20
ISSN 0856 - 3861 Na. 1193 DHULQAAD 1436, IJUMAA , SEPTEMBA 4 - 10, 2015 BEI TShs 800/=, Kshs 50/= Sauti ya Waislamu www.annuurpapers.co.tz au facebook:[email protected] Inawaalika Waislam wote hasa wanaotarajia kwenda Hijja kwa mwaka huu wa 2015 wahudhurie katika Semina za Hijja zitakazoanza kufanyika Jumapili tarehe 2/8/2015 na kuendelea kila Jumamosi na Jumapili mpaka Septemba 6/2015, kuanzia saa 4:00 asubuhi hadi saa saa 6:30 mchana kwenye ofisi ya HIJJA YA AHLU SUNNA WAL JAMAA, mtaa wa Lumumba jingo la Saba General ghorofa ya tatu, karibu na PBZ Bank. Kwa maelezo zaidi wasiliana na namba zifuatazo: 0717 224437 0782 804480 0765 462022 TANGAZO LA SEMINA ZA HIJJA TAASISI YA AHLU SUNNA WAL JAMAA Magufuli afanya mtaji wa kuombea kura Aseme, ugaidi wa Sheikh Msellem Ali nini! Lowassa hajasema atawaachia magaidi CCM yawabamiza Masheikh Afande Mangu, mchezo huu mauti kwetu Na sisi ni binadamu. Ni Watanzania Wazee na Masheikh hawa kosa lao nini? Dhulma hii kwa Waislamu mpaka lini? MHE. John Magufuli. MHE. Edward Lowassa. SHEIKH Msellem Ali. Wana Kisonge, Safari hii hachinjwi mtu hapa Wasaidizi wa shetani wamestaafu Uzalendo unalipa. Othman shujaa OTHMAN Masoud aliyekuwa Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar.

ANNUUR 1193

Embed Size (px)

Citation preview

Page 1: ANNUUR 1193

ISSN 0856 - 3861 Na. 1193 DHULQAAD 1436, IJUMAA , SEPTEMBA 4 - 10, 2015 BEI TShs 800/=, Kshs 50/=

Sauti ya Waislamuwww.annuurpapers.co.tz au facebook:[email protected]

Inawaalika Waislam wote hasa wanaotarajia kwenda Hijja kwa mwaka huu wa 2015 wahudhurie katika Semina za Hijja zitakazoanza kufanyika Jumapili tarehe 2/8/2015 na kuendelea kila Jumamosi na Jumapili mpaka Septemba 6/2015, kuanzia saa 4:00 asubuhi hadi saa saa 6:30 mchana kwenye ofisi ya HIJJA YA AHLU SUNNA WAL JAMAA, mtaa wa Lumumba jingo la Saba General ghorofa ya tatu, karibu na PBZ Bank.

Kwa maelezo zaidi wasiliana na namba zifuatazo:

0717 224437 0782 804480 0765 462022

TANGAZO LA SEMINA ZA HIJJATAASISI YA AHLU SUNNA WAL JAMAA

Magufuli afanya mtaji wa kuombea kuraAseme, ugaidi wa Sheikh Msellem Ali nini!Lowassa hajasema atawaachia magaidi

CCM yawabamiza Masheikh

Afande Mangu, mchezo huu mauti kwetuNa sisi ni binadamu. Ni WatanzaniaWazee na Masheikh hawa kosa lao nini?Dhulma hii kwa Waislamu mpaka lini?

MHE. John Magufuli. MHE. Edward Lowassa.

SHEIKH Msellem Ali.

Wana Kisonge, Safari hii hachinjwi mtu hapa

Wasaidizi wa shetani wamestaafuUzalendo unalipa. Othman shujaa

OTHMAN Masoud aliyekuwa Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar.

Page 2: ANNUUR 1193

2 AN-NUURDHULQAAD 1436, IJUMAA SEPTEMBA 4-10, 2015

Makala/Habari

Fethullah-Gulen

“KWA HAKIKA tunaona kugeukageuka kwa uso wako kuelekea

mbinguni tutakuelekeza Qibla unachokiridhia”. [Al-Baqarah 144]

Jambo la kwanza ambalo tunaliona katika aya hii ni kutajwa radhi pamoja na kugeuzwa Qibla kuelekea kwenye Al-Kaaba. Na huenda wakajiuliza baadhi ya watu kuhusiana na uhusiano kati ya kutajwa radhi pamoja na kugeuzwa Qibla ili kutimie kutumia mfano kwa njia hii.

K a m a t u t a k a v y o t a j a k wa u f u p i wa k a t i wa kuzungumzia maelezo ya undani wa aya na 150 katika surat Al-Baqarah, kwa hakika sisi kutokana na kuizungumzia aya hii kwa mtizamo wa Kitasawwuf, t u t a o n a k u w e p o k wa uhusiano madhubuti kati ya “Hakika ya Al-Kaaba” na ufa fanuzi wa wazi mfupi sana wa jambo hili ni yale waliyosema baadhi ya watu wa Tasawwafu kwamba hakika ya Mtume Muhammad (s .a.w.) na hakika ya Al-Kaaba ni mapacha. Wameumbwa pamoja katika ulimwengu wa uwezekano.

Ilikuwa Msikiti wa mbali ka t ika zama maalumu za Makkah na Madinah, ndiyo Qibla kwa sababu na hekma nyingi sana. Kwa sababu hiyo alikuwa Mtume (S.A.W.) anangojea siku

Mafundisho ya Qur’an-Baqara: 144ya kuunganishwa kwake pamoja na Makkah na kuelekea upande wake kwa hamu kubwa na kwa subira kubwa sana. Anashinda katika shauku yake shauku ya mwenye hamu kali kwa kile anachokifanyia hamu, na anayaelezea yale yanayokera m o y o n i m w a k e k w a Mwenyezi Mungu mtukufu. Na hakuna ni kwamba yeye Mtume (s.a.w.) ni mfano wa baki ya Mitume wengine. A l i k u w a , ( n a h a p a n a kugombana katika mfano) kama ndege wa akhera. Hakusazi kutazamia kwake katika mpaka fulani hata katika ulimwengu mwingine kila anapokwenda juu na kupanda, anatazamia kwenye ujuu na ujuu zaidi kwa sifa ya kuwa hilo linamaliza k u s h u g h u l i k a k w a k e kote. Kwani alipandishwa kupelekwa juu sana mpaka akafika kwenye Siratul Al-Mutahaa na akawa katika ukaribu kiasi kwa pinde mbili au karibu zaidi kuliko hivyo na akaukamilisha utalii wake katika ulimwengu mwingine, pasi na kugeuka mbele zake nguvu zozote za mvuto au kitu chochote c h e n g i n e , n a p a s i n a kupatwa na kizunguzungu au kupanda kwa utazamaji wake na ulikuwa huo ni mfano mwingine katika utukufu wake.

Ndiyo alikuwa mtume huyu mtukufu Bwana wa majini na watu ambaye alitalii katika mfano wa ulimwengu hivi na ambaye zilikuwa mbawa za Malaika zimetandikwa chini ya nyayo zake anaangalia kwa macho yake mbinguni na akimsemesha Bwana wake akitaka kwake kurahisisha kukutana kwake pamoja na hakika ya Al-Kaaba na anajiuliza kwa upole w o t e , n a u s a f i w o t e , jambo hilo litakuwa lini ee Bwana wangu? Na wakati alipoyahakikisha Mwenyezi Mungu matakwa yake hayo, lilikuwa ni jambo la kawaida

kuridhia. Kwa sababu hiyo alimwambia Bwana wake:

“Tutakuelekeza Qibla unachokiridhia”.

Lilikuwa jambo hili wakati huo huo ni radhi ya Bwana wake kuhusu Qibla hiki ambacho amemchagulia.

Kwa hii mihrabu mpya ulirejea Msikiti wa mbali hatua mbili nyuma, pamoja na kuhifadhi ukamilifu wa nafasi yake, yenye kubarikiwa ya kipekee. Ili iwe hii nyumba kongwe ambayo cheo chake hakichakai katika nyoyo ndiyo mahali pa mtazamo wa Mwenyezi Mungu katika kipindi ambacho watu ndani yake walikuwa wamejiandaa kuondoka na kuelekea kwenye zama za itikadi mpya na ili ienee nuru yake na izagae siri yake kwa pacha wake Mtume (s.a.w.) na kwa waumini wenye kwenda nyuma yake na ili awakumbatie kwa joto ambalo hakulipata mtu yeyote huko nyuma. Hii ni ili pia yapatikane maisha ya mwanzo na mwisho pamoja kwa mara ya kwanza na kwa mara ya mwisho vile vile

“Kwa hakika tunaona kugeukageuka uso wako u k i t a z a m a m b i n g u n i t u t a k u e l e k e z a Q i b l a unachokiridhia kwa hiyo uelekeze uso wako upande wa Msikit i mtukufu na mahali popote mtakapokuwa, elekezeni nyuso zenu upande wake”. [Al-Baqarah 144]

Katika utimilifu wa aya, pana kue lekea kwenye kutofautiana. Kuelekea kwa Mtume (s.a.w.) pale mwanzo kwenye Msikiti wa mbali kulikuwa kunatengeneza maandalizi ya kuzilainisha nyoyo za Mayahudi wa Madina ili kuukubali Utume wake. Maana kuzizindua nyoyo zao na ukawafanya wa s e m e : “ Ya we z e k a n a kwamba ni Mtume”. Na wakati wa kukigeuza Qibla kuelekea kwenye Al-Kaaba, kulisaidia katika kuzilainisha nyoyo za Mushrikina wa Makkah ambao walikuwa wanazihesabu nafsi zao kwamba wako juu ya dini

ya Ibrahim (a.s.) isipokuwa ni mila inayopingana na Waislamu na kukawafanya h a o M u s h i r i k i n a wa k u m b u s h a n e u t u m e wa Muhamamd (s.a.w.). Maana ni kwamba Uislamu wakati ulipoonesha kwamba unaheshimu sehemu ambazo Mayahudi na Mushirikina wanazihesabu kuwa ni sehemu takatifu, kwa hakika Uislamu ulikuwa unaathiri juu ya mwelekeo wa mtazamo wa hawa Mayahudi na Mushirikina. Aya hii ni mfano wa aya za Qur’an ambazo zinachunga roho na nafsi ya binadamu. Unachukua upande wa nafsi ya binadamu kwa mtazamo wa k ina wenye kuingiliana. Huenda maudhui haya yakawa ni katika maudhui machache ambayo yameshughulikiwa kwa kina katika historia ya tafsiri.

Linakuja tamko “sharti” kwa maana mengi sana, katika maana haya: nusu ya kitu au sehemu yake au upande wake. Na jambo hili linaweka wazi ulazima wa kuelekea kwenye Haramu tukufu, kwa maana kwenye Al-Kaaba tukufu, kiasi cha uwezo. Na kwa hakika na swahaba wengi walifahamu na Maimamu na waliowafuata, masuala

haya juu ya msingi wa uwezekano wa binadamu kuelekea kwenye Al-Kaaba kufuatana na sehemu na mwahala ambamo anaelekea ndani yake maana ni kwamba kiliyopo katika Haram tukufu, kunapasa kuelekea kwenye nusu ya Al-Kaaba au kwenye sehemu yake katika uchache wa sura iliyokamilika. Ama waliyo mbali na Al-Kaaba kunapasa kufuata maelekezo ya aya:

“ N a m a h a l i p o p o t e mtapokuwa, elekezeni nyuso zenu upande wake”.

Kama ambavyo sentensi “ N a m a h a l i p o p o t e mtakapokuwa” katika aya hii inaashiria kwamba, pamoja na wajibu na ulazima wa kuelekea upande wa Qibla katika swala, sentensi hiyo inaashiria vile vile kwamba hapana haja ya mahali popote maalumu kwa ajili ya swala ikiwa ni uhakikisho wa kauli yake Mtume (s.a.w.); “Na imefanywa kwenu ardhi kuwa Msikiti”.

(Imenukuliwa kutoka Kitabu: Miyangaza ya Qur’an katika mbingu ya hisia, cha Muhammad Fethullah Gullen kilichotafsiriwa kwa Kiswahili na Sheikh Suleiman Amran Kilemile)

SHULE ya FTM English Medium ya mkoani Geita, imeongoza kitaifa katika orodha ya shule kumi bora zilizofanya vizuri katika mtihani wa elimu ya diniya Kiislamu.

Kiwango hicho bora cha ufaulu kwa shule hiyo kimetangazwa na Taasisi ya ISLAMIC EDUCATION PA N E L , i n a y o r a t i b u mtihani wa somo hilo kitaifa.

Shule hiyo imepata

Geita waongoza mtihani somo la dini ya KiislamuNa Shaban Rajab wastani wa ufaulu wa

asilimia 93.6, sawa na shule ya Kwamwande iliyopo Kilindi Tanga ambayo nayo ilipata wastani huo huo wa ufaulu wa asilimia 93.6.

Nafasi ya tatu ilishikwa na shule ya Muzdalifah I s l a m i c ya K o r o g we Tanga iliyopata wastani wa asilimia 88.2 na nafasi ya nne kwenda shule ya Mboghoi iliyopo Lushoto Tanga, ambayo ilipata wastani wa ufaulu wa asilimia 86.1.

N a f a s i y a t a n o

il ichukuliwa na shule ya Ilamba iliyopo Kilolo mkoani Ir inga, ikiwa imejikusanyia wastani wa ufaulu wa asilimia 86.

Answaar Islamic ya Kinondoni Dar es Salaam ilishika nafasi ya sita kwa kupata alama ya ufaulu ya asilimia 86 huku nafasi ya saba ikishikwa na shule ya Mhezi iliyopo Same Ki l iman jaro , ambayo ilipata wastani wa alama ya ufaulu asilimia 85.9.

Shule ya Mihambwe Tandahimba, Mtwara

ilishika nafasi ya nane kwa kupata asilimia 85 na kufuatiwa na shule ya Kirinjiko iliyopo Same Kilimanjaro ambayo ilipata wastani wa asilimia 84.25 za ufaulu.

Shule ya kumi ilikuwa ni Nusra English Medium ya Mafia Pwani, ambayo ili j ikusanyia jumla ya asilimia 83.3 za wastani wa ufaulu.

M t i h a n i h u o w a k u h i t i m u E l i m u y a Msingi wa Elimu ya Dini ya Kiislamu uliofanyika

Agosti 12, 2015, ambapo jumla ya shule 3,094 katika mikoa 26 na wilaya 127 zilishiriki kufanya mtihani huo.

Jumla ya wanafunzi 93,101 walijisajili kufanya mtihani huo ambapo 86,613 kati yao ndio waliofanya mtihani huo wa kuhitimu Elimu ya Msingi wa Elimu ya Dini ya Kiislamu kwa mwaka 2015.

I d a d i y a w i l a y a zilizoshiriki katika mtihani huu imeongezeka kutoka

Inaendelea Uk. 6

Page 3: ANNUUR 1193

3 AN-NUURDHULQAAD 1436, IJUMAA SEPTEMBA 4-10, 2015

Habari

Sheikh asimulia alivyoteswa akiwa mikononi mwa PolisiJESHI la Polisi nchini,

limedaiwa kuwatia fedheha Masheikh

na Waislamu nchini kwa kuwakamata, kuwatesa n a k u w a d h a l i l i s h a kwa tuhuma wasizo na ushahidi nazo.

Madai hayo yametolewa na mmoja wa wahanga wa tuhuma za Ugaidi, Sheikh Omari Fondogoro, mkazi wa Kilwa ambaye ni Meneja wa Shule ya Kiislamu ya Kilwa (Kilwa Islamic Secondary), akiongea na An nuur, mwishoni mwa wiki hii.

Alisema, Jeshi la Polisi, linatakiwa kufanya kazi zake kwa uadilifu na kwa kuzingatia haki za binadamu na sheria katika kuwakamata watuhumiwa na si kuwadhalilisha na kuwanyima haki zao za msingi.

S h e i k h F o n d o g o r o amesema kwa hali ilivyo hivi sasa, kutokana na utendaji wa Jeshi la Polisi, inaonekana dhahiri kuwa kuna agenda ya siri dhidi ya Waislamu iliyopachikwa kat ika kis ingizio cha kupambana na ugaidi.

Alisema, mbali ya udhalili wanaupata Waislamu, kwa ujumla, kuna mambo yanayoendelea dhidi ya Waislamu mikononi mwa Jeshi la Polisi, ambayo kwa hakika yanatia uchungu.

Akitoa mfano alisema, yeye alipigwa na kipande cha ubao chenye misumari k a t i k a p a j a l a k e n a kusababisha kutokwa na damu nyingi na kupelekea kupata maumivu makali.

S h e i k h F u n d o g o r o akasema kuna mahala wanapaita ‘gereji’ ambapo kat ika maho j iano na Maafisa wa Polisi, alihojiwa akiwa amelengeshewa m d o m o wa b u n d u k i ka t ika mabega huku akihojiwa na Maafande 13, huku wengine watatu wakisimamia zoezi hilo.

“ S i d h a n i h a t a h a o wenye agenda yao ya Ugaidi, wanayafanya haya tunayofanyiwa sisi na Jeshi la Polisi, zaidi ni hali ya uendelevu wa unyanyasaji na udhalilishaji dhidi ya Waislamu na viongozi wao na kuwafanya Waislamu waishi kwa mashaka muda wote katika nchi yao.” Alisema Sheikh Fondogoro.

Akasema, mbal i ya

Na Bakari Mwakangwale kupigwa picha nyingi pia aliulizwa maswali mengi, lakini akasema miongoni mwa maswali yaliyompa kero na kumshangaza ni pale alipoulizwa kuwa kwa mara ya mwisho ni lini alikwenda Somalia, huku akitakiwa kutaja idadi ya vijana aliokwenda nao na wangapi walikufa na wangapi walirudi Jijini Dar es Salaam.

“ N i k a wa j i b u k u wa hilo la kwenda Somalia ndio nalisikia kwenu na hao vijana sina taarifa nao, lingine walinitaka kutoa maelezo juu ya neno J ihadi , kimaana na kilugha, nikawambia sifahamu, wakaniuliza kama najua kuzoma Qur an, nikawaambia pia sijui.” Alieleza Sheikh Fondogoro.

S h e i k h F o n d o g o r o , alisema ili kulinda utu na heshima yao, haoni sababu ya kuwakamata Masheikh n a Wa i s l a m u k a t i k a mtindo wanaoutumia hivi sasa Jeshi la Polisi, kisha kuwafanyia unyama kwa muda wote wanaokuwa mikononi mwao.

A l i s e m a , i n a t o s h a kuwakamata kwa ustarabu na hata kuwahoji kwa misingi ya utu na heshima yao, kama binadamu kwa kuwa ni sehemu ya kazi yao lakini wanayofanyiwa Waislamu kwa tuhuma hizo feki za ugaidi hata watuhumiwa wa ujambazi na ujangili hawafanyiwi hivyo.

Alisema, mbaya zaidi ni huko kuwatesa na kuwadhal i l isha kisha kuwaacha bila kudhihirisha tuhuma hizo za Ugaidi na kuwaacha wakiwa na athari za kiakili, saikolojia na kimwili hali inayoharibu kabisa maisha yao.

Akisimulia yaliyomsibu alisema, yeye alikamatwa April 14, 2015, majira ya saa saba usiku baada ya kugongewa na alipofungua mlango na kuwauliza shida yao, maafande hao walitaka kujua kuwa ana vitu gani ndani kwake.

“Nilipofungua mlango wakaniuliza nina vitu gani ndani, nikawaambia kwa kuwa nyinyi mnajua kuna vitu gani ingieni mvitafute, hata hivyo hawakukuta c h o c h o t e n a w a l a hawakuchukua chochote zaidi ya kuondoka na mimi.” Alisema Sheikh Fundogoro, ambaye pia ni Mwenyekiti wa Mtandao

huru wa Elimu Kanda ya Kusini.

A l i s e m a , b a a d a ya kukamatwa na kuwa mikononi mwa Polisi kwa muda wa siku 19, mwisho wa siku akiwa na wenzake wa w i l i wa l i f i k i s h wa Mahakamani Mjini Lindi, na kufunguliwa kesi ya ‘biding order’.

Akifafanua, alisema yeye (Fundogoro) tuhuma zake ilikuwa ni kutoa mafunzo ya Ugaidi na kwamba, eti anapeleka vijana nchini Somalia.

K w a u p a n d e w a Sheikh Makame, yeye naye alitupiwa tuhuza za kutoa mafunzo ya Ugaidi katika Msikiti wake wa Taqwa, ili hali Abdulmalik, ambaye ni fundi selemala, alidaiwa kusafirisha vijana wa Ki is lamu kwenda kujiunga na Al-Shabab nchini Somalia.

Alisema, kwa upande w a k e k w a k u w a n i kiongozi mtendaji wa Shule ya Kiislamu, walitaka kuihusisha Shule hiyo na ugaidi pengine kwa nia ya kuitia misukosuko kutokana na kuwalea vijana

wa Kiislamu katika maadili na misingi ya imani yao lakini pia ina maendeleo mazuri kitaaluma.

Hata hivyo alisema, walipochunguza walikuta Shule hiyo ipo kihalali na inafuata taratibu zote za Wizara ya E l imu, hivyo wakaona hakuna njia nyingine isipokuwa kumchukua yeye na kumpa tuhuma hizo ambazo, alidai pia wameshindwa kuzithibitisha.

“Kama walikuwa na wasiwasi na utendaj i wangu wa uendeshaji wa Shule hii ya Kiislamu, kwa nini waje wanikamate usiku wa manane na kunipekea makao makuu ya Jeshi la Polisi, na kunidhalilisha na kufedhehesha, mbaya zaidi kuninyima haki zangu za msingi.” Alisema na kuhoji Sheikh Fundogoro.

A l i s e m a , b a a d a ya kushindwa kudhihirisha tuhuma walizo wakamata nazo, walirudishwa na kupewa mashita mengine kab isa , ambapo sasa wanatakiwa kuripoti katika Mahakama ya Wilaya ya Kilwa, ambapo zoezi hilo

litakoma Novemba 11.A w a l i S h e i k h

F o n d o g o r o , a l i s e m a baada ya kukamatwa na kuwekwa kituo cha Polisi kwa siku tatu, Mkoani Lindi, walichukuliwa na kupelekwa makao makuu ya Jeshi la Polisi, Jijini Dar es salaam.

A l i s e m a , b a a d a ya kufikishwa hapo na kulala siku moja, walichukuliwa n a k u p a k i wa k a t i k a msafara wa magari matatu wao wakiwa katika gari la katikati na kabla ya safari kuanza, alidai walifungwa vitambaa vyeusi kichwani vilivyoziba hadi nyuso zao.

“ Tu l i f i k a s e h e m u tukashushwa kwa kutupwa katika majani na tope zito tukaanza kuongozwa kwa miguu, mara tukaibukia kwa b int i mmoja wa Kizanzibari.”

“Hapo tulipigwa picha nyingi kisha wakatupeleka kukaa katika jenereta kubwa sana, siku hiyo tulikuwa Waislamu sita, sisi watatu na wenzetu wengine watatu, wawili k u t o k a Tu n d u r u n a mmoja kutoka Morogoro.” Alisema Sheikh Fundogoro.

Afande Mangu, mchezo huu mauti kwetuHali inazidi kuwa mbaya

kwa Waislamu, hasa kutokana na harakati

zinazoendelea zikidaiwa za kupambana na ugaidi.

K u t o k a n a n a v i s a vinavyoibuka kutokana na simulizi za wahanga wa kadhia hii, pengine utakuwa ni wakati munasibu kuhoji dhulma na uonevu huu, mpaka lini?

I n a b i d i k u h o j i s wa l i hili kwa sababu mambo wanayofanyiwa Waislamu k a t i k a v i s a h i v i v y a k u p a m b a n a n a u g a i d i , vimefurutu sheria na kinyume kabisa na haki za binadamu.

Ni mchezo ambao ni mauti kwa Waislamu, kama binadamu na mauti katika dini yao, kwa maana kuwa wanaangamizwa wao kama binadamu huku na dini yenyewe ikiangamizwa kwa propaganda za kuichafua kwa kuihusisha na mambo maovu.

M o j a y a v i s a vinavyodhihirisha hili, ni hiki anachosimulia Imamu wa Masjidi Taqwa, Wilayani Kilwa, Ustadhi Makame Ally Abubakar Maalim (40) ambaye anasema kuwa Jeshi la Polisi, limesabisha kifo cha Baba yake mzazi.

Akiongea na An nuur, mapema wiki hii, Imamu Makame, amesema tabia ya Jeshi la Polisi ya kuwakamata Waislamu kiholelaholela kisha

Na Bakari Mwakangwale

kuwaficha ndugu zao wasijue wapi walipo, husababisha madhara makubwa katika familia husika.

Ustadhi Makame, ambaye a l ikamatwa na Jeshi la Polisi April, 2015, na katika siku za awali asijulikane wapi kapelekwa, hali hiyo i l i sababisha mstuko na

msongo wa mawazo kwa baba yake mzazi Mzee Ally Aboubar, na kufarikia dunia.

Ustadh Makame amesema, p a m o j a n a t u k i o h i l o kusababisha kifo cha Mzazi wake, limemvurugia kabisa mustakbali wa miasha yake.

A m e s e m a , a m e k u wa Inaendelea Uk. 11

Ustadhi Makame Ally Abubakar Maalim

Page 4: ANNUUR 1193

4 AN-NUURDHULQAAD 1436, IJUMAA SEPTEMBA 4-10, 2015

Tahariri/Tangazo

AN-NUUR S.L.P. 55105, Simu: +022 2400786

Cel: 0784 370 208, 0713 110 148, 0755 260 087 , DSM. www.annuurpapers.co.tz E-mail: [email protected]

Ofisi zetu zipo: Manzese Tip TopUsangi House, barabara ya Morogoro, D'Salaam

Mwa k a 2 0 1 2 / 1 3 k u l i k u w a n a w i m b i

lililodaiwa la kuchoma makanisa. Sambamba na hilo, palivumishwa pia propaganda kuwa kulikuwa na mpango wa kuuwa viongozi wa makanisa. Waliokuwa wamezingirwa katika tuhuma hizi walikuwa ni Waislamu. Sauti zikapaa k u t o k a m a k a n i s a n i mpaka kwenye majukwaa ya k i s i a s a . K i t i s h o k i k a s a m b a a k a t i k a hali ambayo ilikuwa ikiwatisha Wakris to kwamba hawana salama tena katika nchi hii. L a k i n i k wa u p a n d e mwingine, ikichochea chuki na visasi baina ya wananchi wa dini hizi kuu mbili katika nchi hii.

K a t i k a k i l e l e c h a propaganda hizo, gazeti moja likaibuka na habari ikidai kuwa Masheikh wa UAMSHO kutoka Z a n z i b a r w a l i k u w a wamekodi boti mbil i kuleta ‘magaidi’ Dar es Salaam kusaidia ‘ugaidi wa uchomaji’ makanisa.

Haikuhitaji mtu kuwa razini sana au kuwa na ujuzi wa ndani juu ya uwezo wa vyombo vya serikali na jinsi vinavyofanya kazi kutambua kuwa habari i le i l ikuwa ni urongo na uzushi mtupu. Kwa wanaolijua gazeti lililokuwa limebeba habari hiyo, tulibaki tukijiuliza, kuna agenda gani? Kwa nini kusambaza uzushi wa namna ile unaojenga chuki, uhasama na visasi baina ya Waislamu na Wakristo?

T u l i c h o k u w a tumetara j ia n i kuwa serikali ingekemea uzushi, uwongo na uchochezi ule. Au vinginevyo, kama ingekuwa kweli kwamba kulikuwa na Masheikh wa UAMSHO waliokodi boti maalum kuleta ‘magaidi’ Dar es Salaam kusaidiana na ‘magaidi’ wa Mbagala na Tandika kuchoma moto makanisa, tungesikia

Program hii itaendeshwa hapa UBUNGO ISLAMIC HIGH SCHOOL kwa wanafunzi wa Kiislamu wanaojiandaa kujiunga na kidato cha kwanza Januari, 2016 Masomo yafuatayo yatafundishwa na kutahiniwa:1. Elimu ya Dini ya Kiislamu2. Mathematics.3. Arabic language 4. English language5. Introduction to ComputerADA: Tshs 100,000/= kwa program yote (Italipwa yote kabla ya kuanza masomo.)Fomu za kujiunga zinapatikana Shuleni BURE baada ya kulipa ada.Muda wa masomo:Jumatatu - Ijumaa kuanzia saa 2:00 asubuhi—8:30 mchana.Jumamosi kuanzia saa 2:00 Asubuhi—8:30 mchana Masomo yataanza rasmi tarehe 21/09/2015Jiandikishe kuanzia 11/09/2015 ofisi ya Mkuu wa Shule Ubungo Islamic High School kuanzia saa 1:30 asubuhi hadi saa 9:00 mchana .

Wahi mapema nafasi hii adhimu Wabillah tawfiiq

MKUU WA SHULE

P.O.BOX 55105 , TEL: NO 2450069, Mob: No 0687 820895 & 0716 960456 Dar Es Salaam.

Bismillahir Rahmanir Rahiim

UBUNGO ISLAMIC HIGH SCHOOL

PRE-FORM ONE PROGRAMITAANZA TAREHE 21/09/2015 - 27/11/2015

Sasa tumehitimu:

Tushajua kujitisha wenyewe Bado tu kujilipua tupige yowe. Magaidiii!

k w a n z a M a s h e i k h h a o w a k i k a m a t w a . Angekamatwa pia mwenye boti, wangekamatwa pia waliowapokea ‘wageni’ hao kutoka Zanzibar, lakini zingekamatwa hata daladala zilizowabeba kutoka Mbweni kwenda Tandika.

Mpaka leo tunasubiri, hatu jas ik ia mamlaka zikitutangazia kukamatwa w a t u k w a t u h u m a zinazohusiana na ‘boti’ zile. Kinyume chake sasa Polisi wanatuambia kuwa baada ya wale waliokuwa waje kusaidia kuchoma makanisa Mbagala, sasa watafanya pia ugaidi wa kuvamia makazi ya Makamanda wa Polisi, pamoja na familia zao, Mtoni Kijichi, jirani kabisa na Mbagala hiyo hiyo.

Likiripoti habari hizi gazeti la JAMHURI la Jumanne Septemba 1-7, 2015 liliandika “Magaidi watishia kulipua Polisi.”

Likifafanua likasema kuwa Jeshi la Pol i s i limenasa waraka kutoka m a g a i d i w a k i t i s h i a kuvamia askari wa jeshi hilo na familia zao.

Na kwamba kambi inayolengwa ni ile ya “Mtoni Kijichi ambayo inakal iwa na baadhi ya v igogo wa Pol i s i w a k i w e m o M a - R P C na wengine ambao ni muhimu katika muhimili wa Taifa.”

J A M H U R I l i k a s h e r e h e s h a za id i l ik i sema kuwa k u m e s h a f a n y i k a mkutano katika kambi ya Mtoni Kijichi ambapo wanafamilia wa askari wa l i s o m e wa wa r a k a kutoka kwa ‘magaidi’ wanaotishia kuwadhuru makamanda wa Polisi na familia zao.

Na kwamba katika hatua za awali zilizochukuliwa, ni pamoja na kupiga marufuku ‘boda boda’ kuingia kambini.

JAMHURI likamalizia k w a k u s e m a k u w a waliotuma waraka huo

wa tishio la kuwalipua polisi na familia zao, wanadhaniwa kuwa “ni wafuasi wa Sheikh Ponda Issa Ponda.”

Kama tutakumbuka miaka ya nyuma kidogo, ilikuwa ni Ubalozi wa Marekani au kutokea huko huko Washington D.C., ambao mara kwa mara walikuwa wakitubamiza na kitisho cha ugaidi, k w a m b a t u t a p i g w a huku au kule, na zaidi ilikuwa Zanzibar. Aliwahi k u s i m u l i a m h a d h i r i mmoja wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kwamba katika tukio moja watu wa l i o k u we p o k a t i k a mgahawa/bar, mmoja jirani kabisa na bandari, waliambiwa na polisi waache vinywaji vyao na wafanye haraka kuondoka eneo lile. Wanaondoka tu, kukatokea mlipuko ambao haukuwa umeleta m a d h a r a m a k u b w a . Kama tuna kumbukumbu nzuri, kuliundwa kikosi cha wachunguzi kutoka Bara kwenda kuchunguza m a t u k i o ya a i n a i l e Zanzibar. Waulize Polisi, uchunguzi ule uligundua nini? Hata hivyo, zumari ilipigwa sana kwamba lilikuwa shambulio la kigaidi.

Baada ya kuyasoma sana na kufuatilia matukio m e n g i y a l i y o d a i w a kuwa ya ugaidi katika Marekani, mwanaharakati na mchambuzi wa siasa za nchi hiyo, Paul Larudee akiishi San Francisco, a n a s e m a , m e n g i y a matukio hayo ni usanii u n a o f a n y wa n a F B I wenyewe.

“FBI fabricates terror threats to justify existence”, ndivyo a l ivyoandika L o u C o l l i n s k a t i k a uchambuzi wake akisema kuwa inaonekana kuna agenda iliyo nyuma ya hii inayoitwa vita dhidi ya ugaidi lakini sio kuwalinda wananchi wa Marekani kama inavyodaiwa na wanasiasa na vyombo vya dola.

“The FBI has proven that it can fabricate all kinds of events. So, in this case, they could fabricate that there were going to be attacks, they warned in advance that they were going to be attacks…”, anaandika Lou Collins akimnukuu Paul Larudee.

A n a c h o s e m a P a u l Larudee, kama ambavyo wamesema wachambuzi wengi ni kuwa, vita dhidi ya ugaidi imegubikwa na mazonge mengi na kwamba ni mzaha mtupu

ambao una malengo mengine kabisa kinyume na yale yanayotamkwa hadharani.

Akifafanua anasema, mengi ya yanayodaiwa kuwa mashambulizi ya kigaidi, yanaandaliwa, k u s i m a m i w a n a kuwezeshwa utekelezaji wake na FBI na vyombo v i n g i n e v y a d o l a vinavyotangulia kubuni na kusambaza kitisho, kisha likitokea tukio hushadidia kuwa walionya, wakati wao ndio huwa wanapanga na kutekeleza matukio hayo na kisha kusingizia magaidi. (Tazama: NYT: FBI Hatches Terror Plots, M a n u f a c t u r e d Te r r o r : Staging phony ISIS terror threats. Tazama pia, The FBI has a long list of foiled terror plots of its own creation.)

Wiki mbili zilizopita Sheikh Nurdeen Kishki a l i e l e z a k u wa wa t u wasiojulikana walikuwa wamefungua ukurasa wa facebook kwa jina lake na kuweka picha zake mbalimbali wakimsingizia kuwa anaunga mkono B o k o H a r a m , I S n a A l S h a b a a b . K a t i k a ukurasa huo ziliwekwa picha mbal imbal i za kutisha zikiwemo zile zinazodaiwa kuwa ni za IS wakichinja watu huku Sheikh Kishki akidaiwa kuunga mkono uchinjaji huo akitumia Aya za Qur’an. Na huu umekuwa

ndio mtindo unaotumiwa na washenga hawa wa u g a i d i . Wa n a f u n g u a mitandao bandia, halafu wakishafanya ugaidi wa kupanga, hutuma habari katika kurasa hizo na kupeleka habari BBC, CNN, Al Jaazeera, ITV, Star TV zetu, magazeti yetu ya JAMHURI na kadhalika wakidai kuwa magaidi hawa au wale wamedai kuhusika.

S a s a u n a p o s i k i a v i t i sho vya maga id i kupitia vipeperushi au habari za mtandaoni, na wanaodaiwa kutoa habari hizo kuwa ni polisi, ni yale yale ya lile gazeti lililotupa habari za boti iliyotia nanga ‘Mbweni’ ik i sheheni ‘magaidi ’ kutoka Zanzibar . I la ambalo linajitokeza hapa ni kuwa inavyoelekea tumekuwa wanafunzi wazuri na tumehitimu. Hivi sasa hatusubir i tena taarifa za vitisho kutoka Washingtion D.C. Tu m e k u wa m a f u n d i wa kujitisha wenyewe. Ki l i chobakia sasa n i kujilipua halafu tupige mayowe, ‘magaidiii!

Hapo sasa wakae sawa wale ambao kanzu na vibandiko vyao, ni kidhibiti tosha kwamba wao ndio waliosambaza kipeperushi kinachotangaza nia ya kulipua Makamanda wa Mtoni Kijichi na familia zao.

Page 5: ANNUUR 1193

5 AN-NUURDHULQAAD 1436, IJUMAA SEPTEMBA 4-10, 2015

Ka t i b u M k u u wa Umoja wa Mataifa amesema

kuwa anasikitishwa sana na vifo vya wahajiri wanaopoteza maisha yao katika Bahari ya Mediterranean na njia n y i n g i n e , wa k i wa mbioni kueleka katika nchi za Ulaya.

B a n K i - m o o n amezitaka nchi zote duniani kufanya jitihada kubwa za kukabiliana na wimbi la wahajiri haramu wanaoelekea barani Ulaya.

Aidha amewashukuru baadhi ya viongozi na jamii kwa misaada yao katika kukabili shida hiyo na kusisitiza kuwa hatua zaidi zinapaswa kuchukuliwa kwa ajili ya kutatua mgogoro wa wahajiri haramu wanaoelekea Ulaya.

B a n K i - m o o n pia amezitaka nchi zinazosumbuliwa na mgogoro huo, kupanua zaidi njia za kisheria na salama kwa ajili ya wahamiaji.

Msemaji wa Shirika l a W a k i m b i z i l a Umoja wa Matai fa , Melissa Fleming, naye a m e t a h a d h a r i s h a kuhusu ongezeko la idadi ya wakimbizi ambao wanahatarisha maisha yao katika maji ya Bahari ya Mediterranean na kutangaza kuwa, idadi ya wakimbizi hao imepita laki tatu katika miezi nane ya mwaka huu wa 2015 kutokana na wimbi la ukatili na mapigano yanayojiri katika nchi za Afrika na Mashariki ya Kati.

H a b a r i z a h i v i karibuni zinasema kuwa karibu wahamiaji 200 wamefariki dunia katika maji ya pwani ya Libya. Wakati huo huo, polisi ya Uingereza imetangaza kuwa imewakamata wahamiaji haramu 27 waliokuwa wamejificha ndani ya lori karibu na mji wa Guildford ulioko umbali wa kilomita 50 Kusini magharibi mwa mji wa London.

K u k a m a t w a k wa wa h a j i r i h u o

UN yataka Mataifa kukabiliana na mgogoro wa wahamiajiViongozi wa Afrika nao wakutana

k u m e t a n g a z w a sambamba na habari ya kuvumbuliwa maiti za wahamiaji 71 wa Syria katika lori moja huko mashariki mwa Austria.

Hii si mara ya kwanza kwa polisi ya Uingereza kukamata wahajiri haramu wakiwa katika makontena na malori nchini humo. Miezi mitatu iliyopita wahamiaji haramu 68 wakiwemo wanawake n a wa t o t o wa d o g o , wa l i k a m a t wa k a t i k a bandari ya kimataifa ya Harwich huko Kaskazini Mashariki mwa London.

Kabla ya hapo pia wahamiajii 34 raia wa Afghanistan walikamatwa wakiwa katika kontena katika bandari ya Tilbury iliyoko umbali wa kilomita 56 kutoka London.

A l h a m i s i i l i y o p i t a maiti 71 za wakimbizi zilipatikana katika lori m o j a k a t i k a m j i wa Parndorf kwenye jimbo la Burgenland nchini Austria karibu na mpaka wa nchi hiyo na Hungary.

Msemaj i wa po l i s i ya Austria, Hans Peter Doskozil amesema kuwa wakimbizi hao walifariki dunia kutokana na kukosa hewa na kwamba nyaraka zilizopatikana ndani ya lori hilo zinaonesha kuwa

walikuwa raia wa Syria. I j u m a a i l i y o p i t a

vyombo vya habari vya Italia vil iripoti kuwa maiti 50 za wahamiaji zimepatikana ndani ya boti iliyokuwa imebeba zaidi ya wahamiaji haramu 400 katika maji ya pwani mwa Libya.

Katika hatua nyingine viongozi wa nchi za Afrika nao wamekutana kujadili mgogoro wa wahamiaji wa Kiafrika wanaoeleka katika nchi za Ulaya.

Katika mkutano huo ambao ulifanyika Jumapili iliyopita katika mji mkuu wa Gabon, Libreville na kuhudhuriwa na maafisa wa baadhi ya nchi za Ulaya, ulihutubiwa na Rais Ali Bongo wa nchi hiyo ambaye alisisitiza k u w a h a i w e z e k a n i kuwazuia wanadamu kwenda kutafuta msaada na maisha bora.

Kwa upande wake Rais Alassane Ouattara wa Ivory Coast, alisema katika mkutano huo kwamba mgogoro wa wahamiaji kutoka Afrika kwenda Ulaya wanatokana na hali isiyoyofaa ya kijamii na kisiasa ya Libya. Ouattara alisisitiza kuwa amani na ustawi ndio ufunguo wa kutatua mgogoro wa wahamiaji.

Weledi wa mambo

wanasema kuwa sababu k u u z i n a z o w a f a n y a Waafrika kuacha nchi zao na kuelekea katika nchi za Ulaya ni umaskini, ukosefu wa kazi, ukosefu wa usalama na vita vya ndani na machafuko ya kisiasa.

Kwa mujibu wa utafiti uliofanywa na Jumuiya ya Kimataifa ya Wahamiaji, wahamia j i wengi wa Kiafrika wanaoelekea Ulaya kutafuta kazi na maisha bora, si miongoni mwa wale wanaotumbukia katika mtego wa magenge ya magendo ya binadamu.

Katika muongo wa 1980s ambapo idadi kubwa ya wahamiaji wa Kiafrika walikuwa wakiinga katika nchi za Uhispania na Italia, walikuwa wakikaribishwa katika nchi hizo kwa sababu ya haja ya nguvu kazi rahisi kwa nchi hizo.

Kat ika miaka h iyo w a h a m i a j i w e n g i waliokuwa wakielekea Ulaya walitokea katika nchi za Tunisa, Morocco na Algeria. Wimbi la Waafrika hususan kutoka nchi za chini ya jangwa la Sahara kuelekea katika nchi za Ulaya liliongezeka zaidi kuanzia mwaka 2000.

Wa h a m i a j i k a r i b u 4 5 0 , 0 0 0 wa K i a f r i k a walikuwa wakielekea Ulaya kila mwaka katika

VITA vinavyoendelea maeneo mengi ya Dunia hasa Afrika na Mashariki ya Kati ni moja ya sababu inayopelekea wahamiaji wengi kuvuka mipaka ya nchi zao na kwenda nchi zingine kutafuta hifadhi.

kipindi cha kati ya mwaka 2000 na 2005. Mwaka 2007 Shirika la Kimataifa la Wahamiaji liliripoti kuwa Waafrika karibu 4,600,000 w a l i k u w a w a k i i s h i katika nchi za Ulaya, japokuwa taasisi nyingine z i n a z o s h u g h u l i k i a masuala ya waha j i r i zinasema kuwa idadi hiyo inafikia wahajiri 7,000,000 hadi 8,000,000 wa Kiafrika.

Pamoja na hayo yote, wataalamu wa Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiuchumi na Maendeleo (OECD) wanasema kuwa idadi ya wahamiaji wa Kiafrika wanaoelekea Ulaya ni ndogo ikilinganishwa na takwimu za wahamiaji duniani.

Hata hivyo inaelezwa k u w a o n g e z e k o l a w a h a m i a j i h a r a m u wanaowasili Ulaya kupitia Bahari ya Mediterranea linazitia wasiwasi mkubwa serikali za Ulaya. Ripoti zinasema kuwa kuanzia mwanzoni mwa mwaka huu hadi mwezi Aprili maelfu ya wahamiaj i h a r a m u w a m e f a r i k i dunia katika bahari ya Mediterranea.

Kutokana na maafa hayo kukithiri, kumetolewa ukosoaji mkubwa kuhusu siasa za uhamiaji za nchi za Ulaya suala ambalo linawalazimisha viongozi wa nchi hizo watazame upya siasa zao.

Habari za Kimataifa

Page 6: ANNUUR 1193

6 AN-NUURDHULQAAD 1436, IJUMAA SEPTEMBA 4-10, 2015Makala

Vita vinapiganwa kila kukicha katika dunia hii . Vita

huchukua roho za watu wengi. Lakini vita siku hizi mbali ya mauaji, k u n a t u m i k a m b i n u nyengine kwenye vita nayo ni kubakwa kwa wanawake na watoto wadogo. Katika makala hii nitagusia namna ya udhalilishajwi uliofnywa Bosnia na unaoendelea kufanywa nchini Afrika y a K a t i n a B u r m a . N i m e z i c h u k u a n c h i hizi tatu kama kielelezo sio tu kama ni ubakaji u n a o t e n d w a l a k i n i waliolengwa ni Waislamu na dunia kutokemea ila utasikia mashirika ya haki za kibinadamu ndio wenye kukemea.

Katika vita vya Bosnia kulikuwa na makundi mbalimbali ya kipigana na jeshi la nchi Army of the Republika Srpska (VRS) na Serb paramilitary walikuwa wakitumia silaha yao kubwa ya kuwatia adabu wapinzani wao kwa kuwabaka, kunakadiriwa k u w a w a l i b a k w a wanawake baina ya 12,000 na 50,000, maelezo yake unapoyasoma yanatisha n a k u h u z u n i s h a n a kujiuliza huu Ulimwengu una watu mahasusi tu wengine potelea mbali wacha yawafike?

K a t i k a k a m b i y a Kalinovik hapo ndipo ubakaji ukifanywa kama ni jambo la kawaida. Bibi

Kipi kilichokwenda kombo ubakaji kama silahaNa Ben Rijal

Kaburi la halaiki

Ziba mwanamama wa Kiislamu mwenye umri wa miaka 26 anaelezea kuwa yeye na wenzake 12 ndio waliofungua utepe wa kubakwa kwenye kambi hio, waliitwa na kuambiwa n y i e w a n a h a r a m u mtakiona akiwa na watoto wake wawili kawashikilia walirembelewa mbali na kuchukuliwa na majabari wa K i s e r b , we n g i n e wakiwa idaidi yao 11 kuna binti akiitwa Sela wa umri wa miaka 16 naye akachukuliwa kwenye mkumbo huo, jambo la mwanzo walipochukuliwa n a w a n a j e s h i w a K i s e r b wa l i p e l e k wa kwenye hote l i ik iwa mahame, wakatakiwa kwanza wafagie, kisha w a k a p e w a c h a k u l a wakala wakashiba, kisha kila mmoja akachukuliwa chumbani na hao askari ambao wameshalewa chakari. Kufika chumbani Ziba akatakiwa avue nguo na kuambiwa kutofanya hivyo atachinjwa kama kuku na tena kishindo kikaanza cha kubakwa k u p u m z i k a k i d o g o kisha wakawa wabakaji wa n a b a d i l i s h a n a n a kishindo hicho kikawa k i n a e n d e l e a m c h a n a n a u s i k u . W a k a t i huo ul ikuwa August mwaka wa 1993, bada ya hapo wakachukuliwa wanawake 105 na mchezo ukawa ndio huo huo na mara nyengine mwanamke mmoja akifanyiwa vitendo hivyo viovu na watu 7.

Wakati hayo yakiendelea katika kijiji hicho cha kina Ziba walitekwa idadi ya Waislamu 10,000 na

wengi wao hawajulikani walipotelea wapi? Hikaya h i z i z i m e n u k u l i w a kwa siri na mmoja wa mwana mama ambaye alikuwa na kitabu chake cha kumbukumbu kwa siri kabisa akiyanukulu h a y o m a t e n d o y a k i k a t i l i y a l i o k u w a yakiendelea. Anasimulia kuwa wanawake wote wal ivul iwa v i tu vya thamani walivyokuwa wamevaa iwe kidani, b a n g i l i , m k u f u , n a anayole ta p ingamiz i huwekewa kisu kwenye shingo yake na kuambiwa achaguwe moja kati ya mawili, maisha au kifo? Katika kumbukumbu hizi anaelezea alizozinukuu kua siku waliwakamata Waislamu 120 na kukatwa

shingo zao na mai t i kuzagaa na watu 10 kati ya hao walichinjwa mbele ya mahabusi watoto, watu wazima na wanawake. Mzee Sharif Kapitanovic akiwa na umri wa miaka 70 naye alikatwa shingo yake mbele ya wafungwa wengine, mzee mwengine Rizvan Saric akiwa ni kipofu mwenye umri wa miaka 89 alikatwa shingo yake na mkewe kwa shoka.

Makala hii inajaribu k u t o a t a s w i r a y a W a i s l a m u n a m n a wa n a v y o d h a l i l i s h wa duniani na haitoi hamasa wala kuchochea visasi, ila kubwa hawaulizwi watendaji bali wanaulizwa Wa i s l a m u w e n y e w e k i p i k i l i c h o k w e n d a kombo yatokee hayo

na wao wakakaa kimya n a k u y a r i d h i h a y o yatokee? Pale viongozi wetu wanapotuambia tusiichezee amani na kutia udini na ukabila, ni jambo muhimu sana sana kwani ya Bosnia, Afrika ya Kati na Burma sio chengine chochote kile ila ni udini na ukabila.

M t u m e ( S A W ) a n a t u m a b i a k u w a “Hakuna tafauti baina ya Mwarabu na as ie Mwarabu ila kwa kumcha Allah.” Uislamu ulindwe na tujilinde kwa kumcha Allah na kuonyesha mifano kwa walio sio Waislamu.

W i k i i j a y o kilichokwenda kombo kitamurika ya Afrika ya Kati na Burma.

Geita waongoza mtihani somo la dini ya KiislamuInatoka Uk. 2wilaya 115 mwaka 2014 kufikia wilaya 127 mwaka 2015 sawa na asilimia 10.43 (10.43%) ambapo idadi ya shule zilizoshiriki katika mtihani huo imeongezeka kutoka shule 2,559 mwaka 2014 hadi kufikia shule 3,094 mwaka 2015, sawa na ongezeko la shule 535 ikiwa ni asilimia 20.9 (20.9%).

Mwaka huu idadi ya watahiniwa iliongezeka na kufikia watahiniwa

12,421 sawa na asilimia 16.74 kutoka watahiniwa 74,192 mwaka 2014 hadi kufikia watahiniwa 86,613 mwaka 2015.

Hata hivyo safari hii k i wa n g o c h a u f a u l u kimepungua kutoka wastani wa 46.45 mwaka 2014 hadi wastani wa 40.1 kwa mwaka huu wa 2015 sawa na asilimia 13.67 (13.67%).

Kwa mujibu wa matokeo ya mtihani huo ulioratibiwa na kutangazwa na Islamic

Education Panel nchini, wanafunzi bora kitaifa walipatikana kwa kigezo cha ufaulu wa alama ya juu kabisa.

Watahiniwa hao bora kitaifa ni wale waliofaulu kwa kupata asilimia 98 (98%) ambao idadi yao ni sita (6) .

I fuatayo ni orodha y a w a n a f u n z i b o r a waliofanya vizuri kitaifa katika mtihani huo wa elimu ya dini ya Kiislamu.

Nafasi ya kwanza hadi

ya tatu zilikwenda kwa wanafunzi wa shule ya F.T.M ya Geita mkoani Geita.

N u r u A b d a l l a h Rashidi alishika nafasi ya kwanza akifuatiwa na Shemsa Mbaraka Ramadhani aliyeshika nafasi ya pili na nafasi ya tatu ilichukuliwa na Hussein Rajab.

Nafasi ya nne ilishikwa na Ramadhani Vuia Haji wa Kirinjiko ya Same Kilimanjaro, huku nafasi

ya tano ikienda kwa Asha Salehe Mngwale wa Muheza Tanga.

Aliyeshika nafasi ya sita ni Rayan Zahor Khamis wa Wete Islamic School, Wete Kaskazini Pemba.

Matokeo yote kwa kila shule yanapatikana katika katika ofisi zote za waratibu wa Elimu wa Mikoa wa Islamic Education Panel na katika wavuti ya Islamic Education Panel.

Page 7: ANNUUR 1193

7 AN-NUURDHULQAAD 1436, IJUMAA SEPTEMBA 4-10, 2015MAKALA

TAREHE 8 Agosti 2 0 1 5 h a b a r i kutoka Palestina

z i l i s e m a B w a n a S a a d D a w a b s h e h a l i f a r i k i a k i w a hospitali kutokana na maumivu aliyoyapata wakati nyumba yake i l ipochomwa moto tarehe 31 Julai. Mtoto wake Ali mwenye umri wa miezi 18 alifariki papo hapo . Mtoto m we n g i n e A h m a d mwenye miaka minne na mkewe Riham wako mahututi

Hii ni famil ia ya Dawabsheh ambayo ilichomwa moto wakiwa wamelala nyumbani kwao kijiji cha Duma k a t i k a U k i n g o wa Magharibi. Majirani waliwaona walowezi wa Kiyahudi wakitupa chupa ya petrol dirishani na kuichoma nyumba kisha wakakimbilia makazi yao karibu na kijiji.

Ali si kitoto cha kwanza cha Kipalestina kuuliwa kwa kuchomwa moto. Mwaka jana kichanga kingine (Ali Deif) nacho kilichomwa na kuuliwa baada ya ndege ya Israel kushambulia nyumba yao. Pia mtoto wa miaka 16, Mohammed Khdeir alipigwa, akateswa na kisha akachomwa moto na Wayahudi mnamo Julai mwaka jana

Kwa ujumla watoto wa Kipalestina wapatao 550 waliuliwa mnamo kiangazi mwaka jana wa k a t i ma j e s h i ya Israel yaliposhambulia u k a n d a w a G a z a na kuwaua zaidi ya Wapales t ina 2 ,200 , wengi wao wakiwa r a i a w a k a w a i d a . Kama vi le nyumba ya kina Dawabsheh ilivyochomwa moto, hali kadhalika na nyumba zaidi ya 20,000 katika Gaza ziliteketezwa na majeshi ya Israel. Hii ni takwimu iliyotolewa na Umoja wa Mataifa

Ta n g u m w a n z o

Kwanini kitoto cha Kipalestina kinachomwa moto?Na Nizar Visram

MAITI ya mtoto wa Palestina aliyeuawa kwa kuungua kwa moto baada ya nyumba yao kulipuliwa na majeshi ya Israel.

w a m w a k a h u u , walowezi wa Israel wa m e wa s h a m b u l i a Wa p a l e s t i n a m a r a 11,000 katika Ukingo wa Magharibi. Kwa mujibu wa wanaharakati wa haki za binadamu waitwao ‘Yesh Din’ asi l imia 8 5 ya m a l a l a m i k o y a W a p a l e s t i n a y a n a y o f i k i s h w a kwa polisi wa Israel hupuuzwa bila ya hatua yoyote kuchukuliwa. Hii ni sera ya utawala wa Israel katika maeneo ya Palestina yaliyovamiwa na Israel, yaani uharamia w a n a o f a n y i w a W a p a l e s t i n a hauchukuliwi hatua n a b a d a l a ya k e n i Wa p a l e s t i n a n d i o wanaoadhibiwa

Kwa mfano, wananchi walipopinga kuchomwa k w a n y u m b a y a Wapalestina, majeshi ya Israel yalimuua mtoto wa miaka 15 aitwae Laith. Pia wakamuua mtoto wa miaka 16 (Mohammed) katika maeneo ya Gaza. Haya yamekuwa ni mazoea, hasa katika maeneo ya Ukingo wa Magharibi a m b a k o Wa ya h u d i wamejenga makazi y a s i y o t a m b u l i w a kimataifa. Ni kwa sababu yamejengwa katika ardhi iliyoporwa kutoka kwa Wapalestina ambao kila kukicha hushambuliwa,

h u p i g wa , h u t e s wa na huuliwa. Haya ni mazingira yaliyojengwa na utawala wa Israel ambao unawalinda na kuwatetea walowezi. Ndio maana hatuwezi kutenganisha haya m a u a j i ya f a m i l i a ya D a wa b s h e h n a makazi ya Wayahudi ambayo yamekuwa ya k i o n g e z e k a k i l a siku kwa baraka ya serikali ya waziri mkuu Netanyahu na wenzake waliomtangulia. Hivi majuzi tu, tarehe 29 Julai, aliidhinisha majengo 300 mapya yatakayojengwa Ukingo wa Magharibi. Siku iliyofuata naibu waziri wa mambo ya nje akasema makazi hayo haramu yataendelea kupanuliwa. Matokeo yake ni migongano ya kila siku baina ya walowezi wa Kiyahudi na wazawa Wakipalestina. W a l o w e z i wanatembea na silaha w a k i w a s h a m b u l i a Wapalestina bila ya hofu ya kuzuiwa au kukamatwa na majeshi ya Israel.

K w a m u j i b u w a takwimu iliyotolewa na asasi ya haki za binadamu (B’Tselem), k a t i k a m u d a w a miaka mitatu iliyopita, walowezi wamechoma moto nyumba tisa za Wapales t ina . Teks i

ilichomwa pamoja na familia iliyokuwemo ndani yake. Hakuna aliyechukuliwa hatua za kisheria.

Baada ya kuuliwa kwa mtoto Ali, kuna watu kadhaa ambao walijifanya wanalaani kitendo hicho. Miongoni mwao ni Netanyahu mwenyewe ambaye alisema ameshitushwa sana na “mauaji hayo ya kigaidi”. Akaahidi k u wa wa l i o h u s i k a w a t a k a m a t w a n a kufikishwa mbele ya sharia. Alidiriki hata kumpigia simu Rais wa Palestina, Bw Mahmoud A b b a s n a k u m p a rambirambi

L a k i n i n i y e y e N e t a n y a h u n d i y e aliyetoa amri mwaka jana kwa majeshi ya Israel yashambulie Gaza. Kwa muda wa siku 51 majeshi yakatupa makombora na kuwaua raia zaidi ya 2200, wakiwemo watoto 551. Hata hospitali na shule zilishambuliwa. Hata watoto waliokuwa wakicheza mpira karibu na bahari waliuliwa kwa makombora

Leo Netanyahu na wenzake wanatangazia dunia kuwa wanalaani mauaji ya Ali Dawabsheh. Mwaka jana wakati vijana watatu wa Israel walipokutwa wamekufa, ni yeye aliyetoa amri

ya “kulipiza kisasi”. Matokeo yake kijana wa miaka 16, Mohammed Abu Khudair alichomwa moto na kuuliwa. Halafu kuna waziri wake wa elimu, Naftali Bennet ambaye eti anaomboleza kifo cha Ali kwa kusema, “Kitendo cha kumchoma mtoto Ali na wanafamilia wa D a wa b s h e h n i ki tendo cha ugaidi k i s i c h o k u b a l i k a ” . Lakini Bennet huyu huyu aliwahi kutamba kwa kutamka, “Mimi m a i s h a n i m wa n g u n i m e wa h i k u wa u a Wa a r a b u w e n g i – wala sioni kuna ubaya wowote.”

Ni yeye ambaye , mnamo Aprili 1996, a l i c h o c h e a I s r a e l kuwaua raia zaidi ya 100 katika kituo cha U m o j a wa M a t a i f a (UN) nchini Lebanon wa k a t i m a j e s h i ya Israel yalipoishambulia nchi hiyo. Nusu ya waliouawa walikuwa watoto na walikuwemo pia askari wa UN wa kulinda amani.

Ni Bennet huyuhuyu ambaye alishangilia wakati majeshi ya Israel yalipowaua wavulana wanne familia ya Baker walipokuwa wakicheza katika ufukwe wa bahari ya Gaza mwaka jana.

Inaendelea Uk. 17

Page 8: ANNUUR 1193

8 AN-NUURDHULQAAD 1436, IJUMAA SEPTEMBA 4-10, 2015Makala

Hi v i C C M inawadhania Waislamu wa nchi hii wana

ujinga kilo ngapi? Pengine hili ndio swali lafaa waulizwe CCM katika kipindi hiki cha kampeni za uchaguzi mkuu.

K a m a tunavyofahamu, ni mwaka wa pili sasa, kama si zaidi, Masheikh na waumini wengine wa Kiislamu kutoka Zanzibar (na Bara) wa m e s h i k i l i wa n a vyombo vya dola kwa tuhuma za ugaidi . Awali Masheikh hao walilalamika na kutoa u s h u h u d a wa o n a vielelezo mahakamani jinsi walivyoteswa na kudhalilishwa wakiwa mikononi mwa polisi. Lakini ukiacha idhilali hiyo, kama nilivyosema, ni mwaka wa pili sasa mahakama imeshindwa kumaliza kesi zao na dhamana imezuiliwa.

Wakati mahakama ikikwama kusikiliza k e s i h i y o k w a visingizio vya Jamhuri juu ya uchunguzi na mambo kama hayo,

CCM yawabamiza tena MasheikhMagufuli afanya mtaji wa kuombea kuraAseme, ugaidi wa Sheikh Msellem Ali nini!Lowassa hajasema atawaachia magaidi

SHEIKH Msellem Ali DKT. John Magufuli - Mgombea CCM

Na Omar Msangi

CCM wameibuka na kuwahusisha masheikh hao na ‘ugaidi wa

k u c h o m a m o t o makanisa’ Mbagala na matukio mengi ambayo

yashawahi kutokea nchini na kupewa sura ya ugaidi. Swali pekee

hapa ni h i l i , kama CCM muda wote huo walikuwa na ushahidi kwamba Masheikh hao wa Zanzibar wanahusika na ugaidi wa kuchoma makanisa Dar es Salaam, kwa nini hawajapeleka ushahidi mahakamani ili kuisaidia mahakama kumaliza kesi hiyo?

Katika mkutano wa kampeni mwishoni mwa wiki i l iyopita m k o a n i N j o m b e , kama utangulizi wa k u m s a f i s h i a n j i a Magufu l i kab la ya kunadi sera na kuomba kura, mtu mmoja wa CCM al is imama na kudai kuwa itakuwa jambo la hatari kwa nchi iwapo watu ‘magaidi’ w a t a a c h i w a k a m a alivyoahidi mgombea kupit ia CHADEMA Edward Lowassa. Na hapo ndio akamwaga sera na kuropokwa a k i w a u n g a n i s h a masheikh hao na matukio ya kuchomwa moto makanisa Dar es Salaam pamoja na kumwagia viongozi wa dini tindi kal i na kushadidia kuwa Masheikh hao ‘magaidi’, wakiachiwa i t a k u wa h a t a r i n a

Ha k u n a kinachojadiliwa hivi sasa i la

yatakayojiri Oktoba 25. Na katika mjadala huu, watu wamegawika katika makundi mawili. Wapo wanaoona bora kuwa katika ‘kundi l a wa p u m b a f u n a malofa’, kuliko kubaki na ‘zimwi likujualo’, ambalo kwa miaka 54 ya kukujua, bado lipo katika kuimba wimbo wa mikakati na mipango ya kuweka misingi ya kuondoa umasikini, na ndio kwanza limefanikiwa k u p a t a Wa z u n g u wafadhili kuwajengea vyoo vya tundu watoto wa shule za Msingi Kiborloni, huku baadhi ya sehemu nyingine wakisomea chini ya

Aibu kwa WaislamuHakuna kheri kwa Magufuli, Lowassa

mti!A l i w a h i k u s e m a

Mwalimu Nyerere kuwa ukitaka kumjua mtu aliyefilisika kichwani, hana uhalali wowote kisiasa, basi utamjua kwa jinsi atakavyokuwa a n a p a r a m i a d i n i a u u k a b i l a i l i kujijengea uhalali. Na tumeshatahadharishwa na Tume ya Uchaguzi, pamoja na ser ika l i yetu, kwamba suala la udini, lisiingizwe katika kampeni za uchaguzi.

Kwa kuyazingatia hayo, mimi sikusudii kuwahimiza Waislamu kutumia kara ta ya matatizo yao ya kidini, kuwapima wagombea. Lakini ni ukweli pia kwamba wapiga kura

Inaendelea Uk. 12

Inaendelea Uk. 12 WAHANGA wa Yemen kufuatia mashambulizi ya Saudi Arabia.

Page 9: ANNUUR 1193

9 AN-NUURDHULQAAD 1436, IJUMAA SEPTEMBA 4-10, 2015Makala

Katika uhalifu mkubwa wa hivi karibuni zaidi nchini

Yemen, ndege za kivita za Saudia zilipiga eneo la makazi ya watu, n a k u u a t a k r i b a n watu 65. Waliouawa wa n a s e m e k a n a n i wakazi wa eneo la Salah mjini Taiz, ambao n d i o wa t a t u k wa ukubwa nchini Yemen. Uhalifu huu wa kivita uliofanywa umekuwa ni jambo la kila siku katika miezi mitano ya kuangusha mabomu m f u l u l i z o n c h i n i Yemen na mkusanyiko wa kivita wa mataifa ya nje unaoungwa mkono na nchi za Magharibi.

K a t i k a s i k u z a

Vyombo vya habari na ushiriki nchi za Magharibi Mauaji ya kimbari YemenNa Finian Cunningham karibuni, kumekuwa

n a m a s h a m b u l i o kama hayo dhidi ya makazi ya wananchi katika mji wa kando ya Bahari ya Shamu wa Hodeida na jimbo la kaskazini la Saada. Katika shambulizi la Hodeida, ambalo liliua wafanyakazi kadhaa wa meli , shir ika la misaada la Uingereza 'Save the Children' l i l i s e m a l i n a a m i n i shambulio hilo lilikuwa na kudhamiria la Saudia kuhujumu misaada yote inayowafikia raia wa nchi hiyo.

Kwa uhakika, yote hii inatakuwa kiwa ni habari za ukurasa wa kwanza (kat ika nchi za Magharibi), kwa mashirika kama CNN, BBC na France

2 4 m i o n g o n i m wa mashir ika mengine makubwa ya habari, k u t o a h i y o k a m a habari yao tangulizi. Ni wao wenye wajibu wa kufanya hivyo kwa sababu serikali za nchi z a o z i n a h u s i k a n a uhalifu mkubwa. Hata hivyo, hapajakuwa na ufuatiliaji wa habari kubusu matukio hayo mabaya. Nje ya habari fupi bila mapana kuhusu uwepo wa mapungufu makubwa ya mahitaji ya kibinadamu, kumekuwa na ukuta wa ukimya kuhusu jinsi Saudia na washir ika wake wakiungwa mkono na nchi za Magharibi w a n a v y o t e k e t e z a r a i a n c h i n i Ye m e n na kuanzisha mkasa. Hii inaashiria kuzuia

habari kwa makusudi na mashirika ya habari.

Hadi sasa, idadi ya waliokufa katika nchi hiyo imefikia karibu 4,500 kwa mujibu wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Afya (WHO). Wiki iliyopita, Umoja wa Mataifa ulisema idadi ya watoto waliouawa ni takriban 400, wakati watoa habari nchini Ye m e n w a n a s e m a vifo miongoni mwa wananchi wa kawaida ni vingi zaidi, lakini h a wa we z i k u f a n ya uhakiki kutokana na uharibifu na kupotea amani hivi sasa.

Wa k a t i h u o h u o , Kamati ya Kimataifa ya Msalaba Mwekundu ( ICRC) na Mpango wa Chakula Duniani (WFP) wanasema kuwa

nchi hiyo inakaribia mfumuko mkubwa wa njaa ambako zaidi ya asilimia 50 ya wakati milioni 24 wako hatarini. Yemen ilikuwa tayari nchi maskini za idi miongoni mwa nchi za Kiarabu kabla ya kuanza mashambulio ya Saudia na washir ika wake wakiungwa mkono na Marekani, yaliyoanza Machi 26. Katika kipindi cha miezi mitano, nchi hiyo inaporomoka na kufikia 'mkasa wa ngazi ya Syria,' kwa mujibu wa ICRC.

Kinachotokea Yemen hakiwezi kuelezewa ila kama uchokozi wa mataifa ya nje katika nchi huru, ambako raia wa kawaida wanauawa kwa mabomu ya Marekani ya

Inaendelea Uk. 14

WANACHAMA wa CCM, hiki chama kinachotawala

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa zaidi ya miaka 50 sasa, wanasema w a z i w a z i k w a m b a w a f a n y e v y o v y o t e wafanyavyo, wapinzani watachinjwa tu ifikapo Oktoba 25.

W a t a c h i n j w a kat ika mkao wowote watakaokuwa wamekaa, watachinjwa tu. Hii maana yake watake wasitake, wafuasi wa vyama vya upinzani, wakae wakijua kuwa hawana nafasi ya kunyakua madaraka, kwa maana ya kukiondoa c h a m a h i c h o k a t i k a hatamu za uongozi wa taifa.

H u u n d i o u j u m b e mahsusi unaosomeka k w e n y e u b a o w a m a t a n g a z o w a Muembekisonge, maskani maarufu ya makada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM). Hii ni maskani inayosifika kwa kulea na

Wana Kisonge, Safari hii hachinjwi mtu hapaWasaidizi wa shetani wamestaafuUzalendo unalipa. Othman shujaa

Na Mwadini Ali kuendekeza siasa za chuki, fitina, majungu na ulaghai upande wa Zanzibar, sehemu muhimu ndani ya jamhuri.

Tu z i i t e s i a s a h i z i w a n a z o z i s h a d i d i a makada hawa kuwa ni s iasa za kihafidhina, ambazo washabiki wake h u w a h a w a t h a m i n i mtizamo mpya wa kifikra uliojengeka katika jamii, is ipokuwa kuendelea kuamini kwamba haki ya utawala wa dola siku zote imehulukiwa kwao peke yao. Kila wanachokiwaza, basi ni lazima kiwe kile chenye maslahi nao na marafiki zao.

Makada hawa wa CCM siku zote wanaangalia m a s l a h i y a o z a i d i kuliko maslahi ya watu wal io wengi , ambao wananyanyasika, kuteseka na kudhalilishwa kutokana na mifumo mibaya ya uongozi katika nchi.

M a s k a n i y a Muembekisonge, iliyoko katika jimbo la uchaguzi l a R a h a l e o , a m b a l o

baada ya miaka mingi ya siasa za vyama vingi l imepinduliwa pindu na Tume ya Uchaguzi Z a n z i b a r ( Z E C ) n a kuchanganywa kwenye j i m b o l a K i k wa j u n i , inajulikana vizuri kwa mwenendo wa kueneza siasa za chuki nchini, zinazochochea ubaguzi wa wananchi Zanzibar.

Kitendo cha waendeshaji wa maskani hii kuamua kuandika maneno hayo kwenye ubao wao wa matangazo, kinatafsiri hulka na mtizamo finyu wa kifikra ulioganda vichwani mwa wanachama wa maskani hiyo. Ni watu wasiof ikir i vizuri na kwa upana. Watu hawa wanadhihirisha walivyo nyuma ya mtizamo mpya wa mawazo walionao wananchi wengi Unguja na Pemba.

M a k a d a w a C C M w a l i o r i d h i s h a n a h a s a k w a m b a k w a kuandika maneno ya “mutachinjwa tu vyovyote

ALIYEKUWA Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar, Mhe. Othman Masoud Othman akisindikizwa kutoka nje ya viwanja vya Bunge Maalum la Katiba mjini Dodoma na Askari Polisi mara baada ya kushutumiwa na baadhi ya Wajumbe wa Zanzibar.Inaendelea Uk. 13

Page 10: ANNUUR 1193

10 AN-NUURDHULQAAD 1436, IJUMAA SEPTEMBA 4-10, 2015

Makala

Ki l a s i k u k w a m u d a wa w i k i kadhaa, mamia ya

wahamiaji wamekuwa wakifurika kuingia nchi za bara Ulaya wakitokea Kaskazini mwa Afrika na Mashariki ya Kati. Wahamiaji hao ambao wengi wao ni wakimbizi, wamekuwa wakivuka kwa boti kupitia bahari ya Mediteranian kuingia nchi za Ugiriki na Italia, na nchi nyingine za Ulaya kusaka maisha. Wengine, hususan wale wa kutoka Iraq na Syria, wao wamekuwa wakipitia zaidi Uturuki na kuingia katika nchi za Ulaya Mashar iki kuelekea nchi za Ulaya Magharibi a m b a p o wa n a a m i n i n d i k o w a n a k o w e z a kupata nafuu ya maisha. M a e l f u w a m e k u w a w a k i f i a b a h a r i n i kufuatia vyombo vyao vya usafiri kujaza watu kupita kiasi na hatimaye kuzidiwa na mawimbi na kuzama katika bahari ya Mediteraniani.

W a h a m i a j i s a s a limekuwa ni janga la nchi za Ulaya, lakini janga kwa maisha ya wakimbizi hasa wale wanaotoka katika n c h i z i n a z o r i n d i m a vita ambavyo kwa kiasi kikubwa vimechochewa na ubeberu wa mataifa hayo hayo ya Ulaya na Marekani.

Hatari ni kubwa, lakini wahamiaji wako tayari kukabiliana na matatizo hayo i l i wahakikishe wameingia Ulaya. Hali hii imeshuhudiwa katika mji wa Bodrum nchini Uturuki, kisiwa cha Kos, nchini Ugiriki, Sicily Italia na miji mingine inayopakana na Medireranien. Wahamiaji wamekuwa wakianza safari zao katika majira ya usiku, wakati bahari i m e t u l i a n a m b a l i k idogo na vi tuo vya polisi. Wahamiaji wengi wanaotokea barani Asia, nchini Syria wamekuwa wakipiga kambi katika mji wa Bodrum, nchini Uturuki wakisubiri kuanza safari yao wakielekea

Kilio cha wahamiaji Ulaya matokeo ya vita vya ugaidiNa Shaban Rajab

katika kisiwa cha Kos, Ugiriki kabla ya kuingia Ulaya.

Idadi ya wahamiaji na wakimbizi wanaovuka Bahari ya Mediterenia kutoka nchi za Afrika na Mashariki ya Kati kuelekea nchi za Ulaya kwa mwaka 2015, imevunja rekodi ambapo mpaka sasa watu 250,000 wameshaingia

ndiyo sababu kubwa ya kuzalishwa idadi hiyo ya wakimbizi na wahamiaji, wanaofanya safari za hatari kuvuka Bahari ya Mediterenia.

Ripoti imesema pia k u wa i d a d i h i y o ya wahamiaji imezidi ile ya mwaka jana kwa kipindi kama hiki kwa asilimia 80. Wengi wa wahamiaji hao

ya 2,636 walizama na kufa au kutoweka, ingawa idadi hiyo ilishuka mwezi Mei na Juni. Hata hivyo inaonekana kupanda sana mwezi Julai na huu wa Agosti.

Mtandao wa Umoja wa Mataifa wa unmaltimedia.org, unatueleza kwamba wakati idadi ya wahamiaji w a n a o o k o l e w a n a

iliyopita (kuanzia Agosti 25).

K w a m u j i b u w a Mkurugenzi wa IOM, ofisi ya uratibu Mediteraniani B w . F e d e r i c o S o d a , anasema wakati idadi ya watu wanaowasil i mwaka huu ni sawa na ile iliyoorodheshwa katika wakati kama huu mwaka jana, idadi kubwa ya wanaowasili katika siku za karibuni inaongezeka.

Majeshi ya wanamaji ya Italia yanaendesha operesheni za uokozi kwa wahamiaji waliokuwa katika hali mbaya katika bahari ya Mediterania siku nzima ya Alhamisi (Agosti 27) na kuwafikisha katika bandari za Augusta na Trapani, ambako kwa siku tu, wanaandikishwa wahamiaji 600 Augusta na Trapani.

Shirika la Kimataifa la Uhamiaji IOM, limesema kuwa idadi ya wahamiaji na watu wanaotafuta hifadhi ya kisiasa waliofika barani Ulaya tangu mwaka huu uanze inakaribia 250,000.

I k i l i n g a n i s h wa n a mwaka jana ambapo wa h a m i a j i l a k i 2 . 1 9 walifika barani Ulaya kwa mwaka mzima, inaonyesha kuwa idadi ya wahamiaji kwa mwaka huu tayari imevuka idadi ya jumla ya wahamiaji wote walioingia barani Ulaya mwaka jana.

Shirika hilo limesema, operesheni za uokoaji katika pwani ya Italia na Ugiriki zinafanyika ambapo karibu wahamiaji 1000 huokolewa kwa siku katika majira ya kiangazi na kwamba, idadi ya vifo imefikia kiwango cha juu katika historia.

Kwa ujumla tunaweza kusema hali ya wahamiaji kwenda nchi za Ulaya k u s a k a m a i s h a b o r a wakikimbia umasikini, mateso ya vita katika nchi zao imekuwa tete kwa nchi hizo.

Kila uchao mataifa ya Ulaya na Eu zimekuwa katika harakati za vikao vya kusaka suluhu ya tatizo hili ambalo sasa linazitesa nchi zao.

Kamishna Mkuu wa

Ulaya kati ya mwezi Januari na Juni, kulingana na ripoti iliyotolewa hivi karibuni na Shirika la Kuhudumia Wakimbizi, UNHCR.

Ripoti hiyo ya UNHCR imesema kuwa mizozo

wanakotoka nchi za Syria, Afghanistan, Iraq, Libya na Eritrea. Ripoti inabainisha kwamba hata idadi ya vifo vya wahamiaji hao katika bahari ya Mediteranean imevunja rekodi mwezi Aprili, ambapo watu zaidi

kuwasili Kusini mwa Italia ikiongezeka kwa sasa, timu ya shirika la kimataifa l a u h a m i a j i ( I O M ) imeendelea kukusanya ushahidi wa takribani watu 400 wanaodaiwa kufa maji mapema wiki Inaendelea Uk. 16

WAHAMIAJI wakisafiri kuelekea nchi za Ulaya kutafuta hifadhi kufuatia nchi zao kukumbwa na machafuko na vita vya wenyewe kwa wenyewe.

WAKIMBIZI wa Syria.

Page 11: ANNUUR 1193

11 AN-NUURDHULQAAD 1436, IJUMAA SEPTEMBA 4-10, 201511 AN-NUURMakala

Jopo la Majaji watatu la Mahakama ya Rufaa ya Marekani limekataa

mashitaka yaliyokuwa ya m e wa s i l i s h wa n a jumuiya inayopiga vita Uislamu ya American F r e e d o m D e f e n s e Initiative (AFDI), dhidi ya maafisa wa eneo la King County kuwa wamevunja s h e r i a z a u h u r u wa kusema na kujieleza.

Majaji hao wametangaza kuwa, kundi hilo lenye misimamo ya kufurutu mipaka na l inalopiga vita Uislamu, halina haki ya kuweka matangazo yanayohujumu Uislamu k a t i k a m a b a s i y a Washington.

Kundi hilo lilikuwa na nia ya kuweka picha 16 za watu wanaodhaniwa kuwa ni magaidi katika mabasi ya Washington kwa shabaha ya kuchafua jina na sura ya Uislamu,

Mahakama Marekani yapinga kuchafuliwa Uislamu Wa-Republicans wanaamini Obama ni Muislamu

lakini Idara ya Usafirishaji ya eneo la King County imepinga hatua hiyo.

Idara hiyo imesema mabango ya matangazo kama hayo yanapingana n a s h e r i a i n a y o z u i a matangazo yasiyo sahihi ya kupotosha, ya kudunisha,

yanayosababisha hasara na kuzusha mifarakano.

Uchunguzi mpya wa maoni uliofanywa hivi karibuni nchini Marekani, u m e o n e s h a k u w a wanachama na wafuasi wengi wa Chama wa Republicans, wanaamini

kwamba Barack Obama, Rais wa kwanza wa nchi hiyo mwenye asili ya Kiafrika ni Muislamu.

Uchunguzi huo wa maoni uliofanywa na taasisi ya Public Policy Polling, umebaini kuwa asilimia 54 ya waliotoa maoni yao wanahisi Rais wa Marekani ni Muislamu, huku asilimia 34 wakisema hawana hakika kama Obama ni Mkristo au Muislamu.

K w a m u j i b u w a u c h u n g u z i h u o w a maoni, ni asilimia 14 tu ya Warepublican waliotoa maoni yao wamesema Obama ni Mkristo.

Mara kadhaa, Rais huyo wa Marekani amebainisha hadharani kuhusu imani yake ya Ukristo wakati a k i z u n g u m z a k a t i k a

mihadhara mbalimbali ya kidini ukiwemo wa Pasaka.

Dini ya Obama na m a h a l a a l i p o z a l i wa y a m e k u w a m a s u a l a yaliyozusha kelele tangu aliposhinda uchaguzi wa Rais wa Marekani mwaka 2008. Baba wa Obama, Dk. Hussein Obama, alikuwa Muafrika mzaliwa wa Kenya ambaye alikutana na mama wa Barack, Mzungu Stanley Ann Dunham, kutoka Kansas wakati alipoelekea Marekani kwa masomo katika Chuo Kikuu cha Hawaii.

B a b a ya k e O b a m a alirejea Kenya wakati Barack akiwa na umri wa miaka miwili na akaonana na mwanawe huyo mara ya mwisho alipokuwa na umri wa miaka 10.

Afande Mangu, mchezo huu’ ni mauti kwetuInatoka Uk. 3mikononi mwa Jeshi la Polisi, Jijini Dar es Salaam, kwa muda wa siku 19, kwa tuhuma za kusaf i r i sha vijana wa Kiislamu kwenda Somalia, jambo ambalo lilikuwa uzushi mtupu na ndio maana walishindwa hata kumfikisha mahakamani kwa tuhuma hizo.

“ B i n a f s i s u a l a h i l i limeniacha katika wakati mgumu sana s io mimi tu mpaka familia yangu, achilia mbali kumpoteza mzazi wetu, unapokuwa mikononi mwa Jeshi la Polisi, kuna mambo mengi sana yanaharibika.”

“Unapata madhila mengi ambayo hayatasahaulika katika maisha.” Alisema Ust. Makame.

Ust. Makame, alisema kifo cha baba yake, Mzee Ally Aboubakar, maarufu kwa jina la Mzee Fupi, kilitokea Mei 18 na alizikwa Mei 19, 2015, siku chache baada ya yeye kutoka kwa dhamana.

A l i s e m a , M z e e F u p i alikuwa ni mtu mzima, mwenye umri wa miaka 88, akiwa mwenye afya njema, zaidi alikuwa ana matatizo ya miguu, akiwa ni mwenye kufanya ibada na shughuli zake ndogondogo kama kawaida.

Ust. Makame, alisema baada ya kukamatwa usiku wa April 14, 2015, Mzee Fupi, hakuelezwa haraka kutokana na hali yake ya utu uzima.

Lakini, alisema kutokana na tukio hilo kuwastua wakazi wengi wa Kilwa, ikizingatiwa yeye ni kiongozi wao (Imamu) walikuwa wakifika nyumbani kwao mara kwa mara, jambo ambalo kidogo lilimstua Mzee Fupi, na kuhoji kulikoni

na huu ujio wa majirani hapo nyumbani kwake.

“Alipoelezwa kuwa hakuna tatizo, ndipo alipoanza kuhoji kuwa mbona katika ujio huo hamuoni mwanawe Makame, kwa siku ya tatu wakati sio kawaida yake.”

Alieleza Ust. Makame na kufafanua kuwa alikuwa na kawaida ya kumtembelea Mzee wake kila baada ya Swala ya Alfajiri na baada ya swala ya Inshai.

Alisema, wakati ndugu zake wanatafuta namna nzuri ya kumpa taarifa ya kukamatwa kwake na Polisi, kuna watu wengine, miongoni mwa waumini walifika moja kwa moja kwa Mzee wake na kumpa pole, jambo ambalo lilimstua na kuhoji pole kwa ajili ya jambo gani.

“Hapo ikawa hamna jinsi zaidi ya kumueleza uhalisia wa hali ilivyo kuhusu mimi, taari fa hizo kwa kweli zikawa zimemstua sana na haswa alipotaka kujua nipo katika kituo gani cha Polisi na kuelezwa kuwa haijulikani, ndipo alipoanza kunyong’onyea na kupoteza nguvu.” Alisema Ustadh Makame.

Alisema, baada ya siku mbili Mzee Fupi, alipoteza fahamu na hali yake ikawa inazidi kuwa mbaya kila siku zilivyozidi kusonga mbele bila maelezo yanayoeleweka kuhusu al ipo mwanae Makame.

H a t i m a e M z e e A l l y Aboubakar aka Mzee Fupi, alikata kauli kabisa, hadi mauti yanamkuta (Innalillahi wa inna ilayhir rajiuun).

Ustadh Makame anasema, kwa upande wake akiwa mikononi mwa Polisi, kwa siku zote hizo hakujua kinachoendelea na wala hakudhani kama hali hiyo inaweza kumkuta Mzee wake, hata kuwa sababu ya kifo chake.

Alisema, alibaini hali ya afya ya Mzee wake kuwa sio nzuri baada ya kurejeshwa Lindi, wakitokea Makao Makuu ya Jeshi la Polisi, Dar es Salaam, kisha kupata dhamana, ambapo anasema alishangaa kuelezwa kuwa asilale Lindi, pamoja na kuwa muda ulikuwa umekwenda bali arudi Kilwa, haraka kwani hali ya Mzee wake sio nzuri tokea alipokamatwa.

“Nilifanya hivyo, kweli nilimkuta Mzee katika hali mbaya, hakuwa na kauli tena wala hakutambua kuwa mwanae nimerudi nipo mbele ya uso wake hata nilipomwita hakunisikia, ndipo ni l ipopewa kisa kizima kuhusu hali ya Mzee, kwamba tokea aelezwe tukio langu hali ilibadilika ghafla na kuwa katika hali niliyomkuta nayo, kwakweli nimeumia sana.” Alisema Ustadh Makame katika hali ya huzuni.

Al i sema, hakuwa na namna zaidi ya kuungana na nduguze katika kumuuguza baba yao na ndani ya siku chake Mzee Fupi, aliaga dunia.

Akasema, ni dhahiri Jeshi la Polisi, limesababisha kifio cha Mzee wake na haoni pa kupeleka mashitaka yake ila kwa Allah (SWT).

A m a a k i z u n g u m z i a

kuhusu hatua ya familia yake kutaka kuuza nyumba yao, alisema ni kweli walifikia hatua hiyo kwa lengo la kupata pesa ili iwasaidie katika kufuatilia suala lake.

“Kwa jumla nawashukuru sana Waislamu, na hilo la kuuza nyumba halikufanyika, kwani Waislamu wamejitolea sana kwa hali na mali na kunusuru kuuzwa nyumba na mpaka sasa nipo nje.” Alisema Ustadh Makame.

Akaongeza kuwa kwa hali ilivyo sasa, ni wazi kuwa Waislamu hawana uhuru katika nchi yao, kwani kuelekezewa kwao tuhuma za ugaidi zinawaweka katika hofu na mashaka muda wote.

A l i s e m a , h a d h a n i kama kweli Jeshi la Polisi, l inadhamira ya kusaka magaidi, bali operesheni hiyo ina chuki fulani kwa Waislamu au kuna jambo linaendelea nyuma ya pazia na wahanga wa kufanikisha jambo hilo wamekuwa ni Waislamu.

Akielezea hali halisi ya Waislamu wenye tuhuma za Ugaidi waliopo Mahabusu katika Makao Makuu ya Jeshi la Polisi , al isema hali inatisha kutokana na Waislamu wanavyoteswa huko Mahabusu.

Alisema, wakiwa Sentro (Polisi) wahanga hao wa ugaidi (Waislamu) huwa w a n a c h u k u l i w a n a kupelekwa sehemu fulani ambayo wao (Polisi) wanaiita

gereji.Akasema, anadhani kuwa

sehemu hiyo ipo kati ya Msasani au Ostabei.

“Unapopelekwa huko unafungwa vitambaa vyeusi usoni kama vile mtu unaenda kunyongwa, ukifika mle ndani ndipo unafunguliwa vitambaa, kwa kuwa mimi Dar es Salaam naijua vizuri, hisia zangu zinavyonituma kule kama sio Msasani, basi itakuwa ni Ostabei.”

Alisema, akiwa huko ameshuhudia jinsi Waislamu walivyoteswa na kufikia h a t u a y a k u s h i n d w a kutembea hata kuongea pia jambo ambalo linasikitisha na kuumiza mno.

Alimtaja Mzee mmoja kwa jina moja la Uwete, aliyetokea Newala, na kwamba Mzee huyo aliteswa akiwa Sentro Polisi, na waliachiwa naye pamoja katika kundi la baadhi ya Waislamu waliokamatwa kutoka Mtwara, Newala na Kilwa, na baada ya wiki mbili walipata taarifa kuwa amefariki dunia.

Alisema, Mzee huyo wa Kiislamu aliyekuwa na uwezo wa kifedha, alikamatwa akituhumiwa kuwa anasaidia makundi ya kigaidi, na haswa alikuwa akisaidi kujenga Misikiti, Madrasa pamoja na Waislamu wenzake.

Sadakatul jariya ya Mzee huyo ya kujenga Misikiti na Madrasa, ndio ikaonekana kuwa n i ta t izo kubwa na kutafutiwa sababu ya kukatiza Ibada yake hiyo ya kutoa kwa ajili ya Allah akazushiwa na kubambikwa tuhuma za ugaidi.

Page 12: ANNUUR 1193

12 AN-NUURDHULQAAD 1436, IJUMAA SEPTEMBA 4-10, 201512 MAKALA

CCM yawabamiza tena MasheikhInatoka Uk. 8madhara makubwa kwa wananchi. Binafsi nilimwona na kumsikia mwana CCM huyo japo sikubahatika kujua jina lake na cheo chake katika CCM. Lakini zipo pia taarifa kuwa hata mgombea wa CCM Mheshimiwa Magufuli akiwa kule Ludewa (mimi s ikumsikia) , naye aliwaita Masheikh hao kuwa ni magaidi na kwamba kwa vile ni magaidi hawawezi kuachiwa.

K w a n z a t u s e m e k u w a E d w a r d L o wa s s a h a j a s e m a k u w a a t a w a a c h i a watuhumiwa wa ugaidi. Na mara zote katika kauli zake, amekuwa a k i s i s i t i z a k u w a atashughulikia suala lao kwa ‘kutumia sheria’ na utawala bora. Kwa maana kuwa kama upo ushahidi wa kuwatia hatiani Masheikh hao, upelekwe wahukumiwe i j u l i k a n e k u w a

wamefungwa. La kama hakuna, sheria pia itumike waachiwe. Sio kuwashilikia watu kwa dhulma kinyume na sheria. Na ndio maana tunahoji, kama CCM, kama Magufuli, alikuwa na ushahidi kwamba

Sheikh Msellem Ali na wenzake wanahusika na ugaidi wa kuchoma Makanisa Mbagala, kwa nini hajapeleka ushahidi huo mahakamani?

S a s a m a a d h a l i C C M n a M a g u f u l i wake wameona kuwa

kuwabamiza Masheikh kwamba ni ‘magaidi’ ndio mukadima na ‘Mtaji’ wa kuombea kura, basi tunamwomba pia kwamba pamoja na kupeleka ushahidi wake mahakamani, kila atakapopita, Bara

na Visiwani, Magufuli awaeleze wananchi u s h a h i d i a l i o n a o unaothibitisha kuwa Sheikh Msellem Alli, Mfasiri wa Qur’an na Imam, ni gaidi!

Tumekuwa tukieleza mara nyingi katika gazeti hili kwamba kumekuwa na mchezo wa propaganda ya kuzua mambo yasiyo k u w e p o n a k i s h a k u ya p a m b a k a t i k a vyombo vya habari kuwatisha wananchi n a k u p i t i a m z a h a wa ugaidi ambapo wanaopachikwa ugaidi huo ni Waislamu na Masheikh wao ili iwe sababu ya kuwahujumu. Yalipoibuka madai ya kuchomwa makanisa B a r a , g a z e t i m o j a liliwahi kuandika habari kubwa likidai kuwa Masheikh wa UAMSHO wamekodi boti maalum kuleta mamia ya watu kusaidiana na Waislamu wenzao wa Dar es

Aibu kwa WaislamuInatoka Uk. 8wana dini zao. Na sioni kwa nini iwe haramu kuyadhihirisha yale yanayowagusa katika imani zao, iwapo watu wa makundi mengine, hutumia ‘yao’ kama ndio ‘thamani’ na ‘bei’ ya kura zao. Kama leo kwa mfano Waislamu wanalalamika kwamba kuna Masheikh wao w a n a t e s w a n d a n i kwa mambo ambayo wanaamini kuwa ni ya kusingiziwa, sio dhambi iwapo Waislamu, kwa umoja wao watataka wagombea na vyama vyao kutoa kauli juu ya kadhia hiyo.

Yawezekana ‘Kauli’ y a m g o m b e a a u Chama, isitekelezwe hapo baadae kama ambavyo CCM ilikataa kutekeleza na kukana ahadi yake yenyewe y a M a h a k a m a y a Kadhi ambayo iliingiza katika Ilani yake ya uchaguzi mwaka 2005, lakini kuwepo ahadi

ni tofauti kabisa na kukaa kimya. Kama mgombea na chama kilicho katika uchaguzi, akikaa kimya, asiweze japo kutoa ahadi (hata kama hana nia ya dhati kuitekeleza), ni kwamba amewadharau sana. Na dharau yenyewe ni kuwa anawaona kuwa nyie, ‘hamnazo’. Hamj i tambui wala kutambua thamani ya kura zenu. Kwa hiyo, ha ta as ipowaahid i chochote, kura zenu atazipata tu. Hiyo ni dharau iliyopitiliza. S a s a i w e b a s i n i suala la dharau ya m g o m b e a . L a k i n i kama mnaodharauliwa mtadhihirisha kwamba kweli hamjitambui, hapo ndipo ulipo msiba wenyewe. Hilo niliache, maana sio agenda yangu ya wiki hii.

W a k a t i tukihangaishwa na C C M n a U K AWA , Waislamu wenzetu kule Yemen wanaendelea kuuliwa kila uchao. Hawana pa kukimbilia.

“Western Complicity in Yemen Genocide Met With Media Silence”, ni kichwa cha makala i l i y o a n d i k w a n a m wa n d i s h i F i n i a n Cunningham (August 24, 2015) akiwalaumu wanasiasa wa Ulaya na vyombo vya habari vya Magharibi kwamba wakati yanafanyika mauwaji ya Kimbari, Yemen, vyombo hivyo vimepiga kimya.

Makala hiyo inaanza kwa kueleza kuwa katika tukio la hivi karibuni, ndege za kivita za Saudi Arabia zilishambulia eneo moja na kuuwa kwa uchache watu 65

wasio na hatia katika mji wa Taiz, wilaya ya Salah. Na kwamba uhalifu na mauwaji kama haya, limekuwa ni jambo la kawaida kufanywa na wanajeshi wa Saudi Arabia ambao wanaungwa mkono na kusaidiwa na Marekani, nchi za Ulaya na Israel. Kusaidiwa kufanya nini, kuuwa Waarabu na Waislamu wa Yemen, huku Saudia wenyewe wakiwa ni Waarabu na Waislamu!

Katika kuvilaumu vyombo vya habari vya Magharibi, Finian Cunningham, anasema kuwa suala la mauwaji haya ya kikatili kwa watu wasio na hatia, n d i o l i n g e t a k i w a kuwa katika kurasa za mbele na habari kuu za CNN, BBC, France 24, (Fox News, ABC)

na wengine, lakini wapi. Na anasema, wanahabari wa vyombo hivyo hawazipi uzito habari hizo kwa sababu nchi zao ni watuhumiwa wa mauwaj i hayo . Wanamuunga mkono m u u w a j i k i s i a s a , kistratejia, silaha na kumkingia kifua katika Umoja wa Mataifa, asichukuliwe hatua.

Toka mauwaji hayo yameanza, zaidi ya watu 4,500, wameshauliwa watoto pekee wakiwa 400 (kwa mujibu wa takwimu za Shirika la Afya- World Health Organization.)

K w a u p a n d e mwingine, taarifa zaidi zinafahamisha kuwa watu wapatao milioni 24, ambao ni zaidi ya nusu ya wananchi wa Yemen, wanakabiliwa na njaa, huku mamilioni wengine wakikabiliwa na kifo kutokana na kukosa matibabu na maji salama ya kunywa.

Inaendelea Uk. 15

Inaendelea Uk. 16

Sheikh Msellem Ali (wa pili kulia nyuma) akiwa mahakamani na watuhumiwa wenzake.

Page 13: ANNUUR 1193

13 AN-NUURDHULQAAD 1436, IJUMAA SEPTEMBA 4-10, 2015

MAKALA

Wana Kisonge, Safari hii hachinjwi mtu hapaInatoka Uk. 9m t a k a v y o k a a ” , n d i o watakuwa wanaendelea kujitokeza kama madume w a k u b w a w a s i a s a na ambao wamemeza kisawasawa itikadi ya chama chao hicho, wajuwe wamepotoka na kuzidi kujidhalilisha.

K a m a w a o k a m a wakubwa zao – wale viongozi waandamizi wa chama wakiaminicho n a a m b a c h o k w a y o w a n a s i m a m i a k u w a ndicho pekee chenye haki ya kuendelea kushika h a t a m u z a u o n g o z i wa dola iwe jua iwe mvua. Wanayoyafikiri na kuyaamini wakiishi n a y o w a h a f i d h i n a hawa, ndio kitaalamu y a n a i t w a “ m a w a z o mgando.” Wahafidhina ndani ya CCM tangu mfumo wa vyama vingi uliporudishwa nchini kwa sheria ya bunge ya Juni 1992, na mpaka sasa, wanakabiliwa na tatizo sugu la kufikiri na kuishi leo kama vile walivyokuwa wakifikiri na kuishi miaka ile.

Ukiwaeleza kwamba zama zimebadilika kwa s a b a b u m wa n a d a m u mwenyewe amebadilika, hawaelewi somo hilo. Ukiwaeleza kuwa katika zama hizi hakuna nafasi ya kundi kuendesha siasa za ulaghai, wakafanikiwa, hawaamini.

H a t a h a wa t a f a k a r i k w a m b a wanachokishadidia hakina maana kwa sasa. Ni nani a l iye tayari kuchinja mwingine kama si haramia na katili? Hivi wahafidhina hawa wa Muembekisonge wanaposema Oktoba 25 wapinzani watachinjwa t u wat ak e wa s i t a k e , ndio wanaashiria kuwa wanaipenda nchi? Ama kweli, la kuvunda halina ubanio.

Wahafidhina wa CCM wanatatizwa na ufahamu m d o g o w a m a m b o , kwamba hata majumbani mwao hawana ubavu tena wa kuwachagulia wa t o t o z a o wa f u a t e chama gani cha siasa; au wampende mwanasiasa gani na wamchukie yupi. H a wa we z i k wa s a s a kwa sababu muhimu kwamba watoto wenyewe wamewawekea televisheni ukumbini wanaangalia n a k u s i k i l i z a y o t e yanayosemwa.

Watoto wa zama hizi za dotcom, waliozaliwa baada ya maendeleo makubwa ya sayansi na teknolojia kushamiri kwa kasi isiyopimika kiwango chini ya kifaa cha kazi kiitwacho “kompyuta,” wanajua mambo mengi k u l i k o b a b a , m a m a , shangazi na babu zao

Hi v i k a r i b u n i n i l i s h u h u d i a k u n d i l a wa t u

wakipigana vikumbo kutaka kusalimiana na aliyekuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali ya Zanzibar Mhe. Othman Masoud Othman. Ilikuwa ni baada ya swala ya Ijumaa katika msikiti wa Mazrui ambapo wakati akitoka msikitini, Masoud alijikuta akitumia dakika kadhaa kupeana mikono na waumini waliokuwa na shauku japo ya kumshika mkono.

Ukit izama unakuta kwamba mapenzi haya ni kutokana na msimamo wa Othman katika kuitetea Zanzibar na kute tea masilahi ya Wazanzibari ndani ya muungano. Bila kujali nafasi yake, na bila kujali masilahi yake binafsi akiwa mtumishi wa s e r i k a l i a m b a y o w a z i i l i s h a o n y e s h a kwenda kinyume na kile alichoamini kuwa ndipo yalipo masilahi ya nchi yake na watu wake , Masoud alikuwa ni mmoja wa waliopinga baadhi ya vipengele vya Katiba Inayopendekezwa hali iliyopelekea kuvuliwa madaraka yake.

Toka awali akishiriki k a t i k a m a b a r a z a n a midahalo ya kujadil i rasimu ya Katiba, Masoud alionyesha msimamo wake akisema kuwa itakuwa ni makosa makubwa iwapo Wazanzibari hawatatumia nafasi hiyo kuirejeshea nchi yao hadhi yake. Nakumbuka i le s iku al ipokuwa akifungua mmoja ya mabaraza ya wanafunzi wa vyuo vikuu kujadili mapendekezo ya Katiba, alisema wazi kuwa Zanzibar ilikuwa Dola, lakini katika muungano wa s a s a wa s e r i k a l i mbili imefanywa kama ‘Manispaa’. Akawataka

kwa kusema inafanana na aliyovaa kiongozi mmoja ambaye kwake mtoto amekuwa akimuona kama ni shetani?

K i l a m t o t o a k i o n a b a b a a m e va a k i j a n i , ambayo ni sare ya CCM, anaangua kilio. Pengine mtoto huyu amepata hisia wanazozihisi wakubwa kwingineko kuwa chama cha kijani kimepoteza mvuto kwa umma.

S a s a w a h a f i d h i n a h a w a y a e l e w i h a y a m a z i n g i r a ya k i l e o . Watoto wanahoji kila kitu; wanataka kujua k i l a w a n a c h o k i o n a , wanachokis ik ia , k i la ambacho wanakifikiria. Wanaona vikatuni na wa n a v i t a f s i r i k a t i k a namna tofauti-tofauti; w a n a o n a f i l a m u z a majemedari wa vi ta . Wanataka kujua inakuaje watu wanapigana. Ni kwanini wanapigana.

Wahafidhina wanaota utume na utukufu katika siasa kwa kudhani labda kwa fikra zao, kupitia siasa watapata pepo. Wanataka k u e l e w e k a k w a m b a wakisema wao, wengine walale chali.

Maneno ya wahafidhina wa Muembekisonge ndiyo yaleyale yanayonenwa na wahafidhina waandamizi wakiwemo walio maarufu k a t i k a k u p a n d i k i z a siasa za chuki, fitina na majungu, kama “hatutoi serikali labda mpaka na nyie mpindue” au “serikali haitolewi kwa vikaratasi.”

Ni maneno yasiyo na maana yoyote kat ika Zanzibar inayojengwa zama hizi. Kama wangejua, wakubwa zao wa chama chao wenyewe waliridhia kuruhusiwa siasa za vyama vingi, zinazoshurutisha u s h i n d a n i m i o n g o n i m w a w a n a n c h i , n i umbumbumbu mtupu kutokea mtu akajiapiza k u wa h a k u n a k u t o a serikali kwa kura.

K w a h a k i k a k a b i s a n a a m i n i , kama wanavyoamini Wazanzibari, hakuna kitu kama kuchinjwa mwaka huu kwenye uchaguzi m k u u w a O k t o b a . Wananchi watapiga kura kwa amani na salama, na Tume ya Uchaguzi itamtangaza mgombea aliyepigiwa kura nyingi, bila ya kujali jina lake n a a l a m a ya c h a m a alichowakilisha.

Wasaidizi wa shetani w a m e k u f a . W a l e waliokuwa wakiamini u s h i n d i wa m a b a v u ndio unaowapatia ulwa na starehe, wajue hilo halitatokea safari hii. Ushindi wa staili hiyo ulikuwa ukiwezeshwa n a s h e t a n i , a m b a y e ameshastaafu.

Uzalendo unalipaWazanzibari kuungana k a t i k a k u l i d a i h i l o . Kwamba wote pamoja na tofauti zao za kisiasa, lakini ni Wazanzibari k w a n z a . Wa u n g a n e kupigania kuitoa nchi yao katika kuwa ‘manispaa’ kuirejesha katika hadhi yake ya zama na tangu ya kuwa nchi na dola.

A k i t u m i a n e n o l a K i i n g e r e z a , a l i s e m a Zanzibar ilikuwa ‘Empire’, lak ini kat ika mundo wa muungano wa sasa imekuwa ni ‘Political Sub-division’ ya Tanganyika. Ni Manispaa Fulani hivi inayovikwa kilemba cha ukoka kuwa ni nchi yenye serikali. Akifafanua hilo akasema kuwa yeye kama mwanasheria amesoma na kupitia sheria zote ikiwemo ile ya Benki Kuu, hazitambui kuwa Zanzibar ni nchi. Na ndio maana hata makampuni yanayofanya biashara Zanzibar, hayalipi kodi Zanzibar i la VAT tu. Kodi yote huenda Bara. Na akatoa mfano wa kesi iliyokuwa mahakamani juu ya kodi kutoka Zantel ikishitakiwa kuwa hailipi kodi Bara.

Akitumia masikhara, a k a w a u l i z a v i j a n a , h i v i k a m a we we n i m wa n a m u m e , r i j a l i , mtu akakuita vingine, si utapigana?

Kwa swali hilo ndio akasema, itakuwa ni hali ya kushangaza sana kama Wazanzibari wataendelea k u k u b a l i k u i t wa n a kufanywa ‘political sub-division’ ya Tanganyika w a k a t i w a l i k u w a ‘Empire’. Na akawataka watambue kuwa wao ndio wenye nyumba na hivyo, wasikubali kuweka nyumba yao rehani kwa kilo ya mchele. Akiwasisitiza walitizame jambo hilo kwa uzito wake kwani ilivyo sasa ni

ukoloni kasorobo.Katika hali ya msisitizo

mkubwa kabisa Othman M a s o u d O t h m a n a k a w a t a h a d h a r i s h a Wazanzibari wakienda Dodoma katika lile Bunge la Katiba wawe wamoja. Wasije kuwa mfano mbaya kama ule uliotajwa katika Qur’an kwamba unawaona w a t u u n a w a d h a n i a kuwa ni wamoja, kumbe ‘Qulubuhum Shattta’.

Akanukuu aya hiyo iliyo katika Al-Hashri inayosema:

“Utawadhania kuwa wako pamoja, kumbe nyoyo zao ni mbalimbali. Hayo ni kwa sababu wao ni watu wasio na akili.” (59:14)

“Fa’atbiruu yaa Uli-l absaar” , a l iwahimiza Wazanzibari akiwataka w a s i w e k a m a h a o walioambiwa kuwa ni “Qaumun laa ya’aqiluuna.”

Zingatieni enyi wenye akili na macho ya kuona. Alihit imisha Masoud hotuba yake ya ufunguzi wa Baraza la Katiba kwa Muungano wa Vyuo Vikuu, Zanzibar.

L a k i n i w a n a s e m a Waswahili, siko la kufa halisikii dawa. Pamoja n a m s i s i t i z o h u o wajumbe wa Zanzibar wa l i p o f i k a D o d o m a wakadhihirisha yale yale waliyotahadharishwa na Mwanasheria Mkuu wao.

“Utawadhania kuwa wako pamoja, kumbe nyoyo zao ni mbali mbali. Hayo ni kwa sababu wao ni watu wasio na akili.” (59: 14)

O t h m a n M a s o u d h a k u k u b a l i k u i n g i a katika kundi hilo. Alibaki na msimamo wake wa kutetea kuitoa Zanzibar katika hadhi yake ya sasa ya kuwa “political sub-division’ ya Tanganyika kurejea katika ‘empire’.

Na hilo ndio linampa heshma.

walivyokuwa wakiyajua wakati wakiwa na umri walionao wao leo.

Leo uwezo wa watoto k u h o j i w a z a z i w a o u m e p a n d a k i w a n g o kiasi kwamba hata vitoto vinavyoanza elimu ya madrasa leo vinauliza kwa wazazi wao mambo

makubwa tena yenye yanayofikirisha kuliko walivyokuwa watoto wa zama zilizotangulia.

Mifumo ya kielimu inatofautiana, mazingira yanatofautiana, vyakula vinatofautiana, basi hata akili za watoto wa leo ni tofauti na walizokuwa

nazo wazazi wao katika wakati ule. Ya leo ni dunia iliyo tofauti kwa mambo mengi.

W a h a f i d h i n a w a M u e m b e k i s o n g e n a we n z a o h a wa j a p a t a kusikia kwamba kitoto kimoja kilimkataza baba yake kuvaa shati ya kijani,

Page 14: ANNUUR 1193

14 AN-NUURDHULQAAD 1436, IJUMAA SEPTEMBA 4-10, 2015

MAKALA

Vyombo vya habari na ushiriki nchi za Magharibi Mauaji ya kimbari YemenInatoka Uk. 9kufatilia kinacholengwa ardhini na ndege za aina ya F-16 za kijeshi. Kuwaingiza watu katika njaa kwa wingi kwa kuondoa njia za chakula kupatikana, pamoja na maji na huduma za tiba kutokana na kuwekwa vizuizi vya njia za anga na baharini kwa nchi hiyo kuongeza ukali wa uharamia huo. Ni mauaji ya kimbari kwa njia yoyote ya kuelewa neno hilo.

Licha ya hali mbaya na ushiriki wa serikali za nchi za Magharibi katika mkasa huu wa kibinadamu, vyombo vya habari vya nchi za Magharibi vinakwepa kutoa habari za mauaji na uharibifu unaoendelea Yemen, Pale mashirika ya habari yanapotoa taarifa fupi, huwa wanavuruga kiini cha machafuko kana kwamba yanatokana n a p a n d e m b i l i zinazopigana, ambazo ni 'Saudia na washirika wa k e ' k wa u p a n d e mmoja na 'waasi wa ki-Huthi wanaoungwa mkono na Iran' kwa upndwe mwingine.

H e b u t u m a l i z a n e na upotoshaji huu wa kudhamiria, Waasi wa ki-Huthi hawaungwi m k o n o n a I r a n . Wanawezaje wakat i Yemen imezungukwa kila upande na majeshi ya Saudia na Marekani? Wa-Huthi wana ushirika na jeshi la taifa la Yemen na makundi mengine ya waasi, yanayofahamika kwa jina la Kamati za Wananchi . Mapema mwaka huu, wimbi l a k i m a p i n d u z i l i l i m f u k u z a r a i s kibaraka anayeungwa mkono na Saudia, Abdel Rabbo Mansour Hadi, wakachukua maeneo makubwa ya nchi, ikiwa ni pamoja na mji mkuu Sanaa.

Ndiyo maana Saudia na washirika wake wa

tawala za kidikteta za Ghuba, pamoja na utawala wa kidikteta wa Misri wa Abdel Fattah al-Sis i , wal iungana kuipiga mabomu Yemen. Wanadai kuwakilisha 'serikali halali ya Yemen' ikiwakilishwa na Hadi na kikundi chake cha wala rushwa ambao wako uhamishoni huko Riyadh, mji mkuu wa Saudia. Siyo jambo la kushangaza kuwa madikteta wa eneo hilo wanaogopa wimbi la kimapinduzi kuenea, kama wanavyohofia wafadhili wa Magharibi wa tawala h izo za kidikteta.

Marekani, pamoja na Uingereza na Ufaransa, inaunga mkono wimbi la kuipiga mabomu Yemen la Saudia na washirika wake, siyo tu kisiasa na kidiplomasia ila hata kwa kutoa ndege za kivita, makombora na nyenzo za uwasilishaji wa vifaa. Marekani imeunda kituo cha uunganishaji mawasiliano ya kijeshi n c h i n i S a u d i a i l i kuratibisha miruko ya ndege za kivita za F-16 zenye marubani wa Kiarabu. Ujerumani pia inahusika, kwa mujibu wa gazeti la Der Spiegel, kuwa ndiyo muuzaji wa nne mkubwa wa silaha kwa Saudia, baada ya Ufaransa, Uingereza na

Italia.Ardhini nchini Yemen

kuna vikundi vya watu wanaomuunga mkono Hadi aliyeondolewa madarakani. Mapigano kati ya makundi haya na majeshi ya kimapinduzi ni kweli yameongeza idadi ya vifo miongoni mwa raia. Juhudi za vyombo vya habari vya nchi za Magharibi k u o n y e s h a k u w a kuna aina ya vita vya wenyewe kwa wenyewe ni upotoshaji mkubwa.

M i o n g o n i m w a vikundi vya ki jeshi vinavyomuunga mkono Hadi ni askari kutoka Saudia na Falme za Kiarabu. Askari kadhaa za Saudia na Falme walihakikishwa kuwa w a m e u a w a k a t i k a m a p i g a n o ya h i v i karibuni katika maeneo ya kusini kuzunguka jiji-bandari la Aden, pamoja na kurushiana moto katika mpaka wa kaskazini wa Yemen na Saudia.

Vikosi vya wavamizi vikiongozwa na Saudia vimepanua ushiriki wake katika vita ya ardhini katika mwezi mmoja uliopita kwa kuingiza mizinga na magari ya deraya ya kubeba askari na kufikia kiasi cha askari 3,000 wa Saudia na Falme za Ghuba, kwa mujibu wa

gazeti la Uingereza la Financial Times.

Pia miongoni mwa vikundi vinavyomuunga mkono Hadi ni askari wa kulipwa kupigana Jihadi kutoka maeneo tofauti ya ukanda huo yaliyoingizwa nchini Yemen na Saudia, kwa mujibu wa vianzio vya kiraia na kijeshi nchini Ye m e n . N i m b i m u hiyo hiyo iliyotumiwa na Saudia na tawala za Ghuba nchini Syria katika miaka minne i l iyopita kuipindua s e r i k a l i ya A s s a d , pamoja na misaada ya siri kutoka Uturuki, Jordan, Israel na serikali za nchi za Magharibi.

Vyombo vya habari vya nchi za Magharibi vimetoa, bila shaka, n a f a s i k u b w a y a kufuatilia mapigano nchini Syria, vikijikita katika dhana potofu ya 'waasi wa siasa za wastani' wanaopambana n a ' u t a w a l a w a kidhalimu.' Syria inapata nafasi katika vyombo h i v y o k wa s a b a b u Marekani, Uingereza na Ufaransa wanataka mabadiliko ya utawala nchini humo kutokana na mikakati yao, hasa kuvuruga washirika wa Assad kama Russia na Iran. Tofauti na hapo, kurudisha utawala w a w a l a r u s h w a

uliopinduliwa nchini Yemen siyo habari ya kuchangamsha. Hivyo, vyombo vya habari vya nchi za Magharibi vinaipuuzia Yemen.

W a p i g a n a j i w a Jihadi nchini Yemen w a n a e n d a n a n a makundi ya siasa kali ya ki-Sunni kama Al Qaeda na mkusanyiko wa Dola ya Kiislamu, wakilenga zaidi kulipua mabomu katika misikiti wanakosali wafuasi wa ki-Shia wa kabila la Huthi.

M a r e k a n i n a washirika wake wa nchi za Magharibi kwa maana hiyo wanahusika kwa ina katika vita batili ya uchokozi dhidi ya Yemen, inayoendeshwa na Saudia na tawala nyingine za kidikteta za Kiarabu zikishirikiana na mitandao ya kigaidi ya Kiislamu. Kuongeza 'ufanisi' kwa ugaidi huu unaousimamiwa kiserikali ni kuzingirwa kwa nchi hiyo na kuzuia misaada ya mahitaji ya kibinadamu ya watu wake.

Kinachotokea nchini Ye m e n n i u h a l i f u dhidi ya binadamu unaofanywa na serikali za nchi za Magharibi. Ni uhalifu wa kutisha. Na ndiyo maana vyombo vya habari vya nchi za Magharibi havithubutu k u u z u n g u m z i a . V y o m b o h i v y o vinawajibika kupuuza, kuvunga na kupotosha ukweli huo unaotisha wa yale serikali zao zinayotenda nchini humo.

Hii inafanya vyombo vya habari vya nchi za Magharibi kuwa washirika wa uovu huu unaoendelea.

( I m e a n d i k w a n a Finian Cunningham na kutafsiriwa kwa Kiswahili na Anil Kija)

WANANCHI wa Yemen wakiwa wamebeba mwili wa mtoto baada ya mashambulizi ya Majeshi ya Saudia Arabia nchini humo.

Page 15: ANNUUR 1193

15 AN-NUURDHULQAAD 1436, IJUMAA SEPTEMBA 4-10, 2015

MAKALA

CCM yawabamiza tena MasheikhSalaam katika ‘ugaidi’ wa kuchoma makanisa. Hakuna mahali popote ambapo uwongo, uzushi n a u c h o c h e z i h u u ulikemewa, pamoja na kuwa ilikuwa ni jambo hatari la kuchochea chuki, uhasama, farka na visasi baina ya Waislamu na Wakristo. Nasema ni uwongo, uzushi na uchochezi kwa sababu hakuna namna yoyote i l e , U M A S H O h a o wangeweza kupakia mamia ya ‘magaidi’ katika boti ya kukodi kuwaleta Dar es Salaam kufanya ugaidi, vyombo vya dola wasijue. Na ukisikia hilo limetokea, basi ujue huo ni mpango wa kutengenezwa chini ya uangalizi na uongozi wa Dola yenyewe na vyombo vyake.

Sasa leo katika kipindi hiki cha kuomba kura zikiwemo za Waislamu, C C M i n a k u j a n a uwongo, uzushi na uchochez i u le u le . Kwamba Masheikh wetu walihusika kuchoma Makanisa Mbagala! Hivi CCM hawa kwa kusambaza uzushi huu, wanawatangazia nini Watanzania wenzetu Wakristo? Je, wanataka kuwaambia watushikie m a p a n g a , m i k u k i , s ime na p inde (na wapo wenye bunduki na bastola kisheria) kama alivyotangaza yule mchungaji mmoja aliyedai kuwa serikali imeshindwa kuwalinda Wakristo na makanisa yao dhidi ya ‘masheikh’ wachoma makanisa?

Aliwahi kuniambia bwana mmoja kuwa CCM Chama makini sana na kimeonyesha ukomavu wa hali ya juu. Nikamuuliza kwanini? Akasema, “kimeweza k u k a t a m a j i n a y a wagombea wakubwa na maarufu bila kujali wanavyoungwa mkono na watu wengi.”

Ni kweli CCM chama j a s i r i s a n a . L a k i n i kama ni ujasiri, basi ni

Inatoka Uk. 12

huu. Kutokujali hisia wala machungu ya Waislamu katika kadhia hii ambapo Masheikh wao wanakamatwa na kubambikwa kesi zisizoeleweka kiasi cha mahakama kushindwa kuziwekea utaratibu wa kusikilizwa na kutolewa hukumu kisheria. Ujasiri huu ulianza kuonekana Bungeni wakati Waziri Mkuu Pinda alipodai k u wa h a n a h a b a r i kwamba kuna Masheikh w a p o r u m a n d e wanaolalamika kwamba wanadhalilishwa. Leo katika kampeni, sio tena kwamba hawana habari kwamba kuna Masheikh wanashikiliwa, bali sasa CCM wanatoa hukumu jukwaani. Tunasubiri adhabu!!!

Wiki iliyopita gazeti hili liliandika mkasa uliomkuta Ustadh Jamal Yassin. Yassin ambaye ni mmoja wa wahanga katika harakati hizi unazoweza kuz i i ta za kuwadhalilisha na kuwahujumu Waislamu.

Akie lezea masa ibu yaliyomkuta alisema kuwa yeye alikamatwa a k iwa n a we n z a k e (wananchi wenzake) wa w i l i wa l i o k u wa pamoja katika daladala. Akiwa na abiria wenzake ambao ni wanawake, wa l i p i t i a b a r a b a r a i e n d a y o S t e s h e n i au Makao Makuu ya Jeshi la Polisi (Central) K a n d a M a a l u m ya Dar es Salaam, njiani walikutana na gari ya Polisi, na kuamriwa wasimame na wakae chini.

A n a s e m a , p o l i s i wale waliwauliza dini zao ambapo wenzake wote walijibu kuwa ni Wakristo, mmoja akiwa Sabato na mwingine Pentekoste. Hao wao mahojiano yalishia hapo wakaambiwa waondoke. Kazi ilikuwa kwa Jamal. Alirushwa kichura hadi kuingizwa kwenye gari na kupelekwa polisi amb apo a l ipokewa kwa shangwe polisi w a k i p o n g e z a n a

kwamba wamekamata gaidi. Ustadh Yassin, anasema alistuka zaidi alipoamrishwa alale chini na alipolala alisikia afande mmoja akiuliza, “vipi tummalize hapa hapa au tumuachie”?

Hata hivyo anasema alifika afande mmoja aliyemtaja kwa j ina l a M o h a m m e d , a m b a y e a l i i n g i l i a k a t i a k i w a a m b i a k u w a a l i w a o n a walipomkamtia kuwa ni jirani na hapo Polisi, akiwa na wanawake wawili na kuwasihi wamwachie aende zake. Hata hivyo anasema, u te tez i u le kutoka kwa Polisi mwenzao, a l i y e s h u h u d i a a l i v y o k a m a t wa n a a l i p o k a m a t i w a , haukusaidia kitu.

Simulizi ni ndefu na madhila ni mengi yaliyomkuta Jamal kabla ya kuachiwa, lakini mambo ya kuzingatia katika kisa hiki ni haya:

M o j a n i k u w a w a l e w a l i o k u w a wakiandamana na Jamal, waliachiwa kwa kusema

kuwa wao ni Wakristo. Pili, huyu Jamal eyeye hakuachiwa kwa sababu hakuwa katika moja ya madhehebu ya Kikristo. Tatu, kanzu yake ilikuwa kidhibiti namba moja. Nne, anatajwa ‘afande’ Mohammed ambaye alikuwa akishuhudia mkanda wote huu na aliyosema. Tano, mwisho wa yote polisi wenyewe wal i th ib i t i sha ya le waliyoambiwa awali na ‘mwenzao Mohammed’ k u w a w a l i f a n y a makosa kumkamata mtu kutokana na dini yake na mavazi yake. Sita, ambalo ni muhimu zaidi, mpaka leo toka habari za Ustadh Jamal zitoke gazetini, si polisi au afisa yoyote wa serikali aliyekanusha k u t o k e a k wa h a ya aliyosimulia Jamal. Hii maana yake ni nini? Maana yake ni kuwa, wanakubakuli kuwa yametokea. Pili, hakuna kauli iliyotoka mpaka sasa, ya kukemewa polisi waliohusika na tukio hilo. Ambayo maana yake ni kuwa h a t a k a m a a s k a r i wale hawakutumwa n a w a k u b w a w a o kufanya waliyofanya, lakini wakubwa hao wa n a ya r i d h i a ya l e ya l i y o f a n y i k a . N a hakuna tafsiri sahihi unayoweza kuitoa zaidi ya kwamba huo ni ushahidi kwamba kuna udini unaowahujumu Waislamu.

S a s a k a m a k w a miaka 54 ambayo CCM imekaa madarakani, leo Mtanzania unapita b a r a b a r a n i , u k i wa na kanzu, ndevu na k i l e m b a , i n a k u w a ndio kidhibiti kwamba wewe ni muhal i fu , C C M n a M a g u f u l i w a k e w a n a o m b a kura za Waislamu ili wa wa o n g e z e e n i n i katika madhila haya?

Labda hili ndilo wakija waseme. Zile ngonjera na porojo kwamba katika nchi hakuna udini , wakawaambie wale ambao wakikamatwa na polisi, utetezi wao ni kusema tu kuwa wao Pentekoste au kuonyesha Rozari zao.

DKT. John Magufuli, mgombea Urais kwa tiketi ya CCM.

Page 16: ANNUUR 1193

16 AN-NUURDHULQAAD 1436, IJUMAA SEPTEMBA 4-10, 2015

MAKALA

Aibu kwa WaislamuInatoka Uk. 12Kinachofanyika Yemen, ni uvamizi na mauwaji y a n a y o f a n y w a n a Saudia kwa kutumia silaha kali za Marekani ( A m e r i c a n - s u p p l i e d “precision bombs” and F-16 fighter jets) wakati huo huo, wananchi wa nchi hiyo, wakitiwa n j a a n a m a g o n j wa k w a k u n y i m w a chakula, maji, umeme na madawa, kwa vile hakuna kinachoingia, si kupitia nchi kavu, angani wala majini. Kwa hakika ni ukatili na ushenzi uliovuka mipaka wanaofanyiwa wananchi wa Yemen. Na mauwaji ya Kimbari (genocide) kwa vigezo vyote na tafsiri zote zinazokubalika duniani.

Nakumbuka tuliwahi k u a n d a m a n a h a p a mwaka 2008 kulani uvamizi na mauwaji yaliyokuwa yakifanywa na Isarel kwa wananchi wa L e b a n o n . N i n i k i m e t u s i b u l e o ? Wais lamu wenzetu wa Yemen wanauliwa, k i m y a a a ! ! ! L e o Netanyahu akirudi L e b a n o n a u G a z a , tutakuwa na uso gani wa kumlaumu, ikiwa

atakayofanya ndio haya haya yanayofanywa na Saudi Arabia kwa Yemen na tumeshindwa kufunua mdomo japo k u o n y e s h a k u w a t u m e c h u k i z w a n a vitendo vya Riyadh! Tu n a a m b i wa k u wa CNN na BBC wamepiga kimya kwa sababu nchi zao ni watuhumiwa. Na sisi huku imekuwaje?

Wa k a t i s i a s a z a kibeberu zinaitumia Saudia Arabia, kuuwa

Warabu na Waislamu wenzao wa Yemen, sisi huku nasi tumerogwa na siasa hizo hizo za kibeberu. Badala ya kulitizama suala hili katika sura yake sahihi, tumeingizwa katika malumbano ya Shia na Sunni. Tumekuwa kama Wazanzibari-Pemba na Unguja, CCM Vs CUF. N c h i i n a z a m i s h wa inakuwa ‘Manispaa’ k a t i k a M f u m o wa Muungano wa Serikali

Mbili’, wao wamebaki wakiparurana, suala la msingi wanaliacha pembeni.

Yemen wanauliwa binadamu. Ile kwamba Rais al iyet imuliwa, ni kipenzi cha Saudi Arabia, iliyo Sunni, haihalalishi mauwaji w a n a y o f a n y i w a binadamu na wananchi w a Ye m e n . K a m a t u n a d h a n i S a u d i a inapigania ‘Usuni’ na kama tunaamini kuwa

‘Ushia’ ndio tatizo la Yemen, mbona Saudia iliunga mkono kupigwa na kuuliwa Muammar Gadhafi, Sunni, na hali ya wananchi wa Libya, leo ikoje? Mbona Saudia Arabia hiyo hiyo iliunga mkono kupigwa Saddam Hussein ambaye alikuwa Sunni na akituhumiwa kuwapa kibano Mashia walio wengi Iraq!

Kama suala ni ‘Usuni’ na ‘Ushia’, mbona Saudia hiyo hiyo imejiunga na Marekani kuwapiga ‘Masuni IS’ waliotangaza kusimamisha Khilafah Syria na Iraq? Kama Marekani na Saudia z i n a wa p e n d a s a n a ‘Masuni’ , kwani Al Shabaab wa Somalia, ni Mashia?

Kulitizama suala la Yemen katika jicho ya ‘Usuni’ na ‘Ushia’, ni kutojielewa (nashindwa kusema ni ujinga na upumbafu) na pengine u k i b a r a k a u n a o t i a kichefuchefu. Ni Msiba!

Kwa kiwango hiki cha kutojitambua, ni wazi kuwa tuna matatizo m a k u b wa a m b a y o , kama yalivyoshindikana kwa Mzee Mwinyi , Mkapa na sasa Rais Kikwete , hayawezi kutatuliwa na Lowassa wala Magufuli.

Kilio cha wahamiaji Ulaya matokeo ya vita vya ugaidiInatoka Uk. 10Shir ika la Umoja wa Mataifa la Wakimbizi UNHCR Bw. António Guterres hivi karbuni alieleza kushtushwa kwake na ajali ya boti Jumamosi i l i y o p i t a i l i y o k u w a imebeba wahamiaji katika bahari ya Mediterranean na kuuwa idadi kubwa zaidi ambapo ni watu 50 tu kati ya 700 walionusurika.

Taari fa ya UNHCR imemnukuu Bw. Guterres akisema kuwa kufuatia janga hilo la kihistoria, a m e t a k a m s a a d a wa haraka wa uokozi kwa walionusurika na ajali hiyo, huku pia akitaka pia suluhu ya muda mrefu ya wahamiaji kwenda barani Ulaya.

Katika kutatua tatizo la wahamiaji haramu na wakimbizi, UNHCR

i m e s e m a i m e a n d a a mapendekezo ukiwamo kutaka kufanyika utafiti yakinifu, operesheni za uokoaji, utafutaji wa makazi salama, vibali vya kusafiria kama sehemu ya usaidizi wa kibinadamu pamoja na kuunganishwa tena familia za wahamiaji.

Mwaka huu wa 2015, zaidi ya watafuta hifadhi 35 ,000 na wahamia j i wamewasil i kwa nj ia ya boti barani Ulaya na idadi ya vifo kama ajali ya Jumamosi iliyopita vitathibitishwa, itafikia watu 1600. Mwaka 2014 takribani watu 219,000 walivuka Mediterranian n a 3 , 5 0 0 wa l i p o t e z a maisha.

Kutokana na hali kuzidi kuwa mbaya, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban Ki-moon, amesema kuwa ataitisha mkutano u t a k a o s h u g h u l i k i a

uhamiaji na kuongezeka kwa mizozo ya wakimbizi wakati wa mkutano wa Umoja wa Mataifa mwezi Septemba.

"Haya ni maafa ya b i n a d a m u a m b a y o yanahitaji nia ya pamoja ya kisiasa kuyashughulikia ," amenukuliwa akisema Bw. Moon.

H i v i k a r i b u n i , a l i s h u t u m u k i t e n d o c h a k u f a wa h a m i a j i wapatao 70 waliokuwa wamefungiwa kwenye lori katika mpaka wa Hungary na Austria na wakati watu wanaokadiriwa kufikia 200 wakihofiwa kufa maji nje ya pwani ya Libya, pale boti mbili zilizokuwa zimejaza watu kupita kiasi kupinduka..

Wiki iliyopita Bw. Ki-moon alitoa wito kuzitaka serikali za Ulaya kuongeza juhudi za kuushughulikia matatizo ya wahamiaji

kufuatia wengi zkuendela kuzama majini.

Zaidi ya watu 300,000 wamejaribu kuvuka bahari ya Mediterania hadi sasa katika mwaka huu 2015 ukiwa bado haujaisha, idadi ambayo ni ya juu kutoka 219,000 ya mwaka jana.

Ofisi ya kimataifa ya wahamiaji imeorodhesha vifo 2,636 vinavyohusiana na kuvuka bahari ya M e d i t e r a n i a m wa k a huu, na wengi huenda wa m e p o t e a c h i n i ya mawimbi ya bahari bila ya kugunduliwa na waokoaji.

K i l a s i k u , m a e l f u wanaingia katika boti a m b a y o n i m a b o v u wakitaka kwenda Italia ama Ugiriki, na wengi zaidi wanajiweka wao pamoja na familia zao katika mikono ya wasafirishaji binadamu kwa kutembea kwa siku kadhaa ama kwa wiki kadhaa katika mataifa

ya Balkan kuelekea kile wanachotumai itakuwa maisha bora ya baadaye. Wengi wanakimbia vita, mzozo ama kukamatwa na serikali zao.

Wahamiaji wengine wanatokana na sababu ya kuwepo hali mbaya katika vituo vya wakimbizi, kwa mfano nchini Syria.

Aidha wengi wanahama mahali walipo kufuatia kupunguzwa bajeti ya kuwahudumia na baadhi ya nchi za Ulaya kukataa kuwapokea watu zaidi.

Yote haya yamelazimu UN kupanga mkutano maalum wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa utakaohudhuriwa na v i o n g o z i w a d u n i a katika makao makuu ya Umoja huo mj in i New York Septemba 30, utakaoshughulikia na masuala haya yanayozua wasi wasi wa dunia.

HALI ilivyo sasa Yemen kufuatia mashambulizi ya anga ya Saudi Arabia nchini humo.

Page 17: ANNUUR 1193

17 AN-NUURDHULQAAD 1436, IJUMAA SEPTEMBA 4-10, 2015

MAKALA

Kwanini kitoto cha Kipalestina kinachomwa moto?Inatoka Uk. 7A k i z u n g u m z a n a s h i r i k a l a utangazaji la CNN alithubutu kusema eti, “Wapalestinaa wanajiua wenyewe m a k u s u d i i l i kuchafua jina la Israel.”

H a l a f u k u n a waziri wa ‘ulinzi’ wa N e t a n ya h u , M o s h e Ya a l o n ambaye alieleza mauaji ya Ali kuwa ni “kitendo cha kusikitisha na cha ugaidi ambacho s i y e h a t u w e z i k u k i k u b a l i . ” A k a d a i k u w a wauaji watasakwa mpaka wapatikane na watafikishwa mahakamani.

Lakini ni Yaalon huyuhuyu ambaye aliwahi kutamka k u w a I s r a e l haitasita kuwaua raia wa Palestina na Lebanon, pamoja na watoto wao, kama ikilazimika kufanya hivyo.” Na wakati alipokuwa mkuu wa majeshi ya Israel a l iwahi kusema Wa p a l e s t i n a n i sawa na “ugonjwa wa saratani” na kwa hivyo wanapaswa wamalizwe kwa k u t u m i a d a w a m a a l u m y a “chemotherapy”. Matamshi haya ya uchochezi dhidi ya Wapalestina ni jambo la kawaida m i o n g o n i m wa viongozi wa Israel. N d i o m a a n a mwezi Juni mwaka j a n a , m b u n g e wa Israel, Ayelet Shaked alitamka kuwa wanawake wa K i p a l e s t i n a w a n a p a s w a wauliwe wakiwa wamelala nyumbani kwao, ili kuzuia wasizae “nyoka”.

Huyu badala ya k u c h u k u l i w a h a t u a k w a kuchochea mauaji alipandishwa cheo na kuwa waziri wa sharia

H a l a f u k u n a m h u b i r i w a Kiyahudi (rabbi), E l i B e n - D a h a n anayeishi katika J e r u s a l e m i l iyovamiwa na I s r a e l . H u y u aliwahi kutamka kuwa “Wapalestina si wanadamu bali ni wanyama”. Leo amekuwa makamo wa waziri wa ‘ulinzi’ k a t i k a s e r i k a l i y a N e t a n y a h u n a a n a o n g o z a utawala wa kijeshi unaodhibiti Ukingo wa Magharibi. Si ajabu mchungaji h u y u h a j a s e m a l o l o t e k u h u s u k u u l i w a k w a kitoto Ali . Yeye n i m i o n g o n i mwa wachungaji wa n a o f u n d i s h a imani inayopelekea k u a w a k w a W a p a l e s t i n a . W a c h u n g a j i wenzake ni Yitzhak Shapira na Yosef E l i t z u r a m b a o m n a m o 2 0 0 9 waliandika kitabu kiitwacho Taurati ya Mfalme (Torat

Hamelech). Hiki ni kitabu kinachosema eti ni halali kwa Wayahudi kuwaua wasio Wayahudi. Ni kwa sababu eti sharia ya Kiyahudi i n a r u h u s u kuwaua watoto Wakipalestina kwa sababu “wakikua w a t a t u d h u r u . Katika hali kama h i y o n i h a l a l i kuwazuia wasije k u t u d h u r u w a t a k a p o k u w a wakubwa”

W a c h u n g a j i hawa hawajazuiwa k u e n e z a s u m u h i i d h i d i y a Wapalestina, bali w a m e r u h u s i w a k u e n d e s h a mafundisho yao katika makazi ya Yitzhar ambako k u n a wa l o we z i wenye msimamo mkali. Ni jirani na ki j i j i cha Duma ambako kitoto Ali kilichomwa

M c h u n g a j i m w e n g i n e mwandamizi n i Dov Lior anayeishi katika Ukingo wa Magharibi. Huyu sio tu ameunga mkono kitabu hicho b a l i a k a o n g e z a kuwa ukanda wa Gaza “unapaswa u t e k e t e z w e kikamilifu”.

K u t o k a n a n a

haya yaliyotajwa hapa na mengineyo, tunaweza tukaelewa m a z i n g i r a y a l i y o p e l e k e a kuchomwa kwa Ali. Ni mazingira haya ndio yanayoibua hisia za chuki na a r i ya k u wa u a Wapalestina. Pale a m b a p o m t o t o wa K i p a l e s t i n a anapoitwa “mtoto w a n y o k a ” n a viongozi, matokeo yake ni kuhalalisha k u u a wa k wa k e n a k u s h a n g i l i a kuuawa huko.

Jamii kama hii h a i w e z i k u d a i kuwa inachukizwa na ugaidi. Viongozi wake hawawezi w a k a d a i k u w a inaomboleza au inalaani mauaj i y a k i t o t o c h a Kipaestina. Kufanya h i v y o n i s a wa na kudondosha machozi ya mamba. N d i o m a a n a ulimwengu wa watu wanaopenda haki na amani unapaswa u k a j i t o k e z a n a k u u n g a m k o n o haki ya Wapalestina kujitawala katika nchi yao. Bila ya kufanya hivyo ni unafiki kudai kuwa tunalaani ugaidi duniani.

[email protected]

MWILI wa Bwana Saad Dawabsheh ukipelekwa mazikoni.

1. Dua tumuombe Mola, Muumba asiye shakaHana sifa ya kulala, wala bado hajachokaKafika kila mahala, dunia kaizungukaDua tuombeni sana ni ubongo wa ibada

2. Tuombe kwa zetu shida, Mola atatuauniTwahitajia msaada, sisi kwake masikiniTufanye ni kawaida, asubuhi na jioniDua tuombeni sana, ni ubongo wa ibada

3. Hata tukiwa rahani, kuomba tusisahauInazidisha Imani, ya Mola kutodharauHili liwe akilini, na wakati ndio huuDua tuombeni sana, ni ubongo wa ibada

4. Mtume katuhimiza, kila jambo ni kwa duaHilo tusijepuuza, ovyo tukajiendeaChochote unachoanza, Mola kumuelekeaDua tuombeni sana, ni ubongo wa ibada

5. Unapotoka nyumbani, dua iwe ya awaliKujikinga na shetani, wasije kukukabiliMengi majanga njiani, Mungu ayapishe mbaliDua tuombeni sana, ni ubongo wa ibada

6. Unapokwenda kazini, kutafuta cha halaliAu la msikitini, swala tano kuziswaliNa iwe hata sokoni, dua kuacha muhaliDua tuombeni sana, ni ubongo wa ibada

7. Popote unapokwenda, dua ndio ngao yakoMuumba atakulinda, uepuke masumbukoDua ikisha kushinda, mwenzangu huna mashikoDua tuombeni sana, ni ubongo wa ibada

8. Ukiingia chooni, dua usijeiachaUepukane na jinni, huko yeye hujifichaHuo ni utamaduni, uwe nao kutwa kuchaDua tuombeni sana, ni ubongo wa ibada

9. Enyi ndugu Islamu, lengo ni kukumbushanaDua kuomba muhimu, uwe nacho au hunaSote tushike hatamu, haya kwetu ni bayanaDua tuombeni sana, ni ubongo wa ibada

10. Hapa nimehitimisha, sinalo la kuongezaMachache nilofikisha, anza leo kujifunzaMikono nimeiosha , ni kwenu kutekelezaDua tuombeni sana, ni ubongo wa ibada

MTUNZI NI: SULUHU A. HAMZAC/O ZAINAB H. MTIMA (0777 357 031)P. O. BOX 1898 ZANZIBAR 0776 720 588

KUOMBA DUA

Page 18: ANNUUR 1193

18 AN-NUURDHULQAAD 1436, IJUMAA SEPTEMBA 4-10, 2015

MAKALA

Jee Unajua?

FUKUTO kuhusu suala la Richmond limeanza kushika kasi tena baada

ya baadhi ya 'waliokatwa' katika kugombea nafasi ya kushika bendera ya CCM wakati wa uchaguzi mkuu Oktoba 25 kuona haja ya kuendeleza ushindani wao na Edward Lowassa kwa njia nyingine. Wako wawili ambao maelezo yao yanahitaji kuangaliwa kwa karibu, wa kwanza akiwa ni waziri Dk. Harrison Mwakyembe kusema kuwa Richmond ilikuwa kampuni ya mfukoni, akidai kuwa ilikuwa ni ya kutengeneza kadi za harusi. Yuko vile vile Samuel Sitta.

Huyu, spika wa wakati ule aliyesaidia sana kusuka na kupangilia sakata la Richmond, alisema kuwa Lowassa ana utaj ir i wa kutupwa baada ya kuwa Waziri Mkuu kwa miaka miwili tu. Hivyo akiingia Ikulu itakuwa ni jambo la kutisha. Hili labda lipewe nafasi yake pembeni, wakati huu tuangalie kwanza la Dk. Mwakyembe, kuhusu kampuni ya Richmond na jinsi ilivyopewa tenda, na kama ilishindwa au ilihujumiwa, na pia, ilifaulu kiasi gani. Ikumbukwe kuwa Richmond ilijiweka pembeni ikauza mkataba wake kwa Dowans; ilikuwaje?

Cha kushanganza na ambacho kinathibit isha yale yaliyofahamika tangu mwanzo, ni kuwa wapinzani wa Lowassa wanajaribu kuweka mazingira kuwa hapakuwa na sababu hata moja ya maana ya kampuni ya Richmond kuteuliwa kwa mkataba ule. Pia wanataka kuainisha kuwa zilikuwa ni njama tu za aliyekuwa Waziri Mkuu wakati huo akiwa na uhusiano na mfanyabiashara wa sekta ya nishani, n.k. Yako maeneo ambako hadi sasa Lowassa anajaribu bado kulinda undani wa kile kilichotokea kwa sababu ya hitaji ya usiri, ni utii tu.

Moja ya maeneo hayo ni suala ambalo lilikuwa n a u m u h i m u m k u b wa katika kufikisha sakata la Richmond pale lilipofikia, ya a n i k u k a t a l i wa k wa kampuni hiyo kupata mkopo wa takriban dola milioni kumi kutoka Benki Kuu. Ni hali ambayo ilisababisha kuchelewa kwa kampuni hiyo kuleta mtambo huo wa megawati 100 . Kuna wakati mwandishi huyu alidhani waliuza tenda hiyo kwa Dowans, lakini taarifa zinathibisha waliuleta wao, wakauza hisa Dowans.

Sababu ya kuuza hisa Dowans ilikuwa ni kuchoshwa na kelele na madai ya kila aina kutoka bungeni, wakijua kuwa suala lilikuwa ni kuleta mtambo. Kiini cha mzozo huo ni kuwa sehemu kubwa ya Bunge ilitaka serikali itoe

Richmond!Na Anil Kija

fedha TANESCO ili wanunue mtambo watumie, na siyo apewe mtu tenda ya kuleta mtambo halafu wao wamlipe, wakainua fikra rahisi tu kuwa sababu ya serikali kutokutoa fedha hizo kwa TANESCO ni kwa sababu kulikuwa na watu wanataka kufaidi tenda hiyo. Kwa vile umma haujui kinachotokea, waliamini.

Kwanza kuna lile suala la "kuingilia mchakato wa tenda" kwani hili la serikali kutoa fedha kwa TANESCO kununua mtambo hawalitaji waziwazi, na badala yake wanalenga zaidi kuingiliwa tenda. Hali halisi ni kuwa mkataba ambao Richmond ilifikisha serikalini ulikuwa mzur i kul iko mkataba wowote ambao TANESCO ingeweza kufikia, kwani ulikuwa kama kutoa mtambo kwa dhana ya kurudisha fedha za kununua, na riba kiasi fulani. Richmond ilitia saini mkataba wa malipo ya mwaka mmoja, ila Dowans ikataka iwe miaka miwili.

Bado haijahakikishwa ni kwa kiwango gani malipo ya Dowans yalitofautiana na yale ambayo yangetolewa kwa Richmond endapo ingeendelea na mkataba huo badala ya kuuza hisa kwa Dowans ili kukacha malumbano. Lakini kwa hali yoyote i le, huwezi kulinganisha malipo ya Dowans ya miaka miwili kwa mtambo bora zaidi wa megawati 100 kuliko mingine iliyokuwepo, hasa IPTL na Songas. Tofauti haiko katika aina ya mitambo pekee, ila katika malipo, ya miaka 20 kwa IPTL, Songas. Ni kipindi chote cha uhai wa mtambo, kisheria.

Mtego wa kwanza wa sakata la Richmond ni kuchukia mikataka ya kuleta mitambo watu binafsi wafue umeme halafu TANESCO iwalipe kwa msingi wa kinga ya uweo wa kufua umeme wa mtambo, ili iwajibike kutumia huo umeme. Bila kinga hiyo ambayo ndiyo 'capacity charge' mwekezaji angeweza kuleta mtambo utumike kwa mufa fulani h a l a f u h a l i i b a d i l i k e , serikali iamue TANESCO isinunue umeme kutoka kwa mwekezaji huyo, halafu mitambo idode mikononi mwake. Capacity charge ni gharama ya TANESCO kubakia sekta ya umma; mwekezaji hawezi kufanya biashara na serikali bila kinga. Hii dhana kuwa serikali ina fedha za kuleta mtambo lakini Waziri Mkuu alitaka tu kuwanufaisha marafiki zake ni tatizo ambalo Mwalimu alilikabili kwa njia ya Azimio la Arusha na mfumo wa 'chama kushika hatamu' hasa kuanzia 1968.

Mwalimu alitaka maamuzi ya serikali yasitokane na kuafikiana na wabunge kuhusu hiki au kile, kwani da ima hawako mfumo

wa mawazo, au akili, ya kuelewa na kukubali kuwa serikali inafanya kazi katika mazingira gani . Hulka ya Bunge ni kuwa fedha zinapat ikana, na kama mbunge hakupata k i le anachohitaji kwa jimbo lake ni kwa vile serikali ilipendelea maeneo mengine au kupuuza tu mahitaji hayo. Mwalimu alielezea jambo hilo akisema 'mbunge akitaka kitu kwa jimbo lake, anaamini fedha zipo, tatizo ni waziri, tatizo ni serikali,' katika hotuba ya kijitabu Azimio la Arusha. Ndivyo ilivyokuwa 2006.

Si rahisi kusema yupo mbunge, hasa mwanakamati wa Kamati ya Kudumu ya N i s h a t i n a M a d i n i asiyefahamu kuwa serikali haiwezi kutoa fedha taslimu za kununua mtambo dola milioni 100 kwa sababu imetokea dharura. Inakuwa rahisi zaidi kwa serikali kulipa kidogo kidogo baada ya mtambo kufika, na kwa s a b a b u wa t e n g e n e z a j i wa mitambo hawawezi kuikopesha serikali, lazima itafutwe kampuni binafsi, ipewe tenda yenye kinga kuhusu malipo, ikopeshwe mtambo baada ya kulipa asilimia 25 kama kianzio. Ndiyo hapo tatizo lilianza.

R i c h m o n d h a i k u w a kampuni ya kutengeneza kadi za harusi kama wafitini wanavyosema, ila ilikuwa tayari ilishapata tenda ya kujenga bomba la mafuta kutoka Dar es Salaam hadi M wa n z a m wa k a 2 0 0 4 . Inavyoelekea ilipata tatizo la kuweka mazingira ya mikopo hapa nchini na siyo kuja na fedha taslimu kutoka nje, kwani mara nyingi ni uhusiano wa wafanyabiashara wa ndani na wa nje. Fitna inakuja katika kupata mkopo hapa ndani, hasa unapotokea Benki Kuu kwa dhamana ya serikali (kwa mfano

kununua mtambo), na kwa hili la Richmond, ni serikali iliyokataa kutolewa mkopo wa dola takriban milioni 10 kwa Richmond, waongeze katika dola milioni 15 ziifikie dola milioni 25, robo ya bei ya mtambo, nyingine walipe wakianza kulipwa. Hiyo ilielezwa katika hotuba ndefu ya Rais kwa mkutano mkuu wa uchaguzi wa CCM mwaka 2007, akidai kuwa "ungeweza kuwapa mkopo watu wale,

halafu wakapotea tu!" Ni hoja inayotokana na dhana kuwa mtu apate mkopo wa dola milioni 10 kuongezea na zake dola milioni 15 alete mtambo, wakilipwa wapate faida dola takriban milioni 25, karibu mara mbili ya mtaji wao halisi wa dola milioni 15. Ikasemwa kuwa watu hao wangediriki kuitapeli serikali, Interpol ianze kuwatafuta , nao wajifiche!

MHE. Edward Lowassa

1. Katika Lugha ya Kichina Uislamu unajulikana kwa jina la “Ysilan Jiao” ikimaanisha kuwa dini ilioongofu. http://www.islamcan.com/islamic-history/islam-in-china.shtml

2. Uislamu ulikuwa tayari upo Afrika ya Magharibi katika karne ya 9. http://www.islamcan.com/islamic-history/the-spread-of-islam-in-west-africa.shtml

3. Zaidi ya sehemu ya 1/5 ya Watumwa wote waliopelekwa nchini Amerika walikuwa Waislamu. http://www.islamcan.com/islamic-history/the-forgotten-islamic-roots-of-american-slaves.shtml

4. Waislamu waliongoza nchini India kwa kipindi cha miaka 1,000 http://www.islamcan.com/islamic-history/muslim-rule-in-india.shtml

5. Kati ya alama za Kiyama nikuwa watoto wa nje ya ndoa kukithiri: http://www.islamcan.com/islamic-articles/the-minor-signs-of-the-last-day.shtml

6. Mwenyeenzi Mungu ameijaalia milima kuwa iwe ndio inaiweka dunia kuwa thabiti pasi kuyumba. http://www.islamcan.com/cgi-bin/increaseiman/htmlfiles/static/106860256453257.shtml

7. Siku ya kufufuliwa tutaitwa kwa majina yetu mazuri, tusiwaite watoto wetu majina mabaya, mfano Panya, Chakupewa, Dude, Purukushani, Mkasi, Tonge, Shawishi, Mtarimbo n.k. http://www.islamcan.com/names/names-that-are-preferred-and-that-are-undesirable..shtml

8. Mvua ni sehemu kubwa ya maisha ya viumbe hai na mvua hunyesha na kwenda ardhini na kuweza kupatikana kwa maji. Qur’an ina maelezo ya kina juu ya mvua na maisha http://www.islamcan.com/signsofallah/signs-of-allah-in-rain.shtml

9. Wanawake ni mama zetu na ni watu wa huruma lakini kuna baadhi ya wanawake wachache ni makatili kabisa, ikiwa wameongoza udhalilishaji wa kijinsia, kuuwa, kutesa na mabaya mbalimbali, kati ya hao ni Irma Grese Mjarumani ambaye aliwekwa katika kitengo cha wa Nazi kuwatesa wanawake wenzake na akipenda kuvaa viatu vya buti vilivyokuwa vizito. http://viral-contents.info/10-most-evil-women-in-the-history

10. Kuishi katika nchi zilizoorodheshwa hapo chini mwanadamu akiwa ni mwanamke atakuwa yupo mashakani. Nchi zenyewe ni Iraq, Pakistan, India, Somali, Mali, Guatemala, Sudan, Congo DRC, Afghanistan, Chad. http://viral-contents.info/top-10-worst-countries-for-women/10

MASAUALA1. Jee Mwenye-enzi-Mungu ana mtoto? Ndio /Sio2. Allah ni Wawili ndani ya mmoja, Mmoja ndani ya

watatu, Mmoja.3. Jee kuna tafauti katika mafundisho ya Mitume?

Ndio/Hapana.4. Dhul Qarnain alijenga ukuta kuwazuia nani?5. Nimrood alikuwa katika wakati wa Mtume yupi?6. Vita viliopiganwa sio katika mwezi wa Ramadhan,

Khandak, Badr, Fathi Makka.7. Sahaba gani alisalisha ikiwa Mtume (SAW) angali

hai?8. Adhana iliadhiniwa katika mwaka upi?9. Wakati wa Kiongozi gani wa Kiislamu ndipo

Waislamu walipotengeneza sarafu yao wenyewe? Syd Umar, Mamun, Harun, Muawiya.

10. Makaburi ya Masahaba katika mji wa Madina yapo sehemu gani?

H K H A N D A K Y A B M A D U N I A M A A B A A P A R A F A K A J U Q K A M U Z D A D I U B I K N M I N A A B A J A E A A T A I F U A S M K A J J E E D A H I A A A L U M A M U N L T A J R I M I B R A H I M I U 2AH 7AH A N D I O M M O J A S I O

Weka duara kwenye jawabulio sawa. Jawabu kamili wiki ijayo

CHEMSHA BONGO NAMBA: 22

Page 19: ANNUUR 1193

19 AN-NUURDHULQAAD 1436, IJUMAA SEPTEMBA 4-10, 2015

HABARI/MAKALA

MASUALA:1. Ghazwat vita alivyopigana Mtume (SAW) na kushiriki

mwenyewe vingapi? 5, 23, 6 Jawabu: 232. Saraya vita alivyopeleka majeshi Mtume (SAW) akiwa

yuhai pasi kushiriki vingapi? 20, 30, 47. Jawabu: 473. Mkataba maarufu baina ya Waislamu na Makureish?

Jawabu: Hudaybiya4. Hijja ndogo inaitwaje? Jawabu: Umra5. Syd Ali bin Abi Talib alikuwa na watoto wangapi? 2, 1,

14 Jawabu: 146. Itaje miezi mine mitukufu. Jawabu: Dhul Hijja, Muharam,

Dhulqada, Rajab7. Madhehebu ya Sunni ni Shafi, Hanafi, Hambal na

…………………. Jawabu: Malik8. Majina 25 ya Mitume, mawili imekosekana itaje, Idris,

Ibrahim, Ishaq, Takub, Hud, Saleh, Yussuf, Lut, Ismail, Ayub, Zakaria, Yahya, Sleiman, Daud, Yunus, Dhul Kifl, Mussa, Haroon, Shuaib, Issa, Muhammad. Jawabu: Ilyas, Alyasa

9. Kiongozi wa Kiislamu aliongoza Jeshi na kuiteka Qudus…………………. Jawabu: Salahadin Ayub

10. Takhasusi ya Mtume Nouh ilikuwa ni : Ujenzi, Useremala, Mpaganaji. Jawabu: Seremala

MAJIBU YA CHEMSHA BONGO NAMBA: 21

Fatilia kuandama kwa MweziLeo Ijumaa ni tarehe 19 Dhulqada 1436 AH sawa na tarehe 4

September 2015.Mwezi unategemewa kuandama kwa Mfungo Tatu tarehe 14

Septemba', Kutokea leo hadi kufikia Mfungo Tatu tumebakisha siku 10.

KATIKA toleo la wiki iliopita niliona katika gazeti hili la An-Nuur kichwa cha maneno Njia panda. Kilinivutia na kukisoma. Ilikua maelezo yake ni juu ya Sahaba Abu Hurayra ambayo maelezo yake kwa undani kabisa yalihusu juu ya Njia panda wakati akiwa kat ika sakatar l mauti na kueleza kuwa yupo baina ya peponi na motoni akiwa hana uhakika. Sehemu ndogo ya maelezo hayo yalinivutia ajabu na kunifanya kutafakari namna maneno hayo mazito yalivyokua na thamani na kuwa lulu.

N i m e o n a n i a n d i k e machache nijibu alivyouliza muulizaji juu ya Abu Hurayra ambae alijiona yupo Njia panda, suala la muulizaji, Jee, mimi na wewe? Suala zito na huwezi ukaja na jawabu ya haraka haraka ila utahitajia utafakar i kwa k ina na uzame ili uweze uebuke pasi kuambulia mikono mitupu.

Njia panda (cross-road) ina mizungu na inaweza ikakupeleka nyuga na puta ukapotea na ukamalizikia ima kuchelewa au kula khasara. Ikiwa kuchelewa ukamalizikia kuipata njia ya kukufikisha kuliko pema, hio ni sawa. Lakini ikiwa utakula khasara, itakuwa masikitiko na hatokuwa mla khasara ila katumbukia katika mashaka.

Safar i mmoja nikiwa naelekea shamba nimetumwa nikachukue nazi kwa kuwa ni katika nyakati za jangusho, sehemu ya shamba letu sikuwa naijua kwani siku nyingi zilipita pasi mie kufika huko shamba. Katika safari yangu hio nikafika sehemu nikamkuta mtu anielekeze huko nitakapo kwenda akanambia niifwate hio njia hadi nitapofika Njia panda kisha sikuwa na hakika kama alinambia nichukue ilio kulia au ilio kushoto. Hicho kikawa kizungumkuti (kasheshe) kwani sikujua sasa nakwenda wapi. Nikaona bora nichukue njia ya kulia nikenda kwa kitambo cha saa nzima sioni kijiji, ikanibidi nirudi mpaka penye Njia panda kisha nikaifwata njia ya kushoto nikatembea masafa ya zaidi ya kilomita 2 na ushei sioni kijiji wakatokea wakulima na majembe yao, nikawasalimu nakuwauliza nikutakapo k w e n d a w a k a n a m b i a “baba umepotea, itabidi urudi Njia panda kisha uifwate njia ya upande wa kulia, nende kwa masafa yasiopungua saa hapo utafika

Na Ben Rijal

Njia panda ndio ipi?ulipokusudia.” Nikafanya ni l ivyoelekezwa, naam nikafika nilipopakusudia nikiwa nipo hoi. Wenyeji wangu wakanambia tulikuwa tunakusubiri, kujua mgeni unakuja, nikawauliza verejee walijua kama ninakuja? Jawabu yao ilikuwa ndege Shore (Yellow vented bulbul) alilia sana na hio ilikuwa ni ishara yakuja mgeni.

N i k a y a e l e z a niliyoyahitajia nikakidhiwa na safari ya kurudi haikuwa ngumu. Ilinichukua nusu saa kufika barabara kuu kwa kua nakujua sasa wapi nakwenda na mwanzoni ilinichukua safari yote kufika nil ipopakusudia masaa takriban manne na nusu.

N j i a p a n d a n d i o iliotugubika waumini na kushindwa kufika na kuyafikia ya l e t u l i y o ya k u s u d i a . M w a n a h a r a k a t i w a vuguvugu la Ki i s lamu katika miaka ya karibuni Syd Abdulala Maududi aliwahi kuandika kitabu chenye anuwani “Kwanini dua zetu hazikubaliwi?” Naye Syd Qutub aliwahi kuja na maandiko ya mada hio ya Kwanini dua zetu hazikubaliwi? Utapowasoma magwiji hao wawili, utakuta kuwa hazikubaliwi kwa kuwa tupo Njia panda. Imani zetu zimekuwa zipo nje tu kwa njia ya kuonekana wema, lakini ndani ya nafsi zetu imani zetu ni dhaifu zenye kueregea na kujaa mashaka.

Imani zetu zikoje?

Dhulma tumiweka kama ndio dira yetu na kuona kitu cha kawaida tu. Leo watu wanadhulumu mpaka ardhi za watu kisha utasikia tunajenga Msikiti. Eti kweli tunazijua hukumu za ujenzi wa Msikiti na kukuwepo kwa Msikiti? Watoto Mayatima wanadhulumiwa tena mbaya zaidi wenye kuwadhulumu ni watu wa familia zao na hao ni Waislamu. Vizuka wanafika kutolewa kwenye nyumba mara tu jeneza l i n a p o t o k a n y u m b a n i kuelekea Msikitini. Ukiwa kwenye ofisi ambayo watu wanataka huduma, ndio hapo utakwapua kwa kiasi uwezavyo na kisha kuchukua rushwa ikiwa rushwa ni aina ya dhulma.

Uongozi mbovu kutoka m a j u m b a n i m w e t u hadi katika ngazi za juu mparaganyiko moto mmoja. Leo hatusomi Qur’an katika majumba yetu na watoto wetu. Leo tunashindwa kuwakemea watoto na wake zetu katika vivazi vilivyokua sio vya stara. Tunawachia wavae watakavyo. Watoe nyusi kama Cleopatra . Wacheze ngoma za ajabu mbele ya kadamnasi ya

wanaume. Wanyanyue sauti zao mbele ya wanaume. Watie manukato ya kuamsha hisia za wanaume na kutoka nje ya majumba yao, huku wachunga wameufyata.

Leo kat ika majumba kumekuwa na Serikali na viongozi. Kiongozi mkuu ni mtoto, Waziri Mkuu mama na baba kuwa raia mtiifu. Mtoto akitakacho hupitia kwa mama ambaye ni Waziri Mkuu na mama hukichukua na kumpelekea baba raia mwema kwenye nyumba na kulazimishwa atii mambo yalio kinyume na Sheria na dini ya Kiislamu.

Wa i s l a m u w a p a t a o n y a d h i f a z a u o n g o z i katika ngazi mbalimbali wanashindwa kuzingatia Mtume (SAW) katoa mafunzo gani? Hawataki kujua namna uongozi ulivomshughulisha Khalifa wa pili Syd Umar bin Khatab au Umar bin Abdul Aziz, lau wangejifundisha wakajua waliuona uongozi ni kitu gani na thamnai ya uongozi basi hakika kila pale alipopewa Muislamu auongoze kungekuwa pa kupigiwa mfano.

Kuitupa taaluma ya dini, leo tumekuwa Waislamu tumeshikamana zaidi na kuwafunza watoto wetu dunia tu nakusikia matamko kwanza dunia kisha ndio akhera? Hao ni wenye uelewa mdogo wa mafunzo aliyokuja nayo Mtume (SAW) pale aliposema “Ishi duniani kama utaishi milele na uishi kama utakufa kesho.” Tuitizame dunia kama mwahali mwa mpito wala sio mwahali pa kudumu. Tufahamu mafunzo ya Uislamu yalivyo yasiomkataza mtu kuijuwa elimu ya dunia lakini nayo inahitajika iende sambamba na dini. Nchini India Dr. Zakir Naik ameanzisha The Islamic International School (IIS) & Junior College ambayo inasomesha sambamba dini na masoma ya kisekula, wale ambao wanamaliza Chuo hicho wanakuwa wanafunzi madhubuti watakhasusi za kidunia iwe somo la Uhai (biology), la kuchanganya kemikali (chemistry) na mengineo. Chuo hicho kwa sasa kinagombaniwa na kuchukua hata wanafunzi waliokuwa sio Waislamu (h t tps : / /www.youtube .com/watch?v=b6fr4lt-jFM). Uislamu haukuwa unarejesha w a t u n y u m a d h a n a inayojengeka ila Waislamu wanapotupa mafunzo na mipango yakujiendeleza iliokwisha kubuniwa huko nyuma na kuleta mafanikio ndio inakua baa.

Choyo na husda kutuvaa, l e o v i t u h i v y o n d i o vinavyotuongoza Waislamu wa k a t i M t u m e ( S AW )

ametuamabia “Ondokeni na hasada, kwani hula mema kama moto unavyokula k u n i . ” L e o Wa i s l a m u w a m e k u a w a c h o y o hawapo katika kuendeleza mipango ya kuwasaidia W a i s l a m u w e n z a o waliokuwa hawanacho, k u b w a w a k i f a n y a c h o n i k u j e n g a m a j u m b a makubwa na kutembea kila kona ya Ulimwengu huu kwa mapumziko hii kwa wenye nacho, waliokuwa h a w a n a c h o , h a s a d a zimewazongoka, roho zao zinapiga fundo kuwaona Waislamu wenzao Allah amewabariki, kusahau kuwa Mola hamuonei mja na kila ukiishi maisha ya kawaida ndio unahitajika uwe karibu zaidi na Allah.

Kuuvaa Umaghar ib i , Waislamu sasa wanauwona Umagharibi ndio maendeleo na kila kilichoshamiri kutoka h u k o n d i o t u m e k i va a , kuendesha magari makubwa, k u v a a k i a j a b u a j a b u , kupoteza muda wetu mwingi katika kuangalia mipira kupitia TV, kuwasiliana kupitia mitandao ya jamii iwe Face book, Instagram,

Whatsapp, Itsmy, Kiwibox, G o k o y o k o , F a c e p a r t y , DevianArt ( i juwe zaidi mitandao ya jamii: https://en .wik ipedia .org/wik i /List_of_social_networking_websites) malaji ya vyakula vya makopo, kupendelea kula mikahawani, kujitia m a f a u t a m a z u r i t e n a ya bei ghali na kuwacha kutumia rehani, tarabasuna, mkokoriko, liwa, mavuta ya nazi na aina ya vipodozi na vikolimbo ambayo wazee wetu wakivitumia.

Kwenye uga wa Njia p a n d a , n i m e y a g u s i a machache mno yaliotuweka Njia panda Waislamu nayo ni: Dhulma, Uongozi mbovu, Kuitupa taaluma ya dini, Choyo na husda na Kuuvaa Umagharibi. Kila tukiona hio ndio njia na kutotaka kurudi nyuma na kuitafuta njia iliosahihi na madhubuti, basi tujue tutakuwa tumepotea. Abu Hurayra alilia akiwa yeye amefanya mema tele na kuwa mmoja katika Masahaba waliokuwa karibu na Mtume (SAW) nakupokea mapokezi tele akajiona yupo Njia panda, jee kina sisi? Jee unayo jawabu ya Njia Panda?

H D I M M I S F S U

U H L U A L M M A M

D U Y H L Y D U L R

A L A A I A E U A A

Y H S R K S A S H

R

B I D A H A R U A A

I J N M D A U D D J

Y J A L Y A S A I A

A A M A L I A U N B

D H U L Q A D A A A

S E R E M A L A Y T

47 A S F U Y A N U A

14 23 42 H A N A N B K

Page 20: ANNUUR 1193

20 AN-NUURDHULQAAD 1436, IJUMAA SEPTEMBA 4-10, 201520 MAKALA AN-NUUR

20

Gazeti hili hutolewa na Islamic Propagation Centre S.L.P. 55105 na kupigwa chapa na POA Printing Works LTD, S.L.P. 4605, Dar es Salaam.

DHULQAAD 1436, IJUMAA SEPTEMBA 4-10, 2015

WA I S L A M U w a m e t a k i w a k u k u m b u k a

u s i a wa M a r e h e m u Profesa Kigoma Malima, al ipowataka kuacha k u l a l a m i k a b a d a l a ya k e wa j i p a n g e i l i wafanikiwe.

U k u m b u s h o h u o umetolewa na Imamu Mkuu wa Masjid Islah, Kigogo Kati, Jijini Dar e s S a l a a m , U s t a d h i Mzee Ruga Mwinyikai, akiwahutubia Waislamu katika ibada ya swala ya Ijumaa ya wiki iliyopita.

Ustadh Mwinyikai amesema, Marehemu Prof. Kighoma Malima, aliyeshika nyazifa za Uwaziri katika wizara m b a l i m b a l i k a t i k a Serikali ya Chama Cha Mapinduzi na baade kujivua uanachama wa chama hicho, hakuwa tu mtetezi kwa Waislamu bali alitoa pia njia nini Waislamu wafanye ili waweze kuondokana na ukandamizwaji.

Alisema katika kipindi hiki cha kuelekea katika

uchaguzi, Waislamu wanatakiwa kujipanga ili waweze kutumia fursa ya Kidemokrasia na kuingia k a t i k a v y o m b o v ya maamuzi vya kutunga sheria.

“ W a i s l a m u h a t u p a s w i k u s a h a u u s i a wa M a r e h e m u P r o f e s a K i g o m a Mal ima, a l ipotuusia akisema, ‘msilalamike j i p a n g e n i ’ . H i i i n a maana bila kujipanga h a k u n a m a f a n i k i o yatakayopatika”. Alisema Ust. Mwinyikai.

Aidha, sambamba na usia huo wa Prof. Malima,

Shikeni usia wa Prof. MalimaMsisahau pia yale ya Mzee KK Hakuna kulalamika. Chapa kazi

Na Bakari Mwakangwale pia Ust . Mwinyikai , alikumbushia maneno ya Mzee Kitwana Kondo, a l i ye t a k a Wa i s l a m u waseme

‘We Know we Can, Where Whant to Be if we Work hard, We Shall be There Where we Want to Be.’ Akimaanisha kwamba, Wais lamu wakiamua wanaweza kufika pale wanapokusudia.

Alisema, Waislamu hawana budi kuzingatia maneno ya viongozi hao, ambao wote walikuwa katika Serikali ya CCM, na kwa nyakati tofauti walisimama kuhakikisha Wa i s l a m u wa n a p a t a haki zao kama makundi mengine katika jamii na nchi hii ya Tanzania.

Hivyo Ust. Mwinyikai, alisema Waislamu kama kundi jamii , wanayo kila sababu ya kuwa na msimamo wa pamoja katika kuelekea katika uchaguzi Mkuu ul io mbele yao.

Alisema, katika kipindi hiki si sahihi kuibuka kundi au Taasisi miongoni mwa makundi au Taasisi ya Kiislamu na kubeza

juhudi za umma wa Kiislamu katika kupigania maslahi yao kupitia njia mbalimbali.

“Tabia hii ikemewe si tu katika kipindi hiki cha kuelekea kat ika uchaguzi bali kwa muda w o t e , m s i m a m o wa pamoja kwa Waislamu ni jambo muhimu kuliko kulalamika tu. Prof . (Malima) alishatwambia s i k u n y i n g i t u a c h e kulalamika tujipange, lakini pia mzee wetu Kitwana (Kondo) alisema tunaweza kufika pale tunapohitaji kuwa endapo tutaamua, tukizingatia hayo ni wazi kero zetu za muda mrefu zinaweza k u p a t a u f u m b u z i . ” Alisema Ust. Mwinyikai.

Awali, katika khotba yake hiyo, akizungumzia dhana ya Uislamu na Siasa, alisema Waislamu wanapaswa kuelewa kwamba Uis lamu ni mfumo kamili wa maisha unaogusa kila nyanja ya maendeleo ya wanaadamu ya kila siku na unakataza kujitenga kwayo.

“Kwa mantiki hiyo, Uislamu haupitwi na wakati na ndiyo mfumo

Marehemu Profesa Kigoma Malima

sahihi wa zama zote na wakati wote tokea Mtume wa kwanza, Nabii Adam (as) hadi zama zetu hizi za mwisho za umma wa Nabii Muhammad (s aw).” Alisema Ust. Mwinyikai.

Alisema, katika Qur an (5:3), Mwenyezi Mungu, amewaambia Waislamu kuwa ameikamil isha d i n i ya o ( U i s l a m u ) n a a m e w a p e n d e l e a

(Waislamu) Uislamu uwe ndini yao.

K wa m a a n a h i y o , akasema kupit ia aya hiyo Mwenyezi Mungu a n a d h i h i r i s h a k u wa Uislamu ni mfumo kamili wa maisha, na kwamba U i s l a m u u n a m t a k a Muis lamu kuchukua sehemu yake kat ika dunia huku pia akipigania kuipata ile ya Akhera.

Mama Mzazi wa Sheikh Ponda Issa

Ponda, Bi. Mariam A l l y K a s i ( 9 0 ) amefariki Dunia.

S h e i k h P o n d a , amefikwa na msiba huo ili hali yeye akiwa mahabusu, katika Gereza la Keko Jijini Dar es Salaam, mwaka wa pili sasa.

Mama yake kazikwa

Innalillah wa innailaihir rajiuunNa Bakari Mwakangale akiwa hajamuona

mwanawe kwa zaidi ya miaka miwili.

K wa u p a n d e wa Ponda, naye kashindwa k u m u u g u z a m a m a yake hadi anakufa na kushindwa pia kumzika Bi Mkubwa wake huyo.

K wa m u j i b u wa maelezo ya dada wa S h e i k h P o n d a , B i . Najahu Bint Issa Ponda, akiongea na An nuur, kwa njia ya simu kutoka

Ujiji Kigoma, alisema mama yao amefariki agosti 29 na kuzikwa Agosti 30, 2015, katika makaburi ya Kipampa.

Bi Najahu, alisema Marehemu alikuwa a k i s u m b i l i wa n a maradhi ya saratani yaliyomchukuwa kwa muda wa miezi minane.

B i . M a r i a m , alizaliwa Agosti 29, 192, katika mji wa Manda , Kerenge , Sumbawanga.Mariam Ally Kasi.

Mtume(saw) amesema, “Hijja inayokubaliwa haina malipo ila Pepo”. Yaani jinsi Allah Anavyoipenda Hijja, basi kungelikuwa na kitu bora kuliko Pepo, Mungu Angetoa hicho kumpa mwenye kutekeleza Hijja iliyokamilika. Hii ndiyo maana Masahaba walihiji mara nyingi. Muda unakwisha! Gharama zote kwa Hijja ni Dola 4,500. Umra ya Ramadhani ni Dola 2,300. Karibuni Ahlu Sunna Wal Jamaa kwa huduma nzuri na uongozi bora. Wasiliana nasi: Tanzania Bara: 0765462022;0782804480; 0717224437.

Zanzibar: 0777468018;0777458075;0777845010.

(24) HAKUNA MALIPO BORA KULIKO YA HIJJA!