112
ELIMU ELIMU Y Y A A GHAIBU GHAIBU Y Y A A MAIMAMU MAIMAMU Kimeandikwa na: Sayyid Abdul Rahim al-Musawi Kimetarjumiwa na: Shaikh Haroon Pingili Elimu ya Ghaibu.qxd 7/1/2011 12:35 PM Page A

Elimu ya Ghaibu ya Maimamu

Embed Size (px)

DESCRIPTION

Ghaibu (ghayb) maana yake - yasioonekana. Sharti moja la imani katika Uislamu ni kuamini yasiyoonekana ambayo kwa kweli ni mengi sana, lakini kwa kutaja machache ni kama vile, malaika, majini, Pepo, moto wa Jahannam, roho, n.k. Hivi vyote havionekani katika macho yetu lakini vipo na lazima tuamini hivyo. Qur’ani Tukufu inasema: “Hicho ni Kitabu kisicho na shaka ndani yake, ni mwongozo kwa wamchao (Mungu), ambao huyaamini yasiyoonekana...” (2: 2-3). Mwandishi wa kitabu hiki ameelezea kwa kina maana halisi ya ghaibu kwa kutumia vyanzo vitukufu - Qur’ani Tukufu, Sunna na hoja za kielimu.

Citation preview

Page 1: Elimu ya Ghaibu ya Maimamu

ELIMU ELIMU YYAA

GHAIBU GHAIBU YYAA

MAIMAMUMAIMAMU

Kimeandikwa na:Sayyid Abdul Rahim al-Musawi

Kimetarjumiwa na:Shaikh Haroon Pingili

Elimu ya Ghaibu.qxd 7/1/2011 12:35 PM Page A

Page 2: Elimu ya Ghaibu ya Maimamu

B

Elimu ya Ghaibu.qxd 7/1/2011 12:35 PM Page B

Page 3: Elimu ya Ghaibu ya Maimamu

|©Haki ya kunakili imehifadhiwa na:

AL-ITRAH FOUNDATION

ISBN: 978 - 9987 - 512 - 96 - 6

Kimeandikwa na:Sayyid Abdul Rahim al-Musawi

Kimetarjumiwa na:Shaikh Haroon Pingili

Kimehaririwa na:Hemedi Lubumba Seleman

Kimepangwa katika Kompyuta na:Hajat Pili Rajab

Toleo la kwanza: Januari, 2010Nakala: 1000

Kimetolewa na kuchapishwa na:Alitrah Foundation

S.L.P. 19701 Dar es Salaam, TanzaniaSimu: +255 22 2110640

Simu/Nukushi: +255 22 2127555Barua Pepe: [email protected]

Tovuti: www.alitrah.orgKatika mtandao: www.alitrah.info

Elimu ya Ghaibu.qxd 7/1/2011 12:35 PM Page C

Page 4: Elimu ya Ghaibu ya Maimamu

YALIYOMOUtangulizi..........................................................................................2

MLANGO WA KWANZA:

Mwanadamu na haja yake ya kujiambatanisha na ghaibu............8

MLANGO WA PILI:

Uhusiano wa Umaasumu na elimu ya ghaibu.............................16

MLANGO WA TATU:

Msimamo wa Qur’ani na Sunna kuhusu elimu ya ghaibu.........25

MLANGO WA NNE:Elimu ya ghaibu na Elimu ya falsafa ya Saikolojia (PhisycologicalPhilosophy).................................................................................51

MLANGO WA TANO:

Elimu ya ghaibu kwa wengine ambao sio Imamiya...................59

MLANGO WA SITA:Historia ya Mas’ala hii na mwelekeo wake kitafsiri katika maoniya imamiyya................................................................................65

Daraja la Kwanza:Zama za Maimam........................................................................68

Daraja la Pili:Baada a kughibu kwa Maasumu (a.s)..........................................73

Daraja la Tatu:Kwa wanachuoni wa mwishoni....................................................78

Natija ya Utafiti...............................................................................93

Elimu ya Ghaibu.qxd 7/1/2011 12:35 PM Page D

Page 5: Elimu ya Ghaibu ya Maimamu

E

Elimu ya Ghaibu ya Maimamu

NENO LA MCHAPISHAJIKitabu kilichoko mikononi mwako ni tarjuma ya kitabu cha Kiarabukiitwacho, ‘Ilmu Aimmah Bi ‘l-Ghayb, kilichoandikwa na Sayyid AbdulRahim al-Musawi. Sisi tumekiita, Elimu ya Ghaibu ya Maimamu.

Ghaibu (ghayb) maana yake - yasioonekana. Sharti moja la imani katikaUislamu ni kuamini yasiyoonekana ambayo kwa kweli ni mengi sana, laki-ni kwa kutaja machache ni kama vile, malaika, majini, Pepo, moto waJahannam, roho, n.k. Hivi vyote havionekani katika macho yetu lakinivipo na lazima tuamini hivyo. Qur’ani Tukufu inasema: “Hicho ni Kitabukisicho na shaka ndani yake, ni mwongozo kwa wamchao (Mungu), ambaohuyaamini yasiyoonekana...” (2: 2-3).

Mwandishi wa kitabu hiki ameelezea kwa kina maana halisi ya ghaibu kwakutumia vyanzo vitukufu - Qur’ani Tukufu, Sunna na hoja za kielimu.

Tumekiona kitabu hiki ni chenye manufaa sana, hususan wakati huu wamaendeleo makubwa ya elimu katika nyanja zote, ambapo uwongo, nganoza kale na upotoshaji wa historia ni mambo ambayo hayana nafasi tenakatika akili za watu.

Kutokana na ukweli huo, taasisi yetu ya Al-Itrah Foundation imeamuakukichapisha kitabu hiki kwa lugha ya Kiswahili kwa madhumuni yakeyaleyale ya kuwahudumia Waislamu, hususan wazungumzaji waKiswahili.

Elimu ya Ghaibu.qxd 7/1/2011 12:35 PM Page E

Page 6: Elimu ya Ghaibu ya Maimamu

F

Elimu ya Ghaibu ya Maimamu

Tunamshukuru ndugu yetu, Sheikh Harun Pingili kwa kukubali jukumuhili la kukitarjumi kitabu hiki. Vilevile tunawashukuru wale wotewalioshiriki kwa njia moja au nyingine hadi kufanikisha kuchapishwakwake.

Ni matumaini yetu kwamba kitabu hiki kitakuwa ni chenye manufaa sanakwa wasomaji wetu na Waislamu wote kwa ujumla.

Mchapishaji:Al-Itrah FoundationS. L. P. 19701, Dar-es-Salaam.

Elimu ya Ghaibu.qxd 7/1/2011 12:35 PM Page F

Page 7: Elimu ya Ghaibu ya Maimamu

NENO LA JUMUIYA

Hakika mirathi ya Ahlul-Bait ambayo imehifadhiwa na kambi yao nawafuasi wao dhidi ya upotovu inaonyesha kambi iliyokusanya aina mbal-imbali za taaluma za kiislamu.

Kambi hii imeweza kulea nafsi mbalimbali zilizo tayari kunywa kutokakwenye chemchemu hiyo, na kuupa umma wa kiislamu wanavyuoniwakubwa wenye kufuata nyayo za ujumbe wa Ahlul-Bait.

Wanavyuoni waliokusanya vidodosa na maswali mbalimbali ya madhehe-bu na mitazamo tofauti ya kifikira kuanzia ndani ya desturi ya kiislamuhadi nje ya desturi hiyo, huku wao wakitoa majibu na utatuzi makini juuya maswali hayo ndani ya karne zote.

Jumuiya ya kimataifa ya Ahlul-Bait imefanya hima kutetea tukufu zaujumbe wa Uislamu na ukweli wake ambao umechafuliwa na makundi,madhehebu na wanaharakati mbalimbali wenye chuki na Uislamu.

Jumuiya imefuata nyayo za Ahlul-Bait na za wafuasi wa kambi yao njemaambayo imefanya hima kujibu madai yenye kuendelea na daima ikajaribukubaki ndani ya msitari wa mapambano kwa kiwango kinachohitajikandani ya kila zama.

Hakika uzoefu ambao umehifadhiwa ndani ya vitabu vya wanavyuoni wakambi ya Ahlul-Bait katika dhamira hii ni wa aina ya pekee, kwa sababuuna akiba ya kielimu inayotegemea akili na hoja, huku ukijiepusha namatamanio na upendeleo uliokatazwa.

G

Elimu ya Ghaibu.qxd 7/1/2011 12:35 PM Page G

Page 8: Elimu ya Ghaibu ya Maimamu

Unazungumza na wasomi na wanafikra wenye fani maalumu, mazungum-zo ambayo yanakubalika kiakili na yanapokewa na maumbile yaliyo sala-ma.Jaribio hili la Jumuiya ya kimataifa ya Ahlul-Bait limekuja kuwapa watafu-ta ukweli hatua mpya ya uzoefu wa thamani katika ulingo wa mazungum-zo na maswali na kujibu hoja za utata zilizotolewa zama zilizopita au zina-zotolewa leo kwa njia ya Tovuti, na hasa kwa kupewa nguvu na baadhi yaduru zenye chuki dhidi ya Uislamu na Waislamu.

Ikijiepusha na uchochezi uliokatazwa, na ni yenye kuhangaikia kuzishauriakili zenye kufikiria na nafsi zenye kutafuta haki, ili ziweze kufikiakwenye haki ambayo inatolewa na Kambi ya Ahlul-Bayt ulimwengumzima, ndani ya zama ambazo akili inaerevuka na nafsi na roho zinabore-ka kwa kasi ya pekee.

Ni lazima tugusie kuwa mfululizo huu wa tafiti hizi umeandaliwa naKamati maalumu toka jopo la wanavyuoni watukufu, hivyo tunatoa shuku-rani njema kwa hawa wote na kwa wasomi na wahakiki kwa kila mmojamiongoni mwao kupitia sehemu ya tafiti hizi na kutoa mchango wao wathamani kuhusu tafiti hizi.

Na sote tunategemea na kutaraji kuwa tutakuwa tumetoa kile tulichoki-weza katika juhudi za kutekeleza baadhi ya wajibu tulionao mbele yaujumbe wa Mtukufu Mola wetu Mlezi ambaye alimtuma Mtume Wake nauongofu na dini ya haki ili aipe ushindi dhidi ya dini zote. Na MwenyeziMungu anatosha kuwa shahidi.

Jumuiya ya kimataifa ya Ahlu-BaitKitengo cha utamaduni

H

Elimu ya Ghaibu.qxd 7/1/2011 12:35 PM Page H

Page 9: Elimu ya Ghaibu ya Maimamu

I

Elimu ya Ghaibu.qxd 7/1/2011 12:35 PM Page I

Page 10: Elimu ya Ghaibu ya Maimamu

Elimu ya Ghaibu.qxd 7/1/2011 12:35 PM Page 1

Page 11: Elimu ya Ghaibu ya Maimamu

2

Elimu ya Ghaibu ya Maimamu

UTANGULIZIAmeumbwa mwanadamu na vitu viwili: Mada na Roho na kila kimoja kinataathira kwa mwenzake, tafiti katika elimu ya tiba imethibitisha kuwamaradhi mengi na hasa kidonda na Sukari na ambayo yajulikana kuwa nimaradhi ya al’juhdu yanarejea kwenye vyanzo vya kisaikolojia; kwa hiyomaradhi kama haya hayatibiki kwa tembe na mtu kuchanguka kwa kutu-mia vidonge au aina nyingine ya dawa, bali mara nyingi hutibiwa kwa njiaza tiba za kisaikolojia.

Na matokeo ya kuendelea kwa utafiti wa kielimu katika uwanja huu namajaribio ya kugundua kiwango cha taathira ya kila upande na yauingilianaji kati ya limwengu mbili za mwanadamu, wa maada na wa kiro-ho wameasisi elimu kwa ajili ya uwanja huu kwa jina la (Caracterolohgie),elimu ya tabia. Na lengo lilikuwa kuielekeza nguvu ya mtu na ya jamiikwenye lengo la urekibishaji na kuadabisha mahusiano yake na wengine nayake binafsi, baada ya kumaliza kuutambua uwezo alionao na nguvu zakekiroho, ili asijibebeshe asiloliweza, na likamilike adabisho la huo uwezo nakabilia kwa njia ya yeye mwenyewe, ili baada ya hapo iwezekanekumwelekeza mtu na kumlea mpaka kwenye yanayomrekibisha, nakumhadharisha asifanye yasiyo mema kwake, haya ni kwa upande mmoja.

Ama kwa upande mwingine tunaona kuwa mwanadamu anahusika nakuathirika na kuathiri kwa ghaibu ijayo, nasema hata kwa kufichua undanizaidi wa yaliyopita kama ule ambao Qur’ani tukufu imemhadithia Rasuli,ikiwa ni kama nyongeza inayompa nguvu katika tendo la urekibishaji.Mfano wa visa vya Bani Israeli na Musa (a.s.) na njama za mayahudi namisimamo yao kuwaelekea manabii (a.s.), na yaliyomkumba Nabii Isa(a.s.). Kisha aliyopambana nayo Nabii Yusufu (a.s.), kiasi kwamba visavya Qur’ani vinatofautiana katika kufichua yaliyopita mbali na vinginemiongoni mwa riwaya zinazonakiliwa na mayahudi na zile ambazo zipokatika vitabu vya mbinguni vilivyopotoshwa.

Elimu ya Ghaibu.qxd 7/1/2011 12:36 PM Page 2

Page 12: Elimu ya Ghaibu ya Maimamu

3

Elimu ya Ghaibu ya Maimamu

Amesema (s.w.t.):

“Hizo ni katika habari za ghaibu tunazokufunulia. Hukuwa ukizijua,wewe wala watu wako kabla ya hii. Basi vuta subira, hakika mwishomwema ni kwa wamchao Mungu.” (Sura Hudi:49)

Mtu hufanya juhudi kuijenga jamii ya kitawhidi hujikuta binafsi ahitajikuwa na utambuzi wa kitakachokuwa mfano wa sura ya mwisho yaulimwengu, akitaka harakati zake zilizopo ziwe zinalenga na kutiririkasawa na alikusudialo. Na anapoanza anakuwa amejiegama kwenye misin-gi madhubuti na utangulizi sahihi, si kwenye msingi wa dhana na mawazoau uwongo na upotoshaji.

Na kwa upande mwingine: Kwa kweli maongezi kuhusu ghaibu aulililokuwa na litakalokuwa sio maongezi ya anasa yasiyoambatana naukweli, bali tunayakuta yameingia kwenye kina cha historia, namwanadamu amekuwa nayo kwa sura tofauti. Bali ni kusudio la ushirikala mtu, hakuna taifa la kidini au lingine ila litachukua kwa njia yake mah-susi wala halikatai kamwe, ila mwenye tabia ya pekee au mwenye lengo lakisiasa lisilo wazi.

Na utaratibu huu umekubaliwa na risala ya kiislamu, huku kukiwa natofauti katika kuanzia na lengo. Mtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.)alikuwa anapoelekea kwa ajili ya vita vyake kwa washirikina huwaahidiwaislamu nusra ya kiungu. Ni jambo ambalo mpiganaji wa kiislamualikuwa analitendea kazi kwa uaminifu wa moja kwa moja. Na hiloQur’ani tukufu imeliunga nguvu pindi ilipoahidi kuwa nusra haina budikatika baadhi ya matukio.

Elimu ya Ghaibu.qxd 7/1/2011 12:36 PM Page 3

Page 13: Elimu ya Ghaibu ya Maimamu

4

Elimu ya Ghaibu ya Maimamu

Amesema (s.w.t.):

“Kwa hakika Mwenyezi Mungu amemhakikishia Mtume Wake ndotoyake ya haki. Lazima nyinyi mtaingia katika Msikiti Mtukufu” (SuraFat’hu:27)

Na urithi wa kiislamu umekuja na milango yake ya ghaibu na maelezokuhusu habari za mwisho wa zama na dola ya Imam Mahdi ili uelekeemwelekeo ule ule.

Na katika urithi wetu wa kiislamu kuna habari zinazohusu matukio yaghaibu ya aina hii yenye dalili za kihistoria na za kiitikadi. Nabii (s.a.w.w.)amesema akimwambia Ammar: “Ewe Ammar kitakuuwa kikundi kiovu.”1

Na ambalo humshangaza msomaji miongoni mwa upashwaji habari nayanayovuka mipaka, yale ya ghaibu ambayo yanahadithiwa na vitabu vyaurithi wetu wa kiislam usio wa Kiimamiya, ni kuwa imekuja ndani yakitabu Karamatul-Awliyai kwamba Abaa Madyan alikuwa limjiapo wazobasi hulikuta limeonesha alama kwenye upande wa nguo yake, ikiwa nikuamrishwa au kukatazwa.2

Na pia imekuja habari katika kitabu kilichotajwa: Kuwa miongoni mwaokuna wanaofichua kutoka ulimwengu huu wa hisi ulimwengu wa ghaibu,hivyo hazuiliwi na kuta wala na giza mbali na wayatendayo viumbe ndaniya nyumba zao.3Na miongoni mwao kuna ambaye mtu akiingia kwake ikiwa ametokakufanya zinaa, kulewa au kuiba au kutukana au alitembea kwenda kwenye1 Kanzul-Ummal cha al-Mutaqi Al-Hindiy Juz. 11, Uk. 727. Hadithi ya 33561.Ibnu Asakir ameitaja katika Tarikh yake Juz. 6, Uk. 203. Na ad-Durul-Manthurcha Suyutiy Juz. 4, Uk. 371.2 Karamatul-Awliyai cha an-Nabhaniy Juz.1, Uk. 53.3 Karamatul-Awliyai cha an-Nabhaniy Juz.1, Uk. 53.

Elimu ya Ghaibu.qxd 7/1/2011 12:36 PM Page 4

Page 14: Elimu ya Ghaibu ya Maimamu

5

Elimu ya Ghaibu ya Maimamu

maasi au dhulma kwa mfano, huonekana kwenye kiungo cha mwili amba-cho kilitenda tendo, mchoro mweusi.4

Naam, yote hayo yanawezekana na yametokea yanayoafikiana nayo nje,yaani kimatendo. Lakini endapo itokee wafuasi wa madrasa ya Ahlul-Baytwanakili habari kutoka kwa Imam Ali bin Abu Talib na wanawe waliomaasumu (a.s.) zinazoelezea kupatikana kwa habari ya ghaibu, walioipatakutoka kwa Nabii (s.a.w.w.) kutoka kwa Allah (s.w.t.) au kwa Il’hamkutokana naye (s.w.t.), wafuasi hawa hupewa sifa ya Ghulatu.

Yapendeza kutaja kuwa thamani ya mustakabali wa kidini unathibiti kwautangulizi mfupi ambao wategemea kuambatana na ghaibu ya moja kwamoja ya Mwenyezi Mungu (s.w.t.). Imekuja katika Al-Mazamiir:“Uvukapo maji basi mimi ni pamoja nawe katika mito wala hayakuza-mishi, na endapo utatembea katika moto hautokuunguza.”5

Na wamesema: Kumtumainia Mwenyezi Mungu ndiko ambako yambidiakudhihirishe daima kuwa mtu mchamungu. Yaweza ikaelezwa hiyo kuwahata kwenye dhoruba kali hatoishakia kudra ya Allah na kuwa atamuokoabila shaka.6

Na kwa mwelekeo uleule mwandishi wa kitabu Karamatul-Awliyai ametil-ia mkazo, aliposema: “Na miongoni mwao – katika mawalii – kunaanayetunukiwa nafasi ya kufahamu kutoka kwa Mwenyezi Mungu (s.w.t.),na usahihi wa kusikia ishara zake (s.w.t.), hivyo huwa asikia tamko lavisivyokuwa na uhai kwenye utaratibu wa utamkaji wao katika mema namabaya.”7

4 Karamatul-Awliyai cha an-Nabhaniy Juz.1, Uk. 53.5 Al-Masihi Fii Maswadiril-Aqaidil-Masihiya cha Ahmad bin Abdul’Wahhabi Uk.213.6 Al-Masihi Fii Maswadiril-Aqaidil-Masihiya cha Ahmad bin Abdul’Wahhabi Uk.213.7 Karamatul-Awliyai cha an-Nabhaniy Juz. 1, Uk. 53.

Elimu ya Ghaibu.qxd 7/1/2011 12:36 PM Page 5

Page 15: Elimu ya Ghaibu ya Maimamu

6

Elimu ya Ghaibu ya Maimamu

Na miongoni mwao kuna anayefichuliwa mwendo wa ulimwengu wa uhaikatika viumbe hai, na miongoni mwa siri apewazo katika kila dhati kulin-gana na utayarifu wa dhati, na jinsi ibada zinavyokuwa kwa daraja katikahuu mwendo.

Na miongoni mwao kuna anayefichuliwa ratiba ya elimu ya nadharia nafikra zilizo salama na kuyafahamu makosa yanayoingia kwenye fahamu.8

Na safu ya Ahlul-Bayt (a.s.) imejibidisha kutendea kazi uwelewa wa elimuya ghaib kwa Imam kulingana na taswira ya Qur’ani na lile ambalo Nabii(s.a.w.w.) amelitilia mkazo.

Lakini sisi hatujui hoja ya wakanushao elimu ya ghaibu kwa Maimam(a.s.), na kuwatuhumu wafuasi wa madrasa yao kuwa ni Ghulatu japokuwamadrasa hiyo inashikilia na kujibidisha kwao na safu ya Rasuli (s.a.w.w.).Na kuwa Maimamu wao wanajua kama ajuavyo Rasuli sio ila ni elimu yakutunukiwa kutoka kwake Aliyetukuka.

Yapatikana kutokana na utangulizi huu mambo kadhaa: Kwa kweli upasha-ji habari wa ghaibu ni eneo ambalo ubinadamu umejipa muda wote wazama, na kwa sura tofauti. Na jambo lingine ni kuwa wenyewe ni mahaliambapo pamefaidika na uthamani wa kimatendo na malezi. Na tatu nikuwa suala la upashaji habari wa mambo ya ghaibu hauachani na kitendocha kuwa na mwambatano wa kiroho na Mwenyezi Mungu, kwa ajili hiyotunawakuta wasimulizi wakubwa katika mlango huu, wametoa sharti lauchamungu na usafi wa moyo na kujikurubisha kwa Mwenyezi Mungu,japokuwa kuna tofauti kuhusu njia za kujiambatanisha.

Na ili tuwe mbali na kuzama ndani zaidi na ili tukidhi utashi wa muhtasari,tunasema: Haiwezekani kuingia katika ufafanuzi wa maudhui hii na upeowa mpaka wake, faida yake, na kadiri ambayo fikra ya kiislamu inavy-ochukua katika medani hii, ila baada ya kumaliza itikadi ya umaasumu

8Karamatul-Awliyai cha an-Nabhaniy Juz. 1, Uk. 53.

Elimu ya Ghaibu.qxd 7/1/2011 12:36 PM Page 6

Page 16: Elimu ya Ghaibu ya Maimamu

7

Elimu ya Ghaibu ya Maimamu

kulingana na mtazamo wa Shi’ah, ambao ndani yake mna elimu yakutunukiwa. Kadhalika haiwezekani kupanda katika utafiti huu kabla yakusalimu amri kuwa Khalifa wa Rasuli hapana budi awe afaidika na sifazilezile za Rasuli (s.a.w.w.) ila bila ya kupata wahyi.

Hivyo basi unakuja utafiti wa maudhui ya elimu ya ghaibu ya Maimamkatika ngazi ya mwisho ya utafiti wa uimam na utafiti wa umasumu. Hivyokutokea katika msingi huu, na mbali na mgubiko uliogubikwa kwenyemaudhui hii na ghasia ya kelele za majahili na wenye malengo, na utafitiwa maudhui hii kwa njia ya mada iliyo mbali na uislam, na kutotambua tijakubwa za kielimu zilizodhibitiwa na wanazuoni wa madrasa ya Ahlul-Bayt(a.s.) katika uwanja huu, ambao semi zinashindwa kutambua falsafa yakekikamilifu, ndio maana kwa juhudi tumejaribu kuzileta karibu ncha zakena kuifanyia muhtasari baadhi misamiati yake. Kwa hiyo njia yetu ya utafi-ti ndani ya milango ni uliyopita unauandalia unaofuata.

Mzunguko wa maneno katika mlango wa kwanza utahusu haja yamwanadamu kuwa na mawasiliano na ghaibu pamoja na dharura yakuizunguka elimu ya ghaibu ya kutunukiwa kutoka kwake Yeye (s.w.t.), iliufahamike mchango wa kiungu ulio kamili kuizunguka elimu hii.

Ama katika mlango wa pili tumetupia mwanga kwenye uhusiano kati yaumaasumu na elimu ya kutunukiwa, ambayo kwa njia yake maasumu hufa-hamu kanuni za maisha na sababu zake katika ulimwengu wa ghaibu na wahadhiri katika hali iliyo sawa.

Ama katika mlango wa tatu: Maneno yamejiri kuhusu Aya ambazo zimeta-ja elimu ya ghaibu katika maisha ya manabii na watu wema. Na baada yaketumeziendea Aya ambazo zinathibitisha uwezekano wa elimu ya ghaibukwa asiyekuwa Mwenyezi Mungu (s.w.t.). Kisha zimetajwa Aya ambazozimethibitisha kumpa elimu ya ghaibu Hitimisho la Manabii (s.a.w.w.).

Na katika mlango wa nne: Tumejishughulisha na kuonesha dalili za elimuya ghaibu kwa njia ya elimu ya saikolojia ya kifalsafa.

Elimu ya Ghaibu.qxd 7/1/2011 12:36 PM Page 7

Page 17: Elimu ya Ghaibu ya Maimamu

8

Elimu ya Ghaibu ya Maimamu

Na katika mlango wa tano: Tumehoji ndoto ya elimu ya ghaibu katika nad-haria isiyo ya Imamiya.

Na mwishowe mlango wa sita: Ambao unadhamini kuiweka wazi historiaya suala hili na mielekeo ya kitafsiri katika mtazamo wa Kiimamiya, nakwayo lapatikana hitimisho la muhtasari wa uwelewa sahihi.

MLANGO WA KWANZAMWANADAMU NA HAJA YAKE YA

KUJIAMBATANISHA NA GHAIB

Qur’ani tukufu inaitia watu kwenye utafutaji wa elimu, kwa kuwaumerudiwa rudiwa utajo wa neno lake katika Aya mia saba.9

Wala haukuwa wito wa Qur’ani wa kujielimisha na umuhimu wake nisemesho mahsusi lenye kuengua aina maalumu ya watu, bali wito wakuitafuta: “Je, wanaweza kuwa sawa wale wanaojua na wale wasio-jua?” (Sura Zummar: 9), ni wa watu wote, ukiongeza kuwepo kwa wingiwa zana za kujielimishia na zilizo rahisi kwa wote. Lakini je ni elimu ganihii ambayo Qur’ani inaitia? Bila shaka ni elimu ambayo ina maslahi kwamwanadamu na kwayo unathibiti ujenzi na ukazi. Lakini hilo lapatikanakwa kuchuma na juhudi, kwa minajili hiyo imesifika kwa kadiri ya kiwan-go: ‘’Mwenyezi Mungu atawainua wale walioamini miongoni mwenuna waliopewa elimu daraja za juu.” (Sura al-Mujadila:11.) tofauti naelimu ya kutunukiwa ambayo hatunukiwi yeyote kutoka kwa YeyeSub’hanahu ila aliyemridhia miongoni mwa waja wake.

9 Al-Muujamu Al-Mufahris Lil-Qur’ani Al-Kariim cha Muhammad Fuadi Abdul-Baaqiy Uk. 469 -481. Msamiati Ilmu.

Elimu ya Ghaibu.qxd 7/1/2011 12:36 PM Page 8

Page 18: Elimu ya Ghaibu ya Maimamu

9

Elimu ya Ghaibu ya Maimamu

Kama ambavyo elimu iliyokusudiwa mtu ajielimishe haibanwi na masafaya ulimwengu unaoshuhudiwa, kadhalika haiishii kwenye elimu ile inay-ochumwa kupitia vyombo vinavyohisiwa, bali duru yake inapanuka iliienee ulimwengu mwingine, huo ni ulimwengu wa ghaibu.

Qur’ani haikutenganisha kati ya dunia hizi mbili ya ghaibu na ya hadhiri,hivyo imehesabu elimu ya ghaibu na ile ya yaliyomo nyuma ya yanay-ohisiwa kuwa ni elimu, kama ilivyomuita mtu ambaye anayemiliki sehemufulani ya elimu ya ulimwengu mmoja wapo au ya dunia mbili hizo zotembili kuwa ni alimu. Na kwa ibara nyingine ni kuwa: Elimu ya ghaibu nijina la elimu ya kukijua kilicho ghaibu mbali na hisi tano, kwa njia yeyoteipatikanayo.

Kwa hiyo huenda ikapatikana elimu ya ghaibu kwa njia ya thibitisho yakiakili au kwa dalili ya nukuu. Mfano wake elimu ya kumjua Muumba nakuwa ni Mmoja (s.w.t). Kama ambavyo hujulikana kuwa ni elimu yaghaibu ile iliyo ghaibu mbali na hisi na akili. Mfano wake hali za Barzakhna siku ya Kiyama na yatakayojiri ndani ya siku hiyo.

Na mwishowe: Na huitwa kuwa ni ya ghaibu ile elimu ya Istiqlal yaanielimu iliyo ghaibu mbali na hisia za watu wote.

Na ni wazi kuwa elimu ya ghaibu ile ya aina ya kwanza na ya pili mtuanaweza kuipata, ama elimu ya aina ya tatu haiwezi kupatikana.

Ukweli wathibitisha kupatikana elimu za aina mbili za mwanzo kwa wau-mini wote, bali hata kwa wasiokuwa wao, na kupatikana kwake kwatimiakwa njia ya dalili za kiakili za hisi, kama ambavyo imani ya ghaibu inalaz-imu kuijua hiyo ghaibu. Hivyo basi wachamungu wanaoamini ghaibuwanaijua, kama ambavyo wao wanajua baadhi ya ghaibu kwa njia yaupashaji habari wa Mwenyezi Mungu (s.w.t.) katika kitabu chake. Mfanowa ushindi wa warumi kabla ya wakati wake, na kama vile elimu yao yamatukio yaliyopita, ambayo hisi zao haziwezi kuyapata, ambayo Qur’ani

Elimu ya Ghaibu.qxd 7/1/2011 12:36 PM Page 9

Page 19: Elimu ya Ghaibu ya Maimamu

10

Elimu ya Ghaibu ya Maimamu

tukufu imeyafichua. Na kwa kweli amesema swt:

“Hizo ni katika habari za ghaibu tunazokufunulia. Hukuwa ukizijua,wewe wala watu wako kabla ya hii.” (Sura Hudi:49)

Kisha Qur’ani haikuitaka miongoni mwa elimu ila elimu inayoongozakwenye maslahi na kupitia hiyo yakini hupatikana:

“Kwa hakika wanaomwogopa Mwenyezi Mungu miongoni mwa wajawake ni wale tu wenye elimu.’’ (Sura Faatir: 28)

Na inachombeza kufanya kazi na kuwa na mwenendo mwema:

“Ni kosa kubwa mbele ya Mwenyezi Mungu kusema msiyoyatenda.”(Sura Swaf: 3).

Lakini je! Ni katika uwezo wa mwanadamu kuzijua siri kwa ukamilifu nayaliyofichikana ya ulimwengu wote, na yaliyoazimiwa kwa kanuni inay-oingiliana yenye kuathirika na kuathiri kati yao katika kuchukua umbo ladhahiri. Anabaki mwanadamu – kundi au mmoja – ndani ya mipaka hawina uwezo wa kuyazunguka yaliyomzunguka, yaliyompita na ya mustaka-bali wake, wala uzoefu haumsaidii wala tafiti kuweza kumfikisha kwenyeila kamili na sababu ambazo zinahukumu majaliwa ya dunia mbili zenyemaingiliano na maisha ya wanadamu wote, japokuwa hilo linaingia chiniya duru ya uwezekano wa kiakili kama tulivyokwishasema.

Elimu ya Ghaibu.qxd 7/1/2011 12:36 PM Page 10

Page 20: Elimu ya Ghaibu ya Maimamu

11

Elimu ya Ghaibu ya Maimamu

Wito wa Qur’ani unatilia mkazo kuujenga msingi wa imani juu ya kuami-ni ghaibu na kujiambatanisha na sababu ambazo kwazo wahyi umeasisiwa:

“Ambao huyaamini yasiyoonekana na husimamisha swala na hutoakatika yale tuliyowapa.” (Sura Baqarah: 3)

Na kumfunga mwanadamu kwenye msingi huo, kwa kuwa utamaduni wamwanadamu daima hauendi juu ila kwa chanzo cha asili kilicho juu mbalina ardhi, au sema kilicho mbali na ulimwengu unaoshuhudiwa.

Kwa kuwa kujichanganya kwenye ulimwengu unaosifika kuwa ni wa haliya chini, eti kwa kuwa anajitosha mwenyewe binafsi, ni kauli isiyo sahihi,kwa sababu ya historia kumtegemea mwanadamu na mwanadamu kuitege-mea historia. Hivyo mwanadamu katika hali hiyo anabaki amezuilikandani ya historia hiyo hiyo. Kwa hiyo hilo linapelekea kuporomoka kwamaendeleo, kama ambavyo yaonekana katika historia ya maendeleo nauporomokaji wake, hivyo ni kwa sababu ya kutegemea kwake upeo wenyekikomo.

Mwenyezi Mungu asema:

“Wa-Iram, wenye majumba marefu marefu. Ambao mfano waohaukuumbwa katika miji. Na Thamudi waliochonga majabali bon-deni. Na Firaun mwenye majeshi. Ambao walifanya maovu katikamiji. Kisha walizidisha humo ufisadi. Kwa hiyo Mola wako Mleziakawateremshia namna ya adhabu.” (Sura Fajri: 7-13)

Elimu ya Ghaibu.qxd 7/1/2011 12:36 PM Page 11

Page 21: Elimu ya Ghaibu ya Maimamu

12

Elimu ya Ghaibu ya Maimamu

Kisha ni kuwa maendeleo yanalazimu mhitaji auchukue ukamilifu wakekutoka kwa mwenye ukamilifu wa moja kwa moja. Kwa minajili hiyo hai-wezekani kumweka mbali mtu huyu na ulimwengu huu mkunjufu, kwasababu ya kuwepo kiungo thabiti cha milele na mwambatano wa kimaum-bile wa asili:

“Basi nitakapomkamilisha na kumpulizia roho yangu, basi mumwan-gukie kwa kumtii.” (Sura Hijri: 29)

Je, mwanadamu ni kiumbe aliye karibu na ghaibu? La hasha bali yeye nigao moja la ghaibu. Qur’ani imeuzungumzia ukaribu huu na uhusiano kwashuhuda nyingine, mna maongezi kati ya ghaibu tupu – Allah – namwanadamu:

“Na Mola wako Mlezi alipowaleta katika wanadamu kutoka miongo-ni mwao kizazi chao, na akawashuhudilisha juu ya nafsi zao: Je mimisiye Mola wenu Mlezi? Wakasema: Ndiye, tunashuhudia. Msijemkasema siku ya Kiyama, hakika sisi tulikuwa tumeghafilika nayo.”(Sura Aaraf: 172).

Kwa ajili hiyo yatosha kuwa mawaidha kwa mwanadamu anapolinganiwakuamini tawhidi, tumueleze ukumbusho, kama zilivyo njia za manabii naulinganiaji wao wa tawhid. Kwa sababu ya kumiliki kwake akiba ya kiro-ho iliyotangulia na kuwa amekiri kwa maumbile yake itikadi hii. Kwa

Elimu ya Ghaibu.qxd 7/1/2011 12:36 PM Page 12

Page 22: Elimu ya Ghaibu ya Maimamu

13

Elimu ya Ghaibu ya Maimamu

minajili hiyo haukubaliwi udhuru wowote kutoka kwa mshirikina mbishiwa kuhalalisha ushirikina wake kama mghafala kwa mfano.

Na maadamu mwanadamu ameazimia njia, haiwezekani kumtenga naulimwengu wa ghaibu kama ulimwengu mwingine anaojiambatanisha nao,kwa sababu ya mwambatano huu kati ya hizi dunia mbili.

Na taathira ya kila viumbe hawa na wenzao, na kwa alichotunukiwa huyukiumbe mwanadamu hali ikiwa ni aina ya ustahiki na uwezo wa kuvitu-mikisha viini vya ghaib vilivyowekwa ndani yake mwenyewe na ndani yaulimwengu kwa ajili ya makazi na ujenzi, hali ikiwa ni jukumu ambaloamelichukua mabegani mwake; basi kwa ajili hiyo yeye ni muhitaji wakuelewa, na kuwa na mkazo wa elimu ya ulimwengu huu, kwa sababu yahayo kuhusika kwake na ukhalifa.

Qur’ani tukufu imehimiza kujielimisha kanuni za kiulimwengu ikiwa ninjia, inatufichulia ukweli wa mustakabali ambao haujatukia bado, na watoamchango wa kuendelea mtu kuuelekea kwenye ukamilifu. Kwa sababukuyajua hayo na sharti zake humuweka mtu mkao utakaomuwezeshakuitengeneza hali ya baadae, na kuwa juu yake, na mwenye kujihukumukatika kuchagua ambalo lafaa kwa maisha yake, kwa hiyo atafanya juhudikwa uelewa ili kuandaa na kuzikusanya sharti zake na sababu zake kwakutegemea kanuni za kiulimwengu zilizothibiti, zenye kufichua kutokakwenye wahyi.

Hivyo basi elimu ya kanuni za kiulimwengu na sharti zake ni jambo lakujipatia kwa kuchuma, ila tu ni mojawapo miongoni mwa ghaibu, aukuwa ni kanuni ya kiulimwengu yenye mafungamano na imani ya ghaibukwa kutaraji ukaribu au kubisha, na yaendelea mpaka kwenye nia na mak-sudio ya kiroho ya utambuzi na hisia katika maisha ya umma:

Elimu ya Ghaibu.qxd 7/1/2011 12:36 PM Page 13

Page 23: Elimu ya Ghaibu ya Maimamu

14

Elimu ya Ghaibu ya Maimamu

“Uharibifu umedhihiri barani na baharini kwa sababu ya yale iliyoy-afanya mikono ya watu.” (Sura Rum: 41)

“Na kama watu wa miji wangeamini na kumcha (Mwenyezi Mungu),lazimsa tungewafungulia baraka za mbingu na ardhi, lakini walikad-hibisha” (Sura Aaraf: 96)

Kama ambavyo Qur’ani haikubaliani na njia ya utendeaji kazi wa kanuniza kiulimwengu wa kiupofu, na ule ambao usiotegemea uelewa na elimukatika kuchagua, kutokana na mchango wake na umuhimu wake katikakuchunguza hali ya baadae ya mwanadamu.

Kwa upande mmoja huenda mtu hafikii maarifa ya kina au ya moja kwamoja ya kanuni za kiulimwengu, na huenda ameifikia na kuizunguka kivi-tendo kanuni hii ya kiulimwengu au ile, na katika hali hii au ile, ila tu nikuwa yeye anabaki ni mwenye kuhemewa kuielewa muda wote na katikamsitari wote, na hubaki ni mwenye kuhemewa kuyaelewa muda wotemaarifa ya kiungu yenye maingiliano na maisha ya kiwanadamu kwajumla, na kwayo zinafungamana harakati za kuwepo pande zake mbilizote, ya ghaibu na ya hisi, kwa kuelekea malengo makubwa, kwa njia yaelimu ya kujielimisha ya kuichuma, yenye uelewa. Hayo ni kwa sababuelimu ya aina hii – ya kuchuma – haina yaliyofichika na siri zinazojiri kati-ka ulimwengu huu mpana, hususan wa kimaumbile, sio wa kisheria pekeyake.

Kwa sababu kuzizunguka siri hizo hakutimii ila kwa kujulishwa na Yeye(s.w.t.). Kwa kuwa kujielimisha kwa njia ya kuchuma ambako mtu mmoja

Elimu ya Ghaibu.qxd 7/1/2011 12:36 PM Page 14

Page 24: Elimu ya Ghaibu ya Maimamu

15

Elimu ya Ghaibu ya Maimamu

akufanyako au jamaa kunabaki ni chombo na ni cha muda kilichopo kati-ka mabano ya zama, ni chenye kuhemewa kuizunguka kikamilifu siri hiyo,hivyo basi yenyewe ni pungufu, hivyo haitupi tija ila mchango pungufu, nahali utashi wa kiungu wakusudia ukamilifu. Hii ni hata kwa mpaka waulimwengu ushuhudiwao basi itakuwaje kwa upeo wa ghaibu na ulimwen-gu wake mpana.

Hivyo basi mwanadamu ni aina inayohitajia elimu ya kutunukiwa, lakiniyeye haipati elimu hii ila kwa kuichukua kupitia nyenzo za Kiungu kamawahyi au Il’ham, au kuandikwa moyoni, au kujielimisha kupitia kwaanayefunuliwa, kwa lengo la kuzijua vilivyo harakati zote za historia.

Katika vifungu vya maneno vijavyo vya utafiti na vifungu vitakavyofuatia,mchango wa mfano huu wa Mola utakuwa wazi, ukiongezea kule kuwawazi kwa dharura ya elekezi lake kupitia utoaji wake wa uwezo na elimumakhsusi inayotekeleza mchango wake uliowakilishwa kwake kwa namnakamili, na hatimaye huyu aliyekabidhiwa elimu yake ya kutunukiwaanaweza kumfikishia mwenye kustahiki kuibeba, kulingana na lazima zaukazi na ujenzi katika ulimwengu wa dunia.

Elimu ya Ghaibu.qxd 7/1/2011 12:36 PM Page 15

Page 25: Elimu ya Ghaibu ya Maimamu

16

Elimu ya Ghaibu ya Maimamu

MLANGO WA PILI

UHUSIANO WA UMAASUMU NA ELIMU YA GHAIBU

Hadithi katika kipande hiki haikufanya utafiti kuhusu umaasumu na dharu-ra yake kuwa ni makhsusi kwa Imam mwenyewe, ila tu tunayakatamaongezi katika ufafanuzi wake na tunaifanya kwa mfano inakubali kati-ka shakhsia ya Imam, kwa sababu utafiti katika elimu ya ghaibu kwa maa-sumu uko nyuma kidaraja kuliko utafiti wa umaasumu, au waingiliana,kwa minajili hiyo tunajikita kwenye kiungo kati ya umaasumu na elimu yakutunukiwa kwa Imam, kwa kuzingatia kuwa nukta hii dhati yake inafanyamsingi wa vipengele vifuatavyo.

Viumbe katika huu ulimwengu havikuumbwa kwa namna ya kujitegemea,bali walizingatiwa viumbe wengine wanaomzunguka, hivyo basi ulimwen-gu wote ni wenye mafungamano na unafanya harakati kwa njia iliyo kati-ka nidhamu na kwa mwongozo wa kiungu wenye kukadiriwa:

“Yule aliyekipa kila kitu umbo lake kisha akaongoza.” (Sura Taha:50)

Na (s.w.t.) amesema:

“Na jua linapita kuendea kituoni pake hicho ni kipimo cha Mwenyenguvu, Mwenye kujua. Na mwezi tumeupimia vituo mpaka ukarudia

Elimu ya Ghaibu.qxd 7/1/2011 12:36 PM Page 16

Page 26: Elimu ya Ghaibu ya Maimamu

17

Elimu ya Ghaibu ya Maimamu

kuwa kama kole la mtende kuukuu. Haliwi jua kuufikia mwezi, walausiku kuupita mchana, na vyote vinaogelea katika njia.” (SuraYasin:38-40)

Kwa mujibu huo viumbe waliopo katika jumla ya ulimwengu baadhi yaowana taathira kwa wengine, na mwanadamu hayuko nje ya kanuni hii, yeyeni kiumbe yuko ndani ya kanuni hizi. Na hatimaye ni mtii wa kanuni yake.Na kwa upande wa kuwa yeye anaathirika katika ulimwengu huu ni wazi,kwa kuwa jua likipanda au kuwa karibu litaathiri maisha yakiwemo yamwanadamu.

Na upande wa pili ni kuwa mwanadamu anaviathiri viumbe vilivyomzun-guka. Hivyo basi upande huu unahitaji ubainifu zaidi. Amesema (s.w.t.):

“Na Mwenyezi Mungu amepiga mfano wa mji uliokuwa na amani nautulivu, riziki yake ikaufikia kwa wingi kutoka kila mahala, lakiniukazikufuru neema za Mwenyezi Mungu kwa hiyo Mwenyezi Munguakauonjesha vazi la njaa na khofu kwa sababu ya yale waliyokuwawakiyafanya.” (Sura Nahli: 112)

Linalofahamika kutokana na Aya hii ni kuwa amani na utulivu, harakatizinazolenga uhusiano kati ya jamii ya watu, kazi, uzalishaji, raha na kuwe-po bidhaa kwa wingi, na kutawala kwa amani kwa sura zake zote, mamboyote haya na mengine yanayofanya mambo yawe salama, yamekuja kwasababu watu wa mji wamejibidiisha kushukuru kwa vipengele vyake kiu-tendaji, mfano wa uadilifu, upendo na usawa. Lakini mara tu mji ulipo-tupilia mbali kanuni hizi na wala haukumfanya Mwenyezi Mungu kuwa

Elimu ya Ghaibu.qxd 7/1/2011 12:36 PM Page 17

Page 27: Elimu ya Ghaibu ya Maimamu

18

Elimu ya Ghaibu ya Maimamu

mhimili wa nguvu na uhai wake, mji ukakufuru tawhidi iliyochomoza yahapo mwanzo na kuibadilisha tawhidi kwa miungu mingi, kama kumfuatamtu mwenye nguvu, au kuitii nafsi na Shetani, kupenda mali, madaraka,basi viambato hivi viliishia kwenye mgao mbaya na dhuluma kuchukuanafasi na kukosa utulivu na kuenea kwa hofu, ufakiri na utabaka, na haito-hesabiwa kuishi katika mji huu kama kuna maisha ya furaha kabisa.

Ukafiri, ufasiki, unafiki na msimamo wowote kifikra au kimwenendo kuto-ka kwa mwanadamu, ni natija ya kuendelea kwa taathira ya yanayomzun-guka, wala si sahihi kuyabana mas’ala upande wa maada wa matendo yamwanadamu. Bali pia inaingia misimamo ya kiroho na ya kiitikadi katikawigo huu pia, kwa kuwa itikadi ni kitendo, hivyo basi ukafiri ambao nitendo la ndani kwa ndani lina taathira yake nje kwa wale waliozungukamiongoni mwa viumbe wengine, na mwenendo wa binadamu uko chini yautii wa maamuzi yake ya kiitikadi ya ndani, kwa ajili hiyo malaikawanauliza kuhusu kiumbe huyu mpya Adam kupitia uambatanaji wakekati ya ufasiki na tendo la kumwaga damu, ambayo ni natija ya utashi, najinsi atakavyokuwa, kuanzia uhai wake na harakati zake ardhini hadi jinsiya kuamiliana kwake na ulimwengu kwa jumla, kwa kuwa wao ndani yamaalumati zao ni kuwa ulimwengu uko chini ya utii wa nidhamu moja yakilimwengu, kulingana na wote wanavyofanya kazi.

Na hapana budi huyu kiumbe aliyetokea ulimwenguni awe na uwiano nanidhamu yake. Na maadamu ameazimia njia itakayomfanya awe mwenyekuweza kwenda kinyume na nidhamu ya kilimwengu, hivyo italeta natijaya umwagaji damu uharibifu na maangamizi katika ulimwengu huu, kwakuwa vurugu huwa kwa kuwepo utashi ambao pengine husababisha kufu-ru na uwezekano wa kuirarua nidhamu na kujitanda nayo. Hivyo huyukiumbe mpya ni hatari si kwa nafsi yake tu, bali kwa ulimwengu wote:

Elimu ya Ghaibu.qxd 7/1/2011 12:36 PM Page 18

Page 28: Elimu ya Ghaibu ya Maimamu

19

Elimu ya Ghaibu ya Maimamu

“Je, utamweka humo atakayefanya uharibifu humo na kumwagadamu” (Sura Baqarah: 30)

Lakini Mwenyezi Mungu (s.w.t.) alirekebisha ishkali na swali hili ambalomalaika waliibainisha wakikinza kutawalishwa kiumbe huyu hatamu zaukhalifa, akasema:

“Hakika Mimi najua msiyoyajua. Na akamfundisha Adamu majinayote.” (Sura Baqarah: 30-31)

Alimtengeneza kiumbe huyu na alimpa baadhi ya elimu yenye uiano namambo muhimu ya kiungu ambayo yanamsaidia kuthibitisha malengo,hivyo elimu ya mwanadamu ya majina yote ni hiba kutoka Kwake (s.w.t.).

Alimjulisha ukweli wa vitu na kumjulisha ulimwengu wote na nidhamuzinazohukumu humo. Kisha ni nini nafasi yake katika kuwepo huku naanaathiri vipi ili kuutumia kwa lengo la kuutumikisha kwa ajili ya malen-go na shabaha yake njema

“Na kila kitu tumekihifadhi katika daftari lenye kubainisha.” (SuraYaasin: 12)

Na kuiweka elimu hii kwa ambaye atakuwa baada yake mpaka msululu wamanabii (a.s.) na kumfikia wa mwisho wao Muhammad (s.a.w.w.) na baadayake mlolongo wa walio tohara miongoni mwa Aali zake (a.s.).

Elimu ya Ghaibu.qxd 7/1/2011 12:36 PM Page 19

Page 29: Elimu ya Ghaibu ya Maimamu

20

Elimu ya Ghaibu ya Maimamu

Kwa elimu hii maasumu huudiriki ukweli wa vitu kama vilivyo, na kwauoni wa wazi, na kwa sura isiyo na shaka. Hivyo basi elimu yenye sifa hiipembuzi lazima inafikisha kwenye umaasumu.

Ili kuileta karibu taswira hii mfano wake ni: Kanuni ya mvutano – gravi-tation, ni moja ya kanuni zilizopo ulimwenguni, hapa ina uhusiano namwanadamu, kwa hiyo ni juu ya mwanadamu afanye kulingana nayo naajihadhari kufanya kinyume chake, kama ambavyo uhusiano kati ya kanunihii na mwanadamu watofautiana na uhusiano wake na baadhi ya viumbemfano wa ndege, kwani ndege huirarua kanuni hii kwa ajili ya maslahi, ausema kuwa: Kanuni hii kwa upande mwingine ina uhusiano na ndegeunaotofautiana na wa mwanadamu. Hivyo mwanadamu hujiepushaafanyavyo ndege kwa kurarua kwake kanuni hii, kwa kuwa athari zilizokwenye ratiba ya mwanadamu sio zile zilizopo kwenye ratiba ya ndege.Hivyo basi elimu ya mwanadamu ya kanuni hii na upande wa kuiraruakwake ndiyo ambayo imemtunukia umaasumu ili asifanye kinyume chake,vinginevyo mwanadamu ana utashi katika kukhalifu na kufanyamfarakano.

Kisha kuna kanuni zingine zina kinyume chake kwa maisha yamwanadamu, huenda mwanadamu akazitambua, lakini huenda asitambueathari zake na kinyume chake, kwa kuwa yeye hamiliki elimu na uoni waathari zitokanazo na kitendo cha kuziendea kinyume. Mfano wa kula maliya yatima. Qur’ani tukufu inasema:

“Hao hawali matumboni mwao ila ni moto.” (Surat al-Baqarah:174).

Maasumu anamiliki elimu anaona kuwa katika mali ya yatima kuna moto,na asiye maasumu huiona kuwa ni mali anajipatia ladha kwayo wala haonikuwa ni moto uunguzao. Kwa maasumu kuna elimu na uwazi wa kuwatendo hili lina athari kama ambavyo sisi tunaona na kutambua kanuni ya

Elimu ya Ghaibu.qxd 7/1/2011 12:36 PM Page 20

Page 30: Elimu ya Ghaibu ya Maimamu

21

Elimu ya Ghaibu ya Maimamu

mvutano –gravitation - ambayo imetufanya sisi tujizuie kuikhalifu pamojana kuwepo katika sisi uwezo wa kuikhalifu. Ama athari zitokanazo na kulamali ya yatima, hatuzijui, yaani hakika sisi hatumiliki elimu ambayokwayo tunaziona kanuni za vitu vyote vilivyopo.

Yusufu (a.s.) alikuwa anaweza kufanya ufuska kwa kuwa alikuwa anami-liki utashi ulio huru wa kutenda, ila tu ni kuwa Yusufu alikuwa anaionazinaa kuwa ni ufuska, kwa mujibu wa uwazi wake na elimu yake ya kanunihii, maana yake sio kuwa yeye alikuwa hamiliki ladha ya kujamiana, walautashi kama vile ukuta, bali yeye anayo elimu ya athari ya kanuni hizi, kwahiyo kamwe hafanyi kinyume.

Kutokana na hali hiyo tunawakuta wafuasi wa Ahlul-Bayt (a.s.) wanasemakuwa maimamu wao wote ni maasumu wamehifadhika, akiwemo Imamal-Jawwad (a.s.) japo alikuwa bado yu mdogo, kijana wa miaka saba. Yeyealikuwa mjuzi wa kila kitu, sio mjuzi wa hukumu za swala, Hijja pekeyake, bali ni wa kila kitu, wala hamuasi Mwenyezi Mungu (s.w.t.). Walamaadui zake waliokuwa wanamiliki utawala wakati ule hawakukoseawalikuwa wanajua kuwa Shia wa Ahlul-Bayt (a.s.) wana rai hii, yaani hiyosi itikadi ya siri au ya kifichoficho, walikuwa wanajua kuwa Shia waAhlul-Bayt (a.s.) wanasema kuwahusu Maimamu wao (a.s.) kauli hii.

Dola na vyombo vyake pamwe na majaribio yake, kila ilipojaribu kuukad-hibisha ukweli huu haikufanikiwa. Walimleta Imam al-Jawad (a.s.) nayeakiwa ni mtoto na waliwakusanya wanazuoni wakuu miongoni mwaoKadhi Yahya bin Akhtam, na akaketi mahali pake (kama Kadhi) naakamgeukia Imam al-Jawadu (a.s.) akisema: “Ewe mwana wa Mtume waMwenyezi Mungu (s.a.w.w.) nikuulize?” Imam (a.s.) akamwambia:“Simama na ukae ukaaji wa muulizaji kwa amuulizaye!” Yahya BinAktham akasimama na mmvi zake, na akakaa kwa adabu mbele ya Imam(a.s.) ukaaji wa muulizaji kwa muulizwa.

Elimu ya Ghaibu.qxd 7/1/2011 12:36 PM Page 21

Page 31: Elimu ya Ghaibu ya Maimamu

22

Elimu ya Ghaibu ya Maimamu

Yahya Bin Aktham alifikiri nini amuulize Imam (a.s.)? Je amuulize kuhususwala na hukumu zake? Hali akiwa anajua kuwa Imam (a.s.) na famili yakewanatekeleza wajibu wa swala kila siku. Kwa hiyo, hivyo basi yeyeatakuwa ajua swala na hukumu zake. Alifikiri kuwa je huyu mtoto yukoBaghdadi hajaenda Hijja, kwa kuwa faradhi ya Hijja mtu huitekeleza maramoja kwa umri wake ikiwa wajibu, na akipewa tawfiki ataifanya – kwamfano – mara kumi. Kisha kwa kweli Imam (a.s.) angali mtoto hajapatakwenda Hijja, akamwambia: “Ewe mwana wa Mtume wa MwenyeziMungu (s.a.w.w.) wasema nini kuhusu mtu aliye katika Ihramu na ameuawindo?”

Imam (a.s.) alimjibu: “Aliua akiwa nje ya Haram10 au ndani ya Haram,huyu aliyehirimia alikuwa anajua au hajui, alimuuwa makusudi au kwabahati mbaya. Aliyehirimia alikuwa huru au mtumwa, mtoto au mkubwa,kuuwa kwake ni kwa mara ya kwanza au anarudia, ni katika ndegekilikuwa kiwindo au kitu kingine, kilikuwa kiwindo kikubwa au kidogo, nimwenye kuendelea na alilofanya au mwenye kujuta. Uuwaji wa kiwindoulifanyika usiku au mchana, alikuwa amehirimia Umra au Hija?”11

Yahya Bin Aktham alitahayari na hali ya kushindwa ilibainika usoni kwakena kuhemewa, kisha Imam alijibu mas’ala kama ilivyofafanuliwa katikavitabu.

Tukio hili linaashiria kuwa Imam (a.s.) anamiliki umaasumu ulioelekezwavyema uliodhamini elimu ya kutunukiwa.12

Na elimu ambayo Imam maasumu anamiliki na kwayo anadhibiti maarifaya vitu, na kwayo yanatimia malengo ya Risala, ni ya kutunukiwa na Yeye10 Ni eneo maalumu linalouzunguka msikiti mtakatifu huko Makka. Eneo hililina sheria zake kutokana na utakatifu wake.11 Biharul-Anwar cha al-Majlisiy Juz. 5, Uk. 76, nukuu kutoka al-Ihtijaj.12 Rejea Al-Ismatu Washurutul-Hifadh Alan-Nidham. Utafiti wa Sayyid Mahdial-Hakiim. Na uchunguzi kuhusu uimam, wa Sayyid Kamalu al-Haydariy. Nauchunguzi kuhusu uimamu na uwalii, wa kundi la wanazuoni.

Elimu ya Ghaibu.qxd 7/1/2011 12:36 PM Page 22

Page 32: Elimu ya Ghaibu ya Maimamu

23

Elimu ya Ghaibu ya Maimamu

(s.w.t.), bila ya Imam kuichuma, kwa lengo la Imam awe na uwezo timili-fu wa kulifanya lengo la kiungu litimie, lengo ambalo yapasa litekelezwekwa namna iliyo kamili mno, na ishinde dini zote.

“Ni mjuzi wa siri wala hamdhihirishii yeyote siri yake. IsipokuwaMtume aliyemridhia, basi hakika yeye humuwekea walinzi mbele yakena nyuma yake.” (Surat Al-Jinni: 26 -27)

Na elimu apewayo Imam kwa sababu yeyote iwayo, sawa iwe kwa Ilhamau kwa kusikilizishwa au kwa kuelimishwa na Rasul – na yaenda mpakakwenye maarifa ya ghaibu – hiyo sio elimu ambayo ni mahsusi Kwake(s.w.t.). Hiyo inapatikana hata kwa asiyekuwa Mwenyezi Mungu na hatamalaika waliokurubishwa na manabii waliotumwa na hiyo ndiyo ghaibu yamoja kwa moja.

Kwa ajili hiyo elimu ya kupewa hutimia imma kwa sura ya kujielimishaisiyo ya kawaida, kama ilivyo katika vitabu vya kiungu vilivyoteremshwakwa Mitume wake kupitia Malaika wa wahyi, navyo vinadhamini hukumuna kuhabarishwa matukio yaliyopita na yaliyopo hata na yajayo kwa kilaNabii kulingana na aina ya risala yake. Mwenyezi Mungu (s.w.t.) anasema:

“Hao Mitume tumewatukuza baadhi yao kuliko wengine. Katika waowako ambao Mwenyezi Mungu alisema nao, na baadhi yao ame-watukuza daraja nyingi.” (Surat al-Baqarah 253.).

Au itimie kwa njia ya matendo mfano wa miujiza, hivyo hutendekamkononi mwake, wala Mtume hapati ila thamani yake kimatendo. Ama

Elimu ya Ghaibu.qxd 7/1/2011 12:36 PM Page 23

Page 33: Elimu ya Ghaibu ya Maimamu

24

Elimu ya Ghaibu ya Maimamu

ukweli wake kielimu huenda asiumiliki wala kuufahamu, na huenda akau-pata kama vile ukweli wa kuhuisha maiti, wenyewe ni miongoni mwaghaibu mahsusi Kwake (s.w.t.), lakini haizuiliki kumwelimisha mwinginena kuwapatia baadhi ya Mitume wake, kama ilivyokuja kumhusu IbrahiimKhalili (a.s.). Amesema (s.w.t.): “Na Ibrahim aliposema: Mola wanguMlezi nioneshe jinsi unavyohuisha mauti…’’ (Surat Al-Baqarah:260).

Elimu ya Imam inatofautiana na elimu ya Mwenyezi Mungu (s.w.t.) kwakuwa elimu Yake (s.w.t.) ni ya milele na ni yenye kuvitangulia viju-likanavyo, nayo ni dhati yake.

Ama elimu ya kutunukiwa ya Imam haishirikiani na elimu ya MwenyeziMungu kwa lolote miongoni mwa mambo haya, kwa kuwa elimu ya Imamni ya kutukia na ni yenye kutanguliwa na vijulikanavyo. Nayo siyo dhatikatika yeye, kuhudhuria kwake kwa Imam maana yake ni kufichuka kwavijulikanavyo kivitendo mbele yake, wala hashirikiani na MwenyeziMungu katika elimu yake. Na kauli ya kushirikiana na kuwa kitu kimojakati ya elimu hizi mbili ni miongoni mwa kauli ya ushirikina na uvukajimipaka, ambayo hawaisemi Maimamu wenyewe (a.s.) sembuse wafuasiwao.

Na muhtasari wa kauli ni kuwa elimu Yake (s.w.t.) ni ya dhati na elimu yaImam ni ya kuzuka na ya hiba na ya kutunukiwa kutokana na Yeye (s.w.t.),hakuna umoja kati ya elimu mbili hizi.

Ikiwa elimu ya ghaibu ya moja kwa moja ni Yake (s.w.t.) na huitoa hibakwa ampendae kwa waja wake mahsusi. Je kuna yeyote miongoni mwahao mahsusi aliepata elimu ya ghaibu na kuitendea kazi?

Jibu la swali hili na lingine litakuwa katika kifungu cha maneno kijacho.

Elimu ya Ghaibu.qxd 7/1/2011 12:36 PM Page 24

Page 34: Elimu ya Ghaibu ya Maimamu

25

Elimu ya Ghaibu ya Maimamu

MLANGO WA TATUMSIMAMO WA QUR’ANI NA SUNNA

KUHUSU ELIMU YA GHAIBU

Elimu ambayo Imam maasumu anaimiliki na kadiri yake na sanadi yakehaiwezi kuthibitishwa ila kwa njia ya nukuu iliyokuja katika Kitabu naSunna sharifu. Kwa kuwa si katika uwezo wa akili peke yake kuipata kwakuikanusha na kuithibitisha, kwa kuwa kuthibitisha inalazimu kuelezeahabari za ghaibu. Kutokana na hali hiyo tutaijadili mas’ala hii katika mipa-ka yake ya nukuu kupitia mambo kadhaa:

Jambo la kwanza:

Aya zinazohadithia elimu ya ghaibu katika maisha ya manabii na watuwema:

Qur’ani tukufu inauchukua ukweli huu katika maisha ya manabii na watuwema kwa maelezo na kwa mkazo. Kwa kuwa tunawakuta wao (a.s.) wal-imiliki uwezo wa kuijua elimu ya ghaibu kwa idhini Yake (s.w.t.) na wali-itumikisha kwa maslahi ya Risala, na mifano katika hiyo yakujia:

1. Yusufu (a.s.) aliwaambia ndugu zake: “Nendeni na kanzu yangu hii namumwekee usoni baba yangu, atakuwa mwenye kuona” (Sura Yusufu:93). Halafu (s.w.t.) alitoa habari ya yaliojiri baada ya hivyo, amesema:

“Basi alipofika mtoaji wa habari njema, akaiweka mbele ya uso wake,mara aliona.” (Sura Yusufu: 96).

Elimu ya Ghaibu.qxd 7/1/2011 12:36 PM Page 25

Page 35: Elimu ya Ghaibu ya Maimamu

26

Elimu ya Ghaibu ya Maimamu

Kwa kweli dhahiri ya Aya hii inajulisha kuwa Nabii Ya’qub (a.s.) alirud-isha uoni wake kikamilifu kwa uwezo wa ghaibu ambao aliufundishaYusuf (a.s.) na aliutumikisha kwa lengo hilo. Na ni wazi kuwa kuurudishaYa’qub (a.s.) uoni wake haikuwa kutoka kwa Mwenyezi Mungu kwa suraya moja kwa moja, bali hilo lilitimia kwa idhini Yake (s.w.t.) kupitia NabiiYusuf (a.s.).

Kwa hakika Nabii Yusuf (a.s.) alikuwa ndio sababu ya kurudi kwa uoni wamacho ya baba yake, lau si hivyo asingewaamuru ndugu zake waende nakanzu yake na waitupe usoni kwa baba yao, bali ilikuwa inamtosha Yusuf(a.s.) amuombe Mwenyezi Mungu tu (s.w.t.) kwa hilo.

Kwa kweli kitendo hiki cha ghaibu kimetoka kwa mmoja wa mawalii waMwenyezi Mungu, naye ni nabii Yusuf (a.s.), aliibadilisha njia ya kawaidakwa idhini Yake (s.w.t.), na hawezi kufanya kitendo kama hiki ila yuleambaye Mwenyezi Mungu amemtunukia mamlaka ya ghaibu.

2. Tunasoma kuwa Musa (a.s.) kwa fimbo yake analipiga jiwe, kutokana nakipigo hicho zimeibuka chemchemu kumi na mbili. Amesema (s.w.t.):

“Tukasema: Lipige jiwe kwa fimbo yako, mara zikabubujika humochemuchem kumi na mbili” (Sura Baqarah:60).

Kama ambavyo Musa aliutumikisha uwezo wake wa ghaibu mara nyinginealipopiga bahari kwa fimbo yake ili afungue chini ya mkondo wa bahari nakatika ardhi yake njia kavu kumi na mbili kwa ajili ya wana wa Israeli, iliwaipite na kuivuka bahari. Amesema (s.w.t.):

Elimu ya Ghaibu.qxd 7/1/2011 12:36 PM Page 26

Page 36: Elimu ya Ghaibu ya Maimamu

27

Elimu ya Ghaibu ya Maimamu

“Mara tulimpelekea wahyi Musa: Piga bahari kwa fimbo yako. Maraikatengana, na kila sehemu ikawa kama mwamba mkubwa.” (SuraAsh-shuraa-: 63).

Katika sehemu mbili hizi Nabii Musa (a.s.) alifaidika na uwezo wake waghaibu aliotunukiwa na ambao wote ulitimia kwa idhini ya MwenyeziMungu na irada yake.

3 . Nabii Sulayman alikuwa anafaidika na uwezo wake mbalimbali waghaibu, na alikuwa na mamlaka juu ya majini, ndege, na alikuwa ajuamatamshi ya ndege na lugha za wadudu wadogo wadogo. Anasema (s.w.t.):

“Na Sulaiman alimrithi Daud na akasema: Enyi watu!Tumefundishwa usemi wa ndege na tumepewa kila kitu, hakika hii

Elimu ya Ghaibu.qxd 7/1/2011 12:36 PM Page 27

Page 37: Elimu ya Ghaibu ya Maimamu

28

Elimu ya Ghaibu ya Maimamu

ndiyo fadhili dhahiri. Na alikusanyiwa Sulaiman majeshi yake kutokakatika majini na watu na ndege, nayo yakawekwa makundi makundi.Hata walipofika katika bonde la wadudu chungu, akasema mduduchungu: Enyi wadudu chungu! Ingieni majumbani mwenu, asikupon-deni Sulaimani na majeshi yake, hali hawatambui. Basi akatabasamuakichekea kauli yake, na akasema: Ee Mola wangu Mlezi! Nipe nguvunishukuru neema yako uliyonineemesha mimi na wazazi wangu, nanipate kufanya vitendo vizuri uvipendavyo, na uniingize kwa rehemazako katika waja wako wema.” (Sura Namli: 16-19)

Na Nabii Suleyman alikuwa na uwezo wa ghaibu yenye uwezo wakuushinda upepo kwani ulikuwa unakwenda kwa amri yake apendako.Amesema (s.w.t.):

“Na kwa Sulaiman upepo wa nguvu uendao kwa amri yake kwenyeardhi ambayo tumeibarikia, nasi ndio tunaokijua kila kitu.” (SuraAnbiyai: 81)

Mwenye kuchunguza ataona kuwa upepo waenda kwa amri yake, hii nidalili ya kuwa Sulayman (a.s.) anayo mamlaka katika mwenendo na mapi-to ya upepo.13

Je hii elimu ya ghaibu ambayo Mwenyezi Mungu aliwatunukia manabii nawatu wema miongoni mwa waja wake, aliwapa kwa ajili ya jambomuhimu tu makhsusi na la maslahi yenye kikomo, halafu huenguliwaelimu hiyo mbali nao? Au ni kwamba elimu hii ya ghaibu iliyotunukiwaImam au Rasuli anaimiliki kwa namna ya kuendelea na kudumu kulinganana kudumu kwa umuhimu alionao na wingi wa majukumu ya risala yake?

13 Al-Wahabiya Fil-Mizaan Uk. 323.

Elimu ya Ghaibu.qxd 7/1/2011 12:36 PM Page 28

Page 38: Elimu ya Ghaibu ya Maimamu

29

Elimu ya Ghaibu ya Maimamu

Baadhi wanatambua kuwa kwa Mitume kumetokea muujiza, na kuwaMwenyezi Mungu (s.w.t.) amewapa miongoni mwa elimu ya ghaibuambayo kwayo watathibitisha usahihi wa risala. Ila tu upewaji huu ni tuk-izi na wa kikomo watokea pindi maslahi yapo, na hauwi thabiti daima. Nabaadhi wameushabihisha na bomba la maji ambalo hufunguliwa pindiyanapokuwepo maslahi na baada ya hapo hufungwa. Ni sahihi kwao nikuwa Rasul anao uwezo wa ghaibu na tendo la muujiza ila tu ni makhsusikwa tukio maalumu. Ama wakati mwingine hamiliki uwezo huu.

Lakini sahihi ni kuwa uwezo wa manabii na kumiliki kwao elimu yaghaibu waliyotunukiwa unakuwa wa namna ya kudumu na kuendelea, nakuna Aya zaidi ya moja zathibitisha hilo, miongoni mwazo ni kauli Yake(s.w.t.):

“Hakika mimi nimewajieni na dalili itokayo kwa Mola wenu. Miminakufanyieni katika udongo kama namna ya ndege, kisha napuliziandani yake anakuwa ni ndege kwa idhini ya Mwenyezi Mungu. Nanawapoza vipofu na wenye mbalanga, nawafufua wafu kwa idhini yaMwenyezi Mungu. (Sura Ali Imran: 49)

Aya hii inathibitisha kuwa uwezo wa Isa (a.s.) kufanya miujiza nakuwezeshwa kwake, hayo sio mahsusi kwenye tukio maalum, kwani yeyehakusema: Nilikuumbieni ndege na nilikuponyesheeni kipofu wa kuzaliwana mwenye ukoma na nimekuhuishieni maiti, ili tufahamu kuwa anakusu-dia tukio maalumu, lililotokea wakati uliopita. Kadhalika hakusemanitakuumbieni ndege na nitakuponyesheeni kipofu wa kuzaliwa namwenye ukoma na kukuhuishieni maiti, ili tufahamu kuwa yeye atafanyamatendo haya katika wakati maalumu, wakati ujao kwa namna ya tukiolisilotazamiwa.

Elimu ya Ghaibu.qxd 7/1/2011 12:36 PM Page 29

Page 39: Elimu ya Ghaibu ya Maimamu

30

Elimu ya Ghaibu ya Maimamu

Bali alieleza kwa kitenzi cha wakatis wa kawaida – present simple – naakajaalia wahusika ni jinsi ya ndege na kipofu wa kuzaliwa, mkoma namaiti. Yeye (a.s.) alisema:

Mimi nakufanyieni katika udongo kama namna ya ndege, kishanapulizia ndani yake anakuwa ni ndege kwa idhini ya MwenyeziMungu. Na nawapoza vipofu na wenye mbalanga, nawafufua wafukwa idhini ya Mwenyezi Mungu. (Surat Ali Imran: 49)

ifidishayo kuwa yeye ni mwenye kuivaa hali hii kwa kudumu, na kuwayeye ni muweza wa kutenda vitu hivi wakati wowote aupendao.14

Na amesema (s.w.t.) akielezea kumhusu Sulayman (a.s.).

“Akasema: Mola wangu Mlezi! Nisamehe na unipe ufalme, asiupateyeyote baada yangu, bila shaka wewe ndiye Mpaji. Basi tukamtiishiaupepo ukaenda pole pole kwa amri yake anakotaka kufika.’’ (SuraSwad: 35 - 36)Hivyo kuufanya upepo umtii Sulayman (a.s.) ni jibu la dua na ombi lake.

14 Al-Wilayatut-Tak’winia Baynal-Kitabi Was-Sunna cha Hisham Shariy al-Aamiliy Uk. 107.

Elimu ya Ghaibu.qxd 7/1/2011 12:36 PM Page 30

Page 40: Elimu ya Ghaibu ya Maimamu

31

Elimu ya Ghaibu ya Maimamu

Aliposema: “Na unipe ufalme, asiupate yeyote baada yangu’’ (SuraSwad: 35 - 36) Na ni kawaida kuwa Mwenyezi Mungu (s.w.t.) hakuipatiajibu dua ya Sulayman (a.s.) kwa ajili ya muda mmoja mfupi na katika tukiomoja maalumu. Hivyo kuutiisha upepo ilikuwa ni katika jumla ya ufalmeambao Mwenyezi Mungu alimtunukia Sulayman (a.s.), ikiwa ni natija yadua yake na ni ile ambayo Mwenyezi Mungu aliitaja baada ya hivyo kwakauli yake: “Hiki ndicho kipawa chetu bila ya hesabu, basi fanya ihsani au zuia.”

(Sura Swad: 39)

Kwa mujibu huo uwezo wa Sulayman (a.s.) juu ya harakati na mienendoya upepo ulikuwa kwa amri yake, ilikuwa imethibiti kwake daima kwaidhini ya Mwenyezi Mungu (s.w.t.).

Na amesema (s.w.t.): “Na tukamlainishia chuma.” (Sura Sabai: 10).Kwa kweli kumlainishia chuma Daudi (a.s.) hakukuwa kwa namna isiy-otazamiwa na wala sio tukio maalumu, na si kwa sababu makhsusi, balihiyo ilikuwa fadhila ya daima Mwenyezi Mungu (s.w.t.) alimpa. Na hilondilo Aya tukufu imelisema waziwazi: “Na kwa hakika tulimpa Daudi fadhila kutoka kwetu, enyi milima

nyenyekeeni pamoja naye, na ndege, na tukamlainishia chuma.” (SuraSabai: 10)

Imebaki tujue kuwa je hii haiba ya kiungu ya daima ya elimu ya ghaibu, jehiba yake ni kwa ajili ya manabii tu, au inawaenea wasiokuwa wao mion-goni mwa waja wake wema? Qur’ani tukufu imesema waziwazi kuwa hiihiba ya kiungu haiishii kwa manabii tu, bali Mwenyezi Mungu (s.w.t.)amewatunukia awaridhiao miongoni mwa waja wake wema, amesema

Elimu ya Ghaibu.qxd 7/1/2011 12:36 PM Page 31

Page 41: Elimu ya Ghaibu ya Maimamu

32

Elimu ya Ghaibu ya Maimamu

(s.w.t.):“Akasema: Enyi wakuu wa baraza! Ni nani atakayeniletea kiti chake

cha enzi kabla hawajafika kwangu, hali ya kuwa wamekwishakusil-imu? Akasema Ifriti katika majini: Mimi nitakuletea hicho kablahujasimama kutoka mahala pako, na mimi bila shaka ninazo nguvu zahayo, mwaminifu. Akasema yule aliyekuwa na elimu ya Kitabu: Miminitakuletea hicho kabla ya kupepesa jicho lako.”(Sura Namli: 38 – 40)

Kwa kweli Aswifu alikuwa anatoa khabari ya uwezo wake juu ya hilo kwakauli Yake (s.w.t.): “Mimi nitakuletea hicho”, yaani mimi ni muweza wakukileta, hasa pamoja na kulizingatia swali la Sulayman (a.s.) na ombi lakekwa awezaye kufanya hivyo, kwa kauli yake: “Ni nani atakayeniletea kitichake cha enzi”. Zaidi ya hapo ni kuwa Mwenyezi Mungu amemtaja kwasifa yake, aliposema: “Akasema yule aliyekuwa na elimu ya Kitabu”,kumtaja kwa sifa hii kunaleta mwanga wa kuwa sababu ya uwezo ni ile ileelimu ya kitabu. Na hilo ndilo linalotiliwa mkazo na riwaya za Ahlul-Bayt(a.s.), endapo Aswifu hajasahau elimu hii basi yeye ni muweza juu ya hilodaima na kila apendapo.15

Jambo la pili: 15 Al-Wilayatut-Tak’winia Baynal-Kitabi Was-Sunna Uk. 107.

Elimu ya Ghaibu.qxd 7/1/2011 12:36 PM Page 32

Page 42: Elimu ya Ghaibu ya Maimamu

Aya ambazo zinaifunga elimu ya ghaibu kwake Yeye tu (s.w.t.), nakukanusha kuwanayo mwingine yeyote asiyekuwa Yeye:

Tumesema katika yaliyotangulia kuwa elimu ya ghaibu inafanya jambolinalotambulika katika maisha ya manabii na watu wema. Basi Aya zina-zoweka mabano kuwa elimu ya ghaibu ni Yake tu (s.w.t.) na zinakanushakuwanayo wengine zinamaanisha nini?

Amesema (s.w.t.): “Sema: Hakuna aliyoko katika mbingu na ardhi ajuaye ghaibu ila

Mwenyezi Mungu tu, na wao hawajui ni lini watafufuliwa.” (Sura an-Naml: 65).

Na amesema: “Na ziko kwake funguo za ghaibu, hakuna azijuaye ile Yeye.’’ (Sura

An’aam:59).

Na amesema:

“Wala sikuwambieni kuwa nina hazina za Mwenyezi Mungu, walakuwa najua ghaibu.” (Sura Hud: 31).

33

Elimu ya Ghaibu ya Maimamu

Elimu ya Ghaibu.qxd 7/1/2011 12:36 PM Page 33

Page 43: Elimu ya Ghaibu ya Maimamu

Na amesema:

“Na ni vya Mwenyezi Mungu tu vyote vilivyo ghaibu katika ardhi nambingu, na mambo yote yatarejeshwa kwake.” (Sura Hud: 123)

Na amesema (s.w.t.)

“Siku ambayo Mwenyezi Mungu atawakusanya Mitume awaambie:Mlijibiwa nini? Watasema: Hatujui, bila shaka wewe ndiye ujuayeghaibu.” (Sura Maida:109).

Sehemu hii ya Aya ambazo zinaibana elimu ya ghaibu kwake Yeye tu(s.w.t.) hazipingani na Aya ambazo zinathibitisha elimu ya ghaibu kwaasiyekuwa Yeye (s.w.t.), kwa kuwa utaratibu wa Qur’ani ulioenea katikakubainisha vitendo vya kiungu mfano wa kuumba, kuruzuku, umauti,huwa wategemea kukanusha upande na kuthibitisha upande mwingine.

Mfano wa hayo ni kauli Yake (s.w.t.): “Mwenyezi Mungu hupokea rohowakati wa mauti yao” (Sura Zumar: 42) inavyomaanisha kulingana nadhahiri ni kuwa Mwenyezi Mungu (s.w.t.) hutenda mwenyewe. Na hapohapo aonyesha kuwepo kiunganishi kwa kauli Yake (s.w.t.): “Sema:Atakufisheni Malaika wa mauti aliyewakilishwa kwenu” (SuraSajdah:11), ambayo yajulisha kuwepo na njia au kiunganishi, ila mazin-gatio yanatufanya tuitakidi kuwa Aya ya kwanza inathibitisha upande, naya pili yathibitisha upande mwingine. Hivyo kupingana hakupo, walakuthibitisha na kupinga hakupo.

34

Elimu ya Ghaibu ya Maimamu

Elimu ya Ghaibu.qxd 7/1/2011 12:36 PM Page 34

Page 44: Elimu ya Ghaibu ya Maimamu

Kwani Aya ya kwanza inathibitisha kuwa Mwenyezi Mungu (s.w.t.) anaz-ifisha nafsi kwa namna ya asili na Aya ya pili yathibitisha kuwa malaika waumauti anazifisha nyoyo kwa namna ya kumfuatia Mwenyezi Mungu(s.w.t.), Mwenyezi Mungu ndiye anayezifisha nyoyo kwa njia ya malaikawa umauti kwa mujibu wa Aya mbili pamoja.

Suala liko hivyo kuusiana na elimu ya ghaibu. Hivyo lile kundi la Ayalinaloibana elimu ya ghaibu kwa Mwenyezi Mungu tu (s.w.t.) hilo linaan-galia kwenye elimu yake ya dhati ya milele ambayo ni makhsusi kwaMwenyezi Mungu tu (s.w.t.). Ama kundi linalozungumzia elimu ya ghaibukwa asiyekuwa Mwenyezi Mungu (s.w.t.) hilo lazungumzia elimu isiyo yadhati, nayo ni ile anayoigawa Mwenyezi Mungu kutoka katika elimu yaghaibu kwa anayemchagua miongoni mwa waja wake, ili amjulishe baad-hi ya hakika, hivyo basi hakuna kupingana kati ya haya makundi mawili.

Jambo la tatu:

Aya ambazo zinathibitisha uwezekano wa elimu ya ghaibu kwaasiyekuwa Yeye (s.w.t):

Limekuja kundi la Aya katika Qur’ani tukufu linaongelea kuhusuuwezekano wa elimu ya ghaibu kwa asiyekuwa Yeye (s.w.t.), mfano wakauli Yake (s.w.t.)

“Je, nikufuate ili unifundishe katika ule mwongozo uliofundishwa?”(Sura Kahf: 66)

Na amesema:

35

Elimu ya Ghaibu ya Maimamu

Elimu ya Ghaibu.qxd 7/1/2011 12:36 PM Page 35

Page 45: Elimu ya Ghaibu ya Maimamu

“Akasema: Hakika wewe huwezi kuvumilia kuwa pamoja nami. Nautawezaje kuvumilia yale usiyoyajua hakika yake?” (Sura Kahf: 67-68).

Na amesema:

“Na lau kama ningelijua ghaibu bila shaka ningejizidishia wemamwingi.” (Surat A’araf: 188)

Na amesema:

“Na sema: Ewe Mola wangu Mlezi nizidishie elimu.” (Sura Twaha:114)

Hivi punde tulifikia kuwa elimu ya ghaibu ni makhsusi Kwake (s.w.t.) naYeye huwapa hiba miongoni mwayo amtakaye, wala hapana kupinganakatika kukanusha na kuthibitisha kati ya elimu mbili hizo, kwani kwauchambuzi huu kupingana kunatoweka kati ya Aya ambazo zinaiwekeawigo elimu ya ghaibu Kwake tu (s.w.t.), na zile ambazo zinaongeleauwezekano wa elimu ya ghaibu kwa asiyekuwa Yeye (s.w.t.).

Kwa hakika Aya ambazo zinaongelea kutoa kwake elimu ya ghaibu kwaasiyekuwa Yeye, zinafidisha kuwa elimu hupatikana kwa idhini yake nairada yake na kwa ridhaa yake, wala haiko nje ya mambo Yake (s.w.t.)kwa hali yoyote ile.

36

Elimu ya Ghaibu ya Maimamu

Elimu ya Ghaibu.qxd 7/1/2011 12:36 PM Page 36

Page 46: Elimu ya Ghaibu ya Maimamu

Jambo la nne:

Aya zinazothibitisha kumpa elimu ya ghaibu Hitimisho la Mitume(s.a.w.w.):

Tulitaja kundi la Aya linalothibitisha uwezekano wa kupatikana kwa elimuya ghaibu kwa baadhi ya waja, na pia tukasema linalothibitisha kuitoakwake elimu ya ghaibu kwa asiyekuwa Yeye (s.w.t.), mfano wa kauli Yake(s.w.t.):

“Na akamfundisha Adamu majina yote.” (Surat Baqarah: 31)

Na kauli yake:

“Akasema: Hakitakufikieni chakula mtakachopewa isipokuwanitakuambieni hakika yake kabla hakijakufikieni.” (Sura Yusufu: 37)

Na kauli yake:

“Na hakuna ajuaye tafsiri yake ila Mwenyezi Mungu na wale walioza-ma katika elimu tu. “(Sura Imran:7)

Kwa muktadha huu huu kuna kundi la Aya zinataja kumpa elimu ya ghaibuHitimisho la Manabii (s.a.w.w.), mfano wa kauli yake:

37

Elimu ya Ghaibu ya Maimamu

Elimu ya Ghaibu.qxd 7/1/2011 12:36 PM Page 37

Page 47: Elimu ya Ghaibu ya Maimamu

“Wala hasemi kwa matamanio. Hayakuwa haya ila ni Wahyi ulio-funuliwa.” (Sura Najmi: 3-4)

Na kauli Yake (s.w.t.):

“Tutakusomesha wala hutosahau.” (Sura Aala: 6)

Na kauli yake:

“Hizo ni habari za ghaibu tunazokufunulia.” (Sura Aali Imran: 44)

Na kutoka kwa Imam al-Baqir (a.s.) kuwa yeye alisema: “La wallahimwanachuoni hawi mjinga kamwe. Mjuzi wa kitu na si mjuzi wa kitu(kingine). Mwenyezi Mungu ni Mtukufu na Mwenye nguvu mno si waku-fanya faradhi ya utii wa mja ambaye anamficha mbingu zake na ardhizake.”16

Na kutoka kwa Imam as-Sadiq (a.s.), alisema: “Kwa kweli MwenyeziMungu amemfunza adabu Nabii wake, akaifanya adabu yake kuwa nzuri,na alipomkamilishia adabu akasema: “Na bila shaka una tabia njema,adhimu.” (Sura Qalam: 4). Kisha alimwachia suala la dini na la umma iliawachunge waja Wake, akasema: “Na anachokupeni Mtume basipokeeni, na anachokukatazeni basi jiepusheni.” (Sura Hashri: 6). Kwakweli Mtume wa Mwenyezi Mungu alikuwa mwenye kuwekwa sawa namwenye kupewa taufiki na Roho mtakatifu, hatelezi wala hakosei kitu

38

Elimu ya Ghaibu ya Maimamu

16 Usulul-Kafiy Juz. 1 Uk. 262 Hadithi ya 6.

Elimu ya Ghaibu.qxd 7/1/2011 12:36 PM Page 38

Page 48: Elimu ya Ghaibu ya Maimamu

ambacho kwacho anawaongoza watu, kwa hiyo alikuwa na adabu kwaadabu ya Mwenyezi Mungu.”17

Na hii ikiwa ndio hali ya Rasul (s.a.w.w.) na Mwenyezi Mungu (s.w.t.)amemtunukia elimu ya ghaibu kwa ajili ya kukamilisha risala na siasa kwawaja, na kueneza uadilifu, na alimweka sawa kwa Roho mtakatifu. JeMwenyezi Mungu (s.w.t.) ametoa hiba uwezo huu na alitoa elimu ya ghaibkwa Makhalifa wake aliowaridhia ili kukamilishia mwendo wake kutokakwa Maimamu wa Ahlul-Bayt wake (a.s.), kutokana na lengo lile lile?

Kwa kweli hili tutalieleza katika kifungu kifuatacho.

Jambo la tano:

Maelezo ambayo yanathibitisha kuwapatia elimu ya ghaibu Maimamuwa Ahlul-Bayt (a.s.):

Tulisema kuwa Mwenyezi Mungu (s.w.t.) amewapa elimu ya ghaibu man-abii wake na walio wema miongoni mwa waja wake. Na maimamu waAhlul-Bayt (a.s.) ndio ambao Mwenyezi Mungu (s.w.t.) amewaondoleauchafu na amewatoharisha usafi kwa tamko la Kitabu na Sunna iliyo sahi-hi. Na kuwa wao ni makhalifa wa Mtume Wake katika kuthibitishamajukumu ya risala na malengo yake, na hii yalazimu wawe wajuzi wayaliyo ghaibu kama alivyokuwa Mtume (s.a.w.w.) ajua hayo.

Kwa mujibu huo tunamkuta Amirul-Mu’min Ali (a.s.) anasema: “Tambua,hakika elimu ambayo aliteremka nayo aridhini Adamu toka mbinguni, nayote yaliyowafanya manabii mpaka hitimisho la manabii wawe bora, yapokatika kizazi cha Hitimisho la manabii.”18

Imekuja kutoka kwa Abdillah bin Al-Waliid as-Samani, kuwa alisema: AbuJa’far (a.s.) aliniambia: “Ewe Abdullah! Shia wanasemaje kuhusu Ali,

39

Elimu ya Ghaibu ya Maimamu

17 Usulul-Kafiy Juz. 1 Uk. 266 Hadithi ya 4.18 Tafsirul-Qumiy Juz. Uk. 367. Nurut-Thaqalayn Juz. Uk. 523.

Elimu ya Ghaibu.qxd 7/1/2011 12:36 PM Page 39

Page 49: Elimu ya Ghaibu ya Maimamu

Musa na Isa (a.s.)?”

“Akasema: Nilisema: ‘Nimejitoa muhanga kwako; katika hali gani wani-uliza?’ Alisema (a.s.): ‘Nakuuliza kuhusu elimu, amma katika ubora waowako sawa.’

“Akasema: Nilisema: ‘Nimejitoa muhanga kwako, basi nitasema ninikuwahusu?’ Hapo (a.s.) alisema: ‘Ni yeye Allah mjuzi mno kuliko waowawili.’ Halafu alisema: ‘Ewe Abdullah hawasemi kuwa: Ali ana yalealiyokuwa nayo Mtume miongoni mwa elimu?’

“Akasema: Nilisema: ‘Ndiyo.’ Akasema (a.s.): ‘Basi hasimiana nao katikahilo. Hakika Mwenyezi Mungu Mtukuka alimwambia Musa “Natukamwandikia katika mbao mawaidha ya kila namna” (SuraA’araf:145). Akatujulisha kuwa hakumbainishia jambo lote. NaMwenyezi Mungu Mtukufu alimwambia Muhammad (s.a.w.w.): “Natukakuleta wewe kuwa ni shahidi juu ya hawa?” (Sura Nisai: 41). Naakamwambia: “Na tumekuteremshia Kitabu kielezacho kila kitu.”(Sura Nahlu:89). Na amesema (s.w.t.):

“Akasema yule aliyekuwa na elimu ya Kitabu: Mimi nitakuletea hichokabla ya kupepesa jicho lako.”(Sura Namli: 40)

“Kwa kweli sababu ya uwezo wa Aswifu Bin Barkhiya kufanya yanayovu-ka desturi ya maumbile ya kawaida ni ile elimu ya Kitabu aliyokuwa nayo.Na hii yajulisha kuwa sababu yake ni elimu ya Kitabu wala si kitu kingine.Hivyo uwalii wake wazunguka mzunguko wa elimu ya Kitabu. Hivyomaadamu anayo elimu ya Kitabu uwalii wake unabaki imara kwake kwakadiri hii. Na ikiwa hii ndio hali ya ambaye ana sehemu tu ya elimu yaKitabu, basi itakuwa vipi hali ya mwenye elimu yote ya Kitabu?”

40

Elimu ya Ghaibu ya Maimamu

Elimu ya Ghaibu.qxd 7/1/2011 12:36 PM Page 40

Page 50: Elimu ya Ghaibu ya Maimamu

Na kwa makusudi haya Imam as-Sadiq (a.s.) anampa habari Sadiirukuhusu elimu yao ya yaliyomo katika Kitabu, akisema: “Ewe Sadiiru, hau-jasoma Qur’ani?” Sadiiru amjibu akimwambia: “Ndiyo nimesoma.” Imamas-Sadiq (a.s.) anamwambia: “Je umekuta katika uliyosoma miongonimwa Kitabu cha Mwenyezi Mungu: “Sema Mwenyezi Mungu anatoshakuwa shahidi kati yangu na kati yenu, na yule mwenye elimu yaKitabu.” (Sura Raad: 43)” Akasema: Nilisema: “Nimeisoma, nimejitoamuhanga kwako.” Alisema (a.s.): “Je mwenye elimu ya Kitabu chote nimwenye kufahamu zaidi, au mwenye baadhi ya elimu ya Kitabu?”Nilisema: “Hapana bali ni yule mwenye elimu ya Kitabu chote.”Akaashiria kifuani kwake kwa mkono wake na akasema: “Elimu ya Kitabuwallahi tunayo sisi.”19

Na Mwenyezi Mungu amesema:

“Hakika Mwenyezi Mungu anataka kukuondoleeni uchafu watu wanyumba, na kukutakaseni sanasana. “ (Surat Ahzab: 33)

Pia amesema:

“Hakika Mwenyezi Mungu amemchagua Adam na Nuhu na kizazi chaIbrahim na kizazi cha Imran juu ya walimwengu.” (Surat Ali Imran:33)

Kwa kuuzingatia uenezi wa kuondolewa uchafu wa maada, itikadi na wakimatendo, na kutoharishwa mbali na aina zote za upungufu ulio dhahiri naulio batini, na kuwa mbali na mchanganyiko uliotibuka na giza la ujinga na

41

Elimu ya Ghaibu ya Maimamu

19Usulul-Kafiy Juz. 1 Uk. 257

Elimu ya Ghaibu.qxd 7/1/2011 12:36 PM Page 41

Page 51: Elimu ya Ghaibu ya Maimamu

kusahau, wajulisha uenezi wa elimu yao na utendewaji kazi wake.20

Kutoka kwa Abdul Aala Bin Aayan alisema: “Nilimsikia Abu Abdillah(a.s.) akisema: ‘Kwa hakika amenipa Mtume wa Mwenyezi Mungu(s.a.w.w.) na mimi ni mjuzi mno wa Kitabu cha Mwenyezi Mungu, ndan-imwe kuna mwanzo wa kuumbwa viumbe na ambacho kipo mpaka siku yaKiyama. Na ndanimwe kuna habari ya mbingu na ardhi, habari ya Janna,habari ya moto, habari ya yaliyokuwa na ambayo yapo. Nayajua hayokama niangaliavyo kiganja changu, kwa hakika Mwenyezi Mungu anase-ma: “Humo mna ubainifu wa kila kitu.”21

Kutoka kwa Abu Baswir, kutoka kwa Abu Abdillah (a.s.) katika Hadithi.Alisema: “Mtume wa Mwenyezi Mungu alimwelimisha Ali (a.s.) milangoelfu, kila mlango katika hiyo wafungua milango elfu, mpaka alifikia kuse-ma kuwa: ‘Sisi tuna Al-Jamia. Sahifa urefu wake dhiraa sabini kwa dhiraaya Mtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.), na kwa imla ya mdomo wakena hati ya Ali (a.s.) ya mkono wake wa kulia. Ndani yake mna halali zotena haramu, na kila kitu ambacho watu wanahitajia hata fidia ya kwaruzo.’Na alinipiga kwa mkono wake, na aliniambia: ‘Waniidhinisha ewe AbuMuhammad?’ Nikasema: Nimejitoa kwako muhanga. Kwa kweli mimi niwako, fanya upendavyo. Alinibonyeza kwa mkono wake, kisha alisema:‘Hata fidia ya hiki (kitendo cha kukubonyeza), kama ikiwa (mtu)amekasirishwa (na kitendo hiki).”’22

Kutoka kwa al-Husain Bin Abil-Alaa. Alisema: “Nilimsikia Abu Abdillah(a.s.) akisema ‘Kwa kweli mimi nina al-Jufru nyeupe.’ Nilisema: ‘Ni kitu

42

Elimu ya Ghaibu ya Maimamu

20 Al-Maarifu As-Sulaymaniyah cha Ayatullahi Sayyid Abdul Husain an-Najafiyal-Lariy Uk. 60.

21 Al-Kafiy Juz. 1, Uk. 61. Kitabu cha fadhila za elimu. Mlango wa 20. Hadithi ya8.22 Al-Kafiy Juz. 1, Uk. 238. Kitabu cha hoja. Mlango wa kutaja Sahifa. Hadithiya 1.

Elimu ya Ghaibu.qxd 7/1/2011 12:36 PM Page 42

Page 52: Elimu ya Ghaibu ya Maimamu

gani kipo humo?’ Alisema: ‘Zaburi ya Daud, Taurati ya Musa, Injili ya Isana Suhufu Ibrahim, halali na haramu na msahafu wa Fatima. Sidhanii kamandani yake kuna Qur’ani.23 Ndani yake kuna ambayo watu wanayahitajiakwetu. Wala hatumhitajii yeyote, ndani yake mna hata (fidia ya) ngozi nanusu ya ngozi, na robo ya ngozi, na fidia ya kwaruzo “24

Kutoka kwa Rub’iy bin Abdillah, kutoka kwa Abu Abdillah (a.s.) kuwayeye alisema: “Mwenyezi Mungu amekataa kupitisha vitu ila kwa sababu,akakifanyia kila kitu sababu, na ameifanyia kila sababu ufafanuzi, na ame-ufanyia ufafanuzi wote elimu, na ameijalia elimu yote mlango utamkao,wameujua wenye kuujua na wamejingikiwa nao waliojingikiwa nao,mjuzi huyo ni Mtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.) na sisi.”25

Kutoka kwa Bakrun Bin Karbi as-Swayrafiy, alisema: “Nilimsikia AbuAbdillah (a.s.) akisema: ‘Kwa kweli sisi tunayo ambayo hatuhitajii kwawatu kitu pamoja nayo, na kwa hakika watu wanatuhitajia sisi, na kwakweli sisi tuna kitabu ambacho ni imla ya Mtume wa Mwenyezi Mungu(s.a.w.w.) na hati za Ali (a.s.), ni Sahifa ndani yake mna halali zote na hara-mu zote.”’26

Kutoka kwa Hisham Bin al-Hakam. Kutoka kwa Abu Abdillah (a.s.) kati-ka Hadith ndefu, alisema: “Kwa hakika Mwenyezi Mungu hamfanyi hoja

43

Elimu ya Ghaibu ya Maimamu

23 Yaani: Sisemi kuwa ndani yake kuna Qur’ani, bali ndani ya al-Jufru mna elimuya yaliyokuwa na yatakayokuwa mpaka siku ya Kiyama.

24 Al-Kafiy Juz. 1, Uk. 240. Kitabu cha hoja. Mlango wa kutaja Sahifa. Hadithi ya3.

25 Al-Kafiy Juz. 1, Uk. 238. Kitabu cha hoja. Mlango wa kumtambua Imam.Hadithi ya 7.

26 Baswairud-Darajaat. Juz. 1, Uk. 142. Mlango wa 12 mlango usemao kuwaMaimam wanayo Sahifa al-Jamia…

Elimu ya Ghaibu.qxd 7/1/2011 12:37 PM Page 43

Page 53: Elimu ya Ghaibu ya Maimamu

katika ardhi yake aulizwe kitu na aseme sijui.”27

Kutoka kwa Suratu Bin Kulaybi, alisema: “Nilimwambia Abu Abdillah(a.s.): ‘Kwa kitu gani Imam hutoa fatwa?’ Alisema: ‘Kwa Kitabu.’Nilisema: ‘Na ambalo halipo ndani ya Kitabu?’ Akasema: ‘Kwa Sunna.’

Nikasema: ‘Ambalo halipo ndani ya Kitabu na Sunna?’Akasema: ‘Hakunakitu ila kipo katika Kitabu na Sunna.’ Nilikariri mara moja au mbili, alise-ma: ‘Anawekwa sawa na kuafikishwa.28 Ama unayodhania hapana.”’29

Kutoka kwa al-Harth Bin al-Mughira, kutoka kwa Abu Abdillah (a.s.)alisema: “Nilimsikia akisema: ‘Hakika ardhi haiachwi bila alimu, watuwanamuhitajia wala (yeye) hawahitajii, anajua halali na haramu.”’30

Kutoka kwa Hisham Bin Salim, alisema: “Nilimwambia Abu Abdillah(a.s.): ‘Nini haki ya Mwenyezi Mungu juu ya viumbe wake?’ Akasema:‘Waseme wanayoyajua na wajizuie na wasiyoyajua, wakifanya hivyowatakuwa wametekeleza kwa Mwenyezi Mungu haki Yake.’”31

Abu Abdillah (a.s.) alisema: “Haiwi wepesi kwenu katikayanayokuteremkieni miongoni mwa msiyoyajua, ila ni kujizuia na kuwathabiti na kufanya rejea kwa Maimamu waongofu, ili wawachukueni humokwenye makusudio na wawatandue humo upofu, na wawatambulishenihumo haki. Mwenyezi Mungu (s.w.t.) amesema: “Basi waulizeni wenye

44

Elimu ya Ghaibu ya Maimamu

27 At-Tawhidu 270:1. Mlango wa 37. Mlango wa kujibu.28 Yaani hutoka kwa Mwenyezi Mungu na si kwake yeye (a.s.).29 Baswairud-Darajaat. Juz. 1, Uk. 387. Mlango wa maimamu huwekwa sawa nakuafikishwa30 al-Mahasinu Juz. 1, Uk. 234. Kitabu cha taa za kuangazia giza. Mlango wa 21.Hadithi ya 194.31 al-Mahasinu Juz. 1, Uk. 204. Kitabu cha taa za kuangazia giza. Mlango wa 4.Hadithi ya 53.

Elimu ya Ghaibu.qxd 7/1/2011 12:37 PM Page 44

Page 54: Elimu ya Ghaibu ya Maimamu

ukumbusho ikiwa nyinyi hamjui.” (Surat an-Nahl:43).”32

Kutoka kwa Abu Is’haq an-Nahawiy, alisema: “Niliingia kwa AbuAbdillah (a.s.) nilimsikia akisema: ‘Kwa kweli Mwenyezi Mungu amem-funza adabu Nabii Wake kwa mahaba Yake, akasema: “Na bila shaka unatabia njema, adhimu.” (Sura Qalam: 4). Kisha alimwachia suala la dinina la umma, akasema: “Na anachokupeni Mtume basi pokeeni, na ana-chokukatazeni basi jiepusheni.” (Sura Hashri: 6). Na akasema Azzawajala: “Mwenye kumtii Mtume kwa kweli atakuwa amemtiiMwenyezi Mungu.”’

“Akasema: Kisha alisema: ‘Nabii wa Mwenyezi Mungu alimwachia Ali(a.s.) suala la dini na la umma, na alimwamini, nyinyi mkakubali na watuwakapinga. Wallahi tunawapenda mseme tusemapo na mnyamaze tukinya-maza. Na sisi tuna dhamana ya yaliyopo kati yenu na Mwenyezi Mungu.Mwenyezi Mungu hakujaalia kheri kwa yeyote akiwa kinyume na amriyetu.”’33

Kutoka kwa Is’haq Bin Ammar, kutoka kwa Abu Abdillah (a.s.) alisema:“Nilimsikia akisema: ‘Hakika ardhi haitoacha kuwa na Imam, ili wauminiwakiongeza kitu awazuie, na iwapo wakipunguza kitu awatimizie.”34

Kutoka kwa Ibnu Tayyar, kutoka kwa Abu Abdillah (a.s.) alisema: “HakikaMwenyezi Mungu aliweka hoja juu ya watu, kwa yale aliyowapa nakuwatambulisha.”35

45

Elimu ya Ghaibu ya Maimamu

32 Al-Kafiy Juz. 1, Uk. 50. Hadithi ya 10. Mlango wa mambo ya nadra.33 Al-Kafiy Juz. 1, Uk. 265. Hadithi ya 1. Mlango wa kuacha mambo mikononimwa Mtume wa Mwenyezi Mungu. Kitabu cha hoja.34 Al-Kafiy Juz. 1, Uk. 178. Kitabu cha hoja. Hadithi ya 2. Mlango wa ardhi huwahaikosi hoja.35 al-Kafiy Juz. 1, Uk. 162. Kitabu cha Tawhidi. Mlango wa kubainisha na kutam-bulisha ulazima wa Hoja. Hadithi ya 1.

Elimu ya Ghaibu.qxd 7/1/2011 12:37 PM Page 45

Page 55: Elimu ya Ghaibu ya Maimamu

Jambo la sita: Imam Ali bin Abu Talib (a.s.) na elimu ya ghaibu: Maadam Imam Ali (a.s.) ni Khalifa aliyeagizwa baada ya Rasul (s.a.w.w.)kulingana na dalili za kiakili na za kunakili zilizothibiti mahali pake, basiMwenyezi Mungu (s.w.t.) amempa Imam Ali (a.s.) sehemu ya elimu yakeya ghaibu kama alivyompa Mtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.), iliawe muweza wa kutekeleza yaliyo muhimu ya risala. Na kwa lengo hilitunataja kundi la maelezo ambayo yanatilia mkazo umiliki wake (a.s.) wasehemu ya elimu ya ghaibu. Miongoni mwayo ni: 1. Kauli Yake (s.w.t.): “Na yule mwenye elimu ya Kitabu.” (Sura

Ra’adu: 42) Kwa kuwa Jamhuri ya Ahlu Sunna wameeleza riwayakuwa mlengwa wa Aya hiyo ni Imam Ali bin Abu Talib (a.s.).36

2. Kauli Yake (s.w.t.) “Kisha tumewapa Kitabu wale tuliowachaguamiongoni wa waja wetu.” (Sura Fatir: 32) Imeelezwa kuwa ni Ali(a.s.).37 Naye ni miongoni mwa vielelezo vya wazi mno vya ambaoMwenyezi Mungu amewachagua miongoni mwa waja wake.

3. Kauli Yake (s.w.t.): “Na sikio lisikialo lisikie.” (Sura al-Haqah: 12).Jamhuri wameeleza kuwa pia imeteremka kumhusu Ali (a.s.).38

46

Elimu ya Ghaibu ya Maimamu

36 Shawahidut-Tanzil Juz.1 Uk. 307 cha al-Hakim al-Haskaniy. Na Tawdhihud-Dalaili Uk. 163 cha Allama Shihabu diin as-Shiiraziy. Na an-Nuru Al-MushtailuUk. 125 cha al-Hafidhu Abu Nuaim Ahmad bin Abdillah as-Shafi’iy. Na Tanziilul-Ayati Uk. 15 cha al-Hafidhu Husain al-Hibariy. Na Yanabiiul-Mawadda Uk. 103cha Allama al-Qunduziy al-Hanafiy. Chapa ya Istanbul. Na Arjahul-Mataalib Uk.86 na 111. Chapa ya Lahore, cha Allama Sheikh Abiidullahi al-Hanafiy. Na al-Jamiu Liahkamil-Qur’ani Juz. 9, Uk. 336 cha Allama Abu Abdillah Muhammadbin Ahmad al-Answariy. Na al-Itqan Juz. 1, Uk. 32 cha as-Suyutiy. 37 Shawahidut-Tanziil Juz. 2, Uk. 103. Na Yanabiiul-Mawadda Uk. 103. Chapa yaIstanbul. 38 Tafsirul-Kabiiru Juz. 30, Uk. 107. Na Tafsiru Tabariy Juz. 29, Uk. 31. NaAsbabun-Nuzul Uk. 249. Na Tafsiru Ibnu Kathiir Juz. 4, Uk. 413. Na Durul-Manthur Juz. 6, Uk. 260. Na Ruhul-Maaniy Juz. 29, Uk. 43. Na Yanabiiul-Mawadda Uk. 120. Na Nurul-Abswar Uk. 105. Na Kanzul-Ammal Juz. 6, Uk. 408.

Elimu ya Ghaibu.qxd 7/1/2011 12:37 PM Page 46

Page 56: Elimu ya Ghaibu ya Maimamu

Na kuwa yeye (a.s.) amesema: “Sikusikia kitu kutoka kwa Mtume waMwenyezi Mungu nikasahau.”39

Hivyo basi ambaye anamiliki elimu ya Kitabu naye ni miongoni mwawateule ambao wamerithishwa Kitabu ni lango la elimu ya Rasul(s.a.w.w.). Na elimu hii ndiyo ambayo ndanimwe mna elimu za ghaibu nazingine. Na ametunukiwa Imam Ali (a.s.) kwa mujibu wa maelezo hayo.

4. Amesema (a.s.) akitoa habari za matukio ya ghaibu “Wallahi launingependa nimpe habari kila mtu miongoni mwenu, matokeo yake namaingilio yake na hali yake yote ningefanya, lakini nahofia mtakufurukunihusu mimi (mkidhania) kuwa ndiye Mtume wa Mwenyezi Mungu(s.a.w.w.). Fahamuni mimi ni mwenye kuitoa kwa watu makhsusiwanaoamini. Naapa kwa yule aliyemtuma kwa haki, na akamteua awe juuya viumbe, hakika hakutamka ila ni kweli, na ameniusia mimi hayo yote.Mwenye kuangamia anaangamia na mwenye kuokoka anaokoka, namatokeo ya jambo hili. Wala hakubakisha kitu kinapita juu ya kichwachangu ila amekimiminia sikioni mwangu na amenipa.”40

5. Ameishiria (a.s.) na kutoa habari za matukio ambayo yalitendwa na al-Qaramitwa kwa kauli yake: “Wanajichukua kutupenda na kututaka nawanaficha dhidi yetu chuki, na alama ya hilo ni kuwaua kwao warithi wetuna kuyagura kwao matukio yetu.”

Ibnu Abil Hadid amesema: “Ni sahihi habari aliyoitoa, kwa sababuQaramitwa wamewaua katika Aali Abu Talib (a.s.) watu wengi.”41

6. Imekuja katika hotuba ya Imam Amirul-Mu’miniin (a.s.) kuwa yeyeamesema: “Niulizeni kabla hamjanikosa, Wallahi hamuniulizi kuhusukikundi kitakachowapoteza watu mia na kuwaongoza mia ila nitawapa

47

Elimu ya Ghaibu ya Maimamu

39 Majmaul-Bayan cha Tabarasiy Juz. 10, Uk. 345. Ameipokea kupitia njia zaMasunni na Mashia.40 Sharhu Nahjul-Balagha cha Ibnu Abil’ Hadid Juz. 10, Uk. 10. 41 Sharhu Nahjul-Balagha cha Ibnu Abil’ Hadid Juz. 10, Uk. 14.

Elimu ya Ghaibu.qxd 7/1/2011 12:37 PM Page 47

Page 57: Elimu ya Ghaibu ya Maimamu

habari ya mwitaji wake na mchungaji wake mpaka siku ya Kiyama.” Basimtu mmoja alisimama na kumuuliza: “Nipe habari kuna mashimo yanywele mangapi katika ndevu na nywele zangu?”

Akasema (a.s.): “Wallahi hakika alinipa habari zake Mtume wa Mwenyezi(s.a.w.w.) hilo ulilouliza, kwa kweli katika kila shimo la nywele kichwanimwako kuna malaika anakulaani, na katika kila shimo la unyele katikandevu zako kuna Shetani anakuchochea, na kwamba ndani ya nyumbayako kuna mtoto atamuua mtoto wa Mtume wa Mwenyezi Mungu(s.a.w.w.), na lau si kuwa uliyoyauliza uthibitisho wake ni mgumuningeyaeleza. Lakini alama yake ni hiyo laana niliyokwambia na mtotowako aliyelaaniwa.”

Na mwanawe wakati ule alikuwa mdogo, nae ndiye ambaye alitawaliakumuua Husein (a.s.) hapo baadae.42

7. Imam Amirul-Mu’miniin alikuwa na hukumu ngeni na za ajabu hazih-esabiki. Nazo upande wake zinafichua elimu ya Imam aliyotunukiwa naMwenyezi Mungu (s.w.t.). Kwa kuwa tunamkuta anajibu hukumu zaMwenyezi Mungu baada ya kushindwa wengine. Mfano wa amri yakumpasua mtoto nusu mbili mpaka wanawake wawili waliokuwa wakidaiwaliporudi upande wa haki.43 Na mfano wa mgao wa Dirham kwa wenyemikate wawili.44 Na kuileta hukumu ya Khuntha.45 Na hukumu yaBughatu mpaka Shafi’iy alisema: “Tulizitambua hukumu za Bughatu kuto-ka kwa Ali (a.s.)”46

48

Elimu ya Ghaibu ya Maimamu

42 Sharhu Nahjul-Balagha Juz. 2, Uk. 448 na Juz. 1, Uk. 208. Ameeleza kutokakitabu al-Gharatu cha Ibnu Hilal at-Thaqafiy. Na Sinanu bin Anas an-Nakh’iy nimiongoni mwa walioshiriki kumuua Husein (a.s.). Rejea Tahdhiibut-TahdhiibuJuz. 7, Uk. 337. Na Kanzul-Ummal Juz.1, Uk. 228. Na Yanabiiul-Mawadda Uk.73. 43 Kanzul-Ummal Juz. 3, Uk.179.44 Dhakhairul-Uq’ba Uk. 84. Na Swawaiqul-Muhriqa Uk. 77. 45 Nurul-Abswar Uk. 71. Na Manaqibu Ahmad al-Khawarzamiy Uk. 60. NaMatalibus-Suul Uk. 13. 46 Kitabul-Ummu Juz. 2, Uk. 233 katika mlango wa tofauti kuhusu kuwauwaBughatu.

Elimu ya Ghaibu.qxd 7/1/2011 12:37 PM Page 48

Page 58: Elimu ya Ghaibu ya Maimamu

8. Katika Usudul-Ghaba imekuja katika wasifu wa Ghurfatul-Azdiy,kuwa: Yeye alikuwa miongoni mwa Swahaba wa Mtume (s.a.w.w.). Na nimiongoni mwa wenye sifa. Naye ndiye ambaye Nabii (s.a.w.w.)alimuombea abarikiwe katika patano lake la kibiashara. Ghurfatu alisema:“Shaka iliniingia kuhusu Ali (a.s.), hivyo nilitoka naye kwenye ukingo wamto wa Furat, alichepuka njia na alisimama na tulisimama kumzunguka.Alionesha kwa mkono wake: ‘Hii ni sehemu ya mapumziko yao na yakuketi wanyama wao na pa mwagikio la damu yao. Naapa ni mtu asiye nawa kumnusuru ardhini wala mbinguni isipokuwa Allah.’ Husein (a.s.)alipouliwa nilitoka mpaka mahali walipomuulia, ikawa kama alivyosemahakukosea kitu. Nilistaghfiru kwa Mwenyezi Mungu kwa ajili ya shakaniliyokuwa nayo na nikajua kuwa Ali (a.s.) haliendei ila lile aliloag-izwa.”47

9. Imam Ali bin Abu Talib (a.s.) alitoa habari ya kuuliwa Dhi Thudayyah,ambaye ni miongoni mwa Khawarij, na habari za kutovuka kwa Khawarijmto baada ya kuwa aliambiwa: Wamekwishavuka.48

10. Na alitoa habari (a.s.) ya kuuliwa yeye mwenyewe binafsi.49

11. Na alitoa habari kuwa Maghul watachukua ufalme kutoka kwa BaniAbbasi.50

12. Na alitoa habari ya kusulubiwa kwa Miitham at-Tammariy nakuchomwa kwake mkuki. Na alimuonesha mtende ambao juu yakigogo chake atasulubiwa. Abdullah bin Ziyad alimfanyia hivyo, juuya wawili hawa laana ishuke.51

49

Elimu ya Ghaibu ya Maimamu

47 Rejea Usudul-Ghaba Juz. 4, Uk. 169.48 Murujud-Dhahab Juz. 2, Uk. 305. Na al-Kamil cha Ibnu Athiir Juz. 3, Uk. 174na Uk. 175.49 Lisanul-Mizan Juz. 3, Uk. 439. Na Usudul-Ghaba Juz. 4, Uk. 35. NaMuntakhabu Kanzul-Ammal Juz. 5, Uk. 59. Na Musnadu Ahmad Juz. 1, Uk. 156.50 Sharhu Nahjul-Balagha Juz. 2, Uk. 125. na Uk. 241. Na Tahdhiibut-TahdhiibJuz. 7 Uk. 358.51 Sharhu Nahjul-Balagha Juz. 1, Uk. 210.

Elimu ya Ghaibu.qxd 7/1/2011 12:37 PM Page 49

Page 59: Elimu ya Ghaibu ya Maimamu

Jambo la saba: Riwaya ambazo zinaelezea elimu ya maimamu na utoaji habari waowa yaliyo ghaibu:

Imekuja katika Hadithul-Qudsiyi: “Ewe mwanadamu, mimi ni tajiri siwifakiri, nitii mimi katika nililokuamuru nitakufanya tajiri hautokua fakiri.Ewe mwanadamu, mimi ni hai sifi, nitii katika nililokuamuru nitakufanyahai hautokufa. Ewe mwana wa Adamu, mimi hukiambia kitu kuwa nakinakuwa, nitii mimi katika nililokuamrisha nitakufanya ukiambie kitukuwa na kitakuwa.”52

Na Maimamu walimtii Mwenyezi Mungu (s.w.t.) mpaka akawathibitishiaumaasumu, hivyo wao ni bora wasadikishwao na hii Hadithul-Qudsiy.

Mtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.) amesema: “Mimi ni Jiji la elimuna Ali ni lango lake.”53

Kutoka kwa Ibn Atwai al-Makiy, alisema: “Nilikuwa na shauku ya AbuJa’far nami nikiwa Makka nikaenda Madina, sikuiendea ila kwa shaukuyake, nilipatwa na baridi kali nikaishia mlangoni kwake nusu ya usiku.Nilisema: Je niugonge mlango saa hii au ningojee mpaka asubuhi? Miminikiwa nafikiria hilo punde nilimsikia akisema: ‘Ewe kijakazi, mfunguliemlango Ibnu Atwau, amepatwa na baridi kali huu usiku.’ Kijakazi akafun-gua mlango.”54

Abu Kahmas alisema: “Nilishuka mji wa Madina katika nyumba ndaniyake kuna binti mrembo, alikuwa ananipendeza, nikatoka usiku, niliombanifunguliwe mlango, alinifungulia nikamshika mikono yake. Ilipofikaasubuhi niliingia kwa as-Sadiq (a.s.), akasema: ‘Ewe Abu Kahmas, tubukwa Allah kwa uliyofanya jana usiku.”’55

50

Elimu ya Ghaibu ya Maimamu

52 Biharul-Anwar Juz. 90, Uk. 376.53 Kanzul-Ummal Juz. 11 Uk. 614 Hadithi ya 32978 na 32979. Lisanul-MiizanJuz. 1 Uk.432. 54 Baswairud-Darajati Juz. 5 Uk. 277. Biharul-Anwar Juz. 46 Uk. 235. 55 Baswairud-Darajati Juz. 5 Uk. 262.

Elimu ya Ghaibu.qxd 7/1/2011 12:37 PM Page 50

Page 60: Elimu ya Ghaibu ya Maimamu

MLANGO WA NNEELIMU YA GHAIBU NA ELIMU YA FALSAFA YA SAIKOLOJIA

(PSYCOLOGICAL PHILOSOPHY)

Si sahihi kuwa Maimamu hawajui elimu ya ghaibu kwa sababu ya kuwauwepo wao ni wenye mpaka maalumu, uwepo ambao upo katika wigo wauwezekano, na kuwa sio uwepo wa milele, hali ikiwa ghaibu uwepo wakesio wa mpaka maalumu, na chenye mpaka maalumu hakiwezi kukizingirakisicho na mpaka maalumu, kwa mujibu wa hukumu ya kiakili. Kwa ajilihiyo elimu ya ghaibu imekuwa mahsusi kwa Mwenyezi Mungu (s.w.t.)ambaye hawekewi mpaka. Na Nabii na Imam kuwa na mpaka ni jambohalina shaka ndani yake wala kupatwa na utata, kadhalika elimu ya ghaibukuwa mahsusi kwa Allah (s.w.t.) ni jambo lililothibiti halijakanushwa nayeyote miongoni mwa waislamu.

Lakini linalodaiwa hapa ni kuwa Allah (s.w.t.) amewakirimu na ame-wafanya kuwa mahsusi kwa baadhi ya habari za ghaibu na kuwatunukiaelimu yake, hivyo basi kwa idhini Yake na amri Yake wameijua hiyo, nahayo yakawa ni hadhiri kwao, japokuwa kwa wengine ni ghaibu isiyoju-likana, Mwenyezi Mungu (s.w.t.) amewatunukia hilo, kwa kuwa kwaokaribu na Yeye (s.w.t.) kwa matendo mema na nia ya ukweli na kuwa naikhlasi, taq’wa na bidii.

Hawakupewa hayo kwa kulazimishwa na kukirihishwa, bali ni kwa njia yakumiliki kwao sababu inayowawezesha kuzifikia daraja na kustahiki nafasiambazo wamethibitishiwa na fitna, balaa, mitihani na taabu ya mudamrefu.

51

Elimu ya Ghaibu ya Maimamu

Elimu ya Ghaibu.qxd 7/1/2011 12:37 PM Page 51

Page 61: Elimu ya Ghaibu ya Maimamu

Kwa kweli suala la kuona mbali na kukanusha uwezekano wa elimu yaghaibu kwa Maimamu inayoenea wakati uliopita na uliopo na wa baadae,uoni huo utanywea pindi ikifahamika kuwa si kwa kujitegemea, bali nikwa njia ya Wahyi wa kiungu uteremshwao kwenye moyo wa Rasuli(s.a.w.w.), na kupitia ilhamu kwa Aali zake watoharifu.

Na madamu imethibiti kupitia uhakiki wa nukuu kuwa wao walihodhivipaji hivyo, na tunukio la kiungu la elimu ya ghaibu katika utafiti uliotan-gulia, basi hapa tutajihusisha na mas’ala hii kwa wigo wake wa kifalsafa.

Na aina ya uhakiki katika mas’ala hii haitimii ila kwa misingi ya kiakili itu-mikayo katika thibitisho za kifalsafa, nayo ni misingi isiyohitaji dalili.Kwa mfano ili tujue uhakika wa elimu kuwa ni nini? Je ni kitu cha mada -material, miongoni mwa vitu vya mwili wa mwanadamu? Au ni jambolihisiwalo la ngazi ya juu zaidi kuliko zoni ya mada – material, na ni kitukiko mbali nayo, kufuatia hivyo ni kitu mahsusi upande wa vitu ambavyosio mada kwa mwanadamu, na uhusiano wake na yeye ni nini? Na huju-likanaje, bali kimsingi nini kazi yake? Na ipi mipaka yake ambayo juuyake yasimama? Maswali haya yote haiwezekani kujua majibu yake ilakwa misingi yakinifu ya kiakili.

Sasa je elimu hii inatupa nini sisi ili tunufaike kwenye hali hii tuliyonayo?

1. Elimu ya maarifa inatilia mkazo kuwa elimu hakika yake inajificha kati-ka kufichua kwake ukweli, hivyo basi inadhihirisha ukweli na kutu-fichulia, ni jambo ambalo tunalijua kwa uwazi.

2. Kuufichua ukweli ni miongoni mwa mambo mahsusi ya uwepo wamwanadamu, kwa kiwango ambacho ni muhali kuwa na dhana yakuutenga mbali na yeye, vinginevyo ingekuwa ni kujitenga mwenyewebinafsi.

52

Elimu ya Ghaibu ya Maimamu

Elimu ya Ghaibu.qxd 7/1/2011 12:37 PM Page 52

Page 62: Elimu ya Ghaibu ya Maimamu

3. Elimu au kuufichua ukweli ni jambo lililo juu mbali na mada, kwasababu sifa zake haziafikiani nayo, kama vile kugawanyika na kutowe-ka, kubadilika na mengine, hivyo basi hizo ni sifa zilizopo ambazo nimbali na mada, kwa mujibu huo nafsi ni jambo lililo nyuma ya mada.

4. Elimu hutokea na ukweli hufichuka kwa njia ya mawasiliano ya uwepo,na ya uhakika kati ya nafsi - ya mjuzi – na kitu kikusudiwacho kutam-buliwa, na bila ya mawasiliano haya dhana ya kutokea ufichukaji nakuthibiti elimu ni muhali, kwa kuwa hakuna sababu yake.

5. Njia za kuwasiliana elimu na ukweli ni tatu:

Kuwasiliana kupitia hisi zinazohusiana na matukio ya mada. Kuwasiliana kupitia akili inayowakilisha utambuzi wa mambo kwa jumlayake (kuliyati).

Uwasilianaji wa moja kwa moja na kitu bila ya njia ya akili au hisi, nahuitwa maarifa ya kushuhudiwa au ya kiroho.

6. Kuwasiliana na kuutambua ukweli ulio mbali na mada ni jambo lililo-rahisishiwa nafsi ya mwanadamu. Kwa kuwa hiyo katika daraja yakehaitengwi na kitu, kwa kuwa vizuizi vya elimu na ufichukaji wake nisuala la nje, na huwakilishwa na zama na mahali, hali ni yenye kuam-batana na hali ya kimwili, na miongoni mwayo ni ile ijulikanayo kwamaana tu si ya kimwili. Na inakuwa katika hali ya mshughuliko usiozin-dukana.

Na ilipothibiti kuwa nafsi na vidirikiwa vyake viko mbali na mada, kwahiyo vitenganishi vya kiwakati havihusiani nayo. Vinaambatana tu naupande wake wa kimwili ambao hauna uhusiano na elimu na ufichuaji waukweli. Hivyo basi kinabakia kitenganishi cha kimaana, nacho nikujishughulisha na yanayookotwa na hisi na hatimaye kuwa nayo, nakutupilia mbali yaliyo nyuma yake miongoni mwa ukweli wa mambo.

53

Elimu ya Ghaibu ya Maimamu

Elimu ya Ghaibu.qxd 7/1/2011 12:37 PM Page 53

Page 63: Elimu ya Ghaibu ya Maimamu

Jambo ambalo pia limejulishwa na Kitabu kitukufu, katika kauli Yake(s.w.t.):

“Wanajua hali ya dhahiri ya maisha ya dunia, nao ndio wameghafili-ka mbali na Akhera.” (Sura Rum:7)

Ni lawama kwa anayeweka matumaini ya elimu yake kwenye maumbilehaya ya dhahiri wala hateremki batini yake. Lau angekuwa hana fursa hiyolawama ingekuwa si mahali pake.

Tumefikia tija kuwa kuitambua kweli iliyo mbali na mada kwa aina fulanimiongoni mwa aina za utambuzi, ni jambo lipo kwenye uwezo wa nafsi yamwanadamu, wala si jambo ambalo liko juu ya uwezo wa nafsi, na lililonje ya uwezo wake. Hii kwa upande wa kwanza.

Ama upande wa pili, ambao mas’ala hii inauelekea ni upande wa kupatiakwa mwanachuoni, na katika maudhui ya mas’ala anakuwa ni Imamu sala-mu’llahi Alayhi.

Na yeye ana sehemu mbili: Sehemu moja anashirikiana na binadamuwengine. Na kwa ibara ya undani zaidi: Ni sehemu ya upande wa elimu,nayo ni sehemu tukufu ambayo inashabihiana na nafsi zingine upande wakuwa ni nafsi. Na sehemu ya pili ni ile anayotofautiana na watu wenginena anapanda na uwepo wake mpaka zoni ya juu kwenye nafasi ya uwaliimkuu. Na kwa mara nyingine tunalazimika kuikimbilia ibara ya undanizaidi, nayo ni: Upande wa jinsi ya uwanachuo na ukubwa wake wa zoniambao nafsi yake inatofautiana na nafsi za watu wengine.

Na kwa uhakiki huu ndiyo elimu ya kuitambua nafsi, ya kifalsafa, na sioya uchambuzi ambao madrasa za elimu ya falsafa za kisasa inajiambatan-isha nayo. Hivyo tofauti ya msingi iliyopo kati ya elimu ya saikolojia ya

54

Elimu ya Ghaibu ya Maimamu

Elimu ya Ghaibu.qxd 7/1/2011 12:37 PM Page 54

Page 64: Elimu ya Ghaibu ya Maimamu

uchamuzi na kati ya elimu ya falsafa ya kisaikokolojia ambayo ni moja yamatawi ya elimu ya falsafa ya kiislamu, ni kuwa ya kwanza inafumbiamacho kufanya utafiti katika nafsi na inajiimarisha kudurusi dhahiri zakezilizopo katika sifa zake na vitendo vyake. Hali ikiwa nyingine inaidurusinafsi upande wa kuthibitisha kuwepo kwake na jinsi ilivyokuwa na halizake za ndani baada ya umauti na kukusanywa kwake na kurudi kwake hai.Na mengine miongoni mwa mas’ala yanayoambatana nayo.

Hebu sasa tuitake ushauri elimu hii katika hali tuliyonayo ili tuone ina-chotupa:

1. Kwanza yanayothibitishwa na uhakiki ndani ya nafsi ya mwanadamu nikuwa nafsi ina daraja na nafasi kwa upande wa kujiweka mbali sana namada na kupaa kwenye ulimwengu wa juu zaidi, na kupungua kwake.Na ya kuwa uchache wa kuzingatia na wingi wake warejea kwenye halihiyo. Na maadamu kudiriki sio mada na ni kitu mahsusi cha nafsi yamwanadamu hivyo kudurusu kiwango cha kuepukana kwake na madakunajulisha kiwango cha kuepukana kwa nafsi. Na somo hili linasanifudaraja ya kuyadiriki yanayohisiwa kutokea daraja dhaifu mno yakuepukana. Yakurubia kuwa haiachani na mada bali haiwi ila kwakuungana nayo, nayo ni daraja ambayo mnyama anashirikiana namwanadamu. Na huenda akamzidi na kusanifu daraja ya kuzidirikikuliyati.

Nao ni upande ambao mwanadamu anapanda kumzidi mnyama katika zoniya kuwa mbali akitokea daraja za wastani. Ama daraja ya juu mno yakudiriki kwa kujiweka mbali na kuenea ni daraja iitwayo kudiriki kwakiroho au kwa shuhuda, na maelezo ya kifalsafa ni elimu iliyo hadhirikwenye ukweli wa jambo. Nayo pia ina ngazi na daraja, na iliyo dhaifumno kati ya ngazi hizo ni njozi za kweli, na ya kati ni ilhamu na manenoya malaika. Na ya hali ya juu katika ngazi ya elimu na kudiriki kwamwanadamu kwa urefu wake ni kufanikiwa kuupata wahyi na kukutananao.

55

Elimu ya Ghaibu ya Maimamu

Elimu ya Ghaibu.qxd 7/1/2011 12:37 PM Page 55

Page 65: Elimu ya Ghaibu ya Maimamu

Njia ambayo nafsi ya Imam inatofautiana na nafsi zingine ni hii, yaaniupande ule wa wasaa wa kudiriki na kuuzunguka kwake ukweli wamambo, na kuwa mbali kikamilifu na mada, kwa hali ambayo haombi aunikwa njia ya hisi au akili kwa ajili ya kufichukiwa na kupata elimu, nayo nidalili ya wasaa wa nafsi na daraja yake kuwa juu na kuinuka kwa nafasiyake na daraja yake. Na utafiti wa Qur’ani pia watilia nguvu tulilofikia.Katika kauli Yake (s.w.t.):

“Na tukawafanya miongoni mwao maimamu wanaoongoza kwa amriyetu waliposubiri, na walikuwa wakiziyakinisha Aya zetu.” (SuraSajdah:24).

Na kwa hakika ameuratibu uimamu ambao ni uongozi kwa amri yaMwenyezi Mungu (s.w.t.) juu ya subira, na ameiratibu subira juu ya yaki-ni ya Aya. Na yakini ni daraja ya juu mno miongoni mwa daraja za kudiri-ki, kwa sababu mwambatano wake ni katika zoni iliyo mbali mno na mada,hiyo ni kwa tamko lake (s.w.t.): “Na kadhalika tukamwonyeshaIbrahim ufalme wa mbingu na ardhi, na ili awe miongoni mwa wenyeyakini.” (Sura An’aam:75). Na amesema: “La hasha! lau mngelijuakwa elimu ya yakini. Hakika mtauona Moto.’’ (Sura at-Takaathur: 5-6).

Hivyo basi imebainika kuwa mas’ala ya nafsi kufichukiwa na ukweliambao sio maada upatikanao kwenye nafasi ya uimamu yazingatiwa kuwani miongoni mwa dharura za nafasi yake ya uwepo.

Upande wa tatu, ambao mas’ala hii inaambatana na mikia yake niKinachojulikana au Kinachoambatana na udiriki, yaani ukweliunaokusudiwa ujulikane na kuupata. Kwa upande huu mas’ala hii inaan-gukia kwenye mapaja ya maarifa ya uwepo wa vitu na daraja zake, na kwahesabu ya ibara ya undani zaidi iliyorudiwa rudiwa kutajwa ni: Kukijuakitu na sababu zake.

56

Elimu ya Ghaibu ya Maimamu

Elimu ya Ghaibu.qxd 7/1/2011 12:37 PM Page 56

Page 66: Elimu ya Ghaibu ya Maimamu

Ni dharura kuutambua upeo huu wa mas’ala pia ili tuone kuwa kujuamatokeo kwa namna ya ufafanuzi nafasi yake huwa wapi katika uhakiki navipi kwayo elimu hupatikana?

1. Kulingana na nidhamu ya sababu na kisababishwa inayotawala maum-bile, ni kuwa mas’ala ya kupatikana shaka ya kuwepo kwa vitu huainish-wa na uthibitisho. Kwa hiyo ambalo lipo katika ngazi ya mada ya vituyatokana na ya kabla yake, bali ni rangi miongoni mwa rangi ya kuwepokwake kulikonyauka na kwenye ukomo. Hivyo basi vitu vina uwepomwingine ulioepukana na mada na zama, upo katika eneo la mtengano nazama, na kuona huko kunalingana na uoni kamilifu na timilifu.

2. Ama matukio yatukiayo katika hali ya hiyari ya mwanadamu na ambayosi katika vitu vya mada kuzijua sababu zake ni kuyajua yenyewe kulinganana ilivyohakikiwa mahali pake, kuwa: Kuijua sababu ni kukijuakisababishwa. Hivyo basi kujua utashi ambao ni mojawapo ya hizo sababuza ujuzi timamu, hivyo hivyo kuzijua sababu zingine zinazoleta tija yaukweli wa mambo, ni hakikisho la tukio la ufichukaji na kutokea kwaelimu.

3. Na hakika daraja ya juu mno ya kuwepo kwa vitu vyote ikiwemo tukiolililo chini ya hiyari ya kibinadamu, ni kule kuwepo kwake kwenye uwan-ja wa elimu yake kamili (s.w.t.). Hivyo kwa kupitia njia yake na kwa kutoahabari Yeye (s.w.t.), elimu hutimia kwa ajili yake.

Hakika haya ambayo tumeishia, Kitabu kitukufu kimeyaeleza. Kwa kwelikimevithibitishia vitu vingine aina ya uwepo ulio mbali na mada na kime-ufanya uwepo wa mada upo chini yake, ni kana kwamba Yeye (s.w.t.)anathibitisha uwepo mmoja wa vitu ulio na tofauti, kama ilivyo katikakauli Yake (s.w.t.): “Na hakuna chochote ila tunayo khazina yake, walahatukiteremshi isipokuwa kwa kipimo maalumu.” (Sura Hijri: 21)

Hivyo kadiri yenye ukomo ya kitu ndiyo ukweli wa chombo chauteremshaji, na wala sio kitu timilifu, na katika kauli Yake (s.w.t.):

57

Elimu ya Ghaibu ya Maimamu

Elimu ya Ghaibu.qxd 7/1/2011 12:37 PM Page 57

Page 67: Elimu ya Ghaibu ya Maimamu

“Wala punje katika giza la ardhi, wala kilichorutubika wala kilichoy-abisika, ila yamo katika Kitabu kidhihirishacho.” (Sura An’aam:59).

Hivyo basi kuna aina ya uwepo wa sura ya jumla wa vitu, MwenyeziMungu (s.w.t.) ameueleza kuwa ni Kitabu kidhihirishacho bayana. Na niwazi kuwa bayana hapa haimrejelei Muumba (s.w.t.) kwa kuzingatia kuwakila kitu Kwake (s.w.t.) kipo, hivyo wala hapana maana kuielezea bayanakumhusu.

Na Aya za Kitabu kitukufu zimeeleza kuwa kitabu hiki au uwepo wa jumlawa vitu unakubali kupata sehemu ya elimu, na kuwa kunakipa kitu ainafulani ya uwezo. Kama ilivyo katika kauli Yake (s.w.t.):

“Akasema yule aliyekuwa na elimu ya Kitabu: Mimi nitakuletea hichokabla ya kupepesa jicho lako.” (Sura Naml:40).

Na mwishowe Qur’ani imeeleza kuwa uwepo huu wa jumla wa vitu umed-hibitiwa kwa hesabu katika:

“Na kila kitu tumekihifadhi katika daftari lenye kubainisha.” (SuraYasin: 12).

Japo wafasiri watofatiane katika kuainisha mpaka wa daftari lenye kubain-isha, lakini bado uhakiki wetu kuihusu mas’ala hii upo katika kituo maki-ni.56

58

Elimu ya Ghaibu ya Maimamu

56 Ilmul-Imam Wanahdhwatu Sayyidus-Shuhadai cha Muhammad HuseinTabatabaiy Uk. 30 – 32.

Elimu ya Ghaibu.qxd 7/1/2011 12:37 PM Page 58

Page 68: Elimu ya Ghaibu ya Maimamu

MLANGO WA TANOELIMU YA GHAIBU KWA WENGINE

AMBAO SIO IMAMIYA

Mwelekeo mwingine unaohitilafiana na kambi ya Ahlul-Bayt (a.s.) unali-fanyia istilahi nyingi suala la elimu ya ghaibu katika maisha ya manabii nawatu wema na mawalii. Miongoni mwa istilahi hizo ni: Kufichukiwa,Karama na Farasa57, kuwa ni vitu ambavyo hutunukiwa watu hawa.Hivyo tunakuta umashuhuri wa mwelekeo huu unathibitisha hili.Isipokuwa tu hitilafu kati yao imetokea katika misingi na majengeo yakitafsiri na dalili za kisheria za kuthibitisha jambo hili.

Udhaifu na mbabaiko umevuka mpaka kwenye tafsiri hizo, kama inavy-oonesha kuwa mas’ala hii iliachwa bila kufanyiwa darasa na kuangaliwakwa kina kwa upande wa mwelekeo huu. Na huenda suala hili linarejeakwenye hali ya kutoitakidi uimamu ambao ni ukhalifa wa unabii, ambaounalazimu umaasumu, kwa namna ambayo itikadi hii inadhihirisha kuwamaasumu ana elimu ya ghaibu, kiasi kwamba likawa kwenye hatari yakujadiliwa, kudodoswa, na kuongelewa kwa kina kulikotoa mchango wakuliimarisha jengo lake kwa ustadi wa hali ya juu.

Ama mwelekeo mwingine usiotambua umaasumu kwa yeyote baada yaRasuli (s.a.w.w.) umeichukuwa mas’ala hii juu juu haukuingia kwenyemizizi yake na wala haukuunganisha peo zake. Amechanganya kati yaKufichukiwa na Farasa na Karama na elimu ya kutunukiwa ya Maasumu.Kutokana na hali hii tutafahamu majaribio muhimu ya kitafsiri ya jambohili.

59

Elimu ya Ghaibu ya Maimamu

57 Farasa: Maono na ujuzi uingiao akilini bila kufikiri.

Elimu ya Ghaibu.qxd 7/1/2011 12:37 PM Page 59

Page 69: Elimu ya Ghaibu ya Maimamu

Jaribio la Shawkaniy:

Shawkaniy ameleta dalili ya kuthibitisha mas’ala hii kwa njia ya nukuu,hivyo akaidhania elimu ya ghaibu kuwa ni Farasa58, kwa mujibu huo ali-itolea dalili kauli yake (s.a.w.w.): “Icheleeni Farasa ya muumini kwa kuwayeye anaona kwa nuru ya Mwenyezi Mungu.” Na anatolea mfano kwaelimu aliyokuwanayo sahaba Hudhaifa Bin al-Yamani, kuwa yeye alikuwaanawatambua wanafiki kwa Farasa.

Na usahihi ni kwamba Farasa sio elimu aliyokuwa nayo Hudhaifa, kwakuwa elimu yake kuwahusu watu hao alikuwa ameichukua kutoka kwaNabii (s.a.w.w.) kwa stahiki aliyokuwa nayo Hudhaifa, na hiyo ni hibakutoka Kwake (s.w.t.), kwa hiyo elimu ya aina hii sio Farasa, japokuwaFarasa ni aina ya kipaji cha kiungu.

Kisha unajitokeza mchangayo mwingine ndani ya maneno ya Shawkaniy,anadai kuwa Karama au Kufichukiwa, kunakumbwa na Shetani. Kwaminajili hiyo tunasema: Mwenye elimu ya kutunukiwa itolewayo hiba kwamaasumu haikumbwi na Shetani, hivyo basi elimu yake sio Karama walaKufichukiwa, kukusudiwako ndani ya maneno ya Shawkaniy.

Ama kudai kuwa kufaidika kwake na usahihi wa uwalii au Karama kwakutoa habari zinazoafikiana na ukweli kuwa ni dalili ya kufichukiwa, hiloliko mbali, kwa sababu elimu aliyokuwa nayo Hudhaifa inahitilafiana naelimu aliyonayo mtu mwingine. Hudhaifa hakuwajua wao kwa kufichuki-wa, japokuwa utoaji habari wake unaafikiana na ukweli kama ilivyo kwamwenye elimu ya kutunukiwa au ambaye anaimiliki kwa kadiri. Na hayokwako aliyoyasema Shawkaniy:

“Kwa hakika Kufichukiwa ni jambo linalowezekana kutokea, si jaizi kwayeyote kulikanusha. Na miongoni mwa mifano ya hilo ni Sahaba Hudhaifa

60

Elimu ya Ghaibu ya Maimamu

58 Farasa: Maono na ujuzi uingiao akilini bila kufikiri.

Elimu ya Ghaibu.qxd 7/1/2011 12:37 PM Page 60

Page 70: Elimu ya Ghaibu ya Maimamu

Bin al-Yaman kuwatambua kwake wanafiki; kwa minajili hiyo tunasema:Mkanushaji asikanushe yatokeayo kwao miongoni mwa kufichukiwakwenye ukweli kunakoafikiana na hali halisi. Katika hilo kuna Hadithi yaNabii (s.a.w.w): “Icheleeni Farasa ya muumini kwa kuwa yeye huona kwanuru ya Mwenyezi Mungu.”59 Lakini hapana budi kuugemezaKufichukiwa huku kwenye sheria ili kuuthibitisha.

Huenda mchanganyo wa Shetani ukawasukuma baadhi ya watu pindiutashi wao unapokithiri na kuchemka utashi wa nafsi, na kuwafikishakwenye aina ya uoni na harakati za kipekee ambazo haziafikiani na huku-mu za kiislamu, ambazo huitwa Shatahati, na kwa hao hiyo ni ishara, nakuwa dhahiri yao haielezei ukweli wa hali yao. Lakini mwenendo huu uit-wao Shatahati ndio ulioharibu itikadi za wengi, kwa hiyo iliwasukumiakwenye kuritadi mbali na Uislamu.60

Ama jaribio la Ibnu Taymiyya ni kuwa: Amevigawa vitendo vinavyovukahali ya kawaida na kuviweka kwenye sehemu ya Kufichukiwa, ambayo niaina ya elimu na sehemu ya utendaji ambao ni katika jinsi ya uwezo nakumiliki. Na sehemu ya matendo haya kuna yanayorejea kwenye jinsi yautajiri.61

Na mahali pengine amesema: “Na yote Mwenyezi Mungu ampaye mjawake katika mambo haya, endapo atajisaidia nayo kwa anayopendaMwenyezi Mungu na kuyaridhia na yanayomkurubisha kwake na kun-yanyua daraja yake kwa hayo, basi atazidi kupanda na kuwa karibu naAllah na Mtume Wake. Na endapo atajisaidia kwayo kwa ajili ya aliyoy-

61

Elimu ya Ghaibu ya Maimamu

59 Qutrul-Wali Alal-Hadithil-Wali cha Shawkaniy. Uhakiki na kutolewa naIbrahiim Hilal. Chapa ya Ihyau Turath Al-Arabiy Biduni Tariikh Uk. 249- Beiruti.60 Rejea ileile iliyotangulia.

61 Ibnu Taymiyya, Kitabu Taswawufu Uk. 298, nukuu kutoka kwa Dkt. As’ad al-Sahamraniy Uk. 155.

Elimu ya Ghaibu.qxd 7/1/2011 12:37 PM Page 61

Page 71: Elimu ya Ghaibu ya Maimamu

akataza Mwenyezi Mungu na Mtume Wake, kama ushirikina, dhulma nayanayochukiza, basi kwa hayo atastahili lawama na adhabu. Hivyo sanahuadhibiwa watu wa vioja, mara kwa kuvipokonya kama anavyoenguliwamfalme kwenye ufalme wake na kupokonywa mwanachuoni elimu yake.Na mara huteremshwa na kuwa kwenye daraja ya mafasiki na penginehuritadi kwa kuacha Uislamu.”62

Mgao huu wa matendo yanayovuka kiwango cha kawaida au yanayoitwaKufichukiwa yanatofautiana kabisa na madhehebu ya Ahlul-Bayt (a.s.),kwa kuwa Mwenyezi Mungu haupokonyi umaasumu kutoka kwa maa-sumu, ambao ndanimwe mna elimu ya kutunukiwa baada ya kustahiki kwamakadirio Yake (s.w.t.).

Na umaasumu kama ilivyo elimu ya kutunukiwa iliyotolewa hiba ambayoimedhamini umaasumu unakataa kutenda kinyume na irada ya Kiungu.Kwa kuwa ni elimu ambayo maasum amestahiki kuhifadhiwa nayo, naMola anamtunukia Imam mwenye ainisho kutoka kwa Nabii (s.a.w.w.),kwa lengo la kuusadikisha unabii na kutekeleza uliyoyaleta na kuyaongozakupitia Imam, kwa hiyo kuipokonya elimu kunakinzana na lengo laKiungu ambalo hapana budi litekelezwe kwa njia ya kuwepo kwa maasumbaada ya Nabii (s.a.w.w.).

Lakini yawezekana kuyachukulia maneno ya Ibnu Taymiyya kuhusumambo yasiyo ya ada, kuwa ni katika aina nyingine na si elimu iliy-otunukiwa ambayo ni juu ya ada, na ambayo ni miongoni mwa yalazimi-anayo na umaasumu, kulingana na madhehabu ya Ahlul-Bayt (a.s.).

Ama kukiri kwa Ibnu Abul-Hadiid mas’ala ni kuwa hakuzungumziamas’ala hii kwa ufafanuzi, bali tu ameishia kukanusha kuwepo kupinganakati ya kauli Yake (s.w.t.): “Na nafsi yoyote haijui ni nini itakayochumakesho..” (Sura Luqman: 34) na kujua kwake fika (s.a.w.w.) ushindi wa

62

Elimu ya Ghaibu ya Maimamu

62 Al-Farqu Bayna Awliyair-Ridha Waauliyais-Shaytani cha Ibnu Taymiyya Uk.151.

Elimu ya Ghaibu.qxd 7/1/2011 12:37 PM Page 62

Page 72: Elimu ya Ghaibu ya Maimamu

Makka, na itakavyokuwa baadae ikiwemo kuwaua Nakithina naMariqiina.

Anasema: “Upeo ambao Aya yajulisha ni kukanusha elimu yayatakayokuwa kesho, ama ikiwa ni kwa kujulishwa na Allah, silolililokanushwa, kwani bila shaka ni jaizi Allah (s.w.t.) amwelimishe Nabiiwake yatakayokuwa.”63

Na kuifikia mas’ala hii kwa kadiri hii haitoshelezi kadiri itakiwayo, ila nikuwa mkusanyo wake kwa njia hii haupingani na mwenendo wa wafuasiwa madrasa ya Ahlul-Bayt (a.s.).

Ama Ibnu Khaldun anautambulisha Uwalii, Kufichukiwa, Ilmu ya ghaibuna kusifika na mambo haya, kuwa hakuhitaji kupata elimu wala kusifika namwenendo wa sawa unaoendana na amri za risala na katazo zake. Kwaminajili hiyo anatilia nguvu kuwa Mwenyezi Mungu amewatunukiaUwalii huu, Kufichukiwa, na kuijua ghaibu watu vichaa, na miongoni mwahao ni:

“Kaumu ya Mabahaluli waliochanganyikiwa, wanaoshabihiana zaidi nawendawazimu kuliko wenye akili. Wao pamoja na hayo imesihi kuwawametunukiwa nafasi za Uwalii na hali za wasema kweli. Wamejua hilokutokana na hali zao wale wanaowafahamu miongoni mwa wenye uelewajapokuwa wao sio mukalafina. Na hupatikana kwao miongoni mwakhabari za ghaibu za ajabu kwa kuwa wao hawana mwiko. Kwa hiyowanayaachia maneno yao katika hayo na wanaleta maajabu, na huendawanafiqhi wakafikiri kuwa wao wana kitu miongoni mwa makamu, kwawaonavyo kuwa taklifu haipo kwao, na Uwalii haupatikani ila kwa ibada.Na hilo ni kosa kwani fadhila za Mwenyezi Mungu humpa amtakae walakupatikana kwa Uwalii hakutegemei ibada wala jingine.”64

63

Elimu ya Ghaibu ya Maimamu

63 Sharhun-Nahji Juz. 1, Uk. 427.64 Tariikhu Ibn Khaldun Juz.1, Uk. 110.

Elimu ya Ghaibu.qxd 7/1/2011 12:37 PM Page 63

Page 73: Elimu ya Ghaibu ya Maimamu

Ni kawaida kuwa Uwalii na Kufichukiwa akusudiako Ibnu Khaldun katikamaneno yake, sio Uwalii na elimu aliyonayo maasum, ambayo hakunamwachano kati ya elimu yake aliyotunukiwa kutoka Kwake (s.w.t.) namwenendo wake na matendo yake. Kwa kuwa sababu yenye kuzalishamwenendo ni elimu na kukata shauri kuwa kitu kipo na kufichuka kwake.Kisha haja ya kukipata kwake huzua mwenendo na harakati za kukifikia,na si sahihi kuwa mwenendo huja kwa sababu ya kukosa elimu, au kuwamwenendo wake unahitilafiana na elimu yake, wa ila yeye ni kama ambayeakatae shauri kuwa maji yapo nyuma yake naye akiwa anayahitaji, kishaanakwenda si kwenye mwelekeo wake.

Ama maelezo ya Fakhru Razi ndani ya tafsiri yake65, hilo ni jaribio la uso-gezaji karibu wa kuthibitisha karama ndani ya Qur’ani na si zaidi. Naambalo tulikusudialo ni kuthibitisha elimu ya kutunukiwa kutoka Kwake(s.w.t.) kama sifa inayolazimiana na maasum. Na ambayo inatunufaishasisi kuitafiti ni uwezekano tu wakupatikana karama kwa asiye maasum.Kama ambavyo karama haifai kuwa kama mahali pa kumthibitishia yeyoteUwalii katika watu.

Na jengo hili linahitilafiana na madhehebu yetu katika kuthibitisha Uwaliiambao hauthibiti ila kwa tamko kutoka kwa Rasul (s.a.w.w.) linayofichuakwa upande wake umaasumu unaodhamini elimu ya kutunukiwa. Kwaminajili hiyo karama haijawa kama njia ya kuthibitisha Uwalii kwetu.

64

Elimu ya Ghaibu ya Maimamu

65 At-Tafsiri Al-Kabiir cha Fakhru Razi Juz. 21, Uk. 91.

Elimu ya Ghaibu.qxd 7/1/2011 12:37 PM Page 64

Page 74: Elimu ya Ghaibu ya Maimamu

MLANGO WA SITAHISTORIA YA MAS’ALA HII NA MWELEKEO WAKE

KITAFSIRI KATIKA MAONI YA IMAMIYYA

Wafuasi wa madrasa ya Ahlul-Bayt (a.s.) wamejilazimisha bila ya utafitiwa ziyada kuwa Nabii (s.a.w.w.) hapana budi awe mjuzi wa yote ambayoumma unahitajia. Kwa sababu ujinga ni upungufu na hapana budi Nabii(s.a.w.w.) awe mkamilifu mno miongoni mwa raia ili astahiki kutiiwa.

Hivyo hivyo Imam hapana budi awe mjuzi kwa mfano huo hata awe anas-tahiki ukhalifa wa Nabii (s.a.w.w.) katika kutiiwa na kufuata athari zake naili awe kigezo. Baada ya haya utafiti umetokea kuhusu duru ya elimuambayo Nabii (s.a.w.w.) yalazimu asifike nayo au Imam (a.s.). Je elimuhiyo ni ya hukumu tu? Au elimu ya maudhui za nje, na matukio mengineya kilimwengu, yakiwemo mambo ya ghaibu yaliyopita na yajayo?

Hivyo Imamia wamejilazimisha na uwezekano wa elimu hii kwa namna yamoja kwa moja na kutokuwa mahsusi au kuifunga na kitu mbali na kinginemiongoni mwa maalumati yenyewe binafsi, isipokuwa yale ambayo daliliya kata shauri imejulisha kuitoa.

Na kumepingwa kujilazimisha huku kwa njia kadhaa, tunazichagua mion-goni mwazo njia mbili, kwa kuwa mbili hizo ni mihimili miwili ambayokwayo jiwe la mjadala na mazungumzo linazunguka katikati ya Imamiyya.

Ya kwanza: Nabii na Imam ikiwa wanajua ghaibu hapana budi watakuwawanajua yanayowadhuru na kuwaumiza. Akili na sheria zinahukumu kuwani wajibu kujiepusha na kuwa mbali na yanayosumbua na kudhuru. Haliikiwa tunakuta kuingia kwa Nabii na Imam katika yaliyowadhuru nakuwaudhi.

65

Elimu ya Ghaibu ya Maimamu

Elimu ya Ghaibu.qxd 7/1/2011 12:37 PM Page 65

Page 75: Elimu ya Ghaibu ya Maimamu

Na umekuja uwazi wa ukweli huu katika ulimi wa Nabii katika usemiwake (s.w.t.):

“Na lau kama ningelijua ghaibu bila shaka ningejizidishia memamengi, wala isingenigusa dhara, mimi si chochote ila ni mwonyaji nambashiri tu kwa kaumu wanaoamini.” (Sura Aarafu:188).

Lau Maimam wangekuwa wanajua ghaibu wasingefanya matendo yaliyos-ababisha kuuliwa na umauti wao, na kuwaingiza kwenye ubaya dhidi yao.Kama Amiirul-Mu’miniina alivyoanza kwenda msikitini usiku wa dharubaya Ibnu Muljim na alikufa shahidi kutokana na dharuba yake. Na kamaalivyoanza kwenda al-Husain (a.s.) Karbala alikouliwa na wanawake wakekuchukuliwa mateka na msafara wake kuporwa, kwa kuwa hayo yote lauangekuwa ana elimu nayo, basi yangekuwa miongoni mwa vielelezo vyawazi vya kuiingiza nafsi kwenye maangamizi, ambako Mwenyezi Mungu(s.w.t.) amekataza kwa kauli Yake (s.w.t.):

“Wala msizitie nafsi zenu katika maangamizo, na fanyeni wema.Hakika Mwenyezi Mungu huwapenda wafanyao wema.” (Sura al-Baqara: 195).

Kwa kweli upinzani huu umechochewa zamani sana hata kwa kweli sisitunakuta umedhihiriswa mbele ya Maimam wenyewe (a.s.), na tunaukutaumewekwa katika karne zilizofuata ukirudiwa. Na majibu yake yamekujakwa idadi nyingi hivyo hivyo kupitia karne nyingi.

66

Elimu ya Ghaibu ya Maimamu

Elimu ya Ghaibu.qxd 7/1/2011 12:37 PM Page 66

Page 76: Elimu ya Ghaibu ya Maimamu

Pili: Lau tufanye mfano kuwa kuna taklifu ya kifichifichi inayomtaka kuji-ingiza kwenye maangamizi pamwe na kuthibiti elimu yake kuhusumatokeo ya baadae, basi kusimama kwa Imam Husein (a.s.) kungekuwasawa na mmoja yoyote miongoni mwa Maimamu ambao wanamiliki elimuya ghaibu iliyoporomoka maana yake, kwa sababu hakuwa na hiyari ilakwenda kuelekea majaliwa yake. Hii ikiwa kinyume na hali ya kutojuamajaliwa yake, hapo basi kusimama kwake kutakuwa miongoni mwahiyari imuiayo rahisi kwake, na tofauti kati ya mambo hayo mawili nikubwa.

Na kabla ya kuingia katika utafiti wa kihistoria wa mas’ala hii na yaliy-opelekea tafsiri yake, hapana budi kuthibitisha utangulizi utakaokuwamahali pa jibu linalokata msingi wa mjadala. Hii ni kuwa uimamuukimthibitikia mtu, basi hapana budi sharti zake za msingi ziwepo kwa mtuhuyo, na miongoni mwa sharti zake kwa Imamiya ni umaasumu. Naomaana yake ni kuzuilika mbali na dhambi na maasi kwa hiyari, na mion-goni mwa umaasumu ni kuwa na elimu ya hukumu za kisheria kwaufafanuzi.

Na ambaye uimamu wake umesihi na kukusanya sharti zake, haiji katikataswira kuhusiana na yeye awe atenda haramu kama kuiingiza nafsikwenye maangamizi kulikokatazwa katika Aya. Kadhalika hawezi kufanyakitendo kinachobatilisha maana. Hapo basi hapana budi litokalo kwakeliwe katika sura ya kisheria. Hivyo basi haiwezekani kuegemeza kwakeuharamu wa kujiingiza katika maangamizi au matendo yasiyo kuwa namaana, ili kumkanushia elimu ya ghaibu, kwa kuwa kuijadili elimu yakeya ghaibu huwa baada ya kuukubali uimamu wake, nao wamkanushia kuji-ingiza katika haramu. Na hii yamaanisha kuwa analofanya ni halali na she-ria, sawa awe ajua ghaibu au hajui.

Hivyo basi haiwezekani kukanusha elimu yake ya ghaibu kwa uharamu wakujiingiza katika maangamizi, na hivyo hivyo kufanya kwake kitendochenye maana batili.

67

Elimu ya Ghaibu ya Maimamu

Elimu ya Ghaibu.qxd 7/1/2011 12:37 PM Page 67

Page 77: Elimu ya Ghaibu ya Maimamu

Kwa minajili hiyo tumefikia kuwa pinzani mbili hizi zote hazitoki kwaanayeitakidi sharti za uimamu wa haki unaokubalika na kuthibiti katikavitabu vya theiolojia na uimamu. Na yaliyopo katika sura ya pinzani hizimbili au zingine katika turathi yetu, huo ni mfano uliofanywa kwa lengo lakuondoa utata wa wapinzani na kujibu upinzani wao.

DARAJA LA KWANZA: ZAMA ZA MAIMAM (A.S.)

Sura ya maudhui ya elimu ya Maimamu ya ghaibu wakati wa uhai waokatika kitovu cha Imamia ni kama jambo la kiitikadi na la kimatendo,kwani ilikuwa ni maudhui ya mjadala na ushindani na kuulizana kati yao.Kwa mwenye kuzingatia Hadithi ambazo zinanakiliwa na vitabu vyahadithi atavikuta vinafichua ukubwa wa umuhimu wa maudhui hii kwamtazamo wa Maimamu (a.s.), na Umma unavihitajia kwa upande wamalezi na dharura ya kuelewa maana yake kikamilifu kwa utashi wa kuten-dea kazi kwa uelewa kamili.

Kwa ajili hiyo majibu ya Maimamu hasa katika maudhui hii yalikuwa nasura tofauti, yakitaka kwa wakati huo huo kuondoa ukungu ulioyazingirana kuhofia kuyafanyia vibaya. Hivyo katika jumla ya maswali hayo ni yalealiyojibu Imam Ridha (a.s.).

1 – Kutoka kwa Hasan Bin al-Jaham alisema: “Nilimwambia Ridha (a.s.)kuwa Amiirul-Mu’minina (a.s.) alimtambua muuwaji wake na usikuambao atauliwa na mahali atakapouliwa. Na kauli yake aliposikia kelele zabata ndani ya nyumba: ‘Kelele za bata zitafuatiwa na vilio vya kina mama.’Na kauli ya Ummu Kulthum: ‘Lau ungeswali usiku huu ndani ya nyumba,na ungemwamuru mtu mwingine awaswalishe watu.’ Lakini alimkatalia.Na kuingia na kutoka kulikithiri usiku ule akiwa bila ya silaha! Na alitam-bua (a.s.) kuwa Ibnu Muljim, Mwenyezi Mungu amlaani, ni muuwaji wakekwa upanga. Haya yalikuwa miongoni mwa yasiyofaa kuguswa?”

68

Elimu ya Ghaibu ya Maimamu

Elimu ya Ghaibu.qxd 7/1/2011 12:37 PM Page 68

Page 78: Elimu ya Ghaibu ya Maimamu

Akasema (a.s.): “Hayo yote yalikuwa lakini yeye alihiyarishwa usiku uleili kudra ya Mwenyezi Mungu (s.w.t.) ipite.”66

Na kutokana na Hadithi hii faida inapatikana kwa mambo kadhaa:

La kwanza: Mushkeli huu ulikuwa umeletwa mbele toka zama zaMaimamu na kwa kiwango cha juu, pale mmoja miongoni mwa wapokeziwakubwa alipouleta mbele. Nae ni al-Hasan Bin al-Jaham Bin Bakiir BinA’ayan, Abu Muhammad az-Zurariy as-Shiibaniy, ambaye ni miongonimwa wanandani wa Imam Ridha (a.s.). Na imepokewa Hadithi kutoka kwaImam Al-Kadhim (a.s.) na kutoka kwake yeye limepokea Hadithi kundimiongoni mwa waaminifu wa madhehebu haya. Na uaminifu wakeumeelezwa wazi. Naye anacho kitabu maarufu, watu wa enklopediawameeleza riwaya kutokana na kitabu hicho, na anazo Hadithi nyingi kati-ka vitabu vinne.67 Na yeye ni miongoni mwa wakuu wa Aali Zurara,nyumba ya kishia iliyo maarufu kwa kushikamana na madhehebu hii.

Pili: Elimu ya Imam na utambuzi wake wa wakati wa kuuliwa kwake, nayaliyotajwa katika riwaya miongoni mwa kauli na vitendo vijulishavyokuchagua kwake kuuliwa na kukuendea kwake. Hayo yote ni mamboyalikuwa yanakubalika kutokea na ni maarufu katika zama za muulizaji.

Tatu: Kwa kweli mpokezi aliuliza sababu ya Imam kuyaendea kwakemambo haya, na yeye akiwa ajua yatafikia kuuliwa kwake, vipi inakuwajaizi yeye kujipeleka binafsi kwenye kifo?

Nayo ndiyo madhumuni ya upinzani wa kwanza.

Nne: Ni kuwa jibu la Imam Ridha (a.s.) kwa kauli yake: “Hayo yoteyalikuwa” ni sadikisho la yote yaliyojiri katika swali kuhusu habari ya

69

Elimu ya Ghaibu ya Maimamu

66 Al-Kaafiy: Juz. 1, Uk. 359.67 Muujamul-Aalam Min Aali Aayan al-Kariim Uk. 204. Namba 12.

Elimu ya Ghaibu.qxd 7/1/2011 12:37 PM Page 69

Page 79: Elimu ya Ghaibu ya Maimamu

elimu ya Imam, kauli na vitendo alivyovitaja muulizaji. Na kutopinga kwaImam Ridha (a.s.) kitu chochote katika hayo na kutokukanusha kwake,yote hayo ni dalili ya kuafiki kwake Imam Ridha (a.s.) itikadi ya muuliza-ji kuhusu elimu ya Imam wakati wa kuuliwa kwake.

Tano: Jibu la Imam Ridha (a.s.) la swali kwa kuelekeza ujasiri wa Imam,na kutopinga asili ya dhana ya elimu ya ghaibu, ni dalili ya kuikubali dhanahii, na kutothibiti upinzani wa mwanzo.

Sita: Kauli ya Imam katika jibu: “Lakini yeye alihiyarishwa” ni wazikuwa Imam (a.s.) alipewa hiyari kuhusu suala la umauti wake, hivyo alich-agua kuuliwa ili mambo yajiri katika makadirio yake yalioainishwa katikaghaibu, na iwe yajulisha utii wake mno wa irada Yake Allah (s.w.t.) nakufuata kwake makadirio yake.

Na hii ni maana ya wazi mno na yenye uwiano mno na anwani ya mlango.Na katika nakala nyingine alioitaja al-Majlisiy badala ya neno“Alihiyarishwa” kuna neno “Aliwekewa wakati”. Ambalo maana yake nikuwa kuuliwa kuliainishwa wakati ule, kwa ajili ya makadirio ambayoMwenyezi Mungu alikadiria yapite na yathibiti. Hivyo inakuwa dalili yaHadithi juu ya anwani ni kuthibiti elimu ya Imam tu wakati wa kuuliwakwake na kujipeleka kwake, na kutokataa kwake na kutojihami kwakebinafsi. Na hilo ladhamini kuwa Imam aliafiki makadirio na alifanya kulin-gana nayo.

Ama nakala “Alifadhaishwa” haina maana, kwa sababu kufadhaishwakwa Imam hakuna maingiliano na kujipeleka kwake kuuliwa akiwa anajua,bali hilo linaitangua dhana hii, hailingani na anwani ya mlango huu. Hivyodhana yake inakataliwa. Na huenda ikawa limekosewa kutoka neno (khub-bira ) likiwa na maana ya alijulishwa, kwa hiyo inakuwa kwenda sawa namakadirio na kuyapitisha ni sababu ya Imamu kupewa khabari na kujul-ishwa. Lakini hii haiachwi bila kuzingatiwa.

70

Elimu ya Ghaibu ya Maimamu

Elimu ya Ghaibu.qxd 7/1/2011 12:37 PM Page 70

Page 80: Elimu ya Ghaibu ya Maimamu

Maana iliyo bora na inayolingana na anuwani ni (Khuyyira)“Alihiyarishwa” kama tulivyofafanua. Hivyo dalili ya Hadithi kuhusukuthibiti wa elimu ya Imam ya wakati wa umauti wake, na kuchaguakwake katika hilo, ni wazi kabisa.

Na jibu la upinzani wa kujiingiza katika maangamizi ni kuwa: Imam ali-uchagua umauti na kuuliwa kwa namna ambayo juu yake imejiri kadari, iliafichue upeo wa utii wake kwa Allah na kufuata kwake utashi Wake nakumpenda kwake na kwisha kwake humo, na kuwa kwake na shauku Nayena upendo wake wa kukutana Naye, kama ilivyonakiliwa kauli kutokakwao (a.s.): “Ridhaa kwa ajili ya ridhaa Yako. Kusalimu amri Yako.Hapana mwabudiwa wa haki asiye kuwa Wewe.”

2. Kwa sanad yake kutoka kwa aliyeingizwa kwa Musa al-Kadhim (a.s.),basi (a.s.) akatoa habari kuwa amenyweshwa sumu na kesho atakuwa kati-ka hali ya kifo na kesho kutwa atakufa. Hivyo dalili ya elimu ya Imam juuya wakati wa umauti wake ni wazi.68

3. Kutoka kwa Imam Ja’far as-Swadiq (a.s.) kutoka kwa baba yake al-Baqir (a.s.): Kuwa yeye alimjia baba yake Ali Bin al-Husain as-Sajjad(a.s.). Alimwambia: Usiku huu ndio ambao atafishwa. Nao ni usiku ambaoalifishwa humo Mtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.).69

Na kuwa ni dalili juu ya elimu ya Imam ya usiku wa kufa kwake ni wazi.

4. Sanad yake kwa Abul-Hasan ar-Ridha (a.s.), kuwa yeye alimwambiamsafiri mpokezi: Kuwa yeye alimuona Mtume wa Mwenyezi Munguakimwambia: Ewe Ali! Tuliyonayo ni bora kwako.70

71

Elimu ya Ghaibu ya Maimamu

68 Biharul-Anwar Juz. 48, Uk. 247. Madhumuni ya Hadithi ya 56.69 Biharul-Anwar Juz. 49, Uk. 313. na Sharhuz-Ziyara al-Jaamia Uk. 117.70 Biharul-Anwar Juz. 49, Uk. 54.

Elimu ya Ghaibu.qxd 7/1/2011 12:37 PM Page 71

Page 81: Elimu ya Ghaibu ya Maimamu

Na ni wazi kuwa kauli hii ni wito kwa Imam ayaelekee yaliyo kwa Mtumewa Mwenyezi Mungu, na hiyo ni kinaya ya wazi imaanishayo umauti naImam Ridha (a.s.), amefananisha uwazi wa hilo na uwazi wa kuwepo kwasamaki katika mfereji ambao aliuishiria mwanzo wa hadithi.

5. Sanadi yake kutoka kwa Abu Abdillah as-Swadiq (a.s.): Kuwa baba yakealimuusia vitu katika ghusli yake na katika sanda yake na katika kuingizwakwake kaburini mwake, hali hakuna juu yake athari ya umauti. Al-Baqir(a.s.) alisema: “Ewe mwanangu haukumsikia Ali Bin al-Husein (a.s.) aki-nadi nyuma ya ukuta: ‘Ewe Muhammad, njoo, fanya haraka.’”71

Na kujulisha kwake ni kama Hadithi ya kwanza, kuwa wito ni wa nyumbaya akhera, na hapa muktadha upo wazi mno, Imam alipousia kumwandaa.Na Hadithi mbili hizi kujulisha kuwa hiyari ni ya Imam kupo wazi mno,kwa kuwa ni wito peke yake hakuna lazima ya kuutekeleza, bali utekeleza-ji wasimama juu ya itikio la hiyari la wito huo.

6. Sanadi yake kutoka kwa Abdul-Maliki Bin Aayan kutoka kwa AbuJa’far (a.s.). Alisema: Mwenyezi Mungu (s.w.t.) aliteremsha nusra juu yaHusain (a.s.) mpaka ikawa kati ya mbingu na ardhi,72 kisha alihiyarishwakupata nusra au kukutana na Allah (s.w.t.).

Na kujulisha kwake humo kuhiyarishwa halafu Imam kuchagua kwakekukutana na Mwenyezi Mungu ni wazi mno.

72

Elimu ya Ghaibu ya Maimamu

71 Al-Kafiy Juz. 1, Uk. 260. Hadithi ya 7.72 Tarikh Aliz-Zararah Uk. 124. Na katika lafudhi nyingine ni kutoka kwa as-Sadiq, tazama Kalimatul-Imam as-Sadiq Uk. 473.

Elimu ya Ghaibu.qxd 7/1/2011 12:37 PM Page 72

Page 82: Elimu ya Ghaibu ya Maimamu

DARAJA LA PILI: BAADA YA KUGHIBU KWA MAASUMU (A.S.)

Tunaanza kuleta mbele rai ya baadhi ya wanachuoni wa mwanzo miongo-ni mwa ambao wameguswa na mas’ala hii.

Sheikh Mufiidu: Rai ya Sheikh Mufidu ni kuwa elimu ya Ghaibu yaMaimamu (a.s.) ni thabiti kwa ajili yao, bila ya kuwa ni sifa ya dhati kwao,wala kuwa ni wajibu kiakili kwake, bali yenyewe ni karama kutoka kwaMwenyezi Mungu kwa ajili yao, na kuwa kusikia kumekuja na hilo. Kaulihii imenasibishiwa jamaa watu wa uimamu, hakuwaengua ila wasio wakawaida miongoni mwa ghulatu.

“Kuwa Maimamu kutoka Aali Muhammad (a.s.) walikuwa wanajuadhamiri za baadhi ya waja na walijua kitakachokuwa kabla hakijawa,na hilo si wajibu katika sifa zao wala si sharti ya Uimamu wao. Nikuwa Mwenyezi Mungu (s.w.t.) amewakirimu hilo na kuwaelimishanalo, kwa ajili ya wema katika ibada yao na kushikamana na uimamuwao. Na hilo sio wajibu kiakili lakini limekuwa wajibu kwao kwa njiaya kusikia.

“Ama kuiachia kauli juu yao kuwa wao wanajua ghaibu ni jambolisilokubalika mbele ya mafisadi, kwa kuwa sifa hiyo anayestahiki nimwenye kujua vitu mwenyewe, sio kwa elimu ya kufaidika, na hawihivyo ila Allah. Na wapo katika kauli yangu hii jamaa watu wa uima-mu, ila walio nje ya utaratibu miongoni mwa Mufawidhwa na walioji-ambatanisha nao miongoni mwa Ghulatu.”73

Na amethibitisha katika kitabu chake al-Irshad mifano miongoni mwariwaya zilizokuja katika uelezaji wao wa habari za ghaibu, sawa iwe

73

Elimu ya Ghaibu ya Maimamu

73 Awailul-Maqalati Uk. 77.chapa ya Muutamaru Sheikh Mufiidu.

Elimu ya Ghaibu.qxd 7/1/2011 12:37 PM Page 73

Page 83: Elimu ya Ghaibu ya Maimamu

kuhusu zilizopita au zijazo, hata kuhusu habari za wasemeshwa nawayafichayo nafsini mwao. Ametaja hayo katika dalili za kila mmojamiongoni mwa Maimamu (a.s.) katika kufafanua hali zao.

Haya hapa kwako aliyoyasema Sheikh baada ya kuleta swali linalokujia:“Kwetu sisi Imam anajua yatakayokuwa, basi imekuwaje Amirul-Mu’miniin (a.s.) alitoka kwenda msikitini hali akijua kuwa ni mwenyekuuawa na alimjua muuaji wake, wakati na muda? Na imekuwaje Husein(a.s.) aliwaelekea watu wa Kufa akiwa anajua kuwa watamtelekeza walahawatomnusuru, na kuwa yeye ni mwenye kuuliwa katika safari yake ile,na kwa nini alipozingirwa na alikuwa anajua kuwa maji yapo lauangechimba dhiraa kidogo hakuchimba. Kwa nini aliwasaidia dhidi yanafsi yake mpaka aliangamia kwa kiu? Na Hasan (a.s.) alimpa ahadiMuawiya, hali akiwa anajua kuwa ataihini wala hatotekekeza na atawauwaShia wa baba yake (a.s.)?

“Jibu: Imam anajua litakalokuwa kwa ijmai yetu, kwa kweli suala lipokinyume na alivyosema na walivyoafikiana Shia wote juu ya kauli hii.Lakini kuafikiana kwao kupo thabiti kuwa Imam anajua hukumu ya kilalitakalokuwa, bila ya kuwa anajua litakalokuwa lenyewe na ufafanuzi wandani wa lile litakalokuwa. Jibu hilo linaidondosha asili iliyojengewamaswali haya yote.

“Na sisi hatukatai Imamu kujua kiini cha matukio ikiwa kwa kuelimishwana Mwenyezi Mungu (s.w.t.). Ama kauli ya kuwa yeye anajua kilalinalokuwa, sisi hatuitoi wala kumuona amesema sawa msemaji wa madaihayo panapokuwa hapana hoja wala ubainifu.”74

Na Sheikh Mufiidu kwa kauli yake hii hatofautishi kati ya elimu ya Imamuya hukmu za kisheria na elimu yake ya maudhui, madamu hilo limetimiakutoka kwa Mwenyezi Mungu (s.w.t.).

74

Elimu ya Ghaibu ya Maimamu

74 Muswanafatu Shaikh al-Mufiid 6:69.

Elimu ya Ghaibu.qxd 7/1/2011 12:37 PM Page 74

Page 84: Elimu ya Ghaibu ya Maimamu

Na usahihi ni kwamba Imamu hajui litakalokuja kuwa moja kwa moja.

Sheikh Tusi: Ama rai ya Sheikh Tusi kuhusu mas’ala hii inakuwa wazikupitia swali aliloulizwa baada ya kuchukulia kuwa Maimamu wana elimuya ghaibu, na kuwa Imamu Ali bin Abi Talibi (a.s.) alikuwa anamjuaatakayemuua usiku ule, kadhalika Imamu Husain (a.s) ila tu wawili hawawaliamriwa wavute subira kwa hayo?

Alijibu, rehema ya Mwenyezi Mungu imfikie: “Imesemwa: Swahiba zetuwamehitilafiana katika hilo: Miongoni mwao kuna aliyejuzisha hilo.”75

Na amesema: “Haizuiliki ifanywe ibada hii kwa subira katika mfano kamahuu, kwa kuwa mauaji yaliyotokea – ingawaje kwa aliyefanya ni vibaya -lakini kulifanyia subira hilo ni vyema, na thawabu yake ni kubwa. Balihuenda ikawa nyingi zaidi, kwa kuwa pamoja na ujuzi wa kupatikanamauaji - bila kizuizi – lakini subira ni jambo zito mno inapouvuka ushindina ikilifikia lengo.

“Na miongoni mwao kuna wale waliosema: ‘Si jaizi kufanya hivyo, kwakuwa kuilinda nafsi isipatwe na madhara ni wajibu wa kiakili na wa kish-eria, wala haijuzu kuitekeleza ibada ya subira kwenye jambo baya, kwakweli hutekelezwa tu ibada ya subira kwenye jambo jema, na hapana kuhi-tilafiana kuwa yaliyotokea katika mauaji yalikuwa mabaya, bali ni mion-goni mwa mabaya mno’.

“Msemaji huyu amefanya ta’awili yaliyoelezwa kutoka kwa Amirul-Mu’minina (a.s.) miongoni mwa habari zinazojulisha kuwa alijua atauliwa,msemaji anasema: ‘Alikuwa anajuwa kwa njia ya jumla, wala hakuwa ana-jua wakati wenyewe hasa, na kadhalika alijua usiku wenyewe atakaouawa,ila tu ni kwamba alikuwa hajui wakati ambao tukio la mauaji litatokea.’

75

Elimu ya Ghaibu ya Maimamu

75 Ameyafafanua maelezo hayo muhakiki mwandishi wa kitabu Talkhiisus-Shafii:

“Kwa hilo anawakusudia Masheikh wawili al-Mufiidu na al-Kaylaniy”.

Elimu ya Ghaibu.qxd 7/1/2011 12:37 PM Page 75

Page 85: Elimu ya Ghaibu ya Maimamu

Mwenendo huu ndio aliouchagua al-Murtadha (Mwenyezi Mungu amre-hemu) katika mas’ala hii. Na mimi (Tusi) nina maoni katika mas’ala hii.”76

Sheikh Tusi ameziwekea wigo kauli za wafuasi wa kambi ya Ahlul-Bayt(a.s.) katika mas’ala ya elimu ya ghaibu ya Maimamu, kati ya kauli mbilitu, wala hawajahitilafiana katika asili ya elimu ya ghaibu ya Maimamu,bali wamehitilafiana kuhusu maarifa ya wakati wa kuuliwa kati yaufafanuzi na sura ya jumla, na wameafikiana juu ya elimu isiyokuwa yahilo, kuwa wanajua kwa ufafanuzi, kwa kuwa inabidi Imamu awe anajuahukumu.

Kuinasibisha Sheikh Tusi kauli ya elimu ya sura ya jumla kwa SayyidMurtadha ni miongoni mwa yanayolazimu kutohitilafiana kwake na kundikuhusu ulazima wa Imam kuwa na elimu katika mengine yasiyokuwahaya, na miongoni mwa hayo ni hukumu.

Allama Hilli: Baada ya kuvurumishiwa swali lililotajwa hapo kabla, ali-jibu: “Yawezekana kuwa yeye (a.s.) alipewa habari ya kutokea uuwajiusiku ule, na alikuwa hajui kuwa ni wakati gani katika usiku ule! Aualikuwa hajui mahali gani atauliwa! Au ni kuwa taklifu yake (a.s.) inato-fautiana na taklifu yetu, hivyo ikawa inajuzu aikalifu damu yake tukufu(s.a) katika dhati ya Mwenyezi Mungu (s.w.t.), kama ambavyo ni wajibukwa mpiganaji vita kubakia thabiti japo kubaki kwake thabiti kutamleteakuuliwa, na wala halaumiwi kwa hilo.”77

Ni dhahiri kuwa Allama alizingatia katika majibu yake, ile hali ya kum-chukulia muulizaji kuwa swali lake la utata halitoki kwa anayeitakidiuimamu na lazima zake, bali ni kutoka kwa mtu miongoni mwa wapinzani

76

Elimu ya Ghaibu ya Maimamu

76 Talkhisus-Shaafiy cha Tusi Juz. 4, Uk. 188-190. Na mhakiki wake ametoamaoni yake. Rejea ufafanuzi wa mlango katika Mir’atul-Uquli cha al-Majlisi Juz.3, Uk. 123. Na Biharul-Anwar Juz. 42, Uk. 259. Na ad-Duratu an-Najafiyah chaal-Bahraniy Uk. 58 na vingine.

77 Ajwibatul-Masailil-Mahnaiyah Uk. 148.

Elimu ya Ghaibu.qxd 7/1/2011 12:37 PM Page 76

Page 86: Elimu ya Ghaibu ya Maimamu

haitakidi uimamu wa Imam (a.s.), wala hajiambatanishi na sharti zake ziju-likanazo kama vile umaasumu na elimu na zinginezo. Kwa mujibu huo, lauikitakiwa muulizaji alazimishwe kuamini elimu ya Imam na sadikisho lahabari zijulishazo kujua kwake kuwa atauliwa – ambazo zimekuja nahazikukanushwa – hapana budi tutatoka na tija mojawapo ya zile alizozi-taja Allama:

Imma kuziwekea mabano habari zilizomfikia, kuwa awe anajua asili, yaanikuwa atauliwa, na awe anamjua mtu atakaye muuwa, lakini hajui mudauliopangwa. Au anajua kuuliwa kwake bila ya kujua mahali maalum.

Kulingana na vigezo hivi viwili, kujipeleka kwa Imam kwenye kuuliwakwake hakukanushiki, kwa kuwa yeye hakupewa habari ya wakati walamahali mahsusi, kiasi cha kuwa apewe taklifu ya kujiepusha na viwilihivyo, kwa hiyo haelekezewi lawama ya kuwa alijipeleka mwenyewekwenye kuhiliki.

Ama jibu la tatu, ni muwafaka hata kwa muulizaji anayeitakidi uimamu,ambalo ni awe Imamu anatekeleza ibada ya taklifu mahsusi, nayo ni mfanowa taklifu ya mwanajihadi aliyeamriwa na mwenye taklifu ya jihadi mpakaaipate shahada. Hivyo Imamu ni kama mujahidu ambaye anaipokea shaha-da, halaumiwi wala kukemewa, kwa kuwa kitendo chake ni utii, si haramuwala si maasi, wala haitosemwa kumhusu kuwa kwa mkono wake ameji-ingiza katika maangamizi.

77

Elimu ya Ghaibu ya Maimamu

Elimu ya Ghaibu.qxd 7/1/2011 12:37 PM Page 77

Page 87: Elimu ya Ghaibu ya Maimamu

DARAJA LA TATU: KWA WANACHUONI WA MWISHONI

Wanachuoni waliokuja mwishoni wameifanyia uchambuzi na ubainifu waziada mas’ala hii, na hapa tunautaja kwa muhtasari:

Imamu Kashiful-Ghita: Imethibiti kwa Imamu Husein salamu’llahi alay-hi alijua matokeo yake kwa namna ambayo inairuhusu kanuni ya badaukuingilia kati, kwenda nayo na kuigeuza. Kwa ibara nyingine: Kwa kwelirangi iliyopayuka na sura iliyositushwa kuhusiana na hali ya mambo ikowazi kwake, anasema:

“Hapana shaka kuwa wao salamullahi alayhim walikuwa wanajua yotehayo kwa kupewa habari na Nabii (s.a.w.w.) kwa njia ya wahyi, lakiniwanatazamia huenda badau ikachukuwa nafasi itakayokuwa miongonimwa ubao wa kufuta na kuthibitisha, itakayokuwa kinyume chake ndi-cho kilichothibiti katika elimu iliyohifadhiwa iliyofichwa, ambayoMwenyezi Mungu ameifanya mahsusi Kwake binafsi.”78

Lakini aina hii ya elimu ambayo inawezekana ikabadilika na kuwa ujahili,na ukweli ukawa kitu kingine, haiwezekani iitwe elimu ila kimsamaha(kama ilivyo katika kanuni za matumizi ya lugha), kwa kuwa hapana elimuila ni ile inayofichua ukweli, ama inayoonwa hivi sasa kuwa ni miongonimwa ukweli, na ya kwamba yenyewe ni elimu (kumbe kihalisi yenyewesivyo ilivyo), hiyo inaingia kwenye daraja ya dhana, wala haipandi nakuifikia daraja ya elimu ila kama itabadili njia yake na kutoka bila yakuingiliwa na kanuni ya badau. Zingatia kwa umakini.

Tuliyoyapata ni kuwa uangalizi uliotajwa huwezi ukasema ni wa aina ileya kielimu ili kuirejesha mas’ala nyingi kwenye umoja.

78

Elimu ya Ghaibu ya Maimamu

78 Jannatul-Maawa Uk. 42.

Elimu ya Ghaibu.qxd 7/1/2011 12:37 PM Page 78

Page 88: Elimu ya Ghaibu ya Maimamu

Sayyid as-Shahiid as-Swadri: Anakwenda na kuitolea sababu mas’ala yaelimu ya ghaibu ya Imamu Husain (a.s.) na hatma ya mauaji yakeKarbalaa. Anaona kuwa maamuzi ya kisiasa na ya kijamii hayaachi kuwani maamuzi ya ghaibu, nayo (maamuzi hayo) ni mfuasi wake. Wala haten-ganishi kati ya matukio mawili: Ukweli wa ghaibu na ukweli wa kijamii.As-Shahiid as-Swadri amebainisha kuwa Imamu Husain (a.s.) ameitoamas’ala hiyo ya elimu ya ghaibu kupitia kauli mbiu kadhaa, na alifanyajuhudi katika kuuelimisha umma wakati ule ili uwe na uelewa mzuri juu yamas’ala hiyo.

Kauli mbiu ya kwanza: Hatma ya mauwaji:

Imamu Husain (a.s.) alikuwa anapingwa, na huambiwa: Kwa nini unatoka?Abdullah bin Zubair na wengine wanampinga. Na yeye (a.s.) anawaambia:“Kwa hakika mimi nitauliwa kwa hali yeyote sawa niwe nimetoka au siku-toka. Kwa hakika Bani Umayyah hawatoniacha hata kama nitafichamakwenye tundu la mdudu miongoni mwa wadudu hawa, lazima wangenitoana wangeniua. Kwa kweli Bani Umayyah wananifuatilia popote niwapo,hivyo mimi ni maiti kwa hali yoyote ile, sawa nibakie Makka au nitokehumo, na ni vyema nisiuawe nikiwa Makka, ili isitanguliwe heshma yaHaram hii shariifu.”

Waona yeye ameleta kauli mbiu hii, na kauli mbiu hii pamoja na ukweliwake inalingana na tabia ya umma unaoishi pia. Kwani tabia ya kushind-wa ambayo umma wa kiislamu unaishi nayo, haupati tamko la kupenyahumo ili kutoa ibara ya kukinza mfano wa harakati kama hizi kutoka kwaImamu Husain, alayhi swalatu wasalaam. Hivyo yeye (a.s.) asema: “Mimini mwenye kuuawa kwa hali yeyote ile.”

Na dhahiri yatoa ushahidi juu ya hayo. Dalili, ishara na msongamano wamambo watoa ushahidi kuwa Bani Umayyah waliazimia kumuua ImamuHusein (a.s.) japo kwa njia ya kumvizia hata kama atakuwa amejiangikakwenye pazia za Kaaba. Hivyo basi kuileta kauli mbiu kama hii kwa ajili

79

Elimu ya Ghaibu ya Maimamu

Elimu ya Ghaibu.qxd 7/1/2011 12:37 PM Page 79

Page 89: Elimu ya Ghaibu ya Maimamu

ya kutoa tafsiri ya msimamo huu ilikuwa ni hali yalingana mno na hali yakukinaika kwa tabia ya kushindwa, na wakati huo huo ni kauli mbiu yakweli.

Kauli mbiu ya pili: Ughaibu wa maamuzi ya safari:

Watu wengine wanamjia wanamkinza, wanasema: Kwa nini unakwenda!Muhammad bin al-Hanafiyah anakuja mwanzo wa usiku na nasaha nyingi,na anamwambia: “Naangalia na ninafikiria usemayo.” Basi MuhammadBin al-Hanafiya anakwenda, na katika mwisho wa usiku anasikia kuwaImamu Husein (a.s.) ameondoka. Anamwendea, anakuja na kumshikamnyama wake wa safari na anamwambia: “Ewe ndugu yangu, uliniahidikuwa utafikiri.” Imam anasema: “Ndiyo, lakini mimi nimelala usiku huunikamuona Mtume wa Mwenyezi Mungu (s.a.w.w.) akasema: ‘Kwa haki-ka wewe ni mwenye kuuawa.”’

Wamuona yeye (a.s.) anajibu jibu hili kwa maamuzi ya ghaibu yaliyotokajuu. Na uamuzi huu wa ghaib ni kutoka ngazi ya juu, haiwezekani tabia yakushindwa iyakatae maadamu mwenye tabia hii anamwamini Husain naanaamini njozi ya Husein. Ndiyo yeye hajamwambia njozi hii Abdullah binZubair ambaye hakuwa muumini wa njozi ya Husain, bali alimhadithiahiyo Muhammad bin al-Hanafiyya na walio mfano wa Muhammad bin al-Hanafiyya. Na hii ni kauli mbiu nyingine alikuwa anaitoa nayo ni kaulimbiu ya umauti hauna budi juu yake, na kuwa kuna maamuzi ya juu yanay-omfaradhia afe, ajitoe muhanga, ajitose, aikabili safari hii inayoishiakwenye kuuawa.

Na kauli mbiu hii pia ilikuwa pamoja na ukweli wake, inaendana na tabiaya kushindwa, nayo wakati huohuo ni kauli mbiu ya kweli.

Kauli mbiu ya tatu: Dharura ya kujibu wito wa wakazi wa mji waKufa:

80

Elimu ya Ghaibu ya Maimamu

Elimu ya Ghaibu.qxd 7/1/2011 12:37 PM Page 80

Page 90: Elimu ya Ghaibu ya Maimamu

Na mara ya tatu analeta kauli mbiu ya tatu. Alikuwa anawaambia watuanaopishana nao akiwa njiani kutoka Makka akielekea Iraq, kwenyemafikio yake ambayo yalikuwa idadi kadhaa, walipokuwa wanamnasihiasiende Iraq, alikuwa anawaambia:” Kwa kweli mimi nimepata wito kuto-ka kwa watu wa Kufa niende kwao, na hali ya mambo yakiwa yamekuwatayari katika mji wa Kufa, ili niende na ili niimarishe haki na niiondoebatili.”

Hivyo alikuwa anaakisi na kuifasiri safari yake kwa msingi kuwa yenyeweni kuitika na ni jibu kwa kitendo, na yenyewe ni ufafanuzi wa jibu lautashi, na kwamba umma umefanya harakati na umetaka, na kwamba hojaimesimama dhidi yake, kwa hiyo yeye hana budi aende.

Imamu Husain (a.s.) hakuwa kwa ukweli wake anaishia katika daraja yakehii ya jihadi awe anangoja umma umuombe ndio aende, lau ingekuwahivyo asingekuwa hapo mwanzo anaandikiana na wakuu wa ngome zaShia huko Basra akiwataka kwenda. Lakini yeye wakati huo huo alikuwaanaakisi upande huu zaidi kuliko alivyokuwa akiakisi upande ule. Kwakuwa upande huu uko karibu mno na una uwiano zaidi na tabia ya kushind-wa.

Inasemaje tabia ya kushindwa mbele ya mtu anayeiambia: “Kwa hakikamimi nimepata wito, na kuwa hali ya mambo ya wito huu inalingana nahali ya kuukubali wito na kuondoka kumuelekea muhitaji.”

Na kwa kawaida kuna tofauti kubwa kati ya mtu afanyaye harakati tokeamwanzo na mtu afanyaye harakati za kuuitika umma uliomwamini naambao umeamini uongozi wake na ukuu wake. Katika harakati za tangumwanzo kuna kauli ya tabia ya kushindwa: Na kwa kweli huyu mtu nimwenye haraka, na kwa kweli huyu hafikirii matokeo, na kwamba yeyeamejiingiza mwenyewe kwenye hatari.

81

Elimu ya Ghaibu ya Maimamu

Elimu ya Ghaibu.qxd 7/1/2011 12:37 PM Page 81

Page 91: Elimu ya Ghaibu ya Maimamu

Ama tendo linapokuwa ni jibu la wito kutoka kwa umma uliyoandaa halizote za lazima kwa ajili ya wito huu, tabia hizi za kushindwa hazisemikuhusiana na kazi hii na uendaji huu kwamba: Ni tendo la kutia haya, nakuwa ni tendo la kitoto, na kwamba ni tendo lisilodurusiwa.

Kauli mbiu hizi ambazo Imamu Husain (a.s.) amezileta, zote zilikuwa ni zauhakika, na wakati huohuo zilikuwa zinaafikiana na tabia za ummaulioshindwa kiroho, kifikra na kinafsi.

Kauli mbiu ya nne: Dharura ya kupambana dhidi ya Sultani dhal-imu:

Na pia alikuwa anaweka pambizoni mwa kauli mbiu hizo zote kauli mbiuya ukweli hasa alipokuwa anatilia mkazo kuwa Mtume wa MwenyeziMungu (s.a.w.w.) alisema: “Mwenye kumuona Sultani dhalimu na walahakumrekibisha kwa kitendo wala kauli, itakuwa haki kwa MwenyeziMungu amuingize mahali pake.”

Pembeni mwa kauli mbiu hizo ambazo zinatimiza chapa ya kisheria kati-ka kazi yake kwa kiwango cha tabia ya umma, pia alikuwa anatoa kwamuendelezo na daima kaulimbiu ya kweli iliyo hai, ambayo hapana budiiwe ndio msingi wa tabia mpya ambayo alikuwa anaijenga katika dhati yaumma huu wa kiislamu.79

Sayyid Muhammad Husain Tabatabai: Alijibu baada ya kuletwa swalilifuatalo: Je hivi Sayyidu Shuhadaa (a.s.) alikuwa ajua katika safari yakekutoka Makka mpaka Kufa kuwa atakufa kishahidi au hapana? Kwa ibaranyingine, hivi yeye (a.s.) alielekea Iraq kwa kusudi la shahada au kwakusudi la kuunda serikali ya kiislam adilifu?

Kwa kweli Sayyid Shuhadaa kulingana na itikadi ya Shia ni Imamuambaye kumtii ni faradhi wajibu, naye ni watatu wa makhalifa wa Rasulil-

82

Elimu ya Ghaibu ya Maimamu

79 Al-Fikru Al-Islamiy, toleo la kumi na saba Uk. 70.

Elimu ya Ghaibu.qxd 7/1/2011 12:37 PM Page 82

Page 92: Elimu ya Ghaibu ya Maimamu

83

Elimu ya Ghaibu ya Maimamu

Akram (s.a.w.w.), na yeye ndiye mwenye mamlaka yote wakati huo.Hakika elimu ya Imamu ya vitu halisi vya nje na matukio ya ukweli, huwakwa idhini ya Allah (s.w.t.), hiyo ni juu ya hakika zote za ulimwenguuliopo, na katika sharti zake zote, hiyo ni pamoja na zile ambazo huju-likana kwa njia ya hisia tano, na kadhalika ni pamoja na zile zilizo nje yahisia tano, kama vile yaliyomo mbinguni, matukio yaliyopita na matukioyatakayokuja. Hayo tunayatolea dalili zijazo:Kwanza: Njia za kuthibitisha elimu hiyo kwa kunakili hutimia kwa riwayamutawatir zilizo katika vitabu vinavyokusanya Hadithi za Shia, mfano wakitabu al-Kafiy, al-Baswairu, vitabu vya Swaduq, al-Biharu na vingine.Kwa hiyo kwa mujibu wa riwaya hizi ambazo haiwezekani kuziwekea kip-imo na kuziwekea wigo, inabainika kuwa Imamu (a.s.) hupata elimu yakekwa njia ya hiba ya kiungu, sio kwa njia ya kujifunza toka kwa mtu. Hivyoanafahamu kila kitu na anavijua, na kila akitakacho hukijua kwa idhini yaMwenyezi Mungu na kwa kiasi kidogo cha kuzinduka.

Kuna Aya kadhaa ndani ya Qur’ani tukufu ambazo zinaiwekea wigo elimuya ghaibu, kuwa ni ya Mwenyezi Mungu tu Aliye juu kwa daraja, na nikatika uwanja Wake Mtakatifu. Lakini enguo liliopo katika Aya tukufu:

“Ni mjuzi wa yaliyo ghaibu wala hamdhihirishii yeyote ghaibu yake.Isipokuwa Mtume aliyemridhia, basi hakika yeye humuwekea walinzimbele yake na nyuma yake.” (Sura Jinni: 26 - 27).

limebainisha kuwa elimu ya ghaibu kuwa mahsusi kwa Mwenyezi Mungu(s.w.t.) ni kwa maana hii:

Ni kwamba ghaibu inayojitegemea na umiliki wa dhati ni Wake, hauwikwa yeyote asiye Mwenyezi Mungu (s.w.t.), lakini yawezekana kwaManabii wateuliwa wakaijua kwa kuelimishwa na Mwenyezi Mungu, na

Elimu ya Ghaibu.qxd 7/1/2011 12:37 PM Page 83

Page 93: Elimu ya Ghaibu ya Maimamu

84

Elimu ya Ghaibu ya Maimamu

yawezekana pia wateuliwa wengine wakajua kwa kuelimishwa naManabii. Kwa hiyo katika riwaya nyingi zimekuja kuwa Rasul na pia kilaImamu atakayekuwa baada yake, hukabidhi elimu yake kwa Imamuanayekuja baada yake, katika sehemu ya mwisho ya uhai wake.

Pili: Ama kwa njia ya akili kuna thibitisho ambazo kulingana nazo Imamu(a.s.) kulingana na nafasi yake yenye nuru, ni mtu mkamilifu mno wa zamazake, na ni dhihirisho kamili la majina na sifa za kiungu, na ni mjuzi kwavitendo wa matukio yote ya kibinafsi, na kulingana na asili yake kokoteaelekeako ukweli wa mambo wote humfichukia, na tunaona kuwathibitisho hizi zimefungwa na mlolongo wa maswali ya kiakili, upeo wakeni wa juu mno kuliko upeo wa insha hii, kwa minajili hii tunaihamishiakwenye maudhui nyingine.

Na hapa kuna suala ambalo ni wajibu tulitupie jicho, nalo ni: Elimu kamahii iliyo thabiti, kwa mujibu wa dalili za kiakili na za nukuu haikabiliwi natatizo la kuwa kinyume au kubadilika, na kwa istilahi ni elimu ambayoimethibiti katika Lawhul-Mahfudh na ni habari ambazo zimeambatana namakadiri ya Allah.

Na dharura ya kubainisha yaliyotangulia ni kuwa hakuna uhusiano wowotekati ya aina yeyoye ya taklifu na uambatano wa elimu ya aina hii, kadhali-ka hakuna mafungamano na kitendo cha mwanadamu kuikusudia aukuiomba, kwa kuwa wakati ambao taklifu huwa inaambatana na tendo kwanjia ya uwezekano, na hali kutenda na kuacha, mawili hayo yote yapo kati-ka hiyari ya mukalafu, wakati huo viwili hivyo huwa viko kwenye njia yauombaji wake. Ama upande wa kuwa yenyewe ni lazima ithibiti na kwam-ba yaambatana na makadiri ya lazima, ni muhali upande huo kuwa nimahali pa takliifu.

Mfano, ni sahihi Mwenyezi Mungu amwambiye mja wake: “Tendo amba-lo kulitenda na kutolitenda yawezekana kwako, na ambalo liko katikahiyari yako, ni wajibu ulitende.” Lakini ni muhali aseme: “Tendo ambalo

Elimu ya Ghaibu.qxd 7/1/2011 12:37 PM Page 84

Page 94: Elimu ya Ghaibu ya Maimamu

85

Elimu ya Ghaibu ya Maimamu

ni wajibu liwe kwa mujibu wa utashi Wangu wa uumbaji na makadiriYangu ya lazima, na ambalo kuthibiti kwake hakuna taradudi, ni wajibujuu yako utekeleze au usitekeleze.” Kwa kweli mfano wa amri na katazokama hii haina athari.

Ni kama hivi, mtu anaweza kuwa na utashi katika jambo ambalo linauwezekano kutokea na kutotokea, na alifanyie kusudi au lengo na afanyejuhudi ili lithibiti. Lakini haitowezekana awe na utashi katika jambo amba-lo kwa yakini kabisa litatokea, na ni muhali kulibadilisha na kutotokea nalinalokuwa katika makadiri ya lazima ya Mwenyezi Mungu (s.w.t.), hivyoutashi wa mwanadamu hautokuwa na uwezo wa kuliomba au kulipuuzajambo la aina hii ambayo haina budi kutokea.

Inakuwa wazi kutokana na ubainifu huu:1. Kwa kweli elimu hii ya Imamu (a.s.) ya kutunukiwa haina athari katikaamali yake na taklifu yake mahsusi.

Na kimsingi ni kwamba kila jambo ambalo ni faradhi kwa upande wakuambatana kwake na makadara ya lazima, halina mafungamano na amrina katazo au utekelezaji wa mwanadamu au kusudio lake.

Ndio, kuambatana kwa makadara ya lazima ya Mwenyezi Mungu na utashiWake (s.w.t.) wa kata shauri, huwa ni mahali pa ridhaa yake (a.s.), kamaalivyosema Sayyidu Shuhadaa katika saa ya mwisho ya maisha yake nahali yeye akiwa kati ya mchanga na damu, alisema: “Kwa ajili ya kuridhiamakadara Yako na kujisalimisha kwenye amri Yako, hakuna apasayekuabudiwa asiyekuwa Wewe.” Na kama alivyosema katika hotuba yakealipokuwa anatoka Makka: “Kuridhika kwa Mwenyezi Mungu ndio ridhaayetu Ahlul-Bayt”

2. Kwa kweli tendo la mwanadamu kuwa ni la lazima kwa upande wakuambatana kwake na makadiri ya Mwenyezi Mungu haizuii tendo hilokuwa la hiyari kwake kwa upande wa vitendo vya hiyari, kwa kuwa

Elimu ya Ghaibu.qxd 7/1/2011 12:37 PM Page 85

Page 95: Elimu ya Ghaibu ya Maimamu

86

Elimu ya Ghaibu ya Maimamu

makadiri ya kiungu ya kitendo yana mafungamano na fafanuzi zake zotena sio kwa kitendo peke yake.

Mfano: Mwenyezi Mungu amemtaka mtu fulani afanye kitendo cha hiyarikwa hiyari yake, katika sura hii kuthibiti nje kwa kitendo hiki cha hiyarikwa kuwa kinaambatana na utashi wa lazima wa Mwenyezi Mungu haki-wezi epukwa, wakati huo huo ni cha hiyari kwa mtu, na nisba ya kitendokwake ni nisba ya uwezekano.

3. Kwa kweli kabiliya ya dhahiri ya matendo ya Imamu (a.s.) ya kutafsirikwa kutumia sababu za dhahiri, haiwezi kuwa dalili ya kutokuwepo elimuhii iliyotolewa hiba, au iwe ndio ushahidi wa kutojua kwake tukio, kwamfano isemwe: Ikiwa Sayyidu Shuhadaa (a.s.) anayo elimu ya tukio, basini kwa nini alimtuma Muslim bin Aqiil huko Kufa akiwa wakili wake? Nani kwa nini Swaidawiy alituma barua yake kwa watu wa Kufa? Na kwanini alijitia binafsi kwenye maangamizi hali ikiwa Allah (s.w.t.) anasema:“Wala msijiingize kwa mikono yenu kwenye maangamizi”? Na kwanini? Na kwa nini?

Kwa kweli tuliyoyataja ni jibu la maswali hayo yote wala hapana maana yakukariri.

Mtume (s.a.w.w.) kwa mujibu wa tamko la Qur’ani tukufu, kadhalikaMaimamu (a.s.) miongoni mwa dhuria zake walio tohara, wote nibinadamu mfano wa binadamu wengine, na matendo wayatendayo katikamuda wa uhai wao ni mfano wa matendo ya watu wengine, yanatendekakwenye nyanja za hiyari yao na kwa msingi wa elimu ya kawaida.

Imamu Ali (a.s.) ni kama wengine wanaiona kheri na shari, manufaa namadhara, na matendo yote haya ni kwa njia ya elimu ya kawaida.Ayaonayo yamfaa miongoni mwa matendo haya yeye huyataka na hufanyajuhudi kuyatekeleza. Na wakati ambao sababu, vitendea kazi, hali yamambo na hali ilivyo nje ni ya kufaa ndipo malengo yake huthibiti, na kati-

Elimu ya Ghaibu.qxd 7/1/2011 12:37 PM Page 86

Page 96: Elimu ya Ghaibu ya Maimamu

87

ka hali ambayo sharti hazifai basi malengo yake hayawi.

Na elimu ya Imamu (a.s.) kwa idhini ya Mwenyezi Mungu zikiwemo sehe-mu zake zote, matukio yaliyopita na yajayo, haiathiri matendo yake yahiyari, hivyo ni kama ulivyotimia ubainifu wake.

Imamu ni sawa na wanadamu wengine, ni mja wa Mwenyezi Mungu,apaswaye kuwajibika na sheria, na ana wadhifa wa maamuzi na lazima zakidini, na kulingana na nafasi yake kiuongozi aliyopewa na MwenyeziMungu Mtukufu, itakuwa wajibu juu yake atekeleze kwa vipimo vya kib-inadamu vya kawaida, na atumiye upeo wa juhudi yake ili kuhuisha nenola haki na kuihifadhi dini.80

Kikao na al-Kafiy kuhusu riwaya: “Na kwamba wao hawafi ila kwahiyari kutoka kwao wenyewe”:

Na muhtasari wa aliyoufaidisha Kulayniy kwenye kichwa cha habari yamlango “Na kwamba wao hawafi ila kwa hiyari kutoka kwao waowenyewe” anamaanisha kuwa umauti wa kiungu ambao Mwenyezi Mungu(s.w.t.) amewashurutisha waja wake na wasiokuwa Yeye, bila ya kuachwayeyote, na amejitenga Yeye kuwa ndiye wa kubaki sio wao, hapana budiuwaingize wao (a.s.) bila kizuizi, wala wao hawana kimbilio mbali nao. Ilatu wamekuwa wapekee kati ya viumbe wengine, kuwa Mwenyezi Munguamejaalia hiyari ya kufa kwao ni juu yao wao wenyewe, na hii yafa-hamisha:

Kwanza: Kuwa wao wana hiyari ya kuchagua wakati wa umauti, kwa hiyowanachagua wakati uliopangwa ulioangikwa, kabla haujakatiwa shauri,hivyo hilo huwa kwa utashi kutokana na wao, kwa hiyari na ujuzi, upendoutokanao na wao katika kuharakia kukutana na Allah, na kuthibitisha atharikubwa iliyopangika kwa ajili ya shahada yao katika wakati ule ulioteuliwa.

80 Ilmul-Imamu Wanahdhwatu Sayyidish-Shuhadaa cha Tabatabai Uk. 45 – 49

Elimu ya Ghaibu.qxd 7/1/2011 12:37 PM Page 87

Page 97: Elimu ya Ghaibu ya Maimamu

88

Elimu ya Ghaibu ya Maimamu

Na hii yalingana mno na usemi wa kwamba kuliendea kwao jambo huwakwa hiyari yao kamili, na kuwa sio jambo lililolazimishwa juu yao, nainafaa mno kuwa hiyo inaafikiana na makadara ya Allah na uamuzi wake.Hivyo yeye anakusudia kwamba ni utashi wa Allah kutoka kwao kwa lilewaliloliendea, bila ya kuwa suala ni la lazima.

Kama si hivyo na ikiwa ni makadara ya lazima yaliyokwisha kupitishwa nani muda uliopangwa wa lazima, vipi watakuwa na hiyari humo?! Na ninimaana ya kuafiki kwao juu ya ambalo hawawezi kulitoka na kwendakweye lingine.?!

Pili: Wao wana hiyari ya kuchagua aina ya umauti ambao watakaokufanao, miongoni mwa kuuliwa na upanga kwa pigo moja, kama alivyochaguahilo Imam Amirul-Mu’miniin (a.s.), au kwa kunywa sumu au kula kili-chotiwa sumu, kama walivyochagua Maimamu wengi (a.s.), au kwa kukat-wakatwa viungo vya mwili, na kwa kukatwa koo na kuivumilia mikuki namishale na machungu ya vita na mikuki, na kuvumilia kiu, kama ilivyojirikwa Imam Sayyid Shuhadaa (a.s.). Wala tamko la jumla la anuwanihalikatai kulibebesha yote hayo.

Hali ikiwa katika maana ya pili kuna upeo muhimu wa kijamii, nao nikuwa Maimamu walio tohara (a.s.) walikuwa wanajua kupitia hali yamambo, matukio, ishara na mambo yanayojiri na kuwazunguka, bila hataya haja ya kuitegemea ghaibu na utoaji wake habari, kwamba makhalifawadhalimu, na majahili walioshinda juu ya serikali ya waja na nchi,watakuja wazitoe roho zao takatifu kwa kila njia itakayowawezesha, kwakuwa wao hawawezi kuvumilia kuwepo kwa Maimamu wanaozikataaserikali za kidhalimu na za kifisadi, na ambazo zinahukumu na kushinikizahukumu zake kwenye shingo kwa batili, na kwa jina la uislamu, ili kucha-fua utajo wake ulio safi kwa matendo yao mabaya.

Maimamu (a.s.) waliotohara ili kuuleta kimwili upinzani wa haki ulio hai,japo kuwa wao walikuwa katika hali ya ukimya, na bila ya kunyoosha

Elimu ya Ghaibu.qxd 7/1/2011 12:37 PM Page 88

Page 98: Elimu ya Ghaibu ya Maimamu

mkono kwenye silaha za chuma, lakini kuwepo kwao kutukufu kulikuwani kama makombora yaliyo tayari kulipuka wakati wowote! Na mafunzoyao yalikuwa yanawakilisha vilio vinavyofanya mwangwi kwa watuwatendao batili, darasa zao na sera zao zilikuwa zinawakilisha chechedhidi ya serikali hizo! Basi vipi zitaweza nidhamu za kifisadi kuuvumil-ia uwepo wa hao Maimamu (a.s.) japo kwa mtupo mmoja wa jicho?!

Na Maimamu (a.s.) walikuwa wanajua kuwa mwisho wao ni umauti, nawanatambua kuwa madhalimu wanawafanyia vitimbi, na wanawaviziakwenye mzunguko wa hali ya mambo, na wanawafanyia mpango wakuwaua na kujinasua mbali na uwepo wao, na wanafanya juhudi iliwatimize uovu wao wakiwa siri kifichoficho, ili wasibebe jukumu lakuulizwa kwa hayo, wala wasihesabiwe dhidi yao katika historia!

Na lau watawala waovu wangekamilisha kuwamaliza hawa Maimamu kwasiri na kwa njia waipendayo, ingekuwa ni jambo lenye manufaa mno kwaona bora kwa malengo yao!

Lakini Maimamu (a.s.) hapana budi wavizime vitimbi hivi vya wadhalimuwauaji, wachukue kwa mikono yao hatamu za kuuingilia kati uwanja huumuhimu na hatari. Na wachague wao wenyewe namna bora ya umauti,ambayo itakayotangaza kudhulumiwa kwao, na wapige kelele ya kuombamsaada wa kudhulumiwa kwao, na kuwafedhehesha wauaji wao, nawatangaze uovu na vitimbi vilivyojiri dhidi yao, wala nafsi zao zisizo nahatia zisipotee bure, wala damu zao tohara zisimwagike bure.

Lau Imamu Amirul-Mu’miniin (a.s.) angeuliwa nyumbani mwake, au kati-ka baadhi ya vichochoro na njia, nje ya msikiti, nani basi angeweza kuya-puuza madai ya uzushi ambayo Bani Umayyah waliyaeneza kati ya watuwa Shamu ya kuwa Ali (a.s.) haswali?! Basi pindi waliposikia kuwa yeyealiuliwa msikitini walitanabahi na kuutambua uwongo wa madai hayopotoshi.

89

Elimu ya Ghaibu ya Maimamu

Elimu ya Ghaibu.qxd 7/1/2011 12:37 PM Page 89

Page 99: Elimu ya Ghaibu ya Maimamu

Lau Imamu Husain (a.s.) angeuliwa Madina, basi ni nani angelijua sualalake?! Hata kama angeuliwa Makka. Ongeza kuwa angechukuliwa kuwaamefanya tendo la aibu, kwa kuwa mwiko wa Haram umekiukwa kwakuuliwa kwake! Ingekuwa damu yake yapotea kati ya sauti za juu za mahu-jaji na kelele zao!

Lakini Husain (a.s.) akiuliwa katika ardhi si Karbala, basi ni wapi?! Navipi?! Na itakuwa nini tafsiri ya maelezo yote yaliyonakiliwa na vitabu, nahabari zote kutoka kwa babu yake Nabii mteuliwa (s.a.w.w.) kuhusu mtoFurat, Karbalaa na udongo wake mwekundu?!

Hivyo uchaguzi huu wajulisha uratibu wa mwenye hekima na ujanja wakisiasa, na mtazamo unaopenya, na jambo lililoshikwa lililo thabiti, amba-lo kwalo Maimamu (a.s.) kwa ajili yake walisimama kidete katika maishayao ya kisiasa kuwahusu wadhalimu wenye kutwaa vipimo vyote, naambao wameupokonya umma uhuru wake wote, hata uhuru wa kuuchaguaumauti, kiwango chake na jinsi yake, wakati na mahali.

Kwa kuwa kusimama kwa Maimamu (a.s.) wakiwa na mpango wao wenyehekima dhidi ya utawala uliokuwa katika mapambano haya, na kuuvukakwa utashi wao, na kuichukua hatamu ya hiyari mikononi mwao, na kuch-agua kwao njia iliyo bora ya umauti wao, kwahesabika kuwa ni ushindimkubwa, katika mazingira yale ya shida kandamizi.

Je kuihifadhi nafsi, na utashi wa kutomwaga damu, na hofu ya kuuawa, nimambo yanayozuia kutekeleza wajibu?!

Na je kwazuia sera ya majukumu makubwa, ambayo ni kuuhifadhi uisla-mu na miko yake, na kutimiza hoja juu ya umma baada ya kuufikishia witona msaada wa mfululizo?!

Kisha je yaingia akilini kuihifadhi nafsi, baada ya kuzivuka daraja hizo zakimapambano, na ambayo natija yake inayongojewa ni kuuliwa?!

90

Elimu ya Ghaibu ya Maimamu

Elimu ya Ghaibu.qxd 7/1/2011 12:37 PM Page 90

Page 100: Elimu ya Ghaibu ya Maimamu

Kwa kuwa Yazidu aliazimia kumuuwa Imamu (a.s.) ambaye alikuwaanamwona kizingiti pekee mbele yake kimzuiacho kupata matunda yajuhudi ya baba yake kuelekea njia ya ufalme wa Kibani Umayyah wenyekuuma, hivyo hapana budi amuondoe njiani.

Utawala wa Bani Umayyah unatamani lau Husain (a.s.) angesimama akiwakimya mtulivu, japo kwa kadiri ya mtupo mmoja wa jicho, ili aimarishelengo lake, na umuuwe!! Uzuri ulioje lau kufa kwa Husain (a.s.)kungekuwa kwa njia ya kumteka, ili damu yake ipotee na suala lake liwebila faida!! Na Husain (a.s.) alifichua utashi wao wa kumuua kama hivi,na kuwa wao wamedhamiria hilo hata kama watamkuta kwenye shimo lawadudu!

Yazid aliwaelekeza mamluki wake kuwa wafanye kila wawezalo kumuuaHusain popote wamkutapo japo awe amejiangika kwenye pazia ya Kaaba!Basi ni kwa nini Imam (a.s.) asiwatangulie kwa kuchagua zama iliyo boramno, na mahali palipo bora mno, na aina iliyo bora mno ya kuuliwa?!

Zama ni Ashura iliyosajiliwa katika ulimwengu wa ghaibu, na iliyoth-ibitishwa katika Sahifa za mwanzo, na zilizofuata miongoni mwa habari zaghaibu, ambayo tutaidhihirisha. Mahali ni Karbalaa, ardhi ambayo jinalake limetajwa na ndimi toka zama za Manabii.

Ama aina ya kuuliwa aliyoichagua ni mapambano ya kishujaa yautafutaoumauti, ambayo mwangwi wake umebaki. Mwangwi wa ushujaa wake,sauti za mgongano wa panga zake na kilio cha Husein (a.s.) vinafichuamalengo yake na kudhulumiwa kwake, vinatoa mwangwi katika masikioya historia muda wote, vinabatilisha walikolalia madhalimu na wanaopo-tosha ukweli.

Kwa kweli Imam Husain (a.s.) na kwa mfano wa ambayo ameyafanya kwakujipeleka, kumethibitisha kudumu kwa utajo wake, na kuzungumziwakuuawa kwake katika sahifa za dahari, ili kuuliwa kwake kusipatwe na

91

Elimu ya Ghaibu ya Maimamu

Elimu ya Ghaibu.qxd 7/1/2011 12:37 PM Page 91

Page 101: Elimu ya Ghaibu ya Maimamu

khiyana za wapotoshaji, wala upinzani wa wakanushaji, wala ubadilishajiwa wapotoshaji, lakini kunadumu kudumu kwa haki na dini.81

Na mwishowe kwa kweli Shaikh Kulayniy, naye ni mwaminifu mno mion-goni mwa watu katika Hadithi na mdhibiti mno, kama ambavyo an-Najashiy alivyotoa ushahidi kumhusu, hakika amejengea utunzi wa kitabuchake juu ya msimgi madhubuti. Na miongoni mwa shuhuda za umad-hubuti humo ni kuwa yeye Mwenyezi Mungu amrehemu, ameweka mlan-go kwa anuani: “Nadra katika kuitaja ghaibu.” Humo ameleta Hadithi zina-zotanzua mushkili wa upinzani wa kwanza juu ya elimu ya ghaibu yaMaimamu (a.s.). Ndanimwe mna jibu safi la kauli ya muulizaji aliye-wauliza Maimamu (a.s.): “Je mnaijua ghaibu?” Na ameifanya natija yamlango huu kuwa ndio asili iliyowekwa kwa ajili ya milango ifuatayo.

Na miongoni mwa Hadithi hizo ni Hadith ya Humran Bin A’a’yan,alimuuliza Abu Ja’far (a.s.): “Umeiona kauli yake Jalla dhikruhu “NiMjuzi wa yaliyo ghaibu wala hamdhihirishii yeyote ghaibu yake.”(Sura Jinni: 26)” Abu Ja’far (a.s.) akasema: “Isipokuwa Mtume aliyem-ridhia, na Muhammad Wallahi alikuwa miongoni mwa aliowaridhia.”82

Hivyo Kulayniy alikuwa anachunga kuratibu milango ya kitabu chakeuratibu wenye mfumo wa kidalili na hoja, ili hatima yake izae tija zenyemantiki na zenye kukubalika. Hivyo akakifanya kitabu chake al-Kafiykuwa ni kizibo cha tundu lenye kuielekea dini kwa malengo mabaya,hawawezi walahidi kuiondolea heshima kupitia tundu hilo kwa utata waona mashaka yao, wala hawawezi kuitia dosari wale wakanusha dini.

92

Elimu ya Ghaibu ya Maimamu

81 Al-Husayn Simatuhu Wasiratuhu Uk. 112.82 Al-Kafiy Juz. 1, Uk. 256, Hadithi ya 2. Wafasiri wengi wa Kisunni na Kishiawameafiki maana hii.

Elimu ya Ghaibu.qxd 7/1/2011 12:37 PM Page 92

Page 102: Elimu ya Ghaibu ya Maimamu

NATIJA YA UTAFITIImethibiti kupitia mwendo wa utafiti kuwa mwanadamu ni aina iliyoumb-wa kwa njia ambayo hawezi kujitosha kiasi cha kuwa hana mafungamanona ghaibu, kwani majukumu yake ya kirisala yanategemea kuambatanakwake na ghaibu, kwanza. Pili, kuijua kwa lengo la kuamiliana nayo, halihiyo ni kwa sababu kutimia malengo ya kiungu kunategemea kuwa naelimu ya ulimwengu huu mpana.

Wala hapana kupingana kati ya anayoyamiliki mwanadamu miongoni mwauhuru na utashi, na kati ya miyenendo ya kuwepo inayosimama juu yamisingi ya kutokuwa na hiyari, kwa sababu mwanadamu ameongezewaelimu ambayo kwayo amezitambua siri za kuwepo na harakati zake zina-zofanya sababu ya kuwa kitu, matokeo yake na mwisho wake. Na elimu hiihaiachani na umaasumu ambao wamzuia kuchezea siri hizi.

Kwa sababu umaasumu wamaanisha kuwa maasum kwa elimu hii anadiri-ki ukweli wa vitu kama vilivyo kwa uoni wa wazi na kwa namnaisiyokubali shaka, jambo ambalo lamfanya awe anastahiki kupewa wadhi-fa wa mambo ya risala na malengo yake. Na makusudio hayakuwa elimuile ipatikanayo kwa kuchuma, kujifunza na kwa juhudi, kwa sababu hii nipungufu na ni yenye ukomo, hali ikiwa risala yahitajia duru kamili. Hivyobasi ikusudiwayo ni elimu ya kutunukiwa, aliyotunukiwa kutoka Kwake(s.w.t.).

Elimu ya Imam (a.s.) inatofautiana na elimu ya Allah (s.w.t.), kwa sababuelimu Yake (s.w.t.) ni ya milele na ni yenye kuyatangulia maalumati nayajulikanayo. Nayo ni dhati Yake (s.w.t.). Ama elimu ya kutunukiwa kwaImam (a.s.) haishirikiani chochote na elimu ya Allah katika mambo haya,kwa kuwa elimu ya Imam (a.s.) ni ya kutokea na hutanguliwa namaalumati nayo si ya dhati ya Imam. Hivyo basi elimu ya Imam ni ya

93

Elimu ya Ghaibu ya Maimamu

Elimu ya Ghaibu.qxd 7/1/2011 12:37 PM Page 93

Page 103: Elimu ya Ghaibu ya Maimamu

kuzuka na ni ya kutunukiwa ya kupewa na Yeye Azza Wajallah, hivyohapana uwiano kati ya elimu mbili hizo.

Aya nyingi zimeongelea elimu ya ghaibu katika maisha ya Manabii nawatu wema, kama vile Nabii Yusuf, Nabii Suleyman, Nabii Isa na NabiiDaudi alayhimu salaam.

Kisha yapasa ijulikane kuwa hapana mgongano kati ya Aya ambazo zinai-wekea wigo ilimu hii kuwa ni ya Mwenyezi Mungu tu (s.w.t.) nayakanusha kuhusika nayo wengine, na Aya zile ambazo zinaithibitishakuwa huwanayo wengine wale wasiokuwa Allah (s.w.t.).

Aya ya kwanza inaithibitisha katika hali ya msingi na asili ya elimu, na yapili inaithibitisha kwa kufuatia. Na zaidi ya hiyo ni kuwa elimu yakutunukiwa iliyopo kwa maasum husifika kuwa ni ya kuendelea na kuba-ki, na likusudiwalo ni uwezo, sio ile elimu iliyo tupu mbali na uwezo.

Kama ambavyo elimu ya maarifa inavyotilia nguvu kuwa elimu ukweliwake ni katika kufichua kwake ukweli, na kwamba elimu au kufichuaukweli ni jambo la hali ya juu lililo mbali na mada, kwa sababu yakutoafikiana sifa zake na elimu. Hivyo elimu na kufichukiwa na ukwelihavipatikani isipokuwa kwa mawasiliano ya uwepo wa ukweli na ya uhal-isia kati ya nafsi na kitu kikusudiwacho kutambuliwa, na ni maarufu kuwanyenzo za mawasiliano ya kielimu na ukweli wa tukio, ima ni njia tano zafahamu au akili au mawasliano ya ana kwa ana na kitu bila ya kiunganishicha njia za fahamu au akili, jamabo ambalo huelezwa kwa ibara ya: Al-Maarifatushuhudiya au al-Qalbiyah au al-Fuadiyah. Na nyenzo hizi zakuipata elimu ni fursa kwa wote bila ya wengine kuenguliwa.

Upande wa nafsi ya mwanadamu kulingana na yanayothibitishwa na elimuya falsafa ya saikolojia ni kuwa inaviwango na daraja. Na yasifika kuwa na uwezo wa kuzidiriki kuliyati,hivyo daraja ya juu mno ndanimwe huitwa utambuzi wa kimoyo, au wa

94

Elimu ya Ghaibu ya Maimamu

Elimu ya Ghaibu.qxd 7/1/2011 12:37 PM Page 94

Page 104: Elimu ya Ghaibu ya Maimamu

kutunukiwa au hiba ya kutunukiwa uhalisia wa vitu. Lakini daraja hizi piazina viwango, na daraja ya chini mno miongoni mwazo ni, njozi za kweli,na kiwango cha katikati ni Ilhamu na semesho la malaika. Na yenye nguvuzaidi katika ngazi hii na kwa urefu wake ni kufanikiwa kuupata wahyi.

Kwa minajili hiyo, kwa kweli nafsi ya Imam inatofautiana na nafsi zingine,kwa upande wa wasaa wa kudiriki, na maarifa yake kuuzunguka ukwelina kuwa mbali kikamilifu na mada. Na nidhamu ya sababu na kisababish-wa inayohukumu ulimwengu huwa hadhiri kwa Imam (a.s.) na hapoanakuwa ameitambua kikamilifu, na ni wazi kuwa kuijua sababu kuna-maanisha kukijua kinachosababishwa na sababu hiyo, hivyo Imam (a.s.)huwa anajua utashi ambao ni mojawapo ya hizo sababu, na kadhalikasababu zingine anakuwa na maarifa nazo kamili.

Na kuwa daraja ya juu mno ya kutokea vitu, ikiwemo tukio lililo chini yahiyari ya mwanadamu, kuwepo kwake kunategemea elimu kamili ya(s.w.t.) kuhusiana navyo. Hivyo kwa kupitia njia yake na kwa utoaji wakewa habari elimu ya hivyo vitu huwa.

Ama mtizamo wa wasiokuwa Imamiya kuihusu mas’ala hii unaipa nguvukupitia yale ambayo hayakubali shaka, kuwa elimu ya ghaibu wame-tunukiwa si manabii peke yao, bali pia watu ambao sio maasumu. Lakinielimu au kufichukiwa ambako walikokusema hakuthibitishi Uwalii, kwaniUwalii huthibiti kwa Nassu tu, huu ni upande mmoja, na kwa upandemwingine wao wameichukua elimu ya ghaibu kwa anuani ya karama nakufichukiwa, na sio elimu ya kutunukiwa ambayo yafuatana na umaasumukulingana na mtazamo wetu.

Na mwisho ni kuwa Imamiya muda wote wamejilazimisha, kuwa elimu hiiambayo ni wajibu Nabii au Imam asifike nayo, ni elimu ya maudhui za njena matukio mengine ya kilimwengu, kuongezea elimu ya hukumu.

95

Elimu ya Ghaibu ya Maimamu

Elimu ya Ghaibu.qxd 7/1/2011 12:37 PM Page 95

Page 105: Elimu ya Ghaibu ya Maimamu

Umejadiliwa baadhi ya upinzani uliojitokeza katika mas’ala hii zama zaMaimam (a.s.), kiasi kwamba majibu yao yote yanatilia nguvu kumilikikwao elimu ya kutunukiwa ambayo haigongani na usemi wa kujitia katikamaangamizi au kutokuwa na faida katika matendo yao.

Kama ambavyo hapana tofauti kati ya mwenendo anaokwenda nao SheikhMufiidu au Sheikh Tusi au Allama Hilli, na kadhalika wanachuoni wenginewaliokuja nyuma, bali tofauti imetokea katika tafsiri tu ya mas’ala wala sivinginevyo.

96

Elimu ya Ghaibu ya Maimamu

Elimu ya Ghaibu.qxd 7/1/2011 12:37 PM Page 96

Page 106: Elimu ya Ghaibu ya Maimamu

ORODHA YA VITABU VILIVYO CHAPISHWA NAAL-ITRAH FOUNDATION

1. Qur'an Al-Kariim - Tafsir Al-Kashif Juzuu ya kwanza mpaka Thalathini

2. Uharamisho wa Riba3. Uharamisho wa uwongo Juzuu ya Kwanza 4. Uharamisho wa uwongo Juzuu ya Pili5. Hekaya za Bahlul6. Muhanga wa Imamu Husein (A.S.)7. Mikingamo iliyomzunguka Imamu Ali (A.S.)8. Hijab vazi Bora9. Ukweli wa Shia Ithnaashari10. Madhambi Makuu11. Mbingu imenikirimu12. Abdallah Ibn Saba13. Khadijatul Kubra14. Utumwa15. Umakini katika Swala16. Misingi ya Maarifa17. Kanuni za Ndoa na maadili ya Familia18. Bilal wa Afrika19. Abudharr20. Usahihi wa Historia ya Uislamu na Waislamu21. Salman Farsi22. Ammar Yasir23. Qur'an na Hadithi24. Elimu ya Nafsi25. Yajue Madhehebu ya Shia26. Ukusanyaji na Uhifadhi wa Qur'an Tukufu

97

Elimu ya Ghaibu ya Maimamu

Elimu ya Ghaibu.qxd 7/1/2011 12:37 PM Page 97

Page 107: Elimu ya Ghaibu ya Maimamu

27. Al-Wahda28. Ponyo kutoka katika Qur'an. 29. Uislamu mfumo kamili wa maisha ya kijamii30. Mashukio ya Akhera31. Al Amali32. Dua Indal Ahlul Bayt33. Udhuu kwa mujibu wa Kitabu na Sunna.34. Haki za wanawake katika Uislamu35. Mwenyeezi Mungu na sifa zake36. Amateka Na Aba'Khalifa37. Nafasi za Ahlul Bayt (a.s)38. Adhana.39 Upendo katika Ukristo na Uislamu40. Nyuma yaho naje kuyoboka41. Amavu n’amavuko by’ubushiya42. Kupaka juu ya khofu 43. Kukusanya swala mbili44. Bismillah ni sehemu ya Qur’ani na husomwa kwa Jahara45. Kuwaongoza vijana wa kizazi kipya46. Kusujudu juu ya udongo47. Kusheherekea Maulidi Ya Mtume (s)48. Tarawehe49. Malumbano baina ya Sunni na Shia50. Kupunguza Swala safarini51. Kufungua safarini52. Umaasumu wa Manabii53. Qur’an inatoa changamoto54. as-Salaatu Khayrun Mina -'n Nawm55. Uadilifu wa Masahaba 56. Dua e Kumayl57. Sauti Ya Uadilifu wa Binadamu

98

Elimu ya Ghaibu ya Maimamu

Elimu ya Ghaibu.qxd 7/1/2011 12:37 PM Page 98

Page 108: Elimu ya Ghaibu ya Maimamu

58. Umaasumu wa Mitume - Faida Zake Na Lengo Lake59. Umaasumu wa Mitume - Majibu Ya Aya Zenye Utata60. Umaasumu wa Mitume - Umaasumu wa Mitume

Muhammad (s)61. Nahju’l-Balaghah - Juzuu ya Kwanza62. Nahju’l-Balaghah - Juzuu ya Pili63. Kuzuru Makaburi64. Maswali Na Mishkili Elfu - Sehemu ya Kwanza65. Maswali Na Mishkili Elfu - Sehemu ya Pili66. Maswali Na Mishkili Elfu - Sehemu ya Tatu67. Maswali Na Mishkili Elfu - Sehemu ya Nne68. Maswali Na Mishkili Elfu - Sehemu ya Tano69. Maswali Na Mishkili Elfu - Sehemu ya Sita70. Tujifunze Misingi Ya Dini71. Sala ni Nguzo ya Dini72. Mikesha Ya Peshawar73. Malezi Ya Mtoto Katika Uislamu74. Ubora wa Imam 'Ali Juu ya Maswahaba Na Ushia ndio njia

iliyonyooka75. Hukumu za Kifikihi zinazowahusu Wanawake76. Liqaa-u-llaah77. Muhammad (s) Mtume wa Allah78. Amani na Jihadi Katika Uislamu 79. Uislamu Ulienea Vipi?80. Uadilifu, Amani na Mtume Muhammad (s) 81. Mitala na Ndoa za Mtume Muhammad (s) 82. Urejeo (al-Raja’a )83. Mazingira84. Utokezo (al - Badau) 85. Sadaka yenye kuendelea 86. Msahafu wa Imam Ali

99

Elimu ya Ghaibu ya Maimamu

Elimu ya Ghaibu.qxd 7/1/2011 12:37 PM Page 99

Page 109: Elimu ya Ghaibu ya Maimamu

87. Uislamu na dhana88. Mtoto mwema89. Adabu za Sokoni90. Johari za hekima kwa vijana91. Maalimul Madrasatain Sehemu ya Kwanza92. Maalimul Madrasatain Sehemu ya Pili93. Maalimul Madrasatain Sehemu ya Tatu94. Tawasali95. Imam Mahdi katika Usunni na Ushia96. Maana ya laana na kutukana katika Qur’ani Tukufu97. Hukumu ya kujenga juu ya makaburi98. Swala ya maiti na kumlilia maiti99. Shiya na Hadithi (kinyarwanda)100. Mariamu, Yesu na Ukristo kwa mtazamo wa Kiislamu101. Hadithi ya Thaqalain102 Fatima al-Zahra103. Tabaruku104. Sunan an-Nabii105. Historia na sera ya viongozi wema (Sehemu ya Kwanza)106. Historia na sera ya viongozi wema (Sehemu ya Pili)107. Mahdi katika sunna108. Kusalia Nabii (s.a.w)109. Ujumbe -Sehemu ya Kwanza110. Ujumbe - Sehemu ya Pili111. Ujumbe - Sehemu ya Tatu112. Ujumbe - Sehemu ya Nne113. Ngano ya kwamba Qur’ani imebadilishwa

100

Elimu ya Ghaibu ya Maimamu

Elimu ya Ghaibu.qxd 7/1/2011 12:37 PM Page 100

Page 110: Elimu ya Ghaibu ya Maimamu

114. Iduwa ya Kumayili115. Maarifa ya Kiislamu.116. Ukweli uliopotea sehemu ya Kwanza117. Ukweli uliopotea sehemu ya Pili118. Ukweli uliopotea sehemu ya Tatu119. Ukweli uliopotea sehmu ya Nne120. Ukweli uliopotea sehmu ya Tano121. Johari zenye hekima kwa vijana122. Safari ya kuifuata Nuru123. Idil Ghadiri124. Myahudi wa Kimataifa125. Kuanzia ndoa hadi kuwa Wazazi126. Visa vya kweli sehemu ya Kwanza127. Visa vya kweli sehemu ya Pili128. Muhadhara wa Maulamaa129. Mwanadamu na Mustakabali wake130. Imam Ali binamu ya Mtume Sehemu ya Kwanza131. Imam Ali binamu ya Mtume Sehemu ya Pili132. Khairul Bariyyah133. Uislamu na mafunzo ya kimalezi134. Vijana ni Hazina ya Uislamu.135. Yafaayo kijamii136. Kusoma sura zenye Sijda ya wajibu137. Taqiyya138. Vikao vya furaha 139. Shia asema haya Sunni asema haya Wewe wasemaje?

101

Elimu ya Ghaibu ya Maimamu

Elimu ya Ghaibu.qxd 7/1/2011 12:37 PM Page 101

Page 111: Elimu ya Ghaibu ya Maimamu

140. Uislamu na Mazingatio Sehemu ya Kwanza141. Uislamu na Mazingatio Sehemu ya Pili142. Azadari-Kuhuzunika na Kuomboleza143. Sunna katika Kitabu Fiqhi al-Sunnah144. Mtazamo Mpya - Wanawake katika Uislamu145. Kuonekana kwa Allah146. Tabia njema kwa Mujibu wa Ahlul-Bayt

(Sehemu ya Kwanza)147. Tabia njema kwa Mujibu wa Ahlul-Bayt (Sehemu ya Pili)148. Ndugu na Jirani149. Ushia ndani ya Usunni150. Maswali na Majibu151. Mafunzo ya hukmu za ibada 152. Ahlul Bayt ndani ya tafsiri za Kisusunni No1153 Ahlul Bayt ndani ya tafsiri za Kisusunni No 2154. Ahlul Bayt ndani ya tafsiri za Kisusunni No 3155. Abu Huraira156. Kati ya Alama kuu za dini ni Swala ya Jamaa na Adabu za

Msikiti na Taratibu zake

102

Elimu ya Ghaibu ya Maimamu

Elimu ya Ghaibu.qxd 7/1/2011 12:37 PM Page 102

Page 112: Elimu ya Ghaibu ya Maimamu

BACK COVER

Ghaibu (ghayb) maana yake - yasioonekana. Sharti moja la imani katikaUislamu ni kuamini yasiyoonekana ambayo kwa kweli ni mengi sana, laki-ni kwa kutaja machache ni kama vile, malaika, majini, Pepo, moto waJahannam, roho, n.k. Hivi vyote havionekani katika macho yetu lakinivipo na lazima tuamini hivyo. Qur’ani Tukufu inasema: “Hicho ni Kitabukisicho na shaka ndani yake, ni mwongozo kwa wamchao (Mungu), ambaohuyaamini yasiyoonekana...” (2: 2-3).

Mwandishi wa kitabu hiki ameelezea kwa kina maana halisi ya ghaibu kwakutumia vyanzo vitukufu - Qur’ani Tukufu, Sunna na hoja za kielimu.

Kimetolewa na kuchapishwa na:Al -Itrah FoundationP. O. Box 19701, Dar-es-Salaam, TanzaniaSimu: +255 22 2110640Fax: +255 22 2131036Email:[email protected]: www.alitrah.orgwww.alitrah.info

103

Elimu ya Ghaibu ya Maimamu

Elimu ya Ghaibu.qxd 7/1/2011 12:37 PM Page 103