Upload
others
View
50
Download
0
Embed Size (px)
Citation preview
SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR
HOTUBA YA MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA FEDHA ZA WIZARA YA KILIMO, MALIASILI, MIFUGO NA UVUVI KWA MWAKA
WA FEDHA 2018/2019
ILIYOWASILISHWA NA MHE. RASHID ALI JUMA (MBM)
WAZIRI WA KILIMO, MALIASILI, MIFUGO NA UVUVI
MEI, 2018
!!"##$%&'(&)*'+%
YALIYOMO ! !
!
1
!"##$%&'(&)*'+%
HOTUBA YA MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA FEDHA ZA WIZARA YA KILIMO, MALIASILI, MIFUGO NA UVUVI KWA MWAKA
WA FEDHA 2018/2019
UTANGULIZI
1. Mheshimiwa Spika, kwa ruhusa yako naomba kutoa hoja kwa Baraza lako Tukufu kwa ajili ya kupitisha Makadirio ya Mapato na Matumizi ya fedha za Wizara ya Kilimo, Maliasili, Mifugo na Uvuvi kwa kazi za Kawaida na kazi za Maendeleo kwa mwaka wa fedha 2018/2019 ambayo yanawasilishwa katika mfumo wa Programu (PBB). 2. Mheshimiwa Spika, kwanza kabisa nachukua fursa hii kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kuibariki nchi yetu kuwa na amani, utulivu na kutuwezesha kufikia siku ya leo tukiwa wazima na wenye afya njema ili tuweze kujadili bajeti hii kwa ajili ya maendeleo ya wananchi wa Zanzibar ambapo asilimia 70 wanajihusisha na kazi za Kilimo, Ufugaji, Uvuvi na Uhifadhi wa Maliasili zetu.
3. Mheshimiwa Spika, nachukua fursa hii kumpongeza Mhe, Dkt. Ali Mohamed Shein, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ambae pia ni Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi kwa kuiongoza nchi yetu katika misingi ya umoja, usalama, amani na utulivu. Aidha, tunampongeza kwa kusimamia vyema utekelezaji wa ILANI ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2015 – 2020 inayotekelezwa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar katika kufanikisha maendeleo ya Sekta ya Kilimo, kwa lengo la kuongeza tija kwa wananchi na kukuza uchumi.
i
UTANGULIZI ........................................................................ ....1UKUAJI NA MCHANGO WA SEKTA YA KILIMOKATIKA PATO LA TAIFA .........................................................3HALI YA UZALISHAJI .............................................................4UTEKELEZAJI WA MALENGO YA WIZARA MWAKA 2017/2018 ...................................................................9MAPATO NA MATUMIZI YA FEDHA KWA MWAKA 2017/2018 .................................................................10MAFANIKIO YALIYOPATIKANA KATIKA MWAKA 2017/2018 ................................................................. 11UTEKELEZAJI WA PROGRAMU ZA WIZARA YA KILIMO, MALIASILI, MIFUGO NA UVUVI MWAKA 2017/2018 .................................................................16PROGRAMU KUU YA MAENDELEO YA KILIMO .............16
Programu Ndogo ya Maendeleo ya Umwagiliaji Maji ......17
Utekelezaji wa Shabaha kwa Mwaka 2017/2018 ..............17
Programu Ndogo ya Utafi ti na Mafunzo ya Kilimo ..........18
Utekelezaji wa Shabaha kwa Mwaka 2017/2018 ..............19
Programu Ndogo ya Mafunzo ya Kilimo
(Chuo Cha Kilimo Kizimbani) ..........................................20
Utekelezaji wa Shabaha kwa Mwaka 2017/2018 ..............20
Programu Ndogo ya Maendeleo ya Huduma za Kilimo ....21
!!"##$%&'(&)*'+%
! !
!
1
!"##$%&'(&)*'+%
HOTUBA YA MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA FEDHA ZA WIZARA YA KILIMO, MALIASILI, MIFUGO NA UVUVI KWA MWAKA
WA FEDHA 2018/2019
UTANGULIZI
1. Mheshimiwa Spika, kwa ruhusa yako naomba kutoa hoja kwa Baraza lako Tukufu kwa ajili ya kupitisha Makadirio ya Mapato na Matumizi ya fedha za Wizara ya Kilimo, Maliasili, Mifugo na Uvuvi kwa kazi za Kawaida na kazi za Maendeleo kwa mwaka wa fedha 2018/2019 ambayo yanawasilishwa katika mfumo wa Programu (PBB). 2. Mheshimiwa Spika, kwanza kabisa nachukua fursa hii kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kuibariki nchi yetu kuwa na amani, utulivu na kutuwezesha kufikia siku ya leo tukiwa wazima na wenye afya njema ili tuweze kujadili bajeti hii kwa ajili ya maendeleo ya wananchi wa Zanzibar ambapo asilimia 70 wanajihusisha na kazi za Kilimo, Ufugaji, Uvuvi na Uhifadhi wa Maliasili zetu.
3. Mheshimiwa Spika, nachukua fursa hii kumpongeza Mhe, Dkt. Ali Mohamed Shein, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ambae pia ni Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi kwa kuiongoza nchi yetu katika misingi ya umoja, usalama, amani na utulivu. Aidha, tunampongeza kwa kusimamia vyema utekelezaji wa ILANI ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2015 – 2020 inayotekelezwa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar katika kufanikisha maendeleo ya Sekta ya Kilimo, kwa lengo la kuongeza tija kwa wananchi na kukuza uchumi.
3 ii
Utekelezaji wa Shabaha kwa Mwaka 2017/2018 ..............21
Programu ya Wakala wa Huduma za Matrekta
na zana za Kilimo .............................................................22
Utekelezaji wa Shabaha kwa Mwaka 2017/2018 ..............23
Programu Ndogo ya Uhakika wa Chakula Na Lishe .........23
Utekelezaji wa Shabaha kwa Mwaka 2017/2018 .....................23PROGRAMU KUU YA MAENDELEO YA RASILIMALI ZA MISITU NA MALIASILI ZISIZOREJESHEKA ....................24Programu Ndogo ya Maendeleo ya Uhifadhi wa Rasilimali za Misitu ................................................................ ..25
Utekelezaji wa shabaha kwa mwaka 2017/2018 ...............25
Programu ndogo ya Uhifadhi na Usimamizi wa Maliasili
Zisizorejesheka .................................................................27
PROGRAMU YA MAENDELEO YA MIFUGO .....................28Programu Ndogo ya Uzalishaji wa Mifugo .......................28
Utekelezaji wa Shabaha za Programu Ndogo ya Uzalishaji wa
Mifugo kwa Mwaka 2017/2018 .......................................28
Programu Ndogo ya Wakala wa Tafi ti za Mifugo –ZALIRA ...29PROGRAMU YA MAENDELEO YA UVUVI ........................30
Programu Ndogo ya Maendeleo ya Uvuvi na
Uhifadhi wa Bahari ............................................................30
Programu Ndogo ya Ufugaji wa Mazao ya Baharini ........32
Utekelezaji wa Shabaha za Programu Ndogo ya Ufugaji wa
Mazao ya Bahari kwa Mwaka 2017/2018 .........................32
KAMPUNI YA UVUVI .....................................................33
Utekelezaji wa Shabaha Kampuni ya Uvuvi ya
ZAFICO 2017/2018 ................................................... .......33
PROGRAMU YA UTAWALA, MIPANGO NA USIMAMIZI WA KAZI ZA WIZARA ...........................................................34
Programu Ndogo ya Mipango na usimamizi wa
kazi za Wizara ...................................................................34
Programu ya Utawala na uendeshaji wa kazi za
kilimo maliasili mifugo na uvuvi .......................................37
Utekelezaji wa Shabaha Mwaka 2017/2018 ......................37
Programu Ndogo ya Uratibu wa Kazi za Wizara Pemba ...38
CHANGAMOTO ......................................................................38HATUA ZA KUKABILIANA NA CHANGAMOTO ..............39MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA BAJETI INAYOZINGATIA PROGRAMU KWA MWAKA WA FEDHA 2018/2019 ...................................................................42MAKADIRIO YA MAPATO 2018/2019 ..................................42MAKADIRIO YA MATUMIZI 2018/2019 ..............................42
! !
!
1
!"##$%&'(&)*'+%
HOTUBA YA MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA FEDHA ZA WIZARA YA KILIMO, MALIASILI, MIFUGO NA UVUVI KWA MWAKA
WA FEDHA 2018/2019
UTANGULIZI
1. Mheshimiwa Spika, kwa ruhusa yako naomba kutoa hoja kwa Baraza lako Tukufu kwa ajili ya kupitisha Makadirio ya Mapato na Matumizi ya fedha za Wizara ya Kilimo, Maliasili, Mifugo na Uvuvi kwa kazi za Kawaida na kazi za Maendeleo kwa mwaka wa fedha 2018/2019 ambayo yanawasilishwa katika mfumo wa Programu (PBB). 2. Mheshimiwa Spika, kwanza kabisa nachukua fursa hii kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kuibariki nchi yetu kuwa na amani, utulivu na kutuwezesha kufikia siku ya leo tukiwa wazima na wenye afya njema ili tuweze kujadili bajeti hii kwa ajili ya maendeleo ya wananchi wa Zanzibar ambapo asilimia 70 wanajihusisha na kazi za Kilimo, Ufugaji, Uvuvi na Uhifadhi wa Maliasili zetu.
3. Mheshimiwa Spika, nachukua fursa hii kumpongeza Mhe, Dkt. Ali Mohamed Shein, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ambae pia ni Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi kwa kuiongoza nchi yetu katika misingi ya umoja, usalama, amani na utulivu. Aidha, tunampongeza kwa kusimamia vyema utekelezaji wa ILANI ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2015 – 2020 inayotekelezwa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar katika kufanikisha maendeleo ya Sekta ya Kilimo, kwa lengo la kuongeza tija kwa wananchi na kukuza uchumi.
iii
!!"##$%&'(&)*'+%
! !
!
1
!"##$%&'(&)*'+%
HOTUBA YA MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA FEDHA ZA WIZARA YA KILIMO, MALIASILI, MIFUGO NA UVUVI KWA MWAKA
WA FEDHA 2018/2019
UTANGULIZI
1. Mheshimiwa Spika, kwa ruhusa yako naomba kutoa hoja kwa Baraza lako Tukufu kwa ajili ya kupitisha Makadirio ya Mapato na Matumizi ya fedha za Wizara ya Kilimo, Maliasili, Mifugo na Uvuvi kwa kazi za Kawaida na kazi za Maendeleo kwa mwaka wa fedha 2018/2019 ambayo yanawasilishwa katika mfumo wa Programu (PBB). 2. Mheshimiwa Spika, kwanza kabisa nachukua fursa hii kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kuibariki nchi yetu kuwa na amani, utulivu na kutuwezesha kufikia siku ya leo tukiwa wazima na wenye afya njema ili tuweze kujadili bajeti hii kwa ajili ya maendeleo ya wananchi wa Zanzibar ambapo asilimia 70 wanajihusisha na kazi za Kilimo, Ufugaji, Uvuvi na Uhifadhi wa Maliasili zetu.
3. Mheshimiwa Spika, nachukua fursa hii kumpongeza Mhe, Dkt. Ali Mohamed Shein, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ambae pia ni Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi kwa kuiongoza nchi yetu katika misingi ya umoja, usalama, amani na utulivu. Aidha, tunampongeza kwa kusimamia vyema utekelezaji wa ILANI ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2015 – 2020 inayotekelezwa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar katika kufanikisha maendeleo ya Sekta ya Kilimo, kwa lengo la kuongeza tija kwa wananchi na kukuza uchumi.
5 iv
PROGRAMU KUU YA MAENDELEO YA KILIMO .............47PROGRAMU KUU YA MAENDELEO YA RASLIMALI ZA MISITU NA MALIASILI ZISIZOREJESHEKA ..............53PROGRAMU KUU YA MAENDELEO YA MIFUGO ............56Programu Ndogo ya Wakala wa Tafi ti za Mifugo .....................58PROGRAMU KUU YA MAENDELEO YA UVUVI ..............59
Programu Ndogo ya Kuimarisha Ufugaji wa Mazao
ya Baharini .........................................................................59
Programu Ndogo ya Maendeleo ya Uvuvi na
Hifadhi za Baharini ............................................................60
PROGRAMU KUU YA MIPANGO NA UTAWALA WA KAZI ZA KILIMO, MALIASILI, MIFUGO NA UVUVI .......61
Programu Ndogo ya Mipango na usimamizi wa
kazi za Wizara ....................................................................62
Programu ya Utawala na uendeshaji wa kazi za kilimo maliasili mifugo na uvuvi .........................................................64Programu Ndogo ya Uratibu wa Ofi si Kuu Pemba ...................64MUHTASARI WA MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA WIZARA KWA MWAKA WA FEDHA 2017/2018 ...................................................................65SHUKURANI ...........................................................................66VIAMBATISHO .......................................................................69
!!"##$%&'(&)*'+%
! !
!
1
!"##$%&'(&)*'+%
HOTUBA YA MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA FEDHA ZA WIZARA YA KILIMO, MALIASILI, MIFUGO NA UVUVI KWA MWAKA
WA FEDHA 2018/2019
UTANGULIZI
1. Mheshimiwa Spika, kwa ruhusa yako naomba kutoa hoja kwa Baraza lako Tukufu kwa ajili ya kupitisha Makadirio ya Mapato na Matumizi ya fedha za Wizara ya Kilimo, Maliasili, Mifugo na Uvuvi kwa kazi za Kawaida na kazi za Maendeleo kwa mwaka wa fedha 2018/2019 ambayo yanawasilishwa katika mfumo wa Programu (PBB). 2. Mheshimiwa Spika, kwanza kabisa nachukua fursa hii kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kuibariki nchi yetu kuwa na amani, utulivu na kutuwezesha kufikia siku ya leo tukiwa wazima na wenye afya njema ili tuweze kujadili bajeti hii kwa ajili ya maendeleo ya wananchi wa Zanzibar ambapo asilimia 70 wanajihusisha na kazi za Kilimo, Ufugaji, Uvuvi na Uhifadhi wa Maliasili zetu.
3. Mheshimiwa Spika, nachukua fursa hii kumpongeza Mhe, Dkt. Ali Mohamed Shein, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ambae pia ni Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi kwa kuiongoza nchi yetu katika misingi ya umoja, usalama, amani na utulivu. Aidha, tunampongeza kwa kusimamia vyema utekelezaji wa ILANI ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2015 – 2020 inayotekelezwa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar katika kufanikisha maendeleo ya Sekta ya Kilimo, kwa lengo la kuongeza tija kwa wananchi na kukuza uchumi.
1 1
HOTUBA YA MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA FEDHA ZA WIZARA YA KILIMO, MALIASILI, MIFUGO NA UVUVI KWA MWAKA
WA FEDHA 2018/2019
UTANGULIZI
Mheshimiwa Spika, 1. kwa ruhusa yako naomba kutoa hoja kwa Baraza lako Tukufu kwa ajili ya kupitisha Makadirio ya Mapato na Matumizi ya fedha za Wizara ya Kilimo, Maliasili, Mifugo na Uvuvi kwa kazi za Kawaida na kazi za Maendeleo kwa mwaka wa fedha 2018/2019 ambayo yanawasilishwa katika mfumo wa Programu (PBB).
Mheshimiwa Spika, 2. kwanza kabisa nachukua fursa hii kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kuibariki nchi yetu kuwa na amani, utulivu na kutuwezesha kufi kia siku ya leo tukiwa wazima na wenye afya njema ili tuweze kujadili bajeti hii kwa ajili ya maendeleo ya wananchi wa Zanzibar ambapo asilimia 70 wanajihusisha na kazi za Kilimo, Ufugaji, Uvuvi na Uhifadhi wa Maliasili zetu.
Mheshimiwa Spika, 3. nachukua fursa hii kumpongeza Mhe, Dkt. Ali Mohamed Shein, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ambae pia ni Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi kwa kuiongoza nchi yetu katika misingi ya umoja, usalama, amani na utulivu. Aidha, tunampongeza kwa kusimamia
! !
!
1
!"##$%&'(&)*'+%
HOTUBA YA MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA FEDHA ZA WIZARA YA KILIMO, MALIASILI, MIFUGO NA UVUVI KWA MWAKA
WA FEDHA 2018/2019
UTANGULIZI
1. Mheshimiwa Spika, kwa ruhusa yako naomba kutoa hoja kwa Baraza lako Tukufu kwa ajili ya kupitisha Makadirio ya Mapato na Matumizi ya fedha za Wizara ya Kilimo, Maliasili, Mifugo na Uvuvi kwa kazi za Kawaida na kazi za Maendeleo kwa mwaka wa fedha 2018/2019 ambayo yanawasilishwa katika mfumo wa Programu (PBB). 2. Mheshimiwa Spika, kwanza kabisa nachukua fursa hii kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kuibariki nchi yetu kuwa na amani, utulivu na kutuwezesha kufikia siku ya leo tukiwa wazima na wenye afya njema ili tuweze kujadili bajeti hii kwa ajili ya maendeleo ya wananchi wa Zanzibar ambapo asilimia 70 wanajihusisha na kazi za Kilimo, Ufugaji, Uvuvi na Uhifadhi wa Maliasili zetu.
3. Mheshimiwa Spika, nachukua fursa hii kumpongeza Mhe, Dkt. Ali Mohamed Shein, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ambae pia ni Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi kwa kuiongoza nchi yetu katika misingi ya umoja, usalama, amani na utulivu. Aidha, tunampongeza kwa kusimamia vyema utekelezaji wa ILANI ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2015 – 2020 inayotekelezwa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar katika kufanikisha maendeleo ya Sekta ya Kilimo, kwa lengo la kuongeza tija kwa wananchi na kukuza uchumi.
!!"##$%&'(&)*'+%
2
vyema utekelezaji wa ILANI ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2015 – 2020 inayotekelezwa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar katika kufanikisha maendeleo ya Sekta ya Kilimo, kwa lengo la kuongeza tija kwa wananchi na kukuza uchumi.
Mheshimiwa Spika, 4. napenda kuchukua nafasi hii kumpongeza Mheshimiwa Balozi Seif Ali Iddi Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar kwa juhudi zake kubwa za kumsaidia na kumshauri vizuri Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi katika kutekeleza majukumu yake ya kuiongoza nchi na kuleta manufaa kwa wananchi hasa kwenye sekta ya kilimo.
Mheshimiwa Spika5. , sinabudi kukupongeza wewe Mheshimiwa Spika, Naibu Spika, Wenyeviti wa Baraza na Wajumbe wote wa Baraza la Wawakilishi wanaokusaidia kuliongoza Baraza lako na tunawaombea dua kwa Mwenyezi Mungu akuzidishieni uwezo, hekima na busara ili mpate wepesi wa kuliendesha kwa mafanikio na ufanisi.
Mheshimiwa Spika6. , nachukua fursa hii adhimu kumshukuru Mwenyekiti na Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Baraza la Wawakilishi ya Fedha, Biashara na Kilimo kwa miongozo na ushauri mnaoutoa kwa Wizara ya Kilimo, Maliasili Mifugo na Uvuvi, kwa kufanikisha utekelezaji wa malengo katika bajeti ya Wizara kwa mwaka 2017/2018. Aidha, tunaishukuru Kamati kwa
!!"##$%&'(&)*'+%
! !
!
1
!"##$%&'(&)*'+%
HOTUBA YA MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA FEDHA ZA WIZARA YA KILIMO, MALIASILI, MIFUGO NA UVUVI KWA MWAKA
WA FEDHA 2018/2019
UTANGULIZI
1. Mheshimiwa Spika, kwa ruhusa yako naomba kutoa hoja kwa Baraza lako Tukufu kwa ajili ya kupitisha Makadirio ya Mapato na Matumizi ya fedha za Wizara ya Kilimo, Maliasili, Mifugo na Uvuvi kwa kazi za Kawaida na kazi za Maendeleo kwa mwaka wa fedha 2018/2019 ambayo yanawasilishwa katika mfumo wa Programu (PBB). 2. Mheshimiwa Spika, kwanza kabisa nachukua fursa hii kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kuibariki nchi yetu kuwa na amani, utulivu na kutuwezesha kufikia siku ya leo tukiwa wazima na wenye afya njema ili tuweze kujadili bajeti hii kwa ajili ya maendeleo ya wananchi wa Zanzibar ambapo asilimia 70 wanajihusisha na kazi za Kilimo, Ufugaji, Uvuvi na Uhifadhi wa Maliasili zetu.
3. Mheshimiwa Spika, nachukua fursa hii kumpongeza Mhe, Dkt. Ali Mohamed Shein, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ambae pia ni Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi kwa kuiongoza nchi yetu katika misingi ya umoja, usalama, amani na utulivu. Aidha, tunampongeza kwa kusimamia vyema utekelezaji wa ILANI ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2015 – 2020 inayotekelezwa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar katika kufanikisha maendeleo ya Sekta ya Kilimo, kwa lengo la kuongeza tija kwa wananchi na kukuza uchumi.
3 3
kufanikisha maandalizi ya bajeti ya Wizara kwa mwaka 2018/2019. Napenda kuihakikishia Kamati yako kwamba, maoni, ushauri na mapendekezo mliyotupa tumeyazingatia katika bajeti hii ninayoiwasilisha.
UKUAJI NA MCHANGO WA SEKTA YA KILIMO KATIKA PATO LA TAIFA
Mheshimiwa Spika7. , Sekta ya Kilimo ikijumuisha mazao, mifugo, uvuvi na misitu bado inaendelea kuwa ni mhimili mkuu wa uchumi wa Zanzibar na inatoa mchango wa moja kwa moja kwa wananchi katika kujikimu kimaisha ambapo asilimia 40 wameajiriwa na sekta hii; na inakadiriwa kuwa zaidi ya asilimia 70 ya wananchi wanategemea sekta hii ambayo imeongoza kwa ukuaji katika Pato la Taifa na kufi kia wastani wa asilimia 8.8 mwaka 2017 kutoka ukuaji wa wastani wa asilimia 6.3 mwaka 2016.
Mheshimiwa Spika,8. mwaka 2017 sekta ya kilimo imekuwa ya pili kwa kuchangia Pato la Taifa kwa wastani wa asilimia 27.9 ikilinganishwa na asilimia 25.5 mwaka 2016. Aidha, kuimarika kwa sekta ya utalii katika nchi yetu kumetokana na mchango mkubwa wa sekta ya kilimo kwenye maeneo ya baharini, hifadhi za taifa na vyakula tofauti vinavyotokana na sekta hii ambayo imepelekea kuongezeka kwa ajira katika maeneo hayo; na upatikanaji
! !
!
1
!"##$%&'(&)*'+%
HOTUBA YA MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA FEDHA ZA WIZARA YA KILIMO, MALIASILI, MIFUGO NA UVUVI KWA MWAKA
WA FEDHA 2018/2019
UTANGULIZI
1. Mheshimiwa Spika, kwa ruhusa yako naomba kutoa hoja kwa Baraza lako Tukufu kwa ajili ya kupitisha Makadirio ya Mapato na Matumizi ya fedha za Wizara ya Kilimo, Maliasili, Mifugo na Uvuvi kwa kazi za Kawaida na kazi za Maendeleo kwa mwaka wa fedha 2018/2019 ambayo yanawasilishwa katika mfumo wa Programu (PBB). 2. Mheshimiwa Spika, kwanza kabisa nachukua fursa hii kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kuibariki nchi yetu kuwa na amani, utulivu na kutuwezesha kufikia siku ya leo tukiwa wazima na wenye afya njema ili tuweze kujadili bajeti hii kwa ajili ya maendeleo ya wananchi wa Zanzibar ambapo asilimia 70 wanajihusisha na kazi za Kilimo, Ufugaji, Uvuvi na Uhifadhi wa Maliasili zetu.
3. Mheshimiwa Spika, nachukua fursa hii kumpongeza Mhe, Dkt. Ali Mohamed Shein, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ambae pia ni Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi kwa kuiongoza nchi yetu katika misingi ya umoja, usalama, amani na utulivu. Aidha, tunampongeza kwa kusimamia vyema utekelezaji wa ILANI ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2015 – 2020 inayotekelezwa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar katika kufanikisha maendeleo ya Sekta ya Kilimo, kwa lengo la kuongeza tija kwa wananchi na kukuza uchumi.
!!"##$%&'(&)*'+%
4
wa chakula cha ziada kwa ajili ya biashara, kuwa na uhakika wa chakula na hatimae kupunguza umasikini.
HALI YA UZALISHAJI
Mheshimiwa Spika9. , uzalishaji wa matunda na mazao ya chakula kwa jumla umefi kia tani 357,932 mwaka 2017 na kuongezeka kwa asilimia 32.1 ikilinganishwa na uzalishaji wa tani 111,883 za mwaka 2016. Uzalishaji mkubwa kabisa ni wa zao la muhogo tani 142,714 sawa na asilimia 40 ya uzalishaji wa mazao yote; hii inafuatiwa na uzalishaji wa ndizi tani 73,243 ambazo sawa na asilimia 20.5 ya uzalishaji wote (Angalia kiambatisho nam. 1).
Mheshimiwa Spika;10. takwimu za kilimo zinaonesha kuongezeka kwa mavuno kwa baadhi ya mazao ya chakula na biashara mwaka 2017 ikilinganishwa na mwaka 2016. Zao la mpunga limeongezeka hadi kufi kia tani 39,683 mwaka 2017 ikilinganishwa na wastani wa uzalishaji tani 20,603.5 kwa miaka mitano 2012 hadi 2016 ikiwa ni ongezeko la tani 19,079.15. Karafuu zimeongezeka kutoka tani 4,678.69 mwaka 2016 hadi kufi kia tani 8,277.2 mwaka 2017, Viazi vitamu kutoka tani 24,834.3 mwaka 2016 hadi 34,203.09 mwaka 2017, Mahindi yameongezeka kutoka tani 891.73 mwaka 2016 hadi tani 1,585.59 mwaka 2017. Mazao ya Mboga (tungule, nyanya, bilingani, bamia, mchicha, tango,
!!"##$%&'(&)*'+%
! !
!
1
!"##$%&'(&)*'+%
HOTUBA YA MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA FEDHA ZA WIZARA YA KILIMO, MALIASILI, MIFUGO NA UVUVI KWA MWAKA
WA FEDHA 2018/2019
UTANGULIZI
1. Mheshimiwa Spika, kwa ruhusa yako naomba kutoa hoja kwa Baraza lako Tukufu kwa ajili ya kupitisha Makadirio ya Mapato na Matumizi ya fedha za Wizara ya Kilimo, Maliasili, Mifugo na Uvuvi kwa kazi za Kawaida na kazi za Maendeleo kwa mwaka wa fedha 2018/2019 ambayo yanawasilishwa katika mfumo wa Programu (PBB). 2. Mheshimiwa Spika, kwanza kabisa nachukua fursa hii kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kuibariki nchi yetu kuwa na amani, utulivu na kutuwezesha kufikia siku ya leo tukiwa wazima na wenye afya njema ili tuweze kujadili bajeti hii kwa ajili ya maendeleo ya wananchi wa Zanzibar ambapo asilimia 70 wanajihusisha na kazi za Kilimo, Ufugaji, Uvuvi na Uhifadhi wa Maliasili zetu.
3. Mheshimiwa Spika, nachukua fursa hii kumpongeza Mhe, Dkt. Ali Mohamed Shein, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ambae pia ni Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi kwa kuiongoza nchi yetu katika misingi ya umoja, usalama, amani na utulivu. Aidha, tunampongeza kwa kusimamia vyema utekelezaji wa ILANI ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2015 – 2020 inayotekelezwa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar katika kufanikisha maendeleo ya Sekta ya Kilimo, kwa lengo la kuongeza tija kwa wananchi na kukuza uchumi.
5 5
pilipili na matikiti) kutoka tani 26,512 mwaka 2016 hadi kufi kia tani 32,679 mwaka 2017.
Mheshimiwa Spika, 11. Ongezeko la uzalishaji wa mazao ya chakula hasa mpunga limetokana na mpango ulioanzishwa na Wizara wa kuanzisha mashamba ya mfano yenye ukubwa wa ekari 50 katika kila Wilaya. Wakulima katika mashamba hayo pamoja na wakulima wote katika mabonde ya umwagiliaji hekta 810 wamepatiwa mahitaji kamili ya pembejeo (mbolea, dawa na mbegu) matokeo yake ni kuongezeka uzalishaji kutoka tani 0.9 hadi tani 1.33 kwa ekari kwa mpunga wa kutegemea mvua na wastani wa 2.5 hadi 4.5 kwa mpunga wa umwagiliaji. Aidha, kuwepo kwa hali ya hewa nzuri, juhudi za sekta binafsi ikiwemo TAHA, ZAIDI, Milele Foundation, maduka ya pembejeo na Mkakati wa Serikali wa kutoa miche ya mikarafuu bila ya malipo kila mwaka zimechangia kwa kiasi kikubwa katika kuongeza uzalishaji wa mazao ya mboga, chakula na Karafuu.
Mheshimiwa Spika,12. takwimu zimeonesha pia kushuka kwa uzalishaji kwa baadhi ya mazao ya chakula yakiwemo Viazi vikuu kutoka tani 3,519.92 mwaka 2016 hadi tani 2,678.05 mwaka 2017, Mbaazi kutoka tani 1,414.42 mwaka 2016 hadi tani 1,271.97 mwaka 2017 na Chooko kutoka tani 125.04 mwaka 2016 hadi tani 114.19 mwaka 2017.
! !
!
1
!"##$%&'(&)*'+%
HOTUBA YA MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA FEDHA ZA WIZARA YA KILIMO, MALIASILI, MIFUGO NA UVUVI KWA MWAKA
WA FEDHA 2018/2019
UTANGULIZI
1. Mheshimiwa Spika, kwa ruhusa yako naomba kutoa hoja kwa Baraza lako Tukufu kwa ajili ya kupitisha Makadirio ya Mapato na Matumizi ya fedha za Wizara ya Kilimo, Maliasili, Mifugo na Uvuvi kwa kazi za Kawaida na kazi za Maendeleo kwa mwaka wa fedha 2018/2019 ambayo yanawasilishwa katika mfumo wa Programu (PBB). 2. Mheshimiwa Spika, kwanza kabisa nachukua fursa hii kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kuibariki nchi yetu kuwa na amani, utulivu na kutuwezesha kufikia siku ya leo tukiwa wazima na wenye afya njema ili tuweze kujadili bajeti hii kwa ajili ya maendeleo ya wananchi wa Zanzibar ambapo asilimia 70 wanajihusisha na kazi za Kilimo, Ufugaji, Uvuvi na Uhifadhi wa Maliasili zetu.
3. Mheshimiwa Spika, nachukua fursa hii kumpongeza Mhe, Dkt. Ali Mohamed Shein, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ambae pia ni Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi kwa kuiongoza nchi yetu katika misingi ya umoja, usalama, amani na utulivu. Aidha, tunampongeza kwa kusimamia vyema utekelezaji wa ILANI ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2015 – 2020 inayotekelezwa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar katika kufanikisha maendeleo ya Sekta ya Kilimo, kwa lengo la kuongeza tija kwa wananchi na kukuza uchumi.
!!"##$%&'(&)*'+%
6
Mheshimiwa Spika13. , takwimu za kilimo zinaonesha kwamba; eneo lililolimwa limeongezeka, jumla ya ekari 91,270 zimelimwa aina tofauti za mazao ikilinganishwa na ekari 70,270 zilizolimwa mwaka 2016. Zao la mpunga pekee kwa mwaka 2017 limelimwa ukubwa wa ekari (29,017) ikiwa ni sawa na asilimia 31.8 ya eneo lililolimwa. Kati ya hizo ekari 26,891 zimelimwa mpunga wa kutegemea mvua na ekari 2,126.4 zilizobakia zimepandwa mpunga wa kumwagilia maji kwa kutumia teknolojia za kisasa.
Mheshimiwa Spika14. , Eneo la pili linalofuatia lililimwa muhogo ekari 24,312.5 sawa na asilimia 26.6 ya eneo lote lililolimwa. Eneo lililolimwa migomba limeongezeka na kufi kia ekari 8,516.6 mwaka 2017, kutoka ekari 6,448.2 mwaka 2016 ikiwa ni sawa na ongezeko la asilimia 32. Wakati eneo lililolimwa viazi vitamu pia limeongezeka na kufi kia ekari 4,886 mwaka 2017 kutoka ekari 3,547.8 mwaka 2016, ikiwa ni sawa na ongezeko la asilimia 37.7. Takwimu pia zinaonesha kwamba, eneo lililopandwa mazao tofauti ya matunda na mboga ikiwemo mchicha, nyanya na mabilinganyi yameongezeka kutoka ekari 825 mwaka 2016 hadi ekari 1,220 mwaka 2017, ikiwa ni sawa na ongezeko la asilimia 48.
Mheshimiwa Spika15. , miongoni mwa sababu zilizochangia ushukaji wa mazao hayo ni pamoja na kupungua kwa maeneo yaliyolimwa mazao ambapo; Viazi vikuu kutoka
!!"##$%&'(&)*'+%
! !
!
1
!"##$%&'(&)*'+%
HOTUBA YA MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA FEDHA ZA WIZARA YA KILIMO, MALIASILI, MIFUGO NA UVUVI KWA MWAKA
WA FEDHA 2018/2019
UTANGULIZI
1. Mheshimiwa Spika, kwa ruhusa yako naomba kutoa hoja kwa Baraza lako Tukufu kwa ajili ya kupitisha Makadirio ya Mapato na Matumizi ya fedha za Wizara ya Kilimo, Maliasili, Mifugo na Uvuvi kwa kazi za Kawaida na kazi za Maendeleo kwa mwaka wa fedha 2018/2019 ambayo yanawasilishwa katika mfumo wa Programu (PBB). 2. Mheshimiwa Spika, kwanza kabisa nachukua fursa hii kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kuibariki nchi yetu kuwa na amani, utulivu na kutuwezesha kufikia siku ya leo tukiwa wazima na wenye afya njema ili tuweze kujadili bajeti hii kwa ajili ya maendeleo ya wananchi wa Zanzibar ambapo asilimia 70 wanajihusisha na kazi za Kilimo, Ufugaji, Uvuvi na Uhifadhi wa Maliasili zetu.
3. Mheshimiwa Spika, nachukua fursa hii kumpongeza Mhe, Dkt. Ali Mohamed Shein, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ambae pia ni Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi kwa kuiongoza nchi yetu katika misingi ya umoja, usalama, amani na utulivu. Aidha, tunampongeza kwa kusimamia vyema utekelezaji wa ILANI ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2015 – 2020 inayotekelezwa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar katika kufanikisha maendeleo ya Sekta ya Kilimo, kwa lengo la kuongeza tija kwa wananchi na kukuza uchumi.
7 7
ekari 703,8 mwaka 2016 hadi kupungua ekari 535.6 mwaka 2017, Mbaazi kutoka ekari 437.9 mwaka 2016 hadi kupungua ekari 393.8 mwaka 2017 na Chooko kutoka ekari 312.61 mwaka 2016 hadi ekari 285.48 mwaka 2017. Aidha, hali halisi inaonyesha kwamba baadhi ya wakulima hasa katika maeneo ya maweni wameanza kulima mazao ya mboga tafauti na mazao ya mizizi, nafaka na jamii ya kunde yaliyokuwa yakilimwa asili. Aidha, nawahakikishia wakulima ya kwamba soko la uhakika la mazao hayo lipo na Wizara inashauri waendelee kulima mazao hayo ili kuongeza lishe, uhakika wa chakula na afya ya jamii.
Mheshimiwa Spika,16. Takwimu zinaonesha ongezeko la uzalishaji wa maziwa kutoka lita 40,895,412 kwa mwaka 2016 hadi lita 40,958,058 kwa mwaka 2017. Uzalishaji wa mayai umepungua kutoka mayai 186,163,932 mwaka 2016 hadi mayai 167,694,202 mwaka 2017 (Angalia kiambatisho nam 2 &3). Aidha, takwimu zinaonesha kuwepo kwa ongezeko la idadi ya mbuzi waliochinjwa kutoka 1,625 mwaka 2016 hadi kufi kia 2,739 mwaka 2017 sawa na asilimia 169 na kuku kutoka 707,792 mwaka 2016 hadi kufi kia kuku 819,994 mwaka 2017 sawa na asilimia 116 ya ongezeko. Kwa ujumla maendeleo katika sekta ndogo ya mifugo imechangia upatikanaji wa ajira, kuongeza mapato kwa Serikali na watu binafsi na kuimarisha lishe kwa jamii.
! !
!
1
!"##$%&'(&)*'+%
HOTUBA YA MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA FEDHA ZA WIZARA YA KILIMO, MALIASILI, MIFUGO NA UVUVI KWA MWAKA
WA FEDHA 2018/2019
UTANGULIZI
1. Mheshimiwa Spika, kwa ruhusa yako naomba kutoa hoja kwa Baraza lako Tukufu kwa ajili ya kupitisha Makadirio ya Mapato na Matumizi ya fedha za Wizara ya Kilimo, Maliasili, Mifugo na Uvuvi kwa kazi za Kawaida na kazi za Maendeleo kwa mwaka wa fedha 2018/2019 ambayo yanawasilishwa katika mfumo wa Programu (PBB). 2. Mheshimiwa Spika, kwanza kabisa nachukua fursa hii kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kuibariki nchi yetu kuwa na amani, utulivu na kutuwezesha kufikia siku ya leo tukiwa wazima na wenye afya njema ili tuweze kujadili bajeti hii kwa ajili ya maendeleo ya wananchi wa Zanzibar ambapo asilimia 70 wanajihusisha na kazi za Kilimo, Ufugaji, Uvuvi na Uhifadhi wa Maliasili zetu.
3. Mheshimiwa Spika, nachukua fursa hii kumpongeza Mhe, Dkt. Ali Mohamed Shein, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ambae pia ni Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi kwa kuiongoza nchi yetu katika misingi ya umoja, usalama, amani na utulivu. Aidha, tunampongeza kwa kusimamia vyema utekelezaji wa ILANI ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2015 – 2020 inayotekelezwa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar katika kufanikisha maendeleo ya Sekta ya Kilimo, kwa lengo la kuongeza tija kwa wananchi na kukuza uchumi.
!!"##$%&'(&)*'+%
8
Mheshimiwa Spika, 17. takwimu za mazao ya baharini zinaonesha kuongezeka kwa uzalishaji wa Samaki kutoka tani 33,892.5 zenye thamani ya TZS136.15 bilioni kwa mwaka 2016 hadi kufi kia tani 35,057.2 zenye thamani ya TZS164.10 bilioni mwaka 2017. Kwa upande wa zao la mwani uzalishaji umeshuka kutoka tani 16,665 kwa mwaka 2015, tani 11,113.30 mwaka 2016 hadi kufi kia tani 10,981 mwaka 2017(Angalia kiambatisho nam 4). Kushuka kwa zao la mwani kumechangiwa na maradhi yatokanayo na mabadiliko ya tabia nchi.
Mheshimiwa Spika18. , kwa upande wa uhifadhi wa misitu na maliasili zisizorejesheka, takwimu zinaonesha ongezeko kubwa la matumizi ya nishati ya kuni kutoka mita za ujazo 19,532.25 mwaka 2016 hadi kufi kia mita za ujazo 23,114 mwaka 2017 (Angalia kiambatisho nam. 5). Kwa mazao ya maliasili zisizorejesheka kumekuwepo na ongezeko la uchimbaji na matumizi ya mawe kutoka tani 81,377 mwaka 2016 hadi tani 91,728 mwaka 2017 na mchanga kutoka tani 576,476 mwaka 2016 hadi kufi kia tani 832,043 mwaka 2017 (Angalia kiambatisho nam. 6).
Mheshimiwa Spika, 19. ongezeko la matumizi ya maliasili zisizorejesheka linatokana zaidi na mahitaji makubwa ya miradi ya maendeleo ikiwemo kasi kubwa ya ujenzi
!!"##$%&'(&)*'+%
! !
!
1
!"##$%&'(&)*'+%
HOTUBA YA MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA FEDHA ZA WIZARA YA KILIMO, MALIASILI, MIFUGO NA UVUVI KWA MWAKA
WA FEDHA 2018/2019
UTANGULIZI
1. Mheshimiwa Spika, kwa ruhusa yako naomba kutoa hoja kwa Baraza lako Tukufu kwa ajili ya kupitisha Makadirio ya Mapato na Matumizi ya fedha za Wizara ya Kilimo, Maliasili, Mifugo na Uvuvi kwa kazi za Kawaida na kazi za Maendeleo kwa mwaka wa fedha 2018/2019 ambayo yanawasilishwa katika mfumo wa Programu (PBB). 2. Mheshimiwa Spika, kwanza kabisa nachukua fursa hii kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kuibariki nchi yetu kuwa na amani, utulivu na kutuwezesha kufikia siku ya leo tukiwa wazima na wenye afya njema ili tuweze kujadili bajeti hii kwa ajili ya maendeleo ya wananchi wa Zanzibar ambapo asilimia 70 wanajihusisha na kazi za Kilimo, Ufugaji, Uvuvi na Uhifadhi wa Maliasili zetu.
3. Mheshimiwa Spika, nachukua fursa hii kumpongeza Mhe, Dkt. Ali Mohamed Shein, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ambae pia ni Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi kwa kuiongoza nchi yetu katika misingi ya umoja, usalama, amani na utulivu. Aidha, tunampongeza kwa kusimamia vyema utekelezaji wa ILANI ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2015 – 2020 inayotekelezwa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar katika kufanikisha maendeleo ya Sekta ya Kilimo, kwa lengo la kuongeza tija kwa wananchi na kukuza uchumi.
9 9
kwenye makaazi mapya ya wananchi, miundombinu ya uwanja wa ndege, bandari, viwanja vya michezo, pamoja na barabara za mijini na vijijini. Aidha, Wizara inaendelea kutoa taaluma ya Uhifadhi wa Maliasili zetu pamoja na kuhamasisha njia mbadala katika kuwawezesha wananchi katika kupunguza matumizi ya Maliasili Zisizorejesheka, nishati ya kuni kwa kutumia majiko sanifu na gesi salama. Wizara inaendelea na kuratibu utaratibu mzuri wa matumizi ya mchanga. Hivyo, tunatoa wito kwa wananchi na Halmashauri kushirikiana na Wizara katika kudhibiti matumizi mabaya ya rasilimali zetu.
UTEKELEZAJI WA MALENGO YA WIZARA MWAKA 2017/2018
Mheshimiwa Spika;20. mwaka wa fedha 2017/18, Wizara ya Kilimo, Maliasili, Mifugo na Uvuvi imesimamia na kutekeleza malengo ya Dira ya 2020, ILANI ya Uchaguzi ya CCM 2015 – 2020, Mkakati wa Kukuza Uchumi na Kupunguza Umaskini (MKUZA III), Malengo ya maendeleo endelevu (SDGs), Mipango Mikakati ya Kisekta pamoja na Mpango wa Mageuzi ya Sekta ya Kilimo (ATI).
! !
!
1
!"##$%&'(&)*'+%
HOTUBA YA MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA FEDHA ZA WIZARA YA KILIMO, MALIASILI, MIFUGO NA UVUVI KWA MWAKA
WA FEDHA 2018/2019
UTANGULIZI
1. Mheshimiwa Spika, kwa ruhusa yako naomba kutoa hoja kwa Baraza lako Tukufu kwa ajili ya kupitisha Makadirio ya Mapato na Matumizi ya fedha za Wizara ya Kilimo, Maliasili, Mifugo na Uvuvi kwa kazi za Kawaida na kazi za Maendeleo kwa mwaka wa fedha 2018/2019 ambayo yanawasilishwa katika mfumo wa Programu (PBB). 2. Mheshimiwa Spika, kwanza kabisa nachukua fursa hii kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kuibariki nchi yetu kuwa na amani, utulivu na kutuwezesha kufikia siku ya leo tukiwa wazima na wenye afya njema ili tuweze kujadili bajeti hii kwa ajili ya maendeleo ya wananchi wa Zanzibar ambapo asilimia 70 wanajihusisha na kazi za Kilimo, Ufugaji, Uvuvi na Uhifadhi wa Maliasili zetu.
3. Mheshimiwa Spika, nachukua fursa hii kumpongeza Mhe, Dkt. Ali Mohamed Shein, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ambae pia ni Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi kwa kuiongoza nchi yetu katika misingi ya umoja, usalama, amani na utulivu. Aidha, tunampongeza kwa kusimamia vyema utekelezaji wa ILANI ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2015 – 2020 inayotekelezwa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar katika kufanikisha maendeleo ya Sekta ya Kilimo, kwa lengo la kuongeza tija kwa wananchi na kukuza uchumi.
!!"##$%&'(&)*'+%
10
MAPATO NA MATUMIZI YA FEDHA KWA MWAKA 2017/2018
Mheshimiwa Spika, 21. mwaka wa fedha 2017/2018 Wizara ilikadiriwa kukusanya TZS 4.93 bilioni kutokana na vyanzo vyake 11 vya mapato. Kipindi cha miezi kumi Julai 2017 hadi April, 2018 Wizara imekusanya TZS 8.15 bilioni sawa na asilimia 165 (Angalia kiambatisho nam. 7). Ongezeko hilo limetokana na utaratibu mpya wa uchimbaji wa mchanga unaotekelezwa na Serikali pamoja na mapato yatokanayo na ukodishwaji wa Mashamba ya Mikarafuu na ongezeko la idadi ya watalii wanaotembelea maeneo ya hifadhi.
Mheshimiwa Spika, 22. mwaka wa fedha wa 2017/2018 Wizara iliidhinishiwa kutumia jumla ya TZS 70.61 bilioni (TZS23.7 ni fedha za matumizi ya kazi za kawaida na TZS 46.90 bilioni ni fedha za kazi za maendeleo) kwa ajili ya kutekeleza programu kuu tano za Wizara. Kati ya TZS 23.70 bilioni, Mishahara ni TZS 17.63 bilioni, matumizi mengineyo ni TZS 4.49 bilioni na TZS 1.58 bilioni ikiwa ni Ruzuku kwa ajili ya Chuo cha Kilimo Kizimbani, Wakala wa tafi ti za Mifugo na Wakala wa Matrekta. Kwa upande wa fedha za maendeleo TZS 46.90 bilioni, kati ya fedha hizo TZS 44.15 bilioni ni kutoka kwa washirika wa maendeleo na TZS 2.75 bilioni kutoka kwa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ). (Angalia kiambatisho nam. 8).
!!"##$%&'(&)*'+%
! !
!
1
!"##$%&'(&)*'+%
HOTUBA YA MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA FEDHA ZA WIZARA YA KILIMO, MALIASILI, MIFUGO NA UVUVI KWA MWAKA
WA FEDHA 2018/2019
UTANGULIZI
1. Mheshimiwa Spika, kwa ruhusa yako naomba kutoa hoja kwa Baraza lako Tukufu kwa ajili ya kupitisha Makadirio ya Mapato na Matumizi ya fedha za Wizara ya Kilimo, Maliasili, Mifugo na Uvuvi kwa kazi za Kawaida na kazi za Maendeleo kwa mwaka wa fedha 2018/2019 ambayo yanawasilishwa katika mfumo wa Programu (PBB). 2. Mheshimiwa Spika, kwanza kabisa nachukua fursa hii kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kuibariki nchi yetu kuwa na amani, utulivu na kutuwezesha kufikia siku ya leo tukiwa wazima na wenye afya njema ili tuweze kujadili bajeti hii kwa ajili ya maendeleo ya wananchi wa Zanzibar ambapo asilimia 70 wanajihusisha na kazi za Kilimo, Ufugaji, Uvuvi na Uhifadhi wa Maliasili zetu.
3. Mheshimiwa Spika, nachukua fursa hii kumpongeza Mhe, Dkt. Ali Mohamed Shein, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ambae pia ni Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi kwa kuiongoza nchi yetu katika misingi ya umoja, usalama, amani na utulivu. Aidha, tunampongeza kwa kusimamia vyema utekelezaji wa ILANI ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2015 – 2020 inayotekelezwa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar katika kufanikisha maendeleo ya Sekta ya Kilimo, kwa lengo la kuongeza tija kwa wananchi na kukuza uchumi.
1111
Mheshimiwa Spika, 23. Kwa kipindi cha Julai, 2017 hadi April, 2018 Wizara imepata TZS 26.30 bilioni ambapo (TZS 20.10 bilioni ni kwa kazi za kawaida na TZS 6.20 bilioni ni kwa kazi za maendeleo). Kati ya fedha hizo TZS 20.10 sawa na asilimia 85 ya makadirio, Mshahara ni TZS 14.50 bilioni, matumizi mengineyo ni, TZS 4.18 bilioni na Ruzuku TZS 1.42 bilioni. Aidha, kwa upande wa kazi za maendeleo Wizara ilipata TZS 6.20 bilioni sawa na asilimia 13.2 kwa ajili ya miradi ya maendeleo, ambapo TZS 4.75 bilioni kutoka kwa Washirika wa Maendeleo na TZS 1.45 bilioni kutoka SMZ (Angalia kiambatisho nam. 9). Kushuka kwa kiwango cha fedha za maendeleo kumetokana na kuchelewa kwa kuanza mradi wa ujenzi wa miundombinu ya umwagiliaji maji wenye ukubwa wa hekta 1,524 pamoja na kuchelewa kuanza kwa ujenzi wa Soko la Samaki la Malindi. Matangazo ya zabuni ya kutafuta Wakandarasi wa ujenzi huo tayari yameshatoka kupitia vyombo vya habari vya ndani na nje ya nchi.
MAFANIKIO YALIYOPATIKANA KATIKA MWAKA 2017/2018
Mheshimiwa Spika, 24. Wizara ya Kilimo, Maliasili, Mifugo na Uvuvi kwa mwaka wa fedha 2017/2018 imepata mafanikio yafuatayo:
Kuongezeka kwa mapato yatokanayo na vyanzo 11 a)
! !
!
1
!"##$%&'(&)*'+%
HOTUBA YA MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA FEDHA ZA WIZARA YA KILIMO, MALIASILI, MIFUGO NA UVUVI KWA MWAKA
WA FEDHA 2018/2019
UTANGULIZI
1. Mheshimiwa Spika, kwa ruhusa yako naomba kutoa hoja kwa Baraza lako Tukufu kwa ajili ya kupitisha Makadirio ya Mapato na Matumizi ya fedha za Wizara ya Kilimo, Maliasili, Mifugo na Uvuvi kwa kazi za Kawaida na kazi za Maendeleo kwa mwaka wa fedha 2018/2019 ambayo yanawasilishwa katika mfumo wa Programu (PBB). 2. Mheshimiwa Spika, kwanza kabisa nachukua fursa hii kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kuibariki nchi yetu kuwa na amani, utulivu na kutuwezesha kufikia siku ya leo tukiwa wazima na wenye afya njema ili tuweze kujadili bajeti hii kwa ajili ya maendeleo ya wananchi wa Zanzibar ambapo asilimia 70 wanajihusisha na kazi za Kilimo, Ufugaji, Uvuvi na Uhifadhi wa Maliasili zetu.
3. Mheshimiwa Spika, nachukua fursa hii kumpongeza Mhe, Dkt. Ali Mohamed Shein, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ambae pia ni Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi kwa kuiongoza nchi yetu katika misingi ya umoja, usalama, amani na utulivu. Aidha, tunampongeza kwa kusimamia vyema utekelezaji wa ILANI ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2015 – 2020 inayotekelezwa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar katika kufanikisha maendeleo ya Sekta ya Kilimo, kwa lengo la kuongeza tija kwa wananchi na kukuza uchumi.
!!"##$%&'(&)*'+%
12
vya Wizara ya Kilimo kufi kia TZS 8.15 bilioni mwaka 2017 ikilinganishwa na TZS 4.93 bilioni mwaka 2016.
Ufunguzi wa masoko matatu ya bidhaa za Kilimo huko b) Konde, Tibirinzi kwa Pemba na Kinyasini kwa Unguja pamoja na Ukarabati wa vyumba vya baridi katika soko la Mombasa (Unguja) na kituo cha Mafunzo ya uhifadhi na usarifu wa mazao Pujini (Pemba). Ujenzi huo umegharimu TZS 4.6 Bilioni;
Kuimarika kwa kilimo cha mpunga kwa kutumia c) teknolojia ya SHADIDI (mbegu kidogo na maji kidogo) katika mpunga wa umwagiliaji maji na kuongeza uzalishaji kutoka tani 2.5 hadi 6.8 kwa hekta. Vile vile kuimarika kwa matumizi ya miundombinu ya umwagiliaji maji (Drip irrigation) katika mazao ya matunda na mboga hekta 100 pamoja na matumizi ya green House;
Kukamilika kwa matengenezo ya ghala ya akiba d) ya chakula liliopo Malindi Unguja lenye uwezo wa kuhifadhi wastani wa tani 900 za mchele;
Kuimarika kwa utoaji wa huduma za matrekta na zana e) zake kwa ununuzi wa matrekta mapya 20 na 10 msaada kutoka Ubalozi wa Libya, vilevile Wizara imepokea zana tofauti kutoka Jamuhuri ya watu wa China. Jumla ya ekari 7,088 zimelimwa katika mabonde ya mpunga katika msimu wa masika 2018;
!!"##$%&'(&)*'+%
! !
!
1
!"##$%&'(&)*'+%
HOTUBA YA MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA FEDHA ZA WIZARA YA KILIMO, MALIASILI, MIFUGO NA UVUVI KWA MWAKA
WA FEDHA 2018/2019
UTANGULIZI
1. Mheshimiwa Spika, kwa ruhusa yako naomba kutoa hoja kwa Baraza lako Tukufu kwa ajili ya kupitisha Makadirio ya Mapato na Matumizi ya fedha za Wizara ya Kilimo, Maliasili, Mifugo na Uvuvi kwa kazi za Kawaida na kazi za Maendeleo kwa mwaka wa fedha 2018/2019 ambayo yanawasilishwa katika mfumo wa Programu (PBB). 2. Mheshimiwa Spika, kwanza kabisa nachukua fursa hii kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kuibariki nchi yetu kuwa na amani, utulivu na kutuwezesha kufikia siku ya leo tukiwa wazima na wenye afya njema ili tuweze kujadili bajeti hii kwa ajili ya maendeleo ya wananchi wa Zanzibar ambapo asilimia 70 wanajihusisha na kazi za Kilimo, Ufugaji, Uvuvi na Uhifadhi wa Maliasili zetu.
3. Mheshimiwa Spika, nachukua fursa hii kumpongeza Mhe, Dkt. Ali Mohamed Shein, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ambae pia ni Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi kwa kuiongoza nchi yetu katika misingi ya umoja, usalama, amani na utulivu. Aidha, tunampongeza kwa kusimamia vyema utekelezaji wa ILANI ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2015 – 2020 inayotekelezwa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar katika kufanikisha maendeleo ya Sekta ya Kilimo, kwa lengo la kuongeza tija kwa wananchi na kukuza uchumi.
1313
Kuongezeka kwa uzalishaji wa mazao ya mboga hadi f) kufi kia tani 11,891.97 mwaka 2017 kutoka tani 10,347.29 mwaka 2016 na Matikiti kutoka tani 16,163,87 hadi kufi kia tani 20,787 mwaka 2017;
Jumla ya wafanyakazi 35 wamepatiwa mafunzo ya g) usarifu wa Vanila, vilevile Wizara imewahamasisha wakulima wa maweni kuendeleza kilimo cha pilipili hoho kwa Wilaya ya Kusini Unguja. Aidha, wastani wa tani tatu (2 matunda makavu na 1 Tangawizi), Pilipili manga kilo 165, Mdalasini kilo 2,270, Pilipili kichaa kilo 24.5 na Vanilla kilo 50 zimesarifi wa nje ya nchi kupitia kampuni ya Zenj Spice;
Kushajiika kwa wakulima wa alizeti na kuongezeka h) kwa ukamuaji wa mafuta ya Alizeti kufi kia lita 2,578.6 (Pemba lita 2,117 na Unguja lita 461.6)
Wizara inachukua hatua za kukabiliana na mabadiliko i) ya tabia nchi ambapo tafi ti zinaendelea kufanyika kupitia Taasisi ya Utafi ti wa Kilimo kwa mazao ya mizizi na mpunga. Aidha, Wizara imepata mradi mpya wa Climate Smart Agriculture wenye thamani ya TZS 171,600,000 Milioni unaofadhiliwa na USAID kwa ajili ya mashamba ya mfano kwa utoaji wa elimu na utoaji wa taarifa za mabadiliko ya tabia nchi;
Kuongezeka idadi ya watalii wanaotembelea Hifadhi j) zetu kutoka 47,000 kwa mwaka 2016 na kufi kia 53,870
! !
!
1
!"##$%&'(&)*'+%
HOTUBA YA MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA FEDHA ZA WIZARA YA KILIMO, MALIASILI, MIFUGO NA UVUVI KWA MWAKA
WA FEDHA 2018/2019
UTANGULIZI
1. Mheshimiwa Spika, kwa ruhusa yako naomba kutoa hoja kwa Baraza lako Tukufu kwa ajili ya kupitisha Makadirio ya Mapato na Matumizi ya fedha za Wizara ya Kilimo, Maliasili, Mifugo na Uvuvi kwa kazi za Kawaida na kazi za Maendeleo kwa mwaka wa fedha 2018/2019 ambayo yanawasilishwa katika mfumo wa Programu (PBB). 2. Mheshimiwa Spika, kwanza kabisa nachukua fursa hii kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kuibariki nchi yetu kuwa na amani, utulivu na kutuwezesha kufikia siku ya leo tukiwa wazima na wenye afya njema ili tuweze kujadili bajeti hii kwa ajili ya maendeleo ya wananchi wa Zanzibar ambapo asilimia 70 wanajihusisha na kazi za Kilimo, Ufugaji, Uvuvi na Uhifadhi wa Maliasili zetu.
3. Mheshimiwa Spika, nachukua fursa hii kumpongeza Mhe, Dkt. Ali Mohamed Shein, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ambae pia ni Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi kwa kuiongoza nchi yetu katika misingi ya umoja, usalama, amani na utulivu. Aidha, tunampongeza kwa kusimamia vyema utekelezaji wa ILANI ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2015 – 2020 inayotekelezwa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar katika kufanikisha maendeleo ya Sekta ya Kilimo, kwa lengo la kuongeza tija kwa wananchi na kukuza uchumi.
!!"##$%&'(&)*'+%
14
mwaka 2017 kutokana na kuimarika kwa huduma katika hifadhi za Misitu; bahari na shamba la spice Kizimbani.
Kuimarika kwa uhifadhi na utalii katika kituo cha k) Utalii Masingini (Zanzibar City Park) kwa kuongeza miundombinu ikiwemo mkahawa, zizi la wanyama pori na huduma za utalii;
Jumla ya miche 1,597,382 (1,364,267 Unguja na 233,115 l) Pemba) ya misitu, mikarafuu na matunda imeoteshwa katika vitalu vya Serikali; Aidha uhamasishaji katika vitalu vya watu binafsi umefanyika na kuwezesha kuotesha wastani wa miche 2,000,000. Miti hiyo imepandwa katika maeneo ya wazi, maskuli na maeneo yaliyochimbwa mchanga;
Wizara imeimarisha huduma za tafi ti, kinga na tiba m) na uzalishaji wa mifugo kwa kuongeza vifaa katika maabara ya Mifugo Maruhubi vyenye thamani ya USD 10,000 (TZS 22,440,000) vilivyofadhiliwa na Shirika la FAO. Vilevile, Wizara imepata msaada wa mtungi wa kuzalisha gesi ya nitrogen kutoka Shirika la Atomiki (IAEA) wenye thamani ya EUR 25,732 (TZS 65,000,000) kwa ajili ya kuufanyia matengenezo mtambo huo. Aidha, jumla ya ng’ombe 1,250 wamepandishiwa kwa sindano;
!!"##$%&'(&)*'+%
! !
!
1
!"##$%&'(&)*'+%
HOTUBA YA MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA FEDHA ZA WIZARA YA KILIMO, MALIASILI, MIFUGO NA UVUVI KWA MWAKA
WA FEDHA 2018/2019
UTANGULIZI
1. Mheshimiwa Spika, kwa ruhusa yako naomba kutoa hoja kwa Baraza lako Tukufu kwa ajili ya kupitisha Makadirio ya Mapato na Matumizi ya fedha za Wizara ya Kilimo, Maliasili, Mifugo na Uvuvi kwa kazi za Kawaida na kazi za Maendeleo kwa mwaka wa fedha 2018/2019 ambayo yanawasilishwa katika mfumo wa Programu (PBB). 2. Mheshimiwa Spika, kwanza kabisa nachukua fursa hii kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kuibariki nchi yetu kuwa na amani, utulivu na kutuwezesha kufikia siku ya leo tukiwa wazima na wenye afya njema ili tuweze kujadili bajeti hii kwa ajili ya maendeleo ya wananchi wa Zanzibar ambapo asilimia 70 wanajihusisha na kazi za Kilimo, Ufugaji, Uvuvi na Uhifadhi wa Maliasili zetu.
3. Mheshimiwa Spika, nachukua fursa hii kumpongeza Mhe, Dkt. Ali Mohamed Shein, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ambae pia ni Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi kwa kuiongoza nchi yetu katika misingi ya umoja, usalama, amani na utulivu. Aidha, tunampongeza kwa kusimamia vyema utekelezaji wa ILANI ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2015 – 2020 inayotekelezwa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar katika kufanikisha maendeleo ya Sekta ya Kilimo, kwa lengo la kuongeza tija kwa wananchi na kukuza uchumi.
1515
Kukamilika kwa ujenzi wa kituo cha kuzalishia vifaranga n) vya samaki “Korea Zanzibar Friendship Marine Hatchery Center” ambayo inauwezo wa kuzalisha vifaranga milioni 10 vya samaki, majongoo 70,000 na kaa 50,000 kwa mwaka; kituo hicho kimegharimu fedha USD Milioni 943,935;
Kuanzishwa Kampuni ya Uvuvi Zanzibar – ZAFICO o) kwa kutumia mashirika ya Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (ZSTC, Bandari, ZSSF na Shirika la Bima) kwa mtaji wa TZS 7.0 Bilioni. Aidha, bodi imeteuliwa, eneo lilioko Malindi limekabidhiwa kwa Kampuni pamoja na utaratibu wa kununua meli mbili za uvuvi umeanza kutoka Srilanka na Maldives.
Jumla ya vikundi 114 vya wafugaji wa samaki na p) wakulima wa mwani wamepatiwa mafunzo bora ya ufugaji wa mazao ya baharini Unguja na Pemba;
Kupitia Mamlaka ya Uvuvi wa Bahari Kuu Tanzania, q) jumla ya vijana 26 walipata fursa ya kuingizwa katika meli za kigeni kwa lengo la kujifunza uvuvi wa bahari kuu. Vile vile wavuvi vijana 25 wamepelekwa Chuo cha Uvuvi Mbegani Bagamoyo kujifunza uvuvi wa kisasa.
Wizara ipo katika hatua za mwisho kukamilisha Mpango r) Mkuu wa Uvuvi Zanzibar, pamoja na sensa ya uvuvi kupitia mradi wa SWIOfi sh. Pia, kwa kushirikiana na FAO imekamilisha utafi ti juu ya kujua maeneo yenye
! !
!
1
!"##$%&'(&)*'+%
HOTUBA YA MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA FEDHA ZA WIZARA YA KILIMO, MALIASILI, MIFUGO NA UVUVI KWA MWAKA
WA FEDHA 2018/2019
UTANGULIZI
1. Mheshimiwa Spika, kwa ruhusa yako naomba kutoa hoja kwa Baraza lako Tukufu kwa ajili ya kupitisha Makadirio ya Mapato na Matumizi ya fedha za Wizara ya Kilimo, Maliasili, Mifugo na Uvuvi kwa kazi za Kawaida na kazi za Maendeleo kwa mwaka wa fedha 2018/2019 ambayo yanawasilishwa katika mfumo wa Programu (PBB). 2. Mheshimiwa Spika, kwanza kabisa nachukua fursa hii kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kuibariki nchi yetu kuwa na amani, utulivu na kutuwezesha kufikia siku ya leo tukiwa wazima na wenye afya njema ili tuweze kujadili bajeti hii kwa ajili ya maendeleo ya wananchi wa Zanzibar ambapo asilimia 70 wanajihusisha na kazi za Kilimo, Ufugaji, Uvuvi na Uhifadhi wa Maliasili zetu.
3. Mheshimiwa Spika, nachukua fursa hii kumpongeza Mhe, Dkt. Ali Mohamed Shein, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ambae pia ni Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi kwa kuiongoza nchi yetu katika misingi ya umoja, usalama, amani na utulivu. Aidha, tunampongeza kwa kusimamia vyema utekelezaji wa ILANI ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2015 – 2020 inayotekelezwa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar katika kufanikisha maendeleo ya Sekta ya Kilimo, kwa lengo la kuongeza tija kwa wananchi na kukuza uchumi.
!!"##$%&'(&)*'+%
16
wingi wa samaki katika bahari ya Tanzania na taarifa za utafi ti huo zimeanza kufanyiwa kazi na matokeo yake yatatangazwa hivi karibuni.
Jumla ya s) TZS 10,935,850,159 zimepatikana baada ya kukaguliwa na kusafi rishwa nje tani za mwani 5,089 na tani 990 za madagaa zenye thamani ya TZS 22,157,130 kupitia kampuni mbalimbali zilizopo nchini;
UTEKELEZAJI WA PROGRAMU ZA WIZARA YA KILIMO, MALIASILI, MIFUGO NA UVUVI MWAKA 2017/2018
Mheshimiwa Spika,25. utekelezaji wa shabaha za Wizara ya Kilimo kupitia Programu zake kuu tano (5) na ndogo kumi na tatu (13) ulikuwa kama ifuatavyo:
PROGRAMU KUU YA MAENDELEO YA KILIMO
Mheshimiwa Spika,26. Programu Kuu ya Maendelo ya Kilimo inayojumuisha programu ndogo nne; Programu Ndogo ya Maendeleo ya Umwagiliaji Maji, Programu ya Utafi ti na Mafunzo ya Kilimo, Programu ya Maendeleo ya Huduma za Kilimo, Wakala wa Matrekta ya Serikali na Programu Ndogo ya Uhakika wa Chakula na Lishe (UCL) ambazo zinatekelezwa kwa pamoja na Idara za Umwagiliaji Maji, Kilimo, Uhakika wa Chakula na
!!"##$%&'(&)*'+%
! !
!
1
!"##$%&'(&)*'+%
HOTUBA YA MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA FEDHA ZA WIZARA YA KILIMO, MALIASILI, MIFUGO NA UVUVI KWA MWAKA
WA FEDHA 2018/2019
UTANGULIZI
1. Mheshimiwa Spika, kwa ruhusa yako naomba kutoa hoja kwa Baraza lako Tukufu kwa ajili ya kupitisha Makadirio ya Mapato na Matumizi ya fedha za Wizara ya Kilimo, Maliasili, Mifugo na Uvuvi kwa kazi za Kawaida na kazi za Maendeleo kwa mwaka wa fedha 2018/2019 ambayo yanawasilishwa katika mfumo wa Programu (PBB). 2. Mheshimiwa Spika, kwanza kabisa nachukua fursa hii kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kuibariki nchi yetu kuwa na amani, utulivu na kutuwezesha kufikia siku ya leo tukiwa wazima na wenye afya njema ili tuweze kujadili bajeti hii kwa ajili ya maendeleo ya wananchi wa Zanzibar ambapo asilimia 70 wanajihusisha na kazi za Kilimo, Ufugaji, Uvuvi na Uhifadhi wa Maliasili zetu.
3. Mheshimiwa Spika, nachukua fursa hii kumpongeza Mhe, Dkt. Ali Mohamed Shein, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ambae pia ni Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi kwa kuiongoza nchi yetu katika misingi ya umoja, usalama, amani na utulivu. Aidha, tunampongeza kwa kusimamia vyema utekelezaji wa ILANI ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2015 – 2020 inayotekelezwa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar katika kufanikisha maendeleo ya Sekta ya Kilimo, kwa lengo la kuongeza tija kwa wananchi na kukuza uchumi.
1717
Lishe, Taasisi ya Utafi ti wa Kilimo na Chuo cha Kilimo Kizimbani.
Programu Ndogo ya Maendeleo ya Umwagiliaji Maji
Mheshimiwa Spika, 27. Programu hii inatekelezwa kupitia Idara ya Umwagiliaji Maji na inajukumu la kuendeleza na kuimarisha kilimo cha umwagiliaji maji nchini, kwa kutoa taaluma za uzalishaji na kiufundi juu ya ujenzi na ukarabati wa miundombinu, kushajiisha na kusimamia jumuiya za wakulima kwenye mabonde ya umwagiliaji maji.
Utekelezaji wa Shabaha kwa Mwaka 2017/2018
Upimaji kwa ajili ya uwekaji umeme (3 phase) katika a) mabonde ya Kibonde mzungu, Koani, Banda maji, Mchangani, Dobi, Machigini na Ole umefanyika;
Jumla ya mita 870 za mitaro ya umwagiliaji maji b) zimejengwa kwa kiwango cha saruji (Makombeni 200, Kibokwa 200, Mangwena 110, Uzini 130, Bumbwisudi 200 na Mtwango 30);
Jumla ya pampu nne zimetengenezwa Bumwisudi 2, c) Cheju 1 na Kibokwa 1;
Ujenzi wa miundombinu kwa ajili ya uvunaji wa maji d) ya mvua (Rain wáter harvesting) umefanyika katika bonde la Muyuni hekta 5, Kisima mchanga hekta tano
! !
!
1
!"##$%&'(&)*'+%
HOTUBA YA MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA FEDHA ZA WIZARA YA KILIMO, MALIASILI, MIFUGO NA UVUVI KWA MWAKA
WA FEDHA 2018/2019
UTANGULIZI
1. Mheshimiwa Spika, kwa ruhusa yako naomba kutoa hoja kwa Baraza lako Tukufu kwa ajili ya kupitisha Makadirio ya Mapato na Matumizi ya fedha za Wizara ya Kilimo, Maliasili, Mifugo na Uvuvi kwa kazi za Kawaida na kazi za Maendeleo kwa mwaka wa fedha 2018/2019 ambayo yanawasilishwa katika mfumo wa Programu (PBB). 2. Mheshimiwa Spika, kwanza kabisa nachukua fursa hii kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kuibariki nchi yetu kuwa na amani, utulivu na kutuwezesha kufikia siku ya leo tukiwa wazima na wenye afya njema ili tuweze kujadili bajeti hii kwa ajili ya maendeleo ya wananchi wa Zanzibar ambapo asilimia 70 wanajihusisha na kazi za Kilimo, Ufugaji, Uvuvi na Uhifadhi wa Maliasili zetu.
3. Mheshimiwa Spika, nachukua fursa hii kumpongeza Mhe, Dkt. Ali Mohamed Shein, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ambae pia ni Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi kwa kuiongoza nchi yetu katika misingi ya umoja, usalama, amani na utulivu. Aidha, tunampongeza kwa kusimamia vyema utekelezaji wa ILANI ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2015 – 2020 inayotekelezwa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar katika kufanikisha maendeleo ya Sekta ya Kilimo, kwa lengo la kuongeza tija kwa wananchi na kukuza uchumi.
!!"##$%&'(&)*'+%
18
(5) Unguja na mabonde ya Kiongweni na Msaani hekta 10 kwa Pemba ambapo kupitia wakulima 129 (Unguja 50 na Pemba79) wamenufaika.
Wakulima 1,800 katika skimu 10 za umwagiliaji maji e) wamepatiwa elimu ya teknolojia ya SHADIDI katika uzalishaji wa mpunga inayotumia mbegu na maji kidogo ambayo inaongeza uzalishaji wa zao hilo
Mheshimiwa Spika,28. mwaka wa fedha 2017/2018 Programu ndogo hii iliombewa jumla ya TZS 27.15 bilioni ambapo TZS 1.41 bilioni (TZS 1.06 bilioni Mishahara na TZS 350.00 milioni kwa matumizi mengineyo). Aidha, programu ilitarajia kupata TZS 25.74 bilioni ambapo (TZS 740.00 milioni kutoka SMZ na TZS 25.00 bilioni kutoka kwa washirika wa maendeleo mkopo kutoka EXIM BANK KOREA. Hadi kufi kia April, 2018 programu imepata TZS 1.32 bilioni sawa na asilimia 93.6 ambapo (TZS 881.64 milioni mishahara, TZS 255.35 milioni kwa matumizi mengineyo na TZS 180 milioni fedha za maendeleo kutoka SMZ).
Programu Ndogo ya Utafi ti na Mafunzo ya Kilimo
Mheshimiwa Spika, 29. Programu hii inatekelezwa na Taasisi ya Utafi ti wa Kilimo na Chuo cha Kilimo Kizimbani, lengo ni kuimarisha na kuendeleza Tafi ti za Kilimo na Maliasili pamoja na kuimarisha uwezo wa
!!"##$%&'(&)*'+%
! !
!
1
!"##$%&'(&)*'+%
HOTUBA YA MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA FEDHA ZA WIZARA YA KILIMO, MALIASILI, MIFUGO NA UVUVI KWA MWAKA
WA FEDHA 2018/2019
UTANGULIZI
1. Mheshimiwa Spika, kwa ruhusa yako naomba kutoa hoja kwa Baraza lako Tukufu kwa ajili ya kupitisha Makadirio ya Mapato na Matumizi ya fedha za Wizara ya Kilimo, Maliasili, Mifugo na Uvuvi kwa kazi za Kawaida na kazi za Maendeleo kwa mwaka wa fedha 2018/2019 ambayo yanawasilishwa katika mfumo wa Programu (PBB). 2. Mheshimiwa Spika, kwanza kabisa nachukua fursa hii kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kuibariki nchi yetu kuwa na amani, utulivu na kutuwezesha kufikia siku ya leo tukiwa wazima na wenye afya njema ili tuweze kujadili bajeti hii kwa ajili ya maendeleo ya wananchi wa Zanzibar ambapo asilimia 70 wanajihusisha na kazi za Kilimo, Ufugaji, Uvuvi na Uhifadhi wa Maliasili zetu.
3. Mheshimiwa Spika, nachukua fursa hii kumpongeza Mhe, Dkt. Ali Mohamed Shein, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ambae pia ni Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi kwa kuiongoza nchi yetu katika misingi ya umoja, usalama, amani na utulivu. Aidha, tunampongeza kwa kusimamia vyema utekelezaji wa ILANI ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2015 – 2020 inayotekelezwa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar katika kufanikisha maendeleo ya Sekta ya Kilimo, kwa lengo la kuongeza tija kwa wananchi na kukuza uchumi.
1919
Chuo cha Kilimo Kizimbani na kuongeza wataalamu katika fani ya Kilimo na Mifugo.
Utekelezaji wa Shabaha kwa Mwaka 2017/2018
Mheshimiwa Spika,30. mwaka wa fedha wa 2017/2018, programu imetekeleza shabaha zifuatazo:
Uzinduzi rasmi wa Baraza la Taasisi ya Utafi ti wa Kilimo a) Zanzibar umefanyika;
Tafi ti 4 (1 mpunga, 1 migomba, 1 kunde na moja mboga b) kwa Unguja na tafi ti 2 (1 muhogo na 1 sunfl ower) kwa Pemba zimeanzishwa;
Mafunzo ya ndani kwa watafi ti 25 (wanaume 14 na c) wanawake 11) yametolewa;
Rasimu ya kwanza ya muundo wa utumishi (scheme d) of service) imekamilika na inasubiri kuidhinishwa na Baraza la Taasisi ya Utafi ti wa Kilimo na Kamisheni ya Utumishi wa Umma.
Mheshimiwa Spika, 31. mwaka wa fedha 2017/2018 Taasisi ya Utafi ti iliombewa jumla ya TZS 2.16 bilioni kwa kazi za kawaida (TZS 1.96 bilioni mishahara na TZS 200,00 milioni kwa matumizi mengineyo). Hadi kufi kia April, 2018 taasisi imepata TZS 1.76 bilioni (TZS 1.63 bilioni mishahara na TZS 134.10 milioni kwa matumizi mengineyo) sawa na asilimia 81 ya makadirio.
! !
!
1
!"##$%&'(&)*'+%
HOTUBA YA MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA FEDHA ZA WIZARA YA KILIMO, MALIASILI, MIFUGO NA UVUVI KWA MWAKA
WA FEDHA 2018/2019
UTANGULIZI
1. Mheshimiwa Spika, kwa ruhusa yako naomba kutoa hoja kwa Baraza lako Tukufu kwa ajili ya kupitisha Makadirio ya Mapato na Matumizi ya fedha za Wizara ya Kilimo, Maliasili, Mifugo na Uvuvi kwa kazi za Kawaida na kazi za Maendeleo kwa mwaka wa fedha 2018/2019 ambayo yanawasilishwa katika mfumo wa Programu (PBB). 2. Mheshimiwa Spika, kwanza kabisa nachukua fursa hii kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kuibariki nchi yetu kuwa na amani, utulivu na kutuwezesha kufikia siku ya leo tukiwa wazima na wenye afya njema ili tuweze kujadili bajeti hii kwa ajili ya maendeleo ya wananchi wa Zanzibar ambapo asilimia 70 wanajihusisha na kazi za Kilimo, Ufugaji, Uvuvi na Uhifadhi wa Maliasili zetu.
3. Mheshimiwa Spika, nachukua fursa hii kumpongeza Mhe, Dkt. Ali Mohamed Shein, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ambae pia ni Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi kwa kuiongoza nchi yetu katika misingi ya umoja, usalama, amani na utulivu. Aidha, tunampongeza kwa kusimamia vyema utekelezaji wa ILANI ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2015 – 2020 inayotekelezwa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar katika kufanikisha maendeleo ya Sekta ya Kilimo, kwa lengo la kuongeza tija kwa wananchi na kukuza uchumi.
!!"##$%&'(&)*'+%
20
Programu Ndogo ya Mafunzo ya Kilimo (Chuo Cha Kilimo Kizimbani)
Mheshimiwa Spika, 32. Chuo cha Kilimo Kizimbani programu kina jukumu la kutoa mafunzo katika fani za kilimo, malasili na mifugo katika ngazi tofauti. Aidha, kwa mwaka wa fedha 2017/2018, program imetekeleza shabaha zifuatazo:
Utekelezaji wa Shabaha kwa Mwaka 2017/2018
Mafunzo yalitolewa kwaa) wanafunzi 201 (ngazi ya Stashahada 67 na ngazi ya Astashahad 134), kuchukua wanafunzi wapya 169 (ngazi ya Stashahada 67 na ngazi ya Astashahada 102) na waliohitimu masomo 59 (ngazi ya Stashahada 27 na ngazi ya Astashahada 32);
Serikali ya Mapinduzi Zanzibar imeridhia kazi ya kupima, b) kuchora na kugawa maeneo kwa kazi za maendeleo katika eneo la RAZABA, kazi hiyo inafanywa na Shirika la Nyumba (NHC);
Wakulima 170 (100 Bumbwisudi, 20 Muyuni na 50 c) Makombeni) wamepatiwa mafunzo ya uzalishaji bora wa mpunga kupitia mradi wa TANRICE na wameweza kupata mavuno ya wastani wa tani sita (6) katika hekta moja. Pia wakulima 316 na mabwana/bibi shamba 8 katika skimu za Makombeni, Micheweni, Dobi na Tibirinzi – Pemba na Bumbwisudi, Muyuni na Cheju. – Unguja wamepatiwa mafunzo ya kilimo bora cha mpunga.
!!"##$%&'(&)*'+%
! !
!
1
!"##$%&'(&)*'+%
HOTUBA YA MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA FEDHA ZA WIZARA YA KILIMO, MALIASILI, MIFUGO NA UVUVI KWA MWAKA
WA FEDHA 2018/2019
UTANGULIZI
1. Mheshimiwa Spika, kwa ruhusa yako naomba kutoa hoja kwa Baraza lako Tukufu kwa ajili ya kupitisha Makadirio ya Mapato na Matumizi ya fedha za Wizara ya Kilimo, Maliasili, Mifugo na Uvuvi kwa kazi za Kawaida na kazi za Maendeleo kwa mwaka wa fedha 2018/2019 ambayo yanawasilishwa katika mfumo wa Programu (PBB). 2. Mheshimiwa Spika, kwanza kabisa nachukua fursa hii kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kuibariki nchi yetu kuwa na amani, utulivu na kutuwezesha kufikia siku ya leo tukiwa wazima na wenye afya njema ili tuweze kujadili bajeti hii kwa ajili ya maendeleo ya wananchi wa Zanzibar ambapo asilimia 70 wanajihusisha na kazi za Kilimo, Ufugaji, Uvuvi na Uhifadhi wa Maliasili zetu.
3. Mheshimiwa Spika, nachukua fursa hii kumpongeza Mhe, Dkt. Ali Mohamed Shein, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ambae pia ni Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi kwa kuiongoza nchi yetu katika misingi ya umoja, usalama, amani na utulivu. Aidha, tunampongeza kwa kusimamia vyema utekelezaji wa ILANI ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2015 – 2020 inayotekelezwa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar katika kufanikisha maendeleo ya Sekta ya Kilimo, kwa lengo la kuongeza tija kwa wananchi na kukuza uchumi.
2121
Mheshimiwa Spika,33. mwaka wa fedha 2017/2018 Programu iliombewa TZS 782.70 milioni (Ruzuku) kwa kazi za kawaida (TZS 672.80 milioni Mishahara na TZS 109.90 milioni kwa matumizi mengineyo). Hadi kufi kia April, 2018 Chuo kimepata TZS 730.80 milioni (TZS 642.70 milioni mishahara na TZS 88.10 milioni kwa matumizi mengineyo) sawa na asilimia 93 ya makadirio.
Programu Ndogo ya Maendeleo ya Huduma za Kilimo
Mheshimiwa Spika,34. Programu ndogo ya Maendeleo ya Huduma za Kilimo inatekelezwa kupitia Idara ya Kilimo ina majukumu ya kusimamia maendeleo ya uzalishaji wa mazao ya chakula na biashara, kutoa elimu ya uzalishaji na ushauri wa kitaalam kwa wakulima.
Utekelezaji wa Shabaha kwa Mwaka 2017/2018
Mheshimiwa Spika, 35. mwaka wa fedha 2017/2018, program kupitia Idara imetekeleza yafuatayo:
Tani 1,800 za mbolea (900 ya kupandiana 900 ya a) kukuzia), tani 170 za mbegu na lita 17,400 za dawa ya kuulia magugu zimenunuliwa na kusambazwa kwa wakulima Unguja na Pemba kwa ajili ya kilimo cha mpunga. Aidha, tani 88,134 za mazao ya kilimo kutoka na kwenda Tanzania Bara na nje ya nchi zimekaguliwa kwa lengo la kudhibiti maradhi na wadudu waharibifu wa mazao kuingia nchini;
! !
!
1
!"##$%&'(&)*'+%
HOTUBA YA MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA FEDHA ZA WIZARA YA KILIMO, MALIASILI, MIFUGO NA UVUVI KWA MWAKA
WA FEDHA 2018/2019
UTANGULIZI
1. Mheshimiwa Spika, kwa ruhusa yako naomba kutoa hoja kwa Baraza lako Tukufu kwa ajili ya kupitisha Makadirio ya Mapato na Matumizi ya fedha za Wizara ya Kilimo, Maliasili, Mifugo na Uvuvi kwa kazi za Kawaida na kazi za Maendeleo kwa mwaka wa fedha 2018/2019 ambayo yanawasilishwa katika mfumo wa Programu (PBB). 2. Mheshimiwa Spika, kwanza kabisa nachukua fursa hii kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kuibariki nchi yetu kuwa na amani, utulivu na kutuwezesha kufikia siku ya leo tukiwa wazima na wenye afya njema ili tuweze kujadili bajeti hii kwa ajili ya maendeleo ya wananchi wa Zanzibar ambapo asilimia 70 wanajihusisha na kazi za Kilimo, Ufugaji, Uvuvi na Uhifadhi wa Maliasili zetu.
3. Mheshimiwa Spika, nachukua fursa hii kumpongeza Mhe, Dkt. Ali Mohamed Shein, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ambae pia ni Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi kwa kuiongoza nchi yetu katika misingi ya umoja, usalama, amani na utulivu. Aidha, tunampongeza kwa kusimamia vyema utekelezaji wa ILANI ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2015 – 2020 inayotekelezwa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar katika kufanikisha maendeleo ya Sekta ya Kilimo, kwa lengo la kuongeza tija kwa wananchi na kukuza uchumi.
!!"##$%&'(&)*'+%
22
Tani 9.5 za vitunguu thomu zilirudishwa India kutokana b) na kuwa katika hali ya kutoweza kutumika. Tani 11 za ndizi kutoka Tanzania Bara zilikamatwa na kuangamizwa kutokana na kuwepo karantini ya usafi rishaji wa migomba kutokana na maradhi ya “mnyauko” ambayo yameathiri kwa kiasi kikubwa uzalishaji wa ndizi Tanzania Bara na nchi nyengine za Afrika Mashariki.
Jumla ya masanduku 12,080 ya tungule yenye thamani c) ya TZS 1.20 bilioni zimesafi rishwa na kupelekwa Tanzania Bara.
Mikutano 11 ya maandalizi na ufuatiliaji mipango ya d) maendeleo ya kilimo imefanyika kila Wilaya.
Mheshimiwa Spika, mwaka wa fedha 2017/2018 Programu ndogo hii iliombewa jumla ya TZS 5.00 bilioni (TZS 3.10 bilioni Mishahara na TZS 1.90 bilioni kwa matumizi mengineyo. Hadi kufi kia April, 2018 programu imepata TZS 4.35 bilioni (TZS 2.52 bilioni mishahara na TZS 1.83 bilioni kwa matumizi mengineyo) sawa na asilimia 87 ya makadirio.
Programu ya Wakala wa Huduma za Matrekta na zana za Kilimo
Mheshimiwa Spika,36. Programu hii inatekelezwa kupitia Wakala wa Serikali wa Matrekta na zana za kilimo ambapo ina jukumu la kutoa huduma za matrekta kwa wakulima,
!!"##$%&'(&)*'+%
! !
!
1
!"##$%&'(&)*'+%
HOTUBA YA MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA FEDHA ZA WIZARA YA KILIMO, MALIASILI, MIFUGO NA UVUVI KWA MWAKA
WA FEDHA 2018/2019
UTANGULIZI
1. Mheshimiwa Spika, kwa ruhusa yako naomba kutoa hoja kwa Baraza lako Tukufu kwa ajili ya kupitisha Makadirio ya Mapato na Matumizi ya fedha za Wizara ya Kilimo, Maliasili, Mifugo na Uvuvi kwa kazi za Kawaida na kazi za Maendeleo kwa mwaka wa fedha 2018/2019 ambayo yanawasilishwa katika mfumo wa Programu (PBB). 2. Mheshimiwa Spika, kwanza kabisa nachukua fursa hii kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kuibariki nchi yetu kuwa na amani, utulivu na kutuwezesha kufikia siku ya leo tukiwa wazima na wenye afya njema ili tuweze kujadili bajeti hii kwa ajili ya maendeleo ya wananchi wa Zanzibar ambapo asilimia 70 wanajihusisha na kazi za Kilimo, Ufugaji, Uvuvi na Uhifadhi wa Maliasili zetu.
3. Mheshimiwa Spika, nachukua fursa hii kumpongeza Mhe, Dkt. Ali Mohamed Shein, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ambae pia ni Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi kwa kuiongoza nchi yetu katika misingi ya umoja, usalama, amani na utulivu. Aidha, tunampongeza kwa kusimamia vyema utekelezaji wa ILANI ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2015 – 2020 inayotekelezwa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar katika kufanikisha maendeleo ya Sekta ya Kilimo, kwa lengo la kuongeza tija kwa wananchi na kukuza uchumi.
2323
sekta binafsi, Taasisi na kuhamasisha matumizi bora ya matrekta na zana za kilimo.
Utekelezaji wa Shabaha kwa Mwaka 2017/2018
Jumla ya matrekta 23 majembe 17 ya kulimia na majembe a) 10 ya kuburugia yametengenezwa na kupelekwa mabondeni kwa ajili ya kuwahudumia wakulima wa mpunga;
Jumla ya matrekta mapya 20 yamenunuliwa na matreka b) 10 ya msaada yamepokelewa kutoka Libya;
Matengenezo ya ofi si, Karakana pamoja na mashine c) yamefanyika;
Mheshimiwa Spika, 37. mwaka wa fedha 2017/2018 Programu ndogo hii iliombewa jumla ya TZS 300.00 Millioni ikiwa ni Ruzuku kutoka Serikalini. Hadi kufi kia Machi, 2018 imepata TZS 257.50 sawa na asilimia 86.
Programu Ndogo ya Uhakika wa Chakula Na Lishe
Mheshimiwa Spika, 38. kwa upande wa Uhakika wa Chakula na Lishe programu ilitekeleza yafuatayo:
Utekelezaji wa Shabaha kwa Mwaka 2017/2018
Wanajamii 7,043 kutoka Shehia 101 (Unguja 44 na a) Pemba 57) za Wilaya ya Kaskazini ‘A’, Micheweni na Chake chake wamepatiwa mafunzo ya afya na lishe bora;
! !
!
1
!"##$%&'(&)*'+%
HOTUBA YA MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA FEDHA ZA WIZARA YA KILIMO, MALIASILI, MIFUGO NA UVUVI KWA MWAKA
WA FEDHA 2018/2019
UTANGULIZI
1. Mheshimiwa Spika, kwa ruhusa yako naomba kutoa hoja kwa Baraza lako Tukufu kwa ajili ya kupitisha Makadirio ya Mapato na Matumizi ya fedha za Wizara ya Kilimo, Maliasili, Mifugo na Uvuvi kwa kazi za Kawaida na kazi za Maendeleo kwa mwaka wa fedha 2018/2019 ambayo yanawasilishwa katika mfumo wa Programu (PBB). 2. Mheshimiwa Spika, kwanza kabisa nachukua fursa hii kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kuibariki nchi yetu kuwa na amani, utulivu na kutuwezesha kufikia siku ya leo tukiwa wazima na wenye afya njema ili tuweze kujadili bajeti hii kwa ajili ya maendeleo ya wananchi wa Zanzibar ambapo asilimia 70 wanajihusisha na kazi za Kilimo, Ufugaji, Uvuvi na Uhifadhi wa Maliasili zetu.
3. Mheshimiwa Spika, nachukua fursa hii kumpongeza Mhe, Dkt. Ali Mohamed Shein, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ambae pia ni Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi kwa kuiongoza nchi yetu katika misingi ya umoja, usalama, amani na utulivu. Aidha, tunampongeza kwa kusimamia vyema utekelezaji wa ILANI ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2015 – 2020 inayotekelezwa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar katika kufanikisha maendeleo ya Sekta ya Kilimo, kwa lengo la kuongeza tija kwa wananchi na kukuza uchumi.
!!"##$%&'(&)*'+%
24
Ukarabati wa ghala kwa ajili ya hifadhi ya chakula b) umekamilika na matayarisho ya ununuzi wa vifaa, samani za ofi si na chakula (mpunga) zinaendelea;
Ripoti 4 juu ya hali ya chakula na lishe nchini imetolewa c) na kusambazwa kwa wadau;
Ripoti ya hali halisi ya upatikanaji wa chakula kwa d) Wilaya zote za Zanzibar imekamilika na inatarajia kuwasilishwa katika wilaya husika hivi karibuni;
Matayarisho ya Mfumo wa Ufuatiliaji wa Masoko e) (Market Information System) na Bei za Vyakula yameanza na kazi inaendelea.
Mheshimiwa Spika, 39. mwaka wa fedha 2017/2018 Programu hii iliombewa jumla ya TZS 455.61 milioni kwa kazi za kawaida (TZS 236.81 milioni Mishahara na TZS 218.80 milioni kwa matumizi mengineyo). Hadi kufi kia April, 2018 programu imepata TZS 340.85 milioni (TZS 187.09 milioni mishahara na TZS 153.76 milioni kwa matumizi mengineyo) sawa na asilimia 75 ya makadirio.
PROGRAMU KUU YA MAENDELEO YA RASILIMALI ZA MISITU NA MALIASILI ZISIZOREJESHEKA
Mheshimiwa Spika,40. Programu hii inasimamiwa na Idara ya Misitu na Maliasili Zisizorejesheka na ina jukumu la kuwashirikisha wananchi kutunza na kuendeleza
!!"##$%&'(&)*'+%
! !
!
1
!"##$%&'(&)*'+%
HOTUBA YA MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA FEDHA ZA WIZARA YA KILIMO, MALIASILI, MIFUGO NA UVUVI KWA MWAKA
WA FEDHA 2018/2019
UTANGULIZI
1. Mheshimiwa Spika, kwa ruhusa yako naomba kutoa hoja kwa Baraza lako Tukufu kwa ajili ya kupitisha Makadirio ya Mapato na Matumizi ya fedha za Wizara ya Kilimo, Maliasili, Mifugo na Uvuvi kwa kazi za Kawaida na kazi za Maendeleo kwa mwaka wa fedha 2018/2019 ambayo yanawasilishwa katika mfumo wa Programu (PBB). 2. Mheshimiwa Spika, kwanza kabisa nachukua fursa hii kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kuibariki nchi yetu kuwa na amani, utulivu na kutuwezesha kufikia siku ya leo tukiwa wazima na wenye afya njema ili tuweze kujadili bajeti hii kwa ajili ya maendeleo ya wananchi wa Zanzibar ambapo asilimia 70 wanajihusisha na kazi za Kilimo, Ufugaji, Uvuvi na Uhifadhi wa Maliasili zetu.
3. Mheshimiwa Spika, nachukua fursa hii kumpongeza Mhe, Dkt. Ali Mohamed Shein, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ambae pia ni Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi kwa kuiongoza nchi yetu katika misingi ya umoja, usalama, amani na utulivu. Aidha, tunampongeza kwa kusimamia vyema utekelezaji wa ILANI ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2015 – 2020 inayotekelezwa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar katika kufanikisha maendeleo ya Sekta ya Kilimo, kwa lengo la kuongeza tija kwa wananchi na kukuza uchumi.
2525
raslimali za misitu na wanyama pori pamoja na kusimamia uhifadhi wa misitu, maliasili zisizorejesheka, mashamba ya Serikali, viumbe hai pamoja na mazingira yao sambamba na kusimamia mahitaji ya soko na matumizi endelevu ya rasilimali za misitu. Idara inaratibu kazi zake kupitia programu ndogo za Maendeleo ya uhifadhi wa Rasilimali za Misitu na Uhifadhi na Usimamizi wa Maliasili Zisizorejesheka.
Programu Ndogo ya Maendeleo ya Uhifadhi wa Rasilimali za Misitu
Programu hii lengo lake ni kusimamia na kuhifadhi misitu, wanyama pori pamoja na mazingira yao.
Utekelezaji wa shabaha kwa mwaka 2017/2018
Mheshimiwa Spika,41. kwa upande wa Maendeleo ya uhifadhi wa Rasilimali programu ilitekeleza yafuatayo:
Kukamilika kwa kanuni za usimamizi na uhifadhi wa a) misitu na wanyamapori zikiwemo kanuni ya Hifadhi ya Taifa ya Jozani, Kanuni ya Hifadhi za maumbile (Ngezi na Masingini) na kanuni ya uhifadhi wa kimataifa wa wanyama waliohatarini kutoweka (CITES);’
Hekta 25.5 zimepandwa miti katika mashamba ya b) Serikali kwa msimu wa vuli (Dunga 3.5, Chaani 2 na Masingini 1 na 19 miti ya mikoko) na hekta 210 katika mashamba ya Serikali, maeneo ya wazi, kandokando
! !
!
1
!"##$%&'(&)*'+%
HOTUBA YA MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA FEDHA ZA WIZARA YA KILIMO, MALIASILI, MIFUGO NA UVUVI KWA MWAKA
WA FEDHA 2018/2019
UTANGULIZI
1. Mheshimiwa Spika, kwa ruhusa yako naomba kutoa hoja kwa Baraza lako Tukufu kwa ajili ya kupitisha Makadirio ya Mapato na Matumizi ya fedha za Wizara ya Kilimo, Maliasili, Mifugo na Uvuvi kwa kazi za Kawaida na kazi za Maendeleo kwa mwaka wa fedha 2018/2019 ambayo yanawasilishwa katika mfumo wa Programu (PBB). 2. Mheshimiwa Spika, kwanza kabisa nachukua fursa hii kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kuibariki nchi yetu kuwa na amani, utulivu na kutuwezesha kufikia siku ya leo tukiwa wazima na wenye afya njema ili tuweze kujadili bajeti hii kwa ajili ya maendeleo ya wananchi wa Zanzibar ambapo asilimia 70 wanajihusisha na kazi za Kilimo, Ufugaji, Uvuvi na Uhifadhi wa Maliasili zetu.
3. Mheshimiwa Spika, nachukua fursa hii kumpongeza Mhe, Dkt. Ali Mohamed Shein, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ambae pia ni Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi kwa kuiongoza nchi yetu katika misingi ya umoja, usalama, amani na utulivu. Aidha, tunampongeza kwa kusimamia vyema utekelezaji wa ILANI ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2015 – 2020 inayotekelezwa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar katika kufanikisha maendeleo ya Sekta ya Kilimo, kwa lengo la kuongeza tija kwa wananchi na kukuza uchumi.
!!"##$%&'(&)*'+%
26
mwa barabara na maeneo yaliyochimbwa mchanga katika msimu wa masika 2018;
Mazizi 10 ya wanyamapori yametambuliwa ambayo c) yamebainika kuwa na aina nne za wanyama (reptilia 32, samaki 6, mamalia 38 na ndege 27);
Doria 104 (56 Unguja na 48 Pemba) zimefanywa d) na kukamata matukio 92 ya ukataji miti, utumiaji wa msumeno wa moto na matukio 13 yaliripotiwa Polisi, kesi 2 zilifi kishwa mahakamni. Aidha, jumla ya misumeno ya moto 233 (126 Unguja na 107 Pemba) imekamatwa;
Miche ya misitu, mikarafuu na matunda 1,597,382 e) (1,364,267 Unguja na 233,115 Pemba) ilioteshwa katika vitalu vya Serikali;
Wafugaji 962 wa nyuki walitambuliwa (524 wanawake f) na 438 wanaume).Aidha, jumla ya tani 5.3 za asali zimezalishwa kwa mwaka 2017 (Unguja 1.7 na Pemba 3.62);
Mheshimiwa Spika, 42. Programu hii iliombewa jumla ya TZS 2.58 bilioni. (TZS 2.45 bilioni mishahara na TZS 131.92 milioni kwa ajili ya matumizi mengineyo. Hadi kufi kia April, 2018 programu imepata TZS 2.09 bilioni (TZS 2.01 bilioni mishahara na TZS 84.13 milioni kwa matumizi mengineyo) sawa na asilimia 81 ya makadirio.
!!"##$%&'(&)*'+%
! !
!
1
!"##$%&'(&)*'+%
HOTUBA YA MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA FEDHA ZA WIZARA YA KILIMO, MALIASILI, MIFUGO NA UVUVI KWA MWAKA
WA FEDHA 2018/2019
UTANGULIZI
1. Mheshimiwa Spika, kwa ruhusa yako naomba kutoa hoja kwa Baraza lako Tukufu kwa ajili ya kupitisha Makadirio ya Mapato na Matumizi ya fedha za Wizara ya Kilimo, Maliasili, Mifugo na Uvuvi kwa kazi za Kawaida na kazi za Maendeleo kwa mwaka wa fedha 2018/2019 ambayo yanawasilishwa katika mfumo wa Programu (PBB). 2. Mheshimiwa Spika, kwanza kabisa nachukua fursa hii kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kuibariki nchi yetu kuwa na amani, utulivu na kutuwezesha kufikia siku ya leo tukiwa wazima na wenye afya njema ili tuweze kujadili bajeti hii kwa ajili ya maendeleo ya wananchi wa Zanzibar ambapo asilimia 70 wanajihusisha na kazi za Kilimo, Ufugaji, Uvuvi na Uhifadhi wa Maliasili zetu.
3. Mheshimiwa Spika, nachukua fursa hii kumpongeza Mhe, Dkt. Ali Mohamed Shein, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ambae pia ni Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi kwa kuiongoza nchi yetu katika misingi ya umoja, usalama, amani na utulivu. Aidha, tunampongeza kwa kusimamia vyema utekelezaji wa ILANI ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2015 – 2020 inayotekelezwa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar katika kufanikisha maendeleo ya Sekta ya Kilimo, kwa lengo la kuongeza tija kwa wananchi na kukuza uchumi.
2727
Programu ndogo ya Uhifadhi na Usimamizi wa Maliasili Zisizorejesheka
Mheshimiwa Spika, 43. Programu hii lengo lake kuhifadhi na kusimamia matumizi ya Maliasili Zisizorejesheka.
Utekelezaji wa shabaha kwa mwaka 2017/2018
Hekta 7 (4 Zingwezingwe na 3 Manga Pwani) a) zimepandwa miti ya misitu msimu wa Vuli 2017/2018;
Doria 55 (35 Unguja na 20 Pemba) zimefanywa na b) kukamata matukio 59 ya uchimbaji na usafi rishaji maliasili zisizorejesheka yanayojumuisha (33 Mchanga, 6 Kifusi, 5 Gari za Ng’ombe, 4 Kokoto, 2 Mawe, 5 Matofali ya Jasi na 3 Udongo);
Kesi ya kughushi nyaraka za malipo ya mchanga c) inaendelea mahakamani kwa kushirikiana na ZAECA ambapo magari 4 yanaendelea kushikiliwa, jumla ya TZS 82,000,000 zimelipwa ikiwa ni faini;
Rasimu ya Sera na Sheria ya Maliasili zisizorejesheka d) zimeandaliwa na kuwasilishwa ngazi ya Wizara kwa mapitio zaidi.
Mheshimiwa Spika, 44. mwaka wa fedha 2017/2018 Programu ndogo hii iliombewa jumla ya TZS 191.16 milioni kwa kazi za kawaida. Hadi kufi kia April, 2018 programu imepata TZS 155.35 milioni kwa matumizi mengineyo, sawa na asilimia 81.
! !
!
1
!"##$%&'(&)*'+%
HOTUBA YA MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA FEDHA ZA WIZARA YA KILIMO, MALIASILI, MIFUGO NA UVUVI KWA MWAKA
WA FEDHA 2018/2019
UTANGULIZI
1. Mheshimiwa Spika, kwa ruhusa yako naomba kutoa hoja kwa Baraza lako Tukufu kwa ajili ya kupitisha Makadirio ya Mapato na Matumizi ya fedha za Wizara ya Kilimo, Maliasili, Mifugo na Uvuvi kwa kazi za Kawaida na kazi za Maendeleo kwa mwaka wa fedha 2018/2019 ambayo yanawasilishwa katika mfumo wa Programu (PBB). 2. Mheshimiwa Spika, kwanza kabisa nachukua fursa hii kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kuibariki nchi yetu kuwa na amani, utulivu na kutuwezesha kufikia siku ya leo tukiwa wazima na wenye afya njema ili tuweze kujadili bajeti hii kwa ajili ya maendeleo ya wananchi wa Zanzibar ambapo asilimia 70 wanajihusisha na kazi za Kilimo, Ufugaji, Uvuvi na Uhifadhi wa Maliasili zetu.
3. Mheshimiwa Spika, nachukua fursa hii kumpongeza Mhe, Dkt. Ali Mohamed Shein, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ambae pia ni Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi kwa kuiongoza nchi yetu katika misingi ya umoja, usalama, amani na utulivu. Aidha, tunampongeza kwa kusimamia vyema utekelezaji wa ILANI ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2015 – 2020 inayotekelezwa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar katika kufanikisha maendeleo ya Sekta ya Kilimo, kwa lengo la kuongeza tija kwa wananchi na kukuza uchumi.
!!"##$%&'(&)*'+%
28
PROGRAMU YA MAENDELEO YA MIFUGO
Mheshimiwa Spika, 45. Programu ya Maendeleo ya Mifugo jukumu lake kubwa ni kuendeleza sekta ya mifugo na kuongeza uzalishaji na ubora wa mifugo na mazao yake.
Programu hii imegawika katika programu ndogo mbili:
Programu ndogo ya uzalishaji mifugoa)
Programu ndogo ya utabibu wa mifugob)
Programu Ndogo ya Uzalishaji wa Mifugo
Mheshimiwa Spika,46. Programu ndogo ya uzalishaji wa Mifugo ililenga kuongeza uzalishaji na ubora wa mifugo na mazao yake.
Utekelezaji wa Shabaha za Programu Ndogo ya Uzalishaji wa Mifugo kwa Mwaka 2017/2018
Mitambo 2 ya biogas imejengwa Bungi na Ubago kwa a) Unguja;
Jumla ya kuku 72,531 walipatiwa chanjo ya ugonjwa b) wa Mahepe Unguja na Pemba;
Jumla ya mbwa 2,326 na paka 369 walipatiwa chanjo c) dhidi ya ugonjwa wa Kichaa cha mbwa (Rabies) na wengine 91 (Mbwa 35 na Paka 56) walifungwa uzazi;
Wanyama 51,411 walioogeshwa (ng’ombe 17,241, d) mbuzi/kondoo 5,334, mbwa 2,264, paka 338, Punda 132, kuku 26,100 (Dusting) na sungura 2.
!!"##$%&'(&)*'+%
! !
!
1
!"##$%&'(&)*'+%
HOTUBA YA MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA FEDHA ZA WIZARA YA KILIMO, MALIASILI, MIFUGO NA UVUVI KWA MWAKA
WA FEDHA 2018/2019
UTANGULIZI
1. Mheshimiwa Spika, kwa ruhusa yako naomba kutoa hoja kwa Baraza lako Tukufu kwa ajili ya kupitisha Makadirio ya Mapato na Matumizi ya fedha za Wizara ya Kilimo, Maliasili, Mifugo na Uvuvi kwa kazi za Kawaida na kazi za Maendeleo kwa mwaka wa fedha 2018/2019 ambayo yanawasilishwa katika mfumo wa Programu (PBB). 2. Mheshimiwa Spika, kwanza kabisa nachukua fursa hii kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kuibariki nchi yetu kuwa na amani, utulivu na kutuwezesha kufikia siku ya leo tukiwa wazima na wenye afya njema ili tuweze kujadili bajeti hii kwa ajili ya maendeleo ya wananchi wa Zanzibar ambapo asilimia 70 wanajihusisha na kazi za Kilimo, Ufugaji, Uvuvi na Uhifadhi wa Maliasili zetu.
3. Mheshimiwa Spika, nachukua fursa hii kumpongeza Mhe, Dkt. Ali Mohamed Shein, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ambae pia ni Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi kwa kuiongoza nchi yetu katika misingi ya umoja, usalama, amani na utulivu. Aidha, tunampongeza kwa kusimamia vyema utekelezaji wa ILANI ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2015 – 2020 inayotekelezwa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar katika kufanikisha maendeleo ya Sekta ya Kilimo, kwa lengo la kuongeza tija kwa wananchi na kukuza uchumi.
2929
Wanyama 72,045 wametibiwa maradhi tofauti (ng’ombe e) 12,213 mbuzi/kondoo 6,190 mbwa 2,815 paka 885, kuku 49,794, sungura 103 na punda 45);
Jumla ya ng’ombe 1,250 walipandishwa kwa sindano f) Unguja na Pemba.
Mheshimiwa Spika, 47. Programu ndogo hizi ziliombewa jumla ya TZS 2.11 bilioni kati ya fedha hizo (TZS 1.86 bilioni mishahara na TZS 250.00 milioni kwa ajili ya matumizi mengineyo). Hadi kufi kia April, 2018 programu zimepata TZS 1.72 bilioni (TZS 1.54 bilioni mishahara na TZS 182.59 milioni kwa matumizi mengineyo) sawa na asilimia 82 ya makadirio.
Programu Ndogo ya Wakala wa Tafi ti za Mifugo –ZALIRA
Utekelezaji wa Shabaha za Programu ya Wakala wa tafi ti za Mifugo 2017/2018
Wakala wametiliana saini na Chuo cha Mafunzo kukarabati a) majengo ya ofi si kuu ya ZALIRA Kizimbani;
Watafi ti wawili wamepatiwa mafunzo ya uandishi wa b) miradi ya utafi ti;
Kukamilika kwa utafi ti wa uzito wa ng’ombe na nyama c) ambapo matokeo ya awali yanatarajiwa kutolewa mwezi wa Juni, 2018;
! !
!
1
!"##$%&'(&)*'+%
HOTUBA YA MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA FEDHA ZA WIZARA YA KILIMO, MALIASILI, MIFUGO NA UVUVI KWA MWAKA
WA FEDHA 2018/2019
UTANGULIZI
1. Mheshimiwa Spika, kwa ruhusa yako naomba kutoa hoja kwa Baraza lako Tukufu kwa ajili ya kupitisha Makadirio ya Mapato na Matumizi ya fedha za Wizara ya Kilimo, Maliasili, Mifugo na Uvuvi kwa kazi za Kawaida na kazi za Maendeleo kwa mwaka wa fedha 2018/2019 ambayo yanawasilishwa katika mfumo wa Programu (PBB). 2. Mheshimiwa Spika, kwanza kabisa nachukua fursa hii kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kuibariki nchi yetu kuwa na amani, utulivu na kutuwezesha kufikia siku ya leo tukiwa wazima na wenye afya njema ili tuweze kujadili bajeti hii kwa ajili ya maendeleo ya wananchi wa Zanzibar ambapo asilimia 70 wanajihusisha na kazi za Kilimo, Ufugaji, Uvuvi na Uhifadhi wa Maliasili zetu.
3. Mheshimiwa Spika, nachukua fursa hii kumpongeza Mhe, Dkt. Ali Mohamed Shein, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ambae pia ni Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi kwa kuiongoza nchi yetu katika misingi ya umoja, usalama, amani na utulivu. Aidha, tunampongeza kwa kusimamia vyema utekelezaji wa ILANI ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2015 – 2020 inayotekelezwa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar katika kufanikisha maendeleo ya Sekta ya Kilimo, kwa lengo la kuongeza tija kwa wananchi na kukuza uchumi.
!!"##$%&'(&)*'+%
30
Ukarabati wa mabanda ya kufanyia tafi ti za kuku na d) mbuzi unaendelea na unatarajiwa kukamilika mwezi wa Juni, 2018;
Rasimu ya Mpango mkakati wa ZALIRA umetayarishwa e) na unapitiwa na wadau.
Mheshimiwa Spika, 48. Programu hii iliombewa jumla ya TZS 500.00 milioni kwa ajili ya ruzuku. Hadi kufi kia April, 2018 programu imepata TZS 434.05 milioni sawa na asilimia 87 ya makadirio.
PROGRAMU YA MAENDELEO YA UVUVI
Mheshimiwa Spika, 49. Programu ya Maendeleo ya Uvuvi dhumuni lake kubwa ni kuendeleza uvuvi na kuongeza uzalishaji wa samaki na mazao ya baharini kwa njia ya ufugaji.
Pragramu hii imegawika katika program ndogo mbili:
Programu ndogo ya Maendeleo ya Uvuvi na Uhifadhi a) wa Bahari.
Programu ndogo ya Ufugaji wa Mazao ya Baharini.b)
Programu Ndogo ya Maendeleo ya Uvuvi na Uhifadhi wa Bahari
Mheshimiwa Spika, 50. Programu ndogo ya Maendeleo ya Uvuvi na Uhifadhi wa bahari inalenga kuendeleza uvuvi
!!"##$%&'(&)*'+%
! !
!
1
!"##$%&'(&)*'+%
HOTUBA YA MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA FEDHA ZA WIZARA YA KILIMO, MALIASILI, MIFUGO NA UVUVI KWA MWAKA
WA FEDHA 2018/2019
UTANGULIZI
1. Mheshimiwa Spika, kwa ruhusa yako naomba kutoa hoja kwa Baraza lako Tukufu kwa ajili ya kupitisha Makadirio ya Mapato na Matumizi ya fedha za Wizara ya Kilimo, Maliasili, Mifugo na Uvuvi kwa kazi za Kawaida na kazi za Maendeleo kwa mwaka wa fedha 2018/2019 ambayo yanawasilishwa katika mfumo wa Programu (PBB). 2. Mheshimiwa Spika, kwanza kabisa nachukua fursa hii kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kuibariki nchi yetu kuwa na amani, utulivu na kutuwezesha kufikia siku ya leo tukiwa wazima na wenye afya njema ili tuweze kujadili bajeti hii kwa ajili ya maendeleo ya wananchi wa Zanzibar ambapo asilimia 70 wanajihusisha na kazi za Kilimo, Ufugaji, Uvuvi na Uhifadhi wa Maliasili zetu.
3. Mheshimiwa Spika, nachukua fursa hii kumpongeza Mhe, Dkt. Ali Mohamed Shein, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ambae pia ni Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi kwa kuiongoza nchi yetu katika misingi ya umoja, usalama, amani na utulivu. Aidha, tunampongeza kwa kusimamia vyema utekelezaji wa ILANI ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2015 – 2020 inayotekelezwa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar katika kufanikisha maendeleo ya Sekta ya Kilimo, kwa lengo la kuongeza tija kwa wananchi na kukuza uchumi.
3131
wa kienyeji na kusimamia rasilimali za baharini kwa matumizi endelevu. Kwa mwaka wa fedha 2017/2018, Programu ndogo hii ilitekeleza shabaha zifuatazo:
Jumla ya doria 174 zilifanyika, kati ya hizo, doria 50 ni a) za kuangalia leseni za vyombo vya uvuvi na doria 124 za ukaguzi wa tiketi za wageni ziliendelea kufanyika kisiwani Mnemba, Kizimkazi na Fumba;
Taaluma ya uhifadhi ilitolewa kwa kufanya mikutano b) tisa (9) kwa kamati za uvuvi maeneo ya hifadhi nchini;
Utafi ti wa kujua kiwango cha samaki katika maji c) ya ndani unaendelea kufanywa kwa awamu, ikiwa pamoja na kujua aina za samaki tulionao kupitia mradi wa SWIOFish. Aidha, maeneo mapya ya hifadhi ya Tumbatu (TUMCA) na Changu Bawe (CHABAMCA) yameanzishwa na mipaka ya hifadhi kongwe za MIMCA na MENAI imefanyiwa marekebisho;
Mafunzo ya ufugaji wa kaa na majongoo yalitolewa kwa d) washiriki 34 (wanawake 13 na wanaume 21), mafunzo hayo yalihusu njia bora za ufugaji, ujenzi wa uzio kwa ajili ya kufugia majongoo na vizimba vya kufugia kaa; na programu ilisimamia utekelezaji wa Mradi mmoja wa SWIOfi sh.
Mheshimiwa Spika,51. mwaka wa fedha wa 2017/2018, Programu ndogo ya Maendeleo ya Uvuvi na Hifadhi za Baharini iliombewa TZS 10.84 bilioni kati ya hizo TZS
! !
!
1
!"##$%&'(&)*'+%
HOTUBA YA MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA FEDHA ZA WIZARA YA KILIMO, MALIASILI, MIFUGO NA UVUVI KWA MWAKA
WA FEDHA 2018/2019
UTANGULIZI
1. Mheshimiwa Spika, kwa ruhusa yako naomba kutoa hoja kwa Baraza lako Tukufu kwa ajili ya kupitisha Makadirio ya Mapato na Matumizi ya fedha za Wizara ya Kilimo, Maliasili, Mifugo na Uvuvi kwa kazi za Kawaida na kazi za Maendeleo kwa mwaka wa fedha 2018/2019 ambayo yanawasilishwa katika mfumo wa Programu (PBB). 2. Mheshimiwa Spika, kwanza kabisa nachukua fursa hii kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kuibariki nchi yetu kuwa na amani, utulivu na kutuwezesha kufikia siku ya leo tukiwa wazima na wenye afya njema ili tuweze kujadili bajeti hii kwa ajili ya maendeleo ya wananchi wa Zanzibar ambapo asilimia 70 wanajihusisha na kazi za Kilimo, Ufugaji, Uvuvi na Uhifadhi wa Maliasili zetu.
3. Mheshimiwa Spika, nachukua fursa hii kumpongeza Mhe, Dkt. Ali Mohamed Shein, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ambae pia ni Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi kwa kuiongoza nchi yetu katika misingi ya umoja, usalama, amani na utulivu. Aidha, tunampongeza kwa kusimamia vyema utekelezaji wa ILANI ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2015 – 2020 inayotekelezwa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar katika kufanikisha maendeleo ya Sekta ya Kilimo, kwa lengo la kuongeza tija kwa wananchi na kukuza uchumi.
!!"##$%&'(&)*'+%
32
1.16 bilioni ziliombwa kwa kazi za kawaida (mishahara TZS 848.71 milioni na matumizi mengineyo TZS 158.40 milioni), TZS 9.83 bilioni kwa kazi za maendeleo ambapo TZS 290.00 milioni ni kutoka SMZ na TZS 9.54 Bilioni kutoka kwa Washirika wa Maendeleo. Hadi kufi kia April 2018, Programu imepatiwa TZS 851.68 milioni kwa kazi za kawaida sawa na asilimia 73 ambapo (TZS 724.65 mshahara na TZS 127.03 matumizi mengineyo). Aidha, programu imepata TZS 1.44 bilioni kutoka kwa Washirika wa Maendeleo na TZS 90.00 milioni kutoka SMZ, sawa na asilimia 15 ya makadirio.
Programu Ndogo ya Ufugaji wa Mazao ya BahariniMheshimiwa Spika, 52. Programu ndogo ya Mazao ya Baharini inalenga kuongeza uzalishaji wa samaki na mazao mengine ya baharini.
Utekelezaji wa Shabaha za Programu Ndogo ya Ufugaji wa Mazao ya Bahari kwa Mwaka 2017/2018
Wafugaji wa mazao ya baharini 52 wamepatiwa a) mafunzo ya mwezi mmoja kuhusu ufugaji wa Chaza, Kaa, Majongoo na Samaki;
Wizara imesaidia ujenzi wa miundombinu ya mabwawa b) na kuwapatia pampu wafugaji wa samaki;
Wizara inaendelea na utaratibu wa zabuni wa ununuzi c) wa gari maalumu ya kusambazia vifaranga vya samaki Pemba.
!!"##$%&'(&)*'+%
! !
!
1
!"##$%&'(&)*'+%
HOTUBA YA MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA FEDHA ZA WIZARA YA KILIMO, MALIASILI, MIFUGO NA UVUVI KWA MWAKA
WA FEDHA 2018/2019
UTANGULIZI
1. Mheshimiwa Spika, kwa ruhusa yako naomba kutoa hoja kwa Baraza lako Tukufu kwa ajili ya kupitisha Makadirio ya Mapato na Matumizi ya fedha za Wizara ya Kilimo, Maliasili, Mifugo na Uvuvi kwa kazi za Kawaida na kazi za Maendeleo kwa mwaka wa fedha 2018/2019 ambayo yanawasilishwa katika mfumo wa Programu (PBB). 2. Mheshimiwa Spika, kwanza kabisa nachukua fursa hii kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kuibariki nchi yetu kuwa na amani, utulivu na kutuwezesha kufikia siku ya leo tukiwa wazima na wenye afya njema ili tuweze kujadili bajeti hii kwa ajili ya maendeleo ya wananchi wa Zanzibar ambapo asilimia 70 wanajihusisha na kazi za Kilimo, Ufugaji, Uvuvi na Uhifadhi wa Maliasili zetu.
3. Mheshimiwa Spika, nachukua fursa hii kumpongeza Mhe, Dkt. Ali Mohamed Shein, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ambae pia ni Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi kwa kuiongoza nchi yetu katika misingi ya umoja, usalama, amani na utulivu. Aidha, tunampongeza kwa kusimamia vyema utekelezaji wa ILANI ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2015 – 2020 inayotekelezwa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar katika kufanikisha maendeleo ya Sekta ya Kilimo, kwa lengo la kuongeza tija kwa wananchi na kukuza uchumi.
3333
Jumla ya tani 10,455.01 zenye thamani ya TZS 7.19 d) bilioni za mazao ya baharini yalisafi rishwa nchi za nje ikiwemo pweza, mwani, dagaa, chaza na samaki.
Mheshimiwa Spika,53. Programu ndogo ya ufugaji wa mazao ya baharini iliidhinishiwa TZS 2.86 bilioni kati ya hizo TZS 157.19 milioni kwa kazi za kawaida. TZS 2.70 bilioni kwa kazi za maendeleo ambapo TZS 200.00 milioni ni kutoka SMZ na TZS 2.50 bilioni kutoka kwa Washirika wa Maendeleo. Hadi kufi kia April, 2018 programu imepata TZS 109.42 milioni kwa kazi za kawaida na TZS 2.5 bilioni kwa kazi za maendeleo, sawa na asilimia 91 ya makadirio.
KAMPUNI YA UVUVI ZANZIBAR
Mheshimiwa Spika54. , Lengo kuu la Kampuni ya Uvuvi ni kuanzisha Uvuvi wa kibiashara kwa kuimarisha ujenzi wa Miundombinu ya Uvuvi na kuelekeza nchi yetu katika uchumi wa Buluu.
Utekelezaji wa Shabaha Kampuni ya Uvuvi ya ZAFICO 2017/2018
Kampuni imeweza kutekeleza shabaha zifuatazo:
Kukamilika uzinduzi wa bodi ya kampuni ya ZAFICOa)
Kuanza utaratibu wa kutayarisha mpango wa Kibiashara b) wa Kampuni.
! !
!
1
!"##$%&'(&)*'+%
HOTUBA YA MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA FEDHA ZA WIZARA YA KILIMO, MALIASILI, MIFUGO NA UVUVI KWA MWAKA
WA FEDHA 2018/2019
UTANGULIZI
1. Mheshimiwa Spika, kwa ruhusa yako naomba kutoa hoja kwa Baraza lako Tukufu kwa ajili ya kupitisha Makadirio ya Mapato na Matumizi ya fedha za Wizara ya Kilimo, Maliasili, Mifugo na Uvuvi kwa kazi za Kawaida na kazi za Maendeleo kwa mwaka wa fedha 2018/2019 ambayo yanawasilishwa katika mfumo wa Programu (PBB). 2. Mheshimiwa Spika, kwanza kabisa nachukua fursa hii kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kuibariki nchi yetu kuwa na amani, utulivu na kutuwezesha kufikia siku ya leo tukiwa wazima na wenye afya njema ili tuweze kujadili bajeti hii kwa ajili ya maendeleo ya wananchi wa Zanzibar ambapo asilimia 70 wanajihusisha na kazi za Kilimo, Ufugaji, Uvuvi na Uhifadhi wa Maliasili zetu.
3. Mheshimiwa Spika, nachukua fursa hii kumpongeza Mhe, Dkt. Ali Mohamed Shein, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ambae pia ni Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi kwa kuiongoza nchi yetu katika misingi ya umoja, usalama, amani na utulivu. Aidha, tunampongeza kwa kusimamia vyema utekelezaji wa ILANI ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2015 – 2020 inayotekelezwa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar katika kufanikisha maendeleo ya Sekta ya Kilimo, kwa lengo la kuongeza tija kwa wananchi na kukuza uchumi.
!!"##$%&'(&)*'+%
34
Utayarishaji wa rasimu ya mpango mkakati wa c) Kampuni.
Kuanza utaratibu wa ununuzi wa meli ya uvuvi.d)
Mheshimiwa Spika; 55. Kampuni ya Uvuvi Zanzibar (ZAFICO) inategemewa kutumia Jumla ya TZS 7.0 bilioni zitakazochangiwa na mashirika ya ndani ya Zanzibar ikiwemo ZSSF, ZSTC, BIMA na Shirika la Bandari.
PROGRAMU YA UTAWALA, MIPANGO NA USIMAMIZI WA KAZI ZA WIZARA
Mheshimiwa Spika56. , Programu hii inayojumuisha programu ndogo tatu ambazo zinasimamiwa na Idara ya Mipango Sera na Utafi ti, Idara ya Uendeshaji na Utumishi na Ofi si Kuu Pemba.
Programu Ndogo ya Mipango na Usimamizi wa Kazi za Wizara
Mheshimiwa Spika, 57. dhumuni la Programu hii ni kusimamia na kuratibu Sera, Sheria, Mikakati, Mipango ya Maendeleo na Utafi ti. Idara pia inaratibu mashirikiano ya Wizara na taasisi za ndani na nje ya nchi ikiwemo Washirika wa Maendeleo na Sekta Binafsi. Kwa mwaka wa fedha wa 2017/2018 Programu imetekeleza yafuatayo:
!!"##$%&'(&)*'+%
! !
!
1
!"##$%&'(&)*'+%
HOTUBA YA MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA FEDHA ZA WIZARA YA KILIMO, MALIASILI, MIFUGO NA UVUVI KWA MWAKA
WA FEDHA 2018/2019
UTANGULIZI
1. Mheshimiwa Spika, kwa ruhusa yako naomba kutoa hoja kwa Baraza lako Tukufu kwa ajili ya kupitisha Makadirio ya Mapato na Matumizi ya fedha za Wizara ya Kilimo, Maliasili, Mifugo na Uvuvi kwa kazi za Kawaida na kazi za Maendeleo kwa mwaka wa fedha 2018/2019 ambayo yanawasilishwa katika mfumo wa Programu (PBB). 2. Mheshimiwa Spika, kwanza kabisa nachukua fursa hii kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kuibariki nchi yetu kuwa na amani, utulivu na kutuwezesha kufikia siku ya leo tukiwa wazima na wenye afya njema ili tuweze kujadili bajeti hii kwa ajili ya maendeleo ya wananchi wa Zanzibar ambapo asilimia 70 wanajihusisha na kazi za Kilimo, Ufugaji, Uvuvi na Uhifadhi wa Maliasili zetu.
3. Mheshimiwa Spika, nachukua fursa hii kumpongeza Mhe, Dkt. Ali Mohamed Shein, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ambae pia ni Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi kwa kuiongoza nchi yetu katika misingi ya umoja, usalama, amani na utulivu. Aidha, tunampongeza kwa kusimamia vyema utekelezaji wa ILANI ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2015 – 2020 inayotekelezwa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar katika kufanikisha maendeleo ya Sekta ya Kilimo, kwa lengo la kuongeza tija kwa wananchi na kukuza uchumi.
3535
Mapitio ya Rasimu ya Será ya kilimo (2002) ya Zanzibar a) yamefanyika pamoja na kupata maoni ya wadau kwa Unguja na Pemba;
Mpango Mkakati wa Wizara (2017-2020) umeandaliwa b) na umekamilika;
Mapitio ya Sheria ya Uhifadhi na Utibabu wa Mimea c) yamekamilika na inasubiri maoni ya Mwanasheria Mkuu;
Kusimamia utekelezaji wa programu na miradi ya; d) Programu ya MIVARF; Mradi wa Kuimarisha Uzalishaji wa Mpunga –ERPP,Mradi wa (ZANRICE), naMradi wa Kuendeleza Miundombinu ya Mifugo;
Utayarishaji wa programu ya Maendeleo ya Sekta ya e) Kilimo Z-ASDP umeanza na utaendelea mwaka 2018/19 ambapo mshauri muelekezi kutoka FAO atasaidia utayarishaji huo;
Tathmini ya vikundi 119 kwa ajili ya kupatiwa mikopo f) kupitia Benki ya maendeleo ya Kilimo Tanzania. Aidha, Jumla ya Tsh. Milioni 108,000,000 zimetolewa mkopo kwa vikundi 54 vya uzalishaji wa mazao ya mboga na matunda;
Jumla ya miradi mitano (5) mipya imeanzishwa kwa g) lengo la kuendeleza sekta ya kilimo na maliasili ikiwemo Mradi wa Kuunganisha sekta binafsi katika kilimo (Agri Connect), Mradi wa kudhibiti Sumukuvu (Afl atoxin),
! !
!
1
!"##$%&'(&)*'+%
HOTUBA YA MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA FEDHA ZA WIZARA YA KILIMO, MALIASILI, MIFUGO NA UVUVI KWA MWAKA
WA FEDHA 2018/2019
UTANGULIZI
1. Mheshimiwa Spika, kwa ruhusa yako naomba kutoa hoja kwa Baraza lako Tukufu kwa ajili ya kupitisha Makadirio ya Mapato na Matumizi ya fedha za Wizara ya Kilimo, Maliasili, Mifugo na Uvuvi kwa kazi za Kawaida na kazi za Maendeleo kwa mwaka wa fedha 2018/2019 ambayo yanawasilishwa katika mfumo wa Programu (PBB). 2. Mheshimiwa Spika, kwanza kabisa nachukua fursa hii kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kuibariki nchi yetu kuwa na amani, utulivu na kutuwezesha kufikia siku ya leo tukiwa wazima na wenye afya njema ili tuweze kujadili bajeti hii kwa ajili ya maendeleo ya wananchi wa Zanzibar ambapo asilimia 70 wanajihusisha na kazi za Kilimo, Ufugaji, Uvuvi na Uhifadhi wa Maliasili zetu.
3. Mheshimiwa Spika, nachukua fursa hii kumpongeza Mhe, Dkt. Ali Mohamed Shein, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ambae pia ni Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi kwa kuiongoza nchi yetu katika misingi ya umoja, usalama, amani na utulivu. Aidha, tunampongeza kwa kusimamia vyema utekelezaji wa ILANI ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2015 – 2020 inayotekelezwa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar katika kufanikisha maendeleo ya Sekta ya Kilimo, kwa lengo la kuongeza tija kwa wananchi na kukuza uchumi.
!!"##$%&'(&)*'+%
36
Mradi wa Kilimo cha kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi Climate Smart Agriculture, Mradi wa matunda na mboga na Mradi wa Uimarishaji wa Usimamizi na Matumizi ya Misitu ya Ukanda wa Pwani;
Kukamilika kwa kalenda ya upandaji na uvunaji wa h) mazao pamoja na utoaji wa Jarida la Kilimo toleo namba 17;
Uundaji wa baraza la Utafi ti kwa sekta ya Kilimo i) umekamilika.
Mheshimiwa Spika,58. mwaka wa fedha 2017/2018 Programu ndogo hii iliidhinishiwa jumla ya TZS 9.82 bilioni. TZS 547.20 milioni kwa kazi za kawaida ambapo (TZS 338,06 Milioni mishahara na TZS 209.13 milioni matumizi mengineyo). Kwa upande wa fedha za maendeleo program ilitarajia kupata TZS 8.63 bilioni kwa miradi ya maendeleo TZS 1.52 bilioni kutoka SMZ na TZS 7.11 bilioni kutoka washirika wa maendeleo. Hadi kufi kia April, 2018 programu imepata jumla ya TZS 449.27 milioni kwa kazi za kawaida sawa na asilimia 82 ambapo (TZS 282.93 milioni mishahara na TZS 166.34 milioni matumizi mengineyo). Aidha, program imepata TZS 4.49 bilioni kwa miradi ya maendeleo, TZS 1.18 bilioni kutoka SMZ na TZS 3.31 bilioni kutoka kwa washirika wa maendeleo, sawa na asilimia 52 ya makadirio.
!!"##$%&'(&)*'+%
! !
!
1
!"##$%&'(&)*'+%
HOTUBA YA MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA FEDHA ZA WIZARA YA KILIMO, MALIASILI, MIFUGO NA UVUVI KWA MWAKA
WA FEDHA 2018/2019
UTANGULIZI
1. Mheshimiwa Spika, kwa ruhusa yako naomba kutoa hoja kwa Baraza lako Tukufu kwa ajili ya kupitisha Makadirio ya Mapato na Matumizi ya fedha za Wizara ya Kilimo, Maliasili, Mifugo na Uvuvi kwa kazi za Kawaida na kazi za Maendeleo kwa mwaka wa fedha 2018/2019 ambayo yanawasilishwa katika mfumo wa Programu (PBB). 2. Mheshimiwa Spika, kwanza kabisa nachukua fursa hii kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kuibariki nchi yetu kuwa na amani, utulivu na kutuwezesha kufikia siku ya leo tukiwa wazima na wenye afya njema ili tuweze kujadili bajeti hii kwa ajili ya maendeleo ya wananchi wa Zanzibar ambapo asilimia 70 wanajihusisha na kazi za Kilimo, Ufugaji, Uvuvi na Uhifadhi wa Maliasili zetu.
3. Mheshimiwa Spika, nachukua fursa hii kumpongeza Mhe, Dkt. Ali Mohamed Shein, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ambae pia ni Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi kwa kuiongoza nchi yetu katika misingi ya umoja, usalama, amani na utulivu. Aidha, tunampongeza kwa kusimamia vyema utekelezaji wa ILANI ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2015 – 2020 inayotekelezwa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar katika kufanikisha maendeleo ya Sekta ya Kilimo, kwa lengo la kuongeza tija kwa wananchi na kukuza uchumi.
3737
Programu ya Utawala na uendeshaji wa kazi za kilimo maliasili mifugo na uvuvi
Mheshimiwa Spika,59. Programu ndogo ya utawala na uendeshaji imetekelezwa na Idara ya Uendeshaji na Utumishi. Madhumuni a programu hii ni kusimamia rasilimali watu na kutoa huduma za utawala katika Wizara, ikiwa ni pamoja na masuala ya ajira, mafunzo, maslahi ya wafanyakazi na uwekaji wa kumbukumbu. Aidha, programu inaratibu masuala mtambuka ikiwemo Ukimwi, jinsia, kusimamia utunzaji na uhifadhi wa mali za Serikali, utoaji wa huduma za manunuzi na uhifadhi wa vifaa.
Utekelezaji wa Shabaha Mwaka 2017/2018
Watumishi 419 wamepatiwa maslahi yao ikiwemo likizo a) na ubani wa wafi wa kwa Unguja na Pemba;
Jumla ya magari 63, Trekta 54 na pikipiki 217 b) zimehakikiwa na mashamba/nyumba (madiko) 34 yamepatiwa hatimiliki;
Jumla ya Wafanyakazi 24 wanaendelea na masomo ya c) udaktari wa wanyama nchini China, Mfanyakazi 1 Urusi na wafanyakazi 42 wanaendelea na masomo katika fani tofauti ndani na nje ya nchi;
Maonesho ya kilimo katika kuadhimisha siku ya chakula d) duniani yalifanyika kuanzia tarehe 10/10/2017 hadi tarehe 17/10/2017.
! !
!
1
!"##$%&'(&)*'+%
HOTUBA YA MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA FEDHA ZA WIZARA YA KILIMO, MALIASILI, MIFUGO NA UVUVI KWA MWAKA
WA FEDHA 2018/2019
UTANGULIZI
1. Mheshimiwa Spika, kwa ruhusa yako naomba kutoa hoja kwa Baraza lako Tukufu kwa ajili ya kupitisha Makadirio ya Mapato na Matumizi ya fedha za Wizara ya Kilimo, Maliasili, Mifugo na Uvuvi kwa kazi za Kawaida na kazi za Maendeleo kwa mwaka wa fedha 2018/2019 ambayo yanawasilishwa katika mfumo wa Programu (PBB). 2. Mheshimiwa Spika, kwanza kabisa nachukua fursa hii kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kuibariki nchi yetu kuwa na amani, utulivu na kutuwezesha kufikia siku ya leo tukiwa wazima na wenye afya njema ili tuweze kujadili bajeti hii kwa ajili ya maendeleo ya wananchi wa Zanzibar ambapo asilimia 70 wanajihusisha na kazi za Kilimo, Ufugaji, Uvuvi na Uhifadhi wa Maliasili zetu.
3. Mheshimiwa Spika, nachukua fursa hii kumpongeza Mhe, Dkt. Ali Mohamed Shein, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ambae pia ni Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi kwa kuiongoza nchi yetu katika misingi ya umoja, usalama, amani na utulivu. Aidha, tunampongeza kwa kusimamia vyema utekelezaji wa ILANI ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2015 – 2020 inayotekelezwa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar katika kufanikisha maendeleo ya Sekta ya Kilimo, kwa lengo la kuongeza tija kwa wananchi na kukuza uchumi.
!!"##$%&'(&)*'+%
38
Mheshimiwa Spika, 60. mwaka wa fedha wa 2017/2018, Programu ndogo hii iliombewa jumla ya TZS 2.36 bilioni kwa kazi za kawaida (TZS 1.70 bilioni mishahara na TZS 660.00 milioni kwa matumizi mengineyo). Hadi kufi kia April, 2018 programu imepatiwa TZS 2.18 bilioni (TZS 1.43 bilioni mishahara na TZS 752.73 milioni kwa kazi za kawaida) sawa na asilimia 92.
Programu Ndogo ya Uratibu wa Kazi za Wizara Pemba
Mheshimiwa Spika,61. Programu hii inatekelezwa na Ofi si Kuu Pemba, lengo lake ni kuratibu na kusimamia kazi na rasilimali za Wizara kwa kufuata misingi ya Sheria. Programu hii ndogo inatoa huduma za utumishi za Wizara, kuwajengea uwezo wa kitaaluma watumishi na kuratibu kazi za mipango za Wizara ya Kilimo na Maliasili. Kwa mwaka wa fedha wa 2017/2018, Programu hii iliombewa jumla ya TZS 4.14 bilioni (TZS 4.07 bilioni mishahara na TZS 62.09 milioni ni matumizi mengineyo). Hadi kufi kia April, 2018 programu imepata TZS 3.52 bilioni (TZS 3.29 bilioni mishahara na TZS 234.01 milioni matumizi mengineyo) sawa na asilimia 85.
CHANGAMOTO
Mheshimiwa Spika, 62. Pamoja na jitihada za Wizara na Serikali kwa ujumla, baadhi ya changamoto zilizojitokeza katika kutekeleza malengo yaliyowekwa ni pamoja na:
!!"##$%&'(&)*'+%
! !
!
1
!"##$%&'(&)*'+%
HOTUBA YA MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA FEDHA ZA WIZARA YA KILIMO, MALIASILI, MIFUGO NA UVUVI KWA MWAKA
WA FEDHA 2018/2019
UTANGULIZI
1. Mheshimiwa Spika, kwa ruhusa yako naomba kutoa hoja kwa Baraza lako Tukufu kwa ajili ya kupitisha Makadirio ya Mapato na Matumizi ya fedha za Wizara ya Kilimo, Maliasili, Mifugo na Uvuvi kwa kazi za Kawaida na kazi za Maendeleo kwa mwaka wa fedha 2018/2019 ambayo yanawasilishwa katika mfumo wa Programu (PBB). 2. Mheshimiwa Spika, kwanza kabisa nachukua fursa hii kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kuibariki nchi yetu kuwa na amani, utulivu na kutuwezesha kufikia siku ya leo tukiwa wazima na wenye afya njema ili tuweze kujadili bajeti hii kwa ajili ya maendeleo ya wananchi wa Zanzibar ambapo asilimia 70 wanajihusisha na kazi za Kilimo, Ufugaji, Uvuvi na Uhifadhi wa Maliasili zetu.
3. Mheshimiwa Spika, nachukua fursa hii kumpongeza Mhe, Dkt. Ali Mohamed Shein, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ambae pia ni Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi kwa kuiongoza nchi yetu katika misingi ya umoja, usalama, amani na utulivu. Aidha, tunampongeza kwa kusimamia vyema utekelezaji wa ILANI ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2015 – 2020 inayotekelezwa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar katika kufanikisha maendeleo ya Sekta ya Kilimo, kwa lengo la kuongeza tija kwa wananchi na kukuza uchumi.
3939
Uchelewaji wa upatikanaji wa pembejeo, Matrekta na a) michango ya wakulima katika huduma za kilimo;
Ongezeko la ukataji wa miti na matumizi ya misumeno b) ya moto;
Ukosefu wa ardhi na upatikanaji wa mitaji ya kuwavutia c) vijana katika sekta ya kilimo;
Kiwango kikubwa cha mvua kutoka milimita 276 d) mwaka 2016 hadi kufi kia milimita 670 mwaka 2017, ikilinganishwa na kiwango cha mvua zilizonyesha miaka minane iliyopita;
Kuendelea kuwepo kwa Uvuvi haramu;e)
Kushuka kwa bei na mripuko wa maradhi ya mwani;f)
Ushiriki mdogo wa sekta binafsi katika uwekezaji wa g) kilimo;
Upungufu wa wataalamu katika kada maalum.h)
HATUA ZA KUKABILIANA NA CHANGAMOTO
Uchelewaji wa upatikanaji wa pembejeo, na michango a) ya wakulima katika huduma za kilimo.
Wizara imo katika mchakato wa kusaini mkataba wa maelewano (MoU) na Jeshi la Kujenga Uchumi (JKU) katika uzalishaji wa mbegu bora na imesaini MoU na Taasisi ya TOSCI ya Tanzania Bara kupitia Taasisi ya Utafi ti wa Kilimo
! !
!
1
!"##$%&'(&)*'+%
HOTUBA YA MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA FEDHA ZA WIZARA YA KILIMO, MALIASILI, MIFUGO NA UVUVI KWA MWAKA
WA FEDHA 2018/2019
UTANGULIZI
1. Mheshimiwa Spika, kwa ruhusa yako naomba kutoa hoja kwa Baraza lako Tukufu kwa ajili ya kupitisha Makadirio ya Mapato na Matumizi ya fedha za Wizara ya Kilimo, Maliasili, Mifugo na Uvuvi kwa kazi za Kawaida na kazi za Maendeleo kwa mwaka wa fedha 2018/2019 ambayo yanawasilishwa katika mfumo wa Programu (PBB). 2. Mheshimiwa Spika, kwanza kabisa nachukua fursa hii kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kuibariki nchi yetu kuwa na amani, utulivu na kutuwezesha kufikia siku ya leo tukiwa wazima na wenye afya njema ili tuweze kujadili bajeti hii kwa ajili ya maendeleo ya wananchi wa Zanzibar ambapo asilimia 70 wanajihusisha na kazi za Kilimo, Ufugaji, Uvuvi na Uhifadhi wa Maliasili zetu.
3. Mheshimiwa Spika, nachukua fursa hii kumpongeza Mhe, Dkt. Ali Mohamed Shein, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ambae pia ni Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi kwa kuiongoza nchi yetu katika misingi ya umoja, usalama, amani na utulivu. Aidha, tunampongeza kwa kusimamia vyema utekelezaji wa ILANI ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2015 – 2020 inayotekelezwa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar katika kufanikisha maendeleo ya Sekta ya Kilimo, kwa lengo la kuongeza tija kwa wananchi na kukuza uchumi.
!!"##$%&'(&)*'+%
40
kwa lengo la udhibiti wa ubora wa mbegu zinazozalishwa nchini. Vilevile, wizara inaendelea kuhamasisha uchangiaji wa huduma ya matrekta mara tu baada ya mavuno kwa kushirikiana na viongozi wa Mikoa na Wilaya, Jumuiya za wakulima na Kamati za Shehia chini ya mfumo wa ugatuzi.
Matumizi mabaya ya msumeno wa motob)
Wizara inasimamia utekelezaji wa kanuni ya upigaji marufuku misumeno ya moto kwa kushirikiana na kamati za ulinzi na usalama za Wilaya.
Ukosefu wa ardhi na upatikanaji wa mitaji ya c) kuwavutia vijana katika sekta ya kilimo;
Wizara kwa kushirikiana na mfuko wa uwezeshaji na TGT inaendelea kwa pamoja kuwahamasisha na kuwawezesha kwa kuwapatia mikopo yenye riba nafuu. Vilevile, Programu ya MIVARF imewezesha baadhi ya vikundi vya uzalishaji wa mazao kwa kuwapatia mashine za usarifu. Aidha, kwa kupitia Benki ya Maendeleo ya Kilimo ya Tanzania (TADB) imeainisha na kutathmini vikundi 119 kwa lengo la kuvipatia mikopo.
Kukabiliana na mabadiliko ya hali ya hewad)
Wizara inaendelea na tafi ti mbalimbali na kutoa elimu ya kilimo cha umwagiliaji kwa mpunga na mazao mengine ya juu pamoja na kuhamasisha wakulima kuvuna maji ya mvua. Aidha, hatua za uibuaji wa teknolojia za kilimo, mifugo, uzalishaji wa mazao ya baharini na misitu zinaendelea
!!"##$%&'(&)*'+%
! !
!
1
!"##$%&'(&)*'+%
HOTUBA YA MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA FEDHA ZA WIZARA YA KILIMO, MALIASILI, MIFUGO NA UVUVI KWA MWAKA
WA FEDHA 2018/2019
UTANGULIZI
1. Mheshimiwa Spika, kwa ruhusa yako naomba kutoa hoja kwa Baraza lako Tukufu kwa ajili ya kupitisha Makadirio ya Mapato na Matumizi ya fedha za Wizara ya Kilimo, Maliasili, Mifugo na Uvuvi kwa kazi za Kawaida na kazi za Maendeleo kwa mwaka wa fedha 2018/2019 ambayo yanawasilishwa katika mfumo wa Programu (PBB). 2. Mheshimiwa Spika, kwanza kabisa nachukua fursa hii kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kuibariki nchi yetu kuwa na amani, utulivu na kutuwezesha kufikia siku ya leo tukiwa wazima na wenye afya njema ili tuweze kujadili bajeti hii kwa ajili ya maendeleo ya wananchi wa Zanzibar ambapo asilimia 70 wanajihusisha na kazi za Kilimo, Ufugaji, Uvuvi na Uhifadhi wa Maliasili zetu.
3. Mheshimiwa Spika, nachukua fursa hii kumpongeza Mhe, Dkt. Ali Mohamed Shein, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ambae pia ni Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi kwa kuiongoza nchi yetu katika misingi ya umoja, usalama, amani na utulivu. Aidha, tunampongeza kwa kusimamia vyema utekelezaji wa ILANI ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2015 – 2020 inayotekelezwa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar katika kufanikisha maendeleo ya Sekta ya Kilimo, kwa lengo la kuongeza tija kwa wananchi na kukuza uchumi.
4141
kuelekezwa katika kukabiliana na mabadiliko ya hali ya hewa;
Kuendelea kuwepo kwa Uvuvi haramu;e)
Wizara inashirikiana na kamati za uvuvi za wilaya katika kudhibiti na kuimarisha ulinzi katika maeneo ya hifadhi ya bahari ikiwemo MENAI, MIMCA na PECCA. Aidha, wizara imeongeza hifadhi za TUMCA na CHABAMCA kwa ajili ya kuimarisha ulinzi.
Kushuka kwa bei na mripuko wa maradhi ya f) mwani;
Wizara imekamilisha utafi ti wa maradhi ya mwani kwa kushirikiana na FAO na kubaini ya kwamba maradhi hayo yanatokana na mabadiliko ya tabia nchi (kupanda na kushuka kwa joto katika maji ya bahari na matumizi ya mbegu rejea ya aina moja ya mwani). Aidha, Serikali imo mbioni katika juhudi za kuwapatia vihori 20 wakulima wa mwani ili waweze kwenda kina kirefu kidogo na kupanda aina ya mwani inayostahamamili. Vilevile, wizara inaendelea kuhamasisha makampuni ya ununuzi wa mwani juu ya ongezeko la bei ya mwani.
Ushiriki mdogo wa Sekta binafsi katika kutoa huduma g) za kilimo
Kwa kuthamini mchango wa sekta binafsi katika maendeleo ya kiuchumi, Wizara inaendeleza mashirikiano pamoja na kuhamasisha ushiriki wa sekta binafsi katika kuendeleza
! !
!
1
!"##$%&'(&)*'+%
HOTUBA YA MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA FEDHA ZA WIZARA YA KILIMO, MALIASILI, MIFUGO NA UVUVI KWA MWAKA
WA FEDHA 2018/2019
UTANGULIZI
1. Mheshimiwa Spika, kwa ruhusa yako naomba kutoa hoja kwa Baraza lako Tukufu kwa ajili ya kupitisha Makadirio ya Mapato na Matumizi ya fedha za Wizara ya Kilimo, Maliasili, Mifugo na Uvuvi kwa kazi za Kawaida na kazi za Maendeleo kwa mwaka wa fedha 2018/2019 ambayo yanawasilishwa katika mfumo wa Programu (PBB). 2. Mheshimiwa Spika, kwanza kabisa nachukua fursa hii kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kuibariki nchi yetu kuwa na amani, utulivu na kutuwezesha kufikia siku ya leo tukiwa wazima na wenye afya njema ili tuweze kujadili bajeti hii kwa ajili ya maendeleo ya wananchi wa Zanzibar ambapo asilimia 70 wanajihusisha na kazi za Kilimo, Ufugaji, Uvuvi na Uhifadhi wa Maliasili zetu.
3. Mheshimiwa Spika, nachukua fursa hii kumpongeza Mhe, Dkt. Ali Mohamed Shein, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ambae pia ni Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi kwa kuiongoza nchi yetu katika misingi ya umoja, usalama, amani na utulivu. Aidha, tunampongeza kwa kusimamia vyema utekelezaji wa ILANI ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2015 – 2020 inayotekelezwa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar katika kufanikisha maendeleo ya Sekta ya Kilimo, kwa lengo la kuongeza tija kwa wananchi na kukuza uchumi.
!!"##$%&'(&)*'+%
42
kilimo. Aidha, Programu ya kuunganisha wadau wa sekta binafsi katika kilimo (Agri-Connect) umeanzishwa wenye thamani ya Euro 100 milioni kwa Tanzania kupitia ufadhili wa Kamisheni ya Uropa (Europian Commission);
Upungufu wa wataalamuh)
Wizara ya Kilimo na Maliasili inaendelea na utekelezaji wa kuwapatia mafunzo wafanyakazi wake nafasi za masomo katika fani maalumu zinazohitajika kila mwaka kulingana na hali ya fedha inavyoruhusu pamoja kuajiri wataalamu kupitia nafasi zilizowazi.
MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA BAJETI INAYOZINGATIA PROGRAMU KWA MWAKA WA FEDHA 2018/2019
MAKADIRIO YA MAPATO 2018/2019
Mheshimiwa Spika,63. kwa mwaka wa fedha wa 2018/2019, Wizara imekadiriwa kukusanya mapato ya jumla ya TZS 12.50 bilioni kutoka vianzio vyake vya Unguja na Pemba (Angalia kiambatisho nam. 10).
MAKADIRIO YA MATUMIZI 2018/2019
Mheshimiwa Spika,64. Wizara ya Kilimo, Maliasili, Mifugo na Uvuvi kwa mwaka wa fedha 2018/2019 itatekeleza
!!"##$%&'(&)*'+%
! !
!
1
!"##$%&'(&)*'+%
HOTUBA YA MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA FEDHA ZA WIZARA YA KILIMO, MALIASILI, MIFUGO NA UVUVI KWA MWAKA
WA FEDHA 2018/2019
UTANGULIZI
1. Mheshimiwa Spika, kwa ruhusa yako naomba kutoa hoja kwa Baraza lako Tukufu kwa ajili ya kupitisha Makadirio ya Mapato na Matumizi ya fedha za Wizara ya Kilimo, Maliasili, Mifugo na Uvuvi kwa kazi za Kawaida na kazi za Maendeleo kwa mwaka wa fedha 2018/2019 ambayo yanawasilishwa katika mfumo wa Programu (PBB). 2. Mheshimiwa Spika, kwanza kabisa nachukua fursa hii kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kuibariki nchi yetu kuwa na amani, utulivu na kutuwezesha kufikia siku ya leo tukiwa wazima na wenye afya njema ili tuweze kujadili bajeti hii kwa ajili ya maendeleo ya wananchi wa Zanzibar ambapo asilimia 70 wanajihusisha na kazi za Kilimo, Ufugaji, Uvuvi na Uhifadhi wa Maliasili zetu.
3. Mheshimiwa Spika, nachukua fursa hii kumpongeza Mhe, Dkt. Ali Mohamed Shein, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ambae pia ni Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi kwa kuiongoza nchi yetu katika misingi ya umoja, usalama, amani na utulivu. Aidha, tunampongeza kwa kusimamia vyema utekelezaji wa ILANI ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2015 – 2020 inayotekelezwa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar katika kufanikisha maendeleo ya Sekta ya Kilimo, kwa lengo la kuongeza tija kwa wananchi na kukuza uchumi.
4343
malengo yake kupitia programu zake kuu tano ambazo ni:
Programu ya Maa) endeleo ya Kilimo;
Programu ya Maendeleo ya Rasilimali za Misitu na b) Maliasili Zisizorejesheka;
Programu ya Maendeleo ya Mifugo; c)
Programu ya Maendeleo ya Uvuvi; na d)
Programu ya Mipango na Utawala wa Kazi za Kilimo, e) Maliasili, Mifugo na Uvuvi.
Aidha, Wizara itaendelea na utekelezaji wa miradi na Programu (11) za maendeleo ikiwemo:
Programu ya Miundombinu ya Masoko, Uongezaji i. thamani Mazao na huduma za Kifedha Vijijini MIVARF,
Mradi wa Usimamizi wa Kazi za uvuvi wa kanda ya ii. kusini mashariki mwa bahari ya Hindi (SWIOFish),
Mradi wa kuimarisha ufugaji wa Mazao ya Bahariniiii.
Mradi wa kuendeleza zao la mpunga “Expanding Rice iv. Production project” - ERPP,
Mradi wa Mboga na Matundav.
Mradi wa kuthibiti athari za Sumukuvu (Affl atoxin).vi.
Mradi wa majaribio wa kuendeleza Kilimo kinachohimili vii. mabadiliko ya tabia nchi “Climate Smart Agriculture”.
! !
!
1
!"##$%&'(&)*'+%
HOTUBA YA MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA FEDHA ZA WIZARA YA KILIMO, MALIASILI, MIFUGO NA UVUVI KWA MWAKA
WA FEDHA 2018/2019
UTANGULIZI
1. Mheshimiwa Spika, kwa ruhusa yako naomba kutoa hoja kwa Baraza lako Tukufu kwa ajili ya kupitisha Makadirio ya Mapato na Matumizi ya fedha za Wizara ya Kilimo, Maliasili, Mifugo na Uvuvi kwa kazi za Kawaida na kazi za Maendeleo kwa mwaka wa fedha 2018/2019 ambayo yanawasilishwa katika mfumo wa Programu (PBB). 2. Mheshimiwa Spika, kwanza kabisa nachukua fursa hii kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kuibariki nchi yetu kuwa na amani, utulivu na kutuwezesha kufikia siku ya leo tukiwa wazima na wenye afya njema ili tuweze kujadili bajeti hii kwa ajili ya maendeleo ya wananchi wa Zanzibar ambapo asilimia 70 wanajihusisha na kazi za Kilimo, Ufugaji, Uvuvi na Uhifadhi wa Maliasili zetu.
3. Mheshimiwa Spika, nachukua fursa hii kumpongeza Mhe, Dkt. Ali Mohamed Shein, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ambae pia ni Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi kwa kuiongoza nchi yetu katika misingi ya umoja, usalama, amani na utulivu. Aidha, tunampongeza kwa kusimamia vyema utekelezaji wa ILANI ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2015 – 2020 inayotekelezwa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar katika kufanikisha maendeleo ya Sekta ya Kilimo, kwa lengo la kuongeza tija kwa wananchi na kukuza uchumi.
!!"##$%&'(&)*'+%
44
Mradi wa Ujenzi wa Miundombinu ya Umwagiliaji viii. Maji,
Mradi wa Kuendeleza Miundombinu ya Mifugo, ix.
Mradi wa Usimamizi wa Matumizi wa Misitu ya x. Mwambao na
Mradi wa kuwaunganisha wadau katika sekta ya Kilimo xi. (Agri-connect)
Mheshimiwa Spika, 65. kwa kutekeleza programu hizo kwa mwaka wa fedha wa 2018/19 Wizara imekadiriwa kutumia jumla ya TZS 62.62 bilioni kwa mwaka wa fedha wa 2018/2019 Kati ya fedha hizo TZS 23.23 bilioni ni kwa ajili ya kazi za kawaida (TZS 14.45 bilioni Mishahara, TZS 5.66 bilioni matumizi ya kazi za kawaida na TZS 3.13 bilioni ikiwa ni Ruzuku kwa ajili ya Chuo cha Kilimo Kizimbani, Taasisi ya Utafi ti wa Mifugo na Wakala wa Matrekta (Angalia kiambatisho nam. 11). Kwa upande wa fedha za maendeleo jumla ya TZS 33.73 bilioni ni kutoka kwa washirika wa maendeleo na TZS 5.65 bilioni kutoka SMZ Angalia kiambatisho nam. 12).
Mheshimiwa Spika, 66. pamoja na juhudi zinazochukuliwa na Wizara katika kuendeleza kilimo, Maliasili, Mifugo na Uvuvi, kwa mwaka wa fedha 2018/2019 imejiwekea malengo yafuatayo:
!!"##$%&'(&)*'+%
! !
!
1
!"##$%&'(&)*'+%
HOTUBA YA MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA FEDHA ZA WIZARA YA KILIMO, MALIASILI, MIFUGO NA UVUVI KWA MWAKA
WA FEDHA 2018/2019
UTANGULIZI
1. Mheshimiwa Spika, kwa ruhusa yako naomba kutoa hoja kwa Baraza lako Tukufu kwa ajili ya kupitisha Makadirio ya Mapato na Matumizi ya fedha za Wizara ya Kilimo, Maliasili, Mifugo na Uvuvi kwa kazi za Kawaida na kazi za Maendeleo kwa mwaka wa fedha 2018/2019 ambayo yanawasilishwa katika mfumo wa Programu (PBB). 2. Mheshimiwa Spika, kwanza kabisa nachukua fursa hii kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kuibariki nchi yetu kuwa na amani, utulivu na kutuwezesha kufikia siku ya leo tukiwa wazima na wenye afya njema ili tuweze kujadili bajeti hii kwa ajili ya maendeleo ya wananchi wa Zanzibar ambapo asilimia 70 wanajihusisha na kazi za Kilimo, Ufugaji, Uvuvi na Uhifadhi wa Maliasili zetu.
3. Mheshimiwa Spika, nachukua fursa hii kumpongeza Mhe, Dkt. Ali Mohamed Shein, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ambae pia ni Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi kwa kuiongoza nchi yetu katika misingi ya umoja, usalama, amani na utulivu. Aidha, tunampongeza kwa kusimamia vyema utekelezaji wa ILANI ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2015 – 2020 inayotekelezwa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar katika kufanikisha maendeleo ya Sekta ya Kilimo, kwa lengo la kuongeza tija kwa wananchi na kukuza uchumi.
4545
Kuongeza uzalishaji wa Mpunga kutoka tani 39.683 kadi a) kufi kia tani 45,000 katika eneo la ekari 33,800 (20,800 Pemba na Unguja 13,000);
Kuotesha miche 2,500,000 (1,000,000 mikarafuu; b) 1,000,000 misitu; na 500,000 ya matunda na viungo) katika vitalu vya Serikali;
Kuendeleza uzalishaji wa minazi, alizeti na viungo c) ikiwemo vanilla, pilipili hoho, manjano, tangawizi na pilipili manga katika hekta tano (5) za mashamba ya mipira; pamoja na ushiriki wa sekta binafsi;
Ununuzi wa mchele tani 600 pamoja na vifaa vya Ghala d) la chakula cha akiba Zanzibar;
Kupitia Wakala wa Matrekta, Wizara itaendelea kutoa e) huduma za matrekta na zana za kilimo kwa Kuchimba na kuburuga ekari 21,000 (13,000 Unguja na 8,000 Pemba);
Kuanzisha mashamba ya mbegu za miche ya minazi f) (Ekari 3 Unguja na ekari 3 Pemba) pamoja na uzalishaji wa miche ya minazi 200,000 katika vitalu vya Serikali Unguja na Pemba;
Kuangamiza nzi wa matunda kwa kutumia njia shirikishi g) (Intergrated Pest Management);
Kukamilisha utaratibu wa Chuo cha Kilimo Zanzibar h) kujiunga na SUZA pamoja na kuimarisha Taasisi ya Utafi ti wa Kilimo Zanzibar;
! !
!
1
!"##$%&'(&)*'+%
HOTUBA YA MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA FEDHA ZA WIZARA YA KILIMO, MALIASILI, MIFUGO NA UVUVI KWA MWAKA
WA FEDHA 2018/2019
UTANGULIZI
1. Mheshimiwa Spika, kwa ruhusa yako naomba kutoa hoja kwa Baraza lako Tukufu kwa ajili ya kupitisha Makadirio ya Mapato na Matumizi ya fedha za Wizara ya Kilimo, Maliasili, Mifugo na Uvuvi kwa kazi za Kawaida na kazi za Maendeleo kwa mwaka wa fedha 2018/2019 ambayo yanawasilishwa katika mfumo wa Programu (PBB). 2. Mheshimiwa Spika, kwanza kabisa nachukua fursa hii kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kuibariki nchi yetu kuwa na amani, utulivu na kutuwezesha kufikia siku ya leo tukiwa wazima na wenye afya njema ili tuweze kujadili bajeti hii kwa ajili ya maendeleo ya wananchi wa Zanzibar ambapo asilimia 70 wanajihusisha na kazi za Kilimo, Ufugaji, Uvuvi na Uhifadhi wa Maliasili zetu.
3. Mheshimiwa Spika, nachukua fursa hii kumpongeza Mhe, Dkt. Ali Mohamed Shein, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ambae pia ni Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi kwa kuiongoza nchi yetu katika misingi ya umoja, usalama, amani na utulivu. Aidha, tunampongeza kwa kusimamia vyema utekelezaji wa ILANI ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2015 – 2020 inayotekelezwa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar katika kufanikisha maendeleo ya Sekta ya Kilimo, kwa lengo la kuongeza tija kwa wananchi na kukuza uchumi.
!!"##$%&'(&)*'+%
46
Kujenga mitambo 4 ya biogas Unguja na Pemba pamoja i) na ununuzi wa mtambo wa kutengenezea chakula cha mifugo;
Ukamilishaji wa ujenzi wa kituo cha karantini ya mifugo j) cha Nzi Wengi Pemba kwa kujenga uzio;
Kutoa taaluma ya mbinu bora za ufugaji na usarifu wa k) mazao ya baharini kwa vikundi 144 Unguja na Pemba pamoja na kuzalisha na kusambaza vifaranga milioni 10 vya samaki, 50,000 kaa na 70,000 majongoo kwa mwaka. Pia, Wizara itaanzisha kituo kidogo Pemba cha kupokelea na kuwahifadhi vifaranga hivyo kabla ya kusambazwa kwa wafugaji; Aidha, ujenzi wa mabwawa sita ya samaki (3 Unguja na 3 Pemba) pia utafanyika.
Ununuzi wa meli mbili (2) za uvuvi kupitia Kampuni ya l) ZAFICO;
m) Kuwaendeleza wavuvi vijana kuvua katika kina kirefu cha maji pamoja na kuwawekea miundombinu bora kupitia Kampuni ya ZAFICO;
n) Kuimarisha huduma za utafi ti wa kilimo pamoja na kinga, tiba na uzalishaji wa mifugo.
o) Kufanya tafi ti ili kutambua maeneo ya uvuvi yenye idadi kubwa ya samaki;
p) Kuendelea na maonesho ya kilimo ya nane nane Unguja, na kuanzisha maonesho ya Siku ya Chakula Duniani Pemba.
!!"##$%&'(&)*'+%
! !
!
1
!"##$%&'(&)*'+%
HOTUBA YA MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA FEDHA ZA WIZARA YA KILIMO, MALIASILI, MIFUGO NA UVUVI KWA MWAKA
WA FEDHA 2018/2019
UTANGULIZI
1. Mheshimiwa Spika, kwa ruhusa yako naomba kutoa hoja kwa Baraza lako Tukufu kwa ajili ya kupitisha Makadirio ya Mapato na Matumizi ya fedha za Wizara ya Kilimo, Maliasili, Mifugo na Uvuvi kwa kazi za Kawaida na kazi za Maendeleo kwa mwaka wa fedha 2018/2019 ambayo yanawasilishwa katika mfumo wa Programu (PBB). 2. Mheshimiwa Spika, kwanza kabisa nachukua fursa hii kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kuibariki nchi yetu kuwa na amani, utulivu na kutuwezesha kufikia siku ya leo tukiwa wazima na wenye afya njema ili tuweze kujadili bajeti hii kwa ajili ya maendeleo ya wananchi wa Zanzibar ambapo asilimia 70 wanajihusisha na kazi za Kilimo, Ufugaji, Uvuvi na Uhifadhi wa Maliasili zetu.
3. Mheshimiwa Spika, nachukua fursa hii kumpongeza Mhe, Dkt. Ali Mohamed Shein, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ambae pia ni Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi kwa kuiongoza nchi yetu katika misingi ya umoja, usalama, amani na utulivu. Aidha, tunampongeza kwa kusimamia vyema utekelezaji wa ILANI ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2015 – 2020 inayotekelezwa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar katika kufanikisha maendeleo ya Sekta ya Kilimo, kwa lengo la kuongeza tija kwa wananchi na kukuza uchumi.
4747
PROGRAMU KUU YA MAENDELEO YA KILIMO
Mheshimiwa Spika, 67. Programu ya Maendeleo ya Kilimo Pragramu hii imegawika katika programu ndogo nne ambazo ni:
Programu ndogo ya Maendeleo ya Umwagiliaji Maji;a)
Programu ndogo ya Utafi ti na Mafunzo ya Kilimo;b)
Programu ndogo ya Maendeleo ya Huduma za Kilimo c) naWakala wa Huduma za Matrekta.
Programu ndogo ya Uhakika wa Chakula na Lished)
Mheshimiwa Spika,68. mwaka wa fedha wa 2018/2019, Programu ya Maendeleo ya Kilimo inaombewa jumla ya TZS 19.11 bilioni kati ya fedha hizo TZS 3.25 bilioni matumizi mengineyo, TZS 4.56 bilioni ni Mishahara na TZS 2.30 bilioni ni Ruzuku kwa Chuo cha Kilimo Kizimbani na Wakala wa Huduma za Matrekta. Vilevile, Programu inaombewa jumla ya TZS 9.0 bilioni kwa miradi ya maendeleo (TZS 8.5 bilioni kutoka kwa Washirika wa maendeleo na TZS 500 milioni kutoka SMZ).
Shabaha Zitakazotolewa na Programu Ndogo ya Maendeleo ya Umwagiliaji Maji kwa Mwaka 2018/2019
Mheshimiwa Spika, 69. mwaka wa fedha 2018/2019, Programu inalenga kutekeleza shabaha zifuatazo:
! !
!
1
!"##$%&'(&)*'+%
HOTUBA YA MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA FEDHA ZA WIZARA YA KILIMO, MALIASILI, MIFUGO NA UVUVI KWA MWAKA
WA FEDHA 2018/2019
UTANGULIZI
1. Mheshimiwa Spika, kwa ruhusa yako naomba kutoa hoja kwa Baraza lako Tukufu kwa ajili ya kupitisha Makadirio ya Mapato na Matumizi ya fedha za Wizara ya Kilimo, Maliasili, Mifugo na Uvuvi kwa kazi za Kawaida na kazi za Maendeleo kwa mwaka wa fedha 2018/2019 ambayo yanawasilishwa katika mfumo wa Programu (PBB). 2. Mheshimiwa Spika, kwanza kabisa nachukua fursa hii kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kuibariki nchi yetu kuwa na amani, utulivu na kutuwezesha kufikia siku ya leo tukiwa wazima na wenye afya njema ili tuweze kujadili bajeti hii kwa ajili ya maendeleo ya wananchi wa Zanzibar ambapo asilimia 70 wanajihusisha na kazi za Kilimo, Ufugaji, Uvuvi na Uhifadhi wa Maliasili zetu.
3. Mheshimiwa Spika, nachukua fursa hii kumpongeza Mhe, Dkt. Ali Mohamed Shein, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ambae pia ni Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi kwa kuiongoza nchi yetu katika misingi ya umoja, usalama, amani na utulivu. Aidha, tunampongeza kwa kusimamia vyema utekelezaji wa ILANI ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2015 – 2020 inayotekelezwa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar katika kufanikisha maendeleo ya Sekta ya Kilimo, kwa lengo la kuongeza tija kwa wananchi na kukuza uchumi.
!!"##$%&'(&)*'+%
48
Kujenga miundombinu ya umwagiliaji maji hekta 200 a) (150 Unguja na 50 Pemba) pamoja na hekta 520 kupitia mradi wa EXIM BANK wa Korea;
Kuchangia utekelezaji wa mradi wa ERPP kwa b) uungaji umeme wa laini kubwa katika mabonde ya Kibondemzungu, Mchangani, Koani na Bandamaji kwa Unguja na Dobi, Ole na Machigini kwa Pemba;
Uhifadhi wa vyanzo vya maji kwa umwagiliaji mabonde c) ya Chaani, Mwera, Mwanakombo, Kianga na Weni;
Ulipaji wa fi dia ya mazao kwa ajili ya ujenzi wa d) miundombinu ya Umwagiliaji maji Zanzibar katika mabonde ya Makwararani na Mlemele kwa Pemba na Kinyasini, Kilombero na Chaani kwa Unguja.
Mheshimiwa Spika, 70. mwaka wa fedha 2018/2019 Programu ndogo hii inaombewa jumla ya TZS 10.11 bilioni ambapo TZS 7.11 Mshahara, TZS 400.00 milioni kwa matumizi mengineyo, TZS 500.00 milioni fedha za maendeleo kutoka SMZ na TZS 8.5 bilioni kutoka kwa washirika wa maendeleo EXIM BANK.
Shabaha Zitakazotolewa na Programu Ndogo ya Utafi ti na Mafunzo ya Kilimo kwa Mwaka 2018/2019
Mheshimiwa Spika, 71. mwaka wa fedha 2018/2019, Programu Ndogo hii ina sehemu mbili ambazo ni Utafi ti na ile ya Mafunzo ya Kilimo. Programu Ndogo hii inalenga kutekeleza yafuatayo:
!!"##$%&'(&)*'+%
! !
!
1
!"##$%&'(&)*'+%
HOTUBA YA MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA FEDHA ZA WIZARA YA KILIMO, MALIASILI, MIFUGO NA UVUVI KWA MWAKA
WA FEDHA 2018/2019
UTANGULIZI
1. Mheshimiwa Spika, kwa ruhusa yako naomba kutoa hoja kwa Baraza lako Tukufu kwa ajili ya kupitisha Makadirio ya Mapato na Matumizi ya fedha za Wizara ya Kilimo, Maliasili, Mifugo na Uvuvi kwa kazi za Kawaida na kazi za Maendeleo kwa mwaka wa fedha 2018/2019 ambayo yanawasilishwa katika mfumo wa Programu (PBB). 2. Mheshimiwa Spika, kwanza kabisa nachukua fursa hii kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kuibariki nchi yetu kuwa na amani, utulivu na kutuwezesha kufikia siku ya leo tukiwa wazima na wenye afya njema ili tuweze kujadili bajeti hii kwa ajili ya maendeleo ya wananchi wa Zanzibar ambapo asilimia 70 wanajihusisha na kazi za Kilimo, Ufugaji, Uvuvi na Uhifadhi wa Maliasili zetu.
3. Mheshimiwa Spika, nachukua fursa hii kumpongeza Mhe, Dkt. Ali Mohamed Shein, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ambae pia ni Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi kwa kuiongoza nchi yetu katika misingi ya umoja, usalama, amani na utulivu. Aidha, tunampongeza kwa kusimamia vyema utekelezaji wa ILANI ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2015 – 2020 inayotekelezwa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar katika kufanikisha maendeleo ya Sekta ya Kilimo, kwa lengo la kuongeza tija kwa wananchi na kukuza uchumi.
4949
Kufanya tafi ti nne (4) mpya za (mpunga 1, muhogo 1, a) mboga na mazao ya viungo) na kuendeleza tafi ti sita za zamani;
Kukarabati jengo moja la ofi si Matangatuani Pemba na b) kuanza ujenzi wa uzio wa kuzunguka eneo la Kizimbani, kukarabati nyumba za wafanyakazi za Kizimbani na Matangatuani na Kununua vifaa na madawa kwa ajili ya maabara mbili (2);
Kuimarisha rasilimali watu kwa kufundisha watafi ti 10 c) mafunzo ya muda mfupi;
KushirIki katika Maonesho ya Kilimo ya Nane Nane, d) Siku ya Chakula Duniani, Maonesho ya Biashara na katika Sherehe za Mapinduzi;
Kukamilisha mapitio ya sheria namba 8 ya Taasisi ya e) Utafi ti, Kukamilisha muundo wa Utumishi (Scheme of Service) wa Taasisi na Kupitia Mpango Mkakati wa Taasisi ya Utafi ti wa Kilimo;
Kufanya ziara moja ya kujitambulisha na kubadilishana f) uzoefu na Taasisi kama yetu Tanzania Bara.
Mheshimiwa Spika,72. mwaka wa fedha 2018/2019 Taasisi ya Utafi ti inaombewa jumla ya TZS 2.24 bilioni (TZS 1.92 bilioni Mshahara na 315.00 milioni kwa matumizi mengineyo).
! !
!
1
!"##$%&'(&)*'+%
HOTUBA YA MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA FEDHA ZA WIZARA YA KILIMO, MALIASILI, MIFUGO NA UVUVI KWA MWAKA
WA FEDHA 2018/2019
UTANGULIZI
1. Mheshimiwa Spika, kwa ruhusa yako naomba kutoa hoja kwa Baraza lako Tukufu kwa ajili ya kupitisha Makadirio ya Mapato na Matumizi ya fedha za Wizara ya Kilimo, Maliasili, Mifugo na Uvuvi kwa kazi za Kawaida na kazi za Maendeleo kwa mwaka wa fedha 2018/2019 ambayo yanawasilishwa katika mfumo wa Programu (PBB). 2. Mheshimiwa Spika, kwanza kabisa nachukua fursa hii kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kuibariki nchi yetu kuwa na amani, utulivu na kutuwezesha kufikia siku ya leo tukiwa wazima na wenye afya njema ili tuweze kujadili bajeti hii kwa ajili ya maendeleo ya wananchi wa Zanzibar ambapo asilimia 70 wanajihusisha na kazi za Kilimo, Ufugaji, Uvuvi na Uhifadhi wa Maliasili zetu.
3. Mheshimiwa Spika, nachukua fursa hii kumpongeza Mhe, Dkt. Ali Mohamed Shein, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ambae pia ni Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi kwa kuiongoza nchi yetu katika misingi ya umoja, usalama, amani na utulivu. Aidha, tunampongeza kwa kusimamia vyema utekelezaji wa ILANI ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2015 – 2020 inayotekelezwa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar katika kufanikisha maendeleo ya Sekta ya Kilimo, kwa lengo la kuongeza tija kwa wananchi na kukuza uchumi.
!!"##$%&'(&)*'+%
50
Shabaha Zitakazotolewa na Chuo cha Kilimo Kizimbani kwa Mwaka 2018/2019
Kuendelea kutoa mafunzo kwa wanafunzi wapya 230 (100 a) ngazi ya Stashahada na 130 ngazi ya Astashahada);
Kukamilisha utaratibu wa Chuo cha Kilimo Kizimbani b) kujiunga na SUZA;
Kufanya tathmini ya uzalishaji wa mpunga katika skimu c) ya Uzini na Kianga kwa kushirikiana na Mradi wa TANRICE II;
Kutoa mafunzo ya kilimo bora cha mpunga wa d) Umwagiliaji maji na wa kutegemea mvua kwa wakulima 100. Mafunzo haya yatatolewa kwa kushirikiana na mradi wa TANRICE II.
Mheshimiwa Spika, 73. mwaka wa fedha 2018/2019 Programu inaombewa TZS 928.00 milioni ikiwa ni Ruzuku kwa kazi za kawaida (TZS 812.70 milioni Mishahara na TZS 115.30 milioni matumizi mengineyo).
Shabaha Zitakazotolewa na Programu ndogo ya Kilimo Mwaka 2018/2019
Kununua na kusambaza tani 200 za mbegu ya mpunga, a) tani 650 za mbolea (TSP tani 150 na UREA tani 500), tani 20 za mahindi, tani 10 za mtama, lita 5,000 za dawa ya kuulia magugu na lita 400 za dawa ya kunasia nzi waharibifu wa matunda;
!!"##$%&'(&)*'+%
! !
!
1
!"##$%&'(&)*'+%
HOTUBA YA MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA FEDHA ZA WIZARA YA KILIMO, MALIASILI, MIFUGO NA UVUVI KWA MWAKA
WA FEDHA 2018/2019
UTANGULIZI
1. Mheshimiwa Spika, kwa ruhusa yako naomba kutoa hoja kwa Baraza lako Tukufu kwa ajili ya kupitisha Makadirio ya Mapato na Matumizi ya fedha za Wizara ya Kilimo, Maliasili, Mifugo na Uvuvi kwa kazi za Kawaida na kazi za Maendeleo kwa mwaka wa fedha 2018/2019 ambayo yanawasilishwa katika mfumo wa Programu (PBB). 2. Mheshimiwa Spika, kwanza kabisa nachukua fursa hii kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kuibariki nchi yetu kuwa na amani, utulivu na kutuwezesha kufikia siku ya leo tukiwa wazima na wenye afya njema ili tuweze kujadili bajeti hii kwa ajili ya maendeleo ya wananchi wa Zanzibar ambapo asilimia 70 wanajihusisha na kazi za Kilimo, Ufugaji, Uvuvi na Uhifadhi wa Maliasili zetu.
3. Mheshimiwa Spika, nachukua fursa hii kumpongeza Mhe, Dkt. Ali Mohamed Shein, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ambae pia ni Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi kwa kuiongoza nchi yetu katika misingi ya umoja, usalama, amani na utulivu. Aidha, tunampongeza kwa kusimamia vyema utekelezaji wa ILANI ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2015 – 2020 inayotekelezwa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar katika kufanikisha maendeleo ya Sekta ya Kilimo, kwa lengo la kuongeza tija kwa wananchi na kukuza uchumi.
5151
Kutoa elimu ya uzalishaji katika zao la mpunga kupitia b) mabonde 10 ya mpango (6 Unguja na 4 Pemba);
Kufuatilia uzalishaji wa mpunga katika eneo la ekari c) 33,800 (20,800 Pemba na Unguja 13,000);
Kusambaza mbegu ya muhogo na viazi lishe kwa d) wakulima 500;
Kutoa huduma za utibabu wa mimea, karantini na e) ukaguzi wa mazao yanayoingia na kutoka nje ya nchi ikiwemo karafuu;
Kuendeleza uzalishaji wa mazao ya viungo kwa ajili ya f) usafi rishaji nje ya nchi ikiwemo Vanilla, Pilipili Hoho, Manjano, Tangawizi na Pilipili Manga katika hekta tano za mashamba ya mipira Unguja na Pemba.
Mheshimiwa Spika, 74. mwaka wa fedha 2018/2019 Programu inaombewa. TZS 3.68 bilioni kwa kazi za kawaida (TZS 1.70 bilioni ni Mishahara na TZS 1.98 bilioni matumizi mengineyo).
Shabaha Zitakazotolewa na Wakala wa Matrekta na Maendeleo ya Huduma za Kilimo kwa Mwaka 2018/2019
Kusimamia na kurahisisha upatikanaji na matumizi a) ya zana za kisasa za kilimo zitakazopelekea kuongeza ufanisi katika uzalishaji wa mazao ya kilimo;
Kutoa huduma za matrekta na zana zake kwa wakulima,b) sekta binafsi na taasisi nyengine;
! !
!
1
!"##$%&'(&)*'+%
HOTUBA YA MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA FEDHA ZA WIZARA YA KILIMO, MALIASILI, MIFUGO NA UVUVI KWA MWAKA
WA FEDHA 2018/2019
UTANGULIZI
1. Mheshimiwa Spika, kwa ruhusa yako naomba kutoa hoja kwa Baraza lako Tukufu kwa ajili ya kupitisha Makadirio ya Mapato na Matumizi ya fedha za Wizara ya Kilimo, Maliasili, Mifugo na Uvuvi kwa kazi za Kawaida na kazi za Maendeleo kwa mwaka wa fedha 2018/2019 ambayo yanawasilishwa katika mfumo wa Programu (PBB). 2. Mheshimiwa Spika, kwanza kabisa nachukua fursa hii kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kuibariki nchi yetu kuwa na amani, utulivu na kutuwezesha kufikia siku ya leo tukiwa wazima na wenye afya njema ili tuweze kujadili bajeti hii kwa ajili ya maendeleo ya wananchi wa Zanzibar ambapo asilimia 70 wanajihusisha na kazi za Kilimo, Ufugaji, Uvuvi na Uhifadhi wa Maliasili zetu.
3. Mheshimiwa Spika, nachukua fursa hii kumpongeza Mhe, Dkt. Ali Mohamed Shein, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ambae pia ni Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi kwa kuiongoza nchi yetu katika misingi ya umoja, usalama, amani na utulivu. Aidha, tunampongeza kwa kusimamia vyema utekelezaji wa ILANI ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2015 – 2020 inayotekelezwa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar katika kufanikisha maendeleo ya Sekta ya Kilimo, kwa lengo la kuongeza tija kwa wananchi na kukuza uchumi.
!!"##$%&'(&)*'+%
52
Kutengeneza matrekta na zana zake na kuhakikisha c) kuwepo kwa vifaa vya kazi na vipuri kwa ajili ya huduma;
Kutoa mafunzo kwa madereva 20 (14 Unguja na 6 d) Pemba) na kutoa ushauri wa kitaalamu kwa wasimamizi wa huduma za matrekta mashambani.
Mheshimiwa Spika,75. mwaka wa fedha 2018/2019 Programu ndogo hii inaombewa jumla ya TZS 1.37 bilioni ikiwa ni Ruzuku kutoka Serikalini (TZS 644.70 milioni ni mshahara na TZS 725.00 milioni kwa matumizi mengineyo).
Shabaha Zitakazotolewa na Programu Ndogo ya Uhakika wa Chakula na Lishe kwa Mwaka 2018/2019
Mheshimiwa Spika, 76. mwaka wa fedha 2018/2019, programu inalenga kutekeleza shabaha zifuatazo:
Kuendeleza mafunzo ya lishe kwa wanajamii katika a) shehia 100 za Wilaya za Mciheweni, Chake chake na Kaskazini A;
Kufanya matayarisho (michoro na BOQ) ya ukarabati b) wa ghala moja liliopo Pemba kwa ajili ya hifadhi ya chakula;
Kufuatilia hali ya chakula nchini;c)
Kuandaa mikutano ya wadau kuhusiana na masuala ya d) uhakika wa chakula na lishe.
!!"##$%&'(&)*'+%
! !
!
1
!"##$%&'(&)*'+%
HOTUBA YA MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA FEDHA ZA WIZARA YA KILIMO, MALIASILI, MIFUGO NA UVUVI KWA MWAKA
WA FEDHA 2018/2019
UTANGULIZI
1. Mheshimiwa Spika, kwa ruhusa yako naomba kutoa hoja kwa Baraza lako Tukufu kwa ajili ya kupitisha Makadirio ya Mapato na Matumizi ya fedha za Wizara ya Kilimo, Maliasili, Mifugo na Uvuvi kwa kazi za Kawaida na kazi za Maendeleo kwa mwaka wa fedha 2018/2019 ambayo yanawasilishwa katika mfumo wa Programu (PBB). 2. Mheshimiwa Spika, kwanza kabisa nachukua fursa hii kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kuibariki nchi yetu kuwa na amani, utulivu na kutuwezesha kufikia siku ya leo tukiwa wazima na wenye afya njema ili tuweze kujadili bajeti hii kwa ajili ya maendeleo ya wananchi wa Zanzibar ambapo asilimia 70 wanajihusisha na kazi za Kilimo, Ufugaji, Uvuvi na Uhifadhi wa Maliasili zetu.
3. Mheshimiwa Spika, nachukua fursa hii kumpongeza Mhe, Dkt. Ali Mohamed Shein, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ambae pia ni Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi kwa kuiongoza nchi yetu katika misingi ya umoja, usalama, amani na utulivu. Aidha, tunampongeza kwa kusimamia vyema utekelezaji wa ILANI ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2015 – 2020 inayotekelezwa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar katika kufanikisha maendeleo ya Sekta ya Kilimo, kwa lengo la kuongeza tija kwa wananchi na kukuza uchumi.
5353
Kuratibu uendeshaji wa ghala la akiba ya chakula Unguja e) pamoja na kuweka vifaa na mchele tani 600;
Mheshimiwa Spika,77. mwaka wa fedha 2018/2019 Programu ndogo hii inaombewa jumla ya TZS 777.8 milioni kwa kazi za kawaida (TZS 227.8 milioni Mshahara na TZS 550.00 milioni kwa matumizi mengineyo).
PROGRAMU KUU YA MAENDELEO YA RASLIMALI ZA MISITU NA MALIASILI ZISIZOREJESHEKA
Mheshimiwa Spika,78. Programu ya Maendeleo ya Rasilimali za misitu na maliasili zisizorejesheka imegawika katika programu ndogo mbili ambazo ni:
Uhifadhi na Maendeleo ya Misitu;a)
Usimamizi wa Maliasili Zisizorejesheka.b)
Mheshimiwa Spika,79. mwaka wa fedha wa 2018/2019, Programu ya Maendeleo ya Misitu inaombewa jumla ya TZS 2.43 bilioni kwa kazi za kawaida (TZS 1.93 bilioni ni mishahara na TZS 500 milioni matumizi mengineyo).
Shabaha zitakazotolewa na programu ndogo ya uhifadhi na maendeleo ya misitu kwa mwaka 2018/2019.
Mheshimiwa Spika, 80. mwaka wa fedha 2018/2019, programu inalenga kutekeleza shabaha zifuatazo:
! !
!
1
!"##$%&'(&)*'+%
HOTUBA YA MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA FEDHA ZA WIZARA YA KILIMO, MALIASILI, MIFUGO NA UVUVI KWA MWAKA
WA FEDHA 2018/2019
UTANGULIZI
1. Mheshimiwa Spika, kwa ruhusa yako naomba kutoa hoja kwa Baraza lako Tukufu kwa ajili ya kupitisha Makadirio ya Mapato na Matumizi ya fedha za Wizara ya Kilimo, Maliasili, Mifugo na Uvuvi kwa kazi za Kawaida na kazi za Maendeleo kwa mwaka wa fedha 2018/2019 ambayo yanawasilishwa katika mfumo wa Programu (PBB). 2. Mheshimiwa Spika, kwanza kabisa nachukua fursa hii kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kuibariki nchi yetu kuwa na amani, utulivu na kutuwezesha kufikia siku ya leo tukiwa wazima na wenye afya njema ili tuweze kujadili bajeti hii kwa ajili ya maendeleo ya wananchi wa Zanzibar ambapo asilimia 70 wanajihusisha na kazi za Kilimo, Ufugaji, Uvuvi na Uhifadhi wa Maliasili zetu.
3. Mheshimiwa Spika, nachukua fursa hii kumpongeza Mhe, Dkt. Ali Mohamed Shein, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ambae pia ni Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi kwa kuiongoza nchi yetu katika misingi ya umoja, usalama, amani na utulivu. Aidha, tunampongeza kwa kusimamia vyema utekelezaji wa ILANI ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2015 – 2020 inayotekelezwa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar katika kufanikisha maendeleo ya Sekta ya Kilimo, kwa lengo la kuongeza tija kwa wananchi na kukuza uchumi.
!!"##$%&'(&)*'+%
54
Kuotesha miche 2,500,000 (1,000,000 Mikarafuu; a) 1,000,000 Misitu; 200,000 Minazi na 300,000 ya matunda na viungo) katika vitalu vya Serikali;
Kuhamasisha wafugaji 200 wa nyuki juu ya usarifu wa b) bidhaa za asali, kukabiliana na wadudu wavamizi katika mizinga pamoja na kuwaorodhesha kwa lengo la kujua idadi yao na tani za asali zinazozalishwa;
Kufanya mapitio ya mikataba 18 ya usimammizi wa c) misitu ya jamii (CoFMA);
Kuhamasisha uekezaji na kutangaza vivutio vya utalii d) wa kimaumbile ndani na nje ya Zanzibar ili kufi kia Watalii 45,000;
Kufanya doria 500 katika maeneo ya maliasili kwa lengo e) kudhibiti matukio ya uhalifu.
Kufanya utafi ti na tathmini ya matumizi ya rasilimali za f) misitu ya jamii.
Kuyatambua na kusajili mazizi ya wanyama pori pamoja g) kukamilisha kanuni za kusimamia mazizi ya wanyama hao.
Kutayarisha muongozo wa uhifadhi wa Makobe katika h) kisiwa cha Changuu.
Mheshimiwa Spika, mwaka wa fedha 2018/2019 81. Programu hii inaombewa jumla ya TZS 2.07 bilioni kwa kazi za kawaida (TZS 1.93 bilioni ni mishahara na TZS 143.00 milioni kwa ajili ya matumizi mengineyo).
!!"##$%&'(&)*'+%
! !
!
1
!"##$%&'(&)*'+%
HOTUBA YA MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA FEDHA ZA WIZARA YA KILIMO, MALIASILI, MIFUGO NA UVUVI KWA MWAKA
WA FEDHA 2018/2019
UTANGULIZI
1. Mheshimiwa Spika, kwa ruhusa yako naomba kutoa hoja kwa Baraza lako Tukufu kwa ajili ya kupitisha Makadirio ya Mapato na Matumizi ya fedha za Wizara ya Kilimo, Maliasili, Mifugo na Uvuvi kwa kazi za Kawaida na kazi za Maendeleo kwa mwaka wa fedha 2018/2019 ambayo yanawasilishwa katika mfumo wa Programu (PBB). 2. Mheshimiwa Spika, kwanza kabisa nachukua fursa hii kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kuibariki nchi yetu kuwa na amani, utulivu na kutuwezesha kufikia siku ya leo tukiwa wazima na wenye afya njema ili tuweze kujadili bajeti hii kwa ajili ya maendeleo ya wananchi wa Zanzibar ambapo asilimia 70 wanajihusisha na kazi za Kilimo, Ufugaji, Uvuvi na Uhifadhi wa Maliasili zetu.
3. Mheshimiwa Spika, nachukua fursa hii kumpongeza Mhe, Dkt. Ali Mohamed Shein, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ambae pia ni Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi kwa kuiongoza nchi yetu katika misingi ya umoja, usalama, amani na utulivu. Aidha, tunampongeza kwa kusimamia vyema utekelezaji wa ILANI ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2015 – 2020 inayotekelezwa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar katika kufanikisha maendeleo ya Sekta ya Kilimo, kwa lengo la kuongeza tija kwa wananchi na kukuza uchumi.
5555
Shabaha zitakazotolewa na programu ndogo ya uhifadhi na usimamizi wa maliasili zisizorejesheka 2018/2019
Mheshimiwa Spika,82. Programu hii ina lengo la kuhifadhi na kusimamia maliasili zisizorejesheka kwa kuratibu maeneo yote ya uchimbaji mawe, kokoto, mchanga, udongo pamoja na matofali ya mawe. Kwa mwaka wa fedha 2018/2019, programu inalenga kutekeleza shabaha zifuatazo:
Shabaha Zitakazotolewa na Program Ndogo ya Usimamizi wa Maliasili Zisizorejesheka kwa Mwaka 2018/2019
Kurejeshea kwa kupanda miti hekta 40 katika maeneo a) ya uchimbaji;
Kukamilisha Sera na Sheria ya Maliasili b) Zisizorejesheka;
Kufanya utafi ti juu ya namna bora ya urasimishaji na c) usimamizi katika uchimbaji wa kifusi, mawe na usagaji wa kokoto;
Kutathmini mazao na vipando vilivyopo katika maeneo d) yatakayopendekezwa kuchimbwa mchanga.
Mheshimiwa Spika,83. mwaka wa fedha 2018/2019 Programu ndogo hii inaombewa jumla ya TZS 357.00 milioni kwa ajili ya matumizi mengineyo
! !
!
1
!"##$%&'(&)*'+%
HOTUBA YA MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA FEDHA ZA WIZARA YA KILIMO, MALIASILI, MIFUGO NA UVUVI KWA MWAKA
WA FEDHA 2018/2019
UTANGULIZI
1. Mheshimiwa Spika, kwa ruhusa yako naomba kutoa hoja kwa Baraza lako Tukufu kwa ajili ya kupitisha Makadirio ya Mapato na Matumizi ya fedha za Wizara ya Kilimo, Maliasili, Mifugo na Uvuvi kwa kazi za Kawaida na kazi za Maendeleo kwa mwaka wa fedha 2018/2019 ambayo yanawasilishwa katika mfumo wa Programu (PBB). 2. Mheshimiwa Spika, kwanza kabisa nachukua fursa hii kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kuibariki nchi yetu kuwa na amani, utulivu na kutuwezesha kufikia siku ya leo tukiwa wazima na wenye afya njema ili tuweze kujadili bajeti hii kwa ajili ya maendeleo ya wananchi wa Zanzibar ambapo asilimia 70 wanajihusisha na kazi za Kilimo, Ufugaji, Uvuvi na Uhifadhi wa Maliasili zetu.
3. Mheshimiwa Spika, nachukua fursa hii kumpongeza Mhe, Dkt. Ali Mohamed Shein, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ambae pia ni Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi kwa kuiongoza nchi yetu katika misingi ya umoja, usalama, amani na utulivu. Aidha, tunampongeza kwa kusimamia vyema utekelezaji wa ILANI ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2015 – 2020 inayotekelezwa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar katika kufanikisha maendeleo ya Sekta ya Kilimo, kwa lengo la kuongeza tija kwa wananchi na kukuza uchumi.
!!"##$%&'(&)*'+%
56
PROGRAMU KUU YA MAENDELEO YA MIFUGO
Mheshimiwa Spika,84. Programu ya Maendeleo ya Mifugo ina jukumu la kuendeleza sekta ya mifugo na kuongeza uzalishaji na ubora wa mifugo na mazao yake.
Programu imegawika katika Programu Ndogo Mbili
Programu ndogo ya uzalishaji mifugoa)
Programu ndogo ya huduma za utabibu wa mifugob)
Mheshimiwa Spika,85. mwaka wa fedha wa 2018/2019, Programu ya Maendeleo ya Mifugo inaombewa jumla ya TZS 3.66 bilioni (TZS 1.68 bilioni Mshahara, TZS 300.00 milioni kwa matumizi mengineyo, TZS 828.9 milioni ikiwa ni Ruzuku na TZS 856.00 milioni ni fedha za programu ya miundombinu ya mifugo).
Shabaha Zitakazotolewa na Programu Ndogo ya Uzalishaji wa Mifugo kwa Mwaka 2018/2019
Kuandaa Mpango mkakati wa maendeleo ya mifugo.a)
Kupandisha ng’ombe 4,000 kwa sindano (Unguja 2,000 b) na Pemba 2,000);
Kujenga mitambo 4 ya biogas Unguja na Pemba;c)
Kuimarisha malisho kwa kupanda majani katika maeneo d) ya Maruhubi, Kizimbani na Chamanangwe;
!!"##$%&'(&)*'+%
! !
!
1
!"##$%&'(&)*'+%
HOTUBA YA MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA FEDHA ZA WIZARA YA KILIMO, MALIASILI, MIFUGO NA UVUVI KWA MWAKA
WA FEDHA 2018/2019
UTANGULIZI
1. Mheshimiwa Spika, kwa ruhusa yako naomba kutoa hoja kwa Baraza lako Tukufu kwa ajili ya kupitisha Makadirio ya Mapato na Matumizi ya fedha za Wizara ya Kilimo, Maliasili, Mifugo na Uvuvi kwa kazi za Kawaida na kazi za Maendeleo kwa mwaka wa fedha 2018/2019 ambayo yanawasilishwa katika mfumo wa Programu (PBB). 2. Mheshimiwa Spika, kwanza kabisa nachukua fursa hii kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kuibariki nchi yetu kuwa na amani, utulivu na kutuwezesha kufikia siku ya leo tukiwa wazima na wenye afya njema ili tuweze kujadili bajeti hii kwa ajili ya maendeleo ya wananchi wa Zanzibar ambapo asilimia 70 wanajihusisha na kazi za Kilimo, Ufugaji, Uvuvi na Uhifadhi wa Maliasili zetu.
3. Mheshimiwa Spika, nachukua fursa hii kumpongeza Mhe, Dkt. Ali Mohamed Shein, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ambae pia ni Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi kwa kuiongoza nchi yetu katika misingi ya umoja, usalama, amani na utulivu. Aidha, tunampongeza kwa kusimamia vyema utekelezaji wa ILANI ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2015 – 2020 inayotekelezwa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar katika kufanikisha maendeleo ya Sekta ya Kilimo, kwa lengo la kuongeza tija kwa wananchi na kukuza uchumi.
5757
Kuwaendeleza madaktari wa mifugo vijijini (CAHWS) e) pamoja na kusimamima maduka ya pembejeo za mifugo zilizoanzishwa na Programu ya ASDP-L.
Kutoa elimu na kuziendeleza skuli za wakulima za f) mazao na mifugo.
Kushajiisha ujenzi wa vituo vya ukusanyaji na usarifu g) wa maziwa kwa mafugaji wa ng’ombe wa maziwa.
Mheshimiwa Spika, 86. Programu ndogo ya Uzalishaji wa Mifugo inaombewa jumla ya TZS 1.05 bilioni kati ya fedha hizo (TZS 198.5 milioni kwa ajili ya matumizi mengineyo na TZS 856.00 milioni ikiwa ni fedha za programu ya miundombinu ya mifugo).
Shabaha Zitakazotolewa na Programu Ndogo ya Huduma za Utabibu wa Mifugo kwa Mwaka 2018/2019
Kuchanja kuku 600,000 dhidi ya ugonjwa wa mahepe a) Unguja na Pemba;
Kuchanja mbwa 11,000 dhidi ya kichaa cha mbwa (8,000 b) Unguja na 3,000);
Kutoa huduma ya maabara ya mifugo;c)
Kuimarisha huduma za kinga na tiba.d)
Mheshimiwa Spika, 87. Programu ndogo ya Huduma za Utabibu wa Mifugo inaombewa jumla ya TZS 1.78 bilioni kwa kazi za kawaida (TZS 1. 68 bilioni Mishahara na TZS 101.5 milioni kwa ajili ya matumizi mengineyo).
! !
!
1
!"##$%&'(&)*'+%
HOTUBA YA MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA FEDHA ZA WIZARA YA KILIMO, MALIASILI, MIFUGO NA UVUVI KWA MWAKA
WA FEDHA 2018/2019
UTANGULIZI
1. Mheshimiwa Spika, kwa ruhusa yako naomba kutoa hoja kwa Baraza lako Tukufu kwa ajili ya kupitisha Makadirio ya Mapato na Matumizi ya fedha za Wizara ya Kilimo, Maliasili, Mifugo na Uvuvi kwa kazi za Kawaida na kazi za Maendeleo kwa mwaka wa fedha 2018/2019 ambayo yanawasilishwa katika mfumo wa Programu (PBB). 2. Mheshimiwa Spika, kwanza kabisa nachukua fursa hii kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kuibariki nchi yetu kuwa na amani, utulivu na kutuwezesha kufikia siku ya leo tukiwa wazima na wenye afya njema ili tuweze kujadili bajeti hii kwa ajili ya maendeleo ya wananchi wa Zanzibar ambapo asilimia 70 wanajihusisha na kazi za Kilimo, Ufugaji, Uvuvi na Uhifadhi wa Maliasili zetu.
3. Mheshimiwa Spika, nachukua fursa hii kumpongeza Mhe, Dkt. Ali Mohamed Shein, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ambae pia ni Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi kwa kuiongoza nchi yetu katika misingi ya umoja, usalama, amani na utulivu. Aidha, tunampongeza kwa kusimamia vyema utekelezaji wa ILANI ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2015 – 2020 inayotekelezwa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar katika kufanikisha maendeleo ya Sekta ya Kilimo, kwa lengo la kuongeza tija kwa wananchi na kukuza uchumi.
!!"##$%&'(&)*'+%
58
Programu Ndogo ya Wakala wa Tafi ti za Mifugo
Mheshimiwa Spika, 88. kwa mwaka wa fedha 2018/2019, Programu ndogo ya Wakala wa tafi ti za Mifugo (ZALIRA) inalenga kuratibu na kuendeleza tafi ti za sekta ya mifugo.
Shabaha Zitakazotolewa na Programu Ndogo ya Wakala wa tafi ti za Mifugo
Kuimarisha miundombinu ya Wakala wa Taasisi ya a) Utafi ti;
Kuimarisha mahusiano ya Taasisi za ndani, Kikanda, b) Kitaifa na Kimataifa na wadau wa sekta ya Mifugo;
Kuwapatia mafunzo watafi ti 12 (9 Unguja na 3 c) Pemba);
Kufanya tafi ti sita (6) za Mifugo Unguja na Pemba;d)
Kuchapisha na kuhifadhi taarifa na matokeo saba ya e) utafi ti; na
Utayarishaji wa Sheria ya Uanzishwaji Taasisi ya Utafi ti f) wa Mifugo.
Mheshimiwa Spika, 89. Programu ndogo ya Wakala wa tafi ti za Mifugo kwa mwaka wa fedha 2018/2019, inaombewa jumla ya TZS 828.90 milioni ikiwa ni Ruzuku kutoka Serikalini (TZS 303.90 milioni ni mshahara na TZS 525.00 milioni kwa matumizi mengineyo).
!!"##$%&'(&)*'+%
! !
!
1
!"##$%&'(&)*'+%
HOTUBA YA MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA FEDHA ZA WIZARA YA KILIMO, MALIASILI, MIFUGO NA UVUVI KWA MWAKA
WA FEDHA 2018/2019
UTANGULIZI
1. Mheshimiwa Spika, kwa ruhusa yako naomba kutoa hoja kwa Baraza lako Tukufu kwa ajili ya kupitisha Makadirio ya Mapato na Matumizi ya fedha za Wizara ya Kilimo, Maliasili, Mifugo na Uvuvi kwa kazi za Kawaida na kazi za Maendeleo kwa mwaka wa fedha 2018/2019 ambayo yanawasilishwa katika mfumo wa Programu (PBB). 2. Mheshimiwa Spika, kwanza kabisa nachukua fursa hii kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kuibariki nchi yetu kuwa na amani, utulivu na kutuwezesha kufikia siku ya leo tukiwa wazima na wenye afya njema ili tuweze kujadili bajeti hii kwa ajili ya maendeleo ya wananchi wa Zanzibar ambapo asilimia 70 wanajihusisha na kazi za Kilimo, Ufugaji, Uvuvi na Uhifadhi wa Maliasili zetu.
3. Mheshimiwa Spika, nachukua fursa hii kumpongeza Mhe, Dkt. Ali Mohamed Shein, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ambae pia ni Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi kwa kuiongoza nchi yetu katika misingi ya umoja, usalama, amani na utulivu. Aidha, tunampongeza kwa kusimamia vyema utekelezaji wa ILANI ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2015 – 2020 inayotekelezwa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar katika kufanikisha maendeleo ya Sekta ya Kilimo, kwa lengo la kuongeza tija kwa wananchi na kukuza uchumi.
5959
PROGRAMU KUU YA MAENDELEO YA UVUVI
Mheshimiwa Spika, 90. Programu ya Maendeleo ya Uvuvi dhumuni lake kubwa ni kuendeleza uvuvi na kuongeza uzalishaji wa samaki na mazao ya baharini kwa njia ya ufugaji. Programu hii inaombewa jumla ya TZS 20.76 bilioni (TZS 790.99 milioni ni Mishahara, TZS 450 milioni ni matumizi mengineyo, TZS 3.92 bilioni kwa miradi ya maendeleo kutoka SMZ na TZS 15.6 bilioni kutoka kwa Washirika wa maendeleo).
Programu Ndogo ya Kuimarisha Ufugaji wa Mazao ya Baharini
Mheshimiwa Spika, 91. Programu ndogo ya mazao ya baharini inalenga kuongeza uzalishaji wa samaki na mazao mengine ya baharini.
Shabaha Zitakazotolewa na Programu Ndogo hii:
Kutoa taaluma ya mbinu bora za ufugaji na usarifu wa a) mazao ya baharini kwa vikundi 144 Ungujaa Pemba;
Kuzalisha na kusambaza vifaranga vya samaki na mazao b) mengine ya baharini kwa wananchi;
Kusambaza vifaa kwa vikundi 30 vya wakulima na c) usarifu wa zao la mwani na vikundi 3 vya wafugaji wa samaki pamoja na ununuzi wa vihori 20;
Kukusanya taarifa za uvuvi wa bahari kuu kwa d) kuhamasisha wawekezaji kuwekeza katika uvuvi huo;
! !
!
1
!"##$%&'(&)*'+%
HOTUBA YA MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA FEDHA ZA WIZARA YA KILIMO, MALIASILI, MIFUGO NA UVUVI KWA MWAKA
WA FEDHA 2018/2019
UTANGULIZI
1. Mheshimiwa Spika, kwa ruhusa yako naomba kutoa hoja kwa Baraza lako Tukufu kwa ajili ya kupitisha Makadirio ya Mapato na Matumizi ya fedha za Wizara ya Kilimo, Maliasili, Mifugo na Uvuvi kwa kazi za Kawaida na kazi za Maendeleo kwa mwaka wa fedha 2018/2019 ambayo yanawasilishwa katika mfumo wa Programu (PBB). 2. Mheshimiwa Spika, kwanza kabisa nachukua fursa hii kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kuibariki nchi yetu kuwa na amani, utulivu na kutuwezesha kufikia siku ya leo tukiwa wazima na wenye afya njema ili tuweze kujadili bajeti hii kwa ajili ya maendeleo ya wananchi wa Zanzibar ambapo asilimia 70 wanajihusisha na kazi za Kilimo, Ufugaji, Uvuvi na Uhifadhi wa Maliasili zetu.
3. Mheshimiwa Spika, nachukua fursa hii kumpongeza Mhe, Dkt. Ali Mohamed Shein, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ambae pia ni Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi kwa kuiongoza nchi yetu katika misingi ya umoja, usalama, amani na utulivu. Aidha, tunampongeza kwa kusimamia vyema utekelezaji wa ILANI ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2015 – 2020 inayotekelezwa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar katika kufanikisha maendeleo ya Sekta ya Kilimo, kwa lengo la kuongeza tija kwa wananchi na kukuza uchumi.
!!"##$%&'(&)*'+%
60
Kushirikiana na washirika wa maendeleo katika e) kuendeleza kazi za uvuvi.
Mheshimiwa Spika, 92. mwaka wa fedha wa 2018/2019, Programu ndogo ya kuimarisha ufugaji wa mazao ya baharini inaombewa TZS 284.6 milioni kwa matumizi mengineyo.
Programu Ndogo ya Maendeleo ya Uvuvi na hifadhi za Baharini
Mheshimiwa Spika, 93. Programu ndogo ya Maendeleo ya Uvuvi na hifadhi za baharini inalenga kuendeleza uvuvi wa kienyeji na kusimamia rasilimali za baharini kwa matumizi endelevu. Aidha, kwa mwaka wa fedha 2018/2019, Programu ndogo hii inalenga kutekeleza shabaha zifuatazo:
Kuendelea kuwajengea uwezo wa kitaaluma Wafanyakazi a) 8 ili kuimarisha taaluma za uvuvi;
Kuimarisha doria shirikishi 174 katika maeneo ya hifadhi b) Unguja na Pemba;
Kuimarisha uvuvi unaozingatia uhifadhi wa mazingira c) wa kamati 88 za uvuvi Unguja na Pemba;
Kusimamia ujenzi wa soko kuu la samaki linalojengwa d) diko la Malindi; Kulenga kwenda katika uvuvi wa viwanda ‘’Semi Industrial’’ kwa lengo la kupata tija zaidi na kuinua kipato cha mvuvi.
!!"##$%&'(&)*'+%
! !
!
1
!"##$%&'(&)*'+%
HOTUBA YA MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA FEDHA ZA WIZARA YA KILIMO, MALIASILI, MIFUGO NA UVUVI KWA MWAKA
WA FEDHA 2018/2019
UTANGULIZI
1. Mheshimiwa Spika, kwa ruhusa yako naomba kutoa hoja kwa Baraza lako Tukufu kwa ajili ya kupitisha Makadirio ya Mapato na Matumizi ya fedha za Wizara ya Kilimo, Maliasili, Mifugo na Uvuvi kwa kazi za Kawaida na kazi za Maendeleo kwa mwaka wa fedha 2018/2019 ambayo yanawasilishwa katika mfumo wa Programu (PBB). 2. Mheshimiwa Spika, kwanza kabisa nachukua fursa hii kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kuibariki nchi yetu kuwa na amani, utulivu na kutuwezesha kufikia siku ya leo tukiwa wazima na wenye afya njema ili tuweze kujadili bajeti hii kwa ajili ya maendeleo ya wananchi wa Zanzibar ambapo asilimia 70 wanajihusisha na kazi za Kilimo, Ufugaji, Uvuvi na Uhifadhi wa Maliasili zetu.
3. Mheshimiwa Spika, nachukua fursa hii kumpongeza Mhe, Dkt. Ali Mohamed Shein, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ambae pia ni Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi kwa kuiongoza nchi yetu katika misingi ya umoja, usalama, amani na utulivu. Aidha, tunampongeza kwa kusimamia vyema utekelezaji wa ILANI ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2015 – 2020 inayotekelezwa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar katika kufanikisha maendeleo ya Sekta ya Kilimo, kwa lengo la kuongeza tija kwa wananchi na kukuza uchumi.
6161
Mheshimiwa Spika,94. mwaka wa fedha wa 2018/2019, Programu ndogo hii inaombewa TZS 20.48 bilioni (TZS 790.99 milioni ni mishahara, TZS 165.4 milioni kwa ajili ya matumizi mengineyo, TZS 3.92 bilioni kutoka SMZ kwa miradi ya maendeleo na TZS 15.6 bilioni kutoka kwa washirika wa maendeleo). Aidha, kwa mwaka 2018/19 program itasimamia miradi ya SWIOfi sh na Mradi wa Kuimarisha Ufugaji wa Mazao ya Baharini (Angalia kiambatisho nam. 13 & 14)
PROGRAMU KUU YA MIPANGO NA UTAWALA WA KAZI ZA KILIMO, MALIASILI, MIFUGO NA UVUVI
Mheshimiwa Spika, 95. Programu ya Mipango na Utawala wa Kazi za Kilimo, Maliasili, Mifugo na Uvuvi dhumuni lake kubwa ni kutoa huduma za kiofi si kwa ufanisi kwa ustawi wa sekta za kilimo.
Programu imegawika katika program ndogo tatu nazo ni:
Programu Ndogo ya Mipango na Usimamizi wa Kazi za a) Wizara
Programu ya Utawala na uendeshaji wa kazi za kilimo b) maliasili mifugo na uvuvi;
Programu ndogo ya Uratibu wa Afi si Kuu Pemba. c)
! !
!
1
!"##$%&'(&)*'+%
HOTUBA YA MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA FEDHA ZA WIZARA YA KILIMO, MALIASILI, MIFUGO NA UVUVI KWA MWAKA
WA FEDHA 2018/2019
UTANGULIZI
1. Mheshimiwa Spika, kwa ruhusa yako naomba kutoa hoja kwa Baraza lako Tukufu kwa ajili ya kupitisha Makadirio ya Mapato na Matumizi ya fedha za Wizara ya Kilimo, Maliasili, Mifugo na Uvuvi kwa kazi za Kawaida na kazi za Maendeleo kwa mwaka wa fedha 2018/2019 ambayo yanawasilishwa katika mfumo wa Programu (PBB). 2. Mheshimiwa Spika, kwanza kabisa nachukua fursa hii kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kuibariki nchi yetu kuwa na amani, utulivu na kutuwezesha kufikia siku ya leo tukiwa wazima na wenye afya njema ili tuweze kujadili bajeti hii kwa ajili ya maendeleo ya wananchi wa Zanzibar ambapo asilimia 70 wanajihusisha na kazi za Kilimo, Ufugaji, Uvuvi na Uhifadhi wa Maliasili zetu.
3. Mheshimiwa Spika, nachukua fursa hii kumpongeza Mhe, Dkt. Ali Mohamed Shein, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ambae pia ni Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi kwa kuiongoza nchi yetu katika misingi ya umoja, usalama, amani na utulivu. Aidha, tunampongeza kwa kusimamia vyema utekelezaji wa ILANI ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2015 – 2020 inayotekelezwa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar katika kufanikisha maendeleo ya Sekta ya Kilimo, kwa lengo la kuongeza tija kwa wananchi na kukuza uchumi.
!!"##$%&'(&)*'+%
62
Mheshimiwa Spika,96. mwaka wa fedha wa 2018/2019, Programu ya Mipango na Utawala inaombewa jumla ya TZS 17.26 bilioni (TZS 6.10 bilioni ni mshahara, TZS 1.20 matumizi mengineyo, TZS 380.0 milioni ni kwa miradi ya maendeleo kutoka SMZ na TZS 9.63 bilioni kutoka kwa Washirika wa maendeleo).
Programu Ndogo ya Mipango na Usimamizi wa Kazi za Wizara
Mheshimiwa Spika,97. Programu Ndogo ya Mipango Sera na Utafi ti ina lengo la kuratibu kazi za mipango sera na utafi ti kwa maendeleo ya sekta za kilimo, maliasili, mifugo na uvuvi. Programu ndogo hii itatekelezwa na Idara ya Mipango, Sera na Utafi ti.
Shabaha Zitakazotolewa na Programu Ndogo ya Mipango, Sera na Utafi ti 2018/2019
Mheshimiwa Spika, 98. mwaka wa fedha 2018/2019, Programu inalenga kutekeleza shabaha zifuatazo:
Kuimarisha ukusanyaji wa takwimu za mazao ya kilimo, a) mifugo, uvuvi na maliasili;
Kufanya tafi ti tatu (2 Pemba) za kiuchumi na kijamii b) kuhusu mwenendo wa ushirikia wa vijana katika kilimo Unguja na Pemba;
!!"##$%&'(&)*'+%
! !
!
1
!"##$%&'(&)*'+%
HOTUBA YA MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA FEDHA ZA WIZARA YA KILIMO, MALIASILI, MIFUGO NA UVUVI KWA MWAKA
WA FEDHA 2018/2019
UTANGULIZI
1. Mheshimiwa Spika, kwa ruhusa yako naomba kutoa hoja kwa Baraza lako Tukufu kwa ajili ya kupitisha Makadirio ya Mapato na Matumizi ya fedha za Wizara ya Kilimo, Maliasili, Mifugo na Uvuvi kwa kazi za Kawaida na kazi za Maendeleo kwa mwaka wa fedha 2018/2019 ambayo yanawasilishwa katika mfumo wa Programu (PBB). 2. Mheshimiwa Spika, kwanza kabisa nachukua fursa hii kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kuibariki nchi yetu kuwa na amani, utulivu na kutuwezesha kufikia siku ya leo tukiwa wazima na wenye afya njema ili tuweze kujadili bajeti hii kwa ajili ya maendeleo ya wananchi wa Zanzibar ambapo asilimia 70 wanajihusisha na kazi za Kilimo, Ufugaji, Uvuvi na Uhifadhi wa Maliasili zetu.
3. Mheshimiwa Spika, nachukua fursa hii kumpongeza Mhe, Dkt. Ali Mohamed Shein, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ambae pia ni Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi kwa kuiongoza nchi yetu katika misingi ya umoja, usalama, amani na utulivu. Aidha, tunampongeza kwa kusimamia vyema utekelezaji wa ILANI ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2015 – 2020 inayotekelezwa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar katika kufanikisha maendeleo ya Sekta ya Kilimo, kwa lengo la kuongeza tija kwa wananchi na kukuza uchumi.
6363
Kufanya tathmini ya utekelezaji wa Sera na Programu za c) kupunguza umaskini katika kilimo na kuongeza kipato cha wakulima;
Kufanya ziara za Ufutiliaji na tathmini za kazi za Wizara d) M&E
Kushiriki katika mikutano sita (6) ya mashirikiano na e) Wizara za Sekta ya Kilimo T.Bara, kikanda, kimataifa na Kitaifa;
Kufanya mikutano minane (8) ya Kamati ya Utafi ti;f)
Kuendelea na utayarishaji wa Programu ya Maendeleo g) ya Kilimo Zanzibar Z-ASDP;
Kuendelea kusimamia Programu na Miradi yote iliyo h) chini ya Wizara
Mheshimiwa Spika, 99. programu ndogo ya Mipango inaombewa jumla ya TZS 10.75 bilioni (TZS 343.7 milioni mishahara, TZS 400.00 milioni kwa matumizi mengineyo, TZS 380.0 milioni kutoka SMZ kwa ajili ya Miradi ya maendeleo na TZS 9.63 kutoka kwa washirika wa maendeleo). Aidha, kwa mwaka 2018/19 program itasimamia miradi ya MIVARF, ERPP, ZANRICE, Agri-Connect, Afl atoxin, Climate Smart Agriculture na Mradi wa Matumizi ya Misitu ya Mwambao (Angalia kiambatisho 15, 16, 17 & 18)
! !
!
1
!"##$%&'(&)*'+%
HOTUBA YA MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA FEDHA ZA WIZARA YA KILIMO, MALIASILI, MIFUGO NA UVUVI KWA MWAKA
WA FEDHA 2018/2019
UTANGULIZI
1. Mheshimiwa Spika, kwa ruhusa yako naomba kutoa hoja kwa Baraza lako Tukufu kwa ajili ya kupitisha Makadirio ya Mapato na Matumizi ya fedha za Wizara ya Kilimo, Maliasili, Mifugo na Uvuvi kwa kazi za Kawaida na kazi za Maendeleo kwa mwaka wa fedha 2018/2019 ambayo yanawasilishwa katika mfumo wa Programu (PBB). 2. Mheshimiwa Spika, kwanza kabisa nachukua fursa hii kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kuibariki nchi yetu kuwa na amani, utulivu na kutuwezesha kufikia siku ya leo tukiwa wazima na wenye afya njema ili tuweze kujadili bajeti hii kwa ajili ya maendeleo ya wananchi wa Zanzibar ambapo asilimia 70 wanajihusisha na kazi za Kilimo, Ufugaji, Uvuvi na Uhifadhi wa Maliasili zetu.
3. Mheshimiwa Spika, nachukua fursa hii kumpongeza Mhe, Dkt. Ali Mohamed Shein, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ambae pia ni Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi kwa kuiongoza nchi yetu katika misingi ya umoja, usalama, amani na utulivu. Aidha, tunampongeza kwa kusimamia vyema utekelezaji wa ILANI ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2015 – 2020 inayotekelezwa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar katika kufanikisha maendeleo ya Sekta ya Kilimo, kwa lengo la kuongeza tija kwa wananchi na kukuza uchumi.
!!"##$%&'(&)*'+%
64
Programu ya Utawala na uendeshaji wa kazi za kilimo maliasili mifugo na uvuvi
Mheshimiwa Spika,100. Programu ndogo ya utawala na mafunzo ina lengo la kuimarisha mazingira bora ya utendaji kazi kwa ufanisi na maendeleo ya sekta za kilimo, misitu, mifugo na uvuvi.
Shabaha Zitakazotolewa na Programu Ndogo ya Utawala na Mafunzo kwa Mwaka 2018/2019
Kutoa maslahi kwa wafayakazi 1,200 na kuwawekea a) mazingira mazuri ya kazi;
Kuwajengea uwezo wa kitaaluma Wafanyakazi 67 b) wanaoendelea na masomo na 35 wapya.
Udhibiti na ufuatiliaji wa mali za Serikalic)
Mheshimiwa Spika,101. Programu ndogo ya utawala na mafunzo, kwa mwaka wa fedha wa 2018/2019, inaombewa jumla ya TZS 2.52 bilioni kwa kazi za kawaida (TZS 1.83 bilioni ni mishahara na TZS 688.00 milioni kwa matumizi mengineyo).
Programu Ndogo ya Uratibu wa Ofi si Kuu Pemba
Mheshimiwa Spika, 102. Programu ndogo ya uratibu wa Ofi si Kuu Pemba ina lengo la kuratibu maendeleo ya sekta ya kilimo, maliaisli, mifugo na uvuvi. Programu ndogo hii inatoa huduma za utumishi za Wizara;
!!"##$%&'(&)*'+%
! !
!
1
!"##$%&'(&)*'+%
HOTUBA YA MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA FEDHA ZA WIZARA YA KILIMO, MALIASILI, MIFUGO NA UVUVI KWA MWAKA
WA FEDHA 2018/2019
UTANGULIZI
1. Mheshimiwa Spika, kwa ruhusa yako naomba kutoa hoja kwa Baraza lako Tukufu kwa ajili ya kupitisha Makadirio ya Mapato na Matumizi ya fedha za Wizara ya Kilimo, Maliasili, Mifugo na Uvuvi kwa kazi za Kawaida na kazi za Maendeleo kwa mwaka wa fedha 2018/2019 ambayo yanawasilishwa katika mfumo wa Programu (PBB). 2. Mheshimiwa Spika, kwanza kabisa nachukua fursa hii kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kuibariki nchi yetu kuwa na amani, utulivu na kutuwezesha kufikia siku ya leo tukiwa wazima na wenye afya njema ili tuweze kujadili bajeti hii kwa ajili ya maendeleo ya wananchi wa Zanzibar ambapo asilimia 70 wanajihusisha na kazi za Kilimo, Ufugaji, Uvuvi na Uhifadhi wa Maliasili zetu.
3. Mheshimiwa Spika, nachukua fursa hii kumpongeza Mhe, Dkt. Ali Mohamed Shein, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ambae pia ni Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi kwa kuiongoza nchi yetu katika misingi ya umoja, usalama, amani na utulivu. Aidha, tunampongeza kwa kusimamia vyema utekelezaji wa ILANI ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2015 – 2020 inayotekelezwa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar katika kufanikisha maendeleo ya Sekta ya Kilimo, kwa lengo la kuongeza tija kwa wananchi na kukuza uchumi.
6565
kuwajengea uwezo wa kitaaluma watumishi na kuratibu kazi za mipango ya Wizara ya Kilimo Maliasili, Mifugo na Uvuvi.
Mheshimiwa Spika,103. Programu ndogo ya uratibu wa Ofi si Kuu Pemba, kwa mwaka wa fedha wa 2018/2019, Programu hii inaombewa kutumia jumla ya TZS 3.37 bilioni (TZS 3.30 bilioni mishahara na TZS 70.00 milioni ni matumizi mengineyo).
MUHTASARI WA MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA WIZARA KWA MWAKA WA FEDHA 2017/2018
Mheshimiwa Spika, 104. Wizara ya Kilimo, Maliasili, Mifugo na Uvuvi inaomba kuidhinishiwa kutumia jumla ya TZS 62.62 bilioni kwa mwaka wa fedha wa 2018/2019 kati ya fedha hizo TZS 23.23 bilioni ni kwa ajili ya kazi za kawaida (TZS 14.45 bilioni Mishahara, TZS 5.66 bilioni matumizi ya kazi za kawaida na TZS 3.13 bilioni ikiwa ni Ruzuku kwa ajili ya Chuo cha Kilimo Kizimbani, Taasisi ya Utafi ti wa Mifugo na Wakala wa Matrekta. Aidha kwa upande wa fedha za maendeleo Wizara imeidhinishiwa jumla ya TZS 39.39 bilioni, kati ya fedha hizo TZS 5.65 bilioni ni kutoka SMZ na TZS 33.73 bilioni ni kutoka kwa washirika wa maendeleo.
! !
!
1
!"##$%&'(&)*'+%
HOTUBA YA MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA FEDHA ZA WIZARA YA KILIMO, MALIASILI, MIFUGO NA UVUVI KWA MWAKA
WA FEDHA 2018/2019
UTANGULIZI
1. Mheshimiwa Spika, kwa ruhusa yako naomba kutoa hoja kwa Baraza lako Tukufu kwa ajili ya kupitisha Makadirio ya Mapato na Matumizi ya fedha za Wizara ya Kilimo, Maliasili, Mifugo na Uvuvi kwa kazi za Kawaida na kazi za Maendeleo kwa mwaka wa fedha 2018/2019 ambayo yanawasilishwa katika mfumo wa Programu (PBB). 2. Mheshimiwa Spika, kwanza kabisa nachukua fursa hii kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kuibariki nchi yetu kuwa na amani, utulivu na kutuwezesha kufikia siku ya leo tukiwa wazima na wenye afya njema ili tuweze kujadili bajeti hii kwa ajili ya maendeleo ya wananchi wa Zanzibar ambapo asilimia 70 wanajihusisha na kazi za Kilimo, Ufugaji, Uvuvi na Uhifadhi wa Maliasili zetu.
3. Mheshimiwa Spika, nachukua fursa hii kumpongeza Mhe, Dkt. Ali Mohamed Shein, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ambae pia ni Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi kwa kuiongoza nchi yetu katika misingi ya umoja, usalama, amani na utulivu. Aidha, tunampongeza kwa kusimamia vyema utekelezaji wa ILANI ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2015 – 2020 inayotekelezwa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar katika kufanikisha maendeleo ya Sekta ya Kilimo, kwa lengo la kuongeza tija kwa wananchi na kukuza uchumi.
!!"##$%&'(&)*'+%
66
SHUKURANI
Mheshimiwa Spika105. , Baada ya uwasilishaji naomba nitumie nafasi hii kuzishukuru nchi na Mashirika ya Kimataifa yaliyoisaidia Wizara katika juhudi za kuendeleza Kilimo, Mifugo, Uvuvi na Hifadhi ya Maliasili Zetu zikiwemo nchi za Japan, Ireland, China, India, Israel, Mauritius, Korea ya Kusini, Marekani, Misri, Oman na Uholanzi, kwa kushirikiana na sisi kuendeleza sekta ya Kilimo nchini. Vilevile nayashukuru Mashirika na Taasisi za Kimataifa zifuatazo: Benki ya Dunia, Benki ya Maendeleo ya Afrika, ICRAF, IFAD, UNDP, FAO, JICA, UNICEF, WFP, USAID, KOICA, IITA, IRRI, CFC, AVRDC, AGRA, Rockfeller Foundation na Bill and Melinda Gates Foundation, GIZ, “WAP”, “WHO”, Shirika la Mionzi la Ulimwengu (IAEA), Indian Ocean Rim, Indian Ocean Tuna Commission (IOTC) na Umoja wa nchi za Ulaya - “EU” Ushirikiano na misaada ya Nchi na Mashirika hayo bado unauhitajika ili tuendeleze sekta ya kilimo nchini. Vilevile, tunazishukuru taasisi za ndani kwa kuendeleza mashirikiano katika kutoa huduma za kilimo, maliasili, Mifugo na Uvuvi zikiwemo ZSTC, TAHA, UWAMWIMA, ZAIDI, COSTECH, Milele Foundation, Kilimo Trust, CARE, Wizara ya Kilimo, Wizara ya Mifugo na Uvuvi T/Bara, CARI, Wizara ya Maliasili na Wizara ya Ushirikiano ya Afrika Mashariki,
!!"##$%&'(&)*'+%
! !
!
1
!"##$%&'(&)*'+%
HOTUBA YA MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA FEDHA ZA WIZARA YA KILIMO, MALIASILI, MIFUGO NA UVUVI KWA MWAKA
WA FEDHA 2018/2019
UTANGULIZI
1. Mheshimiwa Spika, kwa ruhusa yako naomba kutoa hoja kwa Baraza lako Tukufu kwa ajili ya kupitisha Makadirio ya Mapato na Matumizi ya fedha za Wizara ya Kilimo, Maliasili, Mifugo na Uvuvi kwa kazi za Kawaida na kazi za Maendeleo kwa mwaka wa fedha 2018/2019 ambayo yanawasilishwa katika mfumo wa Programu (PBB). 2. Mheshimiwa Spika, kwanza kabisa nachukua fursa hii kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kuibariki nchi yetu kuwa na amani, utulivu na kutuwezesha kufikia siku ya leo tukiwa wazima na wenye afya njema ili tuweze kujadili bajeti hii kwa ajili ya maendeleo ya wananchi wa Zanzibar ambapo asilimia 70 wanajihusisha na kazi za Kilimo, Ufugaji, Uvuvi na Uhifadhi wa Maliasili zetu.
3. Mheshimiwa Spika, nachukua fursa hii kumpongeza Mhe, Dkt. Ali Mohamed Shein, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ambae pia ni Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi kwa kuiongoza nchi yetu katika misingi ya umoja, usalama, amani na utulivu. Aidha, tunampongeza kwa kusimamia vyema utekelezaji wa ILANI ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2015 – 2020 inayotekelezwa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar katika kufanikisha maendeleo ya Sekta ya Kilimo, kwa lengo la kuongeza tija kwa wananchi na kukuza uchumi.
6767
Mamlaka ya Kusimamia Uvuvi wa Bahari Kuu ya Tanzania, Taasisi ya Sayansi ya Baharini, “State Oceanic Administration” (SOA) ya China, Heifer Project Tanzania, Zanchick, “ZAASO”, “ZSPCA” na “WIOMSA”
Mheshimiwa Spika106. , napenda kutoa shukrani za pekee, kwa wakulima, Wafugaji, Wavuvi na Wanakamati za hifadhi za Maliasili zetu kwa kazi kubwa wanayoifanya katika uzalishaji wa mazao ya chakula na biashara, mifugo na mazao ya Baharini, pamoja na mazingira magumu waliyonayo. Aidha, napenda kumshukuru Naibu Waziri wa Kilimo Dk. Makame Ali Ussi pamoja na Katibu Mkuu wa, Manaibu wake wawili wa Wizara ya Kilimo, Afi sa Mdhamini WKMMU pamoja na Wakurugenzi wa Idara, Taasisi na Asasi zote za Wizara hii; watumishi wote wa Wizara pasi na kuwasahau wadau wote wa Sekta ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi kwa juhudi, ushirikiano na ushauri uliowezesha kutekelezwa kwa Shabaha za Wizara kwa mwaka 2017/2018 kwa mafanikio makubwa. Ni matarajio yetu kwamba tutaendelea kushirikiana tena katika utekelezaji wa majukumu ya Wizara na kamati za Ulinzi na Usalama za Wilaya mwaka 2018/2019.
Mheshimiwa Spika,107. Kwa dhati kabisa napenda kuishukuru Wizara ya Fedha na Mipango kwa kuanzisha mfumo mpya wa utoaji wa fedha za utekelezaji wa kazi kwa vipindi vya robo mwaka badala ya utoaji wa fedha kwa kila mwezi, hatua hiyo imechangia kwa kiasi kikubwa
! !
!
1
!"##$%&'(&)*'+%
HOTUBA YA MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA FEDHA ZA WIZARA YA KILIMO, MALIASILI, MIFUGO NA UVUVI KWA MWAKA
WA FEDHA 2018/2019
UTANGULIZI
1. Mheshimiwa Spika, kwa ruhusa yako naomba kutoa hoja kwa Baraza lako Tukufu kwa ajili ya kupitisha Makadirio ya Mapato na Matumizi ya fedha za Wizara ya Kilimo, Maliasili, Mifugo na Uvuvi kwa kazi za Kawaida na kazi za Maendeleo kwa mwaka wa fedha 2018/2019 ambayo yanawasilishwa katika mfumo wa Programu (PBB). 2. Mheshimiwa Spika, kwanza kabisa nachukua fursa hii kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kuibariki nchi yetu kuwa na amani, utulivu na kutuwezesha kufikia siku ya leo tukiwa wazima na wenye afya njema ili tuweze kujadili bajeti hii kwa ajili ya maendeleo ya wananchi wa Zanzibar ambapo asilimia 70 wanajihusisha na kazi za Kilimo, Ufugaji, Uvuvi na Uhifadhi wa Maliasili zetu.
3. Mheshimiwa Spika, nachukua fursa hii kumpongeza Mhe, Dkt. Ali Mohamed Shein, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ambae pia ni Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi kwa kuiongoza nchi yetu katika misingi ya umoja, usalama, amani na utulivu. Aidha, tunampongeza kwa kusimamia vyema utekelezaji wa ILANI ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2015 – 2020 inayotekelezwa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar katika kufanikisha maendeleo ya Sekta ya Kilimo, kwa lengo la kuongeza tija kwa wananchi na kukuza uchumi.
!!"##$%&'(&)*'+%
68
utekelezaji wa malengo ya Wizara kwa wakati na ufanisi mkubwa. Vile vile napenda kuwashukuru Wakuu wa Mikoa, Wakuu wa Wilaya, Madiwani, Masheha, Kamati za Maendeleo za Shehia, Kamati za Wakulima, Wafugaji na Wavuvi, Vikosi vya SMZ na vyombo vya habari kwa mashirikiano yao mazuri waliyoyatoa kusaidia utekelezaji wa kazi zetu, Mwisho natoa shukrani kwa Mpiga Chapa Mkuu wa Serikali kwa kufanikisha kuchapishwa kwa hotuba hii ya Wizara ya Kilimo, Maliasili, Mifugo na Uvuvi.
Mheshimiwa Spika na Waheshimiwa Wajumbe 108. nakushukuruni kwa kunisikiliza na naomba kutoa hoja.
MHE. RASHID ALI JUMA (MBM)
WAZIRI, WIZARA YA KILIMO, MALIASILI, MIFUGO NA UVUVI
ZANZIBAR
!!"##$%&'(&)*'+%
! !
!
1
!"##$%&'(&)*'+%
HOTUBA YA MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA FEDHA ZA WIZARA YA KILIMO, MALIASILI, MIFUGO NA UVUVI KWA MWAKA
WA FEDHA 2018/2019
UTANGULIZI
1. Mheshimiwa Spika, kwa ruhusa yako naomba kutoa hoja kwa Baraza lako Tukufu kwa ajili ya kupitisha Makadirio ya Mapato na Matumizi ya fedha za Wizara ya Kilimo, Maliasili, Mifugo na Uvuvi kwa kazi za Kawaida na kazi za Maendeleo kwa mwaka wa fedha 2018/2019 ambayo yanawasilishwa katika mfumo wa Programu (PBB). 2. Mheshimiwa Spika, kwanza kabisa nachukua fursa hii kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kuibariki nchi yetu kuwa na amani, utulivu na kutuwezesha kufikia siku ya leo tukiwa wazima na wenye afya njema ili tuweze kujadili bajeti hii kwa ajili ya maendeleo ya wananchi wa Zanzibar ambapo asilimia 70 wanajihusisha na kazi za Kilimo, Ufugaji, Uvuvi na Uhifadhi wa Maliasili zetu.
3. Mheshimiwa Spika, nachukua fursa hii kumpongeza Mhe, Dkt. Ali Mohamed Shein, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ambae pia ni Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi kwa kuiongoza nchi yetu katika misingi ya umoja, usalama, amani na utulivu. Aidha, tunampongeza kwa kusimamia vyema utekelezaji wa ILANI ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2015 – 2020 inayotekelezwa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar katika kufanikisha maendeleo ya Sekta ya Kilimo, kwa lengo la kuongeza tija kwa wananchi na kukuza uchumi.
6969
VIAMBATISHO
! !
!
1
!"##$%&'(&)*'+%
HOTUBA YA MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA FEDHA ZA WIZARA YA KILIMO, MALIASILI, MIFUGO NA UVUVI KWA MWAKA
WA FEDHA 2018/2019
UTANGULIZI
1. Mheshimiwa Spika, kwa ruhusa yako naomba kutoa hoja kwa Baraza lako Tukufu kwa ajili ya kupitisha Makadirio ya Mapato na Matumizi ya fedha za Wizara ya Kilimo, Maliasili, Mifugo na Uvuvi kwa kazi za Kawaida na kazi za Maendeleo kwa mwaka wa fedha 2018/2019 ambayo yanawasilishwa katika mfumo wa Programu (PBB). 2. Mheshimiwa Spika, kwanza kabisa nachukua fursa hii kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kuibariki nchi yetu kuwa na amani, utulivu na kutuwezesha kufikia siku ya leo tukiwa wazima na wenye afya njema ili tuweze kujadili bajeti hii kwa ajili ya maendeleo ya wananchi wa Zanzibar ambapo asilimia 70 wanajihusisha na kazi za Kilimo, Ufugaji, Uvuvi na Uhifadhi wa Maliasili zetu.
3. Mheshimiwa Spika, nachukua fursa hii kumpongeza Mhe, Dkt. Ali Mohamed Shein, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ambae pia ni Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi kwa kuiongoza nchi yetu katika misingi ya umoja, usalama, amani na utulivu. Aidha, tunampongeza kwa kusimamia vyema utekelezaji wa ILANI ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2015 – 2020 inayotekelezwa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar katika kufanikisha maendeleo ya Sekta ya Kilimo, kwa lengo la kuongeza tija kwa wananchi na kukuza uchumi.
!!"##$%&'(&)*'+%
70
!
! !
!"#
#$%
&'(&)*'
+%
"#!
VIA
MB
AT
ISH
O
Kia
mba
tisho
Nam
.1
!!"##$%&'(&)*'+%
! !
!
1
!"##$%&'(&)*'+%
HOTUBA YA MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA FEDHA ZA WIZARA YA KILIMO, MALIASILI, MIFUGO NA UVUVI KWA MWAKA
WA FEDHA 2018/2019
UTANGULIZI
1. Mheshimiwa Spika, kwa ruhusa yako naomba kutoa hoja kwa Baraza lako Tukufu kwa ajili ya kupitisha Makadirio ya Mapato na Matumizi ya fedha za Wizara ya Kilimo, Maliasili, Mifugo na Uvuvi kwa kazi za Kawaida na kazi za Maendeleo kwa mwaka wa fedha 2018/2019 ambayo yanawasilishwa katika mfumo wa Programu (PBB). 2. Mheshimiwa Spika, kwanza kabisa nachukua fursa hii kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kuibariki nchi yetu kuwa na amani, utulivu na kutuwezesha kufikia siku ya leo tukiwa wazima na wenye afya njema ili tuweze kujadili bajeti hii kwa ajili ya maendeleo ya wananchi wa Zanzibar ambapo asilimia 70 wanajihusisha na kazi za Kilimo, Ufugaji, Uvuvi na Uhifadhi wa Maliasili zetu.
3. Mheshimiwa Spika, nachukua fursa hii kumpongeza Mhe, Dkt. Ali Mohamed Shein, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ambae pia ni Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi kwa kuiongoza nchi yetu katika misingi ya umoja, usalama, amani na utulivu. Aidha, tunampongeza kwa kusimamia vyema utekelezaji wa ILANI ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2015 – 2020 inayotekelezwa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar katika kufanikisha maendeleo ya Sekta ya Kilimo, kwa lengo la kuongeza tija kwa wananchi na kukuza uchumi.
7171
!
! !
!"#
#$%
&'(&)*'
+%
$%!
Kia
mba
tisho
Nam
.2
! !
!
1
!"##$%&'(&)*'+%
HOTUBA YA MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA FEDHA ZA WIZARA YA KILIMO, MALIASILI, MIFUGO NA UVUVI KWA MWAKA
WA FEDHA 2018/2019
UTANGULIZI
1. Mheshimiwa Spika, kwa ruhusa yako naomba kutoa hoja kwa Baraza lako Tukufu kwa ajili ya kupitisha Makadirio ya Mapato na Matumizi ya fedha za Wizara ya Kilimo, Maliasili, Mifugo na Uvuvi kwa kazi za Kawaida na kazi za Maendeleo kwa mwaka wa fedha 2018/2019 ambayo yanawasilishwa katika mfumo wa Programu (PBB). 2. Mheshimiwa Spika, kwanza kabisa nachukua fursa hii kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kuibariki nchi yetu kuwa na amani, utulivu na kutuwezesha kufikia siku ya leo tukiwa wazima na wenye afya njema ili tuweze kujadili bajeti hii kwa ajili ya maendeleo ya wananchi wa Zanzibar ambapo asilimia 70 wanajihusisha na kazi za Kilimo, Ufugaji, Uvuvi na Uhifadhi wa Maliasili zetu.
3. Mheshimiwa Spika, nachukua fursa hii kumpongeza Mhe, Dkt. Ali Mohamed Shein, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ambae pia ni Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi kwa kuiongoza nchi yetu katika misingi ya umoja, usalama, amani na utulivu. Aidha, tunampongeza kwa kusimamia vyema utekelezaji wa ILANI ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2015 – 2020 inayotekelezwa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar katika kufanikisha maendeleo ya Sekta ya Kilimo, kwa lengo la kuongeza tija kwa wananchi na kukuza uchumi.
!!"##$%&'(&)*'+%
72
!
! !
!"#
#$%
&'(&)*'
+%
$&!
Kia
mba
tisho
Nam
.3
!!"##$%&'(&)*'+%
! !
!
1
!"##$%&'(&)*'+%
HOTUBA YA MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA FEDHA ZA WIZARA YA KILIMO, MALIASILI, MIFUGO NA UVUVI KWA MWAKA
WA FEDHA 2018/2019
UTANGULIZI
1. Mheshimiwa Spika, kwa ruhusa yako naomba kutoa hoja kwa Baraza lako Tukufu kwa ajili ya kupitisha Makadirio ya Mapato na Matumizi ya fedha za Wizara ya Kilimo, Maliasili, Mifugo na Uvuvi kwa kazi za Kawaida na kazi za Maendeleo kwa mwaka wa fedha 2018/2019 ambayo yanawasilishwa katika mfumo wa Programu (PBB). 2. Mheshimiwa Spika, kwanza kabisa nachukua fursa hii kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kuibariki nchi yetu kuwa na amani, utulivu na kutuwezesha kufikia siku ya leo tukiwa wazima na wenye afya njema ili tuweze kujadili bajeti hii kwa ajili ya maendeleo ya wananchi wa Zanzibar ambapo asilimia 70 wanajihusisha na kazi za Kilimo, Ufugaji, Uvuvi na Uhifadhi wa Maliasili zetu.
3. Mheshimiwa Spika, nachukua fursa hii kumpongeza Mhe, Dkt. Ali Mohamed Shein, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ambae pia ni Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi kwa kuiongoza nchi yetu katika misingi ya umoja, usalama, amani na utulivu. Aidha, tunampongeza kwa kusimamia vyema utekelezaji wa ILANI ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2015 – 2020 inayotekelezwa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar katika kufanikisha maendeleo ya Sekta ya Kilimo, kwa lengo la kuongeza tija kwa wananchi na kukuza uchumi.
7373
!
! !
!"#
#$%
&'(&)*'
+%
$'!
Kia
mba
tisho
Nam
.4
! !
!
1
!"##$%&'(&)*'+%
HOTUBA YA MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA FEDHA ZA WIZARA YA KILIMO, MALIASILI, MIFUGO NA UVUVI KWA MWAKA
WA FEDHA 2018/2019
UTANGULIZI
1. Mheshimiwa Spika, kwa ruhusa yako naomba kutoa hoja kwa Baraza lako Tukufu kwa ajili ya kupitisha Makadirio ya Mapato na Matumizi ya fedha za Wizara ya Kilimo, Maliasili, Mifugo na Uvuvi kwa kazi za Kawaida na kazi za Maendeleo kwa mwaka wa fedha 2018/2019 ambayo yanawasilishwa katika mfumo wa Programu (PBB). 2. Mheshimiwa Spika, kwanza kabisa nachukua fursa hii kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kuibariki nchi yetu kuwa na amani, utulivu na kutuwezesha kufikia siku ya leo tukiwa wazima na wenye afya njema ili tuweze kujadili bajeti hii kwa ajili ya maendeleo ya wananchi wa Zanzibar ambapo asilimia 70 wanajihusisha na kazi za Kilimo, Ufugaji, Uvuvi na Uhifadhi wa Maliasili zetu.
3. Mheshimiwa Spika, nachukua fursa hii kumpongeza Mhe, Dkt. Ali Mohamed Shein, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ambae pia ni Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi kwa kuiongoza nchi yetu katika misingi ya umoja, usalama, amani na utulivu. Aidha, tunampongeza kwa kusimamia vyema utekelezaji wa ILANI ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2015 – 2020 inayotekelezwa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar katika kufanikisha maendeleo ya Sekta ya Kilimo, kwa lengo la kuongeza tija kwa wananchi na kukuza uchumi.
!!"##$%&'(&)*'+%
74
!
! !
!"#
#$%
&'(&)*'
+%
$(!
Kia
mba
tisho
Nam
.5
!!"##$%&'(&)*'+%
! !
!
1
!"##$%&'(&)*'+%
HOTUBA YA MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA FEDHA ZA WIZARA YA KILIMO, MALIASILI, MIFUGO NA UVUVI KWA MWAKA
WA FEDHA 2018/2019
UTANGULIZI
1. Mheshimiwa Spika, kwa ruhusa yako naomba kutoa hoja kwa Baraza lako Tukufu kwa ajili ya kupitisha Makadirio ya Mapato na Matumizi ya fedha za Wizara ya Kilimo, Maliasili, Mifugo na Uvuvi kwa kazi za Kawaida na kazi za Maendeleo kwa mwaka wa fedha 2018/2019 ambayo yanawasilishwa katika mfumo wa Programu (PBB). 2. Mheshimiwa Spika, kwanza kabisa nachukua fursa hii kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kuibariki nchi yetu kuwa na amani, utulivu na kutuwezesha kufikia siku ya leo tukiwa wazima na wenye afya njema ili tuweze kujadili bajeti hii kwa ajili ya maendeleo ya wananchi wa Zanzibar ambapo asilimia 70 wanajihusisha na kazi za Kilimo, Ufugaji, Uvuvi na Uhifadhi wa Maliasili zetu.
3. Mheshimiwa Spika, nachukua fursa hii kumpongeza Mhe, Dkt. Ali Mohamed Shein, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ambae pia ni Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi kwa kuiongoza nchi yetu katika misingi ya umoja, usalama, amani na utulivu. Aidha, tunampongeza kwa kusimamia vyema utekelezaji wa ILANI ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2015 – 2020 inayotekelezwa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar katika kufanikisha maendeleo ya Sekta ya Kilimo, kwa lengo la kuongeza tija kwa wananchi na kukuza uchumi.
7575
!
! !
!"#
#$%
&'(&)*'
+%
$)!
Kia
mba
tisho
Nam
.6
Kia
mba
tisho
Nam
.7
! !
!
1
!"##$%&'(&)*'+%
HOTUBA YA MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA FEDHA ZA WIZARA YA KILIMO, MALIASILI, MIFUGO NA UVUVI KWA MWAKA
WA FEDHA 2018/2019
UTANGULIZI
1. Mheshimiwa Spika, kwa ruhusa yako naomba kutoa hoja kwa Baraza lako Tukufu kwa ajili ya kupitisha Makadirio ya Mapato na Matumizi ya fedha za Wizara ya Kilimo, Maliasili, Mifugo na Uvuvi kwa kazi za Kawaida na kazi za Maendeleo kwa mwaka wa fedha 2018/2019 ambayo yanawasilishwa katika mfumo wa Programu (PBB). 2. Mheshimiwa Spika, kwanza kabisa nachukua fursa hii kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kuibariki nchi yetu kuwa na amani, utulivu na kutuwezesha kufikia siku ya leo tukiwa wazima na wenye afya njema ili tuweze kujadili bajeti hii kwa ajili ya maendeleo ya wananchi wa Zanzibar ambapo asilimia 70 wanajihusisha na kazi za Kilimo, Ufugaji, Uvuvi na Uhifadhi wa Maliasili zetu.
3. Mheshimiwa Spika, nachukua fursa hii kumpongeza Mhe, Dkt. Ali Mohamed Shein, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ambae pia ni Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi kwa kuiongoza nchi yetu katika misingi ya umoja, usalama, amani na utulivu. Aidha, tunampongeza kwa kusimamia vyema utekelezaji wa ILANI ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2015 – 2020 inayotekelezwa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar katika kufanikisha maendeleo ya Sekta ya Kilimo, kwa lengo la kuongeza tija kwa wananchi na kukuza uchumi.
!!"##$%&'(&)*'+%
76
!
! !
!"#
#$%
&'(&)*'
+%
$*!
Jadu
wel
i la
Upa
tikan
aji w
a M
apat
o Ju
lai h
adi A
pril
2018
IDA
R A
MA
EL
EZ
O
BA
JET
I (T
ZS)
U
KU
SAN
YA
JI N
HA
LIS
I (T
ZS)
UN
GU
JA
PEM
BA
JU
ML
A
UN
GU
JA
PEM
BA
JU
ML
A
IDA
RA
YA
MIS
ITU
NA
MA
LIA
SIL
I ZIS
IZO
RE
JESH
EK
A
1422
02 2 A
DA
YA
MA
ZAO
YA
MIS
ITU
3
09,8
30,0
00
5
0,00
0,00
0
35
9,83
0,00
0
290
,544
,150
30,
420,
050
3
20,9
64,2
00
1422
02 3 A
DA
YA
UU
ZAJI
WA
MA
WE
NA
MIC
HA
NG
A N
A
KO
KO
TO
2,
159,
347,
000
6
50,0
00,0
00
2,80
9,34
7,00
0
6,
001,
491,
374
205
,826
,977
6,20
7,31
8,35
1
1421
00 1 M
AU
ZO Y
A U
ZALI
SHA
JI W
A M
ICH
E
20,
000,
000
50,
000,
000
70
,000
,000
10
,491
,200
2,82
2,30
0
13,3
13,5
00
JU
ML
A Y
A ID
AR
A
2,
489,
177,
000
7
50,0
00,0
00
3,23
9,17
7,00
0
6,
302,
526,
724
2
39,0
69,3
27
6,
541,
596,
051
IDA
RA
YA
KIL
IMO
14
2204 8
AD
A U
KA
GU
ZI W
A M
AZA
O
6
5,00
0,00
0
1
2,00
0,00
0
77,0
00,0
00
4
7,28
1,90
0
1
5,41
8,00
0
6
2,69
9,90
0
JU
ML
A Y
A ID
AR
A
6
5,00
0,00
0
1
2,00
0,00
0
77,0
00,0
00
4
7,28
1,90
0
1
5,41
8,00
0
6
2,69
9,90
0
TA
ASI
SI Y
A U
TA
FIT
I WA
KIL
IMO
14
2300 2
MA
UZA
JI Y
A M
AZA
O N
A M
ICH
E
20,
000,
000
3
,000
,000
23
,000
,000
6
,251
,200
-
6
,251
,200
14
2206 0
MA
PATO
YA
MA
SHA
MB
A
-
200
,000
,000
200,
000,
000
38,
500,
000
1,23
4,95
0,11
8
1,
273,
450,
118
14
2206 6
AD
A Y
A U
ING
IZA
JI W
AG
ENI
5
0,00
0,00
0
-
50,0
00,0
00
9,6
45,0
00
5,3
56,0
00
1
5,00
1,00
0
JU
ML
A Y
A ID
AR
A
7
0,00
0,00
0
203
,000
,000
273,
000,
000
54,
396,
200
1,24
0,30
6,11
8
1,
294,
702,
318
!
! !
!"#
#$%
&'(&)*'
+%
$)!
Kia
mba
tisho
Nam
.6
Kia
mba
tisho
Nam
.7 7
!!"##$%&'(&)*'+%
! !
!
1
!"##$%&'(&)*'+%
HOTUBA YA MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA FEDHA ZA WIZARA YA KILIMO, MALIASILI, MIFUGO NA UVUVI KWA MWAKA
WA FEDHA 2018/2019
UTANGULIZI
1. Mheshimiwa Spika, kwa ruhusa yako naomba kutoa hoja kwa Baraza lako Tukufu kwa ajili ya kupitisha Makadirio ya Mapato na Matumizi ya fedha za Wizara ya Kilimo, Maliasili, Mifugo na Uvuvi kwa kazi za Kawaida na kazi za Maendeleo kwa mwaka wa fedha 2018/2019 ambayo yanawasilishwa katika mfumo wa Programu (PBB). 2. Mheshimiwa Spika, kwanza kabisa nachukua fursa hii kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kuibariki nchi yetu kuwa na amani, utulivu na kutuwezesha kufikia siku ya leo tukiwa wazima na wenye afya njema ili tuweze kujadili bajeti hii kwa ajili ya maendeleo ya wananchi wa Zanzibar ambapo asilimia 70 wanajihusisha na kazi za Kilimo, Ufugaji, Uvuvi na Uhifadhi wa Maliasili zetu.
3. Mheshimiwa Spika, nachukua fursa hii kumpongeza Mhe, Dkt. Ali Mohamed Shein, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ambae pia ni Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi kwa kuiongoza nchi yetu katika misingi ya umoja, usalama, amani na utulivu. Aidha, tunampongeza kwa kusimamia vyema utekelezaji wa ILANI ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2015 – 2020 inayotekelezwa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar katika kufanikisha maendeleo ya Sekta ya Kilimo, kwa lengo la kuongeza tija kwa wananchi na kukuza uchumi.
7777
!
! !
!"#
#$%
&'(&)*'
+%
$+!
IDA
RA
YA
UV
UV
I
14
2202 6
LESE
NI Z
A U
VU
VI
4
6,00
0,00
0
1
5,82
0,00
0
61,8
20,0
00
4
5,69
8,65
0
1
3,32
1,10
0
5
9,01
9,75
0
1422
06 7 M
APA
TO Y
A U
VU
VI W
A B
AH
AR
I KU
U
1,
000,
000,
000
-
1,
000,
000,
000
-
-
-
14
2202 7
AD
AY
A K
IBA
LI C
HA
USA
FIR
ISH
AJI
MA
ZAO
B
AH
AR
INI
140
,000
,000
40,
000,
000
180,
000,
000
1
13,6
39,2
57
7,2
76,0
00
112
,736
,271
JU
ML
A Y
A ID
AR
A
1,
186,
000,
000
55,
820,
000
1,
241,
820,
000
1
59,3
37,9
07
2
0,59
7,10
0
179
,935
,007
IDA
RA
YA
MIF
UG
O
1421
01 1 U
TIB
AB
U W
A W
AN
YA
MA
50,
000,
000
30,
000,
000
80
,000
,000
60,
150,
400
9
,778
,550
69,
928,
950
14
2206 8
MA
PATO
YA
MIF
UG
O
9,2
00,0
00
1
0,00
0,00
0
19,2
00,0
00
766,
000
2
,035
,000
2
,801
,000
JU
ML
A Y
A ID
AR
A
5
9,20
0,00
0
4
0,00
0,00
0
99,2
00,0
00
6
0,91
6,40
0
1
1,81
3,55
0
7
2,72
9,95
0
JUM
LA
YA
WIZ
AR
A
3,
869,
377,
000
1,06
0,82
0,00
0
4,93
0,19
7,00
0
6,
624,
459,
131
1,52
7,20
4,09
5
8,
151,
663,
226
! !
!
1
!"##$%&'(&)*'+%
HOTUBA YA MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA FEDHA ZA WIZARA YA KILIMO, MALIASILI, MIFUGO NA UVUVI KWA MWAKA
WA FEDHA 2018/2019
UTANGULIZI
1. Mheshimiwa Spika, kwa ruhusa yako naomba kutoa hoja kwa Baraza lako Tukufu kwa ajili ya kupitisha Makadirio ya Mapato na Matumizi ya fedha za Wizara ya Kilimo, Maliasili, Mifugo na Uvuvi kwa kazi za Kawaida na kazi za Maendeleo kwa mwaka wa fedha 2018/2019 ambayo yanawasilishwa katika mfumo wa Programu (PBB). 2. Mheshimiwa Spika, kwanza kabisa nachukua fursa hii kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kuibariki nchi yetu kuwa na amani, utulivu na kutuwezesha kufikia siku ya leo tukiwa wazima na wenye afya njema ili tuweze kujadili bajeti hii kwa ajili ya maendeleo ya wananchi wa Zanzibar ambapo asilimia 70 wanajihusisha na kazi za Kilimo, Ufugaji, Uvuvi na Uhifadhi wa Maliasili zetu.
3. Mheshimiwa Spika, nachukua fursa hii kumpongeza Mhe, Dkt. Ali Mohamed Shein, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ambae pia ni Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi kwa kuiongoza nchi yetu katika misingi ya umoja, usalama, amani na utulivu. Aidha, tunampongeza kwa kusimamia vyema utekelezaji wa ILANI ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2015 – 2020 inayotekelezwa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar katika kufanikisha maendeleo ya Sekta ya Kilimo, kwa lengo la kuongeza tija kwa wananchi na kukuza uchumi.
!!"##$%&'(&)*'+%
78
!
! !
!"#
#$%
&'(&)*'
+%
$"!
Kia
mba
tisho
Nam
.8
Jadu
wel
i la
Upa
tikan
aji w
a Fe
dha
za M
atum
izi y
a K
azi z
a K
awai
da 2
017/
18
PRO
GR
AM
U K
UU
/ PR
OG
RA
MU
N
DO
GO
JU
ML
A Y
A
MA
KA
DIR
IO
MA
TU
MIZ
I JU
ML
A Y
A
MA
TU
MIZ
I M
SHA
HA
RA
M
EN
GIN
EY
O
RU
ZU
KU
PL01
01 M
aend
eleo
ya
Kili
mo
SL01
0101
Um
wag
iliaj
i maj
i 27
,146
,759
,600
88
1,63
6,38
5 25
5,35
4,65
0 0
1,13
6,99
1,03
5
SL01
0102
Uta
fiti n
a M
afun
zo y
a ki
limo
2,
942,
547,
620
1,62
9,90
7,04
0 13
4,05
6,00
0 73
0,80
4,63
5 2,
494,
767,
675
SL01
0103
Mae
ndel
eo y
a hu
dum
a za
kili
mo
5,30
4,66
6,04
0 2,
265,
300,
625
1,82
5,61
3,04
3 25
7,49
9,99
9 4,
601,
327,
902
SL01
0104
Uha
kika
wa
chak
ula
na li
she
455,
609,
980
187,
094,
810
153,
763,
285
0 34
0,85
8,09
5
Jum
la K
uu y
a Pr
ogra
m
35,8
49,5
83,2
40
5,21
6,85
3,09
5 2,
368,
786,
978
988,
304,
634
8,57
3,94
4,70
7
PL01
02 M
aend
eleo
ya
Ras
ilim
ali z
a M
isitu
na
Mal
iasi
li Z
isiz
orej
eshe
ka
SL01
0201
Uhi
fadh
i wa
mis
itu
2,57
9,78
3,56
0 2,
005,
797,
035
84,1
28,5
78
0 2,
089,
925,
613
SL01
0202
Mae
ndel
eo y
a m
isitu
19
1,16
3,00
0 0
155,
346,
333
0 15
5,34
6,33
3
Jum
la K
uu y
a Pr
ogra
m
2,77
0,94
6,56
0 2,
005,
797,
035
239,
4474
,911
0
2,24
5,27
1,94
6
PL01
03 M
aend
eleo
ya
Mifu
go
!!"##$%&'(&)*'+%
! !
!
1
!"##$%&'(&)*'+%
HOTUBA YA MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA FEDHA ZA WIZARA YA KILIMO, MALIASILI, MIFUGO NA UVUVI KWA MWAKA
WA FEDHA 2018/2019
UTANGULIZI
1. Mheshimiwa Spika, kwa ruhusa yako naomba kutoa hoja kwa Baraza lako Tukufu kwa ajili ya kupitisha Makadirio ya Mapato na Matumizi ya fedha za Wizara ya Kilimo, Maliasili, Mifugo na Uvuvi kwa kazi za Kawaida na kazi za Maendeleo kwa mwaka wa fedha 2018/2019 ambayo yanawasilishwa katika mfumo wa Programu (PBB). 2. Mheshimiwa Spika, kwanza kabisa nachukua fursa hii kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kuibariki nchi yetu kuwa na amani, utulivu na kutuwezesha kufikia siku ya leo tukiwa wazima na wenye afya njema ili tuweze kujadili bajeti hii kwa ajili ya maendeleo ya wananchi wa Zanzibar ambapo asilimia 70 wanajihusisha na kazi za Kilimo, Ufugaji, Uvuvi na Uhifadhi wa Maliasili zetu.
3. Mheshimiwa Spika, nachukua fursa hii kumpongeza Mhe, Dkt. Ali Mohamed Shein, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ambae pia ni Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi kwa kuiongoza nchi yetu katika misingi ya umoja, usalama, amani na utulivu. Aidha, tunampongeza kwa kusimamia vyema utekelezaji wa ILANI ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2015 – 2020 inayotekelezwa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar katika kufanikisha maendeleo ya Sekta ya Kilimo, kwa lengo la kuongeza tija kwa wananchi na kukuza uchumi.
7979
!
! !
!"#
#$%
&'(&)*'
+%
$$!
Kia
mba
tisho
Nam
.9
SL01
0301
Uza
lisha
ji w
a m
ifugo
2,
408,
473,
040
1,54
1,38
1,83
5 35
,971
,416
43
4,04
9,00
0 2,
011,
402,
251
SL01
0302
Hud
uma
za u
tabi
bu w
a m
ifugo
20
5,22
8,00
0 0
146,
619,
134
0 14
6,61
9,13
4
Jum
la K
uu y
a Pr
ogra
m
2,61
3,70
1,04
0 1,
541,
381,
835
182,
590,
550
434,
049,
000
2,15
8,02
1,38
5
PL01
04 M
aend
eleo
ya
Uvu
vi
SL
0104
01 K
uim
aris
ha u
fuga
ji w
a m
azao
ya
baha
rini
2,86
0,77
0,62
0 0
109,
418,
361
0 10
9,41
8,36
1 SL
0104
02 M
aend
eleo
ya
uvuv
i na
hifa
dhi z
a ba
harin
i 10
,837
,905
,000
72
4,65
4,01
6 12
7,03
2,80
0 0
851,
686,
816
Jum
la K
uu y
a Pr
ogra
m
13,6
98,6
75,6
20
724,
654,
016
236,
451,
161
0 96
1,10
5,17
7
PL01
05 M
ipan
go n
a U
sim
amiz
i wa
Kili
mo,
Mal
iasi
li, M
ifugo
, na
Uvu
vi
SL01
0501
Uta
wal
a na
uen
desh
aji w
a ka
zi z
a ki
limo
mal
iasi
li m
ifugo
na
uvuv
i 2,
359,
820,
880
1,42
9,75
2,61
5 75
2,73
1,76
1 0
2,18
2,48
4,37
6 SL
0105
02 M
ipan
go, s
era
na u
tafit
i wa
kilim
o m
alia
sili
mifu
go n
a uv
uvi
9,17
6,80
0,98
0 28
2,93
0,99
0 16
6,33
9,70
2 0
449,
270,
692
SL01
0503
Ofis
i kuu
Pem
ba
4,13
5,93
7,36
0 3,
293,
707,
471
234,
013,
021
0 3,
527,
720,
492
Jum
la K
uu y
a Pr
ogra
m
15,6
72,5
59,2
20
5,00
6,39
1,07
6 1,
153,
084,
484
0 6,
159,
475,
560
Jum
la K
uu y
a Pr
ogra
m z
ote
70,6
05,4
65,6
80
14,4
95,0
77,0
57
4,18
0,38
8,08
4 1,
422,
353,
634
20,0
97,8
18,7
75
! !
!
1
!"##$%&'(&)*'+%
HOTUBA YA MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA FEDHA ZA WIZARA YA KILIMO, MALIASILI, MIFUGO NA UVUVI KWA MWAKA
WA FEDHA 2018/2019
UTANGULIZI
1. Mheshimiwa Spika, kwa ruhusa yako naomba kutoa hoja kwa Baraza lako Tukufu kwa ajili ya kupitisha Makadirio ya Mapato na Matumizi ya fedha za Wizara ya Kilimo, Maliasili, Mifugo na Uvuvi kwa kazi za Kawaida na kazi za Maendeleo kwa mwaka wa fedha 2018/2019 ambayo yanawasilishwa katika mfumo wa Programu (PBB). 2. Mheshimiwa Spika, kwanza kabisa nachukua fursa hii kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kuibariki nchi yetu kuwa na amani, utulivu na kutuwezesha kufikia siku ya leo tukiwa wazima na wenye afya njema ili tuweze kujadili bajeti hii kwa ajili ya maendeleo ya wananchi wa Zanzibar ambapo asilimia 70 wanajihusisha na kazi za Kilimo, Ufugaji, Uvuvi na Uhifadhi wa Maliasili zetu.
3. Mheshimiwa Spika, nachukua fursa hii kumpongeza Mhe, Dkt. Ali Mohamed Shein, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ambae pia ni Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi kwa kuiongoza nchi yetu katika misingi ya umoja, usalama, amani na utulivu. Aidha, tunampongeza kwa kusimamia vyema utekelezaji wa ILANI ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2015 – 2020 inayotekelezwa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar katika kufanikisha maendeleo ya Sekta ya Kilimo, kwa lengo la kuongeza tija kwa wananchi na kukuza uchumi.
!!"##$%&'(&)*'+%
80
!
! !
!"#
#$%
&'(&)*'
+%
$#!
Jadu
wel
i la
Upa
tikan
aji w
a Fe
dha
za M
irad
i ya
Mae
ndel
eo J
ulai
had
i Apr
il 20
18
MR
AD
I M
AK
ISIO
FE
DH
A Z
ILO
PAT
IKA
NA
SMZ
M
UH
ISA
NI
JUM
LA
SM
Z
MU
HIS
AN
I JU
ML
A
Mra
di w
a um
wag
iliaj
i maj
i
7
40,0
00,0
00
2
5,00
0,00
0,00
0
2
5,74
0,00
0,00
0
180
,000
,000
-
180
,000
,000
Mra
di w
a M
iund
ombi
nu y
a m
ifugo
6
40,0
00,0
00
-
6
40,0
00,0
00
415
,372
,460
-
415
,372
,460
Mra
di w
a U
imar
isha
ji m
azao
ya
baha
rini
200
,000
,000
2,
503,
577,
000
2,
703,
577,
000
-
-
-
Mra
di w
a uv
uvi b
ahar
i kuu
90,
000,
000
3,
794,
400,
000
3,
884,
400,
000
90,
000,
000
-
9
0,00
0,00
0
SWIO
Fish
2
00,0
00,0
00
5,74
6,38
8,00
0
5,94
6,38
8,00
0
-
1,4
39,7
53,6
75
1
,439
,753
,675
MIV
AR
F
7
39,4
27,0
00
2,68
1,55
8,00
0
3,42
0,98
5,00
0
681
,227
,540
2,3
90,7
06,6
40
3
,071
,934
,180
ERPP
70,
000,
000
4,
173,
600,
000
4,
243,
600,
000
23,
000,
000
6
54,8
54,6
17
677
,854
,617
ZAN
RIC
E
75,
000,
000
250
,017
,000
325
,017
,000
60,
000,
000
2
65,3
87,4
59
325
,387
,459
Jum
la
2
,754
,427
,000
44,
149,
540,
000
46,
903,
967,
000
1,4
49,6
00,0
00
4
,750
,702
,391
6,2
00,3
02,3
91
!
! !
!"#
#$%
&'(&)*'
+%
$$!
Kia
mba
tisho
Nam
.9
SL01
0301
Uza
lisha
ji w
a m
ifugo
2,
408,
473,
040
1,54
1,38
1,83
5 35
,971
,416
43
4,04
9,00
0 2,
011,
402,
251
SL01
0302
Hud
uma
za u
tabi
bu w
a m
ifugo
20
5,22
8,00
0 0
146,
619,
134
0 14
6,61
9,13
4
Jum
la K
uu y
a Pr
ogra
m
2,61
3,70
1,04
0 1,
541,
381,
835
182,
590,
550
434,
049,
000
2,15
8,02
1,38
5
PL01
04 M
aend
eleo
ya
Uvu
vi
SL
0104
01 K
uim
aris
ha u
fuga
ji w
a m
azao
ya
baha
rini
2,86
0,77
0,62
0 0
109,
418,
361
0 10
9,41
8,36
1 SL
0104
02 M
aend
eleo
ya
uvuv
i na
hifa
dhi z
a ba
harin
i 10
,837
,905
,000
72
4,65
4,01
6 12
7,03
2,80
0 0
851,
686,
816
Jum
la K
uu y
a Pr
ogra
m
13,6
98,6
75,6
20
724,
654,
016
236,
451,
161
0 96
1,10
5,17
7
PL01
05 M
ipan
go n
a U
sim
amiz
i wa
Kili
mo,
Mal
iasi
li, M
ifugo
, na
Uvu
vi
SL01
0501
Uta
wal
a na
uen
desh
aji w
a ka
zi z
a ki
limo
mal
iasi
li m
ifugo
na
uvuv
i 2,
359,
820,
880
1,42
9,75
2,61
5 75
2,73
1,76
1 0
2,18
2,48
4,37
6 SL
0105
02 M
ipan
go, s
era
na u
tafit
i wa
kilim
o m
alia
sili
mifu
go n
a uv
uvi
9,17
6,80
0,98
0 28
2,93
0,99
0 16
6,33
9,70
2 0
449,
270,
692
SL01
0503
Ofis
i kuu
Pem
ba
4,13
5,93
7,36
0 3,
293,
707,
471
234,
013,
021
0 3,
527,
720,
492
Jum
la K
uu y
a Pr
ogra
m
15,6
72,5
59,2
20
5,00
6,39
1,07
6 1,
153,
084,
484
0 6,
159,
475,
560
Jum
la K
uu y
a Pr
ogra
m z
ote
70,6
05,4
65,6
80
14,4
95,0
77,0
57
4,18
0,38
8,08
4 1,
422,
353,
634
20,0
97,8
18,7
75
!!"##$%&'(&)*'+%
! !
!
1
!"##$%&'(&)*'+%
HOTUBA YA MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA FEDHA ZA WIZARA YA KILIMO, MALIASILI, MIFUGO NA UVUVI KWA MWAKA
WA FEDHA 2018/2019
UTANGULIZI
1. Mheshimiwa Spika, kwa ruhusa yako naomba kutoa hoja kwa Baraza lako Tukufu kwa ajili ya kupitisha Makadirio ya Mapato na Matumizi ya fedha za Wizara ya Kilimo, Maliasili, Mifugo na Uvuvi kwa kazi za Kawaida na kazi za Maendeleo kwa mwaka wa fedha 2018/2019 ambayo yanawasilishwa katika mfumo wa Programu (PBB). 2. Mheshimiwa Spika, kwanza kabisa nachukua fursa hii kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kuibariki nchi yetu kuwa na amani, utulivu na kutuwezesha kufikia siku ya leo tukiwa wazima na wenye afya njema ili tuweze kujadili bajeti hii kwa ajili ya maendeleo ya wananchi wa Zanzibar ambapo asilimia 70 wanajihusisha na kazi za Kilimo, Ufugaji, Uvuvi na Uhifadhi wa Maliasili zetu.
3. Mheshimiwa Spika, nachukua fursa hii kumpongeza Mhe, Dkt. Ali Mohamed Shein, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ambae pia ni Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi kwa kuiongoza nchi yetu katika misingi ya umoja, usalama, amani na utulivu. Aidha, tunampongeza kwa kusimamia vyema utekelezaji wa ILANI ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2015 – 2020 inayotekelezwa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar katika kufanikisha maendeleo ya Sekta ya Kilimo, kwa lengo la kuongeza tija kwa wananchi na kukuza uchumi.
8181
!
! !
!"#
#$%
&'(&)*'
+%
#%!
Kia
mba
tisho
Nam
.10
Jadu
wel
i la
Mak
adir
io y
a U
kusa
nyaj
i wa
map
ato
kwa
mw
aka
wa
Fedh
a 20
18/1
9
IDA
RA
M
AE
LE
ZO
PE
MB
A
UN
GU
JA
JUM
LA
IDA
RA
YA
MIS
ITU
NA
MA
LIA
SIL
I ZIS
IZO
RE
JESH
EK
A
1422
022
AD
A Y
A M
AZA
O Y
A M
ISIT
U
60,
000,
000
2
78,4
00,0
00
338
,400
,000
1422
023
AD
A Y
A M
CH
AN
GA
, KIF
USI
NA
MA
WE
6
50,0
00,0
00
7
,775
,600
,000
8,4
25,6
00,0
00
1421
001
MA
UZO
YA
UZA
LISH
AJI
WA
MIC
HE
35,
000,
000
15,0
00,0
00
5
0,00
0,00
0
JU
ML
A Y
A ID
AR
A
7
45,0
00,0
00
8
,089
,000
,000
8,8
14,0
00,0
00
IDA
RA
YA
KIL
IMO
1422
048
AD
A U
KA
GU
ZI W
A M
AZA
O
15,
000,
000
75,0
00,0
00
9
0,00
0,00
0
JU
ML
A Y
A ID
AR
A
15,
000,
000
75,0
00,0
00
9
0,00
0,00
0
TA
ASI
SI Y
A U
TA
FIT
I WA
KIL
IMO
1423
002
MA
UZA
JI Y
A M
AZA
O N
A M
ICH
E
5,00
0,00
0
70
,000
,000
75,
000,
000
1422
060
MA
PATO
YA
MA
SHA
MB
A
2
24,0
00,0
00
20
,000
,000
2
44,0
00,0
00
1422
066
AD
A Y
A U
ING
IZA
JI W
AG
ENI
9,
000,
000
50,0
00,0
00
5
9,00
0,00
0
! !
!
1
!"##$%&'(&)*'+%
HOTUBA YA MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA FEDHA ZA WIZARA YA KILIMO, MALIASILI, MIFUGO NA UVUVI KWA MWAKA
WA FEDHA 2018/2019
UTANGULIZI
1. Mheshimiwa Spika, kwa ruhusa yako naomba kutoa hoja kwa Baraza lako Tukufu kwa ajili ya kupitisha Makadirio ya Mapato na Matumizi ya fedha za Wizara ya Kilimo, Maliasili, Mifugo na Uvuvi kwa kazi za Kawaida na kazi za Maendeleo kwa mwaka wa fedha 2018/2019 ambayo yanawasilishwa katika mfumo wa Programu (PBB). 2. Mheshimiwa Spika, kwanza kabisa nachukua fursa hii kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kuibariki nchi yetu kuwa na amani, utulivu na kutuwezesha kufikia siku ya leo tukiwa wazima na wenye afya njema ili tuweze kujadili bajeti hii kwa ajili ya maendeleo ya wananchi wa Zanzibar ambapo asilimia 70 wanajihusisha na kazi za Kilimo, Ufugaji, Uvuvi na Uhifadhi wa Maliasili zetu.
3. Mheshimiwa Spika, nachukua fursa hii kumpongeza Mhe, Dkt. Ali Mohamed Shein, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ambae pia ni Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi kwa kuiongoza nchi yetu katika misingi ya umoja, usalama, amani na utulivu. Aidha, tunampongeza kwa kusimamia vyema utekelezaji wa ILANI ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2015 – 2020 inayotekelezwa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar katika kufanikisha maendeleo ya Sekta ya Kilimo, kwa lengo la kuongeza tija kwa wananchi na kukuza uchumi.
!!"##$%&'(&)*'+%
82
!
! !
!"#
#$%
&'(&)*'
+%
#&!
JU
ML
A Y
A ID
AR
A
2
38,0
00,0
00
140
,000
,000
3
78,0
00,0
00
IDA
RA
YA
UV
UV
I
1422
026
LESE
NI Z
A U
VU
VI
18,
000,
000
280,
000,
000
298
,000
,000
1422
067
MA
PATO
YA
UV
UV
I WA
BA
HA
RI K
UU
-
2
,320
,000
,000
2,3
20,0
00,0
00
1422
027
AD
A Y
A U
SAFI
RIS
HA
JI M
AZA
O Y
A B
AH
AR
INI
10,
000,
000
45
0,00
0,00
0
460
,000
,000
JU
ML
A Y
A ID
AR
A
28,
000,
000
3,0
50,0
00,0
00
3
,078
,000
,000
IDA
RA
YA
MIF
UG
O
1421
011
UTI
BA
BU
WA
WA
NY
AM
A
15,0
00,0
00
20
,000
,000
3
5,00
0,00
0
1422
068
MA
PATO
YA
MIF
UG
O
35,
000,
000
70,0
00,0
00
1
05,0
00,0
00
JU
ML
A Y
A ID
AR
A
50,
000,
000
90,0
00,0
00
140
,000
,000
JUM
LA
YA
WIZ
AR
A
1,1
46,0
00,0
00
11,
354,
000,
000
12,5
00,0
00,0
00
!!"##$%&'(&)*'+%
! !
!
1
!"##$%&'(&)*'+%
HOTUBA YA MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA FEDHA ZA WIZARA YA KILIMO, MALIASILI, MIFUGO NA UVUVI KWA MWAKA
WA FEDHA 2018/2019
UTANGULIZI
1. Mheshimiwa Spika, kwa ruhusa yako naomba kutoa hoja kwa Baraza lako Tukufu kwa ajili ya kupitisha Makadirio ya Mapato na Matumizi ya fedha za Wizara ya Kilimo, Maliasili, Mifugo na Uvuvi kwa kazi za Kawaida na kazi za Maendeleo kwa mwaka wa fedha 2018/2019 ambayo yanawasilishwa katika mfumo wa Programu (PBB). 2. Mheshimiwa Spika, kwanza kabisa nachukua fursa hii kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kuibariki nchi yetu kuwa na amani, utulivu na kutuwezesha kufikia siku ya leo tukiwa wazima na wenye afya njema ili tuweze kujadili bajeti hii kwa ajili ya maendeleo ya wananchi wa Zanzibar ambapo asilimia 70 wanajihusisha na kazi za Kilimo, Ufugaji, Uvuvi na Uhifadhi wa Maliasili zetu.
3. Mheshimiwa Spika, nachukua fursa hii kumpongeza Mhe, Dkt. Ali Mohamed Shein, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ambae pia ni Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi kwa kuiongoza nchi yetu katika misingi ya umoja, usalama, amani na utulivu. Aidha, tunampongeza kwa kusimamia vyema utekelezaji wa ILANI ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2015 – 2020 inayotekelezwa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar katika kufanikisha maendeleo ya Sekta ya Kilimo, kwa lengo la kuongeza tija kwa wananchi na kukuza uchumi.
8383
!
! !
!"#
#$%
&'(&)*'
+%
#'!
Kia
mba
tisho
Nam
.11
Jadu
wel
i la
Mak
adir
io y
a Fe
dha
za M
atum
izi y
a K
azi z
a K
awai
da
PRO
GR
AM
U K
UU
/ PR
OG
RA
MU
N
DO
GO
M
AK
AD
IRIO
JU
ML
A Y
A M
AK
AD
IRIO
MSH
AH
AR
A
ME
NG
INE
YO
R
UZ
UK
U
MA
EN
DE
LE
O
SMZ
W
AH
ISA
NI
PL01
01 M
aend
eleo
ya
Kili
mo
SL01
0101
Um
wag
iliaj
i maj
i 71
3,24
4,10
0 40
0,00
0,00
0 0
500,
000,
000
8,50
0,00
0,00
0 10
,113
,244
,100
SL01
0102
U
tafit
i na
M
afun
zo
ya
kilim
o
1,91
8,66
5,24
0 31
5,00
0,00
0
928,
000,
000
3,16
1,66
5,24
0
SL01
0103
Mae
ndel
eo y
a hu
dum
a za
ki
limo
1,70
3,60
0,40
0 1,
985,
000,
000
1,36
9,70
0,00
0
5,
058,
300,
400
SL01
0104
Uha
kika
wa
chak
ula
na li
she
227,
833,
260
550,
000,
000
0
77
7,83
3,26
0
Jum
la K
uu y
a Pr
ogra
m
4,56
3,34
3,00
0 3,
250,
000,
000
2,29
7,70
0,00
0 50
0,00
0,00
0 8,
500,
000,
000
19,1
11,0
43,0
00
PL01
02 M
aend
eleo
ya
Ras
ilim
ali z
a M
isitu
na
Mal
iasi
li Z
isiz
orej
eshe
ka
SL01
0201
Uhi
fadh
i wa
mis
itu
1,93
1,56
6,54
0 14
2,90
3,00
0 0
0
-
2,07
4,46
9,54
0
SL01
0202
Mae
ndel
eo y
a m
isitu
0
357,
097,
000
0
-
357,
097,
000
Jum
la K
uu y
a Pr
ogra
m
1,93
1,56
6,54
0 50
0,00
0,00
0 0
0 0
2,43
1,56
6,54
0
PL01
03 M
aend
eleo
ya
Mifu
go
SL01
0301
Uza
lisha
ji w
a m
ifugo
0
198,
502,
100
828,
900,
000
856,
000,
000
1,88
3,40
2,10
0
! !
!
1
!"##$%&'(&)*'+%
HOTUBA YA MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA FEDHA ZA WIZARA YA KILIMO, MALIASILI, MIFUGO NA UVUVI KWA MWAKA
WA FEDHA 2018/2019
UTANGULIZI
1. Mheshimiwa Spika, kwa ruhusa yako naomba kutoa hoja kwa Baraza lako Tukufu kwa ajili ya kupitisha Makadirio ya Mapato na Matumizi ya fedha za Wizara ya Kilimo, Maliasili, Mifugo na Uvuvi kwa kazi za Kawaida na kazi za Maendeleo kwa mwaka wa fedha 2018/2019 ambayo yanawasilishwa katika mfumo wa Programu (PBB). 2. Mheshimiwa Spika, kwanza kabisa nachukua fursa hii kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kuibariki nchi yetu kuwa na amani, utulivu na kutuwezesha kufikia siku ya leo tukiwa wazima na wenye afya njema ili tuweze kujadili bajeti hii kwa ajili ya maendeleo ya wananchi wa Zanzibar ambapo asilimia 70 wanajihusisha na kazi za Kilimo, Ufugaji, Uvuvi na Uhifadhi wa Maliasili zetu.
3. Mheshimiwa Spika, nachukua fursa hii kumpongeza Mhe, Dkt. Ali Mohamed Shein, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ambae pia ni Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi kwa kuiongoza nchi yetu katika misingi ya umoja, usalama, amani na utulivu. Aidha, tunampongeza kwa kusimamia vyema utekelezaji wa ILANI ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2015 – 2020 inayotekelezwa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar katika kufanikisha maendeleo ya Sekta ya Kilimo, kwa lengo la kuongeza tija kwa wananchi na kukuza uchumi.
!!"##$%&'(&)*'+%
84
!
! !
!"#
#$%
&'(&)*'
+%
#(!
SL01
0302
H
udum
a za
ut
abib
u w
a m
ifugo
1,
680,
749,
530
101,
497,
900
0
1,
782,
247,
430
Jum
la K
uu y
a Pr
ogra
m
1,68
0,74
9,53
0 30
0,00
0,00
0 82
8,90
0,00
0 85
6,00
0,00
0
0 3,
665,
649,
530
PL01
04 M
aend
eleo
ya
Uvu
vi
SL01
0401
K
uim
aris
ha
ufug
aji
wa
maz
ao y
a ba
harin
i 0
284,
642,
000
0 0
0 28
4,64
2,00
0
SL01
0402
M
aend
eleo
ya
uv
uvi
na
hifa
dhi z
a ba
harin
i 79
0,99
6,42
0 16
5,35
8,00
0 0
3,91
6,00
0,00
0 15
,602
,220
,000
20
,474
,574
,420
Jum
la K
uu y
a Pr
ogra
m
790,
996,
420
450,
000,
000
0 3,
916,
000,
000
15,6
02,2
20,0
00
20,7
59,2
16,4
20
PL01
05 M
ipan
go n
a U
sim
amiz
i wa
Kili
mo,
Mal
iasi
li, M
ifugo
, na
Uvu
vi
SL01
0501
Uta
wal
a na
uen
desh
aji
wa
kazi
za
ki
limo
mal
iasi
li m
ifugo
na
uv
uvi
1,83
4,66
5,42
2 68
8,00
0,00
0 0
2,52
2,66
5,42
2
SL01
0502
Mip
ango
, ser
a na
uta
fiti w
a ki
limo
mal
iasi
li m
ifugo
na
uvuv
i 34
3,69
6,38
0 40
0,00
0,00
0 0
380,
000,
000
9,63
0,78
0,00
0 10
,754
,476
,380
SL01
0503
Ofis
i kuu
Pem
ba
3,30
3,48
2,70
8 70
,000
,000
0
3,37
3,48
2,70
8
Jum
la K
uu y
a Pr
ogra
m
5,48
1,84
4,51
0 1,
158,
000,
000
0 38
0,00
0,00
0 9,
630,
780,
000
16,6
50,6
24,5
10
Jum
la K
uu y
a Pr
ogra
m z
ote
14,4
48,5
00,0
00
5,65
8,00
0,00
0 3,
126,
600,
000
5,65
2,00
0,00
0 33
,733
,000
,000
62
,618
,100
,000
!!"##$%&'(&)*'+%
! !
!
1
!"##$%&'(&)*'+%
HOTUBA YA MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA FEDHA ZA WIZARA YA KILIMO, MALIASILI, MIFUGO NA UVUVI KWA MWAKA
WA FEDHA 2018/2019
UTANGULIZI
1. Mheshimiwa Spika, kwa ruhusa yako naomba kutoa hoja kwa Baraza lako Tukufu kwa ajili ya kupitisha Makadirio ya Mapato na Matumizi ya fedha za Wizara ya Kilimo, Maliasili, Mifugo na Uvuvi kwa kazi za Kawaida na kazi za Maendeleo kwa mwaka wa fedha 2018/2019 ambayo yanawasilishwa katika mfumo wa Programu (PBB). 2. Mheshimiwa Spika, kwanza kabisa nachukua fursa hii kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kuibariki nchi yetu kuwa na amani, utulivu na kutuwezesha kufikia siku ya leo tukiwa wazima na wenye afya njema ili tuweze kujadili bajeti hii kwa ajili ya maendeleo ya wananchi wa Zanzibar ambapo asilimia 70 wanajihusisha na kazi za Kilimo, Ufugaji, Uvuvi na Uhifadhi wa Maliasili zetu.
3. Mheshimiwa Spika, nachukua fursa hii kumpongeza Mhe, Dkt. Ali Mohamed Shein, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ambae pia ni Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi kwa kuiongoza nchi yetu katika misingi ya umoja, usalama, amani na utulivu. Aidha, tunampongeza kwa kusimamia vyema utekelezaji wa ILANI ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2015 – 2020 inayotekelezwa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar katika kufanikisha maendeleo ya Sekta ya Kilimo, kwa lengo la kuongeza tija kwa wananchi na kukuza uchumi.
8585
!
! !
!"#
#$%
&'(&)*'
+%
#)!
Kia
mba
tisho
Nam
.12
Jadu
wel
i la
Mak
adir
io y
a Fe
dha
za M
aend
eleo
kw
a m
wak
a 20
18/1
9
MR
AD
I M
HIS
AN
I M
AK
AD
IRIO
SM
Z
MU
HIS
AN
I JU
ML
A
MK
OPO
R
UZ
UK
U
U
IMA
RIS
HA
JI W
A
MIU
ND
OM
BIN
U Y
A U
/MA
JI
KO
REA
50
0,00
0,00
0
8,50
0,00
0,00
0 -
9,0
00,0
00,0
00
MR
AD
I WA
MIU
ND
OM
BIN
U
YA
MIF
UG
O N
A W
AFU
GA
JI
WA
DO
GO
856,
000,
000
-
-
856
,000
,000
M
RA
DI W
A K
UIM
AR
ISH
A
UFU
GA
JI W
A M
AZA
O Y
A
BA
HA
RIN
I F
AO
20
0,00
0,00
0
-
6,
700,
000,
000
6
,900
,000
,000
USI
MA
MIZ
I WA
SH
UG
HU
LI
ZA U
VU
VI
W/B
AN
K
50,
000,
000
2,
152,
220,
000
-
2
,202
,220
,000
U
JEN
ZI W
A S
OK
O L
A
MA
LIN
DI
JIC
A
3,
666,
000,
000
0
6,75
0,00
0,00
0
10,4
16,0
00,0
00
UEN
DEL
EZA
JI W
A
MIU
ND
OM
BIN
U Y
A S
OK
O,
KU
ON
GEZ
A T
HA
MA
NI N
A
AD
B,IF
AD
30
0,00
0,00
0
950,
000,
000
-
1
,250
,000
,000
! !
!
1
!"##$%&'(&)*'+%
HOTUBA YA MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA FEDHA ZA WIZARA YA KILIMO, MALIASILI, MIFUGO NA UVUVI KWA MWAKA
WA FEDHA 2018/2019
UTANGULIZI
1. Mheshimiwa Spika, kwa ruhusa yako naomba kutoa hoja kwa Baraza lako Tukufu kwa ajili ya kupitisha Makadirio ya Mapato na Matumizi ya fedha za Wizara ya Kilimo, Maliasili, Mifugo na Uvuvi kwa kazi za Kawaida na kazi za Maendeleo kwa mwaka wa fedha 2018/2019 ambayo yanawasilishwa katika mfumo wa Programu (PBB). 2. Mheshimiwa Spika, kwanza kabisa nachukua fursa hii kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kuibariki nchi yetu kuwa na amani, utulivu na kutuwezesha kufikia siku ya leo tukiwa wazima na wenye afya njema ili tuweze kujadili bajeti hii kwa ajili ya maendeleo ya wananchi wa Zanzibar ambapo asilimia 70 wanajihusisha na kazi za Kilimo, Ufugaji, Uvuvi na Uhifadhi wa Maliasili zetu.
3. Mheshimiwa Spika, nachukua fursa hii kumpongeza Mhe, Dkt. Ali Mohamed Shein, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ambae pia ni Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi kwa kuiongoza nchi yetu katika misingi ya umoja, usalama, amani na utulivu. Aidha, tunampongeza kwa kusimamia vyema utekelezaji wa ILANI ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2015 – 2020 inayotekelezwa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar katika kufanikisha maendeleo ya Sekta ya Kilimo, kwa lengo la kuongeza tija kwa wananchi na kukuza uchumi.
!!"##$%&'(&)*'+%
86
!
! !
!"#
#$%
&'(&)*'
+%
#*!
MIS
AA
DA
VIJ
IJIN
I
UPA
NU
ZI W
A U
ZALI
SHA
JI
WA
MC
HEL
E W
/BA
NK
8
0,00
0,00
0
-
4,73
5,70
0,00
0
4,8
15,7
00,0
00
SAFE
GU
AR
DIN
G Z
AN
ZIB
AR
FO
RES
T A
ND
CO
AST
AL
HA
BIT
ATS
FO
R M
ULT
IPLE
B
EN
UN
DP
-
-
22
3,22
0,00
0
2
23,2
20,0
00
FOO
D C
LIM
ATE
RES
ILIE
NT
PRO
JEC
T U
SDA
USA
ID
-
-
71,8
60,0
00
71,8
60,0
00
TAN
ZAN
IA IN
ITIA
TIV
E FO
R
PREV
ENTI
NG
AFL
ATO
XIN
C
ON
TAM
INA
TIO
N
(TA
NIP
AC
) A
FDB
-
-
1,
890,
000,
000
1
,890
,000
,000
A
GR
I-C
ON
NEC
T-
SUPP
OR
TIN
G V
ALU
E C
HA
INS
FOR
SH
AR
ED
PRO
SPER
ITY
E
DF-
EU
-
-
1,76
0,00
0,00
0
1,7
60,0
00,0
00
JUM
LA
5,65
2,00
0,00
0
11,
602,
220,
000
2
2,13
0,78
0,00
0
39
,385
,000
,000
!!"##$%&'(&)*'+%
! !
!
1
!"##$%&'(&)*'+%
HOTUBA YA MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA FEDHA ZA WIZARA YA KILIMO, MALIASILI, MIFUGO NA UVUVI KWA MWAKA
WA FEDHA 2018/2019
UTANGULIZI
1. Mheshimiwa Spika, kwa ruhusa yako naomba kutoa hoja kwa Baraza lako Tukufu kwa ajili ya kupitisha Makadirio ya Mapato na Matumizi ya fedha za Wizara ya Kilimo, Maliasili, Mifugo na Uvuvi kwa kazi za Kawaida na kazi za Maendeleo kwa mwaka wa fedha 2018/2019 ambayo yanawasilishwa katika mfumo wa Programu (PBB). 2. Mheshimiwa Spika, kwanza kabisa nachukua fursa hii kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kuibariki nchi yetu kuwa na amani, utulivu na kutuwezesha kufikia siku ya leo tukiwa wazima na wenye afya njema ili tuweze kujadili bajeti hii kwa ajili ya maendeleo ya wananchi wa Zanzibar ambapo asilimia 70 wanajihusisha na kazi za Kilimo, Ufugaji, Uvuvi na Uhifadhi wa Maliasili zetu.
3. Mheshimiwa Spika, nachukua fursa hii kumpongeza Mhe, Dkt. Ali Mohamed Shein, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ambae pia ni Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi kwa kuiongoza nchi yetu katika misingi ya umoja, usalama, amani na utulivu. Aidha, tunampongeza kwa kusimamia vyema utekelezaji wa ILANI ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2015 – 2020 inayotekelezwa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar katika kufanikisha maendeleo ya Sekta ya Kilimo, kwa lengo la kuongeza tija kwa wananchi na kukuza uchumi.
8787
!
! !
!"#
#$%
&'(&)*'
+%
#+!
Kia
mba
tisho
Nam
.13
MR
AD
I W
A U
SIM
AM
IZI
WA
KA
ZI
ZA
UV
UV
I W
A K
AN
DA
YA
KU
SIN
I M
ASH
AR
IKI
MW
A
BA
HA
RI Y
A H
IND
I (SW
IOFi
sh)
Gha
ram
a za
mra
di:
Kw
a m
wak
a 20
17/2
018
Mra
di u
liom
bew
a T
ZS.
200
,000
,000
kut
oka
SMZ
na D
ola
za K
imar
ekan
i 5,
746,
388,
000.
Had
i kuf
ikia
Mac
hi, 2
017
mra
di u
lipat
iwa
TZ
S. 1
,439
,753
,675
kut
oka
kwa
was
hirik
a w
a m
aend
eleo
na
haku
na fe
dha
ziliz
opat
ikan
a ku
toka
SM
Z.
Leng
o K
uu la
mra
di:
ni k
uim
aris
ha u
sim
amai
zi w
a sh
ughu
li za
uvu
vi.
Mal
engo
ya
mw
aka
2017
/201
8 K
uim
aris
ha u
sim
amiz
i wa
uvuv
i maa
lum
u (u
liope
wa
kipa
umbe
le).
Kuo
ngez
a ki
pato
kut
okan
a na
shug
huli
za u
vuvi
maa
lum
wa
kand
a.
Ura
tibu
na U
sim
amiz
i wa
Mra
di w
a SW
IOFi
sh.
Ute
kele
zaji
wa
Mal
engo
W
ataa
lam
u w
a U
vuvi
wat
ano
(5)
pam
oja
na w
anaj
amii
wan
e (4
) w
amet
embe
lea
Mad
agas
car
kujif
unza
uzo
efu
wa
Ufu
ngaj
i pw
eza;
M
ikut
ano
ya v
ijiji
na k
amat
i ten
daji
za m
aene
o ya
hifa
dhi z
imee
ndel
ea k
ufan
yika
; K
upat
ikan
a kw
a m
aand
iko
ya m
radi
kw
a ta
fiti t
atu
za J
odar
i mbi
li na
uvu
vi w
a m
iam
bani
pam
oja
na k
upat
ikan
a kw
a ha
dudi
teje
a kw
a ut
ayar
isha
ji w
a an
diko
kw
a uv
uvi w
a sa
mak
i jam
ii ya
dag
aa n
a pw
eza;
K
uanz
ishw
a kw
a m
fum
o w
a uk
usan
yaji
na u
hifa
dhi
wa
takw
imu
za u
vuvi
na
mta
ndao
wak
e kw
a aj
ili y
a w
anan
chi
kujip
atia
taar
ifa z
a uv
uvi k
wa
mud
a hu
sika
(SA
MA
KI I
nfor
mat
ion
Syst
em);
Kup
atik
ana
kwa
mpa
ngo
mku
u w
a m
iaka
15
wa
Usi
mam
izi n
a U
ende
leza
ji w
a U
vuvi
(Zan
ziba
r Fis
herie
s Mas
terp
lan)
;
! !
!
1
!"##$%&'(&)*'+%
HOTUBA YA MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA FEDHA ZA WIZARA YA KILIMO, MALIASILI, MIFUGO NA UVUVI KWA MWAKA
WA FEDHA 2018/2019
UTANGULIZI
1. Mheshimiwa Spika, kwa ruhusa yako naomba kutoa hoja kwa Baraza lako Tukufu kwa ajili ya kupitisha Makadirio ya Mapato na Matumizi ya fedha za Wizara ya Kilimo, Maliasili, Mifugo na Uvuvi kwa kazi za Kawaida na kazi za Maendeleo kwa mwaka wa fedha 2018/2019 ambayo yanawasilishwa katika mfumo wa Programu (PBB). 2. Mheshimiwa Spika, kwanza kabisa nachukua fursa hii kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kuibariki nchi yetu kuwa na amani, utulivu na kutuwezesha kufikia siku ya leo tukiwa wazima na wenye afya njema ili tuweze kujadili bajeti hii kwa ajili ya maendeleo ya wananchi wa Zanzibar ambapo asilimia 70 wanajihusisha na kazi za Kilimo, Ufugaji, Uvuvi na Uhifadhi wa Maliasili zetu.
3. Mheshimiwa Spika, nachukua fursa hii kumpongeza Mhe, Dkt. Ali Mohamed Shein, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ambae pia ni Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi kwa kuiongoza nchi yetu katika misingi ya umoja, usalama, amani na utulivu. Aidha, tunampongeza kwa kusimamia vyema utekelezaji wa ILANI ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2015 – 2020 inayotekelezwa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar katika kufanikisha maendeleo ya Sekta ya Kilimo, kwa lengo la kuongeza tija kwa wananchi na kukuza uchumi.
!!"##$%&'(&)*'+%
88
!
! !
!"#
#$%
&'(&)*'
+%
#"!
Kuo
ngez
eka
kwa
ukat
aji w
a le
seni
za
Uvu
vi n
a vy
ombo
vya
uvu
vi k
utok
a as
ilim
ia 1
5% m
wak
a 20
16/2
017
hadi
asi
limia
35
% m
paka
sasa
; K
upat
ika
kwa
Mka
kati
wa
maw
asili
ano
(CA
RS)
kw
a aj
ili y
a ku
sam
basa
taar
ifa z
a m
radi
kw
a ja
mii
kupi
tia n
jia m
bali
mba
li za
maw
asili
ano
ikiw
emo
vyom
bo v
ya h
abar
i; K
upat
ikan
a kw
a ra
sim
u ya
mw
isho
ya
mch
oro
kwa
ajili
ya
ujen
zi w
a A
fisi
za m
aene
o ya
Hifa
dhi
ya M
koko
toni
na
Mae
neo
ya H
ifadh
i ya
Vis
iwa
vya
Cha
nguu
na
Baw
e pa
moj
a na
kitu
o ch
a do
ria k
isiw
ani P
ungu
me.
G
hara
ma
kwa
mw
aka
2018
/201
9. M
radi
una
ombe
wa
TZS.
50,
000,
000
kuto
ka S
MZ
na T
ZS. 2
,152
,220
,000
kut
oka
kwa
was
hirik
a w
a m
aend
eleo
(Ben
ki y
a D
unia
) M
alen
go k
wa
mw
aka
2018
/201
9 K
ubor
esha
usi
mam
izi w
a uv
uvi m
aalu
mu
(ulio
pew
a ki
paum
bele
). K
uong
eza
kipa
to k
utok
ana
na sh
ughu
li za
uvu
vi m
aalu
m w
a ka
nda.
U
ratib
u na
Usi
mam
izi w
a M
radi
wa
SWIO
Fish
.
!!"##$%&'(&)*'+%
! !
!
1
!"##$%&'(&)*'+%
HOTUBA YA MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA FEDHA ZA WIZARA YA KILIMO, MALIASILI, MIFUGO NA UVUVI KWA MWAKA
WA FEDHA 2018/2019
UTANGULIZI
1. Mheshimiwa Spika, kwa ruhusa yako naomba kutoa hoja kwa Baraza lako Tukufu kwa ajili ya kupitisha Makadirio ya Mapato na Matumizi ya fedha za Wizara ya Kilimo, Maliasili, Mifugo na Uvuvi kwa kazi za Kawaida na kazi za Maendeleo kwa mwaka wa fedha 2018/2019 ambayo yanawasilishwa katika mfumo wa Programu (PBB). 2. Mheshimiwa Spika, kwanza kabisa nachukua fursa hii kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kuibariki nchi yetu kuwa na amani, utulivu na kutuwezesha kufikia siku ya leo tukiwa wazima na wenye afya njema ili tuweze kujadili bajeti hii kwa ajili ya maendeleo ya wananchi wa Zanzibar ambapo asilimia 70 wanajihusisha na kazi za Kilimo, Ufugaji, Uvuvi na Uhifadhi wa Maliasili zetu.
3. Mheshimiwa Spika, nachukua fursa hii kumpongeza Mhe, Dkt. Ali Mohamed Shein, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ambae pia ni Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi kwa kuiongoza nchi yetu katika misingi ya umoja, usalama, amani na utulivu. Aidha, tunampongeza kwa kusimamia vyema utekelezaji wa ILANI ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2015 – 2020 inayotekelezwa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar katika kufanikisha maendeleo ya Sekta ya Kilimo, kwa lengo la kuongeza tija kwa wananchi na kukuza uchumi.
8989
!
! !
!"#
#$%
&'(&)*'
+%
#$!
Kia
mba
tisho
Nam
.14
MR
AD
I WA
KU
IMA
RIS
HA
UFU
GA
JI W
A M
AZ
AO
YA
BA
HA
RIN
I
JIN
A L
A M
RA
DI
MR
AD
I WA
KU
IMA
RIS
HA
UFU
GA
JI W
A M
AZ
AO
YA
BA
HA
RIN
I
MU
DA
WA
MR
AD
I 20
12/2
013
– 20
18/2
019
JUM
LA
YA
GH
AR
AM
A
Gha
ram
a za
mra
di h
uu h
upan
gwa
kila
mw
aka
na k
uidh
inis
hwa
na m
fadh
ili n
a Se
rikal
i
LE
NG
O K
UU
K
uim
aris
ha u
fuga
ji w
a sa
mak
i na
maz
ao m
engi
ne y
a ba
harin
i
FED
HA
Z
ILIZ
OT
EN
GW
A
2017
/201
8 Ju
mla
ya
sh
iling
i 20
0,00
0,00
0 ku
toka
Se
rikal
ini
(SM
Z)
na
shili
ngi
2,50
3,57
7,00
0 ku
toka
kw
a w
ashi
rika
wa
mae
ndel
eo
(FA
O)
zilit
engw
a ku
teke
leza
Mra
di h
uu k
wa
mw
aka
wa
fedh
a 20
17/2
018.
Mal
engo
ya
Mw
aka
wa
fedh
a 20
17/2
018:
Kuf
anya
uje
nzi w
a ki
tuo
cha
uzal
isha
ji w
a vi
fara
nga
(hat
cher
y), v
ya sa
mak
i, ka
a na
maj
ongo
o ba
hari;
na
! !
!
1
!"##$%&'(&)*'+%
HOTUBA YA MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA FEDHA ZA WIZARA YA KILIMO, MALIASILI, MIFUGO NA UVUVI KWA MWAKA
WA FEDHA 2018/2019
UTANGULIZI
1. Mheshimiwa Spika, kwa ruhusa yako naomba kutoa hoja kwa Baraza lako Tukufu kwa ajili ya kupitisha Makadirio ya Mapato na Matumizi ya fedha za Wizara ya Kilimo, Maliasili, Mifugo na Uvuvi kwa kazi za Kawaida na kazi za Maendeleo kwa mwaka wa fedha 2018/2019 ambayo yanawasilishwa katika mfumo wa Programu (PBB). 2. Mheshimiwa Spika, kwanza kabisa nachukua fursa hii kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kuibariki nchi yetu kuwa na amani, utulivu na kutuwezesha kufikia siku ya leo tukiwa wazima na wenye afya njema ili tuweze kujadili bajeti hii kwa ajili ya maendeleo ya wananchi wa Zanzibar ambapo asilimia 70 wanajihusisha na kazi za Kilimo, Ufugaji, Uvuvi na Uhifadhi wa Maliasili zetu.
3. Mheshimiwa Spika, nachukua fursa hii kumpongeza Mhe, Dkt. Ali Mohamed Shein, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ambae pia ni Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi kwa kuiongoza nchi yetu katika misingi ya umoja, usalama, amani na utulivu. Aidha, tunampongeza kwa kusimamia vyema utekelezaji wa ILANI ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2015 – 2020 inayotekelezwa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar katika kufanikisha maendeleo ya Sekta ya Kilimo, kwa lengo la kuongeza tija kwa wananchi na kukuza uchumi.
!!"##$%&'(&)*'+%
90
!
! !
!"#
#$%
&'(&)*'
+%
##!
Kuj
enga
uw
ezo
kwa
waf
anya
kazi
kat
ika
kuen
dele
za u
fuga
ji w
a m
azao
ya
baha
rini n
a ue
ndes
haji
wa
“hat
cher
y”.
Ute
kele
zaji
mw
aka
2017
/201
8:
Uje
nzi w
a ki
tuo
cha
uzal
isha
ji w
a vi
fara
nga
(hat
cher
y), v
ya sa
mak
i, ka
a na
maj
ongo
o ba
hari
umek
amili
ka;
Waf
ugaj
i wa
sam
aki 2
2 w
amep
atiw
a m
afun
zo b
ora
ya u
fuga
ji w
a sa
mak
i.
Gha
ram
a za
Mra
di k
wa
mw
aka
2018
/201
9
Jum
la y
a TZ
S. 2
00,0
00,0
00 k
utok
a SM
Z na
dol
a za
kim
arek
ani
TZS.
6,70
0,00
0,00
0 ku
toka
FA
O z
imet
engw
a ku
teke
leza
mra
di h
uu k
wa
mw
aka
wa
fedh
a 20
18/2
019.
Mal
engo
ya
mw
aka
wa
fedh
a 20
18/2
019:
Kuz
alis
ha v
ifara
nga
vya
sam
aki m
ilion
i 10,
kaa
na
maj
ongo
o ba
hari;
Kuj
enga
uw
ezo
kwa
waf
ugaj
i w
a sa
mak
i na
waf
anya
kazi
kat
ika
kuen
dele
za u
fuga
ji bo
ra w
a m
azao
ya
baha
rini
na
uend
esha
ji w
a “h
atch
ery”
;
Kua
nzis
ha k
ituo
cha
kupo
kea
vifa
rang
a vy
a sa
mak
i, ka
a na
maj
ongo
o ba
hari
Pem
ba.
!!"##$%&'(&)*'+%
! !
!
1
!"##$%&'(&)*'+%
HOTUBA YA MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA FEDHA ZA WIZARA YA KILIMO, MALIASILI, MIFUGO NA UVUVI KWA MWAKA
WA FEDHA 2018/2019
UTANGULIZI
1. Mheshimiwa Spika, kwa ruhusa yako naomba kutoa hoja kwa Baraza lako Tukufu kwa ajili ya kupitisha Makadirio ya Mapato na Matumizi ya fedha za Wizara ya Kilimo, Maliasili, Mifugo na Uvuvi kwa kazi za Kawaida na kazi za Maendeleo kwa mwaka wa fedha 2018/2019 ambayo yanawasilishwa katika mfumo wa Programu (PBB). 2. Mheshimiwa Spika, kwanza kabisa nachukua fursa hii kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kuibariki nchi yetu kuwa na amani, utulivu na kutuwezesha kufikia siku ya leo tukiwa wazima na wenye afya njema ili tuweze kujadili bajeti hii kwa ajili ya maendeleo ya wananchi wa Zanzibar ambapo asilimia 70 wanajihusisha na kazi za Kilimo, Ufugaji, Uvuvi na Uhifadhi wa Maliasili zetu.
3. Mheshimiwa Spika, nachukua fursa hii kumpongeza Mhe, Dkt. Ali Mohamed Shein, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ambae pia ni Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi kwa kuiongoza nchi yetu katika misingi ya umoja, usalama, amani na utulivu. Aidha, tunampongeza kwa kusimamia vyema utekelezaji wa ILANI ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2015 – 2020 inayotekelezwa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar katika kufanikisha maendeleo ya Sekta ya Kilimo, kwa lengo la kuongeza tija kwa wananchi na kukuza uchumi.
9191
!
! !
!"#
#$%
&'(&)*'
+%
&%%!
Kia
mba
tisho
Nam
.15
PRO
GR
AM
U Y
A M
IUN
DO
MB
INU
YA
MA
SOK
O, U
ON
GE
ZA
JI T
HA
MA
NI
MA
ZA
O N
A H
UD
UM
A
ZA
KIF
ED
HA
VIJ
IJIN
I - M
IVA
RF
MW
AK
A U
LIO
AN
ZA:
2011
/201
2
Kw
a m
wak
a 20
17/2
018
Prog
ram
u ili
ombe
wa
TZS
739,
427,
000
kuto
ka S
MZ
na T
ZS.
2,68
2,87
8,00
0 ku
toka
IF
AD
/AfD
B.
Had
i kuf
ikia
Mar
ch 2
017
fedh
a zi
lizop
atik
ana
kuto
ka S
erik
alin
i ni T
ZS. 6
81,2
27,5
40 n
a TZ
S.
1,19
5,84
6,20
0 ku
toka
IFA
D/A
fDB
na
jum
la y
a TZ
S. 1
,194
,860
,440
kut
oka
AfD
B z
imel
ipw
a m
oja
kwa
moj
a (d
irect
pay
men
t) kw
a w
akan
dara
si w
a uj
enzi
wa
mas
oko.
MA
LE
NG
O 2
017/
2018
U
TE
KE
LE
ZA
JI
Kut
oa m
afun
zo k
wa
waz
alis
haji
30 ju
u ya
uen
desh
aji,
uhifa
dhi n
a ut
unza
ji w
a ki
tuo
cha
kupu
nguz
a up
otev
u w
a m
azao
baa
da y
a m
avun
o (P
osth
arve
st T
rain
ing
Cen
tre);
Maf
unzo
yal
iahi
rishw
a ha
di h
apo
vifa
a vy
a ki
tuo
hiki
vi
taka
poka
mili
ka.
Mat
araj
io n
i ku
ende
sha
maf
unzo
ha
ya k
atik
a ro
bo m
wak
a ya
Apr
ili-J
uni 2
018.
Kuw
ezes
ha z
iara
ya
maf
unzo
kw
a vi
kund
i 25
vya
sk
uli z
a w
akul
ima
na w
asar
ifu w
a m
azao
Ju
mla
ya
vi
kund
i 25
vy
a sk
uli
za
wak
ulim
a na
w
asar
ifu w
a m
azao
vim
ewez
eshw
a ku
fany
a zi
ara
za
kim
asom
o m
ikoa
ya
Kag
era,
Mw
anza
, Aru
sha,
Tan
ga,
Pwan
i, M
orog
oro,
Irin
ga n
a N
jom
be.
Ju
mla
ya
! !
!
1
!"##$%&'(&)*'+%
HOTUBA YA MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA FEDHA ZA WIZARA YA KILIMO, MALIASILI, MIFUGO NA UVUVI KWA MWAKA
WA FEDHA 2018/2019
UTANGULIZI
1. Mheshimiwa Spika, kwa ruhusa yako naomba kutoa hoja kwa Baraza lako Tukufu kwa ajili ya kupitisha Makadirio ya Mapato na Matumizi ya fedha za Wizara ya Kilimo, Maliasili, Mifugo na Uvuvi kwa kazi za Kawaida na kazi za Maendeleo kwa mwaka wa fedha 2018/2019 ambayo yanawasilishwa katika mfumo wa Programu (PBB). 2. Mheshimiwa Spika, kwanza kabisa nachukua fursa hii kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kuibariki nchi yetu kuwa na amani, utulivu na kutuwezesha kufikia siku ya leo tukiwa wazima na wenye afya njema ili tuweze kujadili bajeti hii kwa ajili ya maendeleo ya wananchi wa Zanzibar ambapo asilimia 70 wanajihusisha na kazi za Kilimo, Ufugaji, Uvuvi na Uhifadhi wa Maliasili zetu.
3. Mheshimiwa Spika, nachukua fursa hii kumpongeza Mhe, Dkt. Ali Mohamed Shein, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ambae pia ni Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi kwa kuiongoza nchi yetu katika misingi ya umoja, usalama, amani na utulivu. Aidha, tunampongeza kwa kusimamia vyema utekelezaji wa ILANI ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2015 – 2020 inayotekelezwa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar katika kufanikisha maendeleo ya Sekta ya Kilimo, kwa lengo la kuongeza tija kwa wananchi na kukuza uchumi.
!!"##$%&'(&)*'+%
92
!
! !
!"#
#$%
&'(&)*'
+%
&%&!w
awak
ilish
i 14
4 ku
toka
vik
undi
vya
min
yoro
ro y
a th
aman
i ya
mbo
ga,
ndiz
i, m
uhog
o, m
anan
asi,
ndim
u na
mpu
nga
wam
eshi
riki
Unu
nuzi
wa
vite
ndea
kaz
i kw
a m
abar
aza
kum
i ya
w
akul
ima
yaliy
omo
kwen
ye n
gazi
za
Wila
ya
Mab
araz
a ku
mi
(10)
ya
wak
ulim
a ya
liyom
o kw
enye
ng
azi
za
Wila
ya
yam
enun
uliw
a
vite
ndea
ka
zi
viki
wem
o ko
mpu
ta,
prin
ta,
foto
kopi
, m
oder
m
ya
kung
anis
ha m
itand
ao n
a ki
hifa
dhi
cha
taar
ifa c
ha n
je
(ext
erna
l har
d di
sc a
nd fl
ash
disc
)
Unu
nuzi
wa
wak
ufun
zi w
atan
o (B
usin
ess
Coa
ches
) ku
toa
maf
unzo
kw
a w
azal
isha
ji ju
u ya
usi
ndik
aji
na
stad
i/mbi
nu z
a m
asok
o
Wak
ufun
zi
wan
ne
wam
enun
uliw
a kw
a aj
ili
ya
kuw
ajen
gea
uwez
o w
azal
isha
ji ka
tika:
Usa
rifu
wa
maz
ao y
a m
uhog
o, n
dizi
, na
mbo
ga n
a ku
wau
ngan
isha
na
mas
oko,
Usa
rifu
wa
sam
aki
(mad
agaa
) na
kuw
aung
anis
ha n
a m
asok
o,
Uhi
fadh
i w
a m
azao
ya
muh
ogo,
mat
unda
,mpu
nga
na
mbo
ga m
boga
baa
da m
avun
o na
kuw
aung
anis
ha n
a m
asok
o,
Kuw
ajen
gea
uwez
o w
azal
isha
ji na
kuw
aung
anis
ha n
a as
asi z
inaz
otoa
hud
uma
za k
ifedh
a vi
jijin
i
!!"##$%&'(&)*'+%
! !
!
1
!"##$%&'(&)*'+%
HOTUBA YA MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA FEDHA ZA WIZARA YA KILIMO, MALIASILI, MIFUGO NA UVUVI KWA MWAKA
WA FEDHA 2018/2019
UTANGULIZI
1. Mheshimiwa Spika, kwa ruhusa yako naomba kutoa hoja kwa Baraza lako Tukufu kwa ajili ya kupitisha Makadirio ya Mapato na Matumizi ya fedha za Wizara ya Kilimo, Maliasili, Mifugo na Uvuvi kwa kazi za Kawaida na kazi za Maendeleo kwa mwaka wa fedha 2018/2019 ambayo yanawasilishwa katika mfumo wa Programu (PBB). 2. Mheshimiwa Spika, kwanza kabisa nachukua fursa hii kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kuibariki nchi yetu kuwa na amani, utulivu na kutuwezesha kufikia siku ya leo tukiwa wazima na wenye afya njema ili tuweze kujadili bajeti hii kwa ajili ya maendeleo ya wananchi wa Zanzibar ambapo asilimia 70 wanajihusisha na kazi za Kilimo, Ufugaji, Uvuvi na Uhifadhi wa Maliasili zetu.
3. Mheshimiwa Spika, nachukua fursa hii kumpongeza Mhe, Dkt. Ali Mohamed Shein, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ambae pia ni Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi kwa kuiongoza nchi yetu katika misingi ya umoja, usalama, amani na utulivu. Aidha, tunampongeza kwa kusimamia vyema utekelezaji wa ILANI ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2015 – 2020 inayotekelezwa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar katika kufanikisha maendeleo ya Sekta ya Kilimo, kwa lengo la kuongeza tija kwa wananchi na kukuza uchumi.
9393
!
! !
!"#
#$%
&'(&)*'
+%
&%'!
Kuw
awez
esha
w
akuf
unzi
ku
toa
maf
unzo
kw
a w
azal
isha
ji w
a m
pung
a,
mbo
ga
mbo
ga/m
atun
da,
muh
ogo,
ndi
zi, s
amak
i na
maz
iwa
na k
uwau
ngan
isha
na
mas
oko
Was
haur
i el
ekez
i (B
usin
ess
Coa
ches
) w
amew
ezes
ha
kuto
a m
afun
zo k
wa
waz
alis
haji
wa
mpu
nga,
mbo
ga
mbo
ga/m
atun
da,
muh
ogo,
nd
izi,
ndim
u,
man
anas
i, sa
mak
i na
ku
unga
nish
wa
na
hudu
ma
za
mas
oko.
Ju
mla
ya
viku
ndi 3
3 ka
tika
min
yoro
ro y
a th
aman
i hio
vi
mep
atiw
a m
afun
zo h
ayo
Kuw
ezes
ha s
afar
i za
maf
unzo
kw
a w
awak
ilish
i w
a M
abar
aza
ya W
akul
ima
(Dis
trict
Far
mer
For
a Sa
fari
za m
afun
zo k
wa
waw
akili
shi
20 w
a m
abar
aza
10 y
a w
akul
ima
yam
efan
yika
kw
a ku
shiri
ki k
atik
a m
aony
esho
ya
kilim
o ya
nan
e na
ne y
aliy
ofan
yika
ka
tika
mko
a w
a M
orog
oro
Kui
wez
esha
Mik
oa n
a W
ilaya
kus
imam
ia k
azi
za
Prog
ram
u ka
tika
mae
neo
yao
Mik
oa
na
Wila
ya
imew
ezes
hwa
ili
kufu
atili
a ut
ekel
ezaj
i w
a Pr
ogra
mu
katik
a m
aene
o ya
o.
Uw
ezes
haji
huo
ni k
uwaw
ezes
ha w
aten
daji
wa
Mik
oa
na W
ilaya
kuf
ika
mae
neo
ya u
teke
leza
ji w
a Pr
ogra
mu
pam
oja
na
unun
uzi
wa
vite
ndea
ka
zi
vya
ofis
ini.
M
ikoa
na
Wila
ya p
ia im
ewez
eshw
a ku
fany
a vi
kao
vya
robo
mw
aka
Kur
atib
u ka
zi
za
wad
au
wan
aote
kele
za
kazi
za
Pr
ogra
mu
Prog
ram
u ili
teke
leza
ka
zi
za
urat
ibu
kam
a ili
vyop
angw
a ik
iwa
ni
pam
oja
na
ufua
tilia
ji na
us
imam
izi w
a m
ajuk
umu
yote
Pro
gram
u.
! !
!
1
!"##$%&'(&)*'+%
HOTUBA YA MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA FEDHA ZA WIZARA YA KILIMO, MALIASILI, MIFUGO NA UVUVI KWA MWAKA
WA FEDHA 2018/2019
UTANGULIZI
1. Mheshimiwa Spika, kwa ruhusa yako naomba kutoa hoja kwa Baraza lako Tukufu kwa ajili ya kupitisha Makadirio ya Mapato na Matumizi ya fedha za Wizara ya Kilimo, Maliasili, Mifugo na Uvuvi kwa kazi za Kawaida na kazi za Maendeleo kwa mwaka wa fedha 2018/2019 ambayo yanawasilishwa katika mfumo wa Programu (PBB). 2. Mheshimiwa Spika, kwanza kabisa nachukua fursa hii kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kuibariki nchi yetu kuwa na amani, utulivu na kutuwezesha kufikia siku ya leo tukiwa wazima na wenye afya njema ili tuweze kujadili bajeti hii kwa ajili ya maendeleo ya wananchi wa Zanzibar ambapo asilimia 70 wanajihusisha na kazi za Kilimo, Ufugaji, Uvuvi na Uhifadhi wa Maliasili zetu.
3. Mheshimiwa Spika, nachukua fursa hii kumpongeza Mhe, Dkt. Ali Mohamed Shein, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ambae pia ni Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi kwa kuiongoza nchi yetu katika misingi ya umoja, usalama, amani na utulivu. Aidha, tunampongeza kwa kusimamia vyema utekelezaji wa ILANI ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2015 – 2020 inayotekelezwa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar katika kufanikisha maendeleo ya Sekta ya Kilimo, kwa lengo la kuongeza tija kwa wananchi na kukuza uchumi.
!!"##$%&'(&)*'+%
94
!
! !
!"#
#$%
&'(&)*'
+%
&%(!
Gha
ram
a M
wak
a 20
18/2
019:
Pr
ogra
mu
inat
araj
iwa
kupa
ta T
ZS. 3
00,0
00,0
00 k
utok
a SM
Z na
kia
si c
ha T
ZS.
950,
000,
000
kuto
ka k
wa
Msh
irika
wa
Mae
ndel
eo -
IFA
D.
MA
LE
NG
O K
WA
MW
AK
A 2
018/
2019
Kus
aidi
a na
kue
ndel
ea k
ujen
ga u
wez
o w
a M
abar
aza
ya W
akul
ima;
Kuw
ezes
ha k
ufan
yika
kw
a m
ikut
ano
ya ro
bo m
wak
a ya
Kam
ati z
a W
ilaya
na
Mab
araz
a ya
wak
ulim
a;
Kuw
awez
esha
waz
alis
haji
na k
uwau
ngan
isha
na
mas
oko
kupi
tia W
asha
uri
Elek
ezi
(Bus
ines
s C
oach
es k
wa
maz
ao y
a m
ihog
o, n
dizi
, mpu
nga
na m
boga
/mat
unda
);
Kuw
awez
esha
waz
alis
haji
kufik
ia n
a ku
pata
mik
opo
kuto
ka k
wa
Taas
isi
za F
edha
chi
ni y
a m
uong
ozo
na
usim
amiz
i wa
Msh
auri
Elek
ezi w
a H
udum
a nd
ogo
ndog
o za
kife
dha;
Kuw
ezes
ha w
azal
isha
ji ku
shiri
ki m
aone
sho
ya k
ilim
o (n
ane
nane
) na
ya k
ikan
da;
Kuw
ezes
ha z
iara
ya
maf
unzo
kw
a w
awak
ilish
i 200
wa
skul
i za
wak
ulim
a na
was
arifu
wa
maz
ao;
Kus
hirik
iana
na
Wiz
ara
ya F
edha
kuk
amili
sha
Sera
, M
kaka
ti w
a U
teke
leza
ji na
She
ria y
a H
udum
a N
dogo
N
dogo
za
Kife
dha;
Kuw
ezes
ha v
ikao
na
ziar
a za
uka
guzi
wa
Prog
ram
u kw
a K
amat
i ya
Kis
ekta
ya
Uen
desh
aji w
a Pr
ogra
mu;
Uen
desh
aji n
a us
imam
izi w
a Pr
ogra
mu.
!!"##$%&'(&)*'+%
! !
!
1
!"##$%&'(&)*'+%
HOTUBA YA MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA FEDHA ZA WIZARA YA KILIMO, MALIASILI, MIFUGO NA UVUVI KWA MWAKA
WA FEDHA 2018/2019
UTANGULIZI
1. Mheshimiwa Spika, kwa ruhusa yako naomba kutoa hoja kwa Baraza lako Tukufu kwa ajili ya kupitisha Makadirio ya Mapato na Matumizi ya fedha za Wizara ya Kilimo, Maliasili, Mifugo na Uvuvi kwa kazi za Kawaida na kazi za Maendeleo kwa mwaka wa fedha 2018/2019 ambayo yanawasilishwa katika mfumo wa Programu (PBB). 2. Mheshimiwa Spika, kwanza kabisa nachukua fursa hii kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kuibariki nchi yetu kuwa na amani, utulivu na kutuwezesha kufikia siku ya leo tukiwa wazima na wenye afya njema ili tuweze kujadili bajeti hii kwa ajili ya maendeleo ya wananchi wa Zanzibar ambapo asilimia 70 wanajihusisha na kazi za Kilimo, Ufugaji, Uvuvi na Uhifadhi wa Maliasili zetu.
3. Mheshimiwa Spika, nachukua fursa hii kumpongeza Mhe, Dkt. Ali Mohamed Shein, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ambae pia ni Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi kwa kuiongoza nchi yetu katika misingi ya umoja, usalama, amani na utulivu. Aidha, tunampongeza kwa kusimamia vyema utekelezaji wa ILANI ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2015 – 2020 inayotekelezwa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar katika kufanikisha maendeleo ya Sekta ya Kilimo, kwa lengo la kuongeza tija kwa wananchi na kukuza uchumi.
9595
!
! !
!"#
#$%
&'(&)*'
+%
&%)!
Kia
mba
tisho
Nam
.16
MR
AD
I WA
KU
IMA
RIS
HA
UZ
AL
ISH
AJI
WA
MPU
NG
A (E
RPP
)
Gha
ram
a za
mra
di k
wa
mw
aka
2017
/201
8: K
wa
mw
aka
2017
/201
8 M
radi
ulio
mbe
wa
TZS.
4,1
73,6
00,0
00
kuto
ka B
enki
ya
Dun
ia n
a TZ
S. 7
0,00
0,00
0 ku
toka
Ser
ikal
ini.
Had
i kuf
ikia
Mac
hi, 2
018
fedh
a zi
lizop
atik
ana
kuto
ka B
enki
ya
Dun
ia n
i TZS
. 654
,854
,617
na
TZS.
23,
000,
000
kuto
ka se
rikal
ini.
Mal
engo
ya
Mw
aka
2017
/201
8 U
teke
leza
ji w
a M
alen
go
Kuw
ezes
ha K
iteng
o ch
a Pe
mbe
jeo
kuza
lisha
tan
i 48
za
mbe
gu z
a m
pung
a zi
lizot
hibi
tishw
a (C
ertif
ied
seed
s).
Jum
la y
a ta
ni 8
.5 z
a m
begu
ain
a ya
SU
PA B
C,
dara
ja la
‘ce
rtifie
d’, z
imez
alis
hwa
na k
unun
uliw
a na
Mra
di w
a ER
PP k
upiti
a w
akul
ima
wa
mka
taba
w
alio
teul
iwa.
Kuh
amas
isha
mat
umiz
i ya
mbe
gu b
ora
za m
pung
a kw
a ku
tum
ia v
ipep
erus
hi n
a vi
pind
i vya
Red
io/T
V.
Vip
indi
sita
(6)
vya
red
io n
a vi
wili
(2)
vya
TV
ku
husi
ana
na m
atum
izi y
a m
begu
bor
a za
mpu
nga
vim
etay
aris
hwa
na k
urus
hwa
hew
ani k
upiti
a ZB
C
na C
ocon
ut F
M re
dio.
Kut
oa m
afun
zo y
a uz
alis
haji
mbe
gu b
ora
za m
pung
a kw
a w
akul
ima
wa
mka
taba
100
. M
afun
zo y
amet
olew
a kw
a w
akul
ima
wa
mka
taba
60
(Ung
uja
30 n
a Pe
mba
30)
.
Kui
mar
isha
mfu
mo
wa
udhi
biti
wa
ubor
a w
a vi
wan
go v
ya
Mpa
ngo
Kaz
i w
a U
teke
leza
ji w
a M
akub
alia
no
! !
!
1
!"##$%&'(&)*'+%
HOTUBA YA MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA FEDHA ZA WIZARA YA KILIMO, MALIASILI, MIFUGO NA UVUVI KWA MWAKA
WA FEDHA 2018/2019
UTANGULIZI
1. Mheshimiwa Spika, kwa ruhusa yako naomba kutoa hoja kwa Baraza lako Tukufu kwa ajili ya kupitisha Makadirio ya Mapato na Matumizi ya fedha za Wizara ya Kilimo, Maliasili, Mifugo na Uvuvi kwa kazi za Kawaida na kazi za Maendeleo kwa mwaka wa fedha 2018/2019 ambayo yanawasilishwa katika mfumo wa Programu (PBB). 2. Mheshimiwa Spika, kwanza kabisa nachukua fursa hii kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kuibariki nchi yetu kuwa na amani, utulivu na kutuwezesha kufikia siku ya leo tukiwa wazima na wenye afya njema ili tuweze kujadili bajeti hii kwa ajili ya maendeleo ya wananchi wa Zanzibar ambapo asilimia 70 wanajihusisha na kazi za Kilimo, Ufugaji, Uvuvi na Uhifadhi wa Maliasili zetu.
3. Mheshimiwa Spika, nachukua fursa hii kumpongeza Mhe, Dkt. Ali Mohamed Shein, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ambae pia ni Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi kwa kuiongoza nchi yetu katika misingi ya umoja, usalama, amani na utulivu. Aidha, tunampongeza kwa kusimamia vyema utekelezaji wa ILANI ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2015 – 2020 inayotekelezwa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar katika kufanikisha maendeleo ya Sekta ya Kilimo, kwa lengo la kuongeza tija kwa wananchi na kukuza uchumi.
!!"##$%&'(&)*'+%
96
!
! !
!"#
#$%
&'(&)*'
+%
&%*!
mbe
gu k
wa
kush
iriki
ana
na T
OSC
I. ba
ina
ya
ZAR
I na
TO
SCI
umet
ayar
ishw
a na
un
atar
ajiw
a ku
anza
kaz
i m
wez
i w
a M
achi
201
8.
Pia
vifa
a kw
a aj
ili y
a m
aaba
ra y
a m
begu
ilio
po
Kiz
imba
ni v
imen
unul
iwa
na k
ukab
idhi
wa
Taas
isi
ya U
tafit
i wa
Kili
mo
(ZA
RI)
.
Kua
nza
kazi
ya
uk
arab
ati/u
jenz
i w
a m
iund
ombi
nu
ya
umw
agili
aji k
atik
a en
eo la
hek
ta 1
93.3
Ung
uja
na P
emba
. Te
nda
ya u
jenz
i/uka
raba
ti w
a sk
imu
za M
twan
go
(Ung
uja)
na
Kw
alem
pona
(Pe
mba
) zi
nata
rajiw
a ku
tang
azw
a m
nam
o m
wez
i wa
Apr
ili, 2
018.
Kua
ndaa
mas
ham
ba y
a m
aone
sho
ya K
ilim
o Sh
adid
i ch
a M
pung
a 57
(32
Ung
uja
na 2
5 Pe
mba
).
Jum
la y
a M
asha
mba
60
(35
Ung
uja
na 2
5 Pe
mba
) ya
mao
nesh
o ya
Kili
mo
Shad
idi
cha
Mpu
nga
yam
eanz
ishw
a.
Kut
oa m
afuz
o kw
a w
akul
ima
510
juu
ya K
ilim
o Sh
adid
i ch
a M
pung
a.
Maf
unzo
ya
K
ilim
o Sh
adid
i ch
a M
pung
a ya
met
olew
a kw
a w
akul
ima
600
(wan
aum
e 17
5 na
w
anaw
ake
425)
.
Kua
ndaa
zia
ra z
a m
afun
zo k
wa
wak
ulim
a w
a m
pung
a ba
ina
ya U
nguj
a na
Pem
ba.
Ziar
a za
kut
embe
lean
a na
kuj
ifunz
a m
binu
bor
a za
ki
limo
cha
mpu
nga
ikiw
emo
Kili
mo
Shad
idi b
aina
ya
Ung
uja
na P
emba
zim
efan
yika
na
kuhu
sish
a w
akul
ima
wap
atao
35
(wan
aum
e 20
na
wan
awak
e 15
; 17
kuto
ka U
nguj
a na
18
kuto
ka P
emba
).
!!"##$%&'(&)*'+%
! !
!
1
!"##$%&'(&)*'+%
HOTUBA YA MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA FEDHA ZA WIZARA YA KILIMO, MALIASILI, MIFUGO NA UVUVI KWA MWAKA
WA FEDHA 2018/2019
UTANGULIZI
1. Mheshimiwa Spika, kwa ruhusa yako naomba kutoa hoja kwa Baraza lako Tukufu kwa ajili ya kupitisha Makadirio ya Mapato na Matumizi ya fedha za Wizara ya Kilimo, Maliasili, Mifugo na Uvuvi kwa kazi za Kawaida na kazi za Maendeleo kwa mwaka wa fedha 2018/2019 ambayo yanawasilishwa katika mfumo wa Programu (PBB). 2. Mheshimiwa Spika, kwanza kabisa nachukua fursa hii kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kuibariki nchi yetu kuwa na amani, utulivu na kutuwezesha kufikia siku ya leo tukiwa wazima na wenye afya njema ili tuweze kujadili bajeti hii kwa ajili ya maendeleo ya wananchi wa Zanzibar ambapo asilimia 70 wanajihusisha na kazi za Kilimo, Ufugaji, Uvuvi na Uhifadhi wa Maliasili zetu.
3. Mheshimiwa Spika, nachukua fursa hii kumpongeza Mhe, Dkt. Ali Mohamed Shein, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ambae pia ni Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi kwa kuiongoza nchi yetu katika misingi ya umoja, usalama, amani na utulivu. Aidha, tunampongeza kwa kusimamia vyema utekelezaji wa ILANI ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2015 – 2020 inayotekelezwa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar katika kufanikisha maendeleo ya Sekta ya Kilimo, kwa lengo la kuongeza tija kwa wananchi na kukuza uchumi.
9797
!
! !
!"#
#$%
&'(&)*'
+%
&%+!
Kuw
ezes
ha z
iara
za
maf
unzo
Tan
zani
a B
ara
kwa
leng
o la
ku
jifun
za z
aidi
tekn
oloj
ia b
ora
za u
zalis
haji
wa
mpu
nga
na
usim
amiz
i wa
Skim
u za
Um
wag
iliaj
i.
Wak
ulim
a 54
(w
anau
me
32 n
a w
anaw
ake
22)
wam
ehud
huria
maf
unzo
ya
mat
umiz
i ya
mbi
nu
bora
za
uz
alis
haji
wa
mpu
nga
pam
oja
na
uend
esha
ji w
a Sk
imu
za U
mw
agili
aji,
Tanz
ania
B
ara
(Mor
ogor
o na
Mbe
ya).
Kut
oa R
uzuk
u ya
Pem
beje
o za
mpu
nga
kwa
wak
ulim
a ka
tika
mae
neo
ya u
mw
agili
aji,
Ung
uja
na P
emba
. R
uzuk
u ya
Pe
mbe
jeo
za
mpu
nga
inae
ndel
ea
kuto
lew
a kw
a w
akul
ima
katik
a m
aene
o ya
um
wag
iliaj
i, U
nguj
a na
Pe
mba
.
Pem
beje
o zi
lizon
unul
iwa
kwa
ajili
ya
Mpa
ngo
wa
Uto
aji w
a R
uzuk
u ni
:
tani
8.5
ya
mbe
gu y
a m
pung
a ai
na y
a SU
PA B
C
tani
306
za
mbo
lea
ya U
rea
na
tani
153
za
mbo
lea
ya D
AP
Gha
ram
a kw
a m
wak
a 20
18/2
019:
Mra
di u
nata
rajia
kup
ata
TZS.
80,
000,
000
kuto
ka S
erik
alin
i na
TZS
. 4,
735,
700,
000
kuto
ka B
enki
ya
Dun
ia.
Mal
engo
kw
a m
wak
a 20
18/2
019:
Kuz
alis
ha m
begu
bor
a za
mpu
nga
kilo
400
za
dara
ja la
msi
ngi n
a ta
ni 1
5 za
mbe
gu z
a m
pung
a (S
AR
O 5
na
! !
!
1
!"##$%&'(&)*'+%
HOTUBA YA MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA FEDHA ZA WIZARA YA KILIMO, MALIASILI, MIFUGO NA UVUVI KWA MWAKA
WA FEDHA 2018/2019
UTANGULIZI
1. Mheshimiwa Spika, kwa ruhusa yako naomba kutoa hoja kwa Baraza lako Tukufu kwa ajili ya kupitisha Makadirio ya Mapato na Matumizi ya fedha za Wizara ya Kilimo, Maliasili, Mifugo na Uvuvi kwa kazi za Kawaida na kazi za Maendeleo kwa mwaka wa fedha 2018/2019 ambayo yanawasilishwa katika mfumo wa Programu (PBB). 2. Mheshimiwa Spika, kwanza kabisa nachukua fursa hii kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kuibariki nchi yetu kuwa na amani, utulivu na kutuwezesha kufikia siku ya leo tukiwa wazima na wenye afya njema ili tuweze kujadili bajeti hii kwa ajili ya maendeleo ya wananchi wa Zanzibar ambapo asilimia 70 wanajihusisha na kazi za Kilimo, Ufugaji, Uvuvi na Uhifadhi wa Maliasili zetu.
3. Mheshimiwa Spika, nachukua fursa hii kumpongeza Mhe, Dkt. Ali Mohamed Shein, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ambae pia ni Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi kwa kuiongoza nchi yetu katika misingi ya umoja, usalama, amani na utulivu. Aidha, tunampongeza kwa kusimamia vyema utekelezaji wa ILANI ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2015 – 2020 inayotekelezwa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar katika kufanikisha maendeleo ya Sekta ya Kilimo, kwa lengo la kuongeza tija kwa wananchi na kukuza uchumi.
!!"##$%&'(&)*'+%
98
!
! !
!"#
#$%
&'(&)*'
+%
&%"!
SUPA
BC
) zili
zoth
ibiti
shw
a (C
ertif
ied
seed
s gra
de);
Kuf
anya
zia
ra m
bili
(2) z
a si
ku y
a w
akul
ima
sham
bani
Ung
uja
na P
emba
;
Kuz
alis
ha.
Kut
oa m
afun
zo y
a ud
hibi
ti w
a ub
ora
wa
viw
ango
vya
mbe
gu k
wa
wak
aguz
i wa
mas
ham
ba y
a m
begu
wan
ane
(8) n
a w
ataa
lam
u w
a m
aaba
ra w
anne
(4);
Kut
oa m
afun
zo y
a ue
ndes
haji
na u
sim
amiz
i wa
Jum
uiya
za
Um
wag
iliaj
i kat
ika
skim
u 16
Ung
uja
na P
emba
;
Kut
oa m
afun
zo y
a m
atum
izi y
a vi
faa
vya
kisa
sa v
ya u
pim
aji a
rdhi
kw
a w
ataa
lam
u w
a um
wag
iliaj
i 14
pam
oja
na
softw
ares
’ za
uand
aaji
wa
mic
horo
na
ram
ani k
wa
wah
andi
si w
a um
wag
iliaj
i sab
a (7
) Ung
uja
na P
emba
;
Kua
ndaa
zia
ra z
a m
afun
zo k
wa
Jum
uiya
za
Um
wag
iliaj
i kut
oka
skim
u 16
Ung
uja
na P
emba
;
Kuj
enga
/kuk
arab
ati m
iund
ombi
nu k
atik
a sk
imu
tisa
(9) z
a um
wag
iliaj
i maj
i;
Kua
nzis
ha m
asha
mba
ya
mao
nesh
o 20
0 ya
Kili
mo
Shad
idi c
ha M
pung
a (1
30 U
nguj
a na
70
Pem
ba);
Kut
oa m
afun
zo y
a K
ilim
o Sh
adid
i cha
Mpu
nga
kwa
wak
ulim
a 1,
500
wa
Ung
uja
na P
emba
;
Kut
oa R
uzuk
u ya
Pem
beje
o za
mpu
nga
kwa
wak
ulim
a ka
tika
mae
neo
ya u
mw
agili
aji,
Ung
uja
na P
emba
;
Kut
oa m
afun
zo k
wa
Maa
fisa
ugan
i 40
(wan
aum
e 20
na
wan
awak
e 20
) w
a m
aene
o ya
Um
wag
iliaj
i, U
nguj
a na
Pe
mba
.
!!"##$%&'(&)*'+%
! !
!
1
!"##$%&'(&)*'+%
HOTUBA YA MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA FEDHA ZA WIZARA YA KILIMO, MALIASILI, MIFUGO NA UVUVI KWA MWAKA
WA FEDHA 2018/2019
UTANGULIZI
1. Mheshimiwa Spika, kwa ruhusa yako naomba kutoa hoja kwa Baraza lako Tukufu kwa ajili ya kupitisha Makadirio ya Mapato na Matumizi ya fedha za Wizara ya Kilimo, Maliasili, Mifugo na Uvuvi kwa kazi za Kawaida na kazi za Maendeleo kwa mwaka wa fedha 2018/2019 ambayo yanawasilishwa katika mfumo wa Programu (PBB). 2. Mheshimiwa Spika, kwanza kabisa nachukua fursa hii kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kuibariki nchi yetu kuwa na amani, utulivu na kutuwezesha kufikia siku ya leo tukiwa wazima na wenye afya njema ili tuweze kujadili bajeti hii kwa ajili ya maendeleo ya wananchi wa Zanzibar ambapo asilimia 70 wanajihusisha na kazi za Kilimo, Ufugaji, Uvuvi na Uhifadhi wa Maliasili zetu.
3. Mheshimiwa Spika, nachukua fursa hii kumpongeza Mhe, Dkt. Ali Mohamed Shein, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ambae pia ni Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi kwa kuiongoza nchi yetu katika misingi ya umoja, usalama, amani na utulivu. Aidha, tunampongeza kwa kusimamia vyema utekelezaji wa ILANI ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2015 – 2020 inayotekelezwa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar katika kufanikisha maendeleo ya Sekta ya Kilimo, kwa lengo la kuongeza tija kwa wananchi na kukuza uchumi.
9999
!
! !
!"#
#$%
&'(&)*'
+%
&%$!
Kia
mba
tisho
Nam
.17
MR
AD
I WA
UE
ND
EL
EZ
AJI
KIL
IMO
CH
A M
PUN
GA
NA
KU
ON
GE
ZA
TH
AM
AN
I (Z
AN
RIC
E)
MW
AK
A U
LIO
AN
ZA
: 201
5/20
16
Gha
ram
a za
mra
di k
wa
mw
aka
2017
/201
8: T
ZS.
250,
017,
000
kuto
ka G
IZ n
a TZ
S. 7
5,00
0,00
0 ku
toka
Se
rikal
ini.
Had
i kuf
ikia
Mac
hi 2
018
fedh
a zi
lizop
atik
ana
kuto
ka G
IZ n
i TZS
. 265
,387
,459
na
TZS.
60,
000,
000
kuto
ka S
erik
alin
i. M
alen
go y
a M
wak
a 20
17/2
018
Ute
kele
zaji
wa
Mal
engo
K
utoa
m
afun
zo
kwa
wak
ulim
a 2,
585
juu
ya
Kili
mo
Bia
shar
a (F
BS)
Ju
mla
ya
w
akul
ima
2,61
5 (s
awa
na
101%
) w
amep
atiw
a M
afun
zo y
a K
ilim
o B
iash
ara.
K
utoa
m
afun
zo
ya
Kili
mo
Shad
idi
cha
Mpu
nga
kwa
wak
ulim
a 30
0
Maf
unzo
ya
Kili
mo
Shad
idi y
anae
ndel
ea k
utol
ewa
kupi
tia m
asha
mba
sita
ya
mao
nesh
o.
Kut
oa m
afun
zo y
a K
ilim
o ch
a M
kata
ba k
wa
wak
ulim
a 15
00
Maf
unzo
ya
Kili
mo
Mka
taba
(C
ontra
ct f
arm
ing)
ya
naen
dele
a ku
tole
wa
kwa
wak
ulim
a w
a K
ibok
wa,
U
penj
a,
Kilo
mbe
ro,
Pang
eni,
Bum
bwis
udi n
a C
heju
.
Kua
nzis
ha
Jukw
aa
la
kuw
aung
anis
ha
waz
alis
haji
na
waf
anya
bish
ara
ya m
pung
a Ju
kwaa
la k
uwau
ngan
isha
wad
au k
atik
a m
nyor
oro
wa
tham
ani w
a za
o la
mpu
nga
limea
nzis
hwa.
K
uing
iza
tekn
oloj
ia y
a ku
pung
uza
mat
umiz
i ya
nguv
ukaz
i ka
tika
uzal
isha
ji w
a m
pung
a M
ashi
ne 2
za
kuvu
nia
mpu
nga
zim
enun
uliw
a.
! !
!
1
!"##$%&'(&)*'+%
HOTUBA YA MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA FEDHA ZA WIZARA YA KILIMO, MALIASILI, MIFUGO NA UVUVI KWA MWAKA
WA FEDHA 2018/2019
UTANGULIZI
1. Mheshimiwa Spika, kwa ruhusa yako naomba kutoa hoja kwa Baraza lako Tukufu kwa ajili ya kupitisha Makadirio ya Mapato na Matumizi ya fedha za Wizara ya Kilimo, Maliasili, Mifugo na Uvuvi kwa kazi za Kawaida na kazi za Maendeleo kwa mwaka wa fedha 2018/2019 ambayo yanawasilishwa katika mfumo wa Programu (PBB). 2. Mheshimiwa Spika, kwanza kabisa nachukua fursa hii kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kuibariki nchi yetu kuwa na amani, utulivu na kutuwezesha kufikia siku ya leo tukiwa wazima na wenye afya njema ili tuweze kujadili bajeti hii kwa ajili ya maendeleo ya wananchi wa Zanzibar ambapo asilimia 70 wanajihusisha na kazi za Kilimo, Ufugaji, Uvuvi na Uhifadhi wa Maliasili zetu.
3. Mheshimiwa Spika, nachukua fursa hii kumpongeza Mhe, Dkt. Ali Mohamed Shein, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ambae pia ni Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi kwa kuiongoza nchi yetu katika misingi ya umoja, usalama, amani na utulivu. Aidha, tunampongeza kwa kusimamia vyema utekelezaji wa ILANI ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2015 – 2020 inayotekelezwa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar katika kufanikisha maendeleo ya Sekta ya Kilimo, kwa lengo la kuongeza tija kwa wananchi na kukuza uchumi.
!!"##$%&'(&)*'+%
100
!
! !
!"#
#$%
&'(&)*'
+%
&%#!
Kua
ndaa
zia
ra z
a m
afun
zo k
wa
wak
ulim
a Ju
mla
ya
wak
ulim
a 16
wam
etem
bele
a sk
imu
za
umw
agili
aji K
ilom
bero
, Mko
a w
a M
orog
oro.
K
uand
aa
War
sha
ya
kuw
akut
anis
ha
wak
ulim
a na
w
afan
yabi
asha
ra
wa
mpu
nga
kuan
galia
na
mna
ya
ku
fany
abia
shar
a ba
ina
yao
Mik
utan
o m
itano
im
efan
yika
Che
ju,
Kib
okw
a,
Kilo
mbe
ro, M
twan
go n
a B
umbw
isud
i.
Kuw
aung
anis
ha w
asag
isha
ji na
taas
isi z
a fe
dha
ili k
upat
a fe
dha
za k
ueke
za k
atik
a m
ashi
ne z
a ki
sasa
za
usag
isha
ji K
ampu
ni y
a Fa
ki R
ice
and
Mill
ing
Ente
rpris
e im
eung
anis
hwa
na
Prog
ram
u ya
M
IVA
RF
na
imew
eza
kupa
tiwa
mas
hine
ya
kisa
sa y
a ku
sagi
a m
pung
a.
Kut
oa m
afun
zo k
wa
was
agis
haji
na w
afan
yabi
shar
a ju
u ya
ub
ores
haji
wa
ubor
a w
a m
chel
e M
afun
zo
yam
etol
ewa
kwa
was
hirik
i 60
w
akiw
emo
wak
ulim
a,
was
agis
haji
na
waf
anya
bias
hara
ya
mpu
nga.
K
uwez
esha
wak
ulim
a, w
asag
isha
ji na
waf
anya
bias
hara
ya
mpu
nga
kuan
daa
mch
anga
nuo
wa
bias
hara
(Bus
ines
s pl
an)
na n
amna
ya
kuta
yaris
ha m
aom
bi y
a m
ikop
o
Mra
di u
mei
said
ia K
ampu
ni y
a Fa
ki R
ice
and
Mill
ing
Ente
rpris
e ku
anda
a m
aom
bi y
a m
kopo
ku
toka
‘USA
Dev
elop
men
t Fou
ndat
ion’
M
radi
una
mal
iza
mud
a w
ake
wa
utek
elez
aji M
achi
, 201
8
!!"##$%&'(&)*'+%
! !
!
1
!"##$%&'(&)*'+%
HOTUBA YA MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA FEDHA ZA WIZARA YA KILIMO, MALIASILI, MIFUGO NA UVUVI KWA MWAKA
WA FEDHA 2018/2019
UTANGULIZI
1. Mheshimiwa Spika, kwa ruhusa yako naomba kutoa hoja kwa Baraza lako Tukufu kwa ajili ya kupitisha Makadirio ya Mapato na Matumizi ya fedha za Wizara ya Kilimo, Maliasili, Mifugo na Uvuvi kwa kazi za Kawaida na kazi za Maendeleo kwa mwaka wa fedha 2018/2019 ambayo yanawasilishwa katika mfumo wa Programu (PBB). 2. Mheshimiwa Spika, kwanza kabisa nachukua fursa hii kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kuibariki nchi yetu kuwa na amani, utulivu na kutuwezesha kufikia siku ya leo tukiwa wazima na wenye afya njema ili tuweze kujadili bajeti hii kwa ajili ya maendeleo ya wananchi wa Zanzibar ambapo asilimia 70 wanajihusisha na kazi za Kilimo, Ufugaji, Uvuvi na Uhifadhi wa Maliasili zetu.
3. Mheshimiwa Spika, nachukua fursa hii kumpongeza Mhe, Dkt. Ali Mohamed Shein, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ambae pia ni Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi kwa kuiongoza nchi yetu katika misingi ya umoja, usalama, amani na utulivu. Aidha, tunampongeza kwa kusimamia vyema utekelezaji wa ILANI ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2015 – 2020 inayotekelezwa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar katika kufanikisha maendeleo ya Sekta ya Kilimo, kwa lengo la kuongeza tija kwa wananchi na kukuza uchumi.
101101
!
! !
!"#
#$%
&'(&)*'
+%
&&%!
Kia
mba
tisho
Nam
.18
MR
AD
I WA
UE
ND
EL
EZ
AJI
MIU
ND
OM
BIN
U Y
A M
IFU
GO
Gha
ram
a za
mra
di: K
wa
mw
aka
wa
fedh
a 20
17/2
018
Mra
di h
uu u
lipan
giw
a TZ
S. 6
40,0
00,0
00 k
utok
a SM
Z. H
adi
kufik
ia M
achi
, 201
8 m
radi
um
epat
a TZ
S. 2
47,3
72,4
60 k
utok
a SM
Z.
Len
go K
uu l
a m
radi
: K
uim
aris
ha m
iund
ombi
nu y
a m
ifugo
ya
uzal
isha
ji na
mas
oko
ili k
uong
eza
uzal
isha
ji na
th
aman
i ya
maz
ao y
atok
anay
o na
mifu
go n
a bi
dhaa
za
mifu
go.
Mal
engo
ya
mw
aka
2017
/201
8
Kuf
anya
uka
raba
ti w
a vi
tuo
vya
kut
olea
hud
uma
za u
tibab
u, u
zalis
haji
na m
afun
zo y
a m
ifugo
(Fuo
ni-U
nguj
a, k
ituo
cha
mifu
go O
le n
a M
agom
e –P
emba
;
Kua
nzis
ha k
ituo
cha
Kar
antin
i ya
mifu
go h
uko
Gan
do, P
emba
;
Kui
mar
isha
sham
ba la
Mifu
go-P
ange
ni k
wa
kuch
imba
kis
ima
na k
uifa
nyia
mat
enge
nezo
njia
;
Kuk
ifany
ia m
aten
gene
zo k
ituo
cha
kuto
lea
hudu
ma
za m
ifugo
– C
ham
anan
gwe;
! !
!
1
!"##$%&'(&)*'+%
HOTUBA YA MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA FEDHA ZA WIZARA YA KILIMO, MALIASILI, MIFUGO NA UVUVI KWA MWAKA
WA FEDHA 2018/2019
UTANGULIZI
1. Mheshimiwa Spika, kwa ruhusa yako naomba kutoa hoja kwa Baraza lako Tukufu kwa ajili ya kupitisha Makadirio ya Mapato na Matumizi ya fedha za Wizara ya Kilimo, Maliasili, Mifugo na Uvuvi kwa kazi za Kawaida na kazi za Maendeleo kwa mwaka wa fedha 2018/2019 ambayo yanawasilishwa katika mfumo wa Programu (PBB). 2. Mheshimiwa Spika, kwanza kabisa nachukua fursa hii kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kuibariki nchi yetu kuwa na amani, utulivu na kutuwezesha kufikia siku ya leo tukiwa wazima na wenye afya njema ili tuweze kujadili bajeti hii kwa ajili ya maendeleo ya wananchi wa Zanzibar ambapo asilimia 70 wanajihusisha na kazi za Kilimo, Ufugaji, Uvuvi na Uhifadhi wa Maliasili zetu.
3. Mheshimiwa Spika, nachukua fursa hii kumpongeza Mhe, Dkt. Ali Mohamed Shein, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ambae pia ni Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi kwa kuiongoza nchi yetu katika misingi ya umoja, usalama, amani na utulivu. Aidha, tunampongeza kwa kusimamia vyema utekelezaji wa ILANI ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2015 – 2020 inayotekelezwa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar katika kufanikisha maendeleo ya Sekta ya Kilimo, kwa lengo la kuongeza tija kwa wananchi na kukuza uchumi.
!!"##$%&'(&)*'+%
102
!
! !
!"#
#$%
&'(&)*'
+%
&&&!
Kuw
apat
ia w
afug
aji 1
00 k
uku
10
wak
e na
jogo
o m
moj
a na
kuw
apat
ia c
hanj
o na
elim
u ya
ufu
gaji
kuku
wa
asili
Ute
kele
zaji
wa
Mal
engo
Uka
raba
ti w
a vi
tuo
vya
kuto
lea
hudu
ma
za u
tabi
bu n
a uz
alis
haji
mifu
go u
mea
nza
kwa
kuta
yaris
ha m
icho
ro. T
aarif
a za
zab
uni n
a ku
tang
aza
kuje
nga
ofis
i ya
wat
enda
ji;
Kaz
i ya
uim
aris
haji
wa
sham
ba l
a M
ifugo
– P
ange
ni u
mea
nza
kwa
kuta
yaris
ha B
OQ
za
kum
tafu
ta m
chim
baji
wa
visi
ma
na u
jenz
i wa
bara
bara
. Am
bapo
mza
buni
wa
ujen
zi w
a vi
sim
a am
epat
ikan
a.
Uim
aris
ahji
wa
sham
ba la
kut
olea
hud
uma
za m
ifugo
– C
ham
anan
gwe
umef
anyi
ka k
wa
ujen
zi w
a uz
io w
enye
ure
fu
wa
mita
1,3
70, k
ujen
ga b
anda
la n
dam
a, k
usam
baza
maj
i na
kuje
nga
mah
odhi
maw
ili y
a ku
nyw
eshe
a m
aji;
Gha
ram
a kw
a m
wak
a 20
18/2
019:
Mra
di u
naom
bew
a TZ
S. 8
56,0
00,0
00 k
utok
a SM
Z
Mal
engo
kw
a m
wak
a 20
18/2
019
Kue
ndel
ea k
uvim
aris
ha v
ituo
vya
kara
nti y
a m
ifugo
vya
Gan
do n
a D
onge
Muw
anda
kw
a ku
jeng
a jo
sho,
kus
amba
za
hudu
ma
za u
mem
e na
maj
i; k
ujem
ga u
zio
na k
ulip
a fid
ia z
a vi
pand
o na
miti
kw
a w
akul
ima
wal
io k
atik
a en
eo la
ka
rant
ini –
Nzi
wen
gi, G
ando
!!"##$%&'(&)*'+%
! !
!
1
!"##$%&'(&)*'+%
HOTUBA YA MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA FEDHA ZA WIZARA YA KILIMO, MALIASILI, MIFUGO NA UVUVI KWA MWAKA
WA FEDHA 2018/2019
UTANGULIZI
1. Mheshimiwa Spika, kwa ruhusa yako naomba kutoa hoja kwa Baraza lako Tukufu kwa ajili ya kupitisha Makadirio ya Mapato na Matumizi ya fedha za Wizara ya Kilimo, Maliasili, Mifugo na Uvuvi kwa kazi za Kawaida na kazi za Maendeleo kwa mwaka wa fedha 2018/2019 ambayo yanawasilishwa katika mfumo wa Programu (PBB). 2. Mheshimiwa Spika, kwanza kabisa nachukua fursa hii kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kuibariki nchi yetu kuwa na amani, utulivu na kutuwezesha kufikia siku ya leo tukiwa wazima na wenye afya njema ili tuweze kujadili bajeti hii kwa ajili ya maendeleo ya wananchi wa Zanzibar ambapo asilimia 70 wanajihusisha na kazi za Kilimo, Ufugaji, Uvuvi na Uhifadhi wa Maliasili zetu.
3. Mheshimiwa Spika, nachukua fursa hii kumpongeza Mhe, Dkt. Ali Mohamed Shein, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ambae pia ni Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi kwa kuiongoza nchi yetu katika misingi ya umoja, usalama, amani na utulivu. Aidha, tunampongeza kwa kusimamia vyema utekelezaji wa ILANI ya Uchaguzi ya CCM ya mwaka 2015 – 2020 inayotekelezwa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar katika kufanikisha maendeleo ya Sekta ya Kilimo, kwa lengo la kuongeza tija kwa wananchi na kukuza uchumi.
103103
!
! !
!"#
#$%
&'(&)*'
+%
&&'!