236
SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI MHE. RIZIKI PEMBE JUMA (MBM) KUHUSU MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA FEDHA KWA MWAKA WA FEDHA 2018/19 Mei, 2018

SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

  • Upload
    others

  • View
    23

  • Download
    0

Embed Size (px)

Citation preview

Page 1: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR

HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA

MAFUNZO YA AMALI

MHE. RIZIKI PEMBE JUMA (MBM)

KUHUSU MAKADIRIO YA MAPATO NA

MATUMIZI YA FEDHA KWA MWAKA

WA FEDHA 2018/19

Mei, 2018

Page 2: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2018/2019 ii

YALIYOMO

UTANGULIZI.................................................. 1

MIRADI YA SEKTA YA ELIMU…………………………. 3

VIPAUMBELE VYA WIZARA KWA MWAKA WA

FEDHA WA 2017/18…………………………………………

4

UTEKELEZAJI WA KAZI ZA WIZARA KWA MWAKA

2017/18…………………………………………….

5

MUUNDO WA PROGRAMU………………………………. 5

MAELEZO YA UTEKELEZAJI WA PROGRAMU…….. 6

PROGRAMU YA KWANZA: ELIMU YA SEKONDARI… 7

PROGRAMU YA PILI: ELIMU YA SEKONDARI……… 11

PROGRAMU YA TATU: ELIMU YA JUU……………….. 16

Programu ndogo ya Mafunzo ya Ualimu……………………… 16

Huduma ya Elimu ya Juu, Ushauri na Utafiti………………… 18

Huduma ya Sayansi na Teknolojia……………………………. 20

Huduma ya Mikopo ya Elimu ya Juu…………………………. 21

Huduma ya Uratibu wa Elimu ya Juu………………………… 23

PROGRAMU YA NNE: ELIMU MBADALA NA

MAFUNZO YA AMALI…………………………………….

25

Programu ndogo ya Mafunzo ya Amali………………………. 25

Programu ndogo ya Elimu Mbadala na Watu Wazima……….. 28

PROGRAMU YA TANO: UBORA WA ELIMU

Huduma ya Mitaala na Vifaa vya Kufundishia………………..

31

Huduma ya Upimaji na Tathmini ya Elimu…………………… 33

Huduma ya Ukaguzi wa Elimu………………………………... 35

Huduma za Maktaba…………………………………………... 36

Huduma ya Urajisi wa Elimu………………………………….. 38

Programu ndogo ya Elimu Mjumuisho na Stadi za Maisha…... 40

Programu ndogo ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano katika

Elimu…………………………………………………

41

Programu ndogo ya Michezo na Utamaduni katika Skuli……. 43

PROGRAMU YA SITA: UTAWALA NA UONGOZI …... 45

Programu ndogo ya Uongozi Kiujumla………………………. 45

Programu ndogo ya Uratibu wa Shughuli za Mipango, Sera na 47

Page 3: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2018/2019 iii

Utafiti …………………………………………………………

Programu ndogo ya Uratibu wa Shughuli za Elimu

Pemba……….

48

MPANGO WA UTEKELEZAJI KWA MWAKA 2018/19

KATIKA MFUMO WA PROGRAMU…………………….

49

Vipaumbele……………………………………………………. 49

Miradi mitano ya Sekta ya Elimu……………………………... 52

Maelezo ya Programu za Elimu……………………………….. 53

PROGRAMU YA KWANZA: ELIMU YA SEKONDARI….. 53

PROGRAMU YA PILI: ELIMU YA JUU………………. 54

Programu ndogo ya Mafunzo ya Ualimu…………………….... 54

Huduma ya Elimu ya Juu, Ushauri na Utafiti…………………. 55

Huduma ya Sayansi na Teknolojia…………………………….. 56

Huduma ya Mikopo ya Elimu ya Juu………………………….. 56

Huduma ya Uratibu wa Elimu ya Juu………………………….. 57

PROGRAMU YA TATU: ELIMU MBADALA NA

MAFUNZO YA AMALI…………………………………….

58

Programu ndogo ya Mafunzo ya Amali………………………. 58

Programu ndogo ya Elimu Mbadala na Watu Wazima……… 58

PROGRAMU YA NNE: UBORA WA ELIMU

Huduma ya Mitaala na Vifaa vya Kufundishia…………………..

59

Huduma ya Upimaji na Tathmini ya Elimu…………………....... 60

Huduma ya Ukaguzi wa Elimu………………………………...... 60

Huduma za Maktaba…………………………………………….. 61

Huduma ya Urajisi wa Elimu…………………………………… 61

Programu ndogo ya Elimu Mjumuisho na Stadi za Maisha…….. 62

Programu ndogo ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano katika

Elimu…………………………………………………..................

63

Programu ndogo ya Michezo na Utamaduni katika Skuli………. 63

PROGRAMU YA SITA: UTAWALA NA UONGOZI ……… 64

Programu ndogo ya Uongozi Kiujumla……………………….. 64

Programu ndogo ya Uratibu wa Shughuli za Mipango, Sera na

Utafiti……………………………………………………………..

65

Programu ndogo ya kuratibu shughuli za elimu Pemba………..... 65

MGAWANYO WA FEDHA KWA PROGRAMU…………. 66

PROGRAMU YA KWANZA: ELIMU YA SEKONDARI … 66

Page 4: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Mwaka 2018/2019 iv

PROGRAMU YA PILI: ELIMU YA JUU………………… 66

PROGRAMU YA TATU: ELIMU MBADALA NA

MAFUNZO YA AMALI………………………………………

66

PROGRAMU YA NNE: UBORA WA ELIMU…………… 66

PROGRAMU YA TANO: UTAWALA NA UONGOZI …….. 67

JUMLA YA GHARAMA ZA WIZARA YA ELIMU NA

MAFUNZO YA AMALI………………………………………..

68

SHUKURANI……………………………………………………. 68

KIAMBATISHO…………………………………………………. 70

Page 5: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

1

HOTUBA YA WAZIRI WA ELIMU NA MAFUNZO YA

AMALI KUHUSU MAKADIRIO YA MAPATO KWA

MWAKA WA FEDHA 2018/19

UTANGULIZI

1. Mheshimiwa Spika, naomba kutoa hoja kwa Baraza lako

Tukufu liingie katika Kamati ili niweze kutoa maelezo ya

makadirio ya mapato na matumizi ya Fedha ya Wizara ya

Elimu na Mafunzo ya Amali kwa mwaka 2018/19.

2. Mheshimiwa Spika, Awali ya yote, napenda kumshukuru

Mwenyezi Mungu kwa rehema zake kwa kutujaalia uhai, afya

njema na akatuwezesha kukutana katika kikao hiki cha Bajeti

kwa kipindi cha pili cha ya Uongozi imara wa Mheshimiwa

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi

Dkt. Ali Mohammed Shein. Namuomba Mwenyezi Mungu

anipe uwezo na ufasaha wa kuiwasilisha hotuba hii ya

makadirio ya mapato na matumizi ya Wizara yangu. Pia

namuomba Mwenyezi Mungu atujaalie wasaa wajumbe wote

wa kuijadili kwa kina na hatimaye Baraza lako tukufu liweze

kuipitisha kwa kauli moja Bajeti ya Wizara yangu.

3. Mheshimiwa Spika, pili, kwa nafasi ya pekee nampongeza

Mheshimiwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la

Mapinduzi Dkt. Ali Mohamed Shein kwa uongozi wake bora,

usimamizi mzuri na moyo thabiti katika kuimarisha huduma

za jamii kwa wananchi wake ikiwemo huduma ya elimu.

Ninampongeza kwa dhati kwa kutangaza rasmi kufuta

michango inayotolewa na wazazi katika skuli za sekondari za

Serikali kuanzia Julai 2018. Utekelezaji wa agizo hilo

umeanza siku ya tarehe 19 Mei, 2018 ambapo Mheshimiwa

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi

alizindua utoaji wa ruzuku kwa wanafunzi wote 112,358

walioko katika skuli za sekondari za Serikali ambapo kila

skuli itaingiziwa katika akaunti yake TSh. 32,000/= kwa kila

Page 6: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

2

mwanafunzi kwa mwaka. Uongozi wa Wizara unamshukuru

sana Mheshimiwa Rais wetu kwa ushauri na miongozo

anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu.

Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa

Pili wa Rais wa Zanzibar, Mheshimiwa Balozi Seif Ali Iddi,

kwa utendaji wake mzuri, ushirikiano na michango yake

katika kuiendeleza sekta ya elimu.

4. Mheshimiwa Spika, Pia, nachukua fursa hii kukupongeza

wewe binafsi, Naibu Spika pamoja na Mwenyeviti wa Baraza

kwa mashirikiano na miongozo yenu mizuri inayopelekea

kupata ufanisi katika utendaji wetu na kuleta maendeleo ya

Taifa letu. Namuomba Mwenyezi Mungu akuzidishieni

hekima, busara uadilifu na umahiri katika kuliongoza Baraza

hili tukufu.

5. Mheshimiwa Spika, Naomba Shukurani za dhati ziwafikie

wajumbe wote wa Baraza lako Tukufu na hasa Wajumbe wa

Kamati ya Ustawi wa Jamii chini ya uongozi mahiri wa

Mheshimiwa Dkt. Mwinyihaji Makame kwa miongozo,

ushauri na maelekezo ya kimaendeleo wanayotupatia katika

utekelezaji wa shughuli zetu mbalimbali wanapotembelea

katika taasisi za Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali.

6. Mheshimiwa Spika, Nitakuwa mchoyo wa fadhila

nisipomshukuru Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya

Amali Mheshimiwa Mmanga Mjengo Mjawiri kwa juhudi

zake katika utendaji na mashirikiano makubwa katika

utekelezaji wa majukumu tuliyopangiwa. Namuomba

Mwenyezi Mungu atuzidishie mashirikiano, imani, uadilifu,

ujasiri na maarifa mazuri katika kuyakabili majukumu yetu

na kuliongoza Taifa letu katika maendeleo endelevu. Aidha,

nawapongeza watendaji wote wa Wizara ya Elimu na

Mafunzo ya Amali wakiwemo Katibu Mkuu, Manaibu Katibu

Wakuu, Wakurugenzi, maafisa wa ngazi mbalimbali wa

Wizara, Mikoa na Wilaya na Kamati zetu za Skuli ambazo

Page 7: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

3

kwa pamoja zinashiriki katika kuleta maendeleo ya elimu.

Pia, nazipongeza Bodi za Mashirika na Taasisi za Elimu kwa

michango na ushauri mbali mbali wanaotupatia. Aidha,

nawashukuru sana walimu, wazazi na wanafunzi na wadau

wote wa elimu kwa kushiriki kikamilifu katika harakati za

utoaji na upatikanaji wa huduma ya elimu bora kwa watoto

na vijana wetu. Mola awazidishie moyo wa imani na upendo

ili watoto na vijana wetu waendelee kufaidika na kupata

elimu katika kiwango chenye ubora.

7. Mheshimiwa Spika, Mwisho nawashukuru sana watendaji

wa Wizara ya Fedha na Mipango kwa ushirikiano wao ambao

umechangia katika kuimarisha huduma za elimu katika

mwaka 2017/18. Nimatumaini yetu kuwa ushirikiano huo

utaimarika katika utekelezaji wa shughuli za Sekta ya Elimu

kwa lengo la kuimarisha upatikanaji wa huduma ya elimu

katika Taifa letu kwa kupitia kauli mbiu yetu ya “Elimu

Bora Kwanza”.

8. Mheshimiwa Spika, sasa naomba nitoe maelezo ya

utekelezaji wa kazi kwa mwaka wa fedha wa 2017/18.

MIRADI YA SEKTA YA ELIMU

9. Mheshimiwa Spika, kwa mwaka wa fedha 2017/2018,

Wizara ilitekeleza kazi zake kupitia miradi mikuu mitano,

ifuatayo: -

1. Uimarishaji wa Elimu ya Maandalizi

2. Uimarishaji wa Elimu ya Msingi

3. Uimarishaji wa Elimu ya Lazima

4. Uimarishaji wa Elimu Mbadala na Amali

5. Miundombinu katika elimu

Page 8: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

4

VIPAUMBELE VYA WIZARA KWA MWAKA WA

FEDHA WA 2017/18

10. Mheshimiwa Spika, kwa mwaka wa fedha wa 2017/18,

Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali ilitekeleza kazi zake

kupitia vipaumbele vifuatavyo: -

Kukamilisha Mpango Mkuu wa Elimu kwa kipindi cha

miaka mitano (2017/18 – 2021/22) pamoja na mfumo wa

Ufuatiliaji wa Utekelezaji wa Mpango wa Elimu ikiwemo

MKUZA III.

Kuipitia na kuifanyia marekebisho Sheria ya Elimu ili

iendane na Dira ya 2020, malengo ya Sera ya Elimu ya

Zanzibar ya mwaka 2006, MKUZA III na Malengo ya

Kimataifa ya Maendeleo Endelevu. Pia, kuikamilisha

Sheria ya Ukaguzi wa Elimu, Sera ya TEHAMA katika

elimu, Sera ya Mafunzo ya Ualimu kazini na ya Elimu

Mjumuisho.

Kuliimarisha Baraza la Mitihani kwa kuufanyia mapitio

na kuandaa mfumo mpya wa upimaji na tathmini katika

elimu.

Kuajiri wafanyakazi 700 wakiwemo walimu 258 wa

Sayansi, wakutubi 200 na Watunza Maabara 200, Maafisa

42 wa fani mbalimbali. Pamoja na kuwapatia mafunzo

walimu wa maandalizi, wa msingi, wa mbadala na wa

sekondari kwa mujibu wa mahitaji.

Kuimarisha miundombinu ya elimu kwa kujenga Maabara

na Maktaba katika skuli 23; skuli 14 Unguja na 9 Pemba.

Kukamilisha madarasa 200 ya maandalizi na msingi

yaliyoanzishwa na wananchi, kukarabati vyoo na

madarasa na kujenga madarasa mapya 48 katika skuli

sita; nne Unguja na mbili Pemba.

Kuanzisha utoaji wa ruzuku kwa skuli kwa ajili ya

kutekeleza Mpango wa Maendeleo wa Skuli (Capitation

Page 9: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

5

grants) kwa skuli za msingi zenye madarasa ya tano na

sita na skuli za sekondari zenye kidato cha kwanza na cha

pili. Pia kuzipatia skuli za sekondari vitabu, vifaa vya

maabara, vya ufundi na kompyuta.

Kupunguza msongamano wa wanafunzi katika madarasa

kwa kujenga skuli mbili za maandalizi, mbili za msingi na

10 za ghorofa za sekondari pamoja na kuzipatia samani.

Kuwapatia vifaa wanafunzi wenye mahitaji maalum na

mafunzo kwa walimu wanaosomesha madarasa ya

mjumuisho na kuwapatia chakula wanafunzi wote wa

maandalizi na wa skuli 10 za msingi.

Kukamilisha ujenzi wa vituo viwili vya Mafunzo ya

Amali, Daya kwa Pemba na Makunduchi kwa Unguja na

kukamilisha ujenzi wa majengo ya kufundishia katika

Taasisi ya Sayansi na Teknolojia ya Karume na Taasisi ya

Maendeleo ya Utalii ya Maruhubi na kujenga viwanja 11

vya michezo katika skuli 11.

UTEKELEZAJI WA KAZI ZA WIZARA KWA

MWAKA 2017/18

11. Mheshimiwa Spika, sasa naomba kuwasilisha utekelezaji wa

mpango wa maendeleo ya elimu kwa mwaka 2017/18 kwa

kupitia programu sita za Wizara yangu.

MUUNDO WA PROGRAMU 12. Mheshimiwa Spika, programu kuu za Wizara ya Elimu na

Mafunzo ya Amali ni hizi zifuatazo: -

Programu ya 1: Elimu ya Maandalizi na Msingi

Programu ya 2: Elimu ya Sekondari.

Programu ya 3: Elimu ya Juu

Programu ya 4: Elimu Mbadala na Mafunzo ya Amali

Programu ya 5: Ubora wa Elimu

Programu ya 6: Uongozi na Utawala

Page 10: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

6

MAELEZO YA UTEKELEZAJI KWA PROGRAMU

13. Mheshimiwa Spika, katika mwaka 2017/18 Wizara

ilitekeleza kazi zake kupitia Programu nilizoziainisha hapo

juu kwa kuzingatia makubaliano ya maendeleo ya elimu ya

Kitaifa na Kimataifa ikiwemo Dira ya Taifa ya Maendeleo ya

Zanzibar kwa mwaka 2020, lengo la MKUZA III la

kuzingatia usawa katika kutoa elimu bora pamoja na

vipaumbele vya Wizara.

14. Mheshimiwa Spika, Programu hizo zilitekelezwa kwa

mashirikiano na ya karibu kati ya Serikali, Jamii na washirika

wa maendeleo wa ndani na nje ya Zanzibar. Programu zote

hizo zilitengewa jumla ya TSh. 197,290,176,000/= kati ya

fedha hizo, TSh. 136,812,200,000/= zilipangwa kutumika

kwa kazi za kawaida na TSh. 60,477,976,000/= kwa kazi za

maendeleo. Kati ya fedha za maendeleo, TSh.

5,908,000,000/= ni mchango wa SMZ na TSh.

54,569,976,000/= ni mchango wa wahisani. Miongoni mwa

fedha za wahisani TSh. 40,125,733,000/= ni mkopo kutoka

Benki ya Kiarabu (Badea), Benki ya Maendeleo ya Afrika

(ADB) na Benki ya Dunia (WB).

15. Mheshimiwa Spika, hadi kufikia Mei, 2018, jumla ya TSh.

146,029,587,836/= sawa na asilimia 74 ya makadirio

zilipatikana. Kati ya fedha hizo, TSh. 122,655,597,509/= za

SMZ kwa matumizi ya kawaida sawa na asilimia 89.6

zilipatikana. Kwa upande wa fedha za maendeleo, jumla ya

TSh. 18,921,977,527/= za wahisani sawa na asilimia 35 ya

makadirio ya fedha za wahisani zilipatikana na TSh.

4,452,012,800 /= za Serikali sawa na asilimia 75 zilipatikana.

Utekelezaji halisi wa Programu za Wizara yangu ni kama

ifuatavyo: -

Page 11: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

7

PROGRAMU YA KWANZA: ELIMU YA

MAANDALIZI NA MSINGI

16. Mheshimiwa Spika, Programu hii inahusika na kusimamia

utoaji wa elimu ya maandalizi na msingi kwa wanafunzi

wenye umri kati ya miaka minne na kumi na nne. Idara

inasimamia Madrasa na Vyuo vya Kur-ani pamoja na vituo

324 vya Tucheze Tujifunze (TuTu). Vituo 152 vipo Unguja

na 172 vipo Pemba. Programu hii Kitaifa inatekelezwa kwa

mashirikiano kati ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali

na Wizara ya Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Idara

Maalumu, wananchi pamoja na washirika wa maendeleo

wakiwemo Serikali ya Jamhuri ya Watu wa China, Global

Partnership for Education (GPE), Table for Two (TfT) ya

Japan, Shirika la Maendeleo ya Elimu na Watoto Duniani

(UNICEF), Ofisi ya Mufti na Jumuiya ya Zanzibar Madrasa

Early Childhood Program (ZMECP).

17. Mheshimiwa Spika, Kwa mwaka wa fedha wa 2017/18,

programu hii ilitengewa jumla ya TSh. 70,724,571,000/=.

Kati ya hizo TSh. 50,606,740,000/= kwa kazi za kawaida na

TSh. 20,117,831,000/= kwa kazi za maendeleo. Kati ya fedha

hizo, TSh. 19,842,831,000/= kutoka GPE na UNICEF na

TSh. 275,000,000/= za SMZ. Hadi kufikia Mei, 2018, jumla

ya TSh. 11,702,360,291/= za wafadhili sawa na asilimia 59

na TSh. 38,816,494,893/= za SMZ sawa na asilimia 76.7

zilipatikana.

18. Mheshimiwa Spika, Utekelezaji halisi wa programu hii ni

kama hivi ifuatavyo: -

i). Ujenzi wa Skuli ya Mbuyumaji na Sharifumsa

umekamilika. Aidha, jumla ya madarasa 187 kati ya

200 yaliyoanzishwa kwa nguvu za wananchi

yamekamilika kwa kiwango uezekaji na kupiga

plasta, hatua ya kupaka rangi inaendelea. Wizara

inaendelea na kazi za kuezeka wa madarasa 6 katika

skuli za Mgenihaji na Chunga. Pia, Ujenzi huu

Page 12: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

8

unajumuisha pia vyumba 23 vikiwemo vyumba vya

walimu, maabara, vyumba vya kompyuta na vyoo.

ii). Ujenzi wa Skuli ya Msingi ya Fuoni Mambosasa

unaendelea na umefikia asilimia 85.

iii). Ujenzi wa Skuli mpya ya Ngadu, Mkumbuu

unaendelea kwa ujenzi wa kuta.

iv). Jumla ya wanafunzi 44,397 wapya wameandikishwa

kuanza darasa la kwanza kwa mwaka 2018,

wakiwemo wanawake 22,071 na wanaume 22,326.

Jadweli namba 15 linatoa ufafanuzi zaidi.

v). Mafunzo ya kuwajengea uwezo walimu 300 wa

madrasa juu ya kutumia njia bora na rafiki za

ufundishaji kwa wanafunzi yamefanyika katika

wilaya zote za Unguja na Pemba. Pia, Idara

imewajengea uwezo walimu 230 wa vyuo vya Kur-

ani juu ya umuhimu wa kutumia mtaala wa namna

moja kwa vyuo vyote vya Unguja na Pemba. Aidha,

Idara ilifanya ufuatiliaji katika vyuo 1,500 vya Kur-

ani ili kutoa ushauri kwa walimu na kusaidia kutatua

changamoto zinazowakabili.

vi). Mikutano ya kuwahamasisha wanajamii 1,100

(Unguja 700 na Pemba 400) imefanyika. Miongoni

mwa washiriki hao ni Masheha, viongozi wa dini,

watu maarufu, Maafisa elimu wilaya na mikoa yote

ya Unguja na Pemba, wenyeviti wa kamati za skuli

na walimu wakuu kuielimisha jamii umuhimu wa

kuimarisha mazingira rafiki ya watoto, kusimamia

elimu ya watoto, uandikishaji wa watoto waliofikia

umri wa miaka minne kuanza elimu ya maandalizi na

miaka sita kwa elimu ya msingi pamoja na

kuwaepusha na ajira za watoto na kuwakinga na

udhalilishaji. Aidha, uhamasishaji kama huo

ulifanyika kupitia Televisheni na Redio mbali mbali

nchini.

vii). Huduma ya chakula kwa skuli kumi za msingi

imeendelea kutolewa. Skuli hizo ni Kijini, Kidagoni,

Page 13: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

9

Mbuyutende, Mfurumatonga, Kigunda kwa

Kaskazini ‘A’ na Mgonjoni Kaskazini ‘B’ kwa

Unguja na Skuli ya Kinowe, Mgogoni, Mkia wa

ngombe kwa Wilaya ya Micheweni na Makangale ya

Wete kwa Pemba. Hii inatekelezwa kwa

mashirikiano kati ya Wizara na Shirika la Maendeleo

ya Watoto “Partnership for Child Development”

(PCD) la Uingereza pamoja na “Table for Two”

(TfT) ya Japan. Aidha, Wizara imeshirikiana na

Wizara ya Kilimo, Maliasili, Mifugo na Uvuvi

kupitia ufadhili wa PCD na TfT imetoa mafunzo ya

kuanzisha bustani za mboga mboga katika maeneo ya

skuli zinzotekeleza mradi ili kuongeza lishe kwa

watoto. Bustani za majaribio zimeanzishwa katika

skuli ya Kigunda Unguja na Makangale Pemba.

Bustani hizo kwa awamu ya kwanza zimetoa mavuno

ya tungule wastani wa kilo 600 katika skuli ya

Kigunda na Butternuts (aina ya Maboga) 250 katika

skuli ya Makangale.

viii). Jumla ya madaftari 737,000 ya kuandikia wanafunzi,

madaftari 3,500 ya mahudhurio na chaki boksi 2,500

yamesambazwa katika skuli 313 msingi za Unguja na

Pemba pamoja na manila kwa skuli za maandalizi

ikiwa ni utekelezaji wa mpango wa Serikali wa

kuzisaidia skuli baada ya kufutwa kwa michango ya

lazima ya wazazi katika ngazi ya Elimu ya

Maandalizi na Msingi. Pia, Idara ilizisaidia vifaa

skuli tano mpya za maandalizi vikiwemo makabati,

picha za viongozi, mabusati, sahani, vikombe, vifaa

vya usafi na vifaa vya kuandikia. Skuli hizo ni

Kiombamvua, Chutama, Binguni, Ndijani

Mwembepunda na Sharifumsa.

ix). Wafanyakazi 45 (30 Unguja na 15 Pemba)

wamejengewa uwezo juu ya usimamizi wa kazi,

kuandaa mpango mkakati, utafiti wa vitendo (Action

Page 14: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

10

Research), Sheria na Kanuni za Utumishi, usimamizi

wa kazi, ufuatiliaji na tathmini na uongozi.

x). Wizara imewajengea uwezo wa ufundishaji walimu

200 ili kuweza kumudu kufundisha madarasa yenye

idadi kubwa ya wanafunzi. Vile vile, mafunzo kama

hayo yametolewa kwa walimu wakuu 250 juu ya

mbinu za kumudu Uongozi na Usimamizi wa kazi na

majukumu yao kwa Unguja na Pemba.

xi). Viongozi 286 (Unguja 174 na Pemba 112) wa

serikali za wanafunzi wamepatiwa mafunzo na

kusimamiwa katika utekelezaji wa majukumu yao.

Viongozi hawa wanatoa ushirikiano mzuri kwa

walimu katika uendeshaji, utunzaji wa mazingira ya

skuli na kuchangia katika kuleta maendeleo ya

taaluma.

xii). Wizara kwa kushirikiana na NGO ya “International

Education and Sports Consultancy” imetoa mafunzo

ya miezi sita ya lugha ya Kiingereza na mbinu bora

za kufundishia kwa walimu 64 wa msingi hasa

wanaofundisha madarasa ya nne na tano. Aidha,

kupitia mashirikiano na Kampuni ya Colgate, Idara

imewajengea uwezo walimu 200 wa skuli za msingi

juu ya afya ya kinywa na meno na utamaduni wa

kunawa mikono. Walimu hao wataitumia taaluma

waliyoipata kutoa elimu hiyo kwa wanafunzi na

jamii. Kampuni hii imewapatia wanafunzi zawadi ya

dawa za meno na misuaki.

xiii). Wizara kwa kushirikiana na UNICEF imeandaa

mikutano ya kupanga mikakati ya uanzishaji wa

vituo vya TuTu na wadau 48 katika wilaya ya

Magharibi ‘A’ na ‘B’ na Chakechake Pemba na

kufungua vituo 25 vipya vya TuTu katika Wilaya

hizo.

xiv). Idara, kwa kushirikiana na Jumuiya isiyo ya

kiserikali ya KUKUA, imewajengea uwezo

wanafunzi na walimu 825 kutoka skuli 16 za Mkoa

Page 15: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

11

wa Kusini katika vijiji vya Jozani, Kitogani,

Jambiani, Paje na Bwejuu juu ya usalama barabarani

na kujikinga na ajali. Pia Idara imeshirikiana na

Kampuni ya “Penny Royal” inawapatia mafunzo ya

lugha ya Kiingereza na njia bora za kufundishia kwa

walimu 30 wa skuli za Kijini na Mbuyutende za

Wilaya ya Kaskazini ‘A’ pamoja na kuanzisha

programu ya masomo ya ziada kwa wanafunzi wa

darasa la tano na la sita wa skuli hizo.

Matokeo ya Muda Mfupi;

i. Jumla ya wanafunzi 272,686 wameandikishwa katika

vyuo 2,251 vya Kur-ani vyenye jumla ya walimu

9,269.

ii. Jumla ya watoto 72,151 ambao ni sawa na asilimia

69.4 wameandikishwa katika ngazi ya elimu ya

maandalizi, wakiwemo wanawake 36,648 na

wanaume 35,503 katika mwaka 2018/19. Hii ni sawa

na ongezeko la asilimia 3.7 ikilinganishwa na asilimia

66.1 ya uandikishaji ya mwaka 2017/18. Aidha, Jumla

ya watoto 49,442 waliopata elimu ya maandalizi

ambao ni sawa na asilimia 58.8 wameandikishwa

kuanza Darasa la Kwanza katika mwaka wa 2018.

Jadweli namba 15 linatoa mchanganuo kiwilaya.

iii. Jumla ya wanafunzi 276,858 wameandikishwa katika

ngazi ya elimu ya msingi kwa mwaka 2018/19 ambao

ni sawa na asilimia 116.5. Kati ya hao, wanawake ni

137,618 sawa na asilimia 116.3 na wanaume ni

139,240 sawa na asilimia 116.8. Jadweli namba 14

linatoa ufafanuzi zaidi.

PROGRAMU YA PILI: ELIMU YA SEKONDARI.

19. Mheshimiwa Spika, Programu hii inalenga kutoa na

kuimarisha elimu ya sekondari. Kwa mwaka 2017/18

programu hii imetekelezwa kwa pamoja kati ya Serikali na

wafadhili wa ndani na nje ya nchi. Jumla ya TSh.

Page 16: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

12

63,496,813,000/= zilipangwa kutumika, kati ya fedha hizo,

TSh. 35,982,715,000/= ni kwa kazi za kawaida na TSh.

27,514,098,000/= kwa miradi ya maendeleo zikiwemo

2,033,000,000/= za SMZ. Hadi kufikia Mei, 2018, jumla ya

TSh. 27,414,994,282/= zilipatikana sawa na asilimia 43. Kati

ya hizo, TSh. 8,258,250,506/= sawa na asilimia 30 kwa kazi

za maendeleo. Kati ya fedha hizo za maendeleo, TSh.

6,225,250,506/= za wafadhili kutoka BADEA, OPEC, Benki

ya Dunia na Good Neighbour sawa na asilimia 24.4 na TSh.

2,033,000,000/= kutoka Serikalini sawa na asilimia 100

zilipatikana.

20. Mheshimiwa Spika, Programu hii ilitekeleza shughuli

zifuatazo: -

i). Jumla ya kompyuta nane (8) zimenunuliwa na

kugaiwa katika skuli za sekondari za Regeza

Mwendo, Makoba, Kibele, Machui, Kianga,

Mtopepo, Kidagoni na Bambi.

ii). Vifaa vya maabara na kemikali vimenunuliwa na

kusambazwa katika skuli zote za sekondari zenye

kidato cha nne na kidato cha sita kwa Unguja na

Pemba.

iii). Vitabu vya wanafunzi vya Sayansi vimenunuliwa na

kusambazwa katika skuli 14 za sekondari zenye

madarasa ya sayansi na vitabu vya Fasihi ya

Kiswahili na ya Kiingereza kwa skuli tisa zenye

masomo ya sanaa vimesambazwa katika skuli zenye

kidato cha tano na sita za Unguja na Pemba. Skuli

zilizopatiwa vitabu vya sayansi ni pamoja na Skuli

ya Sekondari ya SUZA, Lumumba, Ben bella,

Mpendae, Tumekuja, Kiembe samaki “A”, Kwarara,

Biashara ya Mombasa, Haile selassie, Chasasa,

Madungu, Fidel Castro, Utaani na Mohamed Juma

Pindua. Skuli zilizopatiwa vitabu vya Fasihi ni

Utaani, CCK Pemba, Uweleni, Mchanga Mdogo,

Page 17: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

13

Kiponda, Hamamni, M/Kwerekwe ‘C’, Jang’ombe

na Faraja.

iv). Jumla ya wanafunzi 1,719 wamefanya mitihani ya

kumalizia kidato cha sita kuanzia tarehe 7/5 hadi

24/5/2018. Kati yao 1,542 kutoka skuli za Serikali

na 177 ni wa skuli za binafsi. Aidha wanafunzi 2,564

wamefaulu mtihani wa kidato cha nne uliofanyika

Oktoba, 2017 na kuchaguliwa kujiunga na kidato cha

tano katika skuli mbali mbali za Serikali. Kati ya

wanafunzi hao, wanafunzi 829 wa fani ya sanaa

wakiwemo wanawake 388 na wanaume 441,

wanafunzi 1,604 wa sayansi kati yao 761 wanawake

na 843 wanaume, wanafunzi 131 wa fani ya biashara

na kompyuta wakiwemo wanawake 62 na 69

wanaume.

v). Muongozo wa uendeshaji wa taratibu za kuzipatia

skuli ruzuku umekamilika. Mafunzo ya muongozo

wa matumizi ya fedha za ruzuku za skuli (school

grant manual) yametolewa. Jumla ya washiriki 1,280,

wakiwemo walimu wakuu, wenyeviti wa kamati za

skuli na walimu wahusika wa ghala wameshiriki.

Utoaji wa fedha za ruzuku umezinduliwa rasmi na

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la

Mapinduzi Mheshimiwa Dkt. Ali Mohamed Shein

katika ukumbi wa Baraza la Wawakilishi la zamani,

Kikwajuni tarehe 19 Mei, 2018.

vi). Vifaa kwa ajili ya wanafunzi wenye ulemavu wa

uoni vimenunuliwa. Vifaa hivyo ni mashine za

kuandikia nukta nundu, kompyuta, fimbo nyeupe

kwa skuli za sekondari ya Jambiani na Umoja Uzini.

vii). Jumla ya TSh. 77,100,000/= za gharama zimelipwa

za mitihani ya Taifa kwa wanafunzi wa kidato cha

sita iliyofanyika Mei, 2018 na TSh. 740,850,000/=

kwa mitihani ya kidato cha nne iliyofanyika

Novemba, 2017.

Page 18: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

14

viii). Mikataba ya ujenzi wa skuli mbili mpya, maabara na

maktaba katika skuli 23 na madarasa 48 katika skuli

sita imekamilika na imewasilishwa kwa

Mwanasheria Mkuu wa Serikali kupata ushauri wa

kisheria.

ix). Ujenzi wa skuli tisa (9) za ghorofa unaendelea katika

maeneo ya Mwembeshauri (asilimia 20), Bububu

(20%), Kinuni (42%), Fuoni (24%), Chumbuni

(23%), Wara (17%), Micheweni (35%), Kizimbani

(17%) na Mwambe (17%), ujenzi wa skuli ya

Bwefum unaendelea na umefikia asilimia 90, ujenzi

wa skuli ya Kibuteni unaendelea na umefikia asilimia

70 na ujenzi wa jengo jipya la ghorofa ndani ya skuli

ya Sekondari ya Biashara umefikia asilimia 50.

x). Wizara imelifanyia matengenezo na kuweka tiles na

makabati darasa la uchoraji katika skuli ya sekondari

ya Mwanakwerekwe ‘C’, darasa la “home

economies” katika Skuli ya Ben Bella na kulifanyia

matengezo darasa litumike kama maabara katika

Skuli ya Mtoni Kidatu pamoja na kusaidia ujenzi wa

ukuta katika Skuli ya Sekondari ya Mpendae.

xi). Huduma za dakhalia zimeimarishwa kwa

kutengeneza vitanda, kununua magodoro 117,

kuweka vitasa vya makabati, kupaka rangi pamoja na

kulifanyia matengenezo jiko katika dakhalia ya

wanawake ya Mazizini.

xii). Zabuni kwa ajili ya ukarabati wa Skuli ya Sekondari

ya Lumumba imetangazwa na tathmini imefanyika.

Taratibu za kutiliana saini mkataba na mzabuni

aliyeshinda zinaendelea.

xiii). Jumla ya walimu wapya 282 walioajiriwa na

kupangiwa kazi katika Mikoa mitatu ya Unguja na

75 kwa mikoa miwili ya Pemba walipatiwa mafunzo

elekezi ya siku tatu kwa lengo la kuwajengea uelewa

wa taratibu na majukumu katika kazi yao. Kati ya

Page 19: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

15

waajiriwa hao, 51 ni walimu wa sayansi na 306 ni wa

sanaa.

xiv). Jumla ya Maliwali Wakuu 225 wa Serikali za

wanafunzi walipatiwa mafunzo ya uongozi. Mafunzo

haya yamejumuisha wanafunzi wa Wilaya sita za

Unguja, Wilaya hizo ni Wilaya ya Mjini, Magharibi

“A”, Magharibi “B”, Kaskazini “A”, Kaskazini “B”,

Kusini na Kati.

xv). Jumla ya wanafunzi kumi (10), sita kutoka Unguja na

na wanne kutoka Pemba walifuatana na maafisa

wawili mmoja kutoka Pemba na mmoja kutoka

Unguja walipelekwa katika skuli za Mama Salma

Kikwetwe. Kati yao watano wamepelekwa Skuli ya

Sekondari ya WAMA NAKAYAMA iliyopo katika

Mkoa wa Pwani, Wilaya ya Rufiji na wanafunzi tano

wamepelekwa skuli ya sekondari ya WAMA

SHARAF iliyopo Mkoa wa Lindi katika Wilaya ya

Lindi.

xvi). Vifaa vya michezo zikiwemo “Track suit” 300, koni

90, televisheni mbili, kompyuta mpakato mbili,

projekta mbili, DVD mbili na redio 10 vimegaiwa

katika skuli nane za sekondari zenye kufundishwa

somo la michezo. Skuli hizo ni Mwanakwerekwe ‘A’

na ‘C’, Haile selassie, Hamamni, Mwembeladu,

Jambiani, Ndijani na Mkwajuni. Aidha, Idara imetoa

kopi 112 za vitabu visaidizi vya kufundishia somo la

michezo kwa skuli za sekondari zinafundisha somo

hilo.

Matokeo ya muda mfupi.

i. Jumla ya wanafunzi 122,323 sawa na asilimia 85.6

wameandikishwa ngazi za elimu ya sekondari ya

awali (kidato 1 – 4). Wanafunzi 10,987 sawa na

asilimia 9 wanasoma katika skuli za binafsi. Kati yao,

wanafunzi 70,037 ni wa kidato cha 1 na cha 2

(wanaume ni 33,365 na wanawake 36,672).

Page 20: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

16

Wanafunzi 52,286 wanasoma kidato cha 3 na cha 4

wakiwemo wanawake 30,632 na wanaume 21,654.

Jadweli namba 20 na 21 yanatoa ufafanuzi zaidi.

ii. Jumla ya wanafunzi 4,590 wameandikishwa katika

ngazi ya elimu ya sekondari ya juu katika skuli za

Serikali na za binafsi. Wanafunzi 2,675 ni wa kidato

cha 5 (wanawake 1,316 na wanaume 1,359) na

wanafunzi 1,915 wa kidato cha 6. Kati yao, wanawake

1,002 na wanaume 913. Jadweli namba 22 linafafanua

zaidi.

PROGRAMU YA TATU: ELIMU YA JUU

21. Mheshimiwa Spika, Madhumuni ya programu hii ni kutoa

elimu itakayomuwezesha muhitimu kujiajiri au kuajiriwa.

Programu hii ina programu ndogo moja ambayo ni mafunzo

ya ualimu na maeneo manne ya huduma, ikiwemo Huduma

ya Uratibu wa Elimu ya Juu, Huduma ya Mikopo ya Elimu ya

Juu, Huduma ya Sayansi na Teknolojia na Huduma ya Elimu

ya Juu, Ushauri na Utafiti. Utekelezaji wa programu hii ni

kama ifuatavyo: -

Programu ndogo ya Mafunzo ya Ualimu

22. Mheshimiwa Spika, programu hii ndogo ilitengewa jumla ya

TSh. 1,861,075,000/= za SMZ kwa kuendelea kutoa mafunzo

ya ualimu katika ngazi ya Stashahada. Hadi kufikia Mei,

2018, jumla ya TSh. 1,497,284,828/= zilipatikana sawa na

asilimia 80.4.

23. Mheshimiwa Spika, utekelezaji halisi wa programu hii

ndogo ni kama hivi ifuatavyo: -

i). Jumla ya walimu 750 wanaofundisha madarasa ya

tano na sita, walifuatiliwa juu ya matumizi ya

mafunzo waliyoyapata katika ufundishaji wa

masomo ya Sayansi, Hesabati na Kiingereza chini ya

miradi ya ZABEIP na GPE. Mafunzo hayo yalilenga

juu ya mbinu sahihi za ufundishaji, maudhui ya mada

Page 21: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

17

husika pamoja na matumizi ya lugha ya Kiingereza

wakati wa kufundisha.

ii). Jumla ya moduli 260 za mafunzo ya Jiografia na

TEHAMA kwa walimu wa madarasa ya 5 na 6

zimechapwa na kusambazwa katika vituo vya

walimu kwa ajili ya mafunzo kwa walimu husika.

iii). Mikutano miwili ya wakuu wa vyuo ilifanyika,

mmoja katika Chuo cha Kiislamu Kiuyu Pemba na

mwengine Chuo cha Kiislamu Mazizini Unguja.

Ajenda kuu zilizozungumzwa ni pamoja na udahili

wa wanafunzi wapya, mikakati ya ufundishaji na

kurejesha mafunzo ya cheti cha ualimu kitakacho

pimwa na Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA)

pamoja na utayarishaji wa mtaala wa masomo ya

Dini na Kiarabu kwa wanafunzi wa stashahada ya

Ualimu.

iv). Jumla ya moduli 1,950 za masomo ya Kiswahili,

Kiingereza, Dini, Sayansi ya Mazingira, Elimu na

Hisabati za mafunzo ya Elimu Masafa zimechapwa

na kusambazwa katika vituo vya walimu kwa

matumizi.

v). Kwa kushirikiana na Baraza la Mitihani la Zanzibar,

Idara imeandaa mitihani ya masomo sita yakiwemo

ya Kiswahili, Kiingereza, Dini, Sayansi ya

Mazingira, Elimu na Hisabati ya Elimu masafa kwa

ngazi cheti cha ualimu daraja la III B iliyofanyika

katika vituo vyote vya walimu vya Unguja na Pemba.

vi). Jumla ya ziara 719 za ufuatiliaji wa matumizi ya

Mihutasari katika skuli zilifanyika na katika mambo

yalibainika ni baadhi ya walimu kutomaliza

mihutasari kwa wakati, baadhi yao kutokufika skuli

kwa wakati, uhaba wa vitendea kazi na ushiriki

mdogo wa wanafunzi katika masomo.

vii). Wafanyakazi 3 walipatiwa mafunzo, 2 kwa kiwango

cha cheti na 1 kwa kiwango cha stashahada.

Page 22: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

18

viii). Jumla ya wafanyakazi 62 wakiwemo waratibu,

washauri wa kitaifa na washauri wa kanda

walipatiwa mafunzo juu ya mbinu bora na mikakati

ya ufuatiliaji katika skuli.

ix). Walimu 650 wa Sanaa wanaofundisha masomo ya

Sayansi na Hisabati wa ngazi ya sekondari ya awali

(Kidato cha Kwanza na cha Pili) wanapatiwa

mafunzo ya kuwajengea uwezo juu ya kufundisha

masomo hayo kwa ufanisi zaidi. Mafunzo hayo

yatachukua muda wa miaka miwili katika vituo vya

walimu vya Unguja na Pemba.

Matokeo ya muda mfupi i. Jumla ya wanafunzi 683 wakiwemo wanaume 154 na

wanawake 529 wanasomea Ualimu katika Chuo cha

Kiislamu Mazizini Unguja. Pia, walimu 326 katika Chuo

cha Kiislamu Kiuyu, kati yao wanaume ni 94 na

wanawake 232 wanasomea Ualimu kwa ngazi ya Cheti

cha Maandalizi, Stashahada ya Dini na Kiarabu,

Stashahada ya Sayansi Jamii, Stashahada ya Elimu ya

Msingi kwa Unguja na Pemba na Cheti cha Elimu

Mjumuisho kwa Unguja.

ii. Jumla ya walimu 580 wamejiunga na mafunzo ya ualimu

wa cheti daraja la IIIA kwa njia ya Elimu Masafa.

Walimu 393 kutoka Unguja (15 wanaume na 378

wanawake) na 202 kutoka Pemba (19 wanaume na 183

wanawake).

Huduma ya Elimu ya Juu, Ushauri na Utafiti

Mheshimiwa Spika, kwa mwaka 2017/18, Huduma ya

Elimu ya Juu, Ushauri na Utafiti ina lengo la kuwaandaa

wanafunzi kuingia katika fani za kitaalamu na ajira. Huduma

hii inatolewa katika Vyuo vikuu vitatu vya Zanzibar; Chuo

Kikuu cha Taifa (SUZA), Chuo cha Kumbukumbu ya

Page 23: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

19

Abdulrahman Al-Sumait cha Chukwani na Chuo Kikuu cha

Zanzibar Tunguu.

24. Mheshimiwa Spika, ngazi hii ya elimu ina jumla ya

wanafunzi 8,528 wanaosoma katika vyuo vikuu hivi vitatu.

Kati ya wanafunzi hao, wanawake 4,940 na wanaume 3,588.

Kwa mwaka wa fedha wa 2017/18, Chuo Kikuu cha Taifa

cha Zanzibar (SUZA) kilitengewa ruzuku ya TSh.

10,000,000,000/=. Hadi kufikia Mei, 2018, jumla ya TSh.

8,454,786,197/= zimepatikana, ambazo ni sawa na asilimia

85.

25. Mheshimiwa Spika, utekelezaji halisi wa huduma hii ni

kama hivi ifuatavyo: -

i). Ujenzi wa ukumbi wa mkutano wa Dkt. Ali

Mohamed Shein katika Kampasi ya Tunguu

umekamilika. Ukumbi huu una uwezo wa kuchukua

watu 3,000 kwa wakati mmoja.

ii). Ujenzi wa maabara ya kusomea kwa kutumia maiti

(Cadaver room) umekamilika na maabara hiyo

imeanza kutumika.

iii). Wafanyakazi 15 wameajiriwa, kati ya hao, wamo

wakutubi watatu, watunza maabara wawili,

wataalamu wa Afya watatu, katibu muhtasi wawili,

Afisa utafiti, Afisa masjala, Afisa viwango, Afisa

rasilimali watu na Mhudumu.

iv). Wafayakazi 77 ambao wapo masomoni wamelipiwa

ada. Kati ya hao, 36 ngazi ya Shahada ya Uzamivu,

26 Shahada ya Uzamili, 8 Shahada ya Kwanza na 7

wa ngazi ya Stashahada.

Matokeo ya muda mfupi;

i. Jumla ya wanafunzi 4,465 wameandikishwa katika

Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA). Kati

yao, wanawake ni 2,542 na wanaume ni 1,923.

Page 24: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

20

Majadweli namba 26 (a) – (f) yanatowa ufafanuzi

zaidi.

ii. Jumla ya wanafunzi 969 wakiwemo 634 wanawake na

wanaume 335 wameandikishwa katika Chuo cha

Kumbukumbu ya Abdulrahman Al-Sumait cha

Chukwani. Jadweli namba 27 linatoa ufafanuzi zaidi.

iii. Jumla ya wanafunzi 3,094 wameandikishwa katika

Chuo Kikuu cha Zanzibar Tunguu, kati yao

wanawake ni 1,764 na 1330 wanaume. Jadweli namba

28 linatoa ufafanuzi zaidi.

26. Mheshimiwa Spika, Huduma ya Sayansi na Teknolojia

ina madhumuni ya kuimarisha elimu ya sayansi na teknolojia.

Shughuli za huduma hii zinatekelezwa na Taasisi ya Karume

ya Sayansi na Teknolojia. Kwa mwaka 2017/18, Taasisi hii

ilitengewa ruzuku ya TSh. 1,348,600,000. Hadi kufikia Mei,

2018, jumla ya TSh. 1,210,531,990/= za SMZ zilipatikana

ambazo ni sawa na asilimia 89.7.

27. Mheshimiwa Spika, Utekelezaji halisi wa huduma hii kwa

mwaka 2017/18 ni kama hivi ifuatavyo: -

i) Wanafunzi wapya 511, wanaume 446 na wanawake

65 kwa fani zote za Taasisi wamesajiliwa.

ii) Wafanyakazi wapya 10, kati yao 6 kada ya wakufunzi

na 4 kada za uendeshaji wameajiriwa.

iii) Mafunzo yote kwa ngazi ya stashahada hadi shahada

ya kwanza yameendelea kutolewa.

iv) Vifaa vya kisasa vya kufundishia na kujifunzia

vimenunuliwa vikiwemo vifaa vya kuyeyushia

chuma, vifaa vya mazoezi ya vitendo kwa wanafunzi

wa kompyuta, mafriji, umeme, mawasiliano ya habari

pamoja na samani kompyuta 60

v) Mafunzo mapya ya kuiendeleza Taasisi na ya

kuisaidia jamii kwa kutumia Sayansi na Teknolojia

yameanzishwa. Mafunzo hayo ni ya kutumia nishati

mbadala na mafuta na gesi.

Page 25: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

21

Matokeo ya muda Mfupi

Jumla ya wanafunzi 1,387 wakiwemo wanawake 255 na

wanaume 1,132 wanaendelea na masomo katika fani

mbalimbali zikiwemo, Shahada ya urubani na uhandisi wa

ndege, Stashahada ya uhandisi wa umeme, teknolojia ya

habari mawasiliano na biashara, Stashahada ya Mafunzo ya

Hisabati na Sayansi kwa walimu wa skuli za msingi,

Stashahada mafunzo ya Ualimu wa vituo vya amali,

Stashahada ya usimamizi wa maabara na Cheti kwa mafunzo

ya Amali (VETA). Jadweli namba 29 linatoa ufafanuzi zaidi.

Huduma ya Mikopo ya Elimu Juu

28. Mheshimiwa Spika, huduma nyengine katika programu hii

ni Mikopo ya Elimu ya Juu yenye dhamana ya kuwapatia

mikopo vijana wanaoendelea na masomo ya elimu ya juu

katika fani mbalimbali. Huduma hii inatekelezwa na Bodi ya

Mikopo ya Elimu ya Juu Zanzibar. Kwa mwaka wa fedha

2017/2018 jumla ya TSh. 10,203,700,000/= za ruzuku kutoa

Serikalini zilitengwa kwa ajili ya kutoa mikopo kwa

wanafunzi 2,721 wapya na wanaoendelea na Elimu ya Juu.

Hadi kufikia Mei 2018, jumla ya TSh. 10,133,863,350/= za

fedha ya bajeti zilipatikana ambazo ni sawa na asilimia 99.3

ya makadirio.

29. Mheshimiwa Spika, Utekelezaji halisi wa programu hii ni

kama ifuatavyo: -

i) Jumla ya wanafunzi 2,582 kati ya hao 1,461 ni

wanafunzi wapya walioteuliwa mwaka 2018 na 1,121

ni wanafunzi wanaoendelea na masomo katika vyuo

vikuu vya ndani na vya nje ya Tanzania. Idadi ya

wanafunzi wapya imeongezeka kwa asilimia 40.6,

kutoka 594 wa mwaka 2017 na kufikia 1,461 mwaka

2018. Ongezeko hili limetokana na kuongezeka kwa

ruzuku ya Serikali kutoka TSh. Billioni 6.12 hadi

Billioni 10.2.

Page 26: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

22

ii) Wanafunzi 65 wamepatiwa ufadhili wa masomo

katika vyuo vya nje ya Tanzania kwa udhamini wa

nchi na washirika mbali mbali wa maendeleo, kati ya

wanafunzi hao “Islamic Development Bank”

imefadhili wanafunzi 3, Jamhuri ya Watu wa China

40, Ufalme wa Oman nafasi 6 na Serikali ya Sudan

wanafunzi 16.

iii) Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kupitia BMEJZ

imetoa ufadhili wa masomo kwa wanafunzi

waliofanya vizuri zaidi na kupata daraja la kwanza

katika mitihani ya Kidato cha Sita ambao wamejiunga

na vyuo vya Tanzania. Jumla ya wanafunzi 15

wamepatiwa ufadhili kamili wa kuendelea na masomo

yao. Lengo na ufadhili huo ni kuwaenzi, kuthamini

juhudi za vijana hao kimasomo, na kuwajengea uwezo

ili wawe wataalamu wazuri wa baadae kwa ajili ya

kulijenga Taifa lao.

iv) Jumla ya wanafunzi 95 wapya na wanaoendelea na

masomo yao wamepatiwa ufadhili katika vyuo vikuu

vya Zanzibar. Kati ya hao, wanafunzi 70 katika Chuo

Kikuu cha Zanzibar Tunguu kupitia ufadhili wa

Jumuiya ya Darul- Imaan na wanafunzi 25 wa Chuo

Cha Kumbukumbu ya Abdulrahman bin Sumeit cha

Chukwani wanaofadhiliwa na Jumuiya ya “African

Muslim Agency”.

v) Jumla ya wanafunzi 436 wanatarajiwa kuhitimu

masomo yao mwaka 2017/18. Kati ya hao, wanafunzi

74 kutoka vyuo vya Tanzania Bara, 314 vyuo vya

Zanzibar na 48 vyuo vya nje ya Tanzania. Aidha, kati

ya wahitimu hao, 403 ni wa shahada ya kwanza na 33

shahada ya pili na tatu. Jadweli namba 25 (a) na (b)

yanatoa ufafanuzi zaidi.

30. Mheshimiwa Spika, hadi kufikia mwezi Mei, 2018, jumla ya

Shilingi 1,262,000,000/= zimekusanywa kutoka kwa

wadaiwa wa Bodi sawa na asilimia 84.1 ya lengo

Page 27: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

23

lililowekwa. Matarajio ni kukusanya Shilingi billioni 1.5

ifikapo mwezi wa Juni 2018. Juhudi mbalimbali

zinachukuliwa na BMEJZ ili kuhakikisha wadaiwa wote

wanarejesha mikopo yao kwa wakati.

31. Mheshimiwa Spika, Bodi inaendelea na utaratibu wa

kuwapatia fursa za masomo ya muda mrefu na muda mfupi

watendaji wake ikiwa ni kuwapa motisha na kuwajengea

uwezo wa kiutendaji. Kwa mwaka wa fedha 2017/18

watendaji watatu wamepatiwa mafunzo ya muda mrefu

ambapo wawili wamesomea Shahada ya Pili katika fani ya

Usimamizi wa Biashara katika Chuo Kikuu cha Zanzibar na

mmoja amehitimu Shahada ya Pili ya Sheria katika Chuo cha

Bagamoyo. Jumla ya Watendaji wanane (wanaume watano na

wanawake watatu) wa BMEJZ wamefaidika na mpango huu

wa mafunzo ya muda mrefu kazini na kuhitimu masomo yao.

32. Mheshimiwa Spika, Huduma ya Uratibu wa Elimu ya Juu

ina jukumu la kusimamia na kutathmini maendeleo ya elimu

ya juu. Huduma hii inatekelezwa na Kitengo cha Uratibu wa

Elimu ya Juu. Kitengo hiki kilitengewa ruzuku ya TSh.

40,000,000/= kutoka Serikalini. Utekelezaji halisi ni huduma

hii ni kama ifuatavyo: -

i) Ufuatilia na tathmini ya utendaji wa Taasisi 23 za

Elimu ya Juu kwa Unguja na Pemba umefanyika.

ii) Nafasi za masomo kwa ufadhili wa nchi za China,

India, New Zealand, Sudani, Jumuiya ya Madola,

Misri na Mwalimu Nyerere African Union

zimetangazwa. Nafasi hizo zilijumuisha fani za

Udaktari, Uchumi, Uhandisi, Uuguzi Ualimu,

Uandishi wa habari, Uongozi, Kilimo na Sayansi ya

Mazingira kwa viwango vya Shahada ya Kwanza, ya

Pili na ya Tatu. Jumla ya waombaji 73 kati yao

wanaume 46 na wanawake 27 waliwasilisha maombi

yao.

Page 28: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

24

iii) Warsha ya siku mbili ilifanyika tarehe 12 na 13 Mei,

2018 kwa lengo la kuwajengea uwezo na

kuwakumbushia umuhimu wa kutoa elimu kwa vijana

wa kujiunga na vyuo vinavyotambulika na

vilivyosajiliwa na Taasisi zinazohusika na usajili wa

Taasisi za Elimu ya Juu. Viongozi 26 kutoka Wizara

ya Elimu, Baraza la Elimu ya Ufundi (NACTE) kanda

ya Zanzibar, viongozi wa shirikisho la Vyuo Vikuu

Zanzibar (ZAHILFE) na wa Mamlaka ya Mafunzo ya

Amali Zanzibar walihudhuria.

iv) Jumla ya wahitimu 10 waliorudi kutoka masomoni

wameingizwa katika kumbukumbu za Wizara na

elimu na miongozo yametolewa kwa wanafunzi wa

elimu ya sekondari ya juu (Kidato cha 5 na 6)

kuhusiana na umuhimu wa kupata uwiano wa ufaulu

katika masomo yao wanapohitaji kuendelea na

masomo ya elimu ya juu.

Matokeo ya muda mfupi;

i. Jumla ya waombaji sita walifanikiwa kupata nafasi ya

masomo nje ya Tanzania. Kati ya hao, watatu

wanasomea Shahada ya Uzamili katika fani ya mmoja

Ufamasia, mmoja Sheria na mmoja Uhandisi wa

Usafirishaji wa Baharini nchini Indonesia. Mmoja

nchini anasomea Shahada ya Kwanza katika fani ya

Udaktari Misri na wawili wapo nchini China

wanachukua Shahada ya Uzamili katika fani za

Udaktari na Udaktari wa magonjwa ya moyo. Majibu

ya maombi kwa nchi nyengine bado hayajatoka.

ii. Jumla ya wanafunzi 10 waliripoti kutoka masomoni

wakiwemo wanaume saba na wanawake watatu ili

kupatiwa barua ya kupeleka Tume ya Utumishi kwa

ajili ya kupatiwa ajira.

Page 29: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

25

PROGRAMU YA NNE: ELIMU MBADALA NA

MAFUNZO YA AMALI

33. Mheshimiwa Spika, Programu hii ina madhumuni ya kutoa

elimu ya mafunzo ya amali na elimu mbadala kwa wanafunzi

kulingana na mahitaji ya soko la ajira. Programu hii ina

programu ndogo mbili; Mafunzo ya Amali na Elimu Mbadala

na Watu Wazima. Programu hii inatekelezwa kwa pamoja

kati ya Idara ya Elimu Mbadala na Watu Wazima na

Mamlaka ya Mafunzo ya Amali.

Programu ndogo ya Mafunzo ya Amali

34. Mheshimiwa Spika, katika mwaka 2017/18, programu hii

ndogo ilikuwa na madhumuni ya kutoa elimu

itakayowawezesha vijana kujiajiri ili kujikwamua na

umasikini ilitengewa ruzuku ya TSh. 5,497,300,000/= kwa

kazi za kawaida. Hadi kufikia Mei, 2018, jumla ya TSh.

4,833,014,536/= kutoka Serikalini zilipatikana ambazo ni

sawa na asilimia 87.9.

35. Mheshimiwa Spika, Utekelezaji halisi kwa programu hii ni

kama hivi ifuatavyo: -

i) Kukamilisha ujenzi wa jengo jipya la Taasisi ya

Karume ya Sayansi na Teknolojia lenye madarasa 18,

maabara na karakana 4. Jengo hili jipya limeondoa

tatizo la madarasa, ofisi na maabara. Samani kwa

matumizi ya darasani na ofisini zimenunuliwa na

kusambazwa katika Taasisi ya Karume ya Sayansi na

Teknolojia.

ii) Ujenzi wa vituo viwili vya mafunzo ya amali

vilivyopo Makunduchi Unguja na Daya kwa Pemba

unaendelea. Ujenzi umefikia asilimia 20 kwa

Makunduchi na asilimia 5 kwa Daya. Mkataba wa

Mshauri Elekezi wa mradi huu Kampuni ya NewTech

ya Sudan ulimalizika Januari 2018 na Wizara

haikuongeza muda wa mkataba na kampuni hiyo ya

Page 30: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

26

ushauri elekezi kutokana na ucheleweshaji mkubwa

wa utekelezaji wa kazi.

iii) Ujenzi wa jengo la kufundishia katika Taasisi ya

Maendeleo ya Utalii Maruhubi unaendelea umefikia

asilimia 70 ya kukamilika kwake. Zabuni kwa ajili

ununuzi wa samani na vifaa vyengine vya kufundishia

na kujifunzia zimetangazwa, zimefunguliwa na

zimefanyiwa tathmini.

iv) Mamlaka ya Mafunzo ya Amali imeweza kujitangaza

kupitia vyombo vya habari vya Serikali na vya binafsi

ikiwemo Redio, Televisheni na Magazeti ya Zanzibar

na Tanzania bara, kuchapisha kalenda 300,

vipeperushi 2,000 na kununua fulana 300 pamoja na

kufanya mahafali kwa vituo vitatu.

v) Juma la Mamlaka ya Mafunzo ya Amali

limeadhimishwa kuanzia tarehe 9 hadi 15/03/2018.

vi) Mikutano miwili kwa kila kituo kwa wajumbe wa

kamati za skuli na viongozi wa serikali na wanafunzi

katika skuli za mjini na vijijini imefanyika.

vii) Programu za michezo kwa vituo vya Mafunzo ya

Amali vya Serikali na vya binafsi vya Unguja na

Pemba zimeanzishwa.

viii) Vifaa vya kufundishia na kujifunzia fani zote

zinazotolewa katika vituo vya Mwanakwerekwe,

Mkokotoni na Vitongoji vikiwemo mbao, vitambaa,

nondo, gesi, saruji na rangi vimenunuliwa na

kusambazwa. Aidha, Mamlaka imevifanyia ukarabati

vyarahani 100 vya vituo hivyo vitatu na kununua

kompyuta 100 za kujifunzia wanafunzi.

ix) Ukarabati wa dakhalia za Mkokotoni na Vitongoji wa

madarasa matano katika Kituo cha Mwanakwerekwe

umefanyika. Aidha, ujenzi wa uzio wa kuzunguuka

Kituo cha Mwanakwerekwe umekamilika na awamu

ya kwanza ya ujenzi wa uzio wa kuzunguka Kituo cha

Mkokotoni na Vitongoji imeanza.

Page 31: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

27

x) Ujenzi wa banda la madarasa matatu linalokusudiwa

kufundishia “Agro-processing” umekamilika na jumla

ya viti 120 kwa ajili ya madarasa hayo vimenunuliwa.

xi) Mamlaka imeendelea kuratibu upatikanaji wa huduma

ya chakula (milo mitatu kwa siku) kwa wanafunzi 346

wanaoishi katika dakhalia za Vitongoji na Mkokotoni.

xii) Pia, Mamlaka imesimamia ufanyaji wa mtihani wa

Taifa kwa wahitimu wa Mamlaka ya Mafunzo ya

Amali. Aidha, Mamlaka imewajengea uwezo wa

kujiajiri wahitimu kupitia vikundi vyao. Jumla ya

vikundi 11 vya wahitimu vilivyopatiwa mikopo

vimepatiwa mafunzo ya namna ya kujiendesha kwa

faida na vikundi vyengine viwili vinasubiri idhini ya

Bodi viweze kupatiwa mikopo.

xiii) Mamlaka imetayarisha mwongozo wa utoaji wa

ufadhili kwa vituo vya binafsi kwa lengo la kuweka

utaratibu mzuri wa kutoa ufadhili wa miradi ya

maendeleo kwa vituo hivyo.

xiv) Utafiti wa mahitaji ya fani zinazohitajika katika soko

la ajira umefanyika ili kupitia na kurekebisha mitaala

iliyopo na kutengeneza mipya itakayoendana na

mahitaji ya soko. Jumla ya fani kumi na mbili

zilifanyiwa utafiti huo kwa Unguja na Pemba.

xv) Katika kuimarisha utendaji na ufuatiliaji wa kazi za

ofisi na vituo, Mamlaka imenunua gari moja na

imeweka mitambo ya CCTV kwa lengo la kuimarisha

ulinzi katika Kituo cha Mafunzo ya Amali cha

Mkokotoni.

Matokeo ya muda mfupi;

i) Jumla ya wahitimu 816 kati ya… sawa na asilimia

98.2 ya watahiniwa wamefaulu mtihani huo. Kati yao,

wanawake ni 367 sawa na asilimia 44.9 na wanaume

ni 432 sawa na asilimia 52.9.

ii) Jumla ya vituo 14 vya binafsi vimefanyiwa

ufuatiliaji na kupatiwa usajili. Vituo hivyo vinatoa

Page 32: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

28

mafunzo ya amali katika fani ya Ushoni, Kompyuta,

TEHAMA, huduma za mahoteli, Upishi, mapambo,

Ufundi bomba, Utalii na Uuzaji wa tiketi za ndege.

Matokeo ya muda mfupi;

i. Jumla ya wanafunzi 1,132 wameandikishwa katika

vituo vitatu vya Mafunzo ya Amali vya Serikali

Unguja na Pemba, kati yao 410 wanawake na 722 ni

wanaume. Vijana hao wanajifunza fani za Useremala,

Ushoni, Uhunzi, Upishi, Uchoraji na Uandishi wa

alama, Uashi, Ufundi bomba, Teknolojia ya Habari na

Mawasiliano, Huduma za Chakula na Vinywaji,

Elektroniki, Ufundi magari, Ufundi mifereji na

Ufundi Viyoyozi.

ii. Jumla ya vijana 96 wakiwemo wanawake 28

wamehitimu masomo yao ya daraja la tatu kwa

mwaka 2018. Jadweli namba 40 (a) linatoa ufafanuzi

zaidi.

Programu ndogo ya Elimu Mbadala na Watu Wazima 36. Mheshimiwa Spika, Programu hii inatekelezwa na Idara ya

Elimu Mbadala na Watu Wazima na ina lengo la kupunguza

kiwango cha wasiojua kusoma, kuandika na kuhesabu

miongoni mwa wanajamii. Kwa mwaka wa fedha 2017/18,

programu hii ilitengewa jumla ya TSh. 11,653,757,000/=.

Kati ya hizo, TSh. 807,710,000/= ni kwa kazi za kawaida na

TSh. 10,846,047,000/= ni kwa kazi za maendeleo. Kati ya

fedha za maendeleo TSh. 1,600,000,000/= ni mchango wa

SMZ na 9,246,047,000/= za wahisani. Hadi kufikia Mei,

2018, jumla ya TSh. 688,908,014/= kwa kazi za kawaida

zilipatikana ambazo ni sawa na asilimia 85.3 na TSh.

1,138,379,530/= za maendeleo zilipatikana sawa na asilimia

10.5.

37. Mheshimiwa Spika, Utekelezaji halisi wa shughuli za

programu hii ndogo ni kama ifuatavyo: -

Page 33: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

29

i) Madarasa 55 mapya ya kisomo kwa Unguja na Pemba

yamefunguliwa. Idadi ya madarasa ya kisomo

imefikia 481 mwaka 2018 kutoka 426 mwaka 2017.

Aidha, jumla ya wanakisomo 7,504 wa kisomo cha

Watu Wazima wamefanyiwa upimaji katika hatua

zote nne za kisomo. Pia wanafunzi 444 wa hatua ya

nne wamekombolewa kupitia upimaji huo.

ii) Maadhimisho ya Juma la Elimu ya Watu Wazima

yamefanyika. Uzinduzi wa juma hili ulifanyika Pemba

na kilele chake kilifanyika Unguja katika Wilaya ya

Magharibi A.

iii) Jumla ya vikundi 115 (77 Unguja 38 Pemba)

vimeendelezwa, Kati ya hivyo, vikundi 11 vipya

vimeongezeka. Vikundi hivi vina jumla ya wanachama

2455, lengo lake kuu ni kuwawezesha wanawake kwa

kuwapunguzia utegemezi na umasikini wa kipato.

iv) Mafunzo ya ujasiriamali, uongozi na uhifadhi wa fedha

yametolewa kwa wanavikundi 40 vya kinamama katika

madarasa ya kisomo. Pia, vikundi 12 vilipatiwa nyenzo

za kutendea kazi ikiwemo Majiko, Vyarahani na

Mabeseni.

v) Mafunzo ya Kilimo na ufugaji wa nyuki yametolewa

kwa wanafunzi 24 wa darasa la Elimu Mbadala katika

skuli ya Mgonjoni ili waweze kujikwamua kimaisha.

vi) Mafunzo elekezi kwa walimu 40 wa madarasa ya

Elimu Mbadala, walimu 30 wa madarasa ya Kisomo na

wakutubi 12.

vii) Mikutano 4 ya uhamasishaji wa program ya Elimu

Mbadala imefanyika. Jumla ya washiriki 200

walipatiwa uelewa wa program hiyo Unguja na Pemba

viii) Ukarabati wa kulipaka rangi sehemu za ndani jengo

la Kituo cha Elimu Mbadala Rahaleoumefanyika.

ix) Mafunzo ya uchoraji na upambaji maharusi yameanza

kutolewa katika kituo cha Elimu Mbadala Rahaleo.

Page 34: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

30

x) Jumla ya wanafunzi 1,966 wamesajiliwa wakiwemo

wanaume 1,036 na wanawake 930 katika vituo vya

kujiendeleza kwa Unguja na Pemba.

xi) Jumla ya wanafunzi 91 (wanawake 80 na wanaume 11)

walioshindwa kuendelea na masomo yao baada ya

mtihani wa kidato cha pili na cha nne wameandikishwa

katika Kituo cha Sayansi Kimu Forodhani kusomea

fani ya Upishi, Ushoni, Kudarizi na Kufuma. Aidha

Programu ya kuwawezesha vijana kimaisha

inayojulikana kwa jina la YELP inaendelea kutoa

mafunzo ya Lugha, Ujasiriamali, Umeme na Utunzaji

wa nyumba kwa vijana 123 (wanawake 42 na

wanaume 81).

xii) Utafiti mdogo kuhusu utoro wa wanafunzi katika skuli

za mwambao umefanyika katika vijiji vinne. Vijiji

hivyo ni Jambiani, Uroa na Matemwe kwa Unguja na

Tumbe kwa Pemba. Utafiti huo umebaini kuwa vijana

wanaotoroka skuli wamejiingiza katika shughuli za

kilimo, uvuvi na utalii.

xiii) Jumla ya vipindi 20 vya elimu mbadala na watu

wazima vya kuhamasisha jamii juu ya progaramu

zinatolewa na Idara ya Elimu ya Mbadala na Watu

Wazima vimerushwa hewani kupitia shirika la

utangazaji la Zanzibar. Lengo la vipindi hivyo ni

kuongeza ushiriki wa wanafunzi katika vituo ili

wajikomboe na changamoto za kijamii.

Matokeo ya muda mfupi;

i). Jumla ya wanakisomo 8,371 wameandikishwa

wakiwemo wanawake 7,388 na wanaume 983.

ii). Jumla ya wanafunzi 642 wenye umri wa miaka 9

hadi 14 waliokuwa nje ya skuli wameandikishwa

katika madarasa ya Elimu Mbadala. Kati ya

wanafunzi hao 333 wa Unguja na 309 Pemba. Kati

yao, wanawake 178 na wanaume 464.

Page 35: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

31

iii). Jumla ya wanafunzi 576 wenye umri kati ya miaka

15 hadi 22 wameandikishwa katika Kituo cha Elimu

Mbadala Rahaleo Unguja na Kituo cha Wingwi

Pemba. Kati yao, wanawake 142 na wanaume 434.

Vijana hawa pamoja na masomo ya kawaida pia

wanasomea fani mbali mbali zikiwemo Umeme,

Ushoni, Upishi, Useremala, Udobi, Mafunzo ya

Kompyuta na Utunzaji Nyumba.

iv). Jumla ya wanafunzi 3,936 wamefanya mtihani wa

faragha wa Kidatu cha Nne. Kati ya hao, wanafunzi

2,240 ambao ni sawa na asilimia 56.9 ya watahiniwa

wote wamefaulu. Aidha, wanafunzi 618

wanaojiendeleza kidato cha sita wakiwemo

wanawake 235 na wanaume 383 walifanya mtihani

wa faragha wa Unguja na Pemba. Kati yao,

wanafunzi 458 sawa na asilimia 74.1 ya watahiniwa

wote wamefaulu.

v). Jumla ya wahitimu 65 wakiwemo wanawake 54 na

wanaume 11 wa Kituo cha Sayansi Kimu wamejiajiri

na wengine wameajiriwa mahotelini.

PROGRAMU YA TANO: UBORA WA ELIMU

38. Mheshimiwa Spika, Programu hii ina lengo la kutoa elimu

bora kwa ngazi zote za elimu, ina jumla ya programu ndogo

tatu na maeneo matano ya kutoa huduma kama yafuatayo: -

Huduma ya Mitaala na Vifaa vya Kufundishia

39. Mheshimiwa Spika, Huduma hii ina madhumuni ya

kutayarisha mitaala ya elimu na vifaa vya kufundishia na

kujifunzia kwa ngazi za maandalizi, msingi, sekondari na

mafunzo ya Ualimu. Shughuli za utowaji wa huduma hii

zinatekelezwa na Taasisi ya Elimu Zanzibar iliyoanzishwa

Page 36: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

32

rasmi kwa Sheria namba 4 ya mwaka 2016. Kwa mwaka wa

fedha 2017/18, Taasisi ilitengewa ruzuku ya TSh.

91,300,000/- kwa kazi za kawaida. Hadi kufikia Mei, 2018

jumla ya Tsh 86,450,000/= sawa na asilimia 95 zilipatikana.

Utekelezaji halisi ni kama ifuatavyo: -

i) Rasimu za hadidu rejea na miundo ya paneli za kitaifa

za mitaala ikiwemo paneli ya Utafiti (Research

Panels), Kozi (Course Panels) na za Masomo (Subject

Panels) zimeandaliwa. Aidha, paneli za masomo

zitakuwa kwa ngazi tatu yaani Kitaifa, Klasta na Skuli.

ii) Mikutano minne imefanyika na Walimu Wakuu wa

skuli za maandalizi, msingi, na sekondari za Serikali

Unguja na Pemba. Mikutano hio imezungumzia namna

ya uendeshaji wa paneli za masomo katika ngazi ya

skuli. Idadi ya skuli zilizoshiriki ni 439 zikiwemo 244

kutoka Unguja na 195 kutoka Pemba

iii) Ufuatiliaji wa utekelezaji wa mitaala katika skuli 158

za Zanzibar zikiwemo skuli 102 Unguja na 56 Pemba

umefanyika. Zoezi hili lilizishirikisha skuli 58 za

binafsi zikiwemo 38 za Unguja na 20 Pemba.

iv) Rasimu ya awali ya Mtaala wa Stashahada ya Ualimu

kwa masomo ya Dini na Kiarabu kwa ngazi ya

sekondari imetayarishwa pamoja na rasimu ya awali ya

muongozo wa kutathmini vitabu na vifaa vya

kufundishia somo hilo.

v) Taasisi ya Elimu ilishirikiana na USAID kupitia mradi

wa Tusome Pamoja katika kutayarisha vitabu vya aina

34 vikiwemo vitabu 16 vya habari za kweli (non-

fiction books) na vitabu 10 vyenye habari za kubuni

(fiction books) kwa darasa la tatu na la nne, Miongozo

sita ya walimu ya kufundishia somo la Kiswahili kwa

darasa la kwanza na la pili, Muongozo mmoja wa

Muwezeshaji na Muongozo mmoja wa mwalimu kwa

ajili ya somo la Hisabati darasa la kwanza na la pili.

vi) Taasisi kwa kushirikiana na Idara ya Elimu Mbadala

na Watu Wazima imesimamia uchapishaji wa vitabu

Page 37: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

33

19,800 vya wanafunzi wa Programu ya Elimu Mbadala

na vitabu 700 vya walimu. Kati ya hivyo, vitabu 3,080

vya somo la Kiswahili, 3,080 somo la Dini ya

Kiislamu, 3,080 somo la Kiingereza, 3,080 somo la

Hisabati na 3,080 somo la Kompyuta. Aidha, vitabu

5,100 vya fani ya Umeme, Upishi, Ushoni, Useremala,

Kilimo, Ufugaji, Utunzaji nyumba na Udobi

vimechapishwa 850 kwa kila somo. Vitabu vyote

hivyo vimechapishwa kupitia mradi wa Elimu Mbadala

na Amali wa Awamu ya Pili kwa lengo la kutoa

taaluma hizo kwa ufanisi na kuleta mafanikio kwa

wanafunzi wa vituo vya elimu mbadala.

vii) Rasimu za Mpango Mkakati, Muundo wa Taasisi,

Muundo wa Utumishi wa Taasisi na Mkataba wa

Utoaji wa Huduma kwa Umma zimetayarishwa.

Huduma ya Upimaji na Tathmini ya Elimu

40. Mheshimiwa Spika, Programu hii ina madhumuni ya

kupima na kutathmini utekelezaji wa utoaji wa elimu.

Shughuli za huduma hii zinatekelezwa na Baraza la Mitihani

la Zanzibar. Kwa mwaka wa 2017/18 huduma ya Upimaji na

Tathmini ilitengewa ruzuku na Serikali ya TSh.

4,298,400,000/=. Hadi kufikia Mei, 2018, jumla ya TSh.

4,302,166,470/= zilipatikana ambazo ni sawa na asilimia

100.1. Utekelezaji halisi wa shughuli za huduma ya Upimaji

na Tathmini ni kama ifuatavyo: -

i). Kuanza matayarisho ya kumpata Mshauri elekezi wa

kuimarisha mfumo wa Upimaji na Tathmini wa

Baraza la Mitihani kupitia Mradi wa Benki ya Dunia

unaolenga Kuimarisha mfumo wa mitihani Zanzibar.

ii). Jumla ya wanafunzi 40,206 (wanawake 20,260 na

wanaume 19,946) wa darasa la nne walisajiliwa

kufanya mtihani wa kuwapima maendeleo yao

kitaaluma katika ngazi ya elimu ya msingi chini

(darasa la kwanza hadi la nne) na uwezo wao wa

Page 38: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

34

kuendelea na darasa la elimu ya msingi juu (darasa la

tano). Wanafunzi halisi waliofanya mtihani huu ni

37,139 sawa na asilimia 92.4 ya walioandikishwa

wakiwemo wanawake 19,068 na wanaume 18,071.

iii). Jumla ya wanafunzi 32,379 wa darasa la sita ambao

ni sawa na asilimia 94 ya waliosajiliwa walifanya

mtihani wa kumaliza elimu ya msingi. Kati ya

wanafunzi hao, wanawake walikuwa ni 17,421 na

wanaume 14,958. Miongoni mwao, wanafunzi 1,387

sawa na asilimia 4.45 walifaulu kuendelea na

madarasa ya Michepuo na 138 sawa na asilimia 0.4

walifaulu kuingia madarasa Vipawa Maalumu.

iv). Jumla ya wanafunzi 46,580 sawa na asilimia 94 kati

ya wanafunzi 49,515 waliosajiliwa walifanya mtihani

wa kumaliza Kidato cha pili, wakiwemo wanawake

26,061 na wanaume 20,519.

v). Baraza la Mitihani limewasajili jumla ya walimu

wanafunzi 238 watakaofanya mitihani ya kumalizia

masomo yao ya Stashahada ya Ualimu wa ngazi ya

Msingi na ngazi ya Sekondari katika Vyuo vya

Kiislamu vya Mazizini (201) Unguja na Kiuyu,

Pemba (37). Kati yao, 197 wanawake na 41

wanaume wakiwemo 179 wa Stashahada ya Msingi

na 59 wa Stashahada ya Sekondari. Mitihani hio

itaanza mwishoni mwa Mwezi wa Mei, 2018.

vi). Ripoti ya tathmini ya mitihani na uchambuzi wa

taarifa unaendelea kutayarishwa. Taarifa hio

itawasilishwa kwa wadau wa elimu kiwilaya ili

kuzifahamu changamoto zinazowakabili watoto

katika kujibu mitihani na mafanikio yaliyopatikana.

Matokeo ya Muda Mfupi;

i. Jumla ya wanafunzi waliofaulu mtihani wa Darasa la

nne ni 26,448 sawa na asilimia 71.21. Kati ya hao,

wanawake ni 14,764 sawa na asilimia 39.8 na

Page 39: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

35

wanaume 11,684 sawa na asilimia ya watahiniwa

wote.

ii. Wanafunzi waliofaulu mtihani wa kumaliza Darasa

la sita ni 31,145 ambao ni sawa na asilimia 96.19

(wanawake 17,127 sawa na asilimia 52.89 na

wanaume 14,018 ni sawa na asilimia 43.29 ya

watahiniwa wote).

iii. Wanafunzi 34,458 kati ya waliofanya mtihani wa

kumaliza Kidato cha Pili ambao ni sawa na asilimia

73.9 wamefaulu kuendelea na masomo yao ya Kidato

cha 3 (wanawake ni 20,793 na wanaume ni 13,665).

Huduma ya Ukaguzi wa Elimu

Mheshimiwa Spika, utoaji wa huduma hii una madhumuni

ya kusimamia ubora wa elimu itolewayo kwa kuhakikisha

kuwa elimu hiyo inafuata sera, sheria, miongozo na taratibu

za Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali zilizoelekezwa

kufuatwa na taasisi inayotoa elimu. Shughuli za huduma hii

zinatekelezwa na Ofisi ya Mkaguzi Mkuu wa Elimu. Kwa

mwaka wa fedha 2017/18, programu hii imepangiwa ruzuku

ya TSh. 120,000,000/= kwa kazi za kawaida. Hadi kufikia

Mei, 2018, jumla ya TSh. 110,000,000/= sawa na asilimia 92

zilipatikana. Utekelezaji halisi ni kama ifuatavyo: -

i). Jumla ya skuli 725 za Unguja na Pemba sawa na

asilimia 140% ya makadirio ya skuli zilizopangwa

kukaguliwa zilikaguliwa. Hili ni ongezeko la asilimia

84% kulinganisha na skuli zilizokaguliwa katika

mwaka 2017/18. Ongezeko hili limetokana na

kuanzishwa kwa ukaguzi wa kikanda. Aidha, skuli

60 zilikaguliwa kwa ajili ya kupatiwa usajili.

ii). Walimu 42 wamepewa barua za kuwaonya na

kuwataka warekebishe mwenendo wao wa utendaji.

Walimu wengine 128 waliobainika kuwa na kasoro

katika mbinu za ufundishaji wa mada

Page 40: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

36

wanazozifundisha wamepatiwa ushauri na maelekezo

kutoka kwa wakaguzi.

iii). Rasimu ya Sheria ya Ukaguzi wa Elimu na Rasimu

ya awali ya mfumo mpya wa Ukaguzi wa Elimu

umekamilika na umewasilishwa katika Kamati ya

Makatibu Wakuu.

Matokeo ya Muda Mfupi

Jumla ya skuli 499 zimekaguliwa kupitia aina tofauti za

ukaguzi. Skuli 48 zilifanyiwa ukaguzi mkuu, skuli 250

zilifanyiwa ukaguzi wa kushtukiza, skuli 109 zilifanyiwa

ukaguzi wa masomo na skuli 92 zilifanyiwa ukaguzi wa

ufuatiliaji,

Huduma za Maktaba 41. Mheshimiwa Spika, Programu hii ina madhumuni ya kutoa

fursa ya kutumia vitabu na nyenzo nyengine za taaluma kwa

watoto, wanafunzi wa ngazi zote na watu wote. Shughuli za

huduma hii zinatekelezwa na Shirika la Huduma za Maktaba

Zanzibar kwa mashirikiano na mashirika ya Books for Africa,

Book Aid International, Sida, GPE na Children International.

Kwa mwaka wa fedha 2017/18, programu hii ilipangiwa

kutumia ruzuku ya TSh. 469,400,000/= kwa kazi za kawaida.

Hadi kufikia Mei, 2018 jumla ya Tsh. 454,133,865/= sawa na

asilimia 96.7 zilipatikana. Utekelezaji halisi wa shughuli za

Programu hii ni kama ifuatavyo: -

i). Shirika kwa kushirikiana na Shirika la “Book Aid

International” la Uingereza limeimarisha huduma za

maktaba ya watoto kwa kufanya matengenezo

makubwa yaliyojumuisha upakaji wa rangi ukutani,

uchoraji wa picha za ukutani, kuweka mazulia na

mito, rafu za kuwekea vitabu, viti, meza, vifaa vya

kuchezea watoto (educative games), CD, televisheni

Page 41: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

37

pamoja na kuingiza vitabu vipya ili kuwavutia

watoto na watumiaji wengine wa maktaba.

ii). Jumla ya vitabu 29,470 vya msaada kutoka Shirika la

“Book Aid International” la Uingereza vimegaiwa

katika taasisi 142 za elimu. Taasisi hizo ni skuli 89

za msingi zimepatiwa vitabu 22,069 na skuli 49 za

sekondari zimepatiwa vitabu 6,829 zikiwemo skuli

34 za mkoa wa Mjini Magharibi, skuli 38 Mkoa wa

Kaskazini Unguja, skuli 32 Mkoa wa Kusini Unguja,

Skuli 30 Mkoa wa Kaskazini Pemba na skuli 8 Mkoa

wa kusini Pemba. Aidha, mgao huo pia ulihusisha

Chuo cha SUZA na Chuo cha Kumbukumbu ya

Abdulrahman Al Sumeit vilipatiwa vitabu 332.

Aidha, Kituo cha walimu cha Dunga na Kituo cha

Walimu cha Taifa cha Beit El Raas vimepatiwa

vitabu 240.

iii). Jumla ya programu 52 za watoto; 28 za ndani na 24

za nje maktaba zetu. Jumla ya watoto 2,914

wameshiriki katika programu hizo Unguja na Pemba.

iv). Siku ya Kimataifa ya kujua kusoma na kuandika

(International Literacy Day) imeadhimishwa katika

eneo la skuli ya Mahonda, Wilaya ya Kaskazini “B”

Unguja. Jumla ya watu 655 walishiriki wakiwemo

wanafunzi 550 na raia 105.

Matokeo ya Muda Mfupi

i. Jumla ya wanachama wapya 547 walisajiliwa katika

Maktaba kuu. Kati ya hao, wanachama 337 kwa

Unguja wakiwemo wanaume 146, wanawake 184 na

57 ni watoto na wanachama 210 kwa Pemba ambapo

71 wanaume, 89 wanawake na watoto 50).

ii. Idadi ya watumiaji wa maktaba imefikia 31,441

wakiwemo wanaume 10,070, wanawake 9,018 na

watoto 12,353 kwa Unguja na Pemba.

Page 42: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

38

Huduma ya Urajisi wa Elimu

42. Mheshimiwa Spika, Programu hii ina madhumuni ya

kuhakikisha Sheria, Sera na taratibu za Wizara zinafuatwa

katika skuli za Serikali na za binafsi. Huduma hii pia inatoa

leseni kwa walimu na kuzisajili skuli za Serikali na za binafsi.

Shughuli za huduma hii zinatekelezwa na Ofisi ya Mrajisi wa

Elimu. Kwa mwaka wa fedha 2017/18, programu hii

ilipangiwa kutumia jumla ya TSh. 90,000,000/= kwa kazi za

kawaida. Hadi kufikia Mei, 2018, jumla ya TSh.

90,000,000/= ambazo ni sawa na asilimia 100 zilipatikana.

43. Mheshimiwa Spika, Utekelezaji halisi wa huduma hii ni

kama hivi ifuatavyo: -

i). Vikao viwili vya Baraza la Elimu vilijadili

maendeleo ya elimu vimefanyika. Aidha, wajumbe

wa Baraza walipata nafasi ya kukutana na

Mheshimiwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti

Baraza la Mapinduzi Dkt. Ali Mohammed Shein kwa

kujadili mafanikio na changamoto za Baraza

sambamba na kujua mwelekeo wa Baraza la Elimu

kwa kuzingatia Mpango Mkuu wa Elimu, Dira 2020

na utekelezaji wa Mkuza III pamoja na Ilani ya

Chama cha Mapinduzi.

ii). Wajumbe wa Bodi za Elimu za Mikoa na Wilaya

walifanya ziara katika skuli za Mikoa na Wilaya zao

kwa lengo la kuangalia ufanisi na changamoto

zinazozikabili skuli zao.

iii). Ukaguzi wa usajili wa skuli za Serikali na za binafsi,

leseni za walimu pamoja na mambo mengine

yanayohusiana na Sera, Kanuni na Sheria za

uendeshaji wa skuli umefanyika. Jumla ya skuli 280

za binafsi zimekaguliwa (205 za Unguja na 75 za

Pemba).

iv). Jumla ya walimu 900 wamepatiwa leseni za

kusomeshea. Kati ya hao, walimu 754 wamesomea

kazi ya ualimu na 146 hawajasomea.

Page 43: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

39

v). Jumla ya maombi sita ya usajili wa vyuo vya binafsi

vyenye lengo la kutoa mafunzo ya Ualimu katika

ngazi ya Cheti na Stashahada yamepokelewa na

yamefanyiwa upembuzi yakinifu.

vi). Matukio mbalimbali ya udhalilishaji yaliyoripotiwa

katika Ofisi ya Mrajis wa Elimu zikiwemo kesi 15 za

ujauzito kwa wanafunzi yamechukuliwa hatua. Kati

ya kesi hizo, kesi 10 zilijadiliwa na kuripotiwa kwa

Kamanda wa Polisi katika Mikoa husika. Kwa

mujibu wa Sheria namba 4 ya Kuwalinda Wari na

Watoto wa Mzazi Mmoja ya mwaka 2005 wanafunzi

hao wameruhusiwa kuendelea na masomo yao.

Aidha, kesi 16 za ndoa kwa wanafunzi zimeripotiwa.

Kwa mujibu wa Sheria ya Elimu namba 6 ya mwaka

1982 kifungu 20(3) wanafunzi hawa hawaruhusiwi

kuendelea na masomo yao ya elimu ya lazima.

Matokeo ya muda mfupi

i. Jumla ya walimu 1,100 wa skuli za Serikali na za

binafsi wamehakikiwa na kupatiwa leseni zao za

kufundishia (945 LTT na 155 LUT)

ii. Jumla ya skuli 45 (skuli 15 zikiwemo tisa za

sekondari, nne za maandalizi na msingi na mbili za

msingi za Serikali na 30 za binafsi) zimekamilisha

taratibu na kupatiwa usajili.

iii. Chuo kimoja cha Mafunzo ya Ualimu cha binafsi

kimepatiwa usajili wa kutoa mafunzo ya Ualimu

ngazi ya cheti na stashahada katika Chuo Kikuu cha

Kumbukumbu ya Abdulrahman Al Sumait cha

Chukwani baada ya kukidhi vigezo vilivyowekwa.

iv. Jumla ya kesi 68 za udhalilishaji zikiwemo 22 za

ujauzito (7 Pemba na 15 Unguja), kesi 16 za ndoa (3

Unguja na 13 Pemba), 30 ubakaji na ulawiti (27

Unguja na 3 Pemba) zimeripotiwa na kufanyiwa kazi

kwa mujibu wa sheria.

Page 44: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

40

Programu ndogo ya Elimu Mjumuisho na Stadi za

Maisha

44. Mheshimiwa Spika, Programu hii ina jukumu la kuhakikisha

upatikanaji wa elimu kwa watoto wote wakiwemo wenye

mahitaji maalum. Programu hii inatekelezwa na Kitengo cha

Elimu Mjumuisho na Stadi za Maisha. Kwa mwaka 2017/18

programu hii ilitengewa TSh. 40,000,000/=. Utekelezaji halisi

wa shughuli za programu hii ndogo ni kama hivi ifuatavyo: -

i). Wizara kwa Shirika la Maendeleo ya Watoto Duniani

(UNICEF) imejenga ‘ramps’ katika skuli 50 (30

Unguja na 20 Pemba) kwa lengo la kusaidia kuweka

mazingira rafiki kwa watoto wote katika maeneo ya

watu wenye ulemavu wa viungo kupata fursa sawa

ya kuyatumia mazingira hayo.

ii). Wizara kwa kushirikiana na “Norwegian Association

for the Disabled” (NAD) imetoa mafunzo ya

usimamiaji wa elimu mjumuisho kwa walimu 124

(66 Unguja na 58 Pemba) kutoka skuli 8 (4 Unguja

na 4 Pemba) za majaribio ya pili ya elimu

mjumuisho.

iii). Mafunzo ya Mpango Binafsi wa Elimu wa mtoto

(Individual Education Plan) yametolewa kwa

Washauri wa Elimu Mjumuisho na Stadi za Maisha

wa Vituo vya Walimu na Wasaidizi wao, Wakufunzi

30 (12 wanaume na 18 wanawake) ili kuwajengea

uwezo wa kushughulika na Elimu ya Ukuaji wa

Mapema wa Mtoto (ECD). Lengo ni kuwawezesha

kuwatambua na kuwasaidia wanafunzi wenye

mahitaji maalumu pamoja na kutoa mafunzo hayo

kwa walimu wote wa skuli 8 za majaribio.

iv). Mafunzo ya maandishi ya nukta nundu kwa walimu

19 (10 Unguja na 9 Pemba) yametolewa.

v). Mpango wa kuendesha mafunzo ya nidhamu

endelevu kwa walimu wote wa Unguja na Pemba

umeandaliwa. Kitengo kimeanza kutoa mafunzo

Page 45: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

41

hayo kwa walimu 1,539 (818wanawake na 721

wanaume). Kati ya hao 630 (309 wanawake na 321

wanawake) wa skuli 37 za Wilaya ya Kusini na 909

(509 wanawake na 400 wanawake) wa skuli 57 za

Wilaya ya Kaskazini ‘A’.

vi). Mafunzo ya kugundua na kujiepusha na vitendo vya

liwati yametolewa kwa wanafunzi 2,670, wakiwemo

wanawake 1,279 na wanaume 1,391 wa Darasa la

kwanza hadi la tatu kutoka skuli 25 za Wilaya ya

Mjini na Kaskazini… Unguja. Aidha, mafunzo ya

jinsia yametolewa kwa walimu 47 (wanaume 35 na

wanawake 22) wa skuli za maandalizi, msingi na

sekondari ili waweze kuwaelimisha wanafunzi wao

jinsi ya kuwa na tahadhari, kujilinda na kujiepusha

na vitendo vya udhalilishaji vilivyokithiri katika

jamii zetu.

vii). Mafunzo juu ya Virusi vya UKIMWI (VVU) na

UKIMWI yametolewa kwa walimu 12 wa skuli nne

za sekondari na kwa maafisa afya wanane kutoka

katika vituo vinne vya Afya Unguja.

viii). wanafunzi 254 katika skuli nne (skuli mbili za

Wilaya ya Kusini, moja Kaskazini… na moja ya

Wilaya ya Mjini) wamewajengea uwezo katika

masuala yanayohusiana na VVU/UKIMWI ili

waweze kujenga tabia na kukuza mwenendo

utakaowazuia kuambukizwa VVU pamoja na

kupinga unyanyapaa na ubaguzi kwa watu wanaoishi

na VVU.

Programu ndogo ya Teknolojia ya Habari na

Mawasiliano katika Elimu 45. Mheshimiwa Spika, Programu hii ina madhumuni ya

kuifanya teknolojia ya habari na mawasiliano itumike katika

ngazi ya utawala, kujifunza na kufundishia, kuimarisha

huduma ya mawasiliano, kutunza usalama wa taarifa na

katika maisha ya kila siku. Shughuli za programu hii

Page 46: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

42

zinatekelezwa na Idara ya Teknolojia ya Habari na

Mawasiliano Katika Elimu. Kwa mwaka 2017/18, programu

hii ilipangiwa kutumia jumla ya TSh. 6,074,270,000/= kwa

kazi za kawaida. Hadi kufikia Mei, 2018, jumla ya TSh.

474,248,878/= zilipatikana ambazo ni sawa na asilimia 75.2.

46. Mheshimiwa Spika, maelezo ya utekelezaji halisi wa

programu hii ndogo ni kama hivi ifuatavyo: -

i). Kuendelea kurusha hewani vipindi vya Elimu ya

Maandalizi ambapo vituo 324 vya Elimu ya Unguja

na Pemba vinaendelea kufaidika na programu hiyo.

Aidha, Programu 14 za video zinazotoa elimu ya

sayansi kwa mada zenye changamoto ya ufundishaji

kwa wanafunzi wa darasa la 5 na 6 na vipindi 18 vya

redio na 18 vya Televisheni vinavyotoa mafunzo ya

Kiingereza kupitia programu ya “Happy Talk”

vimetayarishwa. Vipindi hivi ni kwa ajili ya

wanafunzi na wale wote ambao wanahitaji

kujiendeleza kupitia lugha ya Kiingereza chao.

ii). Taasisi saba za Wizara ya Elimu na Mafunzo ya

Amali zimeunganishwa na Mkonga wa Taifa. Taasisi

hizo ni Chuo cha Kiislam Mazizini, Chuo cha

Karume cha Sayansi na Teknolojia, Makao makuu ya

Wizara Mazizini, Ofisi Kuu ya Elimu Pemba, Chuo

Kikuu cha Taifa Zanzibar (SUZA), Baraza la

Mitihani na Skuli ya Sekondari ya Kiembesamaki.

Pia, Taasisi 82 za WEMA zimefanyiwa upembuzi

yakinifu kwa kuunganishwa na Mkonga wa

Mawasiliano wa Taifa.

iii). Matayarisho ya kuandaa mifumo ya kielektroniki ya

utoaji wa huduma za elimu yanaendelea. Miongoni

mwa mifumo hiyo ni mfumo wa utoaji taaluma kwa

njia ya mtandao (e-learning plateform), mfumo wa

utunzaji wa kumbukumu za masjala na mwenendo

wa mafaili na usalama ujulikanao kwa jina la “file

tracking system”, mfumo wa uchambuzi wa upimaji

Page 47: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

43

na matokeo (School Assessment System) na mfumo

wa taarifa za kielimu (Education Management

Information System).

Matokeo ya muda mfupi;

i. Jumla ya walimu 243 wanaosomesha Somo la

TEHAMA katika madarasa ya Elimu ya Msingi juu

(Darasa la Tano na la Sita) wamepatiwa mafunzo ya

TEHAMA ili kuimarisha uwezo wao wa kufundisha

somo hilo. Aidha, watumishi 78 wa kada mbalimbali

wa Wizara ya Elimu wamepatiwa mafunzo ya awali

ya kuitumia Teknolojia ya Habari na Mawasiliano

katika majukumu yao ya kila siku.

ii. Jumla ya walimu 16 wa ngazi ya Maandalizi, Msingi

na Sekondari wamepatiwa mafunzo ya uandishi wa

programu za Redio na Video za kitaaluma kwa

masomo ya ngazi ya Msingi na Sekondari na

wanafunzi 15 wa Sekondari wamepatiwa mafunzo ya

uandishi wa programu za redio na video, utumiaji wa

vifaa vya studio za Redio na Televisheni pamoja na

mbinu za kuhariri programu hizo.

Programu ndogo ya Michezo na Utamaduni katika Skuli

47. Mheshimiwa Spika, Programu hii ina madhumuni ya

kumuandaa mwanafunzi kimwili, kiafya na kiakili katika

kujifunza kwa kupitia michezo. Shughuli za programu hii

zinatekelezwa na Idara ya Michezo na Utamaduni katika

elimu. Kwa mwaka wa fedha 2017/18, programu hii

imepangiwa kutumia jumla ya TSh. 374,552,000/= kwa kazi

za kawaida. Hadi mwezi Mei, 2018, jumla ya TSh.

379,602,180/= sawa na asilimia 101.3 zilipatikana.

48. Mheshimiwa Spika, utekelezaji wa programu hii ni kama

hivi ifuatavyo: -

i). Jumla ya skuli 100 zimepatiwa vifaa vya michezo

kupitia mpango wa Sports 55. Vifaa hivyo ni vya

Page 48: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

44

michezo ya riadha, mpira wa miguu, mpira wa

kikapu na mpira wa pete.

ii). Jumla ya walimu 300 wamepatiwa mafunzo ya

uendeshaji na usimamizi wa mpira wa miguu, riadha,

mpira wa kikapu, mpira wa wavu na mpira wa pete

kupitia mpango wa Sports 55.

iii). Tamasha la Elimu bila Malipo kuanzia ngazi ya

wilaya hadi Taifa limefanyika kwa ufanisi mwezi wa

Septemba, 2017 na kuongeza hamasa na ushiriki wa

wanafunzi katika michezo na sanaa.

iv). Mashindano ya mchezo wa mbio za nyika

yamefanyika mwezi wa Julai na timu maalumu ya

wachezaji 40 wenye vipaji imeundwa na

kuendelezwa.

v). Mikakati na matamasha ya ushajishaji wa uzalendo,

nidhamu na kuwajenga wanafunzi katika na maadili

mema pamoja na kuwafahamisha wanafunzi historia

ya nchi yetu yamefanyika katika kila Mkoa kupitia

mpango mahususi wa ‘Nchi yetu ni Urithi wetu’.

vi). Wanafunzi 100 kutoka skuli za msingi na sekondari

wameshiriki katika kuandaa na kuwasilisha kazi za

sanaa katika Tamasha la Utamaduni wa Mzanzibari

lililoratibiwa na iliyokuwa Wizara ya Habari, Utalii,

Utamaduni na Michezo.

vii). Ujenzi wa kiwanja cha michezo katika skuli ya

Regezamwendo umeanza na hatua inayofuata ni ya

kuweka zege.

viii). Bonanza maalumu la michezo ya wanafunzi wenye

ulemavu limefanyika katika uwanja wa Amani na

wanafunzi wameonesha uwezo na vipaji vyao.

Matokeo ya muda mfupi;

i. Jumla ya wanafunzi 130 wenye vipaji vya michezo

kutoka skuli mbalimbali wameibuliwa na

wanaendelezwa ili washiriki Michezo ya

Page 49: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

45

UMISSETA itakayofanyika mwezi Juni, 2018

Tanzania Bara.

ii. Jumla ya walimu 475 wamebobea katika michezo ya

ya riadha, mpira wa pete, mpira wa miguu, mpira wa

meza na mpira wa wavu. Walimu hawa

wanawafundisha mbinu na sharia za michezo

wanafunzi wetu katika skuli za msingi na sekondari.

PROGRAMU YA SITA: UTAWALA NA UONGOZI

49. Mheshimiwa Spika, programu hii madhumuni yake

makubwa ni kuhakikisha nyenzo zilizo bora zinapatikana na

zinatumika kwa kuimarisha utoaji na upatikanaji wa elimu.

Programu hii ina programu ndogo tatu; Programu ya Uongozi

Kiujumla, Programu ya Uratibu wa Shughuli za Mipango,

Sera na Utafiti na Programu ya Uratibu wa Shughuli za Elimu

Pemba. Utekelezaji wa programu hii ni kama ifuatavyo: -

Programu ndogo ya Uongozi Kiujumla

50. Mheshimiwa Spika, programu hii ina madhumuni ya kutoa

ufanisi wa Uongozi na utawala wa rasilimali za Wizara.

Shughuli za programu hii ndogo zinatekelezwa na Idara ya

Utumishi na Uendeshaji. Kwa mwaka wa fedha 2017/18,

programu hii ilipangiwa jumla ya TSh. 6,766,490,000/=. Hadi

kufikia Mei, 2018, jumla ya TSh. 6,002,603,257/=

zilipatikana ambazo ni sawa na asilimia 89. Utekelezaji wa

kazi za programu hii ni kama ifuatavyo: -

i) Idara imeratibu upatikanaji wa ajira 1,006 kwa

Unguja na Pemba baada ya kupata kibali cha uajiri

kutoka Tume ya Utumishi Serikalini. Kati ya

waajiriwa hao, walimu 11 ni wa Shahada ya kwanza

ya Sayansi, 367 Shahada ya Sanaa, 177 Stashahada ya

Sanaa, 168 walimu wa Cheti daraja la IIIA na

wafanyakazi watano wa kada nyengine kwa Unguja.

Kwa upande wa Pemba, walioajiriwa ni 278

wakiwemo sita wa Shahada ya Kwanza Sayansi, 96

Page 50: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

46

wa Shahada ya Kwanza Sanaa, 120 wa Stashahada

Sanaa na 56 wa Cheti daraja la IIIA. Aidha, Wizara

yangu imeshawasilisha maombi mapya ya ajira kwa

kujaza nafasi 254 za wafanyakazi waliostaafu na

waliofariki mwaka 2017/18. Kati ya wafanyakazi hao,

144 wa Unguja na 110 kwa Pemba.

ii) Marekebisho ya mishahara ya walimu wenye uzoefu

wa kazi kwa zaidi ya miaka 30 yamefanyika. Jumla ya

walimu 335 wa Unguja na 479 wa Pemba

wamehusika na marekebisho hayo. Aidha, Idara

imelipa malimbikizo kwa wafanyakazi hao yenye

thamani ya TSh. 574,369,140/= kwa upande wa

walimu wa Pemba na TSh. 375,690,920 kwa upande

walimu wa Unguja. Vile vile, jumla ya wafanyakazi

1,704 Unguja waliopewa likizo wamelipwa posho la

likizo lenye thamani ya TSh. 170,400,000/= na TSh.

165,900,000/= kwa wafanyakazi 1,659 wa upande wa

Pemba.

iii) Jumla ya wafanyakazi 604 (356 Unguja na 248

Pemba) walipatiwa fursa ya kujiunga na masomo

katika vyuo mbalimbali vya ndani na nje ya nchi

katika ngazi tofauti baada ya kukamilisha masharti ya

kiutumishi na ya vyuo husika. Kati yao, wafanyakazi

15 wa Shahada ya Uzamivu (PhD), 99 Shahada ya

uzamili, 79 Shahada ya Kwanza, 386 Stashahada, 16

Cheti na 09 wa Kozi za muda mfupi.

iv) jumla ya wafanyakazi 195 walistaafu kazi kwa mujibu

wa sheria, wafanyakazi watano waliacha kazi kwa

hiari, 32 wamefariki dunia, Mwenyezi Mungu

awalaze mahali pema peponi Amin. Aidha,

wafanyakazi 18 walipewa uhamisho kwenda

kuendelea na kazi katika Wizara na Taasisi

mbalimbali za Serikali na wafanyakazi 15

wamechukua likizo bila ya malipo.

v) Wafanyakazi 722 Unguja na 618 Pemba wamepatiwa

mikopo ya fedha taslim, vifaa vya ujenzi, vipando na

Page 51: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

47

vifaa vya matumizi ya nyumbani. Wafanyakazi hawa

wote walifaidika na mikopo yenye thamani ya TSh.

2,935,473,068/= kwa Unguja na Tsh 2,682,289,765/=

kwa Pemba. Wizara iliwadhamini wafanya kazi hao.

Matokeo ya muda mfupi;

Jumla ya wafanyakazi 15,535 (10,059 wanawake na 4,427

wanaume), wafanyakazi 11,769 wapo Unguja (8,142

wanawake na 2,883 wanaume). Kwa upande wa Pemba wapo

wafanyakazi 3,766 (wanawake 1,544 na wanaume ni 1,917

kati ya wafanyakazi wote 14,486 ni wa kada ya ualimu na

1,049 ni wafanyakazi wasiokuwa wa kada ya ualimu.

Programu ndogo ya Uratibu wa Shughuli za Mipango,

Sera na Utafiti

51. Mheshimiwa Spika, programu hii ina madhumuni ya

kufanikisha na kuratibu Mipango, Sera na Utafiti katika

Wizara. Programu hii ndogo inatekelezwa na Idara ya

Mipango, Sera na Utafiti na ilipangiwa kutumia jumla ya

TSh. 5,616,739,000/= kwa kazi za kawaida. Hadi kufikia

Mei, 2018, jumla ya TSh. 5,239,767,889/= zilipatikana

ambazo ni sawa na asilimia 93.

52. Mheshimiwa Spika, utekelezaji halisi wa programu hii ni

kama hivi ifuatavyo: -

i). Mpango Mkuu wa elimu wa miaka mitano (2017 –

2021) umekamilika na kuwasilishwa kwa wadau

mbalimbali wa ndani na nje ya Zanzibar. Jumla ya

wadau 917 wamefikiwa wakiwemo Watendaji wa

WEMA, Maafisa Elimu wa Wilaya na Mikoa,

Walimu Wakuu na Wasaidizi Wao, Wenyeviti wa

Kamati za Skuli na baadhi ya Wajumbe wa Kamati

za skuli kwa Unguja na Pemba.

ii). Matokeo ya utafiti wa SACMEQ IV yamewasilishwa

kwa walimu wa skuli za msingi kwa Wilaya ya

Mjini, Kati, na Kaskazini B kwa Unguja na Wilaya

Page 52: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

48

ya Micheweni na Mkoani kwa Pemba. Matokeo ya

utafiti huu yanaonesha kuwa kiwango cha wanafunzi

katika kusoma na kuhesabu kimepanda ukilinganisha

na matokeo ya Utafiti wa SACMEQ III mwaka 2007.

iii). Mapitio ya Sera ya elimu (2006) na Sheria ya Elimu

(1982) yamefanyika ili ziendane na Mpango Mkuu

wa Elimu (2017 - 2021), Dira ya 2020, MKUZA III

na Mipango mbalimbali ya maendeleo ya Elimu

Duniani.

iv). Mafunzo juu ya majukumu ya kamati za skuli kwa

wajumbe wa Kamati za skuli 44 za Wilaya ya

Kaskazini ‘B’ na Kusini kwa Unguja na skuli 49 za

Wilaya ya Chakechake na skuli 21 za Mkoani kwa

Pemba yametolewa. Majukumu hayo ni pamoja na

kusimamia uandikishaji wa wanafunzi, kusimamia

maendeleo ya wanafunzi na kuidhinisha matumizi ya

fedha za skuli pamoja na kusimamia mapato.

v). Zoezi la utafiti wa watoto walio nje ya mfumo wa

elimu “out of school children” linaloendeshwa na

Taasisi ya “Oxford Policy Management” ya

Uingereza kwa mashirikiano na Ofisi ya Mtakwimu

Mkuu wa Serikali, Shirika la UNICEF na Jumuiya ya

“Milele Zanzibar Foundation” umekamilika.

Matokeo ya utafiti huo unaonesha kuwa jumla ya

wanafunzi kati ya 140,000 na 150,000 bado wako nje

ya mfumo wa elimu.

Programu ndogo ya kuratibu shughuli za elimu Pemba 53. Mheshimiwa Spika, Programu hii ina madhumuni ya

kuratibu na kusimamia shughuli zote za elimu kwa upande

wa Pemba. Msimamizi Mkuu wa shughuli za programu hii ni

Afisa Mdhamini wa Wizara yangu kupitia katika Divisheni

ya Idara ya Uendeshaji na Utumishi Pemba. Programu hii

ndogo ilipangiwa jumla ya TSh. 4,046,861,000/= kwa kazi za

kawaida. Hadi kufikia Mei, 2018, jumla ya TSh.

3,743,539,883/= zilip atikana sawa na asilimia 92 ambazo

Page 53: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

49

zilitumika katika kusimamia na kufuatilia shughuli na

programu za elimu Pemba. Ufuatiliaji huu umeonesha

changamoto na mafanikio mbalimbali ya elimu Pemba.

Baadhi ya mafanikio ni kuhamasika kwa wananchi katika

unadikishaji wa watoto skuli. Hali hii imepelekea kuongezeka

kwa uandikishaji katika ngazi zote za elimu. Aidha, uhaba wa

walimu hasa kwa wilaya ya Micheweni ni miongoni mwa

changamoto zilizojitokeza ambapo Wizara inaendelea na

hatua za kutatua changamoto hiyo.

MPANGO WA UTEKELEZAJI KWA MWAKA 2018/19

KATIKA MFUMO WA PROGRAMU

54. Mheshimiwa Spika, baada ya kutoa taarifa ya utekelezaji wa

bajeti kwa mwaka wa fedha 2018/19 naomba sasa niwasilishe

vipaumbele vya Wizara na kisha makadirio ya mapato na

matumizi kwa mwaka 2018/19.

Vipaumbele

55. Mheshimiwa Spika, kwa mwaka wa fedha 2018/19,

vipaumbele vya sekta ya elimu ni: -

i). Kufidia michango ya wazee katika ngazi ya elimu ya

Sekondari kwa kuwapatia wanafunzi mabuku ya

kuandikia na vifaa vyengine vya kusomeshea na

kujifunzia vikiwemo chaki, vitabu vya kiada na ziada

na vifaa vya maabara.

ii). Kuimarisha miundombinu na mazingira ya

kufundishia na kujifunzia kwa kukamilisha ujenzi wa

madarasa 140 yaliyoanzishwa na wananchi, kujenga

madarasa mapya 50, kukamilisha ujenzi wa skuli 11

na kuanza ujenzi wa skuli tano mpya katika maeneo

ya Mwanakwerekwe, Wingwi, Kwarara, Mlilile na

Ngadu. Pia Wizara itaanza ujenzi wa maabara katika

skuli 23 na madarasa 48 mapya katika skuli sita za

sekondari Unguja (4) na Pemba (2) pamoja na

ununuzi wa samani zake.

Page 54: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

50

iii). Kuanza ukarabati mkubwa katika skuli ya Sekondari

ya Haile-Sellasie na Uzini, na ukarabati mdogo

katika skuli 20 za Unguja na Pemba.

iv). Kukamilisha ukarabati wa skuli za sekondari za

Lumumba na Madungu.

v). Kukamilisha ujenzi wa skuli mpya ya sekondari ya

Kibuteni na skuli ya msingi ya Pangawe.

vi). Kuimarisha mfumo wa Ukaguzi wa Elimu, Mfumo

wa Mitihani na Mfumo wa Takwimu.

vii). Kuchapisha Sera ya Elimu ya Mwaka 2006

iliyofanyiwa mapitio na kuiwasilisha wa wadau.

viii). Kufanya utafiti wa tathmini ya ubora wa elimu ya

msingi (SAECMEQ V)

ix). Kuendelea na ujenzi wa vituo vya mafunzo Amali

vya Makunduchi na Daya.

x). Kuimarisha huduma za dakhalia zote za Unguja na

Pemba kwa kuzipatia usafiri (kwa dahalia mbili) na

kusaidia gharama za chakula kwa wanafunzi wote

wanaokaa dahalia.

xi). Kuwajengea walimu uwezo wa kufundisha masomo

ya Sayansi, Hisabati na Kiingereza.

xii). Kuajiri walimu 499 wenye sifa za kufundisha ngazi

ya elimu ya Sekondari.

xiii). Kutoa fedha za ruzuku kwa skuli zote za sekondari

na Ruzuku ya Ufaulu kwa skuli za msingi na

sekondari zitakazoongeza asilimia ya ufaulu katika

masomo ya Sayansi, Hisabati na Kiingereza.

xiv). Kuimarisha matumizi ya TEHAMA katika

ufundishaji

xv). Kuendelea kutoa mikopo kwa wanafunzi wa elimu

ya juu na kukusanya marejesho ya mikopo kutoka

kwa wahitimu wa ngazi hiyo.

xvi). Kufanya ufuatiliaji wa utekelezaji wa mipango ya

maendeleo ya elimu.

Page 55: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

51

xvii). Kuimarisha ukumbi wa mahafali wa Chuo Kikuu cha

Taifa cha Zanzibar kwa kuupatia vifaa vya

mawalisiliano na sauti.

xviii). Kuimarisha michezo katika kuinua kipaji kwa

kutekeleza mipango ya “Sports 55”

xix). Kushirikiana na Wizara Ya Nchi Ofisi ya Rais,

Tawala za Mikoa, Serikali za mitaa na Idara

Maalumu katika utekelezaji wa ugatuzi wa elimu

katika ngazi za elimu ya maandalizi na msingi.

56. Mheshimiwa Spika, Naomba sasa, kuwasilisha mpango wa

maendeleo ya elimu kwa mwaka wa fedha wa 2018/19 kwa

mfumo wa programu kama hivi ifuatavyo: -

57. Mheshimiwa Spika, Kwa mwaka wa fedha wa 2018/2019

Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali itaendelea kutekeleza

malengo yake yaliyozingatia Dira 2020, MKUZA III, Sera ya

Elimu, Mpango Mkuu wa Elimu (2017 – 2021), vipaumbele

vya Wizara kwa mwaka 2018/19 pamoja na mikakati

mengine ya Kitaifa na Kimataifa yenye lengo la kuimarisha

utoaji wa Elimu. Wizara pia, itaendelea kushirikiana na sekta

nyengine zinazotoa huduma za jamii ikiwemo Wizara ya

Afya, Wizara ya Ardhi, Maji, Nishati na Mazingira na Wizara

ya Kazi, Uwezeshaji na Maendeleo ya Wazee, Wanawake na

Watoto, Wizara ya Nchi Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa,

Serikali za Mitaa na Idara Maalumu na washirika mbalimbali

wa maendeleo, mashirika yasiyo ya Serikali na wananchi.

58. Mheshimiwa Spika, Katika mwaka wa fedha wa 2018/2019,

Wizara yangu itatekeleza miradi mitano ya maendeleo kupitia

programu tano badala ya programu sita kama ilivyokuwa kwa

mwaka 2017/2018. Hii ni kutokana ni kugatuliwa kwa

Programu ya Maandalizi na Msingi ambayo itatekelezwa

kupitia Wizara ya Nchi Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa,

Serikali za Mitaa na Idara Maalum za SMZ.

Page 56: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

52

59. Mheshimiwa Spika, Katika kusaidia utekelezaji wa

programu hiyo iliyogatuliwa, Wizara imegatua wafanyakazi

wote wa Idara ya Maandalizi na Msingi, Bajeti ya shughuli

zilizopangwa kutekelezwa kwa mwaka 2018/2019 pamoja na

walimu wote wa skuli za maandalizi na msingi na wafanya

kazi wengine watahamishiwa katika serikali za mitaa. Jumla

ya TSh. 55,259,299,000/- zimetengwa na zimehamishiwa

katika Wizara ya Nchi Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa,

Serikali za Mitaa na Idara Maalumu kwa ajili ya utekelezaji

wa Programu ya Maandalizi na Msingi. Mambo Makuu

yaliyogatuliwa ni usimamizi na uendeshaji wa skuli za

maandalizi na msingi na Wizara ya Elimu na Mafunzo ya

Amali itaendelea kutunga na kusimamia, sera na Mipango,

mashirikiano ya kimataifa, Ukaguzi wa Elimu, utungaji wa

mitaala na vifaa vya kufundishia, utungaji na utoaji wa

matokeo ya mitihani.

60. Mheshimiwa Spika, Programu tano za Wizara zitatekelezwa

kwa mashirikiano kati ya Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar

na washirika wa maendeleo wa ndani na nje ya nchi. Jumla

ya TSh. 179,605,900,000/= zitahitajika, kati ya hizo TSh.

102,054,299,000/= ni za SMZ ambapo TZS 5,890,000,000/=

ni za miradi ya maendeleo na TZS 77,551,601,000/= ni

kutoka kwa wahisani ambapo TSh. 14,452,101,000/= ni za

ruzuku kutoka GPE, UNICEF, USAID, Table for Two (TfT),

Shirika la “Good Neighbour” la Korea, Jamhuri ya Watu wa

China, NORAD na “Milele Zanzibar Foundation” na TSh.

63,099,500,000/= ni mkopo kutoka Benki ya Dunia, Benki ya

Kiarabu kwa Maendeleo ya Afrika (BADEA), Benki ya

Maendeleo ya Afrika (AfDB) na Mfuko wa OPEC. Jadweli

Nam. 49 litatoa ufafanuzi Zaidi. Miradi mitano na Programu

tano zitakazotekelezwa ni kama ifuatavyo: -

Miradi mitano ya Sekta ya Elimu

i). Mradi wa Uimarishaji wa Elimu ya Maandalizi

ii). Mradi wa Uimarishaji wa Elimu ya Msingi

Page 57: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

53

iii). Mradi wa Uimarishaji wa Elimu ya Lazima

iv). Mradi wa Uimarishaji wa Elimu Mbadala na Amali.

v). Mradi wa Uimarishaji wa Miundombinu katika elimu

Programu tano za Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali

Programu ya 1: Elimu ya Sekondari.

Programu ya 2: Elimu ya Juu

Programu ya 3: Elimu Mbadala na Mafunzo ya Amali

Programu ya 4: Ubora wa Elimu

Programu ya 5: Uongozi na Utawala

MAELEZO YA PROGRAMU ZA ELIMU

61. Mheshimiwa Spika, yafuatayo ni maelezo ya programu za

Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali yanayohusisha

Madhumuni, Matokeo ya muda mfupi, Viashiria na Shabaha

za utekelezaji kwa kila programu.

PROGRAMU YA KWANZA: ELIMU YA SEKONDARI

62. Mheshimiwa Spika, Programu ya Elimu ya Sekondari

madhumuni yake makubwa ni kumtayarisha mwanafunzi

aweze kuendelea na masomo katika ngazi za juu zaidi.

Matokeo ya muda mfupi;

Kutoa Elimu ya Sekondari.

Viashiria vya matokeo;

Uwiyano wa wanafunzi wanaomaliza elimu ya

lazima,

Uwiano halisi wa uandikishaji wa wanafunzi katika

ngazi ya kidato cha nne na cha sita,

Uwiyano wa idadi ya walimu kwa nyumba za

wafanyakazi katika maeneo yasiyofikika kirahisi

Uwiyano wa wanafunzi kwa madarasa.

Page 58: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

54

Shabaha za utekelezaji;

Kuongeza kiwango halisi cha uandikishaji wanafunzi

wa sekondari ya awali (Kidato cha 1 – 4) kutoka

asilimia 85.6 katika mwaka 2018 hadi kufikia

asilimia 87 ifikapo mwaka 2019.

Kiwango cha mpito kutoka kidato cha pili kwenda

cha tatu kuongezeka kutoka asilimia 74 mwaka 2017

hadi kufikia asilimia 78 ifikapo mwaka 2018.

Kiwango cha mpito kutoka kidato cha nne kwenda

cha tano kuongezeka kutoka asilimia 67.3 mwaka

2017 hadi asilimia 70 ifikapo mwaka 2018.

Kiwango cha mpito kutoka kidato cha sita kuendelea

na elimu ya juu kuongezeka kutoka asilimia 92.8

mwaka 2017/18 hadi asilimia 94 ifikapo mwaka

2018/19.

63. Mheshimiwa Spika, Shughuli za programu hii zinatekelezwa

na Idara ya Elimu ya Sekondari. Kwa mwaka wa fedha

2018/19, programu hii imepangiwa jumla ya TSh.

95,587,550,000/=

PROGRAMU YA PILI: ELIMU YA JUU

64. Mheshimiwa Spika, programu hii madhumuni yake ni kutoa

elimu itakayomuwezesha muhitimu kujiajiri au kuajiriwa.

Programu hii ina programu ndogo moja na maeneo madogo

manne ambayo ni: -

Programu ndogo ya Mafunzo ya Ualimu

65. Mheshimiwa Spika, programu hii ina madhumuni ya

kuwawezesha wanafunzi kuwa wabunifu, wataalamu na

wenye uwezo wa kuongoza ili kukuza ubora wa elimu.

Matokeo ya muda mfupi;

Elimu ya Diploma ya Ualimu kutolewa

Page 59: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

55

Viashiria vya matokeo;

Idadi ya wanafunzi wote walioandikishwa vyuo vya

ualimu.

Shabaha za Utekelezaji;

Kuongeza kiwango cha asilimia ya walimu wenye

sifa kutoka 99 mwaka 2017 hadi kufikia asilimia

99.5 mwaka 2018

66. Mheshimiwa Spika, Shughuli za programu hii zinatekelezwa

na Idara ya Mafunzo ya Ualimu. Kwa mwaka wa fedha

2018/19, programu hii imepangiwa jumla ya TSh.

1,396,183,000/=

Huduma ya Elimu ya Juu, Ushauri na Utafiti

67. Mheshimiwa Spika, Huduma hii ina madhumuni ya

kumtayarisha mwanafunzi kuingia katika fani za kitaalamu na

ajira.

Matokeo ya muda mfupi;

Kiwango cha elimu ya Stashahada, Shahada ya

kwanza, Shahada ya pili na Shahada ya tatu

kutolewa.

Viashiria vya matokeo;

Idadi ya wanafunzi wanaomaliza ngazi ya

Astashahada na Stashahada.

Idadi ya wanafunzi wanaomaliza ngazi ya Shahada

ya kwanza, ya Uzamili na ya Uzamivu.

Idadi ya tafiti zinazofanywa.

Shabaha za Utekelezaji;

Kuongeza idadi ya wanafunzi wa Chuo Kikuu kutoka

5,252 mwaka 2017/18 hadi kufikia 6,000 mwaka

2018/19

Page 60: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

56

68. Mheshimiwa Spika, Shughuli za huduma hii zinatekelezwa

na Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA). Kwa mwaka

wa fedha 2018/19, huduma hii imepangiwa ruzuku ya TSh.

11,060,200,000/=

Huduma ya Elimu ya Sayansi na Teknolojia

69. Mheshimiwa Spika, Huduma hii ina madhumuni ya

kuimarisha elimu ya sayansi na teknolojia.

Matokeo ya muda mfupi;

Kuimarisha ufundishaji na kujifunza Sayansi,

Hisabati na Teknolojia

Elimu ya Ufundi kuimarishwa.

Viashiria vya matokeo;

Idadi ya wanafunzi wahitimu katika Taasisi,

Uwiyano wa wanafunzi kwa madarasa.

70. Mheshimiwa Spika, Shughuli za huduma hii zinatekelezwa

na Taasisi ya Karume ya Sayansi na Teknolojia. Kwa mwaka

wa fedha 2018/19, programu hii imepangiwa ruzuku ya TSh.

1,631,500,000/=

Huduma ya Mikopo ya Elimu ya Juu

71. Mheshimiwa Spika, Huduma hii ina madhumuni ya kutoa

mikopo kwa wanafunzi wa elimu ya Juu.

Matokeo ya muda mfupi;

Mikopo kwa wanafunzi wa elimu ya juu kutolewa.

Fedha zilizokopeshwa kwa wanafunzi kurejeshwa.

Viashiria vya matokeo;

Idadi ya wanafunzi wanaopokea mikopo

Idadi ya wanafunzi wanaorudisha mikopo.

Shabaha za Utekelezaji;

Page 61: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

57

Kuongeza utowaji wa mikopo kwa wanafunzi kutoka

asilimia 25 ya waombaji mwaka 2017/18 hadi

kufikia asilimia 40 ifikapo mwaka 2018/19

Kuongeza makusanyo ya marejesho ya mikopo

kutoka TSh. 1,500,000,000. /= ya mwaka 2017/18 na

kufikia TSh. 2,300,000,000/= mwaka 2018/19.

72. Mheshimiwa Spika, Shughuli za huduma hii zinatekelezwa

na Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu. Kwa mwaka wa fedha

2018/19, programu hii imepangiwa ruzuku ya TSh.

11,775,900,000/=

Huduma ya Uratibu wa Elimu ya Juu

73. Mheshimiwa Spika, Huduma hii ina madhumuni ya

usimamizi na tathmini ya elimu ya juu.

Matokeo ya muda mfupi;

Tathmini katika vyuo vinavyotoa elimu ya juu

kufanyika.

Wahitimu waliomaliza masomo ya elimu ya juu

kuratibiwa.

Viashiria vya matokeo;

Idadi ya wanafunzi wanaoendelea na masomo ya

elimu ya juu kijinsia.

Idadi ya wahitimu wa elimu ya juu kijinsia.

74. Mheshimiwa Spika, Shughuli za huduma hii zinatekelezwa

na Kitengo cha Uratibu wa Elimu ya Juu. Kwa mwaka wa

fedha 2018/19, programu hii imepangiwa jumla ya TSh.

40,000,000/=

Page 62: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

58

PROGRAMU YA TATU: ELIMU MBADALA NA

MAFUNZO YA AMALI

75. Mheshimiwa Spika, Programu hii madhumuni yake ni kutoa

elimu ya mafunzo ya amali kwa mwanafuzi kulingana na

mahitaji ya soko la ajira. Programu hii ina programu ndogo

ndogo mbili kama ifuatavyo;

Programu ndogo ya Mafunzo ya Amali

76. Mheshimiwa Spika, Programu hii ina madhumuni ya kutoa

elimu itakayowawezesha vijana kujiajiri ili kujikwamua na

umasikini.

Matokeo ya muda mfupi;

Mafunzo ya Amali na ufundi kutolewa.

Viashiria vya matokeo;

Ukosefu wa ajira kwa vijana kupungua

Idadi ya wanafunzi wanaomaliza mafunzo ya amali

kuongezeka.

77. Mheshimiwa Spika, shughuli za programu hii zinatekelezwa

na Mamlaka ya Mafunzo ya Amali. Kwa mwaka wa fedha

2018/19, Mamlaka imetengewa ruzuku ya TSh.

6,621,600,000/=.

Programu ndogo ya Elimu Mbadala na Watu Wazima 78. Mheshimiwa Spika, Programu hii ina madhumuni ya

kupunguza kiwango cha kutojua kusoma, kuandika na

kuhesabu miongoni mwa wanajamii.

Matokeo ya muda mfupi;

Elimu mbadala na ya watu wazima kutolewa.

Viashiria vya matokeo;

Page 63: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

59

Kiwango cha kujua kusoma, kuandika na kuhesabu

kwa watu wazima,

Idadi ya watu wazima wanaoshiriki katika madarasa

ya wanakisomo,

Idadi ya vijana waliojiunga na madarasa na vituo vya

elimu mbadala,

Idadi ya wanakisomo walioanzisha vikundi vya

ushirika

Shabaha za Utekelezaji;

Kuongeza kiwango cha kujua kusoma na kuandika

kutoka asilimia 84 mwaka 2012 hadi kufikia asilimia

90 ifikapo mwaka 2020.

79. Mheshimiwa Spika, Shughuli za programu hii zinatekelezwa

na Idara ya Elimu Mbadala na Watu Wazima. Kwa mwaka

wa fedha 2018/19, programu hii imetengewa jumla ya TSh.

17,918,426,000/=.

PROGRAMU YA NNE: UBORA WA ELIMU

80. Mheshimiwa Spika, Programu hii ina madhumuni ya kutoa

elimu bora kwa ngazi zote za elimu. Ina programu ndogo tatu

na maeneo matano ya kutoa huduma kama yafuatayo;

Huduma ya Mitaala na Vifaa vya Kufundishia

81. Mheshimiwa Spika, Huduma hii ina madhumuni ya

kutayarisha mitaala ya elimu na vifaa vya kufundishia na

kujifunzia kwa ngazi za elimu ya maandalizi, msingi,

sekondari na mafunzo ya Ualimu.

Matokeo ya muda mfupi;

Mitaala ya Elimu na vifaa vya kufundishia na

kujifunzia kwa ngazi zote kutayarishwa.

Page 64: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

60

Viashiria vya matokeo;

Idadi ya Mitaala na vifaa vya kufundishia na

kujifunzia vilivyotayarishwa na kusambazwa katika

skuli.

82. Mheshimiwa Spika, Shughuli za utowaji wa huduma hii

zinatekelezwa na Taasisi ya Elimu Zanzibar. Kwa mwaka wa

fedha 2018/19, Taasisi imetengewa ruzuku ya TSh.

329,200,000/=

Huduma ya Upimaji na Tathmini ya Elimu

83. Mheshimiwa Spika, Programu hii ina madhumuni ya

kupima na kutathmini utekelezaji wa utoaji wa elimu.

Matokeo ya muda mfupi;

Malengo ya elimu kupimwa.

Viashiria vya matokeo;

Asilimia ya wanafunzi na kiwango cha mpito katika

ngazi za darasa la nne, darasa la sita, kidato cha pili,

kidato cha nne na cha sita.

84. Mheshimiwa Spika, Shughuli za programu hii zinatekelezwa

na Baraza la Mitihani la Zanzibar. Kwa mwaka wa fedha

2018/19, programu hii imepangiwa ruzuku ya TSh.

4,672,500,000/=.

Huduma ya Ukaguzi wa Elimu

85. Mheshimiwa Spika, utoaji wa huduma hii una madhumuni

ya kusimamia utoaji wa elimu unaofuata mtaala na

kuhakikisha ufanisi na ubora wa elimu inayotolewa.

Viashiria vya matokeo;

Idadi ya skuli zilizokaguliwa

Page 65: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

61

Idadi ya ripoti za ukaguzi zilizowasilishwa

86. Mheshimiwa Spika, Shughuli za huduma hii zinatekelezwa

na Ofisi ya Mkaguzi Mkuu wa Elimu. Kwa mwaka wa fedha

2018/19, programu hii imepangiwa ruzuku ya TSh.

428,700,000/=.

Huduma za Maktaba

87. Mheshimiwa Spika, Programu hii ina madhumuni ya kutoa

fursa ya kutumia vitabu na vyanzo vyengine vya taaluma kwa

wananchi.

Matokeo ya muda mfupi;

Kutoa nafasi kwa wanafunzi na watu wengine ya

kupata taarifa mbalimbali kupitia maktaba.

Viashiria vya matokeo;

Idadi ya watu wanaotumia maktaba

Idadi ya vitabu, CDs, magazeti na majarida yaliyopo

katika maktaba.

Idadi ya skuli zenye maktaba kamili.

88. Mheshimiwa Spika, Shughuli za huduma hii zinatekelezwa

na Shirika la Huduma za Maktaba Zanzibar. Kwa mwaka wa

fedha 2018/19, programu hii imepangiwa kutumia ruzuku ya

TSh. 845,100,000 /=.

Huduma ya Urajisi wa Elimu 89. Mheshimiwa Spika, Programu hii ina madhumuni ya

kuhakikisha Sheria, Sera na taratibu za Wizara zinafuatwa.

Pia kutoa leseni kwa walimu na kusajili skuli za Serikali na

za binafsi.

Page 66: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

62

Matokeo ya muda mfupi;

Skuli za Serikali na binafsi zenye viwango bora

kusajiliwa

Leseni za walimu kutolewa.

Viashiria vya matokeo;

Idadi ya leseni za walimu zilizotolewa.

Idadi ya skuli zilizosajiliwa.

Sheria ya Elimu iliyopitiwa na kurekebishwa.

Idadi ya wanafunzi waliopata ujauzito na kurejea

masomoni baada ya kujifungua.

Idadi ya kesi za ndoa kwa wanafunzi zilizofuatiliwa

na kutolewa uamuzi.

90. Mheshimiwa Spika, Shughuli za utowaji wa huduma hii

zinatekelezwa na Ofisi ya Mrajisi wa Elimu. Kwa mwaka wa

fedha 2018/19, programu hii imepangiwa kutumia jumla ya

TSh. 190,400,000/=.

Programu ndogo ya Elimu Mjumuisho na Stadi za

Maisha

91. Mheshimiwa Spika, Programu hii ina madhumuni ya kutoa

elimu kwa wote wakiwemo watoto wenye mahitaji maalum.

Matokeo ya muda mfupi;

Vifaa vya kufundishia na kujifunzia kwa watoto

wenye mahitaji maalum kutolewa

Viashiria vya matokeo;

Idadi ya wanafunzi na walimu katika Elimu

Mjumuisho.

92. Mheshimiwa Spika, Shughuli za programu hii zinatekelezwa

na Kitengo cha Elimu Mjumuisho na Stadi za Maisha. Kwa

Page 67: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

63

mwaka wa fedha 2018/19, Kitengo kimepangiwa kutumia

jumla ya TSh. 75,000,000/=.

Programu ndogo ya Teknolojia ya Habari na

Mawasiliano (TEHAMA) 93. Mheshimiwa Spika, Programu hii ina madhumuni ya

kuifanya teknolojia ya habari na mawasiliano itumike katika

kujifunza, kufundisha, ngazi ya utawala na katika maisha ya

kila siku.

Matokeo ya muda mfupi;

Walimu na wanafunzi wanapatiwa mafunzo juu ya

matumizi ya Teknolojia ya kisasa.

Viashiria vya utekelezaji;

Idadi ya walimu wenye ujuzi wa Teknolojia ya

Habari na Mawasiliano,

Idadi ya vifaa vya Teknolojia ya Habari na

mawasiliano katika skuli na Wizara

Idadi ya Taasisi za elimu zilizounganishwa na

mkonga wa Taifa.

Mafunzo ya matumizi ya kompyuta kutolewa

kuanzia katika skuli za msingi.

94. Mheshimiwa Spika, Shughuli za programu hii zinatekelezwa

na Idara ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano Katika

Elimu. Katika mwaka wa fedha 2018/19, programu hii

imepangiwa kutumia jumla ya TSh. 532,685,000/=.

Programu ndogo ya Michezo na Utamaduni katika Skuli

95. Mheshimiwa Spika, Programu hii ina madhumuni ya

kumuandaa mwanafunzi kimwili, kiafya na kiakili katika

kujifunza kwa kupitia michezo.

Page 68: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

64

Matokeo ya muda mfupi;

Kuinua taaluma ya michezo katika skuli.

Viashiria vya matokeo;

Idadi ya walimu wenye taaluma ya michezo

Idadi ya skuli zenye viwanja vya michezo

Idadi ya skuli zenye vifaa vya michezo

Idadi ya wanafunzi wenye vipaji vya michezo

96. Mheshimiwa Spika, Shughuli za programu hii zinatekelezwa

na Idara ya Michezo na Utamaduni katika Elimu. Kwa

mwaka wa fedha wa 2018/19, programu hii imepangiwa

kutumia jumla ya TSh. 650,043,000/=.

PROGRAMU YA TANO: UTAWALA NA UONGOZI

97. Mheshimiwa Spika, Programu hii madhumuni yake

makubwa ni kuhakikisha nyenzo zilizo bora zinapatikana na

zinatumika kwa kuimarisha utoaji wa elimu. Programu hii ina

programu ndogo tatu kama zifuatavyo: -

Programu ndogo ya Uongozi kiujumla

98. Mheshimiwa Spika, programu hii ina madhumuni ya kutoa

ufanisi wa Uongozi na Utawala wa rasilimali za Wizara.

Matokeo ya muda mfupi;

Kupatikana kwa Ufanisi katika utoaji wa huduma,

Uongozi na Utawala wa Rasilimali za Wizara.

Viashiria vya matokeo;

Idadi ya wafanyakazi wanaoajiriwa na kustaafu,

Mafunzo yanayotolewa kwa wafanyakazi.

Page 69: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

65

Shabaha za Utekelezaji;

Kuongeza ufanisi katika kutoa huduma kwa

wafanyakazi na upatikanaji wa nyenzo za kufanyia

kazi.

99. Mheshimiwa Spika, Shughuli za programu hii zinatekelezwa

na Idara ya Utumishi na Uendeshaji. Kwa mwaka wa fedha

2018/19, programu hii imepangiwa kutumia jumla ya TSh.

7,241,104,000/=.

Programu ndogo ya Uratibu wa Shughuli za Mipango,

Sera na Utafiti

100. Mheshimiwa Spika, programu hii ina madhumuni ya

kufanikisha na kuratibu Mipango, Sera na Utafiti katika

Wizara.

Matokeo ya muda mfupi;

Kupatikana kwa sera na mipango ya Wizara, kufanya utafiti

na kufanya ufuatiliaji na tathmini.

Viashiria vya matokeo;

Idadi za tafiti zilizofanywa

Ripoti za utekelezaji na ripoti za tathmini.

101. Mheshimiwa Spika, Shughuli za programu hii zinatekelezwa

na Idara ya Mipango, Sera na Utafiti. Kwa mwaka wa fedha

2018/19, programu hii imepangiwa kutumia jumla ya TSh.

4,048,980,000/=

Programu ndogo ya kuratibu shughuli za Elimu Pemba 102. Mheshimiwa Spika, programu hii ina madhumuni ya

kuratibu na kusimamia shughuli zote za elimu kwa upande

wa Pemba. Matokeo ya muda mfupi na shabaha za

utekelezaji zinazotumika ni kama zile zilizoelezwa katika

programu za hapo juu.

Page 70: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

66

103. Mheshimiwa Spika, msimamizi wa shughuli za programu hii

ni Afisa Mdhamini wa Wizara yangu kupitia katika Divisheni

ya Idara ya Uendeshaji na Utumishi Pemba.

104. Mheshimiwa Spika, kwa mwaka wa fedha 2018/19,

programu hii imepangiwa kutumia jumla ya TSh.

2,611,928,000/=.

MGAWANYO WA FEDHA KWA PROGRAMU

105. Mheshimiwa Spika, Sehemu hii inaonesha mgawanyo wa

fedha kwa Programu za Wizara ya Elimu na Mafunzo ya

Amali yenye kuzingatia gharama za Idara/Vitengo/Taasisi

zilizomo katika programu husika.

Programu ya Kwanza: ELIMU YA SEKONDARI

Idara Husika: Idara ya Elimu ya Sekondari

Gharama za Programu: Jumla ya TSh. 95,587,550,000/=

zimepangwa kwa ajili ya kufanikisha programu hii. Kati ya

fedha hizo, TSh. 40,415,050,000/= ni kwa kazi za kawaida na

TSh. 55,172,500,000/= kwa kazi za maendeleo.

Programu ya Pili: ELIMU YA JUU Taasisi Husika: Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar

(SUZA), Taasisi ya Karume ya Sayansi na Teknolojia,

Mafunzo ya Ualimu, Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu na

Kitengo cha Uratibu wa Elimu wa Juu.

Gharama za Programu: Jumla ya TSh. 26,970,583,000/=

zimepangwa kwa kufanikisha programu hii kwa kazi za

kawaida.

Programu ya Tatu: ELIMU MBADALA NA MAFUNZO

YA AMALI

Idara Husika: Mamlaka ya mafunzo ya Amali pamoja na

Idara ya Elimu Mbadala na Watu Wazima.

Page 71: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

67

Gharama za Programu: Jumla ya TSh. 24,540,026,000/=

zimepangwa kwa ajili ya kufanikisha programu hii. Kati ya

fedha hizo, TSh. 7,553,026,000/= ni kwa kazi za kawaida na

TSh. 16,987,000,000/= kwa kazi za maendeleo.

Programu ya Nne: UBORA WA ELIMU

Idara Husika: Taasisi ya Elimu ya Zanzibar, Baraza la

Mitihani la Zanzibar, Ofisi ya Mkaguzi Mkuu wa Elimu,

Kitengo cha Elimu Mjumuisho na Stadi za Maisha, Shirika la

Huduma za Maktaba Zanzibar, Idara ya Teknolojia ya Habari

na Mawasiliano Katika Elimu, Ofisi ya Mrajisi wa Elimu,

Idara ya Michezo na Utamaduni Katika Skuli.

Gharama za Programu: Jumla ya TSh. 7,723,628,000/=

zimepangwa kwa ajili ya kufanikisha programu hii kwa kazi

za kawaida.

Programu ya Tano: UONGOZI NA UTAWALA

Idara Husika: Idara ya Utumishi na Uendeshaji, Idara ya

Mipango, Sera na Utafiti na Ofisi ya Elimu Pemba.

Gharama za Programu: Jumla ya TSh. 13,902,012,000/=

zimepangwa kwa ajili ya kufanikisha programu hii kwa kazi

za kawaida.

106. Mheshimiwa Spika, kwa mwaka wa fedha 2017/18 Wizara

ya Elimu na Mafunzo ya Amali ilikadiriwa kukusanya

mapato ya jumla ya TSh. 143,093,000/=. Hadi kufikia Aprili,

2018 Wizara yangu imefanikiwa kukusanya jumla ya TSh.

63,119,400/= sawa na asilimia 44.1 na zimewasilishwa

Hazina. Fedha hizo ni makusanyo ya malipo ya leseni za

walimu na ada za usajili wa skuli za binafsi zinazotoa Elimu

ya Maandalizi, Msingi na Sekondari.

Page 72: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

68

JUMLA YA GHARAMA ZA WIZARA YA ELIMU NA

MAFUNZO YA AMALI 107. Mheshimiwa Spika, gharama kwa programu zote sita za

Wizara ni TSh. 179,605,900,000/= sawa na bajeti yote ya

Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali inayotumia programu

iliyoainishwa Barazani. Kati ya fedha hizo, TSh.

96,164,299,000/= zimetengwa kwa kazi za kawaida na TSh.

83,441,600,000/= kwa kazi za maendeleo. Kati ya fedha za

maendeleo, TSh. 5,890,000,000/= ni mchango wa SMZ na

TSh. 77,551,600,000/= ni mchango wa Wahisani.

SHUKURANI 108. Mheshimiwa Spika, napenda kuchukua fursa hii kutoa

shukurani za dhati kwa washirika wote wa sekta ya elimu

wakiwemo wananchi, washirika wa maendeleo na mashirika

ya misaada ya kimataifa kwa kutuunga mkono katika

jitihada zetu za kuendeleza elimu. Tunatoa shukurani zetu

za pekee kwa Serikali ya Sweden, Marekani, Oman na

Serikali ya Watu wa China, Serikali ya India na Iran. Pia,

napenda kuyashukuru mashirika mbalimbali ya kimataifa

yakiwemo, Sida, USAID, KOICA, UNESCO, UNICEF,

ILO, VSO, OPEC Fund, GPE, Good Neighbours, na “Table

for Two”. Shukurani zetu za dhati kwa Aga Khan

Foundation, Benki ya Dunia, Benki ya Kiarabu kwa

Maendeleo ya Afrika na Benki ya Maendeleo ya Afrika.

Napenda pia, kuyashukuru mashirika yasio ya kiserikali

yakiwemo Milele Zanzibar Foundation, Jumuiya ya

“Madrasa Early Childhood Education Program”, NFU,

FAWE, “Save the Children Fund”, “Book Aid

International”, kampuni ya SHA na Bakhresa, na ZAPDD.

Vile Vile napenda kuyashukuru makampuni na mashirika

mbalimbali ya kifedha ya kiwemo ZTE, Benki ya watu wa

Zanzibar, CRDB, Barclays, NBC, NMB, Postal Bank

Tanzania, ZANTEL, SACCOSS mbalimbali na Tigo kwa

misaada yao katika sekta yetu ya elimu na kwa wafanyakazi

kwa ujumla. Shukurani za pekee ziziendee Kamati zetu za

Page 73: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

69

Skuli na Halmashauri zetu za Wilaya kwa kazi kubwa

wanayoifanya katika kuchangia maendeleo ya elimu

Zanzibar.

109. Mwisho, napenda kutoa shukrani zangu za dhati kwa

viongozi wenzangu kuanzia wewe Mheshimiwa Spika na

wajumbe wa Baraza lako Tukufu kwa ushirikiano mkubwa

walionipa na kwa namna watakavyoichangia hotuba yangu

hii. Nasema ahsanteni sana.

110. Mheshimiwa Spika, sasa naliomba Baraza lako Tukufu

liidhinishe makadirio ya matumizi ya Wizara ya Elimu na

Mafunzo ya Amali ya jumla ya TSh. 179,605,900,000/= kwa

mwaka wa fedha 2018/19, ili kuiwezesha Wizara yangu

kutekeleza majukumu yake.

Mheshimiwa Spika, naomba kutoa hoja.

Page 74: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

70

KIAMBATISHO

(Takwimu za Maendeleo ya Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali

Kwa Kipindi cha 2014- 2018 na Hali Halisi ya Elimu na

Mafunzo ya Amali kwa Mwaka 2017/18)

Page 75: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

71

JADWELI NAM. 1

2015 SERIKALI BINAFSI JUMLA

SKULI ZA MAANDALIZI 279 277 289 328 31 316 347

SKULI ZA MSINGI (DAR I - VII) 250 260 285 299 240 117 357

SKULI ZA MSINGI/KATI 'A' (DAR I - KID 2) 50 49 46 41 30 8 38

SKULI ZA MSINGI/KATI 'B' (DAR I - KID 4) 57 57 61 67 16 38 54

SKULI ZA MSINGI/SEKOND.(DAR I - KID 6) 2 4 2 5 0 9 9

SKULI ZA KATI 'A' FORM 1 - FORM 2 2 4 2 3 3 0 3

SKULI ZA SEKOND. FORM 1 - FORM 4 107 122 134 117 130 5 135

SKULI ZA SEKOND. YA JUU (FORM 1 - 6) 13 11 21 13 10 1 11

SKULI ZA MCHEPUO WA KIFARANSA 1 1 1 1 1 0 1

SKULI ZA MCHEPUO WA UFUNDI 3 3 3 2 2 0 2

SKULI ZA MCHEPUO WA BIASHARA 4 1 2 1 1 0 1

SKULI ZA MCHEPUO WA KIISLAMU 2 2 2 1 2 0 2

SKULI ZA MCHEPUO WA SAYANSI JAMII 5 3 6 2 1 0 1

SKULI ZA MCHEPUO WA SAYANSI 8 4 9 10 7 0 7

SKULI ZA MCHEPUO WA KOMPYUTA 2 1 1 1 1 0 1

SKULI ZA MCHEPUO WA MICHEZO 0 0 0 0 2 0 2

VITUO VYA MAFUNZO YA AMALI 3 3 3 3 2 0 2

VYUO VYA UALIMU 3 3 3 2 2 0 2

TAASISI YA SAYANSI NA TEKNOLOJIA 1 1 1 1 1 0 1

CHUO KIKUU CHA TAIFA Z'BAR (SUZA) 1 1 1 1 1 0 1

CHUO KIKUU CHA SUMAIT - CHUKWANI 1 1 1 1 0 1 1

CHUO KIKUU CHA ZANZIBAR 1 1 1 1 0 1 1

JUMLA 795 809 874 900 483 496 979

2018

UKUAJI WA IDADI NA AINA ZA VITUO VYA ELIMU VILIVYOSAJILIWA, 2014 - 2018

AINA ZA VITUO 2014 2016 2017

Page 76: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

72

JADWELI NAM. 2(a)

*ONGEZEKO

KWA

MWAKA %

95,818 94,848 103,950

4 - 5(Ulezi) 4 - 5(Ulezi) 4 - 5(Ulezi)

241,718 239,284 237,634

6 - 11(Msingi) 6 - 11(Msingi) 6 - 11(Msingi)

85,744 84,871 76,060

12 - 13(Kid 1-2) 12 - 13(Kid 1-2) 12 - 13(Kid 1-2)

327,462 324,155 369,993

6 - 15(Dar1-Kid2) 6 - 15(Dar1-Kid2) 6 - 15(Dar1-Kid2)

69,369 68,666 66,780

14 - 15 (Kid 3 - 4) 14 - 15 (Kid 3 - 4) 14 - 15 (Kid 3 - 4)

396,831 392,821 369,993

6 - 15 (Dar1-Kid4) 6 - 15 (Dar1-Kid4) 6 - 15 (Dar1-Kid4)

* Kuanzia mwaka 2016 umri wa watoto wa kwenda skuli katika ngazi tafauti za elimu umefuata sera mpya ya elimu ya mwaka 2006 ilivyoagiza

UKUAJI WA IDADI YA WATOTO WA UMRI WA KWENDA SKULI KWA MWAKA, 2014 - 2018

UMRI WA NGAZI YA ELIMU 2014 2015 2016* 2017* 2018*

246,741 265,591

338,322

59,463

566,910

73,428 72,731

320,169

4 - 6 (Ulezi)

125,687 135,965

-10.6

60,184

398,506

-4.2

7 - 13 (Msingi)

14 - 15 (KIidato 1 - Kidato 2)

7 - 15 (Darasa 1-Kidato 2)

16 - 17 (Kidato 3 - 4)

-0.8

0.7

2.7

2.2

7 - 17 (Msingi/Kati "B")(Darasa 1-Kidato 4)

Page 77: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

73

JADWELI NAM. 2(b)

SERIKALI BINAFSI JUMLA

Maandalizi 46880 41687 55731 62720 30898 41253 72151 11.38Msingi (Darasa I - VI/VII) 252938 261212 249143 256048 246190 30668 276858 2.28Kati 'A' (Kidato 1 - 2 Bila ya Mchepuo) 48912 52876 80423 81246 61982 5675 67657 8.45Kati 'B' (Kidato 3 - 4 Bila ya Mchepuo) 25769 26392 28656 31828 43793 5231 49024 17.44Sekondari ya Juu (Kidato 5 - 6) 1959 2640 3848 3643 3984 606 4590 23.72Vipawa vya Juu (Kidato 1 - 4) 974 1049 1027 563 585 0 585 -11.97Mchepuo wa Sayansi (Kidato 1 - 4) 1331 1086 1464 1580 2033 0 2033 11.17Mchepuo wa Ufundi (Kidato 1 - 4) 380 375 361 362 378 0 378 -0.13Mchepuo wa Kifaransa (Kidato 1 - 4) 163 153 190 189 197 0 197 4.85Mchepuo wa Kiislamu (Kidato 1 - 4) 433 367 428 409 414 0 414 -1.12Mchepuo wa Biashara (Kidato 1 - 4) 451 503 361 585 568 0 568 5.94Mchepuo wa Kompyuta (Kidato1 - 4) 477 548 470 452 447 0 447 -1.61Mchepuo wa Sayansi Jamii (Kidato 1 - 4) 935 936 870 591 354 81 435 -17.41Mchepuo wa Wanawake (Kidato 1- 4) 514 640 915 715 0 0 0 -100.00Ufundi Sanifu 282 315 308 545 522 0 522 16.64Ualimu (Benjamin Mkapa) Diploma 194 228 123 0 0 0 0 -100.00Ualimu (Kiislamu) Diploma - Kiuyu + Mazizini 603 556 809 395 841 0 841 8.67Lugha - Diploma (SUZA) 411 273 368 166 116 0 116 -27.11Cheti - Kompyuta (SUZA) 60 36 42 40 23 0 23 -21.31Diploma - Kompyuta (SUZA) 69 52 33 35 138 0 138 18.92Shahada - Kompyuta (SUZA) 51 67 71 110 52 0 52 0.49Diploma - Sayansi ya Ualimu (SUZA) 102 131 65 181 91 0 91 -2.81Chuo Kikuu Cha Taifa Zanzibar - SUZA 2078 1979 2346 2420 4045 0 4045 18.12Chuo Kikuu Cha SUMAIT - Chukwani 1880 1917 1684 1506 0 969 969 -15.27Chuo Kikuu Cha Zanzibar 2080 1915 2719 2579 0 3094 3094 10.44

Jumla 389,926 397,933 432,455 448,908 397,651 87,577 485,228 5.62

UKUAJI WA UANDIKISHAJI WA WANAFUNZI KATIKA NGAZI MBALI MBALI, 2014 - 2018

NGAZI YA ELIMU

2018

2014 2015

ONGEZEKO

KWA

MWAKA %2016 2017

Page 78: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

74

JADWELI NAM. 2(c)

UMRI WA NGAZI YA ELIMU 2014 2015 2016 2017 2018

Maandalizi 30.9 30.7 58.2 66.1 69.4

Msingi 102.5 98.4 103.1 106.9 116.5

Kati 'A' (Kid 1 - Kid 2)* 71.1 76.3 97.6 98.6 92.1

Kati 'B' (Kidato 3 - 4)* 46.7 47.7 45.6 50.5 64.3

Msingi na Kati 'A' (Dar.I - Kid.2)* 95.3 93.6 101.6 104.7 110.6

Msingi na Kati 'B' (Dar.I - Kid.4)* 87.6 86.5 91.9 95.3 90.2

*Pamoja na Michepuo

ASILIMIA YA UANDIKISHAJI (GROSS LEVEL ENROLMENT RATIO)

KATIKA NGAZI MBALI MBALI ZA ELIMU, 2014 - 2018

Page 79: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

75

JADWELI NAM. 3

WAS J'LA WAS J'LA WAS J'LA WAS J'LA WAS J'LA WAS J'LA WAS J'LA WAS J'LA

Darasa I 21129 42848 21728 44189 25510 52587 25218 51389 25646 53114 3521 6926 29167 60040 8.39 8.80

Darasa II 20343 40996 20364 41316 21337 43313 23931 48708 21232 43255 3072 6086 24304 49341 4.55 4.74

Darasa III 19484 38867 20083 40134 20547 41499 20945 42157 21312 42951 2753 5413 24065 48364 5.42 5.62

Darasa IV 18121 36245 19139 38218 19726 39391 19869 40055 19102 38712 2268 4555 21370 43267 4.21 4.53

Darasa V 16581 32370 18273 36093 19326 38523 19629 39030 17538 34799 1975 3937 19513 38736 4.15 4.59

Darasa VI 16236 32461 15795 29793 17310 33491 18165 34709 17289 33359 1910 3751 19199 37110 4.28 3.40

Darasa VII 15094 29151 15844 31469 178 339 0 0 0 0 0 0 0 0 0.00 0.00

Kid. I (Michepuo) 722 1465 678 1296 999 1587 593 948 792 1325 20 20 812 1345 2.98 -2.11

Kid I (Wengine) 14286 27032 14783 28555 28886 55642 17624 34711 16101 30861 1494 2841 17595 33702 5.35 5.67

Kid.2 (Michepuo) 688 1532 654 1351 894 1698 964 1566 607 1014 21 21 628 1035 -2.26 -9.34

Kid. 2 (Wengine) 11799 21880 13211 24321 13175 24781 25462 46535 16131 31121 1506 2834 17637 33955 10.57 11.61

Kid. 3 (Michepuo) 553 1075 588 1259 768 1499 803 1568 1125 1804 21 21 1146 1825 19.98 14.15

Kid. 3 (Wengine) 7622 13293 7519 13534 9091 15749 9577 16652 17867 30098 1707 3177 19574 33275 26.59 25.78

Kid. 4 (Michepuo) 489 909 553 1037 712 1489 693 1364 726 1418 19 19 745 1437 11.10 12.13

Kid. 4 (Wengine) 7385 12476 7357 12858 7335 12907 8903 15176 8025 13695 1142 2054 9167 15749 5.55 6.00

Kid 5 na NTA 4 747 1794 1112 2064 892 2007 1267 2370 1217 2580 220 371 1437 2951 17.77 13.25

NTA 5 16 85 16 83 31 96 98 142 86 196 0 0 86 196 52.26 23.23

Kid 6 na NTA 6 603 1213 408 815 999 2053 821 1666 910 1838 134 225 1044 2063 14.71 14.20

Jumla 171898 335692 178105 348385 187716 368651 194562 378746 185706 362140 21783 42251 207489 404391 4.82 4.76

UKUAJI WA IDADI YA WANAFUNZI KATIKA MADARASA, 2014 - 2018

MADARASASERIKALI BINAFSI2014 2016

ONGEZEKOKWA MWAKA (%)

20182015 JUMLA2017

Page 80: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

76

JADWELI NAM. 4

WALIOSOMEA WASIOSOMEA JUMLA % WASIOSOMEA WALIOSOMEA WASIOSOMEA JUMLA %WASIOSOMEA WALIOSOMEA WASIOSOMEA JUMLA %WASIOSOMEA

2014 9832 129 9961 1.3 1225 407 1632 24.9 11057 536 11593 4.6

2015 9942 89 10031 0.9 1441 354 1795 19.7 11383 443 11826 3.7

2016 9857 93 9950 0.9 1638 405 2043 19.8 11495 498 11993 4.2

2017 10187 87 10274 0.8 1865 401 2266 17.7 12052 488 12540 3.9

2018 10674 59 10733 0.5 2108 319 2427 13.1 12782 378 13160 2.9

Takwimu hizi hazijumuishi Walimu wa Chuo cha Karume na Skuli za Maandalizi

UKUAJI WA IDADI YA WALIMU KATIKA NGAZI YA MSINGI NA SEKONDARI

JUMLA

(DARASA LA 1 - KIDATO 6) 2014 - 2018 SKULI ZA SERIKALI NA BINAFSI

MWAKA

SKULI ZA BINAFSISKULI ZA SERIKALI

Page 81: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

77

JADWELI NAM. 5

IDADI YA IDADI YA W'FUNZI KWA IDADI YA IDADI YA W'FUNZI KWA IDADI YA IDADI YA W'FUNZI KWA

WANAFUNZI WALIMU WALIMU WANAFUNZI WALIMU WALIMU WANAFUNZI WALIMU WALIMU

2014 282,773 9,961 28 22,348 1,632 13 297,330 11,418 26

2015 318,955 10,031 28 29,226 1,795 14 305,121 11,593 26

2016 335,080 9,950 34 33,226 2,043 16 368,306 11,993 31

2017 341,870 10,274 33 35,970 2,266 16 377,840 12,540 30

2018 361631 10,733 34 42,251 2,427 17 403,882 13,160 31

UKUAJI WA WANAFUNZI NA WALIMU (PUPIL TEACHER RATIO)

KATIKA NGAZI YA MSINGI NA KATI (DAR. 1 - KID. 6) 2014 - 2018

SKULI ZA SERIKALI NA BINAFSI

MWAKA

SKULI ZA SERIKALI SKULI ZA BINAFSI JUMLA

Page 82: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

78

JADWELI NAM. 6a(i)

WAV WAS JUMLA WAV WAS JUMLA WAV WAS JUMLA

2013 8662 10660 19322 4805 6678 11483 55.5 62.6 59.4

2014 10119 11825 21944 6373 8011 14384 63.0 67.7 65.5

2015 10820 13231 24051 6950 9794 16744 64.2 74.0 69.6

2016 11673 13414 25087 7497 10084 17581 64.2 75.2 70.1

2017 20514 26056 46570 13670 20791 34461 66.6 79.8 74.0

MATOKEO YA MITIHANI WA KIDATO CHA 2, 2013- 2017

MWAKA

WATAHINIWA WALIOFAULU KIMA CHA KUFAULU (%)

Page 83: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

79

JADWELI NAM 6a(ii)

STD VI STD VII

1 Kaskazini B Mjini Wete Chake Chake Mjini Mjini

2 Mjini Magharibi Chake-chake Mkoani Magharibi 'B' Magharibi 'B'

3 Mkoani Chake Chake Kati Mjini Chake Chake Chake Chake

4 Micheweni Micheweni Mjini Kati Wete Magharibi 'A'

5 Wete Wete Kusini Wete Magharibi 'A' Wete

6 Chake chake Kati Magharibi Magharibi "A" Micheweni Micheweni

7 Kati Mkoani Micheweni Kaskazini "B" Kati Kaskazini 'B'

8 Kusini Kaskazini A Mkoani Micheweni Kaskazini 'A' Kati

9 Kaskazini A Kusini Kaskazini B Kaskazini "A" Mkoani Kaskazini 'A'

10 Magharibi Kaskazini B Kaskazini A Magharibi "B" Kaskazini 'B' Mkoani

11 - - - Kusini Kusini Kusini

NAFASI

NAFASI ZA WILAYA KATIKA MATOKEO YA MTIHANI

WA KIDATO CHA PILI (2013 - 2017)

20172013 2014 2015 2016

Page 84: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

80

JADWELI NAM. 6a(iii)

STD VI STD VII

1 Madungu Sekondari Madungu A Sek Madungu A Fidel Castro Fidel Castro Fidel Castro

2 Upenja Chambani Mauwani Lumumba Lumumba Lumumba

3 Muembe Makumbi Kisiwani Mahonda Madungu "B" Tumekuja S.O.S Hermann

4 Piki Jendele Shengejuu Zanzibar Ccommercial Tumekuja Chasasa 'B'

5 Kusini Makangale Pandani Mikunguni Ben-bella Laureat International

6 Mwambe Jongowe Kangani Ben-bella Mikunguni Mahad Istiqama

7 Jongowe Muyuni Uroa Chasasa Kiembesamaki Islamic Ben-bella

8 Matemwe Vikunguni Hurumzi Tumekuja Mahad Istiqama Sunni Madressa

9 Mizingani Cheju Mfenesini S.O.S Hermann Zanzibar Commercial Francis Maria

10 Ukongoroni Mfurumatonga Maendeleo High-view International Chasasa 'B' J.K.U

WA KIDATO CHA PILI (2013 - 2017)

NAFASI ZA SKULI KUMI BORA KATIKA MATOKEO YA MTIHANI

20172016201520142013NAFASI

Page 85: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

81

JADWELI NAM. 6(b)(i)

JUMLA JUMLA

DIV.I-IV DIV. I-IV

2013 5542 74 283 637 2587 3581 1.3 5.1 11.5 46.7 64.6

2014 5267 57 326 614 2170 3167 1.08 6.19 11.66 41.20 60.1

2015 5188 46 260 697 2839 3842 0.89 5.01 13.43 54.72 74.1

2016 6207 145 450 891 2954 4440 2.34 7.25 14.35 47.59 71.5

2017 6905 85 433 849 3429 4796 1.23 6.27 12.30 49.66 69.5

DIV. II DIV. III DIV. IV

MATOKEO YA MTIHANI WA KIDATO CHA 4, 2013 - 2017 WAVULANA

MWAKA WATAHINIWA

WALIOFAULU KIMA CHA KUFAULU (%)

DIV. I DIV. II DIV. III DIV. IV DIV. I

Page 86: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

82

JADWELI NAM. 6(b)(ii)

JUMLA JUMLA

DIV. I-IV DIV. I - IV

2013 6662 56 251 652 3570 4529 0.8 3.8 9.8 53.6 68.0

2014 7545 52 301 681 3512 4546 0.69 3.99 9.03 46.55 60.3

2015 7020 14 185 658 4191 5048 0.20 2.64 9.37 59.70 71.9

2016 7835 97 411 995 4150 5653 1.24 5.25 12.70 52.97 72.2

2017 9541 70 370 907 4930 6277 0.73 3.88 9.51 51.67 65.8

DIV. II DIV. III DIV. IV

MATOKEO YA MTIHANI WA KIDATO CHA 4, 2013 - 2017. WASICHANA

MWAKA WATAHINIWA

WALIOFAULU KIMA CHA KUFAULU (%)

DIV.I DIV.II DIV.III DIV.IV DIV. I

Page 87: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

83

JADWELI NAM. 6(b)(iii)

JUMLA JUMLA

DIV. I - IV DIV. I - IV

2013 12204 130 534 1289 6157 8110 1.065 4.376 10.56 50.45 66.454

2014 12812 109 627 1295 5682 7713 0.851 4.894 10.11 44.35 60.201

2015 12208 60 445 1355 7030 8890 1.054 6.658 16.85 75.44 72.821

2016 14042 242 861 1886 7104 10093 1.723 6.132 13.43 50.59 71.877

2017 16446 155 803 1756 8359 11073 1.471 4.883 10.68 50.83 67.329

DIV. I DIV. II DIV. III DIV. IV

MATOKEO YA MTIHANI WA KIDATO CHA 4, 2013 - 2017

JUMLA YA WAVULANA NA WASICHANA

MWAKA WATAHINIWA

WALIOFAULU KIMA CHA KUFAULU (%)

DIV.I DIV.II DIV. III DIV. IV

Page 88: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

84

JADWELI NAM. 6(c)(i)

JUMLA JUMLA

DIV. I - IV DIV. I - IV

2012/13 1010 1 20 529 222 772 0.1 2.0 52.4 22.0 76.4

2013/14 586 26 98 295 129 548 4.4 16.7 50.3 22.0 93.5

2014/15 358 41 98 164 41 344 11.5 27.4 45.8 11.5 96.1

2015/16 985 33 213 515 130 891 3.4 21.6 52.3 13.2 90.5

2016/17 777 43 188 370 79 680 5.5 24.2 47.6 10.2 87.5

MATOKEO YA MTIHANI WA KIDATO CHA 6, 2012/13 - 2016/17 WAVULANA

MWAKA WATAHINIWA

WALIOFAULU KIMA CHA KUFAULU (%)

DIV.I DIV. II DIV. III DIV.IV DIV.I DIV. II DIV. III DIV. IV

Page 89: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

85

JADWELI NAM. 6(c)(ii)

JUMLA JUMLA

DIV. I - IV DIV. I - IV

2012/13 1057 0 20 595 249 864 0.0 1.9 56.3 23.6 81.7

2013/14 573 25 96 334 104 559 4.4 16.8 58.3 18.2 97.6

2014/15 315 58 95 126 33 312 18.4 30.2 40.0 10.5 99.0

2015/16 978 17 164 612 128 921 1.7 16.8 62.6 13.1 94.2

2016/17 727 45 167 425 78 715 6.2 23.0 58.5 10.7 98.3

MATOKEO YA MTIHANI WA KIDATO CHA 6, 2012/13 - 2016/17 WASICHANA

WALIOFAULU KIMA CHA KUFAULU (%)

MWAKA WATAHINIWA DIV. I DIV. II DIV. III DIV. IVDIV. IV DIV. I DIV. II DIV. III

Page 90: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

86

JADWELI NAM. 6(c)(iii)

JUMLA JUMLA

DIV. I - IV DIV. I - IV

2012/13 2067 1 40 1124 471 1636 0.05 1.9 54.4 22.8 79.1

2013/14 1159 51 194 629 233 1107 4.4 16.7 54.3 20.1 95.5

2014/15 673 99 193 290 74 656 14.7 28.7 43.1 11.0 97.5

2015/16 1963 50 377 1127 258 1812 2.5 19.2 57.4 13.1 92.3

2016/17 1504 88 355 795 157 1395 5.9 23.6 52.9 10.4 92.8

MATOKEO YA MTIHANI WA KIDATO CHA 6, 2012/13 - 2016/17

WALIOFAULU KIMA CHA KUFAULU (%)

JUMLA YA WAVULANA NA WASICHANA

MWAKA WATAHINIWA DIV. I DIV. II DIV. III DIV. IVDIV. III DIV.IV DIV.I DIV. II

Page 91: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

87

JADWELI NAM. 6(d)

WAS JUMLA WAS JUMLA WAS JUMLA WAS JUMLA

51 65 10 11 203 260 145 196

19.6% 16.9% 71.4% 75%

20 82 17 11 213 276 161 219

(85.0%) (13.4%) (75.6%) (79.4%)

2014/15 21 93 20 59 208 264 185 236

(95.2%) (63.4%) (88.9%) (89.4%)

27 91 254 321

(84.4%) (82.7%) (81.1%) (82.3%)

32 80 144 175

(84.2%) (76.9%) (70.9%) (71.4%)

2016/17 38 104 203 245

2015/16 32 110 313 390

2013/14

2012/13

UALIMU DIPLOMA

MATOKEO YA MITIHANI MINGINE YA TAIFA YA TANZANIA 2012/13 - 2016/17

MWAKA WATAHINIWA

FTC / DIPLOMA YA UFUNDI NTA 6

WALIOFAULU WALIOFAULUWATAHINIWA

Page 92: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

88

JADWELI NAM. 7

W'FANYA W'FAULU % W'FANYA W'FAULU % W'FANYA W'FAULU % W'FANYA W'FAULU % W'FANYA W'FAULU %

MJINI 1321 517 39.1 1321 517 39.1 1155 443 38.4 1017 392 38.5 1111 618 55.6

MAGHARIBI 'A' & 'B' 1136 475 41.8 1127 475 42.1 1355 685 50.6 1071 559 52.2 1198 736 61.4

KASKAZINI 'A' 405 177 43.7 405 177 43.7 299 128 42.8 210 74 35.2 199 110 55.3

KASKAZINI 'B' 129 48 37.2 129 48 37.2 157 80 51.0 111 46 41.4 95 53 55.8

KATI 370 142 38.4 370 142 38.4 477 230 48.2 337 170 50.4 387 220 56.8

KUSINI 142 61 43.0 142 61 43.0 142 72 50.7 118 57 48.3 139 61 43.9

MICHEWENI 185 72 38.9 185 72 38.9 101 21 20.8 121 39 32.2 97 43 44.3

WETE 470 210 44.7 470 210 44.7 260 99 38.1 374 141 37.7 303 159 52.5

CHAKE CHAKE 337 121 35.9 337 121 35.9 278 118 42.4 299 123 41.1 273 168 61.5

MKOANI 172 68 39.5 172 68 39.5 163 64 39.3 129 65 50.4 98 70 71.4

ZANZIBAR 4667 1891 40.5 4658 1891 40.6 4387 1940 44.2 3787 1666 44.0 3900 2238 57.4

WILAYA2016

MATOKEO YA MTIHANI KWA WATAHINIWA WA FARAGHA KIDATO CHA 4 VITUO VYA ZANZIBAR, 2013- 2017

20172013 2014 2015

Page 93: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

89

JADWELI NAM. 8

MATOKEO YA MTIHANI KWA WATAHINIWA WA FARAGHA,

KIDATO CHA 6, VITUO VYA ZANZIBAR, 2012/2013 - 2016/2017

JUMLA YA WAVULANA NA WASICHANA

2014/2015 2015/2016

KITUO

2012/2013 2013/2014 2016/2017

Lumumba 109 43 39.45 108 43 39.81 56 31 55.36 57 30 52.63 82 41 50.00

F/Castro 8 4 50.00 8 4 50.00 8 3 37.50 - - - 14 3 21.43

Ben-Bella 104 23 22.12 113 23 20.35 19 17 89.47 19 16 84.21 44 35 79.55

Zanzibar Comm. 15 5 33.33 15 5 33.33 5 2 40.00 5 2 40.00 12 9 75.00

Utaani 32 13 40.63 32 13 40.63 2 1 50.00 2 1 50.00 13 11 84.62

Shamiani 41 11 26.83 41 11 26.83 14 13 92.86 14 13 92.86 17 17 100.00

Pemba Islamic 19 4 21.05 17 16 94.12 2 2 100.00 2 2 100.00 7 7 100.00

Hamamni 14 4 28.57 14 4 28.57 0 0 - - - - 26 19 73.08

Uweleni 23 6 26.09 23 6 26.09 0 0 - - - - 5 5 100.00

CCK 36 8 22.22 33 8 24.24 0 0 - - - - - - 0.00

KIMA C

HA KUFAU

LU (%)

WATA

HINIW

A

WALIO

FAULU

WALIO

FAULU

KIMA C

HA KUFAU

LU (%)

KIMA C

HA KUFAU

LU (%)

KIMA C

HA KUFAU

LU (%)

WATA

HINIW

A

WATA

HINIW

AKITUO

WATA

HINIW

A

WALIO

FAULU

WATA

HINIW

A

WALIO

FAULU

WALIO

FAULU

KIMA C

HA KUFAU

LU (%)

Page 94: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

90

JADWELI NAM.8 Iinaendelea

Kiponda 35 15 42.86 31 11 35.48 13 13 100.00 13 13 100.00 35 30 85.71

Al - Falah 23 8 34.78 14 8 57.14 0 0 0.00 - - - - - 0.00

Nyuki JWTZ 14 7 50.00 12 7 58.33 0 0 0.00 - - - 28 26 92.86

Mbarali 39 8 20.51 14 1 7.14 0 0 0.00 - - - - - 0.00

Mkwajuni 36 12 33.33 25 5 20.00 8 7 87.50 8 7 87.50 - - 0.00

M/kwe 'C' 79 13 16.46 55 17 30.91 24 21 87.50 25 21 84.00 37 25 67.57

Philter F.School 39 10 25.64 0 0 0.00 0 0 0.00 - - - - - 0.00

AL HARAMAIN 62 38 61.29 45 24 53.33 0 0 0.00 - - - 74 59 79.73

Haile Selassie 36 11 30.56 33 11 33.33 6 5 83.33 7 5 71.43 - - 0.00

Mchangamdogo 41 13 31.71 0 0 0.00 11 7 0.00 11 7 63.64 37 33 89.19

K/Samaki 6 2 33.33 24 8 33.33 21 11 52.38 21 11 52.38 24 17 70.83

HIGH VIEW 0 0 0.00 0 0 0.00 0 0 0.00 - - - - - 0.00

Tumekuja - - 0.00 - - 0.00 - - 0.00 - - - 17 9 52.94

Mazizini Islamic - - 0.00 - - 0.00 - - 0.00 - - - 11 5 45.45

Azania - - 0.00 - - 0.00 - - 0.00 - - - 38 25 65.79

Jabal Hiraa - - 0.00 - - 0.00 - - 0.00 - - - 82 75 91.46

Chasasa 15 7 46.67

Jumla 653 213 32.62 644 220 34.16 644 220 34.16 184 128 69.57 618 458 74.11

Page 95: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

91

JADWELI NAM. 9

(TSH.000,000)

PATO LA

TAIFA KAWAIDA MAENDELEO JUMLA KAWAIDA MAENDELEO JUMLA PLT SERIKALI

2013/14 1,442,800 376,492 65,900 442,392 80,200 5,350 85,550 5.9 19.3

2014/15 2,133,500 431,404 51,880 483,284 96,827 2,900 99,727 4.7 20.6

2015/16 2,308,000 446,490 65,000 511,490 98,990 1,550 100,540 4.4 19.7

2016/17 2,628,000 382,330 43,790 426,120 78,444 13,750 92,194 3.5 21.6

2017/18 3,101,000 457,104 219,759 676,863 116,106 19,996 136,102 4.4 20.1Chanzo Cha Takwimu za Pato la Taifa na Matumizi ya Maendeleo ya Serikali 2017.

Hotuba ya Waziri wa Fedha na Uchumi, Kuhusu Mpango wa Maendeleo na Makadiro ya Mapato na

Matumizi ya Serikali kwa mwaka 2016/2017, Mei 2017

MATUMIZI YA ELIMU KWA ULINGANISHO NA MATUMIZI

YA SERIKALI NA PATO LA TAIFA 2013/14 - 2017/18

MWAKA

MATUMIZI YA SERIKALI MATUMIZI YA ELIMU MGAO WA ELIMU (%) KWA

Page 96: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

92

JADWELI NAM. 10 (a)

RUZUKU MKOPO RUZUKU MKOPO

0000P001 Uimarishaji wa Elimu ya

Maandalizi 75,000,000 5,400,500,000 5,475,500,000 75,000,000 12,940,000 87,940,000 0.24 100

0000P002 Uimarishaji wa Elimu ya Msingi

200,000,000 14,442,331,000 14,642,331,000 200,000,000 11,470,911,283 11,470,911,283 0.79

0000P003 Uimarishaji wa Elimu ya Lazima

2,033,000,000 25,481,098,000 27,514,098,000 2,033,000,000 4,066,318,097 5,457,318,097 15.96 100.00

0000P004 Uimarishaji wa Elimu mbadala na

Amali 1,600,000,000 9,246,047,000 10,846,047,000 144,012,800 859,890,290 979,903,090 0.09 9.00

00000P005 Kupanga na kusimamia kazi za

Wizara 2,000,000,000 2,000,000,000 2,000,000,000 2,000,000,000 - 100

JUMLA 5,908,000,000 19,842,831,000 34,727,145,000 60,477,976,000 4,452,012,800 11,483,851,283 4,926,208,387 19,996,072,470 30.07 75.36

SMZ

%

UPATIKANAJI WA FEDHA ZA MIRADI YA MAENDELEO KWA SERIKALI NA WAHISANI KWA MWAKA WA FEDHA 2017/2018

KASMA MRADI

MAKAMDIRIO KWA MWAKA KILICHOPATIKANA JULAI - MEI 2018

MCHANGO WA

SMZ

MAKADIRIO YA MISADAJUMLA MCHANGO WA

SMZ

MAKADIRIO YA MISADAJUMLA RUZUKU /

MIKOPO

Page 97: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

93

JADWELI NAM. 10 (b)

KASMA PROGRAMU BAJETI KILICHOPATIKANA %

Matumizi ya kawaida 1,141,640,000 2,706,489,048 237.1%

Mshahara 49,465,100,000 35,835,005,845 72.4%

Maendeleo (SMZ) 275,000,000 275,000,000 100.0%

Maendeleo - (Muhisani) 19,842,831,000 11,702,360,291 59.0%

Jumla ndogo 70,724,571,000 50,518,855,184 71.4%

Matumizi ya kawaida 3,875,735,000 3,348,734,996 86.4%

Mshahara 32,106,980,000 15,808,008,780 49.2%

Maendeleo (SMZ) 2,033,000,000 2,033,000,000 100.0%

Maendeleo - (Muhisani) 25,481,098,000 6,225,250,506 24.4%

Jumla ndogo 63,496,813,000 27,414,994,282 43.2%

WIZARA YA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALIRIPOTI YA UPATIKANAJI WA FEDHA KWA PROGRAMU NA PROGRAMU NDOGO KWA

KIPINDI CHA JULAI 2017 HADI APRILI 2018

P01/S01

ELIMU YA MAANDALIZI NA MSINGI

P02/S01

ELIMU YA SEKONDARI

Page 98: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

94

Matumizi ya kawaida 217,000,000 185,710,693 85.6%

Mshahara 1,609,075,000 1,311,574,135 81.5%

Mshahara 10,000,000,000 8,454,786,197 84.5%

Ruzuku 300,000,000 270,000,000 90.0%

Mshahara 1,048,600,000 940,531,990 89.7%

Ruzuku 10,000,000,000 9,960,047,780 99.6%

Mshahara 203,700,000 173,815,570 85.3%

Ruzuku 35,000,000 34,000,000 97.1%

Jumla ndogo 23,413,375,000 21,330,466,365 91.1%

Jadweli nam. 10(b) linaendelea

P03/S01

ELIMU YA JUU

MAFUNZO YA UALIMU

CHUO KIKUU CHA TAIFA

TAASISI YA KARUME YA SAYANSI NA TEKNOLOJIA

BODI YA MIKOPO

CHUO CHA KIISLAMU

Page 99: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

95

Matumizi ya kawaida 251,813,000 227,787,794 90.5%

Mshahara 555,897,000 461,120,220 83.0%

Maendeleo (SMZ) 1,600,000,000 144,012,800 9.0%

Maendeleo - (Muhisani) 9,246,047,000 994,366,730 10.8%

Ruzuku 4,415,200,000 3,827,033,100 86.7%

Mshahara 1,082,100,000 1,005,981,436 93.0%

Jumla ndogo 17,151,057,000 6,660,302,080 38.8%

Jadweli nam. 10(b) linaendelea

P04/S01

ELIMU MBADALA

P04/S02

MAFUNZO YA AMALI

Page 100: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

96

Ruzuku 91,300,000 86,450,000 94.7%

Ruzuku 4,058,400,000 4,035,805,000 99.4%

Mshahara 240,000,000 266,361,470 111.0%

Ruzuku 120,000,000 110,000,000 91.7%

Ruzuku 217,180,000 217,180,000 100.0%

Mshahara 157,372,000 162,422,180 103.2%

Ruzuku 90,000,000 90,000,000 100.0%

Ruzuku 150,000,000 148,484,900 99.0%

Mshahara 319,400,000 305,648,965 95.7%

Ruzuku 393,650,000 263,649,213 67.0%

Mshahara 236,968,000 210,599,665 88.9%

Jumla ndogo 6,074,270,000 5,896,601,393 97.1%

Matumizi ya kawaida 3,764,155,000 2,867,032,772 76.2%

Mshahara 3,002,335,000 3,135,570,485 104.4%

Jumla ndogo 6,766,490,000 6,002,603,257 88.7%

Jadweli nam. 10(b) linaendelea

P05/S01

UBORA WA ELIMU

TAASISI YA ELIMU

BARAZA LA MITIHANI

OFISI YA MKAGUZI MKUU WA ELIMU

MICHEZO NA UTAMADUNI MASKULINI

BARAZA LA ELIMU

P06/S01

UTUMISHI NA UENDESHAJI

HUDUMA ZA MAKTABA

TEKNOLOJIA YA HABARI NA MAWASILIANO

Page 101: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

97

Matumizi ya kawaida 2,970,824,000 2,856,823,434 96.2%

Mshahara 645,915,000 382,944,455 59.3%

Maendeleo (SMZ) 2,000,000,000 2,000,000,000 100.0%

Jumla ndogo 5,616,739,000 5,239,767,889 93.3%

Matumizi ya kawaida 2,529,604,000 2,484,859,050 98.2%

Mshahara 1,487,257,000 20,461,838,335 1375.8%

Ruzuku 30,000,000 19,300,000 64.3%

Jumla ndogo 4,046,861,000 22,965,997,385 567.5%

Jumla ndogo ya programu 16,430,090,000 34,208,368,531 208.2%

Jumla kuu 197,290,176,000 146,029,587,835 74.0%

Jumla ya Mishahara 89,266,899,000 77,769,084,100 87.1%

Jumla ya Ruzuku ya Mishahara 12,893,800,000 11,147,125,628 86.5%

Jumla ya Matumizi ya Kawaida 15,361,601,000 15,158,267,000 98.7%

Jumla ya Ruzuku 19,289,900,000 18,581,120,780 96.3%

Jumla ya Maendeleo (SMZ) 5,908,000,000 4,452,012,800 75.4%

Jumla ya Maendeleo (WAHISANI) 54,569,976,000 18,921,977,527 34.7%

Jumla Kuu 197,290,176,000 146,029,587,835 74.0%

Jadweli nam. 10(b) linaendelea

P06/S02

MIPANGO, SERA NA UTAFITI

P06/S03

KURATIBU SHUGHULI ZA ELIMU PEMBA

Page 102: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

98

JADWELI NAM. 11(a)

NA SKULI MADARASA AFISI GHALA MENGINEYO MFADHILI

1 Kiyanga 3 0 0 0 SMZ/Wananchi

2 Kijichi 3 2 1 0 SMZ/Wananchi

3 Mbuzini 3 1 0 0 SMZ/Wananchi

4 Mfenesini 2 2 1 0 SMZ/Wananchi

5 Kama 3 0 0 SMZ/Wananchi

6 SharifuMsa 4 1 0 0 SMZ/Wananchi

JUMLA 18 6 2

1 Tomondo 4 2 0 0 SMZ/Wananchi

2 Chunga 2 0 2 0 SMZ/Wananchi

3 Kibondeni 2 2 0 0 SMZ/Wananchi

4 Kombeni 4 0 0 0 SMZ/Wananchi

5 Kijito Upele 3 0 0 0 Wananchi/SMZ

JUMLA 15 4 2

1 Pale 4 0 0 0 SMZ/Wananchi

2 Gamba 2 0 0 0 SMZ/Wananchi

3 Pangeni 5 0 0 0 SMZ/Wananchi

4 Kandwi 5 2 1 0 SMZ/Wananchi

JUMLA 16 2 1

MADARASA YALIYOKAMILIKA

WILAYA YA MAGHARIBI 'A'

WILAYA YA MAGHARIBI 'B'

WILAYA YA KASKAZINI 'A'

Page 103: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

99

Page 104: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

100

Jadweli 11(a) linaendelea

1 Mangapwani 5 0 0 0 SMZ/Wananchi

2 Kinduni 4 0 0 0 SMZ/Wananchi

3 Mgambo 6 0 0 0 SMZ/Wananchi

4 Pangatupu 5 0 0 - SMZ/Wananchi

JUMLA 20 0 0 0

1 Miwani 5 0 0 0 SMZ/Wananchi

2 Ng'ambwa 4 0 0 0 SMZ/Wananchi

3 Bungi 4 0 0 0 SMZ/Wananchi

4 Pongwe Mwera 5 0 0 0 SMZ/Wananchi

7 Mgeni Haji 4 0 0 0 SMZ/Wananchi

8 Mpapa 3 0 0 0 SMZ/Wananchi

9 Pagali 4 0 0 0 SMZ/Wananchi

10 Machuwi 3 0 0 0 SMZ/Wananchi

11 Tunguu 5 0 0 0 SMZ/Wananchi

12 Ghana 4 0 0 0 SMZ/Wananchi

13 Kikungwi 3 0 0 0 SMZ/Wananchi

JUMLA 44 0 0 0

1 M/Mdogo Sek 3 - - - SMZ

2 Minungwini Msingi 2 - - - SMZ

3 Minungwini Sekondari 3 - - - SMZ

4 Chasasa 3 1 - - SMZ

5 Mkote 5 - - - SMZ

Jumla 16 1 0 -

WILAYA YA WETE

WILAYA YA KASKAZINI 'B'

WILAYA YA KATI

Page 105: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

101

Jadweli 11(a) linaendelea

1 CCK 6 1 1 Vvyoo 11 SMZ

2 Karume 9 - - - SMZ

3 Kinowe 2 1 - - SMZ

4 Konde 3 - - - SMZ

5 Mtemani 9 - - - SMZ

JUMLA 29 2 1

1 Wesha 3 - - - SMZ

2 Michakaini 3 - - - SMZ

3 Chanjamjawiri 5 - - - SMZ

4 Vitongoji Msingi 6 - - - SMZ

5 Vitongoji Sek 5 1 1 - SMZ

JUMLA 22 1 1

1 Michenzani Msingi 4 - - - SMZ

2 Michenzani Sek 4 - - - SMZ

3 Shidi 2 1 - - SMZ

4 Wambaa 2 - - - SMZ

5 Kengeja Msingi 2 1 1 Vyoo 2 na vyumba 2 SMZ

6 Kengeja Sek 4 - - - SMZ

7 Mtagani 4 1 1 - SMZ

8 Minazini 3 - - - SMZ

JUMLA 25 3 2

JUMLA KUU 205 19 9 0

WILAYA YA MICHWENI

WILAYA YA MKOANI

WILAYA YA CHAKE:

Page 106: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

102

Jadweli 11(b)

MADARASA YALIYOKWISHA EZEKWA LAKINI KAZI ZA UPIGAJI

SKULI MADARASA AFISI GHALA MENGINEYO MFADHILI

1 Mwachealale 4 0 0 0 Wananchi

2 Fuoni 4 1 0 0 Wananchi/SMZJUMLA 8 1 0 0

WILAYA YA WETE SMZ

1 Maand. Shengejuu 3 - - 0 SMZ

2 Kangagani Maand 4 SMZ

3 Kiungoni Ms 8 1 1 0 SMZ

JUMLA: 15 1 1 0

1 Mkiang'ombe 4 - - - SMZ

2 Mjini Wingwi 5 - - - SMZ

3 Konde 2 - - - SMZ

4 Chimba 4 1 1 Vyoo 6 SMZ

5 Tumbe Sek 2 - - - SMZ

JUMLA 17 1 1

1 Mgelema 5 1 1 - SMZ

2 Furaha 4 - - - SMZ

3 Mavungwa 3 1 1 Vyoo 6 SMZ

4 Wawi Ms 5 - - - SMZ

JUMLA 17 2 2

1 Chambani Sek 2 - - - SMZ

2 Chokocho 4 1 1 Sehemu ya wazi SMZ

JUMLA 6 1 1

JUMLA KUU 63 6 5 0

WILAYA YA MAGHARIBI B

WILAYA YA MICHEWENI

WILAYA YA MKOANI

WILAYA YA CHAKE

PLASTA NA SAKAFU HAZIJAKAMILIKA

Page 107: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

103

Jadweli 11(c)

SKULI MADARASA AFISI GHALA MENGINEYO MFADHILI

WILAYA YA MJINI

1 Muembe Makumbi 0 0 1 Chumba cha Mkutano Wananchi

JUMLA 0 0 1 1

1 Chuwini 2 0 0 0 Wananchi

2 Mbuzini 3 0 0 0 Wananchi

JUMLA 5 0 0 0

1 Kisauni 2 0 0 0 Wananchi

2 Tomondo 3 0 0 0 Wananchi

3 TC K/Samaki Ukumbi wa Mikutano 1 Wananchi

4 Biashara 3 0 0 0 Wananchi

JUMLA 8 0 0 1

1 Gamba 5 0 0 0 Wananchi

2 Matemwe Sekondari Maabara 1 Wananchi

3 Kivunge maandalizi 3 0 0 Wananchi

4 Kidoti 4 0 0 Maabara 1 na Maktaba 1 Wananchi

5 Potoa 0 0 0 Jiko 1 Wananchi

6 Nungwi 0 0 0 Chumba cha Mitihani 1 na Maktaba 1

JUMLA 12 0 0 6

1 Makoba (maandalizi) 2 1 0 Chumba cha Mikutano 1 Wananchi

2 Makoba sekondari 2 0 0 Chumba cha Mitihani 1 Wananchi

3 Matetema 3 0 1 0 Wananchi

4 Mahonda sekondari 0 0 0 Chumba cha Mikutano 1 Wananchi

JUMLA 7 1 1 3

1 Charawe 4 0 0Chumba cha Mitihani 1, Maabara 1 na

Maktaba 1 Wananchi

2 Ukongoroni 4 1

Chumba cha Mitihani 1, Maabara 1 na

Maktaba 1 Wananchi

3 dunga Kiembeni 4 0 0 Chumba cha Mtihani 1 Wananchi

4 Ndijani sekondari 4 0 0 0 Wananchi

JUMLA 16 1 0 7 Wananchi

MADARASA YALIYOFIKIA HATUA YA KUEZEKWA

WILAYA YA MAGHARIBI 'A'

WILAYA YA MAGHARIBI 'B'

WILAYA YA KASKAZINI A

WILAYA YA KASKAZINI B

WILAYA YA KATI

Page 108: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

104

Jadweli 11(c) linaendelea

1 Kibuteni 3 2 0 0 Wananchi

JUMLA 3 2 0 0

1 Jadida Msingi 2 1 - Maabara kompyuta Wananchi/SMZ

2 Piki Msingi 5 - - - Wananchi/SMZ

3 Gando Sek. 0 1 5 - Wananchi/SMZ

4 Bwagamoyo Msingi 5 - 0 Vyoo 2 na Ukumbi Wananchi/SMZ

5 Mitiulaya 0 0 0 Hall 1

6 Bopwe Msingi 4 1 - - Wananchi/SMZ

JUMLA 16 3 0 4

1 Msuka Sek 5 1 1 Hall, Staff, Choo 1 Wananchi/SMZ

2 Tumbe Sek 4 1 - - Wananchi/SMZ

3 Haroun Msingi 4 1 - - Wananchi/SMZ

4 Simai Msingi 5 - - - Wananchi/SMZ

5 Tumbe Msingi 4 - - - Wananchi/SMZ

6 Micheweni ms 7 0 - - Wananchi/SMZ

7 Konde Maand. - - - Ukumbi

8 Sizini Msingi 5 - - - Wananchi/SMZ

JUMLA 34 3 1 4

1 Nga'mbwa Ms 1 1 0 SMZ / Wananchi

2 Ng'ambwa Sek 2 - - Chumba cha walimu SMZ / Wananchi

3 Kichuwani 2 1 1 Vyoo 8 SMZ / Wananchi

4 Chanjamjawiri 1 1 SMZ / Wananchi

JUMLA: 5 3 2

1 Mtuhaliwa 3 - - - SMZ / Wananchi

2 Kangani Sek 4 - 0 0 SMZ / Wananchi

3 Chambani Msingi 2 1 - 0 SMZ / Wananchi

4 Chambani Sek 3 1 - Ukumbi SMZ / Wananchi

5 Kengeja Sek 2 - - Ukumbi SMZ / Wananchi

6 K/Panza Sek 1 1 SMZ / Wananchi

7 Mwambe Sek - 1 1 - SMZ / Wananchi

8 Tasini 4 0 0 - SMZ / Wananchi

9 Uweleni 0 0 0 Jengo la ghorofa

10 Ukutini Msingi 4 1 - - SMZ / Wananchi

JUMLA 23 5 1 3

JUMLA KUU 129 18 6 29

WILAYA YA MKOANI

WILAYA YA CHAKE

WILAYA YA KUSINI

WILAYA YA WETE

WILAYA YA MICHEWENI

Page 109: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

105

Jadweli 11(d)i

SKULI MADARASA AFISI GHALA MENGINEYO MFADHILI

1 Jang'ombe Msingi 3 0 0 0 SMZ

JUMLA 3 0 0 0

1 Welezo 3 0 0 0 Wananchi

2 Kama 1 0 0 0 Wananchi

JUMLA 4 0 0 0

Ndijani Miseweni 4 0 0 0 Wananchi

JUMLA 4 0 0 0

1 Uwondwe Sekondari 3 - - - Wananchi/SMZ

2 Mjananza 4 - - - Wananchi/SMZ

3 Jadida 13 2 1 Vyoo 12 Wananchi/SMZ

4 Minungwini 3 - - 0

5 Limbani 4 - - Chumba cha Kompyuta, labrary,

Maabara.

Wananchi/SMZ

6 Piki 6 - - - Wananchi/SMZ

JUMLA 33 2 1 3

MADARASA AMBAYO YAMO KATIKA HATUA ZA UJENZI WA KUTA NA NGUZO

WILAYA YA MJINI

WILAYA YA MAGHARIBI 'A'

WILAYA YA KATI

WILAYA YA WETE

Page 110: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

106

Jadweli 11(d)i linaendelea

1 Simai 4 - 0 - Wananchi/SMZ

2 Shumba 6 - - Vyoo 2 Wananchi/SMZ

3 Kipangani 4 - - - Wananchi/SMZ

JUMLA 20 1 1 -

1 Shungi 4 - - 0 SMZ/ Wananchi

2 Pondeani - - - Ukumbi SMZ/ Wananchi

JUMLA: 4 0 0 1

1 Tasini 2 1 1 Chumba cha walimu SMZ / Wananchi

2 Mwambe Shamiani 4 - - - SMZ / Wananchi

4 Ngwachani Msingi 4 - - - SMZ/ Wananchi

5 Wambaa Sek. 4 - - - SMZ/ Wananchi

7 Chwaka 5 - - - SMZ/ Wananchi

8 Kukuu 3 1 - - SMZ Wananchi

9 Mkanyageni Sek 5 - - - SMZ Wananchi

10 Mizingani 2 0 0 Ukumbi SMZ Wananchi

11 Michenzani Sek 3 1 - Chumba cha Walimu SMZ/ Wananchi

JUMLA 32 3 35 3

JUMLA KUU 100 6 37 7

WILAYA YA MICHEWENI

WILAYA YA MKOANI

WILAYA YA CHAKE

Page 111: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

107

Jadweli 11(d)ii

SKULI MADARASA AFISI GHALA MENGINEYO MFADHILI

1 Uvinje 6 - - 0 SMZ / Wananchi

2 Chwale 4 1 - - SMZ / Wananchi

3 Mjananza 4 - - - SMZ / Wananchi

4 Kangagani Ms 4 - - - SMZ / Wananchi

5 Kangagani Sek 5 - - - SMZ / Wananchi

6 Kifundi 4 1 1 - SMZ / Wananchi

27 2 1 0

1 Micheweni 2 - - 0 SMZ / Wananchi

2 Mjini Wingwi 4 - - 0 SMZ / Wananchi

JUMLA: 6 0 0 0

1 Chanjaani 2 - - - SMZ / Wananchi

2 Furaha 4 - - - SMZ / Wananchi

JUMLA 6 - - 0

JUMLA KUU 39 2 1 0

JUMLA

WILAYA YA WETE

WILAYA YA MICHEWENI

WILAYA YA CHAKE

MADARASA AMBAYO YAMO KATIKA HATUA ZA UKUSANYAJI WA VIFAA

Page 112: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

108

Nam SKULI MFADHILI

1 Mbuyu Maji SMZ

2 Fuoni Pangawe SMZ/PRC

3 Mlilile SMZ

4 Fuoni Sekondari OPEC

5 Kinuni Sekondari OPEC

6 Chumbuni Sekondari OPEC

7 Bububu Sekondari OPEC

8 Mwembesauri Sekondari OPEC

9 Kizimbani Sekondari OPEC

10 Micheweni Sekondari OPEC

11 Wara Sekondari OPEC

12 Mwambe Sekondari OPEC

13 Kibuteni SMZ/BADEA

14 Chuo cha Utalii Maruhubi SMZ/ADB

15 Jengo Jipya Taasisi ya Karume SMZ/ADB

16 Chuo cha Mafunzo ya Amali Makunduchi SMZ/ADB

17 Chuo cha Mafunzo ya Amali Daya SMZ/ADB

Jadweli 11(d)iii

UJENZI WA VYUO/SKULI MPYA

Page 113: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

109

Jadweli 12(a)

SKULI MADARASA AFISI GHALA MENGINEYO MFADHILI

1 Migombani Msingi 8 2 0 Vyoo SMZ/Wananchi

2 Jang'ombe Msingi 6 0 0 0 SMZ

WILAYA YA MAGHARIBI 'B'

1 Fuoni Sekondari 5 MILELE

Pale Msingi na Sekondari 7 1 0 0 Milele Foundation

WILAYA YA WETE

1 Maand. Jadida Vyoo 10

2 Maand. M/Ulaya Vyoo 2

WILAYA YA MKOANI

1 Chokocho 3 1 1 SMZ

WILAYA YA CHAKE

1 Ndagoni Vyoo 6

2 Furaha 2 - - -

Jumla: 31 4 1

SKULI AMBAZO UKARABATI UMEFANYIKA

WILAYA YA KASKAZINI 'B'

WILAYA YA MJINI

Page 114: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

110

SKULI AMBAZO UKARABATI UNAENDELEA

SKULI MADARASA AFISI GHALA MENGINEYO MFADHILI

1 Langoni Msingi 3 2 0 0 SMZ/Wizara ya Fedha

2 Langoni Sekondari 4 0 0 0 SMZ/Wizara ya Fedha

Pale 4 0 0 0 MILELE

1 Mwera Msingi 3 0 0 0 SMZ/Halmashauri

1 Cheju 4 2 SMZ/Wananchi

1 Tumbe 4 - - - Action AID

WILAYA YA CHAKE

1 Madungu Sekondari 12 2 2 Vyoo 12, Lab

WILAYA YA MICHEWENI

Jadweli 12(b)

WILAYA YA MAGHARIBI 'A'

WILAYA YA KASKAZINI 'B'

WILAYA YA KATI

WILAYA YA KUSINI

Page 115: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

111

SKULI MADARASA AFISI GHALA MENGINEYO MAELEZO

1 Mikunguni 4 2 0 Karakana Paa/kuta/madirisha/

milango

2 Mbadala Karakana Paa/kuta/sakafu

3 Kidonge Chekundu 16 0 0 0

1 Kiembe Samaki Msingi 6 0 0 0 Paa

2 Kwerekwe F & H 7 0 0 0 Paa/kuta/sakafu

3 Kwerekwe D & G 8 2 0 0 Paa/sakafu

4 Mwera Msingi 6 0 0 0 Paa/kuta/sakafu

5 Mtopepo B 4 0 0 0 Paa/kuta/sakafu

6 Mfenesini sekondari 5 1 0 0 Paa/kuta/sakafu

7 Kizimbani 4 1 0 0 Paa/kuta/sakafu

1 Bwefum 4 0 0 0 Paa/kuta/sakafu

Jadweli 12(c)

WILAYA YA MJINI

SKULI AMBAZO UKARABATI UKO KATIKA HATUA ZA MAANDALIZI

WILAYA YA MAGHARIBI 'A'

WILAYA YA MAGHARIBI 'B'

Page 116: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

112

Kinyasini Msingi 4 0 0 0 Paa

Kivunge Maandalizi 3 1 1 vyoo Paa/kuta/sakafu

Bumbwini Msingi 4 0 0 0 Paa/kuta/sakafu

Makoba Sekondari 4 0 0 0 kuta/sakafu

Donge Msingi 4 0 0 0 Paa/kuta/sakafu

Pale Msingi 4 0 0 0 kuta/sakafu

Kajengwa 4 1

Uzini Msingi 6 0 0 0 Paa/kuta/sakafu

Ghana 9 1 0

Chumba cha walimu

na maktaba

Kizimkazi 3 0 0 0 Paa/kuta/sakafu

Muyuni 4 1 0 0 Paa/kuta/sakafu

1 Bwagamoyo 5 1 1 0 SMZ

1 Tironi 8 1 1 Jengo la Utawala,

Maktaba, Maabara

SMZ

Jadweli 12 (c) linaendelea

WILAYA YA WETE

WILAYA YA MKOANI

WILAYA YA KASKAZINI 'A'

WILAYA YA KASKAZINI 'B'

WILAYA YA KATI

WILAYA YA KUSINI

Page 117: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

113

JADWELI NAM. 13 (a)

WAV WAS JUMLA WAV WAS JUMLA WAV WAS JUMLA WAV WAS JUMLA WAV WAS JUMLA

Mjini 6,892 6,914 13806 1827 1867 3694 2867 3082 5949 4694 4949 9643 68.1 71.6 69.8

Magharibi 'A' 6,474 6,307 12781 1649 1598 3247 2508 2701 5209 4157 4299 8456 64.2 68.2 66.2

Magharibi 'B' 7,738 7,539 15277 1528 1481 3009 4221 4263 8484 5749 5744 11493 74.3 76.2 75.2

Kaskazini 'A' 3,892 3,903 7795 1606 1775 3381 1759 1895 3654 3365 3670 7035 86.5 94.0 90.3

Kaskazini 'B' 3,168 3,041 6209 691 788 1479 1235 1293 2528 1926 2081 4007 60.8 68.4 64.5

Kati 2,766 2,683 5449 1441 1419 2860 658 731 1389 2099 2150 4249 75.9 80.1 78.0

Kusini 1,254 1,271 2525 547 514 1061 588 617 1205 1135 1131 2266 90.5 89.0 89.7

Micheweni 5,285 5,156 10441 1132 1197 2329 2527 2599 5126 3659 3796 7455 69.2 73.6 71.4

Wete 5,037 4,999 10036 1950 1997 3947 903 978 1881 2853 2975 5828 56.6 59.5 58.1

Chake Chake 4,764 4,768 9532 1528 1635 3163 976 911 1887 2504 2546 5050 52.6 53.4 53.0

Mkoani 5,132 4,967 10099 1381 1347 2728 1981 1960 3941 3362 3307 6669 65.5 66.6 66.0

Jumla 52402 51548 103950 15280 15618 30898 20223 21030 41253 35503 36648 72151 67.8 71.1 69.4

ASILIMIA YA UANDIKISHAJI WA WATOTO KATIKA SKULI ZA MAANDALIZI, MACHI - 2018

WILAYA

WATOTO WENYE UMRI WA

SKULI ZA SERIKALI SKULI ZA BINAFSI

JUMLA SKULI ZA KIMA CHA

MIAKA 4 - 5 SERIKALI NA BINAFSI UANDIKISHAJI (%)

Page 118: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

114

JADWELI NAM. 13 (b)

WAV WAS JUMLA WAV WAS JUMLA WAV WAS JUMLA

MJINI 4 956 983 1939 14 871 884 1755 0 0 0 0

MAGHARIBI 'A' 1 81 85 166 22 1491 1423 2914 1 77 90 167

MAGHARIBI 'B' 0 0 0 0 22 1455 1409 2864 2 73 72 145

KASKAZINI 'A' 5 585 683 1268 16 824 890 1714 7 197 202 399

KASKAZINI 'B' 1 76 92 168 15 431 525 956 4 184 171 355

KATI 5 330 334 664 12 683 674 1357 10 428 411 839

KUSINI 4 395 353 748 4 130 129 259 1 22 32 54

MICHEWENI 5 462 521 983 18 670 676 1346 1 0 0 0

WETE 2 211 221 432 24 1327 1325 2652 6 412 451 863

CHAKE 2 215 259 474 25 1288 1348 2636 1 25 28 53

MKOANI 2 122 142 264 29 1177 1144 2321 2 82 61 143

JUMLA 31 3433 3673 7106 201 10347 10427 20774 35 1500 1518 3018

UANDIKISHAJI WA WATOTO WA MAANDALIZI WANAOSOMA KATIKA SKULI

ZA SERIKALI ZA MAANDALIZI, MSINGI NA MSINGI NA KATI, KIWILAYA MACHI - 2018

WILAYA

MAANDALIZI MSINGI MSINGI NA KATI

IDADI

YA

SKULI

IDADI YA WANAFUNZI IDADI

YA

SKULI

IDADI YA WANAFUNZI IDADI

YA

SKULI

IDADI YA WANAFUNZI

Page 119: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

115

JADWELI NAM 13 ( c )

WAVULANA WASICHANA JUMLA WAVULANA WASICHANA JUMLA

MJINI 67 2867 3082 5949 0 0 0 0

MAGHARIBI 'A' 55 2121 2270 4391 11 387 431 818

MAGHARIBI 'B' 91 3994 4028 8022 10 227 235 462

KASKAZINI 'A' 11 453 467 920 67 1306 1428 2734

KASKAZINI 'B' 12 518 559 1077 48 717 734 1451

KATI 17 658 731 1389 0 0 0 0

KUSINI 14 588 617 1205 0 0 0 0

MICHEWENI 7 346 314 660 88 2181 2285 4466

WETE 19 903 978 1881 0 0 0 0

CHAKE 14 711 665 1376 12 265 246 511

MKOANI 9 449 376 825 66 1532 1584 3116

JUMLA 316 13608 14087 27695 302 6615 6943 13558

Angalia: RISE - Radio Instruction to Strengthen Education

UANDIKISHAJI WA WANAFUNZI NGAZI YA MAANDALIZI KATIKA

VITUO/SKULI ZA BINAFSI, KIWILAYA MACHI - 2018

WILAYA

SKULI VITUO (RISE)

IDADI YA

SKULI

IDADI YA WANAFUNZI IDADI

YA

VITUO

IDADI YA WANAFUNZI

Page 120: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

116

JADWELI NAM. 14

WAV WAS JUMLA WAV WAS JUMLA WAV WAS JUMLA WAV WAS JUMLA WAV WAS JUMLA

Mjini 16,838 17,120 33958 12032 12195 24227 3728 3771 7499 15760 15966 31726 93.6 93.3 93.4

Magharibi 'A' 15,192 15,161 30353 16488 17279 33767 2684 2630 5314 19172 19909 39081 126.2 131.3 128.8

Magharibi 'B' 18,243 18,423 36666 15933 16348 32281 6119 6552 12671 22052 22900 44952 120.9 124.3 122.6

Kaskazini 'A' 9,898 9,754 19652 10866 11057 21923 191 209 400 11057 11266 22323 111.7 115.5 113.6

Kaskazini 'B' 7,524 7,628 15152 6612 6237 12849 222 253 475 6834 6490 13324 90.8 85.1 87.9

Kati 6,619 6,409 13028 8510 8125 16635 441 476 917 8951 8601 17552 135.2 134.2 134.7

Kusini 3,191 2,887 6078 3677 3347 7024 185 178 363 3862 3525 7387 121.0 122.1 121.5

Micheweni 11,329 10,806 22135 10868 10426 21294 197 179 376 11065 10605 21670 97.7 98.1 97.9

Wete 10,798 10,700 21498 13761 13154 26915 334 264 598 14095 13418 27513 130.5 125.4 128.0

Chake Chake 9,561 9,770 19331 11860 11425 23285 822 795 1617 12682 12220 24902 132.6 125.1 128.8

Mkoani 10,061 9,722 19783 13464 12526 25990 246 192 438 13710 12718 26428 136.3 130.8 133.6

Jumla 119254 118380 237634 124071 122119 246190 15169 15499 30668 139240 137618 276858 116.8 116.3 116.5

ASILIMIA YA UANDIKISHAJI KATIKA NGAZI YA MSINGI (DARASA LA I - VI), MACHI - 2018

WILAYA

WATOTO WENYE UMRI WA UANDIKISHAJI KATIKA NGAZI YA MSINGI ASILIMIA YA

MIAKA 6 - 11 SERIKALI BINAFSI JUMLA UANDIKISHAJI

Page 121: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

117

JADWELI NAM. 15

WAV WAS JUMLA WAV WAS JUMLA WAV WAS JUMLA WAV WAS JUMLA

Mjini 1294 1313 2607 763 740 1503 2057 2053 4110 62.9 64.0 63.4

Magharibi 'A' 1727 1826 3553 1492 1528 3020 3219 3354 6573 53.7 54.4 54.1

Magharibi 'B' 1782 1939 3721 1009 894 1903 2791 2833 5624 63.8 68.4 66.2

Kaskazini 'A' 1091 1138 2229 1101 1071 2172 2192 2209 4401 49.8 51.5 50.6

Kaskazini 'B' 796 754 1550 463 407 870 1259 1161 2420 63.2 64.9 64.0

Kati 1251 1171 2422 378 303 681 1629 1474 3103 76.8 79.4 78.1

Kusini 673 624 1297 86 60 146 759 684 1443 88.7 91.2 89.9

Micheweni 1422 1284 2706 1298 1115 2413 2720 2399 5119 52.3 53.5 52.9

Wete 1455 1364 2819 1578 1431 3009 3033 2795 5828 48.0 48.8 48.4

Chake Chake 1389 1338 2727 1189 1019 2208 2578 2357 4935 53.9 56.8 55.3

Mkoani 1678 1754 3432 1326 1128 2454 3004 2882 5886 55.9 60.9 58.3

Jumla 14558 14505 29063 10683 9696 20379 25241 24201 49442 57.7 59.9 58.8

WALIOPITIA MAANDALIZI WASIOPITIA MAANDALIZI JUMLA

UANDIKISHAJI WA WANAFUNZI KATIKA DARASA LA KWANZA, SKULI ZA SERIKALI - 2018

WILAYA

WATOTO WALIOANDIKISHWA

% YA WALIOPITIA MAANDALIZI

Page 122: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

118 JADWELI NAM. 16

WAV WAS JUMLA WAV WAS JUMLA WAV WAS JUMLA WAV WAS JUMLA WAV WAS JUMLA

Mjini 5,687 5,812 11499 5043 5603 10646 532 633 1165 5575 6236 11811 98.0 107.3 102.7

Magharibi 'A' 4,621 4,829 9450 3964 4235 8199 484 443 927 4448 4678 9126 96.3 96.9 96.6

Magharibi 'B' 5,469 5,933 11402 4222 4484 8706 1088 1430 2518 5310 5914 11224 97.1 99.7 98.4

Kaskazini 'A' 2,995 3,097 6092 2474 3073 5547 0 0 0 2474 3073 5547 82.6 99.2 91.1

Kaskazini 'B' 2,344 2,228 4572 1554 1638 3192 20 9 29 1574 1647 3221 67.2 73.9 70.5

Kati 1,961 1,990 3951 2380 2418 4798 92 99 191 2472 2517 4989 126.1 126.5 126.3

Kusini 937 884 1821 1230 1115 2345 38 39 77 1268 1154 2422 135.3 130.5 133.0

Micheweni 3,554 3,378 6932 1694 2067 3761 25 28 53 1719 2095 3814 48.4 62.0 55.0

Wete 3,683 3,587 7270 2935 3254 6189 128 99 227 3063 3353 6416 83.2 93.5 88.3

Chake-Chake 3,274 3,295 6569 2559 2850 5409 268 261 529 2827 3111 5938 86.3 94.4 90.4

Mkoani 3,370 3,132 6502 2635 2894 5529 0 0 0 2635 2894 5529 78.2 92.4 85.0

Jumla 37895 38165 76060 30690 33631 64321 2675 3041 5716 33365 36672 70037 88.0 96.1 92.1

ASILIMIA YA UANDIKISHAJI KATIKA NGAZI YA KATI (KIDATO 1 - 2), MACHI - 2018

WILAYA

WATOTO WENYE UMRI WA UANDIKISHAJI KATIKA NGAZI YA KATI (KIDATO 1 - 2) ASILIMIA YA

MIAKA 12 - 13 SERIKALI BINAFSI JUMLA UANDIKISHAJI

Page 123: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

119

JADWELI NAM. 17

WAV WAS JUMLA WAV WAS JUMLA WAV WAS JUMLA

Mjini 11 2288 3151 5439 1179 1599 2778 3467 4750 8217

Magharibi 'A' 11 1448 2072 3520 694 1020 1714 2142 3092 5234

Magharibi 'B' 13 1741 2562 4303 605 1004 1609 2346 3566 5912

Kaskazini 'A' 16 1176 1679 2855 583 850 1433 1759 2529 4288

Kaskazini 'B' 8 418 848 1266 225 408 633 643 1256 1899

Kati 20 745 1333 2078 427 629 1056 1172 1962 3134

Kusini 9 437 606 1043 191 244 435 628 850 1478

Micheweni 10 881 1072 1953 303 364 667 1184 1436 2620

Wete 24 1278 1783 3061 484 658 1142 1762 2441 4203

Chake-chake 18 941 1449 2390 453 622 1075 1394 2071 3465

Mkoani 21 878 1312 2190 526 627 1153 1404 1939 3343

JUMLA 161 12231 17867 30098 5670 8025 13695 17901 25892 43793

UANDIKISHAJI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA 3 NA 4 WA MIKONDO YA KAWAIDA

(ISIYOKUWA MICHEPUO) KIWILAYA KATIKA SKULI ZA SERIKALI MACHI - 2018

KIDATO 3 KIDATO 4

WILAYA

JUMLA KUUIDADI YA

SKULI

Page 124: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

120

JADWELI NAM. 18

WAV WAS JUMLA WAV WAS JUMLA WAV WAS JUMLA

SUNNI 31 59 90 37 29 66 68 88 156MEMON ACADEMY 18 30 48 13 21 34 31 51 82AL - RIYAMI ACADEMY 27 15 42 13 17 30 40 32 72BILAL ISLAMIC SEMINARY 37 79 116 17 35 52 54 114 168SUN CITY 17 20 37 20 21 41 37 41 78GLORIUS ACADEMY 84 19 103 32 40 72 116 59 175STONE TOWN INTERNATIONAL 4 4 8 5 4 9 9 8 17ENGLISH SPEAKING INT. SCHOOL 18 23 41 14 16 30 32 39 71MADRASAT HUDA 9 10 19 5 6 11 14 16 30ST. MONICA 9 7 16 3 4 7 12 11 23SUFA 14 20 34 6 19 25 20 39 59LAUREATE 44 66 110 27 32 59 71 98 169HIFADHI 15 20 35 7 16 23 22 36 58FEZA 27 25 52 24 14 38 51 39 90MOMBASA CENTRAL 1 4 5 6 16 22 7 20 27SOS 44 55 99 19 31 50 63 86 149MBARALI PREPARATORY 37 34 71 25 32 57 62 66 128ZANZIBAR PROGRESSIVE 21 18 39 9 15 24 30 33 63INTERNATIONAL SCHOOL 6 8 14 2 3 5 8 11 19NYUKI 76 52 128 44 55 99 120 107 227HIGH VIEW 35 49 84 39 46 85 74 95 169AL - FALAH 58 59 117 39 40 79 97 99 196MWERA 3 11 14 0 0 0 3 11 14TRIFONIA 53 56 109 21 25 46 74 81 155FRANCIS MARIA LBERMAN 22 38 60 24 12 36 46 50 96

UANDIKISHAJI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA 3 NA 4 WA MIKONDO YA KAWAIDA SKULI ZA BINAFSI, 2018

SKULI

KIDATO 3 KIDATO 4 JUMLA KUU

Page 125: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

121

JADWELI NAM. 18 linaendelea

ROYAL INTERNATIONAL 8 5 13 8 7 15 16 12 28RAUDHA ACADEMY 52 59 111 17 27 44 69 86 155PHILTER FEDERAL 10 19 29 24 21 45 34 40 74MNEMONIC 32 27 59 74 72 146 106 99 205AL HARAMAYN 34 32 66 0 0 0 34 32 66JKU SEC. SCHOOL 100 80 180 87 102 189 187 182 369BEIT-RAS 38 65 103 14 27 41 52 92 144S .S.P. 37 24 61 43 50 93 80 74 154AL IHSAN 0 64 64 0 66 66 0 130 130AL - MUBARAK 16 18 34 12 22 34 28 40 68SHAMUSLEY ACADEMIC 8 4 12 0 0 0 8 4 12JUBA ISLAMIC SCHOOL 7 13 20 5 6 11 12 19 31CHARITY BWEJUU 27 15 42 11 7 18 38 22 60FARUK AKTAS 17 11 28 14 14 28 31 25 56BRILLIANT ACADEMY 80 93 173 0 0 0 80 93 173HIGH PERFOMANCE 15 9 24 16 20 36 31 29 60KARIBU SCHOOL 6 6 12 0 0 0 6 6 12WILLEY 18 8 26 7 13 20 25 21 46AL QUWIYYI 10 11 21 10 10 20 20 21 41MAHAD ISTIQAMA 45 54 99 23 24 47 68 78 146UNIQUE LEARNING 8 8 16 10 12 22 18 20 38MOUNTAIN HILL 7 2 9 0 0 0 7 2 9AMBASHA ISLAMIC 22 24 46 0 0 0 22 24 46WETE ISLAMIC 19 23 42 21 27 48 40 50 90CONNECTING CONNECTION 55 51 106 26 29 55 81 80 161FARAHEDY 19 30 49 12 13 25 31 43 74AMIN ISLAMIC 13 15 28 10 8 18 23 23 46ISTIQAMA MKANJUNI 12 18 30 5 8 13 17 26 43ALKHAMIS CAMP 34 70 104 12 8 20 46 78 124JUMLA 1459 1639 3098 912 1142 2054 2371 2781 5152

Page 126: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

122

JADWELI NAM. 19

WAS J'LA WAS J'LA WAS J'LA WAS J'LA WAS J'LA

Kiembesamaki 39 53 28 57 51 102 29 46 147 258

Kiuyu 12 41 14 28 35 57 14 30 75 156

51 94 42 85 86 159 43 76 222 414

Kifaransa Kiponda 28 45 21 42 53 74 27 36 129 197

Maarifa ya nyumbani Ben Bella 50 50 50 50 48 48 0 0 148 148

Skuli ya Biashara 34 54 23 43 28 49 22 54 107 200

Kiembesamaki 0 0 0 0 50 108 13 35 63 143

Chasasa 18 26 12 17 8 25 14 36 52 104

52 80 35 60 86 182 49 125 222 447

Skuli ya Biashara 42 48 25 37 47 89 20 47 134 221

Ben Bella 50 50 56 56 82 82 49 49 237 237

Chasasa 13 38 8 19 4 20 6 33 31 110

105 136 89 112 133 191 75 129 402 568

Mikunguni 27 73 24 53 37 49 23 48 111 223

Kengeja 12 59 6 31 25 32 5 33 48 155

39 132 30 84 62 81 28 81 159 378

Lumumba 74 117 34 56 85 168 51 115 244 456

F/Castro 19 50 16 25 10 37 6 17 51 129

93 167 50 81 95 205 57 132 295 585

Jumla Ndogo

Kiislam

Jumla Ndogo

Jumla Ndogo

Jumla Ndogo

Vipawa vya juu

Jumla Ndogo

Ufundi

Biashara

Kompyuta

UANDIKISHAJI KATIKA AINA MBALI MBALI ZA MICHEPUO - 2018

MCHEPUO

KIDATO 1 KIDATO 2 KIDATO 3 KIDATO 4 JUMLA KUU

SKULI

Page 127: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

123

JADWELI NAM. 19 LINAENDELEA

Vikokotoni 0 0 0 0 0 0 82 195 82 195

Chasasa 0 0 0 0 0 0 7 41 7 41

Kiembesamaki 0 0 0 0 0 0 61 118 61 118

0 0 0 0 0 0 150 354 150 354

Utaani 41 41 25 25 57 57 28 28 151 151

Madungu 33 51 27 41 51 88 23 38 134 218

Chasasa 0 0 15 28 28 59 16 49 59 136

Wete 0 0 0 0 0 0 9 36 9 36

F/Castro 34 67 14 45 71 101 33 58 152 271

Mikindani 45 78 42 85 50 74 32 52 169 289

Ben Bella 58 58 54 54 63 63 100 100 275 275

Kiembesamaki 27 57 22 47 20 49 0 0 69 153

Tumekuja 47 118 54 100 86 162 56 124 243 504

285 470 253 425 426 653 297 485 1261 2033

Haile Selassi 65 101 22 38 123 174 0 0 210 313

M/Kwe 'C' 24 50 15 37 13 37 0 0 52 124

89 151 37 75 136 211 0 0 262 437

792 1325 607 1014 1125 1804 726 1418 3250 5561

Sayansi ya jamii Al -Ihsani 20 20 21 21 21 21 19 19 81 81

20 20 21 21 21 21 19 19 81 81

812 1345 628 1035 1146 1825 745 1437 3331 5642JUMLA KUU

JUMLA (BINAFSI)

JUMLA (SERIKALI)

Jumla Ndogo

Jumla Ndogo

Sayansi jamii

Sayansi

Michezo

Jumla Ndogo

Page 128: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

124

JADWELI NAM. 20

WAV WAS JUMLA WAV WAS JUMLA WAV WAS JUMLA

KIDATO CHA 1 14760 16101 30861 533 792 1325 15293 16893 32186

KIDATO CHA 2 14990 16131 31121 407 607 1014 15397 16738 32135

KIDATO CHA 3 12231 17867 30098 679 1125 1804 12910 18992 31902

KIDATO CHA 4 5670 8025 13695 692 726 1418 6362 8751 15113

JUMLA 47651 58124 105775 2311 3250 5561 49962 61374 111336

KIDATO CHA 1 1347 1494 2841 0 20 20 1347 1514 2861

KIDATO CHA 2 1328 1506 2834 0 21 21 1328 1527 2855

KIDATO CHA 3 1470 1707 3177 0 21 21 1470 1728 3198

KIDATO CHA 4 912 1142 2054 0 19 19 912 1161 2073

JUMLA 5057 5849 10906 0 81 81 5057 5930 10987

JUMLA KUU 52708 63973 116681 2311 3331 5642 55019 67304 122323

2. SKULI ZA BINAFSI

1. SKULI ZA SERIKALI

UANDIKISHAJI KATIKA NGAZI YA SEKONDARI (KIDATO 1 - 4), MACHI - 2018

ELIMU YA KATI ELIMU YA MICHEPUO JUMLA

DARASA

Page 129: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

125

JADWELI NAM. 21

WAV WAS JUMLA WAV WAS JUMLA WAV WAS JUMLA WAV WAS JUMLA WAV WAS JUMLA

Mjini 10725 11229 21954 9032 11318 20350 952 1170 2122 9984 12488 22472 93.1 111.2 102.4

Magharibi 'A' 8480 8873 17353 6150 7409 13559 843 845 1688 6993 8254 15247 82.5 93.0 87.9

Magharibi 'B' 10168 11113 21281 6948 8404 15352 2291 2936 5227 9239 11340 20579 90.9 102.0 96.7

Kaskazini 'A' 5580 5912 11492 4233 5602 9835 0 0 0 4233 5602 9835 75.9 94.8 85.6

Kaskazini 'B' 4293 4300 8593 2197 2894 5091 38 29 67 2235 2923 5158 52.1 68.0 60.0

Kati 3862 3798 7660 3552 4380 7932 160 177 337 3712 4557 8269 96.1 120.0 108.0

Kusini 1797 1705 3502 1858 1965 3823 76 61 137 1934 2026 3960 107.6 118.8 113.1

Micheweni 6678 6377 13055 2916 3552 6468 41 28 69 2957 3580 6537 44.3 56.1 50.1

Wete 6831 6497 13328 4904 5872 10776 190 173 363 5094 6045 11139 74.6 93.0 83.6

Chake-Chake 6131 6181 12312 4098 5115 9213 466 511 977 4564 5626 10190 74.4 91.0 82.8

Mkoani 6361 5949 12310 4074 4863 8937 0 0 0 4074 4863 8937 64.0 81.7 72.6

Jumla 70906 71934 142840 49962 61374 111336 5057 5930 10987 55019 67304 122323 77.6 93.6 85.6

BINAFSI JUMLA

ASILIMIA YA UANDIKISHAJI KATIKA NGAZI YA SEKONDARI ( KIDATO 1 - 4) MACHI - 2018

WILAYA

WATOTO WENYE UMRI ASILIMIA YA

WA MIAKA 12 - 15 SERIKALI UANDIKISHAJI

UANDIKISHAJI KATIKA NGAZI YA SEKONDARI (KIDATO 1-4)

Page 130: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

126

JADWELI NAM. 22

WAS JUMLA WAS JUMLA WAS JUMLA

Lumumba 78 217 41 120 119 337

Ben - Bella 94 94 107 107 201 201

Hamamni 119 186 113 157 232 343

Kiembe Samaki 'A' Islamic 129 237 40 105 169 342

Biashara Mombasa 40 89 14 40 54 129

Mwanakwerekwe 'C' 72 119 114 153 186 272

Mpendae 87 184 46 114 133 298

Tumekuja 105 263 30 115 135 378

Kiponda 13 67 16 48 29 115

Haile Selassie 69 145 0 0 69 145

Faraja 27 77 84 174 111 251

Jang'ombe 29 47 27 42 56 89

Chuo cha Kiislamu (Pemba) 15 71 11 39 26 110

Madungu 70 110 30 65 100 175

Shamiani 17 58 34 59 51 117

UANDIKISHAJI KATIKA NGAZI YA ELIMU YA SEKONDARI YA JUU 2018

SKULI

KIDATO CHA 5 KIDATO CHA 6 JUMLA

Page 131: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

127

Fidel-Castro 56 141 57 123 113 264

Chasasa 30 105 39 98 69 203

Utaani 'A' 30 30 21 40 51 70

Uweleni 7 18 15 32 22 50

Moh'd J. Pindua 16 51 0 0 16 51

M/Mdogo 11 20 2 24 13 44

JUMLA SERIKALI 1114 2329 841 1655 1955 3984

SUZA 21 62 27 55 48 117

SOS 46 80 36 53 82 133

Al Ihsaan 52 52 34 34 86 86

Nyuki 9 19 2 18 11 37

Philter 6 12 8 2 14 14

Al-Haramayn 14 24 12 22 26 46

Feza 28 49 29 51 57 100

Mnemonic 2 11 0 0 2 11

SSP 10 15 0 0 10 15

High View 14 22 13 25 27 47

JUMLA BINAFSI 202 346 161 260 363 606

JUMLA KUU 1316 2675 1002 1915 2318 4590

JADWELI NAM. 22 linaendelea

Page 132: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

128 JADWELI NAM. 23

WAV WAS JUMLA WAV WAS JUMLA WAV WAS JUMLA WAV WAS JUMLA WAV WAS JUMLA

Mjini 22525 22932 45457 17075 17798 34873 4260 4404 8664 21335 22202 43537 94.7 96.8 95.8

Magharibi 'A' 19813 19990 39803 20452 21514 41966 3168 3073 6241 23620 24587 48207 119.2 123.0 121.1

Magharibi 'B' 23712 24356 48068 20155 20832 40987 7207 7982 15189 27362 28814 56176 115.4 118.3 116.9

Kaskazini 'A' 12893 12851 25744 13340 14130 27470 191 209 400 13531 14339 27870 104.9 111.6 108.3

Kaskazini 'B' 9868 9856 19724 8166 7875 16041 242 262 504 8408 8137 16545 85.2 82.6 83.9

Kati 8580 8399 16979 10890 10543 21433 533 575 1108 11423 11118 22541 133.1 132.4 132.8

Kusini 4128 3771 7899 4907 4462 9369 223 217 440 5130 4679 9809 124.3 124.1 124.2

Micheweni 14883 14184 29067 12562 12493 25055 222 207 429 12784 12700 25484 85.9 89.5 87.7

Wete 14481 14287 28768 16696 16408 33104 462 363 825 17158 16771 33929 118.5 117.4 117.9

Chake-Chake 12835 13065 25900 14419 14275 28694 1090 1056 2146 15509 15331 30840 120.8 117.3 119.1

Mkoani 13431 12854 26285 16099 15420 31519 246 192 438 16345 15612 31957 121.7 121.5 121.6

Jumla 157149 156545 313694 154761 155750 310511 17844 18540 36384 172605 174290 346895 109.8 111.3 110.6

ASILIMIA YA UANDIKISHAJI KATIKA NGAZI YA MSINGI NA KATI (DARASA I - KIDATO 2) - 2018

WILAYA

WATOTO WENYE UMRI UANDIKISHAJI KATIKA NGAZI YA MSINGI NA KATI (DARASA LA 1 - KIDATO 2) ASILIMIA YA

WA MIAKA 6 - 13 SERIKALI BINAFSI JUMLA UANDIKISHAJI

Page 133: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

129

JADWELI NAM. 24

DAKHALIA WAVULANA WASICHANA JUMLA

1 Mbweni A 120 72 192

2 Mbweni B 20 0 20

3 Mazizini 0 74 74

4 Fidel-Castro 366 302 668

5 Utaani 192 287 479

6 Kengeja Ufundi 110 50 160

7 C.C.K (Kiuyu) 232 302 534

8 Pindua 189 189 378

9 Chuo cha Ufundi - Mkokotoni 163 67 230

10 Chuo cha Ufundi - Vitongoji 85 37 122

Jumla 1477 1380 2857

IDADI YA WANAFUNZI WANAOKAA DAKHALIA, 2018

Page 134: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

130

JADWELI NAM. 25(a)

M F T M F T M F T M F T

VYUO VYA TANZANIA BARA

1 Al-Makhtoum College of Engineering and Technology 1 0 1 0 0 0 0 0 0 1 0 1

2 Ardhi University (ARU) 0 4 4 0 0 0 0 0 0 0 4 4

3 Arusha Technical College 1 1 2 0 0 0 0 0 0 1 1 2

4 Catholic University of Health and Allied Sciences (CUHAS) - Bugando 2 1 3 0 0 0 0 0 0 2 1 3

5 Centre for Foreign Relations 10 9 19 0 0 0 0 0 0 10 9 19

6 College of Business Education (CBE) - Dar es salaam campus 12 10 22 0 0 0 0 0 0 12 10 22

7 College of Business Education (CBE) - Dodoma campus 1 1 2 0 0 0 0 0 0 1 1 2

8 Community Development Training Institute (CDTI) 2 1 3 0 0 0 0 0 0 2 1 3

9 Dar es Salaam Institute of Technology 24 8 32 1 0 1 0 0 0 25 8 33

10 Dar es salaam Maritime Institute (DMI) 3 0 3 0 0 0 0 0 0 3 0 3

11 Eastern Africa Statistical Training Centre 4 3 7 1 0 1 0 0 0 5 3 8

12 Hubert Kairuki Memorial University 3 7 10 0 1 1 0 0 0 3 8 11

13 International Medical and Technological University (IMTU) 10 5 15 0 0 0 0 0 0 10 5 15

14 Institute of Accountancy Arusha 2 1 3 2 0 2 0 0 0 4 1 5

15 Institute of Finance Management 19 10 29 1 0 1 0 0 0 20 10 30

16 Institute of Procurement and supply 0 3 3 0 0 0 0 0 0 0 3 3

17 Institute of Rural Development Planning 9 13 22 0 0 0 0 0 0 9 13 22

18 Institute of Social Works 4 4 8 0 0 0 0 0 0 4 4 8

19 Institute of Tax Administration 3 5 8 0 0 0 0 0 0 3 5 8

20 Jordan University College 0 0 0 2 2 4 0 0 0 2 2 4

WANAFUNZI WALIOKO MASOMONI CHINI YA UDHAMINI ZHELB KATIKA VYUO MBALI MBALI

TANZANIA NA NJE YA TANAZANIA MWAKA 2017-2018

JINA LA CHUO

SHAHADA YA

KWANZA

SHAHADA YA

UZAMILI

SHAHADA YA

UZAMIVUJUMLA KUU

Na.

Page 135: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

131

Jadweli nam. 25(a) linaendelea

21 Kampala International University - Tanzania 25 23 48 0 1 1 0 0 0 25 24 49

22 Kilimanjaro Christian Medacal University College (KCMC) 1 0 1 0 1 1 1 0 1 2 1 3

23 Mbeya University of Science and Technology 8 2 10 0 0 0 0 0 0 8 2 10

24 Moshi Cooperative University (MoCU) 0 1 1 0 0 0 0 0 0 0 1 1

25 Mt. Meru University 0 1 1 0 0 0 0 0 0 0 1 1

26 Muhimbili University of Health and Allied Sciences 1 2 3 8 1 9 0 0 0 9 3 12

27 Muslimu University of Morogoro 6 4 10 0 0 0 0 0 0 6 4 10

28 Mwalimu Nyerere Memorial Academy 15 15 30 0 0 0 0 0 0 15 15 30

29 Mwenge Catholic University 2 2 4 0 1 1 0 0 0 2 3 5

30 Mzumbe University 12 7 19 2 0 2 0 0 0 14 7 21

31 National Institute of Transport 14 5 19 0 0 0 1 0 1 15 5 20

32 Nelson Mandela African Institute of Science and Technology 0 0 0 1 1 2 0 0 0 1 1 2

33 Open University of Tanzania - Dar es Salaam Centre 1 0 1 0 0 0 0 0 0 1 0 1

34 Ruaha Catholic University (RUCU) 2 0 2 0 0 0 0 0 0 2 0 2

35 Sebastian Kolowa Memorial University (SEKOMU) 2 3 5 0 0 0 0 0 0 2 3 5

36 Sokoine University of Agriculture 2 4 6 1 0 1 0 0 0 3 4 7

37 St. Augustine University of Tanzania 0 1 0 1 1 0 1 2 0 2

38 St Johns University of Tanzania (SJUT) 6 1 7 0 0 0 1 0 1 7 1 8

39St. Joseph College of Health and Allied Sciences (SJCHAS) - Dar

es Salaam2 1 3 0 0 0 0 0 0 2 1 3

40St. Joseph College of Engineering and Technology (SJCET) - Dar

es Salaam9 4 13 0 0 0 0 0 0 9 4 13

Page 136: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

132

Jadweli nam. 25(a) linaendelea

41 Stefano Moshi Memorial Univerity College 0 1 1 0 0 0 0 0 0 0 1 1

42 Tanzania Institute of Accountancy (TIA) - Dar es Salaam Campus 8 8 16 0 0 0 0 0 0 8 8 16

43 Tanzania Institute of Accountancy (TIA) - Mbeya Campus 2 0 2 0 0 0 0 0 0 2 0 2

44 Teofilo Kisanji University (TEKU) 0 1 1 0 0 0 0 0 0 0 1 1

45 Tumaini University Dar es Salaam College (TUDARCO) 0 2 2 0 0 0 0 0 0 0 2 2

46 University of Arusha 0 1 1 0 0 0 0 0 0 0 1 1

47 University of Bagamoyo (UoB) 1 1 2 0 0 0 0 0 0 1 1 2

48 University of Dar es Salaam (UDSM) 14 5 19 9 3 12 0 0 0 23 8 31

49 University of Dodoma (UDOM) 33 7 40 11 7 18 2 1 3 46 15 61

50 University of Iringa 4 2 6 3 3 6 4 0 4 11 5 16

JUMLA NDOGO 280 189 469 43 21 64 10 1 11 333 211 544

50 Abdulrahman Al-Sumait Memorial University 63 54 117 0 0 0 0 0 0 63 54 117

51 Karume Institute of Science and Techmology - KIST 10 1 11 0 0 0 0 0 0 10 1 11

52 Open University of Tanzania - Pemba Centre 11 8 19 1 2 3 0 1 1 12 11 23

53 Open University of Tanzania - Zanzibar Centre 34 18 52 8 9 17 2 3 5 44 30 74

54 The State University of Zanzibar (SUZA) 224 278 502 7 8 15 3 2 5 234 288 522

55 Zanzibar Institute of Finance and Administration (ZIFA) 102 133 235 0 0 0 0 0 0 102 133 235

56 Zanzibar University (ZU) 361 493 854 6 9 15 0 0 0 367 502 869

805 985 1790 22 28 50 5 6 11 832 1019 1851

1,085 1,174 2,259 65 49 114 15 7 22 1,165 1,230 2,395

JUMLA NDOGO

JUMLA KUU (WANAFUNZI VYUO VYA NDANI)

VYUO VYA ZANZIBAR

Page 137: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

133

Jadweli nam. 25(a) linaendelea

VYUO VYA NJE YA NCHI

57 Changsha Medical University 1 0 1 0 0 0 0 0 0 1 0 1

58 China Pharmaceutical University 2 0 2 0 0 0 0 0 0 2 0 2

59 China University of Mining Technology 0 1 1 0 0 0 0 0 0 1 1 1

60 China University of Petroleum (Huadong) 1 2 3 0 0 0 0 0 0 3 2 3

61 Fujian Medical College 5 7 12 0 0 0 0 0 0 12 7 12

62 Hebei University 0 1 1 0 0 0 0 0 0 1 1 1

63 Hebei North University 0 2 2 0 0 0 0 0 0 2 2 2

64 Huazhong University of Science and Technology 4 1 5 0 0 0 1 0 1 5 1 6

65 Shenyang Medical College 1 1 2 0 0 0 0 0 0 2 1 2

66 University of Electronic Science and Technology of China 1 0 1 0 0 0 0 0 0 1 0 1

67 Wenzhou Medical University 1 0 1 0 0 0 0 0 0 1 0 1

68 Xian Jiaotong University 0 1 1 0 0 0 0 0 0 1 1 1

69 Xian Shiyou University 1 0 1 0 0 0 0 0 0 1 0 1

70 Yichun University 5 10 15 0 0 0 0 0 0 15 10 15

71 Zhejiang University of Media and Communication 16 16 32 0 0 0 0 0 0 32 16 32

72 Zunyi Normal College 6 9 15 0 0 0 0 0 0 15 9 15

INDIA

73 Animaster Academy 1 0 1 0 0 0 0 0 0 1 0 1

74 Aditya Bangalore Institute of Pharmacy 0 1 1 0 0 0 0 0 0 0 1 1

75 JSS University 1 0 1 0 0 0 0 0 0 1 0 1

76 National Law School of University of India 0 0 0 0 0 0 1 0 1 1 0 1

CHINA

Page 138: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

134

Jadweli nam. 25(a) linaendelea

MALAYSIA

77 Elite International University 1 0 1 0 0 0 0 0 0 1 0 1

78 UCSI University 1 0 1 0 0 0 0 0 0 1 0 1

79 University Putra Malaysia 1 0 1 0 0 0 0 0 0 1 0 1

RUSSIA

80 Saratov State Universty 1 0 1 0 0 0 0 0 0 1 0 1

81 Tambov State Universty 1 0 1 0 0 0 0 0 0 1 0 1

SUDAN

82 International University of Africa 61 47 108 0 0 0 0 0 0 61 47 108

UKRAINE

83 Kharkov National Medical University 0 1 1 0 0 0 0 0 0 0 1 1

84 Sumy State University 4 0 4 0 0 0 0 0 0 4 0 4

UNITED KINGDOM

85 University of Strathclyde 0 0 0 1 0 1 0 0 0 1 0 1

TURKEY

86 Eastern Meditarranean University 0 1 1 0 0 0 0 0 0 0 1 1

UGANDA

87 Kabale University 0 1 1 0 0 0 0 0 0 0 1 1

88 Kampala International University - Uganda 1 2 3 0 2 2 1 0 1 2 4 6

89 Ernest Cook Ultrasound Research and Education Institute (ECUREI) 4 0 4 0 0 0 0 0 0 4 0 4

90 Islamic University in Uganda (IUIU) 1 1 2 0 0 0 0 0 0 1 1 2

91 Uganda Institute of Allied Heath and Management Sciences -

Mulago1 0 1 0 0 0 0 0 0 1 0 1

92 OMAN SCHOLARSHIPS 10 5 15 0 0 0 0 0 0 10 5 15

93 IDB SCHOLARSHIPS 10 10 20 0 0 0 0 0 0 10 10 20

94 Ras Al-Khaymah 0 2 2 0 0 0 0 0 0 0 2 2

143 122 265 1 2 3 3 0 3 147 124 271

1,228 1,296 2,524 66 51 117 18 7 25 1,312 1,354 2,666

JUMLA YA WANAFUNZI WA VYUO VYA NJE

JUMLA KUU YA WANAFUNZI WA VYUO VYA NDANI NA NJE YA NCHI

Page 139: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

135

NCHI W'ME W'KE JUMLA

1 MALAYSIA 3 1 4

2 CHINA 96 55 151

3 UKRAIN 4 1 5

4 URUSI 2 0 2

5 SUDAN 61 47 108

6 OMAN 10 5 15

9 TURKEY 0 1 1

11 UGANDA 8 6 14

12 INDIA 3 1 4

13 RAS AL-KHAYMAH 0 2 2

14 IDB 10 10 20

15 MISRI 0 1 1

16 ALGERIA 7 1 8

17 INDONESIA 2 1 3

18 CUBA 1 3 4

JUMLA 207 135 342

WANAFUNZI WALIOKO MASOMONI KATIKA VYUO

MBALI MBALI NJE YA TANZANIA MWAKA 2017/2018

JADWELI NAM. 25(b)

Page 140: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

136

JADWELI NAM. 26(a)

CHUO KIKUU CHA TAIFA ZANZIBAR (SUZA)-MAIN CAMPUS

M’me W’ke M’me W’ke M’me W’ke M’me W’ke M’me W’ke W'ke Jumla

Shahada ya Uzamivu - Kiswahili 4 9 - - - - 6 5 6 1 15 31

Shahada ya Uzamili - Kiswahili - - 3 2 1 1 7 3 - - 6 17

Shahada ya Uzamili – Kemia - - 3 2 5 5 2 2 - - 9 19

Shahada ya Uzamili- Mabadiliko Tabia

ya Nchi

14 11 - - - - - - - - 11 25

Shahada ya Uzamili – Sayansi ya

Mazingira

- - 2 1 4 3 10 8 12 28

Shahada ya Uzamili - Elimu ya Vijana,

Jinsia ana Utawala

6 6 - - - - - - - - 6 12

Shahada ya Uzamili - Elimu ya

Kiswahili kwa Wageni

2 9 - - - - - - - - 9 11

Shahada ya Ualimu - Sayansi 57 65 15 20 36 22 - - - - 107 215

Shahada ya Ualimu – Sanaa 35 47 56 77 69 154 - - - - 278 438

Shahada ya Ualimu- IT - - - 13 10 4 - - - - 17 27

Shahada ya Sayansi – Kompyuta 11 3 18 3 10 7 - - - - 13 52

Shahada ya Habari na Mawasiliano 28 20 32 22 29 18 - - - - 60 149

Shahada ya Sanaa – Utalii - - 22 19 12 22 - - - - 41 75

JUMLA

UANDIKISHAJI ELIMU YA JUU MACHI, 2018

MWAKA 5

AINA YA PROGARAMU

MWAKA 1 MWAKA 2 MWAKA 3 MWAKA 4

Page 141: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

137

Jadweli nam. 26(a) linaendelea

Shahada ya Sanaa- Jografia na

Mazingira

21 15 10 15 8 16 - - - - 46 85

Shahada ya Sayansi ya Afya na

Mazingira

21 21 16 14 21 43 - - - - 78 136

Shahada ya Udaktari 15 16 7 9 31 27 22 34 14 20 106 195

Shahada ya Sanaa- Historia - - - - 7 4 - - - - 4 11

Shahada ya Lugha- Kiswahili 4 5 1 27 6 70 - - - - 102 113

Stashahada ya Sanaa- Elimu 11 8 4 6 - 3 - - - - 17 32

Stashahada ya Lugha- Elimu 4 37 17 58 - - - - - - 95 116

Stashahada ya Sayansi- Elimu 9 13 40 29 - - - - - - 42 91

Stashahada ya Kazi za Jamii 3 16 17 49 - - - - - - 65 85

Stashahada ya Elimu – Michezo 9 10 9 10 - - - - - - 20 38

Stashahada ya IT 19 10 58 51 - - - - - - 61 138

Stashahada ya Sayansi ya Kompyuta 7 3 16 12 - - - - - - 15 38

Stashshada ya Utalii na Urithi 10 4 9 11 - - - - - - 15 34

Stashahada ya Ukutubi - - 1 32 - - - - - - 32 33

Stashahada ya Elimu Mjumuisho 5 30 4 46 - - - - - - 76 85

Stashahada ya Elimu ya Awali - 28 - 46 - - - - - - 74 74

Cheti cha Teknolojia ya Kompyuta 16 7 - - - - - - - - 7 23

Pre - Diploma Science 25 30 - - - - - - - - 30 55

JUMLA 336 423 360 574 249 399 47 52 20 21 1,469 2,481

Page 142: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

138

JADWELI NAM. 26(b)

NCHI WALIZOTOKA WANAFUNZI WAVULANA WASICHANA JUMLA

Uingereza - 2 2

Marekani 7 28 35

Ujerumani 3 6 9

Sudan 5 - 5

Sweden - 1 1

Kenya - 1 1

MALVIS ISLAND 1 0 1

Japan 0 1 1

Nigeria 2 0 2

Qatar 1 0 1

Switzerland - 1 1

Denmark - 1 1

China 1 0 1

Australia 1 1 2

Ageria 1 - 1

Saudi Arabia 1 - 1

Ufaransa - 3 3

JUMLA 23 45 68

UANDIKISHAJI WA WANAFUNZI WA KIGENI KATIKA SKULI

YA KISWAHILI NA LUGHA ZA KIGENI - MACHI, 2018

Page 143: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

139

JADWELI NAM. 26(c)

M’meW’ke M’meW’ke M’meW’ke M’meW’ke

Stashahada ya Uuguzi na Ukunga 7 50 25 60 13 42 45 152 197

Stashahada ya Sayansi ya Afya ya Mazingira 17 11 10 5 21 21 48 37 85

stashahada ya Sayansi ya Mabaara 28 25 51 25 29 14 108 64 172

Stashahada ya Sayansi ya Famasia 24 39 34 36 22 26 80 101 181

Stashahada ya Afya Kinywa na Meno 14 4 10 7 6 10 30 21 51

Stashahada ya Afya ya Tabibu 28 32 50 44 35 25 113 101 214

Stashahada ya Fisiotherapia 6 21 12 6 5 13 23 40 63

JUMLA 124 182 192 183 131 151 447 516 963

UANDIKISHAJI ELIMU YA JUU MACHI, 2018

SCHOOL OF HEALTH AND MEDICAL STUDIES

AINA YA PROGARAMU

MWAKA 1 MWAKA 2 MWAKA 3 JUMLA

JUMLA

Page 144: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

140

M’me W’ke M’me W’ke M’me W’ke M’me W’ke

Shahada ya Uongozi wa Fedha na Uhasibu 28 36 16 26 24 30 68 92 160

Shahada ya Manunuzi na Ugamvi 1 7 7 13 12 15 20 35 55

Shahada ya Tehama na Uhasibu 21 18 19 16 20 5 60 39 99

Shahada Banki na Fedha 6 11 1 15 5 11 12 37 49

Stashahada Manunuzi na Ugavi 2 5 5 13 - - 7 18 25

Stashahada ya Tehama na Uhasibu 32 30 41 32 - - 73 62 135

Stashahada ya Uongozi wa Fedha 40 51 34 57 - - 74 108 182

Cheti cha Uongozi Fedha 35 52 - - - - 35 52 87

JUMLA 165 210 123 172 61 61 349 443 792

JADWELI NAM. 26(d)

UANDIKISHAJI ELIMU YA JUU MACHI, 2018

SCHOOL OF BUSINESS

AINA YA PROGARAMU

MWAKA 1 MWAKA 2 MWAKA 3 JUMLA

JUMLA

Page 145: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

141

JADWELI NAM. 26(e)

M’me W’ke M’me W’ke M’me W’ke M’me W’ke

Stashahada ya Ukarimu na Uongozi wa Utalii 13 2 34 19 - - 47 21 68

Stashahada ya Teknologia ya Habari na Uhasibu 0 0 13 15 - - 13 15 28

Cheti cha Ukaribishaji Wageni 11 15 - - - - 11 15 26

Cheti cha Huduma ya Chakula na Vinywaji 7 3 - - - - 7 3 10

Cheti cha Upishi 8 11 - - - - 8 11 19

Cheti cha Utunzaji Hotel - 2 - - - - 0 2 2

Cheti cha Uongozaji Watalii 6 2 - - - - 6 2 8

JUMLA 45 35 47 34 0 0 92 69 161

UANDIKISHAJI ELIMU YA JUU MACHI, 2018

INSTITUTE OF TOURISM DEVELOPMENT

AINA YA PROGARAMU

MWAKA 1 MWAKA 2 MWAKA 3 JUMLA

JUMLA

Page 146: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

142

JADWELI NAM. 26(f)

SUZA Main Campus 1012 1469 2481

School of Kiswahili and Foreign Language 23 45 68

School of Health and Medical Science 447 516 963

School of Business 349 443 792

Institute of Tourism 92 69 161

JUMLA 1923 2542 4465

W'ME W'KE

MUHTASARI WA UANDIKISHAJI CHUO KIKUU CHA TAIFA CHA ZANZIBAR

(SUZA), 2018

JUMLATAASISI

Page 147: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

143

JADWELI NAM. 27

CHUO KIKUU CHA SUMAIT - CHUKWANI

W'me W'ke W'me W'ke W'me W'ke W'me W'ke

Shahada ya Sayansi ya Ualimu 27 22 20 15 33 15 80 52 132

Shahada ya 'Sanaa' ya Ualimu 33 42 44 107 51 78 128 227 355

Shahada ya sayansi ya kompyuta 0 0 4 0 1 0 5 0 5

Shahada ya Sanaa ya Ushauri Nasaha 0 0 9 27 10 21 19 48 67

Shahada ya Teknohama 0 0 3 2 0 1 3 3 6

Stashahada ya Sayansi- Ualimu 9 7 31 59 - - 40 66 106

Stashahada ya Sanaa-Ualimu 1 8 26 119 - - 27 127 154

Stashahada ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano 7 34 12 20 - - 19 54 73

Cheti cha Ualimu 3 8 0 0 - - 3 8 11

Cheti cha Teknolojia ya Habari na Mawasiliano 11 49 0 0 - - 11 49 60

JUMLA 91 170 149 349 95 115 335 634 969

JUMLA

KUU

UANDIKISHAJI ELIMU YA JUU MACHI, 2018

JUMLA

AINA YA PROGRAMU

Mwaka 1 Mwaka 2 Mwaka 3

Page 148: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

144

JADWELI NAM. 28

W'me W'ke W'me W'ke W'me W'ke W'me W'ke W'me W'ke

Shahada ya Uzamivu ya Sheria-Haki za Binadamu - - 1 - - - - - 1 0 1

Shahada ya Uzamili Sayansi ya Uchumi na Fedha 10 3 19 24 - - - - 29 27 56

Shahada ya Uzamili Utawala wa Uma 8 10 8 9 - - - - 16 19 35

Shahada ya Uzamili ya Sheria 2 2 1 4 - - - - 3 6 9

shahada ya Uzamili Uongozi wa Biashara 7 11 11 9 - - - - 18 20 38

Shahada ya Uhasibu na Fedha 26 27 48 51 30 31 - - 104 109 213

Shahada ya Manunuzi na Matunzo 11 22 35 43 24 30 - - 70 95 165

Shahada ya Masoko (marketing) 2 12 2 11 6 8 - - 10 31 41

Shahada ya Teknolojia ya Habari na Biashara (BBIT) 16 11 37 22 31 26 - - 84 59 143

Shahada ya Uhusiano wa Kimataifa na Diplomasia 24 10 66 37 16 31 - - 106 78 184

Shahada ya Uchumi 6 20 33 35 46 51 - - 85 106 191

Shahada ya Islamic Banking 0 0 8 8 - 5 - - 8 13 21

Shahada ya Lungha na Ualimu 8 9 18 41 15 46 - - 41 96 137

Shahada ya Utawala wa Umma 0 0 6 1 15 7 - - 21 8 29

Shahada ya Teknolojia ya Habari na Ualimu 11 8 24 43 23 49 - - 58 100 158

Shahada ya (Social Work) 7 18 21 58 14 38 - - 42 114 156

Shahada ya Sheria 9 14 26 19 10 10 12 6 57 49 106

Shahada ya Uhandisi wa Kompyuta na Teknolojia ya

Habari 0 0 7 2 10 2 9 9 26 13 39

Shahada ya Uhandisi wa Mawasiliano 0 0 11 4 14 2 5 4 30 10 40

Shahada ya Uuguzi 7 14 20 44 12 28 34 43 73 129 202

Shahada ya Sayansi ya Habari (Information Science) 9 17 14 42 5 24 - - 28 83 111

Stashada ya Teknolojia ya Habari 27 23 20 16 - - 28 83 75 122 197

Stashahada ya Maendeleo ya Jamii - - 24 42 - - 47 39 71 81 152

Stashahada ya Islamic Banking 4 7 7 15 - - 24 42 35 64 99

Stashahad ya Manunizi na Matunzo - - - - 11 22 11 22 33

Stashahada ya Uongozi wa Biashara 14 15 37 50 - - - - 51 65 116

Stashahada ya Sheria 22 16 17 19 - - 51 65

Stashahada ya Uchumi na Fedha - - - - - - - - -

Stashahada ya Ukunga na Uuguzi 75 104 12 41 - - - - - - -

Stashahada ya Udaktari - - - - - - - - - -

JUMLA 305 373 533 690 271 388 221 313 1,330 1764 3,094

UANDIKISHAJI ELIMU YA JUU MACHI, 2018

CHUO KIKUU CHA ZANZIBAR

AINA YA PROGRAMU

Mwaka 1 Mwaka 2 Mwaka 3 Mwaka 4 JUMLA JUMLA

KUU

Page 149: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

145

JADWELI NAM. 29

FANI WANAUME WANAWAKE JUMLA

Civil Engineering and Transportation NTA - 4 23 5 28

Civil Engineering and Transportation NTA - 5 22 9 31

Civil Engineering and Transportation NTA - 6 13 10 23

Mechanical and Automotive Engineering NTA - 4 12 1 13

Mechanical and Automotive Engineering NTA - 5 9 2 11

Mechanical and Automotive Engineering NTA - 6 19 6 25

Electrical Engineering NTA - 4 25 5 30

Electrical Engineering NTA - 5 26 9 35

Electrical Engineering NTA - 6 20 4 24

Telecommunication and Electronic Engineering NTA - 4 13 2 15

Telecommunication and Electronic Engineering NTA - 5 8 7 15

Telecommunication and Electronic Engineering NTA - 6 8 4 12

Computer engineering - NTA - 4 5 3 8

Computer engineering - NTA - 5 6 4 10

Computer engineering- NTA - 6 3 2 5

ICT Certificate-NTA- 4 20 8 28

ICT Diploma I-NTA- 5 16 8 24

ICT Diploma II-NTA- 6 7 3 10

Vocational Technical Teacher (VTT)-NTA-4 0 0 0

Vocational Technical Teacher (VTT)-NTA-5 15 18 33

Vocational Technical Teacher (VTT)-NTA-6 16 13 29

Teacher for Primary Education-NTA-4 5 58 63

Teacher for Primary Education-NTA-5 8 29 37

Teacher for Primary Education-NTA-6 0 0 0

Laboratory Engineering 0 0 0

Bachelor Degree in Aircraft Maintanance Engineering and Pilot Studies 12 1 13

JUMLA NTA 4 103 82 185

JUMLA NTA 5 110 86 196

JUMLA NTA 6 86 42 128

DEGREE 12 1 13

JUMLA KUU 311 211 522

Angalia:

NTA = National Technical Award

UANDIKISHAJI KATIKA TAASISI YA KARUME YA SAYANSI NA TEKNOLOJIA

MACHI - 2018

Page 150: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

146

JADWELI NAM. 30(a)

W'ME W'KE W'ME W'KE W'ME W'KE

Stashahada ya Ualimu-Sayansi Msingi 47 84 4 24 51 108 159

Stashahada ya Ualimu-Sanaa Msingi 6 40 14 74 20 114 134

Stashahada ya Ualimu-Masomo ya Kiislamu 5 14 9 21 14 35 49

Elimu Mjumuisho 1 8 - - 1 8 9

ECD 5 82 - - 5 82 87

Pre-Diploma 38 143 - - 38 143 181

Jumla 102 371 27 119 129 490 619

JUMLA KUUDARAJA ZA MASOMO

IDADI YA WANAFUNZI KATIKA CHUO CHA KIISLAMU MAZIZINI UNGUJA, MACHI - 2018

MWAKA WA KWANZA MWAKA WA PILI JUMLA

Page 151: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

147

JADWELI NAM. 30(b)

DARAJA ZA MASOMO WANAUME WANAWAKE JUMLA

Wanafunzi wa Kidato cha 1 29 12 41

Wanafunzi wa Kidato cha 2 14 14 28

Wanafunzi wa Kidato cha 3 22 35 57

Wanafunzi wa Kidato cha 4 16 14 30

Wanafunzi wa Kidato cha 5 56 15 71

Wanafunzi wa Kidato cha 6 28 11 39

Stashahada ya Ualimu (Mwaka 1) 59 131 190

Stashahada ya Ualimu (Mwaka 2) 7 25 32

Jumla 231 257 488

IDADI YA WANAFUNZI KATIKA CHUO CHA KIISLAMU KIUYU PEMBA, MACHI - 2018

Page 152: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

148

JADWELI NAM. 31

WAVULANA WASICHANA JUMLA WAVULANA WASICHANA JUMLA WAVULANA WASICHANA JUMLA

Mjini 1834 2070 3904 1695 2016 3711 92.4 97.4 95.1

Magharibi 'A' 1943 2227 4170 1768 2158 3926 91.0 96.9 94.1

Magharibi 'B' 2170 2475 4645 2045 2440 4485 94.2 98.6 96.6

Kaskazini 'A' 1006 1317 2323 951 1294 2245 94.5 98.3 96.6

Kaskazini 'B' 663 766 1429 611 751 1362 92.2 98.0 95.3

Kati 1024 1165 2189 897 1148 2045 87.6 98.5 93.4

Kusini 499 429 928 451 418 869 90.4 97.4 93.6

Micheweni 901 1214 2115 888 1204 2092 98.6 99.2 98.9

Wete 1392 1597 2989 1347 1585 2932 96.8 99.2 98.1

Chake-Chake 1125 1425 2550 1050 1410 2460 93.3 98.9 96.5

Mkoani 1185 1425 2610 1099 1395 2494 92.7 97.9 95.6

Private 1216 1311 2527 1216 1308 2524 100.0 99.8 99.9

Jumla 14958 17421 32379 14018 17127 31145 93.7 98.3 96.2

MATOKEO YA MTIHANI WA DARASA LA VI KWA 2017 NA

WALIOTEULIWA KUENDELEA NA MASOMO - 2018

WILAYA

WALIOFANYA MTIHANI WALIOTEULIWA KUENDELEA ASILIMIA YA WANAOENDELEA

Page 153: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

149

JADWELI NAM. 32 (a)

WAVULANA WASICHANA JUMLA WAVULANA WASICHANA JUMLA WAVULANA WASICHANA JUMLA

Mjini 1517 2074 3591 943 1714 2657 62.2 82.6 74.0

Magharibi 'A' 912 1362 2274 571 1060 1631 62.6 77.8 71.7

Magharibi 'B' 1516 1857 3373 1029 1548 2577 67.9 83.4 76.4

Kaskazini 'A' 481 987 1468 329 717 1046 68.4 72.6 71.3

Kaskazini 'B' 345 560 905 169 386 555 49.0 68.9 61.3

Kati 535 833 1368 249 650 899 46.5 78.0 65.7

Kusini 448 495 943 183 311 494 40.8 62.8 52.4

Micheweni 398 660 1058 296 469 765 74.4 71.1 72.3

Wete 678 1103 1781 471 888 1359 69.5 80.5 76.3

Chake-Chake 581 964 1545 350 737 1087 60.2 76.5 70.4

Mkoani 566 890 1456 342 598 940 60.4 67.2 64.6

Private 541 583 1124 516 572 1088 95.4 98.1 96.8

Jumla 8518 12368 20886 5448 9650 15098 64.0 78.0 72.3

MATOKEO YA MTIHANI WA KIDATO CHA PILI (STD VI)- 2017 NA

WILAYA

WALIOFANYA MTIHANI WALIOTEULIWA KUENDELEA ASILIMIA YA WANAOENDELEA

WALIOTEULIWA KUENDELEA NA MASOMO - 2018

Page 154: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

150

JADWELI NAM. 32 (b)

WAVULANA WASICHANA JUMLA WAVULANA WASICHANA JUMLA WAVULANA WASICHANA JUMLA

Mjini 1802 2151 3953 1188 1838 3026 65.9 85.4 76.5

Magharibi 'A' 1393 1478 2871 971 1213 2184 69.7 82.1 76.1

Magharibi 'B' 1684 1843 3527 1041 1416 2457 61.8 76.8 69.7

Kaskazini 'A' 826 1184 2010 656 936 1592 79.4 79.1 79.2

Kaskazini 'B' 487 592 1079 301 506 807 61.8 85.5 74.8

Kati 751 846 1597 436 686 1122 58.1 81.1 70.3

Kusini 402 410 812 229 304 533 57.0 74.1 65.6

Micheweni 851 904 1755 632 710 1342 74.3 78.5 76.5

Wete 1092 1251 2343 780 1056 1836 71.4 84.4 78.4

Chake-Chake 958 1023 1981 645 831 1476 67.3 81.2 74.5

Mkoani 896 1095 1991 515 749 1264 57.5 68.4 63.5

Private 854 911 1765 828 896 1724 97.0 98.4 97.7

Jumla 11996 13688 25684 8222 11141 19363 68.5 81.4 75.4

MATOKEO YA MTIHANI WA KIDATO CHA PILI (STD VII)- 2017 NA

WALIOTEULIWA KUENDELEA NA MASOMO - 2018

WILAYA

WALIOFANYA MTIHANI WALIOTEULIWA KUENDELEA ASILIMIA YA WANAOENDELEA

Page 155: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

151

JADWELI NAM. 33(a)i

WAS JUMLA WAS JUMLA WAS JUMLA WAS JUMLA WAS JUMLA WAS JUMLA WAS JUMLA TZ ZNZ

WILAYA YA MJINI

1 Lumumba 39 106 6 17 22 57 10 28 1 3 39 105 100.0 99.1 122 1

2 Mikunguni 11 45 0 3 3 11 3 13 5 18 11 45 100.0 100.0 329 8

3 Kiponda 20 36 2 4 13 23 3 7 2 2 20 36 100.0 100.0 38* 2

4 Tumekuja 57 120 2 6 15 38 26 43 14 33 57 120 100.0 100.0 329 14

5 Jang'ombe 92 161 1 1 0 1 5 11 52 91 58 104 63.0 64.6 2791 82

6 Haileselassie 205 380 0 0 0 6 12 33 105 192 117 231 57.1 60.8 2852 102

7 Vikokotoni 145 294 2 7 0 0 15 30 52 104 69 141 47.6 48.0 453 24

8 Faraja 174 268 6 9 0 0 1 8 107 169 114 186 65.5 69.4 2802 84

9 Forordhani 37 63 0 0 0 0 4 5 23 41 27 46 73.0 73.0 2611 62

10 Ben-Bella 99 99 4 4 42 42 39 39 14 14 99 99 100.0 100.0 260 8

11 Kidongo Chekundu 186 315 0 0 0 0 9 19 121 201 130 220 69.9 69.8 2712 71

12 Kwamtipura 263 425 0 0 1 2 8 22 151 242 160 266 60.8 62.6 2789 81

13 Hurumzi 83 122 0 0 3 5 17 26 56 82 76 113 91.6 92.6 1170 27

14 Hamamni 161 321 0 1 6 14 25 41 89 182 120 238 74.5 74.1 1965 34

15 Mpendae 177 302 0 0 3 4 6 20 121 195 130 219 73.4 72.5 2460 48

16 Chumbuni 158 273 0 0 0 0 7 16 76 140 83 156 52.5 57.1 2888 107

17 Nyerere 120 199 0 0 0 0 10 17 87 126 97 143 80.8 71.9 2557 54

18 Mwembeladu 139 251 0 0 0 0 14 19 69 132 83 151 59.7 60.2 2814 88

Jumla 2166 3780 23 52 108 203 214 397 1145 1967 1490 2619 68.8 69.3

Nam.

MATOKEO YA MTIHANI WA KIDATO CHA NNE, SKULI ZA SERIKALI - 2017

KIMA CHA UFAULU NATIJAWATAHINIWA JUMLA

SKULI

DIV. I DIV. II DIV. III DIV. IV

Page 156: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

152

Jadweli Nam. 33(a)i Linaendelea

WILAYA YA MAGHARIBI 'A'

1 Mtoni Kigomeni 85 135 0 0 0 1 2 3 48 83 50 87 58.8 64.4 2830 94

2 Mfenesini 67 119 0 0 0 0 6 11 40 72 46 83 68.7 69.7 2616 60

3 Bububu 296 475 0 0 0 0 9 14 187 299 196 313 66.2 65.9 2836 97

4 Langoni 36 65 0 0 0 0 0 0 10 21 10 21 27.8 32.3 3036 145

5 Regeza Mwendo 96 210 0 0 0 2 1 6 50 111 51 119 53.1 56.7 2917 112

6 Mtopepo 118 164 0 0 0 0 7 7 79 105 86 112 72.9 68.3 2540 51

7 Chuini 109 177 0 0 0 0 5 10 55 86 60 96 55.0 54.2 2946 121

8 Mwenge 52 83 0 0 0 0 0 0 13 24 13 24 25.0 28.9 3037 145

9 Mikindani Dole 20 39 1 1 6 14 9 15 4 9 20 39 100.0 100.0 90* 5

10 Kianga 30 64 0 0 0 0 0 2 12 32 12 34 40.0 53.1 2940 120

Jumla 909 1531 1 1 6 17 39 68 498 842 544 928 567.526 593.632

1 Mwanakwerekwe 'A' 123 177 0 0 0 0 14 21 63 92 77 113 62.6 63.8 2590 57

2 Kiembe Samaki "A" 24 50 0 1 6 17 10 21 3 8 19 47 79.2 94.0 320 12

3 Chukwani 39 64 0 0 3 3 7 11 28 44 38 58 97.4 90.6 1357 29

4 Kinuni 136 191 0 0 1 3 3 6 81 114 85 123 62.5 64.4 2774 80

5 Kisauni 38 70 0 0 0 0 3 7 21 44 24 51 63.2 72.9 2507 50

6 Fuoni 159 257 0 0 0 2 9 12 86 140 95 154 59.7 59.9 2826 93

7 Mwanakwerekwe 'C' 375 602 0 0 0 1 20 36 236 371 256 408 68.3 67.8 2736 74

8 Zanzibar commercial 32 101 0 6 8 27 15 39 9 29 32 101 100.0 100.0 311 11

9 Maungani 23 45 0 0 0 0 0 2 11 22 11 24 47.8 53.3 2965 125

10 Kiembesamaki 194 345 0 0 0 1 9 14 105 211 114 226 58.8 65.5 2831 2831

11 Kombeni 40 74 0 0 0 0 0 4 27 52 27 56 67.5 75.7 2670 64

12 Bwefum 18 38 0 0 0 0 1 1 10 16 11 17 61.1 44.7 1996 49

Jumla 1201 2014 0 7 18 54 91 174 680 1143 789 1378 65.7 68.4

WALAYA YA MAGHARIBI 'B'

Page 157: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

153

WILAYA YA KASKAZINI 'A'

1 Tumbatu 36 83 0 0 0 1 2 6 18 43 20 50 55.6 60.2 2795 83

2 Mkwajuni 125 195 0 0 0 0 3 10 56 85 59 95 47.2 48.7 2986 131

3 Chaani 80 137 0 0 0 1 3 9 46 77 49 87 61.3 63.5 2746 76

4 Fukuchani 25 38 0 0 0 0 0 2 21 30 21 32 84.0 84.2 1349 31

5 Jongowe 17 41 0 0 0 0 0 1 14 32 14 33 82.4 80.5 2700 69

6 Potoa 48 66 0 0 0 1 3 7 33 43 36 51 75.0 77.3 2325 44

7 Kidoti 35 63 0 0 0 4 2 6 29 43 31 53 88.6 84.1 1479 32

8 Mapinduzi 22 35 0 0 0 0 0 1 6 9 6 10 27.3 28.6 1728 54

9 Pale 21 42 0 0 0 1 4 7 13 25 17 33 81.0 78.6 1885 33

10 Kinyasini 68 94 0 0 0 0 3 5 19 27 22 32 32.4 34.0 3024 141

11 Gamba 37 66 0 0 0 0 2 3 27 45 29 48 78.4 72.7 2720 44

12 Pwani Mchangani 34 56 0 0 0 0 0 0 5 10 5 10 14.7 17.9 3038 141

13 Mlimani Matemwe 13 29 0 0 0 1 1 0 6 15 7 16 53.8 55.2 1541 39

14 Kijini 15 24 0 0 0 0 0 0 4 7 4 7 26.7 29.2 1731 56

15 Nungwi 47 69 0 0 3 4 3 12 34 43 40 59 85.1 85.5 1269 28

16 Mwanda 32 60 0 0 0 0 0 1 23 45 23 46 71.9 76.7 2765 79

17 Matemwe 11 28 0 0 0 0 0 0 8 14 8 14 72.7 50.0 1639 41

JUMLA 666 1126 0 0 3 13 26 70 362 593 383 662 57.5 58.8

Jadweli Nam. 33(a)i Linaendelea

Page 158: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

154

1 Donge 67 80 0 0 0 0 2 2 37 40 39 42 58.2 52.5 2976 127

2 Mahonda 89 142 0 0 0 1 0 9 44 58 44 68 49.4 47.9 2955 122

3 Fujoni 36 59 0 0 0 0 4 4 24 36 28 40 77.8 67.8 2748 77

4 Bumbwini 56 97 0 0 0 0 0 0 24 50 24 50 42.9 51.5 2983 130

5 Makoba 47 71 0 0 0 0 2 3 23 33 25 36 53.2 50.7 2982 129

6 Upenja 27 50 0 0 0 0 0 3 11 20 11 23 40.7 46.0 2981 128

7 Kitope 21 43 0 0 0 0 0 0 12 27 12 27 57.1 62.8 2902 109

JUMLA 343 542 0 0 0 1 8 21 175 264 183 286 53.4 52.8

Jadweli Nam. 33(a)i Linaendelea

WILAYA YA KASKAZINI 'B'

Page 159: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

155

Jadweli Nam. 33(a)i Linaendelea

1 Mpapa 26 37 0 0 0 0 2 2 21 27 23 29 88.5 78.4 1456 35

2 Uroa 47 82 0 0 0 1 1 5 35 52 36 58 76.6 70.7 2681 65

3 Ubago 22 48 0 0 0 1 3 5 11 19 14 25 63.6 52.1 2448 100

4 Ndijani 40 67 0 0 1 1 0 3 34 54 35 58 87.5 86.6 2280 42

5 Mwera 71 115 0 0 0 0 1 3 13 25 14 28 19.7 24.3 2759 74

6 Dunga 65 99 0 0 0 0 0 3 37 57 37 60 56.9 60.6 2856 103

7 Unguja Ukuu 42 70 0 0 0 0 1 3 22 36 23 39 54.8 55.7 2939 119

8 Ukongoroni 15 23 0 0 0 0 0 0 13 21 13 21 86.7 91.3 1285 29

9 Kiboje 48 72 1 1 0 1 2 5 31 42 34 49 70.8 68.1 2577 56

10 Bambi 16 38 0 0 0 0 0 1 12 27 12 28 75.0 73.7 1519 38

11 Machui 26 44 0 0 0 0 0 2 21 34 21 36 80.8 81.8 2454 47

12 Charawe 6 12 0 0 0 0 0 1 3 6 3 7 50.0 58.3 1585 40

13 Jendele 24 41 0 0 0 0 1 2 21 31 22 33 91.7 80.5 2548 53

14 Kibele 38 66 0 0 0 0 1 3 19 39 20 42 52.6 63.6 2921 114

15 Jumbi 48 80 0 0 0 1 1 5 32 49 33 55 68.8 68.8 2663 63

16 Umbuji 19 26 1 1 0 0 3 1 16 22 20 24 105.3 92.3 716 24

17 Chwaka 20 37 0 0 0 1 1 2 16 31 17 34 85.0 91.9 1100 27

18 Umoja Uzini 64 93 0 0 1 1 3 6 38 56 42 63 65.6 67.7 2734 75

JUMLA 637 1050 2 2 2 7 20 52 395 628 377 626 59.2 59.6

WILAYA YA KATI

Page 160: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

156

Jadweli Nam. 33(a)i Linaendelea

1 Paje 22 42 0 0 0 1 0 1 15 27 15 29 68.2 69.0 2698 68

2 Makunduchi 75 131 0 0 0 2 2 4 36 70 38 76 50.7 58.0 2867 104

3 Mtule 18 48 0 0 0 0 0 0 7 19 7 19 38.9 39.6 3030 143

4 Jambiani 35 62 0 0 0 3 0 4 17 30 17 37 48.6 59.7 2716 72

5 Kusini 29 55 0 0 0 0 0 0 4 7 4 7 13.8 12.7 3039 148

6 Mtende 19 37 0 0 0 0 0 1 4 10 4 11 21.1 29.7 1730 55

7 K/Dimbani 21 29 0 0 1 1 0 0 8 11 9 12 42.9 41.4 1701 50

8 Bwejuu 30 47 0 0 0 0 2 3 16 25 18 28 60.0 59.6 2876 105

9 Kizimkazi 9 19 0 0 0 1 0 2 7 14 7 17 77.8 89.5 964 26

10 Muyuni 32 48 0 0 0 0 2 3 23 30 25 33 78.1 68.8 2684 66

JUMLA 290 518 0 0 1 8 6 18 137 243 144 269 49.7 51.9

WILAYA YA KUSINI

Page 161: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

157

Jadweli Nam. 33(a)i Linaendelea

1 Pemba Islamic 15 35 0 0 2 8 6 14 7 13 15 35 100.0 100.0 151 13

2 Tumbe 29 62 0 0 0 1 2 5 22 45 24 51 82.8 82.3 32300 43

3 Wingwi 71 130 0 0 0 0 1 5 36 72 37 77 52.1 36.0 2920 113

4 Shumba 24 40 0 0 0 0 1 2 14 24 15 26 62.5 65.0 2821 92

5 Kinyasini 22 31 0 0 0 0 1 1 9 11 10 12 45.5 38.7 1718 51

6 Mgogoni 13 21 0 0 0 0 0 0 5 7 5 7 38.5 33.3

7 Konde 55 99 0 0 0 1 3 8 22 41 25 50 45.5 50.5 2924 93

8 Micheweni 36 84 0 1 2 3 3 6 22 45 27 55 75.0 65.5 1816 37

9 Msuka 28 43 0 0 1 1 2 6 16 23 19 30 67.9 69.8 2379 46

10 Makangale 22 43 0 0 0 0 0 1 9 23 9 24 40.9 55.8 2967

11 Chwaka Tumbe 31 57 0 0 0 0 0 2 17 32 17 34 54.8 59.6 2838 118

12 Kiuyu 21 40 0 0 0 0 1 4 12 22 13 26 61.9 65.0 2569 55

13 Kinowe 41 62 0 0 0 0 0 0 25 39 25 39 61.0 62.9 2959 123

JUMLA 408 747 0 1 5 14 20 54 216 397 241 466 59.1 62.4

WILAYA YA MICHEWENI

Page 162: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

158

Jadweli Nam. 33(a)i Linaendelea

1 Utaani 103 103 0 0 2 2 15 15 79 79 96 96 93.2 93.2 1472 31

2 M/Mdogo 76 152 0 0 0 0 2 6 45 93 47 99 61.8 65.1 2849 101

3 Chasasa 67 166 0 0 8 29 28 64 29 71 65 164 97.0 98.8 500 23

4 Ole 38 52 0 0 0 0 0 3 16 26 16 29 42.1 55.8 2937 117

5 Minungwini 54 73 0 0 0 1 1 1 29 42 30 44 55.6 60.3 2878 106

6 Pandani 37 67 0 0 0 1 1 3 21 36 22 40 59.5 59.7 2820 91

7 Wete Secondary 22 36 0 0 0 0 1 4 12 19 13 23 59.1 63.9 1492 37*

8 Piki 30 51 0 0 0 0 2 4 17 27 19 31 63.3 60.8 2806 86

9 Kangagani 42 62 0 0 0 0 0 2 17 27 17 29 40.5 46.8 2995 133

10 Gando 38 65 0 1 0 2 0 2 21 36 21 41 55.3 63.1 2688 67

11 Kojani 18 33 0 0 1 2 0 4 6 13 7 19 38.9 57.6 1451 34

12 Makongeni 6 19 0 0 0 1 0 2 0 8 0 11 0.0 57.9 1471 36

13 Uondwe 36 61 0 0 0 0 1 1 20 30 21 31 58.3 50.8 3005 134

14 Shengejuu 36 53 0 0 1 1 2 3 14 28 17 32 47.2 60.4 2835 37

15 Kizimbani 54 98 0 0 0 2 0 6 33 57 33 65 61.1 66.3 2657 61

16 Limbani 33 72 0 0 0 1 0 0 19 48 19 49 57.6 68.1 2818 90

17 Mitiulaya 56 94 0 0 0 0 0 2 38 58 38 60 67.9 63.8 2914 111

18 Fundo 12 17 0 0 0 0 0 0 2 6 2 6 16.7 35.3 1725 53*

19 M/Takao 25 36 0 0 0 0 2 4 15 22 17 26 68.0 72.2 1405 33

20 Chwale 19 42 0 0 0 2 0 2 7 18 7 22 36.8 52.4 2843 99

21 Ukunjwi 13 21 0 0 0 1 0 2 0 8 0 11 0.0 52.4 1691 47

22 Kijumbani 10 18 0 0 0 0 1 1 7 12 8 13 80.0 72.2 1526

JUMLA 825 1391 0 1 12 45 56 131 447 764 515 941 62.4 67.6

WILAYA YA WETE

Page 163: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

159

Jadweli Nam. 33(a)i Linaendelea

1 F/Castro 50 100 9 13 19 48 21 38 1 0 50 99 100.0 99.0 141 3

2 Shamiani 103 171 0 0 2 3 6 13 52 77 60 93 58.3 54.4 2839 98

3 Ch/Mjawiri 27 52 0 0 0 0 3 6 19 37 22 43 81.5 82.7 2121 36

4 Vitongoji 29 49 0 0 0 1 1 5 20 31 21 37 72.4 75.5 2335 45

5 Dr Omar Ali Juma 67 118 0 0 1 4 2 6 9 19 12 29 17.9 24.6 2543 52

6 Pujini 40 63 0 0 0 0 2 3 17 34 19 37 47.5 58.7 2892 108

7 Wesha 35 58 0 0 0 0 0 1 17 25 17 26 48.6 44.8 3011 137

8 Kilindi 19 36 0 0 0 0 0 0 10 21 10 21 52.6 58.3 1654 45

9 Furaha 8 22 0 0 0 0 0 0 10 14 10 14 125.0 63.6 1652 43

10 Ziwani 25 48 0 0 0 0 0 1 11 24 11 25 44.0 52.1 2992 132

11 Kwale 8 17 0 0 0 3 0 1 7 12 7 16 87.5 94.1 384 22

12 Pondeani 28 47 0 0 0 0 4 4 14 27 18 31 64.3 66.0 2810 87

13 Ng'mbwa 57 100 0 0 0 0 0 2 25 46 25 48 43.9 48.0 3008 135

14 Uwandani 17 35 0 0 1 2 0 1 7 13 8 16 47.1 45.7 1650 42

15 Madungu 63 111 1 4 9 17 26 51 24 36 60 108 95.2 97.3 420 19

16 Mbuzini 32 52 0 0 0 0 1 2 19 29 20 31 62.5 59.6 2909 110

17 Vikunguni 31 40 0 0 0 0 4 5 21 28 25 33 80.6 82.5 2216 38

JUMLA 639 1119 10 17 32 78 70 139 283 473 395 707 61.8 63.2

WILAYA YA CHAKE

Page 164: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

160

Jadweli Nam. 33(a)i Linaendelea

1 Kengeja Tech. 11 48 0 1 3 12 0 14 8 21 11 48 100.0 100.0 458

2 Kiwani 29 41 0 0 0 0 0 0 15 21 15 21 51.7 51.2 3009 136

3 Mkanyageni 35 53 0 0 0 0 1 2 12 21 13 23 37.1 43.4 3012 139

4 M/Ngwachani 34 58 0 0 0 0 1 2 27 38 28 40 82.4 69.0 2710 70

5 Kangani 43 74 0 0 0 0 0 2 30 47 30 49 69.8 66.2 2804 85

6 Uweleni 76 143 0 0 1 3 5 10 56 106 62 119 81.6 83.2 2236 39

7 Kengeja Sec. 37 61 0 0 0 0 2 4 22 33 24 37 64.9 60.7 2816 89

8 Kisiwa Panza 18 30 0 0 0 0 0 0 6 12 6 12 33.3 40.0 1721 52

9 Mtambile 42 63 0 0 1 3 5 6 21 37 27 46 64.3 73.0 2264

10 Wambaa 28 56 0 0 0 0 1 3 11 24 12 27 42.9 48.2 2964 124

11 Mizingani 26 49 0 0 0 0 0 1 4 15 4 16 15.4 32.7 3029 142

12 Mwambe 29 50 0 0 0 0 2 7 20 33 22 40 75.9 80.0 2252 40

13 Makombeni 15 26 0 0 0 0 1 2 7 11 8 13 53.3 50.0 1651 44

14 Mauwani 26 50 0 0 0 0 1 7 23 36 24 43 92.3 86.0 2145 37

15 Mtangani 12 29 0 0 0 0 0 1 6 21 6 22 50.0 75.9 1423 33

16 Makoongwe 13 17 0 0 0 0 0 0 8 9 8 9 61.5 52.9 1019 40

17 Chokocho 27 42 0 0 0 1 1 2 1 6 2 9 7.4 21.4 3032 144

18 Ukutini 21 41 0 0 0 0 0 1 8 19 8 20 38.1 48.8 3013 138

19 Michenzani 28 56 0 0 0 1 1 3 9 23 10 27 35.7 48.2 2930 116

20 Chambani 22 40 0 0 0 0 0 0 11 19 11 19 50.0 47.5 3023 140

JUMLA 572 1027 0 1 5 20 21 67 305 552 320 621 55.9 60.5

JUMLA KUU 8656 14845 36 82 192 460 571 1191 4643 7866 5381 9503 62.2 64.0

WILAYA YA MKOANI

Page 165: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

161

JADWELI NAM. 33a (ii)

WAS JUMLA WAS JUMLA WAS JUMLA WAS JUMLA WAS JUMLA WAS JUMLA WAS JUMLA TZ ZNZ

WILAYA YA MAGHARIBI 'A'

1 Sunni Madressa 35 60 2 2 12 20 17 30 4 8 35 60 100.0 100.0 276 9

2 Sun City 22 58 0 0 0 0 1 6 14 32 15 38 68.2 65.5 2596 59

3 Glorious 46 67 5 9 23 35 16 21 2 2 46 67 100.0 100.0 143 4

4 Bilali 31 52 0 0 8 15 18 28 5 9 31 52 100.0 100.0 326 13

7 English Speaking 18 29 0 0 1 5 8 12 9 12 18 29 100.0 100.0 145 12

8 Stone town 6 10 0 0 0 1 4 6 2 3 6 10 100.0 100.0 161 13

9 Al Riyami 15 27 0 0 1 4 2 6 12 17 15 27 100.0 100.0 256 18

10 Ndame 17 38 0 0 0 0 1 4 8 13 9 17 52.9 44.7 1670 46

Jumla 190 341 7 11 45 80 67 113 56 66 175 270 92.1 79.2

WILAYA YA MAGHARIBI 'A'

1 Beit el ras 15 26 0 2 1 4 5 11 8 9 14 26 93.3 100.0 128 11

2 JKU 28 62 0 0 2 8 15 34 11 20 28 62 100.0 100.0 432 20

Jumla 43 88 0 2 3 12 20 45 19 29 42 88 97.7 100.0

MATOKEO YA MTIHANI WA KIDATO CHA NNE, SKULI ZA BINAFSI - 2017

SKULI

WATAHINIWA DIV. I DIV. II DIV. III DIV. IV JUMLA KIMA CHA UFAULU NATIJA

Page 166: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

162

Jadweli Nam. 33(a)ii Linaendelea

1 Laureate 37 57 4 12 8 19 12 20 1 4 25 55 67.6 96.5 139 2

2 Francis Maria 34 66 1 3 20 42 11 18 2 3 11 66 32.4 100.0 162 6

3 SOS 37 55 5 8 13 23 18 22 1 2 37 55 100.0 100.0 166 7

4 Al Ihsaan 69 69 3 3 21 21 32 32 13 13 69 69 100.0 100.0 304 10

5 Al Falah 33 56 2 4 7 12 13 21 11 19 33 56 100.0 100.0 388 17

6 Alharamyn 19 32 0 0 2 3 15 22 2 7 19 32 100.0 100.0 127 10

7 Mnemonic 35 97 0 0 1 7 18 48 15 27 34 82 97.1 84.5 467 22

8 SSP 20 41 0 0 3 3 5 6 11 29 19 38 95.0 92.7 977 26

9 Filter Fideral 22 48 0 0 0 0 1 9 18 35 19 44 86.4 91.7 1460 30

10 Mbarali Preparatory 30 58 0 0 1 3 2 3 22 41 25 47 83.3 81.0 2143 37

11 FEZA Zanzibar 11 21 3 9 5 7 3 4 0 1 11 21 100.0 100.0 18 1

12 Raudha 22 36 1 1 7 15 13 19 1 1 22 36 100.0 100.0 71 3

13 Trifonia 17 33 0 1 6 10 7 16 3 5 16 32 94.1 97.0 88 4

14 Al hidaya 6 12 0 1 1 4 3 4 2 3 6 12 100.0 100.0 93 6

15 Hifadhi 8 15 0 0 2 4 3 8 3 3 8 15 100.0 100.0 105 7

16 Memon 19 39 0 0 5 6 6 13 8 20 19 39 100.0 100.0 211 14

17 Al mubarak 15 20 1 1 3 3 4 5 7 11 15 20 100.0 100.0 216 17

18 Zanzibar Progressive 18 25 1 1 2 2 2 7 12 14 17 24 94.4 96.0 311 20

19 Mombasa Central 6 16 0 0 0 0 4 8 1 7 5 15 83.3 93.8 329 21

20 Juba 2 5 0 0 0 0 1 2 1 3 2 5 100.0 100.0 405 23

21 High Perfomance 8 32 0 0 0 0 1 2 5 24 6 26 75.0 81.3 1321 30

22 Nyuki 30 51 0 1 2 3 8 12 18 33 28 49 93.3 96.1 19*

23 High view 44 66 3 4 8 13 18 25 13 20 42 62 95.5 93.9 350 14

24 Sufa 7 18 0 0 2 4 0 7 5 6 7 17 100.0 94.4 126 10

25 Royal 13 24 0 2 1 5 6 8 6 9 13 24 100.0 100.0 126

Jumla 562 992 24 51 120 209 206 341 181 340 508 941 90.4 94.9

WALAYA YA MAGHARIBI 'B'

Page 167: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

163

Jadweli Nam. 33(a)ii Linaendelea

WILAYA YA KASKAZINI 'B'

1 Unique Learning 2 8 0 0 0 2 2 3 0 2 2 7 100.0 87.5 116 8

JUMLA 2 8 0 0 0 2 2 3 0 2 2 7 100.0 87.5

1 Mahad Istiqama 24 52 3 8 7 26 13 17 1 1 24 52 100.0 100.0 1456 5

JUMLA 24 52 3 8 7 26 13 17 1 1 24 52 100.0 100.0

1 Bwejuu Charity 9 16 0 0 0 1 0 0 7 13 7 14 77.8 87.5 1135 28

JUMLA 9 16 0 0 0 1 0 0 7 13 7 14 77.8 87.5

1 Wete Islamic 11 20 0 0 0 4 4 6 7 10 11 20 100.0 100.0 215 16

JUMLA 11 20 0 0 0 4 4 6 7 10 11 20 100.0 100.0

1 Connecting Continents 26 49 0 1 2 8 20 30 4 10 26 49 100.0 100.0 141 16

2 Amini 7 13 0 0 0 0 3 7 4 6 7 13 100.0 100.0 307 19

3 Farahedy 11 22 0 0 1 1 1 3 8 16 10 20 90.9 90.9 853 25

JUMLA 44 84 0 1 3 9 24 40 16 32 43 82 97.7 97.6

JUMLA KUU 885 1601 34 73 178 343 336 565 287 493 812 1474 91.8 92.1

WILAYA YA KUSINI

WILAYA YA WETE

WILAYA YA CHAKE

WILAYA YA KATI

Page 168: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

164

JADWELI NAM. 33(b)i

WAS JUMLA WAS JUMLA WAS JUMLA WAS JUMLA WAS JUMLA WAS JUMLA WAS JUMLA

1 Lumumba 39 106 39 105 100.0 99.1 38 102 0 0 38 102 97.4 100.0

2 Mikunguni 11 45 11 45 100.0 100.0 0 0 6 27 6 27 54.5 60.0

3 Kiponda 20 36 20 36 100.0 100.0 18 34 0 0 18 34 90.0 94.4

4 Tumekuja 57 120 57 120 100.0 100.0 43 87 0 0 43 87 75.4 72.5

5 Jang'ombe 92 161 58 104 63.0 64.6 6 13 0 0 6 13 10.3 12.5

6 Haile Selassie 205 380 117 231 57.1 60.8 12 39 0 0 12 39 10.3 16.9

7 Vikokotoni 145 294 69 141 47.6 48.0 17 37 0 0 17 37 24.6 26.2

8 Faraja 174 268 114 186 65.5 69.4 7 17 0 0 7 17 6.1 9.1

9 Forodhani 37 63 27 46 73.0 73.0 4 5 0 0 4 5 14.8 10.9

10 Benbella 99 99 99 99 100.0 100.0 85 85 0 0 85 85 85.9 85.9

11 Kidongochekundu 186 315 130 220 69.9 69.8 9 19 0 0 9 19 6.9 8.6

12 Kwamtipura 263 425 160 266 60.8 62.6 9 24 0 0 9 24 5.6 9.0

13 Hurumzi 83 122 76 113 91.6 92.6 20 31 0 0 20 31 26.3 27.4

14 Hamamni 161 321 120 238 74.5 74.1 31 56 0 0 31 56 25.8 23.5

15 Mpendae 177 302 130 219 73.4 72.5 9 24 0 0 9 24 6.9 11.0

16 Chumbuni 158 273 83 156 52.5 57.1 7 16 0 0 7 16 8.4 10.3

17 Nyerere 120 199 97 143 80.8 71.9 10 17 0 0 10 17 10.3 11.9

18 Mwembeladu 139 251 83 151 59.7 60.2 14 19 0 0 14 19 16.9 12.6

JUMLA 2166 3780 1490 2619 68.8 69.3 339 625 6 27 345 652 23.2 24.9

SKULI

WALIOFANYA

WALIOFAULU

KIMA CHA

WILAYA YA MJINI

MATOKEO YA MTIHANI WA KIDATO CHA NNE, SKULI ZA SERIKALI - 2017

IDADI YA WANAOENDELEA NA MASOMO

FTCMTIHANI KUFAULU (%) CHA 5 KIDATO CHA 5 + FTC KUENDELEA

KIDATO JUMLA YA ASILIMIA YA

Page 169: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

165

1 Mtoni Kigomeni 85 135 50 87 58.8 64.4 2 4 0 0 2 4 4.0 4.6

2 Mfenesini 67 119 46 83 68.7 69.7 6 11 0 0 6 11 13.0 13.3

3 Bububu 296 475 196 313 66.2 65.9 9 14 0 0 9 14 4.6 4.5

4 Langoni 36 65 10 21 27.8 32.3 0 0 0 0 0 0 0.0 0.0

5 Regeza Mwendo 96 210 51 119 53.1 56.7 1 8 0 0 1 8 2.0 6.7

6 Mtopepo 118 164 86 112 72.9 68.3 7 7 0 0 7 7 8.1 6.3

7 Chuini 109 177 60 96 55.0 54.2 5 10 0 0 5 10 8.3 10.4

8 Mwenge 52 83 13 24 25.0 28.9 0 0 0 0 0 0 0.0 0.0

9 Mikindani Dole 20 39 20 39 100.0 100.0 16 30 0 0 16 30 80.0 76.9

10 Kianga 30 64 12 34 40.0 53.1 0 2 0 0 0 2 0.0 5.9

JUMLA 909 1531 544 928 59.8 60.6 46 86 6 27 46 86 8.5 9.3

Jadweli Nam. 33(b)i Linaendelea

WILAYA YA MAGHARIBI 'A'

Page 170: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

166

1 Mwanakwerekwe 'A' 123 177 77 113 62.6 63.8 14 21 0 0 14 21 18.2 18.6

2 Kiembe Samaki "A" 24 50 19 47 79.2 94.0 16 39 0 0 16 39 84.2 83.0

3 Chukwani 39 64 38 58 97.4 90.6 10 14 0 0 10 14 26.3 24.1

4 Kinuni 136 191 85 123 62.5 64.4 4 9 0 0 4 9 4.7 7.3

5 Kisauni 38 70 24 51 63.2 72.9 3 7 0 0 3 7 12.5 13.7

6 Fuoni 159 257 95 154 59.7 59.9 9 14 0 0 9 14 9.5 9.1

7 Mwanakwerekwe 'C' 375 602 256 408 68.3 67.8 20 37 0 0 20 37 7.8 9.1

8 Zanzibar commercial 32 101 32 101 100.0 100.0 23 72 0 0 23 72 71.9 71.3

9 Maungani 23 45 11 24 47.8 53.3 0 2 0 0 0 2 0.0 8.3

10 Kiembesamaki 194 345 114 226 58.8 65.5 9 15 0 0 9 15 7.9 6.6

11 Kombeni 40 74 27 56 67.5 75.7 0 4 0 0 0 4 0.0 7.1

12 Bwefum 18 38 11 17 61.1 44.7 1 1 0 0 1 1 9.1 5.9

Jumla 1201 2014 789 1378 30.0 68.4 109 235 0 0 109 235 13.8 17.1

WALAYA YA MAGHARIBI 'B'

Jadweli Nam. 33(b)i Linaendelea

Page 171: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

167

WILAYA YA KASKAZINI 'A'

1 Tumbatu 36 83 20 50 55.6 60.2 2 7 0 0 2 7 10.0 14.0

2 Mkwajuni 125 195 59 95 47.2 48.7 3 10 0 0 3 10 5.1 10.5

3 Chaani 80 137 49 87 61.3 63.5 3 10 0 0 3 10 6.1 11.5

4 Fukuchani 25 38 21 32 84.0 84.2 0 2 0 0 0 2 0.0 6.3

5 Jongowe 17 41 14 33 82.4 80.5 0 1 0 0 0 1 0.0 3.0

6 Potoa 48 66 36 51 75.0 77.3 3 8 0 0 3 8 8.3 15.7

7 Kidoti 35 63 31 53 88.6 84.1 2 10 0 0 2 10 6.5 18.9

8 Mapinduzi 22 35 6 10 27.3 28.6 0 1 0 0 0 1 0.0 10.0

9 Pale 21 42 17 33 81.0 78.6 4 8 0 0 4 8 23.5 24.2

10 Kinyasini 68 94 22 32 32.4 34.0 3 5 0 0 3 5 13.6 15.6

11 Gamba 37 66 29 48 78.4 72.7 2 3 0 0 2 3 6.9 6.3

12 Pwani Mchangani 34 56 5 10 14.7 17.9 0 0 0 0 0 0 0.0 0.0

13 Mlimani Matemwe 13 29 7 16 53.8 55.2 1 1 0 0 1 1 14.3 6.3

14 Kijini 15 24 4 7 26.7 29.2 0 0 0 0 0 0 0.0 0.0

15 Nungwi 47 69 40 59 85.1 85.5 6 16 0 0 6 16 15.0 27.1

16 Mwanda 32 60 23 46 71.9 76.7 0 1 0 0 0 1 0.0 2.2

17 Matemwe 11 28 8 14 72.7 50.0 0 0 0 0 0 0 0.0 0.0

JUMLA 666 1126 312 531 46.8 47.2 29 83 0 0 29 83 9.3 15.6

Jadweli Nam. 33(b)i Linaendelea

Page 172: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

168

1 Donge 67 80 39 42 58.2 52.5 2 2 0 0 2 2 5.1 4.8

2 Mahonda 89 142 44 68 49.4 47.9 0 10 0 0 0 10 0.0 14.7

3 Fujoni 36 59 28 40 77.8 67.8 4 4 0 0 4 4 14.3 10.0

4 Bumbwini 56 97 24 50 42.9 51.5 0 0 0 0 0 0 0.0 0.0

5 Makoba 47 71 25 36 53.2 50.7 2 3 0 0 2 3 8.0 8.3

6 Upenja 27 50 11 23 40.7 46.0 0 3 0 0 0 3 0.0 13.0

7 Kitope 21 43 12 27 57.1 62.8 0 0 0 0 0 0 0.0 0.0

JUMLA 343 542 183 286 53.4 52.8 8 22 0 0 8 22 4.4 7.7

WILAYA KASKAZINI 'B'

Jadweli Nam. 33(b)i Linaendelea

Page 173: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

169

1 Mpapa 26 37 23 29 88.5 78.4 2 2 0 0 2 2 8.7 6.9

2 Uroa 47 82 36 58 76.6 70.7 1 6 0 0 1 6 2.8 10.3

3 Ubago 22 48 14 25 63.6 52.1 3 6 0 0 3 6 21.4 24.0

4 Ndijani 40 67 35 58 87.5 86.6 1 4 0 0 1 4 2.9 6.9

5 Mwera 71 115 14 28 19.7 24.3 1 3 0 0 1 3 7.1 10.7

6 Dunga 65 99 37 60 56.9 60.6 0 3 0 0 0 3 0.0 5.0

7 Unguja Ukuu 42 70 23 39 54.8 55.7 1 3 0 0 1 3 4.3 7.7

8 Ukongoroni 15 23 13 21 86.7 91.3 0 0 0 0 0 0 0.0 0.0

9 Kiboje 48 72 34 49 70.8 68.1 3 7 0 0 3 7 8.8 14.3

10 Bambi 16 38 12 28 75.0 73.7 0 1 0 0 0 1 0.0 3.6

11 Machui 26 44 21 36 0.0 81.8 0 2 0 0 0 2 0.0 5.6

12 Charawe 6 12 3 7 50.0 58.3 0 1 0 0 0 1 0.0 14.3

13 Jendele 24 41 22 33 91.7 80.5 1 2 0 0 1 2 4.5 6.1

14 Kibele 38 66 20 42 52.6 63.6 1 3 0 0 1 3 5.0 7.1

15 Jumbi 48 80 33 55 68.8 68.8 1 6 0 0 1 6 3.0 10.9

16 Umbuji 19 26 20 24 105.3 92.3 4 2 0 0 4 2 20.0 8.3

17 Chwaka 20 37 17 34 85.0 91.9 1 3 0 0 1 3 5.9 8.8

18 Umoja Uzini 64 93 42 63 65.6 67.7 4 7 0 0 4 7 9.5 11.1

JUMLA 637 1050 419 689 65.8 65.6 24 61 0 0 24 61 5.7 8.9

Jadweli Nam. 33(b)i Linaendelea

WILAYA YA KATI

Page 174: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

170

1 Paje 22 42 15 29 68.2 69.0 0 2 0 0 0 2 0.0 6.9

2 Makunduchi 75 131 38 76 50.7 58.0 2 6 0 0 2 6 5.3 7.9

3 Mtule 18 48 7 19 38.9 39.6 0 0 0 0 0 0 0.0 0.0

4 Jambiani 35 62 17 37 48.6 59.7 0 7 0 0 0 7 0.0 18.9

5 Kusini 29 55 4 7 13.8 12.7 0 0 0 0 0 0 0.0 0.0

6 Mtende 19 37 4 11 21.1 29.7 0 1 0 0 0 1 0.0 9.1

7 K/Dimbani 21 29 9 12 42.9 41.4 1 1 0 0 1 1 11.1 8.3

8 Bwejuu 30 47 18 28 60.0 59.6 2 3 0 0 2 3 11.1 10.7

9 Kizimkazi 9 19 7 17 77.8 89.5 0 3 0 0 0 3 0.0 17.6

10 Muyuni 32 48 25 33 78.1 68.8 2 3 0 0 2 3 8.0 9.1

JUMLA 290 518 144 269 49.7 51.9 7 26 0 0 7 26 4.9 9.7

Jadweli Nam. 33(b)i Linaendelea

WILAYA YA KUSINI

Page 175: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

171

1 Pemba Islamic 15 35 15 35 100.0 100.0 8 22 0 0 8 22 53.3 62.9

2 Tumbe 29 62 24 51 82.8 82.3 2 6 0 0 2 6 8.3 11.8

3 Wingwi 71 130 37 77 52.1 59.2 1 5 0 0 1 5 2.7 6.5

4 Shumba 24 40 15 26 62.5 65.0 1 2 0 0 1 2 6.7 7.7

5 Kinyasini 22 31 10 12 45.5 38.7 1 1 0 0 1 1 10.0 8.3

6 Mgogoni 13 21 5 7 38.5 33.3 0 0 0 0 0 0 0.0 0.0

7 Konde 55 99 25 50 45.5 50.5 3 9 0 0 3 9 12.0 18.0

8 Micheweni 36 84 27 55 75.0 65.5 5 10 0 0 5 10 18.5 18.2

9 Msuka 28 43 19 30 67.9 69.8 3 7 0 0 3 7 15.8 23.3

10 Makangale 22 43 9 24 40.9 55.8 0 1 0 0 0 1 0.0 4.2

11 Chwaka Tumbe 31 57 17 34 54.8 59.6 0 2 0 0 0 2 0.0 5.9

12 Kiuyu 21 40 13 26 61.9 65.0 1 4 0 0 1 4 7.7 15.4

13 Kinowe 41 62 25 39 61.0 62.9 0 0 0 0 0 0 0.0 0.0

JUMLA 408 747 241 466 59.1 62.4 25 69 0 0 25 69 10.4 14.8

Jadweli Nam. 33(b)i Linaendelea

WILAYA YA MICHEWENI

Page 176: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

172

1 Utaani 103 103 96 96 93.2 93.2 17 17 0 0 17 17 17.7 17.7

2 M/Mdogo 76 152 47 99 61.8 65.1 2 6 0 0 2 6 4.3 6.1

3 Chasasa 67 166 65 164 97.0 98.8 36 93 0 0 36 93 55.4 56.7

4 Ole 38 52 16 29 42.1 55.8 0 3 0 0 0 3 0.0 10.3

5 Minungwini 54 73 30 44 55.6 60.3 1 2 0 0 1 2 3.3 4.5

6 Pandani 37 67 22 40 59.5 59.7 1 4 0 0 1 4 4.5 10.0

7 Wete Secondary 22 36 13 23 59.1 63.9 1 4 0 0 1 4 7.7 17.4

8 Piki 30 51 19 31 63.3 60.8 2 4 0 0 2 4 10.5 12.9

9 Kangagani 42 62 17 29 40.5 46.8 0 2 0 0 0 2 0.0 6.9

10 Gando 38 65 21 41 55.3 63.1 0 5 0 0 0 5 0.0 12.2

11 Kojani 18 33 7 19 38.9 57.6 1 6 0 0 1 6 14.3 31.6

12 Makongeni 6 19 0 11 0.0 57.9 0 3 0 0 0 3 0.0 27.3

13 Uondwe 36 61 21 31 58.3 50.8 1 1 0 0 1 1 4.8 3.2

14 Shengejuu 36 53 17 32 47.2 60.4 3 4 0 0 3 4 17.6 12.5

15 Kizimbani 54 98 33 65 61.1 66.3 0 8 0 0 0 8 0.0 12.3

16 Limbani 33 72 19 49 57.6 68.1 0 1 0 0 0 1 0.0 2.0

17 Mitiulaya 56 94 38 60 67.9 63.8 0 2 0 0 0 2 0.0 3.3

18 Fundo 12 17 2 6 16.7 35.3 0 0 0 0 0 0 0.0 0.0

19 M/Takao 25 36 17 26 68.0 72.2 2 4 0 0 2 4 11.8 15.4

20 Chwale 19 42 7 22 36.8 52.4 0 4 0 0 0 4 0.0 18.2

21 Ukunjwi 13 21 0 11 0.0 52.4 0 3 0 0 0 3 0.0 27.3

22 Kijumbani 10 18 8 13 80.0 72.2 1 1 0 0 1 1 12.5 7.7

JUMLA 825 1391 515 941 62.4 67.6 68 177 0 0 68 177 13.2 18.8

Jadweli Nam. 33(b)i Linaendelea

WILAYA YA WETE

Page 177: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

173

1 F/Castro 50 100 50 99 100.0 99.0 49 99 0 0 49 99 98.0 100.0

2 Shamiani 103 171 60 93 58.3 54.4 8 16 0 0 8 16 13.3 17.2

3 Ch/Mjawiri 27 52 22 43 81.5 82.7 3 6 0 0 3 6 13.6 14.0

4 Vitongoji 29 49 21 37 72.4 75.5 1 6 0 0 1 6 4.8 16.2

5 Dr Omar Ali Juma 67 118 12 29 17.9 24.6 3 10 0 1 3 11 25.0 37.9

6 Pujini 40 63 19 37 47.5 58.7 2 3 0 0 2 3 10.5 8.1

7 Wesha 35 58 17 26 48.6 44.8 0 1 0 0 0 1 0.0 3.8

8 Kilindi 19 36 10 21 52.6 58.3 0 0 0 0 0 0 0.0 0.0

9 Furaha 8 22 10 14 125.0 63.6 0 0 0 0 0 0 0.0 0.0

10 Ziwani 25 48 11 25 44.0 52.1 0 1 0 0 0 1 0.0 4.0

11 Kwale 8 17 7 16 87.5 94.1 0 4 0 0 0 4 0.0 25.0

12 Pondeani 28 47 18 31 64.3 66.0 4 4 0 0 4 4 22.2 12.9

13 Ng'mbwa 57 100 25 48 43.9 48.0 0 2 0 0 0 2 0.0 4.2

14 Uwandani 17 35 8 16 47.1 45.7 1 3 0 0 1 3 12.5 18.8

15 Madungu 63 111 60 108 95.2 97.3 36 72 0 0 36 72 60.0 66.7

16 Mbuzini 32 52 20 31 62.5 59.6 1 2 0 0 1 2 5.0 6.5

17 Vikunguni 31 40 25 33 80.6 82.5 4 5 0 0 4 5 16.0 15.2

JUMLA 639 1119 395 707 61.8 63.2 112 234 0 1 112 235 28.4 33.2

Jadweli Nam. 33(b)i Linaendelea

WILAYA YA CHAKE

Page 178: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

174

1 Kengeja Tech. 11 48 11 48 100.0 100.0 0 0 1 8 1 8 9.1 16.7

2 Kiwani 29 41 15 21 51.7 51.2 0 0 0 0 0 0 0.0 0.0

3 Mkanyageni 35 53 13 23 37.1 43.4 1 2 0 0 1 2 7.7 8.7

4 M/Ngwachani 34 58 28 40 82.4 69.0 1 2 0 0 1 2 3.6 5.0

5 Kangani 43 74 30 49 69.8 66.2 0 2 0 0 0 2 0.0 4.1

6 Uweleni 76 143 62 119 81.6 83.2 6 13 0 0 6 13 9.7 10.9

7 Kengeja Sec. 37 61 24 37 64.9 60.7 2 4 0 0 2 4 8.3 10.8

8 Kisiwa Panza 18 30 6 12 33.3 40.0 0 0 0 0 0 0 0.0 0.0

9 Mtambile 42 63 27 46 64.3 73.0 6 9 0 0 6 9 22.2 19.6

10 Wambaa 28 56 12 27 42.9 48.2 1 3 0 0 1 3 8.3 11.1

11 Mizingani 26 49 4 16 15.4 32.7 0 1 0 0 0 1 0.0 6.3

12 Mwambe 29 50 22 40 75.9 80.0 2 7 0 0 2 7 9.1 17.5

13 Makombeni 15 26 8 13 53.3 50.0 1 2 0 0 1 2 12.5 15.4

14 Mauwani 26 50 24 43 92.3 86.0 1 7 0 0 1 7 4.2 16.3

15 Mtangani 12 29 6 22 50.0 75.9 0 1 0 0 0 1 0.0 4.5

16 Makoongwe 13 17 8 9 61.5 52.9 0 0 0 0 0 0 0.0 0.0

17 Chokocho 27 42 2 9 7.4 21.4 1 3 0 0 1 3 50.0 33.3

18 Ukutini 21 41 8 20 38.1 48.8 0 1 0 0 0 1 0.0 5.0

19 Michenzani 28 56 10 27 35.7 48.2 1 4 0 0 1 4 10.0 14.8

20 Chambani 22 40 11 19 50.0 47.5 0 0 0 0 0 0 0.0 0.0

JUMLA 572 1027 331 640 57.9 62.3 23 61 1 8 24 69 7.3 10.8

JUMLA KUU 8656 14845 5363 9454 61.96 63.68 790 1679 13 63 797 1715 14.9 18.1

Jadweli Nam. 33(b)i Linaendelea

WILAYA YA MKOANI

Page 179: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

175

JADWELI NAM. 33(b)ii

WAS JUMLA WAS JUMLA WAS JUMLA WAS JUMLA WAS JUMLA WAS JUMLA WAS JUMLA

1 Sunni Madressa 35 60 35 60 100.0 100.0 31 52 0 0 31 52 88.6 86.7

2 Sun City 22 58 15 38 68.2 65.5 1 6 0 0 1 6 6.7 15.8

3 Glorious 46 67 46 67 100.0 100.0 44 65 0 0 44 65 95.7 97.0

4 Bilali 31 52 31 52 100.0 100.0 26 43 0 0 26 43 83.9 82.7

6 English Speaking 18 29 18 29 100.0 100.0 9 17 0 0 9 17 50.0 58.6

7 Stone town 6 10 6 10 100.0 100.0 4 7 0 0 4 7 66.7 70.0

8 Al Riyami 15 27 15 27 100.0 100.0 3 10 0 0 3 10 20.0 37.0

9 Ndame 17 38 9 17 52.9 44.7 1 4 0 0 1 4 11.1 23.5

JUMLA 190 341 175 300 92.1 88.0 119 204 0 0 119 204 68.0 68.0

WILAYA YA MAGHARIBI 'A'

1 Beit El Ras 15 26 14 26 93.3 100.0 6 17 0 0 6 17 42.9 65.4

2 JKU 28 62 28 62 100.0 100.0 17 42 0 0 17 42 60.7 67.7

JUMLA 43 88 42 88 97.7 100.0 23 59 0 0 23 59 54.8 67.0

Nam WILAYA YA MJINI

JUMLA YA

MATOKEO YA MTIHANI WA KIDATO CHA NNE SKULI ZA BINAFSI - 2017

SKULI

WALIOFANYA

WALIOFAULU

KIMA CHA

IDADI YA WANAOENDELEA NA MASOMO

KIDATO

FTC

ASILIMIA YA

KUENDELEAMTIHANI KUFAULU (%) CHA 5 KIDATO CHA 5 + FTC

Page 180: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

176

Jadweli Nam 33(b)ii linaendelea

WILAYA YA MAGHARIBI 'B'

1 Laureate 37 57 25 55 67.6 96.5 24 51 0 0 24 51 96.0 92.7

2 Francis Maria 34 66 11 66 32.4 100.0 32 63 0 0 32 63 290.9 95.5

3 SOS 37 55 37 55 100.0 100.0 36 53 0 0 36 53 97.3 96.4

4 Al Ihsaan 69 69 69 69 100.0 100.0 56 56 0 0 56 56 81.2 81.2

6 Al Falah 33 56 33 56 100.0 100.0 22 37 0 0 22 37 66.7 66.1

7 Alharamyn 19 32 19 32 100.0 100.0 17 25 0 0 17 25 89.5 78.1

8 Mnemonic 35 97 34 82 97.1 84.5 19 55 0 0 19 55 55.9 67.1

9 SSP 20 41 19 38 95.0 92.7 8 9 0 0 8 9 42.1 23.7

10 Filter Fideral 22 48 19 44 86.4 91.7 1 9 0 0 1 9 5.3 20.5

11 Mbarali Preparatory 30 58 25 47 83.3 81.0 3 6 0 0 3 6 12.0 12.8

12 FEZA Zanzibar 11 21 11 21 100.0 100.0 11 20 0 0 11 20 100.0 95.2

13 Raudha 22 36 22 36 100.0 100.0 21 35 0 0 21 35 95.5 97.2

14 Trifonia 17 33 16 32 94.1 97.0 13 27 0 0 13 27 81.3 84.4

15 Al hidaya 6 12 6 12 100.0 100.0 4 9 0 0 4 9 66.7 75.0

16 Hifadhi 8 15 8 15 100.0 100.0 5 12 0 0 5 12 62.5 80.0

18 Memon 19 39 19 39 100.0 100.0 11 19 0 0 11 19 57.9 48.7

19 Al mubarak 15 20 15 20 100.0 100.0 8 9 0 0 8 9 53.3 45.0

20 Zanzibar Progressive 18 25 17 24 94.4 96.0 5 10 0 0 5 10 29.4 41.7

21 Mombasa Central 6 16 5 15 83.3 93.8 4 8 0 0 4 8 80.0 53.3

22 Juba 2 5 2 5 100.0 100.0 1 2 0 0 1 2 50.0 40.0

23 High Perfomance 8 32 6 26 75.0 81.3 1 2 0 0 1 2 16.7 7.7

24 Nyuki 30 51 28 49 93.3 96.1 10 16 0 0 10 16 35.7 32.7

25 High view 44 66 42 62 95.5 93.9 29 42 0 0 29 42 69.0 67.7

26 Sufa 7 18 7 17 100.0 94.4 2 11 0 0 2 11 28.6 64.7

27 Royal 13 24 13 24 100.0 100.0 7 15 0 0 7 15 53.8 62.5

JUMLA 562 992 508 941 90.4 94.9 350 601 0 0 350 601 68.9 63.9

Page 181: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

177

Jadweli Nam 33(b)ii linaendelea

1 Unique learning 2 8 2 7 100.0 87.5 2 5 0 0 2 5 100.0 71.4

JUMLA 2 8 2 7 100.0 87.5 2 5 0 0 2 5 100.0 71.4

1 Mahad Istiqama 24 52 24 52 100.0 100.0 23 51 0 0 23 51 95.8 98.1

JUMLA 24 52 24 52 100.0 100.0 23 51 0 0 23 51 95.8 98.1

1 Bwejuu Charity 9 16 7 14 0.0 87.5 0 1 0 0 0 1 0.0 7.1

JUMLA 9 16 7 14 0.0 87.5 0 1 0 0 0 1 0.0 7.1

1 Wete Islamic 11 20 11 20 0.0 0.0 4 10 0 0 4 10 36.4 50.0

JUMLA 11 20 11 20 0.0 0.0 4 10 0 0 4 10 36.4 50.0

1 Connecting Continents 26 49 26 49 100.0 100.0 22 39 0 0 22 39 84.6 79.6

2 Amini 7 13 7 13 100.0 100.0 3 7 0 0 3 7 42.9 53.8

3 Farahedy 11 22 10 20 90.9 90.9 2 4 0 0 2 4 20.0 20.0

JUMLA 44 84 43 82 97.7 97.6 27 50 0 0 27 50 62.8 61.0

JUMLA KUU 885 1601 812 1504 91.8 93.9 548 981 0 0 548 981 67.5 65.2

WILAYA YA KUSINI

WILAYA YA KATI

WILAYA YA KASKAZINI B

WILAYA YA WETE

WILAYA YA CHAKE CHAKE

Page 182: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

178

JADWELI NAM. 34

WAS J'LA WAS J'LA WAS J'LA WAS J'LA WAS J'LA WAS J'LA TZ ZNZ

BEN BELLA 108 108 1 1 9 9 71 71 20 20 101 101 445 17

AL-IHSAN 41 41 1 1 6 6 23 23 5 5 35 35 441 16

CHASASA 28 76 0 1 3 10 18 43 3 9 24 63 447 18

FARAJA 35 54 0 0 12 16 21 3 2 3 35 52 370 9

FIDEL CASTRO 29 93 1 1 4 26 23 55 1 10 20 92 388 10

HAMAMNI 33 87 0 0 6 15 25 61 1 6 32 82 423 13

JANG'OMBE* 1 8 0 1 1 1 14 17 6 8 21 27 139 5

KIEMBE SAMAKI 52 120 0 0 3 7 33 60 7 23 26 90 449 19

KIPONDA 16 40 1 2 7 15 7 21 0 1 15 39 245 6

LUMUMBA 47 139 2 13 14 37 27 66 3 13 46 129 363 7

MADUNGU 21 45 1 1 4 8 12 31 4 5 21 45 406 11

MPENDAE 19 82 0 1 4 12 13 52 2 9 19 74 430 14

MWANAKWEREKWE 'C' 40 62 1 1 11 15 24 41 4 5 22 40 367 8

NYUKI* 3 16 0 1 2 9 1 5 0 0 3 15 75 1

PEMBA ISLAMIC* 12 29 0 0 1 8 10 20 1 1 12 29 111 2

PHILTER FEDERAL* 11 18 0 0 2 5 9 12 0 1 11 18 116 3

SHAMIANI 15 31 3 4 3 12 9 14 0 0 15 30 203 4

SOS 39 68 18 29 17 32 4 6 0 1 39 68 19 1

SUZA 23 48 6 14 16 29 1 5 0 0 23 48 38 2

TUMEKUJA 51 134 0 2 8 24 29 79 12 22 49 127 434 15

UTAANI 17 38 2 4 7 15 7 16 1 2 17 37 227 5

UWELENI* 6 11 0 0 0 2 5 8 0 1 5 11 135 4

VIKOKOTONI 54 105 0 0 14 19 37 74 3 8 54 101 417 12

ZNZ. COMMERCIAL 26 51 8 11 13 23 2 12 3 4 26 50 110 3

JUMLA 727 1504 45 88 167 355 425 795 78 157 671 1403

* Skuli zenye wanafunzi chini ya 30

NATIJA

WALIOFAULU

WATAHINIWASKULI

MATOKEO YA MTIHANI WA TAIFA WA KIDATO CHA 6

(A - LEVEL), MWAKA 2016/2017

JUMLADIV. IVDIV. IIIDIV. IIDIV. I

Page 183: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

179

JADWELI NO. 35

W'KE J'LA W'KE J'LA W'KE J'LA W'KE J'LA W'KE J'LA W'KE J'LA W'KE J'LA

MJINI 22 21 22 360 439 189 225 114 130 31 44 26 40 360 439

MAGHARIBI 'A' 16 10 16 240 250 135 132 44 46 33 38 9 11 221 227

MAGHARIBI 'B' 22 11 22 254 281 24 148 61 68 46 47 19 20 150 283

KASKAZINI ' A' 107 67 107 1760 1969 724 812 558 609 299 337 97 106 1678 1864

KASKAZINI ' B' 59 32 59 712 945 213 339 181 206 114 125 47 58 555 728

KATI 26 17 26 249 342 73 108 77 105 63 76 36 46 249 335

KUSINI 5 2 5 69 71 1 12 14 14 14 14 10 10 39 50

MICHEWENI 58 42 58 1166 1349 474 563 268 292 151 171 56 63 949 1089

WETE 62 52 62 1205 1292 592 625 321 342 181 191 58 66 1152 1224

CHAKE-CHAKE 33 24 33 569 674 197 216 100 121 85 99 74 82 456 518

MKOANI 54 34 54 990 1209 407 513 260 304 174 213 119 138 960 1168

JUMLA 464 312 464 7574 8821 3029 3693 1998 2237 1191 1355 551 640 6769 7925

UANDIKISHAJI WA WANAKISOMO KIWILAYA, MACHI -2018

IDADI YA WALIMU

IDADI YA WANAKISOMO

WA KUJIANDIKISHA

WILAYA MADARASA

WANAKISOMO WALIOMO MADARASANI

JUMLAHATUA I HATUA II HATUA III HATUA IV

Page 184: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

180

JADWELI NAM. 36

JINA LA

KITUO W'ME W'KE J'LA MAD W'KE J'LA MAD W'KE J'LA MAD W'KE J'LA MAD W'KE J'LA MAD W'KE J'LA MAD W'KE J'LA

FARAJA 3 6 9 - - - 1 13 20 1 14 33 - - - - - - 2 27 53

MIKUNGUNI 0 14 14 - - - 2 52 106 1 30 54 - - - - - - 3 82 160

MWEMBELADU 3 10 13 - - - 1 24 54 2 27 65 - - - - - - 3 51 119

HAILE-SELASSIE 2 8 10 - - - 1 32 51 1 21 36 - - - - - - 2 53 87

LUMUMBA 4 20 24 - - - 3 81 153 1 21 40 - - - - - - 4 102 193

HAMAMNI 2 10 12 - - - 1 12 30 1 14 51 - - - - - - 2 26 81

KIJANGWANI 0 6 6 - - - 2 5 8 1 4 6 - - - - - - 3 9 14

KWAALAMSHA 0 4 4 - - - - - - - - - - - - 1 17 35 1 17 35

KAJIFICHENI 2 2 4 - - - 1 13 21 1 7 13 - - - - - - 2 20 34

HAMAMNI-LUMUMBA 0 4 4 - - - 1 14 20 1 11 24 - - - - - - 2 25 44

LUMUMBA 'A' LEVEL 0 4 4 - - - - - - - - - - - - 1 8 15 1 8 15

KIDONGOCHEKUNDU 1 2 3 - - - 1 11 18 1 4 10 - - - - - - 2 15 28

MBADALA-RAHALEO 3 2 5 - - - - - - - - - 1 12 42 - - - 1 12 42

JUMLA 20 92 112 0 0 0 14 257 481 11 153 332 1 12 42 2 25 50 28 447 905

YELP

UANDIKISHAJI KATIKA VITUO VYA KUJIENDELEZA KWA MWEZI, MACHI - 2018

WALIMU UFUNDI Q - TEST FORM IV JUMLAFORM VI

WILAYA YA MJINI

Page 185: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

181

Jadweli 36 inaendelea

WILAYA YA MAGH. 'A'

J.K.U 0 7 7 - - - - - - 1 9 20 - - - - - - 1 9 20

REGEZAMWENDA 1 8 9 - - - 2 18 41 1 2 19 - - - - - - 3 20 60

JUMLA 1 15 16 0 0 0 2 18 41 2 11 39 0 0 0 0 0 0 4 29 80

BIASHARA 1 4 5 - - - 1 6 18 1 3 11 - - - - - - 2 9 29

NYUKI 0 4 4 - - - 1 3 5 1 5 8 - - - - - - 2 8 13

FUONI 1 4 5 - - - 1 10 26 - - - - - - - - - 1 10 26

SSP 0 3 3 - - - 1 12 30 - - - - - - - - - 1 12 30

KIEMBESAMAKI 2 6 8 - - - 2 21 55 1 17 50 - - - - - - 3 38 105

MBARALI 1 3 4 - - - - - - 1 6 10 - - - - - - 1 6 10

AL-IHSAAN 0 4 4 - - - - - - 1 5 5 - - - - - - 1 5 5

JUMLA 5 28 33 0 0 0 6 52 134 5 36 84 - - - - - - 11 88 218

KINYASINI 1 4 5 - - - 1 7 17 1 16 25 - - - - - - 2 23 42

JUMLA 1 4 5 0 0 0 1 7 17 1 16 25 0 0 0 0 0 0 2 23 42

FUJONI 1 2 3 - - - 1 7 12 1 3 10 - - - - - - 2 10 22

MAKOBA 0 2 2 - - - - - - 1 1 3 - - - - - - 1 1 3

JUMLA 1 4 5 0 0 0 1 7 12 2 4 13 0 0 0 0 0 0 3 11 25

WILAYA YA MAGH. 'B'

WILAYA YA KASK.'A'

WILAYA YA KASK.'B'

Page 186: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

182

Jadweli 36 inaendelea

UBAGO 0 6 6 - - - 2 3 10 1 21 33 - - - - - - 3 24 43

CHWAKA 3 5 8 - - - 1 12 25 1 7 14 - - - - - - 2 19 39

KIBELE 0 3 3 - - - - - - 1 11 20 - - - - - - 1 11 20

UZI 0 2 2 - - - - - - 1 5 8 - - - - - - 1 5 8

JUMLA 3 16 19 0 0 0 3 15 35 4 44 75 0 0 0 0 0 0 7 59 110

Jadweli 36 inaendelea

MAKUNDUCHI 2 8 10 - - - 2 12 35 - - - - - - - - - 2 12 35

JUMLA 2 8 10 0 0 0 2 12 35 0 0 0 0 0 0 0 0 0 2 12 35

MICHEWENI 0 11 11 - - - 2 2 7 1 4 20 - - - - - - 3 6 27

C.C.K SEK 0 9 9 - - - 3 64 128 2 40 70 - - - 1 5 15 6 109 213

WINGWI 0 5 5 - - - 2 24 41 1 16 22 - - - - - - 3 40 63

KONDE 0 5 5 1 5 8 1 8 12 - - - - - - 2 13 20

KINOWE 0 5 5 - - - 1 4 10 1 3 12 - - - - - 2 7 22

JUMLA 0 35 35 0 0 0 9 99 194 6 71 136 0 0 0 1 5 15 16 175 345

UTAANI 1 9 10 - - - 2 16 35 1 3 14 - - - - - - 3 19 49

MCHANGAMDOGO 1 4 5 - - - 2 32 61 - - - - - - 2 32 61

BENJAMIN KONGWE 2 2 4 - - - - - - - - - 2 30 81 - - - 2 30 81

JUMLA 4 15 19 0 0 0 4 48 96 1 3 14 2 30 81 0 0 0 7 81 191

WILAYA YA KATI

WILAYA YA KUSINI

WILAYA YA MICHEWENI

WILAYA YA WETE

Page 187: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

183

Jadweli 36 inaendelea

FIDEL CASTRO 0 5 5 - - - 1 4 10 1 1 3 - - - - - - 2 5 13

SHAMIANI 0 6 6 - - - 1 24 42 1 8 16 - - - - - - 2 32 58

JUMLA 0 11 11 0 0 0 2 28 52 2 9 19 0 0 0 0 0 0 4 37 71

MWAMBE 3 11 14 - - - - - - 1 9 20 - - - - - - 1 9 20

WAMBAA 2 10 12 - - - 1 1 3 1 1 4 - - - - - - 2 2 7

CHAMBANI 2 3 5 - - - - - - 1 2 4 - - - - - - 1 2 4

UWELENI 2 3 5 - - - 1 1 11 - - - - - - 1 1 11

JUMLA 9 27 36 0 0 0 1 1 3 3 12 28 0 0 0 0 0 0 5 14 42

JUMLA LA KUU 45 240 285 0 0 0 43 526 1059 35 348 726 3 42 123 3 30 65 89 947 1984

WILAYA YA CHAKE

WILAYA YA MKOANI

Page 188: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

184

JADWELI NAM. 37(a)

IDADI % IDADI %

WILAYA YA MJINI

1 LUMUMBA 169 4 2.37 99 58.58

2 TUMEKUJA 14 0 0.00 14 100.00

3 BENBELLA 14 0 0.00 9 64.29

4 MIKUNGUNI 57 0 0.00 26 45.61

5 HAMAMNI 30 1 3.33 7 23.33

6 HAILE-SELASSIE 56 0 0.00 21 37.50

7 KIDONGOCHEKUNDU 14 0 0.00 11 78.57

8 KIPONDA 13 0 0.00 8 61.54

9 JANG'OMBE 12 1 8.33 6 50.00

10 FARAJA 39 2 5.13 24 61.54

11 BILAL-ISLAMIC 70 2 2.86 50 71.43

12 CHUMBUNI 16 0 0.00 9 56.25

13 MWEMBELADU 59 0 0.00 17 28.81

14 MEMON 3 0 0.00 2 66.67

15 SUNCITY 16 0 0.00 11 68.75

16 NYERERE 8 0 0.00 4 50.00

JUMLA 590 10 1.69 318 53.90

MATOKEO YA MTIHANI KWA WATAHINIWA WA FARAGHA, KIDATO

WALIOFAULU CREDITS

CHA 4 VITUO VYA ZANZIBAR- 2017, WAVULANA TU

NAM. KITUO

WALIOFANYA WOTE WALIOFAULU"3" AU ZAIDI

Page 189: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

185

Jadweli 37(a) inaendelea

WILAYA YA MAGHARIBI 'A'

1 BUBUBU 31 0 0.00 15 48.39

2 LANGONI 10 0 0.00 6 60.00

3 MTOPEPO 24 0 0.00 7 29.17

4 REGEZA MWENDO 15 0 0.00 5 33.33

5 MWENGE 5 0 0.00 2 40.00

6 CHUINI 14 0 0.00 5 35.71

7 ROYAL SEC. SCHOOL 8 0 0.00 6 75.00

8 J.K.U 46 0 0.00 22 47.83

9 MIKINDANI 5 0 0.00 3 60.00

10 MTONI KIGOMENI 10 0 0.00 7 70.00

JUMLA 168 0 0.0 78 46.43

Page 190: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

186

Jadweli 37(a) inaendelea

1 AL-IHSAN 0 0 0.00 0 0.00

2 NYUKI JWTZ 43 0 0.00 28 65.12

3 MWANAKWEREKWE 'A' 14 0 0.00 9 64.29

4 MWANAKWEREKWE 'C' 21 1 4.76 12 57.14

5 FUONI 9 0 0.00 7 77.78

6 CHUKWANI 8 0 0.00 5 62.50

7 KOMBENI 13 0 0.00 5 38.46

8 KISAUNI 6 0 0.00 3 50.00

9 KINUNI 19 0 0.00 5 26.32

10 ZANZIBAR COMMERCIAL 57 1 1.75 26 45.61

11 ZANZIBAR PROGERESSIVE 12 0 0.00 7 58.33

12 AL-FALAH 56 0 0.00 43 76.79

13 PHILTER FEDERAL 26 0 0.00 15 57.69

14 MBARALI PREPARATORY 62 0 0.00 36 58.06

15 SSP HIGH SCHOOL 50 0 0.00 31 62.00

16 AZANIA 32 1 3.13 27 84.38

17 RAUDHA 9 0 0.00 9 100.00

JUMLA 437 3 0.69 268 61.33

WILAYA YA MAGHARIBI 'B'

Page 191: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

187

Jadweli 37(a) inaendelea

WILAYA YA KASKAZINI 'A'

1 MKWAJUNI 14 0 0.00 5 35.71

2 TUMBATU 6 0 0.00 3 50.00

3 JONGOWE 6 0 0.00 2 33.33

4 CHAANI 12 0 0.00 9 75.00

5 KIDOTI 6 0 0.00 4 66.67

6 KINYASINI 29 1 3.45 14 48.28

7 PALE 3 0 0.00 3 100.00

8 POTOA 8 0 0.00 5 62.50

9 GAMBA 6 0 0.00 2 33.33

10 MATEMWE 4 0 0.00 2 50.00

11 FUKUCHANI 3 0 0.00 2 66.67

JUMLA 97 1 1.03 51 52.58

WILAYA YA KASKAZINI 'B'

1 DONGE 4 0 0.00 2 50.00

2 MAHONDA 3 0 0.00 0 0.00

3 MFENESINI 13 0 0.00 11 84.62

4 FUJONI 12 0 0.00 5 0.00

5 BUMBWINI 2 0 0.00 1 50.00

6 KITOPE 9 0 0.00 5 55.56

7 MAKOBA 3 0 0.00 1 33.33

8 MUANDA 2 0 0.00 1 50.00

JUMLA 48 0 0.00 26 54.17

Page 192: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

188

Jadweli 37(a) inaendelea

WILAYA YA KATI

1 NDIJANI 10 0 0.00 6 60.00

2 UROA 2 1 50.00 2 100.00

3 UNGUJA UKUU 0 0 0.00 0 0.00

4 DUNGA 34 1 2.94 26 76.47

5 MWERA 27 0 0.00 15 55.56

6 BAMBI 6 0 0.00 2 0.00

7 CHWAKA 38 0 0.00 22 57.89

8 KIBELE 21 1 4.76 12 57.14

9 MACHUI 5 1 20.00 4 80.00

10 JENDELE 4 0 0.00 3 75.00

11 UBAGO 43 1 2.33 16 37.21

12 UMOJA UZINI 3 0 0.00 3 100.00

JUMLA 193 5 2.59 111 57.51

WILAYA YA KUSINI

1 MAKUNDUCHI 17 0 0.00 5 29.41

2 KITOGANI 9 0 0.00 4 44.44

3 JAMBIANI 9 0 0.00 2 22.22

4 CHARAWE 4 0 0.00 1 25.00

5 MUYUNI 19 0 0.00 9 47.37

6 KUSINI 17 0 0.00 8 47.06

7 BWEJUU CHARITY 4 0 0.00 2 50.00

8 PAJE 3 0 0.00 3 100.00

JUMLA 82 0 0.00 34 41.46

Page 193: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

189

Jadweli 37(a) inaendelea

WILAYA YA MICHEWENI

1 KONDE 7 0 0.00 2 28.57

2 WINGWI SEC. SCHOOL 14 0 0.00 5 35.71

3 MICHEWENI 12 0 0.00 8 66.67

4 TUMBE 13 0 0.00 4 30.77

5 SHUMBA VYAMBONI 16 0 0.00 8 50.00

6 KINOWE 8 0 0.00 6 75.00

7 CHWAKA TUMBE 3 0 0.00 3 100.00

JUMLA 73 0 0.00 36 49.32

1 UTAANI 16 0 0.00 8 50.00

2 MCHANGAMDOGO 33 0 0.00 15 45.45

3 PANDANI 12 0 0.00 7 58.33

4 OLE 0 0 0.00 0 0.00

5 PEMBA ISLAMIC 10 0 0.00 4 40.00

6 MINUNGWINI 6 0 0.00 4 66.67

7 UONDWE 8 0 0.00 3 37.50

8 SHENGEJUU 3 0 0.00 1 33.33

9 KINYASINI PEMBA 1 0 0.00 1 100.00

10 KIZIMBANI 4 0 0.00 2 50.00

11 MITI ULAYA 10 0 0.00 6 60.00

12 KIUYU 21 0 0.00 9 42.86

13 MZAMBARAU TAKAO 6 0 0.00 5 83.33

14 CHASASA 14 0 0.00 8 57.14

15 KANGAGANI 3 0 0.00 2 66.67

16 GANDO 9 0 0.00 7 77.78

JUMLA 156 0 0.00 82 52.56

WILAYA YA WETE

Page 194: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

190

Jadweli 37(a) inaendelea

WILAYA YA CHAKE-CHAKE

1 FIDEL-CASTRO 50 0 0.00 41 82.00

2 SHAMIANI 15 0 0.00 7 46.67

3 CHANJA MJAWIRI 7 0 0.00 4 57.14

4 NGWACHANI 4 0 0.00 3 75.00

5 VITONGOJI 3 0 0.00 0 0.00

6 PUJINI 1 0 0.00 0 0.00

7 PIKI 1 0 0.00 0 0.00

8 KILINDI 6 0 0.00 4 66.67

9 WESHA 6 0 0.00 5 83.33

10 CHWALE 2 0 0.00 0 0.00

11 FURAHA 4 0 0.00 2 50.00

12 PONDEANI 5 0 0.00 1 20.00

13 ZIWANI PEMBA 2 0 0.00 2 100.00

14 VIKUNGUNI 2 0 0.00 1 50.00

15 MBUZINI PEMBA 8 0 0.00 4 50.00

16 NGAMBWA 13 0 0.00 5 38.46

17 DR.OMAR ALI JUMA 12 0 0.00 9 75.00

18 MADUNGU 19 0 0.00 11 57.89

JUMLA 160 0 0.00 99 61.88

Page 195: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

191

Jadweli 37(a) inaendelea

WILAYA YA MKOANI

1 KANGANI 5 0 0.00 2 40.00

2 UWELENI 9 0 0.00 7 77.78

3 KENGEJA TECH COLLEGE 4 0 0.00 3 75.00

4 MKANYAGENI 2 0 0.00 1 50.00

5 MTAMBILE 8 0 0.00 6 75.00

6 KENGEJA SEC 0 0 0.00 0 0.00

7 WAMBAA 11 0 0.00 10 90.91

8 MIZINGANI 2 0 0.00 1 50.00

9 MWAMBE 7 0 0.00 5 71.43

10 MAKOMBENI 2 0 0.00 1 50.00

11 MAUWANI 0 0 0.00 0 0.00

12 CHAMBANI 4 0 0.00 4 100.00

JUMLA 54 0 0.00 40 74.07

JUMLA KUU 2058 19 0.92 1143 55.54

Page 196: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

192

JADWELI NAM. 37(b)

IDADI % IDADI %

1 LUMUMBA 118 0 0.00 68 57.63

2 TUMEKUJA 16 0 0.00 9 56.25

3 BENBELLA 39 2 5.13 33 84.62

4 MIKUNGUNI 39 0 0.00 16 41.03

5 HAMAMNI 27 0 0.00 8 29.63

6 HAILE-SELASSIE 38 0 0.00 16 42.11

7 KIDONGOCHEKUNDU 18 0 0.00 15 83.33

8 KIPONDA 12 0 0.00 6 50.00

9 JANG'OMBE 10 0 0.00 7 70.00

10 FARAJA 34 0 0.00 16 47.06

11 BILAL-ISLAMIC 89 0 0.00 64 71.91

12 CHUMBUNI 15 0 0.00 10 66.67

13 MWEMBELADU 37 0 0.00 14 37.84

14 MEMON 3 0 0.00 1 33.33

15 SUNCITY 13 0 0.00 6 46.15

16 NYERERE 13 0 0.00 11 84.62

JUMLA 521 2 0.38 300 57.58

MATOKEO YA MTIHANI KWA WATAHINIWA WA FARAGHA, KIDATO

WALIOFAULU CREDITS

NAM. KITUO

WALIOFANYA WOTE WALIOFAULU"3" AU ZAIDI

CHA 4 VITUO VYA ZANZIBAR- 2017, WASICHANA TU

WILAYA YA MJINI

Page 197: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

193

Jadweli 37(b) inaendelea

1 BUBUBU 39 0 0.00 26 66.67

2 LANGONI 9 0 0.00 4 44.44

3 MTOPEPO 12 0 0.00 5 41.67

4 REGEZA MWENDO 14 0 0.00 7 50.00

5 MWENGE 7 0 0.00 1 14.29

6 CHUINI 10 0 0.00 8 80.00

7 ROYAL SEC. SCHOOL 10 0 0.00 5 50.00

8 J.K.U 52 1 1.92 39 75.00

9 MIKINDANI 3 0 0.00 2 66.67

10 MTONI KIGOMENI 5 0 0.00 0 0.00

JUMLA 161 1 1.9 97 60.25

WILAYA YA MAGHARIBI 'A'

Page 198: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

194

Jadweli 37(b) inaendelea

1 AL-IHSAN 31 0 0.00 24 77.42

2 NYUKI JWTZ 34 0 0.00 23 67.65

3 MWANAKWEREKWE 'A' 11 0 0.00 9 81.82

4 MWANAKWEREKWE 'C' 27 0 0.00 17 62.96

5 FUONI 12 0 0.00 7 58.33

6 CHUKWANI 9 0 0.00 7 77.78

7 KOMBENI 17 0 0.00 11 64.71

8 KISAUNI 2 0 0.00 2 100.00

9 KINUNI 13 1 7.69 7 53.85

10 ZANZIBAR COMMERCIAL 34 1 2.94 18 52.94

11 ZANZIBAR PROGERESSIVE 8 0 0.00 5 62.50

12 AL-FALAH 68 0 0.00 56 82.35

13 PHILTER FEDERAL 29 1 3.45 13 44.83

14 MBARALI PREPARATORY 35 0 0.00 24 68.57

15 SSP HIGH SCHOOL 51 0 0.00 27 52.94

16 AZANIA 27 1 3.70 20 74.07

17 RAUDHA 24 3 12.50 23 95.83

JUMLA 432 7 1.62 293 67.82

WILAYA YA MAGHARIBI 'B'

Page 199: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

195

Jadweli 37(b) inaendelea

1 MKWAJUNI 10 0 0.00 6 60.00

2 TUMBATU 3 0 0.00 1 33.33

3 JONGOWE 20 0 0.00 14 70.00

4 CHAANI 7 0 0.00 5 71.43

5 KIDOTI 16 0 0.00 11 68.75

6 KINYASINI 23 0 0.00 12 52.17

7 PALE 0 0 0.00 0 0.00

8 POTOA 7 0 0.00 2 28.57

9 GAMBA 9 0 0.00 4 44.44

10 MATEMWE 0 0 0.00 0 0.00

11 FUKUCHANI 7 0 0.00 4 57.14

JUMLA 102 0 0.00 59 57.84

1 DONGE 3 0 0.00 2 66.67

2 MAHONDA 4 0 0.00 3 75.00

3 MFENESINI 24 1 4.17 14 58.33

4 FUJONI 5 0 0.00 3 0.00

5 BUMBWINI 0 0 0.00 0 0.00

6 KITOPE 6 0 0.00 4 66.67

7 MAKOBA 0 0 0.00 0 0.00

8 MUANDA 5 0 0.00 1 20.00

JUMLA 47 1 2.13 27 57.45

WILAYA YA KASKAZINI 'A'

WILAYA YA KASKAZINI 'B'

Page 200: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

196

Jadweli 37(b) inaendelea

1 NDIJANI 6 0 0.00 5 83.33

2 UROA 2 0 0.00 1 50.00

3 UNGUJA UKUU 6 0 0.00 3 50.00

4 DUNGA 30 0 0.00 20 66.67

5 MWERA 12 0 0.00 10 83.33

6 BAMBI 3 0 0.00 1 0.00

7 CHWAKA 72 0 0.00 31 43.06

8 KIBELE 31 0 0.00 18 58.06

9 MACHUI 7 0 0.00 4 57.14

10 JENDELE 3 0 0.00 0 0.00

11 UBAGO 15 0 0.00 10 66.67

12 UMOJA UZINI 7 0 0.00 6 85.71

JUMLA 194 0 0.00 109 56.19

WILAYA YA KATI

Page 201: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

197

Jadweli 37(b) inaendelea

WILAYA YA KUSINI

1 MAKUNDUCHI 10 0 0.00 5 50.00

2 KITOGANI 5 0 0.00 2 40.00

3 JAMBIANI 10 0 0.00 1 10.00

4 CHARAWE 5 0 0.00 2 40.00

5 MUYUNI 8 0 0.00 2 25.00

6 KUSINI 2 0 0.00 2 100.00

7 BWEJUU CHARITY 12 0 0.00 8 66.67

8 PAJE 5 0 0.00 5 100.00

JUMLA 57 0 0.00 27 47.37

1 KONDE 5 0 0.00 1 20.00

2 WINGWI SEC. SCHOOL 9 0 0.00 4 44.44

3 MICHEWENI 4 0 0.00 1 25.00

4 TUMBE 0 0 0.00 0 0.00

5 SHUMBA VYAMBONI 3 0 0.00 0 0.00

6 KINOWE 2 0 0.00 0 0.00

7 CHWAKA TUMBE 1 0 0.00 1 100.00

JUMLA 24 0 0.00 7 29.17

WILAYA YA MICHEWENI

Page 202: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

198

Jadweli 37(b) inaendelea

1 UTAANI 47 0 0.00 23 48.94

2 MCHANGAMDOGO 26 0 0.00 14 53.85

3 PANDANI 2 0 0.00 2 100.00

4 OLE 1 0 0.00 0 0.00

5 PEMBA ISLAMIC 18 0 0.00 11 61.11

6 MINUNGWINI 0 0 0.00 0 0.00

7 UONDWE 4 0 0.00 3 75.00

8 SHENGEJUU 2 0 0.00 2 100.00

9 KINYASINI PEMBA 0 0 0.00 0 0.00

10 KIZIMBANI 2 0 0.00 1 50.00

11 MITI ULAYA 10 0 0.00 4 40.00

12 KIUYU 3 0 0.00 2 66.67

13 MZAMBARAU TAKAO 5 0 0.00 4 80.00

14 CHASASA 23 0 0.00 9 39.13

15 KANGAGANI 1 0 0.00 1 100.00

16 GANDO 3 0 0.00 1 33.33

JUMLA 147 0 0.00 77 52.38

WILAYA YA WETE

Page 203: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

199

Jadweli 37(b) inaendelea

1 FIDEL-CASTRO 37 0 0.00 27 72.97

2 SHAMIANI 13 0 0.00 4 30.77

3 CHANJA MJAWIRI 2 0 0.00 0 0.00

4 NGWACHANI 1 0 0.00 1 100.00

5 VITONGOJI 3 0 0.00 0 0.00

6 PUJINI 1 0 0.00 1 100.00

7 PIKI 3 0 0.00 3 100.00

8 KILINDI 1 0 0.00 1 100.00

9 WESHA 5 0 0.00 3 60.00

10 CHWALE 1 0 0.00 1 100.00

11 FURAHA 0 0 0.00 0 0.00

12 PONDEANI 7 0 0.00 6 85.71

13 ZIWANI PEMBA 4 0 0.00 1 25.00

14 VIKUNGUNI 0 0 0.00 0 0.00

15 MBUZINI PEMBA 5 0 0.00 3 60.00

16 NGAMBWA 7 0 0.00 1 14.29

17 DR.OMAR ALI JUMA 3 0 0.00 1 33.33

18 MADUNGU 20 0 0.00 16 80.00

JUMLA 113 0 0.00 69 61.06

WILAYA YA CHAKE-CHAKE

Page 204: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

200

Jadweli 37(b) inaendelea

1 KANGANI 4 0 0.00 2 50.00

2 UWELENI 4 0 0.00 2 50.00

3 KENGEJA TECH COLLEGE 3 0 0.00 3 100.00

4 MKANYAGENI 2 0 0.00 1 50.00

5 MTAMBILE 1 0 0.00 0 0.00

6 KENGEJA SEC 8 0 0.00 7 87.50

7 WAMBAA 10 0 0.00 6 60.00

8 MIZINGANI 4 0 0.00 4 100.00

9 MWAMBE 1 0 0.00 1 100.00

10 MAKOMBENI 0 0 0.00 0 0.00

11 MAUWANI 6 0 0.00 4 66.67

12 CHAMBANI 1 0 0.00 0 0.00

JUMLA 44 0 0.00 30 68.18

JUMLA KUU 1842 11 0.60 1095 59.45

WILAYA YA MKOANI

Page 205: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

201

JADWELI NAM. 37(c)

IDADI % IDADI %

1 LUMUMBA 287 4 1.39 167 58.19

2 TUMEKUJA 30 0 0.00 23 76.67

3 BENBELLA 53 2 3.77 42 79.25

4 MIKUNGUNI 96 0 0.00 42 43.75

5 HAMAMNI 57 1 1.75 15 26.32

6 HAILE-SELASSIE 94 0 0.00 37 39.36

7 KIDONGOCHEKUNDU 32 0 0.00 26 81.25

8 KIPONDA 25 0 0.00 14 56.00

9 JANG'OMBE 22 1 4.55 13 59.09

10 FARAJA 73 2 2.74 40 54.79

11 BILAL-ISLAMIC 159 2 1.26 114 71.70

12 CHUMBUNI 31 0 0.00 19 61.29

13 MWEMBELADU 96 0 0.00 31 32.29

14 MEMON 6 0 0.00 3 50.00

15 SUNCITY 29 0 0.00 17 58.62

16 NYERERE 21 0 0.00 15 71.43

JUMLA 1111 12 1.08 618 55.63

WILAYA YA MJINI

MATOKEO YA MTIHANI KWA WATAHINIWA WA FARAGHA, KIDATO

WALIOFAULU CREDITS

NAM. KITUO

WALIOFANYA WOTE WALIOFAULU"3" AU ZAIDI

CHA 4 VITUO VYA ZANZIBAR- 2017, WAVULANA NA WASICHANA

Page 206: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

202

Jadweli 37(c) inaendelea

1 BUBUBU 70 0 0.00 41 58.57

2 LANGONI 19 0 0.00 10 52.63

3 MTOPEPO 36 0 0.00 12 33.33

4 REGEZA MWENDO 29 0 0.00 12 41.38

5 MWENGE 12 0 0.00 3 25.00

6 CHUINI 24 0 0.00 13 54.17

7 ROYAL SEC. SCHOOL 18 0 0.00 11 61.11

8 J.K.U 98 1 1.02 61 62.24

9 MIKINDANI 8 0 0.00 5 62.50

10 MTONI KIGOMENI 15 0 0.00 7 46.67

JUMLA 329 1 1.0 175 53.19

WILAYA YA MAGHARIBI 'A'

Page 207: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

203

Jadweli 37(c) inaendelea

1 AL-IHSAN 31 0 0.00 24 77.42

2 NYUKI JWTZ 77 0 0.00 51 66.23

3 MWANAKWEREKWE 'A' 25 0 0.00 18 72.00

4 MWANAKWEREKWE 'C' 48 1 2.08 29 60.42

5 FUONI 21 0 0.00 14 66.67

6 CHUKWANI 17 0 0.00 12 70.59

7 KOMBENI 30 0 0.00 16 53.33

8 KISAUNI 8 0 0.00 5 62.50

9 KINUNI 32 1 3.13 12 37.50

10 ZANZIBAR COMMERCIAL 91 2 2.20 44 48.35

11 ZANZIBAR PROGERESSIVE 20 0 0.00 12 60.00

12 AL-FALAH 124 0 0.00 99 79.84

13 PHILTER FEDERAL 55 1 1.82 28 50.91

14 MBARALI PREPARATORY 97 0 0.00 60 61.86

15 SSP HIGH SCHOOL 101 0 0.00 58 57.43

16 AZANIA 59 2 3.39 47 79.66

17 RAUDHA 33 3 9.09 32 96.97

JUMLA 869 10 1.15 561 64.56

WILAYA YA MAGHARIBI 'B'

Page 208: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

204

Jadweli 37(c) inaendelea

1 MKWAJUNI 24 0 0.00 11 45.83

2 TUMBATU 9 0 0.00 4 44.44

3 JONGOWE 26 0 0.00 16 61.54

4 CHAANI 19 0 0.00 14 73.68

5 KIDOTI 22 0 0.00 15 68.18

6 KINYASINI 52 1 1.92 26 50.00

7 PALE 3 0 0.00 3 0.00

8 POTOA 15 0 0.00 7 46.67

9 GAMBA 15 0 0.00 6 40.00

10 MATEMWE 4 0 0.00 2 0.00

11 FUKUCHANI 10 0 0.00 6 60.00

JUMLA 199 1 0.50 110 55.28

1 DONGE 7 0 0.00 4 57.14

2 MAHONDA 7 0 0.00 3 42.86

3 MFENESINI 37 1 2.70 25 67.57

4 FUJONI 17 0 0.00 8 0.00

5 BUMBWINI 2 0 0.00 1 0.00

6 KITOPE 15 0 0.00 9 60.00

7 MAKOBA 3 0 0.00 1 0.00

8 MUANDA 7 0 0.00 2 28.57

JUMLA 95 1 1.05 53 55.79

WILAYA YA KASKAZINI 'A'

WILAYA YA KASKAZINI 'B'

Page 209: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

205

Jadweli 37(c) inaendelea

1 NDIJANI 16 0 0.00 11 68.75

2 UROA 4 1 25.00 3 75.00

3 UNGUJA UKUU 6 0 0.00 3 50.00

4 DUNGA 64 1 1.56 46 71.88

5 MWERA 39 0 0.00 25 64.10

6 BAMBI 9 0 0.00 3 0.00

7 CHWAKA 110 0 0.00 53 48.18

8 KIBELE 52 1 1.92 30 57.69

9 MACHUI 12 1 8.33 8 66.67

10 JENDELE 7 0 0.00 3 42.86

11 UBAGO 58 1 1.72 26 44.83

12 UMOJA UZINI 10 0 0.00 9 90.00

JUMLA 387 5 1.29 220 56.85

WILAYA YA KATI

Page 210: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

206

Jadweli 37(c) inaendelea

1 MAKUNDUCHI 27 0 0.00 10 37.04

2 KITOGANI 14 0 0.00 6 42.86

3 JAMBIANI 19 0 0.00 3 15.79

4 CHARAWE 9 0 0.00 3 33.33

5 MUYUNI 27 0 0.00 11 40.74

6 KUSINI 19 0 0.00 10 52.63

7 BWEJUU CHARITY 16 0 0.00 10 62.50

8 PAJE 8 0 0.00 8 100.00

JUMLA 139 0 0.00 61 43.88

1 KONDE 12 0 0.00 3 25.00

2 WINGWI SEC. SCHOOL 23 0 0.00 9 39.13

3 MICHEWENI 16 0 0.00 9 56.25

4 TUMBE 13 0 0.00 4 0.00

5 SHUMBA VYAMBONI 19 0 0.00 8 42.11

6 KINOWE 10 0 0.00 6 60.00

7 CHWAKA TUMBE 4 0 0.00 4 100.00

JUMLA 97 0 0.00 43 44.33

WILAYA YA KUSINI

WILAYA YA MICHEWENI

Page 211: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

207

Jadweli 37(c) inaendelea

1 UTAANI 63 0 0.00 31 49.21

2 MCHANGAMDOGO 59 0 0.00 29 49.15

3 PANDANI 14 0 0.00 9 64.29

4 OLE 1 0 0.00 0 0.00

5 PEMBA ISLAMIC 28 0 0.00 15 53.57

6 MINUNGWINI 6 0 0.00 4 0.00

7 UONDWE 12 0 0.00 6 50.00

8 SHENGEJUU 5 0 0.00 3 60.00

9 KINYASINI PEMBA 1 0 0.00 1 0.00

10 KIZIMBANI 6 0 0.00 3 50.00

11 MITI ULAYA 20 0 0.00 10 50.00

12 KIUYU 24 0 0.00 11 45.83

13 MZAMBARAU TAKAO 11 0 0.00 9 81.82

14 CHASASA 37 0 0.00 17 45.95

15 KANGAGANI 4 0 0.00 3 75.00

16 GANDO 12 0 0.00 8 66.67

JUMLA 303 0 0.00 159 52.48

WILAYA YA WETE

Page 212: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

208

Jadweli 37(c) inaendelea

1 FIDEL-CASTRO 87 0 0.00 68 78.16

2 SHAMIANI 28 0 0.00 11 39.29

3 CHANJA MJAWIRI 9 0 0.00 4 44.44

4 NGWACHANI 5 0 0.00 4 80.00

5 VITONGOJI 6 0 0.00 0 0.00

6 PUJINI 2 0 0.00 1 50.00

7 PIKI 4 0 0.00 3 75.00

8 KILINDI 7 0 0.00 5 71.43

9 WESHA 11 0 0.00 8 72.73

10 CHWALE 3 0 0.00 1 33.33

11 FURAHA 4 0 0.00 2 0.00

12 PONDEANI 12 0 0.00 7 58.33

13 ZIWANI PEMBA 6 0 0.00 3 50.00

14 VIKUNGUNI 2 0 0.00 1 0.00

15 MBUZINI PEMBA 13 0 0.00 7 53.85

16 NGAMBWA 20 0 0.00 6 30.00

17 DR.OMAR ALI JUMA 15 0 0.00 10 66.67

18 MADUNGU 39 0 0.00 27 69.23

JUMLA 273 0 0.00 168 61.54

WILAYA YA CHAKE-CHAKE

Page 213: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

209

Jadweli 37(c) inaendelea

1 KANGANI 9 0 0.00 4 44.44

2 UWELENI 13 0 0.00 9 69.23

3 KENGEJA TECH COLLEGE 7 0 0.00 6 85.71

4 MKANYAGENI 4 0 0.00 2 50.00

5 MTAMBILE 9 0 0.00 6 66.67

6 KENGEJA SEC 8 0 0.00 7 87.50

7 WAMBAA 21 0 0.00 16 76.19

8 MIZINGANI 6 0 0.00 5 83.33

9 MWAMBE 8 0 0.00 6 75.00

10 MAKOMBENI 2 0 0.00 1 0.00

11 MAUWANI 6 0 0.00 4 66.67

12 CHAMBANI 5 0 0.00 4 80.00

JUMLA 98 0 0.00 70 71.43

JUMLA KUU 3900 30 0.77 2238 57.38

WILAYA YA MKOANI

Page 214: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

210

JADWELI NAM. 38(a)

IDADI % IDADI %

Lumumba 49 7 14.29 23 46.94

Ben - Bella 17 3 17.65 14 82.35

Hamamni 12 2 16.67 8 66.67

Kiponda 22 6 27.27 18 81.82

Zanzibar Commercial 7 0 0.00 4 57.14

Kiembe samaki 14 2 14.29 12 85.71

Mwanakwerekwe C 25 6 24.00 16 64.00

Tumekuja 12 1 8.33 5 41.67

Mazizini islamic 9 1 11.11 3 33.33

Azania 33 7 21.21 22 66.67

Al-haramayn 48 24 50.00 38 79.17

Jabal Hiraa 50 33 66.00 46 92.00

Nyuki JWTZ 19 8 42.11 17 89.47

Fidel-Castro 8 1 12.50 2 25.00

Chasasa 15 1 6.67 7 46.67

Utaani 6 3 50.00 5 83.33

Shamiani 10 6 60.00 10 100.00

Mchangamdogo 19 6 31.58 18 94.74

Uweleni 3 0 0.00 3 100.00

Pemba Islamic 5 3 60.00 5 100.00

Jumla 383 120 31.33 276 72.06

MATOKEO YA MTIHANI KWA WANAFUNZI WA FARAGHA KIDATO

CHA 6 VITUO VYA ZANZIBAR - 2016/2017 - WAVULANA TU

WATAHINIWAKITUO

WALIOFAULU

P2 + S1 AU ZAIDI

WOTE

WALIOFAULU

Page 215: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

211

JADWELI NAM. 38(b)

IDADI % IDADI %

Lumumba 33 3 9.09 18 54.55

Ben - Bella 27 1 3.70 21 77.78

Hamamni 14 1 7.14 11 78.57

Kiponda 13 1 7.69 12 92.31

Zanzibar Commercial 5 2 40.00 5 100.00

Kiembe samaki 10 1 10.00 5 50.00

Mwanakwerekwe C 12 2 16.67 9 75.00

Tumekuja 5 0 0.00 4 80.00

Mazizini islamic 2 0 0.00 2 100.00

Azania 5 0 0.00 3 60.00

Al-haramayn 26 17 65.38 21 80.77

Jabal Hiraa 32 25 78.13 29 90.63

Nyuki JWTZ 9 8 88.89 9 100.00

Fidel-Castro 6 0 0.00 1 16.67

Chasasa 0 0 0.00 0 0.00

Utaani 7 1 14.29 6 85.71

Shamiani 7 2 28.57 7 100.00

Mchangamdogo 18 1 5.56 15 83.33

Uweleni 2 0 0.00 2 100.00

Pemba Islamic 2 0 0.00 2 100.00

Jumla 235 65 27.66 182 77.45

MATOKEO YA MTIHANI KWA WANAFUNZI WA FARAGHA KIDATO

CHA 6 VITUO VYA ZANZIBAR - 2016/2017 - WASICHANA TU

KITUO WATAHINIWA

WALIOFAULU WOTE

P2 + S1 AU ZAIDI WALIOFAULU

Page 216: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

212

JADWELI NAM. 38(c)

IDADI % IDADI %

Lumumba 82 10 12.20 41 50.00

Ben - Bella 44 4 9.09 35 79.55

Hamamni 26 3 11.54 19 73.08

Kiponda 35 7 20.00 30 85.71

Zanzibar Commercial 12 2 16.67 9 75.00

Kiembe samaki 24 3 12.50 17 70.83

Mwanakwerekwe C 37 8 21.62 25 67.57

Tumekuja 17 1 5.88 9 52.94

Mazizini islamic 11 1 9.09 5 45.45

Azania 38 7 18.42 25 65.79

Al-haramayn 74 41 55.41 59 79.73

Jabal Hiraa 82 58 70.73 75 91.46

Nyuki JWTZ 28 16 57.14 26 92.86

Fidel-Castro 14 1 7.14 3 21.43

Chasasa 15 1 0.00 7 0.00

Utaani 13 4 30.77 11 84.62

Shamiani 17 8 47.06 17 100.00

Mchangamdogo 37 7 18.92 33 89.19

Uweleni 5 0 0.00 5 100.00

Pemba Islamic 7 3 42.86 7 100.00

Jumla 618 185 29.94 458 74.11

MATOKEO YA MTIHANI KWA WANAFUNZI WA FARAGHA KIDATO

WALIOFAULU WOTE

CHA 6 VITUO VYA ZANZIBAR - 2016/2017 - WAVULANA NA WASICHANA

KITUO WATAHINIWA

P2 + S1 AU ZAIDI WALIOFAULU

Page 217: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

213

JADWELI NAM. 39a

WAS JUMLA WAS JUMLA WAS JUMLA WAS JUMLA WAS JUMLA WAS JUMLA

CHUMBUNI 0 0 1 1 0 0 1 1 0 2 2 4

M/SHAURI 1 4 0 0 2 3 1 3 0 0 4 10

MUUNGANO 0 0 1 3 0 0 1 1 0 0 2 4

NYERERE 3 13 0 4 0 1 0 0 0 0 3 18

K/CHEKUNDU 'B' 3 4 3 6 3 5 0 0 0 1 9 16

DARAJANI 0 0 2 3 0 1 0 2 0 0 2 6

KILIMAHEWA 2 3 0 0 1 2 0 3 0 2 3 10

FUONI 1 3 1 5 0 1 0 0 2 4 4 13

K/SAMAKI 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0

MTOPEPO 'B' 2 5 0 2 1 2 0 0 0 0 3 9

M/KWEREKWE 'B' 0 0 0 1 0 2 0 0 0 0 0 3

KINDUNI 0 5 0 2 0 0 0 0 0 0 0 7

KINYASINI 0 3 0 2 0 4 0 3 0 0 0 12

MKWAJUNI 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0

KIBENI 0 0 0 4 0 3 0 7 0 0 14

JUMLA 12 40 8 33 7 24 3 20 2 9 32 126

KITUO

IDADI YA WANAFUNZI WALIOFAULU ELIMU MBADALA NA

KUJIUNGA KATIKA MADARASA YA KAWAIDA, UNGUJA - 2018

JUMLA

E/MBADALA

RAHALEOIII IV V VI

Page 218: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

214

JADWELI NAM. 39b

WAS JUMLA WAS JUMLA WAS JUMLA WAS JUMLA WAS JUMLA WAS JUMLA WAS JUMLA

NG'OMBENI 0 1 0 0 0 4 3 4 0 0 0 0 3 9

KENGEJA 0 0 0 4 0 0 0 0 0 0 0 0 0 4

SH/MUAMBE 0 0 0 2 0 10 0 3 0 0 0 0 0 15

PUJINI MSINGI 0 0 0 8 0 0 0 1 0 7 0 0 0 16

UWANDANI 0 1 0 2 0 0 1 1 1 4 0 0 2 8

MATALE MSINGI 0 0 0 0 0 3 0 1 0 1 0 0 0 5

GOMBANI 2 2 7 17 0 0 0 0 0 0 0 0 9 19

MTONI 0 0 0 0 23 34 0 0 0 0 0 0 23 34

SHUMBA MJINI 1 1 0 0 0 2 1 1 0 0 0 0 2 4

MICHEWENI 8 19 0 4 0 0 0 0 0 1 0 0 8 24

JUMLA 11 24 7 37 23 53 5 11 1 13 0 0 47 138

JUMLA

KITUO

II III IV V VI

E/MBADALA

WINGWI

IDADI YA WANAFUNZI WALIOFAULU ELIMU MBADALA NA

KUJIUNGA KATIKA MADARASA YA KAWAIDA, PEMBA - 2018

Page 219: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

215

W'ME W'KE W'ME W'KE W'ME W'KE W'ME W'KE W'ME W'KE W'ME W'KE W'ME W'KE W'ME W'KE W'ME W'KE

1Useremala 10 0 4 0 1 0 0 0 0 0 0 0 20 0 13 0 5 0

2Ushoni 2 34 1 33 0 16 3 19 0 8 2 26 5 39 5 38 0 12

3Uchoraji/Uandishi 2 7 1 7 0 5 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0

4Mafriji 8 1 8 0 0 0 4 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0

5Electronic 11 0 5 0 0 0 0 0 9 0 0 0 18 2 16 0 10 0

6Uwashi 6 0 1 0 1 0 25 0 12 1 14 0 0 0 0 0 0 0

7Ufundi bomba 25 0 3 1 7 1 30 1 15 7 15 4 0 0 0 0 0 0

8Magari 37 0 15 0 8 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0

9Uhunzi 9 0 5 0 2 0 20 0 8 8 7 0 0 0 0 0 0 0

10Upishi 15 18 8 16 2 3 10 7 4 5 7 2 0 0 0 0 0 0

11Kilimo 0 7 0 3 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0

12 Teknolojia mawasiliano 4 12 1 8 0 0 0 0 0 0 0 0 17 22 11 17 2 7

13Huduma za mahoteli 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0

14Ufundi magari 19 0 4 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0

15Umeme wa Majumbani 45 0 22 1 12 1 25 5 18 3 25 2 21 1 22 0 0 0

JUMLA 193 79 78 69 33 26 117 32 66 32 70 34 81 64 67 55 17 19

MWAKA II I

MWANAKWEREKWE

JADWELI NAM. 40(a)

MKOKOTONI

MWAKA I MWAKA II MWAKA II I

IDADI YA WANAFUNZI KATIKA VITUO VYA AMALI, MACHI - 2018

Nam FANI

MWAKA I MWAKA II MWAKA II I

VITONGOJI

MWAKA I MWAKA II

Page 220: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

216

IDADI YA JUMLA YA

VITUO WANAKISOMO

Mjini Sayansi Kimu 8 187 218

Magharibi 'A' Sayansi Kimu 4 154 155

Magharibi 'B' Sayansi Kimu 3 143 148

Sayansi Kimu 11 239 239

Uchongaji 1 - 13

Kaskazini 'B' Sayansi Kimu 7 166 166

Kati Sayansi Kimu 4 187 187

Kusini Sayansi Kimu 2 163 163

Micheweni Sayansi Kimu 8 230 230

Wete Sayansi Kimu 8 122 133

Chake-Chake Sayansi Kimu 5 79 90

Mkoani Sayansi Kimu 8 192 211

69 1862 1953

JADWELI NAM. 40(b)

Kaskazini 'A'

JUMLA

WANAWAKE

VITUO VYA KAZI ZA AMALI, 2018

WILAYA AINA YA KITUO

Page 221: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

217

JADWELI 41

W'ME W'KE W'ME W'KE W'ME W'KE W'ME W'KE

Ufundi wa Magari 0 37 0 15 0 8 0 60 60

Majokufu na vipoza hewa 1 8 0 8 0 4 1 20 21

Ushoni 34 2 33 1 16 0 83 3 86

Uchoraji na Mapambo 7 2 7 1 5 0 19 3 22

Welding 0 9 0 5 0 2 0 16 16

Useremala 0 10 0 4 0 1 0 15 15

Upishi 18 15 16 8 3 2 37 25 62

Huduma za chakula. 0 0 0 0 0 0 0 0 0

Uashi 0 6 0 1 0 1 0 8 8

Electronics 0 11 0 5 0 0 0 16 16

Umeme wa magari 0 19 0 4 0 0 0 23 23

Umeme wa majumbani 0 45 1 22 1 12 0 79

Kilimo 7 0 3 0 0 0 10 0 10

Ufundi bomba 0 25 1 3 1 7 2 35 37

ICT 12 4 8 1 0 0 20 5 25

JUMLA 79 193 69 78 26 37 174 308 482

Umeme 5 25 3 18 2 25 10 68 78

Ushoni 19 3 8 0 26 3 53 6 59

Ufundi bomba 1 30 7 15 4 15 12 60 72

upishi 7 10 5 8 2 7 14 25 39

Uashi 0 25 1 12 0 14 1 51 52

Welding 0 20 0 8 0 7 0 35 35

JUMLA 32 113 24 61 34 71 90 245 335

Ushoni 39 5 38 5 12 0 89 10 99

Electronics 2 18 0 16 0 10 2 44 46

ICT 22 17 17 11 7 2 46 30 76

Useremala 0 20 0 13 0 5 0 38 38

Umeme 1 21 0 22 0 0 1 43 44

JUMLA 64 81 55 67 19 17 138 165 303

MK

OK

OTO

NI

VIT

ON

GO

JIM

/KW

EREK

WE

WALIOJIUNGA NA VYUO VYA MAMLAKA YA MAFUNZO YA AMALI 2017 -2018

KIT

UO

FANILEVEL I LEVEL II LEVEL III JUMLA JUMLA

KUU

Page 222: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

218

JADWELI NAM. 42

Mjini 4 67 71 20 18 38 0 11 11 18 0 18 42 96 138

Magharibi 'A' 1 55 56 22 27 49 1 8 9 14 1 15 38 91 129

Magharibi 'B' 0 91 91 22 36 58 2 26 28 13 4 17 37 157 194

Kaskazini 'A' 5 11 16 23 3 26 8 0 8 16 0 16 52 14 66

Kaskazini 'B' 1 12 13 19 4 23 4 1 5 8 1 9 32 18 50

Kati 5 17 22 21 4 25 15 1 16 14 0 14 55 22 77

Kusini 4 14 18 12 1 13 4 1 5 8 0 8 28 16 44

Micheweni 5 8 13 18 0 18 1 1 2 10 1 11 34 10 44

Wete 2 19 21 26 2 28 8 1 9 18 1 19 54 23 77

Chake-Chake 2 14 16 25 5 30 1 5 6 20 2 22 48 26 74

Mkoani 2 9 11 31 2 33 2 0 2 20 1 20 55 12 67

Jumla 31 317 348 239 102 341 46 55 101 159 11 169 475 485 960

IDADI YA SKULI ZA MAANDALIZI, MSINGI, MSINGI NA KATI

NA SEKONDARI ZILIZOSAJILIWA KIWILAYA, MACHI - 2018

MAANDALIZI MSINGI TU MSINGI NA KATI JUMLA

WILAYA SERIKALIBINAFSISERIKALI JUMLABINAFSI SERIKALI SERIKALIBINAFSI JUMLA

SEKONDARI TU

SERIKALI BINAFSI JUMLAJUMLA BINAFSIJUMLA

Page 223: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

219

JADWELI NAM. 43(a)

W'KE J'LA W'KE J'LA W'KE J'LA W'KE J'LA W'KE J'LA W'KE J'LA W'KE J'LA

Mjini 8 8 471 502 1 5 1 1 515 614 476 755 1472 1885

Magharibi 'A' 2 3 233 270 4 5 1 2 475 549 355 486 1070 1315

Magharibi 'B' 36 44 306 353 8 9 15 19 461 547 394 576 1220 1548

Kaskazini 'A' 1 5 162 276 4 6 0 1 212 395 115 311 494 994

Kaskazini 'B' 21 22 166 229 1 1 0 1 173 246 85 195 446 694

Kati 2 2 151 242 2 4 1 2 253 416 146 313 555 979

Kusini 0 0 84 148 0 1 0 0 58 114 29 91 171 354

Micheweni 4 7 60 128 3 8 1 1 98 194 31 168 197 506

Wete 6 14 162 254 1 5 0 1 180 301 102 277 451 852

Chake-Chake 4 5 214 273 5 9 1 2 185 279 129 247 538 815

Mkoani 6 13 133 222 5 10 3 4 136 278 77 205 360 732

Jumla 90 123 2142 2897 34 63 23 34 2746 3933 1939 3624 6974 10674

IDADI NA AINA MBALI MBALI ZA WALIMU WA MSINGI NA

SEKONDARI ( DAR. I - KID. 6 ) WALIOSOMEA KWA UCHAMBUZI WA KIWILAYA

KATIKA SKULI ZA SERIKALI, MACHI - 2018

DIGRII NA ZAIDI JUMLAKID. 6 DIPLOMAFTC

WILAYA

CHINI YA KID 4 KID. 4

Page 224: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

220

JADWELI NAM. 43b)

W'KE J'LA W'KE J'LA W'KE J'LA W'KE J'LA W'KE J'LA W'KE J'LA W'KE J'LA

Mjini 0 0 0 3 0 0 0 2 0 4 0 0 0 9

Magharibi 'A' 0 0 0 1 0 1 0 0 0 0 0 2 0 4

Magharibi 'B' 1 1 1 1 1 1 0 0 0 0 2 9 5 12

Kaskazini 'A' 0 0 1 3 1 1 0 1 0 1 0 0 2 6

Kaskazini 'B' 0 0 0 1 0 3 0 0 0 1 0 0 0 5

Kati 0 0 2 7 0 1 0 2 0 0 0 0 2 10

Kusini 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0

Micheweni 0 1 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 1

Wete 0 0 0 0 0 3 1 1 0 0 0 1 1 5

Chake-Chake 2 2 0 1 1 2 0 0 0 0 0 0 3 5

Mkoani 0 1 0 0 0 0 0 1 0 0 0 0 0 2

Jumla 3 5 4 17 3 12 1 7 0 6 2 12 13 59

IDADI NA AINA MBALI MBALI ZA WALIMU WA MSINGI NA

SEKONDARI ( DAR. I - KID. 6 ) WASIOSOMEA KWA UCHAMBUZI WA KIWILAYA

KATIKA SKULI ZA SERIKALI, MACHI - 2018

CHINI YA KID 4 KID. 4 FTC DIPLOMA DIGRII NA ZAIDIKID.6 JUMLA

WILAYA

Page 225: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

221

JADWELI NAM. 43(c)

W'KE J'LA W'KE J'LA W'KE J'LA W'KE J"LA W'KE J'LA W'KE J'LA W'KE J'LA

Mjini 8 8 471 505 1 5 1 3 515 618 476 755 1472 1894

Magharibi 'A' 2 3 233 271 4 6 1 2 475 549 355 488 1070 1319

Magharibi 'B' 37 45 307 354 9 10 15 19 461 547 396 585 1225 1560

Kaskazini 'A' 1 5 163 279 5 7 0 2 212 396 115 311 496 1000

Kaskazini 'B' 21 22 166 230 1 4 0 1 173 247 85 195 446 699

Kati 2 2 153 249 2 5 1 4 253 416 146 313 557 989

Kusini 0 0 84 148 0 1 0 0 58 114 29 91 171 354

Micheweni 4 8 60 128 3 8 1 1 98 194 31 168 197 507

Wete 6 14 162 254 1 8 1 2 180 301 102 278 452 857

Chake-Chake 6 7 214 274 6 11 1 2 185 279 129 247 541 820

Mkoani 6 14 133 222 5 10 3 5 136 278 77 205 360 734

Jumla 93 128 2146 2914 37 75 24 41 2746 3939 1941 3636 6987 10733

KID. 4 KID. 6

IDADI NA AINA MBALI MBALI ZA WALIMU WOTE WA MSINGI NA

SEKONDARI, ( DARASA 1 - KIDATO 6 ) WASIOSOMEA NA WALIOSOMEA KWA

UCHAMBUZI WA KIWILAYA KATIKA SKULI ZA SERIKALI, MACHI - 2018

JUMLAFTC DIPLOMA

WILAYA

DIGRII NA ZAIDICHINI YA KID.4

Page 226: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

222

JADWELI NAM. 43d)

W'KE J'LA W'KE J'LA W'KE J'LA W'KE J'LA W'KE J'LA W'KE J'LA W'KE J'LA

Mjini 100 100 100 99 100 100 100 33 100 99 100 100 100 100

Magharibi 'A' 100 100 100 100 100 83 100 100 100 100 100 100 100 100

Magharibi 'B' 97 98 100 100 89 90 100 100 100 100 99 98 100 99

Kaskazini 'A' 100 100 99 99 80 86 0 50 100 100 100 100 100 99

Kaskazini 'B' 100 100 100 100 0 25 0 0 100 100 100 100 100 99

Kati 100 100 99 97 100 80 0 50 100 100 100 100 100 99

Kusini 0 0 100 100 0 100 0 0 100 100 100 100 100 100

Micheweni 100 88 100 100 0 100 100 100 100 100 100 100 100 100

Wete 100 100 100 100 100 63 0 50 100 100 100 100 100 99

Chake-Chake 67 71 100 100 83 82 100 100 100 100 100 100 99 99

Mkoani 100 93 100 100 100 100 0 80 100 100 100 100 100 100

Jumla 97 96 100 99 92 84 96 83 100 100 100 100 100 99

JUMLA

( DAR. 1 - KID. 6 ) WALIOSOMEA KATI YA WALIMU WOTE WA SKULI

ASILIMIA ZA WALIMU MBALI MBALI WA MSINGI NA SEKONDARI

WILAYA

CHINI YA KID 4 KID. 4 KID. 6 FTC

ZA SERIKALI, KIWILAYA, MACHI - 2018

DIGRII NA ZAIDIDIPLOMA

Page 227: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

223

JADWELI NAM. 44a)

MADARASA WANAFUNZI WANAFUNZI WASTANI WA

(VYUMBA VYA KWA CHUMBA KWA MKONDO SHIFTI ZA

(DAR.I - KID 2) KUSOMEA) KIMOJA MM0JA MASOMO

Mjini 43537 507 829 86 53 1.64

Magharibi 'A' 48207 531 747 91 65 1.41

Magharibi 'B' 56176 946 1031 59 54 1.09

Kaskazini 'A' 27870 492 610 57 46 1.24

Kaskazini 'B' 16545 269 375 62 44 1.39

Kati 22541 461 467 49 48 1.01

Kusini 9809 217 210 45 47 0.97

Micheweni 25484 284 462 90 55 1.63

Wete 33929 534 722 64 47 1.35

Chake-Chake 30840 427 603 72 51 1.41

Mkoani 31957 423 590 76 54 1.39

Jumla 346895 5091 6646 68 52 1.31

UWIANO WA WANAFUNZI, MADARASA NA MIKONDO KATIKA NGAZI YA MSINGI NA KATI

(DAR 1 - KID. 2) KWA UCHAMBUZI WA KIWILAYA: SKULI ZA SERIKALI NA BINAFSI, MACHI - 2018

UANDIKISHAJI

MIKONDOWILAYA

Page 228: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

224

JADWELI NAM. 44(b)

MADARASA WANAFUNZI WANAFUNZI WASTANI WA

(VYUMBA VYA KWA CHUMBA KWA MKONDO SHIFTI ZA

(DAR 1 -KIDATO 2) KUSOMEA) KIMOJA MMOJA MASOMO

Mjini 34873 419 646 83 54 1.54

Magharibi 'A' 41966 299 498 140 84 1.67

Magharibi 'B' 40987 404 528 101 78 1.31

Kaskazini 'A' 27470 468 595 59 46 1.27

Kaskazini 'B' 16041 254 354 63 45 1.39

Kati 21433 425 421 50 51 0.99

Kusini 9369 203 196 46 48 0.97

Micheweni 25055 273 451 92 56 1.65

Wete 33104 503 691 66 48 1.37

Chake-Chake 28694 356 532 81 54 1.49

Mkoani 31519 408 575 77 55 1.41

Jumla 310511 4012 5487 77 57 1.37

UWIANO WA WANAFUNZI, MADARASA NA MIKONDO KATIKA NGAZI YA MSINGI NA KATI

(DAR I - KID 2) KWA UCHAMBUZI WA KIWILAYA: SKULI ZA SERIKALI, MACHI - 2018

WILAYA

UANDIKISHAJI

MIKONDO

Page 229: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

225

JADWELI NAM. 44(c)

MADARASA WANAFUNZI WANAFUNZI WASTANI WA

(VYUMBA VYA KWA CHUMBA KWA MKONDO SHIFTI ZA

(DAR 1 -KIDATO 2) KUSOMEA) KIMOJA MMOJA MASOMO

Mjini 8664 88 183 98 47 2.08

Magharibi 'A' 6241 232 249 27 25 1.07

Magharibi 'B' 15189 542 503 28 30 0.93

Kaskazini 'A' 400 24 15 17 27 0.63

Kaskazini 'B' 504 15 21 34 24 1.40

Kati 1108 36 46 31 24 1.28

Kusini 440 14 14 31 31 1.00

Micheweni 429 11 11 39 39 1.00

Wete 825 31 31 27 27 1.00

Chake-Chake 2146 71 71 30 30 1.00

Mkoani 438 15 15 29 29 1.00

Jumla 36384 1079 1159 34 31 1.07

WILAYA

UANDIKISHAJI

MIKONDO

UWIANO WA WANAFUNZI, MADARASA NA MIKONDO KATIKA NGAZI YA MSINGI

NA KATI KWA UCHAMBUZI WA KIWILAYA: SKULI ZA BINAFSI, MACHI - 2018

Page 230: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

226

JADWELI NAM. 45(a)

UANDIKISHAJI

WA WANAFUNZI

(DAR I - KID 6) WALIOSOMEA WASIOSOMEA JUMLA ALIYESOMEA ASIYESOMEA JUMLA

Mjini 56395 2291 122 2413 25 462 23

Magharibi 'B' 54445 1716 41 1757 32 1328 31

Magharibi 'A' 66787 2533 117 2650 26 571 25

Kaskazini 'A' 32158 1013 22 1035 32 1462 31

Kaskazini 'B' 18482 713 7 720 26 2640 26

Kati 25868 1041 16 1057 25 1617 24

Kusini 11347 372 2 374 31 5674 30

Micheweni 28317 519 4 523 55 7079 54

Wete 38969 895 19 914 44 2051 43

Chake-Chake 35648 936 26 962 38 1371 37

Mkoani 35466 753 2 755 47 17733 47

Jumla 403882 12782 378 13160 32 1068 31

UWIANO WA WANAFUNZI NA WALIMU KATIKA NGAZI YA MSINGI NA KATI (DAR.1 - KID 6)

KWA UCHAMBUZI WA KIWILAYA KATIKA SKULI ZA SERIKALI NA BINAFSI - MACHI, 2018

IDADI YA WANAFUNZI

KWA MWALIMU MMOJA

WILAYA

IDADI YA WALIMU

Page 231: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

227

JADWELI NAM. 45b)

UANDIKISHAJI WA

WANAFUNZI

(DAR I - KID 6) WALIOSOMEA WASIOSOMEA JUMLA ALIYESOMEA ASIYESOMEA JUMLA

Mjini 46734 1885 9 1894 25 5193 25

Magharibi 'A' 47443 1315 4 1319 36 11861 36

Magharibi 'B' 48380 1548 12 1560 31 4032 31

Kaskazini 'A' 31758 994 6 1000 32 5293 32

Kaskazini 'B' 17940 694 5 699 26 3588 26

Kati 24567 979 10 989 25 2457 25

Kusini 10847 354 0 354 31 0 31

Micheweni 27872 506 1 507 55 27872 55

Wete 38008 852 5 857 45 7602 44

Chake-Chake 33054 815 5 820 41 6611 40

Mkoani 35028 732 2 734 48 17514 48

Jumla 361631 10674 59 10733 34 6129 34

IDADI YA WANAFUNZI KWA

UWIANO WA WANAFUNZI NA WALIMU KATIKA NGAZI YA MSINGI NA KATI (DAR.1 - KID 6)

KWA UCHAMBUZI WA KIWILAYA KATIKA SKULI ZA SERIKALI - MACHI, 2018

WILAYA

IDADI YA WALIMU MWALIMU MMOJA

Page 232: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

228

JADWELI NAM. 45(c)

UANDIKISHAJI

WA WANAFUNZI

(DAR I - KID 6) WALIOSOMEA WASIOSOMEA JUMLA ALIYESOMEA ASIYESOMEA JUMLA

Mjini 9661 406 113 519 24 85 19

Magharibi 'A' 7002 401 37 438 17 189 16

Magharibi 'B' 18407 985 105 1090 19 175 17

Kaskazini 'A' 400 19 16 35 21 25 11

Kaskazini 'B' 542 19 2 21 29 271 26

Kati 1301 62 6 68 21 217 19

Kusini 500 18 2 20 28 250 25

Micheweni 445 13 3 16 34 148 28

Wete 961 43 14 57 22 69 17

Chake-Chake 2594 121 21 142 21 124 18

Mkoani 438 21 0 21 21 0 21

Jumla 42251 2108 319 2427 20 132 17

KWA MWALIMU MMOJAIDADI YA WALIMU

UWIANO WA WANAFUNZI NA WALIMU KATIKA NGAZI YA MSINGI NA KATI (DAR.1 - KID 6)

KWA UCHAMBUZI WA KIWILAYA KATIKA SKULI ZA BINAFSI - MACHI, 2017

WILAYA

IDADI YA WANAFUNZI

Page 233: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

229

KASMA MRADI MCHANGO WA MAKADIRIO YA MISAADA MAKADIRIO

SMZ RUZUKU MKOPO JUMLA

0000P001 Uimarishaji wa Elimu ya Maandalizi - 1,927,750,000 - 1,927,750,000

0000P002 Uimarishaji wa Elimu ya Msingi 790,000,000 8,164,350,000 - 8,954,350,000

0000P003 Uimarishaji wa Elimu ya Lazima 3,100,000,000 - 52,072,500,000 55,172,500,000

0000P004 Uimarishaji wa Elimu mbadala na Amali 1,600,000,000 - 15,387,000,000 16,987,000,000

0000P005 Kupanga na kusimamia kazi za wizara 400,000,000 - - 400,000,000

GRAND TOTAL 5,890,000,000 10,092,100,000 67,459,500,000 83,441,600,000

JADWELI NAM.46

WIZARA YA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI

MAKADIRIO NA MATUMIZI YA FEDHA ZA MIRADI YA MAENDELEO KWA MWAKA WA FEDHA 2018/2019

Page 234: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

230

JADWELI NAM. 47

KASMA CHANZO CHA MAPATO MAKADIRIO 2017/18FEDHA ZILIZOKUSANYWA

HADI MACHI 2018%

142200 USAJILI WA SKULI BINAFSI 77,000,000.00 60,202,300.00 78.2

142201 LESENI ZA WALIMU 66,093,000.00 13,832,800.00 20.9

JUMLA 143,093,000.00 74,035,100.00 51.7

MAKADIRIO NA MAKUSANYO YA MAPATO YA WIZARA YA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI

Page 235: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

231

JADWELI NAM. 48

KASMA CHANZO CHA MAPATO MAKISIO YA

MAPATO

142200 USAJILI WA SKULI BINAFSI 55,000,000.00

142201 LESENI ZA WALIMU 49,095,000.00

JUMLA 104,095,000.00

MAKADIRIO YA MAKUSANYO YA MAPATO KWA MWAKA 2018/2019

Page 236: SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR - Wizara ya Elimu na ... · anayoitoa yenye lengo la kuiendeleza sekta yetu ya elimu. Vile vile, napenda kutoa shukrani za dhati kwa Makamo wa Pili

232

JADWELI NAM. 49

SMZ WAHISANI JUMLA

1 Maandalizi na Msingi - - 790,000,000 10,092,100,000 10,882,100,000 10,882,100,000

2 Elimu ya Sekondari 32,821,597,000 7,593,453,000 3,100,000,000 52,072,500,000 55,172,500,000 95,587,550,000

Mafunzo ya Ualimu 1,024,411,000 371,772,000 - - - 1,396,183,000

Chuo Kikuu cha Taifa 10,460,200,000 600,000,000 - - - 11,060,200,000

Karume 1,216,500,000 415,000,000 - - - 1,631,500,000

Bodi ya Mkopo 220,200,000 11,555,700,000 - - - 11,775,900,000

Chuo cha Kiislamu 1,006,800,000 100,000,000 - - - 1,106,800,000

Jumla ndogo 13,928,111,000 13,042,472,000 26,970,583,000

Elimu Mbadala 486,483,000 444,943,000 1,600,000,000 15,387,000,000 16,987,000,000 17,918,426,000

Elimu ya Amali 1,250,100,000 5,371,500,000 - - - 6,621,600,000

Jumla ndogo 1,736,583,000 5,816,443,000 1,600,000,000 15,387,000,000 16,987,000,000 24,540,026,000

Taasisi ya Elimu 233,300,000 95,900,000 - - - 329,200,000

Baraza la Mitihani 411,200,000 4,261,300,000 - - - 4,672,500,000

Ukaguzi wa Elimu 302,700,000 126,000,000 - - - 428,700,000

Michezo katika Elimu 194,602,000 455,441,000 - - - 650,043,000

Baraza la Elimu 90,300,000 100,100,000 - - - 190,400,000

Huduma za Maktaba 395,100,000 450,000,000 - - - 845,100,000

Teknolojia ya Habari na Mawasiliano 243,408,000 289,278,000 - - - 532,686,000

Elimu Mjumuisho 75,000,000 - - - 75,000,000

Jumla ndogo 1,870,610,000 5,853,019,000 - - - 7,723,629,000

Utawala na Uendeshaji 4,797,194,000 2,443,910,000 - - - 7,241,104,000

Mipango, Sera na Utafiti 510,645,000 3,138,335,000 400,000,000 - 400,000,000 4,048,980,000

Uratibu wa shughuli za Elimu Pemba 1,520,359,000 1,091,569,000 - - - 2,611,928,000

Jumla ndogo 6,828,198,000 6,673,814,000 400,000,000 - 400,000,000 13,902,012,000

Jumla kuu 57,185,099,000 38,979,201,000 5,890,000,000 77,551,600,000 83,441,600,000 179,605,900,000

6 Uratibu wa shughuli za Wizara

MAKISIO YA MATUMIZI YA WIZARA YA ELIMU NA MAFUNZO YA AMALI

KWA PROGRAMU MWAKA 2018/2019

3 Elimu ya Juu

Ubora wa Elimu

NAM. PROGRAMU MSHAHARAMATUMIZI YA

KAWAIDA

BAJETI YA MAENDELEO JUMLA KWA

PROGRAM

4

5