Upload
well-told-story
View
278
Download
16
Embed Size (px)
DESCRIPTION
Chapta 16 – Malkia: Afya yako,haki yako!
Citation preview
Afya Yako, Haki Yako!
10
11
MALKIA!
Unaletwa kwa hiii hospitali ya wananchi na uko na
health insurance?!
Hapa hauwezi-treat-iwa vizuri! Wacha nikupeleke kwa private
clinic my daughter.
NURSE!! Kuja unisaidie kumbeba mtoto wangu
nimtoe hapa!
hospitaliuko na
Hapa hauwezi-treat-iwa vizuri! Wacha nikupeleke kwa private
KU-DUFF!!
12
Si uharakishe, hauoni mtoto wangu hajahudumiwa?! Heee! Mtajipanga!
At least tume-manage kuja kwa clinic. Doctor wa hapa ni mzuri sana,
atakupatia very good treatment.
Aki mum kwa ile hosi, hawakuwa wananiskia!
Nilingoja 3 hours kabla daktari afike. Hakunipima,
nurse amenitukana…
eh!wewe tena!
13
Pole sana Stella. Nilikuwa held-up kwa ile hospitali ya
wanachi. Lakini nimefika, hakuna kazi ya maana huko!
Mum, huyu ni yule daktari wa
ile hosi!
Shhh!
Hehe, em, er, sorry daktari, unajua watoto
siku hizi wanapenda kuongea ovyo ovyo…hehe
No problem Stella, naelewa ni madawa
zinamsumbua.
Thank you daktari. Umetusaidia sana. Labda tunaweza patana baadae
tukunywe kahawa au juice?
Ni sawa Stella. Ok, mkihitaji anything, nipigie simu anytime, 24 hours.
Unaezaje ongea hivyo mbele ya daktari? Haujui
yeye ni a very respectable professional?!
14
wananchi.
Niko lucky nina insurance, sasa wale wamebaki kwa public hospital sijui kama walihudumiwa? Wacha
niambie DJB vile ni lazima tu-demand better services kwa hosi zetu!
ya kujua ni ugonjwa gani umepatikana nayo, na ni matibabu gani daktari ana plan kukupa, na matajario ya daktari kulingana na matibabu.ya kuhudumiwa kwa vipoa bila kutukanwa au kudhulumiwa
KaMa uMEdHuLuMiWa HoSi:
0204343074 0728310983 0733689320 [ulizia alice]
Pata info zaidi juu ya hawa wasee kwa
web: www.cfk.unc.edu
Morris Moses foundation ni organization ambae nahimiza wasee wajue haki zao juu ya matibabu kwa hosi.
Medical Practitioners & dentists boardWoodlands Road , P.o box 44839 – 00100 nairobi
Tel: 0722631601
omba copy ya file yako ya matibabuandika barua na complaints zako na u-include copy ya file yako kwa:
Tuma copy ya hii complaint kwa
ili wakusaidie kufuatilia kesi yako.
Pia unaweza kuenda kortini na complaint yako!
usiogope kufuatilia haki yako! Pata info zaidi kutoka Morris Moses foundation:
una RiGHT:
uLiza quESTionS KaMa HauELEWi info aMbayo uMEPEWa KWa HoSi.
15