105
TAKWIMU ZA WAFUNGWA NA MAHABUSU TANZANIA BARA MWAKA 2013 NA 2014 Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Jeshi la Magereza Tanzania Bara Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi Dar es Salaam Ofisi ya Taifa ya Takwimu Wizara ya Fedha Dar es Salaam

TAKWIMU ZA WAFUNGWA NA MAHABUSU TANZANIA ...magereza.go.tz/docs/Ripoti ya wafungwa 2013 na 2014.pdfJeshi la Magereza Tanzania Bara Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi Dar es Salaam Ofisi

  • Upload
    others

  • View
    4

  • Download
    0

Embed Size (px)

Citation preview

Page 1: TAKWIMU ZA WAFUNGWA NA MAHABUSU TANZANIA ...magereza.go.tz/docs/Ripoti ya wafungwa 2013 na 2014.pdfJeshi la Magereza Tanzania Bara Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi Dar es Salaam Ofisi

TAKWIMU ZA WAFUNGWA NA MAHABUSU

TANZANIA BARA MWAKA

2013 NA 2014

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Jeshi la Magereza Tanzania Bara

Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi

Dar es Salaam

Ofisi ya Taifa ya Takwimu

Wizara ya Fedha

Dar es Salaam

Page 2: TAKWIMU ZA WAFUNGWA NA MAHABUSU TANZANIA ...magereza.go.tz/docs/Ripoti ya wafungwa 2013 na 2014.pdfJeshi la Magereza Tanzania Bara Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi Dar es Salaam Ofisi

Taarifa ya Wafungwa na Mahabusu, 2013 na 2014

i

YALIYOMO

Orodha ya Majedwali ........................................................................................................................... v

Orodha ya Michoro ........................................................................................................................... viii

Majedwali Ambatanisho ..................................................................................................................... ix

Maana ya Vifupisho ............................................................................................................................ xi

Dibaji .................................................................................................................................. xii

Shukrani ................................................................................................................................. xiii

Muhtasari ................................................................................................................................. xiv

SURA YA KWANZA ......................................................................................................................... 1

USULI ............................................................................................................................................... 1

1.0 Utangulizi ............................................................................................................................... 1

1.1 Jiografia na Utawala............................................................................................................... 1

1.2 Jeshi la Magereza ................................................................................................................... 2

1.2.1 Majukumu ya Jeshi la Magereza ........................................................................................... 2

1.2.2 Takwimu za Jeshi la Magereza ............................................................................................. 2

1.2.3 Kitengo cha Takwimu cha Jeshi la Magereza ....................................................................... 3

SURA YA PILI ................................................................................................................................... 4

HALI YA MAGEREZA NCHINI .................................................................................................... 4

2.0 Utangulizi ............................................................................................................................... 4

2.1 Muhtasari wa Hali ya Magereza ............................................................................................ 4

SURA YA TATU ................................................................................................................................ 5

TAKWIMU ZA WAHALIFU WALIOKUWEPO MAGEREZANI ..............................................

Page 3: TAKWIMU ZA WAFUNGWA NA MAHABUSU TANZANIA ...magereza.go.tz/docs/Ripoti ya wafungwa 2013 na 2014.pdfJeshi la Magereza Tanzania Bara Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi Dar es Salaam Ofisi

Taarifa ya Wafungwa na Mahabusu, 2013 na 2014

ii

5

3.0 Utangulizi ............................................................................................................................... 5

3.1 Takwimu za Wahalifu kwa Mikoa na Jinsi ............................................................................ 5

3.2 Wafungwa Waliobaki Magerezani kwa Mkoa na Umri ........................................................ 7

3.3 Wafungwa Waliobaki Magerezani kwa Mkoa, Jinsi na Tabia .............................................. 9

3.4 Wafungwa wa Adhabu ya Kifo Waliobaki Magerezani kwa Mkoa na Hali ya Rufaa. ....... 11

3.5 Wafungwa Watu Wazima na Vijana Waliobaki Magerezani kwa Jinsi na Aina ya

Kosa .................................................................................................................................. 12

3.6 Wafungwa Waliokuwepo Magerezani kwa Jinsi, Aina ya Kosa na Urefu wa Kifungo ...... 14

3.7 Mahabusu Watu Wazima na Vijana Waliokuwepo Magerezani Kusubiri Kesi kwa

Jinsi, Aina ya Kosa na Muda Waliokaa Gerezani ................................................................ 16

3.8 Wahalifu Wenye Ugonjwa wa Akili Waliobaki Magerezani .............................................. 20

3.9 Wahalifu wanawake wajawazito na wenye watoto.............................................................. 20

3.10 Wafungwa Wasio Raia Waliokuwepo Magerezani, kwa Jinsi, Aina ya Kosa na Nchi

Walizotoka ........................................................................................................................... 22

3.11 Mahabusu Wasio Raia Waliokuwepo Magerezani kwa Aina ya Kosa na Jinsi ................... 24

SURA YA NNE ................................................................................................................................. 26

WAHALIFU WALIOPOKELEWA MAGEREZANI KUTOKA MAHAKAMANI ................ 26

4.0 Utangulizi ............................................................................................................................. 26

4.1 Wahalifu Waliopokelewa Magerezani Kutoka Mahakamani, kwa Jinsi na Mkoa .............. 26

4.2 Wafungwa Waliopokelewa Magerezani Kutoka Mahakamani kwa Umri, Jinsi na

Mikoa .................................................................................................................................. 29

4.3 Wafungwa Warudiaji Waliopokelewa Magerezani Kutoka Mahakamani kwa Jinsi na

Mkoa .................................................................................................................................. 32

4.4 Wafungwa Watu Wazima Waliopokelewa Magerezani Kutoka Mahakamani kwa

Jinsi, Aina ya Kosa na Urefu wa Kifungo ........................................................................... 34

4.5 Wafungwa Vijana Waliopokelewa Magerezani Kutoka Mahakamani kwa Jinsi, Aina

ya kosa na Urefu wa Kifungo .............................................................................................. 37

4.6 Wafungwa Waliopokelewa Magerezani Kutoka Mahakamani kwa Kushindwa

Kulipa Faini kwa Mkoa na Urefu wa Vifungo .................................................................... 40

4.7 Wafungwa Wagonjwa wa Akili Waliopokelewa Magerezani Kutoka Mahakamani

kwa Jinsi na Mkoa ............................................................................................................... 41

4.8 Wahalifu Wanawake Wajawazito na Wenye Watoto Waliopokelewa Magerezani

Toka Mahakamani kwa Aina ya Kosa ................................................................................. 41

4.9 Mahabusu Watu Wazima Waliopokelewa Magerezani Kutoka Mahakamani kwa

Jinsi, Aina ya kosa na Muda wa Kusubiri Hukumu ............................................................. 42

Page 4: TAKWIMU ZA WAFUNGWA NA MAHABUSU TANZANIA ...magereza.go.tz/docs/Ripoti ya wafungwa 2013 na 2014.pdfJeshi la Magereza Tanzania Bara Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi Dar es Salaam Ofisi

Taarifa ya Wafungwa na Mahabusu, 2013 na 2014

iii

4.10 Mahabusu Vijana Waliopokelewa Magerezani Kutoka Mahakamani kwa Jinsi, Aina

ya kosa na Muda wa Kusubiri Hukumu ............................................................................... 44

4.11 Wafungwa Wasio Raia Waliopokelewa Magerezani Kutoka Mahakamani kwa Jinsi

na Nchi Walizotoka .............................................................................................................. 45

4.12 Mahabusu Wasio Raia Waliopokelewa Magerezani Kutoka Mahakamani kwa Jinsi

na Nchi Wanazotoka ............................................................................................................ 46

SURA YA TANO .............................................................................................................................. 49

WAHALIFU WALIOHAMISHWA KUTOKA GEREZA MOJA KWENDA JINGINE ........ 49

5.0 Utangulizi ............................................................................................................................. 49

5.1 Wahalifu Waliohamishwa kwa Jinsi na Mkoa ..................................................................... 49

5.2 Wafungwa wenye Ugonjwa wa Akili kwa Jinsi na Mkoa Waliopokelewa kutoka

Magereza Mengine ............................................................................................................... 51

SURA YA SITA ................................................................................................................................ 52

WAHALIFU WALIOTOKA MAGEREZANI ............................................................................. 52

6.0 Utangulizi ............................................................................................................................. 52

6.1 Wahalifu Waliotoka Magerezani Mwaka 2013 na 2014 ..................................................... 52

6.2 Wafungwa Walioachiwa kwenda Kutumikia Kifungo cha Nje kwa Jinsi na Mkoa ............ 55

6.3 Wafungwa Walioachiwa Baada ya Kulipa Faini kwa Urefu wa Kifungo na Mkoa ............ 58

6.4 Wahalifu Waliotoroka Magerezani Chini ya Ulinzi Halali Magerezani kwa Jinsi na

Mkoa .................................................................................................................................. 59

6.5 Wahalifu Waliofariki Magerezani kwa Jinsi na Mkoa ........................................................ 60

SURA YA SABA .............................................................................................................................. 62

WAHALIFU WALIOPEWA ADHABU KWA MAKOSA YA UTOVU WA NIDHAMU

WAKIWA MAGEREZANI ............................................................................................................ 62

7.0 Utangulizi ............................................................................................................................. 62

7.1 Wahalifu Waliopewa Adhabu Magerezani kwa Aina ya Adhabu na Mkoa ........................ 62

SURA YA NANE .............................................................................................................................. 65

MAHABUSU WALIOHUKUMIWA ADHABU ZA VIFUNGO WAKIWA MAGEREZANI 65

8.0 Utangulizi ............................................................................................................................. 65

8.1 Mahabusu Waliohukumiwa Wakiwa Magerezani kwa Jinsi na Mkoa ................................ 65

SURA YA TISA ................................................................................................................................ 67

HITIMISHO ..................................................................................................................................... 67

9.0 Utangulizi ............................................................................................................................. 67

Page 5: TAKWIMU ZA WAFUNGWA NA MAHABUSU TANZANIA ...magereza.go.tz/docs/Ripoti ya wafungwa 2013 na 2014.pdfJeshi la Magereza Tanzania Bara Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi Dar es Salaam Ofisi

Taarifa ya Wafungwa na Mahabusu, 2013 na 2014

iv

9.1 Hitimisho .............................................................................................................................. 67

Page 6: TAKWIMU ZA WAFUNGWA NA MAHABUSU TANZANIA ...magereza.go.tz/docs/Ripoti ya wafungwa 2013 na 2014.pdfJeshi la Magereza Tanzania Bara Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi Dar es Salaam Ofisi

Taarifa ya Wafungwa na Mahabusu, 2013 na 2014

v

Orodha ya Majedwali

Jedwali 3.1: Idadi ya Wahalifu Waliobaki Magerezani kwa Mkoa na Jinsi, Tanzania Bara,

2013 na 2014 ............................................................................................................... 6

Jedwali 3.2: Idadi ya Wafungwa Waliobaki Magerezani kwa Mkoa na Umri, Tanzania Bara,

2013 na 2014 ............................................................................................................... 8

Jedwali 3.3: Idadi ya Wafungwa Waliobaki Magerezani kwa Mkoa, Jinsi na Tabia,

Tanzania Bara, 2013 na 2014 ................................................................................... 10

Jedwali 3.4: Idadi ya wafungwa wa Adhabu ya Kifo Waliobaki Magerezani kwa Mkoa na

Hali ya Rufaa, Tanzania Bara, 2013 na 2014 ........................................................... 11

Jedwali 3.5: Idadi ya Wafungwa Watu Wazima na Vijana Waliobaki Magerezani kwa Jinsi

na Aina ya Kosa, Tanzania Bara, 2013 na 2014 ....................................................... 13

Jedwali 3.6: Idadi ya Wafungwa Watu Wazima Waliokuwepo Magerezani kwa Jinsi na

Urefu wa Kifungo, Tanzania Bara, 2013 na 2014 .................................................... 14

Jedwali 3.7: Idadi ya Mahabusu Waliokuwepo Magerezani kwa Jinsi na Aina ya Kosa,

Tanzania Bara, 2013 na 2014 ................................................................................... 16

Jedwali 3.8 Idadi ya Wahalifu Wanawake Wajawazito na Wenye Watoto kwa Aina ya

Kosa, Tanzania Bara, 2013 na 2014 ......................................................................... 21

Jedwali 3.9: Idadi ya Wafungwa Wasio Raia Waliokuwepo Magerezani kwa Jinsi na Aina

ya Kosa Tanzania Bara, 2013 na 2014 ..................................................................... 22

Jedwali 3.10: Idadi ya .Mahabusu Wasio Raia Waliokuwepo Magerezani kwa Aina ya Kosa

na Jinsi Tanzania Bara, 2013 na 2014 ...................................................................... 24

Jedwali 3.11: Idaddi ya Mahabusu Wasio Raia Waliokuwepo Magerezani kwa Jinsi na Nchi

Walizotoka, Tanzania Bara, 2013 na 2014 ............................................................... 25

Jedwali 4.1: Idadi ya Wahalifu Waliopokelewa Magerezani Kutoka Mahakamani kwa Jinsi

na Mkoa , Tanzania Bara, 2013 na 2014 .................................................................. 27

Jedwali 4.2: Idadi wa Wafungwa Waliopokelewa Magerezani Kutoka Mahakamani kwa

Umri, Jinsi na Mkoa, Tanzania Bara, 2013 .............................................................. 30

Jedwali 4.3: Idadi ya Wafungwa Waliopokelewa Magerezani Kutoka Mahakamani Kwa

Umri, Jinsi na Mkoa , Tanzania Bara, 2014 ............................................................. 30

Jedwali 4.4: Idadi ya Wafungwa Warudiaji Waliopokelewa Magerezani Kutoka

Mahakamani kwa Jinsi, Mkoa na Urudiaji wa Kifungo, Tanzania Bara, 2013 ........ 32

Jedwali 4.5: Idadi ya Wafungwa Warudiaji Waliopokelewa Magerezani Kutoka

Mahakamani kwa Jinsi, Mkoa na Urudiaji wa Kifungo, Tanzania Bara, 2014 ........ 33

Page 7: TAKWIMU ZA WAFUNGWA NA MAHABUSU TANZANIA ...magereza.go.tz/docs/Ripoti ya wafungwa 2013 na 2014.pdfJeshi la Magereza Tanzania Bara Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi Dar es Salaam Ofisi

Taarifa ya Wafungwa na Mahabusu, 2013 na 2014

vi

Jedwali 4.6: Idadi ya Wafungwa Watu Wazima Waliopokelewa Magerezani Kutoka

Mahakamani kwa Jinsi, Aina ya Kosa na Urefu wa Kifungo, Tanzania Bara,

2013 .......................................................................................................................... 35

Jedwali 4.7: Idadi ya Wafungwa Watu Wazima Waliopokelewa Magerezani Kutoka

Mahakamani kwa Jinsi, Aina ya Kosa na Urefu wa Kifungo, Tanzania Bara,

2014 .......................................................................................................................... 36

Jedwali 4.8: Idadi ya Wafungwa Vijana Waliopokolewa Magerezani Kutoka Mahakamani

kwa Jinsi, Aina ya kosa na Urefu wa Kifungo, Tanzania Bara, 2013 ...................... 38

Jedwali 4.9: Idadi ya Wafungwa Vijana Waliopokolewa Magerezani Kutoka Mahakamani

kwa Jinsi, Aina ya Kosa na Urefu wa Kifungo, Tanzania Bara, 2014 ..................... 39

Jedwali 4.10: Idadi ya Wafungwa Waliopokelewa Magerezani Kutoka Mahakamani kwa

Kushindwa Kulipa Faini kwa Mkoa na Urefu wa Kifungo, Tanzania Bara, 2013

na 2014 ...................................................................................................................... 40

Jedwali 4.11: Idadi ya Wahalifu Wanawake Wajawazito na Wenye Watoto Waliopokelewa

Magerezani Toka Mahakamani Kulingana na Aina ya Kosa, Tanzania Bara,

2013 na 2014 ............................................................................................................. 42

Jedwali 4.12: Idadi ya Mahabusu Watu Wazima Waliopokelewa Magerezani Kutoka

Mahakamani kwa Jinsi, Aina ya Kosa na Muda wa Kusubiri Hukumu,

Tanzania Bara, 2013 na 2014 ................................................................................... 43

Jedwali 4.13: Idadi ya Mahabusu Vijana Waliopokelewa Magerezani Kutoka Mahakamani

kwa Jinsi, Aina ya Kosa na Muda wa Kusubiri Hukumu, Tanzania Bara, 2013

na 2014 ...................................................................................................................... 44

Jedwali 4.14: Idadi ya Wafungwa Wasio Raia Waliopokelewa Magerezani Kutoka

Mahakamani kwa Jinsi na Nchi Walizotoka, Tanzania Bara, 2013 na 2014. .......... 45

Jedwali 4.15: Idadi ya Wafungwa Wasio Raia Waliopokelewa Magerezani Kutoka

Mahakamani kwa Jinsi na Aina ya Kosa, Tanzania Bara, 2013 na 2014 ................. 46

Jedwali 4.16: Idadi ya Mahabusu Wasio Raia Waliopokelewa Magerezani Kutoka

Mahakamani kwa Jinsi na Nchi Walizotoka, Tanzania Bara, 2013 na 2014 ........... 47

Jedwali 4.17: Idadi ya Mahabusu Wasio Raia Waliopokelewa Magerezani Kutoka

Mahakamani kwa Jinsi na Aina ya Kosa, Tanzania Bara, 2013 na 2014 ................. 48

Jedwali 5.1: Idadi ya wahalifu Waliohamishwa kwa Jinsi na Mkoa, Tanzania Bara, 2013 na

2014 .......................................................................................................................... 50

Jedwali 6.1: Idadi ya Wahalifu Waliotoka Magerezani kwa Jinsi na Mkoa, Tanzania Bara,

2013 .......................................................................................................................... 53

Page 8: TAKWIMU ZA WAFUNGWA NA MAHABUSU TANZANIA ...magereza.go.tz/docs/Ripoti ya wafungwa 2013 na 2014.pdfJeshi la Magereza Tanzania Bara Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi Dar es Salaam Ofisi

Taarifa ya Wafungwa na Mahabusu, 2013 na 2014

vii

Jedwali 6.2: Idadi ya Wahalifu Waliotoka Magerezani kwa Jinsi na Mkoa, Tanzania Bara,

2014 .......................................................................................................................... 54

Jedwali 6.3: Idadi Ya Wafungwa Walioachiwa kwenda Kutumikia Kifungo cha Nje kwa

Jinsi na Mkoa , Tanzania Bara, 2013 na 2014 .......................................................... 56

Jedwali 6.4: Idadi ya Wafungwa Walioachiwa Baada ya Kulipa Faini kwa Urefu wa

Kifungo na Mkoa , Tanzania Bara, 2013 na 2014. ................................................... 58

Jedwali 6.5: Idadi ya Wahalifu Waliotoroka Magerezani Chini ya Ulinzi Halali kwa Jinsi na

Mkoa , Tanzania Bara, 2013 na 2014 ....................................................................... 59

Jedwali 6.6: Idadi ya Wahalifu Waliofariki Magerezani kwa Jinsi na Mkoa, Tanzania Bara,

2013 na 2014. ............................................................................................................ 61

Jedwali 7. 1: Idadi ya Wahalifu Waliopewa Adhabu Magerezani kwa Aina ya Adhabu na

Mkoa , Tanzania Bara, 2013 ..................................................................................... 63

Jedwali 7.2: Idadi ya Wahalifu Waliopewa Adhabu Magerezani kwa Aina ya Adhabu na

Mkoa, Tanzania Bara, 2014 ...................................................................................... 64

Jedwali 8.1: Idadi ya Mahabusu Waliohukumiwa Wakiwa Magerezani kwa Jinsi na Mkoa,

Tanzania Bara, 2013 na 2014 ................................................................................... 66

Page 9: TAKWIMU ZA WAFUNGWA NA MAHABUSU TANZANIA ...magereza.go.tz/docs/Ripoti ya wafungwa 2013 na 2014.pdfJeshi la Magereza Tanzania Bara Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi Dar es Salaam Ofisi

Taarifa ya Wafungwa na Mahabusu, 2013 na 2014

viii

Orodha ya Michoro

Mchoro 3.1: Wahalifu Waliobaki Magerezani kwa Mkoa na Jinsi, Tanzania Bara, 2013 na

2014 .............................................................................................................................. 7

Mchoro 3.2: Wafungwa Waliobaki Magerezani kwa Umri, Tanzania Bara, 2013 na 2014 ............. 9

Mchoro 3.3: Wafungwa wa Adhabu ya Kifo Waliobaki Magerezani na Hali ya Rufaa,

Tanzania Bara, 2013 na 2014 ..................................................................................... 12

Mchoro 3.4: Wafungwa Watu Wazima na Vijana Waliobaki Magerezani, Tanzania Bara,

2013 na 2014 .............................................................................................................. 14

Mchoro 3.5: Idadi ya Wafungwa Waliokuwepo Magerezani kwa Aina ya Kosa na Urefu wa

Kifungo, Tanzania Bara, 2013 na 2014. .................................................................... 15

Mchoro 3.6: Mahabusu Watu Wazima na Vijana Waliokuwepo Magerezani, Tanzania Bara,

2013 na 2014 .............................................................................................................. 17

Mchoro 3.7: Idadi ya Mahabusu Watu Wazima Waliokuwepo Magerezani na Kusubiri Kesi

kwa Aina ya Kosa na Muda Waliokaa Gerezani, Tanzania Bara, 2013 na 2014....... 18

Mchoro 3.8: Idadi ya mahabusu vijana waliokuwepo magerezani na kusubiri kesi kwa aina

ya kosa na muda waliokaa gerezani, Tanzania Bara 2013 na 2014. .......................... 19

Mchoro 3.9: Idadi ya Wafungwa Wasio Raia Waliokuwepo Magerezani kwa Nchi

Walizotoka, Tanzania Bara, 2013 na 2014 ................................................................ 23

Mchoro 4.1: Wahalifu Waliopokelewa MaGerezani Kutoka Mahakamani kwa Jinsi na

Mikoa, Tanzania Bara, 2013 na 2014 ........................................................................ 28

Mchoro 4.2: Wafungwa Warudiaji Waliopokelewa Magerezani Kutoka Mahakamani,

Tanzania Bara, 2013 na 2014 ..................................................................................... 34

Mchoro 6.1: Idadi ya Wahalifu Waliotoka Magerezani, Tanzania Bara, 2013 na 2014 .............. 55

Mchoro 6.2: Wafungwa Walioachiwa kwenda Kutumikia Kifungo cha Nje kwa Jinsi na

Mkoa , Tanzania Bara, 2013 na 2014. ....................................................................... 57

Mchoro 6.3: Wahalifu Waliotoroka Magerezani Chini ya Ulinzi Halali, Tanzania Bara, 2013

na 2014. ...................................................................................................................... 60

Page 10: TAKWIMU ZA WAFUNGWA NA MAHABUSU TANZANIA ...magereza.go.tz/docs/Ripoti ya wafungwa 2013 na 2014.pdfJeshi la Magereza Tanzania Bara Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi Dar es Salaam Ofisi

Taarifa ya Wafungwa na Mahabusu, 2013 na 2014

ix

Majedwali Ambatanisho

Jedwali Na. 1: Idadi ya Wahalifu Waliobaki Magerezani kwa Mkoa, Jinsi na Aina ya

Uhalifu, Tanzania Bara, 2013 ................................................................................. 68

Jedwali Na. 2: Idadi ya Wahalifu Waliobaki Magerezani kwa Mkoa, Jinsi na Aina ya

Uhalifu Tanzania Bara, 2014 .................................................................................. 69

Jedwali Na. 3: Idadi ya Wafungwa Waliobaki Magerezani kwa Mkoa, Umri na Jinsi,

Tanzania Bara, 2013 ............................................................................................... 70

Jedwali Na. 4: Idadi ya Wafungwa Waliobaki Magerezani kwa Mkoa, Umri na Jinsi,

Tanzania Bara, 2014 ............................................................................................... 71

Jedwali Na. 5: Idadi ya Wafungwa wa Adhabu ya Kifo Waliobaki Magerezani kwa Mkoa,

Jinsi na Hali ya Rufaa, Tanzania Bara, 2013 na 2014 .......................................... 722

Jedwali Na. 6: Idadi ya Wafungwa Watu Wazima waliokuwepo Magerezani kwa Aina ya

Kosa na Urefu wa Kifungo, Tanzania Bara, 2013 .................................................. 73

Jedwali Na. 7: Idadi ya Wafungwa Watu Wazima waliokuwepo Magerezani kwa Aina ya

kosa na Urefu wa Kifungo, Tanzania Bara, 2014 ................................................... 74

Jedwali Na. 8: Idadi ya Mahabusu Watu Wazima waliokuwepo Magerezani, Kusubiri Kesi

kwa Aina ya kosa na Muda Waliokaa Gerezani, Tanzania Bara, 2013 .................. 75

Jedwali Na. 9: Idadi ya Mahabusu Watu Wazima Waliokuwepo Magerezani, Kusubiri Kesi

kwa Aina ya Kosa na Muda Waliokaa Gerezani, Tanzania Bara, 2014 ................. 76

Jedwali Na. 10: Idadi ya Mahabusu Vijana Waliokuwepo Magerezani, Kusubiri Kesi kwa

Aina ya Kosa na Muda Waliokaa Gerezani, Tanzania, Bara, 2013 ........................ 77

Jedwali Na. 11: Idadi ya Mahabusu Vijana Waliokuwepo Magereani, Kusubiri Kesi kwa

Aina ya kosa na Muda Waliokaa Gerezani, Tanzania Bara, 2014 .......................... 78

Jedwali Na. 12: Idadi ya Wafungwa Wasio Raia Waliokuwepo Magerezani kwa Nchi Walizotoka

na Aina yaKosa, Tanzania Bara, 2013 ………………………………………… 79

Jedwali Na. 13: Idadi ya Wafungwa Wasio Raia Waliokuwepo Magerezani kwa Nchi

Walizotoka na Aina yaKosa, Tanzania Bara, 2014 ................................................ 80

Jedwali Na. 14: Idadi ya Mahabusu Wasio Raia Waliokuwepo Magerezani kwa Nchi

Walizotoka na Aina ya Kosa, Tanzania Bara, 2013 ............................................... 81

Jedwali Na. 15: Idadi ya Mahabusu Wasio Raia Waliokuwepo Magerezani kwa Nchi

Walizotoka na Ainan ya Kosa, Tanzania Bara, 2014 ............................................. 82

Jedwali Na. 16: Idadi ya Wahalifu Waliopokelewa Magerezani Kutoka Mahakamani kwa

Mkoa, Aina ya Muharifu na Jinsi, Tanzania Bara, 2013 ........................................ 84

Page 11: TAKWIMU ZA WAFUNGWA NA MAHABUSU TANZANIA ...magereza.go.tz/docs/Ripoti ya wafungwa 2013 na 2014.pdfJeshi la Magereza Tanzania Bara Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi Dar es Salaam Ofisi

Taarifa ya Wafungwa na Mahabusu, 2013 na 2014

x

Jedwali Na. 17: Idadi ya Wahalifu Waliopokelewa Magerezani Kutoka Mahakamani kwa

Mkoa, Aina ya Muharifu na Jinsi, Tanzania Bara, 2014 ........................................ 85

Jedwali Na.18: Idadi ya Wafungwa Wasio Raia Waliopokelewa Magerezani Kutoka

Mahakamani kwa Nchi Walizotoka na Aina ya Kosa, Tanzania Bara, 2013 ......... 86

Jedwali Na.19: Idadi ya Wafungwa Wasio Raia Waliopokelewa Magerezani Kutoka

Mahakamani kwa Nchi Walizotoka na Aina ya Kosa, Tanzania Bara, 2014 ......... 87

Jedwali Na. 20: Idadi ya Mahabusu Wasio Raia Waliopokelewa Magerezani Toka

Mahakamani kwa Nchi na Aina ya Kosa, Tanzania Bara, 2013 ............................. 88

Jedwali Na. 21: Idadi ya Mahabusu Wasio Raia Waliopokelewa Magerezani Toka

Mahakamani kwa Nchi na Aina ya Kosa, Tanzania Bara, 2014 ............................. 89

Page 12: TAKWIMU ZA WAFUNGWA NA MAHABUSU TANZANIA ...magereza.go.tz/docs/Ripoti ya wafungwa 2013 na 2014.pdfJeshi la Magereza Tanzania Bara Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi Dar es Salaam Ofisi

Taarifa ya Wafungwa na Mahabusu, 2013 na 2014

xi

MAANA YA VIFUPISHO

A/INSP - Mkaguzi Msaidizi wa Magereza

ASP - Mrakibu Msaidizi wa Magereza

CGP - Kamishna Jenerali wa Magereza

CP - Kamishna wa Magereza

CPL - Corporal

Dkt - Daktari

DPRK - Korea ya Kaskazini

DRC - Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo

EASTC - Chuo cha Takwimu cha Mashariki na Kusini mwa Afrika

Ke - Mwanamke

Me - Mwanaume

MKUKUTA - Mkakati wa Kukuza Uchumi na Kuondoa Umaskini Tanzania

NBS - Ofisi ya Taifa ya Takwimu

O/I - Mkuu wa Gereza

RPO - Mkuu wa Magereza wa Mkoa

SP - Mrakibu wa Magereza

S/SGT - Sajin Taji

SGT - Sajenti

SSP - Mrakibu Mwandamizi wa Magereza

TPS - Jeshi la Magereza Tanzania

TSMP - Mpango Kabambe wa Kuboresha Takwimu Tanzania

TPF - Jeshi la Polisi Tanzania

UK - Uingereza

V - Vijana

Page 13: TAKWIMU ZA WAFUNGWA NA MAHABUSU TANZANIA ...magereza.go.tz/docs/Ripoti ya wafungwa 2013 na 2014.pdfJeshi la Magereza Tanzania Bara Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi Dar es Salaam Ofisi

Taarifa ya Wafungwa na Mahabusu, 2013 na 2014

xii

DIBAJI

Jeshi la Magereza Tanzania Bara limeanza kutoa

taarifa za kitakwimu za wafungwa na mahabusu

waliopo magerezani kwa lengo la kuonesha idadi ya

wahalifu waliopo, aina za wahalifu, hukumu, sifa na

tabia za wahalifu hao.

Taarifa hizi zitaliwezesha Jeshi la Magereza

kuboresha maeneo mbalimbali kama vile rasilimali

watu, fedha na vifaa ili kuweza kupanga mikakati na

mbinu mbalimbali zitakazotuwezesha kuwahifadhi

na kuwarekebisha wafungwa waliopo magerezani

mpaka watakapomaliza adhabu zao kwa mujibu wa

sheria.

Hivi sasa Jeshi limebaini kuwa upo umuhimu wa

kuboresha taarifa zake ili ziweze kwenda na

wakati. Aidha, Jeshi la Magereza, kwa kushirikiana

na Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) chini ya

Mpango Kabambe wa Kitaifa wa Kuboresha na Kuimarisha Takwimu Tanzania, litakuwa linatoa

taarifa mbalimbali za kitakwimu kutokana na data za ndani ya jeshi. Taarifa hizo, zitakuwa ni

pamoja na za wafungwa na mahabusu kila baada ya kipindi cha robo mwaka ambazo baadae

zitatumika kuandaa taarifa za mwaka mzima.

Taarifa hizi zitaonesha hali halisi itakayoliwezesha jeshi hili kujipanga vyema ili kuweza kuyafikia

malengo yaliyowekwa, mojawapo likiwa ni kupunguza uhalifu kama ilivyoainishwa kwenye

MKUKUTA.

Dkt. Juma A. Malewa,

Kamishna Jenerali wa Magereza,

Jeshi la Magereza Tanzania Bara,

DAR ES SALAAM.

Dkt. Juma A. Malewa

Kamishna Jenerali wa Magereza

Page 14: TAKWIMU ZA WAFUNGWA NA MAHABUSU TANZANIA ...magereza.go.tz/docs/Ripoti ya wafungwa 2013 na 2014.pdfJeshi la Magereza Tanzania Bara Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi Dar es Salaam Ofisi

Taarifa ya Wafungwa na Mahabusu, 2013 na 2014

xiii

SHUKRANI

Katika kukamilisha kazi hii, maofisa na askari magereza,

wataalam kutoka Ofisi ya Taifa ya Takwimu, pamoja na wadau

mbalimbali wamehusika wakiongozwa na Mrakibu

Mwandamizi wa Magereza Marco Kilumbo. Shukrani za

kipekee ziwaendee Kamishna Jenerali wa Magereza Dkt.Juma

A. Malewa, Mkuu wa Jeshi la Magereza nchini kwa kutoa

maelekezo mbalimbali yaliyofanikisha kukamilika kwa kazi hii

pamoja na kuwatia moyo watendaji wakati wa kuandaa taarifa

hii na Dkt. Albina Chuwa, Mkurugenzi Mkuu, Ofisi ya Taifa ya

Takwimu ambaye kwa kupitia mradi wa TSMP aliwaruhusu

wataalamu wake washirikiane na watendaji wa Magereza

kufanikisha uandaaji wa Taarifa hii. Pia shukrani ziwaendee

Kamishina Jenerali wa Magereza Mstaafu, John C. Minja na

Kamishna wa Magereza Mstaafu, D.L. Chamulesile ambao

kwa njia moja ama nyingine wameshiriki katika kutoa ushauri

uliofanikisha kukamilika kwa kazi hii.

Aidha, shukrani za kipekee ziwaendee wataalamu walioshiriki katika uandishi wa ripoti

hii;Valerian Tesha (NBS), SP-Emmanuel Pagali (TPS), ASP-Joseph Siwale (TPS), ASP-Deodatus

Kazinja (TPS), S/SGT-Magdalena Landa (TPS), SGT-Ruth Mshiu (TPS), SGT-Consolatha Ragije

(TPS), SGT-Desdery Mallya (TPS), CPL-Regnald Shaban (TPS), Ibrahimu Masanja

(NBS),Eliaranya Lema (NBS), Clement Mwakanyamale (DPP) na SP-Andrew Mapunda (TPF).

Mwisho, shukrani za dhati ziwaendee wataalamu wote kutoka Chuo cha Takwimu cha Mashariki na

Kusini mwa Afrika (EASTC) kwa mchango wao mkubwa katika kufanikisha taarifa hii na kuiweka

katika kiwango kinachokubalika.

Gaston K. Sanga,

Kamishna wa Fedha na Utawala,

Makao Makuu ya Jeshi la Magereza.

DAR ES SALAAM.

Gaston K.Sanga

Kamishna wa Fedha na Utawala

Page 15: TAKWIMU ZA WAFUNGWA NA MAHABUSU TANZANIA ...magereza.go.tz/docs/Ripoti ya wafungwa 2013 na 2014.pdfJeshi la Magereza Tanzania Bara Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi Dar es Salaam Ofisi

Taarifa ya Wafungwa na Mahabusu, 2013 na 2014

xiv

MUHTASARI

Taarifa hii rasmi ya kitakwimu ni ya kwanza kutolewa na Jeshi la Magereza Tanzania Bara. Taarifa

inahusu wafungwa na mahabusu waliokuwa magerezani katika kipindi cha mwaka 2013 na 2014.

Pia inatoa ufafanuzi wa kina katika maeneo makuu sita (6). Eneo la kwanza ni wahalifu wote yaani

wafungwa na mahabusu waliobaki magerezani mwishoni mwa mwaka 2013 na 2014, pili ni

wafungwa na mahabusu waliopokelewa magerezani kutoka mahakamani kwa mwaka 2013 na

2014, tatu ni wafungwa na mahabusu waliohama na kuhamia katika magereza mengine kwa sababu

mbalimbali. Eneo la nne linahusu wafungwa na mahabusu walioachiwa huru kwa sababu

mbalimbali kama vile kumaliza adhabu zao kwa mujibu wa sheria. Eneo la tano linahusu mahabusu

waliohukumiwa kifungo wakiwa magerezani na mwisho ni wafungwa na mahabusu waliopewa

adhabu mbalimbali wakiwa magerezani.

Baada ya uchambuzi huo wa kina, hitimisho limetolewa kwa lengo la kuboresha hali ya magereza

nchini.

Page 16: TAKWIMU ZA WAFUNGWA NA MAHABUSU TANZANIA ...magereza.go.tz/docs/Ripoti ya wafungwa 2013 na 2014.pdfJeshi la Magereza Tanzania Bara Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi Dar es Salaam Ofisi

Taarifa ya Wafungwa na Mahabusu, 2013 na 2014

1

SURA YA KWANZA

USULI

1.0 Utangulizi

Sura hii inaangalia Jiografia ya nchi na majukumu ya msingi ya Jeshi la Magereza Tanzania Bara.

Takwimu zitakazotolewa na Jeshi la Magereza zitasaidia katika kupanga kwa makini mipango ya

kuhakikisha uwepo wa rasilimali za kutosha, kusimamia na kutathmini matokeo ya utekelezaji wa

mipango mbalimbali ya maendeleo. Rasilimali hizi zinahusisha watumishi (rasilimali watu), fedha

na vitendea kazi, ofisi, vyombo vya usafiri na makazi bora ya askari na wafungwa. Kuhakikisha

kuwapo rasilimali hizi ni muhimu katika kuweka mazingira bora ya utekelezaji wa mikakati na

program mbalimbali za maendeleo katika Jeshi.

Aidha, kuna haja ya kuliboresha Jeshi la Magereza kuwa la kisasa zaidi kwa kutumia tekonolojia ya

kisasa katika utekelezaji wa majukumu yake ya msingi kama ilivyoainishwa katika Sheria ya

Magereza Na. 34 ya Mwaka 1967. Hatua hii itachangia pia katika kuleta amani na utulivu nchini

pamoja na kuendeleza na kudumisha usalama katika jamii kwa kuwahifadhi na kuwarekebisha

wahalifu ili watokapo magerezani wawe raia wema watakaoshiriki katika shughuli mbalimbali za

kiuchumi na kijamii kwa ajili ya maendeleo ya nchi.

1.1 Jiografia na Utawala

Tanzania ni jamhuri ya muungano wa nchi mbili, Tanganyika na Zanzibar. Nchi hizi ziliungana

mwaka 1964. Tanzania ni miongoni mwa nchi tano (5) zinazounda Jumuiya ya Afrika Mashariki.

Nchi nyingine ni Kenya, Uganda, Rwanda na Burundi. Ipo kati ya latitudo 10 na 12

0 Kusini na na

kati ya Longitudo 290 na 41

0 Mashariki mwa Greenwich. Ina eneo lenye ukubwa wa kilometa za

mraba 945,087. Nchi hii imepakana na Kenya na Uganda upande wa Kaskazini na Msumbiji

upande wa Kusini. Mashariki imepakana na Bahari ya Hindi, upande wa Magharibi nchi za

Rwanda, Burundi na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na upande wa Kusini Magharibi

imepakana na nchi za Malawi na Zambia.

Tanzania ina maziwa makuu matatu; Victoria, Tanganyika na Nyasa. Ina vivutio vingi vya kitalii

ukiwemo Mlima Kilimanjaro ambao ni mrefu kuliko yote Afrika na umefunikwa na theluji kwa

kipindi chote cha mwaka pamoja na mbuga za wanyama, mambo ya kale na fukwe nzuri katika

Pwani ya Tanzania Bara na katika visiwa vya Zanzibar.

Hali ya hewa ya Tanzania ni ya kitropiki kwa kipindi chote cha mwaka, ambapo maeneo mengi

yana misimu miwili ya mvua za masika na vuli. Shughuli kubwa za kiuchumi ni kilimo, ufugaji,

Page 17: TAKWIMU ZA WAFUNGWA NA MAHABUSU TANZANIA ...magereza.go.tz/docs/Ripoti ya wafungwa 2013 na 2014.pdfJeshi la Magereza Tanzania Bara Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi Dar es Salaam Ofisi

Taarifa ya Wafungwa na Mahabusu, 2013 na 2014

2

utalii, uchimbaji wa madini, viwanda na huduma mbali mbali. Lugha kuu ya Taifa ni Kiswahili

inayozungumzwa na takribani watu wote pamoja na kuwa Tanzania ina makabila zaidi ya 120.

Tangu mwaka 1992, Tanzania inafuata mfumo wa demokrasia ya vyama vingi vya siasa. Dola ya

Tanzania ina mihimili mitatu; Bunge, Serikali na Mahakama. Nchi hii ina mfumo wa Serikali mbili,

Serikali ya Jamhuri ya Muungano na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar. Kiutawala; Tanzania

imegawanyika katika mikoa 30 ambapo 25 ipo Tanzania Bara na 5 ipo Tanzania Zanzibar.

1.2 Jeshi la Magereza

Jeshi la Magereza lilianzishwa rasmi tarehe 25 Agosti, 1931 baada ya mgawanyiko wa jeshi la

Polisi na Magereza.Kwa sasa linaongozwa na Sheria ya Magereza Na. 34 ya mwaka 1967. Jeshi la

Magereza limechangia kwa kiasi kikubwa katika kuleta amani na utulivu kwa kufanya kazi zake

kikamilifu na kwa uadilifu mkubwa na kwa kuzingatia misingi ya haki za binadamu na utawala

bora.

1.2.1 Majukumu ya Jeshi la Magereza

Majukumu ya Jeshi la Magereza kama yalivyoainishwa katika Sheria Na. 34 ya 1967 ni kuchangia

katika kuleta amani na kuendeleza na kudumisha usalama katika jamii kwa kufanya yafuatayo:-

i. Kuhifadhi wafungwa wa aina zote wanaowekwa chini ya ulinzi halali kisheria ndani ya

magereza;

ii. Kuandaa na kutekeleza programu za urekebishaji wa wafungwa na kuwafundisha wafungwa

shughuli za uzalishaji na ujuzi mbalimbali kwa njia ya vitendo na ushauri;

iii. Kuendesha shughuli za huduma za watuhumiwa (mahabusu) kwa mujibu wa sheria; na

iv. Kutoa ushauri katika kuzuia na kudhibiti uhalifu na urekebishaji wa wahalifu.

Hivi sasa; Jeshi la Magereza lipo katika mchakato wa kufanya maboresho kwa lengo la kuwa ni

Jeshi la kisasa linalofanya kazi zake kwa ufanisi, uwajibikaji na weledi wa hali ya juu ili kutimiza

malengo yake liliyojiwekea kwa kiwango cha juu.

1.2.2 Takwimu za Jeshi la Magereza

Jeshi la Magereza lina Takwimu za aina tatu: Takwimu za kiutawala, Takwimu za uhalifu na

Takwimu za uzalishaji mali. Takwimu za utawala zinahusu rasilimali watu, vifaa na fedha; takwimu

za uhalifu zinahusu mchakato mzima wa kuwapokea, kuwahifadhi kwa ajili ya kutekeleza adhabu

kama ni wafungwa au kuwapeleka mahakamani kwa ajili ya kusikiliza kesi zao kama ni mahabusu.

Page 18: TAKWIMU ZA WAFUNGWA NA MAHABUSU TANZANIA ...magereza.go.tz/docs/Ripoti ya wafungwa 2013 na 2014.pdfJeshi la Magereza Tanzania Bara Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi Dar es Salaam Ofisi

Taarifa ya Wafungwa na Mahabusu, 2013 na 2014

3

Vilevile kuwaachia huru wafungwa kwa mujibu wa sheria. Takwimu za uzalishaji mali zinahusu

taarifa zote za uzalishaji katika miradi mbalimbali ya magereza ikiwemo kilimo, ufugaji na

shughuli za viwanda vidogo vidogo. Takwimu hizi hulisaidia Jeshi la Magereza katika kupanga

mipango yake ya kiutendaji na kimaendeleo. Aidha, sura ya 3 mpaka ya 8 ya ripoti hii zinatoa

taarifa za kitakwimu za wafungwa na mahabusu katika magereza yetu kwa mwaka 2013 na 2014.

1.2.3 Kitengo cha Takwimu cha Jeshi la Magereza

Kitengo cha Takwimu cha Jeshi la Magereza kipo katika Kurugenzi ya Mipango. Kitengo hiki

hupokea taarifa mbalimbali kutoka katika magereza, huzichambua, huzihifadhi, pamoja kuzitumia

kuandaa taarifa za mwaka kwa kushirikiana na vitengo vingine.

Page 19: TAKWIMU ZA WAFUNGWA NA MAHABUSU TANZANIA ...magereza.go.tz/docs/Ripoti ya wafungwa 2013 na 2014.pdfJeshi la Magereza Tanzania Bara Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi Dar es Salaam Ofisi

Taarifa ya Wafungwa na Mahabusu, 2013 na 2014

4

SURA YA PILI

HALI YA MAGEREZA NCHINI

2.0 Utangulizi

Katika kipindi cha mwaka 2013 na 2014 hali ya ulinzi na usalama magerezani ilikuwa imara na

hakukuwa na tukio lolote lisilo la kawaida. Pamoja na changamoto nyingi ambazo zilikwamisha

utendaji katika baadhi ya majukumu ya kila siku, Jeshi la Magereza lilijitahidi sana kuyatatua na

kufanya kazi zake kwa ufanisi wa kuridhisha.

2.1 Muhtasari wa Hali ya Magereza

Taarifa hii inajumuisha takwimu za mwaka 2013 na 2014, na ulinganisho wa takwimu hizi

umefanyika ili kubaini mwenendo wa magereza Tanzania Bara. Ulinganifu huu unahusu idadi ya

wahalifu waliobaki magerezani mwishoni mwa mwaka 2013 na 2014, wahalifu waliopokelewa

katika miaka hiyo, wahalifu waliohamishwa kutoka gereza moja hadi jingine kwa sababu

mbalimbali, wahalifu walioachiwa magerezani kwa sababu mbalimbali, wahalifu waliopewa

adhabu kwa utovu wa nidhamu na mahabusu waliohukumiwa adhabu za vifungo wakiwa

magerezani.

.

Page 20: TAKWIMU ZA WAFUNGWA NA MAHABUSU TANZANIA ...magereza.go.tz/docs/Ripoti ya wafungwa 2013 na 2014.pdfJeshi la Magereza Tanzania Bara Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi Dar es Salaam Ofisi

Taarifa ya Wafungwa na Mahabusu, 2013 na 2014

5

SURA YA TATU

TAKWIMU ZA WAHALIFU WALIOKUWEPO MAGEREZANI

3.0 Utangulizi

Taarifa hii ni ya wahalifu waliokuwepo magerezani mwishoni mwa mwaka 2013 na 2014. Katika

magereza yote kulikuwa na wahalifu 33,807 kwa mwaka 2013 na 33,517 mwaka 2014 (Jedwali 3.1

na Mchoro 3.1 ). Idadi ya mwaka 2014 ilikuwa pungufu kwa wahalifu 290 ambao ni sawa na

asilimia 0.9 ikilinganishwa na idadi ya mwaka 2013.

Kati ya wahalifu waliokuwepo magerezani tarehe 31.12.2013, mahabusu walikuwa 17,214 (Jedwali

Ambatanisho 1) sawa na asilimia 50.9 na wafungwa 16,593 sawa na asilimia 49.1. Mwaka 2014

mahabusu walikuwa 16,926 sawa na asilimia 50.5 ambapo wafungwa walikuwa 16,591 sawa na

asilimia 49.5.

3.1 Takwimu za Wahalifu kwa Mikoa na Jinsi

Takwimu zinaonesha kuwa mwaka 2013 wahalifu wanaume walikuwa 32,215 sawa na asilimia

95.3, wanawake 1,243 sawa na asilimia 3.7 ambapo wahalifu vijana walikuwa 349 sawa na asilimia

1.0. Ambapo, mwaka 2014 wanaume wahalifu walikuwa 31,930 sawa na asilimia 95.2, wanawake

1,326 sawa na asilimia 4.0 na vijana 261 sawa na asilimia 0.8.

Mkoa wa Dar es Salaam ulikuwa na wahalifu wengi kuliko mikoa mingine kwa miaka yote miwili

ambapo mwaka 2013 walikuwa 4,144 na mwaka 2014 walikuwa 4,360. Mkoa wa Ruvuma ulikuwa

na wahalifu wachache (529) mwaka 2013 ., ambapo mwaka 2014 Mkoa wa Lindi ulikuwa na

wahalifu wachache (410).

Pamoja na kuwa na wahalifu 33,807 mwaka 2013 na 33,517 mwaka 2014, uwezo wa magereza

nchini ni kuhifadhi wahalifu 29,552 tu. Kwa hiyo idadi ya wahalifu ya mwaka 2013 na 2014 ni

zaidi ya idadi inayoruhusiwa kisheria.

Page 21: TAKWIMU ZA WAFUNGWA NA MAHABUSU TANZANIA ...magereza.go.tz/docs/Ripoti ya wafungwa 2013 na 2014.pdfJeshi la Magereza Tanzania Bara Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi Dar es Salaam Ofisi

Taarifa ya Wafungwa na Mahabusu, 2013 na 2014

6

Jedwali 3.1: Idadi ya Wahalifu Waliobaki Magerezani kwa Mkoa na Jinsi, Tanzania Bara, 2013 na 2014

Mkoa

2013 2014

Watu Wazima

V

Jumla

Watu Wazima

V

Jumla Me Ke Me Ke

Arusha 1,156 32 0 1,188 1,191 51 1 1,243

Dar es Salaam 4,015 113 16 4,144 4,197 146 17 4,360

Dodoma 1,826 56 18 1,900 1,656 50 16 1,722

Iringa 1,229 64 3 1,296 1,080 56 14 1,150

Kagera 1,848 163 4 2,015 2,150 95 6 2,251

Kigoma 1,403 89 79 1,571 1,147 72 10 1,229

Kilimanjaro 1,429 66 10 1,505 1,447 62 0 1,509

Lindi 575 11 5 591 400 10 0 410

Manyara 912 37 0 949 982 35 0 1,017

Mara 1,743 47 19 1,809 1,923 106 19 2,048

Mbeya 2,072 73 8 2,153 1,773 74 1 1,848

Morogoro 1,588 69 42 1,699 1,604 75 40 1,719

Mtwara 812 25 0 837 743 24 1 768

Mwanza 3,317 159 108 3,584 3,158 137 82 3,377

Pwani 823 14 0 837 925 15 0 940

Ruvuma 510 18 1 529 680 23 0 703

Rukwa 892 32 6 930 891 40 14 945

Singida 855 47 24 926 813 55 2 870

Shinyanga 1,711 68 6 1,785 1,876 85 24 1,985

Tabora 1,984 34 0 2,018 2,087 43 0 2,130

Tanga 1,515 26 0 1,541 1,207 72 14 1,293

Jumla 32,215 1,243 349 33,807 31,930 1,326 261 33,517

Chanzo: Jeshi la Magereza Tanzania Bara

Page 22: TAKWIMU ZA WAFUNGWA NA MAHABUSU TANZANIA ...magereza.go.tz/docs/Ripoti ya wafungwa 2013 na 2014.pdfJeshi la Magereza Tanzania Bara Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi Dar es Salaam Ofisi

Taarifa ya Wafungwa na Mahabusu, 2013 na 2014

7

Mchoro 3.1: Wahalifu Waliobaki Magerezani kwa Mkoa na Jinsi, Tanzania Bara, 2013 na 2014

Chanzo: Jeshi la Magereza Tanzania Bara

3.2 Wafungwa Waliobaki Magerezani kwa Mkoa na Umri

Wafungwa wengi waliobaki magerezani kwa mwaka 2013 na 2014 ni wale wenye umri kuanzia 15

hadi miaka 50 ambapo mwaka 2013 walikuwa 14,219 sawa na asilimia 85.7 na mwaka 2014

walikuwa 14,518 sawa na asilimia 87.5 (Jedwali 3.2 na Mchoro 3.2).

Page 23: TAKWIMU ZA WAFUNGWA NA MAHABUSU TANZANIA ...magereza.go.tz/docs/Ripoti ya wafungwa 2013 na 2014.pdfJeshi la Magereza Tanzania Bara Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi Dar es Salaam Ofisi

Taarifa ya Wafungwa na Mahabusu, 2013 na 2014

8

Wafungwa wa umri huu ndiyo hasa nguvu kazi ya taifa letu hivyo hakuna budi juhudi kubwa .

zifanyike kuwarekebisha ili watakapotoka wawe raia wema watakaojenga taifa lao.

Jedwali 3.2: Idadi ya Wafungwa Waliobaki Magerezani kwa Mkoa na Umri, Tanzania Bara, 2013 na 2014

Mkoa

2013 2014

Miaka

15 - 20

Miaka

21 - 25

Miaka

26 - 50

Zaidi ya

miaka 50 Jumla

Miaka

15 - 20

Miaka

21 - 25

Miaka

26 - 50

Zaidi ya

miaka 50 Jumla

Arusha 71 117 105 210 503 101 153 119 94 467

Dar es Salaam 641 163 816 310 1,930 629 134 729 375 1,867

Dodoma 170 194 637 107 1,108 156 198 533 95 982

Iringa 122 150 100 54 426 147 204 94 23 468

Kagera 163 244 450 130 987 172 196 455 265 1,088

Kigoma 213 222 328 95 858 145 131 393 32 701

Kilimanjaro 79 345 224 38 686 89 437 315 26 867

Lindi 96 74 174 22 366 42 30 119 21 212

Manyara 61 75 204 104 444 33 206 253 35 527

Mara 205 89 206 141 641 320 60 319 123 822

Mbeya 100 191 324 446 1,061 126 151 349 247 873

Morogoro 218 276 383 100 977 166 356 369 101 992

Mtwara 142 51 192 41 426 144 51 220 55 470

Mwanza 521 367 687 222 1,797 429 333 686 212 1,660

Pwani 82 155 162 19 418 100 305 171 54 630

Ruvuma 54 106 101 21 282 131 134 145 33 443

Rukwa 102 51 312 24 489 69 112 245 24 450

Singida 56 118 173 35 382 45 98 154 19 316

Shinyanga 169 287 221 60 737 200 195 304 75 774

Tabora 274 221 641 83 1,219 293 396 524 88 1,301

Tanga 81 327 336 112 856 67 292 246 76 681

Jumla 3,620 3,823 6,776 2,374 16,593 3,604 4,172 6,742 2,073 16,591

Chanzo: Jeshi la Magereza Tanzania Bara

Page 24: TAKWIMU ZA WAFUNGWA NA MAHABUSU TANZANIA ...magereza.go.tz/docs/Ripoti ya wafungwa 2013 na 2014.pdfJeshi la Magereza Tanzania Bara Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi Dar es Salaam Ofisi

Taarifa ya Wafungwa na Mahabusu, 2013 na 2014

9

Mchoro 3.2: Wafungwa Waliobaki Magerezani kwa Umri, Tanzania Bara, 2013 na 2014

Chanzo: Jeshi la Magereza Tanzania Bara

3.3 Wafungwa Waliobaki Magerezani kwa Mkoa, Jinsi na Tabia

Kitabia, kuna aina mbili za wafungwa magerezani, kwanza ni wafungwa wenye tabia nzuri (Star).

Hawa ni wafungwa waliohukumiwa kifungo magerezani kwa mara ya kwanza au kwa mara ya pili

ambao historia ya uhalifu wao, tabia zao na aina ya makosa ya nyuma waliyotenda wanaonekana

wanafaa kwa urekebishaji na mafunzo. Kundi la pili ni wafungwa wa kawaida (Ordinary) ambao ni

wale waliokosa sifa ya kuwa Star.

Walikuwepo wafungwa 16,593 magerezani mwaka 2013 na kati yao 10,539 sawa na asilimia 63.5

walikuwa wafungwa wenye tabia nzuri (star) na 6,054 sawa na asilimia 36.5 walikuwa wafungwa

wa kawaida (ordinary). Kwa mwaka 2014 wafungwa walikuwa 16,591 na kati yao 10,958 sawa na

asilimia 66.0 walikuwa wafungwa wenye tabia nzuri (star) na 5,633 walikuwa wafungwa wa

kawaida (ordinary) sawa na asilimia 34.0 kama Jedwali 3.3 linavyoonesha.

Page 25: TAKWIMU ZA WAFUNGWA NA MAHABUSU TANZANIA ...magereza.go.tz/docs/Ripoti ya wafungwa 2013 na 2014.pdfJeshi la Magereza Tanzania Bara Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi Dar es Salaam Ofisi

Taarifa ya Wafungwa na Mahabusu 2013 na 2014

10

Jedwali 3.3: Idadi ya Wafungwa Waliobaki Magerezani kwa Mkoa, Jinsi na Tabia, Tanzania Bara, 2013 na 2014

Mkoa

2013 2014

Tabia nzuri Tabia ya kawaida Jumla

Kuu

Tabia nzuri Tabia ya kawaida Jumla

Kuu Me Ke V Jumla Me Ke V Jumla Me Ke V Jumla M Ke V Jumla

Arusha 329 5 0 334 166 3 0 169 503 111 3 0 114 346 6 1 353 467

Dar es Salaam 509 0 0 509 1,391 29 1 1,421 1,930 404 0 0 404 1,437 26 0 1,463 1,867

Dodoma 415 9 8 432 663 13 0 676 1,108 349 18 5 372 608 2 0 610 982

Iringa 298 14 0 312 114 0 0 114 426 377 11 0 388 80 0 0 80 468

Kagera 663 29 1 693 294 0 0 294 987 853 23 3 879 209 0 0 209 1,088

Kigoma 601 26 20 647 211 0 0 211 858 490 17 8 515 185 1 0 186 701

Kilimanjaro 603 15 0 618 67 1 0 68 686 768 13 0 781 82 4 0 86 867

Lindi 271 3 5 279 86 1 0 87 366 154 2 0 156 56 0 0 56 212

Manyara 376 11 0 387 57 0 0 57 444 477 10 0 487 40 0 0 40 527

Mara 457 7 4 468 171 2 0 173 641 677 14 5 696 121 5 0 126 822

Mbeya 723 19 2 744 312 1 4 317 1,061 697 18 0 715 155 3 0 158 873

Morogoro 439 4 24 467 473 30 7 510 977 589 12 13 614 330 30 18 378 992

Mtwara 298 6 0 304 118 4 0 122 426 309 6 1 316 154 0 0 154 470

Mwanza 1,056 38 6 1,100 692 4 1 697 1,797 905 24 25 954 703 3 0 706 1,660

Pwani 238 4 0 242 175 1 0 176 418 340 3 0 343 287 0 0 287 630

Ruvuma 209 1 0 210 72 0 0 72 282 302 8 0 310 133 0 0 133 443

Rukwa 373 6 2 381 108 0 0 108 489 357 8 9 374 76 0 0 76 450

Singida 306 11 3 320 61 1 0 62 378 166 10 0 176 140 0 0 140 316

Shinyanga 438 20 2 460 276 0 1 277 737 551 29 0 580 190 4 0 194 774

Tabora 1,097 4 0 1,101 112 6 0 118 1,219 1,167 9 0 1,176 125 0 0 125 1,301

Tanga 524 7 0 531 325 0 0 325 856 585 23 0 608 72 1 0 73 681

Jumla 10,223 239 77 10,539 5,944 96 14 6,054 16,593 10,628 261 69 10,958 5,529 85 19 5,633 16,591

Chanzo: Jeshi la Magereza Tanzania Bara

Page 26: TAKWIMU ZA WAFUNGWA NA MAHABUSU TANZANIA ...magereza.go.tz/docs/Ripoti ya wafungwa 2013 na 2014.pdfJeshi la Magereza Tanzania Bara Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi Dar es Salaam Ofisi

Taarifa ya Wafungwa na Mahabusu, 2013 na 2014

11

3.4 Wafungwa wa Adhabu ya Kifo Waliobaki Magerezani kwa Mkoa na Hali ya Rufaa.

Jedwali 3.4 na Mchoro 3.3 vinaonesha idadi ya wafungwa waliohukumiwa adhabu ya kifo

waliokuwepo magerezani. Mwaka 2013 walikuwepo wafungwa 391, ikilinganishwa na wafungwa

410 kwa mwaka 2014, ikiwa ni ongezeko la wafungwa 19 sawa na asilimia 4.9.

Jumla ya wafungwa 391 wa mwaka 2013 walikata rufaa Mahakama ya Rufaa ya Tanzania. Kati ya

hao, 233 sawa na asilimia 59.6 rufaa zao zilikataliwa na wafungwa 158 sawa na asilimia 40.4

waliendelea kusubiri kusikilizwa kwa rufaa zao. Mwaka 2014 wafungwa waliokata rufaa na rufaa

zao zikakataliwa walikuwa 212 sawa na asilimia 51.7, ambapo 198 sawa na asilimia 48.3

waliendelea kusubiri kusikilizwa kwa rufaa zao. Wafungwa ambao rufaa zao zilikataliwa

wanasubiri utekelezaji wa hukumu ya kifo. (Jedwali Ambatanisho 5).

Jedwali 3.4: Idadi ya wafungwa wa Adhabu ya Kifo Waliobaki Magerezani kwa Mkoa na Hali ya Rufaa,

Tanzania Bara, 2013 na 2014

Mkoa

2013 2014

Rufaa

zilizokataliwa

Rufaa ambazo

hazijasikilizwa Jumla

Rufaa

zilizokataliwa

Rufaa ambazo

hazijasikilizwa Jumla

Arusha 6 10 16 6 8 14

Dar es Salaam 40 13 53 40 37 77

Dodoma 60 49 109 56 45 101

Iringa 0 0 0 0 0 0

Kagera 0 0 0 0 0 0

Kigoma 0 0 0 0 0 0

Kilimanjaro 0 2 2 0 2 2

Lindi 1 6 7 1 1 2

Manyara 0 1 1 0 0 0

Mara 0 0 0 0 0 0

Mbeya 6 25 31 8 18 26

Morogoro 0 0 0 0 0 0

Mtwara 6 3 9 5 6 11

Mwanza 29 32 61 28 50 78

Pwani 0 0 0 0 0 0

Ruvuma 0 0 0 0 0 0

Rukwa 0 0 0 0 0 0

Singida 0 0 0 0 0 0

Shinyanga 0 0 0 0 2 2

Tabora 25 8 33 29 19 48

Tanga 60 9 69 39 10 49

Jumla 233 158 391 212 198 410

Chanzo: Jeshi la Magereza Tanzania Bara

Page 27: TAKWIMU ZA WAFUNGWA NA MAHABUSU TANZANIA ...magereza.go.tz/docs/Ripoti ya wafungwa 2013 na 2014.pdfJeshi la Magereza Tanzania Bara Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi Dar es Salaam Ofisi

Taarifa ya Wafungwa na Mahabusu, 2013 na 2014

12

Mchoro 3.3: Wafungwa wa Adhabu ya Kifo Waliobaki Magerezani na Hali ya Rufaa, Tanzania Bara, 2013

na 2014

Chanzo: Jeshi la Magereza Tanzania Bara

3.5 Wafungwa Watu Wazima na Vijana Waliobaki Magerezani kwa Jinsi na Aina ya Kosa

Wafungwa watu wazima waliokuwepo magerezani mwaka 2013 walikuwa 16,502 wakilinganishwa

na 16,503 wa mwaka 2014 ambao ni zaidi ya mfungwa 1 tu. Mwaka 2013 kosa liliofanywa na

wafungwa wengi kuliko makosa mengine lilikuwa wizi ambalo lilikuwa na wafungwa 3,883.

Lakini, mwaka 2014 kosa la kuvunja nyumba ndilo lililokuwa na wafungwa wengi kuliko

mengineambapo lilikuwa na wafungwa 2,476.

Aidha mwaka 2013 jumla ya wafungwa vijana waliokuwepo katika magereza yote Tanzania Bara

walikuwa 91, ikilinganishwa na wafungwa 88 wa mwaka 2014, ambao ni pungufu kwa wafungwa 3

sawa na asilimia 3.3. Ingawa .mwaka 2013,kosa lililokuwa na wafungwa wengi kuliko mengine ni

kuvunja nyumba, kwa mwaka 2013 na 2014 wafungwa wengi vijana waliokuwepo magerezani

walihukumiwa kwa makosa ya wizi ( Jedwali 3.5 na Mchoro 3.4).

Page 28: TAKWIMU ZA WAFUNGWA NA MAHABUSU TANZANIA ...magereza.go.tz/docs/Ripoti ya wafungwa 2013 na 2014.pdfJeshi la Magereza Tanzania Bara Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi Dar es Salaam Ofisi

Taarifa ya Wafungwa na Mahabusu, 2013 na 2014

13

Jedwali 3.5: Idadi ya Wafungwa Watu Wazima na Vijana Waliobaki Magerezani kwa Jinsi na Aina ya Kosa, Tanzania Bara, 2013 na 2014

Aina ya Kosa

2013 2014

Watu Wazima Vijana Watu Wazima Vijana

Me Ke Jumla Me Ke Jumla Me Ke Jumla Me Ke Jumla

Mauaji 561 22 583 7 0 7 621 21 642 0 0 0

Mauaji (adhabu ya kifo

kuwa kifungo) 120 0 120 0 0 0 154 1 155 0 0 0

Kuua bila kukusudia 821 45 866 1 0 1 1,212 50 1,262 8 0 8

KujaribuKujaribu kuua 167 8 175 5 1 6 182 6 188 5 0 5

Unyang’anyi 2,363 8 2,371 13 0 13 2,269 19 2,288 10 0 10

Wizi 3,794 89 3,883 14 1 15 2,223 59 2,282 16 1 17

Kuvunja nyumba 2,178 32 2,210 16 0 16 2,441 35 2,476 11 0 11

Kupatikana na dawa za

kulevya 530 5 535 7 0 0 448 20 468 4 0 4

Kupatikana na nyara za

serikali 374 1 375 1 0 1 562 4 566 4 0 4

Makosa ya kujamiiana 909 5 914 4 1 5 1,785 17 1,802 8 1 9

Kupatikana na silaha na

risasi 449 10 459 3 0 3 693 12 705 4 0 4

Kujeruhi 1,030 45 1,075 5 0 5 1,268 41 1,309 7 0 7

Kuchoma nyumba moto 119 0 119 0 0 0 185 15 200 2 0 2

Makosa ya rushwa 23 2 25 0 0 0 19 2 21 0 0 0

Kupatikana na pombe ya

moshi (gongo) 165 10 175 0 0 0 394 21 415 2 0 2

Uzembe na uzururaji 153 2 155 0 0 0 191 0 191 0 0 0

Makosa mengineyo 2,411 51 2,462 11 1 12 1,510 23 1,533 5 0 5

Jumla 16,167 335 16,502 87 4 91 16,157 346 16,503 86 2 88

Chanzo: Jeshi la Magereza Tanzania Bara

Page 29: TAKWIMU ZA WAFUNGWA NA MAHABUSU TANZANIA ...magereza.go.tz/docs/Ripoti ya wafungwa 2013 na 2014.pdfJeshi la Magereza Tanzania Bara Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi Dar es Salaam Ofisi

Taarifa ya Wafungwa na Mahabusu, 2013 na 2014

14

Mchoro 3.4: Wafungwa Watu Wazima na Vijana Waliobaki Magerezani, Tanzania Bara, 2013 na 2014

Chanzo: Jeshi la Magereza Tanzania Bara

3.6 Wafungwa Waliokuwepo Magerezani kwa Jinsi, Aina ya Kosa na Urefu wa Kifungo

Jedwali 3.6 na Mchoro 3.5 vinaonesha idadi ya wafungwa waliokuwepo magerezani Tanzania Bara

kwa aina ya kosa, jinsi na urefu wa kifungo kwa mwaka 2013 na 2014. Kwa miaka yote miwili

takwimu zinaonesha kwamba kifungo chenye wafungwa wengi kuliko vingine ni cha zaidi ya

mwaka mmoja hadi mitatu. Mwaka 2013 wafungwa walikuwa 3,268 sawa na asilimia 19.8, na

mwaka 2014 walikuwa 2,606 sawa na asilimia 15.8. Aidha, kosa lililokuwa na wafungwa wengi

kuliko makosa mengine lilikuwa wizi ambalo mwaka 2013 lilikuwa na wafungwa 3,883 sawa na

asilimia 23.5 na mwaka 2014 walikuwa 4,413 sawa na asilimia 26.7 (Majedwali Ambatanisho 6 na

7).

Jedwali 3.6: Idadi ya Wafungwa Watu Wazima Waliokuwepo Magerezani kwa Jinsi na Urefu wa Kifungo,

Tanzania Bara, 2013 na 2014

Urefu wa kifungo 2013 2014

Me Ke Jumla Me Ke Jumla

Hadi miezi 6 1,536 40 1,576 1,834 83 1,917

Zaidi ya miezi 6 hadi mwaka 1 2,568 107 2,675 2,293 54 2,347

Zaidi ya mwaka 1 hadi miaka 3 3,185 83 3,268 2,534 72 2,606

Zaidi ya miaka 3 hadi miaka 5 2,444 41 2,485 2,340 39 2,379

Zaidi ya miaka 5 hadi miaka 10 1,983 25 2,008 1,667 30 1,697

Zaidi ya miaka 10 hadi miaka 15 1,237 8 1,245 1,117 15 1,132

Zaidi ya miaka 15 hadi miaka 20 684 7 691 700 12 712

Zaidi ya miaka 20 hadi miaka 30 1,177 3 1,180 1,520 11 1,531

Zaidi ya miaka 30 526 0 526 1,001 1 1,002

Kifungo cha maisha 453 4 457 756 14 769

Adhabu ya kifo 374 17 391 395 15 410

Jumla 16,167 335 16,502 16,157 346 16,503

Chanzo: Jeshi la Magereza Tanzania Bara

Page 30: TAKWIMU ZA WAFUNGWA NA MAHABUSU TANZANIA ...magereza.go.tz/docs/Ripoti ya wafungwa 2013 na 2014.pdfJeshi la Magereza Tanzania Bara Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi Dar es Salaam Ofisi

Taarifa ya Wafungwa na Mahabusu, 2013 na 2014

15

Mchoro 3.5: Idadi ya Wafungwa Waliokuwepo Magerezani kwa Aina ya Kosa na Urefu wa Kifungo,

Tanzania Bara, 2013 na 2014.

Chanzo: Jeshi la Magereza Tanzania Bara

Page 31: TAKWIMU ZA WAFUNGWA NA MAHABUSU TANZANIA ...magereza.go.tz/docs/Ripoti ya wafungwa 2013 na 2014.pdfJeshi la Magereza Tanzania Bara Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi Dar es Salaam Ofisi

Taarifa ya Wafungwa na Mahabusu, 2013 na 2014

16

3.7 Mahabusu Watu Wazima na Vijana Waliokuwepo Magerezani Kusubiri Kesi kwa

Jinsi, Aina ya Kosa na Muda Waliokaa Gerezani

Mwaka 2013 walikuwepo mahabusu 17,214 waliobaki magerezani kusubiri hukumu, kati yao watu

wazima walikuwa 16,956 na vijana walikuwa 258. Mwaka 2014 mahabusu walipungua na kufikia

16,926 ambapo watu wazima walikuwa 16,753 na vijana walikuwa 173. Idadi ya mahabusu watu

wazima iliyopungua ni 288 ambao ni asilimia 1.7. Kwa miaka yote miwili kosa liliokuwa na

mahabusu wengi kuliko mengine ni mauaji. Kosa hili lilikuwa na mahabusu 4,693 mwaka 2013 na

3,829 mwaka 2014 (Jedwali 3.7). Makosa haya ya mauaji yamewafanya baadhi ya mahabusu

kusubiri kwa zaidi ya miaka kumi (10) kufikia hatma ya mashauri yao (Jedwali Ambatanisho 8 na

9; Mchoro 3.7.

Jedwali 3.7: Idadi ya Mahabusu Waliokuwepo Magerezani kwa Jinsi na Aina ya Kosa, Tanzania Bara, 2013

na 2014

Aina ya Kosa

2013 2014

Watu wazima Vijana Watu wazima Vijana

Me Ke Jumla Me Ke Jumla Me Ke Jumla Me Ke Jumla

Mauaji 4,323 319 4,642 45 6 51 3,450 339 3,789 31 9 40

Mauaji (adhabu ya kifo kuwa

kifungo) 0 0 0 0 0 0 0 0 0 3 0 3

Kuua bila kukusudia 903 27 930 5 1 6 854 14 868 5 1 6

Kujaribu kuua 1,099 91 1,190 8 0 8 1,457 114 1,571 21 0 21

Unyang'anyi 2,186 62 2,248 29 1 30 1,991 23 2,014 0 0 0

Wizi 1,667 105 1,772 30 4 34 1,826 128 1,954 23 2 25

Kuvunja nyumba 877 28 905 19 0 19 1,268 33 1,301 0 1 3

Kupatikana na dawa za

kulevya 503 12 515 11 1 12 781 21 802 6 0 6

Kupatikana na nyara za

Serikali 417 18 435 17 0 17 492 4 496 3 0 3

Makosa ya kujamiiana 848 26 874 13 1 14 626 18 644 20 0 20

Kupatikana na bunduki au

risasi 135 6 141 2 0 2 192 6 198 1 0 1

Kujeruhi 545 36 581 8 0 8 648 32 680 3 0 3

Kuchoma moto nyumba 91 26 117 3 1 4 204 5 209 4 0 4

Makosa ya rushwa 89 15 104 1 1 2 97 0 97 1 0 1

Kupatikana na pombe ya

moshi 789 109 898 31 1 32 864 62 926 26 0 24

Uzembe na uzururaji 149 6 155 4 1 5 36 2 38 0 0 0

Makosa mengineyo 1,427 22 1,449 14 0 14 987 179 1,166 11 2 13

Jumla 16,048 908 16,956 240 18 258 16,048 908 16,753 158 15 173

Chanzo: Jeshi la Magereza Tanzania Bara

Page 32: TAKWIMU ZA WAFUNGWA NA MAHABUSU TANZANIA ...magereza.go.tz/docs/Ripoti ya wafungwa 2013 na 2014.pdfJeshi la Magereza Tanzania Bara Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi Dar es Salaam Ofisi

Taarifa ya Wafungwa na Mahabusu, 2013 na 2014

17

Mchoro 3.6: Mahabusu Watu Wazima na Vijana Waliokuwepo Magerezani, Tanzania Bara, 2013 na 2014

Chanzo: Jeshi la Magereza Tanzania Bara

Page 33: TAKWIMU ZA WAFUNGWA NA MAHABUSU TANZANIA ...magereza.go.tz/docs/Ripoti ya wafungwa 2013 na 2014.pdfJeshi la Magereza Tanzania Bara Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi Dar es Salaam Ofisi

Taarifa ya Wafungwa na Mahabusu, 2013 na 2014

18

Mchoro 3.7: Idadi ya Mahabusu Watu Wazima Waliokuwepo Magerezani na Kusubiri Kesi kwa Aina ya

Kosa na Muda Waliokaa Gerezani, Tanzania Bara, 2013 na 2014

Chanzo: Jeshi la Magereza Tanzania Bara

Page 34: TAKWIMU ZA WAFUNGWA NA MAHABUSU TANZANIA ...magereza.go.tz/docs/Ripoti ya wafungwa 2013 na 2014.pdfJeshi la Magereza Tanzania Bara Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi Dar es Salaam Ofisi

Taarifa ya Wafungwa na Mahabusu, 2013 na 2014

19

Mchoro 3.8: Idadi ya mahabusu vijana waliokuwepo magerezani na kusubiri kesi kwa aina ya kosa na

muda waliokaa gerezani, Tanzania Bara 2013 na 2014.

Chanzo: Jeshi la Magereza Tanzania Bara

Page 35: TAKWIMU ZA WAFUNGWA NA MAHABUSU TANZANIA ...magereza.go.tz/docs/Ripoti ya wafungwa 2013 na 2014.pdfJeshi la Magereza Tanzania Bara Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi Dar es Salaam Ofisi

Taarifa ya Wafungwa na Mahabusu, 2013 na 2014

20

3.8 Wahalifu Wenye Ugonjwa wa Akili Waliobaki Magerezani

Hawa ni watu wenye ugonjwa wa akili ambao wanaweza wakawa wamefanya kosa/uhalifu au

kutofanya kosa lakini kuwepo kwao uraiani, ni hatari kwao wenyewe na kwa jamii

inayowazunguka. Mwaka 2013 kulikuwa na wahalifu 5 wenye ugonjwa wa akili, kati ya yao mmoja

alikuwa Mkoa wa Dodoma na 4 walikuwa Tabora. Aidha, mwaka 2014 kulikuwa na mahabusu

mmoja tu aliyekuwa mgonjwa wa akili na alikuwa mkoani Dodoma.

3.9 Wahalifu wanawake wajawazito na wenye watoto

Mwaka 2013 walikuwapo wafungwa wajawazito 9 na wafungwa wenye watoto 16, ambao

walikuwa na watoto 18. Aidha, mwaka huo huo mahabusu wajawazito walikuwa 30, mahabusu

wenye watoto 82 ambao walikuwa na watoto 87. Mwaka 2014 walikuwepo wafungwa wajawazito

6 na wafungwa 10 wenye watoto 10. Kwa mwaka huo huo mahabusu wajawazito walikuwa 27,

mahabusu wenye watoto 78 wakiwa na watoto 85. Sababu kubwa zilizowaweka wahalifu wa kike

gerezani ni makosa ya mauaji na wizi (Jedwali 3.8).

Page 36: TAKWIMU ZA WAFUNGWA NA MAHABUSU TANZANIA ...magereza.go.tz/docs/Ripoti ya wafungwa 2013 na 2014.pdfJeshi la Magereza Tanzania Bara Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi Dar es Salaam Ofisi

Taarifa ya Wafungwa na Mahabusu, 2013 na 2014

21

Jedwali 3.8 Idadi ya Wahalifu Wanawake Wajawazito na Wenye Watoto kwa Aina ya Kosa, Tanzania Bara, 2013 na 2014

Aina ya Kosa

2013 2014

Wafungwa Mahabusu Wafungwa Mahabusu

Wajawazito

Wenye watoto

Wajawazito

Wenye watoto

Wajawazito

Wenye watoto

Wajawazito

Wenye watoto

Idadi ya

wafungwa

Idadi

ya

watoto

Idadi ya

mahabusu

Idadi

ya

watoto

Idadi ya

wafungwa

Idadi

ya

watoto

Idadi ya

mahabusu

Idadi

ya

watoto

Mauaji 0 5 5 11 40 40 1 1 1 10 53 58

Mauaji (adhabu ya kifo

kuwa kifungo) 0 0 0 3 5 5 0 0 0 1 3 4

Kuua bila kukusudia 0 0 0 2 0 0 0 1 1 2 1 1

Kujaribu kuua 0 0 0 0 1 1 0 1 1 1 2 2

Unyang'anyi 1 0 0 0 0 0 0 0 0 1 1 1

Wizi 3 5 6 4 6 6 0 2 2 3 4 4

Kuvunja na kuiba 0 0 0 0 2 3 0 0 0 2 2 2

Kupatikana na dawa za

Kulevya 0 1 1 0 1 1 1 0 0 1 3 3

Kupatikana na nyara za

serikali 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0

Kujamiiana 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0

Kupatikana na

silaha/risasi 1 1 1 0 2 2 0 1 1 0 0 0

Kujeruhi 1 2 2 4 5 6 2 2 2 0 4 4

Kuchoma nyumba

moto 0 0 0 0 0 0 1 1 1 0 0 0

Rushwa 0 0 0 0 1 1 0 0 0 0 0 0

Kupatikana na pombe

haramu (gongo) 0 1 1 0 1 1 0 0 0 0 0 0

Uzururaji 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0

Makosa mengineyo 3 1 2 6 18 21 1 1 1 6 5 6

Jumla 9 16 18 30 82 87 6 10 10 27 78 85

Chanzo: Jeshi la Magereza Tanzania Bara

Page 37: TAKWIMU ZA WAFUNGWA NA MAHABUSU TANZANIA ...magereza.go.tz/docs/Ripoti ya wafungwa 2013 na 2014.pdfJeshi la Magereza Tanzania Bara Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi Dar es Salaam Ofisi

Taarifa ya Wafungwa na Mahabusu, 2013 na 2014

22

3.10 Wafungwa Wasio Raia Waliokuwepo Magerezani, kwa Jinsi, Aina ya Kosa na Nchi

Walizotoka

Wafungwa wasio raia wa Tanzania waliokuwapo magerezani mwaka 2013 ni 1,359, wakati mwaka

2014 walikuwa 873 ambao ni pungufu kwa wafungwa 486 sawa na asilimia 35.8. Wengi wa

wafungwa hao walitoka katika nchi za Ethiopia na Burundi ambapo kwa mwaka 2013 wafungwa

wengi walitoka Ethiopia ambapo walikuwa 660 sawa na asilimia 48.6. Mwaka 2014 wafungwa

wengi walitoka Burundi idadi yao ilikuwa 460 sawa na asilimia 52.7 (Jedwali 3.9, Majedwali

Ambatanisho 12 na 13 na Michoro 3.9).

Aidha, kwa miaka yote miwili wafungwa wengi wasio raia wa Tanzania walikuwa wanaume

ambapo mwaka 2013 walikuwa 1,339 (asilimia 98.5) kulinganisha na wafungwa wa kike 20

(asilimia 1.5) na mwaka 2014 wanaume walikuwa 868 (asilimia 99.4) na wanawake walikuwa 5

(asilimia 0.6). Mwaka 2013 na 2014 kulionekana kulikuwa na wafungwa wengi wa makosa

mengineyo kama vile kuingia nchini bila kibali, kupigana, kutukana na n.k (Jedwali 3.9).

Jedwali 3.9: Idadi ya Wafungwa Wasio Raia Waliokuwepo Magerezani kwa Jinsi na Aina ya Kosa Tanzania

Bara, 2013 na 2014

Aina ya Kosa

2013 2014

Me Ke Jumla Me Ke Jumla

Mauaji 43 0 43 8 0 8

Mauaji (adhabu ya kifo kuwa kifungo) 1 0 1 0 0 0

Kuua bila kukusudia 10 3 13 14 0 14

Kujaribu kuua 0 0 0 0 0 0

Unyang’anyi 62 0 62 67 0 67

Wizi 56 5 61 67 0 67

Kuvunja nyumba 19 1 20 16 0 16

Kupatikana na madawa ya kulevya 5 0 5 3 0 3

Kupatikana na nyara za serikali 6 0 6 3 0 3

Makosa ya kujamiiana 40 0 40 23 0 23

Kupatikana na bunduki na risasi 37 0 37 20 0 20

Kujeruhi 14 3 17 8 0 8

Kuchoma moto nyumba 0 0 0 3 1 4

Makosa ya rushwa 0 0 0 0 0 0

Kupatikana na pombe ya moshi 0 0 0 2 0 2

Uzembe na uzururaji 0 0 0 0 0 0

Makosa mengine 1,046 8 1,054 634 4 638

Jumla 1,339 20 1,359 868 5 873

Chanzo: Jeshi la Magereza Tanzania Bara

Page 38: TAKWIMU ZA WAFUNGWA NA MAHABUSU TANZANIA ...magereza.go.tz/docs/Ripoti ya wafungwa 2013 na 2014.pdfJeshi la Magereza Tanzania Bara Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi Dar es Salaam Ofisi

Taarifa ya Wafungwa na Mahabusu, 2013 na 2014

23

Mchoro 3.9: Idadi ya Wafungwa Wasio Raia Waliokuwepo Magerezani kwa Nchi Walizotoka, Tanzania

Bara, 2013 na 2014

Chanzo: Jeshi la Magereza Tanzania Bara

Page 39: TAKWIMU ZA WAFUNGWA NA MAHABUSU TANZANIA ...magereza.go.tz/docs/Ripoti ya wafungwa 2013 na 2014.pdfJeshi la Magereza Tanzania Bara Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi Dar es Salaam Ofisi

Taarifa ya Wafungwa na Mahabusu, 2013 na 2014

24

3.11 Mahabusu Wasio Raia Waliokuwepo Magerezani kwa Aina ya Kosa na Jinsi

Mwaka 2013 jumla ya mahabusu 841 wasio raia wa Tanzania walikuwepo magerezani. Wakati

mwaka 2014 walikuwa 583 wakiwa ni pungufu kwa mahabusu 258 sawa na asilimia 30.7

wakilinganishwa na wale wa 2013. Mahabusu 280 sawa na asilimia 33.3 waliokuwepo magerezani

mwaka 2013 ni raia wa Burundi Jedwali 3.11 na 3.12). Mwaka 2014 mahabusu walikuwa 243

(asilimia 41.7), wengi wao wakiwa ni watuhumiwa wa makosa mengineyo (kama vile kuingia

nchini bila kibali, kupigana,kutukana na n.k).

Kwa miaka yote miwili, wengi wa mahabusu wasio raia wa Tanzania walikuwa wanaume. Mwaka

2013 wanaume walikuwa 797(asilimia 94.8) kulinganisha na mahabusu wa kike walikuwa 44

(asilimia 5.2) ambapo mwaka 2014 wanaume walikuwa 545 (asilimia 93.5) na mahabusu

wanawake walikuwa 38 (asilimia 6.5) Jedwali 3.10.

Jedwali 3.10: Idadi ya .Mahabusu Wasio Raia Waliokuwepo Magerezani kwa Aina ya Kosa na Jinsi

Tanzania Bara, 2013 na 2014

Aina ya Kosa

2013 2014

Me Ke Jumla Me Ke Jumla

Mauaji 107 5 112 74 10 84

Mauaji (adhabu ya kifo kuwa kifungo) 0 0 0 0 0 0

Kuua bila kukusudia 3 0 3 0 0 0

Kujaribu kuua 3 0 3 12 0 12

Unyang’anyi 11 0 11 49 0 49

Wizi 79 4 83 41 4 45

Kuvunja nyumba 97 1 98 11 0 11

Kupatikana na madawa ya kulevya 37 9 46 70 0 70

Kupatikana na nyara za serikali 15 0 15 8 0 8

Makosa ya kujamiiana 37 0 37 13 0 13

Kupatikana na silaha na risasi 5 0 5 6 0 6

Kujeruhi 16 6 22 30 8 38

Kuchoma moto nyumba 0 0 0 0 0 0

Makosa ya rushwa 0 0 0 0 0 0

Kupatikana na pombe ya moshi 0 0 0 4 0 4

Uzembe na uzururaji 6 0 6 0 0 0

Makosa mengineyo 381 19 400 227 16 243

Jumla 797 44 841 545 38 583

Chanzo: Jeshi la Magereza Tanzania Bara

Page 40: TAKWIMU ZA WAFUNGWA NA MAHABUSU TANZANIA ...magereza.go.tz/docs/Ripoti ya wafungwa 2013 na 2014.pdfJeshi la Magereza Tanzania Bara Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi Dar es Salaam Ofisi

Taarifa ya Wafungwa na Mahabusu, 2013 na 2014

25

Jedwali 3.11: Idadi ya Mahabusu Wasio Raia Waliokuwepo Magerezani kwa Jinsi na Nchi Walizotoka,

Tanzania Bara, 2013 na 2014

2013 2014

Nchi Walizotoka Me Ke Jumla Nchi Walizotoka Me Ke Jumla

Bulgaria 1 - 1 Burundi 227 17 244

Burundi 265 15 280 China 3 - 3

Cameroon - 1 1 Colombia 1 - 1

China 3 - 3 Congo 20 - 20

Congo 2 - 2 DRC 3 - 3

DRC 4 - 4 Ethiopia 26 - 26

Ethiopia 222 - 222 Ujerumani 1 - 1

Ghana 1 - 1 Ghana 1 - 1

Ugiriki 1 - 1 Ugiriki 1 - 1

Guinea 1 - 1 Guinea 1 - 1

India 1 - 1 Hong Kong 29 - 29

Indonesia 1 - 1 India 1 - 1

Iran 2 - 2 Indonesia 1 - 1

Ireland 1 - 1 Iran 20 - 20

Kenya 46 2 48 Ireland 1 - 1

Korea ya Kaskazini 1 - 1 Kenya 22 2 24

Liberia 2 1 3 Liberia 2 - 2

Lithuania - 1 1 Malawi 1 - 1

Nigeria 16 3 19 Msumbiji 1 - 1

Pakistan 1 - 1 Nigeria 23 - 23

Guinea Bissau 1 - 1 Pakistan 10 - 10

Rwanda 146 13 159 Guinea Bissau 1 - 1

Sierra Leone 1 - 1 Rwanda 71 11 82

Vietam 1 - 1 Viet am 1 - 1

Somalia 2 - 2 Somalia 12 - 12

Afrika Kusini 3 1 4 Afrika Kusini 1 - 1

Tonga - 1 1 Zimbabwe 1 - 1

Uganda 71 6 77 Uganda 60 8 68

Uingereza 1 - 1 Uingereza 1 - 1

Marekani 1 - 1

Zambia 1 - 1

Jumla 797 44 841 Jumla 545 38 583

Chanzo: Jeshi la Magereza Tanzania Bara

Page 41: TAKWIMU ZA WAFUNGWA NA MAHABUSU TANZANIA ...magereza.go.tz/docs/Ripoti ya wafungwa 2013 na 2014.pdfJeshi la Magereza Tanzania Bara Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi Dar es Salaam Ofisi

Taarifa ya Wafungwa na Mahabusu, 2013 na 2014

26

SURA YA NNE

WAHALIFU WALIOPOKELEWA MAGEREZANI KUTOKA MAHAKAMANI

4.0 Utangulizi

Sura hii inaangalia wahalifu wote waliopokelewa magerezani kutoka mahakamani kwa mwaka

2013 na 2014. Lengo ni kufahamu aina ya wahalifu kwa jinsi, umri, kosa na muda waliokaa

gerezani wakisubiri kesi zao, urefu wa vifungo na uraia wa mhalifu.

4.1 Wahalifu Waliopokelewa Magerezani Kutoka Mahakamani, kwa Jinsi na Mkoa

Mwaka 2013 jumla ya wahalifu 123,911 walipokelewa magerezani wakilinganishwa na wahalifu

118,439 wa mwaka 2014 ambao ni pungufu kwa wahalifu 5,472 sawa na asilimia 4.4. Kati ya

wahalifu wote 123,911 waliopokelewa magerezani mwaka 2013, wafungwa walikuwa ni 21,886

sawa na asilimia 17.7 na mahabusu walikuwa 102,025 sawa na asilimia 82.3. Vivyo hivyo kati ya

wahalifu 118,439 wa mwaka 2014 wafungwa walikuwa 21,485 sawa na asilimia 18.1 na mahabusu

walikuwa 96,954 sawa na asilimia 81.9.

Mkoa uliopokea wahalifu wengi kuliko mikoa mingine ni Dar es Salaam ulipokea wahalifu 14,484

mwaka 2013 na 15,495 mwaka 2014. Lindi ndiyo mkoa uliopokea wahalifu wachache kuliko mikoa

mingine ambapo 2,152 walipokelewa mwaka 2013 na 1,864 mwaka 2014.

Aidha, mwaka 2013 wahalifu wanaume walikuwa 113,986 sawa na asilimia 92.0, wanawake

walikuwa 8,356 sawa na asilimia 6.7 na wahalifu vijana walikuwa 1,569 sawa na asilimia 1.3. Kwa

mwaka 2014 wahalifu wanaume walikuwa 107,651 sawa na asilimia 90.9, wanawake walikuwa

8,686 sawa na asilimia 7.3 na wahalifu vijana walikuwa 2,102 sawa na asilimia 1.8 (Jedwali 4.1 na

Mchoro 4.1).

Page 42: TAKWIMU ZA WAFUNGWA NA MAHABUSU TANZANIA ...magereza.go.tz/docs/Ripoti ya wafungwa 2013 na 2014.pdfJeshi la Magereza Tanzania Bara Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi Dar es Salaam Ofisi

Taarifa ya Wafungwa na Mahabusu, 2013 na 2014

27

Jedwali 4.1: Idadi ya Wahalifu Waliopokelewa Magerezani Kutoka Mahakamani kwa Jinsi na Mkoa ,

Tanzania Bara, 2013 na 2014

Mkoa

2013 2014

Me Ke V Jumla Me Ke V Jumla

Arusha 4,082 283 - 4,365 4,238 360 1 4,599

Dar es Salaam 13,467 904 113 14,484 13,898 1,383 214 15,495

Dodoma 5,254 392 31 5,677 4,911 400 53 5,364

Iringa 3,738 269 22 4,029 3,931 324 28 4,283

Kagera 7,485 635 24 8,144 8,125 546 47 8,718

Kigoma 4,501 436 179 5,116 4,302 366 157 4,825

Kilimanjaro 5,303 474 39 5,816 5,008 425 35 5,468

Lindi 2,022 108 22 2,152 1,748 101 15 1,864

Manyara 4,014 341 - 4,355 3,631 287 - 3,918

Mara 7,970 669 137 8,776 7,127 689 298 8,114

Mbeya 6,274 616 30 6,920 7,277 712 27 8,016

Morogoro 4,446 287 342 5,075 3,944 293 281 4,518

Mtwara 2,870 191 1 3,062 2,499 179 4 2,682

Mwanza 11,611 901 307 12,819 10,948 838 602 12,388

Pwani 2,913 71 6 2,990 2,592 120 4 2,716

Ruvuma 2,815 182 16 3,013 2,680 163 4 2,847

Rukwa 3,058 224 53 3,335 3,267 249 51 3,567

Singida 3,873 277 17 4,167 3,591 314 40 3,945

Shinyanga 8,180 551 192 8,923 5,220 442 194 5,856

Tabora 4,186 199 4 4,389 3,687 161 2 3,850

Tanga 5,924 346 34 6,304 5,027 334 45 5,406

Jumla 113,986 8,356 1,569 123,911 107,651 8,686 2,102 118,439

Chanzo Jeshi la Magereza Tanzania Bara

Page 43: TAKWIMU ZA WAFUNGWA NA MAHABUSU TANZANIA ...magereza.go.tz/docs/Ripoti ya wafungwa 2013 na 2014.pdfJeshi la Magereza Tanzania Bara Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi Dar es Salaam Ofisi

Taarifa ya Wafungwa na Mahabusu, 2013 na 2014

28

Mchoro 4.1: Wahalifu Waliopokelewa MaGerezani Kutoka Mahakamani kwa Jinsi na Mikoa, Tanzania

Bara, 2013 na 2014

Chanzo: Jeshi la Magereza Tanzania Bara

Page 44: TAKWIMU ZA WAFUNGWA NA MAHABUSU TANZANIA ...magereza.go.tz/docs/Ripoti ya wafungwa 2013 na 2014.pdfJeshi la Magereza Tanzania Bara Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi Dar es Salaam Ofisi

Taarifa ya Wafungwa na Mahabusu, 2013 na 2014

29

4.2 Wafungwa Waliopokelewa Magerezani Kutoka Mahakamani kwa Umri, Jinsi na

Mikoa

Mwaka 2013 kundi kubwa la wafungwa walipokelewa magerezani ni lile la wenye miaka zaidi ya

15–50, ambalo lilikuwa na wafungwa 20,424 sawa na asilimia 93.3. Wakati 2014 walikuwa 19,991

sawa na asilimia 93.0.

Mikoa iliyopokea wafungwa wengi wa umri huo kuliko mikoa mingine ni Dar es Salaam na

Mwanza. Mwaka 2013 mkoa wa Dar es Salaam ulipokea wafungwa 1,820 na mwaka 2014 mkoa

wa Mwanza ulipokea wafungwa 1,853 (Jedwali 4.2 na 4.3). Aidha, mikoa iliyopokea wahalifu

wachache wa umri huo kuliko mikoa mingine ni Mtwara na Lindi. Mwaka 2013 mkoa wa Mtwara

ulipokea wafungwa 436 na mwaka 2014 mkoa wa Lindi ulipokea wafungwa 501. Umri huu ndiyo

unaotegemewa katika shughuli za uzalishaji hivyo kuwepo kwao magerezani ni pengo katika ujenzi

wa taifa letu.

Page 45: TAKWIMU ZA WAFUNGWA NA MAHABUSU TANZANIA ...magereza.go.tz/docs/Ripoti ya wafungwa 2013 na 2014.pdfJeshi la Magereza Tanzania Bara Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi Dar es Salaam Ofisi

Taarifa ya Wafungwa na Mahabusu, 2013 na 2014

30

Jedwali 4.2: Idadi wa Wafungwa Waliopokelewa Magerezani Kutoka Mahakamani kwa Umri, Jinsi na Mkoa, Tanzania Bara, 2013

Mkoa

Miaka 15-20 Miaka 21-25 Miaka 26-50 Zaidi ya miaka 50 Jumla

kuu Me Ke V Jumla Me Ke V Jumla Me Ke V Jumla Me Ke V Jumla

Arusha 56 15 0 71 103 7 0 110 216 14 0 230 167 4 0 171 582

Dar es Salaam 551 49 2 602 416 57 0 473 707 38 745 42 10 0 52 1,872

Dodoma 116 6 10 132 221 12 0 233 576 46 0 622 87 7 0 94 1,081

Iringa 133 0 0 133 233 19 0 252 159 17 0 176 26 3 0 29 590

Kagera 149 16 11 176 349 20 369 617 36 0 653 100 13 0 113 1,311

Kigoma 255 14 19 288 338 34 0 372 573 48 0 621 71 3 0 74 1,355

Kilimanjaro 142 5 12 159 241 20 0 261 463 26 0 489 58 4 0 62 971

Lindi 154 2 10 166 157 13 0 170 260 4 0 264 11 0 0 11 611

Manyara 145 9 0 154 294 15 0 309 225 24 0 249 48 3 0 51 763

Mara 175 4 26 205 199 19 0 218 530 29 0 559 131 9 0 140 1,122

Mbeya 115 8 24 147 335 9 0 344 668 69 0 737 54 4 0 58 1,286

Morogoro 121 4 108 233 480 12 0 492 564 39 0 603 55 4 0 59 1,387

Mtwara 66 4 0 70 107 10 0 117 238 11 0 249 19 1 0 20 456

Mwanza 396 14 60 470 475 23 0 498 787 40 0 827 88 5 0 93 1,888

Pwani 125 1 6 132 249 5 0 254 305 14 0 319 46 2 0 48 753

Ruvuma 175 20 4 199 346 29 0 375 225 11 0 236 34 0 0 34 844

Rukwa 115 3 9 127 124 8 0 132 402 23 0 425 30 4 0 34 718

Singida 85 4 5 94 145 7 0 152 401 28 0 429 49 5 0 54 729

Shinyanga 176 9 22 207 336 17 0 353 739 43 0 782 113 6 0 119 1,461

Tabora 78 7 4 89 302 4 0 306 324 16 0 340 56 3 0 59 794

Tanga 291 9 1 301 291 8 0 299 588 37 0 625 85 2 0 87 1,312

Jumla 3,619 203 333 4,155 5,741 348 0 6,089 9,567 613 0 10,180 1,370 92 0 1,462 21,886

Chanzo: Jeshi la Magereza Tanzania Bara

Jedwali 4.3: Idadi ya Wafungwa Waliopokelewa Magerezani Kutoka Mahakamani Kwa Umri, Jinsi na Mkoa , Tanzania Bara, 2014

Page 46: TAKWIMU ZA WAFUNGWA NA MAHABUSU TANZANIA ...magereza.go.tz/docs/Ripoti ya wafungwa 2013 na 2014.pdfJeshi la Magereza Tanzania Bara Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi Dar es Salaam Ofisi

Taarifa ya Wafungwa na Mahabusu, 2013 na 2014

31

Mkoa

Miaka 15 - 20 Miaka 21 - 25 Miaka 26 - 50 Zaidi ya Miaka 50 Jumla

kuu Me Ke V Jumla Me Ke V Jumla Me Ke V Jumla Me Ke V Jumla

Arusha 57 10 1 68 221 6 0 227 212 27 0 239 34 12 0 46 580

Dar es Salaam 27 30 1 58 76 32 0 108 969 31 1000 84 39 0 123 1289

Dodoma 97 4 13 114 180 12 0 192 537 48 0 585 75 8 0 83 974

Iringa 112 7 0 119 245 14 0 259 335 12 0 347 47 0 0 47 772

Kagera 263 15 29 307 397 35 432 770 52 822 164 6 0 170 1731

Kigoma 301 5 10 316 284 10 0 294 620 38 0 658 59 2 0 61 1329

Kilimanjaro 71 5 7 83 399 28 0 427 376 23 0 399 41 8 0 49 958

Lindi 52 1 3 56 94 3 0 97 331 17 0 348 17 1 0 18 519

Manyara 136 3 0 139 192 10 0 202 439 32 0 471 65 8 0 73 885

Mara 181 18 32 231 204 22 0 226 555 49 0 604 80 4 0 84 1145

Mbeya 300 17 22 339 423 23 0 446 658 47 0 705 98 8 0 106 1596

Morogoro 125 13 71 209 258 8 0 266 612 32 0 644 105 12 0 117 1236

Mtwara 69 3 4 76 135 3 0 138 325 19 0 344 19 4 0 23 581

Mwanza 280 18 169 467 440 30 0 470 855 61 0 916 113 1 0 114 1967

Pwani 218 2 4 224 301 4 0 305 319 13 0 332 28 0 0 28 889

Ruvuma 190 11 2 203 171 9 0 180 187 21 0 208 33 3 0 36 627

Rukwa 111 7 18 136 204 6 0 210 315 17 0 332 65 0 0 65 743

Singida 102 6 10 118 137 8 0 145 291 25 0 316 40 5 0 45 624

Shinyanga 164 13 8 185 196 15 0 211 547 40 0 587 77 6 0 83 1066

Tabora 118 8 2 128 349 9 0 358 268 13 0 281 60 1 0 61 828

Tanga 197 4 4 205 343 19 0 362 491 26 0 517 59 3 0 62 1146

Jumla 3,171 200 410 3,781 5249 306 0 5,555 10,012 643 0 10,655 1,363 131 0 1,494 21,485

Chanzo: Jeshi la Magereza Tanzania Bara

Page 47: TAKWIMU ZA WAFUNGWA NA MAHABUSU TANZANIA ...magereza.go.tz/docs/Ripoti ya wafungwa 2013 na 2014.pdfJeshi la Magereza Tanzania Bara Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi Dar es Salaam Ofisi

Taarifa ya Wafungwa na Mahabusu, 2013 na 2014

32

4.3 Wafungwa Warudiaji Waliopokelewa Magerezani Kutoka Mahakamani kwa Jinsi na

Mkoa

Kwa kawaida mfungwa anapopokelewa kutoka mahakamani taarifa zake za nyuma huangaliwa ili

kubaini kama ameshawahi kuhukumiwa kifungo. Sifa hizi huwa katika makundi matatu, kwanza ni

wale waliohukumiwa kifungo kwa mara ya kwanza (first offender), pili ni wale waliokuhukumiwa

kifungo kwa mara ya pili (one previous conviction) na tatu ni wale walio kuhukumiwa kifungo

gerezani zaidi ya mara mbili (recidivist). Wafungwa waliofungwa kuanzia kifungo cha pili na

kuendelea huitwa warudiaji.

Katika miaka yote miwili wengi wa wafungwa warudiaji waliopokelewa magerezani ni wale

waliohukumiwa kwa mara ya pili. Mwaka 2013 wafungwa wa kifungo cha pili walikuwa 1,786

ambayo ni sawa na asilimia 68.7 na wa zaidi ya vifungo viwili walikuwa 815 ambayo ni sawa na

asilimia 31.3. Vivyo hivyo mwaka 2014 wafungwa wa kifungo cha pili walikuwa 1,808 sawa na

asilimia 65.9 na waliofungwa zaidi ya mara mbili walikuwa 936 sawa na asilimia 34.1 (Majedwali

4.4 na 4.5 pia katika Mchoro 4.2). Takwimu hizi zinaonesha kuwa bado kuna wafungwa wengi

warudiaji magerezani, ambao wanapewa adhabu za vifungo baada ya kumaliza vifungo vyao vya

awali kwa makosa mbalimbali. Hivyo juhudi kubwa inahitajika katika kuwarekebisha ili wasirudie

kutenda makosa.

Jedwali 4.4: Idadi ya Wafungwa Warudiaji Waliopokelewa Magerezani Kutoka Mahakamani kwa Jinsi,

Mkoa na Urudiaji wa Kifungo, Tanzania Bara, 2013

Mkoa

Kifungo cha Pili Zaidi ya Kifungo cha Pili Jumla Kuu

Me Ke V Jumla Me Ke V Jumla Me Ke V Jumla

Arusha 188 10 0 198 126 6 0 132 314 16 0 330

Dar es Salaam 24 0 0 24 10 0 0 10 34 0 0 34

Dodoma 79 0 0 79 17 0 0 17 96 0 0 96

Iringa 83 1 0 84 51 0 0 51 134 1 0 135

Kagera 49 0 0 49 44 0 0 44 93 0 0 93

Kigoma 59 1 0 60 3 0 0 3 62 1 0 63

Kilimanjaro 152 16 0 168 22 0 0 22 174 16 0 190

Lindi 87 1 0 88 53 0 0 53 140 1 0 141

Manyara 63 2 0 65 43 0 0 43 106 2 0 108

Mara 71 5 5 81 6 0 0 6 77 5 5 87

Mbeya 80 1 1 82 23 0 0 23 103 1 1 105

Morogoro 103 2 2 107 130 3 40 173 233 5 42 280

Mtwara 39 1 0 40 12 0 0 12 51 1 0 52

Page 48: TAKWIMU ZA WAFUNGWA NA MAHABUSU TANZANIA ...magereza.go.tz/docs/Ripoti ya wafungwa 2013 na 2014.pdfJeshi la Magereza Tanzania Bara Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi Dar es Salaam Ofisi

Taarifa ya Wafungwa na Mahabusu, 2013 na 2014

33

Mkoa

Kifungo cha Pili Zaidi ya Kifungo cha Pili Jumla Kuu

Me Ke V Jumla Me Ke V Jumla Me Ke V Jumla

Mwanza 86 0 2 88 19 0 1 20 105 0 3 108

Pwani 91 3 0 94 43 0 0 43 134 3 0 137

Ruvuma 99 0 0 99 29 0 0 29 128 0 0 128

Rukwa 32 0 0 32 6 0 0 6 38 0 0 38

Singida 44 1 0 45 10 0 0 10 54 1 0 55

Shinyanga 44 4 1 49 31 0 0 31 75 4 1 80

Tabora 64 3 0 67 20 0 0 20 84 3 0 87

Tanga 185 2 0 187 67 0 0 67 252 2 0 254

Jumla 1722 53 11 1786 765 9 41 815 2487 62 52 2601

Chanzo: Jeshi la Magereza Tanzania Bara

Jedwali 4.5: Idadi ya Wafungwa Warudiaji Waliopokelewa Magerezani Kutoka Mahakamani kwa Jinsi,

Mkoa na Urudiaji wa Kifungo, Tanzania Bara, 2014

Mkoa Kifungo cha Pili Zaidi ya kifungo cha Pili Jumla

Me Ke V Jumla Me Ke V Jumla Me Ke V Jumla

Arusha 171 12 0 183 48 0 0 48 219 12 0 231

Dar es Salaam 9 3 0 12 2 0 0 2 11 3 0 14

Dodoma 52 0 0 52 14 0 0 14 66 0 0 66

Iringa 166 0 0 166 130 0 0 130 296 0 0 296

Kagera 100 0 1 101 135 0 0 135 235 0 1 236

Kigoma 28 1 0 29 13 0 0 13 41 1 0 42

Kilimanjaro 117 12 0 129 77 3 0 80 194 15 0 209

Lindi 76 0 0 76 59 0 0 59 135 0 0 135

Manyara 68 1 0 69 33 2 0 35 101 3 0 104

Mara 64 1 0 65 4 0 0 4 68 1 0 69

Mbeya 79 1 0 80 30 0 0 30 109 1 0 110

Morogoro 118 2 2 122 64 0 1 65 182 2 3 187

Mtwara 45 0 0 45 24 0 0 24 69 0 0 69

Mwanza 107 0 6 113 18 1 3 22 125 1 9 135

Pwani 125 0 0 125 53 0 0 53 178 0 0 178

Ruvuma 66 0 0 66 35 0 0 35 101 0 0 101

Rukwa 43 0 0 43 5 0 0 5 48 0 0 48

Singida 47 1 1 49 47 0 0 47 94 1 1 96

Shinyanga 28 1 0 29 20 0 0 20 48 1 0 49

Tabora 65 9 0 74 32 1 0 33 97 10 0 107

Tanga 180 0 0 180 80 0 2 82 260 0 2 262

Jumla 1754 44 10 1808 923 7 6 936 2677 51 16 2744

Chanzo: Jeshi la Magereza Tanzania Bara

Page 49: TAKWIMU ZA WAFUNGWA NA MAHABUSU TANZANIA ...magereza.go.tz/docs/Ripoti ya wafungwa 2013 na 2014.pdfJeshi la Magereza Tanzania Bara Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi Dar es Salaam Ofisi

Taarifa ya Wafungwa na Mahabusu, 2013 na 2014

34

Mchoro 4.2: Wafungwa Warudiaji Waliopokelewa Magerezani Kutoka Mahakamani, Tanzania Bara, 2013

na 2014

Chanzo: Jeshi la Magereza Tanzania Bara

4.4 Wafungwa Watu Wazima Waliopokelewa Magerezani Kutoka Mahakamani kwa

Jinsi, Aina ya Kosa na Urefu wa Kifungo

Wafungwa watu wazima 21,553 walipokelewa magerezani mwaka 2013 na wafungwa 21,075

walipokelewa mwaka 2014. Mwaka 2013 wengi wa wafungwa hao walikutwa na hatia ya kosa la

wizi ambao walikuwa 5,207 sawa na asilimia 24.2 yakifuatiwa na wafungwa wa kosa la kujeruhi

wakiwa 2,416 sawa na asilimia 11.2. Vilevile mwaka 2014 wengi wa wafungwa walikutwa na hatia

ya kosa la wizi na walikuwa 5,036 sawa na asilimia 23.9 (Jedwali 4.6 na 4.7)

Page 50: TAKWIMU ZA WAFUNGWA NA MAHABUSU TANZANIA ...magereza.go.tz/docs/Ripoti ya wafungwa 2013 na 2014.pdfJeshi la Magereza Tanzania Bara Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi Dar es Salaam Ofisi

Taarifa ya Wafungwa na Mahabusu 2013 na 2014

35

Jedwali 4.6: Idadi ya Wafungwa Watu Wazima Waliopokelewa Magerezani Kutoka Mahakamani kwa Jinsi, Aina ya Kosa na Urefu wa Kifungo,

Tanzania Bara, 2013

Aina ya Kosa

Chini ya miezi

6

Miezi 6 hadi

mwaka

Zaidi ya

mwaka 1-3

Zaidi ya Miaka

3 - 5

Zaidi ya

miaka 5-10

Zaidi ya

miaka 10-15

Zaidi ya

miaka 15-

20

Zaidi ya

miaka 20-

30

Zaidi ya

miaka 30

Kifungo

cha

maisha

Kunyongwa

Jumla

Me Ke Me Ke Me Ke Me Ke Me Ke Me Ke Me Ke Me Ke Me Ke Me Ke Me Ke

Mauaji 40 8 15 6 50 8 5 5 13 0 18 0 3 0 1 0 1 0 32 0 70 2 277

Mauaji (adhabu ya

kifo kuwa kifungo) 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 11 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0

Kuua bila kukusudia 17 2 32 2 109 14 13 7 105 8 53 0 24 0 0 0 18 0 8 0 0 0 412

KujaribuKujaribu

kuua 21 1 20 0 24 1 1 1 7 1 9 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 86

Unyang'anyi 49 0 205 0 144 0 0 0 110 0 139 1 70 0 296 0 18 0 3 0 0 0 1,035

Wizi 1,760 134 1,590 110 1,173 107 45 20 156 20 19 0 12 0 23 0 38 0 0 0 0 0 5,207

Kuvunja na kuiba 472 20 689 30 687 20 13 8 128 0 24 2 2 0 12 0 3 0 0 0 0 0 2,110

Kupatikana na dawa

za kulevya 91 8 122 3 107 3 4 3 38 0 12 0 12 0 2 1 0 0 0 0 0 0 406

Kupatikana na nyara

za serikali 148 0 78 6 206 7 2 1 40 1 1 0 119 0 29 0 1 0 6 0 0 0 645

Kujamiiana 137 0 197 0 171 0 0 0 55 0 24 0 33 0 282 0 25 0 193 0 0 0 1,117

Kupatikana na

silaha/risasi 12 0 47 0 71 1 0 0 78 0 37 0 21 0 24 0 20 0 0 0 0 0 311

Kujeruhi 627 70 820 98 681 34 8 7 40 6 22 0 0 0 0 0 2 0 0 1 0 0 2,416

Kuchoma nyumba

moto 77 1 88 3 35 3 0 0 11 0 1 0 0 0 1 0 0 0 8 0 0 0 228

Rushwa 3 0 10 0 23 1 0 0 2 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 39

Kupatikana na

pombe ya moshi 205 30 124 30 41 7 2 1 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 440

Uzururaji 117 6 102 4 9 2 0 0 41 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 281

Makosa mengineyo 1,880 142 2,650 158 1,489 53 5 4 141 3 8 1 5 0 1 0 2 0 1 0 0 0 6,543

Jumla 5,656 422 6,789 450 5,020 261 98 57 965 39 367 4 301 0 671 1 128 0 251 1 70 2 21,553

Chanzo: Jeshi la Magereza Tanzania Bara

Page 51: TAKWIMU ZA WAFUNGWA NA MAHABUSU TANZANIA ...magereza.go.tz/docs/Ripoti ya wafungwa 2013 na 2014.pdfJeshi la Magereza Tanzania Bara Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi Dar es Salaam Ofisi

Taarifa ya Wafungwa na Mahabusu 2013 na 2014

36

Jedwali 4.7: Idadi ya Wafungwa Watu Wazima Waliopokelewa Magerezani Kutoka Mahakamani kwa Jinsi, Aina ya Kosa na Urefu wa Kifungo,

Tanzania Bara, 2014

Aina ya kosa

Chini ya

miezi 6

Miezi 6 hadi

mwaka 1

Zaidi ya

mwaka 1-3

Zaidi ya

miaka 3-5

Zaidi ya

miaka 5-10

Zaidi ya

miaka 10-

15

Zaidi ya

miaka 15-20

Zaidi ya

miaka 20-

30

Zaidi ya

miaka 30

Kifungo

cha

maisha

Kunyongwa

Jumla

Me Ke Me Ke Me Ke Me Ke Me Ke Me Ke Me Ke Me Ke Me Ke Me Ke Me Ke

Mauaji 50 8 32 6 61 8 1 1 22 0 10 0 0 0 4 0 0 1 3 0 59 2 268

Mauaji (adhabu

ya kifo kuwa

kifungo)

0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0

Kuua bila

kukusudia 12 2 35 3 147 19 12 12 205 14 82 4 29 1 6 0 7 1 2 0 0 0 593

Kujaribukuua 36 0 41 1 20 3 1 1 19 0 8 0 0 0 1 0 0 0 1 0 0 0 132

Unyang'anyi 124 1 64 0 133 0 0 0 91 0 91 0 56 0 275 0 10 0 2 0 0 0 847

Wizi 1,236 83 1,738 114 1,363 66 11 11 329 9 25 0 4 0 8 0 36 0 3 0 0 0 5,036

Kuvunja na kuiba 1,003 49 998 30 729 22 7 7 133 0 45 0 3 0 13 0 1 0 0 0 0 0 3,040

Kupatikana na

dawa ya kulevya 63 5 151 5 144 5 2 2 19 1 8 0 14 0 2 0 0 0 0 0 0 0 421

Kupatikana na nyara za serikali

88 2 126 14 205 8 1 1 46 0 11 0 139 1 38 0 2 0 6 0 0 0 688

Kujamiiana 13 0 11 0 30 0 3 3 36 0 3 0 4 0 253 0 20 0 124 0 0 0 500

Kupatikana na

silaha/risasi 10 3 11 5 56 0 0 0 37 1 12 0 1 0 1 0 8 0 1 0 0 0 146

Kujeruhi 412 44 666 65 399 39 8 8 54 3 5 0 1 0 1 0 0 4 2 0 0 0 1,711

Kuchoma nyumba

moto 67 11 63 2 48 2 0 0 7 0 1 20 0 0 2 0 0 0 3 0 0 0 226

Rushwa 3 0 10 0 23 1 0 0 1 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 38

Kupatikana na pombe moshi

105 40 122 31 39 2 1 1 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 341

Uzururaji 74 11 48 0 13 0 0 0 38 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 184

Makosa

mengineyo 2,083 181 2,599 196 1,529 68 7 7 204 9 15 0 3 0 3 0 0 0 0 0 0 0 6,904

Jumla 5,379 440 6,715 472 4,939 243 54 54 1,241 37 316 24 254 2 607 0 84 6 147 0 59 2 21,075

Chanzo: Jeshi la Magereza Tanzania Bara

Page 52: TAKWIMU ZA WAFUNGWA NA MAHABUSU TANZANIA ...magereza.go.tz/docs/Ripoti ya wafungwa 2013 na 2014.pdfJeshi la Magereza Tanzania Bara Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi Dar es Salaam Ofisi

Taarifa ya Wafungwa na Mahabusu 2013 na 2014

37

4.5 Wafungwa Vijana Waliopokelewa Magerezani Kutoka Mahakamani kwa Jinsi, Aina

ya kosa na Urefu wa Kifungo

Jedwali 4.8 linaonesha kwamba, mwaka 2013 wafungwa vijana 333 walipokelewa magerezani

kutoka mahakamani, wakilinganishwa na wafungwa 410 wa mwaka 2014 (Jedwali 4.8) ambalo ni

ongezeka la wafungwa 77 sawa na asilimia 23.1. Wengi wa wafungwa vijana walihukumiwa kwa

kosa la wizi ambalo mwaka 2013 lilikuwa na wafungwa 67 na mwaka 2014 wafungwa 99.

Wafungwa vijana walifungwa vifungo vya chini ya miezi 6 mpaka vifungo vya maisha kulingana

na aina ya kosa.

Page 53: TAKWIMU ZA WAFUNGWA NA MAHABUSU TANZANIA ...magereza.go.tz/docs/Ripoti ya wafungwa 2013 na 2014.pdfJeshi la Magereza Tanzania Bara Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi Dar es Salaam Ofisi

Taarifa ya Wafungwa na Mahabusu 2013 na 2014

38

Jedwali 4.8: Idadi ya Wafungwa Vijana Waliopokolewa Magerezani Kutoka Mahakamani kwa Jinsi, Aina ya kosa na Urefu wa Kifungo, Tanzania Bara,

2013

Aina ya Kosa

Chini ya miezi

6

Miezi 6 hadi

mwaka 1

Zaidi ya

mwaka 1- 3

Zaidi ya

miaka 3-5

Zaidi ya

miaka 5-10

Zaidi ya

miaka 10- 15

Zaidi ya

miaka 15- 20

Zaidi ya

miaka 20 -

30

Zaidi ya

miaka 30

Kifungo

cha maisha Kunyongwa

Jumla

Me Ke Me Ke Me Ke Me Ke Me Ke Me Ke Me Ke Me Ke Me Ke Me Ke Me Ke

Mauaji 2 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 2

Mauaji (adhabu

ya kifo kuwa

kifungo)

0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0

Kuua bila kukusudia 0 0 0 0 16 4 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 20

Kujaribu kuua 0 0 0 9 5 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 14

Unyang'anyi 3 0 0 0 1 0 0 0 1 0 8 0 2 0 1 1 0 0 0 0 0 0 17

Wizi 20 3 10 5 9 4 7 2 0 0 0 2 5 0 0 0 0 0 0 0 0 0 67

Kuvunja na kuiba 6 1 5 8 2 0 3 2 8 0 2 5 3 0 0 0 0 0 0 0 0 0 45

Kupatikana na dawa

ya kulevya 3 4 0 3 0 1 0 0 0 0 0 2 1 0 0 0 0 0 0 0 0 0 14

Kupatikana na nyara

za serikali 0 0 0 0 0 0 0 1 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 1 0 0 0 2

Kujamiiana 2 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 1 2 3 0 1 0 7 0 0 0 16

Kupatikana na

silaha/risasi 0 0 0 0 0 0 1 0 0 0 0 4 2 0 0 0 0 0 0 0 0 0 7

Kujeruhi 10 1 4 5 7 2 19 5 0 0 0 3 1 0 0 0 0 0 0 0 0 0 57

Kuchoma nyumba

moto 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0

Rushwa 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0

Kupatikana na

pombe haramu

(gongo)

3 6 0 3 0 0 0 0 0 0 0 2 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 14

Uzururaji 8 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 8

Makosa mengineyo 11 3 7 14 6 3 2 0 0 0 0 2 2 0 0 0 0 0 0 0 0 0 50

Jumla 68 18 26 47 46 14 32 10 9 0 10 20 17 2 4 1 1 0 8 0 0 0 333

Chanzo: Jeshi la Magereza Tanzania Bara

Page 54: TAKWIMU ZA WAFUNGWA NA MAHABUSU TANZANIA ...magereza.go.tz/docs/Ripoti ya wafungwa 2013 na 2014.pdfJeshi la Magereza Tanzania Bara Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi Dar es Salaam Ofisi

Taarifa ya Wafungwa na Mahabusu 2013 na 2014

39

Jedwali 4.9: Idadi ya Wafungwa Vijana Waliopokolewa Magerezani Kutoka Mahakamani kwa Jinsi, Aina ya Kosa na Urefu wa Kifungo, Tanzania Bara,

2014

Aina ya Kosa

Chini ya

miezi 6

Miezi 6 hadi

mwaka

Zaidi ya

mwaka 1-3

Zaidi ya

miaka 3-5

Zaidi ya

miaka 5-10

Zaidi ya

miaka 10-15

Zaidi ya

miaka 15-20

Zaidi ya

miaka 20-30

Zaidi ya

miaka 30

Kifungo

cha maisha Kunyongwa

Jumla

Me Ke Me Ke Me Ke Me Ke Me Ke Me Ke Me Ke Me Ke Me Ke Me Ke Me Ke

Mauaji 2 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 2

Mauaji (adhabu

ya kifo kuwa

kifungo)

0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0

Kuua bila

kukusudia 0 0 0 0 0 0 3 2 0 0 0 0 0 0 3 1 0 0 0 0 9

Kujaribu kuua 0 0 1 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 1

Unyang'anyi 1 0 0 0 1 0 0 2 1 21 5 4 0 0 0 0 0 0 0 35

Wizi 45 14 13 5 12 1 6 1 0 2 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 99

Kuvunja na

kuiba 7 9 4 1 5 3 14 0 0 0 0 0 0 0 0 2 0 0 0 0 0 45

Kupatikana na

dawa za kulevya 2 0 5 0 2 1 2 0 0 0 0 5 0 0 0 0 0 0 0 0 17

Kupatikana na

nyara za serikali 6 0 0 0 0 0 0 0 11 1 0 5 0 0 0 0 2 0 0 0 25

Kujamiiana 7 0 0 0 0 0 0 0 1 0 7 2 0 2 11 0 0 0 30

Kupatikana na

silaha/risasi 0 0 0 0 0 0 0 0 15 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 15

Kujeruhi 9 0 9 5 7 3 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 33

Kuchoma

nyumba moto 0 0 0 0 0 0 4 0 0 0 7 0 4 0 0 1 0 0 0 0 0 16

Rushwa 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0

Kupatikana na

pombe haramu

(gongo)

4 0 7 1 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 12

Uzururaji 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0

Makosa

mengineyo 32 15 12 3 7 2 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 71

Jumla 115 38 51 15 34 5 34 0 32 1 31 0 26 0 6 0 8 1 13 0 0 0 410

Chanzo: Jeshi la Magereza Tanzania Bara

Page 55: TAKWIMU ZA WAFUNGWA NA MAHABUSU TANZANIA ...magereza.go.tz/docs/Ripoti ya wafungwa 2013 na 2014.pdfJeshi la Magereza Tanzania Bara Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi Dar es Salaam Ofisi

Taarifa ya Wafungwa na Mahabusu, 2013 na 2014

40

4.6 Wafungwa Waliopokelewa Magerezani Kutoka Mahakamani kwa Kushindwa Kulipa

Faini kwa Mkoa na Urefu wa Vifungo

Wafungwa 6,457 walipokelewa magerezani kutoka mahakamani mwaka 2013 kwa kushindwa

kulipa faini wakilinganishwa na wafungwa 5,654 wa mwaka 2014, ambao ni pungufu kwa

wafungwa 803 sawa na asilimia 12.4. Wengi wa wafungwa walioshindwa kulipa faini ni wale

waliohukumiwa kwenda magerezani kifungo cha zaidi ya miezi mitatu. Idadi yao ilikuwa 4,881

mwaka 2013 na 4,346 mwaka 2014. Mikoa iliyokuwa na idadi kubwa kuliko mingine ya wafungwa

walioshindwa kulipa faini ni Mbeya uliokuwa na wafungwa 766 kwa mwaka 2013 na Mkoa wa

Kigoma wafungwa 657 mwaka 2014 (Jedwali 4.10).

Jedwali 4.10: Idadi ya Wafungwa Waliopokelewa Magerezani Kutoka Mahakamani kwa Kushindwa Kulipa

Faini kwa Mkoa na Urefu wa Kifungo, Tanzania Bara, 2013 na 2014

Mkoa

2013 2014

Chini ya

mwezi 1 Mwezi 1 - 3

Zaidi ya

miezi 3 Jumla

Chini ya

mwezi 1 Mwezi 1 – 3

Zaidi ya

miezi 3 Jumla

Arusha 0 10 15 25 0 20 10 30

Dar es Salaam 7 162 289 458 114 143 350 607

Dodoma 114 86 198 398 20 70 63 153

Iringa 0 7 64 71 14 25 110 149

Kagera 13 44 42 99 9 83 85 177

Kigoma 0 23 366 389 1 21 635 657

Kilimanjaro 545 4 89 638 13 9 51 73

Lindi 4 24 185 213 4 12 90 106

Manyara 0 0 0 0 0 1 119 120

Mara 0 63 287 350 0 64 303 367

Mbeya 13 77 676 766 8 157 215 380

Morogoro 0 40 234 274 0 29 205 234

Mtwara 0 9 117 126 0 10 141 151

Mwanza 8 74 498 580 5 99 488 592

Pwani 0 26 97 123 3 117 108 228

Ruvuma 8 47 194 249 8 55 162 225

Rukwa 0 0 82 82 0 5 147 152

Singida 10 33 199 242 0 32 134 166

Shinyanga 11 40 417 468 0 27 247 274

Tabora 0 12 234 246 20 10 155 185

Tanga 26 36 598 660 28 72 528 628

Jumla 759 817 4,881 6457 247 1,061 4,346 5,654

Chanzo: Jeshi la Magereza Tanzania Bara

Page 56: TAKWIMU ZA WAFUNGWA NA MAHABUSU TANZANIA ...magereza.go.tz/docs/Ripoti ya wafungwa 2013 na 2014.pdfJeshi la Magereza Tanzania Bara Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi Dar es Salaam Ofisi

Taarifa ya Wafungwa na Mahabusu, 2013 na 2014

41

4.7 Wafungwa Wagonjwa wa Akili Waliopokelewa Magerezani Kutoka Mahakamani kwa

Jinsi na Mkoa

Jumla ya wahalifu 5 ambao ni wagonjwa wa akili, walipokelewa magerezani kutoka mahakamani

mwaka 2013 mkoani Tabora. Mwaka 2014 walipokelewa kutoka mahakamani jumla ya wahalifu 5

katika mikoa ifuatayo: Tabora (3), Morogoro (1) na Mwanza (1). Kati yao wanaume ni 4 na

mwanamke 1.

4.8 Wahalifu Wanawake Wajawazito na Wenye Watoto Waliopokelewa Magerezani Toka

Mahakamani kwa Aina ya Kosa

Mwaka 2013 walipokelewa wafungwa wajawazito 60 na wafungwa wanawake 94 wenye watoto

104. Aidha, mahabusu wajawazito waliopokelewa walikuwa 124 na mahabusu wenye watoto 314,

wakiwa na watoto 336. Mwaka 2014 walipokelewa wafungwa wajawazito 47, wafungwa

wanawake 74 wenye watoto 81, wakati mahabusu wajawazito waliopokelewa ni 182, mahabusu

wenye watoto 373 wakiwa na watoto 403 (Jedwali 4.11).

Page 57: TAKWIMU ZA WAFUNGWA NA MAHABUSU TANZANIA ...magereza.go.tz/docs/Ripoti ya wafungwa 2013 na 2014.pdfJeshi la Magereza Tanzania Bara Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi Dar es Salaam Ofisi

Taarifa ya Wafungwa na Mahabusu, 2013 na 2014

42

Jedwali 4.11: Idadi ya Wahalifu Wanawake Wajawazito na Wenye Watoto Waliopokelewa Magerezani Toka

Mahakamani Kulingana na Aina ya Kosa, Tanzania Bara, 2013 na 2014

Aina ya Kosa

2013 2014

Wafungwa Mahabusu Wafungwa Mahabusu

Waja

wazit

o

Wenye watoto

Wajawazi

to

Wenye watoto

Waja

wazit

o

Wenye watoto

Waja

wazit

o

Wenye watoto

Idadi ya

wafung

wa

Idadi

ya

watot

o

Idadi ya

mahabus

u

Idadi

ya

watot

o

Idadi ya

wafung

wa

Idadi

ya

watot

o

Idadi ya

mahabus

u

Idadi

ya

watot

o

Mauaji 8 6 6 24 66 68 2 6 7 37 115 116

Mauaji

(adhabu ya

kifo kuwa

kifungo)

3 5 5 2 5 6 4 3 3 2 14 14

Kuua bila kukusudia

2 3 3 1 9 10 2 3 4 4 9 10

KujaribuKujari

bu kuua 7 3 4 3 11 12 1 1 1 4 5 5

Unyang'anyi 1 12 12 7 11 11 1 3 3 7 14 14

Wizi 12 13 13 20 39 41 13 12 12 23 47 55

Kuvunja na

kuiba 1 2 2 6 7 7 1 4 5 16 11 11

Kupatikana na dawa za

kulevya

1 3 3 1 6 6 1 3 3 7 11 15

Kupatikana na nyara za

serikali

0 0 0 1 1 1 0 0 0 1 1 1

Kujamiiana 0 0 0 0 1 1 0 0 0 0 1 1

Kupatikana na silaha/risasi

1 0 0 2 0 0 1 1 1 0 1 1

Kujeruhi 8 10 11 11 40 40 8 9 10 12 35 36

Kuchoma

nyumba moto 0 0 0 0 0 0 2 2 3 11 16 16

Rushwa 1 2 2 2 3 4 0 0 0 5 5 5

Kupatikana na pombe haramu

(gongo)

0 12 12 0 1 1 0 0 0 5 7 7

Uzururaji 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 3 3

Makosa mengineyo

15 23 31 44 114 128 11 27 29 48 78 93

Jumla 60 94 104 124 314 336 47 74 81 182 373 403

Chanzo: Jeshi la Magereza Tanzania Bara

4.9 Mahabusu Watu Wazima Waliopokelewa Magerezani Kutoka Mahakamani kwa Jinsi,

Aina ya kosa na Muda wa Kusubiri Hukumu

Jumla ya mahabusu watu wazima waliopokelewa magerezani kutoka mahakamani kusubiri hukumu

kwa mwaka 2013 ni 100,789, wakilinganishwa na 95,262 wa mwaka 2014, ambao ni pungufu kwa

mahabusu 5,527 sawa na asilimia 5.5. Wengi wa mahabusu hawa walishtakiwa kwa makosa la wizi,

ambapo mwaka 2013 walikuwa 18,490 na mahabusu 18,762 kwa mwaka 2014. Mahabusu wote

walikuwa wamekaa gerezani kipindi kisichozidi miaka 2 (Jedwali 4.12).

Page 58: TAKWIMU ZA WAFUNGWA NA MAHABUSU TANZANIA ...magereza.go.tz/docs/Ripoti ya wafungwa 2013 na 2014.pdfJeshi la Magereza Tanzania Bara Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi Dar es Salaam Ofisi

Taarifa ya Wafungwa na Mahabusu, 2013 na 2014

43

Jedwali 4.12: Idadi ya Mahabusu Watu Wazima Waliopokelewa Magerezani Kutoka Mahakamani kwa Jinsi, Aina ya Kosa na Muda wa Kusubiri Hukumu,

Tanzania Bara, 2013 na 2014

Aina ya Kosa

2013 2014

Chini ya miezi 2 Miezi 2-6 Zaidi ya miezi 6-

miaka 2 Jumla

Chini ya miezi 2 Miezi 2-6 Zaidi ya miezi 6-

miaka 2 Jumla

Me Ke Me Ke Me Ke Me Ke Me Ke Me Ke

Mauaji 2,640 182 4,292 376 5,542 475 13,507 2,108 217 3,028 297 4,121 447 10,218

Mauaji (adhabu

ya kifo kuwa

kifungo)

0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0

Kuua bila

kukusudia 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0

KujaribuKujaribu

kuua 3,103 345 3,961 311 2,585 159 9,699 3,395 321 2,715 234 1,847 131 8,643

Unyang'anyi 2,599 66 4,016 90 3,305 84 10,160 2,703 83 3,065 79 3,553 95 9,578

Wizi 6,656 415 5,360 1,355 4,444 260 18,490 7,924 574 5,873 375 3,857 159 18,762

Kuvunja na kuiba 2,645 138 2,275 101 1,960 41 7,160 4,258 168 2,463 100 1,474 17 8,480

Kupatikana na

dawa za kulevya 1,379 30 1,087 46 929 85 3,556 1,157 21 1,077 20 727 15 3,017

Kupatikana na

nyara za serikali 787 31 726 41 602 27 2,214 607 19 385 30 539 28 1,608

Kujamiiana 1,682 190 1,738 109 1,153 137 5,009 1,862 197 1,694 123 958 129 4,963

Kupatikana na

silaha/risasi 628 35 451 6 297 5 1,422 558 5 201 170 934

Kujeruhi 1,924 280 1,169 189 1,078 58 4,698 2,658 313 1,706 156 1,119 96 6,048

Kuchoma

nyumba moto 695 118 395 50 177 13 1,448 536 61 503 36 158 9 1,303

Rushwa 656 59 391 24 126 17 1,273 566 21 445 39 135 6 1,212

Kupatikana na

pombe haramu

(gongo)

2,783 415 2,929 261 2,675 164 9,227 3,324 325 2,397 219 1,768 125 8,158

Uzururaji 1,287 99 344 27 94 6 1,857 665 33 191 5 40 934

Makosa

mengineyo 2,494 355 3,933 238 3,906 143 11,069 3,241 545 3,769 236 3,336 277 11,404

Jumla 31,958 2,758 32,302 3,224 28,873 1,674 100,789 35,562 2,903 29,512 1,949 23,802 1,534 95,262

Chanzo: Jeshi la Magereza Tanzania Bara

Page 59: TAKWIMU ZA WAFUNGWA NA MAHABUSU TANZANIA ...magereza.go.tz/docs/Ripoti ya wafungwa 2013 na 2014.pdfJeshi la Magereza Tanzania Bara Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi Dar es Salaam Ofisi

Taarifa ya Wafungwa na Mahabusu, 2013 na 2014

44

4.10 Mahabusu Vijana Waliopokelewa Magerezani Kutoka Mahakamani kwa Jinsi, Aina

ya kosa na Muda wa Kusubiri Hukumu

Mahabusu vijana waliopokelewa magerezani kutoka mahakamani mwaka 2013 walikuwa 1,236,

wakilinganishwa na 1,692 wa mwaka 2014, ambalo ni ongezeko la mahabusu vijana 456 sawa na

asilimia 36.9. Aidha mahabusu hao walikuwa wamekaa magerezani kwa kipindi kisichozidi miaka

2. Mwaka 2013, wengi wa mahabusu (171) walishtakiwa kwa kosa la wizi. Vile vile mwaka 2014

wengi wa mahabusu (374) walishtakiwa kwa kosa la wizi (Jedwali 4.13).

Jedwali 4.13: Idadi ya Mahabusu Vijana Waliopokelewa Magerezani Kutoka Mahakamani kwa Jinsi, Aina

ya Kosa na Muda wa Kusubiri Hukumu, Tanzania Bara, 2013 na 2014

Aina ya Kosa

2013 2014

Chini ya

miezi 2 Miezi 2-6

Zaidi ya

miezi 6 -

miaka 2 Jumla

Chini ya

miezi 2 Miezi 2-6

Zaidi ya

miezi 6 -

miaka 2 Jumla

Me Ke Me Ke Me Ke Me Ke Me Ke Me Ke

Mauaji 22 4 50 35 35 0 146 33 17 97 6 135 21 309

Mauaji (adhabu ya

kifo kuwa kifungo) 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0

Kuua bila kukusudia 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0

Kujaribukuua 65 3 81 3 10 0 162 65 8 16 1 8 1 99

Unyang'anyi 46 0 59 0 22 0 127 6 0 9 0 11 0 26

Wizi 78 9 62 4 12 6 171 173 33 88 35 44 1 374

Kuvunja na kuiba 22 0 28 0 7 3 60 67 2 48 0 27 0 144

Kupatikana na dawa

za kulevya 34 5 23 0 14 0 76 9 0 4 0 24 0 37

Kupatikana na nyara

za serikali 3 0 8 0 3 0 14 2 0 0 0 0 0 2

Kujamiiana 17 0 35 0 13 0 65 102 18 26 0 18 0 164

Kupatikana na

silaha/risasi 0 0 6 1 0 0 7 0 0 0 0 0 0 0

Kujeruhi 22 1 30 0 0 0 59 48 0 45 11 1 0 105

Kuchoma nyumba

moto 0 0 0 0 0 0 0 9 5 11 0 0 0 25

Rushwa 7 0 1 0 0 0 8 28 0 0 0 0 0 28

Kupatikana na

pombe haramu

(gongo)

106 1 14 2 10 0 133 23 15 15 1 4 9 67

Uzururaji 20 4 21 4 1 0 50 27 2 0 0 0 0 29

Makosa mengineyo 98 21 28 3 6 2 158 147 20 40 8 63 5 283

Jumla 540 48 446 52 139 11 1,236 739 120 399 62 335 37 1,692

Chanzo: Jeshi la Magereza Tanzania Bara

Page 60: TAKWIMU ZA WAFUNGWA NA MAHABUSU TANZANIA ...magereza.go.tz/docs/Ripoti ya wafungwa 2013 na 2014.pdfJeshi la Magereza Tanzania Bara Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi Dar es Salaam Ofisi

Taarifa ya Wafungwa na Mahabusu, 2013 na 2014

45

4.11 Wafungwa Wasio Raia Waliopokelewa Magerezani Kutoka Mahakamani kwa Jinsi na

Nchi Walizotoka

Jumla ya wafungwa wasio raia wa Tanzania 1,836 walipokelewa magerezani kutoka mahakamani

mwaka 2013 wakilinganishwa na wafungwa 1,999 wa mwaka 2014 ambalo ni ongezeko la

wafungwa 163 sawa na asilimia 8.9. Mwaka 2013 wengi wa wafungwa walikuwa raia wa Ethiopia

(1,017) na mwaka 2014 wengi wa wafungwa walikuwa raia wa Burundi (1,076). Kwa miaka hii

miwili, wafungwa wanaume wasio raia walikuwa 1,812 na wafungwa wanawake 24 kwa mwaka

2013, ambapo mwaka 2014 wafungwa wanaume wasiokuwa raia walikuwa 1,953 na wanawake

walikuwa 46. Hili ni ongezeko la wafungwa wanaume 141 sawa na asilimia 7.8 na wanawake 22

sawa na asilimia 91.7 (Majedwali 4.14 na 4.15).

Jedwali 4.14: Idadi ya Wafungwa Wasio Raia Waliopokelewa Magerezani Kutoka Mahakamani kwa Jinsi na

Nchi Walizotoka, Tanzania Bara, 2013 na 2014.

Nchi Walizotoka 2013 2014

Me Ke Jumla Me Ke Jumla

Burundi 687 13 700 1,037 39 1,076

China 0 0 0 1 0 1

Congo 10 1 11 50 1 51

DRC 16 6 22 3 0 3

Ethiopia 1,017 - 1,017 664 0 664

Hong Kong 0 0 0 61 0 61

India 2 0 2 1 0 1

Kenya 22 2 24 28 1 29

Malawi 1 0 1 0 0 0

Liberia 0 0 0 5 0 5

Nigeria 1 0 1 7 0 7

Rwanda 38 1 39 68 1 69

Somalia 11 0 11 2 0 2

Afrika Kusini 0 0 0 1 0 1

Sudan 0 0 0 1 1 2

Turkey 0 0 0 1 0 1

Uganda 6 1 7 20 3 23

Zambia 1 0 1 3 0 3

Jumla 1,812 24 1,836 1,953 46 1,999

Chanzo: Jeshi la Magereza Tanzania Bara

Page 61: TAKWIMU ZA WAFUNGWA NA MAHABUSU TANZANIA ...magereza.go.tz/docs/Ripoti ya wafungwa 2013 na 2014.pdfJeshi la Magereza Tanzania Bara Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi Dar es Salaam Ofisi

Taarifa ya Wafungwa na Mahabusu, 2013 na 2014

46

Jedwali 4.15: Idadi ya Wafungwa Wasio Raia Waliopokelewa Magerezani Kutoka Mahakamani kwa Jinsi na

Aina ya Kosa, Tanzania Bara, 2013 na 2014

Aina ya Kosa 2013 2014

Me Ke Jumla Me Ke Jumla

Mauaji 0 0 0 3 0 3

Mauaji (adhabu ya kifo kuwa kifungo) 0 0 0 0 0 0

Kuua bila kukusudia 2 0 2 0 0 0

Kujaribu kuua 0 0 0 4 0 4

Unyang’anyi 7 0 7 11 0 11

Wizi 13 0 13 34 1 35

Kuvunja nyumba 1 0 1 3 0 3

Kupatikana na dawa za kulevya 1 0 1 3 1 4

Kupatikana na nyara za serikali 2 0 2 3 0 3

Makosa ya kujamiiana 2 1 3 6 0 6

Kupatikana na bunduki na risasi 5 0 5 3 0 3

Kujeruhi 0 0 0 9 1 10

Kuchoma moto nyumba 0 0 0 2 0 2

Makosa ya rushwa 0 0 0 0 0 0

Kupatikana na pombe ya moshi 0 0 0 0 0 0

Uzembe na uzururaji 0 0 0 1 0 1

Makosa mengineyo 1,779 23 1,802 1,871 43 1,914

Jumla 1,812 24 1,836 1,953 46 1,999

Chanzo: Jeshi la Magereza Tanzania Bara

4.12 Mahabusu Wasio Raia Waliopokelewa Magerezani Kutoka Mahakamani kwa Jinsi na

Nchi Wanazotoka

Kwa mwaka 2013 mahabusu wasio raia wa Tanzania waliopokelewa magerezani walikuwa 1,530

wakilinganishwa na 2,552 wa mwaka 2014 ikiwa ni ongezeko la mahabusu 1,022 sawa na asilimia

66.8. Mwaka 2013 mahabusu wengi wa mahabusu walikuwa ni raia wa Ethiopia (632) na mwaka

2014 wengi ni kutoka Burundi (1,287).

Aidha kwa miaka yote miwili, mahabusu wengi wasiokuwa raia walikuwa wanatuhumiwa kwa kosa

la wizi ambapo mwaka 2013 idadi yao ilikuwa 73 na mwaka 2014 ilikuwa 76. Mahabusu wanaume

wasio raia kwa mwaka 2013 walikuwa 1,442 na mwaka 2014 walikuwa 2,406 ambalo ni ongezeko

la wanaume 964 sawa na asilimia 66.9. Mahabusu wanawake wasio raia kwa mwaka 2013

walikuwa 88 na mwaka 2014 walikuwa 146 ambalo ni ongezeko la wanawake 58 sawa na asilimia

65.9 (Jedwali 4.16 na 4.17).

Page 62: TAKWIMU ZA WAFUNGWA NA MAHABUSU TANZANIA ...magereza.go.tz/docs/Ripoti ya wafungwa 2013 na 2014.pdfJeshi la Magereza Tanzania Bara Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi Dar es Salaam Ofisi

Taarifa ya Wafungwa na Mahabusu, 2013 na 2014

47

Jedwali 4.16: Idadi ya Mahabusu Wasio Raia Waliopokelewa Magerezani Kutoka Mahakamani kwa Jinsi na

Nchi Walizotoka, Tanzania Bara, 2013 na 2014

Nchi Walizotoka

2013 2014

Jinsi Jumla

Jinsi Jumla

Me Ke Me Ke

Angola 0 0 0 1 0 1

Burundi 513 53 566 1,184 103 1,287

Cameroon 0 1 1 3 0 3

China 1 0 1 2 1 3

Colombia 0 0 0 1 0 1

Congo 15 0 15 110 9 119

DRC 43 3 46 7 1 8

Ethiopia 632 0 632 562 0 562

Estonia 0 0 0 0 1 1

Finland 0 0 0 1 0 1

Ujerumani 0 0 0 1 0 1

Ugiriki 1 0 1 1 0 1

Hong Kong 0 0 0 220 0 220

India 7 1 8 7 2 9

Iran 0 0 0 18 0 18

Kenya 96 5 101 74 8 82

Lebanon 0 0 0 1 0 1

Liberia 0 1 1 2 1 3

Malawi 2 1 3 11 2 13

Msumbiji 2 0 2 1 0 1

Nigeria 11 0 11 20 1 21

Pakistan 4 0 4 12 0 12

Romania 0 0 0 2 0 2

Rwanda 85 18 103 113 14 127

Sherisheri 0 0 0 1 0 1

Vietnam 1 0 1 1 0 1

Somalia 9 3 12 16 0 16

Zimbabwe 0 0 0 2 0 2

Sudan 0 0 0 1 0 1

Uganda 15 1 16 26 3 29

Marekani 0 0 0 1 0 1

Zambia 0 0 0 4 0 4

Bangladesh 3 0 3 0 0 0

Bulgaria 1 0 1 0 0 0

Madagascar 0 1 1 0 0 0

Uingereza 1 0 1 0 0 0

Jumla 1,442 88 1,530 2,406 146 2,552

Chanzo: Jeshi la Magereza Tanzania Bara

Page 63: TAKWIMU ZA WAFUNGWA NA MAHABUSU TANZANIA ...magereza.go.tz/docs/Ripoti ya wafungwa 2013 na 2014.pdfJeshi la Magereza Tanzania Bara Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi Dar es Salaam Ofisi

Taarifa ya Wafungwa na Mahabusu, 2013 na 2014

48

Jedwali 4.17: Idadi ya Mahabusu Wasio Raia Waliopokelewa Magerezani Kutoka Mahakamani kwa Jinsi na

Aina ya Kosa, Tanzania Bara, 2013 na 2014

Aina ya Kosa

2013 2014

Me Ke Jumla Me Ke Jumla

Mauaji 37 0 37 45 3 48

Mauaji (adhabu ya kifo kuwa kifungo) 0 0 0 0 0 0

Kuua bila kukusudia 0 0 0 0 0 0

Kujaribu kuua 1 0 1 21 4 25

Unyang’anyi 40 0 40 3 0 3

Wizi 68 5 73 67 9 76

Kuvunja nyumba 15 1 16 25 0 25

Kupatikana na dawa za kulevya 16 2 18 46 4 50

Kupatikana na nyara za serikali 12 0 12 3 0 3

Makosa ya kujamiiana 12 0 12 40 0 40

Kupatikana na bunduki au risasi 5 0 5 23 0 23

Kujeruhi 20 4 24 28 0 28

Kuchoma moto nyumba 2 0 2 2 0 2

Makosa ya rushwa 2 0 2 5 1 6

Kupatikana na pombe ya moshi 1 0 1 0 0 0

Uzembe na uzururaji 0 0 0 3 0 3

Makosa mengineyo 1,211 76 1,287 2,095 125 2,220

Jumla 1,442 88 1,530 2,406 146 2,552

Chanzo: Magereza Jeshi la Magereza Tanzania Bara

Page 64: TAKWIMU ZA WAFUNGWA NA MAHABUSU TANZANIA ...magereza.go.tz/docs/Ripoti ya wafungwa 2013 na 2014.pdfJeshi la Magereza Tanzania Bara Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi Dar es Salaam Ofisi

Taarifa ya Wafungwa na Mahabusu, 2013 na 2014

49

SURA YA TANO

WAHALIFU WALIOHAMISHWA KUTOKA GEREZA MOJA KWENDA JINGINE

5.0 Utangulizi

Kutokana na sababu mbalimbali, wahalifu huhamishwa kutoka gereza moja kwenda jingine. Baadhi

ya sababu hizo ni pamoja na kuhitajika mahakamani, matibabu, masomoni, shughuli za uzalishaji

na sababu za kiusalama.

5.1 Wahalifu Waliohamishwa kwa Jinsi na Mkoa

Mwaka 2013 wahalifu 11,505 walihamishwa kutoka gereza moja kwenda jingine kutokana na

sababu mbalimbali. Mwaka 2014 idadi waliohamishwa ilipungua na kufikia 10,966 ikiwa ni

pungufu ya wahalifu 539 sawa na asilimia 4.9. Kati ya wahalifu waliohamishwa mwaka 2013,

wafungwa walikuwa 9,122 na mahabusu walikuwa 2,383 wakati mwaka 2014 wafungwa walikuwa

8,680 na mahabusu 2,286. Mikoa iliyohamisha wahalifu wengi kuliko mingine ni Mbeya

iliyohamisha wahalifu 1,544 mwaka 2013 na Kagera iliyohamisha wahalifu 1,130 mwaka 2014

(Jedwali 5.1).

Page 65: TAKWIMU ZA WAFUNGWA NA MAHABUSU TANZANIA ...magereza.go.tz/docs/Ripoti ya wafungwa 2013 na 2014.pdfJeshi la Magereza Tanzania Bara Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi Dar es Salaam Ofisi

Taarifa ya Wafungwa na Mahabusu, 2013 na 2014

50

Jedwali 5.1: Idadi ya wahalifu Waliohamishwa kwa Jinsi na Mkoa, Tanzania Bara, 2013 na 2014

Mkoa

2013 2014

Wafungwa Mahabusu Jumla

kuu

Wafungwa Mahabusu Jumla

kuu Me Ke V Jumla Me Ke V Jumla Me Ke V Jumla Me Ke V Jumla

Arusha 167 2 0 169 78 6 0 84 253 198 3 0 201 60 3 0 63 264

Dar es Salaam 652 14 0 666 46 3 0 49 715 620 0 0 620 73 3 0 76 696

Dodoma 453 3 0 456 168 17 0 185 641 612 4 0 616 199 36 2 237 853

Iringa 133 2 0 135 32 2 0 34 169 157 1 0 158 27 2 0 29 187

Kagera 643 1 0 644 240 26 0 266 910 799 17 1 817 276 37 0 313 1,130

Kigoma 714 2 1 717 75 14 0 89 806 651 4 3 658 51 3 0 54 712

Kilimanjaro 185 6 0 191 39 2 0 41 232 195 4 0 199 71 8 0 79 278

Lindi 239 2 0 241 24 6 0 30 271 171 1 0 172 8 0 0 8 180

Manyara 74 0 0 74 22 2 0 24 98 200 2 0 202 19 0 0 19 221

Mara 466 4 2 472 69 4 0 73 545 561 4 5 570 84 9 0 93 663

Mbeya 1,230 1 0 1,231 307 6 0 313 1,544 699 3 0 702 89 9 0 98 800

Morogoro 463 6 30 499 12 1 2 15 514 481 9 10 500 43 0 0 43 543

Mtwara 287 0 0 287 61 3 0 64 351 246 0 0 246 51 6 0 57 303

Mwanza 645 7 5 657 247 19 0 266 923 573 21 5 599 335 25 2 362 961

Pwani 135 2 0 137 95 5 0 100 237 139 0 0 139 21 0 0 21 160

Ruvuma 583 3 0 586 36 3 0 39 625 604 0 0 604 28 2 0 30 634

Rukwa 744 1 1 746 63 1 0 64 810 510 0 0 510 9 1 0 10 520

Singida 86 0 0 86 25 3 0 28 114 96 0 3 99 41 7 0 48 147

Shinyanga 590 10 0 600 391 25 1 417 1,017 418 9 1 428 330 11 0 341 769

Tabora 198 10 0 208 170 4 0 174 382 336 0 0 336 264 8 0 272 608

Tanga 320 0 0 320 27 1 0 28 348 304 0 0 304 30 3 0 33 337

Jumla 9,007 76 39 9,122 2,227 153 3 2,383 11,505 8,570 82 28 8,680 2,109 173 4 2,286 10,966

Chanzo: Jeshi la Magereza Tanzania Bara

Page 66: TAKWIMU ZA WAFUNGWA NA MAHABUSU TANZANIA ...magereza.go.tz/docs/Ripoti ya wafungwa 2013 na 2014.pdfJeshi la Magereza Tanzania Bara Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi Dar es Salaam Ofisi

Taarifa ya Wafungwa na Mahabusu, 2013 na 2014

51

5.2 Wafungwa wenye Ugonjwa wa Akili kwa Jinsi na Mkoa Waliopokelewa kutoka

Magereza Mengine

Mwaka 2013 ni wafungwa wawili tu wenye ugonjwa wa akili waliopokelewa katika Mkoa wa

Dodoma, wakati mwaka 2014 hapakuwa na mfungwa yoyote mwenye ugonjwa wa akili

aliyepokelewa kutoka magereza mengine.

Page 67: TAKWIMU ZA WAFUNGWA NA MAHABUSU TANZANIA ...magereza.go.tz/docs/Ripoti ya wafungwa 2013 na 2014.pdfJeshi la Magereza Tanzania Bara Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi Dar es Salaam Ofisi

Taarifa ya Wafungwa na Mahabusu, 2013 na 2014

52

SURA YA SITA

WAHALIFU WALIOTOKA MAGEREZANI

6.0 Utangulizi

Sura hii inahusu wahalifu waliotoka magerezani mwaka 2013 na 2014. Kwa kawaida wahalifu

hutoka magerezani kwa sababu mbalimbali kama ifuatavyo; kumaliza adhabu zao kwa mujibu wa

sheria, kupata msamaha wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kwenda kutumikia

kifungo cha nje, kulipa faini aliyoamriwa na mahakama, kutoroka chini ya ulinzi halali, kufariki

dunia na mahabusu anapopata wito wa kwenda mahakamani.

6.1 Wahalifu Waliotoka Magerezani Mwaka 2013 na 2014

Majedwali 6.1 na 6.2 na Mchoro 6.1 vinaonesha kwamba kwa mwaka 2013 jumla ya wahalifu

117,911 walitoka magerezani wakilinganishwa na wahalifu 112,510 waliotoka mwaka 2014. Idadi

hiyo ni pungufu ya wahalifu 5,401 sawa na asilimia 4.6. Kati yao, wafungwa ni 20,381 na

mahabusu 97,530 kwa mwaka 2013 ambapo mwaka 2014 wafungwa walikuwa 19,940 na

mahabusu 92,570. Wengi wa wahalifu waliotoka magerezani ni kutoka mikao ya Dar es salaam na

Mwanza, ambapo Mkoa wa Dar es Salaam walitoka wahalifu 14,432 kwa mwaka 2013, Mkoa wa

Mwanza walitoka wahalifu 11,469 kwa mwaka 2014.

Page 68: TAKWIMU ZA WAFUNGWA NA MAHABUSU TANZANIA ...magereza.go.tz/docs/Ripoti ya wafungwa 2013 na 2014.pdfJeshi la Magereza Tanzania Bara Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi Dar es Salaam Ofisi

Taarifa ya Wafungwa na Mahabusu, 2013 na 2014

53

Jedwali 6.1: Idadi ya Wahalifu Waliotoka Magerezani kwa Jinsi na Mkoa, Tanzania Bara, 2013

Mkoa Wafungwa Mahabusu Jumla

Me Ke V Jumla Me Ke V Jumla Me Ke V Jumla

Arusha 627 31 12 670 3,596 244 5 3,845 4,223 275 17 4,515

Dar es Salaam 1,762 82 14 1,858 11,669 809 96 12,574 13,431 891 110 14,432

Dodoma 1,050 78 7 1,135 3,943 310 11 4,264 4,993 388 18 5,399

Iringa 860 24 4 888 2,935 243 24 3,202 3,795 267 28 4,090

Kagera 1,190 63 17 1,270 5,722 468 14 6,204 6,912 531 31 7,474

Kigoma 1,104 52 11 1,167 3,284 319 109 3,712 4,388 371 120 4,879

Kilimanjaro 1,153 65 12 1,230 4,974 468 17 5,459 6,127 533 29 6,689

Lindi 476 16 5 497 1,469 94 12 1,575 1,945 110 17 2,072

Manyara 411 46 2 459 2,347 204 0 2,551 2,758 250 2 3,010

Mara 712 79 23 814 5,686 621 102 6,409 6,398 700 125 7,223

Mbeya 1,120 30 20 1,170 5,740 530 4 6,274 6,860 560 24 7,444

Morogoro 1,159 63 49 1,271 3,242 219 226 3,687 4,401 282 275 4,958

Mtwara 446 21 5 472 2,250 160 1 2,411 2,696 181 6 2,883

Mwanza 1,704 89 54 1,847 8,720 749 178 9,647 10,424 838 232 11,494

Pwani 356 26 8 390 3,492 109 0 3,601 3,848 135 8 3,991

Ruvuma 550 30 7 587 520 260 10 790 1,070 290 17 1,377

Rukwa 625 43 10 678 2,253 171 33 2,457 2,878 214 43 3,135

Singida 461 33 10 504 2,330 214 6 2,550 2,791 247 16 3,054

Shinyanga 1,001 61 27 1,089 6,624 301 279 7,204 7,625 362 306 8,293

Tabora 1,020 59 15 1,094 4,824 213 12 5,049 5,844 272 27 6,143

Tanga 1,200 79 12 1,291 3,764 260 41 4,065 4,964 339 53 5,356

Jumla 18,987 1,070 324 20,381 89,384 6,966 1,180 97,530 108,371 8,036 1,504 117,911

Chanzo: Jeshi la Magereza Tanzania Bara

Page 69: TAKWIMU ZA WAFUNGWA NA MAHABUSU TANZANIA ...magereza.go.tz/docs/Ripoti ya wafungwa 2013 na 2014.pdfJeshi la Magereza Tanzania Bara Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi Dar es Salaam Ofisi

Taarifa ya Wafungwa na Mahabusu, 2013 na 2014

54

Jedwali 6.2: Idadi ya Wahalifu Waliotoka Magerezani kwa Jinsi na Mkoa, Tanzania Bara, 2014

Mkoa

Wafungwa Mahabusu Jumla

Me Ke V Jumla Me Ke V Jumla Me Ke V Jumla Kuu

Arusha 657 42 15 714 3,627 386 0 4,013 4284 428 15 4,727

Dar es Salaam 1,331 79 40 1,450 8,570 719 211 9,500 9901 798 251 10,950

Dodoma 919 66 17 1,002 4,755 312 38 5,105 5674 378 55 6,107

Iringa 987 35 0 1,022 3,032 167 26 3,225 4019 202 26 4,247

Kagera 1,091 68 24 1,183 5,214 219 21 5,454 6305 287 45 6,637

Kigoma 887 59 33 979 4,005 165 178 4,348 4892 224 211 5,327

Kilimanjaro 721 60 28 809 4,259 388 38 4,685 4980 448 66 5,494

Lindi 512 21 5 538 1,254 78 12 1,344 1766 99 17 1,882

Manyara 483 29 0 512 1,310 242 0 1,552 1793 271 0 2,064

Mara 869 36 22 927 3,103 455 179 3,737 3972 491 201 4,664

Mbeya 1,010 51 36 1,097 4,879 571 4 5,454 5889 622 40 6,551

Morogoro 1,102 63 37 1,202 2,731 315 202 3,248 3833 378 239 4,450

Mtwara 649 30 11 690 1,848 138 5 1,991 2497 168 16 2,681

Mwanza 1,819 94 33 1,946 8,542 737 244 9,523 10361 831 277 11,469

Pwani 584 44 19 647 2,057 101 2 2,160 2641 145 21 2,807

Ruvuma 678 64 13 755 2,686 147 14 2,847 3364 211 27 3,602

Rukwa 548 20 10 578 2,324 88 92 2,504 2872 108 102 3,082

Singida 628 46 13 687 4,457 458 95 5,010 5085 504 108 5,697

Shinyanga 1,015 69 19 1,103 5,126 574 205 5,905 6141 643 224 7,008

Tabora 957 56 15 1,028 4,614 536 8 5,158 5571 592 23 6,186

Tanga 1,002 53 16 1,071 5,260 466 81 5,807 6262 519 97 6,878

Total 18,449 1,085 406 19,940 83,653 7,262 1,655 92,570 102,102 8,347 2,061 112,510

Chanzo: Jeshi la Magereza Tanzania Bara

Page 70: TAKWIMU ZA WAFUNGWA NA MAHABUSU TANZANIA ...magereza.go.tz/docs/Ripoti ya wafungwa 2013 na 2014.pdfJeshi la Magereza Tanzania Bara Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi Dar es Salaam Ofisi

Taarifa ya Wafungwa na Mahabusu, 2013 na 2014

55

Mchoro 6.1: Idadi ya Wahalifu Waliotoka Magerezani, Tanzania Bara, 2013 na 2014

Chanzo: Jeshi la Magereza Tanzania Bara

6.2 Wafungwa Walioachiwa kwenda Kutumikia Kifungo cha Nje kwa Jinsi na Mkoa

Mwaka 2013 wafungwa 1,139 waliachiwa kwenda kutumikia kifungo cha nje wakilinganishwa na

wafungwa 1,205 walioachiwa mwaka 2014. Hili ni ongezeko la wafungwa 66 sawa na asilimia 5.8.

Mkoa ulioachia wafungwa wengi kuliko mikoa mingine ni Mbeya, ambapo mwaka 2013 uliachia

wafungwa 183 na mwaka 2014 wafungwa 208 kama inavyoonesha kwenye Jedwali 6.3.

Mfungwa yeyote anaruhusiwa kutumikia kifungo cha nje ikiwa:

Amehukumiwa kutumikia kifungo kisichozidi miezi 12 gerezani

Amefungwa baada ya kushindwa kulipa faini au fidia hata kama kifungo chake ni zaidi ya

miezi 12.

Lengo kubwa la kuwaachia wafungwa kwenda kutumikia kifungo cha nje ni kupunguza

msongamano magerezani.

Page 71: TAKWIMU ZA WAFUNGWA NA MAHABUSU TANZANIA ...magereza.go.tz/docs/Ripoti ya wafungwa 2013 na 2014.pdfJeshi la Magereza Tanzania Bara Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi Dar es Salaam Ofisi

Taarifa ya Wafungwa na Mahabusu, 2013 na 2014

56

Jedwali 6.3: Idadi Ya Wafungwa Walioachiwa kwenda Kutumikia Kifungo cha Nje kwa Jinsi na Mkoa ,

Tanzania Bara, 2013 na 2014

Mkoa 2013 2014

Me Ke V Jumla Me Ke V Jumla

Arusha 3 2 0 5 1 0 0 1

Dar es Salaam 124 48 0 172 116 31 0 147

Dodoma 10 11 0 21 15 8 0 23

Iringa 8 0 0 8 7 1 0 8

Kagera 77 13 0 90 102 25 0 127

Kigoma 45 14 1 60 17 10 0 27

Kilimanjaro 42 7 0 49 64 17 0 81

Lindi 3 1 0 4 1 1 0 2

Manyara 23 2 0 25 35 1 0 36

Mara 87 15 0 102 56 21 0 77

Mbeya 162 19 2 183 180 28 0 208

Morogoro 24 5 3 32 35 8 3 46

Mtwara 8 0 0 8 13 2 0 15

Mwanza 82 13 2 97 129 13 0 142

Pwani 14 1 0 15 17 0 0 17

Ruvuma 24 0 0 24 7 1 0 8

Rukwa 18 0 0 18 7 3 0 10

Singida 23 7 0 30 33 6 0 39

Shinyanga 129 18 0 147 130 10 0 140

Tabora 22 5 0 27 20 1 0 21

Tanga 17 5 0 22 24 6 0 30

Jumla 945 186 8 1,139 1,009 193 3 1,205

Chanzo: Jeshi la Magereza Tanzania Bara

Page 72: TAKWIMU ZA WAFUNGWA NA MAHABUSU TANZANIA ...magereza.go.tz/docs/Ripoti ya wafungwa 2013 na 2014.pdfJeshi la Magereza Tanzania Bara Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi Dar es Salaam Ofisi

Taarifa ya Wafungwa na Mahabusu, 2013 na 2014

57

Mchoro 6.2: Wafungwa Walioachiwa kwenda Kutumikia Kifungo cha Nje kwa Jinsi na Mkoa , Tanzania

Bara, 2013 na 2014.

Chanzo: Jeshi la Magereza Tanzania Bara

Page 73: TAKWIMU ZA WAFUNGWA NA MAHABUSU TANZANIA ...magereza.go.tz/docs/Ripoti ya wafungwa 2013 na 2014.pdfJeshi la Magereza Tanzania Bara Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi Dar es Salaam Ofisi

Taarifa ya Wafungwa na Mahabusu, 2013 na 2014

58

6.3 Wafungwa Walioachiwa Baada ya Kulipa Faini kwa Urefu wa Kifungo na Mkoa

Jumla ya wafungwa 2,826 waliachiwa huru mwaka 2014 baada ya kulipa faini wakilinganishwa na

wafungwa 3,138 walioachiwa mwaka 2013. Huu ni pungufu ya wafungwa 312 ambayo ni sawa na

asilimia 9.9. Wengi wa wafungwa waliolipa faini ni wale waliofungwa gerezani zaidi ya miezi

mitatu. Kwa mwaka 2013, jumla yao ilikuwa ni 2,008 wakilinganishwa na wafungwa 2,211 kwa

mwaka 2014 . Hili ni ongezeko la wafungwa 203 ambayo ni sawa na asilimia 10.1.

Aidha, mikoa iliyoachia wafungwa wengi kuliko mikoa mingine waliolipa faini ni Kilimanjaro na

Dar es salaam. Mkoa wa Kilimanjaro uliachilia wafungwa 527 kwa mwaka 2013 na Mkoa wa Dar

es Salaam uliachilia wafungwa 361 kwa mwaka 2014 (Jedwali 6.4).

Jedwali 6.4: Idadi ya Wafungwa Walioachiwa Baada ya Kulipa Faini kwa Urefu wa Kifungo na Mkoa ,

Tanzania Bara, 2013 na 2014.

Mkoa

2013 2014

Chini ya

Mwezi 1

Mwezi 1

hadi miezi 3

Zaidi ya

Miezi 3 Jumla

Chini ya

Mwezi 1

Mwezi 1

hadi miezi 3

Zaidi ya

Miezi 3 Jumla

Arusha 2 1 3 6 0 2 1 3

Dar es Salaam 7 156 185 348 66 71 224 361

Dodoma 39 53 139 231 16 40 49 105

Iringa 0 6 37 43 10 12 52 74

Kagera 4 33 34 71 9 41 71 121

Kigoma 0 16 184 200 0 10 301 311

Kilimanjaro 441 4 82 527 2 5 58 65

Lindi 4 16 64 84 1 9 34 44

Manyara 0 0 0 0 2 13 40 55

Mara 0 27 115 142 0 16 165 181

Mbeya 6 37 131 174 7 41 86 134

Morogoro 0 9 118 127 0 17 114 131

Mtwara 0 10 74 84 0 8 90 98

Mwanza 4 49 195 248 0 57 225 282

Pwani 0 13 50 63 1 35 46 82

Ruvuma 0 37 163 200 16 40 97 153

Rukwa 0 0 23 23 0 1 57 58

Singida 10 79 38 127 0 15 56 71

Shinyanga 2 43 198 243 0 22 237 259

Tabora 0 5 50 55 0 3 54 57

Tanga 5 12 125 142 2 25 154 181

Jumla 524 606 2,008 3,138 132 483 2,211 2,826

Chanzo: Jeshi la Magereza Tanzania Bara

Page 74: TAKWIMU ZA WAFUNGWA NA MAHABUSU TANZANIA ...magereza.go.tz/docs/Ripoti ya wafungwa 2013 na 2014.pdfJeshi la Magereza Tanzania Bara Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi Dar es Salaam Ofisi

Taarifa ya Wafungwa na Mahabusu, 2013 na 2014

59

6.4 Wahalifu Waliotoroka Magerezani Chini ya Ulinzi Halali kwa Jinsi na Mkoa

Wahalifu 272 walitoroka magerezani mwaka 2013 wakilinganishwa na waharifu watoro 250 kwa

mwaka 2014, ambao ni pungufu ya watoro 22 sawa na asilimia 8.1. Kati ya wahalifu waliotoroka

mwaka 2013, wafungwa walikuwa ni 263 sawa na asilimia 96.7 na mahabusu walikuwa 9 sawa na

asilimia 3.3. Mwaka 2014 wafungwa waliotoroka magerezani walikuwa 239 sawa na asilimia 95.6

na mahabusu 11 sawa na asilimia 4.4.

Mikoa iliyoongoza kwa utoro wa wahalifu ni Tanga, Morogoro na Rukwa. Mkoa wa Tanga ulikuwa

na wahalifu watoro 23 kwa mwaka 2013 na Morogoro na Rukwa ilikuwa na wahalifu watoro 25

kila mmoja kwa mwaka 2014.

Mwaka 2014 waharifu watoro walipungua kulinganishwa na mwaka 2013 kutokana na

kuimarishwa kwa ulinzi magerezanikama inavyoonesha katika Jedwali 6.5 na Mchoro 6.3.

Jedwali 6.5: Idadi ya Wahalifu Waliotoroka Magerezani Chini ya Ulinzi Halali kwa Jinsi na Mkoa ,

Tanzania Bara, 2013 na 2014

Mkoa

2013 2014

Wafungwa Mahabusu Jumla

Kuu

Wafungwa Mahabusu Jumla

Kuu Me Ke V Jumla Me Ke V Jumla Me Ke V Jumla Me Ke V Jumla

Arusha 6 0 0 6 0 0 0 0 6 6 0 0 6 0 0 0 0 6

Dar es Salaam 13 0 0 13 1 0 0 1 14 14 0 0 14 2 0 0 2 16

Dodoma 19 0 0 19 0 0 0 0 19 12 0 0 12 0 0 0 0 12

Iringa 6 0 0 6 1 0 0 1 7 12 0 0 12 0 0 0 0 12

Kagera 7 0 0 7 4 0 0 4 11 12 0 0 12 0 0 0 0 12

Kigoma 20 0 1 21 1 0 0 1 22 16 0 0 16 0 0 0 0 16

Kilimanjaro 5 0 0 5 0 0 0 0 5 9 0 0 9 1 0 0 1 10

Lindi 5 0 0 5 0 0 0 0 5 5 0 0 5 1 0 0 1 6

Manyara 8 0 0 8 0 0 0 0 8 8 0 0 8 0 0 0 0 8

Mara 13 0 0 13 1 0 0 1 14 6 0 0 6 1 0 0 1 7

Mbeya 16 0 0 16 0 0 0 0 16 16 0 0 16 1 0 0 1 17

Morogoro 20 0 0 20 0 0 0 0 20 24 0 1 25 0 0 0 0 25

Mtwara 8 0 0 8 0 0 0 0 8 11 0 0 11 0 0 0 0 11

Mwanza 22 0 0 22 0 0 0 0 22 18 0 0 18 1 0 0 1 19

Pwani 8 0 0 8 1 0 0 1 9 11 0 0 11 0 0 0 0 11

Ruvuma 4 0 0 4 0 0 0 0 4 0 0 0 0 1 0 0 1 1

Rukwa 22 0 0 22 0 0 0 0 22 25 0 0 25 0 0 0 0 25

Singida 6 0 0 6 0 0 0 0 6 8 0 0 8 0 0 0 0 8

Shinyanga 20 0 0 20 0 0 0 0 20 5 0 0 5 0 0 0 0 5

Tabora 11 0 0 11 0 0 0 0 11 8 0 0 8 3 0 0 3 11

Tanga 23 0 0 23 0 0 0 0 23 12 0 0 12 0 0 0 0 12

Jumla 262 0 1 263 9 0 0 9 272 238 0 1 239 11 0 0 11 250

Chanzo: Jeshi la Magereza Tanzania Bara

Page 75: TAKWIMU ZA WAFUNGWA NA MAHABUSU TANZANIA ...magereza.go.tz/docs/Ripoti ya wafungwa 2013 na 2014.pdfJeshi la Magereza Tanzania Bara Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi Dar es Salaam Ofisi

Taarifa ya Wafungwa na Mahabusu, 2013 na 2014

60

Mchoro 6.3: Wahalifu Waliotoroka Magerezani Chini ya Ulinzi Halali, Tanzania Bara, 2013 na 2014.

Chanzo: Jeshi la Magereza Tanzania Bara

6.5 Wahalifu Waliofariki Magerezani kwa Jinsi na Mkoa

Jumla ya wahalifu 209 walifariki magerezani mwaka 2013 wakiliganishwa na wahalifu 223 mwaka

2014 ikiwa ni ongezeko la wahalifu waliofariki 14 sawa na asilimia 6.7.

Kati ya wahalifu waliofariki mwaka 2013 walikuwa 103 sawa na asilimia 49.3 na mahabusu 106

sawa na asilimia 50.7, wakati mwaka 2014 wafungwa waliofariki walikuwa 101 sawa na asilimia

45.3 na mahabusu 122 sawa na asilimia 54.7.

Wengi wa wahalifu hao walifariki kwa magonjwa ya HIV/AIDS (UKIMWI), upungufu wa damu

(ANAEMIA), kifua kikuu (TB), MALARIA na Mashinikizo ya moyo (HEART FAILURE).

Mikoa iliyoongoza kwa vifo vya wahalifu magerezani ni Mwanza na Dar es salaam. Mkoa wa

Mwanza ulikuwa na idadi ya vifo 35 kwa mwaka 2013 na Dar es salaam ulikuwa na idadi ya vifo

35 kwa mwaka 2014 (Jedwali 6.6).

Page 76: TAKWIMU ZA WAFUNGWA NA MAHABUSU TANZANIA ...magereza.go.tz/docs/Ripoti ya wafungwa 2013 na 2014.pdfJeshi la Magereza Tanzania Bara Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi Dar es Salaam Ofisi

Taarifa ya Wafungwa na Mahabusu, 2013 na 2014

61

Jedwali 6.6: Idadi ya Wahalifu Waliofariki Magerezani kwa Jinsi na Mkoa, Tanzania Bara, 2013 na 2014.

Mkoa

2013 2014

Wafungwa Mahabusu Jumla

Kuu

Wafungwa Mahabusu Jumla

Kuu Me Ke V Jumla Me Ke V Jumla Me Ke V Jumla Me Ke V Jumla

Arusha 3 0 0 3 0 0 0 0 3 0 0 0 0 1 0 0 1 1

Dar es Salaam 18 0 0 18 11 2 0 13 31 14 0 0 14 21 0 0 21 35

Dodoma 6 0 0 6 3 0 0 3 9 4 1 0 5 8 0 0 8 13

Iringa 6 0 0 6 11 0 0 11 17 9 0 0 9 15 1 0 16 25

Kagera 8 0 0 8 3 0 0 3 11 9 0 0 9 17 0 0 17 26

Kigoma 0 0 0 0 6 0 0 6 6 2 0 0 2 2 0 0 2 4

Kilimanjaro 4 0 0 4 4 0 0 4 8 3 0 0 3 2 0 0 2 5

Lindi 0 0 0 0 0 0 0 0 0 1 0 0 1 0 0 0 0 1

Manyara 2 0 0 2 1 0 0 1 3 1 0 0 1 1 0 0 1 2

Mara 1 0 0 1 11 1 0 12 13 4 0 0 4 5 0 0 5 9

Mbeya 4 0 0 4 6 1 0 7 11 8 0 0 8 7 0 0 7 15

Morogoro 6 0 0 6 7 0 0 7 13 8 0 0 8 6 0 0 6 14

Mtwara 2 0 0 2 2 0 0 2 4 0 1 0 1 3 0 0 3 4

Mwanza 18 0 0 18 16 1 0 17 35 16 0 0 16 13 0 0 13 29

Pwani 2 0 0 2 1 0 0 1 3 0 0 0 0 0 0 0 0 0

Ruvuma 1 0 0 1 1 0 0 1 2 1 0 0 1 0 0 0 0 1

Rukwa 3 0 0 3 2 0 0 2 5 0 0 0 0 5 0 0 5 5

Singida 1 0 0 1 1 0 0 1 2 1 0 0 1 1 0 0 1 2

Shinyanga 7 0 0 7 5 0 0 5 12 4 0 0 4 5 0 0 5 9

Tabora 10 0 0 10 9 0 0 9 19 12 0 0 12 9 0 0 9 21

Tanga 1 0 0 1 1 0 0 1 2 2 0 0 2 0 0 0 0 2

Jumla 103 0 0 103 101 5 0 106 209 99 2 0 101 121 1 0 122 223

Chanzo: Jeshi la Magereza Tanzania Bara.

Page 77: TAKWIMU ZA WAFUNGWA NA MAHABUSU TANZANIA ...magereza.go.tz/docs/Ripoti ya wafungwa 2013 na 2014.pdfJeshi la Magereza Tanzania Bara Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi Dar es Salaam Ofisi

Taarifa ya Wafungwa na Mahabusu, 2013 na 2014

62

SURA YA SABA

WAHALIFU WALIOPEWA ADHABU KWA MAKOSA YA UTOVU WA

NIDHAMU WAKIWA MAGEREZANI

7.0 Utangulizi

Kwa mujibu wa Kanuni za Magereza za Mwaka 2003, Mkuu wa Gereza (O/IC) ana mamlaka ya

kumwadhibu mhalifu yeyote akifanya makosa ya utovu wa nidhamu akiwa gerezani isipokuwa kwa

adhabu ya viboko ambayo inahitaji uthibitisho kutoka kwa Kamishna Jenerali wa Magereza.

Adhabu ambazo Mkuu wa Gereza ana mamlaka ya kutoa kwa mhalifu ambaye yupo gerezani ni

pamoja na kupoteza siku za msamaha, kupewa chakula kidogo, kutengwa katika chumba cha

adhabu na hata kupelekwa mahakamani ikibidi. Kabla ya utekelezaji wa adhabu Mganga wa Gereza

ni lazima athibitishe uwezo wa mhalifu husika kuimudu adhabu aliyopewa. Lengo la adhabu hizo ni

kurekebisha tabia za wahalifu wakiwa magerezani, ili waweze kubadilika na kuwa wafungwa

wenye nidhamu mara wamalizapo adhabu zao.

7.1 Wahalifu Waliopewa Adhabu Magerezani kwa Aina ya Adhabu na Mkoa

Jumla ya wahalifu 1,093 waliadhibiwa mwaka 2013 wakilinganishwa na wahalifu 892

walioadhibiwa mwaka 2014 ikiwa ni pungufu wa wahalifu 201 sawa na asilimia 18.4. Wahalifu

wengi walipewa adhabu za kupoteza siku za msamaha ambapo kwa mwaka 2013 waliopewa

adhabu hiyo walikuwa 529 na mwaka 2014 walikuwa 598. Hili ni ongezeko la wahalifu 69 sawa na

asilimia 13.0. Mikoa iliyoadhibu wahalifu wengi zaidi kuliko mingine ni Dar es Salaam ambapo

kwa mwaka 2013 wahalifu 191 waliadhibiwa na Mkoa wa Morogoro kwa mwaka 2014 wahalifu

121 waliadhibiwa ( Majedwali 7.1 na 7.2).

Page 78: TAKWIMU ZA WAFUNGWA NA MAHABUSU TANZANIA ...magereza.go.tz/docs/Ripoti ya wafungwa 2013 na 2014.pdfJeshi la Magereza Tanzania Bara Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi Dar es Salaam Ofisi

Taarifa ya Wafungwa na Mahabusu, 2013 na 2014

63

Jedwali 7. 1: Idadi ya Wahalifu Waliopewa Adhabu Magerezani kwa Aina ya Adhabu na Mkoa , Tanzania

Bara, 2013

Mkoa

Adhabu ya Viboko Kupunguziwa Siku za

Msamaha

Chakula

Kidogo

na

ku

fun

giw

a v

yu

mb

a v

ya

ad

ha

bu

na

on

yo

Jumla

tu

na

ku

pu

ng

uza s

iku

za

msa

ma

ha

na

ch

ak

ula

kid

ogo

na

ku

fun

giw

a v

yu

mb

a v

ya

ad

ha

bu

na

ku

pu

ng

uza s

iku

za

msa

ma

ha

na

na

ku

pu

ng

uziw

a s

iku

za

na

ku

pu

ng

uziw

a s

iku

za

msa

ma

ha

na

ch

ak

ula

na

ch

ak

ula

kid

ogo

na

ku

fun

giw

a

tu

na

ch

ak

ula

kid

ogo

na

ku

fun

giw

a vy

um

ba

vy

a

ad

ha

bu

na

ch

ak

ula

kid

ogo

na

tu

na

ku

fun

giw

a v

yu

mb

a v

ya

ad

ha

bu

Arusha 0 9 0 0 0 0 0 0 51 18 23 0 22 0 0 0 123

Dar es Salaam 1 0 0 0 0 0 0 0 64 0 16 2 0 0 108 0 191

Dodoma 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0

Iringa 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0

Kagera 6 2 5 0 3 0 4 0 30 0 2 0 5 0 0 0 57

Kigoma 0 0 0 0 0 0 0 0 18 0 0 0 0 0 0 0 18

Kilimanjaro 0 0 0 0 0 0 0 0 26 14 0 0 12 0 0 0 52

Lindi 0 0 0 0 0 0 0 0 27 0 0 0 0 0 5 0 32

Manyara 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0

Mara 0 0 0 0 0 0 0 0 4 0 0 0 1 0 0 0 5

Mbeya 0 0 0 0 0 0 0 0 21 0 3 2 1 0 8 0 35

Morogoro 0 0 0 0 0 0 0 0 35 0 0 0 0 0 0 0 35

Mtwara 12 9 18 0 0 0 0 0 30 0 0 0 0 0 0 0 69

Mwanza 3 0 0 0 0 0 0 0 94 54 0 0 23 0 0 0 174

Pwani 0 0 0 0 0 0 0 0 17 0 0 0 0 0 0 0 17

Ruvuma 0 0 0 0 0 0 0 0 4 6 0 0 0 4 0 0 14

Rukwa 0 0 0 0 0 0 0 0 45 0 0 0 10 0 0 0 55

Singida 0 0 0 0 0 0 0 0 14 0 0 0 1 0 0 0 15

Shinyanga 0 0 0 0 0 0 0 13 5 1 12 0 4 0 0 0 35

Tabora 4 0 0 0 0 0 0 0 18 0 0 1 0 45 0 0 68

Tanga 0 0 0 0 0 0 0 0 26 0 2 7 0 59 4 0 98

Jumla 26 20 23 0 3 0 4 13 529 93 58 12 79 108 125 0 1,093

Chanzo: Jeshi la Magereza Tanzania Bara

Page 79: TAKWIMU ZA WAFUNGWA NA MAHABUSU TANZANIA ...magereza.go.tz/docs/Ripoti ya wafungwa 2013 na 2014.pdfJeshi la Magereza Tanzania Bara Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi Dar es Salaam Ofisi

Taarifa ya Wafungwa na Mahabusu, 2013 na 2014

64

Jedwali 7.2: Idadi ya Wahalifu Waliopewa Adhabu Magerezani kwa Aina ya Adhabu na Mkoa, Tanzania

Bara, 2014

Mkoa

Adhabu ya Viboko Kupunguziwa Siku za

Msamaha

Chakula

Kidogo

na

ku

fun

giw

a v

yu

mb

a v

ya

ad

ha

bu

na

on

yo

Jumla

tu

na

ku

pu

ng

uza s

iku

za m

sam

ah

a

na

ch

ak

ula

kid

ogo

na

ku

fun

giw

a v

yu

mb

a v

ya

ad

ha

bu

na

ku

pu

ng

uza s

iku

za m

sam

ah

a n

a

ku

fun

giw

a

na

ku

pu

ng

uziw

a s

iku

za

msa

ma

ha

na

ch

ak

ula

kid

ogo

na

ku

pu

ng

uziw

a s

iku

za

msa

ma

ha

na

na

ch

ak

ula

kid

ogo

na k

ufu

ng

iwa

vy

um

ba v

ya

ad

ha

bu

tu

na

ch

ak

ula

kid

ogo

na

ku

fun

giw

a vy

um

ba

vy

a a

dh

ab

u

na

ch

ak

ula

kid

ogo

na k

ufu

ng

iwa

vy

um

ba v

ya

ad

ha

bu

tu

na

ku

fun

giw

a v

yu

mb

a v

ya

ad

ha

bu

Arusha 0 0 0 0 0 0 0 0 46 0 0 0 5 0 0 0 51

Dar es

Salaam 6 14 0 1 0 0 0 0 2 0 0 2 0 20 22 0 67

Dodoma 0 0 0 0 0 0 0 0 12 0 3 0 0 0 1 0 16

Iringa 2 0 0 0 0 0 0 0 3 0 0 0 0 0 0 0 5

Kagera 6 4 6 0 2 0 1 0 15 0 6 0 6 0 0 0 46

Kigoma 1 0 0 0 0 0 0 0 19 0 0 0 4 0 1 0 25

Kilimanjaro 0 0 0 0 0 0 0 0 26 0 0 0 7 0 0 0 33

Lindi 0 0 0 0 0 0 0 0 25 0 0 0 12 0 8 0 45

Manyara 0 0 0 0 0 0 0 0 16 0 0 0 0 0 0 0 16

Mara 0 0 0 0 0 0 0 0 62 1 0 0 0 0 0 0 63

Mbeya 0 0 0 0 0 0 0 0 6 0 0 0 0 0 0 0 6

Morogoro 0 0 0 0 0 0 0 0 121 0 0 0 0 0 0 0 121

Mtwara 0 2 0 0 0 0 0 0 49 0 3 0 0 0 0 0 54

Mwanza 3 0 0 0 0 0 0 0 88 0 0 0 23 0 0 0 114

Pwani 0 0 0 0 0 0 0 0 21 0 0 0 0 0 2 0 23

Ruvuma 0 0 0 0 0 0 0 0 12 2 0 0 0 0 0 0 14

Rukwa 0 0 0 0 0 0 0 0 33 8 0 0 6 4 0 0 51

Singida 0 11 0 0 0 0 0 0 8 0 0 0 11 0 0 0 30

Shinyanga 0 0 0 0 0 0 0 0 15 1 0 4 0 4 6 1 31

Tabora 0 0 0 0 0 0 0 0 4 8 0 0 4 15 0 0 31

Tanga 13 5 10 0 0 0 0 0 15 2 0 0 0 4 1 0 50

Jumla 31 36 16 1 2 0 1 0 598 22 12 6 78 47 41 1 892

Chanzo: Jeshi la Magereza Tanzania Bara

Page 80: TAKWIMU ZA WAFUNGWA NA MAHABUSU TANZANIA ...magereza.go.tz/docs/Ripoti ya wafungwa 2013 na 2014.pdfJeshi la Magereza Tanzania Bara Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi Dar es Salaam Ofisi

Taarifa ya Wafungwa na Mahabusu, 2013 na 2014

65

SURA YA NANE

MAHABUSU WALIOHUKUMIWA ADHABU ZA VIFUNGO WAKIWA

MAGEREZANI

8.0 Utangulizi

Mahabusu ni wahalifu waliopokelewa magerezani wakituhumiwa kutenda makosa mbalimbali

ambapo Magereza huwapeleka mahakamani ili kusikiliza kesi zao, hatimaye kuhukumiwa adhabu

za vifungo au huachiwa huru.

8.1 Mahabusu Waliohukumiwa Wakiwa Magerezani kwa Jinsi na Mkoa

Kutokana na takwimu za mwaka 2013, mahabusu 4,380 walihukumiwa adhabu za vifungo wakiwa

magerezani, wakilinganishwa na mahabusu 4,251 wa mwaka 2014, ikiwa ni pungufu ya mahabusu

129 sawa na asilimia 2.9. Kati ya hao wa mwaka 2013 wanaume walikuwa 4,195 sawa na asilimia

95.8 wanawake 129 sawa na asilimia 2.9 na vijana 56 sawa na asilimia 1.3. Kwa mwaka 2014

mahabusu wanaume walikuwa 4,071 sawa na asilimia 95.8, wanawake 143 sawa na asilimia 3.4 na

mahabusu vijana 37 sawa na asilimia 0.9.

Aidha, mkoa ambao mahabusu wengi walihukumiwa adhabu za vifungo wakiwa magerezani kuliko

mikoa mingine ni Mwanza ambapo mahabusu 761 walihukumiwa kwa mwaka 2013 na mahabusu

836 walihukumiwa kwa mwaka 2014 (Jedwali 8.1).

Page 81: TAKWIMU ZA WAFUNGWA NA MAHABUSU TANZANIA ...magereza.go.tz/docs/Ripoti ya wafungwa 2013 na 2014.pdfJeshi la Magereza Tanzania Bara Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi Dar es Salaam Ofisi

Taarifa ya Wafungwa na Mahabusu, 2013 na 2014

66

Jedwali 8.1: Idadi ya Mahabusu Waliohukumiwa Wakiwa Magerezani kwa Jinsi na Mkoa, Tanzania Bara,

2013 na 2014

Mkoa 2013 2014

Me Ke V Jumla Me Ke V Jumla

Arusha 30 0 0 30 0 0 0 0

Dar es Salaam 66 0 0 66 51 0 0 51

Dodoma 183 14 0 197 187 11 0 198

Iringa 166 2 0 168 246 10 0 256

Kagera 174 4 0 178 208 2 0 210

Kigoma 15 1 0 16 199 4 0 203

Kilimanjaro 235 7 0 242 247 7 0 254

Lindi 11 0 0 11 10 0 0 10

Manyara 180 2 0 182 42 0 0 42

Mara 302 13 0 315 258 12 0 270

Mbeya 262 13 0 275 318 11 0 329

Morogoro 169 5 14 188 121 6 14 141

Mtwara 163 1 0 164 223 4 0 227

Mwanza 799 19 18 836 714 25 22 761

Pwani 106 1 0 107 183 3 0 186

Ruvuma 205 0 0 205 129 1 0 130

Rukwa 152 11 7 170 136 1 0 137

Singida 55 3 0 58 68 6 0 74

Shinyanga 443 18 17 478 417 29 1 447

Tabora 80 0 0 80 97 0 0 97

Tanga 399 15 0 414 217 11 0 228

Jumla 4,195 129 56 4,380 4,071 143 37 4,251

Chanzo: Jeshi la Magereza Tanzania Bara

Page 82: TAKWIMU ZA WAFUNGWA NA MAHABUSU TANZANIA ...magereza.go.tz/docs/Ripoti ya wafungwa 2013 na 2014.pdfJeshi la Magereza Tanzania Bara Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi Dar es Salaam Ofisi

Taarifa ya Wafungwa na Mahabusu, 2013 na 2014

67

SURA YA TISA

HITIMISHO

9.0 Utangulizi

Baada ya kuangalia kwa makini hali halisi ya Magereza yetu nchini, taarifa hii ya kitakwimu

itasaidia Jeshi la Magereza kupanga mipango, kufanya maamuzi sahihi na kutathmini matokeo kwa

kutumia takwimu ili kuwalinda na kurekebisha wahalifu wamalizapo adhabu zao wawe raia wema.

Aidha, mapendekezo hayo yawawezeshe kwenda kushiriki katika shughuli mbali mbali za

maendeleo kwa lengo la kuboresha maisha yao binafsi na kutoa mchango unaohitajika katika

kupambana na umaskini ili kukuza uchumi wa nchi yetu. Hii itasaidia kuondoa mtazamo hasi wa

baadhi ya watu kwamba magereza ni sehemu ya mateso, badala yake jamii itambue kuwa magereza

ni sehemu au shule ya mafunzo ya kurekebisha tabia za wakosaji.

Kwa kufanya hivyo kutasaidia kujenga mazingira salama kwa wananchi, taasisi mbalimbali,

wawekezaji na Taifa kwa ujumla kama ilivyoainishwa katika malengo ya MKUKUTA.

9.1 Hitimisho

Taarifa hii imeangalia takwimu mbalimbali za wafungwa na mahabusu waliokuwa magerezani kwa

kipindi cha miaka miwili kuanzia Januari 1, 2013 hadi Desemba 31, 2013 na Januari 1, 2014 hadi

Desemba 31, 2014. Pamoja na mafanikio mbalimbali ambayo Jeshi la Magereza limeyapata katika

kutekeleza majukumu yake, bado zipo changamoto mbali mbali ambazo zinazohitajiwa kutafutiwa

ufumbuzi ili kuongeza ufanisi katika suala zima la kuwarekebisha wahalifu.

Kupatikana kwa takwimu ni jambo muhimu, lakini kuzitumia katika kutekeleza majukumu

mbalimbali ni muhimu zaidi. Kwa maana hiyo ni muhimu Jeshi la Magereza liwezeshwe ipasavyo

kwa kupatiwa rasilimali (watu, fedha na vifaa ) za kutosha ili kuimarisha kitengo cha takwimu.

Aidha upatikanaji wa takwimu bora utalisaidia Jeshi la Magereza kuimarisha huduma za

urekebishaji wa wahalifu kuendana na mabadiliko ya sayansi na teknolojia. Ili kuleta mafanikio

yanayokusudiwa ni muhimu serikali itoe kipaumbele kwa kutenga bajeti ya kutosha kwa ajili ya

kuimarisha huduma za urekebishaji wa wahalifu magerezani.

Page 83: TAKWIMU ZA WAFUNGWA NA MAHABUSU TANZANIA ...magereza.go.tz/docs/Ripoti ya wafungwa 2013 na 2014.pdfJeshi la Magereza Tanzania Bara Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi Dar es Salaam Ofisi

Taarifa ya Wafungwa na Mahabusu 2013 na 2014

68

Majedwali Ambatanisho

Jedwali Na. 1: Idadi ya Wahalifu Waliobaki Magerezani kwa Mkoa, Jinsi na Aina ya Uhalifu, Tanzania Bara, 2013

Mkoa

Mahabusu Wafungwa Jumla

Me Ke V Jumla Me Ke V Jumla Me Ke V Jumla

Arusha 661 24 0 685 495 8 0 503 1,156 32 0 1,188

Dar es Salaam 2,115 84 15 2,214 1,900 29 1 1,930 4,015 113 16 4,144

Dodoma 748 34 10 792 1,078 22 8 1,108 1,826 56 18 1,900

Iringa 817 50 3 870 412 14 0 426 1,229 64 3 1,296

Kagera 891 134 3 1,028 957 29 1 987 1,848 163 4 2,015

Kigoma 591 63 59 713 812 26 20 858 1,403 89 79 1,571

Kilimanjaro 759 50 10 819 670 16 0 686 1,429 66 10 1,505

Lindi 218 7 0 225 357 4 5 366 575 11 5 591

Manyara 479 26 0 505 433 11 0 444 912 37 0 949

Mara 1,115 38 15 1,168 628 9 4 641 1,743 47 19 1,809

Mbeya 1,037 53 2 1,092 1,035 20 6 1,061 2,072 73 8 2,153

Morogoro 676 35 11 722 912 34 31 977 1,588 69 42 1,699

Mtwara 396 15 0 411 416 10 0 426 812 25 0 837

Mwanza 1,569 117 101 1,787 1,748 42 7 1,797 3,317 159 108 3,584

Pwani 410 9 0 419 413 5 0 418 823 14 0 837

Ruvuma 229 17 1 247 281 1 0 282 510 18 1 529

Rukwa 411 26 4 441 481 6 2 489 892 32 6 930

Singida 488 35 21 544 367 12 3 382 855 47 24 926

Shinyanga 997 48 3 1,048 714 20 3 737 1,711 68 6 1,785

Tabora 775 24 0 799 1,209 10 0 1,219 1,984 34 0 2,018

Tanga 666 19 0 685 849 7 0 856 1,515 26 0 1,541

Jumla 16,048 908 258 17,214 16,167 335 91 16,593 32,215 1,243 349 33,807

Chanzo: Jeshi la Magereza Tanzania Bara

Page 84: TAKWIMU ZA WAFUNGWA NA MAHABUSU TANZANIA ...magereza.go.tz/docs/Ripoti ya wafungwa 2013 na 2014.pdfJeshi la Magereza Tanzania Bara Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi Dar es Salaam Ofisi

Taarifa ya Wafungwa na Mahabusu 2013 na 2014

69

Jedwali Na. 2: Idadi ya Wahalifu Waliobaki Magerezani kwa Mkoa, Jinsi na Aina ya Uhalifu Tanzania Bara, 2014

Mkoa

Mahabusu Wafungwa Jumla

Me Ke V Jumla Me Ke V Jumla Me Ke V Jumla

Arusha 734 42 0 776 457 9 1 467 1,191 51 1 1,243

Dar es Salaam 2,356 120 17 2,493 1,841 26 0 1,867 4,197 146 17 4,360

Dodoma 699 30 11 740 957 20 5 982 1,656 50 16 1,722

Iringa 623 45 14 682 457 11 0 468 1,080 56 14 1,150

Kagera 1,088 72 3 1,163 1,062 23 3 1,088 2,150 95 6 2,251

Kigoma 472 54 2 528 675 18 8 701 1,147 72 10 1,229

Kilimanjaro 597 45 0 642 850 17 0 867 1,447 62 0 1,509

Lindi 190 8 0 198 210 2 0 212 400 10 0 410

Manyara 465 25 0 490 517 10 0 527 982 35 0 1,017

Mara 1,125 87 14 1,226 798 19 5 822 1,923 106 19 2,048

Mbeya 921 53 1 975 852 21 0 873 1,773 74 1 1,848

Morogoro 685 33 9 727 919 42 31 992 1,604 75 40 1,719

Mtwara 280 18 0 298 463 6 1 470 743 24 1 768

Mwanza 1,550 110 57 1,717 1,608 27 25 1,660 3,158 137 82 3,377

Pwani 298 12 0 310 627 3 0 630 925 15 0 940

Ruvuma 245 15 0 260 435 8 0 443 680 23 0 703

Rukwa 458 32 5 495 433 8 9 450 891 40 14 945

Singida 507 45 2 554 306 10 0 316 813 55 2 870

Shinyanga 1,135 52 24 1,211 741 33 0 774 1,876 85 24 1,985

Tabora 795 34 0 829 1,292 9 0 1,301 2,087 43 0 2,130

Tanga 550 48 14 612 657 24 0 681 1,207 72 14 1,293

Jumla 15,773 980 173 16,926 16,157 346 88 16,591 31,930 1,326 261 33,517

Chanzo:Jeshi la Magereza Tanzania Bara

Page 85: TAKWIMU ZA WAFUNGWA NA MAHABUSU TANZANIA ...magereza.go.tz/docs/Ripoti ya wafungwa 2013 na 2014.pdfJeshi la Magereza Tanzania Bara Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi Dar es Salaam Ofisi

Taarifa ya Wafungwa na Mahabusu 2013 na 2014

70

Jedwali Na. 3: Idadi ya Wafungwa Waliobaki Magerezani kwa Mkoa, Umri na Jinsi, Tanzania Bara, 2013

Mkoa Miaka 15 - 20 Miaka 21 - 25 Miaka 26 - 50 Zaidi ya miaka 50 Jumla

kuu Me Ke V Jumla Me Ke V Jumla Me Ke V Jumla Me Ke V Jumla

Arusha 67 4 0 71 116 1 0 117 104 1 0 105 208 2 0 210 503

Dar es Salaam 631 9 1 641 154 9 0 163 812 4 0 816 303 7 0 310 1,930

Dodoma 160 2 8 170 193 1 0 194 619 18 0 637 106 1 0 107 1,108

Iringa 122 0 0 122 147 3 0 150 93 7 0 100 50 4 0 54 426

Kagera 154 8 1 163 236 8 0 244 445 5 0 450 122 8 0 130 987

Kigoma 191 2 20 213 212 10 0 222 315 13 0 328 94 1 0 95 858

Kilimanjaro 79 0 0 79 341 4 0 345 212 12 0 224 38 0 0 38 686

Lindi 91 0 5 96 71 3 0 74 173 1 0 174 22 0 0 22 366

Manyara 60 1 - 61 72 3 0 75 197 7 0 204 104 0 0 104 444

Mara 200 1 4 205 82 7 0 89 205 1 0 206 141 0 0 141 641

Mbeya 92 2 6 100 187 4 0 191 311 13 0 324 445 1 0 446 1,061

Morogoro 180 7 31 218 272 4 0 276 363 20 0 383 97 3 0 100 977

Mtwara 138 4 - 142 49 2 0 51 188 4 0 192 41 - 0 41 426

Mwanza 508 6 7 521 358 9 0 367 667 20 0 687 215 7 0 222 1,797

Pwani 82 0 0 82 153 2 0 155 159 3 0 162 19 0 0 19 418

Ruvuma 54 0 0 54 105 1 0 106 101 - 0 101 21 0 0 21 282

Rukwa 99 1 2 102 50 1 0 51 308 4 0 312 24 0 0 24 489

Singida 52 1 3 56 113 5 0 118 168 5 0 173 34 1 0 35 382

Shinyanga 163 3 3 169 280 7 0 287 212 9 0 221 59 1 0 60 737

Tabora 271 3 - 274 218 3 0 221 637 4 0 641 83 0 0 83 1,219

Tanga 80 1 - 81 323 4 0 327 334 2 0 336 112 0 0 112 856

Jumla 3,474 55 91 3,620 3,732 91 0 3,823 6,623 153 0 6,776 2,338 36 0 2,374 16,593

Chanzo: Jeshi la Magereza Tanzania Bara

Page 86: TAKWIMU ZA WAFUNGWA NA MAHABUSU TANZANIA ...magereza.go.tz/docs/Ripoti ya wafungwa 2013 na 2014.pdfJeshi la Magereza Tanzania Bara Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi Dar es Salaam Ofisi

Taarifa ya Wafungwa na Mahabusu 2013 na 2014

71

Jedwali Na. 4: Idadi ya Wafungwa Waliobaki Magerezani kwa Mkoa, Umri na Jinsi, Tanzania Bara, 2014

Mikoa

Miaka 15 - 20 Miaka 21 - 25 Miaka 26 - 50 Zaidi ya miaka 50 Jumla

kuu Me Ke V Jumla Me Ke V Jumla Me Ke V Jumla Me Ke V Jumla

Arusha 99 1 1 101 153 0 0 153 115 4 0 119 90 4 0 94 467

Dar es Salaam 625 4 0 629 128 6 0 134 727 2 0 729 361 14 0 375 1,867

Dodoma 149 2 5 156 198 0 0 198 517 16 0 533 93 2 0 95 982

Iringa 145 2 0 147 198 6 0 204 91 3 0 94 23 0 0 23 468

Kagera 163 8 3 172 191 4 196 446 8 455 262 3 0 265 1,088

Kigoma 132 5 8 145 127 4 0 131 384 9 0 393 32 0 0 32 701

Kilimanjaro 87 2 0 89 429 8 0 437 310 5 0 315 24 2 0 26 867

Lindi 42 0 0 42 28 2 0 30 119 0 0 119 21 0 0 21 212

Manyara 32 1 0 33 203 3 0 206 248 5 0 253 34 1 0 35 527

Mara 310 5 5 320 48 12 0 60 317 2 0 319 123 0 0 123 822

Mbeya 120 6 0 126 147 4 0 151 338 11 0 349 247 0 0 247 873

Morogoro 127 8 31 166 351 5 0 356 340 29 0 369 101 0 0 101 992

Mtwara 142 1 1 144 50 1 0 51 216 4 0 220 55 0 0 55 470

Mwanza 402 2 25 429 326 7 0 333 671 15 0 686 209 3 0 212 1,660

Pwani 99 1 0 100 305 0 0 305 169 2 0 171 54 0 0 54 630

Ruvuma 129 2 0 131 133 1 0 134 140 5 0 145 33 0 0 33 443

Rukwa 58 2 9 69 110 2 0 112 241 4 0 245 24 0 0 24 450

Singida 42 3 0 45 95 3 0 98 150 4 0 154 19 0 0 19 316

Shinyanga 193 7 0 200 186 9 0 195 290 14 0 304 72 3 0 75 774

Tabora 292 1 0 293 392 4 0 396 520 4 0 524 88 0 0 88 1,301

Tanga 64 3 0 67 288 4 0 292 231 15 0 246 74 2 0 76 681

Jumla 3,452 66 88 3,604 4,086 85 0 4,172 6,580 161 0 6,742 2,039 34 0 2,073 16,591

Chanzo: Jeshi la Magereza Tanzania Bara

Page 87: TAKWIMU ZA WAFUNGWA NA MAHABUSU TANZANIA ...magereza.go.tz/docs/Ripoti ya wafungwa 2013 na 2014.pdfJeshi la Magereza Tanzania Bara Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi Dar es Salaam Ofisi

Taarifa ya Wafungwa na Mahabusu 2013 na 2014

72

Jedwali Na. 5: Idadi ya Wafungwa wa Adhabu ya Kifo Waliobaki Magerezani kwa Mkoa, Jinsi na Hali ya Rufaa, Tanzania Bara, 2013 na 2014

Mkoa

2013 2014

Rufaa Zilizokataliwa

Rufaa ambazo

Hazijasikilizwa Jumla

Kuu

Rufaa Zilizokataliwa

Rufaa ambazo

Hazijasikilizwa Jumla

Kuu Me Ke Jumla Me Ke Jumla Me Ke Jumla Me Ke Jumla

Arusha 6 0 6 9 1 10 16 6 0 6 7 1 8 14

Dar es salaam 40 0 40 13 0 13 53 40 0 40 34 3 37 77

Dodoma 55 5 60 46 3 49 109 55 1 56 41 4 45 101

Iringa 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0

Kagera 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0

Kigoma 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0

Kilimanjaro 0 0 0 2 0 2 2 0 0 0 2 0 2 2

Lindi 1 0 1 6 0 6 7 1 0 1 1 0 1 2

Manyara 0 0 0 1 0 1 1 0 0 0 0 0 0 0

Mara 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0

Mbeya 5 1 6 23 2 25 31 7 1 8 17 1 18 26

Morogoro 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0

Mtwara 6 0 6 3 0 3 9 5 0 5 6 0 6 11

Mwanza 26 3 29 30 2 32 61 26 2 28 48 2 50 78

Pwani 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0

Ruvuma 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0

Rukwa 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0

Singida 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0

Shinyanga 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 2 0 2 2

Tabora 25 25 8 0 8 33 29 0 29 19 0 19 48

Tanga 60 0 60 9 0 9 69 39 0 39 10 0 10 49

Jumla 224 9 233 150 8 158 391 208 4 212 187 11 198 410

Chanzo: Jeshi la Magereza Tanzania Bara

Page 88: TAKWIMU ZA WAFUNGWA NA MAHABUSU TANZANIA ...magereza.go.tz/docs/Ripoti ya wafungwa 2013 na 2014.pdfJeshi la Magereza Tanzania Bara Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi Dar es Salaam Ofisi

Taarifa ya Wafungwa na Mahabusu 2013 na 2014

73

Jedwali Na. 6: Idadi ya Wafungwa Watu Wazima waliokuwepo Magerezani kwa Aina ya Kosa na Urefu wa Kifungo, Tanzania Bara, 2013

Aina ya Kosa Chini ya

Miezi 6

Miezi 6 Hadi

Mwaka 1

Zaidi ya

Mwaka 1

Hadi 3

Zaidi ya

Miaka 3

Hadi 5

Zaidi ya

Miaka 5

Hadi 10

Zaidi ya

Miaka 10

Hadi 15

Zaidi ya

Miaka15

Kifungo

cha Maisha

Hukumu

ya Kifo Jumla

Mauaji 0 0 9 11 9 24 13 127 390 583

Mauaji (adhabu ya kifo

kifungo) 0 0 0 6 9 24 31 50 0 120

Kuua bila kukusudia 13 20 156 192 291 95 72 27 0 866

Kujaribu kuua 5 24 33 19 38 16 39 1 0 175

Unyang’anyi 39 102 96 185 246 592 1,097 13 1 2,371

Wizi 599 904 920 795 429 109 127 0 0 3,883

Kuvunja nyumba 125 433 596 564 365 64 63 0 0 2,210

Kupatikana na dawa za

kulevya 23 105 99 142 92 29 45 0 0 535

Kupatikana na nyara za serikali 39 56 64 43 56 32 85 0 0 375

Makosa ya kujamiiana 7 11 40 44 32 21 529 230 0 914

Kupatikana na bunduki na

risasi 13 16 32 35 85 97 181 0 0 459

Kujeruhi 219 322 286 124 111 13 0 0 0 1,075

Kuchoma nyumba moto 8 32 16 22 15 14 3 9 0 119

Makosa ya rushwa 0 11 1 3 8 2 0 0 0 25

Kupatikana na pombe ya

moshi 61 68 28 12 2 0 0 0 0 171

Uzembe na uzururaji 19 18 11 2 3 102 0 0 0 155

Makosa mengineyo 406 553 881 286 217 11 112 0 0 2,466

Jumla 1,576 2,675 3,268 2,485 2,008 1,245 2,397 457 391 16,502

Chanzo: Jeshi la Magereza Tanzania Bara

Page 89: TAKWIMU ZA WAFUNGWA NA MAHABUSU TANZANIA ...magereza.go.tz/docs/Ripoti ya wafungwa 2013 na 2014.pdfJeshi la Magereza Tanzania Bara Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi Dar es Salaam Ofisi

Taarifa ya Wafungwa na Mahabusu 2013 na 2014

74

Jedwali Na. 7: Idadi ya Wafungwa Watu Wazima waliokuwepo Magerezani kwa Aina ya kosa na Urefu wa Kifungo, Tanzania Bara, 2014

Aina ya Kosa Chini ya

miezi 6

Miezi 6

hadi

mwaka 1

Zaidi ya

mwaka 1-3

Zaidi ya

miaka 3-5

Zaidi ya

miaka 5-

10

Zaidi ya

miaka 10-15

Zaidi ya

miaka 15

Kifungo

cha maisha

Hukumu

ya kifo Jumla

Mauaji 58 38 69 2 18 9 5 303 402 904

Mauaji (adhabu ya kifo kuwa

kifungo 0 0 0 0 4 1 0 0 8 13

Kuua bila kukusudia 14 38 166 24 219 86 44 2 0 593

Kujaribu kuua 36 42 23 2 19 8 1 1 0 132

Unyang’anyi 521 264 233 120 171 91 341 2 0 1,743

Wizi 1,319 1,229 1,429 22 338 25 48 3 0 4,413

Kuvunja nyumba 399 610 540 14 133 45 17 0 0 1,758

Kupatikana na dawa za kulevya 68 156 149 78 20 8 16 0 0 495

Kupatikana na nyara za serikali 90 140 213 2 46 11 180 6 0 688

Makosa ya kujamiiana 13 11 30 6 36 3 277 447 0 823

Kupatikana na bunduki na risasi 13 16 56 0 38 12 10 1 0 146

Kujeruhi 456 731 438 16 57 5 6 2 0 1,711

Kuchoma moto nyumba 22 65 50 0 7 21 2 3 0 170

Makosa ya rushwa 3 10 24 0 1 0 0 0 0 38

Kupatikana na pombe ya moshi 83 141 41 2 0 0 0 0 0 267

Uzembe na uzururaji 75 48 13 0 38 0 0 0 0 174

Makosa mengineyo 470 510 920 301 213 15 6 0 0 2,435

Jumla 3,640 4,049 4,394 589 1,358 340 953 770 410 16,503

Chanzo: Jeshi la Magereza Tanzania Bara

Page 90: TAKWIMU ZA WAFUNGWA NA MAHABUSU TANZANIA ...magereza.go.tz/docs/Ripoti ya wafungwa 2013 na 2014.pdfJeshi la Magereza Tanzania Bara Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi Dar es Salaam Ofisi

Taarifa ya Wafungwa na Mahabusu 2013 na 2014

75

Jedwali Na. 8: Idadi ya Mahabusu Watu Wazima waliokuwepo Magerezani, Kusubiri Kesi kwa Aina ya kosa na Muda Waliokaa Gerezani, Tanzania Bara,

2013

Aina ya Kosa Chini ya

Miezi 2

Miezi Miwili

Hadi 6

Zaidi ya Miezi 6

Hadi Miaka 2

Zaidi ya

Miaka 2-4

Zaidi ya

Miaka 4-6

Zaidi ya

Miaka 6-8

Zaidi ya

Miaka 8-10

Zaidi ya

Miaka 10 Jumla

Mauaji 849 951 1,582 873 268 100 16 3 4,642

Mauaji (adhabu ya kifo kuwa kifungo) 0 0 0 0 0 0 0 0 0

Kuua bila kukusudia 0 0 0 0 0 0 0 0 0

Kujaribu kuua 742 347 594 78 3 2 0 0 1,766

Unyang’anyi 629 726 772 93 28 0 0 0 2,248

Wizi 862 606 233 60 11 0 0 0 1,772

Kuvunja nyumba 377 318 156 40 14 0 0 0 905

Kupatikana na dawa za kulevya 173 203 112 20 7 0 0 0 515

Kuatikana na nyara za serikali 147 137 125 26 0 0 0 0 435

Makosa ya kujamiiana 435 250 137 44 8 0 0 0 874

Kupatikana na silaha na risasi 66 37 20 18 0 0 0 0 141

Kujeruhi 300 165 66 50 0 0 0 0 581

Kuchoma nyumba moto 67 41 3 6 0 0 0 0 117

Makosa ya rushwa 63 25 16 0 0 0 0 0 104

Kupatikana na pombe ya moshi 530 220 108 37 1 2 0 0 898

Uzembe na uzururaji 72 52 31 0 0 0 0 0 155

Makosa mengineyo 1058 516 205 10 14 0 0 0 1,803

Jumla 6,370 4,594 4,160 1,355 354 104 16 3 16,956

Chanzo: Jeshi la Magereza Tanzania Bara

Page 91: TAKWIMU ZA WAFUNGWA NA MAHABUSU TANZANIA ...magereza.go.tz/docs/Ripoti ya wafungwa 2013 na 2014.pdfJeshi la Magereza Tanzania Bara Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi Dar es Salaam Ofisi

Taarifa ya Wafungwa na Mahabusu 2013 na 2014

76

Jedwali Na. 9: Idadi ya Mahabusu Watu Wazima Waliokuwepo Magerezani, Kusubiri Kesi kwa Aina ya Kosa na Muda Waliokaa Gerezani, Tanzania Bara,

2014

Aina ya Kosa Chini ya

Miezi 2

Miezi Miwili

Hadi 6

Zaidi ya Miezi 6

Hadi Miaka 2

Zaidi ya

Miaka 2-4

Zaidi ya

Miaka 4-6

Zaidi ya

Miaka 6-8

Zaidi ya

Miaka 8-10

Zaidi ya

Miaka 10 Jumla

Mauaji 803 795 914 859 280 108 26 4 3,789

Mauaji (adhabu ya kifo kuwa kifungo) 0 0 0 0 0 0 0 0 0

Kuua bila kukusudia 0 0 0 0 0 0 0 0 0

Kujaribu kuua 874 0 298 170 23 5 4 0 1,374

Unyang’anyi 529 775 561 116 20 9 4 0 2,014

Wizi 895 588 373 81 10 7 0 0 1,954

Kuvunja nyumba 714 331 195 47 14 0 0 0 1,301

Kupatikana na dawa za kulevya 264 136 179 57 6 1 0 0 643

Kupatikana na nyara za serikali 147 136 188 18 3 0 0 0 492

Makosa ya kujamiiana 316 141 128 24 21 1 0 0 631

Kupatikana na bunduki na risasi 82 69 42 2 2 0 1 0 198

Kujeruhi 346 225 81 26 0 0 0 0 678

Kuchoma nyumba moto 121 53 25 8 2 0 0 0 209

Makosa ya rushwa 61 21 14 3 0 0 0 0 99

Kupatikana na pombe ya moshi 438 272 181 29 6 0 0 0 926

Uzembe na uzururaji 27 8 3 0 0 0 0 0 38

Makosa mengineyo 690 621 482 72 1 5 0 0 1,871

Jumla 6,307 4,171 3,664 1,512 388 136 35 4 16,217

Chanzo: Jeshi la Magereza Tanzania Bara

Page 92: TAKWIMU ZA WAFUNGWA NA MAHABUSU TANZANIA ...magereza.go.tz/docs/Ripoti ya wafungwa 2013 na 2014.pdfJeshi la Magereza Tanzania Bara Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi Dar es Salaam Ofisi

Taarifa ya Wafungwa na Mahabusu 2013 na 2014

77

Jedwali Na. 10: Idadi ya Mahabusu Vijana Waliokuwepo Magerezani, Kusubiri Kesi kwa Aina ya Kosa na Muda Waliokaa Gerezani, Tanzania, Bara, 2013

Aina ya Kosa Chini ya

miezi 2

Miezi miwili

hadi 6

Zaidi ya miezi 6

hadi miaka 2

Zaidi ya

miaka 2-4

Zaidi ya

miaka 4-6

Zaidi ya

miaka 6-8

Zaidi ya

miaka 8-10 Zaidi ya 10 Jumla

Mauaji 32 7 15 3 0 0 0 0 57

Mauaji (adhabu ya kifo kuwa kifungo) 0 0 0 0 0 0 0 0 0

Kuua bila kukusudia 0 0 0 0 0 0 0 0 0

Kujaribu kuua 7 1 0 0 0 0 0 0 8

Unyang’anyi 10 4 16 0 0 0 0 0 30

Wizi 23 10 1 0 0 0 0 0 34

Kuvunja nyumba 11 8 0 0 0 0 0 0 19

Kupatikana na dawa za kulevya 4 5 3 0 0 0 0 0 12

Kupatikana na nyara za serikali 9 8 0 0 0 0 0 0 17

Makosa wa kujamiiana 6 3 5 0 0 0 0 0 14

Kupatikana na bunduki na risasi 2 0 0 0 0 0 0 0 2

Kujeruhi 6 2 0 0 0 0 0 0 8

Kuchoma nyumba moto 0 3 1 0 0 0 0 0 4

Makosa ya hushwa 1 1 0 0 0 0 0 0 2

Kupatikana na pombe ya moshi 5 6 21 0 0 0 0 0 32

Uzembe ne uzururaji 4 1 0 0 0 0 0 0 5

Makosa mengineyo 7 4 3 0 0 0 0 0 14

Jumla 127 63 65 3 0 0 0 0 258

Chanzo: Jeshi la Magereza Tanzania Bara

Page 93: TAKWIMU ZA WAFUNGWA NA MAHABUSU TANZANIA ...magereza.go.tz/docs/Ripoti ya wafungwa 2013 na 2014.pdfJeshi la Magereza Tanzania Bara Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi Dar es Salaam Ofisi

Taarifa ya Wafungwa na Mahabusu 2013 na 2014

78

Jedwali Na. 11: Idadi ya Mahabusu Vijana Waliokuwepo Magereani, Kusubiri Kesi kwa Aina ya kosa na Muda Waliokaa Gerezani, Tanzania Bara, 2014

Aina ya Kosa Chini ya

miezi 2

Miezi 2

hadi 6

Zaidi ya miezi

6 hadi miaka 2

Zaidi ya

miaka 2 - 4

Zaidi ya

miaka 4 - 6

Zaidi ya

miaka 6 - 8

Zaidi ya

miaka 8 - 10

Zaidi ya

miaka 10 Jumla

Mauaji 26 15 4 3 1 0 0 0 49

Mauaji (adhabu ya kifo kuwa kifungo) 0 0 0 0 0 0 0 0 0

Kuua bila kukusudia 0 0 0 0 0 0 0 0 0

Kujaribu kuua 19 2 0 0 0 0 0 0 21

Unyang’anyi 0 0 0 0 0 0 0 0 0

Wizi 17 6 2 0 0 0 0 0 25

Kuvuja nyumba 3 0 0 0 0 0 0 0 3

Kupatikana na dawa za kulevya 5 1 0 0 0 0 0 0 6

Kupatikana na nyara za serikali 2 0 1 0 0 0 0 0 3

Makosa ya kujamiiana 18 1 1 0 0 0 0 0 20

Kupatikana na bunduki na risasi 1 0 0 0 0 0 0 0 1

Kujeruhi 2 1 0 0 0 0 0 0 3

Kuchoma moto nyumba 4 0 0 0 0 0 0 0 4

Makosa ya rushwa 1 0 0 0 0 0 0 0 1

Kupatiikana na pombe ya moshi 24 0 0 0 0 0 0 0 24

Uzembe na uzururaji 0 0 0 0 0 0 0 0 0

Makosa mengineyo 8 4 1 0 0 0 0 0 13

Jumla 130 30 9 3 1 0 0 0 173

Chanzo: Jeshi la Magereza Tanzania Bara

Page 94: TAKWIMU ZA WAFUNGWA NA MAHABUSU TANZANIA ...magereza.go.tz/docs/Ripoti ya wafungwa 2013 na 2014.pdfJeshi la Magereza Tanzania Bara Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi Dar es Salaam Ofisi

Taarifa ya Wafungwa na Mahabusu 2013 na 2014

79

Jedwali Na. 12: Idadi ya Wafungwa Wasio Raia Waliokuwepo Magerezani kwa Nchi Walizotoka na Aina ya Kosa, Tanzania Bara, 2013

Aina ya Kosa

Nchi Walizotoka

Jumla

Bu

run

di

Co

ng

o

DR

C

Eth

iop

ia

Ira

n

Ken

ya

Nig

eria

Rw

an

da

So

ma

lia

Ug

an

da

Mauaji 2 0 0 40 0 1 0 0 0 0 43

Mauaji (adhabu ya kifo kuwa kifungo) 0 0 0 0 0 1 0 0 0 0 1

Kuua bila kukusudia 7 0 1 0 0 0 0 4 0 1 13

Kujaribu kuua 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0

Unyang’anyi 50 7 0 0 0 5 0 0 0 0 62

Wizi 43 0 1 0 0 0 0 8 0 9 61

Kuvunja nyumba 18 0 0 0 0 0 0 2 0 0 20

Kupatikana na dawa Za kulevya 3 0 0 0 1 0 0 1 0 0 5

Kupatikana na nyara za serikali 2 0 0 0 0 0 0 4 0 0 6

Makosa ya kujamiiana 34 1 1 0 0 0 0 2 0 2 40

Kupatikana na bunduki na risasi 37 0 0 0 0 0 0 0 0 0 37

Kujeruhi 2 0 0 0 0 0 0 14 0 1 17

Kuchoma nyumba moto 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0

Makosa ya rushwa 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0

Kupatikana na pombe ya moshi 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0

Uzembe na uzururaji 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0

Makosa mengineyo 368 4 5 620 0 4 1 38 5 9 1,054

Jumla 566 12 8 660 1 11 1 73 5 22 1,359

Chanzo: Jeshi la Magereza Tanzania Bara

Page 95: TAKWIMU ZA WAFUNGWA NA MAHABUSU TANZANIA ...magereza.go.tz/docs/Ripoti ya wafungwa 2013 na 2014.pdfJeshi la Magereza Tanzania Bara Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi Dar es Salaam Ofisi

Taarifa ya Wafungwa na Mahabusu 2013 na 2014

80

Jedwali Na. 13: Idadi ya Wafungwa Wasio Raia Waliokuwepo Magerezani kwa Nchi Walizotoka na Aina yaKosa, Tanzania Bara, 2014

Aina ya Kosa

Nchi Walizotoka

Jumla

Bu

run

di

Ch

ina

Co

ngo

DR

C

Eth

iop

ia

Gre

ece

Ho

ng

Kon

g

Ind

ia

Ira

n

Ken

ya

Lib

eria

Ma

law

i

Rw

an

da

S.A

Ug

an

da

Za

mb

ia

Mauaji 0 0 0 1 0 1 0 1 0 3 0 0 2 0 0 0 8

Mauaji (adhabu ya kifo kuwa

kifungo) 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0

Kuua bila kukusudia 4 0 1 0 0 0 0 0 0 0 0 0 8 0 1 0 14

Kujaribu kuua 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0

Unyang’anyi 37 0 1 7 0 0 0 0 0 12 0 1 6 0 3 0 67

Wizi 46 0 2 0 0 0 0 0 0 1 0 0 8 1 9 0 67

Kuvunja nyumba 2 0 1 0 0 0 0 0 0 0 0 0 1 0 12 0 16

Kupatikana na madawa ya kulevya 1 0 0 0 0 0 0 0 1 0 0 0 1 0 0 0 3

Kupatikana na nyara za serikali 0 1 0 0 0 0 0 0 0 1 0 0 0 0 1 0 3

Makosa ya kujamiiana 16 0 0 1 0 0 0 0 0 1 0 0 1 0 4 0 23

Kupatikana na bunduki na risasi 13 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 2 0 5 0 20

Kujeruhi 1 0 0 0 0 0 0 0 0 1 0 0 1 0 5 0 8

Kuchoma nyumba moto 4 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 4

Makosa ya rushwa 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0

Kupatikana na pombe ya moshi 0 0 0 0 0 0 0 0 0 2 0 0 0 0 0 0 2

Uzembe na uzururaji 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0

Makosa mengineyo 336 0 12 0 198 0 30 1 0 5 1 0 46 0 7 2 638

Jumla 460 1 17 9 198 1 30 2 1 26 1 1 76 1 47 2 873

Chanzo: Jeshi la Magereza Tanzania Bara

Page 96: TAKWIMU ZA WAFUNGWA NA MAHABUSU TANZANIA ...magereza.go.tz/docs/Ripoti ya wafungwa 2013 na 2014.pdfJeshi la Magereza Tanzania Bara Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi Dar es Salaam Ofisi

Taarifa ya Wafungwa na Mahabusu 2013 na 2014

81

Jedwali Na. 14: Idadi ya Mahabusu Wasio Raia Waliokuwepo Magerezani kwa Nchi Walizotoka na Aina ya Kosa, Tanzania Bara, 2013

Aina ya Kosa

Bu

lga

ria

Bu

ru

nd

i

Ca

mero

on

Ch

ina

Co

ng

o B

ra

za

vil

le

DR

C

Eth

iop

ia

Gh

an

a

Gre

ece

Gu

inea

Ind

ia

Ind

on

esi

a

Ira

n

Irela

nd

Ken

ya

D.P

.R o

f K

ore

a

Lib

eria

Lit

hu

an

ia

Nig

eria

Pa

kis

tan

Gu

inea

Bis

sau

Rw

an

da

Sie

rra

Leo

ne

Vie

t N

am

So

ma

lia

Afr

ika

Ku

sin

i

To

ng

a

Ug

an

da

Uin

gereza

Ju

mla

Mauaji 0 25 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 24 0 0 0 0 0 0 61 0 0 0 0 0 2 0 112

Mauaji (adhabu ya

kifo kuwa kifungo) 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0

Kuua bila

kukusudia 0 3 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 3

Kujaribu kuua 0 3 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 3

Unyang’anyi 0 6 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 5 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 11

Wizi 1 73 0 0 0 0 1 0 0 0 0 0 0 0 2 0 0 0 0 0 0 3 0 0 1 1 0 1 0 83

Kuvunja nyumba 0 91 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 6 0 0 0 0 0 0 1 0 0 0 0 0 0 0 98

Kupatikana na dawa

za kulevya 0 0 0 0 0 0 0 1 0 1 0 1 2 1 5 1 3 1 19 1 1 0 1 0 0 3 1 3 1 46

Kupatikana na

nyara za serikali 0 3 0 3 0 0 0 0 0 0 1 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 7 0 1 0 0 0 0 0 15

Makosa ya

kujamiiana 0 1 0 0 0 1 0 0 0 0 0 0 0 0 1 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 34 0 37

Kupatikana na

bunduki na risasi 0 2 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 2 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 1 0 5

Kujeruhi 0 1 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 21 0 0 0 0 0 0 0 22

Kuchoma moto

nyumba 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0

Makosa ya ruswa 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0

Kupatikana na

pombe ya moshi 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0

Uzembe na

uzururaji 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 6 0 0 0 0 0 0 0 6

Makosa mengineyo 0 72 1 0 2 3 221 0 1 0 0 0 0 0 3 0 0 0 0 0 0 60 0 0 1 0 0 36 0 400

Jumla 1 280 1 3 2 4 222 1 1 1 1 1 2 1 48 1 3 1 19 1 1 159 1 1 2 4 1 77 1 841

Chanzo: Jeshi la Magereza Tanzania Bara

Page 97: TAKWIMU ZA WAFUNGWA NA MAHABUSU TANZANIA ...magereza.go.tz/docs/Ripoti ya wafungwa 2013 na 2014.pdfJeshi la Magereza Tanzania Bara Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi Dar es Salaam Ofisi

Taarifa ya Wafungwa na Mahabusu 2013 na 2014

82

Jedwali Na. 15: Idadi ya Mahabusu Wasio Raia Waliokuwepo Magerezani kwa Nchi Walizotoka na Ainan ya Kosa, Tanzania Bara, 2014

Aina ya

Kosa

Bu

ru

nd

i

Ch

ina

Co

lom

bia

Co

ngo

Bra

zavil

le

DR

C

Eth

iop

ia

Ger

ma

ny

Gh

an

a

Gre

ece

Gu

inea

Ho

ng K

on

g

Ind

ia

Ind

on

esi

a

Ira

n

Irela

nd

Ken

ya

Lib

eria

Ma

law

i

Mo

zam

biq

ue

Nig

eria

Pa

kis

tan

Gu

inea

0B

issa

u

Rw

an

da

Vie

t N

am

So

ma

lia

Afr

ika

Ku

sin

i

Zim

ba

bw

e

Ug

an

da

Uin

ger

eza

Ma

rek

an

i

Zam

bia

Ju

mla

Mauaji 67 0 0 4 1 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 6 0 0 0 0 0 0 5 0 1 0 0 0 0 0 0 84

Mauaji

(adhabu ya

kifo kuwa

kifungo)

0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0

Kuua bila

kukusudia 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0

Kujaribu

kuua 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 12 0 0 0 0 0 0 0 0 12

Unyang’any

i 32 0 0 9 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 1 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 7 0 0 0 49

wizi 45 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 45

Kuvunja

nyumba 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 11 0 0 0 11

Kupatikana

na dawa za

kulevya

0 0 1 0 0 0 0 1 1 1 0 0 1 20 1 4 2 0 1 21 10 1 0 0 0 1 0 2 1 1 0 70

Kupatikana

na nyara za

serikali

0 3 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 4 1 0 0 0 0 0 0 0 8

Makosa ya

kujamiana 0 0 0 1 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 12 0 0 0 13

Kupatikana

na bunduki

na risasi

4 0 0 1 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 1 0 0 0 0 6

Kujeruhi 1 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 1 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 36 0 0 0 38

Kuchoma

moto 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0

Page 98: TAKWIMU ZA WAFUNGWA NA MAHABUSU TANZANIA ...magereza.go.tz/docs/Ripoti ya wafungwa 2013 na 2014.pdfJeshi la Magereza Tanzania Bara Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi Dar es Salaam Ofisi

Taarifa ya Wafungwa na Mahabusu 2013 na 2014

83

Aina ya

Kosa B

uru

nd

i

Ch

ina

Co

lom

bia

Co

ngo

Bra

zavil

le

DR

C

Eth

iop

ia

Ger

ma

ny

Gh

an

a

Gre

ece

Gu

inea

Ho

ng K

on

g

Ind

ia

Ind

on

esi

a

Ira

n

Irela

nd

Ken

ya

Lib

eria

Ma

law

i

Mo

zam

biq

ue

Nig

eria

Pa

kis

tan

Gu

inea

0B

issa

u

Rw

an

da

Vie

t N

am

So

ma

lia

Afr

ika

Ku

sin

i

Zim

ba

bw

e

Ug

an

da

Uin

ger

eza

Ma

rek

an

i

Zam

bia

Ju

mla

nyumba

Makosa ya

rushwa 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0

Kupatikana

na pombe

ya moshi

0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 4 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 4

Uzembe na

uzururaji 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0

Makosa

mengineyo 95 0 0 5 2 26 1 0 0 0 29 1 0 0 0 8 0 1 0 2 0 0 61 0 11 0 0 0 0 0 1 243

Jumla 244 3 1 20 3 26 1 1 1 1 29 1 1 20 1 24 2 1 1 23 10 1 82 1 12 1 1 68 1 1 1 583

Chanzo: Jeshi la Magereza Tanzania Bara

Page 99: TAKWIMU ZA WAFUNGWA NA MAHABUSU TANZANIA ...magereza.go.tz/docs/Ripoti ya wafungwa 2013 na 2014.pdfJeshi la Magereza Tanzania Bara Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi Dar es Salaam Ofisi

Taarifa ya Wafungwa na Mahabusu 2013 na 2014

84

Jedwali Na. 16: Idadi ya Wahalifu Waliopokelewa Magerezani Kutoka Mahakamani kwa Mkoa, Aina ya Muharifu na Jinsi, Tanzania Bara, 2013

Mkoa

Mahabusu Wafungwa Jumla

Me Ke V Jumla Me Ke V Jumla Me Ke V jumla

Arusha 3,540 243 0 3,783 542 40 0 582 4,082 283 0 4,365

Dar es Salaam 11,751 750 111 12,612 1,716 154 2 1,872 13,467 904 113 14,484

Dodoma 4,254 321 21 4,596 1,000 71 10 1,081 5,254 392 31 5,677

Iringa 3,187 230 22 3,439 551 39 0 590 3,738 269 22 4,029

Kagera 6,270 550 13 6,833 1,215 85 11 1,311 7,485 635 24 8,144

Kigoma 3,264 337 160 3,761 1,237 99 19 1,355 4,501 436 179 5,116

Kilimanjaro 4,399 419 27 4,845 904 55 12 971 5,303 474 39 5,816

Lindi 1,440 89 12 1,541 582 19 10 611 2,022 108 22 2,152

Manyara 3,302 290 0 3,592 712 51 0 763 4,014 341 0 4,355

Mara 6,935 608 111 7,654 1,035 61 26 1,122 7,970 669 137 8,776

Mbeya 5,102 526 6 5,634 1,172 90 24 1,286 6,274 616 30 6,920

Morogoro 3,226 228 234 3,688 1,220 59 108 1,387 4,446 287 342 5,075

Mtwara 2,440 165 1 2,606 430 26 0 456 2,870 191 1 3,062

Mwanza 9,865 819 247 10,931 1,746 82 60 1,888 11,611 901 307 12,819

Pwani 2,188 49 0 2,237 725 22 6 753 2,913 71 6 2,990

Ruvuma 2,035 122 12 2,169 780 60 4 844 2,815 182 16 3,013

Rukwa 2,387 186 44 2,617 671 38 9 718 3,058 224 53 3,335

Singida 3,193 233 12 3,438 680 44 5 729 3,873 277 17 4,167

Shinyanga 6,816 476 170 7,462 1,364 75 22 1,461 8,180 551 192 8,923

Tabora 3,426 169 0 3,595 760 30 4 794 4,186 199 4 4,389

Tanga 4,669 290 33 4,992 1,255 56 1 1,312 5,924 346 34 6,304

Jumla 93,689 7,100 1,236 102,025 20,297 1,256 333 21,886 114 8,356 1,569 123,911

Chanzo:Jeshi la Magereza Tanzania Bara

Page 100: TAKWIMU ZA WAFUNGWA NA MAHABUSU TANZANIA ...magereza.go.tz/docs/Ripoti ya wafungwa 2013 na 2014.pdfJeshi la Magereza Tanzania Bara Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi Dar es Salaam Ofisi

Taarifa ya Wafungwa na Mahabusu 2013 na 2014

85

Jedwali Na. 17: Idadi ya Wahalifu Waliopokelewa Magerezani Kutoka Mahakamani kwa Mkoa, Aina ya Muharifu na Jinsi, Tanzania Bara, 2014

Mkoa

Mahabusu Wafungwa Jumla

Me Ke V Jumla Me Ke V Jumla Me Ke V Jumla

Arusha 3,714 305 0 4,019 524 55 1 580 4,238 360 1 4,599

Dar es

Salaam 12,742 1,251 213 14,206 1,156 132 1 1,289 13,898 1,383 214 15,495

Dodoma 4,022 328 40 4,390 889 72 13 974 4,911 400 53 5,364

Iringa 3,192 291 28 3,511 739 33 0 772 3,931 324 28 4,283

Kagera 6,531 438 18 6,987 1,594 108 29 1,731 8,125 546 47 8,718

Kigoma 3,038 311 147 3,496 1,264 55 10 1,329 4,302 366 157 4,825

Kilimanjaro 4,121 361 28 4,510 887 64 7 958 5,008 425 35 5,468

Lindi 1,254 79 12 1,345 494 22 3 519 1,748 101 15 1,864

Manyara 2,799 234 0 3,033 832 53 0 885 3,631 287 0 3,918

Mara 6,107 596 266 6,969 1,020 93 32 1,145 7,127 689 298 8,114

Mbeya 5,798 617 5 6,420 1,479 95 22 1,596 7,277 712 27 8,016

Morogoro 2,844 228 210 3,282 1,100 65 71 1,236 3,944 293 281 4,518

Mtwara 1,951 150 0 2,101 548 29 4 581 2,499 179 4 2,682

Mwanza 9,260 728 433 10,421 1,688 110 169 1,967 10,948 838 602 12,388

Pwani 1,726 101 0 1,827 866 19 4 889 2,592 120 4 2,716

Ruvuma 2,099 119 2 2,220 581 44 2 627 2,680 163 4 2,847

Rukwa 2,572 219 33 2,824 695 30 18 743 3,267 249 51 3,567

Singida 3,021 270 30 3,321 570 44 10 624 3,591 314 40 3,945

Shinyanga 4,236 368 186 4,790 984 74 8 1,066 5,220 442 194 5,856

Tabora 2,892 130 0 3,022 795 31 2 828 3,687 161 2 3,850

Tanga 3,937 282 41 4,260 1,090 52 4 1,146 5,027 334 45 5,406

Jumla 87,856 7,406 1,692 96,954 19,795 1,280 410 21,485 107,651 8,686 2,102 118,439

Chanzo: Jeshi la Magereza Tanzania Bara

Page 101: TAKWIMU ZA WAFUNGWA NA MAHABUSU TANZANIA ...magereza.go.tz/docs/Ripoti ya wafungwa 2013 na 2014.pdfJeshi la Magereza Tanzania Bara Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi Dar es Salaam Ofisi

Taarifa ya Wafungwa na Mahabusu 2013 na 2014

86

Jedwali Na.18: Idadi ya Wafungwa Wasio Raia Waliopokelewa Magerezani Kutoka Mahakamani kwa Nchi Walizotoka na Aina ya Kosa, Tanzania Bara,

2013

Aina ya Kosa

Bu

run

di

Co

ngo

DR

C

Eth

iop

ia

Ind

ia

Ken

ya

Ma

law

i

Nig

eria

Rw

an

da

So

ma

lia

Ug

an

da

Za

mb

ia

Ju

mla

Mauaji 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0

Mauaji (adhabu ya kifo kuwa kifungo) 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0

Kuua bila kukusudia 1 0 1 0 0 0 0 0 0 0 0 0 2

Kujaribu kuua 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0

Unyang’anyi 3 0 0 0 0 4 0 0 0 0 0 0 7

Wizi 5 0 0 0 0 4 0 1 1 0 2 0 13

Kuvunja nyumba 1 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 1

Kupatikana na dawa za kulevya 1 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 1

Kupatikana na nyara za serikali 2 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 2

Makosa ya kujamiiana 1 0 2 0 0 0 0 0 0 0 0 0 3

Kupatikana na bunduki na risasi 0 0 0 0 0 0 0 0 0 5 0 0 5

Kujeruhi 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0

Kuchoma moto nyumba 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0

Makosa ya rushwa 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0

Kupatikana na pombe ya moshi 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0

Uzembe na uzururaji 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0

Makosa mengineyo 686 11 19 1,017 2 16 1 0 38 6 5 1 1,802

Jumla 700 11 22 1,017 2 24 1 1 39 11 7 1 1,836

Chanzo: Jeshi la Magereza Tanzania Bara

Page 102: TAKWIMU ZA WAFUNGWA NA MAHABUSU TANZANIA ...magereza.go.tz/docs/Ripoti ya wafungwa 2013 na 2014.pdfJeshi la Magereza Tanzania Bara Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi Dar es Salaam Ofisi

Taarifa ya Wafungwa na Mahabusu 2013 na 2014

87

Jedwali Na.19: Idadi ya Wafungwa Wasio Raia Waliopokelewa Magerezani Kutoka Mahakamani kwa Nchi Walizotoka na Aina ya Kosa, Tanzania Bara,

2014

Aina ya Kosa

Bu

run

di

Ch

ina

Co

ngo

DR

C

Eth

iop

ia

Ho

ng

Kon

g

Ind

ia

Ken

ya

Lib

eria

Nig

eria

Rw

an

da

So

ma

lia

Afr

ika

ya

Ku

sin

i

Su

dan

Utu

ruk

i

Ug

an

da

Za

mb

ia

Jumla

Mauaji 0 0 0 0 0 0 0 2 0 0 0 0 0 0 0 1 0 3

Mauaji (adhabu ya

kifo kuwa kifungo) 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0

Kuua bila kukusudia 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0

Kujaribu kuua 0 0 4 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 4

Unyang’anyi 2 0 0 0 0 0 0 5 0 0 0 0 0 0 0 4 0 11

Wizi 16 0 3 0 0 0 0 1 0 0 5 0 0 0 0 9 1 35

Kuvunja nyumba 0 0 2 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 1 0 3

Kupatikana na dawa

za kulevya 3 0 0 0 0 0 0 1 0 0 0 0 0 0 0 0 0 4

Kupatikana na nyara

za serikali 0 1 0 0 0 0 0 2 0 0 0 0 0 0 0 0 0 3

Makosa ya kujamiiana 3 0 0 0 0 0 0 0 0 0 3 0 0 0 0 0 0 6

Kupatikana na

bunduki na risasi 3 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 3

Kujeruhi 6 0 2 0 0 0 0 2 0 0 0 0 0 0 0 0 0 10

Kuchoma moto

nyumba 1 0 0 0 0 0 0 0 0 0 1 0 0 0 0 0 0 2

Makosa ya rushwa 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0

Kupatikana na pombe

ya moshi 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0

Uzembe na uzururaji 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 1 0 0 0 0 0 0 1

Makosa mengineyo 1,042 0 40 3 664 61 1 16 5 7 59 2 1 2 1 8 2 1,914

Jumla 1,076 1 51 3 664 61 1 29 5 7 69 2 1 2 1 23 3 1,999

Chanzo: Jeshi la Magereza Tanzania Bara

Page 103: TAKWIMU ZA WAFUNGWA NA MAHABUSU TANZANIA ...magereza.go.tz/docs/Ripoti ya wafungwa 2013 na 2014.pdfJeshi la Magereza Tanzania Bara Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi Dar es Salaam Ofisi

Taarifa ya Wafungwa na Mahabusu 2013 na 2014

88

Jedwali Na. 20: Idadi ya Mahabusu Wasio Raia Waliopokelewa Magerezani Toka Mahakamani kwa Nchi na Aina ya Kosa, Tanzania Bara, 2013

Aina ya Kosa

Ba

ng

lad

esh

Bu

lga

ria

Bu

run

di

Ca

mer

oon

Ch

ina

Co

ngo

DR

C

Eth

iop

ia

Ug

irik

i

Ind

ia

Ken

ya

Lib

eria

Ma

dag

asc

ar

Ma

law

i

Msu

mb

iji

Nig

eria

Pa

kis

tan

Rw

an

da

Vie

tna

m

So

ma

lia

Ug

an

da

Uin

ger

eza

Ju

mla

Mauaji 0 0 12 0 0 0 1 1 0 0 17 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 31

Mauaji (adhabu ya kifo

kuwa kifungo) 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0

Kuua bila kukusudia 0 0 0 0 0 0 5 0 0 1 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 6

Kujaribu kuua 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 1 0 0 0 0 1

Unyang’anyi 0 0 19 0 0 0 0 0 0 1 20 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 40

Wizi 0 1 18 0 0 0 3 1 0 0 14 0 0 2 1 0 0 28 0 2 3 0 73

Kuvunja nyumba 0 0 5 0 0 0 0 0 0 0 5 0 0 0 0 0 0 5 0 0 1 0 16

Kupatikana na dawa za

kulevya 0 0 5 0 0 1 0 0 0 0 6 1 0 1 0 4 0 0 0 0 0 0 18

Kupatikana na nyara za

serikali 0 0 4 0 1 0 0 0 0 1 0 0 0 0 0 0 4 0 1 0 0 1 12

Makosa ya kujamiiana 0 0 0 0 0 0 11 0 0 0 1 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 12

Kupatikana na bunduki na

risasi 0 0 3 0 0 0 0 0 0 0 2 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 5

Kujeruhi 0 0 11 0 0 1 2 0 1 1 1 0 0 0 0 0 0 4 0 0 3 0 24

Kuchoma moto nyumba 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 2 0 0 0 0 2

Makosa ya rushwa 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 2 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 2

Kupatikana na pombe ya

moshi 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 1 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 1

Uzembe na uzururaji 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0

Makosa mengineyo 3 0 489 1 0 13 24 630 0 4 32 0 1 0 1 7 0 63 0 10 9 0 1,287

Jumla 3 1 566 1 1 15 46 632 1 8 101 1 1 3 2 11 4 103 1 12 16 1 1,530

Chanzo: Jeshi la Magereza Tanzania Bara

Page 104: TAKWIMU ZA WAFUNGWA NA MAHABUSU TANZANIA ...magereza.go.tz/docs/Ripoti ya wafungwa 2013 na 2014.pdfJeshi la Magereza Tanzania Bara Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi Dar es Salaam Ofisi

Taarifa ya Wafungwa na Mahabusu 2013 na 2014

89

Jedwali Na. 21: Idadi ya Mahabusu Wasio Raia Waliopokelewa Magerezani Toka Mahakamani kwa Nchi na Aina ya Kosa, Tanzania Bara, 2014

Aina ya Kosa A

ng

ola

Bu

ru

nd

i

Ca

mer

oo

n

Afr

ika

ya

Ka

ti

Ch

ina

Co

lom

bia

Co

ngo

Bra

zavil

le

DR

C

Eth

iop

ia

Fin

lan

d

Uje

ru

ma

ni

Gre

ece

Ho

ng K

on

g

Ind

ia

Ira

n

Ken

ya

Leb

an

on

Lib

eria

Ma

law

i

Msu

mb

iji

Nig

eria

Pa

kis

tan

Ro

ma

nia

Vie

tnam

So

ma

lia

Zim

ba

bw

e

Su

da

n

Ug

an

da

Ma

rek

an

i

Zam

bia

Ju

mla

Mauaji 0 34 0 0 0 0 7 0 0 0 0 0 0 0 0 6 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 47

Mauaji (adhabu ya

kifo kuwa

kifungo) 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0

Kuua bila

kukusudia 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 1 0 0 0 0 1

Kujaribu kuua 0 14 0 0 0 0 9 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 23

Unyanag’anyi 0 3 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 3

Wizi 0 22 0 0 0 0 12 0 0 0 0 0 0 4 0 4 0 0 1 0 0 1 0 0 0 1 0 9 0 1 55

Kuvunja

nyumba 0 11 0 0 0 0 10 0 0 0 0 0 0 0 0 1 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 2 0 0 24

Kupatikana na

dawa za

kulevya 0 0 0 0 0 1 0 0 0 0 0 1 0 2 18 8 0 1 0 0 9 9 0 0 0 0 0 0 1 0 50

Kupatikana na

nyara za

serikali 0 1 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 2 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 3

Makosa ya

kujamiiana 0 3 0 0 0 0 35 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 38

Kupatikana na bunduki au

risasii 0 21 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 2 0 0 0 0 0 0 0 0 0 23

kujeruhi 0 7 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 5 0 0 2 0 0 0 0 0 9 0 0 3 0 0 26

Kuchoma moto nyumba 0 1 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 1

Makosa ya

rushwa 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 1 0 5 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 6

Kupatikana na

pombe ya

moshi 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0

Uzembe na

uzururaji 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 1 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 1

Makosa mengineyo 1 1,170 3 1 3 0 46 8 562 1 1 0 220 2 0 50 1 2 10 1 10 2 2 1 7 0 1 15 0 3 2,123

Jumla 1 1,287 3 1 3 1 119 8 562 1 1 1 220 9 18 82 1 3 13 1 21 12 2 1 16 2 1 29 1 4 2,424

Chanzo: Jeshi la Magereza Tanzania Bara

Page 105: TAKWIMU ZA WAFUNGWA NA MAHABUSU TANZANIA ...magereza.go.tz/docs/Ripoti ya wafungwa 2013 na 2014.pdfJeshi la Magereza Tanzania Bara Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi Dar es Salaam Ofisi

JESHI LA MAGEREZA TANZANIA BARA

DIRA:

Kuwa Jeshi la kurekebisha wahalifu lenye utaalamu wa hali ya juu linaloendeshwa katika kanuni na

viwango vilivyowekewa kitaifa na kimataifa.

DHIMA:

Kutekeleza wajibu ipasavyo katika kuimarisha ulinzi wa jamii kupitia usimamizi wa vifungo na

kuwasimamia wahalifu, huduma za mahabusu, programu na huduma zinazoshughulikia mahitaji ya

urekebishaji wa wahalifu na ushauri wa Sera kuhusu uzuiaji uhalifu na ushughulikiaji wa wahalifu.