu cha Dodoma kuwa unaongoza chuo hicho kwa kuwabagua wanafunzi Wakris to haikukemewa na hao wabunge wa CCM waliochangia hoja za umoja na mshikamano ka t ika mku tano wa kumsema Mheshimiwa Saidi Mtanda. Kwao udini ni kusema jambo litakalowanufaisha au kuwapa haki Waislamu. Kwa sababu hiyo hawakuonekana kushtushwa na matamshi hayo ya Selasini, lakini Mbunge wa Kondoa Kusini Mheshimiwa Juma Nkamia alipomkemea Selasini kama alivyonukuliwa akisema kwamba, “Nadhani tatizo la pale UDOM ni Profesa Kikula na Profesa Mlacha (Shaban ) wanahukumiwa kwa dini zao, leo hii kungekuwa na Lyimo

pale haya yasingezungumzwa humu bungeni,” wabunge hao hao walipiga kimya.

Kuonesha uba l aka l a wa wabunge wa CCM, walipuuza pia taarifa za Naibu Katibu Mkuu wa CCM Bara Mheshimiwa Mwigulu Nchemba ambaye pia ni Mbunge wa Iramba Magharibi alipoliambia bunge kwamba wako watendaji wa serikali wanaowahujumu mawaziri. Kauli hii ya Mheshimiwa Mwigulu imenukuliwa na gazeti la HabariLeo la Juni6, 2013 kama ifuatavyo,“ Kuna baadhi ya watendaji na wataalamu serikalini ambao si waaminifu wamekuwa wakiwaangusha mawaziri wetu kwa kusudi kwa sababu ya kutumiwa na watu”. Naibu Katibu Mkuu huyo wa CCM al iyasema hayo wakat i akichangia hotuba ya bajeti ya WEMU.

Kwa akili ya kawaida tungedhani kwamba wabunge wa CCM wangeitisha kikao kujadili watumishi wa umma ambao wanatumia ofisi zao

kuwabagua wateja wao kama ilivyoelezwa na Mheshimiwa Saidi Mtanda akipinga kitendo cha Katibu Mtendaji wa NECTA Dr. Joyce Ndalichako na Kamati yake ya Kutunuku kuwafelisha Waislamu kwa makusudi kwa kuwapandishia alama za ufaulu wakati akiwasaidia Wakristo kufaulu kwa kuwashushia alama za kufaulu. Lakini kwa roho mbaya walizonazo walionesha pia chuki yao dhidi ya kituo cha TBC1 kwa kumpatia fursa mheshimiwa Mtanda kupitia kipindi cha JAMBO kuelezea kitendo hicho cha hatari kilichofanywa na NECTA.

Siku chache kabla ya matokeo mapya ya mitihani ya kidato cha nne kutangazwa gazeti la Jamhuri na lile la Mwananchi yalichapisha barua za serikali zilizokuwa na mawasiliano baina ya WEMU na NECTA. Kwa mazingira ya siku zile wengi wetu tulioziona barua zile tuliweza kujua kwamba chanzo chake ni NECTA

kwani makusudio na maoni yaliyoambana na kuchapwa kwa barua zile yalionesha kulitetea Baraza la Mitihani na Dr Joyce Ndalichako na kujenga hoja dhidi ya Mhesh imiwa Shukuru . Maneno haya ya Mheshimiwa Nchemba yanawiana na matukio haya ya kutaka kumsafisha Dr Joyce na kutia uzito hoja ya kumtaka Mheshimiwa Dr Shukuru Kawambwa ajiuzulu.

Kwa kuwa kimantiki ilitarajiwa kwamba wabunge wote hasa wa CCM ambacho n d i c h o c h a m a c h e n y e mawaziri wanaohujumiwa na watendaji wasiokuwa waaminifu wakasirishwe na taarifa za Mheshimiwa N c h e m b a n a k u i t a k a serikali kuwachukulia hatua watumishi hao, ukweli kwamba hao wanaojidai wate tez i wa umoja na mshikamano wa kitaifa hawakuonesha kujali, basi inatulazimu kuhoji dhana ya amani kwa waheshimiwa hawa! Lakini pia inakuwa

vigumu kuelewa lengo la watu hawa kujidanganya kwamba amani maana yake ni Waislamu kunyamaza wakati wananyimwa haki zao.

Na kama ilivyosemwa hapo juu bunge hili linaloendelea limetudhihirishia kwamba w a t u w e n y e m a w a z o ya kibaguzi hawaamini katika vyama vyao (CCM, NCCR-MAGEUZI, CUF na CHADEMA) zaidi kuliko wanavyoj i toa kuul inda masilahi ya kundi fulani katika jamii. Mawakala hawa hawajali hata kama kwa hoja zisizokuwa na mashiko wataonekana majuha kwa wananchi. Hoja inatolewa kwamba NECTA inafelisha wanafunzi na kuwapasisha wengine kwa dini zao, lakini wakala wa kutetea ubaguzi anasimama na kusema, Dr Ndalichako ana PhD daraja la kwanza!!!!!!

Hatua hii ya wabunge mawaka la wa ubaguz i ndani ya CCM kuitisha k ikao kuwajad i l i wale wanaojitoa kuinusuru nchi yao na madhara ya ubaguzi, kwetu sisi ambao wakati wote tumesimama kupinga ubaguzi haikutukat isha tamaa. Kitendo hiki kwetu ni kiashiria cha kuonesha jinsi wenye mawazo ya ubaguzi wanavyotapatapa. Na hili ni kwa sababu tunajua wazi kwamba ubaguzi haudumu.

Watu wangeulizwa kwanza‘Je, wanautaka?’- Jaji Mark

Inatoka Uk. 7

Katiba, Jaji Joseph Warioba, ametahadharisha kuwa kung’ang’ania kuendesha nchi kwa kufuata mfumo wa sasa wa utawala wa Serikali mbili kunaweza kusababisha kuvunjika kwa Muungano badala ya kuuimarisha.

Amesema, huu ni wakati wa kukubaliana na ukweli, kuzingatia na kuheshimu mawazo ya Wazanzibari vinginevyo tutaukosa kabisa Muungano uliodumu kwa takribani miaka 49 sasa.

Jaji Warioba akiongea katika kipindi kimoja kinachorushwa na ITV alisema kuwa Zanzibar “walikuwa na mambo mengi ya kutoridhishwa juu ya Muungano kuliko Tanzania Bara” na kwamba Tume yake ilizingatia maoni ya walio wengi kabla ya kupendekeza mfumo wa serikali tatu.

Kwa upande mwingine, msimamo wa Serikali mbili unaonekana kuelekea kukigharimu Chama Cha Mapinduzi hasa kwa upande wa Zanzibar ambapo

mamia ya wanachama wake wameripotiwa kuhama na kujiunga na CUF.

I n a e l e z w a k u w a w a n a c h a m a h a o wamekimbilia CUF kwa sababu wanaona kuwa chama hicho ndio chenye msimamo wa kuitetea Zanzibar kuwa na Dola yake huru yenye mamlaka kamaili.

Katika mkutano wake wa hadhara hivi karibuni huko Matemwe, Katibu Mkuu wa Chama hicho Maalim Seif Sharif Hamad alisema kuwa amefurahishwa na pendekezo la kuwa na Serikali tatu hata hivyo akasema kuwa kuna mambo kadhaa yanayohitajika kurekeb ishwa ka t ika rasimu ya Katiba ili kufikia lengo la kuwa na Zanzibar yenye mamlaka kamili.

Ameyataja mambo hayo kuwa ni pamoja na jina la Muungano ambao kwa

maoni yake unapaswa kuitwa “Muungano wa Jamhuri za Tanzania”, tofauti na ilivyo sasa “Jamhuri ya Muungano wa Tanzania”.

Maalim Seif amesema kuwa Zanzibar inahitaji kuwa na Mambo ya Nje, Sarafu, Benki Kuu, Uraia na Uhamiaji pamoja na Vyama vya Siasa.

“Tunataka Zanzibar iwe na uwezo wa kufanya mambo yake b i la ya kuingiliwa, kwa mfano iwe na uwezo wa kujiunga na Umoja wa Mataifa (UN), Umoja wa Afrika (AU), pamoja na FIFA”, alieleza Maalim Seif.

Ni ka t ika mkutano huo ambapo Maalim Seif alikabidhi kadi za CUF 609 kwa wanachama wapya waliojiunga na chama hicho, ambapo ilielezwa kuwa 148 kati yao walirejesha kadi za CCM.

Wakijieleza baadhi ya wanachama hao wapya wamesema kuwa wanataka kukipa nguvu chama ambacho kinapigania masilahi ya Zanzibar kama nchi na Serikali yake yenye mamlaka kamili.

Mwanasheria Mkuu wa Serikali wa zamani, Jaji Mark Bomani.

Page 12: ANNUUR 1075

12 MAKALA

Gazeti hili hutolewa na Islamic Propagation Centre S.L.P. 55105 na kupigwa chapa na Business Printers Limited, S.L.P. 78495 Dar es Salaam.

AN-NUUR12 SHAABAN 1434, IJUMAA JUNI 14-20, 2013

Usikose kusoma AN-NUUR kila

Ijumaa

KAMPUNI mbalimbali n c h i n i y a m e t a k i w a kuwa makini na wizi wa mtandao kwa kujenga tabia ya kutoa mafunzo y a m a r a k w a m a r a kuhusiana na masuala ya ulinzi wa mitandao kwa wataalam wao.

Aidha wametakiwa kujenga tabia ya kupitia mifumo (system) zao mara kwa mara ili kuhakikisha kuwa hakuna viashiria vyovyote vinavyoweza kule ta a thar i kat ika mitandao.

2 - Bwana Yusuph Kileo Akibadilishana mawazo na Bwana Craig Rosewarne katika mkutano ulio fanyika Nchini afrika kusina mwishon mwa mwaka jana uliohusisha wataalam wa uchunguzi wa makosa ya digitali na mtandao duniani.

3:

Mtaalam atoa somo kwa makampuni kuhusu wizi wa kimtandao

Bwana Yusuph Kileo (kushoto) akipokea tuzo aliyekabidhiwa na Kamishna Msaidizi wa jeshi la polisi Nchini Tanzania DCP Hamdani Makame Baada ya kazi nzuri aliyo ionyesha katika kuongezeza Ulinzi tovuti ya polisi Nchini Tanzania.

Mwandishi Wetu K a m p u n i h i z o zimetakiwa kuhakikisha kuwa zina wataalam ambao wapo tayari kujua na kuendelea kujifunza vyanzo na v iash i r ia mbalimbli vya uhalifu huu wa kimtandao na kuzuia mapema kabla hayajatokea ili kujiepusha n a a l i c h o k i i t a “ f i r e fighting” (kuhangaika kufanyia kazi tatizo baada ya kutokea).

Hayo yameelezwa na Bw. Yusuph Kileo, ambaye ni mtaalam wa ulinzi wa mitandao na upelelezi wa makosa ya digitali, yaani Cyber security and Digital

forensics investigation, alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari katika Hotel ya Holidai Inn jijini Dar es Salaam hivi karibuni,

B w . K i l e o a l i s e m a m a k o s a y a n a y o s a b a b i s h w a na utumiaji mbaya wa mitandao, yamekuwa yakiongezeka kila siku nchini Tanzania, Afrika na duniani kwa ujumla na kusababisha athari kubwa katika jamii.

Alisema makosa hayo si tu yanaathiri Tanzania na Afrika pekee, bali yamekuwa tishio duniani

kote hivi sasa.Kwa upande mwingine,

alilipongeza jeshi la polisi kupitia Inpekta Jenerali wa Polisi, Saidi Mwema, kwa hatua zake za dhati katika kuhakikisha jeshi hilo linajitahidi kuangalia kwa karibu makosa ya kimtandao na kuongeza kuwa, Inspekta Jenerali huyo wa Polisi ameweza kuwa na utambuzi wa karibu juu ya ukuaji wa kasi wa makosa ya kimtandao na kuweka nguvu ya dhati katika kupigana na makosa hayo.

Ali tolea mfano wa kitendo cha jeshi hilo kuandaa mafunzo ya wiki mbili kwa wapelelezi wa makosa ya kimtandao n c h i n i , a m b a p o l i l i j i f a d h i l i l e n ye we kuwezesha mafunzo hayo kukamilika.

Itakumbukwa kuwa mwanzoni mwa mwaka huu Bw. Yusuph Kileo alipewa tuzo na Mkuu wa Kitengo cha TEHAMA cha jeshi la polisi nchini, kwa kuweza kuongeza security website ya polisi, ambapo mwishoni mwa mwaka jana ilikuwa ni moja ya website iliyopata athari ya makosa ya kimtandao nchini.

Mapendekezo aliyotoa Bw. Kileo ni matokeo ya mkutano uliyofanyika nchini Afrika Kusini mwaka jana, uliohusisha wataalamuu wa upelelezi wa makosa ya digitali na ulinzi wa mitandao d u n i a n i , w a t a a l a m wa l i we z a k u a i n i s h a m a k o s a m e n g i s a n a ambayo yamejiri kati ya mwaka 2011 hadi 2012.

Katika mkutano huo ambao ul ikuwa kwa ajili ya kupitia makosa yaliyofanyika kupitia m i t a n d a o d u n i a n i , ilibainika kuwa vitendo vya wizi wa mitandao vimeongezeka kwa kasi ikilinganishwa na mapitio waliyoyafanya juu ya makosa hayo kwa mwaka 2010 hadi 2011.

Bw. Ki leo a l i sema kuwa kufuatia ongezeko

la wizi huo wa mtandao, washiriki walilazimika kutumia muda wa ziada kujadili nini chanzo, kipi kinasababisha watu wengi kujiingiza katika kufanya makosa hayo, athari zake kwa jamii hadi sasa na nini kifanyike kuondoa tatizo hilo.

Alisema maazimio ya kikao hicho yalielekeza m a p e n d e k e z o y a l i y o t o l e w a n a washiriki kufanyiwa kazi mara moja ili kuweza k u l e t a m a b a d i l i k o yatakayowezesha makosa h a y o k u p u n g u a a u kwisha.

Mapendekezo hayo na maelezo zaidi ya mkutano h u o , ya l i wa s i l i s h wa katika kikao maalum kilichofanyika katika hoteli ya Holiday Inn, Jijini Dar-es-Salaam Juni 6, 2013 ambacho kiliandaliwa na Kampuni ya Kimarekani Ijulikanayo kama BGT - Group.

Akitoa mifano katika kikoa hicho, alisema kuwa kwa upande wa Tanzania, kumekuwa kukiripotiwa makosa ya wizi katika ATM, wizi wa fedha katika mitandao ya simu, utapeli wa kurubuniwa watu kwa kuibiwa fedha na Website nyingi kuingiliwa na waovu wakisababisha website hizo kutofanya kazi au kuongezewa Contenti ambazo si nzuri kwa jamii.

Alitoa mfano wa athari za wizi wa mtandao unaozisumbua taasisi za kifedha za Afrika, ni Benki ya Zimbabwe na kutoka katika kampuni kubwa duniani zilizoweza kuathir ika kutokana n a m a k o s a h a ya ya kimtanadao ni SONY, ambayo ilibainikka kuwa moja ya kampuni zilizo athirika Machi mwaka jana.

Aidha alizungumzia makosa aliyo yatambulisha k a m a “ C y b e r Wa r ” ambayo nchi kubwa d u n i a n i z i m e k u w a zikipigana nayo. Pia makosa hayo yamekuwa ya k i u n g a n i s h wa n a makosa ya kigaidi ya kimtandao.