20
ISSN 0856 - 3861 Na. 1172 JAMADIUL AKHER 1436, IJUMAA , APRILI 10-16, 2015 BEI TShs 800/=, Kshs 50/= Sauti ya Waislamu facebook: [email protected] AHLU SUNNA WAL JAMAA HAJJ AND UMRA TRUST WANAPOPIGANA Waislamu, wote motoni. Anayekwenda Somalia, anakwenda kununua moto wa Jahannamu. Kwani atakwenda kupigana na jeshi la Serikali ya Somalia ambao wote ni Waislamu. Atawaua Waislamu Kwenda kupigana Somalia ni Ukafiri Ukifa, ukisalimika, Motoni Jahannamu Acheni akinamama wasome, walee kizazi Wasomali wanahitaji mchele, sio risasi Na Mussa Ame wenzake, au atauliwa yeye na Waislamu wenzake. Madalali wa kupeleka vijana Somalia, waache biashara hiyo mbaya. Madalali ambao huwa hawajali mpaka wanawake pia wanawachuuza. Wanajali mapato ya dunia, bila kuangalia mustakbali wa Akhera. (Soma Uk. 6, 7) Lipumba atembelea Masheikh gerezani Wasikitika kubambikiziwa ugaidi Walaumu utendaji kazi wa Polisi SHEIKH Mselem Ally MASHEIKH Farid Hadd Hofu ya Ugaidi Mwanza Ujinga ndio utatuponza Picha juu; Akina mama wa Kisomali wakisubiri chakula cha msaada. Picha chini Waislamu wakiswalia maiti nchini Somalia. Mtume(saw) amesema, “Mwenye kwenda kuhiji akifa safarini anatiwa Peponi. Akirudi salama kwao anarudishwa na ujira mkubwa na zawadi nyingi”. Hija humnufaisha anayekwenda na watu wake kutokana na "ZAWADI" za Allah kwa wageni wake. Muda unakwisha! Gharama zote kwa Hijja ni Dola 4,500. Umra ya Ramadhani ni Dola 2,300. Karibuni Ahlu Sunna Wal Jamaa kwa huduma nzuri na uongozi bora. Wasiliana nasi: Tanzania Bara: 0765462022;0782804480; 0717224437. (6) MANUFAA YA HIJA

ANNUUR 1172.pdf

Embed Size (px)

Citation preview

Page 1: ANNUUR 1172.pdf

ISSN 0856 - 3861 Na. 1172 JAMADIUL AKHER 1436, IJUMAA , APRILI 10-16, 2015 BEI TShs 800/=, Kshs 50/=

Sauti ya Waislamufacebook: [email protected]

AHLU SUNNA WAL JAMAA HAJJ AND UMRA TRUST

W A N A P O P I G A N A Waislamu, wote motoni. Anayekwenda Somalia, anakwenda kununua moto wa Jahannamu.

K wa n i a t a k w e n d a kupigana na jeshi la Serikali ya Somalia ambao wote ni Waislamu.

Atawaua Waislamu

Kwenda kupigana Somalia ni UkafiriUkifa, ukisalimika, Motoni JahannamuAcheni akinamama wasome, walee kizaziWasomali wanahitaji mchele, sio risasi

Na Mussa Ame wenzake, au atauliwa yeye na Waislamu wenzake.

Madalali wa kupeleka vijana Somalia, waache biashara hiyo mbaya.

Madalali ambao huwa hawajali mpaka wanawake pia wanawachuuza.

Wanajali mapato ya dunia, bi la kuangalia mustakbali wa Akhera. (Soma Uk. 6, 7)

Lipumba atembelea Masheikh gerezani

Wasikitika kubambikiziwa ugaidiWalaumu utendaji kazi wa Polisi

SHEIKH Mselem AllyMASHEIKH Farid Hadd

Hofu ya Ugaidi MwanzaUjinga ndio utatuponzaPicha juu; Akina mama wa Kisomali wakisubiri chakula cha msaada. Picha

chini Waislamu wakiswalia maiti nchini Somalia.

Mtume(saw) amesema, “Mwenye kwenda kuhiji akifa safarini anatiwa Peponi. Akirudi salama kwao anarudishwa na ujira mkubwa na zawadi nyingi”. Hija humnufaisha anayekwenda na watu wake kutokana na "ZAWADI" za Allah kwa wageni wake. Muda unakwisha! Gharama zote kwa Hijja ni Dola 4,500. Umra ya Ramadhani ni Dola 2,300. Karibuni Ahlu Sunna Wal Jamaa kwa huduma nzuri na uongozi bora. Wasiliana nasi: Tanzania Bara: 0765462022;0782804480; 0717224437.

(6) MANUFAA YA HIJA

Page 2: ANNUUR 1172.pdf

2 AN-NUURJAMAADIUL AKHER 1436, IJUMAA APRILI 10-16, 2015

AN-NUUR S.L.P. 55105, Simu: +022 2400786

Cel: 0784 370 208, 0713 110 148, 0755 260 087 , DSM. www.annuurpapers.co.tz E-mail: [email protected]

Ofisi zetu zipo: Manzese Tip TopUsangi House, barabara ya Morogoro, D'Salaam

Tahariri/Maoni yetu

“ H O F U ya U g a i d i Mwanza.” Hicho ni kichwa kimoja cha habari katika moja ya magazeti yetu nchini, wiki hii.

“Ugaidi ni tishio la uhakika, tujipange.” Ni makala katika gazeti hilo hilo ikizidi kusisitiza juu ya kitisho cha ugaidi.

“ M a m b o 1 0 y a kujiokoa na shambulio la ugaidi.” Ni kichwa k ingine cha habar i kilichobeba habari kuu ya gazeti jingine wiki hii.

Kuanzia kichwa cha habari mpaka yaliyoko ndani, habari imejaalia n a k u t u k u b a l i s h a kuwa ugaidi tunao, i l a k i l i c h o b a k i n i kupeana elimu juu ya namna ya kujinusuru w a l a u k u p u n g u z a kiwango cha madhara tunaposhambuliwa.

Ujumbe huo ni sawa l i l i v y o s e m a g a z e t i jingine katika tahariri yake likisema: “Bomu likilipuka, risasi zikilia, tufanyeje?”

U k i s o m a m a k a l a na habari zote hizo, kubwa linaloelezwa ni mambo manne. Kwanza k u s h i n d i l i a u we p o wa kitisho cha ugaidi. Pili, ni kama namna y a k u w a t a y a r i s h a wananchi kisaikolojia, wa j iandae kupokea kipigo cha magaidi hao. Ndio maana ya kuambiwa “Mambo 10 ya kujiokoa…”, na pale tulipoambiwa “Bomu likilipuka, risasi zikilia, tufanyeje?”

Tatu, kuhimiza watu kuchukua tahadhari, l ak in i kubwa za idi kuvitaka vyombo vya dola kuwa makini zaidi. Namna yake ni kama kusema kuwa, wengine wamepigwa kwa sababu

Hofu ya Ugaidi MwanzaUjinga ndio utatuponza

hawakuwa makini vya kutosha.

“Kwanza ifahamike k w a m b a m a g a i d i , hasa Al-Shabaab wana techniques (mbinu) nyingi, hawakurupuki, hivyo vyombo vyetu vya dola vichukue tahadhari kubwa.”

Ndivyo lilivyoandika gazet i moja la k i la wiki juzi Jumatano likimnukuu mwanasiasa mmoja.

“Watanzania kwa u j u m l a t u t a m b u e c h a n g a m o t o h i y o , tufuatilie kwa makini wageni wanaohamia na kufanya kazi hapa nchini. Majeshi yetu ya Ulinzi na Usalama yaongeze umakini katika mipaka ya nchi yetu, Immigration (Idara ya Uhamiaji) watusaidie tujue nani anaingia na anafanya nini.”

Lilisema gazeti hilo na kuongeza likisema, “ M a o f i s a we t u wa U s a l a m a wa Ta i f a wa t a m b u e k wa m b a wana jukumu kubwa la kuhakikisha usalama na amani vinadumishwa nchini.”

La nne, ni kuwaandaa W a t a n z a n i a p i a k i s a i k o l o j i a k u w a wasije wakaona ajabu wakipigwa tena na tena kwa sababu magaidi wana uwezo mkubwa s a n a u l i o m s h i n d a hata Marekani. Hapo tukatajiwa shambulio l a Septemba 11 na kushambul iwa kwa Balozi za nchi hiyo ambayo ndio kinara wa Vita hii.

Katika kukamilisha t a d h a r a n i h i z o n a k u o n y e s h a h a t u a z i n a z o c h u k u l i w a ku j ihami , magazet i kadhaa yaliwanukuu

baadhi ya viongozi wa s e r i k a l i n a wa jeshi la Polisi, wakidai kuwa wamej iandaa kukabiliana na kitisho hicho cha ugaidi.

Labda sisi tuseme yafuatayo: Maadhali tualiamini kuwa watu kutoka Jangwani Saudi

Arabia na katika milima mikame ya nchi masikini zaidi duniani, na yenye kiwango cha chini zaidi cha watu wanaojua kusoma na kuandika, Afghanistan, wanaweza kuishinda nchi kubwa kabisa duniani kijeshi, k ikachero, k ipol is i , k i tekinolo j ia ya ki -intelijensia, kiutaalamu wa ulinzi wa mipakani na katika viwanja vya n d e g e , w a k a w e z a kuteka ndege za abiria za Marekani wakapiga na kuporomosha WTC, ni ujinga huo huo ambao leo unatufanya tuamini kuwa Al-Shabaab wana uwezo mkubwa wa kiwango cha kufanya yale ya Westgate.

Na kama ambavyo t u l i a m i n i k u w a nchi kubwa duniani kikachero, kiutaalamu wa k i - i n t e l i j e n s i a , kikachero na kwa zana mbalimbali za ulinzi, ilishindwa kuwazuiya ‘magadi’ toka Jangwani na katika milima ya Tora Bora, ndivyo ambavyo leo tunajiaminisha na kuj idanganya kuwa h a t u n a u w e z o w a

kuwazuiya Al-Shabaab.L a k i n i p i a k a m a

t u n a a m i n i k u w a ‘ m a g a i d i ’ t o k a Afghanistan, waliweza kusafiri masafa marefu hadi Marekani pamoja na sheria zake ngumu za kupata Visa na Uhamiaji, wakapanga na kuipiga,

n i n i i t a k u w a k w a magaidi hao hao kutoka hapa jirani tu Somalia a m b a p o wa n a we z a kupita njia za panya bila hata ya kuhitajia Hati ya Kusafiria (Passport) na kupitia mikononi mwa Idara ya Uhamiaji!

Pengine tunaweza kusema kuwa labda t a i f a h i l o k u b w a l i l i k u w a l i m e l a l a , halikuwa na wasiwasi kuwa kuna magaidi wanaweza kuwapiga, lakini tusisahau kuwa Septemba 11 ilitanguliwa na The Oklahoma City bombing na kupigwa Balozi zake. Na hata baada ya Septemba 11, bado zimekuja Anthrax Terror Attacks. Na hata baada ya kuwekwa Sheria ya Kupambana n a U g a i d i - ( U S A PATRIOT)-"Uniting and Strengthening America by Providing Appropriate Tools Required to Intercept and Obstruct Terrorism Act of 2001, bado zimekuja The Boston Marathon bombings.

Ukija hapa kwetu, tuangalie hali ilikuwa vipi kabla ya kuletewa

Sheria na Agenda hii ya kupambana na ugaidi. L e o t u m e f i k i s h w a mahali tunazungumzia wasiwasi wa kuwepo kambi za kufundishia m a g a i d i L a n g ’a t a , W i l a y a n i M w a n g a badala ya Kambi za wavuvi wa perege! Kuna

nini? Hawa wanaotupiga ni nani?

Leo tunasikia wimbi la vijana kuacha shule Bihawana (mfano Rashid Charles Mberesero), V y u o V i k u u n a kwingineko kwa madai ya kwenda ‘Jihad Feki’, nani kaleta wimbi hili? Leo kule Mwanza na miji mingine nchini, tunasikia habari za vijana kuacha shughuli zao za uchumi, wanakimbia familia zao kwa madai ya kwenda Somali/Syria (Shamba), je , tumefanya utafiti kuangalia wimbi hili linakotokea? Kwa nini tusiwe na wasiwasi kwamba laweza kuwa mwendelezo wa mkakati u le u le u l iobuniwa k u l e C h u o K i k u u cha Nebraska, katika kuandaa ‘Mujahidina’ wa kupambana na Urusi kwa niaba ya mabeberu? (Rejea: Hillary Clinton: We created Al-Qaidah, The Myths of Al Qaeda. Soma pia: “A” is for Allah, “J” is for jihad, Operation Cyclone na Reagan Doctrine)

Itizame Afghanistan, P a k i s t a n , Ye m e n ,

Inaendelea Uk. 4

RAIS wa zamani wa Marekani, Reigan (wa tatu kushoto mwenye suti) akiwana Mujahidina wa Afghanistan katika Ikulu ya Marekani.

Page 3: ANNUUR 1172.pdf

3 AN-NUURJAMAADIUL AKHER 1436, IJUMAA APRILI 10-16, 2015Habari

Lipumba atembelea Masheikh gerezani

Bakari Mwakangwale

P R O FE S A I b r a h i m u L i p u m b a , a m e f a n ya ziara katika gereza la Segerea, Jijini Dar es Salaam na kukutana na viongozi wa Kiislamu wanaoshikiliwa katika gereza hilo wakiwemo Masheikh Farid Hadd na Mselem Ally.

Prof. Lipumba alifika gerezani hapo, Jumanne wiki hii kuwajulia hali w a t u h u m i w a h a o , a k i w a k a a m b a t a n a na Kamati ya Maafa ya Shura ya Maimamu i n a y o wa s h u g h u l i k i a mahitaji ya Masheikh na Waislamu waliopo gerezani humo takriban mwaka sasa kutokana na Serikali kuzuia dhamana zao kufuatia kushtakiwa kwa kesi ya ugaidi dhidi yao katika mahakama ya Hakim Mkazi Kisutu.

Akiongea na Mwandishi wa habari hizi, baada ya kuonana na Masheikh hao wanaotuhumiwa kwa kesi ya Ugaidi, Prof. Lipumba, alisema akiwa gerezani hapo alipata mapokezi mazuri kutoka uongozi wa gereza hilo na kubahatika kuonana na Sheikh Farid Had, Mselem Ally pamoja na Ust. Rashid, kwa niaba ya wenzao.

Alisema walizungumza mambo mengi na Masheikh hao, zikiwemo salama kwa viongozi wenzake

wanaounda Umoja wa vyama vya Siasa, UKAWA,

l a k i n i k u b w a z a i d i akasema, wameonyesha

kusikitishwa na hali ya kubambikiwa mashitaka ya

ugaidi wanayo tuhumiwa nayo.

Alisema, kwa kuwa tokea kukamatwa kwao h a k u w a h i k u o n a n a nao, watuhumiwa hao walionyesha kusikitishwa kwao pia na utendaji mbovu wa jeshi la Polisi jinsi linavyo watendea watu wanapowakamata.

Alisema, watuhumiwa hao, wamemweleza jinsi walivyoteswa baada ya kukamatwa na Polisi , na kutendewa mambo ambayo hata mnyama h a w e z i k u m f a n y i a mnyama mwenzake.

Alisema, mbaya zaidi wanasikit ishwa kuwa mambo hayo walitendewa n d a n i ya m we z i wa R a m a d h a n i , l a k i n i akasema pamoja na hayo kwa ujumla sasa afya zao ni salama na wanaendelea vizuri.

Alisema, Masheikh hao wameiombea nchi amani kwani wao ni watu wa amani na yaliyo dhidi yao hivi sasa wanaamini kuwa ni upepo tu na wao ni wenye subra kwani wanaamini kuwa Mwenyezi Mungu yupo na wanao subiri.

Alisema, akiwa kama kiongozi wa Kitaifa wa Chama Cha siasa (CUF), a m e k u w a a k i p o k e a m a s i k i t i k o m e n g i kutoka kwa wananchi wanaosikitika kukosekana kwa viongozi hao wa Kiimani kwa muda mrefu.

“ W a t u w e n g i wanasikitika na kuwepo ndani hadi sasa kwa Masheikh hao, kwani darasa zimesimama ama kukosekana kabisa na wapo wanao kumbuka sana mafundisho ya Sheikh Mselem na Farid.” Alisema Prof. Lipumba.

Al i sema, Masheikh hao, wamepongeza hatua ya vyama vya upinzani kufanya ushirikiano na kuunda UKAWA, huku wakiwataka kuendelea harakati za kudai haki za wananchi kwa uadilifu.

“Lakini pia pamoja na pongezi wameniambia niwasal imie viongozi wa UKAWA, na niwape s a l a m u k w a m b a t u e n d e l e z e h a r a k a t i za umoja tuliouanzisha kwa kudai haki kwa w a n a n c h i . ” A l i s e m a Prof. Lipumba, ambaye ni Mwenyekiti wa Taifa wa CUF na Mwenyekiti mwenza wa UKAWA.

S H I R I K A l a A f ya D u n i a n i ( W H O ) limetangaza kuwa, t a n g u t a r e h e 2 6 m w e z i M a c h i mwaka huu, ambapo Saudia na washirika wa k e wa l i a n z i s h a mashambulizi nchini Yemen, zaidi ya raia 540 tayari wameuawa na wengine karibu 2000 wamejeruhiwa.

Shirika hilo lilisisitiza kuwa, idadi hiyo ni ya raia ambao hawakuwa na silaha na kuongeza kuwa, karibu nusu ya waliopoteza maisha ni watoto wadogo na wanawake.

Wakat i huo huo , vyama na asas i za kiraia nchini Yemen vimetangaza rasmi

Mashambulizi ya Saudia yameua raia 540 Yemen

kuwa zitakabiliana na mashambulizi ya Saudia dhidi ya nchi hiyo.

D u r u z a h a b a r i z i n a e l e z a k u w a , baada ya Saudi Arabia na washi r ika wake k u s h i n d wa k u f i k i a malengo yao kupitia mashambulizi ya kijeshi, tayari wamewatuma wapiganaji 3000 kutoka eneo la Ghutwat al Sharqiyyah nchini Syria, kwenda nchini Yemen kwa ajili ya kukabiliana na wapiganaji wa al-Huthi na vikundi vya kiraia.

Kwengineko Katibu Mkuu wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon, Sayyid Hassan Nasrallah, amesema kuwa, vita

vinavyoendelea katika eneo la Mashariki ya Kati ni vita vya kisiasa sio vya kimadhehebu.

S a y y i d N a s r a l l a h a l i s i s i t i z a k u w a , vita vya sasa katika eneo hilo sio vita vya kimadhehebu kama baadhi wanavyodhania.

Jumuiya ya Madaktari Wasio na Mipaka (MSF), imetahadharisha juu ya hali ya mambo ya mji wa Aden huko kusini mwa Yemen kuzidi kuwa mbaya, huku Saudi Arabia ikizidisha mashambulilzi yake ya anga dhidi ya nchi hiyo ya Kiarabu.

Jumuiya hiyo imetoa tahadhari hiyo Jumanne hii ikisema kuwa hali

ya mambo katika mji wa Aden inazidi kuwa mbaya siku baada ya siku.

M j i w a A d e n umegeuka uwanja wa mapigano makali kati ya vikosi vitiifu kwa Rais wa Yemen aliyejiuzulu Abdurabbuh Mansour Hadi na wanachama wa makundi ya wananchi wanaoungwa mkono na wapiganaji wa Kihouthi.

Watu wanaoshuhudia m a p i g a n o h a y o wamesema kuwa vikosi vya majini vya Saudia v i m e y a s h a m b u l i a m a e n e o y a wanamapinduzi katika mji wa Aden, suala lililokanushwa na Saudi Arabia.

Page 4: ANNUUR 1172.pdf

4 AN-NUURJAMAADIUL AKHER 1436, IJUMAA APRILI 10-16, 2015Makala

Hofu ya Ugaidi MwanzaUjinga ndio utatuponza

Inatoka Uk. 2Nigeria, Kenya, Tunisia, Algeria, huko Indonesia, Somalia, nchi gani katika hizo unaweza kusema kuwa imeweza kuepuka kupigwa na magaidi baada ya kuingizwa katika mchezo huu wa kifimbo cheza pamoja na kujitapa kuwa zinaimarisha ulinzi kama alivyosema Rais Uhuru Kenyat ta juz i baada ya tukio la Garissa, akisahau kuwa alisema hivyo hivyo baada ya Westgate, Mpeleketon, Mombasa na Mandera!.

Ni maoni yetu kuwa Vita dhidi ya Ugaidi, ambayo ni sera ya Marekani tangu 2001, imekuwa dhana mkakati potofu na yenye madhara makubwa.

N i s e r a a m b a y o imewezesha kusukuma m b e l e u s h a m b u l i a j i na vita vya Marekani dhidi ya nchi kadhaa ambavyo vimekuwa ni mikasa mikubwa, vyenye kugharimu fedha nyingi, u h a r i b i f u n a z e n y e matokeo mabaya kwa nchi zinazoingizwa katika mchezo huu.

Hivi leo kuna makundi mengi za idi ya ‘v i ta ya j ihadi feki’ kuliko i l ivyokuwa miaka 14

i l i y o p i t a . U k i j a a l i ya kuwa leo Marekani ina agenda Somalia, Syria, Yemen, Iraq na mahali pengi tu duniani, kwa nini tusiwe na wasiwasi kuwa ‘Mujahidina hawa

feki’ ambao ndio hao hao magaidi, ni matokeo ya mikakati ya “Operation Cyclone” kama ile ya wakati wa kumng’oa Mrusi kule Kabul?

I d a d i k u b w a y a

watu was io na hat ia wameuawa, kujeruhiwa na kuhamishwa. Idadi kubwa wameona hali zao za maisha zikiporomoka. M a r e k a n i i m e g e u k a kuwa dola ya kipolisi na ya kuchunguza kila mtu

kwa kinachodaiwa kuwa ni moja ya mikakati ya kupambana na ugaidi.

Kwa hakika Vita dhidi y a U g a i d i a m b a y o i n a e n d e l e a s a s a , imetupumbaza wengi na wanaojua hakika yake, ni wale wale walioibuni. Nini wanavuna wanajua wenyewe. Sisi tutakuwa watu wa kuumia tu.

N i V i t a a m b a y o imetupumbaza akil i kiasi sasa tunaona Al-Qaidah na Al-Shabaab, kila uchochoro katika miji yetu. Imetupumbaza kiasi cha kuamini kuwa Msomali kutoka nchi k a m a S o m a l i a , a n a uwezo wa kuepa vyombo vyetu vyote vya usalama akaingia Nairobi, akapiga, wakati akipiga tukaleta majeshi yote ya nchi pamoja na usaidizi wa nje, tukamzingira; lakini M s o m a l i h u y o g a i d i akatuzidi ujanja akafanya uharamia aliofanya na akatoweka aki tuacha t u k i w a t u m e z i n g i r a maduka ya Nakumati!

Sasa kama Vita hii dhidi ya ugaidi imetupu mbaza kiasi hicho, kwa nini tunajidanganya kuwa vyombo vyetu vya Dola vitaweza kuwazuiya Al-Shabaab kutupiga?

Inakisiwa kuwa watu wengi wameuliwa na vikosi vya serikali ya Kenya toka serikali hiyo ilipoanza harakati za kupambana na ugaidi. Wengi wa waliouliwa ni Masheikh na vijana wa Kiislamu. Masheikh waliouliwa ni pamoja na Sheikh Aboud Rogo na Abubakar Shariff Ahmed alias Makaburi ( T a z a m a : K e n y a – government accused of running death squads. Kenya Pol i ce Admit ‘Extrajudicial Killings’, Taarifa ya Aljazeera Desemba 9, 2014).

D a v i d O k we m b a h , mwandishi wa habari za uchunguzi anaarifu kuwa ndani ya vyombo vya usalama vya Kenya, kuna vikosi vya mauwaji (Death Squads), ambao hawakamati watuhumiwa n a k u w a p e l e k a m a h a k a m a n i , b a l i huwauwa.

Kuhusu kuuliwa kwa Sheikh Makaburi, kachero m m o j a a k i h o j i wa n a mwandishi huyo anasema:

Tuna hiyari kujinusuru au tuzidi kuzama zaidi

“Makaburi was killed by the police” na kwamba “That execution was planned in Nairobi by very top, high-ranking police officers and government officials.”

K w a m b a S h e i k h Makaburi aliuliwa na polisi na waliopanga mauwaji hayo ni maafisa wa ngazi za juu wa polisi pamoja na viongozi wa serikali. Kosa nini? Anadaiwa kuwa na uhusiano na Al Shabaab!

Al Jazeera katika kutifua na kuibua taarifa hizo inasema kuwa mkakati unaotumika wa kukabiliana na ugaidi Kenya, ni ule wa “elimination programme.” Kwamba anapat ikana mtuhumiwa, anauliwa. H a k u n a k u f i k i s h w a mahakamani.

Pamoja na kuwepo kwa

kitengo cha polisi cha kupambana na ugaidi, Anti Terror Police Unit (ATPU), lakini kitengo hicho nacho hupokea maelekezo kutoka kwa ‘National Security Council’ ambalo wajumbe wake ni pamoja na Rais na Makamo wake.

I n a s e m a A l j a z e e r a ikiwanukuu maofisa wa ATPU ambao walikiri kuwa taarifa za ki-intelijensia w a n a z o f a n y i a k a z i , hupewa na makachero wa Ulaya na Israel.

“Elimination programme,” was supplied by Western security agencies. Once they give us the information, they know what they have told us. It is ABCD: ‘Mr. Jack’ is involved in ‘such and such’ a kind of activity. Tomorrow he’s no longer there. We have

worked. Definitely the report that you gave us has been ‘worked on’.”

Anasema Afisa mmoja wa GSU akiongea na Aljazeera.

“We get some instructors from Israel…how to eliminate. Actually it’s one of the training.”

Anasema na kuongeza Afisa mwingine wa GSU aliye katika kikosi maarufu kama Radiation Unit.

Hii maana yake ni kuwa lile Baraza linaloongozwa na Rais na kisha kupeleka maelekezo kwa ATPU, h u f a n y a k a z i k w a maelekezo ya vyombo vya Usalama vya Magharibi n a I s r a e l . Wa o n d i o wanaosema kuwa Sheikh Fulani aul iwe, kesho hayupo.

“The report that you gave us has been ‘worked on’.”

Wanatoa r ipot i kama alivyosema Afisa huyo wa Polisi, GSU.

“ I f t h e l a w c a n n o t w o r k , t h e r e ’ s a n o t h e r option… Eliminate him,” ananukuliwa akisema Afisa mmoja wa kikosi cha Recce.

Madai yanayotolewa ni kuwa watuhumiwa wakipelekwa mahakamani, w a k a t i m w i n g i n e mahakama z inakuwa na u f i sad i kwa h iyo watuhumiwa wanaachiwa.

L a k i n i a m b a c h o hakisemwi hapa ni kuwa sio suala la ufisadi, bali mahakama kushindwa kuonea watu wasio na ha t ia . Inada iwa kwa m f a n o k u wa S h e i k h Makaburi alituhumiwa kuwa na uhusiano na Al Shabaab. Sasa ukimpeleka mahakamani, Mahakama itataka utolewe ushahidi k u o n y e s h a k u w a Makaburi ni Al Shabaab na ana mipango ya kufanya ugaidi . Au unaletewa

Inaendelea Uk. 8

TUKIO la Garissa nchini Kenya.

Page 5: ANNUUR 1172.pdf

5 AN-NUURJAMAADIUL AKHER 1436, IJUMAA APRILI 10-16, 2015Habari za Kimataifa

WA Z I R I M s t a a f u w a M a m b o y a N d a n i w a K e n y a Joseph Nkaissery , ameithibitishia BBC kwamba serikali ya K e n ya i m e s i t i s h a matumizi ya akaunti za watu binafsi wapatao themanini na s i ta wanaohusishwa na ufadhili wa kundi la kigaidi la Al Shabaab nchini humo.

Akaunti za watu hao ambao zimesitishwa ni baadhi ya watu wa l i o k u wa k a t i k a orodha ya serikali ya Kenya ambao walikuwa wakifuatiliwa mienendo yao.

Kufuatia hali hiyo nayo makampuni kumi na tatu ya ubadilishaji na usafirishaji fedha nayo yamefungwa.

Serikali ya Kenya imetoa ushauri kwa wateja wa mabenki

Akaunti 86 za watu binafsi zafungwa Kenyawa madhehebu ya dini ya Kiislamu kutumia a k a u n t i z a B e n k i z a S h a r i a a m b a z o zimethibi t ishwa na Benki Kuu ya Kenya.

M s e m a j i w a M u u n g a n o w a Wanaosafirisha fedha k w a n j i a a m b a y o i n a j u l i k a n a k a m a Hawala ambao nao pia wamezuiwa Abdi Ali anasema wako makini na uamuzi huo na kwamba tayari wamewaagiza w a n a s h e r i a w a o kushughulikia hali hiyo.

Kujua zaidi juu ya hatua hiyo Regina Mziwanda a m e z u n g u m z a n a Mchambuzi wa Masuala ya Somalia Mohamed Abdillahi, Juu ya taarifa za serikali ya Kenya kufunga akaunti nane za watu wanaoshukiwa kuwa wafadhili wa Al Shabab,kuna maana gani wakati huu.?BBC

UMOJA wa Mataifa umetoa ripoti kuhusu kuongeza j ina i za utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Wapalestina.

Ripoti ya kila wiki ya Taasisi ya Kimataifa ya Ofisi ya Uratibu wa Misaada ya Kibinadamu ya Umoja wa Mataifa h u k o P a l e s t i n a i m e o n ye s h a k u wa , wanajeshi wa utawala wa Kizayuni wiki iliyopita walizishambulia mara 110 nyumba za raia wa Kipalestina katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan na kuwateka nyara Wapalestina 132.

K w a m u j i b u w a r ipot i h iyo , ka t ika muda wa wiki hiyo moja Wapalestina 64 wa k i w e m o wa t o t o watano walijeruhiwa k a t i k a m a e n e o mbalimbali ya ardhi za Palestina zinazokaliwa k w a m a b a v u n a

UN yasema jinai za Israel kwa Wapalestina zimezidi

Israel huku kijana wa Kipalestina aliyekuwa amejeruhiwa wiki iliyopita na wanajeshi wa Kizayuni ameaga dunia.

K a t i k a k i p i n d i hicho cha wiki moja i l i y o p i t a , n y u m b a tatu za Wapalestina z i l i b o m o l e w a n a wanajeshi wa Israel kat ika ki j i j i kimoja

karibu na mji wa Jenin.Ofisi ya Uratibu wa

Misaada ya Kibinadamu ya Umoja wa Mataifa vile vile imetangaza kuwa kivuko cha Rafah, ambacho ni njia pekee inayotegemewa na raia wa Palestina wa Ukanda wa Ghaza ili kuwasiliana na ulimwengu wa nje, kilitaka pia kufungwa wakati fulani.

WAZIRI Mkuu wa Israeli, Benjamin Netanyahu.

CHINA imependekeza mpango wa kutatua mgogoro wa Palestina kulingana na mchakato wa mazungumzo ya mapatano ya Mashariki

China yajitosa kuipigania PalestinaYaja na mpango wa utatuzi

ya Kati. Gong Xiaosheng, mjumbe

maalumu wa serikali ya China alielekea Ramallah, makao ya Mamlaka ya Ndani ya Palestina na kufanya mazungumzo na Rais wa Mamlaka hiyo Mahmoud Abbas, pamoja na maafisa wengine kadhaa wa Palestina.

Baada ya mazungumzo yake na Abbas, Mjumbe huyo maalumu wa China alisema mpango uliobuniwa na serikali ya Beijing kwa ajili ya kutatua kadhia ya Palestina ni mpango wa kivitendo na umekuwa sehemu muhimu ya njia ya utatuzi ya kuleta amani katika Mashariki ya Kati.

Mpango huo wa China wa kuta tua kadhia ya Palestina una vipengele vinne, miongoni mwao ni kuundwa nchi huru ya Palestina kwenye mipaka ya mwaka 1967, mji mkuu wake ukiwa ni Baitul Muqaddas na kuendelezwa mazungumzo kati ya Israel na Palestina, ikiwa ndio njia pekee ya kufikia suluhu na amani.

Saeb Uraikat, kiongozi mwandamizi wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina alisema mara baada ya kufanya mazungumzo na mjumbe huyo maalumu wa serikali ya China, kwamba baada ya Palestina kutambuliwa kimataifa, kuna haja sasa ya kufanyika mkutano wa kimataifa utakaohudhuriwa na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa na wanachama wa kudumu wa Baraza la Usalama la Umoja huo, ili kuainisha ratiba ya wakati wa kuondoka vikosi vamizi vya Kizayuni katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu na utawala wa Israel.

Uraikat alisisitiza juu

ya ulazima wa kutatuliwa masuala yote ya Wapalestina, likiwemo suala la wakimbizi, kuachiwa huru mateka na kusimamishwa kikamilifu ujenzi wa vitongoji.

Ripoti zinaeleza kuwa juhudi za upatanishi za China kwa ajili ya kutatua mgogoro wa Palestina kupitia mpango wa suluhu wenye vipengele vinne, zimepokelewa vyama na duru za kisiasa na vyombo vya habari katika eneo la Mashariki ya Kati.

Itakumbukwa kuwa karibu miaka miwili nyuma Rais Xi Jinping wa China alikutana na kufanya mazungumzo na Rais wa Mamlaka ya Ndani ya Palest ina Mahmoud Abbas, juu ya mpango huo wa mapendekezo manne wa nchi yake, akisisitiza kwamba ndio utakaowezesha kuleta suluhu na amani katika Mashariki ya Kati.

Tangu wakati huo hadi sasa mpango huo umekuwa ndio ajenda kuu ya harakati za China kuhusiana na mgogoro wa Pa l e s t i n a . K u r e j e a kwenye mipaka ya mwaka 1967, kutambuliwa Baitul Muqaddas kuwa mji mkuu wa Palestina, kusimamishwa kikamilifu ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kizayuni na kutekelezwa kukamilifu mpango wa ardhi kwa amani pamoja na kuweko mashirikiano yenye uratibu baina ya pande mbili za Israel na Wapalestina kwa ajili ya kudumisha suluhu, amani na uthabiti wa kila upande, ndiyo mapendekezo manne yaliyotangazwa wakati huo na Rais wa China.

H a t a h i v y o m p a n g o huo wa China umeelezwa kuwa umepuuza haki ya wakimbizi wa Palestina kurejea kwenye ardhi zao za asili na ulazima wa kuachiwa huru Wapalestina wote wanaoshikiliwa kidhulma kwenye magereza ya utawala wa Kizayuni.

RAIS Uhuru Kenyatta wa Kenya na Makamu wake wa Rais Rutto.

Page 6: ANNUUR 1172.pdf

6 AN-NUURJAMAADIUL AKHER 1436, IJUMAA APRILI 10-16, 2015Makala

WANAWAKE waliwahi kushiriki katika vita v ya J i h a d i l a k i n i hawakuwa wakipigana vita na maadui.

Amesimulia Anas (RA) amesema alikuwa Mtume (SAW) akipigana na Ummusulaym na wanawake wa Kiansari pamoja nao, walikuwa w a k i w a n y w e s h a m a j i ( wa p i g a n a j i ) n a w a n a t i b u majeraha(SM1810) .

A m e s i m u l i a U m m u a t i y a ( R A) “Nimepigana pamoja na Mtume (SAW) vita mara saba nakaa katika kambi, nawatengenezea chakula na nawatibu w a l i o j e r u h i w a n a n a w a h u d u m i a wagonjwa”(SM1812).

Amesimulia Rubay Bint Muawidh (RA) “tulikuwa tunapigana p a m o j a n a M t u m e (SAW), tukinywesha w a t u m a j i n a k u w a h u d u m i a n a kuwarejesha majeruhi Madina (SB2883).

Katika hadithi zote za hapo juu wanawake wal ikuwa wakikaa k a t i k a k a m b i z a Mujahidina wakat i wapiganaji wako vitani, walikuwa wakitayarisha chakula na walikuwa wanatibu wagonjwa na kuwahudumia.

Kwa hadithi hiz i i n a r u h u s i w a k w a wanawake kuwatibu wanaume wakati wa dharura hasa wakati wa vita, ambavyo wanaume wote wanakuwa wako vitani, lakini ikiwa kuna daktari wa kiume, basi atapewa nafasi awatibu wanaume wenzake.

Ama kuhusu ulazima wa kupigana Jihadi, wanawake walimuuliza wenyewe Mtume (SAW) kuhusu wao kushiriki katika ibada hii kubwa yenye malipo makubwa, n a a l i t o a j a w a b u ifuatayo:

Amesimulia Aisha (RA) Mama wa Waumini tulimuomba ruhusa Mtume (SAW) kupigana

Kwenda kupigana Somalia ni UkafiriUkifa, ukisalimika, Motoni JahannamAcheni akinamama wasome, walee kizaziWasomali wanahitaji mchele, sio Risasi

Na Mussa Ame, Zanzibar

jihadi akasema jihadi yenu ni Hija (SB 2875 ameitoa Nisai 2628 na Ibn Majah 2901).

Amesimulia Aisha (RA) Mama wa Waumini kutoka kwa Mtume (SAW) walimuuliza wa n a wa k e k u h u s u k u p i g a n a j i h a d i akasema “Hija ni jihadi bora”(SB2876).

Hadithi hizo mbili zinatoa funzo kwamba kwa wanawake Jihadi si fardhi kwao kama i l i v y o k u w a k w a wanaume.

A n a s e m a I b n u Q u d a m a “ J i h a d i imewekewa masharti yake nayo ni saba, kwanza anayepigana awe Muislamu, mwenye akili, aliye baleghe, huru, mwanamme, mwenye uwezo wa kipando na aliyesalimika na ila kama ya ulemavu au maradhi (Mughny 8/347).

M a u l a m a a w a madhehebu manne na wengine wanakubliana kwamba kuwa kuwa

manamme ni sharti la kupigana jihadi, na jihadi si lazima kwa mwanamke.

Mama Aisha (RA) aliuliza jee jihadi ni lazima kwa mwanamke ? Akajibiwa ndiyo wao wamelazimishwa jihadi isiyo na mapigano Hija na Umra. Pia wanawake h a wa k u l a z i m i s h wa kupigana kutokana n a m a u m b i l e y a o yasiyohimili vita.

Vita vya wakati huu ni tofauti sana na vita alivyopigana Mtume (SAW) . Makafiri wa zamani walikuwa na nidhamu, na ilikuwa aibu kubwa kumpiga m wa n a m k e k a t i k a vita. Waliheshimu sana taratibu za vita. Ama wakat i huu ambao makafiri wakiwakuta wanawake Waislamu v i t a n i w a n a w e z a kuwaua, kuwatesa na kuwabaka. Katika hali hii Mulamaa wa sasa wanakataza kab isa wanawake kushiriki

katika jihadi hata kama hawapigani , kwani wanaweza kudhuriwa. Vita vya wakati huu ni vita vya kurembea makombora kwa mbali k u a n g a m i z a w a t u kwa halaiki kuvunja majumba. Ni dhahir kwamba wanawake hawawezi kushiriki zahma kama hii. Na p i a k u n a u s h a h i d i wa kutosha kwamba wanawake wa Kiislamu huuliwa kwenye vita na kunajisiwa.

I k i w a n c h i y a Kiislamu imevamiwa na makafiri, na wanawaua wanawake na watoto bila kujali, hapo wanawake wakati hou wanaweza k u c h u k u a s i l a h a na kujihami. Lakini wawe ni wanawake wa mle ndani ya nchi i l iyovamiwa ki jeshi na makafiri . Imam Malik anasema ikiwa nchi imevamiwa na makafiri itawajibika kwa wanaume na wanawake kupigana sharhi saghyr

2/274 Angalia www.islaqa.com katika fatwa 45618: The ruling on jihad for women.

Somalia kwa wakati huu hakuna j ihadi , kuna vita vya wenyewe kwa wenyewe, yaani Waislamu wanapigana na Waislamu wenyewe. Katika hali kama hii, basi tumsikilize Allah (SW) nini tufanye.

“Na ikiwa makundi mawili katika Waislamu y a n a p i g a n a , b a s i fanyeni suluhu baina yao, na ikiwa moja ya hayo linamdhulumu mwenziwe, basi lipigeni lile linaloonea mpaka lirudi katika amri ya Allah(SW). Na kama likirudi, basi patanisheni baina yao kwa uadilifu, n a h u k u m u n i k wa hak i . Hakika Alah ( S W ) h u w a p e n d a wanaohukumu kwa haki”(Hujurati:9).

M t u m e ( S A W ) ameonya kwa Waislamu kuuana ovyo kupigana na kufanyiana uadui kwa kiasi kwamba suala hilo limetajwa kuwa ni ukafiri.

Amesimulia Barai bn Azib (RA) amesema , amesema Mtume (SAW) ”Kutoweka dunia, ni jambo jepesi mbele ya Allah (SW) kuliko k u m u u a M u u m i n bila ya haki.” (Bayhaq SahihiTarghyb 2437)

K a t i k a r i w a y a nyengine ya Bayhaq “ l a i t a n i w a t u w a mbinguni na ardhini wangeshirikiana katika kumwaga damu ya Muumin (mmoja tu) angewatia Allah (SW) motoni wote. (Bayhaq).

A m e s i m u l i a I b n Masuud (R.A) amesema, nimemsikia Mtume (SAW) akisema ”Atakuja aliyeuliwa kinaning’inia kichwa chake katika mkono wake mmoja, kinachururika damu na amemshika aliyemuua m k o n o m we n g i n e , mpaka a tampeleka katika Arshi atasema aliyeuliwa kwa Mola wa Ulimwengu, huyu ameniua, atasema Allah

Inaendelea Uk. 7

WANAWAKE Somalia.

Page 7: ANNUUR 1172.pdf

7 AN-NUURJAMAADIUL AKHER 1436, IJUMAA APRILI 10-16, 2015Makala

Kwenda kupigana Somalia ni UkafiriInatoka Uk. 6( S W ) k u m w a m b i a muuaji, kata tama na atamtia motoni” (Tibrany ST2447).

Kutoka kwa Ubadah bn Samit (RA) kutoka kwa Mtume (SAW) amesema “Atakayemuua Muumin kwa dhulma na akafurahia k u m u u a k w a k e , hatomkubalia Allah (SW) ibada zake za fardhi wala za sunna”. (Amepokea Abuu Dawood ST 2449).

A m e s i m u l i a A b i i Bakri (RA) amesema, amesema Mtume (SAW) “ Wa t a k a p o e l e k e a n a W a i s l a m u k w a upanga (silaha yoyote) anayeua na anayeuliwa motoni.”(SB7083 SM2777).

N a k a t i k a r i wa ya nyengine ya Musl im “Atakapokamata silaha Muislamu mmoja dhidi ya mwenzake, wote wako katika ukingo wa shimo la moto, (wakapigana) na atakapomuua mmoja mwenziwe wataingia wote (motoni),” pakasemwa ewe Mjumbe wa Allah (SW) huyu mmoja ni muuaji, a l i ye u l i wa a n a k o s a gani? Akasema alikuwa naye anataka kumuua mwenziwe. (Muslim).

Amesimlia Ibn Umar (RA) amesema, alimsikia Mtume (SAW) akisema “Msijerejee baada yangu katika ukafiri, baadhi yenu mnakata shingo za baadhi. (SB 7077 SM64).

Huu si ukafiri wa imani, bali kuua ni vitendo vya kikafiri.

K u t o k a k w a A b i Bakar(RA) nimemsikia Mtume (SAW) akisema ”Atakayemuua dhimmi hatopata hata harufu ya pepo, na harufu yake itaenea mwendo wa miaka sabiini”

(Amepokea Ibn Hibaan na akaisahihisha), na katika riwaya ya Abuu Daud na Nisai “Atakayemuua m u a h a d a b i l a h a k i ataharamishiwa na Allah (SW) Pepo. (Abuu Daud)

Dhimmi na muahada ni makafiri wanaoishi chini ya ulinzi wa Dola ya Kiislamu. Kuwaua hao ni kosa kubwa, jee kumuua M u i s l a m u a l i y e t o a S h a h a d a ? A k a m k i r i

Mungu Mmoja na kumkiri Muhammad Rasulullah!

Mambo yanayofanyika S o m a l i h i v i s a s a yanahuzunisha na kwa anayefuati l ia , lazima a t o k we n a m a c h o z i . W a t o t o w a d o g o wanakufa kwa njaa na utapia mlo. Wasomali leo wamekuwa wakimbizi wakidhalilishwa katika makambi ya wakimbizi. Wanawake wa Kiislamu wa Kisomali wananajisiwa. Wamekuwa ombaomba. Wanakashifika, hawana muda wa kusoma wala hawana raha yoyote.

J ee , s i s i Wais lamu tumeona kuwa jambo la kuwasaidia ni kutafuta vijana wakazidishe vita? E t i tunawadanganya kuwa “nendeni Somalia mkapigane Jihadi, tuna akili kweli sisi?

Na wanaofanya hayo, w e n g i n e wa m e s o m a wanaitwa Mashekhe na Ma-Hajat, Maustadhati!.

Tu m e n u k u u h a p o juu hadi th i kwamba wanapopigana Waislamu, wote motoni. Kwa hivyo, anayekwenda Somali kwa sasa anakwenda kununua moto wa Jahannamu, k w a n i a t a k w e n d a kupigana aidha na jeshi la Serikali ya Somalia

ambao wote ni Waislamu, au atawaua Waislamu wenzake, au atauliwa yeye na Waislamu wenzake.

Hivi sasa Al shabaab hawapigani na Makafiri ila wanapigana na Wasomali wenzao. Lakini jambo la pili kubwa zaidi ni kwamba, makafiri wanatumia suala la Al shabaab kuhujumu Uislamu na Waislamu. Yaan i uk ikutwa una uhusiano na Al shabaab, b a s i u t a k a m a t wa n a kufungwa, na watatafuta Madrasa ulizosoma na zitafungwa. Njama hizo zitatumika baadaye kuua M a s h e k h e , k u f u n g a darsa za dini na kupiga marufuku harakati zozote za dini ya Kiislamu.

K w a h i v y o , u k i j i s h u u l i s h a n a masuala hayo unachangia mwenyewe kupiga vita dini yako. Lakini pia ujiulize, jee inakuwaje k u n a m i t a n d a o y a kijamii kwenye facebook inahimiza Jihadi halafu wewe unajiunga na watu usiowajua. Unajuaje kama hao unaozungumza nao ni askari na wameweka mitego yao humo kwenye m i t a n d a o ? U n a j u a mitandao hiyo ni ya akina nani?

Hoja kuu ya uharamu wa k we n d a S o m a l i a

kupigana iko ka t ika hadithi ya Mtume (SAW) amesema, “Msijidhuru wala msidhuru wengine” (Mj 2340).

Bila shaka kushiriki katika vita vya Somalia k u t a k u l e t e a w e w e madhara na Waislamu wenzako pia watadhurika, kwa hivyo wale madalali wa k u p e l e k a v i j a n a Somalia waache biashara hiyo mbaya. Ambapo huwa hawajali mpaka wanawake p i a wa n a wa c h u u z a . Wanajali mapato ya dunia, bila kuangalia mustakbali wa Akhera.

Na vijana na nyinyi msihadaiwe bure. Hakuna jihadi Somalia wala Yemen. Wala Syria. Vyote hivyo ni vita vya wenyewe kwa wenyewe na ni haramu Muislamu kumwaga damu ya Muislamu mwenziwe.

A c h e n i k u t u m i a mitandao ya makafiri eti kwa kutangaza jihadi. Hao mnaoutumia mitandao yao wanahifadhi kila maandishi yenu. Hiyo si mitandao ya Kiislamu na jihadi haifundiswi katika mitandao.

I t a k u wa j e u n a t a k a kupambana na adui , u n a t u m i a m t a n d a o wake kupanga mipango ya mapambano. Hii ni

kichekesho.Wale waliojiunga na

mitandao ya Al shabaab, waachane nayo.

Ubaya wa mambo ni kuwa hivi sasa maadui wanatufanyia mchezo waliokuwa wakiwafanyia Iraq na Iran walipokuwa wa k i p i g a n a . Wa k a t i m a b e b e r u w a n a i p a silaha serikali ya Somalia pamoja na AMISOM wanaopambana na Al-Shabaab, s i laha hizo hizo za mabeberu ndio wanatumia Al-Shabaab.

Wapo makamanda wa jeshi la Uganda waliokuwa Somalia, ambao hivi sasa wana kesi wakituhumiwa kuwauzia Al-Shabaab silaha za AMISOM. Lakini soma pia taarifa ya Umoja wa Mataifa inavyoonyesha k u w a A l S h a b a a b wasingeweza kuendelea kupigana kama si kwa kupata silaha zilezile wanazopewa AMISOM. Imekuwa Wasomali na Wais lamu wanapewa s i l a h a w a m a l i z a n e wenyewe kwa wenyewe. Soma: Does US, UN and AMISOM Supply Al-Shabaa?

(Makala imeandikwa na Mussa Ame Mussa 0773 834 795 Zanzibar)

WANAWAKE Somalia wakiwa katika foleni ya msaada wa chakula.

Page 8: ANNUUR 1172.pdf

8 AN-NUURJAMAADIUL AKHER 1436, IJUMAA APRILI 10-16, 2015Tahariri/Maoni

Tuna hiyari kujinusuru au tuzidi kuzama zaidi

Inatoka Uk. 4k e s i ya m t u h u m i wa kukamatishwa ‘bangi’, inaonekana wazi kuwa ni ugaidi wa kupanga, mahakama itataka ushahidi wa wazi. Tukio linatokea Westgate au Garissa, watu wanashambulia wanaondoka, baadae unasema Al Shabaab w a l i d a i k u h u s i k a . Unakamata vijana huko Mandera au Mombasa na Lamu, unasema hawa wa l i h u s i k a k u p a n g a shambulio la Garissa, bila shaka Mahakama itakutaka ulete ushahidi.

Kuepuka kutakiwa kuleta ushahidi, sasa vikosi vya kupambana na ugaidi vinafundishwa kile alichosema kachero wa Kenya “Elimination Programme.”

Mambo ya kuweka sawa hapa. Vita ya ugaidi, imetokea Magharibi kwa mabeberu, sio yetu. Wao ndio waliotutangazia kuwa Al Shabaab ni magaidi. Sasa wao ndio wanaotuundia vikosi na kuvipa mafunzo ya kupambana na magaidi. Wao ndio wanaotuambia tuwauwe Sheikh Makaburi kwa sababu ana uhusiano na Al Shabaab. Wao ndio wanaotupa tahadhari kuwa Westgate itashambuliwa. Hawatusaidii kuzuiya tusipigwe. Tukishapigwa, kupitia BBC na CNN zao, wanakuwa wa kwanza

k u t u a m b i a k u wa A l Shabaab wametangaza katika mtandao wao wa Twitta kuwa wanahusika. Kisha wanakuwa wa

mwanzo kuja na kuingia We s t g a t e k u t u sa i d i a kupambana na magaidi hao.

Lakini kama ilivyokuwa

W e s t g a t e N a i r o b i , kuwahi kwao kuwa wa mwanzo kuingia maduka ya Nakumati, hakukuwa na msaada

w o w o t e k u p e l e k e a magaidi kukamatwa. Kama tulivyoambiwa, m a g a i d i w a l i u w a wakaondoka wenyewe. Wakati wakiondoka, hao hao washirika wetu, wasamaria wema na wafadhili wetu katika k u p a m b a n a n a A l Shabaab, wakatuacha na porojo za Samantha Louise Lewthwai te (White Widow).

Sasa labda tujiulize, mafunzo na mikakati h i i wanayotupa ya kutesa na kuuwa watu wetu wenyewe kwa kuwatuhumu kuwa ni washirika wa Al Shabaab, kumetusaidia nini kumaliza ugaidi? Mbona ndio kwanza wanapiga Garissa na kuuwa wanafunzi? Mbona ndio kwanza wanateka mabasi na kuuwa ab i r ia ku le M a n d e r a ? M b o n a ndio kwanza watu hao hao wanatusambazia kitisho kuwa tutapigwa Kampala, Dar es Salaam na Mwanza?

Maadhal i Mungu katupa akili, tuna hiyari, kuendelea kujizamisha kat ika tope hi l i au kufikir ia namna ya kujinasua.

Mtizamo wa Uislamu juu ya historia kwa ujumla unatofautiana sana na ule wa makafiri. Ambapo makafiri wanadai kuwa hapana Muumba wa Ulimwengu na vyote vilivyomo kwa ujumla. Uislamu unauhusisha Ulimwengu na vyote v i l i v y o m o a k i w e m o m w a n a a d a m u , n a M u u m b a m m o j a t u Mwenye Hekima na Ujuzi usio na kikomo, ambaye ameumba kila kitu kwa

HijrahNa Abu saumu, Kombo Hassani kidumbu.

HISTORIA (Tareikh) kama somo ina sehemu kubwa sana ya kuchangia katika maendeleo ya mwanadamu. Ni kutokana na historia binaadamu wa leo hufahamu vipi watu waliotangulia walifanikiwa au walifeli katika maisha yao. Na hivyo kujifunza juu ya namna ya kuyakabili mazingira yake. Hata hivyo, fundisho lolote lipatikanalo kutokana na historia, linategemeana sana na mtizamo wa muhusika juu ya historia. Ipo mitazamo mikuu miwili: Mtizamo wa Kiislamu na Mtizamo wa Kikafiri. Na katika kazi hii nimeonyesha dalili na hoja

lengo maalumu.Mwenyewe Muumba

Allah (s.w), anabainisha lengo la kumbwa mbingu n a a r d h i n a v y o t e vil ivyomo katika aya zifuatazo:

“ Ye ye n d i ye a l i ye k u u m b i e n i v y o t e vilivyomo katika ardhi. Tena akazielekea mbingu, na akazifanya mbingu saba. Naye ndiye Mjuzi wa kila kitu” (A Baqara 2:29)

“ N a h a k i k a tumekuwekeni katika

ardhi, na tumekujaalieni humo njia za kupatia maisha. Ni kuchache kushukuru kwenu.” (Al A’araaf 7;10).

K u t o k a n a n a a y a hizi, tunajifunza kuwa m a u m b i l e y o t e y a ardhini na mbinguni (angani) yaliyomzunguka m w a n a a d a m u , a n a y o y a o n a n a asiyoyaona, yote yako pale kwa ajili ya kumtumikia na kuboresha maisha yake. Ili kufikia lengo hili, Allah (s.w) amevitiisha vitu hivi kwa mwanaadamu kwa kuviwekea sheria madhubuti za kimaumbile (Natural Laws).

A m e s e m a A l l a h ( S u b h a a n a h u w a Ta’ala): “Na amefanya vikutumikieni vilivyomo mbinguni na vilivyomo k a t i k a a r d h i , v y o t e vimetoka kwake. Hakika katika hayo zimo Ishara kwa watu wanao fikiri” (Al Jaathiya 45:13).

Kisha, mwanaadamu akatunukiwa akili na vipawa vya fahamu na elimu ya kumuwezesha

kuyatumikisha maumbile kwa ajili ya kuboresha maisha yake. Sayansi na teknoloia ni katika j i t i h a d a z a h a r a k a t i z a m wa n a a d a m u z a kuyatumikisha maumbile na nguvu asili kwa ajili ya kuboresha maisha yake.

K a m a v i t u v y o t e v i m e u m b w a k w a lengo la kumtumikia m w a n a a d a m u , j e , mwanaadamu ameumbwa kumtumikia nani? Je, lengo la maisha ni kujipatia tu mahitaji muhimu ya maisha – chakula, nguo na makazi? Mbona wanyama n a o wa n a j i t o s h e l e z a k w a m a h i t a j i h a y o hayo pamoja na kuwa hawakutunukiwa kipawa cha elimu (kujielemisha) kama mwanaadamu? Je, ni busara kukubaliana na makafiri kuwa lengo la maisha ya mwanadamu ni lile la kutosheleza tu matashi yake ya kinyama? H i i n i d h a n a t u ya makafiri kama Allah(s.w) anavyotutanabahisha:

A m e s e m a A l l a h (Subhaanahu wa Ta’ala):

“ N a h a t u k u z i u m b a mbingu na ardhi na viliomo ndani yao bure. Hiyo ni dhana ya walio kufuru. Ole wao walio kufuru kwa Moto utao wapata. (Saad 38:27).

Bila shaka kwa wale wenye akili na busara, wana yakini kuwa mwanaadamu hakuumbwa tu bure na kuletwa hapa duniani b i l a ya l e n g o l o l o t e analotarajiwa na muumba wake alifikie. Bila shaka mwanaadamu atakuwa na lengo la juu zaidi kuliko viumbe wengine, hasa kutokana na vipawa v y a a k i l i n a e l i m u alivyotunukiwa kuliko viumbe wengine.

Lengo la kuumbwa m w a n a a d a m u amelibainisha Muumba mwenyewe: Amesema Allah (Subhaanahu wa Ta’ala): “Sikuwaumba m a j i n i n a w a t u i l a waniabudu Mimi: (Adh dhariyaat 51:56).

Maana ya Ibada ni kumtumikia Allah (s.w) katika maisha yetu yote.

Inaendelea Uk. 13

TUKIO la shambulio la Garissa, Kenya.

Page 9: ANNUUR 1172.pdf

9 AN-NUURJAMAADIUL AKHER 1436, IJUMAA APRILI 10-16, 2015Makala

Inaendelea Uk. 13

HABARI kubwa katika vyombo vya habari vya Marekani na vile vya kimataifa, mwanzoni mwa mwezi huu, ilikuwa juu ya waliodaiwa kuwa wala njama wa ISIS kutaka kufanya shambulio la kigaidi (“ISIS-Inspired” Plotters) New York. Katika habari hiyo ilidaiwa kuwa wanawake wawili Noelle Velentzas (28) na Asia Siddiqui (31), walikuwa wamekula njama za k u f a n ya s h a m b u l i o la k igaidi ndani ya Marekani , wakipata hamasa na msukumo kutoka IS.

“The defendants ‘plotted to wreak terror by creating explosive devices’ for use in New York City and sought “bomb-making instructions and materials” for an attack”.

Ndivyo i l ivyosema W i z a r a y a S h e r i a (Department of Justice) Aprili 2, 2015 ikieleza kukamatwa kwa akina m a m a h a o w a w i l i , k w a m b a w a l i p a n g a kufanya shambulio la kigaidi kwa kutumia silaha za maangamizi na walikuwa na vitabu vya kujifunzia namna ya kutengeneza mabomu. Kama kawaida vyombo vya habari vilikuwa na karamu kubwa wiki hiyo.

“Terror cases allege women wanted to fight in jihad”, “2 women arrested in NYC terrorism case; officials say they were planning to build bomb”. Ilikuwa baadhi ya vichwa vya habari.

Hata hivyo, ushahidi u n a o t o l e w a s a s a unabainisha kuwa sio Ve lentzas wala As ia S i d d i q u i , a l i o k u w a amepanga kulipua shabaha yoyote ile wala kuwa na mpango wa kujifunza kutengeneza bomu, au kuwa na uhusiano wa namna yoyote na ISIS.

K i l i c h o t o k e a n i k u w a w a w i l i h a o walipandikiziwa kachero mwanamke mwenzao bila kujijua, akawa anawaingiza katika maongezi ambapo maneno kama Jihad, IS yalikuwa yakijitokeza na yeye akitaka kupata maoni yao juu ya mambo mbalimbali.

Ilikuwa ni kachero huyo aliyeleta mpaka hicho kinachodaiwa kuwa ni maandiko ya kujifunzia

Tuwashauri akina mama hawa:

Wafanye haraka kununua AK-47 wawahi Somalia, Syria

Isije kuwa yale ya Noelle na Asia SiddiquiKwa upole tuwaambie Darsa zetu haziwafaiKama kazi ilishaanza Amboni wanasubiri nini?

Mchoro ukimuonyesha mtuhumiwa Noelle Velentzas, (asiye na hijab) akiwa na Asia Siddiqui. Pamoja nao ni mawakili wao wakiwa mahakamani, Alhamisi, Aprili 2, 2015, New York.

Na Omar Msangi

kutengeneza mabomu, lakini mara kwa mara akina mama hao wakibaki tu kushangaa na kumhoji ‘mwalimu’ na mujahidati mwenzao huyo, yote hayo anaongea ya nini? Kachero huyo akionyesha kukerwa na wapuuza Jihad na kuchelewesha mipango ya kuwabamiza makafiri.

Kila hatua waliyokuwa wakienda , ak i rekodi bila Noelle Velentzas na Asia Siddiqui kujua kilichokuwa kikiendelea. Kachero huyo alipopata kitu cha kuwakamatisha, akatoweka. Asia na rafiki yake Noelle Velentzas, w a k a t i w a m b a r o n i . ( Ta z a m a : I n f o r m a n t Provided Bomb-Making Manual to Alleged “ISIS-Inspired” Plotters.)

Hivi sasa lipo wimbi kubwa la kuhubiri ‘Jihad’ na ukihoji wimbi hili linatoka wapi, unaonekana kama mnafiki na kafiri mpinga J ihad. Inakuwa kama ilipokuwa umepamba moto msuguano kati ya washabiki wa Maulid na Ansaar Sunna. Sheikh atasimama anakusomea Aya, “Inallaha wamalaaika tahuyu swalun ala n nabii…”, mpaka mwisho wa aya. Halafu anakupa h o j a y a u k a f i r i w a Ansaar kuwa wanapinga kumswalia Mtume wakati ni amri ya Mungu. Lakini ukweli ni kuwa hapakuwa na Ansaar al iyekuwa akipinga Aya hiyo au kumswalia Mtume kwa ujumla. Hoja ilikuwa juu ya namna ya kumswalia

Mtume.Sasa, wakati hoja ni ‘Jihad

Feki’ inayochochewa, k u o n g o z w a n a kusimamiwa na mabeberu kama ile ya Afghanistan, Libya, na sasa Syria, u k i w a t a h a d h a r i s h a W a i s l a m u w a s i j e kutumbukia katika mtego wa kutumika kama ‘foot soldiers’ wa kupigana vita ya mabeberu (proxy war), mawakala wa mabeberu hao, wanaibuka na hoja kuwa unapinga Jihad.

Lakini mtu unatizama hali za Waislamu, umakini wao katika swala, zaka na sadaka, uadilifu katika biashara, familia zao, unajiuliza, huu mori wa j ihad umetoka wapi? M b o n a h a u wa k i l i s h i k i w a n g o c h a i m a n ,

uchamungu na uadilifu wa wanaolipigia debe jambo hili?

Kule Mwanza nasikia w a p o a k i n a m a m a ambao ikizungumzwa tu tahadhari hii, wanakuja juu. Huwa wakali na k u wa b e z a wa n a o t o a tahadhari hii kuwa ni waoga wanaohofia na kujali ajira zao na wake zao. Lilipotokea lile tukio la majambazi Amboni, Tanga, nasikia wakasema “kazi ya Jihad ishaanza Tanga”, kama namna ya kuwakebehi wanaotoa tahadhari.

Ukifuatilia kisa cha Asia Siddique na jinsi alivyokuwa akifuatiliwa n a m w a n a m a m a mwenzake akijidai mtu wa Jihad, hadi kumkamatisha, inafikia mahali inabidi watoa tahadhari waongeze kuwa umefikia wakati kuwa macho hata na hawa wenzetu ambao kila tukikutana nao katika vikao na darsa zetu, agenda yao ni kuhimiza ‘Jihad’ ya Amboni.

U k i s o m a k i s a c h a Asia Siddique na Noelle Velentzas, watu hawa h u a n z a m b a l i s a n a . N a h a wa n a h a r a k a . Walimfuatilia Asia kwa zaidi ya miaka miwili wakimpandikizia maneno n a k u m h a m a s i s h a kununua au kuwa na vitu ambavyo wenyewe baadae wanavitaja kama ushahidi.

Mtakuwa nao katika d a r s a w a n a k u j a n a simulizi za Waislamu wanavyoul iwa Syria , Somalia na kwingineko duniani, ukitoa kauli ya kulani makafiri na kutaka iwepo Jihad ya kuwapiga, wanarekodi wanaweka. Wataendelea na mada na mazungumzo ya mrengo huo mpaka watosheke kwamba sasa wametimiza kazi waliyotumwa ya kukubambikizia ugaidi.

Ukitizama katika kesi nyingi za Marekani, katika hizi ‘Sting Operation’ zao, wamekuwa wakiwatumia raia wao wenye asi l i ya Kiarabu wanaojua Kiarabu, Aya na Hadithi. Wanakupa maelezo na kukutolea Fat’wah juu ya mas’ala mbalimbali. Unakuwa huna wasiwasi. Upo na A’lim, A’lima, Sheikh au Ustadha na Hajat. Wanatumia pesa nyingi wenyewe wakidai

Page 10: ANNUUR 1172.pdf

10 AN-NUURJAMAADIUL AKHER 1436, IJUMAA APRILI 10-16, 2015Makala

Inaendelea Uk. 11

WIKI iliyopita Star TV katika kipindi chake cha asubuhi, Tuongee Asubuhi: Jicho Letu Ndani ya Habari, walialikwa vijana wawili kutoka Chuo Kikuu, SAUT, mada ya mjadala ikiwa Jinsi vyombo vya habari nchini vilivyoripoti tukio la kigaidi lililotokea Garissa nchini Kenya. Kilichosababisha mada hiyo kuonekana muhimu kujadi l iwa ni kuwa ilionekana kuwa jambo hilo halikupewa uzito mkubwa inavyostahiki kulingana na uzito wa tukio lenyewe. Badala yake ni vyombo vya nje, iki tajwa BBC, CNN, Aljazeera, ndio vilifanya kazi kubwa kuwaarifu watu juu ya kulichotokea. Hoja ikawa kwanini v y o m b o v ya h a b a r i havikulipa uzito jambo hilo na badala yake vyombo vya nje, ambavyo vipo mbali na tukio lenyewe ndio vikalishikia bango.

Vijana walioal ikwa Juma Mudini na Humphre Mgonja, kwa kutumia nadharia ya taaluma zao, kwa hakika waliutendea haki mjadala. Ukizingatia kuwa tukio lilikuwa kubwa, watu wengi waliuliwa inasemwa takriban 150, pili ukizingatia ukaribu, Kenya ni jirani zetu na tatu kwa kuzingatia kuwa ilishatolewa tahadhari kuwa magaidi wangepiga K e n y a , U g a n d a n a Tanzania (Dar es Salaam, Mwanza), vijana walijenga hoja kuwa hiyo ilikuwa habari ya kupewa uzito mkubwa kabisa. Sahihi.

Wakaongeza kusema kuwa vyombo vyetu vya habari vinakosa kujijengea kuaminika kwa jamii na hata umaarufu kwa makosa kama haya. Na kinyume chake CNN, BBC, wamejijengea kuaminika, kutegemewa na umaarufu k w a k a z i k a m a h i i waliyofanya katika tukio la kigaidi Garissa.

Nilishawahi kusoma daladala moja imeandikwa, “Akikua ataacha.” Kama nilivyotangulia kusema, kinadharia ya taaluma zao vijana walionekana kuitendea haki mada. Lakini suala hili ni mada tata, ni dhana ngumu,

‘Escrow, EPA’ za kukoroga akili mbaya kuliko ufisadi wa pesa

Fundisho kutoka ‘ugaidi Garissa’, KenyaVijana Mwanza wamesema kweli lakini…Huenda wakikua, watayajua, wataacha

Na Omar Msangi

huwezi kuielewa kwa maswali na majibu mepesi. Si suala la kulifanyia tathmini na kulitolea maelezo katika sura yake ya wazi au ya nje.

Kwa tathmini ya haraka haraka tu ukiwatizama v i j a n a wa l i v y o k u wa wakitamba na kushusha hoja baada ya hoja, unajua kuwa kuna tatizo kubwa sana. Kwa hakika ni msiba. Tumekuwa kama akili zetu zimeshikiliwa na mtu zinakokotwa na kupelekwa kokote anakotaka huyo aliyetufisidi akili, fahamu n a u t a m b u z i w e t u . Tunafikiri na kujenga hoja kama anavyotaka a l i ye t u s h i k i l i a a k i l i z e t u . M a s w a l i y a m s i n g i h a t u j i u l i z i , wala kuhoji lililo nje ya mduara tulikokwisha d u m b u k i z w a . N d i o hapa nasema, ule ufisadi wa EPA, ESCROW na mengine kama hayo, lakini unaohusu pesa, ni jambo dogo kabisa. Ufisadi mbaya ni wa kukorogwa

akil i , ukapumbazika. Pesa zikiibwa, utatafuta n y i n g i n e . L a k i n i ukishakorogwa akili, ni kama alivyojisemea Rais Mstaafu Mzee wa Masasi Benjamin William Mkapa, heri umasikini wa mfukoni kuliko wa kichwani.

Akitokea leo mtu X akasema, Makusanya ametishia kuwa atachoma nyumba ya Issa Guse na kuuwa watoto wake wote, habari ikasambaa kwa watu. Habari kama hii inabeba ‘uwezo fulani’ wa kuharibu akili za watu. Ikitokea nyumba ya Issa Guse ikachomwa, watu wanakimbilia kumshuku Makusanya, iwe ni kweli alisema au la.

Katika hali ya kawaida na ili taarifa ya ki-intelijensia kama hiyo iwe na faida, namna ya kuifanyia kazi ni kumtafuta X aliyetoa taarifa hiyo kabla hata ya tukio, ili aeleze vizuri na kupata uhakika kama ni kweli Makusanya katoa k i t i sho h icho . Kama

ushahidi upo, basi na huyo Makusanya apatikane ajieleze. Kwa namna hiyo, unaweza kuzuiya tukio la uhalifu na kunusuru maisha ya watu.

L a k i n i m n a s u b i r i , n y u m b a i n a c h o m wa moto, watu wal iomo ndani wanakufa. Mnaanza kumsaka na kumtangazia ‘wanted’ Makusanya. X aliyetoa taarifa za awali mnamuacha pembeni, sana mnamsifia kuwa alisema na mapema. Kwa mwendo huu, nyumba za akina Issa Guse zitaendelea kuchomwa kila uchao na akina X wataendelea k u d u n d a n a t a a r i f a zao za ki-inteli jensia, h u k u wa k i s i f i wa n a vyombo vyao vya habari (propaganda) kuwa wapo makini na wanaaminika. Hali mbaya itakuwa kwa kila atakayefananishwa na Makusanya, maana katika mchezo huu, Makusanya a n a k u w a ‘ m z u k a ’ , hakamatiki.

Shambulio la kigaidi

Garissa, lilitanguliwa na taarifa za ki-intelijensia kutoka nchi za Magharibi kuwa Kenya, Tanzania na Uganda, zitashambuliwa n a m a g a i d i w a A l -Shabaab/IS. Balozi za nchi hizo zilisambaza taarifa zikisema zimepata habari za uhakika kuwa Kampala, itapigwa hivi karibuni. V y o m b o v ya h a b a r i vya nchi hizo vikatoa tahadhari kuwa tukae macho maana IS watapiga Dar es Salaam, Mwanza na Garissa (Kenya).

Mchezo ukawa ule ule, tunasubiri ‘Makusanya’ achome nyumba badala ya kumuuliza X mtoa tahadhari atueleze vizuri. Taarifa hizi kazipata wapi na atueleze kwa kina na kwa kituo, huyu ‘Makusanya’ ni nani na yeye wanajuana vipi? Mbona kila wakati huyu X anakuwa wakwanza kujua kuwa Makusanya atatupiga? Mbona huyu ‘Makusanya’ hampi taarifa hizi za kutupiga Mchina, Cuba au japo Urusi? Hatukujiuliza maswali hayo, wala si kawaida yetu kujiuliza baada ya ufisadi mkubwa ul iofanyiwa akili zetu. Walichofanya Garissa, ni uongozi wa Chuo Kubandika tangazo la tahadhari katika mbao za matangazo kuwa watu wawe makini. Unakuwa makini vipi dhidi ya ‘Bogey man’ na ‘Monster’?

Kuna watu wanacheza kamari katika mpira hasa katika Kombe la Dunia (World Cup) au katika ngumi kama z i l e za akina Mike Tyson. Nchi Y ikishinda nakupa Dola milioni 10, ikishindwa unanipa Dola milioni 10. Pesa zinatolewa kabisa zinakabidhiwa mahali. Wa n a o c h e z a k a m a r i kama hizi, wakishatoa Dola milioni 10, huwa h a wa s u b i r i k i p e n g a cha mwisho ndio wajue wamekula au wameliwa. Dola milioni 10 ni pesa nyingi. Atafuatwa refa, m l i n d a m l a n g o n a mlolongo wa mambo kama hayo kuhakikisha kuwa pesa haipotei.

Hiyo ni kamari ndogo sana ya Dola milioni 10. Sasa sikwambii mikakati kama hi i ya kidunia katika huu utandawazi na udhibiti wa dunia

WASOMALI wakimbizi nchini Kenya.

Page 11: ANNUUR 1172.pdf

11 AN-NUURJAMAADIUL AKHER 1436, IJUMAA APRILI 10-16, 201511 AN-NUURMakala

Inatoka Uk. 10 ‘Escrow, EPA’ za kukoroga akili mbaya kuliko ufisadi wa pesa

kijiografia na rasilimali zake (hegemony) ambapo inaonekana kwa hivi sasa ‘Vita dhidi ya Ugaidi’ umekuwa ni mtaji mkubwa wa mabeberu kuingia popote wanapotaka na kudhibiti mambo.

BBC, CNN, Dailymail walivyoripoti Garissa

Kama ilivyotangulia kusemwa, i l ikuwa ni vyombo vya habari vya Magharibi vi l ivyotoa h a b a r i k u wa A f r i k a Mashariki itapigwa na Al-Shabaab/IS. Garissa imepigwa. Sasa tutizame, ni vipi waliripoti tukio hilo.

“Terror i s t s ‘ b ehead ’ Christian students in worst attack in country in 17 years. Gunmen stormed Kenya's Garissa University College campus in dawn raid. The death toll has risen to 147, country's disaster response agency said. Al-Shabaab claimed responsibility for the latest terrorist atrocity in Kenya. Some Christians were beheaded and four terrorists have been killed. Terrorists strapped themselves with explosives and exploded when shot.”

Ndivyo walivyoripoti D a r r e n B o yl e J e n n y Stanton wa gazeti la Daily Mail la Uingereza. Ufupi wa maneno wakisema kuwa pamoja na kuuliwa watu 147, lakini kulikuwa na visa vya kuchinjwa wanafunzi Wakr is to . Wakifafanua kuwa Al Shabaab walipovamia, w a l i f a n y a z o e z i l a kuwatambua Wakristo na kishwa kuwachinja.

“Slaughter began as students prayed”, kiliripoti chombo kingine cha habari kikidai kuwa Al-Shabaab waliwavamia wanafunzi W a k r i s t o w a k i w a katika MISA na kuanza kuwachinja.

“They burst into a room w h e r e C h r i s t i a n s h a d gathered and took hostages, …the terrorists sprayed bullets indiscriminately. Then they proceeded to the hostels, shooting anybody they came across — except their fellows, the Muslims.”

H i v y o n d i v y o ilivyoripoti CNN ambayo ilisifiwa na vijana wetu wa SAUT. AP, AFP na

abc news nao waliripoti hivyo hivyo wakisisitiza kuwa magaidi walikuwa w a k i w a t e n g a n i s h a Wakristo na Waislamu na kisha kuwauwa Wakristo.

Mtu unajiuliza, msisitizo huu kuwa ‘Wakr is to wanachinjwa’ wa nini? Je, ni kweli kuna wanafunzi Wakristo walichinjwa? Kama inadaiwa kuwa Al Shabaab wanaipiga Kenya kwa sababu imepeleka jeshi Somalia, je, lile jeshi la Kenya lililopo Somalia, ni la Wakristo watupu? Je, na kule Somalia, Al Shabaab wakikutana na askari wa Kenya, wanawauliza kwanza wanaojua kusoma Q u r ’a n i l i wa wa j u e Wakristo? Je, askari wa Kenya Muislamu aliyeko Somalia akikutwa na Al-Shabaab yeye badala ya kuul iwa anapewa ‘Assalaam alaykum’ na kukumbatiwa?

Wakati nafuatilia habari hizi nilikutana na mpasha h a b a r i wa F r a n c e 2 4 akimhoji kijana mmoja aliyejitambulisha kwa jina la Augustino Alanga. Katika maelezo yake ya awali, kijana alijieleza kuwa yeye aliwahi kukimbia kwa hiyo yanayoendelea

huko nyuma anafanya kusikia tu ila chuo bado kimezingirwa na wanajeshi na anasikia milio ya risasi kwa mbali.

I n a v y o e l e k e a mtangazaji wa France24 alikuwa tayari na mambo yake ila akitaka tu kijana Augustino atumike kama ndio chanzo cha habari. Kwa mfano alimuuliza: Vipi na wale wanafunzi Wakristo wal iokatwa vichwa na Al-Shabaab. Ki jana aka j ibu kuwa yeye hana habari kuwa kuna watu walichinjwa. Mtangazaji akaendelea, l a k i n i u n a o n a j e , ukizingatia rekodi yao, Al Shabaab si wanaweza wakachinja wanafunzi Wakristo? Jambo kama hilo si linawezekana? Kijana akajibu, linawezekana.

Inaporipot iwa sasa kat ika taar i fa TV na magazeti, unaona “Al Shabaab waanza kuchinja wanafunzi Wakr is to . A l - S h a b a a b w a u w a wanafunzi Wakr is to , wengine wachinjwa.”

H a y a n d i y o tunayoambiwa na CNN, BBC, ABC News na wenzao. Ni kama ilivyokuwa katika shambulio la Westgate au

kile kilichodaiwa kuwa magaidi wa Al-Qaidah walitaka kudungua ndege ya Israel Mombasa mwaka 2002 ambapo mwandishi mmoja akiwa Marekani anapiga simu Mombasa na kuuliza, vipi na hilo tukio la magaidi kushambulia ndege ya Israel? Wakati h u o h a k u n a t u k i o kama hilo lililoripotiwa katika uwanja wa ndege wa Moi International A i r p o r t , M o m b a s a . L a k i n i k i l i c h o k u j a kujulikana baadae ni kuwa kulikuwa na maguruneti ya kudungulia ndege ( s h o u l d e r - l a u n c h e d Strela 2 (SA-7) surface-to-air missiles) yaliwekwa katika kichaka kimoja uwanjani hapo na siku hiyo ndege ya Israel, Boeing 757 airliner mali ya Arkia Airlines, ikaacha mwelekeo iliopangiwa kuruka, ikaruka kupitia juu ya kichaka kulikokuwa kumewekwa maguruneti hayo.

Wapo waandishi wetu hapa nchini leo ambao naamini wanatamani lau ingewezekana yakafutika y a l e w a l i y o k u w a wameyaandika katika magazeti yao katika tukio

la Westgate Shopping Mall. Mfano zilikuwepo taarifa za magaidi kuchukua w a t o t o w a c h a n g a wa Kikristo na kukata mikono yao wakaichonga na kufanya kalamu za kuandikia wakati damu ikiwa wino. Taarifa hizo ziliandikwa na magazeti ya Magharibi na kudakwa na baadhi ya magazeti hapa nchini kishabiki. Lakini hakuna mtoto aliyeonyeshwa kukatwa mikono wala hiyo mikono iliyokatwa na kufanywa kalamu.

Ukirejea katika hiyo h i y o We s t g a t e , k wa mtu mwenye akili yake timamu na huru, maelezo kuwa kuna Al-Shabaab anatoka Somalia na gari lililosheheni silaha aingine Nairobi ashambulie kwa siku tatu katika jumba lililozungukwa na polisi, j eshi , makachero wa ndani na nje, lakini auwe watu na kuondoka bila kukamatwa au kuuliwa, n i j a m b o l i s i l o i n g i a akilini. Lakini kwa vile watu walishakorogwa akili, vichwa ‘vishakuwa-corrupted’, vishafisidiwa, wamebaki wanaimba porojo za Al Shabaab kuvamia Westgate sasa wanaz iunganisha na Garissa. Hakuna kujiuliza hawa Al Shabaab ni nani? Uwezo wa kiasi hiki wameupata wapi? Ni kweli wanaweza kufanya wanayodaiwa kufanya mbele ya macho ya serikali, polisi, jeshi na vyombo vyote vya dola?

Haya yote hatujiulizi kwa sababu ya ‘EPA’ za vichwani mwetu. Al-Shabaab iliibuka kama harakati za kupambana na uvamizi wa Ethiopia ikiwezeshwa na Marekani, ndani ya Somalia na z i k a e n d e l e a k a t i k a kupinga walichodai kuwa ni serikali kibaraka. Yule aliyesababisha kuibuka kwa Al-Shabaab kwa maslahi yake ya kibeberu, ndiye anatuaminisha kuwa Al-Shabaab ni ugaidi na sio wa Somalia tu, ni ugaidi Tanzania, Kenya na Uganda. Anatupeleka tupigane ndani ya Somalia na tuk ip igwa kat ika mij i yetu ya Garissa, anatujengea hoja kuwa tunapigwa kwa sababu tumepeleka jeshi Kenya.

Inaendelea Uk. 12

MAKAZI ya familia ya Kisomali nchini Kenya.

Page 12: ANNUUR 1172.pdf

12 AN-NUURJAMAADIUL AKHER 1436, IJUMAA APRILI 10-16, 201512 MAKALA

Zama za propaganda, si kila jambo kutwaa, Zama za propaganda, zina lukuki hadaa, Zama za propaganda, hatari kuzinyamaa, Zama za propaganda, japo kwa finyu wasaa,Zama za propaganda, kuzitongoa yafaa,Zama za propaganda, ni za hadhiri kukaa.

Zama za propaganda, kwa kasi na kwa fajaa, Zama za propaganda, walimwengu zatuvaa, Zama za propaganda, twabaki tukiduwaa, Zama za propaganda, si Tanga wala Dakaa, Zama za propaganda, kote zimetandawaa, Zama za propaganda, ni za hadhiri kukaa.

Zama za propaganda, lengo dunia kutwaa, Zama za propaganda, kwa puya pasi janaa, Zama za propaganda, kwa kuifanya ni jaa, Zama za propaganda, la mazuzu na vichaa, Zama za propaganda, ndio dhimaye alaa!, Zama za propaganda, ni za hadhiri kukaa.

Zama za propaganda, bongo zetu hudumaa, Zama za propaganda, fikra zetu husaa, Zama za propaganda, nadhari zetu hupaa, Zama za propaganda, mawazo yetu mawaa, Zama za propaganda, vyote hivyo hututwaa, Zama za propaganda, ni za hadhari kukaa.

Zama za propaganda, kama ni tembo chang'aa, Zama za propaganda, kama ni ute usaa, Zama za propaganda, kama ni hewa ukaa, Zama za propaganda, kama ni janga balaa, Zama za propaganda, kama ni wehu kichaa, Zama za propaganda, ni za hadhiri kukaa. ABUU NYAMKOMOGI-MWANZA.

MH! ZAMA ZA PROPAGANDA!!!

ILALA ISLAMIC SECONDARY USAJILI S.2401

KIDATO CHA TANO NA KURUDIA MITIHANI

KWA WASICHANA TUIPO: ILALA-AMANA-MTAA WA ARUSHA: MASJID SHAFII

SHULE YA BWENI NA KUTWA

MASOMOMath, Phy, Chem, Bios, Geo, Civ, Eng, Kisw, Commerce,

B/keeping Islamic, Arabic na Tahfidhul Qur’anCOMBINATION

PCM,PCB,CDG,HGL,HGK,HGE,HKA,HEAUFAULU 2014

KIWILAYA 3/76, KIMKOA 10/191, KITAIFA 118/2322Kwa shule za kiislam KIWILAYA (1) KIMKOA (2) KITAIFA (5)

Zipo nafasi za kuhamia kidato cha II, III na IV, VMAWASILIANO

Simu: 0713 007586, 0715 187515, 0714 393822, 0714 381964

KWA WAVULANA TUIpo Ilala-Bungoni: Masjid Taqwa

DAR ES SALAAM ISLAMIC SEC.

MASOMOMath, Phy, Chem, Bios, Geo, Civ, Eng, Kisw, Commerce, B/

keeping Islamic, Arabic na Tahfidhul Qur’an

COMBINATIONPCM,PCB,CDG,HGL,HGK,HGE,HKA,HEA

UFAULU 2014Kama Ilala Islamic, imetenganishwa toka Ilala Islamic

Zipo nafasi za kuhamia kidato cha II, III na IV, VMAWASILIANO

Simu: 0713 007586, 0715 187515, 0714 393822, 0714 381964Ada ni nafuu na inalipwa kwa awamu nne

MLETE MWANAO APATE ELIMU NA MALEZI BORA

USAJILI S.4384

Inatoka Uk. 10

‘Escrow, EPA’ za kukoroga akili mbaya kuliko ufisadi wa pesaAmbao hatujapeleka, tutaambiwa hawa ni magaidi tu , hawana s a b a b u , n i wa t u t u wabaya, katili wasiona vibaya kuuwa watu wasio na hatia, na hasa Wakristo. Au tutaambiwa wanataka kusimamisha Shariah Dar es Salaam na Mwanza.

Wiki iliyopita tulieleza kisa cha ‘Bogeyman’ hawara wa mama wa vijana Willy na Lacey. Awali ‘hawara’ huyu alikuwa mtu halisi, lakini miaka 20 baada ya kufa, akaja kama j inamizi . Aliwahangaisha sana Willy na Lacey.

Al-Shabaab kwa asili yake n i watu wapo, ni taasisi ipo ikiwa na malengo yake ya ndani ya Somalia. Lakini kwa kutumia Al -Shabaab halisi, tumetengenezewa ‘Bogey man’, ‘Monster’, zimwi na jinamizi Al-Shabaab ambalo l ina uwezo wa kuingia katika miji yetu likapiga mbele ya macho ya makachero wetu, polisi, jeshi na l i k a o n d o k a b i l a ya kuonekana.

Maadhali akili zetu zimefisidiwa, zimejazwa ufisadi na kuamini kuwa kuna zimwi Al-Shabaab, lililopiga Kampla, likapiga Westgate, Nairobi, sasa limepiga Garissa, wala tusijidanganye kuwa tuna uwezo wa kupambana nalo.

Rais Uhuru Kenyatta anasema kuwa anaongeza kusomesha maofisa wa polisi, hizo ni porojo tu. Wameuliwa Sheikh Aboud Rogo, Makaburi na Masheikh wengi tu, kwa kunasibishwa na ‘Jinamizi Al Shabaab’. Na ATPU, wa t a e n d e l e a k u u wa Wakenya wasio na hatia kama wanavyotamba w e n y e w e k w a m b a , hawakamat i mtu na kumpelekea mahakamani, w a n a m m a l i z a t u . Lakini pamoja na hayo, l e o t u n a z u n g u m z i a

m a s h a m b u l i z i y a Gar i ssa . Watu 150 wameuliwa.

Hii maana yake ni kuwa kama tutabakia na akili hizi za kupewa na kushiki l iwa, za ‘jinamizi’ Al Shabaab, tutapigwa Garissa na pengine popote, wala kaul i za kuj izat i t i , kujiandaa, kuzidisha ulinzi hazitatusaidia kitu.

K a m a a m b a v y o w a t o t o h u a c h a kulowesha vi tanda wa k i k u a , n a a m i n i k u wa v i j a n a we t u walioshusha nadharia Star TV wakiyajua haya wa t a f a h a m u k u wa vyombo vya magharibi vina agenda gani katika kupambia kitisho cha ugaidi. Kule Nigeria walif ika mahali pa kutumia picha za watu walioungua katika ajali ya lori la mafuta Congo DRC, wakadai kuwa ni

Wakristo waliochomwa moto na Boko Haram!

Kwa nini? Kukuza kitisho cha jinamizi B o k o H a r a m , p i l i kupandikiza chuki na f i tna mchinjane w e n y e w e k w a wenyewe. Machafuko yakikolea, wanakuja kikachero na kijeshi kwa kisingizio cha kuwasaidia. Mnaingia katika utando wao wa kijeshi. Mmeshikwa hamtoki. Na ili msitoke lazima kisingizio cha kitisho cha jinamizi la ugaidi kiendelee. Nyinyi ni kupigwa tu daima dumu.

Bila ya vyombo vya habari vya kusambaza uwongo, propaganda na poro jo , hakuna ugaidi. Sasa hawa wapo kazini . Ni vyombo muhimu kwa mikakati ya mabeberu.

Kalamu i mkononi, lengo kukunasihini,Ndugu zangu Visiwani, kwa utuvu pulikeni,Nasaha ninokupeni, kwa magego zishikeni,Siasa isitangue, udugu wenu wa dini.

Ninyi nyote ikhiwani, kwa mujibu wa QURANI,Ushahidi u bayani, yalo toka mwake ndani,HUJURATI rejeeni, AYA chini nabaini,Siasa isitangue, udugu wenu wa dini.

ASHARA si ishirini, nambari nakujuzeni,Kikoa idurusini, kwa uketo na makini,Udugu mtabaini, wenu ninyi mwake ndani,Siasa isitangue, udugu wenu wa dini.

Kadhalika bahithini, jambo hili HADITHINI,Anzeni na SWAHIHANI, thuma SITATU SUNANI,Udugu vimebaini, wenu navyo mwake ndani,Siasa isitangue, udugu wenu wa dini.

Msighurike jamani, na siasa za kihuni, Majungu zilosheheni, ghilba pamwe fitani,Zinowachonganisheni, pamwe na kukugaweni,Siasa isitangue, udugu wenu wa dini.

Udugu wenu kwanini, kwa siasa mwaukhini?Kama sivyo kulikoni, mwajeruhiana nini?Mwatwangana ikhiwani, kwa maslahi ya nani?Siasa isitangue, udugu wenu wa dini.

Kwa sakata la Fuoni, walokhasirika nani?Pamwe na la BARAZANI, walofedheheka nani?Hayo yatafakarini, vichwani na sudurini!Siasa isitangue, udugu wenu wa dini.

Siasa vita pigeni, zinokufitinisheni,Na zenye kukuwekeni, baidi na yenu dini,Udugu mbele wekeni, wenu na usharifuni,Siasa isitangue, udugu wenu wa dini.

Nilonena si mageni, lengo kukudhukuruni,Ukhuwa msiukhini, kwa siasa za kihuni,Kikoa shikamaneni, taifa lenu jengeni,Siasa isitangue, udugu wetu wa dini.

SHAHIDI yangu MANANI, nasaha nimekupeni, Shime zizingatieni, zipate kuwaauni,Kalamu naweka chini, kazi kwenu ikhiwani,Siasa isitangue, udugu wetu wa dini.

ABUU NYAMKOMOGI-MWANZA.

SIASA ISITANGUE UDUGU WETU!

Page 13: ANNUUR 1172.pdf

13 AN-NUURJAMAADIUL AKHER 1436, IJUMAA APRILI 10-16, 2015Makala

HijrahInatoka Uk. 8Kumtumikia Allah (s.w) ni kumfanya Allah (s.w) kuwa ndiye Bwana (Rabb) wetu pekee ambaye ndiye p e k e e t u n a y e p a s w a kumtii kwa unyenyekevu kwa kufuata barabara mwongozo wa maisha aliyotuwekea. Utiifu na unyenyekevu wetu kwa Allah (s.w) utadhihiri pale tutakapopania kwa moyo mkunjufu kutenda yale yote aliyotuamrisha na anayoyaridhia na kujiepusha mbali kutenda yale yote aliyotukataza na yanayomchukiza katika kuendeza harakati za maisha yetu yote ya kila siku. Ibada kwa mtizamo huu inamuhusu kila mtu binafsi na jamii kwa ujumla. Ili kila mtu amuabudu Allah (s.w) inavyostahiki, jamii inawajibika kuweka mazingira ya kumuabudu Allah(s.w) katika kila kipengele cha maisha kwa muda wote kwa kuunda dola yenye mamlaka kamil i ya kuamrisha mema yanayoleta furaha na amani katika jamii na kukataza na kuyatokomeza maovu yanayoleta huzuni na vurugu katika jamii.

Kutokana na maelezo yaliyotangulia tunaweza kusema kuwa Waislamu tunalazimika kujifunza ili kwa kuzingatia matendo ya watu binafsi na jamii zilizopita tuweze kubakia katika lengo la maisha yetu ya kibinafsi na kijamii na kufuata njia iliyonyooka (njia ya Allah) kwa kuigiza mwenendo wa watu wema waliofaulu katika maisha ya hapa ulimwenguni na kubashiriwa pepo na kujiepusha na mwenendo wa watu waovu waliofeli katika maisha ya hapa ulimwenguni na wengine w a k a a n g a m i z i w a mbali na katika akhera wameahidiwa adhabu k a l i y a m o t o n i . N i kumbukumbu za Historia pekee zitakazo tuwezesha kuish i ku l ingana na m a z i n g i r a y a d u a tunayoiomba katika kila rakaa ya swala zetu katika kusoma Suratul-Faatiha.

A m e s e m a A l l a h ( S u b h a a n a h u w a Ta’ala): “Tuongoe njia iliyonyooka” (Al Fat’ha 1:6).

“ N j i a y a u l i o waneemesha, siyo ya walio kasirikiwa, wala walio potea.” (Al Fat’ha 1:7).

W a l i o n e e m e s h w a

na Allah (s.w) ni wale watu wema walioishi kulingana na lengo la maisha yao. Watu wema wamebainishwa katika Qur’an.

A m e s e m a A l l a h (Subhaanahu wa Ta’ala): “ N a w e n y e k u m t i i Mwenyezi Mungu na Mtume, hao wa pamoja na wale alio waneemesha M w e n y e z i M u n g u miongoni mwa Manabii, na Masiddiqi, na Mashahidi, na Watu wema. Na uzuri ulioje kuwa pamoja na watu hao!” (An-Nisaai 4:69).

Historia inadhihirisha mwenendo wa hawa waliotajwa katika aya hii. Walioghadhibikiwa n a A l l a h ( s . w ) n a waliopotea njia kabisa, p i a m w e n e n d o wa o umebainishwa wazi katika Historia ya mwanaadamu iliyodhihirishwa katika Qur’an.

Baada ya maelezo haya yaliyotangulia juu ya Historia (Tareikh), Jamii ya Kiislamu inapata mafunzo muhimu ya Kihistoria kwenye Tukio la Mtume (s.a.w.) la Kuhama (Hijrah) kutoka Makkah hadi Yathirib (Maddinah). Kwa hivyo, kwenye makala hii nimekusudia kwa kadiri “Alivyoniafikisha” (Kuniwezesha) Al lah (s.w.) kuvielezea baadhi ya vipengele muhimu sana vya mafunzo ya Kitareikh a m b a y o t u n a ya p a t a katika Hijrah ya Mtume (s.a.w.) na Maswahaba zake kuhamia Maddinah na kuvibainisha j insi ambavyo vipengele hivyo vinavyotufunza Jamii ya leo ya Kiislamu juu ya namna/mbinu na hatua za Tahadhari/Umakini ambao tutaweza kuufanya ili kuweza kukabiliana na mazingira yetu binafsi ya kimaisha, namna ya kupambana na Maadui wa Uislamu na Waislamu na kwa ili kufanikisha Harakati za kuweza Kusimamisha Uislamu katika Jamii.

Na kwenye makala hii tutaona namna/mbinu ambazo wanazitumia maadui wa Uislamu na Waislamu, mpaka kufikia k u i p o r o m o s h a D o l a ya Kiislamu aliyoiacha Mtume (s.a.w.), na mpaka kufikia Dola ya mwisho ya Kiislamu “Ottoman Empire” (Himaya ya

Uthman) pale Uturuki na kuzikwa kabisa mnamo mwaka 1924. Na pia tutaweza kuyaona makosa ambayo yamefanywa na Wais lamu mpaka kuporomoka kwa dola ya Uislamu, na makosa hayo hayo yaliyofanya Kuporomoka kwa Dola y a U i s l a m u , n d i y o ambayo Waislamu wa leo tunaendelea kuyarudia kuyarudia na kutufanya k u wa m a d h a l a l i n a mateka/watumwa wa Matwaaghuut.

Mbinu zizotumiwa na Maadui wa Uislamu na Waislamu (Mayahud) tangu zama za Mtume (s.a.w.), Makhalifah wake waongofu na kuendelea ni zile zile za kujipenyeza/

k u p e n ye z a “ Vi j i b wa we n z a o wa M o t o n i ” kwenye safu za Waislamu, na wakaweza kutumikiwa n a W a i s l a m u k w a kutekeleza mipango yao ya Kistratejia ili kuvuruga s a f u , k u p a n d i k i z a uhasama/farqa/uwadui b a i n a y a Wa i s l a m u wenyewe kwa wenyewe. Kama Walivyotumia fursa hiyo Mayahud kama vile Abdallah bin Saba’, Kemal Mustafa Atturk na hivi sasa Abu Bakr al-Baghdad Ambaye amejitangazia kuwa khalifah wa Dola ya Kiislamu (Syria na Iraq) nk.

Leo l icha ya hivyo k w e n y e s a f u z e t u za jumuiya zetu za Kiislamu kuna “Vijibwa

v y e u s i w a M o t o n i ” ambao wamejipenyeza na kuvuruga mambo/S t r a t e j i a y e t u y a kusimamisha Uislamu katika Jamii na kumkufuru “Maluuni” (Twaaghuut) na watumishi/mawakala wao. Hivyo nimetaja au kuonyesha kadhia mbalimbali kama “Facts” (hakika) zile zinazonihusu moja moja na ambazo nimezishuhudia kwenye Jumuiya zetu za Dini, kwa jinsi ambavyo tunafanya makosa makubwa kwenye TASNIA YA DA’AWAH, na kuwapa maadui zetu fursa ya kutuangamiza mmoja baada ya mwingine na kuvuga kabisa Stratejia ya Kida’awah.

Wafanye haraka kununua AK-47 wawahi Somalia, SyriaInatoka Uk. 8k u w a n i n a m n a y a kuwakamata magaidi na kuwashugulikia kabla ya kufanya shambulio la kweli.

L a k i n i u k i t i z a m a , wanacholenga sio hicho. I l e k u k a m a t wa A s i a akafungwa, sio wanalotaka kwamba wamemkamata kabla ya kufanya ugaidi wa kweli. Tangu hapo kama wasingekuwa wao k u m k a m a t i s h a , A s i a a s i n g e we z a k u f a n ya l o l o t e . Wa n a c h o t a k a wao ni kuhuisha kitisho cha ugaidi. Hivi sasa wanatumia kukamatwa N oe l l e Ve l en t za s n a Asia Siddiqui, kupiga

p r o p a g a n d a ya k i l e w a n a c h o i t a u g a i d i wa IS kutoka ndani ya Washington na New York (home grown).

Hebu fikiria itangazwe kuwa akina mama wawili wakamatwa wakijiandaa kufanya shambulio la kigaidi jijini Mwanza. Halafu wanatolewa akina mama wa moja ya Darsa za akina mama jijini Mwanza wakiwa na Hijabu zao. Magazet i yetu kabla hayajapigiwa ngoma, wanacheza, unaweza kufikiria yatachekelea kwa kiasi gani. Na ni kwa kiwango gani tukio hilo, iwe la kweli au la kubambikiwa kama hili la akina Asia, litakavyotia

nguvu kitisho cha ugaidi, iwe wa Al Shabaab au IS, kama wapiga propaganda watakavyoliweka.

K w a h i y o , k w a kuzingatia yote haya, ipo haja ya kuendelea na mada ya tahadhari, l ak in i twende mbal i zaidi. Wale wanaokuja n a m a w a z o k u w a wanacheleweshwa ‘jihad’, tuwaambie kwa upole kabisa, lakini na mapema kabla hawajatudhuru. K wa m b a D a r s a z e t u h a z i wa f a i . Wa f a n y e haraka, kama hawana akiba ya pesa, wauze ‘niqabu’ zao wanunue AK-47 wawafuate wenzao ‘Shamba’.

Page 14: ANNUUR 1172.pdf

14 AN-NUURJAMAADIUL AKHER 1436, IJUMAA APRILI 10-16, 2015Makala

Na Ben Rijal

Na Ben Rijal

Mchango wa Waislmau katika maendeleo ya Dunia

Abu Bakar Mohammed Ibn Zakar iya a l -Razi mtaalamu huyu ndie aliyenisukuma kusoma juu ya wanasayansi wa Kiislamu kutokana na bughdha ya mwalimu wangu wa Utibabu wa Miti (Plant Pathology) a m b a y e a l i n i a d h i b u kwenye somo hili kwa kunielezea kinaga ubaga kuwa sitofuzu somo hilo. Daktari huyo alikuwa siku zote akiwataja wataalamu hao ninawaelezea katika makala zangu hizi na kunitaka mie niwaelezee k w e n y e k a d a m n a s i ya darasa ikiwa yeye mwenyewe akiwajua juu juu. Nikitumia muda wangu mwingi kwenye M a k t a b a k u w a s o m a magwiji hawa. Mwalimu huyu hakuwa anajua kuwa ananijengea msingi wa kuwafahamu wajuzi hao ambao baadaye nitachukua kalamu na kuicharaza kuwaelezea wenzangu nao kuweza kuwaelewa.

Sitopenda kumtaja jina lake huyo mwalimu humu, bali nitaliweka jina lake kwa harufu ya mwanzo Daktari ‘M’ akiwa hai Mola ampe uzima na afya akiwa amefariki Mola amlaze pema Peponi, Ameen, na wale wote walionisaidia katika Chuo Kikuu cha Gharyounus, Benghazi-Libya nawatakia kila la kheri.

Ni nani Abu Bakar Muhhamd bin Zakariya A l - R a z i ? A l - R a z i a u kama anavyoitwa katika ulimwengu wa Magharibi Rhazes au Rasis alikuwa g w i j i m a h i r i k a t i k a miaka ya kati kwa uwezo aliokuwa nao na ufahamu katika elimu ya utibabu. K a t i k a n ya k a t i z a k e aliweza kulinganishwa na Ibn Sinna (Avicenna). Utapotaka kuwaweka katika mstari mmoja baina

Abu Bakr Mohammad Ibn Zakariya al-Razi-(6)ya wawili hawa, Al-Razi atakuwa juu kutokana na uwezo na utulivu wa kuchunguza maradhi kwa umakini kabisa.

A l - R a z i a l i z a l i w a mwaka wa 844 katika mji wa Rayy mji uliokaribu na Tehran nchini Iran na ndio mji huo huo alipofia ingawa katika maisha yake alisafiri katika maeneo mengi kwa kutafuta elimu.

Al-Razi alikuwa msomi aliokamilika katika elimu ya Utibabu, Falsafa na somo la Kemia. Aidha al ikuwa gwij i namna anavyomkabili mgonjwa na kumchunguza na kujua sababu za maradhi yake. Aidha akiponesha wagonjwa wa akili kwa kutumia tiba na kuondosha kabisa dhana iliyotanda na kuzagaa katika zama hizo kuwa mgonjwa wa akili anakuwa ameingiwa na majini, mashetani na mapepo. Mbali na masomo niliokwisha kuyaeleza, Al-Razi alijifunza sayansi na utamu wa lugha, hesabati, mantiki, kemia na upigaji wa vinanda. Katika upigaji wa kinanda hakudumu nako, i la inaonyesha kuwa wanasayansi wengi wakipiga vinanda kama Al-Biruni na hata Albert Einstein alikuwa akipiga fidla (Violin).

Al-Razi alipotimu umri wa miaka 30 alizama katika kujifunza elimu ya utibabu na kufanya taf i t i za k i t ibabu na kuweza kulifanikisha hilo alibidi ahamie Baghdad kiringe cha elimu katika nyakati hizo sawa na Oxford, Havard na vyuo vikubwa vya miaka hii. Alipofanikiwa kuonyesha ufundi mkubwa katika uga wa utibabu aliajiriwa akiwa kama Mkurugenzi wa hospitali ya Ufalme mjini Rayy na aliweza kuiendeleza kazi kama hio alipokuwa katika mji Baghdad katika hospitali ya Muqtadiri.

Moja ya walimu mahiri ambao walimfunza somo la utibabu ni Ali bin Sahal ambaye alikuwa ni msimamizi wa hospitali zote za serikali. Ali bin Sahal alikuja na mtindo ambao ulikuwa haujulikani kabla nao nikuandika matibabu yote katika buku lake la kumbukumbu la

Al-Razi gwiji la elimu ya utibabu

kwa mpango wa alfabeti, wataalamu wa fani ya h i s t o r i a ya u t i b a b u wanasema kuwa kitabu hichi ndicho kilikuwa encyclopedia ya mwanzo ya fani ya utibabu duniani.

A l - R a z i a l i t u m i k a k a t i k a m a h k a m a ya Baghdad kama daktari wa mahakama na mtindo huu ulikuwa maarufu zama hizo kwa kila taasisi kuwa na daktari wake mtindo ambao ndio kwanza katika nchi zetu umeanza kushika kasi. Al-Razi Alikuwa m t a f i t i n a a k i p e n d a kufanya uchunguzi na kuangalia matokeo ya kila anachokichunguza, mara moja alichukua pande la nyama kisha akalikata vipande na kuvining’iniza katika sehemu mbalimbali kwa kutaka kujua sehemu ipi ya vipande hivyo vya nyama itaoza mwanzo na sehemu ipi itachelewa kuoza , kufanya h iv i kutampelekea kujua namna ya vidudu tusioviona wapi waliopo kwa wingi na wapi wanakuwa kwa haraka. Kufanya utafiti hakukumzuia kutofanya kazi ya kutibu au kusita kusomesha . Al ikuwa akiyafanya hayo yote kwa katika nyakati mbalimbali. Mmoja wa mchango wake mkubwa ambao ulipigiwa

kila siku. Mkusanyiko wa kumbukumbu hizo zilikuja kuchapishwa kwa

anuwani ya “Firdaus ul Hikma” ambayo kazi hii iliandikwa kwa kuratibiwa

Mwaka wa 1987 nchi ya Jordan walitoa stampu ya Al-Razi.

Inaendelea Uk. 15

Page 15: ANNUUR 1172.pdf

15 AN-NUURJAMAADIUL AKHER 1436, IJUMAA APRILI 10-16, 2015Makala

Weka duara kwenye jawabu ilio sawa. Jawabu kamili wiki ijayo.

1. Surah iliyokuwa refu ina aya ngapi?2. Surah gani imeanza bila ya tamko Bismilahi Rahman

Rahim.3. Surah za Makka ni ……..4. Surah za Madinah ………….5. Wa k u s a n ya j i H a d i t h i wa w i l i m a s h u h u r i

ni………………….., …………………………6. Mtume SAW alikuwa na umri gani alipoteremshiwa

Wahyi na Jibril?7. Mke wa mwanzo wa Bwana Mtume SAW

ni…………………..8. Hijra ya mwanzo Waislamu walikwenda wapi?9. Safari ya Mtume SAW kutoka Duniani kwenda

Mbinguni inaitwa…..………10. Mtume SAW alifwatana na nani alipohama Makka

kwenda Madinah?

Je unajua?Ukuta Mkuu wa China ujulikanao Great Wall of China

umejengwa tangu karne ya 7 Kabla ya kuzaliwa Nabii Issa na upo bado hadi hii leo.

Piramid au kwa Kiarabu Haram ambayo yalijengwa anapofariki Firauni na kuzikwa na watu wake inaaminika kuwa Pyrimaid la Giza lilikamilika kujengwa mwaka 2560 kabla ya kuzaliwa kwa Mtume Issa.

Mbu jike ndio anayeuma na kuingiza vijimelea kwenye kiwiliwili cha mwanadamu.

Kuwa ndege wana uwezo wa kuruka kutoka bara moja hadi bara jengine (Migratory birds) kuna ndege wanaonekana kisiwani Unguja wakiwa wametokea Siberia.

Maji kwa matumizi ya mwanadamu yapo haba kabisa duniani, sehemu kubwa ya maji ifikiayo asilimia 97.14% ni maji ya chumvi ni asilimia 0.014% ndio maji tunayoyatumia kwa matumizi ya mwanadamu.

Sehemu kubwa ya maji yaliopo duniani hutumiwa nje ya matumizi ya kunywa na kupikia kwa mwanadamu. Jumla ya maji safi yanayopatikana duniani asilimia 39% hutumika katika kuzalisha umeme, asilimia 39% hutumika katika umwagiliaji wa kilimo, asilimia 14% hutumika kwa matumizi ya jumla, asilimia 6% hutumika kwenye viwanda, asilimia 2% hutumika katika mifugo.

Asilimia 2.5 ya maji ndio tunayoyatumia kwa matumizi yetu wanadamu na asiilimia 70% yapo kama barafu, maji safi (Fresh water) yaliopo kwenye maziwa na mito ni chini ya asiilimia 0.3% ya maji safi yaliopo duniani. Maji mengi yaliopo ni yale yalio chini ya ardhi ikiwa ni sawa na asilimia 30%.

Mto Nile ndio mto ulio mrefu kabisa ukiwa unakwenda katika masafa ya kilomita 6,583.

Huduma za Post zilianza miaka mingi huko nyuma, lakini matumizi ya barua na kuwekewa stampu yalianza rasmi katika mwaka wa 1840.

UWANJA WA VIJANA-JIONGEZEE MAARIFA

CHEMSHA BONGOAbu Bakr Mohammad Ibn Zakariya al-Razi-(6)Inatoka Uk. 14

mfano ni kule kuweza kuwatibu wagonjwa wa akili.

Maandishi yake mengi aliyaandika kwa lugha ya Kiarabu ingawa yeye m w e n y e w e a l i k u w a Mfursi. Aliandika kazi za kitaalamu zisopungua 200 katika uga wa Falsafa, Elimu ya nyota, Fizikia, Kemia na Utibabu.

Siku zote alipokuwa anasomesha aliwataka w a n a f u n z i w a k e wajitahidi kuwachunguza wagonjwa kuweza kujua dalili za ugonjwa kama walivyosomeshwa. Gwiji Al-Biruni ambaye nitakuja kumzungumza naye akiwa mzaliwa wa Afghanistan aliandaa katalogi la kazi na vitabu vya Al-Razi nakuweza kufikisha idadi ya maelekezo ya katalogi 184, ninaposema katalogi ni kazi iliofanywa jina lake na kuipa namba, basi Al-Biruni alifikisha idadi ya 184.

Bahati mbaya kazi zake nyingi zimepotea kama kazi za wasomi wengine namna zinavyoangamizwa na vita nchini Iraq na Syria ambako vita vimepamba moto. Kazi zake ambazo zimebaki na uthibitisho kuwa al ikwepo gwij i huyu pamoja na kazi zake zilizotafsiriwa kwa lugha ya Kilatino. Kazi ya katalogi ilioratibiwa na Al-biruni imefanyiwa tafsiri kwa Kijarumani katika mji wa Berlin mwaka wa 1924 kwa jina la “Al-Biruni als quelle fur das leben and die schriften al- Razi”

Al-Razi akipendelea zaidi juu ya kufanya uchunguzi na kuweza kufahamu kinachomsibu mgonjwa kuliko kufikiria na kukurupuka kumtibu mgonjwa. Alikuwa ni mtu wa kwanza kuweza kutafautisha baina ya ugonjwa wa Ndui na Shuruwa ikiwa wengi wataalamu wasiku hizo walikuwa wakinasibisha kuwa ni ugonjwa mmoja, wengine wanamwita muanzilishi wa taaluma ya magonjwa ya watoto.

K a z i y a k e k u b w a yakupigiwa mfano ni Kitab al-Hawi Al Razi, kazi hii ni kazi ya kisomi ya hali ya juu ambayo ilimchukua muda mrefu kupitia kazi za wasomi wa Kiyunani na Kiarabu na za Uhindini katika uga wa utibabu kwa kuchanganya maarifa aliokuwa nayo. Al-

Hawi kilitumika zaidi ya miaka 500 kuanzia karne ya 12 hadi ya 17 katika dahari hizo walikuwa Al-Razi, Galen na Ibn Sina wakifahamika kama ni Mahiri (Giant) wa utibabu.

Myahudi wa eneo la Sicily Faraj Ibn Salim kwa msaada wa Mfalme wa Utaliano Mfalme Charles I wa Anjou (1220-1285) alifanikiwa kukitafsiri kitabu cha Al-Hawi kwa lugha ya Kilatino. Al-Hawi ilikusanya vitabu 20 vya elimu ya utibabu ambapo haijatokea hadi leo kazi ya Encyclopedia kuandikwa na mtu mmoja, ndipo mwana historia Will Durant alifika kusema vitabu 9 vya Al-Hawi v i l i j a z a m a k t a b a ya wanafunzi wa taaluma ya utibabu katika kitivo cha utibabu huko Ufaransa katika mwaka wa 1395. Mwaka wa 1486 chapa ya Al-Hawi ikipatikana kwa lugha ya Kilatino kwa jina la “Liber Dictus Alhavi” aidha AL-hawi ilichapishwa nchini India katika mji wa Hyderbad kwa lugha ya Kiarabu katika mwaka wa 1955.

Kat ika mwisho wa kitabu cha Al-Hawi kuna “Kitab al-Tibb al-Roohani” akielezea juu ya mambo ya mashetani na namna ya kutibu waliokuwa wagonjwa wa akili tafsiri ya Kiengereza imefanywa na A.J. Arberry kwa jina la “The Spritiual Physick of al-Razi vilevile katika kurasa hizo za mwisho kuna Sirat al-Faylasuf ikiwa maisha ya wana

falsafa.

Baadhi ya vitabu vyake

Mbali ya kitabu cha al-Hawi ameandika Isbateh Elmeh Pezeshkiutangulzi j u u y a S a y a n s i y a Utibabu, Dar Amadi bar Elmeh Pezeshki, Rade Naghzotibbeh Nashi , ki tabu kinachoelezea majaribio ya Sayansi ya Utibabu na ungozi jinsi ya kukitumia, Kenash, k u t a f a u t i s h a j u u ya maradhi, kitabu chenye maelezo ya kuj ipona pasipokuwa na tabibu, k i tabu ki fupi juu ya muhtasari wa utibabu, kitabu juu ya vyakula na maradhi yake, al-Judari wa al-Hasbah (Maelezo juu ya Ndui na Shuruwa), Ketab dar Padid Amadaneh Sangrizeh alichokiandika kwa kifursi juu ya mawe kwenye mafigo, kitabu juu ya kuumwa na meno, Dar Hey'ateh Kabed. Akaandika kitabu juu ya vyakula ambavyo mgonjwa anavyotakiwa kuvila anapougua. Kitabu cha vyombo vya kufanyia upasuaji, kitabu juu ya mafuta, kitabu juu ya wanawake wanapoingia katika siku zao, kitabu juu ya sumu hii ni orodha ndogo sana ya vitabu vyake.

M a k a l a i j a y o nitamuelezea gwiji wa elimu ya kemia, Jabir Ibn Haiyan (Geber) ambaye alibobea katika elimu ya Sayansi ya maumbile na ya Kijamii.

Katika kurasa za mwisho za Al-Hawi

Page 16: ANNUUR 1172.pdf

16 AN-NUURJAMAADIUL AKHER 1436, IJUMAA APRILI 10-16, 2015Makala

NI kwa muktadha huo, ndio maana tunapata kuwa suala la ndoa limehesabiwa na dini zote za mbinguni kuwa ni jambo tukufu na muhimu mno, na takribani dini zote hizo zina mafunzo na maelekezo maalumu kwa ajili ya suala la ndoa na kufunga pingu za maisha. Hata katika jamii zilizobakia nyuma kabisa na ambazo pengine za majangwani, utaona katika historia kuwa, ndoa lilikuwa jambo lililoheshimiwa na kupewa umuhimu maalumu.

Dini zote za mbinguni zinalitazama suala la ndoa kwa j i cho maalumu la utukufu. Hata hivyo kati ya dini zote hizo za mbinguni, hakuna dini ambayo imeweka sheria za kushajiisha ndoa, maalumu na tukufu kama dini Tukufu ya Kiislamu. Kwa hakika familia ni kituo na taasisi tukufu ambayo jiwe lake la msingi huwekwa kwa jinsia mbili yaani jinsia ya kike na ya kiume kuoana na kituo hicho hukamilika mara wanapozaliwa watoto ambao huja na kuimarisha misingi na nguzo za familia hiyo. Wananadharia wanaamini kuwa, familia ndio taasisi ya kwanza kwa aji l i ya kukidhi mahitaji ya maisha, huba na kubakia jamii . Familia ni nguzo ya jamii na inahesabiwa kuwa ni msingi muhimu. Uislamu umeweka m i p a n g o n a m i k a k a t i maalumu ya kuboresha familia, kiasi kwamba, Bwana Mtume Muhammad (SAW) amesema:

"Hakuna jengo lililojengwa katika Uislamu ambalo ni tukufu zaidi na lenye kupendwa zaidi mbele ya Mwenyezi Mungu kuliko kuoana (ndoa)."

U t e n d a j i wa f a m i l i a katika jamii ni sawa kabisa na utendaji wa seli katika kiumbe hai, kwani kwa kadiri seli hizo zinavyokuwa salama zaidi na zenye nguvu, ndivyo ambavyo mwili wa kiumbe hai, unavyokuwa salama na wenye nguvu zaidi. Ndoa baina ya mke na mume, ni mfungamano wa kimaumbile na mahaba baina ya wanandoa hao, mfungamano ambao ni wa lazima kwa shabaha ya kuendeleza kizazi cha mwanadamu. Hata hivyo, mtazamo huu unahitajia miongozo na usimamizi, kwani kinyume na hivyo, utaleta madhara na uharibifu.

Katika Uislamu kuna vigezo vi l ivyoainishwa kwa ajili ya kujenga familia. Kadiri nguzo zinazounda familia zitakavyotabikiana na kuoana na vigezo hivyo, basi ni kwa kiwango hicho hicho ustahiki na ubora utakavyokuwa.

Kwa kuzingatia kwamba, familia ina nafasi muhimu katika saada na kutengemaa a u n a k a m a , i h l a k i n a kuharibika watu katika kila jamii, Uislamu umetilia mkazo maalumu juu ya suala la ndoa na kujenga familia, na likaweka vigezo vya tabia na maadili katika suala zima la kuchagua mke. Ndoa yenye saada na mafanikio ni ile ambayo misingi yake imesimama kwa ajili ya kuunda familia salama,

Ndoa, msingi wa kujenga familiaNa Salum Bendera

NDOA ni jiwe la kwanza la msingi la kujenga familia, na familia ni taasisi kuu ya jamii. Licha ya kuwa ndoa kwa mtazamo mmoja linahesabiwa kuwa jambo la mtu binafsi, lakini katika upande mwingine, ni nguzo imara na madhubuti ya jamii ya mwanadamu. Faida na madhara yanayopatikana katika jamii taathira yake inatokana na ndoa. Kwa maana kwamba, kuimarika kwa ndoa katika jamii, ni kuweko jamii bora na yenye maelewano. Aidha kupuuzwa suala la ndoa, hupelekea jamii kumomonyoka kimaadili na madhara yake ni kupatikana mahusiano haramu; na baya zaidi ni kuzaliwa watoto nje ya ndoa ambao hukosa haki nyingi.

imara na yenye nishati, uchangamfu na bashasha. Kwa hakika mwanadamu ni majimui yenye vipaji tele na uwezo tayarifu na hivyo ndoa inaweza kuandaa mazingira m wa f a k a k wa a j i l i ya kustawi na kuchanua vipaji vilivyojificha katika ujudi na uwepo wa mwanadamu huyu na dafina i l iyoko katika kila ujudi wa ndani wa mtu. Mapenzi, kudhamini hawaiji za maisha, usimamizi wa f a m i l i a , m a m l a k a , kujitosheleza, kupigania ukamilifu, kujikurubisha kwa Mwenyezi Mungu na kuwalea watu wema na wastahiki, ni mambo ambayo yanawezekana kupatikana kwa kuweko ndoa. Miongoni mwa nukta muhimu katika maktaba ya malezi ya Mtume SAW, masahaba wema na dhuria wake (watu wa nyumba yake tukufu yaani Ahlul Byat), ni mtazamo wao wa kimaanawi kuhusiana na suala la ndoa na upande wa utukufu wake. Ibara tunazozishuhudia katika hadithi zinathibitisha hili kwa njia tofauti. Miongoni mwa hadithi hizo ni ile iliyopokelewa kutoka kwa Bwana Mtume SAW akisema:

"Mwenye kufunga ndoa amekamilisha nusu ya dini yake, basi na amche Allah katika nusu iliyobakia." Au hadithi isemayo:

"Miongoni mwa nyakati za kushuka rehma za Mwenyezi Mungu ni wakati wa shughuli ya akidi, nikaha na kufunga ndoa."

Vile vile kuna hadithi nyingi ambazo zinaonesha

kuwa, akthari ya miamala ya kifamilia inahesabiwa kuwa sawa na kufanya ibada. Mtume SAW amenukuliwa akisema kwamba:

"Mwanaume anayefanya bidii kwa ajili ya familia yake, ni sawa na mujahidi katika njia ya Mwenyezi Mungu."

Katika hadithi nyingine Mtume SAW amesema:

"Jihadi ya mwanamke ni kuwa na mwenendo mwema kwa mume."

Kwa hakika ibara zote h i z i z i n a o n e s h a j i n s i Uislamu unavyoshajiisha juu ya suala la ndoa. Vile vile kunajitokeza uhakika huu kwamba, masuala ya maisha ya dunia yanaweza kuwa njia ya kuelekea katika ukamilifu wa kimaanawi na kiakhera. Miongoni mwa athari za kisaikolojia za ndoa, ni kuathiriana pakubwa mume na mke. Kila mmoja yaani mke na mume huathirika pakubwa na miamala, fikra na hata mtazamo wa mwenzake. Ni kwa kuzingatia uhakika huo, ndio maana maktaba ya kimalezi ya Mtume SAW, masahaba wema na dhuria wake, ikakakoteza na kutilia mkazo juu ya kuzingatia suala la kuchagua mume au mke kabla ya kuoa au kuolewa na kuzingatia zaidi suala la thamani za kiakhlaqi na kimaadili.

H i i l e o m m o n y o k o uliokithiri wa kimaadili katika jamii za Kimagharibi chimbuko lake ni wanajamii kuweka kando mafundisho sahihi ya dini hasa kuhusiana na suala la ndoa. Si hivyo tu, Wamagharibi wamechupa

m i p a k a n a k u a n z a kutambulisha ndoa ambazo zinakinzana kabisa hata na maumbile ya mwanadamu. Tunashuhudia hii leo katika ulimwengu wa Magharibi kukieneza ndoa za watu wa jinsia moja, yaani ndoa baina ya mwanaume na mwanaume au baina ya mwanamke mna mwanamke, kitendo ambacho kimsingi sio ndoa na wala haifai kuita mafungamano hayo kuwa ni ndoa, bali ni uchafu ambao jina lake hasa ni usenge, liwati na usagaji. Nukta ya kutilia maanani hapa ni kwamba, dini zote na madhehebu zote zinavitambua vitendo cha usenge, ubaradhuli, liwati na usagaji kuwa ni dhambi kubwa na kinyume kabisa na maumbile ya mwanadamu na zinawaonya wanadamu kujihusisha na vitendo hivyo.

Tab'an, hii leo ulimwengu wa Magharibi unakabiliwa na tatizo jingine nalo ni maisha ya kuweko mzazi mmoja kila familia. Yaani baadhi ya familia zina baba tu au mama tu na hivyo kupelekea kuweko hali ya kulegalega ndani ya familia hizo. Hii leo kuna nchi nyingi barani Ulaya ambapo asilimia 50 hadi 80 ya watoto wamezaliwa nje ya ndoa. Ufaransa na nchi za Scandinavia ni miongoni mwa nchi hizo. Katika kipindi cha maisha yao yote, watoto hawa huishi na mzazi mmoja au kutoishi na wazazi wao wote wawili kutokana na kulelewa katika vituo maalumu vya malezi ya watoto. Utafiti uliofanywa unaonyesha kuwa, watoto

wanaozaliwa katika familia na kukulia humo huwa wazima zaidi kimwili, kiafya na kisaikolojia na wakiwa shuleni au sehemu za kazi huwa na mahusiano bora, huishi maisha marefu na ni wenye furaha na bashasha ikilinganishwa na watoto ambao wamezaliwa nje ya familia. Kwa hakika ndoa ambayo wanandoa w a k e w a m e c h a g u a n a kwa kuzingatia masuala ya kimaanawi na maadili mema huwaandalia uwanja wa ukamilifu na saada ya dunia na akhera. Mtume SAW alifanya juhudi kubwa kueneza utukufu wa ndoa baina ya watu. Ni kwa kuzingatia uhakika huo, ndio maana Bwana Mtume SAW amenukuliwa katika hadithi mashuhuri akisema: “Ndoa ni katika sunna yangu na mwenye kutenda kinyume na sunna yangu, si katika mimi." Au hadithi hii iliyonukuliwa kutoka kwa Imam Jaafar Sadiq (AS) mmoja wa wajukuu wa Mtume SAW inayosema: "Rakaa mbili (anazoswali) za mwenye kuoa ni bora na zenye thamani kubwa kuliko rakaa sabini za mtu ambaye hajaoa."

K a t i k a m t a z a m o wa Mtume SAW na dhuria wake wema ni kuwa, endapo mke na mume watakuwa na sifa tatu za elimu, ustadi na tabia njema, wanaweza kuiongoza na kuisimamia nyumba na familia kwa njia bora kabisa. Katika familia k a m a h i i , m wa n a u m e atakuwa kiongozi laiki, mstahiki, mwenye hima na mpole. Atadhamini mahitaji ya familia yake kwa njia za halali. Kwa msingi huo, atakuwa mume mwema na mwenye mapenzi kwa familia yake. Uongozi na usimamizi wake kwa familia yake, hautakuwa na misingi ya kutaka kutawala na utumiaji mabavu. Atakuwa mwanaume mwenye kuihami na kulinda familia yake na atakuwa ni mwenye kufanya jitihada kwa ajili ya kutoa miongozo na himaya kwa familia yake na bila shaka atawashajiisha wanafamilia kuelekea upande wa masuala ya kimaanawi.

Nafasi ya mwanamke pia katika familia ina umuhimu m k u b w a m n o . K w a mujibu wa mafundisho ya Kiislamu, jukumu muhimu la mwanamke ndani ya nyumba baada ya kutekeleza taklifu za kidini ni kumkidhia mumewe haja za kindoa. Subira na ustahamilivu wa mwanamke na kuwa pamoja na mumewe katika dhiki na faraja, katika matatizo ya ki jamii na kiuchumi na vile vile kutokuwa na matarajio yaliyo nje ya uwezo wa mumewe, ni mambo ambayo yanaweza kuandaa uwanja mwafaka wa kuweko uhusiano mwema, mzuri na unaofaa baina ya mume na mke. Uhusiano ambao bila shaka utaimarisha pendo lao na kuizatiti ndoa yao.

Katika upande mwingine, mwanamke ni kituo cha huba na mapenzi katika familia na jukumu la kuwalea watoto wema, wastahiki na wenye imani liko katika mabega yake kabla ya mtu mwingine yeyote yule.

Page 17: ANNUUR 1172.pdf

17 AN-NUURJAMAADIUL AKHER 1436, IJUMAA APRILI 10-16, 2015

TANGAZO

Waislamu kote nchini mnatangaziwa nafasi za kidato cha Tano kwa shule zifuatazo:• KIRINJIKO ISLAMIC SECONDARY SCHOOL – SAME – KILIMANJARO • NYASAKA ISLAMIC SECONDARY SCHOOL – MWANZA • UBUNGO ISLAMIC HIGH SCHOO L – DAR ES SALAAM

ISLAMIC PROPAGATION CENTRE• P.O Box 55105,Phone: 0222450069, 0784 267762, 0755 260087 & Fax 022 2450822, Dar es Salaam website :www.ipctz.org

NAFASI ZA KIDATO CHA TANO – 2015/2016Shule hizi ni za Kiislamu zenye lengo la kuwapa wanafunzi taaluma ya hali ya juu na malezi bora ya Kiislamu.Shule hizi ni za bweni za mchanganyiko wa wavulana na wasichana .Zipo tahasusi za masomo (Subject Combinations) ya SAYANSI, ARTS na BIASHARA. Wanafunzi wote wanafundishwa Islamic Knowledge,Introduction to Arabic na matumizi ya compyuta pamoja na kutumia mtandao

(internet) katika kujifunza.Muombaji anatakiwa awe na sifa za kujiunga na kidato cha tano ziolizotolewa na Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi amabazo ni :Ufaulu wa masomo matatu (3) kwa kiwango cha ‘Credit’(yaani A,B+,B au C0 katika mtihani wa Kidato cha Nne, ns Ufaulu usiopungua Daraja la ‘Credit’ au GPA ya 1.6 katika Mtihani wa Kidato cha Nne, na Ufaulu usiopungua Gredi D kwenye masomo yote ya tahasusi (combination).AUUfaulu wa masomo matatu (3) ya tahasusi kwa kiwango cha ‘Credit’ bila kujali daraja alilopata mtahiniwa kwenye matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Nne.

Fomu za Maombi zinapatikana kwa gharama ya shilingi 10,000/= katika vituo vilivyoorodheshwa hapa chini.Mwsho wa kurudisha fomu ni tarehe 15 Aprili, 2015.

Arusha - Ofisi ya Islamic Education Panel, Jambo Plastic, Ghorofa ya 2 mkabala na msikiti Mkuu Bondeni : 0783552414/0762817640.

Kilimanjaro - Moshi: Msikiti wa Riadha :712 216490 - Same Juhudi Studio mkabala na Benki ya NMB Same: 0757 013344. - Same: Kirinjiko Islamic Secondry School: 0784 296424/0655 697 075 - Usangi- Falhum Kibakaya : 0787 142054. - Ugweno – Kifula Shopping Centre- Yusuph Shanga : 078458776.

Tanga - Twalut Islamc Centre – Mabovu Darajani : 0715 894111- Uongofu Bookshop: 0784 982525 - Korogwe: SHEMEA SHOP : 0754 690007/071569008. - Mandia Shop - Lushoto: 0782257533. -Handeni –Mafiga -0782 105735/0657093983

Mwanza - Nyasaka Islamic Secondary School : 0717 417685/0786 417685.- Ofisi ya Islamic Education Panel – Mtaa wa Rufiji mkabala na Msikiti Al-Amin 0785 086 770/0714097362.Musoma - Ofisi ya Islamic Ed Panel -Mtaa wa Karume,Nyumba Na. 05 : 0765024623Shinyanga - Msikiti wa Majengo karibu na Manispaa ya Shinyanga Mjini :0752180426 - Kahama ofisi ya AN –NUUR Karibu na msikiti wa Ibadhi : 0753 993930/0688794040 Dar es Salaam - Ubungo Islamic High School : 0756584625/0657350172 - Ofisi ya Islamic Ed. Panel –Temeke -Msikiti wa Nurul Yakin : 0655144474/0787119531 Morogoro - Wasiliana na Ramadhani Chale : 0715704380.Dodoma - Hijra Islamic Primary School : 0716 544757/0718661992Singida - Ofisi ya Islamic Education. Panel – karibu na Nuru snack Hotel : 0786 425838/0784 928039. Manyara - Ofisi ya Islamic Ed. Panel – Masjid Rahma: 0784491196Kigoma - Msikiti wa Mwandiga: 0714717727 - Kibondo – Islamic Nursery School: 0766406669. - Kasulu: Murubona Isl.SS: 0714710802.Lindi - Wapemba Store: 0784 974041/0783 488444/0653 705627.Mtwara - Amana Islamic S.S: 0715 465158/0787 231007.Songea - Kwa Kawanga Karibu na Msikiti wa NURU : 0713249264/0683670772. - Mkuzo Islamic High School :0717 348375.Mbeya - Ofisi za Islamic Education Panel Uhindini – 0785425319. - Rexona Video mkabala na Mbeya RETICO: 0713 200209/0785425319. Rukwa - Sumbawanga:Jengo la Haji Said –Shule ya Msingi Kizwike 0717082 072.Tabora - Kituo cha Kiislamu Isevya: 0784 944566/0787237342 Nzega -Dk Mbaga-0754 576922/0784576922.Iringa - Madrastun – Najah: 0714 522 122.Pemba -Wete: Wete Islamic School : 0777 432331/0712772326.Unguja - Madrasatul – Fallah: 0777125074. - PANDU BOOKSHOP 0777462056 karibu na uwanja wa LumumbaMafia - Ofisi ya Ust. Yusufu Ally jirani na msikiti mkuu : 0773580703.

USIKOSE NAFASI HII ADHIMU – WAHI KUCHUKUA FOMU SASA!

MKURUGENZI

WABILLAH TAWFIIQ

1

Page 18: ANNUUR 1172.pdf

18 AN-NUURJAMAADIUL AKHER 1436, IJUMAA APRILI 10-16, 2015

Makala/Habari

S H U K R A N I z o t e anastahiki Mwenyezi Mungu, Mola mlezi wa viumbe vyote na tunamtakia zawadi ya rehema na amani zimfikie Bwana wa Manabii na Mitume, Bwana wetu Muhamad na jamaa zake na Sahaba zake na wale wote wenye mwisho. E w e M w e n y e z i Mungu tufundishe yale yenye manufaa na utunufaishe kwa yale tuliojifunza na u t u o n g o z e k a t i k a elimu na utupe ujuzi wa dini, Mwenyezi Mungu tukubalie.

Baada ya utangulizi huu mfupi, umepangilia Uislamu mahusiano ya kibinadamu katika dunia hii na kufanya mahusiano hayo ni ya aina mbili, mahusiano k a t i y a m t u n a Mungu wake, nayo ni kumuabudu Mola wake mlezi peke yake na bila ya kumshirikisha na kitu chochote, na mahusiano kat i ya viumbe sisi kwa sisi. Uislamu umehimiza na kuushughul ikia uhusiano kati ya mtoto na wazazi wake wawili. L a i t i t u k i i a n g a l i a Q u r ’ a n i t u k u f u t u n g e o n a s e h e m u nyingi zilivyojipanga j u u ya m a h u s i a n o ya k ib inad amu na kuyafanya mahusiano ya mwanzo kabisa ni kati ya mja na Mola wa k e m l e z i k i s h a anata ja hapo hapo mahusiano ya wazazi wawili kama ilivyokuja kat ika surat Nisai , anasema Mwenyezi M u n g u m t u k u f u , “ N a m u a b u d u n i

Kuwatii wazazi wawili ni muhimu zaidi kuliko jihadi katika diniM w e n y e z i M u n g u wala msimshirikishe na chochote na wafanyieni wema wazazi wawili na jamaa na mayatima na masikini na jirani wa karibu na jirani wa mbali na rafiki wa ubavuni na mpita njia na walio milikiwa na mikono yenu ya kulia, h a k i k a M w e n y e z i Mungu hawapendi wenye kiburi wanao jifaharisha. Surat Nisai, aya ya (36) na katika S u r a t a l - A n - a a m i amesema Mwenyezi Mungu mtukufu, “Sema njooni nikusomeeni aliyokuharamishieni Mola wenu, nayo ni kuwa msimshirikishe y e y e n a c h o c h o t e n a w a z a z i w e n u wa f a n y i e n i we m a , wala msiwaue watoto w e n u k w a s a b a b u ya u m a s i k i n i , s i s i tunakuruzukuni ninyi na wao, wala msikaribie m a m b o m a c h a f u yanayoonekana na yanayofichikana, wala msiue nafsi ambayo M w e n y e z i M u n g u ameiharamisha kuiuwa ila ikiwa kwa haki, hayo amekuusieni ili myatie akilini”. Surat al-An-aami aya ya (151).

N a k a t i k a S u r a t a l - I s r a i a m e s e m a M w e n y e z i M u n g u mtukufu, “Na Mola wako mlezi ameamrisha kuwa musimuabudu yeyote isipokuwa yeye tu, na wazazi wawili muwatendee wema, mmoja wao akifikia u z e e n a y e y u k o kwako au wote wawili usiwakemee na sema nao maneno mazuri”. Israiaya ya (23).

Na katika aya hizi tukufu na nyinginezo tunafahamu kwamba, kuwatii wazazi wawili na kuwafanyia ihsani na wema na kuishi nao vizuri ni muhimu sana kuliko wajibu mwingine wowote mwengine. Na haya ndio mahusiano ya mwanzo kabisa kuliko hata mahusiano ya mtu mwingine katika maisha haya ya dunia.

N a s i s i t u n a j u a mambo yaliyopo katika

jihadi ya Mwenyezi Mungu kutoka daraja ya juu katika Uislam na ina ubora kiasi gani lakini pamoja na yote hayo, kuwatii wazazi wawili ni bora sana kuliko jihadi na hasa pale wanapokuwa wazazi hao hawana mtu yeyote wa k u wa h u d u m i a i s i p o k u wa m o t t o /watoto pekee.

Imepokelewa toka k wa A b d a l l a h b i n Masoud (ra) amesema, “Nilimuuliza Mtume (saw) ni amali gani a n a y o i p e n d a s a n a Mwenyezi Mungu? Akasema “kuswal i katika wakati wake”. Nikasema kisha nini? Akasema “kuwafanyia wema wazazi wawili”. Nikasema kisha nini? Akasema jihadi katika d i n i ya M we n ye z i Mungu”. Ameipokea Imamu Bukhari.

A k a s e m a M t u m e (saw) kwamba kuwatii wa z a z i wa w i l i n i bora baada ya swala ya faradhi, ambayo ndiyo mahusiano kati ya binadamu na Mola wake mlezi, nayo ni nguzo muhimu katika Uislamu na akapangilia hayo kwa neno “kisha” ambalo humaansiha juu ya utaratibu na akaitanguliza twaa ya wazazi wawili kwanza kabla ya jihadi katika d i n i ya M we n ye z i Mungu mtukufu.

N a a l i k u j a m t u mmoja kwa Mtume (saw) akasema “Ninachukua ahadi juu ya kuhama na jihadi ninahitaji malipo toka kwa Mwenyezi Mungu. Akasema Mtume (saw) “Je unao wazazi wawili au mmoja wao yupo hai? Akasema “ndiyo” bali wote wawili wapo hai. Akasema “je wewe unataka malipo toka kwa Allah? Akasema n d i o ” . A k a s e m a “ r u d i k wa wa z a z i wako wawil i kisha ishi nao vizuri kama walivyokulea wewe ulipokuwa mdogo” Muslim.

Na akaja mtu mmoja k wa M t u m e ( s a w )

akasema “Ni mekuja kuchukua ahadi ya kuhama na jihadi na nimewaacha wazazi wangu wawili wanalia”. M t u m e a k a s e m a , “ r u d i k wa wa z a z i wako ukawachekeshe kama ulivyowaliza” Tirmidhiyi.

Na Al ihama mtu mmoja miongoni mwa watu wa Yemen. Mtume (saw) akamuuliza je, k u n a ye y o t e h u k o Ye m e n ? A k a s e m a “ W a z a z i w a n g u w a w i l i ” A k a u l i z a “ W a m e k u r u s h u ? Akasema “Hapaha” rudi kwao ukawaombe r u h u s a n a k a m a u t a r u h u s i w a b a s i nenda jihadi na kama hawajakuruhusu basi wafanyie wema: Abuu Daudi.

M t u m e ( s a w ) amesema katika kuwatii zazazi wawil i mtu asiende katika jihadi isipokuwa kwa ruhusa zao. Na hili ni katazo la kuacha kutoka kenye jihadi isipokuwa kwa ruhusa zao muda ule ambao hujapata amri ya mzazi.

Al iwahiku ja mtu mmoja kuja kwa Mtume wa Mwenyezi Mungu akamuomba ruhusa ya kwenda katika jihadi, akaulizwa je, wapo hai wazazi wako? Akasema “ndio”. Akasema “ Kwa kuwahudumia wazazi wako ni jihadi”. Bukhari.

N a j i h a d i k w a w a z a z i w a w i l i inakuwa ni kuwatii na kuwahudumia pamoja na kuwalisha na hasa pale mtoto anapokuwa n a u we z o n a wa o hawana uwezo na wao pia ni watu wazima.

N a p a l e w a n a p o k u k a t a z a jambo au kukuamrisha japo kwa ishara kwa sababu wao ni wenye k u k u n a s i h i z a i d i wewe kuliko wewe unavyojinasihi, hata k a m a u t a k u wa n a marafiki au ndugu, lakini sikiliza maneno ya wazazi na maelekezo yao, tena uwatii katika

m a m b o m e m a n a useme nao kwa upole na adabu na utake ushauri katika mambo yako na wala usiwakate m a z u n g u m z o ya o , wala usiinue sauti yako kwao na usiwatazame kwa hasira wala kwa dharau na wala usiinue mkono wako wakati wa kuongea nao, wala kuonyesha kidole, wala usi jadiliane nao na usiwaongopee, na wala usiwambie waongo na usisafiri isipokuwa kwa ruhusa yao na kukubali kwao na ndio ihsani yao.

Kutoka kwa Muawia Assalami (ra) amesema nilimwendea Mtume nikamwambia, “Mimi nimejiandikisha niende vitani” pamoja na wewe kwa kutaka radhi za Mwenyezi Mungu na pepo yake. Akasema “ole wako, je yu hai mama yako? Nikasema, “ndiyo ewe Mtume wa Mwenyezi Mungu”. A k a s e m a “ S i k i a , shikamana na miguu yake kwani hapa ipo pepo” . Ameipokea Ibnu Maja na maana ya kushikamana na miguu ya mama ni “Mtii na unyenyekee kwani kufanya hivyo ni sababu ya kuingia peponi.

T u n a m u o m b a M w e n y e z i M u n g u a t u j a a l i e t u w e miongoni mwa wale wanaowati i wazazi wao, kuwaridhisha mama zao na atufufue pamoja na Manabii na Mitume na watu wema, tuwe na urafiki mwema nao. Ewe Mwenyezi Mungu mpe rehema na amani Bwana wetu Muhamad na jamaa zake na Sahaba zake kwa wingi, nashukrani zote anastahiki Mwenyezi Mungu, Mola mlezi wa ulimwengu.

M a k a l a h i i imeandaliwa na Sheikh Salah Sayed Huseni Miftah, mwalimu wa al-Azhari Sharif tawi la Tanzania

Page 19: ANNUUR 1172.pdf

19 AN-NUURJAMAADIUL AKHER 1436, IJUMAA APRILI 10-16, 2015Makala ya Mtangazaji

NABLUS (Ma'an) -- Israeli forces separate the northern West Bank from Ramallah Thursday morning as an Israeli marathon takes place on the main north-south arterial open to Palestinians.

The Ramallah-Nablus road, also marked as Route 60, is expected to be closed from 6:00 am to 1:00 pm. Palestinians were told to use the Yatma-Qabalan road for those exiting Nablus going to Ramallah.

Witnesses told Ma'an that Israeli forces and police were deployed on the road from the Ariel settlement, the marathon's start point, as well as at the Zaatara checkpoint in southern Nablus.

A factional coordination committee in Nablus called Thursday for the day to be a "popular anger day," calling on Palestinians to prevent the marathon from taking place.

The committee also called for a rejection of Israel's decision of preventing cars from using the road.

Since the signing of the Oslo Accords, Palestinians have not been able to travel

Israeli marathon shuts down main West Bank arterialfreely on Route 60, which is spotted with Israel i checkpoints when the road passes from areas under Palestinian Authority or Israeli military control.

In addition to checkpoints, Israeli authorities established several 'bypass roads' , enabling Israel traffic to bypass areas of Route 60 that passed through Palestinian jurisdiction.

Thursday's marathon falls than two weeks after the "Right to Movement" marathon which took place in Bethlehem last month.

Marathon participants ran loops of an 11 kilometer route, as race organizers were unable to find any contiguous stretch of 42 kilometers which Palestinians were able to travel on.

RAMALLAH, (WAFA) – The Higher National Committee in Charge of Following up with the International Criminal C o u r t h a s r e c e n t l y condemned the arbitrary administrative detention of member of Palestinian Legis la t ive Counci l Khalida Jarrar.

In a press statement i ssued Tuesday , the committee also denounced the arbitrary decision of the Israeli military authorities sentencing Jarrar to six months under administrative detention.

The committee said that it holds the Israeli authorities responsible for Jarrar's ‘life and security’ and asser ted that i t would continue “to make serious efforts to hold Israel, as an occupying power, accountable for its egregious violations of international law.”

The committee further

PLO Condemns Arbitrary Administrative Arrest of Legislative Council Lawmaker

affirmed that the arrest of Jarrar was politically motivated and came as a punishment for Jarrar's national activism and membership in the ICC National Higher Committee.

“ I s r a e l c o n t i n u e s its policy of collective p u n i s h m e n t a n d retribution against the Palestinian people and their elected leadership,” the committee stated.

T h e s t a t e m e n t o f the Nat ional h igher Committee read, “The I s r a e l i o c c u p y i n g authorities deliberately undermine the efforts made by the Palestinian l e a d e r s h i p a n d i t s e n d e a v o r s t o h a v e recourse to international legitimacy for the purpose of realizing the rights of our people and safeguarding the security,” remarked the committee.

Slamming the Israeli

practices and unilateral policies including arrest a n d e x p u l s i o n t h a t threaten the members of the PLC as illegal, the committee further remarked that : “The Israeli practices constitute a flagrant violation of t h e I n t e r n a t i o n a l Humanitarian Law and H a g u e C o n ve n t i o n s of 1907 that prohibit occupying powers to make any changes in the legislative status quo of the occupied country.”

“Likewise, the Israeli pract ices violate the Geneva Conventions and the Article (7) of the ICC Rome Statute that prohibit the arbitrary deportation, arrest and persecution of civilians, which are considered 'crimes against humanity' punishable by the law.”

The statement professed t h e a d m i n i s t r a t i v e arrest of Jarrar is an

‘outrageous violation of her parliamentary immunity’. It also referred to the obnoxious living conditions of Palestinian political prisoners in Israeli jails and the policy of collective punishment, suppression and solitary confinement imposed on them by the Israeli prison administration.

Fifteen PLC members have faced administrative detention including eight against whom military have been issued.

T h e C o m m i t t e e c a l l e d o n t h e H i g h C o n t r a c t i n g Pa r t i e s to the Fourth Geneva Convention, the Intel-Parliamentary Union, the Euro-Mediterranean Parliamentary Assembly and international legal institutions to intervene and exert pressure on Israel to immediately and unconditionally release Jarrar and all male and female detainees in Israeli jails.

RAMALLAH, (WAFA) – Prime Minister Rami Hamdallah Wednesday said the Palestinian Authority was mulling to refer the issue of its withheld tax revenues, now frozen by

PM Hamdallah: PA to Refer Israel’s Freeze of Tax Revenues to ICCIsrael for fourth months, to the International Criminal Court (ICC).

During an event on c o u n t e r - c o r r u p t i o n i n Ramallah, Hamdallah said the government has so far

dispatched four letters of protest to Israel, regarding the latter’s “illegal deduction” of some 1.05 billion shekels (about $267 million) from the tax revenues it had returned to the PA last week.

PA returned the revenue and insisted that Israel returns the amount in full and refrain from unilateral deductions without the consent of PA.

Hamdallah, upon the instruction of President M a h m o u d A b b a s , demanded the creation of an international body to look into these deductions, and to refer the issue to the United Nations Commission on International Trade Law in case Israel persists on its position.

Since January 2015, Israel has been withholding about $600 million in tax revenues collected on behalf of the PA. The move was in response to PA’s accession to the ICC, through which PA can sue Israel for war crimes committed in the Gaza Strip during the 2014 summer aggression.

Under the Protocol on Economic Relations signed in 1994, Israel transfers $127 million to PA each month in customs duties levied on goods destined for Palestinian markets that transit through international borders.

Israel has frequently resorted to halting the transfer of Palestinian tax revenues and exploited it as a political instrument intended to punish the Palestinians for their political choices and attempts to secure the establishment of their state through international diplomatic means.

As a result of the Israeli measure , PA has been incapacitated from fully pay ing approx imate ly 170,000 public servants on its payroll, which costs between $160 and $170 million a month.

Page 20: ANNUUR 1172.pdf

20 AN-NUURJAMAADIUL AKHER 1436, IJUMAA APRILI 10-16, 201520 MAKALA AN-NUUR

20 JAMAADIUL AKHER 1436, IJUMAA APRILI 10-16, 2015

Gazeti hili hutolewa na Islamic Propagation Centre S.L.P. 55105 na kupigwa chapa na POA Printing Works LTD, S.L.P. 4605, Dar es Salaam.

MWISHO WA KURUDISHA FOMU NI TAREHE 15 APRIL 2015 BADALA YA

15 MEI 2015 ILIYOKUWA IMETANGAZWA AWALI.

WALE WOTE WALIOKIWISHA KUCHUKUA NA WANAOENDELEA

KUCHUKUA FOMU HIZO WANATAKIWA KUZINGATIA TAREHE HII MPYA.

WAHI KUCHUKUA NA KURUDISHA FOMU YAKO SASA!

WABILLAHI TAWFIQ

MKURUGENZI

ISLAMIC PROPAGATION CENTRE (IPC)TANGAZO

MABADILIKO YA TAREHE YA KURUDISHA FOMU ZA KIDATO CHA TANO KWA SHULE ZA IPC

Tanzania Muslim Hajj Trust, uandikishaji unaendelea, gharama za Hijja ni US Dollar 4400, tarehe za Safari ni: 11 na 13 Septemba, kurudi 7 Oktoba, 2015.

Wahi kujiandikisha sasaKwa mawasiliano:+255 2221815770786 3838200713 764636

Safari ya Hijja Hijiria 1436

+255 222 1823700754 261910; 0717 0000650784 272723website-www.hajjtrust.or.tz

ILE KESI iliyofunguliwa na Masheikh katika Mahakama Kuu dhidi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali wa Jamhuri ya Muungano T a n z a n i a , k u p i n g a utaratibu wa serikali kuipa BAKWATA uwezo rasmi wa kisheria kusimamia mambo ya Waislamu na kuteua Makadhi nchini, imeondolewa lakini kwa serikali kupewa masharti.

Masheikh waondoa kesi Mahakama KuuSerikali yapewa masharti

Na Abu Yusufu Wa k a t i s h a u r i h i l o l i l ipoanza kusik i l izwa Jumatano wiki hii katika Chamber Court No:68 ya Mahakama Kuu ya Tanzania, Majaji watatu wanaosikiliza shauri hilo No 17 la 2015, Jaji Stella Mugasha, Jaji Sylvester Mziray na Jaji Suleiman K i h i y o , w a l i w a o m b a Mawakili wa Masheikh hao wakiongozwa na wakili Juma Nassor, kuiondoa kesi hiyo ikizingatiwa kwamba tayari muswada wa mahakama

hiyo umeshaondolewa na serikali na hautapelekwa tena Bungeni.

“ J a m a n i p a m o j a n a kwamba kesi hii imekuja kusikilizwa leo (Jumatano), lakini taarifa rasmi ambazo na Mahakama inazitambua ni kwamba, huo muswada ambao unaleta malalamiko umeondolewa Bungeni, haupo tena. Kwa hivyo mnasemaje? Sisi kwa maoni yetu tunaomba kesi hii iondolewe”. Walishauri

upande wa Majaji.Hata hivyo kabla ya

kufikiwa maamuzi hayo, M a wa k i l i wa u p a n d e wa u t e t e z i wa l i o m b a kushauriana na wateja wao kwanza, ambao ni Masheikh waliofungua kesi hiyo, Sheikh Sheikh Rajabu Katimba, Sheikh Fadhili Chambo, Sheikh Juma Ramadhan na Ramadhan Lwambo.

Baada ya kushauriana walikubaliana kuiondoa kesi hiyo lakini kwa masharti. K wa m b a wa n a i o n d o a kesi mahakamani lakini wanakuwa huru kuiwasilisha tena Mahakamani hapo, e n d a p o s e r i k a l i b a d o itaendelea na msimamo wake wa kuwasilisha sheria Bungeni, ambayo itaendelea kuitambua taasisi moja ya Bakwata na kumtambua Mufti kuwa ndiye mtu ambaye atateuwa Mahakama ya Kadhi na kusimamia Mahakama ya Kadhi.

V i l e v i l e wa l i w e k a

tahadhari nyingine kwamba, iwapo serikali italeta sheria ambayo itakuwa inatambua Mahakama ya Kadhi badala ya kuiunda Mahakama hiyo ya Kadhi, pia jambo hilo litawafanya warudi tena Mahakamani kuwasilisha kesi ya kikatiba kuishitaki serikali.

Baada ya ho ja h izo , Mahakama iliridhika na kutoa ruhusa h iyo ya kuondolewa kesi, lakini endapo serikali ikaendelea kwenda kinyume, watakuwa huru kuwasilisha tena kesi yao.

“ K i n a c h o t a k i w a n a Waislamu na hasa wateja wetu ni kwamba, serikali isibague taasisi hizi za Kiislamu linapokuja suala la Waislamu, ishirikishe taasisi zote na ipate muafaka na hizi taasisi badala ya kuchagua taasisi moja na kubagua taasisi nyingine. Tunachohitaji ni usawa baina ya Waislamu katika mambo yao na sio kubaguliwa baina yao” alisema Wakili Juma Nassoro.

WAKATI ulinzi ukiwa umeimarishwa kat ika msimu wa Pasaka, Wakenya wamechachamaa wakitaka majibu mara moja kwa nini polisi na vikosi vya usalama vilishindwa kuzuia mauaji ya maangamizi katika Chuo Kikuu cha Garissa.

Makanisa nchini Kenya yaliongezewa ulinzi kwa ajili ya usalama wa waumini wake katika sikukuu ya Pasaka, kufuatia mashambulizi yal iyofanywa na watu wenye silaha katika jengo la Chuo Kikuu cha Garissa wiki i l iyopita, ambayo yalisababisha mauaji ya watu 148 na wengine kadhaa kujeruhiwa.

Kuanzia Jumapil i (5 A p r i l i ) , p o l i s i wa w i l i waliovalia sare na wakiwa na bunduki aina ya AK-47 walionekana wakilinda jengo la Kanisa Kuu la Holy Family Basilica jijini Nairobi. Asilimia 83 ya Wakenya ni Wakristo miongoni mwa raia milioni 44 wa nchi hiyo.

Mamlaka nchini Kenya zimeweka amri ya kutotoka nje wakati wa usiku katika Kaunti nne zinazopakana na Somalia.

Kenya ina mpaka wa kilomita 700 kati yake na Somalia.

H e l i k o t a z a k i j e s h i z i m e t u m w a k w e n y e ukanda wa pwani, ambao ni mashuhuri kwa shughuli za kital i i na umekuwa ukilengwa na mashambulizi ya yanayodaiwa kuwa ya kigaidi.

T a a z i f a z i n a e l e z a kuwa mpaka sasa watu watano wanasemekana

Serikali Kenya yakosolewakushindwa kuzuia mauaji

kukamatwa wakihusishwa na mashambulizi hayo n a k u d a i w a k u w a , Wa n a m g a m b o w a n n e waliofanya mauaji hayo ya maangamizi waliuawa na vyombo vya usalama.

Hata h ivyo vyombo vya habari nchini Kenya vinavilaumu vyombo vya usalama kwa kuchukuwa muda mrefu kabla ya kutuma wanajeshi katika eneo hilo la mauaji.

Gazeti la Nation lilisema iliwachukuwa wanajeshi kiasi cha saa saba kufika Garissa baada ya kupokea taarifa za awali juu ya mashambulizi hayo.

Kwa mujibu wa gazeti hilo, vyombo vya usalama vilifika kwa mwendo wa taratibu sana ikilinganishwa na waandishi wa habari waliotoka Nairobi, umbali wa kilomita 635.

Hata hivyo, msemaji wa Wizara ya Mambo ya Ndani, Mwenda Njoka, aliitetea kasi ya kutumwa kwa vikosi vya usalama akisema huwa inachukua muda mrefu kutathmini na kufanya maamuzi.

" K u t o k a K a m a t i ya Ushauri wa Usalama wa Taifa kwenda Baraza la Usalama wa Taifa na kisha kukusanya vikosi, kuvipeleka uwanja wa ndege na kuwasafirisha hadi Garissa, ambao ni mwendo wa masaa mawili kwa ndege." Alinukuliwa akisema msemaji huyo.

Hata hivyo kuna taarifa i l i y o p a t i k a n a s i k u ya Jumapili (Aprili 5) kwamba mmoja wa washambuliaji hao wa Chuo Kikuu Garisa,

alikuwa mtoto wa kiume wa Afisa mmoja wa serikali.

Njoka alisema mtoto huyo wa kigogo, Abdirahim Abdullahi, alikuwa mmoja wa watu wanne waliolivamia jengo la Chuo Kikuu cha Garissa siku ya Alhamisi.

Af isa mmoja kutoka eneo hilo ambaye hakutaka kutajwa jina, alisema kijana huyo alikuwa mwanafunzi wa Sheria kwenye Chuo Kikuu cha Nairobi na kwamba alijiunga na al-Shabaab baada ya kuhitimu masomo yake mwaka 2013.

"Bab a yake a l ikuwa ameripoti kwenye vyombo vya usalama kwamba kijana wake ametoweka nyumbani ... na alikuwa akisaidiana na polisi kumfuatilia mwanawe wakati mashambulizi ya Garissa yalipotokea," Njoka aliliambia shirika la habari la Reuters. Baba yake Abdullahi ni chifu kwenye Kaunti ya Mandera.

H a t a h i v y o j a m b o linalowashangaza wengi ni kwamba iweje ziwepo taarifa za mtoto huo wa kigogo wa serikali kujiunga na Al-Shabaab, halafu anajulikana kuwa anasoma Chuo cha Garisa na zisichukuliwe hatua zozote.

M a u a j i y a G a r i s a yanaelezwa kuwa makubwa kabisa nchini Kenya tangu yale ya mwaka 1998 dhidi ya ubalozi wa Marekani jijini Nairobi.

Mwaka 2013, jengo la maduka la Westgate mjini Nairobi lilivamiwa na watu 67 kuwauwa baada ya kulishikilia jengo hilo kwa siku nne. (DW).