302
YALIYOMO NA. MADA UKURASA 1. Hali ya Maendeleo ya Sekta ya Mifugo Kuanzia Mwaka 2001 – 2009 (MLDF) 1 - 77 2. Upatikanaji wa Mikopo kwa Ajili ya Shughuli za Mifugo (PASS) 78 - 86 3. Upatikanaji wa Mikopo kwa Ajili ya Shughuli za Mifugo (Mfuko wa Taifa wa Pembejeo – AGITF) 87 – 90 4. Fursa na Changamoto za Uzalishaji, Usindikaji, Biashara na Masoko ya Mifugo, Nyama na Bidhaa zake (Wadau wa Nyama) 91 – 104 5. Changamoto na Mtazamo wa Sekta ya Maziwa Tanzania (Wadau wa Maziwa) 105 – 112 6. Taarifa za Mikoa 6.1 Mwanza 113 – 131 6.2 Shinyanga 132 – 153 6.3 Dodoma 154 – 178 6.4 Arusha 179 – 197 6.5 Mara 198 – 208 6.6 Singida 209 – 222 6.7 Manyara 223 – 234 6.8 Tabora 235 – 251 7 TAASISI/WIZARA 7.1 Hali ya Uzalishaji wa Mifugo Duniani (Chuo Kikuu cha Kilimo cha Sokoine) 252 – 280 7.2 Ufugaji wa Asili wa kuhamahama na Kiini/Chanzo cha Migogoro kati ya wafugaji na Watumiaji wengine wa Ardhi (MLDF)

YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

  • Upload
    others

  • View
    88

  • Download
    0

Embed Size (px)

Citation preview

Page 1: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

YALIYOMO

NA. MADA UKURASA1. Hali ya Maendeleo ya Sekta ya Mifugo Kuanzia Mwaka

2001 – 2009 (MLDF) 1 - 77

2. Upatikanaji wa Mikopo kwa Ajili ya Shughuli za Mifugo (PASS)

78 - 86

3. Upatikanaji wa Mikopo kwa Ajili ya Shughuli za Mifugo (Mfuko wa Taifa wa Pembejeo – AGITF)

87 – 90

4. Fursa na Changamoto za Uzalishaji, Usindikaji, Biashara na Masoko ya Mifugo, Nyama na Bidhaa zake (Wadau wa Nyama)

91 – 104

5. Changamoto na Mtazamo wa Sekta ya Maziwa Tanzania (Wadau wa Maziwa)

105 – 112

6. Taarifa za Mikoa

6.1 Mwanza 113 – 131

6.2 Shinyanga 132 – 153

6.3 Dodoma 154 – 178

6.4 Arusha 179 – 197

6.5 Mara 198 – 208

6.6 Singida 209 – 222

6.7 Manyara 223 – 234

6.8 Tabora 235 – 251

7 TAASISI/WIZARA

7.1 Hali ya Uzalishaji wa Mifugo Duniani (Chuo Kikuu cha Kilimo cha Sokoine)

252 – 280

7.2 Ufugaji wa Asili wa kuhamahama na Kiini/Chanzo cha Migogoro kati ya wafugaji na Watumiaji wengine wa Ardhi (MLDF)

Page 2: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA MAENDELEO YA MIFUGO NA UVUVI

HALI YA MAENDELEO YA SEKTA YA MIFUGO KUANZIA MWAKA 2001 HADI MWAKA 2009

Mada iliyowasilishwa Katika Mkutano wa Mhe. Waziri Mkuu na Wadau wa Sekta ya Mifugo, DODOMA, Septemba, 2009

2

Page 3: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

VIFUPISHO

AfDB African Development Bank ASDP Agricultural Sector Development Programme ASDS Agricultural Sector Development Strategy ASPS Agricultural Sector Programme Support BHP Black Head Persian CBG Capacity Building Grand CBPP Contagious bovine pleuropneumonia CCM Chama Cha Mapinduzi CFC Common Fund for Communities DADG District Agriculture Development Grand DADPs District Agricultural Development Programmes DALDO District Agriculture and Livestock Officer DANIDA Danish International Development Agency DASIP District Agricultural Sector Investment programme DEO District Extension Officer DSM Dar es Salaam DVO District Veterinary Officer EAC East African Community ECF East Coast fever EU European Union FAO Food and Agriculture Organisation FMD Foot and Mouth Disease Ha Hacter HPT Heifer Project Tanzania LDF Livestock Development Fund LGAs Local Government Authorities LITI Livestock Training Institutes LMUs Livestock Multiplication Units LN2 Liquid Nitrogen LTA Livestock Traders Association MLDF Ministry of Livestock Development and Fisheries NAEP National Agricultural Extension Project NAIC National Artificial Insemination Centre NARCO National Ranching Company NBS National Bureau of Statistics NDDC National Dairy Development Conference NGOs Non Governmental Organizations

i

Page 4: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

NICOL National Investment Company Limited NOBRA Norwegian Breeders Assocition O & OD Opportunities and Obstacles to Development OIE Office Internationale des Epizooties OWM Ofisi ya Waziri Mkuu PADEP Participatory Agricultural Development and Empowerment Project PPR Pest de Petit Ruminant RALDO Regional Agricultural and Livestock Development Officer RLDO Regional Livestock Development Officer RVF Rift Valley Fever SACCOs Savings and Credits Cooperatives Organisations SADC Southern Africa Development Community SDSP Smallholder Dairy Support Programme SEGODEN Southern East Zone Goat Development Network

SIT Sterile Insect Technique SUA Sokonine University of Agriculture SWAp Sectoral Wide Approach project TADs Transboundary Animal Diseases TAFIC Tanzania Animal Feed Information Centre TAFMA Tanzania Animal Feed Manufacturing Association TAGONET Tanzania Goat Network TAMISEMI Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa TAMPA Tanzania Milk Processors Association TAMPRODA Tanzania Millk Producer Association TASAF Tanzania Social Action Fund TFDA Tanzania Food and Drugs Authority TLA Tanzania Leather Association TOBRA Toggenburg Breeders Association TSAP Tanzania Society of Animal Production TSh Tanzanian Shilling TSZ Tanzania Short Horn Zebu TVA Tanzania Veterinary Association UKIMWI Upungufu wa Kinga Mwilini VAT Value Added Tax VETA Voccational Education Training Authority VIC Veterinary Investigation Centre VVU Virusi Vya Ukimwi WHO World Health Organization ZARDEF Zonal Agriculture Research Fund

ii

Page 5: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

YALIYOMO SURA YA KWANZA ....................................................................................................................... 1

1.0 UTANGULIZI ................................................................................................................ 1 SURA YA PILI

2.0 SERA, SHERIA NA MALENGO YA SEKTA YA MIFUGO........................................................ 3 2.1 Sera ya Taifa ya Mifugo ................................................................................................ 3 2.3 Majukumu ya Wizara katika Sekta ya Mifugo................................................................... 4 2.4 Ilani ya Uchaguzi ya Chama cha Mapinduzi (CCM) ya Mwaka 2005 - 2010. ........................ 4

SURA YA TATU ............................................................................................................................ 6 3.0 UTEKELEZAJI WA MAENEO YALIYOAINISHWA KATIKA MKUTANO WA WADAU MWAKA 2001 . 6 3.1 Matumizi ya Ardhi, Maji na Malisho ................................................................................... 6

3.1.1 Ardhi ........................................................................................................................... 6 3.1.2 Maji............................................................................................................................. 8 3.1.3 Malisho.......................................................................................................................10 3.1.4 Mabadiliko ya Tabia Nchi kwa Mifugo ............................................................................11

3.2 Aina ya Mifugo na Mifumo ya Uzalishaji .............................................................................12 Chanzo: Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi......................................................................12 3.2.1 Kuboresha Aina na Mfumo wa Ufugaji wa Ng’ombe wa Nyama ........................................12 3.2.2 Kuboresha Aina na Mfumo wa Ufugaji wa Ng’ombe wa Maziwa .......................................14 3.2.3 Kuboresha Aina na Mfumo wa Ufugaji wa Kondoo na Mbuzi ............................................15 3.2.4 Kuboresha Aina na Mfumo wa Ufugaji wa Kuku..............................................................16 3.2.5 Kuboresha Aina na Mfumo wa Ufugaji wa Nguruwe........................................................17 3.2.6 Kuandaa sera ya uzalishaji mifugo nchini (livestock breeding policy) ................................17 3.2.7 Kuimarisha Mashamba ya Kuzalisha Mitamba (LMUs)......................................................18 3.2.8 Kuimarisha Kituo cha Uhimilishaji..................................................................................19

3.3 Hali ya Magonjwa ya Mifugo Nchini ...................................................................................20 3.3.1 Magonjwa ya Milipuko..................................................................................................20 3.3.2 Udhibiti wa Magonjwa Yaenezwayo na Kupe..................................................................22 3.3.3 Magonjwa ya Wanyama yanayoambukiza Binadamu (Zoonosis) kama vile Kichaa cha Mbwa,

Ugonjwa wa Kutupa Mimba (Brucellosis), Kimeta na Kifua Kikuu cha ng’ombe (Bovine Tuberculosis). ..............................................................................................................24

3.3.4 Kuanzisha Maeneo Huru ya Magonjwa ya Mifugo ...........................................................26 3.3.5 Sheria ya Kudhibiti Kuwepo na Kuenea kwa Magonjwa ya Wanyama................................26 3.3.6 Mikakati na Mipango ya Kikanda ili Kudhibiti Magonjwa yasiyo na Mipaka (Trans-Boundary Diseases). ...............................................................................................................................27 3.3.7 Mikakati na Mipango ya Kuzuia Magonjwa yanayoambukizwa Kati ya Mifugo na Wanyamapori. .........................................................................................................................28 3.3.8 Kuimarisha Mfumo wa Ukusanyaji Taarifa na Takwimu za Magonjwa ya Mifugo ................28 3.3.9 Upatikanaji na Usambazaji wa Dawa na Pembejeo za Mifugo ..........................................28 3.3.10 Kuzuia kuenea kwa Magonjwa kwa Kudhibiti uhamishaji holela wa Mifugo....................29 3.3.11 Usimamizi wa Watoa Huduma za Afya ya Mifugo........................................................29

3.4 Viwanda na Masoko ya Mifugo na Mazao yake ...................................................................30 3.4.1 Kuanzisha na kuendesha machinjio na viwanda vya kusindika mazao ya mifugo ...................30 3.4.2 Uwekezaji Kupitia NARCO.................................................................................................31 3.4.3 Soko la Mifugo na bidhaa zake .........................................................................................32 3.4.4 Soko lisilo rasmi kwa mifugo na mazao yake......................................................................35 3.5 Menejimenti ya Sekta ya Mifugo ......................................................................................36 3.5.2 Kuboresha Maslahi ya Watumishi.....................................................................................39 3.5.3 Takwimu za Mifugo .........................................................................................................40 3.6 Huduma za Ugani na Elimu kwa Wafugaji.........................................................................40 3.6.1 Mgawanyo wa Majukumu 40 3.6.2 Hali ya Wataalam wa Ugani .................................................................................................41

iii

Page 6: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

iv

3.6.3 Utoaji wa Huduma za Ugani kwa kutumia mbinu shirikishi ya Shamba Darasa 42 3.6.4 Mafunzo kwa Wafugaji 43 SURA YA NNE: Maazimio ya Mkutano Mkuu wa Wadau wa Sekta ya Mifugo Mwaka 2006 ..................44 SURA YA TANO : Taarifa ya Utekelezaji wa ASDP...........................................................................48 SURA YA SITA: Utafiti wa Mifugo .................................................................................................60 SURA YA SABA: Maeneo ambayo utekelezaji wake unahitaji msukumo ………………………………… ….70 SURA YA NANE: Hitimisho 72....................................................................................................................................................................................

Page 7: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

1

SURA YA KWANZA

1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha hekta milioni 60 za nyanda za malisho ambazo zinafaa kwa ufugaji. Hata hivyo, inakadiriwa kuwa asilimia 40 ya eneo hili (sawa na hekta milioni 24) linakaliwa kwa wingi na ndorobo, hivyo kuacha asilimia 60 (sawa na hekta milioni 36) tu zinazofaa kutumika kwa ufugaji. Kulingana na taarifa ya Hali ya Uchumi wa Taifa ya 2008, idadi ya mifugo inakadiriwa kufikia ng’ombe milioni 19.1, mbuzi milioni 13.6, kondoo milioni 3.6, nguruwe milioni 1.6 na kuku milioni 56. Kati ya ng’ombe hao, 605,000 ni ng’ombe wa maziwa. Vilevile, kati ya kuku hao, milioni 22 ni kuku wa kisasa ambapo milioni 8 ni kuku wa mayai na milioni 14 ni kuku wa nyama. Uzalishaji wa nyama umeongezeka kutoka tani 333,000 mwaka 2001/2002 na kufikia tani 422,230 mwaka 2008/2009. Aidha, uzalishaji wa maziwa umeongezeka kutoka lita milioni 900 mwaka 2001/2002 hadi kufikia wastani wa lita bilioni 1.6 mwaka 2008/2009. Asilimia 80 ya maziwa yanayozalishwa nchini huuzwa kwenye soko lisilo rasmi na 20 husindikwa na kuuzwa kwenye soko rasmi. Uzalishaji wa mayai umeongezeka kutoka mayai milioni 650 mwaka 2001 hadi mayai bilioni 2.81 mwaka 2009. Katika kipindi cha mwaka 2001-2009, kumekuwepo na ongezeko la ulaji wa mazao ya mifugo kutoka wastani wa lita 25 hadi lita 42 za maziwa, kilo 6 za nyama hadi kilo 11 na mayai 21 hadi 70 kwa mtu kwa mwaka. Hata hivyo, ulaji huu ni mdogo ikilinganishwa na viwango vya FAO ambavyo ni kilo 50 za nyama, lita 200 za maziwa na mayai 300 kwa mtu kwa mwaka. Aidha, katika mwaka 2008 Sekta ya mifugo ilikua kwa asilimia 3.7 na kuchangia asilimia 4.6 katika pato la Taifa. Kuongezeka kwa ulaji wa mazao haya kunatokana na juhudi mbalimbali za Serikali na wadau katika kuhakikisha soko la ndani linakua, mojawapo ya juhudi hizo ni mbinu za kushawishi matumizi ya bidhaa za maziwa kama wiki ya maziwa, mpango wa unywaji maziwa shuleni (Kiambatanisho Na. 3), maonesho ya Nane Nane, n.k. Matokeo ya utafiti uliofanywa na Shirika la Chakula Duniani (FAO) na Benki ya Dunia (World Bank) yanaonyesha kuwa miaka 15 ijayo mahitaji ya mazao ya mifugo katika nchi zinazoendelea yataongezeka mara mbili hasa kutokana na kuongezeka kwa watu na kupanuka kwa miji. Matokeo hayo ya utafiti ni changamoto kwa Sekta ya Mifugo kuhakikisha kuwa mifumo ya uzalishaji inaboreshwa kwa kutumia mbinu sahihi zitakazosaidia kuongeza uzalishaji wa mifugo na mazao bora ili kukidhi mahitaji ya soko. Sekta ya Mifugo ina fursa kubwa katika kuchangia pato la Taifa na kupunguza umaskini nchini. Hivyo jitihada za Serikali na wadau mbalimbali katika Sekta ya Mifugo ni lazima zilenge katika kuandaa mikakati itakayowawezesha wafugaji kufuga kwa lengo la kukidhi mahitaji ya soko na kutumia mifugo kuongeza kipato na kuboresha maisha yao kwa ujumla. Jitihada hizo ni pamoja na:-

(i) Kuwahimiza wafugaji kutekeleza kanuni za ufugaji bora ili kuwawezesha kuingia katika ufugaji wa kisasa;

Page 8: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

2

(ii) Kuwaelimisha wafugaji juu ya umuhimu wa kuvuna mifugo yao ili wajipatie mapato;

(iii) Kujenga mazingira ya kuvutia uwekezaji katika kuongeza uzalishaji na usindikaji wa mazao ya mifugo.

(iv) Kuwashawishi Watanzania kuongeza kiasi cha matumizi ya mazao ya mifugo yanayozalishwa nchini ili kukuza soko la ndani;

(v) Kuendeleza na kuimarisha miundombinu ya masoko ya mifugo; (vi) kuhamasisha na kuhimiza uundaji na uimarishaji wa vikundi vya ushirika wa

wafugaji, vyama vya wafanyabishara na wasindikaji; na (vii) Kuendeleza ufugaji, uzalishaji na usindikaji wa mazao ya mifugo unaozingatia

hifadhi ya mazingira. Pamoja na jitihada hizi bado Sekta inakabiliwa na changamoto zifuatazo:

(i) Utengaji wa maeneo ya ufugaji na kuijengea miundombinu; (ii) uzalishaji duni na tija ndogo ya mifugo hasa ya asili; (iii) ukosefu wa masoko ya uhakika; (iv) Kuwepo kwa magonjwa mbalimbali ya mifugo; (v) Uhaba wa viwanda vya kusindika mazao ya mifugo; (vi) Uwekezaji mdogo katika sekta ya mifugo na kutokuwepo kwa taasisi za mikopo

zenye masharti nafuu; na (vii) Upatikanaji na gharama kubwa za pembejeo za mifugo.

Katika mwaka 2001, Serikali iliandaa mkutano wa kwanza wa wadau uliofanyika mjini Arusha chini ya uwenyekiti wa Mhe. Benjamin William Mkapa, aliyekuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Mkutano huo ulichambua kwa undani hali halisi ya Sekta ya Mifugo na kuainisha matatizo yanayokabili Sekta hii na kuaininisha Dira ya sekta inayotamka kuwa“Ifikapo mwaka 2025 Kuwe na Sekta ya Mifugo ambayo kwa sehemu kubwa, itakuwa na ufugaji wa kisasa na endelevu, yenye mifugo bora, yenye uzalishaji mzuri, inayoendeshwa kibiashara na yenye kuboresha lishe ya Mtanzania, kuinua kipato cha mfugaji na Taifa na kuhifadhi mazingira.“ Dira hii imetoa mwelekeo wa kuendeleza sekta ya mifugo nchini. Kwa kuzingatia Dira hii, Serikali imeandaa Sera ya Taifa ya Mifugo ya mwaka 2006 inayozingatia mabadiliko ya sasa ya kiuchumi, kijamii na teknolojia ikiwa ni pamoja na kuzingatia suala la utandawazi na ushirikishwaji wa Sekta Binafsi. Aidha, Sheria na Kanuni mbalimbali zimeandaliwa kwa ajili ya kutekeleza Será hii. Mada hii inaelezea mambo muhimu yaliyotekelezwa kuanzia mwaka 2001 mpaka 2009, changamoto, maeneo ambayo yanahitaji msukumo na mwelekeo wa baadae. Mada ina Sura Saba. Sura ya Kwanza ni Utangulizi, Sura ya Pili inayohusu Sera, Sheria na Kanuni; Sura ya Tatu ni Utekelezaji wa Maazimio ya Mkutano wa wadau 2001; Sura ya Nne ni Utekelezaji wa Maazimio ya Mkutano wa wadau 2006, Sura ya Tano ni Taarifa ya Utekelezaji ya mipango ya Serikali ikiwemo ASDP; Sura ya Sita ni maeneo ambayo utekelezaji wake unahitaji msukumo na mwelekeo wa baadaye wa Sekta ya Mifugo na Sura ya Saba ni Hitimisho.

Page 9: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

3

SURA YA PILI

2.0 SERA, SHERIA NA MALENGO YA SEKTA YA MIFUGO 2.1 Sera ya Taifa ya Mifugo Sera ya Taifa ya Mifugo ilipitishwa na Serikali mwezi Desemba, 2006. Sera hii inalenga kuchochea maendeleo ya tasnia ya mifugo ili iweze kumwongezea kipato mwananchi na Taifa kwa ujumla, kuboresha uhakika wa chakula na hifadhi ya mazingira. Aidha, sera hii imedhamiria kuongeza ubora wa maisha kwa wadau wote wanaojihusisha na sekta ya mifugo nchini. Madhumuni mahususi ya Sera ya Taifa ya Mifugo ni:-

(i) Kuchangia uhakika wa chakula kitaifa kwa kuongeza uzalishaji, usindikaji na masoko ya mazao ya mifugo ili kukidhi mahitaji ya lishe.

(ii) Kuinua hali ya maisha ya wananchi wanaojihusisha na ufugaji kupitia ongezeko la kipato kutokana na mifugo.

(iii) Kuongeza wingi na ubora wa mifugo na mazao yake kama malighafi kwa ajili ya matumizi ya viwanda vya ndani na nje.

(iv) Kuhimiza matumizi na usimamizi jumuishi na endelevu wa rasilimali zinazohusiana na uzalishaji wa mifugo ili kujenga mazingira endelevu.

(v) Kuimarisha utoaji wa huduma za kiufundi pamoja na kutayarisha na kusambaza teknolojia mpya.

(vi) Kuendeleza rasilimali watu wakiwemo wafugaji. (vii) Kuhimiza uzalishaji wa bidhaa za mifugo zilizo salama na bora ili kulinda afya za

walaji. (viii) Kuhimiza matumizi ya wanyama-kazi na biogesi (ix) Kuhusisha masuala ya mtambuka na sekta-mtambuka kama vile jinsia, Virusi vya

Ukimwi (VVU)/UKIMWI, ardhi na mazingira. 2.2 Malengo ya Sekta ya Mifugo

Malengo makuu ya Sekta ya Mifugo kuendeleza ufugaji bora, kuinua uchumi wa nchi, na kupunguza migogoro kati ya wafugaji na watumiaji wengine wa ardhi kwa kutekeleza yafuatayo:-

(i) Kuhakikisha upatikanaji wa rasilimali za vyakula vya mifugo ili kuongeza uzalishaji na upatikanaji wa mazao ya mifugo.;

(ii) Kuinua kiwango cha hali ya maisha katika maeneo ya vijijini kwa kuongeza pato kutokana na ufugaji, , usindikaji, uuzaji wa mazao ya mifugo na matumizi ya wanyama kazi na nishati itokanayo na samadi;

(iii) Kuongeza pato la fedha za kigeni la Taifa kwa kuhimiza uzalishaji na uuzaji nje wa mifugo na mazao ya mifugo;

(iv) kubuni na Kuendeleza teknolojia zitakazoongeza uzalishaji na tija ya mifugo.

Page 10: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

4

(v) Kuhimiza utumiaji endelevu wa rasilimali ardhi, maji na malisho ili kulinda na kuhifadhi mazingira;

(vi) Kudhibiti magonjwa ya mifugo ili kukidhi mahitaji ya soko na kulinda afya za watumiaji wa mazao ya mifugo;

(vii) Kuendeleza na kusimamia rasilimali watu katika Sekta ya Mifugo ili kuongeza tija, uwezo, uelewa na motisha wa kazi yao; na

(viii) Kutoa mafunzo kwa wafugaji ili kuboresha mfumo wa ufugaji wa asili kuwa wa kibiashara.

2.3 Majukumu ya Wizara katika Sekta ya Mifugo

Kuundwa kwa Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi katika Serikali ya Awamu ya Nne kulilenga kuipa umuhimu Sekta ya Mifugo na kuongeza ufanisi wa utekelezaji wa majukumu yafuatayo:-

(i) Kutayarisha, kurekebisha na kusimamia utekelezaji wa Sera na mikakati ya kuendeleza Sekta ya Mifugo;

(ii) Kutayarisha, kurekebisha na kusimamia sheria mbalimbali za Mifugo; (iii) Kukusanya, kuhifadhi na kuchambua takwimu muhimu za Mifugo; (iv) Kusimamia matumizi endelevu ya rasilimali za Mifugo; (v) Kutoa huduma bora ya maji kwa mahitaji ya binadamu na mifugo; (vi) Kutoa huduma za ushauri kwa wafugaji; (vii) Kufanya utafiti wa mifugo ili kuendeleza wafugaji, kukuza usalama wa chakula na

kusambaza teknolojia zinazofaa na zisizoharibu mazingira; (viii) Kudhibiti na kukagua ubora wa zana, pembejeo na mazao ya mifugo; (ix) Kudhibiti magonjwa ya mifugo pamoja na wadudu wanaoeneza magonjwa hayo; na (x) Kutoa mafunzo kwa wafugaji na wataalam wa mifugo.

2.4 Ilani ya Uchaguzi ya Chama cha Mapinduzi (CCM) ya Mwaka 2005 - 2010.

Sekta ya Mifugo ni kati ya maeneo ambayo yamepewa umuhimu mkubwa katika Sera na Mwelekeo wa CCM ya mwaka 2000 hadi 2010 na kusisitizwa katika Ilani ya uchaguzi ya CCM ya mwaka 2005 iliyoelekeza sekta hii kutekeleza maeneo muhimu yafuatayo:-

(i) Kujenga mazingira ya kuvutia uwekezaji katika viwanda vya kuongezea thamani mazao ya mifugo kama vile ukataji nyama, usindikaji wa maziwa na utengenezaji wa bidhaa za ngozi;

(ii) Kuwashawishi Watanzania wale nyama, mayai na kunywa maziwa kwa wingi zaidi kwa ajili ya kujenga afya zao na kukuza soko la ndani la bidhaa hizo;

(iii) Kufufua na kujenga mabwawa na majosho mapya kwa ajili ya Mifugo; (iv) Kuwaelimisha wafugaji umuhimu wa kuuza sehemu ya mifugo yao ili wajipatie

mapato; (v) Kuwahimiza wafugaji kutekeleza kanuni za ufugaji bora na kwa ujumla

kuwawezesha kuingia katika ufugaji wa kisasa; (vi) Kuhifadhi mazingira kwa kuzingatia ufugaji endelevu usioharibu mazingira,

rasilimali muhimu kama ardhi na vyanzo vya maji kote nchini;

Page 11: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

5

(vii) Kuendelea kukuza na kuendeleza masoko ya ndani ya mifugo na mazao yake; (viii) Kuendeleza mikakati ya kukuza Sekta ya Mifugo kupitia ugani, tiba, kinga,

usambazaji wa maji na uboreshaji wa malisho; (ix) Kuimarisha vituo vya uzalishaji wa mbegu bora za ng’ombe na mifugo mingine na

kuongeza ufanisi katika usambazaji wa mbegu hizo; (x) Kuendelea kutenga maeneo ya wafugaji kwa lengo la kupunguza migogoro baina

ya wakulima na wafugaji; na (xi) Kuendelea kuhamasisha uimarishaji na uanzishaji wa vikundi vya ushirika wa

wafugaji.

Page 12: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

SURA YA TATU

3.0 UTEKELEZAJI WA MAENEO YALIYOAINISHWA KATIKA MKUTANO WA WADAU MWAKA 2001

3.1 Matumizi ya Ardhi, Maji na Malisho 3.1.1 Ardhi Kati ya hekta milioni 60 zinazofaa kwa ufugaji asilimia 40 ya eneo hilo (sawa na hekta milioni 24) zinakaliwa kwa wingi na ndorobo, hivyo kuacha asilimia 60 (sawa na hekta milioni 36) zinafaa kwa ufugaji. Hata hivyo, hadi sasa jumla ya hekta 1,391,109.41 sawa na asilimia 3.8% ya eneo lote linalofaa kwa ufugaji limetengwa katika vijiji 240 vya Halmashauri za Wilaya 31 za mikoa 13 kwa ajili ya ufugaji (Kiambatanisho Na. 1). Ili kuendelea kutenga maeneo ya wafugaji, Halmashauri zinahimizwa kuendelea kuainisha, kutenga na kumilikisha maeneo kwa wafugaji na kuhakikisha yanaendelezwa. Aidha, Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi kwa kushirikiana na Asasi zisizo za Serikali inatekeleza programu ya kuelimisha wafugaji wa asili kuhusu Sheria za Ardhi na utatuzi wa migogoro ya ardhi kati ya wafugaji na watumiaji wengine wa ardhi. Pamoja na hatua zinazochukuliwa za kupima maeneo ya ufugaji, bado kuna matatizo ya kasi ndogo ya kupima na kumilikishwa maeneo na kupanga matumizi bora ya ardhi. Aidha, uelewa mdogo wa sera, sheria na taratibu kuhusu matumizi ya ardhi pia huchangia katika migogoro kati ya wafugaji na watumiaji wengine wa ardhi. Aidha, yafuatayo yametekelezwa:- (i) Kuandaa na kutekeleza Mpango Mahsusi wa Kitaifa wa Matumizi ya Ardhi

(National Land use Masterplan)

Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi kwa kushirikiana na Wizara za; Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi; Kilimo, Chakula na Ushirika; Maliasili na Utalii; Ofisi ya Makamu wa Rais – Mazingira na Ofisi ya Waziri Mkuu- Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa) inaandaa Mpango Kabambe wa Matumizi ya Ardhi (National Land Use Framework plan) . mpango huu utakapokamilika utawezesha kuwa na matumizi bora ya nyanda za malisho na hifadhi ya mazingira.

Sambamba na hatua hizi Serikali imeruhusu shughuli za utoaji wa hati miliki zifanyike wilayani na hivyo kupunguza usumbufu uliokuwepo wa kufuatilia hati hizi Makao Makuu ya Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi.

Changamoto kubwa zilizopo ni kwa Serikali Kuu kuhakikisha kuwa: • Kuwa na Mpango Mahsusi wa Kitaifa wa Matumizi ya Ardhi; • Kutenga na kumilikisha maeneo ya ufugaji; na • Kuhamasisha wafugaji kuibua miradi ya utengaji na umilikishwaji maeneo.

6

Page 13: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

(ii) Kuwaelimisha wadau kuhusu sera, sheria na taratibu za kumiliki na kutumia ardhi kwa shughuli mbalimbali, ikiwemo ufugaji.

Wizara ilihamasisha wadau kupitia warsha na mikutano kuhusu ya Sheria ya Ardhi Na.4 ya mwaka 1999 na Sheria ya Ardhi ya Vijiji Na.5 ya mwaka 1999 zinazotoa maelekezo kuhusu taratibu za kutenga, kumiliki, kutumia na kuendeleza ardhi na malisho kwa shughuli za ufugaji wa binafsi au vikundi ili kuondoa migogoro kati ya wafugaji na watumiaji wengine wa ardhi. Aidha, yafuatayo yamefanyika:

(a) Mikutano ya kushauriana kuhusu matumizi bora ya ardhi imefanyika katika wilaya 12 na kuhusisha wafugaji 565 ambapo vyama vya wafugaji 398 vimeundwa;

(b) Warsha kuhusu uandaaji wa programu za kuendeleza nyanda za malisho ziliendeshwa katika Kanda za Ziwa, Kati na Mashariki na kuhusisha viongozi na watendaji wa Halmashauri zenye mifugo mingi. Jumla ya washiriki 261 walihudhuria, na kuandaa programu za kuendeleza nyanda za malisho ambazo zinatumika katika kuandaa mipango ya maendeleo ya wilaya (DADPs).

(c) Jumla ya wafugaji 259 wa mikoa ya Kanda ya Ziwa (30) na Lindi (229) wamepatiwa mafunzo kuhusu matumizi bora ya ardhi.

(d) Mapendekezo ya kutunga Sheria ya Maeneo ya Malisho na Rasilimali za Vyakula vya Mifugo (Grazingland and Animal Feed Resources Act) imewasilishwa Baraza la Mawaziri kwa ajili ya kujadiliwa kwa hatua zaidi.

Changamoto kubwa zilizopo ni kwa Serikali kwa kushirikiana na wadau wengine: • Kuendelea kutoa elimu ya matumizi endelevu ya ardhi kwa ajili ya ufugaji; • Kuelimisha umma na wadau kuhusu sera, na kusimamia sheria na taratibu za umiliki na

matumizi ya ardhi kwa shughuli mbalimbali, ikiwemo ufugaji.

(iii) Kushirikiana na wadau kuandaa mikakati na mipango ya kumilikisha kisheria wawekezaji mbalimbali katika sekta ya ufugaji kwa njia ya uwazi na isiyokuwa na usumbufu/ukiritimba.

Mpango wa kugawanya Ranchi za Taifa (NARCO) na kumilikisha kwa wawekezaji wa Tanzania umekamilika. Wizara imemilikisha (sub-lease) jumla ya vitalu 134 vya NARCO vyenye ukubwa wa hekta 389,134 kwa wawekezaji wananchi kwa lengo la kuanzisha na kuendesha ufugaji wa kibiashara katika ranchi (Commercial Ranching). Hadi sasa jumla ya ng’ombe 48,301 na mbuzi na kondoo 7,182 wamewekezwa katika vitalu hivyo (Kiambatanisho Na. 2). (iv) Kuwa na viwango vya kodi ya ardhi ili kuhamasisha wananchi kumiliki ardhi

na kufuga kisasa na kupunguza tabia ya kuhodhi ardhi bila kuiendeleza (speculation, land grabing)

Serikali imepunguza kodi ya ardhi kutoka shilingi 600 hadi kufikia shilingi 200 kwa ekari. Hata hivyo, kiwango hicho bado ni kikubwa kwa maeneo ya ufugaji ambayo ni makubwa Changamoto: Kuwa na viwango vya chini zaidi vya kodi ya ardhi hasa kwa ufugaji.

7

Page 14: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

(v) Kuwaelimisha na kuwahamasisha wananchi juu ya mbinu rahisi za uzuiaji

wa mbung’o zisizoathiri mazingira ili kudhibiti uhamaji holela na msongamano wa mifugo katika maeneo yasiyokuwa na mbung’o.

Wizara kwa kushirikiana na Halmashauri imehamasisha na kutoa mafunzo kwa wafugaji wanaoishi katika maeneo yenye mbung’o kuhusu teknolojia shirikishi isiyoathiri mazingira kwa kutumia vyambo (vitambaa vyenye rangi ya bluu na nyeusi vilivyopakwa viatilifu vinavyoua mbung’o) na kuogesha kwa kutumia dawa zinazoua kupe na mbung’o wakati mmoja. Mikoa iliyopatiwa mafunzo ni Kigoma (Kigoma vijijini, Kasulu na Kibondo), Kagera (Bukoba vijijini na Karagwe), Tabora (Uyui, Urambo na Sikonge), Rukwa(Mpanda), Mara (Tarime, Musoma vijijini, Bunda na Serengeti) na Lindi (Lindi vijijini na Kilwa). Tathimini ya awali ya kupungua mbung’o ni kutokana na matokeo ya uchunguzi wa mtawanyiko wa mbung’o unaoendelea kufanyika nchini. Rasimu ya ramani mpya ya mtawanyiko huo inaonyesha kuwa mbung’o wametoweka maeneo mengi ya Hifadhi ya Wanyamapori, Mbuga za Wanyamapori, baadhi ya maeneo tengefu ya misitu (Forest Reserves) na ya malisho. Viashiria vya kupungua kwa mbung’o ni kutokamatwa kwa mbung’o kwa kutumia mitego (tsetse traps), kupungua kwa matukio ya ugonjwa wa Nagana yanayoripotiwa Wizarani kila mwaka kutoka 6,972 kwa mwaka 2006 hadi 1,657 mwaka 2008. Aidha, taarifa zinazopatikana kutoka kwa wafugaji wakati wa uchunguzi wa mtawanyiko wa mbung’o zinaonyesha kushuka kwa mahitaji/matumizi ya dawa za kutibu Nagana (Trypanocides). Hayo pia ni matokeo mazuri ya wafugaji katika wilaya nyingi hapa nchini kutumia dawa za ruzuku aina ya pareto inayoua kupe na mbung’o.

Changamoto ni: • Kuwa na udhibiti endelevu wa mbung’o ili kupanua maeneo ya ufugaji.

3.1.2 Maji Ustawi wa mifugo unaathiriwa kwa kiwango kikubwa na ukosefu wa maji hasa katika maeneo kame na wakati wa kiangazi. Ukosefu wa maji katika maeneo mengi yenye uwezo mkubwa kimalisho husababisha msongamano kwenye maeneo machache yenye maji na kuwa chanzo cha migogoro kati ya wafugaji na watumiaji wengine. Ili kuondokana na matatizo ya upatikanaji wa maji kwa ajili ya mifugo yafuatayo yametekelezwa:-

(i) Kuhamasisha na kuelimisha wafugaji kuhusu umuhimu wa kuhifadhi mazingira na vyanzo vya maji.

Uhamasishaji kuhusu umuhimu wa hifadhi ya mazingira na vyanzo vya maji hufanyika kupitia vipindi vya redio, televisheni, vipeperushi, maadhimisho ya Nane Nane na Wiki ya Maji. Aidha, katika mpango wa uchimbaji wa malambo unaochangiwa na Wizara, DADPs na miradi mingine suala la utunzaji wa vyanzo vya maji na hifadhi ya mazingira husisitizwa.

8

Page 15: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

(ii) Kutunga na kusimamia utekelezaji sheria na sheria ndogo juu ya kulinda na kuhifadhi mazingira na vyanzo vya maji.

Kupitia Sheria ya Maji Na. 11 ya mwaka 2009 (The Water Resources Management Act No. 11) usimamizi wa rasilimali ya maji unafanywa na Mamlaka za Maji za Mabonde (Basin Water Boards) nchini mwenye wajibu wa kulinda na kuhifadhi vyanzo vya maji. Aidha, Sheria hii inatoa fursa ya kuundwa na kuhifadhi vyanzo vya maji (Catchment and Sub-Catchment Water Committees) na kuhimiza Serikali za Mitaa kutunga sheria ndogo za kuwezesha usimamizi wake. Kamati hizi zina uwezo wa kutunga na kusimamia kanuni na taratibu za matumizi ya vyanzo vya maji na mazingira yake baada ya kuridhishwa na Mamlaka ya Bonde husika.

(iii) Halmashauri kuwa na mikakati na mipango ya uvunaji na usambazaji maji katika nyanda za malisho

Maeneo mengi ya ufugaji wa asili hupata mvua chini ya milimita 400 kwa mwaka, yapo kwenye kundi la maeneo kame. Upatikanaji wa huduma ya maji kwa mifugo katika maeneo haya hutegemea uvunaji wa maji ya mvua kwa kutumia teknolojia mbalimbali za uchimbaji wa malambo na mabwawa na visima vifupi na virefu.

Serikali ilianza kuchangia ujenzi wa malambo ya maji kwa ajili ya mifugo mwaka 2001, ambapo jumla ya malambo 347 yalijengwa/kukarabatiwa kati ya mwaka 2001 na 2006. Malambo hayo yalichimbwa/kukarabatiwa kupitia utaratibu wa Serikali kuchangia asilimia 50%, Halmashauri asilimia 30% na wafugaji asilimia 20% ya gharama yote. Hata hivyo, utaratibu huu ulikuwa na mapungufu kadhaa ikiwa ni pamoja na;

• Baadhi ya Halmashauri na wafugaji kushindwa kuchangia kutokana na kutokushirikishwa na kuhamasishwa ipasavyo; na

• Wakandarasi na wahandisi wa Halmashauri kukosa ujuzi na uzoefu wa kujenga malambo pamoja na usimamizi duni.

Mipango ya Kuendeleza Kilimo ya Wilaya (DADPs) iliyoanza kutekelezwa nchi nzima kuanzia mwaka 2004/05 inaendelea kutekeleza ujenzi wa malambo kupitia bajeti za kila mwaka ambapo zaidi ya malambo 200 yamekwishajengwa. Aidha, kupitia miradi ya PADEP, DASIP na TASAF malambo 680 yamejengwa kwa matumizi ya mifugo kama miradi ya jamii. Kupitia juhudi hizi, jumla ya malambo 1,227 yamejengwa/kukarabatiwa nchi nzima.

9

Changamoto zilizopo ni:-

i. Ushirikishwaji wa wafugaji wa asili katika mikutano ya mchakato wa uibuaji wa miradi ya sekta ya mifugo;

ii. Kujenga malambo/mabwawa ambayo yanayohifadhi maji yanayotosheleza mahitaji halisi ya maji wakati wa kiangazi;

iii. Uvunaji wa maji chini ya ardhi (ground water), rasilimali ambayo inapatikana maeneo mengi nchini; na

iv. Utunzaji endelevu wa vyanzo vya maji.

Page 16: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

3.1.3 Malisho Ubora na wingi wa malisho hutofautiana kulingana na msimu.Mifugo hutegemea malisho ya asili ambayo huathiriwa na mambo mengi ikiwa ni pamoja na hali ya hewa kutoka msimu mmoja hadi mwingine, uchomaji moto ovyo, upanuzi wa shughuli za kilimo na wanyama pori na uchungaji zaidi ya uwezo wa malisho (overgrazing). Ili kuondokana na matatizo ya upatikanaji wa malisho yafuatayo yametekelezwa:- (i) Kuwaelimisha wafugaji kuhusu matumizi bora ya malisho.

Uhamasishaji wa mipango na matumizi bora ya ardhi ya malisho, taratibu bora za ulishaji, uvunaji na hifadhi ya malisho na matumizi ya masalia ya mazao na mabaki ya viwandani umefanyika kupitia vipindi vya redio, vipeperushi, maadhimisho ya Nane Nane na ziara za mafunzo kwa wafugaji. Aidha, Wizara kwa kushirikiana na Halmashauri imeendelea kutoa elimu ya utunzaji wa mazingira katika jamii za wafugaji wa asili kupitia huduma za ugani.

Changamoto zilizopo ni: i. Ufugaji wa mifugo kulingana na uwezo wa ardhi (carrying capacity), malisho na maji;

ii. Hifadhi ya malisho kwa ajili ya kiangazi.

(ii) Kuimarisha uzalishaji na usambazaji wa mbegu bora na malisho.

Wizara imeendelea kuimarisha mashamba ya mbegu za malisho ya Vikuge, Langwira, Mabuki, Buhuri, Kizota, Kongwa, Mivumoni na Sao Hill ili kuhakikisha upatikanaji wa mbegu bora za malisho kwa wadau. Uzalishaji wa mbegu umeongezeka kutoka tani 3.3 mwaka 2001/2002 hadi tani 43 mwaka 2008/09.. Mbegu hizo zimesambazwa kwa wafugaji katika mikoa ya Tanga, Arusha, Morogoro, Mbeya, Iringa, na Pwani .Kwa sasa, mahitaji ya mbegu ni tani 90 kwa mwaka. Aidha, juhudi za kuwahamisisha wafugaji kuwekeza katika uzalishaji na hifadhi ya malisho zimeendelezwa ambapo wapo wazalishaji binafsi 23. Uzalishaji wa hei umeongezeka kutoka marobota 44,321 (yenye uzito wa kilo 10 kila moja) mwaka 2001/2002 hadi kufikia marobota 929,680 mwaka 2008/2009. Kati ya hayo, marobota 509,680 yalizalishwa na sekta binafsi (asilimia 54.8) na 420,000 yalizalishwa kutoka mashamba ya Serikali (asilimia 45.2). Ongezeko hili limetokana na Sekta binafsi kuwekeza katika uzalishaji wa hei. Changamoto: • Uwekezaji katika uzalishaji wa mbegu bora na malisho

10

Page 17: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

(iii) Kuhamasisha uwekezaji katika usindikaji wa vyakula vya mifugo. Uzalishaji wa vyakula vya mifugo umeendelea kuongezeka kutoka tani 490,000 mwaka 2001/2002 hadi tani 801,727 mwaka 2008/2009. Aidha, usindikaji huo ni nusu ya uwezo wa kuzalisha vyakula vya mifugo kwa viwanda 80 vilivyopo. Mahitaji ya vyakula vya mifugo ni takribani tani milioni 1.2. Hata hivyo, kutokana na gharama kubwa na ubora hafifu wa vyakula vinavyotengenezwa viwandani, wafugaji wengi hivi sasa wanajitengenezea vyakula vyao majumbani bila kuzingatia viwango vya ubora unaostahili na hivyo kusababisha mifugo kudumaa. Ili kuratibu na kudhibiti ubora wa vyakula vya mifugo, Wizara imeandaa mapendekezo ya kutunga sheria ya Maeneo ya Malisho na Rasilimali za Vyakula vya Mifugo itakayoratibu na kudhibiti ubora wa vyakula vya mifugo.

Changamoto zilizopo katika uzalishaji na usindikaji wa vyakula vya mifugo: • Udhibiti wa ubora wa vyakula vya mifugo; na • Uwekezaji katika uzalishaji na usindikaji wa vyakula vya mifugo.

3.1.4 Mabadiliko ya Tabia Nchi kwa Mifugo

Mabadiliko ya tabia nchi (Climate Change) yamewaathiri kwa kiwango kikubwa ufugaji wa asili. Mabadiliko haya yamesababishwa mara nyingi kutokana na shughuli za ki-binadamu. Shughuli hizi ni kama kukata miti kwa matumizi ya nishati nyumbani na uzalishaji wa hewa ukaa. Hewa hizi na mionzi husababisha ongezeko la joto dunuiani, mabadiliko ya misimu na maafa kama mafuriko na ukame. Mathalani, nchi yetu ilikumbwa na ukame kati ya mwezi Agosti, 2005 hadi mwezi Machi, 2006. Ukame huu uliathiri zaidi mikoa ya Arusha, Dodoma, Kilimanjaro (Same na Mwanga), Manyara, Mara, Mwanza, Shinyanga, Singida na Tabora. Maeneo hayo yanakadiriwa kuwa na asilimia 75 ya mifugo yote nchini. Ng’ombe 250,900, mbuzi 133,237, kondoo 122,069 na punda 744 wanaokadiriwa kuwa na thamani ya shilingi bilioni 45.3 walikufa kutokana na ukosefu wa maji na malisho. Aidha, mifugo takriban milioni 3 ilidhoofika kutokana na hali ya ukame.

Ili kukabiliana na athari kwa mifugo zinazojitokeza kutokana na mabadiliko ya tabia nchi, Wizara imeendelea kuchukua hatua zifuatazo:-

(a) Kutekeleza Mkakati wa Taifa wa Hifadhi ya Mazingira na Vyanzo vya Maji ; (b) Kuweka mtandao wa kuratibu hali ya malisho kupitia mfumo wa tahadhari ya

majanga ya mifugo (livestock early warning system) katika Kanda za Ziwa, Kaskazini na Kati. Mtandao huo una uwezo wa kutabiri hali ya malisho katika kipindi cha siku 90 zijazo. Hivi sasa jitihada zinafanywa ili mtandao huu wa kuratibu hali ya malisho uweze kuenezwa katika kanda zilizobaki;

(c) Kuhamasisha wafugaji kuvuna mifugo yao; na (d) Kuhamasisha sekta binafsi kuwekeza katika kuzalisha hei na kuanzisha viwanda vya

kusindika vyakula vya mifugo na viwanda vya kusindika mazao ya mifugo.

11

Page 18: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

3.2 AINA YA MIFUGO NA MIFUMO YA UZALISHAJI

Mifugo mingi iliyopo hapa nchini ni ya asili na yenye viwango vidogo vya uzalishaji. Mifugo inayofugwa hapa nchini ni pamoja na ng’ombe, mbuzi, kondoo, nguruwe na jamii ya ndege. Kati ya mwaka 2001 mpaka 2009 mifugo iliongezeka kutoka ng’ombe milioni 17 hadi milioni 19.1; mbuzi kutoka milioni 12.1 hadi milioni 13.6; kondoo kutoka milioni 3.5 hadi milioni 3.6; kuku kutoka milioni 27 hadi milioni 56; na nguruwe kutoka 670,000 hadi milioni 1.6 kama inavyooneshwa kwenye Jedwali Na.1.

Jedwali Na. 1: Ongezeko la Idadi ya Mifugo 2001 - 2009

Chanzo: Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi

3.2.1 Kuboresha Aina na Mfumo wa Ufugaji wa Ng’ombe wa Nyama

Inakadiriwa kuwa asilimia 97 ya ng’ombe wote nchini ni wa asili ikiwa ni pamoja na Zebu (TSZ), Ankole, Boran na Ufipa. Kati ya mwaka 2001 na 2009, ng’ombe hao wameongezeka kutoka 16,036,496 hadi 18,495,000 sawa na asilimia 15. Kati ya ng’ombe hawa asilimia 80 wanafugwa katika mfumo wa kilimo-ufugaji na asilimia 14 katika mfumo wa uchungaji wa kuhamahama. Aidha, asilimia sita iliyobaki hufugwa katika mfumo wa semi-intensive kwenye ranchi za taifa ambao ni aina ya Mpwapwa, Boran na chotara wanaotokana na Charolais, Chianina, Simmental, Hereford, Brahman, Santa Getrudes na Aberdeen Angus.

12

Page 19: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

13

Wizara kwa kushirikiana na Halmashauri imeendelea kuhamasisha mfumo wa unenepeshaji wa mifugo kwa lengo la kuboresha zao la nyama. Mfumo huo ambao umeanza kutekelezwa mwaka 2007/08 unatekelezwa katika baadhi ya ranchi za NARCO na za sekta binafsi na wafugaji wadogo katika mikoa ya Mara, Mwanza, Morogoro, Shinyanga, Dodoma na Dar es Salaam. Jumla ya ng’ombe 62,000 walinenepeshwa mwaka 2008/2009 ikilinganishwa na ng’ombe 29,600 walionenepeshwa mwaka 2007/2008. Katika mwaka 2008/2009 wafugaji 21,312 kutoka mikoa ya Arusha, Dodoma, Iringa, Kagera, Kilimanjaro, Lindi, Manyara, Mara, Mbeya, Morogoro, Mtwara, Mwanza, Pwani, Ruvuma, Shinyanga, Singida na Tanga walipatiwa mafunzo kuhusu mbinu za ufugaji wa kisasa na kibiashara. Pia, Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA) kwa kushirikiana na Shirika la Kimataifa la Maendeleo la Denmark (DANIDA) wamefanya majaribio ya kunenepesha ng'ombe chotara katika kiwanda cha sukari cha Mtibwa na katika Ranchi ya Kongwa kwa kunenepesha ng’ombe wa asili. Majaribio yote haya yameonyesha mafanikio ambapo ng’ombe chotara waliongezeka gramu 1,200 mpaka 1,500 kwa siku na ng’ombe wa asili gramu 900 mpaka 1200 katika kipindi cha siku 90. Hivyo, Serikali inahamasisha wafugaji hapa nchini kutumia teknolijia hii ili kuzalisha nyama nyingi na bora. Vilevile, uzalishaji wa nyama umeendelea kufanyika chini ya Kampuni ya Ranchi za Taifa (NARCO) kupitia Ranchi zake 10 za mfano zenye jumla ya ng’ombe 34,859. Katika kipindi cha mwaka 2001 – 2009 Kampuni imeuza wastani wa ng’ombe 92,014 sawa na wastani wa ng’ombe 10,224 kwa mwaka. Aidha, jumla ya ndama 87,132 walizalishwa na ng’ombe 12,303 wa mbegu walinunuliwa katika kipindi hicho.

(i) Uzalishaji wa Nyama

Uzalishaji wa nyama umeongezeka kutoka tani 333,000 mwaka 2001/2002 na kufikia tani 422,230 mwaka 2008/2009 kama inavyoonekana katika Jedwali Na. 2.

Page 20: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

Jedwali Na. 2: Uzalishaji wa Nyama Kati ya Mwaka 2002 – 2009 (Tani)

Chanzo: Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi

0

50,000

100,000

150,000

200,000

250,000

Nyama ya Ng'ombe 182,000 182,500 184,000 204,520 210,370 180,629 218,976 225,178

Nyama ya Mbuzi/Kondoo 74,000 74,500 75,800 78,093 78,579 80,936 81,173 82,884

Nyama ya Nguruwe 21,000 23,000 26,000 27,000 29,925 31,721 33,307 36,000

Nyama ya Kuku 55,000 61,500 63,000 68,896 69,420 77,280 77,250 78,168

2002 2003 2004 2005 2006 2007 2008 2009

Changamoto • Matumizi ya ranchi za NARCO kufikia uwezo wake wote wa uzalishaji; • Kubadilisha mfumo wa ufugaji kuwa wa kisasa na wa kibiashara

3.2.2 Kuboresha Aina na Mfumo wa Ufugaji wa Ng’ombe wa Maziwa

Asilimia 70 ya maziwa yanayozalishwa hapa nchini hutokana na ng’ombe wa asili. Aidha, mfumo wa shadidi hutumika zaidi katika kufuga ng’ombe wa maziwa wanaofugwa hapa nchini ambao ni pamoja na Friesian, Aryshire, Guensey, Brown swiss, Jersey, Mpwapwa na chotara wao. Ng’ombe wa maziwa wanachangia asilimia tatu tu ya ng’ombe waliopo nchini. Serikali kwa kushirikiana na wadau mbalimbali iliendelea kusambaza ngo’mbe wa maziwa kwa wafugaji wadogo kupitia mpango wa “Kopa Ng’ombe Lipa Ng’ombe” ambao umewezesha ng’ombe wa maziwa kuongezeka kutoka ng’ombe 385,807 mwaka 2001 hadi kufikia ng’ombe 605,000 mwaka 2009. Mitamba ambayo imekuwa inasambazwa imekuwa ikizalishwa kutoka katika mashamba ya Serikali ya kuzalisha mitamba (LMUs), NARCO na sekta binafsi. Uzalishaji wa maziwa umeongezeka kutoka lita milioni 900 mwaka 2001/2002 hadi kufikiawastani wa lita bilioni 1.6 mwaka 2008/2009 (Jedwali Na. 3). Asilimia 80 ya maziwa yanayozalishwa nchini huuzwa kwenye soko lisilo rasmi na 20 husindikwa na kuuzwa kwenye soko rasmi.

14

Page 21: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

Jedwali Na. 3: Uzalishaji wa Maziwa Kati ya Mwaka 2002 - 2009

Chanzo: Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi

0

200,000 400,000 600,000 800,000

1,000,000 1,200,000 1,400,000 1,600,000 1,800,000

Ng'ombe wa Asili 578,000 620,700 813,700 920,000 941,815 945,524 980,000 1,012,436 Ng'ombe wa Kisasa 322,500 359,800 366,300 466,400 470,971 475,681 520,000 591,690 Jumla 900,500 980,500 1,180,000 1,386,400 1,412,786 1,421,205 1,500,000 1,604,126

2002 2003 2004 2005 2006 2007 2008 2009

Changamoto • Kuongeza idadi ya ng’ombe wa maziwa; • Namna ya kuongeza uzalishaji wa maziwa kutokana na ng’ombe wa asili; • Uwekezaji katika mashamba ya kati na makubwa ya ng’ombe wa maziwa; na • Kuwa na mfumo wa ukusanyaji wa maziwa kutoka kwa wafugaji hususan wa asili.

3.2.3 Kuboresha Aina na Mfumo wa Ufugaji wa Kondoo na Mbuzi

Ufugaji wa kondoo na mbuzi wa asili unahusisha takriban asilimia 30 ya kaya za wafugaji ambao hufugwa kwa mfumo huria katika kaya za wakulima wote na huchangia karibu asilimia 22 ya mahitaji ya nyama nchini. Kondoo na mbuzi wanaofugwa hapa nchini ni wa koo za Red-Maasai˝ na Gogo kwa upande wa kondoo; na Ujiji, Newala, Sukuma na Gogo kwa mbuzi. Kondoo aina ya Black Head Persian (BHP)˝ na mbuzi aina ya Boer˝ ni koo pekee zilizoingizwa nchini kwa ajili ya uzalishaji wa mbuzi wa nyama. Pia ziko koo kwa ajili ya maziwa ambazo ni Saanen,Toggenburg, Alpine, Anglo-Nubian, Malya Blended na Norwegian.

Serikali pamoja na asasi zisizo za kiserikali zimekuwa zikichukuliwa hatua mbalimbali NGOs) kuongeza uzalishaji wa maziwa, kuboresha lishe na kipato cha mwananchi.Jumla ya mbuzi 11,447 wa maziwa walisambazwa kupitia utaratibu wa Kopa mbuzi lipa mbuzi katika kipindi cha mwaka 2001 hadi 2009 (Jedwali Na.4). Aidha, vyama vya wafugaji wa mbuzi wa maziwa vya Norwegian Goat Breeders Association – NOBRA na Toggenburg Goat Breeders Association – TOBRA vimeanzishwa.

15

Page 22: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

Jedwali Na.4: Usambazaji wa Mbuzi wa Maziwa 2001 - 2009

Chanzo: Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi.

0

500

1000

1500

2000

2500

Mwaka

Idadi

North East: Tanga, Arusha, Kilimanjaro, Singida, Manyara, Kondoa District

220 240 60 327 266 252 247 268

South West: Mbeya, Iringa, Ruvuma, Rukwa.

25 143 54 229 239 254 85 82

North West: Tabora, Kigoma, Shinyanga, Mwanza, Mara and Kagera

20 134 166 699 253 311 1,585 1,602

South East: Dar es salaam,Zanzibar, Coast, Lindi, Mtwara, Morogoro.

400 266 105 267 438 395 124 211

Total 665 783 385 1,522 1,196 1,212 2,041 2,163

2001/02 2002/03 2003/04 2004/05 2005/06 2006/07 2007/08 2008/09

Changamoto iliyopo ni upatikanaji wa mbegu bora kwa ajili ya uzalishaji wa mbuzi na kondoo.

3.2.4 Kuboresha Aina na Mfumo wa Ufugaji wa Kuku

Uzalishaji wa kuku nchini umegawanyika katika mifumo miwili ambayo ni huria kwa ajili ya kuku wa asili na shadidi kwa kuku wa kisasa kwa ajili ya biashara. Mfumo wa ufugaji wa asili huchangia zaidi ya asilimia 70 ya kuku wote wanaofugwa na hutoa nyama na mayai

16

Page 23: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

yanayoliwa na hukidhi asilimia 20 ya mahitaji ya mijini. Aina kuu za koo na chotara wa kuku wa asili ni Kuchi, Kishingo, Sukuma, Kinyafuzi na Kiduchu. Kwa kiwango kikubwa, uzalishaji wa kuku wa kibiashara hufanywa katika maeneo ya mijini na maeneo yanayozunguka miji. Koo za kuku (pamoja na chotara wao) wanaofugwa kibiashara ni pamoja na White Leghorns, Rhode Island Red, Light Sussex, Plymouth Rock, Hisex, Hybro na Shavers. Uzalishaji wa mayai umeongezeka kutoka mayai milioni 650 mwaka 2001 hadi mayai bilioni 2.81 mwaka 2009. Ongezeko hili katika uzalishaji wa mayai limetokana na kuongezeka kwa kuku wa kisasa wa mayai, kupanuka na kuanzishwa kwa uwekezaji mpya katika kuku wazazi kama; Mkuza Chicks;Ideal Chicks; Tanzania poultry Farms; Kibo Hatcheries na elimu ya ufugaji bora ikiwemo matumizi ya chanjo ya mdondo. Aidha, katika kipindi hicho hakuna mayai ya kula (table eggs) yaliyoagizwa kutoka nje ya nchi. Hata hivyo, kumekuwepo na uagizaji wa mayai ya kutotolea vifaranga (hatching eggs). Kwa upande wa kuku wa biashara kumekuwepo na ongezeko la uzalishaji wa vifaranga vya kuku wa kisasa kutoka vifaranga milioni 16.5 mwaka 2001 hadi vifaranga milioni 32.6 mwaka 2009 sawa na ongezeko la asilimia 97.6.

Changamoto kubwa katika ufugaji wa kuku ni: • Udhibiti wa mdondo • Ubora wa chakulaUwekezaji katika uzalishaji wa vifaranga

3.2.5 Kuboresha Aina na Mfumo wa Ufugaji wa Nguruwe

Ufugaji wa nguruwe umeanza kuenea katika sehemu nyingi hapa nchini na kutoa mchango katika mahitaji ya nyama. Aina ya nguruwe wanaofugwa nchini ni Large White, Landrace, Hampshire, Saddleback na chotara wao. Kumekuwepo na ongezeko la nguruwe kutoka 670,000 mwaka 2001 hadi kufikia nguruwe milioni 1.6 mwaka 2009.Ongezeko hilo linatokana na kuongezeka kwa ulaji wa nyama. Nguruwe wengi hufugwa na wafugaji wadogo katika mfumo wa kilimo mseto ambapo hutegemea malisho na vyakula vya nyongeza inapobidi.

Changamoto kubwa katika ufugaji wa nguruwe ni: • Mbegu bora kwa ajili ya uzalishaji; • Ubora wa chakula;

3.2.6 Kuandaa sera ya uzalishaji mifugo nchini (livestock breeding policy)

17

Sera ya uzalishaji mifugo ni sehemu ya Sera ya Taifa ya Mifugo ya mwaka 2006. Aidha, rasimu ya awali ya Sheria ya Uzalishaji Mbari Bora ya Wanyama (Animal Breeding Act) ya mwaka 2009 imeandaliwa. Itakapokamilika, Sheria hii itadhibiti matumizi ya vinasaba vya wanyama kulingana na hali na mahitaji ya Taifa.

Page 24: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

Changamoto: Elimu ya matumizi ya Vinasaba kwa wafugaji.

3.2.7 Kuimarisha Mashamba ya Kuzalisha Mitamba (LMUs)

Mashamba ya kuzalisha mitamba (LMUs) yameendelea kuimarishwa kwa kupatiwa vitendea kazi, kukarabati miundombinu na watumishi kupatiwa mafunzo ya muda mfupi na mrefu. Jumla ya mitamba 536 aina ya Boran imenunuliwa na kusambazwa katika mashamba ya kuzalisha mitamba (LMUs) kwa lengo la kuyaimarisha. Kutokana na utafiti uliofanywa, inakadiriwa kuwa mahitaji ya mitamba nchini kwa mwaka ni 58,944 (NDDC, 2006). Uzalishaji na usambazaji wa mitamba nchini kutoka mashamba ya Serikali (LMUs na Ranchi za Taifa-NARCO) na wafugaji binafsi uliongezeka kutoka mitamba 3,546 mwaka 2001 hadi mitamba 10,095 mwaka 2009. Usambazaji huu ulifanywa kupitia Mpango wa Kopa Ng’ombe Lipa Ng’ombe ambao ulikuwa unafadhiliwa na nchi wahisani. Kati ya mwaka 2001 hadi 2009 jumla ya mitamba 5,739 ilizalishwa kutoka LMUs na kusambazwa kwa wafugaji wadogo kama inavyooneshwa katika Jedwali Na.5. Jedwali Na.5: Idadi ya mitamba iliyosambazwa kwa wafugaji kutoka LMU

LMU 2000/01

2001/02

2002/03

2003/04

2004/05

2005/06

2006/07

2007/08

2008/09

Jumla

Mabuki 232 186 271 215 247 318 386 311 368 2,534

Sao Hill 172 180 139 117 128 146 132 182 196 1,392

Kibaha 40 20 48 38 30 42 51 35 18 304

Nangaramo 51 43 45 41 88 98 51 61 56 478

Kitulo 70 67 71 121 74 42 71 82 86 598

Ngerengere 41 34 40 42 44 88 40 104 126 433

Jumla 606 530 414 574 611 734 731 775 850 5,739

Aidha, katika kipindi cha 2002-2009 jumla ya mitamba 4,914 ilizalishwa kutoka NARCO na kusambazwa kwa wafugaji wadogo kama inavyooneshwa katika Jedwali Na.6.

18

Page 25: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

Jedwali Na.6 :Idadi ya mitamba iliyosambazwa kwa wafugaji kutoka NARCO

Mwaka Na. Ranchi

2002/03 2003/04 2004/05 2005/06 2006/07 2007/08 2008/09Jumla Asilimia

1 Kikulula 338 464 538 208 190 319 226 2,283 46.52 Misenyi 0 17 0 17 92 97 67 290 5.93 Kongwa 0 0 0 122 45 249 18 434 8.84 Ruvu 128 27 12 122 52 22 363 7.45 Mzeri 135 97 166 157 182 130 124 991 20.26 Wknjaro 0 0 0 0 10 0 10 0.27 Kalambo 20 54 75 100 23 63 155 490 10.08 Mabale 0 0 0 0 0 0 26 26 0.5Jumla 493 760 806 616 654 947 638 4,914 100Chanzo : NARCO

Changamoto : Uwekezaji katika uzalishaji mifugo bora

3.2.8 Kuimarisha Kituo cha Uhimilishaji

Wizara imeendelea kuimarisha Kituo cha Taifa cha Uhimilishaji (NAIC) kilichoko Usa River, Arusha kwa kufanya ukarabati wa majengo, ununuzi wa vitendea kazi, vifaa vya maabara na mtambo wa hewa baridi ya nitrojeni (LN2), pamoja na kuendeleza shamba la malisho na uzio. Katika kipindi cha kati ya mwaka 2001 hadi 2009, yafuatayo yametekelezwa: (i) Jumla ya madume bora 23 yamenunuliwa (13 kutoka Afrika ya Kusini na 10 kutoka

Kenya) kwa lengo la kuongeza uzalishaji wa mbegu bora na kufanya jumla ya madume bora katika kituo hicho kufikia 34.

(ii) Uwezo wa kuzalisha mbegu bora umeongezeka kutoka dozi 50,000 hadi 340,000 kwa mwaka.

(iii) Uzalishaji wa mbegu umeongezeka kutoka dozi 37,852 hadi dozi 74,200 (iv) Uhimilishaji umeongezeka kutoka jumla ya ng’ombe 28,950 hadi 68,900 kwa

mwaka. (v) Jumla ya wataalam 529 wamepata mafunzo ya uhimilishaji katika Kituo cha NAIC. (vi) Kuanzisha vituo vya uhimilishaji vya kanda ya kati (Dodoma), Mashariki (Kibaha) na

Ziwa (Mwanza). Katika mwaka 2009/2010 vitaanzishwa vituo viwili vya Nyanda za Juu Kusini (Mbeya) na Kusini (Lindi).

Changamoto: • Kuimarisha ubora wa huduma za uhimilishaji • Kuongeza matumizi ya mbegu inayozalishwa NAIC.

19

Page 26: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

3.2.9 Kuboresha Zao la ngozi

Ukusanyaji wa ngozi umeongezeka kutoka vipande milioni 1.4 vya ng’ombe na milioni 0.7 vya mbuzi na milioni 0.35 vya kondoo vyenye thamani ya shilingi bilioni 4.5 mwaka 2001 hadi kufikia vipande milioni 2.5 vya ng’ombe na milioni 1.9 vya mbuzi na milioni 1.5 vya kondoo vyenye thamani ya shilingi bilioni 13.5 mwaka 2008. Hata hivyo, mwaka 2008/2009 ukusanyaji wa ngozi umepungua kutokana na mtikisiko wa uchumi duniani ambapo jumla ya vipande milioni 1.65 vya ng’ombe, milioni 2.99 vya mbuzi na milioni 1.25 vya kondoo vyenye thamani ya shilingi bilioni 10.9 vilikusanywa. Katika kuboresha zao la ngozi, Wizara kupitia Mfuko wa Pamoja wa Kuendeleza Mazao ya Kilimo (Common Fund for Commodities - CFC) ilitoa mafunzo kwa wachinjaji, wachunaji na wataalam 521. Kutokana na mafunzo hayo kumekuwa na ongezeko la ukusanyaji wa ngozi (recovery rate) kutoka asilimia 50 hadi 75 na ubora umeongezeka kama ifuatavyo:- Grade 1 kutoka asilimia 10 hadi 25 na Grade II kutoka asilimia 30 hadi 35. Vivyo hivyo, Grade III imepungua kutoka asilimia 45 hadi 35 na Grade IV kutoka asilimia 15 hadi 5.

Pamoja na mafanikio hayo bado kuna changamoto ya kuongeza ubora wa ngozi kutokana na wafugaji kutokufuata kanuni bora za ufugaji, uhafifu wa miundombinu na stadi za kuchuna, kuwamba na kusindika ngozi. Aidha, ngozi nyingi zinazopatikana ni za madaraja ya chini yaani daraja la 3 na la 4.

3.3 Hali ya Magonjwa ya Mifugo Nchini

3.3.1 Magonjwa ya Milipuko

Kuwepo na kuenea kwa magonjwa ya mifugo takriban katika mikoa yote ya Tanzania kumechangia kurudisha nyuma juhudi za kuendeleza mifugo nchini. Ili kuondokana na matatizo ya kuwepo na kuenea kwa magonjwa ya mifugo yafuatayo yametekelezwa:- i. Kupambana na magonjwa ya milipuko kama vile Homa ya Mapafu ya

Ng’ombe - CBPP, Sotoka- Rinderpest, Sotoka ya Mbuzi na Kondoo -PPR, Homa ya bonde la ufa -RVF, Mdondo wa kuku –ND, Mafua makali ya ndege- HPAI na Ugonjwa wa miguu na midomo (FMD)

a) Mnamo Oktoba 2003, Serikali ilitangaza kuwa Homa ya Mapafu ya Ng’ombe -

Contagious Bovine Pleuropneumonia (CBPP) ni janga la kitaifa na kuhusika moja kwa moja na ununuzi, usambazaji na matumizi ya chanjo ya ugonjwa huu. Katika kipindi cha mwaka 2001 – 2008 jumla ya dozi 32,640,000 za chanjo ya ugonjwa wa Homa ya Mapafu zimenunuliwa kwa jumla ya shilingi bilioni 3.2 katika kutekeleza mpango wa udhibiti kwa njia ya “roll back plan” na kutumika kukinga ng’ombe 27,067,100 nchini. Ugonjwa huu umepungua kwa kiasi kikubwa zaidi ya asilimia 98 katika mikoa ya Nyanda za Juu Kusini. Kutokana na mafanikio hayo Wilaya za Kyela, Ileje, Rungwe, Ludewa na Makete zimeondolewa kwenye zoezi la kuchanja kuanzia mwaka 2006. Kwa

20

Page 27: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

21

sasa mpango huu unatekelezwa katika mikoa ya Singida, Tabora, Kigoma na katika mikoa ya Shinyanga na Kagera utekelezaji utaanza mwaka 2009/2010.

Mwaka Idadi ya chanjo ya CBPP iliyonunuliwa

Thamani (Tsh) Idadi ya mifugo iliyochanjwa

2001 5,240,000 283,000,000 5,183,1822002 2,000,000 139,000,000 1,671,2112003 7,000,000 637,566,291 6,400,0002004 6,000,000 544,234,000 5,706,8082005 2,000,000 240,000,000 1,680,2412006 4,000,000 354,965,000 5,494,5402007 3,200,000 500,000,000 2,813,4922008 3,200,000 500,000,000 3,025,190

Jumla 32,640,000 3,198,765,291 27,067,100 Inakadiriwa kuwa katika kipindi cha 2001 hadi 2009, takriban ng’ombe 68,242 walipatwa na ugonjwa huu ambapo ng’ombe 37,092 walikufa na kuwaingizia hasara wafugaji ya jumla ya shilingi bilioni 7.5.

b) Ugonjwa wa Sotoka umedhibitiwa na nchi yetu imetambuliwa na kupewa cheti na

Shirika la Afya ya Wanyama Duniani cha kutokuwa na virusi vya ugonjwa huo tangu mwaka 2007;

c) Sotoka ya mbuzi na kondoo iliripotiwa nchini mwaka 2008/09 katika mikoa ya Arusha, Kilimanjaro na Manyara. Jumla ya mbuzi 536,382 na kondoo 326,115 waliugua na kati ya hao mbuzi 96,549 na kondoo 58,701 walikufa na kusababisha hasara ya takriban shilingi bilioni 7.7. Aidha, Wizara kwa kushirikiana na shirika la VETAID na mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro ilinunua chanjo dozi 901,700 na kuchanja mbuzi na kondoo 833,265katika maeneo yaliyoathirika. Pia, Wizara kwa kushirikiana na Halmashauri na Shirika la Kilimo na Chakula Duniani (FAO) litawezesha kupatiwa chanjo mbuzi na kondoo 5,744,334 katika mikoa ya Kilimanjaro, Arusha, Manyara na wilaya zinazopakana na mikoa hiyo. Kwa sasa hivi ugonjwa huu umedhibitiwa.

d) Ugonjwa wa Homa ya Bonde la Ufa (RVF) ulioripotiwa nchini kuanzia mwezi Februari

2007 umeendelea kudhibitiwa. Ili kukabiliana na ugonjwa huo, Serikali ilitoa jumla ya Shilingi 4,798,675,000 kwa ajili ya kununua na kutoa chanjo, vifaa vya kuimarisha maabara na ufuatiliaji wa matukio. Jumla ya dozi milioni 5.5 za chanjo zilinunuliwa na ng’ombe milioni 4.9 wamechanjwa katika mikoa ya Singida, Tabora, Dodoma, Arusha, Morogoro, Iringa, Kilimanjaro, Tanga na Mbeya. Wizara imeandaa mpango wa tahadhari (Contigency plan) wa miaka mitatu wa kukabiliana na ugonjwa huo. Hivi sasa ugonjwa huu umedhibitiwa na haujaripotiwa nchini tangu mwezi Juni 2007.

e) Udhibiti wa Mafua Makali ya Ndege unaendelea kwa kujenga uwezo wa kutambua na

kufuatilia ugonjwa huo kwa kuchunguza jumla ya sampuli 22,042 za kuku na ndege pori. Maabara Kuu ya Taifa ya Mifugo Temeke na pia National Institute for Medical

Page 28: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

22

Research-NIMRwameendelea kujengewa uwezo wa kuutambua ugonjwa kwa kufundisha wataalam na pia kupatiwa vifaa vya kuweza kutambua ugonjwa. . Hadi sasa nchi 61 duniani zimeathirika na kati ya hizo 11 ni za bara la Afrika (Nigeria, Misri, Niger, Cameroon, Burkina Faso, Sudan, Ivory coast, Djibout, Ghana, Benin na Togo). Ingawa ugonjwa huu haujaripotiwa hapa nchini, bado ni tishio na hivyo serikali inaendelea kuufuatilia chini ya Mpango wa Udhibiti wa Mafua Makali ya Ndege Kitaifa uliozinduliwa na Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Mizengo Kayanza Peter Pinda tarehe 28 Aprili 2008.

f) Ili kudhibiti ugonjwa wa Mdondo wa kuku, Serikali inatoa ruzuku na imejenga uwezo

wa kutengeneza chanjo inayostahimili joto (I-2) katika Maabara Kuu ya Taifa ya Mifugo Temeke. Tathmini kuhusu matumizi ya chanjo hiyo yameonyesha kupunguza vifo vya kuku kutoka asilimia 95 hadi asilimia 4. Mkakati uliopo wa Serikali ni kuzalisha dozi milioni 100 kuanzia mwaka 2009/2010 kwa lengo la kuchanja kuku wote wa asili nchini mara tatu kwa mwaka. Jedwali Na. 7: Chanjo ya Ugonjwa wa Mdondo iliyotengenezwa na Maabara Kuu ya Taifa ya Mifugo –Temeke na kusambazwa kwa wafugaji kati ya 2001 -2008

Mwaka Chanjo iliyotengenezwa na kusambazwa

2001 1,467,900 2002 5,820,278 2003 5,069,200 2004 3,667,700 2005 7,300,000 2006 6,795,200 2007 14,504,800 2008 24,680,200

g) Ugonjwa wa Miguu na Midomo (FMD) umeendelea kutokea kila mwaka hapa nchini

ambapo idadi ya ng’ombe walioripotiwa kupatwa na ugonjwa huu imeongezeka kutoka ng’ombe 2,562 mwaka 2001 hadi ng’ombe 10,840 mwaka 2008. Ili kudhibiti ugonjwa huu, Serikali imeanza kutekeleza Mkakati wa kudhibiti Ugonjwa wa Miguu na Midomo kuanzia mwezi Januari 2009 kupitia Mradi wa Kuimarisha Uwezo wa Kudhibiti Magonjwa ya Mlipuko ya Mifugo (SADC–TADs Project) unaofadhiliwa na Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB). Mradi huu unahusisha nchi tano za Jumuiya ya nchi za kusini mwa Afrika za Angola, Zambia, Msumbiji, Malawi na Tanzania. Mradi utatekelezwa kwa miaka mitano (5) kwa gharama ya dola za Kimarekani 21,859,608 na kati ya hizo Tanzania itapata dola 5,888,189.

3.3.2 Udhibiti wa Magonjwa Yaenezwayo na Kupe

Inakadiriwa kwamba magonjwa yanayoenezwa na kupe husababisha asilimia 70 hadi 80 ya vifo vyote vya ng'ombe vinavyotokea hapa nchini na hali hiyo husababisha hasara kwa wafugaji na Taifa kwa ujumla.. Kati ya vifo hivyo asilimia 61 husababishwa na Ndigana Kali

Page 29: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

(ECF), asilimia 23 Ndigana Baridi (Anaplasmosis), asilimia 9 Maji kwenye Moyo (Heartwater) na asilimia 7 Kukojoa Damu (Babesiosis). Kielelezo Na.1: Asilimia ya Vifo Vya Ng’ombe Vitokanavyo na Magonjwa Yaenezwayo na Kupe

Ndigana Kali61%

Ndigana Baridi23%

Maji Moyo9%

Kukojoa damu7%

Asilimia ya Vifo vitokanavyo na kupe

Ili kukabiliana na hali hii, Serikali imeendelea kutekeleza mkakati wa kufufua na kuendeleza majosho ili kuongeza idadi ya uogeshaji wa mifugo nchini. Katika kipindi cha 2001 hadi sasa, majosho mapya 264 yalijengwa na mengine 816 kukarabatiawa na Serikali kwa kushirikiana na Halmashauri na sekta binafsi .Hivi sasa yapo majosho 2314, kati ya hayo, majosho mazima ni 1,556 na mabovu ni 758. Mahitaji ya majosho nchini kwa sasa ni majosho 4,000 kwa wastani wa ng’ombe 5,000 kwa josho moja. Hali halisi ya majosho ni kama ifuatavyo:- Mwaka Idadi ya

Majosho Idadi ya Majosho mazima

Idadi ya Majosho Mazima yanayofanya kazi

Idadi ya Majosho Mazima Yasiyofanya kazi

Idadi ya Majosho Mabovu

2002/2003 2,050 476 353 123 1,5742003/2004 2,141 809 599 210 1,3322004/2005 2,141 981 727 254 1,1602005/2006 2,177 1,118 828 290 1,0762006/2007 2,177 1,225 908 317 9692007/2008 2,268 1,430 1,060 370 8552008/2009 2,314 1,556 1,153 403 758 Kutokana na gharama kubwa za madawa ya kuogesha mifugo na kwa kuzingatia azma ya Serikali ya kutokomeza magonjwa hayo, kuanzia mwaka 2006/2007 Serikali Kuu ilianzisha programu ya kutoa ruzuku ya asilimia 40 ya bei ya soko ambapo mfugaji hutakiwa kununua dawa hiyo kwa asilimia 60 ya gharama halisi.

23

Page 30: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

Kuanzia mwaka 2006/2007 hadi 2008/2009, Serikali ilitoa ruzuku kwa ajili ya dawa za kuogesha mifugo kama viambatanisho vinavyoonyesha. Ili kuhakikisha mpango wa ruzuku wa dawa za kuogesha mifugo unafanikiwa, Serikali iliagiza Halmashauri kutekeleza yafuatayo:-

a) Kuunda kamati ya wilaya ya usimamizi wa matumizi ya dawa za ruzuku ambapo Mwenyekiti wake ni Mkuu wa Wilaya;

b) Kuhamasisha uundwaji wa vikundi vya wafugaji kwa ajili ya usimamizi na uendeshaji endelevu wa majosho;

c) Kutunga sheria ndogo ndogo zitakazohakikisha wafugaji wanaogesha mifugo yao ;na d) Kutoa taarifa za matumizi ya dawa za ruzuku, na matukio ya magonjwa yaenezwayo

na kupe kwa ajili ya kutathmini ufanisi wa mpango wa ruzuku. Mafanikio yameanza kujitokeza kutokana na mpango huu ni pamoja na dawa za ruzuku kutumika katika kudhibiti ugonjwa wa Homa ya Bonde la Ufa, kuwezesha majosho yaliyojengwa na kukarabatiwa chini ya mpango wa DADPs ambayo yalikuwa hayatumiki kutokana na bei kubwa ya dawa kama sababu mojawapo kuanza kutumika. Aidha, ufuatiliaji uliofanyika katika baadhi ya mikoa umeonyesha kupungua kwa matukio ya magonjwa yaenezwayo na kupe kutoka 12 kwa mwezi hadi matano kwa mwezi.

Changamoto zilizopo na ambazo zinaendelea kufanyiwa kazi ni pamoja na:- • wafugaji kuogesha mifugo yao; • Uendeshaji wa majosho kwa njia endelevu; • Ushiriki wa afugaji wa asili katika kuibua miradi inayohusu Sekta ya Mifugo; na • Utekelezaji wa sheria ndogo ndogo za usimamizi wa uogeshaji wa mifugo.

Aidha, Wizara imeendelea kuhamasisha matumizi ya Chanjo ya Ndigana Kali (ECF Trivalent vaccine) katika mikoa mbalimbali na kati ya mwaka 2001 hadi 2008 ng’ombe 352,446 wamechanjwa dhidi ya ugonjwa huu. Ili kuongeza kasi ya matumizi ya chanjo hii, Serikali imepanga kutoa ruzuku ambapo kwa mwaka 2009/2010 takriban dozi 132,000 zitanunuliwa. Tathmini iliyofanyika nchini inaonyesha kupungua kwa ugonjwa kwa ng’ombe waliochanjwa kutoka asilimia 75 hadi 2. Wizara imeendelea kuhakikisha kuwa chanjo hii inapatikana na hutolewa na Sekta binafsi. 3.3.3 Magonjwa ya Wanyama yanayoambukiza Binadamu (Zoonosis) kama vile

Kichaa cha Mbwa, Ugonjwa wa Kutupa Mimba (Brucellosis), Kimeta na Kifua Kikuu cha ng’ombe (Bovine Tuberculosis).

a) Ugonjwa wa Kichaa cha Mbwa umeendelea kudhibitiwa kwa gharama ya Serikali ambapo kati ya mwaka 2005 na 2008 jumla ya dozi 422,000 za chanjo zilisambazwa kwenye Halmashauri mbalimbali nchini na jumla ya mbwa 383,687 walichanjwa. Inakadiriwa tunao mbwa milioni 4 lakini mbwa wanaochanjwa kwa mwaka ni chini ya asilimia 7 kiwango ambacho ni kidogo kulinganisha na viwango vya uchanjaji vinavyopendekezwa na Shirika la Afya Duniani (WHO) na Shirika la Afya ya Wanyama Duniani (OIE) vya kuchanja asilimia 70 hadi 80 ya mbwa wote kila mwaka. Aidha, idadi ya watu walioumwa na mbwa imeendelea kuongezeka mwaka hadi mwaka kama

24

Page 31: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

inavyoonyeshwa kwenye Jedwali Na.8 hapo chini. Katika kipindi cha mwaka 2001 – 2008, idadi ya watu walioumwa na mbwa ni 112,543 ambapo kati ya hao watu 448 walikufa. Jedwali Na.8: Matukio ya watu kuumwa na mbwa 2001 – 2008

Chanzo: Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii

Ili kukabiliana na hali hii, katika mwaka 2008/2009, Wizara imekamilisha kuandaa Mpango Mkakati wa Miaka 5 wa kudhibiti Ugonjwa wa Kichaa cha Mbwa unaofadhiliwa na Taasisi ya Bill na Melinda Gates . Tanzania imetengewa dola za Kimarekani milioni 3.9 kwa ajili ya kutekeleza mradi huo katika mikoa inayozunguka na hifadhi ya Selous ambayo ni Dar es Salaam, Pwani, Morogoro, Lindi na Mtwara ambapo Shirika la Afya Duniani (WHO) linaratibu.

b) Ugonjwa wa Kutupa Mimba (Brucellosis): jumla ya ng’ombe 15,391 katika wilaya 30 walipimwa ugonjwa wa kutupa mimba na 1,835 walikuwa wameambukizwa katika kipindi cha mwaka 2001-2008. Wastani wa maambukizo ni asilimia 12 ambayo inaonyesha kuwa tatizo lipo. Kwa kutambua ukubwa wa tatizo Serikali imepanga mwaka 2009/10 kuchunguza ng’ombe 5,000 katika kanda zote na Maabara Kuu ya Taifa ya Temeke itazalisha dozi 25,000 za chanjo dhidi ya ugonjwa huo.

c) Ugonjwa wa Kimeta umeendelea kuwepo na matukio kadhaa yameripotiwa. Udhibiti

wa Ugonjwa wa Kimeta (Anthrax) uliendelea kufanywa na Halmashauri kwa kushirikiana na sekta binafsi ambapo ng’ombe 34,482, mbuzi 8,454 na kondoo 2,740 walichanjwa kuanzia mwaka 2001-2008 katika Halmashauri za Mbarali, Mpwapwa, Nzega na Bahi zilizopatwa na ugonjwa huo. Jumla ya dozi 500,000 zilizalishwa na Maabara Kuu ya Taifa ya Mifugo Temeke na kutumika kuchanja mifugo hiyo. Lengo ni kuzalisha na kusambaza kwa Halmashauri dozi 500,000 za chanjo ya Kimeta katika mwaka 2009/2010 ili kudhibiti matukio ya ugonjwa huo katika maeneo sugu (endemic).

25

Page 32: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

3.3.4 Kuanzisha Maeneo Huru ya Magonjwa ya Mifugo

Mikoa ya Mtwara na Lindi imefanyiwa tathimini ya awali ya uanzishwaji wa maeneo huru ya magonjwa (Disease Free Zones). Kutokana na tathimini hiyo yafuatayo yametekelezwa:-

(i) Serikali imejenga kituo cha karantini Marendego kilichokompakani mwa Wilaya za Kilwa na Rufiji kwa ajili ya kudhibiti kuingiza magonjwa ya mifugo katika mikoa hiyo. Miundombinu katika kituo hicho imeendelezwaambayo ni pamoja na josho, lambo,ofisi nanyumba. ya mtumishi.

(ii) Katika jitihada za kuendeleza biashara ya mifugo kimataifa, Serikali inaendelea

kutathmini maeneo huru na magonjwa ya mifugo (Disease Free Compartments) ikiwa ni pamoja na maeneo ndani ya Wilaya ya Mvomero.. Pia, katika Mkoa wa Rukwa, kiwanda cha nyama cha SAAFI eneo lake limetathminiwa na kufaa kuanzishwa kwa eneo huru na magonjwa ya mifugo.

(iii) Kampuni ya Ranchi za Taifa (NARCO), imeteua ranchi za Ruvu naKongwa

kuingizwa katika mchakato wa kuanzishwa kuwa maeneo huru na magonjwa ya mifugo.

(iv) Aidha, Kituo cha karantini ya mifugo cha Kwala kinaendelezwa kwa ajili ya

kutunza mifugo itakayouzwa nje na ndani ya nchi., i. Miundombinu inayotakiwa kuendelezwa katika maeneo hayo ni pamoja na majosho, malambo, nyumba za watumishi, uzio, kuendeleza malisho, ujenzi wa vituo vya matibabu, kuweka umeme na mashine mbalimbali kama matrekta.

Changamoto iliyopo ni ushiriki wa wadau katika kuanzisha, kutunza na kuendeleza maeneo huru na magonjwa.

3.3.5 Sheria ya Kudhibiti Kuwepo na Kuenea kwa Magonjwa ya Wanyama

Sheria ya Magonjwa ya Wanyama (Animal Diseases Act No. 17 of 2003) imepitishwa na kufuta sheria ya zamani ya (Animal Diseases Ordinance, Cap 156 ya 1960). Sheria mpya inampa Mkurugenzi wa Huduma za Mifugo uwezo wa kuyatangaza magonjwa yanayoibuka (emerging diseases) na udhibiti wa mienendo ya mifugo na mazao yake ili kudhibiti ueneaji wa magonjwa. Aidha, kanuni sita (6) za kusaidia utekelezaji wa sheria hii zimekamilika na kutumika tangu mwaka 2007. Kanuni zingine mbili zipo katika hatua za mwisho za matayarisho.

Changamoto iliyopo ni Utekelezaji na uzingatiaji wa sheria ya magonjwa ya wanyama.

26

Page 33: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

27

3.3.6 Mikakati na Mipango ya Kikanda ili Kudhibiti Magonjwa yasiyo na Mipaka (Trans-Boundary Diseases).

Ili kuweza kuwa na mafanikio ya kudhibiti magonjwa yasiyo na mipaka, ushirikiano na nchi jirani unahitajika.Kutokana na kuwepo kwa magonjwa ya milipuko na isiyo na mipaka juhudi za pamoja zimekuwa zikichukuliwa katika kupambana na magonjwa hayo kupitia miradi ifuatayo:-

(i) Mradi wa Kudhibiti Milipuko ya Magonjwa ya Mifugo - Pan African Programme for the Control of Epizootics (PACE) 2000-2005. Mradi huu ulifadhiliwa na nchi za Jumuiya ya Ulaya (EU) na kuendeshwa na Umoja wa Nchi za Afrika chini ya taasisi yake ya Rasilimali za wanyama (OAU-IBAR). Mradi huu umeviimarisha Vituo vya Uchunguzi wa Magonjwa ya Mifugo (VICs) na Maabara Kuu ya Mifugo - Temeke kwa kuvipatia vifaa vya maabara na kuweka mfumo wa uchunguzi wa mienendo ya magonjwa (Epidemio-surveillance System) ili kuviwezesha kufanya uchunguzi, kufuatilia mwenendo wa magonjwa, kutoa tahadhari ya milipuko ya magonjwa na kutoa ushauri wa kuyadhibiti.

(ii) Mradi wa OSRO(FAO)) wa miaka 2 wa Kuzuia ugonjwa wa Miguu na Midomo (FMD)

na Magonjwa mengine yasiyokuwa na mipaka Kusini mwa Afrika. Mradi huu ulilenga kutokomeza ugonjwa wa Homa ya Mapafu ya Ng’ombe (CBPP) na kudhibiti Ugonjwa wa Miguu na Midomo (FMD) katika nchi za Tanzania, Malawi, Angola, Msumbiji na Zambia. Mradi huu ulitekelezwa kuanzia mwaka 2005 mpaka 2007.

(iii) Mradi wa Kuimarisha uwezo wa taasisi wa kudhibiti magonjwa ya milipuko ya mifugo

“Strengthening Institutions for Risk Management of Transboundary diseases in SADC Regions” wa miaka 5. Mradi unalenga kuimarisha maabara na taasisi zinazohusika na uchunguzi wa magonjwa ya mifugo. Mradi huu umeanza kutekelezwa mwezi Januari 2009 na unahusisha nchi 5 za Jumuiya ya nchi za Kusini mwa Afrika za Tanzania, Angola, Zambia, Msumbiji na Malawi. Aidha, Maabara Kuu ya Mifugo - Temeke imechaguliwa kuwa Maabara ya rufaa kwa magonjwa ya FMD na CBPP kwa nchi za SADC.

(iv) Mradi wa Kudhibiti Mafua Makali ya Ndege “Support Programme for Intergrated

National Action Plans on Avian and Human Influenza (SPINAP - AHI)”. Mradi huu unaofadhiliwa na Jumuiya ya Ulaya (EU) unalenga kupunguza madhara ya kiuchumi na kijamii kwa binadamu pamoja na vifo endapo Mafua Makali ya Ndege yatatokea kwa kujenga uwezo kitaifa katika kutambua ugonjwa huo, kutoa elimu kwa umma na kuweza kuratibu shughuli za ugonjwa huo. Mradi huu umeanza kutekelezwa mwaka 2008 na utakamalika mwezi Aprili 2010. Kazi ambazo zimeshafanyika hadi sasa ni pamoja na kufanya ufuatiliaji (surveillance) na kutoa elimu ya ugonjwa huo katika mikoa ya Arusha, Morogoro, Rukwa, Pwani, Dar es Salaam, Iringa na Mbeya. Aidha, kuna mikakati ya pamoja ya nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki katika kukabiliana na uwezekano wa kuambukizwa ugonjwa wa Mafua Makali ya Ndege ikiwa ni pamoja na Mpango wa Dharura wa Kupambana na Ugonjwa huo endapo utatokea.

Page 34: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

3.3.7 Mikakati na Mipango ya Kuzuia Magonjwa yanayoambukizwa Kati ya Mifugo na Wanyamapori.

Makubaliano maalumu (Memorandum of Understanding) kati ya Idara ya Huduma za Afya ya Mifugo (Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi) na Idara ya Wanyamapori (Wizara ya Maliasili na Utalii) kuhusu kufuatilia na kudhibiti magonjwa yanayoambukizwa kati ya mifugo na wanyama pori yanatekelezwa. Utaratibu huu umewezesha kufuatilia hali ya ugonjwa wa Sotoka kwa kuchukua sampuli 36,200 za damu ya nyati na ugonjwa wa Homa ya Nguruwe kwa kuchukua sampuli 40 za damu ya ngiri na nguruwe pori kwa ajili ya uchunguzi. Mpaka sasa Tanzania imefanikiwa kudhibiti ugonjwa wa Sotoka ya ng’ombe na mwaka 2007 kupewa hati ya kimataifa ya kuwa huru na ugonjwa huu. Kwa kutumia mbinu shirikishi wafugaji wanaoishi kwenye maeneo yanayozunguka mbuga za wanyama na wahifadhi wa mbuga hizi wanatoa taarifa za magonjwa na kufuatilia vifo vya wanyama visivyo vya kawaida. Aidha, taarifa za magonjwa ya wanyamapori zilihusisha vifo vya swala katika mbuga za Serengeti na visiwa vya Rubondo; vifo vya viboko katika mbuga ya Ruaha; vifo vya ndege aina ya flamingo na vifo vya njiwa pori katika wilaya za mpakani, hususan ya Longido na Rombo.

3.3.8 Kuimarisha Mfumo wa Ukusanyaji Taarifa na Takwimu za Magonjwa ya

Mifugo

Wizara imeimarisha Kitengo chake cha Takwimu za Magonjwa ya Mifugo na kukipa hadhi ya kuongozwa na Mkurugenzi Msaidizi na kumepewa wataalam wa kujenga mfumo wa kompyuta za kutunza na kuchambua takwimu (TADinfo - Database) na kuweza kuonyesha mtawanyiko wa matukio ya magonjwa katika nchi. Taarifa hizi zinasaidia kuandaa mikakati na mipango ya kudhibiti magonjwa. Idadi ya wilaya zinazowasilisha taarifa zimeongezeka kutoka wilaya 65 mwaka 2001 hadi wilaya 101 mwaka 2009. Aidha, katika mwaka 2009 Wizara kwa kushirikiana na Shirika la Kilimo na Chakula la Umoja wa Mataifa (FAO), chini ya Mpango wa Kudhibiti Majanga Yaletwayo na Magonjwa ya Milipuko ya Wanyama, imeanzisha mfumo wa utoaji taarifa wa haraka kwa kutumia teknolojia ya”Digital Pen”. Halmashauri za Misenyi, Monduli, Ngorongoro, Same na Tarime tayari zimeanza kutumia mfumo huu. Lengo la Wizara ni kupanua mfumo huo katika Halmashauri zote nchini. 3.3.9 Upatikanaji na Usambazaji wa Dawa na Pembejeo za Mifugo

Kulingana na Sera ya Taifa ya Mifugo ya mwaka 2006, kazi ya usambazaji wa dawa na pembejeo za mifugo inafanywa na sekta binafsi kwa lengo la kusogeza huduma karibu zaidi na wafugaji. Jukumu la Wizara ni kutoa miongozo juu ya orodha ya dawa muhimu ambayo yanafaa kutumika nchini na, kupitia Baraza la Taifa la Vetenari, kuhakikisha kuwa usambazaji na matumizi ya dawa yanazingatia maadili ya kitaaluma. Kazi ya udhibiti na ufuatiliaji wa ubora wa dawa ya mifugo uko chini ya Mamlaka ya Chakula na Dawa (Tanzania Food and Drugs Authority –TFDA).

Changamoto: Dawa na pembejeo bora za mifugo kuhakikisha zinawafikia wafugaji.

28

Page 35: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

3.3.10 Kuzuia kuenea kwa Magonjwa kwa Kudhibiti uhamishaji holela wa Mifugo

Serikali inadhibiti uhamishaji holela wa mifugo ili kuzuia ueneaji wa magonjwa. kwa kupitia Sheria ya Magonjwa ya Wanyama (Na. 17 ya 2003) na Waraka wa Rais Namba 1 wa mwaka 2002 kuhusu udhibiti wa ueneaji wa magonjwa ya mifugo nchini. Aidha, Wizara imetoa mwongozo wa kuhamisha mifugo isiyo ya biashara kutoka wilaya moja kwenda wilaya nyingine kwa kuhusisha mamlaka sehemu zote mbili. Pia, wizara kwa kushirikiana na Halmashauri imeanzisha vituo 381 vya ndani vya ukaguzi ili kudhibiti magonjwa ya mifugo. Vilevile, Serikali imeimarisha vituo 36 vya mipakani ili kudhibiti uwezekano wa kuingizwa magonjwa nchini.

Changamoto iliyopo ni pamoja na mambo yafuatayo:- • Upatikanaji wa wataalam na uwezeshwaji wao ili watimize majukumu yao; • Uzingatiaji wa Sheria ya Magonjwa ya Wanyama Na. 17 ya 2003.

3.3.11 Usimamizi wa Watoa Huduma za Afya ya Mifugo

Kufuatia utekelezaji wa Sera ya ushirikishaji wa sekta binafsi katika kutoa huduma, sheria ya Veterinari Na. 16 ya mwaka 2003 na Kanuni zake 11 imepitishwa na inatumika ili ubora wa huduma uweze kusimamiwa kikamilifu. Aidha, Baraza la Veterinari Tanzania liliundwa mwaka 2004 chini ya Sheria hiyo kusimamia ubora wa huduma zinazotolewa na wataalam wa tiba ya mifugo wa ngazi zote; walio katika Sekta Binafsi na Serikalini. Usajili wa madaktari na wataalam wasaidizi unafanyika na hadi sasa jumla ya madaktari wa mifugo 593 wamesajiliwa. Kati ya hao asilimia 25 wako katika Sekta Binafsi, madaktari 7 ambao ni raia wa nje wamepata usajili wa muda na Wataalam Wasaidizi wa Mifugo 1,006 wenye stashahada na astashahada za afya ya mifugo wamesajiliwa. Jumla ya wakaguzi 130 wameteuliwa, kwa mujibu wa sheria, kukagua huduma katika ngazi ya halmashauri, kanda na mikoa. Mpaka sasa kuna upungufu wa wakaguzi 35 kwa kuwa Halmashauri hazijaajiri madaktari wa mifugo. Vile vile, kati ya 2004 na sasa, Baraza la Veterinari Tanzania, limesajili jumla ya vituo 304 vya kutoa huduma za mifugo. Mbali na vituo vya huduma ya mifugo ambavyo vimesajiliwa na Baraza, yapo mashirika yaliyosajiliwa chini ya sheria ya NGOs, kama vile Vetaid na VetAgro (Arusha), FARM-Africa (Babati), SHILDA (Iringa na Mbeya), KADADET (Kagera), Mtandao wa wafugaji (Tanga), Ereto (Ngorongoro), na Tropical vet services (Karatu) ambayo hayana wataalam.

Changamoto zinazokabili usimamizi na utoaji wa huduma ni pamoja na:- • Kuzingatia na kusimamia sheria; • Ushiriki wa Sekta Binafsi katika kutoa huduma bora za afya ya mifugo; • Mazingira mazuri kwa Sekta Binafsi kutoa huduma; na. • Upatikanaji wa huduma bora za afya ya mifugo hususan vijijini.

29

Page 36: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

30

3.4 Viwanda na Masoko ya Mifugo na Mazao yake

Kufuatia mabadiliko ya sera za kiuchumi katika miaka ya 1980, usindikaji, biashara ya mifugo na uendeshaji wa masoko ya mifugo na mazao yake ni jukumu la sekta binafsi. Serikali ina jukumu la kuendelea kuweka mazingira mazuri ya kuiwezesha sekta binafsi kufanya shughuli zake kwa ufanisi, ikiwa ni pamoja na kuweka sera nzuri, sheria na miongozo, pia kushirikiana na sekta kujenga miundombinu muhimu ya masoko ya mifugo. Hadi sasa, kasi ya uwekezaji katika ujenzi wa viwanda na miundombinu ya masoko ya mifugo na mazao yake umekuwa ni kidogo. Hata hivyo, yafuatayo yametekelezwa:-

3.4.1 Kuanzisha na kuendesha machinjio na viwanda vya kusindika mazao ya mifugo

Kufuatia kuwepo kwa mazingira yanayovutia uwekezaji, sekta binafsi imejenga viwanda vya kusindika nyama, maziwa na ngozi kwa lengo la kuongezea thamani ya mazao ya mifugo ambapo:-

(i) Viwanda vya kusindika nyama vya Sumbawanga Agricultural and Animal Food Industries Limited (SAAFI) na Tanzania Pride Meat vyenye uwezo wa kuchinja jumla ya ng’ombe 350 kwa siku vimejengwa na vinafanya kazi;

(ii) Kiwanda cha Kusindika Nyama cha Shinyanga kimebinafsishwa kwa Kampuni ya

Triple “S” Beef Limited hata hvyo hakijaanza kufanya kazi kutokana na mtikisiko wa uchumi ambapo mwekezaji mkuu alijitoa;

(iii) Serikali imejenga machinjio ya kisasa ya Dodoma na kuuza asilimia 51 ya thamani ya

mali za machinjio hiyo kwa Kampuni ya National Investment Company Limited (NICOL) na kubakiza asilimia 49 chini ya Kampuni ya Ranchi za Taifa – NARCO. Aidha, kampuni ya Tanzania Meat Company imeanzishwa kwa ubia kati ya NICOL na NARCO na ndiyo inaendesha machinjio hii. Machinjio haya yana uwezo wa kuchinja ng’ombe 200 na mbuzi/kondoo 200 kwa siku;

(iv) Serikali imeanza ujenzi wa machinjio ya kisasa katika eneo la ranchi ya Ruvu

itakayokuwa na uwezo wa kuchinja ng’ombe 800 na kondoo na mbuzi 400 kwa siku. Machinjio hii itakapokamilika itaendeshwa na NARCO pamoja na mbia atakayepatikana hapo baadaye.

(v) Machinjio za kisasa za kuku za Mkuza Chicks Limited (Pwani), Interchick na Tanzania

Pride Meat (Morogoro) zenye uwezo wa kuchinja jumla ya kuku 30,000 kwa siku zimejengwa na zinafanya kazi;

(vi) Serikali imejenga Chuo cha Mafunzo ya Ukataji Nyama Dodoma na kukikabidhi kwa

Mamlaka ya Vyuo vya Ufundi Stadi (VETA) kwa uendeshaji. Chuo hiki kinatoa mafunzo kwa wataalam wapatao 80 kila mwaka katika ngazi ya ufundi sadifu wa kuchinja na kutengeneza mazao mbalimbali yatokanayo na nyama.

Page 37: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

(vii) Viwanda vya kusindika maziwa vimeongezeka kutoka 22 mwaka 2001 vyenye uwezo wa kusindika lita 500,000 hadi kufikia 39 mwaka 2009 vyenye uwezo wa kusindika lita 384,100. Kushuka kwa uwezo wa usindikaji wa maziwa kumetokana na kutofanyakazi kwa viwanda vikubwa vya Brookside Tanzania, Royal Dairies, Tommy Dairies na Mojata . Aidha, kupungua kwa ukusanyaji wa maziwa kutoka maeneo ya uzalishaji na gharama kubwa za uendeshaji kumesababisha kushuka kwa usindikaji;

(viii) Viwanda vya kusindika ngozi vimeongezeka kutoka 5 mwaka 2001 vyenye uwezo wa

kusindika ngozi zenye futi za mraba milioni 38.3 hadi kufikia 7 mwaka 2009 vyenye uwezo wa kusindika futi za mraba milioni 48.2 kwa mwaka.

(ix) Kuimarisha machinjio ya Sakina, Arusha yenye uwezo wa kuchinja ng’ombe 300 kwa

siku.

(x) Ujenzi wa machinjio ya Mkuza Chicks Limited (Kibaha) yenye uwezo wa kuchinja kuku 8,000 kwa siku na machinjio ya Interchick Company Limited (Kinondoni) yenye uwezo wa kuchinja kuku 3,000 kwa siku.

Aidha, hadi kufikia mwaka 2009, kuna jumla ya machinjio 85 katika ngazi ya mkoa, wilaya na miji midogo na kufanya kuwepo na upungufu wa machinjio 99. Hali kadhalika, kuna jumla ya makaro ya kuchinjia 1,021, mpango ni kuwa na karo ya kuchinjia kila kata, ambapo kuna upungufu wa makaro ya kuchinjia 1,834. Ujenzi na ukarabati wa machinjio na makaro umefanyika kupitia mpango wa DADPs.

Changamoto; • Uwekezaji katika ujenzi wa machinjio za kisasa na viwanda vya kusindika nyama,

maziwa na ngozi;. • Kutumia uwezo uliopo wa viwanda vya kusindika mazao ya mifugo; • Uzingatiaji wa viwango vya ubora na usafi wa machinjio;

3.4.2 Uwekezaji Kupitia NARCO Maeneo ya uwekezaji katika Sekta ya Mifugo ni pamoja na kuingia ubia katika uendeshaji wa mashamba ya Kampuni ya Ranchi za Taifa (NARCO) 10 zilizopo katika mikoa 7 hapa nchini zenye jumla ya hekta 219,930 na jumla ya ng’ombe 34,859 kama inavyoainishwa katika Jedwali Na. 9.

31

Page 38: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

Jedwali Na.9: Uwekezaji katika vitalu vilivyomilikishwa katika Ranchi za Taifa (NARCO)

Chanzo: NARCO

Na Jina la Ranchi Eneo (Ha)

Eneo la Ranchi Maalum

(Ha)

Eneo lililomilikishw

a wananchi (Ha)

Idadi (Na.)

Idadi ya ng’ombe

katika vitalu

Idadi ya mbuzi na kondoo katika vitalu

1. Mkata 62,530 19,446 43,084 11 3,210 873

2 Usangu 43,727 0 43,727 16 2,206 677

3 West Kilimanjaro 30,364 19,910 10,354 10 0 0

4 Uvinza 56,175 0 56,175 21 13,702 0

5 Mzeri 41,246 21,236 20,010 9 3,304 3,411

6 Kalambo 64,650 23,588 41,062 13 6,220 593

7 Misenyi 60,851 23,998 36,853 21 2,678 253

8 Kitengule 41,700 0 41,700 9 4,877 322

9 Kikulula Complex (Kikulula, Mabale, Kagoma

76,940 30,752 46,188 22 12,1041,053

10 Kongwa 38,000 38,000 0 0 0 0

11 Ruvu 43,000 43,000 0 0 0 0

12 Dakawa 49,981 0 49,981 2 Jumla 609,164 219,930 389,134 134 48,301 7,182

Kampuni kwa sasa imekamilisha upimaji wa vitalu 10 kwa ajili ya kuwamilikisha wawekezaji wazalendo katika Ranchi ya West-Kilimanjaro na mchakato wa kuwapata wamilikishwaji unaendelea. Pia, hati miliki ndogo kwa vitalu 91 kati ya 124 katika ranchi za Mzeri (8), Missenyi (10), Mkata (11), Uvinza (21), Usangu (18), Mabale (6) na Kagoma (17) zimetolewa. Utoaji wa hati kwa vitalu vya ranchi za Mkata, Kalambo na Kitengule unaendelea.

3.4.3 Soko la Mifugo na bidhaa zake (i) Soko la ndani

Soko la ndani la mifugo na bidhaa zake limeendelea kuongezeka kutokana na ongezeko la watu na kukua kwa miji, vituo vya biashara na masoko maalum kama hoteli za kitalii, migodi na maduka makubwa (super markets). Kutokana na ukuaji wa soko la ndani, kumekuwepo na ongezeko la ulaji wa mazao ya mifugo kutoka wastani wa lita 25 hadi lita 42 za maziwa, kilo 6 za nyama hadi kilo 11 na mayai 21 hadi 70 kwa mtu kwa mwaka katika kipindi cha mwaka 2001 hadi 2009.

32

Page 39: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

Katika jitihada za kuendeleza biashara ya mifugo na mazao yake kimataifa Wizara imeainisha maeneo huru na magonjwa (Disease Free Compartments) ili kudhibiti maambukizi ya magonjwa na kuzalisha bidhaa zenye ubora.

Changamoto zilizopo katika kupanua soko la mifugo na bidhaa zake ni: • Kuzalisha kwa kiwango cha kutosha na ubora unaokidhi soko; • Kuendeleza maeneo huru na magonjwa ya mifugo yanayokidhi biashara za kimataifa; na. • Kuimarisha mfumo wa Utambuzi, Usajili na Ufuatiliaji Mifugo na Mazao ya Mifugo.

(ii) Soko la nje

Wizara imeendelea kuhamasisha biashara ya mifugo na mazao yake katika soko la nje. kuanzia mwaka 2001 hadi 2009 uuzaji wa mifugo na mazao yake umekuwa ukifanyika kwenda nchi za Comoro, Congo DRC, Rwanda, Burundi, Kenya, Falme za Kiarabu, Kuwait, Oman na Saudi Arabia. Biashara ya mifugo na mazao yake nje ya nchi imeongezeka kutoka tani 3.5 mwaka 2004/2005 hadi tani 221.9 mwaka 2008/2009, wakati uagizaji wa nyama na mazao yake kutoka nje umepungua kutoka tani 1,060.1 mwaka 2004/2005 hadi tani 709.4 mwaka 2008/2009. Aidha, uuzaji nje wa mifugo umeongezeka kutoka ng’ombe 1,807 , mbuzi na kondoo 565 wenye thamani ya shilingi milioni 652 mwaka 2003 hadi ng’ombe 3,264 na mbuzi na kondoo 1,834 wenye thamani ya shilingi bilioni 2.1 mwaka 2008 kama inavyoonyeshwa kwenye Jedwali Na.10.

33

Page 40: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

Jedwali Na.10: Mauzo ya Mifugo na Mazao Nje ya Nchi

Mifugo Nyama Mwaka

Ng’ombe Mbuzi na Kondoo

Thamani Bilioni (Tshs)

Ng’ombe Mbuzi na Kondoo

Thamani milioni (Tshs)

2003 1,807 565 0.652 2004 2,893 1,130 0.738 1.0 1.52005 1,706 800 0.675 3.5 6.82006 2,549 1,852 1.03 92 352.02007 2,772 874 1.80 195 500.02008 3,264 1,834 2.10 221 654.5

Kati ya mwaka 2001 na 2008, uuzaji wa ngozi nje ya nchi umeongezeka kutoka ngozi za ng’ombe milioni 1.2, vipande vya ngozi za mbuzi 511,700 na vipande 165,000 vya ngozi ya kondoo vyenye thamani ya shilingi bilioni 4.0 hadi ngozi za ng’ombe milioni 2.3, mbuzi milioni 1.6 na kondoo milioni 1.1 vyenye thamani ya shilingi bilioni 21.5. Hata hivyo katika mwaka 2008/2009, uuzaji wa ngozi nje umeathirika na mtikisiko wa kiuchumi duniani, ambapo vipande vya ngozi ya ng’ombe 982,668, mbuzi milioni 2.7 na kondoo 769,936 vyenye thamani ya shilingi bilioni 12.8 viliuzwa (Jedwali Na 11). Jedwali Na.11: Mauzo ya Ngozi Nje ya Nchi kati ya mwaka 2001 - 2009

Chanzo: Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi Mkakati wa Kufufua na Kuendeleza Sekta na Viwanda vya Ngozi nchini umeendelea kutekelezwa kwa kushirikiana na Wizara ya Viwanda, Biashara na Masoko; Ofisi ya Waziri Mkuu – TAMISEMI, Halmashauri 55 na Chama cha Wadau wa Ngozi Tanzania. Mkakati huu unatekelezwa kwa kutumia mfuko wa Maendeleo ya Mifugo (Livestock Development Fund)

34

Page 41: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

ulioanzishwa mwaka 2003/2004 kutokana na makusanyo ya ushuru wa asilimia 20 na kuongezwa hadiasilimia 40 ya mauzo ya ngozi ghafi nje ya nchi.. hadi kufikia mwezi Juni 2009, mfuko ulikuwa umekusanya jumla ya shilingi bilioni 8.1. Kupitia Mfuko huo, Wizara imeimarisha huduma za ugani kwa kununua na kusambaza pikipiki 55, baiskeli 275, visu vya kuchunia 5,500, visu vya kuwekea mikato 3,300, vinoleo 5,500 na vifaa vya kunyanyulia nyama 110 na gari moja. Aidha, jumla ya wakaguzi 160 wa ngozi wamepatiwa mafunzo ya mwezi mmoja. Pia, wafugaji, wachunaji, wawambaji na wafanyabiashara ya ngozi 1,686 katika Halmashauri 55 wamepatiwa mafunzo juu ya uboreshaji wa zao la ngozi.

Changamoto inayokabili soko la zao la ngozi ni: 1. Kuongeza ubora wa zao la ngozi; 2. Uwekezaji katika viwanda vya kusindika zao la ngozi na kutengeneza bidhaa

zitokanazo na ngozi;na 3. Kuwa na wataalam wa teknolojia ya ngozi. .

3.4.4 Soko lisilo rasmi kwa mifugo na mazao yake

Takriban mifugo 300,000 kila mwaka huuzwa kwa njia zisizo rasmi nchi jirani. Aidha, asilimia 80 ya maziwa yanayozalishwa hapa nchini yanauzwa katika soko lisilo rasmi. Hali hii imesababisha Serikali kukosa mapato na wafugaji kupata bei ndogo. Ili kukabiliana na hali hii Wizara kwa kushirikiana na wadau imetekeleza yafuatayo:

(i) Kuandaa sheria na kanuni ambapo bodi za mazao ya mifugo (Nyama na Maziwa) zimeanzishwa ili kusimamia, kudhibiti na kuhamasisha biashara ya mazao ya mifugo;

(ii) Kupanua wigo wa soko la ndani kwa kujenga machinjio za kisasa kama ya Tanzania Pride Meat, Tanzania Meat Company (Dodoma), SAAFI, Ruvu na kuimarisha zilizopo;

(iii) Kujenga minada 10 mipakani kwa lengo la kuuza mifugo kwa utaratibu uliowekwa ili kudhibiti uuzaji/ununuzi wa mifugo katika maeneo ya mipakani;

(iv) Kuwa na mikutano na mikakati ya pamoja na nchi jirani kuhusu udhibiti wa usafirishaji, masoko na wizi wa mifugo; na

(v) Kuanzisha mfumo wa utambuzi, usajili na ufuatiliaji wa mifugo ili kutambua mifugo na mazao yatokanayo na mifugo na kudhibiti usafirishaji na wizi wa mifugo.

Kutokana na jitihada hizi kumekuwa na mafanikio yafuatayo:

(i) Kupitia bodi ya maziwa wafanyabiasha hapa nchini wameanza kuuza maziwa nchi jirani kwa kufuata taratibu zilizokubaliwa;

(ii) Kuhuisha viwango vya maziwa na mazao yake katika Jumuiya ya Afrika Mashariki; (iii) Kurasimisha biashara ya maziwa kwa wachuuzi hapa nchini; na (iv) Makubaliano ya hiari ya bishara ya mifugo na mazao yake kati ya nchi ya Tanzania na

Comoro.

35

Page 42: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

Changamoto: • Wizi wa mifugo; • Upatikanaji wa mitaji; • Matumizi ya minada ya mifugo ya mipakani; na • Uzingatiaji wa sheria na kanuni za uendeshaji wa minada.

3.5 Menejimenti ya Sekta ya Mifugo

Hadi kufikia mwaka 2001, Sekta ya Mifugo ilikuwa inakabiliwa na matatizo kadhaa yakiwemo menejimenti hafifu ambayo ilijumuisha maeneo ya; Sera isiyokuwa na mikakati ya utekelezaji, mabadiliko ya mara kwa mara ya Muundo wa Wizara, bajeti finyu, ushiriki wa wadau, kutokuwepo kwa vikundi na vyama vya wadau wa sekta, maslahi duni ya wataalam, huduma duni za ugani na utafiti, uhaba wa wataalam na upatikanaji wa takwimu sahihi za mifugo. Ili kuondokana na matatizo ya kutokuwepo kwa uendeshaji bora wa sekta yafuatayo yametekelezwa:- i. Sera ya Taifa ya Mifugo Wizara ilifanya mapitio ya Sera ya Kilimo na Mifugo ya Mwaka 1997 na kuandaa Sera ya Taifa ya Mifugo ya mwaka 2006 ambayo imezingatia dira na dhamira ya sekta ya mifugo na majukumu muhimu ambayo ni pamoja na kuongeza mchango wa sekta katika pato la Taifa. Jumla ya nakala 5,000 za Sera hiyo zimesambazwa kwa wadau na pia imewekwa kwenye tovuti ya wizara (www.mifugo.go.tz). Aidha, Wizara imeendelea kutoa elimu kuhusu Sera hiyo kupitia matukio mbalimbali ya kitaifa kama maonesho na mikutano ya kisekta. Wizara kwa kushirikiana na wadau imekamilisha kuandaa Mkakati wa Kutekeleza Sera ya Taifa ya Mifugo. Katika mwaka 2009/2010, Mkakati huo utatafsiriwa katika lugha ya kiswahili na utasambazwa kwa wadau na kuandaa Mipango ya utekelezaji. ii. Muundo wa Wizara Mwaka 2006, Serikali ya Awamu ya Nne iliunda Wizara ya Maendeleo ya Mifugo ikiwa na idara za Uzalishaji wa Mifugo na Masoko; Huduma ya Afya ya Mifugo; Uratibu wa Utafiti wa Mifugo, Mafunzo na Ugani; Uendelezaji wa Ufugaji wa Asili; Utambuzi, Usajili na Ufuatiliaji wa Mifugo; Maabara Kuu ya Taifa ya Mifugo na Taasisi ya Utafiti wa Mifugo Mpwapwa; pamoja na Baraza la Veterinari Tanzania; Bodi ya Maziwa na Bodi ya Nyama kwa lengo la kuboresha uendeshaji wa Sekta ya Mifugo. Mwaka 2008 idara hizi zimeunganika na kuunganishwa na idara za sekta ya uvuvi na kujulikana kama Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi.

36

Page 43: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

iii. Bajeti ya Wizara

Serikali imeongeza bajeti ya Wizara (sekta ya mifugo) kutoka shilingi milioni 905 mwaka 2000/2001 hadi shilingi bilioni 51.18 mwaka 2009/2010 kama inavyoonyeshwa katika Jedwali Na. 12. Pamoja na fedha zinazotengwa kupitia Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi kutekeleza majukumu ya sekta ya mifugo, pia fedha za kutekeleza majukumu hayo hupatikana kutoka kupitia vyanzo vingine vifuatavyo: (a) Mipango ya kuendeleza Sekta ya Kilimo ya Wilaya (DADPs) na miradi ya PADEP, ASPS

II na DASIP. Miradi inayotekelezwa chini ya DADPS imegawanywa katika maeneo matatu ambayo ni:-

• Miradi ya Uwekezaji (Local Agricultural Investments). • Miradi ya huduma za ugani (Agricultural extension services) ; na • Miradi ya kujenga uwezo wa wataalam na watoa huduma (Capacity building

and reforms) (b) Mifuko ya Kuendeleza Sekta ya Mifugo ya Halmashauri (Livestock Development Fund).

Mifuko hii inatumika kuendeleza huduma za mifugo ambapo Halmashauri 52 kati ya 133 zimeanzisha mifuko hii.

Jedwali Na. 12: Bajeti ya Sekta ya Mifugo kati ya 2001 - 2009

BAJETI YA SEKTA YA MIFUGO KATI YA 2000/01 HADI 2009/10 ('000,000)

905 2,7346,491

8,303 7,819

22,551 22,398

36,457

51,180

0

10,000

20,000

30,000

40,000

50,000

60,000

2000/01 2001/02 2003/04 2004/05 2005/06 2006/07 2007/08 2008/09 2009/10

Chanzo: Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi Pamoja na ongezeko hili kwenye bajeti ya Wizara, bado Sekta ya Mifugo ina mahitaji makubwa ya fedha katika nyanja zifuatazo:-

37

Page 44: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

(i) Viwanda vya usindikaji, machinjio za kisasa na hifadhi ya mazao ya mifugo (Cold

chain storage system). Inakadiriwa kuwa takribani shilingi bilioni 50 zitahitajika kujenga kiwanda kimoja cha kusindika nyama;

(ii) Vituo vya ukaguzi na karantini, uanzishaji wa maeneo huru na magonjwa, usafirishaji na utoaji wa huduma ya maji kwa mifugo.

(iii) Maji ya mifugo, inakadiriwa kuwa takribani shilingi bilioni 500 zitahitajika kwa ajili kuchimba malambo/mabwawa/visima virefu 500 katika kipindi cha miaka mitano.

(iv) Kutenga, kupima na kumilikisha maeneo kwa ajili ya wafugaji. Inakadiriwa kuwa kupima kijiji kimoja ni takriban shilingi milioni 8 ili kuweza kupima angalau asilimia 25 ya vijiji vyote (4000) inakadiriwa kuwa itagharimu shilingi bilioni 32.

Kwa upande wa uwiano wa mishahara PE (personal emoluments) na matumizi mengine (other charges) katika “recurrent budget” tathmini ya wadau ya mwaka 2001/2002 ilionyesha kuwa uwiano ulikuwa ni karibu 9:1 hali iliyoonyesha kuwa bajeti ya vitendea kazi (operational budget) haikidhi mahitaji. Kwa sasa, bajeti ya OC imeongezwa na kufanya uwiano wa PE na Matumizi Mengine kuwa 1:3 kama inavyoonyeshwa hapo: 2006/2007 2007/2008 2008/2009 2009/2010 Mishahara (PE) 4,300,869,000 5,690,184,000 10,422,939,390 9,271,422,000 Matumizi Mengine (OC) 9,835,880,000 6,931,332,000 23,761,804,000 27,982,032,000Matumizi ya Kawaida 14,136,749,000 12,621,516,000 34,184,743,390 37,253,454,000Asilimia ya Mishahara 30.4 45.1 30.5 24.9 Uwiano PE: OC 1:2.3 1:1.2 1:2.3 1:3

0

5,000,000,000

10,000,000,000

15,000,000,000

20,000,000,000

25,000,000,000

30,000,000,000

35,000,000,000

40,000,000,000

2006

/2007

2007

/2008

2008

/2009

2009

/2010

Shi

lingi Mishahara (PE)

Matumizi Mengine (OC)Matumizi ya Kawaida

38

Page 45: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

39

Changamoto: • Serikali Kuu kuwekeza katika miradi mikubwa ya Sekta ya Mifugo; • Halmashauri kuanzisha na kuendeleza mifuko ya maendeleo ya sekta ya

mifugo; • Ushirikishwaji wa Sekta Binafsi kuwekeza katika Sekta ya mifugo; na • Kuwepo kwa vivutio vya uwekezaji katika sekta ya mifugo.

iv. Uanzishaji wa Vikundi na Vyama vya Wadau wa Sekta

• Vyama vilivyoanzishwa ni pamoja na Tanzania Milk Processors Association (TAMPA),

Tanzania Animal Feed Manufacturing Association (TAFMA), Tanzania Animal Feed Information Centre (TAFIC), Tanzania Goat Network (TAGONET), Southern Eastern Zone Goat Development Network (SEGODEN), Leather Association of Tanzania (LAT), Tanzania Livestock and Meat Traders Association (TALIMETA) na Tanzania Milk Producers Development Association (TAMPRODA).

• Watoaji huduma za mifugo binafsi (Private Veterinary Practitioners Association) na

watoaji huduma za mifugo wasaidizi (Para-professional Association) nao wameanzisha vikundi vyao. Wizara imeimarisha vyama vya wataalam wa mifugo (Tanzania Veterinary Association -TVA na Tanzania Society of Animal Production - TSAP).

3.5.2 Kuboresha Maslahi ya Watumishi

i. Kutoa Motisha na Kuboresha Mazingira ya Kazi

Serikali imetoa kipaumbele kinachostahili kwa kuongeza vianzia mishahara kwa wataalam wa mifugo. Jumla ya watumishi 4,086 wa mifugo wamepandishwa vyeo kati ya mwaka 2001-2008 wakiwemo watumishi wa mifugo katika ngazi ya halmashauri. Pamoja na juhudi hizo za Serikali za kuboresha maslahi ya watumishi, bado kumekuwepo na wimbi la wataalam kuacha kazi na kutafuta maslahi makubwa katika taasisi nyingine. Mathalani, jumla ya watafiti wa mifugo na wakufunzi 32 wameondoka kwenye taasisi za Sekta ya Mifugo kufuata maslahi bora kwenye taasisi zingine (Jedwali Na.13).

Page 46: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

Jedwali Na.13: Watafiti wa Mifugo waliohama Taasisi za Umma kati ya mwaka 1989 hadi 2008

Kiwango cha Elimu Waliopo Waliondoka Asilimia ya Waliondoka Shahada ya kwanza(BSc) 34 1 2.9% Shahada ya Uzamili (MSc) 61 13 17.6% Shahada ya Uzamivu (PhD) 27 18 40.0%

JUMLA 122 32 20.8%

2.5.3 Takwimu za Mifugo

Ili kuhakikisha takwimu za mifugo zinapatikana, Wizara imeanzisha kitengo cha takwimu ya Sekta ya Mifugo. Kitengo hiki kimeendelea kuimarishwa kwa kupatiwa vitendea kazi na wataalam. Aidha, Wizara imeanzisha tovuti www.mifugo.go.tz ambayo imeunganishwa na tovuti ya Taifa. Vilevile, Wizara imeandaa mwongozo wa namna ya kukusanya, kuchambua na kutoa taarifa. Wizara kwa kushirikiana na Wizara ya Kilimo, Chakula na Ushirika na Taasisi ya Takwimu ya Taifa (National Bureau of Statistics) imeshiriki katika zoezi la sensa ya mifugo kwa njia ya sampuli katika mwaka 2003/2004 na 2008/2009. Bado kuna haja ya kuwa na sensa kamili ya mifugo.

Changamoto: a) Kuwepo kwa Sensa kamili ya Mifugo; na b) Upatikanaji takwimu kutoka kwa wadau katika sekta.

3.6 Huduma za Ugani na Elimu kwa Wafugaji

3.6.1 Mgawanyo wa Majukumu Huduma za ugani na ushauri zinatolewa na Halmashauri za Wilaya kufuatia mabadiliko ya sera ya kuanzishwa kwa Sekretarieti za Mikoa ya mwaka 1998. Kufuatia mabadiliko hayo, Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi sasa imebakiwa na majukumu yafuatayo:-

a) Kuandaa na kuhuisha sera kuhusu huduma za ushauri kwa wafugaji; b) Kuhuisha sheria na kuandaa kanuni, taratibu na miongozo juu ya mbinu bora za

uzalishaji wa mifugo; c) Kuandaa mifumo ya kutoa huduma za ushauri kwa wafugaji; d) Kuweka vigezo na taratibu za utendaji kazi kwa wataalam wa sekta ya mifugo; e) Kuratibu na kushauri kuhusu ubinafsishaji wa huduma za ushauri wa mifugo;

40

Page 47: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

f) Kuandaa vielelezo na majarida mbalimbali ya taaluma za sekta ya mifugo na kuzisambaza;

g) Kutoa ushauri kuhusu maonesho ya Mifugo; h) Kushirikiana na Serikali za Mitaa na Wizara ya Ardhi na Maendeleo ya Makazi

kutambua kiasi cha rasilimali ya ardhi kwa ajili ya ufugaji; i) Kushauri Mikoa na Wizara ya Ardhi na Maendeleo ya Makazi kuhusu kupanga

matumizi ya ardhi ya malisho; j) Kuratibu utekelezaji wa programu na miradi ya ushauri wa mifugo; na k) Kuratibu na kutathmini mafanikio ya huduma za ushauri kwa wafugaji.

2.6.2 Hali ya Wataalam wa Ugani

Katika juhudi za kuboresha huduma za ugani, Serikali imetekeleza yafuatayo:-

(i) Kuongeza idadi ya wataalam wa ugani katika ngazi ya vijiji Kwa sasa, idadi ya wataalamu waliopo katika ngazi ya vijiji, kata na wilaya ni 3,193 sawa na asilimia 20 ambapo waliopo 242 ni wa shahada, 2,173 ni wa Stashahada na 778 ni wa Astashahada. Mahitaji halisi ya wataalam wa ugani katika mwaka 2008/09 ni 16,146, hivyo kuwa na upungufu wa jumla ya wataalam 12,953. Kutokana na upungufu huo, Serikali imedhamiria kuajiri watumishi wote wanaohitimu katika vyuo vya mifugo.

Ikama ni kuwa na Maafisa Mifugo 8 kwa kila halmashauri, Afisa mifugo Msaidizi 1 kwa kila kata na Afisa mifugo Msaidizi 1 kwa kila kijijii (Kiambatanisho Na. 5), na hivyo kuhitajika kuwa na Maafisa Mifugo Wasaidizi 1,064 kwa halmashauri 133 katika ngazi ya wilaya, Kata 2,855 na Maafisa Mifugo Wasaidizi Vijiji 12,227. Kulingana na uwezo wa vyuo vya mafunzo ya mifugo vilivyopo chini ya Wizara ambavyo hudahili jumla ya wanavyuo 650 kwa mwaka itachukua takriban miaka 17 kuweza kufikia lengo hili. Lengo la Wizara kwa sasa ni kuendelea kuimarisha na kupanua vyuo vya mafunzo ya mifugo ili viweze kudahili wanavyuo 2,000 kwa mwaka kutoka 1,200 wa sasa.

Changamoto:- • Kuimarisha usimamizi na Kuongeza idadi ya wataalam wa ugani; • Ushiriki wa Sekta Binafsi katika kujenga na kuendesha vyuo vya mifugo; na • Motisha kwa wataalam wa ugani.

(ii) Kuboresha muundo wa uongozi wa Sekta ya Mifugo ngazi ya Wilaya na

Mkoa Kulingana na muundo wa sasa katika ngazi ya wilaya Afisa Kilimo na Maendeleo ya Mifugo (DALDO) ndiye kiongozi wa idara na chini yake kuna wataalam wa fani mbalimbali (Subject Matter Specialists- SMS). Ikama katika Sekretarieti za Mikoa zimeendelea kuboreshwa kwa

41

Page 48: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

kuongeza idadi ya wataalam wa mifugo kuwa 3 badala ya mmoja katika fani za Udaktari wa Mifugo, Sayansi ya Wanyama na Uendelezaji Nyanda za Malisho.

Changamoto: • Sekretarieti za mikoa na Halmashauri kuzingatia ikama na mafunzo rejea kwa

wataalam wa mifugo; na • Kuhakikisha utoaji wa huduma za ugani za kilimo na mifugo kulingana na viwango

vya elimu na taaluma.

2.6.3 Utoaji wa Huduma za Ugani kwa kutumia mbinu shirikishi ya Shamba Darasa

Utoaji elimu ya ufugaji kwa njia ya shamba darasa ulianza mwaka 2006/07 ambapo jumla ya wataalam 118 wa ugani kutoka katika Halmashauri 26 walipata mafunzo ya mbinu shirikishi ya uanzishaji wa mashamba darasa ya mifugo. Hadi kufikia mwaka 2008/09, jumla ya mashamba darasa 2,164 yameanzishwa katika Halmashauri 119 (Kiambatanisho Na. 4) kuhusu ng’ombe wa maziwa (444), ng’ombe wa nyama (90), mbuzi wa maziwa (257), mbuzi wa nyama (44), kuku wa kienyeji (602), kuku wa kisasa (1), nguruwe (100), ufugaji wa samaki (109), malisho (134), majosho (110), ufugaji bora (61), udhibiti wa ndorobo (8), kuunda vikundi (87), ufugaji wa kondoo (2), unenepeshaji (9) na ufugaji wa sungura (6). Jedwali Na.14: Aina ya Mashamba Darasa yaliyoanzishwa Nchi Nzima

42

Page 49: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

Jedwali Na.15: Idadi ya Mashamba Darasa yaliyoanzishwa Kimkoa

Chanzo: Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM- TAMISEMI) Mafanikio yaliyotokana na mbinu hii ni kufikiwa kwa idadi kubwa ya wafugaji takriban 70,560, kupungua vifo vya kuku kutoka asilimia 90 hadi 4, kuongezeka kwa thamani ya mifugo na mazao yake, kuongezeka kwa idadi ya mayai na kuongezeka kwa uelewa wa wafugaji kuhusu kanuni za ufugaji bora. 2.6.4 Utoaji elimu kwa umma

Changamoto: • Wafugaji wa asili kubadili mfumo wa ufugaji kuwa wa kisasa na kibiashara; • Ushiriki wa Sekta Binafsi katika utoaji wa huduma za mifugo; na

Katika kipindi cha mwaka 2001 hadi 2009 mafunzo yalitolewa kwa wafugaji kupitia vipindi 416 vya redio na 96 vya luninga. Pia, mabango 120,260 vipeperushi 5,460,220 na vijitabu 36,400 kuhusu ufugaji bora, kinga na tiba ya mifugo, uvunaji wa maji ya mvua na uboreshaji wa malisho vilitayarishwa na kusambazwa kwa wadau. Vilevile, maonesho mbalimbali kama vile sikukuu ya wakulima-Nane Nane, Saba Saba na Siku ya Chakula Duniani yalitumika kama njia ya kutoa mafunzo kwa wafugaji na wadau wengine wa mifugo. 3.6.4 Mafunzo kwa wafugaji

Changamoto: • Wafugaji kuzingatia elimu inayotolewa kuboresha mifugo na mazao yake.

Wizara pia inatoa elimu na mafunzo kwa wafugaji kupitia vyuo vya mafunzo ya mifugo, ili kuboresha mfumo wa ufugaji na kuendeleza ufugaji wa kibiashara kwa lengo la kuongeza kipato na kuboresha maisha yao. Katika kipindi cha mwaka 2001 hadi 2009 jumla ya wafugaji 68,668 kutoka mikoa yote walipatiwa mafunzo kuhusu ufugaji bora, usindikaji wa maziwa, unenepeshaji, kilimo hai, uvunaji wa maji ya mvua, uzuiaji wa magonjwa ya mifugo na uundaji wa vikundi. Mafunzo hayo yalitolewa katika vyuo vya mifugo vya Madaba, Tengeru, Morogoro, Mpwapwa na Buhuri. Pia, mafunzo haya hutolewa katika vyuo vya wakulima na wafugaji vya Mabuki, Kikulula na Vyuo vya Maendeleo ya Wananchi.

43

Page 50: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

44

SURA YA NNE 4 MAAZIMIO YA MKUTANO MKUU WA WADAU WA SEKTA YA MIFUGO MWAKA

2006

Mkutano wa Wadau wa Sekta ya Mifugo nchini ulifanyika mjini Dodoma tarehe 3 Oktoba 2006. Mkutano huo ulikuwa ni wa pili wa Wadau wa Sekta ya Mifugo nchini kuandaliwa na Wizara. Mkutano ulifanyika chini ya uenyekiti wa aliyekuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe. Mizengo Kayanza Peter Pinda (Mb). Madhumuni ya mkutano huo yalikuwa kujadili masuala yafuatayo:-

(i) Namna ya kuinua mchango wa mifugo na mazao yatokanayo na mifugo katika biashara ya ushindani ya Kimataifa na katika pato la Taifa;

(ii) Hatua muhimu zinazohitajika katika kubadilisha ufugaji wetu kutoka ule wa kuhamahama kwenda kwenye ufugaji wa kisasa na wa kibiashara; na

(iii) Hatua muhimu zinazohitajika katika kuzingatia matumizi bora ya ardhi ili kupunguza migogoro kati ya Wafugaji na Watumiaji wengine wa ardhi.

Mkutano huo ulitoa maazimio mbalimbali ambayo yalitekelezwa kama ifuatavyo:- Azimio la 1: Sera ya Taifa ya Mifugo ikamilishwe.

Utekelezaji: Sera ya Taifa ya Mifugo ilikamilishwa na kupitishwa na Serikali, Desemba, 2006. Sera hii imesambazwa mikoa yote nchini na Halmashauri zote na wadau wa sekta. Azimio la 2: Sensa kamili ya mifugo ifanyike.

Utekelezaji: Kutokana na gharama kubwa, sensa kamili ya mifugo haijafanyika. Kiasi kinachohitajika ni takriban shilingi bilioni 8. Hata hivyo, Wizara kwa kushirikiana na Taasisi ya Takwimu ya Taifa (National Bureau of Statistics) na Wizara ya Kilimo, Chakula na Ushirika imeshiriki katika zoezi la sensa ya kilimo na mifugo kwa njia ya sampuli ambapo Wizara imechangia shilingi milioni 400. Azimio la 3: Elimu itolewe kwa wafugaji wanaohamishwa na miundombinu muhimu ijengwe katika maeneo mapya. Utekelezaji: Wafugaji 84,630 wameelimishwa mbinu za ufugaji bora ikiwemo umuhimu wa kuvuna mifugo yao ili kuongeza kipato. Mafunzo hayo yalitolewa kupitia vyuo vya mifugo, mashamba darasa na sinema. Aidha, mafunzo yalitolewa kwa wafugaji kupitia vipindi 208 vya redio na 48 vya luninga. Pia, mabango 60,130, vipeperushi 230,110 na vijitabu 18,200 kuhusu ufugaji bora vilitayarishwa na kusambazwa kwa wadau. Majosho 134 yamejengwa na 303 yamekarabatiwa katika Halmashauri mbalimbali nchini. Aidha, malambo 583, visima virefu 21 na mabwawa makubwa 2 yamejengwa katika Halmashauri mbalimbali nchini.

Page 51: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

45

Azimio la 4: Maeneo ya ufugaji na kilimo yatengwe na kumilikishwa ili kuondoa migogoro kati ya wafugaji na wakulima

Utekelezaji: Jumla ya hekta takriban milioni 1.4 zimetengwa kwa ajili ya ufugaji katika vijiji 240 kwenye Halmashauri za Wilaya 31 katika mikoa 13 ya Tanzania Bara. Kazi ya kupima na kutenga maeneo ya ufugaji inaendelea kwa kushirikiana na Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi na Halmashauri.

Azimio la 5: Sheria ya kusimamia matumizi ya maeneo ya malisho itungwe na wafugaji waelimishwe kufuga kulingana na uwezo wa ardhi na malisho.

Utekelezaji: Rasimu ya mapendekezo ya Sheria ya Maeneo ya Malisho na Rasilimali za Vyakula vya Mifugo (Grazingland and Animal Feed Resources Act) imepitishwa na Baraza la Mawaziri mwezi Julai 2009. Muswada wa sheria unaandaliwa na unatarajiwa kuwasilishwa kwenye kikao cha Bunge cha mwezi Oktoba 2009.

Azimio la 6: NARCO na ranchi ndogo ziimarishwe na mfumo wa unenepeshaji mifugo uanzishwe ili kuongeza uzalishaji na ubora wa nyama.

Utekelezaji: NARCO imeendelea kuimarishwa kwa kuongezewa ng’ombe 620 wakiwemo mitamba 500 na madume ya Boran 120, kuimarisha miundombinu katika ranchi za Kongwa na Ruvu. Serikali imeuza asilimia 51 ya thamani ya mali za machinjio ya kisasa, Dodoma kwa Kampuni ya National Investment Company Limited (NICOL) na kubakiza asilimia 49 chini ya Kampuni ya Ranchi za Taifa – NARCO. Pia, imewezeshwa kuanza ujenzi wa machinjio ya kisasa Ruvu. Jumla ya vitalu 124 vimemilikishwa (sub-lease) kwa wawekezaji wazalendo. Mfumo wa unenepeshaji umeanzishwa ambapo jumla ya ng’ombe 62,000 walinenepeshwa na NARCO na sekta binafsi.

Azimio la 7: Halmashauri na sekta binafsi ziajiri wataalam wa mifugo wa kutosha ili kuhakikisha kuwa wafugaji wanapata huduma bora na endelevu ya ufugaji. Utekelezaji: Jumla ya wagani 1,220 wameajiriwa na Halmashauri na kufanya jumla ya wagani waliopo katika Halmashauri kufikia 3,193. Azimio la 8: Serikali kwa kushirikiana na sekta binafsi zijenge na kuimarisha mifumo ya masoko ya mifugo ili kuongeza pato la mfugaji na thamani ya mazao yatokanayo na mifugo.

Utekelezaji: Mfumo wa utoaji wa taarifa za masoko ya mifugo (Livestock Information Network Knowledge System - LINKS) umeanzishwa katika minada 45 ambayo hutoa taarifa za bei na aina ya mifugo iliyouzwa kwa madaraja kwa kutumia ujumbe wa simu. Vilevile, taarifa za LINKS zinapatikana kwenye tovuti ya Wizara http://www.lmistz.net na http://www.mifugo.go.tz. Mathalani, taarifa za mnada wa Kizota zinapatikana kwa kuandika ujumbe mk r dom na kutuma kwenye namba 0787441555 kama inavyoonyeshwa kwenye Jedwali Na.16.

Page 52: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

46

Jedwali Na.16: Baadhi ya minada iliyoingizwa kwenye Mtandao na Code Namba zake katika Kupata Taarifa za Bei za Masoko

Mnada uliko Na. Jina la Mnada Mkoa Wilaya

Code Namba yake

Ujumbe katika sms

Tuma ujumbe kupitia namba

1 Pugu Dar es Salaam Ilala DAR MK R DAR 2 Kizota Dodoma Dodoma (M) DOM MK R DOM 3 Korogwe Tanga Korogwe TAN MK R TAN 4 Weruweru Kilimanjaro Hai MSH MK R MSH

0787441555

Ili kuongeza thamani ya mazao yatokanayo na mifugo, Serikali imeunda bodi za nyama na maziwa zinazosimamia ubora wa nyama na maziwa; imeweka kodi ya ongezeko la thamani VAT ya asilimia 20 ya maziwa kutoka nje; imeweka ushuru wa asilimia 40 ya mauzo ya ngozi ghafi nje ya nchi na imeondoa kodi ya vifungashio.

Azimio la 9: Serikali igharamie moja kwa moja udhibiti wa magonjwa yanayoathiri uchumi na afya ya jamii ili kuongeza tija katika uzalishaji na kukidhi masharti ya soko ya ndani na nje na kulinda afya za jamii.

Utekelezaji: Serikali imekuwa ikigharamia udhibiti wa magonjwa ya milipuko yakiwemo sotoka ya wanyama wadogo, Homa ya Mapafu ya ng’ombe, Kichaa cha Mbwa na Homa ya Bonde la Ufa. Aidha, Serikali inatoa ruzuku kwa ajili ya utengenezaji wa chanjo ya mdondo wa kuku ya I-2. Azimio la 10: Serikali itoe ruzuku ya madawa ya kuogesha mifugo na chanjo ili kudhibiti magonjwa yaenezwayo na kupe. Utekelezaji: Hadi sasa Serikali imetoa ruzuku ya jumla ya shilingi bilioni 12.5 kwa ajili ya kununua dawa za kuogesha mifugo. Azimio la 11: Serikali iweke mazingira mazuri ya uwekezaji katika sekta ya mifugo na wafugaji waanzishe benki maalum ya wafugaji ili kuharakisha maendeleo ya sekta ya mifugo na kuongeza mchango wa sekta katika pato la Taifa. Utekelezaji: Wizara imeendelea kujenga mazingira ya kuvutia uwekezaji kwa kufanya yafuatayo:-

(i) Kuandaa Sera ya Taifa ya Mifugo ya mwaka 2006 na Mkakati wa Kutekeleza Sera hiyo wa mwaka 2009;

(ii) Kuanzisha Bodi za Maziwa na Nyama ili kusimamia ubora wa maziwa na nyama;

Page 53: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

47

(iii) Kupitia na Kuandaa Sheria zikiwemo: Sheria ya Nyama Na. 10 ya mwaka 2006; Sheria ya Biashara ya Ngozi Na. 18 ya mwaka 2008; na Sheria ya Ustawi wa Wanyama Na. 19 ya mwaka 2008;

(iv) Kuandaa Kanuni 33 chini ya Sheria za Veterinari (11); Magonjwa ya Mifugo (6); Maziwa (6); Sheria ya Ngozi (6); na Sheria ya Ustawi wa Wanyama (4).

Aidha, Wizara inaandaa rasimu za sheria za Maeneo ya Malisho na Vyakula vya Mifugo; Utambuzi, Usajili na Ufuatiliaji wa Mifugo; Uanzishwaji wa Maabara Kuu ya Mifugo; Uanzishwaji wa Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Mifugo; na Sheria ya Uzalishaji wa mbari bora za wanyama. Pia, mchakato wa kuanzisha benki ya kilimo unaendelea chini ya azimio la “Kilimo Kwanza”. Azimio 12: Serikali iimarishe taasisi zake za mifugo ili ziweze kutoa huduma bora.

Utekelezaji: Wizara imeendelea kuimarisha taasisi zake kwa kukarabati majengo, miundombinu, kuvipatia vitendea kazi na kuajiri wataalam. Taasisi zilizohusika ni pamoja na Vituo vya Utafiti wa Mifugo, Vyuo vya Mafunzo ya Mifugo, Maabara Kuu ya Taifa ya Mifugo – Temeke, Maabara ya Utafiti wa Ndorobo, Vituo vya Kanda vya Uchunguzi wa Magonjwa ya Mifugo, Mashamba ya Kuzalisha Mitamba; Baraza la Veterinari Tanzania; Mashamba ya Kuzalisha Mbegu bora za malisho na Kituo cha Taifa cha Uhimilishaji Mifugo (NAIC).

Page 54: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

48

SURA YA TANO

TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA MIPANGO YA SERIKALI IKIWEMO PROGRAMU YA KUENDELEZA SEKTA YA KILIMO NCHINI (AGRICULTURE SECTOR DEVELOPMENT

PROGRAMME - ASDP) 5 UTANGULIZI Programu ya Kuendeleza Sekta ya Kilimo (ASDP) ni mpango wa kutekeleza malengo ya Mkakati wa Kuendeleza Sekta ya Kilimo (ASDS) ambao ulianzishwa mwaka 2001. Mkakati huu uliandaliwa kwa ajili ya kutekeleza Sera ya Kilimo na Mifugo ya mwaka 1997. ASDP ni nyenzo muhimu ya kutekeleza Mkakati wa Kukuza Uchumi na Kuondoa Umaskini Tanzania - MKUKUTA na Mkakati wa Maendeleo Vijijini. Mikakati hii inazingatia malengo ya Milenia na yale ya Dira ya Maendeleo ya Tanzania 2025 ambapo sekta ya kilimo (mazao na mifugo) inatarajiwa kukua na kufikia angalau kiwango cha asilimia 10 ifikapo mwaka 2010. Mkakati wa kuendeleza Sekta ya Kilimo umeandaliwa kwa kuzingatia utekelezaji wa malengo ya kisekta kwa mapana yake (Sector Wide Approach- SWAp) na unatekelezwa kupitia Programu ya miaka saba ya kuendeleza Sekta ya Kilimo (Agricultural Sector Development Programme - ASDP) kuanzia mwaka 2006/2007 hadi mwaka 2012/2013. Mtazamo wa ki-sekta ni utaratibu wa kufanya kazi kwa pamoja kati ya serikali, sekta binafsi na Washirika katika Maendeleo (Development Partners) kwa lengo la kuongeza ushiriki wa wadau katika utekelezaji wa ASDP ikiwa ni pamoja na usimamizi wa matumizi ya rasilimali.

5.1 Malengo ya Programu Malengo makubwa ya programu ya kuendeleza kilimo nchini ni:-

(i) Kuwawezesha wakulima na wafugaji kuongeza tija na uzalishaji ili kupata faida na mapato kwa kuwapatia elimu, teknolojia, miundombinu na masoko ya uhakika; na

(ii) Kujenga mazingira bora ya kisera na kisheria ili kuongeza uwekezaji wa sekta binafsi katika kilimo.

5.2 Maeneo ya Utekelezaji wa Programu Programu ya kuendeleza sekta ya kilimo ilipangwa kutekelezwa kwa miaka saba kuanzia 2006/2007 hadi 2012/2013. Programu inatekelezwa katika ngazi ya wilaya na Taifa. Kazi zilizopangwa kutekelezwa ni kama zifuatazo:-

5.2.1 Ngazi ya Kitaifa (i) Uimarishaji wa huduma za kilimo hususan utafiti na ugani; (ii) Uboreshaji wa miundo ya jumla ya kisera na kisheria; (iii) Usimamizi na uendelezaji wa sekta binafsi na upatikanaji wa masoko;

Page 55: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

49

(iv) Uboreshaji wa ukusanyaji na usambazaji wa taarifa; (v) Uwekezaji katika miundombinu ya umwagiliaji maji mashambani na

uwezeshaji kitaalamu utekelezaji wa miradi ya umwagiliaji wilayani; (vi) Kuimarisha uhakika wa upatikanaji wa chakula; na (vii) Kuhakikisha uwekezaji unafanyika kitaalamu na huduma bora za kilimo

zinatolewa wilayani.

5.2.2 Ngazi ya Halmashauri za Wilaya (i) Kuwaongezea wakulima na wafugaji uwezo wa kupanga matumizi ya rasilimali

kwa ajili ya huduma za kilimo na uwekezaji; (ii) Kuimarisha ushiriki wa sekta binafsi katika utoaji wa huduma za ugani na

upatikanaji wa teknolojia bora katika kilimo na ufugaji; (iii) Kuongeza upatikanaji wa huduma za kilimo kwa wakulima na wafugaji; (iv) Kuimarisha usimamizi wa matumizi ya fedha za Serikali na kuwaandaa

wakulima kupata mikopo; (v) Kuongeza tija na mapato ya wakulima na wafugaji kwa kuwekeza katika

maeneo muhimu ya uzalishaji katika sekta ya kilimo kama umwagiliaji; (vi) Kuboresha sheria na kanuni zinazosimamia uzalishaji na masoko ya mazao ya

kilimo na mifugo; na (vii) Kuimarisha uwezo wa kuandaa mipango, kusimamia utekelezaji na kufanya

tathmini. 5.3 Utekelezaji wa Maeneo MbalimbalI Sehemu kubwa ya Programu inatekelezwa katika wilaya na vijiji. Karibu asilimia 75 ya fedha za kutekeleza Programu zinapelekwa kwenye Halmashauri za wilaya na vijiji kugharimia utekelezaji wa Mipango ya Maendeleo ya Kilimo ya Wilaya (District Agricultural Development Plans), ambayo ni sehemu ya Mipango ya Maendeleo ya Wilaya (District Development Plan-DDP) na asilimia 25 hutumika ngazi ya Taifa kwenye Wizara kuu za Sekta ya Kilimo.

Utekelezaji katika ngazi hii ni jukumu la Serikali za Mitaa (Local Government Authorities - LGAs) chini ya uangalizi wa Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM-TAMISEMI). Utekelezaji wa miradi ya ASDP katika kipindi cha mwaka 2006/07 hadi 2008/09 ni kama ifuatavyo:

5.4 Utekelezaji katika Ngazi ya Kitaifa Kiwango cha fedha kilichotengwa katika ngazi ya Taifa kwa ajili ya Sekta ya mifugo kati ya mwaka 2006/07 hadi 2009/10 kutoka mfuko wa ASDP ni kama inavyoonyeshwa hapo chini. Kati ya fedha zote zilizotengwa, Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi ilipangiwa asilimia 7 ya fedha zote.

Page 56: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

Mgawanyo wa Fedha za ASDP (Za Nje) kuanzia mwaka 2006/07 - 2009/10 (Tsh ‘000)

2006/2007 2007/2008 2008/2009 2009/2010 Jumla Asilimia MLDF 7,236,662 3,907,440 4,102,812 5,102,721 20,349,635 7MAFC 14,673,607 11,109,394 11,664,864 13,171,610 50,619,474 17MWI 14,634,796 14,634,796 5MITM 1,788,000 2,358,476 2,476,400 1,383,374 8,006,250 3RS 148,665 2,520,000 2,668,665 1PMO/RALG 9,472,711 54,530,165 483,462 483,000 64,969,338 22LGAs 53,891,582 78,556,066 132,447,648 45Total 33,170,980 71,905,475 72,767,785 105,851,566 283,695,806 100

Chanzo: Sekretariati ya ASDP

1 3 5 7

17

22

45

0

5

1015

202530

35

4045

50

RS MITM MWI MLDF MAFC PMO/RALG LGAs

Series1

50

Page 57: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

51

Jedwali Na.17: Hali ya Utekelezaji wa ASDP ngazi ya Taifa – Sekta ya Mifugo

NA. ENEO LA UTEKELEZAJI UTEKELEZAJI 1. Utoaji wa huduma za

utafiti, mafunzo na ugani

i. Utafiti

• Kuratibu, kufuatilia na kutathmini utafiti wa mifugo na utoaji huduma chini ya mpango wa maendeleo ya Kilimo ASDP na kuainisha teknolojia na kuzisambaza kulingana na mahitaji ya Taifa

(i) Rasimu ya Agenda ya Utafiti (Livestock Research

Agenda) na Mipango 11 ya Utafiti (Livestock Research Programmes) katika maeneo ya utafiti wa maziwa, nyama, malisho, kuku na nguruwe, Kosaafu za wanyama (Farm animal genetic resources): mbuzi na kondoo,magonjwa ya milipuko ya wanyama; magonjwa ya wanyama yanayoambukiza binadamu; wadudu na magonjwa wayaenezayo; chanjo na dawa; na utambuzi wa magonjwa (Diagnostics) zimeandaliwa.

(ii) Mifuko ya Utafiti na Maendeleo ya Kanda (Zonal Agricultural Research and Developmet and Extension Fund – ZARDEF) iliyoundwa katika kanda 7 za utafiti iliwezeshwa kugharamia miradi ya utafiti 26 kulingana na vipaumbele vya Kanda husika kwa kuzipatia jumla ya shilingi milioni 85.7 kila kanda.

(iii) Utafiti wa kujua sifa za kosaafu za mifugo ya asili umeanza. Jumla ya mbuzi 114 aina ya Newala, Pare white 64, Sonjo Red 39, Red Maasai 194 na Black Head Persian 212 na kuku aina ya Kishingo (40), Kinyavu (45), Msumbiji (50), Njachama (35) na Kuchi (37); na ng’ombe aina ya Ankole(25) na Ufipa (64) wanafanyiwa uchunguzi juu ya sifa zao ili kuzitumia kuboresha uzalishaji.

(iv) Matokeo ya awali yamebaini kuwa ng’ombe aina ya Ankole wameweza kuhimili na kuzalisha katika mazingira ya joto na mvua haba nje ya maeneo yao ya asili.

(v) Utafiti wa ng’ombe chotara 103 na mbuzi aina ya ‘Malya Blended Goats’ 117 kuhusu uhimili na uzalishaji wao katika mazingira ya mfugaji unaendelea.

(vi) Madume bora aina ya Mpwapwa 90 yalisambazwa katika wilaya za Iramba (40), Chunya (20),

Page 58: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

52

NA. ENEO LA UTEKELEZAJI UTEKELEZAJI Mpwapwa (14), Bahi (12) na Dodoma (Manispaa) (4). Uzao wa haya madume bora wameonyesha ukuaji wa takriban gramu 750 kwa siku ikilinganishwa na gramu 300 hadi 500 kwa ng’ombe wa asili. Aidha, kwa majike ya Mpwapwa yaliyosambazwa vijijini yameonyesha uwezo wa utoaji wa maziwa kutoka lita 6 hadi 10 kwa siku katika mazingira ya mfugaji.

(vii) Mbuzi 91 walisambazwa kwa wafugaji sawa na

asilimia 151.6 ya lengo la kusambaza mbuzi 60 kwa wafugaji katika mikoa ya Singida, Dodoma na Shinyanga. Mgawanyo wa mbuzi kwa wilaya ni kama ifuatavyo, Kishapu (majike 40 na madume 10), Mpwapwa (majike 27 na madume 4) Singida (madume 10). Uzalishaji wa maziwa wa uzao wa mbuzi aina ya Malya blended waliosambazwa vijijini umefikia lita 1.5 hadi 2 kwa siku ukilinganisha na chini ya lita 1 kwa mbuzi wa asili. Aidha, uzao wa mbuzi aina ya blended ulionyesha kuhimili mazingira halisi ya mfugaji.

(viii) Tathmini ya awali inaonyesha kuwa kuku wa asili

waliopewa vyakula vya ziada waliongeza uzito wa takriban gramu 500 zaidi ya wasiopewa vyakula hivyo wakiwa na umri wa wiki 24. Aidha, idadi ya mitago (Clutches) iliongezeka kutoka minne ya mayai 58 hadi minane ya mayai 112 kwa mwaka. Utafiti huu unaendelea.

• Kuandaa Miongozo ya Utafiti Kulingana na Mahitaji ya Mteja (Client Oriented Research and Development Management Approach -CORDEMA) na Mfuko wa Maendeleo ya Utafiti wa Kanda (ZARDEF).

(i) Jumla ya aina 80 za malisho zimehifadhiwa katika Benki ya Vinasaba (Gene Bank) ya kituo cha Mpwapwa. Aidha, jumla ya vinasaba 72 vya malisho mbalimbali vinaendelea kuainishwa na kutunzwa katika kituo cha Uyole.

(ii) Jumla ya kilo 2,800 za mbegu za nyasi na 576

za mikunde zilizalishwa. Aidha, kilo 1,454 za mbegu za nyasi na kilo 66 mbegu za mikunde ziliuzwa kwa wafugaji na wakulima.

• Kuimarisha Vituo vya Utafiti kwa kukarabati ofisi na nyumba za watumishi na za mifugo na kuvipatia vitendea kazi na vifaa

(i) Ukarabati wa nyumba 16 za watumishi katika vituo vya Mabuki, Kongwa, Tanga, West Kilimanjaro na Mpwapwa; majengo 2 ya ofisi, kumbi 2, nyumba 3 za mifugo, kibanio 1 na mfumo wa maji taka vimekarabatiwa.

Page 59: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

53

NA. ENEO LA UTEKELEZAJI UTEKELEZAJI mbalimbali Vituo vya Utafiti wa Mifugo.

(ii) Ujenzi wa jengo moja (1) la ofisi katika Kituo cha utafiti wa mifugo Naliendele, Kanda ya Kusini umeanza. Aidha, ujenzi wa mabanda mawili (2) ya mbuzi kwenye kituo hicho umekamilika.

(iii) Magari 10 na pikipiki 6 zilinunuliwa. Aidha, matrekta 5 na zana zake na mashine ya kukamulia maziwa 1 vitanunuliwa katika mwaka 2009/2010.

(i) Vituo vya Mpwapwa, West Kilimanjaro, Kongwa,

Uyole, Tanga, Mabuki na Naliendelea viliwezeshwa kwa kununuliwa vifaa vya ofisi, mawasiliano na maabara.

ii. Mafunzo

(ii) Mafunzo ya muda mfupi yamefanyika ya namna ya kuandaa maandiko na tathmini ya matokeo ya utafiti kwa watafiti wapya 27.

(iii) Ziara ya mafunzo kwa wataalamu wa mifugo 5 ilifanyika nchini India kwa lengo la kuwajengea uwezo wa namna ya kupanga na kuratibu shughuli za utafiti.

(iv) Miundombinu ya Vyuo 6 imekarabatiwa na vifaa vya mafunzo vimeimarishwa na kuongeza uwezo wa vyuo kuchukua jumla ya wanafunzi kutoka 750 hadi 1,200 kwa mwaka. Aidha, magari 3 na pikipiki 4 zimenunuliwa mwaka 2008/2009 na matrekta 5 na zana zake yatanunuliwa 2009/2010.

(v) Jumla ya wataalam 19 walipatiwa mafunzo ya Shahada ya Uzamili (14) na Uzamivu (5) wakiwemo watafiti wa mifugo 17 na wakufunzi 2.

ii. Huduma za Ugani Kuimarisha Kitengo cha Elimu kwa Wafugaji na Habari (Farmers Education and Publicity Unit - FEPU) na kutayarisha machapisho mbalimbali ya taaluma ya Mifugo

(i) Kitengo kimeimarishwa kwa kupatiwa mafunzo kwa wataalam na vitendea kazi likiwemo gari la sinema na vifaa vyake.

(ii) Kitabu cha Kanuni za Ufugaji Bora wa Mifugo kimeandaliwa.

(iii) Jumla ya nakala 13,200 za vijitabu aina sita, Vipeperushi 150,000 na Mabango 30,120 kuhusu ufugaji bora yalichapishwa na kusambazwa kwa wadau.

Page 60: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

54

NA. ENEO LA UTEKELEZAJI UTEKELEZAJI Uendelezaji wa Masoko na sekta binafsi

• Wizara kupitia mpango wa kuendeleza kilimo nchini imejenga na kukarabati minada 13 ya mifugo ikiwa ni pamoja na Lumecha (Songea), Kasesya (Sumbawanga), Mbuyuni (Chunya), Buhigwe (Kasulu), Nyamatara (Misungwi), Meserani (Monduli), Mhunze (Kishapu), Ipuli(Tabora), Pugu (DSM), Buzirayombo (Chato) na Igunga (Igunga).

• Wizara ilishiriki kuandaa Mkakati wa Kukuza mauzo

nje imeandaliwa chini ya uratibu wa Wizara ya Viwanda, Biashara na Masoko.

• Uboreshaji wa Miundo ya Jumla ya Kisera na Kisheria, Usimamizi na Uendelezaji wa Sekta Binafsi na Upatikanaji wa Masoko; (i) Kupitia Sera na kuandaa mikakati ya utekelezaji

Rasimu ya Mkakati wa Kutekeleza Sera ya Taifa ya Mifugo (2006) ilijadiliwa na wadau na iko katika hatua ya kukamilishwa.

2.

(ii) Kuandaa na Kufanya Marekebisho ya Sheria na Kanuni Zitakazoimarisha Sekta ya Mifugo

(i) Rasimu za kanuni ya utotoleshaji wa vifaranga za

Sheria ya Magonjwa ya Wanyama Na. 17 ya Mwaka 2003 zimeandaliwa na kuwasilishwa kwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali kwa mapitio.

(ii) Rasimu za kanuni 3 za kusimamia wakaguzi wa

mazao ya mifugo, watalaam wa maabara na wahimilishaji zinaendelea kuboreshwa na wadau.

(iii) Rasimu za Kanuni 4 za Sheria ya Nyama Na. 10 ya

mwaka 2006 zimekamilika. (iv) Rasimu za Mapendekezo ya Kutunga Sheria za

Utambuzi, Usajili na Ufuatiliaji wa Mifugo (Livestock Identification, Registration and Traceability Act), Maeneo ya Malisho na Vyakula vya Mifugo (The Grazing Land and Animal Feed Resources), Sheria ya kuanzisha Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Mifugo - Mpwapwa(The National Livestock Research Institute Act), Sheria ya kuanzisha Maabara Kuu ya Mifugo (The Central Veterinary Laboratory Act) na sheria ya Uzalishaji wa Mbari Bora za Wanyama (Animal Breeding Act) zipo katika hatua mbalimbali za utekelezaji.

Page 61: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

55

NA. ENEO LA UTEKELEZAJI UTEKELEZAJI Uboreshaji wa ukusanyaji na usambazaji wa taarifa

(i) Wizara kwa kushirikiana na Wizara ya Kilimo, Chakula na Ushirika na Ofisi ya Taifa ya Takwimu (National Bureau of Statistics) imeshiriki katika zoezi la sensa ya mifugo kwa njia ya sampuli na wizara imechangia shilingi milioni 400.

(ii) Takwimu muhimu za sekta zimeendelea

kukusanywa, kuchambuliwa na kuhifadhiwa. 3 Uhakika wa upatikanaji

wa chakula (i) Kuimarisha shughuli za Uhimilishaji

• Kununua vifaa vya maabara vya NAIC Usa river na kukarabati mabanda ya madume.

• Kukarabati majengo kwa ajili ya kuanzisha vituo vitatu (3) vya kanda vya uhimilishaji vya Ziwa (Mwanza), Kati (Dodoma) na ya Mashariki (Kibaha).

(ii) Kuimarisha Mashamba ya Mifugo ya Wizara

• Mashamba 5 na kituo cha NAIC Usa river vimeimarishwa kwa kukarabati miundombinu ya shamba, kununua vitendea kazi na ng’ombe wazazi 320.

(iii) Udhibiti wa Magonjwa ya Mifugo • Kati ya mwaka 2005 – 2009 jumla ya dozi

milioni 5.7 za chanjo ya Homa ya Mapafu ya ng’ombe yenye thamani ya Tsh. milioni 775 zilinunuliwa. Ugonjwa huu umepungua kwa kiasi kikubwa zaidi ya asilimia 98 katika mikoa ya Nyanda za Juu Kusini

• Mikakati ya kudhibiti magonjwa ya miguu na midomo; homa ya mapafu ya ng’ombe; mbung’o na ndorobo imetayarishwa na imeanza kutekelezwa.

(iv) Uimarishaji wa Maabara Kuu ya Mifugo • Uwezo wa kuchunguza magonjwa ya milipuko

yakiwemo Mafua Makali ya ndege, Mafua ya nguruwe na magonjwa ya kuambukiza binadamu yakiwemo homa ya Bonde la Ufa na ugonjwa wa kutupa mimba umeimarishwa kwa kununua vifaa mbalimbali.

• Uzalishaji wa chanjo ya mdondo, kimeta, chambavu, na ya kutupa mimba umeboreshwa. Jumla ya dozi milioni 45 za chanjo ya mdondo zilizalishwa na

Page 62: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

56

NA. ENEO LA UTEKELEZAJI UTEKELEZAJI kusambazwa. Vifo vya kuku vimepungua kutoka asilimia 95 hadi 4 kwenye maeneo wanayotumia chanjo hii.

• Uanzishaji wa maabara ya utafiti na kutengeneza chanjo Kibaha umeanza kwa ujenzi wa miundombinu.

4 Uratibu, Ufuatiliaji na Tathmini

(i) Kitengo cha Ufuatiliaji na Tathmini (M & E) cha Wizara kimeimarishwa kwa kupewa vitendea kazi. Aidha, mfumo wa M&E wa Wizara umeandaliwa na mafunzo yametolewa kwa watumiaji 35.

(ii) Viashiria kwa ajili ya kupima utekelezaji wa sekta ya mifugo vimeandaliwa

(iii) Kwa kutumia mfumo wa M&E, taarifa mbalimbali za utekelezaji wa Mpango Kazi wa Wizara zimeandaliwa.

5.5 Utekelezaji wa ASDP katika Ngazi ya Halmashauri

Serikali za Mitaa zimepewa jukumu la kutekeleza kazi za ASDP chini ya uangalizi wa Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM-TAMISEMI). Katika kipindi cha miaka mitatu Serikali Kuu ilitenga jumla ya shilingi 119,343,825,352.00 kama ruzuku kwa Halmashauri kwa ajili ya utekelezaji wa miradi ya ASDP. Mgawanyo wa ruzuku hiyo ulikuwa kama ifuatavyo:

• Ruzuku ya uwekezaji (DADG) ilikuwa Shilingi 60,883,517,000 • Ruzuku ya kujenga uwezo (CBG) ilikuwa Shilingi 38,544,035,000 • Ruzuku ya huduma za ugani (EBG) ilikuwa Shilingi 19,916,273,352

Mchanganuo wa ruzuku hiyo kwa kila mwaka umeoneshwa katika Jedwali Na. 18

Page 63: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

Jedwali Na. 18: Ruzuku ya ASDP iliyotolewa na Serikali Kuu kutekeleza miradi ya sekta ya mifugo ngazi ya Halmashauri kati ya mwaka 2006/2007 hadi 2008/2009.

Aidha, Jedwali Na. 19 linaonyesha utekelezaji wa miradi ya ASDP katika ngazi ya Halmashauri ambayo umejihusisha katika ujenzi wa miundombinu mbalimbali ikiwemo majosho, malambo, machinjio, ununuzi wa mifugo na masoko ya mifugo pamoja na uboreshaji mifugo na udhibiti wa magonjwa ya mifugo. Jedwali Na. 19: Utekelezaji wa miradi ya ASDP ngazi ya Halmashauri 2006/2007 hadi 2008/2009

NA. ENEO LA UTEKELEZAJI UTEKELEZAJI

1 Miundombinu ya mifugo

(i) Miundombinu iliyojengwa ni kama ifuatavyo: • majosho 113 • Vituo vya afya ya mifugo 11 • vibanio vya ng’ombe 27 • Malambo 147 • masoko ya mifugo 81 • Vituo vitatu vya kunenepeshea mifugo • Vituo 13 vya kukusanyia maziwa • machinjio ndogo (slaughter slabs) 20

57

Page 64: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

58

NA. ENEO LA UTEKELEZAJI UTEKELEZAJI

• Machinjio za kati (slaughter house) 74 • Miundombinu ya kupakilia mifugo (loading

rump) 12 • Mabanda ya mifugo (animal sheds) 151 • Ili kurahisisha usafirishaji wa mifugo na mazao

mengine vijijini, jumla ya kilomita za barabara 586.8 na madaraja 64 yalijengwa.

(ii) Miundombinu iliyokarabaitiwa ni kama ifuatavyo:

• Majosho 192 yaliyokarabatiwa. • Vituo vya afya ya mifugo 25 • Malambo 48 • masoko ya mifugo 6 • Machinjio za kati (slaughter house) 29

2 Uboreshaji wa kosaafu za mifugo

(i) Mitamba bora 665 na madume bora ya ng’ombe 882 yalisambazwa.

(ii) Mbuzi bora 1231 na kondoo bora mmoja walisambazwa

(iii) Jumla ya vijogoo 8,443 vilisambazwa. (iv) Vifaranga wa samaki 27,062 walisambazwa (v) Nguruwe bora 3,205 walisambazwa (vi) Mitungi 10 ya kuhifadhia hewa ya Nitrojeni

ilinunuliwa. 3 Uzuiaji wa magonjwa ya

mifugo Jumla ya ng’ombe 1,723,892, mbuzi 202,262, kuku 1,862,538 na mbwa 36,956 walichanjwa dhidi ya magonjwa mbalmbali mwaka 2007/08. Aidha, jumla ya mifugo 2,927,697 walichanjwa katika mwaka 2008/09

4 Kujenga uwezo wa wafugaji

(i) Jumla ya wafugaji 58,112 walipata mafunzo mbalimbali ya ufugaji bora.

(ii) Vikundi 2670 vya wafugaji vilianzishwa na kupewa mafunzo jinsi kuendesha, kutengeneza katiba na kutunza kumbukumbu za kazi za vikundi.

(iii) Jumla ya SACCOS 3,723 zilipata mafunzo. (iv) Vituo vya rasilimali za kilimo/mifugo Kata (Ward

agricultural resource centres) 33 vilijengwa. (v) Mashamba darasa 7,305 yalitumika kutolea

mafunzo (vi) Mashamba ya mfano (demonstration plots) 584

yalianzishwa. (vii) Wafugaji/wakulima 25,295 waliwezeshwa

kushiriki maonesho ya Nane Nane.

Page 65: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

59

NA. ENEO LA UTEKELEZAJI UTEKELEZAJI

Kujenga uwezo na mazingira mazuri ya kazi kwa Maafisa Ugani

(a) Kujenga uwezo wa

Maafisa Ugani

(i) Maofisa Ugani 84,068 walipata mafunzo mbalimbali ya muda mfupi kwa nyakati mbalimbali.

(ii) Maofisa Ugani 1,216 walipata mafunzo ngazi ya

Diploma, 1,641 walipata mafunzo ya Shahada na 58 walipata mafunzo ngazi ya Shahada ya Uzamili.

(iii) Maafisa Ugani 156 walipata mafunzo kuwa

Wawezeshaji wa Timu ya Wilaya (DFT). (iv) Maafisa Ugani 1,253 walipata mafunzo kuwa

Wawezeshaji wa Timu ya Kata (WFT).

5

(b) Kujenga Mazingira mazuri ya kazi kwa Maafisa Ugani

(i) Ili kurahisisha utendaji wa kazi za wagani vifaa vifuatavyo vilinunuliwa: Laptops 14, Desktops 170, Mashine za kudurufu 38, Printers 23, Scanners sita, Kamera 24, Mashine za nukushi mbili, Binding machine moja, GPS maps 87, pH meters 42, TV set/video 11, Projectors 12, Samani 101, Jozi za Gumboot 218, Makoti ya mvua 11,156, Life jackets 27,Darubini moja, jenereta moja, Vipima Mvua vitano, Vinyunyizi vya dawa (hand sprayers) 45.

(ii) Nyumba 22 za watumishi zilijengwa na sita

zilikarabatiwa. Aidha, Ofisi za watumishi 2 zilijengwa na 32 zilikarabatiwa.

(iii) Ili kurahisisha usafiri wa maafisa ugani, magari

39, pikipiki 794 na baiskeli 1,405 zilinunuliwa.

Chanzo: Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Changamoto:

(i) Uzingatiaji wa viwango vya ujenzi wa miundombinu ya mifugo (Miongozo na matumizi ya fedha);

(ii) Uelewa mpana katika kuibua miradi shirikishi; (iii) Ushiriki wa wafugaji katika uibuaji na uendelezaji wa miradi ya mifugo;

Page 66: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

60

SURA YA SITA

6.0 UTAFITI WA MIFUGO

Utafiti wa mifugo Tanzania unafanyika katika taasisi/vituo vifuatavyo: Maabara Kuu ya Taifa ya Mifugo, Temeke (CVL) inayojumuisha Taasisi ya Utafiti wa Mbung’o na Nagana (TTRI) Tanga kwa upande wa magonjwa ya mifugo. Aidha utafiti wa uzalishaji wa mifugo unaendelea katika Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Mifugo, Mpwapwa inayosimamia pia vituo vya Uyole, Mbeya; Naliendele-Mtwara, Tanga, West Kilimanjaro, Mabuki, Mwanza na Kituo cha Utafiti wa Malisho, Kongwa. Utafiti wa mifugo umejikita katika maeneo makuu mawili ambayo ni utafiti wa magonjwa ya mifugo na uzalishaji wa mifugo. Maeneo haya yanatekelezwa kulingana na Agenda ya Utafiti (Livestock Research Agenda) ambayo ina mipango kuhusu utafiti wa magonjwa ya milipuko ya wanyama; magonjwa ya wanyama yanayoambukiza binadamu; wadudu na magonjwa wayaenezayo; chanjo na dawa; utambuzi wa magonjwa (diagnostics);maziwa; nyama; malisho; kuku na nguruwe;kosaafu za wanyama (farm animal genetic resources); na mbuzi na kondoo.

6.1 Utafiti wa Magonjwa ya Mifugo

Utafiti wa magonjwa ya mifugo umejikita zaidi katika magonjwa ya mlipuko na yasiyo ya mlipuko na kutoa ushauri jinsi ya kuyadhibiti au kuzuia yasitokee. Utafiti wa magonjwa ya mifugo umekuwa ukifanywa na CVL kwa kushirikiana na Vituo vya Uchunguzi wa Magonjwa vya Kanda (VICs), Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA) na Taasisi ya Utafiti wa Wanyamapori Tanzania (TAWIRI). Majukumu makuu ya Utafiti yanajumuisha: • Kufanya utafiti na utambuzi wa magonjwa ya mifugo; • Kubuni na Kutengeneza chanjo dhidi ya magonjwa mbalimbali ya mifugo; • Kufanya majaribio ili kuthibitisha ubora wa dawa na chanjo za mifugo kabla ya

kuruhusiwa kutumika nchini; • Kutathmini ubora wa dawa za josho na kupima nguvu ya dawa kwenye josho; • Kuchunguza ubora na usalama wa mazao ya mifugo; • Kutathmini ubora wa vyakula vya mifugo; • Kutoa mafunzo ya Stashahada ya Afya ya Mifugo na Ufundi Sanifu wa Maabara ya

Mifugo; • Kutoa ushauri wa ufugaji bora; na • Kutoa huduma za Maabara ya Rufaa.

6.1.1 Utafiti wa Magonjwa Yaenezwayo na Kupe

Matokeo ya awali ya utafiti wa magonjwa yaenezwayo na kupe uliofanyika katika wilaya ya Kibaha yameonyesha kwamba Ndigana kali na Ndigana baridi ndio magonjwa yalioenea zaidi. Udhibiti wa ugonjwa huu kwa chanjo ya kuambukiza na kutibu (Infect and treat method – ITM) ulipunguza hasara kwa kiasi cha asilimia 40 mpaka 68 katika mifumo ya ufugaji tofauti. Vile vile, kwa kutumia chanjo hii, mfugaji akiwa makini anaweza kupunguza matumizi ya dawa za kuua kupe kwa kiasi cha asilimia 75 katika ng’ombe wanaofugwa

Page 67: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

ndani muda wote (Zero Grazing); au kwa kiasi cha asilimia 50 kwa ng’ombe wanaochungwa nje. Utafiti unapanuliwa katika wilaya nyingine zaidi zenye mifumo tofauti ya ufugaji wa ngo’mbe ili wafugaji wengi zaidi weweze kunufaika na ushauri utakaotolewa.

a) Utambuzi na Utafiti wa Magonjwa ya Protozoa

Utafiti uliofanyika mwaka 2005 katika mashamba ya mifugo yaliyopo katika mikoa ya Pwani na Tanga ulibaini kuwa:

• Mashamba ambayo yamekuwa yakitumia sana dawa za kutibu na kukinga ndorobo hasa kwa ranchi za Mkwaja, katika wilaya ya Pangani na wilaya ya Bagamoyo yameonyesha usugu zaidi wa dawa hizo kuliko wilaya za Kinondoni na Ilala, katika mkoa wa Dar es Salaam ambapo dawa hazitumiki sana.

• Dawa hizi za kutibu ndorobo zimekuwa zikitumika bila mpangilio maalum wa kuzingatia dozi na muda unaotakiwa na matokeo yake ndorobo wamekuwa sugu kwa dawa zaidi ya moja katika maeneo ya Mkwaja, Sakura na Mivumoni katika wilaya ya Pangani, mkoa wa Tanga na wilaya ya Bagamoyo mkoa wa Pwani.

6.1.2 Utafiti wa Madawa ya Asili kwa ajili ya Tiba na Kuzuia Magonjwa ya Mifugo

Maabara Kuu ya Mifugo ikishirikiana na shirika lisilo la Kiserikali la Uingereza liitwalo VETAID wamefanya tathmini katika maabara kwa dawa aina mbili za mimea ya asili kutoka wilaya ya Simanjiro zinazojulikana kwa majina ya asili ya jamii ya Wamasai kama Oltemwai (Commiphora swynertonii) na Alaisikirai (Heliotropium steudneri). Mimea hiyo ilisharipotiwa kutumika kutibu magonjwa ya wanyama katika wilaya ya Simanjiro. Utafiti umeonyesha kuwa utomvu wa Oltemwai kuwa na uwezo wa kuua buu wa kupe kati ya asilimia 15 hadi 100 kwa kipindi cha masaa 24. Uwezo wa mmea huu kudhibiti kupe na viroboto kama utafanyiwa utafiti wa kutosha unaweza kuwa wa manufaa hasa katika uzalishaji- hai wa mifugo (Organic Livestock Farming). Maabara inaendelea kufanya utafiti wa kina kuhusu mimea hiyo.

61Mmea wa Oltemwai katika mazingira ya asili Mche wa Oltemwai uliooteshwa CVL

Page 68: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

62

Katika kushirikisha sekta binafsi, CVL inashirikiana na kampuni ya FarmBase kutengeneza Shampoo 10% EC kwa ajili ya kutumia wanyama wakubwa na 5% EC kwa ajili ya wanyama wadogo kutokana na mmea wa Oltemwai. Utafiti uliofanywa kwa ushirikiano na Taasisi ya Madawa ya Asili ya Muhimbili mmea wa Alaisikirai haukuweza kuonyesha uwezo wowote wa kuua bakteria. CVL pia imeanzisha bustani kwa ajili ya utafiti wa dawa za asili ambazo zinakusanywa kutoka sehemu mbalimbali za Tanzania. Baadhi ya mimea ambayo imepandwa kwenye bustani hiyo ilichukuliwa kutoka Manyara na Morogoro ni kama inavyoonyeshwa katika Jedwali Na. 20.

Jedwali Na. 20: Orodha ya mimea asili ya dawa katika bustani iliyopo CVL

Jina la asili Jina la kisayansi Jina la familia 1.Kibembeni (Kiluguru) Adenoplusia uluguruensis Loganiaceae 2.Kidugutusungu (Kiluguru) Vernonia lasiopus Asteraceae 3.Hunduhundu Cissus oliveri Vitaceae 4.Mkundekunde Senna singuena Fabaceae 5.Fungamelele Solanum sp Solanaceae 6.Tumbaku (Kiswahili) Nicotiana tabacum Solanaceae 7.Mmeremele Utambuzi unaendelea Asclepiadaceae 8.Utupa (Kiswahili) Tephrosia vogelii Pappilionaceae 9. Oltemwai (Kimasai) Commiphora swynertonii Burseraceae

Chanzo: Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi

6.1.3 Utafiti wa Malisho kwa Kutumia Ujuzi wa Asili

Ni vema kubainisha pia kuwa wafugaji wanao ujuzi mwingi unaotokana na uelewa wa mazingira na raslimali zilizopo katika maeneo yao ikiwa ni pamoja na mifugo yenyewe, hali ya hewa, malisho, udongo na madawa ya asili (yatokanayo na miti, mizizi, matunda). Kwa sababu hiyo, utafiti unaohusiana na utunzaji na uendelezaji wa mifugo kwa kuzingatia ujuzi asilia wa wafugaji pia umekuwa ukifanyika. Wafugaji wamekuwa wakibuni taratibu mbalimbali za utumiaji wa rasilimali malisho kulishia mifugo yao kama vile utaratibu wa jadi ya Wagogo, Wamasaai na Wasukuma wa kuhifadhi malisho kwa ajili ya kiangazi (““Milaga” ; Olopololi/ Alalili” na “Ngitiri ””). Utafiti umethibitisha kuwa malisho hekta moja inaweza kuzalisha kati ya tani 2.5 na 3.8 za malisho katika hali ya ukavu (on dry matter basis). 6.1.4 Usalama na Ubora wa Maziwa.

Utafiti wa awali wa usalama na ubora wa maziwa uliofanyika mkoa wa Dar-Es-Salaam kwa wafanyabiashara wadogo wa maziwa umeonyesha kuwa maziwa hayo hayana ubora na usalama wa kutosha. Asilimia 11 ya sampuli zilizochunguzwa zilionesha kuwa na mabaki ya dawa aina ya antibiotic na asilimia 81.1 zilikuwa na bakteria aina ya Staphylococcus. CVL kwa kushirikiana na Chuo kikuu cha Vienna, Austria imebuni njia rahisi kwa ajili ya kupima ubora na usalama wa maziwa. Njia hizo ni pamoja na ile ya kupima idadi ya bakteria katika

Page 69: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

63

maziwa, kupima antibiotic, kupima kama maziwa yamechemshwa, na ile ya kupima kama maziwa yamekaa muda mrefu. 6.1.5 Tathmini ya ubora wa vyakula vya mifugo

Utafiti uliofanyika mikoa ya Dar es salaam , Tanga, Pwani, na Morogoro mwaka 2008 kuhusu ubora wa vyakula vya mifugo umeonyesha kuwa watengenezaji asilimia 50 tu ndio wanaohakiki vyakula vyao kwenye maabara na waliobakia hutegemea zaidi mrejesho kutoka kwa wafugaji. Vyakula vya kuku vilivyohakikiwa katika utafiti huu vingi vilionekana kuwa na viwango vidogo vya nishati na virutubisho vingine hali ambayo inasababisha wafugaji kununua vyakula visivyofikia kiwango kinachokubalika. 6.1.6 Utengenezaji na usambazaji wa chanjo mbalimbali za mifugo

Chanjo mbalimbali zimefanyiwa utafiti na kuzalishwa kwa ajili ya matumizi ikiwa ni pamoja na chanjo stahimilivu joto ya Mdondo (I-2), chanjo ya kuzuia kimeta, Chanjo ya kuzuia Chambavu na chanjo ya kuzuia wanyama kutupa mimba (S.19). 6.1.6.1 Chanjo ya kuzuia ugonjwa wa mdondo

Ugonjwa wa mdondo (Newcastle disease) ni ugonjwa wa hatari zaidi kwa kuku kwani huweza kusababisha vifo hadi kufikia asilimia 100. Tanzania ina wastani wa kuku millioni 56 kati ya hao milioni 20 ni kuku wa kigeni. Chanjo za kuzuia mdondo zilizopo katika soko ni nzuri zaidi katika kudhibiti ugonjwa huo katika ufugaji wa kuku wa kibiashara/kigeni kutokana na kufungashwa katika dozi kubwa na pia huhitaji hifadhi ya jokofu. Mdondo hukwamisha zaidi uzalishaji na maendeleo ya kuku vijijini, ambako chanjo za kawaida zinazohitaji hifadhi ya jokofu hazifai. Utafiti wa chanjo ya I-2 katika kuku wa kienyeji Tanzania ulianza mwaka 1996. Kufikia mwaka 2001 matokeo yalikuwa mazuri. Chanjo ya I-2 ni rahisi kuhifadhi na kutumia. Inahifadhiwa katika barafu (-20°C) kwa miaka mitatu au katika jokofu (4-8°C) kwa miezi sita, au siku thelathini katika hali ya kawaida (20°C – 30°C), hasa sehemu yenye ubaridi na giza, kama karibu na chungu cha maji ya kunywa. Hivyo chanjo hii ni stahimilifu joto ikilinganishwa na chanjo nyingine za mdondo na inafaa sana kutumika vijijini hususan maeneo ambako hakuna majokofu. Chanjo ya I-2 inazalishwa kwa wingi zaidi kutokana na mahitaji kuwa makubwa, hasa kwa kuwa chanjo imeonyesha kupunguza vifo vya kuku kutokana na ugonjwa wa mdondo kwa 90% katika maeneo ambayo imetumika. Katika mwaka 2009/2010 jumla ya dozi 100,000,000 za chanjo hiyo zitazalishwa na kusambazwa. 6.1.6.2 Kimeta na Chambavu

Utafiti ulilenga kuboresha chanjo ya Kimeta na mategemeo ni kuzalisha na kusambaza dozi 500,000 kwa mwaka. Kiwango cha uzalishaji na usambazaji kimeongezeka kutoka dozi 125,000 mwaka 2001 hadi kufikia dozi 400,000 mwaka 2008. Utafiti unaendelea kufanywa ili kuiboresha chanjo hiyo iweze kushindana na chanjo kutoka nje. Utafiti wa kuboresha chanjo ya Chambavu unaendelea na lengo ni kuzalisha dozi 250,000 kwa mwaka.

Page 70: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

64

6.1.7 Utafiti wa Mbung’o na Ndorobo (TTRI)- TANGA

Taasisi imeendelea na uzalishaji wa aina mbalimbali za mbung’o kwa ajili ya kampeni za kutokomeza ugonjwa wa nagana. Aina ya mbung’o wanaofanyiwa utafiti ni pamoja na Glossina austeni, Glossina brevipalpis, Glossina pallidipes na Glossina morsitans centralis. Matumizi ya madume tasa katika kuzuia mbung’o kuzaliana yameonyesha mafanikio kwa kutokomeza ndorobo katika kisiwa cha Zanzibar. Utaalam wa kutumia madume tasa kwa sasa unaendelea katika mbuga za Tarangire na Serengeti. 6.2 Utafiti wa Uzalishaji Mifugo (Animal Production Research) 6.2.1 Utafiti wa Ng'ombe aina ya Mpwapwa na Kosaafu za Ng’ombe wa Asili (a) Ng’ombe aina ya Mpwapwa Utafiti umeonyesha kuwa, katika mazingira ya ufugaji vijijini, ng’ombe aina ya Mpwapwa huzaliwa na uzito mkubwa kuliko ule wa ng’ombe wa asili. Aidha, ng’ombe wa mpwapwa huanza kupanda (madume) na kupandwa (majike) katika umri mdogo ikilinganishwa na ng’ombe wa asili (Jedwali Na. 21). Pia ng’ombe hutoa maziwa kwa muda mrefu ikilinganishwa na wale wa asili. Utafiti wa kuzalisha ng’ombe aina ya Mpwapwa ambao ulianza mwaka 1930 na ng’ombe hao kuwa tayari kwa kuzalishwa mwaka 1958. Ng’ombe hawa ni chotara ambao wana uwezo wa kutoa lita 6 hadi 8 za maziwa kwa siku na kilo 230 za nyama kwa maksai mwenye umri chini ya miaka 4. Kasi ya uendelezaji na uzalishaji wa ng’ombe aina ya Mpwapwa ulianza upya mwaka 2000 baada ya idadi ya ng’ombe hao kupungua kwa kiasi kikubwa na Serikali kuona umuhimu wa kuongeza idadi kufuatana na mahitaji makubwa ya aina hii ya ng’ombe. Pamoja na jitihada za kuzalisha ng’ombe aina ya Mpwapwa, juhudi zinaendelea kufanyika ili kubaini kosaafu nyingine za mifugo ya asili ili kuendeleza na kuhifadhi sifa bora zilizopo katika mifugo hii.

Jedwali Na. 21: Takwimu kuhusu sifa uzalishaji na uzazi wa ng’ombe aina ya Mpwapwa, n’gombe wa asili (TSZ*) pamoja na chotara wa ng’ombe hawa kutoka vijiji vya Mtumba na Chipogoro, Desemba 2006

Aina ya ng’ombe Sifa Mpwapwa Asili (TSZ) Chotara Uzito wa kuzaliwa, kg 20 - 26 10 – 15 15 – 20Uzito anapoacha kunyonya, kg 50 - 60 20 – 35 35 - 42Umri wa kuanza kupanda (dume), miaka 2 3 – 4 2 - 3Umri wa kuanza kupandwa (jike), miaka 2 3 – 4 2 – 3Muda kati ya ndama na ndama mwingine, miezi 12 – 18 19 – 32 15 – 18Kiasi cha maziwa (kwa siku), lita 4 – 6 1 – 2 3 – 4Wastani wa muda wa kutoa maziwa, siku 283 239 250

(b) Ng’ombe wa Asili

Page 71: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

Kati ya ng’ombe wote nchini, asilimia 97 ni wa asili na asilimia 3 ni wa kisasa na chotara. Tathimini ya ng’ombe wa asili imeonesha kuwapo kwa aina mbalimbali kama; Ufipa, Iringa red, Ankole, Mang’ati, Singida white na Gogo.

(i) Ufipa

Ng’ombe aina ya Ufipa

Kulingana na taarifa za utafiti wapo ng’ombe aina ya Ufipa wapatao 500,000 na hupatikana zaidi katika Wilaya za Sumbawanga na Nkasi. Ng’ombe wa miaka minne hufikia wastani wa kilo 300 hadi 400. Wanyama hawa hutumika kama wanyamakazi hivyo madume yenye nguvu huhasiwa mapema. Hali hii inahatarisha uendelezaji wa aina hii ya ng’ombe ambao ni wakubwa ukilinganisha na aina nyingine kama vile Sukuma na Tarime ambazo zimeletwa na wafugaji toka Mikoa ya Kanda ya Ziwa. Mwelekeo ni kuendelea na tathmini kwa kushirikiana na wafugaji wenyewe kwa lengo la kuwaendeleza na kuwahifadhi. Kazi hii imeanza katika Kituo cha Utafiti wa Mifugo cha Uyole, Mbeya.

(ii) Iringa Red Ng’ombe hawa hupatikana kwa wingi hasa katika Mkoa wa Iringa hasa Wilaya ya Kilolo na Iringa Vijijini. Kwa kiwango kikubwa wengi wa ng’ombe hawa ni wekundu ambapo manyoya, macho, pua, pembe na kwato za ng’ombe huwa ni vyekundu. Utafiti umeonyesha kuwa, wenyeji wa Iringa hupenda kufuga aina hii ya ng’ombe kwa sababu ya nyama yake na kuwatumia kama wanyama kazi. Matumizi ya ng’ombe hawa kama wanyama kwa kazi za kilimo na kusomba mizigo, yamesababisha uhaba wa madume kwa ajili ya uzalishaji.

65Ng’ombe aina ya Iringa Red

Page 72: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

(ii) Ankole Ng’ombe aina ya Ankole hupatikana zaidi katika maeneo ya Maziwa Makuu ya Victoria na Tanganyika katika nchi za Tanzania, Uganda, Rwanda na burundi. Nchini Tanzania ng’ombe hawa hupatikana Mkoani Kagera, Kigoma na Mwanza. Umbile la wazi linalo watofautisha na ng’ombe wengine in ukubwa wa pembe. Aidha walio wengi ni wekundu licha kwamba wapo wenye rangi mchanganyiko kutokana na kuchanganyika na aina zingine. Tathmini ya ng’ombe aina ya Ankole imeanza katika Kituo cha Utafiti wa Mifugo, Mabuki, Wilayani Misungwi, Mkoani Mwanza. Ng’ombe hawa hutoa maziwa kiasi cha takribani lita 4 hadi 6 kwa siku kulinganisha na alivyotunzwa na huweza kufikia uzito wa takribani kilo 400 katika umri wa miaka 3.

(iii) Mang’ati Utafiti umeonyesha kuwa ng’ombe aina ya Mang’ati ni wenye pembe ndogo na wengine hawana pembe kabisa. Sifa hii inaweza kutumika kuzalisha ng’ombe ambao hawana pembe na hivyo kuondoa hatari ya kuwahudumia na kupunguza usumbufu wa kukata pembe pale ambapo hazihitajiki.

Ng’ombe aina ya Mang’ati

Aina nyingine za ng’ombe wa asili ambazo tathmini inafanyika ni pamoja na Singida White na Mkalama wanaopatikana Mkoani Singida, Maasai Black, Mkoani Arusha na Manyara na aina ya Mbulu Mkoani Manyara. 6.2.2 Utafiti wa Mbuzi aina ya Malya na Kosaafu za Mbuzi za Kondoo wa

Asili

• Mbuzi aina ya Malya (Blended goat) Utafiti ulifanywa kwa mbuzi wanaotoa nyama na maziwa kwa wingi ili kuwawezesha wananchi wanaoishi mahali penye ng’ombe wachache kupata maziwa pamoja na nyama. Hadi kufikia mwanzoni mwa miaka ya 1980 mbuzi aina ya Malya au Blended goats wenye uwezo wa kutoa wastani wa lita 1 hadi 3 kwa siku waliweza kuzalishwa. Hadi kufikia mwezi Juni 2008 jumla ya mbuzi 727 wamesambazwa katika mikoa mbalimbali ikiwemo Dodoma, Singida na Manyara kwa ajili ya utafiti. Tathimini imeonyesha kuwa mbuzi hawa wanakua kwa kiwango cha gramu 41 hadi 80 kwa siku ukilinganisha na gramu 26 hadi 40 za mbuzi wa asili. Aidha, mbuzi hawa hufikia takribani kilo 25 katika umri wa mwaka mmoja na nusu.

66

Page 73: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

• Mbuzi wa Asili Mbuzi wa asili wako katika koo mbalimbali kulingana na sehemu wanakopatikana. Mbuzi aina ya Newala Hadi sasa tathmini inaendelea kwa Mbuzi aina ya Newala katika kituo cha Utafiti wa Mifugo cha Naliendele Mtwara. Mbuzi hawa wenye mchanganyiko wa rangi nyeusi na nyekundu wanaopatiakana Mkoani Mtwara na Lindi. Sifa yao kubwa ni kuzaa mapacha. Hata hivyo, utafiti umeonyesha kuwa ukiwatoa nje ya maeneo yao ya asili uwezo wa kuzaa mapacha hupotea. Utafiti unaendelea ili kutambua ni mazingira yapi au malisho gani huendana na aina ya mbuzi hawa vinavyodumisha tabia hii ya kuzaa mapacha ili vikithibitishwa vijaribiwe maeneo mengine ya nchi.

Mbuzi aina ya Newala

Mbuzi aina ya Ujiji Mbuzi hawa wanapatikana Mkoani Kigoma na sifa yao kubwa ni kuzaa mapacha. Kama Newala, nao ukiwatoa nje ya Kigoma uwezo wa kuzaa mapacha unapotea. Mbuzi aina ya Upare Wengi wa mbuzi hawa ni weupe na hupatikana zaidi Wilayani Same. Tathmini inaendelea katika Kituo cha Utafiti wa Mifugo, West Kilimanjaro ili kufahamu sifa za kuzaa na kukua.

Mbuzi aina ya Upare

67

Page 74: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

6.2.3 Utafiti wa Kuku wa Asili Utafiti wa kuku wa asili unaofanywa ni pamoja na kuainisha kosaafu za kuku pamoja na mifumo mbalimbali ya utunzaji ili kuongeza tija. Aina hizo ni Kishingo, Sasamala, Kuchi na Kikwekwe. Utafiti uliofanyika katika vijiji kadhaa vya wilaya za Kongwa na Mpwapwa ulibainisha kuwa kolowa wanapopewa chakula cha ziada baada ya kujitafutia chakula wao wenyewe; utagaji wa mayai unaongezeka kutoka wastani wa mayai 10 hadi kufikia kati ya mayai 18 hadi 25 kwa mtago. Aidha, ukuaji wa vifaranga unaongezeka kutoka wastani wa gramu kati ya 3 na 5 hadi kufikia wastani wa gramu 8 na 10 kwa siku. Kiwango hiki cha ukuaji kinaonyesha kuku wa asili wanaweza kufikia kati ya kilo 1½ hadi kilo 2 kwa kipindi cha miezi 6 tu. Aidha, utafiti umebaini kuwa kuachisha / kutenganisha makinda / vifaranga wasilelewe na mama zao kunaongeza idadi ya mayai yanayotagwa na kuku wazazi. Kuachisha vifaranga ndani ya wiki 4 kumeongeza idadi ya mitago kutoka wastani wa mitago 2 hadi 3 kwa kolowa kwa mwaka hadi wastani wa mitago 6 hadi 8 kwa kolowa kwa mwaka na hivyo kuongeza idadi ya mayai kutoka wastani wa mayai 40-60 hadi 90-120 kwa kolowa kwa mwaka.

Kuku aina ya Kuchi Jogoo wa Asili

Kuku aina ya kuchi wanapatikana katika maeneo ya Nzega, Shinyanga, Tabora na ukanda wa Pwani hasa Mikoa ya Lindi, Pwani-Bagamoyo, na Tanga pamoja na Visiwa vya Unguja na Pemba. Aidha, utafiti umebaini kuwepo kwa aina tano za Kuchi ambao ni mwambo, kasuku, kufuli, mdomo mfupi na mpana, warefu na wenye na shingo ndefu. Aidha, utafiti umebaini kuwa jogoo wa kuchi huweza kufikia takribani kilo 4 hadi 8 za nyama ukilinganisha na kilo 1 hadi 3 kwa kuku wa kawaida. Hata hivyo, kuchi hutaga kati ya mayai 5 hadi 7 tu kwa mtago ukilinganisha na mayai 10 hadi 15 kwa kuku wa aina nyingine za asili.

6.3 Utafiti wa Uendelezaji wa Malisho Utafiti wa malisho bora aina za nyasi, mikunde na miti-malisho unafanyika katika katika taasisi mbalimbali nchini. Nyasi aina ya Nyakachimbu (Kigogo) au Cenchrus ciliaris na mengineyo kama Chloris gayana zimethibitishwa kuwa zinastahimili hali ya ukame. Kwa

68

Page 75: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

69

sasa aina 80 za malisho zinahifadhidhiwa katika Genebank ya kituo cha Utafiti wa mifugo Mpwapwa. Aidha, jumla ya vinasaba 72 vya malisho mbalimbali vinaendelea kuainishwa na kutunzwa katika kituo cha Uyole. Kutokana na utafiti na uzalishaji wa mbegu, kati ya mwaka 2006 na 2008 jumla ya kilo 4580 za mbegu za nyasi zimezalishwa kwa ajili ya utafiti. Kati ya hizo, kilo 2254 za nyasi zimeuzwa kwa wafugaji binafsi na taasisi mbalimbali kwa ajili ya kutathimini uzalishaji wa malisho katika maeneo ya wafugaji. 6.3.1 Tathmini ya Ubora wa Vyakula na Ulishaji wa Mifugo Utafiti wa kutathmini ubora wa vyakula kwa ajili ya mifugo mbalimbali wakiwemo ng’ombe, kuku na nguruwe unaendelea kwa ajili ya kuondoa tatizo la lishe ya mifugo wakati wa kiangazi. Utafiti umejikita kwenye uboreshaji wa matumizi ya mabaki ya mazao, matumizi ya majani ya miti-malisho na mikunde pamoja na masalia ya mimea na mazao kama pumba, mashudu na mbegu za miti kama saragunga (Acacia tortilis pods). 6.4. Changamoto za Utafiti wa Uzalishaji na Uendelezaji wa Mifugo

• Uhaba wa watafiti wenye ujuzi na uzoefu wa kutosha unakwamisha jitihada za kuibua na kuendeleza teknolojia mbalimbali kwa lengo la kukidhi matakwa ya teknolojia ya kisasa. Hivyo inapendekezwa ajira na maslahi ya watafiti yaboreshwe ili kuvutia watafiti.

• Uhaba wa fedha za utafiti na vitendea kazi ni changamoto kubwa kwa Taasisi na

vituo vya utafiti wa mifugo katika kukidhi matarajio ya wadau katika sekta ya mifugo. Gharama kubwa zinahitajika kuchunguza, kuendesha na kusimamia shughuli za utafiti.

Page 76: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

70

SURA YA SABA

7.0 MAENEO AMBAYO UTEKELEZAJI WAKE UNAHITAJI MSUKUMO NA MWELEKEO WA BAADAE WA SEKTA YA MIFUGO

Pamoja na jitihada mbalimbali zinazofanywa na Serikali kuendeleza sekta ya mifugo kasi ya ukuuaji wa sekta bado ni ndogo, kwani, kuna maeneo muhimu ambayo utekelezaji wake unahitaji msukumo wa pekee. Maeneo haya ni kama yalivyoorodheshwa hapa chini:- 7.1 Utengaji na Umilikishwaji wa Maeneo ya Ufugaji Mpango wa kutenga na kumilikisha haujapiga hatua sana kwa sababu hadi sasa ni asilimia 3.8 tu ya eneo lote linalofaa kwa ufugaji ndio limetengwa. Ili kufanikisha mpango huu, inapendekezwa maeneo yote yaliyotengwa yamilikishwe kwa wafugaji. Utengaji na umilikishwaji maeneo uende sambamba ili kuepusha migogoro kati ya watumiaji mbalimbali wa ardhi. Kwa kuzingatia kuwa mpango huu unahusisha sekta mbalimbali zenye vipaumbele tofauti, ili kufanikisha utekelezaji wake Serikali itenge fedha maalum kwa ajili ya utengaji, umilikishwaji wa maeneo na uwekaji wa miundombinu kwa mifugo. 7.2 Kuimarisha Utafiti wa Mifugo

Utafiti wa mifugo ni muhimu katika kuibua teknolojia sahihi ya uendelezaji wa sekta ya mifugo. Changamoto kubwa katika eneo hili ni pamoja na upungufu wa watafiti, vitendea kazi na rasilimali fedha. Hivyo, inapendekezwa Serikali itenge fedha za kutosha kwa ajili ya utafiti. 7.3 Uanzishwaji wa Maeneo Huru kwa Magonjwa ya Mifugo (Disease Free

Compartment and Zones)

Ili kupanua ushiriki wa nchi katika biashara ya mifugo na bidhaa zitokanazo na mifugo, Wizara iliainisha maeneo ambayo yanaweza kufanywa huru kwa magonjwa ya mifugo. Maeneo hayo ni pamoja na mikoa ya Lindi na Mtwara; wilaya ya Mvomero; Ranchi za NARCO (Kongwa na Ruvu) na baadhi ya maeneo ya mkoa wa Rukwa. Azma ya kuandaa maeneo haya kuwa huru kwa magonjwa utekelezaji wake umekuwa mgumu kutokana na gharama za uwekezaji kuwa kubwa kupitia bajeti ya Wizara. Inakadiriwa kuwa gharama za kutekeleza mpango huu kuwa takriban shilingi bilioni 50 kwa maeneo yaliyoainishwa hapo juu. 7.4 Kufanya Sensa Kamili ya Mifugo Sensa kamilifu ya mifugo ilifanyika kwa mara ya mwisho kitaifa mwaka 1984. Sensa hii ilifuatiwa na sensa ya sampuli ya mwaka 1994/95 ambayo ilihusisha vijiji 540 na savei ya kilimo ngazi ya wilaya (District Integrated Agricultural Survey) ya mwaka 1998/99 iliyohusisha vijiji 3,052 vya Tanzania bara. Ili kuboresha upatikanaji wa takwimu sahihi,

Page 77: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

71

Idara Kuu ya Takwimu kwa kushirikiana na wadau wengine katika kilimo, ilifanya sensa ya sampuli ya kilimo mwaka 2003 iliyohusisha vijiji 3,330 na sensa ya sampuli ya kilimo ya mwaka 2008 ilihusisha vijiji 3,192 vya Tanzania bara na vijiji 317 vya Tanzania visiwani ambapo matokeo yake yanaandaliwa. Juhudi za kutafuta fedha zinaendelea ili sensa kamili ya mifugo ifanyike. Umuhimu wa sensa kamili ya mifugo unatokana na kuwa na matokeo ya sensa za sampuli yamekuwa hayakubaliki kwani taratibu zilizotumika kufanya sensa za sampuli hazizingatii mtawanyiko ulio tofauti kati ya mazao na mifugo ambao hutegemea idadi ya watu. Hali kadhalika, sensa kamili ya mifugo itatoa picha kamili ya idadi ya mifugo baada ya matukio makubwa yaliyoikumba Sekta kama vile milipuko ya magonjwa (Sotoka ya ng’ombe, Sotoka ya mbuzi na kondoo, Homa ya mapafu na Homa ya Bonde la Ufa); ukame na mifugo kuhama kutoka kaskazini kwenda kusini ya nchi. Sensa kamili ya Mifugo itawezesha kupata takwimu sahihi na kuboresha mipango ya kuendeleza Sekta ya Mifugo. Inakadiriwa kuwa, gharama ya kufanya sensa kamili ya mifugo ni shilingi bilioni 8 na kulingana na muongozo wa Shirika la Kimataifa la Kilimo na Chakula Duniani (FAO) zoezi hilo linatakiwa kufanyika kila baada ya miaka 10. 7.5 Uwekezaji katika Viwanda vya Usindikaji wa Mazao ya Mifugo

• Kuvijengea uwezo wa mtaji na ushauri wa kitaaluma viwanda vilivyopo vya maziwa • Kukamilisha ujenzi wa kiwanda cha kusindika nyama cha Mbeya na kujenga viwanda

vipya 10. Gharama ya ujenzi wa kiwanda kimoja ni takriban shilingi bilioni 50 ;na • Kujenga machinjio za kisasa 8 katika Mikoa na kuboresha machinjio 99 zilizopo

katika ngazi ya wilaya na miji midogo. Gharama ya ujenzi wa machinjio moja ya kisasa ni takriban shilingi bilioni 4, na moja ya kawaida ni takriban shilingi milioni 200.

7.6 Uwekezaji katika Uzalishaji wa Mbegu Bora za Mifugo na Mitamba ya

Ng’ombe wa Maziwa na Nyama

• Kuimarisha Kituo cha Taifa cha Uhimilishaji (NAIC), Vituo vyake 3 na kujenga vingine vipya 2 vya Kanda na kuimarisha huduma za uhimilishaji vijijini. Kiasi kinachohitajika ni takribani shilingi bilioni 3.

• Kuimarisha na kuendeleza mashamba ya kuzalisha Mitamba (LMUs). Kiasi cha shilingi. bilioni 10 zinahitajika.

• Kufufua na kuimarisha ranchi 10 za Taifa. Kiasi cha shilingi. bilioni 13 zinahitajika.

Page 78: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

72

SURA YA NANE

HITIMISHO Mifugo ni rasilimali kubwa inayoweza kuongeza pato la mfugaji, kumpunguzia umaskini na kuchangia Pato la Taifa iwapo matatizo yaliyoainishwa na wadau yataendelea kupatiwa ufumbuzi. Mifugo imeendelea kuwa tegemeo kubwa kwa wafugaji hususan kama lishe bora, benki hai, mbolea nishati na hasa kama chanzo kikuu cha mapato ya kununulia chakula wakati wa njaa. Kuendelea kuwepo kwa matatizo mbalimbali yanayokwamisha maendeleo ya Sekta ya Mifugo bila kupatiwa ufumbuzi, kutaendelea kuudumaza mchango wa Sekta ya MIfugo kwa maendeleo ya mfugaji na kuongeza Pato laTaifa. Hatua mbalimbali zimechukuliwa kuandaa mikakati ya kuweka mazingira mazuri ya kuendeleza Sekta ya Mifugo hapa nchini zikiwemo kurekebisha/kutunga sheria, kuhamasisha uundwaji wa vyama vya wafugaji, wafanyabiashara na wasindikaji, kujenga/kukarabati miundombinu ya masoko, maji kwa mifugo, kupunguza baadhi ya kodi. Utekelezaji wa baadhi ya mikakati hiyo umekwishaanza na mafanikio yameanza kuonekana.

Page 79: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

Viambatisho Kiambatisho Na.1: Maeneo yaliyotengwa kwa ufugaji katika mikoa mbalimbali Na Mkoa Wilaya Idadi ya Vijiji Eneo lililotengwa

Chamwino 5 50,214.011 Dodoma Bahi 1 629.80Iringa Vijijini 7 7,894.00Njombe 4 1,014,00Makete 2 823.30Mufindi 4 2,947.49

2 Iringa

Kilolo 3 1,162.51Biharamulo 4 8,054.333 Kagera Chato 3 2,462.29

4 Kigoma Kigoma (V) 7 10,256.93Kilwa 26 174,321.70Lindi (V) 10 29,742.50Liwale 9 115,030.60

5 Lindi

Nachingwea 10 72,972.82Chunya 15 451,250.85Mbarali 9 38,101.02

6 Mbeya

Mbeya 5 6,050.25Morogoro (V) 10 15,784.82Kilombero 5 16,914.60Ulanga 4 6,781.60

7 Morogoro

Kilosa 10 163,838.00Tandahimba 1 1,010.558 Mtwara Mtwara (V) 1 88.23Kisarawe 8 28,578.78Bagamoyo 12 22,901.38Rufiji 24 76,807.49

9 Pwani

Mkuranga 2 1,475.0010 Ruvuma Mbinga 3 51.0011 Singida Manyoni 5 19,023.3412 Tabora Urambo 11 16,,195.1713 Tanga Mkinga 5 14,601.83 Jumla 31 225 1,391,109.41

73

Page 80: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

74

Kiambatanisho Na. 2: Ukubwa wa Ranchi za NARCO: Ranchi zilizomilikishwa Na. Ranchi Mkoa

(Wilaya) Ukubwa (Ha)

Ranchi ya Mfano (Ha)

Idadi ya vitalu

Ukubwa (Ha)

1. Kongwa Dodoma (Kongwa)

38,000 38,000 0 0

2. Kikulula complex (HBU, Kagoma na Mabale)

Kagera (Karagwe na Mabale)

76,940 30,752 22 46,188

3. Kitengule Kagera (Karagwe)

41,700 0 9 11,012

4. Misenyi Kagera (Misenyi)

60,851 23,998 21 22,853

5. Mkata Morogoro 62,530 19,446 11 43,084 Ruvu Pwani 43,000 43,000 0 0

6. Kalambo Rukwa 64,650 23,588 13 41,062 7. Mzeri Hill Tanga

(Handeni) 41,246 21,236 9 20,010

8. Usangu Mbeya 43,727 0 16 43,727 9. Uvinza Kigoma 56,175 0 21 56,175 10. Dakawa Morogoro

(Mvomero) 49,981 0 2 2,479

11. West Kilimanjaro

Arusha/ Kilimanjaro

30,364 19,910 10 10,454

12. 3 Jumla 609,164 230,384 134 289,069

Page 81: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

Kiambatanisho Na.3: Maeneo Yanayotekeleza Mpango wa Unywaji Maziwa Shuleni kwa mwaka 2006/2007

Na Mtekelezaji wa Mpango

Ufadhili wa Gharama za Mpango

Idadi ya Shule Idadi ya Wanafunzi

Mfumo wa Utoaji Maziwa

Wilaya zinazotekeleza Mpango

1. Fukeni Mini Dairy Plant Msindikaji, Wazazi na Peach Software Ltd Co (Australia)

6 za Msingi 1 ya Awali

2. Nronga Women Dairy Cooperative Society Ltd

Msindikaji, Wazazi na Peach Software Ltd Co (Australia)

3 za Msingi

3. Kalali Women Dairy Cooperative Society Ltd

Msindikaji, Panges Omnus (Italia)

10 za Msingi

7,030 Mara 2 kwa wiki Hai na Moshi Vijijini

4. Tanga Fresh Ltd Msindikaji na Wazazi 6 za Msingi 3 za Sekondari 1 TTC

2,490 Mara 2 kwa wiki Tanga

5. Shirika la Maendeleo la Italia - CEFA

CEFA (Italia) na Wazazi 6 za Msingi 1,960 Mara 2 kwa wiki Njombe

6. Nronga Women Dairy Cooperative Society Ltd

Msindikaji na Wazazi 3 za Msingi 1,405

Mara 2 kwa wiki Arusha

Jumla 39 12,985

75

Page 82: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

Kiambatisho Na. 4: Idadi ya Mashamba Darasa yaliyoanzishwa katika Mikoa yote Tanzania Bara Na

Mko

a

Ng’

ombe

wa

nya

ma

Ng’

ombe

wa

maz

iwa

Mbu

zi w

a m

aziw

a

Mbu

zi n

yam

a

Ku

ku w

a ki

enye

ji

Ku

ku w

a ki

sasa

Ngu

ruw

e

Sam

aki

Ku

ende

leza

M

alis

ho

Maj

osh

o

Ufu

gaji

bor

a

Ndo

robo

Ku

un

da

mak

un

diU

nen

epes

haj

i

Kon

doo

Sun

gura

Jum

la

1 Mara 0 0 0 0 0 0 0 0 21 0 2 0 21 0 0 0 442 Pwani 5 10 31 2 54 1 0 0 0 0 14 2 46 0 0 0 1653 Singida 26 0 5 0 42 0 0 0 46 0 0 0 0 0 0 0 1194 D'Salaam 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 05 Rukwa 0 24 24 0 10 0 21 68 48 13 13 0 0 0 0 0 2216 Mbeya 0 10 80 0 73 0 21 0 40 0 0 0 0 0 0 0 2247 Mtwara 2 15 5 0 43 0 0 1 20 0 0 0 0 0 0 0 868 Arusha 8 5 1 0 26 0 0 0 19 13 4 0 12 3 0 0 919 Dodoma 0 15 30 0 52 0 0 0 0 2 0 6 8 6 0 0 11910 Kagera 9 83 3 0 20 0 0 0 0 7 0 0 0 0 0 0 12211 K'njaro 0 2 0 0 10 0 15 0 21 56 0 0 0 0 0 0 10412 Lindi 0 34 27 0 0 0 0 0 0 0 28 0 0 0 0 0 8913 Manyara 6 13 21 0 19 0 0 0 7 0 0 0 0 0 2 0 6814 Morogoro 0 39 10 0 21 0 6 0 2 18 0 0 0 0 0 0 9615 Mwanza 0 9 0 37 0 0 0 40 0 0 0 0 0 0 0 0 8616 Tanga 0 6 4 0 35 0 0 0 0 1 0 0 0 0 0 0 4617 Shinyanga 14 1 0 5 71 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 9118 Ruvuma 0 161 6 0 74 0 4 0 0 0 0 0 0 0 0 0 24519 Kigoma 20 0 0 0 20 0 17 0 0 0 0 0 0 0 0 0 5720 Iringa 0 17 8 0 32 0 16 0 5 0 0 0 0 0 0 6 8421 Tabora 0 0 2 0 0 0 0 0 5 0 0 0 0 0 0 0 7

Jumla 90 444 257 44 602 1 100 109 234 110 61 8 87 9 0 8 2,164

Chanzo: Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM- TAMISEMI)

76

Page 83: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

Kiambatanisho Na. 5: Ikama ya Wataalamu wa Mifugo Ngazi ya Wilaya

Nga

zi

Afis

a m

ifugo

(W

)-D

LDO

Afis

a U

gani

(W

) D

EO

Dak

tari

wa

Mifu

go (

W)

-DVO

Afis

a U

ende

leza

ji N

g’om

be w

a M

aziw

a-

SMS

Dai

ry

Afis

a M

asok

o na

Sek

ta b

inaf

si-

SMS

Liv.

M

arke

ting

and

Priv

ate

Sect

or

Prom

otio

n

Afis

a M

ifugo

Wan

yam

a w

adog

o - SM

S Sm

all-s

tock

s

Afis

a U

kagu

zi N

yam

a na

ngo

zi

-SM

S M

eat

Hid

es &

Sk Af

isa

Mifu

go N

yand

a za

mal

isho

-S

MS

Pa

stor

al

Syst

ems

Afis

a M

ifugo

U

sajil

i, H

abar

i na

Takw

imu

SM

SAf

isa

Mifu

go M

said

izi K

ata

/Kiji

ji - W

LEO

/VLE

O

Jum

la

Wilaya 1 1 1 1 1 1 1 1 1 - 9 Kata - - - - - - - - - 1 1 Kijiji - - - - - - - - - 1 1 Jumla 1 1 1 1 1 1 1 1 1 2 11

77

Page 84: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

MIKAKATI YA KUENDELEZA SEKTA YA MIFUGO

NA UFUGAJI NCHINI – TAARIFA ZA MIKOA

MADA 1. 2. 3. 4. 5. Taarifa za Mikoa 5.1 Mwanza 111 - 1295.2 Shinyanga 130 – 1515.3 Dodoma 152 – 1765.4 Arusha 177 – 1935.5 Mara 194 – 2065.6 Singida 207 – 2205.7 Manyara 221 – 2325.8 Tabora 233 – 2496. TAASISI/WIZARA 6.1 Chuo Kikuu cha Kilimo cha Sokoine 250 – 2776.2 Ufugaji wa kuhamahama – Wizara 278 – 294

77

Page 85: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

78

PRIVATE AGRICULTURAL SECTOR SUPPORT TRUST

((““AASSAASSII YYAA KKUUSSAAIIDDIIAA UUWWEEKKEEZZAAJJII KKWWEENNYYEE KKIILLIIMMOO””))

UPATIKANAJI WA MIKOPO KWA AJILI YA SHUGHULI ZA MIFUGOUPATIKANAJI WA MIKOPO KWA AJILI YA SHUGHULI ZA MIFUGO

11..UUTTAANNGGUULLIIZZII PPAASSSS nnii sshhiirriikkaa lliilliillooaannzziisshhwwaa mmwwaakkaa 22000000 iikkiiwwaa sseehheemmuu yyaa uutteekkeelleezzaajjii wwaa mmppaannggoo wwaa sseerriikkaallii yyaa TTaannzzaanniiaa wwaa kkuuhhaammaassiisshhaa mmaaeennddeelleeoo yyaa KKiilliimmoo ((AASSPPSS 11 aanndd 1111)) kkwwaa mmssaaaaddaa wwaa DDaanniiddaa.. MMaaddhhuummuunnii yyaa PPAASSSS nnii kkuucchhoocchheeaa nnaa kkuussaaiiddiiaa uuwweekkeezzaajjii kkaattiikkaa sseekkttaa yyaa kkiilliimmoo,, mmiiffuuggoo nnaa sseekkttaa zziinnggiinnee zzoottee zziinnaazzoosshhaabbiihhiiaannaa hhaassaa kkwwaa kkuuwweezzeesshhaa uuppaattiikkaannaajjii wwaa mmiikkooppoo yyaa bbeennkkii.. A.PASS IMEONESHA UFANISI: • PASS imepata mafanikio makubwa ya kuongeza uwekezaji kwenye kilimo: • Wamenufaika wakulima zaidi ya elfu 20 • Imehudumia kwenye mikoa 17 • Imefanikisha mikopo zaidi ya shilingi bilion 58 • Mazao:mpunga, miwa,alizeti, kahawa,chai,mifugo aina zote,viwanda,matrekta nk • Sasa imeanza Program mpya ya kujiendesha kibiashara na kuongeza matawi zaidi.

BB.. PPRROOGGRRAAMM MMPPYYAA YYAA PPAASSSS 22000088 -- 22001133 PASS itafungua matawi 4 mapya nchini kusaidia la Morogoro: DSM na Mbeya 2009, Moshi 2010, na Mwanza 2011. Hivyo huduma za PASS zitakuwa karibu zaidi na wananchi kwenye zoni zote. PASS imepata mtaji mpya mkubwa na miaka 5 ijayo imepanga kuwezesha wakulima / wafugaji kupata mikopo yenye thamani ya zaidi ya shilingi bilioni 60. Wafugaji wenye sifa mnakaribishwa mtumie fursa hii.

2. HALI HALISI YA UTOAJI MIKOPO KUTOKA MABENKI

Mabenki huelekeza mikopo kiasi kidogo tu kwa kilimo – Jumla ya mikopo kwa sekta zote ilikuwaTZS bilioni 4,380 kwa mwaka 2008: Mgawanyo:

Kilimo* 12% (mifugo ni kama 0.5% tu) Viwanda 14% binafsi 21% (personal loans)

Page 86: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

79

Biashara 17% Mawasiliano 7% ujenzi,umeme etc 29% ( Source: BOT Quarterly Bulletin July 09)

*Kilimo = zaidi ya 8% ni kwa ununuzi wa mazao makuu kama; pamba, kahawa,chai, korosho nk.. Uzalishaji (production) hupata mikopo chini 4%

A. BENKI HUSITA KUTOA MIKOPO KWA WAFUGAJI: • Gharama kubwa na muda mrefu wa kupata faida ili kurudisha mkopo • Wafugaji wengi hawana upeo wa kibiashara • Ukosefu wa ugani wa kutosha • Hatari ya magonjwa na vifo kwa mifugo mara kwa mara • Kukosekana bima ya mifugo • Wafugaji hawana dhamana ya kutosha – hati za umiliki mali

B.WAFUGAJI NAO WANALALAMIKIA; • Riba kubwa benki -16% -25% • Muda mfupi wa kufanya marejesho - mwaka 1-5 • Masharti magumu ya dhamana na ukosefu wa hati • Vyakula vya mifugo visivyo na viwango • Huduma haba ya Ugani • Uhaba wa madawa na bei kubwa.

33.. HHUUDDUUMMAA ZZIITTOOLLEEWWAAZZOO NNAA PPAASSSS

PPAASSSS iimmeeuunnddwwaa iillii kkuuttooaa hhuudduummaa zziinnaazzoowweezzeesshhaa wwaajjiissiirriiaammaallii wwaa kkiilliimmoo//mmiiffuuggoo kkuuwweezzaa kkuuppaattaa mmiikkooppoo bbeennkkii::

aa..HHuudduummaa zzaa uueennddeelleezzaajjii bbiiaasshhaarraa ((bbuussiinneessss ddeevveellooppmmeenntt sseerrvviicceess)) bb..HHuudduummaa zzaa kkiiffeeddhhaa ((ffiinnaanncciiaall sseerrvviicceess))

AA.. HHUUDDUUMMAA ZZAA UUEENNDDEELLEEZZAAJJII BBIIAASSHHAARRAA

PPAASSSS iinnaattooaa hhuudduummaa zziiffuuaattaazzoo kkwwaa wwaatteejjaa wwaakkee::

•• Upembuzi yakinifu kwa uwekezaji katika mifugo. Upembuzi yakinifu kwa uwekezaji katika mifugo.•• Uaandaji wa mipango ya Biashara. Uaandaji wa mipango ya Biashara.•• Kujenga Uwezo wa kuzalisha. Kujenga Uwezo wa kuzalisha.•• Kuandaa vikundi vya wafugaji ambavyo vitatumika kama kitovu cha ufugaji kimkataba,

kupatikana kwa mikopo, maafikiano ya bei ya mazao ya mifugo na kutoa huduma za ushauri.

Kuandaa vikundi vya wafugaji ambavyo vitatumika kama kitovu cha ufugaji kimkataba,kupatikana kwa mikopo, maafikiano ya bei ya mazao ya mifugo na kutoa huduma zaushauri.

•• Taarifa za masoko ya bidhaa zitokanazo na mifugo Taarifa za masoko ya bidhaa zitokanazo na mifugo

Page 87: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

80

BB.. HHUUDDUUMMAA ZZAA KKIIFFEEDDHHAA::

PPAASSSS iinnaawwaassaaiiddiiaa wwaaffuuggaajjii bbiinnaaffssii,, vviikkuunnddii vvyyaa wwaaffuuggaajjii nnaa mmaakkaammppuunnii bbiinnaaffssii wweennyyee mmwweelleekkeeoo wwaa kkuuffaannyyaa uuffuuggaajjii wwaaoo kkiibbiiaasshhaarraa iillii kkuuppaattaa mmiikkooppoo kkwwaa aajjiillii yyaa mmiirraaddii yyaaoo aammbbaayyoo iinnaammwweelleekkeeoo wwaa kkuuppaattaa ffaaiiddaa kkwwaa nnjjiiaa zziiffuuaattaazzoo::

•• Kwa kuandaa michanganuo ya miradi yao na kuwaandalia mipango ya biashara na kuipeleka benki kwa ajili ya kupata mikopo. Kwa kuandaa michanganuo ya miradi yao na kuwaandalia mipango ya biashara nakuipeleka benki kwa ajili ya kupata mikopo.

•• Kwa kuchangia udhamini wa mikopo kwa benki ili kuongeza uwezekano wa kupatikana kwa mikopo - 40% -70% Kwa kuchangia udhamini wa mikopo kwa benki ili kuongeza uwezekano wa kupatikanakwa mikopo - 40% -70%

•• Kwa wanawake mpaka 80% Kwa wanawake mpaka 80%

44.. TTAATTIIZZOO LLAA DDHHAAMMAANNAA YYAA MMIIKKOOPPOO

•• Wateja karibu wote hushindwa kukidhi masharti ya dhamana za benki:kwamba mteja hupaswa kuwa na dhamana yenye thamani ya 125% ya mkopo unaotafutwa. Wateja karibu wote hushindwa kukidhi masharti ya dhamana za benki:kwamba mtejahupaswa kuwa na dhamana yenye thamani ya 125% ya mkopo unaotafutwa.

MMffaannoo::

•• Mkopo uliombwa: TZS 40 milioni Mkopo uliombwa: TZS 40 milioni•• Dhamana inayotakiwa na benki: 40 x 125% = TZS 50 milioni Dhamana inayotakiwa na benki: 40 x 125% = TZS 50 milioni•• Dhamana ya mteja: Thamani ya mali: TZS 40 milioni x 65% Dhamana ya mteja: Thamani ya mali: TZS 40 milioni x 65%

== 2266 MMiilliioonnii ((FFoorrcceedd SSaallee VVaalluuee)) •• Kiasi cha dhamana iliyopungua: 50-26= 24 milioni Kiasi cha dhamana iliyopungua: 50-26= 24 milioni•• Hivyo dhamana itolewayo na PASS: 60 % Hivyo dhamana itolewayo na PASS: 60 %

55.. NNAANNII NNII WWAATTEEJJAA WWAA PPAASSSS

•• Wafanyabiashara wote binafsi, mashirika, vikundi ambavyo vinashughulika na biashara ya mifugo iwe aina zote, km. uzalishaji wa ng’ombe wa nyama, wa maziwa, maziwa yenyewe, usindikaji, usafirishaji na masoko ya pembejeo au bidhaa zitokanazo na mifugo.

Wafanyabiashara wote binafsi, mashirika, vikundi ambavyo vinashughulika na biashara yamifugo iwe aina zote, km. uzalishaji wa ng’ombe wa nyama, wa maziwa, maziwayenyewe, usindikaji, usafirishaji na masoko ya pembejeo au bidhaa zitokanazo na mifugo.

•• Wafanyabiashara wote binafsi wenye mwelekeo wa kuanzisha biashara za mifugo zenye mitaji kuanzia shilingi milioni saba na kuendelea. Wafanyabiashara wote binafsi wenye mwelekeo wa kuanzisha biashara za mifugo zenyemitaji kuanzia shilingi milioni saba na kuendelea.

66.. UUHHUUSSIIAANNOO WWAA PPAASSSS NNAA BBEENNKKII •• PASS na Taasisi za fedha wanashirikiana kwa pamoja katika kusaidia wafugaji na

wafanyabiashara katika sekta ya mifugo kukuza biashara zao. PASS na Taasisi za fedha wanashirikiana kwa pamoja katika kusaidia wafugaji nawafanyabiashara katika sekta ya mifugo kukuza biashara zao.

Page 88: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

81

•• Kazi ya PASS ni kuhamasisha, kutathmini miradi na kutoa dhamana ya mikopo kwa taasisi za fedha(benki). Kazi ya PASS ni kuhamasisha, kutathmini miradi na kutoa dhamana ya mikopo kwa taasisiza fedha(benki).

•• Wakati mwingine hutumia taasisi za kati kuwafikia wateja- SACCOS, Wakati mwingine hutumia taasisi za kati kuwafikia wateja- SACCOS,•• Kwahiyo mteja mara baada ya kukopeshwa atatambulika kama mteja wa kawaida wa

benki. Kwahiyo mteja mara baada ya kukopeshwa atatambulika kama mteja wa kawaida wabenki.

•• Taasisi za fedha zinazoshirikiana na PASS kwa sasa ni Benki ya CRDB, Exim Bank, NMB, TIB, FBME na ABC (TZ) Ltd. Taasisi za fedha zinazoshirikiana na PASS kwa sasa ni Benki ya CRDB, Exim Bank, NMB,TIB, FBME na ABC (TZ) Ltd.

•• Bado tunafanya mazungumzo na benki zaidi. Bado tunafanya mazungumzo na benki zaidi.

77.. GGHHAARRAAMMAA ZZAA HHUUDDUUMMAA ZZAA PPAASSSS

•• Kila mteja mwenye mtazamo wa kibiashara ambaye anataka kupanua biashara yake ya mifugo anatakiwa aandike barua ya maombi PASS, ajaze fomu za PASS na alipe ada ya Tshs 30,000

Kila mteja mwenye mtazamo wa kibiashara ambaye anataka kupanua biashara yake yamifugo anatakiwa aandike barua ya maombi PASS, ajaze fomu za PASS na alipe ada yaTshs 30,000

•• Mteja atatozwa 1% hadi 2% ya mkopo aliouomba kama malipo ya kumuandalia mchanganuo (mpango) wa biashara yake na kumpeleka benki ili apate mkopo. Mteja atatozwa 1% hadi 2% ya mkopo aliouomba kama malipo ya kumuandaliamchanganuo (mpango) wa biashara yake na kumpeleka benki ili apate mkopo.

88.. AA.. AAIINNAA YYAA HHUUDDUUMMAA ZZAA PPAASSSS KKWWAA WWAATTUU BBIINNAAFFSSII NNAA MMAAKKAAMMPPUUNNII YYAA UUFFUUGGAAJJII::

•• Kutathmini mtazamo wa kibiashara. Kutathmini mtazamo wa kibiashara.•• Kutengeneza mipango ya biashara yenye tija na inayokopesheka benki. Kutengeneza mipango ya biashara yenye tija na inayokopesheka benki.•• Kuwaunganisha na taasisi za fedha zinazo toa mikopo. Kuwaunganisha na taasisi za fedha zinazo toa mikopo.•• Kufuatilia na kuhakikisha kuwa biashara ya mteja inafanikiwa kwa kushirikiana na Benki. Kufuatilia na kuhakikisha kuwa biashara ya mteja inafanikiwa kwa kushirikiana na Benki.

BB.. HHUUDDUUMMAA YYAA PPAASSSS KKWWAA VVIIKKUUNNDDII VVYYAA WWAAFFUUGGAAJJII..

KKuukkiiwwaa nnaa ssookkoo llaa uuhhaakkiikkaa llaa mmaazzaaoo yyaa mmiiffuuggoo,, iinnaasshhaauurriiwwaa kkuuwwaa nnaa mmiikkaattaabbaa yyaa mmaassookkoo:: iillii kkuuffaanniikkiisshhaa bbiiaasshhaarraa yyaa nnaammnnaa hhiiyyoo PPAASSSS hhuuwwaassaaiiddiiaa wwaaffuuggaajjii wwaaddooggoowwaaddooggoo kkwwaa nnjjiiaa zziiffuuaattaazzoo::--

•• Kuhamasisha/kuwezesha uundaji wa vikundi. Kuhamasisha/kuwezesha uundaji wa vikundi.•• Kusajili vikundi vya wafugaji vitambulike kisheria Kusajili vikundi vya wafugaji vitambulike kisheria•• Kuhamasisha utengenezaji wa mkataba wa kisheria kati ya mfugaji na mnunuzi wa

mifugo yao. Kuhamasisha utengenezaji wa mkataba wa kisheria kati ya mfugaji na mnunuzi wamifugo yao.

•• Kutayarisha michanganuo ya kibiashara itakayo wawezesha wafugaji hao kupata mikopo Benki. Kutayarisha michanganuo ya kibiashara itakayo wawezesha wafugaji hao kupatamikopo Benki.

Page 89: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

82

9. BIASHARA ZA UFUGAJI ZILIZOFANIKIWA KWA KUPITIA MPANGO WA PASS. Jumla ya miradi 111 ya mifugo imepitishwa na PASS tangu mwaka 2003 - 2008. Thamani

ya mikopo iliyotolewa ni TZS 5.2 billion. Jumla ya miradi 111 ya mifugo imepitishwa na PASS tangu mwaka 2003 - 2008. Thamaniya mikopo iliyotolewa ni TZS 5.2 billion.

Biashara zilizoweza kupata mikopo hiyo ni (TZS):- Biashara zilizoweza kupata mikopo hiyo ni (TZS):- Kuku- nyama na mayai 1.2 billion Kuku- nyama na mayai 1.2 billion Nguruwe 0.7 billion Nguruwe 0.7 billion Ng’ombe wa maziwa 1.1 billion Ng’ombe wa maziwa 1.1 billion Ng’ombe wa nyama 1.2 billion Ng’ombe wa nyama 1.2 billion Nyuki/asali/viwanda feed/duka 1.0 billion Nyuki/asali/viwanda feed/duka 1.0 billion

HHiiii nnii ssaawwaa nnaa 99 %% ttuu yyaa mmiirraaddii yyoottee yyaa kkiilliimmoo yyaa PPAASSSS.. HHiivvyyoo ffuurrssaa bbaaddoo nnii kkuubbwwaa wwaatteejjaa mmnnaakkaarriibbiisshhwwaa TTaanngguu PPAASSSS iiaannzziisshhwwee iimmeewwaassaaiiddiiaa wwaatteejjaa wwaa aaiinnaa zzoottee::

wafugaji wa asili, wafugaji wa asili, wajasiriamali wadogo na wa kati katika sekta ya mifugo wajasiriamali wadogo na wa kati katika sekta ya mifugo usindikaji kuongeza thamani ya bidhaa za mifugo, usindikaji kuongeza thamani ya bidhaa za mifugo, maduka ya pembejeo maduka ya pembejeo Viwanda vya vyakula vya mifugo Viwanda vya vyakula vya mifugo

A. PASS NI DARAJA Ingawa upatikanaji wa mikopo kwa kilimo/mifugo bado ni finyu sana.PASS imeonyesha uwezo thabiti wa kuwa kiungo muhimu kati ya Benki na wakulima. Hivyo kwa kutumia chombo kama PASS utaweza kupata misaada ya Benki kwa wepesi zaidi. 1100.. MMAAEENNDDEELLEEOO NNAA MMAATTOOKKEEOO –– PPAASSSS

Kwa kuandaa miradi vizuri na kuwa karibu na wateja na benki; ulipaji mikopo ni mzuri

sana, waliofanikiwa kurejesha mikopo kwenye mabenki: - 98% Kwa kuandaa miradi vizuri na kuwa karibu na wateja na benki; ulipaji mikopo ni mzurisana, waliofanikiwa kurejesha mikopo kwenye mabenki: - 98%

hivyo tunajenga imani kwa vyombo vya fedha kwamba wakulima wanakopesheka.

hivyo tunajenga imani kwa vyombo vya fedha kwamba wakulimawanakopesheka.

tumeongeza upeo, tija, chakula na kipato kwa wakulima/wafugaji wanofanya kilimo kibiashara tumeongeza upeo, tija, chakula na kipato kwa wakulima/wafugaji wanofanya kilimokibiashara

tumeongeza ajira vijijini na mijini tumeongeza ajira vijijini na mijini tumeongeza thamani na ubora wa mazao tumeongeza thamani na ubora wa mazao Sasa baadhi ya wakulima/wafugaji wameweza kukubalika kukopa wenyewe bila PASS Sasa baadhi ya wakulima/wafugaji wameweza kukubalika kukopa wenyewe bila PASS Walipaji kodi ya serikali wameongezeka Walipaji kodi ya serikali wameongezeka

11. MIFANO MIZURI YA ONGEZEKO LA TIJA KWA WATEJA WA PASS:

Page 90: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

83

A.UUZZAALLIISSHHAAJJII WWAA MMAAYYAAII-- Wafugaji wengi hupata utagaji wa 65% sababu ya ulishaji duni, majengo duni ya

mifugo, uangalizi mbovu na kukosa tiba kunakotokana na kukosa utaalamu na mitaji (fedha)

Wafugaji wengi hupata utagaji wa 65% sababu ya ulishaji duni, majengo duni yamifugo, uangalizi mbovu na kukosa tiba kunakotokana na kukosa utaalamu na mitaji(fedha)

Katika miradi inayopitia PASS uzalishaji huwa kati ya 75%-85%. Lakini matokeo ya mwisho ya ongezeko la uzalishaji hufikia hata 90%. Katika miradi inayopitia PASS uzalishaji huwa kati ya 75%-85%. Lakini matokeo yamwisho ya ongezeko la uzalishaji hufikia hata 90%.

b.Kuku wa nyama

Kuku wengi Tanzania hufugwa kienyeji wakiachwa wajitafutie chakula. Kuku wengi Tanzania hufugwa kienyeji wakiachwa wajitafutie chakula. Kuna aina chache ya kuku wa kufaa kufuga kibishara Kuna aina chache ya kuku wa kufaa kufuga kibishara Kwa kuku wa nyama kufikia kilo 1.7 huhitaji kufugwa na kulishwa kwa wiki kati ya 8

mpaka 10, ambayo kibiashara inatoa faida finyu. Kwa kuku wa nyama kufikia kilo 1.7 huhitaji kufugwa na kulishwa kwa wiki kati ya 8mpaka 10, ambayo kibiashara inatoa faida finyu.

Wateja wa PASS kuku wao hufikia kilo 1.7 kati ya wiki 6-7 ambayo humpa mteja faida nzuri zaidi Wateja wa PASS kuku wao hufikia kilo 1.7 kati ya wiki 6-7 ambayo humpa mteja faidanzuri zaidi

cc.. NNgguurruuwwee::

Uzalishaji wa nguruwe Tanzania. Uzalishaji huathiriwa sana na maradhi, lishe duni, mabanda yasiyofaa, usimamizi mbovu. Uzalishaji wa nguruwe Tanzania. Uzalishaji huathiriwa sana na maradhi, lishe duni,mabanda yasiyofaa, usimamizi mbovu. Wafugaji wengi hulazimika kuwafuga nguruwe kwa zaidi ya miezi 8 (siku 240) ili

wafikie kilo 80 - 90 Wafugaji wengi hulazimika kuwafuga nguruwe kwa zaidi ya miezi 8 (siku 240) iliwafikie kilo 80 - 90

Wateja wa PASS, nguruwe wao hufikia kilo 80 kwa siku 160 (chini ya miezi 6) Wateja wa PASS, nguruwe wao hufikia kilo 80 kwa siku 160 (chini ya miezi 6) DD.. UUZZAALLIISSHHAAJJII WWAA MMAAZZIIWWAA Wafugaji wadogo wadogo wengi wao huzalisha kati ya lita 3 - 5 ya maziwa kwa siku. Wakipata mtaji wanaweza kununua mitamba iliyobora, kuhakikisha afya na ulishaji bora

na uangalizi mzuri. Wateja wa PASS wanapata kati ya lita 8- 12 ya maziwa kwa siku.

EE.. UUZZAALLIISSHHAAJJII NNGG’’OOMMBBEE WWAA NNYYAAMMAA Kwa kutumia ulishaji wa kisasa (feedlot) Kwa kufuata mchanganuo wa PASS na ulishaji bora. Baadhi ya wateja wa PASS waliweza kulipa mkopo wa miaka 3 ndani ya mwaka mmoja na

nusu (1 ½ ). 1122.. MMCCHHAANNGGOO WWAA ZZIIAADDAA WWAA PPAASSSS KKAATTIIKKAA UUWWEEKKEEZZAAJJII NNDDAANNII YYAA SSEEKKTTAA YYAA

UUFFUUGGAAJJII Kutoa ushauri wa kitaalamu wa jinsi yakuzalisha bidhaa za mifugo kwa wingi na zenye

ubora wa hali ya juu. Kuwasaidia wapate mafunzo stadi Kutoa ushauri wa kitaalamu wa jinsi yakuzalisha bidhaa za mifugo kwa wingi na zenyeubora wa hali ya juu. Kuwasaidia wapate mafunzo stadi

Kusaidia kuwezeshwa wafugaji kama vikundi au mtu mmojamoja katika kuongeza thamani ya bidhaa zitokanazo na mifugo ikiwa ni pamoja na uanzishwaji wa viwanda vidogovidogo vya kusindika bidhaa hizo.

Kusaidia kuwezeshwa wafugaji kama vikundi au mtu mmojamoja katika kuongezathamani ya bidhaa zitokanazo na mifugo ikiwa ni pamoja na uanzishwaji wa viwandavidogovidogo vya kusindika bidhaa hizo.

Page 91: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

84

Kuwasaidia au kuwapa mbinu mbalimbali za upatikanaji wa masoko ya pamoja au ya rejareja ya bidhaa zao zitokanazo na mifugo. Kuwasaidia au kuwapa mbinu mbalimbali za upatikanaji wa masoko ya pamoja au yarejareja ya bidhaa zao zitokanazo na mifugo.

CCHHAANNGGAAMMOOTTOO IILLIIYYOO MMBBEELLEE YYEETTUU KKAAMMAA WWAADDAAUU WWAA MMIIFFUUGGOO.. PASS kuunganisha nguvu na wadau wote wa sekta ya mifugo: PASS kuunganisha nguvu na wadau wote wa sekta ya mifugo:

ttuuwweezzee kkuucchhoocchheeaa mmaaeennddeelleeoo yyaa mmiiffuuggoo kkwwaa kkuuwweezzeesshhaa uuppaattiikkaannaajjii wwaa mmiikkooppoo kkuuwweekkeezzaa kkwweennyyee uuzzaalliisshhaajjii,, uussiinnddiikkaajjii nnaa uuppaannuuzzii wwaa mmaassookkoo yyeennyyee bbeeii mmuuaaffaakkaa..

13. KANUNI MUHIMU ZA KUPATA MKOPAJI ATAKAYEWEZA KULIPA:

Awe ni mwenye uzoefu wa kutosha Aanze na mifugo michache Apatiwe kozi za msingi – kama za PASS na LITI Iwe ni biashara ya msingi siyo side line Ahakikishe vyakula vina ubora unaotakiwa Huduma za daktari wa mifugo ziwe karibu Soko lake liwe la uhakika Ujenzi wa mabanda ufuate viwango Mkopo utolewe kwa hatua kulingana na utekelezaji Awe na mtaji wa kuanzia - siyo mkopo 100%

1144.. HHIITTIIMMIISSHHOO

Ili kuongeza tija katika uzalishaji na usindikaji wa mazao ya kilimo na mifugo unahitaji uwezeshwaji kupitia mikopo – PASS iko tayari kufanikisha hili Ili kuongeza tija katika uzalishaji na usindikaji wa mazao ya kilimo na mifugo unahitajiuwezeshwaji kupitia mikopo – PASS iko tayari kufanikisha hili

Lakini pia huduma na mahitaji mengine lazima yawepo kama: utaalamu wa ufugaji bora (maofisa ugani), umilikaji wa ardhi/ malisho, mbegu bora, kudhibiti magonjwa, kuendeleza masoko

Lakini pia huduma na mahitaji mengine lazima yawepo kama: utaalamu wa ufugaji bora(maofisa ugani), umilikaji wa ardhi/ malisho, mbegu bora, kudhibiti magonjwa,kuendeleza masoko

Changamoto kubwa ni namna ya kupata dhamana inayokubalika benki – MKURABITA na kutumia vikundi SACCOS nk Changamoto kubwa ni namna ya kupata dhamana inayokubalika benki – MKURABITA nakutumia vikundi SACCOS nk

Uchambuzi (screening) wa wateja: wale tu walio makini,wanaotegemea mradi husika(core business) na wenye kujituma ndiyo hufanikiwa na wana uhakika wa ulipaji mikopo.

Uchambuzi (screening) wa wateja: wale tu walio makini,wanaotegemea mradihusika(core business) na wenye kujituma ndiyo hufanikiwa na wana uhakika wa ulipajimikopo.

Page 92: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

85

PPAASSSS IINNAAWWEEZZEESSHHAA UUWWEEKKEEZZAAJJII KKWWEENNYYEE MMIIFFUUGGOO..

KKAARRIIBBUUNNII MMNNUUFFAAIIKKEE

TTEELL:: 002233 22660033776655,, 22660033665588,, 22660033665522

FFAAXX 002233 22660033776688

EEMMAAIILL PPAASSSS@@PPAASSSS..AACC..TTZZ PP..OO.. BBOOXX 114466 MMOORROOGGOORROO

www.pass.ac.tzwww.pass.ac.tz

Page 93: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

MFUKO WA TAIFA WA PEMBEJEO

UPATIKANAJI WA MIKOPO KWA AJILI YA SHUGHULI ZA MIFUGO.

1.0 UTANGULIZI Mfuko wa Pembejeo za Kilimo (The Agricultural Inputs Trust Fund) ulianzishwa kwa Sheria ya Bunge Na. 9 ya mwaka 1994, na kufanyiwa marekebisho ya kwanza mwaka 2002. Kuanzishwa kwa Mfuko kulitokana na sababu mbalimbali zilizoathiri upatikanaji wa pembejeo zikiwa ni pamoja na:

• Kudhoofu kwa mfumo wa Vyama vya Ushirika na Vyama vya Msingi nchini ambavyo vilikuwa mhimili wa upatikanaji na usambazaji wa pembejeo kwa wakulima hadi ngazi ya kijiji kwa utaratibu wa mikopo.

• Kubadilika kwa sera ya biashara ya pembejeo na kuwa biashara huria. Mabadiliko haya yalifanya sekta binafsi ishindwe kukidhi mahitaji ya pembejeo ya taifa kwa wakati, kutokana na riba kubwa na masharti magumu ya mkopo katika mabenki ya biashara na pia ukosefu wa mitaji kwa waagizaji na wasambazaji pembejeo nchini.

• Kubadilika kwa sera na majukumu ya Bodi za Mamlaka za mazao na hivyo kushindwa kuhakikisha upatikanaji wa pembejeo.

2.0 MADHUMUNI Madhumuni makubwa ya kuanzishwa kwa Mfuko wa Pembejeo za Kilimo yalikuwa utekelezaji wa Sera ya Serikali katika kuhakikisha kwamba wakulima na wafugaji wanapata pembejeo kwa wakati unaofaa na kwa bei nafuu. Hivyo, madhumuni makuu ya Mfuko kama yalivyoainishwa katika kipengele Na. 4 cha sheria iliyounda Mfuko ni:-

• Kutoa mikopo ya riba nafuu ili kuwezesha kugharamia uagizaji na usambazaji wa pembejeo za kilimo na mifugo.

• Kuhakikisha kuwa pembejeo zinawafikia wakulima na wafugaji kwa wakati mwafaka. Aidha, kuanzia msimu wa 2003/04, Bodi ya Wadhamini ya Mfuko wa Pembejeo iliridhia kuanza mchakato wa kupanua wigo wa aina za mikopo zinazoweza kutolewa na Mfuko wa Pembejeo. Mfuko wa Pembejeo umefikisha mtaji wa zaidi ya shilingi bilioni 35 katika kipindi cha uhai wake (1994/95 hadi juni, 30 2009. Fedha hizi zimekopeshwa kwa walengwa nchini kote na zinatokana na ruzuku ya serikali ya kila mwaka ya wastani wa shilingi 2.5 bilioni pamoja na marejesho ya mikopo iliyotolewa. Pembejeo zinazoweza kuombewa mikopo ni mbolea za aina mbalimbali za viwandani, mbegu bora, dawa za tiba na chanjo za mifugo, vyakula vya mifugo, dawa za kuhifadhi mazao ya kilimo na mifugo, sumu za magugu, sumu za viatilifu vya mazao na mifugo, vifungashi vya mazao ya kilimo na mifugo na zana ndogondogo za kilimo na mifugo, zana ndogondogo za umwagiliaji, ununuzi wa matrekta mapya makubwa na madogo (power tillers) na kukarabati matrekta.

86

Page 94: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

Walengwa wa mikopo ya Mfuko wa Pembejeo ni wakulima au wafugaji wadogo wadogo binafsi au kupitia kwenye vikundi vya uzalishaji mali, Vyama vya Msingi, Mifuko ya Pembejeo ya Wilaya, taasisi zisizo za kiserikali, Vyama vya Ushirika vya Akiba na Mikopo (SACCOS) vya wakulima na wauzaji wa pembejeo wenye uzoefu usiopungua miaka miwili. Viwango vya mikopo inayotolewa na Mfuko wa Pembejeo kwa sekta ya mifugo ni hadi shilingi milioni hamsini (TZS 50) kwa waombaji binafsi na hadi shilingi milioni mia moja hamsini (TZS 150M) kwa vikundi vya uzalishaji mali na SACCOS. 3.0 UTARATIBU WA MIKOPO KUTOKA MFUKO WA PEMBEJEO Maombi ya mikopo sharti yapitishwe na Halmashuri za Wilaya/Manispaa/miji ambako mwombaji anafanyia shughuli anazoombea mkopo. Muda wa mkopo ni kuanzia miaka miwili hadi miaka saba kutegemea aina ya mkopo. Mikopo inayotolewa moja kwa moja na Mfuko hutozwa riba ya asilimia nane (8%) kwa wakulima/wafugaji binafsi na asilimia sita (6%) kwa vikundi/SACCOS na ile ambayo inayopitia kwenye taasisi nyingine kama vile benki za wananchi, Kampuni ya Dunduliza na Shirikisho la Vyama vya Akiba na Mikopo (SCCULT) hutozwa riba ya asilimia kumi (10%). Marejesho ya mikopo hii hufanyika kupitia akaunti maalum za Mfuko kwa awamu nane za miezi mitatu mitatu. Riba ya adhabu ya asilimia mbili kwa mwezi kwa salio la mkopo hutolewa kwa wakopaji wanaoshindwa kurejesha mikopo yao kwa wakati. Maombi yote ya mikopo hupitishwa na Halmashauri za Wilaya baada ya kufanya tathmini ya awali. Endapo Halmashuri zitakuwa makini katika utekelezaji zitauwezesha Mfuko kutoa mikopo kwa wale tu wanaostahili na hivyo kuhakikisha mikopo inatolewa na kutumika kwa malengo yaliyokusudiwa na kurejeshwa kwa wakati. Hali hiyo itaongeza mafanikio ya Mfuko na kuufanya uwe endelevu.

A) UTEUZI WA WAOMBAJI WA MIKOPO YA PEMBEJEO ZA KILIMO NA MIFUGO • Halmashauri za Wilaya zitatoa tangazo la kuwapo mikopo ya pembejeo za kilimo na

mifugo kupitia Mfuko Pembejeo • Waombaji watatakiwa kujaza fomu maalum za maombi na kutoa maelezo binafsi,

anuani ya makazi na biashara/shamba ikiambatanishwa na mchanganuo wa matumizi ya mkopo anaoomba (Business plan), kivuli cha leseni hai ya biashara ya pembejeo kwa wafanya biashara na kivuli cha hati ya dhamana ambacho mmiliki wake ndiye anayeomba mkopo.

• Maafisa Kilimo/Mifugo wa Wilaya watathibitisha shughuli zinazoombewa mikopo katika wilaya husika. Fomu za maombi zitahakikiwa na kusainiwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Wilaya na Afisa Kilimo/Mifugo Wilaya na kutumwa kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Mfuko wa Pembejeo. Fomu za maombi na vielelezo vinavyohitajika pamoja na mahitaji ya pembejeo ya wilaya husika zitatumwa kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Mfuko wa Pembejeo kwa hatua zaidi za utek,elezaji.

87

Page 95: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

• Maombi haya huchambuliwa na kuwasilishwa kwenye kikao cha Bodi ya Wadhamini wa Mfuko ili yaidhinishwe. Maamuzi ya Bodi hutumwa kwa waombaji na kwenye Halmashauri za Wilaya huska.

Endapo Halmashuri zitakuwa makini katika utekelezaji wa utaratibu huu zitauwezesha Mfuko kutoa mikopo kwa wale tu wanaostahili na hivyo kuhakikisha mikopo inatolewa na kutumika kwa malengo yaliyokusudiwa na kurejeshwa kwa wakati. Hali hiyo itaongeza mafanikio ya Mfuko na kuufanya uwe endelevu.

B) MASHARTI YA MIKOPO YA PEMBEJEO ZA KILIMO NA MIFUGO

• Wauzaji wa pembejeo binafsi, wakulima na wafugaji kupitia kwenye vikundi au wakulima na wafugaji binafsi sharti wawe na dhamana isiyohamishika yenye hati miliki (Title deed) na inayokubalika kisheria. Mwombaji sharti awe ndiye mmiliki wa hati itakayodhamni mkopo.

• Mwombaji awe amefanya biashara ya pembejeo kwa muda usiopungua miaka miwili. • Mifuko ya Pembejeo ya Wilaya isiyo na dhamana zenye hati miliki itadhaminiwa na

Halmashauri za Wilaya husika. • Vyama vya Akiba na Mikopo (SACCOS), vikundi vya wakulima na wafugaji visivyo na

dhamana za hati miliki sharti viwe na akiba ambayo ni sawa na theluthi moja ya mkopo wanaoomba. Waombaji wa kundi hili watatakiwa kuwa wanachama wa asasi ya kifedha itakayotoa mkopo kwa niaba ya Mfuko wa pembejeo.

4.0 MIKOPO ILIYOTOLEWA KATIKA SEKTA YA MIFUGO KUPITIA MFUKO

MWA PEMBEJEO. Mfuko wa pembejeo umekuwa ukiwahamasisha wafugaji binafsi na katika vikundi kuutumia mpango huu kujipatia mitaji ya kuendelesha shughuli zao za uzalishaji mali. Mfuko unashiriki katika maonesho yote ya kilimo na mifugo nchini, ikiwamo pia wiki ya maziwa ambayo huandaliwa na Wizara ya maendeleo ya mifugo na uvuvi. Kufuatia uhamasishaji huo Mfuko wa Pembejeo umeshatoa kiasi cha shilingi 480 millioni kwa baadhi ya mawakala wa kusambaza pembejeo za mifugo katika kipindi cha msimu wa 2002/03 hadi2008/09.

5.0 CHANGAMOTO ZA UTOAJI MIKOPO KATIKA SEKTA YA MIFUGO • wafugaji wengi hawana dhamana za mali zisizohamishika zenye hati miliki zinazotakiwa

taasisi za fedha kwa ajili ya kudhamini mikopo. • Mawakala wengi wa usambazaji wa pembejeo za mifugo wanatumia zaidi mali kauli za

wasambazaji wakubwa na kujipatia kamisheni na hivyo kutoona umuhimu wa kuomba mikopo kutoka Mfuko wa Pembejeo.

• Baadhi ya SACCOS hazijaimarika kimtaji na kiuongozi hivyo kushindwa kujidhamini zenyewe ili kupata mikopo.

• Uwezo mdogo wa Mfuko kuweza kutoa mikopo mikubwa kwa ajili ya miradi inayohitaji fedha nyingi katika sekta ya mifugo kama vile kuanzisha ranchi za mifugo.

88

Page 96: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

89

6.0 JITIHADA ZINAZOFANYWA NA MFUKO WA PEMBEJEO ILI KUONGEZA UPATIKANAJI MIKOPO KATIKA SEKTA YA MIFUGO.

• Mfuko wa Pembejeo unakubali matumizi ya leseni za makazi na hati miliki za kimila

kama dhamana ya mikopo. Kupatikana kwa hati hizi kutaleta ongezeko la wakulima na wafugaji kuwezeshwa kupitia Mfuo wa Pembejeo.

• Halmashauri zinashauriwa kutoa udhamini kwa vikundi vya uzalishaji mali na SACCOS zisizokuwa na hati miliki za mali zisizohamishika ili viweze kupata mikopo kutoka Mfuko wa Pembejeo. Tunazipongeza baadhi ya Halmashauri nchini kama vile Morogoro, Kilombero, Mvomero, Kiteto, Iringa na jiji la Mbeya kwa kutoa udhamini kwa SACCOS na kupata mikopo.

• Mfuko wa Pembejeo pia unatoa mikopo kwa udhamini au mkataba wa makubaliano na mnunuzi wa mazao au bidhaa husika. Kwa mfano SACCOS inayouza maziwa kwenye kiwanda cha kusindika maziwa inaweza kupata mkopo kwa makubaliano na kukatwa mkopo wao kupitia fedha watakazopata kutokana na mauzo ya maziwa kiwandani. Hii ni njia mojawapo ya kuondoa utegemezi wa hati miliki ili kuweza kupata mitaji na mikopo kuongeza tija ya uzalishaji mali.

Page 97: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

90

FURSA NA CHANGAMOTO ZA UZALISHAJI, USINDIKAJI, BIASHARA NA MASOKO YA MIFUGO, NYAMA NA BIDHAA ZAKE

ISSACK M. WANNAH, EVARIST MAEMBE NA HASSAN KILAMA

1.0 UTANGULIZI Mada hii imeandaliwa na wadau wa sekta ndogo ya nyama kupitia vyama vya Wafugaji kanda ya Mashariki, Chama cha wafanyabiashara ya Mifugo na Nyama Tanzania (TALIMETA) na Chama cha wasindikaji wa Nyama na mazao yake Tanzania (TAMEPA). Vyama hivi vinawakilisha hoja za wafugaji wa mifugo ya nyama, wafanyabiashara na wasindikaji wa nyama na mazao yake. Lengo la mada hii ni kutoa mchango wa wadau juu ya fursa na changamoto zilizopo katika sekta ndogo ya nyama. Vile vile kutoa ushauri wa namna ya kuboresha baadhi ya changamoto ili kupata mwelekeo endelevu wa sekta ndogo ya nyama. Vyama vya TALIMETA na TAMEPA ni vyama vya wadau wafanyabiashara ya mifugo na nyama na wasindikaji wa nyama katika ngazi ya Kitaifa wakati wafugaji wa mifugo ya nyama wanawakilishwa na chama cha wafugaji cha kanda ya mashariki. Hii ni kwa sababu mchakato wa kuunda chama cha wafugaji katika ngazi ya kitaifa bado unaendelea. Sekta ndogo ya nyama ni mojawapo ya sekta muhimu hapa nchini ambayo inategemewa na wadau wengi kuboresha maisha kama chanzo cha chakula na kipato. Hivyo basi wadau wanaamini kwamba sekta ya nyama ikisimamiwa kwa ukaribu, umakini, utashi wa kitaifa na kuboreshwa, sekta ina fursa kubwa za kuongeza kipato na kutoa ajira kwa watanzania walio wengi na Taifa kwa ujumla.

1.1 UZALISHAJI WA MIFUGO Tanzania inakabiliwa na ongezeko kubwa la mahitaji ya nyama bora linalotokana na hamasa ya watanzania wanaoelewa umuhimu wa ubora wa vyakula, soko maalumu la migodini, mahoteli ya kitalii, maduka maalum (supermarket), nchi jirani na za nje. Kutokana na ongezeko la mahitaji ya nyama bora, wazalishaji wa mifugo ya nyama wanakabiliwa na changamoto kubwa ya kuzalisha kulingana na mahitaji ya soko. Hali ya uzalishaji wa mifugo hii kwa kiasi kikubwa inafuata mifumo ya asili ambayo msingi wake mkubwa ni kuwa na idadi kubwa ya mifugo bila kujali ubora. Ni dhahiri kwamba hatuwezi kuendelea na uzalishaji wa namna hii wakati huu ambapo usindani na mahitaji ya nyama bora ni mkubwa. Ili mifugo iweze kuleta faida ni muhimu izalishwe kibiashara kwa kulenga mahitaji ya soko. Hata hivyo uzalishaji wa mifugo unakabiliwa na changamoto mbali mbali ambazo zinakwamisha uzalishaji wa mifugo bora.

1.2 BIASHARA YA MIFUGO NA NYAMA Mifugo ni rasilimali inayochangia uhakika wa chakula na ustawi wa jamii za wafugaji na watanzania walio wengi kupitia biashara ya mifugo na nyama. Biashara ya mifugo ikifanyika katika misingi ya uelewa, uwazi na ikizingatia haki, ina fursa kubwa katika kuchochea uzalishaji bora unaokidhi mahitaji ya soko.

Page 98: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

91

Hali ya biashara kwa sasa ni ya kubahatisha kwani uzalishaji haulengi biashara, hivyo kusababisha upatikanaji wa mifugo dhaifu (yenye daraja la chini la ubora, iliyoadhirika na magonjwa, yenye umri mkubwa) na unaopishana pishana. Ili kuhimili ushindani wa soko, ni muhimu wadau wa sekta tujipange na kuweka mikakati ya uzalishaji wa kibiashara kwa kuimarisha hatua zote za mlolongo wa thamani wa zao la nyama kuanzia uzalishaji wa ndama, unenepeshaji, biashara ya mifugo na nyama na usindikaji kwa kulenga mahitaji ya soko.

1.3 USINDIKAJI WA NYAMA NA MAZAO YAKE

Usindikaji wa nyama hapa Tanzania unafanyika kwa kiasi kidogo sana. Mpaka sasa usindikaji wa nyama umeishia kwenye uchinjaji unaofanyika kwa kiasi kikubwa kwenye machinjio duni zinazotumia vifaa visivyokidhi ubora. Hivi karibuni kumekuwa na uwekezaji katika machinjio bora na viwanda vidogo vidogo vya kusindika nyama ambavyo vina vifaa bora vya kuchinjia na kuhifadhi nyama. Machinjio hizo ni pamoja na Arusha Meat Company, Sumbawanga Agricultural and Animal Feed Investiment (SAAFI), Derlyn Investments Limited (Tanzania Pride Meat), Machinjio ya Dodoma, Interchick na Mkuza na viwanda vya TANMEAT 2002 Ltd, Happy Sausage na Best Meat ambavyo huzalisha bidhaa za nyama kama vile mikato mbali mbali ya nyama, sausage, billitongs na nyama ya kusaga. Hata hivyo viwanda hivi huzalisha chini ya uwezo wake kutokana na uwezo mdogo wa uwekezaji, ukosefu wa mifugo bora kwa wakati na mfumo dhaifu uliopo wa mlolongo wa thamani wa zao la nyama.

Kutokana na hali halisi ya sekta kwa wakati huu, wadau wa sekta ya nyama tunaona mambo yafuatayo ni muhimu tuyaangalie kwa kina ili kuboresha uzalishaji, biashara na usindikaji wa nyama kwa lengo la kuongeza chakula na kipato kwa wadau na Taifa kwa ujumla. Mambo hayo ni pamoja na:-

a) Kuhamasisha wadau wote wa sekta ya nyama kuunda na kuimarisha vikundi/vyama vyao kuanzia katika ngazi za kijiji hadi kitaifa.

b) Kuelimisha wadau wa sekta ya nyama kwamba mifugo ni zao la kibiashara. c) Kutumia mbegu bora za mifugo kuzalisha mifugo iliyo bora na inayohimili mazingira

ya nchi yetu. d) Matumizi ya malisho bora na maji ya kutosha e) Kuwekeza kwenye miundombinu ya soko inayokidhi mahitaji ya biashara ya mifugo. f) Kuhamasisha usindikaji wa bidhaa za nyama, matumizi ya machinjio bora, ujenzi wa

viwanda, vyombo vya usafirishaji na uhifadhi bora ili kuongeza thamani. g) Kuimarisha soko la ndani la mifugo na bidhaa za nyama na kuendeleza fursa za

masoko mengine yanayojitokeza. h) Kuhamasisha sekta ya Fedha na Bima kuwekeza na kutoa huduma kwenye sekta ya

mifugo i) Kusimamia utekelezaji wa sheria na kanuni za mifugo katika mlolongo mzima wa

thamani wa zao la nyama.

Page 99: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

92

2.0: KUHAMASISHA WADAU WA SEKTA YA NYAMA KUUNDA NA KUIMARISHA

VIKUNDI/VYAMA VYAO KUANZIA KATIKA NGAZI ZA KIJIJI HADI KITAIFA.

Uzalishaji, biashara na usindikaji wa nyama na mazao yake hapa nchini hufanywa na mtu mmoja mmoja na mara nyingi katika ngazi ya kujikimu. Hii inatokana na uwezo mdogo wa kifedha kuwekeza kibiashara. Kwa muda mrefu sasa kumekuwa na juhudi za kuhamasisha uundwaji vikundi na vyama vya wadau katika ngazi mbali mbali za kiutawala ili kuunganisha nguvu kiutetezi, ushawishi na kifedha kwa lengo la kupanua na kuendeleza uzalishaji katika sekta ya mifugo. Vikundi na vyama vingi vimekwisha undwa lakini vinakabiliwa na tatizo la uwezo mdogo wa kiutawala, kujiendesha (kifedha) na matarajio makubwa ya kuwezeshwa ama na serikali au mashirika yasiyo ya kiserikali. Jambo hili limesababisha vikundi na vyama hivi kushindwa kusimamia kikamilifu shughuli za kujiendeleza. Changamoto: Uundaji wa vyama vya wadau vyenye nguvu na uwezo wa kutekeleza majukumu yake kwa ufanisi. Fursa

• Kuwepo kwa wazalishaji wa mifugo katika makundi mbali mbali kama vile wazalishaji wadogo, wa kati na wakubwa katika kila wilaya ambao ndio nguzo ya vikundi na vyama vya wadau.

• Kuwepo kwa vyama vya wadau katika ngazi mbali mbali za mlolongo wa thamani. Vyama hivi vikiwezeshwa kwa kupatiwa mafunzo ya utawala vitaweza kujiendesha vyenyewe na kusimamia maendeleo ya sekta ya nyama.

• Ushiriki hai (active participation) wa vyama vya wadau katika michakato mbalimbali ya kutunga, na kuhuisha sera na sheria ili kulenga matakwa ya wadau.

• Kuwa na uwakilishi wa hoja na maamuzi ya wadau wa sekta kwa kupitia vyama vyao.

3.0: KUELIMISHA WADAU WA SEKTA YA NYAMA KWAMBA MIFUGO NI ZAO LA

KIBIASHARA

Mageuzi ya sekta ya nyama yanahitaji mabadiliko ya kifikra kwa wadau wa sekta katika ngazi zote. Hii ni pamoja na kubadilisha malengo katika uzalishaji wa mifugo ili kupata bidhaa za mifugo zilizo bora zinazokidhi mahitaji ya soko. Hivyo basi, wadau wanahitaji kuelimishwa umuhimu wa kuzalisha kibiashara na kuelewa kuwa mifugo, nyama, mayai, ngozi, mbolea, damu, pembe na manyoya ni pesa. Elimu hii inaweza kutolewa kwa nadharia, vitendo na kupitia mifano ya wadau wanaozalisha kibiashara. Uzalishaji wa kibiashara hauwezi kufanikiwa bila ya matumizi ya teknolojia na utaalamu. Kwa sasa, kuna tatizo la wataalamu wa sekta ya mifugo kutowekeza kwenye sekta ya mifugo na kuwaacha wadau wa mifugo na kiu ya utaalamu na ujuzi wao. Hii ni kwa sababu uwekezaji katika sekta ya mifugo unachukua muda mrefu (ng’ombe miaka 3, nguruwe mwaka 1.8, Kondoo na mbuzi mwaka 1.6, kuku wa mayai miezi 6, kuku wa nyama siku 56) hadi kuanza kuuza mazao ya mifugo na ina risk kubwa.

Page 100: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

93

Changamoto:

1. Namna ambavyo elimu na technolojia za uzalishaji na usindikaji zitawafikia wadau wote nchini.

2. Namna ambavyo wataalamu watahamasishwa kuwekeza kwenye sekta ya mifugo Fursa:

• Kuwepo kwa wataalamu wanaomaliza vyuo vya mifugo nchini ambao wakitumia utaalamu walionao kuanzisha uzalishaji wa mifugo bora kwa kulenga mahitaji ya soko utaboresha zao la nyama.

• Kuwepo kwa elimu ya uzalishaji bora katika mazingira ya nchi yetu kulingana na mahitaji ya wadau. Elimu itolewe kwa njia ya sinema, mashamba ya mifano katika kanda, mashamba darasa, maonesho mbali mbali na kupitia hadithi za wadau wanaozalisha kibiashara na mafanikio yao.

• Kuwepo kwa wadau wenye kufanya vizuri katika uzalishaji na usindikaji katika sekta ya nyama. Wadau hawa washindanishwe kwa lengo la kuleta mabadiliko na kuwapa motisha watakaofanya vizuri, kushiriki maonesho mbali mbali (Nanenane, Sabasaba).

4.0: MATUMIZI YA MBEGU BORA ZA MIFUGO KUZALISHA MIFUGO BORA

INAYOHIMILI MAZINGIRA YA NCHI YETU.

Aina nyingi za mifugo ya nyama iliyopo hapa nchini ni ya asili ambayo kasi ya ukuwaji wake na uwekaji wa minofu ni ndogo, hali ambayo inaathiri upatikanaji wa nyama bora. Hivyo basi ni muhimu kutumia mbegu bora za mifugo na kuzalisha mifugo ambayo itahimili hali ya mazingira na kukuwa kwa haraka ili kupata nyama bora.

Kwa sasa kuna uhaba na ugumu wa upatikanaji wa mbegu bora za mifugo ya nyama yenye uwezo wa kukua kwa haraka, kuweka minofu na kufikia uzito unaohitajika kwa muda mfupi. Mbegu zinazozungumziwa hapa ni za mifugo kama vile nguruwe, mbuzi, kondoo, kuku na ng’ombe.

Changamoto: 1. Uwezo wa wadau wa sekta ya nyama kulipia gharama za mbegu bora. 2. Upatikanaji wa mbegu bora katika maeneo ya wazalishaji.

Fursa:

• Kuwa na taasisi za Utafiti, taasisi hizi zitafiti mbegu bora za mifugo ya nyama kulingana na mazingira ya nchi yetu.

• Kuwa na sekta binafsi kwenye biashara ya kusambaza mbegu bora. Sekta hii ihamasihwe kusambaza mbegu hizi nchi nzima ili ziwafikie wazalishaji wadogo wa mifugo ya nyama. Ufuatiliaji wa uhifadhi na usambazaji wa mbegu hizo ufanyike mara kwa mara ili kulinda ubora.

• Kuwepo kwa vituo vinavyozalisha mbegu bora kama vile NAIC, kutumia madume ya Ankole toka Chaka, madume ya Borani toka NARCO, mbegu za nguruwe toka

Page 101: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

94

Segerea Seminari, Ngerengere na majogoo bora ya kuku toka shirika la Elimu Kibaha. Wazalishaji wadogo wadogo wahamasishwe kutumia mbegu bora zinazopatikana hapa nchini. Uzoefu unaonyesha kuwa wazalishaji wako tayari kununua kilicho bora, kwa mfano wafugaji wanenepeshaji wa mikoa ya Shinyanga, Tabora na Mwanza wanabadilisha mitamba minne kwa dume la Ankole ili kupata ng’ombe wakubwa wanaokidhi mahitaji ya soko la Comoro, hununua nguruwe bora wenye mimba kati ya shs 200,000 -250,000 na majogoo bora kwa bei kati shilingi 10,000-12,000, hata hivyo mbegu hizi hazitoshelezi mahitaji.

5.0: MATUMIZI YA MALISHO BORA NA MAJI YA KUTOSHA

Mifugo inahitaji malisho bora na maji ya kutosha ili iweze kukua kwa kasi kufikia uzito unaohitajika kwa wakati, mpaka sasa suala la maji, malisho na vyakula vya mifugo linasababisha migogoro mikubwa katika jamii yetu. Hii ni kwa sababu mifumo ya asili ya uzalishaji wa mifugo ya nyama ni huria na hutegemea rasilimali za malisho na maji ya asili katika maeneo huria. Hali hii inasababisha ukosefu wa malisho bora kwa mifugo ya aina ya ng’ombe, mbuzi na kondoo. Kwa upande mwingine, vyakula vya ziada vya mifugo hufanana na vile vya binadamu na kusababisha ushindani mkubwa katika upatikanaji wake na bei. Mifugo inayoathirika zaidi na hali hii ni kuku, nguruwe na ng’ombe wa nyama wanaonenepeshwa. Changamoto:

1. Namna ya kuboresha uzalishaji wa malisho na kupata vyakula mbadala. 2. Namna ya kuhifadhi malisho ya mifugo ili itumike wakati wa kiangazi 3. Namna ya kupata vyanzo endelevu vya maji kwa ajili ya mifugo

Fursa:

• Kuwepo kwa maeneo makubwa yanayofaa kwa ufugaji. Kutenga na kuhakiki maeneo kwa ajili ya ufugaji na shughuli za uzalishaji nyama kwa mujibu wa Sheria ya Ardhi ya mwaka 1999 kifungu na. 5 kuhusu matumizi ya ardhi. ili kutoa fursa kwa wadau kuyaendeleza kwa kuweka miundombinu ya ufugaji bora kama vile visima vya maji, mabwawa, malambo na kuendeleza malisho kwa kulima na kuboresha malisho.

• Kuwepo kwa ranchi ndogo ndogo. Wawekezaji waendeleze ranchi zao kwa kuweka miundombinu ya maji na malisho bora ili kuzalisha ndama bora, kuwaandaa na kuwanenepesha ili kuzalisha mifugo bora inayokidhi mahitaji ya soko.

• Kuwepo kwa kilimo cha mazao mbadala kwa chakula cha mifugo kama vile mtama, mhogo, na soya na mabaki vya mazao kama ngano, mashudu, Molasisi na mabaki ya pombe.

6.0 MIUNDOMBINU YA SOKO INAYOKIDHI MAHITAJI YA BIASHARA YA MIFUGO

Miundombinu ya masoko mengi ya mifugo hususan minada ya awali haikidhi mahitaji ya biashara ya mifugo kama vile kuzungushiwa uzio na sehemu ya kuweka mifugo wakati wa

Page 102: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

95

kusubiri kuuza, sehemu ya chakula, mizani ya kisasa za kupimia uzito wa mifugo, sehemu ya kuendeshea mnada, chumba cha kupokea, kutunzia na sehemu ya kukagulia mifugo na kutoa vibali husika. Changamoto:

1. Namna ya kuweka, usimamizi na ukarabati wa miundombinu ya masoko ya mifugo na huduma nyingine

2. Namna ya kuweka miundombinu ya masoko, machinjio na viwanda vya kusindika mazao ya mifugo mingine kama kuku na nguruwe.

Fursa:

• Kuwepo kwa vikundi vya wafanyabiashara wa mifugo ambavyo vikihusishwa katika kusimamia, kukarabati uzio kuzunguka minada na miundombinu mingine muhimu vitaboresha hali ya minada.

• Uendeshaji wa minada kibiashara. Kitengwe kiasi cha fedha kutoka kwenye maduhuli ya mifugo inayouzwa minadani ambacho kitatumika kukarabati na kuweka miundombinu muhimu katika minada.

• Kuwepo kwa biashara ya mifugo. Uuzaji wa mifugo ufanyike kwa kuzingatia ubora wa mifugo (daraja na uzito) na kwa mnada. Pia kuwa na usimamizi thabiti wa viwango vya madaraja ya mifugo inayoingia mnadani, kwa njia hii wazalishaji watahamasika kunenepesha ili kupata bei nzuri ya mifugo.

• Kuwepo na kushamiri kwa biashara ya kuku na nguruwe. 7.0 KUHAMASISHA USINDIKAJI BIDHAA ZA NYAMA, MATUMIZI YA MACHINJIO BORA, UJENZI WA VIWANDA, VYOMBO VYA USAFIRISHAJI NA UHIFADHI BORA ILI KUONGEZA THAMANI

Usindikaji wa bidhaa za nyama ni mdogo sana hapa nchini. Hali hii inasababisha kuenea kwa uchinjaji wa mifugo katika kila wilaya. Usafirishaji wa mifugo toka eneo moja hadi jingine unaongeza gharama za uzalishaji wa nyama na hivyo kufanya bei ya nyama kuwa kubwa kiasi cha kuwashinda walaji walio wengi. Kuwepo kwa machinjio bora na safi kutasaidia kupunguza bei ya nyama. Uchinjaji na usafirishaji wa nyama toka machinjio haukidhi viwango na mahitaji ya soko hususani katika miji mikubwa ya Tanzania. Hali kadhalika uuzaji na uhifadhi ni duni sana. Maduka ya kuuza nyama yamezagaa katika maeneo machafu na yamejengwa kiholela bila kuzingatia viwango. Changamoto:

1. Kuacha kula nyama yenye damu ili kupunguza usafirishaji mifugo hai. 2. Kuweka mazingira ya kuvutia wawekezaji kwa kuweka vivutio vya kibiashara kama

maji, umeme na barabara katika maeneo ya uwekezaji 3. Upatikanaji wa vifaa na mashine za kusindika nyama, vifungashio na stiker hapa

nchini 4. Elimu ya usindikaji wa bidhaa mbali mbali za nyama

Page 103: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

96

5. Kutokuwa/kutokuzingatia viwango vya ubora wa nyama na mazao yake Fursa:

• Kuwepo kwa mifugo mingi na ya aina mbali mbali • Kuwepo kwa mahitaji makubwa ya bidhaa bora za nyama. Miradi ya unenepeshaji,

mashamba ya malisho na kuendesha viwanda vya kusindika bidhaa za nyama vinahitajika sana.

• Kuwepo kwa machinjio zinazomilikiwa na Halmashauri za wilaya na binafsi. Machinjio hizi zikiboreshwa uhakika wa kuzalisha nyama bora, safi na salama utakuwepo kulingana na sheria zilizowekwa. Bidhaa kama damu na ngozi ziandaliwe na kuhifadhiwa kwa ubora unaohitajika.

• Kuwepo kwa mahitaji ya vituo vya kuhifadhia na kusambaza nyama bora (meat whole sale deport) kwa wauzaji katika kila Halmashauri ili kuondoa ulazima wa kuwa na machinjio ndogo ndogo zisizokithi ubora.

• Kuwepo kwa mahitaji ya nyama salama. Usafirishaji wa nyama toka eneo la machinjio kwenda kwenye soko na ujenzi wa maduka bora ya nyama yenye vifaa vya kukatia na kuhifadhi nyama kama vile misumeno na majokofu uzingatie viwango vya usafi na kulinda ubora wa bidhaa.

• Kuwepo na chuo cha mafunzo ya ukataji wa bidhaa za nyama, VETA Dodoma. Chuo hiki kitasaidia wadau wengi zaidi kujifunza namna ya ukataji wa nyama ili kuongeza thamani ya nyama.

• Kuwepo kwa mfuko wa pembejeo za kilimo na mifugo. Mfuko huu uangalie namna ambavyo utasaidia kuingiza vifaa na mashine ndogo ndogo za kusindika nyama hapa nchini.

8.0: KUIMARISHA SOKO LA NDANI LA MIFUGO NA BIDHAA ZA NYAMA NA KUENDELEZA FURSA ZA MASOKO MENGINE.

Mifugo inayozalishwa kwa kiasi kikubwa inatumika hapa nchini. Biashara ya kusafirisha mifugo ndani ya nchi kutoka katika maeneo yanayozalisha mifugo kwa wingi imeshamiri sana. Hata hivyo mifugo inayouzwa katika soko hili ni duni na ni ya daraja la chini. Kwa kiasi kidogo sana mifugo huuzwa kihalali nje ya nchi katika nchi ya Comoro, DRC na Kenya. Aidha, soko la bidhaa za nyama hapa nchini ni kubwa na limegawanyika katika sehemu kuu mbili ambazo ni Soko la wazalendo ambalo ni la kawaida. Katika soko hili ulaji wa bidhaa za nyama ni wa kubahatisha kutegemeana na kipato cha mlaji na mara nyingi ni nyama ya ng’ombe, bidhaa nyingine kama mayai, kuku, nyama ya mbuzi, ya nguruwe na ya kondoo zenye bei kubwa zinaonekana kuwa ni anasa. Kwa kweli ulaji wa nyama uko chini na wananchi wanakula nyama ambayo si salama. Tatizo kubwa lililopo ni bei kubwa ya nyama inayosababishwa na:-

• Usafirishaji wa mifugo hai kwa umbali mrefu na kwa siku nyingi na kusababisha ongezeko la gharama ya uzalishaji, gharama hii hubebwa na mlaji (Kiambatanisho 1), mfano bei ya nyama ya mbuzi ni ya sh. 5000/-, kuku wa asili ni kati ya 8000-12000/ na nyama ya nguruwe ni zaidi shilingi 5000 kwa kilo kwa Dar es Salaam, bei ambayo humfanya mlaji aamue kuacha kula nyama hiyo.

Page 104: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

97

• Vipimo na ukataji wa nyama humlazimisha mlaji kununua kiasi cha kilo moja au nusu kilo, hali hii haimpi nafasi mlaji kununua kulingana na uwezo wake wa kifedha, mahitaji na pengine analazimika kununua kuku mzima wakati anahitaji sehemu ya nyama hiyo (vipaja au kidali cha kuku).

Soko lingine ni maalumu ambalo linajumuisha mahoteli ya kitalii, migodi na supermarket. Soko hili ni la watu makini wanaojali ubora wa bidhaa za nyama na hatujalitosheleza. Hata hivyo, nyama ya ng’ombe na mbuzi imeanza kujipenyeza kwenye soko hili ingawaje baadhi ya bidhaa za nyama kama vile nyama ya nguruwe, mayai, kuku na kondoo zinaingizwa toka nje ya nchi ili kukidhi mahitaji ya soko hili. Soko la Afrika ya mashariki na kati la nyama ya mbuzi, kondoo na ng’ombe limeanza kuwavutia wafanyabiashara wa hapa nchini, kwa sasa kuna kampuni mbili (DSM, Mara) zinazoshughulika na soko hilo. Vile vile wafanyabiashara mmoja mmoja wanajishughulisha na usafirishaji wa bidhaa za nyama kwenda katika soko la Mashariki ya Kati. Takwimu za biashara ya mifugo ya nje ya nchi zinaonyesha kiasi cha mifugo 5,098 huuzwa katika nchi za Comoro, Kenya, Burundi na Malawi na kiasi cha mifugo 300,000 huvuka mipaka kwenda nchi jirani isivyohalali kila mwaka. Takwimu hizi zinaonyesha kwamba kuna biashara ya mifugo 305,098 kila mwaka ambayo haimnufaishi mwananchi na wala haiingizii kipato nchini. Changamoto:

1. Kuimarisha soko la ndani na kupenyeza katika soko la nje. 2. Namna ya kudhibiti na kuhalalisha biashara ya mifugo na nchi jirani ili kufungua

soko na kuongeza kipato. Fursa:

• Kuwepo kwa soko maalumu la nyama. Kuimarisha juhudi za wadau za kuzalisha bidhaa bora zinazolenga soko maalum kwa kutoa mafunzo ya kanuni za uzalishaji bora ikiwa ni pamoja na kutumia mbegu bora, ulishaji bora, unenepeshaji na kinga dhidi ya magonjwa.

• Kuwepo kwa machinjio bora na viwanda vya kusindika nyama. Viwanda hivi vikiongeza uzalishaji vitahamasisha unenepeshaji wa ng’ombe na kuku, uzalishaji kwa mkataba ili kuwa na uhakika wa upatikanaji wa mifugo ya kuchinja.

• Kuwepo kwa mahitaji ya nyama za nguruwe, kuku na kuku wa asili. • Kuwepo kwa mahitaji ya nyama bora. Kunahitajika kuweka viwango vya ubora wa

nyama na kuvisimamia ili kuhakikisha nyama inayozalishwa ina ubora unaokidhi mahitaji ya soko la ndani na nje.

• Kuwepo kwa soko kubwa la nyama ndani ya nchi. Tuangalie namna ya kupunguza gharama za uzalishaji kwa kuondoa gharama ya kusafirisha mifugo hai na kuongeza usindikaji nyama katika maeneo ya uzalishaji na kusafirisha nyama. Kwa namna hii bei ya nyama itapungua na kufanya wazalendo walio wengi kuweza kutumia bidhaa za nyama. Matumizi ya mizani zenye uwezo wa kupima kwa gramu ili kumpa nafasi mlaji kununua nyama kulingana na mahitaji na kipato chake.

• Kuwepo kwa soko la mifugo na nyama nje ya nchi. Kufanya utafiti wa hali halisi ya biashara ya mifugo mipakani ili kubaini sababu zinazosababisha kuwepo kwa

Page 105: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

98

biashara isiyohalali na kuidhibiti kwa kuimarisha minada ya mpakani na kutoza faini wanaofanya biashara isiyohalali. Kuruhusu wadau wengine kutumia chapa za ubora wa bidhaa zilizokubalika na kufahamika ili kupenya kwenye soko, kwa mfano msindikaji mwenye uwezo wa kuzalisha nyama yenye viwango sawa na Kongwa beef aruhusiwe kutumia chapa ya Kongwa na kuingiza nyama hiyo sokoni.

9.0: KUHAMASISHA TAASISI ZA FEDHA NA BIMA KUWEKEZA NA KUTOA HUDUMA KWENYE SEKTA YA MIFUGO. Mtaji wa kuwekeza katika shughuli za uzalishaji, biashara na usindikaji wa mifugo na bidhaa zake ni tatizo kubwa katika sekta ya nyama. Kwa kuwa lengo ni kuiendeleza sekta ya nyama ni vema suala la kuweka bima ya shughuli za mifugo lipewe kipaumbele ili kupunguza au kuondoa hofu ya kupata hasara. Jambo hili likifanikiwa itakuwa rahisi kwa mabenki kutoa mikopo kwa ajili ya shughuli za mifugo na nyama kwani hofu ya hasara (risk) itakuwa inabebwa na Bima. Changamoto:

1. Kuwa na Bima katika shughuli za uzalishaji wa mifugo na bidhaa za nyama. 2. Kuwa na mazingira mazuri ya kuingia ubia kati ya wadau na serikali na wawekezaji

wa ndani na nje. 3. Upatikanaji wa mikopo ya kuwekeza kwa muda mrefu. 4. Upatikanaji wa Bank guarantee kwa wawekezaji itakayowezesha kupata mikopo ya

muda mrefu na yenye riba nafuu.

Fursa: • Kuwepo kwa Benki kuu kunawezesha kutoa guarantee kwa miradi yenye uwezo wa

kusaidia nchi kiuchumi. Tunapendekeza miradi ya mifugo nayo ipewe kipaumbele. • Kuwepo kwa shirika la Bima la Taifa. Serikali itoe udhamini kwa wadau wa sekta ya

mifugo ili waweze kuweka Bima za mifugo hususan uzalishaji wa mifugo. • Kuwepo kwa taasisi za kibenki zinazotoa mikopo. Kwa sasa Shirika la PASS

linasaidia kuandika michanganuo ya miradi na kuunganisha wadau na huduma za kifedha kwa ajili ya shughuli za ufugaji kwa muda mfupi na si uwekezaji mkubwa, hivyo kuna mahitaji ya taasisi kama hii kwa ajili ya uwekezaji wa muda mrefu.

• Kuwepo kwa wadau wa mifugo wenye nia ya kuingia ubia, kuwepo na mahitaji makubwa ya nyama bora, safi na salama.

• Kuwepo kwa SACCOS. Wadau wa sekta ya nyama kwa kupitia vyama vyao wanaweza kuanzisha kuanzisha SACCOS zitakazosaidia kupata mitaji.

• Kuwepo kwa mpango wa EPZ. Mpango huu unaweza kusaidia kuendeleza sekta ndogo ya nyama kuzalisha na kuuza bidhaa zake nje ya nchi.

10.0: KUSIMAMIA UTEKELEZAJI WA SHERIA NA KANUNI ZA MIFUGO KATIKA MAENEO YOTE YA SEKTA

Sekta ya nyama inaongozwa na sheria na kanuni mbali mbali ikiwa ni pamoja na sheria ya ardhi, sheria za magonjwa, sheria ya Chakula, Dawa na Vipondozi, sheria ya Nyama na

Page 106: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

99

sheria ya Haki za Wanyama. Ili sekta ya mifugo ifanye vizuri ni muhimu sheria hizi zifahamike miongoni mwa wadau na utekelezaji wake usimamiwe. Changamoto: Namna ya kusimamia sheria hizi kikamilifu na kwa ufanisi

Fursa:

• Kuwepo kwa sheria mbali mbali zinazosimamia uzalishaji, biashara na usindikaji wa nyama.

• Kuwepo kwa wadau katika sekta ndogo ya nyama. Sheria zitafsiriwe ili kila mdau azifahamu na kufanya shughuli zake kwa mujibu wa sheria.

• Kuwepo kwa vyombo vya kusimamia utekelezaji wa sheria hizi. Bodi ya Nyama Tanzania na Mamlaka ya Chakula, Dawa na Vipondozi kwa shirikiana na Halmashauri za Wilaya zisimamia kikamilifu utekelezaji wa sheria hizi na kutoa adhabu kwa watakaokiuka.

11.0: HITIMISHO Kwa niaba ya wazalishaji, wafanyabiashara wa mifugo na wasindikaji wa nyama nchini naleta kwenu maoni haya. Tukiamini kuwa changamoto hizi zikipata ufumbuzi zitawezesha fursa hizi kuendelezwa tunaweza kupata mfumo mzuri ya sekta ya nyama nchini.

Page 107: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

100

Kiambatanisho 1: Jedwali la gharama za usafirishaji wa Mifugo Soko Mifugo Wastani

wa mauzo

Inakokwenda % ya idadi

Muda Njiani (saa)

Gharama Chombo

SHINYANGA Pugu 63 48 30,000 Lori Messarani 15 48 25,000 Lori Mwanza 9 24 15,000 Lori

Ng’ombe 2400

Tarime 3 24 12,000 Lori Pugu 80 48 3,500 Lori Kizota(Dodoma) 0.8 24 3,000 Lori

Mhuze (Kishapu)

Mbuzi na Kondoo

2,500

Mwanza 0.6 4 2,000 Lori Ng’ombe 1,644 Pugu 82 36 25,000 Lori Masabi

(Kahama) Mbuzi na Kondoo 164 Pugu 26 36 5,000

Lori

Pugu 20 48 30,000 Lori Mwanza 70 6 10,000 Lori

Ng’ombe

3000 Tarime 5 8 10,000 Lori Pugu 10 48 5,000 Lori

Shanwa (Maswa)

Mbuzi na Kondoo

2400 Mwanza 8 6 3,000

Lori

Pugu 40 48 30,000 Lori Mwanza 55 6 10,000 Lori

Ng’ombe 3,100

Tarime 5 8 20,000 Lori Pugu 20 48 5,000 Lori Mwanza 75 6 3,000 Lori

Bariadi(Bariadi)

Mbuzi na Kondoo

1,200

Tarime 5 8 3,500 Lori TABORA

Pugu 48 24 25,00 Lori Ng’ombe 1,200 Ipuli 20 3 5,000 Lori

Urambo (Urambo)

Mbuzi na Kondoo

350

Pugu 25 24 3,000

Lori

Ng’ombe 4,200 Pugu 90 24 18,000 Lori Igunga (Igunga) Mbuzi

na Kondoo

2,100 Pugu

79 24 2,500

Lori

Pugu 76 24 20,000 Lori Messerani 15 24 25,000 Lori

Ng’ombe 3,100

Dodoma 9 12 15,000 Lori Pugu 98 24 3,000 Lori

Ndala (Nzega)

Mbuzi na Kondoo

420

Dodoma 2 12 2,500 Lori

SINGIDA Pugu 97 24 15,000 Lori Ng’ombe

375 Weruweru 3 13 15,000 Lori Pugu 99 21 3,000 Lori

Ulemo (Singida)

Mbuzi na Kondoo 720

Dodoma 1 6 3,000

Lori

Page 108: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

101

Soko Mifugo Wastani wa mauzo

Inakokwenda % ya idadi

Muda Njiani (saa)

Gharama Chombo

Pugu 92 18 15,000 Lori Ng’ombe 780 Dodoma 8 3 12,000 Lori Pugu 97 18 3,000 Lori

Manyoni

Mbuzi na Kondoo

480

Dodoma 3 3 30,000 Lori

KAGERA Pugu 18 96 36,000 Lori Bukombe 52 24 6,000 swaga Kibondo 20 24 6,000 swaga

Lusahunga (Biharamulo)

Ng’ombe 3,900

Katoro 8 24 2,000 swaga ARUSHA Messerani (Monduli)

Ng’ombe 1,400 Themi 90 26 2,000

swaga

Moshi 70 3 1,500 Lori Mbauda (Arusha)

Mbuzi na Kondoo

3,000

Arusha 30 40min 1,000 Lori

MANYARA Themi 90 26 2,000 swaga Kattit 3 32 2,500 swaga Messarani 4 36 3,000 swaga

Ng’ombe 600

Weruweru 3 45 5,000 swaga Mirongo 41 12 1,000 swaga

Simanjiro Terrat

Mbuzi na Kondoo

340

Mbauda 59 22 2,000 Lori

Messerani 30 3 8,500 Lori Themi 5 2 10,000 Lori Weruweru 40 6 13,000 Lori

Ng’ombe 1,700

Pugu 25 10 25,000 Lori Mbauda 70 6 2,000 Lori

Mbulu- Endagigot

Mbuzi na Kondoo

540

Pugu 30 12 7,000 Lori

Pugu 85 10 20,000 Lori Korogwe 1 96 3,000 swaga Weruweru 4 120 3,600 swaga

Kibaya-Kiteto Ng’ombe 1,400

Dodoma 10 72 3,000 swaga Kiteto Mbuzi

na Kondoo

840 Pugu

85 10 2,600 Lori DODOMA

Ng’ombe 1,500 Pugu 40 12 14,000 Lori Kizota (Dodoma) Mbuzi

na Kondoo 2,700 Pugu 80 12 2,000 Lori

Pugu 85 60 17,000 Lori Dodoma 5 18 2,000 swaga

Ng’ombe 1400

Iringa 10 72 2,000 swaga

Chipogoro (Mpwapwa)

Mbuzi 396 Pugu 90 60 3,000 Lori/

Page 109: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

102

Soko Mifugo Wastani wa mauzo

Inakokwenda % ya idadi

Muda Njiani (saa)

Gharama Chombo

swaga Dodoma 7 4 1,500 Lori

na Kondoo

Iringa 3 6 1,500 Lori Ng’ombe

670 Pugu 93 36 16,000 Lori/ swaga

Bukulu (Kondoa)

Mbuzi na Kondoo 900 Pugu 90 36 4,000

Lori/ swaga

RUKWA Ng’ombe 450 Pugu 34 48 85,000 Lori

Mbeya 43 24 40,000 Lori Sumbawanga 20 5 7,000 Lori

Namanyere (Nkasi)

Mpanda 3 5 7,000 Lori Mbeya 72 12 35,000 Lori Songea 2 24 60,000 Lori

Klyamatundu (Sumbawanga)

Ng’ombe 780

Pugu 26 36 70,000 Lori Mbeya 80 30 35,000 Lori Sumbawanga 10 6 8,000 Lori Mpanda 4 6 15,000 Lori

Ng’ombe 1,200

Pugu 6 52 75,000 Lori

Majimoto (Mpanda)

Mbuzi na Kondoo

450

Mpanda 10 5 4,000

Lori

MARA Mwanza 30 6 15,000 Lori Pugu 25 30 40,000 Lori

Ng’ombe 702

Musoma 45 6 3,000 swaga Musoma 75 1 1,000 Lori

Kiabakari (Musoma)

Mbuzi na Kondoo

750

Bunda 25 1 1,000 Lori

IRINGA Lugodalutali (Iringa)

Ng’ombe 450 Pugu 52 32 32,000 Lori Pugu 20 10 25,00 Lori Ng’ombe 640 Mbarali 7 72 5,000 swaga

Kimande(Iringa)

Mbuzi na Kondoo 64 Iringa 37 4 2,000 Lori

MBEYA Pugu 15 16 40,000 Lori Songea 10 11 35,000 Lori

Ng’ombe 1,200

Mbeya 75 20 2,000 swaga Pugu 5 16 7,000 Lori

Mbuyuni (Chunya)

Mbuzi na Kondoo

1,200

Mbeya 95 4 2,000 Lori

Songea 15 10 20,000 Lori Utengule (Mbarali)

Ng’ombe 1,200 PUGU 15 14 30,000 Lori

Page 110: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

103

Soko Mifugo Wastani wa mauzo

Inakokwenda % ya idadi

Muda Njiani (saa)

Gharama Chombo

Iringa 10 6 12,000 Lori Mbeya 40 3 1,500 swaga Iringa 10 6 5,000 Lori Songea 5 10 6,000 Lori Pugu 2 14 6,500 Lori

Mbuzi na Kondoo 1,300

Mbeya 50 2 1,000 swaga TANGA

Pugu 30 8 20,000 Lori Korogwe 60 18 3,000 swaga

Ng’ombe 667

Weruweru 5 10 23,000 Lori Pugu 90 10 3,800 Lori

Nderema (Handeni)

Mbuzi na Kondoo

1,156

Tanga 7 5 2,500 Lori

Tanga 82 3 8,000 Lori Muheza 10 3 5,000 Lori Weruweru 3 8 20,000 Lori

Korogwe (Tanga)

Ng’ombe 540

Pugu 2 10 20,000 Lori Takwimu hizi zimepatikana kwa ushirikiano wa wafanyabiashara wa mifugo, Wizara ya Viwanda Biashara na Masoko chini ya mradi wake wa LINKS.

Page 111: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

104

CHANGAMOTO NA MTAZAMO WA SEKTA NDOGO YA MAZIWA TANZANIA1 Imetayarishwa na Mboka Mwanitu, TAMPA 1. UTANGULIZI Tanzania ina zaidi ya takribani ng’ombe 19 Million.Ni ya tatu kwa utajiri wa ng’ombe katika Africa, ikiwa na takribani ng’ombe milioni 3.4 wa maziwa kati ya hao 2.8 Milioni ni wa kienyeji na 630,000 ni wa kisasa. Wote kwa pamoja wanakadiriwa kutoa takribani lita million 4.1 za maziwa kwa siku. Takriban 37% (1,745,776 out of 4,901,837) ya kaya zote nchini wanayo mifugo.. Mikoa minane ya Mwanza, Shinyanga, Mara, Singida, Tabora, Dodoma, Arusha and Manyara amboyo in asili mia 39% ya watu Tanzania Bara, inamilki asilimia 70 ya ngo’mbe wote nchini. Uzalishaji na unywaji wa maziwa unarandana na mgawanyiko huu kijiografia . Hata hivyo mikoa hii inao ng’ombe wa maziwa (crossbreds) kidogo sana. Hivyo maziwa yanoyoingizwa sokoni baada ya kutoa matumizi ya nyumbani yanategemea sana musimu wa mvua, na huwa haba sana wakati wa kiangazi. Mikoa hii, ukitoa Mkoa wa Mara haina miundo mbinu ya kukusanya na kusindika maziwa.. Aidha, asili mia kubwa ya ng’ombe wengi wa maziwa. Kwa upande mwingine ngombe wa maziwa wanapatikana zaidi katika mikoa ya Arusha and Kilimanjaro, Tanga, Mikoa ya Nyanda za juu kusini na Mkoa wa Kagera. Kati ya Mikoa hii ni Mkoa wa Tanga pekee wenye mtandao mzuri wa miundombinu ( vyama vya wafugaji, vituo vya kukusanya maziwa na viwanda vya kusindika maziwa. Kinachokosekana Tanga ni wanywaji wa maziwa. Hivyo alimia 80% yamaziwa yanaozalishwa na kusindikwa Tanga hulazimu yauzwe Dar es Salaam kwa gharama kubwa ya usafirishaji. Takwimu zinaonyesha kuwa tunazalisha lita takriban 1.5 billion au wastani wa litta 41 kwa mtu kwa mwaka. Kiasi hiki ni kido na hakitoshelezi mahitaji. Hivyo Tanzania huagiza kutoka nje ya nchi tani 5,000 – 7000 ya maziwa kwa mwaka. Huenda kiasi ni kikubwa zaidi kwania yapo yanayoingizwa kupitia njia zisizo rasmi au katika mazingira ya ukwepaji kodi (underdeclaration). Kiasi hiki cha maziwa kinarigharimu taifa fedha za kigeni $ 8-10 million kwa mwaka. Kati ya viwanda 33 vilivyokuwepo miaka ya karibuni, 12 vimefungwa. Hiki ni kiashiria tosha kuwa sekta ndogo ya maziwa inayo matatizo na changamoto za msingi ambazo bila kupatiwa ufumbuzi, Tanzania itabaki kuwa tegemezi kwa maziwa na mazao ya maziwa kwa miaki mingi ijayo, kwani ongezeko la mahitaji ya maziwa linalosababishwa na kukua kwa uchumi na ongezeko la watu linazidi kukuwa kwa kasi zaidi siku hadi siku. Hii ndiyo hali halisi ya sekta ndogo ya maziwa nchini. Mada hii itazungumzia changaoto zilizopo na nini kifanyike ili tuweze kujikwamua na hali hii. 2. Hali ya uzalishaji. Tatizo la msingi la sekta ndogo ya maziwa ni uzalishaji mdogo. Uzalishaji mdogo unatokana na kuwa idadi ndogo sana ya wafugaji wanaofuga ng’ombe wa maziwa. Tunaowafugaji wanaokadiriwa kuwa 130,000-150,000. Wanamilkiki n’ombe takribani 680,000. Idadi kamili haijulikana kwana hatawa na utaratibu wa kusajili wafugaji kama sheria ya maziwa inavyoelekeza wala sensa a mara kwa mara. Majirani zetu wa Kenya wanao wafugaji wadogowadogo 1.5 millioni wanaomiliki ngombe wa maziwa zaidi ya million tatu na kuzaisha maziwa takribani billion 4.. Hili ndizo tatizo letu la msingi. Uchache

1 Mada iliyotolewa kwa Mkutano na Waziri Mkuu wa wadau wa sekta ya Mifugo, Dodoma, tarehe 28-30 Sept, 2009.

Page 112: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

wa wafugaji na ng’ombe wa maziwa, kwani sekta yetu, kama ilivyo ya Kenya, India au Uganda, inategemea wafugaji wadogowadogo, tofauti na Zimbawe au Afrika ya Kusini inayotegemea wafugaji wakubwa. Kumekuwepo na jitihada miaka ya nyuma ya kuongeza idadi ya wafugaji wa n’gombe wa maziwa. Kwa mfano, mnamo miaka ya 1980 shughuli za DAFCO and TDL zilianza kuzorota kutokana na usimamizi na uendeshaji mbaya wa mashirika ya umma. Serikali ya the Tanzania kwa kushirikiana na wahisani walibadilisha mwelekeo wa nguvu zao kwa wafugaji wadogo wadogo wa ngombe wa maziwa kwa dhumuni kubwa la kujenga lishe katika ngazi ya kaya na kuondoa umasikini. Huu ndio wakati mashirika ya kuendeleza sekta ya maziwa kama Heifer Project International (HPI),(SHDDP), KALIDEP yalianza kufanya kazi zake katika mikoa ya Kagera, Tanga, Mbeya na Iringa. Matokeo ya jitihada hizi ni kuongezeka kwa uzalishaji wa maziwa kwa ngazi ya kitaifa kama inavyoonyesha (kiambatanisho na. 2). Hata hivyo kai hii ya ongezeko la uzalishaji ni kidogo sana na haikidhi mahitaji iwapo tunataka kufikia kiwango xha uzalishaji na unywaji wa maziwa nchini kifikie angalau lita 80 kwa mtu kwa mwaka katika miaka 10 ijayo. Hvyo kunahitajika mpango mahsusi wa kuendeleza sekta ndogo ya maziwa has katika maene yenye jadi na tamaduni za ufugaji wa kutohamahama. Figure 1: Takwimu za Uzalishaji wa Maziwa 1995/96 –

2007/08

Total Milk Production (billion lts)

0.000

0.200

0.400

0.600

0.800

1.000

1.200

1.400

1.600

1995

/96

1996

/97

1997

/98

1998

/99

1999

/00

2000

/01

2001

/02

2002

/03

2003

/04

2004

/05

2005

/06

2006

/07

2007

/08

Years

Milk

Pro

duct

ion

(bil.

lts)

Milk production (billion lts)

3. Hali ya usindikaji na changamoto zake. Tangu viwanda saba vya TDL kubinafsishwa na vingine vingi kujengwa na sekta binafsi tumeshuhudia viwanda 12 kati ya viwanda 33 vifungwa ndani ya mwaka mmjoa hadi 5 baada ya kuanzishwa. Hali hii imeathiri sana sekta ndogo ya maziwa.TDL ilikuwa ikisindika wastani wa lita 580,000 kwa siku. Leo viwanda vyote kwa pamoja vinasindika lita 88,000 ambazo ni sawa na asilimia 1.5% ya maziwa yote yanayozalishwa kwa siku nchini. Ni dhahiri kuwa yapo matatizo na changamoto za msingi zinazosababisha hali hii.

105

Page 113: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

106

Viwanda vingi vimeshindwa kuendelea kusindika kutokana na mazingira magumu ya biashara hapa nchini. Hata hivyo sababu kubwa zilichangiwa na: Mabadiliko ya uendeshaji na umiliki wa viwanda kutoka serikali kwenda sekta binafsi vingi viliangukia mikononi mwa wawekezaji ambao hawakuwa na lengo la kuendeleza sekta ya maziwa. Hata hivyo vipo vichache vilivyoweza kuhimili mazingira magumu ya kibiashara na kuendelea kufanya kazi vikiwa bado vinakumbwa na changamoto mbalimbali,

Mfano:

i. Musoma Dairy ina uwezo wa kuzalisha lita 40,000 kwa masaa 8 au lita 80,000 kwa shift mbili maziwa ya muda mrefu UHT pamoja na aina zingine.Lakini leo kinazalisha lita 6,000 tu

ii. Tanga Fresh inauwezo wa kuzalisha lita 50,000/siku sasa inazalisha lita 30,000/siku baada ya miaka kumi(10) ya kuimarisha kiwanda.

iii. Wasindikaji wengine watatu(Tan Dairies, Asas Dairies na International dairy products, Arusha) ) wanasindika kati ya lita 4500-5000/siku kwa viwanda vyenye uwezo wa kusindika lita 10,000/siku kila kimoja

iv. Wasindikaji wadogo kabisa wapatao 28 wanasindika chini ya lita 1000/siku v. Hawa wote ndiyo wanajumuisha viwanda vyote vilivyopo nchini vinavyosindika

maziwa takribani lita 88,000/siku Takwimu hizi zinaonesha kuwa hali ya usindikaji wa maziwa nchini bado inachangamoto nyingi kuliko mafanikio. CHANGAMOTO Uwepo wa gharama kubwa za uzalishaji na uendeshaji wa biashara katika sekta ya maziwa. Maeneo makubwa yanayoonekana kuathiri sekta ni;

i. Kodi KERO kwenye vifungashio, bidhaa na vitendea kazi mf. vipuri na mitambo

ya kusindika maziwa ii. Dhana ndogo ya uendelezaji na usimamizi mdogo wa mamlaka husika kama

Bodi ya Maziwa iii. Serikali kutoweka na mpango maalum(strategic Government support) wa

kuendeleza (ufugaji*) wenye tija iv.

Uhamasishaji mdogo wa kutumia bidhaa zitokanazo na maziwa (Kama kila mtanzania anakunywa lita 41/kwa mwaka?) Je?, Tanzania yenye watu zaidi ya milioni 40 wanatosheka?Tukilinganisha na idadi ya Ngo’mbe tulionao?na kiasi cha maziwa kinachozalishwa kwa siku?(lita milioni 4.1)

v. Kukosekana kwa uthamini wa malighafi (kama maziwa) zinazoweza kuzalisha na kukuza uwekezaji wa kulinda viwanda vya ndani.

Hii inachangiwa sana na uchache wa wafugaji wa ng’ombe wa maziwa ili kufikia kiwango cha uzalishaji (threshold) ambayo itaifanya biashara ya ukusanyaji wa maziwa iwe na tija na gharama ndogo. Kukusanya maziwa umbali mrefu kunalipa tu iwapo maziwa yanayokusanywa ni kingi cha kutosha na kupatikana muda mwingi katika mwaka mzima.

Page 114: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

107

vi. Kutokuwepo vikundi imara vya wafugaji. Ili maziwa kutoka kwa mkulima mmoja mmoja yaweze kukusanywa, vituo vya kukusanyia maziwa kwenye matenki maalam vinahitajika. Vikundi vya wafugaji au vyama vya msingi vya wafugaji wa maziwa ni kiunganishi muhimu kati ya wasindikaji na wafugaji. Hakuna nchi iliyofanikiwa katika kuendesha sekta ya maziwa inayotegemea wafugaji wadogowadogo bila kuwa na ushirika wa vya msingi vya wafugaji. Mafanikio yanayoonekana Tanga kama ilivyo kwa Kenya na India chimbuko lake ni hili.

vii. Kutothamini ufugaji kama uwekezaji: Hali ya mfugaji nchini has wafugaji wa jadi bado ni tete. Kwa mfano, kanda ya ziwa mifugo ni mingi, hata hivyo mfugaji anaesemekana kuwa na ngo’mbe takriban elfu 1000 ambao ukiwapa thamani yake ni Tsh. Milioni 300(kwa kila ngo’mbe Tsh.300,000/= , hatambuliki kama Mwekezaji (potential investor) na wala hapatiwi nafasi ya mwongozo wa kupata Certificate of Incentive ya TIC ambao ukizilinganisha na mpango wake wa kiwango cha kuwekeza thamani ya ngo’mbe za huyo mfugaji unapita kiwango kile cha kuwa na (dola 100,000) kama mwekezaji ili uweze kupata hati hiyo.

4. Tunajifunza nini kutoka kwa wenzetu katika eac kuhusu mtazamo na mikakati ya kuendeleza sekta ndogo ya maziwa? Kenya ndiyo ya kwanza kwa nchi za Afrika mashariki kuzalisha lita milioni 9.5/siku na kusindika zaidi ya lita milioni 1.3/siku. Katika uchumi wao sekta hii ndiyo ya kwanza na kuondoa umaskini, hadi leo miaka 48 tangu tujitawale Tanzania bado tunaiita sekta Ndogo ya maziwa. Uganda inazalisha lita 400,000/siku, sera muafaka katika nchi jirani mfano Kenya (Liquid milk mpaka sasa ni zero rated), sera hizi zimewezesha ukuaji wa sekta ya usindikaji maziwa kwa nchi hizo. Wakati kwa Tanzania ni Exempt na kufanya sekta kuendelea kudidimia.

• Rwanda wameamua kutumia sekta ya maziwa katika kuondoa umaskini nchini mwao

• Kwa siku za karibuni wamekuwa wakinunua ng’ombe wa maziwa kutoka Kenya na Uganda hadi Afrika ya Kusini; na wana lengo la kila familia kuwa na ngo’mbe wa maziwa ifikapo 2015

• Wana wasindikaji wakubwa wanne • Wana mpango mkubwa wa kuweka viwanda vya UHT vyenye uwezo wa kusindika

jumla ya lita 431,100/siku Sekta ya maziwa imeendelea kukuwa taratibu hapa nchini ukilinganisha na wenzetu katika nchi jirani kama: Mfano wa Uganda na Rwanda: Nchi hizi zinasemekana kuanzisha mikakati mathubuti yenye kuweka mazingira mazuri yanayoweza kuendeleza sekta ya maziwa. Taarifa zilizopo ni kuwa hivi karibuni Rwanda imeweka mikakati ya hadi kufikia mwaka 2015 kila kaya iwe na Ng’ombe wa Maziwa Hadi kufikia mwaka 2007(Best ac report)nchi kama Uganda kiwanda kimoja tu (Sameer Company) kilisindika takriban lita 80,000/siku ambacho ni kiasi sawa cha usindikaji wa viwanda vyote vya Tanzania kwa sasa.

Page 115: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

5. Umuhimu wa kuwekeza katika sekta ya maziwa

Umuhimu wa sekta ya maziwa kijamii na kiuchumi Maziwa ni chakula kamili, yanavirutubisho vyote vinavyohitajika mwilini. Ni chakula bora kwa watu wa rika zote, si watoto pekee. Ni Sekta ya maziwa ambayo huchukua fedha nyingi toka benki na kuzipeleka vijijini ili kutoa changamoto kubwa katika utekelezaji wa mpango wa MKUKUTA . Takwimu kutoka TRA(2009) zinaonyesha mwaka 2008 serikali ilikusanya kodi ya bilioni 5 tu kwenye maziwa yaliyoingizwa nchini. Sisi wasindikaji tunaona serikali inaweza kukusanya zaidi endapo mikakati madhubuti itaandaliwa ya kuinua Tanzania inasemekana kuwa na wafugaji wa ngombe wa maziwa wapatao 130,000 Dairy farmers’ ambao kaya zake zinatengeneza asilimia 30% ya 1.5 billion litres za maziwa kwa mwaka. Kiasi kinachobaki, 70% kinazalishwa na ng’be wa asili wanaofugwa na kaya 1.6 milioni. In maana takriban asili mia 24 ya kaya miioni 7.0 zilizopo nchini zinategemea kipato na lishe kutokana na maziwa.

• Kama mfano halisi wa maziwa kuchangia katika pato la kaya , tuchukue kiwanda cha Tanga Fresh ambapo takwimu za malipo kutokana na maziwa yaliuzwa kwa mwaka 2008 (Kielelezo na. 2) . Kiwanda cha Tanga Fresh kinajumla ya wafugaji 3000 wanaopeleka maziwa kiwandani hapo. Takwimu tokaTanga Fresh zinaonesha:

– Walizalisha hadi lita million 9.1 kwa mwaka 2008 – Pia takwimu hizo zinaonesha kiasi cha fedha Tsh. 3.6 Billion katika mwaka 2008

zililipwa kwa wafugaji. Ambayo ni Tshs. 1,200,000 kwa kila mfugaji. Takwimu hizi zinaonesha kuwa kaya hizi zilimeiondokano na ufukara wa kipato (wa chini ya dollar moja kwa siku). Ndiyo maana ufugaji wa ng’ombe wa maziwa umedhihirika kuwa mkakati wa kiuchumi unaosaidia sana kufuta umaskini na njia nzuri ya kuhamisha utajiri kutoka mijini kupeleka vijijini ambako unahitajika sana.; walaji wa maziwa mijini hurudisha fedha yao vijijini bila kupanga au kujua.

Fig.2: Malipo ya kiwanda cha Tanga Fresh Ltd kwa wafugaji kati ya mwaka 1997 - 2008

MILK PAYMENT TO FARMERS

0500

1000150020002500300035004000

1997

1998

1999

2000

2001

2002

2003

2004

2005

2006

2007

2008

Year 1997, Tshs 67 million : Year 2008, Tshs 3.6 Billion

T SH

S M

ILLI

ON

Source: Tanga Fresh Ltd

108

Page 116: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

109

Hii inaashiria kuwa katika baadhi ya vijiji Wilaya ya Njombe wakulima wasiokuwa na zao la kibiashara. (This translates in what can be seen in some villages in Njombe district where farmers had no cash crop). Wakati wa kuanzishwa kwa programu ya ufugaji wa ngombe wa maziwa na shirika la SHDDP kwenye wilaya hiyo, jamii za wafugaji waliojihusisha na ufugaji wa ngombe za maziwa waliweza kujenga nyumba nzuri kwa kutumia matofaliya kuchoma na kuweka paa kwa kutumia mabati, pia walijenga afya bora kwa kuwa na lishe nzuri, wameweza kupeleka watowo kwenye shule za kulipia, pia wamevuna mahindi zaidi ya wenzao wasiofanya shughuli ya ufugaji wa ngombe za maziwa. Kwa upand wake, Musoma Dairy kituo cha Isenye cha kupooza maziwa kinakusanya lita 4000/siku, wafugaji hulipwa Tshs. Milioni 1.2/siku. Kwa maana hiyo wafugaji hao hupata kipato cha Tzs. milioni 36/ mwezi na Tzs milioni 436 kwa mwaka. Hizi ni takwimu za viwanda viwili tu kati ya vyote vinavyosindika lita 60,000/siku hapa nchini.(Best ac report 2007) KITAIFA Sekta ya maziwa inanafasi nzuri ya kuchangia pato la taifa na kutekeleza mpango wa MKUKUTA.Lakini hadi leo takwimu zainaonyesha viwanda vilivyopo ni vichache na vichanga kufanikisha hayo. Takwimu hizo zinaonyesha mchango wa kodi iliyolipwa Serikali kuu na Serikali ya Mitaa ilifikia takribani Tshs 160. Milioni kutoka kwa kiwanda cha Tanga Fresh Mpango wa Mkukuta umeandaliwa katika nguzo kuu tatu ilikuweza kufanikisha utekelezaji wa mpango huo.

1. Nguzo ya kwanza ni Ukuaji wa Uchumi na Kupunguza Umaskini wa Kipato 2. Kuimarisha ubora wa maisha na Ustawi wa Jamii 3. Utawala Bora na Uwajibikaji

Nguzo hizi zote zinahakikisha kuwepo kwa jitihada za kimaendeleo ambazo ni za ufanisi ulio na uwiano mzuri na wenye kuhakikisha kwamba kila mtu ananufaika na matunda ya rasilimali. 6. Vivutio vya kuendeleza sekta ya maziwa Ili kuewezesha kukua kwa sekta ndogo ya maziwa nchini kwa kasi inayopasa, uwekezaji lazima uongezeke. Ili uewekezaji hasa katika usindikaji unahohitajika kuwapa wafugaji soko la uhakika wa mazao yao, serikali haiwezi kukwepa jukumu la kuweka vivutio na mazingira mwafaka kama sera ya mifugo inavyoelekeza. Lengo kuu la wadau ni kuongeza usindikaji kutoka lita 88,000 /siku hadi lita milioni 1 kwa kipindi cha miaka kumi ijayo. Kwa mfano makadirio yanonyesha Tanzania inaweza kufikia usindikaji wa lita milioni 1 kwa siku ambayo ni asilimia 25% tu kutokana na maziwa yanayozalishwa sasa (takribani lita milioni 4/siku), Kwa makadirio hayo kwa kipindi cha miaka 10 ijayo serikali itakakusanya kodi ya mapato zaidi ya bilioni 109,5 kwa mwaka na wafugaji watalipwa zaidi ya Tzs milioni 425 kwa siku

Page 117: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

110

ambazo ni sawa na Bilioni 155.125 kwa Mwaka. Vile vile takribani ajira rasmi 2,133 na zisizo rasmi 40,000 zitatengenezwa. Haya yanawezekana kwa kufanya yafuatayo: Ufugaji:

a) Kuanzisha mpango kamambe wa ulendelezaji ufugaji mdogomdogo katika mikoa yenye ng’ombe wengi kupitia uzalishaji wa nombe chotara kwa kutumia uzalishaji wa chupa,(AI) ili kuongeza idadai ya ngombe wa maziwa. Hii lazima iamabatane na hudumu muhimu za ugani na uwezeshaji wafugaji kupitia vikundi Ushirika.

b) Aidha suala la umilikishwaji ardhi kwa wafugaji ni muhimu sana. Wakati wa

kongamano la 7 la wadau wa maziwa(National Dairy Development Conference) huko Sumbawanga mwezi May 2008, wanachama wa TAMPRODA walibainisha kuwa moja ya changamoto kubwa inayorudisha nyuma ukuaji wa Sekta ya Maziwa ni Upatikanaji wa kutosha wa maziwa sababu kubwa ikiwa ni Wafugaji kutopata eneo la kulishia mifugo yao na Ni vigumu sana kwa Mfugaji kupata eneo la kumiliki au eneo la malisho kwa sababu eneo la kulisha kila wakati linatafsiriwa na serikali na watumiaji wengine wa ardhi hiyo kuwa ni eneo lisilokuwa na matumizi na linaweza kutumika kwa mdhumuni mengine. Suala la ruzuku halijapewa umuhimu katika seta ya ufugaji ikilinganishwa na kilimo. Kuna haja ya kupanua wigo wa ruku ya pemebejeo na mitambo inayotumika katika ufugaji. Mfumo wa kutoa ruzuku kwenye pembejeo za mazao uingizwe kwenye sekta ya maziwa pia! Pembejeo za mifugo siyo dawa ya josho tu! . Ruzuku za pembejeo za mifugo ni vizuri na muhimu zipelekwe moja kwa moja kwa watumiaji na siyo wasambazaji. (Itumike mfumo wa vocha) Matokeo ya mfumo wa sasa wa utoaji wa Ruzuku za Pembejeo za Mifugo kwa wasambazaji unapelekeza pembejeo hizo kuuzwa kwa bei ya juu sana.

Usindikaji: c) Kutoa vivutio mbalimbali kwa sekta ya usindikaji kama vile:

• Sera muafaka ya kuondoa Kodi kero(zero rating) kwenye maziwa na bidhaa zake hii itazuia viwanda kutofungwa na kuvutia wawekezaji zaidi kwenye sekta.

• Kwa vile viwanda vya kusindika maziwa ndiyo soko la uhakika la wafugaji, vinahitaji kuimarishwa hasa kwa mpango mahususi wa kuweka kiwanda kimoja kila mkoa wenye ngo’mbe wa maziwa..Wafugaji watahamasika kuendeleza ufugaji wa ng’ombe wa maziwa na hivyo kuondoka kwenye uchungaji na kuelekea kwenye ufugaji.

d) Unywaji wa maziwa Ili kukuza utamaduni wa kunywa maziwa mpango mahsusi wa kuwajengea watoto wetu tabia ya kunywa maziwa ni muhimu ukawepo. Nchi kama Kenya ziliweza kuwa na taifa linalothamini sana maziwa kwa kuweka mpango wa maziwa mashuleni mika ya 80. Nchi nyingi, zikiwemo Thailandna China, wamefanikiwa pia kupitia mkakati huo. Mpango uliopo sasa hivi wa maziwa mashuleni (pilot school milk programme) ulioko

Page 118: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

111

MKilimanajaro, Mbeya na Njombe unafaa kuungwa mkono na serilkali kwa kuwashirikisha wadau mablimablai wakiwemo wazazi. Elimu kuhusu hili inhaitajika.

MAPENDEKEZO Ili kuharakisha maendeleo ya sekta ya maziwa changamoto zizilizoainishwa hapa chini zinahitaji kushughulikiwa haraka iwezekanavyo kwa kulingana na umuhimu wake.. (Angalia mchanganuo wa chati na.1) MAENEO YA KUFANYIWA MAREKEBISHO HARAKA

• Kodi -zero rating kwenye maziwa na bidhaa zake zote • Kodi –kuondoa kodi iliyoingizwa mwaka jana kwenye vifungashio vya maziwa na

bidhaa zinazotokana na maziwa • Ushuru wa Afrika Mashariki asilimia 10% uongezewe muda wa miaka 10 tena, kwa

vile hakuna mabadiliko yoyote yaliyotokea katika miaka kumi ya kwanza. • Ushuru wa maziwa(isipokuwa infant formulas) ya kutoka nje uongezwe(import

duty)zaidi ili kufidia kodi ilitakayotolewa kwenye maziwa yanayosindikwa ndani ya nchi.

• Kuimarisha Bodi ya Maziwa, na kuifanya iwe msimamizi wa msingi na mwenye mamlaka ya kuratibu na kuendeleza sekta(Mapendekezo toka BEST AC report, 2007)

• Uhamasishaji wa kunywa maziwa mashuleni(mpango uliokuwepo miaka ya nyuma urudishwe na kuweka kisheria, tunapendekeza ofisi ya Waziri Mkuu iwe msimamizi) na wafanyakazi kwenye maofisini hasa ya serikali wahamasishwe. (Hii itahamasisha na kujenga tabia ya watanzania wapende bidhaa zao.

BUY TANZANIAN, BUILD TANZANIA!)

Page 119: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

112

TAARIFA ZA MIKOA

TAARIFA KUHUSU MKAKATI WA KUBORESHA UFUGAJI KATIKA MKOA WA MWANZA

1. UTANGULIZI Kijiografia, Mkoa wa Mwanza upo upande wa Kaskazini mwa Tanzania, ni moja wapo ya mikoa ya Kanda ya Ziwa upo kati ya Latitutde 1° 30’ na 3° Kusini mwa Ikweta na Longitude 30° 45’ na 43° 10’ Mashariki mwa Greenwhich. Upande wa Kaskazini Mkoa wa Mwanza umezungukwa na maji ya Ziwa Victoria. Kwa upande mwingine Ziwa Victoria linatenganisha Mkoa na nchi jirani za Kenya na Uganda. Kiutawala Mkoa umegawanyika katika Wilaya 8 nazo ni Nyamgana, Ilemela, Geita, Kwimba, Magu, Misungwi, Sengerema na Ukerewe.Wilaya ya Ilemela na Nyamagana ndizo zinazounda Halmashauri ya Jiji la Mwanza .Mkoa una tarafa 33, kata 175 na vijiji 700. Kutokana na sensa ya watu na makazi ya mwaka 2002, idadi ya watu inakadiriwa kufikia 2,942,142. Idadi hii inafanya mkoa wa Mwanza kuwa na idadi kubwa ya watu kuliko Mkoa mwingine Tanzania Bara. Kufikia mwaka 2008 idadi ya watu mkoani Mwanza imeongezeka na inakadiriwa kufikia 3,513,101 na idadi ya kaya zipatazo 566,000 wastani wa eneo la kilimo kwa kila kaya inakadiriwa kuwa hekta 3.5. Mkoa wa Mwanza unapata mvua mara mbili. Mvua za vuli hunyesha kati ya Mwezi Oktoba na Desemba, mvua za masika hunyesha kati ya mwezi wa Machi na Mei. Januari na Februari ni kipindi cha ukame, Juni hadi Septemba ni kipindi cha Kiangazi. Kiuchumi mkoa wa Mwanza unategemea kilimo, ufugaji, uvuvi, viwanda na madini. Karibu asilimia 85 ya wakazi wa Mkoa wa Mwanza ni wakulima na wafugaji .Mazao ya chakula yanayolimwa ni mahindi, mihogo, viazi, mtama na mpunga mazao mengine ni maharage, kunde, choroko na mazao ya bustani. Mifugo inachangia asilimia .........ya pato la mkoa na inaajiri asilimia ......ya wananchi wa mkoa huu. Wakazi wa Mkoa wa Mwanza wanapata kipato chao kutokana na uuzaji wa mazao ya pamba, mpunga, mahindi, mifugo na samaki. Mpunga ni zao muhimu la kibiashara kwenye maeneo yenye mvua nyingi kama wilaya za Geita na Sengerema. Sehemu za mijini wanajipatia kipato pia kwa kulima mazao ya bustani kama kabeji, nyanya na vitungu. Wastani wa pato la mwananchi wa mkoa Mwanza kwa mwaka ni shilingi 505,585/= Mkoa wa Mwanza ni miongoni mwa mikoa yenye mifugo wengi hapa nchini. Inakadiriwa kuwa mkoa una jumla ya ng’ombe wa asili 1,654,726, ng’ombe wa maziwa 32,126 mbuzi wa asili 770,357 , mbuzi wa maziwa 659 , kondoo 264,704, kuku wa asili 4,168,176, kuku wa mayai 31,850 na kuku wa nyama 28,493. 2.0 MAENDELEO YA MIFUGO MKOANI MWANZA 2.1 UPATIKANAJI NA USAMBAZAJI WA PEMBEJEO ZA MIFUGO. Upatikanaji na usambazaji wa pembejeo mbalimbali za mifugo ni muhimili muhimu katika shughuli za kuendeleza Sekta ya Mifugo. Kwa kuzingatia ukweli huo, Halmashauri kwa kushirikiana na wadau wengine wa maendeleo ya sekta ya mifugo katika Mkoa wa Mwanza zimejizatiti kutekeleza mikakati ifuatayo ili kuongeza matumizi ya pembejeo:

Page 120: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

113

(i) Kuhamasisha uogeshaji mifugo kwa kutumia majosho na pampu za mkono pale ambapo hapana majosho.

(ii) Kuhamasisha unyweshaji mifugo dawa za minyoo. (iii) Kutunga sheria ndogo zitakazo zitakazo endeleza ufugaji bora ikiwemo uogeshaji

mifugo katika ngazi ya wilaya na kijiji. (iv) Kuhamasisha vikundi vya wafugaji kuanzisha maduka ya pembejeo na

kuboresha mfumo wa usambazaji wa dawa za ruzuku za mifugo mpaka ngazi za kijiji ili ziwafikie walengwa kwa urahisi.

(v) Kuhamasisha wafugaji kuanzisha SACCO’s zitakazowajengea uwezo wafugaji kununua pembejeo.

Jedwali 1. Mahitaji na matumizi ya dawa mbalimbali kipindi cha mwaka 2008/2009 na 2009/2010.

Matumizi Na.

Wilaya

Aina ya Dawa Kiasi (patikana)

Kiasi tumika

Mahitaji Halisi

Idadi ya maduka ya kuuza pembejeo

Dawa za josho • Cybadip • Paranex • Ecotix

2000 Lts 300 lts 300 lts

2000 lts 300 lts 200 lts

4000 lts 500 lts 600 lts

1. Nyamagana

Dawa za chanjo (dozi) • Kichaa cha mbwa • Kideri cha kuku

1,500 33,012

1,500 33,012

8,000 45,000

18

Dawa za josho lts • Dominex • Cybadip • Paranex • Ecotix

0 2500 250 200

0 1800 lts - -

6000 3000 500 400

2. Ilemela

Dawa za chanjo (dozi) • Kichaa cha mbwa • Kideri cha kuku

1,500 39,422

1,500 39,422

11,000 55,000

6

3. Ukerewe Dawa za josho(lts) • Cybadip • Paranex

230 130

80 0

1000 10,000

3

4. Geita Dawa za josho(lts) • Cybadip • Paranex • Norotrazil

700 lts 34 lts 120 lts

420 lts 5 lts

4480 lts 40 lts 120 lts

27

Page 121: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

114

Matumizi Na.

Wilaya

Aina ya Dawa Kiasi (patikana)

Kiasi tumika

Mahitaji Halisi

Idadi ya maduka ya kuuza pembejeo

Dawa za chanjo (dozi) • Kichaa cha mbwa • Kideri cha kuku • FMD • CBPP

608 76,000 0 0

608 74,228 0 0

15,000 1,000 10,000 100,000

Dawa za josho(lts) • Dominex • Norotrazil • Cybadip • Paranex • Ecotix

700 875 1512 6352 941

700 875 1512 2000 1000

2000 2000 4000 6352 2000

5. Magu

Dawa za chanjo (dozi) • Kichaa cha mbwa • Kideri cha kuku • FMD • CBPP

8,536 23,345 0 0

8,536 23,345 0 0

12,463 500,000 416,484 416,484

30

Dawa za josho(lts) • Paranex • Ecotix • Cybadip

2500 l 4.4 5,000

2500 4.4 4,874

3000 2500 6,000

6. Sengerema

Dawa za chanjo (dozi) • Kichaa cha mbwa • Kideri cha kuku • FMD • CBPP

4,000 12,800 0 30,000

4,000 12,800 0 18,000

15,000 260,000 305,396 50,000

23

Dawa za josho(lts) • Cybadip • Paranex

720 100

130 10

3552 3863

7. Kwimba

Dawa za chanjo (dozi) • Kichaa cha mbwa • Kideri cha kuku • FMD • CBPP • Chambavu

1,500 0 0 0 48,000

1,500 0 0 0 48,000

14,000 200,000 250,000 300,000 300,000

7

8. Misungwi Dawa za josho(lts) Synthetic pyrethroids

11031

1100 l

10000

14

Page 122: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

115

Matumizi Na.

Wilaya

Aina ya Dawa Kiasi (patikana)

Kiasi tumika

Mahitaji Halisi

Idadi ya maduka ya kuuza pembejeo

Dawa za chanjo (dozi) • Kichaa cha mbwa • Kideri cha kuku • .FMD vaccine

2000 50000 50000

2000 50000 50000

8000 100,000 3000

Chanzo: Taarifa za Halmashauri za wilaya, 2008/2009. Dawa za ruzuku za kuogesha zinazotolewa na Serikali huweza kuwafikia wananchi /wafugaji kwa kupitia mawakala (stockists). Mawakala wa uuzaji wa pembejeo huuza madawa ya kuogesha moja kwa moja kwa Kamati za Majosho za wafugaji na kwa wafugaji binafsi. Makampuni yanayohusika na usambazaji wa madawa haya katika mkoa wa Mwanza ni; Amilex, Bajuta International Tanzania Ltd, Farmbase na Farmers Centre. Ili kudhibiti usambazaji wa madawa haya, mawakala wamepangiwa bei ya kila aina ya dawa. Pia wanatakiwa kutoa taarifa za usambazaji wa madawa hayo wilayani. Kamati ya kudhibiti usambazaji wa madawa pamoja na Idara za Mifugo zina jukumu la kukagua na kupata taarifa za mauzo ya madawa hayo kutoka kwa mawakala. 2.2 MATUMIZI YA MIFUGO BORA. Mifumo ya ufugaji inayotumiwa na wafugaji katika Mkoa wa Mwanza ni kama ifuatavyo;

i. Ufugaji wa Asili. Ufugaji wa aina hii unafanywa na wafugaji walio wengi katika mkoa huu, ambapo mifugo huchunga huria.

ii. Ufugaji wa Kisasa (Ufugaji wa ndani). Ufugaji huu unalenga kupata mifugo bora

yenye uzalishaji mzuri wenye tija. Ufugaji huu unafanywa na wafugaji wachache na hasa wanaoishi mjini.

iii. iii Uboreshaji wa mifugo. Kuna njia mbili ambazo hutumika kuboresha koo za

asili za mifugo waliopo,njia hizo ni uhamilishaji (Artificia insemination) na utumiaji wa madume bora na Majogoo bora. Mkoa wa Mwanza umeanza kutekeleza mikakati ya kuboresha mifugo ya asili. Kiwango na matumizi ya mifugo bora ni kama inavyoonyeshwa kwenye jedwali nambari 2 na 3.

Jedwali: 2 Kiwango cha Uhamilishaji kwa kipindi cha 2008/2009 mkoani Mwanza. Wilaya Vituo

vilivyopo Wataalam waliopata mafunzo

Idadi ya ng;ombe waliopandishwa

Ndama waliopatikana

Ng’ombe wenye mimba

Geita - - - - -Kwimba - 2 - - -Magu - 8 50 12 38Misungwi 2 6 237 46 191Ilemela 2 14 75 30 38

Page 123: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

116

Nyamagana 2 18 60 20 35Sengerema 3 3 - - -Ukerewe - 4 - - -Jumla 9 55 422 96 314Chanzo: Taarifa za Halmashauri za wilaya, 2008/2009 Jedwali: 3 Idadi ya madume bora mkoani Mwanza Wilaya Aina ya madume Idadi Magu Chotara( Fresian) 5 Misungwi (wafugaji binafsi) Mabuki (LMU)

Borani Friesian(Chotara)

58 368

Ilemela Friesian(Chotara) 182

Nyamagana Friesian(Chotara) 123 Chanzo: Taarifa za Halmashauri za wilaya, 2008/2009 Kwa kutumia madume haya, ndama 3,830 walizaliwa katika kipindi cha mwaka 2008/2009. Zaidi ya asilimia 70 ya ndama hawa wamezaliwa katika wilaya za Nyamagana na Ilemela. 2.3. HALI YA HUDUMA ZA UGANI. Shughuli za ugani zinaendeshwa na watumishi 207 walioko katika ngazi za mkoa, wilaya, kata na vijiji. Hata hivyo watumishi hawa hawatoshelezi mahitaji. Kwa msingi kwamba kila kata na kila kijiji kiwe na mgani wa mifugo. Mahitaji halisi, waliopo na upungufu ni kama inavyoonekana katika jedwali na 4. Jedwali: 4 Watumishi wa sekta ya mifugo mkoani Mwanza. WILAYA MAHITAJI WALIOPO UPUNGUFU Nyamagana 18 9 9 Ilemela 12 2 10 Magu 166 68 98 Kwimba 118 28 90 Sengerema 131 23 108 Geita 122 37 95 Misungwi 85 26 59 Ukerewe 89 13 76 Sekretariet 3 1 2 Jumla kimkoa 744 207 547 Chanzo: Taarifa za Halmashauri za wilaya, 2008/2009 2.3.1 Upimaji wa utendaji kazi kwa watumishi. Shughuli za utendaji kazi kwa wtumishi zinapimwa kwa kutumia njia mbalimbali. Miongoni mwa njia hizo ni matumizi ya daftari la mgani, kuangalia kalenda ya kila mwezi, mpango kazi na mfumo wa OPRAS ambapo kila mtumishi anatakiwa kufuata utaratibu uliopendekezwa na kukubaliwa na uongozi wa Halmashauri. 2.3.2 Mikakati ya Mkoa ya namna ya kuendeleza huduma za kitaalamu kwa wafugaji

Page 124: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

117

(i) Kufufua vituo vya mifugo ( Livestock Development Centres - LDCs) (ii) Kuwe na usafiri wa gari ngazi ya wilaya, na pikipiki kwa maafisa ugani wa ngazi

ya kata na vijiji. (iii) Kila mtaalamu wa ngazi ya kata ,kijiji apate vifaa muhimu vya kufanyia kazi

kama vile Burdizo,Syringe,Hoof trimmer Cool box. (iv) Vituo vitakavyofufuliwa viwe na mfumo wa maabara. (v) Kila Daktari wa mifugo/Afisa afya wa mifugo wawe na Vet Kit. (vi) Ofisi za Mifugo wilaya ziwe na huduma ya Komputa na Digital Kamera (vii) Kuwe na Mitungi ya Liguid Nitrogen katika vituo vya uhamilishaji ili kurahisisha

utoaji huduma kwa wafugaji. (viii) Kuboresha maslahi na mazingira ya kazi kwa watumishi. (ix) Watumishi wapandishwe ngazi za madaraja kwa wakati ili wasishawishike

kuhamia kwenye ajira za idara nyingine. (x) Ngazi za mishahara za wataalamu wa afya za Mifugo zilingane na zile za

wataalamu wa afya ya Binadamu. (xi) Kuimarisha Vituo vya mafunzo Mabuki na VIC Mwanza ili viendelee kutoa

huduma ya mafunzo ya ufugaji. (xii) Kuimarisha ushirikiano kati ya Idara ya Mifugo wilaya naTaasisi zingine zinazo

jihusisha na utoaji wa huduma za mifugo kama vile Mashirika yasiyokuwa ya kiserikali NGOS na Vituo vya Mabuki na VIC Mwanza.

Halmashauri za mkoa wa Mwanza zinatumia njia zifuatazo kukabiliana na upungufu wa wataalam.

(i) Uanzishwaji wa Mashamba darasa na kuyaimarisha yaliyopo. (ii) Kutumia wafugaji wawezeshaji. (iii) Mafunzo na semina zitolewazo na Asasi zisizo za kiserikali (AZAKI) na taasisi

nyingine za serikali zinazoshiriki kutoa huduma za kuendeleza mifugo kama inavyoonesha kwenye jedwali na.5 & 6

Jedwali Na.5.Taasisi za Serikali zinazotoa huduma za uendelezaji wa mifugo

mkoani Mwanza.

Na. Taasisi Shughuli 1. Chuo cha Mafunzo ya

wakulima(FTC-Mabuki) • Kutoa mafunzo ya muda mfupi kwa wafugaji kuufanya

ufugaji uwe wenye tija na endelevu

2. Shamba la Uzalishaji Mifugo(LMU-Mabuki)

• Uzalishaji wa mitamba bora ya ng’ombe • Uzalishaji wa Nyati maji ambao ni wanyamakazi

wazuri,uzalishaji wa Mbuzi wa maziwa • Uzalishaji wa Mbegu bora za malisho • Mafunzo kwa wafugaji kwa ajili ya uboreshaji wa ufugaji

kwa ujumla. 3. Kituo cha Utafiti wa

Mifugo(LRC-Mabuki) • Kuboresha ufugaji na viwango vya uzalishaji wa mifugo

ya asili. • Uzalishaji wa kuku asilia kwa kutumia majogoo ya asili

(kuchi) lengo ni kuongeza ukuaji na uzito wa kufikia ukubwa (mature weight).

• Uboreshaji wa kuku wa asili kwa kudhibiti ugonjwa wa Mdondo(NCD) kwa kutumia chanjo inayostahimili

Page 125: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

118

Na. Taasisi Shughuli joto.Lengo kuu ni kupunguza vifo vya kuku vinavyosababishwa na ugonjwa wa mdondo(kideri).

• Uboreshaji wa mbuzi asilia kwa kutumia madume bora. • Kufanya tathmini ya ubora na kiasi cha majani yaliyopo

na jinsi ya kuyaboresha ili kuhakikisha upatikanaji wa malisho kwa mwaka mzima.

4. Kituo cha uchunguzi wa maradhi ya mifugo. (VIC) Mwanza.

• Kuchunguza maradhi mbalimbali yenye umuhimu kwa wafugaji kwa nia ya kutambua mwenendo wa magonjwa ya mifugo.

• Kutoa huduma za ugani kwa wadau mbalimbali watoao huduma za afya na uzalishaji wa mifugo, wakiwemo wafugaji, Maafisa mifugo, Maafisa mifugo wasaidizi na madaktari.

• Utafiti wa majaribio ya madawa ya kinga, chanjo na tiba ya maradhi ya mifugo.

• Kutambua magonjwa ya kila siku (diagnosis) Katika Jiji la Mwanza.

• Kufundisha teknolojia mpya kulingana na mahitaji kwa maafisa mifugo na mafundi sanifu maabara.

• Kupokea, kutunza na kusambaza chanjo za magonjwa mbalimballi ya mifugo katika wilaya za kanda ya ziwa.

• Kuzalisha hewa baridi ya Nitrogen. • Kusambaza mbegu za Ng’ombe wa kisasa (semen) • Kutoa huduma ya uhamilishaji (Artificial lnsemination)

na vifaa vyake katika wilaya za kanda ya ziwa. • Huduma nyinginezo za ufugaji kama vile, uogeshajiwa

wa mbwa na kutoa chanjo. Jedwali Na. 6. Asasi zisizo za kiserikali zinazotoa huduma za ugani Mkoani Mwanza. S/N Asasi Shughuli 1. RIRA Mpango wa matumizi bora ya ardhi kwa wafugaji wa kuku 2. BRAC Uhamilishaji na chanjo kwa mifugo 3. BUDEFU Ufugaji kuku 4. MALDO Uuzaji pembejeo za kilimo/Mifugo 5. SAFEO Ufugaji kuku/ng’ombe 6. SESEDO Ufugaji wa kuku 7. CROMABU Taarifa za masoko 8.

HPI Kutoa mafunzo kwa wafugaji. Utoaji wa mitamba kwa wafugaji (Kopa ng’ombe lipa ng’ombe) na (Kopa mbuzi lipa mbuzi).

9 BRAC TANZANIA Kutoa mafunzo kwa wafugaji.

10 SNV Kutoa mafunzo kwa wafugaji. Wafanye biashara ya nyama na mifugo hai juu ya ubora wa nyama

11 TAHEA Kutoa mafunzo kwa wafugaji. Uanzishaji wa mashamba bora ya kuku. Kutoa mitaji ya ufugaji – kuwezesha ujenzi wa mabonde, ununuzi wa majogoo bora (kisasa)

12 KIMKUMAKA Kutoa mafunzo kwa wafugaji.

Page 126: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

119

S/N Asasi Shughuli Kuboresha kuku wa asili kwa kuwauzia wafugaji majogoo chotara.

13 PLAN INTERNATIONAL

Kutoa mafunzo kwa wafugaji. Utoaji wa mitamba kwa wafugaji kwa mtindo wa kopa ng’ombe lipa ng’ombe kupiti HPI. utoa vitendea kazi kwa wafugaji kama vile matroli/mikokoteni.

Chanzo: Taarifa za Halmashauri za wilaya, 2008/2009 2.4. MFUMO WA MASOKO YA MIFUGO Wafugaji wana soko la uhakika ambalo ni minada ya mifugo. Katika mkoa wa Mwanza kuna minada 16. Minada hii hutumiwa na wafugaji kuuza mifugo yao kwa wafanyabiashara wa kati na wafanya biashara wakubwa. Minada hii imegawanyika katika mkoa kama ifuatavyo.

Jedwali 7 .Idadi ya Minada mkoani Mwanza.

Minada Na. Wilaya Awali Upili

1. Ukerewe 1 0 2. Magu 3 0 3. Geita 4 0 4. Misungwi 2 0 5. Kwimba 3 0 6. Ilemela 0 1 7. Sengerema 2 0 8. Nyamagana 0 0 Jumla 15 1

Chanzo: Taarifa za Halmashauri za wilaya, 2008/2009 2.5. MFUMO WA VYOMBO VYA MIKOPO Lengo la vyombo hivi kuwawezesha wafugaji kumudu gharama za ufugaji wenye tija . Mkoa wa Mwanza una jumla ya SACCOS 614 ambayo zinahudumia wakulima ,wafugaji,watumishi na wajasiriamali.SACCOS za wafugaji pekee ni 16, zenye jumla ya wanachama 2500.Jumla ya Wafugaji waliokopeshwa kimkoani 375 na kiasi cha fedha zilizokopeshwa ni Tshs. 95,868,200/= kiwango cha marejesho ni Tshs, 36,383 630/= Sawa na Mipango ya mkoa ni kuendelea kuhamasisha jamii ya wafugaji kuunda vyama vya ushirika wa wafugaji.(Vyanzo vya Wafugaji kupata Mikopo vimeoneshwa kwenye kiambatanisho Na.1 ) 2.6 MATUMIZI YA MADAWA YA KUOGESHA MIFUGO. Dawa zinazotumika katika majosho haya ni zile zilizopitishwa na Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi na kusambazwa kwa wafugaji madawa hayo ni Cybadip, Paranex na Ecotix.

Page 127: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

120

Jedwali: 8: Idadi na hali ya majosho

Majosho (Idadi) Na.

Wilaya Yaliyopo Yanayofany

a Kazi Mazima

afanyikazi* Mabovu

1. Magu 31 15 0 16 2. Geita 32 3 8 21 3. Kwimba 27 12 3 12 4. Misungwi 39 15 8 16 5. Ilemela 5 3 1 2 6. Nyamagana 4 1 1 0 7. Sengerema 31 11 5 15 8. Ukerewe 16 0 2 14 Jumla 186 60 28 96

Chanzo: Taarifa za Halmashauri za wilaya, 2008/2009 Majosho 28 hayafanyi kazi kwa sababu zifuatazo:

(i) Kukosa maji wakati wa kiangazi (ii) Kamati za majosho kushindwa kuyaendesha

Namna majosho hayo yanavyosimamiwa

(i) Majosho ya jumuiya yanasimamiwa na Kamati za Majosho za vikundi vya wafugaji zinazoundwa na wafugaji wenyewe.

(ii) Kila josho limefunguliwa Akaunti benki. Fedha zinazopatikana kutokana na kulipia uogeshaji zinatunzwa Benki.

(iii) Kila ng’ombe, mbuzi, kondoo na hata mbwa anaeogeshwa analipiwa fedha. (iv) Kamati hizi zinapata usimamizi/ushauri wa kitaalamu toka Idara ya mifugo ya

Wilaya. (v) Majosho ya watu binafsi yanasimamiwa na wao wenyewe ingawa pia hukaguliwa

mara kwa mara na wataalamu wa mifugo. 2.7 CHANGAMOTO ZINAZOKABILI MAENDELEO YA SEKTA YA MIFUGO MKOANI

MWANZA.

Pamoja na jitihada zinazofanyika kuendeleza sekta ya mifugo zipo changamoto mbalimbali zinazokwamisha jitihada hizi nazo ni kama ifuatavyo. (i) Uhaba wa eneo la malisho. Eneo la malisho halitoshi kulingana na idadi ya mifugo iliyopo. Eneo linalotumika kwa ajili ya malisho linakadiriwa kuwa Hekta 516,460 ambapo idadi ya mifugo ni 1,654,726 (Ng’ombe pekee). kwa takwimu hizi, uwiano wa mifugo kwa eneo ni 1: 0.3 ha Kitaalamu uwiano unaofaa ni 1: 4 ha kwa mwaka. Eneo hili limegawanyika kiwilaya kama inavyoonekana kwenye jedwali hapa chini.

Page 128: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

121

Jedwali: 9; Eneo la malisho kiwilaya

Na. Wilaya Eneo(Hekta) 1. Geita 250,000 2. Magu 68,130 3. Misungwi 96,000 4. Sengerema 68,963 5. Kwimba 18,000 6. Ilemela 10,200 7. Nyamaga 5,100 8. Ukerewe 67 Jumla 516,230

Chanzo: Taarifa za Halmashauri za wilaya, 2008/2009 Wilaya zina idadi ya mifugo zaidi ya mara tatu ya kiwango kinachokubalika kulingana na eneo la malisho lilopo. Sababu kubwa zinazosachangia hali hii ni kupanuka kwa shughuli za kilimo cha mazao ya chakula na biashara katika maeneo yaliyokuwa yanatumika kwa ajili ya ufugaji, vile vile tatizo hili linasababishwa na kutokuwa na utaratibu wa kutenga maeneo kwa ajili ya shughuli mbalimbali pamoja na uharibifu wa mazingira unaotokana na kutofuata kanuni bora za kilimo. Jitihada zinazofanyika ni kushauri wafugaji kufanya yafuatayo.

(a) Kukusanya na kutumia masalia ya mazao baada ya mavuno. (b) Kuhifadhi malisho kwa mfumo wa Ngitiri (standing hay) ambazo hutunzwa

wakati wa masika ili yatumike wakati wa kiangazi. (c) Uvunaji wa mifugo (Destocking) wafugaji wanashauriwa umuhimu wa kuvuna

mifugo yao ili kupunguza hasara zinazojitokeza wakati wa ukame na hali mbaya ya hewa.

(d) Kuanzisha unenepeshaji wa mifugo (feedlot) katika sehemu zenye masalia ya vyakula kama vile pumba za mpunga na mahindi ili kuongeza thamani ya wanyama waliokonda kipindi cha ukame na kuwaongezea thamani kabla ya kuingia sokoni.

(ii) Ukosefu wa Maji ya Mifugo. Maji kwa ajili ya kunywesha mifugo ni kikwazo kikubwa yanatosheleza kipindi cha masika na hupungua wakati wa kiangazi hasa katika maeneo yenye ukame kama vile wilaya za Misungwi, Kwimba na Magu. kwa sababu ya kuwa na vyanzo vichache ambavyo havitoshelezi maji kwa ajili ya mifugo. Mabwawa ya maji yaliyopo ni madogo ambayo hayawezi kutunza maji kwa muda mrefu hasa ukame ukiwa wa muda mrefu. Kwa mfano ukame wa 2005 ambapo mabwawa mengi yalikauka. (iii) Aina ya Mifugo na mifumo ya uzalishaji Asilimia 98.1 ya ng’ombe mkoa wa Mwanza ni wa asili (Tanzania Shorthorn Zebu na Ankole) ambao uchangia uzalishaji duni usio na tija. Hali hii inachangiwa kwa kiwango kikubwa na mifumo ya uzalishaji inayotumiwa na wafugaji, hata hivyo jitihada zinafanyika kuwashauri wafugaji kutumia njia za kuboresha koo za asili za mifugo waliopo .nazo ni

Page 129: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

122

Uhamilishaji (A.I) na kutumia madume bora (Ng’ombe na Mbuzi) na Majogoo Bora. (Tazama jedwali nambari 2 na 3). (iii) Magonjwa ya Mifugo: Zaidi ya asilimia 50 ya vifo vya mifugo vinatokana na magonjwa yaenezwayo na kupe kama vile Ndigana kali (East Coast ferver), Ndigana baridi (Anaplasmaosis), mkojo damu (Babesiosis) na Maji moyo (heart water). Hata hivyo jitihada za kupambana na wadudu wanaoeneza magonjwa haya zinafanyika ikiwa ni pamoja na kuogesha mifugo. Magonjwa mengine yanayo sumbua mifugo katika mkoa huu ni Homa ya mapafu, Homa ya bonde la ufa, Kichaa cha mbwa, Kimeta (Anthrax), Chambavu( Blackquarter), Mdondo (Newcastle disease), mapele ngozi (Lumpyskin Diseases) na ugonjwa wa miguu na midomo (Foot and Mouth Disease). Matukio ya magojwa muhimu ya mifugo katika kipindi cha miezi mitatu, yaani Januari hadi Machi 2009 yameonyeshwa katika jedwali namba 10 hapa chini. Jedwali: 10; Matukio ya magonjwa muhimu ya mifugo Mkoani Mwanza katika kipindi cha Januari hadi Machi 2009 Mwezi Aina ya ugonjwa Idadi ya

wanyama waliougua

Idadi ya wanyama waliopona

Idadi ya wanyama waliokufa

Ndigana kali 5,713 5,491 271 Ndigana baridi 3,083 2,891 189 Mkojo damu 1,796 1,673 123 Moyo maji 2,666 2,423 143 Nagana 121 115 6 Chambavu 1,092 1,023 69 Ugonjwa wa miguu na midomo 6 6 0

Jan-Machi 2009

Kichaa cha mbwa 17 0 17 Chanzo: Taarifa za Halmashauri za wilaya, 2008/2009

• Katika kipindi cha miezi mitatu “Januari hadi Machi 2009”, ng’ombe 726 kati ya ng’ombe 13,258 waliougua magonjwa yaenezwayo na kupe mkoani Mwanza, walikufa.

• Pia katika kipindi hicho, mbwa 17 walipata ugonjwa wa kichaa cha mbwa. Wote waliuwawa.

VI). Huduma ya ugani isiyo tosheleza mahitaji Huduma za ugani katika mifugo zinahusisha uhawilishaji wa teknolojia kutoka kwa wataalam kwenda kwa wafugaji na kubadilishana taarifa na uzoefu miongoni mwa wadau ili kuongeza uzalishaji na tija. Ili lengo hili lifikiwe kwa ufanisi lazima kuwepo na wataalamu wa kotosha, vitendea kazi vya kutosha na miundo mbinu ya kutosha. Katika mkoa wa Mwanza huduma za ugani zinazotolewa hazitoshelezi mahitaji kwa sababu kuna upungufu wa watumishi katika ngazi ya kata na vijiji, upungufu wa vitendea kazi katika ngazi zote na upungufu wa miundo mbinu, hivyo maeneo mengine ya wafugaji hayafikiwi kwa wakati. (Taz, jedwali na. 4 na 11)

Page 130: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

123

Jedwali: 11: Hali ya vitendeakazi Mkoani Mwanza Wilaya Vitendeakazi Mahitaji

kufikia 2015 Vilivyopo Upungufu

• Pikipiki 40 31 9• Vet kit 6 1 5• Extension kit 98 0 98

• Coolbox 6 4 2

• Jokofu 5 1 4

• Darubini 5 1 4

Misungwi

• LDC 5 5 -• Pikipiki 38 4 34• Baiskeli 124 10 114• Vet kit 9 0 9• Extension kit 151 0 151• Coolbox 168 30 138• Jokofu 9 1 8• Darubini 9 0 9

Magu

• LDC 8 7 (Chakavu) 8• Pikipiki 12 1 11• Baiskeli 2 0 2• Vet kit 2 0 2• Extension kit 14 0 14• Coolbox 4 2 2• Jokofu 2 1 1• Darubini 2 0 2

Nyamagana

• LDC 1 0 1• Pikipiki 9 0 9• Baiskeli 8 0 8• Vet kit 3 0 3• Extension kit 17 0 17• Coolbox 4 2 2• Jokofu 2 0 2

Ilemela

• Darubini 3 0 3• Pikipiki 25 5 20• Baiskeli 40 20 20• Vet kit 7 0 7• Extension kit 111 0 111• Coolbox 10 0 10• Jokofu 4 3 1• Darubini 8 0 8

Kwimba

• LDC 7 7(Chakavu) 7• Pikipiki 24 3 21• Baiskeli 68 1 67• Vet kit 5 0 5

Ukerewe

• Extension kit 92 0 92

Page 131: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

124

Wilaya Vitendeakazi Mahitaji kufikia 2015

Vilivyopo Upungufu

• Coolbox 2 0 2• Jokofu 4 2 2• Darubini 5 0 5• LDC 6 6 (Chakavu) 6• Pikipiki 25 5 20• Vet kit 5 3 2• Extension kit 211 0 211• Coolbox 6 0 6• Jokofu 5 1 4• Darubini 5 3 2

Geita

• LDC 6 5(Chakavu) 5• Pikipiki 19 6 13• Baiskeli 124 105 19• Vet kit 5 0 5• Extension kit 148 0 148• Coolbox 9 0 9• Jokofu 5 1 4• Darubini 6 0 6

Sengerema

• LDC 6 4 (Chakavu) 2Chanzo: Taarifa za Halmashauri za wilaya, 2008/2009 (vii) Fedha za ruzuku ya uwekezaji Katika utekelezaji wa miradi ya DADPS Mgao wa fedha za ruzuku ya uwekezaji (DADG) hazikidhi mahitaji hali inayofanya baadhi ya miradi isitekelezwe. Aidha, fedha zinazopatikana huchelewa kuletwa. 2.8 MIKAKATI YA KUENDELEZA SEKTA YA MIFUGO. Ili kuwa na sekta ya Mifugo yenye ufugaji wa kisasa, endelevu na uzalishaji wenye tija, inayoendeshwa kibiashara na yenye kuboresha lishe ya mtanzania na kuinua kipato cha mfugaji na taifa kuhifadhi mazingira; Mkoa umejizatiti kutekeleza mikakati kama ilivyotajwa hapa chini ,na utekelezaji wa mikakati hiyo imeanishwa kwenye jedwali na 12. (i) Kujenga majosho, kukarabati na kuhamasisha matumizi ya majosho yaliyopo sasa. (ii) Kuongeza wastani wa uchanjaji mifugo dhidi ya kideri, ndui, kichaa cha mbwa,

homa ya mapafu, Chambavu na ugonjwa wa Miguu na midomo. (iii) Kujenga na kukarabati malambo na visima virefu. (iv) Kuboresha koo safu za mifugo tulionao kwa kuongeza vituo vya uhamilishaji na

madume bora (v) Kuongeza upatikanaji wa pembejeo za mifugo kwa wafugaji kwa kuongeza

maduka ya pembejeo (vi) Kuongeza vikundi vya wasindika mazao ya mifugo. (vii) Kuongeza asilimia ya miradi ya mifugo inayotekelezwa na program mbali mbali

wilayani. (viii) Kuongeza idadi ya maafisa ugani na idadi ya vitendea kazi. (ix) Kuboresha uwiano wa idadi ya mifugo na eneo la malisho lililopo (Animal per unit

area au Ng’ombe/Hekta) kutoka uwiano wa 1: 0.3 hadi 1: 4.

Page 132: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

Jedwali: 12; UTEKELEZAJI WA MIKAKATI YA KUBORESHA SEKTA YA MIFUGO – MKOA WA MWANZA KUANZIA 2009 HADI 2015.

Na. Changamoto/Tatizo Mkakati Wahusika Mbinu za Kutekeleza Mkakati

Muda wa utekelezaji

1. Vifo vya mifugo vitokanavyo na magonjwa yaenezwayo na kupe.

Kujenga majosho 19, kukarabati majosho 97 na kuhamasisha matumizi ya majosho 86 yaliyopo sasa ili kupunguza vifo vya mifugo vitokanavyo na magonjwa ya kupe toka 35% (2009) hadi 15% (2015).

Serikali kuu H/Wilaya na Jiji

NGO’s Wafugaji Viongozi ngazi zote

Kutenga fedha za ujenzi na ukarabati

Kuunda kamati za majosho

Kutoa mafunzo ya uendeshaji wa majosho kwa kamati za majosho

Kutoa elimu ya umuhimu wa uogeshaji mifugo kwa wafugaji.

Oktoba 2009 hadi Juni 2015

2 Vifo vya mifugo vinavyotokana na magonjwa ya mlipuko.

Kuongeza wastani wa uchanjaji mifugo Kuku dhidi ya kideli na ndui 60% (2009) hadi 80% 2015, Mbwa dhidi ya kichaa cha mbwa 68% (2009) hadi 75% (2015) Ng’ombe dhidi ya homa ya mapafu, Chambavu na ugonjwa wa Miguu na midomo toka 20% (2009) hadi 50% (2015).

Serikali kuu H/Wilaya na Jiji NGO’s Wafugaji Viongozi ngazi

zote

Kutunga sheria ndogo katika ngazi ya H/Wilaya inayohimiza uchanjaji wa mifugo.

Kuunda timu za dharura( Rapid responce Teams) za kufuatilia magonjwa ya mlipuko, moja kwa kila wilaya.

Kufuatilia na kuchunguza viashiria vya magonjwa ya mlipuko muda wote (costant disease survillance)

Oktoba,2009 hadi Juni 2015

3 Uhaba wa maji kwa ajili ya mifugo.

Kujenga malambo 45 na kukarabati malambo 23 ili kuongeza idadi ya malambo toka malambo

Serikali kuu H/Wilaya na Jiji NGO’s Wafugaji

Kutenga fedha za ujenzi na ukarabati.

Kuhamasisha jamii kuchangia gharama za

Oktoba,2009 hadi Juni 2015

125

Page 133: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

Na. Changamoto/Tatizo Mkakati Wahusika Mbinu za leza

Muda wa utekelezaji Kuteke

Mkakati

93 (2009) hadi malambo 138 (2015) Kujenga visima virefu 33 na kukarabati 2 ili kuongeza idadi ya visima virefu toka visima 4 (2009) hadi visima 37 (2015).

Viongozi ngazi zote

ujenzi Kutoa elimu ya utunzaji

wa malambo na visima kwa wafugaji

5. Upungufu wa pembejeo za mifugo katika maeneo mengi ya vijijini.

Kuongeza upatikanaji wa pembejeo za mifugo kwa wafugaji kwa kuongeza maduka ya pembejeo, toka maduka 128 (2009) hadi maduka 177 (2015) angalau duka moja kila kata.

Serikali kuu H/Wilaya na Jiji NGO’s Wafugaji Viongozi ngazi

zote Wafanyabiashara

Kuhamasisha sekta binafsi kuwekeza katika pembejeo za mifugo

Kutoa elimu ya ujasiriamali kwa wafanyabiashara.

Oktoba,2009 hadi Juni 2015

6. Upungufu wa masoko na bei ndogo ya mifugo na mazao yake.

Kuongeza vikundi vya wasindika maziwa toka vikundi 6 (2009) hadi vikundi 23 (2015).

Kuongeza idadi ya minada ya Upili toka mnada 1 (2009) hadi minada 2 (2012).

Kuongeza idadi ya minada ya msingi toka minada 16 (2009) hadi minada 27 (2015)

Kuongeza vikundi vya wasindika ngozi toka vikundi 5 (2009) hadi vikundi. 18 (2015).

Serikali kuu H/Wilaya na Jiji NGO’s Wafugaji Viongozi ngazi

zote Wafanyabiashara Tanzania Leather

Association.

Kutoa elimu kwa vikundi 23 vya wasindika maziwa juu ya usindikaji wa maziwa na vikundi 13 vya wasindika ngozi.

Kuiomba serikali kuu kurejesha matumizi stahili ya kiwanda cha Mwanza Tannaries na chuo cha elimu ya ngozi Ilemela.

Kuikumbusha Serikali kujenga machinjio kubwa ya kisasa Magu kama ilivyo ahidi.

Kutafuta masoko ndani na nje ya nchi.

Oktoba,2009 hadi Juni 2015

126

Page 134: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

Na. Changamoto/Tatizo Mkakati Wahusika Mbinu za Kutekeleza Mkakati

Muda wa utekelezaji

Kufufua kiwanda cha ngozi cha Mwanza Tannaries kilichopo ili kifanye kazi iliyokusudiwa

Kufufua chuo cha ngozi kilichopo Ilemela Mwanza ili kifanye kazi iliyokusudiwa.

Kukarabati machinjio moja ya kisasa iliyopo mjini Mwanza ili ifanye kazi.

Kujenga machinjio moja ya kisasa katika wilaya ya Magu kama ilivyoahidiwa na Wizara ya Mifugo.

7. Uibuaji wa miradi hafifu na isiyolenga kuendeleza sekta ya mifugo katika ngazi ya kijiji chini ya programu zote za Maendeleo ikiwemo ASDP na TASAF.

Kuongeza asilimia ya miradi ya mifugo inayotekelezwa na programu mbalimbali wilayani kutoka 25% (2009) hadi 50% (2011/2012)

Serikali kuu H/Wilaya na Jiji Asasi zisizo za

kiserikali (NGOs) Asasi za kijamii

(CBOs) Asasi za Kidini

(FBOs) Wafugaji Viongozi ngazi

zote

Kuwajengea uwezo wanavijiji ili waweze kuibua miradi mizuri ya mifugo yenye kuleta matokeo chanya kwa kuwapa mafunzo

127

Page 135: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

Na. Changamoto/Tatizo Mkakati Wahusika Mbinu za Muda wa utekelezaji Kutekeleza

Mkakati

8. Huduma ya ugani isiyo tosheleza mahitaji.

Kuongeza idadi ya maafisa ugani wa mifugo kutoka 207 (2009) hadi 744 (2015).

kuongeza vitendea kazi:-

-Kuongeza magari ya kitengo cha mifugo toka 0 (2009) hadi magari 8 (2015),

-Pikipiki:- kutoka pikipiki 55 (2009) hadi 182 (2015).

-Baiskeli:- kutoka baiskeli 220 (2009) hadi 311 (2015)

-Vet Kits:- kutoka kit 4 (2009) hadi Vet kits 41 (2015)

-Extension Kits:- kutoka extension kits 0 (2009) hadi extension kits 631 (2015)

-Darubini:- kutoka darubini 4 (2009) hadi 43 (2015).

-Jokofu:- kutoka Jokofu 10 (2009) hadi 35 (2015)

TAMISEMI H/Wilaya, na Jiji Asasi zisizo za

kiserikali (NGOs) Asasi za kijamii

(CBOs) Asasi za Kidini (FBOs)

Kuomba Serikali kuu ikubali kutoa ajira kwa idadi hiyo ya watumishi.

Kutoa mafunzo kwa wakulima wawezeshaji 181.

Oktoba,2009 hadi 2015

128

Page 136: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

Na. Changamoto/Tatizo Mkakati Wahusika Mbinu za Kutekeleza Mkakati

Muda wa utekelezaji

-Cool boxes:- kutoka coolboxes 65 (2009) hadi 641 (2015).

Kuongeza idadi wakulima wawezeshaji kutoka 181 (2009) hadi 362 (2015)

Kujenga vituo vya maendeleo ya mifugo 11(2015)

Kukarabati vituo vya maendeleo ya mifugo 28 ifikapo 2015

9 Eneo dogo la malisho (Hekta 516,460) lisilotosheleza idadi kubwa ya mifugo iliopo (Ng’ombe pekee 1,654,726), ambalo linasababisha migongano miongoni mwa wadau mbalimbali wa ardhi. Uwiano wa 1: 0.3 Ha.

Kuongeza uwiano wa mifugo na eneo la malisho lililopo (Animal per unit area au Ng’ombe/Hekta) kutoka uwiano wa 1: 0.3 hadi 1:4

Serikali kuu H/Wilaya na Jiji Serikali za vijiji. Asasi zisizo za

kiserikali (NGOs) Asasi za kijamii

(CBOs) Asasi za Kidini

(FBOs) Wafugaji Viongozi ngazi

zote

Kutenga maeneo ya malisho na kuyalinda kwa mpango wa kumilikisha ardhi kimira.

Kutunga sheria ndogo za Halmashauri na vijiji ili kulinda maeneo hayo

Kutoa elimu kwa wafugaji ili wafuge kulingana na uwezo wa maeneo yao na wafuge kibiashara.

Oktoba,2009 hadi 2015

129

Page 137: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

130

Kiambatanisho Na.1 Vyanzo vya Wafugaji kupata Mikopo: (SACCOS NA BENKI JAMII) Mkoa wa Mwanza

Wanachama

Mikopo yote

Mikopo kwa wafugaji

Wilaya

Idad

i ya

Sac

cos

Ben

ki J

amii Me Ke Vik. Jumla

Mtaji Tshs. Tolewa

Tshs. Rejeshwa Tshs.

Idad

i ya

w

afu

gaji

Tolewa

Rejeshwa

Mikopo ya baadaye

Sengerema 109 – 4,371 2,611 53 7,035 424,848,000 1,398,244,000 1,059,282,000 – – – Kuhamasisha wafugaji kuanzisha Saccos 3 kufikia 2012

Kwimba 46 – 9,645 3,592 232 13,469 303,274,850 326,346,459 61,747,030 – – – Kuhamasisha wafugaji kuanzisha Saccos 4

Geita 209 – 10,204 6,119 56 16,379 908,418,498 32,284,281,987 26,306,103,850 334 71,998,200

33,683,630

Misungwi 80 – 3,452 2,185 – 5,637 374,759,300 565,615,700 316,737,100 9 3,700,000 2,700,000 “ Magu 67 – 6,218 3,995 292 10,505 1,298,222,178 2,100,900,138 811,490,074 32 20,170,00

0 – “

Ilemela 23 – 2,799 2,685 56 5,540 2,046,263,256 3,686,591,711 1,512,576,970 – – – “ Ukerewe 53 – 4,162 1,977 228 6,367 488,452,522 1,490,420,200 992,769,200 – – – “ Nyamagana 32 – 5,916 4,097 288 10,301 2,227,945,323 4,232,255,842 1,413,035,252 – – – “ Jumla 619 46,767 27,261 1,205 75,233 8,072,183,927 46,084,656,037 32,473,741,476 375 95,868,200 36,383,630

Page 138: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

131

TAARIFA YA HALI YA SEKTA YA MIFUGO MKOANI SHINYANGA KUHUSU UHAMASISHAJI WA UFUGAJI BORA

1. Utangulizi Shughuli ya ufugaji ni ya pili baada ya kilimo kwa umuhimu katika mkoa wa Shinyanga. Kutokana na takwimu za sensa ya Kitaifa ya kilimo ya mwaka 2003; Mkoa ulionekana kuwa na kaya 377,857 zinazojihusisha na kilimo, kati ya hizo kaya 174,232 sawa na 46% zinashiriki katika kilimo na ufugaji na kaya 2,310 zinashiriki katika ufugaji tu. Kwa ujumla mkoa una kaya 176,542 sawa na 47% ya kaya zote za kilimo zinazojihusisha na ufugaji. Mkoa huu ni wa kwanza kitaifa kwa kuwa na kaya nyingi zinazofuga ng’ombe, kwani asilimia 42 ya kaya zenye mifugo zinafuga ng’ombe. Wafugaji wengi katika mkoa wa Shinyanga ni wafugaji wakulima (Agro pastoralists) isipokuwa sehemu ya wilaya ya Meatu ina wafugaji wasio wakulima (pastoralists) 2. Idadi ya Mifugo Mkoani Shinyanga Mkoa wa Shinyanga ni wa kwanza kitaifa kwa wingi wa mifugo hususan ng’ombe. Kutokana na sensa ya mifugo ya mwaka 2003 ilibainika kwamba mkoa huu una 15.4% ya ng’ombe wote wanaofugwa Tanzania Bara na karibia asilimia 99% ya ng’ombe hawa ni wa asili. Kwa mwaka 2009 mkoa huu unakadiriwa kuwa na ng’ombe 2,678,646. Asilimia 7.4 ya ng’ombe wote ni madume, majike ni asilimia 40.6, maksai ni asilimia 3.5 na mitamba ni asilimia 22.9. Kwa upande wa ndama asilimia 12.5 ni madume na 13.1% ni majike. Wilaya inayoongoza kwa kuwa na ng’ombe wengi ni Bariadi ikifuatiwa na Meatu na Maswa. Halmashauri iliyo na ng’ombe kidogo ni Shinyanga Manispaa kama inavyoonekana kwenye jedwali Na. 1 Ufugaji wa mbuzi ni wa pili kwa umuhimu katika mkoa huu ukifuatiwa na kondoo na nguruwe. Kwa idadi ya mbuzi, mkoa wetu ni wa 11 katika mikoa 21 ya Tanzania bara. Unafuga asilimia 4.4 ya mbuzi wote wanaofugwa Tanzania Bara. Mkoa huu unakadriwa kuwa na mbuzi 1,326,065. Wilaya ya Meatu inaongoza kwa kuwa na mbuzi wengi (234,520) ikifuatiwa na Maswa (217,681) na Bariadi (213,664). Kwa upande wa ufugaji wa kondoo mkoa huu ni wa 9 kati ya mikoa 21. Mkoa huu unakadriwa kuwa na kondoo 540,565. Wilaya ya Maswa inaongoza kwa kuwa na kondoo wengi (112,229) ikifuatiwa na Bariadi (103,468) na Kishapu (83,612). Mkoa wa Shinyanga hauna nguruwe wengi. Idadi ya nguruwe katika mkoa huu inafikia zaidi ya 5,737. Wanyama wengine wanaofugwa katika mkoa huu ni punda, mbwa na paka. Katika ufugaji wa kuku mkoa wa Shinyanga ni wa kwanza kitaifa kwa kuwa na kuku wengi. Una wastani wa kuku 12 kwa kila kaya ya mfuga kuku. Idadi ya kuku inakadriwa kufikia 3,433,348. Bata, bata mzinga na kanga nao wanafugwa.

Page 139: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

132

Jedwali Na. 1: Idadi ya mifugo mkoani Shinyanga WILAYA AINA

BARIADI KAHAMA BUKOMBE MASWA MEATU SHY M SHY V KISHAPU JUMLA JUMLA

KUU

ASILI 559,025 358,453 192,822 401,714 448,557 56,244 300,344 354,132 2,671,291Ng’ombe

KIGENI 140 703 46 375 543 5,225 220 103 7,355

2,678,646

ASILI 213,234 185,840 113,053 216,815 243,516 53,977 118,433 179,066 1,323,934Mbuzi MAZIWA 430 531 0 766 4 141 217 50 2,131

1,326,065

Kondoo 103,468 81,833 38,629 112,229 40,012 16,964 61,818 83,612 540,565 540,565

Nguruwe 329 610 1,320 390 228 2,316 218 326 5,737 5,737

Punda 943 13,345 1,072 825 4,278 701 3,452 1,606 26,222 26,222

ASILI 528,847 663,000 497,000 914,411 366,272 75,431 187,780 164,000 3,396,741

MAYAI 0 9,690 3,600 4,000 513 14,393 470 1890 34,556

Kuku

NYAMA 0 0 0 0 0 0 250 1,801 2,051

3,433,348

Bata 118,581 2,780 97,200 16,400 1,209 4,966 1,520 24,615 242,820 267,271

3 Miundo Mbinu ya Mifugo iliyopo Miundo mbinu ya mifugo mkoani Shinyanga bado haitoshelezi idadi ya mifugo iliyopo. Hata hii michache iliyopo; baadhi imechakaa kiasi cha kutofanya kazi. Hali hii inaathiri sana ubora wa mifugo yetu. Jedwali Na 2a mpaka 2c zinaonyesha idadi ya miundo mbinu ya mifugo iliyopo. Jedwali Na. 2 a: Miundo mbinu ya Mifugo Halmashauri Majosho Malambo Machinjio Idadi Yanayofa

nya kazi Yasiyo fanya kazi

Idadi Mazima Mabovu Idadi

Bariadi 35 4 31 33 14 19 4Bukombe 6 0 6 18 18 0 1Kahama 37 10 27 18 18 0 4Kishapu 12 4 8 19 19 0 7Maswa 41 12 29 26 26 0 1Meatu 16 10 6 10 10 0 1Shinyanga DC 14 4 10 15 15 0 0Shinyanga MC 7 3 4 2 2 0 1Jumla 168 47 121 141 122 19 19 Jedwali Na. 2 b: Miundo mbinu ya Mifugo Halmashauri Makaro Vituo vya

Afya ya mifugo

Mabanda ya ngozi

Vibanio Vituo vya ukaguzi wa mifugo

Vituo vya kupumzishia mifugo

Bariadi 3 9 2 7 0 0Bukombe 3 3 0 0 0 0Kahama 3 5 2 0 0 1Kishapu 0 0 4 0 1 0Maswa 5 7 2 0 0 1Meatu 5 6 1 2 1 0Shinyanga 5 11 5 7 0 0Shinyanga M 5 0 3 0 0 1Jumla 29 41 19 16 2 3

Page 140: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

133

Jedwali Na. 2 c: Miundo mbinu ya Mifugo Halmashauri Maduka ya

pembejeo Mabirika ya maji

Minada Maduka ya kuuza nyama

Bariadi 30 0 4 8Bukombe 10 1 4 20Kahama 26 3 7 110Kishapu 3 4 3 9Maswa 6 15 5 10Meatu 3 0 5 6Shinyanga 5 1 5 14Shinyanga M 15 3 1 30Jumla 98 27 34 207 4. Watumishi Wanaotoa Huduma za Mifugo Kutokana na Shinyanga Regional Social Economic Profile ya mwaka 2007; Mkoa wa Shinyanga una vijiji 874, kata 160 na Halmashauri 8. Mifugo yote katika vijiji hivi inahudumiwa na wataalamu 224 tu. Hali hii inaathiri utendaji wa kila siku wa shughuli za mifugo mkoani. Miaka mitano ijayo idadi ya wataalamu hawa inaweza kupungua zaidi kama hatua za makusudi hazitachuliwa kurekebisha hali hii kwani wengi wa wataalamu hawa watastaafu. Kwa kuwa mkoa una Halmashauri 8, kata 160 na vijiji 874 na kwamba kila ofisi ya makao makuu ya Halmashauri inahitaji walau watumishi 3 yaani “Veterinary Officer” mmoja, “Livestock Officer” mmoja na mkaguzi wa mifugo na mazao yake (Veterinary Inspector) mmoja. Na kwa kuwa kila kata inahitaji kuwa na “Livestock Field Officer” mmoja; na watumishi wa kada ya “Livestock Field Officer” tulionao ni 203 tu hivyo basi mkoa una upungufu wa “Livestock Field Officer” 831 kwenye Vijiji. Vile vile tunaupungufu wa “Veterinary Officer”2 kwenye vituo vya ukaguzi wa mifugo (Veterinary Check Points) vya Nyasamba na Bukundi. Tuna upungufu wa Afisa Udhibiti wa Ndorobo 1 katika wilaya ya Bariadi na “Livestock Officer” mmoja katika wilaya ya Meatu. Jedwali Na. 3. Idadi ya Wataalamu wa Mifugo Mkoani Shinyanga

WATAALAMU WA MIFUGO

HALMASHAURI Veterinary Officers

Livestock Officers

Liv.Field Officers

Tsetse Field Officers

Liv.Field Auxiliary

Bariadi 1 1 31 0 0Bukombe 1 3 21 1 1Kahama 1 2 39 2 3Kishapu 1 1 11 1 1Maswa 1 2 20 0 0Meatu 1 0 30 1 1Shinyanga Vijijini 1 1 21 0 1Shinyanga Mjini 1 2 17 0 1Jumla 8 12 190 5 8Sekretarieti ya Mkoa 1Jumla Kuu 224

Page 141: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

134

5 Vitendea kazi Kwa mfumo uliopo kitengo cha mifugo kiko kwenye Idara ya Kilimo, Mifugo na Ushirika hivyo vitendea kazi vya idara hii hutumika katika kazi zote za kilimo, mifugo na ushirika. Ni vigumu kutenganisha vitendea kazi vya mifugo pekee isipokuwa vifaa vichache hususan vinavyotumika katika tiba ya mifugo na uhamilishaji. Vitendea kazi vinavyofanya kazi vilivyoko kwenye Halmashauri za mkoa wa Shinyanga ni kama vilivyo kwenye Jedwali Na. 4. Jedwali Na. 4 Vitendea kazi vinavyofanya kazi Halmashauri Gari Pikipiki Photocopier Kompyuta Fax Kamera Bariadi 2 14 1 4 0 0Bukombe 1 22 1 6 0 0Kahama 1 22 1 6 0 0Kishapu 1 6 1 4 0 0Maswa 2 10 2 5 0 2Meatu 1 6 1 4 0 0Shy V 1 9 1 4 0 0Shy M 0 12 2 5 0 0Jumla 9 101 10 38 0 2

6 Miradi ya Mifugo Mkoa wa Shinyanga Serikali imekuwa ikifanya jitihada mbalimbali za kusaidia kuendeleza sekta ya mifugo kupitia programu ya kuendeleza kilimo ASDP. Kwa mwaka 2008/2009 Halmashauri ziliibua miradi mbalimbali ya kuendeleza sekta ya mifugo. Miradi mingi ilikuwa ya kukarabati na kujenga majosho, kukarabati na kujenga malambo, kuboresha ukoosafu wa mifugo, kutoa mafunzo kwa wafugaji na wataalamu pamoja na kukinga mifugo dhidi ya magonjwa mbalimbali. Miradi hii iligharimu kiasi cha shilingi 1,012,473,565. Jedwali Na. 5 linaonesha aina ya mradi kwa kila wilaya, thamani yake na chanzo cha fedha. Katika bajeti ya mwaka wa fedha 2009/10 mkoa umeibua miradi ya kuendeleza sekta ya mifugo yenye thamani ya shilingi za Kitanzania 876,953,960. Jedwali Na. 6 linaonyesha aina ya miradi, kiasi cha fedha kilichopitishwa na chanzo chake. Jedwali Na. 5 Miradi ya Kuendeleza Sekta ya Mifugo 2008/09 S/N Wilaya Aina ya Mradi Gharama Mfadhili 1 Kuboresha kuku wa kienyeji katika vijiji 12

kwa kutumia majogoo wa kisasa. 5,976,000 ACBG

2 Kukarabati machinjio moja 17,100,000 DADG3 Kufundisha wajumbe 200 wa kamati ya

josho katika vijiji 10. 5,800,000 ACBG

4 Kufanya uhamilishaji wa ng’ombe wa asili 22,221,000 ACBG5 Kukarabati majosho 4 katika vijiji 4 35,309,000 DADG6 Kukarabati lambo la Kijiji cha Mashigata 9,600,000 DASIP7 Kukarabati lambo la Kijiji cha Giriku 9,600,000 DASIP8 Ba

riadi

Kukarabati lambo la Kijiji cha Ngema 9,600,000 DASIP

Page 142: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

135

S/N Wilaya Aina ya Mradi Gharama Mfadhili 9 Kujenga lambo la Kijiji cha Old Maswa 26,500,000 DASIP10 Kukarabati lambo la Kijiji cha Ngulyati 20,000,000 DASIP11 Kuchanja ng’ombe dhidi ya CBPP katika vijiji

120 14,428,000 EBG

12 Kuchimba malambo 4 katika vijiji vya Bugando, Mponda, Namwage na Mjimwema

23,438,660 EBG

13

Buko

mbe

Kufanya ufuatiliaji wa kawaida wa magonjwa ya mifugo

2,625,000 AEBG

14 Kujenga Machinjio mbili, Isaka na Kahama 45,000,000 DADG15 Kuboresha koosafu ya Mbuzi wa maziwa

katika vijiji 3 7,897,4000 CBG

16 Kukarabati majosho 3 13,625,191 CBG17 Kuchanja ng’ombe dhidi ya ugonjwa wa

homa ya mapafu 12,934,000 EBG

18 Kukarabati malambo 3 katika vijiji vya Uyogo, Igwamanoni na Isaka

27,959,580 EBG

19 Kuzuia magonjwa ya mifugo 48,516024 DASIP20 Kuboresha kuku wa asili 9,188,000 DASIP21 Kuboresha ng’ombe kwa uhamilishaji 3,667,000 DASIP22 Kukarabati Josho la kijiji cha Igunda 8,890,000 DASIP23 Ka

ham

a

Kujenga mabirika 7 ya kunyweshea mifugo 171,225,000 DASIP24 Kujenga josho katika kijiji cha Malwilo 20,780,000 DADG25 Kuhamasisha wauzaji wa pembejeo za kilimo

na mifugo 3,047,000 AEBG

26 Kununua ng’ombe 12 wa maziwa 5,610,000 AEBG27 Kuhamilisha mifugo katika vijiji 3 4,334,403 AEBG28 Kujenga mnada mmoja katika kijiji cha

ukenyenge 29,615,000 AEBG

29 Kish

apu

Kuchanja mifugo dhidi ya CBPP,BQ na NCD 5,680,000 AEBG30 Kuboresha ukoosafu wa ng’ombe kwa

uhamilishaji 16,280,000 DADG

31 Kukarabati majosho 2 katika vijiji vya Mwandete na Lyogelo

33,800,000 DASIP

32

Mas

wa

Kuchimba bwawa moja katika kijiji cha Lyogelo

28,000,000 DASIP

33 Shamba Darasa kuhusu ufugaji bora wa kuku 7,050,000 AEBG34 Kufundisha ufugaji bora wa ndama

waliozaliwa kwa uhamilishaji 5,761,000 DADG

35

Mea

tu

Kujenga malambo 3 katika vijiji vya Lata, Mbushi & Mwakisandu

86,541,000 DASIP

36 Kujenga bwawa 1 kijiji cha Nyashimbi 31,435,000 AEBG37 Wafugaji kutembelea NAIC 6,500,000 AEBG38 Kujenga bwawa katika kijiji cha Mwenge 28,000,000 DASIP39 Kuhamilisha ng’ombe 15,000 30,906,786 DADG40 Kujenga josho 1 Mishepo 14,138,781 AEBG41 Kukarabati majosho3 ya Usule Iselamagazi na

Mwang’osha 11,908,453 AEBG

42

Shin

yang

a Vi

jijin

i

Kufunza watumishi 3 kuhusu A.I na Mikato bora ya nyama

5,300,000 ACBG

Page 143: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

136

S/N Wilaya Aina ya Mradi Gharama Mfadhili 43 Viongozi 5 Kufanya ziara ya mafunzo ya

uhamilishaji - Arusha 3,000,000 ACBG

44 Kuchanja mifugo dhidi ya NCD, FMD na BQ 4,610,337 AEBG45 Kutoa mafunzo kwa wataalamu 3 kuhusu

uhamilishaji 3,000,000 ACBG

46

Shin

yang

a M

jini

Kukinga mifugo dhidi ya Minyoo katika kijiji kimoja

4,999,350 AEBG

Jumla 1,012,473,565 Jedwali Na. 6 Miradi ya Kuendeleza Sekta ya Mifugo 2009/10 S/N Wilaya Aina ya Mradi Gharama Mfadhili 1 Kujenga Ward Resource Centres 2 24,976,000 ACBG2 Kukarabati malambo 4 96,861,000 DASIP3 Kutoa huduma ya Uhamilishaji katika vijiji

22 44,000,000 LGA

4 Kutoa huduma ya uhamilishaji katika vijiji 12

13,979,000 DADG

5

Bariadi

Kujenga visima 3 13,500,000 DASIP6 Kujenga karo la kuchinjia katika kijiji cha

Uyovu 5,449,000 DADG

7 Kukarabati chinjio la wilaya kwa kujenga sehemu ya kukagulia mifugo kabla ya kuchinjwa

5,905,000 DADG

8 Kufanya uhamilishaji wa ng’ombe 1,400 7,930,000, ACBG9 Kupeleka wataalamu 2 NAIC kwenye

mafunzo 2,920,000 ACBG

10

Bukombe

Kuweka vifaranga vya samaki katika mabwawa 2 ya vijiji vya Ituga na Ilolangulu

6,260,000 AEBG

11 Kujenga majosho 3 76,000,000 DASIP12 Kujenga lambo 1 katika kijiji cha Butibu 25,000,000 DASIP13 Kupandikiza vifaranga vya samaki katika

mabwawa yaliyoko wilayani 15,000,000 LGA

14

Kahama

Kujenga Ward Resource Centre katika kata ya Mpunze

36,870,000 A EBG

15 Kishapu Kujenga malambo 4 katika vijiji vya Mihama, Bulimba,Mwaweja na Bugoro

140,000,000 DASIP

16 Kujenga Josho moja katika kijiji cha Mwashegeshi

30,000,000 DASIP

17

Maswa

Kujenga Malambo 3 76,000,000 DASIP18 Kujenga malambo 3 86,700,000 DASIP19 kuunda na kuimarisha kamati za majosho

katika vijiji 3 1,900,000 DASIP

20 Kufanya uhamilishaji wa ng’ombe 1,500 20,302,000 DADG21

Meatu

Kujenga majosho 3 85,900,000 DASIP22 Kujenga “Ward Resource Centre” katika

kijiji cha Songambale 32,000,000 AEBG

23

Shinyanga

Kujenga birika la kunyweshea mifugo 1,008,000 DASIP

Page 144: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

137

katika kijiji cha Nyashimbi 24 Kujenga kisima cha maji kwa ajili ya

binadamu na mifugo katika kijiji cha Ibanza

8,640,000 DASIP

25 Kujenga “Ward Resource Centre” katika kijiji cha Mwamalili

4,000,000 DADG

26 Kukarabati vyumba 3 vya ofisi ya kilimo, mifugo na ushirika

368,000 DADG

27 Kukarabati josho la katika kituo cha Chibe

1,500,000 AEBG

28 Kukarabati chinjio kuu la Manispaa 2,020,000 AEBG29 Kujenga kituo cha Uhamilishaji katika kata

ya Chibe 2,000,000 AEBG

30 Kuchanja kuku 30,000 dhidi ya Kideri katika kijiji cha Uzogore na kuchanja ng’ombe dhidi ya CBPP katika kata 13

2,302,480 AEBG

31 Kufanya utambuzi, usajiri na ufuatiliaji wa mifugo katika vijiji 19

500,000 AEBG

32 Kufanya usimamizi wa mafias ugani 30 katika kata 13 na vijiji 19

537,480 AEBG

33 Kufanya uhamilishaji wa ng’ombe 2,000 katika kata 13

5,000,000 AEBG

34

Shinyanga Manispaa

Kutoa mafunzo kwa wafugaji 1,000 juu kanuni za ufugaji bora

1,626,000 ACBG

Jumla 876,953,960 7 Pembejeo za Mifugo Wasambazaji wa pembejeo katika mkoa wa Shinyanga bado hawakidhi mahitaji ya wafugaji. Hata hivyo jitihata zinazofanywa na uongozi wa mkoa katika uhamasishaji wananchi wenye uwezo kifedha katika kuwekeza kwenye pembejeo umesaidia kuongeza maduka ya pembejeo kutoka 81 mwaka 2008/09 hadi kufikia 98 mwaka huu. Aidha serikali imekuwa ikitoa dawa za kuogesha mifugo zenye ruzuku. Mwaka 2006/07 mkoa ulipokea lita 9,273 za dawa yenye ruzuku aina ya Stelladone na lita 3,875 za dawa aina ya Paratryn. Mwaka 2007/08 serikali ilitoa dawa za ruzuku aina ya Cybadip (Cypermethrin) kiasi cha lita 8,517. Mwaka 2008/09 mkoa umepokea kiasi cha lita 66,492 za dawa ya kuogesha mifugo yenye ruzuku. Lita 11,000 ni aina ya Paranex, Ecotix lita 12,000 na lita 43,492 ni aina ya Cybadip. Dawa hizi zikitumika vizuri zinaweza kupunguza magonjwa yanayoenezwa na kupe na ndorobo. Mahitaji ya dawa za chanjo yanategemea idadi ya mifugo iliyopo. Kwa utaratibu ukitaka kufanikisha chanjo dhidi ya ugonjwa husika lazima uchanje walau 80% ya mifugo hiyo na kwa mzunguko unaotakiwa. 8 Uboreshaji wa Ukoosafu wa Mifugo Kazi ya uhamilishaji inaendelea kufanyika katika Halmashauri zote za mkoa huu. Katika mwaka wa fedha 2008/09 wilaya ya Meatu ilionyesha kufanya vizuri kuliko wilaya zingine.

Page 145: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

138

Wilaya hii ilihamilisha jumla ya ng’ombe 1,224, ikifuatiwa na Bariadi waliohamilisha ng’ombe 513, Maswa walihamilisha ng’ombe 368, Kishapu 147, Shinyanga Manispaa iliyohamilisha ng’ombe 107, Kahama walihamilisha ng’ombe 134 na Bukombe walihamilisha ng’ombe 87. Jumla ya ng’ombe waliohamilishwa ilifikia 2,580 Mbegu zinazotumika sana ni sehemu za vijijini ni aina ya Borani, Sahiwal na Mpwapwa. Halmashauri ya Shinyanga pamoja na Bariadi zina madume bora aina ya Borani. Madume 34 yaliyopo wilaya ya Bariadi yamekwisha zalisha ndama 2 na majike 83 yana mimba. Wafugaji wengi wameanza kupata mwamko wa kutumia njia ya uhamilishaji. Katika bajeti ya mwaka 2009/10, Halmashauri ya Bariadi imepanga kuhamilisha ng’ombe 3,000, Bukombe 1,400, Kahama 2,000, Kishapu 1,500, Maswa 2,000, Meatu 1,500, Shinyanga 2,000 na Shinyanga Manispaa 2,000. Iwapo kazi hii Itafanyika kama ilivyopangwa, jumla ya ng’ombe 16,400 watahamilishwa mwaka huu. Aidha; Halmashauri ya Shinyanga Manispaa imetenga fedha kwenye bajeti ya mwaka huu kupitia miradi ya DADPs kwa kujenga kituo cha uhamilishaji katika kata ya Chibe ili kuongeza kasi ya huduma ya uhamilishaji kwa wananchi. Jedwali Na. 7 linaonyesha mgawanyo wa wataalamu wa uhamilishaji katika mkoa. Jedwali Na. 7 Idadi ya wataalamu wa Uhamilishaji Kiwilaya Na Jina la Halmashauri Idadi ya wataalamu 1 Bariadi 2 2 Bukombe 2 3 Kishapu 2 4 Kahama 10 5 Maswa 2 6 Meatu 6 7 Shinyanga 3 8 Shinyanga Manispaa 4 Jumla 31 9 Mauzo ya Mifugo Mkoa wa Shinyanga una minada 34 ya mifugo inayofanya kazi. Katika idadi hiyo mnada moja wa Mhunze ulioko wilayani Kishapu ndio mnada pekee wa upili (secondary livestock market) katika mkoa. Minada yote inafanyakazi mara moja katika kila juma. Mnada wa Mhunze, Shanwa, Bariadi na Tinde imewekwa kwenye mtandao wa simu na mauzo ya mifugo katika minada hii yanapatikana kwenye mtandao wa simu sehemu yoyote ya nchi hii, Afrika Mashariki na Pembe ya Afrika. Mwenendo wa masoko ya mifugo katika mkoa wa Shinyanga unaonyesha kuwa kunaongezeko kubwa la mauzo ya ng’ombe na mbuzi sasa kuliko miaka iliyopita. Idadi ya mifugo inayonunuliwa kwa wingi ni ng’ombe ikifuatiwa na mbuzi. Miaka ya 2006/07 na mwanzoni mwa mwaka 2007/08 mauzo ya mifugo katika mkoa wetu yalishuka kutokana na kufungwa kwa baadhi ya minada hususan katika wilaya za Bariadi, Kishapu, Maswa na

Page 146: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

Meatu kutokana na hatua za awali za kudhibiti kuenea kwa ugonjwa wa Homa ya Bonde la Ufa (Rift Valley Fever) Angalia “graph” ifuatayo.

MWENENDO WA MAUZO YA MIFUGO MKOANI SHINYANGA

148,885

110,449117,125

167,723

54,97444,228

61,487

86,232

19,72610,429

18,754 17,325

0

20,000

40,000

60,000

80,000

100,000

120,000

140,000

160,000

180,000

2005/06 2006/7 2007/08 2008/09

MIAKA

IDAD

I Ng'ombeMbuziKondoo

Kwa kipindi cha mwaka 2008/09, Mauzo ya ng’ombe, mbuzi na kondoo yaliwapatia wafugaji kiasi cha Tshs 56,160,617,397. Jedwali Na. 8, 9 na 10 zinaonyesha idadi ya mifugo iliyouzwa pamoja na thamani yake. Jedwali Na. 8 Mauzo ya Ng’ombe mwaka 2008/09 Mwezi NG’OMBE

WALIOFIKA MINADANI WALIOUZWA

BEI YA WASTANI THAMANI

Julai 25,992 15,543 284,313 4,215,218,250Agosti 28,537 14,817 301,465 4,499,588,221Septemba 28,989 15,501 315,644 5,375,601,418Octoba 27,556 15,535 307,544 5,133,409,150Novemba 26,743 14,479 332,964 4,859,892,500Desemba 29,124 15,621 373,756 5,963,273,000Januari 25,897 12,167 316,234 3,903,227,625Februari 25,377 12,874 334,770 4,334,202,483Machi 26,658 13,323 309,041 4,182,237,100Aprili 27,312 14,329 322,034 3,953,859,050Mei 21,054 11,242 291,984 3,023,092,250Juni 21,088 12,292 259,275 3,159,193,500Jumla 167,723 52,602,794,547

“Graph” ifuatayo hapa chini inaonyesha kwamba mauzo ya ng’ombe mwaka 2008/09 yalikuwa juu kwa miezi ya Novemba na Desemba. Inawezekana kuwa kuwepo kwa sikukuu za mwaka mpya na krismasi huenda ndiko kuliko chochea kupanda kwa mauzo ya ng’ombe hawa. Aidha ukiagalia hata upande wa bei inaonyesha kuwa ilikuwa juu kipindi

139

Page 147: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

hiki. Miezi ya Machi na Aprili nayo inaonyesha kuwa kulikuwa na ongezeko kubwa la uuzwaji wa ng’ombe. Sababu kubwa ya ongezeko hili huenda ikawa ni kutokana na sikukuu za Pasaka na Maulid. Mauzo yalishuka mwezi Mei kwa sababu wakulima wengi wanakuwa wamevuna mazao yao hivyo hawana shida ya chakula na matumizi ya fedha ya familia nyingi yanakuwa yamepungua.

MAUZO YA NG'OMBE MKOANI SHINYANGA 2008/2009

0

5,000

10,000

15,000

20,000

25,000

30,000

35,000

Julai

Agosti

Septem

ba

Oktoba

Novem

ba

Desem

ba

Janu

ari

Febr

uari

Machi

Aprili

MeiJu

ni

MIEZI

IDA

DI Fika

uzwa

Jedwali Na. 9 Mauzo ya Mbuzi Mwaka 2008/09 MWEZI MBUZI

WALIOFIKA MINADANI WALIOUZWA

BEI YA WASTANI THAMANI

Julai 9,593 6,742 33,563 229,633,500Agosti 12,358 7,593 36,438 263,930,500Septemba 10,330 6,320 36,188 219,887,500Octoba 13,388 6,757 30,188 248,710,500Novemba 11,050 6,456 40,250 247,117,000Desemba 13,458 9,154 41,788 347,855,300Januari 11,085 7,366 34,275 252,914,400Februari 12,920 7,638 36,250 269,924,000Machi 17,103 7,338 37,281 259,944,250Aprili 14,970 7,441 39,000 258,269,500Mei 11,506 6,014 32,813 201,489,000Juni 11,214 7,413 33,688 258,008,500Jumla 86,232 3,057,683,950

“Graph” hapa chini inaonyesha kuwa mauzo ya mbuzi yalikuwa juu mwezi Desemba sababu inawezekana zikawa kama zile za “graph” ya kwanza. Mwezi Machi mbuzi wengi sana walipelekwa minadani lakini bei haikuwa ya kuridhisha hivyo wafugaji wengi hawakuuza mifugo yao. Lakini mwezi wa Aprili mauzo ya mbuzi yaliongezeka tena.

140

Page 148: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

“Graph” hii inaonyesha kwamba soko la mbuzi ni la kubadilika badilika na bei ya mbuzi inapanda na kushuka mara kwa mara.

MAUZO YA MBUZI MKOANI SHINYANGA 2008/2009

0

2,000

4,000

6,000

8,000

10,000

12,000

14,000

16,000

18,000

Julai

Agosti

Septem

ba

Oktoba

Novem

ba

Desem

ba

Janu

ari

Febr

uari

Mac

hiApri

liMei

Juni

MIEZI

IDAD

I FIKAUZWA

Jedwali Na. 10 Mauzo ya Kondoo Mwaka 2008/09 MWEZI KONDOO

WALIOFIKA MINADANI WALIOUZWA

BEI YA WASTANI THAMANI

Julai 3,065 1,941 24,563 56,813,000Agosti 3,981 1,856 26,125 54,698,000Septemba 2,903 1,617 25,625 48,087,000Octoba 3,697 1,577 23,938 44,323,000Novemba 3,049 1,400 27,250 41,430,000Desemba 3,495 1,940 30,250 55,184,500Januari 2,689 1,404 29,425 40,955,400Februari 2,631 1,440 30,625 43,114,000Machi 2,848 1,083 26,938 32,527,500Aprili 3,661 1,149 32,538 32,506,200Mei 2,578 758 26,544 19,592,300Juni 3,325 1,160 26,063 30,908,000Jumla 17,325 500,138,900

“Graph” hapa chini inaonyesha kuwa mauzo ya kondoo yalikuwa juu mwezi Desemba. Miezi mingine mauzo ya kondoo hayakubadilika sana. Vile vile “graph” hii inaonyesha kuwa wafugaji wengi hupenda kuuza kondoo wao mwezi Aprili.

141

Page 149: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

142

MAUZO YA KONDOO MKOANI SHINYANGA MWAKA 2008/09

0

500

1,000

1,500

2,000

2,500

3,000

3,500

4,000

4,500

Julai

Agosti

Septem

ba

Oktoba

Novem

ba

Desem

ba

Janu

ari

Febr

uari

Mac

hiApri

liMei

Juni

MIEZI

IDAD

I FIKAUZWA

10 Uogeshaji Uogeshaji ni huduma muhimu sana kwa wafugaji. Mkoa una majosho 168 idadi hii imeongezeka kutoka 162 mwaka 2007/08. Majosho yanayofanya kazi yameongezeka kutoka 32 mwaka 2008/2009 na kufikia 47 mwaka 2009/10. Aidha wafugaji wanatumia pampu kunyunyuzia dawa za kuua kupe na ndorobo ili kuzuia mifugo yao isipate magonjwa yanayoenezwa na kupe na ndorobo. Kwa mwaka 2007/08 kulifanyika michovyo/minyunyuzio 1,754,494 kwenye ng’ombe, 619,913 kwenye mbuzi, 229,763 kwenye kondoo na 21,563 kwenye mbwa. Mwaka 2008/2009 uogeshaji umeongezeka kwa kila aina ya mnyama kama inavyoonyeshwa kwenye Jedwali Na. 11 hapa chini. Jedwali Na. 11 Uzuiaji wa kupe kwa kuogesha

MICHOVYO/MINYUNYUZIO WILAYA Ng’ombe Mbuzi Kondoo Nguruwe

Bariadi 990,910 193,383 87,429 286 Bukombe 91,639 39,201 1,050 308 Kahama 249,307 55,090 8,397 0 Kishapu 217,620 215,858 94,415 602 Maswa 47,955 24,400 10,407 0 Meatu 27,860 50,448 14,432 0 Shy V 91,290 13,680 11,172 456 Shy M 37,913 27,853 2,461 0 JUMLA 1,754,494 619,913 229,763 1,652

11 Malisho ya Mifugo Ni ukweli usiofichika kwamba ardhi haiongezeki. Matumizi ya ardhi yanaongezeka. Mkoa wetu una mifugo mingi kulinganisha na uwezo wa ardhi inayotumika kwa malisho. Ukifuata vigezo vya FAO kwamba ng’ombe mmoja ni sawa na “livestock units” (LSU) 0.8 na punda mmoja ni sawa na “livestock unit” 0.8 wakati mbuzi na kondoo ni sawa na “livestock unit” 0.1 na kwamba hekta moja inaweza kuhimili “livestock units 2 kwa

Page 150: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

143

mwaka, basi utaona kwamba mkoa wetu una mifugo mingi isiyolingana na uwezo wake. Dhana hii ndiyo inayofanya kuwepo ufugaji wa kuhamahama kwani malisho yaliyopo hayawezi kuhimili mifugo iliyopo. Wafugaji wengi huhama ili kutanua eneo la malisho na kutafuta vyanzo vya maji hususan wakati wa kiangazi. Mkoa wetu kuwa na mifugo mingi kunasaidiwa kwa kiasi fulani na kutokuwa na kilimo cha mazao mengi ya kudumu. Hali hii inafanya maeneo yanayotumika kwa kilimo yatumike kwa malisho ya mifugo hasa wakati wa kiangazi baada ya mavuno. Hata hivyo ni vema tukachukua tahadhari ya kuwa na matumizi bora ya ardhi. Kupima maeneo ya wafugaji, kuboresha nyanda za malisho kwa kuchimba mabwawa na kupanda nyasi bora. Vile vile inabidi kufuga mifugo bora yenye tija na kufuga kibiashara. Mambo haya yakifanyika dira ya sera ya mifugo ya kuwa na ufugaji wa kisasa, endelevu, wenye mifugo bora, yenye uzalishaji mzuri inayoendeshwa kibiashara, yenye kuinua kipato cha mfugaji na isiyoharibu mazingira itatekelezeka. Jedwali Na. 12 linaonyesha hali ya malisho katika kila wilaya. Jedwali Na 12: Hali ya Malisho Wilaya Eneo la

Malisho (Ha)

Aina ya Wanyama

Idadi ya Wanyama waliopo

Idadi ya Wanyama wanaotakiwa kuwepo

Idadai ya wanyama waliozidi

Ng'ombe 559,165 266,893 292,272Mbuzi 213,664 91,834 121,830Kondoo 103,468 45,917 57,551

Bariadi 459,170

Punda 943 451 492Jumla 877,240 405,094 472,146

Ng'ombe 192,868 35,770 157,098Mbuzi 113,053 22,012 91,041Kondoo 38,629 6,289 32,340

Bukombe 62,892

Punda 1,072 393 679Jumla 345,622 64,464 281,158

Ng'ombe 359,156 198,957 160,199Mbuzi 186,371 108,522 77,849Kondoo 81,833 54,261 27,572

Kahama 361,740

Punda 13,345 6,783 6,562Jumla 640,705 368,523 272,182

Ng'ombe 354,235 122,543 231,692Mbuzi 179,116 64,638 114,478Kondoo 85,612 32,319 53,293

Kishapu 215,460

Punda 1,606 552 1,054Jumla 620,569 220,052 400,517

Ng'ombe 402,089 53,222 348,867Mbuzi 217,581 28,073 189,508Kondoo 112,229 14,037 98,192

Maswa 93,595

Punda 825 109 716Jumla 732,724 95,441 637,283

Ng'ombe 449,100 108,675 340,425Mbuzi 243,520 56,700 186,820Kondoo 40,012 9,450 30,562

Meatu 189,000

Punda 4,278 1,181 3,097

Page 151: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

144

Wilaya Eneo la Malisho (Ha)

Aina ya Wanyama

Idadi ya Wanyama waliopo

Idadi ya Wanyama wanaotakiwa kuwepo

Idadai ya wanyama waliozidi

Jumla 736,910 176,006 560,904Ng'ombe 300,564 229092 71,473Mbuzi 118,650 99605 19,045Kondoo 61,818 39842 21,976

Shinyanga Vijijini 238,420

Punda 3,452 2490 962Jumla 484,484 371029 113,455

Ng'ombe 61,469 28,275 33,194Mbuzi 54,118 26,000 28,118Kondoo 16,964 7,800 9,164

Shinyanga Manispaa 52,000

Punda 701 325 376Jumla 133,252 62,400 70,852JUMLA KUU 4,571,506 1,763,009 2,808,497

12 Magonjwa ya Mifugo Magonjwa ya muhimu ya mifugo yanayosababisha vifo vya mifugo mingi katika mkoa wetu ni yale yanayoenezwa na kupe pamoja na Ndorobo. Kwa upande wa kuku ugonjwa unaosababisha vifo vingi ni wa kideri/mdondo (New Castle Disease). Hata hivyo kuna magonjwa yasiyokubalika katika biashara ya mifugo na mazao yake kimataifa. Magonjwa haya ni kama midomo na miguu (Foot and Mouth Disease), Kisiki ya ngozi (Lumpy Skin Disease), homa ya Mapafu (CBPP) na homa ya mapafu kwenye mbuzi (CCPP). Asilimia 80 ya vifo vya ng’ombe, mbuzi na kondoo katika mkoa wa Shinyanga vinasababishwa na magonjwa yanayoenezwa na kupe. Asilimia 95 ya vifo vya kuku inasabishwa na ugonjwa wa kideri. Ufafanuzi uko katika jedwali Na. 14 hapa chini Jedwali Na 14 Matukio ya Magonjwa ya Mifugo mwaka 2008/09 Aina Patwa Pona Vifo Ndigana kali (ECF) 5,992 4,979 1,013 Kukojoa damu (Babesiosis) 4,881 4,462 419 Nagana (Trypanosomiasis) 5,734 5,550 184 Ndigana baridi (Anaplasimosis) 3,009 2,660 349 Kizunguzungu (Heart water) 2,320 1,851 469 Mkono (BQ) 3,557 3,178 379 FMD 906 836 70 Kuoza kwato (Foot rot (G) 41 38 3 Kichomi (Pnemonia (G) 265 235 30 Homa ya Matumbo (Fowl Typhoid) 1,935 1,447 488 Kideri (NCD) 15,286 1,780 13,506 Ndui za kuku (Fowl pox) 1,860 1,648 212 Kisiki ya ngozi (LSD) 71 59 12

Page 152: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

145

Aina Patwa Pona Vifo Kichaa cha Mbwa (Rabies) 2 0 2 Mbuzi kuumwa na fisi 32 9 23

13 Chanjo Kumekuwa na jitihada japo ndogo za kuzuia magonjwa ya mifugo kwa njia ya chanjo mwaka 2008/09. Ng’ombe 150,650 wamechanjwa kuzuia ugonjwa wa homa ya mapafu. Kuku 776,339 wamechanjwa kuzuia ugonjwa wa kideri na mbwa 27,896 wamechanjwa kuzuia ugonjwa wa kichaa cha mbwa. Jedwali Na.13 linaonesha hali ya chanjo katika mkoa wetu. Hata hivyo tunategemea kuwa kutakuwa na ongezeko la uchanjaji wa mifugo dhidi ya ugonjwa wa homa ya mapafu mwaka huu kutoka na jitihada zinazofanywa na Halmashauri zetu kwa kushirikiana na Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na Ushirika. Jedwali Na.14: Mifugo iliyopewa Chanjo mwaka 2008/09

AINA YA CHANJO WILAYA CBPP BQ NCD RABIES Bariadi 21,500 345,012 11,907 Bukombe 129,000 1,008 281,000 4,010 Kahama 0 84,347 2,312 Kishapu 0 18,391 1,232 Maswa 0 30,851 0 Meatu 0 0 4,820 Shinyanga (V) 0 1,200 1,200 Shinyanga (M) 150 15,538 2,415 Jumla 150,650 1,008 776,339 27,896

14 Changamoto zilizopo Sekta ya mifugo inazo changamoto mbali mbali zikiwemo:-

(i) Upungufu wa wataalam wa mifugo (ii) Kuendelea kuibuka kwa magonjwa ya mifugo hususan yale ambayo hayakuwepo

hapa nchini kama sotoka ya mbuzi na kondoo (Peste des Petits Ruminants au PPR), Mafua makali ya ndege pamoja na Homa ya mafua ya nguruwe. Japokuwa magonjwa haya hayapo mkoani kwetu kwa sasa, lakini baadhi ya magonjwa kama PPR yamekwishafika katika mikoa ya jirani yaani Arusha na Manyara.

(iii) Kutokuwa na viwanda vidogo na vikubwa kwa ajili ya kusindika mazao yanayotokana na mifugo.

(iv) Idadi ya mifugo bado ni kubwa kuliganisha na eneo linalotumika hususan kwa wanyama wanaokula nyasi. Ukizingatia kwamba mkoa unaeneo la hekta 1,672,277 zinazofaa kwa malisho ya mifugo

(v) Wafugaji wengi hawana mitaji wala vyanzo vya kupata mikopo yenye riba nafuu. (vi) Mabadiliko hasi ya hali ya hewa hasa kutokunyesha kwa mvua za kutosha katika

maeneo mengi kunaongeza tatizo la upungufu wa malisho na maji.

Page 153: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

146

(vii) Tabia ya wafugaji wengi kutozingatia kanuni za ufugaji bora kumesababisha vifo vya mifugo kutoka na magonjwa hata yale yanyoweza kuzuhilika. Mfano ni magonjwa yanayoenezwa na kupe, ndorobo na kideri katika kuku.

(viii) Tabia ya wafugaji kutofuga kibiashara. (ix) Kutotumia miundo mbinu ipasavyo hussusan majosho kunachangia kuenea kwa

magonjwa ya mifugo. 15 Jitihada za Kutatua Changamoto zilizopo

(i) Halmashauri zinaendelea kushirikiana na wafugaji ili kuibua miradi mbali mbali ya kuendeleza sekta ya mifugo hususan ukarabati, ujenzi wa malambo na majosho sambamba na utumiaji wake.

(ii) Mpango wa uhamilishaji umeimarishwa kwa kila Halmashauri sambamba na uingizaji wa madume bora ili kupata mifugo bora na yenye uzalishaji mkubwa. Hali hii itapunguza ufugaji wa mifugo mingi isiyokuwa na uzalishaji mkubwa na kufuga mifugo michache yenye uzalishaji mzuri na hatimae kupunguza athari katika mazingira.

(iii) Kwa kuboresha kosaafu (genetic potential) za mifugo, Halmashauri zimeendelelea kushirikiana na mashirika yasiyo ya kiserikali kama World Vision na CARTAS yanayotoa mitamba ya ng’ombe na mbuzi wa maziwa hususun katika wilaya za Bariadi, Maswa na Shinyanga.

(iv) Halmashuri zimeendelea kutenga fedha katika bajeti zao kwa ajili ya kuajiri wataalamu wa ugani. Mwaka 2008/09 wataalamu 12 wa mifugo wameajiriwa.

(v) Vile vile Halmashauri nyingi kwa kushirikiana na shirika lisilo la kiserikali la OXFAM zimeimarisha huduma ya chanjo kwenye kuku kukinga dhidi ya ugonjwa wa kideri ili kupunguza vifo vya kuku.

(vi) Wataalamu wachache waliopo wameendelea kutoa huduma ya ugani pamoja na uundaji wa vikundi vya wafugaji na elimu kupitia mashamba darasa ya mifugo inaendelea kutolewa ili kuwafikia wafugaji wengi. Mwaka huu kuna mashamba darasa ya mifugo 98.

(vii) Mkoa uko kwenye mchakato wa kuanzisha benki ya wananchi, (Community bank) hatua iliyofikiwa ni uanzishwaji wa kampuni iliyoandikishwa tarehe 25/08/2009. Hizi ni jitihada za kusaidia wafugaji kupata mikopo yenye riba nafuu.

16 Mapendekezo ya Mkoa Katika Kuboresha Ufugaji

(i) Katika kuendeleza kiwanda cha nyama cha Shinyanga wawekezaji hawaonyeshi jitihada za kuridhisha zakufufua kiwanda hiki. Tunaomba serikali ikirejeshe na kukarabati miundo mbinu yake huku ikitafuta wabia wa kukiendesha.

(ii) Halmashauri zihakikishe kuwa, vituo vyote vya afya ya mifugo vinafufuliwa na kupewa vifaa muhimu hususan vya uchunguzi wa magonjwa sambamba na kujenga vipya kwenye kata zenye mifugo mingi.

(iii) Maeneo yote yanayotumika kama malisho ya mifugo yapimwe na kumilikishwa kwa wafugaji kama vikundi au hata kwa mfugaji mmoja mmoja ili yasivamiwe wakati wa upanuzi wa kilimo, makazi na uhifadhi wa mali asili.

(iv) Watumishi wa ugani wa mifugo wapewe vitendea kazi, kama “veterinary kits”, vyombo vya usafiri na makazi mazuri.

Page 154: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

147

(v) Wataalamu wa ugani wa mifugo wapewe mafunzo ya rejea na vitendo mara kwa mara hasa katika kipindi hiki ambapo magonjwa mapya ya mifugo yanaendelea kuibuka katika nchi yetu na technolojia inabadilika haraka haraka.

(vi) Wafugaji wahamasisishwe kuachana na ufugaji wa kizamani na kufuata ufugaji bora hasa kwa kuwa koosafu za mifugo zinaboreshwa kwa uhamilishaji na kutumia madume bora.

(vii) Kila halmashauri ijenge/ikarabati machinjio walau moja ili ikidhi viwango vya kusajiliwa na hivyo kuhakikisha usafi wa nyama. Vile vile maduka ya kuuza nyama na vyombo vya kusafirishia nyama viboreshwe kwa viwango vinavyotakiwa.

Page 155: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

17 MKAKATI WA KUBORESHA SEKTA YA MIFUGO MKOA WA SHINYANGA ENEO TATIZO MKAKATI MUDA WA

UTEKELEZAJI WAHUSIKA

Ukoosafu duni wa mifugo yetu

Uongozi wa Mkoa wa Wilaya kusimamia uharakishaji wa kuboresha mifugo ili kuongeza uzalishaji, tija na faida kwa kutumia uhamilishaji (AI) na Madume bora aina ya Boran, Sahiwal na Mpwapwa

Kuanzia 2009 na kuendelea

Mkuu wa mkoa, Wakuu wa wilaya, Wakurugenzi wa Halmashauri, Wabunge, Maafisa ugani na wafugaji

Uelewa mdogo wa A.I Uhamasishaji na elimu kwa wafugaji kuhusu faida za A1.

Kuanzia 2009 na kuendelea

Wakurugenzi wa Halmashauri, wakuu wa wilaya, Wabunge, DALDO, Maafisa ugani, madiwani na wafugaji

Kufikia wafugaji wachache

Kutoa usafiri na mawasiliano ya uhakika kwa wataalamu wa A.I.

Kuanzia 2009 hadi 2012

Wakurugenzi wa Halmashauri

UZA

LISH

AJI

Kutokuwa na vituo vya A.I

Kujenga vituo vya A.I kimoja kila kata kuanzia 2009 hadi 2015

DADPs, DASIP, Wakurugenzi wa Halmashauri

Mawasiliano duni Kutoa namba za simu za wataalam wa A.I kwa wakulima/wafugaji walio tayari

Kuanzia 2009 hadi 2012

Wakurugenzi wa Halmashauri

UZA

LISH

AJI

Umasikini katika familia

Kuhimiza ufugaji wa kuku ili kuinua kipato cha familia Kuanzia 2009 na kuendelea

Wakurugenzi wa Halmashauri, wakuu wa wilaya, Wabunge, DALDO, Maafisa ugani, Madiwani na wafugaji

148

Page 156: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

ENEO TATIZO MKAKATI MUDA WA UTEKELEZAJI

WAHUSIKA

Mwitikio mdogo wa ufugaji kuku

Kuhamasisha wafugaji kufuga kwa wingi kuku wa kienyeji

Kuanzia 2009 na kuendelea

Wakurugenzi wa Halmashauri, wakuu wa wilaya, Wabunge, DALDO, Maafisa ugani, Madiwani na wafugaji

Mifuko ya LDF kutokuwa hai

April, 2009 Wakurugenzi wa Halmashauri

Kila Wilaya kuwa na mfuko hai wa maendeleo ya mifugo (Livestock Development Fund) ili usaidie kuleta haraka maendeleo ya sekta ya mifugo

Kuanzia 2009 na kuendelea

Wakurugenzi wa Halmashauri, wakuu wa wilaya, DALDO, Maafisa ugani na wafugaji

Mifugo kufa kutokana na magonjwa

Kutoa elimu kwa wafugaji juu ya kuzuia magojwa ya mifugo, kuogesha mifugo, kujenga mabanda bora, kuchanja mifugo, kunywesha dawa za minyoo, kuzuia uhamaji wa holela na kufanya ukaguzi wa mifugo yote inayosafirishwa

Kuwepo kwa magonjwa yanayoenezwa na kupe

Kutoa elimu kwa wafugaji jinsi ya kuzuia magonjwa yanayoenezwa na kupe. Kujenga/kukarabati majosho na kuyatumia, kutunga sheria ndogo ndogo za kuwaadhibu wasio ogesha na kutibu mifugo yote inayoonyesha dalili za magonjwa

Kuanzia 2009 na kuendelea

Wakurugenzi wa Halmashauri, Wakuu wa Wilaya, Wabunge, DALDO, Maafisa ugani, Madiwani na Wafugaji

Kuwepo kwa ndorobo Kutoa elimu ya udhibiti wa ndorobo, kutoa elimu ya ugonjwa wa nagana (Trypanosomiasis), kukinga mifugo dhidi ya nagana na kuogesha mifugo mara kwa mara kwa kutumia dawa zenye pyrethroids

Kuanzia 2009 na kuendelea

Wakurugenzi wa Halmashauri, Wakuu wa Wilaya, Wabunge, DALDO, Maafisa ugani, Madiwani na Wafugaji

AFY

A Y

A M

IFU

GO

Kuwepo kwa ugonjwa wa kideri

kutoa elimu juu ya ugonjwa wa kideri kwenye kuku. Kuchanja kuku walau mara tatu kwa mwaka ili kuwakinga na kideri

Kuanzia 2009 na kuendelea

Wakurugenzi wa Halmashauri, wakuu wa wilaya, Wabunge, DALDO, Maafisa ugani, madiwani na wafugaji

149

Page 157: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

ENEO TATIZO MKAKATI MUDA WA UTEKELEZAJI

WAHUSIKA

Ukosefu wa huduma ya afya na pembejeo za mifugo

Kukarabati na kujenga vituo vipya vya afya ya mifugo pamoja na kuhamasisha wananchi kufungua maduka ya pembejeo

Kuanzia 2009 na kuendelea

Wakurugenzi wa Halmashauri, wakuu wa wilaya, Wabunge, DALDO, Maafisa ugani, Madiwani na Wafugaji

Kuuza ngozi ghafi kwa bei isiyo na tija

Kuhamasisha uanzishaji wa vikundi vidogo vidogo vya kusindika zao la ngozi, kutoharibu ngozi kwa kuweka chapa sehemu zisizotakiwa, kusindika ngozi na kuuza bidhaa zinazotokana na ngozi

Kuanzia 2009 na kuendelea

Wakurugenzi wa Halmashauri, Wakuu wa Wilaya, Wabunge, DALDO, Maafisa ugani, madiwani na Wafugaji

MA

ZAO

YA

MIF

UG

O

Bei ndogo ya maziwa Kuanzisha vikundi vya kusindika maziwa Kuanzia 2009 na kuendelea

Wakurugenzi wa Halmashauri, Wakuu wa Wilaya, Wabunge, DALDO, Maafisa ugani, Madiwani na Wafugaji na SIDO

Kutotambulika kwa mifugo yetu

Kufanya utambuzi, kusajili na kufuatilia mwenendo wa mifugo (Branding, registration and traceability)

Kuanzia 2009 na kuendelea

Wakurugenzi wa Halmashauri, Maafisa ugani na Wafugaji

Kuchakaa kwa minada

Kukarabati na kujenga a minada ya mifugo na kuiwekea mizani

Kuanzia 2009 na kuendelea

DADPs, DASIP, Wakurugenzi wa Halmashauri

Kuwapunja wafugaji Kuuza mifugo kwa kufuata ubora, uzito na kwa kunadisha

Kuanzia 2009 na kuendelea

Wakurugenzi wa Halmashauri, Wafanya biashara ya mifugo

MA

SOK

O

Kutokuwa na taarifa za masoko

Kutoa taarifa za hali ya masoko ya mifugo Kuanzia 2009 na kuendelea

Wakurugenzi wa Halmashauri, DALDO

Kuanzia 2009 na kuendelea

Wakurugenzi wa Halmashauri

Kutokuwa na mipango ya matumizi bora ya ardhi

Kila Wilaya kuwa na mipango ya matumizi bora ya ardhi ili kuondoa migogoro kati ya wakulima na wafugaji

MA

LISH

O

150

Page 158: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

ENEO TATIZO MKAKATI MUDA WA UTEKELEZAJI

WAHUSIKA

Ukosefu wa malisho wakati wa kiangazi

Kutenga maeneo ya malisho ya dharura (ngitiri) kwa ajili ya kutumika wakati wa kiangazi

Kuanzia 2009 na kuendelea

Wakurugenzi wa Halmashauri, Wabunge, Madiwani, Maafisa ugani na wafugaji

Ukosefu wa malisho ya kutosha

Kuhifadhi na kuendeleza nyanda za malisho Kuanzia 2009 na kuendelea

Wakurugenzi wa Halmashauri, Wabunge, Madiwani, Maafisa ugani na Wafugaji

Kufuga mifugo mingi isiyolingana na uwezo wa malisho

Kuelimisha na kuhamasisha kufuga kulingana na uwezo wa malisho

Kuanzia 2009 na kuendelea

Wakurugenzi wa Halmashauri, Wabunge, Madiwani, Maafisa ugani na Wafugaji

Uzalishaji duni wa mifugo na mazao yake

Kutoa elimu kwa wafugaji juu ya kanuni za ufugaji bora, wa kisasa na wa kibiashara

Kuanzia 2009 na kuendelea

Wakurugenzi wa Halmashauri, Maafisa ugani.

Ushauri wa ufugaji bora kuwafikia wananchi wachache

Kuanzisha mashamba darasa juu ya utunzaji bora wa mifugo na unenepeshaji mzuri wa mifugo Kuunda vikundi vya wafugaji

Kuanzia 2009 na kuendelea

Wakurugenzi wa Halmashauri, Maafisa ugani na Wafugaji.

ELIM

U K

WA

WA

FUG

AJI

Utoaji hafifu wa taarifa

Kila afisa ugani kuwa na ratiba yake ya kazi na kuandaa taarifa ya kazi alizofanya kila mwezi

Kuanzia 2009 na kuendelea

Maafisa ugani

Uchache na uchakavu wa machinjio

kukarabati na kujenga machinjio za mifugo ya aina zote zenye viwango vinavyohitajika

Kuanzia 2009 na kuendelea

DADPs, DASIP, Wakurugenzi wa Halmashauri

USA

FI N

A

UK

AG

UZI

WA

M

AZA

O Y

A

MIF

UG

O

Kuhakikisha machinjio zote zina wakaguzi wa nyama wenye sifa zinazotakiwa

Kuanzia 2009 na kuendelea

Wakurugenzi wa Halmashauri

Wakaguzi wa mazao ya mifugo wasiokuwa na sifa

151

Page 159: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

152

ENEO TATIZO MKAKATI MUDA WA UTEKELEZAJI

WAHUSIKA

Usafirishaji holela wa mazao ya mifugo

Kukagua mara kwa mara vifaa vinvyotumika kubeba mazao ya mifugo hususan nyama na maziwa

Kuanzia 2009 na kuendelea

Wakurugenzi wa Halmashauri

Utunzaji mbaya wa Nyama

Kuhakikisha kuwa Bucha zote zina majengo mazuri na vifaa vinavyotumika vinaweza kusafishika

Kuanzia 2009 na kuendelea

Wakurugenzi wa Halmashauri

Kukosekana kwa mabwawa ya vifaranga vya samaki

Kila wilaya kuchimba / kutenga bwawa moja kwa ajili ya kufuga vifaranga vya samaki

Kuanzia 2009 hadi 2014

Wakuu wa wilaya, Wakurugenzi wa Halmashauri

Uhaba wa samaki Kuhamasisha wananchi, taasisi za serikali na zisizo za serikali kufuga samaki

Kuanzia 2009 na kuendelea

Wakurugenzi wa Halmashauri

UZA

LISH

AJI

WA

SA

MA

KI

Uhaba wa samaki Kuhakikisha kuwa mabwawa yote ambayo hayakauki yanapandikizwa vifaranga vya samaki

Kuanzia 2009 hadi 2012

Wakurugenzi wa Halmashauri

Uchache wa mabwawa ya samaki

Kila kata walau kuwa na bwawa moja la samaki Kuanzia 2009 na kuendelea

Wakurugenzi wa Halmashauri

UZA

LISH

AJI

WA

SA

MA

KI

Uvuvi haramu Kufanya ukaguzi wa mara kwa mara kwenye maeneo yote yanayovua samaki ili kuhakikisha kwamba vifaa vinavyotumika ni vile vinavyokubaliaka

Kuanzia 2009 na kuendelea

Wakurugenzi wa Halmashauri

Page 160: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

MKAKATI WA KUENDELEZA SEKTA YA MIFUGO NA UFUGAJI MKOA WA DODOMA

1. UTANGULIZI

Ufugaji ni sehemu muhimu ya mfumo wa maisha wa wakazi wengi wa mkoa wa Dodoma na mkoa una hazina kubwa ya mifugo ya aina mbalimbali. Kaya zenye mifugo mkoani zinafikia 31%. Katika baadhi ya Halmashauri, mifugo huchangia 40% ya pato la mwaka. Mifugo ni chanzo cha ajira, chakula, kipato, nguvu kazi, mbolea, fahari, zawadi na malipo ya aina mbali mbali. Hali ya hewa ya mvua ni mm 400 hadi mm 600 kwa mwaka, kiangazi kirefu kinachozuia uzalianaji wa haraka wa kupe waenezao magonjwa na kutokuwepo kwa ndorobo katika maeneo mengi ni miongoni mwa sababu zinazochangia ustawi mzuri wa mifugo katika mkoa. Makadirio ya idadi ya mifugo mkoani ni kama ifuatavyo;

• Ng’ombe 1,181,712 • Mbuzi 633,515 • Kondoo 261,485 • Nguruwe 20,075 • Punda 67,894 • Kuku 1,717,938

2. Idadi na Aina ya Mifugo Kiwilaya Mchanganuo wa idadi na aina ya mifugo kiwilaya ni kama ilivyooneshwa kwenye jedwali Na 1. Jedwali Na 1: Idadi ya mifugo kiwilaya:

IDADI YA MIFUGO KIWILAYA AINA YA MIFUGO BAHI CHAMWINO DODOMA KONDOA KONGWA MPWAPWA JUMLA

Ng’ombe wa Asili 189,925 185,659 105,340 418,480 98,006 167,976 1,165,386Ng’ombe wa maziwa /Nyama 83 1,971 3,660 394 8,978 1,240 16,326

Mbuzi wa Asili 39,530 45,865 65,878 276,853 69,894 135,495 633,515Mbuzi wa maziwa 106 53 746 850 487 584 2,880Kondoo 7,604 9,904 29,694 130,000 32,592 51,691 261,485Nguruwe 667 3,820 3,162 2,000 7,324 3,102 20,075Kuku wa Asili 314,788 236,047 104,323 525,000 373,180 164,600 1,717,938Kuku wa Mayai 246 2,763 11,092 1,200 3,697 2,345 21,343Kuku wa nyama 210 0 5,700 0 0 0 5910Bata 440 1,350 2,519 433 5,627 1,117 11,486Sungura 231 177 914 81,000 238 0 81,646Simbilisi (Guinea pig 0 0 0 0 102 0 102Mbwa 2,839 3,820 3,450 4,000 1,073 9,064 24,246Punda 1,816 39,000 1,760 19,400 2,656 3,262 67,894Farasi 0 0 0 0 6 0 6Paka 1,781 493 1,120 2,000 237 793 6,424Njiwa 189 0 0 512 487 2,100 3,288Kanga 984 4,580 0 680 875 2,160 9,279

153

Page 161: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

3. Malengo ya Mkoa katika Sekta ndogo ya Mifugo Juhudi za Mkoa katika kuboresha na kuendeleza sekta ndogo ya mifugo zinalenga katika mambo yafuatayo;

(i) Kuongeza uzalishaji na ubora wa mazao ya mifugo kwa lengo la Mkoa kujitosheleza kwa chakula na kuwa na uhakika na usalama wa chakula.

(ii) Kuinua kipato cha mwananchi kwa kuuza mifugo na mazao ya mifugo ili kupata fedha za kujiletea maendeleo kwa kuwekeza katika maeneo mengine ya kiuchumi katika jitihada za kuondoa umaskini.

(iii) Kuimarisha ajira hususan katika maeneo ya vijijini kupunguza tatizo la vijana kukimbilia mijini.

(iv) Kuzalisha malighafi kwa ajili ya viwanda. (v) Hifadhi ya mazingira kwa kuwa na idadi ya mifugo inayowiana na uwezo wa

ardhi ili kuwa na ufugaji endelevu .

Juhudi za Mkoa zimezingatia na kuongozwa na miongozo mbalimbali. Miongoni mwa miongozo hiyo ni Sera ya Mifugo (2006), Dira ya Maendeleo ya Mifugo, Ilani ya Chama cha Mapinduzi (2005), Malengo ya Mkukuta na Miongozo ya ASDP. Sehemu kubwa ya uendelezaji na uboreshaji wa sekta ya mifugo mkoani ni kupitia miradi ya Maendeleo ya Kilimo ya Wilaya (DADPS). 4. Changamoto na Mikakati ya kuboresha Sekta ndogo ya mifugo mkoani Licha ya kuwa na idadi kubwa ya mifugo, wakazi wengi mkoani wakiwemo wale wenye mifugo mingi wanaishi katika hali ya umaskini wa kipato na umaskini wa aina nyinginezo. Raslimali kubwa ya mifugo iliyopo haijatumika ipasavyo kuchangia katika kuondokana na umaskini kutokana na changamoto kadhaa zinazoikabili sekta. Changamoto zilizopo na mikakati ya kukabiliana nazo ni;

(i) Kubadili malengo ya ufugaji kutoka yale ya kijamii kwenda kwenye

uchumi na biashara Malengo ya wafugaji wengi ni yale ya kijamii badala ya uchumi, biashara na faida. Mfugaji mwenye mifugo mingi huhesabiwa kwenye tabaka la juu katika jamii bila kuangalia namna mifugo inavyomsaidia mmiliki wake. Mifugo hufugwa miongoni mwa mambo mengine ya kijamii kusubiri kutokea kwa majanga kama vile njaa na dharura zingine. Malengo haya ya kijamii yanathibitishwa na uuzaji mdogo wa mifugo kwa mwaka kama inavyoonekana kwenye jedwali Na 2 hapa chini. Jedwali Na. 2: Uuzaji wa mifugo 2006/07 – 2008/09

2006/2007 2007/2008 2008/2009 S/N.

WILAYA MIFUGO

IDADI THAMANI (TSHS.)

IDADI THAMANI (TSHS.)

IDADI THAMANI (TSHS.)

6,652 NG'OMBE 2,827,100,000 7,124 3,205,800,000 6,478 2,915,100,000 1 DODOMA

7,232 MBUZI 325,440,000 6,785 305,325,000 6,134 337,370,000 936 KONDOO 23,400,000 1,092 24,024,000 1,108 28,808,000

154

Page 162: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

2006/2007 2007/2008 2008/2009 S/N.

WILAYA MIFUGO

IDADI THAMANI (TSHS.)

IDADI THAMANI (TSHS.)

IDADI THAMANI (TSHS.)

3,175,940,000 3,535,149,000 3,281,278,000JUMLA 3,421 NG'OMBE 742,206,140 1,942 515,040,000 2,015 670,910,000 2 BAHI

2,010 MBUZI 72,420,240 2,044 65,291,420 1,990 63,705,000 1,070 KONDOO 14,240,270 990 18,880,000 899 17,040,000

828,866,650 599,211,420 751,655,000JUMLA

NG'OMBE 2,143 321,450,000 2,586 465,480,000 2,896 796,400,000 3 KONGWA

4,732 MBUZI 56,784,000 5,504 99,072,000 6,743 215,005,000 982 KONDOO 8,838,000 1,024 15,360,000 1,741 43,525,000

387,072,000 579,912,000 1,054,930,000JUMLA

NG'OMBE 5,919 1,411,876,500 6,728 1,637,595,200 5,698 1,222,316,100 4

MBUZI 15,752 492,588,000 16,231 511,276,500 18,150 721,350,400

MPWAPWA

6,174 KONDOO 152,621,000 6,984 156,441,600 5,400 142,111,250 2,057,085,500 2,305,313,300 2,085,777,750JUMLA

NG'OMBE 14,863 5,499,310 16,021 5,927,770 15,300 5,661,000 5 KONDOA

11,345 MBUZI 453,800,000 12,679 507,160,000 11,833 473,320,000 4,286 KONDOO 128,580,000 4,812 144,360,000 5,097 152,910,000

587,879,310 657,447,770 631,891,000JUMLA

NG'OMBE 12,123 2,868,911,000 11,696 2,767,861,400 12,778 3,023,917,000 6

MBUZI 10,216 544,349,000 9,758 519,945,100 10,439 556,231,500

CHAMWINO

1,112 KONDOO 23,158,500 1,385 28,843,688 1,432 29,822,500 3,436,418,500 3,316,650,188 3,609,971,000JUMLA

NB: Kwa malengo ya kibiashara, mauzo ya mifugo yangekuwa mara nne hadi tano ya mauzo ya kwenya jedwali hpo juu. Mwaka wa neema ya chakula mifugo inayouzwa huwa kidogo sana japo kwa thamani kubwa na mwaka wa upungufu wa chakula, mifugo huuzwa kwa wingi lakini kwa bei ndogo sana isiyomnufaisha mfugaji. Uzalishaji mdogo wa mazao ya mifugo kwa mwaka kama inavyoonekana kwenye jedwali Na 3 ikilinganishwa na idadi kubwa ya mifugo pia ni kielelezo cha jinsi mifugo isivyotunzwa vizuri ili izalishe kiuchumi na kibiashara.

Jedwali Na. 3: Uzalishaji wa mazao ya mifugo kwa mwaka 2008/2009 NA WILAYA MAZIWA

(LITA) NYAMA (TANI)

MAYAI (IDADI)

NGOZI (VIPANDE)

1 Kongwa 3,081,139 1,550 16,800,000 13,825 2 Mpwapwa 4,844,621 1,250 324,217 9,532 3 Chamwino 5,403,744 1,526 845,556 5,736 4 Kondoa 12,063,571 2,700 8,820,000 6,980 5 Bahi 5,472,230 1,720 980,140 6,518 6 Dodoma 3,139,200 3,500 59,292,000 38,619

Jumla 34,004,505 12,246 87,061,913 81,210

155

Page 163: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

Upatikanaji wa takwimu za mazao ya mifugo ni mgumu kwa kuwa wafugaji hawaweki rekodi. Mikakati ya Mkoa inayoendelea kutekelezwa kubadili malengo ya ufugaji ni,

• Elimu kwa wafugaji kuhusu nafasi ya mifugo kama raslimali kubwa ya kiuchumi na kibiashara inayoweza kuondoa umaskini na kuboresha maisha. Kusudio ni kubadili fikra ya wafugaji.

• Uimarishaji wa mfumo wa soko la mifugo na mazao ya mifugo

(ii) Kuboresha mbegu ya mifugo Asilimia 99 ya mifugo iliyopo mkoani ni ya asili. Mifugo hii ina sifa ya kuvumilia mazingira magumu na matunzo hafifu lakini ina udhaifu kwenye uzalishaji wa tija ya kutosha hata pale itakapotunzwa vizuri. Wastani wa viwango vya uzalishaji wa mifugo ya asili katika mkoa wa Dodoma ikilinganishwa na mifugo bora ni kama inavyoonekana kwenye jedwali la hapa chini; Jedwali Na 4: Uzalishaji wa mifugo ya kiasili mkoani

AINA YA MIFUGO

KIGEZO ASILI BORA TOFAUTI

Maziwa Lita 1 – 2 kwa siku Lita 5 – 10 kwa siku Miaka 4 - 8 Ongezeko la Uzito 0.2kg kwa siku 0.5 kg kwa siku 0.3 kg kwa

siku

Ng’ombe

Umri wa Kupandwa

Miaka 4 - 5 Miaka 1½ - 2 Miaka 2½ -3

Uzito wa Soko Miaka 6 - 8 Miaka 2 - 4 Miaka 4 Mayai 40 – 60 kwa

mwaka 150 – 200 kwa mwaka

Kuku

Uzito ½ - 1½kg 1 – 3 kg ½ - 1½kg Mikakati ya Mkoa ya kuboresha mbegu ya mifugo ni;

(i) Kuchagua miongoni mwa mifugo ya asili mbegu bora na kuiendeleza (selection and breeding). Hatua hii ina malengo makuu mawili ambayo ni kuinua uzalishaji wa mifugo ya asili kwa kiwango kinachowezekana na kuhifadhi mbegu ya mifugo ya asili kuondoa hatari ya kutoweka

(ii) Matumizi ya Madume na Majogoo bora. Mbinu hii inatumika kupata kizazi cha mbegu bora ya mifugo inayozalisha mazao mengi zaidi.

Jedwali Na. 5: Matumizi ya madume bora kwa mwaka 2007/08 – 2008/2009

MADUME BORA SN WILAYA NG’OMBE MBUZI NGURUWE

MAJOGOO BORA

1 Kongwa 43 34 55 218 2 Mpwapwa - - - 101 3 Dodoma - 120 3 718 4 Bahi 42 - - 246 5 Chamwino - - 6 190 6 Kondoa 34 14 - 920

Jumla 119 168 64 2,393

156

Page 164: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

• Matumizi ya uhamilishaji (AI) Kuanzia mwaka 2008/2009, Halmashauri zote zinaweka kwenye bajeti ya mwaka huduma ya uhamilisaji kwa lengo la kuboresha mbegu ya mifugo kwa haraka. Kwa mwaka 2008/09 malengo na mafanikio ya Uhamilishaji ni kama yanavyoonekana kwenye jedwali hapa chini.

Jedwali Na. 6: Uhamilishaji 2008/2009

Wilaya Malengo ya kupandisha

Ng’ombe waliopandishwa

Waliopimwa mimba

Waliopata mimba

Wenye mimba waliozaa

Wenye mimba

Mpwapwa 250 81 81 47 32 15Bahi 200 54 54 30 0 30Kondoa 300 131 74 52 2 50Manispaa 1500 173 116 92 59 33Chamwino 500 64 34 26 0 26Kongwa 300 122 67 53 21 32Jumla 3,050 625 426 300 114 186 Malengo ya uhamilishaji hayakufikiwa kwa sababu zifuatazo;

• Vituo vya AI bado ni vichache (15 tu) • Upungufu wa vifaa vya AI • Wafugaji bado kuelewa vizuri faida za AI

Vikwazo vyote hapo juu vimezingatiwa katika mipango ya 2009/10

(iii) Upatikanaji wa ardhi, malisho na maji kwa mifugo Maji na malisho ni nyenzo muhimu katika kuongeza uzalishaji na tija. Uhaba wa maji, malisho na upungufu wa nyanda za malisho umekuwa ukiathiri ukuaji na uzalishaji wa sekta na tija ya mifugo mkoani. Jedwali hapa chini linaonyesha upatikanaji wa maji kwa ajili ya mifugo kutoka chanzo cha malambo Jedwali na. 7: Malambo ya mifugo kwa msimu wa 2008/2009 Na WILAYA MAHITAJI YALIYOPO UPUNGUFU % YA

KUJITOSHELEZA1 Mpwapwa 44 11 33 252 Bahi 20 12 8 603 Kondoa 35 8 27 234 Manispaa 20 10 10 505 Chamwino 18 14 4 786 Kongwa 44 14 30 32

Jumla 181 69 112 Mkakati uliyopo ni kwa Halmashauri kuendelea kuweka kwenye bajeti za kila mwaka uchimbaji wa malambo kwa ajili ya maji ya mifugo

157

Page 165: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

Jedwali Na. 8: Upatikanaji wa maeneo ya malisho kwa mifugo

NA WILAYA ENEO LOTE LA WILAYA (Hekta)

ENEO LINALOFAA KWA MIFUGO (Hekta)

ENEO LILILOENDELEZWA(Hekta)

MAHITAJI YA ARDHI YA MALISHO (Hekta)

UPUNGUFU WA ARDHI YA MALISHO (Hekta)

1 Mpwapwa 789,303 262,000 - 1,008,154 746,1542 Bahi 610,000 256,200 - 956,990 700,7903 Kondoa 1,321,000 700,446 - 2,495,112 1,794,6664 Manispaa 276,910 44,028 - 624,115 580,0875 Chamwino 766,472 370,135 - 1,141,363 771,2286 Kongwa 404,100 105,000 39,925 625,128 520,128

Jumla 4,167,785 1,737,809 39,925 6,850,862 5,113,053 Kwa kuzingatia jedwali la hapo juu inaonyesha kuwa idadi ya mifugo iliyopo ni mingi kuliko uwezo wa malisho hali inayotishia uharibifu wa mazingira. Mifumo ya ufugaji mkoani

• Huria (extensive) • Huria na ndani (semi-intensive) • Ufugaji wa ndani (zero grazing) • Unenepeshaji (Feedlotting - Kongwa Ranch,Juva Holdings)

Mikakati ya mkoa katika changamoto hii ni;

• Kuendelea kuhimiza vijiji vyote kuwa na mpango bora wa matumizi ya ardhi, kutenga na kupima maeneo kwa ajili ya wafugaji na kuyamilikisha kwa vikundi,vyama vya ushirika na wafugaji binafsi ili wayaendeleze kufikia uzalishaji wenye tija.

• Kuhamasisha ufugaji wa kibiashara na uvunaji wa mifugo ili mapato yanayopatikana yawekezwe katika shughuli nyingine za kiuchumi na kijamii.

• Kuhamasisha wananchi na wafugaji wenyewe kuwekeza katika biashara ya kilimo cha malisho ya mifugo.

• Kuhimiza uanzishaji wa ranchi ndogo kwa ajili ya wafugaji wenye mifugo wengi na wafugaji katika vikundi.

• Kuelimisha na kusimamia wanachi juu ya sheria ya ardhi Na 5 ya mwaka 1999 na sheria ya ardhi ya vijiji Na 4 ya mwaka 1999.

• Kuhifadhi maeneo ya vyanzo vya maji kwa ajili ya upatikanaji wa maji kwa matumizi ya mifugo.

a. iv. Kuzuia na kudhibiti magonjwa Magonjwa ya mifugo ni changamoto inayoathiri uzalishaji wa mifugo mkoani kwa kuongeza gharama za uzalishaji kuathiri biashara na kupunguza tija kwa ujumla. Vyazo vikuu vya magonjwa ya mifugo mkoani ni:-

• Huduma hafifu ya afya ya mifugo • Ufugaji wa kuhamahama • Mabadiliko ya hali ya hewa

Magonjwa yanayojitokeza mara kwa mara ni:-

158

Page 166: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

• Magonjwa yaenezwayo na kupe (Ndigana kali, Ndigana baridi, Maji moyo na

Mkojo mwekundu) • Magonjwa ya mlipuko (Mapafu CBPP (Homa ya Mapafu ya ng’ombe), Miguu na

midomo, Lumpy skin (mapele ngozi), CCPP (Homa ya Mapafu ya mbuzi), RVF ( Homa ya Bonde la Ufa) na Kichaa cha mbwa)

• Magonjwa mengine Chambavu, Kimeta, Salmonella, Minyoo, Ndui, Coccidiosis, Gumboro, Infectious Coryza na Nagana

Mikakati ya mkoa katika kuzuia na kudhibiti kuenea kwa magonjwa ya mifugo ni:-

• Kuboresha huduma ya afya ya mifugo kwa kuogesha, kutoa chanjo na kufanya uchunguzi wa mara kwa mara.

• Kudhibiti usafirishaji na uhamishaji wa mifugo kwa kutumia sheria, kanuni na taratibu zilizopo.

• Kusimamia ipasavyo sheria, kanuni na taratibu za mifugo. Kwa upande wa chanjo kwa mwaka 2008/2009 idadi ya mifugo iliyochanjwa dhidi ya RVF, CBPP, Mdondo na kichaa cha mbwa ni kama inavyoonekana kwenye jedwali. Chanjo dhidi ya magonjwa ya mifugo ilifanyika kwa kuzingatia kalenda maalum za chanjo. Jedwali Na 9: Chanjo ya Mifugo 2008/2009 Na WILAYA NG’OMBE KUKU MBWA 1 Mpwapwa 72,537 150,736 2,0252 Bahi 139,173 21,700 1,3813 Kondoa 98,500 493,750 4724 Dodoma 45,208 95,450 1,3505 Chamwino 68,149 62,940 4,1206 Kongwa 45,893 367,877 482

Jumla 469,460 1,192,453 9,830

b. v. Kurahisisha upatikanaji na kuongeza matumizi ya pembejeo Katika mkoa wa Dodoma,pembejeo za mifugo kwa sehemu kubwa hupatikana kupitia maduka ya watu binafsi.Pembejeo hizo ni pamoja na dawa za kuogeshea mifugo ,dawa za tiba ,chanjo,na vifaa vya huduma za kitaalam.Kwa jumla mkoa una maduka 26 ya pembejeo za mifugo. Jedwali Na. 10: Hali ya mahitaji na upatikanaji wa pembejeo za mifugo Na. WILAYA JINA LA PEMBEJEO MAHITAJI UPATIKANAJI KIASI

KILICHOTUMIKA ANTIBIOTIKI 2,800,000 mls 3,500,000 mls 1,050,000 mlsDawa za minyoo 845,000mls 900,000mls 422,500mls

1 MPWAPWA

Dawa za kuogeshsea mifugo

3000lts 2873lts 2815lts

Madini 1,850 blocks 2,000blocks 1,550 blocksChanjo ya mdondo 680,000 dozi 170,000 dozi 58,783 doziChanjo ya homa ya mapafu (CBPP) 170,000 dozi 100,000 dozi 98,620 dozi

159

Page 167: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

Na. WILAYA JINA LA PEMBEJEO MAHITAJI UPATIKANAJI KIASI KILICHOTUMIKA

Chanjo ya kichaa cha mbwa 9,500 dozi 5,500 dozi 5,425 doziAntiprotozoan 1,400,000mls 1,500,000 mls 420,000 mlsESB 3 1,500 paketi 2,000 paketi 1,200 paketiExtension kit 84 - -Vyakula vya mifugo; Broilers mash 5 Tani 3.75 Tani 1.9 TaniLayers mash 58.7 Tani 44 Tani 22 TaniGrowers mash 5.6 Tani 4.2 Tani 1.8 TaniChick and duck mash 3.7 Tani 2.8 Tani 1.4 TaniAntibiotiki 8,400,000mls 7,560,000 mls 6,720,000 mlsDawa za minyoo 2,535,000 mls 2,281,500 mls 2,028,000

mlsDawa za kuogeshea mifugo

9,000 lts 8,100 lts 7,200 lts

Madini 5,550 blocks 4,995 blocks 4,440 blocksChanjo ya mdondo 2,040,000

dozi1,836,000 dozi 1,632,000 dozi

Chanjo ya homa ya mapafu (CBPP) 419,000 dozi 100,000 dozi 98,750 doziChanjo ya kichaa cha mbwa 4,200 dozi

2 KONDOA

Antiprotozoan 4,200,000 mls 3,780,000 mls 3,360,000 mls ESB 3 4,500 paketi 4,050 paketi 3,600 paketi Extension kit 252 227 202 Vyakula vya mifugo; 0 0 - Broilers mash 15 Tani 14 Tani 12 Tani Layers mash 176 Tani 158 Tani 141 TaniGrowers mash 17 Tani 15 Tani 13 TaniChick and duck mash 11 Tani 10 Tani 9 Antibiotiki 1,260,000 mls 1,008,000 mls 945,000 mls Dawa za minyoo 380,250 mls 304,200 mls 285,188 mls Dawa za kuogeshsea mifugo 1,350 lts 1,080 lts 1,013 ltsMadini 833 blocks 666 blocks 624 blocksChanjo ya mdondo 244,800

dozi 306,000 dozi 229,500 dozi 3 KONGWA

Chanjo ya homa ya mapafu (CBPP) 117,000 dozi 0 0Chanjo ya kichaa cha mbwa 1100 dozi 500 dozi 482 doziAntiprotozoan 630,000 mls 504,000 mls 472,500 mls ESB 3 675 paketi 540 paketi 506 paketi Extension kit 38 30 28

Vyakula vya mifugo; - - - Broilers mash 2 Tani 2 Tani 2 TaniLayers mash

26 Tani 21 20 Tani 160

Page 168: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

Na. WILAYA JINA LA PEMBEJEO MAHITAJI UPATIKANAJI KIASI KILICHOTUMIKA

Tani Growers mash 3 Tani 2 Tani 2 TaniChick and duck mash 2 Tani 1 Tani 1 TaniAntibiotiki 3,024,000 mls 2,419,200 mls 1,965,600 mlsDawa za minyoo 912,600 mls 730,080 mls 593,190 mlsDawa za kuogeshsea mifugo 3,240 lts 2,592 lts 2,106 ltsMadini 1,998 blocks 1,598 blocks 1,299 blocksChanjo ya mdondo 734,400 dozi 587,520 dozi 477,360 doziChanjo ya homa ya mapafu (CBPP) 190,000 dozi 75,000 dozi 51,273 doziChanjo ya kichaa cha mbwa 5,000 dozi 4,430 dozi 4,107 doziAntiprotozoan 1,512,000 mls 1,209,600 mls 982,800 mls

4 CHAMWINO

ESB 3 1,620 paketi

1,296 paketi

1,053 paketi

Extension kit 91 73 59 Vyakula vya mifugo; - - - Broilers mash 5 Tani 4 Tani 4 TaniLayers mash 63 Tani 51 Tani 41 TaniGrowers mash 6 Tani 5 Tani 4 TaniChick and duck mash 4 Tani 3 Tani 3 TaniAntibiotiki 3,066,000 mls 2,452,800 mls 1,992,900 mlsDawa za minyoo 925,275 mls 740,220 mls 601,429 mlsDawa za kuogeshea mifugo 3,285 lts 2,628 lts 2,135 ltsMadini 2,026 blocks 1,621 blocks 1,317 blocksChanjo ya mdondo 744,600 dozi 595,680 dozi 483,990 doziAntiprotozoan 1,533,000 mls 1,226,400 mls 996,450 mlsESB 3 1,643 paketi 1,314 paketi 1,068 paketi

5 BAHI

Extension kit 92 74 60 Vyakula vya mifugo; - - - Broilers mash 5 Tani 4 Tani 4 TaniLayers mash 64 Tani 51 Tani 42 TaniGrowers mash 6 Tani 5 Tani 4 TaniChick and duck mash 4 Tani 3 Tani 3 TaniAntibiotiki 1,680,000 mls 1,512,000 mls 1,260,000 mlsDawa za minyoo 507,000 mls 456,300 mls 380,250 mlsDawa za kuogeshea mifugo 1,800 lts 1,620 lts 1,350 lts

6 DODOMA

Madini 1,110 blocks

999 blocks

833 blocks

Chanjo ya homa ya mapafu (CBPP) 105500 dozi 50000 dozi 48650 dozi

Chanjo ya kichaa cha mbwa 4000 dozi 1500 dozi 1358 dozi

Chanjo ya mdondo 408,000 dozi 367,200 306,000 dozi

161

Page 169: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

Na. WILAYA JINA LA PEMBEJEO MAHITAJI UPATIKANAJI KIASI KILICHOTUMIKA

dozi Antiprotozoan 840,000 mls 756,000 mls 630,000 mlsESB 3 900 paketi 810 paketi 675 paketiExtension kit 50 45 38 Vyakula vya mifugo; - - - Broilers mash 3 Tani 3 Tani 2 TaniLayers mash 32

Tani 35 Tani 26 TaniGrowers mash 3 Tani 3 Tani 3 Chick and duck mash 2

Tani 2 Tani 2 vi. Kuboresha mfumo wa masoko ya mifugo na bidhaa zake Mkoa una minada ya kutosha inayojihusisha na biashara ya mifugo.Hata hivyo minada hiyo haikidhi haja kutokana na kutokuwa na miundo mbinu ya kutosha. Jitihada za mkoa ni kuiboresha kwa kuiwekea miundo mbinu ili minada hii iweze kufikia kiwango kinachohitajika. Miundombinu itakayoboreshwa ni pamoja na barabara, machinjio na mabucha ya kisasa, minada na upatikanaji wa taarifa za masoko ikiwa ni pamoja na bei, mabanda ya ngozi, usindikaji . Jedwali Na. 11 : Miundombinu ya mifugo ki wilaya

MIUNDOMBINU WILAYA MAHITAJI YALIYOPO UPUNGUFU YANAYOFANYA KAZI

BAHI 4 0 4 0CHAMWINO 5 0 5 0

MADUKA YA PEMBEJEO

1

DODOMA 20 10 10 10KONDOA 35 8 27 8KONGWA 14 4 10 4MPWAPWA 18 3 15 3JUMLA 96 25 71 25BAHI 2 0 2 0MACHINJIO 2 CHAMWINO 5 1 4 1DODOMA 6 2 4 1KONDOA 8 1 7 1KONGWA 4 2 2 2MPWAPWA 5 1 4 1JUMLA 30 7 23 6BAHI 15 15 0 15CHAMWINO 13 13 0 13

MINADA YA MIFUGO

4

DODOMA 10 8 2 8KONDOA 35 26 9 26KONGWA 11 4 7 4MPWAPWA 16 16 0 16JUMLA 100 82 18 82

162

Page 170: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

BAHI 5 5 0 0CHAMWINO 9 9 0 7DODOMA 8 8 0 0

VITUO VYA AFYA YA MIFUGO

5

KONDOA 35 14 21 0KONGWA 14 4 10 4MPWAPWA 5 3 2 0JUMLA 76 43 33 11BAHI 16 7 9 0CHAMWINO 28 3 25 3

MABANDA YA NGOZI

6

DODOMA 20 1 19 1KONDOA 188 22 166 0KONGWA 18 5 13 3MPWAPWA 5 4 1 4JUMLA 275 42 233 11BAHI 3 1 2 0CHAMWINO 1 1 0 1

7

DODOMA 7 2 5 2KONDOA 8 7 1 2

VITUO VYA KUKAGULIA NA KUPUMZIKIA MIFUGO

KONGWA 3 3 0 1MPWAPWA 5 5 0 5JUMLA 27 19 8 11

vii. Mfumo wa vyombo vya mikopo Sheria ya vyama vya ushirika inaruhusu uanzishwaji na uendelezaji wa vyama vya ushirika wa aina mbalimbali ili kuboresha hali za wananchi kiuchumi na kijamii na hivyo kuchangia katika ukuaji wa uchumi wa taifa. Sanjari na uendelezaji wa vyama vya ushirika wa akiba na mikopo (SACCOS), mkoa unaendeleza nguvu katika kuhamasisha na kuanzisha ushirika wa mifugo na bidhaa zake. SACCOS zimetoa mchango mkubwa wa kuimarisha sekta nyingine kwa kutoa mikopo ya riba na masharti nafuu kwa wakulima, wafugaji na wajasiriamali vijijini na mijini ili kuimarisha shughuli za uchumi. Mkoa una SACCOS 165, kati ya hizo, 109 ziko maeneo ya vijijni na 56 mijini. Pamoja na aina nyingine za mikopo, SACCOS hizo zimetoa mikopo ya kuimarisha sekta ya mifugo kwa kutoa mikopo kwa ajili ya:-

i. Ufugaji wa Ng’ombe wa maziwa, kuku, bata, mbuzi wa maziwa na nguruwe. ii. Biashara ya madawa, zana na pembejeo za mifugo. iii. Uanzishaji na uboreshaji wa maduka ya nyama. iv. Biashara ya ununuzi na uuzaji wa kuku hususan wa asili

Jedwali Na. 12:Utoaji na urejeshaji wa mikopo kimkoa 2005 hadi 2009. IDADI YA WANACHAMA WALIOPATA MIKOPO

THAMANI YA MIKOPO ILIYOTOLEWA

THAMANI YA MIKOPO ILIYOREJESHWA

ASILIMIA YA UREJESHAJI MIKOPO

36,637 23,980,046,600/= 15,205,946,000/= 63.5

163

Page 171: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

Kuna vyama vya ushirika wa mifugo na bidhaa zake vinne katika wilaya za Kongwa , Chamwino na Dodoma Mjini kama ilivyo kwenye jedwali. Jedwali Na. 13: Vyama vya Ushirika vya Mifugo kiwilaya WILAYA JINA LA CHAMA SHUGHULI KONGWA Ushirika Wa Wafugaji Ndurugumi Ltd Ufugaji ng’ombe

Vijana Kitoweo Cooperative Society Ltd Bucha CHAMWINO Yataka Moyo Cooperative Society Ltd Biashara ya kuku

DODOMA (M) Wafugaji Makutopora Cooperative Society Ltd Ufugaji na pembejeo Vyama hivi vina jumla ya wanachama 116 na mtaji wa Tshs 1,806,000/= ambao ni mdogo sana kuweza kutekeleza majukumu yake.Ili kukabiliana na changamoto hii Mkoa una mkakati wa kutoa elimu kwa wafugaji ili kuongeza wanachama na kuwashauri kutafuta mitaji ya nje kutoka katika mabenki na SACCOS zilizopo karibu. Changamoto zinazokabili Mkoa ni uhamasishaji wa wafugaji kuendesha shughuli zao kiushirika ili kuweza kubadili mfumo wao wa maisha kwa kutumia rasilimali za mifugo kama chanzo cha ajira, kuwa na uhakika wa chakula na kuongeza kipato. Mkakati wa mkoa ni kuelekeza nguvu katika kuhamasisha na kuanzisha vyama vya ushirika vya mifugo katika maeneo yafuatayo;

• Usindikaji wa nyama, maziwa na bidhaa zake na kuhamasisha ufugaji wa kisasa na biashara.

• Ufugaji wa biashara wa kuku wa kienyeji ambao wanapatikana kwa wingi mkoani na wana soko kubwa.

• Uendeshaji wa huduma za majosho kiushirika shughuli ambayo kwa sasa inafanywa na serikali za vijiji kwa maeneo yaliyo na majosho.

• Uanzishaji wa ranchi ili kuendeleza ufugaji bora, malisho na huduma za maji kwa mifugo.

• Huduma za biashara ya madawa na pembejeo za kilimo na mifugo.

Sanjari na hayo mkoa utaendelea kuimarisha SACCOS na kuhakikisha kuwa kunakuwepo na SACCOS imara za wafugaji kwa ajili ya upatikanaji wa mikopo na kama mwanzo wa kuanzisha Community bank ili iweze kutoa mchango mkubwa na huduma za mikopo kwa ya wafugaji na kuongeza thamani ya mazao ya mifugo.

viii. Kuimarisha huduma za ugani

Huduma za ugani ni muhimu kwa uzalishaji wa tija. Mkoa wa Dodoma una mahitaji ya watumishi wa mifugo wapatao 687, waliopo hivi sasa (2009) ni 286 sawa na asilimia 41.6 ambao wanaweza kuhudumia wafugaji 71,500 (kwa uwiano wa wafugaji 250 kwa afisa ugani mmoja). Mchanganuo wa mahitaji ya wataalam wa ugani ni kama ifuatavyo;

164

Page 172: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

165

Jedwali Na. 14: Mahitaji ya wataalamu wa ugani kiwilaya Ngazi ya wilaya Ngazi ya Kata Ngazi ya kijiji WILAYA UPATIKANAJI

WA WATUMISHI

Shah

ada

ya

uza

mili

Shah

ada

ya

kwan

za

Dip

lom

a

Ch

eti

Dip

lom

a

Ch

eti

Au

xilla

ry

Dip

lom

a

Ch

eti

Au

xilla

ry

JUMLA

MAHITAJI 2 4 2 0 35 0 0 100 56 0 199WALIOPO 0 2 2 1 17 3 2 34 3 3 67

KONDOA

UPUNGUFU/ ZIADA

2 2 0 0 18 0 0 66 53 0 141

MAHITAJI 1 4 3 0 14 0 0 74 0 0 96WALIOPO 0 5 8 0 8 2 0 24 3 0 50

KONGWA

UPUNGUFU/ZIADA

1 1 0 0 6 0 0 47 0 0 54

MAHITAJI 1 3 4 0 18 0 0 50 34 0 110WALIOPO 0 2 3 0 4 0 0 30 1 4 44

MPWAPWA

UPUNGUFU/ZIADA

1 1 1 0 14 0 0 20 33 0 70

MAHITAJI 2 5 3 0 20 6 0 36 20 0 92WALIOPO 1 3 3 0 20 6 0 3 0 0 36

BAHI

UPUNGUFU/ZIADA

1 2 0 0 0 0 0 33 20 0 56

MAHITAJI 1 3 4 0 28 0 0 40 32 0 108WALIOPO 1 1 8 0 28 0 0 3 0 0 41

CHAMWINO

UPUNGUFU/ZIADA

0 2 4 0 0 0 0 37 32 0 75

MAHITAJI 1 3 14 0 24 0 0 40 0 0 82WALIOPO 1 2 14 0 12 4 0 11 4 0 48

DODOMA

UPUNGUFU/ZIADA

0 1 0 0 12 0 0 29 0 0 42

JUMLA 16 46 73 1 278 21 2 677 291 7 1,412 Kati ya wataalam waliopo kwenye jedwali la hapo juu, watumishi 116 (20.9%) waliajiriwa kwa kipindi cha miaka miwili iliyopita (2007/08 – 2008/09) ikiwa ni jitihada za kupunguza pengo la wataalam. Jedwali Na. 15:Mchanganuo wa watumishi walioajiriwa miaka miwili iliyopita kiwilaya

Idadi ya watumishi WILAYA Lengo Walioajiriwa Upungufu

Kondoa 162 21 141 Mpwapwa 95 25 70 Bahi 88 32 56 Chamwino 95 20 75 Dodoma 52 10 42 Kongwa 62 8 54 JUMLA 554 116 438

(a)Vitendea kazi Sekta ya mifugo itafikia malengo yake iwapo watumishi wake watakuwa na vitendea kazi vya kutosha. Hali halisi ya upatikanaji wa vitendea kazi ni kama ifuatavyo; Magari

Page 173: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

yapo 9 (45%), pikipiki 79 (14%), baiskeli 55 (44%), nyumba za wagani 45 (8.3%) na extension kits 5 (0.9%) ya mahitaji yaliyopo. Jedwali Na. 16: Mahitaji ya vitendea kazi kiwilaya

Gari Pikipiki Baiskeli Nyumba Extension kit WILAYA

Upu

ngu

fu

Upu

ngu

fu

Upu

ngu

fu

Upu

ngu

fu

Upu

ngu

fu

Yal

iyop

o

Ziliz

opo

Mah

itaj

i

Mah

itaj

i

Mah

itaj

i

Mah

itaj

i

Mah

itaj

i

Ziliz

opo

Ziliz

opo

Ziliz

opo

Kondoa 3 1 2 193 13 180 25 5 20 189 17 172 193 5 188 Mpwapwa 3 1 2 87 7 80 25 0 25 84 3 81 90 - 90 Bahi 3 2 1 61 15 46 15 0 15 59 6 53 64 - 64 Chamwino 5 3 2 77 31 46 25 5 20 74 7 67 79 - 79 Dodoma 3 1 2 65 1 64 20 5 15 63 5 58 63 - 63 Kongwa 3 1 2 78 12 66 15 6 9 74 7 67 78 - 78 JUMLA 20 9 11 561 79 482 125 55 104 543 45 498 567 5 562 Mbinu za kuziba pengo la Wataalam (b) Matumizi ya Mashamba darasa (FFS) ya mifugo Mkoa unatumia mashamba darasa kama mbinu mojawapo ya kziba engo la wataalam. Mashamba darasa hutumika kuwaelimisha wafugaji mbinu mbalimbali za ufugaji bora. Mkoa una mashamba darasa ya mifugo 206 ambayo ni 31% ya mahitaji ya mashamba darasa 668. Malengo haya yanatokana na utaratibu ambao mkoa umejiwekea wa kila mtaalamu wa mifugo kuwa na mashamba darasa matatu (shamba darasa la ngombe, mbuzi na kuku). Mashamba darasa yaliyoanzishwa kwa kila Wilaya ni kama ifuatavyo:- Jedwali Na. 17: Mahitaji ya mashamba darasa ya mifugo

Mashamba darasa WILAYA Mahitaji Yaliyopo Upungufu

Kondoa 189 62 127Mpwapwa 126 63 64Bahi 87 6 81Chamwino 93 7 86Dodoma Mjini 93 3 90Kongwa 101 65 36JUMLA 668 206 484

(v) Matumizi ya Wagani jamii (community animal health workers-CAHWs) Mbinu nyingine inayotumika kuziba pengo la wataalam ni matumizi ya wagani jamii. Hadi sasa (2009) mkoa una wagani jamii wapatao 154 (35% ya mahitaji) kwa mchanganuo ufuatao kiwilaya:

166

Page 174: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

Jedwali Na.18 Mahitaji ya wagani jamii kiwilaya Wagani jamii WILAYA Mahitaji

Waliopo Upungufu

Kondoa 141 16 125 Mpwapwa 70 25 45 Bahi 56 50 6 Chamwino 75 15 60 Dodoma 42 15 27 Kongwa 54 33 21 JUMLA 438 154 284

(d) Matumizi ya Vikundi vya wafugaji Watumishi wa mifugo hutumia vikundi vya wafugaji ili kufikisha elimu ya ufugaji kwa urahisi zaidi. Jumla ya vikundi 568 (24.8% ) vinatumika katika wilaya zote za mkoa. Jedwali Na. 19: Matumizi ya vikundi vya wafugaj kiwilaya

Vikundi WILAYA Mahitaji Vilivyopo Upungufu

Kondoa 620 219 401Mpwapwa 390 99 291Bahi 290 18 272Chamwino 310 33 277Dodoma Mjini 310 96 214Kongwa 370 103 267JUMLA 2290 568 1722 (e)UPIMAJI WA WATUMISHI Jedwali Na. 20: Upimaji wa watumishi NJIA ZINAZOTUMIKA

MAFANIKIO CHANGAMOTO NJIA ZA KUKABILIANA NA CHANGAMOTO

Tathmini ya utendaji kazi wa wazi (OPRAS)

Watumishi wameweka malengo kulingana na mazingira ya utendaji kazi yaliyopo.

Kutopatikana kwa vitendea kazi kwa wakati kumeathiri upatikanaji wa takwimu kwa wakati na kwa usahihi

Halmashauri kuendelea kuwapatia maafisa ugani vitendea kazi kulingana na mahitaji

Watumishi wameelewa umuhimu wa kufanya kazi kwa kuzingatia matokeo

Baadhi ya maelekezo yanatoa tafsiri tofauti na jinsi malengo ya wilaya yanavyowekwa Watumishi walio wengi hawajaelimishwa vya kutosha umuhimu na namna ya kujaza fomu hizi.

Menejiment ya UTUMISHI ishirikiane na halmashauri za wilaya kufanya mapitio ya kupitia muundo wa fomu za OPRAS. Halmashauri kuweka mpango endelevu wa kuelimisha watumishi jinsi ys kujaza fomu hizo

Matumizi ya DAFTARI LA KILIMO

Watumishi wa ngazi ya kata na vijiji wameweza kuweka malengo

Kutopatikana kwa vitendea kazi kwa wakati kumeathiri upatikanaji wa takwimu kwa wakati

Halmashauri kuendelea kuwapatia maafisa ugani vitendea kazi kulingana na mahitaji

167

Page 175: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

na kukusanya takwimu mbalimbali za msingi

na kwa usahihi Daftari halijaeleweka vizuri kwa wadau walio wengi

Halmashauri kuweka mpango endelevu wa kuelimisha watumishi wa ugani na viongozi wa ngazi zote wilayani jinsi ya kutumia daftari la kilimo ipasavyo

Taarifa za mwezi, robo mwaka na mwaka.

Taarifa hizi zimekuwa dira ya kuonesha maendeleo ya sekta ya mifugo.

Katika maeneo yasiyo na watumishi wa ugani ni vigumu kupata taarifa hizi kwa wakati na kwa usahihi.

Upungufu wa vitendea kazi (karatasi, usafiri, ofisi na samani).

Halmashauri kuendelea kuajiri watumishi wa ugni na kuboresha mazingira ya utendaji kazi na kutoa mafunzo rejea kulingana na mpango wa mafunzo uliowekwa.

Kukosekana kwa mafunzo rejea ya mara kwa mara kwa watumishi kunaathiri ubora taarifa na utendaji kazi.

Kufanya ukaguzi na ufuatiliaji shirikishi wa kazi za maafisa ugani

Kufahamu changamoto zinzowakabili watumishi na kubadilishana uzoefu

Rasilimali zilizopo hazitoshelezi kufanya ufuatiliaji wa mara kwa mara wa kuwezesha kupima utendaji kazi wa maafisa ugani

Halmashauri kutenga fedha za kutosha ili kuwa na ufuatiliaji endelevu.

(f) MATUMIZI YA MADAWA YA KUOGESHEA MIFUGO:-

1- Matumizi ya Majosho:-

Mkoa una majosho 140 ambayo sawa na 68.3% ya mahitaji. Majosho yanayofanya kazi ni 85 sawa na 60.7 %.

Jedwali Na. 21: Matumizi ya majosho kiwilaya

Wilaya Mahitaji Yaliyopo Yanayofanya kazi

Yasiyofanya kazi

Uendeshaji

Kondoa 60 39 17 22 Vikundi vya Wafugaji na watu binafsi

Mpwapwa 50 29 23 6 Vikundi vya wafugaji na Taasisi za Serikali

Kongwa 22 16 13 3 Vikundi vya wafugaji Chamwino 28 21 13 8 Vikundi vya wafugaji

na watu binafsi Bahi 20 19 6 13 Vikundi vya wafugaji

na watu binafsi Dodoma 25 16 13 3 Vikundi vya wafugaji

na taasisi za serikali Jumla 205 140 85 55

168

Page 176: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

Uendeshaji wa majosho haya hufanywa na vikundi vya wafugaji kwa asilimia 90 na machache yaliyobaki yanaendeshwa na Taasisi za Serikali asilimia 5 na Watu binafsi ailimia 5. Uendeshaji huu umewafanya wafugaji kumiliki majosho hayo na kuongeza uwajibikaji na umiliki wake kwao

Mikakati iliyopo ya kudhibiti athari zitokanazo na magonjwa yaenezwayo na kupe:-

• Kuimarisha taratibu za uogeshaji na matumizi ya sheria ndogo ya uogeshaji

• Kuendelea kujenga na kukarabati majosho ili yaweze kutumika.

• Kusimamia matumizi ya dawa sahihi za uogeshaji.

• Kutumia teknolojia sahihi za uzuiaji wa magonjwa ya kupe kama vile uchanjaji dhidi ya Ndigana Kali (ECF)

• Kushirikisha sekta binafsi katika ujenzi, ukarabati na uendeshaji wa majosho. ( mfano JUVA Holdings - Kongwa)

Jedwali Na. 22: Mapokezi na matumizi ya dawa za ruzuku za kuogeshea mifugo 2007/08 hadi 2008/09 Wilaya Aina ya Dawa Msambazaji Pokelewa Tumika

(Lita) Baki

( Lita) (Lita) Kondoa 0861861 Anicrop Service Ltd Vectocid

2313771,400 Farmbase Ltd Paranex 27502503,000 Amilexin/Bambana Cybadip

Kongwa Vectocid Anicrop Service Ltd 1,500 1,500 0Amitraz TAN VETERINA 1,000 1,000 0Paranex Farmbase Ltd 1,500 554 946Cybadip Amilexin/Bambana 1,320 0 1320

Mpwapwa Vectocid Anicrop Service Ltd 850 850 0Amitraz TAN VETERINA 3,000 3,000 0Paranex Farmbase Ltd 1,200 238 962Cybadip Amilexin/Bambana 1673 200 1473

Bahi Paranex Farmbase 1000 38 962Amilexin/bambana Cybadip 1920 0 1920

Chamwino Paranex Farmbase Ltd 1230 141 989Cybadip Vetegro/Amilexin 1640 48 1592

Dodoma Mjini

750 0750 Anicrop Service Ltd Vectocid 1,500 01,500 TAN VETERINA Amitraz 1,000 39684,968 Farmbase Ltd Paranex

1,867 0 1,867Amilexin/Bambana Cybadip Usimamizi wa dawa hizi hufanywa na Kamati za Wilaya za kusimamia matumizi ya dawa za ruzuku.

169

Page 177: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

Jedwali Na. 23: Hali ya matumizi ya dawa hizo ni kama ifuatavyo: AINA YA DAWA

POKELEWA(L) TUMIKA (L)

BAKI(L) % YA MATUMIZI

Vectocid 3,961 3,961 0 100 Amitraz 5,500 5,500 0 100 Paranex 11,298 3,348 7,850 29.6 Cypadip 9,500 498 9,002 5.2 Dawa zinazoonyesha viwango vidogo vya matumizi zimepokelewa Julai 2009 Cypadip ni dawa ngeni miongoni mwa wafugaji walio wengi hivyo inahitaji wafugaji kuelimishwa juu ya matumizi ya dawa hizo. Jedwali Na. 24: Mifugo iliyoogeshwa kwa kipindi cha mwaka 2006/07 hadi 2008/09

MIFUGO ILIYOOGESHWA 2006/07 2007/08 2008/09

WILAYA

Ng’ombe Mbuzi Kondoo Ng’ombe Mbuzi Kondoo Ng’ombe Mbuzi Kondoo Kondoa 82,891 21,658 6,947 128,762 39,914 13,642 137,560 44,078 15,762 Kongwa 41,136 12,967 8,121 193,817 72,559 28,209 200,127 89,676 31,209 Mpwapwa 56,705 45,987 19,819 140,015 92,118 33,216 176,456 113,005 79,118 Bahi 27,985 7,927 5,520 32,530 11,985 8,924 36,412 16,006 9,842 Chamwino 76,092 25,404 14,772 93,804 30,984 17,076 148,292 69,360 46,404 Dodoma Mjini

78,950 45,019 8,280 87,401 50320 9,106 91,500 56,945 12,455

Jumla 363,759 158,962 63,459 676,329 297,880 110,173 790,347 389,070 194,790 Hali ya uogeshaji wa mifugo imekuwa ikiongezeka kutokana na matumizi ya dawa ya ruzuku katika kipindi cha kuanzia 2006/07 hadi 2008/09 kama ifuatavyo: Jedwali Na. 25: Hali ya uogeshaji wa mifugo kuanzia 2006/07 hadi 2008/09

AINA YA MIFUGO

2006/07 2008/09 ONGEZEKO % YA ONGEZEKO

Ng’ombe 363,759 790,347 426,588 117.3 Mbuzi 158,962 389,070 230,108 144.8 Kondoo 63,459 194,790 131,331 206.9 Jumla 586,180 1,374,207 788,027 134.4

ix. Kushawishi uwekezaji mkubwa kwenye sekta Pamoja na kuwa na fursa nyingi za kuwekeza na kupata faida katika sekta ya mifugo, bado hakuna uwekezaji mkubwa mkoani Dodoma. Maeneo yanayofaa kwa uwekezaji mkubwa na ambayo mkoa unashawishi wawekezaji wa ndani na nje ni kama ifuatavyo;

(a) Unenepeshaji wa mifugo Wakazi wa mji wa Dodoma wanaongezeka kwa kasi kubwa kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo kuanzishwa kwa vyuo vikuu. Mahitaji ya nyama ya ubora unaotakiwa yanaendelea kuongezeka kadiri idadi ya watu inavyoongezeka na kadiri

170

Page 178: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

uelewa wa watu kutumia mazao safi na bora ya mifugo unavyoongezeka. Mji wa Dodoma unayo machinjio ya kisasa inayofanya kazi chini ya uwezo wake na haipati mifugo ya ubora unaotakiwa. Tangu mwaka 2006 machinjio ya Dodoma inatumika kwa uchinjaji wa nyama ya kondoo na mbuzi inayosafirishwa kwenda Mashariki ya Kati. Mahitaji ya soko hili la nje ni wastani wa mbuzi/kondoo bora 300 kwa wiki kiasi ambacho hakipatikani kwa urahisi. Kwa maelezo haya, unenepeshaji wa mifugo (Feedloting) ya kuchinja katika maeneo yanayozunguka mji wa Dodoma na kwingineko ni eneo linalofaa kwa uwekezaji wa faida.

(b) Uanzishaji wa Ranchi ndogo Uanzishaji wa Ranchi ndogo zitakazofuga kwa kufuata kanuni za ufugaji bora ni eneo lingine lifaalo kwa uwekezaji utakaoongeza tija. Uwekezaji huu unaweza kufanywa na vikundi vya wafugaji na mfugaji mmoja mmoja. Kwa kuanzia, Mkoa utawaainisha wafugaji wakubwa na kuwashawishi waanzishe ranchi ndogo. Wafugaji watasaidiwa kumilikishwa ardhi kisheria, kupewa elimu ya ufugaji wa kibiashara na namna ya kupata mikopo. Ranchi ndogo zikianzishwa, machinjio ya Dodoma itafanya kazi kwa uwezo wake (installation capacity).

(c) Kilimo cha Malisho kama zao la biashara Kwa miaka ya karibuni, kumekuwa na ongezeko kubwa la mahitaji ya malisho ya mifugo kwa wafugaji wa ndani (Zero grazing) kuliko upatikanaji wake katika miji ya Dodoma, Dar es Salaam , Morogoro na kwingineko. Hali ya hewa ya Dodoma ikiwemo kiwango cha mvua inaruhusu ustawi wa malisho ya aina nyingi hadi kukomaa na kuvunwa. Mkoa utaendelea kushawishi uwekezaji katika kilimo cha malisho na kushirikiana na watakaojitokeza.

(d) Ufugaji mkubwa wa kuku wa asili Soko la nyama na mayai ya kuku wa asili ni kubwa nchini na linaendelea kukua. Mkoa wa Dodoma una hazina kubwa ya kuku wa asili. Kuku wa asili wakipata matunzo ya msingi wana uwezo wa kuongeza uzalishaji. Usafiri wa kutoka Dodoma kwenda kwenye masoko ya kuku ni wa uhakika. Mkoa unakaribisha wawekezaji katika

eneo hili. (e) Usindikaji wa bidhaa za mazao ya mifugo Mkoa una malighafi za usindikaji wa bidhaa za mazao ya mifug . Malighafi zilizopo ni maziwa, nyama , damu na ngozi. Mkoa una changamoto ya kushawishi wawekezaji katika kusindika bidhaa mbali mbali za mazo ya mifugo ili kuongeza thamani na kuongeza ajira.

5. Utekelezaji wa Programu ya kuendeleza Sekta ya Kilimo Mkoani–

Maeneo ya Mifugo -2006/07 hadi 2009/10

Mkoa umekuwa ukitekeleza Programu ya kuendeleza sekta ya kilimo tangu mwaka 2006/07. Shughuli zilizotekelezwa kwa upande wa mifugo katika Halmashauri zote sita kwa pamoja ni kama ifuatavyo;

171

Page 179: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

Jedwali Na. 26: Shughuli zilizotekelezwa kwa upande wa mfugo katika Halmashauri zote 2006/07 hadi 2009/10 WILAYA NA SHUGHULI ILIYOFANYIKA KONGWA MPWAPWA KONDOA CHAMWIN

O BAHI DODO

MA JUMLA

1. Ukarabati wa majosho 12 4 9 4 6 12 47 2. Ujenzi wa majosho 1 4 1 3 4 - 133. Ukarabati wa Malambo - - 2 2 3 - 74. Ujenzi wa Malambo 3 6 - 3 3 - 155. Ujenzi wa Machinjio - - - 2 - - 26. Ukarabati wa Machinjio 1 1 1 - - 1 47. Ukarabati wa vituo vya afya

ya mifugo - 1 - 2 2 - 5

8. Ujenzi wa vituo vya afya ya Mifugo

- - - - - - -

- 1 9 3 - - 139. Ujenzi vituo vya mafunzo ya kilimo na mifugo vilivyoanzishwa

10. Ujenzi vituo vya uhamilishaji - - - 1 - - 111. Ujenzi wa nyumba za

maafisa ugani - - 2 3 - 1 6

11. Ukarabati wa nyumba za maafisa ugani

- 3 - 4 - - 7

12. Ujenzi wa mabanda ya ngozi - - - 1 - - 113. Ukarabati wa mabanda ya

ngozi - 2 - - - - 2

14. Ukarabati minada - 1 - 1 - - 215. Ununuzi wa madume bora

ya ng’ombe 13 - 10 - - 23

16. Ununuzi wa majogoo bora 300 101 920 310 673 718 302217. Ununuzi vifaa vya

uhamilishaji 1 1 1 2 1 1 7

18. Ununuzi wa madume na majike bora ya nguruwe

- - - - - 24 24

19. Ununuzi wa madume bora ya mbuzi

- 12 - 16 - 120 148

20. Ujenzi wa maduka ya nyama

1 - - - - - 1

21. Ukarabati wa maduka ya nyama

1 - - - - - 1

JUMLA YA FEDHA ZILIZOTUMIKA MIRADI YA SEKTA YA MIFUGO MWAKA 2006/2007 HADI 2008/2009 NI TSHS 1,192,938,747

172

Page 180: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

Jedwali Na. 27. Mafunzo na huduma za ugani zilizotolewa katika sekta ya mifugo mwaka 2006/2007 hadi 2008/2009

IDADI YA WALENGWA WALIOPATA MAFUNZO/HUDUMA

GHARAMA TUMIKA Tsh.

SN JINA LA WILAYA

AINA YA MAFUNZO/HUDUMA TOLEWA

WATAALAM

WAFUGAJI

VIKUNDI

WAFANYABIASHARA

Mashamba Darasa 63 1883100111. MPWAPWA

Ng’ombe wa Maziwa 45 3,400,000

Uhamilishaji 30 3,324,000Shahada ya I 5 15000000Shahada ya II 2 10,000,000

Vikundi vya wafugaji 99 5,875,000Uhamilishaji (A.I) 2 1,600,000Uboreshaji wa zao la ngozi

20 45 16 20,000,000

Mashamba Darasa 12 23,581,800Ng’ombe wa Maziwa 4 8,710,000

2 CHAMWINO

Mafunzo ya Diploma 2 5,109,270Mafunzo ya shahada ya I

2 5,313,920

Mafunzo ya shahada ya II

2 15,000,000

Uhamilishaji (A.I) 4 2,400,000Mashamba Darasa 70 4,000,000Ng’ombe wa Maziwa 4 3,600,000

3 DODOMA

Mafunzo ya Diploma - - - - -Mafunzo ya shahada ya I

- - - - -

Mafunzo ya shahada ya II

- - - - -

Uhamilishaji (A.I) 576 5,760,000Usimamizi wa majosho 38 10,836,000Uboreshaji wa kuku wa asili

125 7,000,000

Ufugaji bora Mbuzi wa maziwa

40 7,000,000

Udhibiti Mafua ya Ndege

8 254,000

Uboreshaji wa zao la ngozi

48 3,153,000

Uhamilishaji (A.I) 2 1,770,000Mafunzo ya shahada ya I

2 4,664,9204 BAHI

Mafunzo ya shahada ya II

3 21,000,000

Mashamba Darasa 8 2,404,253

173

Page 181: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

IDADI YA WALENGWA WALIOPATA MAFUNZO/HUDUMA

GHARAMA TUMIKA Tsh.

SN JINA LA WILAYA

AINA YA MAFUNZO/HUDUMA TOLEWA

WATAALAM

WAFUGAJI

VIKUNDI

WAFANYABIASHARA

Utayarishaji chakula cha kuku

6 2,113,000

Unenepeshaji wa Mifugo

100 4,710,000

Mafunzo juu ya Chanjo

12 10,380,000

Mashamba Darasa 22 34,837,079Uhamilishaji (A.I) 2 3,000,000

5 KONGWA

Ufugaji bora ng’ombe Maziwa

6 6,994,947

Ufugaji bora ng’ombe Maziwa

52 2,355,000

Ziara ya mafunzo ya ufugaji bora wa kuku

10 3,375,000

Ziara ya mafunzo ya ufugaji bora wa Ng’ombe

3 10 2,565,0006 KONDOA

Mafunzo ya ufugaji bora wa kuku

45 11,275,150

Mafunzo ya ubora wa nyama

30 1,397,000

Uboreshaji wa zao la ngozi

22 143 15 10,668,000

Mafunzo juu ya Chanjo 35 16,061,300Ziara ya mafunzo ya ufugaji bora wa Mbuzi

10 4,059,500

Uhamilishaji (A.I) 10 4,025,000

JUMLA YA FEDHA ZILIZOTUMIKA SEKTA YA MIFUGO KWA AJILI YA MAFUNZO NA HUDUMA MBALIMBALI NI Tsh. 492,822,650

Jedwali Na. 29: Fedha za DADPs zilizopokelewa WILAYA MWAKA

2006/07 MWAKA 2007/08

MWAKA 2008/09

JUMLA

Kondoa 86,000,000 1,130,000,000 867,000,000 2,083,000,000Mpwapwa 65,731,601 672,699,681 478,256,123 1,216,687,405Bahi 72,000,000 365,000,000 210,000,000 647,000,000

1117383230Chamwino 606,140,515 511,242,715117,896,500 Manispaa 42,954,025 418,771,088 283,310,090 745,035,203Kongwa 130,054,947 398,381,305 249,659,719 778,095,971JUMLA YA FEDHA KIMKOA 6,587,201,809

Kiasi cha fedha ya DADPs iliyotumika kwenye sekta ya Mifugo ni Tsh. 1,685,761,397/= sawa na Asilimia 26 ya fedha yote iliyotolewa.

174

Page 182: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

6. Mapungufu yaliyojitokeza katika utekelezaji wa Programu ya ASDP

Mkoani • Ucheleweshwaji wa fedha za miradi • Fedha za DADPs zinazoombwa haziji kama zilivyoainishwa kwenye mpango

husika • Jamii kutokuelewa umuhimu wa kuchangia 20% kwenye miradi ya maendeleo

walioiomba • Elimu ndogo ya wafugaji inawafanya washindwe kubadilika kwa urahisi • Mila na desturi potofu walizonazo wafugaji • upungufu wa maafisa Mifugo na vitendea kazi ukilinganisha na eneo

wanalohudumia MPANGO WA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA DADPs KWA MWAKA 2009/10 WILAYA JINA LA MRADI GHARAMA (Tsh)

Uhamilishaji wa ng’ombe 200 2,690,000Kuboresha kuku wa asili kwa kutumia Majogoo ya kisasa

3,772,000MPWAPWA

Ukarabati wa josho 5,000,000Kuchanja ng’ombe 55,992 kuzuia homa ya mapafu (CBPP) na mbuzi 45,195 kuzuia ugonjwa huo huo

2,117,000

Ukarabati wa nyumba moja ya mtumishi wa mifugo 4,000,000 Mafunzo kwa wataalam wawili ngazi ya shahada ya I 8,000,000Kuwawezesha wafugaji wakati wa maonyesho ya Nane Nane

10,000,000CHAMWINO

Ujenzi wa kituo cha mawasiliano cha huduma za Kilimo na Mifugo

10,495,027

Ununuzi wa Madume bora 26 kwa vijiji 2 11,448,000Kumalizia ujenzi wa majosho 3 6,000,000Kumalizia ujenzi wa Jiwe la kuchinjia (Slaughter slab) 3,000,000Kutoa mafunzo kwa wachanjaji 150 wa kuku 9,000,000Kutoa mafunzo ya uhamilishaji kwa wafugaji 150 kwa vijiji 8

3,500,000

Kutoa mafunzo kwa wafugaji 560 wa kuku na kununua vijogoo 560 kwa vijiji 21

10,000,000

Kutoa mafunzo kwa wagani 35 Kuhusu afya ya Mifugo 5,600,000Kuchanja Mifugo kuzuia magonjwa ya Homa ya mapafu, Kichaa cha Mbwa, Kimeta n.k

15,000,000

Kujenga josho 1 16,989,112Ununuzi wa vifaa vya uhamilishaji 5,000,000

DODOMA

Ununuzi na usambazaji wa vijogoo 300 12,000,000Kutoa mafunzo ka wafugaji 1,640 kuhusu utunzaji wa majosho

3,500,000

Kutoa mafunzo kwa wafugaji wa kuku 3,500,000Ununuzi wa vyombo vya usafiri kwa watumishi 8,000,000

Ununuzi wa vifaa vya ofisi 1,200,000

175

Page 183: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

WILAYA JINA LA MRADI GHARAMA (Tsh) Ununuzi wa shajara na mafuta 1,400,000Mafunzo ya muda mrefu na mfupi kwa watumishi 10 4,000,000

Kutoa mafunzo ya uhamilishaji kwa watumishi 4 2,152,742Kutoa chanjo kwa mifugo mbali mbali 8,000,000Kuadhimisha siku ya wakulima 500,000Ununuzi na usambazaji wa vipeperushi vya Mifugo 1,117,261Maadhimisho ya sherehe ya Nane Nane 5,360,000Upembuzi yakinifu wa ujenzi wa Lambo 1 15,000,000Umaliziaji wa ujenzi wa mnada 1 10,000,000

KONGWA

Ukarabati wa josho 1 4,000,000Kutoa mafunzo ya shamba darasa kwa vikundi 50 6,000,000Kutoa mafunzo kwa wagani 50 5,010,355Uhamilishaji wa ng’ombe 2,000 5,000,000Ununuzi wa majogoo bora 300 5,000,000Kutoa chanjo ya Mdondo kwa kuku 350,000 5,000,000Maonyesho ya Naenane 9,000,000Ufuatiliaji natathmini 3,182,630

Maonyesho ya Naenane 10,250,000Ukarabati wa mawe 4 ya kuchinjia 5,200,000

KONDOA

Uhamilishaji kwenye vijiji 5 6,000,000Uboreshaji wa mifugo ya asili 5,000,000Ununuzi wa chanjo mbali mbali na kuchanja 12,322,000Ukarabati wa majosho 3 na kujenga josho 1 8,000,000Kuwezesha mradi mradi wa malambo 5 13,205,000Ujenzi wa kituo 1 cha afya ya mifugo na kisima kirefu kimoja

4,000,000

Ununuzi wa vijogoo bora 1,000 na kuwachanja 5,000,000Kuhamasisha vikundi 10 kuhusu uboreshaji wa kuku wa asili

5,500,000

Kuwezesha kikundi cha wajane kumalizia ujenzi wa jingo la kufugia kuku 4,363,278Kutambua na kuunda vikundi vya shamba darasa 5 6,740,000Kuwezesha vikundi 2 vya wajane kuhusu usindikaji maziwa

2,759,990

Kuwezesha ununuzi wa vitendea kazi mbali mbali na kuwezesha mafunzo na kukarabati nyumba 2 za watumishi

83,100,000

Kutoa mafunzo kwa vikundi 18 vya wafugaji 22,900,000Kuanzisha vituo 2 vya kutoa mafunzo kwa wafugaji 23,500,000Ufuatiliaji na tathmini 15,240,000Uboreshaji wa daftari ya kilimo 4,450,000Kuyajengea uwezo mabaraza ya Kilimo ya vijiji 3,800,000 Maonyesho ya Naenane 9,869,798Kutoa mafunzo ya shahada ya I kwa watumishi 3 3,000,000

BAHI

Ununuzi wa kuku bora 250 kwa vijiji6 3,100,000Ununuzi na usafirishaji wa ng’ombe wa kisasa 18 5,265,000

176

Page 184: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

177

WILAYA JINA LA MRADI GHARAMA (Tsh) Kutoa mafunzo ya shahada ya II kwa watumishi 3 12,671,486

Kutoa mafunzo kwa wagani yahusuyo Mifugo 700,000Ujenzi wa mabanda 2 kwa ajili ya uboreshaji wa kuku wa asili

5,000,000

Kumalizia ujenzi wa nyumba 4 za watumishi 7,429,601Kumalizia ujenzi wa kituo 1 cha kutoa mafunzo kwa wafugaji

20,373,470.50

Ufuatiliaji na tathmini 15,036,015Maandalizi ya DADPs na VADPs 4,102,500Mafunzo ya uhamilishaji kwa wagani 2 5,228,000

Ununuzi wa baiskeli 112 kwa ajili ya wachanjaji kuku 11,200,000JUMLA KIMKOA 593,840,266

Jumla ya fedha zote kwa mkoa zitakazotumika kwenye sekta ya Mifugo katika miradi ya DADPs 2009/2010 ni Tsh. 593,840,266

Page 185: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

MKAKATI WA KUENDELEZA SEKTA YA MIFUGO NA UFUGAJI MKOA WA ARUSHA

1.0. IDADI YA MIFUGO Mkoa wa Arusha una wastani wa ng’ombe 1,531,118 mbuzi 1,286,574 kondoo 971,130 punda 98,171 nguruwe 16,474, kuku 1,032,980 na ngamia 1,499 kama ilivyoonyeshwa kwenye jedwali Na. 1.

Zaidi ya asilimia 60 ya wakazi wa Mkoa wa Arusha wanajishughulisha na ufugaji wa aina mbali mbali za wanyama. Mkoa wa Arusha una wakazi 1,617,728 (Wanawake 817,879 na wanaume 799,849). Kwa mwaka 2008 pato la Mkoa ni Tshs 1,036,900 (Regional GDP) na pato la mtu (per capita) ni Tshs 660,280.

Jedwali Na. 1 – Idadi ya mifugo Mkoa wa Arusha, Septemba, 2009.

Halmashauri Ng,ombe Mbuzi Kondoo Punda Nguruwe Kuku NgamiaArusha DC 217,481 201,348 185,100 14,680 611 346,280 31 Arusha MC 31,720 15,442 8,545 702 3,925 29,621 1,200 Karatu 155,187 151,938 44,618 7,707 8,816 68,083 - Longido 356,664 329,673 192,970 22,730 160 12,320 180 Meru 235,224 173,833 126,990 16,352 2,420 493,861 31 Monduli 154,842 114,340 162,907 20,000 440 65,000 10 Ngorongoro 380,000 300,000 250,000 16,000 102 17,815 47 Jumla 1,531,118 1,286,574 971,130 98,171 16,474 1,032,980 1,499

2.0. HALI HALISI YA MIFUGO NA UFUGAJI 2.1. Malisho, Maji na Ardhi Kwa sehemu kubwa mifugo hutegemea malisho ya asili na ni ufugaji wa kuchunga. Eneo la malisho ya mifugo katika Mkoa linakadiriwa kuwa ni hekta 1,247,563 sawa na asilimia 36 ya eneo la ardhi yote ya Mkoa. Mkoa una ranchi zipatazo mbili ambazo ni Manyara yenye ukubwa wa hekta 17,801. Ranchi ya Manyara imesaidia kuboresha malisho hekta 600 kwenye vijiji vya Esilalei na Oltukai wilayani Monduli. Ranchi ya pili ni West Kilimanjaro ambayo iko katika mikoa ya Arusha na Kilimanjaro na ina ukubwa wa hekta 30,364. Yapo pia maeneo yanayomilikiwa na Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi ambayo ni Themi Holding Ground yenye hekta 12,000 na Makuyuni Holding Ground yenye ukubwa wa hekta 1,660 ambayo ni vituo vya kupumzishia mifugo, NAIC kituo cha uzalishaji mbegu za mifugo hekta 315 na Chuo cha Mifugo Tengeru chenye hekta 360. Malisho na maji kwa ajili ya mifugo yameanza kupungua kutokana na kuwepo kwa mfululizo wa hali ya ukame kutokana na kukosekana kwa mvua za kutosha mara kwa mara katika miaka ya hivi karibuni. Hali hii imesababisha wafugaji kuhamahama na mifugo yao kutafuta malisho. Wilaya ya Longido inaongoza kwa kuwa na hali mbaya ya ukame ikifuatiwa na Ngorongoro, Monduli na Arumeru.

2.1.1. Malambo.

Serikali kwa kushirikiana na mashirika yasiyo ya kiserikali inafanya jitihada za kuchimba malambo mapya na kuyakarabati malambo yaliyobomoka ili kuwezesha

178

Page 186: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

upatikanaji wa maji ya kutosha kwa mifugo wakati wote wa mwaka. Jitihada hizi zinafanywa kupitia Mipango ya Maendeleo ya Wilaya – DADPS, Mradi Shirikishi wa Maendeleo ya Kilimo na Uwezeshaji – PADEP na Idara ya Maji katika Mkoa wa Arusha imechimba malambo kama inavyoonyeshwa katika Jedwali Na. 2. Jumla ya malambo yanayohitajika ni 268 lakini yaliyopo na yanafanya kazi ni 126. Mengi ya malambo hukauka kutokana na ukame.

Jedwali Na. 2 – Idadi na hali ya malambo Mkoani Arusha, Septemba, 2009. Halmashauri Mahitaji Yaliyopo Yanayofanya

kazi Yanayohitaji

ukarabati Upungufu

Arusha DC 15 13 13 0 2 Arusha MC 3 0 0 0 3 Karatu 20 14 11 3 9 Longido 120 24 24 0 96 Meru 8 4 4 0 4 Monduli 40 30 30 0 10 Ngorongoro 62 58 44 10 18 Jumla 268 143 126 13 142 2.1.2. Mabwawa. Mkoa wa Arusha pia una jumla ya mabwawa 44 ambayo yapo katika wilaya za Monduli mabwawa 38 na Longido mabwawa 6 ambayo yote yanafanya kazi. Mahitaji ya mabwawa katika Mkoa ni 57. 2.2. Miundo Mbinu ya Sekta ya mifugo. Hali ya miundo mbinu ya mifugo haitoshelezi mahitaji kulingana na idadi ya mifugo iliyopo. Gharama za kujenga au kukarabati ni kubwa na hivyo kusababisha ongezeko kuwa na kasi ndogo. 2.2.1. Majosho. Jumla ya majosho ambayo ni mazima na yanafanya kazi ni 38, majosho ambayo ni mazima lakini hayafanyi kazi kwa sababu ya ukosefu wa maji, dawa au matatizo ya uendeshaji ni 103. Mahitaji ya majosho kwa Mkoa wa Arusha ni majosho 219 kama ilivyoonyeshwa kwenye jedwali Na. 3.

Jedwali Na. 3 – Idadi na hali ya majosho Mkoa wa Arusha, Septemba, 2009.

Halmashauri Mahitaji Yaliyopo Yanayofanya

kazi Upungufu Arusha DC 14 14 7 7 Arusha MC 2 0 0 2 Karatu 35 26 8 27 Longido 64 21 0 64 Meru 29 19 6 23 Monduli 38 31 15 23

179

Page 187: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

Halmashauri Mahitaji Yaliyopo Yanayofanya

kazi Upungufu Ngorongoro 37 30 2 35 Jumla 219 141 38 181

2.2.2. Vituo vya Afya ya Mifugo. Mkoa wa Arusha una jumla ya Vituo vya Afya ya Mifugo 40 kati ya hivyo, vinavyofanya kazi ni 18 kama ilivyoonyeshwa kwenye jedwali Na. 4. Vituo vingi vina ubovu wa majengo, ukosefu wa vitendea kazi na wataalam wenye ujuzi wa kuchunguza magonjwa.

Jedwali Na. 4 – Idadi na hali ya vituo vya afya ya mifugo Mkoa wa Arusha, Septemba, 2009.

Halmashauri Mahitaji Vilivyopo Vinavyofanya

kazi Upungufu Arusha DC 20 10 10 10 Arusha MC 2 0 0 2 Karatu 14 10 2 12 Longido 9 2 1 8 Meru 17 5 5 12 Monduli 10 3 0 10 Ngorongoro 14 10 0 14 Jumla 86 40 18 68 2.2.3. Machinjio. Mkoa una machinjio moja (1) inayokidhi ubora wa kiafya ambayo ipo katika Manispaa ya Arusha. Machinjio nyingi zinahitaji kuboreshwa ili kukidhi vigezo vya kiafya. Tayari jitihada za kujenga na kuboresha machinjio zimeanza kufanyika katika miji yote ya Makao Makuu ya kila halmashauri na miji midogo ya Namanga, Ngaramtoni, Tengeru, Kikatiti, Makuyuni, Manyara, Mang’ola, Endabash, Ngorongoro, Endulen, Nainokanoka, Soitsambu, Digodigo na Malambo. Kwa sehemu kubwa uchinjaji hufanywa kwenye makaro “slaughter slabs” na nyumba za kuchinjia – “slaughter houses” ambazo hazijafikia hadhi ya kuwa machinjio bora. Mkoa una “slaughter houses” 13 na “slaughter slabs” 115 kama ilivyoonyeshwa kwenye jedwali Na. 5.

Jedwali Na. 5 – Idadi na hali ya “slaughter houses” Mkoa wa Arusha, Septemba, 2009.

Zinazofanya kazi Halmashauri Mahitaji Zilizopo Upungufu

Arusha DC 2 1 0 2Arusha MC 4 3 3 1Karatu 4 1 0 4

180

Page 188: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

Longido 9 2 2 7Meru 9 3 3 6Monduli 10 3 3 7Ngorongoro 7 0 0 7Jumla 45 13 11 34 2.3. Uboreshaji wa Mifugo 2.3.1. Ng’ombe wa Maziwa na Nyama Wafugaji hutumia madume bora aina ya Friesian, Ayrshire na Jersey kwa ajili ya ng’ombe wa maziwa ili kupata maziwa mengi. Kwa upande wa ng’ombe wa nyama hutumia madume bora aina ya Mpwapwa, Boran na Sahiwal wenye nyama nyingi. Mkoa wa Arusha una wastani wa ng’ombe wa maziwa 113,157 ukilinganisha na ng’ombe 107,063 waliokuwepo katika kipindi cha mwaka 2005/2006. Ongezeko hili linachangiwa na matumizi ya uhamilishaji na madume bora katika uzalishaji. Baadhi ya wafugaji katika Wilaya za Longido, Monduli na Ngorongoro wameanza kujinunulia wenyewe madume bora kutoka nchi jirani ya Kenya ili kuboresha mifugo yao. Mahitaji ya madume bora ni ng’ombe 25,280, mbuzi 4,830 na kondoo 3,120. Madume bora yaliyopo ni ng’ombe 2,302, mbuzi 2,601 na kondoo 265. 2.3.2. Uhamilishaji. Wafugaji wanaendelea kuelimishwa umuhimu wa kuzalisha ng’ombe bora kwa njia ya Chupa. Wafugaji hujinunulia mbegu moja kwa moja kutoka katika kituo cha Taifa cha Uhamilishaji kilichopo Usa River au hutumia huduma zinazotolewa na Wataalam wa Halmashauri za Wilaya na watoa huduma Binafsi. Jedwali Na. 6 linaonyesha hali ya uhamilishaji katika mwaka 2008/2009 kwa Mkoa wa Arusha ambapo jumla ya ng’ombe 9,253 walihamilishwa. Jedwali Na. 6 – Hali ya Uhamilishaji Katika Mkoa wa Arusha, Julai 2008 hadi Juni 2009.

Aina ya ng’ombe na idadi ya mbegu zilizosambazwa Ng’ombe wa maziwa Ng’ombe wa nyama

Halmashauri Jumla

Ayrshire Friesian Jersey Boran Sahiwal Mpwapwa

Arusha DC 1,219 1,447 226 11 0 0 2,903Arusha MC 1,036 1,046 82 0 0 22 2,186Karatu 182 238 61 0 0 0 481Longido 0 0 0 0 0 0 0Meru 1,486 1,460 312 0 0 0 3,258Monduli 53 122 33 50 62 55 375Ngorongoro 0 0 0 35 15 0 50Jumla 3,976 4,313 714 96 77 77 9,253Chanzo: Kituo cha Uhamilishaji (NAIC), Arusha.

181

Page 189: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

2.4. Magonjwa ya Mifugo 2.4.1. Magonjwa Yanayosabishwa na Kupe Hali ya ukame Mkoani imesababisha kuongezeka kwa ndorobo na magonjwa yanayosababishwa na kupe. Magonjwa ambayo yanaua mifugo kwa wingi ni Ndigana Kali – “East Coast Fever”, Ndigana Baridi – “Anaplasmosis”, Mkojo mwekundu – “Babesiosis”, na Maji Moyo – “Heart water”. Katika kupambana na magonjwa haya wafugaji wameendelea kuhimizwa kuogesha mifugo yao yote kwa kutumia majosho yanayofanya kazi na kutumia ‘pump’ kupulizia dawa kwa sababu majosho yaliyopo hayatoshelezi. Ipo changamoto ya majosho mengi kushindwa kufanya kazi na hata wanyama wengi kushindwa kuogeshwa kulingana na kanuni kwa sababu ya ukosefu wa maji. Changamoto nyingine ni kulegalega kwa Kamati za Usimamizi wa Majosho sambamba na wafugaji kushindwa kulipia gharama za uogeshaji. Elimu na ziara za mafunzo kwa wafugaji imetolewa ili kuwahamasisha kuwa na mwamko wa kuogesha mifugo yao. 2.4.2. Magonjwa ya Mlipuko Mkoa wa Arusha umekuwa na historia ya kuwa Mkoa wa kwanza nchini kukumbwa na magonjwa ya milipuko. Homa ya mapafu – CBPP, Homa ya Bonde la Ufa – RVF na PPR yote yaliingia nchini yakianzia wilaya ya Ngorongoro katika Mkoa wa Arusha. Hivyo kuna haja ya kuimarisha udhibiti wa magonjwa katika Mkoa huu. Kwa upande wa Homa ya Bonde la Ufa, hali ni shwari na hakuna matukio yaliyoripotiwa kwa kipindi chote cha msimu uliopita wa 2008/2009. Katika kipindi hicho ugonjwa wa Sotoka ya mbuzi - PPR uliripotiwa kuwepo katika baadhi ya maeneo ya wilaya za Ngorongoro, Monduli na Longido na Serikali kwa kushirikiana na Shirika la Vet Aid na Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro ilinunua chanjo dhidi ya ugonjwa wa PPR ambapo idadi ya mbuzi na kondoo waliochanjwa katika Wilaya ya Longido ni 200,000, Monduli 200,000 na Ngorongoro 250,000. Kwa upande wa mbuzi ugonjwa wa Homa ya mapafu ya mbuzi – “Contagious Caprine Pleural Pneumonia” (CCPP) nao umekuwa unasumbua ingawa hauna chanjo. Magojwa mengine yanayosumbua ni: Homa ya nguruwe – “African Swine Fever”, Kichaa cha mbwa – “Rabies” na kwa upande wa kuku magonjwa yanayosumbua ni pamoja na Gumboro, Kideri, Ndui, Coryza, Salmonelosis na minyoo. Chanjo kwa magonjwa ya kuku inapatikana kwa bei ya Tshs 2,500 kwa “dose” ya kutosheleza kuku 400. 2.4.3. Tiba ya Mifugo Wafugaji hujitegemea katika kugharamia tiba ya mifugo yao kwa kununua dawa kutoka kwenye maduka yanayouza dawa za mifugo.

182

Page 190: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

2.4.4. Mafua Makali ya Ndege na Nguruwe. Hakuna mgonjwa yeyote aliyeripotiwa kuwepo katika Mkoa wa Arusha tangu mlipuko wa ugonjwa wa mafua makali ya ndege na nguruwe ulipoanza. Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi imetoa mafunzo kwa Wakufunzi wa ngazi ya Mkoa kuhusu udhibiti wa Mafua Makali ya Ndege. Mafunzo kwa Wakufunzi wa ngazi ya Wilaya yametolewa kwa Halmashauri nne (4) za Ngorongoro, Karatu, Monduli na Longido Mkoani. Fedha zikipatikana mafunzo yatatolewa kwa Wakufunzi wa Halmashauri zilizobaki za Arusha, Meru na Manispaa ya Arusha. 2.5. Pembejeo za Mifugo. Upatikanaji wa pembejeo za mifugo katika Mkoa wa Arusha katika kipindi cha 2008/09 ni kama ilivyoonyeshwa kwenye jedwali Na. 7. Pembejeo hizi kwa sehemu kubwa ni dawa za chanjo. Jedwali Na. 7 – Upatikanaji wa pembejeo za mifugo katika Mkoa wa Arusha 2008/09.

Aina ya pembejeo Mahitaji Iliyotolewa Upungufu (a) Dawa ya kuogesha mifugo 130,143 61,428 68,715(b) Chanjo: - ECF 464,100 6,821 457,279- CBPP 773,411 0 773,411- NCD 2,615,987 1,178,608 1,437,379- LSD 853,023 0 853,023- Rabies 47,822 12,224 35,598(c) Anthrax 3,788,822 3,000 3,785,822(d) Blackquarter 1,531,118 1,500 1,529,618(e) PPR 2,257,704 650,000 1,607,704 2.5.1. Dawa za Ruzuku za Kuogeshea Mifugo. Mkoa wa Arusha ulianza kupokea dawa ya ruzuku ya kuogeshea mifugo kuanzia msimu wa 2006/07 ambapo Mkoa ulipokea lita 4,120 za dawa aina ya Dominex zenye thamani ya Tshs 198,254,400/=. Katika mwaka 2007/08 dawa iliyopokelewa ilikuwa ni lita 5,116 aina ya Cybadip yenye thamani ya Tshs 122,784,000/= na katika mwaka 2008/09 Mkoa umepokea lita 18,000 za dawa aina ya Ecotix yenye thamani ya Tshs 306,000,000/= na dawa aina ya Cybadip lita 43,428 yenye thamani ya Tshs 1,042,272,000/=. Mkakati wa kuongeza matumizi ya pembejeo ni pamoja na ujenzi na ukarabati wa majosho, kuhimiza Mashirika yasiyokuwa ya Kiserikali na watu binafsi kujihusisha zaidi katika kusogeza huduma karibu na wafugaji. Kamati ya usambazaji wa pembejeo katika ngazi ya Wilaya inatumika katika kusimamia usambazaji wa dawa za kuogesha mifugo zenye ruzuku.

183

Page 191: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

2.6. Viwanda na Masoko ya Mifugo na Mazao Yake 2.6.1. Usindikaji wa Maziwa Mkoa wa Arusha una viwanda vinne (4) vya kusindika maziwa, viwanda hivyo ni International Dairy Co Ltd chenye uwezo wa kusindika lita 3,000 za maziwa kwa siku. Arusha Dairy Co Ltd chenye uwezo wa kusindika lita 1,500 kwa siku, Kiwanda cha Brookeside ambacho kimesimamisha shughuli zake na kiwanda cha ILRAMATAK kilichopo wilayani Longido chenye uwezo wa kusindika lita 500 za maziwa kwa siku. Katika Mkoa vipo pia vikundi 13 vya wasindikaji maziwa wadogo waliowezeshwa na Shirika lisilokuwa la Kiserikali la Land O’ Lakes katika wilaya za Arumeru na Karatu. Chuo cha LITI Tengeru nacho hutoa mafunzo kwa wafugaji na wana vikundi katika fani ya usindikaji wa maziwa. 2.6.2. Usindikaji wa Ngozi Mkoa una jumla ya wasindikaji wa zao la ngozi watatu (3) ambao ni Salex Co. Ltd., Ngozi Centre na Asilia Ltd. Vipo vikundi vidogo vidogo kumi (10) katka Wilaya za Arusha, Arumeru, Longido na Ngorongoro. 2.6.3. Usindikaji wa Nyama Katika Mkoa kuna kiwango kidogo sana cha ukataji na usindikaji wa nyama unaofanywa katika machinjio ya Arusha Meat Co. Ltd. iliyochini ya Manispaa ya Arusha. Kiwanda hicho husindika sausage za nyama ya ng’ombe. Pia kipo kiwanda kidogo cha Happy Sausage ambacho husindika nyama ya nguruwe. Mkakati wa Mkoa ni kukifanya kiwanda cha Arusha Meat Co. Ltd. kiweze kufikia kiwango cha kusindika, kukata na kusafirisha nyama yenye viwango vinavyokubalika na soko la ndani na nje ya nchi. Aidha ranchi ya Manyara iliyoko wilayani Monduli imeanza ujenzi wa kiwanda cha nyama ambacho kitakuwa na uwezo wa kuchinja na kusindika ng’ombe 50 kwa siku. Kiwanda hiki kinatarajiwa kukamilika na kuanza kazi mwezi Machi, 2010. 2.6.4. Masoko na Magulio ya Mifugo na Mazao Yake. Mkoa wa Arusha una minada ya Upili minne (4) ambapo kati ya hiyo inayofanya kazi ni miwili (2), ambayo ni minada ya Meserani na Themi. Minada ya Longido na Wasso wilayani Ngorongoro haitumiki. Minada ya Awali ipo 28. Kuna jumla ya magulio 59 ambayo hutumika pamoja na mambo mengine kuuza mazao ya mifugo. 2.6.5. Vyama vya Ushirika wa Wafugaji. Mkoa una vyama 7 vya Ushirika wa Wafugaji ambavyo hutoa huduma ya pembejeo na masoko kwa wanachama wa wafugaji. Wafugaji wanaendelea kuhimizwa kuanzisha vyama hivyo vya wafugaji ili wapate kwa ukaribu huduma za pembejeo na masoko ya mazao yao mfano maziwa, nyama na ngozi.

184

Page 192: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

2.6.6. Mfumo wa vyombo vya mikopo Mkoa wa Arusha una vyama vya Ushirika wa Akiba na Mikopo (SACCOS) 239 ambavyo vinakusanya akiba na kutoa mikopo kwa wanachama wake katika shughuli za kilimo, ufugaji na biashara. Wafugaji wanapata huduma hizo inavyopasa ili mradi ni mwanachama.

Benki za biashara hutoa mikopo kwa wafanyabiashara zaidi kuliko wafugaji kwa sababu wana uwezo wa kuweka dhamana ya mali zao. Benki hizo zinaendelea kushauriwa kuangalia jinsi ya kuwakopesha wakulima kwa kutumia dhamana walizonazo mfano wapo wafugaji wenye nyumba za kudumu zenye hatimiliki, mashamba na matrekta. Pia wafugaji wanaendelea kuhimizwa kujiunga na SACCOS zilizopo au kuunda mpya sehemu ambapo hazipo ili waweze kupata huduma za mikopo ya kuendeleza shughuli zao za ufugaji. 2.7. Mashamba Makubwa na Madogo ya Mifugo. 2.7.1. Ranchi. Mkoa una ranchi zipatazo mbili ambazo ni Manyara Ranchi yenye ukubwa wa hekta 17,801 ambayo ina ng’ombe 2,000 na kondoo 1,000, na Ranchi ya West Kilimanjaro ambayo iko katika maeneo ya mikoa ya Arusha na Kilimanjaro na ina ukubwa wa hekta 30,364. 2.7.2. Mashamba ya Ufugaji wa Kuku na Kutotoa Vifaranga Mkoa una shamba kubwa la kuku liitwalo Tanzania Poultry Farm linalojishughulisha na ufugaji wa kuku. Shamba hili hutotoa vifaranga vya kuku wa mayai na nyama wapatao 70,000 kwa siku.

Chuo cha Mifugo cha Tengeru pia kimeanza kutotoa vifaranga. Chuo kimepata kuku wazazi (kuku wa nyama – majike 143 na madume 17; kuku wa mayai – majike 146 na madume 23).

Huu ni mwanzo wa jitihada za kuwa na vyanzo vya vifaranga ndani ya Mkoa ili kuhakiki ubora na kuwapunguzia gharama wafugaji ambao wengi wao huingiza vifaranga toka nje ya Mkoa. 2.8. Mradi wa Kuendeleleza Zao la Ngozi na Viwanda vya Ngozi Katika kipindi cha mwaka 2007/08 Serikali kupitia Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi iliziwezesha Halmashauri tano (5) za Mkoa wa Arusha kupata jumla ya Tshs 132,066,910/= (kila Halmashauri Tshs 26,413,382/=) na pikipiki moja kwa kila Halmashauri kwa ajili ya kuendeleza zao la ngozi. Halmashauri zilizonufaika na mpango huu ni Karatu, Meru, Monduli, Ngorongoro na Manispaa ya Arusha.

Kazi zilizofanyika ni kutoa mafunzo kwa wasimamizi wa mradi wa uendelezaji wa ngozi, uhamasishaji, mafunzo kwa wadau, ununuzi wa vitendea kazi na ujenzi/ukarabati wa mabanda ya ngozi kwa lengo la kupata ngozi zenye ubora.

185

Page 193: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

2.9. Mradi wa Urasimishaji wa Wachuuzi wa Maziwa. Bodi ya Maziwa Tanzania imeanza mradi wa majaribio wa Urasimishaji wachuuzi wa maziwa kwa lengo la kuwaelimisha wazalishaji, wasambazaji, wasindikaji na walaji wa zao la maziwa ili kujenga tabia ya usafi ili kulinda afya za walaji. Mradi huu ni wa miezi 15 kuanzia Julai, 2009 na utafanyika kwa majaribio – “pilot” katika Mikoa ya Arusha na Mwanza kwa ufadhili wa International Livestock Research Institute (ILRI) kwa kushirikiana na Association for Agriculture Research in East & Central Africa (ASARECA). Tayari utambulisho kwa ngazi ya Taifa na Mkoa umekamilika ambapo wadau kutoka katika Halmashauri nne (4) za Mkoa wa Arusha wameshirikishwa (Manispaa ya Arusha, Halmashauri ya Wilaya Arusha, Meru na Monduli). Miradi kama hii tayari imekwishaanza katika nchi za Kenya na Uganda.

2.10. Mkakati wa Mkoa wa Kuboresha Maduka ya Nyama Mkoa umeandaa Mkakati wa kuboresha maduka ya nyama ambao utatumika kwenye Halmashauri zote. Lengo la mkakati huu ni kuwa na ubora wa huduma ili kukidhi afya za walaji kulingana na vigezo. Mkakati huu utahakikisha mnyororo wote unaangaliwa kuanzia machinjio, usafirishaji wa nyama, ubora wa maduka ya kuuza nyama, ubora na usafi wa vifaa, wahudumu wanaojihusisha na biashara ya nyama, usafi kwenye nyama choma na mwisho ufuatiliaji utafanyika. Ili kufanikisha Mkakati huu Mkoa utashirikiana na Halmashauri (Sekta za Mifugo, Afya, Biashara na Sheria), Mamlaka ya Chakula na Dawa Kanda ya Kaskazini na Jeshi la Polisi. 2.11. Ufugaji wa Samaki. Mkoa wa Arusha una wafugaji wachache wanaojishughulisha na ufugaji wa samaki hasa kwa kuchimba mabwawa madogo madogo. Uvuvi katika Ziwa Eyasi pia hufanyika katika kiwango cha chini ambacho kinahitaji kuboreshwa. Changamoto iliyopo ni uchache wa wataalam wa sekta hii na uhamasishaji mdogo. Hata hivyo kuna taasisi za Serikali, NGOs na watu binafsi wanaojishughulisha na ufugaji wa samaki katika Mkoa wa Arusha kwa kushirikiana na wataalam wa Serikali waliopo. Ukiacha mfugaji mmoja mmoja taasisi zinazojishughulisha na ufugaji wa samaki ni Magereza, Chuo cha Misitu Olmotonyi, SIDO, madhehebu ya KKKT na Roman Catholic. 2.12. Watumishi na Vitendea kazi. Jumla ya watumishi wa Sekta ya Mifugo katika ngazi ya Mkoa na Halmashauri za Wilaya katika Mkoa wa Arusha ni 263 kati ya 379 wanaohitajika hivyo kuna upungufu wa watumishi 116. Upo pia upungufu wa vitendea kazi; mahitaji ya magari ni 20 yaliyopo ni tisa (9), mahitaji ya pikipiki ni 193 zilizopo ni 37, mahitaji

186

Page 194: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

ya kompyuta ni 42 zilizopo ni 18 kama ilivyoonyehwa kwenye Jedwali Na. 8 (a) na 8 (b). Mkakati wa Mkoa wa kuboresha huduma za ugani umeainisha maeneo muhimu yatakayotumika kupima utendaji kazi wa watumishi. Mambo yatakayotumika ili kupima utendaji ni pamoja na:-

(i) Kuwa na malengo mahususi, mipango kazi na kalenda ya shughuli za ufugaji kwa kila mtaalam,

(ii) Kuwawezesha kuwa na vitendea kazi ili kuweza kuwapima, (iii) Kuwa na madaftari mawili; la mfugaji na la Afisa Ugani kwa ajili ya kurekodi

kazi za kila siku na kurahisisha ufuatiliaji. Madaftari haya yatasainiwa na pande zote mbili – Afisa Ugani na Mfugaji baada ya kazi.

(iv) Kuwa na mwongozo wa masomo yatakayotumika na Maafisa Ugani. (v) Kila Halmashauri kutunga au kuhuisha Sheria ndogo za kuwezesha

utekelezaji na utoaji huduma za ugani. Jedwali Na. 8 (a) – Idadi na mahitaji ya watumishi wa sekta ya Mifugo Mkoa wa Arusha, Septemba, 2009. Kituo Mahitaji Waliopo Upungufu Arusha D.C 76 75 1 Arusha M.C 41 40 1 Karatu 39 28 11 Longido 46 14 32 Meru 76 54 22 Monduli 40 31 9 Ngorongoro 58 20 38 RS 3 1 2 Jumla 379 263 116 Jedwali Na. 8 (b) – Hali ya Vitendea kazi mkoa wa Arusha, Septemba, 2009.

Magari Pikipiki Kompyuta Extension kit

Yal

iyop

o

Mah

itaj

i

Kituo Upu

ngu

fu M

ahit

aji

Mah

itaj

i

Mah

itaj

i

Upu

ngu

fu

Upu

ngu

f

Upu

ngu

fu

Ziliz

opo

Ziliz

opo

Ziliz

opo

Arusha D.C 1 0 1 18 2 16 2 0 2 55 20 35Arusha M.C 2 1 1 10 5 5 3 0 3 41 0 41Karatu 2 2 0 27 4 23 10 4 6 27 0 27Longido 3 2 1 44 10 34 6 2 4 46 0 46Meru 3 1 2 23 4 19 2 1 1 54 17 37Monduli 3 1 2 34 6 28 6 3 3 45 0 45Ngorongoro 5 2 3 37 6 31 10 7 3 37 0 37RS 1 0 1 0 0 0 3 1 2 3 0 3

187

Page 195: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

Jumla 20 9 11 193 37 156 42 18 22 308 37 271 2.14. Utekelezaji wa Mpango wa Maendeleo ya Kilimo ya Wilaya –

DADPS katika Mkoa wa Arusha. Mkoa wa Arusha unapata fedha za utekelezaji wa miradi ya DADPS kupitia kwenye Halmashauri zake. Fedha hizi ni kwa ajili ya kutekeleza miradi ya kilimo, mifugo na ushirika. Jumla ya fedha zilizotengewa Halmashauri kwa ajili ya kutekeleza miradi ni kama ifuatavyo:-

i. Mwaka 2006/2007 Tshs 1,368,248,000/= ii. Mwaka 2007/2008 Tshs 1,813,804,000/= iii. Mwaka 2008/2009 Tshs 2,780,217,000/= iv. Mwaka 2009/2010 Tshs 3,186,269,883/= v. Jumla Tshs 9,148,538,883/=

Kati ya fedha hizo, fedha ambazo zilielekezwa moja kwa moja kwenye miradi ya mifugo na ufugaji ni kama ifuatavyo:-

i. Mwaka 2006/2007 Tshs 447,804,000/= ii. Mwaka 2007/2008 Tshs 505,254,000/= iii. Mwaka 2008/2009 Tshs 732,470,000/= iv. Mwaka 2009/2010 Tshs 907,835,000/= v. Jumla Tshs 2,593,363,000/=

Miradi mingi ya mifugo inaelekezwa katika ujenzi na ukarabati wa malambo, ujenzi na ukarabati wa majosho, ujenzi na ukarabati wa machinjio, ujenzi na ukarabati wa vituo vya afya ya mifugo, ujenzi wa vituo vya uhamilishaji, mafunzo kwa wafugaji, udhibiti wa magonjwa ya mifugo, ununuzi wa vitendea kazi na uboreshaji wa mifugo.

2.13.1. Mapungufu yaliyojitokeza katika utekelezaji wa program ya ASDP.

(i) Kuchelewa kwa fedha za utekelezaji wa miradi; Fedha za utekelezaji miradi hazipelekwi kwa wakati hivyo kukwamisha kukamilika kwa wakati kwa baadhi ya shughuli na kuahirishwa kwa baadhi ya miradi,

(ii) Fedha za ufuatiliaji na vitendea kazi ngazi Sekretarieti ya Mkoa hazitoshelezi. Aidha zinapangwa bila kushirikisha Mkoa,

(iii) Uibuaji wa miradi midogo ambayo haina tija na haidumu, (iv) Miradi inayoibuliwa haina maandiko hivyo kusababisha kutokamilika au

kutokidhi kiwango stahili, (vi) Miradi isiyo na ubora unaostahili, (vii) Kuchelewa kwa michango ya asilimia 20 kutoka kwa walengwa kwa ajili ya

kutekeleza miradi ya uwekezaji, (viii) Baadhi ya Kamati za Usimamizi wa miradi kuwa na matumizi mabaya na

ubora hafifu wa miradi,

188

Page 196: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

(ix) Fedha za miradi kuelekezwa katika utekelezaji wa kazi nje ya mipango ya ASDP.

(x) Kukosekana kwa uendelevu wa miradi. 2.13.2. Hatua zilizochukuliwa kuondoa mapungufu hayo:

(i) Halmashauri zinahimizwa kuandaa taarifa za miradi kwa wakati ili ziweze kushughulikiwa. Vile vile kila robo mwaka kunakuwa na kikao cha pamoja kati ya wataalam wa Sekretarieti ya Mkoa na Wataalam wa Halmashauri kujadili na kuandaa taarifa,

(ii) Halmashauri zinahimizwa kuibua miradi mikubwa kulingana na mahitaji ya jamii husika badala ya kusambaza miradi midogo midogo kila eneo,

(iii) Halmashauri zinashauriwa kuwa na maandiko kwa kila mradi kuonyesha gharama zinazohitajika kukamilisha vipengele muhimu vya mradi,

(iv) Ili kuwa na miradi yenye ubora, Halmashauri zinahimizwa kuwatumia wataalam wa jamii husika kutoka ndani au nje ya Halmashauri. Aidha ufuatiliaji wa mara kwa mara ili kukagua miradi inafanywa,

(v) Halmashauri zinahimizwa kufuata mipango iliyopitishwa na si vinginevyo, (vi) Mafunzo kwa kamati za usimamizi wa miradi hutolewa kabla ya kukabidhi

miradi, (vii) Ili kuepuka matumizi mabaya fedha hupelekwa baada ya kukagua hatua ya

mradi ulipofikia, (viii) Fedha hupelekwa kwenye Akaunti za miradi baada ya kuhakikisha michango

ya jamii imekamilika. 2.14. Mashirika yasiyokuwa ya Kiserikali. Mkoa una jumla Mashirika 25 Yasiyokuwa ya Kiserikali ambayo hujishughulisha na miradi mbali mbali ya kuendeleza mifugo na ufugaji. Baadhi ya miradi hiyo ni kama uchimbaji wa malambo, udhibiti wa magonjwa, mafunzo ya ufugaji bora na uboreshaji wa mifugo. Mashirika hayo ni Canadian Physician for Aid Relief (CPAR), RECODA, Heifer Project International (HPI), KKKT, Roman Catholic, Pastoral Women Council (PWC), Olorien Integrated Development Association (OIDA/Oceremi), Laramatak Development Organization (LADO), Oxfam GB, Manyara ranchi, Ujamaa Resource Team (CRT), World Vision, BRAC, HAKI KAZI CATALYST, KESHO LEO, Vet Aid, Compassion, Land O’ Lakes, Pamoja Trust, OIKOS (E.A), VetAgro, CORDS, ILARAMATAK na SNV. 3.0. CHANGAMOTO KATIKA KUBORESHA MIFUGO NA UFUGAJI Zipo changamoto nyingi katika kuendeleza mifugo na ufugaji. Zifuatazo ni baadhi ya changamoto hizo. 3.1. Ukosefu wa soko la uhakika la mifugo na mazao yake; Ipo changamoto ya ukosefu wa soko la uhakika kwa ajili ya kuuzia mifugo na mazao ya mifugo. Mauzo ya mifugo na mazao yake yanayofanyika katika minada na magulio hayana bei rasmi wala vipimo vinavyotambulika. Baadhi ya wafanyabiashara huuza nje ya nchi kwa njia ya magendo. Mkakati wa Mkoa ni kushirikiana na Halmashauri za Wilaya kuboresha minada ya Upili ya Longido na

189

Page 197: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

Wasso. Vilevile uboreshaji wa machinjio ya Arusha Meat Co. Ltd. na ukamilishaji wa kiwanda cha nyama cha Makuyuni kinachojengwa na Manyara Ranchi utasaidia kupata soko la mifugo. Aidha uhamasishaji wa kuendeleza viwanda vya maziwa na ngozi pia utasaidia kupata soko la ndani la mazao hayo. 3.2. Gharama kubwa za uwekezaji katika kuanzisha viwanda; Vikundi vidogo vya kusindika mazao ya mifugo vinahimizwa kuanzishwa ili kuongeza thamani ya mazao ya mifugo kuwezesha kukubalika katika soko. 3.3. Magonjwa ya mifugo na gharama kubwa za kukabiliana nayo; Mkoa wa Arusha una historia ya kuwa njia kuu ya kupitia magonjwa mengi ya milipuko. Serikali kwa kupitia Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi hutoa baadhi ya chanjo wakati wa mlipuko kwa mfano mwaka 2007 idadi ya mifugo iliyochanjwa dhidi ya Homa ya Bonde la Ufa ni ng’ombe 380,911, mbuzi 181,984, na kondoo 207,526; mwaka 2008/09 chanjo dhidi ya PPR mbuzi/kondoo 650,000 walichanjwa. Idadi hii ni ndogo ukilinganisha na idadi ya mifugo. Michango ya Sekta Binafsi na wafugaji wenyewe inahimizwa. 3.4. Elimu kwa wafugaji juu ya kuboresha mifugo na ufugaji wa asili; Uboreshaji wa mifugo kwa njia ya uhamilishaji unapokelewa kwa kasi ndogo kutokana na imani potofu na mazoea waliyonayo baadhi ya wafugaji wa asili. Katika mwaka 2008/09 jumla ya ng’ombe 9,253 walihamilishwa. Hii ni idadi ndogo kulinganisha na lengo la ng’ombe 10,000 kwa kila Halmashauri. Bado ufugaji kwa sehemu kubwa ni wa kuchunga na kuhamahama kutafuta maji na malisho. Kuvuna sehemu ya mifugo pia ni changamoto ambapo wafugaji wengi hawakubali kwa urahisi.Wafugaji wanaendelea kuelimishwa kuhusu faida za kuboresha mifugo na ufugaji. 3.5. Ukame wa mara kwa mara; Kumekuwa na ukosefu wa mtawanyiko mzuri wa mvua hasa katika ukanda wa Chini na ukanda wa Kati. Hali hii husababisha upungufu wa maji na malisho kwa ajili ya mifugo. Uchimbaji wa mabwawa makubwa unahimizwa kwa kutumia DADPS na wadau wengine wa sekta ya mifugo. Kuvuna maji kwa ajili ya kuendeleza nyanda za malisho inaweza kusaidia. 3.6. Miundo mbinu haitoshelezi mahitaji; Miundo mbinu ya mifugo haitoshelezi na mingi haifanyi kazi kutokana na sababu mbali mbali kwa mfano ukosefu wa maji, gharama kubwa za kujenga miundo mbinu, ukosefu wa vifaa na wataalam. Serikali inaendelea kujenga na kuiboresha miundo mbinu kupitia DADPS. Washirika wa maendeleo katika mifugo wanahimizwa kuchangia katika kuboresha miundo mbinu. 3.7. Upungufu wa watumishi na vitendea kazi; Watumishi wa sekta ya Mifugo hawatoshelezi. Aidha kuna tatizo la upungufu wa vitendea kazi hasa usafiri ili kuwafikia wafugaji. Hali ya motisha kwa wataalam

190

Page 198: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

hairidhishi (mishahara, posho, mafunzo, ofisi na nyumba za kuishi zinahitaji kuboreshwa). Halmashauri zinahimizwa kuomba vibali vya kuajiri. 3.8. Ukosefu wa takwimu sahihi za mifugo na mazao yake; Takwimu zinazohusu idadi ya mifugo na uzalishaji wa mifugo ni tatizo. Mkoa umeandaa Daftari la Kilimo ili kupata takwimu kutoka vijijini ambazo zitaunganishwa kupata za Mkoa. 4.0. MKAKATI WA KUBORESHA MIFUGO NA UFUGAJI MKOA

WA ARUSHA

Mkoa wa Arusha umeandaa Mkakati wa Kuboresha Mifugo na Ufugaji. Mkakati huu umezingatia mambo yafuatayo:- i. Kuimarisha huduma za ugani kwa kutoa elimu ya kanuni bora za ufugaji na

kuanzisha mashamba darasa ya mifugo juu ya udhibiti wa magonjwa, malisho bora, uboreshaji wa mazao ya mifugo na usindikaji wa awali. Tayari kanuni za namna ya kuendesha huduma za Ugani kwa ufanisi zimeandaliwa;

ii. Kuongeza jitihada za kudhibiti magonjwa ya mifugo ikiwa ni pamoja na

chanjo, kuogesha mifugo na tiba ya magonjwa kwa wakati. Kuishawishi Serikali kuendelea kutoa ruzuku katika dawa muhimu za mifugo, mbegu bora za mifugo – uhamilishaji na madume bora, vyakula vya ziada vya mifugo na dawa za tiba;

iii. Kufanya jitihada za kuwavutia wawekezaji katika viwanda vya usindikaji wa

mazao ya mifugo ili kuwapatia soko wafugaji na wafanyabiashara wa mifugo na mazao yake. Vile vile kutoa mafunzo kwa wasindikaji wadogo. Miradi ya kuendeleza zao la ngozi iliyopo katika Halmashauri itatoa elimu na kuleta mabadiliko na kuboresha zao la ngozi. Uboreshaji na usindikaji wa nyama umetengenezewa mkakati maalum;

iv. Kuendelea kujenga na kukarabati miundo mbinu ya mifugo ili kuwa na

huduma bora mf. majosho, machinjio, mabwawa, vibanio na vituo vya afya ya mifugo ili kuhakikisha upatikanaji wa huduma bora kwa mifugo;

v. Kuendelea kutumia madume bora katika kuboresha makundi ya mifugo na

kuendelea kuwahamasisha wafugaji juu ya umuhimu wa uhamilishaji. Aidha uzalishaji kwa njia ya chupa kama mbinu bora ya kuharakisha uboreshaji mifugo umepewa kipaumbele kwa kila Halmashauri kuwa na lengo la kuhamilisha ng’ombe 10,000 kwa mwaka. Mafunzo yatatolewa ya jinsi ya kuchagua mitamba kwa ajili ya kupandishwa kwa chupa sambamba na kuwa na vitendea kazi kwa wataalamu wa mifugo ili kurahisisha zoezi la kuboresha mifugo. Kwa kuanzia kila Kata iwe na mtaalam aliyefundishwa Uhamilishaji na apatiwe vifaa na usafiri;

191

Page 199: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

vi. Usimamizi wa Sheria zinazohusu uboreshaji wa sekta ya mifugo. Halmashauri zitaagizwa kutunga Sheria ndogo na kuhuisha Sheria ndogo zilizokuwepo ili kusimamia uendelezaji wa sekta ya mifugo;

vii. Halmashauri kuweka kwenye Bajeti Ajira ya Wataalam wa mifugo na

kuwapatia vitendea kazi vinavyostahili ili kuweza kuwafikia wafugaji na kuwasaidia kwa mfano usafiri, vifaa vya chanjo, tiba, nyumba, posho na kuwapandisha vyeo;

viii. Kila kijiji/kitongoji kitahimizwa kuwa na Shamba Darasa la ufugaji ili

kuharakisha kasi ya kuwafikishia elimu wafugaji;

ix. Kuendeleza nyanda za malisho kwa kustawisha vyanzo vya vyakula vya mifugo ili kuwa na malisho bora – majani, mikunde na vyakula vya ziada vinavyotengenezwa viwandani. Halmashauri ziweke katika mipango yake fedha kwa ajili ya kununua mbegu za majani na kuchimba mabwawa. Aidha Serikali inaombwa kuajiri wataalam wa kada ya “Range Management” ambao ni muhimu sana katika kuendeleza nyanda za malisho;

x. Viongozi wa kisiasa kuwa mfano katika kuboresha mifugo na ufugaji ili

kuchochea ari ya wafugaji kuiga kutoka kwao;

xi. Kuimarisha ushiriki wa mashirika yasiyokuwa ya kiserikali na Sekta Binafsi katika kuendeleza na kuongeza uzalishaji wa mifugo bora na mazao yake;

xii. Kusimamia kwa makini hifadhi ya mazingira ili kulinda vyanzo vya maji, kuzuia

uchomaji moto na mmomonyoko wa udongo;

xiii. Kuwa na mfumo mzuri kwenye minada ya mifugo ili kukuza biashara ya mifugo na mazao yake hasa maeneo ya mpakani na kwenye minada ya awali ili kufanya biashara halali na kuipatia serikali na Halmashauri zetu mapato;

xiv. Wataalam kuwa wabunifu kwa kutumia taaluma zao ili kubadili na kuboresha

mifugo, ufugaji na biashara ya mifugo na mazao yake; xv. Kujenga uwezo kwa wataalamu na wafugaji kwa njia ya ziara za mafunzo

ndani na nje ya nchi;

xvi. Kuwahamasisha wafugaji kuvuna sehemu ya mifugo yao ili kuwekeza katika maeneo mengine ya kiuchumi na kubadili maisha ya familia za wafugaji;

xvii. Kuhakikisha kuwa Halmashauri zenye mifugo zinajikita katika kuendeleza

mifugo na ufugaji na zinaiweka sekta ya mifugo katika mipango yake; na

xviii. Kuainisha mahitaji ya wafugaji yanayotokana na wao wenyewe katika ngazi ya kaya ili yawekwe katika Mipango ya Halmashauri.

192

Page 200: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

5.0. MKAKATI WA KUBORESHA MIFUGO NA UFUGAJI MKOA

WA ARUSHA Mkoa wa Arusha umeandaa Mkakati wa Kuboresha Mifugo na Ufugaji. Mkakati huu umezingatia mambo yafuatayo:-

(i) Kuimarisha huduma za ugani kwa kutoa elimu ya kanuni bora za ufugaji na

kuanzisha mashamba darasa ya mifugo juu ya udhibiti wa magonjwa, malisho bora, uboreshaji wa mazao ya mifugo na usindikaji wa awali. Tayari kanuni za namna ya kuendesha huduma za Ugani kwa ufanisi zimeandaliwa;

(ii) Kuongeza jitihada za kudhibiti magonjwa ya mifugo ikiwa ni pamoja na

chanjo, kuogesha mifugo na tiba ya magonjwa kwa wakati. Kuishawishi Serikali kuendelea kutoa ruzuku katika dawa muhimu za mifugo, mbegu bora za mifugo – uhamilishaji na madume bora, vyakula vya ziada vya mifugo na dawa za tiba;

(iii) Kufanya jitihada za kuwavutia wawekezaji katika viwanda vya usindikaji wa

mazao ya mifugo ili kuwapatia soko wafugaji na wafanyabiashara wa mifugo na mazao yake. Vile vile kutoa mafunzo kwa wasindikaji wadogo. Miradi ya kuendeleza zao la ngozi iliyopo katika Halmashauri itatoa elimu na kuleta mabadiliko na kuboresha zao la ngozi. Uboreshaji na usindikaji wa nyama umetengenezewa mkakati maalum;

(iv) Kuendelea kujenga na kukarabati miundo mbinu ya mifugo ili kuwa na

huduma bora mf. majosho, machinjio, mabwawa, vibanio na vituo vya afya ya mifugo ili kuhakikisha upatikanaji wa huduma bora kwa mifugo;

(v) Kuendelea kutumia madume bora katika kuboresha makundi ya mifugo na

kuendelea kuwahamasisha wafugaji juu ya umuhimu wa uhamilishaji. Aidha uzalishaji kwa njia ya chupa kama mbinu bora ya kuharakisha uboreshaji mifugo umepewa kipaumbele kwa kila Halmashauri kuwa na lengo la kuhamilisha ng’ombe 10,000 kwa mwaka. Mafunzo yatatolewa ya jinsi ya kuchagua mitamba kwa ajili ya kupandishwa kwa chupa sambamba na kuwa na vitendea kazi kwa wataalamu wa mifugo ili kurahisisha zoezi la kuboresha mifugo. Kwa kuanzia kila Kata iwe na mtaalam aliyefundishwa Uhamilishaji na apatiwe vifaa na usafiri;

(vi) Usimamizi wa Sheria zinazohusu uboreshaji wa sekta ya mifugo.

Halmashauri zitaagizwa kutunga Sheria ndogo na kuhuisha Sheria ndogo zilizokuwepo ili kusimamia uendelezaji wa sekta ya mifugo;

(vii) Halmashauri kuweka kwenye Bajeti Ajira ya Wataalam wa mifugo na

kuwapatia vitendea kazi vinavyostahili ili kuweza kuwafikia wafugaji na

193

Page 201: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

194

kuwasaidia kwa mfano usafiri, vifaa vya chanjo, tiba, nyumba, posho na kuwapandisha vyeo;

(viii) Kila kijiji/kitongoji kitahimizwa kuwa na Shamba Darasa la ufugaji ili

kuharakisha kasi ya kuwafikishia elimu wafugaji;

(ix) Kuendeleza nyanda za malisho kwa kustawisha vyanzo vya vyakula vya mifugo ili kuwa na malisho bora – majani, mikunde na vyakula vya ziada vinavyotengenezwa viwandani. Halmashauri ziweke katika mipango yake fedha kwa ajili ya kununua mbegu za majani na kuchimba mabwawa. Aidha Serikali inaombwa kuajiri wataalam wa kada ya “Range Management” ambao ni muhimu sana katika kuendeleza nyanda za malisho;

(x) Viongozi wa kisiasa kuwa mfano katika kuboresha mifugo na ufugaji ili

kuchochea ari ya wafugaji kuiga kutoka kwao;

(xi) Kuimarisha ushiriki wa mashirika yasiyokuwa ya kiserikali na Sekta Binafsi katika kuendeleza na kuongeza uzalishaji wa mifugo bora na mazao yake;

(xii) Kusimamia kwa makini hifadhi ya mazingira ili kulinda vyanzo vya maji,

kuzuia uchomaji moto na mmomonyoko wa udongo;

(xiii) Kuwa na mfumo mzuri kwenye minada ya mifugo ili kukuza biashara ya mifugo na mazao yake hasa maeneo ya mpakani na kwenye minada ya awali ili kufanya biashara halali na kuipatia serikali na Halmashauri zetu mapato;

(xiv) Wataalam kuwa wabunifu kwa kutumia taaluma zao ili kubadili na

kuboresha mifugo, ufugaji na biashara ya mifugo na mazao yake; (xv) Kujenga uwezo kwa wataalamu na wafugaji kwa njia ya ziara za mafunzo

ndani na nje ya nchi;

(xvi) Kuwahamasisha wafugaji kuvuna sehemu ya mifugo yao ili kuwekeza katika maeneo mengine ya kiuchumi na kubadili maisha ya familia za wafugaji;

(xvii) Kuhakikisha kuwa Halmashauri zenye mifugo zinajikita katika kuendeleza

mifugo na ufugaji na zinaiweka sekta ya mifugo katika mipango yake; na

(xviii) Kuainisha mahitaji ya wafugaji yanayotokana na wao wenyewe katika ngazi ya kaya ili yawekwe katika Mipango ya Halmashauri.

Page 202: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

TAARIFA KUHUSU MKAKATI WA KUBORESHA UFUGAJI KATIKA MKOA WA MARA

1.0 UTANGULIZI 1.1 Maelezo ya jumla kuhusu Mkoa: Mkoa wa Mara uko Kaskazini Mashariki mwa Tanzania Bara, unapakana na nchi ya Kenya upande wa Kaskazini, nchi ya Uganda na Mkoa wa Kagera upande wa Magharibi, Mikoa ya Mwanza na Shinyanga kwa upande wa Kusini na Mkoa wa Arusha kwa upande wa Mashariki. Wilaya za Mkoa huu ni Bunda, Musoma, Serengeti, Tarime na Rorya. Mkoa una jumla ya Tarafa 20, Kata 119, Vijiji 445, vitongoji 2413 na Mitaa 57 ya Manispaa Musoma; kama jedwali hapa chini linavyoonyesha.

1.2 Eneo la kilometa za mraba kiwilaya

Wilaya Eneo la kilometa za mraba

Tarafa Kata Vijiji Vitongoji/Mitaa

Bunda 3,762 4 20 106 537Musoma 4,281 3 27 115 725Serengeti 10,942 4 18 71 320Tarime 1,792 4 20 73 397Rorya 9,345 4 21 80 434Musoma (M) 28 1 13 0 57Jumla 30,150 20 119 445 2413/57

Chanzo: Ofisi ya Mkuu wa Mkoa 2009 Aidha Mkoa unazo Mamlaka za Serikali za Mitaa 6 ambazo ni Halmashauri za Wilaya za Bunda, Serengeti, Tarime, Musoma, Rorya na Manispaa ya Musoma. 2.0 HALI YA UCHUMI 2.1 Rasilimali Ardhi: Eneo la Mkoa wa Mara ni kilometa za mraba 30,150 sawa na asilimia 3.1 ya eneo la Tanzania Bara. Maumbile ya eneo lote hili ni:

Km² 10,942 = 36% eneo la maji Km² 19,208 = 64% nchi kavu

Katika eneo la nchi kavu na km² 11,950 ni eneo kwa ajili ya kilimo na mifugo, na km2 7,258 = 37.1% ni mbuga za hifadhi ya wanyamapori Serengeti. 2.2 Rasilimali watu Kwa mujibu wa sensa ya 2002 Mkoa wa Mara ulikuwa na idadi ya watu 1,360,602 wa jamii na tamaduni mbali mbali.Kwa kiwango cha ongezeko la 2.5% hivi sasa (2009) Mkoa unakisiwa kuwa na watu 1,756,429.

195

Page 203: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

2.3 Hali ya Mapato ya Wananchi Pato la Mkoa mwaka 2006 lilikuwa kuwa Tsh. 658,800 millioni hivyo pato la kila mwananchi lilifikia Tsh. 419,049. Mwaka 2007 pato lilikadiriwa kuwa Tsh. 731,899 millioni, ambapo wastani wa pato la mwananchi limefikia Tsh. 448,732 sawa na ongezeko la asilimia 15.5.Lengo ifikapo 2010 ni kuwa na pato la kila mwananchi la Tsh. 659,310 kwa mwaka 3.0 TAKWIMU ZA MIFUGO Kutokana na takwimu za mifugo za mwaka 2002 na maoteo ya 2008, Mkoa una idadi ya ng’ombe 1,070,335, mbuzi 479,456, kondoo 195,772, nguruwe 2,202, punda 5,947, na kuku 1,089,832. Kama inavyoonekana kwenye jedwali. 1. Idadi ya Mifugo Mkoani Mara Aina Bunda Musoma Rorya Serengeti Tarime Manispaa Jumla

Musoma 221,875 326,114 13848

9287,996 89787 4800 1,065,061Ng’ombe

wa Asili

385 1864 770 886 930 400 5,274Ng’ombe wa Kisasa

77,593 136778 86625 118,074 45100 1400 478,821Mbuzi wa Asili

20 235 160 68 220 40 635Mbuzi wa Kisasa

49287 28553 35187 68,161 14484 120 195,772Kondoo 445 - 340 556 400 450 2,202Nguruwe

1225 3066 833 541 282 - 5,947Punda 13126 26867 27987 17,324 20400 3020 108,724Mbwa

457 7185 10500 2345 3216 2243 21,358Paka Kuku wa Asili

213,025 383908 136031

206054 98,894 42000 1,042,115

4286 12871 200 4356 5360 25000 47,717Kuku wa Kisasa Chanzo:Taarifa za Halmashauri,2009 Livestock unit. LU =Ng’ombe 2 LU=Mbuzi 5 LU=Kondoo5 LU=Punda 1 Jumla ya livestock unit katika Mkoa wa Mara ni 676160.4 ambazo zinahitaji eneo la malisho hekta 1,081,856.64.Eneo lilopo kwa ajili ya malisho ya mifugo katika mkoa ni hekta 750,000 na upungufu wa eneo la malisho ni hekta 331,856.64,kwa hiyo mifugo ya ziada inayotakiwa kuvunwa ni animal unit (AU) 207,410.4 sawa na asilimia 30.7%

196

Page 204: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

4.0 WATUMISHI WA SEKTA YA MIFUGO WALIOPO Cheo Bunda Musom

a Rorya Sereng

eti Tarime Musoma

Manispaa RAS JumlaMara

Daktari wa mifugo

1 1 1 1 1 0 1 6

Afisa Mifugo

4 2 1 1 1 0 0 9

23 25 12 22 23 5 0 110Afisa Mifugo msaidizi Wahudumu wa Mifugo.

0 2 3 4 3 0 1 13

28 30 17 28 28 5 2 138Jumla Chanzo: Taarifa za Halmashauri 2009 4.1 Wagani Wanavyotumika. Mahali Bunda Musoma

manispaa

Musoma

Rorya Serengeti Tarime RASMara

Jumla

Mkoani - - - - - - 2 2 Wilayani 4 - 12 6 11 7 - 40 Tarafani 4 - - 5 - - - 9 Katani 8 5 8 5 13 21 - 60 Vijijni 12 - 13 6 4 - - 35

28 5 33 17 28 28 2 138 JUMLA Chanzo: Taarifa za Halmashauri 4.1.1 Waliopo makao Makuu ya Mkoa. Usimamizi wa será za mifugo na utekelezaji mkoani. 4.1.2 Waliopo Makao Makuu ya Wilaya/Halmashauri Kusimamia na kuratibu shughuli za mifugo katika vitengo mbalimbali kama vile (Malisho, ukaguzi wa mifugo na mazao yake, minada, Afya ya mifugo, uzalishaji katika mifugo, ukaguzi wa nyama na usafi wa machinjio, udhibiti wa ndorobo) 4.1.3 Waliopo Ngazi ya Tarafa, Kata na Vijiji. Wanatoa huduma za ugani katika kilimo na mifugo. Mkakati wa Mkoa wa kukabiliana na upungufu wa Wagani. Wafugaji kujiunga kwenye vikundi vya mashamba darasa ya ufugaji ili kujifunza mbinu za ufugaji bora ili wafikiwe kirahisi na Mtaalamu wa ugani wa kata. Mkoa una jumla ya mashamba darasa 149 ya mifugo. 4.1.4 Upungufu wa Watumishi wa Ugani. Kutokana na idadi ya mifugo iliyopo mkoani upungufu wa wataalamu na watumishi ugani ni kama ifuatavyo.

197

Page 205: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

Jedwali la mahitaji ya watumishi wa mifugo MAHALI/CHEO Daktari wa

Mifugo Afisa Mifugo Afisa Mifugo

msaidizi JUMLA

BUNDA 0 0 110 110MUSOMA 1 1 9 11MANISPAA MUSOMA 1 0 123 124RORYA 0 2 89 91SERENGETI 0 0 67 67TARIME 0 1 76 77RAS MARA 1 2 1 4Jumla kuu 3 6 475 484Chanzo:Ikama ya watumishi wa mifugo Mkoa wa Mara. 5.0 MATUMIZI YA MIFUGO BORA KATIKA MKOA

Matumizi Aina ya mifugo Maziwa Nyama Mayai Uzalishaji Mbolea

Ng’ombe 90% 2% - 25% 30%Mbuzi 75% 25% 27% 10%Kuku - 3% 90% 60 % 5%Nguruwe 100% 1%Chanzo: Taarifa za Halmashauri 6.0 UPATIKANAJI NA USAMBAZAJI WA PEMBEJEO ZA MIFUGO. Pembejeo za mifugo kutoka viwandani zinasambazwa na sekta binafsi kupitia maduka ya pembejeo za kilimo na mifugo katika maeneo husika. Jumla ya maduka ya pembejeo katika mkoa ni 60. Kituo cha Kilimo Mogabiri na Buhemba wanasambaza mbegu bora za Ng’ombe, Kuku, Mbuzi, kwa wananchi na kutoa ushauri wa elimu ya ufugaji bora. Pia Mkoa unapokea dawa za kuogesha mifugo kupitia ruzuku ya serikali na dawa hizo husambazwa kupitia mawakala wa Halmashauri husika na chanjo mbalimbali kama vile chanjo ya kichaa cha mbwa katika makao makuu ya wilaya na vituo vya Afya ya Mifugo. 6.1 Usimamizi wa Madawa Mfugaji hupata dawa kutoka kwa msambazaji mara baada ya kupata kibali kutoka kwa Afisa Mifugo Wilaya. 7.0 MATUMIZI YA MADAWA YA KUOGESHA MIFUGO Ili kukabiliana na magonjwa yaenazwayo na kupe mradi wa kuendeleza Kilimo Mkoani Mara umejenga na kukarabati sehemu mbalimbali kama matumizi yake yanavyooneshwa katika jedwali lifuatalo.Pamoja na juhudi za Mkoa kukarabati na kujenga miundo mbinu za mifugo kama majosho,vibanio,malambo na kuhamasisha jamii kuendesha majosho bado matokeo ya matumizi ya kuendesha majosho yako chini kutokanan sababu zifuatazo hapa chini;

198

Page 206: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

• Kutokuwepo vyanzo vya maji katika baadhi ya majosho • Ugumu wa wafugaji kulipia gharama za uogeshaji • Migogoro ya vikundi vinavyoendesha majosho • Ugumu wa kusimamia sheria kutokana na mgogoro wa maslahi ya kisiasa.

Majosho Wilaya

Jumla Mabovu yanayohitaji ukarabati.

mazima yasiyofanya kazi

mazima yanayofanya kazi

Bunda 8 6 1 15Musoma 14 13 9 36Rorya 6 11 15 32Serengeti 6 10 5 21Tarime 8 7 8 23Jumla 42 47 38 127Chanzo: Taarifa za Halmashauri 7.1 Mgao wa Dawa za Kuogeshea Mifugo za Ruzuku.

2006/07 2007/08 2008/2009 2008/2009 Wilaya/ 2006/07 VECTOCID® STELADONE ® CYBADIP ® VECTOCID ® CYBADIP ® H/Wilaya

Bunda 700 459 710 2,122 5,032Musoma 700 1,100 710 2,122 5,032Rorya 630 850 640 2005 4,529Serengeti 705 450 710 3665 5,032Tarime 630 850 675 2,833 4,780Musoma Manispaa

200 655 107 1,419 755

Jumla 3,565 4,364 3,552 14,166 25,160Chanzo: Taarifa za Halmashauri 7.2 Usimamizi wa Majosho. Ili shughuli za majsho ziwe endelevu Mkoa umeanda jamii kutekeleza yafuatayo

Usimamizi wa majosho hufanyika kupitia vikundi vilivyoundwa kutokana na Mkutano Mkuu wa Serikali za Vijiji na kuendeshwa kwa mujibu wa katiba za vikundi na kusimamiwa na Ofisi ya mifugo Wilaya.

Majosho yana akaunti endelevu za benki kwa ajili ya uendeshaji Uchanganyaji wa dawa unasimamiwa na idara ya Kilimo/Mifugo Kamati ya josho kutoa taarifa ngazi ya Serikali ya kijiji na halmashauri

8.0 MFUMO WA SOKO LA MIFUGO. Mpango wowote wa kuongeza uzalishaji wa mifugo sharti uende sambamba na mkakati wa kuendeleza biashara ya mifugo.Kwa sasa kuna jumla ya minada 28 Mkoani ambapo ng’ombe wapatao 3000 wanauzwa kwa mwezi. Mtawanyiko wa minada hiyo ni kama ifuatavyo Halmashauri ya Wilaya Musoma 8, Tarime 3, Bunda 6, Serengeti 8 na Rorya 3. Minada hii yote ni ya awali, na haijakidhi mahitaji ya soko la mifugo Mkoani Mara. Vile vile Kusudio la Mkoa ni kupanua

199

Page 207: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

wigo ili kuwa na mnada wa upili angalau mmoja. Aidha Kujenga mazingira bora ya ushiriki wa sekta binafsi kwa kujenga kiwanda 1 kikubwa cha kusindika nyama katika eneo la kuendeleza viwandala EPZ Bunda pamoja na viwandan vidogo vya mazao ya mifugo katika maeneo mbalimbali mkoani. 9.0 MFUMO WA VYOMBO VYA MIKOPO Mkoa unazo jumla ya SACCOS na VICOBA 182 ambazo ni uwezo wake wa kukopesha wafugaji ni mdogo ili kuwekeza katika shughuli za ufugaji. Utaratibu unaotumika hivi sasa wa kukopa pembejeo kwa ajili ya kilimo na mifugo ni kupitia mfuko wa pembejeo unaoendeshwa chini ya Wizara ya Kilimo, Chakula na Ushirika.Wafugaji hawajanufaika zaidi na mfuko huu kwani wengi waliokopa wamekopeshwa matrekta kwa ajili ya kilimo.Hivyo tunapendekeza Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi iunde mfuko wa pembejeo za mifugo utakaoratibiwa na Wizara. Pia mkoa unazo taasisi za kifedha kama vile mabenki ya NMB-matawi 5, NBC-matawi 2, CRDB-matawi 2, BARCLAYS-tawi 1, TANZANIA POSTAL BANK-tawi, pamoja na huduma ya mkoba inyotumia gari katika benki ya CRDB. Vile vile mkoa una matawi 2 ya Mashirika binafsi ya kuwekaza na kukopesha fedha ya (FINCA-tawi 1, PRIDE TANZANIA LTD-tawi 1) mjini Musoma. Masharti magumu yanayotolewa na taasisi hizi za kifedha yanawanyima fursa wafugaji kukopa kwa sababu hawana dhamana ya mali hisiyohamishika. Pia wafugaji wapo nyuma katika suala zima la elimu na ujuzi wa kukopa na kuwekeza kwa faida 10.0 TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA ASDP – DADPS NA DASIP kwa mwaka (2006/2007, 2007/2008, 2008/2009). Mkoa wa Mara unanufaika na utekelezaji wa miradi ya programu wa Kuendeleza Sekta ya Kilimo nchini katika sekta ya mifugo kwa kutekeleza shughuli zifuatazo; Mwaka 2006/2007 Na. Jina la mradi Halmashauri Idadi Fedha

tumika Chanzo Fedha

Musoma Manispaa

1 29,526,000 DADG 1

serengeti 1 5,000,000 DADG

Ukarabati wa machinjio

Tarime 1 1,500,000 DADG 2 Kujenga

Machinjio Musoma 1 6,366,000 DASIP

3 Kukarabati majosho

Serengeti 2 10,000,000 DADG

4 kukarabati mfumo wa maji

Tarime 1 6,000,000 DADG

200

Page 208: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

Na. Jina la mradi Halmashauri Idadi Fedha tumika

Chanzo Fedha

katika majosho 1 2,000,000 DADG Musoma

Manispaa

5 Kutoa chanjo ya mdondo,

Serengeti 1 7,000,000 DADG

Musoma 1 3,568,000 DADG

Kichaa cha mbwa, ndigana kali, miguu na mdomo, Homa ya mapafu. Tarime 1 6,800,000 DADG

6 Uboreshaji wa afya ya mifugo kwa kununua jokofu ya kutunzia dawa za chanjo.

Tarime 1 800,000 DADG

7 Kuendesha mafunzo juu ya ugonjwa wa mafua makali ya ndege katika vijiji 8.

Tarime 1 1,600,000 ACBG

8 Kuhamasisha uundaji wa ushirika wa ufugaji

Musoma Manispaa

1 1,070,000 ACBG

9 Uboreshaji wa utunzaji wa taarifa kwa kununua laptop 1 ili kutunza mfumo wa taarifa.

Tarime 1 2,400,000 DADG

10 Kuinua kipato cha wakulima kwa kuendesha mafunzo ya ufugaji bora wa kuku wa kienyeji katika vijiji 8.

Tarime 8 1,600,000 ACBG

11 Kuinua kipato cha wakulima kwa kuendesha mafunzo na kuhamasisha utoaji wa chanjo kwa kuku wa

Tarime 84 2,250,000 ACBG

201

Page 209: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

Na. Jina la mradi Halmashauri Idadi Fedha tumika

Chanzo Fedha

kienyeji katika vijii 84 dhidi ya mdondo.

JUMLA KUU 87,480,000 Chanzo: Taarifa za Halmashauri Mwaka 2007/2008 Na. Jina la

mradi Halmashauri Idadi Fedha

tumika Chanzo cha fedha

Bunda 2 23,030,000 DASIP Rorya 1 8,000,000 DASIP

1 Ukarabati wa majosho

Musoma 3 16,570,000 DADG Serengeti 2 10,000,000 DADG Tarime 2 10,000,000 DADG Musoma 5 70,000,000 DASIP 2 Serengeti 2 23,310,000 DADG

Kujenga majosho

Tarime 1 2,500,000 DADG Bunda 1 17,338,000 DASIP

3 Ujenzi wa uzio wa machinjio

Serengeti 1 6,500,000 DADG

4 Ujenzi wa malambo.

Bunda 1 20,000,000 DASIP

5 Ukarabati wa malambo

Musoma 7 72,000,000 DASIP

1 7,031,000 DADG Tarime

6 Uboreshaji wa mifugo kwa njia ya uhimilishaji.

Musoma 1 5,000,000 DADG

7 Ujenzi wa kituo cha afya ya Mifugo

Bunda 1 17,334,000 DASIP

8 Kukarabati kituo cha Mifugo

Musoma 1 4,800,000 DADG

Bunda 1 3,120,000 ACBG Musoma Manispaa 5 15,135,226 ACBG

9

Serengeti 3 6,630,000 ACBG

Mafunzo kwa wafugaji na watumishi

Musoma 2 4,500,000 ACBG Rorya

2 84,223,000 ACBG 10 Ununuzi wa vitendea Kazi. Serengeti 2 4,200,000 ACBG

202

Page 210: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

Na. Jina la mradi

Halmashauri Idadi Fedha tumika

Chanzo cha fedha

11 Upanuzi Wa Ofisi

Serengeti 1 11,500,000 DADG

Serengeti 1 7,500,000 DADG 12 Musoma

anispaa m1 6,850,000 DADG

Chanjo ya mdondo, kichaa cha mbwa, homa ya mapafu,

Musoma 1 3,173,000 DADG

JUMLA KUU 460,244,226

Chanzo: Taarifa za Halmashauri Mwaka 2008/2009 Na. Jina la

mradi Halmashauri Idadi Fedha

tumika Chanzo cha fedha.

Bunda 1 7,754,000 DADG 1 Ukarabati na ujenzi wa machinjio

Tarime 1 178,500,000 CDG

Rorya 7 185,300,000 DASIP& DADG

2

Musoma 4 112,000,000 DASIP Bunda 5 86,200,000 DASIP

Ukarabati na ujenzi wa malambo

Tarime 7 130,400,000 DASIP Serengeti 1 13,230,0000 DASIP Serengeti

2 10,000,000 DADG 3

Musoma 2 28,000,000 DASIP

Ukarabati na ujenzi wa majosho

Bunda 4 46,354,000 DADG& DASIP

Rorya 4 96,840,000 DASIP

Tarime 7 100,000,000 DASIP& DADG

4 Ukarabati mfumo wa maji katika majosho

Tarime 1 8,000,000 DASIP

5 Ununuzi wa madume bora ya mbegu

Serengeti 10 13,680,000 DASIP

6 Usajili wa mifugo

Tarime 1 8,230,000 DADG

203

Page 211: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

Na. Jina la mradi

Halmashauri Idadi Fedha tumika

Chanzo cha fedha.

Bunda 1 7,754,000 DADG 1 Ukarabati na ujenzi wa machinjio

Tarime 1 178,500,000 CDG

7 Ujenzi wa mabanda ya kuku

Musoma 1 22,000,000 DADG

Bunda 3 65,000,000 ACBG Rorya 8 15,600,000 DADG&

ACBG

8 Ununuzi wa vitendea kazi musoma manispaa 6 37,100,000 DADG&

ACBG Tarime 1 1,705,000 AEBG 9

Musoma 2 18,031,000 AEBG

Mafunzo kwa wakulima na Watumishi.

Serengeti 3 2,700,000 ACBG

Rorya 3 39,000,000 AEBG& ACBG

Bunda 2 9.940,000 AEBG

Musoma Manispaa 3 4,882,500 DADG

Musoma 1 28,000,000 DASIP 10 Ukarabati na ujenzi wa vituo vya Afya ya mifugo.

Serengeti 2 3,230,000 DADG

Bunda 1 8,880,000 AEBG 11 Uhimilishaji

Serengeti 1 6,668,000 DADG Bunda

1 14,180,000 AEBG 12

Musoma 1 12,000,000 AEBG

Kutoa Chanjo

Musoma Manispaa 1 4,493,750 DADG

Serengeti 1 7,170,000 DADG

ya mdondo, kichaa cha mbwa, ndigana kali, miguu na mdomo, homa ya mapafu.

Tarime 1 3,500,000 DADG

JUMLA KUU 1,437,698,250

Chanzo: Taarifa za Halmashauri

204

Page 212: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

11.0 MIKAKATI YA KUBORESHA UFUGAJI NI KAMA IFUATAVYO: Ili kuinua kiwango cha uchumi wa kaya, halmashauri na mkoa hatuna budi kuhakikisha kuwa sekta ya mifungo inachachangia kwa kiwango kikubwa kuleta maisha bora kwa wananchi wetu kwa kutekeleza mikakati ifuatayo: 11.1 Kuimarisha afya ya mifugo Ili kuhakisha kuwa mifugo yetu inachangia kwa kiwango kikubwa pato la mkoa tunakusudia kufanya yafuatayo 11.2 Kudhibiti magonjwa ya mifugo Mkoa unakusudia kuimarisha huduma za kinga na tiba ya mifugo kwa kufanya yafuatayo; 11.3 Kutoa chanjo kwa mifugo yote kwa magonjwa yafuatayo,

• Midomo na miguu, • Mdondo wa kuku, • Homa ya mapafu, • Kichaa cha mbwa, • Gumboro, • Mapele ya ng’ombe, • Ugonjwa wa kutupa mimba. • Homa ya bonde la ufa • Sotoka ya wanyama wadogo

11.4 Kutoa tiba ya magonjwa ya mifugo Katika mazingira ya ufugaji holela katika sekta ya mifugo imekuwa ni vigumu kuvutia sekta binafsi kuendesha shughuli ya matibabu ya mifugo kibiashara, katika hali ya namna hii jitihada zaidi zinaendelea kufanyika katika mkoa kwa kufanya yafuatayo:-

• Kuendelea kuboresha mazingira ya kuvutia sekta binafsi kuchukua kikamilifu jukumu la kuendesha shughuli ya tiba za mifugo,

• Halmashauri zinaendelea kujenga na kufufua vituo vya tiba ya mifugo ambavyo vitaendeshwa kwa ubia na halmashauri, au kubinafsishwa na kuendeshwa na sekta binafsi

• Kujenga maabara ya mifugo kwa kuanzia katika ngazi ya mkoa lengo ni kuwa na maabara kila halmashauri ya wilaya/Manispaa.

• Pamoja na uzuri wa sera ya mifugo wa kuvutia sekta binafsi kuendesha shughuli za tiba, Mkoa unaendelea kuomba wizara iangalie uwezekano wa kuruhusu tiba iendeshwe na wataalam wa mifugo kwa maeneo ya vijijini kwani hakuna weledi wa kutosha katika sekta binafsi

11.5 Kuzuia maambukizi ya magonjwa Kuhakikisha huduma ya tiba ya magonjwa inapatikana ili kupunguza vifo vya wanyama

205

Page 213: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

• Kudhibiti wadudu waenezao magonjwa ya mifugo hasa kupe. • Kuimarisha huduma za uogeshaji kwa kuelimisha jamii juu ya umuhimu

wa kuogesha mifugo. • Kutunga sheria ndogo ndogo zinazoelekeza wajibu wa wafugaji kuuogesha

mifugo yao na kusimamia utekelezaji wa sheria hizo. • Kujenga ufahamu kwa jamii juu ya utaratibu na utekelezaji wa sheria ya

usafirishaji na uhamishaji wa mifugo

12.0 KUBORESHA HUDUMA ZA UGANI • Tunalenga kuwa na wagani wa kutosha na huduma bora za ugani.

Mkakati utalenga kutoa Elimu ya ufugaji bora wa kisasa, namna ya kutambua matatizo ya mifugo, kupanga jinsi ya kutatua matatizo hayo na kusimamia utekelezaji kwa kushirikiana na wafugaji wenyewe.

• Kuanzisha mashamba darasa ya mifugo ambayo yatakuwa vituo vya kuhamishia ujuzi na kufundishia wafugaji wadogo kuboresha mifugo yao

• Kuhamasisha na kuwajengea uwezo sekta binafsi katika kutoa na kusambaza pembejeo za mifugo

• Kuboresha mazingira ya kazi kwa watumishi wa ugani (vifaa vyauhimilishaji, usafiri, vifaa vya tiba pamoja na kutenga fedha za kutosha kwa ajili ya ofisi ya kata.

13.0 KUJENGA MFUMO WA UFUGAJI WA KIBIASHARA Asilimia kubwa ya wafugaji hawajihusishi na ufugaji tu, wanazalisha pia mazao ya chakula na biashara. Mifugo yote wanachungwa kiholela kwa pamoja na hakuna maeneo ya malisho ya mifugo yaliyotengwa rasmi pia hakuna mapito ya wanyama na hivyo kusababisha uharibifu wa mazingira na uenezaji wa magonjwa. Ili Kuhakikisha kuwa tunafanikiwa kufuga kibiashara na kuongeza tija ya mifugo katika shughuli za kiuchumi kwa wananchi wa mkoa wa Mkoa Mara kwa: 13.1 Kuboresha mfumo wa malisho na ufugaji kwa kufanya yafuatayo,

• Vijiji vitaanzisha mpango wa matumizi bora ya ardhi ambao utaainisha maeneo ya makazi, kilimo, malisho na hifadhi ya ardhi kwa matumizi ya baadaye.

• Kuendeleza maeneo yaliyotengwa kwa malisho, kwa kuyawekea miundo mbinu na kuboresha malisho.

13.2 Kujenga mazingira bora ya uwekezaji • Kutenga maeneo kwa ajili ya uanzishwaji wa mashamba ya kisasa ya

Ng’ombe na mifugo mingine kwa nyama na maziwa. (Uwekezaji mkubwa) • Kujenga mazingira bora ya kuvutia wawekezaji wakubwa na wadogo

katika mashamba yaliyotengwa.

206

Page 214: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

207

13.3 Kuongeza thamani ya mazao ya mifugo • Kujenga mazingira bora ya uwekezaji katika viwanda vidogo na vikubwa

vya kusindika mazao ya mifugo kama vile nyama, maziwa na ngozi. • Kusaidia upatikanaji wa soko la mazao ya mifugo kwa njia kama kampeni

ya siku ya unywaji wa maziwa kimkoa na maonesho ya kilimo 13.4 Kusimamia sheria namba 17, ya mwaka 2003 pamoja waraka wa rais namba 1,wa mwaka 2002. Mkoa kwa kushirikiana na halmashauri itaendelea kusimamia sheria ya magonjwa ya mifugo na waraka wa Rais ili kuimarisha ufugaji bora nchini. 14.0 CHANGAMOTO

• Mkoa umeendelea kuwa na idadi kubwa ya mifugo ipatayo 1, 751,510 ambayo ni jumla ya AU 676,160 eneo lililopo ni ha 750,000. Upungufu uliopo ni Ha 331.857. Hivyo mifugo inahitaji ivunwe kwa asilimia 30% ili kuweza kuwa na mifugo yenye uwiano wa malisho unaokubalika.

• Idadi kubwa hii ya mifugo kulingana na eneo la malisho lililopo ni tishio kwa uharibifu wa mazingira.uwiano wa mfugo mmoja mkubwa (1 AU) kwa eneo la malisho ni karibu hekta 1.2 kwa mwaka. Uwiano unaopendekezwa kwa mkoa wa Mara ni 1 AU: hekta 2. .

o Upungufu wa watumishi. Watumishi waliopo ni wachache na idadi yake ni 138 ukilinganisha na mahitaji ya watumishi 484

o Upungufu wa vitendea kazi. Piki piki kwa wagani, vifaa vya kinga/tiba, maabara na nyumba za watumishi.

o Uhaba wa Elimu ya Ujasiriamali kwa wananchi wetu hususani wafugaji juu ya uendeshaji wa vyombo vya fedha, mitaji midogo isiyokidhi mahitaji ya wanachama. Masharti magumu yasiyotekelezeka katika Asasi kubwa za fedha, ushindani usiozingatia misingi ya soko huru na matumizi sahihi ya mikopo wanayopata.

o Udogo wa soko la mifugo katika mkoa umesababisha utoroshwaji wa mifugo kwenda nchi jirani unaopelekea kuikosesha serikali mapato.

• Mkoa umejipanga kutoa Elimu ya Ujasiriamali kwa wananchi hasa wafugaji juu ya umilki na uendeshaji wa vyombo hivi vya fedha; Ujenzi wa mitaji imara kwa kuhimiza uwekezaji wa ndani. Kuhimiza matumizi sahihi ya mikopo wanayoipata ili waweze kuirejesha kwa wakati na kuwaunganisha na mifuko ya Serikali kama vile na Mfuko wa Pembejeo wa Taifa yenye masharti nafuu katika kuwaongezea mtaji na kuiendeleza sekta ya Viwanda katika kusindika mazao ya mifugo ili kuongezea thamani yake.

Page 215: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

MKAKATI WA KUENDELEZA SEKTA YA MIFUGO NA UFUGAJI MKOA WA SINGIDA

I. TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA PROGRAMU YA KUENDELEZA

KILIMO (ASDP) – MKOA WA SINGIDA SEKTA YA MIFUGO 2006/2007 HADI 2008/2009

Utekelezaji wa Mpango wa Maendeleo ya Kilimo ulianza rasmi mkoani mwaka wa fedha 2006/2007. Lengo kuu la programu ni kuwezesha kuongeza uzalishaji wenye tija ili kuinua kipato cha wakulima na wafugaji. Utekelezaji wa Mpango wa Maendeleo ya Kilimo Katika kutekeleza mpango wa kilimo shughuli/miradi iliyoibuliwa na kutekelezwa katika Halmashauri za Wilaya zililenga katika kujenga/kukarabati miundombinu ya kutoa huduma za mifugo, uendelezaji wa maeneo ya malisho, upatikanaji wa maji kwa ajili ya mifugo, uzuiaji wa magonjwa ya kuambukiza na uboreshaji wa ukoosafu wa mifugo. Aidha, wataalamu wa mifugo na wakulima walijenga uwezo. Katika mwaka 2006/2007 hadi 2008/2009 aina ya miradi iliyoibuliwa na kutekelezwa ni:-

1. Majosho 39 yalikarabatiwa na sita (6) kujengwa. 2. Malambo 58 yamechimbwa kwa ajili ya huduma ya maji kwa mifugo. 3. Maeneo ya malisho 47 yametengwa na kuwekewa mipaka 4. Katika kuboresha ng’ombe wa asili:

(i) Wataalam wa mifugo 19 wamepatiwa mafunzo ya uhamilishaji. (ii) Vifaa vya kuhifadhia na kupandishia ng’ombe vimenunuliwa katika Halmashauri zote nne. (iii) Mbegu (Straws) zinazotosheleza ng’ombe 8,500 zimenunuliwa na jumla ya ng’ombe 344 wamepandishwa kwa njia ya chupa. (iv) Madume bora ya ng’ombe (Mpwapwa/Bora) 425

yalinunuliwa na kusambazwa kwa wafugaji kwa ajili ya kuboresha ng’ombe wa asili.

5. Vituo vya afya ya mifugo (Veterinary Centres) 3 vimejengwa na vinne

kukarabatiwa. 6. Kituo kimoja (1) cha kukusanya na kusindika maziwa kimejengwa. Aidha,

mafunzo ya usindikaji maziwa yametolewa kwa wafugaji 40. 7. Katika kuhakikisha mlaji anakula nyama safi na salama machinjio 2

zinaendelea kujengwa katika Ngazi za Wilaya.

208

Page 216: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

8. Programu imesaidia kuwezesha kuchanja mifugo dhidi ya ugonjwa wa Homa ya Mapafu.

9. Mashine 2 za kutotolea vifaranga zimenunuliwa. 10. Mabanda ya ngozi mawili (2) yamejengwa na matano (5)

yamekarabatiwa. Changamoto zilizojitokeza katika utekelezaji wa programu ya ASDP i. Ushiriki hafifu wa jamii katika baadhi ya vijiji katika kutekeleza kazi za

mradi. ii. Kuchelewa kwa fedha za utekelezaji wa mradi katika eneo la mradi. iii. Uwezo mdogo kwa baadhi ya wakandarasi wanaopewa kazi na hasa za

ujenzi wa miundo mbinu na hivyo kuchelewesha utekelezaji wa mradi kadri ya mkataba.

iv. Usimamizi hafifu wa viongozi wa Kata na Vijiji. v. Kutawanya rasilimali kwa ajili ya kutatua matatizo katika maeneo mengi. Mapendekezo/ hatua zilizochukuliwa

i. Kuomba serikali kutoa fedha za utekelezaji mradi kwa wakati na ikiwezekana fedha zitolewe zote katika kipindi cha robo ya pili au ya tatu ya mwaka wa fedha.

ii. Kutokutoa kazi kwa wakandarasi wasumbufu. iii. Kutangaza kazi katika maeneo mapana (nje ya mkoa). iv. Kuimarisha usimamizi na ufuatiliaji kwa ngazi zote na kushirikisha

wanasiasa katika kuhamasisha shughuli za uogeshaji, utoaji wa chanjo na utunzaji wa miundo mbinu inayojengwa.

v. Kuchagua maeneo machache ya uzalishaji na kutatua matatizo kikamilifu. II. MKAKATI WA KUENDELEZA SEKTA YA MIFUGO

1.0 UTANGULIZI Ufugaji ni shughuli kuu ya pili ya kiuchumi Mkoani Singida. Inakadiriwa kwamba asilimia 11 ya pato la Mkoa linatokana na shughuli za ufugaji. Mkoa una raslimali kubwa ya mifugo ambapo unakadiriwa kuwa ni Mkoa wa tano nchini kwa wingi wa mifugo. Aidha Mkoa una ng’ombe 1,291,705, mbuzi 629,359, kondoo 399,335 na kuku zaidi ya 1,026,066. Makadirio ya idadi na aina ya mifugo iliyopo ni kama ilivyo katika jedwali Na. 1.

209

Page 217: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

Jedwali na. 1: Aina na Idadi ya Mifugo iliyopo Mkoani Singida Na. Aina H/Wilaya

Singida H/Wilaya Iramba

H/Wilaya Manyoni

Manispaa ya Singida

Jumla ya Mkoa

1. Ng’ombe 671,216 356,714 210,325 53,450 1,291,7052. Mbuzi 312,914 192,163 89,807 34,475 629,359 3. Kondoo 170,411 190,000 29,684 9,240 399,335 4. Kuku 415,607 400,000 135,671 74,788 1,026,066 Chanzo: Takwimu za Wilaya. Asilimia kubwa (98) ya mifugo ni mifugo ya asili. Mfumo wa ufugaji kwa asilimia kubwa ni wa asili ambapo kuna uchungaji huria ambao uliotawaliwa na wafugaji wakulima. Baadhi ya wafugaji wameanza kufuga kibiashara na hasa ufugaji baada ya kupata mafunzo na nyenzo kutoka Chuo cha Mamlaka ya Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) Singida. Ufugaji wa kuku wa asili umeenea katika Mkoa na hasa vijijini ambapo karibu kila Kaya inafuga kuku. Pamoja na wingi wa mifugo iliyopo (ng’ombe, mbuzi, kondoo, kuku) uzalishaji ni kidogo kutokana na kuwa na ukoosafu mdogo (low genetic Potential). Kwa mfano ng’ombe wa Singida wana maumbile madogo na ukuaji wake huchukua miaka 5 – 7 kufikia kilo kati ya 250 – 300. Pia uzalishaji wa maziwa ni kati ya lita 1 hadi 2 kwa siku/ng’ombe. Aidha, kutokana na wingi wa mifugo Mkoa unazalisha ngozi nyingi za ng’ombe, kondoo na mbuzi. Ng’ombe wamekuwa wakitumika kama Wanyamakazi wa Mazao ya kilimo. Miundombinu iliyopo ya kuendeleza mifugo ni minada ya mifugo 46 ambayo inaendeshwa na Halmashauri za Wilaya kila mwezi, majosho 144, malambo 68, machinjio 3, mabanda ya ngozi kituo cha kupumzishia mifugo 1 na maduka ya dawa za mifugo 12. Eneo linalofaa kwa malisho ya mifugo ni hekta 1,974,700 ambalo linatosheleza kufugia mifugo 493,675. Ili kutoa matokeo ya haraka na mazuri katika Sekta ya Mifugo, Mkoa kwa kushirikiana na Halmashauri za Wilaya zimeweka kipaumbele kwenye maeneo mawili. 1. Kuboresha ng’ombe wa asili. 2. Kuboresha kuku wa asili. 2.0. MALENGO 2.1. Kuongeza uzito wa ng’ombe mmoja wa asili kutoka wastani wa kilo 150 –

200 hadi kufikia kilo 350. 2.2. Kupunguza matukio ya vifo vya ng’ombe kutoka asilimia 30 na kufikia

wastani wa asilimia 20 – 15 ifikapo mwaka 2012.

210

Page 218: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

2.3. Kuongeza uzito wa kuku wa asili kutoka wastani wa kilo 1.5 hadi kilo 1.75 na kuwa na ongezeko la mayai kutoka 45 kwa mwaka kwa kuku na kufikia 75 kwa mwaka kwa kuku.

3.0 HALI YA HUDUMA YA UGANI 3.1 Watumishi Mkoa una jumla ya Vijiji 368, Kata 88. Hadi mwaka 2009 Mkoa una watumishi wa Mifugo wa Kada mbalimbali 99 kati ya watumishi 265 wanaohitajika. Mkoa una upungufu wa watumishi wa kada mbalimbali kama ilivyo katika Jedwali Na. 2.

Jedwali Na. 2: Hali ya Watumishi wa Mifugo katika Halmashauri za Wilaya

Madaktari wa Mifugo Maafisa Mifugo Maafisa Mifugo Wasaidizi H/Wilaya Waliopo Mahitaji Upungufu Waliopo Mahitaji Upungufu Waliopo Mahitaji Upungufu

Manyoni 1 1 0 2 3 1 16 21 5 Iramba 0 1 1 2 3 1 39 152 113 Singida 0 1 1 3 3 0 22 56 34 Manispaa 1 1 0 1 2 1 11 19 8 Sekretarieti ya Mkoa

1 1 0 0 1 1 0 0 0

Jumla 3 5 2 8 12 4 88 248 160 Chanzo: Halmashauri za Wilaya Wataalamu hawa pamoja na shughuli zao za msingi kitaaluma za mifugo baadhi yao wamekuwa wakitoa huduma ya ugani kwa sekta ya kilimo. Kutokana na upungufu wa wataalamu vijiji vingi vinakosa huduma ya ukaguzi na usafi wa nyama. Elimu ya ufugaji wenye tija na wa kibiashara kwa wafugaji ni duni. Sheria za mifugo na matumizi ya vipimo hayasimamiwi vizuri jambo linalosababisha ukosefu wa takwimu sahihi na taarifa mbalimbali za mifugo. Mkakati wa Mkoa katika kukabiliana na matatizo haya ni:

(i) Halmashauri za Wilaya kuendelea kuajiri watumishi wenye sifa zinazohitajika.

(ii) Kuanzisha mashamba darasa ya mifugo kwa ajili ya wafugaji. (iii) Kuandaa vijarida/mwongozo kwa wafugaji kuhusu kanuni za ufugaji

bora. (iv) Kutoa mafunzo kwa wagani kazi na wafugaji kwa njia ya sinema.. (v) Kununua magari na pikipiki kwa ajili ya Maafisa Mifugo na wagani.

3.2 Vitendea kazi Vifaa vya usafiri vilivyopo na usafiri ni kama ilivyokatika Jedwali Na. 3.

211

Page 219: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

Jedwali Na. 3: Vifaa vya Usafiri

Magari Pikipiki Baiskeli Halmashauri za Wilaya Yaliyopo Mahitaji Pungufu Yaliyopo Mahitaji Pungufu Yaliyopo Mahitaji Pungufu Manyoni 2 2 0 10 16 6 - - - Iramba 2 2 0 21 40 19 45 126 81 Singida 3 3 0 12 22 10 14 130 116 Manispaa 0 1 1 3 13 10 4 19 15 Sekretarieti ya Mkoa

1 2 1 0 0 0 0 0 0

Jumla 8 10 2 46 91 45 63 175 112 Chanzo: Taarifa za Wilaya

4.0 AINA YA MIFUGO NA MFUMO WA UFUGAJI Ng’ombe wa asili waliopo wana sifa ya kuvumilia magonjwa, uwezo wa kustamili ukame na upungufu wa maji, lakini uzalishaji ni mdogo. Aidha, ng’ombe hukua taratibu na huweza kuchukua miaka mitatu hadi mitano kufikia kilo 300 na huzaa ndama mwenye uzito mdogo wa kilo 15 – 20. Mkakati: Mikakati iliyopo ni pamoja na:- 4.1. Kuboresha mifugo kwa kutumia madume bora (Mpwapwa na Sahiwal) na

mbegu bora kwa njia ya uhamilishaji. 4.2. Kutoa mafunzo ya Uhamilishaji kwa Wataalamu wa mifugo na kununua

vifaa na mbegu bora. 4.3. Kutunza takwimu kwa ajili ya ufuatiliaji, uhamilishaji na utunzaji wa

ng’ombe. 4.4. Kutoa elimu kwa wafugaji na wagani kwa njia ya semina.. 4.5. Kuboresha malisho na muda wa kulisha/kuchunga. Hatua iliyofikiwa hadi mwaka 2009

a) Wataalamu 19 wamepatiwa mafunzo ya Uhamilishaji Arusha. b) Halmashauri za Wilaya zote zimenunua vifaa vya kupandishia ng’ombe

na kutunza mbegu. c) Jumla ya mbegu bora 8,500 zimenunuliwa. d) Jumla ya ng’ombe 344 wamepandishwa kwa njia ya chupa (AI). e) Sambamba na Uhamilishaji Madume bora ya ng’ombe 425 yanatumika

kuboresha ng’ombe wa asili. Mkoa utaendelea kutumia fursa ya Mpango wa Programu ya Maendeleo wa Kilimo Wilaya DADPS kutoa mafunzo ya uhamilishaji kwa wataalamu na kwa wafugaji, ununuzi wa vifaa na mbegu bora na ununuzi wa madume bora ya Boran na Sahiwal.

212

Page 220: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

5.0 ARDHI, MALISHO NA MAJI Ng’ombe 1 (Livestock Unit 1) anachunga kwenye hekta 1 badala ya hekta 4 kama inavyoshauriwa kitaalamu. Halmashauri zote katika Mkoa zina mifugo zaidi ya eneo la malisho lililopo. Lipo tatizo la kutenga eneo la kuchungia mifugo ambapo wafugaji katika baadhi ya vijiji hawana Wawakilishi wa kutosha kwenye Serikali ya Vijiji. Hivyo, maamuzi mengi ya kijiji huwa yanalenga upande mmoja wa wakulima. Maeneo mengi ya vijiji yaliyotengwa kwa ajili ya kulishia mifugo, ukubwa wake na uwezo wa malisho haujulikani. Mkakati Kutokana na raslimali chache zilizopo, Mkoa umeweka mkakati kwamba kila Halmashauri iteue vijiji vichache kwa awamu na kutekeleza hatua zifuatazo kwa ukamilifu.

(i) Kijiji kwa kutumia njia shirikishi kitenge maeneo maalumu ya kufugia kwa kupitia mpango wa matumizi bora ya ardhi.

(ii) Kuweka mipaka kwenye maeneo ya malisho na kuyapima. (iii) Kufanya sensa ya mifugo ili kujua idadi ya mifugo iliyopo. (iv) Kuhamasisha uvunaji wa mifugo na Halmashauri kutunga sheria ndogo

zinazodhibiti ufugaji holela. (v) Kuwa na taratibu za kumilikisha ardhi kisheria/kiasili. (vi) Kuboresha eneo la malisho na muda wa kulisha mifugo. Kutokana na matumizi ya fursa za DADPs maeneo 47 yametengwa na kupimwa (kuwekewa mipaka). Sheria za mazingira zimeandaliwa na zipo katika hatua za kupitishwa. Maeneo ya malisho 25 katika vijiji 25 yametengewa fedha kwa ajili ya kuandaa mipango ya matumizi bora ya ardhi. Mkoa utaendelea kutoa elimu ya sheria ya ardhi ya vijiji na hasa kuhusu aina ya ardhi na ugawaji wa ardhi ya kijiji.

Maji Matatizo ya maji kwa kiasi kikubwa yanatokana na mabadiliko ya hali ya hewa na kutokuwepo kwa miundombinu ya kutosha ya uvunaji maji, mbinu hafifu na teknolojia duni za uvunaji maji. Matatizo ya maji yanajitokeza zaidi wakati wa kiangazi kuliko wakati wa masika. Mkakati

(i) Kuelimisha wafugaji kuchangia gharama za kukarabati na kuchimba malambo katika maeneo ya mifugo na kuyatunza.

(ii) Kuelimisha wafugaji kwa njia ya mikutano na semina kuhifadhi mazingira na kuhifadhi vyanzo vya maji.

213

Page 221: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

(iii) Halmashauri za Wilaya kutumia mwongozo wa ujenzi bora wa vyanzo vya maji ya mifugo na miundombinu uliotolewa na Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na uvuvi.

(iv) Kueneza matumizi ya majiko sanifu na majiko yanayotumia umeme unaotokana na mionzi ya jua pamoja na taa ili kupunguza matumizi ya mkaa na kuni.

6.0 UPATIKANAJI NA USAMBAZAJI WA PEMBEJEO

Upatikanaji wa pembejeo ikiwa ni pamoja na madawa ya tiba, kinga na ya kuogeshea mifugo kupitia maduka ya watu binafsi na Serikali. Jedwali Na. 4 linaonyesha idadi ya dawa zinazohitajika. Jedwali Na. 4: Mahitaji ya Madawa ya Chanjo Aina ya Chanjo Kiasi Manyoni Iramba Singida Manispaa Jumla New Castle Disease Vaccine

Doses 170,000 356,800 250,000 70,000 846,800

CBPP Vaccine Doses 211,000 350,000 450,000 50,000 1,061,000Rabies Vaccine Doses 3,704 12,000 10,000 3,000 28,704ECF Vaccine Doses - - 6,500 - 6,500

Chanzo: Halmashauri za Wilaya Ili kuongeza matumizi ya pembejeo za mifugo Mkoa kwa kupitia Halmashauri ya Wilaya:

(i) Utaimarisha na matumizi ya mpango wa duka la dawa muhimu za mifugo.

(ii) Utashawishi sekta binafsi kufungua maduka ya pembejeo ya mifugo vijijini.

(iii) Utatoa elimu zaidi kwa wafugaji kwa ushirikiano na sekta binafsi kuhusu matumizi ya madawa ya kinga na tiba.

7.0 MFUMO WA MASOKO YA MIFUGO Ili kumwezesha mfugaji kuwa na soko la uhakika wa mifugo Halmashauri za Wilaya zimejenga minada (masoko ya mifugo) ya awali 44 na minada ya upili (Secondary Market) miwili (2). Minada hii inaendeshwa mara moja kila mwezi. Aidha kuna kituo kimoja cha kupumzishia mifugo. Kukamilika kwa barabara ya Lami kutoka Singida hadi Dodoma kutaongeza ufanisi wa biashara ya mifugo na mazao yake. Mkoa una vyama vya ushirika vya akiba na mikopo (SACCOS) 28 vinavyowezesha upatikanaji wa pembejeo. Taarifa za hali ya masoko (bei) ya ndani ya upili imekuwa ikitolewa kila wiki.

214

Page 222: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

Changamoto zilizopo; (i) Mifugo kuuzwa minadani pasipo kutumia mizani kwa mujibu wa sheria ya

vipimo Na. 20 ya mwaka 1982. (ii) Mifugo (kuku) kusafirishwa wakiwa hai. (iii) Kutokuwepo kwa viwanda vya kusindika mazao ya mifugo. (iv) Ubora duni wa mazao ya mifugo hususan ngozi. Mikakati (i) Kuhimiza sekta binafsi kuanzisha viwanda vidogo vya ngozi. (ii) Kujenga machinjio ya kisasa ya kuku. (iii) Kuendelea kutekeleza mpango mkakati wa kuendeleza sekta ya ngozi na

viwanda vya ngozi. 8.0 MATUMIZI YA MADAWA YA KUOGESHEA MIFUGO Kuanzia mwaka 2006 kupitia mpango wa maendeleo ya kilimo, Halmashauri za Wilaya zimekuwa zikikarabati majosho kwa ajili ya kuogesha mifugo ili kudhibiti magonjwa yaletwayo na kupe. Hali ya majosho ni kama ilivyoonyeshwa kwenye Jedwali Na. 5. Jedwali Na. 5: Hali ya Majosho katika Halmashauri za Wilaya Halmashauri ya Wilaya

Jumla ya Majosho

Majosho mazima

Majosho yanayoogesha

Mabovu

Singida 58 36 30 22Iramba 45 20 16 25Manyoni 31 21 17 10Manispaa 10 7 4 3Jumla 144 84 67 60Chanzo: Taarifa za Halmashauri za Wilaya Mkoa utaendelea kujenga majosho na kukarabati majosho yaliyo mabovu. Dawa za majosho za ruzuku zilizopokelewa na kutumika.

2006/2007 2007/2008 2008/2009Aina Pokelewa Tumika Pokelewa Tumika Pokelewa

Lita Cypermethrin 10% 1,726 1,726 4,052 4,052 59,000 Huduma za mifugo zimetolewa kama ifuatavyo:- (i) Uendeshaji wa majosho umekuwa ukifanyika kwa kutumia vikundi, Serikali

ya Vijiji na hata watu binafsi. (ii) Serikali za vijiji zimekuwa zinasimamia sheria za uogeshaji. (iii) Katika mwaka 2008/2009 baadhi ya Halmashauri za Wilaya zilitekeleza

Mkakati wa kutoa chanjo ya Ndigana kali (ECF) ambapo jumla ya ng’ombe 4,650 walipatiwa chanjo. Aidha, katika mwaka 2009/2010 tumepanga kutoa chanjo ya ECF kwa ng’ombe zaidi ya 6,000.

215

Page 223: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

216

9.0 UBORESHAJI WA KUKU WA ASILI Ufugaji wa kuku wa asili ukiendelezwa vizuri unaweza kuleta mabadiliko ya haraka ya kipato na lishe kwa wananchi wenye kipato cha chini na hasa kwa kinamama. Changamoto zinazokabili ufugaji wa kuku ni Mfumo wa Ufugaji huria. Mfumo huu husababisha kuku wengi kufa kutokana na magonjwa. Wafugaji wengi hawazingatii kanuni bora za ufugaji wa kuku. Mkakati (i) Kuwa na Wiki ya Kideri ambapo kuku wanapatiwa chanjo ya kideri kwa

Mkoa mzima kwa wakati mmoja. (ii) Kutoa elimu ya ufugaji bora wa kuku kupitia vikundi au shamba darasa au

sinema. (iii) Kuwezesha uundaji wa vikundi wafugaji wa kuku na kuwapatia mashine

za kutotolea vifaranga. (iv) Kuwezesha wafugaji wa mfano kujenga mabanda/uzio wa kuku (v) Kuwaenzi wafugaji wa kuku wanaoibukia na kuwakaribisha kwenye

makongamano mbalimbali ili kuona na kupata uzoefu wa ufugaji. (vi) Kusimamia sheria usafirishaji na ukatili kwa wanyama.

Page 224: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

III. MPANGO KAZI WA MAENDELEO YA SEKTA YA MIFUGO 2009/2010 MKOA WA SINGIDA

ENEO WAHUSIKA NA. SHUGHULI Manyoni Singida Iramba Manispaa

JUMLA

1. Kujenga malambo 6 - - - 6 DED - Manyoni 2. Kujenga Majosho 1 1 1 3 DED – Iramba, Manyoni na

Singida Kukarabati Majosho 4 3 - - 7 3. Kujenga Mabwawa ya

kuogesha mifugo 1 3 0 4 DED – Manyoni na Singida

4. Kujenga Machinjio ndogo (Slaughter Slab)

4 0 0 4 DED – Manyoni

5. Kukarabati vituo vya Afya ya Mifugo (Veterinary Centres)

3 1 1 0 5 DED – Manyoni, Singida na Iramba

Kujenga kituo cha Afya ya mifugo

0 1 1 - 1 DED – Singida na Iramba

6. Kununua mbuzi wa maziwa 50 - - - 50 DED – Manyoni 7. Kufanya uhamilishaji kwa

ng’ombe 1,500 1,500 1,000 500 4,500 DED – Manyoni, Iramba,

Singida na Manispaa 8. Kuanzisha kituo kidogo cha

kusindika zao la ngozi 1 1 0 0 2 DED – Manyoni na Singida

9. Kutoa chanjo kwa ng’ombe dhidi ya homa ya mapafu

200,000 450,000 300,000 50,000 1,000,000 DED Manyoni, Singida, Iramba na Manispaa

10. Kutoa chanjo dhidi ya ugonjwa wa mdondo

200,000 200,000 350,000 150,000 900,000 DED – Singida, Iramba na Manyoni

11. Kufanya sensa ya mifugo katika Wilaya ya Manyoni

DED – Manyoni

12. Kuwezesha vikundi ununuzi wa majogoo bora

- 500,000 - 180 500,180 DED - Iramba

13. Kujenga machinjio - - 1 1 2 Mkurugenzi wa Manispaa Singida na Iramba

14. Kutenga maeneo ya malisho ya mifugo na kuyaendeleza

- 6 34 6 46 DED – Iramba, Manyoni, Singida na Mkurugenzi wa

217

Page 225: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

ENEO WAHUSIKA NA. SHUGHULI Manyoni Singida Iramba Manispaa

JUMLA Manispaa

15. Kutoa mafunzo kwa wagani kazi

- - - 380 380 Mkurugenzi Manispaa

16. Kujenga mnada wa mifugo 1 - - - 1 DED – Manyoni 17. Kutoa mafunzo ya elimu ya

juu kwa watumishi wa kada ya mifugo

1 3 2 0 6 DED - Manyoni, Iramba na Singida.

IV: MUHTASARI WA CHANGAMOTO NA MIKAKATI YA KUENDELEZA SEKTA YA MIFUGO MKOA WA SINGIDA 2009/2010 – 2011/2012 (i) Uendelezaji wa Ng’ombe wa Asili

NA. Changamoto Mkakati Shughuli Muda Mhusika Matokeo 1. Uhaba wa Malisho • Kuboresha

malisho kwa kuainisha idadi ya mifugo/mahitaji ya lishe.

• Kufuga mifugo kulingana na eneo la malisho kwa kushirikisha jamii kubaini, kutenga, kupima na kuendeleza maeneo ya malisho.

• Kuweka utaratibu kwa wafugaji kumilikishwa maeneo ya kufugia .

• Kuhamasisha wafugaji kupunguza

mifugo. • Kupima na kumilikisha maeneo kwa

wafugaji.

• Watendaji wa Kata/Kijiji

• Wataalamu wa sekta.

• Jamii. • Afisa Ardhi • Viongozi wa

siasa.

• Kuwepo kwa malisho bora na kuongezeka kwa ubora wa mifugo/uzalishaji

2009/10 Hadi 2011/2012 2. Ukosefu/ubovu wa

miundombinu ya kutolea huduma za mifugo

• Kuboresha miundombinu ya kutolea huduma za mifugo.

• Kukarabati/kujenga miundombinu ya kutolea huduma za mifugo

• Wakurugenzi Watendaji

• Kukarabati majosho na kuyatumia • Kukarabati/kujenga malambo • Kujenga mabirika ya maji (water

troughs)

“ • Jamii

• Viongozi wa Chama na Serikali

• Kuongezeka kwa huduma ya maji na uogeshaji mifugo.

218

Page 226: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

NA. Changamoto Mkakati Shughuli Muda Mhusika Matokeo • Kukarabati mabanda ya ngozi

• Kuwa na kamati za kusimamia utunzaji na uendeshaji wa malambo na majosho

• Kamati za Vijiji

na Kata Kuboresha mifugo ya asili kwa kutumia mbegu aina ya Mpwapwa/Sahiwal • Kuwatambua wafugaji wa mfano • Kutoa mafunzo ya uhamilishaji kwa

wafugaji na utunzaji wa kumbukumbu

• Wataalamu wa mifugo

3. Uwepo wa mifugo mingi yenye uzalishaji na ukuaji mdogo.

• Kutoa mafunzo ya uhamilishaji kwa watumishi wa mifugo.

• Wakurugenzi Watendaji

• Afisa Mfawidhi • National Artificial

Insemination Centre

• Kuhakikisha kuwa wafugaji wanakuwa na mifugo michache wanayoweza kumudu na kuongeza tija.

2009/10 • Kuwepo na ongezeko la uzalishaji wa mazao ya mifugo.

Hadi 2011/2012

• Kuwapatia Wataalamu usafiri na vifaa vya uhamilishaji.

• Wakurugenzi Watendaji

• Kuwezesha uundaji vikundi vya wafugaji.

• Wataalamu wa Ushirika/Mifugo

• Ufuatiliaji na utoaji taarifa • Wataalamu wa Mifugo • Kuendelea kutumia madume bora ya

mbegu kuboresha mifugo. • Kushirikisha VETA ili kujenga kituo cha

kuzalisha liquid Nitrogen. • VETA

• Kuwepo ratiba ya chanjo ya mifugo kwa magonjwa ya mifugo sanjari na kutenga bajeti ya kutosha kufanya zoezi la chanjo.

• Wakurugenzi Watendaji

4. Uwepo wa magonjwa ya mifugo • Kinga ya mifugo

inayotolewa kwa idadi ya mifugo kuwa chini ya

• Kupunguza vifo vya mifugo kutokana na magonjwa.

2009/10 • Kuwepo kwa mifugo yenye afya bora.

Hadi 2011/2012

• Kushirikisha Veterinary Investigation Centre (VIC) kwa ajili ya uchunguzi wa maradhi ya mifugo.

• Wakurugenzi Watendaji

• Afisa Mfawidhi

219

Page 227: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

NA. Changamoto Mkakati Shughuli Muda Mhusika Matokeo Veterinary Investigation Centre (VIC)

kiwango kinachokubalika.

• Kusimamia sheria ya magonjwa ya mifugo na hasa ya kudhibiti kutembea ovyo kutoka eneo moja kwenda jingine na kuharibu mashamba.

• Wataalamu wa mifugo

• Ufuatiliaji na utoaji taarifa • Kuwa na mfumo mzuri wa minada ya

mifugo na mizani. • Wakurugenzi

Watendaji. • Meneja wa

vipimo Mkoa.

5. Wafugaji kutolipwa viwango vinavyolingana na ubora wa mifugo hai na mazao katika masoko ya mifugo.

2009/10 • Wafugaji kuongeza vipato na kuboresha maisha yao

Hadi 2011/2012

• Mifugo yenye ubora tu iruhusiwe kuuzwa kwenye minada na machinjio. Mifugo dhaifu isiruhusiwe kuuzwa minadani

• Wataalamu wa mifugo.

(ii) Uendelezaji wa Kuku wa Asili

Changamoto Mkakati Shughuli Wahusika Matokeo Kuku wengi kufa kutokana na magonjwa ya kuambukizwa kutokana na kutopatiwa chanjo.

• Kuzuia ugonjwa wa kideri.

• Kuwa na wiki ya kideri Kimkoa ambapo kuku karibu asilimia 80 kupatiwa chanjo ya kideri kwa wakati mmoja.

• Wakurugenzi Watendaji. • Idadi ya kuku na kipato kuongezeka kwa wafugaji.

• Maafisa Mifugo Wilaya. • Maafisa Tarafa. • Watendaji wa Kata. • Mshauri wa Mifugo Mkoa.

• Kutoa elimu ya ufugaji bora wa kuku kupitia vikundi au shamba darasa au semina.

• Wataalamu wa Mifugo.

• Kuwezesha uundaji wa vikundi vya ufugaji kuku na kuwapatia mashine ya kutotolesha vifaranga.

• Wakurugenzi Watendaji Wilaya

• VETA Singida • Taasisi binafsi • Wataalamu wa Mifugo.

Wafugaji wa kuku kufuga pasipo kuzingatia kanuni bora za ufugaji.

• Kuhakikisha kuwa kanuni za ufugaji bora zinazingatiwa.

• Idadi ya kuku na mazao yake kuongezeka.

• Chuo cha VETA Singida kushirikiana na Halmashauri za Wilaya kutoa mafunzo

• Wakurugenzi Watendaji H/W• Mkurugenzi wa VETA –

220

Page 228: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

221

Changamoto Mkakati Shughuli Wahusika Matokeo kwa vikundi vya wafugaji kuku. Singida.

• Wafugaji wa kuku wanaoibukia kupewa tuzo na kukaribishwa kwenye kongamano mbalimbali kutoa uzoefu wa ufugaji wa kuku wa asili.

• Wakurugenzi wa Halmashauri.

• Wataalamu wa Mifugo. • Mkurugenzi wa Manispaa

Singida.

• Wataalamu kusimamia sheria ya usafirishaji na ukatili wa wanyama.

• Wataalamu wa mifugo.

Hakuna utafiti wa kisayansi uliofanyika Mkoa wa Singida kuwa kuku wa asili wanaweza kufugwa kibiashara.

• Kushirikisha watafiti kujua kiwango cha juu katika kulisha kuku wa asili ili waweze kufugwa kibiashara.

• Kufanya utafiti. • Mkurugenzi Kituo cha Utafiti Mpwapwa

• Wakurugenzi wa Halmashauri.

• Kuku wa asili kufugwa kibiashara.

Page 229: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

MIKAKATI YA KUENDELEZA SEKTA YA MIFUGO MKOA WA MANYARA 1.0 UTANGULIZI: 1.1 Historia fupi ya Mkoa: Mkoa wa Manyara ulianzishwa mwaka 2002 kwa tangazo la Serikali Na. 367 lililotolewa tarehe 27 Julai, 2002. Makao makuu ya mkoa yapo Babati, Mji ambao upo umbali wa km. 167 kutoka Manispaa wa Arusha, katika barabara kuu inayotoka Arusha kwenda Dodoma na Singida.

1.2 Eneo na Mipaka: Mkoa una eneo la kilometa za mraba (km2) 50,921 ambazo kati yake km2 49,661 ni nchi kavu na km2 1,260 zimefunikwa na maji. Eneo la hekta 2,814,494 limehifadhiwa ambalo lina hekta 317,094 za misitu na hekta 2,497,400 kwa ajili ya wanyama pori. Eneo la hekta 1,348,300 linafaa kwa kilimo lakini linalotumika hivi sasa ni hekta 450,190. Hekta 2,981,800 zinatumika kwa ajili ya malisho.

1.3 Hali ya hewa : Hali ya hewa ya Mkoa ni ya wastani wa joto la kati ya nyuzijoto 130C wakati wa masika na nyuzijoto 330C wakati wa kiangazi. Kiasi cha mvua zinazonyesha ni kati ya milimita 450 na 1200 kwa mwaka. 1.4 Maeneo ya Utawala na Idadi ya Watu: Kiutawala Mkoa umegawanyika katika Wilaya tano za Babati, Hanang’, Kiteto, Mbulu na Simanjiro. Wilaya ya Babati ina Halmashauri mbili (H/W Babati na H/Mji wa Babati). Wilaya nazo zimegawanyika katika Tarafa 29, Kata 94, Vijiji 326, Vitongoji 1350 na Mitaa 35.

Kulingana na takwimu za Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2002, Mkoa ulikuwa na jumla ya watu 1,040,461, wakiwemo wanaume 534,565 na wanawake 505,896. Wastani wa ongezeko la watu kwa mwaka ni asilimia 3.8%, kwa hiyo mwaka 2009 Mkoa unakadiriwa kuwa na watu 1,337,015. Msongamano wa watu ni watu 23 katika km 1 ya mraba (Kitaifa ni watu 38). Wastani wa ukubwa wa kaya ni watu 5.2 (Kitaifa ni watu 4.9) 1.5 Shughuli za Kiuchumi: Shughuli kuu za kiuchumi katika mkoa huu ni kilimo ambacho huajiri 83% ya wakazi na ufugaji ambao umeajiri 11% ya wakazi wote. Shughuli nyingine ni pamoja na uchimbaji wa madini, utalii, uvuvi, biashara na viwanda vidogo na shughuli nyingine ndogo ndogo ambazo kwa kwa pamoja zimeajiri 17% ya wakazi wa Mkoa huu.

222

Page 230: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

2.0 SEKTA YA MIFUGO 2.1 Idadi ya Mifugo Idadi ya mifugo Mkoani Manyara ni ng’ombe 1,485,251, mbuzi 809,012, kondoo 287,446, kuku 748,115, nguruwe 54,018 na punda 71,138. Mchanganuo wa idadi hiyo kwa kila Halmashauri ni kama inavyooneshwa katika Jedwali Na.1. Jedwali Na.1: Idadi ya Mifugo Mkoani Manyara

Ng’ombe Mbuzi Kondoo Kuku Nguruwe Punda Halmashauri

Asili Kisasa Asili Kisasa Asili Kisasa

Babati Vijijini 142,982 3,268 65,621 3,851 28,741 104,714 5,341 9,771 4,239

Babati Mjini 15,151 1,233 16,769 356 4,133 25,734 484 347 1,159

Hanang 339,095 0 119,574 0 55,814 136,749 0 3,000 13,200

Kiteto 302,628 594 226,099 1,524 45,555 43,739 0 321 9,209

Mbulu 355,102 1,666 205,233 45 79,903 402,171 0 40,341 28,680

Simanjiro 323,532 0 169,940 0 73,300 29,183 0 238 14,651

Jumla 1,478,490 6,761 803,236 5,776 287,446 742,290 5,825 54,018 71,138

(Chanzo: Taarifa kutoka Halmashauri za Wilaya/Mji SEPTEMBA, 2009) 3.0 MIKAKATI YA KUBORESHA SEKTA YA MIFUGO 3.1 Upatikanaji wa Maji Hili ni tatizo kubwa linalochangia kuhama hama kwa wafugaji na kusababisha uharibifu wa mazingira katika maeneo machache yenye maji. Aidha, mifugo inalazimika kuhamia maeneo yenye mbung’o na kusababisha kuongezeka kwa maambukizi ya maradhi yanayoenezwa na wadudu hao. Mikakati inayosisitizwa (a) Ujenzi wa malambo ya maji Jamii inasaidiana na Serikali kujenga malambo ya maji kwa ajili ya mifugo. Serikali inachangia kupitia DADPs na vyanzo vingine kama PADEP. Wananchi na hasa wafugaji wanaongeza nguvu zao ili kuwezesha kazi hii kwani kiasi kinachotolewa na Serikali ni kidogo. Jitihada hizi zimewezesha ujenzi wa malambo madogo 26 kupitia mpango wa PADEP na DADPs katika kipindi cha 2006/07 hadi 2008/09. Wafugaji binafsi wenye uwezo wanashauriwa kujenga malambo katika maeneo wanayomiliki.

223

Page 231: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

(b) Kuboresha maeneo ya vyanzo vya maji Kutunza malambo na mabwawa yaliyopo ili udongo usijae ndani nyakati za mvua. Kazi inayohimizwa ni kupanda miti na kuweka makingamaji katika maeneo yanayozunguka vyanzo hivyo pamoja na kutunza maeneo yenye chumvichumvi (salt licks). 3.2 Kuboresha ukosaafu (genetic potential) ili kuongeza uzalishaji Zaidi ya asilimia 90 ya mifugo iliyopo mkoani ni ya asili yenye ukosaafu mdogo katika uzalishaji (lakini ukosaafu wa hali ya juu kwa kinga ya maradhi). Njia inayosisitizwa kuboresha kosaafu hizo ni uhamilishaji ili kuharakisha mabadiliko haya. Hata hivyo, usambazaji wa madume bora unaendelea kutokana na ukweli kuwa njia ya uhamilishaji inahitaji uzoefu na umakini mkubwa. Mkoa umeweka mpango wa kutekeleza azma hii. (a) Idadi ya ng’ombe watakaohamilishwa Mpango wa muda wa kati (Midium Term Plan) wa Mkoa wa Manyara pamoja na Halmashauri zake ni kuhamilisha angalau asilimia 10 ya idadi ya ng’ombe waliopo katika kila Halmashauri. Mpango huu umeingizwa katika Mipango ya Kilimo ya Wilaya (DADPs). Mafafnikio ya mpango huu yatawezesha idadi ya ng’ombe chotara kufikia 34,374 mwaka 2010 kutoka idadi ya sasa ya ng’ombe 5,806. (b) Utaratibu Unaofuatwa

Uhamasishaji Halmashauri zimetembelea Kituo cha Taifa cha Uhamilishaji kilichopo Usa-River Mkoani Arusha. Ziara hizi zimehusisha Waheshimiwa Madiwani ili waweze kuhamasisha wafugaji vizuri zaidi katika maeneo yao. Wakuu wa Wilaya wameshiriki pia katika ziara hizi ili waweze kusaidia utekelezaji wa mpango huu.

Kuchagua Eneo/Maeneo ya Uhamilishaji.

Kila Halmashauri imechagua maeneo yanayofaa kuanzia utekelezaji wa mpango huu. Halmashauri zimeanza na maeneo machache ili kurahisisha utekelezaji, usimamizi na ufuatiliaji. Eneo la utekelezaji likiwa kubwa, haitakuwa rahisi kuhamilisha idadi kubwa ya mifugo kwa wakati mmoja.

Kuunda vikundi vya wafugaji Mpango huu unatekelezwa kupitia vikundi vya wafugaji katika maeneo yaliyochaguliwa. Imekubalika kuwa endapo atakuwepo mfugaji mmoja mwenye mifugo mingi katika eneo moja na ambaye yuko tayari kushiriki katika mpango huu, uhamilishaji utaendelea pasipo kusubiri hata kama hajajiunga na kikundi. Idadi ya vikundi inategemea idadi ya wataalamu wa uhamilishaji waliopo.

224

Page 232: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

Kutoa Mafunzo kwa Wafugaji Vikundi vilivyoundwa vitaanza kupewa mafunzo mara fedha zitakapotolewa (DADPs funds). Mafunzo haya yatalenga kumfahamisha mfugaji umuhimu wa kuboresha mifugo kwa njia ya uhamilishaji, namna ya kuchagua majike yanayofaa katika mpango huu, kutambua ng’ombe anayehitaji dume, matunzo ya ng’ombe mwenye mimba, matunzo ya ndama, n.k. Mafunzo haya yatafanyika kwa vikundi hivyo katika maeneo yao na wala sio katika vyuo maalumu.

Kutoa Mafunzo kwa Wahamilishaji Maafisa ugani wameanza mafunzo ya wiki nne katika kituo cha NAIC. Zoezi hili linaendelea kwani wanahitajika wengi. Endapo hawatapatikana wa kutosha, Halmashauri zitatumia Wahudumu wa Afya ya Mifugo katika Jamii – WAMIJA au Community Animal Health Workers (CAHWs) ambao pia watapewa mafunzo ya wiki nne NAIC. Gharama za mafunzo kwa mtu mmoja ni Tshs 400,000/-

Vifaa vya Uhamilishaji Kila Halmashauri itanunua vifaa vyote muhimu vinavyohitajika. Kituo kikuu cha Uhamilishaji kitakuwa Makao Makuu ya Halmashauri na kitakuwa na uwezo wa kuhudumia vituo vidogo vitakavyoanzishwa katika maeneo ya uhamilishaji. Halmashauri itakuwa na vituo vidogo kulingana na ukubwa wa eneo na idadi ya ng’ombe watakaohamilishwa. Aidha, kila timu ya uhamilishaji itanunuliwa vifaa vya kuwawezesha kufanya kazi hii kwa ufanisi. Vifaa hivi vitabakia kuwa mali ya Halmashauri.

Ujenzi wa Vibanio

Vibanio vya kudumu vitajengwa katika maeneo ya uhamilishaji na vitakuwa mali ya jamii husika katika maeneo hayo. Jamii itahusika na ulinzi na matunzo ya vibanio hivi.

Gharama Gharama za mpango huu ni kubwa kuweza kubebwa na wafugaji. Mipango ya DADPs imeweka gharama hizi katika bajeti. 3.3 Ufugaji wa Kibiashara na Kukuza Masoko ya Mifugo Soko linalotegemewa na wafugaji walio wengi ni la ndani ambapo mifugo huuzwa minadani na kuchinjwa ndani na nje ya Mkoa. Soko hili ni dogo kwa sababu walaji wa nyama ni wachache sana (wastani wa kilo 11 za nyama kwa mtu kwa mwaka) Aidha, takwimu za mauzo ya mifugo minadani zinaonesha kuwa wastani wa 29% ya ng’ombe, 28% ya mbuzi na 34% ya kondoo wanaoletwa minadani hurudishwa tena nyumbani kwa kukosa soko, wakati huo huo nyama zinalala katika baadhi ya mabucha. Masoko ya nje hivi sasa ni mengi lakini wafugaji wameshindwa kuyafikia kutokana na ubora hafifu wa mifugo yenyewe.

225

Page 233: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

Mikakati inayosisitizwa: (a) Kuanzisha ranchi ndogo Ranchi ndogo za kunenepesha mifugo (feed lots) zitaanzishwa kwa lengo la kunenepesha mifugo ili kukuza na kuboresha soko la mifugo. Wilaya za Kiteto na Simanjiro zina uwezo wa kuanzisha ranchi hizo kwa utaratibu wa Ushirika au kuingia ubia na Wawekezaji. Jitihada zimeanza katika ranchi ya Olmot iliyoko Wilaya ya Simanjiro. Maeneo mengine yanaendelea kuainishwa. Ranchi zitawezesha ununuzi wa mifugo yenye umri mdogo katika maeneo yanayozizunguka, kutoka minadani au wafugaji wadogo wadogo, kunenepesha na kisha kuuza ndani au nje ya nchi mara wakifikia uzito unaotakiwa. Ili kufanikisha mkakati huu mikakati ifuatayo itatumika: (b) Kutoa Elimu Elimu itatolewa ili jamii ielewe kuwa utaratibu wa kuanzisha ranchi sio ujanja wa kupokonya ardhi. (c) Kuboresha Ufugaji Utafiti umeonesha kuwa kuku wanasaidia kwa kiwango kikubwa katika pato la kaya. Ufugaji huu utaendelezwa kwa kufuata ratiba ya chanjo dhidi ya maradhi mbalimbali na hasa ugonjwa wa kideri. (d) Ufugaji wa Mbuzi wa Maziwa Msisitizo unawekwa pia katika ufugaji wa mbuzi wa maziwa kupitia vikundi mbalimbali vya wafugaji. Mkakati huu unaelekeza matumizi ya madume bora kwa makundi ya mbuzi jike waliochaguliwa. (e) Ufugaji wa Kondoo Wafugaji wanahamasishwa kuongeza ufugaji wa kondoo kwa sababu soko lao ni zuri na wanastawi haraka. 3.4 Kuboresha Malisho Hili ni tatizo linalochangia kuhama hama kwa wafugaji na kusababisha uharibifu wa mazingira pamoja na athari nyingine za kijiamii na maendeleo. Aidha, mifugo inalazimika kuhamia maeneo yenye mbung’o na kusababisha kuongezeka kwa maambukizo ya maradhi yanayoenezwa na wadudu hao. Mikakati inayosisitizwa ni pamoja na:-

a) Kuongeza uoto wa nyasi za asili: Wafugaji kupunguza msongamano wa vichaka katika maeneo ya malisho ili kuongeza uoto wa nyasi za asili. Jamii kusaidiana na Serikali kujenga malambo/mabwawa pamoja na visima. Serikali inachangia kupitia DADPs na vyanzo vingine. Wananchi na hasa wafugaji wanaongeza nguvu zao ili kuwezesha kazi hii. Aidha Wafugaji binafsi wenye uwezo wanashauriwa kujenga

226

Page 234: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

malambo katika maeneo wanayomiliki. Lengo ni kuongeza malambo kutoka 37 ya sasa hadi 60 ifikapo 2012, sawa na ongezeko la 62.2%

b) Kutenga Maeneo ya Malisho. Wilaya zimetenga maeneo ya malisho kama jedwali Na.2 linavyoonesha hapa chini, ambapo inaonekana kuwa idadi ya mifugo ni kubwa kuliko maeneo ya malisho yaliyotengwa. Idadi hiyo ya mifugo kwa Mkoa ni mara mbili ya uwezo wa maeneo ya malisho yaliyotengwa. Jedwali Na.2: Maeneo ya Malisho yaliyotengwa mkoa wa Manyara

Babati Wilaya

Babati Mji

Hanang Kiteto Mbulu Simanjiro Jumla Mkoa

Eneo la Malisho (Ha) 154,000 28,182 224,000

947,200 299,600 1,357,000 2,981,800

1,394,784

1,214,584 Eneo stahili (ha) 366,752 82,544 1,751,356 1,283,540 6,093,560

Mifugo imezidi mara 2.0 ya eneo lililotengwa kwa mkoa

Mifugo imezidi mara 5.8 ya eneo lililopo

Mifugo imezidi mara 6.2 ya eneo

Mifugo imezidi mara 2.4 ya eneo lililopo

Mifugo imezidi mara 2.9 ya eneo

Mifugo imezidi mara 0.95 ya eneo

Mifugo imezidi mara I.3

Wingi wa Mifugo kulinganisha na eneo lililotengwa (ha)

c) Kupunguza idadi ya mifugo

Elimu inatolewa kuendesha ufugaji wa kibiashara ambapo mifugo inatakiwa inavunwe mara ikifikia umri au uzito unokubalika (miaka 3 au kilo 250). Wafugaji waliopewa mafunzo mbalimbali kuhusu kanuni za ufugaji bora wameongezeka kutoka 3636 mwaka 2006/07 na kufikia 5835 mwaka 2008/09 sawa na asilimia 60.5. Lengo la mwaka 2009/2010 ni kutoa mafunzo kwa wafugaji 7800

d) Kupunguza msongamano wa vichaka

Wafugaji wanasisitizwa kupunguza msongamano wa vichaka katika maeneo ya malisho ili kuongeza uoto wa nyasi za asili. Aidha, wakulima/wafugaji wanapanda nyasi bora za malisho kwenye makingamaji ya mashamba na kwenye mipaka ya mashamba. Wafugaji wanashauriwa kuanzisha maghala ya majani hasa mabaki kutoka mashambani kama akiba wakati wa kiangazi.

e) Kuanzisha mashamba ya malisho. Kuhamasisha sekta binafsi kuanzisha mashamba ya malisho ambapo watavuna nyasi na kuuzia wafugaji, hasa wanaofuga ndani.

f) Jamii ya wafugaji kumiliki ardhi Halmashauri za vijiji zinaendelea na utambuzi wa maeneo ya malisho na njia za mifugo (mapalio) ili wafugaji waweze kumilikishwa kisheria. Aidha, Wafugaji watateua rasmi maeneo ya malisho yatakayotumika wakati wa kiangazi ili kupunguza ufugaji wa kuhama hama.

227

Page 235: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

g) Sheria ndogo ndogo Halmashauri za Vijiji zinaweka sheria ndogo ndogo za kusimamia na kulinda maeneo ya malisho yasivamiwe na kilimo pamoja na sheria za kulinda na kuheshimu mapalio ya mifugo. 3.5 Kupunguza Matukio ya Magonjwa ya Mifugo Magonjwa yanayosumbua zaidi ni:- Ndigana kali, ndigana baridi, ugonjwa wa ndorobo, maji kwenye moyo, kukojoa damu, homa ya mapafu (pneumonia), ugonjwa wa miguu na midomo, kideri, kimeta, chambavu na minyoo. Katika kupambana na changamoto hii, mikakati ifuatayo inasisitizwa: a) Halmashauri za Wilaya zimeweka ratiba za chanjo kwa magonjwa

yanayotokea mara kwa mara. Lengo ni kuongeza uchanjaji wa mifugo kutoka 933,559 mwaka 2008/2009 hadi 1,166,950 ifikapo 2010, sawa na ongezeko la 25%

b) Mafunzo yanatolewa kwa Wahudumu wa Afya ya Mifugo katika Jamii

(WAMIJA) ili kusaidia kazi ya tiba na kinga. Hivi sasa wapo WAMIJA 417 katika mkoa. Lengo ni kufikia WAMIJA 458 ifikapo 2010, sawaa na ongezeko la 9.8%

c) Halmashauri zinasimamia uundaji wa kamati za kuendesha majosho yote

yaliyo mazima na kukarabati pamoja na kujenga mapya katika maeneo yanayohitaji huduma hii. Hata hivyo, mwitikio wa wafugaji kutumia majosho ni mdogo. Takriban asilimia 50 ya majosho mazima hayafanyi kazi kutokana na wafugaji kutonunua dawa za majosho hayo. Hivi sasa, Serikali imetoa lita 51,306 za dawa ya kuogesha yenye ruzuku ambayo inauzwa kwa bei nafuu - sh. 24,000/= tu kwa lita. Dawa hii imeshasambazwa katika Halmashauri zote na inatumika.

3.6 Kuboresha Usindikaji wa Mazao ya Mifugo Lengo la mkakati huu ni kuongeza thamani ya mazao yatokanayo na mifugo ili kuongeza kipato na ajira. Halmashauri za Wilaya/Mji, kwa kushirikana na Mashirika yasiyo ya Kiserikali wanajenga vituo vya kukusanya na kusindika maziwa. Lengo ni kuongeza vituo vya kukusanya na kusindika maziwa kutoka vituo 3 vya sasa hadi 6 ifikapo 2010. Usindikaji wa ngozi unafanyika kwa kiwango kidogo katika wilaya za Babati, Hanang’, Simanjiro na Kiteto ambapo vifaa vidogo vidogo kama viatu, mikanda, mifuko, nk hutengenezwa. Baadhi ya vifaa hivi vimeweza kupata masoko ya nje ya nchi.

228

Page 236: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

Mikakati inayosisitizwa: a) Kuendeleza Vikundi Halmashauri za Wilaya/Mji, kwa kushirikisha wadau mbalimbali wanasaidia kukuza vikundi hivi na kuongeza vingine. b) Mafunzo Halmashauri zimetoa mafunzo ya uchunaji, ukaushaji na utunzaji wa zao la ngozi kupitia mradi maalumu wa kuboresha zao la ngozi. Hata hivyo, kuna mlundikano wa vipande 26,920 vya ngozi za ng’ombe na 30,391 ngozi za mbuzi/kondoo vyenye thamani ya Tshs 138,486,500/= kutokana na kukosekana kwa soko. c) Kuongeza viwanda Halmashauri zinasaidiana na mashirika/sekta binafsi kuanzisha viwanda vya kukusanya na kusindika maziwa 3.7 Kuboresha huduma za ushauri wa mifugo Hivi sasa Maafisa Ugani waliopo wanahudumia taaluma ya Kilimo na Mifugo pamoja na kwamba hizo ni taaluma mbili tofauti. Wataalamu wa Kilimo/Mifugo waliopo ni 298 tu ambao wako Makao Makuu ya Halmashauri na katika Kata/Vijiji. Idadi ya vijiji ni 326. Kulingana na ukubwa wa maeneo ya vijiji, ingestahili kila kijiji kihudumiwe na mtaalamu wake. Hali hii inafanya Mkoa kuwa na upungufu wa wataalamu 90. Aidha, ni muhimu awepo mtaalamu wa Kilimo na mtaalamu wa Mifugo katika kila kijiji tofauti na ilivyo sasa ambapo mtaalamu mmoja anahudumia taaluma zote mbili. Mikakati inayosisitizwa a) Halmashauri zimepanga wataalamu 94 katika ngazi ya kata ili mtaalamu

mmoja aweze kuhudumia vijiji zaidi ya kimoja. b) Mipango ya DADPs inazingati upatikanaji wa usafiri wa baiskeli au pikipiki kwa

wataalamu waliopo. Mkoa una jumla ya pikipiki 61 na magari 9. c) Halmashauri zinasaidiana na Mashirika yasiyo ya Kiserikali kutoa mafunzo kwa

Wahudumu wa Afya ya Mifugo katika Jamii (WAMIJA). Hivi sasa wapo WAMIJA wapatao 417 katika Mkoa.

minadani hurudishwa tena nyumbani kwa kukosa soko, wakati huo huo nyama zinalala kwenye mabucha. Masoko ya nje hivi sasa ni mengi lakini wafugaji wameshindwa kuyafikia kutokana na ubora hafifu wa mifugo yenyewe.

229

Page 237: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

3.8 Uanzishaji wa Vyama vya Ushirika vya Wafugaji Kuhamasisha uanzishwaji wa vyama vya ushirika vya ufugaji. Vyama vitasaidia kupata mikopo kwa bei nafuu ili kuweza kununua pembejeo. Mkoa una vyama 5 vya ushirika vya mifugo, SACCOS 119 na AMCOS 51 3.9 Kuendeleza Mifuko ya kuhudumia mifugo (Livestock Development Funds) Mifuko hii itaendelezwa kutokana na asilimia ya makusanyo ya ushuru. Lengo la mkakati huu ni kuwezesha Halmashauri kupambana na milipuko ya magonjwa na kuweza kununua dawa za chanjo. Mifuko hii ilianzishwa katika halmashauri zote lakini imekufa tena. Dawa zitanunuliwa na kulipiwa na wafugaji na kisha fedha kurudi tena katika mfuko (revolving fund) 4.0 Upatikanaji na usambazaji wa Pembejeo za mifugo

Pembejeo za mifugo ambazo zimepatikana na kusambazwa ni dawa za chanjo na vifaa mbalimbali vya kuhudumia mifugo. Pembejeo hizi zimetoka Serikalini kupitia Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi pamoja na Programu ya ASDP. Madawa yaliyopatikana katika kipindi cha 2006/2007 na kusambazwa ni: Newcasle Vaccine doses 177,302; Rabies Vaccine doses 34,350; CBPP Vaccine doses 260,799; RVF Vaccine 48,2523; Anthrax/BQ doses 193,332; Lumpy skin Vaccine doses 15,000; ECF Vaccine 11,562 na lita 55,108 za dawa ya ruzuku ya kuogesha mifugo. Vifaa vilivyopatikana na kusambazwa ni pamoja na: Vet kits 12, Darubini 10, Majokofu 4 na vifaa vya uhamilishaji seti 4. Mikakati ya kuongeza matumizi ya pembejeo mkoani ni:

Halmashauri zinaweka mahitaji katika mipango ya kilimo ya wilaya (DADPs).

Mifuko ya kuendeleza mifugo (LDF) imeanzishwa katika Halmashauri zote

Sekta binafsi inahamasishwa kusogeza pembejeo hizo karibu na wafugaji

Kamati za Ruzuku za Wilaya zinatumika kugawa na kusimamia usambazaji wa dawa za kuogesha mifugo. Aidha, taarifa za kuwepo kwa dawa hizo zinafikishwa katika maeneo yote ya Halmashauri.

5.0 Matumizi ya mifugo bora: Matumizi ya mifugo bora bado yako katika kiwango cha chini sana katika Mkoa wa Manyara. Mifugo bora iliyopo kwa sasa ni madume chotara ya ng’ombe (F1 –F3) 1,498 na majike yaliyoboreshwa 5,263. Mkakati wa Mkoa ni kuboresha angalao 10% ya idadi ya ng’ombe wa asili kwa njia ya ‘AI’ na madume ili kuweza

230

Page 238: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

kupata machotara 84,000 ifikapo mwaka 2012. Utaratibu wa utekelezaji umewekwa katika mipango ya kilimo ya wilaya (DADPs) kuanzia mwaka wa fedha 2009/2010. Uboreshaji mbuzi wa maziwa ni kupitia vikundi vya wakulima ambapo Halmashauri zinasaidiana na mashirika yasiyo ya kiserikali (NGOs) kuboresha koo za asili kupitia madume ya kigeni. Mashirika ya FARM-Africa, VetAID, Heifer Project Internacional na World Vision yamesaidia sana katika mpango huu. Serikali inasaidia kupitia progaramu za ASDP na PADEP. Madume yanayotumika kwa wingi zaidi mkoani ni Toggenburg. Mkoa una mbuzi wa kisasa wapatao 5,776 wakiwemo madume 2,314 na majike 3,462. Lengo ni kufikia mbuzi wa kisasa 9618 ifikapo 2012, sawa na ongezeko la asilimia 18.9 6.0 Hali ya Huduma za ugani Idadi ya maafisa ugani kwa mkoa wote ni 298. Maafisa hawa wanahudumia sekta ya kilimo mazao na mifugo. Mgawanyo wao ni kama inavyoonekana katika jedwali Wilaya Idadi

Mifugo Idadi Kilimo

Ushirika Uvuvi Jumla

H/Mji Babati 14 13 2 1 30H/W Babati 26 48 3 1 78Hanang 28 21 2 0 51Kiteto 28 29 4 0 61Mbulu 25 25 4 0 54Simanjiro 24 17 2 4 47Jumla 145 153 17 6 321 Halmashauri zimewatawanya maafisa ugani kilimo/mifugo katika kila kata. Hivyo, wapo maafisa ugani wa kata wanahudumia vijiji zaidi ya kimoja. Katika kipindi cha 2005/2006, Miradi ya LAMP, PADEP na ASDP imewezesha kuwepo pikipiki 123 na Magali 14 kwa Mkoa mzima Mikakati ya kufuatilia utendaji wa wataalam wa ugani ni pamoja na kuhakikisha kuwa kila mtaalam anatekeleza mambo yafuatayo:-

a) Awe anaishi kwenye kituo chake cha kazi. b) Awe na mpango kazi unaoonesha shughuli zake za kila siku, mwezi na

mwaka mzima na awe na daftari linaloonyesha amefanya nini linalosainiwa na mkulima aliyepata huduma.

c) Kila mfugaji awe na daftari linaloonyesha lini ametembelewa na mtaalam, ushauri au matibabu aliyotoa na sahihi yake.

d) Kila mtaalam awajue wafugaji wake mahali wanapoishi na idadi ya mifugo waliyonayo.

231

Page 239: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

e) Mtaalam haruhusiwi kuwa nje ya kituo chake cha kazi bila idhini ya Mtendaji wa Kata/Kijiji.

Aidha, wafugaji wanajiunga katika vikundi ili kuweza kuhudumiwa kwa urahisi. Mashamba darasa ya wafugaji yaliyoanzishwa katika kipindi cha 2006/07 hadi 2008/09 kupitia vikundi ni 38. 7.0 Mfumo wa Masoko ya Mifugo: Mkoa una minada 41 ya mifugo ambayo inaendeshwa kwa utaratibu wa mzunguko kila mwezi kwa mwaka mzima katika Halmashauri zote. Katika minada hiyo aina zote za mifugo (Ng’ombe, Mbuzi, Kondoo, Punda na Kuku) inauzwa na kununuliwa. Pia kunakuwepo uchinjaji na uuzaji wa nyama ambayo inakaguliwa na wataalam wa mifugo. Biashara hii inategemea wanunuzi waliopo ndani na nje ya mkoa. Ubora wa mifugo hii haukidhi matakwa ya masoko ya nje ya nchi. Mkoa unahimiza uanzishaji wa ranchi ndogo za unenepeshaji ili kuboresha soko hili. Kwa ujumla kuna vyama 5 vya ushirika vinavyojihusisha moja kwa moja na mifugo vyenye jumla ya wanachama 189 na mtaji wa shs 2,765,000/= tu. Hata hivyo kwa kuwa wafugaji wengi ndio hao hao wakulima, kuna AMCOS 51 zenye wanachama 5771 na mtaji wa shs 94,964,000/= ambavyo husaidia mikopo ya kupata pembejeo. Jedwali hapa linaonyesha aina na idadi ya mifugo iliyouzwa minadani kwa kipindi cha miaka mitatu iliyopita.

Aina ya Mifugo 2006/2007 2007/2008 2008/2009 Ng’ombe 34,192 31,012 28,680Mbuzi 10,046 18,826 16,540Kondoo 7,186 11,412 7,350

8.0 Mfumo wa vyombo vya Mikopo: Vyanzo vya mikopo kwa wafugaji kuendeleza sekta ya mifugo ni kupitia SACCOS zao. Mikopo inayopatikana ni kidogo kwani vyama hivi vina mitaji midogo. Mikopo ambayo imeweza kupatikana ni shs. 18,490,513/= tu. Hata hivyo hakuna SACCOS zinazojihusisha na mikopo ya ufugaji pekee. NMB imeweza kukopesha wafanyabiashara wa zao la ngozi kiasi cha shs 185,000,000/= 9.0 Matumizi ya madawa ya kuogesha Idadi ya majosho mkoani ni kama jedwali Na. linavyoonesha.

232

Page 240: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

233

Jedwali Na. Hali ya Majosho Mkoa wa Manyara W

ILA

YA

IDA

DI

Ya

MA

JOSH

O

YA

NA

YO

FA

NY

A

KA

ZI

MA

JOSH

OY

ASI

YO

FA

NY

A

KA

ZI

SAB

AB

U

ZA

KU

TOFA

NY

A K

AZI

Babati Mji 4 0 4 Tatizo la maji na ubovu wa matenki,maboma na kukosa dawa

Babati Vijijini 36 6 30 Tatizo la maji na ubovu wa matenki,maboma na kukosa dawa

Hanang’ 20 10 10 Tatizo la maji na ubovu wa matenki,maboma na kukosa dawa

Kiteto 21 13 8 Tatizo la maji na ubovu wa matenki,maboma na kukosa dawa

Mbulu 36 17 19 Tatizo la maji na ubovu wa matenki,maboma na kukosa dawa

Simanjiro 24 13 11 Tatizo la maji na ubovu wa matenki,maboma na kukosa dawa

JUMLA 141 59 82 Asilimia 58 ya majosho hayafanyi kazi kutokana na uchakavu wa maboma, matenki kuvuja na wafugaji kutopenda kununua dawa. Halmashauri zinakarabati majosho hayo pamoja na kujenga mapya kupitia mipango ya kilimo ya wilaya (DADPs).Dawa ya ruzuku imepatikana jumla ya lita 55,108 (lita 3,802 mwaka 2007/08 na lita 51,306 mwaka 2008/09). Dawa hizo zimesambazwa katika Halmashauri na zinasimamiwa na Kamati za Pembejeo za Wilaya.

Page 241: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

MIKAKATI YA KUENDELEZA SEKTA YA MIFUGO MKOA WA TABORA 1.0 UTANGULIZI Mkoa wa Tabora ni moja ya mikoa yenye mifugo mingi nchini ukiwa ni mkoa wa nne kwa wingi wa idadi ya mifugo ukifuatia mikoa ya Shinyanga, Mwanza, na Arusha. Kwa mujibu wa matokeo ya Sensa ya Taifa ya Kilimo (2002/2003), mkoa wa Tabora ulikuwa na jumla ya Ng’ombe 1,568,691, Mbuzi 718,996, Kondoo 235,213, kuku -2,507,469. Hadi kufikia Juni 30, 2009, mkoa sasa unakisiwa kuwa na jumla ya mifugo kama ifuatavyo hapa chini:-

Idadi ya mifugo kwa makisio Ng’ombe Mbuzi Kondoo Nguruwe Kuku Punda 2,099,265 944,162 310,339 8708 3,215,505 28,294

Makisio ya idadi hii ya mifugo yanatokana na wastani wa viwango vya ongezeko la mifugo kwa mwaka ambavyo ni (ng’ombe 5.7%; mbuzi 5.6%; kondoo 5.7%; kuku 5.1%; nguruwe 5.6%). Pamoja na kuwa na idadi hii ya mifugo, bado mchango wake katika uchumi ngazi ya kaya hadi mkoa ni kidogo sana ukilinganishwa na raslimali iliyopo. Lengo la mkakati huu ni kutoa mwelekeo wa ufugaji katika mkoa wa Tabora ili ufugaji uwe wenye tija na hivyo kuchangia katika kipato cha wafugaji na mkoa kwa ujumla ukizingatia hifadhi ya ardhi na mazingira yake. Aidha, mkakati unalenga kubainisha fursa zilizopo katika mkoa ambazo zinaweza kuhamasisha uwekezaji katika ufugaji bora mkoani. 1.1 MCHANGANUO WA HALI HALISI YA SEKTA YA MIFUGO.

Takwimu za idadi ya mifugo mkoani Tabora ni kama zilivyooneshwa katika sehemu ya utangulizi ya mada hii ambapo kwa undani zaidi ilionekana kuwa mwaka 2002/2003, kila kaya ya mfugaji ilikuwa na idadi ya wastani wa ng’ombe 14 na kulikuwa na jumla ya kaya 115,445 za wafugaji ambayo ni 40% ya kaya zote 291,269 mkoani. Kwa mwaka 2008/2009, wastani wa idadi ya mifugo kwa kila kaya ya wafugaji katika mkoa wa Tabora imeendelea kuwa na idadi karibú ile ile ya kuwa na ng’ombe 14 isipokuwa kumekuwa na ongezeko la kaya zinazofuga ng’ombe kutoka kaya 115,445 za wafugaji mwaka 2002/03 na kuwa kaya 154,490 (40.3%) za wafugaji kati ya jumla ya kaya 383,086 za mkoa kwa mwaka 2008/2009. Hili ni ongezeko la kaya kimkoa kwa 33.8% ikilinganishwa na hali ilivyokuwa mwaka 2002/2003.Ongezeko hili la kaya zenye kufuga na kuongezeka kwa idadi ya mifugo ni dhahiri kunahitajika eneo zaidi kwa ajili ya malisho japokuwa hakuna mahali pengine inapowezekana kupata eneo zaidi. Matokeo ya hali hii ni kuwa na mifugo mingi katika eneo moja na kusababisha uharibifu wa mazingira. Ili kujaribu kupata mahali pa kuchungia mifugo, wafugaji wanalazimika kuchukua hatua za kuingia katika maeneo yasiyoruhusiwa kwa ajili ya shughuli za ufugaji na hivyo kuwa chanzo cha migogogro katika mkoa.

234

Page 242: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

Kutokana na mwelekeo huu wa ukuaji wa idadi ya mifugo kimkoa na ongezeko la kaya za wafugaji ni dhahiri kuwa mkoa wetu unaelekea kuwa miongoni mwa mikoa ya Tanzania itakayokabiliwa na migogoro ya ardhi baina ya wafugaji na watumiaji wengine wa raslimali ardhi. Raslimali ardhi inayotumika kwa ajili ya nyanda za malisho ya ng’ombe mkoani ni hekta 2,272,400 (22,724km2). Hili ndilo eneo lenye nyasi za asili zinazotumika kwa mifugo kwa maana ya nyanda za malisho linalotumiwa na jumla ya ngo’mbe 2,099,265 wanaokadiriwa kuwa katika mkoa huu. Kwa ufugaji wenye tija pia kulingana na hali ya mvua katika mkoa wetu kiasi hiki cha eneo la nyanda za malisho kinaweza kutosheleza jumla ya ng’ombe 908,960 tu kwa mwaka. Hii ni kutokana na mahitaji ya malisho kwa mnyama mmoja mwenye uzito wa wastani wa kilo 250 kuwa ni eneo lenye ukubwa wa Hekta 2.5 za eneo la malisho kwa mwaka. Aidha, ni kweli kuwa maeneo ya malisho kwa ajili ya ufugaji yanaendelea kupungua kutokana na mabadiliko ya hali ya hewa inayosababisha kupungua kwa uwezo wa ardhi kuzalisha malisho ya kutosha, ongezeko la maeneo kwa ajili ya kupanua kilimo cha mazao mbali mbali ya chakula na biashara kutokana na ongezeko la kaya kimkoa na hivyo kupunguza maeneo ya malisho. Hivi sasa ni dhahiri kuwa eneo hili la nyanda za malisho linatosheleza jumla ya ng’ombe 908,960 tu na hivyo mkoa kuwa na ziada ya ng’ombe 1,180,305 ambao kitaalamu hawana mahali pa kuchungia. Matokeo ya kuwa na ziada hii ya ng’ombe ni uvamizi wa maeneo yaliyotengwa kwa matumizi mengine kama vile Maeneo ya Hifadhi na kusababisha mivutano na usumbufu baina ya wafugaji na mamlaka za maeneo husika. Kwa kuzingatia kuwa uchumi wa Mkoa wetu unachangiwa na mifugo hasa katika usalama wa chakula ngazi ya kaya ambapo mifugo huchangia moja kwa moja au kwa kuuza na kupata fedha ambazo zinaweza kutumika kununua nafaka ni dhahiri mifugo huchangia katika kutoa lishe bora kupitia vyakula kama nyama, maziwa na mayai ambavyo vina viini vya protini kwa wingi. Mifugo inatumika kama nguvu kazi (draught animal power) katika kulima na kuvuta mikokoteni. Mbolea ya samadi kutokana na mifugo imekuwa ni pembejeo muhimu katika kilimo endelevu na nishati. Kuwepo kwa mifugo katika mkoa wa Tabora kumeufanya mkoa huu kutokuagiza nyama, maziwa na mayai kutoka nje ya mkoa au nje ya nchi hatua ambayo ingeugharimu Mkoa na Taifa fedha nyingi Mifugo pia ni Benki Kwato, Benki hai ambayo ni chanzo cha mapato ya haraka wakati wa dharura kwa wafugaji. Hata hivyo, shughuli za ufugaji katika mkoa wetu si za kibiashara na pale zinapokuwa hivyo zinalenga soko la ndani tu na hivyo kutokuwa na tija.

235

Page 243: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

1.2 CHANGAMOTO ZA MSINGI KATIKA SEKTA YA MIFUGO MKOA WA TABORA. Kama zilivyo sekta nyingine, sekta ya mifugo pia inakabiliwa na changamoto za msingi zinazosababisha maendeleo hafifu ya sekta katika mkoa. Miongoni mwa changamoto hizo ni:- i. Aina ya mifugo na mifumo ya uzalishaji ii. Ardhi, maji na malisho iii. Magonjwa ya mifugo iv. Viwanda na masoko v. Uendeshaji. i. Aina ya mifugo na mifumo ya uzalishaji Ili kuongeza uzalishaji wa mifugo katika mkoa wa Tabora kuna umuhimu wa kuwa na mifugo bora ikiwa ni pamoja na mifugo asilia, inayofugwa kwa mifumo na mbinu bora. Vyanzo vya matatizo ya aina ya mifugo na mifumo ya uzalishajini:-

• Aina ya mifugo kuwa na uwezo mdogo wa uzalishaji licha ya uwezo wa kustahimili magonjwa na uwepo wa mvua chache

• Mifumo duni ya uzalishaji • Utafiti na huduma za ugani wa uendelezaji mifugo kutokupewa kipaumbele na matokeo

ya utafiti kutotumika • Ufugaji wa kuhamahama na usiozingatia uwezo wa malisho kuhimili wingi wa mifugo • Matumizi madogo ya mbegu bora za mifugo, madume bora ya uzalishaji na huduma

kidogo za uhamilishaji (artficial insermination) katika mkoa. • Kutokuwepo kwa vyama vya wafugaji wazalishaji (Livestock Breeders Association and

Breed Societies). • Kutopatikana kwa madume bora kwa urahisi na kwa wingi unaotakiwa

ii. Ardhi, maji na malisho Vyanzo vya matatizo ya ardhi, maji na malisho. • Tatizo la msingi katika suala la ardhi, maji na malisho ni kutokuwa na taratibu za kutenga

na kuwamilikisha kiasili na /au kisheria wafugaji maeneo ya malisho. • Maeneo yanayofaa kwa nyanda za malisho kugeuzwa wakati wowote kuwa maeneo ya

kilimo, hifadhi za maliasili n.k • Wafugaji kuwa na tabia ya kuhamahama na kutoiendeleza ardhi wanayoitumia kama vile

kuwekeza katika kuchimba malambo, visima na kuhifadhi uoto wa asili • Kutotekelezwa kwa Sheria ya Ardhi Na. 4 (1999) na Ardhi Vijiji Na.5 (1999) baada ya

kufutwa kwa sheria ya matumizi ya nyanda za malisho (Range management Act – 1964) na hivyo kusababisha kutokuwepo kwa matumizi bora ya nyanda za malisho katika mkoa.

iii. Magonjwa ya mifugo Chanzo kikubwa cha kuwepo na kuenea magonjwa ya mifugo yanayoathiri uzalishaji mifugo ni pamoja na: • Kutozingatia Sheria na taratibu zinazolenga kudhibiti ueneaji wa magonjwa katika mkoa

sambamba na kuvunjika kwa taratibu za mtiririko wa usimamizi na utoaji wa taarifa za magonjwa kutoka ngazi mbali mbali za utendaji

236

Page 244: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

• Huduma duni za Afya ya mifugo kutokana na Wataalamu wa mifugo kuwa wachache sambamba na uchache wa miundo mbinu ya afya ya mifugo katika maeneo ya ufugaji

• Ukosekanaji wa vifaa na vitendea kazi kwa wataalamu ngazi za utekelezaji • Bajeti finyu inayoathiri utoaji huduma, ufuatiliaji na usimamizi • Ufugaji wa kuhamahama umechangia kwa sehemu kubwa kuenea kwa magonjwa ya

mifugo • Wafugaji kutokuwa na elimu na ujuzi juu ya udhibiti wa magonjwa mbali mbali ya mifugo. iv. Viwanda na masoko

Matatizo ya viwanda na masoko ni pamoja na:- • Kutokuwa na viwanda vya kukusanya na kusindika mazao ya mifugo hususani maziwa,

nyama na ngozi. Wakati wa masika maziwa huwa mengi sana na kukosa soko la uhakika linalomlipa mfugaji na wakati wa kiangazi kunakuwa na kiasi kidogo sana cha maziwa

• Hakuna juhudi za uwekezaji katika sekta ya mifugo kutokana na kutopatikana kwa taasisi za fedha zinazotoa mikopo kwa wafugaji wakubwa na wa kati.

v. Uendeshaji.

Ili uendeshaji wa sekta uwe na ufanisi unaotarajiwa, mazingira ya uendeshaji wake lazima yawe muafaka. Matatizo ya uendeshaji wa sekta ya mifugo yanatokana na: • Bajeti finyu hasa katika ujenzi wa miundombinu kama vile malambo/mabwawa. • Mifugo na ufugaji kutopewa kipaumbele katika mchakato wa kuibua miradi kwa njia

shirikishi kutokana na ushiriki mdogo wa wafugaji katika vikao vya uibuaji wa miradi. • Kutokuwepo kwa vyama vya wafugaji • Uwajibikaji na ufanisi mdogo wa wataalamu wa mifugo • Huduma duni za ugani wa mifugo 1.3 FURSA ZILIZOPO MKOANI TABORA KWA UENDELEZAJI WA MIFUGO Zipo fursa nyingi zinazoweza kuongeza ufanisi katika shughuli za ufugaji na mifugo kwa ujumla. Miongoni mwa fursa hizo ni: • Eneo la nyanda za malisho linaloweza kutumika kuanzisha mashamba ya kuzalisha mbegu

bora za malisho na hivyo kuongeza ubora wa lishe ya mifugo. • Uwezekano mkubwa wa kufanya biashara ya mifugo na mazao yake nje ya mkoa na hata

nje ya nchi kwa kufanya biashara na nchi jirani za Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), Rwanda, Burundi na Uganda kupitia reli iendayo Kigoma na barabara iendayo katika mikoa ya Kanda ya Ziwa.

• Mkoa una eneo la nyanda za malisho linaloweza kupangwa vizuri na kutumika kuanzisha mashamba ya kuzalisha mitamba au ranchi kwa ajili ya kunenepesha ng’ombe wa nyama na kuwauza katika viwanda vya kusindika nyama.

• Ufugaji wa wanyama wadogo wadogo kama mbuzi, kondoo, nguruwe, kuku, bata na sungura ni fursa nyingine muhimu katika kuwapatia wananchi kipato. Ufugaji huu ambao kwa sasa unafanyika bila kuzingatia mbinu bora za kufuga ikiwa utazingatia mbinu za ufugaji bora ni fursa kubwa ya mafanikio kiuchumi.

237

Page 245: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

• Uwepo wa maeneo yanayoweza kutangazwa kama vivutio kwa wawekezaji kuwekeza katika Viwanda vya Kusindika mazao ya mifugo kama vile nyama, ngozi na maziwa. Moja ya maeneo hayo ni eneo la Kisasiga katika wilaya ya Nzega.

• Kituo cha Uchunguzi wa Magonjwa ya Mifugo cha Kanda ya Magharibi (VIC Tabora). Kuwepo kwa kituo hiki katika mkoa wa Tabora ni fursa kubwa katika kubaini na kutokomeza magonjwa mbalimbali ya mifugo yanayoathiri ukuaji wa sekta hii katika mkoa wa Tabora.

• Idadi kubwa ya mifugo ya asili iliyopo sambamba na ujuzi na elimu ya asili kuhusu mifugo ni fursa nyingine ambayo inaweza kutumiwa vizuri kama msingi wa kuleta mabadiliko ya sekta ya mifugo na ufugaji.

1.4 VIKWAZO VYA MAENDELEO YA SEKTA YA MIFUGO KATIKA MKOA • Ardhi. Kinyume kabisa na wakulima wa mazao walio na maeneo ya mashamba yao

yanayotambulika mipaka yake vijijini, wafugaji hawana maeneo yanayotambulika kuwa ni kwa ajili ya wafugaji. Maeneo machache yaliyopo yanamilikiwa kijumla na inakuwa ni vugumu kutoa ushauri wa kitaalamu juu ya kuendeleza maeneo hayo kwa ajili ya uzalishaji mifugo

• Miundombinu Miundo mbinu kama vile majosho, machinjio, mabanda ya kukaushia ngozi, minada ya mifugo, vituo vya afya ya mifugo, malambo ni miongoni mwa miundo mbinu muhimu kwa maendeleo ya mifugo. Mingi ya miundo mbinu hii haifanyi kazi kutokana na sababu mbali mbali. Moja ya sababu kubwa ni uchakavu uliosababishwa na mabadiliko ya Kisera tangu 1997 Serikali Kuu ilipogatua majukumu yake na kuyapeleka Serikali za Mitaa bila kuwa na maandalizi ya awali juu ya kuendeleza, kutumia na kutunza miundombinu hiyo.

• Uchache wa wataalamu wa mifugo wa ugani. • Kosaafu duni za mifugo ya asili Kimsingi, maendeleo ya ufugaji katika mkoa wa Tabora yanakwamishwa na matatizo mengi ambayo mengi yamo ndani ya uwezo wetu kama wananchi, Serikali na Sekta binafsi. Kwa ujumla yapo mambo yanayohusu Sera, Miundo na taratibu za uendeshaji wa sekta ya mifugo mkoani Tabora ambayo yanahitaji dhamira, fedha na moyo wa kujituma yanayoweza kutekelezeka katika muda mfupi, wa kati na muda mrefu. Aidha, yapo mambo ambayo kwa sababu za kiufundi, miundo mbinu ya kijamii au mahitaji makubwa ya fedha yanahitaji muda mrefu kutekelezeka. Hata hivyo, haitoshi tu kuyatambua matatizo na vikwazo vyake na kuweka mikakati ya kuyatatua ni lazima kuwepo mipango bayana ya utekelezaji (Action Plans). Kazi iliyopo mbele ya kila mdau wa mifugo katika mkoa wa Tabora ni kutafakari jinsi tunavyoweza kubadili sura ya mifugo na ufugaji wetu katika mkoa wa Tabora ili hatimaye tuwe na Sekta ya Mifugo na Mifugo yenye tija. Ni matarajio yetu kuwa Chama Tawala kupitia Ilani yake ya Uchaguzi kitaiwezesha Serikali yake katika mkoa wa Tabora kwa kushirikiana na Taasisi mbali mbali, Sekta binafsi, Mashirika

238

Page 246: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

yasiyokuwa ya Kiserikali, Jumuiya za Wananchi, Vyama vya Ushirika, Vijiji na Vikundi mbali mbali vya kijamii katika kushirikiana kwa pamoja katika utekelezaji wa Mkakati wa Mkoa wa Tabora unaolenga Kuendeleza Sekta ya Mifugo yenye Tija ifikapo 2025 kwa kuzingatia malengo ya Dira ya Kuendeleza Sekta ya Mifugo ambayo ni: “Kuwe sekta ya mifugo ambayo ifikapo mwaka 2025 kwa sehemu kubwa, itakuwa na ufugaji wa kisasa na endelevu, yenye mifugo bora, yenye uzalishaji mzuri, inayoendeshwa kibiashara na yenye koboresha lishe ya mtanzania, kuinua kipato cha mfugaji na Taifa na kuhifadhi mazingira” Aidha, ili kufikia azma hii, mkoa umeandaa Mkakati yaani (“Tabora Regional Livestock Sector Improvement Strategy”) ambao umeainisha majukumu ya wadau mbali mbali na maeneo ya kipaumbele katika utekelezaji wa Mkakati huu kama ifuatavyo. 2.O MIKAKATI YA MKOA. Dhamira ya Mkakati huu ni: “Kuhakikisha kuwa raslimali ya mifugo katika mkoa wa Tabora inaendelezwa na kutunzwa katika mazingira endelevu kwa ajili ya ukuaji wa uchumi na kuboresha maisha ya wafugaji na wananchi wa mkoa wa Tabora” Madhumuni ya Mkakati.huu ni:- “Kujenga sekta ya mifugo yenye tija, ufanisi na ushindani inayochangia kuboresha hali ya wananchi wa mkoa wa Tabora ambao ufugaji ni sehemu ya shughuli zao za maisha na kiuchumi” 1. Kuweka bayana majukumu ya kila mdau Wajibu na majukumu ya kila mdau wa sekta ya mifugo yamegawanywa kama ifiatavyo.

i. Chama Cha Mapinduzi (CCM). Chama Tawala, Chama cha Mapinduzi kinajukumu kubwa la kuhakikisha kuwa jamii yote mkoani Tabora kwa ujumla wake inahamasishwa ili iwe tayari kupokea na kutekeleza maelekezo ya kitaalamu yenye kuelekeza kwenye ufugaji wa kisasa wenye tija kwa kuzingatia dira ya Chama Tawala kama inavyofafanuliwa katika Ilani ya Uchaguzi

ii. Serikali ngazi ya Mkoa. Viongozi na Watendaji wa Serikali ngazi ya Mkoa watakuwa na jukumu la kuhakikisha kuwa:-

• Kupeleka Miongozo na Maelekezo yote ya Kisera na Kitaalamu baada ya kupokelewa, kutafsiriwa na kupelekwa katika ngazi ya utekelezaji (Halmashauri za Wilaya , Miji na Manispaa) kwa ajili ya kutumia maelekezo hayo katika kupanga na kutekeleza mipango ya maendeleo ya mifugo kwa njia shirikishi na jamii ya wafugaji

• Kutoa Ushauri wa Kitaalamu kwa ngazi za wilaya ili kuziwezesha wilaya hizo kutekeleza mipango ya maendeleo ya sekta ya mifugo kwa kuzingatia Sera ya Maendeleo ya Mifugo, Sheria, Kanuni na Taratibu zinazoendesha Sekta hii.

• Kusimamia Viwango vya ubora na Kasi (Standards & Speed) ya utekelezaji miradi ya mifugo Wilayani ili kuhakikisha kuwa miradi yote ya Mifugo inayotekelezwa kupitia fedha za ASDP ngazi ya wilaya (DADPs) na ile inayopata ufadhili wa mashirika yasiyo ya Kiserikali inalenga katika kuondoa vikwazo vinavyokwamisha maendeleo ya sekta ya mifugo kwa wafugaji.

239

Page 247: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

• Kufanya Ukaguzi, Ufuatiliaji na Tathmini ya utekelezaji wa miradi ya maendeleo ya sekta ya mifugo katika kila wilaya na kutoa taarifa ya tathmini kwa ngazi zote za uhamasishaji, utekelezaji na usimamizi wa miradi ya maendeleo ya mifugo.

• Kuandaa na kugawa nyaraka zenye maelekezo ya kitaalamu katika wilaya zote na wadau wa sekta binafsi wanaoshughulika na sekta ya mifugo yanayolenga kuongeza ubora katika huduma za mifugo zinazotolewa katika ngazi za utekelezaji mbazo ni Halmashauri za wilaya za mkoa wa Tabora.

iii. Halmashauri za Miji, Wilaya na Manispaa. Ngazi hii ndiyo iliyo na majukumu

makubwa ya Utekelezaji wa Mipango yote inayolenga kuinua ubora wa sekta ya mifugo kupitia utekelezaji wa mipango na miradi ya mifugo. Vile vile hii ndiyo ngazi inayotekeleza Maagizo yote ya Serikali. Majukumu ya Wadau hawa yatakuwa kama ifuatavyo

• Kuishirikisha jamii ya wafugaji ili iweze kuibua miradi mikubwa yenye tija inayolenga kuleta mageuzi chanya katika sekta ya mifugo iliyo na idadi kubwa ya mifugo ya asili yenye viwango vya chini vya uzalishaji

• Kuhakikisha kuwa Fedha zote na raslimali zingine zinazotolewa kwa ajili ya maendeleo ya sekta ya mifugo zinatumika kuleta mabadiliko yanayotarajiwa na hivyo kuwa na nidhamu ya hali ya juu kwa matumizi ya fedha za Miradi ya maendeleo ya Sekta ya Mifugo

• Kila afisa mtendaji wa sekta ya mifugo katika ngazi yake ya utekelezaji anatakiwa kukusanya, kuchakata, kutumia na kutunza takwimu muhimu za msingi za sekta ya mifugo katika mamlaka yake ya utendaji ili takwimu hizo zitumike wakati wa kufanya tathmini ya maendeleo ya sekta katika eneo lake la kazi na hivyo kuweza kumpima mtendaji huyo.

• Halmashauri za mkoa huu zitahakikisha kuwa kila mtendaji wa sekta ya mifugo anapatiwa maelekezo ya kazi zake (Job Description) kama zilivyoainishwa katika Kijitabu cha majukumu Kiutendaji kilichotolewa na Wizara ya Maendeleo ya Mifugo (Standard Operation Procedures – SOP) vijitabu ambavyo tayari vimepelekwa katika kila wilaya. Halmashauri za wilaya hazina budi kuhakikisha kuwa vijitabu hivi anapatiwa kila mtaalamu wa mifugo ngazi za Wilaya, Kata na Vijiji.

• Kusimamia na kutekeleza Sheria, Kanuni, na Taratibu zinazohusu Magonjwa ya Mifugo, Nyanda za malisho, Ubora wa Ngozi, Usafi wa Nyama, Maziwa na Maadili ya wataalamu wa sekta ya Mifugo.

• Kutunga Sheria ndogo na kuzisimamia ili kuhakikisha kuwa Sekta ya Mifugo inaendeshwa kwa mujibu wa Sheria zote zinazolenga Usimamizi na utekelezaji wa sekta ya mifugo ili kuwa na ufugaji wenye tija.

• Kuhakikisha kuwa miundombinu yote muhimu kwa ajili ya maendeleo ya sekta ya mifugo inawekwa katika hali ya kufanya kazi na mahali panapotakiwa kulingana na mahitaji au matakwa ya kanuni za ufugaji bora

• Kutoa Taarifa za Utekelezaji wa majukumu yake kila mwezi, robo mwaka, nusu mwaka na mwaka wote ili mkoa ufahamu hali ya utekelezaji wa mipango ya

240

Page 248: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

mifugo katika mkoa wote na kutoa taarifa sahihi na kwa wakati katika Wizara husika.

2. Kubaini na kutangaza maeneo tengefu yanayofaa kwa shughuli za uwekezaji katika mkoa ili kuvutia wawekezaji kuwekeza katika ufugaji wa ranchi ndogo ndogo 3. Kuhamasisha wananchi waunde vikundi vya wasindikaji wa mazao mbali mbali ya mifugo hususan maziwa na ngozi ili kupanua wigo wa soko la bidhaa hizo kwa kuyaongezea thamani baada ya kusindikwa. 4. Kila wilaya kuwa na mpango wa matumizi bora ya ardhi ambapo maeneo maalumu kwa ajili ya ufugaji yatabainishwa na kuendelezwa kuwa nyanda bora za malisho zitakazofugiwa wanyama kwa kuzingatia uwezo wa nyanda za malisho sambamba na idadi ya mifugo inayotakiwa (Rangeland Carrying capacity). 5. Kuboresha Miundombinu yote muhimu kwa ajili ya maendeleo ya mifugo itawekwa katika hali nzuri kwa ajili ya matumizi. Miundombinu itakayozingatiwa kwanza ni majosho, malambo ya kuvuna maji ya mvua, mabirika ya kunyweshea mifugo na vibanio vya kudumu kwa ajili ya shughuli za kitaalamu katika kudhibiti magonjwa ya mifugo kwa njia ya chanjo. 6. Kufufua na kujenga vituo vipya vya maendeleo ya Mifugo ngazi ya Kata(Ward Livestock Development Centres -WLDCs). Katika vituo hivi vya mifugo ngazi ya kata (LDCs) kutawekwa vifaa tiba vyote vya msingi kama vile vipima joto (thermometers), Darubini (Light microscopes), Majokofu ya mafuta ya taa na vifaa pia kemikali kwa ajili ya kuchukua, kuhifadhi na kusafirisha sampuli zitakazokuwa zikichukuliwa kwa ajili ya uchunguzi wa viini na magonjwa mbali mbali ya mifugo. Sambamba na vifaa tiba na uchunguzi vitakavyowekwa katika kila LDC kutakuwa na uwezeshwaji wa maafisa mifugo wafawidhi wa vituo hivi kwa kupatiwa usafiri kwa maana ya pikipiki na kila kituo kitawekewa mtambo wa simu ya upepo (radio call) inayowaunganisha maafisa mifugo wafawidhi kata na Afisa Mifugo wa Tarafa ambaye naye atakuwa ameunganishwa na Afisa Mifugo wa Wilaya na hivyo kuwa na mtandao wa uhakika na rahisi wa mawasiliano. 7. Kuanzishwa nafasi ya Afisa Maendeleo ya Mifugo ngazi ya Tarafa (Divisional Livestock Development Officer) ambaye kazi yake itakuwa ni kuratibu shughuli za maendeleo ya mifugo katika Tarafa yote akiziunganisha Kata zote katika tarafa hiyo. Ili kuwa na utendaji mzuri na wa kitaalamu zaidi mkoa unaelekeza kwamba ngazi ya Tarafa kutakuwa na Maafisa wawili mmoja aliyebobea katika Afya na Tiba ya Mifugo na mwingine aliyebobea katika nyanja ya Uzalishaji na malezi ya mifugo kwa ujumla (Animal Husbandry and Production). Maafisa hawa kila wilaya itahakikisha kuwa inawapatia nyenzo za usafiri husuan pikipiki. 8. Kuweka mtandao wa mawasiliano katika ngazi zote za utendaji ndani ya Halmashauri za wilaya mtandao ambao utatumainika wakati wote. Kwa kuzingatia umuhimu wa suala la kupashana habarí hususan katika suala la kudhibiti magonjwa ya mifugo, kuwa na mfumo huu

241

Page 249: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

ni jambo la msingi na kwamba uwekaji wa mfumo huu utatumia fedha za kujenga uwezo chini ya ASDP ambapo mkoa utaelekeza kila wilaya kuanzisha matumizi ya Teknolojia ya Kalamu maalumu kwa njia ya Satelite(Digital Pen). Kwa vile teknolojia hii inagharama kubwa (wastani wa Dola za Kimarekani 1300 kwa kalamu moja na karatasi zake), kila Halmashauri itabaini maeneo yote hatarishi yanayoweza kukumbwa na mlipuko wa magonjwa na kalamu hizo zitaelekezwa huko kwanza na kwingineko teknolojia ya Simu ya Upepo (Radio calls) zitawekwa na kutumiwa kwa lengo lile lile na upashanaji habari. 9. Kuhamasisha jamii katika ngazi zote ili jamii ijenge tabia ya kula mazao ya mifugo hususan kunywa maziwa, kula mayai na nyama kwa wingi. Kwa vile Mkoa unalenga kuwa na ongezeko la uzalishaji wa mazao ya mifugo, kuna haja ya kuwa na soko la uhakika kwa ajili ya mazao hayo. Ili kuwa na soko hili la uhakika la dani ya mkoa, mkoa utakuwa na jukumu la kutoa hamasa hii ikilenga makundi maalumu kwa kuanzia ambapo Mkakati wetu ni kuanza kutoa hamasa katika shule za msingi na sekondari na kuelekea kwenye kundi la watu wazima. Ni matarajio ya Mkoa kuwa Mkakati huu wa kuhamasisha jamii utafaulu na mkoa utakuwa na soko kubwa la ndani la mazao ya mifugo na hivyo kuwa tayari kukabiliana na ongezeko tarajiwa la mazao ya mifugo kama matokeo ya matumizi ya mifugo bora na mbinu bora za ufugaji. Haya ni matokeo ya muda mrefu ya Mkakati huu. 10. Kuimarisha huduma za ugani wa Mifugo zinazotumainika na endelevu Ili kuwa na sekta ya mifugo inayolenga kumkomboa mfugaji, ni lazima kuwe na. Elimu sahihi kwa wafugaji. Hii ni kutokana na ukweli kuwa Elimu sahihi kwa wafugaji ni moja ya nguzo kuu za kuleta mabadiliko ya kimtazamo na hivyo wafugaji kuondokana na ufugaji wa jadi usiozingatia utaalamu wowote na kuhesabu mifugo yao kuwa ni Benki Kwato tu kwa ajili ya kukabiliana na majanga pindi yanapotokea. Mtazamo huu hauna budi kubadilishwa na mabadiliko ni matokeo ya kuelimika na elimu itakayotolewa na Maafisa Ugani wa mifugo na wadau wengine wa mifugo walioko mkoani Tabora. Hata hivyo, mkoa wa Tabora wenye jumla ya Kata 135 na vijiji 488 unahitaji jumla ya wataalamu wa mifugo 124 ngazi ya Kata na wataalamu 428 ngazi ya vijiji (kata na vijiji/mitaa vya miji mikuu ya mkoa na wilaya imeondolewa itashughulikiwa na maafisa walioko Makao makuu ya wilaya) Hali halisi ilivyo sasa ni kuwa mkoa wote una jumla ya wataalamu wa fani ya mifugo 78 ngazi ya kata na hakuna wataalamu katika ngazi ya vijiji. Hali hii haiwezi kuwezesha upatikanaji wa mabadiliko ya wafugaji kwa haraka. Hili ni eneo moja lenye udhaifu mkubwa katika mkoa linalozingatiwa katika mkakati huu. Ili kukabiliana na upungufu mkubwa wa wataalamu katika ngazi ya vijiji, Mkoa utachukua hatua zifuatazo:-

1. Kila Wilaya ifanye tathmini ya Idadi na Mtawanyiko wa Mifugo katika wilaya na kubaini maeneo yaliyo na mifugo mingi kuliko maeneo mengine ya wilaya. Lengo la tathmini hii ni kuwaelekeza wataalamu wa mifugo katika maeneo yenye mifugo mingi kwanza na ikiwa kuna ziada ya wataalamu basi watapangwa kwenye maeneo yanayofuatia kwa wingi wa mifugo.

242

Page 250: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

2. Kila Halmashauri ya wilaya ihakikishe kuwa wataalamu wa huduma za ugani wa mifugo waliopo katika wilaya zao wanawezeshwa kwa kupewa vitendea kazi hususan nyenzo za usafiri (pikipiki) kupitia fedha za ASDP fungu la Huduma za Ugani (Extensión Block Grant ) na fungu la kujenga uwezo (Capacity Building Block Grant) na pia wilaya kutenga fedha kutoka katika fedha za LGCDG ili kununua pikipiki kwa ajili ya wataalamu wa ugani wa mifugo. Aidha chini ya mpango huu, wataalamu wa mifugo wa ugani watahudumia maeneo ya vijiji vya jirani yaani “Extended jurisdiction” ambapo watakuwa na eneo la ziada la kuhudumia jirani na vijiji walivyopangiwa rasmi kwa ajili ya utoaji wa huduma za ugani unaozingatia mtawanyiko na wingi wa mifugo.

Pamoja na kwamba Kisera, wataalamu wa ugani kazi yao kubwa ni kuwashauri wafugaji, mkoa umedhamiria kuwawezesha wataalamu hawa watoe huduma za ushauri na zile za kitaalamu hususan Tiba na Ufuatiliaji (Disease Treatment & Surveillance) kwenye kata na vijiji vyao maalumu hii imechukuliwa kutokana na ukweli kwamba sekta binafsi bado haijajijenga katika maeneo mengi waliko wafugaji na matokeo yake wafugaji wenyewe wamegeuka kuwa wataalamu wa mifugo yao pasipo kuwa na utaalamu licha ya kuwa wanao uzoefu wa kukaa na mifugo kwa muda mrefu. Kwa kuwawezesha wataalamu waliopo, afya ya mifugo itaangaliwa kwa karibu na hivyo kupunguza kuenea kwa magonjwa hatari ya mifugo hasa magonjwa yanayoweza kutibiwa na kuvunja mnyororo/mzungungo wa mwenendo wa magonjwa husika. Ili wataalamu hawa waweze kufanya kazi hizo, kila Halmashauri itafanya yafuatayo:-

(a) Kuwapatia wataalamu wote wa mifugo vifaatiba walioko katika vijiji na kata maalumu za afya ya mifugo (Vipima joto, sindano, dawa na vichukulia sampuli).

(b) Vituo vyote vya maendeleo ya Mifugo (LDCs) vilivyopo katika kila kata vitafufuliwa na kuwezeshwa pia kujenga vituo vingine pale ambapo vinahitajika kuwepo kutokana na mtawanyiko na idadi ya mifugo ili kuchukua majukumu ya tiba na ufuatiliaji wa magonjwa ya mifugo. Vituo hivi vyote vitapatiwa vifaa muhimu vya kazi kama vile Darubini (Light microscope), Jokofu la mafuta ya taa, vifaa vya sampuli (kuchukulia na kuhifadhi), madawa (reagents) za uchunguzi wa viini vya magonjwa ya mifugo.

(c) Kila Halmashauri itachukua hatua madhubuti za kuanzisha, kusimamia na kuimarisha Maabara za Wilaya kwa ajili ya kufanya uchunguzi wa viini vya magonjwa ya mifugo kabla ya kuelekeza aina ya tiba kwa wafugaji.

(d) Halmashauri zilizo na wadau wa mifugo wa Sekta binafsi na mashirika ya dini zitaongeza ushirikiano kwa karibu zaidi ili kuunganisha nguvu na msukumo zaidi katika maeneo yenye upungufu kitaaluma ili kuboresha huduma zinazotolewa na taasisi hizo.

11. Kuanzisha, kuimarisha na kusimamia Mashamba darasa ya Mifugo. katika Wilaya zote za mkoa wa Tabora kuanzia msimu ujao wa fedha Lengo la hatua hii ni

(i) Kuongeza idadi ya wafugaji watakaofikiwa na wataalamu wa mifugo wa huduma za ugani na kuwapatia mbinu bora na rahisi kwa ajili ya ufugaji wa kisasa wenye tija

243

Page 251: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

Ili kila wilaya iweze kutekeleza jambo hili kwa ufanisi zaidi, kila wilaya kupitia katika uongozi wa vitongoji na vijiji ipate idadi kamili na aina ya mifugo iliyopo katika mamlaka husika sambamba na kupata kaya zinazofuga. Inatarajiwa kuwa zoezi hili likikamilishwa kwa usahihi wilaya zitaweza kupanga Mashamba darasa haya kwa urahisi zaidi katika kila kitongoji na kijiji Hapa vile vile ni muhimu kwamba pale ambapo wilaya zitafaulu kuanzisha ranchi, basi mashamba darasa ya ufugaji yataanzishwa katika vijiji vinavyozunguka ranchi hizo

(ii) Kupata wafugaji Wahitimu watakaoweza kuwasaidia wengine katika kufikia ufugaji

bora Taarifa hizo muhimu kwa kila kitongoji zitapatikana kwa kuwatumia wenyeviti wa vitongoji ambao watawezeshwa kukusanya takwimu hizo kwa kutumia fomu rahisi zenye umbile lifuatalo. Jina la Kitongoji…………………..Kijiji…………………Kata…………………. Jina la Mwenyekiti wa Kitongoji……………….Idadi ya kaya zote……….Kaya za wafugaji………………………..Eneo lote la Kitongoji……………………….(Ha/Ekari)

Na. Jina la Mkuu wa Kaya

Aina na Idadi ya Mifugo aliyonayo mfugaji

Ng’ombe Mbuzi Kondoo Kuku Bata Kanga Punda Nguruwe Mbwa

JUMLA Kwa kutumia fomu hii, kila kijiji kitaweza kupata idadi ya mifugo iliyopo katika kijiji na hivyo kuweza kupanga jumla ya Mashamba Darasa yanayoweza kuanzishwa katika kitongoji na kijiji kwa kuzingatia idadi ya wafugaji 25 -30 wanaoweza kuunda Shamba darasa moja na matokeo ya kazi hii ndiyo yatakayokuwa msingi wa kuwapanga upya wataalamu wa ugani wa mifugo katika wilaya. Vile vile ukamilifu wa zoezi hili utakuwa ndicho kigezo maalumu cha kutumia katika kuamua ni eneo kiasi gani litatumika kwa shughuli za ufugaji na hivyo kufahamu idadi ya mifugo inayotakiwa katika kila kijiji kwa ajili ya ufugaji endelevu unaohifadhi mazingira (Angalizo:- ng’ombe mmoja mkubwa anahitaji kuwa na eneo la ukubwa wa hekta 2.5 za malisho kwa mwaka). (e) Kwa kuwa idadi kubwa ya mifugo inayofugwa katika mkoa wa Tabora ni mifugo ya asili (Traditional/indigenous stocks) aina hii ya mifugo licha ya kuwa ina faida zake kwa upande wa uvumilivu wa magonjwa (endemic stability) kutokana na kukaa na magonjwa hayo kwa muda mrefu bado aina hii ya mifugo haina mwelekeo wa kumkomboa mfugaji kutoka katika lindi kubwa la umaskini. Mkoa umebaini kuwa jamii za wafugaji mkoani Tabora ndizo zilizo na viwango vya umaskini wa hali ya juu.

244

Page 252: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

12. Kuimarisha uzalishaji wa mifugo bora kwa njia ya Uhamilishaji. Nia ya mkoa ni kuhakikisha kuwa wafugaji wanaondolewa kwenye ufugaji huu wa asili usio na tija kwa utaratibu mzuri bila kuathiri baadhi ya faida za wanyama na ndege hawa wa asili kwa kuboresha Kosaafu za mifugo hii kwa kuwa moja ya sababu za uzalishaji mdogo wa mazao ya mifugo na mifugo yenyewe kukua kwa kasi ndogo sana ni Kosaafu duni (Low Genetic Potential) za mifugo yetu sambamba na upungufu wa malisho na ubora wake. Ili kuondokana na kikwazo hiki, mkoa utachukua hatua za kuhamasisha wafugaji kufuga mifugo iliyo na Kosaafu za hali ya juu (High Genetic potential) kwa njia mbali mbali kubwa kabisa ikiwa ni ile ya Uhamilishaji (Artificial Insermination) sambamba na matumizi ya dume pale inapolazimika kufanya hivyo. Zoezi hili la Uhamilishaji litafanyika kwa uangalifu mkubwa katika maeneo mbali mbali ya mkoa. Mkoa umegawa maeneo yake katika Kanda Maalumu tatu za Uzalishaji wa Mifugo kama ifuatavyo:-

1. Kanda Namba: I Hii ni Kanda ya wafugaji walio katika miji mikubwa ya mkoa na wilaya (Urban Livestock Keepers). Kwa Kanda hii mkoa unawahimiza wafugaji kufuga mifugo yenye ubora wa hali ya juu (High graded livestock) ambapo mifugo katika Kanda hii watakuwa ni ng’ombe wa Maziwa, Kuku wa Nyama na Mayai. Uzalishaji kwa Kanda hii utalenga matumizi ya mbegu na madume bora kwa uzalishaji wa maziwa, mayai na kuku wa nyama. Katika kanda hii kuna huduma nzuri za tiba na uchunguzi wa magonjwa na pia ni rahizi kupata vyakula vya ziada kwa mifugo. Uhamilishaji katika kanda hii utatumia mbegu za ng’ombe bora wa maziwa na hii itakuwa ndiyo kanda kuu ya uzalishaji wa maziwa, mayai na kuku wa nyama.

2. Kanda Namba II: kanda hii itahusu maeneo yote yaliyoko pembezoni mwa miji mikuu

ya wilaya (Peri-urban livestock keepers). Eneo hili litajumuisha wafugaji wote walioko umbali wa kilometa 25 kutoka pembezoni mwa miji mikuu ya wilaya kwa mzunguko. Kanda hii itakuwa na sura mbili za ufuagaji ambapo kwa kiasi kidogo sehemu ya wafugaji wanafanana na wafugaji wa mijini lakini sehemu fulani inafanana na wafugaji wa pembezoni kabisa (Marginal areas). Wafugaji katika kanda hii wanaweza kupata huduma za mifugo kutoka kwa wataalamu walioko katika miji ya wilaya. Wafugaji walioko katika Kanda hii wanafuga mifugo yao wakati mwingi kwa kuwachungia nje na nyakati fulani mifugo hufungiwa ndani (Semi intesive livestock keeping). Mkoa unaelekeza kuwa mifugo katika kanda hii watakuwa ni watoa mazao mchanganyiko (Dual Purpose Breeds) kwa ajili ya kutoa maziwa na nyama wastani. Hapa tutafuga mifugo Chotara (Cross breds). Katika hatua za Uzalishaji kanda hii itatumia njia ya Uhamilishaji na madume bora ili kupata ndama chotara wanaotoa maziwa na nyama japo wanadumisha kwa kiwango fulani uvumilivu wa magonjwa kwa asili (endemic stability). Mkoa unaelekeza kuwa aina ya mbegu na madume bora yatakayotumika katika Kanda hii ni ng’ombe aina ya Mpwapwa na Sahiwal.

3. Kanda Namba III: Kanda hii itahususha maeneo yote yaliyoko nje ya Kanda namba

II. Sifa kuu za kanda hii ni kuwa haya ni maeneo ya pembezoni sana mwa kila wilaya mahali ambapo kuna huduma kidogo sana za mifugo au hakuna kabisa, lakini huku

245

Page 253: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

ndiko kuna kundi kubwa la mifugo inayoufanya mkoa wa Tabora kuwa mkoa wa nne kitaifa kwa idadi kubwa ya mifugo. Uzalishaji katika kanda hii ni wa hali ya chini kabisa na mifugo hutembea umbali mrefu katika majira ya kiangazi kutafuta maji na malisho na huduma za afya ya mifugo hutolewa na wafugaji wenyewe tu. Kanda hii ndiyo yenye wafugaji wenye makundi makubwa ya mifugo na ndio wanahama na mifugo yao na wakati mwingine kusababisha migogoro katika hifadhi za MaliAsili. Kwa kuifahamu vizuri kanda hii, mkoa sasa utaelekeza nguvu zake nyingi katika kanda hii. Kwa kufanya mambo muhimu yafuatavyo

• Katika Kanda hii uzalishaji wa mifugo hususan ng’ombe utatumia mbegu bora na

madume bora aina ya Boran kwani aina hii ya ng’ombe huvumilia mazingira magumu yaliyoko katika kanda hii.

• Wafugaji katika kanda hii watahimizwa kujiunga pamoja ili kuibua miradi ya uchimbaji wa malambo na mabwawa pia visima virefu kwa ajili ya kuvuna maji ya mvua kwa matumizi ya mifugo kupitia fedha za ASDP

• Mkoa utashirikisha jamii kufungua njia/barabara vijijini (rural roads) ili kurahisisha ufikishwaji wa huduma za mifugo na pembejeo vijijini

• Mkoa utahimiza kuongeza kasi ya uundaji wa Mashamba Darasa ya Mifugo katika kanda hii ili kuongeza uwezekano wa upatikanaji wa Huduma za Ugani kwa wafugaji

• Wataalamu wengi (Raslimali watu) zaidi wa mifugo watapangwa katika kanda hii na kuwezeshwa kwa nyenzo za usafiri na vitendea kazi na hata nymba za kuishi ili waweze kutulia na kuwasaidia wafugaji.

• Sehemu kubwa ya fedha za uwekezaji DADG zitaelekezwa katika kanda hii. • Juhudi kubwa sana zitaelekezwa katika kanda hii ili kutoa elimu ya kutosha juu

ya ufugaji bora kwa wafugaji ili pole pole waondokane na vizuizi (Barriers) vya Mila na Desturi za ufugaji wa asili.

• Msukumo mkubwa pia utakuwa katika kuwatoa wafugaji katika kanda hii ili hatimaye wafuge kwa mfumo wa kanda namba II.

Kwa mfumo wa Kanda hizo maalumu kwa ajili ya ufugaji na uzalishaji wa mifugo, mkoa utatumia aina za mbegu bora za mifugo kulingana na mahitaji na hali halisi ya Kanda husika kwa vile halitakuwa jambo la busara kupeleka ng’ombe aina ya Friesian au Ayrshire katika kanda namba III.

246

Page 254: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

Kanda I

Kanda II

Kanda III

(Kielelezo cha mfano wa Kanda zinazobuniwa) 13. Kuimarisha Viwanda na Masoko ya mifugo katika mkoa wa Tabora kwa kubaini na kutangaza fursa zilizopo zinazoweza kuwavutia wawekezaji wa ndani na nje kwa ajili ya kufungua viwanda vya kusindika mazao ya mifugo kama vile maziwa, nyama na ngozi, pembe na hata kwato.. Suala la viwanda na masokokatika mkoa bado ni duni sana licha ya kuwa na idadi kubwa ya mifugo. Mkoa umekwisha baini eneo la Kisasiga lenye ukubwa wa ekari106,240 (Hekta 42,496) katika wilaya ya Nzega eneo ambalo likiendelezwa linauwezo wa kufuga jumla ya ng’ombe 14,166 wa nyama kwa mwaka. Pia mkoa unachukua hatua za kubaini na kupima maeneo yanayofaa kwa uwekezaji (Investment Zone) ili yatengwe na kuwekewa miundombinu muhimu kama vile maji, barabara na umeme na kisha kuyatangaza kwa wawekezaji. 14. Kuendeleza ufunguzi wa minada mingi ya awali (primary livestock markets). Lengo ni kuwarahisishia wafugaji kukutana na wanunuzi kwa urahisi na haraka zaidi kuliko

247

Page 255: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

ilivyo sasa ambapo wafugaji wote hutegemea jumla ya minada 13 ya awali na minada 2 tu ya upili. Hali hii hupunguza kasi ya kuuza na kununuliwa kwa mifugo. 15. Kuhimiza wafugaji kuunda Umoja wa Wafugaji Tabora (Tabora Association of Livestock Keepers- TALK) ili chombo hiki kitumike kutafuta masoko ya mifugo na kuiuza kwa bei nzuri. Aidha, wafanyabiashara wa mifugo mkoani watahamasishwa pia kuunda Umoja wa Wafanyabiashara wa Mifugo Tabora (Tabora Livestock Marketing Association TLMA) kwa lengo la kupata nguvu ya kuyafikia masoko yaliyoko nje ya Mkoa wa Tabora na Taifa la Tanzania kwa ujumla ili kuuza mifugo yao kwa bei nzuri zaidi. 16. Kuongeza jitihada za kudhibiti wafugaji wahamiaji wanaoingia katika mkoa wa Tabora bila kufuata taratibu za uhamishaji wa mifugo. Mkakati huu unalenga kuwa na idadi ya mifugo inayolingana na maeneo ya malisho yaliyoko katika mkoa na kuepusha migogoro ya wafugaji na jamii ya wakulima pia baina ya wafugaji na mamlaka zinazosimamia maeneo yaliyohifadhiwa. Kwa muhutasari, Mkakati wa Kuendeleza Mifugo Mkoa wa Tabora unakusudia kutekelezwa kwa kuzingatia maeneo makuu (Thematic Areas) yafuatayo:-

A Aina ya Mifugo na Mifumo ya uzalishaji. • Mikakati ya kuboresha mifugo ya asili iliyopo inalenga kuboresha Kosaafu za mifugo

kwa kutumia mbegu na madume bora kwa kuzingatia Kanda maalumu za ufugaji bila kuathiri ustahimilivu wa magonjwa na ukame kwa mifugo katika kanda husika.

• Vile vile, mkoa utakuwa na mahusiano ya karibu ya kitaalamu na Kituo cha Taifa cha Uzalishaji wa Mbegu bora za ng’ombe kilichoko Arusha ili kuhakikisha kuwa maombi ya aina ya mbegu zinazotakiwa kikanda yanawasilishwa na kupatikana kwa mbegu hizo mapema kwa wafugaji. Aidha, mahusiano kitaaluma pia yatadumishwa baina ya mkoa na taasisi za utafiti wa Mifugo nchini ili kupata na kutumia matokeo ya tafiti hizo katika kubadili mwelekeo wa ufugaji katika mkoa.

• Wafugaji walioko katika kanda maalumu wataelimishwa juu ya mbinu za ufugaji bora wenye tija kupitia mpango wa Mashamba Darasa ya Mifugo

• Wafugaji wataendelea kuelimishwa juu ya ufugaji endelevu unaotunza mazingira ha hivyo kuwaelekeza kufuga idadi ya mifugo inayolingana na ukubwa wa maeneo ya kuchungia

• Kuanzisha na kuendeleza maonesho na mashindano ya Ufugaji Bora kila mwaka kiwilaya na Kimkoa washindi watazawadiwa zawadi za kuwa vivutio kwa wengine ili nao waige ufugaji huo bora.

• Kila wilaya itaainisha maeneo maalumu ya kufugia na kuyaendeleza kwa kuweka miundombinu yote muhimu.

B Huduma za Ugani

• Kila wilaya inahimizwa kuanzisha mashamba darasa ya mifugo kwa kufuata Mwongozo wa Taifa wa Kuanzisha Mashamba Darasa ya Mifugo uliotolewa na Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi

248

Page 256: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

• Chini ya Mpango huu wa Mashamba Darasa ya Mifugo, mkoa utawapata wafugaji wawezeshaji katika kila kijiji watakaopewa Mikoba kwa ajili ya msaada wa huduma ya kwanza ya mifugo.

• Wataalamu wengi wa huduma za ugani wataelekezwa katika Kanda Namba III na II zaidi ili waweze kutoa huduma zinazotakiwa huko.

• Wataalamu wa mifugo walioko katika Kanda Namba III watapewa kipaumbele katika kupatiwa nyenzo za usafiri na kutafutiwa nyumba za kuishi

• Vituo vya Maendeleo ya Mifugo (LDCs) vitafufuliwa na kujengwa vituo vipya na kuviimarisha kwa kuweka vifaa tiba

• Wataalamu wa mifugo wa huduma za ugani watapatiwa vijitabu vya Rejea (Animal Diseases Fact Sheets For Field Veterinary Staff In Tanzania) juu ya magonjwa ya Mifugo sambamba na Mwongozo wa Utendaji kazi kwa wataalamu wa mifugo (Standard Oprating Procedures – {SOPs} and Job Description of Field Veterinary Staff in Tanzani) vyote vinatolewa na Wizara ya Maendeleo ya Mifugo. Lengo la kuwapatia vijitabu hivi ni kuwaweka katika hali ya ufahamu wa magonjwa, majukumu, miiko na uwajibikaji katika kazi zao.

• Kuanzisha ofisi ya Afisa Mifugo wa Tarafa • Wataalamu wote wa vijiji na kata watakuwa na madaftari ya Huduma za mifugo

likiwa na Ramani ya Kijiji/Kata, Mpango Kazi unaotekeleza sambamba na Ratiba ya kazi zake za kila robo.

C Upatikanaji wa maji kwa ajili ya mifugo Suala la upatikanaji wa maji katika nyanda zamalisho ni la msingi kwani maji hayatoshelezi mahitaji ya mifugo kwa mwaka wote. Katika Mkakati huu mkoa unachukua hatua zifuatazo:-

• Vyanzo vya asili vya maji vilivyoko vitahifadhiwa na kulindwa kwa kutumia sheria ndogo za hifadhi ya vyanzo vya maji

• Wafugaji watahamasishwa kuchangia na kushiriki katika gharama za uchimbaji au kukarabati malambo/mabwawa na visima virefu sambamba na kuhifadhi vyanzo hivyo vya maji.

• Maandiko ya miradi ya ujenzi wa miundombinu muhimu kwa sekta ya mifugo itaandaliwa na kutumika kutafuta fedha za ujenzi wa miundombinu hiyo kwa wadau mbali mbali wa sekta ya ya Kilimo na Mifugo.

D Upatikanaji wa Malisho Ili kuwa na malisho ya kutosha mkoa unasisitiza ufugaji unaoelekeza idadi ya mifugo kulingana na eneo la malisho lilipo. Hivyo, mkoa utatekeleza yafuatayo:-

1. Kutoa elimu kwa wafugaji kuhusu matumizi bora ya malisho yaliyopo na jinsi ya kuyaboresha kwa kuyaongezea ubora (Nutritional quality)

2. Kupanga matumizi bora ya ardhi kwa kubaini, kutenga na kulinda maeneo kwa ajili ya malisho ya mifugo na kumilikisha pia kusaidia kuharakisha utolewaji wa hati miliki ardhi kwa urahisi.

E Magonjwa ya Mifugo Mikakati mahususi ya kukabiliana na magonjwa ya mifugo itahusu:-

249

Page 257: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

250

1. Kuwa na mfumo wa utoaji Taarifa za afya ya mifugo kwa njia rahisi, sahihi na haraka 2. Kuimarisha vituo vya Maendeleo ya Mifugo (LDCs) 3. Kuwa na Maafisa Mifugo Tarafa wenye shahada za Tiba ya Mifugo na Sayansi ya

Wanyama 4. Kuimarisha mfumo wa Ufuatiliaji (Surveillance) wa magonjwa ya mifugo katika mkoa. 5. Kuimarisha miundombinu ya kudhibiti magonjwa ya mifugo. 6. Kuanzisha na kuimarisha miundombinu ya mawasiliano.

F Viwanda na Masoko Mkoa unahitaji kuwa na Viwanda na masoko ya uhakika wa mazao ya mifugo. Ili kufikia azma hii mkoa una Mikakati ifuatayo:-

1. Kutangaza fursa zilizopo ili wawekezaji wavutiwe na fursa hizo na kuja kuwekeza 2. Kutangaza taarifa za masoko ya mifugo na mazao yake kwa wadau wa sekta kwa

kutumia vyombo vya habari mahalia (Local Mass Media) 3. Kuhamasisha jamii juu ya kujenga tabia ya ulaji wa mazao ya mifugo ili kuongeza na

kupanua soko la ndani. 4. Wafugaji na wafanyabiashara wa mifugo wataunda vyama vyao ili kupata nguvu katika

masoko ya mifugo na mazao yake. 5. Kutoa mafunzo kwa wadau ili waweze kusindika mazao ya mifugo ndani ya mkoa wa

Tabora. 6. Kufungua minada mingi ya mifugo katika mkoa

Page 258: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

Livestock Production in the World - An overview

Mtenga, L.A1*., Mbassa, G.K2*., Mlangwa, J.E.D3., Kimera, S.I3., Mdoe, N.Y4 and Mushi,D.E1.

1Sokoine University of Agriculture, Department of Animal Science and Production, P.O Box 3004,

Morogoro, Tanzania.

2Sokoine University of Agriculture, Department of Veterinary Anatomy, P.O Box 3016, Morogoro, Tanzania.

3Sokoine University of Agriculture, Department of Veterinary Medicine and Public Health, P.O Box

3021, Morogoro, Tanzania.

4Sokoine University of Agriculture, Department of Agricultural Economic and Agribusiness , P.O Box 3009, Morogoro, Tanzania

*corresponding authors: [email protected] (+255784348278), [email protected]

(+255754324040)

“I want there to be no peasant in my kingdom so poor that he is unable to have a chicken in his pot every Sunday.” Henri de Bourbon, 1598

1. Introduction

Livestock are kept for many reasons, which have varied with time. In many countries, livestock are found in all ecosystems and in most households. The livestock sector is expected to contribute to the Millennium Developments Goals (MDG), especially MDG No1 that is to halve the proportion of people whose income is less than US$ 1 a day and to cut by half the number of those who suffer from hunger between 2000 to 2015. The 2008 World Development Report on Agriculture gives estimates that livestock are the main livelihood asset for up to 200 million pastoralists and agro pastoralists in arid and semi-arid environments worldwide. In Africa and other countries, livestock has many roles and functions; people benefit in many ways and the functions are multiple depending on the production systems. These functions to some extent determine the management of these animals (Owen et al., 2006, Kitalyi et al., 2005). These functions/benefits include:

1. Output function: Livestock produce food and non-food materials (hides, skins wool and provide transport services).

2. Input function: Livestock provide intermediate products such as animal traction for agricultural field work, transportation or other purposes and manure used as fertilizer, organic materials or fuel. Livestock also convert crop residues and fibre materials of no value into protein of high quality.

3. Asset and security functions: Livestock have the characteristics of a capital investment yielding an interest in the form of milk, eggs, etc. They are a safe

251

Page 259: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

252

and durable form of storing and increasing wealth, especially if there is no financial system to ensure this function.

4. Social and cultural function: Livestock are involved in social exchange within families or with other social groups. Slaughtering for traditional feasts or religious ceremonies gives social rewards for the cattle owners and reinforces family and social links. Livestock have a cultural function in various societies.

Almost all of the poor people are in developing countries. It is estimated that 76 per cent of the poor in developing countries are in rural areas (Gryseels et al., 1997) and two-thirds of the rural poor are livestock-keepers (LID, 1999). It is reasonable to hypothesize that, providing there is an increased demand for livestock products, improving the production and productivity of livestock kept by resource-poor people would improve livelihoods and alleviate poverty. Policy and institutional changes in the livestock sector, and the growing demand for meat, milk and other livestock products, will affect poor livestock producers in many ways. While the issue of commercialization of livestock is gaining momentum in Africa and other developing countries due to ever increasing demand of livestock products, policy makers will need to develop policy to protect the poor livestock keepers. This paper gives ″a birds view″ of livestock situation in the world with emphasis on Africa. Lessons that Tanzania can learn for improved livestock production are highlighted. 2. Situational Analysis 2.1. Geographical distribution of livestock The world distribution of livestock by region (Tables 1 and 2) indicates that majority of all livestock are in developing world: 77% of cattle, 79% of sheep and goats, 70% of pigs and 73% of poultry. Differences in the importance of various species by region are also notable. For example ruminants are most important in Sub Sahara Africa (SSA) and Latin America and Caribbean (LAC) where there are vast areas of savannah and low population densities. Poultry are most important in East Asia and Pacific and LAC. These are regions with either high economic growth or with middle income countries with high degree of urbanization and adequate market infrastructure. Livestock population in some selected Sub Saharan countries in numbers and percentages are shown in Table 2. Although no attempt was done to relate livestock numbers in relation to unit area size and /or per household, it is pertinently clear there is vast differences in livestock numbers between countries in SSA. Ethiopia has highest number of cattle herd of 43,000,000(20% of total SSA cattle), followed by Sudan of 41.404,000 (19%) and Tanzania of 18,800,000 cattle (8%). With respect to small ruminants, Sudan is leading with 50,940,000 animals(14%), followed by Ethiopia (7%), South Africa(7%) and Tanzania (6%).

Page 260: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

Table 1: Geographic distribution of livestock Sheep and

goats Cattle Pigs Poultry Region

Million heads

Million heads

Million heads

Million heads % % % %

Sub Saharan Africaa 219 16.05 365 19.73 22 2.33 865 4.97 Near East and North Africaa 23 1.69 205 11.08 0 0 868 4.99 Latin America and Caribbeana 370 27.13 112 6.05 70 7.42 2343 13.47 North Americaa 110 8.06 10 0.54 74 7.85 2107 12.11 East Europe and Central Asiaa 84 6.16 121 6.54 72 7.64 1160 6.67 West Europea 83 6.09 119 6.43 125 13.26 1072 6.16 East Asia and Pacifica 184 13.49 514 27.78 543 57.58 7168 41.20 South Asiaa 244 17.89 303 16.38 15 1.59 777 4.47 Industrial worldb 318 23.31 390 21.08 284 30.12 4663 26.80 Developing worldb 1046 76.68 1460 78.91 659 69.88 12735 73.20 World 1364 100 1850 100 943 100 17398 100 aAverage 2000-2005 number bReported number for 2004. Source: FAOSTAT (2007), Sere et al 2008. Table 2: Population of livestock in selected countries in Sub-Sahara Africa

Cattle Sheep and Goats Pigs Poultry Country ‘000

heads ‘000

heads ‘000

heads ‘000

heads % % % %

2400 300 5.5 4,000 Botswana 1.1 0.08 0.03 0.46 479 293 189 4,700 Burundi 0.22 0.08 0.86 0.54 754 901 963 19,800 DRC 0.34 0.25 4.38 2.29 1960 2,120 1,380 Eritrea 0.89 0.58 0.16 43000 26,117 29 3,600 Ethiopia 19.63 7.18 0.13 0.42 12900 9,428 304 27,495 Kenya 5.89 2.60 1.38 3.18 9600 715 1,350 25,000 Madagascar 4.38 0.20 6.14 2.89 950 470 270 2,000 Rwanda 0.43 0.13 1.23 0.23

41404 50,944 35,000 Sudan 18.91 14.00 4.05 Tanzania1 18800 22300 455 30,000 8.22 6.13 2.07 3.47

7182 1,697 2,122 26,950 Uganda 3.28 0.47 9.65 3.11 13911 25,082 1,651 126,000 South Africa 6.35 6.69 7.5 14.57 65660 223633 61.61 16011.5 66.63 559075 64.63 Others 30.36 219000 100 364000 100 22000 100 865000 100 SSA

FAOSTAT (2008); 1MLDF (2008)

253

Page 261: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

2.2. Market demand and supply for livestock products Projections based on the high rate of human population growth (Fig 1) and the proportion of people with higher incomes by IFPRI in 2007 estimated that by 2050, consumption of meat per capita will double in Sub-Saharan Africa, increase by 82% in Asia, 65% in the Middle East and North Africa, compared to the consumption rates in the year 2000 (Table 3, fig.2) Projection of global demand for meat, milk and pigs will increase from 7.3, 18.6 and 1.1 MT in 1994 to 20, 45 and 2.9 MT in 2020, respectively (Tacher et al., 2006). The key driver to long term increase in food demand is human population growth. It is expected to reach nine billion people by 2050, over 95% of this growth occurring in developing countries where 86% of the world’s population will live. Nutrition revolution is also a driver of livestock product demands because of millions of new entrants from poor to the middle class status, especially in Asia and the Middle East. There will continue to be a shift away from traditional staples such as roots and tubers to increased consumption of livestock products particularly meat and dairy products. By 2007 Chinese annual average (per capita) meat consumption increased to 50 kg from 20 kg in 1985. China alone accounts for 57% of the rise in total meat consumption in developing countries.

Figure 1: World human population (medium variant), 1950-2050

Source: Population Division of the Department of Economic Affairs of the United Nations Secretariat (2006)npp.

254

Page 262: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

Table 3: Past and projected consumption and production of Livestock

products

Developing countries Developed countries 1980 1990 2002 2015 2030 1980 1990 2002 2015 2030 Consumption Annual per-capita meat consumption (kg)

14 18 28 33 38 73 80 78 83 88

Annual per-capita milk consumption (kg)

34 38 46 57 67 195 200 202 204 211

Total meat consumption (million tons)

47 73 137 191 257 86 100 102 113 122

Total milk consumption (million tons)

114 152 222 330 449 228 251 265 278 292

Production Annual per-capita meat production (kg)

14 18 28 33 38 75 82 80 85 91

Annual per-capita milk production (kg)

35 40 50 62 73 300 301 266 270 280

Total meat production (million tons)

45 43 134 190 255 88 103 105 116 126

Total milk production (million tons)

112 159 244 359 491 352 378 349 369 387

Source: FAO, 2006b&c

Source: IFPRI, 2007

Figure 2. Expected increase in per capita meat consumption (2000 vs 2050)

255

Page 263: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

2.2.1 Estimated demand and supply gaps Figure 3 presents projected demand and supply differences by 2010 for meat and milk, in each country in East Africa, based on the current levels of per capita consumption of meat and milk (which are significantly lower than FAO recommended levels of 50 Kg of meat and 200 litres of milk per year). Projections show that the region has a net deficit of both meat and milk products (Fig. 3; Tables 4 & 5). This deficit is likely to increase with increase in per capita consumption that result from increased income, urbanization and the initiatives currently being taken to promote consumption of livestock products. These projections provide an important scenario and justification for promotion of regional trade. There are therefore opportunities for expanded trade in livestock and livestock products within each country and between the countries in the East African region. It is expected that the demand will continue to increase, because of positive trends in population growth, elevated income, urbanization and supermarket services. Most of the demand for livestock products arise from urbanization and increase in income in urban areas. In this new and expanding market for livestock products, apart from those consumed in urban households there is higher consumption away from home in hotels, restaurants and fast food businesses. Supermarket services, which are important aspect of urbanization, offer opportunities for increased trade in high quality livestock products. Supermarkets are spreading rapidly in the region and have registered significant presence in major cities, spreading into smaller towns (Table 6). Figure 3: An estimate of demand and supply of meat and raw milk in the EAC region

b) Raw Milk

-

1

2

3

4

5

6

7

Burun

d+Rw

anda

Keny

a

Tanza

nia

Ugand

a EAC

Mill

ions

Milk

in M

T

Demand

Production

a) Meat

-

200

400

600

800

1,000

1,200

1,400

1,600

Burun

di+Rw

anda

Keny

a

Tanza

nia

Ugand

a EAC

Thou

sand

s

Mea

t in

MT

Demand

Production

Source: AU-IBAR and NEPDP (2006)

256

Page 264: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

Table 4: Meat production per capita (Kilograms per person)

Country 1997 2000 2003 2006 Asia 23.39 25.23 27.35 30.11 Central America & Caribbean 33.62 36.68 37.58 40.67 Europe 68.91 70.66 71.53 70.12 Middle East & North Africa 20.65 21.64 22.14 22.30 North America 124.79 131.92 131.80 135.82 Oceania 170.95 174.39 177.17 173.68 South America 68.07 74.61 79.72 84.66 Sub-Saharan Africa 11.68 11.82 11.89 11.81 South Africa 35.05 39.13 40.04 43.68 Botswana 40.13 33.38 28.37 32.02 Ethiopia 7.12 6.94 7.55 7.58 Kenya 14.17 11.99 14.47 14.66 Uganda 9.85 10.05 9.01 8.81 Tanzania1 9.23 9.87 9.93 9.34 Developed Countries 76.70 79.83 80.84 81.74 Developing Countries 25.00 26.91 28.75 30.98 Source: Modified from FAOSTAT 2008 1Currently estimated at 11 kg/person/year (Njombe and Msanga, 2008; Mtenga, L.A Pers. Communication)

Table 5: Estimated annual production of products from slaughtered animals

Country Beef Goat and Sheep Poultry Meat(MT)

Pig Meat

Milk (MT)

Eggs (Numbers)(MT) Meat (MT)

(MT) Burundi 9,000 4,000 5,000 5,000 19,000 3,000Kenya 290,000 53,000 20,000 12,000 4,000,000 1,255,000Rwanda 19,000 3,000 1,000 3,000 120,000 2,000Tanzania 370, 000 40,000 41,000 13,000 715,000 63,000Uganda 97,000 31,000 41,000 78,000 511,000 20,000Total 785,000 131,000 108,000 111,000 5,365,000 1,343,000

Source: National Statistics Table 6. Trends in share of supermarkets in total food retail for selected countries

Wave of diffusion and average market share Country Supermarket share in food retail (%)

Industrialized country example USA, UK, Norway etc 80-90 First wave of developing countries (10-20% market share around 1990)

Argentina, Brazil ,Taiwan etc

55-60

Second wave of developing countries (5-10%) market share around 1990)

Mexico, Ecuador, Indonesia etc

30-56

Bulgaria 25 Third wave of developing countries(Virtually zero market share around 1990) Kenyaa 20 Nicaragua 20

China* 30 India 9 Tanzania N/A

aShare of urban food retail. Source: Modified from Reardon et al. (2007).

257

Page 265: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

2.2.2. Opportunities for export beyond the EAC There is great potential for EAC to export livestock and livestock products to the Middle East and North Africa. The market for live animals and meat is estimated to be 6,377,776 MT equivalent per year (estimated using 2006 population figure of 311,111,026 and per capita consumption of 20.5 kg per year). According to AU-IBAR (2006) if all exports from SSA to external markets for the different meat types, were exported to the Middle East, they would only meet 48.5% of beef and veal meat, 21.6% of goat meat, 3.4% of fresh sheep meat and 1.9% of mutton and lamb demand. This implies that there is high export potential for meat from EAC to the Middle East. At the moment the main African players in this market are Ethiopia, Somalia and Sudan, who mainly exporting live animals. Therefore, the Middle East is a potential meat market for the EAC states. This market has hardly been utilized. There are also other countries in SSA with a demand for livestock and livestock products that the EAC can exploit. Kenyan dairy products are currently being exported to Zambia and Democratic Republic of Congo and these countries have the potential of importing more dairy products. Demand for dairy products is also high in North and West Africa, which depend on dairy imports from the EU. Red meat, which now satisfies only 55.6% of its demand, will satisfy only 36.5% in 2020. Africa will be the continent where the demand will grow the most (together with Asia), because of demography and urbanization. Urbanization will represent an extraordinary opportunity for the development of animal production. This fact underscores the efforts needed to intensify ruminant production and/or to develop landless monogastric production, strengthening animal health and research for better control of diseases. 2.2.3 Tourism In Tanzania tourism is also another opportunity for livestock production and marketing. The increasing trend in the number of tourists offers an opportunity for expanded internal trade through increased consumption of livestock in hotels and restaurants. The number of tourists who visited Kenya and Tanzania in 2006 was 1.7 million and 0.75 million, respectively. This number is expected to double by 2012 (htt://www.africa news.com). 2.3. Prices and trading of livestock products The recent increase in the world prices of many food commodities, have proved that livestock products are now key food staples. This is because increases in the prices of livestock, especially dairy products mirrored those of grains such as rice, wheat and maize. Figure 4 shows that between August 2005 and August 2008, the price of whole milk powder rose by 69%, that of butter by 74%; meat products also increased: 10% for beef and 62% for chicken meat.

258

Page 266: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

Source: FAO International Commodity Prices Data ( 2008): http//www.Fao.org.

Fig 4: Price of dairy whole milk powder, dairy butter, bovine meat, poultry meat, 1998 - 2008

The above trends indicate expanding market opportunities for the livestock sector. However, barriers resulting from food safety requirements in international markets for livestock products are more serious than for crop products, for reasons of frequent outbreak of livestock diseases, livestock products from SSA cannot compete with other major exporters in the developed world, with very few incidents. The high costs associated with disease control and eradication makes livestock sector in SSA including Tanzania to have few options to enter the expanding global markets. For this reason it is important to focus on national and regional markets, but also to invest in effective tests to prove the absence of dangerous trade barrier diseases, and to control diseases that are present. The major factors which influenced the world livestock sector over the past few decades, are structural changes in livestock industries (improved genetics, animal housing, and management) and growing cross-border technology and investment flows particularly in strong growth markets or low-cost production regions. Nearly three quarters of this growth in global meat production to be concentrated in developing countries. This trend is likely to continue in the future, leading to changing cost structures in industries in developing countries. Changes in policy environment in the form of a reduction in the use of export subsidies and expanding access to various markets especially the transformation of tariff-rate quotas into ad valorem tariffs in many of the strongly growing Asia meat markets has had a significant and positive impact on trade. Other policy developments that have stimulated trade flows have led to the increasing participation of developing countries in international markets as exporters. The role of trade in the global meat and other livestock product economy has been greatly affected by developments in transportation, cold chain, and meat processing and packaging technology, which have pushed up trade nearly threefold since 1990 to an estimated 20 million tonnes in 2005.

259

Page 267: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

Much of the growth in meat trade has been driven by growing demand for poultry meat, due to both health and economic factors, such as lower relative prices. Poultry’s share of the volume of global meat trade rose from 22% in 1990 to over 40% by 2005. Pork and beef trade has also grown, though more slowly. There is increasing market access provisions under the WTO, as well as a plethora of bilateral and regional trade agreements. 2.4 Livestock Revolution The rapid growth of demand in livestock products is largely driven by increases in per capita incomes, population growth and urbanization of the developing countries. This has been termed livestock revolution especially as seen in East Asia such as China, India Pakistan, Thailand and Indonesia. The demand for livestock products in cities is growing at the rate of 5.5% annually and this change is mainly provided by dairy, pig and poultry producers in peri-urban areas. These, so-called, ‘landless production systems’ are largely responsible for the rapid growth in average meat supply per person in the developing countries. The quantities of pig and poultry meat in the average diet of people in developing countries now exceed the quantity of bovine/ruminant meat, mainly in favor urban workers. 2.4.1 Global impacts At a global level, the rising demand for meat and milk will have positive and negative impacts on livestock production in Tanzania. The impacts can be summarised as follows

1. The growing demand may increase food insecurity (increased prices for maize and other coarse grains for both humans and livestock and meals used for animal feed)

2. may change emphasis from food crops to livestock feed crop production thus reducing cereals for human consumption and this will affect the consumers

3. Coupled with growing demands for bioenergy, the competition for water and land will intensify

4. Increased market activities within and between countries to meet this demand will increase the risk of animal disease transmission hence the need for strict adherence to appropriate food standards and regulatory systems.

2.4.2 Impacts on small scale livestock keepers Considerable opportunities for livestock growth exist, but there is a danger that smallholder producers and other poor, livestock-dependent people may not be able to take advantage. This is because their access to markets and technologies is constrained. Long-term policies will be necessary to ensure that the development of livestock systems plays a role in reducing poverty, as well as mitigating negative environmental impacts, encouraging income equality and supporting progress towards reducing malnutrition. For example, policies will be needed to ensure that small-scale farmers can produce safe livestock products and sell them in appropriate markets. 2.5 Type of products imported into developing countries According to Owen at al. (2006) and Halweil (2008) livestock product imports into developing countries can be summarized as follows:

260

Page 268: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

1. Dairy products are by far the most important type of livestock product imported by African countries both quantitatively and in value terms. a) Dairy products- make up 54 per cent of the total dollar value of net

imports of livestock products b) Importation is increasing at 2.4 per cent annually in year 2000, c) 12% of milk products consumed in developing countries is made of

products imported from developed countries 2. Eggs: Net imports of eggs have declined, represent very small fraction of total

supplies. 3. Meat -Imports have grown by 2.5 times over the decade (10% annually) and

in 2000 represented over five per cent of the total supply of meat. The level of importation depends on the type of meat- a) Trade in ovine between developed and developing countries has remained

stagnant b) For bovine the picture is interesting. Initially developing countries were net

exporters like Tanganyika packers. Subsequently, imports of bovine meat have increased by 50% and now account for six per cent of total meat consumed in developing countries

c) Imports of pig meat have tripled (12% growth annually), but still contribute only two per cent of total supply in developing markets.

d) Imports of poultry meat have increased by four and a half times (by nearly 16 per cent annually), make up 13.5 per cent of total supply and exceed imports of all other types of meat put together

Table 7 shows the salient feature of the net trade of livestock products among East and Central African countries. All countries are net importers of pig meat and eggs, milk (except Kenya), and poultry meat (except Kenya, and to some extent Uganda). All countries are net exporters of beef except Tanzania. The global picture of imports and that of East African countries indicate that this increase in imports is to meet the growth in consumption per head of urban population. Here then is an opportunity and a challenge for livestock keepers in developing countries to meet more of the demand of livestock products and halt the rapid growth of imports, thus to conserve precious foreign exchange. Table 7: Trade of Livestock Products (MT) in selected countries

Beef Milk Pig meat Poultry Eggs Hides and skins

Tanzania1 84 4880 573 0 353 33Imports

Kenya 0 2626 672 0 188 3623Uganda 0 1745 2 6 1 109Botswana 11 45215 250 1434 733 435South Africa 1041 27130 25082 253028 716 2386Tanzania 1 0 549 0 0 2 10586Kenya 338 8946 638 23 42 2415

Exports

Uganda 46 664 0 10 0 15610Botswana 194 31 72 86 0 7166South Africa 1042 10576 1514 5424 477 46510Tanzania -84 -4331 -573 0 -351 +10553Net

Trade Kenya +338 +6320 -34 +23 -146 -1208

261

Page 269: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

Beef Milk Pig meat Poultry Eggs Hides and skins

Uganda +46 -1081 -2 +4 -1 +15501Botswana +183 -45184 -178 -1348 -733 +6731 South Africa + 1 -16554 -23568 -247604 -239 +44124

Source: FAOSTAT 2007, 1Mtenga (Pers. communication) 3. Livestock production systems

In order to increase production and compete in the livestock market share Tanzania will have to select the most appropriate livestock production systems from those applied in different countries of the world. There is so far very limited room for horizontal expansion of production because the growing human population imposes competition for land between crop production, urban developments, wildlife, forestry and mining. This section provides some indications on how to determine a production system that allows increase of livestock production, answering the questions of who, what, when, how and how much to produce. Livestock production cannot increase without defining the producers first. 3.1. Livestock production systems in the World Livestock production systems differ between countries according to different criteria; integration with crop production, animal-land relationship, agro-ecological zone (AEZ), production intensity, product type, size and value of livestock holdings, distance and duration of animal movement, types and breeds of animals kept, market integration of the livestock enterprise, economic specialization, household dependence on livestock, various quantitative and qualitative characteristics, geographical location, feeding systems, production technology, product use, livestock functions, human populations supported, magnitude of resources used, outputs, productivity indices, features and development paths (Tables 8, 9 and 10). Animals reared include cattle, sheep, goat, pig and chicken. There are also non-conventional animal production activities using various wildlife, particularly bovids, equidae, antelopes, buffaloes, birds, fish, crocodiles, bees and others. The growth rate by production systems is highest in urban and peri-urban followed by mixed farming system and grassland-based systems. Poultry has the greatest growth intensity followed by pigs and dairy. This production is mainly occurring in urban and high potential areas. Table 9 shows that the growth rate by systems. Livestock uses include also include meat, milk, yogurt, cheese, butter, ice cream, kefir, kumis, wool, mohair, leather, bones, hooves, horns, dung, blood, bone, offal manure, labour; horses, donkey, yaks, oxen plough, carts, transport, military, weed and shrub control, pet animal feeds, clothing, stock shows and fairs. Livestock production systems fall in two categories, solely livestock and mixed farming (Table 8), differing in production levels. Tanzania needs to select from among these, the most appropriate and enter into production.

262

Page 270: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

Table 8: Characteristics of World Livestock production systems Livestock production system

Sub-systems Characteristics/BENEFITS +FUTURE

1. Landless livestock production systems; Less than 10% of dry matter fed to animals is farm-produced, annual average stocking rates above 10 livestock units (LU) per hectare (a) Ruminants (b) monogastric spp chickens and pigs

1. Solely livestock production systems

More than 90% of dry matter fed to animals is from rangelands, pastures, annual forages and purchased feeds, less than 10% of total value of production comes from non-livestock farming activities 2. Grassland-based systems; More

than 10% of dry matter fed to animals is farm-produced, annual average stocking rates are less than ten LU per hectare

4. Temperate zones and tropical highlands grassland-based

5. Humid and sub-humid tropics and subtropics grassland-based

6. Arid and semi-arid tropics and subtropics grassland based

1. Rain-fed mixed-farming systems; More than 90% of the value of non-livestock farm production comes from rain-fed land use. (a) Temperate zones and tropical highlands (b) Humid and sub-humid tropics and sub-tropics (c) Arid and semi arid tropics and sub-tropics

2. Mixed-farming systems

More than 10% of the dry matter fed to animals comes from crop by-products or stubble or more than 10% of total value of production comes from non-livestock farming activities

2. Irrigated mixed-farming systems; More than 10% of the value of non-livestock farm production comes from irrigated land use (a) Temperate zones and tropical highlands (b) Humid and sub-humid tropics and sub-tropics (c) Arid and semi arid tropics and sub-tropics

263

Page 271: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

Table 9: Rate of growth of production by system and species Production system Global Growth rate (%) Urban and peri-urban landless 4.3 Traditional mixed farming systems 2.2 Grassland based 0.7 By species

Poultry 7.8 Pig 6.1 Milk 3.7 Beef 3.1

Table 10: Share of livestock (total livestock units [TLU%]: cattle, goats, sheep, pigs and poultry) per livestock production system for selected regions and countries Country TLU share (%) in different livestock production system Intensive, peri-

urban and commercial

Pastoralism Crop –livestock

Botswana 80 19 0.14 Kenya 34 50 14 Tanzania 98 (together with

agropastoralism) 2

South Africa 55 36 8 Argentina 42 40 16 Brazil 18 63 17 China 9 70 19 Viet Nam 0.75 82 16 India 2 82 15 Pakistan 25 63 10 European Union 9 67 22 Russian Federation 16 50 32 Source: FAO (2004), Data for Tanzania not available Globally, mixed-farming contributes 53.9% of total meat production, landless systems (36.8%). Land-based systems provide 88.5% of beef and veal, 61% of pork, 26% of poultry, 60% of all meats. Pork is largest meat source (72 million MT) followed by beef and veal (53 million MT) and poultry (43 million MT). In land-based systems, grazing contribute 23.5% of ruminant meat, 7.9% of milk output, the rest provided by mixed systems. Mixed farming rain-fed system takes 41% of global arable land, 21% of cattle population, 18% sheep and goat stocks, 37% of dairy cattle. Human population is growing fast in Africa, per caput income is increasing, thus demand for livestock products and for improvement of livestock production. Given the fact that horizontal expansion is no longer viable intensification is growing.

264

Page 272: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

Meat production by landless systems are growing fast, followed by mixed-farming systems, while there is marginal growth rates for the grazing systems. 3.2. Major livestock production systems in Africa Livestock production systems in Africa are similar to those of the world

1. Grassland-based solely on livestock production system where more than 90% of the dry matter fed to animals comes from rangelands, pastures or home-grown forages with annual stocking rates less than 10 TLU per ha land mainly pastoralism, but has become unviable (Table 10);

2. Rain-fed mixed farming systems, more than 10 % of the dry matter fed to animals comes from crop by-products or more than 10 % of total value of production comes from non-livestock farming activities, more than 90% of the value of non-livestock farm produce comes from rain-fed land use, partly viable by producing cereals as livestock feed;

3. Irrigated mixed farming systems where more than 10% of value of non-livestock farm produce comes from irrigated land use, very viable;

4. Landless solely livestock production systems, with 10% or less of dry matter fed to animals is farm produced, annual stocking rates above 10 livestock units per ha, monogastric (pig/poultry) or ruminant animals and may be urban or peri-urban form, which is very viable.

Irrigated mixed farming systems are gaining importance in sub-Saharan Africa; Guinea-Bissau and Tanzania. Ranches and large commercial farms account for a small part of output; the bulk comes from traditional pastoralism and agropastoralism. Modern systems have large capital requirements, employ large hired labour, while traditional systems rely on family labour and extensive use of land. Livestock production systems in SSA are also viewed as being either traditional (pastoralism and agropastoralism) and commercial systems with dairy farms, ranches, ranching feedlots and landless periurban production systems.Table 11 shows the share of pastoralism and agropastoralism in the livestock sectors for selected countries, accounting for 98% in Tanzania. 3.3. Livestock Productivity in Sub-Saharan Africa Arid and semi arid are the most important ruminant keeping areas containing 52%, 58% and 65% of all the cattle, sheep and goats respectively and here pastoralists and agro pastoralists obtain most of their livelihoods. These zones cover an area of about 8327 million and 4050 million squire kilometers (50% of tropical Africa). Livestock production in pastoralism and agropastoralism is very low, with herd growth of 0.1 %/year, beef and milk offtake 6.8 kg and 24.8 kg/year/animal, compared with 18.3 kg and 599.8 kg, respectively in improved beef and dairies. Offtake rates of cattle, sheep and goats are 10, 20.4 and 21.4 % respectively. Mortality risks are high; 22, 27 and 28% for calves, lambs and kids respectively. Calving rate 59%, compared with 95-100% in modern dairies and ranches. Median milk offtake per lactation is 200-300 kg, improved breeds produce up to 5500 kg/303 days.

265

Page 273: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

266

Considering that human growth rate is very high (2.6%) and that climate has changed, drying lands, survival of pastoralism is being threatened. The fact that Tanzania has 96-98% of livestock (18 million cattle and several million small ruminants) in pastoral and agro-pastoral system, but the country is a net importer of meat and milk, demands a change in production system. In addition to this low production there are also fatal conflicts between pastoralists one the one hand and agriculture, wildlife, urban and village land use on the other.

The production systems in Africa are face the major constraints and/or are managed for goals other than just meat or milk production .This is reflected in the low production coefficients. Of the developing world, the African continent has 17% of the cattle and 26% of the small ruminant population; these percentages change to 11 and 17% respectively when compared with world populations (FAOSTAT, 2007).Productivity differs greatly between developed and developing countries. Developing countries have 77% of cattle but produce only 29% of the meat and 23% of the milk. The developing countries have 79% of the small ruminant population and produce less than 54% of the meat. The productivity of bovines is about 15 kg meat per head per year in developing countries versus 79 kg in the developed world. This statistic is relatively better for small ruminants, whose productivity is 4.6 kg meat per head per year in the former and 6.5 kg in the latter.

Meat productivity per head of cattle and per small ruminant in Africa is at 14 and 3.7 kg per head, respectively, is a little less than the average of all developing countries. Milk productivity is much lower in developing countries. It is estimated that cattle in developing countries produce 90 litres per head per year compared with 3000 litres of cattle in industrialized world.

Page 274: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

Table 11: Estimated distribution of cattle, sheep and goats (‘000) by agro-ecological zone in sub-Saharan Africa

Cattle Sheep Goats TLUs AEZ Numbers TLU (%) Numbers TLU (%) Numbers TLU (%) Total (%)

Arid 39 609 27 726 20.7 53 476 5 348 33.7 69 557 6 956 38.2 40 029 23.8 Semi-arid 58 552 40 986 30.6 36 338 3 634 22.9 47 889 4 789 26.3 49 409 29.4 Subhumid 43 436 30 405 22.7 22 850 2 285 14.4 30 044 3 004 16.5 35 694 21.2 Humid 11 672 8 170 6.1 13 171 1 317 8.3 17 116 1 712 9.4 11 199 6.7

Highland 38 078 26 654 19.9 33 006 3 301 20.8 17 116 1 712 9.4 31 667 18.8 Total 191 346 133 942 100.0 158 682 15 868 100.0 182 086 18 209 100.0 168 019 100.0 Source: Otte and Chilonda (2002)

267

Page 275: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

4. Environment Impacts of Livestock production In developing countries, demand for livestock product is increasingly being met by intensification of production. The species of livestock involved are mainly pig, poultry and dairy cattle. In addition, such intensification is increasingly located in or near cities, making urban areas the centre of industrial meat production in some countries. Keeping animals in towns causes proximate concentration of people and livestock. This poses one of the most serious environmental and public health challenges. Most of the environment impacts include:

i. by intensification, the forage resource are degraded and this will in turn cause reduced productivity

ii. cause negative environment effects by emission of gas (18 percent of greenhouse gas (GHG) emissions, as measured in carbon dioxide equivalent, 37 percent of methane, 37 percent of methane, nitrates and antibiotics present in manure)

iii. causes water depletion, water pollution and soil erosion. iv. Noise

One way to prevent some of these problems is to discourage large producers from keeping animals in or near cities. A combination of zoning and land use regulations, taxes, incentives, and infrastructure development can encourage them to raise animals closer to croplands, where manure can be used as fertilizer and where there is less risk of disease transmission to people. One can keep put heavy tax on animals kept within a certain distance from city centres. 5. Livestock and Climate Change As stated above, livestock both contribute to and affected by climate change. Livestock contribute to total greenhouse gas emissions. But climate change affects livestock production systems in many ways such as drought or shortened growing seasons which is now been experienced in Africa leads to reduced crop yields and less feed in rangelands leading to reduced livestock productivity. Climate change can affect distribution of livestock diseases and vectors 6. Markets and International trade 6.1. Markets There are two types of markets: informal and formal. Informal markets deal with products from traditional production systems with minimal good agricultural practices and very short market chains. Formal markets can be local, national, regional and international. The challenges facing livestock markets sector will depend on the nature of the market. In the last two decades there has been a surge of modern national markets, including supermarkets and sophisticated hotels. These markets are mainly catering for the needs of middle and high class people, tourists and mining areas. These consumers are demanding high quality meat in terms of sanitary standards, uniformity, reliability in supply and origin. Animal welfare issues and traceability are additional requirements to enter the modern markets. Such requirements pose a severe challenge to the traditional livestock keepers.

268

Page 276: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

6.2. International Trade International trade in livestock and livestock products is a major business, particularly as it accounts for almost one sixth of all agricultural trade. Meat exports make up about half of all livestock products, most of which is traded by developed countries. Demand for livestock products in the developing world is expanding presenting new market opportunities for both exporters and domestic producers. But the barriers to breaking into lucrative markets - local, regional and global - remain high. Since livestock are often especially important to the livelihoods of the rural poor, such barriers can frustrate efforts to reduce poverty. There are many challenges for African countries in penetrating barriers to lucrative markets. Challenges that require a regional approach include:

i. Negotiating power and capacity: Africa must improve its negotiating capacity and form alliances for improving trade and changing standards at a sub-regional and Africa -wide level.

ii. Ability to comply with international standards: International standards governing the global livestock trade currently focus on the geographical origin of a product, and the disease status of that region. These standards are based on the assumption that eradicating diseases from a given area or country is the only way to guarantee livestock products as safe for trade. This favours developed countries that have removed significant livestock diseases. Countries or regions with a particular livestock disease have little chance of fully eradicating them in the near future, meaning few options for accessing lucrative international markets. The World Organisation for Animal Health (OIE) has noted that this is a serious impediment to livestock trade and are moving towards ‘commodity-based’ approach. Commodity-based trade means a focus on the quality of each product and how it was produced, rather than where it originated. The challenge here is for developing countries to develop commodity standards that meet market whether locally or internationally and this is a priority area if we are going to enter into global livestock trade. Efforts to simplify international standards for livestock trade, for example sanitary standards, and make them more 'user-friendly' are necessary and efforts towards this end have been initiated.

iii. Commercializing of herds: Commercialization of the herds in the pastoral systems in arid and semi arid areas in Africa is a key to meeting the growing demand for milk and meat in the expanding urban centers and export. However, policymakers often regard pastoralist areas as problematic with a lot of serious animal diseases and hence animals from such areas can not enter international markets. But countries like Ethiopia and Somalia have entered the Gulf States markets using commodity-based standards processed in a way that greatly reduced the risk of these products containing disease agents.

iv. Trade networks and market intelligence: There is very limited dissemination of information on livestock market opportunities in many African countries and many depend on old networks. There is a need of market intelligence at national and regional levels.

269

Page 277: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

v. Improving livestock support services: the capacity of Africa’s livestock support services in areas of production, marketing or veterinary issues are poor and require improvement. Although the provision of these services is costly, it is a necessary investment.

vi. Product certification: In order to access high value markets, product certification is necessity and not a choice. This Product certification must be accepted and trusted by trading partners and must have regional ramification(SADC and Comesa).

7. Policies and Institutions for Small scale livestock keepers Policies and institutions to advance small scale producers should have the following goals:

i. Protecting livelihoods of smallholder and pastoralists. For example there is a widespread policy to settle pastoralists and allocate them individual land rights. The policy and reduction of pastoral lands (encroachment of crop production, bias towards wildlife against pastoralism) have seriously affected the viability of pastoral systems by reducing mobility of livestock to access feed and water resources. (Ceres et al., 2008).

ii. Support efficiency markets for urban population so as to provide them with products which are competitive both in price and quality

iii. Encourage livestock producers to access regional and international markets using their traditional breeds

Encouraging Collective action is a way to deal with issues of perishability, small quantities produced by individuals and economies of scale. The strategies include:

i. Procurement and processing associations/coops such as the Indian Operation Flood for dairy and Development Foundation of Turkey for broilers.

ii. Contract farming and vertical integration. This help to link small farmers to formal markets through integrators who combine input procurement and the marketing of outputs. This lead to reduction in transaction costs but opportunism may be evident when producers renegade on contracts or integrators behave strategically in valuation of produce by using subjective assessment methods of quality/quantity.

iii. Representation of small holders and pastoralist as stakeholders when issies concerning them are being debated or decided upon.

iv. Setting appropriate standards to improve overall competition by considering both sanitary and non sanitary standards of quality and enforceability of standards.

v. Ensuring level playing field with respect to financial incentives such as tax breaks, subsidies and loans.

8. Value Addition 8.1. Food products As stated earlier, there is strong market pressure to provide to provide quality meat and milk in emerging middle and upper class people in urban and peri-urban areas and in the niche markets of tourism and mining. The conversional market is also demanding for quality products. These markets are partly responsible and the inspiration of the importation of livestock products in East African countries. This offers real opportunities for value addition in the livestock sector by proving proper cuts of quality meat and proceeds products of meat and

270

Page 278: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

dairy. Such products can have also a place in other neighbouring, Middle East and developed countries particularly with the adoption community approach in exportation of livestock products. Strategies to create value addition in new and growing markets need to developed in the East African Region and appropriate technologies for handling, preservation and processing livestock products their marketability need to developed. A livestock value chain is the range of activities associated with production (biological transformation), processing (bio-physical transformation), and delivery (spatial transformation and time transformation) of livestock or livestock products to the consumer. These activities add value to the product on one hand and consume or employ scarce resources (capital, labour, human capital, land and raw materials) on the other hand. Consumers must for these value adding activities when they satisfy their tastes and preferences. Farmers in developing countries receive only a small fraction of the ultimate value of their product compared to what is practically possible. For example, in industrialized countries the livestock sector accounts for an average of 50% of agricultural value-added as compared to about 30% in today’s developing countries (FAO, 2008). The introduction of animal health care services to small ruminant farmers in Ghana increased the volumes of marketable animals by 22% which consequently increased the value of marketable animals up by 34%. 8.2. Hides and skins Leather and leather products are among the most widely traded and universally used commodities in the world. Already, the total value of annual trade is estimated at 1.5 times the value of the meat trade or more than five times that of coffee or more than eight times that of rice. Formal trade is calculated at over US$ 50 billion a year and according to analysts, the market is far from being saturated. The paradox is that in Tanzanian the trade in hides and skins is very low with raw products fetching very low price and the six or so factories working very efficiently. The leather sector is increasingly being integrated globally and to gain access to new markets and secure additional market share, the African leather sector must integrate itself at all levels (national, sub-regional and regional). Each stage of the supply chain — from buying raw hides and skins, converting them into leather in tanneries and finally to manufacturing and marketing leather products requires specific policies, human skills and industry support systems. Strategies by emerging economies such as China, India and Mexico, leading countries in hides and skin trade, have used tariffs to promote the industry. For example, India uses zero tax for raw skin and hides imported while the tax rises to 45% for imported leather clothing accessories and leather footwear. Mexico and China apply 34.8% and 25% respectively on imports of leather footwear. Similar strategies are also used by developed countries such as Japan. In India , in order to augment the domestic raw material availability, the Government of India has allowed duty free import of fresh hides and skins from anywhere in the world. It is an attraction for any foreign manufacturer who intends to shift his production base from a

271

Page 279: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

high cost location to low cost base. In way the industries in India become foreign exchange generators besides becoming large employment centres. In Africa, Ethiopia is a good example of a county with working hide and skin industries centred on producing and promoting finished leather products for use at home, tourist sector and export. The leather industry in Ethiopia produces hides, pickled sheep skins, wet-blue goat skins, crust and finished leather, and leather products (Footwear, garments, gloves, bags, wallets, travel good, etc.). It is estimated that the export of processed and semi-processed skins constitutes Ethiopia's second largest export commodity. In order to protect the leather industries further, the Ethiopian Government passed a proclamation in 2008 on levies, the taxes for exports been 150% for fresh hides and skins, 20% for wet blue cow hides, 10%, for pickled sheep skins and 5% for wet blue small ruminant Tanzania can learn from this and the authors are aware that such steps towards this direction have been initiated.

9. Research and development in livestock

Livestock research in the world has undergone a revolution especially with the development in science technology. The overall tendency of funding from international and regional donors is for providing funds for application research that has a potential for providing outputs within a short period of time. Long term basic research has remained the obligation of individual countries and institutions within that country.

Within the livestock research and development there are two main components that are a prerequisite for sustainable research and these are high quality manpower capacity and research infrastructural capacity. These, coupled with sound research policy and financial resources enable a nation to conduct cutting edge research that is capable of enhancing livestock industry. In many Universities and research institution in the world and some parts of Africa, impacts of research have been realised by employing and sustaining critical mass of staffs. Areas which have received serious attention in developed countries because of their importance on increased productivity include:

1. Animal Breeding 2. Milk and Meat Science 3. Pasture and pasture development 4. Animal health (Detection, Identification and Monitoring tools) 5. Livestock marketing and social sciences

This is not the case in developing countries. As far as Tanzania is concerned, the first three components have had some considerable constrains. There is no critical mass of scientists to carry out these researches as well as infrastructural and financial resources. Animal health research has been going on with the assistance of international donor agencies as a response to outbreaks of diseases of global health significance such as highly pathogenic Avian Influenza, Rift Valley fever and Swine flu (H1N1).

272

Page 280: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

10. Animal breeding and genetic improvement

Animal breeding and genetic improvement of livestock species has been the most rewarding within livestock research areas and indeed, it occupies a special place in the livestock industry. The livestock revolution that is going on now can only be contained by producing breeds that are efficient biologically and economically. These qualities include faster growth rates, better in feed conversion efficiency, more resistant to diseases and withstand hash climatic conditions. Simple technologies such as artificial insemination (AI) and embryo transfer (ET) have been used to propagate appropriate breeds to levels capable of sustaining the livestock sector in shorter periods of time. However, while formerly breed substitution has been a more preferred method of genetic improvement (Exotic temperate breeds crossed to tropical indigenous breeds), scientific evidence is now available that has shown this approach to be less sustainable and detrimental to genetic diversity of a species. There are several challenges for animal breeding and the genetic improvement of the indigenous stock in Tanzania. These challenges include:

1. Identification of indigenous stock with potential for improved productivity 2. Selection of candidate indigenous stock for genetic improvement 3. Propagation of the identified and improved indigenous breeds 4. Sustainable strategies for breeds promotion and continuous lineage protection including

formation of breeders’ association.

Opportunities exist for improving breeds in the country:

1. Availability of technologies for faster propagation of breeds (Artificial insemination and embryo transfer)

2. Availability of a wide range of indigenous breeds of various characteristics and adaptability

10.1. Assisted Reproductive Technologies

Various techniques have been developed and refined to obtain a large number of offspring from genetically superior animals or obtain offspring from infertile (or subfertile) animals. These techniques include: artificial insemination, cryopreservation (freezing) of gametes or embryos, induction of multiple ovulations, embryo transfer, in vitro fertilization, sex determination of sperm or embryos, nuclear transfer, cloning, etc. To take full advantage of the benefits of assisted reproductive technologies, one must understand the basic physiology of the female and male reproductive systems as well as various methods to synchronize reproductive cycles. Some of these methods are still being developed while other have been in use for long periods of time. For practical reasons, only artificial insermination and Embryo transfer will be explained here.

273

Page 281: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

10.1.1 Artificial Insemination and Cryopreservation

Artificial insemination (AI) has been used to obtain offspring from genetically superior males for more than 200 years. Improvements in methods to cryo-preserve (freeze) and store semen have made AI accessible to more livestock producers. In the same manner as cryo-preservation of semen, embryo freezing allowed for the global commercialization of animals with high genetic qualities. Semen from bulls is especially amenable to freezing and long-term storage. In the dairy industry, where large numbers of dairy cows are managed intensely, AI is simple, economical, and successful. More than 60 percent of dairy cows in the United States are bred by AI. However, the situation is different for beef cattle, where breeding populations are usually maintained on range or pasture conditions. In the United States beef industry, AI accounts for less than 5 percent of inseminations. For reasons that are not yet well understood, it is more difficult to freeze and store semen from other livestock species, including horses, pigs, and poultry, than it is to freeze cattle semen.

10.1.2. Multiple Ovulation and Embryo Transfer

Development of embryo transfer technology allows producers to obtain multiple progeny from genetically superior females. Depending on the species, fertilized embryos can be recovered from females (also called embryo donors) of superior genetic merit by surgical or non-surgical techniques. The genetically superior embryos are then transferred to females (also called embryo recipients) of lesser genetic merit. In cattle and horses, efficient techniques recover fertilized embryos without surgery, but only one or sometimes two embryos are produced during each normal reproductive cycle. In swine and sheep, embryos must be recovered by surgical techniques. To increase the number of embryos that can be recovered from genetically superior females, the embryo donor is treated with a hormone regimen to induce multiple ovulations, or super-ovulation.

These two technologies can be adopted readily to improve the genetic potential of our local breeds in a short period of time. However, the breeding policy need to be in place to guide the process of genetic improvement and conservation of biodiversity. 10.2. Breeder Associations: This is key to any livestock improvement programme whether at national, regional and international level. Such associations must start at grass level with people. Initially there may be few people with keen enthusiasm in promoting a certain breed and in developing certain performance characteristics with ultimate aim of entering the market in terms of supplying of associated livestock products and /or live animals. Crossbreeding with imported improved breeds is relevant to certain situations and in any case sustainable maintenance of such crossbreds has been problematic without a strong support of breeder associations or breed clubs with very clear breeding objectives A successful case in mind in Africa is the Boer goat. The ranchers in the Eastern Cape Province of S. Africa started breeding for a definite meat type goat but it was regulated and progress

274

Page 282: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

was low. In 1959, selection was regulated by the foundation of the Boer Goat Breeder's Association of South Africa. In the past forty years, the breed standards of this association have helped to guide and mould the Boer goat into an "improved" breed emphasizing good overall conformation, a compact and well muscled body structure, high growth and fertility rates, short white hair, darkly pigmented skin, and red markings on the head and shoulders. In 1970 the Boer goat was incorporated into the National Mutton Sheep and Goat Performance Testing Scheme, which makes the Boer goat the only known goat breed involved in a performance test for meat production. In 1977, the Boer goat was imported into Germany. In 1987 Boers were imported into New Zealand, and in 1988 into Australia. and into USA and Canada in 1993.The Boer goat is also found New Zealand, Mexico, Indonesia, England, India, France, Malaysia, Denmark, British West Indies, Netherlands Antilles, and virtually every state in the United States., Uganda and Tanzania. These countries have also formed their own Boer goat associations but linked to the main the Boer Goat Breeder's Association of South Africa. From a small beginning, the Boer goat has significantly contributed to goat meat production in the world. Similarly the Kalahari Red Goat Association has made a world wide impact through systematic selection (for maximum, kg meat per she-goat per year, maximum lambing under grazing, maximum kid survival under grazing and growth rate etc) starting in 1994. These is a need to emulate such examples and promote the formation breed associations such as Gogo Goat, Red Maasai Sheep, Black Head Persian Sheep, and Short Horn Zebu etc. It is advised to start with real commitment people hoping other will join later. Such associations will the centre of record keeping, traceability and animal selection.

11. LIVESTOCK DISEASES AND TRADE

Livestock diseases have been the greatest obstacle to accessing international markets for livestock and livestock products. The fear of introduction, spread and establishment of exotic animal diseases into importing countries has determined the extent of barriers a country imposes on imports of these animals and animal products. The International Animal Health Organisation (OIE) which is an equivalent of WHO on the animal side, oversees the safe conduction of trade among countries in the world. The OIE has classified animal diseases based on the species and mode of transmission and spread and whether they are transmissible to human or not (zoonotic). There are therefore two list of diseases, namely list “A” which comprise of all animal diseases with the ability to spread across international boundaries, causing huge economic losses through trade restrictions and costs for their control, and list “B” which comprises animal diseases of importance in productivity and domestic trade. WTO is the only international body that sets and oversees the global rules of trade between nations. WTO designated OIE to oversee the condition for trade in animals and animal product. The Sanitary (human and animal safety) and Phytosanitary (plant safety) Agreement (SPS Agreement) is a document that contains a set of substantive and procedural provisions

275

Page 283: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

aimed at protecting human, animal, and plant health and life while preventing unjustifiable barriers to trade.

http://www.wto.org/english/tratop_e/sps_e/sps_e.htmRegulations ( ) under the purview of the WTO-SPS Agreement include:

• The protection of animal or plant life or health within a territory from risks arising from the entry, establishment, or spread of pest, disease, disease-carrying organisms, or disease-causing organisms.

• The protection of human or animal life or health within a territory from risks arising from additives, contaminants, toxins, or disease-causing organisms in foods, beverages, or feedstuffs.

• The protection of human life or health within a territory from risks arising from diseases carried by animals, plants, or products thereof, or from entry, establishment, or spread of pests.

• The prevention or reduction of the risks of other damages within a territory from the entry, establishment, or spread of pests (Appendix A of WTO-SPS Agreement 1994, Annex A).

The Agreement reaffirms the freedom of countries to choose their appropriate level of protection against imported pests and pathogens. However, when the measures do not conform to international standards, the importing country must scientifically investigate why the measures are needed and how they control risk. This agreement offers a country an opportunity to negotiate the trade terms based on agreeable and acceptable risks of an importing country. Furthermore, trade terms should be based on science based evidence of there being a credible risk of entry, multiplication, and spread of the pathogen that is quarantined in the importing country. The most difficult part of this agreement for developing countries is the capacity (in terms of expertise and finances) to carry out commodity based risk analysis. Furthermore, due to some historical reasons, information regarding a large proportion of pests and agents of diseases is missing therefore, the level of threats can not be quantitatively assessed. 11.1. Categories of Diseases:

11.1.1. Transboundary – international trade limiting diseases eg.

(i) Foot and Mouth Disease (FMD) (ii) Contagious Bovine pleuropneumonia (CBPP) (iii) Rift Valley Fever (RVF) (iv) African Swine Fever (ASF) (v) Newcastle Disease (ND)

276

Page 284: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

The performance and indicator for animal health systems in a country is measured in terms of the systems preparedness to control these diseases. The OIE “Terrestrial animals code” and “Aquatic animals code” are primarily based on standards for control of list “A” diseases which are all in this group.

11.1.2. Productivity limiting endemic Diseases

(i) Ticks and tick borne Diseases (ii) Trypanosomiasis (iii) Helminthiasis (iv) mastitis

Data on these diseases are available at a country level because of the nature of their control. These diseases are of main significance in livestock contribution to food security and livelihoods in communities. Most of these diseases are regarded as private goods where farmers have to bear all the control costs directed at these diseases. Recent development in Tanzania regarding ticks and tick borne diseases is the provision of subsidies for acaricide which are used to control ticks through dipping and spraying. Concurrent with this strategy, almost all over the country, districts authorities are embarking on rehabilitation of dips and building new ones. This trend is definitely going to have an impact on the level of disease and productivity; however, we need to be very careful when sustainability is concerned. Failure to sustain intensive dipping (tick control by acaricide) result into massive loses of susceptible animals.

11.1.3. Zoonotic diseases – Infectious and Non-infectious

These are diseases that have the ability to affect humans and animals, and, are capable of being transmitted between them. Recently, the outbreak of H1N1 influenza virus (formerly Swine flu) has been declared a pandemic by the WHO. Of the 35 new diseases that have struck since 1980, most are zoonotic diseases, including Ebola virus, monkey pox, West Nile virus, SARS, HIV/AIDS Old world Arenavirus (2008) and H1N1 Influenza (Swine flu) (2009). HIV/AIDS has killed an estimated 25 million people since it was first identified in 1981 and 40 million people worldwide are living with HIV/AIDS. These diseases have far reaching consequences since they affect not only the livestock trade but also other sectors of the economy especially tourism through quarantine requirements and human travel ban. The trends to combating these diseases in the world today is through the adoption of “One Health Concept” through which, a common technology platform is used to support detection, identification and monitoring of these infections. These technologies include molecular diagnostic tools and surveillance tools such as digital pen and android mobile phones.

277

Page 285: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

278

The One Health concept is a worldwide strategy for expanding interdisciplinary collaborations and communications in all aspects of health care for humans and animals. The synergism achieved will advance health care for the 21st century and beyond by accelerating biomedical research discoveries, enhancing public health efficacy, expeditiously expanding the scientific knowledge base, and improving medical education and clinical care. When properly implemented, it will help protect and save untold millions of lives in our present and future generations. 11.2. Potential for Bioterrorism Perhaps the most important aspect of animal diseases and their causative agents in the ability to be used as agents for bioterrorism. This will inevitably affect research, training and trade in animals and animal products. Virtually all microorganisms causing diseases in animals have the potential for being used as weapons for bioterrorism either through their inherent ability to infect animals and humans, or through their ability to cause significant losses in animals and their trade. Diseases are the most important determinant factor for accessing international trade on livestock and livestock products. Tanzania has to train more staff in risk assessment techniques so as to be able to comply with SPS agreement to our advantage. On the other hand, Tanzania should embark on research to identify disease risks and document for future reference and trade requirements. References: Brian Halweil (2008). Meat Production-Continues to Rise. World Watch Institute, Vision for a

Sustainable World, Clottey, V A., Gyasi, K O ., Yeboah, R N., Addo-Kwafo, A., and Avornyo, F. 2007 The small

ruminant production system in Northern Ghana: A value network analysis Livestock Research for Rural Development. Volume 18, Article # 137. Retrieved September 2009 fromhttp://www.cipav.org.co/lrrd/lrrd18/10/clot18137htm

N. Morgan & A. Prakash 2006 . International livestock markets and the impact of animal disease Rev. sci. tech. Off. int. Epiz. 25 (2), 517-528 Pro-Poor Livestock Policy Initiative A Living from Livestock Research Report *J. Otte, U. Pica-Ciamarra, V. Ahuja, and D. Gustafson 2009 RR Nr. 09-01; Supporting Livestock Sector Development for Poverty Reduction: Issues and Proposals IFPRI (2007). International food policy research institute

Page 286: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA WIZARA YA MAENDELEO YA MIFUGO NA UVUVI

UFUGAJI WA ASILI WA KUHAMAHAMA NA KIINI/CHANZO CHA MIGOGORO KATI YA WAFUGAJI NA WATUMIAJI WENGINE WA ARDHI

Page 287: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

1 2

3

1. Kisima cha asili na birika la mawe ( Ngorongoro) 2. mifugo katika nyandaza malisho ya asili (Somanga Lindi) 3. kuhamisha mifugo - punda

wakisafirisha mizigo ( ngorongoro)

280

Page 288: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

1. UTANGULIZI Mfumo wa ufugaji wa asili una umuhimu mkubwa nchini ikizingatiwa kuwa, zaidi ya asilimia tisini na nane (98%) ya mifugo yote nchini inafugwa kwa mfumo huo. Ufugaji shadidi au, kwa jina lingine, wa kisasa/kibiashara umejikita zaidi katika mifugo yenye vinasaba vya kigeni au chotara, mifugo hii hustawi katika matunzo tofauti na yale ya mifugo yetu ya asili kwa kuwa usitahimilivu wao ni mdogo hususan mazingira na kanuni za utunzaji. Ufugaji wa asili umedumu kwa muda mrefu huku ukitegemea kwa kiasi kikubwa rasilimali ya mifugo ya asili, maeneo ya nyanda za malisho ya asili na , maji kutoka vyanzo vya asili. Idadi ya mifugo ya asili imeongezeka, ng’ombe kutoka milioni 3.0 mwaka 1920 hadi kufikia takriban milioni 19 mwaka 2009, sawia mbuzi na kondoo wameongezeka. Mifugo ya asili ipo ya aina kadhaa hupatikana katika sehemu mbambali hapa nchini, mfano: Ng’ombe wa asili aina ya Tarime, Iringa red, Ufipa, Singida white, Ankole. Mbuzi mfano aina ya Ujiji wanaozaa mapacha na aina ya Newala, Kuku wa asili mfano Singamagazi, Kuchi, Kishingo, Kamseni na Kinyavu. Maeneo ya nyanda za malisho ya asili yamepungua kutokana na kubadilishwa matumizi kutoka, kwa mfano, matumizi ya malisho na kuwa mashamba makubwa ya mazao, hifadhi za wanyama, migodi, misitu na makazi. Aidha, mabadiliko ya tabia nchi yamesababisha kutokea ukame wa mara kwa mara katika maeneo ya mikoa ya Arusha, Dodoma, Kilimanjaro, Manyara, Shinyanga, Singida na Tanga. Katika msimu uliopita 2008/09 baadhi ya maeneo ya Kaskazini Mashariki mwa nchi hayakupata mvua ya kutosha (Taarifa ya Wakala wa Hali ya Hewa Juni 2009). Hali hii imesababisha ukame na upungufu mkubwa wa malisho na maji kwa mifugo. Wafugaji wa asili wamegawanyika katika makundi mawili. Kundi la kwanza ni la wafugaji wa asili ambao maisha yao hutegemea mifugo kwa asilimia mia moja, mfano ni makabila ya Wataturu, Watusi, Wamaasai, Wabarbaig na Watatonga. Kundi la pili ni la wakulima-wafugaji ambao hutegemea mifugo na uzalishaji wa mazao kwa viwango tofauti, mfano ni makabila ya Wagogo, Wasukuma, Wanyamwezi, Wakurya n.k Wafugaji wa asili wana desturi ya kuhama kwa muda mfupi – kulingana na msimu au kuondoka kabisa katika maeneo yao ya malisho kwa sababu mbalimbali ikiwemo kufuata malisho na maji pamoja na kuepuka magonjwa ya mifugo na binadamu. Kuhamahama bila mpangilio na kukosekana kwa mipango shirikishi ya matumizi ya ardhi imesababisha migogoro mingi kati ya wafugaji na watumiaji wengine wa rasilimali-ardhi. Mada hii inahusu hali ya ufugaji wa kuhamahama kiini/ chanzo cha migogoro kati ya wafugaji na watumiaji wengine wa rasilimali-ardhi. Mada imeainisha sababu ya wafugaji wa asili kuhama na mifugo yao, matokeo yake na hatua zilizochukuliwa na wadau ikiwemo Serikali kurekebisha matokeo hasi ya kuhamisha mifugo.

281

Page 289: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

2. 0. Desturi ya kuhama kwa wafugaji wa asili na sababu zake

Katika mfumo wa ufugaji wa asili tabia ya kuhama imekuwepo kwa muda mrefu ambapo mila na desturi za matumizi na hifadhi ya malisho ya asili na maji yanafuata kanuni walizojiwekea kimila. Malisho kwa ajili ya matumizi ya kiangazi yamekuwa yakihifadhiwa katika maeneo ya malisho yajulikanayo kama Olilii (Wamaasai), Ngitiri ( Wasukuma) na Milaga ( Wagogo). Hata hivyo mabadiliko mengi yametokea katika matumizi ya ardhi hivyo maeneo hayatoshelezi mahitaji. 2.1. Sababu za Wafugaji Kuhamahama 1) Idadi kubwa ya Mifugo Idadi ya ng’ombe ya asili imeongezeka kutoka milioni 3.0 mwaka 1920 hadi kufikia takriban milioni 19 mwaka 2009 (Jedwali Na.1). Aidha, inakadiriwa kuwa zaidi ya asilimia 70 ya ng’ombe wa asili wako katika mikoa ya Mwanza, Shinyanga, Tabora, Singida, Manyara, Dodoma, Arusha na Mara. Mkoa wa Shinyanga unaongoza kwa kuwa na idadi kubwa ya ng’ombe takriban 2,604,106 (Sensa ya Sampuli ya NBS, 2003). Idadi hii kubwa ya mifugo haiendani na uwezo wa maeneo ya malisho na upatikanaji wa maji katika haya maeneo. Katika kukabiliana na tatizo la malisho na upatikanaji wa maji, wafugaji wa asili hugawa mifugo yao katika makundi tofauti ili kuyahamishia sehemu mbalimbali kutafuta maji na malisho hususan katika mikoa ya Morogoro, Mbeya, Tanga, Pwani na Rukwa.

282

Page 290: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

Jedwali Na. 1. Ongezeko la Mifugo 2000-2009

Chanzo: Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi 2009 2) Kupungua kwa Ardhi ya Malisho Kutokana na Mabadiliko ya Matumizi

i) Kilimo cha Mazao ya Chakula na Biashara Maeneo ya kilimo cha mazao yamepanuka kutokana na kuongezeka kwa mahitaji ya mazao ya chakula na biashara. Hali hii imesababisha kilimo kupanuka na kuingia katika maeneo ya asili ya malisho ambayo zamani hayakuwa yakitumika kwa kilimo cha mazao. Kwa mfano, kilimo cha ngano (Basuto Hanang), shayiri (Loliondo na West Kilimanjaro), maharage (Lolkisale/Simanjiro), mpunga na pamba katika Kanda ya Ziwa. ii) Kupanuka Maeneo ya Makazi

Maeneo ya makazi yanaongezeka siku hadi siku kutokana na ongezeko la idadi ya watu hapa nchini.

iii) Kupanuka kwa Maeneo ya Hifadhi za Maliasili

283

Page 291: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

Kumekuwa na ongezeko kubwa na idadi ya maeneo ya hifadhi za maliasili kutokana na sababu kama vile shughuli za utalii, maeneo ya hifadhi za wanyama pori, maeneo tengefu na misitu. Kwa mfano sekta ya utalii imezidi kukua, vilevile maeneo ya hifadhi za taifa za wanyama pori yameongezeka kutoka kilomita za mraba 85,430 (mwaka 1920) hadi kufikia 163,479 (2006).

iv) Maeneo ya machimbo Maeneo ya machimbo ya madini ni makubwa na shughuli hizo zinafanyika katika maeneo yaliyokuwa na shughuli nyingine za uzalishaji hususan maeneo ya malisho. Hali hii inamega maeneo ya shughuli za ufugaji wa asili. Kwa mfano machimbo ya North Mara, Buzwagi-Kahama, Geita, Mwadui na Mererani.

v) Uwekezaji katika ya Maeneo ya Malisho Wawekezaji wakubwa kama wawindaji na wakulima wakubwa humilikishwa ardhi iliyokuwa ikitumika na wafugaji wa asili na hubadilishwa matumizi yake. Wafugaji wa asili huondoka katika maeneo hayo kwa kuwa hawana hati miliki kisheria. 3) Uchomaji Moto Maeneo ya Malisho Uchomaji moto ovyo kwenye maeneo ya malisho husababisha upungufu wa malisho kwa mifugo. Hali hii ya upungufu hudumu kwa kipindi chote cha ukame mpaka yanapochipua wakati wa msimu wa mvua hivyo kusababisha wafugaji kuhama. 4) Ukame na Mabadiliko ya Tabia Nchi Mabadiliko ya tabia nchi (Climate Change) husababishwa na nguvu za asili na ongezeko la shughuli za binadamu. Shughuli hizi ni pamoja na kukata miti, kuondoa uoto wa asili na uzalishaji wa hewa ukaa. Hali hii husababisha ongezeko la joto duniani, mabadiliko ya misimu na maafa kama mafuriko na ukame. Athari zinazotokana na mabadiliko ya tabia nchi zimesababisha wafugaji kuhama kutoka maeneo kame na kuvamia maeneo oevu na sehemu za hifadhi kutafuta malisho na maji. Mabonde oevu ambayo wafugaji wamekuwa wakikimbilia kunusuru mifugo yao ni Usangu-Ihefu (Mbeya), Rufiji na Wami (Pwani), Kilombero (Morogoro), Wembere (Singida), Malagarasi (Kigoma) na Ugala (Tabora). Utafiti unaonyesha kuwa, kuongezeka kwa hewa ukaa na mionzi duniani (Green House Gases-GHG) kutasababisha ongezeko la kupe, ndorobo, minyoo na wadudu waharibifu wa mimea yakiwemo malisho. Vile vile, inaonekana kuwa maeneo mbalimbali ya nchi yameanza kupata mvua zisizotabirika na kuathiri kwa kiasi kikubwa upatikanaji wa maji kwa ajili ya matumizi ya wafugaji na mifugo. Aidha, wafugaji wengi hawajahamasika vya kutosha katika kuchukua hatua za kukabiliana na matatizo yatokanayo na mabadiliko ya tabia nchi (adaptation measures).

284

Page 292: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

Mikoa ya Arusha, Kilimanjaro, Tanga, Manyara Dodoma haikupata mvua za kutosha katika msimu 2008/09 na baadhi ya sehemu kutopata mvua kabisa na hivyo kusababisha kuwepo kwa hali mbaya ya malisho na maji kwa mifugo na matumizi mengine. Hali hii imesababisha baadhi ya wafugaji kuhamisha mifugo yao kwenda maeneo mengine nchini. Aidha, taarifa ya Wakala wa Hali ya Hewa (Tanzania Meteorological Agency-TMA) iliyochambua takwimu za hali ya hewa katika kipindi cha masika kuanzia mwezi Machi hadi Mei 2009, imeonyesha kuwepo kwa mvua zisizoridhisha hasa maeneo ya Kaskazini Mashariki na mwambao wa Pwani Kasikazini. Mikoa ya Arusha, Manyara, Tanga na Kilimanjaro imeonekana kuathirika zaidi na kuwa na upungufu wa maji katika maeneo ya ufugaji.

Wilaya 9 ambazo zimeathirika na ukame ni Siha, Mwanga na Same (Mkoa wa Kilimanjaro), Monduli, Ngorongoro, Longido na Arumeru (Mkoa wa Arusha) na Kiteto na Simanjiro (Mkoa wa Manyara). Aidha, wilaya za Handeni, Korogwe na Kilindi (Mkoa wa Tanga) zimeathirika na upungufu wa maji na malisho kutokana na kupokea mifugo mingi kutoka katika wilaya zilizokumbwa na ukame. Hali hii imesababisha baadhi ya wafugaji kuhamisha Mifugo yao kwenda vijiji vingine, wilaya na hata mikoa mingine. Aidha, Mifugo kutoka nchi jirani ya Kenya iliripotiwa kuingia kwa wingi katika Wilaya za Ngorongoro, Longido na Monduli hivyo kuongeza tatizo la uhaba mkubwa wa malisho na maji. Aidha, taarifa zinaonyesha kuwa, kati ya mwezi Mei hadi Septemba 2009 ng’ombe takriban 39,000 wamekufa katika wilaya za Monduli (37,000) na Longido (2,000). Inakadiriwa kuwa jumla ya ng’ombe 1,080,000 wanaofugwa katika maeneo ya Monduli (130,000); Longido (175,000); Arumeru-Arusha (50,000); Siha (15,000); Mwanga (37,000); Same (99,000); Kiteto (189,000); Simanjiro (230,000); Handeni (40,000); Kilindi (58,000); Korogwe (44,000) na Ngorongoro (13,000) wameathiriwa na ukame walihitaji msaada wa haraka wakati huo (Agosti 2009). Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi ilifanya tathmini ya madhara ya ukame kwa mifugo iliyoathirika na kutoa mapendekezo ya muda mfupi, kati na mrefu ili kunusuru mifugo kama ifuatavyo:

KIPINDI CHA DHARURA

Ukame katika wilaya zote zilizotembelewa umedhihirika wazi kutokana na kupata mvua zisizoridhisha katika misimu miwili mfululizo. Athari zitokanazo na ukame uliozikumba wilaya hizi zitaendelea hadi mwezi Novemba zinapotegemewa mvua za vuli kuanza kunyesha. Hivyo upo umuhimu wa kuchukua hatua za dharura kukabiliana na athari hizi ili kupunguza makali ya hasara kwa wafugaji. Hoja mahsusi zimebainika na Timu inapendekeza mikakati ifuatayo ifikiriwe kutekelezwa:

285

Page 293: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

HOJA: KUKOSEKANA KWA MALISHO YA MIFUGO WAKATI WA UKAME a) Kutokana na kuwepo kwa wafugaji wengi wa asili katika maeneo yote yaliyoathiriwa

na ukame katika wilaya 12 ambao hawajahamisha mifugo yao kwenda sehemu zenye malisho wanategemea masalia ya mazao yaliyomo katika mashamba ya wakulima na baadhi yao hukata majani, ipo haja ya Serikali kuandaa utaratibu wa dharura wa kupatikana kwa malisho yaliyokaushwa (hei) na vyakula vya ziada (supplementary feeds) ambavyo wafugaji watachangia gharama kwa utaratibu utakaondaliwa. Wilaya zitakazohusika na msaada huu ni Monduli, Halmashauri ya Arusha, Siha, Mwanga, Same, Ngorongoro, Longido, Simanjiro na Korogwe kwa kuzingatia zile Kata zilizoathirika na ukame. Timu inakadiria kuwa jumla ya ng’ombe 1,080,000 wanaofugwa katika maeneo yaliyoathirika na ukame wanahitaji msaada wa malisho. Mchanganio wa ng’ombe ni Monduli (129,000); Longido (175,000); Arumeru-Arusha (50,000); Siha (15,000); Mwanga (37,000); Same (99,000); Kiteto (189,000); Simanjiro (230,000); Handeni (40,000); Kilindi (58,000); Korogwe (44,000) na Ngorongoro (10,000). Iwapo kila ng’ombe atapatiwa kilo 5 ya hei kila siku ili aishi, tutahitaji kiasi cha kilo 300 kwa miezi miwili ya ukame kwa kila ng’ombe. Hivyo zitahitajika jumla ya tani 320,000 ili kukabili kipindi hicho. Mkakati huu kama ukitekelezwa utaigharimu serikali shilingi bilioni 110

b) Serikali ielekeze namna ya maeneo yenye malisho na maji kwa kipindi hiki hasa Hifadhi za wanyamapori na misitu ya Mkomazi, Tarangire, Ngorongoro, Manyara na msitu wa Suledo yanayozunguka wilaya zilizokumbwa na ukame jinsi ya kuruhusu mifugo kutumia malisho.

HOJA: KUKOSEKANA MAJI KWA MIFUGO WAKATI WA UKAME c) Kutokana na upatikanaji wa maji kwa matumizi ya mifugo kuathiriwa na ukame

katika wilaya 9 za Siha, Arumeru (Halmashauri ya Arusha), Same, Longido, Handeni, Kilindi, Kiteto na Simanjiro na kuchangia pia kudhoofu kwa mifugo hivyo kutoa kichocheo cha mifugo kuhamishwa, ipo haja ya Serikali kuchimba visima virefu vilivyofungwa pampu za kendeshwa na mashine vya dharura kwa wastani wa kisima kimoja kwa kila kata iliyoathirika. Tathmini iliyofanyika kwenye wilaya husika inaonyesha kuwepo na hitaji la visima 56 vitakavyosambazwa kama ifuatavyo: Halmashauri ya Arusha (9); Same (6); Siha (6); Longido (3); Simanjiro (9); Kiteto (9); Kilindi (10) na Handeni (4) na kupima mabwawa 18 katika wilaya za Longido (2); Arumeru (2); Monduli (2); ; Kiteto (2); Handeni (2); Kilindi (3); Simanjiro (3); Korogwe (1) na Siha (1). Serikali itahitaji kutenga shilingi bilioni 2.5 kwa kutekeleza kazi hii kama mkakati wa dharura.

HOJA: KUKOSEKANA HUDUMA YA TIBA WAKATI WA UKAME d) Kutokana na kudhoofu kwa mifugo kulikochangiwa na ukosefu wa malisho na maji

mifugo imeshambuliwa na magonjwa nyemelezi bila kupata huduma ya tiba, ipo

286

Page 294: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

haja ya Serikali kuanzisha huduma ya tiba ya dharura hasa kwa magonjwa yaenezwayo na kupe katika wilaya 12 za Monduli, Ngorongoro, Longido, Mwanga, Arumeru, Siha, Same, Handeni, Kilindi, Kiteto, Simanjiro na Korogwe. Gharama za kutekeleza mkakati huu ziandaliwe na Idara husika mapema iwezekanavyo.

HOJA: KUFIDIA MIFUGO ILIYOKUFA KWA UKAME e) Taarifa imetolewa kuwa vifo vya mifugo vimetokea katika wilaya za Monduli,

Longido, Mwanga na Simanjiro katika kipindi hiki cha ukame, ipo haja ya Serikali kuangalia uwezekano wa kulipa fidia kwa wafugaji waliopoteza mifugo baada ya taarifa ya vifo kuhakikiwa.

HOJA: KUNUNULIWA KWA MIFUGO ILIYODHOOFU KWA UKAME f) Mifugo mingi imedhoofu kutokana na athari za ukame unaoendelea katika wilaya

zilizotembelewa hivyo kutishia kuporomoka kwa uchumi wa wafugaji, ipo haja kwa Serikali kununua mifugo iliyodhoofu na kuingiza kwenye program ya unenepeshaji inayoendeshwa na Kampuni ya Ranchi za Taifa (KARATA). KIPINDI CHA MUDA WA KATI NA MREFU Kutokana na matukio ya ukame kuendelea kukumba maeneo haya yenye mifugo mingi nchini mara kwa mara, ipo haja ya kuwepo kwa mikakati ya muda wa kati na muda mrefu unaolenga kukabiliana na athari hizi ili kuongeza tija katika ufugaji. Mambo yafuatayo yanapendekezwa kufanyiwa kazi ili kutekeleza Sera ya Taifa ya Mifugo (2006):

• Kuandaa programu maalum ya kutenga maeneo ya ufugaji kitaifa yanayolenga kuunganisha wilaya na mikoa ya ufugaji.

• Kuandaa mpango wa matumizi ya maeneo ya ufugaji na namna ya kuyaendeleza (management plans) kwa kupitia matumizi ya mbegu bora za malisho, kuboresha nyanda za malisho zilizoharibika (reseeding) na hifadhi ya malisho (conservation).

• Kutambua maeneo maalum ambayo yanaweza kutumiwa wakati wa majanga kama ya ukame (grazing reserve areas).

• Kuwepo na mkakati wa hifadhi ya hei kwa ajili ya kipindi cha dharura (strategic hay reserve).

• Serikali kutambua na kugharamia huduma za msingi za mifugo inayohusisha matumizi ya mfumo wa vocha k.m. chanjo za magonjwa muhimu, vyakula vya ziada n.k.

• Kuandaa program mahususi ya upatikanaji wa maji kwa mifugo utakaohusisha ujenzi wa mabwawa makubwa ya kuhifadhi maji kwa misimu yote.

287

Page 295: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

• Kuanzisha na kuimarisha minada na machinjio ya kisasa yenye uwezo wa kusindika mazao (canning line) ili viwe chachu ya kuhamasisha wafugaji kuvuna mifugo.

• Kuhamasisha wafugaji kushiriki kikamilifu katika programu ya matumizi ya biogesi majumbani nchini ili kulinda mazingira.

• Kusambaza teknolojia za kuhifadhi malisho. • Kusambaza mfumo wa tahadhari ya majanga kwa mifugo (Livestock Early

Warning System) katika maeneo yote ya ufugaji. Aidha kutokana na hali ya ukame kuendelea kuathiri maeneo hayo hata baada ya tathmini inapendekezwa Serikali kununua baadhi ya mifugo iliyodhoofu na kuipeleka kwenye mashamba ya Kampuni ya Ranchi za Taifa (NARCO) kulingana na uwezo wa mashamba yaliyo maeneo jirani. Gharama za kununulia mifugo hiyo ni shilingi bilioni 6.8 ambazo zimetokana na mchanganuo ufuatao:

MAKISIO YA UNUNUZI WA MIFUGO I) MISINGI YA MAKISIO

a. Kampuni ya Ranchi za Taifa (NARCO) imeonyesha kuwa na uwezo wa kupokea ng’ombe 27,500 tu katika ranchi za Mzeri (3,500); Mkata (5,000); Kongwa (7,000) na Ruvu (12,000) ambazo zipo karibu na maeneo yaliyoathiriwa na ukame.

b. Bei ambayo NARCO imependekeza kununulia ng’ombe ni shilingi 1700 kwa kilo (live weight). Ng’ombe walioathirika wanakisiwa kuwa na wastani wa uzito wa kilo 100 sawa na thamani ya shilingi 170,000.

c. Wastani wa bei ya soko kwa ng’ombe katika maeneo yaliyoathirika na ukame ni shilingi 150,000 kwa mujibu wa taarifa ya minada ya Mererani.

II) MAKISIO YA GHARAMA Inapendekezwa kuwa idadi ya ng’ombe wa kununuliwa kutoka kwa wafugaji izingatie uwezo wa ranchi za NARCO za Mzeri, Mkata, Kongwa na Ruvu ambazo ndizo zilizo karibu zaidi na maeneo yaliyoathiriwa na ukame. Ranchi ya West Kilimanjaro imeachwa kwa vile nayo imeathirika pia. III) GHARAMA YA UNUNUZI Idadi ya mifugo itakayonunuliwa 27,500 Wastani wa bei kwa ng’ombe Shs.170,000/= Fedha inayohitajika ya kununulia ng’ombe: Shs. 4,675,000,000 IV) GHARAMA NYINGINEZO

• Usafirishaji wa mifugo kwa magari 1,950,000,000 • Gharama za watumishi wakati wa zoezi 34,000,000 • Vibarua wa kuhudumia mifugo kwenye ranchi 102,000,000

288

Page 296: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

• Ununuzi wa Mizani 4 20,000,000 • Vyakula na madawa ya mifugo 9,500,000 • Fedha ya tahadhali 16,000,000

JUMLA YA GHARAMA NYINGINEZO 2,131,500,000 IV) BAJETI Wizara itahitaji shilingi bilioni 6.8 kufanikisha ununuzi wa ng’ombe 27,500 walioathirika kutoka kwa wafugaji walio tayari kuuza baadhi ya mifugo yao. Hii ni sawa na wastani wa shilingi 247,500/= kwa ng’ombe. Idadi hii ni sawa na asilimia 2.5 ya ng’ombe wote walioathirika (1,080,000) idadi iliyobaki ihudumiwe kwa kadri ya mapendekezo yaliyoko kwenye taarifa ya tathimini. 5) Magonjwa ya Mifugo Ili kunusuru mifugo wafugaji wamekuwa wakihama kama mbinu ya kuepuka magonjwa ya mlipuko yanapotokea. Historia inaeleza kuwa magonjwa ya sotoka na homa ya mapafu yalitokea kwa mara ya kwanza mnamo miaka ya 1900 na inaaminika kuwa wafugaji wengi kutoka maeneo ya kaskazini mwa nchi yetu walihama kuepuka magonjwa haya. Wafugaji hurudia makazi hayo baada ya kipindi cha matatizo kuisha au wasirudi kabisa. Mfano mwezi Januari wafugaji wa Ngorongoro huondoka maeneo wanakozaliana nyumbu ili kunusuru mifugo yao kutokana na ugonjwa wa “Malignant Catarrhal Fever”. Baada ya kipindi hicho hurudia makao yao. 6) Kukosekana kwa Huduma za Kijamii na Miundombinu Wafugaji husogea maeneo yenye huduma za kijamii kama afya na elimu. Hali hii huwafanya wengi kufuga kuzunguka maeneo yenye huduma hizo. Aidha, wafugaji wa asili huzifuata huduma za miundombinu ya maji kwa mifugo, majosho, minada, na vituo vya uchunguzi wa magonjwa. 7) Kuhifadhi Mazingira ya Maeneo Oevu Kati ya mwaka 2006 – 2009 mifugo ilihamishwa kutoka mabonde ya Usangu – Ihefu na Kilombero kwa lengo la kuhifadhi mazingira ya maeneo oevu na vyanzo vya maji ambavyo viliingiliwa na wafugaji wa asili kutoka maeneo mbalimbali nchini. 3.0 Matokeo ya Kuhamahama Wafugaji wa Asili na Mifugo

Kuhama kwa wafugaji wa asili umekuwa si utaratibu endelevu kutatua matatizo ya malisho na maji. Desturi ya wafugaji wa asili ya kuhamahama bila kufuata utaratibu haijawaweza kuboresha uzalishaji wa mifugo na maisha ya wafugaji. Aidha, kutokana na desturi hiyo, rasilimali na fursa za ardhi, maji na malisho na mifugo haziendelezwi na

289

Page 297: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

kutumika kwa ufanisi. Matokeo ya kuhamahama kwa wafugaji wa asili ni kama ifuatavyo: 1. Kupoteza Umiliki wa Ardhi ya Malisho

Uwezekano wa miliki ya ardhi hupotea kwa kuwa wakiondoka ardhi huweza ikavamiwa na mtumiaji mwingine kwa sababu wafugaji wa asili hawana hatimiliki ya ardhi hiyo. Aidha, kule kuhamahama huwanyima fursa ya kuweza kuwekeza. 2. Mifugo Kuathirika na Kueneza Magonjwa

Mifugo inapohamia katika maeneo mapya, kuna hatari ya kushambuliwa na magonjwa yaliyopo kwenye maeneo hayo. Pia, uhamaji holela wa mifugo bila kuzingatia sheria na kanuni za kuhamisha mifugo hueneza magonjwa kutoka sehemu moja hadi nyingine. 3. Kupoteza Koo za Mifugo ya Asili

Mifugo inayotolewa kwenye maeneo yao ya asili na kupelekwa maeneo ya ugenini, inaweza kupoteza vinasaba vya ukoo wa asili kutokana na kuzaliana na koo tofauti. Kwa mfano ng’ombe aina ya Tarime wanaostahimili magonjwa ya kupe wanapozaliana na koo zingine kama vile Sukuma, Ufipa n.k uzao wao unaweza kupoteza ustahimilivu dhidi ya magonjwa ya kupe. 4. Uharibifu wa Mazingira Upungufu wa maeneo ya malisho katika baadhi ya mikoa nchini umesababisha msongamano wa mifugo na hivyo kuchangia katika uharibifu wa mazingira katika maeneo hayo. Hali hiyo huchangia baadhi wafugaji kulazimika kuvamia maeneo oevu na ya hifadhi hasa wakati wa kipindi cha ukame na hivyo kuchangia uharibifu wa mazingira na vyanzo vya maji. Wakati mwingine huweka hata kambi au makazi ya kudumu kwa mfano bonde la Ziwa Kibasila – Mofu wilaya ya Kilombero (Picha Na.1) na bonde la Usangu (Mbeya). 5. Kubadilika kwa Mfumo wa Maisha ya Wafugaji wa Asili

Familia na jamii nyingi za wafugaji zimepoteza mifugo yao mingi kutokana na kuhamahama ambao umesababishwa na upungufu wa maeneo ya malisho na maji. Hata hivyo, kuhamahama haijawa suluhu ya kuimarisha ufugaji wao wa asili hivyo baadhi wamelazimika kubadili mfumo wa maisha. Wafugaji wa asili hao wamejikuta wakitafuta ajira nyingine katika maeneo ya miji na kuiga baadhi utamaduni wa kule walikohamia. Aidha, katika kipindi kisichopungua miaka 25 iliyopita wafugaji wa asili waliotegemea mifugo kwa asilimia mia katika maisha yao (pastoralists) wamelazimika kuingia katika kilimo kuwa wakulima-wafugaji (agropastoralists) ikiwa ni njia mojawapo

290

Page 298: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

ya kupambana na mabadiliko ya mfumo wa maisha pamoja na kulinda maeneo yao ili yasiingiliwe na watumiaji wengine. 6. Migogoro Migogoro hutokea baina ya jamii pale jamii moja inapoingia kwenye eneo la jamii nyingine kwa ajili ya kutumia rasilimali zilizopo. Migogoro mingi baina ya wafugaji na watumiaji wengine wa ardhi hutokana na kugombea rasilimali ardhi inayosababishwa na uhaba wa maji na malisho. Tatizo kubwa linalosababisha migogoro hii ni pamoja na kutokuwepo kwa maeneo yaliyotengwa na mipango thabiti ya matumizi bora ya ardhi hususan katika ngazi za vijiji. Aidha, migogoro mingine inatokana na uelewa mdogo wa matumizi ya sheria zinazosimamia matumizi ya rasilimali husika. 6.1 Matukio ya Migogoro Baina ya Wafugaji na Watumiaji Wengine wa

Ardhi

Maeneo mengi ya wafugaji yalichukuliwa na kupangiwa matumizi mengine kama vile kilimo cha biashara (mfano mashamba ya ngano na shayiri ya Basuto na Loliondo na mashamba ya pamba Shinyanga na tumbaku Tabora n.k), shughuli za utalii na hifadhi za wanyamapori (Tarangire, Manyara, Mkomazi n.k), uchimbaji madini (Mwanza, Shinyanga na Mara), ujenzi wa miundombinu (Uwanja wa ndege wa Kilimanjaro) na shughuli nyingine za maendeleo. Matumizi haya yalisababisha maeneo ya ufugaji kupungua na kuwafanya wafugaji kuhamia maeneo mengine ambayo kwa asili si ya ufugaji kama Mkoa wa Morogoro, Tanga, Pwani, Iringa na Mbeya. Kumekuwepo na migogoro mingi kati ya wafugaji na watumiaji wengine wa ardhi. Migogoro mingi imekuwa kati ya wafugaji na wakulima, wafugaji na wawindaji-wawekezaji kama ilivyojitokeza huko Ngorongoro hususan wilaya ya Loliondo na Yaeda Chini wilaya ya Mbulu, wafugaji na mamlaka za hifadhi za misitu na wanyama pori kama inavyojitokeza katika maeneo mbalimbali hapa nchini kwa mfano Ngorongoro Conservation Area na pia kuna migogoro kati ya wafugaji kwa wafugaji hasa inayohusu wizi wa mifugo (jedwali namba 2). Hata hivyo migogoro baina ya wafugaji na wakulima ndiyo migogoro mikuu ambayo imekuwa ikijitokeza mara kwa mara. Mikoa ya Morogoro (wilaya ya Kilosa jedwali na 2) na Arusha (mapigano baina ya Wamasai (Loita) na Wasonjo (Wabatemi) wilayani Ngorongoro) imeshuhudia migogoro mingi katika historia ya nchi yetu. Migogoro mingine imetokea wilaya za Kilombero na Ulanga (uvamizi wa maeneo oevu la bonde la mto Kilombero), Kilindi, Kiteto na Handeni (iliyohusisha mapigano baina ya wakulima na wafugaji ambapo watu walikufa), Mpanda, Sumbawanga, Mbarali (Uvamizi wa maeneo oevu ya Usangu na Ziwa Rukwa). Migogoro inayotokea imekuwa ikisababisha uvunjifu wa amani, upotevu wa maisha ya watu, mifugo na uharibifu wa mali.

291

Page 299: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

Jedwali Na.2 Matukio ya migogoro, madhara yake na wahusika katika wilaya ya Kilosa.

Na

Mwaka

Kijiji Wahusika Athari/Madhara

1 1965 Chakwale Wakaguru/Wakamba dhidi ya Wamasai

Kulikuwa na uuaji wa binadamu na upotevu wa mali

2 1972 Msowero Wakaguru na Wamasai

Vifo vya binadamu na upotevu wa mali

3 2000 Rudewa Wakulima na Wamasai

Zaidi ya watu 40 2alipoteza maisha na upotevu wa mali ikiwemo mifugo

4 2007 Mvumi Wakul;ima na Wamasai

Kifo cha mtu mmoja na upotevu wa mali

5 2008 Kivungu Wakulima na Wamasai

Watu 2 walipoteza maisha na upotevu wa mali

6 2009 Mambegwa Wakulima na Wamasai

Watu 7 walipoteza maisha na upotevu wa mali

Chanzo: Taarifa ya ziara ya Waziri MUV wilaya ya Kilosa Zipo sababu nyingi zinazosababisha kuwepo kwa migogoro baina ya watumiaji wa ardhi kama zifuatazo:

1. Mifumo ya ufugaji wa asili hasa ya uhamaji wa mara kwa mara (pastoral mobility) ambayo husababisha mgongano wa mila na desturi

2. Ukulima na ufugaji wa kuhama hama (shifting cultivation and pastoral mobility) ambao unalazimisha kuwepo kwa mahitaji makubwa ya ardhi kwa ajili ya kilimo na ufugaji visivyo endelevu. Mtindo huu wa kilimo na ufugaji unaathiri mazingira kwa kiwango kikubwa.

3. Kutothamini nyaraka halali zinazotolewa na vyombo vya Serikali kunachangia kuwepo kwa migogoro.

4. Kutokuzingatia utawala bora wa sheria katika ngazi mbalimbali za utendaji imelalamikiwa na wadau wa sekta ya mifugo hasa wafugaji wa asili. Hali hii ilisababisha uvamizi wa maeneo bila utaratibu, kuhamisha mifugo bila kuzingatia kanuni na sheria n.k

5. Kukosekana kwa uwekezaji na uendelezaji katika maeneo ya ufugaji kama kuwekwa kwa miundombinu muhimu kama ya maji, majosho, minada na njia za mifugo.

6. Ushiriki hafifu wa wafugaji katika kupanga na kufanya maamuzi yanayohusu maslahi yao hususan katika vikao vya ngazi za vijiji, kata na wilaya.

7. Wizi wa mifugo husababisha migogoro katika jamii (Jedwali Na.3.)

292

Page 300: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

Jedwali 3. Ng’ombe walioibiwa kati ya mwaka 2005 hadi 2007 Ng’ombe

waliorudishwa Ng’ombe walioibiwa Mkoa Jumla Jumla 2005 2006 2007 2005 2006 2007 Arusha 96 71 818 985 17 17 466 500D'salaam 256 300 198 754 104 102 47 253Dodoma 2,303 2,723 1,938 6,964 0 0 1,218 1,218Iringa 721 721 457 1899 152 252 165 569Kagera 2,707 8,647 3,723 15,077 988 1,726 975 3,689Kigoma 87 97 332 516 40 95 189 324Kilimanjaro 400 708 312 1,420 268 368 106 742Lindi 7 2 46 55 0 0 6 6Mara 2,980 3,480 3,612 10,072 646 546 764 1956Manyara 448 548 368 1364 218 312 158 688Mbeya 671 971 903 2,545 300 603 264 1167Morogoro 1,635 2,035 2,529 6,199 441 741 303 1485Mtwara 36 46 45 127 17 19 12 48Mwanza 380 589 1,060 2,029 138 232 423 793Pwani 308 905 972 2185 98 198 350 646Rukwa 424 524 755 1,703 165 265 299 729Ruvuma 76 86 184 346 30 32 62 124Shinyanga 768 968 787 2,523 163 263 384 810Singida 1,889 1,689 1,086 4,664 438 538 473 1449Tabora 1,943 2,143 1,117 5,203 1,060 1,330 526 2,916Tanga 1,035 1,435 524 2,994 660 760 98 1518Jumla 19,206 28,758 21,889 69,624 5,959 8,432 7,318 21,630

Chanzo: Cattle Rustling: A Threat to Human Security in East Africa (Aug. 2008) 5.0 Hatua zinazopendekezwa ili Kutatua Migogoro kati ya Wafugaji na Watumiaji Wengine wa Ardhi.

i. Elimu kwa Wafugaji Kuhusu Ufugaji Endelevu Elimu kwa watumiaji wote wa ardhi wakiwemo wafugaji ni njia mojawapo ya kuwafanya wawe na ufugaji endelevu na hivyo kupunguza migogoro ya ardhi. Hivyo, ni muhimu juhudi zifanywe kutoa elimu kwa wadau wote ili kuondoa tatizo hili ambalo limekuwa likijitokeza mara kwa mara. ii. Kutenga Maeneo kwa Ajili ya Ufugaji na Kuyapangia Mipango ya

Matumizi Endelevu Kuhimiza mpango wa matumizi bora ya ardhi ambapo maeneo kwa ajili ya ufugaji endelevu yatatengwa. Kuruhusu mfumo wa matumizi ya pamoja katika maeneo ambayo yana wanyama aina tofauti (Multiple land use) ili kutumia kwa ukamilifu rasilimali za malisho zinazopatikana katika nyanda za malisho (kama Ngorongoro, Serengeti na

293

Page 301: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

Manyara). Mfano mzuri ni ranchi ya mifugo ya Manyara ambapo mifugo, wanyama pori na wakulima wanaishi kwa amani. Ni muhimu kuendeleza maeneo yaliyotengwa kwa ajili ufugaji kwa kujenga na kuimarisha miundombinu ikiwemo vyanzo vya maji, majosho, vituo vya mifugo, masoko na njia za mifugo. Hii itawezesha kuwepo kwa mtawanyiko mzuri wa mifugo ili kuongeza uzalishaji na kuepusha uharibifu wa mazingira. Ushirikiano wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi na Wizara ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa na Wizara ya Ardhi, Nyumba na Makazi umewezesha kutenga jumal ya Hekta 1,391,109.41 katika vijiji 240 na wilaya 31 katika mikoa ya mikoa ya Kagera, Kigoma, Lindi, Mbeya, Morogoro, Mtwara, Pwani, Ruvuma, Singida, Tabora na Tanga. Kwa kuwa Tume ya Matumizi ya Ardhi imeandaa matumizi ya ardhi hadi mwaka 2028 katika nchi yetu (Kiambatanisho Na. 1) ni vyema wadau wakashirikiana kutenga na kuendeleza maeneo ya ufugaji ili kuondoa migogoro baina ya watumiaji wa ardhi. iii. Kuboresha na Kuimarisha Uzalishaji wa Malisho

Uzalishaji wa malisho ni muhimu kwa ufugaji endelevu na pia kupunguza migogoro baina ya wafugaji na watumiaji wengine wa ardhi. Malisho ya asili yanaweza kuboreshwa kwa kupanda mbegu bora. Aidha, sekta binafsi wakiwemo wafugaji wanaweza kuchangia kuzalisha na kuhifadhi malisho kama zao la biashara. Kwa mfano, hekta moja ya shamba lililooteshwa malisho bora linaweza kuzalisha robota 300-600 za hei ambayo inaweza kulisha ng’ombe wawili wazima kwa mwaka. Ili kupata mbegu bora za malisho, kwa ajili ya wafugaji, Serikali inayo mashamba ya malisho kwa lengo la kuwezesha upatikanaji wa mbegu bora za malisho kwa wafugaji na watumiaji binafsi wa mbegu. Mashamba hayo ni pamoja na Vikuge, Mabuki, Langwira, Kizota na kituo cha malisho Kongwa. iv. Kuimarisha kamati za matumizi ya ardhi Kuimarisha kamati shirikishi za matumizi ya ardhi katika ngazi mbalimbali za utawala na kuziwezesha ili kusimamia ipasavyo mipango ya matumizi bora ya ardhi.

v. Kuimarisha Kamati za Ulinzi na Usalama

Kuimarisha uwezo wa kamati na vyombo vya Ulinzi na Usalama katika maeneo yenye migogoro hatarishi, ili kudhibiti migogoro.

vi. Kuboresha Mazoezi au Operesheni za Kuondoa Mifugo Iwapo kutatokea ulazima wa kuondoa mifugo kutoka wilaya moja kwenda nyingine, ni muhimu wadau washirikishwe kwenye zoezi hili katika kupanga na kutekeleza zoezi hilo. vii. Kujenga uwezo wa kukabiliana na majanga hasa ukame

294

Page 302: YALIYOMO MLDF PASS AGITF - s3.amazonaws.coms3.amazonaws.com/zanran_storage/€¦ · 1.0 UTANGULIZI Tanzania ina jumla ya hekta milioni 88.6 ambazo zinafaa kwa kilimo, hii inajuimuisha

295

Mfumo wa tahadhari utasaidia katika kufanya maamuzi sahihi ya kujiandaa kukabiliana na ukame. Ni muhimu kwa Serikali kushirikiana na wadau kuimarisha mpango wa tahadhari wa kukabiliana na majanga kwa haraka. Hitimisho Chanzo kikuu cha migogoro mingi hapa nchini inayowahusisha wafugaji na watumiaji wengine wa ardhi, inatokana na matumizi ya rasilimali ardhi, malisho na maji. Migogoro hii husababisha uvunjifu wa amani, vifo vya binadamu na mifugo na uharibifu wa mali. Ili kupunguza migogoro hii kuna haja kuongeza kasi ya kutenga maeneo ya ufugaji kuyapangia matumizi endelevu na kufanya juhudi za kuyaendeleza kwa kuyawekea miundombinu. Wafugaji wanahimizwa kuwekeza katika kuzalisha na kuhifadhi malisho kama pembejeo kuu katika kuleta mageuzi ya ufugaji kuwa wa kibiashara. Wafugaji wa asili wanahamasishwa kuvuna mifugo yao ili kuinua kipato na kuboresha maisha yao Kiambatanisho Na. 1 Mpango wa matumizi ya ardhi 2008-2028 Hali halisi ya matumizi ya ardhi

Matumizi ya ardhi yanayotarajiwa

Eneo (sq.km) % ya eneo lote

Makazi ya miji, Kilimo na kuchungia mifugo

I) Eneo kwa ajili ya kilimo cha kisasa (intensive agriculture), makazi na kuchungia mifugo

165,605 17.5

Maeneo ya mtawanyiko wa vijiji, kilimo na kuchungia mifugo

ii) Maeneo ya kuongeza na kuimarisha kilimo, makazi na kuchungia mifugo iii) Maeneo ya mwambao wa pwani na matumizi ya ikolojia

176,747

4,112

18.7

0.4

Kuchungia mifugo na hifadhi

iv) maeneo ya ranchi za jumuia

123,460 13.1

Maeneo ya wazi ya kuhifadhi uoto (ecosystem maintenance)

v) Maeneo ya wazi 77,101 8.2

Vyanzo vya rasilimali za maji

vi) Matumizi ya maji 63,172 6.7

Hifadhi za jumuia 53,464 5.7Hifadhi Hifadhi 281,357 29.8

Jumla 945,018 100 Chanzo: Tume ya Matumizi ya Ardhi