ANNUUR 1097

Embed Size (px)

Citation preview

  • 7/22/2019 ANNUUR 1097

    1/12

    ISSN 0856 - 3861 Na. 1097 DHUL-HIJJA 1434, IJUMAA , NOVEMBA 1-7, 2013 BEI TShs 500/=, Kshs 50/=

    Sauti ya Waislamu

    www.annuurpapers.co.tz

    Vijana Buguruni kuweni makiniMakachero 15,000 kazini kuwatia wazimu

    Al Shabaab haiwezi kupigana na AU, drone

    Ni DRC nyingine hiyo. Mtamalizana wenyeweTUMSHUKURU sanaRais Mstaafu MuheshiwaMzee Benjamin Mkapak u w a o n e a h u r u m aWaislamu.

    Akawapatia majengoy a l i y o w a w e z e s h akuanzisha Chuo Kikuupale Morogoro.

    Haikuwa rahisi kwakekutoa msaada mkubwakama huo.

    Sasa hizi taasisi nyingiza Kiislamu zinazo chipua

    kila siku, wanafanya ninikumuunga mkono huyuMuheshimiwa Mkapa?

    Muheshimiwa ambayeni muumini thabiti waKanisa Katoliki ambalolina sifa dunia nzimakwa uhadhina kama sioubaguzi?

    Kuna taas is i kamaBAKWATA na BARAZAKUU ambazo zina maosinchi nzima na zingeweza

    Mtwangi apasua jipu!Waislamu wamshukuru sana MkapaBAKWATA, Manyema, mnafanya nini

    RAIS Mstaafu MuheshiwMzee Benjamin Mkapa.

    kutegemewa kuwa mstarwa mbele kujitahidi kuletmapinduzi ya maendele(ya) Waislamu, lakinwanafanya nini? (SomUk. 8)

    Askofu ataka makanisayapewe bunduki AK-47Maalim Seif Sharif kasema kweli

    Hakuna ugaidi wa kidini Zanzibar

    Ni njama za kupitishia agenda za siriMAKAMU wa Kwanza wa Rais Zanzibar, Seif Sharif Hama

    Profesa Sharif atajamambo watakayo Zbar

    Ataka yaingizwe katika KatibaVinginevyo kutakuwa na mgogoro

    Uk. 6

    Uk. 2

    WAISLAMU walioshinda rufaa yao muda mfupi baada ya kuachiwa huru.

  • 7/22/2019 ANNUUR 1097

    2/12

    2 AN-NUU

    DHUL-HIJJA 1434, IJUMAA NOVEMBA 1-7, 201

    AN-NUURS.L.P. 55105, Simu: +022 2400786

    Cel: 0784 370 208, 0713 110 148, 0755 260 087 , DSM.www.annuurpapers.co.t E-mail: [email protected]

    Ofsi zetu zipo: Manzese Tip TopUsangi House (Jengo dogo), barabara ya Morogoro, D'Salaam

    Tahariri/Habari

    B A R A ZA l a K a t i b aZanzibar (BAKAZA)limeainisha, kusisitiza nakukariri mambo ambayoni muhimu kutolewakatika muungano.

    Mambo hayo yametajwakuwa ni Elimu ya Juu,Usajili wa vyama vya siasana Benki Kuu.

    Mengine ni Uhamiaji naWizara ya Mambo ya Njena Uhusiano wa Kimataifa.

    Baraza hilo limesema,kutolewa mambo hayok a t i k a m u u n g a n o ,itakuwa ni moja ya hatuaya kuboresha katiba nakuipa Zanzibar mamlakayake kamili jambo ambaloni kilio cha Wazanzibariwalio wengi.

    Na kwamba kupatikanak w a k a t i b a m p y ainayozingatia mamlakakamili ya Zanzibar, ndiyonamna pekee ya kuleta

    Ataka yaingizwe katika KatibaVinginevyo kutakuwa na mgogoroNa Mwandishi Wetu suluhisho la kudumu la

    kero za muungano.H a y o y a m e e l e z w a

    mapema wiki h i i naMwenyekiti wa Barazahilo Profesa Abdul Sharifwakati akizungumza katikakongamano la kujadilimuelekeo wa mchakatowa katiba mpya.

    K o n g a m a n o h i l olilifanyika katika ukumbiwa Taasisi ya Utati na Sera

    za Jamii Zanzibar iliyopoVuga, mjini Zanzibar.Profesa Sharif amesema

    k u w a m a t a r a j i o y aBAKAZA ni kuwa Rasimuya Pili ya Katiba Mpya yaJa mh ur i ya Mu un ga noya Tanzania i taelezawazi kuwa mambo hayosi ya muungano kamail ivyopendekezwa nataasisi mbalimbali.

    Amebainisha kuwai w a p o m a m b o h a y oyataondolewa kat ikaorodha ya mambo yam u u n g a n o i t a s a i d i a

    katika kukuza maendeleya kisiasa na uchumi wZanzibar.

    Profesa Sharif amesemkuwa ni jambo muhimkupatikana Katiba Mpykwa vile iliyopo hivi sashaikuwa imeshirikishmaoni ya wananchi niliundwa wakati wa chamkimoja cha siasa na sastupo katika mfumo wvyama vingi.

    Wachangiaji mbalimba

    katika kongamano hilolicha ya kuunga mkonmsimamo wa Baraza lKatiba, walitoa maonya namna ya kuboreshmuungano ili kila nchijione haijapunjika walkuonewa na ipo salamndani ya muungano.

    Baraza la Katiba Zanzibalilianzishwa mwaka 2011 ikutoa elimu kwa wananchjuu ya kero mbalimbali zmuungano na umuhimwa kushiriki kutoa maonkatika mchakato wa KatibMpya.

    TAASISI ya RidhwaaW o m e n F u n d a t i o nGroup, iliyopo mtaa waTosheka, MagomeniMapipa imewachukuwavijana 10 wanaoishikatika mazingira magumukwenda kuwaendelezakielimu.

    H a t u a h i y oimechukuliwa mwishoni

    m w a w i k i i l i y o p i t akufuatia viongozi wataasisi hiyo inayoongozwana Bi. Asha MohamediFundi, kuwatembelea nakuwafaliji watoto yatimana wajane wanaoishi katikamazingira magumu katikaKijiji cha Vikumburu, Kataya Vikumburu Kisarawemkoani Pwani.

    Katika ziara hiyo Bi.Fundi aliongozana naHajat Rehema Amiri Gamawa taasisi nyingine yaRehema Islamic Centre ya

    Yatima, wajane wasaidiwaNa Mwandishi Wetu,Kisarawe

    Ilala mtaa wa Nzasa JijiniDar es salaam.

    "Baada ya kupata fununukuwa kuna watoto yatimana wajane wanaoishi katikamazingira magumu hapaVikumburu, tumefikana kujionea wenyewe.Tumejitolea kuchukuavijana kumi wa kiumekwanza, tukitengenezaeneo la vijana wa kike naotutawachukua, alisemaBi. Fundi.

    Alisema taasisi yake inaoyatima ishirini katika kituochake.

    Aidha Fundi alielezeazaidi ujio wao katika Kijijicha Vikumburu, "alisematulipoka hapa tuligunduamadhila mengi yanayowakumba wakazi wa hapani maji kwa matumizimbalimba ya Binaadamuna wanyama wao.

    Alisema, tutajitahidik w a h a l i n a m a l ituwatafute wadhaminiwatakaoweza kuchimba

    Visima vitakavyowezkutoa maj i ya takaywatosheleza Wanakijiwa hapa, alisema Fundi

    Naye Mratibu wa Taasiya Rehema Islamic SentrSheikh Majaliwa SelemanKauto alisisitiza suala elimu kwa wananchi.

    Alisema elimu zote nmuhimu isipokuwa Uborndio unaotofautiana, lakinzote tuzisome.

    Someni kwa juhudi zomusichezee elimu ndikila kitu, ndio inayoletmaendeleo yoyote hapduniani.

    Wakati huo huo SheikMkuu wa Msikiti wVikumburu, AbdulmalikMdugi amesema zaidi ymaji wananchi wa kijiji chVikumburu na vitongovyake wana kabiliwa nuhaba wa vitabu kwa ajiya watoto wa madrasikiwa ni pamoja na juzuna misahafu.

    TANGU kutokea tukiola hujuma katika jengola kibiashara la Westgaten c h i n i K e n y a , h a l iimekuwa si shwari.

    Y a p o m a t u k i o n amambo yanayojiri ambayoyanaashiria kuwa kunaharakati za kuchocheaghasia, mitafaruku katikajamii na kupandi kizakitisho cha ugaidi.

    K w a h a l i h i y o ,panahita jika umakini

    m k u b w a v i n g i n ev y otunaweza tukazamishwakatika agenda ambazozitakuja kutuangamiza.

    Kat ika habari yetuinayoongoza tumetoamifano miwili ya matukioya vijana waliopandikiziwaugaidi kisha wakashitakiwana kufungwa.

    Ukitizama kesi hizo,vijana wale hawakuwa nadhamira kabisa ya kufanyau h a l i f u w a l i o d a i w ak u f a n y a . L a k i n iwakapandikiziwa mtuakawashawishi akawapamipango na silaha, mwisho

    wa siku akawakamatisha.Ukizingatia kesi yaCleveland na ile TheLiberty City Seven, utaonakuwa kama ni kuwamakini, hiki ni kipindi kwaWaislamu kuwa makinisana.

    Inajukana wazi kuwaWaislamu wa nchi hii wanahasira zao kutokana na haliyao dhalili kielimu, uchumina uchache wao katikanafasi muhimu za ajirana mamlaka Serikalini,latika hali kama hiyo nirahisi sana kuwashawishihasa vijana, ukiwaonyeshamambo yatakayowapafaraja fulani.

    Na ukiwajia katika jambola kidini, ndio unawapatak w a u r a h i s i k a b i s a .Unawajenga tu kwambani wajibu wao kufanyaJihad dhidi ya makafi ri,kumbe mpango wenyeweni kuwatumbukiza katikakesi kama ile ya walevijana wa The LibertyCity Seven.

    Ifahamike wazi kuwahoja hapa sio kujadili Jihadna umuhimu wake. Hoja nijinsi maadui wanavyowezakutumia hoja ya kupigana

    Waislamu wawe makinizaidi hasa kipindi hiki

    Jihad kukutia kitanzi chaugaidi.

    Si kila anayejitokezakama mwanaharakatini mwanaharakati waKiislamu wa kuaminika namwenye nia njema. Lakinihata panapokuwa na nianjema, nia njema pekeehaitoshi. Kuna mambomengi ya kuzingat iaili nia njema hiyo hiyoisije kutumika vibayakuangamiza jamii.

    Bila shaka bado tunazokumbukizi za lile tukio lavijana waliokamatwa kuleMtwara wakifanya mazoeziporini na ikasemwa kuwani mazoezi ya kijeshi/kigaidi.

    H a u k u p i t a m u d a ,tukasikia vijana wenginewamekamatwa Bugurunij i j i n i Da r es S a l a a mwakinasibishwa na hisiahizo hizo za ugaidi.

    Katika mazingira kamahaya, Muislamu unatakiwakila unalofanya, upigemahesabu yako vizuri.Jiulize maswali mengi na

    kutumia akili vya kutosha.Kama ni mazoezi yaviungo, ni lazima ukafanyieporini?

    Kwa ujumla, tunawezakusema kwamba kwa jinsihali ilivyo, Waislamu bilakujali tofauti za madhehebuyao, wanatakiwa kuwakitu kimoja na kuongezaumakini ili kuepuka tnazinazoweza kuwachafuaWaislamu wote. Hali sishwari.

    Ifahamike tu kwambalengo la vita ya fikra nik u g a w a n y w a u m m a ,k u u d h o o f i s h a n akuudhibiti na hatimayedhulma kushitadi.

    Ifahamike tu kwamba,m s a m i a t i w a u g a i d iumeshakolea. Na kwab a h a t i m b a y a s a n amsamiati huo umekuwaukinasibishwa zaidi naimani na kutumika kamafimbo ya kuwacharazaWaislamu.

    Si a jabu kibaka wasimu akaingizwa katikamsimiati huu, iwapo tukiolilikuwa katika mazingiraya Waislamu. Basi ni vyemamitego hii ikaepukwa ilikubaki salama.

    Profesa Sharif atajamambo watakayo Zbar

  • 7/22/2019 ANNUUR 1097

    3/12

    3 AN-NUU

    DHUL-HIJJA 1434, IJUMAA NOVEMBA 1-7, 201Habari

    MAKAMU wa kwanzarais Zanzibar Maalim SeifSharif Hamad, amesemaasilimia 4.5 ya gawio laZanzibar linalotokanana misaada ya kimataifana faida ya Benki KuuTanzania, BOT ni dogo.

    A k i z u n g u n z a n awandishi wa habari juuya mafanikio ya miakamitatu ya serikali ya Umojawa Kitaifa katika hoteliya Ocean View Zanzibarwiki iliyopita, MaalimSeif alisema mgawo huounahitaji kurekebishwahadi kukia asilimia 11.3.

    Alisema asilimia hiyo yafedha za Zanzibar ndizo

    Mgao wa asilimia 4.5 bas-Maalim seif

    Na Mwandishi Wetu,Zbar

    zilizotumika kuanzishimtaji wa BOT, kufuatiBodi ya Sarafu ya Afrikya Mashariki kuvunjikmwaka 1963.

    Hata hivyo al isemm a z u n g u m z o ykurekebisha gawio hilyanaendelea kupitia ngaza viongozi wakuu wSerikali ya Muungano nMapinduzi Zanzibar.

    A k i z u n g u m z imafanikio ya miaka mitatya Serikali ya Umojwa kitaifa, Malim Sealisema Zanzibar badinakabiliwa na upungufwa madaktari na hudumza afya zisizowaridhishwananchi.

    Hata hivyo al isemserikali imechukua juhudza kuwafundisha vijana 3katika Chuo cha UdaktaZanzibar, wanaotarajiw

    kumaliza mwakani.(Islamicnews)

    AMA kweli, Marekani hanarafki wa kudumu wala adui

    wa kudumu.Ukiona uraki kati ya nchi

    au Taifa lako na Marekaniumekolea, jitizame, maanahakuna la kuwashikanishakama hakuna maslahi ya

    kibeberu na kidhalimuyanayopatikana kwa upandemmoja.

    Kwa Marekani, siku zoteutarajiwe tu ule urafiki wamashaka na wasiwasi, maanaaliyezoea vya kunyonga, vyakuchinja katu haviwezi.

    Leo hata wale wanaoitwamaswahiba wa Marekani,nchi za Ulaya tajiri na mahirikama Ujerumani na Ufaransa,nao hawaaminiki hadiviongizi wao wakuu katikanchi nao wanachunguzwahadi mazungumzo yao yasimu!.

    Nyaraka mpya za siri

    zilizovujishwa na ofisawa zamani wa Shirika laUjasusi la Marekani-NSA,aliye uhamishoni nchiniUrusi, Edward Snowden,katika Jarida la kila wiki laUjerumani la Der Spiegel,zimeonyesha kuwa NSAimekuwa ikifuatilia kwakaribu mawasiliano ya simuya Chancellor wa Ujerumani,Angela Merkel kwa zaidi yamuongo mmoja.

    Ja rida hi lo l im er ip ot ikwamba, NSA limekuwalikimiliki namba ya simuya Merkel na kuiorodheshakatika orodha maalum ya

    Mataifa yatikiswa na ujasusi wa MarekaniNa Shaban Rajab nyaraka za siri inayoitwa

    Special Collection Service(SCS) tangu mwaka 2002.

    Namba hiyo iliingizwaupya hivi karibuni June2013 wakati ambapo Raiswa Marekani Barack Obamaalizuru Ujerumani.

    Wakati huo Bi. Merkelalikuwa hata hajashika nafasiya Chansela wa Ujerumani.

    Kuchuka kwa kashfa hiyoya ujasusi ya wakala wa NSAkwa mujibu wa nyarakazilizofichuliwa na EdwardS n o wd en , kum euwekauhusiano wa Marekani naUjerumani katika hali tata.

    Aidha nyaraka hizo za sirizimechua madai kwamba,M a r e k a n i i m e a n z i s h akinyume cha sheria na kwasiri matawi ya ujasusi katikaba loz i za ke kat ika nc himbalimbali, jambo ambalolinahowa kwamba kubainikakwake kutasambaratishamahusiano kati ya mataifana Marekani.

    Chancelor Merkel tayariameonyesha kuudhiwa naripoti kwamba NSA imekuwaikifuatilia na kuchunguzasimu zake.

    Kwa kutambua maudhialiyopata Merkel na hatariiliyo mbele, White Housemara moja imesema kuwakwa sasa haifuatilii tena simuza Chancelor Merkel. Msemajiwa White House, Jay Carneyalikwepa shutuma za nchiyake kufuatilia namba yasimu ya Merkel, sambambanamba za viongiozi wengine35 wa mataifa mbalimbaliduniani kama ilivyochuliwa.

    "is not monitoring andwil l n o t m o n i to r" h ercommunications.

    Lakini pamoja na kujaribukutoa majibu haya, msemajihuyo alishindwa kukataakwamba nchi yake haijawahikufanya hivyo siku za nyuma.Tayari Chancelor Merkelameandaa mkutano kati yaMaofisa wa Ujerumani na

    Marekani yanayotarajiwakufanyika wiki hii, kwa ajiliya kujadili kashfa hii ya NSA.

    Msemaji wa White House,Jay Carney, amesema RaisBarack Obama wa Marekanihakuwa na habari kuhusuujasusi huo wa kunasa nakusikiliza mazungumzo yasimu ya Chanselor Merkel naamemhakikishia kwamba,hatalengwa tena na harakatiza kijasusi za Marekani.

    Hata hivyo wananchi waUjerumani wamekasirishwasana na ujasusi wa NSA dhidiya kiongozi wao raia kwaujumla

    C h a n c e l o r M e r k e lamemtaka Obama asitoshekekuomba radhi kwa manenomatupu, bali achuke hatuakwa vitendo kurejesha hali yakuaminiana katika uhusianowa nchi hizo mbili.

    Kwa mujibu wa nyarakazilizochapishwa na gazetila Guardian la Uingerezakutoka kwa osa wa zamaniwa mashirika ya ujasusi yaMarekani Edward Snowden,aliyeko uhamishoni nchiniUrusi, Wakala wa Usalamawa Taifa wa Marekani(NSA) umefanya ujasusi

    wa kusikiliza mazungumzoya watu katika simu kwanchi 35 duniani, yakiwemomazungumzo ya viongozi wanchi za Ulaya.

    Kwa sababu hiyo baadhiya nchi za Ulaya ikiwemoUfaransa, zimewahoji baadhiya mabalozi wa Marekanikatika nchi zao, kutakamaelezo zaidi ya mwenendoh u o m c h a f u k u t o k aWashington.

    Viongozi wa Umoja waUlaya waliokutana hivikaribuni mjini Brussels,w a m e z i t a k a U f a r a n s ana Ujerumani, ambazo nimiongoni mwa waathirikawakubwa wa ujasusi waNSA, kufanya jitihada zakukomesha ujasusi huo kwakufanya mazungumzo yapande mbili na Washington.

    Serikali za Ujerumani,

    Brazil ambayo ni moja ynchi zilizokasirishwa zaidna mwenendo huo wMarekani tangu Snowdealipoanza kifichua siri nkusakwa, na nchi nyingin17 zimewasilisha muswadkatika Baraza Kuu la Umowa Mataifa, lengo likiwa nkukomesha hujuma dhidi ysiri za watu katika mtanda

    wa intaneti.Katika rasimu ya muswad

    huo, umesisitizwa udharuwa kukomeshwa harakaza nchi moja kufuatilia nkufanya udaku ndani ya ncnyingine.

    Muswada huo utapigiwkura katika Kamati ya Haza Binadamu ya Umojwa Mataifa na hatimayutawasilishwa mbele yBaraza Kuu la Umoja hukwa ajili ya kupitishwa.

    Malalamiko dhidi yujasusi wa vyombo vys e r i k a l i y a M a r e k a nhususan katika mawasilian

    umekuwa ukilalamikiwh a t a n a W a m a r e k a nwenyewe, hususan jamii yWaislamu ambao wamekuwwakihusishwa zaidi nmatukio ya kigaidi.

    Baadhi ya raia wa Marekawalifanya maandamanna kukusanyika mbele yIkulu ya Rais Obama mjinWashington, wakiitakserikali yake kukomeshujasusi huo dhidi ya raia.

    M a a n d a m a n o h a yyamefanyika katika siku ykumbukumbu ya kupitishwSheria ya Uzalendo (PatriAct).

    CHANCELLOR waUjerumani, Angela Merkel

    BAADHI ya viongozi wa taasisi ya REHEMA wakigawa nyama kwa baadhi ya

    akinamama katika sherehe za Eid el Hajj hivi karibuni.

  • 7/22/2019 ANNUUR 1097

    4/12

    4 AN-NUU

    DHUL-HIJJA 1434, IJUMAA NOVEMBA 1-7, 201Makala/Tangazo

    Inatanga Nafasi za Masomo Kidato cha kwanza 2014Shule ni ya Bweni kwa Wavulana na Wasichana.Inaongozwa kwa maadili ya Kiislamu ipo KIGAMBONI- kibada- Km 12kutoka Feri. Ukitokea mbagala (Kongowe) ni Km 15.Shule ina Michepuo ya Sayansi, Biashara na Sanaa.Fomu za Kujiunga na shule Zinapatikana katika vituo vifuatavyo:-

    1. Shuleni Algebra Islamic Seminary2. Ubungo Islamic- 0712- 033 5563. Ofsi za Gazeti la An-nuur Manzese Tip top ( Usangihouse) 0655- 677 6834. Tanga- Almusa Stationary ( Barabara ya 13, Mkabalana kituo cha Daladala za Donge- 0767- 206 136.5. Morogoro- Mum- 0764- 392 987.6. Zanzibar- chuo cha elimu Chukwani- 0778-775 226.Mtihani wa Usaili utafanyika tarehe 09/11/2013 kwenye vituovifuatavyo.

    Shuleni, Algebra Islamic Seminary- Kigamboni. Tanga. Zanzibar, Chukwani. Morogoro MUM

    Kwa Maelezo Zaidi Wasiliana Nasi kwa Namba hizi, 0768/0655 176700/ 0716 803 670/ 0784 260 241.Mlete Mwanao Apate Elimu na Malezi Bora.

    Mkuu wa Shule

    S.4198

    Ijumapili tarehe 27 Oktobamwaka huu ilizinduliwakampeni iitwayo MarwanBarghouti na WafungwaWote wa Kisiasa WapalestinaWafunguliwe

    Kampeni hii ilizinduliwakatika Kisiwa cha Robben,kinachokumbukwa kihistoriakama gereza walimofungwaw a p i g a n i a j i u h u r umashuhuri wa Afrika Kusini,kina Nelson Mandela, GovanMbeki, Walter Sisulu, AhmedKathrada na wengineo wengi.

    Nchini Palestina BwanaMarwan Barghouti (54) nimaarufu kama Mandelawa Kipalestina. Yeye nimashuhuri kama mbungekatika Bunge la Palestinaambaye alikamatwa naakafungwa gerezani nawatawala wa kizayuni wa

    Israel.Uzinduzi uliofanyikaKisiwa cha Robben ulifuatiwana mikutano maalum katikamiji ya Durban, Cape Townna Johannesburg, ambayoilihutubiwa na Mama FadwaBargouti, mke wa MarwanBarghouti na mkuu wakampeni nchini Palestinaya kudai kufunguliwakwa Marwan Barghouti nawafungwa wenzake wotewa kisiasa

    Licha ya Bi Barghoutialiyekuwa mgeni rasmi,kulikuweko pia na washirikiwengine kutoka Palestinawaliowakilisha asasi mbalimbali za kiraia, pamoja namakamo rais wa zamani waBunge la Ulaya. Wageni hawa

    waliambatana na Bw AhmedKathrada pamoja na wenzakewaliokuwa wafungwa wakisiasa katika Kisiwa chaRobben wakati wa utawalawa Kikaburu.

    Kat ika uz in d uzi waRobben Island, ilitangazwakamati rasmi ya kimataifaitakayoongoza kampeni hii.Wajumbe wake ni pamojana watu watano mashuhuriwaliotuzwa Zawadi ya Nobel.Mmojawapo ni Askofu Mkuu(Mstaafu) Desmond Tutukutoka Afrika Kusini.

    Kamati hiyo ikatangazaazma yake na kuahidikuwa itafanya kila jitihadaza kuhakikisha kuwa BwBarghouti na Wapalestinawenzake waliofungwan a utawala wa I s rae l

    wanaachiwa huru.N a y e m k e w a B wBarghouthi, Mama Fadwa,p am o ja n a a l iyekuwamfungwa wa Robben, BwAhmed Kathrada, walizuruchumba alimofungwa Raismstaafu Nelson Mandelakama ishara ya kuzinduaKampeni ya Kimataifa yaBw Marwan Barghouthina wafungwa wenzake waKipalestina.

    Bw Kathrada akatamkaHuu ni mwanzo wa kampeniambayo tuna imani kuwaitakuwa kubwa kushindakampeni ya kumfungua MzeeMandela ambayo ilikuwa namatayarisho kabambe

    Akakumbusha kuwa

    Kampeni yazinduliwa Afrika Kusini kuhusuwafungwa wa kisiasa wa Kipalestina

    kampeni ile ya Mandelailikuwa imeungwa mkonoduniani kote na ndivyoitakavyokuwa kampeni hiiya Palestina.

    Kutokana na kampeni ileya Mandela, makaburu waAfrika Kusini waliwekewavikwazo vya kimataifana kutengwa na mataifakaribu yote duniani, siyo tuna serikali bali pamoja naasasi za kiraia Jambohili lilitufariji sana katikamapambano yetu ya kudaiuhuru

    Kama vile makaburu waAfrika Kusini walisusiwa, hal i kadha lika tunat akana Israel nayo isusiwe naulimwengu. Hili ndilo lengoletu

    Bw Kathrada alitembeleamaeneo ya Palestina mapema

    mwaka huu na akaona jinsinchi hiyo ilivyovamiwa nakukaliwa kijeshi na wazayuniwa Israel.

    T u l i p o k u w a k u l ePalestina kwa muda wa wikimoja tuliweza kuona halihalisi ya nchi iliyokaliwana wazayuni. Kwa kwelihali yao huko Palestina nimbaya zaidi kuliko hali yetuwakati tulipotawaliwa namakaburu.

    Kwani wakati tulipokuwat u n a k a n d a m i z w a n am a k a b u r u a n g a l a ohakukuwa na barabarailiyotengwa kwa wazungupeke yao. Hatukuwa na ukutakama ule unaowazungukaWapalestina. Sisi hatukuwana vikwazo barabarani kila

    uendako vinayolindwa namajeshi yenye bunduki.N a y e M a m a F a d w a

    B a r g h o u t h i a l i s e m aU zin d uzi h uu n i wakihistoria uliofanyika katikakisiwa cha kihistoria chaRobben.

    Askofu Tutu hakuwezakuhudhuria uzinduzi huo.Hata hivyo hotuba yakeilisomwa kwa niaba yakenaye alisema Kisiwa hiki chaRobben ni mahali muafakasana kwa asasi ya AhmedKathrada Foundationkuzindua kampeni hiiya kimataifa kwa ajili yakupigania uhuru wa Palestinana Israel

    Bila ya shaka wakatiulimwengu ulipodai uhuruw a N e l s o n M a n d e l a ,

    ulikuwa pia ukidai uhuru wawafungwa wenzake wote wakisiasa. Ulikuwa ukidai hakina demokrasia siyo tu katikaAfrika Kusini bali pia katikaPalestina.

    Ndio maana tunapodaiu h u r u w a M a r w a nBarghouthi, wakati huohuotunadai uhuru kwa wafungwawote wa kisiasa, tunadaikuutokomeza udhalimu waaina zote katika Palestina naIsrael.

    Uzinduzi huu katikaKisiwa cha Robben nam i k u t a n o i l i y o f u a t ailiandaliwa na asasi yaKampeni ya Kudai Uhuruwa Marwan Barghouti naWafungwa Wote wa Kisiasa

    wa Kipalestina iliyo nchiniPalestina, ikishirikiana naasasi ya Ahmed KathradaFoundation iliyo AfrikaKusini .

    Mnamo mwaka 1962 BwAhmed Kathrada alianzishakampeni iliyoitwa NelsonMandela na WafungwaWenzake wa Kisiasa NchiniAfrika Kusini Waachiliwe.Mara tu baada ya kufanyahivyo naye akakamatwa nakufungwa kisiwani Robbenpamoja na Mandela nawengine

    Sasa imepita nusu karnenaye mpiganiaji uhuru huyumashuhuri mwenye umri wamiaka 84 anazindua kampeninyingine kama hiyo kwaajili ya mpiganiaji Uhuru

    mwengine kutoka Palestina,Bw Marwan Barghouti,ambaye anajulikana kamaMandela wa Palestina.

    Barghouti ni mfungwawa kis ias a m as h uh ur imiongoni mwa wafungwawa Kipalestina wapatao 5000ambao hivi sasa wanatesekakatika magereza ya Israel.Yeye alitekwa nyara mwaka2002 na wanajeshi waKizayuni kisha akakishwamahakamani na kupachikwa

    kifungo cha maisha mara

    tano. Yaani hata akifa maratano ataendelea kutumikiakifungo hicho!

    Wakati wa kesi alikataakushirikiana na mahakama,akidai kuwa kukamatwakwake kulikuwa kinyumecha sheria na kuwa kesihiyo pamoja na mahakamayenyewe ni batili.

    Mwaka 2011 jumuiya yamabunge ya kimataifa (IPU)ilitangaza kuwa kukamatwakwa Barghouti na kufungwakwake kulikuwa ni uhalifuwa sheria ya kimataifa. Tanguwakati huo IPU, pamojana asasi zingine za haki yabinadamu, zimekuwa zikidaikuwa afunguliwe bila yakuchelewa.

    Takriban Wapalestina 800000 (yaani asilimia 40% yaWapalestina wa kiume wote)wamewahi kutiwa gerezani nawatawala wa Kizayuni . Kiasicha Wapalestina wapatao100,000 wamewahi kuzuiliwakatika magereza. Idadi hiini sawa na wafungwa waAfrika Kusini waliofungwana makaburu bila ya hatakukishwa mahakamani.

    Aidha, katika muda wamiaka 11 iliyopita, zaidi

    ya watoto wa Kipalestin7500 wametiwa gerezani. Npamoja na wale waliowekwkatika vyumba vya gizmuda wa saa 24 kila sikuMmojawapo ni MuhammaDaoud Dirbas, mwenymiaka sita tu, ambaye nMpalestina mdogo kushindwote aliyefungwa katikjela ya Kizayuni. Bila shakkitendo hiki ni uhalifu wsheria ya kimataifa.

    Nchini Afrika Kusinf a m i l i a z a w a f u n g wwalikuwa wakiathiriksana kutokana na wananckutiwa gerezani na watawawa kikaburu. Halikadhalikna ndugu na jamaa ww a f u n g w a h a w a wKipalestina nao wanaathiriksana.

    Hiv i s as a , za id i yw a f u n g w a 5 0 0 0 wKipalestina wamefungwkatika magereza ya KizayunKati yao137 wamezuiliwchini ya kile kinachoitwkifungo cha kiserikali sawna kifungo bila ya kukishwmahakani chini ya utawawa makaburu. Miongonmwao 180 ni watoto.

    _______________________________________________

    Wasiliana nasi: P.Box 20307, 612 UN Road Upanga West, Dar es SalaaTel: 2152813, 2150643 Fa2153257 Email: pict@pal-org Website: www.pal-.or

  • 7/22/2019 ANNUUR 1097

    5/12

    5 AN-NUU

    DHUL-HIJJA 1434, IJUMAA NOVEMBA 1-7, 201Habari za Kimataifa/Tangazo

    UNIVERSITY COLLEGE OF EDUCATION ZANZIBARINTERNATIONAL UNIVERSITY OF AFRICA KHARTOUM

    PRE-UNIVERSITY STUDENTS ADMISSION 2013/2014The College invites qualied applicants to apply for UQF LEVEL 6 (PRE-UNIVERSITY) in thefollowingScience Courses:-

    1. Chemistry with Education.2. Physics with Education.3. Mathematic with Education.4. Biology with Education.

    ELIGIBILITY:1. Applicants should have at least, a principal pass in a Science subject in Tanzania Advanced Certicate of Secondary Education (ACSE) or its equivalent.2. Be a full time student.3. You will be admitted for the Bachelor of Science with Education (BSc. Ed) if you will satisfy all requirements of the Pre University Program.

    DURATION:1. All UQF LEVEL 6 are taught for one year.2. Admissions end on 6thNovember, 2013.

    FEES STRUCTURE:

    Tuition

    1,800,000/= (1200 US $) per annum

    ChemistryPhysicsMathematicsBiology

    Accommodation 180,000/= (120 US $) per annum

    Graduation 30,000/= (20 US $)Students Union 10,000/= ( 7 US $)

    Computer serv ices 180,000/= (120 US $) per annumRegistration 40,000/= (20 US $)Medical Care 30,000/= (20 US $)Application Form 25,000/= (17 US $)

    The College reserves the rights to change these fees at any time.Application forms are obtained fromAcademic Ofce, University College of Education Zanzibar at ChukwaniP.O. Box 1933 Zanzibar, Tel: 0773774838 or 0772912181 Fax: 024-2234101, Email: [email protected],Website: www.ucez.ac.tzApplication forms are also available at Africa Muslim Agency, MabaoniChake Chake Pemba: Tel: 024-2452337

    Application fee should be paid through the following account numbers:-The peoples Bank of Zanzibar (Islamic Banking division) Account No. 51120100002450- Mwanakwerekwe, ZanzibarAll completed forms together with payment receipts should be returned to the Academic Ofce, University College of Education Zanzibar.N.B: The University College of Education Zanzibar reserves the right to ask all selected candidates to undergo English/Arabic intensive programme prior to admission f

    degree course.Registrar,University College of EducationP.O BOX 1933, Zanzibar Tel: 0773774838 or 0772912181E.mail:[email protected]

    OrVisit the main campus at Chukwani, West District, Unguja, two kilometers from the new House of Representatives Building.

    *HURRY, Limited Seats available*

    K A M A N D A w aJeshi la Anga la Iran-

    Revolutionary GuardsAir Defence, FarzadEsmayeeli, Jumatatuwiki hii amewasilishatoleo la ndege ya kijeshiinayoruka bila rubani(drone) kwa Mkuuwa Jeshi la Anga laUrusi Viktor Bondarev,jijini Tehran, limeripotishirika la habari la Fars.

    "Drone iliyoundwan a I R G C ( I s l a m i cRevolutionary GuardsCorps) ni alama ya uwezowa kiteknolojia wa Iranna leo tunawasilisha

    aina ya kweli ya dronehiyo kama zawadi kwaLuteni Jenerali ViktorBondarev na watuwa Urusi," alisemaEsmayeeli , ambaye

    Jeshi la Iran waunda ndege bila rubaniUrusi yakabidhiwa kama zawadi

    ndiye mkuu wa kituocha kijeshi cha Khatamal-Anbia na kunukuliwana The Moscow Times.

    Kwa upande wake,Luteni Jenerali ViktorBondarev , a l i s em ak a t i k a s h e r e h e z amakabidhiano kuwa,

    Jeshi la Walin zi waMapinduzi ya Kiislamula Iran SEPAH limepigah a t u a k u b w a z akiteknolojia na l inanafasi pana ya kupigahatua zaidi.

    Mwezi uliopita Jeshila Iran ilitangaza kuwalimefanikiwa kuunda

    ndege inayoruka bilarubani (mobile drone )iliyopewa jina la Yasseer,ambayo vyombo vyahabari viliripoti kuwainafanana na ndege aina

    ya ScanEagle iliyoundwaMarekani.

    Iran ilieleza kuwaitaendeleza technolojiay a d r o n e t a n g uilipofanikiwa kuikamatana kuidungua salamad r o n e y a k i v i t aisiyokuwa na rubaniya Marekani (RQ-170Sentinel) miaka miwiliuiliyopita, lakini maosawa Marekani wakadaiisingewekana ndegehiyo kuundwa na Irankwa kuwa ina mambomengi zaidi.

    Desemba, 2012, Iranilisema vikosi vyake

    pia vimekamata ndegeaina ya ScanEagle nakubainisha kwambaitatengeneza aina hiyoya ndege na kwa uwezowao wa Iran yenyewe. NDEGE ya kijeshi ya Iran inayoruka bila rubani (drone)

  • 7/22/2019 ANNUUR 1097

    6/12

    6 AN-NUU

    DHUL-HIJJA 1434, IJUMAA NOVEMBA 1-7, 201Makala

    BAADA ya kukoleaz i l e p r o p a g a n d az i l i z o a m b a t a n a n ashambulizi la WestgateMall , Nairobi , sasam a k a n i sa ya n a t a k ayapewe silaha kwa ajiliya kujilinda.

    Kwa mujibu wa taarifakutoka Kenya, kiongozimmoja wa makanisaya Pentekoste, ametakaSerikali isambaze bundukiaina ya AK-47 katikamakanisa yote nchiniKenya.

    Akifafanua na kuunga

    VIJANA wa Kiislamuwa Mbagala, Bugurunina maeneo kama hayo,kaeni mbali na darsa zaMadina na mawazo yakambi za ki-Al Shabaab.

    Wengine wa kuchukuatahadhari kubwa ni vijana

    walio katika vyuo na shuleza sekondari kwani nao nikatika walengwa.

    D a r s a z a M a d i n ahapa nakusudia z i ledarsa zinazodaiwa zaharakati zinazohamasishaWaislamu kuacha makaziyao na kwenda kuanzishavijiji vyao waishi wenyeweau kupiga kambi mwitunina kuanza makazi mapya.

    Linaloandama na hilo, nizile darsa zinazohamasishavijana kuacha familia zao,kazi zao na hata masomo,w a k a p i g a n e J i h a d ,Somalia.

    Wakati ustaatabu waleo ikiwa ni pamoja nat a a l u m a m b a l i m b a l ikuanzia hisabati, zikia,elimu ya tiba, uhandisi,k e m i a , a s t r o n o m y ,ubaharia, saikolojia, n.k.,chimbuko lake ni Uislamuna Waislamu zama hizo,leo wanaibuka watuwanataka kuwatia ujingaWaislamu wakiwaambiakuwa hizo ni elimu zakikari kwa hiyo waachekusoma!

    Z i p o t a a r i f a z akuwepo darsa kamahizo mitaani ambapovi jana hupumbazwan a k u l e w e s h w awakaaminishwa kuwahakuna maisha, hakunadini, hakuna ibada, ila ileya kwenda katika kambina kuungana na askariwanaopigana Somalia.Na hakuna elimu ya shulewala vyuo vikuu. Watuwabaki wajinga maanaMtume hakusoma ChuoKikuu cha Dar es Salaam,Makerere wala Oxford!

    Wanapumbazwa kamawale waliopumbazwaw a k a a c h a k i l a k i t uchao kwenda Ikongwe,Kisiwani, kuwa watumishi

    wa Nabii Eliya. Huyualikuwa Bwana GabrielAbraham Mchau Msangi(maarufu kule Sereni,Usangi kwa jina la Kaburia)wakisubiri kuja Yesu.Wakatoa wake zao na bintizao wazae na Nabii Eliyakwa sababu waliambiwaimeharamishwa mbeguya mwanamume yoyotekuzalisha mwanamkekatika ardhi ya Ikongwea t a k a p o s h u k i a Y es u(kwa kuzaliwa upya namwanamke wa Ikongwe),ila mbegu ya Gabriel

    Vijana Buguruni kuweni makiniMakachero 15,000 kazini kuwatia wazimu

    Al Shabaab haiwezi kupigana na AU, drone

    Ni DRC nyingine hiyo. Mtamalizana wenyewe

    Na Omar Msangi

    Msangi a.k.a Nabii Eliya.Inasemekana huko

    K e n y a ( n a p e n g i n eh a p a n c h i n i ) , k u n avijana wameacha kazi

    zao, wengine wakaachamasomo, i l i kwendaSomalia.

    Kat ika ul imwenguwa leo wa vita dhidi

    ya ugaidi na katika zilem b i n u z a k u p i g a n avita hiyo (CounteringTerrorism) kuna misamiatim a a r u fu a m b a y o n i

    vyema kufahamika. Nayni: Entrapment, Stinoperations na Fake TerroPlots.

    Kule Marekani ipo kemoja maarufu ambapwatu watano walishitakiwkwa kutaka kulipua darajNa hilo likihusishwa nmashambulzi ya kigaidi

    Watuhumiwa walikuwn i J o s h u a S t a f f o r dAnthony Hayne, BrandoBaxter, Connor Stevens, nDouglas Wright.

    K w a m u j i b u wkesi i l iyowasi l i shwmahakamani na FBmnamo Mei 1 , 2011watu hao walidaiwkuwa walipanga kufanyshambulizi la kigaida m b a p o w a n g e l i p udaraja lililopo kiasi mai15 kusini mwa mji wCleveland.

    Unknowingly, a stinoperation entrapped themAuth or it ie s ca ll ed the

    anarchists. An informannamed CHS pressured thefor months. He was wired record conversations.

    I n a e l e z w a k a t i ku c h a m b u z i u l i o k u jkutolewa baadae chini ykichwa cha habari Is thFBI Catching Terrorists, oCoaching Them?

    Kwamba, je, makacherwa FBI, wanakamatmagaid i au wanatomafunzo, kuandaa, kulena kuzalisha magaidKatika uchambuzi huilielezwa kuwa kilichotokeni kuwa vijana hao bil

    kujua walishawishiwk u h a m a s i s h w a nkushinikizwa kwa mudmrefu na kachero, CHSw a p a n g e s h a m b u l ihilo. Kachero huyo kilalipokutana nao alirekodmaongezi yao na picha zayeye akiwa mtoa mawazmipango na hatimaykutoa utaalamu na silahzitakazotumika.

    Subjects were identifiepressed, and supplied fakexplosives for a plot thenever imagined or intende(They) neither planned ointended to commit violencC H S o r c h e s t r a t e d iSubjects were entrappedRecorded conversationshowed informant pressuto detonate explosives.

    Kwamba vijana hahawakuwa wamefikirikabisa kufanya uhalifu wnamna hiyo. Ni vijana twa Uswazi, wenye hasirzao na serikali, lakini siwahalifu au magaidi wkiwango hicho.

    Lakini kachero pandikiC H S a k a w a c h o t aakawaghilibu mwishwa yote akawapa silah

    Askofu ataka makanisayapewe bunduki AK-47

    Maalim Seif Sharif kasema kweliHakuna ugaidi wa kidini Zanzibar

    Ni njama za kupitishia agenda za sirimkono hoja hiyo, Askofumwingine wa makanisahayo amesema kuwa lengola ombi hilo ni kutakamakanisa yajilinde kwasababu inavyoonekanaSerika l i imeshindwakuwal inda Wakris tokutokana na mashambuliziya kigaidi.

    Akihojiwa na BBC,Jum atatu jio ni wik i hii ,akasema kuwa yapomatukio ya kuchomwamoto makanisa na serikalikushindwa kuchukuahatua.

    Akasema yapo piamatukio ya kuul iwaviongozi wa Makanisa nakwamba hakuna hatuamadhubuti zinazoonekanakuchukukiwa na Serikali.

    M a o m b i h a y ayanakuja baada ya kuwazimepigwa propagandakubwa ikidaiwa kuwawaliovamia na kufanyashambulizi pale Westgatemall walilenga kuuwaWakristo. Ikadaiwa kuwawalikuwa wakiwahojiwatu kujua nani Muislamu

    Inaendelea Uk.Inaendelea Uk. 7

    IMAMU wa Masjid Mtambani Sheikh Suleiman Abdallah (aliyeshika kipaza) sautiakiwa na baadhi ya Waislamu 52 muda mfupi baada ya kushinda rufaa yao wakiwa

    Msikiti wa Mtambani.

  • 7/22/2019 ANNUUR 1097

    7/12

    7 AN-NUU

    DHUL-HIJJA 1434, IJUMAA NOVEMBA 1-7, 201Makala

    Vijana Buguruni kuweni makiniInatoka Uk. 6

    feki ikiwa ni pamoja namilipuko na ramani zadaraja na namna ya kulipua.Mtego ulipokamilikaw a k a k a m a t w a n ak u s h i t a k i w a k a m amagaidi.

    CHS o f f e r ed decoylicense plates and an alibi

    fo r pr ot ec ti on . On Ma y1, they were arrested oncharges of conspiracy tocommit terrorism, possessionof explosives, engaging inhostilities against the UnitedStates, and related ofenses.

    N d i v y o t a a r i fa z akiuchunguzi, utafiti nauchambuzi juu ya kesihiyo inavyosema.

    M w a n d i s h iS t e p h e n L e n d m a na n a y e i s h i C h i c a g o( l e n d m a n s t e p h e n @s b c g l o b a l . n e t . ) ,akichambua kes i h i ianawanukuu majaji StevenDeelback na Greg White,wakielezea uzito wa kesihiyo wakionyesha kuwahii ni kudhihirisha kuwaMarekani inakabiliwa nakitisho kikubwa cha ugaidi.Na kwa sababu hiyo,vijana hao walipokishwam a h a k a m a n i ,hawakupewa dhamana.

    Hakimu Greg Whitea l i a m u r u w a w e k w ejela bila ya dhamana nawalipokuwa wanakishwamahakamani, walikuwaw a k i l e t w a w a k i w awamefungwa pingu naminyororo miguuni.nakiunoni.

    S t e p h e n a n a s e m aSubjects appeared incourt in wrist and waistshackles.

    Hiyo yote ni kutakakuonesha kuwa hawa nimagaidi hatari wakatiugaid i wenyewe wakupangwa, kushawishiwa,kushinikizwa, kuelekezwana kupewa silaha bandia.

    N a a n a s e m a j a p ovi jana hao ukitizamautaona kuwa hawanahatia, lakini kutokana nasheria za kuzuiya ugaidi,w a n a w e z a k u p e w akifungo cha maisha au

    adhabu nyingine kali yakiwango hicho.Mfano mwingine ni ule

    wa The Liberty City Seven.Hii ni kesi ya mwaka 2006iliyomuhusisha kacheroE l i e A s s a a d . H u y ualitumwa kuwanasa vijanawaliokuwa wamejipa jinaThe Seas of David katikamji wa Liberty, Miami.Hil i ni eneo ambapohuishi watu masikini,Wamarekani wenye asiliya Afrika (black).

    Inasemekana kuwakikundi cha vijana hawawala hawakuwa Waislamu

    kwa sababu katika taratibuzao ilikuwa ni pamoja nakusoma Biblia na kuvaamkufu ulio na nyotawaliyoita ya Daud. Jaaliyani kikundi kama hawaJah Safari au marastatunaowaona huku kwetu

    au kama wale waliotakak u i b u k a w a k i j i i t aJitambue wa marehemuMunga Tehenan.

    Shushushu Assaadaliwajia vi jana hawaakijifanya ni kamanda waAl-Qaida katika eneo hilo

    na anatafuta wanachama.A l i k u ja n a m a w a z omengi a l iyouza kwavijana wale wa USWASIw a l i o c h a n g a n y i k i w ana maisha, hawana chakupoteza. Akawanasa.Akawajia na mpango wa

    kulipua Sears ToweChicago , Hol lywoomovie studios na thEmpire State Building.

    Mwisho wa siku baadya kuwapa milipukfeki akawakamatishwakashitakiwa kammagaid i wal iopangkushambulia Marekankul ipua majengo n

    kufanya ugaidi.Watano katika vijan

    h a o w a l i h u k u m i wvifungo virefu jela. Ntaarifa zinasema kuwAssaad alilipwa kiasi chDola 85,000 kwa kazi hiy

    Baadae v i jana hawalikata rufaa, lakinwakapoteza. Kwa hiywamebakia katika rekodza kimahakama Marekankwamba wao ni magaidwa Kiislamu waliokamkuiangamiza Marekan(Islamic terrorists hell-benon destroying Americak a m a a n a v y o s e m

    mchambuzi mmoja.)Mifano kama hii nmingi. La kufahamu hapni kuwa utaratibu huwa kuwalaghai vijana nkuwawezesha kupangugaidi na kuwapa silaha zkweli au feki kwa ajili hiykisha unawakamata, ndiinaitwa entrapmentNa mashambulizi kamhayo ndio yanaitwa Stinoperations au FakTerror Plots.

    Mpango huu ulibuniwna aliyekuwa Mkuu wFBI, Robert Mueller, marbaada ya shambu lio l

    Septemba 11 chini ya sera nmkakati ulioitwa: "forwarleaning preventative prosecutions".

    Kwamba unataka umjumtu mwenye mawazo ykigaidi au uhalifu ambayjapo hivi sasa si muhaliful a k i n i h a p o b a a d aanaweza kufanya uhalifuKwa hiyo unachofanyn i k u m s h a w i s h i nkumuwezesha kufanyuhalifu bandia kablhajafanya uhalifu wkweli.

    Chini ya utaratibu hukumekuwa na mtandawa mashushushu n

    makachero kwa makumya maelfu ambao hutumwkufanya kazi hii. Inaelezwkuwa ndani ya Marekankwenyewe kuna zaidi ymashushushu kiasi 15000 waliosambazwa katikmisikiti, taasisi za Kiislamna mitaa ya Waislamkufanya kazi ya kuwanasv i j a n a k w a k u w a t imawazo ya kijahidina nkisha kuwakamatisha.

    Mwandishi TrevoAaronson akinukuu utauliofanywa na Mothe

    Askofu ataka makanisa yapewe bunduki AK-47Inatoka Uk. 6

    na nani Mkristo. Muislamuanaachiwa kuondoka, baliMkristo anapigwa risasi.

    Madai kama hayo ,hapana shaka yalilengakujenga uhasama nachuki baina ya Waislamuna Wakristo. Na ndiohayo unasikia viongoziwa Makanisa wakitakakupatiwa silaha.

    M a d a i k a m a h a y oyamewahi pia kutolewana viongozi wa makanisaya kipentekoste Tanzaniawakidai kuwa imefikiamahali Wakristo kujihamikwa mapanga , s ime,mikuki na mishale kwasababu, et i , ser ika l i

    imeshindwa kuwalinda.Hoja zao ni kama hizohizo za Wakenya kwambamakanisa yanachomwamoto na viongozi waKikristo kuuliwa.

    H a p a n a s h a k awalichokuwa wakitarajiani kuona pengine, serikalii k i c h u k u a h a t u a y akuwakamata Waislamuna kuwaadhibu bila kujalikuwa wamehusika au lakama ilivyokuwa katikalile tukio la mauwaji yaMwembechai.

    Ukitizama suala hili,kuna kitu kinajitokeza wazi.Makanisa yanayopiga

    sana propaganda hizi, niyale ambayo yanatajwa

    kuwa na ufadhili kutokamakanisa na taasisi zaKimarekani. Kwa upandemwingine, ba loz i zanje nazo zimetajwa piakushadidia hoja hii yakutaka kuonesha kuwakuna tatizo la kidini nchini.Hao ndio wanaokuja namadai kuwa yale matukioya watu kumwagiwat indika l i pamoja nakuuliwa Padiri, Unguja,yanahusiana na dini .Kwa maneno menginewanachosema ni kuwawahusika ni Waislamuwanaohujumu Wakristokutokana na chuki zakidini.

    Akikanusha na kupingam t i z a m o k a m a h u o ,Makamu wa Kwanzawa Rais wa Serikali yaZanzibar, Maalim SeifShari Hamad, amesemakuwa, suala la kumwagiwatindikali halina uhusianona dini.

    Juzi nilikutana naba lozi mm oja akas em asuala hil i l inatokanana mivutano ya dini,nikamwambia wenzetummeka mbali.

    Alisema hayo MaalimSeif akiongea na waandishiwa habari hivi karibunikuelezea utendaji wa

    Serikali ya Umoja waKitaifa katika kipindi cha

    miaka mitatu.Amesema, rekodi ya

    Zanzibar inaonesha kuwauvumilivu wa kidini nikatika utamaduni wao tokazama na wala hali halisindani ya nchi haioneshikuwa kuna uhasama huowa kushambuliana.

    Ukitizama propagandahizi za kuwachonganishaWaislamu na Wakristoambapo kwa bahati mbayabaadhi ya viongozi wamakanisa na vyombo vyahabari wamezipokea nakuzishabikia, mwelekeowake ni sawa na uleuliotumika kujenga chuki,uhasama na mahusiano

    ya kulipizana visasi kuleIraq na Pakistan. Hivi sasahakuna amani tena katikanchi hizo. Kila uchao nimilipuko na yanayodaiwakuwa mabomu ya kujitoamuhanga. Kwa upandemwingine drone nazozinashambulia ikidaiwakuwa ni katika kutoam s a a d a k u p a m b a n ana magaidi. Watu nan c h i i n a t e k e t e a n akusambaratika taratibu,lakini kiuhakika kabisa.

    H a p a k w e t uk i n a c h o l e n g w a n ik u c h o c h ea m g o g o r o

    Inaendelea Uk.Inaendelea Uk. 9

    ALIYEKUWA Amir wa Waislamu walioachiwa huru, Ustadhi Jabir Kibila(kushoto) akiwa na Amir wa kamati ya maafa, Ustadh Buhia.

  • 7/22/2019 ANNUUR 1097

    8/12

    8 AN-NUU

    DHUL-HIJJA 1434, IJUMAA NOVEMBA 1-7, 201Makala

    IMETAMBULIKA kwamuda mrefu sana kuwaTanzania ina idadi kubwaya Waislamu kupita nchizingine zote za Afrikaya Mashariki na Kati nahili halikuwapendeshawatawala wa kikolonihata kidogo. Inafahamikapia kuwa katika maazimiom u h i m u y a B e r l i nConference ya mwaka1885 katika kujigawianchi za Afrika, hawawakoloni walipitishaazimio la kufanya kilaliwezekanalo kuuwaUislamu katika nchihizo. Mbinu kubwa mojailikuwa ni kuwapa nafasina kuyasaidia makanisakuanzisha na kuendeshaharakati za kijamii. Hivyoshule nyingi zilikuwa zamakanisa. Pia walipewafursa na misaada ya pesakuendesha hospitalinyingi tu huko vijijini; nani huko huko vijijini ndikowaliweza kupatikanawenyeji kughilibiwa nawakabatizwa kwa wingisana.

    Ilikuwa ni jambo ambalohalikutazamiwa kabisakuwa baada ya kupatauhuru njama hizo dhidiya Uislamu zitaendelea.Lakini zi l iendelezwakwa mkazo zaidi nakwa ulaghai mwingikiasi kwamba Waislamuwalipo tanabahi, hasakatika Nyanja ya elimuwamishionari wamekuwambali sana na itakuwakazi kubwa sana kwaWaislamu kuwasogeleakwa siku za hivi karibuni.

    H u k o n y u m aserekali ya Tanganyikahaikushughulika kujenga

    s h u l e z a s ek o n d a r i .Zil izokuwepo ni zi lezilizoachwa na mkoloni.Mkoa wa Kigoma kwamfano, kwa muda mrefuhaukuwa na sekondarihata moja. Ni pale miakaya mwisho ya sitini aumwamzo wa miaka yasabini ndio wamishionariwaliruhusiwa kujengasekondari mo ja pa leBangwe. Nafasi za vijanakusoma shule za sekondarizilikuwa chache sana.Lilikuwa ni tatizo kubwakiasi kwamba si maramoja wala mara mbiliRais alisikika akikiri kuwa

    Na Khalid S Mtwangi

    Mustaqbal wa Uislam Tanzaniakuna hilo tatizo lakini lililoajabu ni kwamba alikuwaakiwasihi wananchi atitatizo hilo ni la wananchiwote na wote washirikianekulitatua.

    Yeyote a l iyetayarik u a n d i k a h i s t o r i ab i l a s h a k a a n a w e z akuruhusiwa na Shirikala Utangazaji Tanzaniakupekuwa zile kandaza hotuba za MarehemuRais Mwalimu Nyererena atazikuta zilizo namatamshi hayo. Si tegemeola wananchi kuwa kandakama hizo z i takuwazimechakachuliwa amakuchomwa moto. Lakiniwananchi wangewezajekupata ufumbuzi wa tatizozito kama

    hilo wakati serekaliy e n y e w e i l i k u w aimekataza kuanzisha shule

    binafsi za sekondari?Uhaba wa shule zasekondari uliwezeweshakupikwa mbinu zinginezilizowezesha kuwabaguav i j a n a w a K i i s l a m ukushindwa kupata nafasikuingia Kidato cha kwanzasekondari. Haikuwezak u t a m b u l i k a k a m ahao walioingia kidatocha kwanza walikuwawamefaulu mitihani yaoya darasa la saba ama la.Ilikuwa ni kwamba walewalioingizwa secondariwalichaguliwa tu. Ajabukwamba Wizara ya Elimuhaikuweza ama haikutakatu makusudi kuwajulisha

    wanafunzi ama wazaziwao kama hao waliomalizadarasa la saba walifauluama walifeli. Halikuwajamb o la kust aaja bishakuwa wengi wa walewaliochaguliwa kundeleasekondari walikuwa nivijana wasio Waislamu.

    Hili ukiliunganisha navisa walivyokutana navyoAl Marhum MwalimuBori Lila na MwalimuAbdurahamani Mwalongokatika kuchagua vijana wakuingia kidato cha tano(Form V), basi inaelewekakwa nini hivi sasa viongoziwengi sana katika utumishiwa sereka l i n i wale

    wasiokuwa Waislamu.Ni jambo la kusikitishakuwa hali hii itaendeleakwa muda mrefu sana.Waliosuka

    mbinu zile walikuwawanataka iwe hivyo nabahat i mbaya kabisaviongozi wengi kamasio wote wa Kiislamuhawajatanabahi kwambakulisukwa mbinu hizo nazinaendelezwa huvi sasakwa mkazo mkubwa.

    Uwezo mkubwa waw a t u m i s h i , w a k i w awananchi wenye mapesana wageni pia wanao, namapesa mengi yanaletwa

    kutoka n je . Hal i h i iimeelezwa siku nyingikwa marefu na mapana;linalosikitisha ni kuwahakuna viongozi waKiislamu waliotambuwa

    athari zake na kuchukuahatua madhubut i zakupambana vita hivi vyakuwaokoa Waislamu.

    B i l a s h a k a w a k oW a i s l a m u a m b a ow a t a k u m b u k akuli i t ishwa mkutanomkubwa wa viongoziwa makanisa mengiya Afrika waliokutanaNairobi mwaka 2000.M k u t a n o u l i i t i s h w akwa madhumuni yakukabiliana na Uislamuna Waislamu Afrika nahasa nchi kama Tanzaniazilizo na idadi kubwa yaWaislamu. Itambulikekuwa katika sehemu za

    Afrika na Mashariki naKati ni Tanzania tu ndiyoiliyo na idadi kubwaya Waislamu penginekushinda wasio Waislamu.Ndio maana takwimu hizoninazua mzozo kila wakatizinapotajwa kwa sabau hiiama ile; na ndio sababuTanzania iliamua sikunyingi kufuta kipengelehicho kutoka sensa yake.

    Sasa katika mkutanowa Nairobi iliazimiwakuupiga vita Uislamu kwanguvu zote. Azimio hilila siri lilifahamika palehayati Cardinal Otungawa Kenya mdomo wakeulipoteleza na kutoa

    sehemu kidogo ya siri hiyoakizungumza na magazeti.Alikemewa na wenziwena kuambiwa afungemdomo. Lakini matokeoyake yanaonekana sasahumu Tanzania. Moja ni ilekasi ya makanisa kujengana kuanzisha taasisi navyuo vikuu vingi nchinihumu. Ni vingi sana.Matokeo yake ni kuwaWaislamu watatawaliwana wasiokuwa Waislamunchini humu kwa mudamrefu sana kama siomilele.

    Harakati za ujenzi wakila aina miongoni mwamakanisa ni za hali yajuu na zinaendeshwa kwakasi sana. Kwa mtu yeyoteanayeingia Morogoro kwamfano atatambua tu kuwahapo Morogoro ni mjiwa WaKristo kwa ujenziunavyoendeshwa kwa kasikabwa. Ni hivyo hivyoSame, Dodoma, Itigi,Mwanza, na kwiginekokwingi tu.

    Licha ya kuwa jitihadah i z i z a M a k a n i s az inaonekana leo h i i ,lakini ukweli ni kwambahata hizo za zamanizinajulikana. Waandishi waKiislamu wameyaelezeakwa kirefu huko nyuma

    na inawezekana ni kwasababu hiyo ndio havi sasakumefumuka vyomboama taasisi nyingi zaKiislamu zikijikitahidikuleta maendeleo kwaWaislamu bila hakikakufafanua kwa uwazi hayoni maendeleo ya aina gani.Mwandishi alitembeleaUvinza, Mkoani Kigoma,hivi karibuni; hapa panataas is i takr iban nnezinasema zina taka kuletamaendeleo ya Waislamu.Lakini wakati huo huowanaridhika kuona basila Kanisa ambalo linabebawatoto kwenda shule yachekechea inayoendeshwa

    na Kanisa Katoliki. Kamainavyofahamika vijanawanaohudhuria shuleza kanisa hilo ni lazimawahudhurie misa. Mjihuo mdogo huko nyumaulikua kabisa ni mji waWaislamu; lakini sio leo!

    Hebu turudie kutafakarikule kujenga na kuendeshavyuo vingi vya elimu yaju u wanaloshughuliki amakanisa kwa ngvusana. Imedokezwa kuwampango huo utawawezsham a k a n i s a k u n d e l e akuitwala nchi hi i nakuwabana Waislamu kwamuda mrefu sana, hakikamilele.

    Tumshukuru sana RaisM s t a a fu M u h es h i w aMzee Benjamin Mkapak u w a o n e a h u r u m aWaislamu na kuwapatiamajengo yaliyowawezeshakuanzisha Chuo Kikuupale Morogoro. Haikuwarahisi kwake kutoa msaadamkubwa kama huo. Sasahizi taasisi nyingi zaKiislamu zinazo chipuakila siku, wanafanya ninikumuunga mkono huyuMuheshimiwa Mkapa,ambaye n i muuminithabiti wa Kanisa Katolikiambalo lina sifa dunia

    nzima kwa uhafidhinkama sio ubaguzi?Kuna taas is i kam

    BAKWATA na BARAZKUU ambazo zina maonchi nzima na zingewezkutegemewa kuwa mstawa mbele kujitahidi kulemapinduzi ya maendelea n g a l a u W a i s l a mwaweze kuwakaribiwale wananchi wenzawasio kuwa Waislamn a w a n a o w a b a g una kuwanyanyasa haWaislamu. BAKWATAimekuwa na nafasi kwmiaka muda takribaarobaini na tano. Bahambaya kabisa haikuwez

    kuwasaidia Waislamu kwlolote.Inajulikana kwa mfan

    taasisi ya Wamanyemwana mfuko mzito tuliojaa mapesa. Hivyo kwsababu ya hali yao nzurwaliweza kupata kipandcha ardhi kubwa tu nje yDar es Salaam wakiwa nmpango wa kujenga shuna kadhalika. Inafahamikk u w a m p a n g o h uulisukwa siku nyingh u k o n y u m a . S a skumetokea nini mpakmpango huo kama vilumekufa. Inasemekankuwa hawa Balugalug

    Bambulumbulu wanmisingi thabiti na ykuaminika ya kuwaletemapesa.

    Sasa tujiulize, hizi taasizote zinazozaliwa kila sikhasa mjini Dar es Salaamzinasaidia vipi kuinuhali dhalili ya WaislamuHali inayotokana nile dhoruba ya wasiWaislamu kuanzisha shuza sekondari na hasa vyuvikuu vingi nchini humu

    Viongozi wa taasisi hiwanaridhika na hali hwaliyonayo WaislamTanzania hivi leo?

    RAIS Mstaafu Muheshiwa Mzee Benjamin Mkapa

  • 7/22/2019 ANNUUR 1097

    9/12

    9 AN-NUU

    DHUL-HIJJA 1434, IJUMAA NOVEMBA 1-7, 201Makala

    Vijana Buguruni kuweni makiniInatoka Uk. 7

    Jones anasema kuwa:FBI has cultivated a

    huge network of informantsand spies, many of whomare directed to seek outdisgruntled Muslims. Andthen, in case after case, thegovern ment prov ides theplot , th e me an s, an d th eopportunity to commit

    terrorist aacks. The numberof informants has balloonedfrom 1,500 in 1975 to roughly15,000 now.

    Taarifa ya utafiti waMother Jones inasemakuwa mengi ya matukioyaliyodaiwa kuwa nimashambulizi au mipangoya kigaidi , ni Stingoperations zinazopangwan a k u f a d h i l i w a n amashushushu wa FBIna kwamba shushushuhulipwa hadi dola 100,000akifanikisha opereshenimoja tu.

    Taarifa za tahadharikuwa kuna kitisho chaugaidi Afrika Masharikini cha muda mrefu. Tokawakati huo Serikali yetuikiwa pamoja na wananchikupinga kwamba hakunamagaidi, nchi ni salama,hadi ikakia serikali nayokutangaza na kushabikiakitisho hicho.

    Pamoja na propaganzahizo zinazopepewa katikavyombo vya habari ,kumekuwa na harakati piamitaani ambapo baadhiya watu wamekuwawakipandikiza chukiba in a ya Wai sl am u naWakrisho kwa kusambazat a a r i f a z a u w o n g o .Lakini wakati huo huo,kumekuwa na harakatizinazodaiwa kuendeshwana wanaharakat i waKiislamu wanaodai kuivana wanaona hakuna diniwala ibada, ila ya kwendakupigana Somalia.

    Taarifa za kiuchunguzizinadai kuwa watu haona mawazo kama hayoyamejikita maeneo yaBuguruni (baadhi yaMisikiti) na huko Mbagala.Zipo pia baadhi ya taasisiza elimu ya juu, zikiwemoz a s e r i k a l i a m b a p owanafunzi wa Kiislamuwamekuwa wakiendesham i j a d a l a h i y o n akushawishiana kuachashule/kazi kwenda Jihad.

    Jambo lililo wazi ni kuwa

    maadhali hapa nchinipamekuwa na propagandaza kupandikiza kitishocha ugaidi, ni lazima huougaidi wenyewe ufanyiweutaratibu ili uonekanekuwa upo. Na kwa vilehaupo, hakuna ugaidiwa kweli, wala hakunamagaidi wa kweli, nilazima upandikizwe.U n a p a n d i k i z w a j e ?Entrapment!

    Atakujia mwanaharakatina aya na hadithi nyingina kukushawishi kuingiakatika Jihad ya Kital.Atakupa mawazo yaSomalia, kuacha kazi

    au shule/chuo kwendaMadina kama njia yakufikia Jihad. Mwishowa yote atakukamatisha ilikitisho cha kweli cha ugaidikitimie. Haitaishia kwa

    wewe kukabiliwa na sheriaya kuzuiya ugaidi, lakiniutakuwa umewaangamziaWaislamu na kuitia nchikat ika ba laa kubwa.Drone hazikuja Pakistanna Yemen, ila baada yak u k a m i l i k a m p a n g ohuu wa entrapment nawakapatikana wapumbafuwa kumeza chambo nandoano hiyo ikiwa nipamoja na wananchi wakawaida, vyombo vyausalama vya nchi hiyona viongozi wa Serikali.Kwa namna yake n ikuwa wanaharakati waliojifanya wameivakwa jihad na viongozi

    wa Serikali waliokubalikutumiwa (wakipewavyeo na kusiwa kwambani washirika wazuri katikakupambana na ugaidi),wote wamekuwa wasalitiwa nchi yao. Pakistantaifa la nyukilia hivisasa linaonekana kamatakataka. Kila uchaoni mil ipuko na watukuuwana.

    K a m a n i k u s o m atusome. Wezetu Kenya,w a s h a k o s ea s t ep u .Washaingizwa katikakizungumkuti. Westgatena milipuko ya magurunetihaitakoma.

    P en g i n e n i m a l i z i e

    kwa kusema yafuatayo.Kama wapo wanaotamanikwenda Somalia, jambom o j a w a l i t a m b u e .Somalia hivi sasa nikama DRC kwa JosephKabila. Wanaouwana niwakongomani wenywekwa wenyewe.

    Al Shabaab, kama ilivyo,haina uwezo wa kupiganana Jeshi la Afrika-AU (kwamaana ya AMISOM) naMarekani inayotumiad r o n e . A l S h a b a a bh a i t en g en ez i s i l a h a ,inazipata wapi? Mfadhilinani? Zinaingiaje?

    Al Shabaab itaendeleakuwepo kwa sababu ndivyo

    mabeberu wanavyotaka.Wewe ukienda kupiganaupande wa Al Shabaab,utakaowauwa ni askariwa Serikali wanaosaidiwana AU. Utakuwa unauwaWa s o m a l i . U t a k u w au n a u w a W a i s l a m uwenzako. Mwisho wa yoteitakuwa ni Waislamu kwaWaislamu mnauwana.

    Ukija kisiasa ni Wakenya,Wasomali , Waganda,Waburundi na Waethiopiaw a n a a n g a m i z a n a .Waafrika mnaangamizanawenyewe kwa wenyewe.Mabeberu wanavuna!

    Kwa upande mwingine,kama wapo wanaotamanikuona kitisho cha ugaidikimeota mizizi hapanchini, watizame Pakistan.

    Kwa mujibu wa taarifa yaAmnesty Internationalya hivi karibuni, watuwasio na hat ia kwam a e l f u w a m e u l i w a

    katika yale mashambuliyanayofanywa na ndegzisizo na rubani (droney a k i d a i w a k u l e n gmagaidi.

    Mashambulizo hayyamekuwa yakiangamizshule, nyumba za watwasio na hatia, shereh

    Askofu ataka makanisa yapewe bunduki AK-47Inatoka Uk. 7

    ba in a ya Wai sl am u naWakristo na hao wanaodaiwapewe silaha, ni sehemuya mkakati wa kutumiwakuharibu nchi. Ni wasalitiw a n a o t u m i w a k w akulipwa au bure kwaujinga wao tu. Ukisemaupewe silaha ujihamidhidi ya Waislamu maanayake umejiaminisha kuwaWaislamu ni maaduni

    zako. Ukishapewa sila-AK-47, hiyo haitakuwakwa ulinzi wako, balikurahisisha agenda yakulipua nchi. Atatokea mtukatika hao wanaotumiwana walio na hamu yakutaka kuona mgogoro wakidini ukishamiri katikanchi, atafanya shambulizina kuuwa Muislamu.Uchunguzi utaoneshakuwa bunduki na risasizilizotumika ni za AK-47. Wakati huo Waislamuwanajua kuwa Makanisayana silaha hizo. Hitimishola haraka litakuwa kwambawaliofanya mauwaji hayoni Wakristo. Wanalipiza

    kisasi. Kinachofuata nipiga nikupige. Hapa ndipowanapotaka kutufikisham a a d u i z e t u a m b a okwa upande mwingine,

    wanadai kuwa ni marakizetu na washirika wetukatika kupambana naugaidi.

    Katika Iraq na Pakistan,Washia walichochewa nakuaminishwa kuwa Sunini adui zao. Kama ilivyokatika matukio haya yakumwagiwa tindikali nakupigwa risasi padiri,waliuliwa watu au msikitikupigwa bomu ikapigwa

    tarumbeta kuwa wahusikani Shia/Suni.K e s h o l i n a t o k e a

    jingine, inasemwa hao niSuni/ Shia. Sasa ni piganikupige. Ukichunguzaunaweza kukuta kuwakatika matukio hayo yaawali, hakuna hata mojalililotekelezwa na Suni auShia, kwa maana kuwalinahusiana na chukiza kidini. Hata kamalilifanywa na mtu wadhehebu fulani, lakini siokwa misingi hiyo ya chukiza kidini.

    Lakini kutokana napropaganda iliyopigwaiki jumuishwa na i le

    propaganda ya jumla yaugaidi, sasa hivi nchi hizosi salama tena.

    K a m a a l i v y o s e m aMaalim Seif, tusikubali

    k a b i s a k u z a m i s h wkatika propaganda hizza kuchochea chuki nuhasama wa kidini. Kamni uhal i fu ut izamwkama uhalifu. Sio kuupmtizamo wa kidini.

    Tukiingia ujinga nkumeza propaganda hiyoitabidi tuanze kupambanna wananchi wenzetukama magaidi. Tukifikhapo itabidi tena tupewmisaada ya kijeshi, kipolina kikachero. Na uzoefunaonesha kuwa kadirunavyopewa misaada hiyondivyo unavyoharibikiwa

    Kama wanavyosembaadhi ya wachambuzi wsiasa za kimataifa, vita hya ugaidi imebeba agendza siri. Na kila inapoingiaina malengo yake ila hichkinachoitwa vita dhidya ugaidi ni blangeti lkufunikia hiyo agendyenyewe iliyokusidiwa.

    Muhimu kufahamuni kuwa kinachosemwsio kulichokusudiwaUnazamishwa katikjambo ili wenzako wapatya kwao na wewe wkuangamize.

    Inaendelea Uk. 10

    SEMINA YA MBINU MBADALA ZA UTAFUTAJI WA AJIRA NA UANZISHAJI NAUENDESHAJI WA KAMPUNI BINAFSI NA ASASI ZA KIRAIA

    Jumuiya ya Wataalamu wa Kiislamu Tanzania (TAMPRO) kupitia Kituo chake cha Mafunzo naAjira inawatangazia nafasi ya mafunzo ya Mbinu Mbadala za utafutaji wa ajira,pamoja na Ubunifu,Uanzishaji, Usajili na Usimamizi wa Makampuni Binafsi na Asasi za Kiraia itakayoendeshwa nawataalamu bobezi katika masuala hayo.

    Mambo yatakayo fundishwa:Mbinu mbadala za utafutaji wa ajira -Job search techniques: (Utafutaji,Uombaji, CV, Usaili (Interview) na Jinsi ya Kuanza Kazi).

    Pamoja na: Uanzishaji, Usajili na Usimamizi wa Private Company (With Shared & Without sharedCapital), Non Governmental Organizations (NGOs), Community Based Organizations (CBOs), FaithBased Organization (FBOs), Registered Trustess, SACCOS & Micronances, Business Names,Business Licenses, Economic Groups, Afciliations, nk.

    Walengwa: Wahitimu wa Vyuo Vikuu na vyuo vya Kati na wote wanaotaka Kuanzisha, Kumiliki naKuendesha Kampuni Binafsi na Asasi za Kiraia.

    Siku na Muda: Jumamosi na Jumapili tarehe 09-10/11/2013 saa 3:00 asubuhi 9:30 jioniMahala: TAMPRO Makao Makuu.Kiingilio: Sh 20,000/= ikihusisha chakula cha mchana na machapishoKujisajili: 0714 151 532, 0767 151 532 au 0718 575 333 au [email protected]

    WOTE MNAKARIBISHWA

  • 7/22/2019 ANNUUR 1097

    10/12

    10 AN-NUU

    DHUL-HIJJA 1434, IJUMAA NOVEMBA 1-7, 201HABARI/TANGAZO

    Vijana Buguruni kuweni makiniInatoka Uk. 9

    za harusi ilimuradit u k w a m b akombora lililengwaj i r a ni n a m a h al i

    p a n a p o d h a n i w akuwa na gaidi.Sasa kama yupo

    anayedhani kuwakitisho kikikoleawatakaobamizwa niwatu wa dini fulani,a t a m b u e k u w akombora likirushwak u l e n g a g a r i l amtuhumiwa pengineakipita Msimbazi,Kariakoo , j iu l izeni magairi ya watuwangapi yatakuwapale. Je, litachaguan a n i l i n a m u u w akatika wale collateraldamage?

    Katika hali kamahiyo, mtuhumiwammoja wa ugaidia n a o n d o k a n awatu kwa makumikama s io mamia(collateral damage).Na washambuliajihawajali kuwa kunawatoto, wajawazito,vikongwe, polisi ,mwandishi wa habari,padiri au mtumishiwa serikali anapitajirani.

    A k i e l ez ea h a l iy a J a h a n n a m ilipojikuta Pakistan

    imejitumbukiza, Dr.Mahboob A Khawajaameandika makalayake aliyoipa jinaAmerica in Pakistan:Postcard from Hell.

    K a t i k a m a k a l ahiyo anaelezea kwakifupi urafiki waPervaz Musharafna George Bush najinsi Pakistan kamarafiki wa Marekaniilivyoghilibiwa nakuingizwa katikavita dhidi ya ugaidik a m a m s h i r i k amkubwa. Msikilizeanavyosema:

    George Bush made itknown, either you arewith us or against us.But ironically, Pakistanwas used to wage theWar on Terrorism andat the same time, it isaccused of harboringterrorism against theUS interests. Truthis one and indivisible.Ameri ca followed itsown hidden agendaand used Afghanistanas a convenient coverto p e r a t i o n b a s e t oundermine the freedomand integrity of afriendly Pakistan.

    The War on Terrorismhas ushered worstsocio-economic andhumanitarian disastersfor the Pakistani nation.It has become a war

    torn country not justby US led Drone aacksbut by the politicsand secret US agentsof influence workingacross the nation todismantle its nucleararsenals and transformit into a boggy nationsubservient to all US,Britain, India and theunknown future. Is thiswhat you expect from afriend to stab you fromall directions? Americah a s t r a n s f o r m e dits fr iendship into

    animosity; otherwise,i t c a n m i s i n f o r mand deceive its ownpeople that Al-Qaedais operat ing f romAfghanistan-Pakist anp o s i n g t hr e a t s t oAmerican security. Al-Qaeda was created

    by the US intelligences e r v i c e s a n d m e ti ts po l i t i ca l deathwhen ousted f romAfghanistan.

    Sina haja ya kufasiri,lakini anachosemani kuwa Pakistani l i d a n g a n y w akuingizwa katikavita dhidi ya ugaidi,kumbe mwenzakeanaitumia vita hiyokwa agenda zake zasiri.

    D r . K h a w a j aanasema kuwa kwasasa ni wazi kuwaagenda ya siri yaMarekani ilikuwak u i s a m b a r a t i s h aPakistan. Hivi sasa

    taifa la nyukil ia ,l i m es a m b a r a t i k akiuchumi na hudumaza kijamii, mauwaji,migogoro isiyoishana sasa l imebakikama kikaragosi nagunia la mazoezi kilampita njia analipiga

    ngumi.T u n a o w a i t

    w a t a a l a m u k wu c h u n g u z i wm a t u k i o y

    kihalifu kama lilla padiri kupigwr i s a s i Z a n z i b a r( s e c r e t a g e n t swamesambazwa kikona ya Pakistanwakifanya kazi ykulizamisha taifa hilkatika tope ambapitakuwa tabu kutokkwa miaka mingijayo.

    Is this what yoexpect from a friento stab you fromall directions? DMahboob anauliza.

    M a r a k wm a r a Q u r ainauliza: Afalayaqiluun?, Afalay a t a f a k k a r u u nAfalaa yalamuunAfalaa tubswiruun?

    Je, hamna akili? Jhamkiri? HamuonH a m t a m b u iHamfahamu?

    Waislamu kote Nchini mnatangaziwa nafasi za darasala kwanza katika shule ya kiislamu kirinjiko. Shule hiini ya bweni kwa wavulana na wasichana

    1. Shule hii ni ya kiislamu yenye lengo la kuwapawatoto elimu bora na kuwalea kwa malezi ya kiislamu. Mwisho wa kuchukua fomu ni tarehe 10/12/2013.

    2. Masomo yanayofundishwa ni haya yafuatayo:- Elimu ya dini ya kiislamu, Usomaji wa Quran namafunzo yake, Lugha ya kiarabu, English, Kiswahili,Mathematics, Science, History, Geography, Civics,Computer (ICT), Michezo (PDS).

    3. Muombaji awe amemaliza elimu ya awali

    Fomu za maombi zinapatikana katika vituovilivyoorodheshwa hapa chini.

    Fomu hii italipiwa Tsh.10,000/=

    Orodha ya Vituo vya kuchukulia fomu soma ukurasawa 11 wa tangazo la Shule za IPC.

    KIRINJIKO ISLAMIC ENGLISH MEDIUM PRIMARY SCHOOLP. O. Box 62 SAME Tel: 0784 833982/ 0784 435336 E-mail

    [email protected]

    NAFASI ZA DARASA LA KWANZA 2014

    Waislamu walioshinda rufaaInatoka Uk. 12a n a k w e n d akumuuliza natakatoba nielekeze chakufanya anaambiwatoba yako haikubalikimpaka siku zipitesiku 40.

    S a s a , n a i o m b aJumuiya na Taasisi,Shura ya Maimam,nendeni Wizara yaMambo ya Ndaniya Nchi, mtafuteniK a m i s h a n a w aMagereza awapatievibali vya kutembeleaM a g e r e z a ,m k a n u s u r uWaislamu kiimani.Alisema Amir Kibila.

    Alisema, ipo hajakupitia vyombo hivyokuweka utaratibuwa kuwakusanyaw a f u n g w amagerezani s ikumaalum za ibada

    kisha kuzungumzanao matatizo yao yakiroho kwani alidaiwafungwa wanahitajimuongozo wa dini iliwamrejee Allah (sw).

    Wito kwa Serikali.Ust. Kibila, alitoa

    wito kwa Serikalikuangalia maisha yawafungwa na maadilikwa ujumla hususank u w e k a u l i n z ikudhibiti uingizwajiwa bangi na kudhibititatizo la vitendo lakaum Luti.

    Alisema, Serikali

    i j i f u n z e k u t o k amagereza ya nchiz a n j e a m b a p ow a f u n g w a k i l amuda wanakuwana siku maalum yak u t em b el ew a n ahutoa nafasi kwawenye ndoa kukutanana wenzaoa katikachumba maalum nakuzungumza mamboyao.

    U s t . K i b i l a ,alisema mazingira yamagerezani yanatoaf u r s a y a w e n y enguvu na uwezowa kupata mahitajikuwalaghai wenzao

    wasio na msaada nakuwafanyia mambomachafu.

    Akasema, lengoya kusema haya siokutaka kuifedheheshaSerikali, bali ifahamuk w a m b a w a l ewanaoharibika kulejela ni vi jana waKitanzania.

    T u k i w a s i k i aviongozi wa Serikaliwakisema nguvukazi ya Ta i fa n ivijana, kisha vijanah a o w a n a i s h i amagerezani kwa kesi

    za wizi wa kuku,simu uvutaji bangi,kisha wanajikutawanaingia katikamatendo machafuhuko gerezani, sasahi i ras i l imal i ya

    Taifa ambayo ndiohao vijana mbonawote wanaharibikiagerezani? Alisemana kuhoji Ust. Kibila.

    Alisema, Serikaliinapaswa kuangaliamaisha ya wafungwahuko magerezaniy a k o je , a k a s em aikiwa kuna wimbohuku uraini unaoitwahaki za binadamu,lakini huko gerezanihaki za binadamuhakuna.

    Sasa hawa watuw a n a f u n g w a i l ik u w a r e k e b i s h aa u k u w a b o m o akabisa kimaadili nawakitoka wasiwe namaana yoyote katikajamii. Alisema AmirKibila.

    Msihuzunike.A k i w a n a s i h i

    Waisamu, Ust. Kibila,alisema wanapofanyaharakati kwa lengola kutafuta haki nausawa katika jamiiwanatara j ia ya leambayo wengineh a w a y a t a r a j i i ,kwani akasema hao

    wanahita ji duniazaidi.Ust. Kibila, alisema

    Allah anawaagizawaumini wake kwakueleza kwambawasihudhinike katikakuifuatilia kaumu yawatu waovu dhidiya sheria zake katikakuhakikisha dhulmainaondoka.

    L a k i n i A l l a h(SWT) akawaambiaWaislamu, nyinyijapo kuwa mnaumia,mnateseka endeleenikudai haki zenu na

    wala msisite hatakama watakuuweni,kwa sababu nyinyimnachokifanya hatamkidhurika kunam n a y o t e g e m e ak w a M w e n y e z iMungu yale ambayow a o a m b a y ohawayategemei.

    Baada kifo, yinyimnategemea kuipatafirdaus (Pepo) na sikingine ambachowao hawakitarajiina hii ni ahadi yaAllah (sw) tofautina wao. Alisema,

  • 7/22/2019 ANNUUR 1097

    11/12

    11AN-NUU

    DHUL-HIJJA 1434, IJUMAA OKTOBA 11-17, 201TANGAZO

    Bismillahir Rahmanir Rahiim

    ISLAMIC PROPAGATION CENTRE

    NAFASI ZA KIDATO CHA KWANZA 2014

    Waislamu kote nchini mnatangaziwa nafasi za kidato cha Kwanza kwa shule zifuatazo: Mkuzo Islamic High School - Bweni tu - SONGEA Kirinjiko Islamic Sec. School - Bweni tu SAME - KILIMANJARO Nyasaka Islamic Sec.School - Bweni tu - MWANZA Ubungo Islamic High School - Kutwa na Bweni DAR ES SALAAM

    1. Shule hizi ni za Kiislamu, zenye lengo la kuwapa watoto elimu bora na kuwalea kwa malezi mazuri ya Kiislamu.

    2. Masomo yanayofundishwa ni haya yafuatayo:Elimu ya Dini ya Kiislamu, Usomaji Qur an na mafunzo yake, Hadithi za Mtume(s.a.w), Lugha ya Kiarabu, Kiswahili, English, Basic Mathematics, Physics,Chemistry, Biology, Geography, History, Civics, Book keeping na Commerce.

    3. Patakuwa na mtihani tarehe 30/11/2013 saa 2:00 asubuhi katika vituo mbali mbali kote nchini. Muombaji anaweza kufanyia mtihani katika kituo chochote4. Mwisho wa kuchukua fomu ni tarehe 29/11/20135. Fomu za Maombi zinapatikana kwa gharama ya shilingi 10,000/= katika vituo vilivyoorodheshwa hapa chini.6. Pia, fomu zinapatikana kwenye Tovuti: www.ipctz.org. Ikumbukwe kuwa atakayepata fomu kupitia tovuti (download) atatakiwa kulipia wakati wa kurejeshasiku ya mtihani.

    Arusha - Osi ya Islamic Education Panel Jambo Plastic Ghorofa ya 2 mkabala na msikiti Mkuu Bondeni - 0763 282 371/ 0784 406 610

    Kilimanjaro - Moshi: Msikiti wa Riadha 0654 723 418 - Same: Kirinjiko Islamic Secondry School: 0784 296424/0655 697 075

    Tanga - Twalut Islamc Centre Mabovu Darajani 0715 894111/0789 410914 - Uongofu Bookshop: - 0784 982525/

    - Korogwe: SHEMEA SHOP 0754 690007 - Mandia Shop - Lushoto: 0782257533 Mwanza - Nyasaka Islamic Secondary School 0717 417685/0786 417685- Osi ya Islamic Education Panel Mtaa wa Ruji mkabala na Msikiti Al-Amin 0785 086 770 Musoma - Osi ya Islamic Ed Panel -Mtaa wa Karume,Nyumba Na. 05, -0784721015/0765024623 Kagera - Bukoba: Alhuda Caf Kwa mzee Kinobe karibu na osi za TRA. - 0688 479 667

    Shinyanga - Masele com: Osi za NSSF Shinyanga Mjini mkabala na bank ya CRDB - 0752180426 - Kahama osi ya AN NUUR Karibu na msikiti wa Ibadhi: 0753 993930

    Dar es Salaam - Ubungo Islamic High School 0754 260 241/0712033556 - Osi ya Islamic Ed. Panel Temeke -Msikiti wa Nurul Yakin 0655144474

    Morogoro - Wasiliana na Ramadhani Chale :0715704380

    Dodoma - Hijra Islamic Primary School : 0716 544757/0712 325086

    Singida - Osi ya Islamic Ed. Panel karibu na Nuru snack Hotel 0714285465/0784 928039

    Manyara - Babati: Shule ya Msingi Hangoni: 0784 667575 - Osi ya Islamic Ed. Panel Masjid Rahma: 0764 469870/0789 174902 Kigoma - Msikiti wa Mwanga Kigoma: 0753 355224 - Kibondo Islamic Nursery School: 0784 442860 - Kasulu: Murubona Isl.SS. 0714710802 Lindi - Wapemba Store: 0784 974041/0786 959663 Mtwara - Amana Islamic S.S 0715 465158/0787 231007 Songea - Kwa Kawanga Karibu na Msikiti wa NURU 0715 681701/0716791113

    - Mkuzo Islamic High School. 0716 791113 Mbeya - Duka la vifaa vya Kiislamu nje ya Msikiti wa Uyole 0713 200209

    - Rexona Video mkabala na Mbeya RETICO: 0713 200209 Rukwa - Sumbawanga: Masjid TAQWA 0717082 073 Tabora - Kituo cha Kiislamu Isevya: 0784 944566 Iringa - Madrastun Najah: 0714 522 122 Pemba - Wete: Wete Islamic Education Center: 0777 432331 Unguja - Madrasatul Fallah: 0777125074- Maa - Osi ya ust. Yusufu Ally jirani na msikiti mkuu 0653705627

    USIKOSE NAFASI HII ADHIMU WAHI KUCHUKUA FOMU SASA!

    MKURUGENZI

    WABILLAH TAWFIIQ

  • 7/22/2019 ANNUUR 1097

    12/12

    12 AN-NUU

    DHUL-HIJJA 1434, IJUMAA NOVEMBA 1-7, 20112MAKALA

    AN-NUUR12 DHUL-HIJJA 1434, IJUMAA NOVEMBA 1-7, 2013

    SomaGazeti la AN-NNUR

    kila Ijumaa

    H A L I ya k i m a a d i l ikatika Magereza nchinisi shwari, kutokana nakukithiri kwa matendomaovu yakiwemo uvutajiwa bangi na kukosekanahaki za binadam.

    Hayo yamebainishwa naWaislamu 52 waliokuwawamehukumiwa kifungocha mwaka mmoja jela,kabla ya kuwa hurukufuatia kushinda rufaayao katika MahakamaKuu Jijini Dar es Salaam,mapema wiki iliyopita.

    W a i s l a m u h a ow a m e b a i n i s h a w a z i

    m a o v u n a m a c h a f uyanayoendelea katikaMagereza waliyokuwawametawanywa, ambayoni Kimbiji, Mvuti, Ukongapamoja na Bagamoyo kishawakaitaka Serikali kupitiaWizara ya Mambo yaNdani ya Nchi, kudhibitimatukio yaliyokithirihususan uvutaji wa bangina matendo ya Kaum Luti.

    Waislamu hao wamedai,wamebaini hayo kufuatiakufanya kazi kubwa yaDaawa na kufundishaU i s l a m u k u a n z i ah a t u a y a m a h a b u s ukisha kuwa wafungwab a a d a k u h u k u m i w ana kutawanywa katikamagereza mbalimbali.

    Akiongea kwa niaba yawenzake Ijumaa ya wikiiliyopita katika Msikitiwa Mtambani, Amir waWaislamu hao 52, UstadhiJabir Kibila alisema mbaliya kushuhudia wenyewe,pia wafungwa wengiw a l i w a e l ez a m a o v uwanayoyafanya gerezanihumo.

    A l i s e m a k u f u a t i amawaidha ya kiimaniwaliyokuwa wakiyatoa,wengi wao walionekanakujutia na kudai kuwawamejikuta wakiingiak a t i k a m a o v u h a y okutokana na ugumu wamaisha ya gerezani najamii kuwatenga.

    Hata hivyo Ust. Kibila,alisema sehemu kubwa yawafungwa wengi wao nivijana wanaoingia wakiwahawana tabia hizo, lakinikulingana na mazingiraya gerezani hujikutawanaingia katika matendomachafu na kuharibika.

    Wasilimisha.Ust. Kibila, alisema

    kufutia kazi waliyokuwawakiifanya Magerezanihumo ya Daawa nakuufundisha Uislamu

    Waislamu walioshinda rufaaWataka Maimam kunusuru wafungwaWasilimisha wafungwa, Askari Magereza

    Na Bakari Mwakangwale

    kuwa ndiyo mfumosahihi wa maisha yamwanadamu, wamewezakusilimisha wafungwa 34,pamoja Askari Magerezammoja na kufanya idadi

    ya waliosilimu kuwa 35.M b a l i y a k u p a t aWaislamu hao wapya,Amir Kibila, alisema piawameweza kuwarejeshaWaislamu 225, waliokuwaw a m e g h a f i l i k a n aUislamu wao kutokana namatatizo waliyokumbananayo wakiwa humomagerezani.

    K w a m u d a w o t etuliokuwa huko tumefanyakazi ya kuwatoa katikaukafiri wafungwa 35 nakuwarejesha Waislamu 225waliokuwa wameghalikana Uislamu wao. Kwa hiyojumla tumepata Waislamu260, katika Magereza yoteambao sasa wanajitambuan a w a n a en d e l ea n aharakati za dini ndani yamagereza. Alisema Ust.Kibila.

    Akifafanua Ust. Kibila,alisema awali wakiwamahabusu katika gereza laSegerea, walianza kazi yaDaawa, mara moja kamawalivyo azimia awaliwakiwa selo Polisi na kilachumba walimowekwakiligeuka kuwa Msikiti nauwanja wa mihadhara yaKiislamu.

    Maandamano ya PolisiA k i z u n g u m z i a

    m a z i n g i r awaliyokamatiwa sikuhiyo, Ust. Kibila, alisemawalikamatwa katika sakatala maandamano, ambayok i m s i n g i W a i s l a m u

    hawakuandamana.Alisema, yeye (Kibila)lichukuliwa akiwa katikamitaa ya Kitumbini ,Mnazi mmoja Jijini Dares Salaam, ndani yaduka linalouza Kanga naVitenge akinunu bidhaahizo.

    Nimetoka Mwanza,n imekuja hapa kwaajili ya shughuli zanguz a k i b i a s h a r a n anilikuwa ndani ya hilod u k a k w a m a s u a l ahayo ya kib iashara ,n i l i k u w a n i m e v a akofia (Balaghashia) nanilikuwa na ndevu nyingi,wakaangalia wakanionamimi ndiye miongonimwa wanaowahitaji.

    Nilichoshuhudia sikuhiyo ni maandamano yaPolisi, gari na Pikipiki zaozikiwa zimetanda barabarazote na hii ilitafsri Polisindio walioandamanakukamata kila Muislamualiye na alama za Kiislamupopote walipomuona sikuhiyo. Alisema Ust. Kibila.

    Akasema, baada yakupelekwa kituo chaP o l i s i n a k u c h u jw awalipoulizana walijikutakila mmoja kiuhalisiah a k u w a k a t i k a

    m a a n d a m a n o b a l iwaliponzwa na kujipambana alama za Uislamuwao, akadai wenginewalichomolewa kutokandani ya daladala.

    Ust. Kibila, alisemab a a d a y a k u b a k i aW a i s l a m u w a t u p uw a l i f a r i j i a n a k w ak u e l e z a n a k w a m b ainawezekana Allah (sw)kawachagua wao i l ikuyafanyia kazi yatakayojiri.

    Tuliambiana mapemakama tutafungwa kazik u b w a y a k u f a n y an i k u u f u n d i s h a n akuutangaza Uislamuhumo Magerezani na sivinginevyo, na ndivyoilivyokuwa. Alisema.

    Waishangaa Serikali.Ust. Kibila, alisema

    u k i w a g e r e z a n i

    utaistaajabu Serikalikwa kuwakamata vijanamitaani kwa matatizoya uvutaji wa bangi namakosa mengine kishawanafungwa kwa dhanaya kuwarekebisha tabia.

    T u m e k u t a b a n g iinavutwa kuliko uraiani,ndani ya gereza ndiyosoko la kuuzia bangiyaani Serikali yetu sijuihaitambui, au hawaoni?.A s k a r i w a p o l a k i n inashangaa kilevi hichokinatumika unastaajabuimeingiaje humo.

    Alisema, kuna vijana

    wamefungwa kwa ke

    ya wizi wa simu, hanwatu wa kumsaidia njamii imemtenga akadamwisho wa siku mambhaya yanamsibu akiwhumo kwa kujiingizkatika mambo mazito.

    Ust. Kibila, alisemwengi wao wanadai iwapoteze msongo wmawazo wanalazimikkujiingiza katika uvutawa bangi au madawa ykulevya akiamni ataondokra na mawazo yanaymfanya aonekana kammtu wa ajabu mle ndanya gereza.

    Shura ya Maimam.Amir Kibila, alitoa wit

    kwa Shura ya Maimamnchini, kuweka utaratibwa kwenda kuwatembelewafungwa na kuwapmawaidha pamoja nmafundisho ya dini yao

    A l i s e m a , k u nw a f u n g w a w e n gwanaohitaji kumrejeAllah (sw) lakini hawajuwaanzie wapi na hata hawanaoelezwa kuwa nviongozi wao wa dini walio bobea katika elimya dini.

    Ust. Kibila, alisemw a p o w a f u n g wwanaotaka kufanya toblakini wameshindwbaada ya kupewa maelezna kiongozi wao wa dingerezani humo kuwkupata toba mpaka zipisiku 40, ili ikubaliwe.

    Kitendo cha kuelezwtoba baada ya siku 40nilisikitika na kubaini nkosa la viongozi wetwa dini huku uraianhawaendi magerezankufundisha dini, jamanS h u r a y a M a i m a mlifanyieni kazi jambhili, nendeni magerezanm a k a w a p e D a a wwafungwa. AlisemAmir Kibila.

    Alisema, alipofatwa nwafungwa na kumuelezwanataka kutubu, alibainkuwa hao wana imani n

    wanataka kumrejea Mowao lakini tatizo ni unywa elimu waliyo naywafubngwa magerezani

    Alisema, cha kusikitishz a i d i k a t i k a g er ezmoja wapo ni kwambw a m ek u t a k i o n g o zwa dini aliyechaguliwambaye humuita Mufwa gereza zima elimyake kubwa yupo suratuAbbasa, katika JuzuAmma.

    H u y o n d i yanayetegemewa kutofatwa gerezani, mfungw

    Inaendelea Uk. 1

    WAISLAMU 52 walioshinda rufaa yao muda mfupi baada kuachiwa huruwakiwa na baadhi viongozi wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu nchini.