ANNUUR 1093

Embed Size (px)

Citation preview

  • 7/27/2019 ANNUUR 1093

    1/16

    ISSN 0856 - 3861 Na. 1093 DHULQADAH 1434, IJUMAA , OKTOBA 4-10, 2013 BEI TShs 500/=, Kshs

    Sauti ya Waislamu

    www.annuurpapers.co.tz

    WAISLAMU na raiaw e m a w a m e o m b w akutoa msaada katikakufanikisha matibabuya Sheikh Azzan KhalidHamdan nje ya nchi.

    T a a r i f a z i n a s e m akuwa zinahitajika jumlaya shilingi milioni 16kufanikisha safari pamojana matibabu.

    S h e i k h A z z a nmwenyewe amenukuliwaakisema kuwa milangoiko wazi kwa yeyote

    Huyu ndiye Samantha Lewthwaite

    Kweli ugaidi Kenyaliwe ni somo kwetu

    Lakini somo gani tunajifunza?

    Kujitahidi kutumia vizuri akili zetu

    Sheikh Azzan aombamsaada wa matibabu

    Zinahitajika shilingi milioni 16Na Mwandishi Wetu

    Sheikh Azzan KhaliHamdan.Inaendelea Uk. 3

    PICHA kushoto huyu ndiye Samantha tunayeambiwaliingia Nairobi na magaidi wenye silaha kali kutokSomalia akashambulia na kuondoka bila kukamatwPolisi, makachero na jeshi la Kenya hawakuona gari hila magaidi lililosheheni silaha likiingia! Uk. 2

    Kamanda Kova kuwatia ujingawananchi si jambo la kusifwa

    Namna hii tutaumizana wenyewe

    Hatutaepuka kupigwa na magaidi

    Serikali tatundiyo dawa

    pekee kero zamuungano

    Uk. 3

  • 7/27/2019 ANNUUR 1093

    2/16

    2AN-NUU

    DHULQADAH 1434, IJUMAA OKTOBA 4 - 10, 20

    AN-NUURS.L.P. 55105, Simu: +022 2400786

    Cel: 0784 370 208, 0713 110 148, 0755 260 087 , DSM.www.annuurpapers.co. E-mail: [email protected]

    Ofsi zetu zipo: Manzese Tip TopUsangi House (Jengo dogo), barabara ya Morogoro, D'Salaam

    Tahariri/Makala/Tangazo

    Kamanda Kova kuwatia ujingawananchi si jambo la kusifwaJANA kulikuwa na taarifakatika baadhi ya magazetizikisema kuwa kulitokeamtafaruku katika benkimoja jijini Dar es Salaambaada ya watu kuhisikwamba kulikuwa nagaidi.

    Mtu huyo mtuhumiwakuwa ni gaidi alifananishwana Samantha Lewthwaite.

    Mwanamke gaidi azuakizaazaa Dar., ndivyolilivyonadi gazeti la JamboLeo.

    K a t i k a k u e l e z akizaazaa hicho likasemakuwa watu waliokuwaBenki walimfananishamwanamke mmoja nagaidi Samantha.

    Na kwamba alikamatwana kukishwa Polisi, lakiniuchunguzi ukaonyeshak u w a n i M t a n z a n i aasiyekuwa na hatia.

    Akizungumzia tukio hiloKamanda wa Polisi KandaMaalum ya Dar es Salaam,Suleiman Kova alisifiahatua hiyo ya wananchikumtuhumu mtu huyo nakuviarifu vyombo vya dola.

    Samantha ni mwanamkeambaye taarifa za vyombovya habari z imeari fukuwa alihusika kupangashambulio la kigaidi Kenya.

    Taarifa hizo hivi sasahaziachi mwanya wauchunguzi, bali ni kanakwamba imethibi t ikak w a u h a k i k a k a b i s a

    kwamba alihusika, japoh a k u k a m a t w a w a l akuonekana.

    B a a d h i y a v y o m b ovya habari vimechapishampaka picha za baadhiya watu waliovaa hijabuwaliokuwa wakisaidiauokozi katika shambuliola Kenya na kudai kuwandio Samantha akijifanyakuwa mmoja wa waokozina kwamba ni kwa namnahiyo aliweza kutoroka bilaya kukamatwa.

    Mtu al iyeona pichaz i l e z i l i z o t o l e w aukurasa wa mbele wagazeti la Mtanzania nakumwonyesha Mzungualiyevaa hi jabu kuwa

    ndiye Samantha, hapanashaka akiona Mzungukavaa hijabu atashikwa nakiwewe, ataogopa na kuhisikuwa kakutana na gaidi.

    Swali ni je, upo ushahidi,au je , n i kwel i p ichazilizotolewa za Mzungualiyevaa hi jabu, ni zaSamantha?

    Je, yule mtu aliyeonekanaakimsaidia majeruhi paleWestgate, ni SamanthaLewthwaite na kwambaalikuwa kajifanya muokoajikama namna ya kuwahadaaaskari na makachero?

    Baada ya picha zile zaMzungu aliyevaa hijabu

    Na Omar Msangi akiokoa baadhi ya majeruhikutolewa katika mtandao,b a a d h i y a w a t a f i t iwameeleza kumtambuana kusema kuwa huyo niHuma Abedin.

    K a t i k a k u j i t a h i d ikutoa ushahidi wao, naowametoa picha mbalimbaliza mwanadada huyoakiwa hakuvaa hijabu nakuzilinganisha.

    Ama huyo Huma ninani, hilo sio muhimukwa sasa. Muhimu hapani kuwa mwenendo wavyombo vyetu vya habariumekuwa wa kutisha watuna kuwafungia milangoya kutumia akil i zaokutafiti na kujua ukweliwa mambo.

    Na kwa mwenendo huu,

    ipo hatari kuwa Waislamun a W a k r i s t o n c h i n iwatakuwa wakikimbianamitaani.

    Lakini jingine ni kuwaukishajenga mazingiray a n a y o z a a m a t u k i okama hilo la kumdhaniaMtanzania asiye na hatiakuwa ni gaidi, ulilofanyan i k u s i m i k a k i t i s h oambacho hakipo, lakiniukawaaminisha watukwamba kipo.

    Baya zaidi ukamjuapia na gaidi mwenyewe(mtarajiwa) ni nani.

    Huku sio kuchukuatahadhari, bali kuhatarishazaidi usalama wa nchi kwa

    namna mbili:Moja , ukishas imikakitisho hewa na gaidiakajulikana, unaondoakabisa hali ya kuaminianawananchi.

    Unawagawa wananchikatika makundi, mojalikijiona halipo salamakwa sababu ya uwepo wakundi jingine.

    Kwa bahati mbaya sana,na jambo la kusikitisha,kwa hapa nchini, Serikalina vyombo vyake imekuwaikichukua upande.

    Mtizamo wake umekuwawa kusimama na kulindakundi lililojengwa hofukuwa nchini kuna magaidi

    na magaidi wenyewe niwavaa hijabu na vibandiko.Katika hali hii, kama

    itatokea bahati mbaya,likatokea tukio la kihalifu namhusika akawa ni Mislamuna aliyeumizwa akawaMkristo, haitachukuliwakuwa ni uhalifu, lakiniugaidi.

    Lakini pia katika halikama hiyo, mtu muovum w e n y e c h u k i z akidini, anaweza kufanyashambulio la kupanga nakama inavyozungumzwajuu ya Sam ant ha hi visasa, vyombo vya habarivikamtafuta Samantha

    wa Tanzania kabla hatya uchunguzi kufanyikWatu wakahujumiww a k i d h a n i w a n d iwahusika.

    Pili, kama wapo maaduwa nje au magaidi haliwanaotafuta namna ykuingia kupiga na ambawanataka kusimika kitishcha kweli , wanawezkupiga waki jua kuwwatuhumiwa watakuwSamantha wavaa hijabu

    Na hii itaitisha kisakutoka kwa Wakristo haambayo itakuwa njia yuhakika ya kuitia nchkatika machafuko ya kidinna kitisho cha kweli chugaidi.

    Hoja hapa sio kuwtahadhari isichukuliw

    lakini ni namna ya kutotahadhari yenyewe nmuhimu zaidi kujuukweli wa unachosema nsiasa zake.

    L a b d a n i f a f a n ukidogo. Ukisikia thcrazy anti-Castro crowdinakurejesha miaka y1960s/70s, ambapo maelfya vijana waliandaliwkatika vyuo vikuu katikmoja ya nchi za kibeberkwa lengo la kwendkuisambaratisha Cuba.

    L e o t u n a o a k i nOmar Hammami, aAbu Mansour al-AmrikAnjem Choudary, MichaAdebola jo na Danie

    Maldonado a.k.a. DaniAljughai.Wote hao , utas iki

    kuwa kwa namna mojau nyingine wanahusikn a u g a d i S o m a l i aAfghanistan, Yemen n.k.

    L a k i n i u k i t i z a mna kuchunguza, kamwalivyokuwa wale, thcrazy anti-Castro crowdni watu wanaoandaliwkwa ajili ya kupandikizkitisho cha ugaidi, kuwatdoa Waislamu na kujengchuki na uhasama bainya Waislamu na Wakristo

    Moja kwa moja akupitia kwa watu wenginwanahusiana na mashirik

    ya kijasusi yanayosimammasilahi ya nchi za kibebruNi katika hali kama hi

    habari za akina Samanthnazo zinahitaji kutizamwkwa uangalifu.

    Tuache akili zetu ziwhuru kutati mpaka tujuukweli wa jambo lenyew

    T u s i j i t i e u j i n gw a k u m e z a k i ltunachoambiwa kank w a m b a t u m e w a pw e n g i n e a k i l i z e twatushikie.

    Tusimeze mambo nkuanza kushabikia katiknamna ambayo itatudhurwenyewe.

    K W A N Z A t u n a p e n d akutumia fursa hii kumwombaM w e n y e z i M u n g u ,awaruzuku kila la kheriMahujaji wetu wanaoelekeaMakka Saudi Arabia, kwaajili ya kutekeleza ibada yaHija. Hii ni nguzo ya tanokatika nguzo za Uislamu.

    Mahujaji kwa kupitia taasisimbalimbali za kuhudumiana kuwasafirisha Mahujaji

    nchini, wameondoka nchinimapema wiki hii kwa ajili yaibada hiyo adhimu.

    Kam a a l iv yo wajaa l iakuweza kuhiji, tunamuombaAllah (SWT) akutakabalieniibada yenu hiyo. Amin!

    I l i kuhakikisha kuwawanafuzu katika kuitekelezaibad a h iyo , tun ap en d akuwapa wasia muhimu.

    Wakumbuke kwambawamo katika safari tukufuyenye baraka tele za Allah(SW).

    Wameacha miji yao, nduguna jamaa zao shughuli zaokwa ajili tu ya kuitika wito wa

    Mola wao.W a f a h a m u k w a m b asafari yao hiyo ina ujiramkubwa kwani Hijah yenyekukubaliwa haina jazaa ilaPepo.

    La msingi wajihadharina maadui wasije kuharibuibada yao na kukosa kilekilichokusudiwa na Allah(SW).

    Hijah ni miezi maalumu,na anayekusudia kufanyaHijah katika (miezi) hiyo,basi asiseme maneno machafuwala asifanye vitendo vichafuwala asibishane katika hiyoHijah (Qur 2:197)

    Ni vyema wakawaulizawanazuoni walioambatananao pale wanapotatanikakatika kutekeleza ibada yao,ili wafaulu kuitekeleza kamainavyotakiwa kisheria.

    basi waulizeni wenyekumbukumbu (wenye kujua)ikiwa nyinyi hamjui. (Qur16:43)

    Lakini la msingi zaidikwa mahujaji wetu ni kujaliusalama wao wawapo katikakutimiza vipengele vya ibadaya Hija.

    Sote twafahamu kuwaki la m waka baad h i yamahujaji kupoteza maisha

    Tunawatakia kila laheri Mahujaji wetukwa sababu ya misongamanoya kutekeleza baadhi yavipengele vya ibada hiyo.

    N i v yem a tah ad h ar iikachukuliwa mapema namahujaji wakati wa kutekelezavipengele hivyo vya ibada ilikuhitimisha salama ibadahiyo na hatimaye kurejeanyumbani salama.

    Kwa kuwa Hija ni funzo lausawa, umoja, upendo, udugukwa wanadamu, kitendo cha

    kuyavua mavazi ya majivunona fahari na la kujipambanuana wengine katika makutanoya Hija kwa kuvaa vazi lapamoja na la rangi moja laIhramu, ni alama na nemboya kuwa wamoja kwa ummawa Kiislamu.

    Pakiwa na kuhurumianana kila mmoja kumjalimwenzake, hapawezi kuwana kusukumana kusikona sababu jambo ambalondio husababisha watukukanyagana hadi kupotezamaisha.

    Waislamu waliokusanyikaMakka kutoka kila pembeya dunia wakiwa na shaukukubwa ya kutufu al Kaaban a k u z u r u H a r a m y aMtume Muhammad (s.a.w),wanapaswa kuithamini nakuitumia ipasavyo fursahiyo kwa ajili ya kuimarishamshikamano wa kidugubaina yao.

    Hiv i s as a tun a j io n eaw a z i w a z i j i n s i m k o n owa was io utakia m em aulimwengu wa Kiislamuunavyofanya kazi zaidi yaulivyokuwa huko nyuma.

    Fitna na kuwafarakanishaWaislamu imekuwa nyenzomuhimu za makari. Makuchayaliyoloa damu ya maaduiyanaonekana hadharaniyakiendelea kuleta maafa

    katika sehemu mbalimbaliza ard h i za Ki is lam u.U kan d am iza j i , m aua j i ,mateso, chuki, ubaguzi, niishara kwa Waislamu wadunia nzima kutafakari tnana vita hivi.

    Hiv i s as a um m a waK i i s l a m u u n a h i t a j i amshikamano na kuwa kitukimoja, zaidi ya ilivyokuwahuko nyuma. Hakika vitimbivya shetani ni dhaifu.

    Haya ni baadhi tu yamambo ambayo ni vemayakakumbushwa ili Hujajiaweze kuitekeleza ibada yakeya Hijah kwa ufanisi mkubwa.

  • 7/27/2019 ANNUUR 1093

    3/16

    3AN-NUU

    DHULQADAH 1434, IJUMAA OKTOBA 4 - 10, 20Habari

    Waislam watakiwakujisafsha kwanzaWAISLAMU wametakiwakusafsha matatizo yao yandani kwani hilo ndiolitakalo waimarisha nakuwaletea maendeleo.

    Na katika hilo njia yakupita ni kujielimishak w a j u h u d i k u b w a ,k u s h i k a m a n a k a t i k amambo ya msingi na kuwawacha-Mungu wa kweli.

    Nasaha hizo zimetolewana Maalim Seif ShariffHamad, Mufti wa Zanzibarpamoja na Amir wa MarkazTabligh.

    Akitumia jukwaa laIjtimai huko Sumbawanga,Makamu wa Kwanza waRais wa Zanzibar MaalimS e i f S h a r i f H a m a d ,a l i w a t a k a W a i s l a m uk u s h i k a m a n a k a t i k amambo ya msingi nakamwe wasiruhusu tofautindogo kuondoa umoja wao.

    Katika nasaha zakekwa waumini wa dini yaKiislamu, kabla ya kuifungarasmi Ijtimai ya Kimataifailiyofanyika Sumbawanga,mkoani Rukwa, Maalim Seifamesema, itakuwa jambo la

    kusikitisha na kushangazakama Waislamu watakuwawakitumia muda wao wakufanya mambo ya maanakulumbana wakati Quraninawakataza kufanyahivyo.

    Al i fahamisha kuwai w a p o W a i s l a m uwataungana na kuwakitu kimoja, watawezakuwashinda maadui waUislamu ambao siku zotewamekuwa wakishabikiamigawanyiko ndani ya dinihiyo.

    Kwa upande mwengineamesema wakati Waislamuwakijadili juu ya maadiliya dini yao, pia hawanabudi kuh imiza na katik akukabiliana na maaduiwanaoathiri maendeleo yanchi ikiwa ni pamoja najanga la UKIMWI pamojana matumizi ya dawa zakulevya.

    A m e s e m a m a j a n g ahayo kwa kiasi kikubwayanatokana na kuporomokakwa maadili, na kwambawanaoathirika zaidi ni

    Na Mwandishi Wetu vijana ambao ndio nguvukazi ya Taifa.

    Ameongeza kuwa niwajibu wa masheikh,walimu, wazazi na jamiikwa ujumla kushirikik i k a m i l i f u k a t i k ak u e l i m i s h a n a ju u y amajanga hayo, sambambana kuachana na makatazoya Mwenyezi Munguyakiwemo pia vitendo vyazinaa.

    Amesema, inawezekanakueirejesha jamii katikamaadi l i mema iwapoWaislamu watakubalikufuata misingi thabiti na

    miongozo sahihi iliyomokatika Uislamu.Naye Kadhi Mkuu wa

    Zanzibar Sheikh KhamisH a j i , a m e w a h i m i z aWaislamu waliohudhuriakatika Ijtimai hiyo ya sikunne, kuitumia kivitendoelimu waliyoipata juu yadini yao.

    A m e w a h i m i z aWaislamu hao kuwakishiawengine elimu hiyo, ili naowaweze kuitekeleza diniya Mwenyezi Mungu kwamujibu wa maamrisho yakena mafundisho ya Mtume

    Muhammad (SAW).

    Kwa upande wake,Amiri wa Jumuiya yaFiysabil i l lahi TablighMarkaz Mkoani RukwaSheikh Abdallah Abubakaramewashukuru Waislamup a m o ja n a v i o n g o z i

    w a M k o a h u o , k w amshikamano walioonyeshakatika kufanikisha Ijtimaihiyo.

    Mapema akisoma Risalaya Jumuiya hiyo Amir Aliamesema Jumuiya imepatam a f a n i k i o m a k u b w atangu kuasisiwa kwake nakupatiwa usajili mwaka1992, ikiwa ni pamoja nakuwahamasisha Waislamuk a t i k a k u t e k e l e z amaamrisho ya MunyeziMungu na kuacha kabisam a k a t a z o y a k e , i k ikuji jengea mustakbali

    mwema katika maisha yaakhera.

    Viongozi mbali mbali wadini na Serikali wameshirikikatika ufungaji wa Ijtimaihiyo akiwemo Waziri waHabari, Utamaduni, Utaliina Michezo Mhe. Said AliMbarouk.

    Sheikh Azzan aomba

    msaada wa matibabuInatoka Uk. 1mwenye uwezo kumsaidiakufanikisha safari yake kwaajili ya kupatiwa matibabu.

    A m e s e m a y e y o t emwenye mchango wakeanaweza kuutuma kupitiaakaunti yake ya tigo pesa0715434145 iliyosajiliwakwa jina lake ama kwaa n a y e t a k a k u f a n y amawasiliano ya moja kwamoja anaweza kumpatakupitia 0777434145.

    Michango h iyo piai n a w e z a k u t u m w akupitia akaunti namba0112055369500 Benki yaCRDB tawi la ZanzibarA Z A N K H A L I DHAMDAN.

    Sheikh Azzan amesemasafari yake itafanyikamara baada ya kukamilikakwa taratibu ikiwemogharama za matibabu nausari baada ya kupatiwadhamana ya matibabu njeya nchi.

    MAKAMU wa Kwanza waRais wa Zanzibar MaalimSeif Sharif Hamad.

    Serikali tatu ndiyo dawapekee kero za muungano

    DAWA pekee ya kero zamuungano ni kuwa naZanzibar huru, yenyemamlaka kamili ndani yaSerikali tatu.

    Hayo yamesemwa naMakamu wa kwanza waRais Zanzibar, MaalimSeif Shariff Hamad hivikaribuni.

    Maalim Seif ShariffH a m a d , a m eb a i n i s h akuwa kinachoitwa keroza muungano hivi leo,chimbuko lake ni kukiukwamakubaliano yaliyowekwana waasisi wa Muungano.

    A k a s e m a , k a t i k aukiukwaji huo, hata ile hati

    ya makubaliano imechwa.Maalim Seif ambaye pia

    ni Katibu Mkuu wa Chamacha Wananchi (CUF),aliyasema hayo wakati waKongamano la Wazanzibariwaishio Tanzania Baraambapo alisema kuwaMuungano uliotiwa sainina waasisi wa Muunganohuo umechwa.

    Katika hotuba yakeMaaalim Seif alikariri kauliya wapinzani ya kumtakaR a i s Ja k a y a K i k w et easisaini Muswada waSheria ya Marekebisho yaMabadiliko ya Katiba ya

    mwaka 2013.Akitoa sababu alisemakuwa muswada huo unakasoro nyingi.

    Wazanzibar wenzangu,mimi pia ni mmoja waW a z a n z i b a r a m b a otunataka Muungano wamkataba nilipoulizwana tume nilisema natakaMuungano wa mkatabanadhani nanyi pia mawazoyenu ni kama mimi,alisema.

    A l i s i s i t i z a k u w aZanzibar ni nchi kamiliyenye mamlaka kamailivyo kwa nchi nyingineyoyote.

    K w a m a a n a h i y o ,haitakuwa jambo la ajabuZanzibar kudai hadhi namamlaka yake iliyoporwa.

    Zanzibar iko na hakiya kuingia mikataba najumuiya za kimataifakama ilivyo nchi nyengine,tunataka dola ya Zanzibariliyo nchi kamili kamai l i v y o k u w a z a m a n i .M u u n g a n o u m e i f u t aZanzibar katika ramaniya kimataifa, alisema nakuongeza:

    Hivi sasa Zanzibarhaina haki ya kusema

    Na Mwandishi Wetuinajiunga na jumuiyyoyote ya kimata i fakikwazo hiki ni kuchik

    kwa makubal iano yMuungano kutoka kwwaasisi wetu, tunasemumechwa.

    Aliwataka Wazanzibawanaoishi Tanzania Barkwa pamoja kushikamanna kutunza umoja wana kuhakikisha KatibMpya inaweka madayao likiwamo la kutakMuungano wa mkataba

    W a k a t i h u o h u oMjumbe wa Kamati Kuya Halmashauri Kuya Taifa ya Chama chMapinduzi Balozi SeAli Iddi amesema kaualiyoitoa katika kikao chBunge kilichopita, ilikuwsahihi.

    K a u l i h i y o n i i lalipokiri kuwa Zanzibai l i sh ir ik ishwa kat ikm c h a k a t o j u u ymarekebisho ya sheria ykatiba mpya ya Jamuhuya mungano wa Tanzania

    Balozi Seif alitoa Kauhiyo wakati alipokuwakizungumza na wajumbwa Halmashauri Kuu zChama cha Mapinduzza Mikoa ya Kusini nKaskazini Pemba kwnyakati tofauti wakaakiwa katika ziara ya sikmbili Kisiwani humo.

    A n a t o a u f a f a n u zhuo kufuatia shutum

    anazorushiwa na upandwa za upande wa upinzankuwa aliyosema Bungenhayakuwa sahihi.

    A c h a w a e n d e l ekunitukana na kunikashifmimi hata sitopunguLakini wanapaswa kuelewkwamba nilichokifanyBungeni ni sahihi kabiskwa vile kina ushahidna kumbu kumbu zotzinazothibitisha ushiriki wZanzibar katika suala hilmuhimu . AmenukuliwBalozi Seif akisema.

    Alisema kuwa Sheria yBunge la Katiba ilikishwZanzibar na kujadiliw

    na kufanyiwa uchambukupitia wadau wa Sekthiyo.

    Sheria ya mabadilikya katiba imehusishmambo manne makubwnayo ni kuundwa kwKamati ya kukusanymaoni, kutungwa kwmabaraza ya Katiba yWilaya, Bunge la Katibna Kura ya maoni mambambayo yaliyokubalikna kuridhiwa na pandzote mbili za MuunganSasa ugomvi uko wapi ?Alifafanua na kuhoji BaloSeif.

  • 7/27/2019 ANNUUR 1093

    4/16

    4AN-NUU

    DHULQADAH 1434, IJUMAA OKTOBA 4 - 10, 20Makala

    S H A M B U L I O l aWestgate jijini Nairobinchini Kenya, ambalol i m e u a w a t u w e n gina kujeruhi wenginekadhaa, limeleta hofukubwa na mshtuko kwawakazi wote wa AfrikaMashariki. Ni shambuliobaya kusema ukweli nalenye kuhuzunisha sana.

    Niungane tu na nduguzangu wengine katikakuwapa pole wananchiwa Kenya.

    Kama ilivyo kawaidayangu, miye hupendeleazaidi watu wanaotafakarimambo kwa kutumiaakili zao wenyewe nasiyo akili za kushikiwa na

    watu wengine au vyombovya habari. Shambulizi laWestgate limegusa hisiaza watu kwa kiwangokikubwa mno.

    Katika mazingira yakuguswa hisia kama hayo,mara nyingi si rahisi sanakuona ukweli ulio wazi, aukufanya uchambuzi sahihiwa mambo. Kwa sababumatukio hugusa zaidi hisiaza watu, kuliko masualayanayozunguka matukiohayo.

    Leo ningependa, kwap a m o j a , t u c h a m b u em a s u a l a m a c h a c h e

    y a n a y o z u n g u k ashambulizi la Westgate jijiniNairobi, ili kuweka bayanaukweli ambao hausemwikuhusu shambulio hilo, auhauonekani kwa urahisi.

    Kwanza, shambulio laWestgate limeonyeshawazi kuzorota kwa haliya usalama nchini Kenya.Kabla ya shambulio hilowiki mbil i zi l izopita,tulishuhudia mauaji yaraia katika maeneo tofautin c h i n i h u m o , k a m aMandera, Bungoma naGarissa.

    Kwa wakazi wa mijimikubwa nchini Kenya,ni jambo la kawaida sanakusumbuliwa na wahalifukila siku inayopita. Huuni ushahidi tosha wakushindwa kwa vyombovya ulinzi na usalamanchini humo kuwalindawananchi wake.

    Watu wengi nchini Kenyawanajiuliza, kama hatuaya serikali yao kuivamiakijeshi Somalia, katika'Operation Linda Nchi',ilikusudia kuhakikishausalama wao, kwaninisasa mashambulizi kamaya Westgate yanatokea?

    Shambulio la Westgate tumejifunza nini ?Na Said Rajab Operesheni hiyo imekuwa

    'Linda Nchi' au 'AngamizaNchi'?

    Bila shaka, uvamizi wamajeshi ya Kenya nchini

    Somalia, kwa lengo lakuwamaliza "Magaidi waAl - Shabaab", haukuwakwa maslahi ya wananchiwa Kenya. Serikali yaKenya imekuwa ikifanyak a z i y a M a r e k a n ina Uingereza nchiniSomalia, kwa gharama yawananchi wake. Marekani,Uingereza na washirikawao wa Magharibi, ndiyowenye vita inayoitwa yaugaidi duniani.

    Kenya iliwekwa kwenyeshinikizo la kisiasa naSerikali za mataifa yaMarekani na Uingereza,a m b a z o z i n a l e n g akuweka vibaraka waonchini Somalia, ili wapatem w a n y a w a k u p o r arasilimali za Somalia kamailivyo kawaida yao, nahatimaye wapandikize kilaaina ya ushenzi na uovunchini humo.

    Si kweli kwamba Kenyailikuwa ikikabiliwa natishio la Al - Shaabab,ndiyo maana Serikaliyake ikaamua kuingiakijeshi Somalia. Hoja zakiusalama zilizotolewa naSerikali ya Kenya, kamasababu ya kuivamia kijeshiSomalia ni visingizio tu!

    Mipango ya kuivamia nchihiyo kijeshi ilishapangwamuda mrefu na vizingiziovikatafutwa baadaye.

    P i l i , m a s h i r i k am a k u b w a y a h a b a r iduniani yamebadili kabisasura ya tukio la Wastegate.Awali, iliripotiwa kupitiav y o m b o v y a h a b a r ikwamba shambulio hilolimefanywa na majambazi.Masaa machache baadaye,hadithi ilibadilika na kuwashambulio la kigaidi, baadaya Al - Jazeera kuripotikwamba Al - Shaababwamedai kuhusika na

    shambulio hilo.H i i i m e o n y e s h aw a z i k w a m b a w a t uwa Magharib i ndiyowanaodhibiti mashirikayote makubwa ya habariduniani, na wanatumiamashirika hayo kuchafuasifa nzuri ya Uislamu,ikiwa ni pamoja na kujengachuki kati ya Waislamu nawasio Waislamu.

    Vyombo vyetu vyah a b a r i h a p a n c h i n i ,v imekuwa v ikikari r itu taarifa za mashirikam a k u b w a y a h a b a r iduniani kuhusu shambulio

    la Westgate, bila ya hata yakuchuja taarifa hizo. Hiini hatari sana na inawezak u i t u m b u k i z a n c h ikwenye ghasia za kidini.

    Ni jambo la wazi kabisa,kwa mujibu wa vyombohivyo vya habari, mauajiyanayofanywa na baadhiya Waislamu ni ugaidi,

    lakini yanapofanywana wasio Wais lamu,hayahusishwi na dini aukuitwa ugaidi. MweziJulai mwaka 2012 nchiniKenya, kwenye eneo laBaragoi, shambulio mojal i l iua maafisa 42 waPolisi, lakini vyombo vyahabari havikulihusishashambulio hilo na ugaidi.

    S o t e t u n a f a h a m u ,na hata wao wanajua,k w a m b a U i s l a m uhauruhusu kabisa vitendovya ugaidi au ujambazi.Lakini , mabeberu wa

    Magharib i wamel ipaneno hili "Ugaidi" maanamaalumu inayowafaawao. Yeyote anayepinganana maslahi ya mabeberuduniani anabandikwa jinala gaidi.

    U s h a h i d i w a h i l iw a n a n c h i w a K en y awanaujua. Waingerezawaliwabandika wapiganajiwa Mau Mau nchiniKenya, jina la magaidikwa sababu tu walikuwawakipinga ukoloni waKiingereza nchini humo.

    Vile vile, Uislamu ni Itikadiinayopingana na Ubeberu,kwa hiyo Waislamu wotewanaopinga unyamawa Itikadi ya Kibeberu,hata kwa maneno tu,wanabandikwa jina lamagaidi, kama ilivyokuwakwa marhum Abdu Rogo.Al - Shaabab siyo magaidi,

    wanapigania nchi yao!Tatu, kutokana nashambulio la Wastegate,tumejifunza uongo naunafiki wa viongozi wamataifa ya Magharibi,a m b a o w a n a j i f a n y akusikitishwa na vifo vyawanawake na watoto waKenya, wakati mikonoyao inachuruzika damu zamamilioni ya wanawake,watoto na v ikongwenchini Iraq, Pakistan,Afghanistan, Yemen nakwengineko.

    Unafiki mwingine waviongozi wa mataifa ya

    Magharibi ni kwamba,wakat i wananchi waKenya waki jikusanyakwenye vituo mbalimbali,kwa ajili ya kujitoleadamu ya kuwasaidiandugu zao waliojeruhiwa,viongozi hawa walikuwaw a k i w a t a k a r a i awao wal iopo Kenya ,kuepuka maeneo yenyemikusanyiko na kutotokamajumbani mwao kwasababu za kiusalama.

    Wao wanajali zaidiusalama wa raia wao nasiyo usalama wa raia wa

    Kenya. Pia, wametoa ilankwa raia wao kutoingia

    Kenya kutokana nukosefu wa usalama,lakinh a w a t o i i l a n i ykufunga makampuny a o y a k i b e b e rnchini humo,ambayyanaendelea kuchotrasilimali za Kenya!

    Ni vyema ikaelewek

    wazi kwamba ugaidn i k i s i n g i z i o tk i n a c h o t u m i w a nMabeberu wa Magharibkuingia barani AfrikKenya ikiwemo, kwlengo la kupora rasilimazake. I t ikadi yao yKibeberu, kwa majina ydemokrasia na usekulimeshindwa kabisa kuleamani, utulivu na usalamulimwenguni kote.

    Itikadi hii inayowagawwatu kwa misingi ya siasdini na ukabila itaendelekuvuruga amani ya dunkama tunavyoshuhud

    sasa. Lengo kuu la vitinayoitwa dhidi ya ugaidni kuzuia kuibuka tenk w a U i s l a m u , k a mI t i k a d i y a k u t a w a ldunia. Uislamu ni mfumkamili wa maisha, nndiyo suluhisho pekee matatizo yote ya binadamhapa duniani.

    Kwa kipindi cha karn13, Uislamu ulitawala nulifanikiwa kusambaza m a n i , u s a l a m a nkuwaunganisha watu biya kujali dini zao, makabiyao au hadhi zao.

    Angalia picha hii. Kamera ipo makini kunasa harakati za vikosi vya uokozi.Mbona kamera hizo hazikunasa picha za magaidi wakingoa watu meno na kuchaMbona hakuna hata picha moja inayoonyesha askari hao wakipambana n

    magaidi?

  • 7/27/2019 ANNUUR 1093

    5/16

    5AN-NUU

    DHULQADAH 1434, IJUMAA OKTOBA 4 - 10, 20Makala

    ASUBUHI ya JumanneOktoba 1, 2013 katikakipindi chake maarufucha Tuongee Asubuhi,ambapo panakuwa nauchambuzi wa habarikuu za siku, mtangazajiwa Star TV, LeonardMapuli aliweka madaya ugaidi akirejea ugaidi

    uliofanyika Kenya.Mchambuzi wa habariakiwa mwanazuoni PeterJohn Begga kutoka ChuoKikuu cha SAUT (St .Augustine University,T a n z a n i a ) M w a n z a ,mjadala ulikuwa ni kwanini Al Shabab wanafanyaukatili kama waliofanyapale Nairobi na kwa niniwanalenga maeneo yenyewatu wengi.

    U k i a c h a m a e l e z omarefu ya l iyoto leway a k i s i n d i k i z w a n aushabiki wa mwendeshakipindi, kubwa ni kuwawazungumzaji walijaaliyakuwa ni kweli magaidiwa Al Shabab, Wasomalik u t o k a M o g a d i s h u ,wameingia Nairobi nakarandinga lililoshehenisilaha, wakashambulian a k i s h a b a a d h iy a o w a k a k i m b i b i l akukamatwa!.

    Mtizamo huo ndiounaozidi kuendelezwa namagazeti takribani yotena hivyo kufunga kabisamilango ya kutafiti kwakina ili kujua, nini hasakilitokea pale Westgate.Nani wahusika na kwalengo gani.

    Katika mtizamo huo,b a a dh i ya m a g a z e t iyaliandika kuwa sasa AlShabab wanahamishiakitisho chao kwa Obamana Camero.

    H a t a r i : M a g a i d ikusambaratisha Marekanina Uingereza. Waanzakumvizia Obama, WaziriMkuu Cameron.

    Hivo ndivyo lilivoripotigazeti la Jambo Leo laJumanne wiki hii.

    Siku chache baada yamagaidi wa Al Shabaabkuteka jengo la Westgatena kuua watu zaidi ya 67 na

    kujeruhi wengine wengi,magaidi hao wametangazat e n a h a l i y a h a t a r iduniani huku wakitishiak u i s a m b a r a t i s h aUingereza na Marekani.

    Lilisema gazeti hilolikinukuu habari kutokakatika gazeti la DailyMail nalo likidai kuwalinamnukuu Mhubiri waKiislamu Abubaker SharifAhmed anayedaiwa kuwamachoni Nairobi.

    Jambo Leopia lina makalailiyoandikwa na NuruAbdallah ambaye yeyeanasema kuwa Ugaidi

    Kweli ugaidi Kenyaliwe ni somo kwetu

    Lakini somo gani tunajifunza?Kujitahidi kutumia vizuri akili zetu?

    Kenya liwe somo kwetu.Akiji tahidi kueleza

    unyama uliofanywa na AlQaida Kenya anasema:

    Septemba 21, mwakahuu, magaidi wa kundila Al Shabaab walivamiana kuteka watu katikamaduka yaliyopo jijini

    Nairobi, Kenya.Mateka waliokuwa

    wameshikiliwa walipatam a t e s o i k i w e m okungolewa macho, kucha,kuninginizwa darini,miili kuwekwa kwenyemajokofu na kuchomwavisu.

    Mateso haya makaliyaliwapata watu ambaoh a w a k u w a n a h a t i ayoyote. Huu ni ukatilimkubwa kwa raia waKenya na Afrika Masharikikwa ujumla na haupaswikuvumiliwa hata kidogo.

    Anachosherehesha hapamwandishi wa JamboLeo ni zile habari kuwamagaidi wa Al Shabaabk a t i k a k u d h i h i r i s h akilele cha ukatili wao,walikuwa wakiwakatabaadhi ya mateka mikonona kuichonga na kufanyakalamu za kuandikiahuku wakifanya damuinayotiririka kuwa ndiowino wa kuandikia.

    Labda tuanzie hapa.Hapana shaka habarikama hizi zisingefikakatika magazeti kama

    kusingekuwa na watuw a l i o s h u h u d i a h a y ayakifanyika.

    N a j a m b o m o j alililojidhihirisha mpakasasa ni kuwa kulikuwana jitihada kubwa sana zakurekodi kila tukio ndaniya jengo lile.

    M w a n d i s h i m m o jaamehoji, kulikuwa nacamera men wangapindani ya jengo lililotekwa?

    A n a u l i z a h i v y okutokana na wingi wa pichaza matukio zilizopigwa nakusambazwa zikionyeshayaliyokuwa yakifanyika

    ndani na nje ya jengo hilCamera man, camer

    m a n ev er y w h er eKwamba kama hapakuwna wapiga picha wengilikuwaje mpiga pichakaweza kuka kila mahapenye tukio na kupigpicha kwa utulivu kabiskatika mazingira hayo y

    magaidi kutesa na kuuwmateka?.Je, huyu mpiga pich

    yeye hakuwa anaogoprisasi?

    Ukiacha maswali hayjambo amba lo mpaksasa linatatiza ni kuwpamoja na mpiga pichhuyo kupiga picha nyingza matukio ya watwaliojeruhiwa, hakunpicha zinazowaonyeshAl Shabaab wakishambilna kutesa watu kwkuwangoa kucha na menwala za kuwachongmikono na kuzifanykalamu za kuandikia!

    Mpiga picha aliwezakukaa vizuri na kuwapigpicha majeruhi wakibebwna vigari vya kubebebidhaa dukani, asipate hapicha moja ya Msomalakiwatesa mateka?

    T u n a a m b i w a w a twamengolewa kuchm e n o n a m i k o nkuchongwa kufanywkalamu.

    Mpaka hivi leo hakunhata picha moja ya majeruhaliyeko hospitali akitibiwjeraha, ama la kungolewjino au kukatwa mkono.

    P i c h a z a ma jer u hhawa zipo wapi? Maiti zwatu hawa waliokatwmikono ikafanywa kalamna damu yao wino, zipwapi?

    K a t i k a m a j e r u hwaliohojiwa, hakuna hammoja aliyeonyesha jerahla kungolewa kucha, jinau kukatwa mkono.

    Vipi na hao watotw a l i o w e k w a k a t i kfriji. Mbona hizo pichza majokofu yaliyojawatoto waliolundikwk a t i k a m a j o k o f

    hayo hazikupigwa nkuonyeshwa?

    Ukiacha kukosekankwa picha hizo, ambazbila shaka zingesaidia sankatika kutangaza unyamwa Al Shabaab, zipo pichnyingi nyingine ambazpengine waliowahi kuingndani ya jengo la Westgana waliokuwa wakidhibiupigaji picha na utoaji whabari, waliona kuwa ndizitasaidia kudhihirishu n y a m a u l i o k u wukifanyika humo ndani.

    HUYU mama wa watu naye Al Shabaab wamempiga risasi ya wapi? Amebebwa nakigari cha kubebea bidhaa dukani (trolleys) na kuwekewa mto wa karatasi za chooni(toilet rolls.) Lakini kaumia wapi?

  • 7/27/2019 ANNUUR 1093

    6/16

    6AN-NUU

    DHULQADAH 1434, IJUMAA OKTOBA 4 - 10, 20Makala

    Moja ya picha hizoni ya mtu akisukumwana kigari akionyeshak u u m i a m g u u w akushoto huku kashikilia

    kiatu kinachoonekanakama kimelowa damu.M g u u w a k u s h o t ounaodaiwa kupigwarisasi, ndio uliovuliwak i a t u u k a f u n g w abandeji.

    Ukitizama picha hiyo,bandeji imefungwa juuya soksi. Huyu mtukavaa soksi nyeusi,

    badal a ya kuvu li wasoksi bandeji imefungwa

    juu ya soksi.Lakini la zaidi ni

    kuwa mguu unaodaiwakupigwa risasi, hauna

    damu hata kidogo.Sasa katika hali kamahii mtu unajiuliza, hiidamu iliyo katika kiatukilichovuliwa imetokawapi?

    Na. 1

    Na. 2

    Na. 3 Na. 4 Na. 5

    Kisa cha mtoto jasiri

  • 7/27/2019 ANNUUR 1093

    7/16

    7AN-NUU

    DHULQADAH 1434, IJUMAA OKTOBA 4 - 10, 20Makala

    Kisa cha mtoto jasiriGAZETI la HABARILEOJ u m a t a n o y a w i k iiliyopita, liliandika juuya kisa cha mtoto jasiriMwingereza. Gazeti hilolilisemam kuwa:

    M t o t o w a m i a k a

    minne Mwingereza ElliotPrior kutoka Windsor,Berkshire , a l ioneshaujasiri wa aina yake kwakumkabili gaidi ambayea l i i s h i a k u m w o m b aradhi.

    HABARILEO linasema,Elliot alimwambia gaidihuyo kwamba ni mtumbaya sana , wakatiakimzuiya kumshambuliam a m a y a k e , A m b er ,ambaye wakati huo tayarialishajeruhiwa mguuni(kwa risasi).

    Kama muujiza, gaidihuyo alijisikia huruma

    kwa familia hiyo nakuwapa watoto hao biskutikabla ya kuwaambia:Tafadhali nisamehe, sisisi majinamizi.

    L i k i r i p o t i h a b a r ihizi, gazeti la The Sunla Uingereza lilisemakuwa mke wa Dan Prior,akijulikana kwa jina laAmber, akiwa na watotowake wawili, mvulanamiaka mine na msichanawa miaka sita, walikuwandani ya duka wakatimagaidi walipovamiak i t u o c h a m a d u k achaWestgate (Westgaeshopping centre )

    The Sun l ikiedeleakuhadi th ia l inasemakuwa The boy is believedto have been trying toprotect his mother, whohad been shot in the legcalled one of the gunmena very bad man

    Kwamba mtoto huyo wamiaka mine (4), alikuwaakijaribu kumsaidia mamayake aliyepigwa risasi yamguuni, ndio akalikabiligaidi na kuliambia kuwawewe katili sana.

    Gunman reportedlyasked the family forforgiveness and gave the

    children chocolate bars.Kwamba kusikia hivyo,

    gaidi l i l iona hurumalikaomba msamaha.

    Hayo ndio magazeti yaUingereza yalivyoripotiambapo na sisi hukutukaona ni habari muhimutukaipamba.

    Picha za Bi Amberna watoto wake wawiliw a k i w a W e s t g a t ezimepatikana zote. Tokaa k i w a n d a n i m p a k aakitoka. Na tunaambiwakuwa alijeruhiwa mguu.

    Katika picha zote Amber

    anatembea mwenyewebila hata ya kuchechemea.

    Pili, hakuna damu auj eraha l inaloonekanakatika mguu unaodaiwakujeruhiwa.

    Mtu aliyepigwa risasi ya

    mguu, anaweza kusimamana kutembea mwenyewe?

    L a b d a t u s e m einawezekana kwa vileyeye ni Muingereza kutokaWindsor, Berkshire!

    U k i t i z a m a v i z u r ipicha, inaonekana ranginyekundu katika kiatuc h a m g u u w a k u l i asehemu ya dole gumba,na haijasambaa kokote.

    Je , hi yo ni da mu yajeraha? Kama ni damu yajeraha la risasi, bado swalilinabaki, mtu anawezak u t e m b e a b a a d a y akupigwa risasi?

    Akinukuliwa na TheSun, Bwana Alex Cous,ambaye ni mmoja wandugu wa familia yaAmber, anasema:

    Terrorists asked if anychildren were alive in thesupermarket, his nephew,nieces and their motherstood up and said yes,before the four-year-oldsaid: Youre a bad man,let us leave.. He was verybrave

    Sasa mtizame huyom t o t o u n a y ea m b i w akwamba alikuwa jasiris a n a ( v e r y b r a v e ) ,n a k w a m b a a l i k u w aakimuokoa mama yake.Anatembea wala hanahabari nini kinaendelea.

    P i c h a N a . 1 u k . 6

    A n a o n e k a n a A m b e rakiteremka katika ngaziakitokea ndani ya jengo.

    A n a o n y es h a k a m amtu al iyetaharuki auanayekimbia ajali/jambobaya.

    Haonyeshi jeraha lolote,ila rangi kidogo nyekunduinayoonekana sehemu yadole gumba katika mguuwa kulia.

    Je, hil i ndio jeraha la

    risasi? Mtu aliyepigwarisasi, anaweza kushukangazi anakimbia kamaanavyoonekana Amber?

    Kama dole gumba ndiolilipatwa na risasi, mbonaanapopita haionekanidamu ikichuruzika nakuacha alama anakopita?

    Watoto wapo wapihapa? Je, mama huyual ikimbia akawaachawatoto ndani?

    Mama gani katika haliya hatari anakimbia nakuacha watoto wake tena

    Inaendelea Uk. 10

    GAZETI la Mtanzania la AlhamiSeptemba 26, 2013 lilichapisha habaukurasa wa mbele likisema:

    Kifo cha gaidi Samantha Lewthwaiutata mtupu.

    Ukiacha maelezo ndani ya habahiyo ikidaiwa kuwa mwanamk

    huyo alishiriki katika shambulio Westgate, lakiniMtanzania lilitoa pichya mwanamke aliyevaa hijabu likidkuwa huyo ndiye Samantha.

    Katika maelezo yake likadai kuwgaidi huyo mwanamke, alijifanykuwa ni katika waokozi, akawanachukua mateka na kuwatoa nje kuwachangaya askari.

    Utata unakuja baada ya kuonekanbaadh i ya picha kwenye mitandazikimuonyesha mwanamke huyakitoka nje ya Jengo la Westgaakijifanya kuwaokoa baadhi ya majeruwa shambulio hilo.

    Picha zinazodaiwa ni hizi ambap

    Elaine Dang

    Inaendelea Uk. 1

  • 7/27/2019 ANNUUR 1093

    8/16

    8AN-NUU

    DHULQADAH 1434, IJUMAA OKTOBA 4 - 10, 20Makala/ Tangazo

    Imetengenezwa kwa vitu vya asili kama parachichna mwarobaini

    Ogea na kupaka povu lake katika sehemu iliyoathirikaSabuni hii ina povu laini na zuri ambalo huwezakuhimili hata maji ya chumvi.

    Huondoa chunusi, harara, mabaka ya usoni, mapunye,fangasi na muwasho mwilini, huondoa mabaka mwilin

    yanayosababishwa na unene, huondoa mipasukomidogo midogo katika nyayo, hufanya ngozi kungaakuwa laini na nyororo. Pia ni nzuri kwa watoto wadogona wanaosumbuliwa na magonjwa sugu ya ngozi.

    Sasa inapatikana katika maduka mbalimbali jijla Dar es Salaam. Kariakoo-maduka ya vipodozya Mchikichini na Sabasaba, maduka ya dawa zaasili Mkunguni, Msikiti wa Idrisa na Mtoro, KiomboiKisiriri phamarcy Buguruni n.k. Kwa watu wa mikoanwatakaohitaji watatumiwa.

    Kwa maelezo zaidi wasiliana nasi kupitia namba: 0717098892/0756 392 440/0719 541 012/0774 065652 aufka katika ofsi zetu zilizopo Tabata-shule.

    SABUNI YA ASILI

    AZA

    KAMA kuna jambo ambalonililichukia tokea sikuya kwanza tu lilipotajwakuhusiana na mpango wa

    kudhibiti ugaidi duniani,basi ilikuwa ni uamuziwa Marekani kushinikizamataifa ya dunia kutungasheria inayohusu kampeniyake ya kupambana naugaidi.

    Hili jambo lilinikera kwakiwango kikubwa. Sababuni moja tu: huwa sipendiamri za Marekani kwamataifa maskini kama hayayetu ya barani Afrika. Sikuzote nimekuwa nikiaminikuwa amri za taifa hili lenyenguvu kubwa za kiuchumina kijeshi, kwa nchi zetu,huwa hazizingatii maslahi yakweli ya nchi zetu.

    K w a h u l k a y a n g u ,

    sipendi udhalimu, nachukiautawala wa kibabe, napingaunyanyasaji na udhalilishajib in adam u kwa n amnayoyote i le . Inapotokeah a y o n i s i y o y a p e n d a ,yale ninayoyachukia naninayoyapinga, yanatendwajuu ya watu dhalili kihali nawale wanaohitaji msaadasana ili kuondokana naudhalilifu huo na kuwawanaopata matumaini badalayake, nakuwa nachomwazaidi.

    Sasa kwa kuwa sipendisera za mabavu, maonevu naudhalilishaji binadamu hasawanyonge, na kwa kujuakwamba Marekani ni taifa

    mshiriki mkuu wa matendohayo mabaya kutokana nakampeni inazoziendeshak w a v i s i n g i z i o v y akupambana na ugaidi katikanchi mbalimbali, nilikerwan i l i p o s i k i a M a r e k a n iinashinikiza

    mataifa mengine kutungasheria ya ugaidi.

    N i l i j u a u k u m b a t i a j iwa shinikizo lile utaletamadhara makubwa kwa nchizetu na watu wake. Kwanzakwa taifa tu kutunga sheriainayotokana na inayofuatamisingi iliyoshawishiwa nataifa lenye nguvu, peke yakeni sawa na taifa hilo kukubaliutumwa.

    S i u o n g o , s h e r i anyingi zilizotungwa nanchi za Kiafrika, achiliambali za mabara ya Asiana Amerika ya Kusini ,zimezusha malalamikomengi. Zilitungwa kwa njiaya zimamoto, kwa hivyohazikuwa bayana; zilikosautashi wa kukubalika nakwa kweli, zililalamikiwa nakupingwa.

    H a l i h i y o i n a w e z ak u t a f s i r i k a k u w a n amaana ifuatayo: sheriazilizoshinikizwa kwetu,zimeleta matatizo katikanchi zetu. Ina maana sheriahizi hazikutuletea t i ja

    Kamishna Mussa anaitafutia nchi jangaNa Ibn Idrissa

    iliyokusudiwa bali zaidi,z im e jen ga n guv u kwautawala kukandamiza watuwake.

    W a t u k a t i k a n c h iambako sheria-shinikizozilitungwa wameumizwana wangali wanaendeleakuumizwa. Utasikia mtukavamiwa nyumbani kwake,kapekuliwa, akutwe auasikutwe na kilichokuwakinatafutwa katika upekuzi,a n a w e k w a k i z u i z i n i .Haelezwi hayo yanafanywakwa sababu gani. Wala mtuhuyo haelezwi kama kunatuhuma anazokabil iwan a z o i l i a t u m i e h a k iyake ya kujitetea. Katikakutumikia sheria-shinikizo,wapo watu waliouliwa kwakupigwa risasi. Wapo wengiwamejeruhiwa kwa risasi.Mtu kwa hisia tu kwambalabda fulani anahusika naubaya huu au ule, kama niubaya kweli, anapigwa risasi.

    M o j a y a k i f u n g ukatika sheria-shinikizoza kupambana na ugaidizilizoandikwa Marekanina kuenezwa mabara yote

    duniani kwa ushawishiwao, ni kile kinachoruhusumtu kuwekwa kizuizini w e n y e w e w a n a i t akitendo hiki kwa jina zurila kumhifadhi. Eti mtuanahifadhiwa asikochaguakwa namna yoyote ile kwamuda usiojulikana.

    Ndio maana wenginet u l i a m i n i m a p e m akwamba katika kampeniya kupambana na ugaidiiliyoanzishwa na Marekanibaad a ya ma sh amb ul iomawili ndani ya nchi yake,m waka 2001 MakaoMakuu ya Wizara ya Ulinzi(Pentagon), Washington,

    na Kituo cha Kimataifacha Biashara (WTC), NewYork, ilikuwa ni kuenezachuki dhidi yao wenyeweduniani kote. Uenezaji wachuki umetokea kwa sababukwa wale wanaoumizwana kampeni hiyo, kupitiaz i l e s h e r i a - s h i n i k i z o ,wanachokiona si kingineisipokuwa kunyanyaswan a k u d h a l i l i s h w a n awasimamiaj i wa sheriay a u g a i d i . N a k w as a b a b u w a n a o u m i z w ak w a k u n y a n y a s w a n akudhalilishwa pamoja nakujeruhiwa na au kuuliwa,wanajua kuwa yote hayoyanatokana na shinikizoza Marekani. Kwa hivyow a l i m w e n g u w a n a j u akwa sababu ya shida zaMarekani, wao wanaumizwa.Sasa, inasikitisha kukutaZanzibar ina mtendaji wataasisi muhimu ya dolaan aye j i f akh ar is h a kwakutamka kuwa wamekamatawatu wanaoshirikiana namakundi ya Al Qaeda naAl-Shabaab. InaonekanaKamishna wa Polisi

    Zanzibar, Mussa AliMussa, hata haelewi madharaya kutoa matamshi kamahayo.

    Ni bahati mbaya sanakuwa osa wa ngazi ya juukatika Jeshi la Polisi kamayeye, haelewi madhara yaalichokifanya mwanzonimwa wiki hii alipokutanana waandishi wa habarikuzungumzia uchunguzi watukio la kumwagiwa tindikaliPadri Joseph AnselmoMwangamba.

    Hivi ni kweli hajui kuwakutamka hivyo ni kushawishiMarekani na washirika wakewaamini kuwa Zanzibar

    inafuga watenda ugaidi?Hajui kuwa ukishatajwaunafuga watenda ugaidinchini kwako unakaribishamaaskari wa mataifa hayokuja kuchunguza? Hajui yote

    haya? Ndiyo nikasema nibahati mbaya sana kamahajui.

    Uchunguzi wa kuangaliakama kweli Zanzibar inafugaau kuhifadhi watenda ugaidi,kwa kufahamu au kwakutofahamu, hufanywa namatokeo yake mara nyingini kuigharimu nchi na watuwake. Labda KamishnaM u s s a h a f u a t i l i i y a l eyanayotokea kwenye nchizinazotajwa kwa hilo.

    D u n i a i n a s h u h u d i anamna nchi zinazotajwakutumika kwa aj i l i yakuhifadhi watenda ugaidizinavyokumbwa na matatizoya kiusalama kila siku. Ikipita

    wiki bila ya kutokea tatizohakika mnamshukuru Molaaliyewaumba. Ni shughulipevu.

    K a m i s h n a M u s s alait i kama angefuati l iayanayotokea Afghanistan,Pakistan, Yemen, Irak, Libya,Somalia na Kenya, angekirimara mbili kabla ya kukiriakupanga kutoka mbele yawaandishi wa habari nakusema Zanzibar kuna watuwanatumiwa na makundi yaAl-Qaida na Al-Shabaab.

    Simbishii Kamishna Mussaila nataka kumtanabahishakuwa alichokifanya ni kitukibaya na kitaigharimuZanzibar, nchi ambayo tayari

    imesingiziwa majanga mengNi nani walioingil

    mikutano ya Jumuiya yUamsho na kuiletea nchfadhaa kubwa mbele ymacho ya kimataifa? Ni na

    waliofanikisha mpango wkuwanyamazisha masheikkwa kuwakamata na kuwatgerezani kwa karibu mwaksasa wakati hawajahukumiwkwa lolote baya? Ni nanaliye masuul wa kadhzinazowakuta watoto nfamilia za masheikh hawkatika kipindi ambachbab a, wajomb a na walewao wanahiliki gerezanpasi na kuthibitishwa kuwwametenda kosa lolote?

    Kabla ya mchezo mbaya wPolisi, Uamsho walishafanymikutano yapata 100 koU n g u j a n a P e m b a nhakuna aliyeguswa. Ilikua

    mikutano ya wakati kakubwa ishafanywa ikumbwna vurugu? Inasikitisha kuwwatendaji kama KamishnM u s s a w a n a o n a y ayaliyotokea nchini ni madogkwa hivyo ni bora kutafumakubwa zaidi.

    Na iwapo KamishnMussa anadhani hilo nsahihi, na alichokisimamni haki, basi asubiri mgusmbaya kwa

    Z a n z i b a r k u f u a t imatamshi yake ya kuwa inwatu wanaoshirikiana nmakundi maovu ya Al-Qaidna AlShabaab.

    KAMISHNA Mussa Ali Mussa.

  • 7/27/2019 ANNUUR 1093

    9/16

    9AN-NUU

    DHULQADAH 1434, IJUMAA OKTOBA 4 - 10, 20Makala

    NAIROBIWABUNGE wa Kenyawanapanga mikakati yakutoa wito wa kufungwakambi zote za wakimbiziwa Somalia nchini humo,baada ya shambulizi lawiki iliyopita la madukamakubwa ya Westgate,yanayodaiwa kufanywana wanamgambo wakundi la al Shabab jijiniNairobi.

    M k u u w a K a m a t iya Ulinzi ya Bunge laKenya Ndung'u Gethenji,amesema kuwa Kenyainapaswa kutazama upyaukarimu wake wa kuwapahifadhi wakimbizi ndaniya ardhi ya nchi hiyo.

    Inaripotiwa kuwa zaidiya wakimbizi laki tanowa Kisomali wanaishi

    katika kambi kubwa zaidiya wakimbizi duniani yaDadaab, iliyopo mkoawa Mashariki. Wakimbiziwengine elfu thelathini waKisomali wanaishi jijiniNairobi.

    G a t h en j i a m es em akuwa baadhi ya kambihizo zinatumiwa kwa ajiliya kutoa mafunzo.

    Septemba 21 mwakahuu watu wasiopungua67 waliuawa na mamiakujeruhiwa baada yakutokea shambulio katikajum ba lenye maduka laWestgate jijini Nairobi.

    Bunge la Kenya jumannehii limeanza uchunguziwa shambulio lililofanywadhidi ya jengo la maduka laWestgate huko Westlandsjij ini Nairobi, lili lotokeaSeptemba 21.

    Kamat i ya pamojail iyoundwa na Tumeya Usalama wa Taifa,Mahusiano ya kigenin a U l i n z i n d i y oiliyokabidhibiwa jukumula uchunguzi huo, kamaw a t u w a l i o k u w a n ajukumu la moja kwa mojala kusimamia usalamawalitekeleza majukumuyao ipasavyo au la.

    Aidha kamati hiyoitachunguza kujaribukutafuta majibu ya maswaliambayo hadi sasa hayanamajibu kuhusiana nashambulio hilo. Takwimuza hivi karibuni za Shirikala Msalaba Mwekundu laKenya zinaonesha kuwa,shambulio hilo la kigaidilililofanywa na wanachamawa kundi la ash Shabab laSomalia, ambapo watu67 walipoteza maishahuku wengine 39 ikiwahawajulikani walipo hadisasa.

    Kenya kufunga kambi wakimbizi wa Somalia

    WASHINGTONGIkulu ya Marekani WhiteHouse, imetoa amri yakufungwa baadhi yamashirika ya serikali yashirikisho baada ya Bungela nchi hiyo kushindwakupitisha bajeti ya kuzuia

    kusimaishwa shughuli zaserikali.

    Amri ya kufungwaba ad hi ya taa si si zaserikali ya Marekaniilitolewa Jumanne wikihii dakika kumi kabla yaserikali kuishiwa rasmina fedha za matumizi.

    Kutokana na hali hiyo,wafanyakazi yapatamilioni moja wa serikaliwanapewa likizo yalazima bila ya malipo.

    Aidha theluthi mbili yawafanyakazi wa serikali,

    akiwemo Rais BarackObama, watalazimikakufanya kazi bila ya malipohadi mzozo wa bajeti katiya wajumbe wa Republicanna wale wa Democratutakapotatuliwa.

    K u f u n g w a k w amashirika ya serikaliy a s h i r i k i s h o , p i akutasababisha kufungwab u s t a n i ya t a i f a n akukwamisha miradi yautati wa tiba.

    W a b u n g e w a

    W a k a t i W a k e n y aw a k i w a w a n a j i u l i z amaswali mengi yasiyona majibu kuhusiana nashambulio hilo, imedaiwakuwa wanachama waAl Shabab walifanyashambulio jingine katikakambi ya wakimbizi yaDadaab, katika mpaka waKenya na Somalia.

    Wachambuzi wa mambowanaamini kwamba,mashambulio ya al Shababkatika maeneo mbalimbaliya Kenya, yameifanyasekta ya utalii nchini humoambayo ni moja ya vyanzomuhimu vya pato la kigenikuwa hatarini.

    H i v i k a r i b u n iWizara ya Mambo yaK i g en i y a M a r ek a n iiliwatahadharisha raia

    wake kutotembelea Kenyana kuwataka kufanyahivyo kwa sa far i zadharura tu.

    Hata hivyo tahadharih i y o y a M a r e k a n ii m e w a k a s i r i s h aviongozi wa Nairobi,a m b a o w a m es i s i t i z akwamba tahadhari hiyohaina umuhimu na piaimetolewa katika wakatiusio mwafaka.

    Wizara ya Mambo yaNje ya Kenya imesisitizakwamba, shambulio dhidiya jengo la maduka laWestgate jijini Nairobi, ni

    tatizo la ulimwengu mzimana hata Marekani yenyeweimekwishaathiriwa navitendo kama hivyo vyakigaidi.

    Serikali ya Nairobii m es i s i t i z a k w a m b a ,M a r e k a n i i n a p a s w akubadilisha msimamow a k e n a k u o n d o atahadhari yake hiyo yakiusalama.

    Wakati Marekani inatoatahadhari hiyo, ripotizinaonesha kuwa kundila al Shabab la Somalialimekuwa likipata misaadaya kifedha kutoka ndani yaMarekani.

    Hatua kali za usalamazimechukuliwa pia nchiniUganda , ambako inawanajeshi katika kikosicha kusimamia amani chaUmoja wa Afrika nchiniSomalia AMISOM.

    N a y o J u m u i y a y aKiislamu ya kimataifa yaHiz Ut-Tahrir, imepingavi tendo vya mata i fay a k i g e n i k u i n g i l i am z o z o u n a o e n d e l e anchini Somalia kati yawanamgambo wa Al-shabab na serikali ya mpitoya nchi hiyo.

    Serikali ya Marekani yakwamaMshahara wa Obama wasimamishwa

    Democrat na Republicanw a n a z o z a n a j u u y amiswada iliyopendekezwana serikali ya Obama, juuya marekebisho ya bimaya afya.

    CAIROMoja ya vyumba vya jenchini MisriTaasisi ya kusimamia habaza Kiislamu nchini Uingerezimetoa ripoti ikieleza kuwkiongozi mmoja wa Harakaya Ikhwanul Musliminchini Misri, amefariki dunkatika gereza la Mansuraalikokuwa akishikiliwa.

    imemtaja kuwa ni KhaliKwa mujibu wa ripo

    Taasisi hiyo kingozi huyametajwa kuwa ni SafwKhalil, ambaye aliyekuwakisumbuliwa na ugonjwwa saratani kwa muda mrefna kwamba, alikuwa akihitamatibabu ya mionzi, kabla ykutiwa kwake mbaroni.

    Kabla ya kutiwa mbaronkiongozi huyo amedaiwkuwa alijeruhiwa katikmguu wake mmoja.

    Khalil alizaliwa mwak1954 na alikuwa daktawa kutengeneza dawHabari zinasema kuwa lich

    ya mahakama ya jinai yMansurah kutoa hukumya kuachiliwa huru Khalkufuatia ugonjwa uliokuwukimsumbua, lakini askaus a lam a wa n ch i h iyhawakutekeleza amri hiyya mahakama ya kumuachhuru hadi alipofikwa nmauti.

    T a n g u y a f a n y i kmapinduzi ya serikali yRais Mohamed Morsi Ju30, mwaka huu, hadi sasviongozi wengi wa harakaya Ikhwanul Musliminchini Misri wameendelekutiwa nguvuni kwa tuhummbalimbali.

    Kiongozi wa Ikhwanu

    Muslimin afa jela

    Al-Masjid Haqq Buguruni, jijinDar es Salaam mkabala na kituocha mabasi cha Rozana inaombaWaislamu wote nchini kuchangiaujenzi wa Msikiti (wa ghorofa).

    Mwenye mchango anawezakuuwasilisha kupitia akaunti ya

    ujenzi benki ya KCB Akauntnamba 3300863333.

    Kwa maelezo zaidi fka MasjiqHaqq

    Wabillah Tawfiq

    UONGOZI WA MSIKITI

    Mchango wa ujenzi wa Msikiti

    RAIS Uhuru Kenyata wa Kenya.

  • 7/27/2019 ANNUUR 1093

    10/16

    10AN-NUU

    DHULQADAH 1434, IJUMAA OKTOBA 4 - 10, 20Makala

    Kisa cha mtoto jasiriInatoka Uk. 7

    wa miaka minneambao hawawezikujinusuru wenyewe?

    T u n a a m b i w akwamba mtoto jasirialikuwa akimtetea

    mama yake.Mtoto huyo hapayupo wapi? Wakatimama anatoka, yeyealikuwa wapi?

    Picha ya pili uk. 6Bi Amber anapotokanje, ndio anaonekanak u k u t a w a t o t owawili, lakini naowala hawaonyeshidalili ya kumkimbiliamama yao.

    Mama anaonekanaakitizama kitu kwambali (labda gaidi).

    Mtoto anayedaiwakumsaid ia mama

    yake, wala hanah a b a r i k w a m b amama ka ja yuponyuma yake. Nayekatizama yake.

    Lakini pia swalini je, kama mpigap i c h a a l i w e z akumfuatilia Amber

    toka ndani mpakanje anapowakutahawa watoto wawili,mbona kamera yakehaikumnasa huyog a i d i a k i w a n abunduki aina ya AK-

    47 aliyemshambulia?Na huyu aliyelalachini nani? Je, kafa?Hatujui. Lakini kamaangekuwa kapigwarisasi, hapana shakaangeonekana kalaliadimbwi la damu aupengine kaanguka tuakikimbia akazimia!Labda!

    Hee! Hapa mamak a w a a c h a t e n awatoto. Mama kaendawapi? Mbona watotowameachwa peke yaowakishangaa?

    Mama karudi sasaanakimbia na watotoa k i w a n a a s k a r ianayedaiwa kujakuwaokoa.

    Anakimbia bi lawasiwasi, hajabebwa,lakini tunaambiwakuwa kajeruhiwamguu na risasi!

    Elaine DangInatoka Uk. 7

    anaonekana bintim m o j a k a m a

    a m e t a p a k a adamu usoni hukukashikiliwa mkonon a m w a n a m k emwingine aliyevaahijabu, ambaye ndiyeMtanzania linasemani Samantha.

    Baada ya pichaz a b i n t i h u y uambaye anaonekanak u h u d u m i w an a m w a n a m k eambaye Mtanzaniwanadai kuwa ndiyeSamantha kutupwak a t i k a m t a n d a o ,wafuatiliaji wa habariw a m e m t a m b u ak u w a n i E l a i n eDang, mkazi wa SanDiego, California(Marekani ) . Kwasasa anaishi Nairobiakifanya kazi katikamgahawa mmojakama meneja.

    Baba yake akiongeana vyombo vya habarianasema kuwa Elainealikatwa na marisauya kombora (grenade)au risasi (shrapnelwounds) sehemu zausoni , k ichwani ,kifuani, mkono na

    mguu.. T h e c h e s t

    something metal camein her chest and then the

    arm and the leg.Alisema Steven

    Dang akizungumzakupitia 10News, juuya hali ya binti yakeElaine.

    W a t a a l a m uw a m a j e r a h ayanayosababishwa namarisau wanasemak u w a h u w a n im a j e r a h a h a t a r iambayo humfanyamtu kutoka sanadamu kwa sababuh u s a b a b i s h amichubuko mikubwana huingia mpaka

    ndani na kukatamishipa ya damu.U k i s i k i a m t u

    k a j e r u h i w a n amarisawa (multipleshrapne l wounds) ,m a a n a y a k e n ikuwa vyuma vyamoto vinachimba nakuingia mwilini (hotmetal tearing throughthe body.)

    S a s a m t i z a m eElaine kifuani, usoni,mkononi, na miguuni.Hakuna dali l i yakifua kujeruhiwa nachuma.

    Mguu ni h ivyohivyo, kama kunac h u m a k u t o k agrenade ambacho

    kilimchoma mguu,asigeweza kusimaman a k u t e m b e amwenyewe.

    E l a i n e D a n ganaonekana kashikilias i m u y a k e y amkononi, anatembeamwenyewe i la tuusoni kuna alama zamichiriziko ya damu.

    Hakuna mahalip a n a p o o n e s h ajer aha la kuchanwana chuma, si usoni,k i c h w a n i w a l akifuani wala miguuni.Majeraha yapo wapi?

    L a k i n i i p o p i ap i c h a a m b a p o

    anaonyeshwa Elainea n a h u d u m i w akusashwa majerahausoni.

    T i z a m a p i c h a ,ba ad a ya ku fu tw ainayoonekana kuwani damu, hakunadalili ya jeraha hatamoja.

    Lakini la za id iElaine anaonekanak u t a b a s a m u !K i n a c h o m f a n y aa t a b a s a m u n i n ibadala ya kuoneshauso wa kuugulia kwauchungu, huzuni nafadhaa ya mshtuko?

    Mama huyu, kamaa n a v y o o n e k a n ak a t i k a p i c h a ,i n a e l e z w a k u w akapigwa risasi mbilit u m b o n i . K w e l imagaidi hawa katili!

    Lakini sasa tizama,risasi mbili tumboni

    H a p a m t o t ow a K i z u n g uanasukumwa nakitoroli. Naye nikatika majeruhi.H a t a h i v y o ,h a k u n a m a h a l ip anap oonekanakuwa na jeraha.

    Lakini ukitizama

    mkono wa kulia,mkono wa shatiy a k e ( T - s h i r t ) ,unaonekana kuwana rangi kuanzia

    b e g a n i m p a k akwenye viganja.

    Rangi hii ya nini?J e , n di o i s h arakuonyesha kuwa

    kajeruhiwa?I l a uki t i zam

    kigari (machelahaionyeshi daliya kupata alamya damu. Au yeymwenyewe kuwna damu zaidi yrangi inayoonekankatika mkono wshati.

    TIZAMA picha hiiy a m t u a l i y e v a atrack suit nyeupe.H u y u i n a e l e z w akuwa kapigwa risasimgongoni. Angaliamatundu yanayodaiwak u w a y a r i s a s i .Angalia inayodaiwakuwa damu. Huyuungemtarajia akiwajuu ya machela taabanikalala katika dimbwil a d a m u , l a k i n ianatembea mwenyewe!

    T izam a n a h iyodamu ya majeraha.I m e i s h i a k a t i k amzunguko mdogo wajerah a. Hai kut ir ikikachini wala kusambaa.Nguo sa kabisa.

    Where is he going? Ishe going to continue onhis brisk walk to a medicalfacility? If he really didhave a multiplicity of left-sided gunshot wounds,that side that upholds theheart, aorta, left lung, andmore, by the time he getsthere hed be dead.

    Is this man superman?If these were real gunshotentrance wounds, the manwould be on the ground,dying in agony. Hecouldnt move, let alonewalk down the street as ifnothing happened.

    H a y a n d i y oanayosema mchambuzimmoja akimaanishakuwa kwa majeraha

    haya ya risasi, tenakatika sehemu ambapoupo moyo na mapafu,hakuna namna ambapomtu huyu angewezakusimama na kutembeamwenyewe, labda awesuperman.

    T a z a m a d a m u .

    K a w a i d a d a mh ai j i ten gan is h i nkuweka matabaka yuzito tofautu tofautInaganda. (Blood donot separate into varioulayers of d i f ferendensity. It clots.)

    n a t u n a a m b i wmagaidi walitumibunduki nzito, AK47, lakini kashikiliwa n a t e m b e a ! Ndamu imeishia palp a l i p o o n e s h wkuwa ndipo risasilipopita!!!

  • 7/27/2019 ANNUUR 1093

    11/16

    11AN-NUU

    DHULQADAH 1434, IJUMAA OKTOBA 4 - 10, 201

    Bismillahir Rahmanir Rahiim

    ISLAMIC PROPAGATION CENTRE

    NAFASI ZA KIDATO CHA KWANZA 2014

    Waislamu kote nchini mnatangaziwa nafasi za kidato cha Kwanza kwa shule zifuatazo: Mkuzo Islamic High School - Bweni tu - SONGEA Kirinjiko Islamic Sec. School - Bweni tu SAME - KILIMANJARO Nyasaka Islamic Sec.School - Bweni tu - MWANZA Ubungo Islamic High School - Kutwa na Bweni DAR ES SALAAM

    1. Shule hizi ni za Kiislamu, zenye lengo la kuwapa watoto elimu bora na kuwalea kwa malezi mazuri ya Kiislamu.

    2. Masomo yanayofundishwa ni haya yafuatayo:Elimu ya Dini ya Kiislamu, Usomaji Qur an na mafunzo yake, Hadithi za Mtume(s.a.w), Lugha ya Kiarabu, Kiswahili, English, Basic Mathematics, PhysicsChemistry, Biology, Geography, History, Civics, Book keeping na Commerce.

    3. Patakuwa na mtihani tarehe 30/11/2013 saa 2:00 asubuhi katika vituo mbali mbali kote nchini. Muombaji anaweza kufanyia mtihani katika kituo chochote4. Mwisho wa kuchukua fomu ni tarehe 29/11/20135. Fomu za Maombi zinapatikana kwa gharama ya shilingi 10,000/= katika vituo vilivyoorodheshwa hapa chini.6. Pia, fomu zinapatikana kwenye Tovuti: www.ipctz.org. Ikumbukwe kuwa atakayepata fomu kupitia tovuti (download) atatakiwa kulipia wakati wa kurejeshasiku ya mtihani.

    Arusha - OsiyaIslamicEducationPanelJamboPlasticGhorofaya2mkabalanamsikitiMkuuBondeni- 0763 282 371/ 0784 406 610

    Kilimanjaro - Moshi: Msikiti wa Riadha 0654 723 418- Same: Kirinjiko Islamic Secondry School: 0784 296424/0655 697 075

    Tanga - Twalut Islamc Centre Mabovu Darajani 0715 894111/0789 410914- Uongofu Bookshop: - 0784 982525/- Korogwe: SHEMEA SHOP 0754 690007- Mandia Shop - Lushoto: 0782257533

    Mwanza - Nyasaka Islamic Secondary School 0717 417685/0786 417685- OsiyaIslamicEducationPanelMtaawaRujimkabalanaMsikitiAl-Amin0785086770 Musoma - OsiyaIslamicEdPanel-MtaawaKarume,NyumbaNa.05,-0784721015/0765024623 Kagera - Bukoba:AlhudaCafKwamzeeKinobekaribunaosizaTRA.-0688479667

    Shinyanga - Maselecom:OsizaNSSFShinyangaMjinimkabalanabankyaCRDB-0752180426 - KahamaosiyaANNUURKaribunamsikitiwaIbadhi:0753993930

    Dar es Salaam - Ubungo Islamic High School 0754 260 241/0712033556 - OsiyaIslamicEd.PanelTemeke-MsikitiwaNurulYakin0655144474

    Morogoro - Wasiliana na Ramadhani Chale :0715704380

    Dodoma - Hijra Islamic Primary School : 0716 544757/0712 325086

    Singida - OsiyaIslamicEd.PanelkaribunaNurusnackHotel0714285465/0784928039

    Manyara - Babati: Shule ya Msingi Hangoni: 0784 667575 - OsiyaIslamicEd.PanelMasjidRahma:0764469870/0789174902 Kigoma - Msikiti wa Mwanga Kigoma: 0753 355224

    - Kibondo Islamic Nursery School: 0784 442860- Kasulu: Murubona Isl.SS. 0714710802

    Lindi - Wapemba Store: 0784 974041/0786 959663 Mtwara - Amana Islamic S.S 0715 465158/0787 231007 Songea - Kwa Kawanga Karibu na Msikiti wa NURU 0715 681701/0716791113

    - Mkuzo Islamic High School. 0716 791113 Mbeya - Duka la vifaa vya Kiislamu nje ya Msikiti wa Uyole 0713 200209

    - Rexona Video mkabala na Mbeya RETICO: 0713 200209 Rukwa - Sumbawanga: Masjid TAQWA 0717082 073 Tabora - Kituo cha Kiislamu Isevya: 0784 944566 Iringa - Madrastun Najah: 0714 522 122 Pemba - Wete: Wete Islamic Education Center: 0777 432331 Unguja - Madrasatul Fallah: 0777125074- Maa -Osiyaust.YusufuAllyjiraninamsikitimkuu0653705627

    USIKOSE NAFASI HII ADHIMU WAHI KUCHUKUA FOMU SASA!

    MKURUGENZI

    WABILLAH TAWFIIQ

    Tangazo

  • 7/27/2019 ANNUUR 1093

    12/16

    12AN-NUU

    DHULQADAH 1434, IJUMAA OKTOBA 4 - 10, 2012 MAKALA

    Gazeti hili hutolewa na Islamic Propagation Centre S.L.P. 55105 na kupigwa chapa na Business Printers Limited, S.L.P. 78495 Dar es Salaam.

    AN-NUUR12 DHULQADAH 1434, IJUMAA OKTOBA 4 - 10, 2013

    P.O. BOX 80059, TEL: 022-2860694, 0754/ 0655-462777, 0754-377897_____________________DAR ES SALAAM (TZ)_______________________

    QURAN, TAALUMA , MAADILI.

    USAILI KWA NAFASI ZA MASOMO 2014 SHULE YA MSINGI DARASA LA 1 HADI LA 7, SHULE YA SEKONDARI KIDATO CHA 1 HADI CHA 4

    UTAFANYIKA SIKU YA JUMAMOSI TAREHE 5, OCTOBA 2013 SAA MBILI ASUBUHI SHULENIKIGAMBONI AMANI GOMVU DAR ES SALAAM.

    FOMU ZINAPATIKANA KWA TSHS 10,000/= KATIKA SEHEMU ZIFUATAZO:1. OFISI ZA WAKUU WA SHULE.2. KATIKA DUKA LA B.G.S. MTAA WA GOGO KARIAKOO DAR ES SALAAM.3. DUKANI KWA SHARIFU KIGAMBONI (FERI)4. MWANZA SIMU NO. 0653 349 777 AU 0754 030 614

    UTAKUWEPO USAFIRI KUTOKA ILALA D.A.S. - NURSERY (MALAPA) KWENDA AMANI GOMVUNA KURUDI KWA TSHS 15,000/-. FIKA SAA KUMI NA MBILI ASUBUHI SIKU HIYO YA TAR. 5 OCTOBA

    SHULE ZA DAARUL ARQAM NI MAARUFU KWA: KUONGOZA KITAALUMA KATIKA MITIHANI, KUHIFADHISHA QURAN NA MAADILI MEMA YA KIISLAM, LISHE NA MALEZI BORA KWA WATOTO, UMAHIRI KATIKA LUGHA ZA KIINGEREZA NA KIARABU, NA HUDUMA NYINGINEZO

    NYINGI.KWA MAELEZO ZAIDI WASILIANA SHULE KWA:TOVUTI YA SHULE: WWW.das.ac.tz AUMwl. MKUU PRIMARY, 0654 204 781 AU 0773 204 798 H/MASTER 0659 190 208 AU 0653 19 00 79

    DAARUL ARQAM SCHOOLS

    Tunawatakia kila la kheri

    mahujaji wetu katika

    kutimiza ibada ya Hijja

    WIZARA ya Elimu naM a f u n z o y a U f u n d i ,imekiri kupokea barua yaBaraza la Wakuu wa Shuleza Kiislamu Tanzania,i n a y o i t a k a S e r i k a l ikutengua utaratibu mpyawa kuyafanya baadhi yamasomo kuwa ya hiyariyakiwemo ya dini.

    K w a m u j i b u w aaf isa mmoja Wizaranihapo, ambaye hakutakakujitambulisha jina lakekwa kuwa yeye si msemajiwa Wizara hiyo, alisemaanafahamu kuwepo kwahoja hiyo osini hapo.

    Alipoulizwa amefahamuvipi suala hilo, alisemawalipokea barua kutokaBaraza la Wakuu wa Shuleza Ki is lam u ik ie lezeakutoridhishwa na sheriampya ya Mitihani nchini.

    Awali, asa huyo alielezakuwa Waziri wa Elimu naMafunzo ya Ufundi, Mh.S h u k u r u K a w a m b w a ,ambaye ndiye mwenyedhamana ya kulitoleaufafanuzi suala hilo, alikuwanje ya osi kwa majukumumengine ya kiosi.

    Waziri hayupo, i lanafahamu kuwepo kwa sualahilo na nadhani linafanyiwakazi ila kama utaonana

    naye atakupa maelezo yakutosha. Alisema afisahuyo.

    Hata hivyo, An nuur,ilipowasilina na Waziri waElimu na Mafunzo ya Ufundi,Mh. Shukuru Kawambwa, ilikupata ufafanuzi wa sualahili, simu yake ya mkoniilikuwa ikiita muda wotebila kupok elewa na hat aalipopigiwa Naibu wake,Mh. Qassim Majaliwa, simuyake haikupatikana.

    Wiki moja i l iyopita,Baraza la Wakuu wa Shuleza Kiis lamu Tanzania(TAHISCO) liliwasilishabarua Serikali ni , kupitiaWizara husika, ikielezakutoridhizishwa na sheria nataratibu mpya za Mitihani

    namba 38 ya mwaka 2013.Sheria, hiyo imeyatengamasomo ya Elimu ya Dini yaKiislamu, Bible knowledge,Lugha ya Kifaransa naKiarabu, pamoja na somo laKompyuta kuwa ni masomoya hiyari kwa wanafunzi.

    Mheshimiwa Waziriwa Elimu, kwa mujibu wamakundi tajwa ya masomohapo juu, kwa kanuni hizimpya kuyafanya kuwani ya hiyari, ina maanamwanafunzi hatawezakupanda daraja hata kamaatafaulu masomo hayo kwadaraja A. Imesema sehemuya barua hiyo kwa Waziri waElimu.

    Kwa mujibu wa barua

    W A Z A N Z I B A R Iwamehimizwa kuitumiav y e m a f u r s a y akujiandikisha katika daftarila kudumu la wapiga kura,ili waweze kushiriki katikamaamuzi yanayohusu nchiyao.

    Wito huo umetolewana Makamu wa Kwanzawa R ais wa Z an zibarMaalim Seif Sharif Hamad,alipokuwa akizungumza naWazanzibari wanaoishi Dares Salaam katika mkutanou l i o f a n y i k a h o t e l i y a

    Starlight jijini Dar es Salaam.Maalim amesema wakatimchakato wa kulifanyiauhakiki daftari la kudumul a w a p i g a k u r a k w akuandikisha wapiga kurawapya ukiendelea Zanzibar,bado kuna idadi ndogo yawanaojitokeza kujiandikishaikinganishwa na tathmini yaTume ya Uchaguzi.

    Amesema ili kuhakikishakuwa wananchi wanashirikikatika maamuzi yanayohusuZanzibar likiwemo sualala kura ya maoni kwa ajiliya kupitisha au kukataakatiba mpya, hawana budikujiandikisha katika daftarila kudumu ili wawezekuitumia haki hiyo ya kupigakura.

    A m e t o a w i t o k w aw a n a n c h i w e n y e s i f akujiandikisha katika daftarila kudumu la wapiga kura,ili waweze kuitumia haki yaohiyo ya kidemokrasia.

    Akizungumzia kuhusumchakato wa kuandika

    Masomo ya Dini, kompyuta yatetewaNa Bakari Mwakangwale hiyo yenye kumbukumbun a m b a T A H I S C O /WEMU/2013/02, ikaiombaSerikali kupitia Wizara yaElimu na Mafunzi ya Ufundi,kutengua taratibu huo namasomo yote yapewe uzitohususani katika masomo yadini ili kuinua kiwango chamaadili.

    Katika ufafanuzi waoBaraza hilo la Wakuuwa Shule za Kiislamu,w a m e e l e z a k w a m b amasomo ya dini yalikuwakatika kundi la masomotah in iwa ( E xam in ablesubjects) na daraja zake

    zilikuwa zinaongeza ufaulukwa wanafunzi.

    Kwa mabadiliko hayo,TAHISCO ikaonyesha hofukwamba kupitia mabadilikoh a y o i t a s a b a b i s h ak u p u n g u z a i d a d i y awanafunzi kufaulu kuanziakidato cha nne na hatakujiunga na vyuo vikuu.

    Barua hiyo, iliyosainiwana Mwenyekiti wa Barazahilo, Bw. Hamisi A. Togwa,imesema kwamba hatua hiyoitasababisha kuvikoseshavyuo wanafunzi ambavyov i n a d a h i l i w a n a f u n z iwenyesifa za ufaulu wamasomo hayo.

    Mheshimiwa Waziri wa

    Elimu, hapa nchini vipo vyuokadhaa kama vile, Chukwani,Suza Zanzibar, Chuo chaW a i s l a m u M o r o g o r o ,ambavyo kwa ridhaa yaSerikali vinaendesha koziza masomo ya dini pamojana ualimu.

    Wanafunzi wanaojiungana kozi hizi, msingi wakehuanzia na masomo hayakuanzia kidato cha nne,hivyo hatua ya kuliondoasomo hili katika orodha yamasomo lazima itasababishakukosekana wanafunzi wakujiunga na vyuo hivi,hivyo kozi hizi zinawezakufa na hatimaye kukoseshawanafunzi katika vyuohivyo. Imesema barua hiyo.

    Barua hiyo imesema

    kwamba, mara nyingi Serikaliimekuwa ikifanya juhudi zakukutana na viongozi wadini wakiwaomba kufanyajitihada za kuzungumza nawaumini wao ili kuwajengakuwa na maadili mema nakuifanyia uadilifu nchi yao.

    Baraza hilo likasema,wao wanaamini kwambawananchi bora na waadilifuni wale waliosoma vizuritaaluma za dini zao, hivyokuliondosha somo la dinikatika orodha ya masomoya lazima, kutashusha ariya kulisoma na kujifunza,hivyo taifa kukosa viongoziwaadilifu.

    Ama kuhusu somo laKompyuta, Baraza hilo

    limesema kwamba, Duniaya sasa ni maarufu kwa jinala Sayansi na Teknilojia naTanzania ni miongoni mwanchi zinazoendelea ambazozinahitaji kuimarisha wigohuo.

    Imesema barua hiyokuwa, somo la Kompyuta,ni moja ya masomo ambayowalitegemewa Serikali ilipekipaumbele kwa kulifanyakuwa ni la lazima hukuikiboresha miundombinuyake.

    Lakini kwa masikitikom a k u b w a s o m o h i l i

    limefanywa kuwa ni somola hiyari ambalo mtahiniwahata akifaulu kwa darajaA, haitahesabiwa katikanukta za ufaulu wake, hivyoTaifa litakosa wataalamu.Imesema sehemu ya Baruahiyo.

    Kuto kan a n a s h er iahiyo, Baraza hilo limesemakwamba, inaonyesha wazikuwa hizo ni hatua zakurudisha nyuma maendeleoya Elimu nchini, kutokanana kubanwa kwa wigo wakusoma kwa wanafunziwengi.

    Baraza hilo limesema,linaamini kuwa endaposuala hilo litabaki hivyoni dhahiri idadi ya ufaulukwa wanafunzi wa kidatocha nne, itapungu mwakahadi mwaka na kusababishapia idadi ya udahili waw a n a f u n z i w a v y u okupungua, na Taifa kukosawasomi.

    Wazanzibari jiandikisheniMwandishi wetu, katiba mpya ya TanzaniMaalim Seif ambaye pn i K a t i b u M k u u wC U F a m e s e m a b a dhajaridhishwa na baadhya vipengele vilivyomkatika mswada wa sherinayohusu marekebishya Katiba, ambapo Serikapamoja na asasi za kiraZanzibar hazikushirikishwkatika marekebisho hayo.

    A m e s e m a k a t i b a njambo kubwa linal oel ezmustakbali wa taifa kwkipindi kirefu, hivyo kukpahala ikapitishwa kwushindi mdogo (just simp

    majority), halitokuwa jambla busara kwa mustakbawa Taifa.

    Amefahamisha kuwwakat i m ch akato h uwa katiba ukiendelea nvyema kwa washirika wMuungano kuwa na furssawa kama nchi, hasa katikushiriki wa wajumbe kwenyBunge la Katiba.

    K w a u p a n d e w a kMwaki l i s h i wa J im bla Ole ( CU F) , Ham aMassoud Hamad amesemtakwimu za uandikishakatika daftari hilo ambaumekamilika kwa upandwa Unguja zinaonesha kuwidadi kubwa ya wananchhawakujitokeza katikuandikishaji huo.

    Amedai kuwa Tume y

    Uchaguzi Zanzibar ilitarajkuandikisha zaidi ya wapigkura laki moja kwa Wilaysita za Unguja, lakini hadzoezi hilo linakamilika nasilimia 23 ya wananchwaliojitokeza kuandikishw

  • 7/27/2019 ANNUUR 1093

    13/16

    13AN-NUU

    DHULQADAH 1434, IJUMAA OKTOBA 4 - 10, 20

  • 7/27/2019 ANNUUR 1093

    14/16

    14AN-NUU

    DHULQADAH 1434, IJUMAA OKTOBA 4 - 10, 20

  • 7/27/2019 ANNUUR 1093

    15/16

    15AN-NUU

    DHULQADAH 1434, IJUMAA OKTOBA 4 - 10, 20

  • 7/27/2019 ANNUUR 1093

    16/16

    16AN-NUU

    DHULQADAH 1434, IJUMAA OKTOBA 4 - 10, 20