27 - Shujaaz.FM - Chapta 27

Preview:

DESCRIPTION

Chapta 27 - Full Comic

Citation preview

CH 27 [FINAL].indd 1 13/04/2012 11:19

CH 27 [FINAL].indd 2 13/04/2012 11:19

CH 27 [FINAL].indd 3 13/04/2012 11:19

CH 27 [FINAL].indd 4 13/04/2012 11:19

CH 27 [FINAL].indd 5 13/04/2012 11:19

CH 27 [FINAL].indd 6 13/04/2012 11:19

CH 27 [FINAL].indd 7 13/04/2012 11:19

CH 27 [FINAL].indd 8 13/04/2012 11:19

CH 27 [FINAL].indd 9 13/04/2012 11:19

CH 27 [FINAL].indd 10 13/04/2012 11:19

market..

Aiii! Kwani vitunguu zako zinakuja na ndege?

hio bei ni ghali.

Nkt! Maskini!

Kama hamna pesa songeni niongee na mwenye duka.

hehehe

mnacheka nini...

?

aaaargh

kwetumarket

CH 27 [FINAL].indd 11 13/04/2012 11:19

Mheshimiwa! Mheshimiwa!

Mheshimiwa! Tutakutana kwa

maskan!?

Mnaona? ...He knows class

1

2 3

7

8

914

15

16 ...kwani minister

ana-need gari ngapi

Auuu uu! Wameharibu

biashara yangu…

CH 27 [FINAL].indd 12 13/04/2012 11:19

…tunaumia huku nao wananona na magari

kubwa kubwa!

Hao watu wana-deserve.

Unadhani wanauza

mangoes?Nyinyi ni watu wadogo

sana kuelewa vile government ina-spend.

Vile ina-spend pesa yao inahusu Wakenya wote.

Hata hao MP hawalipi taxes wananunua

unga ghali,

Gas na mafuta imependa,

nilipeleka mtoto wangu hospitali na hakukuwa

na madaktari

Hizi shida zote ni juu hawa watu

wanatumia pesa zetu vibaya.

hahaha! Wewe Mama Mboga unajua nini?

CH 27 [FINAL].indd 13 13/04/2012 11:19

Stop! Cheki…

Poleni sana! Msi pigane

Hehe! Nimetumwa hapa na

mheshimiwa kulipia hasara.

...

Pesa ya serikali ina husu watu wadogo kama

hawa?

Serikali ikitumia pesa mingi kwa barabara, pesa ya mahospitali

ina punguka.

Kwa hivyo vitu ni ghali juu wananunua

magari wasiohitaji?

Aaaah, yes!

Actually… wako right.

CH 27 [FINAL].indd 14 13/04/2012 11:19

CH 27 [FINAL].indd 15 13/04/2012 11:19

CH 27 [FINAL].indd 16 13/04/2012 11:19

CH 27 [FINAL].indd 17 13/04/2012 11:20

CH 27 [FINAL].indd 18 13/04/2012 11:20

sasa chuxx!umeona...

janet!unatafutwa!

unafanya nini na huyu chuxx?

mbona huji

shule?

nywele yako ni

orange siku hizi?!

oh, puulizz!natafutwa

kwani nime-win lottery?

mtakoma kunifuata-fuata na kuniuliza maswali nyingi kama clinic!

eh... maria kim, si

unajua ni wewe tu? huyu janet sikuwa serious na yeye...

wameanza machozi. mimi nime-bounce!

aki maria kim, mimi ni bure sana! hakuna kitu

naeza-do! hata kusoma imenishinda. hata in future

sijui nita-do nini.

none of your

business!

familia yetu ni masikini... umeona mamangu? kwani life

yangu pia itakuwa hivo? kuosha manguo na kuzaa watoto tu?

afadhali nikule raha saa hizi!

eh, usiongee hivyo. kuacha masomo juu ya raha si poa. kuna vitu mob sana unaeza

achieve.

najua hauniamini, lakini i can prove it!

haiya, nimewaita hapa leo juu kuna mtu

ningependa abonge nanyi. stori yake ni kali

sana...

siku kadhaa baadaye...

CH 27 [FINAL].indd 19 13/04/2012 11:20

CH 27 [FINAL].indd 20 13/04/2012 11:20

CH 27 [FINAL].indd 21 13/04/2012 11:20

CH 27 [FINAL].indd 22 13/04/2012 11:20

CH 27 [FINAL].indd 23 13/04/2012 11:20

CH 27 [FINAL].indd 24 13/04/2012 11:20

CH 27 [FINAL].indd 25 13/04/2012 11:20

CH 27 [FINAL].indd 26 13/04/2012 11:20

nitachoma hizi seeds hadi ziwe brown na

shiny!

halafu nitakuwa na

vifaa vya kuuza

sokoni!

na vile hizo njugu ni mbaya!

na vile nazipenda!

asante, baba!

sikukupikia!

26

CH 27 [FINAL].indd 27 13/04/2012 11:20

CH 27 [FINAL].indd 28 13/04/2012 11:20

CH 27 [FINAL].indd 29 13/04/2012 11:20

CH 27 [FINAL].indd 30 13/04/2012 11:20

CH 27 [FINAL].indd 31 13/04/2012 11:20

CH 27 [FINAL].indd 32 13/04/2012 11:20

Recommended