297
ii

YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

  • Upload
    others

  • View
    13

  • Download
    0

Embed Size (px)

Citation preview

Page 1: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

ii

Page 2: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

iii

YALIYOMO

ORODHA YA MAJEDWALI .................................................................................................. IX

KIREFU/TAFSIRI YA MANENO ....................................................................................... XIV

MATUKIO MUHIMU YA KIUCHUMI KWA MWAKA 2016 ..................................... XVIII

SURA YA I .................................................................................................................................... 1

HALI YA UCHUMI WA TAIFA ............................................................................................... 1

UKUAJI WA UCHUMI ................................................................................................................... 1

MIZANIA MPYA ZA BIDHAA ZA HUDUMA................................................................................... 7

MWENENDO WA BEI ................................................................................................................... 8

UKUZAJI RASILIMALI ............................................................................................................... 10

SURA YA 2 ................................................................................................................................. 40

HALI YA UCHUMI WA DUNIA NA USHIRIKIANO WA KIMATAIFA ......................... 40

UKUAJI WA UCHUMI ................................................................................................................. 40

MWENENDO WA BIASHARA DUNIANI ....................................................................................... 41

HALI YA UCHUMI WA NCHI ZA AFRIKA KUSINI MWA JANGWA LA SAHARA ............................. 43

JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI ............................................................................................ 45

UMOJA WA AFRIKA NA TUME YA UCHUMI YA BARA LA AFRIKA ............................................. 46

SHIRIKISHO LA BIASHARA DUNIANI (WTO) ............................................................................. 46

SURA YA 3 ................................................................................................................................. 48

SEKTA YA NJE ......................................................................................................................... 48

UTANGULIZI ............................................................................................................................. 48

BIDHAA ZILIZOUZWA NJE ........................................................................................................ 48

Bidhaa Asilia ....................................................................................................................... 48

Bidhaa Zisizo Asilia ............................................................................................................ 50

BIDHAA ZILIZOAGIZWA KUTOKA NJE ...................................................................................... 53

Bidhaa za Kukuza Mitaji ..................................................................................................... 53

Bidhaa za Kati .................................................................................................................... 53

Bidhaa za Matumizi ya Kawaida ........................................................................................ 54

MWENENDO WA BIASHARA BAINA YA TANZANIA NA NCHI MBALIMBALI ............................... 55

MIZANIA YA MALIPO NA NCHI ZA NJE ..................................................................................... 58

AKIBA YA FEDHA ZA KIGENI .................................................................................................... 60

SOKO LA FEDHA ZA KIGENI KWA MABENKI ............................................................................. 61

THAMANI YA SHILINGI YA TANZANIA ...................................................................................... 61

SURA YA 4 ................................................................................................................................. 75

FEDHA ZA SERIKALI ............................................................................................................. 75

UTANGULIZI ............................................................................................................................. 75

MWENENDO WA MAPATO ........................................................................................................ 75

Mapato ya Ndani................................................................................................................. 75

MISAADA NA MIKOPO NAFUU .................................................................................................. 76

MIKOPO YA NDANI ................................................................................................................... 77

Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ............................................................................... 77

MATUMIZI ................................................................................................................................ 77

Page 3: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

iv

DENI LA TAIFA ......................................................................................................................... 79

Deni la Nje .......................................................................................................................... 80

Deni la Ndani ...................................................................................................................... 81

SURA YA 5 ................................................................................................................................. 88

FEDHA NA TAASISI ZA FEDHA ........................................................................................... 88

UJAZI WA FEDHA NA KARADHA ............................................................................................... 88

MWENENDO WA MIKOPO KWA SEKTA BINAFSI ........................................................................ 88

MWENENDO WA VIWANGO VYA RIBA ...................................................................................... 89

MAENDELEO KATIKA SEKTA YA FEDHA ................................................................................... 89

MAENDELEO YA MASOKO LA MITAJI NA DHAMANA ................................................................ 91

MAMLAKA YA USIMAMIZI NA UDHIBITI WA SEKTA YA HIFADHI YA JAMII (SSRA) ................. 93

MFUKO WA MAFAO YA KUSTAAFU (GEPF) ............................................................................. 93

MFUKO WA PENSHENI WA SERIKALI ZA MITAA (LAPF) .......................................................... 95

MFUKO WA PENSHENI WA PSPF .............................................................................................. 95

MFUKO WA TAIFA WA HIFADHI YA JAMII (NSSF) .................................................................... 97

MFUKO WA PENSHENI WA PPF ................................................................................................. 98

MFUKO WA TAIFA WA BIMA YA AFYA (NHIF) ...................................................................... 100

MAMLAKA YA USIMAMIZI WA SHUGHULI ZA BIMA TANZANIA (TIRA) ................................. 102

MWENENDO WA SOKO LA MIKOPO YA NYUMBA TANZANIA .................................................. 104

BENKI YA WANAWAKE TANZANIA ......................................................................................... 107

BENKI YA MAENDELEO YA KILIMO TANZANIA ...................................................................... 108

BENKI YA POSTA .................................................................................................................... 109

SURA YA 6 ............................................................................................................................... 118

RASILIMALI WATU .............................................................................................................. 118

IDADI YA WATU ..................................................................................................................... 118

MGAWANYIKO WA WATU KIMKOA ........................................................................................ 118

AFYA YA UZAZI NA MTOTO ................................................................................................... 120

NGUVU KAZI NA AJIRA ........................................................................................................... 120

SURA YA 7 ............................................................................................................................... 127

UENDELEZAJI WA SEKTA BINAFSI ................................................................................ 127

UWEKEZAJI VITEGA UCHUMI NCHINI ..................................................................................... 127

MGAWANYIKO WA MIRADI KISEKTA ..................................................................................... 127

MGAWANYIKO WA MIRADI KIMKOA ...................................................................................... 127

URAHISI WA KUFANYA BIASHARA NCHINI ............................................................................. 128

UWEZESHAJI WANANCHI KIUCHUMI ...................................................................................... 128

SURA YA 8 .............................................................................................................................. 131

MASUALA MTAMBUKA ...................................................................................................... 131

UKIMWI ............................................................................................................................... 131

MAZINGIRA ............................................................................................................................ 132

USALAMA WA RAIA ................................................................................................................ 133

MAMLAKA YA VITAMBULISHO VYA TAIFA ............................................................................ 136

WAKALA WA USAJILI UFILISI NA UDHAMINI .......................................................................... 136

Page 4: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

v

SURA YA 9 ............................................................................................................................... 138

HALI YA UMASKINI NA MAENDELEO YA WATU ....................................................... 138

UTANGULIZI ....................................................................................................................... 138

HALI YA UMASKINI .......................................................................................................... 138

MAENDELEO YA WATU ................................................................................................... 140

SURA YA 10 ............................................................................................................................. 143

UJENZI WA UCHUMI WA VIWANDA ............................................................................... 143

UTANGULIZI ........................................................................................................................... 143

HALI YA SEKTA YA VIWANDA KWA SASA .............................................................................. 143

HISTORIA YA MAGEUZI YA VIWANDA NCHINI ....................................................................... 144

UMUHIMU WA UCHUMI WA VIWANDA .................................................................................. 145

MKAKATI WA KUENDELEZA SEKTA YA VIWANDA ................................................................. 147

UENDELEZAJI WA SEKTA NA MAENEO SHIRIKISHI ................................................................. 148

UGHARAMIAJI WA UJENZI WA UCHUMI WA VIWANDA ........................................................... 150

HATUA YA UTEKELEZAJI ILIYOFIKIWA ................................................................................... 151

HITIMISHO .............................................................................................................................. 152

SURA YA 11 ............................................................................................................................. 154

KILIMO NA USHIRIKA ........................................................................................................ 154

KIWANGO CHA UKUAJI ........................................................................................................... 154

UZALISHAJI WA MAZAO YA CHAKULA ................................................................................... 154

UZALISHAJI WA MAZAO YA BIASHARA .................................................................................. 155

UZALISHAJI WA MAZAO YA MAFUTA ..................................................................................... 155

UZALISHAJI WA MAZAO YA BUSTANI ..................................................................................... 156

UWEKEZAJI KATIKA SHUGHULI ZA KIUCHUMI ZA KILIMO ...................................................... 156

HUDUMA ZA UGANI ................................................................................................................ 157

UTAFITI .................................................................................................................................. 157

MIFUGO ............................................................................................................................... 159

UZALISHAJI WA MIFUGO NA MAZAO YAKE ............................................................................ 159

Uzalishaji na Usindikaji wa Malisho ya Mifugo ............................................................... 161

Biashara ya Mifugo na Mazao Yake ................................................................................. 162

MAENDELEO YA USHIRIKA ..................................................................................................... 164

SURA YA 12 ............................................................................................................................. 175

MALIASILI NA UTALII ........................................................................................................ 175

KIWANGO CHA UKUAJI ........................................................................................................... 175

MISITU NA NYUKI .................................................................................................................. 175

WANYAMAPORI ...................................................................................................................... 177

UTALII .................................................................................................................................... 178

MALIKALE .............................................................................................................................. 178

UVUVI. ................................................................................................................................... 180

SURA YA 13 ............................................................................................................................. 194

MADINI .................................................................................................................................... 194

KIWANGO CHA UKUAJI ........................................................................................................... 194

UTAFUTAJI MADINI ................................................................................................................ 194

Page 5: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

vi

UENDELEZAJI WA UCHIMBAJI MDOGO WA MADINI ................................................................ 194

UCHIMBAJI NA UUZAJI MADINI .............................................................................................. 195

SURA YA 14 ............................................................................................................................. 201

VIWANDA NA BIASHARA ................................................................................................... 201

KIWANGO CHA UKUAJI ........................................................................................................... 201

VIWANDA VIDOGO ................................................................................................................. 201

UZALISHAJI KATIKA BAADHI YA VIWANDA NCHINI ............................................................... 202

MWENENDO WA BIASHARA YA TANZANIA KIMATAIFA .......................................................... 203

MAONESHO YA KIBIASHARA YA KIMATAIFA ......................................................................... 203

BEI YA SOKO KWA BIDHAA ZA MAZAO .................................................................................. 204

SURA YA 15 ............................................................................................................................. 212

UJENZI NA MAENDELEO YA ARDHI ............................................................................... 212

UJENZI .................................................................................................................................. 212

Mtandao wa Barabara ...................................................................................................... 212

Matengenezo ya Barabara, Magari, Madaraja na Vivuko ............................................... 213

Bodi ya Mfuko wa Barabara ............................................................................................. 213

Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .................................................................... 214

Bodi ya Usajili wa Wakandarasi ...................................................................................... 214

Bodi ya Usajili ya Wahandisi ............................................................................................ 214

Bodi ya Wabunifu Majengo na Wakadiriaji Majenzi ........................................................ 215

Baraza la Taifa la Ujenzi .................................................................................................. 215

MAENDELEO YA ARDHI ..................................................................................................... 215

Utayarishaji wa Hatimiliki, Ukaguzi, na Uhakiki Milki ................................................... 215

Usajili wa Hatimiliki na Nyaraka za Kisheria .................................................................. 216

Uthamini wa Mali kwa Madhumuni Mbalimbali na ya Ulipaji Fidia .............................. 216

Upimaji wa Mashamba na Viwanja .................................................................................. 217

Mabaraza ya Ardhi na Nyumba ya Wilaya ....................................................................... 219

MAENDELEO YA MAKAZI ............................................................................................... 219

Ujenzi wa Nyumba za Makazi na Biashara ...................................................................... 219

SURA YA 16 ............................................................................................................................. 221

MAWASILIANO NA UCHUKUZI ........................................................................................ 221

KIWANGO CHA UKUAJI ........................................................................................................... 221

USAFIRI WA BARABARA ......................................................................................................... 221

KAMPUNI YA RELI TANZANIA (TRL) ..................................................................................... 222

MAMLAKA YA RELI YA TANZANIA NA ZAMBIA (TAZARA ................................................... 222

USAFIRI WA ANGA.................................................................................................................. 222

MAMLAKA YA USIMAMIZI WA BANDARI TANZANIA .............................................................. 225

UCHUKUZI KWENYE MAZIWA ................................................................................................ 227

MAMLAKA YA HALI YA HEWA TANZANIA ............................................................................. 228

HUDUMA ZA MAWASILIANO ................................................................................................... 228

Huduma za Posta .............................................................................................................. 228

Huduma za Simu ............................................................................................................... 229

Mkongo wa Taifa wa Mawasiliano ................................................................................... 230

Page 6: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

vii

SAYANSI, TEKNOLOJIA NA UBUNIFU ...................................................................................... 230

Uendelezaji wa Rasilimali Watu ....................................................................................... 230

Udhibiti wa Mionzi ........................................................................................................... 231

HABARI, UTAMADUNI, SANAA NA MICHEZO ............................................................. 231

Sekta ya Habari ................................................................................................................ 231

Sekta ya Maendeleo ya Sanaa ........................................................................................... 232

Sekta ya Maendeleo ya Michezo ....................................................................................... 232

SURA YA 17 ............................................................................................................................. 241

NISHATI ................................................................................................................................... 241

KIWANGO CHA UKUAJI ........................................................................................................... 241

UFUAJI WA UMEME ................................................................................................................ 241

UTAFUTAJI MAFUTA NA GESI ................................................................................................. 246

UAGIZAJI NA MWENENDO WA BEI ZA MAFUTA ...................................................................... 248

NISHATI JADIDIFU .................................................................................................................. 250

Jotoardhi ........................................................................................................................... 250

Maporomoko Madogo ya Maji ......................................................................................... 251

Nishati ya Upepo............................................................................................................... 251

Tungamotaka, Bayogesi na LPG ..................................................................................... 251

Nishati ya Mionzi ya Jua ................................................................................................... 252

SURA YA 18 ............................................................................................................................. 253

MAJI .......................................................................................................................................... 253

KIWANGO CHA UKUAJI ........................................................................................................... 253

USIMAMIZI NA UENDELEZAJI WA RASILIMALI ZA MAJI .......................................................... 253

HUDUMA YA MAJI VIJIJINI ..................................................................................................... 254

HUDUMA ZA MAJI MIJINI NA USAFI WA MAZINGIRA .............................................................. 254

HALI YA SEKTA YA UMWAGILIAJI .......................................................................................... 255

SURA YA 19 ............................................................................................................................. 257

ELIMU NA MAFUNZO YA UFUNDI ................................................................................... 257

ELIMU YA AWALI ................................................................................................................... 257

ELIMU YA MSINGI .................................................................................................................. 257

ELIMU YA SEKONDARI ............................................................................................................ 258

ELIMU YA UALIMU ................................................................................................................. 259

UKAGUZI WA SHULE NA VYUO VYA UALIMU ......................................................................... 260

ELIMU YA UFUNDI NA MAFUNZO ........................................................................................... 260

ELIMU YA JUU ........................................................................................................................ 260

SURA YA 20 ............................................................................................................................. 267

AFYA ......................................................................................................................................... 267

KIWANGO CHA UKUAJI ........................................................................................................... 267

UPATIKANAJI WA DAWA NA VIFAA TIBA ............................................................................... 267

VITUO VYA KUTOLEA HUDUMA YA AFYA.............................................................................. 267

MPANGO WA TAIFA WA KUDHIBITI MALARIA ........................................................................ 268

Page 7: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

viii

SURA YA 21 ............................................................................................................................. 274

MAENDELEO YA JAMII ...................................................................................................... 274

MAFUNZO YA MAENDELEO YA JAMII ..................................................................................... 274

MAFUNZO YA USTAWI WA JAMII ............................................................................................ 274

MAENDELEO YA WANAWAKE NA JINSIA ................................................................................ 275

MAENDELEO YA WATOTO ...................................................................................................... 275

HUDUMA ZA USTAWI KWA WATOTO ...................................................................................... 276

HUDUMA ZA MALEZI, MAKUZI NA MAENDELEO YA AWALI YA MTOTO ................................ 276

MASHIRIKA YASIYO YA KISERIKALI ...................................................................................... 277

Page 8: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

ix

Ukurasa

ORODHA YA MAJEDWALI

Jedwali A: Takwimu Muhimu Katika Uchumi – Tanzania Bara ....... .xix Jedwali B: Mwenendo wa Viashiria vya Kiuchumi, 2009 – 2016….......xx Jedwali 1: Pato la Taifa (PLT) kwa shughuli za kiuchumi, kwa Bei za Soko (Bei za miaka inayohusika) ............................................... 12 Jedwali 1A Pato la Taifa (PLT) kwa shughuli za kiuchumi, kwa Bei za Soko – Sehemu inayouzika na isiyouzika (bei za miaka inayohusika) ................................................. 13 Jedwali 2: Mchango wa shughuli za kiuchumi kwa Pato la Taifa kwa Bei za Soko (bei za miaka inayohusika) ........................... 14 Jedwali 2A: Mchango wa shughuli za kiuchumi kwa Pato la Taifa (PLT), kwa Bei za Soko- Sehemu inayouzika na isiyouzika (bei za miaka inayohusika) ................................................ 15 Jedwali 2B: Pato la Taifa (PLT) na Matumizi yake, kwa bei za soko

(bei za miaka inayohusika) ................................................. 16

Jedwali 3: Pato la Taifa (PLT) kwa shughuli za kiuchumi, kwa Bei za Soko (bei za mwaka 2007) ...................................... 17 Jedwali 3A: Pato la Taifa (PLT) kwa shughuli za kiuchumi, kwa Bei za Soko - Sehemu inayouzika na isiyouzika (bei za mwaka 2007) .......................................................... 18 Jedwali 4: Ukuaji wa Pato la Taifa (PLT) kwa shughuli za kiuchumi, kwa Bei za Soko (bei za mwaka 2007) .............................. 19 Jedwali 4A: Ukuaji wa Pato la Taifa (PLT) kwa shughuli za kiuchumi, kwa Bei za Soko - Sehemu inayouzika na isiyouzika (bei za mwaka 2007) .......................................................... 20 Jedwali 4B: Mchango wa shughuli za kiuchumi kwa Pato la Taifa (PLT), kwa Bei za Soko (bei za mwaka 2007) ........................... 22 Jedwali 4C: Mchango wa shughuli za kiuchumi kwa Pato la Taifa (PLT), kwa Bei za Soko -Sehemu inayouzika na isiyouzika (bei za mwaka 2007) ......................................................... 25 Jedwali 4D: Pato la Taifa (PLT) na matumizi yake, kwa bei za soko (bei za mwaka 2007) ....................................................... 26 Jedwali 5: Ukuzaji Rasilimali kwa aina ya shughuli (bei za miaka

inayohusika)...............................................................................27 Jedwali 6: Ukuzaji Rasilimali kwa aina ya shughuli(Bei za mwaka 2007).28

Page 9: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

x

Jedwali 7: Mchango katika Ukuzaji Rasilimali kwa aina ya Shughuli (Bei za Miaka Husika) ........................................................ 29 Jedwali 8: Fahirisi ya bei za rejereja ya bidhaa zitumiwazo

na watu wa kipato cha chini Dar es Salaam (Sept.2010=100).31 Jedwali 9: Fahirisi ya bei za rejereja ya bidhaa zitumiwazo

na watu wa kipato cha chini Dar es Salaam (2001=100) .. 30 Jedwali 10: Fahirisi ya bei za bidhaa na huduma zitumiwazo

na wafanyakazi wa kima cha kati Dar es Salaam (Des. 2015=100) ................................................................. 32

Jedwali 11: Fahirisi ya Bei za bidhaa na huduma zitumiwazo na

Wafanyakazi wa kima cha kati Dar es Salaam (2001=100) 33 Jedwali 12: Fahirisi ya Bidhaa na Huduma zitumiwazo na wenye kipato

cha juu Dar es Salaam (2001=100) .................................. 34 Jedwali 13: Fahirisi ya gharama ya maisha ya wenye kipato cha

juu Dar es Salaam (Des. 2010=100) .................................. 35 Jedwali 14: Fahirisi ya bei ya bidhaa na huduma zitumiwazo

na wakazi wa mijini - Tanzania Bara (2001=100) ............. 36 Jedwali 15: Fahirisi ya Bei ya Bidhaa na huduma zitumiwazo

na wakazi wa mijini - Tanzania Bara (Des. 2015=100) ..... 37

Jedwali 16: Fahirisi mbali mbali za bidhaa na huduma zitumiwazo na wakazi wa mijini – Tanzania Bara (Des. 2015=100) ....... 39 Jedwali 17: Thamani ya Bidhaa za biashara baina ya Tanzania

na nchi za nje (Sh. Milioni) ............................................... 62 Jedwali 18: Kiasi na thamani ya bidhaa muhimu zilizouzwa nchi za nje (Sh. Milioni) ............................................................ 62 Jedwali 19: Kiasi na thamani ya bidhaa za asilia na zisizo

asilia zilizouzwa nchi za nje .............................................. 64 Jedwali 20: Wastani wa bei za bidhaa muhimu zilizouzwa

nchi za nje (Sh./tani) ........................................................... 69 Jedwali 21: Wastani wa bei za bidhaa muhimu zilizouzwa

nchi za nje (US $/tani) ....................................................... 70 Jedwali 23: Aina na thamani ya bidhaa zilizoagizwa kutoka

nchi za nje (Sh. Milioni) ..................................................... 72 Jedwali 24: Mizania ya malipo na nchi za nje (US$ milioni) ............... 73 Jedwali 25: Mwenendo wa mapato na matumizi ya Serikali ................. 84

Page 10: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

xi

Jedwali 26: Mgawanyo wa Matumizi ya Serikali kwa huduma mbalimbali (Sh. Milioni) .................................................... 86 Jedwali 27: Mwenendo wa karadha na ujazi wa fedha - Tanzania Bara113 Jedwali 28: Viwango vya ukuaji wa karadha na ujazi wa fedha - Tanzania Bara ............................................................... ..114 Jedwali 29: Mwenendo wa Viwango vya ubadilishaji kati ya Shilingi na Dola ya Marekani ............................................................ 115 Jedwali 30: Mikopo ya benki za biashara kwa Shughuli za Kiuchumi...116 Jedwali 31: Mwenendo wa amana katika benki za biashara ............. 117 Jedwali 32: Viwango vya wastani vya riba (asilimia) ....................... 117 Jedwali 33: Idadi ya watu nchini Tanzania kimkoa (2006-2016) ....... 125 Jedwali 34: Kituo cha Uwekezaji Tanzania: Miradi iliyosajiriwa .... 130 Jedwali 35: Uzalishaji wa miwa na sukari Nchini.................................166 Jedwali 36: Pamba iliyonunuliwa na mauzo nchini ............................. 167 Jedwali 37: Eneo lililopandwa michai na majani mabichi

yaliyopatikana ................................................................... 168 Jedwali 38: Kahawa iliyonunuliwa na mauzo nchini .......................... 169 Jedwali 39: Eneo lililopandwa mkonge na katani iliyopatikana .......... 170 Jedwali 40: Tumbaku iliyonunuliwa na mauzo nchini ........................ 171 Jedwali 41: Maua ya pareto yaliyonunuliwa na mauzo ya

bidhaa za pareto nchini ..................................................... 172 Jedwali 42: Korosho zilizonunuliwa na mauzo nchini. ....................... 173 Jedwali 43: Muhtasari wa kiasi cha mazao muhimu ya biashara

yaliyonunuliwa ................................................................. 174

Jedwali 45: Idadi ya Wageni Waliotembelea Makumbusho ya Taifa na Mapato Yaliopatikan ........................................................ 182 Jedwali 47: Mauzo ya bidhaa za misitu katika masoko ya nchi za nje 183 Jedwali 48: Mwenendo wa biashara ya ndege, wanyamapori na

vipusa nchi za nje ............................................................. 184

Page 11: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

xii

Jedwali 48A: Mwenendo wa biashara ya wanyama hai na uwindaji wa kitalii ......................................................................... 185 Jedwali 48B: Idadi ya Wawindaji wa Kitalii ........................................ 186 Jedwali 49: Mwenendo wa Ukusanyaji wa Maduhuli katika sekta Ndogo ya Wanyamapori.....................................................186 Jedwali 50: Uzalishaji katika sekta ya uvuvi ...................................... 187 Jedwali 51: Mauzo ya mazao ya uvuvi nchi za nje .............................. 188 Jedwali 51A: Muhtasari wa Mauzo ya Mazao ya Uvuvi Nchi za Nje .... 189 Jedwali 51B: Mwelekeo wa Mauzo ya Sangara Nje ya Nchi ............... 189 Jedwali 52: Mwenendo wa Biashara ya Utalii ................................... 190 Jedwali 53: Idadi ya Watalii walioingia nchini na kiasi cha

fedha Kilichopatikana ....................................................... 191

Jedwali 54 Watalii Waliotembelea Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro katika mwaka 2010 - 2016................................................192 Jedwali 55: Idadi ya wageni waliotembelea Vituo vya Utalii ............ 193 Jedwali 56: Uchimbaji wa madini: Kiasi kilichopatikana ................... 199 Jedwali 57: Madini yaliyouzwa nchi za nje ......................................... 200 Jedwali 58: Matumizi ya saruji nchini ................................................. 205 Jedwali 59: Uzalishaji wa baadhi ya bidhaa za viwandani .................. 206 Jedwali 60: Viwanda - Idadi ya Watu walioajiriwa ............................. 207 Jedwali 61: Viwanda - Gharama za kazi ............................................. 208 Jedwali 62: Viwanda - Muhtasari wa Matokeo ................................... 209 Jedwali 63: Viwanda - Muhtasari wa Matokeo Kimkoa ..................... 210 Jedwali 65: Vigezo vya Ufanisi katika Sekta ya Viwanda .................. 211 Jedwali 67: Shirika la Reli Tanzania (TRL) ........................................ 233 Jedwali 68: Reli ya Uhuru (TAZARA) ................................................ 234 Jedwali 69: Usafirishaji kwa Meli ....................................................... 235 Jedwali 70: Huduma za Posta .............................................................. 238 Jedwali 71: Idadi ya Wanaotumia Simu za Mezani na Viganjani........239

Page 12: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

xiii

Jedwali 73: Shirika la Ndege Tanzania (ATCL) ................................. 240 Jedwali 74: Uwezo wa mitambo ya umeme na kiasi cha umeme uliotengenezwa kwa vituo………………………………..243 Jedwali 75: Mauzo ya umeme kwa watumiaji mbalimbali ................. 244 Jedwali 76: Mauzo ya umeme kwa Mikoa .......................................... 245 Jedwali 77: Uzalishaji wa maji na mapato yatokanayo na maji ...........256 Jedwali 80: Shule za sekondari za Serikali - Idadi ya wanafunzi kwa kidato .............................................. ............ ..........262 Jedwali 81: Shule za sekondari za binafsi - Idadi ya wanafunzi kwa kidato ...................................................................... 266 Jedwali 84: Idadi ya Vituo vya Kutolea Huduma za afya nchini ........ 270 Jedwali 85: Huduma za Afya: Waliofaulu Mafunzo ya Afya ............ 271 Jedwali 86: Idadi ya Wagonjwa katika Vituo vya Afya...................... 272

Jedwali 87: Idadi ya Wataalamu wa Afya ............................................273 Jedwali 87A: Idadi ya Vitanda katika Hospitali zote Nchini....................273

Page 13: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

xiv

KIREFU/TAFSIRI YA MANENO

ASDP - Agricultural Sector Development Programme (Program ya

Maendeleo ya Sekta ya Kilimo)

AfDB -

African Development Bank (Benki ya Maendeleo ya Afrika)

ARVs - Anti-retrovirals ( Dawa za Kupunguza Makali ya UKIMWI)

TAA - Tanzania Airpots Authority (Mamlaka ya Viwanja vya Ndege)

AU - African Union (Umoja wa Afrika)

BoT - Bank of Tanzania (Benki Kuu ya Tanzania)

Cif - Cost, insurance and freight (Thamani ya bidhaa ikijumuisha

gharama za usafiri na bima)

CPI - Consumer Price Index (Fahirisi ya Bei za Walaji)

COICOP - Classification of Individual Consumption by Purpose

COMESA - Common Market for Eastern and Southern Africa (Soko la

Pamoja la Nchi za Afrika Mashariki na Kusini mwa Afrika)

CUM - City Urgent Mail (Kampuni ya usambazaji barua za haraka

Mijini)

CHMT - Council Health Management Team (Kamati za Afya za

Halmashauri)

CHF - Community Health Fund (Mfuko wa Jamii wa Afya)

DSE - Dar es Salaam Stock Exchange (Soko la Hisa la Dar Es Salaam)

DADPs - District Agricultural Development Plans (Mipango ya Maendeleo

ya Kilimo ya Wilaya)

ECA - Economic Commission for Africa (Tume ya Uchumi ya Bara la

Afrika)

EAC - East African Community (Jumuiya ya Afrika Mashariki)

EPZ - Export Processing Zones (Kanda za Uzalishaji Bidhaa za Kuuza

Nje)

EWURA - Energy and Water Utilities Regulatory Authority (Mamlaka ya

Udhibiti wa Huduma za Maji na Nishati)

EFD - Electronic Fiscal Divices Machines (Mashine za Kielektroniki)

f.o.b - free on board (Thamani ya Bidhaa bila Kujumuisha Gharama za

Usafiri na Bima

FDI - Foreign Direct Investment (Uwekezaji wa Mitaji ya Kigeni)

GEPF - Government Employees Provident Fund (Mfuko wa Akiba ya

Wafanyakazi wa Serikali)

Page 14: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

xv

GBS - General Budget Support (Misaada na Mikopo ya Bajeti)

GDP - Gross Domestic Product (Pato la Taifa)

HBS - Household Budget Survey (Utafiti wa Mapato na Matumizi ya

Kaya)

IFMS - Integrated Financial Management System (Mfumo Tungamanishi

wa Usimamizi wa Fedha)

LGRP - Local Government Reform Programme (Programu ya Maboresho

katika Serikali za Mitaa)

LAPF - Local Authorities Pensions Fund (Mfuko wa Pension wa Serikali

za Mitaa)

LSRP - Legal Sector Reform Programme (Programu ya Maboresho

katika Sekta ya Sheria)

MTEF - Medium Term Expenditure Framework (Mfumo wa Muda wa

Kati wa Matumizi ya Serikali)

M2 - Broad Money Supply (Ujazi wa Fedha kwa Tafsiri Pana)

M3 - Extended Broad Money Supply (Ujazi wa Fedha kwa Tafsiri

Pana Zaidi)

IMF - International Monetary Fund (Shirika la Fedha la Kimataifa)

MDGs - Millenium Development Goals (Malengo ya Maendeleo ya

Milenia)

MKUKUTA - Mkakati wa Kukuza Uchumi na Kupunguza Umasikini Tanzania

MPAMITA - Mkakati wa Pamoja wa Misaada Tanzania

MKURABITA - Mpango wa Kurasimisha Biashara na Mali za Wanyonge

Tanzania

MMEM - Mpango wa Maendeleo ya Elimu ya Msingi

MMES - Mpango wa Maendeleo ya Elimu ya Sekondari

MMS - MKUKUTA Monitoring System (Mfumo wa Ufuatiliaji wa

MKUKUTA)

MSCL - Marine Services Company Ltd (Kampuni ya Huduma za Meli)

MSMEs - Medium, Small and Micro Enterprises (Viwanda vya Kati,

Vidogo na Vidogo sana)

MEMKWA - Mpango wa Elimu ya Msingi kwa Watoto Waliyoikosa

MMAM - Mpango Maalum wa Afya ya Msingi

MW - Mega Watts

NSSF - National Social Security Fund (Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya

Page 15: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

xvi

Jamii)

NFRA - National Food Reserve Agency (Wakala wa Taifa wa Hifadhi ya

Chakula)

NASCAP - National Anti-Corruption Strategy and Action Plan (Mkakati wa

Taifa Dhidi ya Rushwa)

NGO’s - Non-Governmental Organisations (Asasi Zisizo ya Kiserikali)

NHIF - National Health Insurance Fund (Mfuko wa Taifa wa Bima ya

Afya)

NIC - National Insurance Corporation (Shirika la Bima la Taifa)

NIDA - National Identification Authority (Mamlaka ya Vitambulisho vya

Taifa)

NMB - National Microfinance Bank (Benki ya Taifa ya Mikopo Midogo)

OSBP - One - Stop - Border Posts ( Vituo vya Pamoja Mipakani)

PSRP - Public Service Reform Program (Programu ya Maboresho katika

Utumishi wa Umma)

PRS - Poverty Reduction Strategy (Mkakati wa Kupunguza Umaskini)

PSPF - Public Service Pensions Fund (Mfuko wa Pensheni kwa

Watumishi wa Umma)

PPF - Parastatal Pensions Fund (Mfuko wa Pensheni kwa Mashirika ya

Umma)

RITA - Registration, Insolvency and Trusteeship Agency (Wakala wa

Usajili, Ufilisi na Udhamini)

SIDO - Small Industries Development Organization (Shirika la

Kuhudumia Viwanda Vidogo)

SAGCOT - Southern Agricultural Growth Corridor of Tanzania ( Ukanda wa

Kilimo Kusini mwa Tanzania)

SACCOS - Savings and Credit Cooperative Societies (Vyama vya Ushirika

wa Akiba na Mikopo)

SADC - Southern Africa Development Community (Jumuiya ya

Maendeleo ya Nchi za Kusini mwa Afrika)

SMEs - Small and Medium Enterprises (Viwanda Vidogo na vya Kati)

SELF - Small Enterpreneurs Loan Facility (Mradi wa Kuhudumia

Biashara Ndogondogo)

SSRA - Social Security Reguratory Authority (Mamlaka ya Usimamizi na

udhibiti wa Sekta ya Hifadhi ya Jamii)

Page 16: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

xvii

SUMATRA - Surface and Marine Transport Regulatory Authority (Mamlaka

ya Udhibiti Usafiri wa Nchi Kavu na Majini)

TMRC - Tanzania Mortgage Refinancing Company ( Kampuni ya Utoaji

Mikopo ya Nyumba)

TaESA - Tanzania Employment Service Agency (Wakala wa Huduma za

Ajira Tanzania)

TANESCO - Tanzania Electricity Supply Company (Shirika la Umeme

Tanzania)

TANROADS - Tanzania Roads Agency (Mamlaka ya Barabara Tanzania)

TAZARA - Tanzania Zambia Railways Authority (Mamlaka ya Reli ya

Tanzania na Zambia)

TDHS - Tanzania Demographic and Health Survey (Utafiti wa Afya na

Demografia Tanzania)

TIRA - Tanzania Insurance Regulatory Authority (Mamlaka ya

Usimamizi wa Shughuli za Bima Tanzania)

TCAA - Tanzania Civil Aviation Authority (Mamlaka ya Usalama wa

Usafiri wa Anga Tanzania)

TMA - Tanzania Meteorology Agency (Mamlaka ya Hali ya Hewa

Tanzania)

TCRA - Tanzania Communications Regulatory Authority (Mamlaka ya

Mawasiliano Tanzania).

TEHAMA - Teknolojia ya Habari na Mawasiliano

TICTS - Tanzania International Container Terminal Services (Kampuni ya

Kupakua Makontena katika Bandari ya Dar es Salaam)

TRC - Tanzania Railways Corporation (Shirika la Reli Tanzania)

TRL - Tanzania Railways Company Limited (Kampuni ya Reli

Tanzania)

TTCL - Tanzania Telecomunications Company Limited (Kampuni ya

Simu Tanzania)

UAE - United Arab Emirates (Umoja wa Nchi za Falme za Kiarabu)

UNIDO - United Nations Industrial Development Organization (Shirika la

Umoja wa Mataifa la Maendeleo ya Viwanda)

UKIMWI - Ukosefu wa Kinga Mwilini

VVU - Virusi Vya Ukimwi

Page 17: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

xviii

MATUKIO MUHIMU YA KIUCHUMI KWA MWAKA 2016

TAREHE MWEZI MATUKIO

16 Aprili

Mheshimiwa John Pombe Magufuri, Rais wa Jamuhuri ya

Muungano wa Tanzania azindua ujenzi wa barabara za juu

( Flyover) za makutano ya TAZARA - Dar es Salaam

19 Aprili Mheshimiwa John Pombe Magufuri, Rais wa Jamuhuri ya

Muungano wa Tanzania afungua daraja la kigamboni

05 Agosti

Serikali yazindua Mpango Kazi wa Taifa wa Kutokomeza

Ukatili dhidi ya Wanawake na Watoto (2017/18 –

2021/22)

28 Septemba

Mheshimiwa John Pombe Magufuri, Rais wa Jamuhuri ya

Muungano wa Tanzania azindua ndege mpya aina ya

Bombardier Dash 8 Q400 zilizonunuliwa na Serikali na

kukabidhiwa shirika la ndege Tanzania (ATCL)

kuimarisha sekta ya uchukuzi

06 Oktoba

Mheshimiwa John Pombe Magufuri, Rais wa Jamuhuri ya

Muungano wa Tanzania azindua Kiwanda cha kwanza cha

Azam Fruits Processing Plant, Mkuranga Pwani

7 - 11 Desemba

Maonesho ya kwanza ya viwanda vya ndani kufanyika

nchini Tanzania

Page 18: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

xix

Jedwali Na. A

Maelezo 2011 2012 2013 2014 2015 2016p2015/16

Badiliko (%)

Idadi ya Watu (milioni) 43.2 43.6 44.8 46.1 47.4 48.7 2.8

Pato la Taifa kwa Bei za miaka inayohusika (Sh. milioni) 52762581 61434214 70953227 79718416 90863827 103744606 14.2

Pato la Taifa kwa Bei za mwaka 2007 (Sh. milioni) 34179297 35936459 38546546 41231365 44100809 47174902 7.0

Wastani Pato kwa Kila Mtu kwa bei za miaka inayohusika (Sh.) 1222224.5 1408222.7 1582796.7 1730404.8 1918930.9 2131299.2 11.1

Wastani Pato kwa Kila Mtu kwa bei za 2007 (Sh.) 791750.0 823751.7 859881.2 894987.1 931354.2 969147.5 4.1

Kasi ya Upandaji Bei (asilimia) 12.7 16.0 7.9 6.1 5.6 5.2 -7.4

Urari wa Biashara ya Bidhaa (US$ milioni) -4729.6 -4429.9 -5771.1 -5596.3 -4440.7 -2945.0 -33.7

Urari wa Bidhaa,Huduma na Uhamisho wa Mali (US$ milioni) -3992.2 -3768.9 -4988.0 -5017.5 -3557.9 -4561.6 28.2

Saruji Iliyotumika (Tani '000) 2408.8 2581.4 2369.8 2795.7 3273.0 4916.4 50.2

Umeme Uliouzwa (GWH) 5156.2 5855.7 5997.3 5051.5 5297.1 5871.5 10.8

Utalii (Mapato US$ milioni) 1324.8 1712.8 1853.3 1983.0 1901.9 2073.1 9.0

Reli: Uchukuzi Mizigo (Tani '000) 386.0 413.0 430.0 160.0 364.0 198.0 -45.6

Elimu: Wanafunzi katika Shule za Msingi ('000) * 83633.9 8247.2 8231.9 8222.7 8298.3 8639.2 4.1

Elimu: Wanafunzi katika Shule za Sekondari ('000) * 1711.1 1884.3 1804.1 1947.3 1774.4 1807.0 1.8

Hospitali: Idadi ya Vitanda 48480.0 47484.0 70906.0 50670.0 - 59757.0 -

Idadi ya Madaktari - - - - - - -

Mauzo Nje ya Mazao Muhimu ya Biashara (mil. US$)

Bidhaa Asilia

Kahawa 142.64 186.61 170.99 121.50 162.20 154.20 -4.9

Pamba 61.64 164.93 111.73 54.70 30.20 46.80 55.0

Katani 16.93 18.37 16.93 16.80 26.50 17.20 -35.1

Chai 47.17 56.06 56.91 45.70 44.00 44.70 1.6

Tumbaku 281.24 350.05 307.02 315.00 287.60 312.70 8.7

Korosho 106.99 142.58 162.41 222.20 218.80 270.60 23.7

Karafuu 28.88 38.08 42.96 52.90 24.10 39.30 63.1

Bidhaa zisizo Asilia

Madini 2283.41 2197.79 1782.14 1469.20 1285.40 1574.50 22.5

Bidhaa za Viwanda 861.52 1037.34 1072.07 1239.60 1364.50 1092.10 -20.0

Samaki na Mazao ya Samaki 137.67 160.56 130.55 195.00 173.50 142.50 -17.9

Mazao ya Mboga na Maua 36.40 31.33 28.13 30.50 24.40 24.80 1.6

Bidhaa zilizouzwa tena (Re-export) 98.32 181.70 172.77 177.00 385.80 480.00 24.4

Bidhaa nyinginezo 330.15 555.66 517.63 687.20 884.30 972.20 9.9

Ujazi wa Fedha

Ujazi wa Fedha-M3 (Sh. bilioni) 1

13021.3 14647.1 16106.8 18614.2 22115.3 22760.4 2.9

Karadha (Sh. bilioni) 10958.1 13719.0 16293.0 18863.7 22505.5 23775.8 5.6

Fedha za serikali 2011/12 2012/13 2013/14 2014/15 2015/16p 2016/17p 2016/17

Mapato ya Kawaida ya Serikali (Sh. bilioni) 7221408.6 8442610.8 10182454.7 10957765.0 14048034.0 18463533.0 28.2

Matumizi ya Kawaida ya Serikali (Sh. bilioni) 6989806.6 9043323.0 10032119.7 10893486.0 13420045.0 12976120.0 23.2

Matumizi ya Maendeleo ya Serikali (Sh. bilioni) 3774721.7 4499695.2 3926042.2 3710228.0 4339553.0 11820503.0 17.0

Chanzo: Wizara ya Fedha na Mipango

* Kwa shule za Serikali na binafsi

1 Kwa tafsiri pana (M3)

- Takwimu hazikupatikana

P Takwimu za Awali

TAKWIMU MUHIMU KATIKA UCHUMI - TANZANIA BARA

Page 19: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

xx

Chanzo: Wizara ya Fedha na Mipango

Mwaka wa Kalenda 2009 2010 2011 2012 2013 2014 2015 2016

PATO LA TAIFA

Ukuaji halisi wa Pato la Taifa (mp) 5.4% 6.4% 7.9% 5.1% 7.3% 7.0% 7.0% 7.0%

Ukuaji wa Pato la Taifa kwa Bei za Miaka Husika (mp) 15.1% 16.2% 20.4% 16.4% 15.5% 12.4% 14.0% 14.2%

Uwiano wa Uwekezaji na Pato la Taifa (Investment/GDP) 25.1% 27.3% 33.2% 28.5% 30.3% 30.1% 27.2% 24.6%

Uwiano wa Akiba kwenye Benki na Pato la Taifa (Savings/GDP) 23.3% 25.1% 24.7% 23.8% 22.7% 23.4% 24.4% 22.0%

MWENENDO WA BEI NA VIWANGO VYA RIBA

Kasi ya Upandaji wa Bei (mwisho wa kipindi) 12.2% 5.6% 19.8% 12.1% 5.6% 4.8% 6.8% 6.5%

Kasi ya Upandaji wa Bei (wastani wa mwaka) 12.1% 7.4% 12.6% 16.1% 7.9% 6.1% 5.6% 5.2%

GDP deflator Inflation (bp) 9.9% 9.2% 12.2% 10.2% 8.2% 3.1% 7.1% 6.9%

GDP deflator Inflation (MP) 9.3% 9.2% 11.5% 10.7% 7.7% 5.0% 6.6% 6.7%

Riba za Mikopo (mwaka mmoja) 13.8% 14.2% 14.6% 14.2% 14.0% 14.7% 14.2% 13.6%

Riba za Amana za muda maalum (miezi 12) 8.9% 8.0% 8.0% 11.3% 11.6% 10.8% 10.8% 11.5%

Tofauti ya riba za amana na za mikopo (mwaka) 4.9% 6.2% 6.6% 2.9% 2.4% 3.9% 3.4% 2.2%

Thamani ya Tsh/Dola (wastani wa mwaka) 1,306.0 1,395.7 1,557.4 1,571.7 1,598.7 1,652.5 1,985.4 2,177.1

UJAZI WA FEDHA

Kiwango cha ukuaji wa M3 17.7% 25.4% 18.2% 12.5% 10.0% 15.6% 18.8% 2.9%

Kiwango cha ukuaji wa M2 20.8% 21.8% 15.0% 16.0% 10.9% 17.0% 13.4% 4.7%

Kiwango cha ukuaji wa mikopo kwa sekta binafsi 9.6% 20.0% 27.2% 18.2% 15.3% 19.4% 24.8% 7.2%

UWIANO WA MIZANIA YA MALIPO YA NJE NA PATO LA TAIFA

Bidhaa zilizouzwa nje 11.4% 13.9% 15.1% 15.1% 11.9% 10.8% 11.8% 11.9%

Bidhaa na huduma zilizouzwa nje 17.8% 20.4% 21.9% 22.2% 19.1% 17.8% 19.6% 19.5%

Bidhaa zilizonunuliwa kutoka nje 20.2% 22.9% 29.2% 26.4% 24.9% 22.6% 21.4% 18.1%

Bidhaa na huduma zilizonunuliwa kutoka nje 26.1% 28.9% 35.7% 32.4% 30.5% 28.2% 27.2% 22.6%

Urari wa malipo ya kawaida -6.2% -6.9% -13.0% -9.6% -11.2% -11.1% -8.3% -4.5%

Akiba ya fedha za kigeni (miezi) 5.7 5.4 3.7 3.9 4.1 4.0 4.3 4.8

UWIANO WA BAJETI YA SERIKALI NA PATO LA TAIFA

Mwaka wa fedha 2008/09 2009/10 2010/11 2011/12 2012/13 2013/14 2014/15 2015/16

Mapato ya ndani 12.1% 11.4% 11.8% 12.6% 12.8% 13.5% 12.8% 14.3%

Mapato ya kodi 11.4% 10.8% 10.9% 11.3% 11.7% 12.3% 11.6% 12.8%

Matumizi 19.0% 19.9% 19.4% 18.9% 19.2% 18.5% 17.1% 18.3%

Matumizi ya kawaida 13.2% 13.6% 13.8% 12.2% 13.7% 13.3% 12.8% 13.8%

Matumizi ya maendeleo 5.8% 6.4% 5.7% 6.6% 5.5% 5.2% 4.4% 4.5%

Misaada 3.3% 3.4% 3.3% 3.2% 2.1% 2.1% 1.2% 0.5%

Nakisi (kabla ya misaada) -6.9% -8.1% -7.5% -6.8% -6.3% -5.4% -4.5% -4.0%

Nakisi (baada ya misaada) -3.6% -4.7% -4.2% -3.6% -4.2% -3.3% -3.3% -3.5%

Mikopo ya nje 2.7% 3.4% 2.4% 3.0% 2.6% 3.0% 2.4% 1.2%

Mikopo ya ndani (kutoka benki) 0.8% 1.4% 1.9% 0.0% 1.0% 1.3% 0.6% 1.6%

JEDWALI B: MWENENDO WA VIASHIRIA VYA UCHUMI MKUU NA BAJETI (2009 - 2016)

Page 20: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

xxi

Page 21: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

1

SURA YA I

HALI YA UCHUMI WA TAIFA

Ukuaji wa Uchumi

1. Mwaka 2016, Pato la Taifa lilikua kwa wastani wa asilimia 7.0, sawa na

ilivyokuwa mwaka 2015. Ukuaji huu wa uchumi ulitokana na: kuongezeka kwa

ufuaji wa umeme hususan utokanao na gesi asilia; kuongezeka kwa uzalishaji

viwandani; kuimarika kwa huduma za usafirishaji; na kuongezeka kwa

uandikishaji wa wanafunzi kufuatia kuanza kwa sera ya Serikali ya kutoa elimu

msingi bure iliyoanza Januari 2016. Katika kipindi hicho, shughuli za uchumi

zilizokua kwa viwango vikubwa ni pamoja na: ujenzi asilimia 13.0; habari na

mawasiliano (asilimia 13.0); usafirishaji na uhifadhi mizigo (asilimia 11.8); na

uchimbaji madini na mawe (asilimia 11.5). Aidha, shughuli za kiuchumi za

kilimo zilikua kwa kasi ndogo ya asilimia 2.1 mwaka 2016 ikilinganishwa na

asilimia 2.3 mwaka 2015 kutokana na kutokuwa na mvua za kutosheleza katika

msimu wa kilimo wa 2015/16.

.

2. Pato la Taifa mwaka 2016 lilikuwa shilingi milioni 103,744,606 kwa bei za

mwaka husika. Aidha, idadi ya watu Tanzania Bara ilikadiriwa kuwa watu

48,676,698 mwaka 2016. Hivyo, Pato la wastani la kila mtu lilikuwa shilingi

2,131,299 mwaka 2016 ikilinganishwa na shilingi 1,918,897 mwaka 2015, sawa

na ongezeko la asilimia 11.1. Pato la wastani kwa kila mtu katika Dola za

Marekani liliongezeka kutoka Dola 967.5 mwaka 2015 hadi Dola 979.1 mwaka

2016 ikichangiwa na kupungua kwa kasi ya kushuka kwa thamani ya shilingi ya

Tanzania. Mwaka 2015, shilingi ya Tanzania ilipungua thamani dhidi ya dola ya

Marekani kwa asilimia 16.8 ikilinganishwa na asilimia 8.8 mwaka 2016.

3. Mwaka 2016, kiwango cha ukuaji wa shughuli za kilimo zinazojumuisha

mazao, ufugaji, misitu na uvuvi kilikuwa asilimia 2.1 ikilinganishwa na asilimia

2.3 mwaka 2015. Kupungua kwa kasi ya ukuaji kulitokana na kutokuwa na

mvua za kutosha na za wakati katika msimu wa kilimo wa mwaka 2015/16. Hali

hiyo iliathiri uzalishaji wa mazao na pia upatikanaji wa maji na malisho ya

kutosha kwa ajili ya mifugo. Shughuli ndogo za uzalishaji mazao zilikua kwa

kasi ndogo ya asilimia 1.4 mwaka 2016 ikilinganishwa na ukuaji wa asilimia 2.2

mwaka 2015. Hata hivyo, kiwango cha ukuaji wa shughuli za kiuchumi za

Page 22: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

2

mifugo kilikuwa asilimia 2.6 mwaka 2016 ikilinganishwa na asilimia 2.4 mwaka

2015. Ongezeko hilo lilisababishwa na kuuzwa na kuchinjwa mifugo kwa wingi

ili kuepuka hasara ambayo ingetokana na uhaba wa maji na malisho.

4. Shughuli ndogo za kiuchumi za misitu na uwindaji zilikua kwa asilimia 3.4

mwaka 2016 ikilinganishwa na ukuaji wa asilimia 2.6 mwaka 2015. Hii

ilitokana na kuongezeka kwa uvunaji wa mazao ya misitu na uwindaji wa kitalii.

Vile vile, shughuli ndogo za kiuchumi za uvuvi zilikua kwa asilimia 4.2

ikilinganishwa na ukuaji wa asilimia 2.5 mwaka 2015. Ukuaji huo ulitokana na

ongezeko la mahitaji ya samaki na mazao ya samaki katika soko la ndani na nje

ya nchi na utunzaji mzuri wa mazingira katika mazalia ya samaki hususan kwa

kuzuia vitendo vya uvuvi haramu. Aidha, mchango wa shughuli ndogo za

kiuchumi za misitu na uwindaji katika Pato la Taifa uliongezeka kufikia asilimia

3.9 mwaka 2016 ikilinganishwa na asilimia 3.5 mwaka 2015. Hata hivyo,

mchango wa shughuli za uvuvi katika Pato la Taifa ulipungua kidogo kutoka

asilimia 2.1 mwaka 2015 hadi asilimia 2.0 mwaka 2016.

5. Kiwango cha ukuaji wa shughuli za kilimo sehemu ya kuuza kilikuwa

asilimia 1.9 mwaka 2016 ikilinganishwa na ukuaji wa asilimia 3.2 mwaka 2015.

Aidha, kiwango cha ukuaji wa shughuli za kilimo sehemu isiyo ya kuuza

kilikuwa asilimia 2.4 mwaka 2016 ikilinganishwa na asilimia 0.7 mwaka 2015.

Vilevile, kiwango cha ukuaji wa shughuli ndogo za kiuchumi za misitu na uvuvi

sehemu ya kuuza kiliongezeka kwa asilimia 3.6 na asilimia 4.2 mwaka 2016

ikilinganishwa na ukuaji wa asilimia 1.0 na asilimia 2.6 mwaka 2015 kwa

mtiririko huo. Hata hivyo, kasi ya ukuaji kwa shughuli ndogo za kiuchumi za

mazao na misitu sehemu ya kuuza ilipungua mwaka 2016 na kuwa asilimia 0.6

na asilimia 2.8 ikilinganishwa na ukuaji wa asilimia 3.3 na asilimia 3.9 mwaka

2015 kwa mtiririko huo. Kwa upande mwingine, mwaka 2016, kiwango cha

ukuaji wa shughuli ndogo za kiuchumi za mazao, mifugo na uvuvi kwa sehemu

isiyo ya kuuza kilikuwa asilimia 2.4, asilimia 2.2 na asilimia 2.7 kwa mtiririko

huo. Aidha, kiwango cha ukuaji cha misitu na uwindaji sehemu isiyo ya kuuza

kilikuwa asilimia 3.0 mwaka 2016 ikilinganishwa na asilimia 5.6 mwaka 2015.

Shughuli za kilimo kwa ujumla wake zilichangia asilimia 29.1 katika Pato la

Taifa mwaka 2016 ikilinganishwa na asilimia 29.0 mwaka 2015.

Page 23: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

3

6. Shughuli za kiuchumi za uchimbaji madini na mawe ni miongoni mwa

shughuli zilizokuwa na ukuaji mkubwa mwaka 2016 ambapo kiwango cha

ukuaji kilikuwa asilimia 11.5 mwaka 2016 ikilinganishwa na asilimia 9.1 mwaka

2015. Ukuaji huu ulitokana na kuongezeka kwa mahitaji ya mawe kwa ajili ya

shughuli za ujenzi na uzalishaji wa saruji, na kuongezeka kwa uzalishaji wa

madini. Aidha, mchango wa shughuli za uchimbaji madini na mawe katika Pato

la Taifa uliongezeka na kuwa asilimia 4.8 mwaka 2016 ikilinganishwa na

asilimia 4.0 mwaka 2015

7. Kiwango cha ukuaji wa shughuli za uzalishaji bidhaa viwandani kilikuwa

asilimia 7.8 mwaka 2016 ikilinganishwa na asilimia 6.5 mwaka 2015. Ukuaji

huu ulitokana na kuongezeka kwa uzalishaji wa bidhaa zikiwemo bidhaa za

vyakula, saruji, vinywaji, tumbaku na nguo. Mchango wa shughuli za uzalishaji

bidhaa viwandani katika Pato la Taifa ulikuwa asilimia 5.1 mwaka 2016

ukilinganishwa na asilimia 5.2 mwaka 2015.

8. Kiwango cha ukuaji wa shughuli za ufuaji, usafirishaji na usambazaji

umeme kilikuwa asilimia 8.5 mwaka 2016 ikilinganishwa na asilimia 5.8 mwaka

2015. Ukuaji huo ulitokana na kuongezeka kwa ufuaji wa umeme na kasi ya

usambazaji wa umeme vijijini. Kwa ujumla, ufuaji wa umeme uliongezeka hadi

kufikia saa za gigawati milioni 7,091.75 mwaka 2016 kutoka 6,457.37 gigawati

mwaka 2015, sawa na ongezeko la asilimia 9.8. Mchango wa shughuli za

usambazaji umeme katika Pato la Taifa ulikuwa asilimia 0.9 mwaka 2016

ikilinganishwa na asilimia 1.0 mwaka 2015.

9. Kiwango cha ukuaji wa shughuli za usambazaji maji na udhibiti maji taka

kilikuwa asilimia 4.3 mwaka 2016 ikilinganishwa na asilimia 0.1 mwaka 2015.

Ongezeko hilo lilitokana na uboreshaji wa miundombinu ya usambazaji maji

mijini na vijijini na kuongezeka kwa idadi ya wateja waliounganishiwa maji.

Mchango wa shughuli za usambazaji maji katika Pato la Taifa umeendelea kuwa

asilimia 0.4 mwaka 2016 kama ilivyokuwa mwaka 2015.

10. Mwaka 2016, shughuli za kiuchumi za ujenzi zilikua kwa asilimia 13.0

ikilinganishwa na asilimia 16.8 mwaka 2015. Kasi ya ukuaji ilipungua

sambamba na kupungua kwa uagizaji wa bidhaa za kukuza mitaji kutokana na

kukamilika kwa miradi mikubwa ya ujenzi wa kiwanda cha saruji, mitambo ya

Page 24: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

4

kufua umeme na bomba la gesi kutoka Mtwara na Lindi hadi Dar es Salaam.

Aidha, ukuaji huo ulichangiwa zaidi na kuwepo kwa shughuli za ujenzi wa

nyumba za makazi na biashara na ujenzi na ukarabati wa miundombinu ya

barabara, madaraja na viwanja vya ndege. Mchango wa shughuli za kiuchumi za

ujenzi katika Pato la Taifa uliongezeka na kufikia asilimia 14.0 mwaka 2016

ikilinganishwa na asilimia 13.6 mwaka 2015.

11. Shughuli za biashara na matengenezo zilikua kwa asilimia 6.7 mwaka 2016

ikilinganishwa na asilimia 7.8 mwaka 2015. Ukuaji huo ulichangiwa zaidi na

kuongezeka kwa bidhaa zilizonunuliwa na kuuzwa katika soko la ndani. Sekta

hii ni ya tatu kwa ukubwa katika kuchangia Pato la Taifa ambapo mwaka 2016

ilichangia asilimia 10.7 kama ilivyokuwa mwaka 2015.

12. Shughuli ndogo za malazi na huduma za vyakula na vinywaji zilikua kwa

asilimia 3.7 mwaka 2016 ikilinganishwa na asilimia 2.3 mwaka 2015. Ukuaji

huo ulitokana na kuongezeka kwa idadi ya wageni wa ndani na watalii waliopata

huduma za malazi na chakula kufuatia kuongezeka kwa mahitaji na kuboreshwa

kwa huduma za vyakula na malazi. Mchango wa shughuli za huduma za malazi

na vyakula katika Pato la Taifa ulikuwa asilimia 1.0 mwaka 2016 ikilinganishwa

na asilimia 1.1 mwaka 2015.

13. Kiwango cha ukuaji wa shughuli za usafirishaji na uhifadhi mizigo kilikuwa

asilimia 11.8 mwaka 2016 ikilinganishwa na asilimia 7.9 mwaka 2015. Ukuaji

huo ulitokana na kuanza kwa usafirishwaji wa gesi asilia kupitia bomba la gesi

kutoka Mtwara na Lindi hadi Dar es Salaam baada ya kukamilika kwa ujenzi wa

bomba. Aidha, sababu nyingine ni kuongezeka kwa huduma za usafirishaji wa

abiria kwa njia ya anga, reli na barabara hususan baada ya kuanza usafirishaji wa

abiria kwa mabasi ya mwendokasi katika jiji la Dar es Saaam. Mchango wa

huduma za usafirishaji na uhifadhi mizigo katika Pato la Taifa uliendelea kuwa

asilimia 4.3 kwa mwaka wa tatu mfululizo.

14. Shughuli za kiuchumi za huduma za habari na mawasiliano zilikua kwa

kiwango cha asilimia 13.0 mwaka 2016 ikilinganishwa na asilimia 12.1 mwaka

2015. Shughuli hizi zinajumuisha huduma za utayarishaji, uchapishaji na

usambazaji wa taarifa mbalimbali kupitia vyombo vya habari kama vile radio,

magazeti, luninga, tovuti pamoja na huduma za mawasiliano kwa njia ya simu.

Page 25: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

5

Kwa kiasi kikubwa ukuaji huu ulitokana na kuongezeka kwa matumizi ya

huduma za simu za viganjani, muda wa maongezi, utangazaji na huduma ya

intaneti nchini. Pamoja na kuwa na kiwango kikubwa cha ukuaji, mchango wa

shughuli za huduma za habari na mawasiliano katika Pato la Taifa bado ni

mdogo, ukichangia asilimia 2.0 tu mwaka 2016 kama ilivyokuwa mwaka 2015.

15. Mwaka 2016, shughuli za kiuchumi katika huduma za fedha na bima zilikua

kwa asilimia10.7 ikilinganishwa na asilimia 11.8 mwaka 2015. Kupungua kwa

kasi ya ukuaji kulitokana na kushuka kwa kiwango cha amana na mikopo kwa

sekta binafsi. Mikopo kwa sekta binafsi ilipungua kutokana na tahadhari

iliyochukuliwa na benki za biashara kuepuka uwezekano wa kupata hasara

baada ya kuongezeka kwa mikopo chechefu. Mchango wa shughuli za huduma

za fedha na bima katika Pato la Taifa uliendelea kuwa asilimia 3.6 mwaka 2016

kama ilivyokuwa mwaka 2015.

16. Kiwango cha ukuaji katika shughuli za kiuchumi za huduma za upangishaji

nyumba kilikuwa asilimia 2.4 mwaka 2016 ikilinganishwa na asilimia 2.2

mwaka 2015. Hii ilitokana na kuongezeka kwa fursa za mikopo ya nyumba;

kuongezeka kwa uelewa miongoni mwa wakopaji juu ya mikopo ya nyumba; na

kuongezeka kwa uwekezaji katika ujenzi wa nyumba za makazi na biashara

unaofanywa na Wakala wa Majengo, Shirika la Nyumba la Taifa na watu

binafsi. Kwa upande mwingine, kiwango halisi cha ukuaji wa shughuli za

upangishaji wa nyumba sehemu ya kuuza na sehemu isiyo ya kuuza

kiliongezeka kwa asilimia 2.4 na asilimia 1.7 mwaka 2016 ikilinganishwa na

ukuaji wa asilimia 2.3 na asilimia 1.5 mwaka 2015 kwa mtirirko huo. Mchango

wa shughuli za kiuchumi za huduma za upangishaji nyumba katika Pato la Taifa

ulikuwa asilimia 3.0 mwaka 2016 ikilinganishwa na asilimia 3.2 mwaka 2015.

17. Mwaka 2016, shughuli za utoaji huduma za afya na ustawi wa jamii zilikua

kwa asilimia 5.2 ikilinganishwa na ukuaji wa asilimia 4.7 mwaka 2015. Ukuaji

huu ulitokana na kusogeza huduma za afya karibu zaidi na wananchi ikiwa ni

pamoja na: kujenga na kukarabati zahanati na vituo vya afya; kuhakikisha

upatikanaji wa dawa, wataalamu wa afya, na vifaa tiba; na kuongezeka kwa

huduma za bima ya afya. Mchango wa shughuli za utoaji huduma za afya na

ustawi wa jamii kwa Pato la Taifa uliendelea kuwa asilimia 1.4 kama

ilivyokuwa mwaka 2015.

Page 26: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

6

18. Kiwango cha ukuaji wa shughuli za utoaji huduma za elimu kilikuwa

asilimia 8.1 mwaka 2016 ikilinganishwa na ukuaji wa asilimia 6.3 mwaka 2015.

Hii ilitokana na kuongezeka kwa uandikishaji kutokana na kuanza kwa

utekelezaji wa sera ya Serikali ya elimu msingi bila malipo iliyoanza Januari

2016. Mchango wa shughuli za huduma za elimu katika Pato la Taifa ilikuwa

asilimia 2.3 mwaka 2016 ikilinganishwa na asilimia 2.5 mwaka 2015.

19. Mwaka 2016, shughuli za kiuchumi za sanaa na burudani zilikua kwa

kiwango cha asilimia 8.8 ikilinganishwa na asilimia 6.2 mwaka 2015. Ukuaji

huu ulitokana na jitihada za Serikali za kuendelea kurasimisha na kuboresha

sekta ya sanaa na burudani kwa kuimarisha usimamizi, ukaguzi na udhibiti wa

kazi za wasanii. Mchango wa sekta hii katika Pato la Taifa uliendelea kuwa

asilimia 0.3 kama ilivyokuwa mwaka 2015.

20. Shughuli za waajiri katika kaya binafsi zilikua kwa kiwango cha asilimia 3.0

mwaka 2016 ikilinganishwa na asilimia 2.7 mwaka 2015. Hizi ni shughuli za

uchumi wa kijungujiko zinazofanywa na wafanyakazi walioajiriwa katika kaya

binafsi hususan walinzi, wapishi, wahudumu wa ndani, na madereva. Shughuli

za waajiri katika kaya binafsi zinachangia asilimia 0.2 katika Pato la Taifa.

Aidha, shughuli za kiufundi, kitaalam, na kisayansi zilikua kwa asilimia 6.3

mwaka 2016 ikilinganishwa na ukuaji wa asilimia 6.8 mwaka 2015. Ukuaji huu

ulitokana na kuongezeka kwa shughuli za utafiti na maendeleo, na huduma za

ushauri wa kitaalam, kisheria, kihasibu na kiufundi. Shughuli hizi za kiufundi,

kitaalam, na kisayansi zilichangia asilimia 1.2 katika Pato la Taifa kama

ilivyokuwa mwaka uliotangulia.

21. Shughuli za utawala na ulinzi zinajumuisha shughuli zinazofanywa na

Serikali kwa maana ya sekta ya umma, shughuli za mahakama, uhamiaji,

mambo ya nje, ulinzi na usalama, na usimamizi wa programu za Serikali.

Mwaka 2016, shughuli za utawala na ulinzi zilikua kwa asilimia 6.7

ikilinganishwa na ukuaji wa asilimia 4.6.Ukuaji huu ulitokana hasa na

kuongezeka kwa shughuli za mahakama, ulinzi na usalama na usimamizi wa

programu za serikali. Shughuli hizi zilichangia asilimia 6.3 katika Pato la Taifa

kwa mwaka 2016 ikilinganishwa na asilimia 6.4 mwaka 2015. Aidha, shughuli

nyingine za kiutawala na huduma ambazo zinajumuisha ukodishaji wa vifaa,

Page 27: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

7

mashine na mitambo, utafutaji wa ajira, huduma za utalii, ulinzi wa mali na

watu, utoaji huduma ofisini, na haki ya kutumia matokeo ya kitaaluma zilikua

kwa asilimia 2.1 mwaka 2016 ikilinganishwa na asilimia 4.7 mwaka 2015.

Mchango wa shughuli nyingine za kiutawala na huduma katika Pato la Taifa

ulikuwa asilimia 2.2 mwaka 2016 ikilinganishwa na asilimia 2.4 mwaka 2015.

Mizania Mpya za Bidhaa za Huduma

22. Ofisi ya Taifa ya Takwimu imefanya marejeo ya fahirisi za bei za taifa

kutoka mwaka 2007 hadi 2015 kwa kutumia matokeo ya utafiti wa Mapato na

Matumizi ya Kaya Binafsi ya mwaka 2012. Kutokana na uchambuzi wa utafiti

huo, kizio cha bei za fahirisi za bei za Taifa kimebadilika kutoka Septemba

2010=100 hadi Desemba 2015=100. Aidha, mizania za makundi mbalimbali ya

bidhaa na huduma imebadilika kama inavyoonekana katika Jedwali Na.1.1.

Mfano, mchango wa huduma za mawasiliano katika kapu la walaji

umeongezeka kufikia asilimia 5.6 kutokana na kupanuka kwa huduma hizo

mijini na vijijini. Kutokana na mabadiliko hayo, takwimu za mfumuko wa bei

zilianza kukokotolewa kwa kutumia mwaka wa kizio wa Desemba 2015 = 100

kuanzia januari 2016.

Page 28: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

8

Jedwali Na. 1.1: Mizania Mpya za Bei za Bidhaa na Huduma (Asilimia) FAHIRISI

YA

ZAMANI

(2010)

FAHIRISI

MPYA

(2015)

A MAKUNDI MAKUU (MAIN GROUPS) MIZANIA (WEIGHT)

1 Vyakula na vinywaji baridi 47.8 38.5

2 Vinywaji vyenye kilevi na bidhaa za tumbaku 3.3 3.7

3 Mavazi ya nguo na viatu 6.7 8.3

4 Nishati, Maji na Makazi 9.2 11.6

5 Samani, vifaa vya nyumbani na ukarabati wa

nyumba 6.7 6.3

6 Gharama za afya 0.9 2.9

7 Usafirishaji 9.5 12.5

8 Mawasiliano 2.1 5.6

9 Utamaduni na Burudani 1.3 1.6

10 Elimu 1.7 1.5

11 Hoteli na migahawa 6.4 4.2

12 Bidhaa na huduma nyingine 4.5 3.1

JUMLA – FAHIRISI BIDHAA ZOTE 100 100

B MAKUNDI MENGINE MAALUM

1 Chakula—vikijumuisha vyakula vilivyoliwa

majumbani na mahotelini 51.0 37.1

2 Nishati na Mafuta—kundi hili linajumuisha

umeme na aina nyingine za nishati zinazotumika

majumbani pamoja na petroli na dizeli

5.7 8.7

3 Fahirisi za bidhaa na huduma zote za jamii

isipokuwa chakula 49.0 62.9

4 Fahirisi na huduma zote za jamii

Isipokuwa chakula, nishati na mafuta 43.3 54.3

Chanzo: Wizara ya Fedha na Mipango

Mwenendo wa Bei

23. Kwa miaka minne mfululizo, mfumuko wa bei wa Taifa umeendelea

kupungua na kubaki katika kiwango cha tarakimu moja. Mwaka 2016, mfumuko

wa bei ulipungua na kufikia wastani wa asilimia 5.2 ikilinganishwa na wastani

wa asilimia 5.6 mwaka 2015. Kupungua kwa wastani wa kasi ya ongezeko la

mfumuko wa bei nchini kulichangiwa kwa kiasi kikubwa na: kuimarika kwa bei

za mafuta ya petroli katika soko la dunia na la ndani; kupungua kwa bei za

vyakula; na utekelezaji madhubuti wa sera za bajeti na za fedha.

Page 29: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

9

24. Uchambuzi wa mwenendo wa bei kwa makundi makuu ya bidhaa na

huduma unaonesha kuwa baadhi ya makundi yalikuwa na ongezeko dogo la

fahirisi ya bei na mengine yalikuwa na ongezeko kubwa kwa mwaka 2016

ikilinganishwa na mwaka 2015. Hata hivyo, mwenendo wa bei kwa kundi la

huduma za mawasiliano ulipungua kwa asilimia 0.7 mwaka 2016 ikilinganishwa

na ongezeko la asilimia 0.3 mwaka 2015. Hii ilitokana na kuongezeka kwa

ushindani katika sekta ya mawasiliano na kupelekea watoa huduma kupunguza

bei za huduma za mawasiliano ama kutoa motisha kwa wateja ikiwemo

vifurushi vya gharama nafuu. Bidhaa na huduma zilizokuwa na kasi ndogo ya

ongezeko la fahirisi ya bei kwa mwaka 2016 ni kama ifuatavyo (wastani wa

mwaka 2015 ukiwa katika mabano): vyakula na vinywaji baridi asilimia 7.2

(asilimia 8.7); mavazi ya nguo na viatu asilimia 3.9 (asilimia 4.1); elimu asilimia

2.7 (asilimia 2.9); na hoteli na migahawa asilimia 4.1 (asilimia 4.6). Aidha,

fahirisi ya bei kwa makundi mengine iliongezeka kama ifuatavyo: vinywaji

vyenye kilevi na bidhaa za tumbaku asilimia 4.0 mwaka 2016 ikilinganishwa na

asilimia 3.6 mwaka 2015; nishati, maji na makazi asilimia 6.3 mwaka 2016

ikilinganishwa na asilimia 1.6 mwaka 2015; utamaduni na burudani asilimia 2.7

ikilinganishwa na asilimia 1.6 mwaka 2015; samani, vifaa vya nyumbani na

ukarabati wa nyumba asilimia 3.6 mwaka 2016 ikilinganishwa na asilimia 1.6

mwaka 2015; gharama za afya asilimia 5.6 mwaka 2016 ikilinganishwa na

asilimia 3.0 mwaka 2015; na usafirishaji asilimia 0.6 mwaka 2016

ikilinganishwa na kiwango hasi cha asilimia 0.6 mwaka 2015.

25. Uchambuzi wa mwenendo wa bei kwa makundi mengine maalum unaonesha

kuwa wastani wa ongezeko la bei ya chakula ulikuwa asilimia 7.6 mwaka 2016

ikilinganishwa na wastani wa asilimia 8.6 mwaka 2015. Kundi hili hujumuisha

vyakula vinavyoliwa majumbani na hotelini na huchangia asilimia 37.1 katika

kapu la walaji. Aidha, wastani wa kasi ya upandaji bei kwa bidhaa zisizokuwa

za chakula uliongezeka mwaka 2016 na kufikia asilimia 3.1 ikilinganishwa na

wastani wa asilimia 1.8 mwaka 2015. Mwenendo wa bei ya nishati ulifikia

asilimia 6.3 mwaka 2016. Kundi hili linajumuisha umeme na aina nyingine za

nishati zinazotumika majumbani pamoja na petroli na dizeli ambazo udhibiti wa

bei zake kwa kiasi kikubwa uko nje ya uwezo wa Serikali. Mfumuko wa bei

ambao haujumuishi chakula na nishati (core inflation) uliongezeka kwa asilimia

2.6 mwaka 2016 ikilinganishwa na asilimia 2.3 mwaka 2015. Kundi hili

Page 30: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

10

huchangia asilimia 54.3 katika kapu la walaji na ndilo ambalo linaweza

kudhibitiwa kwa kutumia nyenzo za sera za fedha za Benki Kuu ya Tanzania.

26. Mwaka 2016, fahirisi ya bidhaa na huduma kwa makundi ya watu wa tabaka

zote za kipato ilipungua ikilinganishwa na mwaka 2015 kutokana na kupungua

kwa kasi ya ongezeko la bei za vinywaji na elimu. Fahirisi ya bei ya elimu

ilishuka mwaka 2016 na kuwa asilimia hasi 1.6; hasi 2.3; na hasi 5.2 kwa watu

wa tabaka la juu, kati na chini ikilinganishwa na asilimia 2.1; 5.5; na hasi 0.3

mwaka 2015 kwa mtiririko huo. Hii ilitokana na uamuzi wa serikali kuondoa

ada katika elimu msingi. Aidha, fahirisi ya bei ya vinywaji vyenye kilevi na

tumbaku ilipungua kwa makundi yote ya tabaka la juu, kati na chini kutoka

asilimia 6.5, 7.4 na 14.2 mwaka 2015 hadi asilimia 3.3, 2.5, na 8.2 mwaka 2016

kwa mtiririko huo. Vilevile, vyakula na vinywaji baridi vilikuwa na ongezeko la

wastani wa bei kwa watu wa tabaka la kipato cha kati kutoka asilimia 2.9

mwaka 2015 hadi asilimia 3.3 mwaka 2016 wakati ambapo mfumuko wa bei

ulipungua kwa watu wa tabaka la juu na chini kutoka asilimia 8.8 na 5.9 mwaka

2015 hadi asilimia 8.6 na 3.6 mwaka 2016 kwa mtiririko huo. Vyakula na

vinywaji baridi hutumiwa kwa wingi na watu wa tabaka zote za kipato na pia

huchangia kwa kiasi kikubwa cha asilimia 38.5 katika mizania ya kapu la walaji.

Kwa ujumla, wastani wa fahirisi ya bei kwa makundi ya kipato cha juu, kati na

chini ulikuwa asilimia 4.8, 4.5, na 4.3 mwaka 2016 ikilinganishwa na asilimia

6.5, 5.6, na 5.4 mwaka 2015 kwa mtiririko huo. Jedwali Na. 8 – 16 yanaonesha

mwenendo wa fahirisi ya bei kwa makundi na sehemu mbalimbali.

Ukuzaji Rasilimali

27. Ukuzaji rasilimali kwa bei za miaka husika uliongezeka kwa asilimia 3.4

kufikia shilingi milioni 25,558,140 mwaka 2016 kutoka shilingi milioni

24,717,206 mwaka 2015. Hata hivyo, ukuzaji rasilimali kwa bei za mwaka 2007

ulipungua kwa asilimia 4.3 kufikia shilingi milioni 13,140,451 mwaka 2016

kutoka shilingi milioni 13,733,585 mwaka 2015. Uwiano wa ukuzaji rasilimali

kwa Pato la Taifa kwa bei za miaka husika ulipungua na kuwa asilimia 24.6

mwaka 2016 ikilinganishwa na asilimia 27.2 mwaka 2015.

28. Ukuzaji rasilimali za kudumu kwa bei za mwaka 2007 uliongezeka kwa

asilimia 12.4 kutoka shilingi milioni 16,816,044 mwaka 2015 hadi shilingi

milioni 18,901,666 mwaka 2016. Rasilimali hizi zinajumuisha majengo; vifaa

Page 31: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

11

vya usafiri, mitambo na vifaa; mitambo na vifaa vingine; rasilimali za mazao ya

mifugo; na haki za umiliki, utafiti na maendeleo na huduma za kitaalam. Aidha,

ukuzaji rasilimali za kudumu kwa bei za miaka husika uliongezeka kutoka

shilingi milioni 31,122,533 mwaka 2015 hadi shilingi milioni 34,768,001

mwaka 2016, sawa na ongezeko la asilimia 11.7. Thamani ya limbikizo la

rasilimali kwa bei za mwaka 2007 ilipungua kwa shilingi milioni 5,761,214

mwaka 2016 ikilinganishwa na punguzo la shilingi milioni 3,082,459 mwaka

2015. Vile vile, thamani ya limbikizo la rasilimali kwa bei za miaka husika

ilipungua kwa shilingi milioni 9,209,861 mwaka 2016 ikilinganishwa na

punguzo la limbikizo la shilingi milioni 6,405,326 mwaka 2015.

29. Ukuzaji rasilimali katika shughuli za ujenzi wa majengo kwa bei za mwaka

2007 uliongezeka kwa asilimia 15.7 hadi kufikia shilingi milioni 12,325,619

mwaka 2016 kutoka shilingi milioni 10,657,278 mwaka 2015. Aidha, ukuzaji

rasilimali katika shughuli za ujenzi wa majengo kwa bei za miaka husika

uliongezeka kwa asilimia 12.3 mwaka 2016 kufikia shilingi milioni 24,105,151.

Hii ilitokana na kuongezeka kwa ujenzi wa nyumba za makazi na za biashara.

Thamani ya uagizaji wa vifaa vya usafiri iliongezeka kwa asilimia 3.4 kufikia

shilingi milioni 688,707 mwaka 2016 kwa bei za mwaka 2007 na kwa bei za

miaka husika thamani iliongezeka kwa asilimia 3.3 kufikia shilingi milioni

837,704 katika kipindi hicho. Kwa upande mwingine thamani ya ununuzi wa

mitambo na vifaa kwa ujumla kwa bei za miaka husika iliongezeka mwaka 2016

kufikia shilingi milioni 8,400,750 ikilinganishwa na shilingi milioni 7,542,454

mwaka 2015, sawa na ongezeko la asilimia 11.4. Vile vile, thamani ya ununuzi

wa mitambo na vifaa kwa bei za mwaka 2007 iliongezeka kwa asilimia 7.9

mwaka 2016 kufikia shilingi milioni 5,076,923 ikilinganishwa na shilingi

milioni 4,706,432 mwaka 2015.

30. Ukuzaji rasilimali katika sekta ya umma unaojumuisha Serikali kuu, taasisi

na mashirika uliongezeka kwa asilimia 23.7 kwa bei za miaka husika kufikia

shilingi milioni 8,692,000 mwaka 2016 kutoka shilingi milioni 7,027,798

mwaka 2015. Aidha, ukuzaji rasilimali katika sekta binafsi uliongezeka kufikia

shilingi milioni 26,076,001 mwaka 2016 kutoka shilingi milioni 24,094,735

mwaka 2015 kwa bei za miaka husika, sawa na ongezeko la asilimia 8.2. Sekta

ya umma ilichangia asilimia 25.0 katika rasilimali za kudumu ambapo sekta

binafsi ilichangia asilimia 75.0 mwaka 2016.

Page 32: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

12

Jedwali Na.1 Tshs Milioni

SHUGHULI ZA KIUCHUMI 2007 2008 2009 2010 2011 2012 2013 2014 2015 2016

A Kilimo, Misitu na uvuvi 7181357 9432725 11407717 13110123 15488232 19095551 22129214 22969225 26346673 30160064

Mazao 3603539 5013561 6036056 7285021 8686663 11035044 12413982 12851664 14193178 16100130

Mifugo 2513284 3062768 3643718 3968924 4572949 5194037 5839240 5843715 7135172 7962471

Misitu 639762 752278 881217 956104 1146811 1507793 2167981 2492043 3146646 4041455

Uvuvi 424772 604118 846726 900074 1081809 1358678 1708011 1781803 1871677 2056008

Viwanda na ujenzi 5406038 6700408 7018516 8900127 12026624 13393627 16108617 18516194 22093942 26096526

B Uchimbaji madini na mawe 935412 991017 1073019 1779711 2688584 3001179 2986466 2923420 3659599 4975991

C Viwanda 1880032 2283594 2597316 3021536 4031541 4599919 4575334 4445568 4768917 5305097

D Umeme 232622 306628 354862 406272 303444 533283 546670 874306 898681 914940

E Usambazaji maji safi na udhibiti maji taka 240898 247646 264520 261294 247825 275053 325969 373549 392557 422698

F Ujenzi 2117074 2871523 2728799 3431314 4755231 4984193 7674179 9899350 12374188 14477799

Huduma 12692496 14748265 17147365 19386862 22544171 25712641 29102168 32605809 36344236 40528088

G Biashara na Matengenezo 2645347 3193697 3744883 4426467 5571372 6389279 7271716 8378449 9714665 11091210

H Usafirishaji na uhifadhi mizigo 1572854 1969499 2320841 2537407 2728970 2733618 2986347 3438077 3864482 4473876

I Malazi na Huduma za vyakula 481997 559793 680669 720772 733958 887972 902810 872341 957268 1048728

J Habari na Mawasiliano 615066 722548 912732 1151748 1244894 1454665 1624384 1700411 1809897 2025901

K Shughuli za Fedha na Bima 756075 959279 1178853 1408477 1772783 2070163 2308705 2694444 3254440 3731191

L Upangishaji Nyumba 1601266 1716408 1921328 2036908 2277778 2612765 2672147 2955417 2932490 3062480

M Shughuli za Kitaalamu, Kisayansi na Kiufundi 318677 450188 552630 728207 813502 810126 902695 1003126 1103124 1228052

N Shughuli nyingine za kiutawala na Huduma 793110 850083 895051 978846 1098620 1427909 1711730 2003202 2160207 2289112

O Utawala na Ulinzi 2179164 2282704 2511953 2668756 3338192 4017280 4936071 5227502 5852605 6499975

P Elimu 851208 1007308 1193228 1380170 1463767 1607317 1893665 2172080 2309345 2425025

Q Afya na Ustawi wa Jamii 438415 532163 663618 735665 820894 919307 1019987 1151978 1275702 1429936

R Sanaa na Burudani 91527 105579 114977 125499 144046 169112 188996 221912 241508 275199

S Huduma nyingine za Kijamii 254462 294114 344078 366539 406498 472947 534380 619835 690814 762419

T Shughuli za Kaya Binafsi katika kuajiri 93329 104904 112524 121402 128896 140180 148536 167035 177691 184984

Toa Ushuru wa Huduma za Mabenki -331002 -289027 -327342 -376200 -557921 -638332 -867157 -826396 -1037814 -1082044

Jumla ya Ongezeko la Thamani 24948888 30592371 35246256 41020912 49501106 57563488 66472842 73264831 83747037 95702634

Ongeza Kodi katika Bidhaa 1821544 2172568 2480568 2815106 3261475 3870726 4480385 6453585 7116789 8041972

Jumla ya Pato la Taifa (GDPmp) 26770432 32764940 37726824 43836018 52762581 61434214 70953227 79718416 90863827 103744606

Chanzo: Ofisi ya Taifa ya Takwimu

PATO LA TAIFA (GDP) KWA SHUGHULI ZA KIUCHUMI, KWA BEI ZA SOKO Kwa bei za miaka inayohusika

Page 33: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

13

Jedwali Na.1A Tshs Milioni

SHUGHULI ZA KIUCHUMI 2007 2008 2009 2010 2011 2012 2013 2014 2015 2016

A: SEHEMU INAYOUZIKA

Jumla ya Pato la Taifa (GDPmp) 23543117 28604090 33070963 38502579 46458468 54048498 62664164 70541393 80548392 92521268

A Kilimo, Misitu na uvuvi 4447586 5820186 7282504 8346157 9869070 12422453 14678539 14663740 17132499 20049615

Mazao 2035868 2813995 3387898 4088913 4875621 6395435 7330008 7117935 8090112 9355050

Mifugo 1600935 1950951 2526106 2787330 3228196 3738520 4204253 4124744 5137324 6079921

Misitu 397287 467159 547229 593733 712161 965141 1487508 1699651 2108253 2653614

Uvuvi 413496 588082 821271 876181 1053092 1323358 1656771 1721410 1796810 1961029

Viwanda na ujenzi 5003068 6260761 6593837 8441110 11465514 12813072 15421036 17790823 21109981 25114427

B Uchimbaji Madini na Mawe 935412 991017 1073019 1779711 2688584 3001179 2986466 2923420 3659599 4975991

C Viwanda 1880032 2283594 2597316 3021536 4031541 4599919 4575334 4445568 4768917 5305097

D Umeme 232622 306628 354862 406272 303444 533283 546670 874306 898681 914940

E Usambazaji maji safi na Udhibiti maji taka 163890 168482 179961 177767 168603 189885 224918 263472 274789 291387

F Ujenzi 1791111 2511041 2388679 3055825 4273342 4488806 7087648 9284056 11507995 13627011

Huduma 12601921 14639601 17041396 19276406 22420330 25580579 28951361 32459641 36226937 40397299

G Biashara na Matengenezo 2645347 3193697 3744883 4426467 5571372 6389279 7271716 8378449 9714665 11091210

H Usafirishaji na uhifadhi mizigo 1572854 1969499 2320841 2537407 2728970 2733618 2986347 3438077 3864482 4473876

I Malazi na Huduma za vyakula 481997 559793 680669 720772 733958 887972 902810 872341 957268 1048728

J Habari na Mawasiliano 615066 722548 912732 1151748 1244894 1454665 1624384 1700411 1809897 2025901

K Shughuli za Fedha na Bima 756075 959279 1178853 1408477 1772783 2070163 2308705 2694444 3254440 3731191

L Upangishaji Nyumba 1510692 1607744 1815360 1926451 2153937 2480703 2521340 2809249 2815190 2931691

M Shughuli za Kitaalamu, Kisayansi na Kiufundi 318677 450188 552630 728207 813502 810126 902695 1003126 1103124 1228052

N Shughuli nyingine za kiutawala na Huduma 793110 850083 895051 978846 1098620 1427909 1711730 2003202 2160207 2289112

O Utawala na Ulinzi 2179164 2282704 2511953 2668756 3338192 4017280 4936071 5227502 5852605 6499975

P Elimu 851208 1007308 1193228 1380170 1463767 1607317 1893665 2172080 2309345 2425025

Q Afya na Ustawi wa Jamii 438415 532163 663618 735665 820894 919307 1019987 1151978 1275702 1429936

R Sanaa na Burudani 91527 105579 114977 125499 144046 169112 188996 221912 241508 275199

S Huduma nyingine za Kijamii 254462 294114 344078 366539 406498 472947 534380 619835 690814 762419

T Shughuli za kaya Binafsi katika kuajiri 93329 104904 112524 121402 128896 140180 148536 167035 177691 184984

X Toa Ushuru wa Huduma za Mabenki -331002 -289027 -327342 -376200 -557921 -638332 -867157 -826396 -1037814 -1082044

Jumla ya Ongezeko la Thamani 21721573 26431521 30590395 35687473 43196993 50177772 58183778 64087808 73431603 84479296

Ongeza Kodi katika Bidhaa 1821544 2172568 2480568 2815106 3261475 3870726 4480385 6453585 7116789 8041972

B: SEHEMU ISIYOUZIKA

Jumla ya Pato la Taifa (GDPmp) 3227315 4160850 4655861 5333439 6304113 7385715 8289064 9177024 10315434 11223338

A Kilimo, Misitu na uvuvi 2733771 3612539 4125214 4763966 5619162 6673099 7450675 8305485 9214174 10110449

Mazao 1567671 2199566 2648158 3196109 3811041 4639609 5083974 5733729 6103066 6745080

Mifugo 912349 1111818 1117612 1181594 1344754 1455518 1634987 1718971 1997848 1882549

Misitu 242475 285119 333988 362371 434650 542652 680473 792392 1038392 1387841

Uvuvi 11276 16036 25455 23893 28717 35320 51240 60393 74867 94978

Viwanda na ujenzi 402970 439647 424678 459017 561110 580555 687581 725371 983961 982100

E Usambazaji maji safi na Udhibiti maji taka 77007 79165 84559 83527 79222 85168 101050 110077 117768 131311

F Ujenzi 325962 360482 340120 375489 481888 495387 586531 615294 866193 850788

Huduma 90574 108664 105968 110456 123841 132062 150808 146168 117300 130789

L Upangishaji Nyumba 90574 108664 105968 110456 123841 132062 150808 146168 117300 130789

Jumla ya Pato la Taifa (GDPmp) 26770432 32764940 37726824 43836018 52762581 61434214 70953227 79718416 90863827 103744606

Chanzo: Ofisi ya Taifa ya Takwimu

PATO LA TAIFA (GDP) KWA SHUGHULI ZA KIUCHUMI, KWA BEI ZA SOKO - SEHEMU INAYOUZIKA NA ISIYOUZIKA

(Kwa bei za miaka inayohusika)

Page 34: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

14

Jedwali Na. 2 Asilimia

SHUGHULI ZA KIUCHUMI 2005 2006 2007 2008 2009 2010 2011 2012 2013 2014 2015 2016

A Kilimo, Misitu na uvuvi 28.6 29.0 26.8 28.8 30.2 29.9 29.4 31.1 31.2 28.8 29.0 29.1

Mazao 16.3 16.7 13.5 15.3 16.0 16.6 16.5 18.0 17.5 16.1 15.6 15.5

Mifugo 8.3 8.5 9.4 9.3 9.7 9.1 8.7 8.5 8.2 7.3 7.9 7.7

Misitu 2.1 2.1 2.4 2.3 2.3 2.2 2.2 2.5 3.1 3.1 3.5 3.9

Uvuvi 1.8 1.7 1.6 1.8 2.2 2.1 2.1 2.2 2.4 2.2 2.1 2.0

B Uchimbaji madini na mawe 3.2 4.0 3.5 3.0 2.8 4.1 5.1 4.9 4.2 3.7 4.0 4.8

C Viwanda 7.3 7.5 7.0 7.0 6.9 6.9 7.6 7.5 6.4 5.6 5.2 5.1

D Umeme 1.1 0.9 0.9 0.9 0.9 0.9 0.6 0.9 0.8 1.1 1.0 0.9

E Usambazaji maji safi na Udhibiti maji taka 1.2 0.9 0.9 0.8 0.7 0.6 0.5 0.4 0.5 0.5 0.4 0.4

F Ujenzi 7.0 7.4 7.9 8.8 7.2 7.8 9.0 8.1 10.8 12.4 13.6 14.0

G Biashara na Matengenezo 10.4 9.7 9.9 9.7 9.9 10.1 10.6 10.4 10.2 10.5 10.7 10.7

H Usafirishaji na uhifadhi mizigo 6.4 6.0 5.9 6.0 6.2 5.8 5.2 4.4 4.2 4.3 4.3 4.3

I Malazi na Huduma za vyakula 1.8 1.6 1.8 1.7 1.8 1.6 1.4 1.4 1.3 1.1 1.1 1.0

J Habari na Mawasiliano 2.5 2.3 2.3 2.2 2.4 2.6 2.4 2.4 2.3 2.1 2.0 2.0

K Shughuli za Fedha na Bima 2.4 2.5 2.8 2.9 3.1 3.2 3.4 3.4 3.3 3.4 3.6 3.6

L Upangishaji Nyumba 6.5 6.1 6.0 5.2 5.1 4.6 4.3 4.3 3.8 3.7 3.2 3.0

M Shughuli za Kitaalamu, Kisayansi na Kiufundi 1.0 1.0 1.2 1.4 1.5 1.7 1.5 1.3 1.3 1.3 1.2 1.2

N Shughuli nyingine za kiutawala na Huduma 2.8 2.9 3.0 2.6 2.4 2.2 2.1 2.3 2.4 2.5 2.4 2.2

O Utawala na Ulinzi 6.6 7.2 8.1 7.0 6.7 6.1 6.3 6.5 7.0 6.6 6.4 6.3

P Elimu 2.7 2.7 3.2 3.1 3.2 3.1 2.8 2.6 2.7 2.7 2.5 2.3

Q Afya na Ustawi wa Jamii 1.8 1.9 1.6 1.6 1.8 1.7 1.6 1.5 1.4 1.4 1.4 1.4

R Sanaa na Burudani 0.3 0.3 0.3 0.3 0.3 0.3 0.3 0.3 0.3 0.3 0.3 0.3

S Huduma nyingine za Kijamii 1.0 0.9 1.0 0.9 0.9 0.8 0.8 0.8 0.8 0.8 0.8 0.7

T Shughuli za kaya binafsi katika kuajiri 0.4 0.4 0.3 0.3 0.3 0.3 0.2 0.2 0.2 0.2 0.2 0.2

X Toa Ushuru wa Huduma za Mabenki -1.0 -1.4 -1.2 -0.9 -0.9 -0.9 -1.1 -1.0 -1.2 -1.0 -1.1 -1.0

Jumla ya Ongezeko la Thamani 93.9 93.8 93.2 93.4 93.4 93.6 93.8 93.7 93.7 91.9 92.2 92.2

Ongeza Kodi katika Bidhaa 6.1 6.2 6.8 6.6 6.6 6.4 6.2 6.3 6.3 8.1 7.8 7.8

Jumla ya Pato la Taifa (GDPmp) 100.0 100.0 100.0 100.0 100.0 100.0 100.0 100.0 100.0 100.0 100.0 100.0

Chanzo: Ofisi ya Taifa ya Takwimu

MCHANGO WA SHUGHULI ZA KIUCHUMI KWA PATO LA TAIFA KWA BEI ZA SOKO

(Kwa bei za miaka inayohusika)

Page 35: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

15

Jedwali Na.2A Asilimia

SHUGHULI ZA KIUCHUMI 2005 2006 2007 2008 2009 2010 2011 2012 2013 2014 2015 2016

A: SEHEMU INAYOUZIKA

Jumla ya Pato la Taifa (GDPmp)

A Kilimo, Misitu na uvuvi 17.9 17.9 16.6 17.8 19.3 19.0 18.7 20.2 20.7 18.4 18.9 19.3

Mazao 9.1 9.2 7.6 8.6 9.0 9.3 9.2 10.4 10.3 8.9 8.9 9.0

Mifugo 5.6 5.7 6.0 6.0 6.7 6.4 6.1 6.1 5.9 5.2 5.7 5.9

Misitu 1.4 1.4 1.5 1.4 1.5 1.4 1.3 1.6 2.1 2.1 2.3 2.6

Uvuvi 1.8 1.6 1.5 1.8 2.2 2.0 2.0 2.2 2.3 2.2 2.0 1.9

B Uchimbaji madini na mawe 3.2 4.0 3.5 3.0 2.8 4.1 5.1 4.9 4.2 3.7 4.0 4.8

C Viwanda 7.3 7.5 7.0 7.0 6.9 6.9 7.6 7.5 6.4 5.6 5.2 5.1

D Umeme 1.1 0.9 0.9 0.9 0.9 0.9 0.6 0.9 0.8 1.1 1.0 0.9

E Usambazaji maji safi na Udhibit maji taka 0.8 0.7 0.6 0.5 0.5 0.4 0.3 0.3 0.3 0.3 0.3 0.3

F Ujenzi 5.8 6.2 6.7 7.7 6.3 7.0 8.1 7.3 10.0 11.6 12.7 13.1

G Biashara na Matengenezo 10.4 9.7 9.9 9.7 9.9 10.1 10.6 10.4 10.2 10.5 10.7 10.7

H Usafirishaji na uhifadhi mizigo 6.4 6.0 5.9 6.0 6.2 5.8 5.2 4.4 4.2 4.3 4.3 4.3

I Malazi na Huduma za vyakula 1.8 1.6 1.8 1.7 1.8 1.6 1.4 1.4 1.3 1.1 1.1 1.0

J Habari na Mawasiliano 2.5 2.3 2.3 2.2 2.4 2.6 2.4 2.4 2.3 2.1 2.0 2.0

K Shughuli za Fedha na Bima 2.4 2.5 2.8 2.9 3.1 3.2 3.4 3.4 3.3 3.4 3.6 3.6

L Upangishaji Nyumba 6.1 5.7 5.6 4.9 4.8 4.4 4.1 4.0 3.6 3.5 3.1 2.8

M Shughuli za Kitaalamu, Kisayansi na Kiufundi 1.0 1.0 1.2 1.4 1.5 1.7 1.5 1.3 1.3 1.3 1.2 1.2

N Shughuli nyingine za kiutawala na Huduma 2.8 2.9 3.0 2.6 2.4 2.2 2.1 2.3 2.4 2.5 2.4 2.2

O Utawala na Ulinzi 6.6 7.2 8.1 7.0 6.7 6.1 6.3 6.5 7.0 6.6 6.4 6.3

P Elimu 2.7 2.7 3.2 3.1 3.2 3.1 2.8 2.6 2.7 2.7 2.5 2.3

Q Afya na Ustawi wa Jamii 1.8 1.9 1.6 1.6 1.8 1.7 1.6 1.5 1.4 1.4 1.4 1.4

R Sanaa na Burudani 0.3 0.3 0.3 0.3 0.3 0.3 0.3 0.3 0.3 0.3 0.3 0.3

S Huduma nyingine za Kijamii 1.0 0.9 1.0 0.9 0.9 0.8 0.8 0.8 0.8 0.8 0.8 0.7

T Shughuli za kaya binafsi katika kuajiri 0.4 0.4 0.3 0.3 0.3 0.3 0.2 0.2 0.2 0.2 0.2 0.2

X Toa Ushuru wa Huduma za Mabenki -1.0 -1.4 -1.2 -0.9 -0.9 -0.9 -1.1 -1.0 -1.2 -1.0 -1.1 -1.0

Jumla ya Ongezeko la Thamani 81.3 80.8 81.1 80.7 81.1 81.4 81.9 81.7 82.0 80.4 80.8 81.4

Ongeza Kodi katika Bidhaa 6.1 6.2 6.8 6.6 6.6 6.4 6.2 6.3 6.3 8.1 7.8 7.8

B: SEHEMU ISIYOUZIKA

Jumla ya Pato la Taifa (GDPmp) 12.7 13.0 12.1 12.7 12.3 12.2 11.9 12.0 11.7 11.5 11.4 10.8

A Kilimo, Misitu na uvuvi 10.7 11.1 10.2 11.0 10.9 10.9 10.6 10.9 10.5 10.4 10.1 9.7

Mazao 7.2 7.5 5.9 6.7 7.0 7.3 7.2 7.6 7.2 7.2 6.7 6.5

Mifugo 2.8 2.8 3.4 3.4 3.0 2.7 2.5 2.4 2.3 2.2 2.2 1.8

Misitu 0.7 0.7 0.9 0.9 0.9 0.8 0.8 0.9 1.0 1.0 1.1 1.3

Uvuvi 0.0 0.0 0.0 0.0 0.1 0.1 0.1 0.1 0.1 0.1 0.1 0.1

E Usambazaji maji safi na Udhibiti maji taka 0.4 0.2 0.3 0.2 0.2 0.2 0.2 0.1 0.1 0.1 0.1 0.1

F Ujenzi 1.2 1.2 1.2 1.1 0.9 0.9 0.9 0.8 0.8 0.8 1.0 0.8

L Upangishaji Nyumba 0.4 0.4 0.3 0.3 0.3 0.3 0.2 0.2 0.2 0.2 0.1 0.1

Jumla ya Pato la Taifa (GDPmp) 100.0 100.0 100.0 100.0 100.0 100.0 100.0 100.0 100.0 100.0 100.0 100.0

Chanzo: Ofisi ya Taifa ya Takwimu

(Kwa bei za miaka inayohusika)

MCHANGO WA SHUGHULI ZA KIUCHUMI KWA PATO LA TAIFA, KWA BEI ZA SOKO - (SEHEMU INAYOUZIKA NA ISIYOUZIKA)

Page 36: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

16

Jedwali Na.2B Tshs Milioni

SHUGHULI ZA KIUCHUMI 2007 2008 2009 2010 2011 2012 2013 2014 2015 2016

Pato la Taifa kwa Bei za Soko (GDPmp) 26770432 32764940 37726824 43836018 52762581 61434214 70953266 79718416 90863827 103744606

Matumizi ya mwisho (Final consumption) 21379521 26193622 31537868 35083358 41841724 49878463 60582187 62153531 67407385 78473727

Binafsi 16334646 20826214 24829200 28512137 34415269 40669370 48835596 50968192 54747020 63798603

Serikali 4968234 5275677 6599152 6451836 7293792 9055182 11580484 10996641 12454217 14407309

Taasisi binafsi Zinazotoa huduma za Kijamii 76642 91730 109516 119385 132664 153911 166107 188697 206148 267815

Ukuzaji rasilimali 8793915 10509733 9478925 11965491 17538474 17510517 21516104 24019720 24717206 25558140

Rasilimali ya kudumu 8427687 11030529 10883740 12572205 17324767 18786138 21625370 25968851 31122533 34768001

Ongezeko la limbikizo 366228 -520796 -1404814 -606714 213708 -1275622 -109266 -1949131 -6405326 -9209861

Mauzo nje 5064729 6110226 6554600 8217681 10951622 13076463 12524115 15476677 19645876 20213109

Bidhaa - fob 2691889 3694632 4108282 5343694 7331021 8653332 7436719 9424890 12193230 12383399

Huduma 2372840 2415594 2446318 2873987 3620601 4423131 5087395 6051787 7452646 7829710

Uagizaji -8482053 -10088034 -9913855 -12769425 -19014968 -20341955 -22044763 -23746791 -22510717 -23459238

Bidhaa - fob -7083954 -8257337 -7662104 -10130044 -15572614 -16631037 -18113063 -19084787 -16803635 -18797460

Huduma -1398099 -1830697 -2251751 -2639381 -3442354 -3710919 -3931700 -4662003 -5707082 -4661778

Makosa na Mapungufu 14319 39393 69285 1338912 1445728 1310726 -1624377 1815278 1604076 2958868

Chanzo: Ofisi ya Taifa ya Takwimu

Kwa Bei za Miaka Inayohusika

PATO LA TAIFA NA MATUMIZI YAKE KWA BEI ZA SOKO

Page 37: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

17

Jedwali Na.3 Tshs Milioni

SHUGHULI ZA KIUCHUMI 2007 2008 2009 2010 2011 2012 2013 2014 2015 2016

A Kilimo, Misitu na uvuvi 7181357 7720033 8113750 8332436 8621829 8901917 9186731 9497468 9719965 9924182

Mazao 3603539 3884784 4098750 4248443 4454219 4640787 4801783 4993855 5106027 5175489

Mifugo 2513284 2715826 2859665 2900642 2948017 3001944 3062481 3129647 3204928 3287499

Misitu 639762 663869 697692 721555 745684 771590 808231 849445 871448 901161

Uvuvi 424772 455555 457643 461796 473910 487597 514235 524521 537562 560033

Viwanda na ujenzi 5406038 5759171 5949363 6489910 7271804 7566057 8287309 9144464 10174156 11265872

B Uchimbaji madini na mawe 935412 843949 1001653 1074285 1141798 1217823 1264845 1383349 1508923 1682719

C Viwanda 1880032 2094035 2192207 2388391 2554119 2659200 2831400 3024323 3222077 3472647

D Umeme 232622 251361 262100 297238 284394 293804 332080 363110 384271 416904

E Usambazaji maji safi na udhibiti maji taka 240898 246507 257755 263336 260050 267407 274507 284755 285003 297151

F Ujenzi 2117074 2323320 2235648 2466660 3031443 3127824 3584477 4088927 4773882 5396450

Huduma 12692496 13225206 13989391 15076525 16341278 17520835 18767585 20119051 21511358 23138496

G Biashara na Matengenezo 2645347 2817146 2893444 3181783 3541265 3675197 3839852 4223837 4552422 4855513

H Usafirishaji na uhifadhi mizigo 1572854 1601242 1712475 1896112 1980177 2062518 2314221 2603499 2810378 3140748

I Malazi na Huduma za vyakula 481997 497897 502992 521540 543173 579598 595724 609111 622966 646197

J Habari na Mawasiliano 615066 688106 871411 1084423 1177462 1439326 1631263 1762116 1974819 2231111

K Shughuli za Fedha na Bima 756075 898007 1062921 1197164 1374537 1445140 1534231 1699700 1900297 2103991

L Upangishaji Nyumba 1601266 1628117 1656750 1687264 1719706 1754126 1790574 1829107 1869782 1914177

M Shughuli za Kitaalamu, Kisayansi na Kiufundi 318677 416091 481737 625810 655947 617853 651358 654930 699556 743797

N Shughuli nyingine za kiutawala na Huduma 793110 778586 781579 849168 892397 1104372 1239495 1313618 1375562 1404965

O Utawala na Ulinzi 2179164 2042643 2027532 1926209 2231564 2435459 2625280 2728183 2854132 3045808

P Elimu 851208 932429 1017818 1082540 1143385 1228099 1280673 1341507 1425992 1541076

Q Afya na Ustawi wa Jamii 438415 462620 497047 513696 541093 602632 655861 709310 742629 781589

R Sanaa na Burudani 91527 97422 100381 107674 116005 128764 136162 143933 152891 166415

S Huduma nyingine za Kijamii 254462 269097 284963 302194 320944 341382 363702 388120 414881 444610

T Shughuli za Kaya Binafsi katika kuajiri 93329 95802 98341 100947 103623 106369 109188 112082 115052 118500

X Toa Ushuru wa Huduma za Mabenki -331002 -353602 -424177 -457867 -561275 -568183 -568580 -623558 -696521 -810063

Jumla ya Ongezeko la Thamani 24948888 26350808 27628327 29441005 31673636 33420626 35673045 38137426 40708959 43518487

Ongeza Kodi katika Bidhaa 1821544 1909825 2153392 2234499 2505661 2515833 2873500 3093939 3391850 3656415

Jumla ya Pato la Taifa (GDPmp) 26770432 28260633 29781719 31675504 34179297 35936459 38546546 41231364 44100809 47174902

Chanzo: Ofisi ya Taifa ya Takwimu

PATO LA TAIFA (GDP) KWA SHUGHULI ZA KIUCHUMI, KWA BEI ZA SOKO

(kwa bei za mwaka 2007 )

Page 38: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

18

Jedwali Na. 3A Tshs Milioni

SHUGHULI ZA KIUCHUMI 2007 2008 2009 2010 2011 2012 2013 2014 2015 2016

A: SEHEMU INAYOUZIKA

Jumla ya Pato la Taifa (GDPmp) 23751946 25006410 26359287 28178750 30388101 32023357 34483854 37025043 39763780 42700429

A Kilimo, Misitu na uvuvi 4652052 4991151 5201900 5380854 5481431 5655620 5884506 6083929 6280859 6402712

Mazao 2119511 2284931 2376307 2513255 2583447 2691656 2827400 2917069 3012556 3031774

Mifugo 1695916 1824568 1921203 1943430 1945691 1981283 2024300 2096864 2179351 2239359

Misitu 422635 437658 460476 476226 492151 509249 533433 560634 566441 587004

Uvuvi 413992 443994 443914 447942 460142 473432 499373 509362 522510 544575

Viwanda na ujenzi 5007431 5324353 5529339 6035420 6711901 6990448 7618426 8443744 9369723 10407947

B Uchimbaji Madini na Mawe 935412 843949 1001653 1074285 1141798 1217823 1264845 1383349 1508923 1682719

C Viwanda 1880032 2094035 2192207 2388391 2554119 2659200 2831400 3024323 3222077 3472647

D Umeme 232622 251361 262100 297238 284394 293804 332080 363110 384271 416904

E Usambazaji maji safi na Udhibit maji taka 168253 172171 177851 184336 182035 187185 192155 199329 196652 206150

F Ujenzi 1791111 1962838 1895528 2091171 2549555 2632437 2997947 3473634 4057799 4629526

Huduma 12601921 13134684 13898833 14985843 16250383 17429639 18676000 20026989 21417869 23043417

G Biashara na Matengenezo 2645347 2817146 2893444 3181783 3541265 3675197 3839852 4223837 4552422 4855513

H Usafirishaji na uhifadhi mizigo 1572854 1601242 1712475 1896112 1980177 2062518 2314221 2603499 2810378 3140748

I Malazi na Huduma za vyakula 481997 497897 502992 521540 543173 579598 595724 609111 622966 646197

J Habari na Mawasiliano 615066 688106 871411 1084423 1177462 1439326 1631263 1762116 1974819 2231111

K Shughuli za Fedha na Bima 756075 898007 1062921 1197164 1374537 1445140 1534231 1699700 1900297 2103991

L Upangishaji Nyumba 1510692 1537595 1566192 1596582 1628811 1662930 1698989 1737045 1776293 1819099

M Shughuli za Kitaalamu, Kisayansi na Kiufundi 318677 416091 481737 625810 655947 617853 651358 654930 699556 743797

N Shughuli nyingine za kiutawala na Huduma 793110 778586 781579 849168 892397 1104372 1239495 1313618 1375562 1404965

O Utawala na Ulinzi 2179164 2042643 2027532 1926209 2231564 2435459 2625280 2728183 2854132 3045808

P Elimu 851208 932429 1017818 1082540 1143385 1228099 1280673 1341507 1425992 1541076

Q Afya na Ustawi wa Jamii 438415 462620 497047 513696 541093 602632 655861 709310 742629 781589

R Sanaa na Burudani 91527 97422 100381 107674 116005 128764 136162 143933 152891 166415

S Huduma nyingine za Kijamii 254462 269097 284963 302194 320944 341382 363702 388120 414881 444610

T Shughuli za kaya Binafsi katika kuajiri 93329 95802 98341 100947 103623 106369 109188 112082 115052 118500

X Toa Ushuru wa Huduma za Mabenki -331002 -353602 -424177 -457867 -561275 -568183 -568580 -623558 -696521 -810063

Jumla ya Ongezeko la Thamani 21930402 23096585 24205895 25944250 27882440 29507525 31610353 33931104 36371930 39044014

Ongeza Kodi katika Bidhaa 1821544 1909825 2153392 2234499 2505661 2515833 2873500 3093939 3391850 3656415

B: SEHEMU ISIYOUZIKA

Jumla ya Pato la Taifa (GDPmp) 3018485 3254223 3422432 3496754 3791196 3913102 4062692 4206322 4337029 4474473

A Kilimo, Misitu na uvuvi 2529304 2728883 2911850 2951582 3140398 3246297 3302224 3413539 3439107 3521469

Mazao 1484029 1599852 1722443 1735188 1870772 1949130 1974383 2076785 2093471 2143714

Mifugo 817368 891258 938462 957212 1002326 1020661 1038181 1032784 1025577 1048140

Misitu 217127 226210 237215 245329 253532 262340 274799 288811 305007 314157

Uvuvi 10780 11561 13729 13854 13768 14165 14861 15159 15052 15458

Viwanda na ujenzi 398607 434818 420024 454490 559903 575609 668883 700720 804433 857925

E Usambazaji maji safi na Udhibiti maji taka 72644 74336 79904 79001 78015 80222 82352 85427 88351 91001

F Ujenzi 325962 360482 340120 375489 481888 495387 586531 615294 716082 766924

Huduma 90574 90523 90558 90682 90895 91196 91585 92063 93489 95078

L Upangishaji Nyumba 90574 90523 90558 90682 90895 91196 91585 92063 93489 95078

Jumla ya Pato la Taifa (GDPmp) 26770432 28260633 29781719 31675504 34179297 35936459 38546546 41231364 44100809 47174902

Chanzo: Ofisi ya Taifa ya Takwimu

(Kwa bei za mwaka 2007)

PATO LA TAIFA KWA SHUGHULI ZA KIUCHUMI, KWA BEI ZA SOKO - SEHEMU INAYOUZIKA NA ISIYOUZIKA

Page 39: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

19

Jedwali Na.4 Asilimia

SHUGHULI ZA KIUCHUMI 2006 2007 2008 2009 2010 2011 2012 2013 2014 2015 2016

A Kilimo, Misitu na uvuvi 2.4 2.4 7.5 5.1 2.7 3.5 3.2 3.2 3.4 2.3 2.1

Mazao -1.4 -1.5 7.8 5.5 3.7 4.8 4.2 3.5 4.0 2.2 1.4

Mifugo 7.4 7.8 8.1 5.3 1.4 1.6 1.8 2.0 2.2 2.4 2.6

Misitu 7.4 6.0 3.8 5.1 3.4 3.3 3.5 4.7 5.1 2.6 3.4

Uvuvi 2.8 0.9 7.2 0.5 0.9 2.6 2.9 5.5 2.0 2.5 4.2

B Uchimbaji madini na mawe -13.7 9.2 -9.8 18.7 7.3 6.3 6.7 3.9 9.4 9.1 11.5

C Viwanda 8.4 11.5 11.4 4.7 8.9 6.9 4.1 6.5 6.8 6.5 7.8

D Umeme -8.7 18.7 8.1 4.3 13.4 -4.3 3.3 13.0 9.3 5.8 8.5

E Usambazaji maji safi na Udhibiti maji taka 2.2 -7.3 2.3 4.6 2.2 -1.2 2.8 2.7 3.7 0.1 4.3

F Ujenzi 19.2 13.1 9.7 -3.8 10.3 22.9 3.2 14.6 14.1 16.8 13.0

G Biashara na Matengenezo 9.4 12.9 6.5 2.7 10.0 11.3 3.8 4.5 10.0 7.8 6.7

H Usafirishaji na uhifadhi mizigo 9.1 2.0 1.8 6.9 10.7 4.4 4.2 12.2 12.5 7.9 11.8

I Malazi na Huduma za vyakula 3.4 4.5 3.3 1.0 3.7 4.1 6.7 2.8 2.2 2.3 3.7

J Habari na Mawasiliano 4.5 17.7 11.9 26.6 24.4 8.6 22.2 13.3 8.0 12.1 13.0

K Shughuli za Fedha na Bima 19.1 21.7 18.8 18.4 12.6 14.8 5.1 6.2 10.8 11.8 10.7

L Upangishaji Nyumba 1.5 1.6 1.7 1.8 1.8 1.9 2.0 2.1 2.2 2.2 2.4

M Shughuli za Kitaalamu, Kisayansi na Kiufundi 11.3 12.1 30.6 15.8 29.9 4.8 -5.8 5.4 0.5 6.8 6.3

N Shughuli nyingine za kiutawala na Huduma 5.3 2.1 -1.8 0.4 8.6 5.1 23.8 12.2 6.0 4.7 2.1

O Utawala na Ulinzi -0.3 9.1 -6.3 -0.7 -5.0 15.9 9.1 7.8 3.9 4.6 6.7

P Elimu 7.7 13.2 9.5 9.2 6.4 5.6 7.4 4.3 4.8 6.3 8.1

Q Afya na Ustawi wa Jamii 9.9 7.0 5.5 7.4 3.3 5.3 11.4 8.8 8.1 4.7 5.2

R Sanaa na Burudani 5.3 7.5 6.4 3.0 7.3 7.7 11.0 5.7 5.7 6.2 8.8

S Huduma nyingine za Kijamii 5.6 5.7 5.8 5.9 6.0 6.2 6.4 6.5 6.7 6.9 7.2

T Shughuli za kaya binafsi katika kuajiri 2.7 2.7 2.7 2.7 2.7 2.7 2.7 2.7 2.7 2.7 3.0

X Toa Ushuru wa Huduma za Mabenki 23.4 11.7 6.8 20.0 7.9 22.6 1.2 0.1 9.7 11.7 16.3

Jumla ya Ongezeko la Thamani 4.7 7.1 5.6 4.8 6.6 7.6 5.5 6.7 6.9 6.7 6.9

Ongeza Kodi katika Bidhaa 3.5 31.0 4.8 12.8 3.8 12.1 0.4 14.2 7.7 9.6 7.8

Jumla ya Pato la Taifa (GDPmp) 4.7 8.5 5.6 5.4 6.4 7.9 5.1 7.3 7.0 7.0 7.0

Chanzo: Ofisi ya Taifa ya Takwimu

(Kwa bei za mwaka 2007)

UKUAJI HALISI WA PATO LA TAIFA KWA SHUGHULI ZA KIUCHUMI, KWA BEI ZA SOKO

Page 40: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

20

Jedwali Na. 4A Asilimia

SHUGHULI ZA KIUCHUMI 2006 2007 2008 2009 2010 2011 2012 2013 2014 2015 2016

A: SEHEMU INAYOUZIKA

Jumla ya Pato la Taifa (GDPmp)

A Kilimo, Misitu na uvuvi 2.3 2.9 7.3 4.2 3.4 1.9 3.2 4.0 3.4 3.2 1.9

Mazao -2.0 -1.6 7.8 4.0 5.8 2.8 4.2 5.0 3.2 3.3 0.6

Mifugo 7.4 8.7 7.6 5.3 1.2 0.1 1.8 2.2 3.6 3.9 2.8

Misitu 7.4 6.4 3.6 5.2 3.4 3.3 3.5 4.7 5.1 1.0 3.6

Uvuvi 2.8 0.9 7.2 0.0 0.9 2.7 2.9 5.5 2.0 2.6 4.2

B Uchimbaji madini na mawe -13.7 9.2 -9.8 18.7 7.3 6.3 6.7 3.9 9.4 9.1 11.5

C Viwanda 8.4 11.5 11.4 4.7 8.9 6.9 4.1 6.5 6.8 6.5 7.8

D Umeme -8.7 18.7 8.1 4.3 13.4 -4.3 3.3 13.0 9.3 5.8 8.5

E Usambazaji maji safi na Udhibiti maji taka 3.1 -6.3 2.3 3.3 3.6 -1.2 2.8 2.7 3.7 -1.3 4.8

F Ujenzi 17.9 13.1 9.6 -3.4 10.3 21.9 3.3 13.9 15.9 16.8 14.1

G Biashara na Matengenezo 9.4 12.9 6.5 2.7 10.0 11.3 3.8 4.5 10.0 7.8 6.7

H Usafirishaji na uhifadhi mizigo 9.1 2.0 1.8 6.9 10.7 4.4 4.2 12.2 12.5 7.9 11.8

I Malazi na Huduma za vyakula 3.4 4.5 3.3 1.0 3.7 4.1 6.7 2.8 2.2 2.3 3.7

J Habari na Mawasiliano 4.5 17.7 11.9 26.6 24.4 8.6 22.2 13.3 8.0 12.1 13.0

K Shughuli za Fedha na Bima 19.1 21.7 18.8 18.4 12.6 14.8 5.1 6.2 10.8 11.8 10.7

L Upangishaji Nyumba 1.6 1.7 1.8 1.9 1.9 2.0 2.1 2.2 2.2 2.3 2.4

M Shughuli za Kitaalamu, Kisayansi na Kiufundi 11.3 12.1 30.6 15.8 29.9 4.8 -5.8 5.4 0.5 6.8 6.3

N Shughuli nyingine za kiutawala na Huduma 5.3 2.1 -1.8 0.4 8.6 5.1 23.8 12.2 6.0 4.7 2.1

O Utawala na Ulinzi -0.3 9.1 -6.3 -0.7 -5.0 15.9 9.1 7.8 3.9 4.6 6.7

P Elimu 7.7 13.2 9.5 9.2 6.4 5.6 7.4 4.3 4.8 6.3 8.1

Q Afya na Ustawi wa Jamii 9.9 7.0 5.5 7.4 3.3 5.3 11.4 8.8 8.1 4.7 5.2

R Sanaa na Burudani 5.3 7.5 6.4 3.0 7.3 7.7 11.0 5.7 5.7 6.2 8.8

S Huduma nyingine za Kijamii 5.6 5.7 5.8 5.9 6.0 6.2 6.4 6.5 6.7 6.9 7.2

T Shughuli za kaya binafsi katika kuajiri 2.7 2.7 2.7 2.7 2.7 2.7 2.7 2.7 2.7 2.7 3.0

X Toa Ushuru wa Huduma za Mabenki 23.4 11.7 6.8 20.0 7.9 22.6 1.2 0.1 9.7 11.7 16.3

Jumla ya Ongezeko la Thamani 4.8 7.8 5.3 4.8 7.2 7.5 5.8 7.1 7.3 7.2 7.3

Ongeza Kodi katika Bidhaa 3.5 31.0 4.8 12.8 3.8 12.1 0.4 14.2 7.7 9.6 7.8

B: SEHEMU ISIYOUZIKA

Jumla ya Pato la Taifa (GDPmp) 4.3 2.2 7.8 5.2 2.2 8.4 3.2 3.8 3.5 3.1 3.2

A Kilimo, Misitu na uvuvi 2.5 1.4 7.9 6.7 1.4 6.4 3.4 1.7 3.4 0.7 2.4

Mazao -0.5 -1.4 7.8 7.7 0.7 7.8 4.2 1.3 5.2 0.8 2.4

Mifugo 7.4 5.9 9.0 5.3 2.0 4.7 1.8 1.7 -0.5 -0.7 2.2

Misitu 7.4 5.1 4.2 4.9 3.4 3.3 3.5 4.7 5.1 5.6 3.0

Uvuvi 2.8 0.9 7.2 18.8 0.9 -0.6 2.9 4.9 2.0 -0.7 2.7

E Usambazaji maji safi na Udhibiti maji taka 0.2 -9.4 2.3 7.5 -1.1 -1.2 2.8 2.7 3.7 3.4 3.0

F Ujenzi 26.9 13.4 10.6 -5.6 10.4 28.3 2.8 18.4 4.9 16.4 7.1

L Upangishaji Nyumba -0.2 -0.1 -0.1 0.0 0.1 0.2 0.3 0.4 0.5 1.5 1.7

Jumla ya Pato la Taifa (GDPmp) 4.7 8.5 5.6 5.4 6.4 7.9 5.1 7.3 7.0 7.0 7.0

Chanzo: Ofisi ya Taifa ya Takwimu

Kwa bei za mwaka 2007

UKUAJI HALISI WA PATO LA TAIFA KWA SHUGHULI ZA KIUCHUMI - KWA BEI ZA SOKO - SEHEMU INAYOUZIKA NA ISIYOUZIKA

Page 41: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

21

5.4

6.4

7.9

5.1

7.37.0 7.0 7.0

2009 2010 2011 2012 2013 2014 2015 2016

UKUAJI HALISI WA PATO LA TAIFA - Kwa Bei za Mwaka 2007

Ukuaji Halisi wa Pato la Taifa (GDP)

Page 42: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

22

Jedwali Na.4B AsilimiaSHUGHULI ZA KIUCHUMI 2005 2006 2007 2008 2009 2010 2011 2012 2013 2014 2015 2016

A Kilimo, Misitu na uvuvi 29.1 28.4 26.8 27.3 27.2 26.3 25.2 24.8 23.8 23.0 22.0 21.0

Mazao 15.7 14.8 13.5 13.7 13.8 13.4 13.0 12.9 12.5 12.1 11.6 11.0

Mifugo 9.2 9.4 9.4 9.6 9.6 9.2 8.6 8.4 7.9 7.6 7.3 7.0

Misitu 2.4 2.4 2.4 2.3 2.3 2.3 2.2 2.1 2.1 2.1 2.0 1.9

Uvuvi 1.7 1.7 1.6 1.6 1.5 1.5 1.4 1.4 1.3 1.3 1.2 1.2

B Uchimbaji madini na mawe 4.2 3.5 3.5 3.0 3.4 3.4 3.3 3.4 3.3 3.4 3.4 3.6

C Viwanda 6.6 6.8 7.0 7.4 7.4 7.5 7.5 7.4 7.3 7.3 7.3 7.4

D Umeme 0.9 0.8 0.9 0.9 0.9 0.9 0.8 0.8 0.9 0.9 0.9 0.9

E Usambazaji maji safi na Udhibiti maji taka 1.1 1.1 0.9 0.9 0.9 0.8 0.8 0.7 0.7 0.7 0.6 0.6

F Ujenzi 6.7 7.6 7.9 8.2 7.5 7.8 8.9 8.7 9.3 9.9 10.8 11.4

G Biashara na Matengenezo 9.1 9.5 9.9 10.0 9.7 10.0 10.4 10.2 10.0 10.2 10.3 10.3

H Usafirishaji na uhifadhi mizigo 6.0 6.2 5.9 5.7 5.8 6.0 5.8 5.7 6.0 6.3 6.4 6.7

I Malazi na Huduma za vyakula 1.9 1.9 1.8 1.8 1.7 1.6 1.6 1.6 1.5 1.5 1.4 1.4

J Habari na Mawasiliano 2.1 2.1 2.3 2.4 2.9 3.4 3.4 4.0 4.2 4.3 4.5 4.7

K Shughuli za Fedha na Bima 2.2 2.5 2.8 3.2 3.6 3.8 4.0 4.0 4.0 4.1 4.3 4.5

L Upangishaji Nyumba 6.6 6.4 6.0 5.8 5.6 5.3 5.0 4.9 4.6 4.4 4.2 4.1

M Shughuli za Kitaalamu, Kisayansi na Kiufundi 1.1 1.2 1.2 1.5 1.6 2.0 1.9 1.7 1.7 1.6 1.6 1.6

N Shughuli nyingine za kiutawala na Huduma 3.1 3.1 3.0 2.8 2.6 2.7 2.6 3.1 3.2 3.2 3.1 3.0

O Utawala na Ulinzi 8.5 8.1 8.1 7.2 6.8 6.1 6.5 6.8 6.8 6.6 6.5 6.5

P Elimu 3.0 3.0 3.2 3.3 3.4 3.4 3.3 3.4 3.3 3.3 3.2 3.3

Q Afya na Ustawi wa Jamii 1.6 1.7 1.6 1.6 1.7 1.6 1.6 1.7 1.7 1.7 1.7 1.7

R Sanaa na Burudani 0.3 0.3 0.3 0.3 0.3 0.3 0.3 0.4 0.4 0.3 0.3 0.4

S Huduma nyingine za Kijamii 1.0 1.0 1.0 1.0 1.0 1.0 0.9 0.9 0.9 0.9 0.9 0.9

T Shughuli za kaya binafsi katika kuajiri 0.4 0.4 0.3 0.3 0.3 0.3 0.3 0.3 0.3 0.3 0.3 0.3

X Toa Ushuru wa Huduma za Mabenki -1.0 -1.2 -1.2 -1.3 -1.4 -1.4 -1.6 -1.6 -1.5 -1.5 -1.6 -1.7

Jumla ya Ongezeko la Thamani 94.3 94.4 93.2 93.2 92.8 92.9 92.7 93.0 92.5 92.5 92.3 92.2

Ongeza Kodi katika Bidhaa 5.7 5.6 6.8 6.8 7.2 7.1 7.3 7.0 7.5 7.5 7.7 7.8

Jumla ya Pato la Taifa (GDPmp) 100.0 100.0 100.0 100.0 100.0 100.0 100.0 100.0 100.0 100.0 100.0 100.0

Chanzo: Ofisi ya Taifa ya Takwimu

(Kwa bei za mwaka 2007)

MCHANGO WA SHUGHULI ZA KIUCHUMI KWA PATO LA TAIFA KWA BEI ZA SOKO

Page 43: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

23

Kilimo, Misitu na Uvuvi

23.5%

Viwanda na Ujenzi

24.6%Huduma

52.0%

*MCHANGO WA SEKTA KATIKA PATO LA TAIFA (2015)

kwa bei za mwaka 2007

Angalia: * Baada ya kutoa ushuru wa huduma za mabenki

Page 44: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

24

Kilimo, Misitu na Uvuvi

22.4%

Viwanda na Ujenzi

25.4%Huduma

52.2%

*MCHANGO WA SEKTA KATIKA PATO LA TAIFA (2016)

Kwa bei za mwaka 2007

Angalia: * Baada ya kutoa ushuru wa huduma za mabenki

Page 45: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

25

Jedwali Na.4CSHUGHULI ZA KIUCHUMI 2005 2006 2007 2008 2009 2010 2011 2012 2013 2014 2015 2016

A: SEHEMU INAYOUZIKA

Jumla ya Pato la Taifa (GDPmp) 88.0 88.0 88.7 88.5 88.5 89.0 88.9 89.1 89.5 89.8 90.2 90.5

A Kilimo, Misitu na uvuvi 21.3 20.8 19.6 20.0 19.7 19.1 18.0 17.7 17.1 16.4 15.8 15.0

Mazao 10.6 9.9 8.9 9.1 9.0 8.9 8.5 8.4 8.2 7.9 7.6 7.1

Mifugo 7.0 7.2 7.1 7.3 7.3 6.9 6.4 6.2 5.9 5.7 5.5 5.2

Misitu 1.8 1.8 1.8 1.8 1.7 1.7 1.6 1.6 1.5 1.5 1.4 1.4

Uvuvi 1.9 1.9 1.7 1.8 1.7 1.6 1.5 1.5 1.4 1.4 1.3 1.3

B Uchimbaji madini na mawe 4.8 3.9 3.9 3.4 3.8 3.8 3.8 3.8 3.7 3.7 3.8 3.9

C Viwanda 7.5 7.8 7.9 8.4 8.3 8.5 8.4 8.3 8.2 8.2 8.1 8.1

D Umeme 1.0 0.9 1.0 1.0 1.0 1.1 0.9 0.9 1.0 1.0 1.0 1.0

E Usambazaji maji safi na Udhibiti maji taka 0.8 0.8 0.7 0.7 0.7 0.7 0.6 0.6 0.6 0.5 0.5 0.5

F Ujenzi 6.5 7.3 7.5 7.8 7.2 7.4 8.4 8.2 8.7 9.4 10.2 10.8

G Biashara na Matengenezo 10.3 10.8 11.1 11.3 11.0 11.3 11.7 11.5 11.1 11.4 11.4 11.4

H Usafirishaji na uhifadhi mizigo 6.8 7.1 6.6 6.4 6.5 6.7 6.5 6.4 6.7 7.0 7.1 7.4

I Malazi na Huduma za vyakula 2.1 2.1 2.0 2.0 1.9 1.9 1.8 1.8 1.7 1.6 1.6 1.5

J Habari na Mawasiliano 2.4 2.4 2.6 2.8 3.3 3.8 3.9 4.5 4.7 4.8 5.0 5.2

K Shughuli za Fedha na Bima 2.5 2.9 3.2 3.6 4.0 4.2 4.5 4.5 4.4 4.6 4.8 4.9

L Upangishaji Nyumba 7.0 6.8 6.4 6.1 5.9 5.7 5.4 5.2 4.9 4.7 4.5 4.3

M Shughuli za Kitaalamu, Kisayansi na Kiufundi 1.2 1.3 1.3 1.7 1.8 2.2 2.2 1.9 1.9 1.8 1.8 1.7

N Shughuli nyingine za kiutawala na Huduma 3.6 3.6 3.3 3.1 3.0 3.0 2.9 3.4 3.6 3.5 3.5 3.3

O Utawala na Ulinzi 9.7 9.2 9.2 8.2 7.7 6.8 7.3 7.6 7.6 7.4 7.2 7.1

P Elimu 3.4 3.5 3.6 3.7 3.9 3.8 3.8 3.8 3.7 3.6 3.6 3.6

Q Afya na Ustawi wa Jamii 1.8 1.9 1.8 1.9 1.9 1.8 1.8 1.9 1.9 1.9 1.9 1.8

R Sanaa na Burudani 0.4 0.4 0.4 0.4 0.4 0.4 0.4 0.4 0.4 0.4 0.4 0.4

S Huduma nyingine za Kijamii 1.1 1.1 1.1 1.1 1.1 1.1 1.1 1.1 1.1 1.0 1.0 1.0

T Shughuli za kaya binafsi katika kuajiri 0.4 0.4 0.4 0.4 0.4 0.4 0.3 0.3 0.3 0.3 0.3 0.3

X Toa Ushuru wa Huduma za Mabenki -1.2 -1.4 -1.4 -1.4 -1.6 -1.6 -1.8 -1.8 -1.6 -1.7 -1.8 -1.9

Jumla ya Ongezeko la Thamani 93.5 93.6 92.3 92.4 91.8 92.1 91.8 92.1 91.7 91.6 91.5 91.4

Ongeza Kodi katika Bidhaa 6.5 6.4 7.7 7.6 8.2 7.9 8.2 7.9 8.3 8.4 8.5 8.6

B: SEHEMU ISIYOUZIKA

Jumla ya Pato la Taifa (GDPmp) 12.0 12.0 11.3 11.5 11.5 11.0 11.1 10.9 10.5 10.2 9.8 9.5

A Kilimo, Misitu na uvuvi 86.0 84.5 83.8 83.9 85.1 84.4 82.8 83.0 81.3 81.2 79.3 78.7

Mazao 53.4 51.0 49.2 49.2 50.3 49.6 49.3 49.8 48.6 49.4 48.3 47.9

Mifugo 25.4 26.2 27.1 27.4 27.4 27.4 26.4 26.1 25.6 24.6 23.6 23.4

Misitu 6.8 7.0 7.2 7.0 6.9 7.0 6.7 6.7 6.8 6.9 7.0 7.0

Uvuvi 0.4 0.4 0.4 0.4 0.4 0.4 0.4 0.4 0.4 0.4 0.3 0.3

E Usambazaji maji safi na Udhibiti maji taka 2.8 2.7 2.4 2.3 2.3 2.3 2.1 2.1 2.0 2.0 2.0 2.0

F Ujenzi 8.0 9.7 10.8 11.1 9.9 10.7 12.7 12.7 14.4 14.6 16.5 17.1

L Upangishaji Nyumba 3.2 3.1 3.0 2.8 2.6 2.6 2.4 2.3 2.3 2.2 2.2 2.1

Jumla ya Pato la Taifa (GDPmp) 100.0 100.0 100.0 100.0 100.0 100.0 100.0 100.0 100.0 100.0 100.0 100.0

Chanzo: Ofisi ya Taifa ya Takwimu

(Kwa bei za mwaka 2007)

MCHANGO WA SHUGHULI ZA KIUCHUMI KWA PATO LA TAIFA, KWA BEI ZA SOKO - (SEHEMU INAYOUZIKA NA ISIYOUZIKA)

Page 46: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

26

Jedwali Na. 4D Sh. Milioni

Aina ya Matumizi 2007 2008 2009 2010 2011 2012 2013 2014 2015 2016

Pato la Taifa kwa Gharama zake (GDPbp) 24948888 26350808 27628327 29441005 31673636 33420626 35673045 38137426 40708959 43518487

Kodi za uzalishaji 1821544 1909825 2153392 2234499 2505661 2515833 2873500 3093939 3391850 3656415

Pato la Taifa kwa Bei za Soko (GDPmp) 26770432 28260633 29781719 31675504 34179297 35936459 38546546 41231364 44100809 47174902

Pato la Taifa kwa Bei za Soko (GDPmp) 26770432 28260633 29781719 31675504 34179297 35936459 38546546 41231365 44100809 47174902

Matumizi ya mwisho (Final consumption) 21393840 22706012 24295407 25027803 26905659 28264851 31197188 32263606 32356975 37470178

Binafsi 4968234 4699279 5300030 4783899 5037638 5707564 24334773 25428723 25780940 30060163

Serikali 16348965 17923139 18902730 20145771 21763218 22438759 6739439 6704573 6438922 7233679

Taasisi binafsi Zinazotoa huduma za Kijamii 76642 83594 92648 98133 104803 118528 122977 130310 137112 176336

Ukuzaji rasilimali 8793915 9097588 8205467 10058938 13050736 12276817 13435670 14140777 13733585 13140451

Rasilimali ya kudumu 8427687 9485695 9410248 10491670 12770844 12898260 13472088 15198577 16816044 18901666

Ongezeko la limbikizo 366228 -388106 -1204781 -432731 279891 -621443 -36418 -1057799 -3082459 -5761214

Mauzo nje 5064729 5396769 5586651 5965581 6568665 7622632 7669987 9029835 11135270 9828015

Bidhaa - fob 2691889 3136102 3431601 3579243 3829149 4276141 3899109 4914108 6100737 5567005

Huduma 2372840 2260668 2155050 2386338 2739516 3346491 3770878 4115727 5034533 4261010

Uagizaji -8482053 -8643421 -8432918 -9674397 -12176077 -12080306 -13409881 -13798824 -12973879 -13184584

Bidhaa - fob -7190625 -7044465 -6588008 -7657947 -9829831 -9561025 -10750945 -10926381 -9080895 -10602332

Huduma -1291428 -1598956 -1844910 -2016450 -2346245 -2519281 -2658936 -2872443 -3892984 -2582252

Makosa na Mapungufu 0 -296316 127111 297579 -169687 -147535 -346418 -404028 -151142 -79158

Chanzo:Ofisi ya Taifa ya Takwimu

MATUMIZI YA PATO LA TAIFA

Bei za mwaka 2007

PATO LA TAIFA NA MATUMIZI YAKE KWA BEI ZA SOKO

Page 47: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

27

Jedwali Na. 5 TShs. milioni

Aina 2007 2008 2009 2010 2011 2012 2013 2014 2015 2016

Majengo 4412818 5994649 5459585 6398105 9020030 9749137 13003643 16427077 21462589 24105151

Vifaa vya Usafiri 839147 614938 321560 540326 714739 973039 756503 864771 810637 837704

Mitambo na Vifaa 1320318 2138307 2501175 2693112 4062855 3925903 3226518 3664483 3452169 3668816

Mitambo na Vifaa vingine 1465476 1774695 1988127 2223366 2649631 3202977 3607045 3868854 4090285 4731934

Raslimali za Mazao ya Mifugo 126173 123473 113057 30806 105573 177509 197084 207372 253298 293731

Haki ya Umiliki, Utafiti na Maendeleo, na Huduma

za Kitaalamu263754 384468 500236 686489 771939 757573 834576 936295 1053555 1130664

Rasilimali za Kudumu 8427687 11030529 10883740 12572205 17324767 18786138 21625370 25968851 31122533 34768001

Ongezeko la Limbikizo 366228 -520796 -1404814 -606714 213708 -1275622 -109266 -1949131 -6405326 -9209861

Jumla ya Ukuzaji Rasilimali 8793915 10509733 9478925 11965491 17538474 17510517 21516104 24019720 24717206 25558140

Chanzo:Ofisi ya Taifa ya Takwimu

(Kwa bei za miaka inayohusika)

UKUZAJI RASILIMALI KWA AINA YA SHUGHULI

Page 48: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

28

Jedwali Na.6 Million of TZSTShs.Milioni

Aina 2007 2008 2009 2010 2011 2012 2013 2014 2015 2016

Majengo 4412818 4894892 4674153 5214691 6551560 6768270 7844184 9034959 10657278 12325619

Vifaa vya Usafiri 839147 627860 303351 498395 623353 802462 620454 711458 665956 688707

Mitambo na Vifaa 1320318 1898040 2222709 2275096 2983425 2640466 2109731 2426691 2258437 2378294

Mitambo na Vifaa vingine 1465476 1603604 1687027 1821530 1916871 2007048 2188044 2306933 2447994 2698629

Raslimali za Mazao ya Mifugo 126173 105968 87016 91924 73262 102345 107907 107907 119910 126397

Haki ya Umiliki, Utafiti na Maendeleo, na Huduma za

Kitaalamu263754 355331 435992 590034 622374 577669 601768 610628 666468 684020

Rasilimali za Kudumu 8427687 9485695 9410248 10491670 12770844 12898260 13472088 15198577 16816044 18901666

Ongezeko la Limbikizo 366228 -388106 -1204781 -432731 279891 -621443 -36418 -1057799 -3082459 -5761214

Jumla ya Ukuzaji Rasilimali 8793915 9097588 8205467 10058938 13050736 12276817 13435670 14140777 13733585 13140451

Chanzo: Ofisi ya Taifa ya Takwimu

UKUZAJI RASILIMALI KWA AINA YA SHUGHULI

(Bei za mwaka 2007)

Page 49: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

29

Jedwali Na. 7a Asilimia

Aina 2007 2008 2009 2010 2011 2012 2013 2014 2015 2016

Majengo 50.2 57.0 57.6 53.5 51.4 55.7 60.4 68.4 86.8 94.3

Vifaa vya Usafiri 9.5 5.9 3.4 4.5 4.1 5.6 3.5 3.6 3.3 3.3

Mitambo na Vifaa 15.0 20.3 26.4 22.5 23.2 22.4 15.0 15.3 14.0 14.4

Mitambo na Vifaa vingine 16.7 16.9 21.0 18.6 15.1 18.3 16.8 16.1 16.5 18.5

Raslimali za Mazao ya Mifugo 1.4 1.2 1.2 0.3 0.6 1.0 0.9 0.9 1.0 1.1Haki ya Umiliki, Utafiti na Maendeleo, na Huduma za

Kitaalamu 3.0 3.7 5.3 5.7 4.4 4.3 3.9 3.9 4.3 4.4

Rasilimali za Kudumu 95.8 105.0 114.8 105.1 98.8 107.3 100.5 108.1 125.9 136.0

Ongezeko la Limbikizo 4.2 -5.0 -14.8 -5.1 1.2 -7.3 -0.5 -8.1 -25.9 -36.0

Jumla ya Ukuzaji Rasilimali 100 100 100 100 100 100 100 100 100 100

Chanzo:Ofisi ya Taifa ya Takwimu

MCHANGO KATIKA UKUZAJI RASILIMALI KWA AINA YA SHUGHULI

(Kwa bei za miaka inayohusika)

Jedwali Na.7b TShs. milioni

Sekta 2006 2007 2008 2009 2010 2011 2012 2013 2014 2015 2016

A. Rasilimali za Kudumu 8427687 11030529 10883740 12572205 17324767 18786138 21625370 25968851 31122533 34768001

1. Serikali kuu 1975450 2614235 2590330 3017329 4175269 4184586 4274463 5226945 6262280 7996640

2. Mashirika 218277 286794 290596 326877 415794 307566 282222 310014 388417 382448

3. Taasisi 241875 318782 314540 339450 462571 320857 296085 327083 377101 312912

4. Sekta binafsi 5992085 7810718 7688274 8888549 12271132 13973130 16772600 20104809 24094735 26076001

B. Ongezeko la Limbikizo 366228 -520796 -1404814 -606714 213708 -1275622 -109266 -1949131 -6405326 -9209861

C. Jumla ya Ukuzaji Rasilimali 8793915 10509733 9478925 11965491 17538474 17510517 21516104 24019721 24717206 25558140

Chanzo:Ofisi ya Taifa ya Takwimu

UKUZAJI WA RASILIMALI KATIKA SEHEMU ZA UCHUMI WA KITAIFA NA BINAFSI

(Kwa bei za miaka inayohusika)

Page 50: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

30

Jedwali Na.8

FAHIRISI BADILIKO FAHIRISI BADILIKO

ASILIMIA ASILIMIA

2000 23.8 1.7 22.0 -2.0

2001 25.9 8.5 24.0 8.9

2002 26.9 3.8 24.9 4.0

2003 28.4 5.8 26.3 5.4

2004 30.2 6.4 28.1 6.8

2005 32.7 8.3 30.1 7.3

2006 36.49 11.5 33.24 10.3

2007 39.89 9.3 36.34 9.3

2008 46.80 17.3 41.87 15.2

2009 54.66 16.8 50.01 19.4

2010 61.89 13.2 58.99 18.0

2011 66.48 7.4 63.16 7.1

2012 78.96 18.8 77.83 23.2

2013 86.34 9.3 85.98 10.5

2014 92.95 7.7 92.22 7.3

2015* 97.97 5.4 97.67 5.9

2016 102.21 4.3 101.19 3.6

Chanzo: Ofisi ya Taifa ya Takwimu

*Kizio cha Fahirisi kilibadilishwa na kuanza kutumika Dec. 2015=100

MWAKA

BIDHAA ZOTE CHAKULA

FAHIRISI ZA BEI ZA REJAREJA ZA BIDHAA ZITUMIWAZO

NA WATU WA KIPATO CHA CHINI DAR-ES-SALAAM (Dec.2015=100)

Page 51: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

31

FAHIRISI ZA BEI ZA REJA REJA ZA BIDHAA ZITUMIKAZO

NA WATU WA KIPATO CHA CHINI DAR ES SALAAM (2001= 100)

Jedwali Na.9

Vinywaji Kodi Umeme, Nguo Fenicha, Huduma Huduma Michezo Fahirisi

Mwaka Chakula na ya Mafuta na Vyombo Mahitaji za na Usafiri Elimu Vinginevyo Bidhaa

Sigara Nyumba ya Taa, Viatu Vya Ny- ya Nyu- Afya Starehe Zote

Maji umbani mbani Robo ya nne 123.4 123.3 100.0 156.2 94.7 122.0 77.1 85.6 92.2 105.8 189.3 122.1 122.9

2005Robo ya kwanza 124.1 120.3 113.6 149.0 107.5 119.2 109.3 110.2 108.2 103.4 118.0 112.8 123.3

Robo ya pili 123.2 119.7 113.6 163.4 109.6 115.3 109.4 111.0 110.0 108.4 116.7 114.5 124.7

Robo ya tatu 125.7 119.9 113.6 165.9 108.9 114.5 110.2 113.8 111.7 110.4 105.3 119.9 126.8

Robo ya nne 129.9 119.9 113.6 170.9 108.8 113.7 111.3 119.2 111.6 116.8 120.1 137.3 131.0

2006Robo ya kwanza 135.2 130.2 129.9 179.6 107.7 114.4 108.4 119.8 117.6 133.0 98.0 149.7 137.0

Robo ya pili 139.7 137.6 132.8 195.0 106.1 114.6 108.9 119.9 114.1 133.8 89.9 148.4 141.7

Robo ya tatu 137.4 148.6 134.3 199.1 106.8 116.3 110.0 117.8 112.9 134.5 91.2 129.0 140.9

Robo ya nne 142.0 150.9 134.3 201.1 111.4 116.3 111.0 117.8 109.7 134.7 94.1 130.1 144.6

2007Robo ya kwanza 150.0 156.6 146.1 203.1 117.0 122.7 112.9 117.7 110.3 135.6 99.7 125.9 150.8

Robo ya pili 150.1 158.4 146.1 199.8 124.0 133.6 112.6 117.0 115.7 135.7 105.2 128.8 151.1

Robo ya tatu 148.3 159.3 146.1 217.1 124.2 133.5 123.7 110.6 118.1 156.2 107.3 130.4 153.6

Robo ya nne 157.7 163.8 146.1 216.5 131.2 137.0 127.4 113.9 115.4 166.4 103.6 128.6 161.2

2008Robo ya kwanza 167.2 169.9 195.1 252.7 143.5 154.7 122.2 126.1 103.4 166.5 96.5 129.9 172.5

Robo ya pili 172.6 171.2 195.1 262.7 143.2 155.6 134.0 132.3 107.8 166.4 96.5 135.3 177.5

Robo ya tatu 173.1 178.0 203.5 283.5 136.2 163.4 146.7 136.1 112.1 187.4 102.2 141.3 182.2

Robo ya nne 185.4 181.0 203.5 280.4 134.4 168.2 150.6 141.7 120.1 197.9 101.8 142.5 191.4

2009Robo ya kwanza 198.3 200.2 206.6 267.8 142.7 171.8 168.6 152.3 121.7 219.0 109.0 147.3 202.0

Robo ya pili 202.6 205.8 206.6 264.4 145.8 171.8 170.2 157.3 121.7 229.6 109.5 148.2 205.9

Robo ya tatu 210.3 216.1 206.6 284.2 156.3 174.9 170.7 171.4 126.7 230.1 112.6 147.3 214.1

Robo ya nne 222.9 220.9 206.6 289.9 166.5 174.9 158.7 174.3 128.6 225.2 114.0 148.1 223.2

2003 114.2 120.0 100.0 123.1 87.9 114.6 74.3 71.9 96.2 104.8 180.2 150.3 112.7

2004 123.5 122.9 100.0 142.0 97.2 137.4 80.5 85.1 99.4 104.1 191.1 123.0 121.9

2005 125.7 120.0 113.6 162.3 108.7 115.7 110.0 113.6 110.4 109.8 115.0 121.1 126.5

2006 138.6 141.8 132.8 193.7 108.0 115.4 109.6 118.8 113.5 134.0 93.3 139.3 141.1

2007 151.5 159.5 146.1 209.1 124.1 131.7 119.1 114.8 148.5 114.9 104.0 128.4 154.2

2008 174.6 175.1 199.3 269.8 139.3 160.5 138.4 134.0 110.8 179.5 99.2 137.2 180.9

2009 208.5 210.8 206.6 276.6 152.8 173.3 167.1 163.8 124.7 225.9 111.3 147.7 211.3

Vyakula

na

vinywaji

baridi

Vinywaji

vyenye

kilevi na

bidhaa za

tumbaku

Mavazi

ya nguo

na viatu

Nishati,

Maji na

Makazi

Samani,

vifaa vya

nyumbani

na

ukarabati

wa nyumba

Gharama

za AfyaUsafirishaji Mawasiliano

Utamaduni

na

Burudani

ElimuHoteli na

Migahawa

Bidhaa na

huduma

nyinginezo

FAHIRISI

BIDHAA

ZOTE

2010 58.99 58.09 58.47 68.80 77.22 79.73 63.60 99.68 68.72 102.48 63.66 63.22 61.89

2011 63.16 61.31 68.58 73.79 83.74 82.85 73.17 99.72 68.03 102.59 67.21 69.09 66.48

2012 77.83 66.34 75.61 86.46 86.26 88.38 83.22 100.00 81.74 103.20 73.61 76.41 78.96

2013 85.98 75.34 85.60 88.69 88.81 90.62 86.32 100.00 90.84 102.73 85.16 84.36 86.34

2014 92.22 81.64 93.45 94.93 92.39 91.24 100.08 100.00 94.70 102.72 91.76 94.05 92.95

2015* 97.67 93.26 101.90 98.12 97.91 96.35 99.91 100.00 100.00 102.40 98.24 96.61 97.97

2016 101.19 100.89 99.41 105.13 100.55 108.05 100.84 100.57 101.22 97.07 104.92 102.41 102.21

Chanzo: Ofisi ya Taifa ya Takwimu

NB. Wastani (Average) wa mwaka (kuanzia mwaka 2003, Fahirisi (Index) imekuwa ikitolewa kila mwezi katika miezi yote 12 ya mwaka

*Kizio cha Fahirisi kilibadilishwa na kuanza kutumika Dec. 2015=100

FAHIRISI ZA BEI ZA REJA REJA ZA BIDHAA ZITUMIWAZO NA WATU WA KIPATO CHA CHINI DAR ES SALAAM (Dec. 2015 = 100)

Fahirisi za Bei kuanzia mwaka 2005 hadi 2009 zilitumia mgawanyo wa makundi kwa tafsiri ya

Kitaifa (National Classification) hivyo fahirisi hizi haziwezi kuungwa na fahirisi zilizonzia mwaka 2010 zilizotumia mgawanyo wa makundi kwa mfumo wa kimataifa wa

Page 52: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

32

Jedwali Na. 10

2000 27.0 28.1 27.2 29.4 27.9 2.5

2001 30.5 28.9 28.7 28.4 29.1 4.5

2002 30.0 30.0 30.2 30.4 30.2 3.5

2003 30.4 30.4 30.9 31.7 30.8 2.3

2004 32.8 33.1 33.5 34.2 33.4 8.2

2005 34.9 35.3 36.7 37.3 36.0 7.9

2006 38.3 39.4 39.5 40.2 39.3 9.2

2007 41.7 43.3 44.4 46.0 43.9 11.5

2008 48.5 49.9 51.2 52.7 50.6 15.3

2009 55.7 57.3 60.3 62.3 58.9 16.4

2010 63.9 64.6 65.1 65.6 64.8 10.0

2011 67.9 69.3 70.3 72.1 69.9 7.9

2012 78.4 81.6 82.7 83.4 81.5 16.6

2013 87.6 88.6 88.5 88.4 88.3 8.3

2014 92.8 94.2 94.5 93.5 93.7 6.2

2015* 96.5 98.9 100.6 100.0 99.0 5.6

2016 102.05 104.35 103.81 103.79 103.50 4.5

Chanzo: Ofisi ya Taifa ya Takwimu

*Kizio cha Fahirisi kilibadilishwa na kuanza kutumika Dec. 2015=100

FAHIRISI YA BEI YA BIDHAA NA HUDUMA ZITUMIWAZO NA

WAFANYAKAZI WA KIMA CHA KATI - DAR-ES-SALAAM (Dec.2015 =100)

Page 53: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

33

Jedwali Na.11

Vinywaji Kodi Umeme, Nguo Fenicha , Huduma Huduma Michezo Fahirisi

Chakula na ya Mafuta na Vyombo Mahitaji za na Usafiri Elimu Vinginevyo Bidhaa

Sigara Nyumba ya Taa, Viatu Vya Ny- ya Nyu- Afya Starehe Zote

Maji umbani mbani1996 Robo ya kwanza 94.5 73.2 44.0 46.4 67.5 80.1 98.9 71.5 86.6 77.3 80.2 91.0 83.2

2008 Robo ya kwanza 166.4 160.2 195.1 259.4 122.7 163.5 130.5 125.9 124.2 161.4 168.4 103.9 166.5

Robo ya pili 173.8 160.8 195.1 266.9 119.1 167.7 140.7 128.2 129.0 162.1 168.4 104.0 171.4

Robo ya tatu 174.0 165.5 197.9 286.6 120.3 172.9 157.8 132.2 129.5 176.7 182.7 106.9 175.7

Robo ya nne 180.1 171.2 203.5 287.1 121.7 175.6 165.8 137.5 130.6 183.9 179.4 107.8 180.8

2009 Robo ya kwanza 194.7 183.2 206.6 275.9 125.7 178.4 168.5 155.5 132.1 192.1 183.1 109.4 191.1

Robo ya pili 202.1 189.1 206.6 276.2 128.3 179.9 169.9 156.2 135.1 196.5 184.9 109.3 196.7

Robo ya tatu 214.8 195.8 227.8 295.3 134.3 179.6 172.9 170.3 131.5 195.1 203.3 114.4 206.9

Robo ya nne 224.0 196.2 270.1 306.8 136.8 178.6 157.2 187.4 129.7 193.8 217.2 118.9 213.8

Mwaka

Vyakula

na

vinywaji

baridi

Vinywaji

vyenye

kilevi na

bidhaa za

tumbaku

Mavazi

ya nguo

na viatu

Nishati,

Maji na

Makazi

Samani,

vifaa vya

nyumbani

na

ukarabati

wa nyumba

Gharama

za Afya

Usafirish

aji

Mawasili

ano

Utamadun

i na

Burudani

ElimuHoteli na

Migahawa

Bidhaa na

huduma

nyinginezo

FAHIRISI

BIDHAA

ZOTE

2010 Robo ya kwanza 64.9 67.0 70.8 49.0 75.0 77.1 68.2 96.9 73.3 67.4 68.5 69.7 63.9

Robo ya pili 66.0 66.2 71.4 49.6 74.5 77.1 68.2 96.8 73.0 67.4 68.6 69.4 64.6

Robo ya tatu 66.3 67.3 71.8 50.8 75.4 77.1 68.4 97.3 75.4 67.4 69.2 69.5 65.1

Robo ya nne 66.7 68.9 72.1 51.7 75.9 77.1 68.8 97.3 75.2 67.4 69.4 69.1 65.6

2011 Robo ya kwanza 69.8 69.5 74.0 54.2 78.8 79.0 70.2 97.3 75.8 67.1 68.6 70.9 67.9

Robo ya pili 70.9 70.1 75.9 56.5 81.3 80.6 71.0 97.3 76.8 67.0 69.5 73.4 69.3

Robo ya tatu 72.1 71.3 75.9 57.6 82.0 80.8 71.1 97.4 77.0 67.2 70.0 75.1 70.3

Robo ya nne 75.1 72.0 76.3 58.1 82.5 80.8 71.6 97.6 77.7 67.3 70.0 75.9 72.1

2012 Robo ya kwanza 82.9 76.0 84.8 64.1 83.8 83.0 73.6 97.9 81.3 73.8 74.4 79.5 78.4

Robo ya pili 85.9 78.7 87.6 67.5 87.9 87.0 78.2 98.3 86.3 79.1 77.0 81.9 81.6

Robo ya tatu 87.1 81.2 89.5 68.4 89.0 87.9 78.5 98.4 89.2 81.3 78.6 83.1 82.7

Robo ya nne 87.6 82.2 91.9 69.4 89.6 88.8 78.1 98.5 89.4 82.7 79.5 84.6 83.4

2013 Robo ya kwanza 94.6 82.5 94.0 70.7 90.1 90.0 78.0 98.7 90.0 83.5 80.0 85.4 87.6

Robo ya pili 94.6 83.5 94.7 73.7 90.4 90.1 83.6 99.0 90.8 84.2 80.7 86.0 88.6

Robo ya tatu 92.7 86.2 95.6 76.2 90.8 91.3 88.0 99.2 91.5 85.9 81.6 88.2 88.5

Robo ya nne 91.7 88.0 95.7 77.5 91.3 91.7 89.5 99.2 92.2 86.8 82.5 88.8 88.4

2014 Robo ya kwanza 98.1 88.8 96.0 80.3 92.1 92.2 93.5 99.3 92.6 91.8 83.5 90.2 92.8

Robo ya pili 99.1 89.0 96.6 82.8 93.2 94.8 94.2 99.5 93.2 94.3 85.8 90.6 94.2

Robo ya tatu 97.3 92.9 97.3 86.8 96.7 97.0 96.3 100.0 95.0 95.9 88.0 93.6 94.5

Robo ya nne 93.7 97.0 98.0 89.6 99.0 97.8 97.7 100.0 97.2 95.9 90.5 95.7 93.5

2015* Robo ya kwanza 97.3 97.9 98.5 93.4 99.6 97.8 98.6 100.2 97.2 99.0 93.8 96.0 96.5

Robo ya pili 100.1 98.1 98.9 96.7 99.3 97.8 99.3 100.3 97.3 99.9 96.4 96.6 98.9

Robo ya tatu 101.8 98.9 99.0 99.4 99.4 98.4 100.5 100.2 98.2 100.0 98.0 96.7 100.6

Robo ya nne 100.4 100.0 99.8 99.5 99.9 99.6 100.1 100.0 100.1 100.0 99.0 99.2 100.0

2016 Robo ya kwanza 101.81 100.94 99.84 108.37 99.89 106.44 99.44 100.00 100.34 97.77 100.70 101.37 102.05

Robo ya pili 104.35 100.23 100.67 111.35 101.13 111.18 99.79 100.65 100.98 97.34 105.93 102.20 104.35

Robo ya tatu 103.90 101.28 99.83 107.36 100.24 113.92 100.57 101.22 101.05 97.34 106.92 102.16 103.81

Robo ya nne 102.52 102.55 100.25 110.34 102.43 114.81 99.94 101.34 101.94 97.34 105.83 103.52 103.79

Chanzo: Ofisi ya Taifa ya Takwimu

*Kizio cha Fahirisi kilibadilishwa na kuanza kutumika Dec. 2015=100

Fahirisi za Bei kuanzia mwaka 2004 hadi 2009 zilitumia mgawanyo wa makundi kwa tafsiri ya Kitaifa (National Classification) hivyo

fahirisi hizi haziwezi kuungwa na fahirisi zilizonzia mwaka 2010 zilizotumia mgawanyo wa makundi kwa mfumo wa kimataifa wa COICOP

FAHIRISI YA BIDHAA NA HUDUMA ZITUMIWAZO NA WAFANYAKAZI WA KIMA CHA KATI DAR ES SALAAM (2001=100)

Mwaka

FAHIRISI YA BIDHAA NA HUDUMA ZITUMIWAZO NA WAFANYAKAZI WA KIMA CHA KATI DAR ES SALAAM (DEC. 2015 = 100)

Page 54: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

34

Jedwali Na.12

Vinyaji Kodi Umeme, Nguo Fenicha , Huduma Huduma Michezo Fahirisi

Chakula na ya Mafuta na Vyombo Mahitaji za na Usafiri Elimu Vinginevyo Bidhaa

Sigara Nyumba ya Taa, Viatu Vya Ny- ya Nyu- Afya Starehe ZoteMaji mbani

2008 Machi 177.3 172.0 160.0 253.9 135.2 130.2 142.4 125.8 124.5 178.7 185.1 79.3 174.6

Juni 184.2 171.4 173.3 260.0 135.3 133.8 146.7 128.2 129.5 181.5 185.1 86.1 179.1

Septemba 191.6 182.0 180.0 270.7 128.8 140.5 155.8 131.3 131.8 217.1 188.9 91.1 192.6

Desemba 198.3 192.3 186.7 301.4 130.9 149.4 164.2 135.8 135.4 214.2 190.9 91.8 198.0

2009 Machi 219.8 198.3 200.0 275.0 130.0 157.4 169.0 149.3 191.2 212.7 193.0 92.0 206.3

Juni 225.3 199.3 200.0 275.2 134.5 163.9 170.7 155.0 193.1 210.2 193.3 93.0 208.7

Septemba 237.8 237.8 200.0 293.0 139.7 176.4 180.1 172.5 190.8 225.0 193.5 94.9 220.2

Desemba 247.4 207.4 200.0 305.1 147.2 137.0 163.7 185.5 189.4 228.1 195.9 94.7 225.9

Mwaka

Vyakula

na

vinywaji

baridi

Vinywaji

vyenye

kilevi na

bidhaa za

tumbaku

Mavazi

ya nguo

na viatu

Nishati,

Maji na

Makazi

Samani,

vifaa vya

nyumbani

na

ukarabati

wa nyumba

Gharama

za AfyaUsafirishaji

Mawasili

ano

Utamadu

ni na

Burudani

ElimuHoteli na

Migahawa

Bidhaa na

huduma

nyinginezo

FAHIRISI

BIDHAA

ZOTE

2010 Robo ya kwanza 54.8 68.9 75.2 63.9 82.3 84.4 67.3 94.3 82.5 82.1 65.4 83.0 63.4

Robo ya pili 57.0 72.3 74.7 65.1 82.8 84.4 67.8 94.7 84.8 82.1 65.7 85.2 64.9

Robo ya tatu 56.8 72.4 78.6 68.2 85.5 84.4 68.5 94.9 87.1 82.1 66.3 86.7 65.8

Robo ya nne 57.7 72.6 81.1 67.7 84.6 84.4 69.1 94.9 88.2 82.1 65.9 87.1 66.3

2011 Robo ya kwanza 61.1 73.8 80.7 70.9 86.7 85.2 70.8 94.9 89.3 82.1 67.5 83.9 68.7

Robo ya pili 62.4 74.8 83.8 72.0 89.5 87.7 77.2 94.9 91.2 82.1 72.2 85.6 70.8

Robo ya tatu 64.5 76.7 84.2 74.4 88.9 87.7 80.5 95.2 91.8 82.5 76.4 86.9 72.8

Robo ya nne 68.8 77.3 85.7 76.4 90.3 89.5 82.9 95.4 92.0 82.7 77.2 88.4 75.7

2012 Robo ya kwanza 72.8 78.2 88.7 77.3 92.9 91.5 82.4 95.4 92.8 82.7 78.7 91.3 78.0

Robo ya pili 74.2 78.6 89.2 79.8 94.2 91.9 83.3 95.4 93.0 82.7 79.6 95.4 79.5

Robo ya tatu 74.9 80.5 91.0 81.8 95.0 92.0 83.3 95.5 93.3 82.7 81.5 95.7 80.4

Robo ya nne 77.3 81.4 93.0 83.1 95.7 93.3 85.2 95.6 93.4 82.7 82.9 96.1 82.2

2013 Robo ya kwanza 83.1 81.4 93.8 83.9 96.1 94.8 86.4 95.5 93.9 84.4 84.9 96.4 85.5

Robo ya pili 81.7 82.1 95.2 83.4 96.3 94.8 94.1 95.7 96.1 84.4 85.3 96.8 85.6

Robo ya tatu 82.8 87.7 96.3 84.3 97.1 94.8 95.6 95.7 96.3 84.4 85.8 97.2 86.6

Robo ya nne 84.2 90.4 96.4 86.4 97.7 94.8 96.2 95.7 96.0 84.7 87.4 97.2 87.9

2014Robo ya kwanza 88.5 90.4 97.5 87.6 97.7 95.5 96.6 95.7 98.8 95.7 87.9 99.0 90.6

Robo ya pili 87.9 90.4 97.6 88.1 98.5 97.7 97.6 95.7 98.9 98.6 88.0 99.8 90.7

Robo ya tatu 88.0 92.9 97.5 92.7 97.8 97.5 98.7 95.7 99.3 98.6 90.4 101.2 91.8

Robo ya nne 89.7 95.6 97.3 95.1 98.2 97.3 99.3 95.6 99.8 98.6 92.5 99.9 93.3

2015*Robo ya kwanza 92.5 96.7 97.8 95.2 98.3 97.5 101.2 97.6 99.7 100.0 95.4 100.2 95.1

Robo ya pili 95.1 98.1 97.8 96.0 98.2 97.5 102.5 97.7 100.0 100.0 97.5 98.6 96.8

Robo ya tatu 97.6 99.0 98.5 97.1 98.7 98.4 102.6 98.5 100.2 100.0 97.5 98.7 98.3

Robo ya nne 100.0 99.6 99.3 101.1 99.6 99.3 99.9 100.0 100.1 100.0 98.4 99.6 100.0

2016Robo ya kwanza 102.6 100.4 99.8 105.2 100.2 107.3 98.6 100.0 100.4 98.6 100.4 101.4 101.0

Robo ya pili 105.3 100.9 100.7 107.2 103.0 111.9 98.9 100.6 101.3 98.4 103.1 102.0 102.5

Robo ya tatu 106.0 102.3 99.7 104.3 100.1 114.0 99.7 101.2 101.0 98.4 102.9 102.7 102.4

Robo ya nne 104.4 102.8 100.2 106.9 104.4 115.0 99.8 101.3 101.9 98.4 102.4 105.0 102.8

Chanzo: Ofisi ya Taifa ya Takwimu

*Kizio cha Fahirisi kilibadilishwa na kuanza kutumika Dec. 2015=100

Fahirisi za Bei kuanzia mwaka 2004 hadi 2009 zilitumia mgawanyo wa makundi kwa tafsiri ya Kitaifa (National Classification) hivyo

fahirisi hizi haziwezi kuungwa na fahirisi zilizonzia mwaka 2010 zilizotumia mgawanyo wa makundi kwa mfumo wa kimataifa wa COICOP

FAHIRISI YA BIDHAA NA HUDUMA ZITUMIWAZO NA WATU WENYE KIPATO CHA JUU DAR ES SALAAM (2001=100)

Mwaka

FAHIRISI YA BIDHAA NA HUDUMA ZITUMIWAZO NA WATU WENYE KIPATO CHA JUU DAR ES SALAAM (Dec. 2015=100)

Page 55: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

35

Jedwali Na. 13

Badiliko

Machi Juni Sept. Desemba Asilimia

2000 24.18 24.18 25.27 25.83 24.87 6.2

2001 30.87 28.15 27.03 25.83 27.97 12.5

2002 28.96 28.88 28.93 28.89 28.91 6.6

2003 29.92 30.22 30.19 30.24 30.14 4.2

2004 30.98 31.77 32.30 33.02 32.02 6.2

2005 33.62 33.88 34.76 36.80 34.77 8.6

2006 37.88 38.51 38.90 40.13 38.86 11.8

2007 42.19 43.45 44.68 45.76 44.02 13.3

2008 48.86 50.13 53.91 55.41 52.08 18.3

2009 57.72 58.40 61.62 63.21 60.24 15.7

2010 63.41 64.89 65.82 66.29 65.10 8.1

2011 68.73 70.77 72.83 75.67 72.00 10.6

2012 78.04 79.50 80.40 82.20 80.04 11.2

2013 85.48 85.58 86.64 87.93 86.41 8.0

2014 90.61 90.68 91.84 93.27 91.60 6.0

2015* 95.14 96.78 98.27 100.00 97.55 6.5

2016 101.02 102.52 102.43 102.81 102.20 4.8

Chanzo: Ofisi ya Taifa ya Takwimu

*Kizio cha Fahirisi kilibadilishwa na kuanza kutumika Dec. 2015=100

FAHIRISI YA GHARAMA YA MAISHA YA WATU WENYE KIPATO

CHA JUU DAR-ES-SALAAM (Dec. 2015=100)

Mwaka M I E Z I

Wastani

Page 56: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

36

Jedwali Na.14

Vinywaji Kodi Umeme, Nguo Fenicha , Huduma Huduma Michezo Fahirisi

na ya Mafuta na Vyombo Mahitaji za na Usafiri Elimu Vinginevyo Bidhaa

Sigara Nyumba ya Taa, Viatu Vya Ny- ya Nyu- Afya Starehe Zote

Maji umbani mbani2004 Robo ya kwanza 122.8 111.7 107.7 113.2 89.1 95.5 101.6 95.7 91.4 99.7 108.6 92.0 113.9

2008 Robo ya kwanza 163.4 146.8 138.9 161.6 105.3 116.6 115.1 113.6 110.0 132.9 106.2 103.4 149.2

Robo ya pili 165.1 148.5 139.5 172.0 106.4 118.1 117.1 114.7 111.4 136.5 107.8 103.9 151.7

Robo ya tatu 164.5 149.7 141.6 179.2 106.4 120.1 116.8 117.4 114.5 141.0 110.8 104.2 152.8

Robo ya nne 175.0 152.1 141.6 172.5 108.6 122.1 119.1 120.3 117.6 139.6 112.7 105.2 158.4

2009 Robo ya kwanza 193.5 154.8 156.4 164.5 109.7 124.8 120.7 122.3 121.4 137.7 116.9 106.9 168.7

Robo ya pili 194.0 158.2 156.5 158.7 112.5 126.1 122.7 125.9 121.4 135.3 122.4 108.6 168.9

Robo ya tatu 193.6 165.7 159.4 168.9 115.7 128.0 123.0 126.1 124.6 140.3 122.4 108.3 170.6

Robo ya nne 203.8 170.9 159.6 181.7 115.6 127.1 126.0 126.1 127.6 140.3 122.7 106.3 178.2

Mwaka

Vyakula

na

vinywaji

baridi

Vinywaji

vyenye

kilevi na

bidhaa za

tumbaku

Mavazi ya

nguo na

viatu

Nishati,

Maji na

Makazi

Samani, vifaa

vya nyumbani

na ukarabati

wa nyumba

Gharama

za AfyaUsafirishaji Mawasiliano

Utamadun

i na

Burudani

ElimuHoteli na

Migahawa

Bidhaa na

huduma

nyinginezo

FAHIRISI

BIDHAA

ZOTE

2010 Robo ya kwanza 54.4 66.1 68.2 54.3 72.0 84.6 79.4 101.3 81.7 83.4 69.5 72.4 61.3

Robo ya pili 55.2 64.8 68.4 57.2 72.9 84.8 79.2 102.0 82.7 83.4 69.5 72.9 62.1

Robo ya tatu 54.2 66.2 70.2 58.1 74.1 84.9 78.9 102.2 84.2 81.9 69.8 74.6 61.9

Robo ya nne 54.9 66.6 71.7 58.1 74.8 84.6 78.9 102.3 83.9 81.3 68.9 74.5 62.4

2011 Robo ya kwanza 59.0 67.7 73.6 61.9 80.5 85.7 80.4 100.2 84.7 85.6 72.4 74.6 65.8

Robo ya pili 61.2 68.7 75.0 66.2 83.1 86.2 84.5 99.9 85.2 85.9 73.9 75.4 68.2

Robo ya tatu 64.4 69.7 76.9 70.3 84.6 86.5 86.6 100.7 86.1 85.9 75.9 77.9 71.0

Robo ya nne 69.0 70.3 79.5 71.8 86.1 87.6 88.1 100.7 86.3 85.9 78.0 80.3 74.2

2012 Robo ya kwanza 74.7 73.1 83.8 73.4 88.9 88.2 88.8 99.6 90.9 89.2 83.7 82.9 78.6

Robo ya pili 76.3 75.5 86.5 76.3 90.7 89.0 90.4 99.1 93.7 90.0 87.3 85.2 80.5

Robo ya tatu 76.3 83.3 87.8 80.4 91.8 89.4 90.5 99.1 96.0 90.0 88.5 85.9 81.4

Robo ya nne 78.5 85.4 89.0 84.1 93.1 90.1 90.5 98.9 95.7 90.0 90.5 87.1 83.4

2013 Robo ya kwanza 83.4 87.6 90.5 86.1 94.4 91.0 90.7 98.7 95.6 91.7 91.8 88.6 86.7

Robo ya pili 82.9 88.3 91.2 90.1 94.6 91.7 96.1 98.5 96.0 91.9 92.2 89.4 87.3

Robo ya tatu 81.6 92.4 92.3 90.7 95.0 91.9 97.8 99.0 96.4 92.1 92.3 90.9 86.9

Robo ya nne 83.7 93.5 92.8 92.0 95.6 92.0 98.4 99.1 96.4 92.1 92.9 91.7 88.4

2014 Robo ya kwanza 88.9 93.8 93.8 96.8 96.1 92.8 98.8 99.2 96.6 96.8 93.3 92.6 91.9

Robo ya pili 89.7 93.8 94.1 98.7 96.8 95.2 99.4 99.5 96.7 96.8 94.5 96.6 92.9

Robo ya tatu 88.6 96.8 94.5 100.5 96.9 95.8 100.0 99.9 96.9 96.8 95.2 96.6 92.7

Robo ya nne 89.2 98.6 95.5 101.1 96.9 96.2 99.6 99.7 97.0 96.8 96.1 96.7 93.3

2015* Robo ya kwanza 93.5 98.8 97.0 101.6 97.4 96.6 97.5 99.8 97.1 98.6 97.6 97.4 95.7

Robo ya pili 97.3 98.8 97.8 99.8 97.4 97.1 97.6 99.8 97.5 100.0 98.9 97.8 97.8

Robo ya tatu 97.5 99.4 99.1 101.1 98.7 98.4 100.3 99.7 98.9 100.0 99.8 98.5 98.5

Robo ya nne 98.9 99.8 99.7 100.9 99.3 99.5 99.8 100.0 100.1 100.0 100.0 99.8 99.4

2016 Robo ya kwanza 102.1 100.4 101.0 103.8 100.5 101.6 99.1 99.5 100.4 101.8 100.5 100.8 101.4

Robo ya pili 104.2 103.2 101.9 107.3 101.5 103.2 98.9 98.8 100.9 102.3 103.6 101.4 103.0

Robo ya tatu 103.9 104.4 102.8 107.8 101.9 104.0 99.8 99.1 101.2 102.6 104.4 101.9 103.3

Robo ya nne 105.1 104.9 103.3 110.1 103.1 104.6 100.0 99.1 101.7 102.6 104.1 102.6 104.2

Chanzo: Ofisi ya Taifa ya Takwimu

*Kizio cha Fahirisi kilibadilishwa na kuanza kutumika Dec. 2015=100

Fahirisi za Bei kuanzia mwaka 2005 hadi 2009 zilitumia mgawanyo wa makundi kwa tafsiri ya Kitaifa (National Classification) hivyo

fahirisi hizi haziwezi kuungwa na fahirisi zilizonzia mwaka 2010 zilizotumia mgawanyo wa makundi kwa mfumo wa kimataifa wa COICOP

FAHIRISI YA BEI YA BIDHAA NA HUDUMA ZITUMIWAZO NA WAKAZI WA MIJINI - TANZANIA BARA (2001=100)

Mwaka Chakula

FAHIRISI YA BEI YA BIDHAA NA HUDUMA ZITUMIWAZO NA WAKAZI WA MIJINI - TANZANIA BARA (Dec. 2015=100)

Page 57: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

37

Jedwali Na.15

Wastani

Robo ya Robo ya Robo ya Robo ya wa Badiliko

Kwanza Pili Tatu Nne Fahirisi Asilimia1980 0.3 0.3 0.4 0.4 0.4 -

2000 33.2 33.0 31.8 32.3 32.6 6.0

2001 35.0 34.7 33.4 33.8 34.2 5.1

2002 35.4 35.6 35.5 36.3 35.7 4.3

2003 37.1 37.6 37.4 38.3 37.6 5.3

2004 39.0 39.0 39.1 40.4 39.4 4.7

2005 40.6 41.2 41.3 42.4 41.4 5.0

2006 43.8 44.9 43.7 45.1 44.4 7.3

2007 46.9 47.5 47.4 48.2 47.5 7.0

2008 51.1 51.9 52.3 54.2 52.4 10.3

2009 57.7 57.8 58.4 61.0 58.7 12.1

2010 61.3 62.1 61.9 62.4 61.9 5.5

2011 65.8 68.2 71.0 74.2 69.8 12.7

2012 78.6 80.5 81.4 83.4 81.0 16.0

2013 86.7 87.3 86.9 88.4 87.3 7.9

2014 91.9 92.9 92.7 93.3 92.7 6.1

2015* 95.7 97.8 98.5 99.4 97.9 5.6

2016 101.4 103.0 103.3 104.2 102.9 5.2

*Kizio cha Fahirisi kilibadilishwa na kuanza kutumika Dec. 2015=100

FAHIRISI YA BEI YA BIDHAA NA HUDUMA ZITUMIWAZO

NA WAKAZI WA MIJINI TANZANIA BARA (Dec 2015=100)

Mwaka

R o b o y a M w a k a

Chanzo: Ofisi ya Taifa ya Takwimu

Page 58: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

38

7.0

10.3

12.1

5.5

12.7

16.0

7.9

6.15.6

5.2

0.0

2.0

4.0

6.0

8.0

10.0

12.0

14.0

16.0

18.0

2007 2008 2009 2010 2011 2012 2013 2014 2015 2016

Asi

limia

MWENENDO WA KASI YA UPANDAJI BEI - Tanzania Bara

Page 59: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

39

Jedwali Na.16

CHINI KATI JUU CHINI KATI JUU

2000 23.8 27.9 24.9 32.6 1.7 2.5 6.2 6.0

2001 25.9 29.1 28.0 34.2 8.5 4.5 12.5 5.1

2002 26.9 30.2 28.9 35.7 3.8 3.5 3.3 4.3

2003 28.4 30.8 30.1 37.6 5.8 2.3 4.3 5.3

2004 30.2 33.4 32.0 39.4 6.4 8.2 6.2 4.7

2005 32.7 36.0 34.8 41.4 8.3 7.9 8.6 5.0

2006 36.5 39.3 38.9 44.4 11.5 9.2 11.8 7.3

2007 39.9 43.9 44.0 47.5 9.3 11.5 13.3 7.0

2008 46.8 50.6 52.1 52.4 17.3 15.3 18.3 10.3

2009 54.7 58.9 60.2 58.7 16.8 16.4 15.7 12.1

2010* 61.9 64.8 65.1 61.9 13.2 10.0 8.1 5.5

2011 66.5 69.9 72.0 69.8 7.4 7.9 10.6 12.7

2012 79.0 81.5 80.0 81.0 18.8 16.6 11.2 16.0

2013 86.3 88.3 86.4 87.3 9.3 8.3 8.0 7.9

2014 93.0 93.7 91.6 92.7 7.7 6.2 6.0 6.1

2015* 98.0 99.0 97.5 97.9 5.4 5.6 6.5 5.6

2016 102.2 103.5 102.2 102.9 4.3 4.5 4.8 5.2

Chanzo: Ofisi ya Taifa ya Takwimu

*Kizio cha Fahirisi kilibadilishwa na kuanza kutumika Dec. 2015=100

FAHIRISI MBALIMBALI ZA BIDHAA NA HUDUMA ZITUMIWAZO

NA WAKAZI WA MIJINI-TANZANIA BARA ( Dec.2015=100)

Mwaka

F A H I R I S I WAKAZI

MIJINI

TANZ.

BARA

B A D I L I K O % WAKAZI

MIJINI

TANZ.

BARA

K I P A T O C H A K I P A T O C H A

Page 60: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

40

SURA YA 2

HALI YA UCHUMI WA DUNIA NA USHIRIKIANO WA KIMATAIFA

HALI YA UCHUMI WA DUNIA

Ukuaji wa Uchumi

31. Kasi ya ukuaji wa uchumi wa dunia iliendelea kusuasua na kutoridhisha kwa

mwaka 2016 ikilinganishwa na miaka iliyotangulia. Mwaka 2016, kasi ya ukuaji

wa uchumi wa dunia ilikuwa asilimia 3.1 ikilinganishwa na ukuaji wa asilimia

3.2 kwa mwaka 2015. Kupungua kwa kasi ya ukuaji wa uchumi wa dunia ni

matokeo ya kupungua kwa ukuaji wa uchumi kwa nchi zilizoendelea ambapo

ukuaji wa uchumi kwa nchi zinazoendelea haukubadilika.

32. Mwaka 2016, kasi ya ukuaji wa pato la nchi zilizoendelea ulipungua

ikilinganishwa na kipindi kilichotangulia. Hali hiyo ilitokana na kupungua kwa

ukuaji wa uchumi wa Marekani, Ulaya na Japani. Kiwango cha ukuaji wa

uchumi kwa nchi zilizoendelea kilikuwa asilimia 1.6 mwaka 2016

ikilinganishwa na ukuaji wa asilimia 2.1 mwaka 2015. Kasi ndogo ya ukuaji

ilitokana na kudhoofu kwa mahitaji ya bidhaa na huduma kutoka nje, kupungua

kwa tija kwenye uzalishaji na kupungua kwa kasi ya uwekezaji.

33. Mwaka 2016, kasi ya ukuaji wa uchumi kwa nchi zinazoendelea ilikuwa

asilimia 4.1 kama ilivyokuwa kwa mwaka uliotangulia. Ukuaji huu kwa nchi

zinazoendelea ulichangiwa zaidi na kupungua kwa kasi ya ukuaji wa shughuli za

kiuchumi kwa nchi za China na Nchi za Afrika kusini mwa Jangwa la Sahara.

Hali hiyo ilichangiwa na bei ndogo za bidhaa katika soko la dunia, kupungua

kwa uwekezaji kutoka sekta binafsi na kupungua kwa uhitaji wa bidhaa kutoka

nje. Aidha, uwepo wa ukame kutokana na El Nino uliathiri shughuli za kilimo

na uzalishaji wa umeme wa maji na hivyo kupunguza uzalishaji wa bidhaa na

huduma. Kutokana na athari hizo, kasi ya ukuaji wa pato la nchi za Asia

zinazoendelea ikijumuisha China na India ilikuwa asilimia 6.3 mwaka 2016

ikilinganishwa asilimia 6.7 mwaka 2015. Kwa upande wa nchi za Afrika Kusini

mwa Jangwa la Sahara kasi ya ukuaji wa uchumi ilipungua hadi asilimia 1.6

mwaka 2016, kutoka ukuaji wa asilimia 3.4 mwaka 2015.

Page 61: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

41

Jedwali Na 2.1: Pato la Dunia 2009 – 2016

2009 2010 2011 2012 2013 2014 2015 2016

Pato la Dunia 0.0 5.4 4.2 3.5 3.3 3.4 3.2 3.1

Nchi Zilizoendelea -3.4 3.1 1.7 1.2 1.2 1.9 2.1 1.6

Nchi Zinazoendelea 3.1 7.4 6.3 5.3 4.9 4.6 4.1 4.1

Nchi za Asia Zinazoendelea 7.5 9.6 7.8 6.9 6.9 6.8 6.7 6.3

Afrika Kusini ya Jangwa la Sahara 4.0 6.6 5.0 4.3 5.2 5.1 3.4 1.6

Ukuaji kwa asilimia

Chanzo: Shirika la Fedha la Kimataifa (IMF), Januari 2017

34. Mwaka 2016, mfumuko wa bei wa dunia uliongezeka na kuwa wa wastani

wa asilimia 2.9 kutoka wastani wa asilimia 2.8 mwaka 2015. Mwenendo huu

uliongezeka kutokana na kulegezwa kwa sera za bajeti na fedha kwa baadhi ya

nchi, ukame uliotokana na mabadiliko ya tabia nchi pamoja na uwepo wa El

nino ambao uliathiri upatikanaji wa mvua. Ongezeko hili liliwiana na mfumuko

wa bei ya mlaji wa mwisho kwa nchi zilizoendelea, zinazoendelea za Asia na

nchi zilizo Kusini mwa Bara la Afrika. Mfumuko wa bei kwa nchi zilizoendelea

uliongezeka na kuwa asilimia 0.8 mwaka 2016 ikilinganishwa na asilimia 0.3

mwaka 2015. Katika kipindi hicho, mfumuko wa bei kwa nchi zinazoendelea za

Asia uliongezeka hadi asilimia 3.1 ikilinganishwa na asilimia 2.7 mwaka 2015.

Mwenendo wa Biashara Duniani

35. Mwaka 2016, ukuaji wa shughuli za biashara duniani uliendelea kudhoofika

ambapo kasi yake ilikuwa asilimia 1.3 ikilinganishwa na asilimia 2.6 mwaka

2015. Ukuaji huo ni matokeo ya kupungua kwa ukuaji wa uchumi duniani

ukiambatana na mabadiliko ya muundo katika bidhaa za biashara na uzalishaji

wa bidhaa zenyewe. Aidha, matatizo katika taasisi za fedha za kimataifa

yaliathiri kwa kiasi kikubwa shughuli za biashara nchini China na kwa washirika

wake wa kibiashara ambapo kulijitokeza hofu ya kuporomoka kwa thamani ya

sarafu zao.

Page 62: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

42

Jedwali Na.2.2: Mwenendo wa Biashara Duniani 2016 (USD bilioni na

Asilimia)

Thamani Thamani2016 2010 -16 2014 2015 2016 2016 2010 -16 2014 2015 2016

Dunia 15,464 0.6 0.3 -13.5 -3.3 15,799 0.7 0.6 -12.5 -3.2Amerika ya Kaskazini 2,219 2.1 3.1 -8.0 -3.2 3,067 2.3 3.4 -4.5 -2.9

Marekani 1,455 2.2 2.6 -7.3 -3.2 2,251 2.3 3.6 -4.0 -2.8Canada 390 0.1 3.9 -13.9 -4.8 417 0.6 0.9 -9.1 -4.5Mexico 374 3.8 4.4 -4.1 -1.8 398 4.2 5.3 -1.5 -1.9

Amerika ya Kusini na Kati 511 -2.4 -7.0 -21.1 -5.6 533 -1.5 -4.0 -16.4 -14.5Brazil 185 -1.4 -7.0 -15.1 -3.1 143 -4.7 -4.5 -25.2 -19.8Nchi nyingine za Amerika ya Kusini na Kati 326 -2.9 -6.9 -24.1 -6.9 389 -0.2 -3.7 -12.3 -12.4

Ulaya 5,942 0.8 0.5 -12.5 -0.3 5,920 0.0 1.2 -13.2 0.2Umoja wa Nchi za Ulaya 5,373 0.6 1.3 -12.5 -0.3 5,330 -0.3 2.2 -13.4 0.1

Ujerumani 1,340 1.0 3.4 -11.2 1.0 1,055 0.0 2.2 -12.9 0.3Ufaransa 501 -0.7 -0.1 -12.9 -0.9 573 -1.1 -0.7 -15.3 -0.1Uholanzi 570 -0.1 0.2 -15.3 0.0 503 -0.4 0.0 -12.9 -1.9Uingereza 409 -0.3 -6.6 -8.9 -11.0 636 1.2 4.6 -9.3 1.5Italia 462 0.5 2.2 -13.7 0.9 404 -3.0 -1.1 -13.3 -1.6

Jumuiya ya Madola ya Nchi huru (CIS) 419 -5.5 -5.8 -13.9 -16.2 333 -3.6 -11.7 -32.4 -2.6Shirikisho la Urusi 282 -5.7 -4.8 -31.3 -17.5 191 -4.3 -9.8 -37.3 -0.8

Afrika 346 -6.6 -7.6 -29.6 -11.5 501 0.7 0.4 -13.8 -9.5Afrika ya Kusini 75 -3.2 -4.1 -11.7 -7.8 92 -0.9 -3.5 -14.2 -12.5Afrika bila Afrika ya Kusini 271 -7.4 -8.2 -33.2 -12.5 409 1.1 1.3 -13.8 -8.8

Wauza mafuta Nje 113 -14.4 -13.6 -44.6 -27.6 143 -0.7 1.2 -19.1 -12.6Wasiouza Mafuta Nje 158 1.7 1.6 -15.4 2.8 266 2.2 1.3 -10.4 -6.6

Mashariki ya Kati 766 -2.8 -4.3 -34.4 -9.5 665 2.3 2.1 -7.7 -7.2Asia 5,262 1.9 2.6 -7.9 -3.7 4,781 0.9 0.1 -14.5 -4.7

China 2,098 4.9 6.0 -2.9 -7.7 1,587 2.2 0.5 -14.3 -5.5Japan 645 -2.9 -3.5 -9.5 3.2 607 -2.2 -2.5 -20.2 -6.3India 264 2.6 2.5 -17.1 -1.3 359 0.4 -0.5 -15.1 -8.6Nchi zinazochipukia kiviwanda 1,131 0.3 1.3 -11.1 -3.5 1,041 -0.9 1.1 -16.6 -5.8

Nchi Masikini Duniani 145 -1.8 -3.5 -23.5 -6.0 228 5.1 6.5 -9.7 -3.0

Mauzo ya Nje Manunuzi kutoka NjeBadiliko kwa mwaka (Asilimia) Badiliko kwa mwaka (Asilimia)

Chanzo: Shirika la Biashara Duniani (WTO) Aprili 2016

Page 63: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

43

36. Mwaka 2016, thamani ya mauzo ya bidhaa nje kwa nchi za Afrika ilipungua

hadi dola za Marekani bilioni 346 ikilinganishwa na dola za Marekani bilioni

391.0 mwaka 2015, sawa na upungufu wa asilimia 11.5. Aidha, thamani ya

manunuzi ya bidhaa kutoka nje ilipungua hadi dola za Marekani bilioni 501

mwaka 2016 kutoka thamani ya manunuzi ya dola za Marekani 553.6 mwaka

2015, sawa na upungufu wa asilimia 9.5. Kulingana na mwenendo huo wa

biashara, nchi za Afrika zilipata nakisi kwenye urari wa biashara ya bidhaa nje

yenye thamani ya dola za Marekani bilioni 155 mwaka 2016 ikilinganishwa na

urari wa biashara wenye nakisi ya dola za Marekani bilioni 162.6 mwaka 2015

Hali ya Uchumi wa Nchi za Afrika Kusini mwa Jangwa la Sahara

37. Mwaka 2016, ukuaji wa Pato la nchi za Afrika Kusini mwa Jangwa la Sahara

ulikuwa asilimia 1.6 ikilinganishwa na asilimia 3.4 mwaka 2015. Ukuaji huo ni

matokeo ya kuporomoka kwa kasi ya ukuaji wa uchumi wa nchi ambazo zinauza

mafuta kutoka wastani wa asilimia 2.6 mwaka 2015 hadi asilimia 1.3 mwaka

2016. Hali hii ilitokana na bei ya bidhaa ghafi hususan mafuta katika soko la

dunia kuwa chini na mazingira ya kiuchumi duniani kutokuwa rafiki kwa nchi

hizo. Aidha, kasi ya ukuaji wa uchumi wa nchi nyingine kusini mwa Jangwa la

Sahara ulipungua kutokana na kutokuwepo kwa hali nzuri ya hewa. Kwa nchi za

kipato cha kati, kasi ya ukuaji wa uchumi ilipungua kutoka asilimia 2.7 mwaka

2015 hadi asilimia 0.4 mwaka 2016. Vile vile, kasi ya ukuaji wa uchumi kwa

nchi za kipato cha chini ilipungua na kuwa asilimia 4.7 mwaka 2016

ikilinganishwa na asilimia 5.6 mwaka 2015.

38. Mwaka 2016, kutokana na uhaba wa mvua uliosababishwa na El nino kasi

ya ukuaji wa bei kwa nchi za Afrika kusini mwa Jangwa la Sahara iliongezeka

hadi kufikia wastani wa asilimia 11.3 kutoka asilimia 7.0 mwaka 2015.

Ongezeko la mfumuko wa bei kwa nchi za Afrika Kusini mwa Jangwa la Sahara

ulichangiwa zaidi na kuongezeka kwa mfumuko wa bei kwa nchi zinazouza

mafuta kutoka wastani wa asilimia 8.8 mwaka 2015 hadi kufikia asilimia 18.2

mwaka 2016. Aidha, mfumuko wa bei kwa nchi za kipato cha kati na cha chini

uliongezeka hadi wastani wa asilimia 11.8 na asilimia 9.5 mwaka 2016 kutoka

asilimia 7.2 na asilimia 6.3 mwaka 2015, kwa mtiririko huo.

Page 64: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

44

Jedwali Na.2.3: Mwenendo wa Baadhi ya Viashiria vya Uchumi kwa

Baadhi ya Nchi Kusini mwa Jangwa la Sahara: 2014 – 2016

Ukuaji kwa mwaka Ukuaji kwa mwaka Sehemu ya pato la taifa

2014 2015 2016 2014 2015 2016 2014 2015 2016

Nchi Kusini mwa Jangwa la Sahara 5.1 3.4 1.6 6.3 7.0 11.3 -3.7 -5.9 -4.5

Nchi zinazouza mafuta 5.9 2.6 -1.3 7.1 8.8 18.2 -0.6 -4.7 -2.2

Nigeria 6.3 2.7 -1.7 8.0 9.0 15.4 0.2 -3.1 -16.6

Angola 4.8 3.0 0.0 7.3 10.3 33.7 -2.9 -8.5 -5.4

Equatorial Guinea -0.5 -7.4 -9.9 4.3 1.7 1.5 -5.6 -16.8 -11.8

Gabon 4.3 4.0 3.2 4.5 0.2 2.5 8.1 -2.3 -5.3

Republic of Congo 6.8 2.3 1.7 0.9 2.0 4.0 -3.3 -21.0 -8.2

Chad 6.9 1.8 -1.1 1.7 3.7 0.0 -9.0 -12.4 -8.7

Cameroon 5.9 5.8 4.8 1.9 2.7 2.2 -4.3 -4.2 -4.2

South Sudan 2.9 -0.2 -13.1 1.7 52.8 476.0 2.1 -11.1 -0.5

Nchi za Kipato cha Kati 4.6 2.7 0.4 7.0 7.2 11.8 -2.4 -4.5 -3.0

Botswana 3.2 -0.3 3.1 4.4 3.0 3.2 15.6 7.2 4.1

Cape Verde 1.9 1.5 3.6 -0.2 0.1 0.1 -9.0 -4.3 -7.7

Ghana 4.0 3.9 3.3 15.5 17.2 17.0 -9.6 -7.5 -6.3

Kenya 5.3 5.6 6.0 6.9 6.6 6.2 -10.3 -6.8 -6.4

Lesotho 3.4 2.8 2.4 4.0 5.3 8.6 -7.9 -8.7 -8.0

Mauritius 3.6 3.5 3.5 3.2 1.3 1.5 -5.7 -4.9 -4.3

Namibia 6.5 5.3 4.2 5.3 3.4 6.6 -10.7 -12.9 -12.4

Senegal 4.3 6.5 6.6 -1.1 0.1 1.0 -8.9 -7.6 -8.4

Seychelles 6.2 5.7 4.9 1.4 4.0 -0.8 -12.0 -18.6 -18.7

South Africa 1.6 1.3 0.1 6.1 4.6 6.4 -5.3 -4.3 -3.3

Swaziland 2.5 1.7 0.5 5.7 5.0 7.0 3.3 9.2 -4.9

Zambia 5.0 3.0 3.0 7.8 10.1 19.1 2.1 -3.5 -4.5

Nchi za Kipato cha Chini 6.6 5.6 4.7 4.2 6.3 9.5 -8.8 -10.7 -9.3

Benin 6.5 5.0 4.6 -1.1 0.3 0.6 -8.7 -10.5 -10.0

Burkina Faso 4.0 4.0 5.2 -0.3 0.9 1.6 -8.0 -6.4 -6.0

Ethiopia 10.3 10.2 6.5 7.4 10.1 7.7 -7.9 -12.0 -10.7

Gambia -0.2 4.4 2.3 6.2 6.8 8.3 -10.9 -15.2 -12.7

Madagascar 3.3 3.1 4.1 6.1 7.4 6.7 -0.3 -1.9 -2.3

Malawi 5.7 2.9 2.7 23.8 21.9 19.8 -8.5 -8.3 -15.8

Mali 7.0 6.0 5.3 0.9 1.4 1.0 -4.7 -5.1 -6.0

Mozambique 7.4 6.6 4.5 2.3 2.4 16.7 -38.2 -39.0 -33.5

Niger 7.0 3.5 5.2 -0.9 1.0 1.6 -14.1 -17.2 -17.8

Rwanda 7.0 6.9 6.0 1.8 2.5 5.3 -10.5 -13.5 -16.6

Sierra Leone 4.6 -21.1 4.3 8.3 9.0 9.7 -18.2 -15.5 -16.2

Tanzania 7.0 7.0 7.2 6.1 5.6 5.5 -9.5 -8.8 -8.8

Uganda 4.9 4.8 4.9 3.1 5.5 5.5 -8.7 -9.4 -8.7

Pato halisi la Taifa Bei za Mlaji Urari wa Biashara ya Nje

Chanzo:-Shirika la Fedha Duniani (IMF) Oktoba 2016.

Page 65: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

45

USHIRIKIANO WA UCHUMI KIMATAIFA

Jumuiya ya Afrika Mashariki

39. Kikao cha kawaida cha 17 cha Wakuu wa Nchi za Jumuiya ya Afrika

Mashariki chini ya uenyekiti wa Mheshimiwa Rais Dkt. John Pombe Joseph

Magufuli kilifanyika katika Jiji la Arusha, Tanzania mwezi Machi 2016. Pamoja

na mambo mengine, kikao hicho kilipokea taarifa ya mwaka ya Baraza la

Mawaziri wa Jumuiya kwa kipindi cha Novemba 2014 hadi Novemba 2015 na

hivyo kuridhishwa na maendeleo mazuri ya utekelezaji wa programu za

Jumuiya. Aidha, kikao hakikuridhishwa na utekelezaji wa baadhi ya maagizo

kwa baadhi ya nchi, mathalani, katika kuridhia itifaki mbalimbali. Sekretarieti

ilielekezwa kuandaa orodha ya itifaki ambazo hazijaridhiwa ili nchi wanachama

waziridhie na kuziwasilisha kwa Katibu Mkuu wa Jumuiya ifikapo tarehe 30

Julai 2016.

40. Kwa upande mwingine, kikao cha wakuu wa nchi za Jumuiya kililiagiza

Baraza la Mawaziri wa Jumuiya kuipitia hati ya uanzishwaji wa Benki ya

Maendeleo ya Jumuiya ya Afrika Mashariki (EADB) na kuijumuisha kwenye

muundo wa Jumuiya. Aidha, Sekretarieti ilielekezwa kuandaa miongozo ya

taasisi mbalimbali za Jumuiya kuhusiana na uanzishaji, utawala na utoaji wa

taarifa. Vile vile, Baraza la Mawaziri wa Jumuiya liliagizwa kukamilisha kazi ya

kutafuta mbinu thabiti za namna ya kugharamia shughuli za Jumuiya ya Afrika

Mashariki kwa kuzingatia mapendekezo mbalimbali. Wakuu wa nchi za

Jumuiya walipokea taarifa ya maombi ya uanachama wa nchi ya Sudani ya

Kusini ambapo ombi hilo lilipitishwa na hivyo nchi ya Sudani ya Kusini

kukubaliwa kuwa mwanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki. Hati ya

uanachama ilitiwa sahihi na Mwenyekiti wa Jumuiya Mhe. Rais Dkt. John

Pombe Joseph Magufuli na Rais wa Sudani ya Kusini Mhe. Generali Salva Kiir

Mayardit.

41. Mwaka 2016, kikao cha 17 cha ziada kwa wakuu wa nchi za Jumuiya ya

Afrika Mashariki kiliitishwa katika Jiji la Dar es Salaam. Kikao hicho kilijadili

taarifa ya Baraza la Mawaziri wa Jumuiya kuhusu makubaliano ya ushirikiano

wa kiuchumi (EPA) baina ya Umoja wa Ulaya na Jumuiya ya Afrika Mashariki.

Aidha, nchi mbili wanachama zilikuwa zimetia sahihi makubaliano hayo

ambazo ni Rwanda na Kenya. Hata hivyo, wakuu wa nchi za Jumuiya waliamua

kujipa muda zaidi wa kuelewa mpango huo kabla ya kutoa maamuzi yao kama

Jumuiya. Halikadhalika, taarifa ya mazungumzo ya usuluhishi wa mgogoro wa

Page 66: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

46

Burundi ilipokelewa kutoka kwa Rais mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa

Tanzania Mheshimiwa Benjamin William Mkapa na mapendekezo yake

yalikubaliwa. Kwa kufanikisha jambo hilo, wakuu wa nchi za Jumuiya ya Afrika

Mashariki waliliagiza Baraza la Mawaziri wa Jumuiya kuandaa bajeti ya

mazungumzo ya usuluhishi wa mgogoro wa Burundi.

Umoja wa Afrika na Tume ya Uchumi ya Bara la Afrika

42. Mkutano wa pamoja wa 9 wa kila mwaka kwa mawaziri wa fedha na uchumi

wa Umoja wa nchi za Afrika na Tume ya Uchumi ya Afrika ulifanyika tarehe 31

Machi hadi 5 Aprili 2016 katika jiji la Addis Ababa, Ethiopia. Lengo la mkutano

huo lilikuwa kutatua changamoto zilizomo kwenye mada kuu ya mikutano

“Kuelekea kwenye utaratibu jumuishi na madhubuti katika utekelezaji,

ufuatiliaji na tathmini ya Ajenda za 2063 na Malengo Endelevu ya Maendeleo

(SDGs)”. Kwa mantiki hiyo, nchi za Afrika zinakabiliwa na mambo mawili ya

mpito ambayo ni mpito kwa ngazi ya dunia kutoka malengo ya maendeleo ya

milenia hadi Ajenda 2030 na mpito wa kikanda kuelekea Ajenda 2063.

43. Kutokana na mada hiyo kuu, jambo lililotiliwa mkazo lilikuwa utangamano

wa kikanda ambapo utekelezaji wake kwa nchi za Afrika unatofautiana.

Utangamano wa kikanda unaambatana na usafirishaji huria wa bidhaa, rasilimali

za fedha na watu kutoka nchi moja ya Afrika hadi nchi nyingine, ambapo Afrika

inajitahidi kutekeleza mambo yote matatu kwa wakati mmoja. Aidha, utekelezaji

huo ni maamuzi ya nchi zote za Afrika ambapo waafrika wanaweza kusafiri

kwenda nchi yoyote ya Afrika bila vikwazo vyovyote. Baadhi ya nchi za Afrika

zinatekeleza lengo hili kwa kutoa viza ya siku thelathini kwa raia wa nchi za

Afrika wanapowasili katika nchi hizo. Vile vile, wakuu wa nchi za Afrika

watakuwa wanapatiwa hati za kusafiria nje ya nchi kuanzia Julai 2016 katika jiji

la Kigali, Rwanda.

Shirikisho la Biashara Duniani (WTO)

44. Shirika la Biashara Duniani liliandaa pendekezo la Itifaki ya Marekebisho ya

Makubaliano ya Haki Miliki ya Ubunifu kwenye masuala mbalimbali ya

biashara mwaka 2015. Dhumuni kuu la Itifaki hiyo lilikuwa kuziwezesha nchi

masikini wanachama wa WTO kupata madawa kwa bei nafuu. Kufanikisha hilo,

pendekezo la Itifaki lilikuwa kila nchi mwanachama wa WTO kuwasilisha hati

ya kukubali utekelezaji wa mageuzi hayo. Itifaki hiyo itaanza kufanya kazi ikiwa

Page 67: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

47

idadi ya nchi zitakazo wasilisha hati ya kukubali itafikia theluthi mbili ya

wanachama wa WTO.

45. Mwaka 2016, Tanzania iliwasilisha hati ya kukubaliana na pendekezo la

Itifaki ya Marekebisho ya Makubaliano ya Haki Miliki ya Ubunifu ya Biashara,

kama nchi nyingine wanachama wa WTO. Aidha, Itifaki hiyo itakapopitishwa

itaziwezesha nchi zinazouza dawa kutoa leseni kwa wazalishaji na wasambazaji

kuziuzia nchi ambazo haziwezi kutengeneza dawa hizo. Tofauti na ilivyo Kwa

sasa, ambapo leseni za biashara zinawataka watengeneza dawa kuzisambaza

katika soko la ndani.

Page 68: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

48

SURA YA 3

SEKTA YA NJE

Utangulizi

46. Mwaka 2016, mwenendo wa biashara ya bidhaa na huduma kati ya Tanzania

na nchi mbalimbali uliendelea vizuri. Thamani ya mauzo ya bidhaa na huduma

nje iliongezeka kwa asilimia 4.1 na kufikia dola za Marekani milioni 9,285.6

mwaka 2016 ikilinganishwa na Dola milioni 8,918.1 mwaka 2015. Aidha,

thamani ya uagizaji wa bidhaa na huduma nje kwa mwaka 2016 ilipungua kwa

asilimia 15.2 na kufikia dola za Marekani milioni 10,604.9 kutoka Dola milioni

12,528.2 mwaka 2015. Punguzo hilo lilitokana na kupungua kwa thamani ya

bidhaa zote zilizoagizwa kutoka nje isipokuwa malighafi za viwandani,

sambamba na kupungua kwa malipo ya usafirishaji, malipo ya huduma za

kiserikali, na huduma za biashara nyingine.

Bidhaa Zilizouzwa Nje

47. Thamani ya mauzo ya bidhaa nje iliongezeka na kufikia dola za Marekani

milioni 5,688.8 mwaka 2016 kutoka Dola milioni 5,402.3 mwaka 2015, sawa na

ongezeko la asilimia 5.3. Kiasi hiki kinajumuisha bidhaa ambazo

hazikurekodiwa zenye thamani ya Dola milioni 517.2. Ongezeko hili

lilichangiwa na kukua kwa kiasi cha mauzo ya bidhaa asilia na zisizo asilia

ambapo bidhaa asilia zilichangia asilimia 15.6 na bidhaa zisizo asilia zilichangia

asilimia 75.3 ya mauzo yote.

BBiiddhhaaaa AAssiilliiaa

48. Mwaka 2016, thamani ya mauzo ya bidhaa asilia iliongezeka hadi dola za

Marekani milioni 885.6 kutoka Dola milioni 793.3 mwaka 2015, sawa na

ongezeko la asilimia 11.6. Hii ilitokana na kuimarika kwa bei katika soko la

dunia hususan kwa mazao ya korosho, pamba na tumbaku.

Kahawa

49. Mwaka 2016, thamani ya mauzo ya kahawa ilipungua kwa asilimia 4.9 na

kufikia dola za Marekani milioni 154.2, kutoka dola milioni 162.2 mwaka 2015.

Punguzo hilo lilichangiwa zaidi na kushuka kwa bei ya kahawa katika soko la

dunia, kutoka wastani wa dola 3,123.0 kwa tani mwaka 2015 na kufikia wastani

wa dola 2,556.7 kwa tani mwaka 2016, sawa na punguzo la asilimia 18.1.

Page 69: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

49

Pamba

50. Thamani ya mauzo ya pamba iliongezeka hadi dola za Marekani milioni 46.8

mwaka 2016, ikilinganishwa na dola milioni 30.2 mwaka 2015, sawa na

ongezeko la asilimia 55.0. Ongezeko hilo lilitokana na kuongezeka kwa wingi

wa pamba iliyouzwa nje pamoja na kupanda kwa wastani wa bei ya pamba

katika soko la kimataifa. Aidha, kiasi cha pamba kilichouzwa nje kilikuwa tani

33,046 mwaka 2016 ikilinganishwa na tani 29,086 mwaka 2015. Vile vile,

wastani wa bei ya pamba katika soko la dunia uliongezeka kwa asilimia 36.4

hadi wastani wa dola za Marekani 1,415.9 kwa tani mwaka 2016 kutoka dola

1,037.8 kwa tani mwaka 2015.

Katani

51. Mwaka 2016, thamani ya katani iliyouzwa nje ilipungua kwa asilimia 35.1

kutoka dola za Marekani milioni 26.5 mwaka 2015 hadi Dola milioni 17.2.

Upungufu huo ulitokana na kupungua kwa kiasi cha katani kilichouzwa nje

kutoka tani 1.5 mwaka 2015 hadi tani 1.4 mwaka 2016, sawa na upungufu wa

asilimia 6.7. Aidha, wastani wa bei ya katani uliongezeka kwa asilimia 14.5

kutoka dola za Marekani 1,748.8 kwa tani mwaka 2015 hadi Dola 2002.1 kwa

tani mwaka 2016.

Chai

52. Thamani ya mauzo ya chai ilikuwa dola za Marekani milioni 44.7 mwaka

2016 ikilinganishwa na Dola milioni 44.0 mwaka 2015, sawa na ongezeko la

asilimia 1.6. Ongezeko hili lilitokana na kupanda kwa wastani wa bei ya chai

katika soko la dunia kutoka wastani wa dola za Marekani 1,600.9 kwa tani

mwaka 2015 hadi dola 1,695.7 kwa tani mwaka 2016. Hata hivyo, kiasi cha chai

kilichouzwa nje mwaka 2016 kilipungua na kufikia tani 26,374 ikilinganishwa

na tani 27,480 mwaka 2015.

Tumbaku

53. Mwaka 2016, thamani ya mauzo ya tumbaku iliongezeka kwa asilimia 8.7 na

kufikia dola za Marekani milioni 312.7ikilinganishwa na dola milioni 287.6

mwaka 2015. Ongezeko hili lilitokana na kuongezeka kwa wastani wa bei ya

tumbaku katika soko la dunia kutoka dola 4,336.5 kwa tani mwaka 2015 hadi

wastani wa dola 4,732.0 kwa tani mwaka 2016. Kwa upande mwingine, kiasi

cha tumbaku iliyouzwa nje ilipungua hadi tani 66,091 mwaka 2016 kutoka tani

66,326 mwaka 2015.

Page 70: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

50

Korosho

54. Mwaka 2016, thamani ya mauzo ya korosho iliyouzwa nje ilikuwa dola za

Marekani milioni 270.6 ikilinganishwa na dola milioni 218.8 mwaka 2015, sawa

na ongezeko la asilimia 23.7. Ongezeko hili lilichangiwa na kupanda kwa bei ya

korosho katika soko la dunia kutoka dola za Marekani 1,273.8 kwa tani mwaka

2015 hadi dola za Marekani 1,599.2 kwa tani mwaka 2016.

Karafuu

55. Mwaka 2016, thamani ya karafuu iliyouzwa nje iliongezeka kwa asilimia

63.1 na kufikia dola za Marekani milioni 39.3 kutoka dola milioni 24.1 mwaka

2015. Ongezeko hilo lilichangiwa zaidi na kuongezeka kwa kiasi cha karafuu

kilichouzwa nje kutoka tani 2,783 mwaka 2015 hadi tani 4,925 mwaka 2016,

sawa na ongezeko la asilimia 77.0. Aidha, wastani wa bei ya karafuu ulipungua

kwa asilimia 7.8 kutoka dola za Marekani 8,653.1 kwa tani mwaka 2015 hadi

dola za Marekani 7,976.0 kwa tani mwaka 2016.

BBiiddhhaaaa ZZiissiizzoo AAssiilliiaa

56. Thamani ya mauzo ya bidhaa zisizo asilia zilizouzwa nje iliongezeka kwa

asilimia 4.1 hadi dola za Marekani milioni 4,286.0 mwaka 2016 kutoka dola za

Marekani milioni 4,117.9 mwaka 2015. Ongezeko hili lilichangiwa zaidi na

kukua kwa mauzo ya madini hususani dhahabu, maua pamoja na mauzo

mengine, wakati mauzo ya bidhaa za viwandani yalipungua.

Madini

57. Thamani ya mauzo ya madini nje iliongezeka kwa asilimia 22.5 hadi kufikia

dola za Marekani milioni 1,574.5 kutoka Dola milioni 1,285.4 mwaka 2015.

Aidha, thamani ya mauzo ya dhahabu iliongezeka kwa asilimia 22.5 na kufikia

dola za Marekani milioni 1,449.4 ikilinganishwa na Dola milioni 1,183.3 mwaka

2015. Hii ilitokana na kuongezeka kwa kiasi cha dhahabu iliyouzwa nje pamoja

na kupanda kwa bei ya madini hayo katika soko la dunia. Katika kipindi hicho,

bei ya dhahabu katika soko la dunia iliongezeka kwa asilimia 7.6 na kufikia dola

za Marekani 1,248.9 kwa kila wakia mwaka 2016 kutoka dola za Marekani

1,160.7 kwa wakia mwaka 2015.

Page 71: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

51

Bidhaa za Viwandani

58. Thamani ya mauzo ya bidhaa za viwandani zilizouzwa nje ilipungua kwa

asilimia 20.0 kutoka dola za Marekani milioni 1,364.5 mwaka 2015 hadi Dola

milioni 1,092.1 mwaka 2016.. Hali hii ilitokana na kushuka kwa thamani ya

mauzo ya bidhaa za chuma, mafuta ya kula, pamoja na kioo na bidhaa zake.

Samaki na Mazao ya Samaki

59. Mwaka 2016, thamani ya mauzo ya samaki na mazao yake ilipungua na

kufikia dola za Marekani milioni 142.5 kutoka dola za Marekani milioni 173.5

mwaka 2015, sawa na upungufu wa asilimia 17.9. Hii ilitokana na kupungua

kwa kiasi cha samaki na mazao ya samaki kilichouzwa nje.

Mazao ya Mboga na Maua

60. Thamani ya mauzo ya mazao ya mboga na maua ilikuwa dola za Marekani

milioni 24.8 mwaka 2016 ikilinganishwa na dola za Marekani milioni 24.4

mwaka 2015, sawa na ongezeko la asilimia 1.6. Ongezeko hili lilitokana na

kukua kwa mauzo ya bidhaa za maua kufuatia ukuaji wa shughuli za uzalishaji

wa maua katika miaka ya hivi karibuni.

Bidhaa Nyinginezo Zilizouzwa Nje

61. Mwaka 2016, thamani ya mauzo ya bidhaa nyinginezo zilizouzwa nje

iliongezeka na kufikia dola za Marekani milioni 972.2 kutoka dola za Marekani

milioni 884.3 mwaka 2015. Aidha, bidhaa za mbegu za mafuta, kakao, ngozi na

nafaka zilichangia karibu asilimia 75 ya mauzo yote katika kundi hili.

Page 72: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

52

Jedwali Na.3.1: Thamani, Kiasi na Bei ya Bidhaa Zilizouzwa Nje

Bidhaa 2010 2011 2012 2013 2014 2015 2016Badiliko,

%Bidhaa Asilia

Thamani (US$ milioni) 101.6 142.6 186.6 171.0 121.5 162.2 154.2 -4.9

Kiasi (‘000 tani) 35.6 39.0 54.8 59.5 44.1 51.9 60.3 16.2

Bei (US$ kwa tani) 2853.1 3654.9 3403.2 2872.7 2756.2 3123.0 2556.7 -18.1

Thamani (US$ milioni) 84.0 61.6 164.9 111.7 54.7 30.2 46.8 55.0

Kiasi (‘000 ttani) 67.6 40.3 132.0 89.0 49.5 29.1 33.0 13.4

Bei (US$ kwa tani) 1241.9 1529.0 1249.7 1256.0 1104.9 1037.8 1415.9 36.4

Thamani (US$ milioni) 10.9 16.9 18.4 16.9 16.8 26.5 17.2 -35.1

Kiasi (‘000 tani) 11.6 13.8 13.5 12.6 11.5 1.5 1.4 -6.7

Bei (US$ kwa tani) 939.8 1223.5 1357.1 1341.6 1459.7 1748.8 2002.1 14.5

Thamani (US$ milioni) 49.8 47.2 56.1 56.9 45.7 44.0 44.7 1.6

Kiasi (‘000 tani) 27.1 27.1 27.2 28.8 29.2 27.5 26.4 -4.0

Bei (US$ kwa tani) 1840.2 1739.7 2061.2 1977.9 1568.1 1600.9 1695.7 5.9

Thamani (US$ milioni) 232.4 281.2 350.1 307.0 315.0 287.6 312.7 8.7

Kiasi (‘000 tani) 53.6 73.3 105.6 67.8 67.4 66.3 66.1 -0.3

Bei (US$ kwa tani) 4337.0 3839.4 3316.0 4526.1 4,673.5 4,336.5 4,732.0 9.1

Thamani (US$ milioni) 96.9 107.0 142.6 162.4 222.2 218.8 270.6 23.7

Kiasi (‘000 tani) 100.6 96.4 130.9 147.3 172.2 171.7 169.2 -1.5

Bei (US$ kwa tani) 963.2 1110.0 1089.3 1102.5 1290.7 1273.8 1599.2 25.5

Thamani (US$ milioni) 7.6 28.9 38.1 43.0 52.9 24.1 39.3 63.1

Kiasi (‘000 tani) 2.2 2.2 3.4 4.1 4.7 2.8 4.9 75.0

Bei (US$ kwa tani) 3449.6 13162.9 11198.5 10562.8 11231.3 8653.1 7976.0 -7.8

Jumla (Bidhaa Asilia) 583.2 685.5 956.7 868.9 828.8 793.4 885.5 11.6

Madini 1561.2 2283.4 2197.8 1782.1 1466.7 1285.4 1574.5 22.5

Dhahabu 1516.6 2224.1 2117.4 1644.8 1321.6 1183.3 1449.4 22.5

Almasi 11.1 10.2 30.2 48.8 78.2 53.2 77.5 45.7

Madini mengine 33.5 49.2 50.2 88.5 66.9 48.9 47.6 -2.7

Bidhaa za Viwandani 964.0 861.5 1037.3 1072.1 1239.7 1364.5 1092.0 -20.0

Nyuzi za Pamba 11.5 4.8 5.8 10.9 10.8 11.9 9.6 -19.3

Kahawa Iliyozalishwa 0.7 1.1 1.0 1.1 1.2 0.3 0.1 -66.7

Tumbaku ilizalishwa 10.5 16.7 24.6 32.2 33.6 33.0 25.4 -23.0

Mazao ya Katani 9.0 11.8 9.1 9.7 10.5 17.4 24.9 43.1

Mazao mengine ya Viwandani 932.4 827.1 996.8 1018.2 1183.6 1301.9 1032.0 -20.7

Samaki na Mazao ya Samaki 150.4 137.7 160.6 130.6 195.1 173.5 142.5 -17.9

Mazao ya mboga na Maua 30.8 36.4 31.3 28.1 30.5 24.4 24.8 1.6

Bidhaa zilizouzwa tena (re-exports) 338.2 330.2 555.7 172.8 177.0 385.8 480.0 24.4

Bidhaa nyinginezo 132.5 98.3 181.7 517.6 687.2 884.3 972.2 9.9

Jumla (Bidhaa zisizo Asilia) 3177.0 3747.5 4164.4 3703.3 3796.2 4117.9 4286.0 4.1

Bidhaa zisizorekodiwa 564.0 664.9 768.2 685.8 693.8 491.1 517.2 5.3

JUMLA KUU (BIDHAA ZOTE) 4324.3 5097.9 5889.2 5258.1 5318.8 5402.4 5688.7 5.3

Karafuu

Bidhaa Zisizo Asilia

Kahawa

Pamba

Katani

Chai

Tumbaku

Korosho

Chanzo: Benki Kuu na Wizara ya Fedha na Mipango

Page 73: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

53

Mapato ya Huduma

62. Mwaka 2016, mapato yatokanayo na biashara ya huduma yalikuwa na

thamani ya dola za Marekani milioni 3,596.8 ikilinganishwa na dola za

Marekani milioni 3,515.8 mwaka 2015, sawa na ongezeko la asilimia 2.3.

Ongezeko hili lilichangiwa zaidi na kuongezeka kwa mapato yatokanayo na

utalii na huduma ya usafirishaji. Mapato ya utalii yaliongezeka kwa asilimia 9.0

na kufikia dola za Marekani milioni 2,073 ikilinganishwa na dola milioni

1,901.9 mwaka 2015. Ongezeko hili lilitokana na kuongezeka kwa idadi ya

watalii kufuatia juhudi za Serikali na wadau wengine kutangaza vivutio vya

utalii ndani na nje ya nchi. Aidha, mapato yatokanayo na huduma ya usafirishaji

yalikuwa dola za marekani milioni 1,044.0 mwaka 2016 ikilinganishwa na dola

za marekani milioni 1,012.3 mwaka 2015.

Bidhaa Zilizoagizwa Kutoka Nje

63. Mwaka 2016, thamani ya bidhaa zilizoagizwa kutoka nje ilipungua kwa

asilimia 14.0 na kufikia dola za Marekani milioni 8,463.7 kutoka dola za

marekani milioni 9,843.1 mwaka 2015. Hali hii ilitokana na kupungua kwa

thamani ya bidhaa zote zilizoagizwa kutoka nje isipokuwa malighafi za

viwandani.

BBiiddhhaaaa zzaa KKuukkuuzzaa MMiittaajjii

64. Mwaka 2016, thamani ya bidhaa za kukuza mitaji zilizoingizwa nchini

ilipungua na kufikia dola za Marekani milioni 3,497.4 ikilinganishwa na dola za

Marekani milioni 3,812.9 mwaka 2015, sawa na upungufu wa asilimia 8.3. Hii

ilitokana na kupungua kwa thamani ya mitambo iliyoagizwa toka nje pamoja na

thamani ya bidhaa za ujenzi na vyombo vya usafirishaji iliyochangiwa na

kumalizika kwa miradi mikubwa kama vile ujenzi wa kiwanda cha saruji,

mitambo ya kuzalisha umeme na kukamilika kwa shughuli za makampuni

makubwa ya utafiti wa gesi asilia.

BBiiddhhaaaa zzaa KKaattii

65. Thamani ya bidhaa za kati zilizoingizwa kutoka nje ilikuwa dola za

Marekani milioni 2,863.2 mwaka 2016 ikilinganishwa na dola za Marekani

milioni 3,696.7 mwaka 2015, sawa na upungufu wa asilimia 22.5. Hali hii

ilitokana na kupungua kwa thamani ya bidhaa za mbolea na mafuta zilizoagizwa

ambapo thamani ya uagizaji wa mbolea kutoka nje ilipungua kwa asilimia 18.6

na kufikia dola za Marekani milioni 118.6 mwaka 2016. Kwa upande wa bidhaa

Page 74: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

54

za mafuta ya petroli thamani ya uagizaji ilipungua kwa asilimia 34.5 kufikia

dola za Marekani milioni 1,807.7 mwaka 2016 kutoka dola za Marekani milioni

2,760.7 mwaka 2015, kutokana na kupungua kwa bei za mafuta ya petroli

katika soko la dunia. Aidha, thamani ya uagizaji wa malighafi za viwandani

iliongezeka kwa asilimia 18.5 na kufikia dola za Marekani milioni 937.0 mwaka

2016 kutoka dola za Marekani milioni 790.4 mwaka 2015, sambamba na ukuaji

wa shughuli za uzalishaji viwandani.

BBiiddhhaaaa zzaa MMaattuummiizzii yyaa KKaawwaaiiddaa

66. Mwaka 2016, thamani ya uagizaji wa bidhaa za matumizi ya kawaida

ilipungua kwa asilimia 10.0 na kufikia dola za Marekani milioni 2,100.9 kutoka

dola za Marekani milioni 2,333.5 mwaka 2015. Hii ilitokana na kupungua kwa

uagizaji wa bidhaa za chakula pamoja na bidhaa nyingine za matumizi ya

kawaida. Kupungua kwa uagizaji wa bidhaa za chakula kulitokana na

kuongezeka kwa uzalishaji na kuimarika kwa usambazaji wa chakula katika

soko la ndani.

Malipo ya Huduma

67. Mwaka 2016, malipo ya huduma yalikuwa na thamani ya dola za Marekani

milioni 2,141.3 ikilinganishwa na dola za Marekani milioni 2,669.7 mwaka

2015, sawa na upungufu wa asilimia 19.8. Hii ilitokana na kupungua kwa

malipo ya usafirishaji, malipo ya huduma za kiserikali, na huduma za biashara

nyingine. Kupungua kwa malipo ya usafirishaji kulienda sambamba na kushuka

kwa uagizaji bidhaa nje ya nchi.

Page 75: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

55

Jedwali Na. 3.2: Thamani ya Bidhaa Zilizoagizwa kutoka Nje (Dola za

Marekani)

Chanzo: Benki Kuu ya Tanzania

Mwenendo wa Biashara Baina ya Tanzania na Nchi Mbalimbali

68. Mwaka 2016, Tanzania iliendelea kuwa na mahusiano mazuri ya kibiashara

na nchi mbalimbali duniani zikiwemo nchi za Afrika, Ulaya, Marekani, Asia,

Australia, pamoja na Jumuiya za ushirikiano kikanda kama Jumuiya ya Umoja

wa nchi za Ulaya, Jumuiya ya Afrika ya Mashariki, na Jumuiya ya Maendeleo

ya nchi za Kusini mwa Afrika. Katika kipindi hicho, sehemu kubwa ya mauzo

nje yalikwenda katika nchi ya Uswisi iliyochangia asilimia 16.2 ya mauzo yote,

India (asilimia 12.4), Afrika ya kusini (asilimia 12.2), China (asilimia 6.2),

Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (asilimia 5.6) na Kenya (asilimia 5.5).

Aidha, bidhaa zilizouzwa Uswisi na India ni pamoja na dhahabu, mbegu za

mafuta, vito vya thamani na mbogamboga. Bidhaa zilizouzwa Kenya zilikuwa

chai, mahindi, vifaa vya ushonaji, mbogamboga na nafaka nyinginezo. Vile vile,

bidhaa zilizouzwa Afrika ya Kusini zilikuwa dhahabu, madini ya shaba na chai.

69. Kwa upande wa bidhaa zilizoagizwa kutoka nje, kiasi kikubwa kilitoka

katika nchi za China, India, Ufalme wa nchi za Kiarabu, Afrika ya Kusini,

Japani na Kenya ambazo kwa pamoja zilichangia asilimia 60.6 ya bidhaa zote

zilizoagizwa. Aidha, bidhaa zilizoagizwa kutoka China ni pamoja na mitambo

na bidhaa za marumaru, Ufalme wa nchi za Kiarabu (mafuta ya petrol na sukari)

na Japani na Afrika ya Kusini (magari na bidhaa za chuma).

Bidhaa 2010 2011 2012 2013 2014 2015 2016 Badiliko

BIDHAA ZA KUKUZA MITAJI 2,715.2 3,560.5 3,686.5 3,460.4 3,598.2 3,812.9 3,497.4 -8.3

Vifaa vya Usafirishaji 901.1 1,008.5 1,158.2 1,160.2 1,214.8 1,096.5 907.7 -17.2

Majengo na Ujenzi 610.6 757.7 805.8 959.8 1,032.4 908.0 817.2 -10.0

Mitambo 1,203.4 1,794.3 1,722.5 1,340.5 1,351.0 1,808.4 1,772.5 -2.0

BIDHAA ZA KATI 2,741.2 4,139.0 4,320.2 5,205.2 4,663.6 3,696.7 2,863.2 -22.5

Uagizaji Mafuta 2,024.2 3,228.7 3,380.6 4,308.6 3,656.8 2,760.7 1,807.7 -34.5

Mbolea 115.0 176.6 133.9 160.1 122.8 145.6 118.6 -18.6

Malighafi za Viwandani 602.0 733.7 805.7 736.6 884.0 790.4 937.0 18.5

BIDHAA ZA MATUMIZI YA KAWAIDA1,709.2 2,128.0 2,312.5 2,363.5 2,656.0 2,333.5 2,100.8 -10.0

Bidhaa za Vyakula 461.6 603.1 656.6 646.4 632.6 541.7 445.5 -17.8

Bidhaa nyingine za Vyakula 1,247.5 1,524.9 1,655.9 1,717.1 2,023.4 1,791.8 1,655.4 -7.6

JUMLA KUU (F.O.B) 7165.5 9827.5 10319.1 11029.1 10917.8 9843.1 8463.7 -14.0

Page 76: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

56

Jedwali Na. 3.3: Uagizaji wa Bidhaa Kutoka Nchi Mbalimbali Duniani

(USD in Million)

Chanzo: Benki Kuu ya Tanzania na Wizara ya Fedha na Mipango

70. Mwaka 2016, thamani ya mauzo ya bidhaa kwa nchi za Jumuiya ya Ulaya

iliongezeka hadi dola za Marekani milioni 630 ikilinganishwa na dola za

Marekani milioni 615.5 mwaka 2015, sawa na ongezeko la asilimia 2.4.

Ongezeko hilo lilitokana na kuongezeka kwa mahitaji ya bidhaa katika nchi za

Jumuiya ya Ulaya hasa Ujerumani na Ubelgiji. Aidha, thamani ya bidhaa

zilizoagizwa ikijumuisha gharama za bima na usafirishaji (c.i.f) kutoka nchi za

JUMUIYA/ NCHI 2011 2012 2013 2014 2015 2016

2015/16

(Badiliko,

% )

JUMUIYA YA ULAYA NA USWISI 1074.4 1536.9 2759.4 2795.0 1006.5 977.8 -2.9

NCHI NYINGINE ZA ULAYA 647.1 1756.3 218.0 499.1 673.6 323.6 -52.0

JUMLA - BARA LA ULAYA 1721.5 3293.2 2977.4 3294.1 1680.1 1301.4 -22.5

AFRIKA

Afrika ya Kusini 676.5 920.8 660.1 603.3 514.1 472.2 -8.2

Zimbabwe 1.0 2.9 3.4 4.8 5.7 2.1 -63.2

Zambia 27.0 39.6 46.2 63.3 32.6 33.5 2.8

Msumbiji 16.9 11.0 66.9 18.3 33.3 12.0 -64.0

Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo 1.0 0.9 0.1 0.8 0.6 0.4 -33.3

Swaziland 29.0 34.6 33.9 47.1 37.3 41.2 10.5

Nchi nyingine za SADC 29.9 83.3 25.3 35.3 45.6 54.2 18.9

JUMLA –SADC 781.3 1093.1 835.9 772.9 669.2 615.6 -8.0

Burundi 0.6 3.8 1.5 0.6 1.1 0.8 -27.3

Kenya 246.1 555.8 303.6 379.6 238.6 267.7 12.2

Rwanda 1.2 2.1 1.5 3.2 1.1 1.1 0.0

Uganda 15.9 106.7 52.5 48.0 39.4 30.7 -22.1

JUMLA –EAC 263.8 668.4 359.1 431.4 280.2 300.3 7.2

Nchi nyingine za Afrika 53.2 60.5 60.6 53.3 62.7 69.0 10.0

JUMLA NCHI ZOTE ZA AFRIKA 1098.3 1822.0 1255.6 1257.6 1012.1 984.9 -2.7

Marekani 138.5 235.5 211.9 269.8 323.3 252.0 -22.1

Canada 33.1 110.1 91.8 93.7 60.2 100.9 67.6

Nchi nyingine za Bara la Amerika 68.6 199.1 34.5 44.4 47.3 48.6 2.7

JUMLA - BARA LA AMERIKA 240.2 544.7 338.2 407.9 430.8 401.5 -6.8

China 787.6 1145.4 1444.2 1571.1 1699.7 1638.4 -3.6

India 784.5 867.4 2088.2 1748.6 1154.1 1428.7 23.8

Japan 502.9 510.5 466.7 559.3 363.0 371.0 2.2

Hong Kong 21.1 52.5 32.7 53.2 41.6 51.6 24.0

Singapore 390.4 145.6 200.7 39.2 84.3 52.6 -37.6

Umoja wa Falme za Kiarabu 590.9 1010.3 1079.3 1095.1 769.0 592.3 -23.0

Nchi nyingine za Asia 959.9 2024.9 1871.2 1052.4 2497.1 1566.6 -37.3

JUMLA - ASIA  4037.3 5756.6 7183.0 6118.9 6608.8 5701.2 -13.7

NCHI NYINGINEZO 2730.2 -1097.4 -725.1 3.4 111.3 74.6 -33.0

JUMLA KUU 9827.5 10319.1 11029.1 11081.9 9843.1 8463.6 -14.0

JUMUIYA YA NCHI ZA KUSINI MWA AFRIKA (SADC)

JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI (EAC) 

BARA LA AMERIKA

ASIA

Page 77: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

57

Jumuiya ya Ulaya ilipungua hadi dola za Marekani milioni 978 mwaka 2016

kutoka dola za Marekani milioni 1,006.5 mwaka 2015.

71. Thamani ya mauzo ya bidhaa kwa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki

ilipungua hadi dola za Marekani milioni 430.6 mwaka 2016, kutoka dola za

Marekani milioni 862.0 mwaka 2015,sawa na upungufu wa asilimia 50.0. Hii

ilitokana na kupungua kwa mauzo nchini Kenya kwa asilimia 57.1. Mauzo kwa

nchi ya Kenya yalipungua kutoka dola za Marekani milioni 731.4 mwaka 2015

hadi dola za Marekani milioni 313.8 na yalichangia asilimia 72.9 ya mauzo yote

kwa nchi za Jumuiya. Aidha, thamani ya bidhaa zilizoagizwa kutoka nchi za

Jumuiya ya Afrika Mashariki iliongezeka kutoka dola za Marekani milioni 280.2

mwaka 2015 hadi dola za Marekani milioni 300.3 mwaka 2016.

72. Mwaka 2016, thamani ya mauzo kwa nchi za SADC ilipungua hadi dola za

Marekani milioni 1,112.7 kutoka dola za Marekani milioni 1,028.1 mwaka 2015.

Vile vile, thamani ya bidhaa zilizoagizwa kutoka nchi za SADC ilipungua hadi

dola za Marekani milioni 615.6 mwaka 2016 kutoka dola za Marekani milioni

669.2 mwaka 2015. Hata hivyo, mauzo ya bidhaa kwa nchi ya Afrika Kusini

pekee yaliongezeka kwa asilimia 2.8 kufikia dola za Marekani milioni 692.2,

sawa na asilimia 62.2 ya mauzo yote kwa nchi za SADC.

Page 78: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

58

Jedwali Na. 3.4: Mauzo ya Bidhaa Kwenda Nchi Mbalimbali Duniani

(Dola milioni)

Chanzo: Benki Kuu ya Tanzania na Wizara ya Fedha na Mipango

Mizania ya Malipo na Nchi za Nje

Urari wa Biashara ya Bidhaa

73. Mwaka 2016, urari wa biashara ya bidhaa ulikuwa na nakisi ya dola za

Marekani milioni 2,774.8 ikilinganishwa na nakisi ya dola milioni 4,440.7

mwaka 2015, sawa na upungufu wa nakisi kwa asilimia 37.5. Hii ilitokana na

kuongezeka kwa mauzo ya bidhaa nje kwa asilimia 5.3 sambamba na kupungua

kwa uagizaji wa bidhaa kutoka nje kwa asilimia 14.0.

JUMUIYA/ NCHI 2011 2012 2013 2014 2015 2016

2015/16

(Badiliko

% )

JUMUIYA YA ULAYA NA USWISI 553.5 745.4 898.4 791.7 615.4 629.8 2.3

NCHI NYINGINE ZA ULAYA 828.5 816.8 16.9 77.5 176.4 784.7 344.8

JUMLA - BARA LA ULAYA 1382.0 1562.2 915.3 869.2 791.8 1414.5 78.6

Afrika ya kusini 831.1 967.9 760.0 689.1 673.2 692.2 2.8

Zambia 47.1 71.4 90.6 135.3 44.1 35.7 -19.0

Swaziland 12.5 2.2 4.0 1.2 9.1 0.1 -98.9

Zimbabwe 4.1 4.7 6.5 7.1 6.3 7.0 11.1

Msumbiji 61.9 53.1 66.4 68.1 18.6 13.5 -27.4

Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo 119.5 181.6 236.2 281.5 197.7 319.8 61.8

Nchi nyingine za SADC 82.6 141 44.9 53.7 79.1 44.4 -43.9

JUMLA- SADC 1158.8 1421.9 1208.5843 1236.0 1028.1 1112.7 8.2

Burundi 30.8 45.8 45.0 43.0 39.1 52.1 33.2

Kenya 211.2 330.9 227.1 445.9 731.4 313.8 -57.1

Rwanda 65.8 72.8 81.1 35.8 41.2 6.5 -84.2

Uganda 44.6 65.8 66.1 73.3 50.3 58.2 15.7

JUMLA – EAC 352.4 515.3 419.3 598 862 430.6 -50.0

Nchi nyingine za Afrika 67.9 47.7 3.5 219.1 337.5 202.8 -39.9

JUMLA –AFRIKA 1579.1 1984.9 1631.4 2053.1 2227.6 1746.1 -21.6

Marekani 47.5 66.8 60.5 143.0 50.6 57.0 12.6

Canada 5.0 25.2 12.9 7.1 6.0 4.7 -21.7

Nchi nyingine za Bara la Amerika 7.4 1.7 2.7 6.2 84.7 9.3 -89.0

JUMLA- BARA LA AMERIKA 59.9 93.7 76.1 156.3 77.1 71.0 -7.9

China 659.2 520.4 307.8 583.9 560.5 354.1 -36.8

India 202.7 476.5 748.2 1084.1 1145.8 702.8 -38.7

Japan 346.8 296.5 220 247.8 229.7 138.5 -39.7

Umoja wa Falme za Kiarabu 74.9 93.2 84.2 85.5 157.1 63.5 -59.6

Hong Kong 11.1 23.1 30.4 35.6 33.9 30.0 -11.5

Singapore 10.9 24.3 55.7 15.9 6.6 10.5 59.1

Nchi nyingine za Asia 109.1 210.4 64.7 121.9 160.2 193.0 20.5

JUMLA- ASIA 1414.7 1644.4 1511 2174.7 2293.8 1492.4 -34.9

NCHI NYINGINEZO 662.2 604.0 1124.3 65.5 12.0 964.8 7940.0

JUMLA KUU 5,097.9 5,889.2 5,258.1 5,318.8 5,402.3 5,688.8 5.3

JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI (EAC) 

BARA LA AMERIKA 

ASIA

JUMUIYA YA NCHI ZA KUSINI MWA AFRIKA

(SADC)

Page 79: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

59

Urari wa Biashara ya Huduma

74. Mwaka 2016, urari wa biashara ya huduma ulikuwa na ziada ya dola za

Marekani milioni 1,455.5 ikilinganishwa na ziada ya dola milioni 846.0 mwaka

2015, sawa na ongezeko la ziada kwa asilimia 72.0. Hii ilitokana na kuongezeka

kwa mapato yatokanayo na shughuli za usafirishaji na usafiri hususan biashara

ya utalii sambamba na kupungua kwa malipo ya usafirishaji kufuatia kupungua

kwa uagizaji bidhaa kutoka nje.

Urari wa Biashara ya Huduma na Bidhaa

75. Mwaka 2016, urari wa biashara ya bidhaa na huduma ulikuwa na nakisi ya

dola za Marekani milioni 1,319.3 ikilinganishwa na nakisi ya dola za Marekani

milioni 3,594.7 mwaka 2015, sawa na upungufu wa nakisi kwa asilimia 63.3.

Upungufu huo wa nakisi ulichangiwa kwa kiasi kikubwa na kuongezeka kwa

mauzo ya bidhaa na mapato ya huduma.

Urari wa Mapato ya Vitega Uchumi

76. Mwaka 2016, urari wa mapato ya vitega uchumi ambayo yanajumuisha

malipo kwa wafanyakazi, mapato ya uwekezaji na malipo ya riba ulikuwa na

nakisi ya dola za Marekani milioni 1,066.7 ikilinganishwa na nakisi ya dola za

Marekani milioni 900.2 mwaka 2015, sawa na ongezeko la nakisi kwa asilimia

18.5. Hii ilitokana na kuongezeka kwa malipo ya riba.

Urari wa Uhamisho Mali wa Kawaida

77. Mwaka 2016, urari wa uhamisho mali wa kawaida unaojumuisha uhamisho

wa fedha unaofanywa na sekta binafsi, misaada na unafuu wa kulipa deni

ulikuwa na ziada ya dola za Marekani milioni 372.3 ikilinganishwa na ziada ya

dola za Marekani milioni 532.0 mwaka 2015, sawa na upungufu wa ziada kwa

asilimia 30.0. Hali hiyo ilitokana na kupungua kwa misaada kutoka kwa

washirika wa maendeleo ambayo ilishuka hadi dola za Marekani milioni 63.3

mwaka 2016 kutoka dola za Marekani milioni 246.9 mwaka 2015.

Urari wa Malipo ya Kawaida

78. Mwaka 2016, urari wa malipo ya kawaida unaojumuisha biashara ya bidhaa,

huduma, mapato ya vitega uchumi na uhamisho mali wa kawaida ulikuwa na

nakisi ya dola za Marekani milioni 2,013.8 kutoka nakisi ya dola za Marekani

milioni 3,962.9 mwaka 2015, sawa na upungufu wa nakisi kwa asilimia 49.2.

Upungufu huo ulitokana na kuongezeka kwa mauzo ya bidhaa na mapato ya

Page 80: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

60

huduma pamoja na kupungua kwa uagizaji bidhaa kutoka nje na malipo ya

huduma.

Urari wa Uhamisho wa Mitaji

79. Mwaka 2016, urari wa uhamisho wa mitaji unaojumuisha misaada ya vitega

uchumi na misamaha ya madeni ya nje kutoka kwa washirika wa maendeleo

ulikuwa na ziada ya dola za Marekani milioni 327.8 ikilinganishwa na ziada ya

dola za Marekani milioni 354.4 mwaka 2015, sawa na upungufu wa ziada kwa

asilimia 7.5. Hali hiyo ilitokana na kupungua kwa misaada ya kawaida ya

kibajeti kutoka washirika wa maendeleo.

Urari wa Malipo ya Fedha katika Uwekezaji

80. Mwaka 2016, nakisi katika urari wa malipo ya fedha katika uwekezaji,

unaojumuisha uwekezaji wa mitaji ya kigeni ya moja kwa moja na mikopo ya

fedha kutoka nje ilipungua kufikia dola za Marekani milioni 2,059.1

ikilinganishwa na nakisi ya dola za Marekani milioni 3,157.6 mwaka 2015, sawa

na upungufu wa nakisi kwa asilimia 34.8. Hii ilichangiwa na kupungua kwa

uwekezaji wa moja kwa moja na uwekezaji mwingine usio wa moja kwa moja

kama vile amana kutoka nje.

Urari wa Malipo Yote

81. Mwaka 2016, urari wa malipo yote ulikuwa na ziada ya dola za Marekani

milioni 305.5 ikilinganishwa na nakisi ya dola za Marekani milioni 199.1

mwaka 2015. Hali hii ilichangiwa na kupungua kwa nakisi ya urari wa malipo

ya kawaida.

Akiba ya Fedha za Kigeni

82. Akiba ya fedha za kigeni ilikuwa dola za Marekani milioni 4,325.6 mwezi

Desemba 2016 ikilinganishwa na dola milioni 4,093.7 Desemba 2015 bila

kujumuisha bidhaa na huduma ambazo zinalipiwa na fedha za uwekezaji wa

moja kwa moja. Kiasi hicho kilikuwa na uwezo wa kulipia bidhaa na huduma

kwa miezi 4.6 ikilinganishwa na miezi 5.2 iliyofikiwa mwaka 2015. Aidha,

akiba ya fedha za kigeni katika benki za biashara ilikuwa dola za Marekani

milioni 768.2 mwaka 2016 ikilinganishwa na dola za Marekani milioni 1,012.1

zilizoripotiwa Desemba 2015.

Page 81: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

61

Soko la Fedha za Kigeni kwa Mabenki

83. Mwaka 2016, viwango vya ubadilishaji wa fedha za kigeni viliendelea

kuamuliwa na nguvu ya soko. Kiasi cha fedha za kigeni zilizouzwa katika soko

la fedha za kigeni kilikuwa Dola za Kimarekani milioni 1,710.1 ikilinganishwa

na Dola za Kimarekani milioni 2,203.2 mwaka 2015. Kati ya mauzo yote

yaliyofanyika mwaka 2016, Dola za Kimarekani milioni 261.0 (sawa na asilimia

15.3) ziliuzwa na Benki Kuu na kiasi kilichobaki kiliuzwa na benki za biashara

ikilinganishwa na Dola za Kimarekani milioni 844.0 (sawa na asilimia 38.3)

zilizouzwa mwaka 2015.

Thamani ya Shilingi ya Tanzania

84. Mwaka 2016, thamani ya shilingi dhidi ya dola ya Marekani imeendelea

kuimarika baada ya kupungua thamani kwa kasi ndogo ya wastani wa asilimia

8.8 ikilinganishwa na wastani wa asilimia 16.8 mwaka 2015. Hii ilitokana na

usimamizi madhubuti wa sera za fedha na za bajeti. Dola moja ya Marekani

ilinunuliwa kwa wastani wa Shilingi 2,177.07 ikilinganishwa na shilingi

1,985.39 mwaka 2015. Aidha, mwishoni mwa mwaka 2016, Dola moja ya

Marekani iliuzwa kwa Shilingi 2,172.6 ikilinganishwa na Shilingi 2,148.5

mwishoni mwa mwaka 2015.

Page 82: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

62

Jedwali Na.17 Shs. Milioni

Aina ya Bidhaa 2007 2008 2009 2010 2011 2012 2013 2014 2015 2016

Zilizouzwa Nje 2628866 3194929 3671935 4050561 7331020 8658371 8223206 11366504 10725753 12387829

Bidhaa Halisi 2413809 2992530 3568071 3921648 7175377 8368496 7012100 9429220 9959761 11342534

Zilizouzwa Tena 215057 202399 103864 128913 155643 289875 1211106 1937284 765992 1045294

Zilizoagizwa 7296763 8839274 8446721 11086891 17217173 18275893 19904472 20977105 21475090 20660282

Jumla 9925629 12034203 12118656 15137452 24548193 26934264 28127678 32343609 32200843 33048110

Urari -4667897 -5644345 -4774785 -7036330 -9886153 -9617522 -11681266 -9610601 -14659582 -14962132

Thamani ya Fedha (Shs/US$) 1232.80 1196.31 1320.30 1395.68 1557.43 1571.71 1598.66 1652.51 1985.39 2177.59

Chanzo: Ofisi ya Taifa ya Takwimu, Idara ya forodha na Benki Kuu ya Tanzania

THAMANI YA BIDHAA ZA BIASHARA BAINA YA TANZANIA NA NCHI ZA NJE

Page 83: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

63

Jedwali Na. 18

Badiliko(%) Badiliko (%)

Bidhaa 2011 2012 2013 2014 2015 2016 2015/16 2011 2012 2013 2014 2015 2016 2015/16

Kahawa 39.0 54.8 59.5 44.1 51.9 60.3 16.2 225748 292787 259132 204301 315921 335629 54.6

Pamba 40.3 132.0 89.0 49.5 29.1 33.0 13.6 61636 164926 137663 558404 62959 101816 -88.7

Katani 13.8 13.5 12.6 11.5 1.5 1.4 -2.8 16931 18369 25396 111323 53927 37524 -51.6

Chai 27.1 27.2 28.8 29.2 27.5 26.4 -4.0 72257 87359 86810 72784 86285 97381 18.5

Tumbaku 73.3 105.6 67.8 67.4 66.3 66.1 -0.4 189834 348062 159454 319295 568812 680453 78.1

Korosho 96.4 130.9 147.3 172.2 171.7 169.2 -1.5 162715 221971 301212 647936 430023 587849 -33.6

Karafuu 2.2 3.4 4.1 4.7 2.8 4.9 77.0 48362 58281 68429 50880 48912 85454 -3.9

Almasi (Carat) 417000 411000 - - - - - 16976 - 63584 166107 65636 - -

Dhahabu(gms) 40400000 37900000 35100000 41813100 - - - 3463813 3410746 2768481 2812561 2717187 - -

Chanzo: Ofisi ya Taifa ya Takwimu na Idara ya forodha, TRA

- Takwimu hazikupatikana

Thamani(sh. Milioni)

KIASI NA THAMANI YA BIDHAA MUHIMU ZILIZOUZWA NCHI ZA NJE

Kiasi(000" Tani)

Page 84: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

64

Jedwali Na. 19

Badiliko(%) Badiliko (%)

Bidhaa 2011 2012 2013 2014 2015 2016 2015/16 2011 2012 2013 2014 2015 2016 2015/16

Bidhaa Asilia:

Kahawa 39.0 54.8 59.5 44.1 51.9 60.3 16.2 142.6 186.6 171.0 121.5 162.2 154.2 -4.9

Pamba 40.3 132.0 89.0 49.5 29.1 33.0 13.6 61.6 164.9 111.7 54.7 30.2 46.8 55.0

Katani 13.8 13.5 12.6 11.5 1.5 1.4 (2.8) 16.9 18.4 16.9 16.8 26.5 17.2 -35.1

Chai 27.1 27.2 28.8 29.2 27.5 26.4 (4.0) 47.2 56.1 56.9 45.7 44.0 44.7 1.7

Tumbaku 73.3 105.6 67.8 67.4 66.3 66.1 (0.4) 281.2 350.1 307.0 315.0 287.6 312.7 8.7

Korosho 96.4 130.9 147.3 172.2 171.7 169.2 (1.5) 107.0 142.6 162.4 222.2 218.8 270.6 23.7

Karafuu 2.2 3.4 4.1 4.7 2.8 4.9 77.0 28.9 38.1 43.0 52.9 24.1 39.3 63.1

Jumla 685.5 956.7 868.9 828.8 793.3 885.6 11.6

Bidhaa zisizo asilia:

Madini 2283.4 2197.8 1782.1 1469.2 1285.4 1574.5 22.5

Bidhaa za Viwanda 861.5 1037.3 1072.1 1239.6 1364.5 1092.1 -20.0

Samaki na Mazao ya Samaki 137.7 160.6 130.6 195.0 173.5 142.5 -17.9

Mazao ya Mboga na Maua 36.4 31.3 28.1 30.5 24.4 24.8 1.4

Bidhaa zilizouzwa tena 98.3 181.7 172.8 177.0 385.8 480.0 24.4

Bidhaa nyinginezo 330.2 555.7 517.6 687.2 884.3 972.2 9.9

Jumla 3747.5 4164.4 3703.3 3798.6 4117.9 4286.0 4.1

Bidhaa Zisizorekodiwa 664.9 768.2 685.8 694.1 491.1 517.2 5.3

JUMLA KUBWA 5097.9 5889.2 5258.1 5321.5 5402.3 5688.8 5.3

Chanzo: Ofisi ya Taifa ya Takwimu na Idara ya forodha, TRA

KIASI NA THAMANI YA BIDHAA ZA ASILIA NA ZISIZO ZA ASILIA ZILIZOUZWA NCHI ZA NJE

Kiasi (000" Tani) Thamani (Milioni US$)

Page 85: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

65

0.00

500.00

1000.00

1500.00

2000.00

2500.00

3000.00

3500.00

4000.00

4500.00

5000.00

2007 2008 2009 2010 2011 2012 2013 2014 2015 2016

US

$ M

ilio

ni

I: BIDHAA ASILIA NA ZISIZO ASILIA ZILIZOUZWA NCHI ZA NJE (US$ Milioni)

Bidhaa asilia Bidhaa zisizo asilia

Page 86: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

66

-

20.0

40.0

60.0

80.0

100.0

120.0

140.0

2007 2008 2009 2010 2011 2012 2013 2014 2015 2016

'oo

o T

an

i

II: PAMBA NA KAHAWA ILIYOUZWA NCHI ZA NJE (Kiasi kwa Tani '000)

Kahawa Pamba

Page 87: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

67

Kahawa3.0%

Pamba0.6%

Katani0.5% Chai

0.8%

Tumbaku5.3%

Korosho4.0%

Karafuu0.4%

Madini23.8%

Bidha za Viwanda25.3%

Samaki na Mazao ya Samaki3.2%

Mboga na Maua0.5%

Bidhaa zilizouzwa tena7.1%

Bidhaa Zisizorekodiwa9.1%

Bidhaa nyinginezo16.4%

IIIA: MCHANGO WA BIDHAA ZILIZOUZWA NCHI ZA NJE - 2015

Page 88: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

68

Kahawa2.7%

Pamba0.8%

Katani0.3%

Chai0.8%

Tumbaku5.5%

Korosho4.8%

Karafuu0.7%

Madini27.7%

Bidha za Viwanda19.2%

Samaki na Mazao ya Samaki2.5%

Mboga na Maua0.4%

Bidhaa zilizouzwa tena8.4%

Bidhaa Zisizorekodiwa9.1%

Bidhaa nyinginezo17.1%

IIIB: MCHANGO WA BIDHAA ZILIZOUZWA NCHI ZA NJE - 2016

Page 89: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

69

Jedwali Na. 20 Sh./Tani*

Badiliko (%)

Bidhaa 2007 2008 2009 2010 2011 2012 2013 2014 2015 2016 2015/16

Kahawa 2668414 2642540 2628934 4069399 5580087 5400679 4135909 4284297 6084327 5563694 -8.6

Pamba 1222475 1767694 1462236 1775008 1431997 1724164 2016331 4196444 2164592 3080982 42.3

Katani 1047444 946323 1951011 1986211 2091121 2102332 2129059 2052892 3554124 2473086 -30.4

Chai 1581921 1861435 2373683 2501897 2664933 3144333 3392989 2617376 3139968 3543747 12.9

Tumbaku 2869021 4593309 4970800 2586996 2564562 3145641 2237711 4172482 8576002 10259213 19.6

Korosho 2278459 1356504 950656 1284308 1636560 1695963 1943340 3255142 2503867 3422830 36.7

Karafuu 3321160 4202786 4008131 4390290 20972246 9783616 16735615 17997878 17576080 30707266 74.7

Almasi (kwa carat) 156300 157692 157319 38695 40709 99809 353966 317548 - - -

Dhahabu (kwa gramu) 9982 34504 40826 60038 85738 89993 78874 64709 - - -

Chanzo:Idara ya Forodha, Mamlaka ya Mapato Tanzania

- Takwimu hazikupatikana

* Isipokuwa kwa almasi na dhahabu

WASTANI WA BEI YA BIDHAA MUHIMU ZILIZOUZWA NCHI ZA NJE

Page 90: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

70

Jedwali Na. 21 US$/Tani*

Badiliko(%)

Bidhaa 2007 2008 2009 2010 2011 2012 2013 2014 2015 2016 2015/16

Kahawa 2165 2203 1991 2853 3655 3403 2873 2756 3123 2557 -18.1

Pamba 992 1321 1108 1242 1529 1250 1256 1105 1038 1416 36.4

Katani 850 1251 980 940 1224 1357 1342 1460 1749 2002 14.5

Chai 1283 1575 1542 1840 1740 2061 1978 1568 1601 1696 5.9

Tumbaku 2327 3041 3762 4337 3839 3316 4526 4673 4336 4732 9.1

Korosho 1848 730 720 963 1110 1089 1103 1291 1274 1599 25.5

Karafuu 2694 3578 3036 3450 13163 11199 10563 11231 8653 7976 -7.8

Almasi (kwa carat) 127 133 1193 3028 2395 2188 208 187.0 - - -

Dhahabu (kwa gramu) 8.10 1.78 35.34 43 55 57 35 38 - - -

Chanzo: Idara ya forodha, TRA

* Isipokuwa kwa almasi na dhahabu

- Takwimu Hazikupatikana

WASTANI WA BEI YA BIDHAA MUHIMU ZILIZOUZWA NCHI ZA NJE

Page 91: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

71

0.0

500.0

1000.0

1500.0

2000.0

2500.0

3000.0

3500.0

4000.0

2007 2008 2009 2010 2011 2012 2013 2014 2015 2016

US

$

MWENENDO WA BEI YA PAMBA NA KAHAWA ILIYOUZWA NCHI ZA NJE (US$/Tani)

Kahawa Pamba

Page 92: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

72

Jedwali Na. 23 Sh. Milioni

Bidhaa za Bidhaa Bidhaa

Mwaka Matumizi za za

ya Kawaida Kati Viwanda

2000 401612 222399 444427 1068438

2001 468173 386317 648361 1502851

2002 499346 408872 697209 1605426

2003 654630 705729 846251 2206610

2004 917953 1024705 1029389 2972046

2005 937031 1451062 1341462 3729555

2006 1068550 1977695 1799855 4846100

2007 1393799 2441781 2186910 6022490

2008 1703932 3217747 3537543 8459222

2009 1836142 2471066 3319331 7626538

2010 2385447 3825823 3789528 10000799

2011 3314193 6446217 5545242 15305652

2012 3634506 6790046 5794109 16218662

2013 3778395 8321394 5532070 17631859

2014 4389188 7706688 5945855 18041732

2015 4632916 7339405 7570108 19542430

2016 4870477 8536607 6603856 20010939

Chanzo: Benki Kuu ya Tanzania

*Angalia: Kuanzia mwaka 1990, thamani ya bidhaa zilizoagizwa

ni f.o.b. badala ya c.i.f.

AINA NA THAMANI YA BIDHAA ZILIZOAGIZWA TOKA NCHI ZA NJE

Jumla

Page 93: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

73

Jedwali Na. 24 US $ milioni

2007 2008 2009 2010 2011 2012 2013 2014 2015 2016

Halisi Halisi Halisi Halisi Halisi Halisi Halisi Halisi Halisi Matarajio

Urari wa Biashara -2634.1 -3433.5 -2536.1 -2841.2 -4729.6 -4429.9 16287.2 16111.9 15245.4 14322.6

Zilizouzwa nje (fob) 2226.6 3578.8 3298.1 4324.3 5097.9 5889.2 5258.1 5194.1 5402.3 5688.8

Zilizonunuliwa toka nje (fob)* 4860.6 7012.3 5834.1 7165.5 9827.5 10319.1 -11029.1 -10917.8 -9843.1 -8633.8

Urari wa Huduma 462.1 336.9 132.7 156.9 92.2 427.5 713.2 727.3 846.0 1455.5

Mapato 1875.7 1998.8 1854.6 2045.7 2300.3 2786.4 3201.7 3396.0 3515.8 3596.8

Malipo 1413.7 1661.9 1722.0 1888.9 2208.1 2358.9 2488.5 2668.7 2669.7 2141.3

Urari wa Mapato ya Vitega Uchumi -282.1 -314.3 -297.8 -577.6 -645.8 -574.0 -705.7 -824.7 -900.2 -1066.7

Yaliyoingia 107.3 122.7 161.1 160.1 184.2 131.1 130.1 118.4 110.3 93.5

Yaliyotoka 389.4 437.0 458.9 737.651 830.0 705.1 835.8 943.1 1010.5 1160.2

Urari wa Uhamisho Mali wa Kawaida 651.5 833.8 891.2 1051.2 902.2 807.5 931.4 593.7 692.3 514.8

Iliyoingia 724.0 913.4 959.7 1130.2 994.9 913.0 869.6 535.6 612.2 443.5

Serikalini 626.9 588.5 658.4 798.1 609.7 544.3 517.9 178.0 246.9 63.3

Sekta nyingine 97.1 324.9 301.3 332.1 385.2 368.7 351.7 357.6 365.3 380.2

Iliyotoka 72.5 79.6 68.4 79.0 92.7 105.4 -61.8 -58.2 -80.2 -71.2

Urari wa Biashara ya Bidhaa,

Huduma na Uhamisho Mali -1802.6 -2577.1 -1809.9 -2210.8 -4381.0 -3768.9 17226.0 16608.2 15883.5 15226.1

Urari wa Uhamisho wa Mitaji 938.5 524.2 442.2 537.9 690.9 777.2 658.8 522.2 354.4 327.8

Iliyoingia 938.5 524.2 442.2 537.9 690.9 777.2 658.8 522.2 354.4 327.8

Iliyotoka 0.0 0.0 0.0 0.0 0.0 0.0 0.0 0.0 0.0 0.0

Urari katika uwekezaji 873.0 2592.8 1984.4 3063.7 2843.3 3879.6 5021.0 3499.9 3157.7 2059.1

Uwekezaji katika miradi 581.5 1383.3 952.6 1813.2 1229.5 1799.6 2087.3 1672.6 1604.6 1365.4

Uwekezaji katika hisa 4.3 1.8 3.5 3.1 11.3 6.1 4.5 11.5 27.6 -5.0

Uwekezaji aina nyingine 287.1 1207.8 1028.3 1247.4 1602.5 2073.9 2929.3 1815.9 1525.5 698.8

Makosa na Masahihisho 307.8 -391.9 -250.5 -1282.3 644.8 -561.8 -216.1 1069.8 251.7 102.5

Urari wa Malipo yote 316.7 148.0 366.2 108.5 -202.0 326.2 22689.7 21700.1 19647.3 17715.6

Chanzo: Benki Kuu ya Tanzania

* Kuanzia mwaka 2006 bidhaa zilizouzwa nje zinajumuisha pia zile zisizorekodiwa (Unrecorded trade)

MIZANIA YA MALIPO NA NCHI ZA NJE

Page 94: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

74

-10000.0

-5000.0

0.0

5000.0

10000.0

15000.0

20000.0

25000.0

2007 2008 2009 2010 2011 2012 2013 2014 2015 2016

US

$ m

ilio

ni

MWENENDO WA URARI KATIKA MIZANIA YA MALIPO NA NCHI ZA NJE

Urari wa Biashara Huduma na Uhamisho Mali Urari wa Malipo yote

Page 95: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

75

SURA YA 4

FEDHA ZA SERIKALI

Utangulizi

85. Bajeti ya mwaka 2016/17 ililenga kutekeleza Ilani ya Uchaguzi ya CCM

2015 – 2020, Mpango wa Pili wa Maendeleo wa Miaka Mitano 2016/17 -

2020/21 na Dira ya Taifa ya Maendeleo 2025 ili kukidhi kiu na matarajio ya

Watanzania. Bajeti ililenga kuimarisha miundombinu ya msingi ikiwemo ya

maji, umeme na usafirishaji kwa ajili ya kuhakikisha maendeleo ya viwanda na

kuongeza uzalishaji wa mazao ya kilimo yanayotumika kama malighafi

viwandani.

86. Pamoja na mambo mengine, Bajeti ya mwaka 2016/17 ilijielekeza katika

kufikia shabaha na malengo yafuatayo: mapato ya ndani ikijumuisha mapato ya

Halmashauri kufikia asilimia 16.9 ya Pato la Taifa; mapato ya kodi kufikia

asilimia 13.8 ya Pato la Taifa; matumizi ya Serikali kufikia asilimia 27.0 ya Pato

la Taifa ; na nakisi ya bajeti kuwa asilimia 4.5 ya Pato la Taifa.

87. Katika kipindi cha mwaka 2016/17, Serikali ilipanga kukusanya jumla ya

shilingi bilioni 29,539.6 kutoka kwenye vyanzo vya ndani na nje. Sera za

mapato ya ndani katika mwaka 2016/17 zililenga kukusanya mapato ya kodi na

yasiyo ya kodi ya shilingi bilioni 17,798.1 sawa na asilimia 16.3 ya Pato la

Taifa. Kati ya kiasi hicho, mapato ya kodi ni shilingi bilioni 15,105.1 na mapato

yasiyo ya kodi ni shilingi bilioni 2,693.0. Aidha, mapato yanayotokana na

vyanzo vya halmashauri yalikadiriwa kuwa shilingi bilioni 665.4 sawa na

asilimia 0.6 ya Pato la Taifa. Vile vile, mikopo ya ndani ilikadiriwa kuwa

shilingi bilioni 5,374.3; misaada na mikopo yenye masharti nafuu kutoka nje

ilikadiriwa kuwa shilingi bilioni 3,600.8; na mikopo ya kibiashara kutoka nje

shilingi bilioni 2,100.9.

Mwenendo wa Mapato

MMaappaattoo yyaa NNddaannii

88. Katika kipindi cha Julai 2016 hadi Machi 2017, makusanyo ya ndani

ikijumuisha mapato ya halmashauri yalifikia shilingi bilioni 12,465.8, sawa na

asilimia 91 ya makadirio ya shilingi bilioni 13,752.1 katika kipindi hicho.

Page 96: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

76

Mapato ya kodi yalifikia shilingi bilioni 10,626.3 ikiwa ni asilimia 95 ya lengo

la kukusanya shilingi bilioni 11,233.4 kwa kipindi hicho. Mwenendo huu

umetokana na usimamizi madhubuti wa makusanyo kwenye malimbikizo ya

kodi, kupanua wigo wa kodi kwa kusajili walipa kodi wapya, pamoja na

utekelezaji wa mikakati ya kuongeza makusanyo ya kodi. Hata hivyo,

kutofikiwa kwa malengo ya mapato ya kodi yaliyokusudiwa katika kipindi hicho

kulitokana na: kushuka kwa mauzo ya baadhi ya bidhaa katika soko la ndani

katika kipindi husika kama vile, vinywaji hususan bia na bidhaa nyinginezo za

jumla na reja reja; mabenki makubwa kufanya marekebisho ya makisio yao ya

kulipa kodi kutokana na kushuka kwa mapato ya riba kulikosababishwa na

kupungua kwa utoaji wa mikopo katika sekta hii; kupungua kwa huduma

zinazotolewa kwenye utafiti na uchimbaji wa madini, mafuta na gesi asilia

ambako kuliathiri kodi ya zuio; kutoongezeka kwa ajira kama ilivyotarajiwa na

hivyo kuathiri kodi ya mapato; kutotumika kikamilifu kwa mashine za

kielektroniki; na sekta isiyo rasmi kuendelea kuwa kubwa.

89. Kwa upande wa maduhuli hadi Machi 2017, lengo lilikuwa ni kukusanya

shilingi bilioni 2,019.6 ambapo makusanyo halisi yalifikia shilingi bilioni

1,484.9 sawa na asilimia 73.5 ya lengo. Sababu za kutofikia lengo kwa

makusanyo yasiyotokana na kodi ni pamoja na baadhi ya mashirika

kutowasilisha michango yao ya asilimia 15 kwa wakati. Vile vile, baadhi ya

Wizara na Idara zinazojitegemea ziliendelea kutumia mifumo isiyo ya

kielektoniki katika kukusanya maduhuli na hivyo kusababisha upotevu wa

mapato.

90. Mapato yanayokusanywa na halmashauri yalifikia shilingi bilioni 354.6

sawa na asilimia 71 ya makadirio ya shilingi bilioni 499.1 kwa kipindi hicho.

Sababu ya kutofikiwa kwa malengo ya mapato ya halmashauri ni pamoja na

kutokutumika kikamilifu kwa mifumo ya kiutawala iliyopo katika kukusanya

mapato na kuchelewa kuanza kwa ukusanyaji wa kodi ya majengo kwa baadhi

ya halmashauri, hususan zilizochukuliwa na Mamlaka ya Mapato kupisha

kipindi cha mpito cha maandazi ya taratibu za ukusanyaji wa kodi hiyo.

Misaada na Mikopo Nafuu

91. Hadi kufikia Machi 2017, shilingi bilioni 2,247.9 zilipokelewa sawa na

asilimia 68.9 ya ahadi za shilingi bilioni 3,263.3 katika kipindi hicho. Kati ya

Page 97: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

77

hizo, misaada na mikopo nafuu ya kibajeti ilikuwa shilingi bilioni 111.4 ikiwa ni

asilimia 43.2 ya makadirio ya kipindi hicho ya shilingi bilioni 258.0, mifuko ya

kisekta shilingi bilioni 292.9 ambayo ni asilimia 78.9 ya makadirio ya shilingi

bilioni 372.1 katika kipindi hicho na miradi ya maendeleo shilingi bilioni

1,843.6 sawa na asilimia 70.0 ya makadirio ya shilingi bilioni 2,633.2.

92. Kupungua kwa misaada na mikopo nafuu kutoka nje kunafuatia kudorora

kwa uchumi kwa baadhi ya nchi zinazotoa misaada na mtazamo mpya kuhusu

mfumo wa ushirikiano baina ya mataifa hayo na Afrika. Aidha, sababu nyingine

za kuchelewa kutolewa kwa fedha zilizoahidiwa ni pamoja na washirika wa

maendeleo kufanya mabadiliko ya ahadi za awali na kuingiza masharti ambayo

hayakuwepo kwenye makubaliano ya awali na hivyo kusababisha baadhi yao

kupunguza ahadi na wengine kutotoa kabisa.

Mikopo ya Ndani

93. Hadi Machi 2017, Serikali ilikopa jumla ya shilingi bilioni 4,296.1 ikiwa ni

asilimia 118.8 ya kiasi kilichopangwa kukopwa katika kipindi hicho. Kati ya

kiasi hicho, shilingi bilioni 3,657.8 zilikopwa kwa ajili ya kulipia dhamana za

Serikali zilizoiva (rollover) na shilingi bilioni 638.4 kwa ajili ya mikopo mipya,

sawa na asilimia 87.1 ya kiasi kilichopangwa kukopwa kwa kipindi hicho.

Aidha, mikopo kutoka kwenye chanzo hiki ilielekezwa kulipia sehemu ya

madeni ya wakandarasi wa barabara na maji, ujenzi wa mitambo ya kufua

umeme wa Kinyerezi III pamoja na ununuzi wa dawa na vifaa tiba.

MMiikkooppoo yyeennyyee MMaasshhaarrttii yyaa KKiibbiiaasshhaarraa

94. Mwaka 2016/17, Serikali ilipanga kukopa mikopo yenye masharti ya

kibiashara kutoka nje kwa kiasi cha shilingi bilioni 2,100.9 ili kugharamia

miradi mbalimbali ya maendeleo. Hata hivyo, hadi kufikia Machi, 2017 Serikali

haikuweza kukopa kutoka katika chanzo hiki kutokana na hali ya soko la fedha

la kimataifa kutokuwa nzuri.

Matumizi

95. Sera za matumizi kwa mwaka 2016/17 zililenga kusimamia nidhamu ya

matumizi ya fedha za umma kwa kuzingatia sheria, kanuni, taratibu na

miongozo ya Serikali. Sera hizi zilikusudia kupunguza matumizi yasiyo ya

lazima, kuziba mianya ya uvujaji wa fedha za umma na kuelekeza kiasi kikubwa

Page 98: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

78

cha fedha kwenye miradi ya maendeleo. Aidha, sera zililenga kutekeleza

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa mwaka 2016/17 wenye maeneo makuu

manne (4) ya vipaumbele, ambayo ni: (i) Viwanda vya kukuza Uchumi na

Ujenzi wa Msingi wa Uchumi wa Viwanda; (ii) Kufungamanisha Maendeleo ya

Uchumi na Rasilimali Watu; (iii) Mazingira Wezeshi kwa Uendeshaji wa

Biashara na Uwekezaji na (iv) Usimamizi wa Utekelezaji wa Mpango.

96. Mwaka 2016/17, Serikali ilikadiria kutumia jumla ya shilingi bilioni

29,539.6 kwa ajili ya matumizi ya kawaida na ya maendeleo. Kiasi hiki

kinajumuisha shilingi bilioni 17,719.1 kwa ajili ya matumizi ya kawaida na

shilingi bilioni 11,820.5 kwa matumizi ya maendeleo, sawa na asilimia 40 ya

bajeti yote. Kwa kipindi cha Julai, 2016 – Machi, 2017 jumla ya shilingi bilioni

19,010.1 zilitolewa kwa ajili ya matumizi mbalimbali kwa wizara, idara

zinazojitegemea, sekretarieti za mikoa na mamlaka za serikali za mitaa. Kati ya

kiasi hicho, shilingi bilioni 14,027.8 zilizotolewa kwa ajili ya matumizi ya

kawaida na shilingi bilioni 4982.3 kwa ajili ya matumizi ya maendeleo.

97. Katika kipindi cha Julai 2016 hadi Machi 2017, malipo ya riba kwa madeni

ya ndani na nje yalifikia shilingi bilioni 1,342.4 ambayo ni asilimia 95.9 ya

makadirio ya shilingi bilioni 1,399.6 kwa kipindi hicho. Aidha, malipo ya

mkopo yalifikia shilingi bilioni 4,544.1 ikiwa ni asilimia 121.9 ya lengo la

shilingi bilioni 3,726.2. Kati ya malipo hayo, shilingi bilioni 886.3 zilikuwa

malipo ya mkopo wa nje sawa na asilimia 105.2 ya lengo la kulipa shilingi

bilioni 842.4. Shilingi bilioni 3,657.8 zilikuwa malipo ya dhamana za Serikali

zilizoiva (rollover) ikiwa ni asilimia 126.8 ya lengo la shilingi bilioni 2,883.7

kwa kipindi hicho. Matumizi mengine ya Mfuko Mkuu (CFS Others) yalikuwa

shilingi bilioni 927.3 ikiwa ni asilimia 82.6 ya makadirio ya shilingi bilioni

1,122.7 ya kipindi hicho.

98. Hadi Machi 2017, malipo ya mishahara ya watumishi wa Serikali yalikuwa

shilingi bilioni 4,793.0 sawa na asilimia 96.9 ya lengo la shilingi bilioni 4,945.1.

Kati ya fedha hizo, shilingi bilioni 1,465.9 zililipwa kwa watumishi wa Serikali

Kuu, shilingi bilioni 110.0 zililipwa kwa watumishi wa Sekretarieti za Mikoa na

shilingi bilioni 2,638.2 kwa watumishi wa halmashauri za majiji, manispaa, miji

na wilaya. Aidha, Serikali ililipa mishahara ya Taasisi na Mashirika ya Umma

jumla ya shilingi bilioni 578.9.

Page 99: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

79

99. Katika kipindi cha Julai 2016 hadi Machi 2017, Serikali ilipanga kutumia

jumla ya shilingi bilioni 8,775.0 kwa ajili ya utekelezaji wa miradi mbalimbali,

ambapo shilingi bilioni 5,657.2 zilikuwa fedha za ndani na shilingi bilioni

3,117.8 fedha za nje. Hadi Machi, 2017, shilingi bilioni 4982.3 sawa na asilimia

56.8 ya makadirio zilitolewa. Kati ya kiasi hicho, shilingi bilioni 3,352.3

zilikuwa fedha za ndani sawa na asilimia 59.3 na shilingi bilioni 1,630.0 fedha

za nje sawa na asilimia 52.3. Miradi iliyopewa kipaumbele kwenye mgao ni

pamoja na maeneo yenye vyanzo vyake vya mapato ikiwa ni pamoja na Bodi ya

Mikopo ya Elimu ya Juu, Umeme vijijini, Mfuko wa Barabara, Mfuko wa Reli

na Mfuko wa Maji Vijijini. Maeneo mengine ni ulipaji wa madeni ya

wakandarasi.

100. Baadhi ya mahitaji yaliyopewa kipaumbele zaidi katika utoaji wa fedha

za matumizi ya kawaida na maendeleo kwa kipindi cha Julai, 2016 – Machi,

2017 ni pamoja na: ununuzi wa ndege mbili za Serikali na malipo ya awali ya

ununuzi wa ndege 4 shilingi bilioni 227.6; elimu msingi bila malipo shilingi

bilioni 159.8; upanuzi wa uwanja wa ndege wa Dodoma na Mwanza shilingi

bilioni 12.4; uzalishaji wa umeme, uboreshaji wa njia za kupitisha umeme na

usambazaji wa umeme vijijini shilingi bilioni 389.2; ujenzi na ukarabati wa

barabara kuu za mikoa na halmashauri shilingi bilioni 1,133.5; usambazaji wa

maji mijini na vijijini shilingi bilioni 175.9; mikopo kwa wanafunzi wa elimu ya

juu shilingi bilioni 375.2; Mfuko wa Reli shilingi bilioni 111.7 na malipo ya

awali ya ujenzi wa reli kwa kiwango cha ‘standard gauge’ shilingi bilioni 300;

uboreshaji wa huduma za afya katika ngazi zote ikiwemo ununuzi wa dawa na

vifaa tiba shilingi bilioni 256.1; na uendeshaji wa shughuli za Mfuko wa Bunge

shilingi bilioni 60.8.

Deni la Taifa

101. Hadi kufikia Machi 2017, deni la Taifa lilifikia shilingi bilioni 42,883.59

ikilinganishwa na shilingi bilioni 38,071.58 Machi 2016, sawa na ongezeko la

asilimia 12.6. Kati ya kiasi hicho, deni la ndani lilikuwa shilingi bilioni

12,073.68, sawa na ongezeko la shilingi bilioni 2,070.83 na deni la nje lilikuwa

Page 100: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

80

shilingi bilioni 30,809.91, sawa na ongezeko la shilingi bilioni 2,741.25

ikilinganishwa na kipindi kama hicho Machi 2016 (Kielelezo 4.1).

Kielelezo Na. 4.1: Mwenendo wa Deni la Taifa kwa kipindi cha Machi 2011

- Machi, 2017 (Tsh Bilioni)

DDeennii llaa NNjjee

102. Hadi Machi 2017, deni la Taifa la nje lilikuwa dola za Marekani milioni

13,783.90 ikilinganishwa na dola za Marekani milioni 12,814.40 mwezi Machi

2016, sawa na ongezeko la asilimia 7.6. Ongezeko hilo lilitokana na kupokelewa

kwa mikopo kwa ajili ya miradi ya maendeleo na malimbikizo ya riba kwa nchi

ambazo si mwanachama wa kundi la Paris. Kiasi hicho cha malimbikizo ya riba

kilifikia dola za Marekani 772.00 ikilinganishwa na dola za Marekani milioni

723.60 Machi 2016.

Deni la Nje kwa Wakopeshaji

103. Hadi kufikia Machi 2017, mashirika ya fedha ya kimataifa yalichangia

asilimia 56.8 ya deni la nje ikilinganishwa na asilimia 55.3 Machi 2016, mikopo

yenye masharti ya kibiashara ilichangia asilimia 29.3 na mikopo kutoka nchi

wahisani ilichangia asilimia 13.8 ya mikopo yote ya nje. Aidha, Serikali

imedhamiria kuendelea kukopa kutoka kwenye vyanzo nafuu na kuhakikisha

kuwa mikopo hiyo inatumika kugharamia miradi ya maendeleo inayochochea

kasi ya ukuaji wa uchumi.

-

5,000.00

10,000.00

15,000.00

20,000.00

25,000.00

30,000.00

35,000.00

Machi-2011 Machi-2013 Machi-2014 Machi-2015 Machi-2016 Machi-2017

Deni la ndani Deni la nje

Page 101: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

81

Jedwali Na.4.1:- Mchanganuo wa Deni la Nje kwa Wakopeshaji

Taasisi Machi

2015

Mchango

kwa %

Machi

2016

Mchango

kwa %

Machi

2017

Mchango

kwa %

Mashirika ya

Fedha 6,196.8 52.8 7,084.0 55.3 7,834.4 56.8

Washirika wa

Maendeleo 1,866.5 15.9 1,732.0 13.5 1,905.3 13.8

Benki za

Kibiashara 3,665.6 31.3 3,998.4 31.2 4,044.2 29.3

Jumla 11,728.9 100 12,814.4 100 13,783.9 100

Chanzo: Wizara ya Fedha na Mipango

DDeennii llaa NNddaannii

Hadi Machi 2017, deni la ndani lilifikia shilingi bilioni 12,074.60

ikilinganishwa na shilingi bilioni 10,002.85 Machi 2016, sawa na ongezeko la

asilimia 20.7. Ongezeko la deni la ndani lilitokana na kuongezeka kwa mahitaji

ya Serikali kugharamia miradi mbalimbali ya maendeleo.

Kielelezo Na. 4.2 Mwenendo wa Deni la Ndani kwa kila Dhamana.

Deni la Ndani kwa Wakopeshaji

-

1,000.00

2,000.00

3,000.00

4,000.00

5,000.00

6,000.00

7,000.00

Machi-2013 Machi-2014 Machi-2015 Machi-2016 Machi-2017

Dhamana za muda mfupi Hati fungani Hati fungani maalum Madeni mengine

Page 102: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

82

104. Hadi kufikia Machi 2017, benki za biashara zilikuwa zinaongoza kwa

kuhodhi asilimia 49.14 ya deni la ndani ikilinganishwa na asilimi 59.74 ya

kipindi kama hicho mwaka 2016. Mifuko ya hifadhi ya jamii ni ya pili kwa

kuhodhi asilimia 32.15 ikifuatiwa na kampuni za bima asilimia 11.87.

Jedwali Na. 4.2: Deni la Ndani kwa Wakopeshaji hadi Machi 2017

Chanzo: Wizara ya Fedha na Mipango

Tathmini ya Uhimilivu wa Deni

105. Matokeo ya tathmini ya uhimilivu wa deni la Taifa iliyofanyika

Novemba, 2016, ilionesha kuwa deni la Taifa ni himilivu. Viashiria vya deni

vinaonesha kuwa: thamani ya deni la nje kwa Pato la Taifa ni asilimia 19.9

ikilinganishwa na ukomo wa asilimi 40; thamani ya deni la nje kwa mauzo ya

nje ni asilimia 97.7 ikilinganishwa na ukomo wa asilimi 150; thamani ya deni la

nje kwa mapato ya ndani ni asilimia 145.3 ikilinganishwa na ukomo wa asilimia

250; na ulipaji wa deni la nje kwa kutumia mapato ya ndani umefikia asilimia

7.8 ikilinganishwa na ukomo wa asilimia 20. Viashiria hivyo vinaonesha uwezo

wa nchi kukopa na kulipa deni. Kwa kuzingatia vigezo hivyo, Tanzania bado ina

uwezo wa kuendelea kukopa kutoka ndani na nje ya nchi ili kugharamia

shughuli zake za maendeleo na pia ina uwezo wa kulipa mikopo inayoiva kwa

kutumia mapato yake ya ndani na nje kwa wakati.

TaasisiMachi

2015

Mchango

kwa %

Machi

2016

Mchango

kwa %

Machi

2017

Mchango

kwa %

Benki za Biashara 4,446.27 64.81 4,859.48 59.74 4,578.83 49.14

Taasisi za Fedha 111.32 1.62 117.63 1.45 145.75 1.56

Mifuko ya Jamii 1,383.98 20.17 1,383.98 17.01 2,995.30 32.15

Kampuni za Bima 676.49 9.86 798.75 9.82 1,105.75 11.87

Mashirika Madogo 106.56 1.55 187.12 2.49 193.83 2.08

Watu Binafsi 136.04 1.98 175.55 2.12 297.7 3.2

Jumla 6,860.66 100 7,522.52 100 9,317.16 100

Page 103: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

83

Jedwali Na. 4.3: Viashiria vya Uhimilivu wa Deni hadi mwaka 2035/36

Chanzo: Wizara ya Fedha na Mipango

PV = Present value

VIASHIRIA VYA DENI LA NJE 2015/16 2016/17 2017/18 2018/19 2020/21 2025/26 2035/36 Ukomo

Deni (PV[1] ) /Pato la Taifa 19.9 19 18.8 18.6 20.1 18.9 14.4 40

Deni (PV) / uuzaji wa bidhaa nje 97.7 94.2 98.2 100.6 107.4 95.5 71 150

Deni (PV) / Mapato ya ndani 145.3 111.5 114.3 107.6 98.7 91.8 68.4 250

Ulipaji wa deni la nje/Uuzaji wa bidhaa nje 7.8 9.2 8.4 8.7 8.0 7.9 8.0 20

Ulipaji wa deni/ Mapato ya ndani 11.5 11.0 9.7 9.3 7.3 7.6 7.7 20

VIASHIRIA VYA DENI LA NJE NA LA NDANI 2015/16 2016/17 2017/18 2018/19 2020/21 2025/26 2035/36 Ukomo

Deni (PV) /Pato la Taifa 34.2 32.5 31.2 30.8 32.7 29.4 23.3 56

Deni (PV) / Mapato ya ndani 249.6 178.5 177.6 168.3 153.9 137 108

Ulipaji wa deni/ Mapato ya ndani 30.8 21.1 23.4 20.6 16.9 16.6 16.1

Page 104: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

84

Jedwali Na. 25 Sh.milioni

2011/12 2012/13 2013/14 2014/15 2015/16 2016/17 2016/17 2016/17

Matokeo Matarajio

Halisi Halisi Halisi Halisi Halisi Bajeti hadi Machi hadi Juni

A. MAPATO YA NDANI (yakijumuisha Halmashauri) 7221409 8442611 10182455 10957765 14048034 18463533 12465835 16880361

MAPATO YA NDANI 7025884 8221776 9867227 10597681 13622182 17798118 12111235 16348029

1. Mapato yatokanayo na Kodi 6480478 7729986 9294417 9891680 12410951 15079514 10626287 14243469

Ushuru wa Forodha na Excise Duty 1538617 1845218 2243413 2495082 3090110 3547600 2460771 3421769

Kodi ya Ongezeko la Thamani (VAT) 2072621 2374977 2647665 3031828 3553637 4635666 3000190 4311169

Bidhaa toka nje 1082918 1240149 1329477 1519939 1717902 2102428 1346196 1955258

Bidhaa za ndani 989703 1134829 1318188 1511889 1835735 2533238 1653994 2355911

Kodi ya Mapato 2311350 3036110 3791713 3727934 4608245 5325815 3505666 4793233

Kodi nyingine 732303 706910 1123779 1278648 1921459 2336938 1749129 2100551

Marejesho (Refunds Accounts) -174414 -233231 -512153 -641811 -762499 -766504 -89469 -383252

2. Mapato yasiyotokana na Kodi 545406 491790 572810 706001 1211231 2718604 1484948 2104560

3. Mapato ya Halmashauri 195525 220835 315228 360084 425852 665415 354600 532332

B. JUMLA YA MATUMIZI 10764528 13543018 13958162 14603714 17759598 24796623 14466058 25940743

1. Matumizi ya Kawaida 6989807 9043323 10032120 10893486 13420045 12976120 9483752 17669341

2. Matumizi ya Maendeleo 3774722 4499695 3926042 3710228 4339553 11820503 4982306 8271402

Fedha za ndani 1872312 2314718 2121212 2264506 2904530 8702697 3352302 6326290

Fedha za nje 1902410 2184977 1804831 1445722 1435023 3117805 1630003 1945113

C. NAKISI/SALIO (A-B) -3543120 -5100407 -3775707 -3645949 -3711564 -6333090 -2000223 -9060383

D. KUZIBA NAKISI 3543120 5100407 3775707 3830651 6281252 4895700 2298195 3606135

1. Fedha kutoka nje 3590357 3942498 3858785 3030875 3982100 4735934 1463243 2732209

Ruzuku 1855097 1447013 1399025 896496 1349799 1244380 619973 793560

Basket support 172212 280936 188623 127637 81073 178675 89078 142940

Mikopo ya uagizaji bidhaa/OGL 246850 543817 733822 537881 546846 497149 279201 312239

Mikopo ya miradi 595414 734389 524019 640724 344800 1680603 1259715 1008362

Mikopo ya masharti ya kibiashara 801282 1063006 1194516 1054803 2142469 2100995 101526 1313684

Kulipia madeni ya nje (Amortization Foreign) -80497 -126663 -181220 -226667 -482887 -965868 -886250 -838577

2. Fedha za Ndani -47237 1157910 -83078 799776 2299151 159766 834952 873926

Mikopo isiyo ya mabenki 263614 401391 21216 0 776945 0 0 87393

Mikopo ya mabenki 71250 667930 205526 799776 1522207 159766 834952 786534

Mikopo ya ndani (Rollover) 1326852 1734535 1528153 2064756 2600000 3777112 3657800 4615670

Mapato ya Ubinafsishaji 0 0 0 0 0 0 0 0

Marekebisho (Adjustment to Cash) -198539 439984 300810 0 0 0 0 0

Kulipia madeni ya ndani (amortization) -1326852 -1734535 -1528153 -2064756 -2600000 -3777112 -3657800 -4615670

Expenditure float -183562 -351395 -610630 0 0 0 0 0

Chanzo: Wizara ya Fedha

MWENENDO WA MAPATO NA MATUMIZI YA SERIKALI

Page 105: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

85

-10000000

-5000000

0

5000000

10000000

15000000

20000000

25000000

30000000

Sh. m

ilio

ni

MWENENDO WA MAPATO NA MATUMIZI YA SERIKALI

MAPATO YA NDANI B. JUMLA YA MATUMIZI C. NAKISI/SALIO (A-B)

Page 106: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

86

Jedwali Na. 26 TShs Milioni

Matumizi ya

kawaida

Matumizi ya

Maendeleo

Jumla Matumizi

ya kawaida

Matumizi

ya

Maendeleo

Jumla Matumizi

ya kawaida

Matumizi

ya

Maendeleo

Jumla

701 Huduma za Kawa ida 6,926,356 413,831 7,340,188 8,256,128 1,172,472 9,428,601 9,367,231 1,586,950 10,954,181

70111 Utawala na Shughuli za Bunge 571,204 123,557 694,761 674,594 178,301 852,895 589,713 470,881 1,060,594

70112 Fedha na Masuala ya Kodi 252,478 23,664 276,143 688,577 667,716 1,356,293 354,026 726,170 1,080,196

70113 Mambo ya Nje 194,291 16,656 210,946 130,847 10,079 140,926 132,024 10,521 142,546

70121 Misaada ya Kiuchumi kutoka Nje 1,420 0 1,420 1,928 0 1,928 0 0 0

70122 Misaada ya Kiuchumi kupitia Mashirika ya Kimataifa 51 0 51 193 0 193 348 0 348

70131 Huduma za Umma 56,611 1,632 58,243 54,162 5,811 59,973 54,629 27,708 82,337

70132 Huduma za Mipango na Takwimu 75,129 36,955 112,083 68,512 14,933 83,445 170,953 30,014 200,966

70133 Huduma nyingine za Kawaida 32,959 205,692 238,651 31,266 282,816 314,081 30,662 306,639 337,301

70140 Utafiti wa Msingi 0 0 0 32 0 32 18 0 18

70150 Utafiti na Maendeleo Huduma za Umma 0 0 0 0 0 0 549 0 549

70160 Huduma za Umma zisizotajwa hapo Juu 248,729 4,123 252,852 211,382 11,765 223,147 21,780 11,863 33,643

70170 Deni la Taifa 5,490,511 0 5,490,511 6,390,465 0 6,390,465 8,009,341 0 8,009,341

70180 Uhamishaji Fedha Ndani ya Serikali 2,974 1,552 4,527 4,171 1,050 5,221 3,188 3,154 6,341

702 Ulinzi 1,144,361 73,450 1,217,811 1,440,925 231,205 1,672,130 1,486,724 247,750 1,734,474

70210 Huduma za Ulinzi wa Kijeshi 1,144,361 73,450 1,217,811 1,440,925 231,205 1,672,130 1,485,916 247,750 1,733,666

70220 Huduma za Ulinzi wa Kiraia 0 0 0 0 0 0 238 0 238

70230 Misaada ya Nje ya Ulinzi 0 0 0 0 0 0 0 0 0

70240 Utafiti na Maendeleo ya Ulinzi 0 0 0 0 0 0 570 0 570

70250 Huduma za Ulinzi zisizotajwa hapo Juu 0 0 0 0 0 0 0 0 0

703 Usalama wa Raia 628,342 61,223 689,564 748,974 27,600 776,575 746,633 66,597 813,230

70310 Huduma za Polisi 567,648 60,335 627,983 542,766 12,311 555,077 595,429 14,870 610,299

70320 Huduma za Zimamoto 7,719 0 7,719 12,401 0 12,401 9,754 0 9,754

70330 Mahakama 35,248 888 36,136 176,143 13,689 189,833 116,271 48,727 164,998

70340 Magereza 15,811 0 15,811 15,706 1,600 17,306 23,844 3,000 26,844

70350 Huduma za utafiti na Maendeleo Usalama wa Raia 0 0 0 0 0 0 0 0 0

70360 Huduma Usalama wa Raia zisizotajwa hapo juu 1,915 0 1,915 1,959 0 1,959 1,335 0 1,335

704 Shughuli za Kiuchumi 3,605,754 1,914,033 5,519,788 4,456,780 2,970,060 7,426,840 4,501,045 7,420,827 11,921,872

70411 Shughuli za Kiuchumi na Biashara 29,628 2,429 32,057 43,363 14,892 58,255 35,733 10,765 46,498

70412 Masuala ya Kazi 11,145 1,399 12,544 19,578 21,810 41,388 16,602 20,580 37,182

70421 Kilimo 3,238,802 428,036 3,666,838 3,953,779 733,652 4,687,431 4,065,233 1,381,761 5,446,993

70422 Misitu 17,696 2,852 20,548 21,202 4,213 25,414 71,551 8,452 80,003

70423 Uvuvi na Uwindaji 9,943 0 9,943 8,151 7,401 15,552 7,647 9,873 17,520

70431 Makaa ya Mawe na Nishati nyingine 6,266 900 7,166 6,777 12,660 19,437 5,137 13,360 18,497

70432 Petroli na Gesi Asilia 15,740 387,456 403,195 48,972 495,386 544,358 22,609 1,031,755 1,054,364

70433 Nishati ya Nyukilia 0 0 0 0 0 0 0 0 0

70434 Nishati nyingine 0 0 0 0 0 0 0 0 0

70435 Umeme 950 0 950 659 349,873 350,532 500 0 500

70436 Nishati isiyo ya umeme 12,027 0 12,027 12,219 0 12,219 6,030 0 6,030

70441 Uchimbaji Madini yasiyo Nishati 39,596 7,750 47,346 59,612 6,697 66,308 32,038 19,156 51,195

70442 Uzalishaji Viwandani 3,460 63,576 67,036 4,587 10,780 15,367 3,658 17,000 20,658

70443 Ujenzi 76,925 20,716 97,640 98,351 88,499 186,850 40,660 63,253 103,913

70451 Usafiri wa Barabara 111,551 955,459 1,067,009 131,670 957,594 1,089,264 109,102 2,706,205 2,815,306

70452 Usafiri wa Majini 0 0 0 0 0 0 0 0 0

70453 Usafiri wa Reli 0 0 0 0 0 0 0 0 0

70454 Usafiri wa Anga 235 30,847 31,082 458 182,763 183,221 160 1,937,814 1,937,974

70455 Usafirishaji kwa njia ya Bomba na njia nyingine za usafiri 1,707 625 2,332 2,992 15,070 18,061 1,268 0 1,268

70460 Mawasiliano 4,490 339 4,829 8,967 2,097 11,065 7,633 92,390 100,023

70471 Huduma za Biashara na Utunzaji Mizigo 2,177 160 2,336 3,636 3,459 7,095 13,349 18,200 31,549

70472 Hoteli na Migahawa 0 0 0 0 0 0 0 0 0

70473 Utalii 11,171 0 11,171 14,443 400 14,843 13,810 1,000 14,810

70474 Miradi ya Maendeleo 4,007 9,693 13,699 5,806 51,829 57,634 40,669 58,428 99,097

70481 Utafiti katika shughuli za Kiuchumi, Biashara na Kazi 172 50 222 235 933 1,168 160 250 410

70482 Utafiti na Maendeleo ya Kilimo, Misitu, Uvuvi na Uwindaji 0 0 0 0 0 0 0 0 0

70483 Utafiti na Maendeleo ya Mafuta na Nishati 0 0 0 0 0 0 0 0 0

70484 Utafiti na Maendeleo ya Uchimbaji Madini, Uzalishaji Viwandani na Ujenzi 0 0 0 0 0 0 0 0 0

70485 Utafiti na Maendeleo ya Usafiri 0 0 0 0 0 0 0 0 0

70486 Utafiti na Maendeleo ya Mawasiliano 0 0 0 0 0 0 0 0 0

70487 Utafiti na Maendeleo ya Viwanda Vingine 0 0 0 0 0 0 0 0 0

70490 Shughuli nyingine za Kiuchumi zisizotajwa hapo juu 8,068 1,749 9,816 11,325 10,053 21,378 7,497 30,585 38,082

Jedwali linaendelea ukurasa unaofuata

MGAWANYO WA MATUMIZI YA SERIKALI KWA HUDUMA ZA SERIKALI

Fungu Maelezo 2014/2015 (Halisi) 2015/2016 (Bajeti) 2016/2017 (Makadirio)

Page 107: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

87

Matumizi ya

kawaida

Matumizi ya

Maendeleo

Jumla Matumizi

ya kawaida

Matumizi

ya

Jumla Matumizi

ya kawaida

Matumizi

ya

Jumla

705 Hifadhi ya Mazingira 22,271 10,558 32,829 32,309 21,357 53,665 35,719 41,542 77,261

70510 Hifadhi ya Taka 0 0 0 0 0 0 0 0 0

70520 Hifadhi ya Maji Taka 0 0 0 0 0 0 0 0 0

70530 Kupunguza Uharibifu wa Mazingira 0 0 0 0 0 0 0 0 0

70540 Hifadhi ya Viumbehai na Mazingira 13,870 222 14,092 21,561 2,370 23,931 25,573 8,295 33,867

70550 Utafiti na Maendeleo ya Hifadhi ya Mazingira 390 0 390 422 1,571 1,993 308 5,000 5,308

70560 Huduma nyingine za Hifadhi ya Mazingira zisizotajwa hapo juu 8,011 10,336 18,347 10,325 17,416 27,741 9,839 28,248 38,086

706 Nyumba na Huduma za Jamii 34,917 137,403 172,320 72,542 495,842 568,384 51,097 909,972 961,069

70610 Maendeleo ya Nyumba 9,397 18,335 27,732 21,848 17,998 39,845 16,925 7,800 24,725

70620 Maendeleo ya Jamii 9,031 782 9,814 29,384 4,704 34,088 15,867 2,942 18,808

70630 Usambazaji Maji 15,975 116,024 131,999 20,620 470,342 490,962 17,720 896,231 913,951

70640 Taa za Barabarani 514 2,262 2,776 691 2,799 3,490 585 3,000 3,585

70650 Utafiti wa Nyumba na Maendeleo ya Jamii 0 0 0 0 0 0 0 0 0

70660 Nyumba na Huduma za Jamii zisizotajwa hapo juu 0 0 0 0 0 0 0 0 0

707 Afya 418,425 265,583 684,008 514,134 456,894 971,028 459,416 536,547 995,963

70711 Madawa 0 0 0 31,355 0 31,355 221 251,500 251,721

70712 Bidhaa nyingine za madawa 0 0 0 0 0 0 0 0 0

70713 Huduma za Tiba na Vifaa vya Tiba 0 0 0 0 0 0 0 0 0

70721 Huduma za Tiba za Jumla 226,705 15,497 242,201 229,401 62,379 291,780 209,870 52,240 262,110

70722 Huduma Maalumu za Tiba 0 0 0 0 0 0 0 0 0

70723 Huduma za Meno 0 0 0 0 0 0 0 0 0

70724 Huduma za Wakunga Wasaidizi 0 0 0 0 0 0 0 0 0

70731 Huduma za Hospitali 22,234 1,783 24,017 30,486 2,867 33,353 27,431 3,581 31,012

70732 Huduma za Hospitali Maalumu 0 0 0 0 0 0 0 0 0

70733 Huduma za Vifaa vya Kujifungulia Wajawazito 0 0 0 0 0 0 0 0 0

70734 Huduma za Wakunga na Wakunga wa Jadi 0 0 0 422 0 422 325 0 325

70740 Huduma za Afya 42,570 184,668 227,238 51,912 348,889 400,802 53,458 165,925 219,383

70750 Utafiti na Maendeleo ya Huduma za Afya 0 0 0 0 0 0 0 0 0

70760 Huduma za Afya zisizotajwa hapo juu 126,916 63,636 190,552 170,558 42,758 213,316 168,112 63,302 231,414

708 Burudani, Utamaduni na Dini 14,036 9,000 23,036 18,014 2,150 20,164 14,470 2,200 16,670

70810 Huduma za Burudani na Michezo 2,380 4,000 6,380 2,744 100 2,844 1,416 100 1,516

70820 Huduma za Utamaduni 3,906 2,000 5,906 5,552 1,000 6,552 4,656 0 4,656

70830 Huduma za Utangazaji na Uchapishaji 7,362 3,000 10,362 9,424 1,050 10,474 7,692 1,100 8,792

70840 Dini na Huduma nyingine za Kijamii 0 0 0 0 0 0 438 1,000 1,438

70850 Utafiti na Maendeleo katika Burudani, Utamaduni na Dini 0 0 0 0 0 0 0 0 0

70860 Huduma nyingine za Burudani, Utamaduni na Dini zisizotajwa hapo juu 387 0 387 294 0 294 267 0 267

709 Elimu 560,418 439,722 1,000,141 754,571 505,209 1,259,780 722,822 954,150 1,676,972

70911 Elimu ya Awali 0 0 0 0 0 0 0 0 0

70912 Elimu ya Msingi 16,013 44,928 60,941 24,066 45,804 69,870 21,470 21,373 42,842

70921 Elimu ya Sekondari (Kidato cha I - IV) 364 10,782 11,146 467 9,921 10,388 289 7,000 7,289

70922 Elimu ya Sekondari (Kidato cha V - VI) 0 0 0 0 0 0 0 0 0

70930 Elimu baada ya Sekondari isiyo ya Chuo Kikuu 419 635 1,055 526 0 526 398 100 498

70941 Daraja la Awali Elimu ya Chuo Kikuu 0 0 0 0 0 0 0 0 0

70942 Daraja linalofuata Elimu ya Chuo Kikuu 0 0 0 6,625 1,000 7,625 2,157 6,000 8,157

70950 Elimu isiyopambanuliwa 194,559 29,214 223,773 221,002 5,418 226,420 211,263 50,192 261,455

70960 Huduma za Ziada kwa Elimu 317,387 354,163 671,550 486,500 443,065 929,565 470,695 867,985 1,338,680

70970 Utafiti na Maendeleo ya Elimu 0 0 0 0 0 0 10,048 0 10,048

70980 Huduma za Elimu zisizotajwa hapo juu 31,677 0 31,677 15,386 0 15,386 6,502 1,500 8,002

710 Kinga ya Jamii 264,100 16,658 280,758 292,061 26,262 318,323 333,944 53,967 387,911

71011 Ugonjwa 0 0 0 0 0 0 0 0 0

71012 Ulemavu 0 0 0 0 0 0 0 0 0

71020 Wazee 0 0 0 0 0 0 0 0 0

71030 Waathirika 0 0 0 0 0 0 0 0 0

71040 Familia na Watoto 123,678 14,339 138,017 150,556 22,006 172,562 158,989 49,584 208,573

71050 Ukosefu wa Ajira 0 0 0 0 0 0 0 0 0

71060 Nyumba 0 0 0 0 0 0 0 0 0

71070 Huduma za Jamii zisizotajwa hapo juu 521 1,041 1,561 560 750 1,310 608 0 608

71080 Utafiti na Maendeleo ya Kinga ya Jamii 0 0 0 0 0 0 0 0 0

71090 Huduma za Kinga ya Jamii zisizotajwa hapo juu 139,902 1,278 141,180 140,946 3,505 144,451 174,347 4,383 178,730

13,618,980 3,341,462 16,960,442 16,586,439 5,909,051 22,495,490 17,719,100 11,820,503 29,539,603

CS: Huduma za umma zinazotolewa na serikali na wanufaika ni watu wote

IS: Huduma za umma zinazotolewa na serikali na wanufaika ni wanakaya

Chanzo: Ofisi ya Taifa ya Takwimu

Jumla Kuu

Fungu Maelezo 2014/2015 (Halisi) 2015/2016 (Bajeti) 2016/2017 (Makadirio)

Page 108: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

88

SURA YA 5

FEDHA NA TAASISI ZA FEDHA

Ujazi wa Fedha na Karadha

106. Mwaka 2016, Benki Kuu ya Tanzania iliendelea kutekeleza sera ya fedha

iliyolenga kudhibiti ujazi wa fedha ili uendane na mahitaji halisi ya uchumi kwa

lengo la kuzuia ongezeko la mfumuko wa bei. Katika kipindi hicho, ujazi wa

fedha kwa tafsiri finyu (M1) uliongezeka kutoka shilingi bilioni 9,575.7 mwaka

2015 hadi shilingi bilioni 9,986.7, sawa na ongezeko la asilimia 4.3. Aidha, ujazi

wa fedha kwa tafsiri pana (M2) uliongezeka kwa asilimia 4.7, kutoka shilingi

bilioni 15,780.1 mwaka 2015 hadi shilingi bilioni 16,523.2 mwaka 2016. Kwa

upande mwingine, ujazi wa fedha kwa tafsiri pana zaidi (M3) uliongezeka na

kufikia shilingi bilioni 22,760.4 kutoka shilingi bilioni 22,115.3 mwaka 2015,

sawa na ongezeko la asilimia 2.9. Ukuaji wa ujazi wa fedha kwa tafsri pana

(M2) na kwa tafsri pana zaidi (M3) kwa mwaka 2016 ulikuwa chini ya kiwango

cha ukuaji wa asilimia 13.4. na asilimia 18.8 mwaka 2015, kwa mtirirko huo.

Mwenendo huu ulitokana na kupungua kwa kasi ya ukuaji wa rasilimali katika

fedha za kigeni kwenye mabenki na mikopo kwa sekta binafsi na Serikali kuu.

Kupungua kwa mikopo kwa Serikali kuu kulitokana na kuongezeka kwa mapato

ya serikali pamoja na kuimarika kwa usimamizi wa matumizi ya serikali. Aidha,

kupungua kwa kasi ya ukuaji wa mikopo kwa sekta binafsi kumechangiwa na

tahadhari zinazoendelea kuchukuliwa na mabenki katika kutoa mikopo kufuatia

ongezeko la mikopo chechefu.

Mwenendo wa Mikopo kwa Sekta Binafsi

107. Mwaka 2016, mikopo kwa sekta binafsi ilikua kwa asilimia 7.2 na

kufikia shilingi bilioni 16,608.9 kutoka shilingi bilioni 15,492.7 mwaka 2015.

Ukuaji huu ulikuwa chini ya ukuaji wa mwaka 2015 wa asilimia 24.7 . Aidha,

mikopo kwa sekta binafsi ilikuwa sawa na wastani wa asilimia 15.4 ya Pato la

Taifa, ikilinganishwa na wastani wa asilimia 16.6 mwaka 2015. Ukuaji wa

mikopo kwenye shughuli za uzalishaji katika kilimo, uchukuzi na mawasiliano,

viwanda, huduma za kifedha, umeme, majengo na ujenzi ulipungua

ikilinganishwa na mwaka 2015. Vile vile, mikopo katika shughuli za madini na

uchimbaji mawe, biashara, utalii, hoteli na migahawa na watu binafsi iliimarika

japo kwa kasi ndogo ikilinganishwa na mwaka uliotangulia. Hata hivyo, sehemu

Page 109: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

89

kubwa ya mikopo hiyo ilielekezwa katika shughuli za biashara ambazo zilipata

wastani wa asilimia 20.9 ya mikopo yote ikifuatiwa na shughuli za watu binafsi

asilimia 18.6 na shughuli za viwanda asilimia 10.2.

Amana Katika Benki za Biashara

108. Mwaka 2016, amana katika benki za biashara ziliongezeka kwa asilimia

2.3 na kufikia shilingi bilioni 19,729.5 kutoka shilingi bilioni 19,293.7 mwaka

2015. Kati ya amana hizo, sekta binafsi ilichangia asilimia 97.1 ikilinganishwa

na asilimia 95.6 mwaka 2015. Aidha, uwiano wa amana za fedha za kigeni

katika amana zote ulipungua na kufikia asilimia 31.6 mwaka 2016 kutoka

asilimia 32.8 mwaka 2015. Upungufu huo ulitokana na kushuka kwa kiwango

cha ukuaji wa amana za kigeni.

Mwenendo wa Viwango vya Riba

109. Mwaka 2016, viwango vya riba za amana na za mikopo vilipungua

ikilinganishwa na viwango hivyo mwaka uliotangulia. Riba za amana za muda

maalum kwa ujumla zilipungua kutoka wastani wa asilimia 9.30 hadi wastani wa

asilimia 8.78. Aidha, viwango vya riba za amana za mwaka mmoja vilipungua

kutoka wastani wa asilimia 11.16 mwaka 2015 hadi wastani wa asilimia 11.03

mwaka 2016. Vile vile,viwango vya riba za mikopo hadi mwaka mmoja

vilipungua kutoka wastani wa asilimia 14.22 hadi wastani wa asilimia 12.87

mwaka 2016. Mwenendo huu ulitokana na mikakati ya mabenki kuhamasisha

uwekaji wa amana na kuvutia ukopaji kwa riba na masharti nafuu. Kulingana na

hali hiyo, tofauti kati ya riba za amana za mwaka mmoja na riba za mikopo za

mwaka mmoja ilipungua na kufikia nukta za asilimia 1.83 mwaka 2016 kutoka

nukta za asilimia 3.06 mwaka 2016. Riba katika soko la fedha baina ya mabenki

iliongezeka na kufikia wastani wa asilimia 13.49 mwezi Desemba 2016, kutoka

wastani wa asilimia 7.29 mwezi Desemba 2015, kutokana na kupungua kwa hali

ya ukwasi hususan katika kipindi cha pili cha mwaka 2016. Aidha, riba kwenye

soko la dhamana za serikali zilipungua hadi kufikia wastani wa asilimia 15.12

mwezi Desemba 2016 kutoka wastani wa asilimia 18.25 mwezi Desemba 2015.

Maendeleo katika Sekta ya Fedha

110. Mwaka 2016, sekta ya fedha iliendelea kuimarika katika nyanja tofauti

ikiwemo ongezeko la idadi ya taasisi na maboresho katika utoaji wa huduma za

fedha. Hadi Desemba 2016, idadi ya taasisi za fedha zilizokuwa zinasimamiwa

Page 110: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

90

na Benki Kuu ya Tanzania ilikuwa 67 (benki 59 na taasisi nyingine 8)

ikilinganishwa na taasisi 63 (benki 56 na taasisi nyingine 7) mwaka 2015.

Taasisi zilizoongezeka zilijumuisha benki 3 ambazo ni: Mwalimu Commercial

Bank Plc, Canara Bank (Tanzania) Limited na Hakika Microfinance Bank

Tanzania; pamoja na taasisi nyingine moja ambayo ni Bank of China –

Representative Office. Katika kurahisisha upatikanaji wa huduma, benki

ziliendelea kuongeza idadi ya matawi kutoka 728 Desemba 2015 hadi 795

Desemba 2016. Hata hivyo, sekta hii ilikabiliwa na hali ya upungufu wa ukwasi

japokuwa viashiria vingi bado vilikuwa juu ya ukomo unaokubalika kisheria.

Miongoni mwa viashiria hivyo ni uwiano kati ya mali inayoweza kubadilishwa

kuwa fedha taslim na amana zinazoweza kuhitajika kwa muda mfupi (Liquid

assets to Demand Liabilities) ambao ulipungua kufikia asilimia 35.1 mwezi

Desemba 2016 kutoka asilimia 37.3 katika kipindi kama hicho mwaka 2015

ukilinganisha na uwiano wa chini unaohitajika kisheria wa asilimia 20. Aidha,

katika kipindi hicho hicho uwiano wa mtaji wa msingi na rasilimali za benki

uliongezeka kufikia asilimia 17.8 kutoka asilimia 16.8 ikilinganishwa na ukomo

wa asilimia 10.

111. Mwaka 2016, utekelezaji wa Mpango wa Huduma za Fedha Jumuishi

nchini uliendelea kuwa na mafanikio makubwa ambapo huduma hizo ziliendelea

kupatikana kwa wingi mijini na vijijini, zikichangiwa kwa sehemu kubwa na

matumizi ya simu za mikononi pamoja na Wakala wa Benki. Hadi Desemba

2016, idadi ya benki zilizoruhusiwa kutoa huduma za benki kwa njia ya uwakala

ilikuwa 18 ikilinganishwa na benki 10 Desemba 2015, sawa na ongezeko la

asilimia 80.0. Aidha, idadi ya mawakala iliongezeka kwa asilimia 72.1 kutoka

mawakala 3,298 Desemba 2015 hadi mawakala 5,676 Desemba 2016.

112. Miamala ya kuweka amana kupitia huduma za benki kwa njia ya

uwakala ilikuwa 4,869,842 Desemba 2016 ikilinganishwa na miamala 1,758,098

Desemba 2015, sawa na ongezeko la asilimia 177.0. Fedha taslimu zilizowekwa

kwa kipindi kilichoishia Desemba 2016 zilikuwa na thamani ya shilingi bilioni

1,883.29 ikilinganishwa na shilingi bilioni 874.25 Desemba 2015. Vile vile,

idadi ya miamala ya kutoa fedha ilikuwa 1,657,092 Desemba 2016

ikilinganishwa na miamala 675,651 Desemba 2015. Fedha taslimu zilizotolewa

kwa kipindi kilichoishia Desemba 2016 zilikuwa na thamani ya shilingi bilioni

427.13 ikilinganishwa na shilingi bilioni 185.23 mwaka 2015.

Page 111: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

91

113. Kwa upande wa malipo kupitia simu za viganjani, thamani ya miamala

iliyofanywa na Kampuni ya Vodacom Tanzania kupitia huduma ya M-Pesa

ilikuwa ni asilimia 58.1 ya miamala yote ikifuatiwa na Tigo-Pesa (asilimia

31.15), Airtel Money (asilimia 10.4), Ezy-Pesa (asilimia 0.29) na Halopesa

(asilimia 0.1). Katika kipindi hicho, idadi ya mawakala waliosajiliwa

iliongezeka na kufikia 371,132 ikilinganishwa na mawakala 267,047 mwaka

2015, sawa na ongezeko la asilimia 39.0. Kati ya hao, mawakala waliosajiliwa

na Kampuni ya Vodacom walikuwa 157,731 ambao ni sawa na asilimia 42.5 ya

mawakala wote; Airtel ilikuwa na mawakala 72,593 (asilimia 19.6); Tigo

ilikuwa na mawakala 65,913 (asilimia 17.8); Halotel ilikuwa na mawakala

56,932 (asilimia 15.3); na Zantel ilikuwa na mawakala 17,963 (asilimia 4.8).

Fedha taslimu zilizowekwa kwenye akaunti ya dhamana ziliongezeka kutoka

shilingi bilioni 561.2 mwaka 2015 hadi shilingi bilioni 665.7 mwaka 2016, sawa

na ongezeko la asilimia 18.6.

Maendeleo ya Masoko la Mitaji na Dhamana

114. Mwaka 2016, idadi ya kampuni zilizoorodheshwa kwenye Soko la Hisa

la Dar es Salaam iliongezeka kutoka 22 mwaka 2015 hadi 25, sawa na

ongezeko la asilimia 13.6. Kati ya hizo, kampuni za ndani zilikuwa 18 na

kampuni za nje (kutoka masoko ya hisa ya Nairobi na London) zilikuwa saba.

Ongezeko hili lilitokana na kuorodheshwa kwa kampuni tatu ambazo ni: YETU

Microfinance Bank, Benki ya Wananchi Mufindi (MUCOBA) na Kampuni ya

Soko la Hisa la Dar es Salaam (DSE Plc). Aidha, hadi Desemba 2016, kampuni

zilizoorodheshwa kwenye soko la kukuza ujasiriamali zilikuwa tano

ikilinganishwa na kampuni nne katika kipindi kilichoishia Desemba 2015.

Katika kipindi hicho, idadi ya wawekezaji kwenye soko la hisa iliongezeka

kutoka 435,000 mwaka 2015 hadi wawekezaji 454,214, sawa na ongezeko la

asilimia 4.4. Ongezeko la idadi ya wawekazaji kwa kiasi kikubwa lilichangiwa

na matumizi ya simu za mikononi katika uwekezaji.

115. Kwa upande wa uuzaji na ununuzi wa dhamana, katika kipindi cha

mwaka 2016, hisa 194,479,350 zenye thamani ya shilingi milioni 420 ziliuzwa

na kununuliwa katika soko la hisa la Dar es Salaam, ikilinganishwa na hisa

268,115,487 kwa mwaka 2015 zilizokuwa na thamani ya shilingi trilioni 1.07.

Aidha, hatifungani zenye thamani ya shilingi bilioni 429 zilinunuliwa na kuuzwa

Page 112: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

92

katika soko la pili (secondary market) kwa mwaka 2016 ikilinganishwa na

hatifungani za shilingi bilioni 327 mwaka 2015. Vile vile, katika kipindi husika,

Soko limeweza kuorodhesha hatifungani za serikali 25 zenye thamani ya shilingi

trilioni 1.53 na hatifungani za kampuni moja yenye thamani ya shilingi bilioni

41, ikilinganishwa na hatifungani za serikali 24 zenye thamani ya shilingi trilioni

1.05 na hatifungani za kampuni mbili, zenye thamani ya shilingi bilioni 47.6

ziliorodheshwa mwaka 2015.

116. Kufuatia idhini ya kuuzwa kwa hatifungani kwa wawekezaji wadogo

wadogo katika masoko ya mitaji ya Afrika ya Mashariki, Benki ya Exim ilipata

mafanikio makubwa kwa kuvuka lengo la kukusanya shilingi bilioni 10 kwa

kupata shilingi bilioni 19.97 kutoka kwa wawekezaji 512. Vile vile, benki ya

NMB ilikusanya shilingi bilioni 41.40 kwa kuvuka lengo la kukusanya shilingi

bilioni 8.68 kutoka kwa wawekezaji 4,570. Hii inaonesha uhitaji uliokuwepo

kwa wawekezaji wadogo wadogo katika fursa zinazopatikana katika uwekezaji

kwenye hatifungani.

117. Mwaka 2016, thamani ya skimu za uwekezaji wa pamoja ilipungua na

kufikia shilingi bilioni 238,188.63 kutoka shilingi bilioni 246,579.36 mwaka

2015, sawa na upungufu wa asilimia 3.4. Upungufu huu ulichangiwa na kushuka

kwa uwekezaji kwenye Mfuko wa Umoja na Mfuko wa Jikimu ambayo

inachukua sehemu kwenye skimu ya uwekezaji wa pamoja (asilimia 84.3 na

asilimia 9.8 kwa mtiririko huo).

Jedwali Na. 5.1: Mwenendo wa Skimu za Uwekezaji wa Pamoja (TZS

Bilioni)

Aina ya Uwekezaji 2015 2016 Ukuaji

(%)

Mfuko wa Umoja 213,313.31 200,894.17 (5.8)

Mfuko wa Jikimu 26,296.00 23,379.00 (11.1)

Mfuko wa Wekeza

Maisha 3,455.38 3,460.11 0.1

Mfuko wa Watoto 2,805.19 3,115.52 11.1

Mfuko wa Ukwasi 709.48 7,339.83 934.5

Jumla 246,579.36 238,188.63 (3.4)

Chanzo: Mamlaka ya Masoko ya Mitaji na Dhamana

Page 113: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

93

Mamlaka ya Usimamizi na Udhibiti wa Sekta ya Hifadhi ya Jamii (SSRA)

118. Mwaka 2015/16, wanachama wa mifuko ya hifadhi ya jamii

waliongezeka kwa asilimia 4.3 na kufikia 2,234,246 kutoka wanachama

2,142,350 mwaka 2014/15. Ongezeko hilo ni dogo ikilinganishwa na ukuaji wa

mwaka 2014/15 ambao ulikuwa asilimia 9.8. Kwa upande mwingine, michango

kutoka kwa wanachama ilipungua kutoka shilingi trilioni 2.27 mwaka 2014/15

hadi shilingi trilioni 2.15 mwaka 2015/16, sawa na upungufu wa asilimia 5.5.

119. Mwaka 2015/16, jumla ya mafao yaliyolipwa kwa wanachama

yaliongezeka hadi shilingi trilioni 2.93 kutoka shilingi trilioni 1.53 mwaka

2014/15, sawa na ongezeko la asilimia 90.1. Ongezeko hili lilitokana na malipo

ya malimbikizo ya mafao yaliyofanywa na PSPF. Katika kipindi hicho,

uwekezaji uliofanywa na Skimu za Hifadhi za Jamii uliongezeka kwa asilimia

19.0 kutoka shilingi trilioni 7.8 mwaka 2014/15 hadi shilingi trilioni 9.3 mwaka

2015/16. Aidha, thamani ya vitega uchumi katika Sekta ya Hifadhi ya Jamii

ilikuwa shilingi trilioni 10.28.

Jedwali Na.5.2 : Taarifa ya Hali ya Mifuko ya Hifadhi ya Jamii

Mwaka Idadi ya

Wanachama

Michango

Sh.bilioni

Mafao

Sh.bilioni

Uwekezaji

Sh.bilioni

2007/08 1,198,298 508 272 1,789

2008/09 1,275,993 750 308 2,432

2009/10 1,432,950 842 455 3,147

2010/11 1,599,208 1,178 575 3,757

2011/12 1,676,715 1,376 733 4,827

2012/13 1,856,245 1,631 1,068 5,649

2013/14 1,951,751 1,976 1,411 6,667

2014/15 2,142,350 2,273 1,543 7,807

2015/16 2,234,246 2,148 2,934 9,289

Chanzo: Mamlaka ya Usimamizi na Udhibiti wa Sekta ya Hifadhi ya Jamii

Mfuko wa Mafao ya Kustaafu (GEPF)

120. Mwaka 2015/16, Mfuko ulikuwa na wanachama 114,005 ikilinganishwa

na wanachama 91,157 Juni 2015, sawa na ongezeko la wanachama wapya

22,848. Idadi hii ilijumuisha wanachama 8,419 waliosajiliwa kupitia mfumo wa

pensheni wa lazima na wanachama 14,429 walisajiliwa kupitia mpango wa hiari.

Page 114: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

94

Michango iliyokusanywa kutoka kwa wanachama ilifikia shilingi milioni

69,430.13 mwaka 2015/16 ikilinganishwa na shilingi milioni 53,930.17

zilizokusanywa mwaka 2014/15, sawa na ongezeko la asilimia 28.74.

121. Mwaka 2015/16 Mfuko ulilipa pensheni kwa wastaafu jumla ya shilingi

milioni 18,858.02 ikilinganishwa na shilingi milioni 12,226.08 mwaka 2014/15,

sawa na ongezeko la asilimia 35.0. Sababu za kuongezeka kwa malipo hayo ni

pamoja na: kuachishwa kazi kwa baadhi ya wafanyakazi katika taasisi za

Serikali na kumalizika kwa miradi iliyokuwa ikifadhiliwa na washirika wa

maendeleo; ulipaji wa mafao ya wanachama kutoka Polisi na Magereza

waliopaswa kuhamishwa kipindi cha nyuma kwenda kwenye Mfuko wa PSPF;

na kujitoa kwa baadhi ya wanachama wanaochangia kwenye Mpango wa

Kujiwekea kwa Hiari na hasa wanachama waliokuwa wakichangia moja kwa

moja kwa kukatwa kwenye mishahara.

122. Mwaka 2015/16, Mfuko uliendelea kuwekeza katika vitega uchumi

mbalimbali ambavyo ni rasilimali zenye uhakika wa faida, hisa za kampuni,

majengo na mfuko wa uwekezaji wa pamoja. Rasilimali zenye uhakika wa faida

zinajumuisha amana za benki, dhamana za serikali, dhamana za kampuni na

mikopo. Hadi Juni 2016, Mfuko ulikuwa umewekeza jumla ya shilingi milioni

403,322.50 ikilinganishwa na shilingi milioni 324,823.11 mwaka 2015, sawa na

ongezeko la asilimia 24.2. Aidha, Mfuko uliwekeza jumla ya shilingi milioni

34,909.60 kwenye hisa za kampuni zilizoorodheshwa katika Soko la Hisa la Dar

es Salaam ikilinganishwa na shilingi milioni 28,965.36 Juni 2015, sawa na

ongezeko la asilimia 20.5. Hii ilitokana na kuongezeka kwa thamani ya hisa za

kampuni katika soko la mitaji. Vile vile, uwekezaji katika majengo na viwanja

uliongezeka na kufikia jumla ya shilingi milioni 28,269.04 Juni 2016

ikilinganishwa na shilingi milioni 25,786.24 Juni 2015 sawa na ongezeko la

asilimia 9.6.

123. Mwaka 2015/16, makusanyo ya mapato yanayotokana na uwekezaji

yalipungua na kufikia shilingi milioni 36,441.94 kutoka shilingi milioni

44,079.97 mwaka 2014/15, sawa na upungufu wa asilimia 20.94. Kupungua kwa

makusanyo hayo kulitokana na kushuka kwa bei ya hisa kwenye soko la mitaji.

Hadi kufikia Juni 2016, Mfuko ulikuwa na thamani ya shilingi milioni

Page 115: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

95

427,795.25 ikilinganishwa na shilingi milioni 342,110.28 Juni 2015, sawa na

ongezeko la asilimia 25.0.

Mfuko wa Pensheni wa Serikali za Mitaa (LAPF)

124. Mwaka Mwaka 2015/16, wanachama wapya waliosajiliwa na Mfuko wa

Pensheni wa LAPF walikuwa 16,001. Usajili huu ulifanya idadi ya wanachama

wa Mfuko kuongezeka kwa asilimia 10.6 kutoka wanachama 150,835 mwaka

2014/15 hadi wanachama166,836. Aidha, Mfuko ulikusanya michango kutoka

kwa wanachama yenye thamani ya shilingi bilioni 279.68 mwaka 2015/16

ikilinganishwa na shilingi bilioni 210.07 mwaka 2014/15, sawa na ongezeko la

asilimia 33.1. Hii ilitokana na kuongezeka kwa usajili wa wanachama wapya na

mabadiliko ya mishahara. Vile vile, mafao yaliyolipwa kwa wanachama mwaka

2015/16 yaliongezeka kwa asilimia 21.0 kutoka shilingi bilioni 88.60 mwaka

2014/15 hadi shilingi bilioni 107.25.

125. Thamani ya uwekezaji katika vitega-uchumi iliongezeka kutoka shilingi

bilioni 883.62 mwaka 2014/15 hadi shilingi bilioni 1,098.37 mwaka 2015/16,

sawa na ongezeko la asilimia 24.30. Thamani ya uwekezaji katika dhamana za

serikali iliongezeka kutoka shilingi bilioni 304.82 mwaka 2014/15 hadi shilingi

bilioni 474.83 mwaka 2015/16, sawa na ongezeko la asilimia 55.8.

126. Katika kipindi husika, mapato kutokana na uwekezaji katika vitega-

uchumi yaliongezeka kwa asilimia 30.3 kutoka shilingi bilioni 72.07 mwaka

2014/15 hadi shilingi bilioni 93.88. Ongezeko hili lilitokana na kuongezeka kwa

shughuli za uwekezaji katika amana za muda maalumu, dhamana za serikali na

kampuni, mitaji mbalimbali ikiwemo mali zisizohamishika na mikopo ya muda

mrefu. Aidha, thamani halisi ya mali za Mfuko ilikua na kufikia shilingi bilioni

1,169.06 mwaka 2015/16, ikilinganishwa na shilingi 939.35 bilioni mwaka

2014/15, sawa na ongezeko la asilimia 24.5.

Mfuko wa Pensheni wa PSPF

127. Mwaka 2016, Mfuko wa Pensheni wa PSPF ulisajili wanachama 47,238

ikijumuisha wanachama 8,116 katika mfumo wa pensheni wa lazima na

wanachama 39,122 katika mpango wa hiari ukilinganisha na wanachama 40,525

waliosajiliwa kwa mwaka 2015, ambapo wananchama 26,447 waliokuwa katika

mfumo wa pensioni wa lazima na wanachama 14,078 katika mpango wa hiari.

Kuongezeka kwa usajili wa wanachamakulitokana na kuongezeka kwa ari ya

Page 116: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

96

wananchi kujiunga na mpango wa uchangiaji wa hiari ambapo waliongezeka

kwa asilimia 177 ukilinganisha na mwaka 2015. Usajili huu wa mwaka 2016,

ulifanya jumla ya idadi ya wanachama wa Mfuko kuongezeka na kufikia

404,972 ikilinganishwa na wanachama 366,865 mwaka 2015, sawa na ongezeko

la asilimia 10.4.

128. Michango kutoka kwa wanachama iliongezeka hadi shilingi bilioni

784.76 mwaka 2016 kutoka shilingi bilioni 661.8 mwaka 2015 sawa na

ongezeko la asilimia 18.6. Ongezeko hili lilitokana na usajili wa wanachama

kutoka kwenye mfumo wa pensheni wa lazima. Aidha, katika kipindi hicho,

mafao yaliyolipwa kwa wanachama 7,416 yaliongezeka kwa asilimia 39.5 na

kufikia shilingi bilioni 786.36 ikilinganishwa na shilingi bilioni 563.82

zilizolipwa kwa wanachama 7,937 mwaka 2015. Mchanganuo wa malipo ya

mafao haya ni kama yanavyoonekana katika Jedwali Na.5.3

Jedwali Na.5.3: Malipo ya Mafao kwa Wanachama wa Mfuko (Shs. Biln)

Aina ya Mafao 2015 2016 Ongezeko

(%)

Malipo ya Kustaafu kwa Umri

(Kiinua Mgongo) 354.6 497.0 40.2

Mafao ya Kifo/Mirathi 57.92 70.33 21.4

Msaada wa Mazishi 0.42 0.52 23.8

Mafao ya Kujitoa 1.61 2.62 62.7

Pensheni kwa Wastaafu 119.25 161.6 35.5

Pensheni ya Wategemezi 29.99 54.29 81.0

Jumla 563.8 786.4 39.5

Chanzo: Mfuko wa Pensheni wa PSPF

129. Mwaka 2016, mapato ya uwekezaji wa Mfuko yalishuka kwa asilimia

57.6 kufikia shilingi bilioni 75.59 kutoka shilingi bilioni 178.2 mwaka 2015.

Vile vile, mapato mengineyo yalipungua hadi shilingi bilioni 2.8 mwaka 2016

kutoka shilingi bilioni 5.1 mwaka 2015, sawa na upungufu wa asilimia 45.1.

Kushuka kwa mapato kulitokana na kupungua kwa fedha kwa ajili ya uwekezaji

na kuongezeka kwa malipo ya mafao zaidi kuliko michango.

Page 117: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

97

130. Hadi kufikia Desemba 2016, thamani ya rasilimali za uwekezaji wa

Mfuko ilipungua hadi shilingi trilioni 1.38 ikilinganishwa na shilingi trilioni

1.46 mwaka 2015, sawa na upungufu wa asilimia 5.5. Hali hii ilitokana na

kutokuwepo kwa uwiano kati ya mafao yanayolipwa na michango

inayopokelewa ambapo Mfuko unalipa mafao mengi ukilinganisha na michango

inayopokelewa. Aidha, katika kipindi hicho, tafiti zilionesha kuwa asilimia 65

ya wanachama waliridhishwa na huduma zinazotolewa na Mfuko ikilinganishwa

na asilimia 78 iliyoripotiwa mwaka 2015 kutokana na ucheleweshwaji katika

ulipaji wa mafao kwa wanachama.

Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF)

131. Mwaka 2015/16, Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii ulikuwa na jumla

ya wanachama 1,003,563 ikilinganishwa na wanachama 941,482 mwaka

2014/15, sawa na ongezeko la asilimia 6.6. Aidha, Mfuko ulikusanya michango

kutoka kwa wanachama yenye thamani ya shilingi milioni 631,031.54 mwaka

2015/16 ikilinganishwa na shilingi milioni 605,090.41 mwaka 2014/15, sawa na

ongezeko la asilimia 4.3. Ongezeko hili lilitokana na usajili wa wanachama

wapya 138,917 na waajiri wapya 3,575 ambao waliwasilisha michango kwa

wakati.

132. Mwaka 2015/16, mafao yaliyolipwa kwa wanachama yalikuwa shilingi

milioni 378,282.58 ikilinganishwa na shilingi milioni 357,673.79 zilizolipwa

mwaka 2014/15, sawa na ongezeko la asilimia 5.8. Wanachama waliolipwa

mafao hayo walikuwa 94,103 ikilinganishwa na wanachama 89,693 waliolipwa

mwaka 2014/15, sawa na upungufu wa asilimia 4.9. Aidha, jumla ya semina

4,412 ziliendeshwa nchi nzima kwa lengo la kutoa elimu kwa umma juu ya

umuhimu wa hifadhi ya jamii, ikilinganishwa na semina 4,078 zilizoendeshwa

mwaka 2014/15.

133. Katika kipindi hicho, thamani ya uwekezaji katika vitega-uchumi

iliongezeka hadi shilingi milioni 2,817,676.37 kutoka shilingi milioni

2,726,013.46 mwaka 2014/15, sawa na ongezeko la asilimia 3.4. Kwa upande

mwingine, thamani ya uwekezaji katika dhamana za serikali ilipungua na kufikia

shilingi milioni 254,932.88 mwaka 2015/16, kutoka shilingi milioni 315,927.85

mwaka 2014/15, sawa na upungufu wa asilimia 19.3. Mapato kutokana na

uwekezaji katika vitega-uchumi yaliongezeka hadi shilingi milioni 215,999.90

Page 118: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

98

mwaka 2015/16 kutoka shilingi milioni 209,687.40 mwaka 2014/15, sawa na

ongezeko la asilimia 3.0.

134. Mwaka 2015/16, thamani ya Mfuko iliongezeka kwa asilimia 1.6 kutoka

shilingi milioni 3,130,993.65 mwaka 2014/15 hadi shilingi milioni 3,181,266.61.

Aidha, rasilimali halisi za Mfuko zilikuwa na thamani ya shilingi milioni

3,008,439.12 mwaka 2015/16 ikilinganishwa na shilingi milioni 2,933,972.03

mwaka 2014/15, sawa na ongezeko la asilimia 2.54. Hivyo, ongezeko halisi la

rasilimali baada ya kodi kwa mwaka 2015/16 lilikuwa shilingi milioni 74,467.10

ikilinganishwa na shilingi milioni 351,051.27 mwaka 2014/215, sawa na

upungufu wa asilimia 78.8. Upungufu huu ulisababishwa na kuongezeka kwa

madeni yenye mashaka/yaliyochelewa kulipwa yenye thamani ya shilingi

milioni 192,993.27 mwaka 2015/16 kutoka shilingi milioni 39,625.88 mwaka

2014/15; kupungua kwa thamani ya hisa za kampuni zilizosajiliwa katika Soko

la Mitaji la Dar es Salaam kutoka shilingi milioni 17,668.88 mwaka 2014/15

hadi shilingi milioni 11,420.64 mwaka 2015/16; na kukosekana kwa faida

kutokana na kutokuwepo kwa mauzo ya hisa kwa mwaka 2015/16

ikilinganishwa na faida ya shilingi milioni 18,781.29 iliyopatikana kwa mauzo

ya hisa mwaka 2014/15.

Mfuko wa Pensheni wa PPF

135. Idadi Idadi ya wanachama wapya walioandikishwa katika Mfuko wa

Pensheni wa PPF mwaka 2015/16 walikuwa 70,942 ikilinganishwa na

wanachama 99,043 walioandikishwa mwaka 2014/15. Hii ilifanya idadi ya

wanachama kufikia 222,543 ikilinganishwa na wanachama 242,530 mwaka

2014/15, sawa na upungufu wa asilimia 8.2. Upungufu huu ulitokana na kuwepo

wa wanachama walioondoka katika ajira na kulipwa mafao yao pamoja na

wanachama ambao wameondolewa katika orodha wakati wa zoezi linaloendelea

la kuboresha kumbukumbu za wanachama.

136. Mwaka 2015/16, Mfuko ulikusanya michango ya wanachama yenye

thamani ya shilingi bilioni 378.4 ikilinganishwa na shilingi bilioni 503.6

zilizokusanywa mwaka 2014/15, sawa na upungufu wa asilimia 24.9. Hii

ilitokana na kupungua kwa idadi ya wanachama walioandikishwa katika kipindi

hicho. Aidha, mafao yaliyolipwa na Mfuko kwa wanachama wanaostahili

yalikuwa shilingi bilioni 214.4 ikilinganishwa na shilingi bilioni 267.8

Page 119: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

99

zilizolipwa mwaka 2014/15, sawa na upungufu wa asilimia 19.9. Hadi kufikia

Juni 2016, idadi ya wastaafu waliomo katika daftari la wastaafu la Mfuko wa

Pensheni wa PPF ilikuwa 31,133 ambao walilipwa pensheni yao ya mwaka

iliyokuwa na thamani ya shilingi bilioni 66.7 ikilinganishwa na shilingi bilioni

78.5 zilizolipwa kwa wastaafu 28,363 mwaka 2014/15. Vile vile, mwaka

2015/16 Mfuko ulilipa mafao ya elimu (ada na gharama nyingine za masomo)

kwa watoto wa wanachama waliofariki wakiwa kazini yenye thamani ya shilingi

bilioni 1.1 kwa watoto 1,112 ikilinganishwa na shilingi bilioni 1.9 kwa wototo

1,259 zilizolipwa mwaka 2014/15 sawa na upungufu wa asilimia 42.1 na

asilimia 11.7 kwa mtiririko huo. Aidha, Mfuko pia katika kipindi kusika ulilipa

mafao ya uzazi yenye thamani ya shilingi milioni 827.

137. Mwaka 2015/16, jumla ya shilingi trilioni 2.0 ziliwekezwa katika vitega-

uchumi mbalimbali vya Mfuko ikilinganishwa na shilingi trilioni 1.9

zilizowekezwa mwaka 2014/15, sawa na ongezeko la asilimia 5.3. Mapato

yatokanayo na uwekezaji mwaka 2015/16 yalikuwa shilingi bilioni 154.6

ikilinganishwa na shilingi bilioni 506.7 mwaka 2014/15, sawa na upungufu wa

asilimia 69.5. Hii ilitokana na kushuka kwa bei za hisa za kampuni ambazo

Mfuko umewekeza.Thamani ya Mfuko iliongezeka na kufikia shilingi trilioni

2.3 mwaka 2015/16, kutoka shilingi trilioni 2.08 mwaka 2014/15, sawa na

ongezeko la asilimia 10.5.

Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi (WCF)

138. Mwaka Mwaka 2016, Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi uliendelea na

taratibu za usajili wa waajiri wote waliopo katika sekta ya umma na binafsi

Tanzania Bara. Hadi Desemba 2016, waajiri waliopewa namba za usajili na

ambao wanachangia kwenye Mfuko walifikia 6,448 ikilinganishwa na waajiri

1,525 kwa kupindi kilichoishia Desemba 2015. Viwango vya uchangiaji vya

Mfuko ni asilimia 0.5 ya mapato ya mfanyakazi kwa waajiri wa sekta ya umma

na asilimia 1.0 kwa waajiri wa sekta binafsi. Hadi kufikia Desemba 2016,

Mfuko ulikusanya kiasi cha shilingi bilioni 37.41 ambayo ilijumuisha shilingi

bilioni 26.31 kutoka kwa waajiri wa sekta binafsi na mashirika ya umma na kiasi

cha shilingi bilioni 11.10 kutoka serikalini. Makusanyo haya ni sawa na asilimia

87.82 ya lengo la kukusanya shilingi bilioni 42.6.

Page 120: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

100

139. Mwaka 2016, Mfuko uliwekeza katika vitega-uchumi mbalimbali ikiwa

ni pamoja na: hatifungani za serikali, amana za benki na hisa za makampuni.

Katika kipindi hicho, Mfuko uliwekeza kiasi cha shilingi bilioni 41.55 ikiwa ni

chini ya lengo la kuwekeza shilingi bilioni 47.68 kwa kipindi kilichoishia

Desemba 2016. Mchanganuo wa uwekezaji wa Mfuko kuanzia Julai – Desemba

2016 ni kama unavyoonekana kwenye Jedwali Na.5.4

Jedwali Na.5.4: Uwekezaji wa Mfuko hadi kufikia Desemba 2016 (TZS

Biln)

Maeneo ya Uwekezaji

Makadirio

ya

Uwekezaji

Uwekezaji

Halisi

Utekelezaji

wa Makadirio

(%)

Hatifungani za Serikali (muda

mrefu) 31.0 25.94 83.7

Hatifungani za Serikali (muda

mfupi) 4.0 8.93 223.3

Amana za mabenki 6.0 0 0.0

Uwekezaji unaoiva 6.68 6.68 100.0

Jumla 47.7 41.55 87.1

Chanzo: Mfuko wa Fidia ya Wafanyakazi Tanzania

140. Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi ulianza kupokea rasmi madai ya fidia

tarehe 1 Julai 2016. Hadi Desemba 2016, Mfuko ulipokea madai ya malipo ya

fidia 37, ambapo Mfuko ulilipa madai 13 yenye jumla ya thamani ya shilingi

milioni 2.43. Madai matano yalikuwa kwenye hatua za malipo, madai matatu

yalifungwa kwa kutokuwa na vigezo vya kulipwa na madai 16 yalikuwa

hayajakamilika kwa sababu ya kukosa viambatisho. Madai yote yaliyokuwa na

kasoro yamerudishwa kwa waajiri ili kukamilisha vielelezo.

Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF)

141. Mwaka 2015/16, idadi ya wanachama wachangiaji kwenye Mfuko wa

Taifa wa Bima ya Afya iliongezeka na kufikia 702,598 kutoka wanachama

640,341 mwaka 2014/15, sawa na ongezeko la asilimia 9.7. Ongezeko hilo kwa

kiasi kikubwa lilichangiwa na uandikishaji wa wanafunzi wa elimu ya juu. Vile

vile, katika kipindi hicho, Mfuko wa Afya ya Jamii (CHF) uliandikisha jumla ya

kaya 1,452,855 kwa wanachama ikilinganishwa na kaya 1,112,874

zilizoandikishwa mwaka 2014/15, sawa na ongezeko la asilimia 30.5.

Page 121: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

101

142. Hadi kufikia Juni 2016, Mfuko ulikuwa unahudumia jumla ya wanufaika

12,094,153 ambao ni sawa na asilimia 24.1 ya idadi ya watu wote Tanzania

ikilinganishwa na asilimia 20.9 mwaka 2014/15. Kati ya hao, idadi ya wanufaika

wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) ilikuwa 3,377,023 (sawa na

asilimia 6.7 ya watanzania) na Mfuko wa Afya ya Jamii (CHF) ulikuwa na jumla

ya wanufaika 8,717,130 (sawa na asilimia 17.4 ya watanzania).

143. Mwaka 2015/16, Mfuko ulilipa kiasi cha shilingi milioni 220,088.33 kwa

watoa huduma, sawa na asilimia 96.0 ya madai ya shilingi milioni 229,258.67

yaliyowasilishwa. Tofauti ya madai yaliyowasilishwa na yaliyolipwa ilitokana

na baadhi ya watoa huduma kutozingatia miongozo ya matibabu ya Wizara ya

Afya Maendeleo ya Jamii Jinsia Wazee na Watoto, mpangilio wa bei za Mfuko

(NHIF), uandaaji usiofaa wa madai na kughushi madai.

144. Mapato ya Mfuko yaliongezeka kwa asilimia 22.5 kufikia shilingi

milioni 453,997.10 mwaka 2015/16 kutoka shilingi milioni 370,476.06 mwaka

2014/15. Kati ya mapato hayo, michango ya wanachama iliongezeka kutoka

shilingi milioni 286,702.26 mwaka 2014/15 hadi shilingi milioni 352,762.80

mwaka 2015/16, sawa na ongezeko la asilimia 23.0. Aidha, michango ya

wanachama ilichangia asilimia 77.7 ya mapato yote ya Mfuko ikifuatiwa na

mapato yatokanayo na vitega-uchumi asilimia 21.9, na mapato mengineyo

asilimia 0.4. Mwaka 2015/16,rasilimali halisi za Mfuko zilifikia shilingi

1,188,197,873,000 ikilinganishwa na shilingi 1,020,877,380,000 mwaka

2014/15, sawa na ongezeko la asilimia 16.4.

145. Mwaka 2015/16, vituo vya afya vilivyosajiliwa na Mfuko vilifikia 6,439

ikilinganishwa na vituo 6,185 vilivyosajiliwa mwaka 2014/15, sawa na

ongezeko la asilimia 4.1. Kati ya hivyo, vituo 5,091 (asilimia 79) vinamilikiwa

na Serikali na vituo 776 (asilimia 12) vinamilikiwa na sekta binafsi wakati vituo

572 (asilimia 10) vinamilikiwa na Madhehebu ya Dini. Mchanganuo wa vituo

hivyo ni kama inavyoonekana kwenye jedwali Na.5.5.

Page 122: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

102

Jedwali Na.5.5: Jumla ya Vituo vya Afya Vilivyosajiliwa na Mfuko hadi

kufikia 2015/16

Chanzo: Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya

Mamlaka ya Usimamizi wa Shughuli za Bima Tanzania (TIRA)

146. Mwaka 2016, idadi ya kampuni zilizosajiliwa kufanya biashara ya bima

zilikuwa 31 ikilinganishwa na kampuni 30 mwaka 2015. Kampuni hizo

zinajumuisha kampuni 25 zilizosajiliwa kufanya biashara ya bima za kawaida

pekee; kampuni nne (4) bima za maisha pekee; kampuni moja (1) bima za

kawaida na za maisha; na kampuni moja (1) bima mtawanyo.

147. Mauzo ya soko la Bima katika mwaka 2016 yalikua kwa asilimia 8.4

kufikia shilingi bilioni 670.9 ikilinganishwa na shilingi bilioni 618.9 mwaka

2015. Bima za kawaida zilichangia asilimia 89.0 kwa mwaka 2016, wakati bima

za maisha zilichangia asilimia 11.0 ya mauzo hayo. Mauzo ya bima za kawaida

yalikua kwa asilimia 8.5 kufikia shilingi bilioni 596.9, ikilinganishwa na shilingi

bilioni 550.2 mwaka 2015. Wakati huo huo, mauzo ya bima za maisha yalikua

kwa asilimia 7.8 kufikia shilingi bilioni 74.1, ikilinganishwa na shilingi bilioni

68.7 mwaka 2015. Idadi ya hati za bima zilizotolewa na makampuni ya bima

ziliongezeka kwa asilimia 34.1 kufikia 2,316,867 mwaka 2016 ikilinganishwa na

hati 1,727,342 mwaka 2015.

Serikali Mashirika ya Dini Binafsi Jumla SerikaliMashirika

ya DiniBinafsi Jumla

Hospitali 126 106 22 254 131 106 25 262 3.1

Vituo vya Afya 461 132 21 614 449 142 37 628 2.3

Zahanati 4,332 349 63 4,744 4,509 319 103 4,931 3.9

Maduka ya dawa 0 5 558 563 2 5 586 593 5.3

Kliniki maalum 0 8 8 - - 21 21 162.5

Vituo vya uchunguzi wa Magonjwa 0 0 2 2 - - 4 4 100

Jumla 4,919 592 674 6,185 5,091 572 776 6,439 4

Aina ya Vituo

2014/15 2015/16

Ukuaji (% )

Page 123: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

103

Jedwali Na.5.6: Mauzo ya Bima kwa Mwaka 2014 – 2016 (Shs. Milioni)

Mauzo 2014 2015 2016

Bima za Kawaida 493,981 550,168 596,859

Ukuaji (%) 18.27 11.37 8.50

Mchango kwa Jumla (%) 89.10 88.90 89.00

Bima za Maisha 60,420 68,691 74,074

Ukuaji (%) 7.10 13.70 7.80

Mchango kwa Jumla (%) 10.90 11.10 11.00

Jumla ya Mauzo 554,401 618,859 670,932

Ukuaji (%) 16.90 11.60 8.40

Chanzo: Mamlaka ya Usimamizi wa Shughuli za Bima Tanzania

148. Kwa upande wa mapato, kampuni za bima za kawaida zilipata faida ya

shilingi bilioni 27.9 hadi kufikia Desemba mwaka 2016, ikiwa ni pungufu kwa

asilimia 16.4 ikilinganishwa na faida ya shilingi bilioni 33.3 iliyopatikana

mwaka 2015. Upungufu huu wa faida umetokana na kupungua kwa mapato

yatokanayo na uwekezaji.

149. Thamani ya mali za kampuni za bima iliongezeka kufikia shilingi bilioni

788.7 mwaka 2016 kutoka shilingi bilioni 729.3 mwaka 2015, sawa na ongezeko

la asilimia 8.1 . Madeni ya kampuni za bima yalifikia shilingi bilioni 506.7

mwaka 2016 ikilinganishwa na shilingi bilioni 483.9 mwaka 2015. Hivyo,

tofauti kati ya mali na madeni ya kampuni hizo ilikuwa shilingi bilioni 282.0

mwaka 2016 ikilinganishwa na shilingi bilioni 245.5 mwaka 2015, sawa na

ongezeko la asilimia 14.9.

Jedwali Na.5.7: Thamani ya Mali na Madeni ya Kampuni za Bima (Shs.

Miln)

Mali Na Madeni 2013 2014 2015 2016

Jumla ya Mali 518,984 619,979 729,326 788,746

Ukuaji (%) 15.20 19.50 17.60 8.10

Jumla ya Madeni 343,718 401,665 483,869 506,718

Ukuaji (%) 8.20 16.90 20.50 4.70

Ziada ya Mali 175,266 218,314 245,457 282,028

Ukuaji (%) 32.10 24.60 12.40 14.90

Chanzo: Mamlaka ya Usimamizi wa Shughuli za Bima Tanzania.

Page 124: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

104

Mwenendo wa Soko la Mikopo ya Nyumba Tanzania

150. Mwaka 2016, jumla ya mikopo ya nyumba za kuishi iliyotolewa ilikuwa

na thamani ya shilingi bilioni 416.94 ikilinganishwa na shilingi bilioni 359.4

zilizotolewa mwaka 2015, sawa na ukuaji wa asilimia 16.0. Ongezeko hili

lilitokana na kuongezeka kwa ushindani uliosababishwa na kuingia kwa taasisi

mpya na kuongezeka kwa ufahamu juu ya mikopo ya nyumba miongoni mwa

wakopaji. Taasisi mpya zilizoingia sokoni ni Diamond Trust Bank na Standard

Chartered Bank na hivyo kufanya idadi ya taasisi hizo kufika 28 ikilinganishwa

na taasisi 26 mwaka 2015 sawa na ongezeko la asilimia 7.7. Jedwali Na.5.8

linaonesha taasisi za fedha zilizo kwenye soko na umiliki wao kwenye soko la

mikopo ya nyumba.

Page 125: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

105

Jedwali Na.5.8: Taarifa ya Soko la Nyumba nchini hadi Desemba 2016

Chanzo: Soko la Mikopo ya Nyumba Tanzania

Mkopeshaji

Idadi

ya

Wateja

Kiasi cha Mikopo

(Bilioni)

Miliki ya

Soko (%)

Equity Bank Tanzania Limited 73 97.75 23.4

Stanbic Bank (T) Ltd 159 58.3 14

Bank M Tanzania  Public Limited Company 28 54.53 13.1

Azania Bank Limited 629 40.4 9.7

CRDB Bank Plc 285 34.82 8.4

Commercial Bank of Africa (T) Limited 175 25.84 6.2

KCB Bank Tanzania Limited 62 10.31 2.5

First National Bank Tanzania Limited 99 9.8 2.4

NIC Bank Tanzania Limited 18 9.61 2.3

Bank of Africa Tanzania Limited 85 9.47 2.3

DCB Commercial Bank Plc 844 8.56 2.1

I & M Bank Tanzania Limited 41 8.54 2

Barclays Bank (T) Limited 62 7.76 1.9

National Microfinance Bank (T) Plc. 36 5.16 1.2

African Banking Corporation (T) Ltd 32 5.14 1.2

Exim Bank Tanzania Limited 29 4.11 1

Standard Chartered Bank (T) Ltd 17 3.97 1

Akiba Commercial Bank Ltd 547 3.93 0.9

EFCTanzania M.F.B Limited 209 3.59 0.9

Diamond Trust Bank (T) Ltd. 4 2.58 0.6

NBC Limited 25 2.51 0.6

TIB Corporate Bank Limited 15 2.26 0.5

Citibank Tanzania Limited 14 2.24 0.5

International Commercial Bank  (T) Ltd. 4 2.04 0.5

China Commercial Bank Limited 1 1.57 0.4

TIB Development Bank Limited 9 1.02 0.2

Peoples Bank of Zanzibar 13 0.63 0.2

Amana Bank Limited 4 0.5 0.1

Jumla 3,519 416.94 100

Page 126: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

106

151. Mwaka 2016, Serikali iliongeza jitihada na kuhakikisha riba inayotozwa

na wakopeshaji wa mikopo ya nyumba za makazi inapungua. Jitihada hizo

zilishusha kiwango cha riba kufikia wastani wa asilimia 16 hadi 19

ikilinganishwa na asilimia 19 hadi 21 mwaka 2015. Aidha, kipindi cha ulipaji

wa mikopo kiliongezeka kutoka miaka 7 mwaka 2010 hadi miaka 20 mwaka

2016. Vile vile, wastani wa mikopo ya nyumba ilikuwa shilingi milioni 118

mwaka 2016 ikilinganishwa na shilingi milioni 106 mwaka 2015, sawa na

ongezeko la asilimia 11.3. Wastani huu unatofautiana miongoni mwa benki

kutokana na mikakati na aina ya wateja waliolengwa.

152. Mpango wa Mradi wa Fedha za Nyumba unaotekelezwa na Kampuni ya

Mikopo ya Nyumba Tanzania (Tanzania Mortgage Refinance Company Limited

–TMRC) ulianzisha Mfuko wa Mikopo Midogo ya Nyumba kwa lengo la kutoa

mikopo ya muda mrefu kwa wafanyakazi wa kipato cha chini kwa ajili ya

kukarabati na kujenga nyumba mpya. Mfuko huu ulianza rasmi shughuli zake

Julai 2015 kwa kutoa mkopo wa shilingi bilioni moja kwa DCB Commercial

Bank Plc. Hadi Desemba 2016, mikopo ya jumla ya shilingi bilioni sita

ilitolewa kwa EFC, shilingi bilioni nne kwa Tanzania Microfinance Bank Ltd

na shilingi bilioni mbili kwa Yetu Microfinance Bank Plc

153. Hadi Desemba 2016, Kampuni ya TMRC ilitoa mikopo ya shilingi

bilioni 59.6 ikilinganishwa na shilingi bilioni 43.9 iliyotolewa hadi kipindi kama

hicho mwaka 2015, sawa na ongezeko la asilimia 35.8. Aidha, mikopo ya

nyumba iliyotolewa na TMRC ilikuwa ni sawa na asilimia 14 ya jumla ya

mikopo yote ya nyumba nchini. Kwa upande mwingine, uwiano wa mikopo ya

nyumba kwa Pato la Taifa uliendelea kuwa asilimia 0.45 kama ilivyokuwa

mwaka 2015. Uwiano huu ni mdogo ukilinganisha na nchi za Afrika ya

Mashariki kama inavyoonekana kwenye Kielelzo Na 5.1

Page 127: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

107

Kielelezo Na.5.1: Uwiano wa Mikopo ya Nyumba kwa Pato la Taifa

Chanzo: Soko la Mikopo ya Nyumba Tanzania

Benki ya Wanawake Tanzania

154. Hadi Desemba 2016, idadi ya wateja wa benki waliongezeka na kufikia

65,735 ikilinganishwa na wateja 62,301 waliokuwepo hadi Desemba 2015,

sawa na ongezeko la asilimia 5.5. Ongezeko hili lilitokana na uhamasishaji wa

wananchi hususan, wanawake kufungua akaunti. Hata hivyo, amana za wateja

wa benki zilipungua kwa asilimia 21.6 kutoka shilingi bilioni 25.1 mwaka 2015

hadi shilingi bilioni 19.7 mwaka 2016, kutokana na wateja wengi kuwa na

kiwango kidogo cha amana.

155. Mwaka 2016, benki ilitoa mikopo ya shilingi bilioni 19.2 ikilinganishwa

na shilingi bilioni 21.2 mwaka 2015, sawa na upungufu wa asilimia 9.4.

Upungufu huo ulitokana na sababu mbalimbali ikiwemo uwepo wa mikopo

chechefu. Aidha, kiwango cha mikopo chechefu hadi Desemba 2016 ilikuwa

asilimia 43.0 ikilinganishwa na asilimia 26.0 mwaka 2015. Jedwali Na. 5.9

linaonesha taarifa ya mikopo ya benki kwa mwaka 2015 na 2016.

0.00%

0.50%

1.00%

1.50%

2.00%

2.50%

3.00%

3.50%

4.00%

4.50%

5.00%

Kenya Rwanda Tanzania Uganda

2015

2016

Page 128: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

108

Jedwali Na.5.9: Thamani ya Mikopo ya Benki ya Wanawake

Chanzo: Benki ya Wanawake Tanzania

156. Mwaka 2016, mapato ya Benki ya Wanawake yalipungua kwa asilimia

24.3 kutoka shilingi bilioni 8.5 mwaka 2015 hadi shilingi bilioni 6.4 mwaka

2016. Hii ilitokana na kupungua kwa kiwango cha mikopo na baadhi ya mikopo

kutolipika kama ilivyotegemewa. Vile vile, thamani ya uwekezaji katika kipindi

hicho ilipungua kutoka shilingi bilioni 9.6 mwaka 2015 hadi shilingi bilioni 5.8

mwaka 2016, sawa na upungufu wa asilimia 39.0. Hii ilitokana na kupungua

kwa amana.

Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania

157. Mwaka 2016, Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania ilitoa mikopo ya

shilingi bilioni 6.5 ikilinganishwa na shilingi bilioni moja iliyotolewa mwaka

2015. Mikopo hiyo ilitolewa kwa miradi ya kilimo cha mazao ya mahindi,

mchele, maua na miwa kwa wakulima wa mikoa ya Iringa, Tanga na Morogoro.

Aidha, jumla ya vikundi 8 vya wakulima 857 wa mahindi katika mkoa wa

Iringa na vikundi vya wakulima 11 vyenye wanachama 1,384 katika mikoa ya

Morogoro, Tanga na Iringa vilinufaika na mikopo hiyo. Kwa upande wa miradi

ya kilimo cha umwagiliaji, benki ilitoa mikopo ya shilingi bilioni 2.2 kwa

vikundi sita vya wakulima vyenye wanachama 1,216 vinavyojishughulisha na

kilimo cha mahindi, mchele na kilimo cha mbogamboga katika wilaya za

Mufindi, Kilombero, Iringa Vijijini na Korogwe.

158. Mwaka 2016, benki ilipata faida ya shilingi bilioni 2.26 ikiwa ni mwaka

wa kwanza wa uendeshaji wa shughuli zake. Aidha, katika kutafuta vyanzo

Wateja Kiasi cha Mikopo NPL(%) Wateja Kiasi cha Mikopo NPL (%)

Vikundi 12,042 7,727,176,159 26 10,509 6,628,374,995 40

Mikopo Binafsi 427 3,363,040,483 26 397 3,531,599,356 40

Mikopo ya Biashara 57 1,588,680,141 25 56 1,400,862,396 18

Mikopo ya Wafanyakazi 766 2,729,830,080 18 564 1,870,064,463 41

SACCOS 3 681,713,106 46 1 778,668,447 82

Wafanyakazi wa Ndani 108 1,080,654,530 - 124 1,184,487,737 -

Mikopo ya Akaunti ya Hundi 13 798,779,724 11 6 882,464,877 82

Maendeleo 2,638 2,974,467,724 27 2,458 2,353,071,737 71

Viwanja 119 259,015,410 20 145 574,652,194 30

Jumla 16,173 21,203,357,357 26 14,260 19,204,246,202 43

Aina ya Mikopo2015 2016

Page 129: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

109

vingine vya mapato, benki ilipokea mkopo wa shilingi bilioni 204 kutoka Benki

ya Maendeleo Afrika (AfDB) kwa ajili kugharamia miradi ya kilimo. Vile vile,

benki ilipata shilingi milioni 578.3 kutoka progamu ya MIVARF kwa ajili ya

kugharamia uendeshaji wa loan guarantee scheme.

159. Mwaka 2016, benki ilitoa mafunzo kwa vikundi 336 vya wakulima

vilivyokuwa na wanachama 44,000 katika mikoa ya Iringa, Morogoro na Tanga.

Kati ya hivyo, vikundi 19 vilitimiza vigezo vya kukopa na kupatiwa mikopo,

wakati vikundi vingine viliendelea kupewa mafunzo husika.

Benki ya Posta

160. Mwaka Mwaka 2016, Benki ya Posta Tanzania iliendelea kutoa huduma

zake kwa kutumia matawi 30, ikilinganishwa na matawi 29 mwaka 2015. Aidha,

benki ilikuwa na matawi madogo 24 ya kutoa huduma zake kama ilivyokuwa

mwaka 2015. Katika kipindi hicho, jumla ya akaunti 298,874 zilifunguliwa

kupitia mpango wa TPB popote ikiwa ni ongezeko la asilimia 26.1

ikilinganishwa na akaunti 236,981 zilizofunguliwa mwaka 2015. Mwaka 2016,

benki iliendelea kutoa huduma kwa wateja kwa kutumia mashine 200 za ATM

za Umoja Switch ambazo kati ya hizo, mashine 44 zilikuwa ni mali ya benki

ikilinganishwa na mashine 196 za Umoja Switch zilizojumuisha mashine 38 za

Benki ya Posta mwaka 2015.

161. Mwaka 2016, amana za wateja katika Benki ya Posta zilikuwa shilingi

milioni 292,200 ikilinganishwa na shilingi milioni 302,181 mwaka 2015, sawa

na upungufu wa asilimia 3.3. Kushuka kwa kiwango cha amana kulisababishwa

na ongezeko la ushindani miongoni mwa benki nchini, hususan katika

kukusanya amana kutoka kwa wateja wale wale pamoja na ukuaji wa taasisi za

huduma ndogo za fedha zinazohamasisha wateja wake kutoka katika kundi

kubwa la watu wa kipato cha chini.

162. Kwa upande wa huduma za vikundi, hadi Desemba 2016, benki ilikuwa

na wateja 5,077 wa vikundi vya kuweka na kukopa vijijini wenye amana zenye

thamani ya shilingi milioni 927; wateja 33,146 wa VICOBA wenye amana

zenye thamani ya shilingi bilioni 3.1; wateja 2,482 wa vikundi visivyo rasmi

waliokuwa na amana zenye thamani ya shilingi bilioni 2.3; na akaunti maalum

kwa mashabiki wa mpira wa miguu wa timu za Simba, Yanga na Mbeya City

Page 130: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

110

zilikuwa na wateja 17,857 na amana zenye thamani ya shilingi bilioni 1.3.

Aidha, benki ilitoa mikopo iliyokuwa na thamani ya shilingi milioni 298,057

mwaka 2016 ikilinganishwa na shilingi milioni 254,358 mwaka 2015, sawa na

ongezeko la asilimia 17.2.

Jedwali Na.5.10: Mchanganuo wa Thamani ya Mikopo ya Benki ya Posta

(Shs. Miln)

Aina ya Mkopo 2013 2014 2015 2016

Mikopo ya Biashara 10,534 24,393 34,794 33,800

Mikopo ya Watumishi 94,760 124,965 135,164 141,400

Mikopo ya Wastaafu 18,540 43,319 76,000

Mikopo midogo midogo 7,471 18,536 22,867 23,929

Mikopo ya Uwezeshaji 1,920 196 187 36

Mikopo ya Vikundi 2,297 5,831 4,600

PSL Loans 2,010 4,000

Mikopo ya VICOBA 225 705

Mikopo ya Wafanyakazi 5,049 7,078 9,961 13,500

Jumla 119,734 196,005 254,358 298,057

Badiliko (%) 24.8 63.7 29.8 17.2

Chanzo: Benki ya Posta Tanzania

163. Mwaka 2016, thamani ya uwekezaji uliofanywa na benki katika dhamana

za Serikali ulipungua kwa asilimia 33.8 kufikia shilingi milioni 42,452 kutoka

shilingi milioni 64,101 mwaka 2015. Kushuka kwa uwekezaji katika dhamana

za Serikali kulitokana na ongezeko la mahitaji ya mikopo kwa wateja. Kwa

upande mwingine, mapato ya benki yaliongezeka kwa asilimia 23.5 kutoka

shilingi milioni 74,485 mwaka 2015 hadi shilingi milioni 92,000 mwaka 2016.

Aidha, faida kabla ya kodi iliongezeka na kufikia shilingi milioni 16,100 kutoka

shilingi milioni 12,025 mwaka 2015, sawa na ongezeko la asilimia 33.9.

Page 131: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

111

Jedwali Na.5.11: Thamani ya Rasilimali katika Dhamana (Shs. Milioni)

Kitega Uchumi 2013 2014 2015 2016

Dhamana za Serikali za

muda mfupi 15,894 16,434 36,880 24,269

Dhamana za Serikali 29,404 26,225 27,221 18,183

Dhamana binafsi 437 263 0 0

Jumla ya dhamana 45,735 42,922 64,101 42,452

Badiliko (%) 19.9 -6.2 49.3 -33.8

Chanzo: Benki ya Posta Tanzania

Mfuko wa SELF

164. Mwaka 2016, Mfuko wa SELF uliendelea kutoa huduma kwa wananchi

ambapo mikopo iliyotolewa ilikuwa na thamani ya shilingi bilioni 11.5

ikilinganishwa na shilingi bilioni 8.6 mwaka 2015, sawa na ongezeko la asilimia

33.7. Mikopo hiyo ilitolewa kwa Asasi za fedha 75 ikilinganishwa na Asasi 87

zilizokopeshwa mwaka 2015. Kati ya hizo, SACCOS zilikuwa 44, Kampuni za

Fedha 28 na Benki za Jamii tatu (3). Vile vile, mikopo hiyo iliweza kuwafikia

wajasiriamali wadogo 5,130 ikilinganishwa na wajasiriamali 2,686 walionufaika

na mikopo mwaka 2015.

165. Mwaka 2016, Mfuko ulikuwa na mtaji wenye thamani ya shilingi bilioni

57.09 ikilinganishwa na shilingi bilioni 55.5, mwaka 2015, sawa na ongezeko la

asilimia 2.9. Mchanganuo wa uwekezaji wa Mfuko ni kama unavyoonekana

kwenye Jedwali Na.5.12.

Jedwali Na.5.12: Mchanganuo wa Mtaji wa Mfuko wa SELF (TZS Bilioni)

Eneo la Uwekezaji Desemba

2015

Desemba

2016

Ukuaji

(%)

Fedha Taslimu Benki 6.18 2.30 (62.8)

Kasma ya mikopo 7.93 11.09 39.8

Uwekezaji katika Amana za Serikali 41.40 43.70 5.6

Jumla 55.51 57.09 2.8

Chanzo: Mfuko wa SELF

166. Mwaka 2016, Mfuko ulipata mapato kutoka kwenye vyanzo vikuu vitatu

ambavyo ni: mikopo, uwekezaji katika dhamana za serikali na mapato

Page 132: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

112

mengineyo. Hadi Desemba 2016, Mfuko ulikuwa na mapato ya shilingi bilioni

7.4 ikilinganishwa na shilingi bilioni 4.6 mwaka 2015, sawa na ongezeko la

asilimia 62.8. Ongezeko hilo kwa kiasi kikubwa lilitokana na uwekezaji katika

dhamana za Serikali ambao ulikuwa asilimia 80.5. Mchanganuo wa vyanzo vya

mapato ni kama unavyoonekana kwenye Jedwali Na.5.13.

Jedwali Na.5.13: Vyanzo vya Mapato ya Mfuko wa SELF hadi Desemba

2016

Vyanzo vya Mapato 2015 2016 Ukuaji

(%)

Mikopo 1,075,570,710.3 1,258,417,731.0 17.0

Uwekezaji katika Amana za

Serikali 3,309,964,320.4 5,991,035,420.0 81.0

Mapato mengineyo 182,855,501.0 188,341,166.0 3.0

Ruzuku kutoka Serikalini - - 0.0

Jumla 4,568,390,531.7 7,437,794,317.0 62.8

Chanzo: Mfuko wa SELF

Page 133: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

113

Jedwali Na. 27

2011 2012 2013 2014 2015 2016 Kiasi %

Fedha ya msingi (M0) 2,235.8 2,414.8 2,764.0 3,244.7 3,678.5 3,608.7 -69.8 -1.9

Ujazi wa fedha, kwa tafsiri finyu (M1) 5,572.0 6,538.6 7,218.1 8,284.2 9,575.7 9,986.7 411.0 4.3

Amana za Akiba na za muda maalum 3,676.0 4,186.0 4,672.4 5,632.9 6,204.4 6,536.5 332.1 5.4

Ujazi wa fedha, kwa tafsiri pana (M2) 9,247.9 10,724.5 11,890.6 13,917.0 15,780.1 16,523.2 743.1 4.7

Amana za fedha za kigeni 3,773.4 3,922.6 4,216.2 4,697.1 6,335.2 6,237.2 -98.0 -1.5

Ujazi wa fedha kwa tafsiri pana zaidi (M3) 13,021.3 14,647.1 16,106.8 18,614.2 22,115.3 22,760.4 645.1 2.9

Rasilimali halisi katika fedha za kigeni kwenye benki (Net foreign assets) 6,273.6 6,396.0 6,576.3 6,551.5 8,244.0 8,209.0 -35.0 -0.4

Rasilimali halisi katika fedha za ndani kwenye benki (Net domestic assets) 6,747.7 8,251.1 9,530.4 12,062.6 13,871.3 14,551.4 680.1 4.9

Karadha Nchini 10,958.1 13,719.0 16,293.0 18,863.7 22,505.5 23,775.8 1,270.3 5.6

Madai halisi kwa serikali kuu 1,471.3 2,019.4 2,554.6 3,651.6 4,881.6 4,282.0 -599.7 -12.3

Mikopo kwa serikali kuu 3,335.7 4,708.6 5,900.4 6,451.5 7,012.8 7,166.9 154.1 2.2

Mikopo kwa sekta isiyo serikali 7,622.3 9,010.4 10,392.7 12,412.3 15,492.7 16,608.9 1,116.2 7.2

Rasilimali nyinginezo (Other Items Net) -2,345.9 -2,778.7 -3,416.8 -4,001.3 -6,503.1 -6,339.5 163.6 -2.5

Chanzo: Benki Kuu ya Tanzania

MWENENDO WA KARADHA NA UJAZI WA FEDHA - TANZANIA BARA

Sh. Bilioni

Badiliko 2015/16Kipindi kinachoishia mwezi Desemba

Page 134: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

114

Jedwali Na. 28

2011 2012 2013 2014 2015 2016

Fedha ya msingi (M0) 17.9% 8.0% 14.5% 17.4% 13.4% -1.9%

Ujazi wa fedha, kwa tafsiri finyu (M1) 23.2% 17.3% 10.4% 14.8% 15.6% 4.3%

Amana za Akiba na za muda maalum 4.4% 13.9% 11.6% 20.6% 10.1% 5.4%

Ujazi wa fedha, kwa tafsiri pana (M2) 15.0% 16.0% 10.9% 17.0% 13.4% 4.7%

Amana za fedha za kigeni 27.0% 4.0% 7.5% 11.4% 34.9% -1.5%

Ujazi wa fedha kwa tafsiri pana zaidi (M3) 18.2% 12.5% 10.0% 15.6% 18.8% 2.9%

Rasilimali halisi katika fedha za kigeni kwenye benki (Net foreign assets) 2.4% 2.0% 2.8% -0.4% 25.8% -0.4%

Rasilimali halisi katika fedha za ndani kwenye benki (Net domestic assets) 38.1% 22.3% 15.5% 26.6% 15.0% 4.9%

Karadha Nchini 15.1% 25.2% 18.8% 15.8% 19.3% 5.6%

Madai halisi kwa serikali kuu 82.4% 37.3% 26.5% 42.9% 33.7% -12.3%

Mikopo kwa serikali kuu -5.5% 41.2% 25.3% 9.3% 8.7% 2.2%

Mikopo kwa sekta isiyo serikali 27.2% 18.2% 15.3% 19.4% 24.8% 7.2%

Rasilimali nyinginezo (Other Items Net) 22.7% 18.5% 23.0% 17.1% 62.5% -2.5%

Chanzo: Benki Kuu ya Tanzania

Kipindi kinachoishia mwezi Desemba

VIWANGO VYA UKUAJI WA KARADHA NA UJAZI WA FEDHA - TANZANIA BARA

Page 135: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

115

Jedwali Na.29

2009 2010 2011 2012 2013 2014 2015 2016

Shs/Dola mwisho wa mwaka 1,313.29 1,453.54 1,605.35 1,578.41 1603.2067 1,723.69 2,148.52 2,172.62

Badiliko la thamani ya shilingi (%) -2.5 -9.6 -9.5 1.7 -1.5 -7.0 -19.8 -1.1

Shs/Dola wastani wa mwaka 1,307.23 1,401.79 1,557.43 1,571.71 1598.66 1,652.51 1985.39 2,177.09

Badiliko la wastani wa thamani ya shilingi (%) -7.7 7.2 -10.0 -0.9 -1.7 -3.3 -16.8 -8.8

Chanzo: Benki Kuu ya Tanzania

MWENENDO WA VIWANGO VYA UBADILISHAJI KATI YA SHILINGI NA DOLA YA MAREKANI

Page 136: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

116

Jedwali Na. 30

2011 2012 2013 2014 2015 2016

Uzalishaji katika Kilimo 912331.8 938915.0 965140.6 1057347.9 1174242.9 1107645.3 -5.7 6.9

Huduma za Kifedha 177691.8 231269.4 251255.0 310711.6 404605.8 388745.2 -3.9 2.4

Madini na Uchimbaji Mawe 39175.7 55158.0 96739.0 166275.2 275233.3 328620.4 19.4 2.1

Viwanda 928746.6 991795.9 1160593.7 1386236.9 1695767.4 1627766.0 -4.0 10.2

Majengo na Ujenzi 320938.2 410748.0 514408.4 660147.8 741401.0 740726.8 -0.1 4.6

Uchukuzi na Mawasiliano 545243.5 610053.9 727538.0 925723.9 1231805.7 1180904.6 -4.1 7.4

Biashara 1523962.2 1843242.7 2162191.4 2652057.0 3077683.0 3349328.7 8.8 20.9

Utalii 49730.4 60152.3 113394.5 129478.1 176626.3 198482.0 12.4 1.2

Mahoteli na Migahawa 361039.7 363033.4 371008.5 436101.1 514642.0 526390.2 2.3 3.3

Umeme 166672.8 338035.1 403022.7 440936.5 439801.0 429919.2 -2.2 2.7

Watu Binafsi 1557495.5 1778743.2 1744954.0 2104496.5 2731740.4 2981134.8 9.1 18.6

Sekta Nyinginezo 815729.5 1101473.5 1643118.0 1842250.1 2641095.5 3144834.3 19.1 19.6

Jumla 7398757.6 8722620.4 10153363.7 12111762.6 15104644.3 16004497.5 6.0 100.0

Chanzo: Benki Kuu ya Tanzania

Aina ya ShughuliUkuaji

(%)

Mchang

o (%)

MIKOPO YA BENKI ZA BIASHARA KWA SHUGHULI ZA KIUCHUMI

Kipindi kinachoishia mwezi Desemba (Sh. Milioni)

Page 137: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

117

Jedwali Na.31 Sh. Bilioni

2010 2011 2012 2013 2014 2015 2016

Amana za Hundi/Zinazaohamishika 2,624.3 3,336.2 4,123.8 4,454.2 5,039.4 5,897.2 6,378.0 8.2

Amana za Akiba na za Muda Maalum 3,520.7 3,676.0 4,186.0 4,672.4 5,632.9 6,204.4 6,536.5 5.4

Amana za fedha za kigeni 2,926.4 3,722.0 3,882.4 4,216.0 4,697.1 6,335.2 6,237.2 -1.5

Jumla 9,071.5 10,734.2 12,192.2 13,342.6 15,369.4 18,436.8 19,151.7 3.9

Amana za Serikali 699.3 626.6 736.8 791.8 808.4 856.9 577.8 -32.6

Jumla za Amana zote 9,770.8 11,360.8 12,929.0 14,134.4 16,177.8 19,293.7 19,729.5 2.3

Chanzo: Benki Kuu ya Tanzania

Jedwali Na. 32 Asilimia

2012 2013 2014 2015 2016

Riba ya Benki Kuu (Bank rate) 12.00 16.00 16.00 16.00 16.00

Riba za Amana

Amana za akiba 2.94 3.11 3.12 3.42 3.08

Amana za muda maalum 8.82 8.87 8.76 9.30 8.78

Riba za mikopo

Mikopo ya muda mfupi hadi mwaka mmoja 14.09 13.84 14.80 14.22 12.87

Mikopo ya muda wa kati na mrefu 15.68 16.13 15.75 16.39 15.66

Riba za Hawala za Hazina

Siku 91 11.89 13.62 13.20 9.28 7.09

Siku 182 12.96 15.46 15.22 17.15 14.54

Siku 364 13.69 15.63 16.23 18.72 15.80

Chanzo:Benki Kuu ya Tazania

Aina ya Riba

MWENENDO WA AMANA KATIKA BENKI ZA BIASHARA

Amana za Sekta Binafsi

Badiliko

2015/16 ( %)

Kipindi Kinachoishia mwezi Desemba

Kipindi Kinachoishia Mwezi Desemba

VIWANGO VYA WASTANI WA RIBA

Page 138: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

118

SURA YA 6

RASILIMALI WATU

Idadi ya Watu

167. Idadi ya watu Tanzania ilikadiriwa kuwa 50,144,175 mwaka 2016

ikilinganishwa na watu 48,776,405 mwaka 2015. Katika mwaka 2016, Tanzania

Bara ilikadiriwa kuwa na watu 48,676,698, sawa na asilimia 97.1 ya watu wote

na Tanzania Zanzibar watu 1,467,477, sawa na asilimia 2.9. Aidha, mchanganuo

wa watu kwa jinsia unaonesha kuwa wanawake walikadiriwa kuwa 25,731,286

sawa na asilimia 51.3 ya watu wote na wanaume 24,412,889 sawa na asilimia

48.7. Makadirio haya yalitokana na matokeo ya Sensa ya Watu na Makazi ya

mwaka 2012 ambayo yalionesha ukuaji wa idadi ya watu unaongezeka kwa

wastani wa asilimia 2.7 kwa mwaka.

Mgawanyiko wa Watu Kimkoa

168. Mwaka 2016, mkoa wa Dar es salaam ulikuwa na watu wengi zaidi,

ukiwa na watu takribani 5,465,420 ambao ni sawa na asilimia 11.2 ya watu wote

Tanzania Bara ikilinganishwa na watu 5,166,570, sawa na asilimia 10.9 mwaka

2015. Mkoa wa Mwanza ulifuatia kwa kuwa na watu takribani 3,122,992

(asilimia 6.4); na Kagera watu 2,789,577 (asilimia 5.7). Idadi kubwa ya watu

katika mkoa wa Dar es salaam ilitokana na ongezeko kubwa la idadi ya watu

wanaohamia kutoka mikoa mingine hususan vijana katika harakati za kujikimu

kimaisha, kupata huduma za kijamii na za kiuchumi. Aidha, mkoa wa Katavi

ulikuwa na idadi ndogo zaidi ya watu ikilinganishwa na mikoa mingine ya

Tanzania Bara, ukiwa na watu takribani 642,567 (asilimia 1.3). Kwa upande wa

Zanzibar, mkoa wa Mjini Magharibi ulikuwa na watu wengi zaidi

ikilinganishwa na mikoa mingine, ukiwa na watu takribani 702,283, sawa na

asilimia 47.9 ya watu wote Tanzania Zanzibar na mkoa uliokuwa na idadi ndogo

zaidi ya watu ni Kusini Unguja uliokuwa na watu 125,215, sawa na asilimia 8.5.

169. Msongamano wa watu kwa kila kilometa moja ya mraba kwa Tanzania

ulikuwa na wastani wa watu 57 kwa mwaka 2016. Aidha, kwa upande wa

Tanzania Bara msongamano ulikuwa wastani wa watu 55 kwa kila kilometa

moja ya mraba. Mkoa wa Dar es Salaam ulikuwa na msongamano mkubwa zaidi

wa watu kwa upande wa Tanzania Bara, ukiwa na watu 3,923 kwa kila kilometa

Page 139: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

119

moja ya mraba ukifuatiwa na Mwanza (330), Kilimanjaro (133) na Kagera

(110). Mikoa ya Lindi na katavi ilikuwa na idadi ndogo zaidi ya watu kwa kila

kilometa moja ya mraba ikiwa na wastani wa watu 14 ikifuatiwa na mkoa wa

Ruvuma uliokuwa na wastani wa watu 24 kwa kila kilometa moja ya mraba.

Kwa upande wa Zanzibar, Mkoa wa Mjini Magharibi ulikuwa na msongamano

mkubwa wa wastani wa watu waliokadiriwa kuwa 3,053 kwa kila kilometa moja

ya mraba wakati Mkoa wa Kusini Unguja ulikuwa na wastani wa watu 147 kwa

kila kilometa moja ya mraba.

170. Mchanganuo wa watu kwa makundi ya umri ulionesha kuwa asilimia 16

ya idadi ya watu Tanzania mwaka 2016 ilihusisha watoto wa umri wa chini ya

miaka mitano, ambao ni sawa na watoto 8,104,714. Idadi ya watu wenye umri

kuanzia miaka mitano (5) hadi 14 ilikuwa ni 13,847,638, sawa na asilimia 28 ya

watu wote Tanzania. Mchanganuo unaonesha kuwa watu wenye umri wa miaka

15 – 24 ni asilimia 19 ya watu wote Tanzania. Vile vile, idadi ya watu wenye

umri kuanzia miaka 25 hadi 64 ilikuwa ni 16,680,855 sawa na asilimia 33 ya

watu wote Tanzania. Hata hivyo, idadi ya watu wenye umri kuanzia miaka 15-

35 ni 18,482,345, sawa na asilimia 34.9 ya watu wote ikiwa ndio nguvu kazi ya

vijana. Wazee wenye umri zaidi ya miaka 64 walikuwa ni 1,917,996 sawa na

asilimia 4. Aidha, idadi ya watu wenye umri wa miaka 15 hadi 64 ambayo ni

nguvukazi ya taifa ilikuwa ni 26,273,828, sawa na asilimia 52.4 ya watu wote

Tanzania.

Jedwali Na: 6.1 Mchanganuo wa Idadi ya Watu kwa Makundi ya Umri na

Jinsi kwa mwaka 2016

Umri Jinsi

Asilimia ME KE Jumla

5< 4,053,609 4,051,105 8,104,714 16.2

5 - 14 6,922,419 6,925,218 13,847,638 27.6

15 - 24 4,511,359 5,081,613 9,592,973 19.1

25 - 35 3,690,798 4,198,575 7,889,373 15.7

36 - 64 4,328,383 4,463,100 8,791,483 17.5

65+ 906,322 1,011,674 1,917,996 3.8

Jumla 24,412,890 25,731,286 50,144,175

Chanzo: Ofisi ya Taifa ya Takwimu

Page 140: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

120

Afya ya Uzazi na Mtoto

171. Kwa mujibu wa Utafiti wa Afya ya Uzazi na Mtoto na Viashiria vya

Malaria Tanzania 2015/16, wanawake wanazaa wastani wa watoto 5.2 kwa kila

mwanamke ikiwa umepungua kutoka wastani wa watoto 5.4 kwa kila

mwanamke mwaka 2010. Wanawake wanaoishi maeneo ya vijijini Tanzania

Bara wanazaa wastani wa watoto 6.0 ikilinganishwa na wastani wa watoto 3.8

kwa wanawake wanaoishi maeneo ya mijini. Uzazi pia unatofautiana kulingana

na viwango vya elimu na uwezo wa kiuchumi. Wanawake wasio na elimu

wanazaa wastani wa watoto 6.6 ikilinganishwa na wastani wa watoto 3.6 kwa

wanawake wenye elimu ya sekondari au zaidi. Aidha wanawake wanaoishi kaya

maskini wanazaa wastani wa watoto 7.5 ikilinganishwa na wastani wa watoto

3.1 kwa wanawake wanaoishi kaya tajiri.Vile vile, vifo vya watoto wachanga

chini ya mwaka mmoja vilipungua kutoka 51 kwa vizazi hai 1,000 mwaka 2010

hadi 43 kwa vizazi hai 1,000 mwaka 2015/16. Aidha, vifo vya watoto chini ya

miaka mitano vilipungua kutoka 81 kwa vizazi hai 1,000 mwaka 2010 hadi 67

kwa vizazi hai 1,000 mwaka 2015/16.

Nguvu kazi na Ajira

172. Taarifa ya matokeo ya Utafiti wa Ajira na Mapato wa Mwaka 2015

(Employment and Earning Survey of 2015) katika sekta rasmi ilionesha kuwa

ajira katika sekta rasmi ziliongezeka na kufikia 2,334,969 mwaka 2015

ikilinganishwa na ajira 2,141,351 mwaka 2014 sawa na ongezeko la asilimia

9.0. Matokeo ya utafiti huo yalibainisha kuwa ajira za masharti ya muda mrefu

pia ziliongezeka kwa asilimia 15.6 kufikia ajira 2,060,013 kutoka ajira

1,781,900 mwaka 2014. Ajira za muda mfupi zilipungua kwa asilimia 23.5

kutoka ajira 359,451 mwaka 2014 hadi kufikia ajira 274,956 mwaka 2015. Ajira

za muda mfupi hazina mazingira mazuri ya ufanyaji kazi hivyo kupungua kwa

ajira hizo kunaashiria matokeo chanya ya sera mbalimbali zinazosaidia

kupungua kwa ajira hizo.

173. Ajira za kudumu zilichangia asilimia 88.2 ya ajira zote wakati ajira za

muda mfupi zilichangia asilimia 11.8 ya ajira zote nchini. Aidha, mwaka 2015,

sekta binafsi ilitoa ajira 1,568,165 (asilimia 67.1) ikilinganishwa na ajira

766,803 zilizotolewa katika sekta ya umma (asilimia 32.9). Vile vile, mwaka

2015, uwiano wa ajira kwa jinsia kwa wanawake ulibaki kuwa asilimia 37.0 ya

Page 141: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

121

ajira zote katika sekta rasmi na wanaume ulikuwa asilimia 63.0 kama

ilivyokuwa mwaka 2014.

174. Matokeo ya utafiti yalibainisha kuwa, vijana wenye umri wa miaka 15-

35 walioajiriwa ajira za muda mrefu walikuwa asilimia 31.3 wakati wenye umri

wa miaka 36 na kuendelea walikuwa asilimia 68.7. Sekta binafsi ilitoa nafasi

nyingi za ajira za muda mfupi (asilimia 95.8) ikilinganishwa na sekta ya umma

iliyotoa asilimia 4.2. Mwaka 2015, idadi ya waajiriwa wenye ulemavu walikuwa

3,977 ikilinganishwa na waajiriwa 3,547 mwaka 2014, sawa na ongezeko la

asilimia 12.1. Miongoni mwao, asilimia 58.5 waliajiriwa katika sekta binafsi na

asilimia 41.5 waliajiriwa katika sekta ya umma. Aidha, kati ya hao, asilimia 60.2

walikuwa wanaume na asilimia 39.8 walikuwa wanawake

Jedwali Na: 6.2 Mchanganuo wa Jumla ya Ajira kwa Aina za Ajira na

Sekta

Chanzo: Ofisi ya Taifa ya Takwimu

175. Mchanganuo wa mchango wa sekta mbalimbali katika kutoa ajira

ulibainisha kuwa sekta ya elimu ilitoa mchango mkubwa zaidi katika ajira

ambapo uliongezeka hadi kufikia asilimia 19.6 mwaka 2015 kutoka asilimia

17.1 mwaka 2014. Sekta ya viwanda ilifuatia kwa kuchangia asilimia 18.1 ya

ajira zote mwaka 2015 kutoka asilimia 19.8 mwaka 2014; wakati sekta ya

upangishaji majengo ilitoa mchango mdogo zaidi wa asilimia 0.2 ya ajira zote.

176. Matokeo ya utafiti huo yaliendelea kubainisha kuwa Mkoa wa Dar es

Salaam uliongoza kwa kuchangia asilimia 30.6 ya waajiriwa wote mwaka 2015,

ikilinganishwa na asilimia 33.6 mwaka 2014, Mkoa uliofuatia ni Morogoro kwa

asilimia 11.5; Arusha (asilimia 7.1); na Mwanza (asilimia 6.2). Mikoa ya Katavi

na Njombe iliajiri watu wachache zaidi kuliko mikoa mingine yote ambapo kila

mkoa ulitoa ajira kwa kiwango kisichozidi asilimia moja ya waajiriwa wote.

Umma Binafsi Jumla % Umma Binafsi Jumla %

Ajira za Kudumu 1,088,542 693,358 1,781,900 83.2 1,304,653 755,360 2,060,013 88.2

Ajira za Muda Mfupi 344,443 15,008 359,451 16.8 263,512 11,444 274,956 11.8

Jumla 1,432,985 708,366 2,141,351 100 1,568,165 766,804 2,334,969 100

Aina za Ajira2014 2015

Page 142: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

122

Mgawanyo huo wa ajira unategemea mahitaji ya huduma yanayotokana na idadi

ya watu katika mikoa hiyo pamoja na shughuli za kiuchumi.

177. Matokeo ya utafiti huo yaliendelea kubainisha kuwa Mkoa wa Dar es

Salaam uliongoza kwa kuchangia asilimia 30.6 ya waajiriwa wote mwaka 2015,

ikilinganishwa na asilimia 33.6 mwaka 2014, Mkoa uliofuatia ni Morogoro kwa

asilimia 11.5; Arusha (asilimia 7.1); na Mwanza (asilimia 6.2). Mikoa ya Katavi

na Njombe iliajiri watu wachache zaidi kuliko mikoa mingine yote ambapo kila

mkoa ulitoa ajira kwa kiwango kisichozidi asilimia moja ya waajiriwa wote.

Jedwali Na. 6.3: Mchanganuo wa Ajira Kimkoa na Kisekta (%)

Mkoa

Binafsi Umma Jumla

2014 2015 2014 2015 2014 2015

Dodoma 0.7 1.0 1.7 1.7 2.5 2.7

Arusha 5.1 5.9 1.2 1.1 6.3 7.1

Kilimanjaro 3.1 3.8 1.7 1.7 4.8 5.5

Tanga 2.6 3.1 1.7 1.6 4.3 4.7

Morogoro 8.8 8.3 3.4 3.2 12.1 11.5

Pwani 0.9 0.9 1.4 1.2 2.3 2.1

DSM 29.3 26.3 4.3 4.3 33.6 30.6

Lindi 0.2 0.3 1.1 1.0 1.3 1.2

Mtwara 0.6 0.5 0.7 0.7 1.3 1.2

Ruvuma 1.1 1.0 1.0 1.0 2.0 2.0

Iringa 1.5 1.5 1.2 1.2 2.7 2.7

Mbeya 2.5 2.8 2.3 2.3 4.8 5.1

Singida 0.5 0.7 1.0 1.0 1.5 1.6

Tabora 0.4 0.6 1.1 1.0 1.5 1.6

Rukwa 0.3 0.4 0.6 0.7 0.9 1.1

Kigoma 0.5 0.6 1.1 1.1 1.6 1.8

Shinyanga 1.3 1.1 1.3 1.2 2.5 2.3

Kagera 0.7 0.9 1.0 1.2 1.7 2.0

Mwanza 4.2 4.4 1.7 1.7 5.9 6.2

Mara 0.6 0.8 1.3 1.2 2.0 2.0

Manyara 0.6 0.7 0.7 0.7 1.3 1.4

Njombe 0.3 0.4 0.5 0.5 0.8 0.80

Katavi 0.0 0.0 0.2 0.3 0.2 0.3

Simiyu 0.1 0.2 0.8 0.7 0.9 1.0

Geita 0.8 1.1 0.4 0.4 1.2 1.5

Jumla 66.9 67.2 33.1 32.8 100.0 100.0

Chanzo: Ofisi ya Taifa ya Takwimu

Page 143: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

123

178. Matokeo ya utafiti huo pia yalionesha kuwa ajira mpya mwaka 2014/15

zilipungua hadi 102,672 kutoka ajira mpya 281,698 mwaka 2013/14. Kati ya

ajira hizo mpya, wanaume walikuwa 56,988 na wanawake 45,684. Aidha, utafiti

ulibaini kuwa mwaka 2014/15 kulikuwa na ajira mpya 56,072 katika sekta ya

umma ikilinganishwa na ajira mpya 46,601 katika sekta binafsi. Kati ya idadi ya

ajira mpya zilizotolewa kada za mafundi na wataalam washiriki ilitoa waajiriwa

wengi ambao walikuwa 48,377 ikifuatiwa na wataalam, waajiriwa 21,400 na

wahudumu na wafanyakazi wa madukani, waajiriwa 11,374.

179. Mwaka 2016, Wakala wa Huduma za Ajira Tanzania (TaESA) ulisajili

na kutoa ushauri wa jinsi ya kuchagua fani na kazi stahiki kulingana na sifa zao

na mahitaji ya soko la ajira ili kuwajengea uwezo wa kujiajiri na kuajirika.

Katika kipindi hicho, jumla ya watafutakazi 1,516 walisajiliwa ikilinganishwa

na watafutakazi 1,249 mwaka 2015, sawa na ongezeko la asilimia 21.4. Kati ya

waliosajiliwa, wanaume walikuwa 942, sawa na asilimia 62.1 na wanawake 574.

Ongezeko hilo, lilitokana na Wakala kuendelea kujitangaza, kutembelea taasisi

za elimu ya juu, kuwaunganisha watafutakazi na waajiri na kutoa mafunzo

elekezi kwa watafuta kazi yanayowajengea uwezo wa kushindania fursa za ajira

ndani na nje ya nchi.

180. Mwaka 2016, watafutakazi 624 waliunganishwa na waajiri wenye fursa

za ajira ndani ya nchi. Kati yao, wanaume walikuwa 456, sawa na asilimia 73.1

na wanawake walikuwa 168, sawa na asilimia 26.9. Idadi hiyo iliongezeka kwa

asilimia 24.1 ikilinganishwa na mwaka 2015 ambapo watafutakazi 503

waliunganishwa kwa waajiri wenye fursa za ajira. Aidha, Wakala uliendelea

kutekeleza utaratibu wa kuwasiliana na waajiri kwa kuwatembelea au kwa njia

za mawasiliano ya simu na barua pepe kwa lengo la kupata fursa za ajira,

ambapo jumla ya waajiri 108 walifikiwa na kusajili nafasi za kazi 79 zenye fursa

za ajira 389.

181. Mwaka 2016, Wakala kwa kushirikiana na taasisi binafsi za ajira na

Balozi za Tanzania katika nchi husika ulipitia na kuridhia mikataba ya

watanzania 914 waliopata ajira katika nchi za Oman (wanaume 22, wanawake

764), Dubai (wanaume 4, wanawake 20), Qatar (wanaume 73), Japan (wanaume

4) na Saudi Arabia (wanaume 27). Wakala pia ulihakikisha mikataba ya ajira ya

Page 144: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

124

watanzania hao inazingatia sheria za nchi na miongozo ya Shirika la Kazi

Duniani(ILO) ili kukabiliana na aina yoyote ya unyanyasaji na ubaguzi.

182. Mwaka 2016, Wakala ulitoa mafunzo ya kuwajengea uwezo wa

kushindania fursa za ajira ndani na nje ya nchi kwa watafutakazi 629

ikilinganishwa na watafutakazi 584 waliopewa mafunzo mwaka 2015, sawa na

ongezeko la asilimia 7.7. Kati yao, wanaume walikuwa 332, sawa na asilimia

52.8 na wanawake walikuwa 297, sawa na asilimia 47.2 ya watafutakazi wote

waliopewa mafunzo mwaka 2016. Mafunzo hayo yalilenga jinsi ya kubaini

vyanzo vya taarifa za soko la ajira, uandishi wa wasifu binafsi na barua za

maombi ya kazi, namna ya kufanya vyema kwenye usaili na dondoo muhimu za

kujibu vyema maswali ya usaili. Vile vile, Wakala ulitoa mafunzo ya

kuwajengea uwezo wa kushindania fursa za ajira ndani na nje ya nchi kwa

wanafunzi 1,255 wa vyuo mwaka 2016 ikilinganishwa na wanafunzi 665

waliopatiwa mafunzo hayo mwaka 2015. Kati yao, wanaume walikuwa 630,

sawa na asalimia 50.2 na wanawake walikuwa 625, sawa na asilimia 49.8.

.

Page 145: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

125

Jedwali 33

Mkoa 2007 2008 2009 2010 2011 2012** 2013 2014 2015 2016

Dodoma 1951071 2004544 2058630 2111764 2163817 2083588 2127416 2172165 2217856 2264508

Arusha 1522975 1570394 1617728 1664780 1711624 1694310 1741396 1789791 1839531 1890653

Kilimanjaro 1535975 1569212 1602530 1635870 1669174 1640087 1669051 1698526 1728522 1759048

Tanga 1837661 1880389 1923468 1966908 2010480 2045205 2091341 2138517 2186757 2236086

Morogoro 1975160 2021713 2068426 2115275 2162197 2218492 2271310 2325386 2380750 2437431

Pwani 991586 1014968 1038654 1062574 1086658 1098668 1122685 1147227 1172306 1197933

Dar es Salaam 2881548 2961150 3040118 3118132 3194903 4364541 4617000 4884061 5166570 5465420

Lindi 869522 887434 905480 923607 941884 864652 872758 880939 889197 897533

Mtwara 1246089 1271912 1297751 1323568 1349235 1270854 1286501 1302340 1318374 1334606

Ruvuma 1268738 1303330 1338800 1375017 1412084 1376891 1406411 1436563 1467362 1498821

Iringa 1649200 1679828 1709225 1737382 1764285 941238 951964 962813 973784 984882

Mbeya 2423635 2502258 2581792 2662156 2743084 2707410 2781971 2858585 2937310 1883024

Singida 1258545 1294584 1330931 1367481 1404065 1370637 1402820 1435758 1469469 1503972

Tabora 2086048 2170926 2258664 2349374 2443049 2291623 2359642 2429679 2501796 2576053

Rukwa 1349579 1398866 1450118 1503184 1558200 1004539 1037259 1071044 1105931 1141953

Kigoma 1601020 1669078 1740111 1814158 1891173 2127930 2179598 2232520 2286727 2342250

Shinyanga 3411023 3549342 3692941 3841787 3998664 1534808 1566734 1599325 1632593 1666554

Kagera 2293093 2379637 2469904 2563870 2661671 2458023 2537021 2618558 2702715 2789577

Mwanza 3265729 3364378 3464566 3566263 3669380 2772509 2856258 2942537 3031422 3122992

Mara 1631031 1692449 1756442 1822866 1891907 1743830 1787279 1831810 1877451 1924230

Manyara 1241994 1288280 1337015 1388295 1441771 1425131 1471083 1518516 1567479 1618020

Njombe - - - - - 702097 707698 713345 719036 724772

Katavi - - - - - 564604 583160 602325 622121 642567

Simiyu - - - - - 1584157 1613580 1643549 1674075 1705168

Geita - - - - - 1739530 1785824 1833350 1882141 1932230

Songwe - - - - - 1136415

Tanzania Bara 38291222 39474672 40683294 41914311 43169305 43625354 44827757 ####### ####### #######

Kaskazini Unguja 160175 165544 171150 177095 183209 187455 193551 199844 206343 213053

Kusini Unguja 105456 107811 110183 112612 115035 115588 117923 120305 122736 125215

Mjini Magharibi 447716 459502 471341 483205 495054 593678 619144 645701 673398 702283

Kaskazini Pemba 224951 234142 243759 253999 264677 211732 214502 217309 220153 223033

Kusini Pemba 216479 226055 236072 246601 257577 195116 197274 199456 201662 203893

Zanzibar 1154777 1193054 1232505 1273512 1315552 1303569 1342394 1382616 1424292 1467477

Tanzania 39445999 40667726 41915799 43187823 44484857 44928923 46170151 ####### ####### #######

Chanzo: Ofisi ya Taifa ya Takwimu

**Takwimu za matokeo ya sensa mwaka 2012

- Takwimu Hazipo, Mikoa Mipya

IDADI YA WATU NCHINI TANZANIA KIMKOA: 2007-2016

Page 146: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

126

Page 147: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

127

SURA YA 7

UENDELEZAJI WA SEKTA BINAFSI

Uwekezaji Vitega Uchumi Nchini

183. Mwaka 2016, Kituo cha Taifa cha Uwekezaji kilisajili jumla ya miradi

345 ikilinganishwa na miradi 466 mwaka 2015, sawa na upungufu wa asilimia

25. Upungufu huo ulichangiwa kwa kiasi kikubwa na matatizo ya kiuchumi

duniani. Kati ya Miradi iliyosajiliwa, miradi 103 ilikuwa ya wazawa, 143 ya

wageni na 105 ya ubia kati ya wazawa na wageni. Thamani ya miradi

iliyosajiliwa mwaka 2016 ilikuwa thamani ya dola za Marekani bilioni 5.92

ikilinganishwa na dola bilioni 5.89 mwaka 2015, sawa na ongezeko la asilimia

0.5. Miradi hiyo ilikuwa na fursa za ajira 49,711 ikilinganishwa na fursa za ajira

46,250 mwaka 2015, sawa na ongezeko la asilimia 7.5.

Mgawanyiko wa Miradi Kisekta

184. Mwaka 2016, sekta ya nishati ilisajili miradi yenye thamani ya dola za

Marekani bilioni 2.46 ikifuatiwa na majengo ya biashara dola za Marekani

bilioni 1.13, uzalishaji viwandani dola za Marekani bilioni 0.62, kilimo dola za

Marekani bilioni 0.5, usafirishaji mizigo dola za Marekani bilioni 0.38,

mawasiliano dola za Marekani bilioni 0.28, na Maliasili dola za Marekani bilioni

0.26. Aidha, sekta ya uzalishaji viwandani iliongoza kwa kuvutia wawekezaji

wengi, ambapo mwaka 2016 ilisajili miradi 178, ikifuatiwa na majengo ya

biashara iliyosajili miradi 48, utalii miradi 33 na kilimo miradi 24.

Mgawanyiko wa Miradi Kimkoa

185. Mwaka 2016, mkoa wa Dar es Salaam uliendelea kupata wawekezaji

wengi kwa sekta zote isipokuwa sekta ya kilimo na nishati. Hii ilitokana na

mkoa huo kuwa na mazingira mazuri ya uwekezaji hususan miundombinu

ikilinganishwa na mikoa mingine. Mwaka 2016 mkoa wa Dar es Saam ulipata

miradi ya uwekezaji 173 ikifuatiwa na mkoa wa Arusha uliopata miradi 36,

Pwani miradi 34 na Mwanza miradi 16. Mikoa ya Katavi, Rukwa, Manyara na

Kigoma haikupata mradi hata mmoja.

Page 148: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

128

Jedwali Na. 1: Mtawanyiko wa Miradi ya Uwekezaji Kimkoa Iliyosajiriwa

na Kituo Cha Uwekezaji Tanzania katika mwaka 2016

Sekta

Aru

sha

Pw

an

i

DS

M

Do

do

ma

Gei

ta

Irin

ga

Ka

ger

a

Ka

tav

i

Kig

om

a

Kil

ima

n

jaro

L

ind

i

Ma

ny

ar a

Mb

eya

Mo

rog

o

roo

Mtw

ara

Mw

an

za

Njo

mb

e

Ma

ra

Ru

vu

ma

Sh

iny

an ga

Sim

iyu

Sin

gid

a

Ta

bo

ra

Ta

ng

a

Ju

mla

Kilimo 5 2 1 4 1 5 1 1 1 1 24

Utangazaji

Kompyuta 1 1

Majengo ya

Biashara 6 1 33 1 1 2 4 48

Miundombin

u

Nishati 2 2 2 1 1 8

Taasisi za

Kifedha 4 4

Rasilimali

watu 2 6 8

Uzalishaji

Viwandani 11 27 90 5 7 4 2 2 2 6 2 1 7 1 1 5 1 1 3 178

Maliasili 1 1 2

Huduma 2 12 1 1 16

Mawasiliano 2 2

Utalii 8 8 1 1 3 4 4 3 33

Usafirishaji 5 1 12 1 1 1 1 21

Jumla 36 34 173 6 8 8 2 8 6 8 8 2 16 2 5 1 5 1 2 1 11 345

Chanzo: Kituo cha Uwekezaji Tanzania

Urahisi wa Kufanya Biashara Nchini

186. Mwaka 2016, serikali iliendelea kuboresha mazingira ya biashara na

uwekezaji, ikiwa ni pamoja na kuimarisha utulivu wa uchumi jumla, kupunguza

urasimu, kuharakisha maamuzi, kuimarisha ulinzi na usalama, na kuhakikisha

upatikanaji wa miundombinu imara (kama vile barabara, reli) na huduma bora

zikiwemo upatikanaji wa umeme wa uhakika. Katika eneo hili la kuboresha

mazingira ya biashara, serikali ilifanya vizuri kulingana na taarifa ya Benki ya

Dunia ya mwaka 2017 iliyoonesha kuwa Tanzania ilikuwa nchi ya 132 kwa

urahisi wa kufanya biashara ikiwa imepiga hatua kwa nafasi 12 kutoka nafasi ya

144 mwaka 2016.

Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi

187. Mwaka 2016, Baraza la Taifa la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi

liliendelea kusimamia, kufuatilia na kuratibu utekelezaji wa Sera ya Taifa ya

Page 149: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

129

Uwezeshaji wa Wananchi Kiuchumi ya Mwaka 2004. Katika kipindi hicho,

Mfuko wa Uwezeshaji Wananchi unaosimamiwa na Baraza ulitoa dhamana ya

mikopo yenye thamani ya shilingi bilioni 11.4 kwa wajasiriamali 11,457

(Wanaume 7,086; Wanawake 4,371). Fedha hizo zilitolewa na Benki ya Posta

(TPB), Benki ya Maendeleo ya Rasilimali Tanzania (TIB) na Benki ya CRDB.

Maendeleo ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi

188. Mwaka 2016, Serikali iliendelea kuibua na kuendeleza miradi ya ubia

kati ya sekta ya umma na sekta binafsi pamoja na kutoa mafunzo, ushauri na

maelekezo ya namna ya kutekeleza miradi ya ubia katika wizara, tawala za

mikoa na serikali za mitaa, taasisi na mashirika ya umma. Katika kipindi hicho,

Serikali ilipokea maandiko ya miradi iliyokusudiwa kutekelezwa kwa utaratibu

wa ubia yaliyohusu ujenzi wa gati mbili mpya katika bonde la Gerezani, ujenzi

wa bandari za Mtwara na Mwambani (Tanga), na Kasanga (Rukwa). Aidha,

maandiko hayo yalihusisha ujenzi wa reli ya kati kwa viwango vya kimataifa

kutoka Dar-es Salaam hadi Keza (Tanzania) kuunganisha hadi Kigali (Rwanda)

na Musongati (Burundi); mradi wa kukagua na kusajili magari kwa njia ya

kielektroniki na mradi wa kuzalisha umeme kwa kutumia gesi wa Somanga-

Fungu. Vile vile, Serikali iliendelea kusimamia miradi inayotekelezwa kwa

utaratibu wa ubia ambayo ni pamoja na: mradi wa mabasi yaendayo haraka jijini

Dar Es Salaam; mradi wa kufua umeme kwa kutumia gesi wa Kinyerezi III;

mradi wa barabara ya tozo ya Dar es Salaam hadi Chalinze; mradi wa kuzalisha

madawa muhimu na vifaa tiba wa Bohari Kuu ya Dawa.

Page 150: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

130

Jedwali Na.34

A B C D E F G H A B C D E F G H

Kilimo 33 33 0 14 10 9 3036 124.2 24 24 0 7 8 9 25547 496.1

Maliasili 3 3 0 1 1 1 195 4.2 2 2 0 0 0 2 235 264.9

Utafiti - - - - - - - - - - - - - - - -

Uzalishaji Viwandani 184 180 4 57 92 35 16958 782.4 178 178 0 48 86 44 12455 615.1

Bidhaa za petroli na madini - - - - - - - -

Majengo ya biashara 65 65 0 33 24 8 4756 1129.8 48 48 0 16 16 16 4812 1133.7

Usafirishaji Mizigo 84 84 0 58 17 9 7907 837.9 21 21 0 12 9 6 2605 384.9

Huduma 9 9 0 2 3 4 1517 939.4 16 16 0 1 6 9 670 48.0

Komputa - - - - - - - - 1 1 0 1 0 0 37 0.1

Asasi za fedha 3 3 0 1 2 0 213 28.6 4 4 0 0 1 3 140 9.0

Mawasiliano 1 1 0 1 0 0 47 1.3 2 2 0 1 0 1 58 282.3

Nishati 8 8 0 2 2 4 4548 1373.0 8 8 0 3 3 2 627 2457.7

Rasilimali watu 10 10 0 5 0 5 1801 73.9 8 8 0 3 1 4 362 33.3

Utalii 62 61 1 26 20 16 4637 281.2 33 33 0 11 13 9 2163 194.4

miundombinu 1 1 0 0 0 1 570 304.0 0 0 0 0 0 0 0 0

Utangazaji 3 3 0 3 0 0 65 11.8 0 0 0 0 0 0 0 0

Jumla 466 461 5 203 171 92 46250 5891.7 345 345 0 103 143 105 49711 5919.4

Chanzo: Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC)

A Jumla ya Miradi Iliyosajiliwa

B Miradi Mipya

C Miradi ya Upanuzi

D Miradi ya Wazawa

E Miradi ya Wageni

F Miradi ya Ubia

G Jumla ya Ajira

H Jumla ya Thamani ya Uwekezaji (USD. Milioni)

- Takwimu Hazikupatikana

KITUO CHA UWEKEZAJI TANZANIA (TIC): MIRADI YA UWEKEZAJI ILIYOSAJILIWA

Sekta

2015 2016

Page 151: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

131

SURA YA 8

MASUALA MTAMBUKA

UKIMWI

189. Mwaka 2016, Serikali kupitia Tume ya kudhibiti UKIMWI iliandaa

miongozo minne ya Taifa ya kudhibiti UKIMWI ambayo ni: Mkakati wa

Kondomu; Mkakati wa Uwekezaji; Mpango Kazi wa Kinga; na Mpango Jinsia

na UKIMWI. Miongozo hii itasaidia wadau katika kupanga mipango ya

kudhibiti maambukizi ya VVU kwa kutumia takwimu rasmi. Aidha, mwaka

2016 Serikali ilianza zoezi la kufanya utafiti wa nne (Tanzania HIV Impact

Survey – 2016 THIS) ili kubaini viwango vya maambukizi ya VVU na hali ya

UKIMWI nchini. Utafiti huo utatoa taarifa juu ya ushamiri wa VVU kwa watu

wazima, vijana na watoto ikiwemo mienendo na tabia hatarishi ya

kuambukizwa VVU na utumiaji wa huduma zinazohusiana na VVU.

190. Mwaka 2016, Serikali iliridhia miongozo kutoka Shirika la Afya Duniani

iliyohusu upimaji na utoaji wa dawa kwa watu watakao gundulika kuwa na

VVU bila kuangalia kiwango cha CD4. Aidha, Serikali iliendelea na

uhamasishaji wa upatikanaji rasilimali fedha na watu ili kufikia lengo la 90-90-

90 kama ilivyoainishwa na Shirika la Afya Duniani ambalo linamaanisha kufikia

mwaka 2020 asilimia 90 ya watu wanaoishi na VVU watajua hali zao ya

maambukizi; asilimia 90 ya watu wanaoishi na VVU wanapata huduma

endelevu za tiba; na asilimia 90 ya watu wanaopata huduma endelevu za tiba

virusi vimefubazwa.

191. Mwaka 2016, Serikali kupitia Tume ya kudhibiti UKIMWI ilianzisha

Mfuko wa Udhamini wa UKIMWI kwa lengo la kupunguza utegemezi wa

fedha za UKIMWI kutoka kwa wadau wa maendeleo kwa asilimia 30 ifikapo

2018. Hatua hizo zilifuatiwa na kuanzishwa kwa Bodi ya Mfuko wa Udhamini

wa UKIMWI ambayo iliandaa mpango wa utekelezaji kwa nchi nzima.

Mwaka 2016, Serikali kupitia Tume ya Kudhibiti UKIMWI ilianzisha mchakato

wa kufanya tathmini ya muda wa kati wa utekelezaji wa Mkakati wa Tatu wa

Taifa wa Kudhibiti UKIMWI 2013/14 – 2017/18. Mkakati huounalenga

kupunguza maambukizi mapya kwa asilimia 50, kupunguza vifo vitokanavyo na

UKIMWI na kuondoa unyanyapaa na ubaguzi dhidi ya watu wanaoishi na virusi

vya UKIMWI ifikapo 2018. Mapendekezo kutokana na tathmini hii yatasaidia

kuboresha utekelezaji wa afua zote za UKIMWI nchini.

Page 152: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

132

192. Kutokana na utafiti wa Spectrum 2015, inakadiriwa kuwa watanzania

milioni 1.3 wanaishi na Virusi vya Ukimwi ambapo wanawake ni 780,000, sawa

na asilimia 60 na wanaume 520,000. Aidha, idadi ya watoto wenye umri wa

miaka 0 – 14 wanaoishi na VVU ni 91,000. Vile vile, Serikali iliendelea

kutekeleza Mpango wa Matunzo na Matibabu ambapo jumla ya Watu wanaoishi

na Virusi vya Ukimwi (WAVIU) ilikuwa 839,574, sawa na asilimia 63 ya

WAVIU wote walikuwa wanapata dawa za ARV na jumla ya watoto 55,670

walikuwa wanapata matibabu ya ART sawa na asilimia 66 ya watoto wenye

VVU. Aidha, lengo la kimataifa ni kufikia kiwango cha asilimia 90 cha WAVIU

wote ifikapo mwaka 2020.

Mazingira

193. Mwaka 2016, Serikali katika kukabiliana na uharibifu wa mazingira

iliendelea kuhimiza wananchi kupanda na kutunza miti ili kuhifadhi mazingira,

ambapo kila halmashauri ya Wilaya ilitakiwa kupanda na kutunza miti

isiyopungua milioni 1.5. Katika kipindi hicho, jumla ya miti 264,177,045

ilipandwa na kati ya hiyo miti 211,204,160 ilistawi sawa na asilimia 80,

ikilinganishwa na miti 217,301,650 iliyopandwa mwaka 2015 ambapo miti

181,301,650 ilistawi sawa na asilimia 83.4. Vile vile, Serikali iliandaa Mkakati

wa Taifa wa Upandaji na Utunzaji Miti wa miaka mitano (2016 - 2021) ili

kuboresha kampeni ya upandaji miti. Mkakati huu unalenga kupanda miti

milioni 280 kwa mwaka ili kupunguza vichochezi vinavyochangia uharibifu wa

mazingira na upoteaji wa misitu, bioanuai na kurejesha uoto wa asili kwa

kuhusisha jamii na wadau wote nchini.

194. Mwaka 2016, katika kuhakikisha maendeleo endelevu katika uwekezaji,

Serikali iliendelea kuwahimiza wawekezaji kuzingatia sheria ya usimamizi wa

mazingira ya uwekezaji kwa kufanya Tathmini ya Athari kwa Mazingira (TAM)

kabla ya kutekeleza miradi yao. Katika kipindi hicho, miradi 1,058 ilisajiliwa

kwa ajili ya kuandaa TAM ikilinganishwa na miradi 1,574 iliyosajiliwa mwaka

2015. Kati ya miradi iliyofanyiwa tathmini mwaka 2016, miradi 475 sawa na

asilimia 44.9 ilipata hati za kukidhi vigezo vya TAM ikilinganishwa na miradi

628 sawa na asilimia 39.9mwaka 2015. Aidha, ili kuboresha uwezo wa ukaguzi

wa mazingira, Serikali ilisajili wataalam binafsi 139 na kampuni 26 kwa ajili ya

kufanya TAM na ukaguzi wa mazingira. Idadi hii, ilifanya kuwa na jumla ya

wataalam elekezi wa mazingira 1000 na kampuni 210 zilizosajiliwa mwaka

2016.

Page 153: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

133

195. Mwaka 2016, kwa kuzingatia Sheria ya Usimamizi wa Mazingira,

Serikali ilifanya ukaguzi wa miradi 782 ambayo inajumuisha viwanda, migodi,

majengo, mabwawa ya majitaka, machinjio, hospitali na vituo vya afya, masoko,

mashamba, mifumo ya majitaka, mifumo ya maji ya mvua, vituo vya mafuta,

hoteli, vyanzo vya maji na makambi ya wakimbizi. Katika ukaguzi huo, hatua

stahiki za kisheria zilichukuliwa kwa miradi 237 iliyokiuka Sheria ya Usimamizi

wa Mazingira ikiwemo kulipa faini. Vile vile, Serikali iliendelea kusimamia na

kudhibiti uchafuzi wa mazingira unaotokana na taka za plastiki kwa kupiga

marufuku uzalishaji, uingizaji na matumizi ya vifungashio vya plastiki kwa ajili

ya pombe kali. Halikadhalika, Serikali iliendelea kuelimisha umma kupitia njia

mbalimbali zikiwemo vipindi vya redio na televisheni, matangazo na hotuba za

viongozi kuhusu hatua hii na kuhamasisha matumizi na mifuko mbadala.

196. Mwaka 2016, Serikali iliendelea kutekeleza mradi wa kujenga uwezo wa

jamii za Pwani kuhimili mabadiliko ya tabianchi. Mradi huo unatekelezwa

katika maeneo ya Pemba na Unguja, Jiji la Dar es Salaam na wilaya za Pangani,

Rufiji na Bagamoyo. Kazi zilizofanyika kupitia mradi huo zilikuwa: kupanda

mikoko pandwa katika eneo la hekta 792 la delta ya kaskazini ya Rufiji ili

kurudisha uoto wa asili na kupunguza mmomonyoko wa fukwe za eneo hilo;

kutoa mafunzo juu ya tathmini ya athari za mabadiliko ya tabianchi kwa maafisa

80 kutoka maeneo ya mradi na kujenga upya kuta za pembeni ya bahari za

Pangani (mita 950), Kisiwa Panza-Pemba (mita 40) na Kilimani-Unguja (mita

200). Aidha, katika Jiji la Dar es Salaam mradi unatekelezwa katika maeneo ya

ufukwe wa Barabara ya Barack Obama (mita 820) na Chuo cha Kumbukumbu

ya Mwalimu Nyerere (mita 380). Vile vile, mitaro ya maji ya mvua ya Bungoni-

Ilala na Mtoni-Temeke ilisafishwa na kukarabatiwa katika eneo la jumla ya mita

2300. Halikadhalika, mradi umesambaza majiko sanifu 3000 kwa manispaa za

Ilala, Kinondoni na Temeke ili kuhamasisha jamii kutumia majiko hayo kwa

lengo kupunguza matumizi ya kuni na mkaa ambavyo huchangia kwa kiasi

kikubwa uharibifu wa misitu.

Usalama wa Raia

197. Mwaka 2015/16, hali ya ulinzi na usalama iliendelea kuwa tulivu licha

ya kuwepo kwa baadhi ya matukio ya mauaji, unyang’anyi, uharibifu wa mali na

ajali zilizojitokeza. Katika kipindi hicho, jumla ya makosa ya jinai 70,925

yaliripotiwa ikilinganishwa na makosa 63,844 yaliyoripotiwa mwaka 2014/15,

sawa na ongezeko la asilimia 11.1. Makosa ya kugombania mali yalikuwa

40,386 ikilinganishwa na makosa 37,672 yaliyoripotiwa mwaka 2014/15, sawa

Page 154: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

134

na ongezeko la asilimia 7.2. Aidha, makosa yaliyoripotiwa dhidi ya binadamu

mwaka 2015/16 yalikuwa 10,999 ikilinganishwa na makosa 11,311

yaliyoripotiwa mwaka 2014/15, sawa na upungufu wa asilimia 2.8. Vile vile,

makosa dhidi ya maadili ya jamii yaliyoripotiwa yaliongezeka kwa asilimia 31.5

kufikia makosa 19,540 ikilinganishwa na makosa 14,861 yaliyoripotiwa mwaka

2014/15. Makosa yaliyokuwa na ongezeko kubwa kwa idadi yalikuwa ni

kupatikana na pombe haramu ya gongo, bangi, mazao ya misitu na madawa ya

kulevya.

198. Mwaka 2015/16, matukio ya ajali za barabarani yalipungua kufikia 8,418

kutoka matukio 11,067 mwaka 2014/15, sawa na upungufu wa asilimia 23.9.

Upungufu huo ulitokana na kuzingatia sheria za barabarani. Aidha, ajali

zilizosababisha vifo zilipungua kutoka 3,637 mwaka 2014/15 hadi ajali 2,419

mwaka 2015/16, sawa na upungufu wa asilimia 33.5. Vile vile, vifo

vilivyotokana na ajali hizo vilipungua kutoka 3,879 mwaka 2014/15 hadi vifo

3,363 mwaka 2015/16, sawa na upungufu wa asilimia 13.3. Idadi ya majeruhi

waliotokana na ajali mwaka 2015/16 ilikuwa 9,827 ikilinganishwa na majeruhi

11,992 mwaka 2014/15, ikiwa ni upungufu wa asilimia 18.1.

199. Mwaka 2015/16, hali ya ulinzi na usalama wa magereza yote nchini

ilikuwa tulivu. Hata hivyo, huduma kwa wafungwa na mahabusu ziliendelea

kutolewa licha ya kuwepo changamoto mbalimbali zikiwemo uchakavu wa

magereza na uhaba wa vitendea kazi. Katika kipindi hicho, magereza yote

yalikuwa na jumla ya wafungwa na mahabusu 32,297 ikilinganishwa na uwezo

wa magereza hayo wa kuhifadhi wafungwa na mahabusu 29,552. Idadi hii

inaonesha uwepo wa wafungwa na mahabusu 2,745 zaidi ya uwezo wa

magereza. Idadi ya wafungwa ilikuwa 17,518 na mahabusu 14,779 mwaka 2016

ikilinganishwa na wafungwa 15,234 na mahabusu 16,877 waliokuwa na kesi

mahakamani mwaka 2015.

200. Mwaka 2015/16, Serikali iliendelea kuchukua hatua zakupunguza

msongamano magerezani, ambazo nipamoja na: kutumia vikao vya Bodi ya

Parole (vifungo vya nje); na misamaha ya Mheshimiwa Rais. Mwaka 2015/16

vikao vitatu vya Parole vilifanyika ambapo jumla ya majalada 244 ya wafungwa

yalijadiliwa na kupendekezwa kuingizwa kwenye mpango wa Parole

ikilinganishwa na majalada 266 yaliyojadiliwa mwaka 2015. Aidha, wafungwa

239 waliachiwa kutoka gerezani kwa wa parole mwaka 2015/16 ikilinganishwa

na wafungwa 259 walioachiwa mwaka 2014/15. Vile vile, wafungwa 735

Page 155: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

135

walitolewa magerezani kwenda kutumikia kifungo cha nje ikilinganishwa na

wafungwa 667 mwaka 2014/15. Idadi hii ilifanya jumla ya wafungwa

walioachiwa kwenda kutumikia kifungo nje kufikia wafungwa 974 mwaka

2015/16 ikilinganishwa na wafungwa 926 mwaka 2014/15

201. Mwaka 2015/16, jeshi la zimamoto na uokoaji liliendelea kukabiliana na

majanga ya moto pamoja na majanga mengine kwa lengo la kuokoa maisha na

mali za watu. Katika kipindi hicho, jumla ya miito 607 ya matukio ya moto

ilipokelewa ikilinganishwa na miito 2,761 mwaka 2014/15. Kupungua kwa

miito kwa kiasi kikubwa kulitokana na jitihada za Jeshi kutoa elimu kwa umma

pamoja na ukaguzi wa tahadhari na kinga ya moto kwenye maeneo mbalimbali.

Jumla ya maeneo 53,399 yalikaguliwa mwaka 2015/16 ikilinganishwa na

maeneo 50,957 yaliyokaguliwa mwaka 2014/15. Vile vile, Jeshi lilifanya

uokoaji katika matukio 264 ikilinganishwa na matukio 156 mwaka 2014/15.

202. Mwaka 2015/16, jumla ya wageni 1,117,707 waliingia na wageni

1,161,931 walitoka nchini kwa vibali halali ikilinganishwa na wageni 1,341,223

walioingia na wageni 1,179,048 waliotoka mwaka 2014/15. Aidha, jumla ya

hati za ukaazi 34,014 zilitolewa mwaka 2015/16 ikilinganishwa na hati za ukaazi

22,631 zilizotolewa mwaka 2014/15, kati ya hati zilizotolewa, hati 2,798

zilikuwa za daraja “A”; 20,016 daraja “B”; 8,568 daraja “C”; 1064 za mfuasi; na

1,568 za msamaha. Vile vile, jumla ya hati za kusafiria 97,786 zilitolewa kwa

watanzania ikilinganishwa na hati za kusafiria 74,651 zilizotolewa mwaka

uliotangulia. Kati ya hati zilizotolewa mwaka 2015/16, hati za kawaida zilikuwa

96,509, za kibalozi 425, za watumishi 199 na za Afrika Mashariki 653.

Halikadhalika, doria na misako ilifanyika na kuwakamata wahamiaji haramu

9,989 mwaka 2015/16 ikilinganishwa na wahamiaji haramu 3,188

waliokamatwa mwaka 2014/15.

203. Mwaka 2015/16, Serikali iliendelea kuhifadhi wakimbizi 241,498 kutoka

mataifa ya Burundi (176,317), Jamhuri ya Demokrasia ya Kongo (964,803),

Somalia (150) na wakimbizi 228 kutoka mataifa mengine (Rwanda, Uganda,

Sudan ya Kusini na Ethiopia). Wakimbizi hao walihifadhiwa katika kambi na

makazi yaliyoko mikoa ya Kigoma, Katavi, Tabora na Tanga, na wengine wenye

uwezo wa kujitegemea waliruhusiwa kuishi nje ya kambi za wakimbizi. Aidha,

wakimbizi 3,910 walihamishiwa katika nchi za Marekani, Australia, Ireland na

Canada.

Page 156: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

136

Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa

204. Mwaka 2015/16, Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa iliendelea na zoezi

la usajili na utambuzi kwa wananchi wa mikoa yote ya Tanzania Bara na

Zanzibar. Katika kipindi hicho, Mamlaka ilikuwa imesajili jumla ya wananchi

4,668,481 na kati ya hao, jumla ya wananchi 2,774,412 walipatiwa

vitambulisho. Aidha, Mamlaka ilikabidhiwa vifaa vya usajili (BVR) 5000

kutoka Tume ya Taifa ya Uchaguzi ili kuongeza kasi ya usajili na utambuzi.

Sambamba na hilo, Mamlaka ilipeleka watumishi 96 katika Wilaya 48 nchini

kwa lengo la kuboresha ufanisi katika utekelezaji wa majukumu yake. Mamlaka

iliunganisha mfumo wa mawasiliano kati ya makao makuu na ofisi za wilaya

sita (6) kwa upande wa Zanzibar na vituo kumi (10) kwa upande wa Tanzania

Bara. Vile vile, Mamlaka iliunganisha mfumo wa utambuzi na taasisi 20 kwa

lengo la kurahisisha utambuzi wa wananchi na wageni wakaazi katika utoaji wa

huduma mbalimbali za kijamii.

Wakala wa Usajili Ufilisi na Udhamini

205. Wakala wa Usajili, Ufilisi na Udhamini uliendelea na shughuli za usajili

na utoaji wa vyeti vya kuzaliwa, vifo, ndoa, talaka pamoja na kuasili watoto.

Mwaka 2015/16, Wakala ulisajili jumla ya vizazi 980,012, vifo 24,061, ndoa

18,339, talaka 110 na watoto wa kuasili 24 ikilinganishwa na vizazi 537,060,

vifo 63,441, ndoa 17,044, talaka 143 na watoto wa kuasili 34 mwaka 2015.

206. Mwaka 2016, Wakala ulisajili watoto 365,433 ikilinganishwa na watoto

204,137 waliosajiliwa mwaka 2015, sawa na ongezeko la asilimia 79.0.

Ongezeko hilo lilitokana na kusimikwa kwa mfumo wa usajili wa watoto walio

chini ya umri wa miaka mitano katika mikoa ya Iringa na Njombe pamoja na

uhamasishaji wa usajili wa watoto chini ya rika hilo katika mikoa ya Mbeya na

Songwe. Aidha, Wakala ulisajili na kutoa vyeti vya kuzaliwa kwa watoto 14,721

walioko mashuleni ambao hawakuwa na vyeti ikilinganishwa na watoto 15,000

mwaka 2015.

207. Kwa upande wa udhamini, mwaka 2016 Wakala ulisajili na kutoa hati

155 za miunganisho ya wadhamini. Katika kipindi hicho, Wakala ulisimamia

jumla ya mashauri 141 ya masuala ya mirathina uliendelea kushirikiana na

warithi katika kusimamia mirathi kwa kuwaelimisha umuhimu wa kufunga

mirathi mapema ili kuepusha mali kupotea au kuvamiwa. Aidha, jumla ya wosia

49 ziliandikwa na kuhifadhiwa mwaka 2016 ikilinganishwa na wosia 57 mwaka

2015. Vile vile, Wakala uliendelea kutoa elimu kwa umma kupitia radio, luninga

Page 157: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

137

na makala katika magazeti juu ya umuhimu wa kuandika na kuhifadhi wosia ili

kuepusha migogoro ya wanafamilia pindi mwenye mali anapofariki.

208. Kwa upande wa ufilisi, mwaka 2016 Wakala katika kutekeleza “Road

Map” ya masuala ya mazingira ya biashara, ulipitia na kuandaa taarifa ya

mapendekezo ya kutunga Sheria ya Ufilisi ili kuwa na sheria moja ya ufilisi na

kupunguza muda wa kufunga biashara.

Page 158: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

138

SURA YA 9

HALI YA UMASKINI NA MAENDELEO YA WATU

UTANGULIZI

209. Mwaka 2016, Serikali kupitia Mpango wa Pili wa Maendeleo wa Taifa

wa Miaka Mitano (2016/17 - 2020/21) imeendelea na juhudi za kuongeza kasi

ya ukuaji wa uchumi na kupambana na umaskini. Mpango huo umezingatia

uhusiano asili uliopo kati ya maendeleo ya viwanda na rasilimali watu, ambao

ndio uliokuwa kielelezo cha sifa ya malengo ya MKUKUTA II na Mpango wa

Kwanza wa Maendeleo wa Miaka Mitano. Aidha, lengo kuu la Mpango huo ni

kujenga msingi thabiti wa mabadiliko ya muundo wa uchumi na kuhakikisha

maendeleo jumuishi ya jamii.

HALI YA UMASKINI

210. Mpango wa Maendeleo wa Miaka Mitano unalenga kupunguza uwiano

wa idadi ya watu wanaoishi chini ya mstari wa umaskini wa mahitaji muhimu

kutoka asilimia 28.2 ya mwaka 2012 hadi asilimia 16.7 mwaka 2020/21 na

asilimia 12.7 mwaka 2025/26.

Umaskini wa Mikoa na Wilaya

211. Mwaka 2016, Serikali ilitoa tathmini ya umaskini katika ngazi ya mikoa

na wilaya. Tathmini hiyo ilitumia taarifa za Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka

2012 pamoja na Utafiti wa Mapato na Matumizi ya Kaya Binafsi (Household

Budget Survey) wa mwaka 2011/12. Katika kupima hali ya umaskini, tathmini

ilizingatia mahitaji ya msingi kwa kila mwanakaya ambayo ni pamoja na elimu,

afya, maji na chakula.

212. Kwa mujibu wa tathmini hiyo mkoa wa Kigoma ulikuwa na kiwango

kikubwa cha watu wanaoishi chini ya mstari wa umaskini cha asilimia 48.9

ikilinganishwa na mkoa wa Dar es Salaam uliokuwa na asilimia 5.2. Kiwango

kidogo cha umaskini Dar es Salaam kimetokana na kuwepo kwa shughuli nyingi

za uzalishaji na biashara kutokana na kuimarika kwa miundombinu ya barabara,

maji na umeme ambavyo ni vichocheo vya kuinua kipato cha wananchi hasa

maskini ukilinganishwa na mikoa mingine. Kwa upande mwingine, mkoa wa

Kigoma umekuwa na kiwango kikubwa cha umaskini japokuwa ni mhimili wa

uzalishaji wa chakula Kanda ya Magharibi kutokana na changamoto ya

miundombinu ya usafiri inayofanya bidhaa zisifike kwa urahisi sokoni na hivyo

Page 159: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

139

kusababisha uwepo wa fursa chache za kiuchumi. Aidha, ukosefu wa umeme wa

uhakika katika mkoa huo umechangia kuwepo kwa shughuli chache za

kiuchumi. Jedwali Na.9.1 linaonyesha mchanganuo wa viwango vya umaskini

kwa mikoa

Jedwali Na. 9.1: Hali ya Umaskini kwa Mikoa

Nafasi Mkoa

Kiwango Cha

Umasikini (%)

1 Kigoma 48.9

2 Geita 43.7

3 Kagera 39.3

4 Singida 38.2

5 Mwanza 35.3

6 Ruvuma 34.9

7 Shinyanga 34.2

8 Mtwara 33.9

9 Tanga 32.7

10 Tabora 32.6

11 Lindi 30.0

12 Simiyu 28.8

13 Dodoma 27.1

14 Rukwa 27.1

15 Iringa 26.7

16 Mara 26.2

17 Njombe 25.7

18 Mbeya1 24.3

19 Katavi 23.9

20 Morogoro 23.1

21 Manyara 18.3

22 Arusha 14.7

23 Pwani 14.7

24 Kilimanjaro 14.3

25 Dar es Salaam 5.2 Chanzo: Taarifa ya Hali ya Umaskini Kimkoa na Kiwilaya

213. Kwa upande wa hali ya umaskini kwa wilaya, Wilaya ya Kakonko

(Kigoma) ilikuwa na kiwango kikubwa cha umaskini ambapo asilimia 63 ya

1 Taarifa hizi zinajumuisha mkoa wa Songwe ambao wakati wa utafiti ulikuwa ni sehemu ya

mkoa wa Mbeya.

Page 160: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

140

watu walikuwa chini ya mstari wa umaskini ikifuatiwa na Wilaya za Biharamulo

(Kagera) na Kibondo (Kigoma) zenye viwango sawa vya asilimia 58 kila moja.

Kwa upande mwingine, Wilaya tatu zilizoonekana kuwa na viwango vidogo vya

umaskini ni Ilala iliyokuwa na asilimia 4.8, Kinondoni asilimia 4.9 na Temeke

asilimia 6 zote za mkoa wa Dar es salaam. Tathmini hiyo pia ilionesha hali ya

tofauti ya kipato miongoni mwa wananchi kimkoa na kiwilaya. Tofauti hiyo

hupimwa kwa kipimo kijulikanacho kama Gini coefficient ambacho kina wigo

wa kuanzia sifuri hadi moja (0 - 1). Kadri uwiano unavyokaribia moja

inamaanisha tofauti ya kipato inakuwa kubwa na kadri inavyokaribia 0

inamaanisha tofauti ya kipato inakuwa ndogo. Kwa kipimo hicho, mkoa wa

Kigoma ulikuwa na uwiano mdogo zaidi wa tofauti ya kipato wa 0.28 ikiwa ni

chini ya uwiano waTaifa wa 0.34 ikilinganishwa na mkoa wa Kilimanjaro

uliokuwa na uwiano mkubwa zaidi wa 0.35. Kwa upande wa wilaya, Manispaa

ya Mtwara ilikuwa na uwiano mkubwa wa tofauti ya kipato wa 0.43 na wilaya

ya Buhigwe ilikuwa na uwiano mdogo zaidi wa 0.25. Aidha, kwa mujibu wa

tafiti za mapato na matumizi ya kaya za mwaka 2007 na 2011/12, tofauti ya

kipato miongoni mwa wananchi kitaifa ilipungua kidogo kutoka 0.35 mwaka

2007 hadi 0.34 mwaka 2011/12.

214. Tathmini hiyo ilitumiwa na Serikali katika maandalizi ya Mpango wa

Pili wa Maendeleo wa Miaka Mitano ambao pamoja na mambo mengine

unalenga kukabiliana na changamoto za umaskini

MAENDELEO YA WATU

215. Serikali kupitia Mpango wa Pili wa Maendeleo wa Taifa wa Miaka

Mitano imeendelea kuongeza upatikanaji na ubora wa huduma zinazohitajika na

jamii ili kuboresha hali ya maisha. Katika kutathmini maendeleo ya watu vigezo

vikuu vinavyotumika ni elimu na afya.

216. Mwaka 2016, Serikali iliongeza uwekezaji kwenye elimu na mafunzo

kwa lengo la kuongeza ujuzi na kujenga uwezo wa watu ili kuboresha mchango

wa mtaji wa watu katika maendeleo ya Taifa. Uwekezaji huo ulihusisha

ugharamiaji wa elimu msingi bila malipo na utoaji wa mikopo kwa wanafunzi

wa elimu ya juu ambao ulisaidia kuongezeka upatikanaji wa fursa za elimu na

mafunzo katika fani mbalimbali. Aidha, Serikali iliendelea kuimarisha na

kuboresha mfumo wa ithibati na uthibiti wa shule na vyuo, mafunzo ya ualimu,

mazingira ya kufundishia na kujifunzia pamoja na huduma za maktaba kwa

lengo la kuinua ubora wa elimu katika ngazi zote.

Page 161: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

141

217. Serikali inatambua kwamba, afya bora ni nguzo na rasilimali muhimu

katika kuchangia maendeleo ya mtu binafsi, familia na nchi hususan katika

kuleta maisha bora na kupunguza umaskini. Kutokana na hilo, Mwaka 2016,

Serikali iliendelea kuboresha huduma za afya kwa kuendeleza ujenzi, upanuzi na

ukarabati wa miundombinu ya kutolea huduma za afya; kuboresha upatikanaji

wa dawa muhimu, vifaa tiba; na kuboresha afya ya uzazi, mama na mtoto.

Aidha, serikali iliendelea kuhamasisha wananchi kujiunga na bima za afya kwa

lengo la kuwa na uhakika wa huduma za matibabu.

218. Mwaka 2016, Serikali iliendelea kuimarisha huduma za lishe na

upatikanaji wake hususan kwa watoto walio chini ya umri wa miaka mitano ili

kuwajengea misingi imara ya ukuaji na afya ya akili. Kama mtoto hatapata lishe

ya kutosha, uwezo wake kiakili unapungua, anakuwa kwenye hatari ya

kukumbwa na magojwa hatarishi, anaweza kuwa na matokeo yasiyoridhisha

shuleni na hatimaye kusababisha taifa kukosa nguvu kazi yenye tija na ufanisi.

219. Upatikanaji wa maji safi na salama ni muhimu katika kufikia maendeleo

endelevu ya watu. Katika kufikia lengo hilo, mwaka 2016 Serikali iliendelea na

juhudi za kuhakikisha upatikanaji wa maji safi na salama karibu na makazi ya

watu ili watumie muda mwingi katika shughuli za kiuchumi badala ya kwenda

umbali mrefu kutafuta maji.

220. Mwaka 2016, Serikali iliendelea kupambana na vitendo vya rushwa na

kuboresha ufanisi katika matumizi ya rasilimali za umma. Mojawapo ya hatua

zilizochukulia na Serikali katika kipindi hicho ni uanzishwaji wa Mahakama ya

Mafisadi ili kupambana na vitendo vya rushwa nchini. Rushwa huathiri mapato

ya Serikali na kupunguza uwezo wake kuwekeza katika maeneo mbalimbali na

kupunguza umaskini. Aidha, kwa mujibu wa taarifa ya taasisi ya Transparency

International (TI)” ya mwaka 2016, Tanzania ilipata alama 32 katika masuala ya

kupambana na rushwa ikilinganishwa na alama 30 mwaka 2015, ikimaanisha

mapambano dhidi ya rushwa yaliimarika mwaka 2016. Kulingana na fahirisi za

TI, rushwa hupimwa kati ya alama 0-100 ambapo alama sifuri (0) inamaanisha

rushwa iliyokithiri na alama mia (100) inamaanisha kutokuwepo kwa rushwa.

Page 162: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

142

Page 163: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

143

SURA YA 10

UJENZI WA UCHUMI WA VIWANDA

Utangulizi

221. Dira ya Taifa ya Maendeleo 2025 ina lengo la kuiwezesha Tanzania

kufikia hadhi ya nchi zenye uchumi wa kipato cha kati unaoongozwa na uchumi

wa viwanda ifikapo mwaka 2025. Malengo mengine ni pamoja na kufikia pato

la wastani kwa kila mtu la dola za Marekani 3,000 na uchumi kukua kwa

wastani wa asilimia 8 - 10. Hili litawezekana ikiwa Tanzania itajielekeza katika

kuongeza uzalishaji na mauzo ya bidhaa zilizoongezewa thamani tofauti na

uuzaji wa mazao ghafi. Ili kuongeza mauzo ya bidhaa zilizoongezwa thamani,

Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa Miaka Mitano (2016/17 – 2020/21)

umeweka msisitizo katika kujenga uchumi wa viwanda kwa lengo la kuchochea

mageuzi ya uchumi na maendeleo ya watu. Kufanikisha hilo jitihada za

makusudi zinahitajika katika kujenga uwezo wa ndani wa uzalishaji sanjari na

kuweka mazingira rafiki kwa uendeshaji biashara na uwekezaji ili kuvutia

ushiriki wa sekta binafsi. Aidha, maendeleo ya viwanda yanayokusudiwa,

pamoja na mambo mengine, hayana budi kujikita katika kutumia fursa asili

(natural endowment) zilizopo nchini.

222. Sekta ya viwanda ni mhimili katika utoaji wa ajira zenye staha, kuongeza

thamani ya bidhaa na kukuza uchumi. Hata hivyo, ukuaji wa sekta ya viwanda

siyo wa kuridhisha kutokana na changamoto mbalimbali zikiwemo

miundombinu isiyokidhi mahitaji hususan nishati ya umeme na ushindani usio

wa usawa wa bidhaa kutoka nje. Kufuatia jitihada zinazoendelea kuchukuliwa

na Serikali hususan katika kuimarisha miundombinu na upatikanaji wa umeme

wa uhakika, uwekezaji umeanza kuongezeka na hivyo kuongeza uzalishaji

viwandani. Hata hivyo, ipo haja ya kuongeza na kuboresha kasi ya uwekezaji

sanjari na kuhakikisha mwelekeo sahihi wa mageuzi tarajiwa, ambapo sekta

binafsi inapewa hatamu za uendeshaji.

Hali ya Sekta ya Viwanda kwa Sasa

223. Tanzania ni moja ya nchi za Afrika zenye viwango vya juu vya ukuaji

wa uchumi ambapo kwa kipindi cha muongo mmoja (2007 – 2016), uchumi

ulikua kwa wastani wa asilimia 6.7. Katika kipindi hicho, sekta ya viwanda

ilikua kwa wastani wa asilimia 7.5 na kuchangia wastani wa asilimia 6.5 katika

Pato la Taifa. Hata hivyo, mchango wa sekta ya viwanda katika Pato la Taifa ni

Page 164: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

144

mdogo ikilinganishwa na lengo la asilimia 15 linalohitajika ili kuiwezesha

Tanzania kuwa nchi ya viwanda. Sekta hii inaajiri wastani wa asilimia 3.1 ya

nguvu kazi na kuna fursa za kuweza kuongeza ajira zenye staha, kupunguza

umaskini, kuongeza mapato ya mauzo nje na kukuza uchumi. Mchango wa

mapato ya mauzo ya bidhaa za viwandani nje uliongezeka kutoka asilimia 15.3

mwaka 2007 hadi asilimia 21.1 mwaka 2016. Kwa mujibu wa sensa ya viwanda

ya mwaka 2013 ilionekana kuwa Tanzania ina viwanda vidogo, vya kati na

vikubwa vinavyojihusisha na uzalishaji wa bidhaa vipatavyo 47,922 ambavyo

viliajiri jumla ya watu 231,099.

224. Hadi kufikia Desemba 2016, jumla ya kampuni 140 zilikuwa

zimepatiwa leseni za uanzishwaji wa viwanda katika ukanda wa mauzo nje

(EPZ). Aidha, yapo maeneo maalum ya uwekezaji (SEZ) nane (8) yaliyotengwa

kwa ajili ya viwanda na huduma za biashara na kwa sehemu kubwa yana

miundombinu msingi. Katika kuhakikisha upatikanaji wa ardhi kwa ajili ya

uwekezaji, mikoa yote Tanzania bara ilielekezwa kutenga maeneo kwa ajili hiyo

na tayari mikoa tisa (9) imeshatekeleza agizo hilo. Vile vile, mwaka 2016, kituo

cha uwekezaji kilisajili jumla ya miradi 178 ya uzalishaji viwandani.

Historia ya Mageuzi ya Viwanda Nchini

225. Ajenda ya kuendeleza viwanda nchini imeendelea kuwa ya kipaumbele

katika mipango ya maendeleo ya Tanzania tangu uhuru. Hata hivyo, mfumo wa

utekelezaji wa ajenda hii umekuwa ukibadilika kwa kuzingatia mabadiliko ya

sera za kiuchumi na kijamii za kipindi husika. Zipo awamu kuu tano katika

hatua za mageuzi ya viwanda nchini. Awamu ya kwanza ilikuwa kipindi cha

baada ya uhuru (1961 – 1966) iliyolenga kuchakata mazao ghafi na kuanzisha

viwanda vya kuzalisha bidhaa zilizokuwa zikihitajika na watawala na wakazi

wachache wa mijini badala ya kuagiza kutoka nje, awamu ya pili ilikuwa kipindi

cha Azimio la Arusha (1967 – 1975) ambayo ililenga kuongeza ushiriki wa

wazawa katika umiliki wa nyenzo kuu na muhimu za uchumi chini ya Sera ya

Ujamaa na Kujitegemea, awamu ya tatu ililenga kuanzisha mkakati mahsusi wa

kuchochea mabadiliko mfumo wa uchumi na maendeleo ya viwanda (BIS, 1975-

1995), awamu ya nne, ilikuwa kipindi cha kutekeleza sera za maboresho na

mageuzi ya uchumi (Economic Recovery Programme - ERP I mwaka 1986 na

ERP II mwaka 1989) na awamu ya tano ilihusisha kuchochea maendeleo

endelevu ya viwanda.

Page 165: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

145

226. Ubinafsishaji wa mashirika ya umma ilikuwa ni moja ya ajenda ya

kuishirikisha sekta binafsi. Kufuatia utekelezaji wa sera ya ubinafsishaji

iliyotekelezwa kuanzia katikati ya miaka ya 1990, Serikali ilibinafsisha jumla ya

taasisi 337, na kati ya hizo, viwanda vilivyobinafsishwa vilikuwa 142. Kati ya

hivyo, viwanda 34 vina ufanisi katika uzalishaji, vikiendeshwa kwa faida na

kuchangia katika mapato ya kodi na viwanda 39 vimesimamisha uzalishaji.

Tathmini iliyofanyika mwaka 2015/16 kwa viwanda 80 vilivyobinafsishwa

inonesha kuwa viwanda 65 vinafanya kazi na viwanda 15 vimefungwa

kutokana na sababu mbalimbali.

Umuhimu wa Uchumi wa Viwanda

227. Serikali ya awamu ya tano iliamua kuweka msisitizo wa kuendeleza sekta

ya viwanda kutokana na sababu kuu nne zifuatazo:

a) Uwezo wa kuongeza ajira zenye staha

228. Inakadiriwa kuwa zaidi ya watanzania 800,000 wanaingia katika soko la

ajira kila mwaka baada ya kuhitimu masomo, na wengi wao ni vijana. Hata

hivyo, uwezo wa uchumi wa Tanzania ni kuajiri watu 40,000 tu kwa mwaka.

Uchumi wa Tanzania hauna haujaweza kutoa fursa nyingi za ajira zenye staha .

Kwa mujibu wa taarifa ya utafiti wa nguvukazi na ajira wa mwaka 2014, idadi

ya watanzania wasiokuwa na ajira wenye umri wa miaka 15 na zaidi ni

takribani milioni 2.3, sawa na asilimia 10.3 ya nguvukazi (watu wenye uwezo

wa kufanya kazi). Theluthi mbili ya hao (karibia watu milioni 1.5) ni vijana

wenye umri kati ya miaka 15 hadi 35. Hili ni kundi kubwa linalohitaji

kuwezeshwa kiuchumi kwani liko katika mazingira hatarishi japo lina nguvu na

ujuzi wa kutosha. Sekta ya viwanda ikiimarishwa inaweza kuwa mkombozi

katika kutoa ajira zenye staha hususan kwa vijana.

b) Maendeleo Endelevu ya Uchumi

229. Tanzania ni moja ya nchi zilizojaliwa kuwa na rasilimali asili kama

mafuta, gesi na madini. Kwa upande wa madini, hivi karibuni iligunduliwa gesi

asilia yenye ujazo wa futi za mraba trilioni 57 (57 TCF) na kuna matarajio ya

kugundua gesi zaidi kwani utafiti bado unaendelea sehemu mbalimbali nchini.

Tofauti na viwanda, rasilimali asili zina tabia/sifa za kipekee ambazo pia

zinahitaji usimamizi wa kipekee. Mojawapo ya sifa hizo ni kwamba upatikanaji

wa rasilimali asili una ukomo. Hivyo, kama rasilimali hizo hazitatumika kwa

namna ambayo ni endelevu, uchumi wa nchi unaweza kuporomoka mara

upatikanaji wa rasilimali hizo utakapofikia ukomo. Aidha, iwapo mapato

Page 166: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

146

yatokanayo na rasilimali hizo yatawekezwa kimkakati hususan katika ujenzi wa

viwanda, yatawezesha kuongeza uzalishaji, ajira na mapato ya kigeni na hivyo

kuwa na ukuaji endelevu wa uchumi hata pale rasilimali hizi zitakapofikia

ukomo. Hivyo, ni muhimu kubadili mfumo wa uchumi unaotegemea rasilimali

asili ambazo zina ukomo kwa kupanua wigo wa shughuli za kiuchumi ikiwemo

kutumia fursa hiyo ya kuwa na rasilimali kuanzisha na kuendeleza viwanda.

c) Kupunguza Umaskini

230. Matokeo ya tafiti za hali ya kipato na matumizi katika kaya (Household

Budget Survey – HBS) na utafiti wa nguvukazi na ajira (Integrated Labor Force

Survey – ILFS) zilizofanyika kwa nyakati tofauti yalionesha kuwa watanzania

maskini wengi wanajishughulisha na shughuli za kilimo. Aidha, kufuatia juhudi

zilizokuwa zikichukuliwa na Serikali katika harakati za kufanya mageuzi ya

kiuchumi, kiwango cha umaskini kimekuwa kikipungua kadiri nguvukazi

inavyopungua katika sekta ya kilimo. Vile vile, takriban asilimia 86.1 ya

nguvukazi ilikuwa inajiuhusisha na kilimo mwaka 2000 ambako umaskini

ulikuwa asilimia 35.6. Kwa mujibu wa matokeo ya utafiti wa nguvukazi na ajira,

kiwango cha watanzania wanaojihusisha na kilimo kilipungua kufikia asilimia

73.4 mwaka 2010 na kupungua zaidi hadi asilimia 66.3 mwaka 2014, ambapo

umaskini ulipungua kutoka asilimia 34.4 (HBS 2007) hadi asilimia 28.2 (HBS

2012). Kutokana na mwenendo huo, ni dhahiri kuwa sera za kupunguza

umaskini zililenga kupunguza nguvukazi iliyoko katika sekta ya kilimo kwenda

kwenye viwanda na shughuli nyingine za kiuchumi nje ya kilimo. Hivyo,

mageuzi ya viwanda ni nyenzo muhimu ya kupunguza umaskini endapo

vitajengwa viwanda vya kuongeza thamani kwenye mazao ya kilimo.

d) Fursa za Kipekee kwa Tanzania

231. Tanzania imejaliwa kuwa na fursa za kipekee ambazo zikitumika

kimkakati zinaweza kuwa chachu ya maendeleo ya viwanda na uchumi kwa

ujumla. Moja ya fursa hizo ni wingi wa rasilimali asili kama vile ardhi yenye

rutuba inayofaa kwa kilimo, misitu, gesi asilia, madini, pamoja na maziwa

makubwa na bahari ambayo yanaweza kutumika kama vyanzo vya maji ya

umwagiliaji na uvuvi. Fursa nyingine ni nafasi ya nchi kijiografia ambayo

imezungukwa na nchi sita zisizokuwa na mlango bahari ambapo nchi hizo

zinaweza kufikia masoko ya nje (kununua na kuuza bidhaa) kupitia Tanzania.

Kutokana na fursa hizo, Serikali imedhamiria kujenga uchumi wa viwanda ili

kuongeza mnyororo wa thamani na hivyo kupunguza au kuacha kabisa kuuza

bidhaa zisizosindikwa na wakati huo huo kutumia nafasi yake ya kijiografia

Page 167: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

147

kufikia masoko ya nje kwa bidhaa zilizozalishwa viwandani badala ya

kuhudumia nchi majirani tu.

Mkakati wa Kuendeleza Sekta ya Viwanda

232. Kutokana na umuhimu wa sekta ya viwanda, Serikali ya awamu ya tano

imeazimia kufanya mageuzi ya viwanda kwa lengo la kuinua uchumi wa

Tanzania kwa kutumia fursa zilizopo. Serikali inatekeleza ajenda hii kupitia

Mpango wa Pili wa Maendeleo wa Taifa wa Miaka Mitano (2016/17-2020/21)

wenye kaulimbiu ya “Kujenga Uchumi wa Viwanda ili Kuchochea Mageuzi ya

Uchumi na Maendeleo ya Watu”. Serikali kupitia Mpango huu inahamasisha

ushiriki wa sekta binafsi kwa kuhakikisha uwepo wa mazingira rafiki ya

uwekezaji ili waweze kuwekeza kwa faida, kustawi na kuimarika. Serikali

imedhamiria kuendelea kuboresha mazingira ya biashara na kutoa vivutio

mbalimbali vya kodi na visivyo vya kodi ili kuvutia uwekezaji wa sekta binafsi

hususan katika kutumia kikamilifu fursa zilizopo nchini kuinua uchumi kupitia

viwanda. Aidha, Mpango huu umeainisha maeneo manne ya utekelezaji wa

kimkakati ambayo yataweka msingi wa ujenzi wa uchumi wa viwanda

utakaohanikiza ukuaji wa uchumi na maendeleo ya watu. Maeneo hayo ni:

a. Ukuaji wa uchumi na maendeleo ya viwanda (mfano ujenzi wa

maeneo maalum ya kiuchumi na kutenga maeneo ya viwanda);

b. Kuchochea maendeleo ya watu na mageuzi ya kijamii (elimu, ujuzi

maalum na huduma za afya);

c. Kuboresha mazingira ya biashara na uwekezaji (utulivu wa viashiria

vya kiuchumi, amani, ulinzi na usalama, miundombinu na huduma

bora, na gharama za kufanya biashara); na

d. Kuimarisha usimamizi wa utekelezaji wa Mpango (ugharamiaji,

mfumo thabiti wa ufuatiliaji na tathmini) .

233. Msisitizo katika mkakati huu wa mageuzi ya viwanda ni kujenga

viwanda vitakavyoweza kuongeza fursa za ajira, vitakavyotumia rasilimali

zilizoko nchini (hususan za kilimo na madini), vitakavyoweza kuzalisha kukidhi

mahitaji ya soko la ndani na ziada kwa ajili ya mauzo nje. Vile vile, Serikali

inakamilisha Mkakati wa kuharakisha mageuzi ya viwanda (Strategy for Fast-

Tracking Industrialization in Tanzania 2016 – 2020). Mkakati huu umeainisha

maeneo mbalimbali ya kimkakati yatakayozingatiwa katika kufikia malengo

makuu ya mageuzi ya viwanda ikiwemo kufufua viwanda vilivyobinafsishwa

Page 168: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

148

ambavyo vimesimamisha uzalishaji na ujenzi wa viwanda vinavyotumia

malighafi zilizoko nchini.

Uendelezaji wa Sekta na Maeneo Shirikishi

234. Mageuzi ya viwanda hayawezi kupatikana bila kuendeleza na

kushirikisha sekta nyingine. Hivyo, ili kuweza kupiga hatua katika azma ya

kuleta mageuzi katika uchumi wa viwanda, Serikali kupitia Mpango wa Pili wa

Maendeleo imejielekeza katika kutekeleza yafuatayo:

a. Kujenga misingi ya kilimo cha kisasa;

b. Kuimarisha upatikanaji wa umeme wa uhakika;

c. Kuimarisha miundombinu ya usafirishaji;

d. Kuimarisha Viashiria vya Uchumi Mkuu;

e. Kujenga mazingira wezeshi ikiwemo misingi ya kisheria na

kikanuni na taasisi ili kuvutia wawekezaji; na

f. Kuwekeza katika maendeleo ya watu.

235. Sekta ya kilimo ni kitovu cha maendeleo ya viwanda kwa kutoa masoko

ya bidhaa za viwandani na malighafi za viwanda. Sekta ya kilimo inaajiri

asilimia 66.3 ya watanzania, inachangia asilimia 29 ya Pato la Taifa, asilimia 30

ya mapato ya mauzo nje, na pia huchangia asilimia 65 ya malighafi za

viwandani. Pamoja na mchango huo mkubwa, sekta hii imekuwa na maendeleo

ya kutoridhisha na inaathiriwa na mabadiliko ya tabianchi. Aidha, eneo

linalotumika kwa ajili ya umwagiliaji Tanzania ni chini ya asilimia 10 ya eneo

linaloweza kutumika kwa kilimo cha umwagiliaji. Serikali kupitia Mpango wa

Pili wa Maendeleo imeainisha mpango mkakati wa kuimarisha kilimo cha

umwagiliaji ikiwemo kuongeza uwekezaji kwenye miundombinu ya

umwagiliaji. Vilevile, sehemu kubwa ya mauzo ya mazao ya kilimo nje ya nchi

ni ghafi kutokana na uwepo wa viwanda vichache vya kuongeza thamani. Hii ni

miongoni mwa sababu za serikali kuweka mkakati wa kuanzisha viwanda

vinavyotumia malighafi ya hapa nchini. Mikakati mingine iliyowekwa na

serikali ni kuhamasisha kilimo cha kisasa na chenye tija kupitia uendelezaji wa

Ukanda wa Ukuzaji Kilimo Kusini mwa Tanzania (SAGCOT) ambao unalenga

kuboresha kilimo cha kibiashara kwa kuanzisha mashamba makubwa na miradi

endelevu ya kilimo.

236. Kwa upande wa upatikanaji wa umeme wa uhakika na wa gharama

nafuu, jitihada kubwa zimeendelea kuchukuliwa na serikali ikiwemo kuimarisha

Page 169: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

149

miundombinu ya ufuaji, usafirishaji na usambazaji. Changamoto kubwa

iliyokuwepo ni gharama kubwa za ufuaji wa umeme wa nguvu za mafuta

pamoja na kukatika kwa umeme kutokana na sababu mbalimbali zikiwemo

kupungua kwa kina cha maji na uchakavu wa mitambo. Hata hivyo, kufuatia

kugunduliwa kwa gesi asilia yenye ujazo wa futi za mraba trilioni 57, ni dhahiri

kwamba upatikanaji wa umeme viwandani utaongezeka sambamba na kupungua

kwa gharama zake. Aidha, Serikali inaendelea na mchakato wa ujenzi wa

kiwanda cha kubadilisha gesi asilia iwe katika hali ya kimiminika (LNG plant)

pamoja na miundombinu yake. Mchakato huu ukikamilika utaongeza upatikanaji

wa umeme wa uhakika utokanao na gesi asilia pamoja na kuongeza mauzo ya

gesi (LNG) nje.

237. Miundombinu ya usafirishaji pia imeendelea kuimarishwa ikiwemo

ujenzi na ukarabati wa barabara zinazofungua fursa za kiuchumi na

zinazounganisha maeneo ya uzalishaji na masoko ya ndani na nchi jirani pamoja

na ujenzi wa reli ya kati kwa kiwango cha kimataifa cha “standard gauge”.

Aidha, serikali inaendelea na mkakati wa kuimarisha usafiri wa anga ambapo

tayari imeshanunua ndege mpya mbili na kulipa malipo ya awali kwa ajili ya

ndege nyingine nne. Hatua zote hizi zinalenga kurahisisha usafirishaji wa

malighafi na bidhaa za viwandani.

238. Katika kuboresha mazingira ya biashara na uwekezaji, Serikali

inaendelea na: jitihada za kuimarisha utulivu wa uchumi jumla; kuwa na sera za

fedha na za bajeti zinazotabirika (zisizobadilika mara kwa mara); kuhakikisha

nidhamu na uwazi katika taratibu za serikali; kuimarisha ulinzi na usalama; na

kuhakikisha uwepo wa miundombinu imara (kama vile barabara, reli) na

huduma bora zikiwemo umeme wa uhakika na mikopo kwa sekta binafsi. Katika

eneo hili la kuboresha mazingira ya biashara, Tanzania ilifanya vizuri kulingana

na taarifa ya Benki ya Dunia ya mwaka 2017 iliyoonesha kuwa Tanzania

ilikuwa nchi ya 132 mwaka 2016 kwa urahisi wa kufanya biashara ikiwa

imepiga hatua kwa nafasi 12 kutoka nafasi ya 144 mwaka 2015.

239. Maendeleo ya watu na maendeleo ya viwanda ni vitu ambavyo

vinategemeana. Viwanda hutoa nafasi ya kipekee katika kusukuma maendeleo

na kukuza ujuzi ambao unahitajika katika uendeshaji wa viwanda. Kwa upande

mwingine, ujuzi husukuma maendeleo ya viwanda katika kuchochea ukuaji wa

teknolojia. Hivyo, maendeleo ya rasilimali watu na kuinua kiwango cha ujuzi

katika nchi ni muhimu sana kwa maendeleo ya viwanda. Rasilimali watu yenye

Page 170: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

150

ujuzi wa juu ikiendana na nidhamu ya kazi inawezesha nchi kuharakisha

mageuzi ya uchumi na hatimaye kuchochea mageuzi ya kijamii na maendeleo ya

watu. Kwa upande wa elimu, msisitizo umewekwa kwenye ubora wa elimu

inayolenga kukidhi mahitaji ya jamii sambamba na ushindani katika soko la ajira

la ndani, kikanda na kimataifa. Elimu ya ujuzi maalum unaohitajika katika sekta

mbalimbali pia imezingatiwa katika Mpango wa Pili wa Maendeleo. Vile vile,

Serikali imeendelea kuimarisha huduma za afya ili kuhakikisha watu wote

wanakuwa na afya nzuri za kuwawezesha kushiriki kikamilifu katika shughuli za

kiuchumi ikiwa ni pamoja na viwanda.

Ugharamiaji wa Ujenzi wa Uchumi wa Viwanda

240. Utekelezaji madhubuti wa mpango wowote hutegemea uwezo wa

kutafuta rasilimali fedha kutoka vyanzo vya ndani na nje pamoja na uwezo wa

kuzitumia fedha hizo kwa ufanisi. Vyanzo vikuu vya mapato ya serikali ni

pamoja na mapato ya ndani ya kodi na yasiyo ya kodi; mikopo yenye masharti

ya kibiashara ya ndani na nje; na misaada na mikopo nafuu kutoka kwa

washirika wa maendeleo. Aidha, soko la fedha la ndani halina uwezo wa

kugharamia kikamilifu mahitaji ya soko na pia serikali ina ukomo wa kukopa

katika soko la ndani. Misaada na mikopo nafuu kutoka kwa washirika wa

maendeleo inazidi kupungua mwaka hadi mwaka na mikopo ya kibiashara

kutoka nje ina masharti magumu ikiwemo riba kubwa, muda mfupi wa

marejesho na baadhi ya mikopo kufungamanishwa na miradi (tied projects).

241. Kutokana na hali hiyo, Serikali imeweka nguvu zaidi katika ukusanyaji

wa mapato ya ndani; kuimarisha soko la fedha la ndani ikiwa ni pamoja na

uanzishwaji wa benki mahsusi ikiwemo Benki ya Maendeleo ya Kilimo na

Benki ya Maendeleo ya TIB; na kuboresha mazingira ya biashara ili kuvutia

uwekezaji wa sekta binafsi hususan katika ugharamiaji wa mpango wa pili wa

maendeleo. Ugharamiaji wa Mpango kupitia ushiriki wa sekta binafsi ni wa

muhimu kwa kuwa uchumi wa viwanda hautaweza kujengwa kwa kutegemea

bajeti ya serikali pekee. Hivyo, Serikali inaendelea kuhamasisha ushiriki wa

sekta binafsi kwa kuboresha mazingira ya biashara na uwekezaji. Vile vile,

katika kupunguza utegemezi wa bajeti katika kugharamia miradi ya maendeleo,

Serikali itaendelea kushirikiana na sekta binafsi katika utaratibu wa ubia kati ya

sekta ya umma na binafsi. Aidha, Serikali inakamilisha mkakati wa ugharamiaji

wa Mpango wa Maendeleo ambao utaainisha vyanzo mbalimbali vya mapato ya

kugharamia Mpango ambao unajumuisha uendelezaji wa viwanda.

Page 171: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

151

Hatua ya Utekelezaji Iliyofikiwa

242. Katika kutekeleza azma ya Serikali ya kujenga uchumi wa viwanda,

miradi ya viwanda mbalimbali imeanzishwa kutokana na mchango wa Serikali

na sekta binafsi. Aidha, mkoa wa Pwani unaongoza, ukiwa na jumla ya miradi

mipya ya viwanda 82 iliyoanzishwa na sekta binafsi. Serikali imekuwa na

mchango mkubwa katika uanzishwaji wa miradi hiyo, ikiwa ni pamoja na

kusaidia upatikanaji wa ardhi, kuweka miundombinu inayohitajika, na kutoa

vibali vya ujenzi.

243. Serikali kupitia mashirika yake imeanza kuwekeza katika ujenzi wa

viwanda ambapo mifuko ya hifadhi ya jamii ikiwemo PPF na NSSF

inashirikiana kuwekeza katika kilimo cha miwa na uzalishaji wa sukari katika

eneo la Mkulazi na Mbigiri (Morogoro); LAPF wanajenga machinjio ya kisasa

ya nyama (kwa Makunganya – Morogoro); na mifuko mingine inashiriki katika

miradi mbalimbali. Vile vile, Shirika la Taifa la Maendeleo linashirikiana na

sekta binafsi kuwekeza katika eneo la viwanda la TAMCO – Kibaha kwa lengo

la kuendeleza viwanda vya nguo na uunganishaji wa magari pamoja na matrekta,

ambapo kiwanda cha kuunganisha matrekta kimefikia hatua ya kuanza

majaribio.

244. Serikali imeendelea na utekelezaji wa miradi mbalimbali ya kuimarisha

na kuboresha miundombinu na huduma za uchumi wa viwanda. Miongoni mwa

miradi hii ni: ujenzi wa msingi kwa ajili ya mtambo wa kufua umeme wa

Kinyerezi II (MW 240); ukarabati wa njia ya reli ya kati na kuanza kwa taratibu

za ujenzi wa reli ya kati kwa kiwango cha Kimataifa (Standard Gauge); ununuzi

wa ndege; ujenzi na ukarabati wa barabara zikiwemo barabara za juu za

TAZARA na Ubungo.

245. Kwa upande wa kufungamanisha ukuaji wa viwanda na maendeleo ya

watu, Serikali inaendelea kutekeleza sera ya elimu msingi bila malipo,

kuboresha miundombinu na huduma za ufundishaji na kufundishia, ujenzi wa

mabweni katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam; na kutoa mikopo ya wanafunzi

wa elimu ya juu. Aidha, Serikali imekamilisha ujenzi wa Hospitali ya Taaluma

na Tiba ya Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili, Kampasi ya

Mloganzila.

Page 172: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

152

Hitimisho

246. Serikali ya awamu ya tano imedhamiria kuleta mageuzi ya uchumi wa

viwanda kufikia nchi ya kipato cha kati kwa kuendeleza viwanda vyenye kutoa

fursa za ajira na kuimarisha tija katika kilimo. Ili kufikia malengo hayo, serikali

itaendelea kuwekeza katika ujenzi wa miundombinu muhimu, kuhakikisha

uwepo wa mazingira tulivu ya uwekezaji, usimamizi wa sheria, kanuni na

taratibu za nchi pamoja na kushirikisha sekta binafsi katika mageuzi ya viwanda.

Page 173: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

153

Page 174: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

154

SURA YA 11

KILIMO NA USHIRIKA

Kiwango cha Ukuaji

247. Mwaka 2016, kiwango cha ukuaji wa shughuli za kiuchumi za kilimo

kilipungua na kuwa asilimia 2.1 ikilinganishwa na asilimia 2.3 mwaka 2015.

Kupungua kwa kasi ya ukuaji kulitokana na kutokuwa na mvua za kutosha na za

wakati katika msimu wa kilimo wa mwaka 2015/16. Hali hiyo iliathiri uzalishaji

wa mazao na pia upatikanaji wa maji na malisho ya kutosha kwa ajili ya mifugo.

Shughuli ndogo za uzalishaji mazao ndizo zilizoathirika zaidi ambapo kiwango

cha ukuaji kilipungua na kuwa asilimia 1.4 mwaka 2016 ikilinganishwa na

asilimia 2.2 mwaka 2015. Hata hivyo, shughuli nyingine ndogo za kilimo

zilikuwa na ongezeko la ukuaji kama ifuatavyo: uvuvi; misitu na uwindaji; na

mifugo zilikua kwa asilimia 4.2; 3.4; na 2.6 mwaka 2016 ikilinganishwa na

asilimia 2.5; 2.6; na 2.4 mwaka 2015 kwa mtiririko huo. Shughuli za kiuchumi

za kilimo zilichangia asilimia 29.1 ya Pato la Taifa mwaka 2016 ikilinganishwa

na asilimia 29.0 mwaka 2015.

Uzalishaji wa Mazao ya Chakula

248. Mwaka 2016, uzalishaji wa mazao makuu ya chakula hususan mahindi,

mchele, muhogo, maharage na mazao mengine ya jamii ya kunde uliongezeka

ikilinganishwa na mwaka 2015. Ongezeko hili lilitokana na kuwepo kwa hali

nzuri ya hewa katika maeneo yanayozalisha mazao hayo. Mwenendo wa

uzalishaji wa mazao ya chakula ni kama unavyoonekana katika Jedwali Na.

11.1.

Jedwali Na. 11.1: Uzalishaji wa Mazao ya Chakula (Tani 000)

Zao 2011 2012 2013 2014 2015 2016

Badiliko

(%)

2015/16

Mahindi 4341 5104 5174 6734 5903 6149 4.2

Mchele 1461 1170 1307 1681 1937 2229 15.1

Ngano 113 109 92 167 72 76 5.4

Mtama/Ulezi 1119 1052 1041 1246 1007 1003 -0.4

Mihogo 1549 1821 1943 1664 1962 2205 12.4

Maharage/Mikunde 1632 1827 1641 1697 1808 1959 8.3

Ndizi 1048 842 1307 1064 1195 1061 -11.2

Viazi vitamu 1710 1418 1259 1167 1090 1044 -4.2

Chanzo: Wizara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi

Page 175: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

155

Uzalishaji wa Mazao ya Biashara

249. Mwaka 2016, uzalishaji wa kahawa na mkonge uliongezeka kwa asilimia

48.3 na asilimia 9.2 ikilinganishwa na ongezeko la asilimia 0.8 na asilimia 21.9

kwa mtiririko huo mwaka 2015. Kuongezeka kwa uzalishaji wa kahawa

kulitokana na kuwa ni msimu wa mzunguko wa juu wa uzalishaji na pia

kulikuwa na hali nzuri ya hewa kwenye maeneo yanayozalisha kahawa kwa

wingi. Kwa upande mwingine, ongezeko la uzalishaji wa mkonge lilitokana na

kuendelea kuongezeka kwa mahitaji ya singa za mkonge na hivyo kusababisha

bei kupanda na kuvutia uzalishaji zaidi. Hata hivyo, uzalishaji wa mazao ya

pamba, tumbaku, sukari, chai, pareto na korosho ulishuka mwaka 2016

ikilinganishwa na mwaka 2015. Kushuka huko kulitokana na sababu mbalimbali

zikiwemo: upungufu wa mvua za kutosha katika maeneo yanayozalisha mazao

hayo; na baadhi ya wakulima kuacha kulima mazao hayo kutokana na kushuka

kwa bei ya mazao hayo katika soko la dunia. Jedwali Na. 11.2 linaonesha hali

ya uzalishaji wa mazao ya biashara kwa kipindi cha mwaka 2009 – 2016.

Jedwali Na. 11.2: Uzalishaji wa Mazao ya Biashara (Tani)

Zao 2011 2012 2013 2014 2015 2016

Badiliko

(%)

2015/16

Pamba 225938 225938 357130 246767 203312 149455 -25.8

Tumbaku 126624 126624 86359 100000 87737 60691 -30.8

Sukari 260055 262880 296697 294421 304007 293075 -3.6

Chai 33000 32810 33700 33000 35750 32629 -8.7

Pareto 5700 5700 6100 7090 6050 2011 -66.6

Kahawa 33219 33219 71200 47301 41674 60921 48.3

Mkonge 33406 25690 34875 37571 39204 42314 9.2

Korosho 160000 160000 127947 123449 197933 155416 -21.5

Chanzo: Wizara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi

Uzalishaji wa Mazao ya Mafuta

250. Mwaka 2016, uzalishaji wa mazao ya mbegu za mafuta ukijumuisha

alizeti, karanga, ufuta, mawese na soya uliongezeka hadi tani 6,301,147

ikilinganishwa na tani 5,936,527 mwaka 2015, sawa na ongezeko la asilimia 6.1.

Ongezeko hilo lilitokana na uwepo wa soko la uhakika, ushirikiano kati ya sekta

ya umma na sekta binafsi pamoja na kuongezeka kwa uwekezaji katika viwanda

vidogo na vya kati na hivyo kuongeza hamasa kwa wakulima kuongeza

uzalishaji. Jedwali Na.11.3 linaonesha uzalishaji wa mazao hayo katika kipindi

cha mwaka 2010 - 2016.

Page 176: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

156

Jedwali Na. 11.3: Uzalishaji wa Mazao ya Mafuta (Tani)

Zao 2011 2012 2013 2014 2015 2016

Badiliko

(%)

2015/16

Alizeti 786902 1125000 2625000 2755000 2878500 2995500 4.1

Karanga 651397 810000 1425000 1635735 1835933 2025595 10.3

Ufuta 357162 456000 1050000 1113892 1174589 1232092 4.9

Mawese 17000 24880 40500 41000 41475 41925 1.1

Soya 2500 5620 5830 6025 6030 6035 0.1

Chanzo: Wizara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi

Uzalishaji wa Mazao ya Bustani

251. Mwaka 2016, uzalishaji wa mazao ya bustani ya matunda, mboga, maua

na viungo ulikuwa tani 5,931,900 ikilinganishwa na tani 5,635,364 mwaka 2015,

sawa na ongezeko la asilimia 5.3. Ongezeko hilo lilitokana na kuongezeka kwa

usindikaji wa mazao haya pamoja na hamasa ya ulaji wa matunda na mboga kwa

wingi. Jedwali Na. 11.4 linaonesha mwenendo wa uzalishaji wa mazao bustani

katika kipindi cha mwaka 2012 – 2016.

Jedwali Na.11. 4: Uzalishaji wa mazao ya Bustani (Tani)

Zao 2012 2013 2014 2015 2016

Badilik

o (%)

2015/16

Matunda 393873

0

4096280 4416690 4574240 4711000 3.0

Mboga 901680 937750 1005305 1041375 1189000 14.2

Maua 9850 10200 10790 11140 11500 3.2

Viungo 7370 8125 8377 8609 20400 137.0

Chanzo: Wizara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi

Uwekezaji katika Shughuli za Kiuchumi za Kilimo

252. Mwaka 2016, sekta binafsi ilinunua matrekta makubwa mapya 900 na

madogo 260 kutoka nje ikilinganishwa na matrekta makubwa 939 na madogo

354 mwaka 2015. Katika kipindi hicho, zana za kilimo zenye thamani ya shilingi

bilioni 3.1 zilikopeshwa kwa wakulima katika sehemu mbali mbali nchini. Zana

hizo ni: matrekta makubwa 66, matrekta madogo ya mkono mawili (2), zana za

umwagiliaji tano (5) na mashine ya kuvuna mpunga (combine harvester) moja

(1). Vile vile, mwaka 2016, Serikali kupitia Mradi wa Sera ya Maendeleo ya

Page 177: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

157

Rasilimali Watu ilinunua na kusambaza mashine za kukoboa mpunga katika

skimu zilizo ndani ya Mradi huo. Kati ya skimu 14 zilizolengwa, skimu tisa (9)

zilifungiwa mashine hizo kwa kuwa zilikamilisha ujenzi wa jengo na kuweka

umeme.

Huduma za Ugani

253. Mwaka 2016, wakulima wawezeshaji 100 na maafisa ugani 20 walipata

mafunzo ya uzalishaji wa mpunga kwa kutumia teknologia ya kilimo shadidi.

Aidha, katika kuimarisha taaluma ya ugani, Serikali ilifadhili na kufundisha

wanafunzi 2,000 katika mafunzo ya kilimo ngazi ya astashahada na stashahada

katika vyuo mbalimbali nchini ikilinganishwa na wanafunzi 3,047 mwaka 2015.

Kozi wanazosomea ni; kilimo, umwagiliaji, matumizi bora ya ardhi, uzalishaji

chakula na lishe, matumizi ya zana katika kilimo, uzalishaji wa mazao, mboga,

maua na matunda.

Utafiti

254. Mwaka 2016, aina 29 za mbegu bora zilizalishwa katika vituo vya utafiti

vya umma na binafsi. Aidha, katika kipindi hicho jumla ya tani 8.2 za mbegu

mama za mazao mbalimbali pamoja na vipando/vikonyo mama 919,700 vya

mazao ya muhogo na viazi vitamu zilizalishwa. Vile vile, sampuli 7,313 za

udongo kutoka kanda za mashariki, kaskazini na kanda ya ziwa zilipimwa na

kuainisha virutubisho vilivyomo. Matokeo ya tathmini hiyo yatasaidia kuainisha

maeneo na aina ya mazao yanayofaa kwa uwekezaji katika kilimo pamoja na

kuandaa ramani za aina mbalimbali za udongo na kutoa ushauri kwa wakulima.

Mwenendo wa bei na Masoko ya Mazao ya Kilimo

255. Serikali kupitia Bodi ya Nafaka na Mazao Mchanganyiko iliendelea

kuimarisha soko la mazao ya kilimo ili kuwanufaisha wakulima wadogo.

Mwaka 2016 Bodi ilinunua tani 3,300.04 za mahindi kutoka kwa wakulima wa

mikoa ya Iringa, Njombe na Ruvuma. Aidha, Bodi iliongeza thamani ya mazao

kwa kusaga tani 1,047.8 za mahindi na kuzalisha tani 896.8 za unga na tani

145.2 za pumba.

256. Mwaka 2016, wastani wa bei ya sukari kiwandani ulikuwa kati ya

shilingi 1,850 na 1,920 kwa kilo. Aidha, wastani wa bei ya jumla kwa

wafanyabiashara ilikuwa kati ya shilingi 2,050 na 2,117 kwa kilo na bei ya

rejareja ni kati ya shilingi 2,250 na 2,400 kwa kilo katika maeneo mengi ya

makao makuu ya miji ya mikoa na wilaya. Hata hivyo, katika mikoa ya

Page 178: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

158

pembezoni bei ya rejareja ilifikia hadi wastani wa shilingi 2,500 kwa kilo. Bei

ya pamba nyuzi katika soko la dunia ilipungua kufikia shilingi 932 kwa kilo

mwaka 2015/16 ikilinganishwa na shilingi 1,010 mwaka 2014/15. Aidha, bei ya

pamba nyuzi katika soko la ndani iliongezeka kwa asilimia 20 kutoka wastani

wa shilingi 833.3 kwa kilo mwaka 2014/15 hadi kufikia shilingi 1,000 kwa kilo

mwaka 2015/16 kutokana na kuongezeka kwa mahitaji katika soko la ndani.

257. Mwaka 2016, bei ya kahawa ilipanda kwa asilimia 26.2 kwa kahawa ya

arabika laini na asilimia 7.8 kwa kahawa ya robusta katika soko la mnada la

ndani pia ilipanda kwa wastani wa asilimia 12.2 kwa kahawa ya arabika laini na

asilimia 8.4 kwa kahawa ya robusta katika soko la moja kwa moja. Hali hii

ilisababisha kuongezeka kwa bei ya mkulima kutoka shilingi 2,500 hadi shilingi

4,700 kwa kilo (Ongezeko la asilimia 88) kwa kahawa ya arabika na shilingi

1,100 hadi shilingi 1,400 kwa kilo (ongezeko la asilimia 27.2) kwa kahawa ya

robusta.

Ruzuku ya Pembejeo

258. Mwaka 2016, Serikali iliendelea na utaratibu wa kutoa ruzuku ya

pembejeo za kilimo kwa kutumia vocha zikiwemo mbolea na mbegu bora za

mahindi na mpunga. Jumla ya kaya 999,926 za wakulima zilinufaika kwa kupata

tani 99,993 za mbolea na tani 10,270.86 za mbegu bora za mahindi na mpunga.

Matumizi ya pembejeo yamechangia kuongeza tija ya uzalishaji wa mazao ya

mahindi na mpunga ambapo uzalishaji wa mahindi uliongezeka kutoka wastani

wa gunia tano (5) hadi wastani wa gunia 15 kwa ekari na mpunga kutoka

wastani wa gunia nne (4) hadi wastani wa gunia 20 kwa ekari. Aidha, jumla ya

miche bora 2,106,510 ya kahawa na miche bora 1,600,000 ya korosho

ilizalishwa kutokana na mpango wa ruzuku ya pembejeo za kilimo. Vile vile,

viuatilifu tani 8,011 na ekapaki 1,244,075 kwa zao la korosho na kahawa

zilitolewa kwa wakulima kwa utaratibu wa ruzuku.

Mfuko wa Pembejeo

259. Mwaka 2015/16, Mfuko wa Pembejeo ulitoa mikopo 65 ya matrekta

makubwa ikilinganishwa na matrekta 74 mwaka 2014/15, sawa na upungufu wa

asilimia 12.2. Vilevile, mikopo 30 ilitolewa kwa ajili ya pembejeo

mchanganyiko zikiwemo mbolea za viwandani, mbegu bora na madawa ya

mifugo ikilinganishwa na mikopo 32 iliyotolewa mwaka 2014/15, sawa na

upungufu wa asilimia 6.3. Mfuko ulitoa mikopo 6 ya zana za umwagiliaji

ikilinganishwa na mikopo 5 mwaka 2014/15. Aidha, Mfuko ulitoa mkopo

Page 179: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

159

mmoja wa mashine ya kuvuna na mmoja wa ununuzi wa vifaa vya ukarabati wa

trekta mwaka 2015/16.

Maendeleo ya Ushirika

260. Mwaka 2016, idadi ya wanachama wa vyama vya ushirika iliongezeka

na kufikia 2,234,016 kutoka 1,432,978 mwaka 2015, sawa na ongezeko la

asilimia 55.9. Ongezeko hilo lilitokana na uhamasishaji wananchi kuanzisha na

kujiunga na vyama vya ushirika. Kutokana na uhamasishaji huo, vyama vipya

161 vilianzishwa na hivyo kufikia jumla ya vyama vya ushirika 10,522. Vyama

vipya vilivyoanzishwa vinajumuisha vyama 125 vya Ushirika wa Akiba na

Mikopo (SACCOS), vyama 29 vya Ushirika wa Masoko ya Mazao ya Kilimo na

vyama vingine saba (7) vya ushirika.

261. Mwaka 2016, Ushirika wa Akiba na Mikopo uliendelea kutoa huduma za

kifedha ambapo thamani ya hisa, akiba na amana ziliongezeka kwa asilimia 0.2

kutoka shilingi bilioni 377.67 mwaka 2015 na kufikia shilingi bilioni 378.34.

Aidha, thamani ya mikopo iliyotolewa kwa wanachama kwa mwaka 2016

ilikuwa shilingi bilioni 854.34 kama ilivyokuwa mwaka 2015. Vile vile, mikopo

iliyotolewa kwa wanachama na wananchi kwa ujumla kupitia benki za ushirika

ilikuwa shilingi bilioni 6.4 kama ilivyokuwa mwaka 2015.

262. Mwaka 2016, Vyama vya Ushirika wa Mazao – AMCOS viliendelea

kutoa huduma za ugani, usambazaji wa pembejeo, ukusanyaji na uuzaji wa

mazao ya wakulima. Kufuatia matumizi ya mfumo wa stakabadhi ghalani, bei ya

korosho ilipanda kutoka wastani wa shilingi 1,800 msimu wa mwaka 2015/16,

hadi kufikia shilingi 4,000 kwa kilo msimu wa mwaka 2016/17. Mfumo huo

umesaidia kupanda kwa bei ya korosho katika mikoa ya Lindi, Mtwara na

Pwani. Kwa upande mwingine, uzalishaji wa maziwa katika vyama vya ushirika

wa wafugaji ulipungua kutoka lita milioni 12.2 mwaka 2015 hadi lita milioni

11.9 mwaka 2016, sawa upungufu wa asilimia 2.1 uliotokana na uhaba wa

malisho. Hata hivyo, bei ya maziwa iliendelea kuwa ya wastani wa shilingi

1,000 kwa lita

MIFUGO

Uzalishaji wa Mifugo na Mazao yake

263. Mwaka 2016, idadi ya mifugo ilifikia ng’ombe milioni 25.8, mbuzi

milioni 17.1 na kondoo milioni 9.2 ikilinganishwa na ng’ombe milioni 22.8,

mbuzi milioni 15.6 na kondoo milioni 7.0 mwaka 2015. Aidha, mwaka 2016

kulikuwa na kuku wa asili milioni 42.0 na wa kisasa milioni 34.5 na nguruwe

Page 180: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

160

milioni 2.67 ikilinganishwa na kuku wa asili milioni 37.4 na nguruwe milioni

2.01 mwaka 2015.

264. Mwaka 2016, uzalishaji wa nyama uliongezeka kutoka tani 597,757

mwaka 2015 hadi tani 648,810, sawa na ongezeko la asilimia 8.5. Kati ya hizo,

uzalishaji wa nyama ya ng’ombe ulikuwa tani 323,775, mbuzi na kondoo tani

129,292, kuku tani 104,292 na nguruwe tani 91,451, ikilinganishwa na ng’ombe

tani 319,112; mbuzi/kondoo tani 124,745; kuku tani 99,540 na nguruwe tani

54,360 mwaka 2015. Ongezeko hilo limetokana na kuongezeka kwa mahitaji ya

nyama katika soko maalum la ndani hususan migodi, maduka makubwa na

hoteli za kitalii. Kwa upande wa mauzo ya nyama nje, jumla ya tani 23.4 za

nyama ya ng’ombe; tani 1,388.9 za nyama ya mbuzi na tani 36.7 za nyama ya

kondoo zenye thamani ya shilingi bilioni 52.1 ziliuzwa katika nchi za Msumbiji,

Vietnam, Oman, Qatar na Falme za Kiarabu. Aidha, jumla ya tani 735 za nyama

ya ng’ombe, tani 804 za nyama ya nguruwe na tani 16.5 za nyama ya kondoo

ziliingizwa nchini.

265. Uzalishaji wa maziwa nchini uliongezeka kwa asilimia 3.4 kutoka lita

bilioni 2.058 mwaka 2015 hadi lita bilioni 2.127 mwaka 2016. Ongezeko hilo

lilitokana na kuongezeka kwa ukusanyaji wa maziwa kutoka kwenye kundi la

ng’ombe wa asili. Kati ya kiasi kilichozalishwa, lita milioni 704 zilitokana na

ng’ombe wa kisasa na lita milioni 1,423.3 kwa ng’ombe wa asili. Usindikaji wa

maziwa kwa siku uliongezeka kwa asilimia 19.9. kutoka lita 139,800 kwa siku

mwaka 2015 na kufikia lita 167,620 kwa siku mwaka 2016. Ongezeko hili

limetokana na kuongezeka kwa idadi ya viwanda vya kusindika maziwa kutoka

74 mwaka 2015 na kufikia 82 mwaka 2016. Pamoja na kuongezeka kwa

usindikaji, viwanda vilivyoko bado havijaweza kutumika kikamilifu kwani kiasi

kilichosindikwa ni asilimia 26.2 tu ya uwezo wa viwanda hivyo ambavyo kwa

pamoja vina uwezo wa kusindika lita 640,800 kwa siku.

Page 181: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

161

Jedwali Na. 11.5: Uzalishaji wa Mazao yatokanayo na Mifugo

Chanzo: Wizara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi

266. Mwaka 2016, uzalishaji wa mayai uliongezeka hadi mayai bilioni 4.35

kutoka mayai bilioni 4.15 mwaka 2015, sawa na ongezeko la asilimia 4.8.

Ongezeko hilo limetokana na kuongezeka kwa mahitaji ya ulaji wa mayai.

Aidha, uzalishaji wa vifaranga wa mayai na wa nyama uliongezeka kutoka

vifaranga milioni 63.6 vilivyozalishwa mwaka 2015 na kufikia vifaranga milioni

68.28 mwaka 2016.

267. Kiwango cha ulaji wa mazao ya mifugo kulingana na viwango vya

Shirika la Chakula na Kilimo la Umoja wa Mataifa (FAO, 2011) ni kilo 50 za

nyama, lita 200 za maziwa na mayai 300 kwa mtu mmoja kwa mwaka. Kwa

upande wa Tanzania, viwango vya ulaji wa mazao hayo haujafikia hata nusu ya

viwango hivyo vilivyopendekezwa, vikiwa na wastani wa kilo 15 za nyama, lita

47 za maziwa na mayai 106 kwa mtu kwa mwaka.

UUzzaalliisshhaajjii nnaa UUssiinnddiikkaajjii wwaa MMaalliisshhoo yyaa MMiiffuuggoo

268. Mwaka 2016, tani 49.96 za mbegu bora za aina mbalimbali za malisho

zilizalishwa ikilinganishwa na tani 48.5 za mbegu zilizozalishwa mwaka 2015.

Aidha, jumla ya marobota 1,140,266 ya majani ya hei yalizalishwa mwaka 2016

ikilinganishwa na marobota 1,098,311 yaliyozalishwa mwaka 2015. Kati ya

kiasi hicho, marobota 456,016 yalizalishwa katika mashamba ya Serikali na

Aina ya Zao 2010 2011 2013 2014 2015 2016

Ng’ombe wa Asili 997,261 1,135,422 1,297,775 1,339,613 1,381,451 1,423,288

Ng’ombe wa Kisasa 652,596 608,800 623,865 650,570 677,275 703,979

Jumla 1,649,857 1,744,222 1,921,640 1,990,183 2,058,726 2,127,267

Ng’ombe 243,943 262,606 299,581 309,086 319,112 323,775

Mbuzi/Kondoo 86,634 103,709 115,652 120,199 124,745 129,292

Nguruwe 38,180 43,647 50,814 74,174 54,360 91,451

Kuku 80,916 93,534 87,408 95,292 99,540 104,292

Jumla 449,673 503,496 553,455 598,751 597,757 648,810

Mayai 2,917,875 3,339,566 3,725,200 3,899,569 4,153,800 4,353,182

2012

Uzalishaji wa Maziwa (‘000’ lita)

Uzalishaji wa Nyama (Tani)

597,161

1,255,938

1,853,099

289,835

111,106

47,246

84,524

532,711

Uzalishji wa Mayai (‘000’)

3,494,584

Page 182: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

162

marobota 684,250 yalizalishwa katika mashamba ya sekta binafsi na kuuzwa

kwa wafugaji wadogo. Kuongezeka kwa uzalishaji kulitokana na uboreshaji wa

miundombinu ya mashamba ya Serikali na kuhamasisha sekta binafsi kuwekeza

katika uzalishaji wa malisho na mbegu bora za malisho kama shughuli za

kibiashara.

269. Mwaka 2016, Serikali iliendelea kuratibu usindikaji na kusimamia ubora

wa vyakula vya mifugo vinavyozalishwa na sekta binafsi ambayo imezalisha

jumla ya tani 1,903 za vyakula vya mifugo ikilinganishwa na tani 1,200

zilizozalishwa mwaka 2015. Ongezeko hili la usindikaji wa vyakula limetokana

na kuongezeka kwa viwanda vya usindikaji kutoka viwanda 65 mwaka 2015

hadi viwanda 80 mwaka 2016, sambamba na mahitaji ya vyakula vya mifugo.

Aidha, jumla ya ng’ombe 213,000 walinenepeshwa mwaka 2016 ikilinganishwa

na ng’ombe 175,000 mwaka 2015.

BBiiaasshhaarraa yyaa MMiiffuuggoo nnaa MMaazzaaoo YYaakkee

270. Mwaka 2016, Serikali iliendelea kuratibu biashara ya mifugo na mazao

yake ndani na nje ya nchi. Katika kipindi hicho, jumla ya ng’ombe hai

1,337,095; mbuzi 1,056,218 na kondoo 230,221 wenye thamani ya shilingi

bilioni 1,027.4 waliuzwa katika minada ya ndani ikilinganishwa na ng’ombe hai

1,215,541, mbuzi 960,199 na kondoo 209,292 wenye thamani ya shilingi bilioni

989.3 waliouzwa mwaka 2015. Aidha, idadi ya mifugo hai iliyouzwa nje ya nchi

iliongezeka kutoka ng’ombe 1,123 mwaka 2015, hadi ng’ombe 2,139 wenye

thamani ya shilingi bilioni 34 mwaka 2016. Ongezeko la biashara ya mifugo hai

ndani na nje ya nchi lilitokana na kuboreshwa kwa miundombinu ya masoko

ikiwemo kukarabati na kusimika mizani katika minada, hususan katika minada

ya upili na ya mipakani.

271. Mwaka 2016, ngozi za ng’ombe zilizosindikwa ziliongezeka kufikia

vipande 1,575,139 kutoka vipande 1,388,139 mwaka 2015 na vipande vya

ngozi ya mbuzi na kondoo viliongezeka kutoka vipande 1,020,000 mwaka 2015

hadi kufikia vipande 1,124,000 mwaka 2016. Thamani ya vipande vyote (vya

ng’ombe, mbuzi na kondoo) kwa mwaka 2016 ilikuwa shilingi bilioni 52.5.

Ongezeko hili lilitokana na ukuaji wa usindikaji katika kiwanda cha SAK

International Ltd – Arusha na kuanza usindikaji katika viwanda vipya vya ngozi

vya Meru Tannery-Arusha na Xing Hua Investment Tannery-Shinyanga.

Page 183: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

163

Jedwali Na. 11.6: Ukusanyaji na Uuzaji wa Ngozi Ndani na Nje ya Nchi

Chanzo: Wizara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi

Ngozi za

Ng’ombe

2002 1,400,000 1,050,000 4,500,000

2003 1,400,000 1,260,000 5,500,000

2004 1,600,000 1,850,000 6,500,000

2005 1,600,000 2,250,160 5,500,000

2006 1,660,000 2,350,000 6,800,000

2007 1,980,000 2,720,000 8,700,000

2008 2,500,000 3,400,000 13,500,000

2009 1,650,000 4,240,000 10,900,000

2010 1,500,000 3,050,000 8,500,000

2011 2,500,000 2,600,000 16,100,000

2012 2,800,000 4,050,000 32,988,000

2013 2,900,000 4,300,000 34,673,500

2014 3,100,000 3,350,000 32,000,000

2015 4,050,000 4,640,000 85,165,000

2016 4,620,000 4,220,000 22,962,000

2002 1,200,000 676,700 4,000,000

2003 1,300,000 900,000 4,600,000

2004 1,774,000 1,919,000 5,712,000

2005 1,400,000 1,797,155 4,025,400

2006 1,363,721 2,078,510 7,500,000

2007 1,700,000 1,980,530 16,200,000

2008 2,300,000 2,700,000 21,500,000

2009 982,668 3,469,936 12,800,000

2010 739,315 2,088,582 8,191,803

2011 1,719,506 1,561,000 17,400,000

2012 2,000,000 3,600,000 17,500,000

2013 1,269,060 2,582,525 63,600,000

2014 1,263,472 2,716,436 76,300,000

2015 1,388,139 1,020,000 39,200,000

2016 1,575,139 1,124,000 52,500,000

A. UKUSANYAJI WA NGOZI

Mwaka Ngozi za Mbuzi/Kondoo Thamani Shilingi.‘000’

B. UUZAJI NGOZI NJE

MwakaNgozi za

Ng’ombeNgozi za Mbuzi/Kondoo Thamani Sh.‘000

Page 184: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

164

Jedwali Na. 11.7: Mwenendo wa Mauzo ya Ngozi Nje 2007 – 2016

Mwaka

Ngozi ghafi Ngozi zilizoongezwa

thamani Jumla ya

Thamani

(Shilingi

milioni)

Ngozi

zilizoongezw

a thamani

(%)

Kiasi

kg

(‘000’)

Thamani

(Shilingi

Milioni.)

Kiasi

kg (‘000’.)

Thamani

(Shilingi

Milioni.)

2007 10,569 8,571 5,566 16,036 24,607 65.2

2008 5,482 5,107 6,749 12,093 17,200 70.3

2009 1,666 1,433 5,026 6,797 8,230 82.6

2010 3,241 2,438 7,217 8,672 11,110 78.1

2011 8,141 6,831 7,904 17,005 23,836 71.3

2012 2,887 3, 445 5,011 17,375 20,820 83.5

2013 2 3 7,061 22,686 22,689 99.9

2014 1,559 2,231 11,186 33,372 35,603 93.7

2015 372 1,185 6,594 20,878 22,063 94.6

2016 1,758 2,397 2,592 5,097 7,494 68.0

Chanzo: Mamlaka ya Mapato Tanzania, 2016

Maendeleo ya Ushirika

272. Mwaka 2016, Serikali ilieendelea kuimarisha ushirika katika sekta

mbalimbali zikiwemo kilimo, ufugaji, uvuvi, madini, viwanda, nyumba na

ushirika wa kifedha yaani ushirika wa akiba na mikopo (SACCOS) na benki za

ushirika. Aidha, ushirika wa akiba na mikopo uliendelea kutoa huduma za

kifedha ambapo thamani ya hisa, akiba na amana ziliongezeka hadi shilingi

bilioni 378.34 kutoka shilingi bilioni 377.67 mwaka 2015, sawa na ongezeko la

asilimia 0.18. Vile vile, thamani ya mikopo iliyotolewa kwa wanachama kwa

mwaka 2016 iliongezeka kidogo kufika shilingi bilioni 854.40 kutoka shilingi

bilioni 854.34 mwaka 2015.

273. Mwaka 2016, idadi ya wanachama iliongezeka kufikia 2,234,016 kutoka

1,432,978 mwaka 2015, sawa na ongezeko la asilimia 55.9. Aidha, jumla vyama

vya ushirika 161 vilianzishwa ambavyo vinajumuisha vyama 125 vya ushirika

wa akiba na mikopo, 29 vyama vya ushirika wa mazao (AMCOS) na 7 vya

ushirika wa aina nyingine na kufanya jumla ya vyama vya ushirika kufikia

10,522 mwaka 2016. Huduma za fedha kupitia benki za ushirika ambapo

mikopo hutolewa kwa wanachama na wananchi ilikuwa shilingi bilioni 6.3

Page 185: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

165

mwaka 2016 ikilinganishwa na shilingi bilioni 6.4 mwaka 2015. Mikopo hiyo

ilitumika kuendeleza uwekezaji hususan katika sekta ya kilimo, uvuvi, ufugaji,

biashara pamoja na shughuli za maendeleo ya kijamii.

274. Mwaka 2016, vyama vya ushirika wa mazao viliendelea kutoa huduma

za ugani, usambazaji wa pembejeo, ukusanyaji na uuzaji wa mazao ya

wakulima. Aidha, uzalishaji wa maziwa katika vyama vya ushirika wa wafugaji

ulipungua kutoka lita milioni 12.15 mwaka 2015 hadi lita milioni 11.89, sawa na

upungufu wa asilimia 2.1. Aidha, katika kipindi hicho, bei ya maziwa iliendelea

kuwa ya wastani wa shilingi 1,000 kwa lita moja ya maziwa.

275. Mwaka 2016, wananchi kupitia vyama vya ushirika waliendelea

kuhamasishwa kujiunga na Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF)

kupitia “Wakulima Scheme’’. Jumla ya wanachama 90,047 walijiunga na

mfuko wa NSSF kutoka wanachama 78,747 mwaka 2015.

Page 186: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

166

Jedwali Na. 35

Msimu1

iliyotumika3

Umma Binafsi Jumla Bei2

Iliyozalishwa Jumla Kilo kwa

(000 Tani) (000 Tani) (000 Tani) (Sh./Tani) Tani Tani kila mtu4

1990/91 1068 116 1184 2525.90 118560 212585 5.93

1991/92 967 114 1081 3476.85 108480 202478 6.07

1992/93 1098 273 1371 5267.67 121414 204126 6.11

1993/94 1105 362 1467 6200.00 123949 139829 5.38

1994/95 914 370 1284 8600.00 104624 238424 5.38

1995/96 997 372 1369 8900.00 116810 268910 ..

1996/97 951 347 1298 9500.00 116100 275700 5.54

1997/98 808 176 984 10500.00 116100 271790 5.70

1998/99 948 320 1268 12500.00 113622 101272 5.87

1999/00 907 341 1248 12500.00 116927 100127 6.70

2000/01 1050 284 1334 14000.00 135534 122534 10.00

2001/02 1134 389 1523 14700.00 164498 142398 10.10

2002/03 1402 411 1813 15000.00 190120 167300 10.42

2003/04 1672 670 2342 16800.00 223839 290711 10.90

2004/05 1594 752 2346 20568.00 229617 328005 10.90

2005/06 1545 956 2501 22383.00 263317 343292 12.00

2006/07 1430 611 2041 29000.00 192095 366708 12.00

2007/08 1967 799 2766 32767.00 265434 382518 13.00

2008/09 2056 693 2749 32770.51 279850 396113 13.40

2009/10 1972 598 2570 42046.00 263461 398070 13.68

2010/11 2357 661 3018 43865.00 304135 410259 12.00

2011/12 2036 680 2716 48833.00 262879 439307 12.00

2012/13 2242 711 2953 52167.00 296698 468000 12.00

2013/14 2198 602 2800 50500.00 294300 434782 12.00

2014/15 2466 697 3163 51333.33 304007 511680 12.00

2015/16 2270 569 2839 59706.67 293075 525784 12.00

Badiliko (%)

2014/15-2015/16 -0.08 -0.18 -0.10 0.16 -0.04 0.03 0.00

Ongezeko (%)

1990/91-2015/16 1.1 3.9 1.4 22.6 1.5 1.5 1.0

Chanzo: Bodi ya Sukari Tanzania

1 Msimu ni Kati ya Julai na Juni

2 Bei ya Mimea ni ile iliyo na asilimia 10 za Sucrose

3 Ni pamoja na Sukari iliyopelekwa Zanzibar

4 Ni kwa Tanzania bara

* Sukari yote huzalishwa na wakulima/mashirika binafsi

Miwa Sukari

Wakulima

UZALISHAJI WA MIWA NA SUKARI NCHINI

Page 187: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

167

Jedwali Na. 36

Pamba yenye mbegu Pamba iliyoondolewa mbegu

Msimu 1

Mauzo nchini

Uzalishaji Bei ya wastani Kiasi (tani) Kiasi (tani) Bei ya wastani

Kiasi (tani) (Shs/Kilo) (Shs/tani)

AR BR Jumla AR BR AR BR Jumla Jumla 2

AR BR1976/77 176894 17800 194694 2.00 1.00 61549 6074 67623 8146 9487 7230

1990/91 148124 1017 149141 41.00 14.00 48880 341 49221 300000 300000 240000

1991/92 26841 32 26873 70.00 28.00 90706 11 90717 14301 325000 255000

1992/93 281984 22000 303984 60.00 28.00 85784 .. 85784 4405 542916 ..

1993/94 125434 0 125434 120.00 .. 42695 .. 42695 .. .. ..

1994/95 125434 0 125434 120.00 .. 42695 .. 42695 .. .. ..

1995/96 221148 0 221148 207.00 .. 84782 .. 84782 .. .. ..

1996/97 251751 74 251825 170.00 .. 85162 25 85187 .. .. ..

1997/98 202217 0 202217 180.00 .. 67780 .. 67780 .. .. ..

1998/99 105853 0 105853 185.00 .. 35480 .. 35480 .. .. ..

1999/00 100500 0 100500 123.00 .. 33686 .. 33686 .. .. ..

2000/01 123558 0 123558 180.00 .. 41415 .. 41415 .. .. ..

2001/02 148180 0 148180 165.00 .. 49668 .. 49415 .. .. ..

2002/03 187908 781 188689 180.00 50 62983 262 63245 .. .. ..

2003/04 139756 213 139969 280.00 100 46843 72 46915 .. .. ..

2004/05 341589 0 341589 250.00 0 114496 .. 114496 .. .. ..

2005/06 376591 0 376591 220.00 0 126228 .. 126228 .. .. ..

2006/07 130585 0 130585 350.00 0 43770 .. 43770 .. .. ..

2007/08 200662 0 200662 450.00 70773 - 70773 37488 .. ..

2008/09 368697 0 368697 480.00 0 123582 0 123582 66554 .. ..

2009/10 267644 0 267644 480.00 0 54851 0 54851 .. .. ..

2010/11 163518 0 163518 900.00 0 54809 0 54809 .. .. ..

2011/12 225938 0 225938 1000.00 .. 75731 .. 75731 .. .. ..

2012/13 351156 0 351156 660.00 .. 117702 .. 117702 .. .. ..

2013/14 245815 0 245815 700.00 0 82394 0 82394 .. .. ..

2014/15 202312 0 202312 750.00 0 67812 0 67812

2015/16 149765 0 149765 800.00 0 50199 0 50199 .. .. ..

Badiliko (%)

2014/15-2015/16-0.26 -0.26 0.07 -0.26 -0.26

.. .. ..Ongezeko (%)

1990/91-2015/16 0.01 0.00 18.51 0.03 0.02.. .. ..

Chanzo: Bodi ya Mauzo ya Pamba 1

Msimu ni kati ya Juni na Mei 2

Ni jumla ya AR na BR

.. Takwimu hazikupatikana

PAMBA ILIYONUNULIWA NA MAUZO NCHINI

Page 188: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

168

Jedwali Na. 37

Eneo lililopandwa Majani Mabichi yaliyopatikana (tani) Bei kwa Mauzo2

Msimu 1

(hekta): mashamba Kiumilikaji: mashamba Kikanda: mashamba mkulima Nchini

Makubwa Madogo Jumla Makubwa Madogo Jumla Kaskazini Kusini Jumla (Shs/Kilo) (tani)

1990/91 9699 9177 18876 70442 22434 92876 23531 69345 92876 17.00 3491

1991/92 9699 9177 18876 62994 20229 83223 19296 63927 83223 28.00 2750

1992/93 9699 9197 18896 80896 19934 100830 32218 68412 100630 45.00 3278

1993/94 10029 9197 19226 81159 21231 102390 32148 70242 102390 45.00 11124

1994/95 10149 9197 19346 93608 22641 116249 36825 79424 116249 50.00 ..

1995/96 10652 9332 19984 79968 13803 93771 25935 67836 93771 55.00 2350

1996/97 11113 9451 20564 83126 7803 90929 21992 68937 93771 55.00 ..

1997/98 11416 9451 20867 113448 7100 120548 30137 90411 120548 55.00 ..

1998/99 11416 9451 20867 98800 7000 105800 26450 79350 150800 55.00 ..

1999/00 .. .. .. 99848 6092 105940 24439 81502 105941 55.00 ..

2000/01 10811 10364 21175 109007 9728 118735 29419 89316 118735 65.00 2386

2001/02 10811 10364 21175 97297 13999 111296 22794 88502 111296 80.00 2683

2002/03 11097 9762 20889 100677 31718 132395 28679 103716 132395 85.00 3158

2003/04 11485 10801 22286 95986 31993 127979 26384 101595 127979 86.00 3225

2004/05 11271 11442 22713 94172 39246 133418 20649 112769 133418 86.00 4004

2005/06 11310 10977 22287 91337 31881 123218 29046 94172 123218 93.00 3881

2006/07 11271 11956 23227 109632 49024 158656 39673 118983 158656 100.00 4737

2007/08 11272 11449 22722 97310 51160 148470 33456 115015 148471 111.00 4253

2008/09 11271 11449 22722 100644 41167 141811 31677 110134 141811 118.00 4464

2009/10 11272 11449 22722 106021 44716 150737 33309 117428 150737 124.00 5084

2010/11 11272 11449 22722 95511 47616 143127 112368 30759 143127 152.00 6065

2011/12 11272 11449 22722 88582 52359 140941 27009 113932 140941 200.00 4839

2012/13 11272 11449 22722 113628 54872 168500 30997 137503 168500 206.00 5498

2013/14 11272 11449 22722 101489 47001 148490 27935 120555 148490 225.00 5672

2014/15 11272 11449 22722 100018 52467 152485 23283 129202 152485 176.00 6302

2015/16 11272 11449 22722 96759 44605 141364 25413 115915 141328 230.00 10257

Badiliko (%)

2014/15-2015/16 0.0 0.0 0.0 0.0 -0.1 -0.1 0.1 -0.1 -0.1 0.3 0.6

Ongezeko (%)

1990/91-2015/16 0.2 0.2 0.2 0.4 1.0 0.5 0.1 0.7 0.5 12.5 1.9

Chanzo: Bodi ya Chai Tanzania

1 Msimu ni kati ya Julai na Juni

2 Chai iliyotengenezwa

.. Takwimu hazikupatikana

ENEO LILILOPANDWA MICHAI NA MAJANI MABICHI YALIYOPATIKANA

Page 189: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

169

Jedwali Na. 38

Iliyonunuliwa (Tani) Bei (Sh./kilo) Mauzo nchini+

Msimu1

ARABICA ROBUSTA JUMLA ARABICA ROBUSTA KIASI THAMANI

Laini Ngumu Laini Ngumu Maganda (Tani) (shs'000)

1990/91 31304 1416 11403 44123 165.00 66.50 60.50 783 151088

1991/92 37065 1926 8996 47987 230.00 100.00 70.00 1140 2558.76

1992/93 36901 2128 12217 51246 316.00 123.00 100.00 765 128200

1993/94 26361 2448 7577 36386 923.00 904.00 700.30 .. ..

1994/95 27137 1542 7157 35836 1965.00 1481.10 1453.60 .. ..

1995/96 35142 2096 9710 46948 1229.30 1301.60 1169.00 .. ..

1996/97 32933 1279 9279 43491 .. .. .. .. ..

1997/98 19789 1894 9165 30848 .. .. .. .. ..

1998/99 23605 2590 13523 39718 1936.00 1064.00 1040.00 .. ..

1999/00 18171 3593 1078 32842 1486.60 1894.80 476.47 .. ..

2000/01 37176 3805 17007 57988 .. .. .. .. ..

2001/02 38000 3500 12000 53500 .. .. .. .. ..

2002/03 37294 4766 34368 76428 .. .. .. .. ..

2003/04 20716 1850 16138 38704 1800.00 1200.00 600.00 38704 46670

2004/05 23870 888 9133 33891 2593.50 1976.00 1235.00 33891 62566

2005/06 24116 1362 8856 34334 1200.00 420.00 270.00 33300 79304246

2006/07 33345 2417 19076 54838 2840.00 1796.00 1616.00 548 1298675

2007/08 26330 1588 15606 43524 2995.00 1875.00 1734.00 43523 89,099

2008/09 37207 1727 29643 68577 2887.00 2172.00 1836.00 68577 165615552

2009/10 22217 915 11467 34599 3988.00 2475.00 1563.00 34599 108741091

2010/11 30309 2013 24348 56670 4500.00 1300.00 1200.00 56670 264143599

2011/12 20775 941 11590 33306 8144.37 5436.40 3276.93 33306 212,292,594

2012/13 33204 1655 36150 71009 4850.00 3600.00 3200.00 71009 281781798

2013/14 28212 1115 18875 48202 4314.00 3272.94 3074.58 48202 183708869.2

2014/15 26335 810 18788 45933 5848.00 4515.00 3848.50 .. ..

2015/16 21517 460 17526 39503 7249.64 5943.40 4092.89 39503 105760778

Badiliko (%)

2014/15-2015/16 -0.18 -0.43 -0.07 -0.14 0.24 0.32 0.06

Ongezeko (%)

1990/91-2015/16 -0.3 -0.7 0.5 -0.1 42.9 88.4 66.7 49.5 699.0

Chanzo: Bodi ya Kahawa Tanzania

+ Kahawa iliyosafishwa

1 Msimu ni kati ya Julai na Juni

2 Ni ya muda

.. Takwimu hazikupatikana

KAHAWA ILIYONUNULIWA NA MAUZO NCHINI

Page 190: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

170

Jedwali Na. 39

Eneo (Hekta) Katani iliyopatikana Mauzo nchini+

Kiasi Bei kwa Kiasi Thamani

Msimu1

Uliokomaa Usiokomaa Jumla (tani) Mkulima (tani) (Sh. milioni)

(shs/tani)

1990/91 49374 36240 85614 36001 89633 10398 932.0

1991/92 49374 36240 85614 24309 89203 17644 1582.2

1992/93 49374 36240 85614 21221 107079 18067 1517.6

1993/94 54485 24608 79093 29002 163540 17694 4031.0

1994/95 52953 25757 78710 24716 216026 18206 2629.0

1995/96 52018 27153 79171 28902 370807 18719 2549.0

1996/97 50459 28507 78966 25022 .. 18606 3374.0

1997/98 48745 29997 78742 22180 .. 18819 ..

1998/99 151869 33997 185866 23229 .. 6712 2146.0

1999/00 34645 7942 42587 41084 .. 16033 5617.8

2000/01 34645 11473 46118 23542 368077 7569 2786.0

2001/02 34645 11473 46118 23641 337732 4947 1671.0

2002/03 39462 10611 50073 23280 450000 6300 2835.0

2003/04 29493 12204 41697 26758 540000 6370 4027.0

2004/05 45079 14500 59579 27794 617342 8213 5070.0

2005/06 26384 13264 39648 30934 810000 10767 8613.0

2006/07 28273 13608 41882 33327 975000 11010 10152.0

2007/08 28577 15622 44199 34057 1000000 16997 15800.0

2008/09 35751 18023 53774 25996 1000000 11496 10100.0

2009/10 30556 11849 42405 24092 1200000 12761 10375.0

2010/11 31117 12169 43286 25090 1300000 11617 13154.0

2011/12 32601 14302 46902 36600 1500000 11511 14390.0

2012/13 33649 11994 45643 34874 1600000 11466 16823.0

2013/14 35266 11044 46310 37805 1724864 9160 15.8

2014/15 35946 12494 48440 38872 2071446 8972 17513.0

2015/16 34723 13231 47954 41795 2700000 9075 20342.0

Badiliko (%)

2014/15-2015/16 0.0 0.1 0.0 0.1 0.3 0.0 0.2

Ongezeko (%)

1990/91- 2015/16 -0.30 -0.63 -0.44 0.16 29.12 -0.13 20.83

Chanzo: Bodi ya Katani

+ Katani aina ya Line fibre, Tow na Flume Tow

1 Msimu ni kati ya Julai na Juni

.. Takwimu hazikupatikana

ENEO LILILOPANDWA MKONGE NA KATANI ILIYOPATIKANA

Page 191: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

171

Jedwali Na. 40

Iliyonunuliwa (tani) Bei (shs/kg) Mauzo Nchini+

Msimu1

Mvuke Moshi Hewa Jumla Mvuke Moshi Hewa Kiasi (tani) Thamani (shs.mil.)

Mvuke Moshi Mvuke Moshi1977/78 14451 2653 33 17137 7.40 5.20 4.80 3694 433 56.10 6.10

1990/91 10718 5733 8 16459 117.00 91.00 61.00 3845 531 4319.40 301.30

1991/92 18754 4566 2 23322 264.61 157.65 106.54 5364 172 7457.90 114.40

1992/93 18756 4566 2 23324 313.95 221.28 234.20 5372 209 7463.40 255.00

1993/94 21838 3953 6 25797 343.97 253.00 286.00 3164 285 4540.60 1120.00

1994/95 18269 4362 19 22650 564.58 353.30 373.22 18260 4360 10309.00 1984.00

1995/96 23415 5183 - 28598 561.00 455.00 - 1319 183 1785.00 1331.00

1996/97 27101 8279 - 35380 632.00 551.00 - 2914 86 1236.00 1332.00

1997/98 42041 9054 - 51095 714.00 477.00 - 2647 117 1890.00 1320.00

1998/99 32041 5482 - 37957 530.00 454.00 - 979 69 2077.00 2435.00

1999/00 18232 6202 - 24434 603.00 566.00 - - - - -

2000/01 18231 6578 - 24809 543.00 556.00 - 2176 3392 5669.00 -

2001/02 25905 1799 - 27704 519.00 428.00 - 1595 348 4996.00 -

2002/03 23074 4798 - 27872 563.00 547.00 - 2325 45 5940.00 -

2003/04 30124 3422 - 43547 725.00 680.00 - 2245 136 6862.00 -

2004/05 41394 5983 74 47451 918.11 781.93 729.23 3144 252 6881.00 427.00

2005/06 50494 5228 741 56464 983.00 735.00 635.00 3486 168 9335.00 392.00

2006/07 49576 1038 170 50784 1264.00 881.00 960.00 3685 0 14302.00 0.00

2007/08 52597 2474 286 55357 1144.00 849.00 957.00 4057 231 15392.26 800.87

2008/09 56663 3641 437 60741 2741.47 1658.85 1698.48 5544 0 26167.09 0.00

2009/10 88808 4901 497 94202 2946.00 1691.00 1773.00 2210 148 9699.00 590.00

2010/11 116886 3685 0 120572 1960.00 1540.00 0 1877 0 11815.00 0.00

2011/12 71667 2562 0 74239 2784.60 2369.97 0 3862 0 23890.95 0.00

2012/13 84131 2212 0 86343 3840.00 2720.00 - 63967 505 512764.00 2297.00

2013/14 105001 802 0 105803 3686.00 2182.00 - 43910 1,252 363733.00 5347.00

2014/15 87231 50 0 87281 3822 2331.00 - 3081 0 12280.00 0.00

2015/16 60691 0 0 60691 4633 0.00 4790 267 45143.06 1584.55

Badiliko (%)

2014/15 - 2015/16 -0.42 -1.00 -0.43 0.26 -1.00 -0.89 -0.79 -0.88 -0.70

Ongezeko (%)

1990/91-2015/16 4.66 -1.00 -1.00 2.69 38.60 -1.00 -1.00 0.25 -0.50 9.45 4.26

Chanzo: Bodi ya Tumbaku Tanzania

+ Mauzo ya Tumbaku Moshi ni pamoja na Tumbaku Hewa

1 Msimu ni kati ya April na Machi

- Takwimu hazikupatikana

TUMBAKU ILIYONUNULIWA NA MAUZO NCHINI

Page 192: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

172

Jedwali Na. 41

Maua yaliyonunuliwa (tani) Mauzo Nchini: Kiasi (tani) Mauzo Nchini: Thamani (Sh.'000)

Msimu 1

Kaskazini Kusini Jumla Bei2

Utomvu Poda Dawa Utomvu Poda Dawa

(Sh./kg) (Crude Extract) (Dry Mack) (Crude Extract) (Dry Mack)

1990/91 16 1656 1672 120.00 0.8 59.0 253.0 11654.00 26120.00 2315.00

1991/92 43 2425 2468 230.00 0.3 38.0 59.0 18390.00 19040.00 672.00

1992/93 60 2034 2094 230.00 1.0 70.0 - 26500.00 39900.00 -

1993/94 10 450 460 250.00 0.0 40.0 - 17500.00 22800.00 -

1994/95 10 450 480 250.00 0.0 28.4 - 2112.00 16160.00 -

1995/96 6 430 438 300.00 0.0 - - - - -

1996/97 6 262 262 300.00 0.0 - - - - -

1997/98 6 430 430 300.00 5.0 - - - - -

1998/99 - 500 500 320.00 8.0 - - - - -

1999/00 - 571 571 320.00 - - - - - -

2000/01 3 1463 1466 400.00 - - - - - -

2001/02 36 1699 1735 420.00 - - - - - -

2002/03* 111 979 1090 380.00 2 90 - 106920.00 99891.00 -

2003/04 85 751 842 360.00 - - - - - -

2004/05 90 910 1000 360.00 - - - - - -

2005/06 - 2800 2800 360.00 - - - - - -

2006/07 - 1600 1600 700.00 - - - - - -

2007/08 - 1470 1470 1050.00 - - - - - -

2008/09 - 1600 1600 1500.00 36.4 105.0 624.0 0.00 0.00 0.00

2009/10 - 1780 1780 1500.00 57.0 69.0 1035.0 37361.00 1473.00 248.00

2010/11 - 1787 1787 1500.00 57.2 69.3 69.3 37503.70 1478.60 246.90

2011/12 0 5700 5700 1700.00 82.0 0.0 750.0 0.00 204.00 360.92

2012/13 0 6100 6100 2400.00 84.0 0.0 2000.0 0.00 0.00 462.00

2013/14 34 2692 2726 2000.00 90.0 60.0 830.0 6900.00 160500.00 233.00

2014/15 31 2255 2286 2500.00 76.00 30.00 430.00 133.63 116048.05 235.61

2015/16 22 19886 2011 2700.00 56.20 12.00 528.00 10233.30 28022.38 299.62

Badiliko (%)

2014/15-2015/16 -0.3 7.8 -0.1 0.1 -0.3 -0.6 0.2 75.6 -0.8 0.3

Ongezeko (%)

90/91-2015/16 0.40 11.01 0.20 21.50 69.25 -0.80 1.09 -0.12 0.07 -0.87

Chanzo: Bodi ya Pareto Tanzania

1 Msimu ni kati ya Julai na Juni

2 Bei ni kwa maua ya daraja la tano

- Takwimu hazikupatikana

* Takwimu hizi hadi December 30 2002, Msimu bado unaendelea

MAUA YA PARETO YALIYONUNULIWA NA MAUZO YA BIDHAA ZA PARETO NCHINI

Page 193: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

173

Jedwali Na. 42

Zilizonunuliwa (Tani) Bei (shs/kilo) Mauzo Nchini

Msimu1

Gredi Gredi Gredi ya Gredi ya Kiasi Thamani

ya Juu ya Chini Jumla Juu Chini (Kg) (sh.'000)

1990/91 27426 1444 28870 110.00 73.00 161703 887750

1991/92 41238 6037 41238 137.00 89.00 151804 654517

1992/93 39323 6887 39323 160.00 100.00 - -

1993/94 46603 4789 46603 200.00 185.00 - -

1994/95 63403 - 63403 330.00 - - -

1995/96 81729 - 81729 380.00 - - -

1996/97 63033 - 63033 300.00 - - -

1997/98 99915 - 99915 330.00 - - -

1998/99 106442 - 106442 460.00 - - -

1999/00 121207 - 121207 600.00 - 5071 3043

2000/01 122283 - 122283 250.00 - 934 233

2001/02 64886 14394 79280 300.00 180.00 2928 878

2002/03 79300 15700 95000 360.00 290.00 5630 2122

2003/04 65000 15000 80000 462.00 370.00 6061 2521

2004/05 59425 11575 71000 750.00 600.00 7013 4734

2005/06 61976 15470 77446 600.00 480.00 10738 6354

2006/07 82154 8587 90741 600.00 480.00 22299 13001

2007/08 89639 8633 98273 610.00 488.00 98273 59336

2008/09 48633 - 48633 700.00 560.00 48633 34043

2009/10 118825 355 119180 1700.00 1200.00 119180 202429

2010/11 65892 - 65892 1865.00 - 65892 122889

2011/12 121946 - 121946 1572.00 - 84056 123856

2012/13 124723 201 124924 1563.00 850.00 124924 195051

2013/14 174695 - 174695 1440.00 - 174695 317944

2014/15 197638 2950 197933 1600.00 1100.00 197933 316220

2015/16 228237 3627 231864 3100.00 2442.50 231864 781140

Badiliko (%)

2014/15-2015/16 0.15 0.23 0.17 0.94 1.22 0.17 1.47

Ongezeko (%)

1990/91-2015/16 7.3 1.5 7.0 27.2 32.5 0.4 -0.1

Chanzo: Bodi ya Mauzo ya Korosho

1 Msimu ni kati ya Oktoba mpaka Septemba

- Takwimu hazikupatikana

KOROSHO ZILIZONUNULIWA NA MAUZO NCHINI

Page 194: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

174

Jedwali Na. 43 (Tani)

Mazao 2009/10 2010/11 2011/12 2012/13 2013/14 2014/15 2015/16

Badiliko %

2014/15 -

2015/16

Katani 24,092 25,090 36,600 34,874 37,805 38,872 41,795 7.5

Kahawa 34,599 56,670 33,306 71,009 48,202 45,933 39,503 -14.0

Pamba1

267,644 163,518 225,938 351,156 245,815 202,312 149,765 -26.0

Tumbaku 94,202 120,572 74,239 86,343 105,803 87,281 60,691 -30.5

Pareto 1,780 1,787 5,700 6,100 2,726 2,286 2,011 -12.0

Chai2

150,737 143,127 140,941 168,500 148,490 152,485 141,328 -7.3

Korosho 119,180 65,892 121,946 124,924 174,695 197,933 231,864 17.1

Miwa 2,570 3,018 2,716 2,953 2,800 3,163 2,839 -10.2

Chanzo: : Bodi zinazohusika

1 Yenye mbegu

2 Majani mabichi

MUHTASARI WA KIASI CHA MAZAO MUHIMU YA BIASHARA YALIYONUNULIWA

Page 195: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

175

SURA YA 12

MALIASILI NA UTALII

Kiwango cha ukuaji

276. Mwaka 2016, shughuli za kiuchumi za misitu na uwindaji zilikua kwa

asilimia 3.4 ikilinganishwa na asilimia 2.6 mwaka 2015. Ukuaji huu ulitokana

na kuongezeka kwa uvunaji wa mazao ya misitu na uwindaji wa kitalii. Aidha,

mchango wa sekta hii katika Pato la Taifa uliongezeka kutoka asilimia 3.5

mwaka 2015 hadi asilimia 3.9 mwaka 2016.

Misitu na Nyuki

277. Mwaka 2016, mapato yatokanayo na shughuli za misitu na nyuki

yaliongezeka hadi shilingi bilioni 95.9 kutoka shilingi bilioni 88.2 mwaka 2015,

sawa na ongezeko la asilimia 8.7. Mapato hayo yalitokana na ushuru wa

huduma za uuzaji wa mazao ya misitu nje ya nchi, mazao ya nyuki, usajili wa

wafanyabiashara wa mazao ya misitu na faini mbalimbali kwa waliokiuka

sheria, kanuni na taratibu katika kuvuna na kutumia rasilimali za misitu na

kufanya biashara za mazao ya misitu.

278. Mwaka 2016, takribani tani 34,000 za asali zilizalishwa. Kati ya kiasi

hicho, tani 259.86 zenye thamani ya shilingi 1,222,045,655 ziliuzwa nje ya nchi

ikilinganishwa na tani 152.60 zenye thamani ya shilingi 983, 848,159 zilizouzwa

mwaka 2015. Ongezeko hilo lilitokanana na kuongezeka kwa mahitaji ya asali

katika nchi za Arabuni ikiwemo soko la Dubai ambalo lina masharti nafuu ya

uagizaji asali ikilinganishwa na masoko ya nchi za Ulaya. Vile vile, tani 2,300

za nta zilizalishwa ambapo jumla ya tani 251.93 za nta zenye thamani ya shilingi

4,549,643,832 ziliuzwa nje ikilinganishwa na tani 220.22 zenye thamani ya

shilingi 3,238,346,723 zilizouzwa mwaka 2015. Sehemu kubwa ya asali na nta

iliyozalishwa nchini iliuzwa katika nchi za Ujerumani, Oman, China, Japan,

Yemen, India, Ubelgiji, Botswana, Kenya na Marekani.

Page 196: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

176

Jedwali Na 12.1: Mauzo ya Mazao ya Nyuki (Asali na Nta) Nje ya Nchi

Asali Nta

Mwaka Uzito

(Tani) Thamani (Tshs)

Uzito

(Tani) Thamani (Tshs)

2010 428.8 1,271,121,001 568.1 3,731,939,869

2011 343.0 2,181,319,119 534.0 3,898,239,826

2012 103.8 262,043,582 277.0 2,582,805,057

2013 83.0 287,368,000 384.0 4,659,954,408

2014 108.2 539,927,831 271.0 3,849,466,035

2015 152.6 983,848,159 220.2 3,238,346,723

2016 259.9 1,222,045,655 251.9 4,549,643,832

Chanzo: Wizara ya Maliasili na Utalii; Wakala wa Huduma za Misitu

279. Mwaka 2016, jumla ya miche ya miti 17,954,016 ilioteshwa

ikilinganishwa na miche 17,944,569 iliyooteshwa mwaka 2015. Miche hiyo

ilipandwa kwenye jumla ya hekta 1993.5 ambapo hekta 934.39 zilikuwa ni

maeneo mapya, hekta 578.9 maeneo yaliyovunwa na hekta 480.2 maeneo

ambayo miti haikuota.

280. Mwaka 2016, Serikali ilitengeneza barabara mpya za msituni zenye urefu

wa kilomita 99 na kusafisha barabara nyingine zenye urefu wa kilomita 985.

Aidha, jumla ya kilomita 93 za barabara mpya zilijengwa katika mashamba ya

miti na kukarabati kilomita 1,743 pamoja na kujenga madaraja 59. Jumla ya

hekta 237,069 za mashamba ya miti zililindwa kupitia doria, kilomita 4,522 za

mipaka zilipaliliwa, na maboya 217 yaliwekwa katika kilomita 587 za mipaka ya

mashamba. Vile vile, mafunzo kuhusu tahadhari ya moto wa msituni yalitolewa,

vikao 24 vilifanyika katika vijiji 42 vinavyozunguka mashamba 7 ya miti ikiwa

ni pamoja na Buhindi, Mbizi, Kawitire, Longuza, Rondo, North Ruvu na

Ukaguru.

281. Mwaka 2016, Serikali iliendelea kufanya doria ili kudhibiti uvunaji haramu

wa misitu ambapo jumla ya doria 34,563 zilifanyika nchi kavu, majini, hifadhi

za misitu, hifadhi za mazingira asilia na maeneo ya mikoko katika kanda saba za

Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania. Kanda hizo zinajumuisha: Kanda ya

Mashariki (Dar, Morogoro na Pwani), Kanda ya Kusini (Mtwara, Songea na

Lindi), Kanda ya Kati (Dodoma, Singida na Manyara), Kanda ya Nyanda za juu

kusini (Iringa Rukwa na Mbeya), Kanda ya Kaskazini (Kilimanjaro, Arusha na

Tanga), Kanda ya Ziwa (Mwanza, Simiyu, Geita na Kagera), Kanda ya

Magharibi (Tabora, Shinyanga, Katavi na Kigoma). Baadhi ya mazao ya misitu

na vifaa vilivyokamatwa na kutaifishwa kutokana na doria hizo ni pamoja na:

Page 197: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

177

mkaa gunia 107,663; mbao vipande 67,886; magogo yenye ujazo wa mita za

ujazo 14,389; silipa 10,119; misumeno 154,280; Nguzo 1,622; na kuni mita za

ujazo 1,111.

Wanyamapori

282. Mwaka 2016, sekta ndogo ya wanyamapori ilikusanya jumla ya shilingi

38,515,330,757 ikilinganishwa na shilingi 25,878,948,604 mwaka 2015, sawa

na Ongezeko la asilimia 48.8. Kati ya mapato hayo, mapato kwa sarafu ya ndani

yalikuwa shilingi 242,843,673,275 na sarafu ya nje yalikuwa dola za Marekani

17,473,260 ikilinganishwa na shilingi 586,776,694.69 na dola za Kimarekani

12,739,171 mwaka 2015. Aidha, mapato ya Mamlaka ya Uhifadhi wa

Wanyamapori (TAWA) yaliathiriwa na kufungwa kwa biashara ya wanyamapori

hai pamoja na kupungua kwa idadi ya vitalu vilivyogawiwa kwa ajili ya

uwindaji.

283. Mwaka 2016, jitihada za ulinzi wa rasilimali dhidi ya ujangili na uvunaji

usio endelevu ziliendelea ambapo jumla ya siku za doria 518,809 zilifanyika

katika maeneo ya wazi na yaliyohifadhiwa. Aidha, jumla ya kesi 3,405

zilizohusisha watuhumiwa 5,834 wa makosa mbalimbali zilifunguliwa. Kati ya

hizo, kesi 560 za watuhumiwa 990 zilimalizika ambapo watuhumiwa wa kesi

229 walifungwa na watuhumiwa wa kesi 331 walilipa faini ya jumla ya shilingi

533,065,133 na dola za Marekani 300. Vile vile, kesi 2,775 zenye watuhumiwa

4,844 zinaendelea katika Mahakama mbalimbali nchini. Kutokana na doria hizo,

nyara za Serikali za aina mbalimbali zilikamatwa ambazo ni pamoja na meno ya

tembo 1,291 yenye jumla ya uzito wa kilo 3,281.21; nyamapori kilo 18,955;

meno ya boko 16; kucha za simba 2; mikia ya nyati 2; mkia wa pundamilia 1;

mikia ya palahala 3; mikia ya nyumbu 14, ngozi ya swalapala 1; ngozi za kaka

kuona 670; pembe ya oribi 2; pembe za tandala mkubwa 4; pembe za kongoni 2;

ngozi ya swala tomi 1; fuvu la swala tomi 1; ngozi za nzohe 3; ngozi za oribi 2;

vichwa vya hondohondo 5, kasha la yai la mbuni 1; mafuvu ya nyati 5 na fuvu la

chui 1.

284. Mwaka 2016, vyombo mbalimbali vya usafiri vilivyohusika katika

vitendo vya ujangili vilikamatwa ikiwemo magari 12, pikipiki 68, baiskeli 211

na mitumbwi 162. Aidha, jumla ya silaha 647 zilizohusika katika ujangili

zilikamatwa zikiwemo SMG 12, hunting rifles 132, shotgun 60, gobore 384,

bastola 2, mapanga 2, mishale 10, mikuki 4, visu 5, na nyaya za kutegea

wanyama 25 . Vile vile, jumla ya risasi 743 zilikamatwa zikiwemo 18 za SMG,

158 za rifle, 61 za shotgun, 504 za gobore pamoja na magazine 2 za SMG.

Page 198: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

178

Utalii

285. Mwaka 2016, idadi ya watalii waliotembelea nchini iliongezeka kwa

asilimia 12.9 hadi watalii 1,284,279 ikilinganishwa na watalii 1,137,182 mwaka

2015. Aidha, mapato yatokanayo na biashara ya utalii yaliongezeka hadi dola za

Marekani milioni 2,073 kutoka dola za Marekani milioni 1,901.9 mwaka 2015,

sawa na ongezeko la asilimia 9.0. Ongezeko la watalii lilitokana na: kuongezeka

kwa utangazaji wa utalii hususan katika nchi za Marekani na Australia;

kuongezeka kwa hoteli zenye mvuto wa kipekee mfano ‘Manta Resort’ iliyopo

Zanzibar ambayo ina chumba chini ya bahari; upangaji wa madaraja ya hoteli

katika miji ya Zanzibar na Dar es Salaam; uboreshaji wa mindombinu; na

maonesho mbalimbali ya utalii kama vile Sabasaba, Nanenane na ‘KILIFAIR’.

286. Mwaka 2016, jumla ya watalii 991,593 walitembelea Hifadhi za Taifa

ikilinganishwa na watalii 930,205 mwaka 2015, sawa na ongezeko la asilimia

6.6. Kati ya hao, watalii 551,083 walitoka nje ya nchi na watalii 440,510

walitoka ndani ya nchi. Hata hivyo, idadi ya watalii waliotembelea Mamlaka ya

Hifadhi ya Ngorongoro ilipungua kwa asilimia 3.1 hadi watalii 550,639 kutoka

watalii 567,983 mwaka 2015.

287. Mwaka 2016, Serikali iliendelea kutangaza vivutio vya utalii ndani na

nje ya nchi kwa kushiriki katika maonesho ya utalii ya Uingereza (World

Tourism Market), Zanzibar (Annual Tanzania-Diaspora Conference), Umoja wa

nchi za Kiarabu (Investment fórum), Misri (Investment fórum), Ujerumani (ITB-

Berlin) na Afrika ya Kusini (INDABA). Aidha, Serikali iliendelea kutumia fursa

za maonesho mbalimbali ya ndani katika kukuza utalii wa ndani na kupunguza

utegemezi wa soko la nje. Maonesho hayo ni Mwanza (Rock City Marathon na

East African Trade Fair), Serengeti (Serengeti Cultural Festival), Mbeya (Solar

Eclipse Event), Dar es Salaam (Sabasaba), Dodoma (Nanenane), Manyara

(Hydom Festival), Tanga (Tourism Week), Iringa (World Tourism Week na

Karibu Kusini)

Malikale

288. Mwaka 2016, idadi ya wageni wa ndani na nje waliotembelea vivutio

vya malikale walikuwa 102,879 ikilinganishwa na wageni 83,909 waliotembelea

vivutio hivyo mwaka 2015. Aidha, mapato yatokanayo na wageni kutembelea

vivutio vya malikale yaliongezeka kutoka 703,959,750 mwaka 2015 mpaka

896,841,700 mwaka 2016, sawa na ongezeko la asilimia 27.4

289. Mwaka 2016, idadi ya wageni waliotembelea Shirika la Makumbusho ya

Taifa iliongezeka hadi wageni 119,659 kutoka wageni 99,108 mwaka 2015.

Page 199: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

179

Aidha, mapato yaliongezeka kutoka shilingi 480,696,403 mwaka 2015 hadi

shilingi 521,617,542 mwaka 2016, sawa na ongezeko la asilimia 8.5. Ongezeko

hilo linatokana na ongezeko la idadi ya wageni waliotembelea Makumbusho ya

Taifa..

Jedwali Na. 12.2: Wageni Waliotembelea Vivutio vya Malikale

Kituo 2012 2013 2014 2015 2016

Olduvai George 52,615 38,343 42,557 14,561 37,780

Kaole 35,100 25,138 46,102 21,401 17,544

Isimila 4,158 3,124 4,443 16,460 2,182

Mji Mkongwe 214,346 24,390 14,484 3,011 15,140

Kalenga 4,355 3,618 2,170 8,902 1,528

Kilwa 2,679 2,052 2,112 2,426 3,115

Mbozi 1,907 990 893 3,467 1,537

Amboni 19,413 13,488 27,073 1,792 9,484

Tongoni 871 1,659 397 603 496

Ujiji 4,811 3,319 4,937 4,537 3,715

Kwihara 1,288 542 428 231 518

Kolo 892 514 1,239 1,451 5,273

Caravan Serai - 6,670 8,095 5,067 4,567

Jumla 342,435 123,847 154,930 83,909 102,879

Chanzo: Wizara ya Maliasili na Utalii, Idara ya Mambo ya Kale

Jedwali Na. 12.3: Mapato yatokanayo na Wageni waliotembelea Vivutio

vya Malikale (Shilingi)

Chanzo: Wizara ya Maliasili na Utalii- Idara ya Mambo ya Kale

Kituo 2012 2013 2014 2015 2016

Olduvai George 1,030,960,000 1,016,434,514 990,615,000 549,960,750 719,302,200

Kaole 36,289,700 26,691,000 40,000,000 39,520,500 51,460,000

Isimila 7,642,800 5,420,500 9,513,500 24,660,500 12,063,000

Mji Mkongwe 14,104,200 16,551,500 13,913,000 11,704,500 32,907,500

Kalenga 4,044,000 3,696,000 5,261,000 20,695,500 2,478,500

Kilwa 17,808,850 15,288,850 15,610,900 3,415,500 22,118,000

Mbozi 1,262,150 811,000 1,361,000 20,761,000 2,877,000

Amboni 20,084,300 14,844,500 26,015,000 3,621,000 22,118,000

Tongoni 1,134,400 4,176,000 898,200 1,545,800 1,656,000

Ujiji 8,664,200 5,770,700 9,411,300 10,008,700 9,056,000

Kwihara 943,500 468,000 495,000 436,000 991,500

Kolo 2,262,500 1,327,000 6,844,500 8,097,000 9,275,000

Caravan Serai - 7,019,000 7,499,000 9,533,000 10,539,000

Jumla 1,145,200,600 1,118,498,564 1,127,437,400 703,959,750 896,841,700

Page 200: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

180

Uvuvi.

290. Mwaka 2016, sekta ya uvuvi ilikua kwa asilimia 4.2 ikilinganishwa na

asilimia 2.5 mwaka 2015. Aidha, ulaji wa mazao ya uvuvi kwa mtu kwa mwaka

ni kilo 8.0 ikilinganishwa na kilo 16.7 zinazopendekezwa na Shirika la Chakula

na Kilimo la Umoja wa Mataifa (FAO, 2011).

291. Mwaka 2016, jumla ya tani 362,595 za samaki zilivunwa ikilinganishwa

na tani 362,645 mwaka 2015. Kati ya kiasi kilichovunwa, tani 308,629 zilitoka

maji baridi na tani 53,823 maji chumvi ikilinganishwa na tani 309,922

zilizovunwa kutoka maji baridi na tani 52,723 kutoka maji chumvi mwaka

2015. Aidha, ulaji wa mazao ya uvuvi kwa mtu kwa mwaka ni kilo 8.0

ikilinganishwa na kilo 16.7 zinazopendekezwa na Shirika la Chakula na Kilimo

la Umoja wa Mataifa (FAO, 2011).

292. Mwaka 2016, mazao ya uvuvi tani 39,691.46 na idadi ya samaki hai wa

mapambo 65,841 iliuzwa nje ya nchi na kuiingizia Serikali mapato ya shilingi

bilioni 14.3 ikilinganishwa na mazao ya uvuvi tani 40,540.95 na idadi ya

samaki hai wa mapambo 42,100 iliyouzwa nje ya nchi na kuiingizia Serikali

kiasi cha shilingi bilioni 12.9 mwaka 2015.

293. Mwaka 2016, jumla ya doria zenye siku kazi 4,328 zilifanyika katika

maeneo mbalimbali nchini ikilinganishwa na doria zenye siku kazi 5,985

zilizofanyika mwaka 2015. Katika doria hizo, zana haramu zikiwemo nyavu

kokoro 968, kamba za kokoro zenye urefu wa mita 742,356, nyavu za makila

3,096 zenye macho madogo; nyavu za dagaa 483, nyavu za utali 15,753,

vyandarua 33 vya mbu, nyavu za kimia 32, katuli16, mikuki 3,408, mabomu 17,

V6 explosive vipande 600, Detonator vipande 35, tambi za baruti 2, mbolea ya

urea kilo 252, mitungi ya gesi ya kuzamia 55, mitumbwi 338, injini za

mitumbwi 5. Aidha, samaki wachanga Sangara kilo 14,015, sato kilo 39, kaa

kilo 50, kambakoche kilo 172, nyama kilo 16, majongoo bahari kilo 48,

magamba ya starfish kilo 12, dodoji (seahorse) vipande 775, makome ya

baharini kilo 401 mapezi na mataya ya papa kilo 14.5 na matumbawe kilo 75.

Pia , watuhumiwa 293 walikamatwa na kesi 21 ziliwasilishwa mahakamani na

shilingi milion 37.7 zilikusanywa kama faini.

294. Mwaka 2016, Serikali iliendelea kutoa elimu ya usimamaizi na matumizi

endelevu ya rasilimali za uvuvi kwa wavuvi 10,000 kupitia maonesho ya

nanenane (Dododma), siku ya chakula Duniani (Arusha) na siku ya uvuvi

duniani (Kigoma). Aidha, wavuvi na wadau wa uvuvi 631 kutoka Halmashauri

za Mkuranga (93), Temeke (130), Bagamoyo (288) na Kinondoni (130) na

Page 201: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

181

maafisa wa uvuvi wilaya kutoka wilaya 16 za ukanda wa Pwani walipatiwa

mafunzo ya usimamaizi wa rasilimali za uvuvi kwa kuzingatia mfumo wa

ikolojia na mazingira. Vilevile, Vituo vya doria katika maeneo ya ziwa Victoria

(5), Ziwa Tanganyika (5), Ziwa Nyasa (2), Ukanda wa Pwani (5) na maeneo ya

mipakani (6) viliimarishwa kwa kuvipatia vitendea kazi zikiwemo boti 4,

watumishi 4 na kuvifanyia matengenezo vitendea kazi vilivyopo.

295. Katika mwaka 2016, mabwawa ya kufugia samaki aina ya perege na

kambale yaliongezeka hadi 22,545 kutoka mabwawa 21,300 mwaka 2015.

Uzalishaji wa kambale na perege uliongezeka kutoka tani 3,118.0 mwaka 2015

hadi tani 3,613.6 mwaka 2016. Uzalishaji wa kambamiti ulifikia tani 248.0

mwaka 2016 ukilinganisha na tani 391.0 mwaka 2015. Aidha, jumla ya tani

1,176.5 za zao la mwani zilivunwa mwaka 2016 ikilinganishwa na tani 222.8

zilizovunwa mwaka 2015. Ongezeko la uvunaji wa zao la mwani lilitokana na

kuongezeka kwa mahitaji ya bidhaa zinazotokana na mwani zikiwemo vipodozi

na sabuni za kuogea.

Jedwali Na. 12.4 Mwenendo wa Uvunaji wa Rasilimali ya Uvuvi

Chanzo: Wizara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi

Wavuvi Vyombo Uzito (tani) Wavuvi VyomboUzito

(tani)Wavuvi Vyombo

Uzito

(tani)

2008 133,791 44,838 281,691 36,247 7,489 43,130 170,038 52,327 324,821

2009 135,769 45,234 288,059 36,321 7,664 47,616 172,090 52,898 335,675

2010 127,280 42,337 294,474 36,321 7,664 52,683 163,601 50,001 347,157

2011 141,206 47,635 290,474 36,321 7,664 50,592 177,527 55,299 341,066

2012 147,020 49,721 322,313 36,321 7,664 50,079 183,341 57,385 372,392

2013 147,644 50,120 364,602 36,321 7,664 52,846 183,965 57,784 417,448

2014 147,479 49,627 314,062 36,321 7,664 51,912 183,800 57,291 365,974

2015 147,479 49,627 309,922 36,321 7,664 52,723 183,800 57,291 362,645

2016 146,068 49,688 308,629 54,511 9,650 53,823 200,579 59,338 362,452

Mwaka

Maji baridi Maji chumvi Jumla (Maji chumvi na Baridi)

Page 202: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

182

Jedwali Na. 45

2016

Kituo Nje Ndani Jumla Nje Ndani Jumla Jumla

Makumbusho na Nyumba ya Utamaduni 8593 121752 130345 147516927.00 9385 19790 29175 311721090.00 23130 350808974.29

Kijiji cha Makumbusho 3339 11061 14400 81805911.00 2982 34976 37958 80640713.00 39951 72220217.79

Makumbusho ya Azimio la Arusha 343 14033 14376 8967120.00 271 16111 16382 24350750.00 13046 25600800.00

Makumbusho ya Elimu Viumbe 1639 6905 8544 42801446.00 1174 2740 3914 53962350.00 25343 58107850.00

Makumbusho ya Mwalimu Nyerere 125 7980 8105 292684.00 224 10062 10286 5013000.00 9008 8852400.00

Makumbusho ya Vita ya Majimaji 61 3994 4055 2188548.00 23 1370 1393 5008500.00 9181 6027300.00

JUMLA 14100 165725 179825 283572636.00 14059 85049 99108 480696403.00 119659 521617542.08

Chanzo: Wizara ya Maliasili na Utalii, Makumbusho ya Taifa

2014Mapato (Tshs.)

2015Mapato (Tshs.) Mapato (Tshs.)

IDADI YA WAGENI WALIOTEMBELEA MAKUMBUSHO YA TAIFA NA MAPATO YALIOPATIKANA

Page 203: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

183

Jedwali Na. 47

Mita za

Ujazo/Tani Vipande

Thamani

(US$)Mita za Ujazo/ Tani Vipande

Thamani

(US$)

Mbao (sawn timber) 95,092.70 3,198,982 16,556,239.6 8,994.99 3,275,244.6

Mbao za Sakafu

Vinyago na Sanaa 5,077 6,575 84,743.7 16 81,488.8

Msandali

Samani - 317 63,600.0

Tannin 2,790,500 302,058.0

Maganda ya mimosa - 246 98,591.0

Mbegu za miti

Miche ya miti

Gundi ya miti - 125,000 112,500.0 300 244,629.0

Maganda ya miti

Majani ya minazi

Mikeka

Majani ya dawa

Mabaki ya mbao za mipingo (off cuts)

Mbao za Pallets

Nguzo 62.74 8,250 396,018.0

Majani ya mtende

Mizinga ya Nyuki (Vipande)

Mafuta ya Jatropha

Mafuta ya Misandali 8,400 177,156.0 8 2,428,540.0

Sanaa - 1,377 2,943 33,931.5 89,492.4

Vumbi ya Sandalwood 114,100 45,150.0 158 86,950.0

Nguzo za umeme 511.92 72,458.6

Zanzibar doors

Ngalawa

Clarinet Sets 5,116.52 246,670 518,427.0 75.59 456,880.0

Zanzibar Chest

Vikapu

Unga wa Ubuyu 45,066 92,415.0 15 30,000.0

Bamboo Sculpture

Vijiko vya Mninga

Sampuli za miti 3.98 6,048 12,158.2

Misalaba ya Ukindu

Mafuta ya alaniblankia 18 45,700.0

Ukindu 945 690,580 660,000 33,900.0

Veneer 1586.2 41,780.0

Jumla 101,221 3,780,364 4,129,785 18,572,588 11,169 497 0 6,807,463

Chanzo: Wizara ya Maliasili na Utalii, Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania

- Hakuna Mazao ya Misitu Yaliyouzwa

2015

Bidhaa

2016

MAUZO YA BIDHAA ZA MISITU KATIKA MASOKO YA NJE 2015 - 2016

Page 204: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

184

Jedwali Na. 48

Aina ya nyara Kipimo 2006 2007 2008 2009 2010 2011 2012* 2013 2014 2015

Ndege Idadi 6236 15347 15347 18798 25742 68964 - 42909 35630 59635

Wanyama wanaotambaa (Reptiles) Idadi 101467 112630 114171 110056 56988 57221 - 47733 51593 59383

Other Mamals than primates Idadi 229 274 296 202 263 379 - 30 - 0

Primates Idadi 273 736 738 50 202 61 - 71 75 352

Wanyama wa majini (Amphibians) Idadi 37989 43967 46402 47055 24557 10635 - 25110 14365 8621

Wadudu Idadi 107489 77245 111512 100171 40351 21765 - 34905 23037 28515

Chanzo: Wizara ya Maliasili na Utalii, Idara ya Wanyamapori

* Mwaka 2012, Serikali ilisimamisha usafirishaji wa ndege, wanyamapori na vipusa nje ya nchi hivyo hapakuwa na takwimu

MWENENDO WA BIASHARA YA NDEGE, WANYAMAPORI NA VIPUSA NCHI ZA NJE

Page 205: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

185

Jedwali Na. 48A

Shughuli Kipimo 2010 2011 2012 2013 2014 2015 2016

Uwindaji wa kitalii US $ 17610454 23536347 15696990 15917431 9146335 8,603,414 13,091,996

Biashara ya wanyama hai Sh. 109790237.6 133376980 26469234 151354375 210767829 308,694,767 42,350

Chanzo: Wizara ya Mali Asili na Utalii, Idara ya Wanyamapori

Jedwali Na. 48B

Mwaka Idadi ya

Kampuni Wageni Watanzania

2010 47 851 273

2011 42 862 171

2012 44 680 128

2013 60 831 364

2014 69 740 421

2015 59 566 64

2016 59 491 302

Chanzo: Wizara ya Mali Asili na Utalii, Idara ya Wanyamapori

IDADI YA WAWINDAJI WA KITALII

Wawindaji

MWENENDO WA BIASHARA YA WANYAMA HAI NA UWINDAJI WA KITALII

Page 206: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

186

Jedwali Na. 49

Maelezo 2011 2012 2013 2014 2015 2016

Uwindaji wa Kitalii USD 13375780 10768056 16255674 9146335 8603414 13091996

USD 7975452 2854370 4566708 3811423 4121307 4314864

TZS 408873272 32075365 27533000 280443900 68307544 422439008

USD - - - - 14400 -

TZS 20707000 17719914 52000000 7762900 189593088 25854000

Vibali vya kusafirishia Nyara Nje ya Nchi TZS 14529768 9752456 34133596 1440750 2190843 2931000

Vibali vya Kukamata Wanyamapori TZS 65665766 5372060 200760325 200558929 304975314 121834808

Hati za Kumiliki Nyara TZS 1752330 3012887 9038661 1005250 1528610 1431000

Ada Nyinginezo TZS 7228219 8939516 17879032 13271694 20181296 44610535

USD 21351232 13622426 20822382 12957758 12739121 17406860

TZS 518756355 76872198 341344614 504483423 586776695 619100351Wastani wa Mwaka wa Kiwango cha

ubadilishaji fedha (Shs/Dola)1557.4 1571.7 1598.7 1652.5 1985.4 2177.1

Jumla ya USD kwaTZS TZS 33253121267 21410469562 33287999400 21412779360 25292171909 37896230406

Jumla KUU TZS 33771877622 21487341760 33629344014 21917262783 25878948604 38515330757

Chanzo: Wizara ya Maliasili na Utalii, Idara ya Wanyamapori

Utalii wa Picha

Leseni ya Biashara za Nyara

Jumla Ndogo

MWENENDO WA UKUSANYAJI WA MADUHULI KATIKA SEKTA NDOGO YA WANYAMAPORI

Page 207: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

187

Jedwali Na. 50

Idadi

ya Maji Maji Jumla ya

Mwaka Wavuvi baridi Chumvi Vyombo Uzito (tani) Thamani (Sh..) Uzito (tani) Thamani (Sh. ) Uzito (tani) Thamani (Sh. )

2000 102329 25014 5157 30171 271000 45500000 49900 32180000 320900 77680000

2001 120266 25014 4927 29941 283354 47108668 52935 34113717 336289 81222385

2002 124570 31849 4927 36776 273856 54771300 49675 33372136 323531 88143436

2003 124570 31225 4927 36152 301855 141073500 49270 34489000 351125 175562500

2004 122514 32248 4927 37175 312040 147743000 50470 40376000 362510 188119000

2005 133197 32248 7190 39438 320566 256452800 54969 82452930 375535 338905730

2006 156544 44362 7190 51552 292519 248640904 48591 37077637 341109 285718540

2007 163037 44362 7489 51851 284348 252525198 43499 39210207 327847 291735405

2008 170038 44838 7489 52327 281691 194725416 43130 40563641 324821 235289057

2009 172090 45234 7664 52898 288059 351394073 47616 56633436 335675 408027509

2010 163601 42337 7664 50001 294474 684844020 52683 89639934 347157 774483954

2011 177527 47635 7664 55299 290474 1031883681 50592 166954953 341066 1198838634

2012 182741 49321 7664 56985 314944 1129349925 50079 177781799 365023 1307131724

2013 183431 49721 7664 57385 315008 1248903393 52846 195529127 367854 1444432520

2014 183800 49627 7664 57291 314062 1287248813 51912 207649600 365974 1494898413

2015 183800 49627 7664 57291 309922 1270856680 52723 210892897 362645 1481749577

2016 203529 49688 9650 59338 308772 1274485404 53823 211891899 362595 1486377303

Chanzo: Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi

Idadi ya Vyombo

UZALISHAJI KATIKA SEKTA YA UVUVI 2000-2016

Maji ChumviMaji baridi

Uzalishaji na Mapato

Jumla

Page 208: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

188

Jedwali Na.51

FOB (USD) FOB (TSH) USHURU (TSh.)

Dried Dagaa/L.Nyasa 275 322 705493 589286

Dried Dagaa/L.Tang. 500300 600360 1313663726 1094723107

Dried Dagaa/L.Vict. 5148571 3499682 7819922621 1006604447

Dried Dagaa/Marine 1553403 2330997 5286487140 1909741783

Dried Fish Frames 1003500 301050 660136419 19926643

Dried Fish Maws 1199850 48886915 106922533548 1170770840

Dried Furu/L.Tang. 531000 637200 1281779907 29031997

Dried Furu/LVict. 2124505 2708399 5713206466 123525999

Dried Fish/Mtera Dam. 258 3314 6997636 3603049

Dried Fish Off Cuts 16000 1920 4202258 1753200

Dried salted Tilapia/L.Rukwa 71213 181220 392161525 3911022

Dried Sharks 60 72 151200 30000

Dry Fish Meal 1587000 28485 62311063 41680803

Fish Frames 566000 199815 414112262 11212803

Fresh Fish Fillets 7175808 40783184 82638227259 1881787790

Fresh Fish/Tilapia 2000 6000 13156320 1096400

Fresh H&G Fish 1137151 5240729 10438126747 342852711

Frozen wild Prawns 745199 3081257 6624689725 199333302

Frozen farmed Prawns 140362 1501813 3228898659 14727133

Frozen fish chest 270650 328880 697100344 44992446

Frozen Fish Fillets 8580941 58994912 94631164377 2273861777

Frozen Fish Frames 732500 61900 135565986 14480050

Frozen Fish heads 901400 146450 320607465 49173961

Frozen Fish Maws 378009 15377916 33515566659 555455546

Frozen Fish Offcuts 935356 495220 1071680799 103428899

Frozen H&G Fish 1560491 6490679 13906468076 453136880

Frozen Lobster 78220 27630102 59404719774 347855550

Frozen Octopus 439974 2262895 14227075541 463583750

Frozen Squids 502419 2539680 5460312718 314989913

Live Crabs 272848 4021713 8646681875 354997327

Live Lobster 1051194 28516445 61292555205 1391879315

SeaShells/cowries 265007 96656 207076593 11644784

Sea Weeds 220000 66000 141900000 330000

Jumla Ndogo 39691462 257022182 526479945387 14236712513

Samaki Hai-Idadi ya Vipande

Live Aquarium Fish/L.Nyasa 20771 63684.7 136922192.1 18255669.7

Live Aquarium

Fish/L.Tanganyika 45070 171233.5 368151989.9 47793724.5

Jumla Ndogo 65841 234918.2 505074182.0 66049394.2

JUMLA KUBWA 39757303.0 257257100.5 526985019569.3 14302761906.9

Chanzo: Wizara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi

UZITO

(TANI)

THAMANIZAO

MAUZO YA MAZAO YA UVUVI NCHI ZA NJE KWA MWAKA 2016

Page 209: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

189

Jedwali 51A

Mwaka Uzito Samaki Hai Ushuru

Kg Vipande T.sh US $ T.sh

2001 41,640,248 80,577 82,982,764,242 95,435,102 5,244,333,672

2002 32,662,878 28,301 99,294,249,903 105,779,931 5,957,654,995

2003 42,352,738 24,500 132,862,401,374 129,605,815 7,789,955,963

2004 46,011,033 15,784 121,922,686,607 112,761,195 7,190,356,743

2005 57,289,084 21,025 162,619,492,949 141,597,362 9,142,768,084

2006 44,495,623 21,741 170,184,661,003 138,120,145 6,236,615,179

2007 57,795,514 25,502 213,211,258,838 173,272,670 7,589,576,914

2008 51,426,207 33,066 205,054,092,453 174,409,214 6,629,846,700

2009 41,148,261 53,188 207,447,119,888 161,053,646 6,410,191,232

2010 39,771,834 40,552 263,131,442,028 187,427,054 5,876,103,557

2011 37,996,433 61,215 233,714,590,011 152,973,357 6,153,278,023

2012 41,394,268 45,550 254,901,017,111 163,299,366 6,819,926,007

2013 38,573,606 44,260 234,884,628,956 147,659,779 6,117,769,194

2014 43,354,399 42,100 1,406,120,001,304 832,085,311 7,490,632,355

2015 40,540,951 87,630 542,790,026,765 257,029,628 12,856,248,428

2016 39,691,462 65,841 526,985,019,569 257,257,101 14,302,761,907

JUMLA 871,102,504 690,832 5,075,546,172,903 3,571,562,729 134,882,883,703

Chanzo: Idara ya Uvuvi

Jedwali 51B

Mwaka Uzito UshuruKg T.sh US $ T.sh

2001 39,038,599.7 74,928,607,542.3 86,178,585.7 4,685,276,229.2

2002 29,479,322.7 83,005,557,292.2 88,231,655.1 4,980,333,437.5

2003 37,286,859.2 114,779,736,803.6 112,049,948.5 6,707,948,378.0

2004 30,312,898.3 82,356,866,789.0 76,261,406.4 5,171,324,343.0

2005 53,675,473.7 148,785,948,008.6 129,184,492.6 8,419,301,970.4

2006 39,472,977.7 156,160,190,326.6 126,829,665.7 5,491,786,878.8

2007 50,078,575.6 195,242,463,549.7 158,442,058.5 6,660,034,977.0

2008 38,721,422.2 180,366,779,818.2 153,740,723.3 5,412,912,979.2

2009 28,721,577.0 168,368,910,379.9 130,644,300.1 4,628,409,654.5

2010 27,229,470.7 194,012,069,313.9 139,666,995.1 4,509,670,993.8

2011 25,426,157.2 197,899,741,508.3 127,601,694.3 4,299,987,312.2

2012 28,951,094.7 220,149,518,645.6 141,189,161.6 4,967,311,025.1

2013 33,732,842.7 197,578,220,798.6 124,551,584.5 5,085,642,905.5

2014 24,473,491.8 1,131,575,531,076.1 665,856,773.0 4,569,314,169.6

2015 23,000,579.3 528,534,413,018.9 250,279,107.2 11,251,591,352.1

2016 26,044,655.6 345,417,803,263.4 177,338,054.4 6,964,514,349.1

JUMLA 669,993,571.0 4,188,840,419,011.8 2,958,769,061.8 104,016,024,157.3

Chanzo: Idara ya Uvuvi

MWELEKEO WA MAUZO YA SANGARA NJE YA NCHI -2001-2016

Thamani

MUHTASARI WA MAUZO YA MAZAO YA UVUVI NCHI ZA NJE - 2001-2016

Thamani

Page 210: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

190

Jedwali Na. 52

Maelezo Kipimo 2007 2008 2009 2010 2011 2012 2013 2014 2015 2016*

Jumla ya Watalii Idadi 719031 770376 714367 782699 867994 1077058 1095884 1140156 1137182 1284279

Watalii wa hotelini Idadi 673722 723569 665000 719097 753818 974448 1021766 1005058 1033555 1155851

Mapato US $ Milion 1198.76 1288.69 1159.82 1254.5 1324.83 1712.75 1853.28 1982.98 1901.94 2073.07

Wastani wa siku za kukaa

watalii hotelini Siku 12 12 11 11 10 10 10 10 10 10

Package Tour 284 209 231 328 355 384 372 378 305 351

Non Package

Tour 132 186 194 236 247 230 201 210 141 145

Chanzo: Wizara ya Maliasili na Utalii, Idara ya Utalii

* Takwimu za makadirio

Wastani wa matumizi ya

fedha kwa mtalii kwa siku

(US $)

MWENENDO WA BIASHARA YA UTALII 2007-2016

Page 211: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

191

Jedwali Na. 53

MwakaIdadi ya

Watalii

Ongezeko kwa

Mwaka (%)

Mapato (US $)

Milioni

Ongezeko kwa

Mwaka (%)

2000 501668 -20.1 739.1 0.8

2001 525122 4.7 725.0 -1.9

2002 575000 9.5 730.0 0.7

2003 576000 0.2 731.0 0.1

2004 582000 1.0 746.1 2.1

2005 612754 5.3 823.1 10.3

2006 644124 5.1 950.0 15.4

2007 719031 11.6 1198.0 26.1

2008 770376 7.1 1288.7 7.6

2009 714367 -7.3 1159.8 -10.0

2010 782699 9.6 1254.5 8.2

2011 867994 10.9 1324.8 5.6

2012 1077058 24.1 1712.8 29.3

2013 1095884 1.7 1853.3 8.2

2014 1140156 4.0 1983.0 7.0

2015 1137182 -0.3 1901.9 -4.1

2016 1284279 12.9 2073.1 9.0

Chanzo: Wizara ya Maliasili na Utalii

IDADI YA WATALII WALIOINGIA NCHINI NA KIASI CHA FEDHA ZILIZOPATIKANA

Page 212: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

192

Jedwali Na. 54

Mwaka Wageni kutoka nje Watanzania Jumal ya Watalii

2009 234767 203412 438179

2010 281513 242133 523646

2011 281513 307086 588599

2012 310537 254730 565267

2013 350970 296763 647733

2014 332469 278221 610690

2015 289061 278922 567983

2016 284794 265845 550639

Chanzo: Wizara ya Maliasili na Utalii, Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro

WATALII WALIOTEMBELEA MAMLAKA YA HIFADHI YA NGORONGORO

Page 213: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

193

Jedwali Na. 55

Jina la Hifadhi

W

a

g

e

Wageni

kutoka NjeWatanzania

Wageni

kutoka

Nje

WatanzaniaWageni

kutoka NjeWatanzania

Wageni

kutoka

Nje

WatanzaniaWageni

kutoka NjeWatanzania

ARUSHA 28185 28898 30706 41224 31375 36840 24708 31089 26714 33463

GOMBE 1056 327 996 775 1120 740 723 895 956 958

KATAVI 1465 1192 1703 2572 1928 2541 1200 2445 1159 3066

KILIMANJARO 42813 3019 50319 2935 52447 2784 41038 3328 43893 3508

KITULO 98 78 99 334 149 493 70 592 95 311

LAKE MANYARA 107991 47650 123502 64271 116511 64249 92341 62287 103830 57855

MAHALE 806 24 1056 38 844 111 896 171 690 166

MIKUMI 17976 20253 15750 30138 20869 32732 17117 35311 22923 38003

MKOMAZI 556 533 550 1256 695 1115 563 1905 573 1482

RUAHA 11004 7665 12616 9150 13490 6718 11558 7403 11233 12958

RUBONDO 525 461 450 458 549 560 447 501 433 739

SAADANI 2140 4644 3378 11331 4042 14527 3143 19854 3548 18722

SERENGETI 148278 309745 179282 273203 476 10161 413 13132 201728 174047

TARANGIRE 80821 37016 107567 58382 187498 215069 167988 204998 130085 78573

UDZUNGWA 2873 2536 3147 3984 122019 52847 116590 58585 2759 5557

SAANANE 113 3383 163 4987 3903 5616 2604 6310 464 11102

Jumla 446700 467424 531284 505038 557915 447103 481399 448806 551083 440510

Chanzo: Wizara ya Maliasili na Utalii - Hifadhi za Taifa (TANAPA)

2016

IDADI YA WAGENI WALIOTEMBELEA VITUO VYA UTALII

2015201420132012

Page 214: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

194

SURA YA 13

MADINI

Kiwango cha Ukuaji

296. Mwaka 2016, kiwango halisi cha ukuaji wa shughuli za kiuchumi za

uchimbaji madini, kokoto na mawe kilikuwa kwa asilimia 11.5 ikilinganishwa

na asilimia 9.1 mwaka 2015. Hii ilitokana na kuongezeka kwa mahitaji ya mawe

kwa ajili ya shughuli za ujenzi na uzalishaji wa saruji na kuongezeka kwa

uzalishaji wa madini mengine. Aidha, mchango wa shughuli za uchimbaji

madini na mawe kwenye Pato la Taifa ulikuwa asilimia 4.8 ikilinganishwa na

asilimia 4.0 mwaka 2015.

Utafutaji Madini

297. Mwaka 2016, jumla ya leseni 5,419 za utafutaji na uchimbaji wa madini

nchini zilitolewa ikilinganishwa na leseni 6,114 zilizotolewa mwaka 2015, sawa

na upungufu wa asilimia 11.36. Kati ya hizo, leseni 253 zilikuwa za utafutaji

madini; 12 za uchimbaji wa kati, na 5,154 za uchimbaji mdogo wa madini.

Upungufu huo ulitokana na kupanda kwa ada za maombi ya leseni. Aidha,

mwaka 2016 jumla ya wateja binafsi 626 na kampuni 739 zilizojiandikishwa

katika mfumo wa kuomba na kulipia leseni za madini kwa njia ya mtandao (on -

line transactional portal) ikilinganishwa na wateja binafsi 103 na kampuni 299

zilizojiandikisha kutumia mtandao huo mwaka 2015. Vile vile, jumla ya leseni

6,526 za utafutaji na uchimbaji wa madini zilisajiliwa kwenye mtandao huo

ambapo leseni 2,015 zilikuwa za utafutaji na uchimbaji mkubwa wa madini na

leseni 4,511 zilikuwa za uchimbaji mdogo ikilinganishwa na jumla ya leseni

3,326 za utafutaji na uchimbaji madini zilisajiliwa kwenye mtandao huo ambapo

leseni 1,833 zilikuwa za utafutaji na uchimbaji mkubwa wa madini na leseni

1,493 zilikuwa za uchimbaji mdogo mwaka 2015.

Uendelezaji wa Uchimbaji Mdogo wa Madini

298. Mwaka 2016, Serikali iliendelea na jitihada za kuhakikisha uchimbaji

mdogo wa madini unaendelezwa na kuwa wa tija ili uweze kutoa mchango

mkubwa zaidi kwa Pato la Taifa. Mwaka 2016, Serikali ilitenga maeneo 11

yenye ukubwa wa takribani kilometa za mraba 385.67 kwa ajili ya wachimbaji

madini wadogo. Idadi hii inafanya jumla ya maeneo yaliyotengwa kwa ajili ya

wachimbaji wadogo madini kuwa yenye jumla ya kilometa za mraba 2,662.51.

Page 215: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

195

Jedwali Na.13.1: Maeneo Yaliyotengwa kwa Uchimbaji Mdogo

Jina la Eneo Kanda Ukubwa wa

eneo (Km² )

Msasa Kanda ya Ziwa Viktoria

Magharibi 8.73

Matabe Kanda ya Ziwa Viktoria

Magharibi

Biharamulo Kanda ya Ziwa Viktoria

Magharibi 40.97

Kyerwa Kanda ya Ziwa Viktoria

Magharibi 71.86

Itigi Kanda ya Kati 93.55

D-Reef Kanda ya Magharibi 32.09

Ibindi Kanda ya Magharibi 13.93

Kapanda Kanda ya Magharibi 18.98

Ngapa Kanda ya Ziwa Nyasa 75.48

Nzega Kanda ya Kati Magharibi 24.82

Kitowelo Kanda ya Kusini 5.25

Jumla 385.67

Chanzo: Wizara ya Nishati na Madini

Uchimbaji na Uuzaji Madini

299. Mwaka 2016, thamani ya mauzo ya madini nje ya nchi ilikuwa dola za

Marekani milioni 2,128.4 ikilinganishwa na dola za Marekani milioni 1,768.9

mwaka 2015, sawa na ongezeko la asilimia 20.3. Ongezeko hilo lilitokana na

kuimarika kwa bei ya dhahabu katika soko la dunia ambayo ilichangia takribani

asilimia 90 ya thamani ya mauzo yote ya madini nje ya nchi pamoja na

kuongezeka kwa thamani ya almasi iliyouzwa mwaka 2016.

Almasi

300. Mwaka 2016, uzalishaji wa madini ya almasi uliongezeka kwa asilimia

9.8 na kufikia karati 237,685.36 kutoka karati 216,491.09 zilizozalishwa mwaka

2015. Ongezeko hilo lilitokana na kuongezeka kwa uzalishaji wa almasi katika

mgodi wa Williamson Diamond Limited. Aidha, thamani ya mauzo ya almasi nje

ya nchi ilikuwa dola za Marekani milioni 85.09 mwaka 2016, ikilinganishwa na

dola za Marekani milioni 56.03 mwaka 2015, sawa na ongezeko la asilimia 51.9.

Page 216: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

196

Ongezeko hilo lilitokana na kuongezeka kwa kiasi cha almasi na ubora wa

almasi iliyozalishwa.

Dhahabu

301. Mwaka 2016, jumla ya kilo 45,155.41 za dhahabu zilizalishwa

ikilinganishwa na kilo 43,292.9 zilizozalishwa mwaka 2015, sawa na ongezeko

la asilimia 4.3. Ongezeko hilo lilitokana na kuongezeka kwa uzalishaji wa

dhahabu katika migodi ya North Mara, Bulyanhulu na New Luika na kuimarika

kwa bei ya dhahabu katika soko la dunia. Aidha, thamani ya mauzo ya dhahabu

nje ya nchi iliongezeka kwa asilimia 13.4 kufikia dola za Marekani millioni

1,824.81 ikilinganishwa na dola za Marekani milioni 1,609.39 mwaka 2015. Hii

ilitokana na kuimarika kwa bei ya dhahabu katika soko la dunia. Wastani wa bei

ya dhahabu katika soko la dunia ulikuwa dola za Marekani 1,250.74 kwa kila

wakia, ikilinganishwa na Wastani wa dola za Marekani 1,160.06 kwa wakia

mwaka 2015, sawa na ongezeko la wastani wa asilimia 7.8.

Vito vya thamani

302. Mwaka 2016, uzalishaji wa vito vya thamani ulikuwa kilo 2,554,932.41

ikilinganishwa na kilo 1,872,914.64 mwaka 2015, sawa na ongezeko la asilimia

36.4. Ongezeko hilo lilitokana na kuimarika kwa uchimbaji wa madini ya vito na

kuimarika kwa soko la vito vya thamani kwenye minada na maonesho ya vito

Arusha. Aidha, thamani ya mauzo ya vito vya thamani nje ya nchi iliongezeka

kwa asilimia 31.2 mwaka 2016 hadi kufikia dola za Marekani milioni 60.5

ikilinganishwa na dola za Marekani milioni 46.1 mwaka 2015. Hii ilitokana na

kuongezeka kwa kiasi cha uzalishaji wa madini ya vito.

Makaa ya Mawe

303. Mwaka 2016, uzalishaji wa makaa ya mawe ulikuwa tani 276,030

ikilinganishwa na tani 257,321 zilizozalishwa mwaka 2015, sawa na ongezeko la

asilimia 7.3. Ongezeko hilo lilitokana na kuimarika kwa uzalishaji wa makaa ya

mawe katika mgodi wa TANCOAL na ongezeko la wanunuzi wa makaa ya

mawe baada ya zuio la kununua makaa ya mawe nje ya nchi. Aidha, thamani ya

mauzo ya makaa ya mawe ilipungua kwa asilimia 11.0 hadi kufikia dola za

Marekani milioni 11.58 mwaka 2016, kutoka dola za Marekani milioni 13.01

mwaka 2015, kutokana na kushuka kwa bei ya makaa ya mawe.

Page 217: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

197

Madini Mengine

304. Mwaka 2016, uzalishaji wa chumvi ulikuwa tani 145,718 ikilinganishwa

na tani 72,158.45 mwaka 2015, sawa na ongezeko la asilimia 101.9. Thamani ya

mauzo ya chumvi ilikuwa dola za Marekani milioni 5.99 mwaka 2016

ikilinganishwa na dola milioni 5.16 mwaka 2015, sawa na ongezeko la asilimia

16.1. Ongezeko hilo lilitokana na kuimarika kwa uzalishaji na kupanuka kwa

soko la madini ya chumvi katika nchi za Rwanda, Burundi na DRC. Aidha,

uzalishaji wa chokaa ulikuwa tani 4,170,056.87 ikilinganishwa na tani

2,944,535.28 mwaka 2015, sawa na ongezeko la asilimia 41.6. Thamani ya

mauzo ya chokaa yalikuwa dola za Marekani milioni 22.71 mwaka 2016

ikilinganishwa na dola milioni 13.5 mwaka 2015, sawa na ongezeko la asilimia

68.2. Ongezeko hili lilitokana na kuanzishwa kwa viwanda vipya vya saruji.

305. Mwaka 2016, uzalishaji wa kaolin ulipungua hadi kufikia tani 656.31

kutoka tani 1,952.59 zilizozalishwa mwaka 2015, sawa na upungufu wa asilimia

66.4. Vile vile, mauzo ya kaolin yalipungua kwa asilimia 49.3 hadi dola za

Marekani 30,400.89 mwaka 2016 ikilinganishwa na dola za Marekani 59,999.2

mwaka 2015. Aidha, uzalishaji wa jasi ulikuwa tani 213,743.57 mwaka 2016

ikilinganishwa na tani 239,301.89 mwaka 2015, sawa na upungufu wa asilimia

10.7. Mauzo ya jasi yalikuwa dola za Marekani milioni 6.28 mwaka 2016

ikilinganishwa na dola za Marekani milioni 4.44 mwaka 2015, sawa na

ongezeko la asilimia 41.4. Uzalishaji wa madini ya bati ulikuwa tani 138.22

ikilinganishwa na tani 191.54 mwaka 2015, sawa na upungufu wa asilimia 27.8.

Mauzo ya bati yalikuwa dola za Marekani milioni 1.5 mwaka 2016

ikilinganishwa na dola za Marekani milioni 1.51 mwaka 2015, sawa na

upungufu wa asilimia 0.7.

Uhifadhi wa Mazingira katika uchimbaji wa Madini

306. Mwaka 2016, Kitengo cha Usimamizi wa Mazingira kilifanya ukaguzi

wa mazingira katika mikoa minne (4) ambapo jumla ya maeneo 47 ya migodi

midogo na uchenjuaji wa madini (vat leaching process) yalikaguliwa. Mikoa

iliyokaguliwa ilijumuisha Tanga (maeneo 5), Geita (maeneo 10) na Shinyanga

(maeneo 5). Vile vile, maeneo 14 ya uchenjuaji wa madini yalikaguliwa

ambayo ni Mara (maeneo 13) na maeneo ya Kihara na Mongo yaliyopo ndani ya

msitu wa hifadhi wa Amani katika wilaya ya Muheza. Halikadhalika, jumla ya

ripoti 11 za tathmini ya athari kwa mazingira katika miradi ya madini

Page 218: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

198

zilipokelewa kutoka Baraza la Uhifadhi na Usimamizi wa Mazingira kwa lengo

la kufanyiwa uhakiki ili kutoa au kutotoa cheti cha mazingira kwa miradi husika.

Uongezaji Thamani Madini

307. Mwaka 2016, Serikali iliendelea kutilia mkazo kwa wafanyabiashara wa

madini ya vito watanzania (Gemstone Dealers) kuwa na mashine za ukataji

(lapidary) zisizopungua tano (5) na wale wenye ubia na wawekezaji wa nje

kuwa na mashine zisizopungua 30 kama Sheria ya Madini ya Mwaka 2010

inavyowataka ili kukuza shughuli za uongezaji thamani madini nchini. Hii

ilisabababisha kuwa na jumla ya wafanyabiashara 180 wa madini ya vito

waliosajiliwa kuweza kuwekeza mashine 500 zilizokaguliwa za kukata, kusanifu

na kung’arisha madini ya vito. Aidha, Kituo cha Uongezaji Thamani Madini

Arusha (Tanzania Gemological Centre) kiliendelea kutoa mafunzo ya usanifu

wa madini ya vito ambapo wanafunzi 36 walidahiliwa mwaka 2016 na hivyo

kufanya wahitimu katika Kituo hicho kufikia 65 tangu kuanzishwa kwa mafunzo

hayo mwaka 2014. Vile vile, Serikali iliendelea kuhamasisha vyuo na taasisi

nyingine kutoa mafunzo ya ukataji, ung’arishaji, usonara na usanifu wa madini

vito kwa watanzania wengi zaidi ili kuwezesha uwekezaji wa viwanda vya

uongezaji thamani madini hapa nchini. Taasisi/vyuo hivyo ni kama Arusha

Technical College, VETA-Shinyanga na African Minerals and Geosciences

Centre (AMGC).

Page 219: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

199

Jedwali Na.56

MADINI Kipimo 2008 2009 2010 2011 2012 2013 2014 2015 2016*

Almasi Carat 237676 181874 80498 28378 127174 179633 252875 216491 237685

Dhahabu Kg 36434 39112 39448 37085 39012 42534 40481 43293 45155

Gemstones Kg 1858287 1068481 2646109 1241581 1237625 1692436 3083765 1872915 2554932

Chumvi Tani 25897 27393 34455 32297 34016 36032 54757 92158 145718

Phosphate Tani 28684 752 17180 848512 570626 397020 738000 222800 23658

Limestone 000 Tani 1282 1284 1437 202 1224 35529 873 2945 4170

Tin Ore Tani - - 3 - - 2 79 179 138

Gypsum Tani 55730 8105 26918 9288 91610 171567 200179 239302 213744

Makaa ya mawe Tani 15242 1 179 80710 78672 84772 246128 257321 276030

Pozolana Tani 260403 61501 60320 113489 75193 79452 68925 342628 230045

Kaolin Tani 13926 18624 58 178 1422 907 3809 1953 605

Madini ya fedha Kg 10388 8231 12470 10399 11227 12159 14493 15569 17984

Shaba Pound 6288503 4451697 11741898 7531164 12426025 12749548 14027008 14252341 15762430

Bauxite Tani 20601 122920 39326000 29520000 28433930 39977300 25641201 204956 72779

Chanzo: Wizara ya Nishati na Madini, Idara ya Madini

- Takwimu hazikupatikana

Carat = 0.205 gm

* Takwimu za awali

UCHIMBAJI WA MADINI: KIASI KILICHOPATIKANA

Page 220: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

200

Jedwali Na. 57

Aina ya madini Kipimo

2011 2012 2013 2014 2015 2016* 2011 2012 2013 2014 2015 2016*

Almasi (Rough) '000 Carats 80 127174 179633 252875 216491 239305 7480 33827 46013 82053 56003 85090

Almasi (iliyokatwa) '000 Carats - - - - - - - - - - - -

Almasi (Contruct goods) '000 Carats - - - - - - - - - - - -

Dhahabu '000 Gramu 37085 39012 42534 40481 43358 45155 1879622 2161520 1735708 1640072 1609392 1824815

Mawe ya thamani '000 Gramu 1058580 - 1086532 3083765 1872915 2944107 6309 32570 62453 49146 46067 60483

Chumvi Tani 32298 32004 33210 54757 92158 145718 3699 3408 3785 5275 5071 4806

Phosphate Tani 848512 570626 397020 738000 222800 23658 425 277 225 140 126 721

Bati Tani - 48 - 79 179 138 - 732 - 907 959 1499

Jasi Tani 11820 71610 - 200179 235920 213744 99 215 231 2518 4445 23792

Grafiti Tani - - - 25 30 1180 - - - 3 5 2132

Fedha 000Grams 10399 11227 11013 14493 15569 17984 11615 12682 17214 10283 7626 9901

Shaba 0001b 7531 12426 12654045 14027008 14252 16247 30202 44816 42134 43675 35658 35421

Madini ya viwandani Tani - - - 98 151297 4769577 - - - 9 3254 78473

Bauxite Tani 37700000 28433930 39977300 25641201 204956 74660 1385 12479 35827 20014 325 1242

Jumla ('000 US $) 1940836 2302526 1943590 1854095 1768930 2128372

Chanzo: Wizara ya Nishati na Madini, Idara ya Madini

- Takwimu hazikupatikana

* Takwimu za awali

Kiasi kilichouzwa Thamani ('000 US $)

MADINI YALIYOUZWA NCHI ZA NJE 2011 - 2016

Page 221: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

201

SURA YA 14

VIWANDA NA BIASHARA

Kiwango cha Ukuaji

308. Mwaka 2016, shughuli za kiuchumi za uzalishaji bidhaa za viwandani

zilikua kwa asilimia 7.8 ikilinganishwa na asilimia 6.5 mwaka 2015, sawa na

ongezeko la asilimia 1.3 Ukuaji huu ulitokana na kuongezeka kwa uzalishaji wa

bidhaa zikiwemo bidhaa za vyakula, saruji, vinywaji, tumbaku na nguo. Aidha,

mchango wa shughuli za uzalishaji bidhaa viwandani katika Pato la Taifa

ulipungua na kuwa asilimia 5.1 mwaka 2016 ikilinganishwa na asilimia 5.2

mwaka 2015.

Viwanda Vidogo

309. Katika uendelezaji wa viwanda vidogo, mwaka 2016 Programu ya

Muunganisho wa Ujasiriamali Vijijini (MUVI) na NEDF ilitoa mafunzo kwa

wajasiriamali 39,319 ikilinganishwa na wajasiriamali 26,887 waliopatiwa

mafunzo mwaka 2015. Mafunzo hayo yalihusu kilimo bora, kuzalisha mizinga

ya nyuki ya kisasa, kubuni mavazi na ushonaji, usindikaji wa vyakula,

utengenezaji wa mitambo na mashine za aina mbalimbali, matumizi ya mbegu

bora, ukamuaji wa mafuta na utengenezaji wa bidhaa mbalimbali. Vile vile,

program ya MUVI ilitoa mafunzo ya kuongeza thamani katika mazao ya alizeti

na mhogo na kuweza kuzalisha mikate, keki, biskuti, mafuta, chakula cha

mifugo, dawa za mbu na dawa za viatu kwa wajasiriamali 5,307 mwaka 2016

ikilinganishwa na wajasiriamali 32,129 mwaka 2015. Aidha, Serikali kupitia

taasisi zake iliendelea kuboresha na kuanzisha mitaala mipya ya mafunzo

kuweza kuendana na kasi ya wananchi katika sekta ya viwanda vidogo na

biashara ndogo.

310. Mwaka 2016, Serikali kupitia TanTrade ilitoa mafunzo kwa vijana 50 ya

utengenezaji wa bidhaa za ngozi katika mikoa ya kanda ya ziwa ambayo ni

Mwanza, Mara, Shinyanga, Simiyu na Geita. Mafunzo haya yalilenga kuwapa

fursa vijana kutumia malighafi ya ngozi kujiajiri lakini pia kuongeza wigo wa

matumizi ya ngozi ambayo inapatikana kwa wingi hapa nchini. Mafunzo hayo

yalitolewa kwa ushirikiano kati ya TanTrade na Chuo cha Ufundi Dar es Salaam

kituo cha Mwanza ambacho ni maalum kwa teknolojia ya Ngozi. Vile vile,

iliratibu mafunzo yaliyolenga kuwajengea uwezo wazalishaji asali na

Page 222: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

202

wafungashaji wa asali, ili kujenga uelewa wa biashara ya asali kwa kuzingatia

mahitaji ya soko na kuwezesha bidhaa wanazozalisha kuwa na ushindani katika

soko la ndani na nje. Mafunzo haya yalihudhuriwa na jumla ya washiriki 197

kati yao 84 walitoka katika wilaya saba za mkoa wa Singida na 113 walitoka

mikoa ya Tabora na Katavi. Mafunzo haya yalitolewa na TanTrade kwa

kushirikiana na Shirika la Viwango Tanzania, Shirika la Viwanda Vidogo

(SIDO) na taasisi ya kusimamia Msimbo Miria (GS1).

311. Mwaka 2016, Mfuko wa Taifa wa Maendeleo ya Wajasiriamali ulitoa

mikopo yenye thamani ya shilingi milioni 39,679.2 kwa wajasiriamali 66,253

ikilinganishwa na mikopo yenye thamani ya shilingi milioni 49,073.8 kwa

wajasiriamali 75,469 mwaka 2015. Kwa upande mwingine, teknolojia 252

zilibuniwa na mashine mpya 659 zilitengenezwa kwa kupitia vituo saba vya

kukuza teknolojia ikilinganishwa na teknolojia 186 na mashine 416

zilizotengenezwa mwaka 2015. Hii ilitokana na kuongezeka kwa mahitaji ya

teknolojia mpya na mashine mpya.

Uzalishaji katika Baadhi ya Viwanda Nchini

312. Mwaka Mwaka 2016, uzalishaji wa bidhaa za viwandani kwa ujumla

uliongezeka. Bidhaa zilizokuwa na ongezeko katika uzalishaji ni pamoja na

chibuku asilimia 15.1; sigara asilimia 3.2; kamba za katani asilimia 4.1; nyavu

za uvuvi asilimia 0.3; dawa za pareto asilimia 6.8; saruji asilimia 45.9 na chuma

asilimia 4.9. Kuongezeka kwa uzalishaji wa bidhaa hizo kulitokana na ongezeko

la mahitaji ya bidhaa za viwandani katika soko la ndani na nje. Hata hivyo,

uzalishaji ulipungua kwa bidhaa za biskuti na tambi asilimia 17.3; unga wa

ngano asilimia 6.4; konyagi asilimia 2.5; bia asilimia 0.8; nguo asilimia 4.6;

tabaka za mbao asilimia 3.8; rangi asilimia 8.5; betri asilimia 20.7 na sukari

asilimia 3.6.

313. Mwaka 2016, kwa ujumla gharama za uzalishaji bidhaa ziliongezeka

hadi kufikia shilingi milioni 4,305,293 kutoka shilingi milioni 4,100,280 mwaka

2015, sawa na ongezeko la asilimia 5. Ongezeko hilo lilitokana na kubadilika

kwa thamani ya shilingi ya Tanzania, hususani pale malighafi za viwandani

zinaponunuliwa kutoka nje ya nchi na gharama za wafanyakazi kuongezeka.

Page 223: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

203

Mwenendo wa Biashara ya Tanzania Kimataifa

314. Biashara kati ya Tanzania na nchi mbalimbali imekuwa ya kuridhisha

katika miaka ya hivi karibuni kwa kuonesha tofauti ndogo katika urari wa

biashara ikilinganishwa na miaka ya nyuma. Hii imechangiwa na kuongezeka

kwa mauzo ya bidhaa nje na kupungua kwa uagizwaji wa bidhaa kutoka nje ya

nchi. Vile vile, utofauti huu ulitokana na kuwepo kwa masoko ya upendeleo ya

mpango wa AGOA kutoka Marekani; Quota Free Duty Free (QFDF) kutoka

Japan, India na China; Jumuiya ya Umoja wa Ulaya; pamoja na masoko ya

kikanda ya Jumuiya ya Afrika Mashariki; Jumuiya ya Maendeleo ya Nchi za

Kusini mwa Afrika na masoko mengine ya kimataifa kupitia Shirika la Biashara

la Dunia. Kwa ujumla nakisi katika urari ya biashara baina ya Tanzania na nchi

nyingine duniani ilipungua kwa asilimia 49.2 mwaka 2016 kufikia dola za

Marekani milioni 2,774.9 kutoka dola milioni 4,440.7 mwaka 20115. Mwenendo

wa biashara ya bidhaa baina ya Tanzania na nchi/Jumuiya mbalimbali duniani

umeoneshwa katika Sura ya 3.

Maonesho ya Kibiashara ya Kimataifa

315. Mwaka Mwaka 2016, Serikali kupitia TanTrade iliratibu na kuendesha

maonesho ya 40 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam yaliyofanyika

katika Uwanja wa Maonesho wa Mwl. Julius K. Nyerere ambapo jumla ya

kampuni 2,500 zilishiriki ikilinganishwa na kampuni 2,302 zilizoshiriki mwaka

2015, ikiwa ni ongezeko la asilimia 8.6. Kati ya kampuni zilizoshiriki, 501

zilitoka nje ya nchi na 1,999 zilikuwa za ndani. Aidha, jumla ya nchi 30

zilishiriki maonesho hayo ikilinganishwa na nchi 25 zilizoshirika mwaka 2015.

Nchi zilizoshiriki katika maonyesho hayoni pamoja na:- Afrika ya Kusini,

Australia, Bulgaria, Brazil, China, Ghana,Ufaransa, India, Indonesia, Italia, Iran,

Japan, Kenya, Korea ya Kusini, Malawi, Mauritius, Misri, Msumbiji, Pakistani,

Singapore, Syria, Uganda, Uingereza, Ujerumani, Umoja wa Falme za Kiarabu

(UAE), Bulgaria, Rwanda, Sudani ya Kusini, Urusi na Vietnam.

316. Mwaka 2016, Serikali iliandaa maonesho ya kwanza ya viwanda vya

ndani yenye kaulimbiu “Tanzania tunajenga viwanda” ambayo yalilenga

kuongeza uelewa wa wananchi juu ya falsafa na dhima ya ujenzi wa uchumi wa

viwanda. Katika maonesho hayo, jumla ya viwanda 441, taasisi 13 za serikali na

taasisi 5 za fedha zilishiriki. Aidha, Serikali iliandaa maonesho yaliyoambatana

na mkutano wa wananchi wa Tanzania wanaoishi nchi za nje (Diaspora) katika

Page 224: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

204

viwanja vya Maisara-Unguja. Maonesho hayo yalilenga kuwapa fursa

watanzania wanaoishi nchi za nje kubaini bidhaa zinazozalishwa nchini ili

wasaidie kuzitangaza. Kadhalika, mwaka 2016, Tanzania ilishiriki katika

Maonesho ya Biashara ya Kimataifa ya Rwanda yaliyofanyika Kigali ambapo

kampuni 9 kutoka Tanzania zilishiriki. Vile vile, Tanzania ilishiriki katika

Maonesho ya Biashara ya Kimataifa ya Swaziland yalifanyika mjini Manzini

ambapo wajasiriamali 8 waliweza kushiriki na Maonesho ya Biashara ya

Kimataifa ya Nairobi yaliyofanyika Uwanja wa maonesho wa Jamhuri Park,

ambapo jumla ya kampuni 3 za uzalishaji pamoja na wajasiriamali 19

walishiriki. Maonesho yote ya Kimataifa yalilenga kutafuta fursa za masoko ya

bidhaa za Tanzania katika nchi husika.

Bei ya Soko kwa Bidhaa za Mazao

317. Mwaka 2016, wastani wa bei za mazao makuu ya chakula zilipanda

ambapo wastani wa bei ya mahindi uliongezeka na kufikia shilingi 64,228

ikilinganishwa na wastani wa shilingi 51,235 kwa gunia la kilo mia moja

mwaka 2015. Ongezeko hilo lilitokana na kushuka kwa ugavi katika soko la

ndani kufuatia kuongezeka kwa mahitaji na bei katika masoko ya nchi jirani

ambazo hazikuwa na uzalishaji wa kutosha kukidhi mahitaji yao. Aidha, bei ya

mchele kwa gunia la kilo mia moja ilishuka kutoka wastani wa shilingi 161,487

mwaka 2015 hadi wastani wa shilingi 158,510 mwaka 2016. Kushuka kwa bei

ya mchele kulitokana na kuongezeka kwa uzalishaji wa mchele.

Page 225: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

205

Jedwali Na. 58

Matumizi

Tani Badiliko, %

2000 7281 30497 833092 809876 -0.6%

2001 56395 53517 900430 903308 11.5%

2002 149079 37203 1026082 1137958 26.0%

2003 166446 34396 1186434 1318484 15.9%

2004 125007 37655 1280851 1368203 3.8%

2005 120200 40430 1375222 1454992 6.3%

2006 92711 98 1421460 1514073 4.1%

2007 101827 52170 1629890 1679547 10.9%

2008 356468 99688 1755862 2012642 19.8%

2009 516182 57569 1940845 2399458 19.2%

2010 566828 189321 2312055 2689562 12.1%

2011 768343 217944 2408765 2959164 10.0%

2012 1013986 145793 2557798 3425991 15.8%

2013 1218453 154481 2369819 3433791 0.2%

2014 1428995 142001 2795687 4082681 18.9%

2015 1257578 126391 3273000 4404187 7.9%

2016 1306732 194338 4916400 6028794 36.9%

Chanzo: Ofisi ya Taifa Takwimu

* Takwimu za Awali

Tani

MATUMIZI YA SARUJI NCHINI

Mwaka Kutoka Nje Uuzaji nje Uzalishaji wa

Ndani

Page 226: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

206

Jedwali Na.59

Badiliko(%)

Aina ya Bidhaa Kipimo 2007 2008 2009 2010 2011 2012 2013 2014 2015 2016 2015/16

Biskuti & tambi Tani 11273 15435 15200 7435 12053 16423 17440 18225 19204 15890 -17.3

Unga wa ngano Tani 406336 287925 368885 444242 439926 442345 516778 529797 533257 498940 -6.4

Konyagi 000 Lita 5622 4049 10201 11186 15432 16229 20680 31963 29491 28754 -2.5

Bia 000 Lita 310194 291178 284906 242689 323393 338041 374238 379913 386310 383251 -0.8

Chibuku 000 Lita 10320 10235 16141 21037 23474 22359 19935 20301 23028 26513 15.1

Sigara Milioni 5821 6101 5831 6181 6630 7723 7710 8028 7837 8091 3.2

Nguo 000 M2

139000 140531 91501 103177 101820 81437 97522 119458 100491 76436 -23.9

Kamba za katani Tani 7012 7783 7913 6872 6976 7927 7542 7871 8851 9216 4.1

Nyavu za uvuvi Tani 156 - 64 247 164 272 297 279 311 312 0.2

Mazulia 000 M2

- - 37152 - - - - - 0 0 -

Tabaka za mbao M2

45147 44547 266 - 30589 38871 36935 38913 36317 34983 -3.7

Dawa za pareto Tani 33 73 - 49 53 70 83 136 118 126 6.5

Mbolea Tani - 25762 - 11200 - - - 0 0 -

Rangi 000 Lita 17451 24857 - 28201 31211 35025 36623 38308 38372 35096 -8.5

Bidhaa za petrol 000 Tani - - 1941 - - - - - 0 0 -

Saruji 000 Tani 1630 1756 34793 2313 2409 2558 2369 2795 3135 4572 45.8

Chuma Tani 52163 39969 34793 33384 39955 46690 48500 56752 62612 65686 4.9

Bati Tani 36492 31743 50664 71276 76912 81427 85314 86825 91385 91421 0.0

Aluminium Tani 110 105 58 59 33 23 37 27 32 14 -56.3

Radio 000 namba - - - - - - - 0 0 -

Betri Milioni 75 53 78 93 89 68 75 93 87 69 -20.7

Chanzo: Ofisi ya Taifa ya Takwimu na Wizara ya Viwanda na Biashara

- Hakuna uzalishaji

UZALISHAJI WA BAADHI YA BIDHAA VIWANDANI

Page 227: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

207

Jedwali Na. 60

2012 2013 2014 2015 2016 2012 2013 2014 2015 2016 2012 2013 2014 2015 2016

151-4 Vyakula 48,913 51,358 53,926 56,622 59,453 353 371 390 410 432 49266 51729 54316 57033 59885

155 Vinywaji 6,520 6,846 7,188 7,548 7,925 58 61 64 67 71 6578 6907 7252 7615 7996

160 Tumbaku na Sigara 7,588 7,968 8,366 8,785 9,224 - - - - - 7588 7968 8366 8785 9224

171-2,

181

Ufumaji na Ushonaji

13,217 13,878 14,572 15,300 16,065 273 287 302 318 334 13490 14165 14874 15618 16399

191 Ngozi, bidhaa za ngozi 714 750 788 827 868 5 5 5 6 6 719 755 793 832 874

192 Viatu 903 948 995 1,045 1,097 6 6 6 7 7 909 954 1002 1052 1104

201-202 Mbao, Bidhaa za Mbao 849 892 937 983 1,033 28 30 32 33 35 877 922 968 1017 1068

210-221-

222

Karatasi, Uchapishaji

6,149 6,456 6,779 7,118 7,474 106 112 118 124 130 6255 6568 6897 7242 7604

241-2 Utengenezaji wa Kemikali 3,246 3,408 3,578 3,757 3,945 34 36 38 40 42 3280 3444 3616 3797 3987

251 Bidhaa za mpira 1,353 1,421 1,492 1,567 1,645 14 15 16 17 17 1367 1436 1508 1583 1662

252 Bidhaa za Plastiki 4,625 4,856 5,099 5,354 5,621 15 16 17 18 19 4640 4872 5116 5371 5640

261-9 Bidhaa za Madini yasiyo Chuma 2,768 2,906 3,051 3,204 3,364 34 36 38 40 42 2802 2942 3089 3244 3406

271-369 Nyinginezo 22,601 23,731 24,918 26,163 27,471 468 491 516 543 571 23069 24222 25434 26707 28043

Jumla 119,446 125,418 131,689 138,273 145,186 1,394 1,466 1,542 1,622 1,706 120,840 126,884 133,231 139,895 146,892

Chanzo: Ofisi ya Taifa ya Takwimu

* Takwimu ziimerekebishwa kutokana na utafiti wa sensa ya viwanda ya mwaka 2013

VIWANDA - IDADI YA WATU WALIOAJIRIWA

JumlaWengineISIC

(Rev 3)Shughuli

Walioajiriwa

Page 228: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

208

Jedwali Na. 61 (Sh.milioni)

2012 2013 2014 2015 2016 2012 2013 2014 2015 2016 2012 2013 2014 2015 2016

151-4 Vyakula 59,257 62,220 65,330 68,596 72,025 25,743 27,030 28,382 29,801 31,292 85000 89250 93712 98397 103317

155 Vinywaji 40,797 42,836 44,977 47,226 49,586 23,210 24,370 25,589 26,869 28,212 64007 67206 70566 74094 77799

160 Tumbaku na Sigara 19,541 20,518 21,544 22,621 23,751 10,729 11,266 11,829 12,421 13,042 30270 31784 33373 35042 36794

171-2, 181 Ufumaji na Ushonaji 11,542 12,119 12,725 13,361 14,029 4,460 4,683 4,917 5,163 5,421 16002 16802 17642 18524 19450

191 Ngozi, Bidhaa za ngozi 538 565 593 623 654 124 131 138 144 152 662 696 731 767 806

192 Viatu 1,161 1,219 1,280 1,344 1,411 446 468 491 516 542 1607 1687 1771 1860 1953

201- 202 Mbao, Bidhaa za Mbao 855 897 942 989 1,038 245 257 270 283 298 1100 1154 1212 1272 1336

210-221-222 Karatasi, Uchapishaji 20,020 21,021 22,072 23,175 24,334 6,457 6,780 7,119 7,475 7,849 26477 27801 29191 30650 32183

241-2 Utengenezaji wa Kemikali 8,215 8,626 9,057 9,510 9,985 4,760 4,998 5,248 5,510 5,786 12975 13624 14305 15020 15771

251 Bidhaa za Mpira 6,393 6,712 7,048 7,400 7,770 1,594 1,674 1,758 1,846 1,938 7987 8386 8805 9245 9708

252 Bidhaa za Plastiki 7,054 7,406 7,776 8,165 8,573 5,895 6,190 6,500 6,825 7,166 12949 13596 14276 14990 15739

261-9 Bidhaa za Madini yasiyo Chuma 84,917 89,162 93,619 98,299 103,213 9,550 10,028 10,530 11,056 11,609 94467 99190 104149 109355 114822

271-369 Nyinginezo 49,463 51,936 54,532 57,258 60,120 36,615 38,446 40,369 42,388 44,508 86078 90382 94901 99646 104628

Jumla 309753 325237 341495 358566 376490 129828 136321 143139 150298 157815 439581 461558 484634 508864 534305

Chanzo: Ofisi ya Taifa ya Takwimu

* Takwimu ziimerekebishwa kutokana na utafiti wa sensa ya viwanda ya mwaka 2013

Mishahara Malipo MengineShughuliISIC(Rev 3)

Jumla

VIWANDA - GHARAMA ZA KAZI

Page 229: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

209

Jedwali Na. 62 (Tshs. Millioni)

2013 2014 2015 2016 2013 2014 2015 2016 2013 2014 2015 2016 2013 2014 2015 2016

151-4 Vyakula 1416291 1487106 1561461 1639533 804640 844872 887115 931471 611651 642234 674346 708063 39270 41233 43295 45459

155 Vinywaji 1075129 1128885 1185330 1244596 685236 719498 755472 793246 389893 409388 429857 451350 51580 54159 56866 59709

160 Tumbaku na Sigara 334539 351266 368829 387271 208258 218671 229604 241084 126281 132595 139225 146186 25182 26441 27763 29151

171-2, 181 Ufumaji na Ushonaji 242096 254201 266911 280256 138761 145699 152984 160633 103335 108502 113927 119623 26487 27811 29202 30661

191 Ngozi, bidhaaa za ngozi 11195 11755 12342 12960 7592 7972 8370 8789 3603 3783 3972 4171 354 372 390 410

192 Viatu 10381 10900 11445 12017 6320 6636 6968 7316 4061 4264 4477 4701 770 808 849 891

201-202 Mbao, Bidhaa za Mbao 15414 16185 16994 17844 7881 8275 8689 9123 7533 7910 8305 8720 572 601 631 662

210-221-222 Karatasi, Uchapishaji 232228 243839 256031 268833 130613 137144 144001 151201 101615 106696 112031 117632 10297 10812 11352 11920

241-2 Utengenezaji wa Kemikali 335334 352101 369706 388191 194607 204337 214554 225282 140727 147763 155152 162909 9178 9637 10119 10624

251 Bidhaa za mpira 190365 199883 209877 220371 99060 104013 109214 114674 91305 95870 100664 105697 2761 2899 3044 3196

252 Bidhaa za Plastiki 546215 573526 602202 632312 379193 398153 418060 438963 167022 175373 184142 193349 11414 11985 12584 13213

261-9

Bidhaa za Madini yasiyo

Chuma 439340 461307 484372 508591 282029 296130 310937 326484 157311 165177 173435 182107 36498 38323 40239 42250

271-369 Nyinginezo 1164516 1222742 1283879 1348072 774887 813631 854312 897028 389629 409111 429566 451045 40795 42834 44976 47224

Jumla 6013043 6313695 6629379 6960847 3719077 3905030 4100280 4305293 2293966 2408665 2529099 2655554 255158 267914 281308 295371

Chanzo: Ofisi ya Taifa ya Takwimu

* Takwimu ziimerekebishwa kutokana na utafiti wa sensa ya viwanda ya mwaka 2013

Uchakavu wa Mitambo (Depreciation)

VIWANDA - MUHTASARI WA MATOKEO

GHARAMA Thamani Iliyoongezeka (Value Added)PATO

ISIC(Rev 3) Shughuli

Page 230: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

210

Jedwali Na. 63

2013 2014 2015 2016 2013 2014 2015 2016 2013 2014 2015 2016 2013 2014 2015 2016

Dodoma 238 286 300 315 229 284 299 313 598 710 746 783 10157 10407 10928 11474

Arusha, Manyara 15787 18977 19926 20923 15169 18834 19776 20765 22844 27141 28497 29922 423301 433728 455415 478186

Kilimanjaro 11919 14327 15044 15796 11453 14220 14931 15678 12592 14960 15708 16493 162864 166876 175220 183981

Tanga 10377 12474 13098 13753 9970 12379 12998 13648 12507 14859 15602 16382 281198 288125 302531 317658

Morogoro 8384 10078 10582 11111 8056 10003 10503 11028 21947 26075 27378 28747 342668 351109 368665 387098

Pwani, 63 76 80 83 60 74 78 82 81 96 101 106 516 529 555 583

Dar es Salaam 24930 29967 31466 33040 23519 29202 30662 32195 136306 161943 170039 178538 740740 758987 796937 836784

Lindi 119 143 150 158 114 142 149 156 1547 1838 1930 2026 4911 5032 5284 5548

Mtwara 1009 1213 1274 1337 969 1203 1263 1326 546 649 681 715 8903 9122 9578 10057

Ruvuma 9392 11290 11854 12447 9024 11205 11765 12353 16960 20150 21157 22215 38726 39680 41664 43747

Iringa 2977 3579 3758 3945 2860 3551 3729 3915 6468 7685 8069 8472 26324 26972 28321 29737

Mbeya 246 296 310 326 236 293 308 323 545 648 680 714 2743 2811 2951 3099

Singida 833 1001 1051 1104 800 993 1043 1095 1360 1616 1697 1781 5275 5405 5675 5959

Tabora 132 159 167 175 127 158 166 174 1061 1261 1324 1390 1614 1654 1736 1823

Rukwa 700 841 884 928 673 836 877 921 1611 1914 2010 2110 6316 6472 6795 7135

Kigoma 2265 2723 2859 3002 2177 2703 2838 2980 10321 12262 12875 13519 22706 23265 24429 25650

Shinyanga 9816 11799 12390 13009 9432 11711 12297 12911 9982 11859 12452 13075 39077 40040 42042 44144

Kagera 7412 8910 9355 9823 7122 8843 9285 9749 14046 16688 17522 18398 121105 124088 130293 136807

Mwanza 3556 4275 4488 4713 3417 4243 4455 4678 10284 12218 12829 13470 97730 100137 105144 110402

Mara 681 819 860 903 654 812 853 895 5827 6923 7269 7632 13883 14225 14936 15683

Jumla 110836 133231 139895 146892 106061 131689 138273 145186 287433 341495 358566 376490 2350757 2408665 2529099 2655554

Chanzo: Ofisi ya Taifa ya Takwimu

* Takwimu ziimerekebishwa kutokana na utafiti wa sensa ya viwanda ya mwaka 2013

Viwanda rasmi vyenye wafanyakazi 10 na zaidi

Mishahara (TShs. Milioni)Idadi ya WaajiriwaIdadi ya Wafanyakazi

Jina la mkoa

Thamani Iliyoongezeka (TShs. Milioni)

VIWANDA - MUHTASARI WA MATOKEO KIMKOA *

Page 231: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

211

Jedwali Na. 65

Mwaka

Mchango katika

Pato la Taifa

(Bei za miaka

husika)

Ukuaji wa

Sekta (Bei za

2007)

Mchango katika

mauzo nje

Mchango katika

mauzo nje yasiyo

asilia

Ongezeko la mauzo

nje ya bidhaa za

viwanda

2005 7.29 9.3 11.81

2006 7.50 8.4 11.2 13.81 25.4

2007 7.02 11.5 15.3 18.14 57.9

2008 6.97 11.4 20.7 28.48 139.9

2009 6.88 4.7 15.4 21.35 -31.7

2010 6.89 8.9 22.3 30.34 90.3

2011 7.64 6.9 16.9 22.99 -10.6

2012 7.49 4.1 17.6 24.91 20.4

2013 6.45 6.5 20.4 28.95 3.3

2014 5.58 6.8 23.3 32.63 15.6

2015 5.25 6.5 25.3 33.14 10.1

2016 5.11 7.8 19.2 25.48 -20.0

Chanzo: Wizara ya Fedha na Mipango

VIGEZO VYA UFANISI KATIKA SEKTA YA VIWANDA (%)

Page 232: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

212

SURA YA 15

UJENZI NA MAENDELEO YA ARDHI

UJENZI

Kiwango cha Ukuaji

318. Shughuli za ujenzi zilikua kwa asilimia 13.0 mwaka 2016

ikilinganishwa na asilimia 16.8 mwaka 2015. Kasi ya ukuaji ilipungua

sambamba na kupungua kwa uagizaji wa bidhaa za kukuza mitaji kutokana na

kukamilika kwa miradi mikubwa ya ujenzi wa kiwanda cha saruji, mitambo ya

kufua umeme na bomba la gesi kutoka Mtwara na Lindi hadi Dar es Salaam.

Aidha, ukuaji wa mwaka 2016 ulitokana na kuwepo kwa shughuli za ujenzi wa

nyumba za makazi na biashara na ujenzi na ukarabati wa miundombinu ya

barabara, madaraja na viwanja vya ndege. Mchango wa shughuli za kiuchumi za

ujenzi katika Pato la Taifa uliongezeka na kufikia asilimia 14.0 mwaka 2016

ikilinganishwa na asilimia 13.6 mwaka 2015.

MMttaannddaaoo wwaa BBaarraabbaarraa

319. Mtandao wa barabara nchini una urefu wa kilometa 87,581. Mtandao huo

unajumuisha kilometa 12,786 za barabara kuu zinazounganisha mikoa na nchi

jirani, kilometa 22,214 za barabara za mikoa zinazounganisha wilaya na miji

mikuu na kilometa 52,581 ni barabara zinazounganisha wilaya na vijiji.

320. Mwaka 2016, barabara kuu na za mikoa za kiwango cha lami na

changarawe zilikuwa na urefu wa kilometa 30,265 ikilinganishwa na kilometa

31,366 mwaka 2015, sawa na pungufu ya asilimia 3.5. Upungufu huo ulitokana

na kazi za ujenzi na ukarabati wa barabara kwa kiwango cha lami zinazoendelea.

Kuhusu hali ya barabara, kati ya kilometa 30,265 kilometa 12,388 za baraba kuu

sawa na asilimia 41 zilikuwa katika hali nzuri ikilinganishwa na kilometa 11,330

mwaka 2015. Aidha, kilometa 13,642 sawa na asilimia 45 zilikuwa katika

kiwango cha wastani ikilinganishwa na kilometa 15,627 mwaka 2015 na

kilometa 4,235 sawa na asilimia 14 zilikuwa na hali mbaya ikilinganishwa na

kilometa 4,408 mwaka 2015.

321. Kati ya kilometa 12,786 za barabara kuu, jumla ya kilometa 9,953

zilikuwa na kiwango cha lami na changarawe ikilinganishwa na kilometa 9,870

mwaka 2015, sawa na ongezeko la silimia 0.8. Kati ya hizo: kilometa 6,672

sawa na asilimia 60 zilikuwa katika hali nzuri ikilinganishwa na kilometa 5,543

mwaka 2015; kilometa 2,386, sawa na asilimia 30 zilikuwa na hali ya wastani

ikilinganishwa na kilometa 3,386 mwaka 2015; na kilometa 896, sawa na

asilimia 10 zilikuwa na hali mbaya ikilinganishwa na kilometa 941 mwaka 2015.

Page 233: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

213

Aidha, kati ya kilometa 22,214 za barabara za mikoa, barabara zilizokuwa na

kiwango cha lami na changarawe zilikuwa na urefu wa kilometa 20,312

ikilinganishwa na kilometa 21,496 mwaka 2015. Kati ya hizo: kilometa 5,716

zilikuwa na hali nzuri; kilometa 11,256 zilikuwa katika hali ya wastani; na

kilometa 3,339 zilikuwa na hali mbaya ikilinganishwa na kilometa 5,787,

kilometa 12,242 na kilometa 3,467 mwaka 2015 kwa mtiririko huo. Jedwali

Na.15.1 linaonesha mchanganuo wa mtandao wa barabara kuu na za mikoa kwa

kiwango cha lami na changarawe.

Jedwali Na.15.1: Hali ya Mtandao wa Barabara Hadi Desemba 2016

Aina ya Barabara

Hali ya Mtandao wa Barabara Jumla

Kuu

Nzuri Wastani Mbaya

Km % Km % Km %

Barabara Kuu za Lami 5,408 80 910 13 481 7 6,798

Barabara Kuu za Changarawe /

Udongo 1,264 40 1,476 47 415 13 3,155

Jumla Ndogo-Barabara Kuu 6,672 67 2,386 24 896 9 9,953

Barabara za Mikoa za Lami 544 50 300 28 239 22 1,084

Barabara za Mikoa za

Changarawe / Udongo 5,172 27 10,956 57 3,100 16 19,228

Jumla Ndogo-Barabara za

Mikoa 5,716 28 11,256 7 3,339 16 20,312

Jumla Kuu 12,388 41 13,642 45 4,235 14 30,265

Chanzo: Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano

MMaatteennggeenneezzoo yyaa BBaarraabbaarraa,, MMaaggaarrii,, MMaaddaarraajjaa nnaa VViivvuukkoo

322. Mwaka 2016, jumla ya kilometa 33,058.01 za barabara kuu na za mikoa

zilifanyiwa matengenezo ikilinganishwa na kilometa 24,601 zilizofanyiwa

matengenezo mwaka 2015. Aidha, madaraja 2,934 yalifanyiwa matengenezo

ikilinganishwa na madaraja 1,710 mwaka 2015. Ongezeko hilo la barabara na

madaraja yaliyofanyiwa matengenezo lilitokana na fedha za utekelezaji wa

miradi hiyo kupatikana kwa wakati. Vile vile, mwaka 2016, Serikali ilifanya

ukarabati na matengenezo ya vivuko 23 kati ya 29 inavyovisimamia.

Halikadhalika, Serikali imekamilisha ujenzi wa kivuko kipya cha Mto Pangani

chenye uwezo wa kubeba tani 50 na ujenzi wa kivuko kipya cha MV Kazi

kitakachotoa huduma katika kituo cha Magogoni-Kigamboni (Dar es Salaam)

ulifikia asilimia 90.

BBooddii yyaa MMffuukkoo wwaa BBaarraabbaarraa

323. Mwaka 2016, mapato yaliyokusanywa na Mfuko wa Barabara

yaliongezeka kufikia shilingi milioni 819,680.75 kutoka shilingi milioni

Page 234: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

214

676,037.66 mwaka 2015, sawa na ongezeko la asilimia 21.2. Ongezeko hilo

lilitokana na usimamizi mzuri wa makusanyo ikiwemo matumizi ya mifumo ya

kielektroniki na ongezeko la kiasi cha mafuta ya petroli kilichoagizwa kutoka

nje pamoja na kuongezeka kwa magari yanayosafirisha mizigo kwenda nchi

jirani. Aidha, Bodi ilifanya ukaguzi wa miradi ya barabara 692 ikilinganishwa

na miradi 670 iliyokaguliwa mwaka 2015. Idadi ya miradi iliyokaguliwa

iliongezeka kutokana na ongezeko la mikoa na halmashauri ambazo ni

watumiaji wa fedha za Mfuko.

WWaakkaallaa wwaa NNyyuummbbaa nnaa MMaajjeennggoo yyaa SSeerriikkaallii

324. Mwaka 2016, Serikali iliendelea kutekeleza miradi 110 ya ujenzi na

ukarabati wa nyumba ikilinganishwa na miradi 119 mwaka 2015. Katika kipindi

hicho, jumla ya miradi 63 ya ukarabati wa nyumba na majengo ilisimamiwa

ikilinganishwa na miradi 103 mwaka 2015. Kupungua kwa ukarabati wa

nyumba na majengo ya Serikali kulitokana na miradi mingi kukamilika. Aidha,

idadi ya nyumba za makazi na biashara zilizopangishwa kwa watumishi wa

serikali na watu mbalimbali zilikuwa 2,518 ikilinganishwa na nyumba 1,159

mwaka 2015. Vile vile, mikataba ya pango kwa nyumba 94 ilisitishwa kutokana

na wapangaji kutolipa kodi ya pango kwa wakati.

BBooddii yyaa UUssaajjiillii wwaa WWaakkaannddaarraassii

325. Mwaka 2016, Bodi ya Wakandarasi ilisajili jumla ya wakandarasi 774

ikilinganishwa na wakandarasi 903 mwaka 2015. Usajili huu unafanya jumla ya

wakandarasi waliosajiliwa hadi Desemba 2016 kufikia 8,418 ikilinganishwa na

wakandarasi 8,839 katika kipindi kama hicho mwaka 2015. Kupungua kwa

wakandarasi waliosajiliwa kulitokana na kupungua kwa miradi ya maendeleo.

Aidha, wakandarasi 7 walifutiwa usajili mwaka 2016 ikilinganishwa na

wakandarasi 245 mwaka 2015 kutokana na sababu mbalimbali zikiwemo

kushindwa kulipa ada ya mwaka na kutozingatia taratibu za kazi na taaluma

zao.Vile vile, Bodi ilisajili miradi ya ujenzi 3,556 ikilinganishwa na miradi

2,967 mwaka 2015, ambapo kati ya hiyo, miradi 2,934 ilifanyiwa ukaguzi

ikilinganishwa na miradi 2,735 mwaka 2015. Ongezeko hilo lilitokana na

kuongezeka kwa ofisi za ukaguzi ikiwemo kufunguliwa kwa ofisi mpya kanda

ya Dodoma.

BBooddii yyaa UUssaajjiillii yyaa WWaahhaannddiissii

326. Bodi ya Usajili wa Wahandisi ilisajili wahandisi 1,892 wa fani

mbalimbali mwaka 2016 ikilinganishwa na wahandisi 1,467 waliosajiliwa

mwaka 2015, sawa na ongezeko la asilimia 29.0. Kati ya hao, wahandisi 1,775

walikuwa watanzania na wahandisi 117 walikuwa wageni. Aidha, Bodi ilisajili

kampuni za ushauri 14 ambapo kampuni 8 zilikuwa za kitanzania na 6 za kigeni

Page 235: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

215

ikilinganishwa na kampuni 9 zilizosajiliwa mwaka 2015, ambapo kampuni 7

zilikuwa za kitanzania na 2 za kigeni.Vile vile, jumla ya wahandisi 459 walipata

mafunzo ikilinganishwa na wahandisi 393 mwaka 2015. Bodi pia ilisajili miradi

ya ujenzi 829 na kukagua miradi 178 ikilinganishwa na usajili wa miradi 821 na

ukaguzi wa miradi 180 mwaka 2015. Usajili wa miradi uliongezeka kutokana na

wadau kujitokeza na kujua umuhimu wa kusajili miradi.

BBooddii yyaa WWaabbuunniiffuu MMaajjeennggoo nnaa WWaakkaaddiirriiaajjii MMaajjeennzzii

327. Mwaka 2016, Bodi ya Wabunifu Majengo na Wakadiriaji Majenzi

ilisajili jumla ya wataalam 830 ikilinganishwa na wataalam 747 mwaka 2015,

sawa na ongezeko la asilinia 11.1. Ongezeko hilo lilitokana na wahitimu wengi

kujitokeza kufanya mitihani ya Bodi kwa mwaka husika. Aidha, katika kipindi

hicho, kampuni mpya 22 za wabunifu majengo na wakadiriaji majenzi

zilisajiliwa na hivyo kuwa na jumla ya kampuni 346 ikilinganishwa na kampuni

mpya 19 mwaka 2015. Ongezeko hili lilitokana na juhudi za Bodi kuendelea

kuwahamasisha waendelezaji wa majengo kutumia huduma za wataalamu

waliosajiliwa.

328. Mwaka 2016, Bodi ilikagua miradi 2,153 ikilinganishwa na miradi 2,101

iliyokaguliwa mwaka 2015, sawa na ongezeko la asilimia 2.5. Aidha, katika

kipindi hicho, miradi 780 ya ujenzi ilisajiliwa ikilinganishwa na miradi 799

iliyosajiliwa mwaka 2015. Vile vile, ili kuongeza ufanisi katika fani ya ubunifu

na ukadiriaji majenzi, jumla ya wahitimu 104 walipatiwa mafunzo kwa vitendo

ikilinganishwa na wahitimu 60 mwaka 2015.

BBaarraazzaa llaa TTaaiiffaa llaa UUjjeennzzii

329. Mwaka 2016, Baraza la Taifa la Ujenzi lilitoa mafunzo kwa wadau 119

wa sekta ya ujenzi ikilinganishwa na wadau 149 waliopatiwa mafunzo mwaka

2015. Kati ya hao, wadau 61 walipata mafunzo ya usimamizi wa mikataba ya

ujenzi na wadau 53 mafuzo ya usuluhishi wa migogoro. Aidha, Baraza lilifanya

ukaguzi wa kiufundi katika miradi 151 mwaka 2016 ikilinganishwa na miradi 85

mwaka 2015. Vile vile, Baraza lilifanya usuluhishi wa migogoro ya ujenzi 23

ikilinganishwa na migogoro 19 mwaka 2015.

MAENDELEO YA ARDHI

UUttaayyaarriisshhaajjii wwaa HHaattiimmiilliikkii,, UUkkaagguuzzii,, nnaa UUhhaakkiikkii MMiillkkii

330. Mwaka 2016, jumla ya milki 32,230 zilikaguliwa, kuhakikiwa na

kuandaliwa hatimiliki katika kanda nane za ardhi ikilinganishwa na milki 42,642

zilizohakikiwa na kuandaliwa mwaka 2015. Aidha, ilani za ubatilisho 5,016

zilitumwa kwa wapangaji waliokiuka masharti ya upangaji ardhi ikilinganishwa

Page 236: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

216

na ilani 4,313 mwaka 2015. Vile vile, jumla ya migogoro ya ardhi 820

ilitatuliwa kiutawala mwaka 2016 ikilinganishwa na migogoro 1,211

iliyotatuliwa mwaka 2015. Kwa upande wa utoaji wa vyeti vya ardhi ya vijiji na

hati za hatimiliki za kimila jumla ya hatimiliki za kimila 7,833 zilitolewa

ikilinganishwa na hatimiliki za kimila 18,325 mwaka 2015.

UUssaajjiillii wwaa HHaattiimmiilliikkii nnaa NNyyaarraakkaa zzaa KKiisshheerriiaa

331. Mwaka 2016, jumla ya hatimiliki na nyaraka za kisheria 91,187

zilisajiliwa ikilinganishwa na hatimiliki na nyaraka za kisheria 77,464

zilizosajiliwa mwaka 2015. Kati ya hizo, hati za kumiliki ardhi zilikuwa 33,257;

hati za umiliki wa sehemu ya jengo/eneo zilikuwa 1,410; na nyaraka

zilizosajiliwa chini ya Sheria ya Usajili wa Ardhi (Sura ya 334) zilikuwa 34,682.

Vile vile, nyaraka 20,525 zilisajiliwa chini ya Sheria ya Usajili wa Nyaraka

(Sura ya 117) na jumla ya rehani 1,313 zinazohamishika zilisajiliwa mwaka

2016.

Jedwali Na.15.2: Usajili wa Hatimiliki na Nyaraka za Kisheria

Hati na Nyaraka zilizosajiliwa 2014 2015 2016

Hati za kumiliki Ardhi zilizosajiliwa chini ya Sheria

ya Usajili wa Hati

29,951 31,254 33,257

Hati ya sehemu ya jengo/eneo zilizosajiliwa chini ya

Sheria ya usajili wa Hati‘Unit Title Act No.

17/2008’.

1,027 1,541 1,410

Nyaraka za kisheria zilizosajiliwa chini ya Sheria ya

usajili wa Hati Sura Na. 334

39,540 29,546 34,682

Nyaraka zilizosajiliwa chini ya Sheria ya Usajili wa

Nyaraka Sura Na. 117

13,403 13,041 20,525

Nyaraka zilizosajiliwa chini ya Sheria ya Usajili wa

Rehani ya mali zinazohamishika Sura na. 210

3,100 2,082 1,313

Jumla 87,021 77,464 91,187

Chanzo: Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi

UUtthhaammiinnii wwaa MMaallii kkwwaa MMaaddhhuummuunnii MMbbaalliimmbbaallii nnaa yyaa UUlliippaajjii FFiiddiiaa

332. Mwaka 2016, jumla ya taarifa za uthamini 9,047 ziliidhinishwa

ikilinganishwa na taarifa 15,294 zilizoidhinishwa mwaka 2015. Idadi hii

inajumuisha taarifa zilizopokelewa kutoka katika mamlaka za Serikali za itaa,

kampuni binafsi za uthamini pamoja na zilizofanywa na wizara husika. Aidha,

Serikali ilihakiki na kuidhinisha taarifa 192 za uthamini wa fidia zenye

wafidiwa 4,984 kwa ajili ya kulipwa fidia ili kupisha miradi mbalimbali ya

maendeleo kwa manufaa ya umma. Hii ilihusisha miradi ya uwekezaji kwenye

Page 237: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

217

eneo la nishati, ujenzi wa barabara, kilimo, upanuzi wa bandari, mabwawa ya

maji safi na upimaji wa viwanja.

UUppiimmaajjii wwaa MMaasshhaammbbaa nnaa VViiwwaannjjaa

333. Mwaka 2016, Serikali iliidhinisha milki za ramani zenye viwanja

123,727 na mashamba 391 katika mikoa 26 ya Tanzania Bara ikilinganishwa na

viwanja 135,433 na mashamba 636 yaliyoidhinishwa mwaka 2015.

Page 238: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

218

Jedwali Na. 15.3: Upimaji wa Viwanja na Mashamba

Chanzo: Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi

Mipango ya Matumizi ya Ardhi

334. Mwaka 2016, mipango ya matumizi ya ardhi ya wilaya tatu (3) za

Ulanga, Kilombero na Malinyi iliandaliwa. Aidha, mipango ya matumizi ya

ardhi ya vijiji 79 iliandaliwa katika wilaya 25 nchini ikilinganishwa na mipango

ya matumizi ya ardhi ya vijiji 91 iliyoandaliwa mwaka 2015. Lengo la mipango

Viwanja Mashamba Viwanja Mashamba Viwanja Mashamba

Arusha 2,818 43 1,209 58 1,769 19

Pwani 21,141 229 20,227 241 21,539 190

DSM 9,336 0 22,178 0 29,985 1

Dodoma 2,298 0 2,512 0 1,653 0

Geita 3,945 0 2,688 0 1,808 0

Iringa 2,020 22 2,606 9 1,893 38

Kagera 1,728 37 804 14 1,211 9

Kigoma 2,812 0 3,120 0 4,773 0

Kilimanj 5,992 32 833 144 1284 0

Katavi 1,464 0 5,936 0 767 58

Lindi 6,599 1 2,786 0 3,000 4

Manyara 16,333 18 192 7 1,198 14

Mara 423 1 4,983 17 4,998 0

Mbeya 1,896 10 2,735 11 2,093 15

Morogor 4,017 71 4,877 80 6,538 4

Njombe 1,913 12 1,955 3 1829 11

Mtwara 3,440 2 1,825 2 4847 2

Mwanza 10,302 5 7,369 4 6042 0

Rukwa 695 0 659 0 248 8

Ruvuma 5,961 2 1,700 0 2,368 0

Shinyang 3,651 0 9,230 1 4,690 0

Songwe 0 0 0 0 1022 0

Singida 3,674 0 9,282 1 4,101 1

Simiyu 927 3 1,232 0 832 0

Tabora 1,008 4 16,248 0 11,524 0

Tanga 4,406 42 8,247 44 1,715 17

Jumla 118,799 534 135,433 636 123,727 391

Mikoa

Miliki

zilizoidhinishwa

mwaka 2014

Miliki

zilizoidhinishwa

mwaka 2015

Miliki zilizoidhinishwa

mwaka 2016

Page 239: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

219

hii ni kuepusha migogoro ya ardhi na kuhakikisha uwepo wa matumizi bora ya

ardhi kwa ajili ya kilimo, ufugaji na matumizi mengine.

MMaabbaarraazzaa yyaa AArrddhhii nnaa NNyyuummbbaa yyaa WWiillaayyaa

335. Jumla ya mabaraza matatu (3) ya Kilindi, Kiteto na Lushoto yaliundwa

mwaka 2016 ikilinganishwa na Baraza moja (1) lililoundwa mwaka 2015.

Aidha, katika kipindi hicho, jumla ya mashauri 18,546 yalifunguliwa katika

mabaraza ya ardhi na nyumba ya wilaya na kufanya jumla ya mashauri kufikia

44,859. Kati ya hayo, mashauri 20,667 yaliamuliwa na mashauri 24,192

yaliendelea kusikilizwa ikilinganishwa na mashauri 12,163 yaliyoamuliwa

mwaka 2015.

MAENDELEO YA MAKAZI

UUjjeennzzii wwaa NNyyuummbbaa zzaa MMaakkaazzii nnaa BBiiaasshhaarraa

336. Mwaka 2016, Shirika la Nyumba la Taifa lilijenga nyumba za biashara

na makazi 2,033 ikilinganishwa na nyumba za biashara na makazi 3,831 mwaka

2015.

Page 240: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

220

Jedwali Na.15.4: Nyumba zilizojengwa na Shirika la Nyumba la Taifa

Chanzo: Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi

NafuuKati &

JuuNafuu

Kati &

Juu

Arusha 40 100 0 140 20 100 0 0 120

Pwani 0 0 0 0 0 0 0 0 0

D’Salaam 0 1,280 2,299 3,579 0 630 276 0 906

Dodoma 44 153 0 197 44 155 0 0 199

Geita 68 0 0 68 48 0 0 0 48

Iringa 0 0 0 0 0 0 0 0 0

Kagera 20 0 45 65 20 0 0 0 20

Katavi 100 0 59 159 70 0 0 0 70

Kigoma 36 0 0 36 36 0 0 0 36

K’ Njaro 0 0 0 0 0 0 0 0 0

Lindi 30 0 0 30 30 0 0 0 30

Manyara 40 0 0 40 40 0 0 0 40

Mara 52 0 59 111 0 0 40 0 40

Mbeya 35 0 13 48 14 0 26 0 40

Morogoro 42 0 58 100 42 0 0 0 42

Mtwara 55 30 236 321 0 33 0 281 314

Mwanza 62 0 0 62 0 0 0 0 0

Njombe 52 0 0 52 0 0 0 0 0

Ruvuma 18 0 0 18 18 0 0 0 18

Rukwa 20 0 0 20 0 0 0 0 0

Simiyu 0 0 0 0 0 0 0 0 0

Singida 20 0 57 77 20 0 0 0 20

Songwe 0 0 0 0 0 0 0 0 0

Shinyanga 51 0 0 51 0 0 0 0 0

Tabora 81 0 0 81 50 0 0 0 50

Tanga 40 0 0 40 40 0 0 0 40

Jumla 906 1,563 2,826 5,295 492 918 342 281 2,033

Mikoa

2015 2016

Aina ya Nyumba

Jumla

Aina ya Nyumba

JumlaMakazi/Ghar Makazi/Ghar

BiasharaBiasharaMatumizi

Mengineyo

Page 241: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

221

SURA YA 16

MAWASILIANO NA UCHUKUZI

Kiwango cha Ukuaji

337. Mwaka 2016, shughuli za kiuchumi za habari na mawasiliano zilikua

kwa kiwango cha asilimia 13.0 ikilinganishwa na asilimia 12.1 mwaka 2015.

Ukuaji huu ulichangiwa na kuongezeka kwa matumizi ya huduma za simu za

viganjani, muda wa maongezi, utangazaji na huduma ya intaneti nchini. Kwa

upande mwingine, shughuli za uchumi za usafirishaji na uhifadhi mizigo zilikua

kwa asilimia 11.8 ikilinganishwa na asilimia 7.9 mwaka 2015. Ukuaji huo

ulitokana na: kuongezeka kwa shehena ya mizigo iliyohudumiwa katika bandari;

kuongezeka kwa abiria na shehena ya mizigo iliyosafirishwa kwa njia ya

barabara, reli na anga; na kuongezeka kwa ufanisi katika huduma za upakiaji na

upakuaji wa mizigo bandarini. Mchango wa huduma za usafirishaji na uhifadhi

mizigo katika Pato la Taifa uliendelea kuwa asilimia 4.3 mwaka 2016 kama

ilivyokuwa mwaka 2015. Aidha, mchango wa shughuli za huduma za habari na

mawasiliano katika Pato la Taifa mwaka 2016 ulikuwa asilimia 2.0, sawa na

ilivyokuwa mwaka 2015.

UCHUKUZI

Usafiri wa Barabara

338. Mwaka 2016, jumla ya leseni 146,974 za usafirishaji zilitolewa

ikilinganishwa na leseni 135,072 zilizotlewa mwaka 2015, sawa na ongezeko la

asilimia 8.8. Kati ya leseni zote zilizotolewa, leseni 46,691 zilitolewa kwa basi

ya abiria kwa ajili ya masafa marefu na mijini, leseni 87,383 zilitolewa kwa

magari ya mizigo yenye uwezo wa kubeba shehena kuanzia tani tatu na

kuendelea na leseni 12,900 zilitolewa kwa pikipiki zilizojihusisha na ubebaji wa

abiria kibiashara.

Jedwali Na. 6.1: Leseni za usafirishaji Zilizotolewa

Leseni 2015 2016

Mabasi ya Abiria 47,451 46,691

Magari ya Mizigo 81,567 87,383

Bajaj/Pikipiki 6,054 12,900

Jumla 135,072 146,974

Ratiba za mabasi 6,077 6,637

Chanzo: SUMATRA

Page 242: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

222

Kampuni ya Reli Tanzania (TRL)

339. Mwaka 2016, Kampuni ya reli ilisafirisha shehena tani 209,203 kwa

umbali wa kilometa 230,203,929 ikilinganishwa na tani 211,016 zilizosafirishwa

kwa umbali wa kilomita 230,865,230 mwaka 2015, sawa na upungufu wa

shehena kwa asilimia 0.86. Kupungua kwa shehenailiyosafirishwa kulitokana na

kusitishwa kwa safari za treni kati ya stesheni za Kilosa na Gulwe mwezi

Februari hadi Aprili 2016 kulikosababishwa na mafuriko. Aidha, abiria 517,358

walisafirishwa mwaka 2016, ikilinganishwa na abiria 405,360 waliosafirishwa

mwaka 2015, sawa na ongezeko la asilimia 27.6. Ongezeko hilo lilitokana na

kuanzishwa kwa treni maalumu (Delux Train) iendayo Kigoma na Mwanza, pia

kuanza kwa huduma ya treni ya kawaida ya abiria.

Mamlaka ya Reli ya Tanzania na Zambia (TAZARA)

340. Mwaka 2016, Mamlaka ya Reli ya Tanzania na Zambia ilisafirisha

shehena tani 128,105 ikilinganishwa na tani 87,860 mwaka 2015, sawa na

ongezeko la asilimia 45.8. Aidha, jumla ya abiria 414,746 walisafirishwa

ikilinganishwa na abiria 455,117 mwaka 2015, sawa na upungufu wa asilimia

8.9.

Usafiri wa Anga

Mamlaka ya Usafiri wa Anga (TCAA)

341. Mwaka 2016, jumla ya kampuni 61 za usafiri wa ndege zilikuwa zinatoa

huduma ya usafiri wa anga ikilinganishwa na kampuni 47 mwaka 2015, sawa na

ongezeko la asilimia 29.8. Hadi Desemba 2016, mashirika ya ndege ya kimataifa

(ya ndani na nje) yaliyokuwa yanatoa huduma kwa utaratibu wa Bilateral

Aviation Safety Agreement (BASA), yalikuwa 29 sawa na ilivyokuwa mwaka

2015. Aidha, idadi ya abiria waliowasili na kuondoka katika viwanja vya ndege

nchini iliongezeka kutoka abiria 4,850,017 mwaka 2015 hadi abiria 4,912,186

mwaka 2016, sawa na ongezeko la asilimia 1.3. Ongezeko hili lilitokana na

kuongezeka kwa miruko ya ndege kwa wiki kwa watoa huduma wafuatao:

Kenya airways, Qatar, ATCL, Precision Air na Rwanda Air.

Page 243: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

223

Kielelezo Na. 16.1: Idadi ya Abiria Waliowasili na Kuondoka Nchini

342. Mwaka 2016, safari za ndege ziliongezeka hadi 233,260 kutoka 225,103

mwaka 2015, sawa na ongezeko la asilimia 3.6. Ongezeko hilo lilitokana na

kuanza kutolewa kwa huduma za mashirika ya ndege ya Air Mauritius na Air

Zimbabwe. Katika kipindi hicho, mizigo iliyosafirishwa ilipungua kutoka tani

30,023 hadi tani 27,362 mwaka 2016, sawa na upungufu wa asilimia 8.9.

Upungufu huu ulitokana na kupungua kwa usafirishaji wa maua na

mbogamboga kwenda nje ya nchi.

-

500,000

1,000,000

1,500,000

2,000,000

2,500,000

3,000,000

3,500,000

4,000,000

4,500,000

5,000,000

2012 2013 2014 2015 2016

KIMATAIFA 1,871,732 1,876,311 2,903,472 2,004,032 2,216,950

NDANI YA NCHI 2,197,250 2,794,069 1,975,923 2,845,985 2,695,236

JUMLA 4,068,982 4,670,380 4,879,395 4,850,017 4,912,186

Idadi ya Abiria

Page 244: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

224

Kielelezo Na. 16.2: Idadi ya Safari za Ndege

Kielelezo Na.16.3: Tani za Mizigo Zilizosafirishwa

2012 2013 2014 2015 2016

KIMATAIFA 35,978 39,258 38,784 38,375 41,753

NDANI YA NCHI 191,730 199,126 192,088 186,728 191,507

JUMLA 227,708 238,384 230,872 225,103 233,260

-

50,000

100,000

150,000

200,000

250,000

300,000

Safari za Ndege

Mizigo (Tani)

Page 245: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

225

Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania

343. Mwaka 2015/16, Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania

ilihudumia shehena tani milioni 15.293 ikilinganishwa na tani milioni 16.001

zilizohudumiwa mwaka 2014/15, sawa na upungufu wa asilimia 4.4. Aidha,

katika kipindi hicho, shehena iliongezeka katika bandari za Tanga, Kilwa, Lindi

na Mafia pamoja na Kigoma wakati bandari za, Dar es Salaam, Mwanza na

Kyela shehena ilipungua. Upungufu huo ulitokana na uchache wa meli za

kubeba mabehewa katika Ziwa Victoria, kuharibika mara kwa mara meli ya

kubeba shehena ya mbolea katika bandari ya Kyela kwenda Malawi, ambapo

kwa sasa shehena hii inasafirishwa kwa njia ya barabara na kuendelea kutumika

kwa magati binafsi kwa bandari za Ziwa.

Jedwali Na. 16.2: Shehena Zilizosafirishwa (Tani, Milioni)

Kituo (Bandari) 2014/2015 2015/16 Badiliko

(%)

Bandari Kuu za Mwambao

Dar es Salaam 14.803 14.033 3.1

Tanga 0.645 0.677 74.2

Mtwara 0.2966 0.273 -16.8

Jumla ndogo 15.745 14.983 4.4

Bandari ndogo na Bandari za Maziwa Makuu

Kilwa, Lindi na Mafia 0.0 26 0.046 0.046

Mwanza 0.129 0.123 0.123

Kigoma 0.099 0.139 0.139

Kyela 0.002 0.0004 0.0004

Jumla ndogo 0.231 0.264 0.264

Jumla Kuu 16.001 15.293 15.293

Chanzo: Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania

344. Mwaka 2015/16, idadi ya kontena iliyohudumiwa na kitengo cha mizigo

ya kawaida kinachosimamiwa na Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari ilipungua

kutoka kontena (TEUs) 213,115 mwaka 2014/15 hadi kontena (TEUs) 130,893,

sawa upungufu wa asilimia 38.6. Aidha, katika kipindi hicho, kitengo cha

kontena cha TICTS kilihudumia kontena 202,463 ikilinganishwa na kontena

126,663 mwaka 2014/15, sawa na ongezeko la asilimia 59.8 Vile vile, kitengo

cha kontena cha TICTS kilihudumia kontena (TEUs) 497,769 ikilinganishwa na

kontena (TEUs) 465,851 zilizohudumiwa mwaka 2014/15, sawa na ongezeko la

asilimia 6.9.

Page 246: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

226

Jedwali Na. 16.3: Shehena ya Kontena (TEUs) Katika Bandari ya Dar es

Salaam

2014/2015 2015/2016

TICTS 465,851 497,769

General Cargo 213,115 130,893

Jumla ndogo 678,966 628662

Tanga 10,207 8,118

Mtwara 12,982 14,337

Jumla ndogo 23,189 22,455

JUMLA KUU 702,155 651,117

Chanzo: Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania

345. Mwaka 2015/16, Mamlaka ilihudumia jumla ya abiria 1,827,666

ikilinganishwa na abiria 1,963,468 waliohudumiwa mwaka 2014/15, sawa na

upungufu wa asilimia 6.9. Upungufu huo ulitokana na kuboreshwa kwa

miundombinu ya barabara.

Jedwali Na.16.4: Idadi ya Abiria Waliohudumiwa

Chanzo: Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA)

Muda wa Meli kukaa Bandarini

346. Mwaka 2015/16, muda wa meli kukaa bandarini kwa kitengo cha

kontena ulipungua na kufikia siku 2.0 kutoka siku 2.5 mwaka 2014/15. Aidha,

kwa upande wa mizigo ya kawaida muda wa meli kukaa bandarini ulipungua na

kufikia siku 2.5 kutoka siku 3.1 mwaka 2014/15. Hii ilitokana na bandari

kufanya kazi saa 24 kwa siku saba za wiki. Aidha, katika kitengo cha mafuta

muda uliongezeka na kufikia siku 3.2 kutoka siku 3.1 mwaka 2014/15. Kwa

mizigo ya kontena, muda wa kukaa bandarini baada ya kupakuliwa kutoka

melini na kabla ya mteja kuchukua uliendelea kuwa wastani wa siku 10.2 kama

ilivyokuwa mwaka 2014/15.

Bandari 2009/10 2010/11 2011/12 2012/13 2013/14 2014/15 2015/16

DSM 892,465 1,008,731 1,342,875 1,373,146 1,412,357 1,569,053 1,614,831

Tanga 16,670 23,287 12,747 23,287 12,747 - -

Mwanza 819,730 593,342 524,457 395,808 735,794 340,125 206,763

Kigoma 19,626 21,033 25,066 20,063 15,239 38,749 4,700

Kyela 12,607 9,913 8,334 13,756 12,325 15,541 1,372

Jumla 1,761,098 1,656,306 1,913,479 1,826,060 2,188,462 1,963,468 1,827,666

Page 247: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

227

Shehena za Nchi Jirani

347. Mwaka 2015/16 jumla ya tani 4,839,467 za mizigo ya kwenda nchi jirani

zilihudumiwa katika bandari ya Dar es Salaam ikilinganishwa na tani 5,013,452

zilizohudumiwa mwaka 2014/15, sawa na upungufu wa asilimia 3.5. Upungufu

huo ulitokana na bandari shindani za nchi jirani.

Jedwali Na.16.5 : Shehena za Nchi Jirani

Chanzo: Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania

Uchukuzi kwenye Maziwa

Kampuni ya Huduma za Meli

348. Mwaka 2016, jumla ya abiria 101,103 walisafirishwa na Kampuni ya

Huduma za Meli (MSCL) ikilinganishwa na abiria 122,769 waliosafirishwa

mwaka 2015, sawa na upungufu wa asilimia 17.7. Aidha, katika kipindi hicho,

jumla ya tani za mizigo 18,419 zilisafirishwa ikilinganishwa na tani za mizigo

42,178 zilizosafirishwa mwaka 2015, sawa na upungufu wa asilimia 56.3.

Kampuni ya meli ya China na Tanzania (SINOTASHIP)

349. Mwaka 2016, Kampuni ya Meli ya China na Tanzania ilisafirisha

shehena tani 390,000 ikilinganishwa tani 380,000 zilizosafirishwa mwaka 2015,

sawa na ongezeko la asilimia 2.6. Ongezo hilo lilitokanan na Meli kufanya jumla

ya safari 11 ambazo nyingi zilikuwa za masafa mafupi. Aidha, makasha 8,800

yalihudumiwa na kampuni katika bandari ya Da-es Salaam ikilinganishwa na

makasha 4,320 ya mwaka 2015, sawa na ongezeko la asilimia 103.7. Ongezeko

hilo lilitokana na kampuni kupanua biashara ya uwakala na kuhudumia meli

nyingi zaidi.

Nchi 2009/10 2010/11 2011/12 2012/13 2013/14 2014/15 2015/16

Zambia 1,112,283 1,500,459 1,627,537 1,858,718 1,818,141 1,737,650 1,819,069

DR Congo 568,275 800,986 965,639 965,377 1,352,457 1,677,527 1,464,847

Burundi 327,468 384,648 336,410 308,180 346,159 332,263 351,044

Rwanda 261,068 301,778 436,029 636,998 670,634 724,683 839,826

Malawi 131,532 136,375 92,869 93,411 141,536 94,294 106,883

Uganda 32,612 45,453 74,670 190,876 122,318 127,737 156,105

Nyinginezo 8,319 303,571 360,059 70,148 118,206 319,298 101,693

JUMLA 2,441,557 3,473,270 3,893,213 4,123,708 4,569,451 5,013,452 4,839,467

Page 248: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

228

Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania

350. Mwaka 2016, idadi ya meli na boti zilizopatiwa huduma za hali ya hewa

katika Bahari ya Hindi ilifikia meli na boti 2,586 ikilinganishwa na meli na boti

2,651 mwaka 2015, sawa na upungufu wa asilimia 2.5. Kupungua kwa idadi ya

meli zilizopewa huduma za hali ya hewa kulitokana na kusitisha huduma kwa

baadhi ya kampuni zinazotoa huduma ya usafiri ikiwa ni pamoja na Royal,

Spider, Kilimanjaro II, Seabus I & II na Buraq. Aidha, katika kipindi hicho,

huduma za hali ya hewa kwa sekta za nishati, utalii, ujenzi, kilimo na elimu

zilitolewa ambapo jumla ya maombi 268 ya taarifa za hali ya hewa yalifanyiwa

kazi ikilinganishwa na maombi 193 mwaka 2015.

Huduma za Mawasiliano

HHuudduummaa zzaa PPoossttaa

351. Mwaka 2016, Shirika la Posta Tanzania lilisafirisha barua 24,445,425

ndani ya nchi ikilinganishwa na barua 16,904,137 zilizosafirishwa mwaka 2015,

sawa na ongezeko la asilimia 44.61. Ongezeko hilo limetokana na juhudi za

kuwapata wateja wa barua za jumla (bulk post). Aidha, barua zilizotumwa nje ya

nchi mwaka 2016 zilikuwa 3,405,317 ikilinganishwa na barua 8,189,193

zilizotumwa mwaka 2015, sawa na upungufu wa asilimia 58.4. Upungufu huo

ulitokana na kuongezeka kwa matumizi ya teknolojia na mitandao ya kijamii.

352. Mwaka 2016, idadi ya vifurushi vilivyosafirishwa ndani ya nchi ilikuwa

86,902 ikilinganishwa na vifurushi 37,459 vilivyosafirishwa mwaka 2015, sawa

na ongezeko la asilimia 131. Ongezeko hilo lilitokana na kupatikana kwa aina

mbalimbali za usafirishaji na kuendelea kukua kwa biashara. Aidha, vifurushi

vilivyotumwa nje ya nchi mwaka 2016 vilikuwa 4,242 ikilinganishwa na

vifurushi 8,468 vilivyotumwa mwaka 2015, sawa na upungufu wa asilimia 49.9.

353. Mwaka 2016, jumla ya rejesta 578,731 zilisafirishwa nchini

ikilinganishwa na rejesta 608,185 zilizosafirishwa mwaka 2015, sawa na

upungufu wa asilimia 4.8. Upungugufu huo ulitokana na kuongezeka kwa

matumizi ya teknolojia na mitandao ya kijamii. Aidha, rejesta zilizotumwa nje

ya nchi mwaka 2016 zilikuwa 46,069 ikilinganishwa na rejesta 42,975

zilizotumwa mwaka 2015, sawa na ongezeko la asilimia 7.2. Ongezeko hilo

lilitokana na kuendelea kuimarika kwa mtandao unaomwezesha mteja kufuatilia

na kutafuta mzigo wake (track and trace).

354. Mwaka 2016, nyaraka na vipeto vilivyotumwa kwa njia ya haraka (EMS)

nchini vilikuwa 825,479 ikilinganishwa na nyaraka na vipeto 625,372

vilivyotumwa mwaka 2015, sawa na ongezeko la asilimia 32.0. Ongezeko hilo

lilitokana na kuongezeka kwa wateja wanaohusiana na Bodi ya Mikopo ya

Page 249: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

229

Wanafunzi wa Elimu ya Juu na uwekezaji katika vifaa vya usambazaji na

rasilimali watu. Aidha, idadi ya nyaraka na vipeto vilivyotumwa nje ya nchi kwa

njia ya haraka mwaka 2016 vilikuwa 24,981 ikilinganishwa na nyaraka na vipeto

43,009 vilivyotumwa mwaka 2015, sawa na upungufu wa asilimia 41.9. Vile

vile, mwaka 2016 barua na nyaraka 72,327 zilipokelewa na kusambazwa kwa

njia ya huduma ya usambazaji wa barua za haraka ndani ya miji ikilinganishwa

na barua na nyaraka 56,467 zilizopokelewa na kusambazwa mwaka 2015, sawa

na ongezeko la asilimia 28.1. Ongezeko hili lilitokana na utangazaji na

uboreshaji wa huduma za usambazaji wa barua na nyaraka.

355. Mwaka 2016, jumla ya miamala ya fedha 516 ilihaulishwa kwa njia ya

kielektroniki (Electronic Money Transfer) ikilinganishwa na miamala 284

mwaka 2015, sawa na ongezeko la asilimia 81.7. Aidha mwaka 2016, miamala

ya fedha 7,039 ilitumwa kupitia mfumo wa Kimataifa wa Utumaji Fedha

ikilinganishwa na miamala 10,343 iliyotumwa mwaka 2015, sawa na upungufu

wa asilimia 31.9. Katika kipindi hicho,wateja 168,867 walihudumiwa kwa

kupitia huduma ya kufanya malipo kwa uwakala ya Post Giro ndani ya nchi

ikilinganishwa na wateja 177,645 waliohudumiwa mwaka 2015, sawa na

upungufu wa asilimia 5.0.

HHuudduummaa zzaa SSiimmuu

356. Hadi kufikia Desemba 2016, mitandao ya simu za viganjani ilikuwa na

jumla ya kadi za simu 40,044,186 ikilinganishwa na kadi 39,808,419 katika

kipindi kama hicho mwaka 2015, sawa na ongezeko la asilimia 0.6. Ongezeko

hili lilitookana na kukua na kuimarika kwa huduma zitolewazo na mitandao ya

simu za viganjani na kuongezeka kwa ushindani. Kati ya kadi hizo za simu kwa

mwaka 2016 zilizosajiiwa rasmi ni 39,229,918 sawa na asilimia 98.0 ya kadi

zote. Aidha, kati ya kadi zote, kampuni ya simu ya Vodacom ilikuwa na asilimia

31.0 ya kadi zote na kampuni ya Tigo (asilimia 29.2); Airtel (asilimia 26.1);

Zantel (asilimia 2.7); Smart (asilimia 2.0) Halotel (asilimia 8.6) na TTCL

(asilimia 0.4). Aidha, watumiaji wa simu za mezani walipungua kutoka

watumiaji 142,819 mwaka 2015 hadi watumiaji 129,597 mwaka 2016, sawa na

upungufu wa asilimia 6.6.

Page 250: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

230

Jedwali Na.16.6: Idadi ya Wanaotumia Simu za Mezani na Viganjani

Kampuni za Simu Idadi ya Kadi za Simu Badiliko

(%) 2014 2015 2016

Vodacom Mobile 11,810,064 12,714,297 12,419,425 (2.32)

Tigo Mobile 8,624,638 11,115,991 11,677,344 5.05

Airtel Mobile 9,551,977 11,047,505 10,456,117 (5.35)

Zantel Mobile 1,719,222 1,839,391 1,083,157 (41.11)

TTCL Mobile 156,227 304,214 166,383 (45.31)

Halotel 1,226,678 3,438,509 180.31

Smart 1,560,343 803,251 (48.52)

Jumla Simu za Kiganjani 31,862,128 39,808,419 40,044,186 0.59

Simu za Mezani Idadi ya Wateja

TTCL Fixed 140,391 138,754 127,112 (8.39)

Zantel Fixed 10,883 4,065 2,485 (38.87)

Jumla ya Simu za mezani 151,274 142,819 129,597 (9.26)

Chanzo: Mamlaka ya Mawasiliano

MMkkoonnggoo wwaa TTaaiiffaa wwaa MMaawwaassiilliiaannoo

357. Mwaka 2016, jumla ya kilometa 18,192 za miundombinu ya Mkongo wa

Taifa wa Mawasiliano zilijengwa, ambapo kilometa 12,532 zilijengwa chini ya

ardhi na kilometa 5,660 juu ya ardhi katika wilaya zote nchini. Hadi Desemba,

2016 mawasiliano yalifika katika vijiji 2,889, halmashauri za wilaya 123,

hospitali za wilaya 74, vituo vya Polisi vya wilaya 131 pamoja na ofisi za Posta

68. Vile vile, miundombinu ya mtandao wa intaneti ilijengwa kwenye shule 417.

Sayansi, Teknolojia na Ubunifu

UUeennddeelleezzaajjii wwaa RRaassiilliimmaallii WWaattuu

358. Mwaka 2016, Serikali ilindelea na juhudi za kuongeza rasilimali watu

katika teknolojia na tasnia ya ubunifu nchini. Katika kuhakikisha hilo, jumla ya

wanafunzi 3,982 walidahilwa katika Chuo Kikuu cha Sayansi na Teknolojia

Mbeya ikilinganishwa na wanafunzi 3,743 waliodahiliwa mwaka 2015. Taasisi

ya Sayansi na Teknolojia Dar es Salaam ilidahili wanachuo wapya 2,298

ikilinganishwa na wanachuo 1,386 waliodahiliwa mwaka 2015. Kati ya hao,

wanafunzi 1,577, walijiunga katika ngazi ya Stashahada, 670 Shahada na 51

Shahada ya Uzamili. Vile vile, Taasisi ya Sayansi na Teknolojia ya Nelson

Mandela ilidahili wanachuo 198 ambapo wanachuo 135 walikuwa ngazi ya

Shahada ya Uzamili na 63 Shahada ya Uzamivu.

Page 251: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

231

UUddhhiibbiittii wwaa MMiioonnzzii

359. Mwaka 2016, Tume ya Nguvu za Atomiki Tanzania ilipokea na

kutathmini jumla ya maombi 273 yahusuyo vifaa na matumizi ya mionzi

ikilinganishwa na maombi 281 yaliyopokelewa mwaka 2015. Kati ya hayo,

maombi 29 yalihusu leseni za kuanzisha vituo vipya vinavyotumia na kumiliki

vyanzo vya mionzi na maombi 244 yalihusu umiliki na utumiaji wa vyanzo vya

mionzi. Katika maombi ya umiliki na utumiaji wa vyanzo vya mionzi, maombi

216 yalihusu leseni ya kutumia mionzi, maombi 15 yalihusu leseni ya uingizaji

vyanzo vya mionzi nchini, maombi 9 yalihusu usafirishaji wa vyanzo vya

mionzi nchini na maombi 4 yalihusu usafirishaji wa vyanzo vya mionzi nje ya

nchi. Aidha, Tume ilitathmini vigezo vya ubora na kubaini kwamba maombi

hayo yalikidhi mahitaji ya sheria ya Nguvu za Atomiki na kupatiwa leseni. Vile

vile, Tume ilifanya ukaguzi wa vituo 131 vinavyotumia mionzi ili kujiridhisha

kama vinakidhi vigezo vilivyoainishwa kwenye Sheria ya Nguvu za Atomiki na

kutoa ushauri kwa lengo la kuhakikisha usalama kwa watumiaji, raia na

mazingira. Kati ya vituo hivyo, 102 vilikidhi vigezo, viwili (2) vilifungiwa hadi

virekebishe kasoro kubwa zilizooneka, 26 vilipewa muda wa kurekebisha kasoro

ndogo ndogo zilizobainishwa na kimoja (1) kilikutwa hakifanyi kazi.

HABARI, UTAMADUNI, SANAA NA MICHEZO

SSeekkttaa yyaa HHaabbaarrii

360. Mwaka 2016, kulikuwa na jumla ya magazeti 428 yaliyosajiliwa

ikilinganishwa na magazeti 875 mwaka 2015, sawa na upungufu wa asilimia

51.1. Upungufu huu ulitokana na magazeti 473 kufutiwa usajili kwa

kutochapisha kwa miaka mitatu mfululizo kinyume na taratibu za usajili. Aidha,

katika kipindi hicho, vyombo vya habari ambavyo ni magazeti na majarida 26,

redio 23 na televisheni 6 vilisajiliwa.

Jedwali 16.7: Idadi ya Vituo vya Radio na Televisheni Vilivyosajiliwa

Mwaka Idadi ya

Magazeti

Idadi ya Redio Idadi ya vituo

vya Televisheni

2010 8 14 1

2011 41 12 0

2012 29 12 0

2013 36 4 0

2014 23 8 3

2015 39 22 1

2016 26 23 6

Chanzo: Idara ya Habari - MAELEZO, Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania

Page 252: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

232

SSeekkttaa yyaa MMaaeennddeelleeoo yyaa SSaannaaaa

361. Mwaka 2015/2016, Serikali kupitia Bodi ya Filamu Tanzania ilitoa vibali

168 vya utengenezaji wa filamu, makala za filamu na picha jongevu kwa

kampuni za utengenezaji kutoka ndani na nje ya nchi ikilinganishwa na vibali

169 vilivyotolewa mwaka 2014/2015.

Jedwali 16.8: Idadi ya Vibali vya Kutengeneza Filamu Vilivyotolewa Nchini

Mwaka Vibali kwa

Wageni

Vibali kwa

Watanzania

Jumla

2011/12 84 21 105

2012/13 123 30 153

2013/14 125 33 158

2014/15 133 36 169

2015/16 137 31 168

Jumla 602 151 753

Chanzo: Bodi ya Filamu Tanzania

SSeekkttaa yyaa MMaaeennddeelleeoo yyaa MMiicchheezzoo

362. Mwaka 2016, kulikuwa na jumla ya vilabu vya michezo 331

vilivyosajiliwa ikilinganishwa na vilabu 224 mwaka 2015, sawa na ongezeko la

asilimia 47.8. Ongezeko hilo lilitokana wananchi kuzingatia sheria zinazohimiza

usajili vilabu. Aidha, katika kipindi hicho, jumla ya vyama vya michezo 9

vilisajiliwa ikilinganishwa na vyama 15 vilivyosajiliwa mwaka 2015. Vile vile,

katika kipindi hicho, jumla ya vituo 15 vya michezo vilisajiliwa ikilinganishwa

na vituo 12 mwaka 2015.

Jedwali 16.9: Idadi ya Vilabu, Vyama na Vituo vya Michezo Vilivyosajiliwa

Mwaka Vilabu vya

Michezo

Vyama vya

Michezo

Vituo vya

Michezo

2010 272 9 9

2011 168 5 2

2012 339 26 5

2013 285 37 12

2014 464 17 7

2015 224 15 12

2016 331 9 15

Chanzo: Idara ya Maendeleo ya Michezo

Page 253: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

233

Jedwali Na. 67

Maelezo Kipimo 2007 2008 2009 2010 2011 2012 2013 2014 2015 2016

Urefu wa Reli KM 2707 2707 2707 2707 2707 2707 2707 2707 2707 2707

Magari ya Moshi: Namba 84 45 43 25 22 20 45 45 30 25

Mvuke Namba 1 1 1 0 0 0 0 0 0 0

Dizeli Namba 83 45 0 0 0 0 0 0 0 0

Mainlain 62 5 5 21 19 16 38 38 21 40

Shunting 21 40 38 4 3 4 7 7 9 4

Jumla ya mabehewa: Namba 1912 1648 1357 1071 1326 1162 1200 1214 1155 426

Abiria Namba 102 45 68 50 53 36 91 91 56 56

Mizigo ya kawaida Namba 1369 1190 1093 648 658 635 681 590 561 22

Mafuta Namba 208 244 178 179 335 208 178 203 196 123

Mifugo Namba 76 18 39 88 88 80 39 64 64 27

Mengineyo Namba 157 151 105 106 192 203 211 266 278 198

Uchukuzi Namba

Abiria 000 524 392 285 284 227 339 373 170 196 1707

Mizigo Tani'000 714 429 237 265 138 154 185 127 283 102

Chanzo: Shirika la Reli Tanzania

SHIRIKA LA RELI TANZANIA

Page 254: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

234

Jedwali Na. 68

Maelezo Kipimo 2007 2008 2009 2010 2011 2012 2013 2014 2015 2016

Urefu wa Reli Kuu Km 1860 1860 1860 1860 1860 1860 1860 1860 1860 1860

Magari ya Moshi Namba 19 10 16 15 13 13 15 16 17 21

Reli Kuu Namba 14 8 11 10 9 9 11 13 12 14

Ya kujongeza Namba 5 2 5 5 4 5 4 3 6 7

Mabehewa ya abiria Namba 71 62 53 36 36 35 52 50 51 56

Abiria Namba 59 53 44 31 30 30 45 44 43 48

Chakula Namba 8 4 3 2 3 2 3 3 3 4

Vifurushi Namba 4 5 6 3 3 3 4 3 5 4

Mabehewa ya mizigo Namba 1458 1371 1412 1620 930 858 1391 1101 1142 1221

Mizigo ya kawaida Namba 1295 1217 1174 1381 795 765 1229 966 1007 1077

Mifugo Namba 6 0 0 0 0 0 0 0 0 0

Mafuta Namba 81 114 196 197 93 59 104 82 82 89

Barafu Namba 10 4 7 7 7 0 5 5 5 5

Mengineyo Namba 2 2 2 2 2 1 1 1 1 1

Breki Namba 46 17 16 16 16 16 35 30 30 32

Ballast Namba 18 17 17 17 17 17 17 17 17 17

Uchukuzi mizigo (Tani) 000 569 525 333 540 248 259 245 33 81 96

Abiria 000 1000 1177 923 758 414 678 654 287 327 440

Chanzo: Mamlaka ya Reli ya Uhuru

+ Urefu ni km. 1860.54, km 974.814 zikiwa nchini Tanzania

- Takwimu hazikupatikana

RELI YA UHURU - TAZARA

Page 255: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

235

Jedwali Na. 69

Maelezo Kipimo 2007 2008 2009 2010 2011 2012 2013 2014 2015 2016

Jumla ya meli Namba 3038 697 1842 1274 1232 1600 742 1426 4028 1600

Uwezo wa kubeba mizigo 000 16588 7260 17472 18721 24240 24496 13359 23278 24506 31212

Jumla ya abiria 000 714 310 141 228 312 375 347 1000 1023 1748

Jumla ya bidhaa zote 000wt 5703 2316 4946 4954 5432 10122 5547 9082 9369 10814

Bidhaa zilizopakuliwa 000wt 4932 2136 4382 4559 4816 9018 3899 7998 5556 10043

Za kawaida 000wt 2762 1053 2430 2159 2474 5021 2682 4495 2951 4791

Saruji 000wt - - - - - - - - - - -

Mafuta 000wt 2054 1013 1852 2400 2342 3997 1217 3489 2605 5223

Mengineyo1 000wt 116 70 100 0 0 0 0 14 0 29

Bidhaa zilizopakiwa 000wt 761 181 497 466 616 1105 414 808 780 789

Za kawaida 000wt 713 153 466 419 557 1033 391 763 738 674

Mafuta 000wt 48 28 24 47 59 72 23 45 42 87

Mengineyo1 000wt 0 0 7 0 0 0 0 0 0 28

Mabadilishano 000wt 126 - 68 0.1 32 15 0 275 49 20

Chanzo: Mamlaka ya Bandari

1 Kama vile mbolea, mollasses, tallow fats n.k

- Takwimu hazikupatikana

USAFIRISHAJI KWA MELI: DAR ES SALAAM

Page 256: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

236

Jedwali Na. 69 (linaendelea)

Maelezo Kipimo 2007 2008 2009 2010 2011 2012 2013 2014 2015 2016

Jumla ya meli Namba 242 95 144 215 201 232 92 64 63 87

Uwezo wa kubeba mizigo 000 551 133 671 1059 1005 1378 700 990 620 945

Jumla ya abiria 000 7.1 8.3 0 228 312 2865 0 0 0 0

Jumla ya bidhaa zote 000wt 542 178 359 529 508 608 271 536 475 500

Bidhaa zilizopakuliwa 000wt 330 836 213 357 373 1051 5357 437 308 469

Za kawaida 000wt 242 817 147 313 365 436 3171 437 308 338

Mafuta 000wt 88 19 66 44 8 615 2186 0 0 131

Bidhaa zilizopakiwa 000wt 212 66 145 171 507 166 912 100 64 75

Za kawaida 000wt 212 66 145 171 507 166 912 100 64 75

Mafuta 000wt - - - - - - - - - - -

Mabadilishano 000wt - - - - - - - - - - -

Chanzo: Mamlaka ya Bandari Tanzania

- Takwimu hazikupatikana

USAFIRISHAJI KWA MELI: TANGA

Page 257: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

237

Jedwali Na. 69 (linaendelea)

Maelezo Kipimo 2007 2008 2009 2010 2011 2012 2013 2014 2015 2016

Jumla ya meli Namba 99 36 32 58 129 498 339 428 166 113

Uwezo wa kubeba mizigo 000 251 131 31 455 307 1557 1245 1343 475 778

Jumla ya abiria 000 10 0 0 0 0 0 0 0 0 0

Jumla ya bidhaa zote 000 112 82 95 107 112 178 144 248 125 379

Bidhaa zilizopakuliwa 000wt 53 26 23 39 44 309 894 149 57 151

Za kawaida 000wt 47 22 23 36 35 55 274 140 56 151

Mafuta 000wt 6 4 0 3 9 254 620 9 1 0

Bidhaa zilizopakiwa 000wt 59 56 72 68 71 123 70 100.3 67 6

Za kawaida 000wt 59 56 72 68 71 113 70 100 67 6

Mafuta 000wt - - - - - - 10 0 0.3 0 0

Mabadilishano 000wt - - - - - - 0 0 0 0 0

Chanzo: Mamlaka ya Bandari Tanzania

- Takwimu hazikupatikana

USAFIRISHAJI KWA MELI: MTWARA

Page 258: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

238

Jedwali Na. 70

Maelezo Kipimo 2007 2008 2009 2010 2011 2012 2013 2014 2015 2016

Ofisi Ndogo Posta Namba 162 167 202 171 105 65 74 74 65 65

Franchised Post Offices Namba 86 113 81 81 151 112 89 89 90 90

Ofisi Kubwa Namba 113 172 170 170 163 147 160 160 158 158

Jumla Namba 361 452 453 422 419 324 323 323 313 313

Masanduku Binafsi 000 173 174 117 146 162 173 142 160 160

Masanduku Yaliokodishwa 000 150 130 87 120 130 140 148 128 138 138

Maombi Yasiotimizwa 000 0 5 4 0 21 28 25 18 4 1

Mifuko Pekee Iliyokodishwa Namba 217 182 62 183 361 278 212 260 180 180

Barua Zilizotumwa bila Vifurushi Mill. 24 15 14 29 27 15 26 15 10 4

Regista na Barua za Amana 000 41 307 377 480 347 397 568 455 402 297

Vifurushi Nchini 000 29 18 9 15 10 15 29 12 17 36

Vifurushi Nje 000 12 6 2 7 11 12 9 5 9 2

Leseni za kuuza stamp Namba 6324 6242 6256 25145 28257 33311 2637 3715 0 0

Huduma za Haraka, barua na vifurushi "

Ndani ya Nchi " 262381 216762 493709 283711 501635 404453 620478 406732 416007 452827

Nje ya Nchi " 12289 14650 4012 18766 16965 24347 17130 20564 308288 6364

EMS Money Fax " 379084 366382 23165 82002 36357 2940 550 745 748 272

EMS Fax (Fax message received) " 14659 121901 103558 31594 1595 876187 544 1194 3844 2518

Overnight Mail Services " 9963 115126 0 0 0

Mifuko ya Barua Iliyosafirishwa " 75900 85595 68912 76983 115403 50082 87051 46652 53639 57605

Vifurushi vya magazeti vilivyosafirishwa " 20314 12754 13934 2752 12040 10652 18784 8700 9130 113448

Huduma za gari ndogo

Idadi ya Mifuko ya Barua Iliyosafirishwa " 6542 4328 268 0 193 24095 849 714 9576 -

Amna za Haraka Zilizotolewa " 214558 0 20057 8169 4717 3087 2034 845 58423 272

Amana za Haraka Zilizolipwa 132030 93508 23069 11881 17397 516 555 0 0 0

Amana za Haraka za Nje ya Nchi

Zilizotumwa " 1519 1354 1030 1027 998 369 478 325 221 220

Zilizopokelewa " 686 671 150 150 217 77 83 227 283 116

Amana za Posta zilizouzwa " 9152 8062 8831 1924 633 414 684 261 251 107

Amana za Posta Zilizolipwa " 4615 5709 5490 3262 1662 252 166 67 25 18

Benki ya Akiba (Transaction)

Uwekaji Amana (Deposit) " 25382 24574 9535 18863 13438 6260 21491 12732 21541 261423

Uchukuaji Amana (Withdrawal) " 19534 21122 11663 23025 72358 17527 37556 12807 18098 45449

Chanzo: Shirika la Posta

HUDUMA ZA POSTA

Page 259: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

239

Jedwali Na. 71

Kampuni 2006 2007 2008 2009 2010 2011 2012 2013 2014 2015 2016

A. Simu za Kiganjani

Mobitel/Tigo 760874 1191678 2084878 4178089 4477510 5450766 6370796 6297288 8624638 10639610 11677344

Vodacom 2975580 3870843 5269761 6883661 8670536 11625775 9357672 10288972 11810064 12520645 12419425

Airtel 2148336 2505546 3866906 4910359 6021091 6993418 8356095 8995824 9551977 10887742 10456117

Zantel 355993 684214 1087713 1378595 1715985 1524601 3083889 1814444 1730105 1563503 1083157

Benson 0 3300 3000 3101 2396 1558 725 528 528 528 803251

TTCL Mobile 6390 72729 105804 115681 246019 225578 221663 210766 296618 165460 166383

Sasatel 24827 5824 4810 0 0 0 0

Hallotel 0 3438509

Jumla Ndogo 6247173 8328310 12418062 17469486 21158364 25827520 27395650 27607822 32013930 35777488 40044186

TTCL 150897 157816 116265 157321 159054 159364 166148 158935 140391 140391 127112

Zantel 747 5453 7544 15601 15457 1699 10219 6064 10833 10833 24585

Jumla Ndogo 151644 163269 123809 172922 174511 161063 176367 164999 151224 151224 151697

Jumla Kuu 6398817 8491579 12541871 17642408 21332875 25988583 27572017 27772821 32165154 35928712 40195883

Chanzo: Ofisi ya Taifa ya Takwimu na Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA)

P - Takwimu za Awali

B. Simu za Mezani

IDADI YA WANAOTUMIA SIMU ZA MEZANI NA VIGANJANI

Page 260: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

240

Jedwali Na.73

Maelezo Kipimo 2007 2008 2009 2010 2011 2012 2013 2014 2015 2016

Tani-Kilometa:

Zilizokuwepo 000 32533 - 5313 9482 1662 1932 6154 3052 60042 3937

Zilizotumika 000 18480 - 1508 2888 268 815 2503 117 30889 1756

Matumizi % 56.7 - 28.4 30.5 16.0 42.0 40.7 3.8 54.4 46.9

Viti-kilometa:

Vilivyokuwepo 000 306461 469426 41396 59724 7140 15131 54665 3680 21693 37877

Vilivyotumika 000 190006 129000 16469 30527 2946 10209 27279 946 11472 20692

Matumizi % 62.0 27.5 39.8 51.1 41.0 67.0 50.0 25.7 52.8 56.0

Abiria ++

000 190 188 27 41 9 11 35 56 31 28

Mizigo ya ziada Tani 103 30 9 8 2 0 45 0 53 1

Mizigo mingine Tani 1123 1044 54 145 4 5 35 45 42 7

Shehena za Posta Tani 241 162 11 30 0 0 25 405 4 -

Chanzo: Shirika la Ndege Tanzania

+ Zinahusu "scheduled traffic'' tu

++ Abiria waliolipa nauli kamili

- Takwimu hazikupatikana

SHIRIKA LA NDEGE TANZANIA (ATCL)+

Page 261: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

241

SURA YA 17

NISHATI

Kiwango cha Ukuaji

363. Mwaka 2016, shughuli za kiuchumi za usambazaji umeme zilikua kwa

asilimia 8.5 ikilinganishwa na ukuaji halisi wa asilimia 5.8 mwaka 2015.

Ongezeko hilo lilitokana na kuongezeka kwa ufuaji wa wa umeme na kasi ya

usambazaji wa umeme vijijini. Aidha, mchango wa shughuli za usambazaji

umeme katika Pato la Taifa ulikuwa asilimia 0.9 mwaka 2016 ikilinganishwa na

asilimia 1.0 mwaka 2015.

Ufuaji wa Umeme

364. Mwaka 2016, uwezo wa uzalishaji wa umeme ulipungua kwa asilimia

10.6 hadi kufikia MW 1,469.39 kutoka MW 1,643.50 mwaka 2015. Kati ya

hizo, jumla ya MW 1,366.01 zilitokana na mitambo iliyounganishwa katika gridi

ya Taifa, MW 84.38 kutokana na mitambo iliyo nje ya gridi na MW 19

ziliingizwa kwenye gridi kutoka nje ya nchi (Kenya, Uganda na Zambia). Katika

kipindi hicho, umeme uliozalishwa kutoka vyanzo mbalimbali uliongezeka kwa

asilimia 9.8 kufikia saa za gigawati 7,092.13 ikilinganishwa na saa za gigawati

6,457.37 zilizozalishwa mwaka 2015. Kati ya hizo, saa za gigawati 6,788.96

zilizalishwa kwenye gridi ya Taifa na saa za gigawati 303.17 zilizalishwa

kwenye vituo nje ya gridi ya Taifa. Aidha, mahitaji ya juu ya umeme yalifikia

MW 1,051.27 ikilinganishwa na MW 988.27 mwaka 2015, sawa na ongezeko la

asilimia 6.4.

365. Mchanganuo wa umeme uliozalishwa mwaka 2016 unaonesha kuwa

umeme wa mitambo ya nguvu za maji ulikuwa saa za gigawati 2,365.82; gesi

saa za gigawati 4,097.03 na mafuta mazito na dizeli saa za gigawati 629.2.

Aidha, umeme uliofuliwa kutokana na mitambo inayomilikiwa na TANESCO

ilikuwa saa za gigawati 5,153.07 ikilinganishwa na saa za gigawati 3,829.13

zilizozalishwa mwaka 2015 sawa na ongezeko la asilimia 34.6. Vile vile,

wazalishaji binafsi wa kampuni za Songas, IPTL na Aggreko kwa pamoja

walifua saa za gigawati 1,795.46, sawa na upungufu wa asilimia 29.7

ikilinganishwa na saa za gigawati 2,553.15 zilizozalishwa mwaka 2015. Kwa

upande mwingine, umeme ulionunuliwa kutoka nchi jirani za Kenya, Uganda na

Page 262: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

242

Zambia ulikuwa saa za gigawati 101.54 mwaka 2016 ikilinganishwa na saa za

gigawati 75.09 mwaka 2015, sawa na asilimia 1.4 ya umeme wote uliozalishwa.

366. Mwaka 2016, umeme uliouzwa kwa watumiaji mbalimbali ulikuwa saa

za gigawati 5,871.47 ikilinganishwa na saa za gigawati 5,297.09 zilizouzwa

mwaka 2015, sawa na ongezeko la asilimia 10.8. Aidha, umeme uliopotea

kutokana na uchakavu wa mitambo ya kusafirisha na kusambaza umeme

ulikuwa saa za gigawati 1,220.66 sawa na asilimia 17.2 ya umeme uliozalishwa

ikilinganishwa saa za gigawati 1,119.74 sawa na asilimia 17.3 ya umeme

uliozalishwa mwaka 2015.

Page 263: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

243

Jedwali Na. 74

Uwezo Uliotengenezwa

MW GWH

Kidatu 204.00 962.76

Mtera 80.00 323.42

Hale 21.00 44.08

New Pangani Falls 68.00 189.52

Nyumba ya Mungu 8.00 25.27

Kihansi 180.00 794.05

Mwenga Min Hydro 4.00 19.27

Other stations 2.11 7.46

Jumla Hydro 567.11 2,365.82

Ubungo II Gas Plant (UGP 2) 129 643.91

Ubungo 1 Gas Plant 102 628.17

Tegeta Gas Plant -Watsila 45 317.76

Dodoma (Zuzu) 7.4 3.65

Nyakato Mwanza 63 130.60

Kinyerezi 1 150 903.59

Jumla Thermal 496.40 2,627.67

IPTL 103 154.63

Songas Gas Plant 189 1,349.43

Aggreko Ubungo - 12.43

Aggreko Tegeta (Gas) - 3.54

Symbion Ubungo (Gas) - 254.18

Import from SPPs 10.50 21.25

Jumla Wazalishaji Binafsi 302.50 1,795.46

Jumla Grid 1,366.01 6,788.96

MATAWI MENGINE - ISOLATED STATIONS

Bukoba 2.56 0.31

Kigoma 11.94 26.22

Namtumbo 0.34 1.07

Mafia 2.13 4.45

Mtwara 18 86.65

Songea 8.33 10.82

Sumbawanga 5 1.26

Mpanda 2.98 10.06

Tunduru 2.07 5.09

Liwale 0.85 2.33

Ngara 0.95 4.79

Biharamulo 1.5 1.51

Mbinga 2.26 4.49

Ludewa 1.27 1.30

Somanga 7.5 12.73

Kasulu 2.5 6.08

Kibondo 2.5 3.77

Loliondo 5 1.13

Umeme kutoka nchi jirani 19 101.54

Umeme kutoka IPPS 6.70 17.57

Jumla ya Matawi Mengine 103.38 303.17

JUMLA YA UMEME-NCHI NZIMA 1,469.39 7,092.13

Chanzo: Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO)

MW Megawatt

GWH GigaWatt-Hour (Saa za GigaWatt) = Million KWH

* Za Awali (Provisional)

GRIDI YA TAIFA

UWEZO WA MITAMBO YA UMEME NA KIASI CHA UMEME

ULIOTENGENEZWA KWA VITUO KATIKA MWAKA 2016

Kituo

Page 264: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

244

Jedwali Na. 75 GWH

Zanzibar

Wateja

wadogo (D1)

Wateja wa

Kati (T1)

Wateja

Wakubwa

(T2,T3 & T8)

T5

 2011 328.8 1270.8 2118.0 277.2 3994.7 1158.7 5153.4

2012 320.8 1480.1 2301.8 298.6 4401.4 1048.3 5449.7

2013 280.6 1747.0 2560.4 218.7 4806.7 1139.5 5997.4

2014 217.0 1891.0 2595.0 348.5 5051.5 1135.3 6285.0

2015 148.8 2082.7 2721.1 344.6 5297.1 1119.7 6457.6

2016 345.3 2263.4 2887.2 375.6 5871.5 1220.7 7092.1

Chanzo: Shirika la Ugavi wa Umeme Tanzania (TANESCO)

Tanzania Bara

Jumla Umeme

uliopotea

Jumla ya umeme

uliotengenezwa

MAUZO YA UMEME KWA WATUMIAJI MBALIMBALI

Mwaka

Page 265: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

245

Jedwali Na. 76

Mkoa 2007 2008 2009 2010 2011 2012 2013 2014 2015 2016

Dodoma 59 68 79 83 86 94 105 111 116 137

Arusha 223 296 236 269 240 286 316 326 311 357

Manyara 14 17 19 20 23 24 25 26 29

Kilimanjaro 110 109 88 124 118 138 144 154 151 182

Tanga 165 169 166 209 219 245 264 266 300 322

Morogoro 119 136 121 179 163 207 221 232 212 240

Coast 104 94 106 116 142 171 199 220 260

Dar-es-Salaam 1343 1412 1014 1615 1387 1548 1932 2118 2229 2398

Lindi 12 11 11 13 14 15 18 23 22 24

Mtwara 29 23 29 27 30 34 35 9 51 49

Ruvuma 14 15 15 21 21 24 27 28 31 34

Iringa 79 79 85 101 92 102 105 107 112 107

Mbeya 109 115 125 139 132 150 153 170 164 177

Singida 28 18 26 26 23 29 32 35 47 43

Tabora 37 98 84 97 95 103 109 60 52 57

Rukwa 12 11 12 17 19 19 20 22 23 28

Kigoma 10 12 12 16 18 21 23 25 28 29

Shinyanga 195 196 253 313 310 279 280 359 417 428

Kagera 36 37 33 44 29 55 53 54 60 72

Mwanza 151 173 192 215 200 224 231 241 236 262

Mara 95 44 52 110 109 108 125 134 135 142

Njombe 69

Katavi 4

Geita 34

Simyu 8

Isiyobainishwa Kimkoa 6.4 11.4 5

Jumla Tanzania Bara 2826.0 3140.0 2744.0 3743.0 3440.5 3845.5 4388.0 4702.8 4952.6 5496.9

Zanzibar 231.0 229.0 186.0 174.0 277.2 298.6 218.7 348.5 344.6 375.6

JUMLA 3057.0 3369.0 2930.0 3917.0 3717.8 4144.1 4606.7 5051.3 5297.1 5872.5

Chanzo: Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO)

MW Megawatt

GWH GigaWatt-Hour (Saa za GigaWatt) = Million KWH

MAUZO YA UMEME KWA MIKOA

Page 266: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

246

Utafutaji Mafuta na Gesi

Gesi Asilia

367. Mwaka 2016, kazi ya utafutaji wa mafuta na gesi asilia iliendelea katika

kina kirefu cha bahari na nchi kavu ambapo jumla ya futi za ujazo

zilizogundulika nchini hadi kufikia Desemba ni trillion 57.25. Aidha uzalishaji

wa gesi asilia uliendelea ambapo uzalishaji katika visima viwili vya Songosongo

na Mnazi Bay uliongezeka kwa asilimia 23.05 kufikia futi za ujazo bilioni 48.32

kutoka futi za ujazo bilioni 37.18 mwaka 2015. Kati ya hizo, jumla ya futi

bilioni 36.7 zilitumika kuzalisha umeme, na zilizobaki zilitumika kama nishati

viwandanina majumbani. Mapato yaliyopatikana kutokana na mauzo ya gesi

asilia katika mwaka 2016 yalifikia dola za Marekani 51,991,433 ikilinganishwa

na dola za Marekani 45,776,201 mwaka 2015, sawa na ongezeko la asilimia 1.2.

368. Mwaka 2016, Serikali ilikamilisha maandalizi ya kanuni zinazotoa

mwongozo wa ukokotoaji wa bei ya gesi asilia na kutangazwa katika Gazeti la

Serikali (GN 285) ili kuhakikisha usimamizi thabiti wa sekta ndogo ya gesi. Vile

vile, kanuni za ushiriki wa watanzania katika sekta ya gesi na mafuta ziliendelea

kuandaliwa, ambapo kanuni hizi zitatoa mwongozo wa namna watanzania

wanavyoweza kushiriki katika mnyororo wa thamani wa sekta hiyo. Aidha,

Serikali iliendelea kuandaa Mpango Kabambe wa Matumizi ya Gesi Asilia

Nchini, ambao utawezesha usimamizi madhubuti wa matumizi ya gesi asilia

nchini kwa kuzingatia vipaumbele vya Taifa hususan viwanda na miradi

mingine itakayoainishwa katika Mpango huo pamoja na usambazaji wa gesi

asilia kwa ajili ya matumizi ya nyumbani na katika magari na mradi wa

kusindika gesi asilia.

Page 267: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

247

Jedwali Na. 17.1: Uzalishaji wa Gesi Asilia Songo Songo na Mnazi Bay

Chanzo: Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC)

Jedwali Na. 17.2: Mapato yaliyotokana na Mauzo ya Gesi ya Songo Songo

na Mnazi Bay (Dola za Marekani)

Chanzo: Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania – TPDC

Songo Songo Mnazi BayKiliwani

NorthJumla

2016 29,747,400,000 15,792,127,458 2,783,497,464 48,323,024,922

2015 31,384,100,000 5,792,141,976 37,176,241,976

2014 33,061,500,000 783,595,488 33,845,095,488

2013 35,217,410,596 715,942,883 35,933,353,479

2012 36,233,010,000 673,870,408 36,906,880,408

2011 30,970,500,000 664,980,487 31,635,480,487

2010 27,633,000,000 454,123,320 28,087,123,320

2009 23,593,000,000 323,686,310 23,916,686,310

2008 20,084,000,000 321,239,550 20,405,239,550

2007 19,705,000,000 258,186,803 19,963,186,803

2006 17,907,000,000 - 17,907,000,000

2005 14,704,000,000 - 14,704,000,000

2004 4,659,000,000 - 4,659,000,000

Jumla Kuu 324,898,920,596 25,779,894,683 2,783,497,464 353,462,312,743

Futi za Ujazo (SCF)

Mwaka

Mwaka Songo Songo Mnazi Bay Jumla

2016 38,172,718 13,818,715 51,991,433

2015 43,854,236 1,921,965 45,776,201

2014 58,761,119 1,762,977 60,524,096

2013 50,582,385 1,592,879 52,175,264

2012 35,026,145 1,525,251 36,551,396

2011 38,337,903 1,444,856 39,782,759

2010 25,607,621 1,080,131 26,687,753

2009 21,403,804 396,109 21,799,913

2008 19,521,646 388,449 19,910,095

2007 16,861,492 305,236 17,166,727

2006 14,966,409 - 14,966,409

2005 9,019,384 - 9,019,384

2004 2,411,281 - 2,411,281

Jumla 374,526,143 24,236,568 398,762,711

Page 268: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

248

Uagizaji na Mwenendo wa Bei za Mafuta

369. Mwaka 2016, mafuta yaliyoingizwa nchini yalifikia lita za ujazo milioni

5,414.4 kutoka lita za ujazo milioni 4,929.5 kwa mwaka 2015, sawa na

ongezeko la asilimia 9.8. Sehemu kubwa ikiwa ni ongezeko la mafuta

yaliyokuwa yakisafirishwa kwenda nchi jirani. Kati ya hizo, lita za ujazo milioni

2,874.4 sawa na asilimia 53.1 ya mafuta yaliyoingizwa nchini yalisafirishwa

kwenda nchi jirani na lita milioni 2,539.9 yalikuwa kwa ajili ya matumizi ya

ndani. Mwaka 2016, jumla ya kiasi cha mafuta yaliyosafirishwa kwenda nchi

jirani yaliongezeka kwa asilimia 55.8 kutoka lita za ujazo milioni 1,845.1

mwaka 2015 wakati mafuta yaliyoagizwa kwa ajili ya matumizi ya ndani ya nchi

yalipungua kwa asilimia 17.7 kutoka lita za ujazo milioni 3,084.5 mwaka 2015.

370. Mwaka 2016, bei za mafuta katika soko la dunia zilibadilika kulingana

na nguvu ya soko wakati kiwango cha juu cha wastani wa bei ya mafuta ya,

kilikuwa mwezi Desemba ambapo bei kwa pipa ilikuwa petroli dola za

Marekani 532, dizeli 461, na na mafuta ya taa 498 kwa mtiririko huo. Bei za

mafuta ya petroli, dizeli na mafuta ya taa kwa ujumla zilishuka hadi kufikia

wastani wa dola za Marekani 416 mwaka 2016 ikilinganishwa na wastani wa

dola za Marekani 513 mwaka 2015, sawa na upungufu wa bei kwa asilimia 18.9.

Kushuka kwa bei za mafuta katika soko la dunia kulitokana na kuendelea

kuongezeka kwa uzalishaji wa mafuta katika nchi zinazozalisha mafuta kwa

wingi duniani. Wastani wa bei za mafuta katika soko la dunia kwa mwaka 2016

hadi kufikia dola za Marekani 462 kwa mafuta ya petroli; dola 380 kwa mafuta

ya dizeli na dola 407 kwa mafuta ya taa kwa pipa kutoka dola za Marekani 478;

558; na 502 kwa pipa mwaka 2015 kwa mtiririko huo. Sawa na upungufu wa

asilimia 3.3 kwa mafuta ya petroli; asilimia 31.9 kwa mafuta ya dizeli; na

asilimia 18.9 kwa mafuta ya taa.

Page 269: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

249

Jedwali Na. 17.3: Bei za Mafuta kwenye Soko la Dunia (FOB) –

Dola za Marekani kwa Mita za Ujazo (FoB)

Chanzo: EWURA

371. Kufuatia kushuka kwa wastani wa bei za mafuta katika soko la dunia, bei

za mafuta katika soko la ndani zilishuka zaidi kwa mwaka 2016 ikilinganishwa

na mwaka 2015. Wastani wa bei za ukomo za mafuta katika soko la ndani

mwaka 2016 ulipungua na kuwa shilingi 1,845 kwa lita moja ya petroli; shilingi

1,673 mafuta ya dizeli; na shilingi 1,644 kwa mafuta ya taa ikilinganishwa na

shilingi 1,973 kwa lita moja ya petroli; shilingi 1,808 mafuta ya dizeli; na

shilingi 1,739 mafuta ya taa mwaka 2015. Hii ni sawa na upungufu wa bei kwa

asilimia 6.5, 7.5 na 5.5 kwa mafuta ya petroli, dizeli, na mafuta ya taa kwa

mtiririko huo.

Aina ya Mafuta

Mwezi/Mwaka 2014 2015 2016 2014 2015 2016 2014 2015 2016

Januari 939 449 398 877 468 258 876 495 284

Februari 970 539 357 888 573 280 883 576 312

Machi 976 509 431 874 593 333 861 540 361

Aprili 1008 529 467 886 622 352 867 553 381

Mei 995 594 497 879 669 401 860 597 425

Juni 1021 562 498 871 689 429 867 577 451

Julai 1004 495 440 855 643 397 853 509 419

Agosti 938 442 464 836 539 389 834 457 411

Septemba 906 449 478 802 503 399 804 467 425

Oktoba 809 433 512 716 485 449 724 455 473

Novemba 732 407 471 669 469 417 686 435 440

Disemba 564 329 532 550 438 461 555 363 498

Wastani wa Bei

(USD/MT)

Wastani wa ongezeko kwa mwaka (%) -47 -3.3 -31 -32 -37.7 -19

Petroli Dizeli Mafuta ya Taa

905 478 462 809 558 380 806 502 407

Page 270: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

250

Jedwali Na.17.4 Mwenendo wa Bei za Mafuta kwa Dar es Salaam

Chanzo: EWURA

Nishati Jadidifu

JJoottooaarrddhhii

372. Mwaka 2016, Serikali kupitia Kampuni ya Uendelezaji Jotoardhi Nchini

kwa kushirikiana na wahisani mbalimbali, waliendelea na tafiti za jotoardhi

ikiwemo kubainisha maeneo yenye viashiria vya uwepo wa jotoardhi nchini

ambapo hadi sasa zaidi ya maeneo 50 yanakadiriwa kuwa na uwezo wa

kuzalisha umeme utokanao na jotoardhi na pia matumizi mengine ya moja kwa

moja kutokana na mvuke wa jotoardhi. Aidha, utafiti wa kina wa kijiolojia,

kijiokemia na kijiofizikia ulifanyika kwenye maeneo ya Kisaki mkoani

Morogoro, Mlima Meru (Arusha), Luhoi (Pwani), ziwa Ngozi (Mbeya) na

Songwe (Songwe) ili kuweza kuona uwezekano wa upatikanaji wa mvuke kwa

ajili ya uzalishaji wa umeme na matumizi mengine.

Petroli

(Tsh/Lita)

Januari-15 1,955 1,846 1,833 Januari-16 1,898 1,747 1,699

Februari-15 1,768 1,708 1,657 Februari-16 1,842 1,600 1,699

Machi-15 1,652 1,563 1,523 Machi-16 1,811 1,486 1,465

15-Apr 1,755 1,672 1,655 16-Apr 1,728 1,516 1,501

Mei-15 1,866 1,695 1,624 Mei-16 1,785 1,602 1,578

Juni-15 1,966 1,782 1,624 Juni-16 1,867 1,633 1,607

Julai 15 2,198 2,043 1,993 Julai-16 1,888 1,720 1,687

Agosti-15 2,290 2,026 1,964 Agosti-16 1,905 1,811 1,759

Septemba-15 2,153 1,832 1,770 Septemba-16 1,840 1,747 1,673

Oktoba-15 2,086 1,828 1,733 Oktoba-16 1,827 1,699 1,658

Novemba-15 2,004 1,879 1,733 Novemba-16 1,860 1,720 1,669

Desemba-15 1,977 1,823 1,765 Desemba-16 1,890 1,798 1,737

Wastani

Mwaka 20151,973 1,808 1,739

Wastani

Mwaka

2016

1,845 1,673 1,644

Wastani

Mwaka 20142,186 2,082 2,030

Wastani

Mwaka

2015

1,973 1,808 1,739

Mabadiliko (%) -10% -13% -14%Mabadiliko

(%)-6.50% -7.50% -5.50%

MweziPetroli

(TSh/Lita)

Dizeli

(TSh/Lita)

Mafuta ya

Taa

(TSh/Lita)

MweziDizeli

(Tsh/Lita)

Mafuta ya

Taa

(TSh/Lita)

Page 271: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

251

MMaappoorroommookkoo MMaaddooggoo yyaa MMaajjii

373. Mwaka 2016, jumla ya megawati 36.74 zilizalishwa kutokana na

maporomoko madogo ya maji. Kati ya hizo, megawati 25 ziliingizwa kwenye

gridi ya Taifa na MW 11.74 zilitumika katika maeneo ambayo uzalishaji huwa

unafanyika kwa ajili ya jamii zinazozunguka mitambo ya uzalishaji kwa ajili ya

shughuli za kijamii na kiuchumi za maeneo husika. Aidha, mwaka 2016, jumla

ya wateja 4,088 waliunganishiwa nishati ya umeme unaotokana na maporomoko

madogo ya maji katika vyanzo vya Mawengi wateja1,243; Mwenga (2,000);

Andoya (143); Ikondo (699); Ngombeni (1); Yovi (1); na Tulia (1) na hivyo

wastani wa jumla ya wanaonufaika wa nishati hiyo ulifikia watu 20,425. Aidha,

kiasi cha MW 11.8 kilizalishwa na kusambazwa katika maeneo tajwa hapo juu.

Vilevile, Wakala wa Nishati Vijijini waliendelea kuwajengea uwezo

waendelezaji wa nishati ya maporomoko ya maji kuwawezesha kuandaa miradi

ambayo itasaidia upatikanaji wa fedha za miradi hiyo.

NNiisshhaattii yyaa UUppeeppoo

374. Mwaka 2016, tafiti zilizofanyika, zilionesha kuwa, maeneo ya Singida na

Makambako ndiyo yenye kasi kubwa na endelevu ya upepo, hivyo kuwezesha

uzalishaji wa umeme mzuri ikilinganishwa na maeneo mengine. Hadi sasa,

kampuni tano za Wind Power East Africa, Geo wind Power Ltd, Upepo Energy,

Miombo wind na Sino-Tan Renewable Energy Limited zipo katika hatua

mbalimbali za uwekezaji katika mikoa ya Singida na Njombe (Makambako).

TTuunnggaammoottaakkaa,, BBaayyooggeessii nnaa LLPPGG

375. Mwaka 2016, uzalishaji wa umeme kutokana na mabaki ya malighafi

kutoka viwanda vya sukari na mazao ya misitu ulifikia MW 38.0, kati ya hizo

megawati 10.5 ziliingizwa katika gridi ya Taifa na megawati 27.5 zilitumika

kwa matumizi ya viwanda vya sukari na mazao ya misitu. Aidha, Serikali

iliendelea na uhamasishaji wa ujenzi na matumizi ya nishati ya bayogesi kwa

ajili ya kupikia ambapo zaidi ya mitambo 28,000 ya bayogesi ilijengwa mwaka

2016 ikilinganishwa na mitambo 24,000 iliyojengwa mwaka 2015. Hali

kadhalika, matumizi ya gesi ya mitungi kwa ajili ya kupikia majumbani (LPG)

yaliongezeka hasa katika maeneo ya mijini ambapo mwaka 2016 ilikadiriwa

zaidi ya asilimia 50 ya kaya za mijini zinatumia nishati hii kwa ajili ya kupikia

badala ya kuni na mkaa.

Page 272: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

252

NNiisshhaattii yyaa MMiioonnzzii yyaa JJuuaa

376. Mwaka 2016, Serikali ilifanya ukaguzi wa maendeleo ya miradi ya

uzalishaji wa umeme wa jua kupitia mifumo ya gridi ndogo (Solar Min Grid)

ambapo makampuni ya Jumeme na REX Solar investment yako katika hatua

mbalimbali za uzalishaji wa umeme katika visiwa vya Ziwa Victoria ambavyo

havitafikiwa na umeme wa gridi. Aidha, jumla ya kW 300 zilizalishwa katika

visiwa vya Ukara kupitia Kampuni ya Jumeme na katika kisiwa cha Ghana,

Kampuni ya REX Solar Energy ilikamilisha usimikaji wa nguzo na utandazaji

wa nyanya za umeme. Upatikanaji wa umeme katika visiwa hivi umechochea

ukuaji wa uchumi kwa wananchi ambao shughuli zao kuu ni uvuvi ambapo

thamani ya samaki na mazao yake iliongezwa.

Page 273: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

253

SURA YA 18

MAJI

Kiwango cha Ukuaji

377. Kiwango cha ukuaji wa shughuli za usambazaji maji na udhibiti maji

taka kilikuwa asilimia 4.3 mwaka 2016 ikilinganishwa na asilimia 0.1 mwaka

2015. Ongezeko hilo lilitokana na uboreshaji wa miundombinu ya usambazaji

maji mijini na vijijini na kuongezeka kwa idadi ya wateja waliounganishiwa

maji. Aidha, mchango wa shughuli za usambazaji maji katika Pato la Taifa

umeendelea kuwa asilimia 0.4 mwaka 2016 kama ilivyokuwa mwaka 2015.

Usimamizi na Uendelezaji wa Rasilimali za Maji

378. Mwaka 2016, Serikali iliendelea kusimamia rasilimali za maji, kufanya

utafiti wa vyanzo vipya na ufuatiliaji wa vyanzo vilivyokuwepo ili kuhakiksha

inaendelea kuvilinda visiharibiwe na shughuli za kibinadamu. Aidha, katika

utafiti huo vyanzo 269 vilitambuliwa kuwa vipo katika hatari ya kuharibiwa na

kuathiriwa kutokana na uharibifu wa mazingira uliosababishwa na ongezeko la

shughuli za kibinadamu. Katika kulinda vyanzo hivyo, Serikali ilichukua hatua

mbali mbali ikiwemo kuweka mipaka katika vyanzo 59 vya maji na kuanzisha

mchakato wa kuvitangaza kuwa maeneo tengefu kwa lengo la kuvihifadhi na

kuvilinda dhidi ya uharibifu wa mazingira . Maeneo hayo tengefu ni pamoja na

vyanzo vya maji chini ya ardhi yaliyoko Chokaa, Kidole, Kiswaga, Matundasi

A, Matundasi B, Mkola na Bwawa la Milala katika Bonde la Ziwa Rukwa;

Bwawa la Mtera katika Bonde la Rufiji; Bonde la Ruvuma na Pwani ya Kusini

vyanzo vya maji vya chemichemi za Mbwinji, Ndanda, Mwena na Liputu

kwenye miteremko ya milima ya Makonde na Mitema-Kitangari.

379. Hadi mwaka 2016, kulikuwa na jumla ya vituo 694 vya kupima wingi na

ubora wa rasilimali za maji juu na chini ya ardhi ili kuboresha upatikanaji wa

takwimu na taarifa sahihi na kwa wakati. Katika mwaka 2016, jumla ya vituo

vipya 54 vilijengwa na vituo 78 vilikarabatiwa katika kuhakikisha upatikanaji

wa takwimu sahihi za hali ya maji.

380. Mwaka 2016, jumla ya vibali vipya 800 vya matumizi ya maji

vilitolewa na Bodi za Maji za Mabonde kwa watumiaji wa maji ikilinganishwa

na vibali 618 vilivyotolewa mwaka 2015, sawa na ongezeko la asilimia 29.4.

Aidha, vibali tisa (9) vya kutiririsha majitaka vilitolewa kwa taasisi mbalimbali

za uzalishaji viwandani. Hadi kufikia mwaka 2016 jumla ya vibali 13,565 vya

Page 274: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

254

matumizi ya maji, uchimbaji visima na utiririshaji wa majitaka vilikuwa

vimetolewa na Bodi za Maji za Mabonde. Vile vile, utayarishaji wa Mipango

Shirikishi ya Usimamizi na Uendelezaji wa Rasilimali za Maji katika mabonde

yote tisa (9) uliendelea ambapo hadi mwezi Desemba 2016, jumla ya mipango 6

ilikamilika.

381. Mwaka 2016, Serikali iliendelea na shughuli ya ukusanyaji na

uchunguzi wa sampuli za maji ili kuangalia kama zinakidhi ubora na vigezo

vinavyokubalika. Aidha, jumla ya sampuli 1,980 zilikusanywa kutoka kwenye

vyanzo vya maji, viwanda, migodi, na mifumo ya utoaji maji taka ya viwandani

na kupimwa maabara ikilinganishwa na sampuli 6,487 mwaka 2015, sawa na

upungufu wa asilimia 69.5. Kati ya sampuli zilizokusanywa na kupimwa mwaka

2016 asilimia 70 ya sampuli zilionekana kukidhi viwango vya kumwagwa katika

mazingira bila kuleta athari zozote. Aidha, sampuli 151 kutoka mifumo ya utoaji

majitaka zilichukuliwa na kupimwa mwaka 2016 ikilinganishwa na sampuli 854

mwaka 2015 ambapo asilimia 77 ya sampuli hizo zilioneka kuwa na viwango

vinavyokubalika.

Huduma ya Maji Vijijini

382. Mwaka 2016, miradi ya maji vijijini iliendelea kutekelezwa chini ya

Programu Ndogo ya Maji na Usafi wa Mazingira Vijijini. Hadi Desemba, 2016

idadi ya miradi 1,301 ya maji vijijini ilikuwa imekamilika na miradi 509 ilikuwa

imefikia hatua mbalimbali za utekelezaji. Utekelezaji wa miradi hiyo

umewezesha vituo vya maji kufikia 98,298 na kuongeza idadi ya watu

wanaopata huduma ya maji vijijiji kufikia 22,816,624 sawa na asilimia 72.15 ya

wakazi wa vijijini ukilinganisha na vituo 94,013 vilivyokuwa vinahudumia watu

21,910,562 sawa na asilimia 68.9 ya wakazi wa vijijini mwaka 2015.

Huduma za Maji Mijini na Usafi wa Mazingira

383. Mwaka 2016, Mamlaka za Majisafi na Usafi wa Mazingira katika miji

mikuu ya mikoa zilitoa huduma ya maji kwa wastani wa kiwango cha asilimia

86 sawa na wakazi takribani milioni 4.5. Uzalishaji wa maji katika Miji Mikuu

ya Mikoa uliongezeka kwa asilimia 4.3 kutoka mita za ujazo milioni 140.98

mwaka 2015 hadi kufikia mita za ujazo milioni 147.11 mwaka 2016. Aidha,

idadi ya wateja wanaopata huduma ya maji iliongezeka kutoka wateja 400,093

mwaka 2015 hadi kufikia wateja 428,435 mwaka 2016. sawa na ongezeko la

asilimia 7.1. Hali hiyo ilichangia kuongezeka kwa makusanyo yaliyofikia

Page 275: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

255

shilingi bilioni 110.68 mwaka 2016 ikilinganishwa na shilingi bilioni 91.93

mwaka 2015, sawa na ongezeko la asilimia 20.4.

384. Serikali iliendelea kuzijengea uwezo mamlaka za maji katika ngazi ya

Wilaya na Miji Midogo ambazo zipo daraja ‘C’ ili ziweze kufikia madaraja ya

B’ na ‘A’, yenye uwezo wa kujiendesha yenyewe ilikupunguza gharama za

uendeshaji kwa Serikali. Utoaji wa huduma ya maji katika Miji Mikuu ya

Wilaya, Miji Midogo na maeneo yanayohudumiwa na Miradi ya Kitaifa kwa

sasa ni wastani wa asilimia 60 ya wakazi wanaopata maji. Uzalishaji wa maji

uliongezeka kutoka mita za ujazo milioni 50 mwaka 2015 hadi mita za ujazo

milioni 59 mwaka 2016. Idadi ya wateja wanaopata huduma ya maji iliongezeka

kutoka wateja 134,692 mwaka 2015 hadi kufikia wateja 147,163 mwaka 2016,

sawa na ongezeko la asilimia 9.

385. Kwa upande wa Jiji la Dar es Salaam, wastani wa asilimia 72 ya idadi ya

wakazi walipata huduma ya maji safi na salama mwaka 2016 ikilinganganishwa

na wastani wa asilimia 68 mwaka 2015. Hali ya upatikanaji wa huduma ya maji

katika Jiji pamoja na maeneo ya miji ya Kibaha na Bagamoyo, iliimarika

kutokana na kukamilika kwa mitambo ya Ruvu Juu na Ruvu Chini ambapo

uzalishaji wa maji uliongezeka kutoka mita za ujazo 300,000 hadi mita za ujazo

504,000 kwa siku. Aidha, mahitaji ya maji katika Jiji yaliongezeka kutoka

wastani wa mita za ujazo 450,000 kwa siku mwaka 2015 hadi wastani wa mita

za ujazo 544,000 mwaka 2016, sawa na ongezeko la asilimia 20.9. Vile vile,

wateja wanaopata huduma ya maji waliongezeka kutoka wateja 148,000 mwaka

2015 hadi wateja 171,784 mwaka 2016, hali hii iliwezesha kuongezeka kwa

makusanyo kutoka shilingi bilioni 52.04 hadi shilingi billioni 86.87 mwaka

2016.

Hali ya sekta ya umwagiliaji

386. Serikali kupitia Tume ya Taifa ya Umwagiliaji iliendelea kusimamia

sekta ya umwagiliaji kwa lengo la kuongeza eneo la umwagiliaji kutoka hekta

461,326 hadi kufikia hekta 1,000,000 katika skimu za wakulima wadogo, wa

kati na wakubwa ifikapo mwaka 2020. Aidha, jumla ya hekta 468,338 zilikuwa

zinamwagiliwa mwaka 2016 ikilinganishwa hekta 461,326 zilizokuwa

zinamwagiliwa mwaka 2015, sawa na ongezeko la asilimia 1.5.

Page 276: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

256

Jedwali Na. 77

Uzalishaji wa

Maji (Mita za

ujazo)

Mapato (TShs)

Uzalishaji wa

Maji (Mita za

ujazo)

Mapato (TShs)

Uzalishaji wa

Maji (mita za

ujazo)

Mapato (TShs)

Wastani wa

Upatikanji

wa Huduma

ya Maji 2016

(%)

Arusha 15,256,841 9,679,355,909 15,267,200 9,189,207,260 15,267,200 11,385,681,743 78

Babati 1,438,290 1,010,362,969 1,565,467 1,210,094,769 1,565,467 1,443,980,929 84

Bukoba 3,166,446 1,449,906,297 3,111,505 1,354,793,498 12,038,250 1,879,612,507 87

Dodoma 11,180,417 7,931,340,515 12,038,250 10,473,029,627 5,384,053 12,222,417,151 96

Iringa 5,681,451 3,907,585,966 5,384,053 4,402,847,990 481,226 5,726,246,072 70

Kigoma 4,420,717 1,488,432,082 2,693,846 1,411,612,380 15,680,862 1,495,898,490 97

Lindi 778,939 331,318,916 481,226 256,676,508 11,642,401 198,582,859 94

Mbeya 14,521,357 7,769,379,747 15,680,862 8,099,457,867 10,771,035 8,789,113,162 100

Morogoro 11,056,167 6,188,159,186 11,642,401 6,586,853,102 3,093,413 7,726,217,100 92

Moshi 10,166,113 5,215,821,127 10,771,035 6,142,186,713 3,391,420 7,616,200,285 82

Mtwara 2,906,891 1,731,569,647 3,093,413 2,037,164,193 3,818,506 2,652,851,020 78

Musoma 3,533,008 2,244,389,746 3,391,420 2,256,894,510 2,515,028 2,377,423,671 89

Mwanza 27,854,358 15,953,484,917 27,140,398 16,882,598,795 2,851,497 21,047,423,562 93

Shinyanga 3,605,506 3,014,107,752 3,818,506 3,554,969,593 4,786,207 4,416,379,733 86

Singida 2,867,025 1,279,081,037 2,515,028 1,658,438,213 10,288,619 2,137,392,972 99

Songea 3,538,968 1,817,808,585 2,851,497 2,109,228,289 1,342,230 2,352,913,720 52

Sumbawanga 1,816,822 808,748,215 1,598,912 776,913,969 192,467 940,707,565 40

Tabora 4,887,392 2,520,009,578 4,786,207 3,153,920,080 1,237,511 3,906,149,905 53

Tanga 10,205,227 7,554,448,254 10,288,619 9,453,232,952 91,479 10,752,460,576 54

Mpanda 1,007,100 242,286,893 1,342,230 321,938,674 27,140,398 399,069,657 94

Bariadi 164,554 66,373,476 192,467 97,084,376 3,111,502 113,235,333 76

Njombe 1,184,610 429,318,275 1,237,511 444,136,912 1,598,912 918,031,280 62

Geita 132,928 96,127,675 91,479 55,062,750 2,693,846 184,353,437 71

Jumla 141,371,127 82,729,416,764 140,983,532 91,928,343,020 140,983,529 110,682,342,730 86

Chanzo: Wizara ya Maji na Umwagiliaji

2016

UZALISHAJI WA MAJI NA MAPATO YATOKANAYO NA MAJI MIJINI

Mamlaka

2014 2015

Page 277: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

257

SURA YA 19

ELIMU NA MAFUNZO YA UFUNDI

Elimu ya Awali

387. Mwaka 2016, idadi ya wanafunzi walioandikishwa katika elimu ya awali

ilikuwa 1,562,770 ikilinganishwa na wanafunzi 1,069,823 mwaka 2015, sawa na

ongezeko la asilimia 46.1. Kati ya hao, wasichana walikuwa 775,027 sawa na

asilimia 49.6 ya wanafunzi wote na wavulana walikuwa 787,743. Idadi ya

wanafunzi katika shule za serikali ilikuwa 1,488,439 ikilinganishwa na

wanafunzi 1,015,030 mwaka 2015, sawa na ongezeko la asilimia 46.6. Kati ya

hao, wasichana walikuwa 738,323 na wavulana 750,116. Aidha, mwaka 2016,

idadi ya wanafunzi katika shule zisizo za serikali ilikuwa 74,331 ikilinganishwa

na wanafunzi 54,793 mwaka 2015, sawa na ongezeko la asilimia 35.7.

Ongezeko la uandikishaji katika elimu ya awali lilitokana na mwamko wa

wazazi na walezi juu ya umuhimu wa elimu ya awali.

388. Mwaka 2016, uwiano wa mwalimu mwenye sifa kwa wanafunzi katika

shule za awali za serikali ulikuwa 1:177 ikilinganishwa na uwiano wa 1:92

mwaka 2015. Uwiano unaokubalika kimataifa ni 1:25. Ongezeko la uwiano

lilitokana na uandikishwaji wa idadi kubwa ya wanafunzi ambao haukuendana

na idadi ya walimu walioajiriwa katika kipindi hicho.

Elimu ya Msingi

389. Mwaka 2016, shule za msingi za Serikali na zisizo za Serikali zilikuwa

17,174 ikilinganishwa na shule 16,899 mwaka 2015. Kati ya hizo, shule za

msingi za Serikali zilikuwa 16,109 ikilinganishwa na shule 15,966 mwaka 2015,

sawa na ongezeko la asilimia 0.9. Aidha, katika kipindi hicho, shule zisizo za

Serikali zilikuwa 1,065 ikilinganishwa na shule 933 mwaka 2015, sawa na

ongezeko la asilimia 14.1.

390. Mwaka 2016, idadi ya wanafunzi wa elimu ya msingi iliongezeka hadi

kufikia wanafunzi 8,639,202 kutoka wanafunzi 8,298,282 mwaka 2015. Kati ya

hao, wavulana walikuwa 4,265,714 na wasichana walikuwa 4,373,488, sawa na

asilimia 50.6 ya wanafunzi wote. Aidha, katika kipindi hicho, idadi ya

wanafunzi katika shule za Serikali ilikuwa 8,342,284 ikilinganishwa na

wanafunzi 8,011,229 mwaka 2015 ambapo wasichana walikuwa 4,226,289 na

Page 278: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

258

wavulana 4,115,995. Idadi ya wanafunzi katika shule zisizo za Serikali

iliongezeka hadi kufikia wanafunzi 296,918 ikilinganishwa na wanafunzi

227,992 mwaka 2015, sawa na ongezeko la asilimia 30.2. Kati ya hao,

wasichana walikuwa 147,199 na wavulana 149,719. Vile vile, idadi ya

wanafunzi walioandikishwa darasa la kwanza iliongezeka hadi kufikia

wanafunzi 2,120,667 mwaka 2016 kutoka wanafunzi 1,568,378 mwaka 2015,

sawa na ongezeko la asilimia 35.2. Ongezeko hilo lilitokana na kuanza

kutekelezwa kwa utoaji wa elimu msingi bila malipo. Aidha, kiwango cha

uandikishaji wa wanafunzi wa rika lengwa (miaka 7-13) kimeongezeka kutoka

asilimia 91.9 mwaka 2015 hadi asilimia 93.5 mwaka 2016.

391. Mwaka 2016, walimu wenye sifa katika shule za Serikali walikuwa

191,772 ikilinganishwa na walimu 178,242 mwaka 2015, sawa na ongezeko la

asilimia 7.6. Ongezeko hilo linafanya uwiano wa mwalimu kwa mwanafunzi

kwa shule za Serikali na zisizo za Serikali kuwa 1:42 ikilinganishwa na 1:41

mwaka 2015. Kwa mujibu wa vigezo vya kimataifa, uwiano stahiki wa

mwalimu kwa mwanafunzi ni 1:40. Pamoja na jitihada za Serikali za kusomesha

na kuongeza ajira za walimu, uwiano wa mwalimu kwa wanafunzi uliongezeka

kutokana na utekelezaji wa elimu msingi bila malipo uliosababisha idadi ya

wanafunzi kuongezeka zaidi.

392. Mwaka 2016, wanafunzi 789,479 walifanya mtihani wa kumaliza elimu

ya msingi ikilinganishwa na wanafunzi 763,606 mwaka 2015, sawa na ongezeko

la asilimia 3.4. Kati ya hao, wasichana walikuwa 419,932, sawa na asilimia 53.2

na wavulana 369,547. Kiwango cha ufaulu kilikuwa asilimia 70.4 ikilinganishwa

na ufaulu wa asilimia 67.8 mwaka 2015.

Elimu ya Sekondari

393. Mwaka 2016, idadi ya shule za sekondari za Serikali na zisizo za Serikali

ilikuwa 4,759 ikilinganishwa na shule 4,708 mwaka 2015, sawa na ongezeko la

asilimia 1.1. Kati ya hizo, shule 3,614 ni za Serikali na shule zisizo za Serikali

ni 1,145.

394. Mwaka 2016, idadi ya wanafunzi wa kidato cha kwanza hadi cha sita

katika shule za Sekondari ilikuwa wanafunzi 1,806,955 ikilinganishwa na

wanafunzi 1,774,383 mwaka 2015, sawa na ongezeko la asilimia 1.8. Kati ya

wanafunzi hao, wavulana walikuwa 905,896 na wasichana walikuwa 901,059,

Page 279: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

259

sawa na asilimia 49.9. Aidha, wanafunzi waliojiunga na elimu ya sekondari kwa

kidato cha kwanza mwaka 2016 walikuwa 538,826 ikilinganishwa na wanafunzi

448,826 mwaka 2015, sawa ongezeko la asilimia 20.1. Vile vile, mwaka 2016,

walimu katika shule za sekondari walikuwa 100,636 ikilinganishwa na walimu

92,439 mwaka 2015, sawa na ongezeko la asilimia 8.9.

395. Mwaka 2016, jumla ya watahiniwa 351,909 walifanya mtihani wa

kuhitimu kidato cha nne ambapo wasichana walikuwa 179,567, sawa na asilimia

51.0 ya watahiniwa wote na wavulana walikuwa 172,342. Ufaulu wa mwaka

2016 uliongezeka na kufikia asilimia 70.1 ikilinganishwa na ufaulu wa asilimia

68.3 wa mwaka 2015. Aidha, mwaka 2016, jumla ya watahiniwa 73,940

walifanya mtihani wa kidato cha sita ambapo ufaulu ulikuwa asilimia 97.3

ikilinganishwa na watahiniwa 35,176 waliofanya mtihani wa kidato cha sita

mwaka 2015 ambapo wanafunzi 34,777 walifaulu, sawa na asilimia 98.9.

396. Mwaka 2016, wanafunzi 61,488 waliripotiwa kuwa watoro

ikilinganishwa na wanafunzi 54,949 walioripotiwa kuwa watoro mwaka 2015,

sawa na kuongezeka utoro kwa asilimia 11.9. Aidha, mwaka 2016, wanafunzi

wa kike 3,439 walipata ujauzito ikilinganishwa na wanafunzi 3,281 waliopata

ujauzito mwaka 2015, sawa na ongezeko la asilimia 4.8.

Elimu ya Ualimu

397. Mwaka 2016, kulikuwa na vyuo vya ualimu 127 kama ilivyokuwa katika

mwaka uliotangulia. Kati ya hivyo, vyuo vya Serikali vilikuwa 35 na visivyo

vya Serikali 92. Aidha, mwaka 2016, idadi ya wanachuo katika vyuo vya

ualimu vya Serikali na visivyo vya Serikali ilikuwa wanachuo 19,825

ikilinganishwa na wanachuo 20,421 mwaka 2015. Kati ya hao, wavulana

walikuwa 9,389 na wasichana 10,436.

398. Mwaka 2016, idadi ya wanachuo katika vyuo vya ualimu vya Serikali

ilikuwa 14,057 ikilinganishwa na wanachuo 16,814 mwaka 2015, sawa na

upungufu wa asilimia 16.4. Kati yao, wasichana walikuwa 7,642 na wavulana

walikuwa 6,415. Aidha, mwaka 2016, idadi ya wanachuo katika vyuo vya

ualimu visivyo vya Serikali ilikuwa 2,794 ikilinganishwa na wanachuo 3,607

mwaka 2015, sawa na upungufu wa asilimia 22.5.

Page 280: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

260

Ukaguzi wa Shule na Vyuo vya Ualimu

399. Mwaka 2015/16, Serikali iliendelea kusimamia na kufuatilia utekelezaji wa

sera, sheria na kanuni za elimu kwa lengo la kuhakikisha kuwa elimu

inayotolewa kwa ngazi zote inakuwa bora. Katika kipindi hicho, jumla ya taasisi

16,780 zilikaguliwa ikilinganishwa na taasisi 13,233 zilizokaguliwa mwaka

2014/15, sawa na ongezeko la asilimia 26.8.

Jedwali Na.19.1: Ukaguzi wa Taasisi za Elimu mwaka 2015/16

Taasisi/Shule/Vituo

/Vyuo

Idadi ya

Asasi

(Machi

2016)

Idadi

iliyolengwa

kukaguliwa

Idadi halisi

iliyokaguliwa

Kiwango cha

utekelezaji (%

ya idadi

iliyokaguliwa)

Shule za Awali 16,273 9,973 6,412 64.2

Shule za Msingi 17,174 11,856 8,083 47.1

Shule za Sekondari 4,759 3,786 2,285 48.0

Jumla 38,206 25,615 16,780 65.5

Chanzo: Taarifa za Uthibiti Ubora wa Shule, Wizara ya Elimu, Sayansi na

Teknolojia

Elimu ya Ufundi na Mafunzo

400. Mwaka 2015/16, kulikuwa na wanafunzi 117,067 katika vyuo vya Elimu

ya Ufundi na Mafunzo ikilinganishwa na wanafunzi 116,160 mwaka 2014/15,

sawa na ongezeko la asilimia 0.8. Kati ya hao, wanaume walikuwa 57,895

(asilimia 49.5) na wanawake walikuwa 59,172.

Elimu ya Ufundi Stadi

401. Mwaka 2015/16, wanafunzi katika Vyuo vya Ufundi Stadi walikuwa

196,091 ikilinganishwa na wanafunzi 189,687 mwaka 2014/15, sawa na

ongezeko la asilimia 3.4. Kati ya hao, wanaume walikuwa 120,742 na

wanawake 75,349 (asilimia 38.4).

Elimu ya Juu

402. Mwaka 2015/16, idadi ya wanafunzi katika vyuo vikuu vya Serikali na

visivyo vya Serikali ilikuwa 189,857 ikilinganishwa na wanafunzi 220,531

mwaka 2014/15, sawa na upungufu wa asilimia 13.9. Kati ya hao, idadi ya

Page 281: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

261

wanafunzi wa kike ilikuwa 67,209 (asilimia 35.4 ya wanafunzi wote) na idadi ya

wavulana 122,648.

403. Mwaka 2016/17, mikopo yenye thamani ya shilingi bilioni 411.3

ilitolewa na Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Vyuo vya Elimu ya Juu kwa

wanafunzi 113,442 ikilinganishwa na wanafunzi 99,069 waliopata mikopo

yenye thamani ya shilingi bilioni 342.5 mwaka 2015/16, sawa na ongezeko la

asilimia 14.5. Katika kipindi hicho, Bodi ilipokea maombi ya mikopo 83,255

kutoka kwa wanafunzi wa mwaka wa kwanza katika ngazi ya stashahada,

shahada ya kwanza na shahada za juu. Kati ya hao, waombaji 28,073, sawa na

asilimia 33.7 walikidhi sifa za kupewa mikopo yenye thamani ya shilingi bilioni

102.6. Aidha, wanafunzi 85,369 waliokuwa wanaendelea na masomo mwaka

2016/17 walipata mikopo ya masomo yenye thamani ya shilingi bilioni 308.6.

Jedwali Na. 19.2 -: Wanafunzi Waliopata Mikopo 2016/2017

Chanzo: Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia

Idadi Kiasi Idadi Kiasi Idadi Kiasi

Stashahada 5,864 4,062,723,000 5,864 4,062,723,000.00

Shahada - Ndani ya

Nchi

Uzamili/Uzamivu – Ndani ya Nchi 170 1,260,599,500 265 2,955,828,000.00 435 4,216,427,500.00

Nje yaNchi 0 0 487 5,947,173,784.00 487 5,947,173,784.00

Jumla 28,073 99,871,785,813 83,785 306,761,898,453 111,858 406,633,684,266

Ruzuku 1,584 4,627,160,700 1,584 4,627,160,700

Jumla Kuu 28,073 102,637,618,313 85,369 308,623,226,653 113,442 411,260,844,966

392,407,359,982

MaelezoWanafunzi wapya Wanafunzi wanaondelea Jumla

27,903 98,611,186,313 77,169 293,796,173,669 105,072

Page 282: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

262

Jedwali Na. 80 (Namba)

Mwaka I II III IV V VI Jumla1986 10789 9855 8401 8679 2363 2276 42363

2000 43643 36734 31132 25456 6654 6143 149762

2001 47204 45078 30531 29188 7198 6601 165800

2002 56101 50371 36989 29045 7711 7126 187343

2003 52863 60643 36906 35653 7780 6885 200730

2004 98738 67294 46546 36385 8353 7572 264888

2005 134963 109398 46188 46489 9710 8444 355192

2006 196391 151448 72167 42584 18211 9691 490492

2007 401011 218060 105770 70796 21789 11668 829094

2008 395930 332393 175353 95214 25240 11743 1035873

2009 480529 308131 159789 167355 31201 12695 1159700

2010 382207 398870 293519 279995 26065 20674 1401330

2011 403873 396724 380528 279117 30265 25164 1515671

2012 457321 386250 355740 343376 31206 28859 1602752

2013 444532 506036 193901 302963 30581 26698 1504711

2014 479089 506170 356787 178246 33619 26899 1580810

Badiliko (% )

2013 - 2014 7.8 0.0 84.0 -41.2 9.9 0.8 5.1

Chanzo: Wizara ya Elimu,Sayansi, Teknolojia na Ufundi

SHULE ZA SEKONDARI ZA SERIKALI: IDADI YA WANAFUNZI KWA KIDATO

Page 283: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

263

Jedwali Na.80A

Elimu ya msingi Waume Wake Jumla Waume Wake Jumla Waume Wake Jumla

Jumla ya wanafunzi wate walioandikishwa Darasa Ia I-VII 4086280 4160892 8247172 4066287 4165626 8231913 4047582 4175085 8222667

Jumla ya wanafunzi wanaosoma shule za Serikali Darasa Ia I-VII 3970502 4049246 8019748 3965572 4068354 8033926 3933130 4061545 7994675

Jumla ya wanafunzi wanaosoma shule za binafsi Darasa Ia I-VII 115778 111646 227424 100715 97272 197987 114452 113540 227992

Jumla ya walimu katika shule za msingi 87601 93386 180987 91253 98234 189487 92695 98262 190957

Jumla ya walimu katika shule za msingi za Serikali 82541 89445 171986 85525 93797 179322 86993 94012 181005

Jumla ya walimu katika shule za msingi za binafsi 5060 3941 9001 6631 4942 11573 5702 4250 9952

Elimu ya Sekondari

Jumla ya wanafunzi wote Kidato I-VI 1010473 873799 1802810 939191 864865 1804056 997633 949716 1947349

Wanafunzi wanaosoma katika shule za Serikali, kidato I-VI 875480 727272 1542687 796895 707816 1504711 821697 759113 1580810

Wanafunzi wanaosoma katika shule za binafsi, kidato I-VI 134993 146296 260123 142296 157049 299345 175936 190603 366539

ldadi ya walimu katika shule za Serikali 33643 17826 51469 37291 20737 58028 41490 23900 65390

ldadi ya walimu katika shule za binafsi 10881 2736 13617 12261 3118 15379 12146 2993 15139

Jumla ya Walimu katika shule za Sekondari 44524 20562 65086 12101 3056 15157 53636 26893 80529

Chanzo: Wizara ya Elimu, Sayansi, Teknolojia na Ufundi

2012 2013 2014

IDADI YA WANAFUNZI NA WALIMU KATIKA SHULE ZA MSINGI NA SEKONDARI KWA JINSIA

Page 284: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

264

Jedwali Na. 80 B

Aina ya Taasisi Serikali Binafsi Jumla Serikali Binafsi Jumla Serikali Binafsi Jumla Serikali Binafsi Jumla

Shule za Msingi 15525 806 16331 15576 767 16343 15705 788 16493 15966 933 16899

Shule za Sekondari 3508 1020 4528 3528 1048 4576 3692 1061 4753 3691 1108 4799

Vyuo vya Ualimu (Msingi na Sekondari) 34 91 125 34 92 126 34 92 126 35 92 127

Elimu ya Ufundi na Mafunzo 109 641 750 113 631 744 0 0 253 0 0 455

Jumla 19176 2558 21734 19251 2538 21789 19431 1941 21625 19692 2133 22280

2013 2014 2015

IDADI YA TAASISI ZA ELIMU

2012

Jedwali Na.80C

Waume Wake Jumla Waume Wake Jumla Waume Wake Jumla Waume Wake Jumla

Stashahada (Pre-Service) 7222 4360 11582 7552 4808 12360 7188 4331 11519 6780 3081 9861

Astashahada (In - service) 1071 551 1622 729 327 1056 674 318 992 429 198 627

Daraja A 11905 12137 24042 14044 11582 25626 12855 10120 22975 14576 9533 24109

Elimu maalum 187 265 452 17 34 51 52 107 159 119 110 229

Mafunzo Kazini B/C-A 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0 0

Jumla 20385 17313 37698 22342 16751 39093 20769 14876 35645 21904 12922 34826

Chanzo: Wizara ya Elimu, Sayansi, Teknolojia na Ufundi

2014

MAFUNZO YA WALIMU KATIKA VYUO VYA UALIMU

2013Aina

2011 2012

Page 285: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

265

Jedwali Na.80D

Me Ke Jumla Me Ke Jumla

UNIVERSITY OF DAR-ES-SALAAM {UDSM) Serikali 13683 7066 20749 924 282 1206

ARDHI UNIVERSITY {UCLAS) Serikali 2563 1432 3995 167 62 229

INSTITUTE OF SOCIAL WORK Serikali 763 1709 2472 44 20 64

SOKOINE UNIVERSITY {SUA) Serikali 6214 2635 8849 426 106 532

NATIONAL INSTITUTE OF TRANSPORT Serikali 2511 942 3453 83 31 114

TANZANIA OPEN UNIVERSITY- OUT {Dar & lringa Branch) Serikali 23867 10980 34847 125 125 250

DAR ES SALAAM MARITIME INSTITUTE Serikali 389 55 444 30 5 35

DAR-ES-SALAAM INSTITUTE OF TECHNOLOGY {DIT) Serikali 6582 918 7500 168 32 200

MBEYA INSTITUTE OF SCIENCE AND TECHNOLOGY Serikali 1309 164 1473 243 26 269

INTERNATIONAL MEDICAL AND TECHNOLOGICAL UNIVERSITY {IMTU) Binafsi 409 347 756 18 8 26

KAMPALA INTERNATIONAL UNIVERSITY -DAR ES SALAAM CAMPUS Binafsi 1534 1053 2587 161 48 209

MUHIMBILI UNIVERSITY OF HEALTH AND ALLIED SCIENCES Serikali 1561 882 2443 207 92 299

WELL BUGANDO UNIVERSITY COLLEGE OF HEALTH SCIENCES {WBUCHS) Binafsi 1384 898 2282 28 22 50

SAINT AUGUSTINE UNIVERSITY OF TANZANIA {SAUT) Binafsi 5019 3085 8104 178 155 333

MWENGE UNIVERSITY COLLEGE OF EDUCATION {MWUCE) Binafsi 2331 774 3105 83 23 106

MOSHI UNIVERSITY COLLEGE OF COOPERATION AND BUSSINESS STUDIES {MUCCOBS) Serikali 1769 1517 3286 131 35 166

KILIMANJARO CHRISTIAN MEDICAL CENTRE {KCMC) Binafsi 1077 704 1781 82 35 117

STEFANO MOSHI MEMORIAL UNIVERSITY COLLEGE Binafsi 959 743 1702 43 17 60

INSTITUTE OF FINANCE MANAGEMENT Serikali 3332 5514 8846 34 125 159

IRINGA UNIVERSITY Binafsi 1914 1666 3580 63 28 91

SEBASTIAN KULOWA UNIVERSITY COLLEGE {SEKUCO) Binafsi 799 473 1272 32 35 67

TUMAINI UNIVERSITY {Dar & lringa) Binafsi 903 1043 1946 38 14 52

MKWAWA UNIVERSITY OF COLLEGE EDUCATION Serikali 2852 916 3768 114 38 152

TEOFILO KISANJI UNIVERSITY Binafsi 1995 952 2947 34 11 45

THE AGAKHAN UNIVERSITY Binafsi 68 41 109 11 11 22

MUSLIM UNIVERSITY MOROGORO Binafsi 890 552 1442 45 11 56

UNIVERSITY OF MOROGORO JORDANI UNIVERSITY COLLEGE Binafsi 1990 1323 3313 79 27 106

ST. JOHN UNIVERSITY Binafsi 1625 1151 2776 66 37 103

MZUMBE UNIIVERSITY Serikali 5839 5196 11035 212 71 283

COLLEGE OF BUSINESS EDUCATION-DAR Serikali 5815 5694 11509 88 14 102

LOCAL GVRNT TRAINNING INST. DODOMA Serikali 918 1391 2309 35 8 43

UNIVERSITY OF DODOMA INSTITUTE OF RURAL DEVELOPMENT PLANNING {MIPANGO) Serikali 2201 1934 4135 81 25 106

MADINI INSTITUTE- DODOMA Serikali 520 66 586 37 4 41

DODOMA UNIVERSITY {UDOM) Serikali 13606 6065 19671 621 166 787

ECKERNFORDE TANGA UNIVERSITY Binafsi 391 235 626 7 31 38

INSTITUTE OF ACCOUNTANCY ARUSHA Serikali 1990 1621 3611 82 22 104

UNIVERSITY OF HORTICULTURE TENGERU Serikali 34 39 73 13 5 18

CENTRE FOR EDUCATIONAL DEVELOPMENT IN HEALTH ARUSHA Serikali 16 17 33 13 11 24

LIVESTOCK TRAINING INSTITUTE COLLEGE (LITA TENGERU) Serikali 345 175 520 31 12 43

ARUSHA TECHNICAL COLLEGE Serikali 1194 379 1573 90 10 100

EASTERN AFRICA STATISTIC CENTRE Serikali 283 145 428 16 8 24

MOUNT MERU UNIVERSITY Binafsi 240 405 645 20 10 30

DARES SALAAM UNIVERSITY COLLEGE OF EDUCATION Serikali 3194 1394 4588 127 69 196

ST. JOSEPH COLLEGE OF ENGINEERING & TECHNOLOGY Binafsi 3325 751 4076 110 20 130

TANZANIA INSTITUTE OF ACCOUNTANCY Serikali 7587 7389 14976 92 15 107

MWL. NYERERE MEMORIAL UNIVERSITY Serikali 847 639 1486 110 60 170

RUAHA UNIVERSITY COLLEGE Binafsi 3490 1859 5349 78 31 109

ARUSHA UNIVERSITY Binafsi 1852 1197 3049 48 9 57

UNIVERSITY OF NELSON MANDELA Serikali 184 65 249 77 21 98

Jumla 144163 86191 230354 5645 2083 7728

Chanzo: Ofisi ya Taifa ya Takwimu

IDADI YA WANAFUNZI NA WAKUFUNZI KATIKA VYUO VIKUU KWA MWAKA 2013/2014

Jina la ChuoIdadi ya Wanafunzi Idadi ya Walimu

Umiliki

Page 286: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

266

Jedwali Na. 81 (Namba)

Mwaka I II III IV V VI Jumla

2000 30789 26601 23469 20430 5894 5011 112194

2001 36305 30820 25004 20762 5892 5116 123899

2002 41593 34209 27540 20681 6418 5534 135975

2003 46891 38506 26385 21650 6430 4859 144721

2004 48752 46167 33240 24476 8847 6229 167711

2005 45276 46321 32063 29248 9183 7046 169137

2006 46968 48013 42878 29796 9569 7956 185180

2007 47437 46927 41340 35746 11299 8667 191416

2008 42971 43232 43177 35980 12576 8594 186530

2009 44255 36384 37064 34061 11851 9096 172711

2010 56620 57876 50778 46820 12269 13006 237369

2011 63282 67205 65859 54521 11083 11926 273876

2012 65058 69403 64453 61209 9684 11713 281520

2013 70060 77407 67998 65637 8592 9651 299345

2014 109784 96732 76574 66898 8865 7686 366539

Badiliko (% )

2013 - 2014 56.7 25.0 12.6 1.9 3.2 -20.4 22.4

SHULE ZA SEKONDARI ZA BINAFSI: IDADI YA WANAFUNZI KWA KIDATO

Page 287: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

267

SURA YA 20

AFYA

Kiwango cha Ukuaji

404. Shughuli ya utoaji wa huduma za afya ambayo inajumuisha utoaji wa

huduma za afya na ustawi wa jamii katika ngazi zote kuanzia zahanati, vituo vya

afya, hospitali na hospitali za rufaa na huduma za afya zinazotolewa kwenye

kaya pamoja na shughuli nyingine za kijamii zisizoshirikisha wataalam wa afya

zilikua kwa kiwango cha asilimia 5.2 mwaka 2016 ikilinganishwa na ukuaji wa

asilimia 4.7 mwaka 2015. Hii ilitokana na juhudi endelevu za Serikali

kuhakikisha upatikanaji wa huduma za afya zenye ubora unaokubalika.

Mchango wa Shughuli hii katika Pato la Taifa ulikuwa asilimia 1.4 kwa mwaka

2016 ambayo ni sawa na mwaka 2015.

Upatikanaji wa Dawa na Vifaa Tiba

405. Serikali ilianzisha utaratibu wa kuviwezesha vituo vya kutolea huduma

za afya kupata mikopo kutoka Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya ili kuimarisha

upatikanaji wa dawa, vifaa, vifaa tiba na vitendanishi nchini ambapo mwaka

2016 utaratibu huu ulionesha mafanikio makubwa ambapo jumla ya vituo 226

vimeshafadika na mikopo hiyo. Aidha, vituo vinavyokopeshwa hutakiwa

kurejesha mikopo hiyo baada ya miaka mitatu kupitia fedha wanazodai kutokana

kuhudumia wanachama wa Mfuko. Vile vile, Serikali ilianzisha utaratibu wa

hospitali kutumia mifumo ya kielektroniki katika utendaji kazi ili kurahisisha

upatikanaji wa taarifa, ukusanyaji na usimamizi wa mapato. Hadi Desemba

2016, Serikali ilikuwa imefunga mfumo wa kieletroniki katika Taasisi ya

Mifupa (MOI) na hospitali za rufaa za mikoa ya Singida na Tabora (Kitete).

Halikadhalika, Serikali ilikuwa ikiendelea na mchakato wa kufunga mfumo huu

kwenye Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete na Hospitali ya Rufaa ya Mbeya.

Vituo vya Kutolea Huduma ya Afya

406. Mwaka 2016, Serikali iliendelea kutekeleza Mpango wa Maendeleo wa

Afya ya Msingi (MMAM) kwa lengo la kuboresha huduma za tiba. Katika

kutekeleza Mpango huo, idadi ya vituo vya kutolea huduma za afya iliongezeka

kutoka vituo 7,249 mwaka 2015 hadi vituo 7,346 mwaka 2016. Vituo hivi

vinajumuisha hospitali maalum na za rufaa. Vituo 5,431 kati ya vituo vyote ni

vya Serikali na vituo 1,865 ni vya taasisi binafsi na mashirika ya dini. Katika

kuhakikisha ubora wa huduma katika vituo vya afya ngazi ya msingi serikali

iliendelea kufanya tathmini na ukaguzi mara kwa mara katika mikoa yote 26.

Page 288: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

268

407. Mwaka 2016, jumla ya watu 32,463,458 walihudhuria kwenye vituo vya

kutolea huduma za afya ikilinganishwa na watu 31,307,601 mwaka 2015, sawa

na ongezeko la asilimia 4.0. Hii ilitokana na kuongezeka kwa vituo vya kutolea

huduma za afya na kuwa karibu na jamii sambamba na jitihada za Serikali za

kutoa huduma za kinga na kuhamasisha watu kupima afya zao. Mahudhurio ya

wagonjwa wa nje yalikuwa mengi zaidi katika zahanati kwa asilimia 64.3, vituo

vya afya (asilimia 20.1), hospitali (asilimia 15.3) na kliniki (asilimia 0.3). Aidha,

idadi ya wagonjwa waliolazwa ilikuwa 1,775,835 ikilinganishwa na wagonjwa

1,858,956 waliolazwa mwaka 2015.

Mafunzo kwa watumishi wa kada ya Afya

408. Mwaka 2016, Serikali iliendelea kuboresha huduma za afya nchini kwa

kufanya upanuzi wa vyuo ili kuongeza uwezo wa vyuo vya Afya kudahili

wanafunzi. Vyuo vilivyoendelea kufanyiwa upanuzi na ukarabati ambao upo

katika hatua mbalimbali za ukamilishwaji ni Mtwara (asilimia 90), Tanga

(asilimia 80), Mirembe (asilimia 90) na Mvumi (asilimia 60). Vyuo

vinavyoendelea na Ujenzi ni Vyuo vya Uuguzi vya Musoma na Morogoro. Kwa

upande wa mafunzo ya afya, ngazi ya cheti, stashahada na stashahada ya juu,

jumla ya wanafunzi 6,407 walidahiliwa ikilinganishwa na wanafunzi 4,961

mwaka 2015.

Afya na Uzazi na Mtoto

409. Mwaka 2016, Serikali ilitekeleza mipango mbalimbali ya kuboresha afya

ya uzazi na mtoto kwa lengo la kupunguza vifo vitokanavyo na uzazi.

Utekelezaji wa mipango hiyo ilihamasisha wajawazito wengi kuhudhuria kliniki

ambapo idadi ya wajawazito wanaohudhuria kliniki mpaka hudhurio la nne

iliongezeka kutoka asilimia 30 mwaka 2015 hadi asilimia 42 mwaka 2016 na

wajawazito waliopatiwa IPT2 ili kujikinga na malaria iliongezeka kutoka

asilimia 57 mwaka 2015 hadi asilimia 60.4 mwaka 2016. Aidha, uhamasishaji

wa matumizi ya njia za uzazi wa mpango uliongeza watumiaji wa njia hizo

kutoka asilimia 37.5 mwaka 2015 mpaka asilimia 40.5 mwaka 2016. Vile vile,

matokeo ya Utafiti wa Afya ya Uzazi na Mtoto na Viashiria vya Malaria wa

mwaka 2015/16 yalionesha kuwa idadi ya vifo vitokanavyo na uzazi vilikuwa

556 kati ya vizazi hai 100,000

Mpango wa Taifa wa Kudhibiti Malaria

410. Mwaka 2016, maambukizi mapya ya malaria kwa watoto chini ya miaka

mitano yalipungua na kufikia asilimia 15 ikilinganishwa na asilimia 18 mwaka

Page 289: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

269

2015. Aidha, Serikali iliendelea kutekeleza hatua mbalimbali ili kudhibiti

ugonjwa wa malaria zikiwemo: kunyunyizia viuatilifu ukoko aina ya actellic

ndani ya nyumba 456,252 mwaka 2016 ambapo wananchi 2,296,260 walikingwa

dhidi ya Malaria ikilinganishwa na nyumba 358,958 mwaka 2015 ambapo

wananchi 1,794,945 walikingwa; kununua vitendanishi (MRDT) 17,566,750 na;

dawa mseto dozi 19,084,230; na kusambaza chupa 1,150,000 za dawa ya

sindano ya kutibu wagonjwa wa malaria. Aidha, mwaka 2015, jumla ya

vyandarua 20,547,849 vyenye viatilifu vilisambazwa katika mikoa 18

ikilinganishwa na vyandarua 24,552,919 vilivyosambazwa katika mikoa 22

mwaka 2016.

Chakula na Lishe

411. Hadi kufikia Mei 2016, jumla ya viwanda vikubwa 13 vinavyosindika

vyakula viliongeza virutubishi vya vitamini na madini katika unga wa ngano na

mafuta ya kula. Vilevile, viwanda vitatu (3) vyenye uwezo wa kati vilianza

kuongeza virutubishi vya vitamin A katika mafuta ya alizeti ambavyo viko

katika mikoa ya Manyara, Singida na Dodoma. Jumla ya kilogramu 13,462 za

premix ya vitamini A ilinunuliwa na viwanda vinavyosindika mafuta ya kula na

kilo 497,243 za virutubishi kwa ajili ya kuongeza kwenye unga wa ngano

unaosindikwa na viwanda vikubwa zilinunuliwa.

Page 290: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

270

Jedwali Na. 84

Binafsi Serikali Jumla Binafsi Serikali Jumla Binafsi Serikali Jumla Binafsi Serikali Jumla

Zahanati 1444 4469 5913 1390 4523 5913 1419 4724 6143 1421 4789 6210

Vituo vya Afya 222 489 711 208 505 713 211 507 718 259 508 767

Hospitali 130 124 254 130 124 254 128 124 252 146 119 265

Nyinginezo* 0 79 10 89 133 3 136 39 15 54

Maternity Homes 50

Jumla 1796 5082 6878 1807 5162 6969 1891 5358 7249 1865 5431 7346

Chanzo: Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto

* Ni pamoja na kliniki

Aina ya Vituo

IDADI YA VITUO VYA KUTOLEA HUDUMA ZA AFYA

201620142013 2015

Page 291: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

Jedwali Na.85

Aina ya Mafunzo 2011/12 2012/13 2013/14 2014/15 2015/16

Doctor of Medicine (MO) 278 174 - - -

Advanced Diploma in AMO Anaesthesia 4 2 - 3 3

Advanced Diploma in Clinical Dentistry - 1 - 7 -

Advanced Diploma in Clinical Medicine 207 189 59 130 34

Advanced Diploma in Ophthalmology 6 6 - 10 3

Advanced Diploma in Vector Control 14 20 7 12 -

Diploma in Clinical Medicine 444 185 - 700 440

Diploma in Dental Laboratory Technology 4 4 4 4 4

Diploma in Dental Therapy 50 51 - 47 26

Diploma in Diagnostic Radiography 41 45 - 55 -

Diploma in Environmental Health Science 159 204 116 136 75

Diploma in Health Laboratory Sciences 148 188 44 - -

Diploma in Health Personnel Education 37 38 23 29 -

Diploma in Medical Laboratory Sciences 133 174 44 194 40

Diploma in Nursing and Midwifery 878 1052 508 1156 -

Diploma in Occupational Therapy 6 14 - 12 -

Diploma in Optometry 13 16 - 11 10

Diploma in Pharmaceutical Sciences 130 118 40 184 137

Diploma in Physiotherapy 19 22 26 20 7

Certificate in Clinical Medicine - - - 830 110

Certificate in Medical Laboratory Sciences - - - 506 271

Certificate in Health Record Technology - - - 48 16

Certificate in Pharmaceutical Sciences - - - 150 -

Certificate in Nursing - - - 2740 -

2571 2503 871 6984 1176

Chanzo: Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto

- Takwimu hazikupatikana

HUDUMA ZA AFYA : WALIOFAULU MAFUNZO YA AFYA

Page 292: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

272

Jedwali Na. 86

Hospitali Zahanati Vituo vya Afya

1995 355483 6785925 545921 240707

1996 604023 9530361 927606 541781

1997 711222 10003245 1052326 559949

1998 750465 10112305 1134242 -

1999 812891 10321654 1242354 626700

2000 989101 13697988 1874346 626700

2001 1167139 17218371 2511624 680263

2002 1328395 19695356 3258520 701568

2003 1491909 22935688 3659615 1390273

2004 1532028 23552460 3758027 2125388

2005 1619700 24900276 3973085 2237146

2006 1754925 26979136 4304787 2837252

2007 1842671 28328093 4520026 2979115

2008 1934805 29744498 4746027 3128071

2009 2128286 32718948 5220630 3440870

2010 2341114 35990843 5742693 3784957

2011 2622048 39917117 6431816 4239152

2012 2815529 41333522 6657817 4388108

2013 2903275 42682479 6873056 4529971

2014 5910725 14008692 475295 1665935

2015 4480781 25072487 6006466 1858956

2016 4984645 20859281 6515219 1775835

Chanzo: Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii,Jinsia, Wazee na Watoto

Mwaka

Wagonjwa wa Nje Jumla ya

Wagonjwa

waliolazwa

IDADI YA WAGONJWA KATIKA VITUO VYA KUTOLEA HUDUMA ZA AFYA

Page 293: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

273

Kada 2016

Madaktari wote - MO (Wageni na Wazalendo) 2229

Madaktari Wasaidizi (AMO) 2156

Wafamasia (PH) 559

Watabibu (MA) 26788

Clinical Officers 7636

Environmenta Health Officers 508

Assistant Environmental Health Officers 1611

Laboratory Technologist 1415

Chemist 49

Record Management Assistants 142

Nurse 22,978

Assistant Nursing Officer 7,729

Scientists 25

Pharmaceutica Technologists 510

Dental Assistants 26

Dental Surgeon 134

IDADI YA WATAALAMU WA AFYA

Jedwali Na. 87

Chanzo: Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii,Jinsia, Wazee na Watoto

Jedwali Na. 87A

SerikaliShirika la

Umma

Shirika la

Kujitolea/DiniBinafsi

Hospital za Mkoa 5158 260 0 0 5418

Hospitali za Wilaya 8693 0 6618 0 15311

Hospitali nyingine 935 154 2705 462 4256

Vituo vya Afya 8933 672 3993 1506 15104

Zahanati 12166 790 4127 2585 19668

Jumla 35885 1876 17443 4553 59757

Chanzo: Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii,Jinsia, Wazee na Watoto

Aina ya Huduma

Mmiliki

Jumla

IDADI YA VITANDA KATIKA HOSPITALI ZOTE NCHINI KATIKA MWAKA 2016

Page 294: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

274

SURA YA 21

MAENDELEO YA JAMII

Mafunzo ya Maendeleo ya Jamii

412. Mwaka 2016, Serikali iliendelea kusimamia utoaji wa mafunzo ya

maendeleo ya jamii katika vyuo nane vya maendeleo ya jamii na Taasisi ya

Maendeleo ya Jamii Tengeru. Jumla ya wanafunzi 2,201 walidahiliwa kati ya

hao, wanawake walikuwa 1,370 na wanaume 831 ikilinganishwa na wadahiliwa

2,456 kati ya hao, wanawake walikuwa 993 na wanaume 1,463 kwa mwaka

2015, ikiwa ni upungufu wa asilimia 11.6. Aidha, kati ya wanafunzi

waliodahiliwa mwaka 2016, ngazi ya astashahada walikuwa 1,820, stashahada

140, Shahada 239 na Stashahada ya Uzamili wawili (2) ikilinganishwa na ngazi

ya astashahada 1,242 stashahada 1,105, Shahada 200 na Stashahada ya Uzamili

9 mwaka 2015 . Kwa upande mwingine, jumla ya wanachuo 3,576 walihitimu

katika Taasisi ya Maendeleo ya Jamii Tengeru pamoja na Vyuo nane vya

Maendeleo ya Jamii ambapo wanaume walikuwa 1,447 na wanawake 2,129

ikilinganishwa na wahitimu 4,502 ambapo wanaume walikuwa 1,743 na

wanawake 2,759 mwaka 2015, sawa na upungufu wa asilimia 20.6. Aidha,

wahitimu hao katika ngazi ya astashahada walikuwa 2,118, stashahada 1,181,

shahada 190 na stashahada ya uzamili 10 mwaka 2016 ikilinganishwa na

wahitimu katika ngazi ya astashahada 2,866, stashahada 1,515, shahada 117 na

stashahada ya uzamili wanne (4) mwaka 2015.

Mafunzo ya Ustawi wa Jamii

413. Mwaka 2016, Serikali iliendelea kusimamia utoaji wa mafunzo ya ustawi

wa jamii katika vyuo vya Serikali na binafsi ambapo jumla ya wanachuo 1,164

(wanawake 783 na wanaume 381) walihitimu ikilinganishwa na wanachuo 1,067

waliohitimu mwaka 2015, sawa na ongezeko la asilimia 9.1. Kati ya waliohitimu

mwaka 2016, ngazi ya astashahada walikuwa 328, stashahada 368, shahada 432,

stashahada ya uzamili 33 na shahada ya uzamili watatu (3) ikilinganishwa na

wahitimu wa ngazi ya astashahada 310, stashahada 388, shahada 330 na

stashahada ya uzamili 39 mwaka 2015.

Page 295: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

275

Maendeleo ya Wanawake na Jinsia

414. Mwaka 2016, Serikali kupitia Mfuko wa Maendeleo ya Wanawake ilitoa

mikopo yenye thamani ya shilingi milioni 87 zilizotokana na marejesho kutoka

katika halmashauri ikilinganishwa na shilingi milioni 54 zilizotolewa kwa ajili

ya mkopo mwaka 2015 ikiwa ni ongezeko la asilimia 61.1. Fedha hizo zilitolewa

kwa wanawake wa halmashauri za Kisarawe, Busokelo, Gairo, Masasi na Iringa

Manispaa. Aidha, Mfuko unafuata mwongozo wenye lengo la kuboresha

uendeshaji, utoaji na urejeshaji wa mikopo na ufuatiliaji na tathmini ya shughuli

za Mfuko. Vile vile, mafunzo yanayohusu faida za kujiunga katika vikundi vya

kiuchumi yalitolewa kwa wanawake na wanaume takribani 450 katika

halmashauri za wilaya ya Njombe na Ludewa ili lengo kuhamasisha wanawake

kujiunga na SACCOS na VICOBA.

Maendeleo ya Watoto

415. Mwaka 2016, Serikali iliendelea kuzuia na kukomesha vitendo vya

ukatili dhidi ya watoto ambapo iliandaa na kuzindua Mpango Kazi wa Taifa wa

Kutokomeza Ukatili dhidi ya Wanawake na Watoto (2017/18 – 2021/22). Lengo

la mpango huo ni kuzuia vitendo vya ukatili wa aina yoyote kwa wanawake na

watoto kwa asilimia 50 ifikapo mwaka 2022 kupunguza tatizo la ndoa za utotoni

kutoka asilimia 47 hadi asilimia 10, kupunguza mimba za utotoni kutoka

asilimia 27 hadi asilimia 5 na kutokomeza ukekeketaji wa watoto wa kike.

416. Katika kukabiliana na tatizo la mimba na ndoa za utotoni, Serikali

iliadhimisha Siku ya Kimataifa ya Mtoto wa Kike mkoani Shinyanga. Lengo la

maadhimisho hayo lilikuwa ni kuelimisha jamii wakiwemo watoto wa kike

athari za mimba na ndoa za utotoni. Aidha, maadhimisho hayo yalifanyika

sambamba na kutoa elimu kwa shule za sekondari kuhusu mtoto wa kike

kujitambua na kujilinda dhidi ya vishawishi na mazingira yanayoweza

kusababisha mimba za utotoni; kuendesha Kongamano la Mtoto wa Kike;

kuelimisha wananchi wa vijiji vya kata ya Kizumbi; na kuendesha kongamano la

viongozi wa Mkoa wa Shinyanga kuhusiana na mpango huu.

417. Mwaka 2016, Serikali iliendelea kukuza ushiriki wa mtoto katika

maendeleo yao, ambapo iliwawezesha viongozi wa Kamati Kuu ya Baraza la

Watoto kufanya ziara ya mafunzo kwenye mabaraza yanayofanya vizuri. Lengo

likiwa ni kupata ujuzi na kuboresha ushiriki wa mtoto katika masuala

mbalimbali yanayohusu haki na ustawi wa watoto. Aidha, Serikali iliwezesha

Page 296: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

276

kuundwa kwa mabaraza 19 ya watoto ngazi ya mkoa na 108 ngazi ya wilaya

kwa mwaka 2016 ikilinganishwa na mabaraza ya watoto 22 ngazi ya mkoa na

122 ngazi ya wilaya mwaka 2015.

418. Mwaka 2016, Serikali ilitoa elimu kwa jamii kuhusu madhara ya ukatili

dhidi ya watoto na umuhimu wa kutoa taarifa za ukatili kwenye mamlaka

husika. Aidha, Serikali kupitia namba ya simu 116 ya kuwasaidia watoto (Child

Help Line – Na. 116) ilipokea taarifa 19,014 zinazohusu vitendo vya ukatili

dhidi ya watoto ikilinganishwa na taarifa 24,675 zilizotolewa mwaka 2015.

Waathirika wa ukatili walipatiwa huduma mbalimbali za kibinadamu ikiwemo

afya, ushauri, chakula, upelelezi na malazi.

Huduma za Ustawi kwa Watoto

419. Mwaka 2016, Serikali iliendelea kuratibu huduma za malezi ya watoto

wa kambo na kuasili. Aidha, Serikali ilitoa leseni za makao ya watoto ili

kuimarisha upatikanaji wa huduma za msingi (malazi, chakula, matibabu na

mavazi) kwa watoto walio katika mazingira hatarishi. Aidha, katika kipindi

hicho, jumla ya maombi 131 yalipokelewa, watoto 26 walifanyiwa usaili na

wengine 74 walipatiwa walezi wa kambo ikilinganishwa na maombi 79

yaliyopokelewa na waombaji 17 walisailiwa mwaka 2015.

420. Mwaka 2016, Serikali iliendelea kutoa huduma za msingi za chakula,

malazi, mavazi na matibabu pamoja na huduma za msaada wa kisheria kwa

watoto 353, kati yao wavulana 322 na wasichana 31. Watoto hao, walikuwa

katika mkinzano na sheria na walihifadhiwa katika mahabusu za watoto za

Mbeya, Moshi, Tanga, Arusha na Dar es salaam. Aidha, Serikali ilifanya

ukarabati wa majengo na miundo mbinu katika mahabusu ya watoto Dar es

Salaam. Vile vile, Serikali ilitoa huduma za msingi ikiwa ni pamoja na elimu na

mafunzo kwa watoto 617 waliobainika na makosa katika Shule ya Maadilisho

Irambo Mbeya. Aidha, Serikali ilitoa mafunzo ya kujenga uwezo wa kuendesha

kesi za watoto mahakamani kwa watumishi 123 ikilinganishwa na watumishi 67

waliopatiwa mafunzo mwaka 2015.

Huduma za Malezi, Makuzi na Maendeleo ya Awali ya Mtoto

421. Mwaka 2016, Serikali iliendelea kusimamia utoaji wa huduma za

malezi, makuzi na maendeleo ya awali ya mtoto kwa watoto wenye umri wa

miaka mitatu (3) hadi miaka mitano (5) katika vituo vya kulelea watoto wadogo

Page 297: YALIYOMO - National Bureau of Statistics€¦ · Mikopo yenye Masharti ya Kibiashara ... Wakala wa Nyumba na Majengo ya Serikali .....214 Bodi ya Usajili wa Wakandarasi .....214 Bodi

277

mchana vya Serikali na binafsi. Aidha, Serikali ilisajili vituo 84 vya kulelea

watoto wadogo wakati wa mchana na kufanya idadi ya vituo vya Serikali na

binafsi kuongezeka kufikia vituo 841 mwaka 2016 ikilinganishwa na vituo 757

mwaka 2015, sawa na ongezeko la asilimia 11. Vile vile, jumla ya watoto

67,240 waliandikishwa katika vituo vya kulelea watoto wadogo wakati wa

mchana ambapo watoto 23,878 walikuwa wa kiume na watoto 43,362 walikuwa

wa kike. Halikadhalika, Serikali ilitoa mafunzo ya kuwajengea uwezo walezi

wanaotoa huduma katika makao ya watoto na vituo vya kulelea watoto wadogo

mchana ambapo jumla ya walezi 713 walipatiwa mafunzo mwaka 2016

ikilinganishwa na walezi 604 waliopata mafunzo mwaka 2015

Mashirika Yasiyo ya Kiserikali

422. Mwaka 2016, mashirika yasiyo ya kiserikali 570 yalisajiliwa chini ya

Sheria ya Mashirika Yasiyo ya Kiserikali Na. 24 ya Mwaka 2002, kama

ilivyorekebishwa mwaka 2005, ikilinganishwa na mashirika 563 yaliyosajiliwa

mwaka 2015. Idadi ya mashirika yaliyosajiliwa katika ngazi ya wilaya ilikuwa

56, mkoa 15, taifa 469 na kimataifa 30 mwaka 2016 ikilinganishwa na mashirika

52 katika ngazi ya wilaya, 22 mkoa, 453 kitaifa na 36 kimataifa mwaka 2015.

Mashirika haya yameendelea kutoa huduma na kuchangia kwenye jitihada

mbalimbali za Serikali katika sekta za kilimo, afya, mazingira, elimu, maendeleo

ya mtoto, haki za binadamu na utawala bora.

423. Mwaka 2016, Serikali ilipokea na kuchambua taarifa za kazi na fedha za

mashirika yasiyo ya kiserikali 699 ikilinganishwa na mashirika 375

yaliyowasilisha taarifa mwaka 2015. Taarifa hizi zilisaidia Serikali katika

kuimarisha usimamizi wa mashirika hayo. Aidha, Serikali ilitembelea mashirika

yasiyo ya kiserikali 22 katika mikoa ya Mwanza, Arusha, Rukwa, Mara,

Singida, Shinyanga, Dar es Salaam, Tanga na Morogoro kwa lengo la kuhakiki

shughuli zinazofanyika. Vile vile, wadau 6,901,023 walitoa maoni kupitia tovuti

ya taifa ya mashirika yasiyo ya kiserikali www.tnnc.go.tz na

msajilingos.blogspot.com kwa ajili ya kupata huduma mbalimbali.