14
Mofolojia ya kiswahili

Mofolojia ya kiswahili

Embed Size (px)

Citation preview

Page 1: Mofolojia ya kiswahili

Mofolojia ya

kiswahili

Page 2: Mofolojia ya kiswahili

Malengo ya somo hili

• Kueleza na kufafanua maana ya mofolojia• Kutambua na kufafanua zaidi mofolojia na

vipashio vyake.

Page 3: Mofolojia ya kiswahili

Kunihusu mimi• GEOPHREY SANGA• Mwalimu wa shahada ya ualimu katika

masomo ya kiswahili and ICT(TEHAMA)• BED ICT• Email: [email protected]

Page 4: Mofolojia ya kiswahili

utangulizi

• Maana ya mofolojia

Page 5: Mofolojia ya kiswahili

Maana ya mofolojia• Mofolojia ni tafsiri ya neon la kiingereza

“Morphology”. Neno hili nalo linatokana na neon la kiyunani “Morphe” lenye maana ya muundo au umbo ( Aurbach et al 1971; 106).

 • Mofolojia ni neno linalotumiwa kumaanisha

utanzu wa isimu unaoshughulikia muundo wa maneno ( Habwe na Karanja 2004).

 

Page 6: Mofolojia ya kiswahili

Maana..........

• Hartman (1972). Mofolojia ni tawi la sarufi ambalo hushughulika na uchunguzi na uchambuzi wa maumbo, fani na aina za maneno yalivyo sasa pamoja na historia zake

Page 7: Mofolojia ya kiswahili

Maana.........

• Kwa ujumla mofolojia ni taaluma inayoshughulikia lugha pamoja na mpangilio wake katika uundaji wa maneno. Vipashio hivyo vya lugha huitwa mofimu

Page 8: Mofolojia ya kiswahili

Uhusiano uliopo kati ya mofolojia na matawi mengine ya sarufi

• Mofolojia na fonolojia• Kuna uhusiano wa moja kwa moja kati ya

mofolojia na fonolojia:-i. Vipashio vya kifonolojia ndivyo hutumika

katika kuunda vipashio vya kimofolojia

mfano

Page 9: Mofolojia ya kiswahili

Mofolojia na fonolojia

• Vipashio vya mofolojia ni fonimu, mfuatano wa fonimu ndio huuna vipashio vya kimofolojia ambavyo ni mofimu

Mfano• Fonimu: i, p, t, a, huunda• mofimu: Pit-a• Hivyo basi neno pita limeundwa na mofimu mbili na fonimu nne

Page 10: Mofolojia ya kiswahili

Mofolojia na fonolojia

ii) Uhusiano mwingine kati ya fonolojia na mofolojia ni kwamba, kanuni za kifonolojia hutumika kueleza maumbo ya kimofolojia ambayo yanaathiriana.

MfanoKatika neno mu-ana mwu-alimu

Page 11: Mofolojia ya kiswahili

Mofolojia na fonolojia

• Kipashio [mu] katika mifano hapo juu kinajitokeza kama [mw-] inapofuatwa na irabu ambayo.

Mu mw-/-I

Page 12: Mofolojia ya kiswahili

Mofolojia na sintaksia

i. Vipashio vya msingi vya kimofolojia ndivyo hutumika katika kuundia daraja hili la sintaksia

Mfano Neno hutumika kuundia sentensi

Page 13: Mofolojia ya kiswahili

Mwisho

Mawasiliano: [email protected] ©2013

asante kwa usomaji

Page 14: Mofolojia ya kiswahili

Maswali na majibu

• Kwa maswali au mchango wowote kuhusuiana na kiswahili nifuate kwenye email yangu ya

[email protected]