46
Kuelezewa Kwa Uungu ` Asante, Ndugu Carlson. Na salamu kwenu nyote ndugu na dada katika Bwana. Ni^Wakati mwingine hujisikia tu kidogo sitaki kusimama, wakati ninaposikiliza shuhuda nzuri kama hizo, na kadhalika, kama nilivyokuwa nikifanya asubuhi hii. Na, halafu, mwenyeji mwezangu katika taabu na mateso, kama ndugu yetu Mbatisti na dada waliyopitia; nikiwa hapo awali M_Mbatisti, mimi mwenyewe, Mmishenari wa Kibatisti, na_na nikijua vile inavyomaanisha wakati watu wako^ Nilikuwa na jambo lile lile. Watu wangu mwenyewe walinifukuza, nao walifikiri wangenifukuza kwa sababu nilikuwa nimeingia kichaa. Nami nika’gundua, na kwa kawaida nimelisema kidogo kwa namna fulani kwa njia isiyo dhahiri, “Kama mimi nina kichaa, hebu niacheni tu, kwa sababu nina furaha namna hii kuliko nilivyokuwa nilipokuwa na akili timamu.”^Kwa hiyo hiyo kwa namna fulani ni falsafa yangu ndogo ninayoshikilia, yangu mwenyewe. Na_na bila shaka nimekuwa nikifurahia wakati huu_huu wa kuwa namna hii. Na maskini ndugu huyu wa Kanisa la Kristo hapa, kama tunavyoliita kwa kawaida, la Kampbeli. Nami nakumbuka wao walikuwa wakiipinga vikali sana ile mikutano wakati wa mwanzoni tulipoanza. Lakini, mwajua, tulikuwa na mmoja aliyeitwa Paulo wakati mmoja alyekuwa wa namna ile ile, naye akawa mmoja wetu. Kwa hiyo nafikiri yale wanayoangalia kwa kawaida ni maisha unayoishi. Mwajua, ni afadhali uniishie mimi mahubiri kuliko kunihubiria mahubiri, wakati wo wote. Wakati fulani uliopita, mhudumu mashuhuri, mtu mzuri wa Injili yote; yo_nyote mnamjua, nakisia. Ni Kasisi Booth- Clibborn; huhubiri Injili kwa lugha saba mbalimbali. Ana akili sana. Nami^Yeye ni jitu la akili. Basi tulikuwa tukitembea pamoja wakati mmoja, yeye na Ndugu Moore pamoja na mimi, nasi tulikuwa tunazungumza juu ya jambo fulani. Nami nilikuwa ninashikilia upande wa upinzani, ndipo akageuka akanitazama. Akasema, “Hujui tu Biblia yako.” Mnajua jinsi Ndugu Booth anavyoweza kusema jambo hilo. Nikasema, “Hiyo ni kweli, Ndugu Booth, bali ninamjua Mwandishi wake vizuri sana.” Kwa hiyo, kwa hiyo mimi_mimi nataka^Mwajua, si kujua Neno Lake ni Uzima, bali, “kumjua Yeye ni Uzima.” Hiyo ni kweli. Mnaona? Au najua neno Lake; kama ningemjua Yeye tu! Na hiyo bila shaka ndiyo Kweli. K UELEZEWA K WA U UNGU

KUELEZEWA Kuelezewa Kwa Uungu KWA UUNGUdownload.branham.org.s3.amazonaws.com/pdftranslations/...Mtakatifu amemfanya mwangalizi wake. Naye ana haki ya kujua ni chakula cha aina gani

Embed Size (px)

Citation preview

KUELEZEWA KWA UUNGU 1

Kuelezewa Kwa Uungu

` Asante, Ndugu Carlson. Na salamu kwenu nyote ndugu nadada katika Bwana. Ni^Wakati mwingine hujisikia tu

kidogo sitaki kusimama, wakati ninaposikiliza shuhuda nzurikama hizo, na kadhalika, kama nilivyokuwa nikifanya asubuhihii. Na, halafu, mwenyeji mwezangu katika taabu na mateso,kama ndugu yetu Mbatisti na dada waliyopitia; nikiwa hapoawali M_Mbatisti, mimi mwenyewe, Mmishenari wa Kibatisti,na_na nikijua vile inavyomaanisha wakati watu wako^

„ Nilikuwa na jambo lile lile. Watu wangu mwenyewewalinifukuza, nao walifikiri wangenifukuza kwa sababunilikuwa nimeingia kichaa. Nami nika’gundua, na kwakawaida nimelisema kidogo kwa namna fulani kwa njia isiyodhahiri, “Kama mimi nina kichaa, hebu niacheni tu, kwasababu nina furaha namna hii kuliko nilivyokuwa nilipokuwana akili timamu.”^Kwa hiyo hiyo kwa namna fulani nifalsafa yangu ndogo ninayoshikilia, yangu mwenyewe. Na_nabila shaka nimekuwa nikifurahia wakati huu_huu wa kuwanamna hii.

… Na maskini ndugu huyu wa Kanisa la Kristo hapa, kamatunavyoliita kwa kawaida, la Kampbeli. Nami nakumbukawao walikuwa wakiipinga vikali sana ile mikutano wakati wamwanzoni tulipoanza. Lakini, mwajua, tulikuwa na mmojaaliyeitwa Paulo wakati mmoja alyekuwa wa namna ile ile,naye akawa mmoja wetu. Kwa hiyo nafikiri yalewanayoangalia kwa kawaida ni maisha unayoishi. Mwajua, niafadhali uniishie mimi mahubiri kuliko kunihubiria mahubiri,wakati wo wote.

† Wakati fulani uliopita, mhudumu mashuhuri, mtu mzuriwa Injili yote; yo_nyote mnamjua, nakisia. Ni Kasisi Booth-Clibborn; huhubiri Injili kwa lugha saba mbalimbali. Ana akilisana. Nami^Yeye ni jitu la akili. Basi tulikuwa tukitembeapamoja wakati mmoja, yeye na Ndugu Moore pamoja na mimi,nasi tulikuwa tunazungumza juu ya jambo fulani. Naminilikuwa ninashikilia upande wa upinzani, ndipo akageukaakanitazama. Akasema, “Hujui tu Biblia yako.” Mnajua jinsiNdugu Booth anavyoweza kusema jambo hilo.

‡ Nikasema, “Hiyo ni kweli, Ndugu Booth, bali ninamjuaMwandishi wake vizuri sana.” Kwa hiyo, kwa hiyomimi_mimi nataka^Mwajua, si kujua Neno Lake ni Uzima,bali, “kumjua Yeye ni Uzima.” Hiyo ni kweli. Mnaona? Aunajua neno Lake; kama ningemjua Yeye tu! Na hiyo bila shakandiyo Kweli.

KUELEZEWA KWA UUNGU

2 LILE NENO LILILONENWA

ˆ Nilikuwa, asubuhi hii, nikipeana mikono na ushirika huumzuri hapa, wa wahudumu. Hapa alikuwa ameketi huyu^sitaki kumfanya mtu ye yote aonekane mashuhuri. Lakini mtuhuyu mweusi aliingia, ndugu, akaketi pale. Naminikamwambia katibu wangu hapa, “Yuko pale Mkristo halisi.”

‰ Ananikumbusha sana juu ya Mzee Smith aliyekuwa waKanisa la Mungu katika Kristo, naamini. Nilikuwanikiwahubiria sana kule chini, nami_nami ningali ninawezakumwona bado. Yeye alifanana na ndugu huyu hapa, ilaalikuwa kwa namna fulani na masharubu ya kijivu. Ningeingiakwa mlango wa nyuma, nami nisingesahau kamwe tamshihuyu mzee alikuwa akitoa; aliangalia juu, na watakatifu wotewangekuwa wanaimba, mwajua. Na kulikuwa na msichanamdogo aliyekuwa anakaa pembeni. Wimbo nilioupenda sanaulikuwa Mwinueni Juu. Nao wote wangepiga makofi, mtindowa kipentekoste, mwajua, Mwinueni Juu. Wao walinipenda,nami niliwapenda. Na wakati tulipoingia^Yeye alizoeakuketi pale, huku ameweka kichwa chake hivi, kwenye dawati,na kuwaangalia tu, mwajua. Angesema, “Karibu, mzee.Pumzisha kofia yako. Pumzisha kofia yako.”

Š Ndugu huyu hapa; nilikuta kwamba, wakati huo, mmojawa waimbaji wangu wa nyimbo za Injili niwapendao ni mkewake. Nami nikamshawishi sana nilivyoweza, kumfanyaaimbe. Kisha, basi, akaomba asiitwe, nami najua jambo hilolina maana gani. Bali nitamwalika mimi binafsi, kamaanaweza, aje huku aimbe.

‹ Hivi wewe siye yule dada aliyeimba_aliyeimba uleunaoitwa, Meli Hoyee, asubuhi moja kule kwa WafanyiBiashara Wakristo, sasa? [Dada anasema, “Naam, bwana.Naam.”_Mh.] Natumaini mke wangu atapata nafuu juma hili,nami nataka akusikie, kwa sababu nimekusifu sana. Na kamaukikosa kuunasa huo kwenye kanda, tutalitatua jambo hilo.Napenda huko kuimba kuzuri.

ƒ‚ Basi, nilizoea kuwaambia watu, mi_mimi nisingewezakuimba. Loo, jamani, nilikuwa umbali wa maili milioni mojakutoka huko. Bali nikasema, “Kama ukipata kwendaMbinguni na uishi kwenye jumba lako kuu la kifalme, wajua,kule Juu,” nikasema, “huko chini kabisa ya kilima, hukonyuma mwituni, nyuma kule, kuna kibanda kidogo kilichokokule. Hicho kitakuwa ni changu. Basi moja ya asubuhi hiziutakapotembea kwenye ukumbi kisha umsikie mtu fulaniamesimama kule juu, akiimba, ‘Neema Ya Ajabu! ni tamu jinsigani, iliyookoa mwovu kama mimi!’ Sema, ‘Mungu asifiwe!Mzee Ndugu Branhama hatimaye alifaulu.’” Huyo atakuwa nimimi huko juu, nikijaribu kuimba.”

ƒƒ Kwa ndugu zangu Wakristo na kwa^Naamini ndugummoja alimtambulisha yeye kwetu, asubuhi ya leo, kama

KUELEZEWA KWA UUNGU 3

mhudumu wa Kibudha, huku. Nakusalimu, ndugu yangu wathamani. Nami nimekuwa na uhusiano mwingi, si mwingikupita kiasi, lakini na watu wa Buddha; na hasa sana hukoCanada, miongoni mwa Wachina, nami nikawakuta ni watuwanaopenda watu sana na ni wazuri.

ƒ„ Namkumbuka maskini mtu wa Kibudha kutoka kwenyehekalu la Kibudha, alihudhuria mkutano wa Winnipeg, nayealikuwa ni kipofu. Ni watu wadogo sana, na wazuri sana, nabila shaka waliamini ya kwamba Mungu ni mponya. Basinilipokuwa nikimwombea, naye alikuwa akirudiarudia, jinsialivyompenda Mungu, mara macho yake yakafunguka,katika^Nalo lilikuwa jambo_jambo la ajabu sana. Kwahiyo, tu_tunamthamini kila mwanamume na kila mtu.

ƒ… Naam, sijakuwa na nafasi hii hapo awali, Chicago,kujaribu kuzungumza^ Ambapo, nisingejaribu kuletaujumbe fulani wo wote, kwa maana wahudumu hapawanajiweza zaidi sana kuliko mimi, kuleta ujumbe. Bali, hatahivyo, hamko hapa kusikia ujumbe. Lakini nilifikiri kwambaungekuwa ni wakati mzuri sana ambapo ningeweza kukutanana wahudumu wa Chicago, wilaya hii hapa, na kufahamianazaidi nao, nasi tupate kujuana zaidi mmoja kwa mwingine.Nami bila shaka namshukuru Bwana kwa nafasi hii. Kwasababu, nimekuja kwenye mji huu mara nyingi hapa, chini yaudhamini wa kanisa moja, na chini ya udhamini wa WafanyiBiashara Wakristo; kwa hiyo, bila kupata nafasi ya kujielezamwenyewe kwa ushirika wa ndugu.

Ġ Kisha_kisha nilifikiri, na kuna mambo mengi sanaambayo daima hufuata huduma kama hii, ya kuingia nakutoka, na heri na shari, mpaka wakati mwingine ni rahisikwa mtu fulani kupata wazo baya. Nami nataka kuchukuadakika hizi chache zifuatazo kujaribu kueleza na_nakulifanya dhahiri kwa ndugu zangu, dhahiri nijuavyo namnaya kulifanya.

ƒ‡ Nami_nami sistahili na siwezi kufanya ma_mazungumzoambayo labda yangeonekana yana busara kwa watu wenyeelimu. Sina elimu, nami nimekosa hiyo. Lakini nilikuwa^nampenda Bwana. Naye Bwana alinipa, labda, njia nyingineya kuwaleta watu, kwa kipawa cha Kiungu, ambachokingeweza kuziba mwanya wa yale wazazi wanguhawangeweza kunipa, elimu. Kutokana na nyumba ya jamaamaskini, na watoto kumi, na baba mgonjwa, nami sikupatanafasi ya kupata elimu. Kwa hiyo basi, lakini, wakati wakuzaliwa, kuna jambo fulani lililotukia, tukio la Mungu, kwamama na baba yangu. Nanyi mmeisoma hadithi yangu. Na,kwa njia hiyo, ninajaribu kuingiza sehemu yangu, pamojananyi ndugu, kuwavuta wenye dhambi kwa Kristo. Na sasamimi^

4 LILE NENO LILILONENWA

ƒˆ Mimi si mshirikina. Lakini daima, kabla ya kulifunguaNeno, napenda kuzungumza na Mwandishi wake kidogo. Basina tuinamishe vichwa vyetu tena kwa muda kidogo.

ƒ‰ Baba yetu wa thamani, Wewe ni Mungu wetu, nasitunakukaribia Wewe kwa niaba ya Injili. Niko hapa mbele yawatoto Wako, wachungaji Wako, na ndugu wa imani ile ile. Najinsi inavyosisimua moyo wangu kuwasikia watu hawa ambaowameeleweka vibaya, na kupelekwa kwenye vituo vyauchunguzi, kwa ajili ya Ufalme wa Mungu; kuona jinsi Weweunavyowaita watoto Wako katika siku za mwisho.

ƒŠ Nasi kwa kweli kuamini, Baba, ya kwamba tunaishi katikamwisho wa mbio. Kama alivyosema nabii, “Kutakuwako naNuru wakati wa jioni.” Nasi tukiamini leo kwamba sisi ndiowajumbe wa Nuru hii kuu ya Injili ambayo, kwa neema Yako,Wewe umeturuhusu kuichukua hata miisho ya dunia, ambakoufufuo huu umeenda.

ƒ‹ Basi naomba, Baba, ya kwamba, kutoka moyoni mwangu,ya kwamba Wewe utanijalia kuwaelezea ndugu zangu, asubuhihii, kusudi na lengo la maisha yangu Kwako, ili kwambawapate kufahamu. Jalia jambo hili, ya kwamba tupate upendomkamilifu, na ushirika, na kushirikiana, katika matendo yoteya Injili. Kwa maana tunaomba katika Jina la Yesu, Ambayealiomba ya kwamba tupate kuwa mmoja kama vile Yeye naBaba Yake walivyokuwa Mmoja. Tukiamini jambo hili, yakwamba, “Hili watu wote watajua ya kwamba ninyi niwanafunzi Wangu, mkiwa na upendo, ninyi kwa ninyi.” Amina.

„‚ Sasa hebu tu^Nami natumaini na kuamini ya kwambasiwachoshi ninyi ndugu na dada, juu ya jambo hili. Balinafikiri ningetaka kujieleza dhahiri, ili kwamba isiwalazimukusikia alilosema mtu mwingine. Na nimeeleza, mara nyingi,katika mikutano mingine ya wahudumu, lakini hii ndiyo marayangu ya kwanza kwa kundi la Chicago, nami ningetakakujijulisha vizuri sana, juu ya yale ninayojaribu kufanya.

„ƒ Katika Injili ya kale iliyobarikiwa hapa, sura ya 26 yaKitabu cha Matendo, tunasoma.

Kwa hiyo, Ee Mfalme Agripa, sikuyaasi yale maonoya mbinguni,

„„ Huyu anayezungumza, bila shaka, ni Paulo. Ambaye, sisisote, kama wahudumu, tunapenda kurejea kwake, kwa maanayeye^Sisi, katika nia moja, tunaamini ya kwamba alikuwamtume kwa kanisa la Kimataifa, ambaye Mungu alimwita awesha_shahidi kwa Mataifa. Basi huduma yake ilikuwaimetiliwa swali.

„… Na kwa kawaida, jambo lo lote ambalo si la kawaidalinapotukia, hudadisiwa. Ni, nami nafikiri ni sawa kabisa;linapaswa kutiliwa swali. Nami nafikiri ya kwamba

KUELEZEWA KWA UUNGU 5

wachungaji wakati mwingine wanashuku ma_mambowanayosikia, nami nafikiri wana haki ya kushuku. Kwamaana, kama ninafahamu tafsiri ya jina pasta, inamaanisha“mchungaji.” Na, kwa hiyo, yeye ni_ni_ni mlishi, amamchungaji, wa kundi la wanaume na wanawake ambao RohoMtakatifu amemfanya mwangalizi wake. Naye ana haki yakujua ni chakula cha aina gani kondoo wake wanapata, namahali kinakotoka. Nafikiri ana haki ya jambo hilo.

„† Basi iwapo mchungaji, ama wakati mwingine watu,wangeonekana wakiwa kidogo wanashuku, jambo hilo,kamwe, halipaswi kumsumbua mtu ye yote. Linapaswa tukuleta heshima kwenye moyo wa mtu, kwa mtu wa huo_huomsimamo, ambaye angetilia swali jambo hilo. Na, hata hivyo,kama huna hakika ya kwamba uko sawa, unawezaje kuenendakwa imani?

„‡ Kama ukikusudia akilini mwako^Naam, hii inaonekanakama ni saikolojia; na huenda ikawa ndivyo ilivyo, na ndivyoilivyo, bali ni sawa. Bali wewe kweli, kutoka moyoni mwako,ungefikiri usingeweza kuinuka kutoka mezani, labdausingeweza. Mnaona? Huna budi^Ni rahisi tu namna hiyo.

„ˆ Huna budi kuamini. Huna budi kuwa na imani. Huna budikuwa na ujasiri. Nawe unawezaje kuwa na ujasiri katikajambo lo lote ambalo_ambalo hata hujui unakoelekea?Ningewezaje kusafiri kwenye njia ambayo sijawahi kusafirihapo awali, katika mwendo wa kasi sana, na kila mahalikwenye kona, bila kujua kona inayofuata ina nini? Huna budikuona unakoelekea, la sivyo hujui jinsi ya kutembea. Na hivyondivyo kila mmoja anapaswa kuwa. Ndipo unapoweza,unaliona, linafunuliwa kwako, nawe unajua unakoelekea, basihakuna kitu kitakachokuzuia.

„‰ Na hivyo ndivyo, ninavyofikiri, Paulo, alivyokuwaanajaribu kumwambia Agripa hapa. Ya kwamba,a_aliwaambia ya kwamba, “Wakati mmoja nilikuwa mmojawenu.”

„Š Nami nadhani, labda, kama_kama ndugu huyu waKibatisti, angeenda kwenye kanisa la Kibatisti asubuhi ya leo,yeye na mke wake, huo labda ungekuwa ndio ushuhuda wao.“Ni_nilikuwa mmoja wenu wakati mmoja.”

„‹ Ama, Kanisa la Kristo, ama ndugu Mkampbeli hapa,angeenda kwa_kwa watu wake. Naamini linaitwa jina borazaidi; Wanafunzi wa Kristo, ndivyo wanavyoliita, bali kweli nifundisho la Alexander Campbell. Ndipo basi Kanisa la Kristolilitoka kwenu, kwa sababu ya muziki. Hiyo ni kweli, sivyo?Na kama angaliweza kurudi kwao, yeye angesema, “Siku mojanilikuwa mmoja wenu.”

…‚ Basi Paulo anarudi hapa kwa Mfalme Agripa, na Festo,akasema, “Siku moja nilikuwa mmoja wenu. Nilikuwa

6 LILE NENO LILILONENWA

Mfarisayo wa Mafarisayo.” Yeye alikuzwa chini ya Gamalieli,yule mwalimu mkuu, naye alijua amri zao zote na kanuni, nakile tu walichoamini na kile ambacho hawakuamini. Nayealisema, “Hata nililisaliti Kanisa la Mungu hata kufa.”Mnaona? Akasema, “Jambo lile lile ninaloulizwa juu yake,nilikuwa mtesi wake.”

…ƒ Daima nimewaza ya kwamba kifo cha Stefano hakina budikilimwingia Paulo, maana alipoona kule kuonekana kutukufukwenye uso wa Stefano. Alipoangalia juu, huku mabonge yaudongo yakimpiga hata kufa, yeye alisema, “Namwona Yesuakisimama upande wa mkono wa kuume wa Mungu.” Nanyimwajua, unaweza kumwua mjumbe, bali huwezi kuuuaUjumbe wake. Huo ni Kweli. Na ujumbe huo, ingawa Stefanoalikuwa ameaga dunia akaenda kukaa na Yesu, hata hivyo,ujumbe wake uliendelea, kwa maana Paulo aliendeleakuzungumza juu yake, na, kwamba, yeye ndiye “aliye mdogosana” kati yao, wala hakustahili kuitwa mmoja, kwa sababualikuwa ameshuhudia na_na kutoa kibali chake kumwondoamtu huyu mtauwa.

…„ Kwa hiyo, Paulo, kama vile watu wote, mbele ya watu,angepaswa kufanya, Paulo anachukua tukio la_lake, hukonyuma, tangu mwanzo, kwa kile alichokuwa; kisha analiweka,na kulitilia msingi kwenye Maandiko, kuonyesha ya kwambakile alichokuwa anafanya kilikuwa cha kimaandiko. Ingawailikuwa ni kinyume cha imani yao, hata hivyo alikuwaakiwaonyesha ya kwamba lilikuwa ni Maandiko.

…… Kwa hiyo, nafikiri kwamba sisi^Cho chote, kamaninavyosema mara nyingi, ndugu zangu, ninyi ambaommekuwa kwenye mikutano, ya kwamba, kama wakati wotenikikutwa nikinena mambo ambayo si ya kimaandiko, basinafikiri ni kweli kwamba^ama ndugu mwingine ye yote,tunapaswa kukutana na kusema, “Hilo halipatikani katikaBiblia,” mnaona. Kama liko kwenye Biblia, huenda ukawa nafasiri tofauti; lakini, ni, kama liko kwenye Maandiko, sawa.

…† Naam, Paulo alikuwa akitoa tafsiri yake ya yale nabiialiyosema, na yale Musa aliyosema, yakija kutimia. Ndipoakakutana na Yesu njiani, katika ono. Ndipo huyu Yesuakamwita.

…‡ Jambo ambalo, lisingekuwa jambo gumu kwa haoWayahudi, kama alivyosema, “Ee mheshimiwa Festo,” na_nakadhalika, kwamba “lingekuwa jambo geni kwako, kwambaMungu angewafufua wafu?” Mnaona? “Kwa maana kamaunajua kile Mungu alichokuwa kule nyuma, kwaMa_Maandiko, kweli ungejua ya kwamba Yeye anawezakuwafufua wafu.”

…ˆ Kisha akasema, alikuwa amewapa lile tukio la kule njianiakienda zake Dameski, juu ya kile kilichotukia, kwamba,

KUELEZEWA KWA UUNGU 7

kuwaacha wajue ya kwamba huyu Yesu ambaye_ambayewalikuwa wakisababisha vurugu nyingi sana juu yakewakihubiri Hilo, alikuwa Mungu yeye yule waliyekuwawamemtumikia wakati wote. Kwa maana, alikuwa nyikanipamoja nao, Ambaye aliwaongoza, akiwa Nuru ile; ule Moto,Nguzo Ya Moto iliyowaongoza. Naye akamtokea Paulo katikakitu kile kile, ile Nuru tena, ambayo ilimpofusha. Ndipoakauliza, “U nani Wewe, Bwana?”

…‰ Ndipo akasema, “Mimi ni Yesu, ambaye unaniudhi. Na nivigumu kuipiga teke michokoo.”

…Š Basi alikuwa akijaribu kuwaeleza ilikuwa ni nini, na_naalikuwa akijaribu kuwafundisha ya kwamba, jambo alilokuwaakiwaonyesha watu, jambo hilo lilikuwa, ya kwamba, “YesuKristo alikuwa Masihi, na ya kwamba Yeye alikufa, na Mungualimfufua.” Na jambo hilo lilikuwa ni kulingana na Maandiko.“Na ya kwamba sasa alikwisha paa Juu, kwa Mungu Baba,” yakwamba_kwamba yeye alikuwa shahidi wa ufufuo Wake. Naya kwamba, miujiza hii, na ishara, na maajabu, ambavyovilikuwa vigeni mbele za watu, havikuwa vitu vigeni kwamwamini halisi wa Kimaandiko, kwa maana Biblia ilikuwaimenena habari hizo.

…‹ Angalia huko nyuma katika manabii, jinsi lilivyotabiri,habari, juu ya kuja kwa Masihi, na yale angefanya. “Viwetewangeruka kama ayala,” katika Isaya 35 na Maandikombalimbali ambayo angeyarejea. Hatujayaandika hapa, lakinilabda kurudi nyuma na kuyarejea katika hutuba yake fupimbele za wale wafalme; kwa maana, labda wasingekuwa nasubira Naye kama mlivyo nayo kwangu. Kwa hiyo, halafua_alikuwa akilielezea jambo hilo, na kujaribu kuwaambia yakwamba Mungu yeye yule waliyemtumikia^

†‚ Halafu, tena, akasema, “Kwa njia ile ambayo waiitauzushi,” hiyo ni kusema, “kichaa,” mnaona. “Njia waiitayouzushi, hivyo ndivyo ninavyomwabudu Mungumnayemwamini.” Mnaona, “Kwa njia waiitayo uzushi.”

†ƒ Nina hakika ya kwamba, leo, kama tungelisimama namakanisa ya hapo awali ambayo tulikuwa wafuasi wake, kamavile Presbiteri, Katoliki, Batisti, na mengine mbalimbali,tungetoa ushuhuda ule ule kwa watu hao, ambao wanasema yakwamba wanataka, kama, kumweka ndugu katika hospitali yawenda wazimu, ama kitu kama hicho. “Kwa njia ambayowanaiita uzushi, hivyo ndivyo ninavyomwabudu Mungu waBaba zetu.”

†„ Basi ni ushuhuda mzuri namna gani ambao ulikuwa mbeleya Agripa, na hata katikakati ya mazungumzo yake, Agripaakapasa sauti kuu, akasema, “Paulo, Sauli, karibuumenishawishi kuwa Mkristo.” Mnaona, jinsi, aliyvoyaletaMaandiko dhahiri sana, ingawaje ilikuwa kinyume cha

8 LILE NENO LILILONENWA

sinagogi lake. Bali Maandiko yalikuwa dhahiri sana, hataakasema, “Wewe karibu unishwawishi kuwa kama ulivyowewe.”

†… Paulo akasema, “Ningetaka ungalikuwa, kwa jumla, ilanisingetaka wewe uwe katika minyororo hii niliyo nayo mimi,mnaona,” bali kuwa mwamini kama alivyokuwa yeye. Kwamaneno mengine, kama mimi^”Naomba Mungu kwambautaona ufunuo kama_kama ninavyouona.” Kwa manenomengine, “Ningependa ungalifanya hivyo.” Mnaona?“Ningetaka tu ungaliweza.”

†† Wakati, Festo, naamini, alikuwa amemwambia ya kwambaalikuwa “amesoma sana,” alikuwa “ameingia kichaa.” Baliakamjulisha ya kwamba ha_hakuwa hivyo; ya kwamba yeyea_alijua alipokuwa.

†‡ Nami ningesema hivi, asubuhi ya leo, ndugu. Kwa jumlaninataka kama ninge-^si kumaanisha maisha ya Paulo, balini kusudi tu nitoe matamshi madogo ya kimsingi. Kwa maana,kuna wengi zaidi hapa ambao labda watazungumza asubuhi yaleo, bali nilitaka nafasi hii kusema jambo hili. Sasa ningetakakila kanisa lingine, kama nilivyowasikia mkishuka mkienda,Hekalu la Betheli, Indipendent, Assemblies of God, na menginembalimbali^ Ningetaka kwa jumla mngeweza kuona kileninachoona; kwamba mngeweza. Ningetaka mngaliona ononinaloona, ndipo mngekuwa na ufahamu wa dhahiri zaidi, wahuduma hii.

†ˆ Nilipoliacha kanisa la Batisti kuingia katika Pentekoste;basi Dk. Roy E. Davis, aliyekuwa ameniwekea mikono katikaKanisa la Mishenari la Kibatisti, aliniambia ya kwambanilikuwa na jinamizi, wakati ono la Bwana lilipokuja na_nakunena nami. Nanyi_nanyi mnajua kuponya kulikuwa niniwakati huo, kulikuwa duni.

†‰ Na_nami sikujua kitu juu ya Wapentekoste. Nilisikiawalikuwa kundi la watakatifu wanaojifingirisha waliolalasakafuni wakitokwa mate kama mbwa wenye kichaa, naoiliwabidi kuwapepea hewa wapate kujirudia, na mambo kamahayo. Hayo tu ndiyo niliyojua juu ya Wapentekoste.

Akasema, “Unafikiri ni nani atakayekusikiliza?”

†Š Nikasema, “Kama Mungu ananituma, kuna mahali fulanina mtu fulani anayenituma kwake.” Hiyo ni kweli. Mnaona?Kwa sababu, nilisema, “Dk. Davis,” nikasema, “Yeye alikuwahalisi tu; Nilisimama na kumtazama Yeye,” nikasema. Waowaliniambia ya kwamba maono hayo^

†‹ Mimi ni mwamini mkuu, ndugu, ya kwamba_ ya kwambakarama na miito havina majuto. Ni_ninaamini jambo hilo.Unazaliwa, huwezi kuwa kitu usicho. Na kila unapojaribukujifanya kitu fulani usicho, unatekeleza tu sehemu ya

KUELEZEWA KWA UUNGU 9

mnafiki. Na Mungu anijalie nife kabla sijakuwa mnafiki,mnaona. Hebu niwe tu vile nilivyo, halafu nilifanye dhahiri nawazi. Halafu_halafu, basi, hebu_hebu niwe hivyo, halafu kilamtu anajua. Ndipo unajua tu hasa.

‡‚ Na kwa hiyo sasa, kama mjuavyo, sikupata kusoma sana,kama nilivyosema. Kwa hiyo nini hii yangu^katika theolojia,mimi ndiye mtu duni kabisa aliyeko. Nami nafikiri mnajuajambo hilo, mnaona. Pia kama mhubiri, ingekuwa vigumukwangu kujiita mmoja, kwa sababu ya kutopata masomo nakujua maneno, na kadhalika. Bali yale machache niliyo nayo,ku-,^kuhusu maarifa yangu ya kumjua, kwa neema Yake,Bwana Yesu, mimi hujaribu kushiriki hayo pamoja na nduguzangu wote kila mahali, kushiriki jambo hili.

‡ƒ Ndipo, lakini, nilipoliacha kanisa la Kibatisti; ambalondilo kanisa pekee nililowahi kuingia, ama nilimowekelewamikono. Basi nilitawadhwa katika mwaka wa 1933, katikaKanisa Batisti la Kimishenari, Jeffersonville, Indiana. Nim_m^mshirika wa Shirika la Batisti ya Kusini. Wakati huosisi, katika wakati huu, mimi^ nilipotoka na kunini hii tu^

‡„ Naam, kanisa la Kibatisti ni kanisa linalojitawala.Sote_sote tunajua jambo hilo, ya kwamba ni_ni^Unawezakuhubiri karibu juu ya cho chote utakacho, iwapo kusanyikolako litalivumilia. Wao wananini hii tu^Unataka kuhubiricho chote utakacho.

‡… Nami napenda jambo hilo, mnaona, kwa maana ninaaminini la kimitume. Kwa kuwa, kiongozi, cheo kilicho cha juu sanakanisani, ni mchungaji, tunatambua jambo hilo, mchungaji.Na_na iwapo a_a-^Kama askofu fulani ama mtu mwingineataondoa ufunuo kutoka kwa mchungaji, basi Mungu kamweatatendaje kazi katika kanisa Lake? Mnaona, huwezi kuupata.Kwa hiyo nina^

‡† Nilipokuja kule, nilikutana na kundi la kwanza, ambapoilikuwa ni kule kuponywa kwa mtoto Betty Daughtery, kuleSt. Louis, Missouri. Na ilikuwa ni Pentecostal United, amakanisa la Kipentekoste la Jina la Yesu, ambalo mchungaji huyualikuwa mfuasi wake, ndipo msichana wake mdogoakaponywa. Kwa kweli, nilifikiri jambo hilo ndilo lililomfanyampentekoste, ni kwa kuwa walijiita wenyewe, “Yesu Pekee.”Basi nilifikiri jambo hilo ndilo lililowafanya wapentekoste, nikwa sababu hivyo ndivyo walivyojiita wenyewe, na tofautiilikuwa hiyo. Kwa hiyo, vema, basi kutoka hapo nikaendakwa^

‡‡ Na mtu mzuri; alikuwa na mkutano mkuu kule St. Louis,ambako ile picha inatokea. Tulikuwa tumekodi Ukumbi waKiel; na usiku wa kwanza, ama wa pili, kumi na nne elfuwaliojazana mle, nasi hata tusinge-^ilitubidi kuwawekapolisi milangoni kuwakataza kuingia.

10 LILE NENO LILILONENWA

‡ˆ Halafu basi kutoka hapo, kushuka chini kwenda kwaRichard T. Reed, wa Maskani ya Blessed Old Bible Hour hukoJonesboro, ambalo lilikuwa la shirika lilo hilo pia. Na kutokahuko, tukaenda kwa Dk. G.H. Brown, shirika lile lile, kwenyeBarabara ya 505 ya Victor huko Little Rock, Arkansas. Na,kutoka huko, tukaenda kwenye Pwani ya Magharibi.

‡‰ Halafu nilipofika kwenye Pwani ya Magharibi, nikawashamoto. Ndipo nikakuta kwamba kulikuweko na migawanyikomingi kati ya wapentekoste, katika madhehebu yao, kamatuliyo nayo sisi Wabatisti. Mnaona, wao walikuwa_walikuwana tofauti nyingi sana, walizokuwa nazo, walitofautiana.Kulikuwako na Assemblies of God, na Church of God, na kitukingine, na kitu kingine, na kitu kingine, na_na kutofautiana.Nao walijitenganisha wenyewe, na walikuwa wamewekamipaka midogo. Ndipo ndugu wengine wote wakaanza kunijia,na kuniambia, “Mbona, wewe ni Yesu Pekee, pamoja na kundihili hapa.”

Nikasema, “La, si_sijiiti mwenyewe hivyo.” Mnaona?

Yeye akasema, “Mbona, unashirikiana nao?”

‡Š Nikasema, “Vema, hilo_hilo halinifanyi kuwa hivyo.”Mnaona. Kisha nikasema, “Ni_ni_nina nini hii tu^Waowalikuwa ni ndugu.”

‡‹ Naye akasema, “Mbona, wao ni kundi la^Mbona,hawana kitu ila kundi la viota vya nderi na kadhalika, kilamahali, namna hiyo. Ambapo^”

ˆ‚ Nikasema, “Sasa, samahani. Ninakutana na watu watauwakweli kule. Nao ni watu wa Mungu.” Basi nikasema, “Bilashaka ina_inaniudhi kuwaita wao unapowaita waovu; kwamaana, si waovu.”

ˆƒ Vema, ndipo nilijaribu kujizuia kadiri nilivyoweza, bilakuelezea upande wo wote. Vema, nikaanza kuchunguzamawazo yao yalikuwa nini, na matengano yao yalikuwa ninini, na ni nini kiliwafanya watengane. Ndipo nikakutakwamba mawili ya hayo makundi makubwa, moja lao liliitwaYesu Pekee, na lile lingine liliitwa Assemblies of God. Naowalikuwa wametoka, ama kutengana, juu ya swali la ubatizowa maji; moja likitumia “Baba, Mwana, na Roho Mtakatifu,”na hilo lingine likitumia Jina la “Yesu.”

ˆ„ Vema, nikatazama, na pande zote mbili kulikuweko nawatu wakuu, watumishi wa Mungu. Ndipo nikawaza, “EeMungu, laiti ningaliweza kuwaona wote wameungana, nawakaendelee tu mbele na kuwa^ lakini wasiweke mipaka, nakusema, ‘Hatutashirikiana mmoja kwa mwingine.’” Lakininikaona kwamba, katika jambo hili, pepo mchafu alikuwaameingia kati yao na alikuwa amesababisha chuki na kijicho,juu ya maswali yaliyozuka miongoni mwao. Nikawaza, “Jambo

KUELEZEWA KWA UUNGU 11

hilo ndilo hasa Ibilisi anataka. Hilo ndilo tu analotaka. Mraditu mmelengana bunduki, haitambidi kutupa hata konde moja.”Nami^

ˆ… Kwa hiyo basi, hatimaye, likafikia kwenye shindano lakuamua. Na shindano hilo la kuamua lilikuwa kule Seattle,Washington, yapata mwaka wa 1946. Basi asubuhi mojanililetwa kwenye sebule ya hoteli, mahali kama hapa, tukiwakwenye ki_kifunguakinywa cha baadhi ya wahudumu. Namiilinibidi kuzungumza na wale watu wawili muhimu.

ˆ† Mmoja wao alikuwa Dk. Ness. Nafikiri ninyi ndugu waAssemblies of God mnamkumbuka. Alikuwa katika mkoa wakaskazini-magharibi; mtu mashuhuri sana, mwerevu,mwanachuoni. Naye aliwawakilisha Assemblies of God.

ˆ‡ Halafu, Dk. Scism, wa kanisa la United Pentekoste.Nafikiri ninyi ndugu wa United Pentekoste mnamkumbuka.Yeye pia alikuwa wa mkoa wa kule kaskazini-magharibi,ambako alikuwa kiongozi wao na wilaya za kule.

ˆˆ Vema, watu hawa wawili wakakutana. Nami nilikuwaniletwe mbele yao, kwa maana ma_makali yalizidi kuwamakali, na yalikuwa yakinikata kutoka kila upande. Basinikafikiri, “Yanibidi nifanye nini? Ninaweza kufanya nini?”

ˆ‰ Ndipo, Vema, wao wakasema, “Vema, huna budi kujiungana moja ama lingine. Iwapo utaambatana na Jina la Yesu,huna budi kuwa wa Jina la Yesu. Na iwapo utaambatana naAssemblies of God, huna budi kutoka kwenye Jina la Yesu,uwe Assemblies of God, ama kadhalika.” Ilifikia mahaliambapo ilinibidi kujitokeza kwa namna fulani.

ˆŠ Niliomba sana asubuhi hiyo kabla sijaenda kule.Nikasema, “Mungu, nisaidie. Kwa maana, kuna watu wawiliwakuu; kuna maelfu ya watumishi. Nawe umenituma huku njenikiwa na huduma. Nao wote wawili ni watumishi Wako. Basije! nitumie ushawishi mdogo nilio nao kwa madhehebu mojawakati yanapigana na hayo mengine?” Mnaona?“Ni_nisingeweza kujisikia vema katika kufanya jambo hilo.Sidhani kwamba yangekuwa ni mapenzi ya Kristo kwangukufanya jambo hilo.” Ndipo nikasema, “Mungu, nisaidie naunipe jambo la kufanya, ama unipe jambo la kusema.”

ˆ‹ Basi sikuwa na mtu ye yote. Ilinibidi tu kusimama pale,mimi na Bwana Yesu tu asubuhi hiyo.

‰‚ Vema, ule mjadala mkubwa ukaja. “Utafanya nini?U_u_utatoa uamuzi gani?”

‰ƒ Nikasema, “Uamuzi wangu tayari umefanywa. Kwamba,uamuzi wangu, ni kusimama katikati ya ninyi wawili, nanisijiunge na madhehebu yo yote; na kusema, hukunimewakumbatia nyote wawili kwa mikono, ‘Sisi ni ndugu.’”Mnaona? Mnaona, sisi ni ndugu. Mnaona? Kisha nikasema,

12 LILE NENO LILILONENWA

“Nimejaribu kusoma vitabu vyote niwezavyo, jinsi jambo hilililivyozuka, lililoitwa ‘swala jipya,’ na jinsi walivyojitengawenyewe, na jinsi ambavyo hili lilivyoanza namna hii nanamna ile.” Halafu nikasema, “Katika mabishano kati yenu,”nikasema, “jambo lilo hilo ndilo lililouvunja mwenendo wakipentekoste, kwenye siku^baada ya Pentekoste. Walianzakubishana wao kwa wao.” Kisha nikasema, “Kitu hichokinatenganisha tena.”

‰„ Nikasema, “Je! kuna uwezekano ya kwamba kungekuwana njia kati yenu, ndugu? Kuna kitu ambacho_ambachokingeweza kusimama?”

‰… Vema, wasingeweza kufungua mdomo wao juu ya jambohilo, kwa sababu lilikuwa kali sana. Mnajua, yapata miakakumi na mitano, ishirini iliyopita, kwa sababu kundi mojandiyo kwanza lijitenge na hilo jingine, na kulikuwa na ugomvimwingi.

‰† Kwa hiyo nikasema, “Vema, ndugu, nitafanya jambo hili.Nita-^Mungu kamwe hakunituma kubatiza, hata hivyo.Yeye alinituma kuwaombea watoto Wake wagonjwa.”Nikasema, “Kwa hiyo, nita_nitawaombea hao watotowagonjwa, nanyi wahudumu fanyeni ubatizo wenu wenyewe,”nikasema.

‰‡ Nikasema, “Sasa ninataka kuwaulizeni jambo fulani,kusudi tu mpate kuelewa:” Nikasema, “Ndugu Ness, hawawatu wa Jina la Yesu, unaamini ya kwamba wamempokeaRoho Mtakatifu wanaponena kwa lugha na kufanya mamboyale yale ambayo ninyi katika Assemblies of God mnafanya?”

Kasema, “Bila shaka.”

‰ˆ Nikasema, “Ndugu Scism, unaamini ya kwambaAssemblies of God wana Roho Mtakatifu wanaponena kwalugha na kufanya jambo lile lile mlilofanya mlipobatizwa?”

Akasema, “Bila shaka, naamini.”

‰‰ Nikasema, “Naam, Biblia ilisema, ‘Mungu huwapa RohoMtakatifu hao wanaomtii.’ Basi, ni nani waliomtii? Ni naniwaliomtii? Ni nani kati yenu aliyemtii? Na Mungu aliwapanyote wawili Roho Mtakatifu, mnaona?”

‰Š Nikasema, “Hivi ungeweza kusema, Ndugu Scism, yakwamba Ndugu Ness hana Roho Mtakatifu?”

Kasema, “La.”

‰‹ Nikasema, “Ungeweza kusema ya kwamba Ndugu Scismhana Roho Mtakatifu?”

Š‚ “La.” Mnaona? Ya kwamba, wote wawili waliamini kilammoja wao alikuwa na Roho Mtakatifu.

Šƒ Lakini, mnaona, haina maana kabisa, ndugu. Hainamaana. Ndipo nilisikia, baadaye kidogo kutoka hapo^

KUELEZEWA KWA UUNGU 13

Nitarudi kwenye jambo langu hivi punde.

Š„ Ndugu wa huko Finland, baada ya mimi kuondoka Finland;ambako Mungu alitupa, niliofikiri, mmoja wa mikutano yetumikuu sana. Kule ambako yule mvulana mdogo aliyekufaalifufuliwa, na mambo mengi. Nilikutana huko Stockhom,Sweden, na Lewi Petrus wa kanisa la Filadelfia kule ambaye nimtu mkuu wa Mungu, nalo kanisa la Filadelfia. Ndugu GordonLindsay, aliyekuwa sasa^nadhani. Sidhani yeye ni mfuasiwake sasa, bali alikuwa mfuasi wa Assemblies of God.

Š… Na Assemblies of God ni moja la wadhamini wanguwakuu, kimataifa. Na Foursquare, ambalo lilikuwa limejitengana Assemblies of God, ni moja la wadhamini wangu wakuu.Umoja, kimataifa, ni moja la wadhamini wangu wakuu.Mnaona? Nami nilichukua tu msimamo huo, nikiacha tumakali yaliyo kali, kisha nikachukua msimamo, ya kwambasitaungana na upande wo wote wa mzozo huo. Mpakatunapoweza kuona sisi ni ndugu, na kukutana pamoja, ndipobasi tuta_tutaona jambo lilo hilo moja pale, ambalotutafikia_kusudi na nia ya kufanya jambo hilo.

Š† Basi hu_huna budi kuchunguza kusudi na nia yako,kwanza. Kwanza, tafuta kujua mapenzi ya Mungu; kishatafuta kujua nia yako; halafu basi uchunguze kusudi lako uonekama kusudi lako ni sawa. Halafu, kama Yesu alivyosemakatika Marko 11:24, “Kama ukiuambia mlima huu, ‘ng’oka,’wala usione shaka moyoni mwako.” Bali mradi tu una shakamoyoni mwako, kama ni mapenzi ya Mungu, ama kusudi amania yako ni mbaya, utang’okaje? Bali unapojua ya kwambakusudi lako ni sahili, na ni mapenzi ya Mungu, na nia yako nisahili, huo hauna budi kung’oka. Hivyo tu, la sivyo Mungualisema jambo ambalo si kweli.

Š‡ Hiyo ndiyo sababu hasa, ninapokwenda jukwaani, katikamakanisa, hakuna mtu amewahi kunisikia nikitaja mambohayo jukwaani, maswala hayo. Ninayaacha tu yalivyo.Mnaona, hiyo ni juu yenu enyi wanaume. Mnaona? Mimi nikohapa kuwasaidia kuwavuta watu kwa Kristo, kwa karama yaKiungu, mnaona. Mnaona? Haileti tofauti yo yote^Ninyibatizeni. Lakini basi inapofikia^

Šˆ Bila shaka, nimeitwa kila kitu. Nimeitwa, sijui vituvingapi, po pote kutoka “mwana wa Mungu aliyefanyikamwili” mpaka “i_ibilisi.” Hiyo ni kweli, kila kitu. Bali, nyumaya hayo yote, mimi ndugu yenu, mwenyeji pamoja nanyi waUfalme wa Mungu; nikitenda kazi pamoja nanyi nyote, kwaajili ya Ufalme. Na hiyo ni kweli.

Š‰ Sasa mimi nitanini hii, kama ni sawa, na mnafikiri tunawakati wa kutosha, ningetaka kuwaambia jinsitulivyojadiliana jambo hilo. Lingekuwa jambo zuri, nduguzangu, kwa muda kidogo tu? [Wahudumu wanasema,

14 LILE NENO LILILONENWA

“Endelea. Hakika.”_Mh.] Ndugu, Ndugu Ness na haowengine^ Vema. Na huenda ikawa ni kidogo ambayoyatawasaidia. Ingewasaidia kufahamu, kwa namna fulani.

ŠŠ Niliandika, hapa, baadhi ya mambo ambayo nilikumbuka.Niliyatoa pale. Basi waliniuliza, niliamini nini juu ya “utatu,”Je! niliamini ya kwamba kuna “utatu” wa Mungu?

Š‹ Sasa, enyi ndugu, tunapoliendea jambo hili, natumaini yakwamba, wakati litakapokwisha, ya kwamba tutakuwa nduguwale wale ambao tumekuwa wakati huu wote. Mnaona? Balininajisikia ya kwamba ninawawia, kwa kuwa watu wenu hujakwenye mikutano yangu, nami bila shaka nisingetakakumwachilia hata mmoja wao aondoke, huku amedanganywa.

‹‚ Na daima nimewaambia watu wanaoniandikia maswali,nje ya yale ninayohubiri jukwaani^ Na huyu hapa katibuwangu, na kadhalika. Kama wao wakiniuliza swali, “Na jambohili je? ama na lile je?”

‹ƒ Nikasema, “Mwulize mchungaji wako, mnaona. Kwasababu, iwapo yeye amekuongoza umbali huu, hataukampokea Roho Mtakatifu, atakuongoza mbele, mnaona.Wewe, unaona, mwulize mchungaji wako.” Kwa maana, vituvidogo kama hivyo husababisha mchafuko, na kwa hiyo,ninaliachilia mbali, mwaona.

‹„ Sasa, imesemwa ya kwamba nilikuwa m_mpiga vitamadhehebu. Naam, siyapigi vita. Nafikiri ya kwambamadhehebu ni mazuri sana, bali wakati utaratibu wako wakimadhehebu yako unapooza, jambo hilo ndilo ninalopinga.Mnaona? Haidhuru kama ni umoja, ama_ama ni utatu, ama yoyote yale, utaratibu; ambapo unapofikia mahali, wewe sasa^na kusema, “Sisi ni Assemblies of God!”

“Vema, ni nani yule upande wa pili wa barabara?”

‹… “Loo, hao ni ndugu zetu. Wana_wanaitwa UnitedPentecostal.”

“Vema, ni nani yule pale?”

‹† “Loo, hao ni ndugu wa Foursquare. Loo, sisi ni nduguwazuri sana. Tuna ushirika mzuri sana, mmoja kwamwingine.”

“Loo, hivi ninyi mnaamini jambo lile lile?”

“Loo, naam, tunaamini^”

“Vema, ni nini kinachokufanya namna hii?”

‹‡ “Vema, hawa ndugu wanabatiza namna hii. Na hawawanabatiza namna hii, kifudifudi. Na hawa wanabatiza^”

‹ˆ Kama vile huko Afrika Kusini kule, ndugu, tulikutana najambo hilo. Wao waliniuliza. Kundi moja linabatiza mara tatukifudifudi. Na hilo lingine linabatiza mara tatu, kichalichali.Nao wakasema^Nikasema, “Mlipata wapi jambo hilo?”

KUELEZEWA KWA UUNGU 15

‹‰ Mmoja akasema, “Wakati Yeye alipokufa, Biblia ilisemaaliinama mbele,” kisha kasema, “kwa hiyo inatupasakuwainamisha mbele.”

‹Š Ndipo nikasema, “Vema,” kwa kundi hilo lingine, “vipi^Na ninyi je?”

Kasema, “Umewahi kumzika mtu kifudifudi?”

‹‹ Vema, na wajua nini? Wao walijitenga wakafanya makundimawili, madhehebu mawili. Loo, rehema, ndugu! Hilo ndilo tuIbilisi alalotaka. Hilo ndilo tu analotaka. Naam. Jifanyeni^

ƒ‚‚ Naam, mnaona si Misheni ya Imani ya Kimitume,ama_ama wala_wala si Pentecostal Assemblies, upande ulemwingine. Si hayo. Kuna watu wazuri katika makundi yotemawili, kama ilivyo hapa. Lakini, mnaona, ni utaratibu wakitu hicho.

ƒ‚ƒ Ni kama tu Katoliki, kama ninavyosema mara nyingi.Kama yeye ni Mkatoliki, na anamtegemea Kristo kwa ajili yawokovu wake, yeye ameokolewa. Bila shaka, hiyo ni kweli.Iwapo anategemea kanisa, amepotea. Na ye yote wenu nduguwa kipentekoste anajua, kama tunalitumainia kanisa laKipentekoste lituokoe, “sisi tu, miongoni mwa binadamu,maskini kuliko watu wote,” hiyo ni kweli, kwa maanatumepotea. Hiyo ni kweli.

ƒ‚„ Lakini iwapo tunamtumainia Yesu Kristo, basitumeokolewa, “kwa imani yako,” (nini?) katika kaziiliyomalizika. Na vitu hivi vidogo vinavyotenda kazi, namajina ya kujibandika, havileti tofauti kubwa.

ƒ‚… Naam, nilimwambia Ndugu Scism, ku-^na Ndugu Ness,“Kujibu swali lenu,” nikasema, “naam, siungi mkono upandewo wote wenu ndugu. Nami najua, mradi tu mnazozana, nyotewawili mmekosea. Mnaona? Kwa maana, afadhali nikoseekatika fundisho langu, ila niwe sawa moyoni mwangu, kulikokuwa sawa katika fundisho langu, na nisiwe sawa moyonimwangu.” Mnaona? Nikasema, “Hata hivyo, ni hali ya moyowako.”

ƒ‚† Basi nilijizoeza jambo hilo, kujua jambo hili: ya kwamba,kama mtu, haidhuru anafanya nini, na anatofautianaje, na yaleanayosema juu yangu; kama ndani ya moyo wangu, si kwawajibu tu, bali kutoka moyoni mwangu siwezi kumpenda huyomtu kama ninavyompenda mtu ye yote yule, basi ninajua kunakasoro humu ndani, mnaona. Hiyo ni kweli, kwa maana,ni_ni^haidhuru kama yeye^

ƒ‚‡ Maskini ndugu mmoja alikuja, si muda mrefu uliopita,maskini ndugu wa Kanisa la Kristo. Na, loo, alisimama pale,ndipo akasema, “Jamaa huyu ni ibilisi.” Mnaona? Akasema,“Yeye ananena juu ya Roho Mtakatifu.” Akasema, “Hakunakitu kama hicho. Wale mitume kumi na wawili tu ndio

16 LILE NENO LILILONENWA

waliompokea Roho Mtakatifu. Na_na kuponya Kiungukulitolewa tu kwa wale mitume kumi na wawili.” Naakaendelea, kama nusu saa.

ƒ‚ˆ Ndipo nikasema, “Hebu kidogo, ndugu. Nafikiri inakupasakunipa tu nafasi kutetea jambo Hili, unaona.” Nikasema,“Ulisema nyinyi mlinena ambapo Biblia imenena, namlinyamaza mahali iliponyamaza.”

Naye akasema, “Tunafanya hivyo.”

ƒ‚‰ Nikasema, “Basi, ulisema wale wanafunzi kumi na wawilindio tu waliompokea Roho Mtakatifu. Biblia ilisema,‘Kulikuweko na mia moja na ishirini kwenye chumba cha juuwakati Roho Mtakatifu aliposhuka, wanawake na kadhalika.’Basi tafadhali niambie, unafikiri Paulo hakuwa na RohoMtakatifu? Naye alimpokea Huyo muda mrefu baadaye,unaona. Nawe ulisema karama ya kuponya ilitolewa tu kwawale mitume kumi na wawili. Basi Stefano alishuka akaenda,siku chache baadaye, naye hakuwa mmoja wa wale kumi nawawili. Hata hakuwa mhubiri. Alikuwa shemasi, nayeakashuka akaenda Samaria na kuwatoa pepo.” Nikasema.“Loo, ndugu!” Kulikuwa na ukimya hapa, mahali alipopaswakunyamaza.

ƒ‚Š Ndipo baada ya kumaliza nikasema, “Lakini,” nikasema,“nimekusamehe kwa kuniita ibilisi, maana najuahukumaanisha jambo hilo.”

ƒ‚‹ Ndipo alipomaliza, akapanda akaja. Akasema, “Kunajambo moja ninaloweza kusema. Wewe una Roho wa Kristo.”

ƒƒ‚ Nikasema, “Naam, ndugu, mimi ni nani, ibilisi ama waKristo?” Unaona? unaona?

ƒƒƒ Bali nawaambia, mnaona, kwa sababu mwanadamu, yeyeangeweza kujua kwamba nilimpenda; haidhuru, alikuwaakibishana, na kubishana vikali na kulaumu. Yeye^

ƒƒ„ Mimi ni mwindaji, wa wanyama pori, maishani mwangumwote. Na watu wamesema, “Vipi^” Wakati ule iliponibidikumuua dubu yule kwa kisu, mnaona. Kasema, “Hivihukumwogopa?”

ƒƒ… Nikasema, “La. Kama ningalimwogopa, angaliniua mimi,unaona.”

ƒƒ† Bali, unaona, huwezi_huwezi kuwapumbaza. Waowanajua kama unawaogopa, ama huwaogopi. Hebu mwogopefarasi, uone vile farasi atafanya, atakukanyaga-kanyaga.Unaona? Kwa hiyo kama unaogopa^Huwezi kumdanganya.Huna budi kuwa nao kweli.

Basi hivyo ndivyo ilivyo na Shetani.

ƒƒ‡ Hivyo ndivyo ilivyo kati ya watu. Huna budi kuwapendawatu. Huwezi kujisingizia tu. Huna budi kuwa nao, la sivyo

KUELEZEWA KWA UUNGU 17

sura yako itaonekana mahali fulani, unaona. Hiyo ni kweli.Huna budi kuwapenda watu kweli, nao wanajua unawapenda.Mnaona, kuna kitu fulani juu yake.

ƒƒˆ Ndipo huyo mtu sasa, alimpigia mke wangu simu, sikuchache zilizopita, akasema, “Ndugu Branham yuko?”

Kasema, “La.”

ƒƒ‰ Kasema, “Vema, jambo moja linalonibidi kusema.Sikubaliani naye, katika theolojia, bali mimi nasema yeye nimtumishi wa Kristo.”

ƒƒŠ Vema, basi, halafu kabla sijaondoka, alinitumia barua,akasema, “Ninakuja huko, mara utakaporudi. Nataka huoubatizo wa Roho Mtakatifu unaonena habari zake.”

ƒƒ‹ Kwa hiyo, mnaona, mahali tu ambapo ungekuwa^Kamaningalikuwa na ile hisi, ya kusema, “Mbona, hufai kitu wewe.Maskini madhehebu yako ya kale hayafai kitu, na_nanyi nyotewatu wa Kanisa la Kristo hamfai kitu. Hamfai kitu. Ninyi, ninyini mapepo.” Nisingaliweza kumvuta mtu huyo kamwe. Na kamaningalimwambia ya kwamba nampenda, nami sikumaanishajambo hilo moyoni mwangu, yeye angalitambua vizuri zaidi.Hakuna lingine. Huna budi kulimaanisha moyoni mwako.

ƒ„‚ Vivyo hivyo kwenye siku zile usiku ninapokuja jukwaanichini ya upambanuzi, mnaona. Sifikirii juu ya jambo hilo.Mimi sili chakula kamwe baada ya chakula cha kutwa;ninafunga na kuomba, na kukaa chumbani. Kwa maana, Yeyealiniahidi angefanya jambo hilo. Na kwa hiyo mimi huendabila uvuli mmoja wa shaka, kwa sababu aliahidi ya kwambaangefanya jambo hilo. Kwa hiyo, mnaona, nini hii yangu^najua kusudi langu ni (nini?), nia yangu ni (nini?), kwa ajili yakuuendeleza Ufalme wa Mungu.

ƒ„ƒ Kama mtu akipita njia hii, njia ile, hata iwe anahudhuriakanisa gani; mradi tu anakuja kwa Kristo, si hoja kwangu. Nahilo liko moyoni mwangu. Mnaona? Na haidhuru, kamatukitoka twende kule na kujiunga na Kanisa la Kristo, hilo nisawa tu. Hilo ni sawa. Kama yeye^Hata ajiunge na kanisagani, hilo si hoja kwangu. Bali mradi tu niliivuta nafsi yakekwa Kristo, ndilo jambo muhimu.

ƒ„„ Kwa hiyo, nikasema, “Ndugu Ness, si kusudi niwetofauti^” Sasa nitawaonyesha^ Ni sawa kutumia hii,ndugu? [Huyo ndugu anasema, “Hakika.”_Mh.] Nikasema,“Ninataka kusema na kueleza.” Na, katika jambo hili, huendanikawaambia ninyi ndugu hapa. Naam, msilitaje jambo hilimiongoni mwa makusanyiko yenu. Kama mkiweza, nifanyienihisani, he_he_hebu tu niwe ndugu yenu, mnaona. Nami, naiwapo_iwapo nimekosea, basi nisameheni. Bali natakakuwaelezea, kwa kuwa makundi yote mawili yameketi hapaasubuhi hii, yote mawili Umoja na A_Assemblies, pia, na imaniya utatu.

18 LILE NENO LILILONENWA

ƒ„… Sasa nataka kutoa tamshi hili. Nataka kusema ya kwambaninaamini pande zote mbili zimekosea, mradi tu wanabishanammoja kwa mwingine, kwa maana makusudi yao ni mabaya.Na mradi tu kusudi lako ni mabaya, haidhuru nia yako ni nini,bali kusudi lako kwa nia hiyo ni mbaya, basi jambo hilohalitafaulu kamwe. [Ndugu Branham anapigapiga mimbaramara nne_Mh.] Hiyo ni kweli.

ƒ„† Naam, watu wengine wamesema, “Ndugu Branham, weweni wa Yesu Pekee.” Nataka kusema ya kwamba jambo hilo nikosa. Mimi si wa Yesu Pekee.

ƒ„‡ Mtu fulani anasema, “Ndugu Branham, wewe ni wautatu?” La, bwana. Mimi si wa utatu. Mimi ni Mkristo.Unaona? Mimi_ni_mimi si-^Neno mtu wa utatu hatahalijatajwa katika Biblia, neno “utatu.” Wala siamini yakwamba kuna Miungu watatu mbalimbali.

ƒ„ˆ Ninaamini kuna Mungu mmoja katika afisi tatu; Baba,Mwana, Roho Mtakatifu. Hiyo ndiyo sababu hasa tuliagizwakubatiza katika Jina la Baba, Mwana, Roho Mtakatifu.Ninaamini ya kwamba ni Mungu akijidhili, akishuka.

ƒ„‰ Sasa, Mungu, wakati alipomtokea mwanadamu kwanza,Yeye alikuwa katika mfano wa Nguzo ya Moto. Mnaaminijambo hilo, sivyo? Nini hii^Msomaji ye yote wa Bibliaanayejua ya kwamba ile Nguzo ya Moto iliyokuwa nyikaniilikuwa Logos, kwamba hiyo ilikuwa yule Malaika wa Agano,ambaye alikuwa ni Kristo.

ƒ„Š Kwa sababu, Yeye alisema^?^Ninaamimi ni YohanaMtakatifu 6 pale, Yeye alisema, “Ibrahimu asijakuweko,”kasema, “MIMI NIKO.” Yeye alikuwa yule “MIMI NIKO.”

ƒ„‹ Kwa hiyo, huyo alikuwa ni Mungu, mtakatifu; hata kamamtu aliugusa ule mlima, hana budi kuuawa, mnaona. Vema.Naam, Mungu yuyo huyo alikuwa akijaribu kujirudisha katikakiumbe Chake ambacho Yeye aliumba. Naam, Yeye asingekujakaribu nao, kwa maana walikuwa na dhambi, na damu yambuzi na kondoo haikuondoa dhambi kamwe. Tunajua jambohilo. Ilifunika tu dhambi.

ƒ…‚ Naam, lakini basi Mungu yuyo huyo aliyekuwa katika ileNguzo ya Moto, alifanyika mwili, kupitia kwa Mwanawe,akaishi katika mwili ulioitwa Bwana Yesu Kristo. Bibliailisema, “Katika Yeye unakaa utimilifu wa uungu kwa jinsi yamwili.” Naye Yesu alisema katika^Vema, katika Timotheowa Kwanza 3:16, “Bila shaka, siri ya Utauwa ni kuu.” Na kamawao wangeiita kuu, mbona, tungefanyaje sisi, mnaona? “Bilashaka siri ya Mungu ni kuu, Mungu alidhihirishwa katikamwili, na akaonekana na malaika, kisha akachukuliwa juukatika Utukufu,” na kadhalika. Naam, pia Yeye alisema katikaYohana Mtakatifu 14, akamwambia Tomaso, “Ukisha niona

KUELEZEWA KWA UUNGU 19

Mimi, umemwona Baba. Basi mbona unasema, ‘UtuonyesheBaba’?” Biblia ilisema, ya kwamba, “Mungu alikuwa katikaKristo, akiupatanisha ulimwengu kwa nafsi Yake.”

ƒ…ƒ Naam, Mungu hawezi kuwa watu watatu, Miungu watatu,wala Yesu hawezi kuwa Baba Yake Mwenyewe, katika mmoja.Mnaona? Kwa hiyo, mnaona, inafanya yote mawili yakoseekabisa.

ƒ…„ Sasa kama utaangalia tu, hakuna mahali^Kama tunaMiungu watatu, sisi ni makafiri. Naam, tunajua jambo hilo.

ƒ…… Kama yule Myahudi alivyoniambia wakati mmoja,nilipokuwa nikizungumza naye, kasema, “Kati ya hao Munguwenu ni yupi? Ni yupi aliye Mungu wenu: Baba, Mwana, amaRoho Mtakatifu? Wenu ni yupi?”

Nami nikasema, “Mbona, hakuna Miungu watatu.”

ƒ…† Akasema, “Hamwezi kumkatakata_kumkatakata Mungukatika sehemu tatu na kisha mumpe Myahudi.”

Nikasema, “La, bwana.” Nikasema^

ƒ…‡ Wakati John Ryan alipokuwa ameponywa upofu, palekatika Fort Wayne, mwajua; kisha huyu rabi hapa Mishawa-^ama Fort^ Benton Harbor. Yeye alisema “Hamwezikumkatakata Mungu katika vipande vitatu kisha mumpeMyahudi.”

ƒ…ˆ Nikasema, “La hasha. Simkati.” Nikasema, “Rabi,lingekuwa ni jambo gumu kwako kuwaamini manabii?”

Akasema, “La.”

ƒ…‰ Nikasema, “Katika Isaya 9:6, yeye alikuwa akinena habariza nani, ‘Kwa ajili yetu Mtoto amezaliwa, tumepewa MtotoMwanamume, ataitwa Mshauri, Mungu Mwenye Nguvu,Mfalme wa Amani?”

Akasema, “Huyo alikuwa ni Masihi.”

Nikasema, “Basi, Rabi, Masihi atakuwa na uhusiano ganina Mungu?”

Akasema, “Atakuwa ni Mungu.”

ƒ…Š “Hilo ndilo nililofikiria.” Mnaona? Naam, mnaona, hiyo nikweli kabisa. Hivyo ndivyo alivyo. Na kwa hiyo nikasema,“Niambie sasa ambapo Yesu alishindwa kutimiza yale hasanabii aliyosema angetimiza.” Ndipo akaanza kulia nakutembea akizunguka. Nikasema, “Kwake Huyo, John Ryanalipata kuona.” Mnaona?

Basi akasema, “Na iwe mbali na Mungu kuwa na mwana.”

ƒ…‹ Nikasema, “Yehova mkuu alimtia uvuli mwanamke, kamanabii alivyosema angefanya, akaumba chembechembe yadamu. Na kwa kupitia chembechembe hiyo ya Damu ndipoambapo mwili wa Kristo ulikuja.”

20 LILE NENO LILILONENWA

ƒ†‚ “Angalia, katika Agano la Kale, Rabi,” nikasema, “mtualipoenda kutoa dhabihu, alichukua mwana-kondoo. Yeyealijua alikuwa amezivunja amri za Mungu, kwa hiyoakamchukua mwana-kondoo. Akaungama dhambi zake, nahuyu mwana-kondoo akauawa. Huku^mikono yake ikiwajuu ya mwana-kondoo; kuungama kwake ya kwamba alijuaanapaswa kufa kwa ajili ya dhambi zake, bali yule mwana-kondoo alikuwa akipachukua mahali pake. Basi ilechembechembe ya damu ilivunjwa; naye akamshika maskiniyule mwana-kondoo kwa mkono wake mpaka aliposikia uhaiwake mdogo umemtoka, na amekauka. Ndipo kuhani, bilashaka, akaitupa ile damu mo_motoni, ile madhabahu ya shabaya hukumu.”

ƒ†ƒ Ndipo nikasema, “Mtu huyo, basi, alitoka hapo, akijua yakwamba mwana-kondoo huyo alikuwa amepachukua mahalipake, ila alitoka akaenda akali na shauku ile ile aliyokuwanayo alipoingia, unaona, kwa maana haingeondoa dhambi.Mnaona? Lakini, basi, katika kisa hiki, ‘Mwabudu akiishakusafishwa mara moja, asingejiona tena kuwa na dhambi.’Huko, kulikuwa na dhabihu iliyotolewa kila mwaka. Lakini,”nikasema, “sasa kuna wakati huu, ‘mwabudu akiishakusafishwa, asinge kuwa na dhamiri ya dhambi.’ Kwasababu^

ƒ†„ “Angalia, Rabi. Katika chembe zilizo hai za damu, huouhai mdogo unaoanza kwenye chembechembe, ambao unatokakwenye jinsia ya mwanamume, ukaingia kwa mwanamke.Naye mwanamke anatoa yai; lakini, kuku anaweza kutaga yai,bali iwapo hajakuwa pamoja na dume ndege, halitaanguliwakamwe.”

ƒ†… Nami nikasema, “Basi Mungu, yule mkuu sana aliyeujazawakati wote na majira, alishuka akaja kwenye chembechembehai moja ndogo akaingia kwenye tumbo la uzazi lamwanamke.” Kisha nikasema, “Tunapookolewa leo^Yesuhakuwa Myahudi wala Mmataifa, kwa maana lile yai liliuzaatu ule mwili. Ile damu ndiyo iliyokuwa na Uhai. Kwa hiyosisi_sisi tuna-^ Biblia ilisema, ‘Tunaokolewa kwa Damu yaMungu.’ Mnaona. Yeye hakuwa Myahudi wala mmataifa; Yeyealikuwa Mungu. Kwa hiyo, tunapokuja madhabahuni nakuweka mikono yetu, kwa imani, juu ya kichwa Chake, nakusikia kule kuraruliwa na uchungu mkali pale Kalvari, nakutubu dhambi zetu, ya kwamba tumekosea, Naye alikufamahali petu!

ƒ†† “Basi, unaona,” nikasema, “ile damu ya mwana-kondooisingerudi juu ya huyu, ile damu ambayo^Chembechembeyake ilivunjwa, na uhai ulioachiliwa, katika kuvunjwa kwachembechembe hii ya damu ya mwana-kondoo, usingwezakurudi juu ya mwabudu, kwa kuwa ulikuwa ni uhai wamnyama, nao usingeungana na uhai wa mwanadamu.”

KUELEZEWA KWA UUNGU 21

ƒ†‡ “Lakini wakati huu, wakati chembechembe hiyo ya Damuilipovunjwa, haikuwa ni mwanadamu tu. Huo ulikuwa ni Uhaiwa Mungu, uliotolewa. Basi mwabudu anapoiweka mikonoyake, kwa imani, juu ya Mwana wa Mungu, na kuungamadhambi zake; si uhai wa mtu mwingine, bali Uhai wa Munguunarudi ukamwingia mtu huyu,ambao ni Uzima wa Milele.Neno Zoe, ambalo linafasiriwa, ‘Uzima’ wa Mungu Mwenyewe.Naye alisema angetupa sisi Zoe, Uzima wa Milele, na sasa sisini wana na binti za Mungu. Haya basi.”

ƒ†ˆ Nikasema, “Sasa ni kitu gani? Ni Mungu, akijidhili. Yeyealikuja, kwanza; ‘hakuna mtu angaliweza kumgusa Yeye,’ kwakuwa mwanadamu alikuwa amefanya dhambi. Kisha alishukakatika mwili, ‘kusudi aonje dhambi^kuichukua dhambi.’Mnaona, Yeye, jambo pekee ambalo Mungu angalifanya, ilikwamba apate kuwa na haki, ni kufanya jambo hilo namnahiyo.”

ƒ†‰ Kwa mfano, vipi kama nilikuwa na mamlaka juu yakusanyiko hili asubuhi hii, kama yale Mungu aliyokuwa nayojuu ya jamii ya binadamu, nami nikasema, “Mtu wa kwanzaanayeitazama nguzo ile, atakufa,” ndipo Tommy Hicksakaitazama? Naam, kwa mfano, nimchukue Carl-^”NduguCarlson, mfie wewe.” Hilo halingekuwa jambo la haki.Ningesema, “Leo, wewe ni katibu wangu; mfie.” Hilolisingekuwa jambo la haki. “Billy Paul, mwanangu, mfie.” Hilosi la haki. Jinsi tu ninavyoweza kuwa mwenye haki, nikupachukua mahali pake mimi mwenyewe.

ƒ†Š Basi, hivyo ndivyo alivyofanya Mungu. Yeye, Mungu, niRoho. Naye aliumba^Yeye, alibadilisha kinyago Chake.Linapaswa kuwa jambo la kustaajabisha, kwa watu, kufikirijuu ya Yehova mdogo. Yeye angaliweza kuja, akiwa mtumzima kabisa, bali alikuja kwenye hori, juu ya lundo lasamadi. Yehova ndogo, akilia kama mtoto mchanga. Yehovamdogo, akicheza kama mvulana. Yehova mdogo, seremala,kama mfanyi kazi. Yehova mdogo, akiwa kwenye umri watineja. Yehova, akining’inia kati ya mbingu na nchi, akiwa nalundo la ute wa walevi na mate ya askari usoni Mwake.Yehova, akiwafia watoto Wake. Yehova, akifa, kusudiakomboe; si mtu mwingine, bali Mungu Mwenyewe! Mnaona,Mungu, hiyo ilikuwa afisi Yake. Kwa nini? Yeye anajaribukurudi katika moyo wa mwanadamu.

ƒ†‹ Naam, tusingeweza kumgusa Yeye Pale. Hapa, tulimgusaYeye kwa mkono wetu. Sasa Yeye alifanya nini, kwa toleo lasadaka ya mwili ule? Yeye amekuwa Yehova ndani yetu. Sisi nisehemu Zake. Kwenye siku ya Pentekoste, ile Nguzo ya Motoilijipasua Yenyewe, na ndimi za Moto zikakaa juu ya kilammoja, ikionyesha ya kwamba Mungu alikuwa akijigawanyaMwenyewe miongoni mwa Kanisa Lake.

22 LILE NENO LILILONENWA

ƒ‡‚ Halafu, ndugu, laiti tungeweza kuungana pamoja, nakuleta jambo Hilo pamoja! Basi tungekuwa na Yehova katikautimilifu, tunapoungana pamoja. Lakini tunawezaje, wakatihuyu ananena kwa lugha na ana ubatizo, huyu naye; halafukuweka mwali huu wa Moto huku, na huu? Hebu tuliwekepamoja.

ƒ‡ƒ Wakati Mungu, kwenye siku ya Pentekoste, aliposhuka,nayo Biblia ilisema, “Ndimi za moto zikakaa juu ya kilammoja wao.” Nao^ “Ndimi, kama za Moto,” miali. Ilikuwani ile Nguzo ya Moto ikijitenganisha na ikijigawa Yenyewe,miongoni mwa hao watu, ili kwamba tupate kuwa ndugu.“Siku hiyo mtajua ya kwamba Mimi niko ndani ya Baba, NayeBaba ndani Yangu; Mimi ndani Yangu, nanyi ndani Yangu.”Basi, sisi, ni mmoja. Sisi ni mmoja, hatujagawanyika.

ƒ‡„ Naam, Yehova Mungu, Huku juu, asingeweza kuigusajamii ya binadamu, kwa sababu ya sheria Yake Mwenyewe yautakatifu; Yehova Mungu akawa dhambi kwa ajili yetu, kishaakalipa gharama; ili kwamba Yehova Mungu yeye yuleangeweza kuja na kuishi ndani yetu. Mungu juu yetu; Mungupamoja nasi; Mungu ndani yetu. Si Miungu watatu; Mungummoja! Maprofesa wanapata kichaa, wakijaribu kuliwaziajambo hilo. Ni_ni ufunuo. Halina budi kufunuliwa kwako.

ƒ‡… Naam, sasa, inapofikia ubatizo, sasa, watu wengi^Naam,hamna budi kufanya jambo hilo, enyi ndugu. La sivyo, ni kamanilivyomwambia Ndugu Scism na kwa Ndugu Ness, yakwamba kama ninyi^U_ubishi ulizuka. Na ye yote, wengiwenu wanachuoni hapa mnafaa kuliko mimi; bali nimesomasana hilo somo. Na nimesoma wale Mapadri WaliotanguliaNikea, Baraza la Nikea, na wanahistoria wote, na kadhalika.

ƒ‡† Hoja hiyo ilitokea kwenye lile Baraza la Nikea. Pande zotembili ziliharibika; wakati kanisa Katoliki lilipochukuamsimamo uliopita kadiri wa utatu, nao ule mwingine ukaingiakatika umoja, na pande zote mbili zikaenda kombo. Kwelikabisa, kwa sababu mwanadamu alifanya jambo hilo.

ƒ‡‡ Inakupasa kumwacha Mungu atende jambo hilo, walahakuna haja kwetu sisi kujaribu kuliwazia. Hebu tuwe ndugu.Hebu tuendelee tu na tumwache Mungu afanye jamboatakalofanya. Kama Yeye ni asiye na kikomo na anajuamambo yote, naye alibashiri mwisho tangu mwanzo,tunawezaje kufanya jambo lo lote juu yake? Endelea tukusonga mbele. Hiyo ndiyo njia. Piga hatua, kama nilivyosemajana usiku, pamoja na Yoshua wetu aliye mkuu.

ƒ‡ˆ Sasa angalia, kama kuna Miungu watatu^Nataka tukuwaonyesha jinsi hili lilivyo la kipuzi. Kama kuna Miunguwatatu, basi Yesu alikuwa Baba Yake Mwenyewe^Yesuasingekuwa Baba Yake Mwenyewe, akiwa mmoja. Na, iwapowako watatu, Yeye hakuzaliwa kibikira. Sasa ni wangapi^

KUELEZEWA KWA UUNGU 23

[Ndugu Branham anaeleza, akitumia vitu vitatu_Mh.]Nitasema hiki ni Mungu Baba; na hiki, ni Mungu Mwana; nahiki ni Mungu Roho Mtakatifu.

ƒ‡‰ Sasa, kwenu ninyi ndugu mbalimbali hapa, hebu angalienijambo hili kwa dakika moja muone kile ninachojaribukuonyesha. Naomba ya kwamba Mungu atawajalia mlione.Basi, angalieni, nyote wawili mnaamini jambo lile lile, baliIbilisi ameingia tu kati yenu na kuwatenganisha juu ya jambohilo. Ni jambo lile lile hasa, nami nitawathibitishia ninyi, kwamsaada wa Mungu, na kwa Biblia ya Mungu. Iwapo si Biblia,basi msilipokee. Hiyo ni kweli.

ƒ‡Š Lakini sasa angalieni. [Ndugu Branham anaeleza, akitumiavitu vitatu_Mh.] Hiki ni (nini?) Mungu Baba; hiki ni MunguMwana; hiki ni Mungu Roho Mtakatifu. Vema, sasa, hebutukome sasa kwa muda kidogo tu, tukiviweka hivyo vitatukule; Mungu Baba, Mwana, na Roho Mtakatifu.

ƒ‡‹ Loo, si_sitapata wakati wa kufanya jambo hili. Ni-^[Ndugu wanasema, “Endelea! Endelea!”_Mh.] Lakini,mnaona, vema, nitaharakisha tu upesi niwezavyo. Samahani,ndugu zanguni, bali si_si_sijapata kuzungumza nanyi, namina_nataka kufanya jambo hili.

ƒˆ‚ Halafu basi, angalieni; Mungu Baba, Mwana, RohoMtakatifu. Naam, ni Nani aliyekuwa Baba wa Yesu Kristo?Mungu ndiye aliyekuwa Baba wa Yesu Kristo. Sote tunaaminihilo. Sivyo? [Kusanyiko linasema, “Amina.”_Mh.] Vema.

ƒˆƒ Sasa, tunapochukua Mathayo 28:19, wakati Yesualiposema, “Basi enendeni, mkawafanye mataifa yote kuwawanafunzi, mkiwabatiza katika Jina la Baba, Mwana, na RohoMtakatifu.” Siku kumi baadaye, Petro alisema, “Tubuni,mkabatizwe katika Jina Lake Bwana Yesu Kristo.” Kunahitilafu dhahiri mahali fulani. Naam, hebu tusi-^kuna^

ƒˆ„ Kila mtu amekwisha toa ushuhuda, na kadhalika. Hiihapa. Hivi ndivyo ninavyoamini, nami ninaliweka tu mbelezenu, ndugu. Sisemi jambo hili huko nje mimbarani; ni juuyenu. Bali nataka kuwaonyesha jambo ninaloona pande zotembili, ili kwamba Roho Mtakatifu awafunulie jambo hili,mnaona.

ƒˆ… Naam, Mathayo 28:19, na iwapo_iwapo Mathayo 28:19inahitilafiana na Matendo 2:38, basi kuna hitilafu katikaBiblia, nayo haina thamani hata ya karatasi iliyoandikiwa.

ƒˆ† Sasa kama mtaangalia katika Mathayo sura ya 16, Yesualimpa Petro ufunuo, kisha akampa Yeye zile funguo.

ƒˆ‡ Sasa, kumbuka, Biblia haifunuliwi kwa theolojia yataratibu za kujibunia. Haifunuliwi. Ni ufunuo.

ƒˆˆ Ilikuwa ni ufunuo, kwanza. Kwa nini Habili alimtoleaMungu dhabihu iliyo bora kuliko ya Kaini? “Ilifunuliwa

24 LILE NENO LILILONENWA

kwake,” ya kwamba haikuwa embe, na matofaa, namachungwa, na matofaa. Kama matofaa yatawafanyawanawake watambue wao wako uchi, afadhali tuwapematofaa tena, ndugu. Si mnafikiri hivyo? Sasa, hilo, hilolinasikika la kukufuru, bali simaanishi kusema hivyo. Lakini,haikuwa matofaa. La, bwana. Basi, na kama hivyo ndivyoilivyo, basi, “Habili alifunuliwa,” ya kwamba yeye alikuwadamu ya babaye. Kwa hiyo alitoa damu, kwa sababu ilikuwani ufunuo. Jambo zima limejengwa juu ya huo.

ƒˆ‰ Sasa angalia, huyu hapa mzee mvua samaki asiye na elimu,hata hana elimu ya kutosha^ Biblia ilisema alikuwa asiye naelimu wala maarifa. Bali alikuwa amesimama pale, ndipo Yesuakauliza lile swali, “Mnasema Mimi Mwana wa Adamukwamba ni nani?”

ƒˆŠ “Mmoja akasema, mbona, Wewe ni_Wewe ni ‘Musa.’” Waowanasema wewe ni ‘Musa.’” Wao, nini hii^wanasema, nammoja akasema, mbona, wewe ni ‘Yeremia, ama manabii,’ nahivi, vile, na vinginevyo.”

ƒˆ‹ Yeye akasema, “Hilo silo swali. Niliwaulizeni ninyi. Ninyimnasema kwamba Mimi ni nani?”

ƒ‰‚ Ndipo Petro akajitokeza moja kwa moja, akasema, “Weweni Mwana wa Mungu.”

ƒ‰ƒ Ndipo akasema, “Heri wewe, Simoni, Bar-yona.” Sasaangalia. “Mwili na damu havikukufunulia hili, bali BabaYangu aliye Mbinguni.” Mnaona?

ƒ‰„ Sasa tazama, sasa, kanisa Katoliki linasema ya kwambaYeye alilijenga kanisa juu ya Petro. Hilo ni kosa.

ƒ‰… Kanisa la Kiprotestanti linasema Yeye alilijenga juu YakeMwenyewe. Bali sasa angalia uone, uone kama ndivyo ilivyo.

ƒ‰† Yeye alilijenga juu ya ufunuo wa kiroho wa Yeye alikuwani Nani, mnaona, kwa sababu Yeye alisema, “Heri weweSimoni, Bar-yona. Mwili na damu havikukufunulia hili.Nasema wewe ndiwe Simoni; juu ya mwamba huu” (mwambaupi? huo ufunuo) “nitalijenga Kanisa Langu, na milango yakuzimu haiwezi kulishinda.” [Ndugu Branham anagongamimbara mara tatu_Mh.]

ƒ‰‡ Ndipo, wakati Petro alipokuwepo wakati Mathayo 28iliponukuliwa, kisha akageuka, siku kumi baadaye, akiwa naufunuo huo, na kubatiza katika “Jina la Bwana Yesu Kristo.”Kwa nini alifanya jambo hilo? Kwa ufunuo wa Mungu; nayealikuwa na zile funguo za Ufalme, ndugu.

ƒ‰ˆ Sasa huenda nikawaudhi kwa muda kidogo, upande wenummoja, lakini tulieni kwa muda kidogo. Hakuna mahalipamoja katika Biblia ambapo mtu ye yote aliwahi kubatizwakatika Jina la “Baba, Mwana, Roho Mtakatifu.” Hakunamahali pamoja katika Maandiko. Na iwapo pako, patoeni. Na

KUELEZEWA KWA UUNGU 25

kama mnaweza kupata mahali po pote katika historia takatifu,mpaka kule kuundwa kwa kanisa Katoliki, nawatakenimpatoe. Hakuna mahali, sasa, na hiyo ni kweli.

Lakini sasa ngojeni kidogo, enyi wa Umoja, hebu kidogo.

ƒ‰‰ Naam, hakuna mahali ambapo^ Kama mtu ye yoteanaweza kunionyesha fungu moja la Maandiko ambapo ibadahiyo ilitumiwa katika Biblia, ya “Baba, Mwana, na RohoMtakatifu,” unawajibika kuja kuniambia ambapo mtu fulanialibatizwa namna hiyo.

ƒ‰Š Na baadhi yao wanasema, “Vema, nitachukua aliyosemaYesu, si aliyosema Petro.” Kama wao walihitilafiana, mmojakwa mwingine, tutafanya nini? Kama yote si Mungu, nisehemu gani ya Biblia iliyo sahihi?

ƒ‰‹ Yote haina budi kulingana na kushikana, na ni ufunuo tuwa Mungu. Mashule yetu hayatafundisha jambo hilo kamwe.Ni ufunuo, ambao huna budi kuuona.

ƒŠ‚ Halafu, iwapo watu hao wawili walihitilafiana, mmojakwa mwingine, basi tunasoma Biblia ya namna gani?Ninajuaje kama Yohana 14 ni kweli, ama si kweli? Ninajuajekama Yohana 3 ni kweli, ama si kweli? Je! je! nitajua?Mnaona?

ƒŠƒ Bali njia pekee ambayo ninaweza kuwa na imani katikaMungu, ni kujua ya kwamba Biblia ile ni kweli, na kuamini nikweli, na kudumu Nayo. Ingawa siifahamu, ninaifuata,haidhuru.

ƒŠ„ Lakini wakati hitilafu hizi zinapozuka, ndipo ninaendambele za Mungu, na kutafuta nijue. Ndipo Malaika yule yuleanayekutana nami katika mikutano, na usiku, Ndiye Ambayealinifundisha Hili. Mnaona? Sasa angalieni kama jambo hili nikweli, jinsi hili lilivyo sasa.

ƒŠ… Basi, Mathayo 28:19, hebu tuangalie kwa muda kidogo sasa.Basi sasa nitachukua Matendo 2:38 papa hapa, ambapo Petroalisema, “Bwana Yesu Kristo.” Naye Mathayo akasema,“Baba, Mwana, na Roho Mtakatifu.”

ƒŠ† Sasa sikilizeni. Yeye alisema, “Mkawabatize^” Si“katika Jina la Baba, katika Jina la Mwana, katika Jina laRoho Mtakatifu.” Kamwe hakusema hivyo. Hakuna “jina^katika jina^katika jina.”

ƒŠ‡ Hakusema kamwe, “Mkawabatize katika majina ya Baba,Mwana, na Roho Mtakatifu,” kwa sababu hata si la busara.

ƒŠˆ Alisema, “Mkawabatize katika Jina (J_i_n_a) la Baba,Mwana, na Roho Mtakatifu.” Hiyo ni kweli? [Kusanyikolinasema, “Amina.”_Mh.] “^la Baba, Mwana, na RohoMtakatifu,” kiunganisho “na, na, na.”

26 LILE NENO LILILONENWA

ƒŠ‰ Si “majina.” Si “katika Jina la Baba, Jina la Mwana, Jinala Roho Mtakatifu.” Si, “katika majina ya Baba, Mwana, naRoho mtakatifu. Bali “katika Jina,” J-i-n-a, umoja, “la Baba,Mwana, na Roho Mtakatifu.” Basi ni lipi kati yake lililo jina lakweli la kubatiza? Ni Jina moja. Ni lipi? Je! “Baba” ndilo jinala kweli, ama Mwana ndilo jina la kweli, ama Roho Mtakatifundilo jina la kweli?

ƒŠŠ Ni “Jina,” mahali fulani. Hiyo ni kweli? [Kusanyiko,_“Amina.”_Mh.] Vema, sasa nataka kuwaulizeni jambo fulani,basi. Kama lile “Jina,” basi, kama Yesu alisema,“mkawabatize katika Jina la Baba, Mwana, na RohoMtakatifu^” Ni wangapi wanaoamini ya kwamba Yesualisema hivyo? [“Amina.”] hayo ni Maandiko. Ni Mathoyo28:19, “Katika Jina la Baba, Mwana^”

ƒŠ‹ [Ndugu Branham anaona kukatizwa_Mh.] Ni jamboambalo sisi^La, ni, nilifikiri^Sawa, bwana. [Ndugu fulanianasema, “Tafadhari, Ndugu Branham?”] Naam. [Natakakugeuza kanda hii upande wa pili, nami sitaki kutoyanasa.”]Vema. [Mhali patupu kwenye kanda.]

ƒ‹‚ Basi, “katika Jina la Baba, Mwana, na Roho Mtakatifu.”Sasa sikilizeni ndugu. Hakuna kitu kama jina la “Baba,” kwamaana Baba si jina. Ni cheo. Hakuna kitu kama jina la“Mwana,” maana Mwana ni cheo. Hakuna kitu kama jina la“Roho Mtakatifu.” Hivyo ndivyo alivyo Yeye.

ƒ‹ƒ Nilikuwa nikisema jambo hilo kwenye kifunguakinywacha wahudumu asubuhi moja, ndipo mwanamke mmoja^akikiuka utaratibu bila shaka, mtu ye yote ambaye angekatiza,kitu kama hicho. Akasema, “Ngoja kidogo! Samahani!”Kasema, “Roho Mtakatifu ni jina.”

ƒ‹„ Nikasema, “Hivyo ndivyo alivyo Yeye. Mimi nimwanadamu, bali jina langu si ‘Mwanadamu.’”

ƒ‹… Ni Roho Mtakatifu! Hilo si jina. Hivyo ndivyo alivyo Yeye.Ni jina la kitu, bila shaka, bali si nini hii^Ni_ni nini hii^si jina.

ƒ‹† Sasa, kama Yeye alisema, “Mkawabatize katika Jina laBaba, na la Mwana, na la Roho Mtakatifu”; na wala Baba,Mwana, na Roho Mtakatifu si jina, basi hilo Jina ni lipi?Tunataka kutafuta kujua.

ƒ‹‡ Naam, tunaweza kulipata lote katika mahali pamoja hapa,kama tu mkiangalia na_na_na kutumia wakati mdogo sasa,ama kuokoa wakati mdogo, ndivyo nilitaka kusema. Sasaangalia Mathayo 28:19. Sasa, sisemi kwamba^

ƒ‹ˆ Huenda ninyi, huenda ikawa mlifanya jambo hilo, baadhiyenu dada ama ndugu. Pengine mlichukua kitabu fulani, sikumoja, mkaangalia mwisho wake, na kusema, “Yohana naMaria wakaishi kwa furaha baadaye.” Vema, Yohana na

KUELEZEWA KWA UUNGU 27

Mariamu ni nani? Ni nini, Yohana na Mariamu ni naniwalioishi kwa furaha baadaye? Kuna njia moja tu utakayojuaYohana na Mariamu ni akina nani; hiyo ni, kama ni fumbokwako, rudi nyuma ukakisome hicho kitabu. Sivyo?[Kusanyiko linasema, “Amina.”_Mh.] Rudi nyuma mwanzoniukakisome chote, nacho kinakwambia Yohana na Mariamu ninani.

ƒ‹‰ Vema, kama Yesu alisema, Yesu Kristo Mwana wa Mungu,ambaye alisema, “Basi enendeni, mkawafundishe mataifa yote,mkiwabatiza katika Jina la Baba, Mwana, na RohoMtakatifu,” na wala Baba, Mwana, ama Roho Mtakatifu sijina. Basi, iwapo ni fumbo, inatupasa kurudi katika mwanzowa hiki Kitabu.

ƒ‹Š Basi hebu tugeuke kwenye sura ya kwanza ya Mathayo,nasi tutaanza pale, inatoa ukoo, hata inapofikia aya ya 18.

ƒ‹‹ Sasa angalia, sasa angalia kwa muda kidogo tu. [NduguBranham anaeleza, akitumia vitu vitatu_Mh.] Hiki ni Baba,mkono wangu wa kushoto; hiki katikati ni Mwana; na hiki niRoho Mtakatifu. Naam, hiki ni Baba wa Yesu Kristo. Sivyo?[Kusanyiko linasema, “Amina.”] Mungu ndiye Baba wa YesuKristo. Sote tunaamini jambo hilo? [“Amina.”] Vema.

„‚‚ Sasa Mathayo 1:18 ilisema:

Kuzaliwa kwake Yesu Kristo kulikuwa hivi.Mariamu mama yake alipokuwa ameposwa na Yusufu,kabla yeye^hawajakaribiana, alionekana ana mimbakwa uweza wa^

„‚ƒ [Ndugu Branham ananyamaza kidogo. Kusanyikolinasema, “Roho Mtakatifu.”] Nilifikiri Mungu ndiye BabaYake. [Ndugu Branham ananyamaza kidogo_Mh.]

Naye atazaa mwana, nawe utamwita jina lakeYESU,^

Naye Yusufu, mumewe, kwa vile alikvyokuwa mtuwa haki,^hakutaka kumwaibisha, bali aliazimukumwacha kwa siri.

Hivi, basi alipokuwa akifikiri hayo, tazama, malaikawa Bwana alimtokea katika ndoto, akisema, Yusufu,mwana wa Daudi, usihofu kumchukua Mariamu mkeo:maana mimba yake ni kwa uweza wa^

„‚„ [Ndugu Branham ananyamaza. Kusanyiko linasema, “RohoMtakatifu.”] Nilifikiri Mungu ndiye aliyekuwa Baba Yake.Basi, hivi yeye ana baba wawili, ndugu? [“La.”_Mh.] Hawezikuwa nao. Kama alikuwa nao, Yeye alikuwa mwana haramu,nasi tuna dini ya namna gani pale? Hamna budi kukubali yakwamba Mungu Baba na Roho Mtakatifu ni Roho yule yule.Bila shaka, ndivyo ilivyo. Hakika, ni Roho yule yule. Naam,tuendelee mbele, tupate kuona jambo hilo.

28 LILE NENO LILILONENWA

Naye atamzaa mwana, nawe utamwita jina lakeYESU, maana, yeye ndiye atakayewaokoa watu wakena dhambi yake.

^Hayo yote yamekuwa, ili litimie^

„‚… Ninayanukuu Maandiko. Ninyi wahudumu mnajua,ninapoendelea

^ili litimie^lilonenwa na Bwana kwa nabiiakisema,

^bikira atachukua mimba, naye atamzaa mwana;nao watamwita jina lake Imanueli; ambalo tafsiri yakeni,^

„‚† [Ndugu Branham ananyamaza kidogo. Kusanyiko, “Mungupamoja nasi.”] “Mungu pamoja nasi!” Hiyo ni kweli?[“Amen.”_Mh.]

„‚‡ Basi Jina la Baba, Mwana, na Roho Mtakatifu ni lipi?[Ndugu fulani anasema, “Yesu Kristo.”_Mh.] Vema, bilashaka. Hiyo ndiyo sababu Petro aliwabatiza katika Jina la“Yesu Kristo.”

„‚ˆ Lakini, sijali, kama umebatiza katika jina ya Ua laUwandani, Ninyoro ya Mabondeni, ama Nyota ya Asubuhi,hizo ni vyeo, pia. Kama moyo wako ni sawa mbele za Mungu,Yeye anaujua moyo wako.

„‚‰ Lakini sasa, basi, nilitamka jambo hilo. Sasa, sasanilisema^ Sasa Ndugu Scism alisema, “Naam!” Bila shaka,hakika, hilo lilionekana kama Umoja, kwa hiyo alirukia jambohilo mara moja.

„‚Š Basi nikasema, “Sasa hapa nataka kuwaambieni jambofulani sasa.” Mnaona? Nikasema, “Basi nataka kuwathibitishiaya kwamba, watu hawa wawili, walisema jambo lile lile.”

„‚‹ Sasa, Mathayo alisema, “Katika Jina la Baba.” Sivyo?[Kusanyiko linasema, “Amina.”_Mh.] Sawa. Naye Petroakasema, “Katika Jina la Bwana.” Mathayo 28:19 ilisema,“Katika Jina la Baba,” na Matendo 2:38 ilisema, “Katika Jinala Bwana.’” Daudi alisema, “Bwana alimwambia Bwanawangu” Ilikuwa ni Nani? Baba na Bwana ni jina lile lile.Daudi alisema, “Bwana alimwambia Bwana Wangu, ‘Ketiupande wa mkono Wangu wa kuume.’” Mnaona? “Katika Jinala Baba; katika Jina la Bwana.”

„ƒ‚ Halafu Mathayo akasema, “Katika Jina la Mwana,” nayePetro akasema, “Katika Jina la Yesu.” Mwana ni nani? Yesu.

„ƒƒ “Katika Jina la Roho Mtakatifu,” ilikuwa ni Mathayo;ndipo Petro akasema, “Katika Jina la Kristo,” yule Logos.

„ƒ„ Baba, Mwana, Roho Mtakatifu, “Bwana Yesu Kristo.”Mbona, ni kamilifu iwezavyo kuwa. Mnaona?

KUELEZEWA KWA UUNGU 29

„ƒ… Ndugu Scism akaniambia. Ndugu Scism, yule ndugu waUmoja, akasema, “Ndugu Branham, hiyo ni kweli, ila”akasema, “lile ndilo hili.”„ƒ† Nikasema, “Basi hili ndilo lile.” Hiyo ni kweli. Mnaona?Nikasema, “Iwapo lile ndilo hili, hili ndilo lile. Kwa hiyomnazozania kitu gani?”

„ƒ‡ Nikasema, “Hebu niwape shauri, ndugu. Kama nikiwahikumbatiza mtu, ningembatiza hivi^”

„ƒˆ Nikasema, “Huyu hapa Dk. Ness.” Na mtu fulani alisemamuda mfupi uliopita, ninyi ndugu, ya kwamba mlijua Dk.Ness.

„ƒ‰ Vema, nitasema, hapa, Ndugu Hicks, hapa, yeye ana-^nafikiri una Digrii ya Daktari. Sivyo? Vema.

„ƒŠ “Basi nikasema, “Kama Dk. Ness, anayeketi hapa^”Sasa nikasema, “Kama nilitaka^” Naam, ninapompelekamtu majini kuwabatiza, ninazitambua kama tu alivyofanya,nikasema, “Hizo vilikuwa ni vyeo vilivoambatana na JinaLake.”

„ƒ‹ Nikasema, “Sasa, ndugu wa Assemblies wanatumiavyeo, na wa Umoja wanatumia Jina.” Nikasema, “Basinitawathibitishia, nyote wawili wamekosea, nami niko sahihi.”Unajua jinsi itakubidi^Ukiwa na watu waliochoka akilinamna hiyo, huna budi kuwa mchekeshaji mara kwa mara,kusudi kwa namna fulani uwachangamshe kidogo. Kwa hiyonikasema, “Nitawathibitishia ya kwamba nyote wawilimmekosea, nami niko sahihi.”

„„‚ Nikasema, “Sasa vipi kama nilitaka kumheshimu NduguNess, ningesema^”

„„ƒ Ama, ama Ndugu Hicks hapa, mnaona. Ningesema,“Hicks!” Naam, hilo lingesikika sawa? La. Vema, vipi kamaningesema, “Daktari! Wewe Dakt! Na hivyo je?” Sasa, hilolinasikika kama dharau, sivyo?

„„„ “Vema,” nikasema, “hivyo ndivyo ninyi wa Assembliesmnavyofanya, mnaona. Wakati ninyi ndugu wa Assemblymnaposema, ‘Katika jina la Baba, na la Mwana, na la RohoMtakatifu,’ mnasema tu, ‘Katika jina la kasisi, daktari.’”

„„… Kisha nikasema, “Halafu, ninyi ndugu wa Umoja,mnapobatiza, mnasema, ‘Yesu!’” Wao hawatumii^

„„† Wao^Yesu Pekee, wanatumia tu jina “Yesu.” Kuna Yesuwengi. Bali, ni Bwana Yesu Kristo, mnaona. Kuna wengi^Wanaobatiza katika jina la “Yesu,” bila shaka sikubaliani najambo hilo; hakuna Andiko. Chukueni ya asili, muone kama si“Bwana Yesu Kristo.” Bila shaka, Yeye ni Bwana Yesu Kristo.Kuna Yesu wengi, bila shaka. Naye Kristo ni “AliyetiwaMafuta.”

30 LILE NENO LILILONENWA

„„‡ Nami nikasema, “Naam, kama nilikuwa nikitakakumwambia Ndugu Ness jambo lile lile. Ningesema, hivilingesikika sawa kwangu kusema, ‘Wee, Ness!’?” Nikasema,“Hivyo ndivyo ninyi wa Umoja mngesema jambo hilo.Mnaona? Si huko ni kumdharau mtu huyo ambaye amesoma,naye ana Digrii ya Juu Sana? Iwapo amesoma kwa bidiikuipata, anapaswa kupewa cheo chake.”

„„ˆ Kisha nikasema, “Ndipo kama ningesema, ‘Wee, Dakta!’”Nikasema, “Hivi hilo halingalisikika lisilopendeza, kwamhudumu kumwita mwingine namna hiyo?” Ama, nikasema,“Hivyo ndivyo tu mnavyolifanya jambo hilo, upande tu wahivyo vyeo.”

„„‰ Lakini nikasema, “Ninapompeleka mtu majini; ninatembeakule na kumwuliza, na kuzungumza naye, ninapata jina lakekwamba yeye yu nani, na imani yake.

„„Š “Ndipo ninaomba, na kusema, ‘Sasa, Baba, kama vileWewe ulivyotuagiza kwenda ulimwenguni kote na kuwafanyamataifa yote wanafunzi^”’” Ninyi ndugu mnajua yakwamba hilo ndilo la asili, mnaona. “‘“^kuwafanya mataifayote wanafunzi, mkiwabatiza katika Jina la Baba, na laMwana, na la Roho Mtakatifu; mkiwafundisha kuyashikamambo yo yote” ambayo Wewe ume-^mambo yote ambayoWewe umetufundisha.’

„„‹ “Kwa hiyo basi nikasema, ‘Kwa kuungama imani yako;kwa kuungama dhambi zako, na imani yako katika Mwana waMungu, nakubatiza, ndugu yangu mpendwa, katika Jina laBwana Yesu Kristo.’”

„…‚ Nikasema, “Hivyo ndivyo ninavyobatiza. Ninatambua vyeoVyake, alichokuwa, zote Baba, Mwana, na Roho Mtakatifu. Nasababu ya Yesu kusema jambo hilo, ilikuwa^”

„…ƒ Sasa angalieni. Kama jambo hilo si kweli, mna hitilafukatika Maandiko; mna hitilafu. Nanyi mtafanya niniwakati^ Vipi kama ndugu huyu Mbudha angesimama nakusema kwamba, “Na hili je?” Wangesemaje na hukuwaliniambia^

„…„ Kule, wakati ndugu huyu wa Kihindi alipomsai MorrisReedhead, akamwambia, kasema, “Na Marko 16 je?” Ilimbidikujikokota juu ya jambo hilo.

„…… Haikubidi kujikokota juu ya jambo lo lote. Hilo ni Neno laMungu. Dumu Nalo. Omba tu. Pata ufunuo. Lote ni sawa.

„…† Mnaona, wote wawili wanasema jambo lile lile, sasa; sivyeo; la kabisa. Nikasema, “Basi^”

„…‡ Ninamtambua Yeye. Yeye alikuwa Baba; si Mungumwingine. Alikuwa Mwana; si Mungu mwingine. Mungu yeyeyule! Ni afisi tatu. Mungu katika majira ya Ubaba, kamamkitaka kuyaita, ya Ubaba; Uwana; na ni Mungu yeye yule

KUELEZEWA KWA UUNGU 31

ndani yetu sasa. “Nitakuwa pamoja nanyi.” Kile “Nitakuwa,”kijina cha nafsi, “Nitakuwa pamoja nanyi.” Kwa hiyo,mnaona, ni afisi tatu, si Miungu watatu.

Naam, ndugu, kama hao wanafunzi hawakuzitumia, nakote kote^

„…ˆ Mimi sisemi lo lote dhidi yake. Hilo ni sawa. Balinawaambia, kama mtu alikuja huku nje, naye alikuwaamebatizwa katika jina la “Ua la Uwandani, Ninyoro yaMabondeni, na Nyota ya Asubuhi,” naye alimwamini YesuKristo kama Mwokozi wake; ningesema, “Mungu akubariki,ndugu! Njoo, hebu twende!” Mnaona? Hiyo ni kweli. Sababu,kama moyo wako si sawa, wewe si sawa, hata hivyo. Kwelikabisa. Na mo_moyo wako hauna budi kuwa sahihi.

„…‰ Ndipo nikasema, “Basi, angalia. Sasa, kama nilikuwanaenda kumsalimia Ndugu Ness hapa, ningesema ‘KasisiDaktari Ness.’ Hiyo ni sawa kabisa. Yeye ni mhudumu.Anapaswa kuchukuliwa kama kasisi. Yeye amesoma, akapataelimu nyingi. Ana Digrii ya Daktari, kwa hiyo hana budikuitwa ‘daktari.’ Hicho ni cheo chake, mnaona. Na jina lake ni‘Ness,’ hata hivyo. Naam, nisingesema, ‘Wee, Ness! Wee,Dakta!’ La, hilo lisingekuwa sawa. Ningesema, ‘Kasisi DaktariNess.’

„…Š “Mnaona, hivyo ndivyo ninavyomwita, mnaona, alivyoYeye; vyote Baba, Mwana, na Roho Mtakatifu, ‘Bwana YesuKristo.’” Mnaona?

„…‹ Basi nikasema, “Kama nikipata kumbatiza mmoja hukonje katika makanisa yenu yote, hivyo ndivyo nitawabatiza.”Nikasema, “Je, ungempokea huyo, Ndugu Ness?”

„†‚ Akasema, “Bila shaka. Yeye amebatizwa katika Jina laBaba, Mwana, na Roho Mtakatifu.”

Nikasema, “Ungempokea huyo, Ndugu Scism?”

Akasema, “Bila shaka, yeye amebatizwa katika Jina laYesu.”

„†ƒ Nikasema, “Basi imekuwaje kwenu, enyi ndugu? Mbonamsikubali jambo hilo, kisha mvunje kuta hizi waliko maskiniwanadamu hawa. Wa Umoja wanataka, kweli, makusanyiko,wanataka kuabudu pamoja na Waassemblies. Nalo laAssemblies, kusanyiko lenyewe, linataka kuabudu pamoja lawa Umoja. Nao hawa ndugu wako namna hiyo. Wako namnahiyo. Bali mradi tu ibilisi anaweza kuwafanya wapigane^”

„†„ Sasa mnaona ninalomaanisha, ndugu? Ninaelekeza kwenyejambo hilo moja, Yesu Kristo, na kuungana kwa Mwili waYesu Kristo. Hilo ndilo kusudi langu. [Kusanyiko linasema,“Amina.”_Mh.]

„†… Naam, sisemi kitu juu ya “Kube, wewe hujabatizwa katikaJina la Yesu; unaelekea kuzimuni!” Naam, huo ni upuzi.

32 LILE NENO LILILONENWA

㠠 Nitawaambia kilichotukia juzijuzi. Nilikuwa huko chiniTexas. Kabla ya kuondoka^Nao ndu_ndugu hapa nimashahidi wa jambo hili. Kanisa la Umoja, makanisa sabini namawili, waliudhamini mkutano wangu. Nami nikamwekaNdugu Petty, yule ndugu wa Assemblies, jukwaani usiku huo.Naam, mnajua jambo hilo ni kweli. Yeye ni ndugu wa thamani,Ndugu Petty, kama ye yote wenu anamjua, kutoka Beaumont,Texas. Ni mmoja wa watu wazuri sana niliopata kukutana nao.Mkewe ni Mkatoliki aliyeongoka, mwanamke mtauwa hasa.Yeye ni mtu halisi wa Mungu.

„†‡ Niambieni ni nani aliye mtu bora kuliko Roy Wead, waAssemblies of God. Tajeni ye yote wa watu hawa, angalienihapa, ndugu hawa wote ninaowajua kutoka hapa. Ndugukutoka kanisa la Filadelfia hapa, na watu wa Assemblies ofGod, basi ni watu gani walio bora zaidi? Niambieni ni wapi.Niambieni ni mtu gani aliye bora kuliko Jack Moore?Niambieni hilo. Yeye ni wanachokiita^Wao ni wafuasi wao.Yeye si mshupavu wa dini. Unawapata washupavu wa dinipande zote mbili; na huko ndiko watu wanakoelekeza kidole,na huko ndiko Ibilisi anakoelekeza.

„†ˆ Bali hao wote ni watu wa Mungu. Mungu amewapa RohoMtakatifu. Isingalikuwa ni kwa neema ya Mungu, sotetungekuwa tumepotea, na mizozo yetu na kadhalika. Hiyo nikweli kabisa. Bali neema ya Mungu inatuunganisha pamoja. Siajabu tunaweza kuimba, “Kibarikiwe kifungo kiifungachomioyo yetu katika upendo wa Kristo.” Hilo ndilo tunalohitaji,basi.

„†‰ Na kwa hiyo mnajua nini? Kiongozi Mkuu wa ka_kanisa,aliniita, akasema, “Ulijua ulilofanya jana usiku?” Usikuwangu wa pili kule.

Nikasema, “Ati nini?” Nikasema, “Tulikuwa na mkutanowa ajabu.”

Kasema, “Ulikuwa na mtu kwenye mimbara yakoaliyekuwa mwenye dhambi.”

Nikasema, “Sikujua hilo.” Alikuwa^

Kasema, “Yule Bw. Petty.”

„†Š “Lo!” nikasema, “ati mwenye dhambi? Mbona,” nikasema,“yeye ni mhubiri wa Assemblies of God, ndugu.”

„†‹ Akasema, “Naam, lakini yeye angali ni mwenye dhambi,kwa maana hajabatizwa sawasawa.”

„‡‚ Nami nikasema, “Ndugu, naomba uniambie kwa nini.”Nikasema, “Yeye ana Roho Mtakatifu.”

„‡ƒ Akasema, “Ndugu Branham, Petro alisema nini? ‘Tubuni,mkabatizwe katika Jina Lake Yesu Kristo mpate ondoleo ladhambi zenu.’ Kwa hiyo dhambi zako haziwezi kuondolewampaka umebatizwa katika Jina la Yesu.”

KUELEZEWA KWA UUNGU 33

Nikasema, “Hiyo ndiyo kanuni, ndugu yangu?”

Akasema, “Hiyo ndiyo kanuni.”

„‡„ Nikasema, “Mungu basi alipindua gari Lake Mwenyewe lamatofaa basi, katika Matendo 10:49, kwa kuwa, ‘Petroalipokuwa akisema maneno hayo, Roho Mtakatifuakawashukia wote waliolisikia lile Neno,’ mnaona, naohawakuwa wamebatizwa, kamwe. Basi, Mungu aliwapa RohoMtakatifu watu ambao hata hawakuwa wameongoka?”Nikasema, “Unasimama wapi sasa basi?”

„‡… Akasema, “Unajua tutakalofanya?” Kasema, “Tunachoraduara dogo, na kukuacha moja kwa moja nje ya mviringowetu.”

„‡† “Basi,” nikasema, “mimi nitachora mwingine, nakuwavuta ndani moja kwa moja tena.” Nikasema, “Huwezikuniacha nje, maana ninawapenda. Mnaona, hamwezi kufanyahivyo kamwe.” Nikasema, “Kuna wengi sana wa nduguze_zenu huko nje wanaonipenda mimi na wananiamini.”Nikasema, “Ninyi, nita_nita-^Wao watakuja, hata hivyo.”Nikasema, “Watakuja. Wala hamwezi kuniacha nje. Kamamkiniacha nje, mimi nitawavuta ndani tena.” Nikasema,“Mnapochora mviringo mmoja, Mungu, kwa neema Yake,atanijalia kuchora mwingine na kuwaingiza moja kwa mojandani tena.” Hiyo ni kweli, kuwarudisheni moja kwa mojandani tena.

„‡‡ Basi, ndugu, loo, katika Jina la Kristo hebu niseme jambohili. Ni_nina-^ Najua nawachelewesha hapa; na karibuimekaribia sana wakati wa kufunga, nadhani, lakini hebuniseme tu jambo hili, mnaona.

„‡ˆ Ndipo nikamwambia mtu huyo, nikasema, “Ningeabatananawe mradi tu ungehubiri Maandiko, na uwe na upendo, nauamini ya kwamba hayo^na uhubiri na useme ulikuwaunawabatiza watu^si katika Jina la “Yesu,” Yesu pekee. La,bwana. Hakika ni_nisingekubaliana na jambo hilo, kwamaana mimi ninawajua Yesu kadha; ninawajua katika Afrikana mahali mbalimbali, watu wanaoitwa Yesu. Bali kamaukitumia msemo wa ‘Bwana wetu Yesu Kristo,’ nitakubaliananawe juu ya jambo hilo. Hiyo ni sawa. Nitaandamana nawe.Nafikiri inakubidi kuweka ‘Baba, Mwana, na Roho Mtakatifu’kwanza, unaona” kulipata vizuri.” Nikasema, “Nafikiriunapaswa kufanya hivyo.”

Lakini akasema, “Loo la, la! Hivyo ni kurudi kwenyeutatu.”

Nikasema, “Si utatu, ni Mungu mmoja katika afisi tatu!”

„‡‰ Si utatu, wa Miungu watatu. Hatuna Miungu watatu. Bilashaka hatuna. Hakuna kitu kama hicho. Haukufundishwakatika Biblia. Na kuna Mungu mmoja tu. “Sikilizeni, enyi

34 LILE NENO LILILONENWA

Israeli, Mimi ni Bwana Mungu wenu.” Mungu mmoja! Amri yakwanza, “Usiwe na miungu wengine mbele Zangu.” Bilashaka, Yeye ni Mungu mmoja, si watatu.

„‡Š Hiyo ni tafsiri ya Kikatoliki ya jambo hilo; na lilitolewakwa Katoliki likaingizwa kwa Waluteri, na kuendelea, nakadhalika, na inaaminiwa sana-sana miongoni mwa watu leoya kwamba tuna Miungu watatu.

„‡‹ Hapo ndipo hamtaweza kamwe^Injili hii haitaendakamwe kwa Wayahudi^Jambo ambalo, nilimtabiria asubuhiya juzijuzi mmishenari wa Kiyahudi pale. Hutaweza kamwekumpeleka Mungu wa utatu kwa Myahudi. Hutaweza kufanyajambo hilo kamwe. Ambapo, sivyo alivyo; yeye ana akili borakuliko hiyo. Mnaona, yeye anajua zaidi juu ya Biblia kulikojambo hilo. Bali Yeye kamwe si Mungu wa utatu, kwa_kwa Myahudi. Kama utamwacha ajue ni Yehova yeye yule,yeye atalipokea sasa hivi. Hakika! Hivyo ndivyo ilivyo,mnaona.

„ˆ‚ Nami ninaamini yote haya. Kama alivyosema Yusufu,“Ndugu, msijikasirikie, kwa maana Mungu amefanya jambohili,” mnaona. Kwa hiyo, kwa kuwa hilo jambo lilipaswakungoja hata wakati huu, ni hayo tu, kwa maana wakati wetuwa Kimataifa uko karibu kwisha. Naam, ninaamini jambo hilokwa moyo wetu wote. Kwa hiyo mnaona, ndugu zangu?[Kusanyiko linasema, “Amina.”_Mh.] Ninajaribu kufikiajambo fulani, ya kwamba, kundi hili la watu, la watu ambaowana ubatizo wa Roho Mtakatifu.

„ˆƒ Kundi la Aimee McPherson, huyo mwanamke alifanyanini? Alikuwa wa Umoja kwanza, naamini; kisha akatokaakawa wa Assembly; halafu akatoka akajiundia madhehebumengine; hapa si muda mrefu uliopita, akajiweka katika kundidogo, kitu kidogo.

„ˆ„ Nilikuwa nimeketi kwenye mkutano wa O. L. Jaggers.Naam, sote tunamjua. O. L. Jaggers. Baba ya_yake alisaidiakuanzisha Halmashauri Kuu ya Assemblies of God. Basi, O. L.ni mtu mashuhuri. Yeye ni mhubiri mashuhuri. Nilimwambiasi muda mrefu uliopita, nikasema, “Ndugu Jaggers, kamaningaliweza kuhubiri kama unavyohubiri, kamwenisingalifanya ibada ya kuponya.” Bali yeye alikuwa na damuhiyo yote na divai, na kadhalika, wakati alipoanza kwanzakule.

„ˆ… Samahani, iwapo ninawaudhi, ndugu, juu ya jambo hilo.Mimi_mimi^Hilo ni sawa. Mungu anaweza kuifanya damuitoke, divai itoke, ama mafuta yatoke, cho chote anachotaka,bali jambo hilo haliondoi dhambi. La, bwana. La, bwana.La, hasha. “Damu ya Yesu Kristo haitapoteza nguvu Zakekamwe, mpaka Kanisa lote la Mungu lililokombolewalitakapookolewa, lisitende dhambi tena.”

KUELEZEWA KWA UUNGU 35

„ˆ† Nilisema, “Ndugu Jaggers?” Nikamchukua; nikampigiasimu. Nami nilikuwa pamoja na Wafanyi Biashara Wakristo.Nikasema, nikasema, “Ndugu O.L?”

„ˆ‡ Akasema, “Uko wapi basi?” Nilikuwa kwenye hoteli ya beirahisi nje kule. Naye akasema, “Unataka kuniambia waowalikuweka huku nje?”

„ˆˆ Nikasema, “Hivyo ndivyo nilivyotaka. Nilipokuja kwenu,”nikasema, “mlifanya nini? Mliniweka kule kwenye Hoteli yaStartler, nami ilinibidi kusimama pembeni. Wao waliniketishamezani; sikujua nitumie kisu gani, wala cho chote kile. Namisiku-^ Nikashuka nikaenda kule bila koti, nao walitakakunifukuza.” Ndipo nikasema, “Si_sijui jinsi yakujishughulikia.”

Akasema, “Mimi nitakupeleka kule, kama wao ni maskinisana wasiweze kufanya hivyo.”

„ˆ‰ Nikasema, “La, bwana.” Nikasema, “Kile ninachotakakufanya ni kula nyama choma pamoja nawe, kamautaigharimia.”

Akasema, “Sawa.”

„ˆŠ Kwa hiyo tukatoka tukaenda mahali fulani, tukaketi.Ndipo nikasema, “Ndugu Jaggers, bila shaka naheshimu ninihii yako^”

„ˆ‹ Naye ni rafiki msiri wangu, ndugu wa thamani. Namini_nilikuwa na kitini chake kidogo, naye^ambapo alikuwana yule mwanamke ambaye ndiyo kwanza aje huku kutokanchi za ng’ambo, aliyekuwa na damu mikononi mwake, nakadhalika. Kwa hiyo nilikuwa nacho humu ndani. Nilitaka tuyeye akikane mara moja, halafu nilikuwa nimelipata moja kwamoja katika gazeti_katika gazeti lake, mwajua.

„‰‚ Nikasema, “Nimeona mahali unapoelekea moja kwa moja,ukiwa, utakuwa na ufufuo mkuu, ulianza.” Maana, WafanyiBiashara walikuwa wamenipeleka kule, bila shaka.

„‰ƒ Inaonekana kama kwamba watu wangejua. Kama RohoMtakatifu anaweza kufunua jukwaani, hivi hawezi kuniambiayale yanayotendeka mahali mbalimbali, ndugu? [Kusanyikolinasema, “Amina.”_Mh.]

„‰„ Ninaweza kuwaambia neno kwa neno, na kuwathibitishiakwa Ndugu Carlson, na ndugu huyu hapa. Niliketi mkutanoni,jana, na kuwaambia ndugu hawa kile kitakachotukia hapaasubuhi hii. [Ndugu fulani anasema, “Naam, bwana.”_Mh.]Hiyo ni kweli. Kweli kabisa. [“Amina.”] Mnaona? Kwa maana,Roho Mtakatifu aliniamsha, akasema, “Simama karibu nadirisha.” Nikaangalia, dirishani, Naye akanionyesha jambo hilikabisa. Nikasema, “Sasa, ndugu^” [Ndugu fulani anasema,“Hiyo ni kweli.”] Niliwaonyesha jambo hili, kweli kabisa.Pale! Mnaona?

36 LILE NENO LILILONENWA

Mbona, wao wanapaswa kujua jambo hilo.

„‰… Hapa si muda mrefu uliopita, mtu fulani aliinuka, hapaChatauqua, akasema, “Ndugu Branham ni nabii.” Sidai kuwanabii. Mnaona? Bali yeye alisema, “Ndugu Branham ni nabiiwakati yuko chini ya Roho wa upambanuzi, lakini, akasema,“loo, Mafundisho yake ni sumu. Jihadharini nayo.” Nikawazia,hivi mtu mwenye elimu, angesema jambo kama hilo.

„‰† Maana ya nabii ni nini? “Mfasiri wa Kiungu wa Neno.”“Neno la Bwana lilimjia nabii,” mnaona. Lakini, hilo tu, hilo sihoja.

„‰‡ Lakini, hata hivyo, Ndugu Jaggers. Nami nikasema,akasema, loo^nikasema, “Niliona habari za mwanamke yulealiye na damu mikononi mwake.”

„‰ˆ “Loo,” akasema, “Ndugu Branham, hilo ndilo tukio laajabu sana ulilopata kuona!”

„‰‰ Nikasema, “Ndugu Jaggers, nakupenda. Kwanza, natakauuweke mkono wangu juu ya wako. Hebu tuseme sisi ni ndugu.”

Akasema, “Hakika. Kuna nini?”

„‰Š Nikasema, “Wewe ni mmoja wa wahubiri hodari sananijuao. Jinsi_jinsi wewe ulivyo chombo cha Mungu!”

„‰‹ Akasema, “Asante, Ndugu Branham. U mnyenyekevusana.”

„Š‚ Nikasema, “Sisemi jambo hilo kusudi niwe mnyenyekevu.Ninasema jambo hilo kwa sababu ninaamini wewe nimtumishi wa Mungu.” Lakini nikasema, “Ndugu Jaggers,usipokuwa^ Una_Unatoka nje sana; huna ya kupimiamizani yale unayonena. Unaweka msingi^”

„Šƒ Basi hii ndiyo shida ya wengi wenu ninyi Assemblies ofGod, na watu wengine, juu ya hizi ibada za kuponya.Siwalaumu. Kuna nyingi mno zinazoitwa^Naye Tommy,hapa, ni ndugu mzuri, nasi tunajua jinsi anavyosimama imara.Bali kuna mengi sana nchini leo chini ya jina la kuponyaKiungu, si ajabu hamtaki kudhamini mkutano humu jijini.Wao wanakuja na kuwanyonya watu, kisha wanaondoka. Naowanapata nini? Hawawapi watu zaidi kidogo kulikomnavyofanya jukwaani, kwenye mimbara yenu wenyewe.Nanyi mko sahihi, ndugu. Ninawaambia, mko sahihi. Lakini nikama tu^

„Š„ Nilikuwa nikisoma historia ya Martin Luther. Inasemwa,“Siri si ya kwamba Martin Luther aliweza kulipinga kanisaKatoliki na kufaulu.” Mmeisoma hiyo historia yake. “Lakinikwamba Martin Luther angeweza kukiinua kichwa chake juuya ushupavu wote wa dini ulioufuata ufufuo wake, hiyo ndiyoilikuwa siri.”

KUELEZEWA KWA UUNGU 37

„Š… Basi wakati mambo ya ajabu yamekwisha, wasiotahiriwawalifuata, kama tu ilivyokuwa kule Misri. Na daima jambohilo limesababisha shida kutokea nchini. Tunajua jambo hilo,tunapoenda huko. Ambapo, wao walimwinua Kora, hataikambidi Mungu kuliangamiza. Lakini, ndugu, mimisiwalaumu.

„Š† Ndugu Jaggers aliketi pale akajaribu kuniambia yakwamba huyo alikuwa ni Roho Mtakatifu aliyekuwa akifanyahivyo. Kisha kasema^ Nami niliiliona, kwenye gazeti lakemwenyewe^ Nikasema, “Ndugu Jaggers, sasa,” nikasema,“mimi ni mwanafunzi wa darasa la saba. Nawe ni Daktari waKiungu, na umesomea uwakili. Ulikuzwa katika kanisa safi,lenye ustahifu, Assemblies of God. Baba yako alisaidiakuanzisha imani hiyo. Nawe ukajiondoa, hiyo ni juu yako.”Lakini, nikasema, “Hiyo ni juu ya mtu ye yote, anayetakakufanya jambo hilo. Mimi siweki mpaka wo wote hapo. Baliinapofikia mahali ambapo chombo kama wewe, unayewezakuwavuta maelfu ya watu kwa Kristo, ungejenga huduma yakojuu ya mwamsho.” Nikasema, “Ndugu Jaggers, ukijenga mnarakama huo, kama huna timazi, utaanguka baada ya kitambokidogo. Nawe huna budi kuwa na Maandiko kwa ajili yajambo unalonena.”

Akasema, “Kuna Maandiko.”

Nikasema, “Yatoe!”

„Š‡ Akasema, “Vema, Ndugu Branham,” kasema, “Huyoanayefanya jambo hilo ni Roho Mtakatifu.”

„Šˆ Nikasema, “Nionyeshe, Maandiko, ambapo yalisema RohoMtakatifu alifanya damu itoke kutoka kwa mtu fulani, nakadhalika, namna hiyo. Nionyeshe tu; mafuta yakiwatoka.Ulisema, ‘Mafuta hayo yalikuwa kwa ajili ya kuponyaKiungu.’ Kisha ukasema, ‘Damu ya mwanamke huyo ingekuwakwa ajili ya wokovu wa mataifa.’” Nikasema, “Kama hiyo nikweli, basi ilikuwaje kwa Damu ya Yesu Kristo! Hilolinaiondoa. Na cho chote ambacho kinaipinga Hiyo, ni mpinga.Kinaipinga.” Nikasema, “Inakuwa fundisho la mpinga Kristo.”

“Loo,” akasema, “Ndugu Branham, utajua siku moja.”

„Š‰ Nikasema, “Ninatumaini sitajua jinsi hiyo. Sasa, ndugu,”nikasema, “ninakupenda, nawe ni ndugu yangu.” Kishanikasema, “Ndugu Jaggers, utaenda kando, baada ya mudakidogo, ambapo usingeweza kurudi. Rudi kanisani mwako, naurudi na ukadumu na Injili!” Kisha nikasema, “Usijenge juuya miamsho.” Nikasema, “Ile^”

„ŠŠ Sasa yeye, yeye anawabatiza katika Uzima wa Milele,mwajua, “Kila unapobatizwa, unarudi ukawa kijanamwanamke ama mwanamume. Sasa hilo lita-^Hutakufa(kamwe).” Kwa hiyo, jambo hilo, hilo, sasa amefikia mwisho

38 LILE NENO LILILONENWA

wa njia sasa hivi; na hivyo vidonge vya “vitamini kutokaBahari ya Chumvi.” Mnaona? Lakini hivyo ndivyo ilivyo,ndugu, yeye alianza na miamsho hiyo midogo.

„Š‹ Nanyi watu hapa mlio na makanisa haya, mnaachilia kitukama hicho kije mjini, nanyi, mwajua, Ibilisi ni mjanja, nayea_anaruka ndani ya vitu hivyo namna hiyo. Anafanya fujokwake. Anawafanya watu wafikie hatua ya mwisho, nayeanasababisha mchafuko kanisani, na kadhalika. Bali sivyoilivyo.

„‹‚ Naam, hapa. Haidhuru u sahihi jinsi gani, hili hapa jambomoja ambalo tunashidwa na kukosa, ndugu zangu. Sasaninafunga, kwa kusema jambo hili. Haidhuru mimi ni sahihijinsi gani, jinsi nilivyo wa kimaandiko, na jinsi ninavyoijuaBiblia ya Mungu; iwapo sina Roho wa Mungu, wa upendo,moyoni mwangu, kwa ajili ya jamii nzima ya binadamu nakadhalika, basi mimi kwanza nimekosea.

„‹ƒ Naam, Paulo alisema, katika Wakorintho wa Kwanza 13,“Nijapokuwa na maarifa, mnaona, na kufahamu siri zote zaMungu, manaona; chini ya yote, kusimama; wala sina upendo,si kitu mimi. Nijaponena kwa lugha za wanadamu na zamalaika,” hizo ni zile unazozungumza na Mungu, na daima zilezinazoweza kufasiriwa. “Nijaponena kwa lugha, lugha halisiza wanadamu na za malaika, wala sina upendo, upendo,hainifai kitu.” Kwa hiyo kama ninajua siri zote za Mungu, naninaweza kuzifunua na_na kuzifanya zote ziungane pamoja,nami sina upendo, inafaa nini? Na wakati mimi^

„‹„ Yesu alisema, “Kwa jambo hili watu wote watatambua yakwamba ninyi mmekuwa wanafunzi Wangu, mkiwa^”wakati wa Assemblies wanawapenda wa Umoja, na wa Umojawanawapenda wa Assemblies, “mkipendana, ninyi kwa ninyi,”mwe sahihi msiwe sahihi. Na mradi tu nia ni baya, kusudi nibaya, hasa, basi kwanza ninyi mmekosea. Sivyo? [Kusanyikolinasema, “Amina.”_Mh.] Mnaona, “Nijaponeana kwa lughaya wanadamu na ya malaika, wala sina upendo, bado mimi sikitu.” Kwa maana, Mungu ni upendo. Tunajua jambo hilo.

„‹… Nami ninaamini katika kunena kwa lugha. Naam, mtufulani alisema, “Ndugu Branham haamini katika ushuhuda wakwanza.” Ningetaka kulifanya hilo dhahiri kwenu sasa.Mnaona? Ningetaka kuwaambia.

„‹† Ninaamini ya kwamba mtu anapompokea Kristo, anapokeasehemu ya Roho Mtakatifu. Maana, Yesu alisema, katikaMathayo sura ya_ya 12, ya sura ya 5 na aya ya ishirini^ayaya 24, Yeye alisema. La, naamini ni Yohana Mtakatifu 5:24.Alisema, “Yeye ayasikiaye Maneno Yangu, na kumwaminiYeye aliyenipeleka, yuna Uzima wa Milele.” Naam, kuna ainamoja tu ya Uzima wa Milele. “Naye hataingia hukumuni; baliamepita kutoka mautini kuingia Uzimani.”

KUELEZEWA KWA UUNGU 39

„‹‡ Naam, ninaamini ya kwamba hakuna mtu anayewezakujiita mwenyewe; Mungu hana budi kumwita. Na iwapoMungu kweli alimwita^Na kuna watu wengi sana, tunajua,ndugu, ambao wamechochewa na wanafikiri ya kwambaMungu amewaita, bali maisha yao karibuni^yata-,yatakudhihirisha. Bali kama Mungu anakuita, mbona, weweutakuwa pale, nawe utakaa pale, unaona, fahamu. Nakama^ Naam, hilo si fundisho la Kibatisti. Mwajua jambohilo, mnaona.

„‹ˆ Lakini, bila shaka siamini katika kupeana mikono nakuwa na usalama wa Milele, na upuzi huo wote. Si_siaminikatika jambo hilo, hata kidogo. Kama wao wanataka kuaminijambo hilo, vema, hilo ni sawa. Ningali ninasema wao nindugu zangu.

„‹‰ Asubuhi hii, kama ningeomba kipande cha sambusa,(ambapo ni karibu wakati wa chakula cha mchana), huendanikapenda ya tunda jekundu, nawe huenda ukala ya tofaa, balisote tunakula sambusa. Mnaona? Kwa hiyo haileti^yo yote,mradi tu tunakula sambusa.

„‹Š Hivyo ndivyo tunavyoamini. Kama unataka kuwa waUmoja, kuwa wa Umoja; kama unataka kuwa wa Assembly ofGod, kuwa wa Assembly of God. Ukitaka kuwa cho chote kile,Batisti, Presbiteri, kuwa Mkristo humo. Unaona?

„‹‹ Basi_basi jitafutie mwenyewe, bali msizozane mmoja kwamwingine. Kwa sababu, vitu hivi vidogo, vyote vinaambatanapamoja. Hiyo ni kweli. Vyote vinaambatana pamoja na kufikiamahali hapo pamoja.

…‚‚ Na_na haidhuru tufanye nini, ni miujiza mingapitunayoweza kufanya, ni milima mingapi tunayowezakuhamisha, ama cho chote kile; mpaka tutakapofikia mahaliambapo tunapendana, si kujifanya kuamini, bali tunapendanasisi kwa sisi. Wakati tunapompenda kila ndugu, haidhuru yeyeni mshirika wa kanisa lipi, tunampenda; si kujifanya tutunampenda, kwa sababu tunajua ni wazo la kidini, ni,“Tunapaswa kufanya jambo hilo.” Bali, kwa sababu tunafanyajambo hilo, tunapendana; basi, uvumilivu, kuvumiliana sisikwa sisi.

…‚ƒ Nami naamini, katika Wakolosai 3, yapata 9, mahali fulanimle^Huenda mimi, si_si-^Huenda nimekosea katikaMaandiko, bali yalisema haya. Baada ya sisi kuwa Wakristo,hatupaswi kuwa na kijicho. Mnaona? Hatuwezi kuwa na imaniwakati tunapojaribu kupendeleana na kuheshimiana. Mnaona,hatuwezi kufanya hivyo; hatuwezi kuwa na imani. Hatunabudi kumheshimu Mungu, mnaona, kumheshimu Yeye.Kuwaamini ndugu zangu, bila shaka, ni upendo; bali heshimana staha ni za Mungu! Kuhusu nini hii^Lakini muwe naimani na kuaminiana ninyi kwa ninyi. “Wala msiambiane

40 LILE NENO LILILONENWA

uongo ninyi kwa ninyi.” Mnaona? “msiambiane uongo ninyikwa ninyi.” Kama nikikwambia asubuhi ya leo, “Nawapenda,”sina budi kumaanisha jambo hilo. Kama silimaanishi, mimi nimnafiki. Hiyo ni kweli hasa.

…‚„ Naam, ndugu, kwa njia hii^Naam, Ndugu Tommy,natumaini sijawachelewesha sana hapa. Mimi^NduguTommy ana jambo la kusema kwa muda kidogo tu. Lakinihuenda nikasema jambo hili, ninapokuja katikati yenu^

…‚… Ninaamini jambo hili. Ninaamini ya kwamba Mungu Babayetu alimtia uvuli bikira aliyeitwa Mariamu, na kuumba ndaniyake chembechembe ya Damu ambayo ilimzaa Yesu Kristo,ambaye alikuwa Mwana wa Mungu, maskani ambamo Mungualijificha Mwenyewe, katika mwili, akajidhihirisha Mwenyewemiongoni mwetu. “Mungu alikuwa katika Kristo,akiupatanisha ulimwengu kwa nafsi Yake.” Ninaamini yakwamba chembechembe hiyo ya Damu ilivunjwa pale Kalvari,kwa ajili la ondoleo la dhambi zetu. Ndipo Roho akamtokaYeye na kurudi juu ya Kanisa, kwa sababu, yule Kristo, RohoMtakatifu; Kristo, yule Logos, alikuwa ndani yetu sasa, RohoMtakatifu, kwa ubatizo. Akitufanya^ Kristo alijitengaMwenyewe, akitoa Uhai Wake kwa ajili ya kila mmoja wetu,kusudi sisi, kama kundi la watu, tupate kuwa Kanisa laMungu. Na si muda mrefu uliopita^

…‚† Nilizoea kupanda farasi. Mnajua jambo hilo. Baba yangualikuwa mpanda farasi, mwenye shabaha sana. Nilizoeakupanda farasi. Tuliwachunga nini_nini hii^katika Bondela Arapaho, ama namaanisha Mto wa Troublesome, ng’amboya Safu ya Arapahoe. Shirika la Hereford linawalisha kwenyebonde hilo. Na kwenye bonde hilo, hao watu wa ranchi,wana_wana nyasi nyingi sana hata wanazoweza kukuza. Nawakati ranchi moja itatoa kiasi cha tani moja ya majaniyaliyokaushwa, unaweza kumchunga ng’ombe kwenye hayoma_malisho, kule chini ya Estes Park kule, pia unawezakumchunga ng’ombe kwenye hayo ma-^Sehemu yangu nzurisana ya kuwindia kule juu. Nami nimewachunga ng’ombe kulemwaka mmoja. Ningali ninaenda bado, kwenye msimu waKupukutika Majani na Mwishoni mwa Mwaka, ninapokuwalikizoni na nikiwapo na uwezo, nami napanda farasikuwakusanya ng’ombe, ili kwamba tu niwe kule juu, kwamaana ninapenda kupanda farasi. Na kila mahali juu chinikwenye ile ran-^bonde lile, kuna kundi la wanaranchi waliona haki ya mahali hapa, kuwalisha ng’ombe wao. Na kwenyemajira ya Kupukutika Majani, mara nyingi, nimewasaidiakuwakusanya ng’ombe na kuwapeleka kule.

…‚‡ Na kuna ua la kuwazuia, ambapo hawawezi kurudikwenye mali ya mtu, wanaposhuka kwenye ile safu ya milima.Mpaka^Naye msimamizi anasimama pale na kuwahesabuhao ng’ombe anapoingia, wanapoingia. Nami nimeketi, siku

KUELEZEWA KWA UUNGU 41

nyingi, saa baada ya saa; nikiliangalia kundi la Bw. Grimelikiingia, alikuwa na Mkuo wenye alama ya Almasi, wetuwalikuwa na alama ya Bata Mzinga; nao walikuwa na alamaya_ya Kiti chenye miguu mitatu chini yetu; na alama yaJefferies, na kadhalika. Kisha, nilipouweka mguu wangu,kama wengi wenu mjuavyo, kwenye kichwa cha matandiko, nakuketi pale na kumwangalia yule msimamizi alipokuwaamesimama pale, akiwahesabu ng’ombe hawa.

…‚ˆ Niliona jambo moja. Hakuijali sana alama iliyokuwa juuyake. Bali kuna kitu kimoja alichochunguza sana, hichokilikuwa kipande kilichoonyesha ukoo wake. Ilimbidi awe waukoo halisi wa Hereford la sivyo asingeenda nyuma ya ua ule,bali alama yake haikufaa sana.

…‚‰ Nami nafikiri hivyo ndivyo itakavyokuwa kwenye ileHukumu. Yeye hataangalia alama zetu, bali ataangalia kilekipande cha kuonyesha Ukoo.

…‚Š Nimefanya makosa yangu, ndugu, na nimefanya mambomengi sana ambayo ni mabaya. Na kama wakati wo wotenjiani nimeleta, ama mmesikia kitu fulani ambacho huendanimekitaja ama kukisema, ambacho kwa namna fulanikinaudhi, ama kama nilisema jambo fulani asubuhi ya leoambalo liliudhi, ninawaomba, kama ndugu Mkristo ama dada,mnisamehe. Sikusudii kufanya hivyo. Nimewatolea tu yaliyomoyoni mwangu, ili kwamba tupate kujua.

…‚‹ Kama kuna ubatizo wo wote utakaofanywa, ninyi nduguufanyeni, wenyewe, mnaona. Hiyo, mimi_mimi sifanyi jambohilo. Kama ningalifanya hivyo, hivyo ndivyo nitakavyombatiza,wa namna hiyo. Na mmoja wenu anayeweza kuukubali,mnaona. Kwa hiyo, unaweza kumchukua mtu, wanabatizwakatika Jina la Baba, Mwana, na Roho Mtakatifu, nawanabatizwa katika Jina la Bwana Yesu Kristo, pia. Kwa hiyokama nikipata kumbatiza mtu^bali sijafanya hivyo bado.Ninabatiza tu katika kanisa langu mwenyewe, na hiyo ni haowatu tu kule. Na hivyo ndivyo watu kanisani mwanguwanavyobatizwa. Na kama ukiangalia kule nyuma, huo niutaratibu wa kale wa Kimishenari, utaratibu wa kale wa Batistiya Kimishenari. Na sasa iwapo^Hivyo ndivyo ilivyo.

…ƒ‚ Ninaamini katika kuponya Kiungu. Ninaamini katikaUbatizo wa Roho Mtakatifu. Ninaamini katika_katika RohoMtakatifu kunena kwa lugha. Ninaamini katika kila kipawaambacho Mungu alilipa Kanisa Lake. Ninaviunga mkono,asilimia mia moja. Lakini ninaamini^

…ƒƒ Siungi mkono baadhi ya kuponya huku kwa hali ya juusana tuliko nako siku hizi. Ningetaka tu kutoa tamshi hapa.Siku moja kulikuweko na ndugu fulani^wala si Nduguyangu mpendwa Tommy Hicks, ambaye ninamchukua kamamtumishi halisi wa Kristo. Kulikuwa na mtu mwingine katika

42 LILE NENO LILILONENWA

nchi nyingine, na katika nchi hii kulikuwa na^Yeye alikuwatu, kila wakati, “Mponya wa hali ya juu wa Mungu; mponyawa hali ya juu wa Mungu,” mwajua, namna hiyo.

…ƒ„ Nami nikapokea barua baada ya huyo mtu ku-^kutokakanisa la Kiluteri. Na katibu wangu hapa anajua tunayokwenye faili. Nisingelitaja jina la huyo mtu, kwa maana sitabia ya Kikristo. Ingawa, sikubaliani na mawazo ya huyomtu, bali hilo ni sawa kabisa. Ninampenda. Yeye ni nduguyangu.

…ƒ… Lakini imefikia mahali ambapo hawana budi kuwa tu nanamna fulani ya mwamsho, ama kuuchochea, ama kitu fulaniama kingine kama hicho, mnaona. Basi, jambo hilo, jambo hilosi zuri, unaona. Ndugu^“Mazoezi ya mwili yana faidakidogo sana.”

…ƒ† Na kwa hiyo Mluteri huyu akamwandikia mhudumu huyuba_ba_barua. Akasema, “Ninyi wainjilisti wa Kimarekanimnaokuja hapa,” kasema, “pamoja na kuponya kwenu kwahali ya juu sana kwa kila mtu!”

…ƒ‡ Basi sasa hili linasikika kama shada dogo la maua kwaajili yangu, bali Mungu anajua silikusudii hivyo. “Lakini,”akasema, “wakati maskini Deborah Stadsklev alipokufa, yulemtoto mchanga, na mama yule alikuwa amesimama pale sikuile huko India-^California, ambapo yule mtoto mchangaalikuwa amekufa, na akawa baridi. Na kuona^wakamwekamtoto huyo mchanga mikononi mwa Ndugu Branham, hukuamesimama pale na kumwombea. Ndipo huyo mtoto akaanzakulia kwa sauti kuu na kutupatupa miguu; kisha akamrudishakwa yule mama.”

…ƒˆ Yeye pia alijua juu ya kisa kile cha Mexico. Ambacho,tunaweza kuchukua taarifa hii ya Wafanyi Biashara wa InjiliYote. Huna budi kuwa na kitu fulani kilichoandikwa nadaktari. Wakati mtoto yule mchanga wa Kimexico alipokufaile asubuhi, kwenye saa tatu, na hii ilikuwa saa tano usiku.Daktari aliandika taarifa yake. Ndugu Espinoza, ambayewengi wenu enyi ndugu wa Assemblies of God mnamjua,ilikuwa ndiye aliyechukua taarifa hiyo kutoka kwa daktari, yakwamba amekufa.

…ƒ‰ Ndipo niliona ono huko nje juu ya umati wa watu; wakatiWakatoliki elfu ishirini walipomjia Kristo, katika Jiji laMexico. Nikasema, “Usichukue tu hilo. Sijui, mtoto huyomchanga^ Ndiyo kwanza nione ono hapa nje.”

…ƒŠ Naye Billy alikuwa pale, akijaribu, pamoja na mabawabuwengine thelathini ama arobaini, wasingeweza kumzuiamaskini mwanamke yule asiingie kwenye mstari wa maombi,pamoja na mtoto yule mchanga. Angekimbia akapita katikatiya miguu yao, na kadhalika. Kwa hiyo, hatimaye, nikamtumaJack Moore kule. Nikasema, “Nenda, ukamwombee.”

KUELEZEWA KWA UUNGU 43

…ƒ‹ Nikaangalia kule nje, nami nikamwona maskini mtotomchanga wa Kimexico akitabasamu. Nikasema, “Ngojakidogo. Mlete hapa.” Mnaona? Nami nilipouweka mkonowangu kwenye blanketi ile^Mvua ilinyesha, siku nzima. Naowalikuwa wamesimama pale tangu asubuhi ile na mapema, nahii ilikuwa yapata saa tano usiku huo. Basi nikaiweka mikonoyangu juu ya huyo mtoto mchanga. Akaanza kutupatupamiguu na kulia. Nao wakaanza kupiga mayowe.

…„‚ Kwa hiyo, basi wakamchukua wakapate taarifa.Wakaenda kwa yule daktari, naye daktari akasema,“Nilimtangaza huyu mtoto mchanga kwamba amekufa,asubuhi ya leo saa tatu. Alikufa kwa niumonia.” Mnaona? Nakwa hiyo basi mambo hayo ni_ni_ni kweli. Hizo ni taarifa.Hazina budi kuwa ni kweli.

…„ƒ Tunapaswa kuwa waaminifu na wa kweli kuhusu chochote. Usilifanye nini hii yo yote^Acha tu liwe jinsi lilivyo.Hebu^Mungu hahitaji usaidizi wo wote juu ya cho chotekile. Mnaona, Yeye_Yeye_Yeye ni Mungu.

…„„ Kwa hiyo akasema jambo hili sasa, “Lakini wakati mamahuyu alipompigia simu Ndugu Branham kule Marekani,akimlilia kwenye simu, ‘Njoo ukamfufue mtoto wangumchanga!’ Na serikali ya Marekani^”

…„… Mumewe ni kasisi Jeshini. Nanyi nyote mnamjua Julius,wengi wenu wanamjua; aliandika kile kitabu changu, NabiiAizuru Afrika.

…„† Basi maskini mama huyo wa Kinorway, akilia, kwa sautiyake yote, alisema, “Ndugu Branham, nilikuwa nimesimamapale wakati mtoto huyo mchanga alipofufuka!” Kasema,“Tunakuamini wewe kwamba ni mtumishi wa^wa Kristo.”Kasema, “Njoo, ukaweke mikono yako juu ya mtoto wangumchanga, naye ataishi.” Alikuwa amekufa katika dakika mojaama mbili, kwa niumonia; alikuwa mgonjwa kwa yapatamasaa manne, ama matano.

…„‡ Na watu hawa walikuwa wamezunguka pale, wakipigamayowe na kupaza sauti, na kurukaruka, wakisema, “Munguatamfufua! Mungu atamfufua!” Kisha akasema^

…„ˆ Kwa jambo hilo, nini hii ya Marekani^ama, si Shirika laMarekani la Ndege. Jeshi la Marekani lilikuwa linirushe kulekwa ndege, na kunirudisha, katika siku moja. Mnaona?

…„‰ Nami nikasema, “Kabla ya mimi kuja, hebu nitafutemapenzi ya Bwana.” Kwa hiyo nikaomba, siku mbili. Naye yuledaktari alikuwa mwema sana kumwacha yule mtoto alale pale.

…„Š Ndipo, asubuhi moja, niliamka nikaanza kutembea kulejikoni. Nikaangalia; ilikuwa ni Nuru tu, imesimama kule, pale,yapata ukubwa wa ile taa pale, inazungukazunguka, kasema,“Usimguse huyo. Usikemee jambo hilo. Huo ni mkono wa Bwana.”

44 LILE NENO LILILONENWA

„…‹ Nikakimbia nikarudi na kulipigia taifa simu, nikapigasimu nikasema, “Si_siwezi kuja.”

……‚ Basi mhudumu huyu wa Kiluteri akasema, “Kwa ninimsingojee mpaka mpate uamuzi dhahiri kutoka kwa Mungu,kama alivyofanya Ndugu Branham, ndipo mtajuamnalozungumzia!”

……ƒ Naam, hivyo ndivyo ilivyo, ndugu, iwapo hatutaamuamambo haraka; na kungoja, na kupata maamuzi dhahiri, nahalisi kutoka kwa Mungu.

……„ Na vituo hivi vyote hapa, vya kuponya ambavyo havijuikitu juu ya Mungu. Ninaamini ya kwamba kuponya Kiungukumewekwa juu ya kanuni, ya kwamba unapaswa kuja kwaMungu, kwanza, na kumpa Yeye moyo wako, na kusafishamaisha yenu katika Damu ya Yesu Kristo, ndipo Munguatakutendea kazi na kukuponya. Kama tu ndugu huyualivyosema, juu ya maskini yule mwanamke aliyemwombeakule chini, mtakatifu wa Mungu, mnaona.

……… Katika maisha yangu, nilifanya makosa mengi. Nimefanyamambo mengi mabaya. Labda, kama nikiishi mudamrefu zaidi, nitafanya mengi zaidi. Labda mengineyatakuwa vikwazo njiani mwenu. Natumaini ya kwambamtanisamehe.

……† Nilikuwa nikisoma juu ya Ibrahimu, jinsi ambavyovipingamizi alivyokuwa navyo. Jinsi ambavyo yeye, jamani,mambo aliyofanya; alimshuku Mungu; kisha akasema uongojuu ya mkewe; na kila kitu. Bali wakati maelezo yakeya Kiungu yalipoandikwa katika Warumi 4, hayakutajamakosa yake, bali yalisema, “Ibrahimu hakusitasita” katikakutokuamini^katika Mungu, “bali alikuwa mwenye nguvu.”Makosa yake yote yalisahauliwa kabisa, wakati yale maelezoya Kiungu ya maisha yake yalipoandikwa. Vipingamizi vyakehata havikutajwa. Makosa yake hayakutajwa.

……‡ Basi, ndugu, natumaini, ya kwamba wakati maelezo yanguyatakaposomwa kwenye Siku ile, ya kwamba Yeye atayafutiliambali yangu, pia, wala hatayawazia. Natumaini mtafanyahivyo, pia. Mungu awabariki.

……ˆ [Ndugu Tommy Hicks anatoa maelezo, kisha anaomba.Kusanyiko linamsifu Mungu, kisha linaimba Nampenda.Ndugu wanakumbatiana mmoja kwa mwingine, nao dadawanakumbatiana mmoja kwa mwingine. Baada ya dakikanane, Ndugu Branham anarudi kwenye maikrofoni_Mh.]

……‰ Kama ningeweza kuona jambo hili likitendeka kila mahaliulimwenguni mwote, ningesema, “Bwana, mruhusu mtumishiWako aondoke kwa amani!” `

KUELEZEWA KWA UUNGU 45

KUELEZEWA KWA UUNGU SWA61-0425B

(The Godhead Explained)

Ujumbe huu wa Ndugu William Marrion Branham, uliohubiriwa hapo awali katikaKiingereza mnamo Jumanne kifunguakinywa, Aprili 25, 1961, katika Holiday Innkule Chicago, Illinois, Marekani, hapo awali ulitolewa kwenye kanda za sumaku nakupigwa chapa bila kufupishwa katika Kiingereza. Hii tafsiri ya Kiswahiliilichapishwa mwaka wa 2004 na Voice Of God Recordings.

C1994 VGR, ALL RIGHTS RESERVED

VOICE OF GOD RECORDINGS

P.O. BOX 950, JEFFERSONVILLE, INDIANA 47131 U.S.A.

Just One MOre tiMe, LOrd 1

Copyright notice

All rights reserved. This book may be printed on a home printer for personal use or to be given out, free of charge, as a tool to spread the Gospel of Jesus Christ. This book cannot be sold, reproduced on a large scale, posted on any website other than www.branham.org, stored in a retrieval system, translated into other languages, or used for soliciting funds without the express written permission of Voice Of God Recordings®.

For more information or for other available material, please contact:

Voice of God RecoRdinGsP.o. Box 950, JeffeRsonVille, indiana 47131 U.s.a.

www.branham.org