ANNUUR 1054.pdf

Embed Size (px)

Citation preview

  • 7/29/2019 ANNUUR 1054.pdf

    1/8

    9AN-NUU

    RABBIUL AWWAL 1434, IJUMAA JANUARI 18 - 24, 20Makala

    WAISLAMU duniani kotewanasoma Aya za Qurankwa sauti nzuri na Qiraaza kupendeza. Karibu kilakhutba, mhadhara au mada za

    Waislamu zinamrejea Mtumewa Mwenyezi Mungu (saw).Quran yenyewe imekuwahalisi kwa wanadamu kupitiamaisha ya Mtume huyu waMwenyezi Mungu.

    Kuna Aya katika QuranT u k u f u z i n a z o m r e j e aMuhammad (saw) moja kwamoja kama shujaa na kiigizochema kwetu: Bila shakamnao mfano mwema kwaMtume wa Mwenyezi Mungu,kwa mwenye kumuogopaMwenyezi Mungu na sikuya mwisho, na kumtajaMwenyezi Mungu sanaQur(21:33).

    Kama mfano mwema watabia ya binadamu, Mtumeameziteka fikra na hisiaza mabilioni ya Waislamuduniani kote, kwa zaidi yakarne 14 zilizopita. Mgusowa kihisia wa Waislamu kwaMuhammad (saw) kusemaukweli ni mkubwa sana nahauna shaka kabisa, lakinimshikamano wa kifikra naMtume wa Mwenyezi Mungu,

    bado shida kubwa miongonimwa Waislamu.

    Kusema ukweli, Waislamuwachache sana tumefanya

    j i t ihada z inazohi ta j ikakumfahamu Mtume kamaMkuu wa nchi, Mlinzi waItikadi (Aqidah) na Jemedariwa Majeshi. Sisi tunapendeleazaidi kuwa na Mtume wakiroho tu, au Mtume waKimaadili au Mtume wakidini. Na hapa ndipotulipomuangusha Mtume waMwenyezi Mungu.

    T u n a w e z a k u e l e w ajinsi fikra za Kimagharibizinavyotapatapa zikitafutamaainisho ya kisekula kuhusuuhai na uwepo wa MwenyeziMungu. Ha tukuba l ian inayo, lakini tunaelewa

    ji ns i in av yo ku ja . La ki nitukijiangalia wenyewe kamaWaislamu, vipi tunaweza

    kutoa ufafanuzi wa kumuwekaM t u me w a M w e n y e z iMungu katika mazingira yakisekula?

    Nini kinaweza kufafanua,katika karne zote hizi 14tangu Hijra, kushusha Sunnahza Mtume wa MwenyeziMungu kuishia kwenyemapishi, mavazi, kupigamswaki, afya na masualamengine binafsi? Yukowapi Mtume aliyehangaikaMakkah kwa miaka 13,akivumilia manyanyaso,kuvunjiwa heshima, matesokwa wafuasi wake, kutengwa

    Mtume amenyooka, harakati zetu zimepinda!WAKATI Waislamu duniani kote wakijiandaa kuadhimisha siku ya kuzaliwa MtumeMuhammad (saw), nadhani ni fursa nyingine adhimu ya kumueleza Mtume huyu waMwenyezi Mungu kwa usahihi na jinsi alivyoendesha harakati zake za kusimamisha diniya Allah katika ardhi. Mbinu alizotumia, mipango aliyobuni na mikakati aliyoweka mpaka

    Uislamu ukasimama katika kiwango cha juu kabisa, ndiyo dira inayopaswa kufuatwana wanaharakati wote duniani, wakiwemo wa Tanzania, kama harakati zao zinalengakusimamisha Uislamu. Fuatana na Mchambuzi wako SAID RAJAB katika makala hii.

    kijamii, kuwekewa vikwazovya kiuchumi, na hatimayemajaribio ya Washirikina wa

    Makkah kutaka kumuua?Fikra za Waislamu dunianileo bado hazijazama kiasi chakutosha na kutoa mwelekeo wasuala hili muhimu. Matokeoyake ni kuongezeka kwaidadi ya Waislamu dunianiambao wametengwa kijamii,wameenguliwa kisiasa nakukandamizwa kiuchumi.

    Hii haiwezi kuendeleamile le . Lazima tuanzekumfuata Mtume wetu, siyotu kwenye mambo mepesitunayoyapenda, bali hata yalemazito aliyoyafanya, ambayoyamewaletea Waislamuheshima na ushindi dhidiya makafiri. Makala hii fupiinalenga zaidi kuangalia, japokwa uchache, tabia njema zaMtume wa Mwenyezi Munguna yale aliyoyafanya katikaharakati zake za kusimamishasheria ya Allah katika ardhi.

    Je? Mtume wa MwenyeziMungu alianza na taratibu zaIbada au Itikadi? Waislamuwote tuna jua kwambawatu wa mwanzo kabisakumkubali Muhammad (saw)kama Mtume wa MwenyeziMungu, walikuwa mke wakeKhadijah, ndugu yake Ali,mtoto wake wa kumlea Zaidna rafiki yake Abubakar. Tuna

    maana gani tukisema watuhawa walikubali ujumbewake? Ujumbe wenyewe

    ulikuwa nini wakati ule?Alikuwa akimuhimiza kilamtu kuswali? Au jinsi yakuoga janaba? Au alikuwaakiwaletea mpangilio mpyawa majukumu?

    Nadhani ni wazi kabisakwamba katika hatua hii yaawali kulikuwa hakuna hajaya taratibu za Swala, Zaka,Swaumu wala Hijja kamatunavyozielewa leo. Mtumewa Mwenyez i Mungu,ambaye ndiye kiigizo chetu,hakuwa akiwataka watukuwa Waislamu wa taratibuza Ibada. Hizi taratibu zaIbada zilikuja muda mfupikabla au baada ya Hijra yakuelekea Madina. Kwa zaidiya miaka kumi timilifu,Muhammad (saw) alikuwaakijaribu kuwasiliana na watuwa jamii yake kuhusu kitufulani, ambacho walikuwawakikipinga vikali. Bilashaka kitu hicho siyo taratibuza Ibada za Kiislamu. Mtumew a M w e n y e z i M u n g ualikuwa akijaribu kukusanyadhamira za mtu mmojammoja, ili kuleta mabadilikomakubwa ya kijamii (SocialTransformation). Alikuwaa m e l e n g a , h a t i m a y ekutokomeza kabisa mpangilio

    wa kijamii na kiuchumi(socio - economic order)uliotawala Makka wakati

    ule, na kuleta mpangiliompya unaotokana na Wahyialiokuwa akipokea kutokakwa Mwenyezi Mungu.

    Mchakato huo umewekwakwa muhtasari na Waislamukwenye nguzo ya Imaniau tangazo la Utii, ambalolinamfanya Mwenyezi Mungukuwa mwenye Mamlaka pekeeya mwisho kwa binadamu, naMuhammad (saw) ni mjumbewake, ambaye anawasilishana kuafafanua ukweli huu.

    Wakati Muhammad (saw)alipoanza harakati zake hizo,ambazo zilimchukua maishayake yote, kama walivyokuwaMitume waliopita kablayake, aligusa mahusiano yakijamii na ya mtu mmojammoja. Aligusa mahusianoya watu ambao kwa miakaarobaini alikuwa karibu nao,na wengine alizaliwa nao, nawengine walikua pamoja nawengine aliishi nao.

    W a k a t i M t u m e w aMwenyezi Mungu alipoanzaharakati zake za kusimamishasheria ya Mwenyezi Mungukwenye ardhi, tunajifunzakutoka kwenye historiakwamba watu wachachesana walijitolea mali nanafsi zao kuungana naye

    katika kusambaza ujumbe wQuran. Lakini wakazi wenwa Makka walimkataa nkumpinga.

    Katika miaka hii yawali, Waislamu madhubuwaliokuwa karibu na Mtumw a M w e n y e z i M u n gwalilazimika kuficha ukwekwamba wameshaachana n

    jamii yao, hususani katiknyanja za uchumi, siasna mwenendo wa kijamiHata Abubakar (ra), ambayalikuwa kiongozi katika ukowake, na mtu aliyeheshimiksana miongoni mwa vigogwa Makka alilazimika kufichutii wake mpya.

    Kadri muda ilivyokwendwatu wengine wa Makkwakawa Waislamu. Vigogkama Talha bin Ubaidilla

    Saad bin Abi-WaqqaAbdulrahman bin Auf, Zube

    bin Awwam, Uthman biAffan na wazito wenginZaidi ya watu mia mbili mjiMakkah wakahama kutokushirikina na kuingia kwenyUislamu. Lakini kadri idaya Waislamu ilivyokuwikiongezeka, ndipo upinzadhidi yao ulipozidi kuwmkali.

    Pia imenukuliwa katikhistoria kwamba wakaMtume wa Mwenyezi Mungalipoanza daawah yakalipita nyumba kwa nyumbakijaribu kuwafafanulia wa

    kuhusu umuhimu wa kutmamlaka ya MwenyeMungu, badala ya kutmamlaka za kidunia. Aliwezkufanya hivyo bila ya kulemgongano kwa sababu yheshima kubwa aliyokuwnayo katika jamii. Ujumbwake ulikuwa kumfuaM w e n y e z i M u n g u nkumtii kikamilifu, badaya kumuabudu tu. Watwaliposhawishika na ujumbhuu, walikubaliwa katikkundi la Waislamu wa awaMuungano huu wa Kiitikawa Waislamu wa mwanzh a u k u a n z i a ms i k i t i nKulikuwa hakuna MisikiMakka wakati ule, na wahakuna mtu aliyeujenga. Hahivyo, palikuwa na maha

    pa ku ku ta ni a pa li po it wDar ul - Arqam, ambapMtume wa Mwenyezi Mungaliwafundisha Waislammaana za Aya za Qurazilizoshuka wakati ule. PaWaislamu walisoma kwa kinmaana za Aya za Quran nkuzifanyia kazi.

    Dar ul- Arqam piwanatueleza wanazuoni whistoria, lilikuwa kimbilla Waislamu hawa wa awa

    Inaendelea Uk. 1

    KUMRADHI katika picha wa kwanza kulia ni Sheikih Musa Juma na si Sheikh Mselemkama ilivyochapishwa katika toleo lililopita.

  • 7/29/2019 ANNUUR 1054.pdf

    2/8

    10AN-NUU

    RABBIUL AWWAL 1434, IJUMAA JANUARI 18 - 24, 20Makala

    Na Khalid S Mtwangi

    KUNDI la maaskofu naviongozi wengine wa madh-hebi mengi ya Kikristoyametoa tamko kali sanakuhusu uhusiano kati yaWakristo na Waislamuhumu nchini . Tamkohilo limetolewa chini yataasisi inayoitwa TanzaniaChristian Forum. Kwanza

    hayo ni maajabu makubwakwa vile baadhi ya madh-hebi katika muunganohuo huwa hawaelewanikabisa katika mamboya imani, hasa kati yawale wanmaojulikanak a m a W a l o k o l e n aKanisa Katoliki. HawaWalokole, ama Pentecostehumwita Baba MtakatifuPapa kuwa anaenezaushirikina (purbveyporof superstition). Leo hii niajabu hapa petu Tanzaniah a w a w a m e u n g a n akuwapiga vita Waislamu.

    Hakika itakuwa sahihikabisa kulitafsiri lile tamkolao kama ni tangazo la vitakati ya Wakristo kwa upandemmoja na Waislamu upandewa pili, hata kama vita hivyompaka sasa ni vya kujibishanamaneno tu. Serekali kuuikiwa kati ama kuwasaidiawale walio tangaza vita hivyoama kuhakikisha kuwa kilasiku haki inapatikana kwakila Mtanzania. Ni kutimiza

    ju kumu la ku to a haki tukwa Wananchi wote ndiokutaweza kuepusha madhara

    yanayoweza kutokana na vitahivyo angalau vya maneno.Ikubalike kuwa vita hivihavitokani na wao Maaskofukuhubiri mafundisho ya diniyao kwa mfano kumkubaliYesu kuwa mkombozi naMtoto wa Mungu na ni Mungualiyekuja akiwa katika wajihiwa BinAdam. Wanaaminikuwa hayo ni mafundishoyake Yesu hata kama ushahidihauwahakikishii hivyo. Nawanaotoa ushahidi huo maranyingi sio Waislamu tu bali

    baadhi ya Wakr is to hasa

    Tamko la Maaskofu wa Tanzania-Christian Forum lina ukweli wowote?

    PAPA Benedict XVI ASKOFU mkuu wa KKKT

    wale wasomi wachambuzi waBiblia na waandishi vitabuwa huko Ulaya.

    Kinachogomba hapa nikuwa huyu Yesu ambayeWaKristo wanambambikasifa zote hizo ni Rasu-ul-LlahIssa AS kwa Waislamu. HawaWaislamu wanatakikanakumpa heshima maalumakiwa Mtume na Mjumbe wa

    Mwenye ezi Mungu, lakinini MTUME na MJUMBEtu. Wanapohubiri hivyo nilazima wajulishe wauminiwao kuwa hakika waohawana ushahidi kuwa Yesuni Mungu ama Mtoto waMungu, sasa ni haya ndiyoyanawaudhi waumini wa diniya Kikristo na viongozi waoyaani mapadri wachungajina maaskofu. Lakini hawanahaki ya kuchukia hivyo kwasababu hiyo ndiyo imani yaWaislamu na wahubiri waowanawafundisha hivyo. Ni

    baa dhi ya hawa viongozi

    wa Kikr i s to nd io naowanawahubiria waumini waokuwa Uislamu ni dini ya giza,Mtume Muhammad SAW niMtume bandia. Haya ni ya kilasiku Waislamu wanafahamu.Kwa hilo hawa Waislamuwanastahili sifa ya uvumilivukwani wao hawajatoa kaulikali ya kuwalaani viongoziwa Kikristo kwa kuhubiriuwongo huo.

    Swali muhimu hapa nikujiuliza mwananchi yeyoteanayeipenda nchi yake kamailikuwa lazima kwa hawa

    watumishi wa Mungu kutoavitisho kama vilivyomokatika tamko lao. Hivihaikuwezekana kupitia njianyingine kujaribu kutatuatatizo hawa watumishi waMungu wanaloliona linaathirimstakbali wa Tanzania? Ubayazaidi ni kuwa tamko lao linamisingi ya mambo ambayosi ya kweli, ni ya kuzusha

    yakiambatana na hoja zi siokuwa na mantiki. Kwanzahebu wasomaji watafakarishutuma za ati Waislamuwanaukashifu Ukristo.Imeelezwa huko nyumamahubiri ya hawa Watumishiw a M u n g u k u mu h u s uwanayemwita Yesu Kristo.Hakuna haja ya kurudiatena kuwa huyu ni Maja naMtume wa Mungu tu katikamafundisho ya Waislamu.

    Ni binadamu aliyezaliwa namama akanyonyeshwa nakutahiriwa kama wanaumewengine. Sasa kimantiki tu,

    haiwezekani aliyemshikamtoto huyu Yesu akamtahiriaamini kuwa huyu ndiyeMungu wake Mkuu. Kwahiyo wakimwita hivyo nakutokukubali kuwa ni Mtotowa Mungiu ama ni MunguWaislamu wanasema kamawanavyofundishwa na imaniyao. Hakuna zaidi ya hayo.

    Jambo moja kubwa ambaloWaislamu wanalilalamikiasana ni kule kunyimwa hakiyao. Hii kwa kiasi kikubwainatokana na kile Waislamuwanakiita MFUMOKRISTO.

    Neno hili linawaudhi sanahawa watumishi wa Mungu;lakini wangekuwa watuwanaopenda kutoa hakiwangetambua na kukubalikuwa hakika uko huoMFUMOKRISTO hapanchini ambao pia unawaathirisana Waislamu. Wanalowezakufanya na wafanye kwaufanisi kabisa ni kuwahubiria

    waumini wa makanisa yaowakisisitiza kuwa watumishiSerekalini watoe haki bilaupendeleo mkubwa kwaWakristo wenzao, hukuWaislamu wakinyimwa hakizao. Baba Askofu MkuuElineza Sandoro wa KKKTanahubiri mara nyingi sanakuwa pale ambao hapana hakihapawezi kuwa na amani.Huyu mzee anasoma Bibliagani kama sio ile anayosomaAskofu Mkuu Mokiwa; ileya Askofu Bruno Ngonyanilabda inaweza kuwa tofautikidogo. Hata hivyo lazima

    inaagiza kutoa haki. Wasomiwengi wanasema kuwa Yesualikuwa mwanamapinduziak i te tea sana hak i zawanyonge. Ninyi mnaojiitawafuasi wake Je?

    Ilipotangazwa kuwa sikuya Jumamosi nayo itakuwa nisiku ya mapumziko uwongomwingi ulitolewa kufichakwa nini hasa siku hiyo nayoimeteuliwa kuwa siyo siku yakazi. Ilitambuliwa kuwa idadiya waumini wa makanisay a P e n t e c o s t i l i k u w aimeongezeka marudufu

    nchini humu kiasi kwambsiku ya Jumamosi ofisi nyinzilibaki tupu. Hawa waumihawakufika kazini hata kamwalikuwa hawakupata ruhuya kuhudhuria ibada sikhiyo ya SABATO. Hutokekuwa Waislamu hawaparuhusa ya kuhudhuria ibadsiku ya Ijumaa. Ni kwsababu MFUMOKRISTuna nguvu sana nchini humndio ilikuwa rahisi kabiskutangaza kuwa Jumamoitakuwa siku ya mapumzikMpaka leo hii inakuw

    vigumu sana kwa wanafunwa Kiislamu kuhudhuribada siku ya Ijumaa. Kwvile sio siku ya mapumzikw a a l i m w a K i k r i s tmashuleni huwakoseshmakusudi wanafunzi hamasomo yaliyomuhimkabisa. MFUMOKRISTunafanya kazi. Linakuwni jambo la ajabu kabishawa watumishi wa Mungkuwakasirikia Waislamwanaposema kuwa kunMFUMO KRISTO nchinhumu kwa vile mfumo huumekuwemo tangu wakati w

    ukoloni na haujabadilishwIla tu hivi sasa unatumiwsana kuwanyima Waislamhaki zao. Nitoe mifani miwitu, ingawa ni rahisi kujazkitabu kizima kikiwa nmifano ya kuhakikisha kuwMFUMOKRISTO upo nunaishi na afya yake nzurtu.

    Kuna ushahidi kuwkuna Waislamu wa Linwalihangaishwa sana kupaleseni ya kuendesha shuyao walioijenga kwa nguvzao wenyewe. Walikuww a k i z u n g u u s h w a k wtakriban mwaka mzimkila mara wakiambiwhawajakamilisha hiki ama kilWaziri wa Elimu ya wakati uambaye ni Mkristo aliingilkati alipotambua kwambwakati hawa WaSwahiwa Lindi wanahangaishwkulikuwa na Padiri Mzungambaye alipewa leseni ykuendesha shule kwa urahikabisa wakati naye alikuwhajakamilisha masharti fulanWatoa leseni walikuwa wote

    RAIS Jakaya Kikwete.

    Inaendelea Uk. 1

  • 7/29/2019 ANNUUR 1054.pdf

    3/8

    11AN-NUU

    RABBIUL AWWAL 1434, IJUMAA JANUARI 18 - 24, 20Makala

    Mtume amenyooka, harakati zetu zimepinda!Inatoka Uk. 9

    ambapo walihisi wakokaribu zaidi na MwenyeziMungu na Mtume wake, kilashinikizo dhidi yao kutokakwa Washirikina wa Makkali l ipozidi . Waliendeleakukutana pale kwa sirimpaka Mwenyezi Mungualipotoa maelekezo, ambayoyalifungua ukurasa mpyawa mahusiano baina yaWaislamu na Washirikinawa Makka: Basi yatangaze

    uliyoamrishwa (wala usijali

    upinzani wao) na ujitengembali na (vitendo vya) haowashirikina Qur(15:94).

    Haikuwa siri Muhammad(saw) alikuwa katika Kazi

    Maalumu ya Kiungu (DivineM i s s i o n ) , k u b a d i l i s h a

    jinsi watu walivyohusianawenyewe kwa wenyewe

    na jinsi walivyohusiana naMwenyezi Mungu. Hichondiyo kilikuwa kipengelemuhimu sana cha harakatizake. Ameleta mfumo mpyawa maisha (Dini) ambao

    bi na da mu na Mw en ye ziMungu wanahusiana. Alijuahili lingehitaji mshikamano naWaislamu wote kufanyakaziya kuleta mpangilio mpyawa kijamii. Washirikina waMakka walitambua harakasana hatari ya mfumo huumpya kwa hadhi na maslahiyao. Hawakutaka mtu yeyote,

    hata Mtume wa MwenyeziMungu, avuruge biasharazao nono, masoko yao yawatumwa na imani zao

    za kishirikina zinazolindaunyonyaji huo.

    Ikumbukwe kwambaMtume wa Mwenyezi Munguhakuwalingania makafiriUislamu. Aliwalingania watu

    wa kawaida (wananchi).Hawa ndiyo watu ambao

    Mtume amekuja kuwazindua.

    Kabla hawajaletewa Uislamu,hawakuwa makafiri; ni paletu walipomkana Mwenyezi

    Mungu na Mtume wake,ndipo wakawa na hatia yakufru na shirki. Lakini hatahivyo milango ya toba ilikuwa

    wazi kwao.Wakati fikra za Kiislamu

    zilipoanza kukubalika kwawatu wengi zaidi wa kawaida,vigogo wa Makka waliogopakweli! Ilikuwa ni hofu yauwepo wao, ambayo hainauhusiano wowote na jinsiWaislamu walivyotekelezataratibu zao za Ibada. Katikahatua hii, kile ambachokilianza kama ufafanuzi waUislamu, kikawa mgonganomkubwa wa imani na fikra.Kuanzia hapo na kuendelea,uhusiano kati ya Waislamu

    wanaoibuka Makkah nawatawala wa Makka, ukawani mapambano ya kifikra,kimaslahi na kimaongozi katiya Uislamu na Ukafiri.

    Shinikizo dhidi ya Mtumewa Mwenyezi Mungu kutokakwa Washirikina wa Makkalilikuwa kubwa mno, lakinikamwe Mtume hakubadilimsimamo wake. Subira hii

    na msimamo wa kuvumilia

    mateso, kero, manyanyasona maumivu mbalimbali,imechukuliwa kuwa sunnamuhimu sana , ambayoMtume wa Mwenyezi Mungu

    ameuachia umma huu. Tabiayake ya kijamii, mpangowake wa kazi na kampeni

    zake makini dhidi ya mifumomigumu ya kikafiri, hakutajwikabisa na pengine hatakutambuliwa na wanaharakatiwa Kiislamu leo!

    Mtume alifanyiwa dhihakana watu wazito wa Makkawaliodhibiti uchumi, siasa,majeshi na masuala yakijamii. Maquraysh walijaribukumpuuza, wakitarajia kwakufanya hivyo watamkatishatamaa aache harakati zake.Moja ya kejeli zao ni pale kilaMtume alipowapita kwenyemikutano au mijumuiko yao

    walisema: Huyo anakujamjukuu wa Abdul Mutallib,ambaye anasema mbinguzinazungumza naye!

    Hiyo ndiyo hali ambayoMtume wa Mwenyezi Mungualikabiliana nayo. Kila jibuali lotoa ni mafundishoambayo Waislamu tunapaswakuyaiga. Katika hatua yakwanza, Mtume alisemakitu ambacho kiliwatikisavigogo wa Makka kwa kiasiambacho kiliwafanya watoekejeli za kipumbavu kama

    hizo. Si kwamba alikuwna nia ya kuwachocheisipokuwa maneno yake yukweli, yaliyojaa haki, ndiyyaliyotikisa tabaka tawala Makka. Na mfano huu ndiymsingi muhimu wa Sunnna Sira.

    Katika hatua ya pilMtume mwenyewe ndiya l iyebeba ma tokeo yghadhabu za vigogo wMakka. Ustahimilivu huna nguvu ya kibinadamkukabili shinikizo kali, biya kuathiri au kuchakachuukweli tunaopaswa kusemni sunna muhimu na sehemya mwenendo wa Mtume.

    (Itaendelea)

    1118 sqm - 4 Milion, 1261 sqm 5 milion, 134

    sqm 5.5 milion, 674 sqm 3 milion, 848 sqm - 3.4

    milion, 510sqm - 1.5 milion, 516sqm - 2 milion

    522sqm - 2 milion, 523sqm - 2 milion, 646sqm

    - 2.6 milion, 656sqm - 2.6 milion, 474sqm 1.

    milion, 456 sqm 1.8 milion, 538 sqm 1.8 milion

    469sqm 1.9 milion, 406 sqm 1.6 milion, 356sqm

    1.5 milion, 399sqm 1.6 milion, 359sqm 1.5 milion

    612sqm 3 milion.

    Vipo Barabara ya Kongowe-Soga

    Kilomita moja toka barabara ya Morogoro.

    Simu No.0755 090 754/0715 090 754.

    Viwanja vilivyopimwa vinauzwa

    Kongowe Kibaha

    Tamko la Maaskofu wa Tanzania-Christian Forum lina ukweli wowote?Inatoka Uk. 10

    waumini wa Kanisa Katoliki.MFUMOKRISTO ulkuwaukifanya kazi yake. Piailitokea kwamba maofisa wa

    Wizara ya Elimu walikwendakufanyia Kazi yao Morogorokukimbia mazingira ya kazinyingi ofisi Dar es Salaam.Sikuu ya IDD UDH-HAiliwakuta huko, lakinikiongozi wa msafara waoalikana kutoa ruhusa maofisawa Kiislamu kuhudhiria hiyoibada muhimu sana. Lakinialifunga kazi siku ya Jumapilikutoa nafasi ya maofisa waKikristo kuhudhiuria misa.MFUMOKRISTO unafanyakazi yake hapo. Mifano yotehii ni ya kweli kabisa; hakunauzushi hata kidogo na wasomamagazeti bila shaka waliwezakusoma taarifa ya mkasahuu wa pili, wa Morogoro.

    Ni MF UM OK RIS TO tuunaoweza kumpa kiongoziwa dini ujasiri wa kumkemea

    Rais wa nchi hadharani kamaalivyofanya MuhashamPolycarp Cardinal Pengoalivyoweza kufanya hivyokwa Rais Jakaya MrishoKikwete. Na Askofu Mkuu

    wa Kanisa Anglikana AskofuMkuu Dkt Valentono Mokiwakumpa Rais saa arobaini nanane kujibu swali alilotakalijibiwe huyu Mtumishi waMungu. MFUMOKRISTOkweli unatawala.

    H u k o n y u ma b a a d aya mkutano wao hukoBagamoyo, viongozi waMakanisa waliwahi kutoatamko kali wakiiamrishaS e r e k a l i k u w a k a ma t aW a i s l a m u w a n a o t o amihadhara eti kuukashifuUkristo. Walitishia kuwakama Serekali haikufanyahivyo kulikuwa na uwezekanowa kutokea fujo na damu ya

    binadamu kumwaika. SheikhMbukuzi akiwa kiongoziwa Shura ya Maimam alitoatamko ambalo halikuwa kalikama hilo la Maaskofu lakini

    litahdharisha kuvunjika kwaamani ikiwa dhulma dhidiya Waislamu haitamalizwa.Masikini Sheikh Mbukuzialikamatwa na kutiwa

    jela, akavunjiwa heshima

    yake kabisa. Pia kutokanana ugomvi ulioko katikaKanisa Kato l ik i ka t iya viongozi wa Kanisah i l o n a w a n a o i t w aWanamaombi wakiwawafuasi wa Father MkweraPadri mmoja aliyempigaMwana maombi ilibidiapelekwe mahakamani.Kwanza askari wa kituocha Magomeni walipatakigugumizi kumpelekam a h a k a m a n i p a d r eYule. Hata alipofikishwam a h a k a m a n i k a m amuhalifu mtuhumiwayeye alipiokelewa kwahashima kabisa na kupewakiti cha kuka akisubirokupandishwa kizimbani.Haya yo t e n i kwe l ikabisa na yaliwezdekana

    t u k w a n g u v u y aMFUMOKRISTO.

    Hivi ni kwa nini hawawatumishi wa Munguhawaoni vibaya kuvunjaAmri za Mungu alizopewa

    Nabi i Musa? Wanawezakusema uwongo hadharanikiasi hicho? Hivi ni kweliuongozi wa Serekali nchihii ni asilimia tisini niWaislamu? Serekali nizaidi ya Rais, Makamuwake, Mkuu wa Polisinakadhalika. Kwa mfumowa Serekali ulivyo hivisasa ni Makatibu Wakuundio watendaji wakuu nandio washika fedha zotena kusimamia matumiziyake. Sasa hebu watuambieukweli hawa watumishi waMungu kuna Makatibu

    wakuu wangapi walioWaislamu katika Serekalihii ya leo na ya jana na hataya juzi.

    Enyi watumishi waMungu (Mwenye NafsiTatu- ahsante Nacaea)

    kwa jina la mnayemwiMuokozi acheni uchochez

    Ni uchochezi unaotokanna uwongo mkubwkuwa Waislamu wanatakkuwauwa maasko fu

    Inafahamika wazi kabiskuwa Muhasham PolycarCardinal Pengo ni mmojwa viongozi wa makanisambaye haipendi kabisdini ya Kiislamu kamalivyo kiongozi wakP apa Bened ic t XVLakini kusema kuwa kunWaislamu ambao wanatakkumuuwa huyu Mukombni uwongo kabisa. Dhambkubwa.

    Ni vizuri kutia mkazkwamba Tanzania ChristiaForum wasisitize kwwaumini wao kutoa hakkwa wote bila upendelekwa misingi ya dini. Vitishvyote walivyovileta hawwatumishi wa Munghavitakuwa lazima. SHIMWAHUBIRI HAKI NSIO VITISHO!!!!!

  • 7/29/2019 ANNUUR 1054.pdf

    4/8

    12AN-NUU

    RABBIUL AWWAL 1434, IJUMAA JANUARI 18 - 24, 20Barua/Shairi

    SMZ na ubwabwa wa shingo usiokwishaSERIKALI kimantiki nichombo kikuu cha nchi,chenye nguvu na mamlakaya kujifanyia na kujiamuliamambo yake mwenyewe.Isitoshe, Serikali ni chombo

    ambacho kina wajibu mkubwawa kusimamia maslahi yanchi, wananchi, na muruwawa nchi kwa ujumla. Kwakufanya haya Serikali huwani chombo chenye dhamanaya kusimamia shuhuli zote zamaendeleo, kuzitathmini nakuzichukulia hatua inayofaa,ikibidi kuwa hivyo.

    Serikali ina wajibu wakupambana na uchumi kwanguvu zote kuhakisha kuwa nchina wanachi hawarudi nyumazaidi badala yake wanakwendambele. Pamoja na changa motoza mabadiliko ya kiuchumi, nahali zinazopelekea kudororakwa uchumi wa nchi, Serikalibado ina wajibu wa kuandaa

    mikakati ya kupambana nahali hiyo isiathiri sana nchina kuirudisha nyuma zaidikimaendeleo. Hivi ndivyoSerikali inayojali dhamana zakeinavyotakiwa kusimama.

    Cha kushangaza katikasafu hii leo, ni kuona Serikaliya Mapinduzi ya Zanzibar,imefika hatua ya kuwa tukaena kuanza kuitathmini kwakuiuliza maswali kadhaa yakututhibitishia utendaji wakekama Serikali.

    Na hili hatutaki itubainsihiekwa kutuonesha kama ipo na inanguvu kwa kutujazia vyombo vyadola na usalama kutukandamiza,kutudhulumu na kutuangamizakama tulivyozoea. Tunataka

    ituthibishie kwa vitendo juuya utendaji na utekelezaji wakazi zake, mpaka tukafika hapatulipo. Itueleze inakuwaje kuwakila uchao tunarudi nyumabadala ya kwenda mbele.

    Ni ajabu bin -aibu kuonaSerikali yetu licha ya kutimizanusu karne ya uhuru, badoyaendelea kujiita changa.Haikuwi, haitanuki walahaisogei mbele pamoja najuhudi nyingi zinazofanywakuikwamuwa na wananchi namataifa wahisani. Imekuwasasa kila uchao afadhali ya jana.Serikali yetu ni tegemezi kulikoSerikali nyingi duniani.

    Na bahati mbaya utegemeziwenyewe haumaliziki. Na

    bahati mbaya hata tukisaidiwani mwaka mmoja tu hakunakinachobakia tena. Serikaliimesaidiwa mambo mangapi nawafadhili na matokea yake hatakuyasimamia inashindwa.

    Leo hii Serikali inawezaikapewa msaada wa magari yaujenzi wa bara bara, mathalan.Magari yale yatajulikanakuedeshwa tu, kikiharibikakipuri hata cha shilingi miatano, hicho hakitafutwi, na garihilo hufa, ilhali bado lilikuwalinatengezeka. Na mtindo huusio kwa magari tu, ni kila kitutunachopewa au kusaidiwahuwa hivyo. Umefika pahalatunategemea hata kipuri cha mia

    tano tufadhiliwe.Serikali inashangaza sana

    kuona hata baadhi ya majengoyake muhimu kama vile ukumbiwa Chachani na hata majumbaya Mji Mkongwe, yanafikia

    kuanguka, na hakuna kiongozimwenye habari.

    Serikali husubiri mpakam a j e n g o y a a n g u k e a uyaangazwe kwenye vyombo vyahabari, ndio ikimbilie kukaguwakama vile wao hawaishi kamwenchi hio au hawakuwepo. Nabila shaka hawapo kweli maanawameshuhulika na mambo yaobina fsi na vikao vya kujazaaskari na vikosi bila kujali haliza wananchi.

    Tumezoewea kuona Serikaliikijitokeza haraka haraka kilapale mwanchi au kikundi chawananchi kinapochomoza kudaihaki yao au jambo lao fulani lamsingi. Hapo Serikali hupatasilaha, na fedha hupatikana za

    kulisha vikosi na kupigishakambi za kuwatesa wahusika.Na hili huendelea kwa miezik a d h a a . T u m e o n a k u l eShengejuu mwaka 1995, Pikimwaka 2005, na hivi majuzihapo Bububu.

    Katika hali kama hizoSerikali hukubali iingie chatisa cha kumi kiwafukie lakiniwaoneshe nguvu na uwezowao. Hupatikana makacherowaliobobea na kila kitu alimradinguvu yao hapo ionekane nawananchi waitambue Serikaliyao kama ipo.

    Na hu u nd io ut amad un iinaoujenga Serikali kuwaili ijulikane kama ipo, nilazima ipige, ikamate watu

    na kuwaweka ndani bila yadhamana na sio ilete maendeleoambayo ndio chachu ya hioamani na utulivu wanayoihubirikila siku. Lakini kwa mtazamowao amani haiji ila kwa nchaya upanga!

    C ha kushagaza za i d i ,nguvu ya Serikali yetu ipokatika kuonea raia tu na siokwa kuijenga nchi hii. Leo hiiwakati Serikali ikijipatia mapatomakubwa ya bandari na uwanjawa ndege, inashindwa kujegamiundo mbinu ya Sehemuhizo.

    Badala yake inawauziawafanyabiashara, tena kimyakimya. Serikali badala yakukarabati majengo yakeyanayobomoka, kuboreshahuduma za afya maspitalini naelimu bora shuleni, inajinuliamagari makubwa na kujipagiamishahara minono.

    Badala ya kutunza fukwena ardhi zetu Serikali inauziawageni ambao wanaturudishakule kwenye ukoloni. Leo hiikuna maeneo Zanzibar raiahathubutu kupita na wala siomaeneo ya jeshi, ulinzi walausalama. Kisa, kuna Wazungu.

    Leo hii kuna ardhi na visiwavimeuzwa kwa miaka 100 ijayona nyengine zimeuzwa kwakudumu, tena kwa wageni. Faidaya mauzo hayo haionekani.Inakuwa nchi yetu ni fungu lakukosa tu. Huu ni ubwabwa wa

    shingo kusema kweli.Ni ukwe li us i fi ochik

    kwamba S e r i ka l i ha i nkipato kikubwa lakini hil i na t okana na ubwabwwao wa shingo vile vile. Y

    kwamba hicho kinachopatikankinawanufaisha wengine, nhicho kidogo kinachobakkinaishia matumboni mwwatu.

    Kinachobaki ni kupita nchii na ile kuomba misaadWakishakupewa misaada hiytunajikaza kuweka mawe ymsingi na kuizindua. Miakmiwili miradi ile imakufa nwala Seikali haina habari tenCha kusikitisha mno ni kuwhata ukiangalia sababu ya kicha miradi hio, ni kukosekanusimamizi nzuri tu wa Serikana watendaji wake.

    Tumefadhiliwa ujenzi wa mmkongwe, umetushinda. Awtulifadhiliwa na Japan katik

    Idara ya Habari na Maelezpale TVZ, matokeo yake jenglinashindwa hata kupakwa rangMitambo iliyomo imekufa. Kikitu kimekufa. Jengo la RahLeo tuliofadhiliwa na Chinlinavunja kama muembe, hakunusafi wa mazingira kulizungukwala ukarabati. Nani anajaangalau kuchomelea makuti kule paani?

    Juzi tumeshafadhi l iwmitambo ya digital, baadya mwaka imekufa na lichya kuwa mwananchi asie anajira atalazimika kulipia kuonhabari katika TV, huduma hitakosekana kwa wanaolipia nwasiolipia baada ya mitambhio kufa bila kukarabatiw

    Haya ndio mazoea yetu.Iwapi Redio Zanzibiliyoikisikika mpaka MombaKenya? Haisikiki hata PembTVZ, kwa miaka haipatikaPemba, kunani? Serikaichanga!

    Kwa haya na menginmengi, kuna kila sababu ykusema kwamba Serikayetu haiwajibiki ipasavyNa bahati mbaya ime jengutamaduni mbaya sana wkutegemea wahisani katikkila jambo. Wakati kukiwa nmipango kadhaa ya kujipangmaendeleo na kujitegemea kamtulivyokuwa zamani. Serikaimeshuhulika na kijumba hokuomba misaada.

    Ukweli tumeshafadhiliwmengi, na kuyauwa baada ymwaka bila hata kuyakarabahata ikiwa matengenezo haytunayamudu wenyewe. Nsasa kuna kila dalili kwambwahisani wameanza kuchokWanatuona mzigo usiobebekHivyo kuna haja tubadilikJapo hatuwezi kutambakwa uchanga wetu, basi hakujishikilia vichwa hatujawezTutatoka lini ubwabwa wshingo?

    Nawasilisha.( M wa na nc h i m pe nd

    maendeleo. Umenukuliwkutoka mtandao)

    1.Mume wangu nakupenda, dunia naielezaUnanitia kidonda, ambacho kitanimalizaKwanini unanitenda, mwengine kumuongeza

    Najua ni haki yako, mathna kutekeleza

    2.Najua ni haki yako, mathna kutekelezaIbada yenye mashiko, Rasuli ndiye wakwanzaKwetu yeye ni itiko, pekee wa kumgezaNajua ni haki yako, mathna kutekeleza

    3.Usinione kituko, maswali kukuulizaUlichokiona huko, kipi sijatekeleza?

    Nipatie lalamiko, hali ni taigeuzaNajua ni haki yako, mathna kutekeleza

    4.Shepu zao za kichina, niwengi zimewaponza

    Mtoto alivyonona, kupita kakuchokozaFahamu ukawa huna, ukaenda bembeleza

    Najua ni haki yako, mathna kutekeleza

    5.Tazama wake uzuri, hapo ndipo pakuanzaAmejitia uturi, na nguo za kupendezaUmbo lake kasitiri, haramu kulienezaNajua ni haki yako, mathna kutekeleza

    6. Ukoo sijasahau, ni muhimu kuchunguzaKweli ni washika dau, au mkia buruza

    Usijefanya dharau, jambo hili kupuuzaNajua ni haki yako, mathna kutekeleza

    7. Zingatia zake mali, ni wapi amewekeza?Isije kuwa muhali, za kwangu kuzienezaNimechuma jua kali, machungu sijamaliza

    Najua ni haki yako, mathna kutekeleza

    8. Amezingatia Dini, ama wataka mfunza?Jambo hili ni makini, kipolo sito lilazaWatapoteza imani, wanangu wakenda chezaNajua ni haki yako, mathna kutekeleza

    9. Si semi nimeruhusu, ukaanza jipongezaBado ni pasu kwa pasu, sikubali jilegeza

    Kabisa lengo la kisu, napinga si kuumiza

    Najua ni haki yako, mathna kutekeleza

    10. Kadimati kaditama, hapa ndio namalizaNenda kaowe salama, shika ya kukuongozaUsije enda mrama, dira ukaipotezaNajua ni haki yako, mathna kutekeleza

    Is-haq Hemed MzuzuriS.L.P. 1031 MUM Morogoro

    [email protected]

    MATHNA:

  • 7/29/2019 ANNUUR 1054.pdf

    5/8

    13AN-NUU

    RABBIUL AWWAL 1434, IJUMAA JANUARI 18 - 24, 20Makala

    Inaendelea Uk. 1

    KWENYE nchi za KijamaaKitengo cha Usalamawa Taifa kinapofanyaunyama wa kuteka raia,kuwatesa na hata kuwaua,au wanapowavamia raiamajumbani mwao (vitendovya ujambazi ) , huwawanasingizia majambazi,l a k i n i k i u k w e l i w a owenyewe ndiyo majambazikwani hata kwenye kitengochao kuna Mkurugenziwa Ujambazi na Idara yaUjambazi pia, na Idaraya Polisi huwa siku zotendiyo wanaobebeshwamzigo wa kuwasafishaUsalama wa Taifa kwakuchukua lawama zote nakujifanya kuwa wimbi la

    ujambazi limezidi na waokama polisi wameshindwakulidhibiti! Wanafanyahivyo ili kujipendekeza kwaRais kwa vile Kitengo chaUsalama wa Taifa katikanchi za Kikomunisti kipokatika ofisi ya Rais hivyowakiacha kitengo hichokikalaumiwa ina maanaRais ndiye atakayekuwaanalaumiwa, na kiutaratibuRais katika nchi za Kijamaani Mungu Mtu hana dhambiwala lawama au wenginewanapendelea kumuitaMwenyekheri, yaanimtu mtakatifu asiyekuwa

    na dhambi! Hivyo nikwamba Idara ya Polisihuwa ndiyo wanaotumiwakubeba lawama zote nakujitolea kukubali kwambawa o n d i y o wa h u s i k awa shutuma zote zi lezinazoilenga Ofisi ya Rais,na hata wakati mwinginewanaweza kutafutwa watuwa kujitolea na kudaikwamba wao ndio wahusikawa shutuma hizo, hivyowakapelekwa mahakamaniw a k a s h i t a k i w a n akuhukumiwa ki fungocha UONGO ili mraditu wananchi waridhikewasiendelee kumlaumuRais.

    Kwenye nchi za KijamaaMadaktar i na wauguzihulipwa mishahara midogosana kuliko idara zingine.Hii hufanyika makusudi iliwachukue rushwa toka kwawateja (wagonjwa) waokwa vile serikali inaelewawazi kuwa wapo kwenyekitengo muhimu ambachokwa vyovyote vile raia atatoarushwa atake asitake. Serikaliza Kijamaa zinaamini fikakwamba lazima Madaktari naWauguzi wawe wanachukuarushwa ila tu waendelee

    Je, Nyerere ni kikwazo cha katiba ya umma?-2Na Dr. Noordin Jella

    MWALIMU J.K. Nyerere. ALHAJ Ali Hassan Mwinyi MHE. Benjamin W. Mkapa RAIS Jakaya Kikwete.

    kufanya hivyo ili mradiwagonjwa wasilalamike.Rushwa na Ufisadi ni uti wamgongo wa mfumo wa siasaza Ujamaa, ndiyo maanautakuta huduma au bidhaambali mbali hupatikanakwa vibali, na vibali maanayake ni kwamba lazima utoerushwa kwa wale waliopewamamlaka za kutoa vibalihivyo. Nchi zote zilizokuwazinafuata siasa za Kijamaaz i me s h i n d w a k u f a n y amabadiliko ya ukweli yakutoka kwenye Ujamaa nakwenda kwenye Ubepari(free market economy), namatokeo yake nchi nyingi

    zimeishia kujenga serikalina mfumo wa KijambaziBanditry Government.

    Kumekuwa na wimbikubwa la Ufisadi wa kutishakwenye z i le nchi zotezilizokuwa zikifuata siasaza Kikomunist. Hii haitokeikwa bahati mbaya, hapana.Hutokea hivyo kwa makusudikwa vile mfumo wa Kijamaan i mf u mo g a n d a mi z i ,mfumo wa matabaka, tabakala wanaoongoza na tabakala wanaoongozwa, na kilatabaka lina kiwango chakecha maisha. Enzi za SovietUnion ilikuwa si rahisi kwa

    mtu wa kawaida anayetokakwenye kundi la watawaliwaamtembelee mtu aliyekokwenye kundi la watawala bilataarifa. Ilikuwa ni lazima utoetaarifa ili mtawala atengenezemazingira duni yanayofananana yale ya mtawaliwa iliasije akashtuka, kwa vilewanapokuwa wenyewekwa wenyewe (watawala)wanaishi maisha ya kifaharisana, wakati watu wa kawaida(watawaliwa) wanatumia

    bi dh aa zi li zo te ngen ezwandani ya nchi yao ambazo zinaviwango duni wao (watawala)walikuwa wanakula bidhaa

    toka nchi za Magharibi

    (Bidhaa bora zenye viwangovya kimataifa). Nguo zao piazilikuwa zinatoka nchi zaMagharibi lakini walikuwahawazivai ndani ya nchimpaka wakisafiri nchi za nje.Walikuwa wakifanya hivyo iliwananchi wasije wakashtukakwamba wanaibiwa. Enziza Soviet Union ukikutanan a M r u s i m j i n i N e wYork - Marekani ulikuwahuwezi kumtofautisha naMmarekani labda aongeekwa vile walikuwa wanavaavitu vizito vya bei mbayaambavyo hata Wamarekaniw e n y e w e h a w a w e z i

    kuvinunua. Wakomunisti waKirusi walikuwa Mafisadi wakutisha lakini walikuwa na

    Nidhamu ya hali ya juu naya kutisha. Walijitahidi sanakuwaficha raia wa kawaidayale wanayoyafanya.

    Mwaka 1997 waandishiwa habari wa Urusi waliwahikumuuliza kiongozi wa chamacha kikomunist cha Urusikama anajua zilipotokomeaU S $ 4 0 0 b i l l i o n z aW a k o mu n i s t i a mb a z ozilihifadhiwa bank za nje.Kati ya mwaka 2000 na 2005waziri mmoja toka nchi yaAfrika Mashariki iliyokuwainafuata siasa za Kikomunistialienda Marekani kikazi,

    basi baada ya mazungumzona maofisa mbali mbali waserikali ya Marekani, wazirihuyo alitoa ofa kwa wajumbewote waliokuwapo kwenyemkutano huo akiwaambiawale na wanywe chochotew a n a c h o t a k a a t a l i p a !Wamarekani walishangaawaziri ambaye amekujakuomba msaada wa pesakwamba nchi yake inakabiliwa na ukata anawezajekutoa ofa kubwa kiasi hicho.Wengi wakawa na wasi wasikwamba anaweza ashindwe

    kulipa! Wageni wakaitikia

    wito wakala na kunywa kwanguvu zao zote. Bili ikaja US$ 200,000, waziri akaingizamkono mfukoni akatoamaster card (visa) ikatolewadola laki mbili na baada yahapo waziri akarudisha cardyake kwenye wallet kwaushujaa na furaha tele!

    Mwaka 1998 wanasheriaw a w i l i w a M a r e k a n iwaligundua kwamba katika

    bank account moja huko NewJersey Marekani kulikuwa naUS $ 5 Billion zilizowekwakwa jina na Kigogo mmojawa ser ikali ya Angola .Ikumbukwe kwamba Vigogo

    wengi duniani huwekapesa zao kwenye bank zaSwitzerland ambapo ndipowanapoamini ni pepo yadunia ya wale waliojaliwakutawala, hivyo kama NewJersey kuna UD $ 5 Billion!Je, huko Switzerland huyomuheshimiwa au Kigogo huyoatakuwa na Billion ngapi?Ukitumia methods za theoryof probability utapata jibusahihi, ili mradi tu ukumbukekwamba probability haiwezikuwa chini ya zero au kuwazaidi ya moja .

    Kwenye nchi zote zaKikomunisti uchaguzi waviongozi wa ngazi mbalimbali wa umma unafanyikakama ushahidi tu, lakinikura za wananchi huwahazihesabiwi. Wananchiwanapiga kura lakini viongoziwalishachaguliwa siku nyingi.Wakati mwingine hata postwanakuwa wameshapangiwawakati wananchi wanapigakura!

    Ee huo ndiyo Ujamaandugu zangu, ujamaa ambao

    Nyerere aliupenda sana, naaliusimamia kwa kila halikwa miaka 23! Ujamaamaana yake Endeleenikutuvumilia!

    Hivi karibuni kumekuw

    na matukio mbali mbali yufisadi hapa nchini (EPAMEREMETA, KAGODABUZIGWA, NYAMONGOCONTAINER LA PEMBE Z

    NDOVU NA FARU HUKVIETNAM NA CHINATWIGA KUPANDA NDEGn.k.). Kila palipokuwa nmk u s a n y i k o w a w a t(Vijiweni): kwenye Dala DalSokoni, Magengeni, Ndani yMabasi yaendayo MikoanMitaani na Vijijini kotnilikopita nimesikia watu wrika mbali mbali wenye hasirwanajadili na kubishana biya kupata suluhu, na wengin

    wamekuwa wakisema KamNyerere angekuwepo hayyote yasingetokea Manenh a y a a k i y a o n g e a mtaliyezaliwa baada ya mwak1985 siwezi kumlaumu kwvile hakuwahi kusikia harufna wala hakuwahi kumuon

    Nyerere akiwa madarakana wala hakuwahi kunywUJI wa kibaba cha KAYAuliokuwa unagawiwa kinyumba baada ya nchkukumbwa na tetemekla njaa lililosababishwna vita vya Uganda nT a n z a n i a . I s i p o k u wmaneno haya yananikersana pale yanapoongelewna Wakubwa wenzangu, nwengine kwa bahati mbayzaidi wakati Nyerere akiwmadarakani wao tayawalikuwa wanategemew(yaani walikuwa na familia

    Nasema ama kweli Watanzanhatuna kumbukumbu kabisWatanzania tumekuwa nkumbukumbu Duni kabisTumekuwa kama wa ttuliopumbazwa kwa vivichwa vyetu havikumbu

    jana wala havifikirii keshVichwa vyetu vinajua leo n

  • 7/29/2019 ANNUUR 1054.pdf

    6/8

    14AN-NUU

    RABBIUL AWWAL 1434, IJUMAA JANUARI 18 - 24, 20Makala

    Januari 6, 2013, Mtandaowa Kupashana Habari

    Kusajiliwa kwa vikundi vyawauaji ni sehemu mahsusiya ajenda ya kijeshi yajeshi la Marekani. Kunahistoria ndefu na ngumuya Marekani kutoa fedhakwa siri kuwezesha brigedi

    za kigaidi na mauaji yakulengwa ambayo yalianziakatika vita vya Vietnam.

    Wakati majeshi ya serikaliyanaendelea kukabilianana kile kinachojiita JeshiHuru la Syria (FSA), miziziya kihistoria ya vita vyakificho vya nchi za Magharibidhidi ya Syria - ambavyovimesababisha maua j iyasiyotajika - lazima sasaifunuliwe wazi.

    Kuanzia ilivyoanza Machi2011, Marekani na washirikawake wameunga mkonokuanzishwa kwa vikundi vyamauaji na kuingiza brigedi

    za kigaidi katika mpangoulioasisiwa kwa uangalifu.Kusajiliwa na kupewa

    mafunzo kwa brigedi zakigaidi katika Irak na Syriakuliendana na mtindo waSalvador, ambao ni mfanomaalum wa operesheniz a k i g a i d i k u u a w a t uwengi zilizoasisiwa hukoMarekani ya Kati. Ilitumikakwanza nchini El Salvador,wakati wananchi wa hukowakipambana na utawaladhalimu wa kijeshi wamaswahiba wa Marekani,a m b a k o w a t u 7 5 , 0 0 0walipoteza maisha.

    Kuundwa kwa vikundivya mauaji nchini Syriakunajengwa katika historia nauzoefu wa Marekani katikakuunda brigedi za kigaidinchini Irak, chini ya mkakatiwa Pentagon (Makao Makuuya Jeshi la Marekani) wakukabiliana na ugaidi.

    Kuundwa kwa Vikundi vyaMauaji nchini Irak

    Vikundi vya maua j ivinavyofadhiliwa na Marekaniviliundwa nchini Irak mwaka2004-2005 katika mtitirikoulioanza chini ya Balozi wa

    Ugaidi wenye sura ya kiutu:

    Historia ya vikundi vya mauaji MarekaniVikundi vya mauaji Irak na SyriaMizizi ya kihistoria ya vita iliyojificha ya Marekani na NATO dhidi ya Syria

    Na Profesa MichelChossudovsky

    Marekani John Negroponteambaye alipelekwa Baghdadna Wizara ya Mambo ya

    Nje mwezi Jun i 2004.Negroponte alikuwa ndiyemtu wa kazi hiyo. Akiwa

    balozi wa Marekani nchiniHonduras kuanzia 1981 nadi1985, Negroponte alichukuanafasi muhimu ya kuungamkono na kusimamia kundila Contra la Nicaragua likiwalimejichimbia Honduras,na pia akisimamia vitendovya vikundi vya kijeshi vyamauaji nchini Honduras.Chini ya utawala wa JeneraliGustavo Alvarez Martinez,serikali ya kijeshi ya Hondurasilikuwa mshirika wa karibuwa utawala wa Reagan nchiniMarekani, na walikuwawanapotea wapinzaniwa kisiasa kwa makundi,kwa njia inayoshabihianana mtindo wa kawaida wamakundi ya mauaji.

    H a p o J a n u a r i 2 0 0 5Pentagon ilithibitisha kuwailikuwa inaangalia:

    kuundwa kwa vikundi vyamashambulio ya kushtukiza

    ya Wakurdi na Wa-Shiakulenga viongozi wa upinzanidhidi ya Marekani katikamwelekeo wa kimkakatiunaofanana na mapambanoya Marekani dhidi ya magaidiwa kimapinduzi wa Marekaniya Kati miaka 20- iliyopita.

    Chini ya kil ichoitwamkakati wa Salvador,vikosi vya Irak na Marekanivingepelekwa kuua aukutekwa viongozi wa harakatidhidi ya Marekani, hatanchini Syria, ambako baadhiwanaaminika wametafutahifadhi.

    V i k u n d i v y a m a u a j ivingeleta zogo na ingebidiviwe siri.

    Uzoefu na vikundi vyamauaji katika Amerikaya Kati bado ni mbichikwa wengi hata sasa, nailisaidia kuchafua sura yaMarekani katika ukanda huo.Halafu, utawala wa Reaganukaanzisha na kufunzavikundi vya wakereketwawa kupinga ukomunistikuyeyusha harakati yawazalendo nchini El Salvador,kuwaua viongozi wake nawatu wanaowasaidia.

    John Negroponte, baloziwa Marekani mjini Baghdad,alikuwa na kiti cha mstariwa mbele kama Balozi waMarekani nchini Honduraskati ya 1981 na 1985. Vikundivya mauaji vilikuwa sehemumahsusi ya siasa za Amerikaya Kusini wakati huo......

    Katika miaka ya 1980mwanzoni, utawala wa RaisReagan ulifadhili na kusaidiakutoa mafunzo kwa makundi

    ya Nicaragua yaitwayoContras (dhidi ya....), yaaniya uasi , yakij ichimbiaH o n d u r a s k u p a mb a n akuuondoa utawala wa ki-Sandinista (wa kimapinduzi)nchini Nicaragua. Makundiya Contras yalipata silahakutokana na uuzaji haramuwa silaha kwa (serikaliya kimapinduzi ya) Iran,kashfa ambayo ilikuwa nakila chembe ya kuwezakumuondoa madarakani Bw.Reagan.

    Mwelekeo wa pendekezola Pentagon nchini Irak ....nikufuata mfano huo....

    Hakuna uhakika kamaazma kuu ya mkakati huoni kuwaua wapinzani (wautawala wa Irak) au kuwatekanyara na kuwapeleka kwakuhojiwa. Mkakati wowotewa kuingilia Syria itabidiufanywe na vikosi maalumvya jeshi la Marekani.

    Pia hakuna uhakika naniatawajibika kwa mpangokama huo - kama ni MakaoMakuu ya Jeshi la Marekani(Pentagon) au Shirika laUjasusi la Marekani (CIA),Operesheni kificho kamahizo kwa jadi zimekuwaz ik iendeshwa na CIA,ikicheza mbali na utawala

    ulioko madarakani wakatihuo, kuwapa uwezo maofisawa Marekani kudai kuwahawafahamu jambo kamahilo. Hiyo ilikuwa wazikatika taarifa Vikundi vyamauaji kama vya El Salvadorkutumiwa na Marekanidhidi ya wanaharakati Irak-iliwekwa kurasa za mtandaoza gazeti la New York Times,Januari 10, 2005.

    Wakati lengo la mkakatiuliobainishwa wa Mbinuya Salvador Irak likiwa nikuitungua harakati yaIrak, katika hali halisi brigedi

    za kigaidi zilizoundwa naMarekani zilishiriki katikamauaji ya wananchi wakawa ida kwa lengo lakupandikiza chuki za kikabilana madhehebu. Kwa upandemwingine, CIA na MI6(Idara ya Ujasusi ya Jeshila Uingereza) walikuwaw a n a s i ma mi a v i k u n d ivilivyoitwa ni Al Qaedanchini Irak vikihusika katikamauaji ya kulenga miongonimwa watu wa madhehebu yaShia. Kilichokuwa muhimuzaidi ni kuwa vikundihivyo vya mauaji vilikuwavinaunganishwa kimtandaona kushauriwa na maofisa

    wa vikosi maalum vya Jeshila Marekani.

    Robert Stephen Ford -ambaye baadaye aliteuliwakuwa Balozi wa Marekaninchini Syr ia - a l ikuwasehemu ya timu NegroponteBaghdad kuanzia 2004 hadi2005. Mwezi Januari 2004alipelekwa kama mwakilishiwa Marekani katika mji wamadhehebu ya Shia wa Najafambao ulikuwa ngome kuu ya

    jeshi la Mahdi, ambao alianzamawasiliano nao.

    Mwezi Januari 2005, RobertS. Ford aliteuliwa Mwambata

    Mshauri wa Masuala ySiasa katika Ubalozi wMarekani chini ya BaloJohn Negroponte. Hakuwtu sehemu ya washiriki wndani bali alikuwa mshirikwa Negroponte katika kuundmkakati wa Salvador kwa IraMisingi kadhaa ya mkakahuo ilikuwa imeshawekwmjini Najaf kabla ya Forkuhamishiwa Baghdad.

    John Negroponte na RobeStephen Ford walikuwwakiratibu kusajiliwa askawa vikundi vya mauaIrak. Wakati Negroponakiendesha operesheni kutokofisini mwake katika ubaloz

    Robert S. Ford, ambayanaongea bila kigugumiKiarabu na Kituruki, alipewdhamana ya kuanzishmawasiliano na vikunvya wapiganaji wa Shia nKurdi nje ya eneo la usalamilipojichimbia serikali ya Irainayofadhiliwa na Marekan

    Maofisa wengine wawiwa ubalozi, yaani HenrEnsher (naibu wa Ford) nofisa kijana katika kitengcha siasa, Jeffrey Bealwalikuwa na nafasi muhimya kuzungumza na Waira

    Inaendelea Uk. 1

    RAIS Barack Obama wa Marekani.

  • 7/29/2019 ANNUUR 1054.pdf

    7/8

    15AN-NUU

    RABBIUL AWWAL 1434, IJUMAA JANUARI 18 - 24, 20Makala

    Je, Nyerere ni kikwazo cha katiba ya umma?-2Inatoka Uk. 13

    leo basi. Kwa nini tuwalaumubaadhi ya Mawaziri na Maafisawa serikali kwa vitendo vyarushwa na ufisadi! Kwaniwamefanya nini cha ajabu!

    Huu ndiyo mfumo wetu wautawala. Ukistaajabu yaTanzania utaona ya Angola;na ukistaajabu ya Cuba utaonaya North Korea. Huu ndiyomfumo wa Ujamaa, Ujamaamaana yake ni tuvumilieniSisi wenzenu tumejaliwa.Haya yanayotokea hivi sasahapa nchini hayakuanzaleo, wala hakuyaanzishaM z e e M w i n y i , w a l aMkapa, wala Kikwete, balihaya aliyaanzisha Nyereremwenyewe na aliyalea yeyemwenyewe na alipotokamadarakani hakutaka yafikekikomo bali alitaka yaendelee,ila yaendelee kwa ustaarabu

    ule ule aliokuwa anaundelezayeye mwenyewe. Isipokuwawarithi wake wameshindwak u y a e n d e l e z a k a t i k aukimya ule ule uliokuwepokutokana na sababu nyingitu za mabadiliko ya haliya hewa duniani zikiwepomarekebisho ya utawala,wimbi la demokrasia, uhuruwa kuongea wa Raia navyombo vya habari.

    W a k a t i w a N y e r e r ekulikuwepo na Ufisadimkubwa wa kutisha lakiniwakati wake hapakuwa nauhuru wa kuongea, magazeti

    yote na radio Tanzaniavilikuwa mali ya serikali nawote waliokuwa wanafanyakazi huko walikuwa watuwa Usalama wa Taifa ,hivyo kila kitu kilichujwakwanza kabla ya kuchapishana kile ki l ichoonekanak i t a l e t a m i n o n g o n ohakikuchapishwa kabisa,na Watanzania walijengwana Propaganda mbaya yakwamba habari nzuri nasahihi ni zile zinazotolewana magazeti na radio yaTaifa basi. Magazeti ya nchiza nje yalikuwa hayauzwihapa nyumbani. Magazeti yakutoka nje yaliyoruhusiwani yale ambayo yamesomwana wanausalama na kuonahayana habari yoyote yakuwaamsha Watanzaniausingizini.

    Nyerere alipiga marufukumagari kutembea Jumamosi

    na Jumapili mpaka upatekibali, na pia tusisahau vibalihivi ndicho chanzo chakuenea kwa rushwa nchinina leo hii eti tunamtafutamchawi wa rushwa ni nani!?Pia Nyerere alipiga marufukumtu yeyote kuwa na Video,au TV alisema ni starehe!Lakini yeye nyumbani kwakeMsasani alikuwa na TV naalikuwa na antennae ya ungomkubwa ambao alikuwaanakamata matangazo ya nchimbalimbali duniani! Wakatiwa Nyerere kulikuwa namagazeti ya Uhuru, Mzalendo

    ya lugha ya Kiswahili, naDaily News na Sunday Newsyote mali ya serikali. Ili uweMhariri Mkuu wa Magazetihaya lazima uwe ni mtu waSystem, na pia kulikuwepona Radio Tanzania ambayo

    ilikuwa mali ya serikali,na ili uwe Mkurugenzi waRadio hiyo lazima uwe mtuwa System na mjumbe waHalmashauri Kuu ya Taifa(NEC) ya CCM. Habari zotezilizokuwa zikitangazwalazima kwanza zichujwe.Hivyo ni kwamba habarizote za Ufisadi zilifichwakulingana na ufisadi wenyewena nani anashutumiwa kwaufisadi huo.

    M w a l i m u N y e r e r ealikuwa hafukuzi mtu kazikwa kufanya ufisadi, balialikuwa anawahamishiasehemu nyingine. Ukifanyaufisadi kwenye shirika la BET

    unahamishiwa Air Tanzania,aliyefanya ufisadi Air Tanzaniaanahamishiwa Bandarini,n a a l i y e f a n y a u f i s a d iBandarini anahamishiwaRTC na kadhalika. Mkuuwa Mkoa akifisadi mkoahuu anahamishiwa mkoamwingine; na Mkuu waWilaya aliyefisadi wilaya hiihuhamishiwa wilaya nyinginenakadhalika! Balozi akifisadiUbalozi huu, anahamishiwaU b a l o z i m w i n g i n eakajirekebishe! Watanzaniah a t u n a k u m b u k u m b u ,tukumbukeni ufisadi uliotokea

    miaka ya sabini na themanini;Mashirika na Makampuniya umma ya l i f i sad iwasana, lakini waliohusikawalihamishwahamishwatu, na wengine baada yakufanya ufisadi wa kutishawalipelekwa ubalozini nchiza nje wakapumzike!

    Huyo ndiye aliyekuwaM w a l i m u N y e r e r en inayemfahamu mimi .Isipokuwa huyu Nyereremnayemfagilia hivi sasa mimisimjui! Kwa nini tumlaumuDr. Kikwete kwamba hatakikuwawajibisha Mafisadiwakati Dr. Jakaya MrishoKikwete anatawala kwakutumia System ile ile ya

    Nyerere na watu anaofanyanao kazi ni wale walewaliokuwa wanafanya kazi na

    Nyerere ambao hawakuzoeakujiuzulu wala kufukuzwakazi? Wao walizoeshwakulindwa kwa kubadilishiwakazi au kupewa uhamisho!

    Serikali ya MheshimiwaBenjamin William Mkapaimefanya ufisadi mkubwasana katika wizara ya madinina ufisadi huu ukifanyika

    Nyerere alikuwa hai lichaya kwamba hakuwepomadarakani! Na Ufisadihuu bila kuficha utawatesaWatanzania kwa miaka mingiijayo. Lakini pamoja naufisadi wa kutisha uliofanyikani kwamba ufisadi huuumefanywa na System ya

    Nyerere kwa vile wote hawana marafiki zao ni wale walevijana wa Mheshimiwa

    Nyerere ambaye al ikuwa

    hakuzoea kumfukuza mkazi bali kuwalinda kwkuwahamishahamisha nkuwakemea tu kisha mambyameisha. Tukistaajabmikataba ya aibu ya Dhahabya wakati wa Mzee Mkap

    tunaweza tukahuzunika kushika vichwa kwa mikataya Almasi.

    Tunalalamika kwambDhahabu zitaisha tutaachiwmashimo, mbona hatulalamikwamba Alimasi imeishtumeachiwa mashimo? Ana mikataba ya Alimasi paliisaini Mkapa? Pia lazimtujiulize ujasiri wa Mkakuwatangazia Watanzankwamba amesaini mikataya 3% na wala siyo 33% nwala siyo 49% na wala siy60% au 70% ameutoa wapLazima kuna vigezo ambavamevitumia kuwatangaz

    Watanzania kwamba ni 3tu. Alimasi imeisha na hakutulichokipata toka kwenAlimasi, bali tumebakia nuendelezo ule ule wa kumsifiBaba wa Taifa!

    (Makala hii imeandikwna Dr. Noordin Jella (Ph.i n E c o n o m i c sFormer Lecturer of MzumbO p e n & K I U DaUniversities. CurrentlFreelance Journalist Seasonal Political AnalyEmail: norjella@yahocomMobile: +255 782 000 131

    Historia ya vikundi vya mauaji MarekanInatoka Uk. 14

    tofauti, ikiwa ni pamoja nawenye siasa kali, (taarifailiyotolewa katika gazetila New Yorker, Machi 26,

    2007).Ofisa mwingine muhimu

    katika timu Negropontealikuwa James FranklinJeffrey, aliyekuwa balozi waMarekani nchini Albanmia(2002 hadi 2004). Mwaka2010, Jeffrey aliteuliwa Baloziwa Marekani nchini Irak(2010 -2012). Negroponte

    pia alimwingiza katika timuhiyo mmoja wa washirikawake wa awali, Kanali JamesSteele (mstaafu) aliyekuwamshirika katika mikakatiakiwa Honduras.

    Chini ya mkakati waSa lvador Negroponte

    alisaidiwa na mshirika wakekutoka enzi zake Amerika yaKati miaka ya 1980, KanaliMstaafu James Steele, ambaye

    wadhifa wake (ubalozini)Baghdad ulikuwa Mshauri waMajeshi ya Usalama ya Irak.Alisimamia usajili na mafunzoya maofisa wa Shirika la Badr

    na Jeshi la Mehdi, makundimawili makubwa ya Washianchini I rak, kuwalengaviongozi na mitandao yamisaada ya wanaharakatiw a K i - S u n n i . V i k i w avimepangwa au vinginevyo,

    vikundi hivi haraka vilivukamipaka na kuwa chanzo kikuu

    cha mauaji nchini Irak.Iwe imenuiwa au la ,

    idadi ya walioteswa, miiliiliyoharibiwa ikionekana kotemjini Baghdad inazalishwa navikundi vya mauaji ambavyomsukumo wake ulitoka kwa

    John Negroponte. Na niuhasama huu wa kidhehebuuliochochewa na Marekaniambao uli if ikisha I rak

    katika dimbwi la umwagajidamu ambako imetumbukiahivi sasa. (Dahr Jamail,Kusimamia kupanuka kwavita: Negroponte na timu

    mpya ya Bush nchini Irak,Antiwar/com (mtandao wawapinga vita) Januari 7,

    2007)Kanali Steele alihusika,

    kwa mujibu wa DennisKucinih (mjumbe wa Baraza la

    Wawakilishi nchini Marekani)kutekeleza mkakati nchini El

    Salvador ambako makumiya maelfu ya Wa-Salvadore

    walipotea, au waliuawa,akiwemo Askofu Mkuu OscarRomero na watawa wanne waMarekani.

    Alipoteuliwa kwenda

    Baghdad, Kanali Steelealipewa jukumu la kusimamiakikosi maalum cha kupambanana harakati (uasi) kinachoitwa

    Makomandoo Maalum waPolisi chini ya Wizara yaMambo ya Ndani ya Irak(iliripotiwa na shirika la habarila Cuba, ACN, Havana, Juni

    14, 2006).Taarifa zinathinitisha kuwaJeshi la Marekani liliwatoawafungwa wake wengi kwaBrigedi ya Mbwamwitu (WolfBrigade), batalioni ya piliiliyoogopeka ya makomandoomaalum wa Wizara ya Mamboya Ndani, ambao ilitokeakuwa chini ya maelekezo yaKanali Steele.

    Askari wa Marekaniw a l i s i m a m a p e m b e n iwasifanye lolote, wakatiwashirika wa Brigedi yaM b w a mw i t u w a k i p i g an a k u t e s a w a f u n g w a .Makomandoo wa Wizara ya

    Mambo ya Ndani waliikamatamaktaba ya Samarra nakuigeuza kuwa kituo chak u z u i a w a t u , a l i s e ma

    mwakilishi huyo. Mahojianyaliyofanywa na Maass (wgazeti la New York Timemwaka 2005 katika jela hiyya kutengenezwa, akifuatanna mshauri wa kijeshi wMarekani katika brigedi hiyKanali James Steele, ilikuwikikatishwa na vilio vymfungwa mmoja nje, alisemSteele anasemekana aliwakuajiriwa kama mshauri wkusaidia kuvunja uasi nchiEl Salvador, taarifa hiyiliongeza.

    (Makala hii imetafsiriwna Anil Kija kutoka makalTerrorism with a HumaFace: The History oAmericas Death Squad*Death Squads in Iraq anSyria. The Historical Roots

    US-NATOs Covert War oSyria-Iliyoandikwa na Pr. Michel Chossudovsky

    Itaendelea)

  • 7/29/2019 ANNUUR 1054.pdf

    8/8

    16AN-NUU

    RABBIUL AWWAL 1434, IJUMAA JANUARI 18 - 24, 20

    Gazeti hili hutolewa na Islamic Propagation Centre S L P 55105 na kupigwa chapa na Business Printers Limited S L P 78495 Dar es Salaam

    AN-NUUR16 RABBIUL AWWAL 1434, IJUMAA JANUARI 18 - 24, 2013

    Usikose nakala yako ya

    AN-NUUR kila

    Ijumaa

    Mkoa wa Kaskazini Unguja

    MAKAMU wa Kwanzawa Rais wa ZanzibarM a a l i m S e i f S h a r i f Hamad amekemea tabiaya baadhi ya wazazi nawalezi kuwanyima fursaza kielimu watoto wa kike,hatua ambayo inadumazamaendeleo yao na taifa kwaujumla.Amesema moja kati yamalengo makuu ya Mapinduziya Zanzibar ya mwaka 1964ni kuondoa ubaguzi waaina zote, sambamba nakuwapatia elimu watotowote bila ya kuwepo ubaguziwa kipato au jinsia.

    Maalim Seif ameelezahayo hivi karibuni baada yakufungua jengo la madarasamanne la skuli ya Mbuyutende

    jimbo la Matemwe, ikiwa nikatika shamrashamra za

    SHIRIKA lisilo la kiserikalila Uboreshaji na MahusianoMema ya Kijamii Tanzania(SUMKI) limesema upoumuhimu wa Katiba ijayoikaruhusu kutumika kwasheria za kidini kwa walewatakao kuwa tayarikuhukumiwa kwa mujibuwa mafundisho ya dinizao.

    Hayo yamo katika maoniyao waliyoyawasilishwa

    juma li li lo pi ta mbele yaTume ya Mabadiliko yaKatiba wakiomba uhuru wawanadini na Ibada upanuliwezaidi.

    Kwa mujibu wa maonihayo yaliyowasilishwa naviongozi wandamizi waSUMKI chini ya Mkurugenziwake Mussa Chengulla, watuwote watakaokuwa tayarikuhukumiwa kwa mujibuwa dini zao watalazimikakusaini hati maalum yamakubaliano.

    Hukumu hii ya kidini

    itamuhusu mwanadini yeyoteatakayefikisha umri wa kujuazuri na baya (baleghe).

    Aidha ikitokea mwanadinikufanya kosa litakalolazimikakuhukumiwa kiser ikalina kidini, kipengele hikikinaelekeza kuwa sheria(hukumu) ya dini itatumika

    baada ya hukumu ya kiserikalikupita, ilisema sehemu ya10 ya maoni hayo.

    Mbali na Mahakama yaKadhi, SUMKI imependekezaKatiba mpya ieleze waziuwepo wa MahakamaMaalum ya Viongozi waUmma.

    Mahakama Maalumya Viongozi wa Umma niMahakama mahsusi juuya viongozi wa ummawatakaohusika na makosaya uvunjifu wa maadiliya uongozi wa umma,ma t u mi z i ma b a y a y amadaraka, ubadhirifu pamojana kuisababishia serikalihasara.

    Maamuzi ya Mahakamahii yawe ya mwisho nayasiingiliwe na muhimilimwingine wowote wa dolaama chombo chochote kile,limesema Shirika hilo.

    Kuwe na Mahakama za KidiniNa Bakari Mwakangwale Akifafanua namna ya

    uendeshaji utakavyokuwakatika mahakama hiyo,Chengulla alisema kuwa, kazikubwa ya mahakama hiyoitakuwa ni kutoa hukumu.

    Mahakama hii itafanyakazi ya kutoa hukumu tukwani uchunguzi, ushahidi namahojiano vilikwishafanywakupitia Kamati ya Kudumuya Bunge ya uchunguzi waMaadili ya Viongozi wa

    Umma na ukapitishwa naBunge ambalo linawakilishamamlaka kamili ya wananchi,h i v y o h a k u t a h i t a j i k akuendesha kesi, alisema.

    Sanjari na hilo, SUMKIikapendekeza Katiba ijayoi tamke waz i kwamba ,kiongozi yeyote wa ummaatayetuhumiwa kujihusishana vitendo vya ufisadi, rushwana kushindwa kutekelezamajukumu yake ipasavyo,anyanganywe haraka hatiyake ya kusafiria pamojana kusimamishwa kazikatika nafasi atakayokuwaanaishikilia.

    Kuhusu njia za utendajiserikalini, Shirika hilolimesema kuwa, Rais amakiongozi yeyote asiwe

    na mamlaka ya kupangamishaha ra , posho amamarupurupu ya viongozi waumma, badala yake shughulihiyo ifanywe na Kamatiya Kudumu ya Bunge yaUchunguzi wa Maadili yaViongozi wa Umma.

    Kiongozi yeyote waUmma asipewe nafasi yakuanzisha sekta yoyote ndaniya Serikali mpaka wazo hilolitakapofikishwa Bungeni

    ili lijadiliwe na wabungekwa niaba ya wananchi.Wabunge ndio watakaokuwana haki ya kukubali jambo

    hilo au kinyume chake bikuingiliwa na muhimiwowote wa dola, limesemShirika hilo na kuongeza;

    Kusiwepo kiongoanayeshikilia nafasi mbiza uongozi ama zaidi ndaya serikali

    JAJI Joseph Sinde Warioba Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba.

    Maalim Seif ahimiza elimu kwa wasichanamaadhimisho ya miaka 49 yaMapinduzi ya Zanzibar.

    Amesema elimu ndioms i n g i w a ma e n d e l e okwa watoto, hivyo wazaziwanapaswa kuwapatia elimuwatoto wao, ili kuhakikishak u w a w a n a w a j e n g e amazingira bora ya maishayao ya baadae.

    Sambamba na hilo MaalimSeif ameitaka Wizara yaElimu na Mafunzo ya Amalikuangalia uwezekano wakuifanyia marekebishomitaala yake ya elimu, iliiendane na wakati na kukidhimahitaji ya soko la ajira.

    Wapo vijana wengiwamemaliza hadi vyuo vikuulakini hawana ajira, kwahivyo mitaala yetu hii lazimaiwaandae vijana wawezek u j i a r i w a n a p o h i t i mumasomo yao, alifahamishaMaalim Seif.

    Kuhusu upungufu wa

    walimu katika skuli za vijijiniMaalim Seif amesema tatizohilo linachangiwa na ukosefuwa nyumba za walimu, nakutoa wito kwa Wizaraya Elimu kushir ikianana serikali ya Mkoa huokutafuta nyumba za walimuili kuondosha tatizo hilo.

    Ukosefu wa nyumba zawalimu ndio tatizo la msingila upungufu wa walimu katikaskuli za vijijini, kwa hivyoWizara ya Elimu shirikianenikwa karibu na Mkoa pamojana Halmashauri kutafutanyumba ijapo za kukodi, iliwalimu wanaotoka mbaliwapate mahali pazuri pakuishi, aliagiza Makamuwa Kwanza wa Rais waZanzibar.

    Mapema Waziri wa Elimuna Mafunzo ya Amali Mhe. AliJuma Shamuhuna ameahidikukamilisha upatikanaji

    wa madawati katika skuhiyo, ili wanafunzi wawezkusoma katika mazingi

    bora.Katika risala ya wananc

    wa kijiji cha Mbuyutendi l i y o s o m w a n a n dMakame Juma, wananchhao wamesema licha ymafanikio waliyoyapakatika kijiji hicho, badwanakabiliwa na matatizkadhaa yakiwemo ukosefwa maji safi na salamumeme na barabara.

    Katika hafla hiyo jumya shilingi milioni 11 nlaki nne zimechangwa kwajili ya kuendeleza ujenwa jengo jipya la skuhiyo ambapo Maalim Seameahidi kuchangia shilinmilioni tano. (Habari kwhisani ya Hassan Hama(OMKR)