1
HALMASHAURI YA WILAYA YA MISUNGWI
TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA MPANGO WA MAENDELEO ROBO YA PILI
KWA MWAKA 2017/2018 KUISHIA TAREHE 31 DESEMBA 2017 ILIYOPITISHWA
KWENYE BARAZA LA MADIWANI KIPINDI CHA OKTOBA HADI DISEMBA
2017/2018.
1.0 UTANGULIZI
Katika kutekeleza Mpango wa Maendeleo wa Mwaka 2017/2018, Halmashauri ya wilaya imepanga kutumia kiasi cha Tshs. 9,021,332,000/= kwa ajili ya kutekeleza Miradi ya Sekta za Afya, Elimu, Maji, Ardhi, Ujenzi, Mipango, Maendeleo ya Jamii, Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika, Mifugo na Uvuvi, Mazingira na Utawala. Fedha hizo zitatoka katika Vyanzo Mbalimbali navyo ni Serikali Kuu, Halmashauri ya Wilaya, Busket Fund, NRWSSP, Mfuko wa Jimbo, SEDP, TASAF, TACAIDS, Road Fund, LGDG na Michango ya Jamii.
2.0 FEDHA ZILIZOPOKELEWA ROBO YA PILI (OKTOBA – DISEMBA 2017)
KUISHIA TAREHE 31/12/ 2017
Mheshimiwa Mwenyekiti, Hali ya upatikanaji wa fedha katika kipindi hiki si wa
kuridhisha kwani Hadi kufikia tarehe 31 Desemba 2017, Halmashauri ya Wilaya
imepokea kiasi cha Tshs. 1,075,533,545. 53 sawa na asilimia 11.9% ya fedha zilizopangwa
kwa Mwaka Mzima Tshs. 9,021,332,000. Vile vile Halmashauri ilipokea kiasi cha Tshs.
1,831,046,882.05 toka TASAF na Tshs. 17,125,000 toka AGPAH na kufanya jumla ya
mapokezi yote kuwa Tshs. 2,923,705,427.58 na kutumia kiasi cha Tshs. 2,666,068,973.53
sawa na asilimia 91.18% ya fedha zilizotolewa.
2
Muhtasari wa Mapokezi na Matumizi ya Fedha za Maendeleo kuishia 31, Disemba 2017
Na Jina la Mradi Fedha
pangwa
Fedha tolewa Fedha tumika
1 Miradi ya Mapato ya Ndani (60%) 1,237,427,000 65,174,541 65,174,541
2 Rural Water Supply and
Sanitation
3,935,836,000 140,621,033.53 137,418,823.53
3 Health Sector Basket Fund (HSBF) 959,931,000 182,086,753 37,272,900
4 Local Govt. Capital Devt. Grant
(LGCDG)
1,776,225,000 0 0
5 Mfuko wa Jimbo (CDCF) 67,917,000 67,917,000 67,917,000
6 Capitation Secondary 79,040,000 55,774,911 55,774,911
7 School Meals Secondary 50,537,000 30,189,034 30,189,034
8 Fidia ya Ada Shule za Kutwa Sec 180,680,000 93,249,755 93,249,755
9 Head Masters Allowance SEC 69,000,000 28,750,000 28,750,000
10 Capitation Prim School 351,225,000 248,525,656 248,525,656
11 Special School Prim School 101,314,000 60,194,862 60,194,862
12 Ward Educ. Coordinators Prim School
81,000,000 20,250,000 20,250,000
13 Head Teachers Allowance Prim School
331,200,000 82,800,000 82,800,000
14 TASAF 0 1,831,046,882.05 1,725,056,491
15 AGPAH 0 17,125,000 13,495,000
Jumla Kuu 9,221,332,000 2,923,705,427.58 2,666,068,973.53
3
Muhtasari wa fedha za bakaa 2016/2017 kuishia 31, Desemba 2017
Halmashauri ya Wilaya imeendelea kutekeleza Miradi ya bakaa ya Mwaka 2016/2017
yenye thamani ya Tshs. 438,718,767.08 na Matumizi kufikia Tshs. 395,380,282.08.
NA JINA LA MRADI FEDHA ILIYOKUWA
IMEBAKI
FEDHA TUMIKA
1 HSBF 54,821,243 54,821,243
2 Maombi Maalum 60,979,385 17,640,900
3 Programu ya Maji na Usafi wa
Mazingira Vijijini - (NRWSSP)
310,918,139.08 310,918,139.08
4 Mfuko wa Jimbo (CDCF) 12,000,000 12,000,000
Jumla Kuu 438,718,767.08 395,380,282.08
Changamoto:
Fedha za Utekelezaji wa Miradi ya Maendeleo kuchelewa kutolewa na hivyo
kuathiri utekelezaji kama ilivyopangwa.
Majedwali ya utekelezaji yameambatanishwa.
Naomba kuwasilisha
ELIURD MWAITELEKE
MKURUGENZI MTENDAJI (W),
MISUNGWI.
4
(A) TAARIFA YA UTEKELEZAJI KWA KUTUMIA FEDHA ZA BAKAA 2016/2017 ROBO YA PILI KIPINDI CHA (OKTOBA– DESEMBA 2017) KUISHIA 31 DISEMBA, 2017
TAARIFA YA UTEKELEZAJI FEDHA ZA BAKAA MFUKO WA AFYA WA PAMOJA (HSBF) KWA MWAKA 2016/2017
Na Jina la Mradi
Lengo la mradi Utekelezaji uliofanyika
% Utekelezaji
Fedha Pangwa
Fedha tolewa
Fedha tumika
% tumi
ka
Maoni Maelezo
1 Kutengeneza magari
Kufanyia matengenezo ya magari 2 ya wagonjwa ifikapo june 2017
Gari Na. sm 4465 na Gari Na.T 427 AHQ bili za matengenezo zimelipwa
100 10,343,860 10,343,860 10,343,860 100 Kazi imefanyika kama ilivyopangwa
2 Usimamizi vituo vya kutolea huduma
Kufanya ziara za usimamizi (routes 24) ifikapo june 2017
Ziara za usimamizi zimefanyika katika vituo vya kutolea huduma 48
100 6,455,000 6,455,000 6,455,000 100 Kazi imefanyika kama ilivyopangwa
3 Kufanya usimamizi tegemezo
Kununua mafuta kwa ajili ya shughuli za usimamizi tegemezo ifikapo juni 2017
Mafuta lita 3398 yamenununuliwa na shughuli za usimamizi vituo 48 zimefanyika
100 7,139,195 7,139,195 7,139,195 100 Ziara za usimamizi zimefanyika kam ilivyopangwa
4 Usimamizi wa vituo
Kuwezesha wasimamizi wa vituo kufanya usimamizi kwa vituo wanavyolea ifikapo june 2017
Usimamizi kwa vituo vyote 48 umefanyika
100 6,795,000 6,795,000 6,795,000 100 Usimamizikatika vituo umefanyika kama ilivyopangwa
Jumla ofisi ya Mganga Mkuu 30,733,055’ 30,733,055’ 30,733,055 5 Kufanya
kliniki za mkoba
Kufanya shughuli za mkoba ifikapo Juni 2017
Shuguli za Mikoba katika maeneo ya Gulumungu, Ngo’bo, Iteja, Lubuga, wanzamiso, na mayolwa zimefanyika
11,510,000 11,510,000 11,510,000 100 Kliniki za mikoba zimefanyika ka ilivyopangwa
5
6 Chanjo Kujaza mitungi ya gesi 130 ifikapo juni 2017
Mitungi ya gesi 130 imejazwa
7,500,000 7,500,000 7,500,000 100 Mitungi hiyo itasambazwa na kutumika katika vituo vyote 48
Jumla Vituo vya Afya 19,010,000 19,010,000 19,010,000 7 Huduma za
dharula Kuwezesha watumishi kutoa huduma za dharula masaa 24 ifikapo juni 2017
Huduma za dharula kwa wagonjwa zimetolewa katika vituo vyote 48
3,578,188 3,578,188 3,578,188 100 Kazi imefanyika kama ilivyopangwa
8 Kuhudumia makundi yenye uhitaji maalumu
Kuwezesha kikao cha maadhimisho siku ya wazee kufanyika ifikapo juni 2017
Kikao cha maadhimisho ya siku ya wazee duniani kimefanyika katika kata koromije
1,500,000 1,500,000 1,500,000 100 Kikao kimefanyika kama kilivyopangwa
Jumla zahanati 5,078,188 5,078,188 5,078,188
JUMLA KUU 54,821,243 54,821,243 54,821,243
6
MAOMBI MAALUM KWA MWAKA 2016/2017
Na Jina la Mradi Lengo la mradi Utekelezaji uliofanyika % Utekelezaji
Fedha Pangwa
Fedha tolewa
Fedha tumika
% tumika
Maoni Maelezo
1 Ukarabati wa
Bwalo/Jiko
shule ya
msingi
Mitindo
Kukarabati
Bwalo/Jiko
katika shule ya
msingi Mitindo
Ukarabati wa Bwalo/Jiko
shule ya msingi Mitindo
umeshaanza na hatua
iliyofikiwa ni jiko la nje
linaendelea kujengwa,
korido la kutoka kwenye
bwalo hadi jiko la nje
limeshajengwa, jiko
lililokuwa ndani ya bwalo
limeshabomolewa na
upakaji wa rangi ndani na
nje ya bwalo umekamilika.
40 22,000,00
0
22,000,00
0
0 0 Ukarabati
unaendelea
2 Ukamilishaji
wa fensi
Umaliziaji wa
ujenzi wa fensi
katika shule ya
msingi Mitindo
Ukamilishaji wa Ujenzi wa
uzio wa kuzunguka shule
ya Msingi Mitindo na
kuweka umeme.
Utekelezaji wake ni kama
ifuatavyo:-
- upigaji wa lipu
umekamilika
- upakaji wa rangi
unaendelea
90 9,177,025
9,177,025
0 0 Kazi ya
upakaji wa
rangi
inaendelea
3 Shule ya msingi Busagara
Kutengeneza madawati 50, viti 07 , meza03, kabati 01,
Viti 50 @25,000 = 1,250,000
Meza 3 @50,000 = 150,000
80
9,934,120
9,934,120
3,620,000 36 Ununuzi wa samani umekamilika na
7
noticeboard 03 kwanafunzi wenye ulemavu na kujenga choo cha wanafunnzi
Madawati 50 @35,000 =
1,750,000
Office chair 7@35,000 =
240,000
NotesBoard 3@10,000 =
30,000
Kabati 1 @ 195,000 –
195,000 vimenunuliwa na
kukabidhiwa.
Ukamilishaji wa Ujenzi wa
choo chenye matundu
7unaendelea ambao
umegharimu kiasi cha
Tshs.6,209,120 na shughuli
zilizofanyika ni pamoja na
;-
- Kuweka sakafu ya vigae
- Kuweka masinki vya vyoo
- Kuweka milango na madilisha ya grill
- Kuweka mfumo wa maji na
- Upakaji wa rangi unaendelea
ukamilishaji wa ujenzi wa choo umefikia katika hatua ya upakaji wa rangi.
4 Shule ya msingi Kigongo
Kutengeneza madawati 50, viti 07 , meza03, kabati 01,noticeboard 03 na Ukarabati
Viti 7@ 50,000 = 350,000
Meza 3@ 30,000 = 90,000
Kabati 1@500,000 = 500,000
Dawati 50@ 65,000=325,000
na
80 9,934,120
9,934,120
9,252,000 93 Kazi ya ukarabati imekamilika na utengenezaji wa samani
8
wa madarasa 08,na ofisi 01 pamoja na varanda 10
Notesboard @60,000
=180,000 viko kwenye
hatua za mwisho za
matengenezo
Ukarabati umekamilika ambapo kazi zilizofanyika ni-
- Kuweka sakafu
kwenye vyumba 8 vya
madarasa na ofisi 1
- Kuweka sakafu
kwenye veranda na
kujenga rafu za
kupandia
uko kwenye hatua ya ukamilishaji.
5 Shule ya msingi Misungwi
Kutengeneza madawati 50, viti 07, meza03, kabati 01, noticeboard 03 na kujenga choo cha. wanafunnzi
Viti 7 @70,000 = 490,000 Meza 3 @150,000 = 450,000 Madawati 50 @50,000 = 2,500,000 vimenunuliwa na vinatumika. Notice board 3@50,000 = 150,000 ziko kwenye mchakato wa manunuzi. Ujenzi wa choo matundu 8 umekamilika ambao umegharimu kiasi cha Tshs.6,209,120 na shughuli zilizofanyika ni pamoja na ;-
- Kukarabati shimo
- Kujenga msingi
- Kujenga boma
- Kupaua
85 9,934,120 9,934,120 4,768,900 48 Ununuzi wa viti, meza, madawati na ujenzi wa choo umekamilika isipokuwa mchakato wa ununuzi wa notice board unaendelea
9
- Kupiga lipu nje/ndani
- Kuweka sakafu ya
vigae
- Kuweka masinki vya
vyoo
- Kuweka milango ya
grill
- Kupaka rangi nje na
ndani
Jumla Kuu 60,979,385
60,979,385
17,640,900
TAARIFA YA UTEKELEZAJI FEDHA ZA BAKAA PROGRAMU YA MAJI NA USAFI WA MAZINGIRA VIJIJINI - (NRWSSP)
Na Jina la Mradi
Lengo la Mradi Utekelezaji uliofanyika % ya Utekelezaji
Fedha zilizopangwa
Fedha tolewa
Fedha tumika
% tumika
Maoni/Maelezo
1 Igenge Ujenzi wa tanki
moja (1) la
kuhifadhi maji la
ujazo wa mita 135,
Ujenzi wa Dp 11,
Ujenzi wa tanki
moja (1) la ujazo
wa mita 5 (5m3),
Uchimbaji na
Ujenzi wa tanki moja (1)
la kuhifadhi maji la
ujazo wa mita 135
umefanyika (bado
kufunika), Ujenzi wa
Dp 11 umekamilika
(bado kufunga dira),
Ujenzi wa tanki moja (1)
la ujazo wa mita 5
60 138,618,921 138,618,921 138,618,921 100 Fedha hizi
zilichelewa kulipwa
baada ya mradi huu
kuwa na utata wa
utekelezaji wake
mpaka tulipo pata
ufafanuzi kutoka
Wizara ya Maji
hivyo malipo haya
10
ufungaji wa
mabomba ya urefu
wa km 19
(5m3)umekamilika,
Uchinbaji na ufungaji
wa mabomba ya urefu
wa km 18.7
umekamilika
yamefanyika kwa
Mkandarasi kupitia
hati ya malipo
namba 3
2 Matale - Manawa - Misasi
Ujenzi wa tanki
moja (1) la
kuhifadhi maji la
ujazo wa mita 135,
Ujenzi wa Dp 19,
Uchimbaji na
ufungaji wa
mabomba ya urefu
wa km 15.597
Ujenzi wa tanki moja (1)
la kuhifadhi maji la
ujazo wa mita 135
umekamilika, Ujenzi wa
Dp 19 (bado kufunga
dira), Uchimbaji na
ufungaji wa mabomba
ya urefu wa km 15
umekamilika
70 157,683,786 157,683,786 157,683,786 100 Fedha hizi
zilichelewa kulipwa
baada ya mradi huu
kuwa na utata wa
utekelezaji wake
mpaka tulipo pata
ufafanuzi kutoka
Wizara ya Maji
hivyo malipo haya
yamefanyika kwa
Mkandarasi kupitia
hati ya malipo
namba 3
3 Fella Ukarabati wa Mradi wa maji bomba Fella
Mradi wa maji bomba umekarabatiwa
100 7,841,332.08 7,841,332.08 7,841,332.08 100 Ukarabati umefanyika
4 Ufuatiliaji wa shughuli za uundaji wa Jumuiya ya watumiaji maji vijijini (COWSO)
Ufuatiliaji wa shughuli za uundaji wa Jumuiya ya watumiaji maji vijijini (COWSO) umefanyika katika vijiji vya lutalutale, Bugisha, Nyangho`mango,Gukwa,Kabale,Songiwe,Mwamboku,Busongo,Kifune,Nyambiti,Koromije,IbongoyaA’,Mwasubi,Lukelege,Bugomba,Magaka,Bukumbi.
100 6,774,100 6,774,100 6,774,100 100 Kazi imefanyika kama ilivyo pangwa.
11
310,918,139.08 310,918,139.08 310,918,139.08
TAARIFA YA UTEKELEZAJI FEDHA ZA BAKAA MFUKO WA JIMBO (CDCF) 2016/17
Na Jina la Mradi Lengo la Mradi Utekelezaji uliofanyika
% ya Utekelezaji
Fedha zilizopangwa
Fedha tolewa
Fedha tumika
% tumika
Maoni/Maelezo
1 Ukamilishaji wa Shule za Msingi na Zahanati kupitia Mfuko wa Jimbo
Ukamilishaji wa Ujenzi wa vyumba 2 vya madarasa na ofisi 1 S/Msingi Mwagiligili.
Fedha zimeingizwa kwenye akaunti ya kijiji
- 9,000,000 1,000,000 0 0 Utekelezaji utafanyika robo ya tatu
Ukamilishaji wa
Ujenzi wa
Nyumba ya
Fedha
zimeingizwa
- 3,000,000 1,000,000 0 0 Utekelezaji
utafanyika
robo ya tatu
12
Mganga Zahanati
ya Lutalutale.
kwenye akaunti
ya kijiji
Ukamilishaji wa
Ujenzi wa
vyumba 2 vya
madarasa
S/Sekondari
Gulumungu.
Fedha
zimeingizwa
kwenye akaunti
ya kijiji
- 5,000,000 1,000,000 0 0 Utekelezaji
utafanyika
robo ya tatu
Ukamilishaji wa
Ujenzi wa
nyumba ya
Mwalimu
S/Sekondari
Gulumungu.
Fedha
zimeingizwa
kwenye akaunti
ya kijiji
- 5,000,000 1,000,000 0 0 Utekelezaji
utafanyika
robo ya tatu
Ununuzi wa vifaa
vya Maabara
S/Sekondari
Koromije.
Fedha
zimeingizwa
kwenye akaunti
ya kijiji
- 6,000,000 1,000,000 0 0 Utekelezaji
utafanyika
robo ya tatu
Ukamilishaji wa
Ujenzi wa
vyumba 2 vya
madarasa
S/Sekondari
Ilujamate.
Fedha
zimeingizwa
kwenye akaunti
ya kijiji
- 4,500,000 1,500,000 0 0 Utekelezaji
utafanyika
robo ya tatu
Ukamilishaji wa Ujenzi wa vyumba 2 vya madarasa na ofisi 1 ya walimi
Fedha zimeingizwa kwenye akaunti ya kijiji
- 3,000,000 1,000,000 0 0 Utekelezaji utafanyika robo ya tatu
13
S/Msingi Mwalwigi.
Ukamilishaji wa Ujenzi wa nyumba 1 ya mwalimu S/Msingi Busolwa.
Fedha zimeingizwa kwenye akaunti ya kijiji
- 5,000,000 1,000,000 0 0 Utekelezaji utafanyika robo ya tatu
Ukamilishaji wa Ujenzi wa nyumba ya Mganga Zahanati ya Nkinga.
Fedha zimeingizwa kwenye akaunti ya kijiji
- 3,000,000 1,500,000 0 0 Utekelezaji utafanyika robo ya tatu
Ujenzi wa vyumba 2 vya madarasa na ofisi 1 S/Msingi Bujingwa.
Fedha zimeingizwa kwenye akaunti ya kijiji
- 5,500,000 1,000,000 0 0 Utekelezaji utafanyika robo ya tatu
Ukamilishaji wa Ujenzi wa nyumba ya Mwalimu S/Sekondari Misungwi.
Fedha zimeingizwa kwenye akaunti ya kijiji
- 4,500,000 1,000,000 0 0 Utekelezaji utafanyika robo ya tatu
Jumla 53,500,000 12,000,000
14
(B) TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO KWA MWAKA WA FEDHA 2017/2018 ROBO YA PILI
KIPINDI CHA (OKTOBA 2017 – DESEMBA 2017) KUISHIA 31 DESEMA, 2017
1. MIRADI INAYOTEKELEZWA KWA KUTUMIA FEDHA ZA MAPATO YA NDANI (60%)
Na Jina la Mradi Lengo la Mradi Utekelezaji % ya utekelezaji
Fedha pangwa
Fedha tolewa
Fedha tumika
% ya fedha tolewa
Maelezo
1. Kuwezesha
Ukarabati wa
Chumba cha
Upasuaji katika
Hospitali ya
Kukarabati Chumba cha Upasuaji katika Hospitali ya Wilaya ya Misungwi
Utekelezaji haujafanyika
- 27,620,900 - - - Fedha hazijatolewa
15
Wilaya ya
Misungwi
2. Kuwezesha
Upatikanaji wa
Dawa, Vifaa Tiba
na Vitendanishi
kwa ajili ya
Dharula na
Majanga katika
Vituo 46 vya
kutolea Huduma
ya Afya
Ununuzi wa Dawa, Vifaa Tiba na Vitendanishi kwa ajili ya Dharula na Majanga katika Vituo 46 vya kutolea Huduma ya Afya
Utekelezaji haujafanyika
- 26,000,000 - - - Fedha hazijatolewa
3. Ujenzi wa Wodi ya
Akina Mama
Wajawazito katika
Kituo cha Afya cha
Koromije
Kujenga Wodi ya Akina Mama Wajawazito katika Kituo cha Afya cha Koromije
Utekelezaji haujafanyika
- 40,000,000 - - - Fedha hazijatolewa
4. Kumalizia Ujenzi
wa OPD katika
Zahanati ya
Ng’obo,
Lutalutale,
Mapilinga na
Mondo
Kumalizia Ujenzi wa OPD katika Zahanati ya Ng’obo, Lutalutale, Mapilinga na Mondo
Utekelezaji haujafanyika
- 45,000,000 - - - Fedha hazijatolewa
5. Kumalizia Ujenzi
wa Nyumba ya
Mganga (two in
one) katika
Kumalizia Ujenzi wa Nyumba ya Mganga (two in one) katika Zahanati ya Bugisha
Utekelezaji haujafanyika
- 40,000,000 - - - Fedha hazijatolewa
16
Zahanati ya
Bugisha
6. Kutoa Mafunzo
kwa Mama
Wajawazito juu ya
umuhimu wa
Lishe Bora kwa
Watoto chini ya
Miaka 5 katika
Vituo 46
Mafunzo kwa Mama Wajawazito juu ya umuhimu wa Lishe Bora kwa Watoto chini ya Miaka 5 katika Vituo 46
Utekelezaji haujafanyika
- 10,000,000 - - - Fedha hazijatolewa
7. Kuwezesha
uchangiaji wa
miradi
iliyoanzishwa kwa
nguvu za
wananchi
(community
initiatives)
Uchangiaji wa miradi iliyoanzishwa kwa nguvu za wananchi (community initiatives)
-Uchangiaji katika chanzo kipya cha mapato kinachoendelea kujengwa Stendi ya Nyashishi Tshs. 10,000,000. -Ukamilishaji ujenzi wa jengo la utawala Gulumungu sekondari Tshs. 1,000,000 -Ukamilishaji vyumba ya madarasa S/Msingi Kagera Tshs. 800,000 -Ukamilishaji wa Ofisi ya Kijiji cha
20 20,040,000 19,615,384 19,615,384 100 Utekelezaji unaendela
17
Nguge Tshs. 800,000 - Ukamilishaji wa ujenzi wa vyumba vya madarasa S/Msingi Salawi Tshs. 800,000 Ukamlishaji wa ujenzi wa wodi Zahanati ya Buhunda.Tshs. 800,000 Ukamilishaji wa ujenzi wa wodi Zahanati ya Mwawile. Tshs. 800,000 Ukamilishaji wa Ujenzi wa choo S/Msingi Kifune Tshs.4,615,384
8. Ukarabati wa
nyumba 3 za
watumishi na
Choo chenye
Matundu 6 katika
Makao Makuu ya
Halmashauri
Ukarabati wa nyumba 3 za watumishi na Choo chenye Matundu 6
Utekelezaji haujafanyika
- 25,000,000 - - - Fedha hazijatolewa
9. Kuboresha
Ukusanyaji wa
Kununua Mashine 113 za Kukusanyia Mapato aina POS
Utekelezaji haujafanyika
- 90,400,000 - - - Fedha hazijatolewa
18
Mapato ya Ndani
kwa Kununua
Mashine 113 za
Kukusanyia
Mapato aina POS
10. Kuchangia Miradi
inayotekelezwa na
Wadau
mbalimbali wa
Maendelao ifikapo
june 2018
Kuchangia Miradi inayotekelezwa na Wadau mbalimbali wa Maendelao
- Uchangiaji uandaaji wa Socio-economic Profile – RAS Mwanza Tshs. 1,500,000 -Ununuzi wa matofali ya nyumba ya Mkurugenzi Tshs. 9,000,000 -Gharama za kusafirisha Madawati kutoka Mbeya kuja Misungwi Tshs. 1,000,000
50 30,000,000 11,500,000
11,500,000
100
Kazi inaendelea
hadi sasa
imekamilika
kwa asilimia 90
11. Kuwezesha Utafiti
wa Mapato wa
Vyanzo vya Ndani
Kuwezesha Utafiti wa Mapato wa Vyanzo vya Ndani
Utekelezaji haujafanyika
- 25,000,000 - - - Fedha hazijatolewa
12. Kuandaa mpango
na bajeti ya
2018/2019
Kuandaa mpango na bajeti ya 2018/2019 na kuiwasilisha katika Ngazi mbalimbali kama vile
Utekelezaji haujafanyika
- 35,000,000 - - - Fedha hazijatolewa
19
Halmashauri, Mkoa, TAMISEMI na Hazina
13. Kuandaa na
kuwasilisha taarifa
za Kamati ya
Hesabu za Serikali
za Mitaa (LAAC)
Kuandaa na kuwasilisha taarifa za Kamati ya Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC)
Utekelezaji haujafanyika
- 20,000,000 - - - Fedha hazijatolewa
14. Kufanya Ukaguzi
na Usimamizi wa
Miradi ya
Maendeleo Ngazi
zote
Kufanya Ukaguzi na Usimamizi wa Miradi ya Maendeleo Ngazi zote
-Timu ya wakuu wa idara na Mkurugenzi Mtendaji (W) imefanya ukaguzi wa miradi katika kata na vijiji -Timu ya Assessment ya Wilaya imefanya zoezi la upigaji picha miradi ya jitihada za jamii
60 34,286,720 9,380,000 9,380,000 100 Usimamizi na ukaguzi wa miradi umefanyika. Kazi ya upigaji picha imemalizika
15. Kupima na kutoa
Fidia ya Viwanja 150
katika Mji wa
Misungwi
Kupima na kutoa Fidia ya Viwanja 150 katika Mji wa Misungwi
Utekelezaji haujafanyika
- 100,000,000 - - - Fedha hazijatolewa
16. Kufanya tathmini ya
ardhi na na kuandaa
mpango wa
matumizi bora ya
ardhi katika maeneo
ya EPZ ya Ukiriguru
na Bulemeji
Kufanya tathmini ya ardhi na na kuandaa mpango wa matumizi bora ya ardhi katika maeneo ya EPZ ya
Utekelezaji haujafanyika
- 12,414,000 - - - Fedha hazijatolewa
20
Ukiriguru na Bulemeji
17. Kuwezesha
Ukamilishaji na
Ukarabati wa
Vyumba vya
Madarasa katika
shule 10 za msingi za
Pambani, Chatta,
Fella, Mondo,
Mayolwa, Kagera,
Mwagala, Nduha,
Seeke na Magula
Ukarabati wa Vyumba vya Madarasa katika shule 10 za msingi za Pambani, Chatta, Fella, Mondo, Mayolwa, Kagera, Mwagala, Nduha, Seeke na Magula
Utekelezaji haujafanyika
- 20,000,000 - - - Fedha hazijatolewa
18. Kuwezesha
Ukarabati wa
Vyoo katika Shule
za Msingi za
Lukelege, Iteja,
Ihelele,
Isakamawe, Seeke,
Mangula, Nduha,
Masawe na Kagera
Ukarabati wa Vyoo katika Shule za Msingi za Lukelege, Iteja, Ihelele, Isakamawe, Seeke, Mangula, Nduha, Masawe na Kagera
Utekelezaji haujafanyika
- 35,000,000 - - - Fedha hazijatolewa
19. Ukarabati na
Ukamilishaji wa
Miundombinu
katika Shule za
Sekondari za
Mamaye, Sanjo,
Paul Bomani,
Misungwi na
Bulemeji
Ukamilishaji wa Miundombinu katika Shule za Sekondari za Mamaye, Sanjo, Paul Bomani, Misungwi na Bulemeji
Utekelezaji haujafanyika
- 80,000,000 - - - Fedha hazijatolewa
21
20. Ukamilishaji wa
Vyumba vya
Maabara 64 katika
Shule za Sekondari
23
Ukamilishaji wa Vyumba vya Maabara 64 katika Shule za Sekondari 23
Utekelezaji haujafanyika
- 100,000,000 - - - Fedha hazijatolewa
21. Kuimarisha kitalu
cha miti cha
Wilaya kwa
kuotesha na
kupanda miti
1,500,000 ya aina
mbalimbali katika
maeneo ya taasisi
kuotesha na kupanda miti 1,500,000 ya aina mbalimbali katika maeneo ya taasisi
Utekelezaji haujafanyika
- 10,000,000 - - - Fedha hazijatolewa
22. Kusambaza Vifaa
vya kutupia taka
na kutoa Elimu
juu ya Usafi wa
Mazingira
Kuimarisha Usafi wa Mazingira katika Miji ya Misasi, Misungwi, Usagara na Mabuki kwa kusambaza Vifaa vya kutupia taka na kutoa Elimu juu ya Usafi wa Mazingira
Utekelezaji haujafanyika
- 15,000,000 - - - Fedha hazijatolewa
23. Kuvipatia Mkopo Vikundi 20 vya Wanawake vya Uzalishaji wa Kiuchumi ifikapo June 2018
Kuvipatia Mkopo Vikundi 20 vya Wanawake vya Uzalishaji wa Kiuchumi
Utekelezaji haujafanyika
- 76,779,480 - - - Fedha hazijatolewa
24. Kuvipatia Mkopo Vikundi 35 vya
Kuvipatia Mkopo Vikundi 35 vya
Utekelezaji haujafanyika
- 76,779,480 - - - Fedha hazijatolewa
22
Vijana Wazalishaji wa Jamii ifikapo June 2018
Vijana Wazalishaji wa Jamii
25. Kuwezesha
wanafunzi yatima 50
katika Shule 23 za
Sekondari kupitia
Upatikanaji wa Sare
za Shule
Kuwezesha wanafunzi yatima 50 katika Shule 23 za Sekondari
Utekelezaji haujafanyika
- 30,000,000 - - - Fedha hazijatolewa
26. Kuwezesha Ushiriki wa Maonyesho ya Nanenane ifikapo June 2018
Ushiriki wa Maonyesho ya Nanenane
Utekelezaji haujafanyika
- 10,000,000 - - - Fedha hazijatolewa
27. Ushiriki wa Shughuli
za Chakula kwa kazi
katika Vijiji 4 vya
Iteja, Ngudama,
Mondo na Lubuga
Ushiriki wa Shughuli za Chakula kwa kazi katika Vijiji 4 vya Iteja, Ngudama, Mondo na Lubuga.
Utekelezaji haujafanyika
- 10,930,500 - - - Fedha hazijatolewa
28. Kufanya Tathmini na
Ufuatiliaji katika
Miradi ya
Umwagiliaji ya
Igenge, Nyashidala,
Igongwa, Ilujamate,
Nyambeho, Mbarika
Tathmini na Ufuatiliaji katika Miradi ya Umwagiliaji ya Igenge, Nyashidala, Igongwa, Ilujamate, Nyambeho, Mbarika
Utekelezaji haujafanyika
- 28,000,000 - - - Fedha hazijatolewa
29. Kuongeza Uzalishaji
wa Pamba, Alizeti na
Mtama kwa
kuanzisha Mashamba
Darasa katika Kata
27.
Uzalishaji wa Pamba, Alizeti na Mtama kwa kuanzisha Mashamba Darasa katika Kata 27
Utekelezaji haujafanyika
- 9,994,600 - - - Fedha hazijatolewa
30. Ujenzi wa Karo la
Machinjio katika
Ujenzi wa Karo la Machinjio katika
Utekelezaji haujafanyika
- 10,000, 000 - - - Fedha hazijatolewa
23
Kijiji cha Seeke na
Nyang’holongo
Kijiji cha Nyang’holongo na Seeke
31. Uwezeshaji wa
Huduma ya upigaji
chapa mifugo katika
vijiji 113 wilayani
Misungwi
Upigaji chapa mifugo katika vijiji 113 wilayani Misungwi
Jumla ya ng’ombe 160,000 wamepigwa chapa.
85 18,040,000 16,666,725 16,666,725 100 Zoezi linaendelea.
32. Kuwezesha ukarabati
wa malambo ya
samaki katika mialo
ya Mbarika na
Lugobe
Ukarabati wa malambo ya samaki katika mialo ya Mbarika na Lugobe
Utekelezaji haujafanyika
- 10,000,000 - - - Fedha hazijatolewa
33. Kufanya Ukarabati
wa Vyoo na Jiko na
Miundombinu ya
Maji katika Nyumba
ya Wazee Kalwande
– Bukumbi
Ukarabati wa Vyoo na Jiko na Miundombinu ya Maji katika Nyumba ya Wazee Kalwande – Bukumbi
Ujenzi wa chumba kimoja (stoo) cha kuhifadhia mitungi ya gesi Kwalwande kimejengwa na kukamilika
100 20,000,000 2,012,432 2,012,432 100 Ujenzi umekamilika
34. Kutoa Mafunzo na
Kuziimarisha
Kamati za Watoto
Wanaoishi katika
Mazingira
Magumu katika
kata 27
Mafunzo na
Kuziimarisha
Kamati za Watoto
Wanaoishi katika
Mazingira
Magumu katika
kata 27
Utekelezaji
haujafanyika
- 10,000,000 - - - Fedha
hazijatolewa
35. Kufanya ukarabati
wa visima vifupi 2
katika vijiji vya
Ukarabati wa
visima vifupi 2
katika vijiji vya
Utekelezaji
haujafanyika
- 20,000,000 - - - Fedha
hazijatolewa
24
Shilalo, Usagara
na Mbarika
Shilalo, Usagara na
Mbarika
36. Kufanya ukarabati
wa miundombinu
katika mradi wa
maji wa Misungwi
Mjini
Ukarabati wa
miundombinu
katika mradi wa
maji wa Misungwi
Mjini
-Kuchangia
Gharama za
umeme kwenye
mashine ya
kusukuma maji
Nyahiti
100 20,000,000 6,000,000 6,000,000 100 Uchangiaji
umefanyika
JUMLA KUU - 1,237,427,000 65,174,541 65,174,541 -
2. RUZUKU YA MAENDELEO (LGDG)
Na Jina la Mradi Lengo la Mradi Utekelezaji % ya utekelezaji
Fedha pangwa
Fedha tolewa
Fedha tumika
% ya fedha tolewa
Maelezo
1. Ujenzi wa nyumba moja ya mtumishi
Kujenga nyumba 1 ya Mtumishi grade “A yenye” Umeme, Maji na Fensi
Utekelezaji haujafanyika
- 90,000,000 - - - Fedha hazijatolewa
25
2. Ujenzi wa jengo la Halmashauri
Kujenga jengo la Halmashauri ya Wilaya
Utekelezaji haujafanyika
- 200,000,000 - - - Fedha hazijatolewa
3. Upanuzi wa soko kuu la Misungwi
Kufanya Upanuzi wa Soko Kuu la Misungwi
Utekelezaji haujafanyika
- 60,000,000 - - - Fedha hazijatolewa
4. Ujenzi wa Karakana ya Halmashauri
Kujenga Karakana ya Halmashauri
Utekelezaji haujafanyika
- 50,000,000 - - - Fedha hazijatolewa
5. Ujenzi wa Parking ya Malori Makubwa Mjini Misungwi
Kujenga Parking ya Malori Makubwa Mjini Misungwi
Utekelezaji haujafanyika
- 30,052,067 - - - Fedha hazijatolewa
6. Ujenzi wa Kitega Uchumi katika Mnada wa Nyamatala
Kujenga Kitega Uchumi katika Mnada wa Nyamatala
Utekelezaji haujafanyika
- 100,000,000 - - - Fedha hazijatolewa
7. Ujenzi wa Vyoo 4 vyenye Matundu 2 katika Magulio ya Nyashishi, Mabuki, Usagara na Igongwa
Kujenga Vyoo 4 vyenye Matundu 2 katika Magulio ya Nyashishi, Mabuki, Usagara na Igongwa
Utekelezaji haujafanyika
- 20,000,000 - - - Fedha hazijatolewa
8. Ujenzi wa Mazizi Mawili ya kuhifadhia Ng’ombe katika Mnada wa Nyamatala
Kujenga Mazizi Mawili ya kuhifadhia Ng’ombe katika Mnada wa Nyamatala
Utekelezaji haujafanyika
- 5,000,000 - - - Fedha hazijatolewa
9. Ujenzi wa Ofisi 5 za Kata katika
Kujenga Ofisi 5 za Kata katika Kata za
Utekelezaji haujafanyika
- 200,000,000 - - - Fedha hazijatolewa
26
Kata za Gulumungu, Kijima, Busongo, Mondo na Mabuki
Gulumungu, Kijima, Busongo, Mondo na Mabuki kila kata 44,000,000
10. Ujenzi wa fensi katika nyumba ya mtumishi (grade A)
Kumalizia ujenzi wa fensi katika nyumba ya mtumishi (grade A)
Utekelezaji haujafanyika
- 13,522,000 - - - Fedha hazijatolewa
11. Ukamilishaji wa Masjala ya Ardhi 2 katika Vijiji vya Ikungumhulu, Mwamagili na Matale
Ukamilishaji wa Masjala ya Ardhi 2 katika Vijiji vya Ikungumhulu, Mwamagili na Matale
Utekelezaji haujafanyika
- 30,000,000 - - - Fedha hazijatolewa
12. Ukarabati wa Jengo la SLEM na kupanua Ukumbi uliopo
Kufanya Ukarabati wa Jengo la SLEM na kupanua Ukumbi uliopo
Utekelezaji haujafanyika
- 10,000,000 - - - Fedha hazijatolewa
13. Ukaguzi na Usimamizi wa Miradi ya Maendeleo Ngazi zote
Kufanya Ukaguzi na Usimamizi wa Miradi ya Maendeleo Ngazi zote
Utekelezaji haujafanyika
- 39,800,000 - - - Fedha hazijatolewa
14. Kuandaa Taarifa za Utekelezaji Miradi ya Maendeleo kwa kutumia
Kuandaa Taarifa za Utekelezaji Miradi ya Maendeleo kwa kutumia Mifumo tofauti ambayo ni CDR, MTEF, LGMD na
Utekelezaji haujafanyika
- 9,000,000 - - - Fedha hazijatolewa
27
Mifumo tofauti ambayo ni CDR, MTEF, LGMD
kuziwasilisha Ngazi za Halmashauri, Mkoa, TAMISEMI na HAZINA
15. Maandalizi ya Upimaji Vigezo (Annual Assessment)
Kufanya maandalizi ya Upimwaji Vigezo vya kukidhi kupatiwa fedha za ruzuku ya Maendeleo
Utekelezaji haujafanyika
- 8,200,000 - - - Fedha hazijatolewa
16. Ukaguzi wa miradi inayotekelezwa kwa fedha LGDG kwa vijiji na kata 27
Mkaguzi wa Ndani Kufanya Ukaguzi wa miradi inayotekelezwa kwa fedha LGDG kwa vijiji na kata 27
Utekelezaji haujafanyika
- 2,750,000 - - - Fedha hazijatolewa
17. Uandaaji wa bajeti 2018/2019 na uwasilishaji katika Ngazi mbalimbali kama vile Halmashauri, Mkoa, TAMISEMI na Hazina
Kuandaa bajeti 2018/2019 na kuiwasilisha katika Ngazi mbalimbali kama vile Halmashauri, Mkoa, TAMISEMI na Hazina
Utekelezaji haujafanyika
- 28,385,150 - - - Fedha hazijatolewa
18. Ufuatiliaji na Usimamizi wa Miradi Ngazi ya Kata na Kijiji
Kufanya Mapitio ya Uandaaji wa Bajeti na Maandalizi ya Takwimu za Vijiji na Kata kupitia O&OD iliyoboreshwa
Utekelezaji haujafanyika
- 32,745,000 - - - Fedha hazijatolewa
19. Kutambua miradi ya jitihada za jamii
Utekelezaji haujafanyika
- 15,800,000 - - - Fedha hazijatolewa
28
iliyopo katika kata 27 na vijiji 113
20. Kuandaa taarifa za utekelezaji miradi za robo, nusu mwaka na mwaka mzima ngazi ya kata na kijiji
Utekelezaji haujafanyika
- 14,000,000 - - - Fedha hazijatolewa
21. Kuwawezesha Maafisa Ugani wa Kata kufanya ufuatiliaji wa miradi, kufanya mikutano na ukaguzi
Utekelezaji haujafanyika
- 20,440,150 - - - Fedha hazijatolewa
22. Kuwezesha ununuzi wa rigista za vijiji 113 kwa ajili ya kuwekea kumbukumbu za vijiji
Utekelezaji haujafanyika
- 5,150,000 - - - Fedha hazijatolewa
23. Ukarabati wa Madarasa 22 katika Shule za Msingi 11
Kufanya Ukarabati wa Madarasa 22 katika Shule za Msingi 11 za Mwamhuli, Sumbuka, Mamaye, Muya, Nyalugembe, Nyangaka, Mwabuga, Bunege, Mwalogwabagole, Masawe, Nyasato
Utekelezaji haujafanyika
- 110,000,000 - - - Fedha hazijatolewa
24. Ukarabati wa Nyumba 10 za Walimu
Kufanya Ukarabati wa Nyumba 10 za Walimu katika Shule za Msingi za Kisesa, Mwagagala, Willi, Nkanziga, Busolwa, Mwaniko, Mawemabi,
Utekelezaji haujafanyika
- 50,000,000 - - - Fedha hazijatolewa
29
Mwantambi, Kibula na Nyambiti
25. Ukamilishaji Majengo ya Utawala
Ukamilishaji Majengo ya Utawala katika Shule za Sekondari Mamaye na Isakamawe @20,000,000
Utekelezaji haujafanyika
- 40,000,000 - - - Fedha hazijatolewa
26. Ununuzi wa Vitanda 40
Kuwezesha Ununuzi wa Vitanda 40 (double decker) katika Hosteli ya Wasichana Shule ya Sekondari Busongo
Utekelezaji haujafanyika
- 10,000,000 - - - Fedha hazijatolewa
27. Ujenzi wa Nyumba 1 ya Matroni
Kumalizia Ujenzi wa Nyumba 1 ya Matroni katika Shule ya Sekondari Misungwi
Utekelezaji haujafanyika
- 40,000,000 - - - Fedha hazijatolewa
28. Ukarabati wa Madarasa
Kufanya Ukarabati wa Madarasa katika Shule za Sekondari za Sanjo, Paulo Bomani, Misungwi, Kasololo, Buhingo na Lubili
Utekelezaji haujafanyika
- 42,000,000 - - - Fedha hazijatolewa
29. Ukarabati wa Maabara
Kufanya Ukarabati wa Maabara katika Shule za Sekondari za Mbarika na Paulo Bomani
Utekelezaji haujafanyika
- 30,000,000 - - - Fedha hazijatolewa
30. Ukamilishaji wa zahanati ya Nyamatala
Kukamilisha ujenzi wa zahanati ya Nyamatala
Utekelezaji haujafanyika
- 20,000,000 - - - Fedha hazijatolewa
30
31. Ukamilishaji wa wodi ya akina mama zahanati ya Igokelo
Kukamilishaji wa wodi ya akina mama zahanati ya Igokelo
Utekelezaji haujafanyika
- 10,000,000 - - - Fedha hazijatolewa
32. Ukamilishaji wa zahanati ya kijiji cha Kabale
Kukamilishaji ujenzi wa zahanati ya kijiji cha Kabale
Utekelezaji haujafanyika
- 10,000,000 - - - Fedha hazijatolewa
33. Ukamilishaji wa jengo la zahanati kijiji cha Mwagimagi
Kukamilishaji ujenzi wa jengo la zahanati ya kijiji cha Mwagimagi
Utekelezaji haujafanyika
- 10,000,000 - - - Fedha hazijatolewa
34. Ujenzi wa Jengo la Wagonjwa wa Nje (OPD) Mondo
Kujenga Jengo la Wagonjwa wa Nje (OPD) katika kituo cha Afya Mondo
Utekelezaji haujafanyika
- 30,000,000 - - - Fedha hazijatolewa
35. Kumalizia Ujenzi wa Jengo la Wagonjwa wa Nje (OPD)
Kumalizia Ujenzi wa Jengo la Wagonjwa wa Nje (OPD) katika zahanati ya Isesa
Utekelezaji haujafanyika
- 15,000,000 - - - Fedha hazijatolewa
36. Ukamilishaji ujenzi wa jengo la zahanati ya kijiji cha Isenengeja
Kukamilisha ujenzi wa jengo la zahanati ya kijiji cha Isenengeja
Utekelezaji haujafanyika
- 15,000,000 - - - Fedha hazijatolewa
37. Ukamilishaji wa jengo la kituo cha afya Kijima
Kukamilisha ujenzi wa jengo la kituo cha afya Kijima
Utekelezaji haujafanyika
- 10,000,000 - - - Fedha hazijatolewa
38. Ukamilishaji wa nyumba ya mganga
Ukamilishaji wa nyumba ya mganga katika zahanati ya Mwawile
Utekelezaji haujafanyika
- 20,000,000 - - - Fedha hazijatolewa
39. Ujenzi wa barabara
Kujenga barabara mpya katika shule za
Utekelezaji haujafanyika
- 20,000,000 - - - Fedha hazijatolewa
31
msingi za Sisu na Lubili
40. Ukarabati wa mabomba ya maji
Kufanya ukarabati wa mabomba ya maji katika vijiji vya Usagara na Idetemya
Utekelezaji haujafanyika
- 40,000,000 - - - Fedha hazijatolewa
41. Ujenzi wa Kituo cha Elimu kwa Wakulima katika Kijiji cha Buganda.
Kujenga Kituo cha Elimu kwa Wakulima katika Kijiji cha Buganda
Utekelezaji haujafanyika
- 40,000,000 - - - Fedha hazijatolewa
42. Ukarabati wa machinjio.
Kufanya Ukarabati wa Machinjio ya Misasi
Utekelezaji haujafanyika
- 25,528,333 - - - Fedha hazijatolewa
43. Ukarabati wa josho.
Kufanya ukarabati wa josho la kijiji cha Lubuga
Utekelezaji haujafanyika
- 2,000,000 - - - Fedha hazijatolewa
44. Kukarabati Dampo Kuu la Taka katika Kijiji cha Iteja kwa kuweka Fensi
Utekelezaji haujafanyika
- 4,910,000 - - - Fedha hazijatolewa
45. Ujenzi wa Vizimba vya Kutupia Taka katika Miji ya Misungwi, Misasi na Usagara
Utekelezaji haujafanyika
- 10,000,000 - - - Fedha hazijatolewa
Kujenga Uwezo (Capacity building)
46. Kuwezesha Mafunzo ya siku 2 kwa Waheshimiwa Madiwani 37 juu ya Utawala Bora
Utekelezaji haujafanyika
- 29,140,545 - - - Fedha hazijatolewa
32
47. Kuwezesha mafunzo ya siku 2 juu ya O&OD iliyoboreshwa kwa Kamati za Maendeleo za vijiji 113 na kamati za maendeleo za kata 27.
Utekelezaji haujafanyika
- 70,171,635 - - - Fedha hazijatolewa
48. Kuwezesha mafunzo ya siku 1 kwa Mabaraza ya kata juu ya usimamizi wa migororo.
Utekelezaji haujafanyika
- 22,150,000 - - - Fedha hazijatolewa
49. Kuwezesha mafunzo ya siku 2 kwa Wakuu wa Idara juu ya mpango wa manunuzi
Utekelezaji haujafanyika
- 24,400,000 - - - Fedha hazijatolewa
50. Kuwezesha Watumishi wa Halmashauri kupata Mafunzo Mwendelezo Kitaaluma na Kozi fupi
Utekelezaji haujafanyika
- 12,781,090 - - - Fedha hazijatolewa
51. Kuwezesha Upatikanaji wa Vifaa vya Ofisi ngazi ya kata na vijiji
Utekelezaji haujafanyika
- 17,627,030 - - - Fedha hazijatolewa
52. Kuwezesha Kununua Vyombo vya Matanganzo kwenye Mikutano (PA)
Utekelezaji haujafanyika
- 10,672,000 - - - Fedha hazijatolewa
33
Jumla Kuu 1,776,225,000
- - -
3. MFUKO WA JIMBO
Na Jina la Mradi Lengo la Mradi Utekelezaji % ya utekelez
aji
Fedha pangwa
Fedha tolewa
Fedha tumika
% ya fedha tolewa
Maelezo
1 Ukamilishaji wa Shule za Msingi na Zahanati kupitia Mfuko wa Jimbo awamu ya kwanza
Upauaji wa ujenzi wa Wodi ya wangonjwa Zahanati ya Mwawile, bati bando 3
Utekelezaji utafanyika robo ya tatu
- 630,000 630,000 0 0 Taratibu za manunuzi zinaendelea
Upauaji wa ujenzi wa ofisi ya Kijiji cha Mwagiligili,bati bando 3
Utekelezaji utafanyika robo ya tatu
- 630,000 630,000 0 0 Taratibu za manunuzi zinaendelea
Upauaji wa ujenzi wa ofisi ya Kijiji cha Mwamagili,bati 30
Utekelezaji utafanyika robo ya tatu
- - - 0 0 Taratibu za manunuzi zinaendelea
Upauaji wa ujenzi wa choo matundu 10 S/Msingi Seeke,bati bando 2
Utekelezaji utafanyika robo ya tatu
- 420,000 420,000 0 0 Taratibu za manunuzi zinaendelea
Upauaji wa ujenzi wa Ofisi ya Kijiji cha Bugisha,bati bando 3
Utekelezaji utafanyika robo ya tatu
- 630,000 630,000 0 0 Taratibu za manunuzi zinaendelea
34
Upauaji wa vyumba 2 vya madarasa S/Msingi Igwata,bati bando 6
Utekelezaji utafanyika robo ya tatu
- 1,260,000 1,260,000 0 0 Taratibu za manunuzi zinaendelea
Upauaji wa jengo la Zahanati ya Kijiji cha Ng’hamve,bati bando 4
Utekelezaji utafanyika robo ya tatu
- 840,000 840,000 0 0 Taratibu za manunuzi zinaendelea
Upauaji wa jengo la Zahanati ya Kijiji cha Ibongoya ‘A’,bati bando 4
Utekelezaji utafanyika robo ya tatu
- 840,000 840,000 0 0 Taratibu za manunuzi zinaendelea
Upauaji wa vyumba
2 vya madarasa
S/Msingi
Lukelege,bati bando
4 (g.28)
Utekelezaji
utafanyika
robo ya tatu
- 840,000 840,000 0 0 Taratibu za
manunuzi
zinaendelea
Upauaji wa vyumba
2 vya madarasa na
ofisi 1 S/Msingi
Mwabuga,bati
bando 6
Utekelezaji
utafanyika
robo ya tatu
- 1,260,000 1,260,000 0 0 Taratibu za
manunuzi
zinaendelea
Upauaji wa vyumba
2 vya madarasa na
ofisi 1 S/Msingi
Nkanziga,bati
bando 6 (g.28)
Utekelezaji
utafanyika
robo ya tatu
- 1,260,000 1,260,000 0 0 Taratibu za
manunuzi
zinaendelea
Upauaji wa nyumba
ya Mwalimu
Utekelezaji
utafanyika
robo ya tatu
- 1,050,000 1,050,000 0 0 Taratibu za
manunuzi
zinaendelea
35
S/Msingi
Salawi,bati bando 5
Upauaji wa nyumba
ya Mwalimu
S/Msingi
Mwagimagi,bati
bando 4
Utekelezaji
utafanyika
robo ya tatu
- 840,000 840,000 0 0 Taratibu za
manunuzi
zinaendelea
Upauaji wa jengo la
Maabara
S/Sekondari
Mamaye,bati bando
10
Utekelezaji
utafanyika
robo ya tatu
- 2,100,000 2,100,000 0 0 Taratibu za
manunuzi
zinaendelea
Upauaji wa vyumba
2 vya madarasa na
ofisi 1 S/Msingi
Ng’ombe,bati bando
5
Utekelezaji
utafanyika
robo ya tatu
- 1,050,000 1,050,000 0 0 Taratibu za
manunuzi
zinaendelea
Upauaji wa vyumba
2 vya madarasa na
ofisi 1 S/Msingi
Nyangaka,bati
bando 5
Utekelezaji
utafanyika
robo ya tatu
- 1,050,000 1,050,000 0 0 Taratibu za
manunuzi
zinaendelea
Upauajia wa jengo
la Kliniki ya mama
na mtoto Zahanati
ya Seth
Benjamini,bati
bando 4
Utekelezaji
utafanyika
robo ya tatu
- 840,000 840,000 0 0 Taratibu za
manunuzi
zinaendelea
36
Upauaji wa nyumba
ya Mganga (2 in 1)
Zahanati ya
Kaunda,bati bando
5
Utekelezaji
utafanyika
robo ya tatu
- 1,050,000 1,050,000 0 0 Taratibu za
manunuzi
zinaendelea
Upauaji wa
Zahanati ya Kijiji
cha Buganda,bati
bando 5
Utekelezaji
utafanyika
robo ya tatu
- 1,050,000 1,050,000 0 0 Taratibu za
manunuzi
zinaendelea
Upauaji wa vyumba
2 vya madarasa na
ofisi 1 S/Msingi
Iteja,bati bando5
(g.28)
Utekelezaji
utafanyika
robo ya tatu
- 1,050,000 1,050,000 0 0 Taratibu za
manunuzi
zinaendelea
Upauaji wa jengo la
Zahanati ya Kijiji
cha Iteja,bati bando
3(g.28)
Utekelezaji
utafanyika
robo ya tatu
- 630,000 630,000 0 0 Taratibu za
manunuzi
zinaendelea
Upauaji wa nyumba
ya Mwalimu
S/Msingi Sisu, bati
bando 4
Utekelezaji
utafanyika
robo ya tatu
- 840,000 840,000 0 0 Taratibu za
manunuzi
zinaendelea
Upauaji wa vyumba
2 vya madarasa na
ofisi 1 S/Msingi
Lubuga,bati bando7
Utekelezaji
utafanyika
robo ya tatu
- 1,470,000 1,470,000 0 0 Taratibu za
manunuzi
zinaendelea
Upauaji wa nyumba
ya 2 za Walimu
S/Msingi
Utekelezaji
utafanyika
robo ya tatu
- 1,680,000 1,680,000 0 0 Taratibu za
manunuzi
zinaendelea
37
Mwanenge,bati
bando 8
Upauaji wa vyumba
3 vya madarasa na
ofisi 1 S/Msingi
Mwamhuli,bati
bando 7
Utekelezaji
utafanyika
robo ya tatu
- 1,470,000 1,470,000 0 0 Taratibu za
manunuzi
zinaendelea
Upauaji wa nyumba
ya mtumishi (2 in 1)
S/Msingi
Mwaniko,bati bando
6
Utekelezaji
utafanyika
robo ya tatu
- 1,260,000 1,260,000 0 0 Taratibu za
manunuzi
zinaendelea
Upauaji wa vyumba
2 vya madarasa na
ofisi 1 S/Msingi
Nyasato,bati bando
6
Utekelezaji
utafanyika
robo ya tatu
- 1,260,000 1,260,000 0 0 Taratibu za
manunuzi
zinaendelea
Upauaji wa bweni
S/Sekondari Paul
Bomani,bati bando 8
Utekelezaji
utafanyika
robo ya tatu
- 1,680,000 1,680,000 0 0 Taratibu za
manunuzi
zinaendelea
Upauaji wa vyumba
2 vya madarasa na
ofisi 1 S/Msingi
Nyang’homango,bat
i bando 5
Utekelezaji
utafanyika
robo ya tatu
- 1,050,000 1,050,000 0 0 Taratibu za
manunuzi
zinaendelea
Upauaji wa jengo la kituo cha Afya Mondo,bati bando 8
Utekelezaji utafanyika robo ya tatu
- 1,680,000 1,680,000 0 0 Taratibu za manunuzi zinaendelea
38
Bando za ziada 4 Utekelezaji utafanyika robo ya tatu
- 840,000 840,000 0 0 Taratibu za manunuzi zinaendelea
Jumla ndogo 32,550,000 32,550,000
2 Ukamilishaji wa Shule za Msingi na Zahanati kupitia Mfuko wa Jimbo awamu ya pili
Ukamilishaji wa opd zahanati ya nyamatala, Bati bando 5
Utekelezaji utafanyika robo ya tatu
- 20,000,000 1,150,000 0 0 Taratibu za manunuzi zinaendelea
Ujenzi wa wodi zahanati buhunda, Bati bando 7
Utekelezaji utafanyika robo ya tatu
- 4,050,000 1,610,000 0 0 Taratibu za manunuzi zinaendelea
Jengo la madarasa s/m ihelele, Bati bando 7
Utekelezaji utafanyika robo ya tatu
- 3,000,000 1,610,000 0 0 Taratibu za manunuzi zinaendelea
Ukamilishaji wa nyumba ya watumishi zahanati ya nyangh’omango, Bati bando 5
Utekelezaji utafanyika robo ya tatu
- 5,000,000 1,150,000 0 0 Taratibu za manunuzi zinaendelea
Ujenzi wa ofisi ya kijiji igumo, Bati bando 5
Utekelezaji utafanyika robo ya tatu
- 3,222,000 1,150,000 0 0 Taratibu za manunuzi zinaendelea
Ukamilishaji wa nyumba ya Mganga Zahanati ya Ibongoya ‘’B’’ , Bati bando 4
Utekelezaji utafanyika robo ya tatu
- 2,500,000 920,000 0 0 Taratibu za manunuzi zinaendelea
39
Ujenzi wa madarasa 2 s/m malula, Bati bando 7
Utekelezaji utafanyika robo ya tatu
- 14,265,000 1,610,000 0 0 Taratibu za manunuzi zinaendelea
Ujenzi wa nyumba ya Mwalimu S/M Mwagagala, Bati bando 4
Utekelezaji utafanyika robo ya tatu
- 6,000,000 920,000 0 0 Taratibu za manunuzi zinaendelea
Ukamilishaji ujenzi wa ofisi ya kijiji, Bati bando 5
Utekelezaji utafanyika robo ya tatu
- 2,140,000 1,150,000 0 0 Taratibu za manunuzi zinaendelea
Ujenzi wa ofisi ya kijiji, Bati bando 5
Utekelezaji utafanyika robo ya tatu
- 5,315,500 1,150,000 0 0 Taratibu za manunuzi zinaendelea
Ujenzi wa zahanati, Bati bando 5
Utekelezaji utafanyika robo ya tatu
- 5,000,000 1,150,000 0 0 Taratibu za manunuzi zinaendelea
Ujenzi wa Zahanati ya kijiji cha Songiwe, Bati bando 5
Utekelezaji utafanyika robo ya tatu
- 1,500,000 1,150,000 0 0 Taratibu za manunuzi zinaendelea
Ujenzi wa nyumba ya mwalimu, Bati bando 5
Utekelezaji utafanyika robo ya tatu
- 10,973,000 1,150,000 0 0 Taratibu za manunuzi zinaendelea
Ujenzi wa vyumba vya madarasa S/M Ng’obo, Bati bando 3
Utekelezaji utafanyika robo ya tatu
- 6,618,000 690,000 0 0 Taratibu za manunuzi zinaendelea
Ujenzi wa ofisi ya kijiji Ng’obo, Bati bando 3
Utekelezaji utafanyika robo ya tatu
- 5,000,000 690,000 0 0 Taratibu za manunuzi zinaendelea
40
Ujenzi wa vyumba vya madarasa S/M Mwankali, Bati bando 3
Utekelezaji utafanyika robo ya tatu
- 1,561,500 690,000 0 0 Taratibu za manunuzi zinaendelea
Ujenzi wa ofisi ya kijiji, Bati bando 5
Utekelezaji utafanyika robo ya tatu
- 3,000,000 1,150,000 0 0 Taratibu za manunuzi zinaendelea
Ujenzi wa nyumba ya mwalimu sekndari busongo, Bati bando 5
Utekelezaji utafanyika robo ya tatu
- 5,000,000 1,150,000 0 0 Taratibu za manunuzi zinaendelea
Ujenzi wa madarasa 2 mbarika sekondari, Bati bando 5
Utekelezaji utafanyika robo ya tatu
- 4,000,000 1,150,000 0 0 Taratibu za manunuzi zinaendelea
Ujenzi wa ofisi ya kijiji, Bati bando 4
Utekelezaji utafanyika robo ya tatu
- 3,000,000 920,000 0 0 Taratibu za manunuzi zinaendelea
Upauajia wa jengo
la kliniki ya mama
na mtoto zahanati
ya seth benjamini,
Bati bando 7
Utekelezaji
utafanyika
robo ya tatu
- 5,000,000 1,610,000 0 0 Taratibu za
manunuzi
zinaendelea
Upauaji wa nyumba
ya mganga (2 in 1)
zahanati ya kaunda,
Bati bando 7
Utekelezaji
utafanyika
robo ya tatu
- 3,000,000 1,610,000 0 0 Taratibu za
manunuzi
zinaendelea
Upauaji wa zahanati
ya kijiji cha
Utekelezaji
utafanyika
robo ya tatu
- 3,500,000 1,610,000 0 0 Taratibu za
manunuzi
zinaendelea
41
buganda, Bati bando
7
Uezekaji wa vyoo
matundu 24 S/M
Misasi, Bati bando 3
Utekelezaji
utafanyika
robo ya tatu
- 1,000,000 690,000 0 0 Taratibu za
manunuzi
zinaendelea
Uezekaji wa
vyumba vya
madarasa
S/Sekondari Misasi,
Bati bando 4
Utekelezaji
utafanyika
robo ya tatu
- 1,500,000 920,000 0 0 Taratibu za
manunuzi
zinaendelea
Ukamilishaji wa
choo S/M
Mwambola, Bati
bando 2
Utekelezaji
utafanyika
robo ya tatu
- 1,000,000 460,000 0 0 Taratibu za
manunuzi
zinaendelea
Upauaji wa ujenzi
wa Wodi ya
wagonjwa Zahanati
ya Mwawile, bando
2
Utekelezaji
utafanyika
robo ya tatu
- 460,000 Taratibu za
manunuzi
zinaendelea
Upauji wa ujenzi wa ofisi ya Kijiji cha Mwagiligili, bando 1
Utekelezaji utafanyika robo ya tatu
- 1,000,000 230,000 Taratibu za manunuzi zinaendelea
Upauaji wa jengo la Kliniki ya mama na mtoto Zahanati ya Seth Benjamini, bando 3
Utekelezaji utafanyika robo ya tatu
- 1,500,000 690,000 Taratibu za manunuzi zinaendelea
Upauaji wa nyumba
ya Mganga(2 in 1)
Utekelezaji
utafanyika
robo ya tatu
- 2,000,000 460,000 Taratibu za
manunuzi
zinaendelea
42
Zahanati ya
Kaunda, bando 2
Upauji wa Zahanati
ya Kijiji cha
Buganda, bando 2
Utekelezaji
utafanyika
robo ya tatu
- 1,500,000 460,000 Taratibu za
manunuzi
zinaendelea
Upauaji wa wa
vyumba 2 vya
madarasa na ofisi 1
S/Msingi
Iteja,bando 1
Utekelezaji
utafanyika
robo ya tatu
- 1,500,000 230,000 Taratibu za
manunuzi
zinaendelea
Upauji wa jengo la
Zahanati ya Kijiji
cha Iteja, bando 1
Utekelezaji
utafanyika
robo ya tatu
- 690,000 230,000 Taratibu za
manunuzi
zinaendelea
Upauji wa nyumba
ya Mwalimu
S/Msingi Sisu,
bando 1
Utekelezaji
utafanyika
robo ya tatu
- 920,000 230,000 Taratibu za
manunuzi
zinaendelea
Upauji wa vyumba
3 vya madarasa na
ofisi 1 S/Msingi
Mwamhuli, bando 2
Utekelezaji
utafanyika
robo ya tatu
- 1,610,000 460,000 Taratibu za
manunuzi
zinaendelea
Usafirishaji wa vifaa Utekelezaji
utafanyika
robo ya tatu.
- 2,000,000 1,756,000 0 0
Jumla ndogo 138,865,000 33,956,000
Jumla kuu 138,865,000 67,912,000
43
4. PROGRAMU YA MAJI NA USAFI WA MAZINGIRA VIJIJINI - (NRWSSP)
Na Jina la Mradi Lengo la Mradi Utekelezaji uliofanyika % ya Utekelezaji
Fedha zilizopangw
a
Fedha tolewa
Fedha tumika
% tumika
Maoni/Maelezo
1 Igenge Ujenzi wa tanki moja (1) la kuhifadhi maji la ujazo wa mita 135, Ujenzi wa Dp 11, Ujenzi wa tanki moja (1) la ujazo wa mita 5 (5m3), Uchimbaji na ufungaji wa mabomba ya urefu wa km 19
Ujenzi wa tanki moja (1) la kuhifadhi maji la ujazo wa mita 135 umefanyika (bado kufunika), Ujenzi wa Dp 11 umekamilika (bado kufunga dira), Ujenzi wa tanki moja (1) la ujazo wa mita 5 (5m3)umekamilika, Uchinbaji na ufungaji wa mabomba ya urefu wa km 18.7 umekamilika
80% 70,000,000 0 0 0% Fedha hazijatolewa
2 Ngaya - Matale
Ukarabati wa tanki moja (1) la kuhifadhi maji la ujazo wa mita 45, Ujenzi wa Dp 10, Uchimbaji na ufungaji wa mabomba ya urefu wa km 13
Ukarabati wa tanki moja (1) la kuhifadhi maji la ujazo wa mita 45 umefanyika 90%, Ujenzi wa Dp 10 umefanyika (bado kufunga dira), Uchimbaji na ufungaji wa mabomba ya urefu wa km 13 umefanyika (bado kuunga kwenye tanki
95% 170,000,000 0 0 0% Kazi zilizotekelezwa ni za miaka ya nyuma 2014/15-2016/17
3 Matale -
Manawa -
Misasi
Ujenzi wa tanki
moja (1) la kuhifadhi
maji la ujazo wa
mita 135, Ujenzi wa
Dp 19, Uchimbaji na
ufungaji wa
mabomba ya urefu
wa km 15.597
Ujenzi wa tanki moja (1) la
kuhifadhi maji la ujazo wa
mita 135 umekamilika,
Ujenzi wa Dp 19 (bado
kufunga dira), Uchimbaji na
ufungaji wa mabomba ya
urefu wa km 15
umekamilika
90% 475,000,000 0 0 0% Fedha
hazijatolewa
44
4 Mbarika -
Ngaya
Ujenzi wa matanki
matatu (3) ya
kuhifadhi maji ya
ujazo wa mita 45,
Ujenzi wa Dp 17,
Uchimbaji na
ufungaji wa
mabomba ya urefu
wa km 19.099 na
kuvunja miamba
mita za ujazo 360
-Ujenzi wa vituo DP 9
zimekamilika
-Ufutuaji wa tofari 2340za
ujenzi wa matank
umekamilika
-Nondo tani 4 za dameter
10mm
-Mifuko ya saruji 280 iko site
10 1,852,733,000 0 0 0 Mabomba
yameagizwa kwa
ajili ya utekelezaji
wa mradi.
5 Ukiriguru Mradi unafanyiwa
marejeo ya Usanifu
ili kuandaa zabuni
- 0 735,000,000 0 0 0 Marejeo, uandaaji
wa kabrasha la
zabuni na
manunuzi ya
mkandarasi
yatafanyika robo
ya tatu
6 Kijima-
Isakamawe
Ujenzi wa matanki
mawili (2) ya
kuhifadhi maji ya
ujazo wa mita 135,
Ujenzi wa Dp 27,
Uchimbaji na
ufungaji wa
mabomba ya urefu
wa km 41,600 na
kuvunja miamba
mita za ujazo 360
- 0 367,366,000 0 0 0 Uandaaji wa
kabrasha la zabuni
na manunuzi ya
mkandarasi
yatafanyika robo
ya tatu
45
7 Ng'hobo Kufanya upanuzi na ukarabati wa kisima
- 0 145,071,000 0 0 0% Utekelezaji wa mradi huu utategemea upatikanaji wa fedha za malipo kulingana na matokeo (payment by Result PbR)
8 Ukarabati wa Visima (Shallow Wells) katika vijiji vya (Magaka, Mwasubi, Isamilo, Mondo, Ndinga, Mwagagala, Bunege, kasololo, Isuka, Mwanangwa, Mabuki, Lubuga, Mwagala, Mwalogwabagole, Kanyelele, Nyasato,
Mwaniko na Koromije)
Kufanya ukarabati wa visima
- 0 48,666,000 0 0 0% Utekelezaji wa mradi huu utategemea upatikanaji wa fedha za malipo kulingana na matokeo (payment by Result PbR)
Jumla Ndogo
3,863,836,000 - -
46
9 Uandaaji wa miradi na usimamizi
Uandaaji wa miradi, usimamizi na ufuatiliaji -Maengenezo ya gari na uendeshaji wa ofisi -Mkaguzi wa ndani
Ufutiliaji umefanyika katika
vijiji vya Mbarika-Ngaya,
Matale-Manawa-Misasi,
Ngaya-Matale.
-Usanifu umefanyika katika
viijiji vya usagara,
Mwalogwabagole,
Ukiriguru, Ngo`bo,
Mwamboku, Kiliwi
-Ufutiliaji wa vyombo vya
watuaji maji katika vijiji vya
lutalutale, Bugisha,
Nyangho`mango, Gukwa,
Kabale, Songiwe,
Mwamboku, Busongo,
Kifune, Nyambiti, Koromije,
Ibongoya’A’, Mwasubi,
Lukelege, Bugomba,
Magaka, Bukumbi.
Pia Ibinza, Isenengeja,
Mwawile, Lubili, Ikula,
Nduha na Ngaya
-Mkaguzi wa ndani
amefanya ukaguzi katika
miradi ya Igenge, Matale-
Manawa-Misasi na Ngaya-
Matale.
100 40,000,000 26,000,000 26,000,000 100 Ufutiliaji wa vyombo vya watuaji maji bado unaendelea
10 Uendeshaji
wa ofisi na
ufuatiliaji
Uendeshaji wa ofisi na ufuatiliaji
- Usimamizi wa mradi wa Usagara - Uhamisho wa Mkuu wa Idara
100 14,000,000 2,700,000 2,700,000 100 Kazi haijakamilika
47
- Shajala
11 Usafi wa Mazingira
Kuwezesha jamii kubadili hulka na kuboresha hali ya usafi wa mazingira na kujenga vyoo na kuvitumia
Hakuna 100% 20,000,000 12,000,000 0 0 Fedha zilichelewa kutolewa zitatumika katika robo ya tatu
Jumla ndogo 72,000,000
40,700,000
28,700,000 70.5
Jumla Kuu 3,935,836,000
40,700,000
28,700,000 0
48
(B)TAARIFA YA UTEKELEZAJI ROBO YA PILI 2017/2018 MFUKO WA AFYA WA PAMOJA (HSBF) OKTOBA - DESEMBA 2017/2018
OFISI YA MGANGA MKUU (W)
Na Jina la Mradi Lengo la mradi Utekelezaji uliofanyika
% Utekelezaji
Fedha pangwa
Fedha tolewa
Fedha tumika
% tumika
Maoni Maelezo
1 Kuboresha Menejimenti na Utawala
Kuwezesha mafunzo ya kiuongozi (meneja) juu ya ubora wa takwimu na matumizi kwa watumishi wa afya 46 ifikapo Juni, 2018.
Utekelezaji utafanyika robo ya tatu
- 4,266,000 0 0 0 Utekelezaji utakamilika robo ya tatu
2 Kuboresha Menejimenti na Utawala
Kufanya mkutano wa kila robo mwaka wa kujadili vifo vitokanavyo na uzazi na watoto chini ya miaka 5 ifikapo Juni, 2018.
Utekelezaji utafanyika robo ya tatu
- 4,144,000 0 0 0 Utekelezaji utakamilika robo ya tatu
3 Kuboresha Menejimenti na Utawala
Kufanya ziara za usimamizi tegemezo katika vituo 192 ifikapo Juni, 2018.
Vituo 47 vya kutolea huduma vimefanyiwa usimamizi tegemezo
50 35,242,200 14,439,900 14,439,900 50 Ziara za usimamizi zinaendelea kufanyika
4 Kuboresha Menejimenti na Utawala
Kuandaa CCHP na Mipango ya vituo kwa mwaka 2018/2019 ifikapo juni 2019
CCHP ya mwaka 2018/2019 imeandaliwa
100 25,529,000 22,006,000
17,320,000 68 Zoezi la uingizaji mipango kwenye Mfumo wa Planrep linaendelea
4 Kuboresha Menejimenti na Utawala
Kuwezesha vikao cha CHMT vya kila robo ifikapo Juni, 2018.
Kikao cha robo ya kwanza nay a pili vimefanyika
0 1,184,000 0 0 Malipo yatafanyika pindi fedha zitakapotolewa
49
5 Kuboresha Menejimenti na Utawala
Kuandaa na kuwasilisha taarifa ya robo kwa Mganga Mkuu Mkoa (RMO) ifikapo Juni, 2018.
Taarifa ya robo ya pili imeandaliwa na kuwasilishwa
3,168,000 3,168,000 1,990,000 63 Taarifa imeandaliwa
na kuwasilishwa
sehemu husika
6 Kuboresha Menejimenti na Utawala
Kutoa mafunzo ya siku 2 kwa wajumbe wa CHMT 28 na Waganga wafawidhi 46 ifikapo Juni, 2018.
Utekelezaji utafanyika robo ya tatu
4,880,000 0 0 0 Utekelezaji utakamilika robo ya tatu
7 Kuboresha utoaji huduma
Kuwezesha upatikanaji wa vitendea kazi kwa ajili ya tathmini na ufuatiliaji ifikapo Juni, 2018.
Utekelezaji utafanyika robo ya tatu
6,497,000 0 0 0 Utekelezaji utakamilika robo ya tatu
8 Kuboresha Menejimenti na Utawala
Kufanya mkutano wa siku moja na waganga wafawidhi wa vituo kwa kila robo ifikapo Juni, 2018.
Kikao kimoja cha waganga kimefanyika
6,776,000 3,523,000 3,523,000 0 Mkutano wa Waganga robo ya kwanza umefanyika
9 Kuboresha Menejimenti na Utawala
Kufanya mkutano wa kila robo mwaka wa kujadili takwimu na wafawidhi wa vituo 46 ifikapo Juni, 2018.
Utekelezaji utafanyika robo ya tatu
3,920,000 0 0 0 Utekelezaji utakamilika robo ya tatu
10 Kuboresha Menejimenti na Utawala
Kufanya mkutano na timu ya uboreshaji wa takwimu ya wilaya ifikapo Juni, 2018.
Utekelezaji utafanyika robo ya tatu
2,400,000 0 0 0 Utekelezaji utakamilika robo ya tatu
11 Kuboresha huduma za chanjo
Kusambaza chanjo na gesi na vifaa vingine ifikapo Juni, 2018.
Utekelezaji utafanyika robo ya tatu
11,050,000 0 0 0 Utekelezaji utakamilika robo ya tatu
50
Kuboresha Menejimenti na Utawala
Kuandaa kikao cha maandalizi ya bajeti kikao cha awali ifikapo juni 2018
Kikao kimefanyika malipo yatafanyika fedha zitakapotolewa
9,200,000 0 0 0 Malipo yatafanyika fedha ya robo ya pili itakapotolewa
Jumla ofisi ya Mganga Mkuu (W)
65,906,100 43,136,900 37,272,900
51
HOSPITALI YA WILAYA
Na Jina la Mradi
Lengo la mradi Utekelezaji uliofanyika
% Utekelezaji
Fedha pangwa
Fedha tolewa
Fedha tumika
% tumika
Maoni Maelezo
12 Kuboresha ubora wa takwimu
Kufanya tathmini ya takwimu kwa vituo 10 vya kutolea huduma za Ukimwi ifikapo Juni, 2018.
Utekelezaji utakamilika robo ya tatu
- 6,000,000 0 0 0 Utekelezaji utakamilika robo ya tatu
13 Kuboresha huduma za uzazi
Kufanya mkutano kwa kila robo mwaka wa kurejea na kujadili vifo vitokanavyo na uzazi kwa ngazi ya Mkoa ifikapo Juni, 2018.
Utekelezaji utakamilika robo ya tatu
- 9,455,000 9,455,000 0 0 Utekelezaji utakamilika robo ya tatu
14 Kuboresha huduma za uzazi
Kufanya mafunzo yahusuyo matibabu ya magonjwa ya watoto kwa watoa huduma kutoa Hospitali ya Wilaya na Kituo cha Afya Misasi ifikapo Juni, 2018.
Utekelezaji utakamilika robo ya tatu
- 2,650,000 0 0 0 Utekelezaji utakamilika robo ya tatu
15 Kuboresha huduma za uzazi
Kufanya mafunzo juu ya utoaji wa huduma za dharula kwa watumishi hospitali ya Wilaya ifikapo Juni, 2018.
Utekelezaji utakamilika robo ya tatu
- 2,885,500 0 0 0 Utekelezaji utakamilika robo ya tatu
52
16 Kuboresha ubora wa takwimu
Kuwezesha upatikanaji wa vifaa vya MTUHA kwa ajili ya Hospitali ya Wilaya ifikapo Juni, 2018.
Utekelezaji utakamilika robo ya tatu
- 2,562,000 0 0 0 Utekelezaji utakamilika robo ya tatu
17 Kuboresha utendaji kazi
Kuwezesha uwepo wa vitendea kazi katika hospitali ya Wilaya ifikapo Juni, 2018.
Utekelezaji utakamilika robo ya tatu
- 10,268,619 10,268,619 0 0 Utekelezaji utakamilika robo ya tatu
18 Kuboresha huduma za rufaa
Kuwezesha huduma za rufaa katika hospitali ya wilaya ifikapo Juni, 2018.
Utekelezaji utakamilika robo ya tatu
- 3,125,000 0 0 0 Utekelezaji utakamilika robo ya tatu
19 Kuboresha huduma za uzazi
Kufanya mafunzo kazini juu ya utoaji wa huduma za dharula (IMEESC) katika hospitali ya Wilaya ifikapo Juni, 2018.
Utekelezaji utakamilika robo ya tatu
- 6,552,000 0 0 0 Utekelezaji utakamilika robo ya tatu
20 Kuboresha huduma za mama na mtoto
Kufanya mafunzo kwa watoa huduma 3 juu ya matibabu ya magonjwa ya mfumo wa hewa kwa watoto chini ya miaka 5 ifikapo Juni, 2018.
Utekelezaji utakamilika robo ya tatu
- 2,629,973 0 0 0 Utekelezaji utakamilika robo ya tatu
21 Kununua dawa na vifaa tiba
Kuwezesha upatikanaji wa dawa na vifaa tiba ifikapo Juni, 2018.
Utekelezaji utakamilika robo ya tatu
- 5,516,966 0 0 0 Utekelezaji utakamilika robo ya tatu
53
22 Kununua vitendanishi
Kuwezesha upatikanaji wa vitendanishi kwa ajili ya hospitali ya wilaya ifikapo Juni, 2018.
Utekelezaji utakamilika robo ya tatu
- 4,983,358 0 0 0 Utekelezaji utakamilika robo ya tatu
23 Kuokoa maisha ya mama na mtoto
Kukusanya damu lita 480 kutoka kwa wananchi wanaojitolea damu ifikapo Juni, 2018.
Utekelezaji utakamilika robo ya tatu
- 10821456 4,410,728 0 0 Utekelezaji utakamilika robo ya tatu
24 Kununua dawa za dharula
Kuwezesha upatikanaji wa dawa za dharula ifikapo Juni, 2018.
Utekelezaji utakamilika robo ya tatu
- 5,410,728 5,410,728 0 0 Utekelezaji utakamilika robo ya tatu
25 Kuboresha huduma za kinya na meno
Kuwezesha uwepo wa vifaa tiba vya meno ifikapo juni 2018
Utekelezaji utakamilika robo ya tatu
- 2,855,000 0 0 0 Utekelezaji utakamilika robo ya tatu
26 Kuboresha usafi wa mazingira
Kuwezesha upatikanaji wa vifaa vya usafi ifikapo Juni, 2018.
Utekelezaji utakamilika robo ya tatu
- 7,447,200 7,447,200 0 0 Utekelezaji utakamilika robo ya tatu
Kuboresha menejimenti na utawala
Kuandaa mpango (preplanning meeting) na timu ya hospitali ifikapo juni 2018
Utekelezaji utakamilika robo ya tatu
- 1,998,000 1,998,000 0 0 Utekelezaji utakamilika robo ya tatu
Kuboresha menejimenti na utawala
Kuunganisha mipango ya vitengo na kuunda mpango wa hospital na kuwasilisha ngazi za juu ifikapo juni 2018
Utekelezaji utakamilika robo ya tatu
- 1,662,000 1,662,000 0 0 Utekelezaji utakamilika robo ya tatu
54
27 Kuboresha menejimenti na utawala
Kuandaa mpango wa Hospitali wa Mwaka 2018/2019 ifikapo juni 2019
Utekelezaji utakamilika robo ya tatu
2,562,000 2,562,000 0 0 Utekelezaji utakamilika robo ya tatu
Jumla hospitali ya wilaya
89,384,800 43,214,275 0
Bukumbi Hospitali
Na Jina la Mradi
Lengo la mradi Utekelezaji uliofanyika
% Utekelezaji
Fedha pangwa
Fedha tolewa
Fedha tumika % tumika
Maoni Maelezo
27 Kununua dawa na Vifaa tiba
Kuwezesha manunuzi ya dawa na vifaa tiba ifikapo Juni, 2018.
Utekelzaji utafanyika robo ya tatu
0 47,996,550 0 0 0 Fedha
hazijapokele
wa
Jumla bukumbi Hospitali
47,996,550 0 0 0
55
Vituo vya afya Na Jina la
Mradi Lengo la mradi Utekelezaji
uliofanyika % Utekelezaji
Fedha pangwa
Fedha tolewa
Fedha tumika
% tumika
Maoni Maelezo
28 Kufanya huduma za mikoba
Kuwezesha shughuli za huduma za mikoba kwa Vituo vya Afya 4 ifikapo Juni, 2018.
Utekelzaji utafanyika robo ya tatu
- 120,000 0 0 0 Fedha za robo ya kwanza zimechelewa kupokelewa
29 Uzazi salama Kutoa elimu rika juu ya haki za uzazi kwa vituo vya Mbarika na Busongo ifikapo Juni, 2018.
Utekelezaji utafanyika robo ya tatu
- 4,150,000 0 0 0 Fedha za robo ya kwanza zimechelewa kupokelewa
30 Kuboresha huduma za mama na mtoto
Kufanya mkutano kila robo mwaka na kujadili vifo vitokanavyo na uzazi ifikapo Juni, 2018.
Utekelezaji utafanyika robo ya tatu
- 6,120,000 0 0 0 Fedha za robo ya kwanza zimechelewa kupokelewa
31 Kuboresha huduma za rufaa
Kuwezesha rufua za wagonjwa kufanyika kwa vituo vyote 4 ifikapo Juni, 2018.
Utekelezaji utafanyika robo ya tatu
- 8,900,027 0 0 0 Fedha za robo ya kwanza zimechelewa kupokelewa
32 Kuandaa mipango
Kufanya kikao cha maandalizi ya mpango kwa vituo vyote 4 ifikapo juni, 2018.
Utekelezaji utafanyika robo ya tatu
- 1,560,000 0 0 0 Fedha za robo ya kwanza zimechelewa kupokelewa
33 Kufanya vikao vya robo
Kufanya kikao cha siku 1 kwa kila robo na waganga wafawidhi kutoka vituo 4 ifikapo Juni, 2018.
Utekelezaji utafanyika robo ya tatu
- 1,120,000 0 0 0 Fedha za robo ya kwanza zimechelewa kupokelewa
34 Kuboresha utawala na menejimenti
Kutoa mafunzo ya menejimenti kwa waganga wafawidhi 4 ifikapo Juni, 2018.
Utekelezaji utafanyika robo ya tatu
- 800,000 0 0 0 Fedha za robo ya kwanza zimechelewa kupokelewa
56
35 Kuboresha huduma za uzazi
Kuwezesha ununuzi wa seti ya kifaa cha kusaidia kupumua ifikapo Juni, 2018.
Utekelezaji utafanyika robo ya tatu
- 7,200,001 7,200,001 0 0 Fedha za robo ya kwanza zimechelewa kupokelewa
36 Huduma za mikoba
Kuwezesha huduma za mikoba za uzazi wa mpango ifikapo Juni, 2018.
Utekelezaji utafanyika robo ya tatu
- 6,450,000 6,450,000 0 0 Fedha za robo ya kwanza zimechelewa kupokelewa
37 Kuboresha huduma za chanjo
Kujaza mitungi ya gesi ifikapo Juni, 2018.
Utekelezaji utafanyika robo ya tatu
- 2,880,000 0 0 0 Fedha za robo ya kwanza zimechelewa kupokelewa
38 Kuboresha huduma za afya
Kutoa mafunzo kazini kwa watoa huduma 20 juu ya kuboresha huduma (QI) na kupunguza maambukizi (IPC) ifikapo Juni, 2018
Utekelezaji utafanyika robo ya tatu
- 2,740,000 0 0 0 Fedha za robo ya kwanza zimechelewa kupokelewa
39 Kununua vitendea kazi
Kuwezesha upatikanaji wa booklet na fomu za muoanisho na kadi ifikapo Juni, 2018
Utekelezaji utafanyika robo ya tatu
- 7,473,555 7,473,555 0 0 Fedha za robo ya kwanza zimechelewa kupokelewa
Kuimarisha huduma za utawala na menejimenti
Kufanya kikao cha siku 1 kwa kila robo na waganga wafawidhi kutoka vituo 4 ifikapo Juni, 2018.
Utekelezaji utafanyika robo ya tatu
- 7,877,000 7,877,000 0 0 Fedha za robo ya kwanza zimechelewa kupokelewa
27 Kununua dawa na vifaa tiba
Kuwezesha upatikanaji wa dawa na vifaa tiba kwa ajili ya vituo 4 ifikapo Juni, 2018.
Utekelezaji utafanyika robo ya tatu
- 27,561,606 6,996,857 0 0 Fedha za robo ya kwanza zimechelewa kupokelewa
42 Kuwezesha uwepo wa vifaa tiba vya meno ifikapo juni 2018
Utekelezaji utafanyika robo ya tatu
- 2,040,000 0 0 0 Fedha za robo ya kwanza zimechelewa kupokelewa
57
43 Kuboresha afya ya kinywa na Meno
Kutoa mafunzo kazini kwa watoa huduma 8 juu ya matibabu ya meno ifikapo Juni, 2018.
Utekelezaji utafanyika robo ya tatu
- 2,192,000 0 0 0 Fedha za robo ya kwanza zimechelewa kupokelewa
44 Kuboresha utoaji huduma kwa makundi maalumu
Kuwezesha uwepo wa kadi maalum kwa vituo vyote ifikapo Juni, 2018.
Utekelezaji utafanyika robo ya tatu
- 2,000,000 0 0 0 Fedha za robo ya kwanza zimechelewa kupokelewa
45 Kuzuia ukatili wa kijinsia
Kufanya Kampeni kuzuia ukatili wa kijinsia ifikapo Juni, 2018.
Utekelezaji utafanyika robo ya tatu
- 1,000,000 0 0 0 Fedha za robo ya kwanza zimechelewa kupokelewa
Jumla vituo 92,184,189 35,997,413 35,997,413
58
Zahanati Na Jina la Mradi Lengo la mradi Utekelezaji
uliofanyika % Utekelezaji
Fedha pangwa
Fedha tolewa
Fedha tumika
% tumika
Maoni Maelezo
46 Huduma za
rufaa
Kuwezesha huduma za
rufaa kwa wagonjwa toka
Zahanati zote 38 ifikapo
Juni, 2018.
Utekelezaji
utafanyika
robo ya tatu
- 5,336,000 2,668,000 0 0 Fedha ilichelewa
kutolewa kazi
itakamilishwa
robo ya tatu
47 Kuandaa
mpango
Kuandaa kikao cha
maandalizi ya Mpango
kwa zahanati 40 ifikapo
Juni, 2018.
Utekelezaji
utafanyika
robo ya tatu
- 5,540,000 5,540,000 0 0 Fedha ilichelewa
kutolewa kazi
itakamilishwa
robo ya tatu
48 Kikao cha
wafawidhi
Kufanya kikao kila robo
na wafawidhi wa
Zahanati 40 ifikapo Juni,
2018.
Utekelezaji
utafanyika
robo ya tatu
- 5,280,000 2,640,000 0 0 Fedha ilichelewa
kutolewa kazi
itakamilishwa
robo ya tatu
Kufanya kikao cha
maandalizi ya mipango
ya Zahanati ifikapo juni ,
2018.
Utekelezaji
utafanyika
robo ya tatu
- 10,560,000 10,560,000 0 0 Fedha ilichelewa
kutolewa kazi
itakamilishwa
robo ya tatu
49 Kunua dawa
na vifaa tiba
Kuwezesha upatikanaji
wa dawa na vifaa tiba
ifikapo Juni, 2018.
Utekelezaji
utafanyika
robo ya tatu
- 12,401,500 6,200,750 0 0 Fedha ilichelewa
kutolewa kazi
itakamilishwa
robo ya tatu
Kuwezesha ununuzi wa
mzani kwa ajili ya
Zahanati 10 ifikapo Juni,
2018.
Utekelezaji
utafanyika
robo ya tatu
- 3,667,000.00 0 0 0 Fedha ilichelewa
kutolewa kazi
itakamilishwa
robo ya tatu
59
Kufanya ukaguzi wa
dawa ifikapo Juni, 2018.
Utekelezaji
utafanyika
robo ya tatu
- 2,860,000.00 0 0 0 Fedha ilichelewa
kutolewa kazi
itakamilishwa
robo ya tatu
Kuwezesha upatikanaji
wa dawa na vifaa tiba
kwa ajili ya huduma za
dharula kwa Zahanati 38
ifikapo Juni, 2018.
Utekelezaji
utafanyika
robo ya tatu
- 11,400,000 5,700,000 0 0 Fedha ilichelewa
kutolewa kazi
itakamilishwa
robo ya tatu
50 Kununua
dawa na
vitendanishi
Kuwezesha uwepo wa
vitendanishi vya maabara
ifikapo Juni, 2018.
Utekelezaji
utafanyika
robo ya tatu
- 5,600,000.00 5,600,000 0 0 Fedha ilichelewa
kutolewa kazi
itakamilishwa
robo ya tatu
51 Kuboresha
utoaji wa
chanjo
Kujaza mitungi ya Gas
600 ya kilo 30 na 65 ya
kilo 6 ifikapo Juni, 2018.
Utekelezaji
utafanyika
robo ya tatu
- 3,750,000 0 0 0 Fedha ilichelewa
kutolewa kazi
itakamilishwa
robo ya tatu
52 Kutoa huduma
za mkoba
Kufanya huduma za
mikoba kwa maeneo
yasiyo na Kliniki 70
ifikapo Juni, 2018.
Utekelezaji
utafanyika
robo ya tatu
- 9,120,000.00 4,431,239 0 0 Fedha ilichelewa
kutolewa kazi
itakamilishwa
robo ya tatu
53 Kuboresha
utoaji huduma
za chanjo
Kutoa mafunzo ya siku 2
juu ya utoaji wa chanjo
kwa wafadhili wa vituo
40 ifikapo Juni, 2018.
Utekelezaji
utafanyika
robo ya tatu
- 16,398,176 16,398,176 0 0 Fedha ilichelewa
kutolewa kazi
itakamilishwa
robo ya tatu
Kujaza mitungi 480 ya LP
Gas ifikapo Juni, 2018
Utekelezaji
utafanyika
robo ya tatu
- 3,000,000.00 0 0 0 Fedha ilichelewa
kutolewa kazi
itakamilishwa
robo ya tatu
60
54 Kununua
dawa na vifaa
tiba
Kuwezesha uwepo wa
dawa na vifaa tiba kwa
ajili ya magonjwa ya akili
ifikapo Juni, 2018.
Utekelezaji
utafanyika
robo ya tatu
- 1,000,000.00 0 0 0 Fedha ilichelewa
kutolewa kazi
itakamilishwa
robo ya tatu
Kuwezesha uwepo wa
dawa za macho ifikapo
Juni, 2018
Utekelezaji
utafanyika
robo ya tatu
- 3,040,000 0 0 0 Fedha ilichelewa
kutolewa kazi
itakamilishwa
robo ya tatu
55 Kuboresha
Usafi wa
mazingira
Kununua vifaa vya usafi
ifikapo Juni, 2018.
Utekelezaji
utafanyika
robo ya tatu
- 1,900,000.00 0 0 0 Fedha ilichelewa
kutolewa kazi
itakamilishwa
robo ya tatu
JUMLA ZAHANATI 100,852,676 59,738,165
61
TAARIFA YA UTEKELZAJI MPANGO WA MALIPO KWA UFANISI (RBF) KWA KIPINDI CHA OKTOBA –DESEMBA 2017
OFISI YA MGANGA MKUU (W) Na Jina la Mradi Lengo la mradi Utekelezaji
uliofanyika
%
Utekele
zaji
Fedha
pangwa
Fedha
tolewa
Fedha
tumika
%
tumika
Maoni Maelezo
1 Malipo kwa
Ufanisi
Kulipa motisha
watumishi ifikapo juni
2018
Utekelezaji
utafanyika
robo ya tatu
-
25,000,000
0 0 0 Utekelezaji
utafanyika robo ya
tatu
2 Tathmini ya
ubora wa kazi
zinazofanyika
Kufanya tathmini ya kazi
zinazofanyika kupitia
RBF ifikapo juni 2018
Utekelezaji
utafanyika
robo ya tatu
- 13,160,000 0 0 0 Utekelezaji
utafanyika robo ya
tatu
3 Kuboresha
utendaji kazi
Kununua vitendea kazi
ifikapo juni 2018
Utekelezaji
utafanyika
robo ya tatu
- 7,795,000 0 0 0 Utekelezaji
utafanyika robo ya
tatu
4 Ukaguzi wa
dawa
Kufanya ukaguzi wa
dawa kwa kila robo
ifikapo juni 2018
Utekelezaji
utafanyika
robo ya tatu
- 2,100,000 0 0 0 Utekelezaji
utafanyika robo ya
tatu
Jumla ofisi ya DMOs 48,055,000
62
HOSPITALI YA WILAYA (W) Na Jina la
Mradi Lengo la mradi Utekelezaji
uliofanyika % utekelezaji
Fedha pangwa
Fedha tolewa
Fedha tumika
% tumika
Maoni Maelezo
5 Malipo
kwa
Ufanisi
Kulipa motisha watumishi
wanaofanya kazi hospitali
ya wilaya ifikapo juni 2018
Utekelezaji
utafanyika
robo ijayo
- 17,851,292 0 0 0 Utekelezaji
utafanyika robo ya
tatu
6 Kununua
dawa
Kuwezesha upatikanaji wa
dawa za dharula katika
hospitali ya wilaya ifikapo
Juni, 2018
Utekelezaji
utafanyika
robo ijayo
- 22,500,000 0 0 0 Utekelezaji
utafanyika robo ya
tatu
7 Kuboresha
miundo
mbinu
Kufanya ukarabati wa OPD
hospitali ya Wilaya ifikapo
juni, 2018.
Utekelezaji
utafanyika
robo ijayo
-
31,053,875
0 0 0 Utekelezaji
utafanyika robo ya
tatu
Jumla Hospitali ya Wilaya 71,405,167
63
HOSPITALI YA BUKUMBI
Na Jina la Mradi
Lengo la mradi Utekelezaji uliofanyika
% Utekelezaji
Fedha pangwa
Fedha tolewa
Fedha tumika
% tumika
Maoni Maelezo
8 Kuwapa
watumishi
motisha
ifikapo Juni,
2018
Kuwapa watumishi
motisha ifikapo Juni,
2018
Utekelezaji
utafanyika
robo ijayo
- 17,851,292 0 0 0 Utekelezaji
utafanyika robo ya
tatu
9 Kufanya
ukarabati wa
majengo
Kufanya ukarabati wa
OPD ifikapo Juni, 2018
Utekelezaji
utafanyika
robo ijayo
- 31,053,876 0 0 0 Utekelezaji
utafanyika robo ya
tatu
10 Kununua
dawa
Kuwezesha upatikanaji
wa dawa na vifaa tiba
ifikapo Juni, 2018.
Utekelezaji
utafanyika
robo ijayo
- 22,500,000 0 0 0 Utekelezaji
utafanyika robo ya
tatu
11 Kununua
dawa za
dhalula
Kuwezesha upatikanaji
wa dawa za dhalula
ifikapo juni 2018
Utekelezaji
utafanyika
robo ijayo
- 22,500,000 0 0 0 Utekelezaji
utafanyika robo ya
tatu
Jumla VAH 93,905,168
64
VITUO VYA AFYA
Na Jina la Mradi
Lengo la mradi Utekelezaji uliofanyika
% Utekelezaji
Fedha pangwa
Fedha tolewa
Fedha tumika
% tumika
Maoni Maelezo
12 Malipo kwa
Ufanisi
Kulipa motisha
watumishi ifikapo juni
2018
Utekelezaji
utafanyika
robo ijayo
0 19,900,459
Utekelezaji
utafanyika robo ya
tatu
Jumla vituo vya afya 19,900,459
ZAHANATI
Na Jina la Mradi
Lengo la mradi Utekelezaji uliofanyika
% Utekelezaji
Fedha pangwa
Fedha tolewa
Fedha tumika % tumika
Maoni Maelezo
13 Malipo
kwa
Ufanisi
Kulipa motisha
watumishi ifikapo juni
2018
Utekelezaji
utafanyika
robo ijayo
0
45,895,485
Utekelez
aji
utafanyi
ka robo
ya tatu
Jumla zahanati 45,895,485
65
66
TAARIFA YA ROBO YA PILI KUANZIA OKTOBA – 31 DESEMBA 2017.
MPANGO WA KUNUSURU KAYA MASIKINI (TASAF III)
Hadi kufikia Mwezi Desemba 2017 shughuli mbalimbali zimefanyika katika hatua za
utekelezaji ambazo utekelezaji wa miradi sambamba na upimaji wa maeneo ya miradi,
uhakiki wa maeneo ya miradi , uhakiki wa watotot ambao hawajaunganishwa kwenye
mfumo wa MIS na uw awilishaji fedha kwa walengwa 8,641 katika vijiji 60.
MAPOKEZI YA FEDHA
Hadi kufikia tarehe 31 Desemba 2017 Wilaya ya Misungwi imepokea fedha toka TASAF
makao makuu kiasi cha Tsh 1,831,046,882.05 katika mchanganuo ufuatao,
- Fedha za ruzuku ya miradi ya utoaji ajira za muda Tshs. 652,153,500.00
- Fedha kwa ajili ya uibuaji wa miradi ya utoaji ajira za muda kwa walengwa wa
mpango katika vijiji 51 awamu ya pili Tshs. 30,616,700.00
- Fedha za ruzuku ya msingi na masharti Tsh. 994,588,000.00
- Fedha ya usimamizi na ufuatiliaji Tshs. 86,753,759.89
- Fedha kwa ajili ya asilimia 1.5 ya Halmashauli za vijiji Tshs. 31,942,791.48
- Fedha kwa ajili ya mafunzo ya wasimamizi (LSP) wa miradi ya utoaji ajira za muda
kwa walengwa wa mpango katika vijiji 51 awamu ya piliTshs. 26,240,500.00 na Tsh.
8,751,630.68 kwa ajili ya usimamizi na ufuatiliaji wa miradi (PWP)
67
RUZUKU YA MRADI WA TASAF JULAI-DESEMBA 2017
NA.
JINA LA MRADI
LENGO LA MLADI UTEKELEZAJI ULIOFANYIKA
% YA UTEKELEZAJI
FEDHA PANGWA
FEDHA TOLEWA
FEDHA TUMIKA
% TUMUKA
MAONI/MAELEZO
1. Utekelezajinausimamiziwamiradiyautoajiajirazamudaawamuyapili
- Kuongeza ujuzi kwa walengwa. - Kupata miundombinu katika jamii - Kuongeza kipato na matumizi kwenye kaya
Jumla ya miradi 71imeibuliwa katika vijiji 51.
- 8,751,630.68 8,751,630.68 - - Miradi imeibuliwa na maeneo yamepatikana kulingana na miradi iliyoibuliwa.
2 Uhawilishaji fedha za ruzuku
- Kupunguza umaskini - Kuongeza kipato kwa kaya maskini - Kusaidia watoto kuhudhulia shule na kliniki -Kujenga uwezo wa kujitegemea katika kaya
Uhawilishaji umefanyika katika vijiji 60 vilivyopo kwenye mpango
100 994,588,000 994,588,000 994,588,000 100 Kuhamasiha walengwa kufuata kalenda ya malipo kuepusha urudishwaji wa fedha kipindi cha malipo.
-Uendeshaji na usimamizi wa shughuli za mradi ngazi ya Halmashauli za vijiji 1.5%
Fedha zimetolewa kwa ajili ya usimamizi ngazi za vijiji 1.5%
100 31,942,791.48 31,942,791.48 31,942,791.48 100 Fedha zimetolewa
3 Usimamizi na ufuatiliaji wa shughuli za
- Kuhakikisha miradi inatekelezwa kwa ufanisi
Zoezi la uhawilishaji fedha limekamilika
100 86,753,759.89
86,753,759.89
86,753,759.89
Shughuli za usimamizi na ufuatiliaji zinaendelea.
68
mradi wa TASAF
- Kusimamia shughuli zote za mradi ngazi za vijiji -Kusimamia zoezi la uhawilishaji fedha
kwa kipindi cha mwezi Julai – Desemba
4 Uhakiki na upimaji wa maeneo ya kutekeleza miradi
Uwepo wa maeneo yanayo kidhi miradi iliyoibuliwa na wananchi katika maeno husika
Upimaji na uhakiki wa maeneo ya miradi umekamilika tayari kwa utekelezaji wa miradi
100 - - - - Maandalizi yamekamilika tayari kwa utekelezaji.
5 Mafunzo kwa ajili ya wasimamizi wa miradi
Kuwajengea uwezo wasimamizi wa miradi ili kuongeza ufanisi kipindi cha utekelezaji
Utekelezaji unaendelea
- 26,240,500 26,240,500 - - Wasimamizi wa miradi wamepatikana kutoka maeneo husika ya utekelezaji wa miradi hiyo.
6 Fedha za ruzuku kwa miradi ya utoaji ajira za muda
- Kuongeza ujuzi kwa walengwa. - Kupata miundombinu katika jamii -Kuongeza kipato na matumizi kwenye kaya
Miradi imetekelezwa na walengwa wa melipwa ujira wao.
100 652,153,500
652,153,500
652,153,500 100 Fedha zimetolewa kwa walengwa
7 Uibuaji wa miradi ya kutoa ajira za muda kwa
- Kuongeza ujuzi kwa Walengwa. - Kupata miundombinu katika jamii
Jumla ya miradi 71 imeibuliwa katika vijiji 51
100 30,616,700 30,616,700 26,416,700 86 Utekelezaji umefanyika
69
walengwa katika vijiji 51 awamu ya pili ya utekelezaji wa miradi
-Kuongeza kipato na matumizi kwenye kaya
1,831,046,882.05 1,831,046,882.05 1,791,854,751
70
ORODHA YA VIJIJI VINAVYOTEKELEZA MIRADI WILAYA YA MISUNGWI 1. SEEKE
2. NYANG’HOLONGO
3. INONELWA
4. BUGOMBA
5. MWANIKO
6. NTULYA
7. MWAKALIMA
8. IBINZA
9. ISENENGEJA
10. ITEJA
11. IKUNGUMHULU
12. NGEREKA
13. MWAMBOLA
14. LUKANGA
15. NG’WAMAZENGO
16. MAHANDO
17. MWANANGWA
18. NDUHA
19. NG’HOBO
20. NYANG’HOLONGO
21. MAGANZO
22. GULUMUNGU
23. GUKWA
24. MWAGIMAGI
25. KIFUNE
26. KWIMWA
27. NG’OMBE
28. MONDO
29. MAGAKA
30. ISAKAMAWE
31. MWAGAGALA
32. NGUDAMA
33. MAPILINGA
34. NANGE
35. MBALAMA
36. GAMBAJIGA
37. KIJIMA
38. MWASUBI
39. KABALE
71
40. LUBUGA
41. MWALWIGI
42. LUTALUTALE
43. MATALE
44. MWAMBOKU
45. MISUNGWI
46. NG’HAMVE
47. LUBILI
48. NDINGA
49. MWAMAGUHWA
50. ILALAMBOGO
51. IGENGE
ORODHA YA VIJIJI VILIVYOPO KWENYE MPANGO WILAYA YA MISUNGWI
1. SEEKE
2. NYANG’HOLONGO
3. INONELWA
4. BUGOMBA
5. MWANIKO
6. NTULYA
7. MWAKALIMA
8. IBINZA
9. ISENENGEJA
10. ITEJA
11. IKUNGUMHULU
12. NGEREKA
13. MWAMBOLA
14. LUKANGA
15. NG’WAMAZENGO
16. MAHANDO
17. MWANANGWA
18. NDUHA
19. NG’HOBO
20. NYANG’HOLONGO
21. MAGANZO
22. GULUMUNGU
23. GUKWA
24. MWAGIMAGI
25. KIFUNE
72
26. KWIMWA
27. NG’OMBE
28. MONDO
29. MAGAKA
30. ISAKAMAWE
31. MWAGAGALA
32. NGUDAMA
33. MAPILINGA
34. NANGE
35. MBALAMA
36. GAMBAJIGA
37. KIJIMA
38. MWASUBI
39. KABALE
40. LUBUGA
41. MWALWIGI
42. LUTALUTALE
43. MATALE
44. MWAMBOKU
45. MISUNGWI
46. NG’HAMVE
47. LUBILI
48. NDINGA
49. MWAMAGUHWA
50. ILALAMBOGO
51. IGENGE
52. BUHINGO
53. WANZAMISO
54. BUDUTU
55. KANYELELE
56. IGUMO
57. IBONGOYA A
58. MWAWILE
59. NYAMATALA
60. USAGARA
73
SHUGHULI ZA KUDHIBITI UKIMWI ZILIZOTEKELEZWA NA FEDHA ZA AGPAH NA.
JINA LA MRADI
LENGO LA MLADI UTEKELEZAJI ULIOFANYIKA
% YA UTEKELEZAJI
FEDHA PANGWA
FEDHA TOLEWA
FEDHA TUMIKA
% TUMUKA
MAONI/MAELEZO
1. Kurudisha wagonjwa walioshindwa kuhudhuria Kliniki (waliopotea)
Kupunguza utoro wa wagonjwa katika vituo vya kutolea huduma na tiba na mafunzo
Wagonjwa 400
wamerudishwa
vituoni
100 400,000 400,000 400,000 100 Kazi
imefanyika
kama
ilivyopangwa
2. Kuongeza
uelewa wa
utumiaji
mzuri
wadawa
(ARV)
Kutoa Elimu ya ufuasi
wa dawa katika vituo
vya Idetemya,
Koromije, Misasi,
Mbarika,Mwawile na
Misungwi Hospitali
Elimu
imetolewa kwa
vituo vya
Idetemya,
Koromije,
Misasi,
Mbarika,Mwaw
ile na Misungwi
Hospitali
100 2,730,000 2,730,000 2,730,000 100 Kazi
imefanyika
kama
ilivyopangwa
3. Kuboresha
utendaji kazi
katika vituo
14 vyenye
CTC
Kuwawezesha
watumishi kufanya
kazi kwa ufanisi katika
vituo vya Misungwi
Hospitali, Lubili,
Mbarika, Mwawile,
Sumbugu, Buhingo,
Misasi, Idetemya,
Mondo,
Nyabumhanda,
Watumishi 11
wa vituo vya
Misungwi
Hospitali,
Lubili, Mbarika,
Mwawile,
Sumbugu,
Buhingo,
Misasi,
Idetemya,
Mondo,
100 3,750,000 3,750,000 3,750,000 100 Kazi
imefanyika
kama
ilivyopangwa
74
Koromije, Ukiriguru na
Igokelo.
Nyabumhanda,
Koromije,
Ukiriguru na
Igokelo
wamewezeshwa
.
4. Kuboresha takwimu katika vituo 10 ambavyo havina data clack walio ajiliwa na AGPAH
Kuwawezesha watumishi 11 wa vituo vya Misungwi, Misasi, Buhingo, Busongo, Mwawile, Lubili, Igokelo, Itedemya , Sumbugu na Ukiriguru.
Watumishi 11 wamewezeshwa katika vituo vya Misungwi, Misasi, Buhingo, Busongo, Mwawile, Lubili, Igokelo, Itedemya , Sumbugu na Ukiriguru.
100 1,650,000 1,650,000 1,650,000 11 Kazi imekamilika
5. Kuboresha usimamizi wa shughuli za kupambana na maambukizi ya VVU
Kuongeza ufanisi wa kazi kwa watumishi wa Afya nazi ya Wilaya.
Wasimamizi 4 ngazi ya Wilaya ambao ni DMO, DAC, DRCHCO, DCB na HSCO wamewezeshwa
100 1,320,000 1,320,000 1,320,000 100 Utekelezaji umefanyika
6. Kuboresha utoaji wa huduma katika vituo 15 vyenye
Kuongeza maarifa ya watoa huduma
Mafunzo kwa watumishi wanaofanya kazi za CTC na PMTCT yametolewa.
65 1,570,000 1,570,000 1,570,000 100 Kazi imefanyika
75
CTC na PMTCT
7. Usafirishaji wa sampuli za dawa (DBS/HVL) kutoka vituoni
Kujua hali ya wagonjwa kupata majibu sahihi na kujua hali ya maambukizi kwa watoto walio zaliwa na maambuizi ya UKIMWI
Sampuli za dawa (DBS/HVL) kutoka vituoni zimesafirishwa
100 2,075,000 2,075,000 2,075,000 100 Kazi imefanyika kama ilivyopangwa
Jumla 13,495,000 13,495,000 13,495,000
76
HALI YA MAAMBUKIZI YA VVU/UKIMWI KIPINDI CHA OCTOBA HADI
DISEMBA 2017
Katika kipindi cha robo hii jumla ya watu 10204 ikiwa wanaume ni 6355 na wanawake 3849
wameweza kupatiwa huduma ya upimaji wa VVU ikiwa 692 wamepima kwa hiari yao, 9180
kutoka katika maeneo ya kutolea huduma za Afya na 332 katika maeneo yenye mikusanyiko
(migodini, mialo na magulio) jumla ya watu 269 (sawa na 2.6%) wamepatikana kuwa na
maambukizi ya VVU kati yao wanaume ni 129 (sawa na 47.9%) na wanawake ni 140 (sawa na
52%).Yafuatayo ni majedwali yanayoonyesha mchanganuo wa upimaji kwa kufuata jinsi na umri;
TAARIFA YA HALI YA MAAMBUKIZI YA UKIMWI OKTOBA HADI DISEMBA 2017
WANAUME
UMRI
JUMLA
CHINI YA
MWAKA 1
MIAKA
1-4
MIAKA
5-9
MIAKA
10-14
MIAKA
15-19
MIAKA
20-24
MIAKA
25-49
MIAKA
50+
WALIOPIMA 6355 29 207 140 1875 1200 876 1767 261
WALIYOBAI
NIKA KUWA
NA
MAAMBUKI
ZI YA VVU
129 0 4 0 6 1 13 76 19
WANAWAKE
UMRI
JUMLA
CHINI YA
MWAKA 1
MIAKA
1-4
MIAKA
5-9
MIAKA
10-14
MIAKA
15-19
MIAKA
20-24
MIAKA
25-49
MIAKA
50+
WALIOPIMA
VVU 3849 29 195 166 168 470 940 1648 223
WALIYOBAI
NIKA KUWA
NA
MAAMBUKI
ZI YA VVU
140 0 1 0 1 7 18 92 21
HALI YA MAAMBUKIZI YA UKIMWI TOKA HUDUMA ILIPOANZA KUFIKI A
DISEMBA 2017
ENEO LA HUDUMA WANAUME WANAWAKE JUMLA
Waliyo sajiliwa katika huduma 4900 7839 12739
Waliyowahi kutumia dawa za kufubaza VVU 3250 5972 9222
Wanaotumia dawa za kufubaza VVU mpaka sasa 1970 4822 6792
77
HALI YA MATUMIZI YA DAWA ZA KUFUBAZA VIRUSI VYA UKIMWI
Katika kipindi cha Oktoba- Disemba 2017 jumla ya watu 367 wanaoishi na VVU
wameanzishiwa dawa za kufubaza VVU ambapo kati yao wanaume ni 137 na wanawake
ni 230 na kufikisha jumla ya watu 9222 walioanzishiwa dawa za kufubaza VVU tangu
huduma hii ilipo anzishwa katika wilaya.
IDADI YA WATU WANAOISHI NA VVU WALIYO ANZISHIWA ARV OKTOBA-DISEMBA 2017
UMRI
CHINI YA MWAKA 1
MIAKA1-4 MIAKA 5-14
MIAKA15+
JINSI KE ME KE ME
KE ME KE ME
2 1 3 3 4 5 221 128 JUMLA YA WALIYO ANZISHIWA DAWA (ART) 367
HALI YA HUDUMA YA KUZUIA MAAMBUKIZI YA VVU TOKA KWA MAMA KWENDA KWA MTOTO KATIKA KIPINDI CHA ROBO YA JULAI-SEP 2017. Katika kipindi cha robo hii jumla ya wajawazito 3131 wamepata huduma ya ushauri
nasaha na upimaji wa VVU kati ya wajawazito wapya 3353 waliyohudhulia kiliniki ikwa
wajawazito 55 walikuwa tayari wana maambukizi ya VVU na kati ya waliopima 3131
jumla ya wajawazito 90 walibainika kuwa na maambukizi ya VVU na jumla ya wenza
1719 waliyopima kiliniki ya wajawazito 30 walibainika kuwa na maambukizi ya VVU.
Pia katika robo hii (julai-sept) jumla ya watoto 91 waliozaliwa na wakina mama wenye
maambukizi ya VVU 77 walianzishiwa dawa za kujikinga na maambukizi ya VVU na
watoto 72 wamechukuliwa kipimo cha DNA/PCR pia katika kipindi hiki watoto 9
wamethibitika kuwa na maambukizi ya VVU kwa kutumia DNA/PCR na watoto 12 kwa
kutumia kipimo cha rapid test na kuwa na jumla ya watoto 21 waliyothibitika kuwa na
maambukizi ya VVU na wototo 12 wameandikishwa katiaka vituo vya kutolea dawa za
kufubaza makali ya VVU.
78
HUDUMA YA UPIMAJI WA SARATANI YA SHINGO YA KIZAZI KWA
WANAWAKE WANAOISHI NA MAAMBUKIZI YA VVU.
Huduma ya kuchunguza saratani ya shingo ya kizazi kwa wanawake wanaoishi na VVU
hutolewa katika Kituo cha Afya cha Misasi, Hospitali ya Bukumbi na Hospitali ya
Misungwi na katika robo hii jumla ya wanawake 75 wamepatiwa huduma ya uchunguzi
wa saratani ya shingo ya kizazi ambapo wanawake 3 wanaoishi na maambukizi ya VVU
walikutwa wana dalili za maambukizi ya saratani ya shingo ya kizazi na kupatiwa
huduma za kitabibu. Ufuatao ni mchanganuo wa upimaji wa saratani ya shingo ya kizazi.
MWEZI WALIOFANYIWA
UCHUNGUZI
WALIOKUTWA NA DALILI
OKTOBA 56 3
NOVEMBA 19 0
JUMLAYA WALIYOFANYIWA UCHUNGUZI 75
JUMLA YA WENYE VIASHILIA VYA SARATANI 3
HUDUMA ZA VVU NA UKIMWI KATIKA JAMII (CBHS) Katika utoaji wa huduma za VVU/UKIMWI katika jamii jumla ya wagonjwa 122
wamesajiliwa katika kipindi cha Oktoba-Novemba 2017 ambapo wanawake ni 86 na
wanaume ni 36 na jumla ya watoro 106 wamerudishwa katika vituo vya tiba na matunzo
ikiwa wanaotumia ARV ni 97 na wasiotumia ARV ni 9 pia jumla ya watu 84 wanaotoka
katika familia za watu wanaoishi na VVU wameweza kupata huduma ya upimaji wa
VVU na kati yao watu wenzi 3 waligundulika kuwa na maambukizi ya VVU, upimaji
wa VVU katika jamii uliweza kufanyika katika kata za Busongo, Idetemya, Ilalambogo,
Kijima, Fela, Gulumungu, Bulemeji na Buhingo ambapo jumla ya watu 332 walipatiwa
huduma ya ushauri nasaha na upimaji wa VVU ambapo wanaume ni 176 na wanawake
ni 156 ambapo jumla ya watu 23 waligundulika kuwa na maambukizi ya VVU na
kuunganishwa katika huduma ya tiba na matunzo. (CTC)
79
USAJIRI WA WAGONJWA WAPYA KATIKA HUDUMA YA VVU/UKIMWI
KATIKA JAMII
MWEZI WANAWAKE WANAUME
OKTOBA 47 19
NOVEMBA 39 17
JUMLA 86 36
JUMLA KUU 122
IDADI YA WAGONJWA WALIORUDISHWA KATIKA KILINIKI ZA TIBA NA
MATUNZO WALIKUWA WAMESHINDWA KUHUDHURIA KILINIKI KATIKA
MAHUDHURIO 2-3
MWEZI WANAOTUMIA ARV WASIOTUMIA ARV
OKTOBA 47 6
NOVEMBA 50 3
JUMLA 97 9
JUMLA KUU 106
NB; Taarifa za mwezi disemba/2017 bado hazijaingizwa kwenye mfumo wa taarifa.
Upimaji wa VVU katika familia za watu wanaoishi na VVU
WANAUME WANAWAKE
Miaka 1-14 +VE Miaka
15+
+VE Miaka 1-14 +VE Miaka 15+ +VE
18 0 31 0 11 0 24 3
JUMLA YA WALIOPIMA = 84
WALIOGUNDULIKA NA MAAMBUKIZI = 3
Upimaji wa VVU katika maeneo ya migodi na kambi za wavuvi (Busongo,
Idetemya, Ilalambogo, Fela, Bulemeji, Buhingo, Gulumungu na Kijima).
WANAUME WANAWAKE
Miaka 1-14 +VE Miaka 15+
+VE Miaka1-14
+VE Miaka 15+ +VE
33 0 143 12 31 0 125 11
JUMLA YA WALIOPIMA = 332 WALIOGUNDULIKA NA MAAMBUKIZI =23
80
HALI YA UPATIKANAJI WA DAWA ZA KUFUBAZA VVU, DAWA ZA KUTIBU
MAGONJWA NYEMELEZI NA VITENDANISHI.
Katika kipindi chote cha robo hii hakuna upungufu wowote wa dawa za kufubaza VVU katika
vituo vyote vinavyotoa dawa za kufubaza VVU ila kumekuwa na upungufu wa baadhi ya dawa za
kutibu magonjwa nyemelezi na dawa ya kumkinga mototo aliyezaliwa na mama mwenye
maambukizi ya VVU (NVP SYRUP) ambapo tayari kila kituo kimeagizwa na ofisi ya mganga
mkuu kuagiza dawa za kutibu magonjwa nyemelezi kupitia MSD katika kipindi cha robo ya
Oktoba-disemba 2017 ili kuweza kuondokana na tatizo hilo la upungufu wa dawa za kutibu
magonjwa nyemelezi. Hali kadhalika upande wa vitendanishi hakuna upungufu wowote
uliojitokeza na mpaka sasa vitendanishi vipo vya kutosha katika vituo vyote.
HALI YA UPIMAJI WA WINGI WA VVU KWA WATU WANAOISHI NA
MAAMBUKIZI YA VVU.
MWEZI. IDADI.
OKTOBA. 57
NOVEMBA. 63
DISEMBA. 211
JUMLA 331