4
UTANGULIZI Shirika la TUSONGE ni shirika la Kijamii lina katika maeneo mbalimbali ya mkoa wa Maeneo ya mradi huo ni Wilaya ya Siha katik ambazo ni Ivaeny na Biriri. Katika Manispaa shirika la TUSONGE linafanya utekelezaji kat Msaranga na Majengo. Pia Wilaya ya Moshi vij Njia panda shirika la TUSONGE limeweza ku mpya wa ulinzi na usalama wa watoto. Miradi ya ambayo shirika la TUSONGE linaji nayo kwa sasa ni MRADI WA KIUCHUMI, BINADAMU PAMOJA NA ULINZI NA WA WATOTO. Katika kipindi cha miezi mitatu mwezi (April - TUSONGE imeweza kutekeleza shughuli m ndani ya jamii ya Mkoa wa Kilimanjaro na Arush SHUGHULI ZILIZOFANYIKA Katika kipindi cha miezi mitatu TUSONG kutekeleza shughuli zifuatazo: (i) Mafunzo ya Waendesha Baiskeli maaruf la bodaboda: Shirika la TUSONGE liliweza k utekelezaji wa wa kutoa elimu kwa njia ya se elimu kuhusu usafiri wa bodaboda. Mafunzo ya vijana 40, wanawake (6) na wanaume (34). iliibua hisia miongoni mwa wanajamii. ilishirikiana na Afisa wa polisi wa Manispaa katika kutoa elimu hii kwa vijana kwa muda Baada ya Mafunzo hayo TUSONGE iliwe uzinduzi rasmi wa sekta hiyo ya usafirishaji na kwa wahitimu wa mafunzo hayo. TUSONGE n ujumla inaamini kwa kupitia elimu hiyo a vinavyotokana na boda boda vitapungua kikubwa.Aidha Kuwawezesha wasichana kuwe biashara ambayo mfumo na mitizamo ilion wanaume zaidi. TUSONGE - CDO Shughuli zilizofanyika kwa kipi mitatu Mradi wa uelimishaji haki za binad Shuhuda kutoka kwa wanufaika TUSONGE Kuvunja mzunguko kwa vikundi Mchango wa viongozi wa vicoba ka Elimu kuhusu kuimarisha kazi za s Mpango wa baadae shirika la TUSO alofanya kazi Kilimanjaro. ka kata mbili a ya Moshi atika kata za jijini kata ya upata mradi ishughulisha , HAKI ZA USALAMA July, 2016), mbali mbali ha. GE imeweza fu kwa jina kuanza rasmi ekta ambapo alitolewa kwa . Elimu hii TUSONGE a ya Moshi a wa wiki 8. eza kufanya a kutoa vyeti na jamii kwa ajali na vifo kwa kiasi eza kufanya na kama ya (ii)Elimu kuhusu haki za Msaranga: TUSONGE imewe ambao wameonyesha mwitiko waliyoyapata kuanzia mwaka 20 wameona kuwa elimu ya ujas utetezi iliyotolewa katika Kipind kuwaongezea ujasiri wa kuwa mafunzo ya ziada kutoka TUSO changamoto zinazowakabili wana TUSONGE ilitoa mafunzo hayo Lengo la mafunzo hayo ni kuwa kusimama katika nafasi zao na kuanzia ngazi ya familia kam CEDAW 1979 inavyoainisha. kusaidia baadhi ya wanaume pi wanawake wanatakiwa kuzipa TUSONGE iliweza kujenga u wanaume pamoja na watoto k umoja wa mataifa na sheria ya m Mafunzo hayo yameweza kuong kuhusu kudai haki na kuwajibika familia hadi jamii. Baada TUSONGE iliweza kufanya tat uliotokana na mafunzo hayo. asilimia 100% ya waliofundishw mwanga kwani kabla ya mafun ya haki ya mwanamke kisheria. (iii) Elimu kuhusu ulinzi n TUSONGE imeweza kutengeneza wa watoto katika, imeweza kutoa katika shule ya msingi Himo P kamati ya ulinzi na usalama wa w Toleo la 7 Mkurugenzi wa Shirika la TUSONG mafunzo kuhusu haki za wanaw indi cha miezi damu wa mradi wa ata ya msaranga shirika ONGE a wanawake kata ya eza kuwa na wanufaika wa kufanyia kazi mafunzo 014-2016. Wanawake hawa siriamali na ushawishi na di cha 2014-2016 iliweza na uthubutu wa kuomba ONGE ili kuweza kutatua awake katika jamii. kwa muda wa wiki tatu. asaidia wanawake waweze kutetea haki zao za msingi ma sheria ya wanawake Mafunzo haya yameweza ia kutambua haki ambazo ata. Sambamba na hilo uelewa kuhusu haki za kama ilivyoainisha kwenye mtoto ya mwaka 2009. geza ujasiri kwa wanawake a kama wanawake ndani ya ya elimu hiyo kutolewa thimini ili kupima uelewa Tathimini hiyo ilionyesha wa kukiri kuwa wameona nzo hawakujua nini maana na usalama wa watoto a sera ya ulinzi na usalama a elimu ya haki za watoto Pofo na Rongoma, kuunda watoto katika Kata ya 7 April June 2016 GE Aginatha Rutazaa akitoa wake kata ya Msaranga.

TUSONGE - CDOtusongecdo.org/site1/wp-content/uploads/2018/03/NGUVU_YETU_VOLUME_7.pdfMgeni rasmi alipongeza kikundi cha vijana kwa kuweza kutatua changamoto mbalimbali zinazowakabili

  • Upload
    others

  • View
    3

  • Download
    0

Embed Size (px)

Citation preview

Page 1: TUSONGE - CDOtusongecdo.org/site1/wp-content/uploads/2018/03/NGUVU_YETU_VOLUME_7.pdfMgeni rasmi alipongeza kikundi cha vijana kwa kuweza kutatua changamoto mbalimbali zinazowakabili

UTANGULIZI

Shirika la TUSONGE ni shirika la Kijamii linalofanya kazi

katika maeneo mbalimbali ya mkoa wa

Maeneo ya mradi huo ni Wilaya ya Siha katika kata mbili

ambazo ni Ivaeny na Biriri. Katika Manispaa ya Moshi

shirika la TUSONGE linafanya utekelezaji katika kata za

Msaranga na Majengo. Pia Wilaya ya Moshi vijijini kata ya

Njia panda shirika la TUSONGE limeweza kupata mradi

mpya wa ulinzi na usalama wa watoto.

Miradi ya ambayo shirika la TUSONGE linajishughulisha

nayo kwa sasa ni MRADI WA KIUCHUMI,

BINADAMU PAMOJA NA ULINZI NA USALAMA

WA WATOTO.

Katika kipindi cha miezi mitatu mwezi (April -

TUSONGE imeweza kutekeleza shughuli mbali mbali

ndani ya jamii ya Mkoa wa Kilimanjaro na Arusha

SHUGHULI ZILIZOFANYIKA

Katika kipindi cha miezi mitatu TUSONGE imeweza

kutekeleza shughuli zifuatazo:

(i) Mafunzo ya Waendesha Baiskeli maarufu kwa jina

la bodaboda: Shirika la TUSONGE liliweza kuanza rasmi

utekelezaji wa wa kutoa elimu kwa njia ya sekta ambapo

elimu kuhusu usafiri wa bodaboda. Mafunzo yalitolewa kwa

vijana 40, wanawake (6) na wanaume (34). Elimu

iliibua hisia miongoni mwa wanajamii. TUSONGE

ilishirikiana na Afisa wa polisi wa Manispaa ya Moshi

katika kutoa elimu hii kwa vijana kwa muda wa wiki 8.

Baada ya Mafunzo hayo TUSONGE iliweza kufanya

uzinduzi rasmi wa sekta hiyo ya usafirishaji na k

kwa wahitimu wa mafunzo hayo. TUSONGE na jamii kwa

ujumla inaamini kwa kupitia elimu hiyo ajali na vifo

vinavyotokana na boda boda vitapungua kwa kiasi

kikubwa.Aidha Kuwawezesha wasichana kuweza kufanya

biashara ambayo mfumo na mitizamo iliona

wanaume zaidi.

TUSONGE - CDO

� Shughuli zilizofanyika kwa kipindi cha miezi

mitatu

� Mradi wa uelimishaji haki za binadamu

� Shuhuda kutoka kwa wanufaika wa mradi wa

TUSONGE

� Kuvunja mzunguko kwa vikundi

� Mchango wa viongozi wa vicoba kata ya msaranga

� Elimu kuhusu kuimarisha kazi za shirika

� Mpango wa baadae shirika la TUSONGE

Shirika la TUSONGE ni shirika la Kijamii linalofanya kazi

katika maeneo mbalimbali ya mkoa wa Kilimanjaro.

Maeneo ya mradi huo ni Wilaya ya Siha katika kata mbili

ambazo ni Ivaeny na Biriri. Katika Manispaa ya Moshi

ya utekelezaji katika kata za

Msaranga na Majengo. Pia Wilaya ya Moshi vijijini kata ya

imeweza kupata mradi

linajishughulisha

, HAKI ZA

ULINZI NA USALAMA

July, 2016),

TUSONGE imeweza kutekeleza shughuli mbali mbali

ya Mkoa wa Kilimanjaro na Arusha.

TUSONGE imeweza

Waendesha Baiskeli maarufu kwa jina

hirika la TUSONGE liliweza kuanza rasmi

utekelezaji wa wa kutoa elimu kwa njia ya sekta ambapo

Mafunzo yalitolewa kwa

vijana 40, wanawake (6) na wanaume (34). Elimu hii

iliibua hisia miongoni mwa wanajamii. TUSONGE

ilishirikiana na Afisa wa polisi wa Manispaa ya Moshi

katika kutoa elimu hii kwa vijana kwa muda wa wiki 8.

Baada ya Mafunzo hayo TUSONGE iliweza kufanya

uzinduzi rasmi wa sekta hiyo ya usafirishaji na kutoa vyeti

kwa wahitimu wa mafunzo hayo. TUSONGE na jamii kwa

ujumla inaamini kwa kupitia elimu hiyo ajali na vifo

vinavyotokana na boda boda vitapungua kwa kiasi

Aidha Kuwawezesha wasichana kuweza kufanya

biashara ambayo mfumo na mitizamo iliona kama ya

(ii)Elimu kuhusu haki za wanawake kata ya

Msaranga: TUSONGE imeweza kuwa na wanufaika

ambao wameonyesha mwitiko wa kufanyia kazi mafunzo

waliyoyapata kuanzia mwaka 2014

wameona kuwa elimu ya ujasiriamali na ushawishi na

utetezi iliyotolewa katika Kipindi cha

kuwaongezea ujasiri wa kuwa na uthubutu wa kuomba

mafunzo ya ziada kutoka TUSONGE ili kuweza kutatua

changamoto zinazowakabili wanawake

TUSONGE ilitoa mafunzo hayo kwa muda wa wiki tatu.

Lengo la mafunzo hayo ni kuwasaidia wanawake waweze

kusimama katika nafasi zao na kutetea haki zao za msingi

kuanzia ngazi ya familia kama sheria ya wanawake

CEDAW 1979 inavyoainisha. Mafunzo haya yameweza

kusaidia baadhi ya wanaume pia kutambua haki ambazo

wanawake wanatakiwa kuzipata. Sambamba na hilo

TUSONGE iliweza kujenga uelewa kuhusu haki za

wanaume pamoja na watoto kama ilivyoainisha kwenye

umoja wa mataifa na sheria ya mtoto ya mwaka 2009.

Mafunzo hayo yameweza kuongeza ujasiri kwa wanawake

kuhusu kudai haki na kuwajibika kama wanawake ndani ya

familia hadi jamii. Baada ya elimu

TUSONGE iliweza kufanya tathimini ili kupima uelewa

uliotokana na mafunzo hayo. Tathimini hiyo ilionyesha

asilimia 100% ya waliofundishwa kukiri kuwa wameona

mwanga kwani kabla ya mafunzo hawakujua nini maana

ya haki ya mwanamke kisheria.

(iii) Elimu kuhusu ulinzi na usalama wa watoto

TUSONGE imeweza kutengeneza sera ya ulinzi na usalama

wa watoto katika, imeweza kutoa elimu ya haki za watoto

katika shule ya msingi Himo Pofo na Rongoma, kuunda

kamati ya ulinzi na usalama wa watoto kati

���� Toleo la 7

Mkurugenzi wa Shirika la TUSONGE Aginatha Rutazaa akitoa

mafunzo kuhusu haki za wanawake kata ya Msaranga.

kwa kipindi cha miezi

Mradi wa uelimishaji haki za binadamu

Shuhuda kutoka kwa wanufaika wa mradi wa

Mchango wa viongozi wa vicoba kata ya msaranga

Elimu kuhusu kuimarisha kazi za shirika

Mpango wa baadae shirika la TUSONGE

Elimu kuhusu haki za wanawake kata ya

TUSONGE imeweza kuwa na wanufaika

ambao wameonyesha mwitiko wa kufanyia kazi mafunzo

waliyoyapata kuanzia mwaka 2014-2016. Wanawake hawa

wameona kuwa elimu ya ujasiriamali na ushawishi na

Kipindi cha 2014-2016 iliweza

a ujasiri wa kuwa na uthubutu wa kuomba

mafunzo ya ziada kutoka TUSONGE ili kuweza kutatua

changamoto zinazowakabili wanawake katika jamii.

toa mafunzo hayo kwa muda wa wiki tatu.

Lengo la mafunzo hayo ni kuwasaidia wanawake waweze

ma katika nafasi zao na kutetea haki zao za msingi

kuanzia ngazi ya familia kama sheria ya wanawake

inavyoainisha. Mafunzo haya yameweza

kusaidia baadhi ya wanaume pia kutambua haki ambazo

wanawake wanatakiwa kuzipata. Sambamba na hilo

E iliweza kujenga uelewa kuhusu haki za

wanaume pamoja na watoto kama ilivyoainisha kwenye

mtoto ya mwaka 2009.

Mafunzo hayo yameweza kuongeza ujasiri kwa wanawake

kuhusu kudai haki na kuwajibika kama wanawake ndani ya

familia hadi jamii. Baada ya elimu hiyo kutolewa

TUSONGE iliweza kufanya tathimini ili kupima uelewa

uliotokana na mafunzo hayo. Tathimini hiyo ilionyesha

asilimia 100% ya waliofundishwa kukiri kuwa wameona

mwanga kwani kabla ya mafunzo hawakujua nini maana

Elimu kuhusu ulinzi na usalama wa watoto

TUSONGE imeweza kutengeneza sera ya ulinzi na usalama

wa watoto katika, imeweza kutoa elimu ya haki za watoto

katika shule ya msingi Himo Pofo na Rongoma, kuunda

kamati ya ulinzi na usalama wa watoto katika Kata ya

7 ���� April –June 2016

Mkurugenzi wa Shirika la TUSONGE Aginatha Rutazaa akitoa

mafunzo kuhusu haki za wanawake kata ya Msaranga.

Page 2: TUSONGE - CDOtusongecdo.org/site1/wp-content/uploads/2018/03/NGUVU_YETU_VOLUME_7.pdfMgeni rasmi alipongeza kikundi cha vijana kwa kuweza kutatua changamoto mbalimbali zinazowakabili

Kilema Kusini, kuunda klabu ya haki za watoto shule ya

msingi Himo Pofo na Rongoma. TUSONGE imeweza

kugundua matukio ya ukatili wanayofanyiwa watoto na

kufikisha sehemu husika kwa msaada zaidi pamoja na

kufuatilia kesi na matukio yanayohusu ukatili dhidi ya

watoto.Aidha viongozi wa serikali za mitaa na waalimu

wamekuwa mstari wa mbele kuunga jitihada hizi mkono

kwani ni jukumu letu sote kulinda watoto wetu.

Mafanikio yaliyojitokeza

Kupitia miradi hiyo shirika la TUSONGE limeweza kuona

mafanikio mbali mbali yaliyojitokeza kwa wanufaika wa

miradi:

� Ongezeko la uelewa kuhusu haki za watoto

� Kuibua matukio ya ukatili waliyokuwa wanafanyiwa

watoto. Jumla ya matuki 7 yako katika hatua kubwa ya

ufuatiliaji

� Watoto wameongeza ujasiri wa kutoa taarifa pale

wanapofanyiwa ukatili.

� Mahusiano baina ya wazazi, walimu, viongozi wa

serikali, viongozi wa dini, pamoja na polisi

yameimarishwa.

MRADI WA UELIMISHAJI HAKI ZA BINADAMU

Mradi umeendelea katika kutekeleza azma ya kujenga

mazingira yenye usawa na usalama ili wanawake, vijana

na watoto waweze kushikiri na haki zao kulindwa. Mradi

ulianza na utekelezaji wa miradi ya jamii na sasa umeweza

kuwashirikisha mashirika mbinu shirikishi na tuliyojifunza

katika utekelezaji wa miradi ya haki za binadamu kwenye

jamii kwa kutumia kitabu cha Mwongozo. Ushiriki Nguvu

Yetu ni kitabu cha mwongozo cha kutolea Elimu ya Haki

za Binadamu na nyenzo kwa asasi za kiraia, viongozi,

vijana na makundi yanayofanya kazi za haki na ushiriki wa

wanawake,watoto na/ au vijana.Jumla ya mashirik 19 toka

Arusha na Kilimanjaro yaliweza kushiriki na kutendea kazi

ndani ya asasi zao na pia jamii kwa ujumla.

Lengo kuu la kitabu cha mwongozo

Lengo la msingi la Kitabu hiki cha Mwongozo ni kuwezesha

asasi za kiraia zinazofanya kazi na wanawake, watoto

kushirikisha na kuhamasisha jamii juu ya haki za binadamu

kupitia utekelezaji wa miradi ya kijamii ya haki za

binadamu. Mnamo mwezi wa tano TUSONGE kwa

kushirikiana na EQUITAS waliweza kutoa elimu ya kitabu

hiki kwa mashirika 19 yatokayo Moshi, Arusha na SIHA.

Mbinu ya utoaji elimu

Mbinu shirikishi ni mbinu ya utoaji elimu ambayo

ilitumika katika uandaaji wa mwongozo huu. Hivyo, kazi, na

miradi inakusudia kutoa zaidi uelewa na ujuzi na italenga

zaidi kutoa ufahamu wa haki za binadamu na kuhamasisha

kuchukua hatua kupitia vikundi vinavyoshiriki kutafakari

kwa kina juu ya uzoefu wa maisha yao na kutambua

mabadiliko wanayoyataka katika jamii zao.

Mashirika haya yameweza kuunda timu nne, mbili zikitoka

Arusha na nyingine Moshi ambazo kwa kushirikiana na

jamii za Boma ya Mbuzi, Mabogini kwa Moshi na Sokoni

One na Majengo kwa Arusha zimeunda miradi ya

utekelezaji Kitabu cha Mwongozo kwa kuangalia maswala

ya haki za binadamu yaliyomo kwenye jamii hizo. Lengo la

miradi hii ni kuwapa uelewa wanajamii kuhusu Kitabu cha

Mwongozo na pia mashirika kupata fursa ya kuongeza

uelewa wa Kitabu na mbinu zake ili waweze kutumia katika

miradi yao.

Jamii imeonyesha mwamko mkubwa wa kupokea Kitabu

cha Ushiriki Nguvu Yetu pamoja na utayari wa kutumia

hatua tano za utekelezaji miradi ya haki za binadamu

kwenye jamii zao. Hatua hizo ni Kuchunguza hamasa,

Kuchunguza muktadha, Kulenga badiliko, Kuchukua hatua

na mwisho ni ufuatiliaji na tathmini.

SHUHUDA KUTOKA KWA WANUFAIKA WA

MRADI WA TUSONGE

Raheli Dismas, nina umri wa miaka 25, nimejiunga na

TUSONGE mwaka 2014, kabla ya hapo nilikuwa nina mtaji

wa MPESA kiasi cha shilingi 50,000/= tu, ambapo wateja

walikuwa wakirudi kutokana na kukosa fedha ya kutosha

kuwapatia. Baada ya kujiunga na mradi wa TUSONGE na

kupata mafunzo ya ujasiriamali na utunzaji wa

kumbukumbu za biashara, mtaji umeongezeka hadi kufikia

500,000/=. Pia nimeweza kushirikiana na mume wangu

kuongeza bidhaa za duka baada ya mtaji wa duka

kuongezeka kutoka 200,000/= hadi 400,000/=. Hivyo

basi, hali ya utegemezi kwangu imepungua kwa kuwa

ninaweza kukidhi mahitaji ya familia bila kumtegemea

mume wangu.

TUSONGE - CDO

Watoto wakitumia mbinu shirikishi ya kuainisha wadau

mbalimbali ambao wanalinda haki zao

Uk. 2

Watoto wakitumia mbinu shirikishi ya kuainisha wadau

mbalimbali ambao wanalinda haki zao

Page 3: TUSONGE - CDOtusongecdo.org/site1/wp-content/uploads/2018/03/NGUVU_YETU_VOLUME_7.pdfMgeni rasmi alipongeza kikundi cha vijana kwa kuweza kutatua changamoto mbalimbali zinazowakabili

Lucy Mroso, 41 ninaishi kata ya Msaranga, nimejiunga

na mradi wa TUSONGE mwaka 2014, nilifanikiwa kupata

mafunzo mazuri ya ujasiriamali na haki za binadamu.

Mafunzo haya yaliniwezesha kuwa mbunifu wa biashara.

Niliweza kubuni biashara ya kuuza cement kata ya

Msaranga kwa sababu katika eneo la Msaranga watu

wengi wananunua viwanja kwa ajili ya kujenga, hii

imenisaidia kupenda biashara yangu kwa kuwa ninapata

faida. Mtaji wa biashara hiyo kupitia vikundi vya

TUSONGE ni shilingi 4,000,000/=. Kwa kweli

namshukuru sana Mungu na pia nashukuru sana

TUSONGE kwa jitihada ya kutuinua wanawake kiuchumi.

TUSONGE Oyeee

Frida Mboya, nina umri wa miaka 35, ninaishi kata ya

Biriri, biashara yangu ni duka la rejareja. Nilijiunga na

TUSONGE mwaka 2014, kabla ya kujinga na TUSONGE

nilikuwa nikiendesha biashara ya vitu vidogo vidogo

nyumbani kwangu. Niliweza kupata ushauri kutoka

vikundi vya TUSONGE na nikahamasika kujiunga na

kupata mafunzo ya ujasiriamali. Baada ya mafunzo

niliweza kupata wazo la kuboresha biashara yangu,

nimefanikiwa kuongeza mtaji wa biashara yangu kutoka

200,000/= hadi 1,500,000/= kwa kipindi cha miaka

miwili. Mtaji huu umeniwezesha kuhamisha biashara

yangu kutoka nyumbani na kukodisha chumba cha duka

Biriri Makiwaru. Nimeweza kuongeza bidhaa za duka.

kwa kweli nafurahia kujiunga na TUSONGE kwani

sikuwahi kuwaza kushika mkononi kiasi cha shilingi

milioni moja. Mungu ibariki TUSONGE.

Mnufaika Frida akiwa katika biashara yake ya mboga

mboga pamoja na duka la bidhaa za rejareja

KUVUNJA MZUNGUKO KWA VIKUNDI

Katika kipindi hiki cha miezi mitatu shirika la TUSONGE

limeweza kupata mialiko kutoka kwa wanufaika baada ya

kumaliza miaka mitatu ndani ya mradi. Kikundi cha

VICOBA cha vijana kata ya Msaranga kinachojulikana kwa

jina la Alfa chenye jumla ya wanachama 18 kiliweza

kumaliza mzunguko wake hivi karibuni. Mmoja wa viongozi

wa kikundi hicho siku ya kusherehekea sikukuu hiyo,

aliweza kusema kuwa ni changamoto kubwa kusimamia

vijana katika kuwawezesha kuheshimu maadili ya kikundi

lakini kupitia mafunzo ya TUSONGE ya uongozi, viongozi

wameweza kuwa wavumilivu na kusimamia kikundi hicho

hadi kusherehekea miaka mitatu ambapo wameweza

kukusanya hisa za shilingi 8,400,000/=.

Mgeni rasmi alipongeza kikundi cha vijana kwa kuweza

kutatua changamoto mbalimbali zinazowakabili ikiwa ni

pamoja na mahudhurio hafifu. Aliwapongeza kwa kuweza

kuzitatua wenyewe na kuzimaliza pasipo hata ofisi ya

TUSONGE kufahamu kwa kufuata katiba ya kikundi.

Sambamba na hilo, alisema kuwa viongozi wa vikundi vya

vijana wanapaswa kuwa makini hususani kwa suala la

mikopo, hivyo basi kabla ya kutoa mkopo kwa

mwanachama ni vema mtu huyo ajadiliwe kwa kina,

ajulikane anapoishi na uwezo wake wa kuweza kurejesha

deni hilo kwa wakati.

MCHANGO WA VIONGOZI WA VICOBA KATA

YA MSARANGA

Shirika la TUSONGE limeona mabadiliko chanya ya mradi

hususani kata ya Msaranga. Vikundi hivi vimeweza kusonga

TUSONGE - CDO

Raheli akiwa ndani ya biashara yake ya duka kata ya Biriri

eneo la Makiwaru

Mkurugenzi wa TUSONGE Aginatha Rutazaa akikabidhi faida

kwa mnufaika wa kikundi cha vijana

Uk. 3

Page 4: TUSONGE - CDOtusongecdo.org/site1/wp-content/uploads/2018/03/NGUVU_YETU_VOLUME_7.pdfMgeni rasmi alipongeza kikundi cha vijana kwa kuweza kutatua changamoto mbalimbali zinazowakabili

ujasiriamali uliopo. Vikundi vimeweza kufuatiliwa kwa

ukaribu sana na kuweza kutatua changamoto zao

wenyewe chini ya uongozi wa VICOBA KATA. Uongozi

huo umekuwa na vikao vya mara kwa mara vyenye

lengo la kujadili maendeleo ya vikundi vyote ikiwa ni

pamoja na changamoto zinazokabili vikundi hivyo.

TUSONGE imewasisitiza viongozi kuwa wamoja na

kuepuka masuala ya siasa na kuwa wakweli na wawazi

katika mambo yanayoendelea kwenye jamii.

ELIMU KUHUSU KUIMARISHA KAZI ZA SHIRIKA

Shirika la TUSONGE ni shirika ambalo linapenda

kujifunza kila siku na kushirikisha uzoefu na mashirika

mengine. Katika kipindi cha miezi mitatu shirika la

TUSONGE limeweza kupata fursa ya kushiriki katika

mafunzo mbalimbali likishirikiana na wadau wengine.

lengo la mafunzo hayo ni kubadilishana uzoefu na

kujifunza ili kuboresha kazi za shirika zinazoendelea.

Madhara ya kiini tete ya kilimo bora yaliyotolewa

na MVIWATA: TUSONGE iliweza kushiriki katika

mafunzo hayo ili kuongeza uelewa kuhusu kilimo.

Kutokana na mpango mkakati wa shirika wa miaka

mitano unaoonyesha mpango wa shirika kuwawezesha

wanufaika wa mradi kufanya biashara kwa njia ya sekta

ikiwa ni pamoja na kilimo, TUSONGE ilitumia fursa hizi

kupata uzoefu kuhusu kilimo. Elimu hii itasaidia

kuandaa mikakati ya kufikisha elimu ya kilimo kwa jamii.

MPANGO WA BAADAE SHIRIKA LA TUSONGE

1. TUSONGE ina mpango wa uendeshaji wa pikipiki

(bodaboda) kwa vijana wa kike. Hii ni kutokana na

ombi ambalo vijana hao waliomba rasmi kwa kutaka

kujua kuendesha boda boda ili waweze kuongeza

kipato.

2. Mpango wa kuainisha majina walengwa kwenye sekta

zinazofanana ambazo ni duka, nguo, chakula,

kilimo na usafirishaji na kuziweka kwa pamoja ili

kuanza maandalizi ya elimu kwa njia ya sekta ya

nayotarajiwa kuanza rasmi mwaka ujao.

3. Kunukuu kwa ufanisi zaidi visa, matukio na mabadiliko

chanya yaliyojitokeza katika miradi ya TUSONGE.

4. Kuongeza vikundi vya ujasiriamali katika maeneo ya

vijijini ili kusaidia makundi ya pembezoni wakiwemo

walemavu ili kujikwamua kiuchumi.

5. Kufanya kazi kwa kushirikiana na wataalamu mbali

mbali ikiwemo maafisa kilimo ili kuweza kutoa elimu

kwa pamoja kuhusu biashara kwa njia ya sekta.

6. Kuwajengea uwezo wanufaika wa mradi wa kuwa na

ujasiri wa kutoa elimu waliyoipata kutoka TUSONGE

na kuelimisha wanajamii wengine hata bila kuwepo

TUSONGE. hii itasaidia mwendelezo na umiliki

shirikishi wa mradi wa TUSONGE.

7. Kuweka mikakati ya uendelevu wa Elimu ya Ulinzi na

usala wa watoto, Klabu za haki za watoto Mashuleni na

Kamati ya ulinzi na usalama ivilivyoanzishawa huko

Kilema Kusini.

8. Kuandaa na kuendesha tathimini ya matumizi ya

Kijarida cha Mwongozo na matokeo yake ndani ya

jamii za Arusha na Kilimanjaro.

JARIDA HILI LIMETOLEWA KWA UFADHILI

WA:

Mkate wa Dunia - Ujerumani

Kituo cha Haki za binadamu - Canada

Na Ulinzi na usalama wa watoto - UK

MAONI, USHAURI TUMA KWA MKURUGENZI MTENDAJI

TUSONGE CDO

P.O. Box 1326 – MOSHI

Simu: 0272754158

0769-475577

TUSONGE - CDO

Viongozi wa VICOBA kata wakiwa katika mazungumzo ya

pamoja kuhusu maendeleo ya vikundi kata ya Msaranga

Mashirika yasiyo ya kiserikali ikiwemo TUSONGE wakiwa

Uk. 4