177
NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT) 1 BUNGE LA TANZANIA ____________ MAJADILIANO YA BUNGE ___________ MKUTANO WA KUMI Kikao cha Kwanza – Tarehe 30 Januari, 2018 (Bunge Lilianza Saa Tatu Asubuhi) WIMBO WA TAIFA (Hapa Wabunge Waliimba Wimbo wa Taifa) D U A Naibu Spika (Mhe. Dkt.Tulia Ackson) Alisoma Dua NAIBU SPIKA: Waheshimiwa tukae, Katibu. KIAPO CHA UAMINIFU Wabunge wafuatao waliapa:- Mhe. Dkt. Damas Daniel Ndumbaro. Mhe. Justin Joseph Monko. Mhe. Stephen Lemomo Kisurwa. NAIBU SPIKA: Katibu.

BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE ...parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1518427837-30...kasi na gofu. Katika michezo hiyo, matokeo ya timu yetu ya Bunge la Tanzania yalikuwa

  • Upload
    others

  • View
    2

  • Download
    0

Embed Size (px)

Citation preview

Page 1: BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE ...parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1518427837-30...kasi na gofu. Katika michezo hiyo, matokeo ya timu yetu ya Bunge la Tanzania yalikuwa

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

1

BUNGE LA TANZANIA____________

MAJADILIANO YA BUNGE___________

MKUTANO WA KUMI

Kikao cha Kwanza – Tarehe 30 Januari, 2018

(Bunge Lilianza Saa Tatu Asubuhi)

WIMBO WA TAIFA

(Hapa Wabunge Waliimba Wimbo wa Taifa)

D U A

Naibu Spika (Mhe. Dkt.Tulia Ackson) Alisoma Dua

NAIBU SPIKA: Waheshimiwa tukae, Katibu.

KIAPO CHA UAMINIFU

Wabunge wafuatao waliapa:-

Mhe. Dkt. Damas Daniel Ndumbaro.

Mhe. Justin Joseph Monko.

Mhe. Stephen Lemomo Kisurwa.

NAIBU SPIKA: Katibu.

Page 2: BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE ...parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1518427837-30...kasi na gofu. Katika michezo hiyo, matokeo ya timu yetu ya Bunge la Tanzania yalikuwa

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

2

NDG. STEPHEN KAGAIGAI – KATIBU WA BUNGE:

TAARIFA YA SPIKA

NAIBU SPIKA: Waheshimiwa Wabunge, ninayo taarifaya Mheshimiwa Spika. Taarifa ya kwanza ni ya kuhusu kifocha Mheshimiwa Leonidas Tutubert Gama.

Waheshimiwa Wabunge, kama mnavyofahamuBunge letu lilipatwa na msiba mkubwa wa kuondokewa naMbunge mwenzetu Marehemu Leonidas Tutubert Gamaaliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Songea Mjini ambaye alifarikitarehe 23 Novemba, 2017 katika Hospitali ya Peramiho.Marehemu Leonidas Tutubert Gama alizikwa tarehe 27Novemba, 2017 katika Kijiji cha Likuyu Fusi, Manispaa yaSongea, Mkoani Ruvuma.

Waheshimiwa Wabunge, kwa kuwa kifo hiki kilitokeawakati sisi hatupo hapa Bungeni, naomba sasa sotetusimame kwa muda wa dakika moja il i tuwezekumkumbuka aliyekuwa Mbunge mwenzetu.

(Hapa Wabunge walisimama kwa dakika mojakumkumbuka aliyekuwa Mbunge wa Songea Mjini

Marehemu Mhe. Leonidas Tutubert Gama)

NAIBU SPIKA: Mwenyezi Mungu ailaze roho yaMarehemu mahali pema peponi, amina.

Waheshimiwa Wabunge, taarifa nyingine inatolewachini ya Kanuni ya 33 (1) ya Kanuni za Kudumu za Bunge 2016.Katika Mkutano wa Tisa wa Bunge, Bunge lilipitisha miswadaminne ya Sheria ya Serikali kama ifuatavyo:-

(i) Muswada wa Sheria ya Shirika la MawasilianoTanzania wa mwaka 2017 (The Tanzania TelecommunicationsCorporation Bill, 2017);

Page 3: BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE ...parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1518427837-30...kasi na gofu. Katika michezo hiyo, matokeo ya timu yetu ya Bunge la Tanzania yalikuwa

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

3

(ii) Muswada wa Sheria ya Marekebisho ya SheriaMbalimbali Na. 4 wa mwaka 2017 (The Written Laws(Miscellaneous Amendments) No. 4, Bill 2017;

(iii) Muswada wa Sheria ya Wakala wa Meli Tanzaniawa mwaka 2017 (The National Shipping Agencies Bill, 2017);na

(iv)Muswada wa Marekebisho ya Sheria ya Kudhibitina Kupambana na Dawa za Kulevya wa mwaka 2017 (TheDrugs Control Enforcement Amendment Bill 2017).

Waheshimiwa Wabunge, kwa taarifa hii,mnataarifiwa kwamba tayari Miswada hiyo minne imepatakibali cha Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano waTanzania na kuwa sheria za nchi. (Makofi)

Waheshimiwa Wabunge, kwa sasa zinaitwa:-

(i) Sheria ya Shirika la Mawasiliano Tanzania Na.12 yamwaka 2017 (The Tanzania Telecommunications CorporationAct No. 12 of 2017);

(ii) Sheria ya Marekebisho ya Sheria Mbalimbali Na. 4na Na.13 ya mwaka 2017 (The Written Laws (MiscellaneousAmendments No. 4, Act No.13, 2017);

(iii) Sheria ya Wakala wa Meli Tanzania Na.14 yamwaka 2017 (The National Shipping Agencies Act No.14, 2017);na

(iv)Sheria ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa zaKulevya Na.15 ya mwaka 2017 (The Drugs Control andEnforcement Act No.15 of 2017).

Waheshimiwa Wabunge, pia kuna taarifa yaMheshimiwa Spika kuhusu matokeo ya michezo ya Mabungeya Afrika Mashariki. Kama mnavyofahamu Michezo ya Naneya Mabunge ya Nchi za Afrika Mashariki yaani Inter-Parliamentary Games kwa mwaka 2017 ilifanyika kuanzia

Page 4: BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE ...parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1518427837-30...kasi na gofu. Katika michezo hiyo, matokeo ya timu yetu ya Bunge la Tanzania yalikuwa

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

4

tarehe 1 hadi 11 Desemba, 2017 Jijini Dar es Salaam ambapoBunge la Tanzania lilikuwa mwenyeji wa michezo hiyoambayo ilihusisha michezo ya riadha, mpira wa miguu, mpirawa pete, mpira wa wavu, kuvuta kamba, kutembea kwakasi na gofu. Katika michezo hiyo, matokeo ya timu yetu yaBunge la Tanzania yalikuwa kama ifuatavyo:-

(i) Riadha Wanawake, Bunge la Tanzania tulikuwa wakwanza. (Makofi)

(ii) Kutembea kwa haraka wanawake mshindi wakwanza. (Makofi)

(iii) Mpira wa miguu mshindi wa pili. (Makofi)

(iv) Kuvuta kamba wanaume mshindi wa kwanza.(Makofi)

(v) Kuvuta kamba wanawake mshindi wa pili; (Makofi)

(vi) Mpira wa wavu wanaume mshindi wa pili; (Makofi)

(vii) Mpira wa wavu wanawake mshindi wapili.(Makofi)

(viii) Mpira wa pete mshindi hakutangazwa baadaya baadhi ya matokeo kulalamikiwa. Hata hivyo, timu yaTanzania iliongoza kwa kushinda michezo yote mitatuiliyocheza. (Makofi)

Waheshimiwa Wabunge, pamoja na matokeo hayo,baadhi ya wachezaji wa timu ya Bunge letu walifanikiwakutunukiwa medali kwa uchezaji na ushiriki bora kamaifuatavyo:-

(i) Mheshimiwa Salma Rashid Kikwete ambayealitunukiwa Medali Maalum ya Ushiriki wa Michezo. Ahsantesana. (Makofi/Vigelegele)

Page 5: BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE ...parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1518427837-30...kasi na gofu. Katika michezo hiyo, matokeo ya timu yetu ya Bunge la Tanzania yalikuwa

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

5

(ii)Huwa ni kazi ngumu sana kujisemea mwenyewe,lakini wa pili ni Naibu Spika ambaye alipata Medali yaDhahabu, mshindi wa kwanza kutembea kwa haraka.(Makofi/Vigelegele)

(iii) Mheshimiwa Yosepher Ferdnand Komba ambayealipata Medali mbili za Dhahabu. Medali hizi alikuwa mshindiwa kwanza katika mbio za mita 800 na pia mita 1,500.(Makofi/Vigelegele)

(iv) Mheshimiwa Zubeda Hassan Sakuru, alipataMedali ya Fedha, mshindi wa pili mbio za mita 100. (Makofi/Vigelegele)

(v) Mhe Rose Cyprian Tweve, Medali ya Shaba, mshindiwa tatu mbio za mita 100. (Makofi/Vigelegele)

(vi) Mheshimiwa Esther Nicholaus Matiko, Medali yaFedha, mshindi wa pili mbio za mita 200 na mita 400. (Makofi/Vigelegele)

(vii) Mheshimiwa Stanslaus Haroon Nyongo, mchezajibora wa mpira wa wavu wanaume. (Makofi/Vigelegele)

(viii) Mheshimiwa Jesca David Kishoa ambaye alikuwani mmalizaji mzuri wa mpira wa wavu kwa wanawake.(Makofi/Vigelegele)

Aidha, katika mbio za mita 1,600 za kupokezana vijiti,Tanzania ilipata Medali ya Dhahabu kwa kuwa mshindi wakwanza ambapo waliohusika ni Naibu Spika, MheshimiwaZubeda Hassan Sakuru, Mheshimiwa Esther Matiko naMheshimiwa Rose Cryprian Tweve. (Makofi)

Waheshimiwa Wabunge, Mheshimiwa Spikaanawapongeza sana sana Wabunge wote walioleta medalina kuleta heshima kwa Bunge letu la Jamhuri ya Muunganowa Tanzania.

Page 6: BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE ...parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1518427837-30...kasi na gofu. Katika michezo hiyo, matokeo ya timu yetu ya Bunge la Tanzania yalikuwa

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

6

Pia anawahimiza Wabunge wengine ambaohawashiriki michezo kikamilifu kuanza mazoezi wakati huuwa Bunge ili waweze kushirikiana na Wabunge wenzaokuhakikisha Bunge letu linazidi kupata heshima na waleambao wamepata medali basi waendelee kujifua zaidi.

Waheshimiwa Wabunge, hiyo ndiyo ilikuwa taarifa yaMheshimiwa Spika Waheshimiwa Wabunge tunaendelea,Katibu.

NDG. STEPHEN KAGAIGAI – KATIBU WA BUNGE:

HATI ZA KUWASILISHA MEZANI

NAIBU SPIKA: Hati za kuwasil isha mezani,Mwanasheria Mkuu wa Serikali.

MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI:

Maelezo ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali kuhusuMuswada wa Sheria ya Marekebisho ya Sheria mbalimbaliNa. 5 wa mwaka 2017 [(The Written Laws MiscellaneousAmendments) (No. 5) Bill, 2017]

NAIBU SPIKA: Ahsante sana. Mwenyekiti wa Kamatiya Katiba na Sheria, Mheshimiwa Mchengerwa.

MHE. MOHAMED O. MCHENGERWA-MWENYEKITI WAKAMATI YA KATIBA NA SHERIA:

Maoni na ushauri wa Kamati kuhusu Muswada waSheria ya Marekebisho ya Sheria mbalimbali Na. 5 wa mwaka2017 [(The Written Laws Miscellaneous Amendments) (No. 5)Bill, 2017]

NAIBU SPIKA: Ahsante. Msemaji Mkuu wa KambiRasmi ya Upinzani kuhusu Wizara ya Katiba na Sheria,Mheshimiwa Mtolea

Page 7: BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE ...parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1518427837-30...kasi na gofu. Katika michezo hiyo, matokeo ya timu yetu ya Bunge la Tanzania yalikuwa

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

7

MHE. ABDALLAH A. MTOLEA - MSEMAJI MKUU WAKAMBI RASMI YA UPINZNI KUHUSU WIZARA YA KATIBA NASHERIA:

Maoni ya Msemaji Mkuu wa Kambi Rasmi ya Upinzanikuhusu Wizara ya Katiba na Sheria ya Muswada wa Sheria yaMarekebisho ya Sheria mbalimbali Na. 5 wa mwaka 2017 [(TheWritten Laws Miscellaneous Amendments) (No. 5) Bill, 2017]

NAIBU SPIKA: Ahsante. Katibu.

MASWALI NA MAJIBU

Na.1

Kuwasaidia Vijana Walioathirika na Dawa za Kulevya

MHE. FAIDA MOHAMED BAKAR (K.n.y. MHE. IBRAHIMMOHAMEDALI RAZA) aliuliza:-

Je, ni lini Serikali itachukua hatua kwa kuwasaidiavijana walioathirika na matumizi ya dawa za kulevya?

NAIBU SPIKA: Mheshimiwa Naibu Waziri, Ofisi ya WaziriMkuu, majibu.

NAIBU WAZIRI, OFISI YA WAZIRI MKUU (KAZI, AJIRA NAVIJANA) alijibu:-

Mheshimiwa Naibu Spika, kwa niaba ya MheshimiwaWaziri Mkuu, napenda kujibu swali la Mheshimiwa IbrahimMohamedali Raza, Mbunge wa Kiembe Samaki kamaifutavyo:-

Mheshimiwa Naibu Spika, Serikali inatambua tatizola matumizi ya madawa ya kulevya na athari yake kubwakwa nguvu kazi ya Taifa letu ambayo asilimia kubwa ni vijana.Katika kukabiliana na tatizo hili, Serikali kwa kushirikiana nawadau mbalimbali imechukua hatua kadhaa kuwasaidia

Page 8: BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE ...parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1518427837-30...kasi na gofu. Katika michezo hiyo, matokeo ya timu yetu ya Bunge la Tanzania yalikuwa

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

8

vijana na makundi mengine walioathirika na matumizi yadawa za kulevya. Hatua hizo ni pamoja na zifuatazo:-

(i) Kutoa tiba kwa waathirika ambapo hadi kufikiamwishoni mwa mwaka 2017 jumla ya vituo vitno vya tiba(methadone) kwa waathirika wa dawa za kulevya vilikuwavimeanzishwa nchini katika Hospitali za Muhimbili, Temeke,Mwananyamala, Zanzibar na Mbeya. Kupitia vituo hivyo,jumla ya waraibu 5,830 walipatiwa tiba na wenginewanaendelea kupatiwa matibabu.

Mheshimiwa Naibu Spika, aidha, mwaka huu wa 2018,Serikali inatarajia kufungua vituo vipya vya tiba katika Mikoaya Mwanza na Dodoma. Kutokana na utafiti uliofanywamwaka 2014, Serikali imepanga kufungua vituo vya tiba katikaMikoa ya Pwani, Morogoro, Arusha, Kilimanjaro na Tanga kwakulingana na upatikanaji wa fedha.

(ii)Kuanzisha kituo kikubwa cha kuwapatia waathirikatiba kwa njia ya kazi (occupational therapy) ambapomafunzo ya stadi za kazi mbalimbali yatatolewa. Kituo hikikinajengwa katika eneo la Itega, Mkoani Dodoma.

(iii) Serikali kwa kupitia Mamlaka ya Kudhibiti naKupambana na Dawa za Kulevya, imetengeneza miongozombalimbali kwa ajili ya kusimamia utoaji wa huduma kwawaathirika wa dawa za kulevya kuanzia katika vituo vyaafya hadi kwenye huduma za kijamii zinazotolewa na asasimbalimbali za kiraia.

(iv) Kutoa elimu kwa njia ya redio na luninga ambapoviongozi wa ngazi tofauti wa mamlaka wamekuwa wakitoaelimu katika vipindi mbalimbali. Vilevile elimu imekuwaikitolewa katika shughuli za Kitaifa kama vile Mwenge, NaneNane, maadhimisho na matamasha mbalimbali.

NAIBU SPIKA: Ahsante sana. Mheshimiwa Faida Bakarswali la nyongeza.

Page 9: BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE ...parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1518427837-30...kasi na gofu. Katika michezo hiyo, matokeo ya timu yetu ya Bunge la Tanzania yalikuwa

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

9

MHE. FAIDA MOHAMED BAKAR: Mheshimiwa NaibuSpika, ahsante kwa kunipatia nafasi ya kuuliza maswali mawilimadogo ya nyongeza.

Mheshimiwa Naibu Spika, pamoja na majibu mazuriya Mheshimiwa Naibu Waziri lakini kuna kitu amekiongelea,amesema kutibu. Mimi ninavyoona kinga ni bora kuliko tiba;na kwa kuwa Serikali inawatibu vijana hawa baada yakuathirika lakini ni bora ingewakinga wasiathirike. Je, Serikaliitachukua hatua gani za haraka au madhubuti za kuwakingavijana wake wasitumie madawa ya kulevya badala yakuwapeleka kwenye sober house wakati wameshaathirikana kuwatibu? (Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, swali la pili, kwa kuwascanning machine katika maeneo mbalimbali ni muhimusana katika maeneo kama airport, bandarini na sehemunyingine zozote. Hata hivyo, kuna maeneo mengine kamakule kwetu Pemba, juzi nimesafiri kuja huku scanning machineyake haifanyi kazi na sehemu hizi ndizo wanazopitisha vituvyao watu hawa wabaya.

Je, Serikali itachukua hatua gani kuwanunulia mashinenyingine pale airport ya Pemba ama kuwatengenezea ilemashine ili kuepukana na matatizo haya ya kusafirishamadawa haya ya kulevya? Ahsante. (Makofi)

NAIBU SPIKA: Mheshimiwa Naibu Waziri, Ofisi ya WaziriMkuu, majibu.

NAIBU WAZIRI, OFISI YA WAZIRI MKUU (KAZI, AJIRA NAVIJANA): Mheshimiwa Naibu Spika, kama alivyosemaMheshimiwa Mbunge ni kweli, kinga ni bora zaidi. Katikautaratibu wa kushughulikia masuala ya dawa za kulevya,hatua ambazo Serikali imezichukua zipo katika mgawanyowa sehemu tatu.

Mheshimiwa Naibu Spika, sehemu ya kwanza tunaiitani supply reduction, ni punguzaji wa upatikanaji wa dawa zakulevya ikiwa ndiyo sehemu ya kwanza kusaidia kumfanya

Page 10: BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE ...parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1518427837-30...kasi na gofu. Katika michezo hiyo, matokeo ya timu yetu ya Bunge la Tanzania yalikuwa

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

10

kijana huyu au mtu yeyote asipate madawa ya kulevya. Nidhahiri kabisa kwamba baada ya Mamlaka ya Dawa zaKulevya kuanza kazi yake, kuanzia Januari mpaka Desemba,2017 ninavyozungumza hivi sasa tayari wamefanyakazikubwa ya kuzuia upatikanaji wa madawa ya kulevya.

Mheshimiwa Naibu Spika, mpaka sasa takribani kilo196 za heroin zilikamatwa lakini takribani tani 47 za bangizilikamatwa, tani 7 za Mirungi zilikamatwa na mashambaya bangi hekari 542 yaliteketezwa.

Mheshimiwa Naibu Spika, kwa hiyo, ukiyafanya hayasasa, yanasaidia kupunguza upatikanaji wa dawa za kulevyahuko mtaani. Kwa hiyo, kazi ya kwanza Serikali inayofanya nihiyo ya kusaidia hiyo kitu inaitwa supply reduction.

Mheshimiwa Naibu Spika, kitu cha pili tunachokifanyani demand reduction, tunapunguza pia uhitaji.

Mheshimiwa Naibu Spika, ya tatu ni harm reduction.Harm reduction sasa huyu ameshatumia dawa za kulevyahatuwezi kumuacha hivyo hivyo ndiyo maana sasa tunakujana tiba lakini vilevile kumsaidia mtu huyu aweze kurudi katikahali yake ya kawaida.

Mheshimiwa Naibu Spika, hivi sasa ninavyozungumzamamlaka imefanya kazi yake vizuri sana, hata katika uagizajiwa methadone hapa nchini tumetoka katika kiwango chakawaida cha kilo 120 mpaka kilo 300, maana yake nini?Maana yake ni kwamba dawa za kulevya sasa hivi mtaanihazipatikani, kwa hiyo, hawa waathirika wanapata tabukubwa ndiyo maana wanakwenda kutibiwa katika vituovyetu ambavyo tumeviweka kwa ajili ya kuwatibu waraibu.

Mheshimiwa Naibu Spika, kwa hiyo, Serikaliinalitambua hilo na ndiyo maana tumekuja na hiyo mikakatitofauti tofauti kuhakikisha kwamba dawa za kulevyahazipatikani na tunawalinda vijana wetu.

Page 11: BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE ...parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1518427837-30...kasi na gofu. Katika michezo hiyo, matokeo ya timu yetu ya Bunge la Tanzania yalikuwa

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

11

NAIBU SPIKA: Mheshimiwa Naibu Waziri, MheshimiwaNditiye, majibu.

NAIBU WAZIRI WA UJENZI, UCHUKUZI NAMAWASILIANO (MHE. ENG. ATASHASTA J. NDITIYE):Mheshimiwa Naibu Spika, ahsante sana. Napendakuongezea kwenye swali la pili la Mheshimiwa Faida Bakarkwamba kwa mujibu wa taarifa tulizonazo kutoka ZanzibarAirport Authority (ZAA), scanner ya Pemba inafanya kazi vizurikabisa na inafuatiliwa kila siku na kila wakati. Scanners zoteza viwanja vyetu vya ndege tunazifuatilia mara kwa mara,ahsante sana.

T A A R I F A

MHE. FAIDA MOHAMED BAKAR: Mheshimiwa NaibuSpika, scanner ya Pemba haifanyi kazi nimesafiri juzi.

NAIBU SPIKA: Mheshimiwa Faida naomba ukae.Mheshimiwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu.

WAZIRI WA NCHI, OFISI YA WAZIRI MKUU (SERA, BUNGE,KAZI, AJIRA, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU): MheshimiwaNaibu Spika, pamoja na majibu yote yaliyotolewa na NaibuMawaziri kuhusu suala hili, tunatambua umuhimu mkubwawa kuhakikisha viwanja vyetu vyote vya ndege scannerzinafanya kazi na hizo ndizo zinazoweza kutusaidia kudhibititatizo la uingizaji wa dawa za kulevya.

Kwa hiyo, naomba niwaambie WaheshimiwaWabunge kama kuna tatizo kwenye scanner ya Zanzibar basitutafanya utafiti wa kina ili ndani ya Serikali tuzungumze iliscanner hiyo iweze kufanya kazi na tuweze kuendeleakudhibiti tatizo hilo la dawa za kulevya. (Makofi)

NAIBU SPIKA: Ahsante sana Mheshimiwa Waziri kwamajibu hayo. Mheshimiwa Halima Abdallah Bulembo, swalila nyongeza.

Page 12: BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE ...parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1518427837-30...kasi na gofu. Katika michezo hiyo, matokeo ya timu yetu ya Bunge la Tanzania yalikuwa

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

12

MHE. HALIMA A. BULEMBO: Mheshimiwa Naibu Spika,nakushukuru kwa kunipa nafasi hii.

Mheshimiwa naibu Spika, mwaka jana tumeshuhudiaSerikali yetu ikijaribu kupunguza tatizo la utumiaji wa madawaya kulevya kwa kuwataja hadharani watumiaji na wauzajijambo lililosaidia kupunguza lakini siyo kumaliza tatizo hili.

MBUNGE FULANI: Subiri, subiri, Mr & Mrs wameingia.(Makofi/Vigelegele)

MHE. HALIMA A. BULEMBO: Mheshimiwa Naibu Spika,naomba niendelee. Nashukuru kwa kunipa nafasi ya kuulizaswali la nyongeza.

Mheshimiwa Naibu Spika, tumeshuhudia mwaka janaSerikali yetu ikijaribu kupunguza tatizo la utumiaji wa madawaya kulevya kwa kuwataja hadharani watumiaji na wauzajilakini jambo hili halikumaliza tatizo bali ilipunguza tu, sualahili bado lipo tena kwa wingi zaidi na wanaoathirika ni vijanawa Kitanzania ambao ni nguvu kazi ya nchi. Je, ni lini sasaSerikali itaona umuhimu wa kujenga rehab zitakazotambulikaili kumaliza janga hili? Nashukuru.

NAIBU SPIKA: Mheshimiwa Naibu Waziri, nadhaniumelisikia swali ambalo limepigiwa makofi mengi sana humuBungeni siku ya leo.

WABUNGE FULANI: Ahaaa. (Makofi/Kicheko)

NAIBU WAZIRI, OFISI YA WAZIRI MKUU (KAZI, AJIRA NAVIJANA): Mheshimiwa Naibu Spika, kwanza kabisa napendanichukue fursa hii kumshukuru na kumpongeza sanaMheshimiwa Halima Bulembo kwa namna ambavyoanawapigania vijana wa Taifa letu la Tanzania, lakiniamekuwa mstari wa mbele kutetea maslahi ya vijana.(Makofi)

Mheshimiwa naibu Spika, ni kweli tunafahamukwamba moja kati ya njia ya kuwarudisha waathirika wa

Page 13: BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE ...parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1518427837-30...kasi na gofu. Katika michezo hiyo, matokeo ya timu yetu ya Bunge la Tanzania yalikuwa

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

13

dawa za kulevya katika hali yao ya kawaida ni pamoja nakuwa na sober houses nyingi na rehabilitation centersambazo zitawasaidia kuwarudisha kururdi katika hali yakeya kawaida. Ndiyo maana katika majibu yangu ya msinginimesema, moja kati ya mkakati ambao tunao ni uanzishwajiwa tiba ambao inaitwa occupational therapy ambao lengolake kubwa ni kumsaidia muathirika huyu wa dawa zakulevya kurudi katika hali yake ya kawaida.

Mheshimiwa Naibu Spika, katika utaratibu huo,waathirika wote wa dawa za kulevya ambao watapelekwakatika vituo vyetu mbalimbali watafundishwa stadimbalimbali za kazi ili baadaye akirudi asirejee katika matumiziya dawa za kulevya. Katika mpango wetu huo, Serikalitunaanza utoaji wa tiba hiyo katika kituo ambachokinajengwa hapa Dodoma katika eneo la Itega. Halikadhalika tunafanya kazi pia na taasisi na wadau mbalimbalikatika kuhakikisha kwamba tunawasaidia vijana wetu waKitanzania wasipate madhara zaidi ya matumizi ya dawaza kulevya.

NAIBU SPIKA: Mheshimiwa Fatma Toufiq, swali lanyongeza

MHE. FATMA H. TOUFIQ: Mheshimiwa Naibu Spika,ahsante naona Mheshimiwa Naibu Waziri amejibu yaleniliyokuwa nikitaka kuuliza, ahsante.

NAIBU SPIKA: Mheshimiwa naomba ujitambulishe jinatafadhali.

MHE. NURU A. BAFADHILI: Naitwa Nuru Bafadhili.

NAIBU SPIKA: Uliza swali la nyongeza.

MHE. NURU A. BAFADHILI: Mheshimiwa Naibu Spika,ahsante kwa kunipa nafasi ya kuuliza swali la nyongeza.

Mheshimiwa Naibu Spika, kwa kuwa vijana wengiwanaopelekwa katika sober houses wanalipishwa kiasi fulani

Page 14: BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE ...parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1518427837-30...kasi na gofu. Katika michezo hiyo, matokeo ya timu yetu ya Bunge la Tanzania yalikuwa

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

14

cha fedha ili waweze kujikimu kwa vyakula. Je, Serikali haionikuwa ni wakati muafaka kuwasaidia kwa sababu kunabaadhi ya jamii hazina uwezo wa kuwasaidia watoto wale?(Makofi)

NAIBU SPIKA: Mheshimiwa Naibu Waziri, Ofisi ya WaziriMkuu, majibu.

NAIBU WAZIRI, OFISI YA WAZIRI MKUU (KAZI, AJIRA NAVIJANA): Mheshimiwa Naibu Spika, ni kweli sober houses nyingizinamilikiwa na watu binafsi na waathirika hawa wa dawaza kulevya wamekuwa wakilipishwa. Mpango wa Serikali nikuandaa utaratibu sasa ambapo na sisi tutatengeneza soberhouses za kwetu ili kufanya huduma hii ipatikanike kwa urahisina kila mmoja ambaye hana uwezo wa kumpeleka katikasober house za private aweze kupata tiba hii na imsaidiekurudi katika hali ya kawaida.

NAIBU SPIKA: Waheshimiwa Wabunge, tunaendeleana swali la pili, Mheshimiwa Salum Mwinyi Rehani, Mbungewa Uzini, sasa aulize swali lake.

Na. 2

Kutambua Rasmi Ajira ya Waendesha Bodaboda/Bajaji

MHE. SALUM MWINYI REHANI aliuliza:-

Je, ni l ini Serikali itawatambua rasmi derevabodaboda au bajaji kuwaandikia mikataba, kuwekewaakiba na kulipiwa Mifuko ya Hifadhi ya Jamii na waajiri waokwani vijana hao wameshajiajiri kwa zaidi ya asilimia 15 - 25kwenye kila Wilaya au Halmashauri?

NAIBU SPIKA: Mheshimiwa Naibu Waziri, Ofisi ya WaziriMkuu, majibu.

NAIBU WAZIRI, OFISI YA WAZIRI MKUU (KAZI, AJIRA NAVIJANA) alijibu:-

Page 15: BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE ...parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1518427837-30...kasi na gofu. Katika michezo hiyo, matokeo ya timu yetu ya Bunge la Tanzania yalikuwa

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

15

Mheshimiwa Naibu Spika, kwa niaba ya MheshimiwaWaziri Mkuu, napenda kujibu swali la nyongeza la MheshimiwaSalum Mwinyi Rehani, Mbunge wa Uzini, kama ifuatavyo:-

Mheshimiwa Naibu Spika, Serikalii l ikwishakuwatambua rasmi madereva wa pikipiki(bodaboda) au bajaji tangu mwezi Aprili, 2009 ambapopikipiki na bajaji zilikubaliwa kufanya biashara ya kusafirishaabiria kwa mujibu wa sheria.

Mheshimiwa Naibu Spika, ili madareva wa pikipiki(bodaboda) au bajaji waweze kutambuliwa kwa urahisi kwalengo la kupatiwa hduma mbalimbali zikiwemo za Hifadhiya Jamii kutoka Serikalini na wadau wengine, Serikaliimefanya juhudi kubwa ya kuwahamasisha waunde vyamavyao katika ngazi mbalimbali ambapo kwa kupitia vikundihivyo, elimu juu ya masuala ya sheria za kazi na hifadhi yajamii hutolewa.

Mheshimiwa Naibu Spika, Serikali itaendeleakusimamia matakwa ya sheria yanayomtaka mwajiri kutokamikataba kwa mwajiriwa wake hasa ikizingatiwa kwamba,mkataba unabeba haki za kimsingi na wajibu wa kilaupande.

Mheshimiwa Naibu Spika, nichukue fursa hii kutoamaagizo kwa waajiri wote nchini wanaotoa ajira kwa vijanawaendesha pikipiki au bajaji kuzingatia sheria ikiwa ni pamojana kuwa na mikataba ya kuhakikisha kuwa wanapatahuduma nyingine muhimu zinazowawezesha kufanyashughuli zao kwa ufanisi na kwa kuzingatia usalama wa uhaiwao na vyombo vyao.

NAIBU SPIKA: Mheshimiwa Salum Rehani, swali lanyongeza.

MHE. SALUM MWINYI REHANI: Mheshimiwa NaibuSpika, nakushukuru, naomba niulize swali moja la nyongeza,kama ifuatavyo:-

Page 16: BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE ...parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1518427837-30...kasi na gofu. Katika michezo hiyo, matokeo ya timu yetu ya Bunge la Tanzania yalikuwa

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

16

Pamoja na majibu mazuri ya Mheshimiwa NaibuWaziri, lakini bado wamiliki wa vyombo hivi hawajawapamikataba waendesha bajaji na bodaboda, matokeo yakewanakubaliana kwa maneno kwamba baada ya mwakammoja chombo hiki kitakuwa chako kwa kiasi fulani chafedha lakini ikifika miezi saba au nane anamnyang’anya kilechombo na kumpa mtu mwingine.

Je, Serikali iko tayari kusimamia zoezi la kukabidhiwamikataba waendesha pikipiki na wakamatwe waendeshapikipiki waulizwe mkataba aliokupa mwajiri wako uko wapiili kuwashinikiza wamiliki hawa kutekeleza hii sheria?

NAIBU SPIKA: Mheshimiwa Naibu Waziri, Ofisi ya WaziriMkuu, majibu.

NAIBU WAZIRI, OFISI YA WAZIRI MKUU (KAZI, AJIRA NAVIJANA): Mheshimiwa Naibu Spika, katika eneo hili aliloliuliziaMheshimiwa Mbunge la mikataba hapa lazima tuweke vizurina ieleweke. Mikataba aliyokuwa anazungumziaMheshimiwa Mbunge ni mkataba wa umiliki wa pikipiki hasabaada ya kuwa kuna makubaliano kati ya mwenye chombona yule dereva ambaye amepewa chombo hicho.

Mheshimiwa Naibu Spika, sisi kama Serikali, mkatabaambao tuna uwezo wa kuusimamia wa kwanza kabisa nimkataba wa ajira ambao upo kwa mujibu wa sheria, kifungucha 14 cha Sheria Na. 6 ya mwaka 2004 ambacho kimeelezeavyema namna ambavyo kila mwajiriwa anapaswa kupewamkataba.

Mheshimiwa Naibu Spika, la pili ambalo kalizungumziaMheshimiwa Mbunge, ni makubaliano ambayo yamekuwayakifanyika kati ya waendesha vyombo na wamiliki wavyombo ambapo utaratibu katika maeneo mengi ni kwambayule mmiliki anampatia muda muendesha chomboakisharejesha fedha yake basi baadaye chombo kile kinabakikuwa cha yule dereva.

Page 17: BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE ...parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1518427837-30...kasi na gofu. Katika michezo hiyo, matokeo ya timu yetu ya Bunge la Tanzania yalikuwa

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

17

Mheshimiwa Naibu Spika, katika hilo, nitoe tu witowa kwamba makubaliano hayo yanaingiwa na pande mbili;mmiliki na mwendesha chombo, ikitokea namna yoyoteambayo haki ya mwendesha chombo huyu inadhulumiwabasi vyombo vya sheria vipo na tuwaombe watu hawaambao wananyanyasika katika eneo hilo waendekulalamika na hatua za kisheria ziweze kuchukuliwa dhidi yahao ambao wanakiuka utaratibu na makubaliano ambayowameshaingia hapo awali.

NAIBU SPIKA: Mheshimiwa Mussa Zungu, swali lanyongeza.

MHE. MUSSA A. ZUNGU: Mheshimiwa Naibu Spika,nakushuru. Pamoja na mikataba ya bodaboda na bajaji,mikataba ni fursa za hawa vijana kufanya kazi katika miji.Sera ya MKURABITA ni mkakati wa kurasimisha biashara zawanyonge ziwe rasmi. Bodaboda na bajaji hizi baada yamikataba hii wanapata tabu sana kufanya biashara katikamiji na hasa kwenye barabara kubwa. (Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, naipongeza sana Serikaliya Awamu ya Tano kwa kutambua na kuwajaliwafanyabiashara wadogo wadogo, lakini Mamlaka zaHalmashauri bado zinazuia vijana hawa wasifanye biasharakwa uhakika na kuwatia hasara sana. Yako malalamiko,madalali wanaokamata bajaji na bodaboda wanaruhusubodaboda zao tu ziingie mjini.

Je, Serikali sasa kwa kutambua sera MKURABITAwanaonaje sasa hili jambo liruhusiwe na hawa vijana wapateuhalali wa kufanya biashara katika miji yetu? (Makofi)

NAIBU SPIKA: Mheshimiwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais,TAMISEMI majibu.

WAZIRI WA NCHI, OFISI YA RAIS, TAWALA ZA MIKOANA SERIKALI ZA MITAA: Mheshimiwa Naibu Spika, hayamambo yanatofautiana, ni case by case Mikoa kwa Mikoana Wilaya kwa Wilaya, lakini Mheshimiwa Zungu ame-raise

Page 18: BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE ...parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1518427837-30...kasi na gofu. Katika michezo hiyo, matokeo ya timu yetu ya Bunge la Tanzania yalikuwa

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

18

jambo la msingi sana. Naomba Ofisi yangu ilichukue jambohili kwa ajili ya kuliwekea utaratibu mzuri tuangalie jambogani lifanyike katika eneo gani ili mradi tufikie muafaka kwaajili ya vijana wetu. (Makofi)

NAIBU SPIKA: Mheshimiwa Pauline Gekul, swali lanyongeza.

MHE. PAULINE P. GEKUL: Mheshimiwa Naibu Spika,nikushukuru kwa kunipa nafasi niulize swali moja lanyongeza.

Mheshimiwa Naibu Spika, kwa kuwa vyombo hivi vyausafiri bodaboda na bajaji vimekuwa vikisababisha ajalinyingi na wananchi wengi wanapoteza maisha, lakini kwahali ilivyo sasa wamiliki wanakatia bima ndogo ambayohaim-cover yule anayeendesha na yule abiria wake. Je, Serikalihaioni umuhimu wa kukaa na wamiliki wa bodabodawakatie bima kubwa (comprehensive) i l i kuwalindawananchi wetu?

NAIBU SPIKA: Mheshimiwa Naibu Waziri, Ofisi ya WaziriMkuu, majibu.

NAIBU WAZIRI, OFISI YA WAZIRI MKUU (KAZI, AJIRA NAVIJANA): Mheshimiwa Naibu Spika, swali lake ilikuwa nikwamba Serikali haioni umuhimu wa kukaa ili kutengenezamfumo mzuri ambao utasaidia na hawa ambao ni abirialakini vilevile na hawa ambao wanaendesha vyombo hivikuwa katika hali ya usalama. Limeletwa wazo na sisi kamaSerikali tunalichukua kuona utaratibu mzuri ambao utasaidiakatika kuondoa adha hii.

Mheshimiwa Naibu Spika, lakini kwa kuongezea si tukatika bima tutakwenda mbali zaidi kuwataka pia na hawawaajiri ambao wanawaajiri hawa vijana wajiunge na Mfukowa Fidia kwa Wafanyakazi kwa maana ya WCF ili inapotokeatatizo lolote la muendesha bodaboda huyu basi na yeye awekatika sehemu nzuri ya kuweza kupata utaratibu ambaoumewekwa na WCF kwa maana ya kuweza kumshughulikia

Page 19: BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE ...parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1518427837-30...kasi na gofu. Katika michezo hiyo, matokeo ya timu yetu ya Bunge la Tanzania yalikuwa

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

19

katika matatizo ambayo yanatokana na magonjwa auulemavu kutokana na shughuli ambayo wanaifanya.

Mheshimiwa Naibu Spika, napenda kumjulishaMheshimiwa Gekul kwamba suala hili tunalichukua lakinitutakwenda mbali zaidi kusisitiza kwamba na hawawanakuwa katika utaratibu huo mzuri.

NAIBU SPIKA: Mheshimiwa Stanslaus Mabula, swali lanyongeza.

MHE. STANSLAUS S. MABULA: Mheshimiwa NaibuSpika, nakushukuru kwa nafasi ya kuuliza swali dogo lanyongeza.

Mheshimiwa Naibu Spika, sote tunafahamu kwambabiashara ya bodaboda imekuwa ni sehemu kubwa sana yaajira kwa vijana, lakini naomba tu kufahamu ukichukuliaJimbo la Nyamagana peke yake zipo bodaboda takribani6,700 lakini vijana hao wenye uwezo wa kujiajiri ni asilimia30% peke yake, ni nini mkakati wa Serikali kutumia walaufedha za Mfuko wa Vijana na Fedha za Uwezeshaji kutokaOfisi ya Waziri Mkuu waweze kukopeshwa na fedha hiziwatumie kama sehemu ya ajira yao ili kuepusha migogorona waajiri wao na mikataba isiyokuwa rafiki kwao?

Mheshimiwa Naibu Spika, nakushukuru. (Makofi)

NAIBU SPIKA: Mheshimiwa Naibu Waziri, Ofisi ya WaziriMkuu, majibu.

NAIBU WAZIRI, OFISI YA WAZIRI MKUU (KAZI, AJIRA NAVIJANA): Mheshimiwa Naibu Spika, kwanza nimpongeze sanaMheshimiwa Mabula kwa kazi kubwa anayofanyakupambania vijana wa Nyamagana hasa vijanawamachinga na bodaboda amekuwa akifanya kazi hii vizurisana. (Makofi)

Page 20: BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE ...parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1518427837-30...kasi na gofu. Katika michezo hiyo, matokeo ya timu yetu ya Bunge la Tanzania yalikuwa

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

20

Mheshimiwa Naibu Spika, mkakati wa Serikali ni ninikatika hili? Ni kweli tunatambua kwamba asilimia kubwa yavijana wangependa kumiliki pikipiki hizi ziwe mali yao lakinikikubwa ambacho kinawakwamisha ni upatikanaji wamikopo ya masharti nafuu, lakini vilevile na fedha kuwezakununulia vifaa hivi.

Mheshimiwa Naibu Spika, kama Serikali hatua yakwanza ambayo tumekuwa tukiifanya ni kuhamisisha vikundivya vijana kwanza wakae pamoja, wajisajili then baada yapale sisi chini Ofisi ya Waziri Mkuu tunalo Baraza la UwezeshajiWananchi Kiuchumi ambalo linaratibu zaidi ya mifuko 19ambayo inatoa mikopo na inatoa na ruzuku.

Mheshimiwa Mwenyekiti, kwa hiyo, rai yangu nikuwaomba Waheshimiwa Wabunge ambao naamini kilaMbunge hapa kwake ana bodaboda ambao wana mahitajihaya kwanza kuwahamasisha kukaa katika vikundi, wajisajilina baadae tutawasaidia kuwaunganisha na mifukombalimbali na taasisi za kifedha ili waweze kupata mikopoya aina mbalimbali.

Mheshimiwa Naibu Spika, ziko programu nyingiambazo zinafanyika sasa hivi ambapo yule mwendeshabodaboda ana-deposit kiasi kidogo tu katika taasisi ya fedhana anakabidhiwa chombo chake na anakuwa anafanya kazikurudisha taratibu taratibu.

Mheshimiwa Naibu Spika, kwa hiyo, niwaombeWaheshimiwa Wabunge wote, najua ni kilio cha Wabungewengi hakikisheni kwamba mnahamasisha uundaji wavyama vya bodaboda na baadaye Ofisi ya Waziri Mkuu, sisitutafanya kazi ya kuwasaidia kuratibu kwa maana mifukogani inaweza kusaidia kuwezesha makundi haya.

NAIBU SPIKA: Ahsante sana Mheshimiwa Naibu Wazirikwa majibu hayo. Sasa tunaelekea Ofisi ya Rais, TAMISEMI,Mheshimiwa Engineer Edwin Amandus Ngonyani, Mbunge waNamtumbo, sasa aulize swali lake.

Page 21: BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE ...parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1518427837-30...kasi na gofu. Katika michezo hiyo, matokeo ya timu yetu ya Bunge la Tanzania yalikuwa

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

21

Na. 3

Hitaji la Hospitali ya Wilaya na Vituo vya Afya Namtumbo

MHE. ENG. EDWIN A. NGONYANI aliuliza:-

Wilaya ya Namtumbo haina huduma stahiki zaHospitali ya Wilaya wala Vituo vya Afya licha ya kuwepo kwaSera ya kila Wilaya iwe na Hospitali ya Wilaya na kila Kataiwe na Kituo cha Afya.

(a)Je, sera hiyo kwa Wilaya ya Namtumboitatekelezwa lini?

(b) Makadirio yaliyofanywa na TBA kwa ujenzi waHospitali ya Wilaya ya Namtumbo ni shilingi bilioni19. Je,Serikali ipo tayari kutenga na kutoa kiasi hicho katika bajetiya mwaka 2018/2019?

(c)Je, Serikali ina mpango gani wa kutoa vitendeakazi na wataalam katika Vituo vya Afya vitano vilivyopoNamtumbo ili viweze kutoa huduma bora za afya?

NAIBU SPIKA: Mheshimiwa Naibu Waziri, Ofisi ya WaziriMkuu, majibu.

NAIBU WAZIRI, OFISI YA RAIS, TAWALA ZA MIKOA NASERIKALI ZA MITAA (MHE. JOSEPHAT S. KANDEGE) alijibu:-

Mheshimiwa Naibu Spika, kwa niaba ya Waziri waNchi, Ofisi ya Rais, TAMISEMI, naomba kujibu swali laMheshimiwa Edwin Amandus Ngonyani, Mbunge waNamtumbo, lenye sehemu (a), (b) na (c) kama ifuatavyo:-

(a) Mheshimiwa Naibu Spika, ujenzi wa Hospitali yaWilaya ya Namtumbo ulianza rasmi mwaka 2010 naunatekelezwa kwa awamu tofauti ambapo mpaka sasaunaendelea. Aidha, kiasi cha shil ingi milioni 600kimeshatumika kwa ajIli ya kujenga majengo ya utawala,

Page 22: BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE ...parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1518427837-30...kasi na gofu. Katika michezo hiyo, matokeo ya timu yetu ya Bunge la Tanzania yalikuwa

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

22

jengo la wagonjwa wa nje yaani OPD, chumba chakujifungulia yaani labour room, kichomea taka (incinerator),msingi na jamvi kwa chumba cha akina mama wajawazito(maternity ward) pamoja na mfumo wa maji safi na taka(water and sewage system). Kwa mwaka 2017/2018,Halmashauri imepokea shilingi milioni 300 kwa ajili yakuendeleza na kumaliza jengo la wodi ya akina mamawajawazito.

(b) Mheshimiwa Naibu Spika, katika mwaka wa fedha2018/2019 Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo imetengakiasi cha shilingi milioni 100 kwa ajili ya kuendeleza ujenzi wajengo la upasuaji ili kuimarisha huduma za upasuaji katikahospitali hiyo.

(c) Mheshimiwa Naibu Spika, Wilaya ya Namtumboina jumla ya vituo vya afya saba ambapo vitano vinamilikiwana Serikali na viwili vinamilikiwa na mashirika ya dini. Vituovya Afya vya Serikali ni Namtumbo, Msindo, Mputa, Mkongona Lusewa. Vituo vya Afya vya mashirika ya dini niNamabengo na Hanga.

Mheshimiwa Naibu Spika, huduma ya upasuaji wadharura kwa akinamama wajawazito inafanyika katika Kituocha Afya Hanga. Katika Kituo cha Afya Lusewa, jengo laupasuaji lipo katika hatua za mwisho za ukamilishaji na vifaavya upasuaji vipo katika mchakato wa kununuliwa lakinikuna tatizo la maji ambalo pia linashughulikiwa.

Mheshimiwa Naibu Spika, Kituo cha Afya Namtumbokimepokea jumla ya shilingi milioni 400 tarehe 21 Desemba,2017 kwa ajili ya ujenzi, ukarabati wa majengo ya upasuaji,wodi ya wazazi, maabara na chumba cha kuhifadhia maitiambayo kazi yake inaendelea katika hatua za ukamilishajina inategemea kukamilika tarehe 30 Aprili,2018. Aidha, Serikaliimeagiza vifaa vya chumba cha upasuaji kwa ajili ya kutoahuduma ya upasuaji kwa akina mama wajawazito (CeMOC)kwa Vituo vya Afya vya Msindo na Mputa ili kuondoa tatizola vifo vitokanavyo na uzazi.

Page 23: BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE ...parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1518427837-30...kasi na gofu. Katika michezo hiyo, matokeo ya timu yetu ya Bunge la Tanzania yalikuwa

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

23

NAIBU SPIKA: Mheshimiwa Engineer Edwin Ngonyani,swali la nyongeza.

MHE. ENG. EDWIN A. NGONYANI: Mheshimiwa NaibuSpika, kabla sijauliza swali la nyongeza, naomba kuchukuafursa hii kukushukuru sana wewe kwa ushiriki wako mkubwakutafuta fedha za kujenga Hospitali ya Wilaya ya Namtumbokupitia Selous Marathon na hivi karibuni tutakuwa na chakulacha jioni kule Dar es Salaam, nakushukuru sana. Wananchiwa Namtumbo wataenzi sana kazi hiyo unayoifanya. (Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, pamoja na majibu mazuriya Mheshimiwa Waziri, nina maswali madogo mawili yanyongeza.

Mheshimiwa Naibu Spika, swali la kwanza, hivi Serikalihususani Wizara ya Fedha kwa kushirikiana na TAMISEMI haioniumuhimu wa kuongeza bajeti ya kuendeleza ujenzi wa jengola upasuaji kutoka milioni 100 zilizotajwa kwa mwaka ujaowa fedha hadi walau bilioni moja ili kweli ujenzi ufanyike?

Mheshimiwa Naibu Spika, swali la pili kwa kuwaaliyekuwa Naibu Waziri wa Afya Mheshimiwa Dkt. HamisiKigwangalla alishafika Lusewa, Makao Makuu ya Mji Mdogowa Sasawala na kujionea umbali ulivyo kutoka pale Lusewahadi maeneo ambayo yanaweza yakapatikana huduma zaupasuaji na hivyo akajionea kabisa hatari ambayo akinamama wajawazito wanaipata.

Mheshimiwa Naibu Spika, hivi Waziri wa TAMISEMIatatusaidiaje kuteleleza ahadi ambayo Naibu Waziri huyoaliitoa ya kuhakikisha Kituo hiki cha Afya cha Lusewakinakamilika na kuanza kutoa huduma ndani ya mwezimmoja wakati akijua kwamba Halmashauri ya Wilaya yaNamtumbo haina fedha kabisa?

NAIBU SPIKA: Mheshimiwa Waziri wa TAMISEMI,nadhani umesikia, hapo mahali inapojengwa hospitali hiyo

Page 24: BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE ...parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1518427837-30...kasi na gofu. Katika michezo hiyo, matokeo ya timu yetu ya Bunge la Tanzania yalikuwa

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

24

mimi mwenyewe nimefika pale, hizi habari zilizoandikwahapa kidogo..., Mheshimiwa Waziri wa TAMISEMI majibutafadhali.

WAZIRI WA NCHI, OFISI YA RAIS, TAWALA ZA MIKOANA SERIKALI ZA MITAA: Mheshimiwa Naibu Spika, kwanzanimpongeze Mheshimiwa Ngonyani kwa kazi kubwaanayofanya ya kuwalilia wananchi wake. Bahati nzuri miminimeweza kufika kule Namtumbo na Naibu Waziri wakatihuo sasa hivi Waziri wa Maliasili, ni kweli changamoto nikubwa.

Mheshimiwa Naibu Spika, naomba nichukue hoja yaMheshimiwa Mbunge kwa ujumla wake na ndiyo maanakutokana na changamoto ya eneo hili ukiachia kile Kituocha Afya cha Namtumbo tulichopeleka takribani shilingimilioni 400 mwezi Desemba na kazi tume-target mpakatarehe 30 Aprili, zote ziwe zimekamilika lakini tumeanza juhuditena kubwa zingine kuhakikisha tunaongeza vituo vyaupasuaji katika Kituo cha Afya cha Msindo na Mkongoambapo tunaenda kuweka thearter maalum kwa ajili yaupasuaji.

Mheshimiwa Naibu Spika, kwa hiyo, naombanimhakikishie Mheshimiwa Mbunge kwamba Serikali tumesikiakilio chake, tutafanya kila liwezekanalo na timu yangu hapachini ya Naibu Mawaziri wangu kuhakikisha kwamba mambohaya yanaenda kwa kasi na ndiyo maana kutokana najiografia ya Wilaya ile jinsi ilivyo leo hii tuna zoezi tena la vituovya afya viwili. Ahsante.

NAIBU SPIKA: Waheshimiwa Wabunge,inavyoonekana hil i swali la afya linawagusa wengi.Mheshimiwa Waziri wa TAMISEMI hebu angalia kidogoWabunge waliosimama, wote hawa wana maswali yanyongeza. Mheshimiwa Ally Ungando, Mwenyekiti waWandengereko, swali la nyongeza. (Kicheko)

Page 25: BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE ...parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1518427837-30...kasi na gofu. Katika michezo hiyo, matokeo ya timu yetu ya Bunge la Tanzania yalikuwa

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

25

MHE. ALLY S. UNGANDO: Mheshimiwa Naibu Spika,nashukuru kwa kunipa nafasi ya kuuliza swali la nyongeza.

Mheshimiwa Naibu Spika, kwanza awali ya yote sinabudi kushukuru kwamba hali ya ulinzi Kibiti inazidi kuimarika.Kwa hiyo, tuna kila sababu ya kumshukuru Rais wetu, kipenzichetu. (Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, Kituo cha Afya cha Kibitisasa kinazidiwa, je, Serikali ina mpango gani wa kupelekafedha ili kuwa Hospitali ya Wilaya ya Kibiti? (Makofi)

NAIBU SPIKA: Mheshimiwa Naibu, Waziri Ofisi ya Rais,TAMISEMI, majibu.

NAIBU WAZIRI, OFISI YA RAIS, TAWALA ZA MIKOA NASERIKALI ZA MITAA (MHE. JOSEPHAT S. KANDEGE): MheshimiwaNaibu Spika, ni ukweli usiopingika kwamba hospitaliinazidiwa na tafsiri yake nini ambacho kinatakiwa kufanyika?Ni kwamba tuna kila sababu ya kuhakikisha kwambatunajenga vituo vya afya vingi ili Hospitali ya Wilaya hiyo iwena sehemu ya kupumulia.

Mheshimiwa Naibu Spika, rai yangu MheshimiwaMbunge awahimize wananchi wake waonyeshe nia yakuanza ujenzi na Serikali itapeleka mkono pale ambapo tayariwananchi washaanza ujenzi.

NAIBU SPIKA: Mheshimiwa Ester Bulaya, swali lanyongeza.

MHE. ESTER A. BULAYA: Mheshimiwa Naibu Spika,nakushukuru na mimi napenda niulize swali dogo lanyongeza.

Mheshimiwa Naibu Spika, wananchi wa Jimbo laBunda Mjini na Halmashauri ya Mji ya Bunda Mjini wanatakaHospitali ya Manyamanyama iwe Hospitali ya Wilaya na tayari

Page 26: BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE ...parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1518427837-30...kasi na gofu. Katika michezo hiyo, matokeo ya timu yetu ya Bunge la Tanzania yalikuwa

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

26

vikao vya Halmashauri vilishakaa. Tatizo hawana jengo lamortuary na tayari kupitia wadau wameshaanza ujenzi. Je,Serikali haioni kwamba inapaswa kuisaidia Halmashauri yaMji wa Bunda na hasa ukizingatia Halmashauri ile ni changakumaliza jengo lile ili sasa ile dhamira ya Hospitali yaManyamanyama kuwa hospitali ya Wilaya ifanikiwe?

NAIBU SPIKA: Mheshimiwa Naibu Waziri, Ofisi ya RaisTAMISEMI, majibu.

NAIBU WAZIRI, OFISI YA RAIS, TAWALA ZA MIKOA NASERIKALI ZA MITAA (MHE. JOSEPHAT S. KANDEGE): MheshimiwaNaibu Spika, nil ipata manufaa na faida ya kwendakutembelea Halmashauri ya Bunda nikiwa na ziara yaMheshimiwa Waziri Mkuu na kwa bahati mbaya MheshimiwaMbunge hakuwepo, angekuwepo tungeendaManyamanyama tukapata fursa ya kujua nini hasa ambachokinatakiwa kifanywe ili tuweze kushirikiana. Naomba kwawakati mwingine tuungane tuone namna nzuri ya kuwezakusaidia ili wananchi waweze kupata huduma.

NAIBU SPIKA: Mheshimiwa Omary Mgumba, swali lanyongeza.

MHE. OMARY T. MGUMBA: Mheshimiwa Naibu Spika,nashukuru sana kwa kunipa nafasi ya kuuliza swali lanyongeza.

Mheshimiwa Naibu Spika, kwa kuwa Mkoa waMorogoro wenye Wilaya saba na Halmashauri tisa inaHospitali za Wilaya mbili tu ambazo ni Ulanga na Kilosa. Kwakuwa katika bajeti ya mwaka huu, Serikali imetenga shilingimilioni 500 kwa ajili ya ujenzi wa Hospitali ya Wilaya katikaWilaya ya Morogoro hususani katika Halmashauri ya MorogoroVijijini katika Kata ya Mvuha.

Page 27: BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE ...parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1518427837-30...kasi na gofu. Katika michezo hiyo, matokeo ya timu yetu ya Bunge la Tanzania yalikuwa

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

27

Je, ni lini Serikali italeta hizi shilingi milioni 500 ili tuanzeujenzi wa Hospitali ya Wilaya katika Halmashauri ya Mvuha?

NAIBU SPIKA: Mheshimiwa Waziri wa Nchi, Ofisi yaRais, TAMISEMI, majibu.

WAZIRI WA NCHI, OFISI YA RAIS, TAWALA ZA MIKOANA SERIKALI ZA MITAA: Mheshimiwa Naibu Spika, pamojana majibu mazuri sana ya Naibu Waziri, napenda kujibu swalihili la Mheshimiwa Omary Mgumba, ni kweli na mimi nilipatafursa ya kufika Mvuha nikiwa na Mbunge mwenyewe jiografiana hali ya pale tunatakiwa tufanye kila liwezekanalokuhakikisha tunaimarisha huduma ya afya.

Mheshimiwa Naibu Spika, naomba nimhakikishieMheshimiwa Mbunge na Waheshimiwa Wabunge wenginewote ni jukumu la Serikali kuhakikisha kwamba tunaboreshasekta ya afya ndiyo maana leo hii tunaboresha vituo vyaafya 212 kwa awamu ya kwanza kihistoria.

Mheshimiwa Mgumba naomba nikuambie, nilifikapale na tumebaini changamoto na Serikali hii ya Chama chaMapinduzi itafanya kila liwezekenalo kuwasaidia wananchiwa Morogoro Vijijini na wananchi wengine katika Jamhuriya Muungano wa Tanzania.

Mheshimiwa Naibu Spika, rai yangu moja kubwa nikwamba tunafanya ujenzi wa vituo vya afya 212 then vituovya afya vingine 70 vipya vitakuja, niwaombe WaheshimiwaWabunge tushirikiane kusimamia matumizi mazuri ya fedha,lengo kubwa ni kwamba ikifika tarehe 30 Aprili, tuwe tume-launch vituo vya afya visivyopungua 212 katika historia yanchi yetu hii.

NAIBU SPIKA: Ahsante sana. Mheshimiwa LolesiaJeremiah Bukwimba, Mbunge wa Busanda sasa aulize swalilake.

Page 28: BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE ...parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1518427837-30...kasi na gofu. Katika michezo hiyo, matokeo ya timu yetu ya Bunge la Tanzania yalikuwa

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

28

Na. 4

Uhaba wa Watumishi Sekta ya Afya Wilaya ya Geita

MHE. LOLESIA J. BUKWIMBA aliuliza:-

Tatizo la uhaba wa watumishi katika sekta ya afyakwenye Halmashauri ya Wilaya ya Geita ni kubwa sana.

Je, Serikali ina mkakati gani wa dharura wa kuliondoatatizo hilo?

NAIBU SPIKA: Mheshimiwa Naibu Waziri wa Nchi, Ofisiya Rais, TAMISEMI, majibu.

NAIBU WAZIRI, OFISI YA RAIS, TAWALA ZA MIKOA NASERIKALI ZA MITAA (MHE. JOSEPHAT S. KANDEGE) alijibu:-

Mheshimiwa Naibu Spika, kwa niaba ya Waziri waNchi, Ofisi ya Rais, TAMISEMI, naomba kujibu wali laMheshimiwa Lolesia Jeremiah Bukwimba, Mbunge waBusanda kama ifuatavyo:-

Mheshimiwa Naibu Spika, Halmashauri ya Wilaya yaGeita ina mahitaji ya watumishi wa sekta ya afya 465 ambapowaliopo ni 235 na upungufu ni 240. Upungufu huu umetokanana sababu mbalimbali ikiwemo uhamisho, vifo, kustaafupamoja na zoezi la Kiserikali la kuondoa watumishi hewa nawale waliokuwa na vyeti fake. Hata hivyo, baada yakukamilisha mazoezi hayo, Serikali imeanza kutoa vibali vyakuajiri kada mbalimbali ikiwemo kada ya afya.

Mheshimiwa Naibu Spika, katika mgao wa watumishiwa nchi nzima mwaka 2017, Halmashauri ya Wilaya ya Geitailipata jumla ya watumishi 22 kati yao ni madaktari wawili.Watumishi hao wote wameripoti kwenye vitu nawanaendelea na kazi. Aidha, kwa mwaka wa fedha2018/2019, Halmashauri ya Wilaya ya Geita imetenga katikabajeti na kuomba kibali cha kuajiri watumishi 121 katika sektaya afya.

Page 29: BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE ...parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1518427837-30...kasi na gofu. Katika michezo hiyo, matokeo ya timu yetu ya Bunge la Tanzania yalikuwa

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

29

Mheshimiwa Naibu Spika, Serikali inaendeleakuhamasisha Halmashauri kutenga bajeti kwa ajili ya kuajiriwataalam zaidi ili kutatua changamoto ya uchache wawatumishi katika wilaya hiyo.

NAIBU SPIKA: Mheshimiwa Lolesia Bukwimba, swali lanyongeza.

MHE. LOLESIA J. BUKWIMBA: Mheshimiwa Naibu Spika,ahsante sana. Kutokana na jibu la Mheshimiwa Naibu Waziriinaonesha kabisa kuna upungufu mkubwa wa watumishi 240.Katika mwaka 2017 wameajiri watu 22 vilevile mwaka ujaowanapanga kuajiri watu 121, hii inaonesha ni mkakati wakawaida tu na kwa sababu hiyo hawajaweza kukidhi kileambacho mimi nilikuwa nahitaji kujua. Mimi ninachotakakujua, ni lini sasa Serikali itakuwa na mkakati wa dharura wakuhakikisha kwamba Halmashauri ya Wilaya ya Geita inapatawatumishi wa kutosha ili waweze kuwapatia wananchihuduma inayostahiki? (Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, swali la pil i, katikaHalmshauri ya Wilaya ya Geita hasa katika Jimbo la Busandakuna baadhi ya vituo vya afya ambavyo kwa kweli vinaupungufu mkubwa sana hasa katika Kituo cha Afya Katoroambapo kuna idadi kubwa ya watu vilevile kituo hichokinahudumia pia na Kata zingine jirani kama Rwamgasa,Busanda pamoja na Kasemye. Kitu hiki kina upungufumkubwa sana wa wataalam kiasi kwamba inasababishahata wakati mwingine watu kupoteza maisha yao. Ni linisasa Serikali itahakikisha inapeleka watumishi kwa dharurakatika kituo hiki cha afya? (Makofi)

NAIBU SPIKA: Mheshimiwa Naibu Waziri, Ofisi ya Rais,TAMISEMI majibu.

NAIBU WAZIRI, OFISI YA RAIS, TAWALA ZA MIKOA NASERIKALI ZA MITAA (MHE. JOSEPHAT S. KANDEGE): MheshimiwaNaibu Spika, la kwanza anauliza mkakati wa dharura, ni

Page 30: BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE ...parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1518427837-30...kasi na gofu. Katika michezo hiyo, matokeo ya timu yetu ya Bunge la Tanzania yalikuwa

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

30

ukweli usiopingika kama tulivyokiri kwenye jibu letu kwambaupo upungufu mkubwa sana na namna pekee ni kuwezakuajiri na suala la kuajiri ni pamoja na bajeti inaporuhusu.

Mheshimiwa Naibu Spika, kimsingi tukubalianekwamba kwa kuanzia na hao ambao tumewataja 121 sihaba na kwa sababu katika majibu yangu kwenye swali lamsingi nimemueleza sababu zilizosababisha upungufu huumkubwa, siyo rahisi kwamba kwa mara moja tutawezakuziba pengo hili kwa sababu suala lenyewe lina budgetimplication.

Mheshimiwa Naibu Spika, ni ukweli usiopingikakwamba Katoro pale idadi ya watu ni kubwa na iko haja yakuhakikisha kwamba pamoja na hospitali iliyopo vijengwena vituo vingine vya afya ili kuweza kuongeza maeneo yaafya kuweza kutibiwa.

Mheshimiwa Naibu Spika, niombe kwa kupitiaHalmashauri yake wana uwezo wa kuweza kufanyaallocation ndani kutazama maeneo yapi ambayo staff wakowengi ili ndani kwa ndani kwanza kupunguza wakatiwanasubiri ajira kutoka Serikali kuu. (Makofi)

NAIBU SPIKA: Mheshimiwa Dkt. Mary Nagu, swali lanyongeza.

MHE. DKT. MARY M. NAGU: Mheshimiwa Naibu Spika,nakushukuru sana kwa kunipa nafasi.

Mheshimiwa Naibu Spika, ni kweli kwamba vituo vyaafya na zahanati tunavihitaji sana na Serikali inajitahidi sanakatika kusaidiana na wananchi kuvijenga vituo hivi nazahanati hizo. Je, si itakuwa ni kazi bure kama tutakuwa navituo vya afya na zahanati ambazo hazina watumishi ambaowatawapa huduma Watanzania? Naomba Serikali ione hilokwa sababu huduma ya afya ni ya msingi sana watu wetuwasiendelee kuteseka. (Makofi)

Page 31: BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE ...parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1518427837-30...kasi na gofu. Katika michezo hiyo, matokeo ya timu yetu ya Bunge la Tanzania yalikuwa

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

31

NAIBU SPIKA: Mheshimiwa Waziri wa Nchi, Ofisi yaRais, Utumishi na Utawala Bora, majibu.

WAZIRI WA NCHI, OFISI YA RAIS, MENEJIMENTI YAUTUMISHI WA UMMA NA UTAWALA BORA: Mheshimiwa NaibuSpika, naomba nimpongeze Naibu Waziri kwa majibu mazurialiyotoa, lakini nataka kutoa majibu ya nyongeza kamaifuatavyo:-

Mheshimiwa Naibu Spika, wakati tunahakiki vyeti,watumishi wengi sana imebidi waachishwe kazi na moja katiya idara ambayo imeathirika sana ni afya. Tumeambiwakatika baadhi ya maeneo hata zahanati zimelazimikakufungwa.

Mheshimiwa Naibu Spika, naomba kulitaarifu Bungelako Tukufu kwamba Serikali ilikwishatoa kibali cha ajira watu50,000. Wizara yangu katika wale 50,000 kipaumbele nambamoja ni afya na nataka nisema kama kuna Halmashauriyoyote ambayo huduma zimesimama kwa sababu watuwameondolewa na hawajapata watu mbadala waandikemoja kwa moja kwangu watapatikana mara moja. (Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, kuhusu suala aliloulizaMheshimiwa Mary Nagu, nataka niwaambie Watanzaniawaondoe mashaka. Tuendelee sisi wanasiasa, viongozikuhimiza ujenzi wa vituo vya afya na zahanati pale ambapoinakaribia kukamilika au wakati inajengwa Wizara yanguikipata taarifa itafanya maandalizi wapatikane watumishikabla ujenzi haujakamilika. (Makofi)

NAIBU SPIKA: Mheshimiwa Magdalena Sakaya, swalila nyongeza.

MHE. MAGDALENA H. SAKAYA: Mheshimiwa NaibuSpika, ahsante. Naomba kuuliza swali moja dogo lanyongeza.

Page 32: BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE ...parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1518427837-30...kasi na gofu. Katika michezo hiyo, matokeo ya timu yetu ya Bunge la Tanzania yalikuwa

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

32

Mheshimiwa Naibu Spika, kwa kuwa Halmshauri yaKaliua ina upungufu wa watumishi kwa asilimia 76, walioponi asilimia 24 tu. Pamoja na majibu mazuri ya MheshimiwaWaziri, kuna mkakati gani wa dharura kuhakikisha kwambaangalau kwa Kaliua kabla hata ya kuandika barua maananasema hapa wanapatiwa watumishi wa afya ili akinamama waache kuteseka kwa kukosa huduma? (Makofi)

NAIBU SPIKA: Mheshimiwa nadhani hilo jibu lake nifupi kama alivyozungumza Mheshimiwa pale. Barua inabidiiandikwe ili watumishi wapelekwe. Mheshimiwa Naibu Waziri,Ofisi ya Rais, TAMISEMI.

NAIBU WAZIRI, OFISI YA RAIS, TAWALA ZA MIKOA NASERIKALI ZA MITAA (MHE. JOSEPHAT S. KANDEGE):MheshimiwaNaibu Spika, umenisaidia kwa sababu majibu aliyotoaMheshimiwa Waziri wa Nchi na Mheshimiwa Sakaya yukohapa, sidhani kama itakuchukua muda mrefu kuandika baruakuainisha huo upungufu ili hili jambo liweze kufanyiwa kazikwa mara moja.

NAIBU SPIKA: Mheshimiwa Nchambi, swali lanyongeza.

MHE. SULEIMAN M. NCHAMBI: Mheshimiwa NaibuSpika, wabheja sana.

Kwa kuwa Jimbo la Kishapu lenye watu shapu naMbunge shapu, ni moja ya Majimbo ama Jimbo lililotekelezakwa kiwango cha juu sana mpango wa huduma za afya.Tunayo hospitali ya kisasa kabisa katika Wilaya yetu yaKishapu, tuna vituo vinne vya afya vya kisasa kabisa ambavyovimekamilika na vinatoa huduma bora katika Jimbo laKishapu, lakini katika vijiji 118, takribani asilimia 50 mpangowa zahanati katika Jimbo la Kishapu unaendelea vizuri namiongoni mwa vituo hivyo vya zahanati vinatoa hudumabora.

Page 33: BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE ...parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1518427837-30...kasi na gofu. Katika michezo hiyo, matokeo ya timu yetu ya Bunge la Tanzania yalikuwa

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

33

Mheshimiwa Naibu Spika, swali langu je, ndugu yangu,wajina Mheshimiwa Suleiman Jafo na dada yanguMheshimiwa Ummy, kutokana na malumbano ama tatizokubwa la mpango wa afya ambalo ni dhahiri limeelezekana wewe umekiri kuwa watu wengi wanahitaji kuulizamaswali katika jambo hili la afya na kwa kuwa Kishaputumekwishajitahidi tumepiga hatua…

NAIBU SPIKA: Mheshimiwa Nchambi, naomba uulizeswali kwa sababu swali lako ni la nyongeza.

MHE. SULEIMAN M. NCHAMBI: Mheshimiwa NaibuSpika, nakushukuru sana.

Kwa kuwa Kishapu tumepiga hatua kubwa, je, Wizaraya Afya na Ofisi ya TAMISEMI kwa maana ya Wizara hawaonisasa watoe kipaumbele kwa Jimbo la Kishapu ili kuiwekakuwa ni ajenda maalum na kipaumbele cha kumaliza tatizohili ili Kishapu iwe mfano katika Wilaya zote nchini kwakumaliza kabisa tatizo hili kwa kutuongezea michango?

NAIBU SPIKA: Mheshimiwa Waziri, Ofisi ya Rais,TAMISEMI, majibu.

WAZIRI WA NCHI, OFISI YA RAIS, TAWALA ZA MIKOANA SERIKALI ZA MITAA: Mheshimiwa Naibu Spika, awali yayote, napenda kumpongeza sana Mheshimiwa MbungeNchambi kwa kazi kubwa ya ujenzi wa vituo vya afya nazahanati na shughuli kubwa wanayofanya ya uhamasishajikatika eneo hilo.

Mheshimiwa Naibu Spika, naomba nimhakikishieMbunge kwamba tutamuunga mkono na ajenda ya kwanzani kwamba Ofisi yangu itafanya utaratibu wa ziara maalumkama ya kiheshima kwenda kule Kishapu ku-recognize juhudikubwa inayofanywa kule. Baadaye tutaangalia way forwardtunafanyaje kwa pamoja kwa lengo kubwa la kuwasaidiawananchi wa Kishapu kwa juhudi hiyo waliyoifanya.

Page 34: BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE ...parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1518427837-30...kasi na gofu. Katika michezo hiyo, matokeo ya timu yetu ya Bunge la Tanzania yalikuwa

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

34

NAIBU SPIKA: Waheshimiwa Wabunge, tutaendelea.Mheshimiwa Rehema Juma Migilla, Mbunge wa Viti Maalum,sasa aulize swali lake.

Na. 5

Walimu Kuhama Vituo vya Kazi kwa Hiari

MHE. REHEMA J. MIGILLA aliuliza:-

Je, ni lini Serikali itaondoa vikwazo kandamizi kwawalimu wanaotaka kuhama vituo vyao vya kazi kwa hiariyao kutokana na sababu mbalimbali?

NAIBU SPIKA: Mheshimiwa Naibu Waziri wa Nchi, Ofisiya Rais, TAMISEMI, majibu.

NAIBU WAZIRI, OFISI YA RAIS, TAWALA ZA MIKOA NASERIKALI ZA MITAA (MHE. JOSEPH G. KAKUNDA) alijibu:-

Mheshimiwa Naibu Spika, kwa niaba ya Waziri waNchi, Ofisi ya Rais, TAMISEMI, naomba kujibu swali laMheshimiwa Rehema Juma Migilla, Mbunge wa Viti Maalum,kama ifuatavyo:-

Mheshimiwa Naibu Spika, hakuna vikwazo kandamizikwa walimu wanaotaka kuhama vituo vyao vya kazikutokana na sababu mbalimbali zikiwemo kufuata wenzawao au ugonjwa. Hata hivyo, katika kuhamisha mwalimu,Serikali inazingatia ikama il i kutoathiri taaluma kwakuhakikisha wanafunzi wanaendelea kufundishwa masomoyote kwa mujibu wa mitaala ya elimu iliyoidhinishwa naWizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia.

Mheshimiwa Naibu Spika, hitaji hilo ndiyo husababishakatika baadhi ya maeneo walimu kusubiri apatikanemwalimu mbadala kwanza kabla ya kutolewa kibali chauhamisho ili wanafunzi wasikose haki yao ya kusoma masomohusika.

Page 35: BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE ...parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1518427837-30...kasi na gofu. Katika michezo hiyo, matokeo ya timu yetu ya Bunge la Tanzania yalikuwa

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

35

Mheshimiwa Naibu Spika, Serikali inatambua kwambauhamisho wa mtumishi wa umma ni haki yake endapoatazingatia utaratibu uliowekwa. Ndiyo maana kuanzia Julai,2017 hadi sasa Serikali imetoa vibali vya uhamisho kwawalimu 2,755 nchi nzima. Aidha, taratibu za kutoa vibali vyauhamisho kwa walimu wengine walioomba uhamishozinaendelea.

Mheshimiwa Naibu Spika, nachukua nafasi hiikuwaelekeza walimu nchi nzima na watumishi wengine wotekuzingatia utaratibu na waache kutumia viongozi mbalimbaliwakiwemo Waheshimiwa Wabunge kuwaombea uhamisho.(Kicheko)

NAIBU SPIKA: Mheshimiwa Naibu Waziri, hili angalizola hapa mwisho hapa, Mheshimiwa Rehema Migilla swali lanyongeza. (Kicheko)

MHE. REHEMA J. MIGILLA: Mheshimiwa naibu Spika,ahsante. Pamoja na majibu mzuri ya Mheshimiwa NaibuWaziri, nina swali la nyongeza.

Mheshimiwa Naibu Spika, sasa hivi kuna tatizolimejitokeza, kuna Waraka unasema walimu wa arts ambaowamezidi katika shule za sekondari wanahamishiwa shuleza msingi. Huu uhamisho unakuwaje ilhali Rais wetu alisemawalimu wasihamishwe mpaka pale fungu laolitakapopatikana.

Je, hao walimu wameshaandaliwa mafao yao yauhamisho ili waende kwenye vituo vyao vipya huku tayariWizara imeshasema mpaka itakapofikia tarehe 15 Februariwalimu hawa wawe wamefika vituoni kwao? (Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, swali la pili, napenda kujua,huu uhamisho wa kuwatoa walimu wa arts kutoka sekondarikuwapeleka primary unaweza kuathiri ufundishaji wawanafunzi wa huko primary. Je, Serikali imeandaa inductioncourse kwa ajili ya walimu hawa ili waweze ku-coup naufundishaji wa walimu wa primary? (Makofi)

Page 36: BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE ...parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1518427837-30...kasi na gofu. Katika michezo hiyo, matokeo ya timu yetu ya Bunge la Tanzania yalikuwa

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

36

NAIBU SPIKA: Mheshimiwa Naibu Waziri, Ofisi ya Rais,TAMISEMI, majibu.

NAIBU WAZIRI, OFISI YA RAIS, TAWALA ZA MIKOA NASERIKALI ZA MITAA (MHE. JOSEPH G. KAKUNDA): MheshimiwaMwenyekiti, swali la kwanza kwa wale wanaohusika ambaowamepata Waraka Rasmi wakiusoma vizuri watagunduakwamba maelekezo yaliyomo katika Waraka ule ni kwambauhamisho unafanyika kutoka kwenye shule ya sekondarikwenda kwenye shule ya msingi ambayo iko karibu na eneohilo, siyo kumtoa kwenye Wilaya moja kumpeleka Wilayanyingine. Uhamisho ule ni wa ndani ya kata kwa hiyo haunagharama za uhamisho.

Mheshimiwa Mwenyekiti, la pili, ule uhamisho kutokashule za sekondari kwenda primary umezingatia kwanzakipaumbele kwa wale walimu ambao walijiendeleza, zamaniwalikuwa walimu wa shule ya msingi wakajiendelezawakapata diploma na degree hatimaye wakahamishiwakatika shule za sekondari.

Kwa hiyo, kuwarejesha kwenye shule za msingiambazo wana uzoefu nazo hakuhitaji induction course yaaina yoyote. Kwa hiyo, hicho ndiyo kipaumbele ambachokimewekwa na kimezingatia walimu wa diploma na walimuwa degree ya kwanza. Ahsante.

NAIBU SPIKA: Waheshimiwa Wabunge, tutaendeleana swali la Mheshimiwa Mwita Mwikabe Waitara, Mbungewa Ukonga, sasa aulize swali lake.

Na. 6

Serikali Kujenga Madaraja ya Mongolandegena Mto Nyebulu – Jimbo la Ukonga

MHE. MWITA M. WAITARA aliuliza:-

Katika Mtaa wa Mongolandege, Kata ya Ukonga,kuna daraja la Mongolandege ambalo huunganisha Jimbo

Page 37: BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE ...parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1518427837-30...kasi na gofu. Katika michezo hiyo, matokeo ya timu yetu ya Bunge la Tanzania yalikuwa

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

37

la Ukonga na Jimbo la Segerea. Aidha, daraja la Mto Nyebuluhuunganisha Kata ya Buyuni na Kata ya Chanika Magengeni.

Je, ni lini Serikali itajenga madaraja hayo muhimu ilikurahisisha huduma za kijamii katika maeneo yaliyotajwa?

NAIBU SPIKA: Mheshimiwa Naibu Waziri wa Nchi, Ofisiya Rais, TAMISEMI, majibu.

AIBU WAZIRI WA NCHI, OFISI YA RAIS, TAWALA ZAMIKOA NA SERIKALI ZA MITAA (MHE. JOSEPHAT S. KANDEGE)alijibu:-

Mheshimiwa Naibu Spika, kwa niaba ya Waziri waNchi, Ofisi ya Rais, TAMISEMI, naomba kujibu swali laMheshimiwa Mwita Mwikabe Waitara, Mbunge wa Ukonga,kama ifuatavyo:-

Mheshimiwa Naibu Spika, daraja la Mongolandegelinatakiwa kujengwa katika Bonde la Mto Mzinga ambaloawali palijengwa makalavati kwa nguvu za wananchi.Kalavati hizo zilishindwa kufanya kazi kwa ufanisi baada yamkondo wa mto kupanuka.

Mheshimiwa Naibu Spika, aidha, mwaka 2012,Manispaa ya Ilala ilijenga box culvert ili kuwezesha eneo hilokupitika. Hata hivyo, mvua zilizonyesha kwa wingi katikakipindi hicho zilileta madhara makubwa ambapo bonde hilolilitanuka na kalavati hiyo kusombwa na maji na kusababishakukosekana mawasiliano katika eneo hilo. Daraja la Nyebululinatakiwa kujengwa katika Mto Vikorongo na litakuwa nawastani wa upana wa mita 30.

Mheshimiwa Naibu Spika, TARURA katika Halmashauriya Manispaa ya Ilala itatenga fedha katika mpango wamatengenezo ya barabara na madaraja kwa mwaka wafedha 2018/2019 za kufanyia usanifu wa kina kwa ajili yamadaraja yote mawili. Aidha, baada ya usanifu huokukamilika, gharama halisi za ujenzi wa madaraja hayozitafahamika na kutengwa kwenye bajeti.

Page 38: BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE ...parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1518427837-30...kasi na gofu. Katika michezo hiyo, matokeo ya timu yetu ya Bunge la Tanzania yalikuwa

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

38

NAIBU SPIKA: Mheshimiwa Mwita Waitara, swali lanyongeza.

MHE. MWITA M. WAITARA: Mheshimiwa Naibu Spika,nakushukuru. Kwanza nifanye marekebisho kidogo kwenyemajibu, hili Daraja la Mongolandege lipo kwenye MtoMsimbazi sio Mto Mzinga, lakini vilevile kwa majibu haya,naomba niulize maswali mawili ya nyongeza.

Mheshimiwa Naibu Spika, swali la kwanza, kwasababu Serikali inakiri kwamba mvua ilinyesha ikaletamadhara makubwa na Daraja la Mongolandege na MtoNyebulu unatenga maeneo mawili tofauti kwenye hudumaza jamii yaani upande mmoja ndiyo kuna shule ya sekondari,msingi, afya na huduma zote za kijamii na upande mwinginewananchi wanakaa pale. Katika hali hiyo mvua ikinyeshahuwa ni kisiwa, wanafunzi hawaendi shule mpaka mvua iishe.

Mheshimiwa Naibu Spika, naomba kujua ni kwa niniSerikali isijitahidi mwaka huu wa fedha ifanye usanifu nafedha itengwe kwa ajili ya kazi hii? Maana kwenye majibuyake anasema wataangalia na baadaye bajeti itengwe.

Mheshimiwa Naibu Spika, swali la pili, kwa sababueneo hili ni muhimu na wananchi wanapata shida, tunawezakupata huduma ya dharura ya daraja la muda katikamaeneo yote mawili ili huduma ziendelee hasa wakati wamvua tunapoelekea mwezi Aprili?

Mheshimiwa Naibu Spika, ahsante.

NAIBU SPIKA: Mheshimiwa Naibu Waziri, Ofisi ya RaisTAMISEMI, majibu.

Page 39: BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE ...parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1518427837-30...kasi na gofu. Katika michezo hiyo, matokeo ya timu yetu ya Bunge la Tanzania yalikuwa

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

39

NAIBU WAZIRI, OFISI YA RAIS, TAWALA ZA MIKOA NASERIKALI ZA MITAA (MHE. JOSEPHAT S. KANDEGE): MheshimiwaNaibu Spika, uwezekano wa kuweza kutenga fedha kipindihiki ambacho bajeti tayari imeshapitishwa na Bunge lakoTukufu jambo hili litakuwa na ukakasi mkubwa sana.Tutakubaliana na Mheshimiwa Waitara kwamba ili darajahili liweze kujengwa kwa kina lazima usanifu ufanyike ili isijeikatokea kama yale yaliyotokea mwanzo.

Mheshimiwa Naibu Spika, namuomba MheshimiwaMbunge avute subira na leo nilikuwa nafanya mawasilianona TARURA, kwa kuanzia kwa ajili ya usanifu itatengwa jumlaya shilingi milioni 100 na ujenzi kwa ajili ya kuanza, tutatengajumla ya shilingi milioni 300. Kwa hiyo, asipate shida, naombanimhakikishie kwamba jambo hili liko kwenye mikono salama.

Mheshimiwa Naibu Spika, juu ya suala la daraja ladharura. Ni wazo jema, ni vizuri tukajua wapi tunawezatukalipata daraja la muda, lakini baada ya kwenda sitekutazama uhalisia wa jambo lenyewe likoje. Kwa sababuhuwezi ukasema daraja la muda linafananaje bila kwendasite kujua uhalisia ukoje. Nashukuru.

NAIBU SPIKA: Ahsante sana.

Waheshimiwa Wabunge, tunaendelea na Wizara yaFedha na Mipango, Mheshimiwa Salma Rashid Kikwete,Mbunge wa Kuteuliwa na Mheshimiwa Rais wa Jamhuri yaMuungano wa Tanzania, sasa ulize swali lake. (Makofi)

Na. 7

Matumizi ya Sarafu za Zamani

MHE. SALMA R. KIKWETE aliuliza:-

Kwa kuwa watoto wengi hasa waliozaliwa kuanziamiaka ya 1990 na kuendelea hawazijui sarafu za senti tano,kumi, 20, 50 na shilingi moja.

Page 40: BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE ...parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1518427837-30...kasi na gofu. Katika michezo hiyo, matokeo ya timu yetu ya Bunge la Tanzania yalikuwa

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

40

(a) Je, Serikali haioni ni wakati muafaka sasa kurudishasarafu hizo kwenye mzunguko wa matumizi kwa mfanokilogramu moja ya mchele kuuzwa shilingi1,892.50 au shilingi1,895.75 badala ya shilingi 1,900?

(b) Kwa kuwa mada ya shilingi na senti inafundishwakatika shule zetu hasa za msingi, je, ni lini jambo hililitatekelezwa?

NAIBU WAZIRI WA FEDHA NA MIPANGO alijibu:-

Mheshimiwa Naibu Spika, kwa niaba ya Waziri waFedha na Mipango, napenda kujibu swali la MheshimiwaSalma Rashid Kikwete, Mbunge wa Kuteuliwa, lenye sehemu(a) na (b) kama ifuatavyo:-

Mheshimiwa Naibu Spika, Benki Kuu ya Tanzaniaimepewa kisheria jukumu la kuzalisha fedha za noti na sarafukulingana na mahitaji na mazingira ya kiuchumi yaliyopo.Tangu kuanzishwa kwake mwaka 1966, Benki Kuu imezalishamatoleo ya noti na sarafu yenye thamani mbalimbali ili kukidhimahitaji ya soko. Mambo muhimu yanayozingatiwa wakatiwa kuondoa na kuingiza katika soko noti na sarafu ya thamanindogo na kubwa ni mfumuko wa bei wa bidhaa za huduma,kulinda thamani ya shilingi na wepesi wa sarafu kubebeka.

Mheshimiwa Naibu Spika, kuondoa na kuingiza katikasoko sarafu zenye thamani ya juu ni moja ya mikakati najuhudi ya Benki Kuu katika kulinda na kuipa shilingi hadhi yawepesi wa ubebaji. Sarafu za shilingi zenye thamani ndogozikiwemo senti tano, kumi, 20, na 50 pamoja na shilingi moja,tano, kumi na 20 kwa uhalisia ubebaji wake ni mgumu.

Mheshimiwa Naibu Spika, pili, kwa kuwa hatuna seraya kupanga bei ya bidhaa na huduma kwa sasa, ni vigumukurejesha sarafu hizi katika mzunguko wa fedha kwa njiaanayopendekeza Mheshimiwa Mbunge.

Tatu, sarafu ndogo ya fedha itarejea kwa urahisi katikamzunguko ikiwa teknolojia ya kufanya miamala ya fedha kwa

Page 41: BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE ...parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1518427837-30...kasi na gofu. Katika michezo hiyo, matokeo ya timu yetu ya Bunge la Tanzania yalikuwa

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

41

njia ya mitandao itasambaa kote nchini na jamii itakuwatayari kufanya miamala hiyo kwa njia ya mitandao.

Mheshimiwa Naibu Spika, mada ya shilingi na sentiinafundishwa mashuleni ili kuwapa wanafunzi maarifa yakihesabu kama vile kuhesabu, kujumlisha, kutoa, kugawanya,kuzidisha, kulinganisha na kutafuta uwiano wa thamanimbalimbali ya fedha. Sambamba na maarifa ya mada yasenti na shilingi yanatolewa mashuleni, kigezo kikubwa chakurejesha sarafu ndogo katika mzunguko wa fedha nikuimarika kwa thamani ya shilingi au utayari wa wananchikubeba mzigo mkubwa wa sarafu kwa ajili ya kununuabidhaa na huduma ndogo ndogo. Hata hivyo, sarafu zotezilizowahi kutolewa na Benki Kuu tangu mwaka 1966 bado nihalali kwa matumizi halali ya fedha hapa nchini za zinatumikakwenye miamala isiyo ya fedha taslimu.

NAIBU SPIKA: Mheshimiwa Salma Rashid Kikwete, swalila nyongeza.

MHE. SALMA R. KIKWETE: Mheshimiwa Naibu Spika,ahsante sana. Namshukuru sana Mheshimiwa Naibu Wazirikwa majibu yake. Hata hivyo, nina maswali mawili yanyongeza.

Mheshimiwa Naibu Spika, nimeamua kuuliza swali hilikwa sababu ya msingi, kwanza, naomba nieleze, mimi niMwalimu kitaaluma na mada hii ya shil ingi na sentiinafundishwa katika shule zetu za msingi.

Kwa kuwa inafundishwa katika shule zetu za msingi,zana ni sehemu muhimu sana katika ufundishaji kwamwalimu na ujifunzaji kwa mwanafunzi. Hii hupelekeakufanya somo lieleweke kwa ufasaha na kwa urahisi zaidibadala ya kutumia maneno mengi.

Mheshimiwa Naibu Spika, kwa kuondoa hizi senti,ninaamini kwamba mtoto huyu wa Kitanzania ambaye hajuihizi senti ni kumwekea wakati mgumu sana na siyo kwamwanafunzi tu bali hata kwa mwalimu.

Page 42: BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE ...parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1518427837-30...kasi na gofu. Katika michezo hiyo, matokeo ya timu yetu ya Bunge la Tanzania yalikuwa

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

42

Je, Serikali haioni kwamba mtoto huyu ananyimwahaki yake ya msingi ya kuzijua hizi senti? Hilo ni swali lakwanza. (Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, swali la pili, umesemakuondoa na kuweka sarafu zenye thamani kubwakunaimarisha mfumuko wa bei, lakini naomba mtambuekwamba hakuna bilioni moja isiyoanzia na senti tano. Shilingibilioni moja ni lazima ianzie na senti tano. Hata bajetizinapokuja tunaambiwa kwamba bajeti hii ni ya Shilingi bilionimoja na senti kadhaa. Sasa tunapoondoa tunaweka uhalisiagani wa senti yetu hiyo ambayo ni senti tano? Ahsante.(Makofi)

NAIBU SPIKA: Mheshimiwa Naibu Waziri wa Fedhana Mipango, majibu kwa maswali hayo mawili.

NAIBU WAZIRI WA FEDHA NA MIPANGO: MheshimiwaNaibu Spika, Serikali inatambua fika kwamba mtoto huyuwa Kitanzania anatakiwa kufundishwa na ndiyo maanamada hizi zipo katika shule zetu.

Mheshimiwa Naibu Spika, katika jibu langu la msinginamba (b) nimesema kwamba, fedha hii bado ni halali kwamatumizi halali ndani ya nchi yetu na Serikali kupitia BenkiKuu haijaziondoa fedha hizi sokoni, bado fedha hizi zipo nazinapohitajika zinapatikana kwa matumizi husika.

NAIBU SPIKA: Mheshimiwa Dkt. Pudenciana WilfredKikwembe, Mbunge wa Kavuu, sasa aulize swali lake.

Na. 8

Tozo ya Kodi za Majengo

MHE. DKT. PUDENCIANA W. KIKWEMBE aliuliza:-

Bunge lilipitisha tozo ya kodi ya majengo ya shilingi10,000 kwa nyumba ya kawaida na shilingi 50,000 kwanyumba za ghorofa, lakini Manispaa na Halmashauri

Page 43: BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE ...parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1518427837-30...kasi na gofu. Katika michezo hiyo, matokeo ya timu yetu ya Bunge la Tanzania yalikuwa

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

43

mbalimbali nchini zimekuwa zikitoza kodi hiyo zadi ya kiasihicho.

Je, Serikali inasema nini kuhusu hali hiyo?

NAIBU WAZIRI WA FEDHA NA MIPANGO alijibu:-

Mheshimiwa Naibu Spika, kwa niaba ya Waziri waFedha na Mipango, napenda kujibu swali la Mheshimiwa Dkt.Pudenciana Wilfred Kikwembe, Mbunge wa Kavuu kamaifuatavyo:-

Mheshimiwa Naibu Spika, kwa mujibu wa Sheria yaFedha ya mwaka 2017, kifungu cha 64 kimebainisha kwambaMamlaka ya Mapato Tanzania itakusanya kodi ya majengokwenye maeneo ya Majiji, Mji na Miji Midogo yote nchini,badala ya Mamlaka za Serikali za Mitaa.

Mheshimiwa Naibu Spika, kwa kuwa majengo mengihayajafanyiwa uthamini, Serikali kupitia Bunge lako Tukufuilifanya uamuzi wa kuweka kiwango maalum cha shilingi10,000 kwa majengo ya kawaida na shilingi 50,000 kwamajengo ya ghorofa kwa kila ghorofa. Viwango hivi ni vyampito wakati Serikali inakamilisha zoezi la uthamini kwamajengo yote yanayostahili kulipiwa kodi ya majengo.

Aidha, majengo yote yaliyofanyiwa uthaminiyanalipiwa viwango stahiki kulingana na uthamini. Kwa hiyo,mwenye nyumba yeyote akiona amepelekewa bili ya zaidiya shilingi 10,000 kwa nyumba ya kawaida na zaidi ya shilingi50,000 kwa nyumba ya ghorofa afahamu kwamba nyumbayake imefanyiwa uthamini.

NAIBU SPIKA: Mheshimiwa Pudenciana Kikwembe,swali la nyongeza.

MHE. DKT. PUDENCIANA W. KIKWEMBE: MheshimiwaNaibu Spika, ahsante sana kwa kunipatia nafasi niulizemaswali ya nyongeza.

Page 44: BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE ...parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1518427837-30...kasi na gofu. Katika michezo hiyo, matokeo ya timu yetu ya Bunge la Tanzania yalikuwa

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

44

Mheshimiwa Naibu Spika, kwanza nashukuru kwamajibu ambayo Mheshimiwa Naibu Waziri ameyatoa kwasababu mengi ni ya ukweli. Ni kweli nyumba nyingihazijafanyiwa uthamini lakini zinatozwa hizo kodi na kodizinazotozwa ni kwamba siyo zile tulizopitisha za shilingi10,000 wala shilingi 50,000 ni zaidi ya shilingi 300,000 kwanyumba ambazo hazijafanyiwa uthamini. Kwa hiyo,nashukuru kwa jibu lake ambalo amelisema ni la ukweli.

Mheshimiwa Naibu Spika, naomba niende kwenyeswali langu, kwa kuwa nyumba nyingi za watu binafsi hazinaBoQ kwa sababu wanajenga kwa kujidunduliza, leomwananchi akipata shilingi 50,000 anasema ananunuacement, kesho kutwa akipata shilingi 100,000 atanunua bati,haweki kwenye kumbukumbu kwamba mwisho wa sikuametumia shilingi ngapi; na hiyo nyumba Serikali haifanyiiuthamini, lakini kesho inampelekea bili ambayo waouthamini wao aidha ni wa macho ama ni wa nini, bilakuangalia kumbukumbu za yule mtu binafsi.

Je, Serikali inasema nini na inatoa mwongozo ganithabiti kwa kutoa majawabu ili wananchi hawa ambao nikama mimi binafsi, ambaye siweki kumbukumbu, nimejenganyumba na leo nakuja kufanyiwa uthamini ambao ni zaidiya pesa ambayo nakuwa nimeweka? (Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, naomba niulize swali la pili,tangu utaratibu huu umeanza, je, Halmashauri zimefaidikakwa kiasi gani? Kwa sababu sehemu ya Halmashauri sasahawakusanyi mapato, mapato yanakusanywa na TRA na piamajengo mengi, maboma yako kwenye Halmashauri hukoambayo ni zahanati na mashule. Kwa mfano, kwenye Jimbolangu la Kavuu kuna maboma ya shule 69 hayana mabatimpaka kesho, Halmashauri zimefaidikaje na hizi pesazinazokusanywa? (Makofi)

NAIBU SPIKA: Mheshimiwa Naibu Waziri wa Fedha naMipango, majibu.

Page 45: BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE ...parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1518427837-30...kasi na gofu. Katika michezo hiyo, matokeo ya timu yetu ya Bunge la Tanzania yalikuwa

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

45

NAIBU WAZIRI WA FEDHA NA MIPANGO: MheshimiwaNaibu Spika, swali lake la kwenza kuhusu uthamini wanyumba, uthamini wa nyumba unafanywa na wathaminiwenye weledi mkubwa na hivyo thamani inayoelezwa yakila nyumba imefanyiwa na wathamini hawa wenye weledikwenye kazi yao na wenye uzoevu wa kutosha. Hivyo kilajengo linapewa thamani yake kulingana na bei ya soko lajengo husika.

Mheshimiwa Naibu Spika, swali lake la pili kuhusuHalmashauri zimefaidikaje? Napenda kuliambia Bunge lakoTukufu kwamba madhumuni ya kodi hii ya majengokuhamishiwa kwenda Mamlaka ya Mapato Tanzania ilikuwani kuleta ufanisi katika ukusanyaji, lakini pia katika matumiziya kodi hii ya majengo. Lengo la Serikali ni jema na kwenyeufanisi tunafanya vizuri. Kuanzia Julai mpaka Desembatumeshakusanya zaidi ya shilingi bilioni 16.7 na kulingana nasheria yetu ya fedha ilivyoletwa na kupitishwa na Bunge lakoTukufu, ni kwamba pesa hizi zitarejeshwa kulingana na bajetiza Halmashauri husika zilizopitishwa na Bunge lako Tukufu.

Mheshimiwa Naibu Spika, Serikali yetu kwa nia njemainafanya hayo yote.

NAIBU SPIKA: Waheshimiwa Wabunge, tunaendeleana Wizara ya Nishati. Mheshimiwa Juma Othman Hija,Mbunge wa Tumbatu, sasa aulize swali lake.

Na. 9

Vigezo Vinavyotumika Katika Kutafuta Nguzo za Umeme

MHE. JUMA OTHMAN HIJA aliuliza:-

Kasi ya usambazaji umeme vijijini ni kubwa, lakinikatika baadhi ya maeneo, miundombinu inayotumika hasanguzo hairidhishi.

Je, Serikali inaweza kutuambia ni viwango gani(standards) vinavyotumika katika utafutaji wa nguzo hizo?

Page 46: BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE ...parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1518427837-30...kasi na gofu. Katika michezo hiyo, matokeo ya timu yetu ya Bunge la Tanzania yalikuwa

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

46

NAIBU WAZIRI WA NISHATI alijibu:-

Mheshimiwa Naibu Spika, kwa niaba ya Waziri waNishati, naomba kujibu swali la Mheshimiwa Juma OthmanHija, Mbunge wa Tumbatu, kama ifuatavyo:-

Mheshimiwa Naibu Spika, katika utekelezaji wa miradiya usambazaji umeme vijijini, Serikali imekuwa ikihimiza nakuzingatia ubora wa vifaa vinavyotumika hasa nguzo. Nguzozinazotumika kwenye miradi hiyo hununuliwa kutoka viwandambalimbali vya hapa nchini na awali baadhi zilikuwa zinatokanje ya nchi.

Wakati wa ununuzi Shirika la Umeme nchini TANESCOhutoa viwango vya ubora wa nguzo kwa viwandavinavyohitajika na vinavyozingatia viwango vya kimataifa.Kwa kuzingatia viwango hivyo, nguzo kwa ajili ya usambazajina usafirishaji wa umeme zinatakiwa kuwa na urefu kati yamita tisa hadi 18 na kipenyo kati ya milimita 130 hadi 308.

Mheshimiwa Naibu Spika, wazalishaji hutumia dawabora kuzalisha nguzo hizo na TANESCO hufanya ukaguzi kablaya kuanza kutumika ili kujiridhisha katika ubora wake.

NAIBU SPIKA: Mheshimiwa Juma Othman Hija, swalila nyongeza.

MHE. JUMA OTHMAN HIJA: Mheshimiwa Naibu Spika,ahsante. Pamoja na majibu mazuri ya Mheshimiwa NaibuWaziri, nina swali moja la nyongeza.

Mheshimiwa Naibu Spika, wasiwasi wangu katikaswali langu la msingi ni viwango vya miundombinu hii hasanguzo. Wamesema kwamba TANESCO wana zoezi lakukagua nguzo kabla ya matumizi. Swali langu liko hapa:wanachukua hatua gani wanapogundua kwamba nguzohizi ziko chini ya viwango? Ahsante.

NAIBU SPIKA: Mheshimiwa Naibu Waziri wa Nishati,majibu.

Page 47: BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE ...parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1518427837-30...kasi na gofu. Katika michezo hiyo, matokeo ya timu yetu ya Bunge la Tanzania yalikuwa

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

47

NAIBU WAZIRI WA NISHATI: Mheshimiwa Naibu Spika,namshukuru sana Mheshimiwa Juma Othman Hija, kwa swalilake la nyongeza. Kama ambavyo jibu langu la msingilimesema, Shirika la TANESCO hufanya ukaguzi kwanza wavifaa hivi kabla havijatumika kwenye miradi hii. Kwa hiyo,endapo inagundulika nguzo hizi hazina ubora, nguzohukataliwa na wanaotekeleza miradi miradi hiyo huelekezwakutimiza vigezo na hasa vile viwanda ambavyovinatengeneza hizi nguzo. Ahsante sana.

NAIBU SPIKA: Mheshimiwa Joel Mwaka Makanyaga,swali la nyongeza.

MHE. JOEL M. MAKANYAGA: Mheshimiwa Naibu Spika,nakushukuru kunipa nafasi ya kuuliza swali la nyongeza.

Mheshimiwa Naibu Spika, katika Jimbo la Chilonwa,Vijiji vya Bwawani, Kata ya Kamanchali na Vijiji vya Mlebe,Kata ya Msamalo nguzo zilikuwa zimeshapelekwa kwa ajiliya kuweka umeme na mashimo yakachimbwa, lakini baadaenguzo hizi zikaja kuhamishwa.

Je, Serikali ina mpango gani sasa kuona umuhimuwa kuvipa vipaumbele vij i j i hivi ambavyo vil ikuwavimeshapelekewa nguzo na kuondolewa ili katika awamuya tatu visije vikawa vijiji vya mwisho tena? Ahsante.

NAIBU SPIKA: Mheshimiwa Naibu Waziri wa Nishati,majibu.

NAIBU WAZIRI WA NISHATI: Mheshimiwa Naibu Spika,namshukuru sana Mheshimiwa Makanyaga, Mbunge waJimbo la Chilonwa kwa swali lake zuri.

Mheshimiwa Naibu Spika, nakiri kwamba ni kweli vipobaadhi ya vijiji ambavyo vilipelekewa miundombinu ya hizinguzo, lakini baadae zikahamishwa kwa kuwa havikuwepokwenye mpango wa utekelezaji wa kupeleka umeme vijijiniREA Awamu ya Pili. Nimdhibitishie kwamba kwenye hii REAAwamu ya Tatu ambayo inaendelea kwa round hii ya kwanza,

Page 48: BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE ...parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1518427837-30...kasi na gofu. Katika michezo hiyo, matokeo ya timu yetu ya Bunge la Tanzania yalikuwa

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

48

vile vijiji vyote ambavyo kwa bahati mbaya, kwambavilipelekewa nguzo halafu zikaondolewa, miradi hiyoitatekelezwa.

Mheshimiwa Naibu Spika, niseme tu kwamba vijijivyote nchi nzima vitapata miundombinu ya umeme kwakipindi hiki ambacho kinaendelea. Ahsante sana.

NAIBU SPIKA: Mheshimiwa David Ernest Silinde,Mbunge wa Momba, sasa aulize swali lake.

Na. 10

Kukamilisha Mradi wa Umeme - Momba

MHE. DAVID E. SILINDE aliuliza:-

Je, ni lini Serikali itakamilisha miradi ya umeme katikavijiji ambavyo havijafikiwa katika Halmashauri ya Momba?

NAIBU WAZIRI WA NISHATI alijibu:-

Mheshimiwa Naibu Spika, kwa niaba ya Waziri waNishati, naomba kujibu swali la Mheshimiwa David ErnestSilinde, Mbunge wa Momba, kama ifuatavyo:-

Mheshimiwa Naibu Spika, lengo la Serikali ni kufikishaumeme katika vijiji vyote visivyo na umeme nchini ikiwemovijiji vya Wilaya ya Momba ifikapo Juni, 2021. Katika Wilayaya Momba jumla ya vijiji 27 vitapatiwa umeme kupitiamzunguko wa kwanza wa awamu ya tatu ya miradi yakusambaza umeme vijijini. Vijiji hivyo ni pamoja na Ikana,Nakawale, Ipanga, Mpui, Mfuto, Machindo, Muungano,Samang’ombe, Tundumakati, Unyamwanga, Nello, Tukuyu,Mlimani, Majengo Mapya, Ihanda na Migombani.

Mheshimiwa Naibu Spika, kazi za mradizinazotekelezwa na Kampuni ya STEG International ambazozinahusisha ujenzi wa kilometa 60 za umeme msongo wakilovoti 33 na kilometa 108 za njia za umeme msongo kilovoti

Page 49: BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE ...parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1518427837-30...kasi na gofu. Katika michezo hiyo, matokeo ya timu yetu ya Bunge la Tanzania yalikuwa

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

49

0.4, kufunga transfoma 54 na kuunganisha wateja 1,773.Gharama ya mradi inakadiriwa kuwa shilingi 6,607,000,000na mradi unatarajiwa kukamilika mwezi Aprili, 2019.

Mheshimiwa Naibu Spika, vijiji vitakavyobakia katikamzunguko wa kwanza wa REA III vitapatiwa umeme katikamzunguko wa pili wa REA-III iunaotarajiwa kuanza mwezi Aprili,2019 na kukamilika mwezi Juni, 2021.

NAIBU SPIKA: Mheshimiwa David Ernest Silinde, swalila nyongeza.

MHE. DAVID E. SILINDE: Mheshimiwa Naibu Spika,ahsante sana kwa kunipatia nafasi niulize maswali madogomawili ya nyongeza.

Mheshimiwa Naibu Spika, pamoja na majibu yakuridhisha ya Mheshimiwa Naibu Waziri, lakini nina maswalimadogo mawili. Swali la kwanza, miradi ya umeme ya REA IIIimezinduliwa karibu nchi nzima katika kila Mkoa, lakiniutekelezaji wake mpaka sasa hivi haupo, isipokuwa ipokatika mipango kama hivi ambavyo inaonesha. Niniambacho kinasababisha au kimesababisha kucheleweshwakwa miradi ya REA III kuanza kukamilika tofauti na iliyopokatika maandishi? (Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, swali langu la pili ni kwambapamoja na majibu yake, Miradi ya REA tuliiwekea zuwio lafedha, yaani tuli-ring fence fedha zake ambazo zilitakiwazisiguswe, lakini mpaka sasa hivi miradi hii haitekelezeki kwasababu hizi fedha hazieleweki mahali ziliko.

Mheshimiwa Naibu Spika, swali langu nataka niulizeje, hizi fedha ambazo tumezi-ring fence kwa ajili ya utekelezajiwa hii miradi, kwa nini hazitumiki kutekeleza mradiikizingatiwa kuna fedha ambazo tunakata katika mafutashilingi 50 kwenye kila lita ya mafuta? Kwa nini zinashindwakutumika kwa ajili ya kumalizia hii miradi? Ahsante. (Makofi)

Page 50: BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE ...parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1518427837-30...kasi na gofu. Katika michezo hiyo, matokeo ya timu yetu ya Bunge la Tanzania yalikuwa

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

50

NAIBU SPIKA: Mheshimiwa Naibu Waziri wa Nishati,majibu.

NAIBU WAZIRI WA NISHATI: Mheshimiwa Naibu Spika,ni kweli miradi hii ya umeme vijijini ilizinduliwa mwezi wa Sitamwaka 2017. Naomba nimhabarishe Mheshimiwa Mbungekwamba wakandarasi wote ambao waliteuliwa takribani27 tulikutana nao tarehe 13 Januari, 2018 hapa Dodoma.

Mheshimiwa Naibu Spika, utekelezaji wa miradi unakazi mbalimbali. Kwanza, walikuwa wana-survey namnakumbuka Waheshimiwa Wabunge wengi mliletamapendekezo, maombi ya vijiji mbalimbali, kwa hiyo, lazimasurvey ifanyike.

Pili, baada ya survey lazima kuwe na michoro, lakininimthibitishie kwa Mkoa wake wa Songwe na Wilaya yakeya Momba, mkandarasi wake ameshaagiza vifaa na keshotarehe 31 Januari na tarehe 01 TANESCO wanaenda Mkoawa Arusha kuangalia zile transfoma. Kwa hiyo, ni wazikwamba miradi hii inatekelezeka, lakini zipo hatuambalimbali.

Mheshimiwa Naibu Spika, niongezee kwa kusema pia,vipo vijiji ambavyo vimeshawashwa umeme REA hii ya III. Kwahiyo, inategemea Mkandarasi na huo muda. Kwa mfano,Geita kuna vijiji vimewaka; Mwanza Halmashauri ya Bumbulipia umeme umewaka REA hii ya III. Kwa hiyo, miradiinaendelea.

Mheshimiwa Naibu Spika, swali lake la pili alikuwaanasema kwamba, vipi kuhusu pesa zake za miradi hii yaumeme vijijini? Ni kweli nalishukuru Bunge la Jamhuri yaMuungano wa Tanzania, kupitia Bunge hili iliwekwa tozomaalum kwenye mafuta na mfuko huo kweli umelindwa.

Mheshimiwa Naibu Spika, nataka niishukuru Wizaraya Fedha kwamba pesa zimekusanywa, zimewasilishwa nampaka sasa tumeshapata shilingi bilioni 170.

Page 51: BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE ...parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1518427837-30...kasi na gofu. Katika michezo hiyo, matokeo ya timu yetu ya Bunge la Tanzania yalikuwa

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

51

Kwa hiyo, pesa kwenye miradi hii siyo tatizo. Tatizoambalo lipo, changamoto tuliyokuwa tunaiona ni hawawakandarasi kujipanga kwa mujibu wa wakati na ratibawanavyozipanga. Ndiyo maana baada ya kuona hilo tatizo,tumekutana nao hapa Dodoma na tumewapa maelekezokwamba mwisho tarehe 28 Februari, wakandarasi wotewaanze kazi. Siyo kazi ya survey, kazi ya kuweka nguzo namiundombinu mingine ili miradi itekelezeke.

Mheshimiwa naibu Spika, nilithibitishie Bunge lako,miradi hii muda wake, hii awamu ya kwanza hii ni kipindihiki mpaka Aprili, 2019.

Kwa hiyo, niwatoe hofu. Kwa kuwa pia tumewekausimamizi mzuri, kila mkoa tumemtaka engineer mmojaasimamie, kila Wilaya kuwe na engineer mmoja kwa ajili yamiradi ya REA tu. Kwa hiyo, ninaamini, hata kasoro ambazozilijitokeza kwa miradi ya REA awamu nyingine, kwa Awamuhii ya III itaenda vizuri na itakamilika kwa wakati. (Makofi)

NAIBU SPIKA: Mheshimiwa Hongoli, swali la nyongeza.

MHE. JORAM I. HONGOLI: Mheshimiwa Naibu Spika,ahsante sana kwa kunipa fursa ya kuuliza swali la nyongeza.Halmashauri ya Wilaya ya Njombe ina vijiji 12 tu ambavyovimepata umeme wa REA, lakini vijiji 22 bado havijaingizwakwenye mpango huu wa REA III. Naomba kujua ni lini sasaSerikali itaingiza hivi vijiji 22 vyote ili waweze kupata umemewa REA? Ahsante sana.

NAIBU SPIKA: Mheshimiwa Naibu Waziri wa Nishati,majibu.

NAIBU WAZIRI WA NISHATI: Mheshimiwa Naibu Spika,naomba nimthibitishie Mheshimiwa Hongoli kwamba vijijivyake 22 vilivyosalia vyote vitaingizwa kwa Awamu ya Taturound ya pili ambavyo vinahusika vijiji 4,314. Kama ambavyonimejielekeza tangu mwanzo, lengo la Serikali hii ya Awamuya Tano ni kuhakikisha vijiji vilivyosalia 7,873 vyote vinafikiwana miundombinu ya umeme.

Page 52: BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE ...parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1518427837-30...kasi na gofu. Katika michezo hiyo, matokeo ya timu yetu ya Bunge la Tanzania yalikuwa

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

52

Mheshimiwa Naibu Spika, awamu hii tumeanza navijiji 3,559 vinasalia vijiji 4.314. Kwa hiyo, ndani yake kuna vijiji22,000 vya Jimbo lake la Njombe. Kwa hiyo, nimthibitishieMheshimiwa Mbunge na Waheshimiwa Wabunge wote naWatanzania wote, Serikali ya Awamu ya Tano inaendakufanya mapinduzi ya nishati vijiji vyote. (Makofi)

NAIBU SPIKA: Ahsante sana. Waheshimiwa Wabunge,tunaelekea kwenye Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi naMawasiliano. Mheshimiwa Taska Restituta Mbogo, Mbungewa Viti Maalum sasa aulize swali lake.

Na. 11

Mmiliki wa Uwanja wa Ndege wa Kilimanjaro

MHE. TASKA R. MBOGO aliuliza:-

Katika Uwanja wa Ndege wa Kilimanjaro, ipokarakana ya kutengeneza ndege (hangar) ambayo ilijengwana Serikali ya Uholanzi, lakini sasa hivi haitumiki.

(a) Je, ni lini Serikali itafufua karakana hiyo ili ndegezetu za Bombardier na nyingine ziweze kufanyiwamatengenezo hapo?

(b) Je, ni nani mmiliki wa uwanja huo wa ndege?

NAIBU WAZIRI WA UJENZI, UCHUKUZI NAMAWASILIANO (MHE. ENG. ATASHASTA J. NDITIYE): alijibu:-

Mheshimiwa Naibu Spika, ahsante sana, kwa niabaya Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, napenda kujibuswali la Mheshimiwa Taska Restituta Mbogo, Mbunge wa VitiMaalum, lenye Sehemu (a) na (b) kama ifuatavyo:-

(a) Mheshimiwa Naibu Spika, karakana yakutengeneza ndege ya KIMAFA iliyopo Kiwanja cha Ndegecha Kilimanjaro kwa sasa inaendeshwa na kusimamiwa naKampuni ya Ndege Tanzania (ATCL).

Page 53: BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE ...parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1518427837-30...kasi na gofu. Katika michezo hiyo, matokeo ya timu yetu ya Bunge la Tanzania yalikuwa

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

53

Mheshimiwa Naibu Spika, Karakana hiyo ilijengwamwaka 1980 na kukabidhiwa rasmi kwa Serikali mwaka 1985na ina uwezo wa kuhudumia ndege kubwa aina ya B747’Sau ndege tano aina ya B737’S kwa wakati mmoja. ATCLinaendelea kuifanyia matengenezo karakana hiyo ili iwezekurudi kwenye ubora wake na kutoa huduma zamatengenezo ya ndege.

(b) Mheshimiwa Naibu Spika, Kiwanja cha Ndege chaKimataifa cha Kilimanjaro (KIA) ni kati ya viwanja 59vinavyomilikiwa na Serikali chini ya usimamizi wa Wizara yaUjenzi, Uchukuzi na Mawasiliano. Kiwanja hiki kinaendeshwana Kampuni ya Uendeshaji wa Viwanja vya Ndege yaKilimanjaro (Kilimanjaro Airports Development Company –KADCO) ambayo inamilikiwa na Serikali kwa asilimia 100.Aidha, taratibu za kuunganisha KADCO na Mamlaka yaViwanja vya Ndege (TAA) i l i kuwa na taasisi mojainayosimamiwa na viwanja vya ndege nchini zinaendeleana zinatarajiwa kukamilika kabla ya mwisho wa mwaka huu2018.

NAIBU SPIKA: Mheshimiwa Taska Mbogo, swali lanyongeza.

MHE. TASKA R. MBOGO: Mheshimiwa Naibu Spika,ahsante. Pamoja na majibu mazuri ya Serikali, ninayo maswalimawili ya nyongeza.

Mheshimiwa Naibu Spika, swali la kwanza, kwa ajiliya usalama wa nchi kwa kawaida viwanja vya ndegevinatakiwa viendeshwe na Agency za Serikali ambazo niTCAA na TAA pamoja na Taasisi ya Meteorological . Taasisihii ya KADCO ni kampuni, sasa swali langu kwa MheshimiwaWaziri, Kampuni ya KADCO itaunganishwaje na TAA kamaalivyoeleza kwenye majibu yake?

Mheshimiwa Naibu Spika, swali la pili; ni lini ndege zaBombardier zitashuka Wilayani Mpanda, Mkoani Katavimaana tunazihitaji? (Makofi)

Page 54: BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE ...parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1518427837-30...kasi na gofu. Katika michezo hiyo, matokeo ya timu yetu ya Bunge la Tanzania yalikuwa

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

54

NAIBU SPIKA: Mheshimiwa Naibu Waziri wa Ujenzi,Uchukuzi na Mawasiliano, majibu. (Kicheko)

NAIBU WAZIRI WA UJENZI, UCHUKUZI NAMAWASILIANO (MHE. ENG. ATASHASTA J. NDITIYE):Mheshimiwa Naibu Spika, ahsante sana, katika jibu langu lamsingi nimeeleza tu kwamba, KADCO ni Shirika la Ummaambalo linamilikiwa na Serikali kwa asilimia mia moja. Kwahiyo, siyo kitu cha ajabu kuunganisha KADCO na TAA kwasababu zote zinamilikiwa na Serikali kwa asilimia mia moja.

Mheshimiwa Naibu Spika, namhakikishia MheshimiwaMbunge kwamba, zote ni taasisi za Serikali na zikiunganishwatutapata uongozi wa aina moja na bodi ya aina mojaambayo itarahisisha sana menejimenti ya viwanja vya ndegekwa nchi yetu.

Mheshimiwa Naibu Spika, swali lake la pili, tukokwenye harakati za kupanua uwanja wa ndege wa eneohilo. Kwa hiyo, tutakapopanua uwanja wa ndege wa eneohilo Mheshimiwa Mbunge, ndege za Bombardier zitaanzakushuka. Tuna lengo la kuhakikisha kwamba viwanja vyetuvyote vya ndege vinaongezwa ubora wake na ukubwa ilindege zote ambazo zina ukubwa wa kutosha ziweze kutuakwa ajili ya kuhudumia Watanzania. Ahsante.

NAIBU SPIKA: Mheshimiwa Sebastian Kapufi, swali lanyongeza.

MHE. SEBASTIAN S. KAPUFI: Mheshimiwa Naibu Spika,nakushukuru. Kati ya mambo yanayosababisha Uwanja waNdege wa Mpanda usifanye kazi ni kutokuwepo kwa hudumaya zimamoto. Ni l ini Serikali itatusaidia kuhakikishahuduma ya zimamoto inakuwepo kwenye Uwanja huo waMpanda?

NAIBU SPIKA: Mheshimiwa Naibu Waziri wa Ujenzi,Uchukuzi na Mawasiliano, majibu.

Page 55: BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE ...parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1518427837-30...kasi na gofu. Katika michezo hiyo, matokeo ya timu yetu ya Bunge la Tanzania yalikuwa

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

55

NAIBU WAZIRI WA UJENZI, UCHUKUZI NAMAWASILIANO (MHE. ENG. ATASHASTA J. NDITIYE):Mheshimiwa Naibu Spika, ahsante kwanza nampongeza sanawewe na Wabunge wenzako wote wa Mpanda kwa jinsimnavyoshughulikia masuala ya huduma za usafiri wa angakwa ajili ya mkoa wenu.

Mheshimiwa Naibu Spika, ni kweli kwamba, sasa hivigari linalotoa huduma ya zimamoto kwenye uwanja ulelimepata hitilafu na Serikali kupitia TAA tunaendeleakushughulikia kuhakikisha kwamba, uwanja ule unapata hiyohuduma ya zimamoto na hivi karibuni tumeendeleakuwasiliana na watu wa kule Mpanda ili walete makadirioyatakayowezesha hiyo huduma irudi katika hali yake yakawaida.

NAIBU SPIKA: Wizara ya Maliasili na Utalii, MheshimiwaVenance Methuselah Mwamoto.

MHE. VENANCE M. MWAMOTO: Mheshimiwa NaibuSpika, naona umetuka swali moja.

NAIBU SPIKA: Samahani Mheshimiwa Venance.Mheshimiwa Zacharia Paul Issaay Mbunge wa Mbulu Mjini sasaaulize swali lake.

Na. 12

Kuweka Lami Barabara ya Karatu – Shinyanga

MHE. ZACHARIA P. ISSAAY aliuliza:-

Wilaya ya Mbulu haina barabara ya lami kutokanana kuzungukwa na Bonde la Ufa kuanzia Karatu, Mto wa Mbu,Babati – Hanang hivyo, kufanya magari makubwa kutokaUganda, Kenya na Dar es Salaam kuzunguka umbali mkubwaili kufika Mbulu Mjini.

Je, Serikali ina mpngo gani wa kutekeleza ahadi yakeya kuweka lami katika barabara ya Karatu – Mbulu – Hydom

Page 56: BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE ...parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1518427837-30...kasi na gofu. Katika michezo hiyo, matokeo ya timu yetu ya Bunge la Tanzania yalikuwa

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

56

– Mkalama – Lalago Shinyanga ili kurahisisha usafiri katikanjia hiyo?

NAIBU SPIKA: Huyu ni Mbunge wa Mikoa mingi kulikoWabunge wote humu ndani. Mheshimiwa Naibu Waziri waUjenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, majibu.

NAIBU WAZIRI WA UJENZI, UCHUKUZI NAMAWASILIANO (MHE. ELIAS J. KWANDIKWA) alijibu:-

Mheshimiwa Naibu Spika, kwa niaba ya Waziri waUjenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, naomba kujibu swali laMheshimiwa Zacharia Paul Issaay, Mbunge wa Mbulu Mjini,kama ifuatavyo:-

Mheshimiwa Naibu Spika, barabara ya Karatu – Mbulu– Hydom – Mkalama – Lalago – Kolandoto, yenye urefu wakilometa 389 ni kiungo muhimu kwa Mikoa ya Arusha,Manyara, Mara, Shinyanga na Singida kwa kupitia Kusini mwaHifadhi ya Taifa ya Serengeti.

Mheshimiwa Naibu Spika, Serikali inatambua kuwabarabara hii ina umuhimu mkubwa wa kiuchumi na kijamiina ni kiungo muhimu kati ya Mikoa ya Arusha, Manyara, Mara,Shinyanga na Singida. Maandalizi ya ujenzi kiwango cha lamiya barabara hii yameanza kwa hatua za awali, ambapoWizara yangu kupitia Wakala wa Barabara (TANROADS)imeingia mkataba na Mhandisi Mshauri aitwaye HP GauffIngenieure GmbH & Co. KG – JBG ya Ujerumani ili kufanyakazi ya upembuzi yakinifu ambayo inaendelea hadi sasa. Kazihii inagharamiwa na Serikali ya Ujerumani kupitia Benki yaMaendeleo ya Ujerumani (KfW).

Mheshimiwa Naibu Spika, aidha, baada ya kazi yaupembuzi yakinifu na usanifu wa kina kukamilika, Serikaliitatafuta fedha na kuanza ujenzi wa barabara hii kwakiwango cha lami.

NAIBU SPIKA: Mheshimiwa Zacharia Issaay, swali lanyongeza.

Page 57: BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE ...parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1518427837-30...kasi na gofu. Katika michezo hiyo, matokeo ya timu yetu ya Bunge la Tanzania yalikuwa

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

57

MHE. ZACHARIA P. ISSAAY: Mheshimiwa Naibu Spika,nashukuru sana. Pamoja na majibu mazuri ya MheshimiwaNaibu Waziri na hatua kubwa inayochukuliwa na Serikali yetu.

Je, kutokana na gharama kubwa inayotumika yamatengenezo ya kawaida katika barabara hiiinayounganisha mikoa minne kwa kiwango cha changarawena kwa kuwa katika majibu ya msingi Mheshimiwa Wazirihakueleza mkataba huu unaisha lini, Serikali haioni umuhimusasa wa kuharakisha kazi hii ya usanifu ili barabara hii ipatekutengenezwa?

Mheshimiwa Naibu Spika, swali la pili. MheshimiwaRais aliahidi ahadi nyingi wakati wa kampeni kama sehemuya utatuzi wa changamoto za wananchi. Katika Halmashauriya Mji wa Mbulu aliahidi kilometa tano kwa barabara ambazozinamilikiwa na Serikali za Mitaa wakati ule. Kwa kuwa sasabarabara zile zimehamia kwa TARURA, je, ni naniatakayetekeleza ile ahadi ya kilometa tano katika barabarazile kwa kuwa Mamlaka za Serikali za Mitaa sasa haziko tenakwenye utaratibu wa kuzihudumia?

NAIBU SPIKA: Mheshimiwa Naibu Waziri wa Ujenzi,Uchukuzi na Mawasiliano, majibu.

NAIBU WAZIRI WA UJENZI, UCHUKUZI NAMAWASILIANO (MHE. ELIAS J. KWANDIKWA): MheshimiwaNaibu Spika, kwanza nianze kwa kumpongeza MheshimiwaMbunge kwa kufuatilia sana hii barabara muhimu ambayoinaunga mikoa mingi.

Mheshimiwa Naibu Spika, niseme kwamba kwanzabarabara hii pia inafuatiliwa na Waheshimiwa wa mikoa hii.Mheshimiwa Flatei Massay naye anaifuatilia sana barabarahii tumezungumza, lakini wako Wabunge wa Mkoa waSingida, wako Wabunge wa Simiyu wanafuatilia hii barabaramuhimu sana. Na sisi upande wa Serikali, ili kuharakisha ujenziwa barabara hii, tumeanza ujenzi katika Mto Sibiti, sehemuambayo ilikuwa ni mbaya sana.

Page 58: BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE ...parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1518427837-30...kasi na gofu. Katika michezo hiyo, matokeo ya timu yetu ya Bunge la Tanzania yalikuwa

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

58

Mheshimiwa Naibu Spika, lengo la Serikali nikuhakikisha kwamba kwa sasa kwanza wananchi wanapita.Wakipita katika barabara hii kwa mtu ambaye anaendaKaratu tuna-save zaidi ya kilometa 400, kwa mtu anayekujaSingida tuna-save zaidi ya kilometa 200; tuna-save muda,lakini pia tuna-save gharama mbalimbali.

Mheshimiwa NAibu Spika, ili kuharakisha ujenzi wabarabara hii, Serikali imechukua hatua kuhakikisha kwambaujenzi wa daraja utakapokamilika mwishoni mwa mwakahuu, tutakuja kwenda haraka katika ujenzi wa barabara hii.

Mheshimiwa Naibu Spika, kuhusu ahadi za kilometatano, ninajua kwamba nchi nzima ziko ahadi ambazo sisikama Serikali tunaendelea kuzitekeleza, ikiwepo ahadiambayo imetolewa huko Mbulu.

Kwa hiyo, Mheshimiwa Mbunge avute subira,tumejipanga tunaendelea kuratibu kuona kwa kiasi sasatunapoenda nusu ya kipindi cha miaka mitano tumetekelezaahadi ngapi ili tuweze kukamilisha ahadi hizi ambazoMheshimiwa Rais aliahidi. Kwa hiyo, Mheshimiwa Mbungeavute subira. (Makofi)

NAIBU SPIKA: Waheshimiwa Wabunge, tunaendeleana Wizara ya Maliasili na Utalii, Mheshimiwa VenanceMethusalah Mwamoto, Mbunge wa Kilolo, sasa aulize swalilake.

Mheshimiwa Flatei, umegonga sana na Naibu Waziriamekutana hapa kwamba unafuatilia. Hata MheshimiwaQulwi Qambalo nimemwona pale. Kwa hiyo, ninyi wotemnafuatil ia kwa pamoja. Mheshimiwa Naibu Waziri,ametambua michango yenu.

Mheshimiwa Mwamoto, swali.

Page 59: BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE ...parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1518427837-30...kasi na gofu. Katika michezo hiyo, matokeo ya timu yetu ya Bunge la Tanzania yalikuwa

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

59

Na. 13

Fedha Zinazopata Wilaya Zinazopakana naHifadhi ya Taifa

MHE. VENANCE M. MWAMOTO aliuliza:-

Je, ni kiasi gani cha fedha kinatolewa kwa Wilayaambazo zinapakana au zilizo na Hifadhi za Taifa ikiwamoWilaya ya Kilolo katika Hifadhi ya Udzungwa?

NAIBU WAZIRI WA MALIASILI NA UTALII alijibu:-

Mheshimiwa Naibu Spika, kwa niaba ya Waziri waMaliasili na Utalii, naomba kujibu swali la MheshimiwaVenance Mwamoto, Mbunge wa Kilolo, kama ifuatavyo:-

Mheshimiwa Naibu Spika, Wizara ya Maliasili na Utalii,kupitia Shirika la Hifadhi za Taifa (TANAPA), inatekelezaMpango wa Ujiarni Mwema (Support for Community InitiatedProjects) ulioanzishwa mapema miaka ya 1990. Lengo lampango huu ni kuishirikisha jamii katika kupunguzachangamoto za uhifadhi na kuwanufaisha wananchi waishiojirani na hifadhi. Utekelezaji wa Mpango wa Ujirani Mwemaunahusisha vijiji katika Wilaya zinazopakana na Hifadhi zaTaifa.

Mheshimiwa Naibu Spika, kwa mujibu wa utaratibuuliowekwa, vijiji vinaibua miradi ya maendeleo na kuchangiaasilimia 30 ya gharama za miradi na shirika kuchangia asilimia70 ya gharama hizo. Kupitia mpango huu kila mwaka TANAPAinatenga kati ya 5% hadi 7% ya bajeti yake kwa shughuli zamiradi hiyo. Vilevile mpango huu unahusisha utoaji wa elimuya uhifadhi na kuwashirikisha wananchi katika uhifadhi wamaliasili na mazingira kama vile upandaji wa miti nakadhalika.

Mheshimiwa Naibu Spika, katika kipindi cha kuanziamwaka 2000/2001 hadi mwaka 2017/2018 Hifadhi ya Taifa yaUdzungwa imefanikiwa kutekeleza miradi ya ujirani mwema

Page 60: BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE ...parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1518427837-30...kasi na gofu. Katika michezo hiyo, matokeo ya timu yetu ya Bunge la Tanzania yalikuwa

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

60

katika Wilaya ya Kilolo yenye thamani ya jumla ya shilingi435,962,656. Baadhi ya miradi iliyotekelezwa na inayoendeleakutekelezwa Wilaya ya Kilolo inahusu uwekaji wa umeme,ujenzi wa barabara, ununuzi wa samani na ununuzi wa vifaavya maabara vya Sekondari ya Lukosi katika Kijiji chaMtandika ambapo jumla ya shilingi 49,460,937 zimetumika.

Mheshimiwa Naibu Spika, ujenzi wa nyumba waawamu za walimu katika Kijiji cha Ikura umegharimu shilingi60,000,000; ukarabati barabara ya Ilula – Udekwa, ujenzi naununuzi wa samani Kituo cha Polisi, nyumba ya walimu, shuleya msingi katika Kijiji cha Udekwa umegharimu shilingi227,501,719 na mpango wa matumizi bora ya ardhi nanyumba ya walimu shule ya msingi Msosa katika Kijiji chaMsosa shilingi 81,000,000 na ununuzi wa madawati kwa ajiliya Wilaya ya Kilolo umegharimu shilingi 18,000,000. Jumla yafedha zote zilizotolewa na Shirika ni shilingi 435,962,656.

NAIBU SPIKA: Mheshimiwa Venance Mwamoto, swalila nyongeza.

MHE. VENANCE M. MWAMOTO: MheshimiwaMwenyekiti, pamoja na majibu mazuri ambayoyanatofautiana na swali langu, naomba niulize maswalimawili ya nyongeza.

Mheshimiwa Naibu Spika, nataka nimkumbushekidogo Mheshimiwa Naibu Waziri kwamba Milima ya Uluguruwanakaa Waluguru, Milima ya Usambaa wanakaaWasambaa wanaotoka Tanga na Milima ya Udzungwawanakaa Wadzungwa na Udzungwa iko Wilaya ya Kilolo kwaasilimia 70.

Mheshimiwa Naibu Spika, jibu nililopewa hapa,inaonekana kwamba Kilolo wanapewa kama hisani, siyo hakiyao. Kwa hiyo, ninachoomba kwa kuwa tayari yalikuwepomakubaliano ya kuhamisha Makao Makuu ya Udzungwakwenye Kilolo Udekwa, lifanyike ili wananchi wale wanufaikekwamba ile Udzungwa ni ya Wadzungwa siyo ya Waluguru.(Makofi)

Page 61: BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE ...parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1518427837-30...kasi na gofu. Katika michezo hiyo, matokeo ya timu yetu ya Bunge la Tanzania yalikuwa

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

61

Mheshimiwa Naibu Spika, swali la pili, kwa kuwa maranyingi yamekuwa yakitokea maafa, kwa mfano vijiji vyaMsosa, Ikula, Ruaha Mbuyuni, Mahenge na Mtandikawananchi wanauawa na tembo bila kulipwa fidia; na fidiaambayo wanalipwa ni fedha ndogo sana, ni pamoja nauharibufu wa mazao yao.

Je, Serikali haioni sasa ni wakati muafaka wa kutungaau kuja kuleta hapa tubadilishe sheria ili wananchi hawawawe na thamani zaidi ya wanyama ambao ndiyowanawaua? (Makofi)

NAIBU SPIKA: Mheshimiwa Naibu Waziri wa Maliasili naUtalii, majibu.

NAIBU WAZIRI MALIASILI NA UTALII: Mheshimiwa NaibuSpika, kwanza naomba nichukue nafasi hii kumpongezaMheshimiwa Mbunge kwa kazi kubwa ambayo amekuwaakifanya katika Jimbo lake. Amekuwa akifuatilia sana naamekuwa akiwatetea sana wananchi wa Jimbo la Kilolo. Kwakweli hongera sana.

Mheshimiwa Naibu Spika, naomba nimwahidiMheshimiwa Mbunge kwamba hili suala la kuhamisha MakaoMakuu, tutalishughulikia. Yapo mambo mengi ya kuzingatiatunapotaka kuhamisha makao makuu na jitihada sasa hivizinafanywa katika kuangalia miundombinu kamaitawezekana kwenda kufikika katika hayo maeneo ambayoyalikuwa yamekubalika pale awali. Baada ya hilo kukamilika,basi tutalifanyia kazi. (Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, swali la pili kuhusu fidia yawananchi ambao wanakuwa wameadhirika nawanyamapori hususan tembo na wanyama wengine, hilisuala lipo kwa mujibu wa sheria na kwa mujibu wa tararibuzetu. Ni kweli kabisa taratibu ambazo zipo zinabainisha niaina gani ya kifuta machozi ambacho kinatolewa kwawananchi wanaokuwa wameathirika na haya matatizo. Sasanamuomba Mheshimiwa Mbunge kwamba katika haowananchi ambao amewasema, hiki kiasi japo ni kidogo,

Page 62: BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE ...parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1518427837-30...kasi na gofu. Katika michezo hiyo, matokeo ya timu yetu ya Bunge la Tanzania yalikuwa

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

62

hakilingani na thamani ya binadamu anayekuwa amepotea,lakini bado tutaendelea kutoa kwa wakati, nitaombatuwasiliane nipate hayo majina ili niweze kuyafanyia kazimara moja. Hilo nitalishughulikia. (Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, pia naomba nimhakikishiekwamba tuko kwenye harakati ya kuweza kupitia upya serayetu pamoja na sheria ili tuakikishe kwamba tunahuisha nakuweka viwango vile ambavyo vitakuwa vinatosheleza navinasaidia katika kupunguza haya matatizo. Nashukuru.

NAIBU SPIKA: Ahsante sana. Mheshimiwa RaphaelJaphary Michael, Mbunge wa Moshi Mjini, sasa aulize swalilake.

Na.14

Madai ya Msingi Watu Wanaoongoza Watalii,Wapagazi na Wapishi

MHE. RAPHAEL J. MICHAEL aliuliza:-

Je, Serikali imejipanga vipi kumaliza madai ya msingina ya muda mrefu kwa waongoza watalii, wapagazi nawapishi kutambuliwa kwa kima cha chini cha mishahara,mikataba ya kazi inayoendana na kazi zao, malipo ya poshokwa huduma wanazotoa kwa siku, sera shirikishi katikakutatua matatizo yao na utalii wa nchi kwa ujumla na malipoya huduma za jamii kama vile afya na majanga?

NAIBU WAZIRI WA MALIASILI NA UTALII MAJIBU alijibu:-

Mheshimiwa Naibu Spika, kwa niaba ya Waziri waMaliasili na Utalii, naomba kujibu swali la MheshimiwaRaphael Japhary Michael, Mbunge wa Moshi Mjini, kamaifuatavyo:-

Mheshimiwa Naibu Spika, madai ya wapagazi,wapishi na waongoza watalii yameshughulikiwa na Wizarakwa kushirikiana na Vyama vya Tanzania Association of Tour

Page 63: BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE ...parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1518427837-30...kasi na gofu. Katika michezo hiyo, matokeo ya timu yetu ya Bunge la Tanzania yalikuwa

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

63

Operators (TATO); Kilimanjaro Association of Tour Operation(KIATO); Tanzania Tour Guides Association (TTGA); KilimanjaroGuides Association (KGA); Tanzania Porters Organization (TPO);Ofisi ya Waziri Mkuu, (Kazi Ajira, Vijana na Ulemavu) na Vyamavya Wapagazi na Wapishi.

Mheshimiwa Naibu Spika, katika Mkutano uliofanyikaArusha tarehe 12 Desemba, 2015 Wizara na wadauwalikubaliana kuhusu viwango vya chini vya ujira kwawapagazi wapishi na waongoza watali i. Viwangovinavyopendekezwa kwa siku ni shilingi sawa na dola zaMarekani 10 kwa wapagazi 15; kwa wapishi na 20 kwawaongoza watalii kwa siku.

Mheshimiwa Naibu Spika, katika makubaliano hayo,Serikali ilisisitiza juu ya umuhimu wa kuingia mikataba ya kazibaina ya waajiri na waajiriwa. Serikali ilitoa miongozo yamikataba ili izingatiwe kwa mujibu wa matakwa ya kila kundina ilianza kutumika katika Sekta ya Utalii. Waajiri na wajiriwawanatakiwa kisheria kutekeleza wajibu wao wa kusainimikataba na kuzingatia viwango vilivyokubaliwa. Endapomakubaliano yao hayatazingatiwa, ni wajibu wa waajiriwakutoa taarifa kwenye mamlaka husika za Serikali.

Mheshimiwa Naibu Spika, kuhusu kima cha chini chamishahara na malipo ya posho kwa huduma za jamii kamavile afya na majanga, Serikali inaendelea kuhimiza kuwawaajiri wazingatie kima cha chini cha mishaharakilichotolewa na Serikali na michango inayopaswa kutolewakwenye mifuko mbalimbali kama vile Shirika la Taifa la Hifadhiwa Jamii (NSSF), Bima ya Afya na Mfuko wa Fidia kwaWafanyakazi.

NAIBU SPIKA: Mheshimiwa Raphael Japhary Michael,swali la nyongeza.

MHE. RAPHAEL J. MICHAEL: Mheshimiwa Naibu Spika,pamoja na majibu ya Serikali kuhusu tatizo hilo, lakini badotatizo hili ni kubwa na linaendelea. Mijadala juu ya wapagazi,waongoza watalii na wapishi imekuwa ya muda mrefu baina

Page 64: BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE ...parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1518427837-30...kasi na gofu. Katika michezo hiyo, matokeo ya timu yetu ya Bunge la Tanzania yalikuwa

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

64

ya Serikali na waajiriwa hawa, lakini utekelezaji wamakubaliano umekuwa hafifu sana.

Swali la kwanza, je, Serikali haioni kwamba kuna hajakwa sasa kwenda kuonana na waajiriwa kuongea nao anakwa ana, kujua ni kwa kiwango gani miongozo hii ambayowameipeleka imetekelezwa na imekuwa na tija kwa haowatu ambao ndio waathirika wa tatizo hili?

Mheshimiwa Naibu Spika, swali la pili, kumekuwa nautaratibu kwamba wanaoshughulikia matatizo ya wataliiimekuwa ni kampuni ya nje na sio watu wa ndani. Ni kwa niniSerikali haioni haja ya kushirikisha kampuni za ndanikuhakikisha kwamba inasimamia suala la porters nawaongoza watalii na inaliacha katika kampuni za nje?Ahsante sana.(Makofi)

NAIBU SPIKA: Mheshimiwa Naibu Waziri wa Maliasilina Utalii, majibu.

NAIBU WAZIRI WA MALIASILI NA UTALII: MheshimiwaNaibu Spika, kwanza tunakubaliana kabisa kwamba kunahaja ya kuonana na waajiriwa ili kuweza kubaini kama kweliyale makubaliano tuliyoyafikia pale Arusha yametekelezeka.Na mimi naomba kumwahidi Mheshimiwa Mbunge kwambabaada ya kikao hiki cha Bunge tutapanga safari ya kwendakuonana na wale ili tuweze kuangalia utekelezaji wa hayomambo yote.

Mheshimiwa Naibu Spika, swali la pili, kuhusu matatizoya hawa wapagazi kwamba yanatatuliwa na kampuni yanje, hili ni suala ambalo nimelisia sasa hivi, lakini nadhanitutalichukulia hatua na tutahakikisha kwamba matatizo yaWatanzania yanashughulikiwa na Watanzania wenyewekupitia mifumo iliyowekwa na makampuni yetu yako tayarikabisa kushughulikia hili tatizo.

Mheshimiwa Naibu Spika, kwa hiyo, naombanimwahidi Mheshimiwa Mbunge, hili tutalishughulikia nakulifanyia kazi.

Page 65: BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE ...parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1518427837-30...kasi na gofu. Katika michezo hiyo, matokeo ya timu yetu ya Bunge la Tanzania yalikuwa

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

65

NAIBU SPIKA: Waheshimiwa Wabunge, tutamalizia naWizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo.Mheshimiwa Rashid Abdallah Shangazi, Mbunge wa Mlalo,sasa aulize swali lake.

Na. 15

Hitaji la Matangazo ya Redio TBC - Lushoto

MHE. RASHID A. SHANGAZI aliuliza:-

Je, ni lini Wilaya ya Lushoto itaanza tena kupokeamatangazo ya Redio ya Taifa (TBC)?

NAIBU WAZIRI WA HABARI, UTAMADUNI, SANAA NAMICHEZO alijibu:-

Mheshimiwa Naibu Spika, kwa niaba ya Waziri waHabari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, napenda kujibu laMheshimiwa Rashid Abdallah Shangazi, Mbunge wa Mlalo,kama ifuatavyo:-

Mheshimiwa Naibu Spika, kijiografia Wilaya ya Lushotokatika Mkoa wa Tanga ni kati ya Wilaya ambazozinazozungukwa na milima, mazingira ambayo huzuiamawimbi ya TBC FM pamoja na TBC Taifa, ambayo hurushwakutokea mitambo ya FM iliyoko katika eneo la Mnyuzi WilayaniMuheza.

Mheshimiwa Naibu Spika, ili kutatua changamoto hii,TBC imeamua sasa mtambo wa kurushia matangazo hayoujengwe katika Wilaya ya Lushoto ili matangazo ya redioyaweze kufika kwa uhakika katika wilaya hii. Ili kufanikishakazi hii, TBC imetenga shilingi milioni 50 toka bajeti yake yandani kwa ajili ya mnara utakaotumika kuweka mtambowenye nguvu ya watt 500 na viunganishi vyake kwa ajili yakupokea matangazo hayo. Mtambo huu utafungwa katikaeneo la Kwemashai ambako kuna miundombinu yakuwezesha zoezi hili kukamika kabla ya mwisho wa mwakahuu wa fedha.

Page 66: BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE ...parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1518427837-30...kasi na gofu. Katika michezo hiyo, matokeo ya timu yetu ya Bunge la Tanzania yalikuwa

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

66

NAIBU SPIKA: Mheshimiwa Rashid Abdallah Shangazi,swali la nyongeza.

MHE. RASHID A. SHANGAZI: Mheshimiwa Naibu Spika,ahsante. Pamoja na majibu ya Serikali ambayo yanatiamatumaini, nina maswali madogo ya nyongeza.

Swali la kwanza, wakati redio ya TBC wanatumiamawimbi ya short wave na medium wave mawasilianoyalikuwa mazuri. Je, hawaoni kwamba kuhamia kwendadigital inaweza ikawa ni changamoto hata kwa maeneomengine yaliyoko pembezoni katika Taifa letu? (Makofi)

Swali la pili, kwa kuwa kwa mujibu wa Katiba Ibaraya 18(b) tunayo haki ya kupokea na kupata taarifa, sasaanawaambia nini wakazi wa Mlalo ambao wako pembezonimwa nchi jirani ya Kenya ambao hawapati habari za Taifalao na je, hawaoni kwamba hii inahatarisha usalama waTaifa? (Makofi)

NAIBU SPIKA: Mheshimiwa Naibu Waziri wa Habari,Sanaa, Utamaduni na Michezo, majibu.

NAIBU WAZIRI WA HABARI, UTAMADUNI, SANAA NAMICHEZO: Mheshimiwa Naibu Spika, kwanza naombanichukue nafasi hii ya kuweza kumpongeza kwa dhati kabisaMheshimiwa Rashid Shangazi kwa namna ambavyoamekuwa akifuatilia kwa umakini kabisa matatizo yawananchi wa Jimbo la Mlalo.

Mheshimiwa Naibu Spika, niseme kwamba baada yakupokea majibu mazuri kabisa ya Serikali nilitegemeakwamba Mheshimiwa Shangazi atakuwa hana maswali yanyongeza. Kwa sababu ameuliza maswali mawili, naombanimjibu kama ifuatavyo:-

Mheshimiwa Naibu Spika, siyo kweli kwamba kuhamakutoka kwenye mfumo wa analogy kwenda kwenye digitalimepelekea kuweza kupunguza usikivu wa redio hii ya TBC.Changamoto kubwa ambayo il ikuwepo ni kwamba

Page 67: BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE ...parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1518427837-30...kasi na gofu. Katika michezo hiyo, matokeo ya timu yetu ya Bunge la Tanzania yalikuwa

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

67

mitambo mingi ambayo il ikuwa inatumika il ikuwa nimitambo ambayo imechoka, mibovu ukizingatia kwambamitambo hiyo ilikuwa ni ya muda mrefu sana.

Kwa hiyo, hata linapokuja suala zima la kutafuta vipurikwa ajili ya kufanya marekebosho ya mitambo hiyo, ilikuwani ngumu sana.

Mheshimiwa Naibu Spika, kwa hiyo, nimtoe hofuMheshimiwa Rashid Shangazi kwamba tatizo hilo kwa sasahivi TBC imelichukua kwa kina na inalifanyia kazi na mpakasasa hivi katika mikoa ya Arusha, Dodoma, Mwanza pamojana Kigoma tumeanza utaratibu wa kuboresha mitambo hiyoili kuhakikisha kwamba matangazo haya ya TBC Taifapamoja na TBC FM yanawafikia wananchi kama ambavyoinatakiwa.

Mheshimiwa Naibu Spika, kwenye swali lake la pili,ametaka kujua umuhimu wa chombo hiki cha Taifa, TBC kwamaeneo ambayo ni ya mipakani. Mheshimiwa Shangazi,Serikali hii ya Awamu ya Tano inatambua kabisa kwambawananchi wote ambao wanakaa maeneo ya mipakaniwana haki ya kupata taarifa kama ambavyo wananchiwengine wanakaa katika maeneo mengine.

Mheshimiwa Naibu Spika, kwa kuzingatia hilo, kunamkakati wa TBC ambao umeshaanza kufanyika katikamaeneo ya mpakani, nikianza na eneo la Rombo, lakiniukienda na eneo la Namanga, Tarime pamoja na Kakonko,tayari ufungaji wa mitambo mipya ya TBC umeanzakufanyiwa kazi. Tunaamini kwamba mitambo hiiitakapokamilika, kwa kiasi kikubwa sana itasaidia kumalizatatizo hili za usikivu kwa chombo hiki cha TBC.

Mheshimiwa Naibu Spika, vilevile MheshimiwaShangazi aliuliza kwa upande wa Lushoto. Kama ambavyo

Page 68: BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE ...parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1518427837-30...kasi na gofu. Katika michezo hiyo, matokeo ya timu yetu ya Bunge la Tanzania yalikuwa

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

68

nimejibu kwenye jibu langu la msingi, ni kwamba tayari shilingimilioni 50 imeshatengwa kwa ajili ya kumaliza tatizo la usikivukatika Wilaya hiyo ya Lushoto.

Mheshimiwa Naibu Spika, nimhakikishie kabisaMheshimiwa Shangazi kwamba eneo hili la Kwamashaiambalo limechaguliwa kuhakikisha kwamba mtambo huuunawekwa, ni eneo ambalo limefanyiwa utafiti wa kina naimeonekana kabisa kwamba mtambo huo ukijengwa hapo,basi maeneo yale ya Lukozi, Mnazi pamoja na Lunguziambako imepakana kwa ukaribu kabisa na kijiji ambachokiko kwenye nchi ya Kenya watapata matangazo ya TBCkama inavyotakiwa. (Makofi)

Mheshimiwa Naibu Spika, ahsante sana. (Makofi)

NAIBU SPIKA: Waheshimiwa Wabuge, tumefikamwisho wa kipindi chetu cha maswali. Nitaleta matangazotuliyonayo siku ya leo.

Waheshimiwa Wabunge, tangazo la kwanza,Mheshimiwa Waziri Mkuu hayupo, kwa hivyo shughuli zaSerikali Bungeni kwa sasa anayezisimamia ni Mheshimiwa Dkt.George Harrison Mwakyembe. (Makofi)

Waheshimiwa Wabunge, tangazo la pili ni la wagenituliona asubuhi hii. Wageni kundi la kwanza ni wale waliokojukwaa la Mheshimiwa Spika. Wa kwanza ni MheshimiwaLekule Laizer naye ni Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Arusha.Karibu sana. (Makofi)

Tunae pia Mheshimiwa Odo Mwisho ambaye niMwenyekiti wa CCM Mkoa wa Ruvuma, tunaye pia NduguParseko Ole Kone ambaye alikuwa Mkuu wa Mkoa waSingida. Karibuni sana wageni wetu. Hawa wamekuja

Page 69: BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE ...parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1518427837-30...kasi na gofu. Katika michezo hiyo, matokeo ya timu yetu ya Bunge la Tanzania yalikuwa

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

69

kushuhudia kiapo cha Waheshimiwa Wabunge watatuwaliapishwa leo. (Makofi)

Waheshimiwa Wabunge, pia wapo wageni wengineambao wapo asubuhi hii pamoja na sisi, kundi la kwanza niwageni 50 wa Mheshimiwa Joseph Justin Monko ambao niwanafamilia, viongozi na wadau wa maendeleo kutokaSingida Kaskazini. Wamekuja kushuhudia kuapishwa kwaMbunge wao, wakiongozwa na mke wake, Ndugu ReginaMonko. Karibuni sana wageni kutoka Singida Kasikazini.(Makofi)

Waheshimiwa Wabunge, wako pia wageni 44 waMheshimiwa Dkt. Stephano Lemomo Kiruswa ambao niwanafamilia viongozi na wadau wa maendeleo kutokaJimbo la Longido, nao wamekuja kushuhudia kuapishwa kwaMbunge wao wakiongozwa na mke wa Mheshimiwa Mbungeambaye ni Ndugu Agnes Kiruswa. karibuni sana wagenikutoka Longido. (Makofi)

Waheshimiwa Wabunge, tunao pia wageni 35 waMheshimiwa Dkt. Damas Daniel Ndumbaro, ambao niwanafamilia, viongozi na wadau wa maendeleo kutokaJimbo la Songea Mjini, nao wamekuja kushuhudia kuapishwakwa Mbunge wao. Karibu ni sana wageni kutoka SongeaMjini. (Makofi)

Pia tunao wageni wawili wa Ofisi ya Bunge kutokaShirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia masuala yawanawake (UN WOMEN) ni washauri elekezi katika masualaya jinsia, ambao ni Mheshimiwa Sarmite Bulte kutoka Canadana Ndugu Fortunata Temu kutoka Tanzania. Karibuni sana.(Makofi)

Tunao pia wageni 80 wa Mheshimiwa Fatma Toufiqambao ni wanachuo wa mwaka wa kwanza Kitivo cha Elimukutoka Chuo Kikuu cha Dodoma. Karibuni sana. (Makofi)

Page 70: BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE ...parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1518427837-30...kasi na gofu. Katika michezo hiyo, matokeo ya timu yetu ya Bunge la Tanzania yalikuwa

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

70

Tunao pia wageni 29 wa Mheshimiwa Anna Lupembeambao ni wana Maombi kutoka Mkoa wa Dodoma. Karibunisana.

Tunaona pia wageni sita wa Wabunge wa MkoaIringa ambao ni viongozi wa kutoka Chama cha Walimu chaMkoa huo. Karibuni sana. (Makofi)

Tunao wageni waliotembela Bunge kwa ajili yamafunzo, na hawa ni wageni 67 ambao ni Jumuiya yaWanachuo waliokoka kutoka Chuo Kikuu cha Dodoma,CASFETA (The Christ Ambassadors Students FellowshipTanzania). Karibuni sana, kumbe hawa wametangazwa marambili. Wageni wetu tunawakaribisha sana Bungeni kujifunzanamna tunavyofanya kazi na pia kuangalia namna mamboyanavyokwenda. (Makofi)

Tangazo lingine Waheshimiwa Wabunge linatoka kwaMheshimiwa Anna Lupembe ambaye ni Mwenyekiti waIbada ya Chapel Bunge anawatangazia WaheshimiwaWabunge wote kwamba leo siku ya tarehe 30 Julai, 2018 saasaba mchana baada ya kusitisha shughuli za Bunge kutakuwana ibada, kwa hiyo, Wabunge wote mnakaribishwa kwenyeChapel ya Bunge kwenye ukumbi wa Pius Msekwa.

Waheshimiwa Wabunge baada ya matangazo haya,Mheshimiwa Chenge ataingia kuendelea na ratibainayofuata.

MHE. ALHAJ ABDALLAH M. BULEMBO: MheshimiwaNaibu Spika, Mwongozo Naibu Spika unaondoka? (Kicheko)

Hapa Mwenyekiti (Mhe. Andrew J. Chenge) Alikalia Kiti

MWENYEKITI: Katibu.

MHE. ALHAJ ABDALLAH M. BULEMBO: MheshimiwaMwenyekiti, mwongozo mwishoni huku kabisa.

MWENYEKITI: Nimeshamwita Katibu!

Page 71: BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE ...parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1518427837-30...kasi na gofu. Katika michezo hiyo, matokeo ya timu yetu ya Bunge la Tanzania yalikuwa

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

71

MHE. ALHAJ ABDALLAH M. BULEMBO: Aah! ulikuwahujakaa sasa. Nakuomba Mwenyekiti.

MWENYEKITI: Mwongozo!

MHE. ALHAJ ABDALLAH M. BULEMBO: MheshimiwaMwenyekiti nakushukuru sana, mwongozo wangu ni Ibara ya68(7) nafikiri inaeleweka kwa yale yaliyotokea hapa asubuhi.

Mheshimiwa Mwenyekiti, mwongozo wangu ni wenyefaida. Hapa asubuhi tulipewa taarifa ya michezo ilivyofanyikapale Dar es Salaam. Tumepata dhahabu, shaba na mambomengi, lakini katika shughuli hiyo tumepiga makofi sanaimenisikitisha sana. Tunapokuwa tunashindana Kibunge inamaana tunawakilisha nchi. Mtu ameshinda amepatadhahabu kukimbia mita 800, 1500, kutembea haraka, mwishoni makofi. Nataka kuomba unipe mwongozo wako katikaBunge ni dhambi mtu akileta medali asipewe chochotekuanzia hata milioni mbili? Kuna kosa gani? (Makofi)

Mheshimiwa Mwenyekiti, katika nyongeza yangu juzipale Zanzibar, Zanzibar Herros wameshinda wameingia fainalimashindano ya Afrika Mashariki. Rais Shein amewaita paleIkulu na kila mchezaji akapewa kiwanja. Naomba Bunge hilituwape mkono wa ahsante walioshiriki mashindano haya.(Makofi)

Mheshimiwa Mwenyekiti, naomba mwongozo wako.(Makofi)

MWENYEKITI: Mheshimiwa Bulembo nikushukuru kwahilo, sina hakika kama kweli ulikuwa unataka mwongozo waKiti, kwa vile tukio hili ni tukio letu kama Bunge na umetoawazo zuri tu, acha tulichukue na uongozi wetu wa Bungeutaona ni jinsi gani tunavyoweza kutumia ushauri wakokuboresha shughuli zetu za michezo na hasa kwa hawawanaofanya vizuri katika michezo hii. Kwa hiyo, niishie hapo,

Katibu.

Page 72: BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE ...parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1518427837-30...kasi na gofu. Katika michezo hiyo, matokeo ya timu yetu ya Bunge la Tanzania yalikuwa

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

72

NDG. JOSHUA CHAMWELA – KATIBU MEZANI:

MISWADA YA SHERIA YA SERIKALI

Muswada wa Sheria ya Marekebisho ya Sheria Mbalimbali(Na.5) wa Mwaka 2017 yaani [The Written Laws(Miscellaneous Amendments) (No.5) Bill, 2017)

(Kusomwa Mara ya Pili)

MWENYEKITI: Mheshimiwa mtoa hoja, MheshimiwaMwanasheria Mkuu wa Serikali.

MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI: MheshimiwaMwenyekiti, kwa mujibu wa Kanuni 86 ya Kanuni za Kudumuza Bunge, Toleo la Januari 2016, naomba kutoa hoja kwambaMuswada wa Sheria Mbalimbali Na. 5 wa Mwaka 2017 [TheWritten Laws (Miscellaneous Amendments) (No.5) Bill, 2017]kama ulivyorekebishwa kwa mujibu wa jedwali lamarekebisho sasa usomwe mara ya pili na Bunge lako Tukufulijadili na hatimaye lipitishe Muswada huu kuwa sehemu yaSheria za Nchi.

Mheshimiwa Mwenyekiti, kabla ya kutoa maelezokuhusu Muswada huu, napenda kumshukuru kwanzaMwenyezi Mungu kwa kunijalia uhai na afya njema nakuniwezesha kuendelea kutekeleza majukumu yaMwanasheria Mkuu wa Serikali ndani na nje ya Bunge hili.Namshukuru Mwenyezi Mungu kwa kuniwezesha kusimamambele ya Bunge hili, siku ya leo kuwasilisha maelezo yaMuswada huu wa Sheria ya Marekebisho ya SheriaMbalimbali Na. 5 wa mwaka 2017.

Mheshimiwa Mwenyekiti, kwa kuwa huu ni Mkutanowa Kwanza tangu mwaka huu ulipoanza nakutakia wewemwenyewe Mheshimiwa Spika, Mheshimiwa Naibu Spika,Waheshimiwa Wenyeviti wa Bunge, Waheshimiwa Wabunge,Mawaziri na Naibu Mawaziri wote kheri ya mwaka mpya 2018.Mwenyezi Mungu aendelee kuwabariki na kuwaongozaipasavyo katika utekelezaji wa majukumu yenu.

Page 73: BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE ...parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1518427837-30...kasi na gofu. Katika michezo hiyo, matokeo ya timu yetu ya Bunge la Tanzania yalikuwa

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

73

Mheshimiwa Mwenyekiti, naomba kutumia fursa hiikumpongeza Mheshimiwa Dotto Mashaka Biteko, Mbungewa Jimbo la Bukombe kwa kuteuliwa na Mheshimiwa Raiswa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuwa Naibu Waziriwa Wizara ya Madini. Mwenyezi Mungu aendelee kumjaliahekima na busara katika utekelezaji wa majukumu yake yaNaibu Waziri. (Makofi)

Mheshimiwa Mwenyekiti, nawapongeza piaMheshimiwa Dkt. Damas Ndumbaro, Mbunge wa Jimbo laSongea Mjini, Mheshimiwa Justin Monko, Mbunge wa Jimbola Singida Kaskazini na Mheshimiwa Dkt. Stephen KisurwaMbunge wa Jimbo Longido, kwa kuchaguliwa na wananchiwa Majimbo yao na kisha kuapishwa kuwa Wabunge waBunge hili. Nawatakia mafanikio katika utekelezaji wamajukumu yao ya Kibunge kwa maslahi na manufaa yawananchi waliochagua pamoja na taifa kwa ujumla.(Makofi)

Mheshimiwa Mwenyekiti, nawapongeza piaWatumishi wote wa Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikalikwa kuendelea kutekeleza ipasavyo majukumu na kazi zaOfisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali. Licha ya changamotombalimbali tunatambua kuwa tuna wajibu wa kutekelezaipasavyo majukumu yetu kwa maslahi ya nchi.

Mheshimiwa Mwenyekiti, aidha, nawashukuruwananchi wote kwa kuendelea kutupatia ushirikiano kuanziaushauri, maombi, sala, dua, taarifa muhimu na kadhalika nahivyo kutusaidia katika utekelezaji wa majukumu ya Ofisi yaMwanasheria Mkuu wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano waTanzania.

Mheshimiwa Mwenyekiti, kuhusu Muswada wa Sheriaya Marekebisho ya Sheria Mbalimbali (Na. 5) wa Mwaka 2017[The Written Laws (Miscellaneous Amendments) (No.5) Bill,2017] ambao uko mbele ya Bunge lako Tukufu, napendakuishukuru Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Katiba na Sheriainayoongozwa na Mwenyekiti wake Mheshimiwa Mohamed

Page 74: BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE ...parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1518427837-30...kasi na gofu. Katika michezo hiyo, matokeo ya timu yetu ya Bunge la Tanzania yalikuwa

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

74

Omary Mchengelwa, Mbunge wa Rufij i na MakamuMwenyekiti Mheshimiwa Najima Mtaza Giga, Mbunge wa VitiMaalum kwa ushirikiano na ushauri waliotupatia wakati wakupitia muswada huu katika ngazi ya Kamati. (Makofi)

Mheshimiwa Mwenyekiti, Kamati hii ilifanya kazi nzuriya kuuchambua Muswada huu kusikiliza na kuchambuamaoni yaliyowasilishwa na Wadau walioitwa mbele yaKamati hiyo na kisha kuishauri Serikali namna ya kuuboreshaMuswada huu. Ushauri na maoni ya Kamati hiyovimezingatiwa ipasavyo na Serikali kama inavyoonekanakatika jedwali la marekebisho.

Mheshimiwa Mwenyekiti, aidha, kwa kuwa Kamati zaKudumu za Bunge zinafikia ukomo wake kwa mujibu waKanuni ya 116(7) ya Kanuni za Kudumu, Toleo la Januari 2016,napenda kutumia fursa hii kuipongeza na kuishukuru sanaKamati hiyo ya Katiba na Sheria kwa kazi nzuri na kubwawaliyoifanya wakati wa uhai wake ikiwemo kuchambua nakushauri ipasavyo Miswada ya Sheria. (Makofi)

Mheshimiwa Mwenyekiti, kupitia kamati hii Bunge lakoTukufu limeweza kutunga sheria mbalimbali. TunampongezaMwenyekiti wa Kamati Mheshimiwa Mohamed OmaryMchengelwa na Makamu Mwenyekiti wa KamatiMheshimiwa Najima Murtaza Giga, kwa uongozi bora pamojana Wajumbe wote wa Kamati kwa Kazi nzuri na ushirikianomkubwa kwa Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali. (Makofi)

Mheshimiwa Mwenyekiti, tunashukuru Kamati hiyo naKamati zote za Kudumu za Bunge kwa ushirikiano mzuriwalioipatia Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali katikautekelezaji wa majukumu yake. Tunazipongeza Kamati zoteza Kudumu za Bunge kwa kazi nzuri. Tunawatakia kila la kherina Mwenyezi Mungu aendelee kuwabariki katika maisha nautumishi wenu wa Bunge.

Mheshimiwa Mwenyekiti, Muswada wa Sheria yaMarekebisho ya Sheria Mbalimbali (Na.5) wa Mwaka 2017[The Written Laws (Miscellaneous Amendments) (No.5) Bill,

Page 75: BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE ...parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1518427837-30...kasi na gofu. Katika michezo hiyo, matokeo ya timu yetu ya Bunge la Tanzania yalikuwa

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

75

2017] unapendekeza kufanya marekebisho katika sheria nne.Lengo la marekebisho yanayopendekezwa ni kuboresha nakuimarisha utekelezaji wa Sheria hizo kwa kuondoa upungufuuliojitokeza wakati wa kuzitumia na kuongeza mashartimengine ili kuleta uwiano kati ya sheria zinazorekebishwana sheria zilizopo.

Mheshimiwa Mwenyekiti, masuala muhimuyaliyozingatiwa katika Muswada huu ni pamoja nakubadilisha vifungu vya sheria kwa kufuta baadhi vifungu vyasheria hizo na kuviandika upya. Kufuta baadhi ya manenokwenye vifungu vya sheria, kuingiza maneno mapya nakuongeza vifungu vipya.

Mheshimiwa Mwenyekiti, Sheria zinazopendekezwakurekebishwa kupitia Muswada huu ni kama ifuatavyo:-

(a) Sheria ya Ufilisi, Sura ya 25 (The Bankruptcy Act,Cap 25);

(b) Sheria ya Bajeti, Sura ya 439 (The Budget Act,Cap 439);

(c) Sheria ya Ardhi, Sura 113; (The Land Act, Cap113); na

(d) Sheria ya Utumishi wa Umma, Sura 298 (ThePublic Service Act, Cap 298).

Mheshimiwa Mwenyekiti, Muswada huuumegawanyika katika Sehemu kuu Tano, ambapo Sehemuya Kwanza inaainisha masharti ya utangulizi ambayoyanajumuisha jina la Muswada na tamko kuhusu marekebishoya sheria mbalimbali zinazopendekezwa kurekebishwakupitia Muswada huu.

Mheshimiwa Mwenyekiti, Sehemu ya Pili ya Muswadainapendekeza marekebisho katika sheria ya Ufilisi, Sura ya 25(The Bankrupt Act, Cap 25), ibara ya nne (4) ya Muswadainapendekeza marekebisho katika kifungu cha pili (2) cha

Page 76: BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE ...parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1518427837-30...kasi na gofu. Katika michezo hiyo, matokeo ya timu yetu ya Bunge la Tanzania yalikuwa

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

76

Sheria hiyo ya Ufilisi kwa kuongeza tafsiri ya maneno officialreceiver. Maneno hayo yametumika katika sheria hiyo ya Ufilisilakini yalikuwa hayajapewa tafsiri.

Mheshimiwa Mwenyekiti, kwa kuzingatia kuwaKabidhi Wasii Mkuu ndiye anayetekeleza majukumu ya officialreceiver na kwa kuwa Kabidhi Wasii Mkuu anateuliwa chiniya Sheria ya Mamlaka na Majukumu ya Kabidhi Wasii, Suraya 27(The Administrators General Powers and Functions Act,Cap 27), Muswada unapendekeza tafsiri ya maneno hayoiwe kama ifuatavyo:-

“Official Receiver means Administrator GeneralAppointed Pursuant to the Provision of the AdministratorGeneral Powers and Functions Act)”

Lengo la marekebisho hayo ni kuweka tafsiri yamaneno hayo ili kurahisisha utekelezaji wa Sheria ya Ufilisi.

Mheshimiwa Mwenyekiti, kifungu cha 74(2) cha Sheriaya Ufilisi kinaelekeza pamoja na mambo mengine kuwaOfficial Receiver na Deputy Official Receiver atateuliwa naWaziri mwenye dhamana ya Sheria. Kwa kuwa Muswadaumependekeza kuwa Official Receiver, Kabidhi Wasii Mkuuambaye anateuliwa chini ya Sheria ya Mamlaka yaUtekelezaji wa Majukumu ya Kabidhi Wasii, Jedwali lamarekebisho linapendekeza ya kifungu hicho kirekebishwekwa kuondoa masharti kuhusu uteuzi wa Official Receiverchini ya kifungu hicho.

Mheshimiwa Mwenyekiti, lengo la marekebisho hayani kufanya tafasiri ya neno Official Receiver ambayoinapendekezwa katika Muswada huu isipingane na mashartiya kifungu hicho cha 74(2) cha Sheria ya Ufilisi.

Mheshimiwa Mwenyekiti, Sehemu ya Tatu yaMuswada inapendekeza marekebisho katika Sheria ya Bajeti,Sura ya 439 (The Budget Act, Cap 439). Kifungu cha 21(2)cha Sheria hii ya Bajeti kinaainisha masharti kwamba mpangomwongozo wa bajeti ya Serikali uwasilishwe katika Mkutano

Page 77: BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE ...parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1518427837-30...kasi na gofu. Katika michezo hiyo, matokeo ya timu yetu ya Bunge la Tanzania yalikuwa

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

77

wa Bunge la Februari kila mwaka, au wiki ya kwanza baadaya Bunge kuitishwa iwapo hakuna Mkutano wa Bunge mwezihuo.

Kwa upande mwingine Kanuni ya 94(1)(2) ya Kanuniza Kudumu za Bunge, Toleo la Januari 2016, inaelekeza kuwaBunge katika Mkutano wake wa Mwezi Oktoba/Novembakwa kila mwaka litakaa kama Kamati ya Mpango kwa sikuzisizopungua tano ili kukidhi matakwa ya ibara ya 63(3)(c) yaKatiba ya Jamhuri ya Tanzania ya Mwaka 1977 kwa kujadilina kuishauri Serikali kuhusu mapendekezo ya utekelezaji waMpango wa Taifa unaokusudiwa kutekelezwa na Serikalikatika mwaka wa fedha unaofuata na pia kupokea kujadilina kutoa maoni na ushauri kuhusu mwongozo wa kuandaampango wa Bajeti ya Serikali.

Mheshimiwa Mwenyekiti, kwa sababu hiyo Ibara yasita (6) ya Muswada kama ilivyorekebishwa kupitia jedwali lamarekebisho inapendekeza kwamba kifungu hicho cha 2(1)cha Sheria ya Bajeti kirekebishwe kwa kuweka mashartikwamba mpango na mwongozo wa Bajeti ya Serikaliutawasilishwa katika Mkutano Bunge wa mwezi Oktoba auNovemba kwa kila mwaka.

Mheshimiwa Mwenyekiti, inapendekezwa pia kuwaiwapo mwezi Oktoba au Novemba itakuwa mwezi wauchaguzi mkuu basi Mpango na Mwongozo wa Bajetiuwasilishwe katika Mkutano wa Pili wa Bunge baada yauchaguzi Mkuu.

Mheshimiwa Mwenyekiti, lengo la marekebisho hayani kuoanisha masharti ya Sheria ya Bajeti ya yale ya Kanuniza Kudumu za Bunge, Toleo la Januari 2016 kuhusu muda wakuwasilisha mpango wa mwongozo wa bajeti katika Bungela Jamhuri ya Muungano na hivyo kuondoa mgongano ulioposasa hivi baina ya Sheria ya Bajeti na Kanuni za Kudumu zaBunge kuhusu jambo hilo na hivyo kuwezesha Sheria ya Bajetikutekelezwa kwa ufanisi ipasavyo.

Page 78: BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE ...parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1518427837-30...kasi na gofu. Katika michezo hiyo, matokeo ya timu yetu ya Bunge la Tanzania yalikuwa

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

78

Mheshimiwa Mwenyekiti, Sehemu ya Nne yaMuswada inapendekeza marekebisho katika Sheria ya Ardhi,Sura 113 (The Land Act, Cap 113). Sehemu ya 10 ya Sheriahiyo ya Ardhi inaainisha masharti kuhusu kutumia ardhi kupatamkopo yaani mortgage. Hata hivyo, Sheria hiyo ya Ardhihaijaainisha masharti kuhusu matumizi ya mkopounaopatikana kwa kuweka rehani hati ya kumiliki ardhi.

Kutokana na kukosekana kwa masharti hayo, baadhiya wamiliki wa ardhi wakiwemo Wawekezaji wamekuwahawatumii mikopo hiyo kuendeleza ardhi husika huku wamilikiwengine wakitumia mikopo waliyoipata kwa kuwekadhamana ardhi ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzaniakuwekeza nje badala ya kufanya uwekezaji huo hapa nchinina hivyo kusababisha ardhi waliyopewa kutoendelezwa nakutelekezwa.

Mheshimiwa Mwenyekiti, kutokana na upungufu huona kwa kuzingatia kuwa Ibara ya 27 ya Katiba ya Jamhuri yaMuungano inamtaka kila mtu katika Jamhuri ya Muunganokulinda maslahi ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, maliya mamlaka ya nchi na mali yote inayomikiwa kwa pamojana wananchi; na kutunza vizuri mali na mamlaka ya nchi naya pamoja na kuendesha uchumi wa Taifa kwa umakini kamawatu ambao ndio waamuzi wa hali ya baadaye ya Taifa hili,

Mheshimiwa Mwenyekiti, kwa kuwa sheria za “TheNatural Wealth and Resource Permanent and SovereignityAct 2017 na The Natural Wealth and Resources Contract(Review and Re-Negotiation of Unconscionable Terms Act2017” zinatambua ardhi kuwa ni moja ya maliasili na rasilimaliza nchi ambazo kila mtu ana wajibu wa kulinda na kuitunzakwa mujibu wa Ibara ya 27 ya Katiba, Ibara ya tisa (9) yaMuswada huu kama ilivyorekebishwa kupitia jedwali lamarekebisho inapendekeza kuongeza vifungu vipyavifuatavyo kuhusu masharti ya mkopo unaotokana nakuweka dhamana ya ardhi pamoja na masharti kuhusumatumizi ya mkopo huo.

Page 79: BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE ...parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1518427837-30...kasi na gofu. Katika michezo hiyo, matokeo ya timu yetu ya Bunge la Tanzania yalikuwa

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

79

(a) Kifungu kipya cha 120(A) Kamakilivyorekebishwa kupitia jedwali la marekebisho, kinaelekezakuwa mtu anaweza kutumia ardhi kama dhamana ya kupatamkopo kutoka benki au taasisi ya fedha ndani au nje ya nchikwa ajili ya kuendeleza ardhi husika au kwa ajili ya uwekezajimwingine.

Mheshimiwa Mwenyekiti, aidha, kifungu hichokinaelekeza kuwa iwapo ardhi husika itakuwa imeendelezwamkopo huo utapaswa kutumika kwa ajili ya kuendeleza zaidiardhi hiyo uwekezaji au kwa ajili ya matumizi mengine. Kwaupande mwingine kama ardhi inayowekwa rehani itakuwahaijaendelezwa au imeendelezwa kidogo mkopo huoutapaswa kutumika kwa ajili kuendeleza ardhi yote ausehemu ya ardhi husika.

Mheshimiwa Mwenyekiti, aidha, mmiliki wa ardhi yaanimkopeshwaji amepewa wajibu wa kuwasilisha kwa Kamishnawa Ardhi taarifa kuhusu namna mkopo husika ulivyoelekezwakatika kuendeleza ardhi iliyowekwa rehani. Taarifa hiyoitawasilishwa ndani ya miezi sita tangu mkopo husikakutolewa.

(b) Kifungu kipya cha 120(B) kamakilivyorekebishwa kupitia jedwali la marekebisho kinaelekezakuwa mkopo uliotolewa na Benki au taasisi ya fedha ya ndaniau nje kutokana na ardhi kuwekwa rehani utatumika kwaajili ya uwekezaji hapa nchini. Aidha, inapendekezwakwamba benki au taasisi ya fedha ya ndani au ya nje yanchi inayotoa mkopo unahusisha dhamana ya ardhiitapaswa kuwasilishwa kwa Kamishna wa Ardhi tamkokwamba mkopo husika unawekezwa katika Jamhuri yaJamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Mheshimiwa Mwenyekiti, marekebisho haya mbali yakutekeleza masharti ya ibara 27 ya Katiba na Sheria za “TheNatural Wealth and Resource Permanent and SovereignityAct, 2017 na The Natural Wealth and Resources Contract(Review and Renegotiation of Unconscionable Terms Act,2017, kwa kusimamia matumizi ya rasilimali ya ardhi

Page 80: BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE ...parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1518427837-30...kasi na gofu. Katika michezo hiyo, matokeo ya timu yetu ya Bunge la Tanzania yalikuwa

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

80

inayotolewa kama dhamana kupata mkopo yatasaidia piakuendeleza ardhi inayowekwa rehani na kukuza uwekezajinchini.

Mheshimiwa Mwenyekiti, kama inavyoonekana katikaJedwali la Marekebisho Muswada unapendekeza kifungukipya ya 120C cha Sheria ya Ardhi ambacho kinachowekamasharti kwamba masharti ya vifungu vipya vya 120A(2)(3)na 120B(1) hayatakuwa kwa wamiliki wa ardhi wenye hatiya kimila yaani wanaomiki ardhi kwa njia ya kimila. Lengo nikuweka bayana wigo wa utekelezaji wa mashartiyanayopendekezwa ili masharti haya yasitumike kwawananchi wa kipato cha chini hasa kwa maeneo ya vijijiniambao wanamiliki ardhi katika utaratibu wa kimila.

Mheshimiwa Mwenyekiti, kama inavyoonekana katikajedwali la marekebisho, Kifungu kipya cha 120 C kilichokuwakatika Muswada sasa kimeandikwa Kifungu kipya cha 120 D,Kifungu hicho kinaweka masharti kwamba ukiukwaji wamasharti wa Vifungu vipya vya 120A, 120 vya Sheria ya Ardhiutakuwa ni ukiukwaji wa masharti ya haki ya kumiliki nakutumia ardhi chini ya Kifungu cha 45(2) cha Sheria ya Ardhi.Kwa sababu hiyo, Ibara ya nane (8) ya Muswadainapendekezwa marekebisho kwa kile Kifungu cha 45(2) chaSheria ya Ardhi kwa kuongeza haya mpya ya (g) ambayoinaelekeza kuwa ukiukwaji wa Vifungu vya 120A na 120B vyaSheria ya Ardhi itakuwa ni moja ya sababu za kubatilisha hakiya kumiliki ardhi.

Mheshimiwa Mwenyekiti, lengo la mapendekezohaya ni kuhakikisha kuwa ni masharti ya Vifungu vya Sheria,Vifungu vya 120A na 120B yanatekelezwa ipasavyo.

Mheshimiwa Mwenyekiti, Muswada pia kupitia kupitiaJedwali la Marekebisho unapendekeza Kifungu kipya cha120E cha Sheria ya Ardhi, Kifungu hicho kwenye Muswadakilikuwa ni Kifungu cha 120D na kinaweka masharti kwambautaratibu wa utekelezaji wa Vifungu vya 120A na 120Bvinavyopendekezwa kupitia Muswada huu utaainishwa

Page 81: BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE ...parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1518427837-30...kasi na gofu. Katika michezo hiyo, matokeo ya timu yetu ya Bunge la Tanzania yalikuwa

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

81

katika Kanuni ambazo zitatungwa na Mheshimiwa Waziri.Lengo la mapendekezo haya ni kurahisisha utekelezaji borawa masharti ya Vifungu hivyo vipya vya 120A, 120B vya Sheriaya Ardhi kupitia masharti yatakayoainishwa katika Kanunihizo.

Mheshimiwa Mwenyekiti, kama inavyoonekana katikaJedwali la Marekebisho, marekebisho ya mwisho katika Sheriaya Ardhi ni kukihamisha Kifungu cha 120A kinachotajwa sasakatika Sheria hizi, kuwa Kifungu cha 120F. Lengo lamarekebisho hayo ni kuweka mtiririko mzuri wa usomaji waSheria hiyo kutokana na masharti ya vifungu vipyavilivyopendekezwa katika Sheria hiyo kupitia Muswada huu.

Mheshimiwa Mwenyekiti, Sehemu ya Tano, yaMuswada inapendekeza marekebisho katika Sheria yaUtumishi wa Umma, Sura 298 yaani The Public Service Act,Cap. 298. Ibara ya 12 ya Muswada huu kama ilivyorekebishwakupitia Jedwali la Marekebisho inapendekeza kuongezaKifungu kipya cha 25A ambacho kinaainisha masharti kuhusuumri wa kustaafu. Sheria ilivyo sasa haina masharti hayoisipokuwa umri wa kustaafu umetajwa katika Sheriazinazoanzisha Mifuko ya Hifadhi za Jamii.

Mheshimiwa Mwenyekiti, kwa kuwa Sheria hii ndiyoinayosimamia Utumishi wa Umma, kuna umuhimu wakuainisha umri wa kustaafu kwa Watumishi wa Umma ndaniya Sheria ya Utumishi wa Umma. Hivyo, Kifungu kipya cha25A kinachopendekezwa kupitia Muswada huu, kinaainishakwamba umri wa kustaafu kwa hiari kwa Watumishi wa Ummautakuwa kuanzia miaka 55 na kwamba umri wa kustaafu kwalazima utakuwa miaka 60.

Hata hivyo, uzoefu umeonesha kwamba Maprofesana Waadhiri Waandamizi wa Vyuo vikuu vya Umma pamojana Madaktari Bingwa wa binadamu wa Hospitali za Ummawamekuwa wakihitajika kuendelea kutoa huduma, utaalamna uzoefu wao licha ya kufikisha umri huo wa kustaafu nahivyo kulazimika kuajiriwa na Serikali kwa Mkataba. Hata

Page 82: BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE ...parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1518427837-30...kasi na gofu. Katika michezo hiyo, matokeo ya timu yetu ya Bunge la Tanzania yalikuwa

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

82

hivyo, hatua hiyo imekuwa ikiongeza gharama kubwa kwaSerikali.

Mheshimiwa Mwenyekiti, kwa sababu hiyo Muswadaunapendekeza kwamba umri wa kustaafu Maprofesa naWaadhiri Waandamizi wa Vyuo Vikuu vya Umma, pamojana Madaktari Bingwa wa binadamu wa Hospitali za Ummauwe miaka 60, kwa wale wanaostaafu kwa hiari na miaka 65kwa wale wanaostaafu kwa lazima. Marekebisho hayayatawezesha Serikali kuendelea kupata huduma, Wataalamna uzoefu wa watumishi hao na pia kupunguza gharamaambayo Serikali imekuwa ikiingia kwa kuwaajiri kwa Mikatabamara wanapostaafu.

Mheshimiwa Mwenyekiti, Kifungu kipya cha 25Bambacho kilikuwa kinapendekeza masharti kuhusu mamlakaya kubadilisha umri wa kustaafu yaani The Power to Alter Ageof Retirement kimefutwa kama kinavyoonekana katikaJedwali la Marekebisho.

Mheshimwa Mwenyekiti, baada ya maelezo haya nakwa mara nyingine tena nakushukuru sana kwa kunipatianafasi ya kuwasilisha maelezo haya, kuhusu Muswada waSheria ya marekebisho ya Sheria mbalimbali Na. 5 wa Mwaka2017 yaani (The Written Laws Miscellaneus Amendments)(No.5) Bill of 2017 na naomba Bunge lako Tukufu liujadili nakupitisha katika hatua ya kusomwa kwa Mara ya Pili na Maraya Tatu ili hatimaye uwe sehemu ya Sheria za nchi.

Mheshimiwa Mwenyekiti, naomba kutoa hoja.(Makofi)

WAZIRI WA ELIMU, SAYANSI NA TEKNOLOJIA:Mheshimiwa Mwenyekiti, naafiki.

MWENYEKITI: Ahsante. Hoja imeungwa mkono.Ahsanteni, nakushukuru sana Mheshimiwa MwanasheriaMkuu wa Serikali kwa wasilisho lako.

Page 83: BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE ...parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1518427837-30...kasi na gofu. Katika michezo hiyo, matokeo ya timu yetu ya Bunge la Tanzania yalikuwa

The Written Laws (Miscellaneous Amendments) (No.5) Act, 2017

83

ISSN O856 – 01001

THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA

SPECIAL BILL SUPPLEMENT

No. 7 19st October, 2017

to the Special Gazette of the United Republic of Tanzania No.7 Vol. 98 dated 19st October, 2017

Printed by the Government Printer, Dodoma by Order of Government

THE WRITTEN LAWS (MISCELLANEOUS AMENDMENTS) (N0.5)

ACT, 2017

ARRANGEMENT OF SECTIONS

Section Title

PART I

PRELIMINARY PROVISIONS

1. Short title.

2. Amendment of Certain Written Laws.

PART II

AMENDMENT OF THE BANKRUPTCY ACT,

(CAP.25)

3. Construction.

4. Amendment of section 2.

PART III

AMENDMENT OF THE BUDGET ACT,

(CAP.439)

5. Construction.

6. Amendment of section 21.

Page 84: BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE ...parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1518427837-30...kasi na gofu. Katika michezo hiyo, matokeo ya timu yetu ya Bunge la Tanzania yalikuwa

The Written Laws (Miscellaneous Amendments) (No.5) Act, 2017

84

PART IV

AMENDMENTS OF THE LAND ACT,

(CAP. 113)

7. Construction.

8. Amendment of Section 45.

9. Addition of new section 120A.

10. Amendment of section 120A.

PART V

AMENDEMENT OF THE PUBLIC SERVICE ACT,

(CAP.298)

11. Construction.

12. Amendment of Part V.

Page 85: BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE ...parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1518427837-30...kasi na gofu. Katika michezo hiyo, matokeo ya timu yetu ya Bunge la Tanzania yalikuwa

The Written Laws (Miscellaneous Amendments) (No.5) Act, 2017

85

NOTICE

_______

This Bill to be submitted to the National Assembly is published for general

information to the general public together with a statement of its objects and

reasons.

Dar es Salaam, JOHN W. H. KIJAZI

17th October, 2017 Secretary to the Cabinet

A BILL

for

An Act to amend certain written laws.

ENACTED by Parliament of the United Republic of Tanzania.

PART I

PRELIMINARY PROVISIONS

Short title 1. This Act may be cited as the Written Laws (Miscellaneous

Amendments) (No.5) Act, 2017. Amendment

of certain

written laws

2. The Written Laws specified in various Parts of this Act are

amended in the manner specified in their respective Parts.

PART II

AMENDMENT OF THE BANKRUPTCY ACT,

(CAP.25)

Construction

Cap. 25 3. This Part shall be read as one with the Bankruptcy Act,

hereinafter referred to as the “principal Act”.

Amendment

of section 2 4. The principal Act is amended in section 2, by inserting in its

appropriate alphabetical order the following new definition:

“Official Receiver” means the Administrator- General

appointed pursuant to the provisions of the

Page 86: BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE ...parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1518427837-30...kasi na gofu. Katika michezo hiyo, matokeo ya timu yetu ya Bunge la Tanzania yalikuwa

The Written Laws (Miscellaneous Amendments) (No.5) Act, 2017

86

PART IV

AMENDMENT OF THE LAND ACT,

(CAP. 113)

Constructio

n

Cap. 113

7. This Part shall be read as one with Land Act, hereinafter

referred to as the “principal Act”.

Amendmen

t of section

45

8. The principal Act is amended in section 45(2), by-

(a) deleting the “fulstop” appearing at the end of

paragraph (f) and substituting for it a “semicolon”;

(b) inserting immediately after paragraph (f) the

following new paragraphs: “(g) where there is contravention of section 120A or

120B.” Addition of

section

120A

9. The Principal Act is amended by adding immediately after

section 120 the following new sections:

“Mortgage

of Land 120A.-(1) Subject to the provisions of

this Act, a person may mortgage any land for

the purpose of obtaining money from the

local bank or financial institution for

developing his land or for any other

investment.

(2) Where a land mortgaged under

subsection (1) is undeveloped or

underdeveloped, the money obtained from

the local bank or financial institution shall be

utilized to develop part or whole of such

mortgaged land.

(3) A Mortgagor shall within six months

submit to the Commissioner information as to

Cap.27 Administrator- General (Powers and Functions) Act;”

PART III

AMENDMENT OF THE BUDGET ACT,

(CAP.439)

Construction

Cap.439 5. This Part shall be read as one with the Budget Act,

hereinafter referred to as the “principal Act”. Amendment

of section 21 6. The principal Act is amended in section 21, by deleting the

word “February” wherever it appears in subsection (2) and

substituting for it the words “October or November”.

Page 87: BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE ...parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1518427837-30...kasi na gofu. Katika michezo hiyo, matokeo ya timu yetu ya Bunge la Tanzania yalikuwa

The Written Laws (Miscellaneous Amendments) (No.5) Act, 2017

87

the manner in which the money obtained

from the mortgage is invested to develop the

mortgaged land.

Money to

be invested

in Tanzania

120B.-(1) Money obtained from a

mortgage from a local bank or financial

institution referred to under section 120A shall

be invested in Tanzania.

(2) Where the Mortgagor is a bank or

a financial institution, the Mortgagor shall

submit to the Commissioner a declaration

that the money obtained from the mortgage

is invested in Tanzania.

Non

compliance

under

mortgage

of land

120C. Failure to comply with the

requirements under sections 120A and 120B

shall constitute a breach of conditions of right

of occupancy provided for under section

45(2).

Procedure

relating to

mortgage

of land

120D. The procedure for

administration and enforcement of section

120A and 120B shall be prescribed in the

Regulations.

Amendmen

t of section

120A

10. The Principal Act is amended by redesignating the

contents of section 120A as contents of section 120D.

PART V

AMENDEMENT OF THE PUBLIC SERVICE ACT,

(CAP.298)

Constructio

n

Cap 298

11. This Part shall be read as one with the Public Service Act,

hereinafter referred to as the “principal Act”.

Amendmen

t of Part V 12. The principal Act is amended in Part V by inserting

immediately after the heading the following:

“Age of

retirement

of public

servant

25A.-(1) A public servant may retire

from the Service-

(a) in case of voluntary retirement

after attaining the age of fifty five

years; and

Page 88: BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE ...parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1518427837-30...kasi na gofu. Katika michezo hiyo, matokeo ya timu yetu ya Bunge la Tanzania yalikuwa

The Written Laws (Miscellaneous Amendments) (No.5) Act, 2017

88

(b) in case of compulsory retirement

after attaining the age of sixty

years.

(2) Notwithstanding subsection (1), a

professor or a senior lecturer of a public

university or a medical specialist of a public

hospital may retire from the Service -

(a) in the case of voluntarily

retirement, after attaining the

age of sixty years; and

(b) the term in the case of

compulsory retirement, after

attaining the age of sixty five

years .

(3) For the purposes of this section,

the term:

(a) “professor” includes an

associate professor; and

(b) “medical specialist” includes

any specialist above the

medical specialist.

Power to

alter age of

retirement

25B. The Minister may, in consultation

with the President and by order published in

the Gazette, alter the age of retirement of a

public servant in such a manner as he may

deem necessary, and every such alteration

shall take effect as if it were provided for in

this Act.”

______

OBJECTS AND REASONS

________

This Bill proposes to amend four laws namely, the Bankruptcy Act, Cap. 25,

the Budget Act, Cap.439, the Land Act, Cap 113 and the Public Service Act,

Cap.298.

The proposed amendments to the respective laws are intended to cure

the shortfalls occasioned during the implementation of the respective laws.

This Bill is divided into Four Parts. Part I deals with Preliminary Provisions

which includes the title of the Bill and the manner in which the laws proposed to

be amended, are amended in their respective Parts.

Page 89: BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE ...parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1518427837-30...kasi na gofu. Katika michezo hiyo, matokeo ya timu yetu ya Bunge la Tanzania yalikuwa

The Written Laws (Miscellaneous Amendments) (No.5) Act, 2017

89

Part II proposes to amend section 2 of the Bankruptcy Act, Cap. 25 by

inserting in its alphabetical order the definition of the term Official Receiver to

mean the Administrator General. This is due to the fact that all the functions of the

Official Receiver are performed by the Administrator General.

Part III proposes amendment to the Budget Act, Cap.439 whereby section

21(2) is amended by changing the time frame within which the Plan and Budget

Gridlines shall be laid before the National Assembly, which shall be October or

November of each year. The objective of the amendment is to harmonise the

time frame as that preferred under the Standing Orders of National Assembly, 2016

edition.

Part IV of the Bill proposes to amend the Land Act Cap, 113, whereas

section 45 is amended by adding provisions regarding default against mortgage

of land to considered as a ground for revocation of the right of occupancy.

Sections 120A, 120B and 120C are being added with the aim to allow any

loan obtained through mortgaging a piece of land in Tanzania to be used for the

development of the same parcel of land which has been used as a security. This

condition is only for undeveloped and underdeveloped land. This amendment is

intended to bind the occupier of the right of occupancy to be responsible and

give feedback on how he has procured the loan obtained through mortgage.

Further, this amendment also aims at making sure that moneys obtained from

mortgaging piece of land in Tanzania is strictly used to develop the same

mortgaged piece of land.

Through these amendments both local and foreign banks or financial

institutions are required to disclose information to the Commissioner for Lands to

ensure that the money borrowed through mortgage is actually invested on or

develop a particular mortgaged land within Tanzania. As a sanction, through

these amendments any loan obtained through mortgage and used for investment

outside Tanzania shall be invalid. Further, this amendment allows legislations to be

executed properly and to legitimize mortgages of rights of occupancy that have

been effected before introducing of these amendments.

Part V of the Bill proposes amendment to the Public Service Act, Cap. 298,

whereas a new section 25A is introduced with a view to provide for age of

retirement for public servants. The amendment further propound on a new

Scheme of retirement age for Public Universities professors, senior lecturer and

medical specialist in the public hospitals. This new scheme intends to extend the

voluntary retirement from the service of the above named categories to be sixty

years while the compulsory age is extended to sixty five years. The amendment

aims at implementing a recent decision of the government that changed

retirement age of professors, senior lecturers and medical specialist in public

Page 90: BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE ...parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1518427837-30...kasi na gofu. Katika michezo hiyo, matokeo ya timu yetu ya Bunge la Tanzania yalikuwa

The Written Laws (Miscellaneous Amendments) (No.5) Act, 2017

90

university and public hospitals. The extension of retirements to these categories will

address the shortage of professor and senior lecturers in public universities and

medical specialist in public hospitals. The extension will reduce the costs incurred

by the government for re-engaging retired professors, senior lecturers and medical

specialist under contract. The extension of retirement age will further afford more

time for professors and senior lecturer in public hospitals to serve the nation and

mentor young academician and medical officers.

______

MADHUMUNI NA SABABU

_______

Muswada huu unapendekeza kufanya Marekebisho katika Sheria

Mbalimbali Tano na ambazo ni Sheria ya Ufilisi, Sura ya 25 Sheria ya Bajeti Sura 439,

Sheria ya Ardhi, Sura ya 113, NA Sheria ya Utumishi wa Umma, Sura ya 238.

Mapendekezo ya marekebisho haya yalitokana na mapungufu mbalimbali

ya utekelezaji wa sheria hizo.

Muswada huu umegawanyiwa katika Sehemu Nne Sehemu ya Kwanza

inahusu masharti ya Utangulizi ambayo yanajumuisha, jina la Muswada na namna

ambavyo Sheria zinazopendekezwa kurekebishwa zitakavyorekebishwa ndani ya

Muswada huu.

Sehemu ya Kwanza inapendekeza kufanya marekebisho katika kifungu

cha 2 cha Sheria ya Ufilisi, Sura ya 25 kwa kupangilia mtiririko wa maneno ya

kialphabeti katika kifungu cha 2 na kutoa tafsiri ya neno Mpokezi MKuu kuwa na

maana ya neno Kabidhi Wasii Mkuu. Hii ni kutokana na ukweli kuwa shughuli zote

za “Mpokezi Mkuu” zinafanywa na “Kabidhi Wasii Mkuu” ambaye

anapendekezwa ateuliwe na Rais ili aweze kutekeleza majukumu mbalimbali ikiwa

ni pamoja na hili.

Sehemu ya Pili inapendekeza kufanya marekebisho katika kifungu cha

21(2) cha Sheria ya Bajeti, Sura ya 439 kwa kuandika upya muda wa kuwasilisha

Bungeni muongozo wa kuandaa mpango wa bajeti lengo la marekebisho hayo ni

kuondoa mkinzano na kuoanisha na muda uliorejewa katika kanuni za Bunge,

Kanuni ya 94(1) na (2) ya Kanuni hizo, toleo la 2016.

Sehemu ya Tatu inapendekeza kufanya marekebisho ya Sheria ya Ardhi,

Sura 113 ambapo kifungu cha 45 kimerekebishwa kwa kuongeza masharti ya

adhabu inayotokana na ukiukwaji wa masharti kwa mtu anayeweka dhamana ya

milki ya ardhi.

Page 91: BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE ...parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1518427837-30...kasi na gofu. Katika michezo hiyo, matokeo ya timu yetu ya Bunge la Tanzania yalikuwa

The Written Laws (Miscellaneous Amendments) (No.5) Act, 2017

91

Vifungu vya 120A, 120B na 120C navyo vimeongezwa ili kuwezesha fedha

zinazopatikana kutokana na mkopo uliyotolewa kwa dhamana ya milki ya ardhi

ya Tanzania zitumike kuendeleza sehemu au ardhi yote iliyowekwa rehani. Sharti

hili litahusu milki ambazo hazijaendelezwa. Aidha, marekebisho haya pia

yanakusudia kuweka wajibu kwa mkopaji na mkopeshaji kuwasilisha taarifa kwa

Kamishna wa Ardhi kuhusu fedha zilizopatikana kutokana na dhamana ya milki ya

ardhi zilivyowekezwa kwa ajili ya kuendeleza ardhi husika. Aidha, marekebisho

haya yanalenga pia kuweka wajibu kwa fedha zinazokopeshwa kutokana na

dhamana ya milki ya ardhi ya Tanzania ziweze kuwekezwa Tanzania.

Aidha, Benki na Taasisi za fedha za ndani na nje ya nchi nazo zinatakiwa

kuwasilisha kwa Kamishna wa Ardhi tamko kwamba fedha inayotolewa kutokana

na dhamana ya milki ya ardhi ya Tanzania zinawekezwa Tanzania. Kwa maudhui

ya marekebisho haya, uwekaji rehani milki ya ardhi katika Benki au Taasisi ya

Fedha za ndani au nje ya nchi ambazo fedha zinayopatikana haitawekezwa

Tanzania zitakuwa ni batili. Jambo jingine katika marekebisho haya ni kuwezesha

kutungwa kwa kanuni za utekelezaji wa masharti ya fungu hili na kuhalalisha

rehani za milki za ardhi zilizofanyika kabla ya marekebisho haya.

Sehemu ya Nne ya Muswada inapendekeza kufanya Marekebisho kwenye

Sheria ya Utumishi wa Umma, Sura ya 298 ambapo kifungu kipya cha 25A

kinapendekezwa kuongezwa kwa lengo la kuweka kwenye Sheria masharti ya

umri wa kustaafu kwa watumishi wa Umma, Masharti haya hayapo ndani ya

Sheria kwa sasa. Aidha, mapendekezo ya kuongeza kifungu kipya yanalenga

kuweka utaratibu mpya wa umri wa kustaafu kwa maprofesa na wahadhiri

waandamizi wa vyuo vikuu vya umma na madaktari bingwa wa magonjwa ya

binadamu wa hospitali za umma. Mfumo huu mpya unalenga kuongeza umri wa

kustaafu Utumishi wa umma kwa ridhaa kwa maprofesa na wahadhiri waandamizi

wa vyuo vikuu vya umma na madaktari bingwa wa magonjwa ya binadamu wa

hospitali za umma ili umri huo uweze kuwa ni miaka sitini kwa wale ambao

wanastaafu kwa hiari na kwa wale ambao wanastaafu kwa lazima iwe ni miaka

sitini na tano. Marekebisho haya yanalenga kutekeleza maamuzi ya Serikali

yanayolenga kuongeza umri wa kustaafu kwa maprofesa, wahadhiri waandamizi

wa madaktari bingwa wa binadamu kutoka vyuo vikuu vya umma na hospitali za

umma. Kuongeza umri kwa kada hizi kutapunguza gharama kwa Serikali ya

kuingia mikataba na wataalamu hawa mara tu wanapostaafu, na pia

kutaongeza muda kwa wataalamu, wengine kuweza kulitumikia Taifa kwa muda

mrefu zaidi na pia kusaidia kufundisha na kukuza wataalam wachanga walioko

nchini.

Dodoma, GEORGE M. MASAJU

16 Oktoba, 2017 Mwanasheria Mkuu wa Serikali

Page 92: BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE ...parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1518427837-30...kasi na gofu. Katika michezo hiyo, matokeo ya timu yetu ya Bunge la Tanzania yalikuwa

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

92

SCHEDULE OF AMENDMENT TO BE MOVED BY THE HON.

GEORGE M. MASAJU, THE ATTORNEY GENERAL, AT THE SECOND

READING OF A BILL ENTITLED “THE WRITTEN LAWS

(MISCELLANEOUS AMENDMENTS) (NO.5) ACT, 2017”

______________

(Made under S.O. 86(10)(b))

______________

A Bill entitled “the Written Laws (Miscellaneous Amendments) (No.5) Act, 2017” is generally

amended as follows:

A: By adding immediately after Clause 4 the following new Clause:

“Amendme

nt of section

74

5. The principal Act is amended in section 74 by deleting the

words “The official receiver and the” appearing at the beginning of

subsection (2) and substituting for them the article “The”.

B: By deleting Clause 6 and substituting for it the following:

“Amendme

nt of section

21

6. The principal Act is amended in section 21, by-

(a) deleting the words “by February” wherever they appear in

subsection (2) and substituting for them the words “in

October or November”;

(b) adding immediately after subsection (2) the following:

“(3) Notwithstanding subsection (2), where the

general election is scheduled to be held in the month of

October or November, the Minister may lay the Plan and

Budget Guidelines during the second meeting of the

National Assembly after the general election.”

(c) renumbering sections 3, 4 and 5 as sections 4, 5 and 6

respectively.

C: In Clause 7 by adding immediately after the word “with” appearing in the first line the

article “the”.

D: In Clause 9-

(a) by deleting the marginal note and substituting for it the following-

“Addition of new sections”;

(b) in the proposed section 120A, by-

(i) deleting the words “local bank or financial institution” appearing

in subsection (1) and substituting for them the words “local or

foreign bank, or local or foreign financial institution”;

(ii) deleting the proposed subsection (2) and substituting for it the

following:

“(2) The money obtained from the local or foreign

bank, or local or foreign financial institution shall, -

(a) where the mortgaged land is developed, be

utilized for further development of the land, for

investments or for other purposes; and

(b) where the mortgaged land is undeveloped or

underdeveloped, be utilized to develop part or

Page 93: BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE ...parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1518427837-30...kasi na gofu. Katika michezo hiyo, matokeo ya timu yetu ya Bunge la Tanzania yalikuwa

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

93

whole of such mortgaged land.”

(c) in the proposed section 120B, by -

(i) deleting the words “local bank or financial institution” appearing

in subsection (1) and substituting for them the words “local or

foreign bank, or local or foreign financial institution”;

(ii) deleting the proposed subsection (2) and substituting for it the

following:

“(2) Where the mortgagee is a local or foreign bank,

or local or foreign financial institution, the mortgagee shall

submit to the Commissioner a declaration that the money

obtained from the mortgage is invested in Tanzania.”

(iii) by adding immediately after subsection (3) the following:

“(4) For the purposes of this section-

“local bank” means any bank licensed by the Bank of

Tanzania to undertake the banking business in

Tanzania;

“local financial institution” means any entity licensed in

Tanzania to engage in the banking business, but limited

as to size, locations served, or permitted activities as

prescribed by the Bank of Tanzania or required by the

terms and conditions of its license”;

“underdeveloped” in respect of land, means a land which is not

developed in accordance with the conditions of relevant

rights of occupancy”;

“undeveloped” in respect of land, means a land without

improvement in, on, under or over such land or without any

change of substantial nature in the use of such land.”

(d) by adding immediately after the proposed section 120B the following:

““Scope of

applicatio

n

120C. The provisions of sections 120A (2), (3) and

120B(1) shall not apply to land held under the certificate of

customary right of occupancy”.

(e) by renumbering the proposed section 120C and 120D as sections 120D and

120E respectively.

E: In Clause 10, by re-designating section 120A as section 120F .

F: In PART V by deleting the word “AMENDEMENT” appearing in the Title and substituting for it

the word “AMENDMENT”.

G: In Clause 12 -

(a) in the proposed section 25A-

(i) by deleting the word “after” appearing in the proposed

subsection (1)(a) and (b) and substituting for it the word “upon”;

(ii) by deleting the word “after” appearing in the proposed

subsection (2)(a) and (b) and substituting for it the word “upon”;

(iii) in the proposed subsection (3), by-

(aa) deleting the word “specialist” appearing at the end

of paragraph (b) and substituting for it the word

“doctor”;

(bb) adding immediately after paragraph (b) the

following new paragraph:

Page 94: BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE ...parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1518427837-30...kasi na gofu. Katika michezo hiyo, matokeo ya timu yetu ya Bunge la Tanzania yalikuwa

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

94

Cap. 346

“(c) “public university” has the meaning ascribed to it under

the Universities Act.””.

(b) by deleting the proposed section 25B.

Dodoma, GMM

………………………, 2018 AG

Page 95: BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE ...parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1518427837-30...kasi na gofu. Katika michezo hiyo, matokeo ya timu yetu ya Bunge la Tanzania yalikuwa

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

95

MWENYEKITI: Tunaendelea na hatua inayofuata nikupokea maoni ya Kamati ya Bunge ya Katiba na Sheriakuhusu Muswada huu. Nani anawasilisha, Karibu Mwenyekiti.Mheshimiwa Mchengerwa karibu, una nusu saa lakini siolazima umalize muda wote.

MHE. MOHAMED O. MCHENGERWA – MWENYEKITI WAKAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA KATIBA NA SHERIA:Mheshimiwa Mwenyekiti, kwanza kabisa nichukue fursa hiikuwatakia heri ya Mwaka Mpya pamoja na kuwatakia afyanjema Viongozi wetu wote wa Kitaifa, Mheshimiwa Rais waJamhuri ya Muungano wa Tanzania, Makamu wa Rais, WaziriMkuu, Waheshimiwa Mawaziri, Waheshimiwa Wabunge waJamhuri ya Muungano, pamoja na watumishi wote wa Bungelako hili Tukufu.

Mheshimiwa Mwenyekiti, pili, nichukue nafasi hiikumshukuru sana Mwenyezi Mungu mwingi wa Rehemaambaye amenijalia mimi afya njema na kuniwezeshakusimama mbele ya Bunge lako hili Tukufu na kuwasilishataarifa hii ya Kamati kuhusu Muswada wa Sheria yaMarekebisho Mbalimbali Na. 5 ya Mwaka 2017.

Mheshimiwa Mwenyekiti, hii ni mara yangu ya mwishokufanya hivi katika kipindi cha takribani miaka miwili tokakuundwa kwa Kamati hii ya Katiba na Sheria ambayo Kikanuniimepewa jukumu kubwa sana la kujadili, kuchambuaMuswada wa Sheria zote za Marekebisho ya SheriaMbalimbali kabla hazijasomwa Bungeni kwa mara ya pili, yatatu na kupitishwa kuwa sheria rasmi za nchi.

Mheshimiwa Mwenyekiti, kwa sababu hii nakushukurusana wewe, nimshukuru Mheshimiwa Spika, nimshukuruMheshiwa Naibu Spika na Wenyeviti wengine wote kwakipekee kabisa Wajumbe wangu wa Kamati ya Katiba naSheria ambao wamefanya kazi hii kubwa kwa kujitoa sanana kwa weledi wa hali ya juu katika kuhakikisha kwambaSheria zote za Marekebisho ya Sheria Mbalimbalizinazopitishwa na Bunge hili zinakuwa ni nzuri na ubora wakimaudhui unaotakiwa na zinazokidhi matakwa Kikatiba,

Page 96: BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE ...parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1518427837-30...kasi na gofu. Katika michezo hiyo, matokeo ya timu yetu ya Bunge la Tanzania yalikuwa

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

96

Kisheria, Kikanuni na Misingi mbalimbali ya Sheria za Kimataifayaani International Law Principles. (Makofi)

Mheshimiwa Mwenyekiti, kwa mujibu wa Kanuni ya86(5) ya Kanuni za Kudumu za Bunge, Toleo la Januari, 2016.Naomba kuwasilisha maoni ya Kamati ya Kudumu ya Bungeya Katiba na Sheria kuhusu Muswada wa Sheria yaMarekebisho Sheria Mbalimbali Na. 5 wa Mwaka 2017 yaani(The Written Laws Miscellaneus Amendments)( No. 5) of 2017.

Mheshimiwa Mwenyekiti, kwa mujibu wa Kanuni ya84(1) ya Kanuni za Kudumu za Bunge, Tolea la 2016. Kamatiya Katiba na Sheria iliupokea Muswada huu tarehe 17Novemba, 2017 baada ya kusomwa Bungeni kwa mara yakwanza katika Mkutano wa Tisa wa Bunge hili ili iufanye kazina mnamo tarehe 17 Januari, 2018 Waziri wa Habari,Utamaduni, Sanaa na Michezo Mheshimiwa Dkt. HarrisonGeorge Mwakyembe kwa niaba ya mtoa hoja ambaye Waziriwa Katiba na Sheria Mheshimiwa Profesa ParamagambaJohn Aidan Mwaluko Kabudi pamoja na Waziri wa Ardhi,Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mheshimiwa William Lukuviwalifika mbele ya Kamati yangu iliyoketi hapa Dodoma nakutoa maelezo kuhusu malengo na madhumuni ya Muswadahuu wenye lengo la kufanya marekebisho mbalimbali katikaSheria husika na kwa madhumuni ya kuondoa upungufu amakasoro zilizojitokeza katika utekelezaji wa Sheria hizo.

Mheshimiwa Mwenyekiti, sheria zil izokusudiwakufanyiwa marekebisho katika Muswada huu ni kamaifuatavyo:-

(i) Sheria ya Ufilisi, Sura ya 25,(ii) Sheria ya Bajeti, Sura 439,(iii) Sheria ya Ardhi, Sura 413, na(iv) Sheria ya Utumishi wa Umma, Sura 238.

Mheshimiwa Mwenyekiti, kwa kuzingatia matakwa yaKanuni ya 84(2) ya Kanuni ndogo za Kudumu za Bunge hiliToleo la Januari, 2016 na kuzingatia matakwa ya Ibara ya 4ya Ibara ya 8 pamoja na Ibara ya 21 ya Katiba ya Jamhuri

Page 97: BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE ...parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1518427837-30...kasi na gofu. Katika michezo hiyo, matokeo ya timu yetu ya Bunge la Tanzania yalikuwa

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

97

ya Muungano iliyowapa wananchi nafasi ya kushiriki katikamasuala mbalimbali yanayowahusu. Kamati iliwaalikaWadau mbalimbali ili waweze kufika mbele ya Kamati nakutoa maoni yao kuhusu Muswada huu. Napenda kutumianafasi hii kuwashukuru kwa dhati kabisa Wadau wotewalioshiriki na kutoa maoni yao katika Muswada huu.Naomba kutambua mchango wa Wadau wafuatao:

(i) Chama cha Mawakili Tanganyika,(ii) Chama cha Wataalam wa Chuo Kikuu (UDOM) yaaniUDOMASA,(iii) Taasisi ya Sekta binafsi Tanzania,(iv) Jukwaa la Sera,(v) Chama cha Wataalam wa Sekta ya Benki Tanzania,(vi) Chama cha Madaktari Tanzani, na(vii) Chama cha Madaktari wa Meno Tanzania. (Makofi)

Mheshimiwa Mwenyekiti, malengo na madhumuni yaMuswada; maelezo ya jumla ya Muswada huu yapo katikataarifa ya mtoa hoja. Waziri wa Katiba na Sheria lakini piayamesomwa hapa na Mheshimiwa Mwanasheria Mkuu waSerikali mbele ya Bunge lako hili Tukufu. Malengo namadhumuni ya Muswada yaliyomo kwenye Muswadakuanzia Ukurasa wa saba mpaka wa 11na kwa faida ya mudanaomba nisirudie tena maelezo haya ya sehemu hii yote iingiekatika taarifa rasmi ya Bunge yaani Hansard.

Mheshimiwa Mwenyekiti, uchambuzi wa jumla waMuswada, pamoja na kwamba Muswada huu unaonekanani mfupi sana na usio na mambo mengi ukiutazama kwaharaka haraka lazima nikiri kwamba huu ni mmoja waMiswada ambayo Kamati yangu imetumia muda mwingi naumakini wa kutosha katika kuujadili na kuuchambua. Hii nikwa sababu ya uzito wa mapendekezo ya marekebishoambayo Serikali imekusudia kufanya katika Sheria ya Ardhi,Sura 113 na Sheria ya Utumishi wa Umma, Sura ya 238.

Mheshimiwa Mwenyekiti, Kamati ilichambua Vifungu12 vyote vya Muswada kwa kutazama usahihi wa Kimaudhui,Kisarufi na Kimuundo wa kila Kifungu kwa kulinganisha na

Page 98: BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE ...parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1518427837-30...kasi na gofu. Katika michezo hiyo, matokeo ya timu yetu ya Bunge la Tanzania yalikuwa

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

98

malengo na madhumuni ya Muswada pamoja na Sheriamama zinazofanyiwa marekebisho. Kamati pia katikauchambuzi huu il i j ir idhisha katika marekebishoyanayopendekezwa na Serikali yanaendana na Katiba yaJamhuri ya Muungano wa Tanzania Sheria nyingine za nchina matakwa Sheria na Mikataba ya Kimataifa.

Mheshimiwa Mwenyekiti, pamoja na maudhui yaSheria kwa ujumla wake Kamati ilitazama mchakato mzimawa marekebisho wa Sheria hizi na hasa kama walengwa auwatu wanaoguswa na marekebisho ya Sheria walishirikishwakatika kiwango cha kutosha na katika hatua za awali zamarekebisho za Sheria hizi kabla ya Muswada husikahaujasomwa Bungeni kwa mara ya kwanza tarehe 17Novemba, 2017.

Mheshimwa Mwenyekiti, baadhi ya Vifungu katikaMuswada huu havikuwa na mjadala wowote katika Kamatikwa sababu ni vifungu vya utangulizi na vya Muundo navisivyo na athari zozote katika Maudhuhi ya Msingi waMuswada. Kwa mfano Kifungu cha 1, 2, 3, 4, 5, 7 na cha 11.

Mheshimiwa Mwenyekiti, Vifungu vilivyohitaji mjadalampana kati ya Serikali na Kamati yangu ni Vifungu vya 8, 9na 10 vinavyohusiana na marekebisho ya Sheria ya Ardhi,Sura ya 113 na Kifungu cha 12 kinachohusiana namarekebisho ya Sheria ya Utumishi wa Umma Sura ya 238.

Mheshimiwa Mwenyekiti, Kamati ilikubaliana namapendekezo ya Serikali katika marekebishoyanayokusudiwa katika Sheria ya Ufilisi, Sura ya 25 namarekebisho yanayokusudiwa katika Sheria ya Bajeti, Sura439.

Mheshimiwa Mwenyekiti, katika Kifungu cha sita (6)cha Muswada ambacho kinarekebisha Kifungu cha 21(2)cha Sheria ya Bajeti. Kamati ilikubaliana na mapendekezoya Serikali kuwasilisha Bungeni Mwongozo wa Mpango waBajeti mwezi Oktoba na Novemba na badala ya mweziFebruari kama ilivyo sasa katika Sheria ya Bajeti ili kuendana

Page 99: BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE ...parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1518427837-30...kasi na gofu. Katika michezo hiyo, matokeo ya timu yetu ya Bunge la Tanzania yalikuwa

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

99

na muda uliotajwa katika Kanuni ya 94(1) na (2) ya Kanuni zaKudumu za Bunge Toleo la Januari, 2016 ambayo inasemakwamba Mwongozo wa Mpango wa Bajeti utawasilishwaBungeni katika Bunge la Oktoba na Novemba.

Mheshimwa Mwenyekiti, hata hivyo uzoefuumeonesha kwamba katika Mwaka uchaguzi wa Urais naBunge, hasa Bunge jipya linapoanza kipaumbele cha kwanzacha shughuli za Bunge sio kujadili Miongozo na Mapendekezoya Mpango wa Bajeti ya Serikali kwa Mwaka wa Fedhaunaofuata na badala yake mapendekezo hayo yamekuwayakiwasilishwa na kujadiliwa Bungeni katika Mkutano waBunge unaofuata. Kwa mantiki hii Kamati ilishauri Serikaliiongeze Kifungu kitakachosomeka kama ifuatavyo:-

“Notwithstanding the Provision of Subsection 2, TheProvision of Section 21 shall not apply during the electionyear.”

Kifungu hiki kitatoa nafasi kwa Bunge kuendelea nashughuli zenye kipaumbele cha kwanza wakati wa kuanzakwa Bunge jipya lolote mara tu baada ya uchaguzi ambapomasharti ya Kanuni ya 23 ya Kudumu za Kudumu za Bunge,Toleo la Januari, 2016 yatatumika.

Mheshimiwa Mwenyekiti, Kamati iliitaka Serikaliijielekeze tena katika Muundo, Maudhui, Malengo naMadhumuni ya Kifungu cha 8, 9 pamoja na 10 na 12 vyaMuswada ili kujiridhisha hasa na nia ya dhamira ya Serikaliyaani Legislative Intent katika marekebisho yanayokusudiwa.

Mheshimwa Mwenyekiti, kwa mfano katika Kifungucha nane (8) cha Muswada ambacho kimsingi kinampamadaraka zaidi Rais kufuta hati miliki ya ardhi kwa mtualiyevunja masharti ya Vifungu vipya vya 120A na 120B vyaSheria ya Ardhi chini ya Kifungu cha 45 cha Sheria mama.Kamati iliona kwamba hakuna haja kabisa ya kuongezasababu mpya katika Kifungu hiki kwa kuwa sababu zilizotajwakatika Sheria mama kuhusu uwezo wa Rais kufuta hati milikiya Ardhi kwa sababu za msingi na kwa maslahi ya umma

Page 100: BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE ...parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1518427837-30...kasi na gofu. Katika michezo hiyo, matokeo ya timu yetu ya Bunge la Tanzania yalikuwa

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

100

tayari zinajitosheleza, Kamati imeshauri kwamba Kifunguhicho kiondolewe.

Mheshimiwa Mwenyekeiti, katika Kifungu cha tisa (9)cha Muswada Kifungu kipya cha 120A Kamati ilihitajikufahamu maana ya maneno Local Bank kama ilivyotumikakatika muktadha wa Sheria hii na kama Benki za nje ya nchizinaruhusiwa kutoa mkopo wa namna hiyo kwa kupokea hatiza mali zilizowekwa rehani kwa sababu kifungu hiki ukikisomakama kilivyo hakihitaji benki za nje yaani Foreign Banks, lakinipia hakizuii benki za nje kutoa mikopo kwa utaratibuunaotajwa.

Mheshimwa Mwenyekiti, katika Kifungu kipya cha120A(2), Kamati i l ihitaji kufahamu tafsiri ya manenoundeveloped na underdeveloped kama yalivyotumika katikaSheria hii na upenyo ulioachwa Kisheria yaani loophole kwamkopaji kutumia sehemu ya huo mkopo au mkopo wotekuendeleza ardhi iliyowekwa rehani. (Makofi)

Mheshimwa Mwenyekiti, Kamati ilikubaliana namasharti ya Kifungu cha 120A(3) cha Muswada kilichotamkaaliyeweka ardhi rehani kwa ajili ya kuombea mkopo yaaniMortgager kuwasilisha kwa Kamishna wa Ardhi taarifa ndaniya miezi sita kuhusu namna ambavyo fedha iliyopatikana kwamkopo kwa kutumia ardhi iliyoweka wa rehani imetumikakuendeleza ardhi husika. Kamati inaamini kwamba Kifunguhiki kitaleta uwajibikaji kwa mkopaji na wakopaji wote nakitalinda ardhi ya Tanzania na kuifanya iendelezwe kwamujibu wa masharti yaliyowekwa kisheria na kiutaratibu.

Mheshimiwa Mwenyekiti, katika Kifungu kipya cha120B(1) ambacho kinatoa sharti la mkopaji kutumia fedhailiyopatikana na kuweka ardhi rehani kwa kuwekezaTanzania. Kamati iliona kwamba kifungu hiki kinawabanawawekezaji wa Kitanzania ambao wana nia na uwezo wakuwekeza nje ya mipaka ya Tanzania hasa kwa ukanda waKusini Kati na Mashariki mwa Afrika. Kamati ilishauri Serikalikuandika tena hiki kifungu ili kutoa fursa kwa Watanzania

Page 101: BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE ...parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1518427837-30...kasi na gofu. Katika michezo hiyo, matokeo ya timu yetu ya Bunge la Tanzania yalikuwa

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

101

wenye uwezo wa kuwekeza nje ya Tanzania kwa njia halalikufanya hivyo.

Mheshimiwa Mwenyekiti, katika Kifungu cha 120B(2)Kamati ilijiridhisha kwamba kulikuwa na makosa makubwaya kimaudhui ambayo kama yakiachwa yanaweza kuharibumaana iliokusudiwa yaani intent na ile Mortgagor yaaniborrower ambalo limetumika katika Kifungu hiki limetumikakimakosa na badala yake neno halisi, sahihi ilipaswa kuwaMortgagee yaani lender ndiyo neno sahihi iliyotakiwakutumika ili kuleta tafsiri sahihi inayokusudiwa ambayo inatoasharti kwa Taasisi za Fedha za Kibenki kuwasilisha kwaKamishna wa Ardhi taarifa kwamba fedha iliyotolewa kwaardhi iliyowekwa rehani imetumika katika uwekaji hapaTanzania. Serikali ilikubaliana na ushauri wa Kamati nakutumia neno Mortgagee katika Jedwali la Marekebisho yaSerikali iliyoandaliwa na Mheshimiwa Mwanasheria Mkuu waSerikali.

Mheshimiwa Mwenyekiti, katika Kifungu kipya cha120C ambacho kinatoa sababu ya kufutwa kwa Hati Milikiya Ardhi endapo mmiliki ameshindwa kufuata masharti yaKifungu kipya cha 120A na B cha Sheria ya Ardhi Kamatiilishauri Serikali kutazama kwa upana hatma ya Mabenki naTaasisi ya kifedha ambayo yalitumia Hati hizo katikadhamana. Endapo Hati hizo zitafutwa chini ya Kifungu hikina endapo Sheria haitaweka utaratibu wa mabenkikurudishiwa fedha zao, basi benki na Taasisi za Kifedhazitapoteza fedha nyingi na pengine zikaacha kabisa kutoamikopo kwa sababu ya kuogopa kupata hasara kubwa hasakatika muktadha wa Kifungu kinachopendekezwa.

Mheshimiwa Mwenyekiti, sehemu ya Tano, yaMuswada huu, iliruhusu marekebisho yanayopendekezwakatika Sheria ya Utumishi wa Umma, Sura 298 katika sehemuhii Kamati ilihitaji maelezo ya kina kutoka Serikalini ili kuelewasababu za msingi za Serikali kupendekeza kuongeza umri wahiari na wa lazima kwa wastaafu na Maprofesa WaadhiriWaandamizi kwa upande mmoja na Madaktari Bingwa kwa

Page 102: BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE ...parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1518427837-30...kasi na gofu. Katika michezo hiyo, matokeo ya timu yetu ya Bunge la Tanzania yalikuwa

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

102

upande mwingine kutoka miaka 55 hadi miaka 60 kwa hiarina kutoka miaka 60 mpaka miaka 65 kwa lazima.

Mheshimiwa Mwenyekiti, katika maelezo ya Serikaliilionekana kwamba kuna uhitaji mkubwa wa Waadhiri,Maprofesa na Madaktari Bingwa nchini na kwambagharama ya kuwatumia Madaktari hawa kwa utaratibu wakuwapa Mikataba ya miaka miwili miwili mara tu baada yakustaafu ni kubwa kwa nchi na kwamba kama muda wakustaafu ukiongezwa kwa kada hizi Serikali itaweza kuokoamamilioni ya fedha yanayolipwa kwa mkupuo yaani gratuity.Wastaafu wa kada hizi ambao wapo kazini kwa Mikatabamifupi mifupi baada ya kustaafu.

Mheshimwa Mwenyekiti, baada ya kutafakari kwakina hoja za Serikali na kusikiliza kwa umakini hoja za Wadaumbalimbali waliokuja kwenye Kamati na hasa Chama chaMadaktari Tanzania, Chama cha Madaktari wa KinywaTanzania pamoja na Jukwaa la Sera, Chama cha MawakiliTanganyika na Chama cha Wataalam kutoka Chuo Kikuu(UDOM), Kamati iliona ni vema Serikali ikawashirikishawalengwa wa marekebisho haya kwa kina ili iweze kutungaSheria inayokidhi maslahi ya walengwa wote katika upanawake.

Mheshimiwa Mwenyekiti, kutokana na uzito wa sualahili hata baada ya Kamati kumaliza vikao rasmi vyauchambuzi wa Muswada huu jitihada zimekuwa zikiendeleakati ya Kamati na Serikali katika kupata muafaka katikamaudhui ya Kifungu hiki na hasa kwa kushirikisha walengwawote wanaoguswa na Kifungu hiki na kwa kuzingatia maoniya Wahadhiri na Madaktari vijana kwa upande mmoja naMaprofesa na Madaktari Bingwa wazee ambaowameshafika umri wa kustaafu wa miaka 60 na ambaowanaendelea kufanya kazi kwa Mikataba kwa upandemwingine.

Mheshimiwa Mwenyekiti, Kamati ilikutana na Serikalitena tarehe 29 Januari, 2018 ili kupata maelezo ya kina kuhusunia na malengo ya mapendekezo ya marekebisho ya Sheria

Page 103: BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE ...parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1518427837-30...kasi na gofu. Katika michezo hiyo, matokeo ya timu yetu ya Bunge la Tanzania yalikuwa

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

103

hii, uchambuzi wa kitakwimu kuhusu mapendekezo haya nanamna jinsi ambavyo Serikali imejipanga kukabiliana naupungufu wa Maprofesa, Waadhiri kwa upande mmojapamoja na Madaktari Bingwa kwa upande mwingine. Serikaliilitoa maelezo ya kina iliyoishawishi Kamati kwa hoja yakukubaliana na marekebisho yanayopendekezwa na Serikalikatika Kifungu kipya cha 12.

Mheshimiwa Mwenyekiti, pendekezo hili la Serikalilinafanana na umri wa kustaafu ulivyo katika nchi nyinginekwa kada za Maprofesa. Kwa mfano Maprofesa na WaadhiriWaandamizi wa nchi za Kenya wanastaafu Kisheria katikaumri wa miaka 70. Halikadhalika Nigeria, Botswana pia miaka70, pia Zimbabwe, Sudan miaka 65 na nchi kama Uingereza,Ujerumani na Marekani. Maprofesa hawana umri wakustaafu. Ukomo wa Maprofesa kustaafu katika nchi hiziunapimwa na ujuzi, uwezo pamoja na ubobevu katika eneolake.

Mheshimiwa Mwenyekiti, katika Kifungu kipya cha25A(2)(b) Kamati ilishauri neno tamu lililotumika katika sentensihii lifutwe, kwa sababu halina mantiki yoyote ya Kimuundona mantiki na sentensi inayosomeka after attaining the ageof 65 years isomeke upon attaining the age of 65 years ilikuleta maana iliyo bora kisarufi.

Mheshimiwa Mwenyekiti, Kamati haikuona haja yakuwa na Kifungu kipya cha 25B katika Muswada huuambacho kinampa Waziri wa Utumishi kwa kushirikiana naRais mamlaka yaani discretionary powers kubadili umri wakustaafu kwa Mtumishi wa Umma kama ataona ni sawakufanya hivyo. Kwa maoni ya Kamati Kifungu hiki kinawezakutumika vibaya na Waziri na hasa kwa sababu mfanyakazihusika hapewi nafasi ya kushirikishwa katika maamuzi haya.

Mheshimiwa Mwenyekiti, naomba nirejee Kamatihaikuona haja ya kuwa na Kifungu kipya cha 25B katikaMuswada huu ambacho kinampa Waziri wa Utumishi kwakushirikiana na Rais Mamlaka yaani discretionary powerskubadili umri wa kustaafu kwa Watumishi wa Umma kama

Page 104: BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE ...parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1518427837-30...kasi na gofu. Katika michezo hiyo, matokeo ya timu yetu ya Bunge la Tanzania yalikuwa

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

104

ataona ni sawa kufanya hivyo kwa maoni ya Kamati Kifunguhiki kinaweza kutumika vibaya na Waziri husika na hasa kwasababu mfanyakazi husika hapewi nafasi ya kushirikishwakatika kufanya maamuzi haya.

Mheshimiwa Mwenyekiti, nimshukuru MheshimiwaMwanasheria Mkuu wa Serikali pamoja na Serikali kuafikianana Kamati na kwamba Kifungu hiki kimefutwa.

Mheshimiwa Mwenyekiti, Serikali ilipewa nafasi yakushiriki katika mchakato wa kupokea maoni ya Wadauwaliofika kutoa maoni yao kuhusu maeneo mbalimbali yaMuswada kujadili na kuchambua hoja mbalimbali za Wadauwa Kamati kuhusu Muswada huu na kutolea ufafanuzi wamaelezo yanayohitaji ufafanuzi zaidi.

Mheshimiwa Mwenyekiti, tarehe 23 Januari, 2018,Mtoa hoja Waziri wa Katiba na Sheria pamoja na Waziri waArdhi walifika mbele ya Kamati kwa niaba ya Serikali kujibuhoja mbalimbali za Kamati kuhusiana na Muswada huu.

Mheshimiwa Mwenyekiti, yapo maeneo mengiambayo Serikali ilikubali maoni na mapendekezo ya Kamatina kuyaweka kwenye Jedwali la Marekebisho kamailivyowasilishwa na Mtoa hoja katika Bunge lako hili TukufuMheshimiwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali. Yapo maeneomengi ambayo Serikali iliyatolea maelezo na Kamati kuelewavema kabisa kuhusu nia ya Serikali katika Muswada huu.Niishukuru Serikali kwa kuwa sikivu.

Mheshimiwa Mwenyekiti, kwa mujibu wa Kamati naSerikali vilifikia muafaka katika maeneo mengi na hasasababu za Serikali ya kuboresha maeneo yote yaliyokuwana utata katika mapendekezo ya sheria hususani katika tafsiriya maneno Local Bank, undeveloped na underdevelopedLand kama yalivyotumika katika muktadha wa Sheria.

Mheshimiwa Mwenyekiti, baada ya kuelezauchambuzi wa Kamati kwa kina na mchakato uliotumika

Page 105: BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE ...parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1518427837-30...kasi na gofu. Katika michezo hiyo, matokeo ya timu yetu ya Bunge la Tanzania yalikuwa

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

105

katika uchambuzi wa Muswada huu, naomba sasa nijielekezekatika maoni na ushauri wa Kamati kuhusu Muswada huu.

Mheshimiwa Mwenyekiti, Maoni na ushauri wa Kamati,utungwaji wa Kanuni husika kwa ajili ya utekelezaji wa Sheriahii. Kifungu cha 120D cha Muswada kinasema kwambautekelezaji wa Kifungu kipya cha 120A na 120B cha Muswadautafanyika kwa mujibu wa taratibu zitakazowekwa katikaKanuni. Uzoefu unaonesha kwamba, Taasisi nyingi za Serikalizimekuwa zinachelewa sana katika utengenezaji wa Kanunihizi. Kamati inaiagiza Wizara ya Ardhi na Maendeleo yaMakazi kutengeneza kwa haraka Kanuni zote zinazogusautekelezaji wa Sheria hii na hasa vifungu vipya vilivyohusika.

Mheshimiwa Mwenyekiti, Kamati inatoa angalizo kwaWizara ya Ardhi kwamba hata katika utengaji wa KanuniWadau wanaoguswa na kanuni hizo wana haki ya Kikatibakushirikishwa katika utengenezaji wa Kanuni hizo na kwambamchakato huo uwe ni shirikishi na ufanyike kwa wazi.

Mheshimiwa Mwenyekiti, Ushirikishwaji wa ujumla waWadau, katika kupokea na kuchambua maoni ya Wadaukatika Muswada huu Kamati iligundua kwamba Wadauhawakushirikishwa kabisa katika mchakato wa marekebishohaya. Kama walishirikishwa basi kiwango cha ushirikishwajiwa Wadau kilikuwa kidogo sana. Kamati inazikumbushaWizara na Taasisi zote za Serikali kwamba hata katika Sheriaya Marekebisho ya Sheria mbalimbali suala la kuwashirikishaWadau ni wajibu wa Kikatiba na Watunga Sera na Sheria zanchi chini ya Ibara ya 8(d) pamoja na Ibara 21(2) ya Katibaya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Mheshimiwa Mwenyekiti, uelewa mpana wa Sheriazinazofanyiwa marekebisho. Kwa kuwa Kamati ya Sheria naKatiba ina jukumu la kujadili na kuchambua Miswadambalimbali ya Marekebisho ya Sheria Mbalimbali kisekta, kaziya Kamati hii imekuwa ni mtambuka yaani multi Sectoral.Kwa muktadha huu ni vema Wizara na Taasisi zotezinazokusudia kufanya au kuleta mapendekezo yamarekebisho ya Sheria zote za kisekta kutoa mafunzo mahsusi

Page 106: BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE ...parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1518427837-30...kasi na gofu. Katika michezo hiyo, matokeo ya timu yetu ya Bunge la Tanzania yalikuwa

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

106

kwa Wajumbe wa Kamati ya Katiba na Sheria ili kujengauelewa mpana wa Wajumbe kuhusu maeneoyanayokusudiwa kurekebishwa. Hii italeta urahisi kwaWajumbe wa Kamati katika kujadili na kuchambua Muswadahusika.

Mheshimiwa Mwenyekiti, Mapitio ya Sheria nyinginezinazogusa Sheria hii, marekebisho yanayofanyika katikaMuswada huu na hasa yale yanayogusa Sheria ya Ardhi, Sura113 yanaweza kuwa na athari katika utekelezaji wa Sherianyingine za nchi katika sekta husika. Kwa mfano, katikaJedwali la Marekebisho linaloletwa na Serikali maana ya nenoLocal Bank limetafsiriwa kuwa na maana inayoelezwa katikaSheria ya Mabenki ya Taasisi za Fedha ya mwaka 2006pamoja na Sheria ya Benki Kuu ya Tanzania mwaka 2006.Hata hivyo, katika Sheria hizo zote mbili tafsiri ya neno LocalBank haipo.

Mheshimiwa Mwenyekiti, Kamati inaishauri kwambaneno hili lipewe tafsiri ya kuandikwa kabisa yaani express legaldefinition katika Sheria tajwa au Sheria ya Ardhi ili kuondoamkanganyiko unaoweza kujitokeza katika utekelezaji waSheria hizo. Serikali itengeneze mikakati endelevu katikakutatua tatizo la upungufu wa Madaktari bingwa naWahadhiri wa Vyuo Vikuu.

Mheshimiwa Mwenyekiti, uamuzi wa Serikali kuongezaumri wa kustaafu kwa Maprofesa, Wahadhiri Waandamizikatika Vyuo Vikuu vya Madaktari Bingwa ni uamuzi wenyemsingi na ni uamuzi wa Kikatiba kwa mujibu wa Ibara ya 13(5)ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka1977 ambayo inahusu Serikali kuchukua hatua za makusudizenye lengo la kurekebisha matatizo mahsusi katika jamiiyaani affirmative actions. Hata hivyo ili kukabiliana na pengohili la ujuzi wa kada hizi yaani skill gaps Kamati inaishauri Serikalikuwa na mkakati endelevu wa kuhakikisha kwamba nchihaina pengo la Maprofesa, Wahadhiri Waandamizi naMadaktari Bingwa ili kuepusha kufanya marekebisho yaSheria ya mara kwa mara ambayo inaweza kutoa tafsiri yakibaguzi kwa kada nyingine za Utumishi wa Umma.

Page 107: BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE ...parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1518427837-30...kasi na gofu. Katika michezo hiyo, matokeo ya timu yetu ya Bunge la Tanzania yalikuwa

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

107

Mheshimiwa Mwenyekiti, hitimisho, Kwa maranyingine tena naomba nimshukuru sana Mheshimiwa Spikakwa kutoa kibali ili Kamati yangu ya Katiba na Sheria iwezekufanya uchambuzi wa Muswada huu.

Mheshimiwa Mwenyekiti, naomba niwatambue nakuwashukuru Wadau mbalimbali waliofika na kutoa maonana ushauri wao kwa Kamati ambao umesaidia kupatikanakwa taarifa hii.

Mheshimiwa Mwenyekiti, kwa namna ya kipekeekabisa naomba niwashukuru Wajumbe wa Kamati ya Katibana Sheria kwa kazi nzuri iliyotukuka na waliyofanya katikauchambuzi wa Muswada huu ya Marekebisho ya SheriaMbalimbali toka kuundwa kwa Kamati hii miaka miwiliiliyopita.

Mheshimiwa Mwenyekiti, kipekee Kamati inamshukurusana aliyekuwa Katibu wa Bunge, Dkt. Thomas Kashililah kwaushirikiano mkubwa alioutoa kwenye Kamati katika utumishiwake katika Bunge hili. Kamati yangu inamtakia utumishimwema katika nafasi yake mpya ya Naibu Katibu MkuuWizara ya Kilimo. (Makofi)

Mheshimiwa Mwenyekiti, naomba majina yawajumbe wote walioshiriki katika uchambuzi wa Muswadahuu yaingizwe kwenye Taarifa Rasmi za Bunge yaani Hansard.

Mheshimiwa Mwenyekiti, nawashukuru watumishiwote wa Ofisi ya Bunge hususani Katibu wa Bunge NduguSteven Kagaigai pamoja na uongozi, kwa uongozi thabitiambao umerahisisha utendaji kazi wa Kamati hii. Aidha,nimshukuru sana Mkurugenzi wa Idara za Kamati za BungeNdugu Athumani Hussein, Mkurugenzi Msaidizi NduguAngelina Sanga, Mkurugenzi wa Idara za Sheria, Ndg. PiusMboya, Mkurugenzi wa Idara ya Taarifa Rasmi za Bunge yaaniHansard Ndugu Hanifa Masaninga na Makatibu wote waKamati.

Mheshimiwa Mwenyekiti, kipekee kabisa nimshukurusana Katibu wetu wa Kamati Ndugu Danford Mpelumbe

Page 108: BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE ...parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1518427837-30...kasi na gofu. Katika michezo hiyo, matokeo ya timu yetu ya Bunge la Tanzania yalikuwa

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

108

ambaye alikuwa akifanya kazi usiku kucha kuhakikishakwamba taarifa hii inakamilika kwa wakati, Ndugu RehemaKipera, Ndugu Thomas Shawa, Msaidizi wa Kamati NduguRahel Masima kwa kuiwezesha Kamati kutekeleza majukumuyake ipasavyo na kuhakikisha kwamba taarifa hii inakamilikakwa wakati.

Mheshimiwa Mwenyekiti, naomba kuwasilisha.(Makofi)

MWENYEKITI: Asante Mheshimiwa MwenyekitiMchengerwa, tunakushukuru sana kwa taarifa yako yaKamati yako.

MAONI NA USHAURI WA KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YAKATIBA NA SHERIA KUHUSU MUSWADA WA SHERIA YA

MAREKEBISHO YA SHERIA MBALIMBALI, (NA. 5) WA MWAKA2017, THE WRITTEN LAWS (MISCELLANEOUS AMENDMENTS)BILL, NO. 5 OF 2017 – KAMA YALIVYOWASILISHWA MEZENI

_______________________________

1.0 UTANGULIZI

1.1 Mheshimiwa Spika, Kwanza kabisa napenda kutumianafasi hii kumshukuru mwenyezi Mungu kwa kunipa afya nauzima hata kuweza kusoma Taarifa hii ya Kamati kuhusuMuswada wa Sheria ya Marekebisho mbalimbali, Na. 5 waMwaka 2017. Hii ni mara ya mwisho kufanya hivi katika kipindicha takribani miaka miwili toka kuundwa kwa Kamati hii yaKatiba na Sheria ambayo Kikanuni imepewa jukumu kubwasana la kujadili na kuchambua Miswada ya Sheria zote zaMarekebisho ya Sheria mbalimbali kabla hazijasomwaBungeni kwa mara ya pili na ya tatu na kupitishwa kuwaSheria rasmi za nchi.

1.2 Mheshimiwa Spika,kwa sababu hii nakushukuru sanawewe mwenyewe, mheshimiwa naibu spika, wenyeviti wotewa Bunge na kwa upekee kabisa,wajumbe wote wa Kamatihii ya Katiba na Sheria ambao wamefanya kazi hii kubwakwa kujitoa sana na kwa weledi wa hali ya juu katika

Page 109: BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE ...parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1518427837-30...kasi na gofu. Katika michezo hiyo, matokeo ya timu yetu ya Bunge la Tanzania yalikuwa

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

109

kuhakikisha kwamba Sheria zote za Marekebisho ya SheriaMbalimbali zinazopitishwa na Bunge ili zinakua na ubora wakimaudhui unaotakiwa na zinazokidhi matakwa ya Kikatiba,Kisheria, Kikanuni na Misingi mbalimbali ya Sheria za Kimataifa(International Law principles).

1.3 Mheshimiwa Spika, kwa mujibu wa Kanuni ya 86 (5)ya Kanuni za Kudumu za Bunge, Toleo la Januari, 2016,naomba kuwasilisha Maoni ya Kamati ya Kudumu ya Bungeya Katiba na Sheria, kuhusu Muswada wa Sheria yaMarekebisho ya Sheria Mbalimbali Na. 5 wa Mwaka 2017 [TheWritten Laws (Miscellaneous Amendment) (No.5) Act of 2017.

1.4 Mheshimiwa Spika, Kwa mujibu wa Kanuni ya 84 (1)ya Kanuni za Kudumu za Bunge, 2016 Kamati ya Katiba naSheria iliupokea Muswada huu Tarehe 17 Novemba, 2017baada ya kusomwa Bungeni kwa mara ya kwanza katikaMkutano wa Tisa wa Bunge ili iufanyie kazi, na mnamo tarehe17 Januari, 2018, Waziri wa Habari,Utamaduni,Sanaa naMichezo Dr. Harrison George Mwakyembe kwa niaba yaMtoa Hoja ambaye ni Waziri wa Katiba na Sheria (ProfesaPalamagamba John Aidan Mwaluko Kabudi) pamoja naWaziri wa Ardhi na Maendeleo ya Makazi Mhe.William Lukuviwalifika mbele ya Kamati iliyoketi Dodoma na kutoa maelezokuhusu Malengo na Madhumuni ya Muswada huu wenyelengo la kufanya marekebisho mbalimbali katika Sheriahusika kwa madhumuni ya kuondoa mapungufu ama kasorozilizojitokeza wakati wa utekelezaji wa Sheria hizo.

1.5 Mheshimiwa Spika, Sheria zinazokusudiwa kufanyiwamarekebisho katika Muswada huu ni kama ifuatavyo:-

(i) Sheria ya Ufilisi, (Sura ya 25);

(ii) Sheria ya Bajeti (Sura ya 439),

(iii) Sheria ya Ardhi (Sura ya 113),

(iv) Sheria ya Utumishi wa Umma (Sura 238),

Page 110: BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE ...parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1518427837-30...kasi na gofu. Katika michezo hiyo, matokeo ya timu yetu ya Bunge la Tanzania yalikuwa

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

110

1.6 Mheshimiwa Spika, kwa kuzingatia matakwa yaKanuni ya 84 (2) ya Kanuni za Kudumu za Bunge Toleo laJanuari, 2016 na kuzingatia matakwa ya Ibara ya Nane (d)na Ibara ya 21(2) ya Katiba ya Jamuhuri ya Muunganoinayowapa wananchi nafasi ya kushiriki katika masualambalimbali yanayowahusu, Kamati iliwaalika Wadaumbalimbali ili waweze kufika mbele ya Kamati na kutoamaoni yao kuhusu Muswada huu.

1.7 Napenda kutumia nafasi hii kuwashukuru kwa dhatiWadau wote walioshiriki na kutoa maoni yao katika Muswadahuu. Naomba kutambua mchango wa Wadau wafuatao:-

i) Chama cha Mawakili wa Tanganyika (TLS),

ii) Chama cha Wanataaluma Chuo Kikuu UDOM (UDOMASA),

iii) Taasisi ya Sekta Binafsi Tanzania (TPSF),

iv) Jukwaa la Sera (PF),

v) Chama cha Wataalamu wa Sekta ya Benki Tanzania (TBA)

vi) Chama cha Madaktari Tanzania (MAT)

vi) Chama cha Madaktari wa Meno Tanzania (DAT)

2.0 MALENGO NA MADHUMUNI YA MUSWADA

Mheshimiwa Spika, maelezo ya Jumla ya Muswadahuu yapo katika taarifa ya Mtoa Hoja, Waziri wa Katiba naSheria iliyosomwa leo hapa Bungeni pamoja na maelezo yaMalengo na Madhumuni ya Muswada yaliyomo kwenyeMuswada kuanzia Ukurasa wa Saba mpaka wa Kumi na Mojana kwa faida ya muda naomba nisirudie tena maelezo hayana sehemu hii yote iingie katika Taarifa Rasmi zaBunge.(Hansard)

Page 111: BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE ...parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1518427837-30...kasi na gofu. Katika michezo hiyo, matokeo ya timu yetu ya Bunge la Tanzania yalikuwa

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

111

Mheshimiwa Spika, kwa maelezo hayo ya utangulizinaomba sasa nijielekeze katika Uchambuzi wa Jumla waMuswada katika sehemu ya Tatu ya Taarifa hii.

Mheshimiwa Spika, Muswada huu unapendekezakufanya marekebisho katika Sheria mbalimbali Nne ambazoni Sheria ya Ufilisi, Sura ya 25, Sheria ya Bajeti, Sura ya 439,Sheria ya Ardhi, Sura ya 113 na Sheria ya Utumishi wa Umma,Sura ya 238. Mapendekezo ya marekebisho haya yalitokanana mapungufu mbalimbali yaliyoonekana katika utekelezajiwa sheria hizo.

Mheshimiwa Spika, Muswada huu umegawanyiwakatika Sehemu Nne. Sehemu ya Kwanza inahusu masharti yaUtangulizi ambayo yanajumuisha, jina la Muswada na namnaambavyo Sheria zinazopendekezwa kurekebishwazitakavyorekebishwa ndani ya Muswada huu.

Sehemu ya Kwanza inapendekeza kufanyamarekebisho katika kifungu cha 2 cha Sheria ya Ufilisi, Suraya 25 kwa kupangilia mtiririko wa maneno ya kialphabetikatika kifungu cha 2 na kutoa tafsiri ya neno Mpokezi MKuukuwa na maana ya neno Kabidhi Wasii Mkuu. Hii ni kutokanana ukweli kuwa shughuli zote za “Mpokezi Mkuu” zinafanywana “Kabidhi Wasii Mkuu” ambaye anapendekezwa ateuliwena Rais ili aweze kutekeleza majukumu mbalimbali ikiwa nipamoja na hili.

Sehemu ya Pili inapendekeza kufanya marekebishokatika kifungu cha 21(2) cha Sheria ya Bajeti, Sura ya 439 kwakuandika upya muda wa kuwasilisha Bungeni muongozo wakuandaa mpango wa bajeti lengo la marekebisho hayo nikuondoa mkinzano na kuoanisha na muda uliorejewa katikakanuni za Bunge, Kanuni ya 94(1) na (2) ya Kanuni hizo, toleola Januari 2016.

Sehemu ya Tatu inapendekeza kufanya marekebishoya Sheria ya Ardhi, Sura 113 ambapo kifungu cha 45

Page 112: BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE ...parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1518427837-30...kasi na gofu. Katika michezo hiyo, matokeo ya timu yetu ya Bunge la Tanzania yalikuwa

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

112

kimerekebishwa kwa kuongeza masharti ya adhabuinayotokana na ukiukwaji wa masharti kwa mtu anayewekadhamana ya milki ya ardhi.

Vifungu vya 120A, 120B na 120C navyo vimeongezwaili kuwezesha fedha zinazopatikana kutokana na mkopouliyotolewa kwa dhamana ya milki ya ardhi ya Tanzaniazitumike kuendeleza sehemu au ardhi yote iliyowekwa rehani.Sharti hili litahusu milki ambazo hazijaendelezwa. Aidha,marekebisho haya pia yanakusudia kuweka wajibu kwamkopaji na mkopeshaji kuwasilisha taarifa kwa Kamishna waArdhi kuhusu fedha zilizopatikana kutokana na dhamana yamilki ya ardhi zilivyowekezwa kwa ajili ya kuendeleza ardhihusika. Aidha, marekebisho haya yanalenga pia kuwekawajibu kwa fedha zinazokopeshwa kutokana na dhamanaya milki ya ardhi ya Tanzania ziweze kuwekezwa Tanzania.

Aidha, Benki na Taasisi za fedha za ndani na nje yanchi nazo zinatakiwa kuwasilisha kwa Kamishna wa Ardhitamko kwamba fedha inayotolewa kutokana na dhamanaya milki ya ardhi ya Tanzania zinawekezwa Tanzania. Kwamaudhui ya marekebisho haya, uwekaji rehani milki ya ardhikatika Benki au Taasisi ya Fedha za ndani au nje ya nchiambapo fedha zimepatikana haitawekezwa Tanzaniazitakuwa ni batili. Jambo jingine katika marekebisho haya nikuwezesha kutungwa kwa kanuni za utekelezaji wa mashartiya fungu hili na kuhalalisha rehani za milki za ardhi zilizofanyikakabla ya marekebisho haya.

Mheshimiwa Spika, Sehemu ya Nne ya Muswadainapendekeza kufanya Marekebisho kwenye Sheria yaUtumishi wa Umma, Sura ya 298 ambapo kifungu kipya cha25A kinapendekezwa kuongezwa kwa lengo la kuwekakwenye Sheria masharti ya umri wa kustaafu kwa watumishiwa Umma, Masharti haya hayapo ndani ya Sheria kwa sasa.Aidha, mapendekezo ya kuongeza kifungu kipya yanalengakuweka utaratibu mpya wa umri wa kustaafu kwa maprofesana wahadhiri waandamizi wa vyuo vikuu vya umma namadaktari bingwa wa magonjwa ya binadamu wa hospitaliza umma.

Page 113: BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE ...parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1518427837-30...kasi na gofu. Katika michezo hiyo, matokeo ya timu yetu ya Bunge la Tanzania yalikuwa

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

113

Mfumo huu mpya unalenga kuongeza umri wakustaafu Utumishi wa umma kwa ridhaa kwa maprofesa nawahadhiri waandamizi wa vyuo vikuu vya umma namadaktari bingwa wa magonjwa ya binadamu wa hospitaliza umma ili umri huo uweze kuwa ni miaka sitini kwa waleambao wanastaafu kwa hiari na kwa wale ambaowanastaafu kwa lazima iwe ni miaka sitini na tano.Marekebisho haya yanalenga kutekeleza maamuzi ya Serikaliyanayolenga kuongeza umri wa kustaafu kwa maprofesa,wahadhiri waandamizi wa madaktari bingwa wa binadamukutoka vyuo vikuu vya umma na hospitali za umma.Kuongeza umri kwa kada hizi kutapunguza gharama kwaSerikali ya kuingia mikataba na wataalamu hawa mara tuwanapostaafu, na pia kutaongeza muda kwa wataalamu,wengine kuweza kulitumikia Taifa kwa muda mrefu zaidi napia kusaidia kufundisha na kukuza wataalam wachangawalioko nchini.

3.0 UCHAMBUZI WA JUMLA WA MUSWADA

Mheshimiwa Spika, pamoja na kwamba Muswadahuu unaonekana ni mfupi na usio na mambo mengiukiutazama kwa haraka haraka, lazima nikiri kwamba huu nimmoja kati ya Miswada ambayo Kamati yangu imetumiamuda mwingi na umakini wa kutosha katika kuujadili nakuuchambua. Hii ni kwa sababu ya uzito wa mapendekezoya Marekebisho ambayo serikali imekusudia kufanya katikaSheria ya Ardhi, Sura ya 113 na Sheria ya Utumishi wa Umma,Sura ya 238.

Mheshimiwa Spika, Kamati ilichambua vifungu 12vyote vya Muswada kwa kutazama usahihi wa kimaudhui,kisarufi na kimuundo wa kila kifungu kwa kulinganisha namalengo na madhumuni ya Muswada pamoja na Sheriamama zinazofanyiwa marekebisho. Kamati pia katikauchambuzi huu il i j ir idhisha kama marekebishoyanayopendekezwa na Serikali yanaendana na Katiba yaNchi, Sheria nyingine za nchi na matakwa ya Sheria naMikataba ya Kimataifa.

Page 114: BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE ...parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1518427837-30...kasi na gofu. Katika michezo hiyo, matokeo ya timu yetu ya Bunge la Tanzania yalikuwa

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

114

Mheshimiwa Spika, pamoja na maudhui ya Sheriakwa ujumla wake, kamati ilitazama mchakato mzima wamarekebisho ya Sheria hizi na hasa kama walengwa au watuwanaoguswa na marekebisho ya Sheria hizi walishirikishwakatika kiwango cha kutosha katika hatua za awali zamarekebisho ya Sheria hizi kabla Muswada husikahaujasomwa Bungeni kwa mara ya kwanza tarehe 17Novemba, 2017.

Mheshimiwa Spika, baadhi ya vifungu katikaMuswada huu havikua na mjadala wowote katika Kamatikwa sababu ni vifungu vya utangulizi na vya muundo navisivyo na athari zozote katika maudhui ya msingi yaMuswada. Kwa mfano Kifungu cha 1,2,3,4,5,7 na cha 11.

Mheshimiwa Spika,Vifungu vilivyohitaji mjadalampana kati ya Serikali na Kamati ni vifungu vya 8,9 na 10vinahusiana na marekebisho ya Sheria ya Ardhi,Sura ya 113na Kifungu cha 12 kinachohusiana na Marekebisho ya Sheriaya Utumishi wa Umma,Sura ya 238.

Mheshimiwa Spika, Kamati i l ikubaliana namapendekezo ya Serikali katika Marekebishoyanayokusudiwa katika Sheria ya Ufilisi, Sura ya 25 naMarekebisho yanayokusudiwa katika Sheria ya Bajeti, Suraya 439.

Mheshimiwa Spika, Katika Kifungu cha 6 chaMuswada ambacho kinarekebisha Kifungu cha 21(2) chaSheria ya Bajeti, kamati ilikubaliana na pendekezo la Serikalikuwasilisha Bungeni muongozo wa Mpango wa Bajeti mweziOktoba/Novemba badala ya Mwezi Februari kama ilivyo sasakatika Sheria ya Bajeti ili kuendana na muda uliotajwa katikaKanuni ya 94(1) na (2) ya Kanuni za Kudumu za Bunge,Toleola Januari,2016 ambayo inasema kwamba Muongozo waMpango wa Bajeti utawasilishwa Bungeni katika Bunge laOktoba/Novemba.

Mheshimiwa Spika, hata hivyo uzoefu umeonyeshakwamba katika mwaka wa uchaguzi wa Rais na wabunge;

Page 115: BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE ...parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1518427837-30...kasi na gofu. Katika michezo hiyo, matokeo ya timu yetu ya Bunge la Tanzania yalikuwa

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

115

na hasa Bunge jipya linapoanza, kipaumbele cha kwanzacha shughuli za Bunge siyo kujadili Muongozo waMapendekezo ya Mpango wa Bajeti ya Serikali kwa mwakawa fedha unaofuata na badala yake mapendekezo hayayamekua yanawasilishwa na kujadiliwa Bungeni katikaMkutano wa Bunge unaofuata. Kwa mantiki hii Kamati ilishauriSerikali iongeze Kifungu kitakachosomeka ifuatavyo;

‘’Notwithstanding the provisions of Sub section (2), theprovisions of section 21 shall not apply during the electionyear’’. Kifungu hiki kitatoa nafasi kwa Bunge kuendelea naShughuli zenye kipaumbele cha kwanza wakati wa kuanzakwa Bunge jipya lolote mara tu baada ya uchaguzi ambapomasharti ya Kanuni ya 23 ya Kanuni za Kudumu zaBunge,Toleo la Januari 2016 yatatumika.

Mheshimiwa Spika, Kamati iliitaka Serikali ijielekezetena katika muundo, maudhui, malengo na madhumuni yaVifungu vya 8,9,10 na 12 vya Muswada ili kujiridhisha hasa nania na dhamira ya Serikali (Legislative Intent) katikaMarekebisho yanayokusudiwa.

Mheshimiwa Spika, kwa mfano,Katika Kifungu chaNane cha Muswada, ambacho kimsingi kinampa madarakazaidi Rais kufuta hati miliki ya ardhi kwa mtu aliyevunjamasharti ya Vifungu vipya vya 120A na 120B vya Sheria yaArdhi, chini ya Kifungu cha 45 cha Sheria mama, Kamati ilionakwamba hakuna haja kabisa ya kuongeza sababu mpyakatika Kifungu hiki kwa sababu sababu zilizotajwa katikaSheria mama kuhusu uwezo wa Rais kufuta hati miliki ya ardhikwa sababu za msingi na kwa maslahi ya umma tayarizinajitosheleza. Kamati ilishauri kwamba Kifungu chote hikikiondolewe.

Mheshimiwa Spika, Katika Kifungu cha Tisa chaMuswada, Kifungu kipya cha 120A Kamati ilihitaji kufahamumaana ya maneno ‘’Local bank’’ kama yalivyotumika katikaMuktadha wa Sheria hii na Kama benki za nje ya nchizinaruhusiwa kutoa mikopo ya namna hiyo kwa kupokea hatiza mali zilizowekwa rehani kwa sababu Kifungu hiki ukikisoma

Page 116: BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE ...parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1518427837-30...kasi na gofu. Katika michezo hiyo, matokeo ya timu yetu ya Bunge la Tanzania yalikuwa

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

116

kama kilivyo hakitaji benki za nje (Foreign banks) lakini piahakizuii benki za nje kutoa mikopo kwa utaratibu unaotajwa.

Mheshimwa Spika, katika Kifungu kipya cha 120A (2)Kamati i l ihitaji kufahamu tafsir i na maana ya neno‘’Undeveloped’’ na ‘’Underdeveloped’’ kama yalivyotumikakatika Sheria hii na upenyo ulioachwa Kisheria (Loophole) kwamkopaji kutumia sehemu ya huo mkopo au mkopo wotekuendeleza ardhi iliyowekwa rehani.

Mheshimiwa Spika, Kamati ilikubaliana na mashartiya Kifungu cha 120A (3) cha Muswada kinachomtakaaliyeweka ardhi rehani kwa ajili ya kuombea mkopo(Mortgagor) kuwasilisha kwa kamishna wa ardhi taarifa ndaniya miezi sita kuhusu namna ambavyo fedha iliyopatikana kwamkopo kwa kutumia ardhi iliyowekwa rehani imetumikakuendeleza ardhi husika. Kamati inaamini kwamba kifunguhiki kitaleta uwajibikaji kwa wakopaji wote na itailinda ardhiya Tanzania na kuifanya iendelezwe kwa mujibu wa mashartiyaliyowekwa kisheria na kitaratibu.

Mheshimiwa Spika, katika kifungu kipya cha 120B(1)ambacho kinatoa sharti kwa mkopwaji kutumia fedhailiyopatikana kwa kuweka ardhi rehani kwa kuwekezaTanzania, Kamati iliona kwamba Kifungu hiki kinawabanawawekezaji wa Kitanzania ambao wana nia na uwezo wakuwekeza nje ya mipaka ya Tanzania hasa katika ukandawa kusini,kati na mashariki mwa Afrika. Kamati iliishauri Serikalikukiandika tena hiki kifungu ili kutoa fursa kwa Watanzaniawenye uwezo wa kuwekeza nje ya Tanzania kwa njia halalikufanya hivyo.

Mheshimiwa Spika, Katika Kifungu cha 120B (2) Kamatiilijiridhisha kwamba kulikuwa na makosa makubwa yakimaudhui ambayo kama yakiachwa yanaweza kuharibumaana iliyokusudiwa (Intent). Neno ‘’Mortgagor-borrower’’ambalo limetumika katika Kifungu hiki limetumika Kimakosana badala yake neno sahihi ‘’Mortgagee-lender’’ ndio nenosahihi linalotakiwa kutumika ili kuleta tafsiri sahihi iliyokusudiwaambayo inatoa sharti kwa taasisi za fedha au mabenki

Page 117: BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE ...parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1518427837-30...kasi na gofu. Katika michezo hiyo, matokeo ya timu yetu ya Bunge la Tanzania yalikuwa

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

117

kuwasilisha kwa kamishna wa ardhi taarifa kwamba fedhailiyotolewa kwa ardhi iliyowekwa rehani imetumika katikauwekezaji hapa Tanzania. Serikali ilikubaliana na ushauri waKamati na kutumia neno ‘’Mortgagee’’ katika jedwali laMarekebisho ya Serikali lililoandaliwa na Serikali.

Mheshimiwa Spika, katika Kifungu kipya cha 120Cambacho kinatoa sababu ya kufutwa kwa hati miliki ya ardhiendapo mmiliki ameshindwa kufuata masharti ya Kifungukipya cha 120A na 120B cha Sheria ya Ardhi, Kamati iliishauriSerikali kutazama kwa upana hatma ya mabenki na taasisiza fedha ambayo yalitumia hati hizo kama dhamana.Endapo hati hizo zitafutwa chini ya Kifungu hiki na endapoSheria haitaweka utaratibu wa mabenki kurudisha fedha zao,basi benki na taasisi za fedha zitapoteza fedha nyingi napengine zikaacha kabisa kutoa mikopo kwa sababu yakuogopa kupata hasara hasa katika muktadha wa kifungukinachopendekezwa.

Mheshimiwa Spika, Sehemu ya Tano ya Muswada huuilihusu marekebisho yanayopendekezwa katika Sheria yaUtumishi wa Umma, Sura ya 298. Katika sehemu hii Kamatiilihitaji maelezo ya Kina kutoka Serikalini ili kuelewa sababuza msingi za Serikali kupendekeza kuongeza umri wa hiari nawa lazima wa kustaafu kwa maprofesa na wahadhiriwaandamizi kwa upande mmoja na kwa madaktari bingwakwa upande mwingine kutoka miaka 55 mpaka 60 kwa hiyarina kutoka 60 mpaka 65 kwa lazima.

Mheshimiwa Spika, katika maelezo ya Serikaliilionekana kwamba kuna uhitaji mkubwa wa wahadhirimaprofesa na madaktari bingwa nchini na kwambagharama ya kuwatumia madaktari hawa kwa utaratibu wakuwapa mikataba ya miaka miwili miwili mara tu baada yakustaafu ni kubwa kwa nchi na kwamba kama muda wakustaafu ukiongezwa kwa kada hizi Serikali itaweza kuokoamamilioni ya fedha yanayolipwa kwa mkupuo (Gratuity) kwawastaafu wa kada hizi ambao wapo kazini kwa mikatabamifupi mifupi baada ya kustaafu.

Page 118: BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE ...parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1518427837-30...kasi na gofu. Katika michezo hiyo, matokeo ya timu yetu ya Bunge la Tanzania yalikuwa

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

118

Mheshimiwa Spika, baada ya kutafakari kwa kina hojaza Serikali na kusikiliza kwa umakini hoja za wadau mbalimbaliwaliokuja kwenye Kamati, hasa chama cha madaktariTanzania (MAT),Chama cha Madaktari wa Kinywa Tanzania(Dental Association of Tanzania), Jukwaa la Sera (PolicyForum),Chama cha Mawakili Tanzania (Tanganyika LawSociety) na Chama cha Wanataaluma kutoka Chuo KikuuUDOM (UDOMASA), Kamati i l iona ni vema Serikaliikawashirikisha walengwa wa marekebisho haya kwa kina iliiweze kutunga Sheria inayokidhi maslahi ya walengwa wotekatika upana wake.

Mheshimiwa Spika, kutokana na uzito wa sualahili,hata baada ya Kamati kumaliza vikao rasmi vyauchambuzi wa Muswada huu jitihada zimekua zikiendeleakati ya Kamati na Serikali katika kupata mwafaka katikamaudhui ya Kifungu hiki na hasa kwa kushirikiana nawalengwa wote wanaoguswa na kifungu hiki na kwakuzingatia maoni ya wahadhiri na madaktari vijana kwaupande mmoja na maprofesa na madaktari bingwa wazeeambao wameshafikia umri wa kustaafu wa miaka 60 naambao wanaendelea kufanya kazi kwa mikataba kwaupande mwingine.

Mheshimiwa Spika, Kamati ilikutana na Serikali tenatarehe 29 Januari,2018 ili kupata maelezo ya kina kuhusu niana malengo ya mapendekezo ya Marekebisho ya Sheria hii,uchambuzi wa Kitakwimu kuhusu mapendekezo haya nanamna jinsi ambazo Serikali imejipanga kukabiliana naupungufu wa maprofesa/wahadhiri kwa upande mmojapamoja na madakari Bingwa kwa upande mwingine. Serikaliilitoa maelezo ya kina yaliyoishawishi Kamati kwa hojakukubaliana na marekebisho yanayopendekezwa na Serikalikatika kifungu kipya cha 12.

Mheshimiwa Spika, pendekezo hil i la Serikalilinafanana na umri wa kustaafu ulivyo katika nchi nyinginekwa kada ya maprofesa. Kwa mfano, maprofesa nawahadhiri waandamizi kwa nchi ya Kenya wanastaafu

Page 119: BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE ...parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1518427837-30...kasi na gofu. Katika michezo hiyo, matokeo ya timu yetu ya Bunge la Tanzania yalikuwa

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

119

Kisheria katika umri wa Miaka 70, Nigeria na Botswana nimiaka 70, Zimbabwe na Sudan ni miaka 65 na nchi kamaUingereza,Ujerumani na Marekani maprofesa hawana umriwa kustaafu. Ukomo wa maprofesa kustaafu katika nchihizi unapimwa na ujuzi, uwezo na ubobevu katika eneolake.

Mheshimiwa Spika, Katika kifungu kipya cha 25A (2)(b) Kamati ilishauri neno ‘’the term’’ lililotumika katika sentensihii lifutwe kwa sababu halina mantiki yeyote ya kimuundona kimantiki na sentensi inayosomeka ‘’after attaining theage of sixty five years’’ isomeke ‘’Upon’’ attaining the age ofsixty five years’’ ili kuleta maana iliyo bora kisarufi.

Mheshimiwa Spika, Kamati haikuona haja ya kuwana Kifungu kipya cha 25B katika Muswada huu ambachokinampa Waziri wa Utumishi, kwa kushirikiana na Rais,mamlaka (Discretionary powers) kubadili umri wa kustaafukwa mtumshi wa Umma kama ataona ni sawa kufanya hivyo.Kwa maoni ya Kamati Kifungu hiki kinaweza kutumika vibayana Waziri na hasa kwa sababu mfanyakazi husika hapewinafasi ya kushirikishwa katika maamuzi haya.

Mheshimiwa Spika, Serikali ilipewa nafasi ya kushirikikatika mchakato wa kupokea maoni ya wadau waliofikakutoa maoni yao kuhusu maeneo mbalimbali ya Muswadahuu, kujadili na kuchambua hoja mbalimbali za wadau naKamati kuhusu Muswada huu na kutolea ufafanuzi wamaeneo yaliyohitaji ufafanuzi zaidi.

Mheshimiwa Spika, tarehe 23 Januari, 2018 Mtoa hoja(Waziri wa Katiba na Sheria) pamoja na Waziri wa Ardhiwalifika mbele ya Kamati kwa niaba ya Serikali kujibu hojambalimbali za Kamati kuhusiana na Muswada huu.

Mheshimiwa Spika, yapo maeneo mengi ambayoSerikali ilikubali maoni na mapendekezo ya Kamati nakuyaweka kwenye Jedwali la marekebisho kamalilivyowasilishwa na Mtoa hoja katika Bunge lako tukufu.Yapo

Page 120: BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE ...parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1518427837-30...kasi na gofu. Katika michezo hiyo, matokeo ya timu yetu ya Bunge la Tanzania yalikuwa

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

120

maeneo mengine ambayo Serikali iliyatolea maelezo naKamati kuelewa vema kuhusu nia ya Serikali katika Muswadahuu.

Mheshimiwa Spika, kwa ujumla Kamati na Serikalivilifikia muafaka katika maeneo mengi na hasa kwa sababuSerikali iliyaboresha maeneo yote yaliyokua na utata katikamapendekezo ya Sheria hususani tafsiri ya maneno ‘’localbank’’,’’undeveloped land’’ na ‘’underdeveloped land’’kama yalivyotumika katika muktadha wa Sheria.

Mheshimiwa Spika, baada ya kuelezea uchambuziwa Kamati kwa kina na mchakato uliotumika katikakuchambua Muswada huu, naomba sasa nijielekeze katikaMaoni na Ushauri wa Kamati kuhusu Muswada huu;

4.0 MAONI NA USHAURI WA KAMATI

Mheshimiwa Spika, kutokana na uchambuzi huoKamati inatoa maoni ya jumla ya kuzingatiwa kamaifuatavyo:-

4.1 UTUNGWAJI WA KANUNI HUSIKA KWA AJILI YAUTEKELEZAJI WA SHERIA HII

Mheshimiwa Spika, Kifungu cha 120D cha Muswadakinasema kwamba utekelezaji wa Kifungu kipya cha 120Ana 120B cha Muswada utafanyika kwa mujibu wa taratibuzitakazowekwa katika Kanuni. Uzoefu unaonyesha kwambaTaasisi nyingi za Serikali zimekua zinachelewa sana katikautengenezaji wa Kanuni hizi. Kamati inaiagiza Wizara ya Ardhina Maendeleo ya Makazi kutengeneza kwa haraka Kanunizote zinazogusa utekelezaji wa Sheria hii na hasa vifungu vipyavilivyohusika.

Mheshimiwa Spika, Kamati inatoa angalizo kwaWizara ya Ardhi kwamba hata katika utengenezaji wa Kanunihizi wadau wanaoguswa na Kanuni hizo wana haki ya

Page 121: BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE ...parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1518427837-30...kasi na gofu. Katika michezo hiyo, matokeo ya timu yetu ya Bunge la Tanzania yalikuwa

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

121

Kikatiba kushirikishwa katika utengenezaji wa Kanuni hizo nakwamba mchakato huo uwe ni shirikishi na ufanyike kwauwazi.

4.2 USHIRIKISHWAJI WA UJUMLA WA WADAU

Mheshimiwa Spika, katika kupokea na kuchambuamaoni ya wadau katika Muswada huu, Kamati iligunduakwamba wadau hawakushirikishwa kabisa katika mchakatowa marekebisho haya na hata kama walishirikishwa, basikiwango cha Ushirikishwaji wa wadau kilikua kidogo sana.Kamati inazikumbusha Wizara na Taasisi zote za Serikalikwamba hata katika Sheria za Marekebisho ya Sheriambalimbali suala la kuwashirikisha wadau ni wajibu waKikatiba wa watunga sera na sheria za nchi chini ya Ibara ya8(d) na Ibara ya 21(2) ya Katiba ya Jamuhuri ya Muunganowa Tanzania ya Mwaka 1977.

4.3 UELEWA MPANA WA SHERIA ZINAZOFANYIWAMAREKEBISHO

Mheshimiwa Spika, kwa kuwa Kamati ya Sheria naKatiba ina jukumu la kujadili na kuchambua Miswadambalimbali ya Marekebisho ya Sheria mbalimbali za Kisekta,kazi ya Kamati hii imekua ni mtambuka (Multi-sectoral).Kwamuktadha huu ni vema Wizara na Taasisi zote zinazokusudiakuleta mapendekezo ya Marekebisho ya Sheria zao za Kisektakutoa mafunzo mahsusi kwa wajumbe wa Kamati ya Katibana Sheria ili kujenga uelewa mpana wa wajumbe kuhusumaeneo yanayokusudiwa kurekebishwa. Hii italeta urahisikwa wajumbe wa Kamati hii katika kujadili na kuchambuaMuswada husika.

4.4 MAPITIO YA SHERIA NYINGINE YANAYOGUSWA NASHERIA HII

Mheshimiwa Spika, marekebisho yaliyofanyika katikaMuswada huu na hasa yale yanayogusa Sheria ya Ardhi, Sura

Page 122: BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE ...parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1518427837-30...kasi na gofu. Katika michezo hiyo, matokeo ya timu yetu ya Bunge la Tanzania yalikuwa

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

122

ya 113 yanaweza kuwa na athari katika utekelezaji wa Sherianyingine za nchi katika sekta husika. Kwa mfano, katikaJedwali la Marekebisho lililoletwa na Serikali maana ya neno‘’Local bank’’ limetafsiriwa kuwa na maana iliyoelezwa katikaSheria ya Mabenki na Taasisi za Fedha ya Mwaka 2006Pamoja na Sheria ya Benki Kuu ya Tanzania ya mwaka 2006.Hata hivyo katika Sheria zote hizi mbili tafsiri ya neno ‘’Localbank’’ haipo. Kamati inashauri kwamba neno hili lipewe tafsiriya kuandikwa kabisa’’ Express legal definition’’ katika Sheriatajwa au Sheria ya Ardhi ili kuondoa mkanganyiko unaowezakujitokeza katika utekelezaji wa Sheria hii.

4.5 SERIKALI ITENGENEZE MKAKATI ENDELEVU KUTATUATATIZO LA UPUNGUFU WA MADAKTARI BINGWA NAWAHADHIRI WA VYUO VIKUU

Mheshimiwa Spika, uamuzi wa Serikali kuongeza umriwa kustaafu kwa maprofesa/wahadhiri waandamizi katikavyuo vikuu na madaktari Bingwa ni uamuzi wenye msingi waKikatiba katika Ibara ya 13(5) ya Katiba ya Jamuhuri yaMuungano wa Tanzania ya Mwaka 1977 ambayo inairuhusu

‘’…Serikali kuchukua hatua za makusudi zenye lengola kurekebisha matatizo mahususi katika jamii’’ (AffirmativeActions). Hata hivyo, ili kukabiliana na pengo hili la ujuzi kwakada hizi (Skills gap) kamati inaishauri Serikali kuwa na mkakatiendelevu wa kuhakikisha kwamba nchi haina pengo lamaprofesa,wahadhiri waandamizi na madaktari Bingwa ilikuepusha kufanya marekebisho ya Sheria ya mara kwa maraambayo yanaweza kutoa tafsiri ya kibaguzi kwa kadanyingine za utumishi wa umma.

5.0 HITIMISHO

Mheshimiwa Spika, kwa mara nyingine tena naombanikushukuru sana wewe kwa kutoa kibali ili Kamati ya Katibana Sheria iweze kuufanyia uchambuzi Muswada huu.

Page 123: BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE ...parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1518427837-30...kasi na gofu. Katika michezo hiyo, matokeo ya timu yetu ya Bunge la Tanzania yalikuwa

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

123

Mheshimiwa Spika, naomba niwatambue nakuwashukuru Wadau mbalimbali waliofika na kutoa maonina ushauri wao kwa Kamati ambao umesaidia kupatikanakwa taarifa hii.

Mheshimiwa Spika, kwa namna ya pekee kabisanaomba niwashukuru Wajumbe wa Kamati ya Katiba naSheria kwa kazi nzuri na kutukuka waliyoifanya katikaUchambuzi wa Miswada ya Marekebisho ya Sheriambalimbali toka kuundwa kwa Kamati hii miaka miwiliiliyopita.

Mheshimiwa Spika, kipekee Kamati inamshukuru sanaaliyekua Katibu wa Bunge Dr. Thomas D. Kashililah kwaushirikiano mkubwa alioutoa kwenye Kamati katika utumishiwake katika Bunge hili na inamtakia Utumishi mwema katikanafasi yake mpya ya naibu katibu mkuu Wizara ya Kilimo.

Naomba Majina ya Wajumbe walioshiriki kwenyeuchambuzi wa Muswada huu yaingizwe kwenyeKumbukumbu ya Taarifa Rasmi za Bunge (HANSARD).

1. Mhe. Mohamed Omary Mchengerwa, Mb – Mwenyekiti2. Mhe. Najma Murtaza Giga, Mb- M/Mwenyekiti3. Mhe Ally Saleh Ally, Mb –Mjumbe4. Mhe. Mboni Mohamed Mhita, Mb –Mjumbe5. Mhe Taska Restituta Mbogo, Mb –Mjumbe6. Mhe. Makame Mashaka Foum, Mb –Mjumbe7. Mhe. Seif Ungando Ally, Mb- Mjumbe8. Mhe. Nassor Suleiman Omar, Mb- Mjumbe9. Mhe. George Simbachawene, Mb –Mjumbe10. Mhe. Twahir Awesu Mohamed, Mb-Mjumbe11. Mhe. Asha Abdallah Juma, Mb –Mjumbe12. Mhe. Ajali Rashid Akbar, Mb- Mjumbe13. Mhe. Omary Ahmad Badwel, Mb- Mjumbe14. Mhe. Joseph Kizito Mhagama, Mb –Mjumbe15. Mhe. Prof. Jumanne Abdallah Maghembe, Mb- Mjumbe

Page 124: BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE ...parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1518427837-30...kasi na gofu. Katika michezo hiyo, matokeo ya timu yetu ya Bunge la Tanzania yalikuwa

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

124

16. Mhe. Joram Ismail Hongoli, Mb- Mjumbe17. Mhe. Anna Joram Gidarya, Mb –Mjumbe18. Mhe. Gibson Blasius Meiseyeki, Mb –Mjumbe19. Mhe. Rashid Abdallah Shangazi, Mb –Mjumbe20. Mhe. Selemani Zedi, Mb –Mjumbe21. Mhe. Juma Kombo Hamad, Mb –Mjumbe22. Mhe. Zainab Mndolwa,Mb-Mjumbe23. Mhe. Ussi Pondezza,Mb-Mjumbe

Mheshimiwa Spika, nawashukuru Watumishi wote waOfisi ya Bunge hususani Katibu wa Bunge Ndg. StephenKagaigai kwa Uongozi thabiti ambao umerahisisha utendajikazi wa Kamati. Aidha, namshukuru Mkurugenzi wa Idara yaKamati za Bunge Ndg. Athuman Hussein, Mkurugenzi MsaidiziNdg. Angelina L. Sanga, Mkurugenzi wa Idara ya Sheria yaBunge Ndg. Pius Mboya, Mkurugenzi wa Idara ya TaarifaRasmi za Bunge (Hansard) Ndg. Hanifa Masaninga MakatibuKamati waliofanikisha kazi hii ambao ni Ndg. DunfordMpelumbe, Ndg. Rehema Kipera,Ndg. Thomas Shawa naMsaidizi wa Kamati Ndg. Raheli Masima kwa kuiwezeshaKamati kutekeleza majukumu yake ipasavyo na kuhakikishataarifa hii inakamilika kwa wakati.

Mheshimiwa Spika, naomba kuwasilisha.

Mhe. Mohamed Omary Mchengerwa, MbMWENYEKITIKAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YAKATIBA NA SHERIA30 JANUARI 2018

MWENYEKITI: Tunaendelea, Msemaji Mkuu wa Kambiya Upinzani. Taarifa Mheshimiwa Ali Salehe, karibu. Karibusana Mheshimiwa.

Page 125: BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE ...parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1518427837-30...kasi na gofu. Katika michezo hiyo, matokeo ya timu yetu ya Bunge la Tanzania yalikuwa

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

125

MHE. ALLY SALEHE ALLY – (K.n.y. MSEMAJI MKUU WAKAMBI RASMI YA UPINZANI BUNGENI WIZARA YA KATIBA NASHERIA): Mheshimiwa Mwenyekiti, ahsante.

Mheshimiwa Mwenyekiti, kwa mujibu wa Kanuni ya86(6) ya Kanuni za kudumu za Bunge, Toleo la Januari, 2016naomba kuwasilisha maoni ya Kambi Rasmi ya UpinzaniBungeni kuhusu Muswada wa Sheria ya Marekebisho yaSheria mbalimbali Na. 5 ya mwaka 2017.

Mheshimiwa Mwenyekiti, kwa kuwa ni mara yakwanza nawasilisha maoni ya Kambi rasmi ya Upinzani kuhusuMuswada uliopo mezani kwa mwaka huu mpya 2018,naomba kutumia fursa hii kumshukuru sana Mwenyezi Mungukwa kutujalia sote kuuona mwaka huu mpya tukiwa salama.Kwa jinsi hiyo nawatakia nyote Heri ya Mwaka Mpya. (Makofi)

Mheshimiwa Mwenyekiti, wakati sisi tunafurahiakuuona mwaka huu mpya tukiwa salama Msemaji Mkuu waKambi rasmi ya Upinzani Bungeni katika Wizara ya Katiba naSheria Mheshimiwa Tundu Lissu ambaye kwa hakika ndiyealiyetakiwa kutoa maoni haya leo hii, mwaka huu mpyaumemkuta hospitalini akipatiwa matibabu baada yakujeruhiwa vibaya kwa risasi katika jaribio lililoshindwa lakutaka kuondoa uhai wake, jaribio lililofanywa na watuambao mpaka leo hawajulikani. (Makofi)

Mheshimiwa Mwenyekiti, si nia yangu kurudia historiaya matukio mabaya ya kihalifu dhidi ya binadamuyaliyotokea katika nchi yetu bila Serikali kuchukua hatuazozote, ila ni nia yangu kusema kwamba hakuna jambolililostirika au lililofanywa sirini ambalo halitadhihirika.

Mheshimiwa Mwenyekiti, pamoja na Serikali hii yaCCM kuendelea kukaidi kufanyia kazi ushauri wa Kambi Rasmiya Upinzani Bungeni wa kuunda Tume huru ya Kimahakamakuchunguza vifo vyenye utata na matukio mengine ya…

Page 126: BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE ...parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1518427837-30...kasi na gofu. Katika michezo hiyo, matokeo ya timu yetu ya Bunge la Tanzania yalikuwa

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

126

MWENYEKITI: Mheshimiwa, nisaidie tu, umeanza vizurisana nilikuwa nakushauri sasa hotuba yako ukurasa wakwanza. Nitakutunzia muda wako tu usiwe na shida.

Kwenye maoni yetu ya Kambi ningependa tutumielugha za Kibunge na ndio Kanuni hizi, ukienda hivyo umefikanilikuwa naangalia paragraph ya kwanza, kwenye utangulizituko pamoja? Paragraph ya kwanza, ya pili, paragraph yatatu. Ulianza sasa kusoma Serikali hii ya CCM ni Serikali yaCCM ndio! Sasa yale yanayofuata nilikuwa nakushauri nahapa sasa nasema sio kukushauri naagiza tu tuyaondoe ilisasa tujielekeze katika uchambuzi wa Muswada ulioletwambele ya Bunge kupitia sasa taarifa ya Kamati. Kwa hiyo,Sheria zinazofanyiwa marekebisho ndio uendelee sasakwenye mtiririko wako. Endelea Mheshimiwa.

MHE. ALLY SALEHE ALLY – MSEMAJI MKUU WA KAMBIRASMI YA UPINZANI BUNGENI KWA WIZARA YA KATIBA NASHERIA: Mheshimiwa Mwenyekiti, ahsante. Kwa kuwa kileambacho umesema tukitoe ndio kile ambacho tunaaminina ndio kile Kambi ya Upinzani inachokisimamia naombakwamba taarifa yangu ipokelewe kama ilivyo kwa sababuWabunge wote wanayo na naomba kuwasilisha. (Makofi)

MWENYEKITI: Ahsante! Tunaendelea. Sehemu hiyohaitaingia haitakuwa sehemu ya Hansard.

MAONI YA KAMBI RASMI YA UPINZANI BUNGENI, KUHUSUMUSWADA WA SHERIA YA MAREKEBISHO YA SHERIA

MBALIMBALI NA. 5 WA MWAKA 2017 KAMAULIVYOWASILISHWA MEZANI

1. UTANGULIZI

Mheshimiwa Spika, Kwa mujibu wa Kanuni ya 86(6) ya Kanuniza Kudumu za Bunge, Toleo la Januari, 2016 naombakuwasilisha maoni ya Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni,

Page 127: BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE ...parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1518427837-30...kasi na gofu. Katika michezo hiyo, matokeo ya timu yetu ya Bunge la Tanzania yalikuwa

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

127

kuhusu Muswada wa Sheria ya Marekebisho ya SheriaMbalimbali Na. 5 ya Mwaka 2017.

Mheshimiwa Spika, kwa kuwa ni mara ya kwanza nawasilishamaoni ya Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni kuhusu Muswadauliopo mezani kwa mwaka huu mpya wa 2018, naombakutumia fursa hii kumshukuru sana Mwenyezi Mungu kwakutujali sote kuuona mwaka huu mpya tukiwa salama. Kwajinsi hiyo, nawatakia nyote heri ya Mwaka Mpya.

Mheshimiwa Spika, wakati sisi tunafurahia kuuona mwaka huumpya tukiwa salama; Msemaji Mkuu wa Kambi Rasmi yaUpinzani Bungeni katika Wizara ya Katiba na SheriaMheshimiwa Tundu Antipas Lissu (Mb) ambaye kwa hakikandiye aliyetakiwa kutoa maoni haya leo hii, mwaka huu mpyaumemkuta hospitalini akipatiwa matibabu baada yakujeruhiwa vibaya kwa risasi katika jaribio lililoshindwa lakutaka kuuondoa uhai wake – jaribio lililofanywa na watuambao mpaka leo hawajullikani.

Mheshimiwa Spika, si nia yangu kurudia historia ya matukiomabaya ya kihalifu dhidi ya binadamu yaliyotokea katikanchi yetu bila Serikali kuchukua hatua zozote; ila ni nia yangukusema kwamba hakuna jambo lililositirika au linalofanywasirini ambalo halitadhihirika.

[MANENO YAMEONDOLEWA KWA MAELEKEZO YA KITI]

Mheshimiwa Spika, kabla sijatoa maoni ya Kambi kuhusuMuswada uliopo mezani, napenda pia kuchukua nafasi hiikukitakia chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA)kwa niaba ya UKAWA ushindi mkubwa katika chaguzi zamarudio za ubunge katika majimbo ya Siha na Kinondoni.Napenda kuwaasa wananchi wa majimbo hayo kutumiatathmini ya hali yao ya maisha tangu Serikali hii ya CCM iingiemadarakani na kufanya uamuzi sahihi katika uchaguzi huo.Pia wawachunguze kwa makini wawakilishi wao wa awali,waliowapa ridhaa ya kuwawakisha kupitia tiketi za vyamafulani ambao wamewageuka na kuchukua tiketi za vyama

Page 128: BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE ...parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1518427837-30...kasi na gofu. Katika michezo hiyo, matokeo ya timu yetu ya Bunge la Tanzania yalikuwa

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

128

vingine na kuwapima kama bado wanafaa kuendelea kuwawawakilishi wao.

Mheshimiwa Spika, baada ya utangulizi huo, sasa naombanitoe maoni ya Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni kuhusuMuswada wa Sheria ya Marekebisho ya Sheria MbalimbaliNamba 5 ya Mwaka 2017.

2. SHERIA ZINAZOFANYIWA MAREKEBISHO

Mheshimiwa Spika, Serikali imeleta Bungeni Muswada waSheria ya Marekebisho ya Sheria Mbalimbali Namba 5 yaMwaka 2017 ukiwa na sheria kadhaa zinazotakiwa kufanyiwamarekebisho. Sheria hizo ni Sheria ya Ufilisi sura ya 25 ya Sheriaza Tanzania, Sheria ya Bajeti Sura ya 439, Sheria ya Ardhi Suraya 113 na Sheria ya Utumishi wa Umma Sura ya 298.

4. UCHAMBUZI NA MAONI YA YA KAMBI RASMI YAUPINZANI BUNGENI KWA BAADHI YA SHERIA ZINAZOFANYIWAMAREKEBISHO

4.1. Sheria ya Bajeti Sura ya 439

Mheshimiwa Spika, Sehemu ya pili ya Muswada huuinapendekeza kufanya marekebisho katika kifungu cha 21(2)cha Sheria ya Bajeti Sura ya 439 kwa kuandika upya mudawa kuwasilisha Bungeni muongozo wa kuandaa mpango wabajeti. Lengo la Marekebisho hayo ni kuondoa mkinzano nakuoanisha na muda uliorejewa katika kanuni za Bunge Kanuniya 94(1) na (2) ya Kanuni hizo toleo la 2016.

Mheshimiwa Spika, Kambi Rasmi ya Upinzani imefarijika kuonakwamba Serikali hatimaye imepokea na kutekeleza ushauriwa uliotolewa na Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni wakuondoa mgongano wa sheria ya Bajeti na Kanuni za Bungekuhusu uwasilishwaji wa Mpango wa Taifa wa Maendeleo.

Page 129: BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE ...parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1518427837-30...kasi na gofu. Katika michezo hiyo, matokeo ya timu yetu ya Bunge la Tanzania yalikuwa

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

129

Mheshimiwa Spika, wakati akiwasilisha hotuba yake kuhusumapendekezo ya Mpango wa Maendeleo wa Taifa 2017/18, Msemaji Mkuu wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni katikaWizara ya Fedha na Mipango Mheshimiwa sana HalimaJames Mdee (Mb) alisema kwamba; naomba kunukuu:“…..”kumekuwa na ukiukwaji mkubwa wa Katiba, Sheria nahata Kanuni za Bunge katika uwasilishaji wa Mapendekezoya Mipango ya Maendeleo ya Taifa jambo ambalolimechangia kwa kiasi kikubwa utekelezaji hafifu wa Mipangohiyo. Alisema kwamba; wakati Kanuni ya 94(1) ya Kanuni zaKudumu za Bunge inaelekeza kwamba Bunge litakaa kamaKamati ya Mipango katika mkutano wake wa mwezi Oktoba– Novemba kila mwaka ili kujadili na kuishauri Serikali kuhusumapendekezo ya Mpango wa Taifa unaokusudiwakutekelezwa na Serikali katika mwaka wa fedha unaofuata;kifungu cha 21(2) cha Sheria ya bajeti ya mwaka 2015kinaelekeza kwamba mapendekezo ya Mpango pamoja namakisio ya bajeti yatawasilishwa katika mkutano wa Bungewa mwezi Februari kila mwaka au kama Bunge halipo kwenyemkutano katika mwezi wa februari basi katika wiki ya kwanzaya mkutano huo utakapoitishwa.

Mheshimiwa Spika, Mheshimiwa Mdee alibainisha kuwa huoulikuwa ni mgongano wa wazi kati ya Kanuni za Bunge naSheria ya bajeti kuhusu uwasilishwaji wa Mpango na makisioya bajeti katika mwaka wa fedha unaofuata. Kutokana namgongano huo wa Kanuni za Bunge na Sheria ya bajeti,Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni ilitoa wito kwa MheshimiwaSpika, kuiagiza Kamati ya Kanuni kufanya marekebisho yaKanuni ya 94(1) ili izingatie matakwa ya kifungu cha 21 (2)cha Sheria ya bajeti ya 2015 kwa ajili ya utekelezaji bora washughuli za Bunge kwa manufaa ya wananchi”

Mheshimiwa Spika, Ni bahati nzuri kwamba kabla spikahajachukua hatua hiyo, Serikali imekuwa pro-active kwakuleta marekebisho ya sheria ya bajeti i l i kuondoamgnongano huo.

Page 130: BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE ...parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1518427837-30...kasi na gofu. Katika michezo hiyo, matokeo ya timu yetu ya Bunge la Tanzania yalikuwa

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

130

Mheshimiwa Spika, Serikali inapaswa kuona kuwa ushauriunaotolewa na Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni ni mzuri nasi vibaya kuutambua inapoufanyia kazi.

4.2. Sheria ya Adhi Sura ya 113

Mheshimiwa Spika, sehemu ya tatu ya muswadainapendekeza kuifanyia marekebisho Sheria ya Ardhi namba4 ya mwaka 1999 sura ya 113 ikiwa na lengo la kuwekautaratibu na adhabu kuhusu utaratibu wa namna ya kutumiaardhi kama rehani kwa ajili ya kupata mikopo ya kibiashara.Ibara ya 9 ya muswada inaongeza vifungu vipya vya 120 A,120 B, 120 C na 120 D.

Mheshimiwa Spika, ukiangalia lengo la marekebisho hayakwa haraka utaona kuna nia njema ndani yake kwa sababukwa muda mrefu Kambi Rasmi ya Upinzani tumepiga kelelekuhusu changamoto zilizopo nchini kwenye masuala yauwekezaji ikiwemo katika sekta ya ardhi.

Mheshimiwa Spika, mwaka 2012 wakati wa Bunge la kumi,Mheshimiwa Halima James Mdee (Mb) aliwasilisha hojabinafsi kuhusu umuhimu wa serikali kufanya ukaguzi natathmini kwenye uwekezaji katika mashamba makubwanchini ili kama Taifa tuweze kujua mwelekeo wetu kuhusuuwepo wa ardhi kwa ajili ya shughuli za kiuchumi; moja yachangamoto ambayo ilielezwa wakati huo ni uwepo watabia miongoni mwa wawekezaji kutumia ardhi na malizingine walizopewa kwa ajili ya uwekezaji kama rehani nakupata mikopo ya kibiashara na kuwekeza katika biasharatofauti na zile ambazo waliahidi kufanya wakati wa kuingiamakubaliano na serikali.

Mheshimiwa Spika, ilifikia hatua wawekezaji wenginekuchukua mikopo ya ndani na kuwekeza kwenye biasharazingine nje ya Tanzania, jambo hili lilipigiwa kelele lakini Serikaliiliweka pamba masikioni mpaka sasa.

Page 131: BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE ...parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1518427837-30...kasi na gofu. Katika michezo hiyo, matokeo ya timu yetu ya Bunge la Tanzania yalikuwa

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

131

Mheshimiwa Spika , mapendekezo ya muswada huuhayaondoi changamoto hiyo kwa sababu imewekautaratibu ambao ukisoma kwa makini ni kukurupuka na siokufanya tathmini na ushirikishwaji wa wadau kutatuachangamoto hiyo. Hii ni kutokana na masuala yafuatayoambayo yanapendekezwa katika muswada huu;

Mheshimiwa Spika, serikali inaweka masharti kwenye ibaraya 9 ya muswada kuwa fedha za mkopo uliopatikanakutokana na ardhi iliyokwa rehani ambayo haijaendelezwaitumike kuendeleza sehemu au ardhi hiyo. Hapa kuna hajaya kuhoji ukubwa wa sehemu hiyo ya ardhi na namna yakuiendeleza. Aidha ijulikane pia kuwa kukopa kwa kutumiarehani ya ardhi itategemea na malengo ya mkopo nampango wa biashara ya mwekezaji na sio kumlazimishakuwekeza sehemu ambayo haitakuwa na tija kwake.

Mheshimiwa Spika, masharti haya inabidi yawekwe katikasura ambayo haitaumiza pia wawekezaji wa ndani ambaohutumia ardhi kama sehemu ya kupata fedha kwa ajili yakuendeleza biashara yao tofauti na kwenye ardhi husika.

Mheshimiwa Spika, aidha ni vema serikali ikaweka ufafanuziwa maana ya benki za ndani ili kuweka sawa mkanganyikoambao unaweza kujitokeza huko baadae wakati wautekelezaji wa Sheria hii. Suala la msingi ni kuwa mitajimikubwa ya uwekezaji haitoki ndani ya nchi, kamamnajinasibu kuwa serikali ya viwanda msitegemeewawekezaji wakubwa wa viwanda vikubwa kupata mikopokwenye hizi benki zenu ambao nyingi zinapumulia mashinena nyingine mmezitangaza mufilisi.

Mheshimiwa Spika, aidha uhalisia uliopo kwa sasa ni kuwaBenki hawatoi mikopo kwa ardhi ambayo haijaendelezwa.Wataalam wa Benki wanaohusika na mikopo ya biasharawanakataa kutoa mikopo kwa wawekezaji au wajasiriamaliwakubwa ambao hawajaendeleza ardhi zao. Pendekezo hilila Serikali halijazingatia utaratibu uliopo, Kambi Rasmi yaUpinzani inapendekeza Serikali kupitia upya pendekezo hilikwa mujibu wa hali halisi. Masharti ya Sheria yanaweza

Page 132: BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE ...parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1518427837-30...kasi na gofu. Katika michezo hiyo, matokeo ya timu yetu ya Bunge la Tanzania yalikuwa

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

132

yakawa yanaruhusu rehani kuwekwa kwenye ardhi ambayohaijaendelezwa lakini uhalisia katika masuala biashara nanamna benki watakavyoweza kulipwa mikopo yao ni tofautina fikra na mtazamo wa Serikali na Sheria zilizopo.

Mheshimiwa Spika, kifungu kipya cha 120 Dkinachopendekezwa kinatoa masharti ya jumla kuwautaratibu na masharti ya utekelezaji wa vifungu vipyavinavyopendekezwa na muswada huu utafafanuliwa kwenyeKanuni, Kambi Rasmi ya Upinzani inaitaka Serikali kuhakikishamasuala ya msingi yanawekwa kwenye Sheria na sio kujifichakatika Kanuni ambazo zitatungwa na Serikali baadae.

4.3. Sheria ya Utumishi wa Umma Sura 298

Mheshimiwa Spika, sehemu ya nne ya Muswada huuinapendekeza kufanya marekebisho kwenye sheria yaUtumishi wa Umma Sura ya 298 ambapo kifungu kipya cha25A Kinapendekezwa kuongezwa kwa lengo la kuwekakwenye sheria masharti ya umri wa kustaafu kwa watumishiwa umma. Kifungu hicho kinaongeza umri wa kustaafu kwamaprofesa na wahadhiri waandamizi wa vyuo vikuu vyaumma na madaktari bingwa wa magonjwa ya binadamuwa hospitali za umma ili umri huo uweze kuwa miaka sitinikwa wale wanaostaafu kwa hiari na kwa wale wanaostaafukwa lazima iwe ni miaka sitini na tano.

Mheshimiwa Spika, sababu kubwa inayotolewa na Serikalikuhusu kuongeza umri wa kustaafu kwa kada tajwa, nikupunguza gharama kwa Serikali ya kuingia mikataba nawataalamu hawa mara tu wanapostaafu na pia kuongezamuda kwa wataalamu wengine kuweza kutumikia Taifa kwamuda mrefu zaidi na pia kusaidia kufundisha na kukuzawataalamu wachanga walioko chini.

Mheshimiwa Spika, Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeniimeshangazwa sana na sababu dhaifu zinazotolewa naSerikali kama kigezo cha kuongeza umri wa kustaafu kwakada zilizotajwa. Tafiti zilishafanyika na zikabaini kwamba mtuanapofikia umri wa miaka sitini uwezo wake wa kufikiri na

Page 133: BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE ...parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1518427837-30...kasi na gofu. Katika michezo hiyo, matokeo ya timu yetu ya Bunge la Tanzania yalikuwa

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

133

kufanya kazi unaanza kupungua. Hali kadhalika nguvu zamwili hupungua pia. Ni kipindi ambacho hata magonjwambalimbali huwashambulia sana watu wenye umri huo nakuendelea.

Mheshimiwa Spika, ni tafiti hizo hizo zilizofanya sheria yautumishi wa umma iweke ukomo wa umri wa kufanya kazikuwa miaka 55 kwa hiari na miaka 60 kwa lazima. KambiRasmi ya Upinzani Bungeni inahoji, hivi wale waliotunga sheriaya utumishi wa umma iliyoweka ukomo huo wa mika 55 kwa60 wamebadili mtazamo, au wamekufa wakaja wenginewenye mtazamo mpya au kuna utafiti mwingine uliogunduakuwa kadiri mtu anavyozidi kuzeeka ndivyo nguvu zake,uwezo wake wa kufikiri na kufanya kazi unavyozidikuongezeka?.

Mheshimiwa Spika, waingereza wana usemi usemao “cheapis always expensive” Ni jambo lisilo na tija kiuchumi kukwepagharama ndogo sasa na hatimaye kuja kuliingiza taifakwenye hasara kubwa itakayosabishwa na watendaji ambaoweledi na ufanisi wao tayari umefikia ukomo na unaanzakupungua. Ipi ni gharama kubwa; kumpatia daktari bingwammoja mkataba utakaoinisha kazi anayotakiwa kufanya kwakipindi cha mwaka mmoja au kulipa fidia ya vifovitakavyosababishwa na daktari huyo kutokana na uwezowake wa kufanya kazi kupungua? Au ipi ni gharama kubwa;kumpatia mkataba wa mwaka mmoja profesa wa chuo kikuualiyestaafu au kulipia uharibifu mkubwa utaofanywa na vijanawaliofundishwa visivyo na profesa huyo kutokana na uwezowake wa akili kupungua.

Mheshimiwa Spika, ulimwengu wa sayansi na teknoojiaunakuwa kwa kasi sana. Kila siku kuna teknolojia mpya nakila siku yanahitajika maarifa mapya ili kuweza kumuduteknolojia mpya. Kwa sababu hiyo, wataalamu wetu wanachangamoto ya kujifunza kila mara ili kuweza kukabiliana nachangamoto mpya zinazotokana na teknolojia mpya. KambiRasmi ya Upinzani inahoji, hawa wazee wetu waliofikia ukomowa kulitumikia taifa ambao tunataka kuwaongezea mudawatakuwa na uwezo wa kukaa tena darasani kujifunza mbinu

Page 134: BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE ...parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1518427837-30...kasi na gofu. Katika michezo hiyo, matokeo ya timu yetu ya Bunge la Tanzania yalikuwa

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

134

mpya zinazotokana na mabadiliko ya teknolojia? Auwatakuwa wanafanya kazi kwa uzoefu?

Mheshimiwa Spika, hoja hii ya kuongeza umri wa kustaafu,kwa maoni ya Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni, hainamashiko yoyote. Yamkini ni hoja ya watu wachache wavivuna wasio na mawazo mapana ya kujitegemea na wanatakamaisha yao yakome wakiwa kazini ili wasipate shida yakutafuta maisha baada ya kustaafu.

Mheshimiwa Spika, wastaafu wengi wanaojishughulisha nakazi za ujasiriamali baada ya kustaafu wameanza kubainikwamba walipoteza muda mwingi kukaa katika ajira rasmina wangetamani kama wangestaafu mapema zaidi kwakuwa wameona mafanikio makubwa katika kujiajiri.

Mheshimiwa Spika, hili linadhihirishwa pia na maoni ya wadauambao wengi wao hawakufurahishwa na hoja hii yakuongeza umri wa kustaafu. Mdau mmoja aliyewakilishachama cha madaktari bingwa; alisema bayana kwamba;daktari wa upasuaji ambaye ameshafikia umri wa miaka sitiniambaye kwa sasa anatakiwa kuongezewa muda wakustaafu hadi miaka sitini na tano hawezi kufanya upasuajikwa ufanisi na kwa muda unaotakiwa kama ambavyoanageweza kufanya akiwa na mika 40 mpaa 50. Alisemakuwa umakini wake umepungua, nguvu zake za mwilizimepungua, uoni wake ni hafifu, uharaka wake wa kufanyaupasuaji nao umepungua. Hivyo kumruhusu mzee huyukuendelea kufanya kazi ya upasuaji ni kusababisha hatarikubwa kwa mgonjwa ikiwa ni pamoja na kupoteza maisha.

Mheshimiwa Spika, Kambi Rasmi ya Upinzani inahoji, hivi kamahawa maprofesa na madaktari bingwa tunaowapigia upatuwa kuongeza umri wao wa kustaafu wao wenyewewamepinga hoja hiyo, Serikali inalazimisha hoja hii kwamaslahi ya nani?

Mheshimiwa Spika, Kambi Rasmi ya Upinzani inashauri nakupendekeza kufuta kabisa kifungu kipya cha 25kinachopendekeza kuongeza umri wa kustaafu. Aidha, Kambi

Page 135: BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE ...parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1518427837-30...kasi na gofu. Katika michezo hiyo, matokeo ya timu yetu ya Bunge la Tanzania yalikuwa

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

135

Rasmi ya Upinzani inakusudia kuleta jedwali la marekebishoili kufuta kifungu hicho.

5. HITIMISHO

Mheshimiwa Spika, sheria bora ni ile inayogusa makundi yoteya jamii. Sheria inayobagua baadhi ya makundi na kadakatika jamii ni sheria mbaya. Nimesema hivyo, kwa kufanyarejea ya marekebisho ya sheria ya utumishi wa ummaambayo imefanya ubaguzi wa baadhi ya kada kwakuzingezea umri wa kustaafu na nyingine kubaki katika umriwa zamani. Jambo hili halina afya sana katika utekelezajibora wa sheria. Hata hivyo sababu zilizotolewa nazo hazikidhihaja ya kufanya hivyo.

Mheshimiwa Spika, Kambi Rasmi ya Upinzani pia inaishauriSerikali kutambua mchango wa Upinzani pale inapotekelezamapendekezo na ushauri mzuri unaotolewa na Kambi yaUpinzani kwa kuwa upinzani una nia njema ya kuona TanzaniaMpya ya mifumo bora ya sheria. Narudia kusema kwambaKambi Rasmi ya Upinzani imefarijika kuona mapendekezoyake ya muda mrefu ya kuondoa mgongano uliokuwepo katiya sheria ya bajeti na kanuni za Bunge ukifanyiwa kazi naSerikali. Lipo moja tu, ambalo Kambi ya Upinzani imekuwaikilipigia kelele ambalo mpaka sasa halijatekelezwa nalo nikutunga sheria ya kusimamia mipango ya maendeleo kwamujibu wa ibara ya 63(3) (c) ya Katiba ya Jamhuri yaMuungano wa Tanzania. Ni matumaini yetu tutaona hilolikitekelezwa kwa mwaka mpya wa fedha 2018/19.

Mheshimiwa Spika, baada ya kusema hayo naombakuwasilisha.

Ally Saleh Ally (Mb)Kny: MSEMAJI MKUU WA KAMBI RASMI YA UPINZANI

BUNGENI KATIKA WIZARA YA KATIBA NA SHERIA30 Januari, 2018

Page 136: BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE ...parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1518427837-30...kasi na gofu. Katika michezo hiyo, matokeo ya timu yetu ya Bunge la Tanzania yalikuwa

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

136

MWENYEKITI: Kwa hiyo, tunaendelea. Katika orodhaambayo ninayo hapa, naangalia muda. Nadhani tungewezakufanya vizuri sana tumalize, lakini naona ngumu.Wachangiaji ni dakika 15 lakini sio lazima, mnawezamkagawana gawana kama hoja imethibiti imeeleweka.Nianze na Mheshimiwa Joseph Mhagama atafuatiwa naMheshimiwa Najma Giga. Tuanze na hawa wawili tuonetunakwendaje. Mheshimiwa Mhagama.

MHE. JOSEPH K. MHAGAMA: Mheshimiwa Mwenyekiti,kwanza nikushukuru wewe binafsi kwa kunipa hii nafasi. Pilinimshukuru sana Mwenyezi Mungu kwa kuwa mmoja katikawachangiaji wa kwanza kabisa wa Muswada huu muhimusana wa Sheria ya Marekebisho ya Sheria Mbalimbali Na. 5wa mwaka 2017.

Mheshimiwa Mwenyekiti, nimefuatilia kwa makini sanamawasilisho yaliyofanywa na Mwanasheria Mkuu wa Serikali,pia na Mwenyekiti wa Kamati ya Katiba na Sheria. Pianimebahatika kusoma mambo mbalimbali ili nione namnagani naweza nikaishauri Serikali kwenye jambo hili mahususi.

Mheshimiwa Mwenyekiti, kwanza kabisa niipongezesana Serikali yetu ya Awamu ya Tano inayoongozwa naMheshimiwa Rais John Pombe Magufuli. Ukisoma Muswadahuu unapata picha iliyo dhahiri kwamba Serikali ya Awamuya Tano imejipanga vizuri sana kurudisha rasilimali zaWatanzania mikononi mwa Watanzania na kuwajengaWatanzania kiuchumi. Sheria ya Ardhi, Sura namba 113marekebisho yaliyoletwa hapa yanalenga kwenda kulindarasilimali ardhi ambayo kwa sehemu kubwa imetumika vibayasana na watu wasioitakia mema Tanzania.

Mheshimiwa Mwenyekiti, sasa Sheria hii sitachambuamaeneo mengi kwa sababu nataka nijikite kwenye eneolingine, lakini niwashawishi Waheshimiwa Wabunge tuipitishekama ilivyo. (Makofi)

Mheshimiwa Mwenyekiti, eneo ambalo nataka kwamuda mfupi niliopewa nijikite zaidi ni kwenye hii Sheria ya

Page 137: BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE ...parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1518427837-30...kasi na gofu. Katika michezo hiyo, matokeo ya timu yetu ya Bunge la Tanzania yalikuwa

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

137

Utumishi wa Umma, Sura 298. Ukisiki l iza mawasil ishoyaliyofanywa unapata picha dhahiri kwamba katika kipindifulani tulijisahau kidogo kuweka ajira za kutosha kwenye eneohili mahususi kabisa linalogusa Wahadhiri wa Vyuo Vikuu lakinina Madaktari. Matokeo yake leo tuna upungufu mkubwasana wa kada hiyo. Kati ya mwaka 2012 mpaka 2015watumishi katika kada hiyo waliofikia umri wa kustaafu walifika395. Katika kipindi hicho hicho Serikali ililazimika kuingiamkataba na watumishi hao hao waliostaafu na kufikia idadiya 324.

Sasa unapata picha kwamba waliofikia umri wakustaafu 395 wanaoombwa kurudi kuendelea na majukumu324 sawa sawa na asilimia 82. Sasa huu ni ushahidi kwambakada hiyo ina upungufu mkubwa sana wa watu. Sasa Serikaliimechukua hatua hiyo kwa muda mrefu, imeendelea kuwa-retain wale waliostaafu kwa asilimia 82.

Mheshimiwa Mwenyekiti, madhara yake ni matumizimakubwa ya fedha za Serikali, hawa watumishiwanapostaafu wanalipwa mafao yao yote, wanapewastahiki zao zote ikiwemo kiinua mgongo. Tunapowaombasasa warudi kazini kuendelea na kazi tuna-negotiate upyamikataba na masharti yanakuwa mapya wakati mwingine,na gharama pengine zinakuwa kubwa zaidi.

Mheshimiwa Mwenyekiti, mbaya zaidi wanapomalizakipindi, kila kipindi cha miaka miwili kinapoisha sasa Serikaliinalazimika kuwalipa tena gratuity ambayo kimsingi ni kubwasana. Ukisoma katika makabrasha mbalimbali katika kipindicha miaka miwili tu Serikali imetumia zaidi ya bilioni 2.9. Sasakimsingi hizo ndizo hoja za msingi ambazo binafsi naziona.

Mheshimiwa Mwenyekiti, hoja nyingine kubwainahusu gharama ambazo Serikali inatumia kuwekezakwenye kuijenga hiyo kada. Hawa Madaktari na Maprofesa,Wahadhiri na Madaktari Bingwa ni kada ambayo ni rare sanakatika Taifa lolote. Fedha inayotumika kuwafikisha hapo nikubwa sana, lakini pia muda tunaotumia kuwajenga nakuwaelimisha ni kubwa sana.

Page 138: BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE ...parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1518427837-30...kasi na gofu. Katika michezo hiyo, matokeo ya timu yetu ya Bunge la Tanzania yalikuwa

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

138

Mheshimiwa Mwenyekiti, Profesa wa kawaida wengiwanafikia nafasi hiyo wakiwa na miaka 35 hadi 50 na mudawa kulitumikia Taifa unabaki labda miaka mitano, kituambacho ni hasara kubwa kwa Watanzania lakini pia hasarakubwa sana kwa Taifa. Pia gharama za kumsomesha daktaribingwa mmoja tu na taaluma hizi hapa hatuna,tunawapeleka nje ya nchi, ambapo UK peke yakeinagharimu milioni mia moja thelathini na tisa, ni kiasi kikubwasana cha pesa.

Mheshimiwa Mwenyekiti, lakini Wahadhiri wa vyuovikuu, wale ambao tunataka waweze kuwapeleka vijanawetu kwenye soko la ushindani wa ajira kwa nchi ya Uingerezapeke yake inagharimu milioni themanini na nane kumpatamtaalam mmoja mwenye hizo sifa. Kwa hiyo, unaona niuwekezaji mkubwa sana ambao mtu binafsi anaufanya lakinipia Serikali inaufanya. Itakuwa si jambo la hekima na la busarakuifanya hii rasilimali watu ambayo tunaijenga kwa mudamrefu itumike katika muda mfupi tu kwa maslahi makubwaya Taifa. (Makofi)

Mheshimiwa Mwenyekiti, kwa hiyo, kuna maeneoambayo tunaweza tukajifunza; sisi Watanzania si watu wakwanza kufikia maamuzi kama hayo. Mwenyekiti wa Kamatiya Katiba na Sheria ameeleza bayana, ametupa mifano,kwamba Nigeria muda wa kustaafu miaka 70 kwa hiyari lakinianakwenda mpaka miaka 75, nchi jirani ya Kenya miaka 70kwa kada kama hiyo. Nchi zingine ambazo zimeendelea zaidiUjerumani hata Uingereza hawana kipindi cha kustaafuinategemea uwezo wa mhusika lakini pia mahitaji ya kitaifa.

Mheshimiwa Mwenyekiti, kwa hivyo, hiyo ni kadaambayo tukiziondoa na kada zingine zote ambazo zina hakisawa katika Taifa, hii ni kada adimu sana kuipata katikahistoria ya nchi yetu na ndiyo maana unaona wanatoka,wanamaliza watu 395 wanarudishwa kazini watu 324 asilimia82. Kwa hiyo, naunga mkono hoja kwamba huu Muswadaupite ili taifa letu liweze kunufaika na rasilimali watu hii.

Page 139: BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE ...parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1518427837-30...kasi na gofu. Katika michezo hiyo, matokeo ya timu yetu ya Bunge la Tanzania yalikuwa

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

139

Mheshimiwa Mwenyekiti, hoja yangu kwa Serikali nihii, tunakwenda, naamini Waheshimiwa Wabunge tutakubalikuipitisha na sasa itakuwa sheria, lakini ni vyema sasa Serikalitukaja na mkakati mahsusi kabisa wa kupunguza hili tatizo.Hii ni kwa sababu kuna Watanzania wengi wanakosa fursakama hizo kwenye maeneo mbalimbali. Hatua ambayoSerikali inaichukua kwanza itajenga motisha kwa vijanakuwekeza katika elimu ili waweze kuwa madaktari bingwalakini pia wafikie hadhi ya uprofesa katika shughuli zao,itawapa hiyo motisha. Pia Serikali sasa ije na succession planya eneo hilo la elimu na eneo la afya.

Mheshimiwa Mwenyekiti, huo ndio ulikuwa mchangowangu wa leo. Nakushukuru sana na naunga mkono hoja.(Makofi)

MWENYEKITI: Ahsante sana Mheshimiwa Mhagamakwa mchango wako. Mheshimiwa Najma Giga atafuatiwana mheshimiwa Taska Mbogo

MHE. NAJMA MURTAZA GIGA: MheshimiwaMwenyekiti, ahsante sana kwa kunipa nafasi na natumia fursahii kumshukuru Mwenyezi Mungu kwanza lakini kuwatakiaWaheshimiwa Wabunge wote heri zote za mwaka mpya.

Mheshimiwa Mwenyekiti, nina machache tu yakuchangia katika Muswada huu wa Sheria ya Marekebishoya Sheria Mbalimbali Na. 5 wa mwaka 2017. Sheria hiziukitazama zimeletwa kwa uchache kwa maana ni kidogolakini zina impact kubwa na maslahi mapana sana katikaTaifa letu.

Mheshimiwa Mwenyekiti, ingawa sheria hii ya Ufilisi nisehemu ndogo tu lakini lengo lake nalo pia ni zuri katikakufanya utekelezaji uwe mwepesi katika Sheria ya Ufilisi kwakuweka tafsiri ya neno hili la official receiver. Kwa hiyo hilihalina mjadala mkubwa na naamini wote mtakubalina namimi.

Page 140: BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE ...parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1518427837-30...kasi na gofu. Katika michezo hiyo, matokeo ya timu yetu ya Bunge la Tanzania yalikuwa

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

140

Mheshimiwa Mwenyekiti, pia Sheria ya Bajeti hiiinadhamiria kuweka hali sawa katika Bunge letu baina yakanuni zetu na sheria. Kwa hiyo hili nalo nafikiri ni jambo zurina naamini wote tutakubaliana, kwamba kupokea Mpangowa Bajeti wa Serikali katika kipindi cha Oktoba na Novembaitakuwa ni vizuri zaidi.

Mheshimiwa Mwenyekiti, pia naishukuru Serikali kwakuona kwamba kuna umuhimu wa kuweka exception katikaule mwaka ambao tutafanya uchaguzi na kuweza kupokeampango huu sasa katika mkutano wa pili wa Bunge. kwahiyo, nalo hilo limekaa vizuri halina tatizo lolote na naaminiwote tutakubaliana hapo.

Mheshimiwa Mwenyekiti, tukija kwenye suala la ardhi,yaani masharti kuhusu kutumia ardhi kwa ajili ya kupatamkopo. Hapa lazima niseme kidogo zaidi. Kwanza naiungamkono na kuipongeza sana Serikali kwa kuweza kuonakwamba umuhimu wa kuendeleza ardhi yetu ya Tanzania.Hili ni jambo muhimu sana, tusilione kwa udogo tukaitizamakwa urahisi lakini inaonekana muda mrefu Serikali yetuinapata hasara, watu wanakopa kwa kutumia ardhi iliyopoTanzania ambayo haijaendelezwa na wanaweza kuendelezamaeneo mengine ambayo yapo nje ya nchi yetu.

Mheshimiwa Mwenyekiti, kwa hiyo, kuwepo aukuletwa kwa marekebisho ya sheria hii, yatasaidia ardhi yaTanzania kuweza kuendelezwa. Haiwezekani leo mtuanakopa kwa kutumia rasilimali ya ardhi ya Tanzania nakuendeleza sehemu nyingine ambayo si ya Tanzania. Kwahiyo, sheria hii naamini Watanzania wote wazalendo wa nchihii wataunga mkono na kukubaliana na marekebisho haya.

Mheshimiwa Mwenyekiti, tukija kwenye sehemu yamwisho ambayo ni Sheria ya Utumishi wa Umma, kuongezaumri wa wastaafu hasa tukienda kwenye kada ya maprofesana madaktari bingwa. Kuhusiana na hili Serikali pia imeletahoja nzito na hoja za msingi. Ni kweli kabisa kada hii ni muhimusana kwa Taifa letu na hao watu bado tunawahitaji kwauchache wao kwa maslahi ya Taifa letu, hii haina mjadala.

Page 141: BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE ...parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1518427837-30...kasi na gofu. Katika michezo hiyo, matokeo ya timu yetu ya Bunge la Tanzania yalikuwa

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

141

Mheshimiwa Mwenyekiti, tukiwa tunakubalikurekebisha sheria hii kwa maslahi mapana ya Taifa letulazima Serikali ione namna mbadala wa ku-fill gap, hiyo ndiyoitakuwa solution ya kudumu. Tutaenda na sheria hiitutarekebisha leo, tutaweza kuitumia na naamini itatufikishapazuri ili kuondoa gharama kubwa ambayo tumeitumia sikuzote katika Serikali yetu katika kuongeza mikataba ya watuhawa ambao tunawahitaji katika Taifa letu.

Mheshimiwa Mwenyekiti, faida zipo pande mbili,kwamba kuna wengine ambao wanaongezewa mudawanajiweza bado wapo na afya nzuri na bado wataletamaendeleo katika Taifa letu. Pia tutawakwepa wale ambaowanasomeshwa na Taifa hili halafu wanafika umri wa miaka55 wanasema wanataka kustaafu kwa hiyari anakwendakutafuta mpango mwingine wa binafsi na anaacha maslahimapana ya Taifa letu yanakwenda pembeni. (Makofi)

Mheshimiwa Mwenyekiti, kwa hiyo, mambo hayomawili yamesaidia kuonesha hoja ya msingi ya Serikali nakwa kweli naunga mkono suala hili, lakini narudi pale paletena, Taifa letu bado lina uchache wa kada hizi, kwa hiyonaomba tupange tu mpango endelevu wa kuona kwambatunaondoa urasimu kwanza katika kuhakikisha hawa wasomiwetu wanafikia level hizi ambazo tumezikusudia za Maprofesana Madaktari Bingwa.

Mheshimiwa Mwenyekiti, hii ni kwa sababu pia kwaupande mmoja urasimu ndio unaosababisha, mtu anaandikapaper miaka mitatu mizima hasogezwi popote au hajibiwilolote. Kwa hiyo hii inarudisha nyuma kuongeza hizi kada zaMprofesa au Lectures wa vyuo vyetu. Kwa hiyo, naombahilo suala la urasimu liangaliwe sana na Serikali ili tuwezekuwasogeza mbele hawa wasomi wetu ambao wanatakiwawafike katika kada hizi.

Mheshimiwa Mwenyekiti, pamoja na kwambagharama ya kusomesha Madaktari bingwa nje ya nchi nikubwa sana lakini bado nasisitiza kuna umuhimu mkubwasana wa Serikali yetu kupanga fungu maalum la kuweza

Page 142: BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE ...parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1518427837-30...kasi na gofu. Katika michezo hiyo, matokeo ya timu yetu ya Bunge la Tanzania yalikuwa

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

142

angalau basi tusiwafikie wenzetu wa nchi nyingine za jiraniambao wanaweza kupeleka wasomi wetu kwenda kutafutahii fani ya udaktari bingwa nje ya nchi, basi angalau na sisituweze kufanya japo kidogo tuanze taratibu ili kuonakwamba gap hili linaweza kuondoka miaka ya mbele.

Mheshimiwa Mwenyekiti, naamini nimeeleweka kwamachache haya, naomba na wengine waweze kuchangia.Ahsante sana. (Makofi)

MWENYEKITI: Nashukuru sana Mheshimiwa Najmakwa mchango wako mzuri. Mheshimiwa Taska Mbogo.

MHE. TASKA R. MBOGO: Mheshimiwa Mwenyekiti,ahsante sana kwa kunipa nafasi hii ya kuchangia Muswadahuu. Napenda kuipongeza Serikali kwa kuja na marekebishoya sheria hizi. Ningeomba tu Serikali iendelee kuboreshaMuswada huu kwa kushirikisha wadau mbalimbali ili uwezekukaa vizuri zaidi. Hii ni kwa sababu kanuni ya kushirikishawadau ni kanuni ya 84 na Ibara ya Katiba ya 8 na 21inatuambia kwamba tunapotunga sheria lazima tushirikishewadau mbalimbali.

Mheshimiwa Mwenyekiti, hii ni kwa sababu sheria hizizinakwenda kutumika kwa wananchi wote wa Tanzania. Sisitukiwa kama wawakilishi wao tunakuja tu kuleta mawazo yawananchi wanasemaje, lakini tunapowaleta wadau kujakutoa maoni yao kuhusu sheria fulani inasaidia kuelewa zaidiundani wa sheria hiyo.

Mheshimiwa Mwenyekiti, baada ya kusema hayo,napenda niipongeze Serikali kwa kubadilisha umri wakustaafu kwa Maprofesa na Madaktari, kutoka umri wa miaka55 mpaka 60 kwenda umri wa miaka 60 mpaka 65.Naipongeza Serikali kwa sababu hizi profession za udaktarina uprofesa unaweza ukasema ni rare professions kwasababu si kila mtu anaweza kufika level ya uprofesa na siokila mtu anaweza akafika level ya kuwa daktari bingwa. Kwahiyo ili tuweze kuwatumia hawa madaktari bingwa vizuri na

Page 143: BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE ...parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1518427837-30...kasi na gofu. Katika michezo hiyo, matokeo ya timu yetu ya Bunge la Tanzania yalikuwa

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

143

tuweze kuwatumia maprofesa wetu vizuri, naipongezaSerikali kwa kubadilisha huo umri kutoka miaka 60 mpakamiaka 65.

Mheshimiwa Mwenyekiti, ukiangalia hata kule UN sasahivi wanastaafu wakiwa na miaka 65 na voluntary retirementni miaka 62. Kwa hiyo, kwa kuleta Muswada huu ni muafaka,sisi tungebaki peke yetu kufika kwenye miaka kustaafu namiaka 55. Kwa kuja na wazo la miaka 60 mpaka 65 kwamaprofesa na madaktari ni wazo jema. Tena nafikiri kwaprofesa na daktari kwa sababu mtu akishajifunza kitu kinakaakichwani maisha na hakibadiliki labda Serikali ingefikiriakutoka 65 kupeleka 70.

Mheshimiwa Mwenyekiti, hii ni kwa sababu unamkutaprofesa ana miaka 72 lakini bado ana nguvu zake, anastaafuSerikalini na anakwenda kufanya kazi kwenye privateinstitution. Tunavyo vyuo vya private unakuta profesaametoka pale Chuo Kikuu cha Dar es Salaam lakini unamkutaamekwenda pale Tumaini University anafundisha auamekwenda university nyingine kama za Makumira kuleArusha anafundisha pale. Sisi kama Wabunge tunatakiwatulifikirie hili na tu-support Muswada huu.

Mheshimiwa Mwenyekiti, nafikiri Serikali inaweza sikunyingine ikaja na miaka 65 kwenda 70 kwa maprofesa namadaktari. Hii ni kwa sababu ujuzi wanakuwa nao kichwanina ujuzi wa mtu unakaa lifetime, si kwamba mtu anazeekaanatoa ujuzi, mtu anapokuwa mzee nafikiri ule ujuzi ndiounazidi kushamiri vizuri pale kichwani kwake.

Mheshimiwa Mwenyekiti, napenda niipongeze Serikalikwa kuja na marekebisho ya ibara ya 120 na naipongezaSerikali kwa kuwa haijafanya marekebisho kwenye zile hatiza kimila ila ningeomba baadaye Serikali ifikirie pia kuwekasheria, kuzijumuisha zile hati za kimila ili wazawa wa Tanzaniana wananchi wa vijijini waweze kutumia zile hati zao za kimilakupata mikopo.

Page 144: BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE ...parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1518427837-30...kasi na gofu. Katika michezo hiyo, matokeo ya timu yetu ya Bunge la Tanzania yalikuwa

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

144

Mheshimiwa Mwenyekiti, hii ni kwa sababu katikaMuswada huu hati za kimila hazipo, hazihusiki kwenyeMuswada huu, lakini kwa baadaye kadri Serikali itakavyoona,kwa sababu wananchi wengi walio na mashamba makubwawengi wameyarithi kutoka kwa wazazi wao. Shambaunakuta lilikuwa la babu yake ndio pale ambapo kila kitukipo, makaburi ya babu zake yapo pale, ni mashambaambayo wamegawana pale kiukoo na wana hati ya kimila.

Mheshimiwa Mwenyekiti, kwa hiyo, kwa baadayeSerikali iangalie jinsi gani ya kujumuisha hizi hati za kimilaziweze kutumika ili wananchi wa vijijini nao waweze kutumiahati zao za kimila kupata mikopo benki na kuweza kupatamitaji ya kufanyia biashara kubwa. Pia wananchi wa vijijiniwapate opportunity ya kuweza kuwekeza nje ya nchi kwakutumia hati zao za kimila.

Mheshimiwa Mwenyekiti, niipongeze Serikali kwakufuata maoni ya Kamati ya Katiba na sheria kwa kuondoakifungu namba 25B ambacho kilikuwa kinampa mamlakaWaziri kutoa maoni yake kwamba mtu anapotaka kustaafukilikuwa kinampa power Waziri ya kuweza ku-determine umriwa mtumishi kustaafu.

Mheshimiwa Mwenyekiti, Muswada huu ulipokujakwenye Kamati yetu, tulipendekeza kwamba kifungu hikinamba 25B kiondolewe kwa sababu Waziri mhusika anawezaakakitumia vibaya, anaweza akawa hampendi profesa fulaniau hampendi mwajiriwa fulani akakitumia vibaya kwasababu ana mamlaka ya kuongea na Rais akapendekezakwamba yule mtu astaafishwe kazi.

Mheshimiwa Mwenyekiti, kifungu hiki kilipokuja kwenyeKamati yetu tulipendekeza kwamba kiondolewe kwa sababutuliona kwamba kwanza kina ubaguzi halafu kinampa Waziriexcess power ambayo anaweza akaitumia vibaya. Nashukurukatika marekebisho yaliyowekwa hapa kwenye jedwali,Serikali imekuwa sikivu na imekiondoa kifungu hiki. Sababuzilizofanya tukiondoe zilikuwa ni sababu hizo.

Page 145: BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE ...parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1518427837-30...kasi na gofu. Katika michezo hiyo, matokeo ya timu yetu ya Bunge la Tanzania yalikuwa

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

145

Mheshimiwa Mwenyekiti, ningependa Serikali hapobaadaye iendelee kuongea na wadau wa benki,nikimaanisha kwamba benki tofauti, iendelee kujadiliana naokuhusu suala la wakopaji. Katika Muswada huu tumeonakwamba benki wanao wajibu wa kupeleka ripoti Serikalinikuhusu pesa ambazo wanamkopesha huyo mtu aliyeendakukopa pesa na kuweka dhamana ya shamba.

Mheshimiwa Mwenyekiti, ipo mifano mingi ambayotumeona, yapo mashamba mengi ambayo watu wanazohati za hayo mashamba na wameweza kwenda benki nawakachukua pesa nyingi benki na baadaye tumeonakwamba wale watu ambao wapo nje ya Tanzaniawamekuwa ni mabilionea kwa kutumia ardhi ya Tanzaniakupata huo ubilionea. Wameweza kutumia haya hayamashamba yetu yalipo humu nchini, wamepewa yalemashamba, walipewa hizo hati miliki na wakazipeleka benkiwakachukua pesa. Baada ya hapo wameenda njewanafanya biashara nje ya nchi.

Mheshimiwa Mwenyekiti, tuiombe sasa Serikali kwakutumia Muswada huu na kwa kutumia sheria hii itakapopitaiweze kuwafuatilia wale wote ambao walichukua mashambahumu nchini Tanzania na wakachukua hizo hati wakaendabenki wakazoa mamilioni ya pesa na sasa hivi ni mabilioneanje ya nchi hii ya Tanzania; wawafuatilie ili waweze kurudishahizo pesa zetu. Nafikiri sheria iweze kuchukua mkondo wake.

Mheshimiwa Mwenyekiti, pia sheria hii baada yakupita tunaiomba Serikali ichukue jukumu la kurudisha…

(Hapa kengele ililia kuashiria kwisha kwamuda wa mzungumzaji)

MWENYEKITI: Ahsante sana.

MHE. TASKA R. MBOGO: Mheshimiwa Mwenyekiti,naunga mkono hoja a hundred percent. (Makofi)

Page 146: BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE ...parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1518427837-30...kasi na gofu. Katika michezo hiyo, matokeo ya timu yetu ya Bunge la Tanzania yalikuwa

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

146

MWENYEKITI: Waheshimiwa Wabunge, hii hoja ni nzurisana na ndio mnaisaidia nchi. Nadhani muda ni muhimutukauangalia, nitamwita Waziri wa Nchi atoe hoja,itafurahisha kama tutaimaliza hoja hii tusirudi saa 11,mnaonaje?

WABUNGE: Mheshimiwa Mwenyekiti, sawa.

MWENYEKITI: Sawa kabisa, sasa ili twende vizuriWaheshimiwa Wabunge, mnaonaje kama tutapiga dakikatano tano anayechangia badala ya dakika 15. MheshimiwaWaziri wa Nchi.

HOJA YA KUTENGUA KANUNI

WAZIRI WA NCHI, OFISI YA WAZIRI MKUU, SERA, BUNGE,VIJANA, AJIRA NA WENYE ULEMAVU: Mheshimiwa Mwenyekitiwa Bunge, Mheshimiwa Mtemi Chenge, naomba kwa mujibuwa Kanuni ya 28(2) nitoe hoja mbele ya Bunge lako Tukufu iliBunge liendelee na mjadala wa shughuli hii mpaka paletutakapokuwa tumeukamilisha.

Mheshimiwa Mwenyekiti, naomba kutoa hoja.

WAZIRI WA ELIMU, SAYANSI NA TEKNOLOJIA:Mheshimiwa Mwenyekiti, naafiki.

MWENYEKITI: Hoja imetolewa na imeungwa mkono nazaidi ya Wabunge 10, nawashukuru, sasa nitawahoji.

(Haja ilitolewa iamuliwe)(Hoja iliamuliwa na Kuafikiwa)

MWENYEKITI: Walioafiki wameshinda.

Waheshimiwa Wajumbe, tunaendelea, ahsantenisana. Sasa ni dakika tano tano, ninaye Mheshimiwa SalomeMakamba dakika tano, ninaye Mheshimiwa Joram Hongolidakika tano.

Page 147: BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE ...parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1518427837-30...kasi na gofu. Katika michezo hiyo, matokeo ya timu yetu ya Bunge la Tanzania yalikuwa

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

147

MHE. SALOME W. MAKAMBA: Mheshimiwa Mwenyekiti,nakushukuru. Naomba nami nichangie Muswada huu kwakifupi sana.

Mheshimiwa Mwenyekiti, kwanza nipende kumshauriWaziri mwenye dhamana kwamba muda uliowekwa kwaajili ya kutoa taarifa ya kuendeleza ardhi kwenye Sheria yaMabadiliko ya Ardhi wa miezi sita ni mchache sana. Sotetunafahamu kwamba lengo la mkopo ni kufanya biashara,sheria imelazimisha mtu achukue mkopo na aendeakaendeleze eneo ambalo amekopea, kitu ambachokwangu naona si sahihi kwa sababu akiwekeza auakiendeleza eneo lile inawezekana haikuwa malengo yamkopo ule na hivyo anaweza akashindwa kurejesha, jamboambalo linaweza likasababisha akanyang’anywa ardhi piana hiyo financial institution.

Mheshimiwa Mwenyekiti, kwa hiyo niseme, amakifungu hiki kiangaliwe kwa umakini zaidi au kamaitawezekana muda wa kutoa taarifa ya uendelezajiuongezwe ili yule mtu aweze kuiwekeza ile pesa kwenye eneolile kwa awamu ndogo ndogo wakati anakamilisha malengoyake ya kuchukua mkopo.

Mheshimiwa Mwenyekiti, pili, niseme kuna mkinzanomkubwa sana kati ya Sheria ya Uendeshaji wa MabenkiTanzania na sheria hii kwa sababu benki hazitoi mkopo kwaardhi ambayo haijaendelezwa. Kwa sababu hiyo, ni lazimaili tuweze kupata maelewano kati ya sheria hizi mbili, Serikaliione umuhimu wa kuongea na watu wa benki waelewe ninililikuwa lengo la kuweka sheria hii ili inapofikia kwambawanatakiwa kuwakopesha watu ambao hawajaendelezaardhi, pesa ziweze kutolewa kwa watu wale kama ambavyosheria inaeleza, lakini mpaka sasa bado kuna ukinzanimkubwa sana.

Mheshimiwa Mwenyekiti, pia nitoe mawazo yangukwenye huu Muswada wa Utumishi wa Umma. Nadhaniwadau katika Muswada huu hawajashirikishwa vizuri. Serikaliimefikia maamuzi ya kuongeza kuanzia miaka 60 kwa hiari

Page 148: BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE ...parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1518427837-30...kasi na gofu. Katika michezo hiyo, matokeo ya timu yetu ya Bunge la Tanzania yalikuwa

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

148

na miaka 65 kwa lazima lakini bado ipo haja kubwa sanaya kuweza kuangalia maoni ya wadau. Kwa sababu kunamafunzo mbalimbali yatatoka hapo watapewa walewataalam ambao wamefikisha miaka 65, tunadhaniyatafanyika kwa ufanisi na wakati mtu huyu tayari ana umrimkubwa?

Mheshimiwa Mwenyekiti, tukiachana na hilo;unadhani kwa kuongeza mkataba, kwamba mtu atastaafukwa miaka 65 kwa lazima, unadhani ndiyo inaleta ufanisi auunamlazimisha yule mtu afanye kazi hata kama hataki? Ndiyotunarudi kwenye suala la morale; professionalism inakwendana morale. Kwa hiyo nimshauri sana Mheshimiwa Waziriakazungumze vizuri na wadau kuhusu kuongeza umri, kwasababu mimi naamini si wote ambao wanapendezwa nasuala la kuongezwa umri wa kustaafu kama ambavyoimeelezwa katika proposal hii.

Mheshimiwa Mwenyekiti, mwisho kabisa, nimaliziekwa kusema kwamba hii Sheria ya Ardhi kuna jambo la msingiambalo tumelikwepa la zile ardhi ambazo zinamilikiwa kimila;bado nahitaji ufafanuzi kutoka kwa Mheshimiwa Wazirimwenye dhamana. Anasema wale wanaomiliki kimila,mabadiliko ya sheria hii hayatawagusa, lakini wapo watuwanamiliki maekari ya ardhi kimila na wanatamani kufanyauwekezaji kwa kuchukua mikopo; na hizi ndiyo zimekuwakelele za Wabunge wengi humu ndani.

Mheshimiwa Mwenyekiti, watu wengi ardhi zaowanamiliki kimila na si kwa utaratibu wa Serikali na wakatimwingine sio kwa kutaka kwao, ni kwa sababu mfumo wakupata hatimiliki ya Kiserikali bado haujakwenda vizuri.

Mheshimiwa Mwenyekiti, kwa hiyo Mheshimiwa Wazirialiangalie suala hili la wale wanaomiliki zile hati kimila; naaminiipo sababu ya msingi kama kweli tunataka kufanya uwekezajiwa ndani, kama kweli tunataka kujenga Tanzania yaviwanda na kuwapa uwezo watu ambao wanawekeza, iposababu ya kuzingatia umiliki wa kimila. (Makofi)

Page 149: BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE ...parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1518427837-30...kasi na gofu. Katika michezo hiyo, matokeo ya timu yetu ya Bunge la Tanzania yalikuwa

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

149

(Hapa kengele ililia kuashiria kwisha kwamuda wa mzungumzaji)

MHE. SALOME W. MAKAMBA: Mheshimiwa Mwenyekiti,ahsante sana.

MHE. JORAM I. HONGOLI: Mheshimiwa Mwenyekiti,nakushukuru kwa kunipa nafasi kuweza kuchangia Muswadauliopo mbele yetu. Nami nianze kuipongeza Serikali kwakuleta mabadiliko haya, ni ya muhimu sana kwa kufikiamalengo ya Serikali yetu.

Mheshimiwa Mwenyekiti, nijikite pale kwenye Sheriaile ya Ardhi ya Marekebisho, Sura ya 113 (The Land Act CAP,113), masharti yanayohusu matumizi ya ardhi, hasa kwenyekupata mikopo kwa maana ya mortgage. Ni kweli tumeonawawekezaji wengi wamekuwa wakitumia ardhi kwa ajili yakupata fedha kupata mikopo kwenye benki mbalimbali zandani na nje ya nchi. Hata hivyo, fedha hizi mara nyingizimekuwa haziendi kwa ajili ya kuendeleza maeneo aumashamba yale ambayo wamekopea fedha na badala yakewamekuwa wakifanyia shughuli nyingine au wamekuwawakipeleka nje kuwekeza huko nje ya nchi na hatimaye sisikama nchi tumekuwa tukikosa ajira kwa maana ya yalemashamba ambayo wamekopea fedha yamekuwahawaendelezwi.

Mheshimiwa Mwenyekiti, ukiangalia kwa mfanomengi ya mashamba ya mikonge yaliyopo kule Tanga,mashamba ya chai yaliyopo Tanga na maeneo ya Lupembekule; unakuta watu wamekopa fedha nyingi, lakini fedha hizihazitumiki kuendeleza mashamba haya na hatimayetunakosa ajira kwa vijana wetu, lakini pia tunakosa fedhaambazo zingetokana na kuuzwa yale mazao na kupatafedha za kigeni. Kwa hiyo, kimsingi uchumi wa nchiunaharibiwa na hawa wakopaji ambao wanakopa lakiniwanaenda kufanyia mambo mengine.

Mheshimiwa Mwenyekiti, kwa hiyo sheria hii ni nzuri,itasaidia kuhakikisha kwamba fedha zinazokopwa, hasa kwa

Page 150: BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE ...parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1518427837-30...kasi na gofu. Katika michezo hiyo, matokeo ya timu yetu ya Bunge la Tanzania yalikuwa

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

150

mashamba yale ambayo hayajaendelezwa ili yawezekuendelezwa na yale ambayo yameendelezwa kidogo basiyaweze kupanuliwa zaidi. Kwa hiyo nimeona hii sheria ni nzurina itasaidia kuhakikisha kwamba fedha zinawekezwa nchinina hatimaye uchumi wa nchi unakuwa tofauti na ilivyokuwahapo mwanzo.

Mheshimiwa Mwenyekiti, lakini pia nichangie na Sheriahii ya Utumishi wa Umma ambayo inahusu kuongeza mudawa kustaafu, kwa maana ya maprofesa, wahadhiriwaandamizi, lakini pia na madaktari bingwa. Ni kweli,wanasema wataalam kwa uzoefu kwamba daktari bingwaau mhadhiri mwandamizi au profesa jinsi umri unavyozidikusogea basi uzoefu unaongezeka. Kwa hiyo kwa kufanyahivi itatusaidia maprofesa, wahadhiri waandamizi namadaktari bingwa kuweza kuwawezesha wale wengineambao hawana uzoefu wa kutosha waweze kuwapa uzoefuwa kutosha.

Mheshimiwa Mwenyekiti, tumeona pia sheria hiiimefuata nchi nyingine jinsi wanavyofanya, kwa mfano Nchiya Kenya, wao madaktari bingwa hasa waliopo kwenye hiifani ya tiba wanastaafu kwa hiari katika umri wa miaka 70na kwa lazima miaka 75. Pia ukiangalia Nchi ya Nigeria,madaktari na maprofesa wanastaafu kwenye umri wa miaka70; Botswana nao wanastaafu kwenye umri wa miaka 65 nanchi nyingine kama Zimbabwe wanastaafu miaka 65.

Mheshimiwa Mwenyekiti, kwa sasa na sisi piatutakuwa sawasawa na nchi nyingine kwa maana ya hawamaprofesa, wahadhiri waandamizi na madaktari bingwa,kwa hiyo tutaendana sambamba na nchi nyingine. Maanayake wataalam wetu wengi wamekuwa wakistaafu katikaumri wa miaka 55 wanaondoka kwenda kusaidia nchinyingine ambako wanaendelea kustaafu mpaka miaka 70.

Mheshimiwa Mwenyekiti, tumeona madaktari bingwanao wamekuwa wakiamua kustaafu mapema ili wawezekuingia kwenye mkataba na hatimaye waweze kulipwapensheni lakini pia wanaanza kulipwa ule mkataba, kwa hiyo

Page 151: BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE ...parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1518427837-30...kasi na gofu. Katika michezo hiyo, matokeo ya timu yetu ya Bunge la Tanzania yalikuwa

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

151

imekuwa ni gharama kubwa sana kwa Serikali. Kwa hiyo kwakuongeza muda maana yake tunatatua tatizo la kulipagharama kubwa kwa ajili ya mikataba ambayo tungewapahawa madaktari ambao wamefikia miaka 55 au wamefikiamiaka 60, wameshastaafu tayari; kwa hiyo kwa mtindo huutunaokoa gharama.

Mheshimiwa Mwenyekiti, pia sasa Serikali katikamipango yake ni vizuri ijipange vizuri kuhakikisha kwambainaweka mpango wa muda mrefu wa kuhakikisha kwambawanaanza kuwaandaa hawa madaktari bingwa mapemaau wanaanza kuwaandaa hawa wahadhiri waandamizimapema ili kusijitokeze tena haya matatizo ambayoyamejitokeza katikati kuwa na… (Makofi)

(Hapa kengele ililia kuashiria kwisha kwamuda wa mzungumzaji)

MWENYEKITI: Ahsante sana kwa mchango wako.

MHE. JORAM I. HONGOLI: Mheshimiwa Mwenyekiti,ahsante sana na naunga mkono hoja.

MWENYEKITI: Ahsante sana. Mheshimiwa Ruth Mollelatafuatiwa na Mheshimiwa JoyceSokombi na Mheshimiwa Ally Saleh ajiandae.

MHE. RUTH H. MOLLEL: Mheshimiwa Mwenyekiti,ahsante kwa kunipa nafasi ya kuweza kuchangia Muswadauliopo hapo Mezani.

Mheshimiwa Mwenyekiti, historia inaonesha kwambaajira kwa watumishi wa umma zimekuwa hazitoki kwa mudamrefu na vile vile zoezi lile la kuondoa watumishi wengi katikautumishi wa umma limesababisha upungufu mkubwa wavijana ambao wangeweza kukua katika utumishi wa ummawaweze kuendeleza utumishi wa umma. Kwa hiyo, matokeoyake sasa tuliyokuwa nayo si katika fani tu ya madaktari namaprofesa lakini ni katika fani zote, kwamba tuna watu wengi

Page 152: BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE ...parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1518427837-30...kasi na gofu. Katika michezo hiyo, matokeo ya timu yetu ya Bunge la Tanzania yalikuwa

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

152

wanastaafu lakini hatuna maafisa waandamizi hapo katikatiambao wanaweza kuchukua hizo nafasi.

Mheshimiwa Mwenyekiti, hii gap ambayo piailiyowakumba madaktari na maprofesa inaongezewa pia nakwamba sasa hivi ajira hazitoki kwa muda muafaka, kunamadaktari wengi ambao wamemaliza shule MUHAS na kilamahali wako bado mtaani hawajapata kazi. Sasa ikiwa,sawa, kuongeza umri, hawa madaktari ambao wako mtaaniambao ndiyo baadaye tutakuwa na maprofesa namadaktari bingwa, Serikali inafanya jambo gani kwa ajili yakuhakikisha hawa walioko sasa hivi mitaani wanaajiriwa?(Makofi)

Mheshimiwa Mwenyekiti, jambo la pil i, wotetumekuwa mashahidi katika kupitisha bajeti. Bajeti yamafunzo ni kidogo sana, kwa hiyo matokeo yake tunakuwahatuna wataalam (specialists) kwenye maeneo mbalimbalikwa sababu Serikali haitengi fedha za kutosha kwa ajili fedhaya mafunzo ya kujenga rasilimali watu. Kwa hiyo ni muhimusasa Serikali kwanza ikatoa ajira kwa hao madaktari nawanachuo ambao wanafanya internship i l i wawezekuongeza nguvu katika utumishi wa umma na vile vile pesaitengwe kwa ajili ya ajira ya watumishi.

Mheshimiwa Mwenyekiti, watu wengiwamezungumzia Ghana, Uganda, Kenya, Nigeria, Botswanawanakwenda mpaka miaka 70. Wanakwenda mpakamiaka 70 kwa sababu package wanayopata ni nzuri, ndiyomaana watu wako tayari kwenda mpaka miaka 70. Piatumeona kwamba madaktari wetu wengi wako Botswana,mimi nina shemeji yangu yuko Botswana na he was one ofthe best neurosurgeons, yuko Botswana kwa sababu kulemaslahi ni mazuri.

Mheshimiwa Mwenyekiti, kwa hiyo Serikali, pamoja nakuongeza hiyo miaka 60 mpaka 65, ambayo sidhani kamani suluhu, Serikali iangalie ni kwa jinsi gani itaboresha maslahiya madaktari, hao maprofesa ili wawe na moyo wa kubakinchini. Maana kama unalipwa vizuri huwezi ukaondoka

Page 153: BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE ...parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1518427837-30...kasi na gofu. Katika michezo hiyo, matokeo ya timu yetu ya Bunge la Tanzania yalikuwa

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

153

kwenda kwenye nchi nyingine, utabaki kwenye nchi yakokuweza kutoa contribution katika kuendeleza nchi yako.(Makofi)

Mheshimiwa Mwenyekiti, hivyo ni muhimu kwa Serikalisasa kuangalia package ya madaktari, package yaproffesionals kwa sababu wengi wasingependa kuendeleampaka miaka 65, wengi wangependa kuchukua pesa zaowaondoke kwa sababu ya maslahi duni. Kwa hiyo ni muhimubasi hii package yao ikaweza kuangaliwa upya ili iwapemotisha ya kufanya kazi katika utumishi wa umma.

Mheshimiwa Mwenyekiti, vile vile studies zimeoneshakwamba baada ya kustaafu life expectancy ni miaka 12 tu.Kwa hiyo kama wewe umeongezewa miaka ya kustaafumpaka 65, package unayopewa mshahara wenyewe ni duni,life expectancy baada ya kustaafu miaka 65 miaka 12, hiyohela sijui utaitumia kwa muda gani. Kwa hiyo ni vizuri miaka60, 65 sawa lakini si suluhu, tuangalie kuongeza mishaharaya watumishi ili iwape motisha wabaki nchini na kuendeleakufanya kazi na kuchangia katika uchumi wa Taifa. (Makofi)

Mheshimiwa Mwenyekiti, ahsante sana.

MWENYEKITI: Nakushukuru sana Mheshimiwa Mollelkwa mchango wako. Mheshimiwa Joyce Sokombi,atafuatiwa na Mheshimiwa Ally Saleh na mchangiaji wetuwa mwisho Mheshimiwa Magdalena Sakaya.

MHE. JOYCE B. SOKOMBI: Mheshimiwa Mwenyekiti,ahsante kwa kupata nafasi hii. Nitachangia upande waSheria ya Ardhi, kipengele cha tisa kifungu cha 120A(3)(a)

Mheshimiwa Mwenyekiti, tunaona ni jinsi gani hii Sheriaya Ardhi ilivyowekwa, kwamba mtu anapokopa ni ndani yamiezi sita ripoti inatakiwa ipelekwe, kwa kweli muda ni mdogosana. Tupo hapa kwa ajili ya kuwasaidia wananchi, kuwainuakiuchumi na kuwalinda, kuhakikisha wanapata haki zao sawasawa. (Makofi)

Page 154: BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE ...parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1518427837-30...kasi na gofu. Katika michezo hiyo, matokeo ya timu yetu ya Bunge la Tanzania yalikuwa

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

154

Mheshimiwa Mwenyekiti, naomba yawekwemazingira mazuri kwa namna ya kuweza kumsaidia huyumwananchi anayekopa kwa njia hii ya ardhi. Tukiangaliamuda uliowekwa wa miezi sita ni muda mdogo sana, at leastungewekwa hata mwaka mmoja, tena hapo ni at least,hata huo mwaka mmoja bado tunaona kwamba penginemuda utakuwa bado hautoshi. Ukiangalia jinsi changamotozilivyo nyingi, miezi sita haitoshi.

Mheshimiwa Mwenyekiti, ukizingatia mtu hata kamani mfanyabiashara amechukua mkopo, ndani ya mwakammoja ndiyo anaanza kuona faida. Kwa hiyo, hiyo miezi sitabado itakuwa ni midogo sana kwa kumwezesha mtu huyukuweza kulipa ndani ya hii miezi sita.

Mheshimiwa Mwenyekiti, pia sheria hiiinamkandamiza mtu ambaye anakaa kijijini; watu wengiwanaokaa vijijini wana hatimiliki za kimila. Tayari hapakwenye hiki kitabu cha Mwanasheria Mkuu wa Serikalikinaeleza kabisa kwamba mtu akiwa na hatimiliki ya kimilaharuhusiwi kupata mkopo huu. Sasa hapa tunaona kabisanamna gani hii sheria inavyomkandamiza mwananchi auinabagua, yaani kuna watu wa vij i j ini ambaohawataruhusiwa kuchukua mkopo na watu wa mjini ambaowanaruhusiwa kuchukua huu mkopo.

Mheshimiwa Mwenyekiti, naomba tuiangalie kwaumakini kwenye hiki kipengele cha 9 (3) Tutakaporekebishavizuri kipengele hiki tutaweza kumsaidia mwananchi, maanalengo letu ni kumsadia mwananchi na sio kumkandamiza.

Mheshimiwa Mwenyekiti, ahsante sana. (Makofi)

MWENYEKITI: Nashukuru sana Mheshimiwa Mbungekwa mchango. Tunaendelea, Mheshimiwa Ally Saleh.

MHE. ALLY SALEH ALLY: Mheshimiwa Mwenyekiti,ahsante. Juzi hapa tulisikia kwamba wanasayansi wa Kenyawamegundua satellite, sasa hivi Kenya wametengeneza

Page 155: BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE ...parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1518427837-30...kasi na gofu. Katika michezo hiyo, matokeo ya timu yetu ya Bunge la Tanzania yalikuwa

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

155

satellite yao wenyewe ambayo ita-serve madhumuni yao nasi kutegemea satellite za nchi za magharibi ambazozimetawala anga zetu.

Mheshimiwa Mwenyekiti, Tanzania hatufanyi haki yakuweka pesa katika research, nazungumza hapa haja yakuweka pesa kwa ajili ya maprofesa kuwaweka kwa mudamrefu, maprofesa hawa ambao haki yao ya kwendasabbatical ni ndogo, mazingira ya kuweza kufanya kazimadogo, mazingira ya kuongeza sayansi ya kisasa mdogo.

Mheshimiwa Mwenyekiti, kwa hiyo hata kamatutaunga mkono kwamba tuongezee muda wataalamhawa, lakini kama alivyosema Mheshimiwa Mollel, kamapackage ni ndogo basi hali kadhalika wataondoka, auwatabaki katika madaraka kwa kuwa tu wanajua kuna kititakinawasubiri na kwa hiyo matokeo yake watabaki ilimradiwabaki. (Makofi)

Mheshimiwa Mwenyekiti, nimesoma Wage Billtuliyoletewa na Serikali ambayo inaelezea kwamba 2.9 billionwanalipwa maprofesa wakubwa, 1.8 wanalipwa maprofesawadogo na 1.3 kwa jumla 5.5 billion kwa miaka miwili nimkataba mzima wa wataalam hao. Unaweza ukaziona ninyingi lakini after reflection ukizigawa unaweza ukaona zilepackage ni milioni tatu tu kwa kila mtaalam, wakati akiendaBotswana anaulizwa how much does he or she want.

Mheshimiwa Mwenyekiti, kwa hiyo, ingawa tunaungamkono kwa maslahi mapana ya Taifa, kwa maana kwambakuna ukosefu wa wataalam kwa asilimia 50 sasa hiviTanzania; lakini pia viko vyuo kama UDOM hata profesammoja hawana. Kuna ukweli kwamba machapishoyameshuka Tanzania; labda pengine tungeweza kuchapishamachapisho 500, 600 kwa ujumla kwa maana ya nchi nzima,hatuwezi na huwezi sustain academic institutions bilamachapisho.

Mheshimiwa Mwenyekiti, kwa hiyo tayari udororaji wataaluma yetu unashuka, lakini je, tuna-address vitu hivyo?

Page 156: BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE ...parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1518427837-30...kasi na gofu. Katika michezo hiyo, matokeo ya timu yetu ya Bunge la Tanzania yalikuwa

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

156

Wengine tulihoji katika Kamati hii isiwe njia ya mkato tu yakupata wataalam; kuna progam gani endelevu ya kupatawataalam? Ni kweli tulikuwa na gap ya miaka 10 ya kutoajiri,lakini tulisomesha? Kwa sababu kama tulisomesha na kamawatu walisoma gradually wangeweza kupanda, kwa hiyohata hii agreement you can’t buy from it kwamba kwa kuwakulikuwa na gap ndiyo maana sasa hivi kuna uhaba wawataalam, lakini pia hatukusomesha.

Mheshimiwa Mwenyekiti, pia pengine tulifanya uchoyowa promotion; kwa sababu hiyo inafanyika katika system yaSerikali. Inawezekana mtu ana qualify lakini anacheleweshwakwa sababu nyingine nyingine tu, mbali ya watu ambaowamekatizwa kwa sababu ya maoni yao pengine kwasababu ya fikra zao. Hasa katika kuja katika vyama vingisasa hivi watu wengi academicians wameingia kwenyeloggerhead na Serikali, pengine hawakubaliki katika vyuona kwa sababu hiyo wameona kwamba kuna mgonganowameamua kuacha na kwa hivyo ile gradually ya watukupanda pengine imesaidia katika kupungua.

Mheshimiwa Mwenyekiti, kwa hivyo nakubaliana naSerikali katika hili, kwa maana kwamba kuja na wataalamkuwaongeza kutoka 60, mpaka 65; lakini isiwe kwamba nimwisho wa mambo. Ukweli ni kwamba tunahitajikakutengeneza mazingira.

Mheshimiwa Mwenyekiti, wenzetu nchi nyinginewanatengeneza mazingira wala vijana wao waendewakasomeshe nchi nyingine kama kuna excess. Mwaka janasisi tuliambiwa kuna excess ya madaktari hapa tukatakakuwapeleka Kenya. Kwa hiyo wakati mwingine nicontradiction ya Serikali, wengine tukataka waenda kule,tuwasaidie Kenya, wakati kumbe sisi wenyewe tunaupungufu.

Mheshimiwa Mwenyekiti, kwa hiyo ukweli ni kwambakuna taka tuwe very pragmatic, tuwe wa uhalisia kwambatatizo hili haliwezi kukamilishwa tu kwa kuzidisha umri, lazimatuwe na program ya kutosha kuweza...

Page 157: BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE ...parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1518427837-30...kasi na gofu. Katika michezo hiyo, matokeo ya timu yetu ya Bunge la Tanzania yalikuwa

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

157

(Hapa kengele ililia kuashiria kwisha kwamuda wa mzungumzaji)

MWENYEKITI: Ahsante, Mheshimiwa kwa mchangowako mzuri sana. Mheshimiwa Sakaya.

MHE. MAGDALENA H SAKAYA: MheshimiwaMwenyekiti, nakushukuru nami kunipa nafasi niwezekuchangia kidogo kwenye Muswada ulioko mbele yetu.

Mheshimiwa Mwenyekiti, hii sheria ya ardhi inayosemakwamba ardhi zinaweza kutolewa kama dhamana kwa ajiliya kupata mkopo kwa ajili ya kuendeleza imekuwa inatumikasana kwenye mashamba makubwa. Kwa Tanzania ardhiambayo zina hati kabisa benki hazikubali kutoa mikopo kamahakujaendelezwa.

Mheshimiwa Mwenyekiti, sasa sheria ipo na 120A; kwanini mabenki yanakataa kutoa fedha mikopo kwa kutumiaviwanja (plots) ambazo tayari zina hati na mpakaviendelezwe, lakini kwa mashamba ambayohayajaendelezwa wanatoa tena fedha ambazo ni nyingi.Kwa hiyo ningependa kwanza sheria hii ambayo ipo 120Aiweze kutekeleza benki zikubali hati na kutoa fedha iliwananchi waweze kuendeleza yale maeneo kwa ajili yamaisha ya watoto wao.

Mheshimiwa Mwenyekiti, lakini, tumekuwa na maporimengi sana Tanzania ambapo ukiyafuatilia mengi unakutani mapori kwa sababu fedha ilichukuliwa kweli iliendakuendeleza maeneo mengine. Nakubaliana na Serikarikwamba mashamba ambayo yalichukuliwa hati, ilichukuliwamikopo, mikopo itumike kwa ajili ya kuendeleza maeneo yapale pale kwa sababu sasa hivi mapori ni makubwa kwasababu fedha ilichukuliwa na watu wengine pengine hatawako nje ya nchi lakini mapori yako pale fedha inafanyakazi maeneo mengine.

Mheshimiwa Mwenyekiti, sasa swali ya kujiuliza, kunabaadhi ya mapori ambayo yameshindwa hata kufuta zile

Page 158: BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE ...parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1518427837-30...kasi na gofu. Katika michezo hiyo, matokeo ya timu yetu ya Bunge la Tanzania yalikuwa

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

158

hati kwa sababu benki zinadai. Sasa atakapokuja ku-windup Mheshimiwa Waziri hapa atuambie; yale mashambaambapo tayari benki zinadai na wameshindwa kufuta hatikwa sababu zinadaiwa hatima yake ni nini. Yataendeleakuwa ni mapori au Serikali inafanyaje, au italipa sasa mikopokwa benki zile.

Mheshimiwa Mwenyekiti, la mwisho ni suala lakuongeza mmekuja na Muswada hapa wa utumishikuongeza miaka kwa ajili ya wahadhiri, madakatari, proffesorsna watu wengine. Tunafanya hivi kwa sababu hatuna watuwa kutosha ku-fit nafasi hizo kwa wakati huo. Nina imanialiyeweka miaka 60 compulsory kuweza kustaafu alifanyautafiti wa kutosha. Kwa mtu unayefanya kazi kwa kujitumakwa miaka 60 kwa mazingira ya Tanzania unakuwaumechoka, kiukweli kabisa; unahitaji upate muda wakufanya yale mambo yako mengine.

Mheshimiwa Mwenyekiti, sasa tunapoongeza mudampaka miaka 65 are we sure kwamba hawa watu wakotayari kufika huko? Tunahitaji ufanisi kwenye utendaji. Kwahiyo, nadhani tungekuja na mpango ambao utakuwa naufanisi zaidi kuliko kuongeza miaka, anaweza akawepo tukwa sababu kuna mkataba.

Mheshimiwa Mwenyekiti, maprofesa wenginewakifika miaka 55 wameshachoka. Wana elimu yao yakutosha, wameshawekeza wangependa watoke nje yautumishi, lakini kwa kuwa tunawahitaji kama Serikaliwanalazimika kukaa kwenye utumishi. Kwa hiyo, naombaSerikali tuwe na succession plan katika kuhakikisha kwambatuna watu kwenye nafasi hizo. Tuhakikishe kwamba kilamwaka tunajua wanaostaafu ni kiasi kadhaa ili tuweze kuwana mpango wa ku-cover zile nafasi zao. Kwa hiyo hatatulicholetewa leo ni mpango wa muda mfupi, ni miaka 65baada ya hapo je? Bado shida iko pale pale. (Makofi)

Mheshimiwa Mwenyekiti, kwa hiyo kwenye hili lawatumishi lazima Serikali ije na succession plan ya namnawahadhiri wanapostaafu nafasi zao zinakuwa covered na

Page 159: BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE ...parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1518427837-30...kasi na gofu. Katika michezo hiyo, matokeo ya timu yetu ya Bunge la Tanzania yalikuwa

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

159

wale madaktari bingwa. Leo ukianza ku-compare daktaribingwa wa Tanzania na wa Zimbabwe au Zambia ni tofautikabisa. Daktari wa Ulaya anahudumia watu 15 mpaka 25kwa siku, daktari bingwa wa Tanzania watu 40 mpaka 100,definetely atakuwa amechoka.

Mheshimiwa Mwenyekiti, mazingira ni tofauti, utumishini tofauti, posho ni tofauti. Lazima mazingira yetu tuyaangaliena tuwaangalie watu wetu, tuweze kuhakikisha kwambatunawapa package ya kutosha wafanye kazi vizuri kwa ajiliya Taifa letu.

Mheshimiwa Mwenyekiti, nakushukuru sana. (Makofi)

MWENYEKITI: Ahsante sana Mheshimiwa. MheshimiwaProfesa Ndalichako, dakika tano, atafuata na MheshimiwaLukuvi dakika tano.

WAZIRI WA ELIMU, SAYANSI NA TEKNOLOJIA:Mheshimiwa Mwenyekiti, nakushukuru kwa kunipa fursa hiiya kuchangia hoja iliyoko mezani. Kwanza nianze kwakusema naunga mkono hoja hii ya Marekebisho ya SheriaMbalimbali na naunga mkono mapendekezo ya Marekebishoya Sheria ya Utumishi wa Umma ambayo inapendekezakuongeza umri wa kustaafu kwa maprofesa na wahadhiriwaandamizi pamoja na madaktari bingwa kutoka umri wamiaka 60 hadi miaka 65.

Mheshimiwa Mwenyekiti, naunga mkono hoja hiikama walivyozungumza Waheshimiwa Wabunge ambaonashukuru sana wachangiaji karibu wote wameunga mkonohoja hii. Uhitaji wa maprofesa na madaktari ni mkubwa sanana ndiyo maana kati ya mwaka 2012 mpaka 2016 maprofesana wahadhiri waandamizi ambao walistaafu walikuwa ni 395;lakini kati yao walioajiriwa kwa mkataba walikuwa ni 324.Kwa hiyo inaonesha ni j insi gani bado wanakuwawanahitajika.

Mheshimiwa Mwenyekiti, ningependa kumwambiaMheshimiwa dada yangu Magdalena Sakaya kwamba

Page 160: BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE ...parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1518427837-30...kasi na gofu. Katika michezo hiyo, matokeo ya timu yetu ya Bunge la Tanzania yalikuwa

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

160

ukiangalia hizi takwimu hawa maprofesa wanaoendelea;ni kwamba hii mikataba inakuwa ni ya hiari. Kwa hiyoukiangalia idadi ya wanaomaliza lakini bado wanaendeleani kubwa. Niseme kwamba Serikali inayo mikakati yakuhakikisha kwamba suala hili la uhaba wa maprofesalinafanyiwa kazi. Niseme tu kwamba maprofesahawapatikani kwa kusomeshwa, kuna Mbunge mmojaalikuwa anasema kwamba kuna kipindi tumekaa bilakusomesha.

Mheshimiwa Mwenyekiti, kuwa profesa ni juhudi binafsina inatokana na kuandika, kufanya machapisho. Serikaliinapoajiri ngazi ya chini katika vyuo vikuu ni mkufunzi msaidizi(tutorial assistant) ambaye anakuwa na degree ya kwanza;baada ya hapo sasa anapanda kulingana na mchapisho.Ngazi inayofuata ni Mhadhiri Msaidizi ambaye ni AssistantLecture anatakiwa awe na shahada ya uzamili.

Mheshimiwa Mwenyekiti, baada ya hapo anawezaakapanda kuwa Mhadhiri kwa kuandika machapishomatatu. Kutoka Mhadhiri kwenda Mhadhiri mwandamiziyaani Senior Lecture lazima awe na shahada ya uzamivu.Kwa hiyo unaweza ukaona kwamba kuna vigezo vingineambavyo ni juhudi binafsi ya mkufunzi au mwalimu kuwezakufika hapo.

Mheshimiwa Mwenyekiti, lakini tunatambua kwambabaadhi ya wahadhiri wameshindwa kupata shahada zauzamivu kutokana na ufadhili. Mkakati wa Serikali katikamwaka huu wa fedha tumetenga shilingi bilioni nane kwaajili ya kutoa ufadhili katika fani ambazo zina uhaba mkubwawa wahadhiri.

Mheshimiwa Mwenyekiti, i l i kutatua tatizo lamadaktari ambalo lipo nchini tayari Serikali kupitia chuo Kikuucha Afya na Sayansi Shirikishi MUHAS; tunayo hospitali yaMloganzila ambayo ni hususan kwa ajili ya kufundishiamadaktari pamoja na watoa huduma mbalimbali wa afya.Tayari Serikali imekwishatenga fedha shilingi bilioni 13.1 kwaajili ya kukabiliana na tatizo hili ambapo tumewapa kazi

Page 161: BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE ...parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1518427837-30...kasi na gofu. Katika michezo hiyo, matokeo ya timu yetu ya Bunge la Tanzania yalikuwa

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

161

Wakala wa Majengo Tanzania kuweza kujenga baadhi yamajengo ambayo yatawezesha kuongeza udahili wawanafunzi 1,500 katika mwaka wa masomo 2018/2019.

Mheshimiwa Mwenyekiti, tayari Serikali imekwishatoafedha za awali kwa TBA bilioni 3.9. Pia Wizara ya Fedha katikabajeti yake kuna fedha ambazo zimetengwa na kunamadaktari 290 ambao wanasoma kwa ajili ya ufadhili.

Mheshimiwa Mwenyekiti, kwa sababu ya muda Serikalipamoja na kuomba Muswada wa kuongeza umri wamadaktari na maprofesa lakini tuna mikakati. Niseme tukwamba uhaba wa madaktari pia umechangiwa nakuongezeka kwa vyuo vikuu, jambo ambalo lina afya kwanchi yetu.

Mheshimiwa Mwenyekiti, kwa hiyo ningeombaWaheshimiwa Wabunge wote waunge mkono hoja hii kwasababu ina maslahi mapana kwa Taifa letu, ina maslahi kwamaprofesa wetu ambao kadri wanavyokuwa wanaendeleana umri wao pia uzoefu katika fani zao unakuwa ni mkubwana ndiyo maana katika nchi nyingine maprofesahawawekewi umri wa kustaafu. Naamini kwa kufanya hivyotutaendelea kuongeza pia vyuo vikuu na tutaendeleakuwahitaji.

Mheshimiwa Mwenyekiti, nakushukuru sana.

MWENYEKITI: Nakushukuru sana Mheshimiwa ProfesaNdalichako. Mheshimiwa William Lukuvi, Waziri wa Ardhi.

WAZIRI WA ARDHI, NYUMBA NA MAENDELEO YAMAKAZI: Mheshimiwa Mwenyekiti, muda ni mfupi; natakaniwapongeze Kamati na Waheshimiwa Wabunge kwakuchangia hoja hii ya marekebisho ya sheria ya ardhi, lakinipia naunga mkono hoja.

Mheshimiwa Mwenyekiti, labda niseme kwa ufupiwaliochangia, Mheshimiwa Sakaya, Mheshimiwa Mbogo naMheshimiwa Makamba; nataka niwakumbushe kwamba

Page 162: BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE ...parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1518427837-30...kasi na gofu. Katika michezo hiyo, matokeo ya timu yetu ya Bunge la Tanzania yalikuwa

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

162

marekebsho ya sheria ya mwaka 1999 yalitambua kwambaardhi inathamani hata isiyoendelezwa.

Mheshimiwa Mwenyekiti, kwa hiyo natakakuwaambia wengi ambao mna mashaka kwamba ardhipeke yake mtu hawezi kukopea, inakopesheka kwa sababuina thamani yenyewe. Valuers wanatathimini na wanaandikabusiness plan zinakwenda benk wanapata mkopo.Inawezekana huwezi kupata kama thamani ya ardhi yakoni bilioni 1,000,000, bank hutoa 50 per cent 20, lakini unapewa.Hata kwenye viwanja vya majengo tunakopa kutokana naviwanja vile. Isipokuwa hati zile zinakuwa mali yao mpakautakapomaliza mkopo wa benki, wanakuja kuzisajili. Kwahiyo hiyo inakopesheka.

Mheshimiwa Mwenyekiti, kwenye hati za kimilatumesema wenye hati za kimila, wale wananchi masikinihawatahusika katika mpango huu kwa sababu kwanzahawakopesheki nje ya nchi kwa kutumia hati za kimila. Piliwale wanaokopa kwa kutumia hati za kimila tayari hati zakimila kwa sheria ina masharti yake. Benki wanakopeshakupitia hati ya kimila, lakini wanapokuja kuuza yalemashamba hawauzi sawasawa kwa sheria kama hati hiziza miaka 99.

Mheshimiwa Mwenyekiti, wanatakiwa kwanzawawauzie family members. Hati ya kimila ukichukua kamadhamana uki-default yule anayekuja kuuza ile adhi lazimaauzie family members; kwa hiyo hati za kimila zipo protected.Kama ikishindikana wanatakiwa wanunue within the village.Kwa hiyo hati za kimila ziko protected ndiyo maana tukasematusiwaingize kwenye mgogoro huu kwa sababu ya protectionile ile ardhi ile haipotei iko bado mikononi kwa wananchi.

Mheshimiwa Mwenyekiti, nataka kukuhakikishiaMheshimiwa Makamba, hivi sasa tumefanya ukaguzi zaidi yaekari laki moja ambazo hazijaendelezwa, zimewekwa rehanipamoja na business plan. Kwenye business plan wanasemawatatoa ajira, vile vile watajenga viwanda na mali ghafiitatumika hiyo ya mashamba na mazao yatakayozalishwa.

Page 163: BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE ...parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1518427837-30...kasi na gofu. Katika michezo hiyo, matokeo ya timu yetu ya Bunge la Tanzania yalikuwa

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

163

Mheshimiwa Mwenyekiti, lakini yote haya yanayeyuka,watu wanachukua pesa kwa mashamba yasiyoendelezwa,wanachukua zile pesa wanakwenda kufanya biashara zaharaka haraka na fedha zile zinalipwa benki. Benki interestyao ni kwamba mikopo yao imelipwa, lakini ukiangaliamiamala yao kupitia ile business plan Serikali inakosa. Kwasababu kama mtu hakulima maana yake hajafanyabiashara, maana angefanya biashara according to businessplan tungepata kodi.

Mheshimiwa Mwenyekiti, kama angetekeleza ilebusiness plan lazima angeajiri watu, kama angetekelezabusiness plan angetengeneza kiwanda cha kutengeneza zilebidhaa au cha kuchakata zile bidhaa. Kwa hiyo Serikaliinakosa vingi sana na hayo mambo yanafanyika. Wizarayangu imeshafanya ukaguzi sasa hivi tumeshapata zaidi yaekari laki moja ambazo zimeshakopewa kwa utaratibu huu.Tumeshuhudia madalali kutoka nje ya nchi wakija kunadiardhi za watu ambao wame-default lakini wamekopa njeya nchi.

Mheshimiwa Mwenyekiti, kwa hiyo marekebisho hayaWaheshimiwa Wabunge hayakuletwa kimchezo mchezo.Naamini kwa sababu sisi Wabunge ni wazalendo nambamoja ndiyo maana tumeunga mkono hoja hii. Natakakuwaondoa mashaka kwamba hoja hii haina mgonganowowote wa kimaslahi na benki. Kamishna baada ya wewekukopa, kabla hujakopa, Kamishna hana habari. Tunakwambia ukishakopa baada ya miezi sita umeshakopa mpetu taarifa kamishna kwamba nimekopa kiasi hiki na nikokatika process, hii basi.

Mheshimiwa Mwenyekiti, si kwamba miezi sitakwamba umeshamaliza, lakini ujue mpaka unapopelekabusiness plan benki. Unapokopa Kamishna hana habari,ukishakopa basi mjulishe Kamishna na sisi kama Serikali tunavitengo vyetu vya kufuatilia. Kwa sababu kule benki nakwenyewe nao ni binadamu Loan Officers wamekuwawanadanganya watu wengine. Wanaweza ku-collude namkopaji lakini benki sipate faida.

Page 164: BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE ...parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1518427837-30...kasi na gofu. Katika michezo hiyo, matokeo ya timu yetu ya Bunge la Tanzania yalikuwa

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

164

Mheshimiwa Mwenyekiti, mwisho nataka kusemakwamba mikopo ambayo watu wamekopa kwa kutumiadhamana ya ardhi ambayo haijaendelezwa hati zilezinafutika, sisi tunawashauri benki…

(Hapa kengele ililia kuashiria kwisha kwamuda wa mzungumzaji)

MWENYEKITI: Ahsante sana.

WAZIRI WA ARDHI, NYUMBA NA MAENDELEO YAMAKAZI: Mheshimiwa Mwenyekiti, nakushukuru sana nanawashukuru sana Waheshimiwa Wabunge kwa kuungamkono.

MWENYEKITI: Ahsante sana, Mheshimiwa Waziri waArdhi, mtoa hoja Mheshimiwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali,kwa dakika, dakika 15.

MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI: MheshimiwaMwenyekiti, kwa mara nyingine tena nichukue fursa hiikuwashukuru Waheshimiwa Wabunge wote kwa kuunganakwenye suala la msingi sana kwa maslahi ya nchi; kama hilisuala la Muswada huu ambao tunaona hoja zote ambazozimeletwa kwenye muswada huu; mabadiliko ya Sheria yaArdhi, mabadiliko ya Sheria ya Utumishi wa Umma, mabadlikoya Sheria ya Ufilisi, Sheria ya Bajeti na sheria zote ambazozimeletwa mbele yako. Kwa kweli kwangu nimepata farajasana ninapoona Waheshimiwa Wabunge wanaungana nakuwa kitu kimoja. Kwa sababu Wabunge wote wameungamkono hoja hii na Waheshimiwa Wabunge wamechangiavizuri; kwanza naanza kwa kuwashukuru sana. (Makofi)

Mheshimiwa Mwenyekiti, natambua mchango mzuriwa Kamati ya Kudumu ya Katiba na Sheria. Mchango mzuriwa Kambi ya Upinzani, mchango mzuri wa WaheshimiwaWabunge wote na naomba niwataje Wabunge hawa kwaheshima yao kabisa. Kwanza Mheshimiwa Mhagama,Mbunge wa Madaba; Mheshimiwa Najma Murtaza Giga,Mbunge wa Viti Maalum; Mheshimiwa Tasika Mbogo, Mbunge

Page 165: BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE ...parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1518427837-30...kasi na gofu. Katika michezo hiyo, matokeo ya timu yetu ya Bunge la Tanzania yalikuwa

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

165

wa Viti Maalum, Mheshimiwa Salome Makamba, Mbunge VitiMaalum; Mheshimiwa Joram Hongoli, Mbunge wa Lupembe;Mheshimiwa Ally Salehe, Mbunge wa Malindi; MheshimiwaMagdalena Sakaya, Mbunge wa Kaliua; Mheshimiwa JoyceSokombi, Mbunge wa Viti Maalum; na mwisho Mawaziriwawili, Profesa Ndalichako Waziri wa Elimu, Sayansi naTeknolojia na Mheshimiwa William Lukuvi Waziri wa Ardhi naMakazi. Samahani nimemsahau Mheshimiwa Lucy Mollel,Mbunge wa Viti Maalum.

Mheshimiwa Mwenyekiti, kwa hiyo kwa ujumla,nawashukuru sana Waheshimiwa Wabunge na michango yaokwa kweli ilikuwa mizuri, sijui hata kama nitakuwa na yakuongeza hapa.

Mheshimiwa Mwenyekiti, lakini niseme tu moja, sualala kuoanisha umri huu wa kustaafu; Waheshimiwa Wabungepamoja na kuunga mkono wamesema kwamba labdatungeenda kama miaka 70 hivi. Ni suala ambalo pia hataukiangalia bado kuna kubishana kama twende miaka 65 nakadhalika.

Mheshimiwa Mwenyekiti, lakini ninachoweza kusematu ni kwamba mpaka sasa umri wa kustaafu katika makundimbalimbali ya watumishi wa Umma tulionayo yana miaka60. Miaka 65 ni Majaji wa Mahakama ya Rufaa akiwemo naJaji Mkuu. Miaka 65 wengine ni Controller and AuditorGeneral (Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali)ambaye naye anastaafu kwa miaka 65. Watumishi wenginetunaobaki tunastaafu kwa miaka 60 kwa lazima, japokuwakwa hiari ni miaka 55. Kwa hiyo naomba tuendelee nastandard hii ya kiwango hiki; nashukuru lakini kwambammeunga mkono hoja. (Makofi)

Mheshimiwa Mwenyekiti, mbali ya maelezo mazurialiyoyatoa Mheshimiwa Waziri kuhusu hili la watu wa hati zaKimila kuachwa, ukweli ni kwamba tumeweka kile kifungupale makusudi ili kutokuleta mkanganyiko; kwamba je, Sheriahii pia itatumika na kwa hati za kimila? Hati za kimila zinasheria yake mahususi, Sheria ya Ardhi ya Vijiji. Ukisoma ile Sheria

Page 166: BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE ...parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1518427837-30...kasi na gofu. Katika michezo hiyo, matokeo ya timu yetu ya Bunge la Tanzania yalikuwa

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

166

ya Ardhi ya Vijiji ya Mwaka 1999 inaweka utaratibu wote wamatumizi ya hati hizo za kimila; na Sheria ile inatambuakwamba hati ile ina hadhi sawa na hati ya Kiserikali ya kumilikiardhi.

Mheshimiwa Mwenyekiti, suala hil i lawatakaowajibishwa namna gani ya kuwawajibisha hawawaliochukua mikopo kwa kutumia hati hizi lakini ardhihaikuendelezwa. Mheshimiwa Waziri wa Ardhi ameshasema,kuna kitu kimoja hiki nadhani hakikueleweka vizuri. Kipindicha ndani ya miezi sita, huyu anayechukua mkopo anatakiwatu kuwasilisha kwa Kamishna utaratibu na namna ganiatakavyoutumia huo mkopo wake, si kwamba sasa ndiyoanatakiwa aeleze jinsi ambavyo ameendeleza hiyo ardhi.Miezi sita haiwezekani, ni muda mdogo sana na utaratibuwa namna gani na kusimamia utawekwa kwenye kanunina Mheshimiwa Waziri. Kwa hiyo hilo nalo niliona nilitoleeufafanuzi kwa sababu lingeweza kuleta mkanganyiko.(Makofi)

Mheshimiwa Mwenyekiti, nadhani kama kuna kitunimekisahau hapa madam Waheshimiwa Wabunge wotewameunga mkono, kwa mara nyingine namshukuruMwenyezi Mungu, niwashukuru sana Wabunge MwenyeziMungu aendelee kuwabariki na wewe mwenyewe.

Mheshimiwa Mwenyekiti, naomba kutoa hoja.(Makofi)

WAZIRI WA ELIMU, TEKNOLOJIA NA UFUNDI:Mheshimiwa Mwenyekiti, naafiki.

MWENYEKITI: Ahsante, hoja imetolewa na imeungwamkono. Katibu!

NDG. RAMADHANI ABDALLAH – KATIBU MEZANI:Kamati ya Bunge Zima.

Page 167: BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE ...parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1518427837-30...kasi na gofu. Katika michezo hiyo, matokeo ya timu yetu ya Bunge la Tanzania yalikuwa

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

167

KAMATI YA BUNGE ZIMA

MWENYEKITI: Waheshimiwa tukae. Waheshimiwatunaanza kazi yetu, kazi muhimu sana hii ya kutunga Sheria.Katibu!

Muswada wa Sheria ya Marekebisho ya SheriaMbalimbali (Na.5) wa Mwaka 2017 yaani [The Written Laws

(Miscellaneous Amendments) (No.5) Bill, 2017)

Ibara ya 1Ibara ya 2Ibara ya 3Ibara ya 4

(Ibara zilizotajwa hapo juu zilipitishwa na Kamatiya Bunge Zima bila mabadiliko yoyote)

Ibara Mpya ya 5Ibara Mpya ya 6

(Ibara Mpya zilizotajwa hapo juu zilipitishwa na Kamatiya Bunge Zima bila mabadiliko yoyote)

Ibara Mpya ya 7Ibara Mpya ya 8

(Ibara Mpya zilizotajwa hapo juu zilipitishwa na Kamati ya Bunge Zima pamoja na marekebisho yake)

Ibara Mpya ya 9

(Ibara Mpya iliyotajwa hapo juu ilipitishwa na Kamatiya Bunge Zima bila mabadiliko yoyote)

Ibara Mpya ya 10

(Ibara Mpya iliyotajwa hapo juu ilipitishwa na Kamatiya Bunge Zima pamoja na marekebisho yake)

Page 168: BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE ...parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1518427837-30...kasi na gofu. Katika michezo hiyo, matokeo ya timu yetu ya Bunge la Tanzania yalikuwa

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

168

Ibara Mpya ya 11Ibara Mpya ya 12

(Ibara Mpya zilizotajwa hapo juu zilipitishwa na Kamati yaBunge Zima bila mabadiliko yoyote)

Ibara Mpya ya 13

MWENYEKITI: Haya tunaanza, tumsikilize mwenyemarekebisho, Dokta Immaculate.

MHE. DKT. IMMACULATE S. SEMESI: MheshimiwaMwenyekiti, nashukuru kwa nafasi. Napendekeza hiyo clause12 tuitoe kabisa iwe section 25A ambayo inatoa mwongozowa umri mpya wa kustaafu kwa wahadhiri wa vyuo vikuu,maprofesa na medical specialist au madaktari miaka hiyo55 na 65, naomba tukitoe.

Mheshimiwa Mwenyekiti, na-propose deletion yasection 25B naishukuru Serikali imezingatia na imeshatolewa

MWENYEKITI: Hoja yako ni nini? Unapewa nafasikatika Muswada unauchezea chezea tu hivi, eleza.

MHE. DKT. IMMACULATE S. SEMESI: MheshimiwaMwenyekiti, nilikuwa nasubiri akubaliane na kuitoa aukutokuitoa...

MWENYEKITI: Hapana.

MHE. DKT. IMMACULATE S. SEMESI: MheshimiwaMwenyekiti, sababu zangu ni tatu; ni kwamba nina proposetuitoe kwa sasa kwa sababu imewahi kabla ya kurekebishamaslahi ya hawa maprofesa, senior lecturers na madaktari.Kwa hiyo unam-force huyu mtalaam kuendelea kufanyakazimiaka mitano au 10 zaidi na unajua kabisa life span yetuikoje na maisha ya hawa watalaam wetu ni tatanishi. Kwahiyo unazidi kumbana kwa nini usimpe mafao yake then ana-choice ya kuendelea kama anataka? Sasa hivi tuna systemya kufanya consultancies na pia tunawapa mikataba ya

Page 169: BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE ...parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1518427837-30...kasi na gofu. Katika michezo hiyo, matokeo ya timu yetu ya Bunge la Tanzania yalikuwa

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

169

miaka miwili miwili sasa kwa nini uendeleze umaskini namaisha duni ya hawa watalaam wetu ambao tunawahitajikwa kuwakandamizia sheria hii? Kwa hiyo nasema kwambakwa sasa hivi turekebishe kwanza maslahi yao then u-propose,u-extend miaka yake ya kuzidi kuwa kazini.

Mheshimiwa Mwenyekiti, hiyo ndiyo hoja yangumahususi. Ahsante.

MWENYEKITI: Nakushukuru sana. Mheshimiwa ProfesaNdalichako.

WAZIRI WA ELIMU, SAYANSI NA TEKNOLOJIA:Mheshimiwa Mwenyekiti, ahsante. Niseme kwambaanachoki-propose Mheshimiwa Dkt. Semesi kuhusiana na hiihakuna uhusiano, kwa sababu ukiangalia takwimu ambazotumezitoa kati ya maprofesa na wahadhiri waandamiziwaliostaafu 395 ni 324 waliomba mikataba. Kwa hiyo sualala kusema kwamba wanakuwa na maslahi duni ni sualaambalo halipo kwa sababu wao wenyewe baada yakustaafu miaka 60 wamekuwa wakiomba mikataba na hatakuna wengine walikuwa wanaendelea kuomba mikatabampaka miaka 70 mpaka Serikali ikafikia kukataza kwambamwisho wa kuomba mikataba ni miaka mitatu; yaanikwamba huwezi ukapata mikataba zaidi ya mitatu.

Mheshimiwa Mwenyekiti, kwa hiyo kama ambavyoWaheshimiwa Wabunge waliunga mkono hoja hii, miminaomba kwa maslahi mapana ya nchi yetu, kwa maslahimapana ya elimu ya juu nchini na katika hali halisi yakuongeza madaktari naomba Waheshimiwa Wabungewaunge mkono hoja hii, madaktari na maprofesa wastaafukwa miaka 60 kwa hiari na miaka 65 kama ambavyoMwanasheria Mkuu wa Serikali amependekeza.

Mheshimiwa Mwenyekiti, nashukuru.

MWENYEKITI: Ahsante. Mheshimiwa Dokta Semesibaada ya maelezo hayo bado una…

Page 170: BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE ...parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1518427837-30...kasi na gofu. Katika michezo hiyo, matokeo ya timu yetu ya Bunge la Tanzania yalikuwa

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

170

MHE. DKT. IMMACULATE S. SEMESI: MheshimiwaMwenyekiti, naomba niseme kabisa nitaomba kutoa hojaWaheshimiwa Wabunge wenzangu wanisaidie kwenye hilikama Waziri hataridhia bado.

Mheshimiwa Mwwenyekiti, ni kweli anachokisemaProfesa Ndalichako kwamba wengi wa hawa maprofesawanakwenda kimkataba miaka miwili, miwili lakinitukumbuke wanakuwa wameshapatiwa mafao yao, kwahiyo wanakuwa wanajiendekeza ni kweli na sidhani kamaKamati za Bunge iliwaita wadau wahusika.

Mheshimiwa mwenyekiti, mimi nimetokea Chuo Kikuucha Dar es salaam na nilipoona hii hoja niliwauliza seniorswenzangu kule Ofisini, wote hapa tuko kwenye group la kikazi,wote wamekataa, text ninazo.

Mheshimiwa Mwenyekiti, kwa hiyo, sidhani kama kunawadau wahusika waliitwa wakaambiwa, hawajaitwa. Kwasababu kama waliitwa hili group la University of Dar es Salaamwana-stick to 60 years kwa sababu baada ya hapo unapewamafao yako then unaendeleza mkataba, unakuwakimkataba miaka miwili miwili. Sasa huyu Profesamnambana for so long kwenye mazingira ya kimaslahi hafifuhalafu bado mna-extend ndiyo tunawahitaji lakini tuangalieoptions mbalimbali za ku-recruit ili kusiwe na hizi gaps nakutengeneza mazingira mazuri kwa ajili ya hawa scientistwetu tunaowahitaji, madaktari na maprofesa

Mheshimiwa Mwenyekiti, lakini mazingira yalivyo sasahivi ni kubana, nafikiri ni strategy ya kubana matumizi orsomething else lakini si kimaslahi ya hawa maprofesa namadaktari.

Mheshimiwa Mwenyekiti, naomba kutoa hoja.

MHE. MASOUD ABDALLAH SALIM: MheshimiwaMwenyekiti, naafiki.

Page 171: BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE ...parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1518427837-30...kasi na gofu. Katika michezo hiyo, matokeo ya timu yetu ya Bunge la Tanzania yalikuwa

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

171

MWENYEKITI: Mheshimiwa Hawa Ghasia, MheshimiwaMakamba, Mheshimiwa Masoud. Mheshimiwa Mtoleainatosha na Yosepha na Profesa Mwenyewe. MheshimiwaMtolea.

MHE. ABDALLAH A. MTOLEA: Mheshimiwa Mwenyekiti,nakushukuru. Nimesimama kuunga mkono hoja yaMheshimiwa Dkt. Semesi Sware. Napata tabu kuona kwa niniSerikali wanashindwa kuelewa; kwa sababu dhamira yakutaka kuongeza umri hailengi kumlazimisha mtu kutumikiahiyo kada ambayo anaifanyia kazi kwa muda mrefu. Badolazima tuheshimu ile willingness ya mtu mwenyewe kufanyakazi. Sasa mtu akishafikia ukomo wake wa kustaafu ni vizuriakastaafu apate fursa ya ku-enjoy na yale mafao yake naSerikali kama itakuwa bado inamhitaji ndiyo kuna huo mlangomwingine wa mtu kum-approach kwa mkataba ama miakamiwili au miaka kadhaa kwa namna ambavyo mtaonainafaa.

Mheshimiwa Mwenyekiti, sasa ni vizuri hapa badalaya kuwalazimisha watu waende muda mrefu sana katika huuutumishi tuwaachie wapate nafasi ya wao kuamua kwambasasa nipumzike au niendelee kufanya kazi.

Mheshimiwa Mwenyekiti, unajua pale ambapounastaafu kwa kufikia ukomo wa umri wa kufanya kazi inaheshima yake sana tofauti na ile ya kuomba kwamba ukomoukifika na ndiyo ukaacha unapokuja kuomba tenainaonekana kwamba hukuwa na tamaa ya kuacha, umriulifika lakini sasa tunavyoupandisha maana yake mtu akitakakupumzika ili achukue hayo mafao yake ni lazima aombekuacha jambo ambalo si zuri. Mtu anaweza kuonekanakwamba siyo mzalendo, ametaka kuacha kazi wakati kumbetungeiacha…

(Hapa kengele ililia kuashiria kwisha kwamuda wa mzungumzaji)

MWENYEKITI: Ahsante Mheshimiwa. MheshimiwaMasoud atafuatiwa na Mheshimiwa Makamba.

Page 172: BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE ...parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1518427837-30...kasi na gofu. Katika michezo hiyo, matokeo ya timu yetu ya Bunge la Tanzania yalikuwa

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

172

MHE. MASOUD ABDALLAH SALIM: MheshimiwaMwenyekiti, nami naungana na mtoa hoja kwamba Serikalikwa hili waliangalie kwa umakini mkubwa. Kwanza sualazima la maslahi mapana juu ya hawa ambaotunawazungumza; na muda ukifika, pale ambapo hawatunaowazungumza baada ya kuwapatia maslahi yao vizuri,ile package ambayo inatakikana baadae kutakuwa nauhuru unaohitajika nini cha kufanya.

Mheshimiwa Mwenyekiti, lakini ni kwamba kwenyecontact basi kutakuwa na jambo lingine ambalo waowenyewe kwa kipindi hicho ndiyo kitakachoweza kuwapamotisha ya ziada.

Mheshimiwa Mwenyekiti, naungana na Mheshimiwamtoa hoja mambo haya tuyaangalie iliyo nzuri ili waweze...

(Hapa kengele ililia kuashiria kwisha kwamuda wa mzungumzaji)

MWENYEKITI: Ahsante. Mheshimiwa Makamba.

MHE. SALOME W. MAKAMBA: Mheshimiwa Mwenyekiti,naunga mkono hoja ya Mheshimiwa Dkt. Sware na natakaniseme ukweli, Mheshimiwa Waziri hawa watu hawajakuwa-consulted. Hawa watu maoni yao hayajazingatiwa, kwanzahawajaitishwa maoni yao na hayajazingatiwa; na kamayamefanyika siyo kwa kiwango ambacho kinatakiwakifanyike.

Mheshimiwa Mwenyekiti, haya ni mambo ya mslahiya maisha ya watu. Unayemuongezea ni Profesa, mtaalam,kuna mdau mmoja kwenye kitabu cha Kambi amesemaDaktari mwenye miaka 60, uwezo wake wa kufanya upasuajihauwezi kuwa sawa na Daktari mwenye miaka 40 na 50.Mnalazimisha hili jambo lakini hatujalifanyia utafiti wa kina.Nadhani hapa ajenda ya siri ni mafao ya kuwalipa hawaMadaktari kwa sababu naona tumeshaelekeza mifuko yotesasa tupeleke hela kwenye viwanda.

Page 173: BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE ...parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1518427837-30...kasi na gofu. Katika michezo hiyo, matokeo ya timu yetu ya Bunge la Tanzania yalikuwa

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

173

Mheshimiwa Mwenyekiti, labda tunakosa pesa kwaajili ya kuwalipa mafao. Walipeni mafao yao kwanza halafumkae nao mkubaliane nao. Tusiwalazimishe hawa watu mtuaende mpaka miaka 65 wengine wanasema mpaka miaka70…

(Hapa kengele ililia kuashiria kwisha kwamuda wa mzungumzaji)

MWENYEKITI: Ahsante. Mheshimiwa Ghasia.

MHE. HAWA A. GHASIA: Mheshimiwa Mwenyekiti,ahsante sana. Naona nisiunge mkono hoja iliyoweka mbeleyetu kwa sababu zifuatazo:-

Mheshimiwa Mwenyekiti, kwanza sasa hivi umri wakustaafu kwa lazima ni miaka 60 na hiari ndiyo ilikuwa 55,lakini uzoefu hata baada ya kufika 60 ya lazima bado kwaasilimia 82 watu wanaomba mikataba kwa mujibu watakwimu za Profesa Ndalichako. Kama asil imia 82wanaomba mikataba that means kuna haja, kuna tatizo lakuiweka kisheria. (Makofi)

Mheshimiwa Mwenyekiti, ninachokiona hapa nikwamba ukiwekwa kwa mkataba unachokuja kulipwabaadaye ni kikubwa zaidi ambacho ni gharama kwa Serikalikwa hiyo Mheshimiwa kama wana uwezo wa kuingia kwamikataba kwa asilimia 82 tuweke kisheria ili wao wawezekutumia ule ujuzi lakini…

(Hapa kengele ililia kuashiria kwisha kwamuda wa mzungumzaji)

MWENYEKITI: Ahsante sana. Mheshimiwa ProfesaMaghembe.

MHE. PROF. JUMANNE A. MAGHEMBE: MheshimiwaMwenyekiti, napenda nikushukuru kwa nafasi hii. Ningependanisiunge mkono hoja iliyowekwa mezani kwa sababumapendekezo ni kustaafu katika umri wa miaka 65, lakini

Page 174: BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE ...parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1518427837-30...kasi na gofu. Katika michezo hiyo, matokeo ya timu yetu ya Bunge la Tanzania yalikuwa

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

174

ukifika miaka 60 kama nia yako ni kupokea mafao yako basiunaweza ku-opt ukapokea mafao yako, kwa hiyo hakunamtu anayelazimishwa kwenda mpak 65 kwa sababu ile fursaya kupata mafao yako ukiwa miaka 60 iko pale pale.

Mheshimiwa Mwenyekiti, ahsante (Makofi)

MWENYEKITI: Nakushukuru sana kwa maelezo fasaha.Mheshimiwa Waziri Ndalichako.

WAZIRI WA ELIMU, SAYANSI NA TEKNOLOJIA:Mheshimiwa Mwenyekiti, nami siungi mkono hoja hii. Kwanzasuala la kusema kwamba wadau hawakushirikishwa kazi yakuita wadau wa kutoa maoni huwa ni kazi ya Bunge na siyoya Serikali.

Mheshimiwa Mwenyekiti, lakini pil i; takwimuzimejiweka wazi na mimi natamani hawa ambao wanasemakwamba wahadhiri hawahitaji kuongezewa muda wangetoatakwimu. Hii ni kwa sababu kwa takwimu nilizonazo mimi niWaziri mwenye dhamana sijawahi kuona Profesa akiwa namiaka 55 akaomba kustaafu kwa hiari na wamekuwa baadaya miaka 60 wanaomba kuendelea. Kwa hiyotunachokifanya ni kurasimisha. (Makofi)

Mheshimiwa Mwenyekiti, Kamati ya Makamu Wakuuwa Vyuo, walifanya utafiti na wakaona kuna umuhimu. Kwahiyo, naomba kama ambavyo Waheshimiwa Wabungewaliunga mkono niombe Bunge lako lipitishe huu Muswadakwa maslahi mapana ya elimu yetu.

MWENYEKITI: Mheshimiwa Mwenye hoja, MheshimiwaDokta Semesi.

MHE. DKT. IMMACULATE S. SEMESI: MheshimiwaMwenyekiti, nashukuru kwa nafasi.

MWENYEKITI: Umeshaelimishwa vizuri?

Page 175: BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE ...parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1518427837-30...kasi na gofu. Katika michezo hiyo, matokeo ya timu yetu ya Bunge la Tanzania yalikuwa

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

175

MHE. DKT. IMMACULATE S. SEMESI: Ni hivi; nilipoanzamwanzoni ulivyosema ni- justify nil isema hiki kifungukimewahishwa. Ni bora kurekebisha kwanza maslahi ya hawawalengwa then hiki kifungu ndipo labda kije. Kwa sababuhata wanapo-retire kama ni voluntary miaka 55 au hii yaproposal sasa hivi miaka 60, sawa ana-retire halafu anapewapackage yake si ndiyo? Halafu anafanya anachokitakabaada ya hapo ana-option ya kupata mkataba na malipoya mkataba yako juu kuliko the normal salary ambayoalikuwa anaipata, kwa hiyo obviously nitaomba mkataba,nitaomba extension mikataba ndiyo hiyo asilimia 80unayoiongelea.

Mheshimiwa Mwenyekiti, kwa hiyo tusitumie hichokigezo kwamba ni asilimia 80 wanaomba kwa sababu etihawana kazi, no! Ni maslahi. Kwa hiyo turekebishe kwanzamaslahi then hiki kifungu kije.

Mheshimiwa Mwenyekiti, nashukuru.

MWENYEKITI: Ahsante, sasa nitawahoji, kuhusu hojaya Mheshimiwa Dkt. Semesi kuhusiana na kufutwa kwa kifungucha 25A cha Muswada.

(Hoja ilitolewa iamuliwe)(Hoja iliamuliwa na Kukataliwa)

(Ibara Mpya iliyotajwa hapo juu ilipitishwa na Kamati yaBunge Zima pamoja na marekebisho yake)

NDG. JOSHUA CHAMWELA - KATIBU MEZANI:Mheshimiwa Mwenyekiti, Kamati ya Bunge Zima imemalizakazi yake.

(Bunge lilirudia)

MWENYEKITI: Waheshimiwa tukae. Mtoa hoja taarifa

Page 176: BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE ...parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1518427837-30...kasi na gofu. Katika michezo hiyo, matokeo ya timu yetu ya Bunge la Tanzania yalikuwa

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

176

T A A R I F A

MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI: MheshimiwaMwenyekiti, kwa mujibu wa Kanuni ya 89(1) ya Kanuni zaKudumu za Bunge, Toleo la Januari, 2016, napenda kutoataarifa kwamba Kamati ya Bunge Zima imeupitia Muswadawa Sheria ya Marekebisho ya Sheria Mbalimbali Na. 5 wamwaka 2017 (The Written Laws Miscellaneous AmendmentsNo.5, Bill of 2017) ibara kwa ibara na kuukubali pamoja namarekebisho yaliyofanyika.

Mheshimiwa Mwenyekiti, naomba kutoa hojakwamba Muswada wa Sheria ya Marekebisho MbalimbaliNa.5 wa mwaka 2017 (The Written Laws MiscellaneousAmendments No. 5, Bill of 2017) kama ulivyorekebishwa katikaKamati ya Bunge Zima sasa ukubaliwe.

Mheshimiwa Mwenyekiti, naomba kutoa hoja.(Makofi)

WAZIRI WA ELIMU, SAYANSI NA TEKNOLOJIA:Mheshimiwa Mwenyekiti, naafiki.

MWENYEKITI: Ahsante hoja imetolewa na imeungwamkono. Katika hatua hii lazima hoja hii muiamue. Sasanitawahoji.

(Hoja ilitolewa iamuliwe)(Hoja iliamuliwa na Kuafikiwa)

MWENYEKITI: Ahsante. Walioafiki wameshindwa.Katibu.

NDG. RAMADHANI ABDALLAH-KATIBU MEZANI:

Muswada wa Sheria kwa ajili ya kufanya Marekebishokatika Sheria Mbalimbali kwa Lengo la Kuondoa Mapungufu

Page 177: BUNGE LA TANZANIA MAJADILIANO YA BUNGE ...parliament.go.tz/polis/uploads/documents/1518427837-30...kasi na gofu. Katika michezo hiyo, matokeo ya timu yetu ya Bunge la Tanzania yalikuwa

NAKALA MTANDAO(ONLINE DOCUMENT)

177

ambayo yamejitokeza katika Sheria hizo Wakati waUtekelezaji wa Baadhi ya Masharti katika Sheria hizo (A Bill foran Act to Amend Certain Written Laws)

(Kusomwa Mara ya Tatu)

(Muswada wa Sheria ya Serikali Ulipitishwa na Bunge)

MWENYEKITI: Ahsante, kwa hiyo WaheshimiwaWabunge Muswada huu sasa umepitishwa rasmi na Bungehili na utafuata hatua za kikatiba na kikanuni ili ukapate piaidhini ya upande wa pil i wa Bunge kwa maana yaMheshimiwa Rais.

Niwashukuruni kwa kazi nzuri tuliyoifanya pamoja; nakama alivyosema Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu yaBunge ya Katiba na Sheria, ukiona maudhui yake ni kidogo,machache lakini very loaded lakini yana maslahi mapanasana kwa nchi hii. Tunatofautiana kidogo lakini mtaona faidaya marekebisho hayo.

Waheshimiwa Wabunge, sina la ziada kwa maanaya taarifa, kwa hiyo, baada ya kusema hayo sasa naahirishaBunge hadi kesho siku ya Jumatano, tarehe 31 mwezi huusaa 3.00 asubuhi .

(Saa 7.49 Mchana Bunge liliahirishwa mpaka Siku yaJumatano, Tarehe 31 Januari, 2018, Saa Tatu Asubuhi)