109
TAA MIGUUNI MWANGU Sehemu ya tatu- (Hatua ya kwanza) Matayarisho ya Ufalme Matamshi yako ni taa miguuni mwangu na mwanga wa njia yangu (Zaburi 119 kf 105) UTANGULIZI Hii ni kozi ya sehemu nne kuhusu mafunzo ya bibilia ambayo imetegenezwa kumfunza msomaji kuhusu biblia kwa jumla pamoja na wahusika wote walioko ndani. kila kifungu katika sehemu tatu za kwanza zina jumla ya mafunzo mia moja na ishirini na tano yaliyo tengenezwa kutoka na vipengee vikuu vya hadithi za bibilia kama ilivyotokea ili kumpa msomaji msingi wa sehemu ya mwisho. Sehemu ya nne ndio sehemu kubwa na ina masoma elfu moja mia mbili na hamsini na tano na kila somo limetolewa kwa sehemu ya biblia nzima pamoja na mwanzo wa masoma sitini na sita. Jinsi idadi ya vijana na madada inavyozidi kuongezeka nchini Tanzania imekuwa dhahiri kwamba wanataka mwelekezo katika masomo ya biblia. Kuna wengi ambao wako tayari kufunza njia ya wokovu lakini wachache ndio wana maarifa na ujuzi kutimiza kazi hiyo. Kwa kutumia mafunzo haya pamoja na maandishi kutoka kwa kitabu cha Schools of the prophets ndugu na dada zetu wataweza kupata masomo ya biblia na waweze kukua katika imani. UTANGULIZI: SEHEMU YA TATU Masoma haya mia moja na ishirini na tano katika hii sehemu yamechaguliwa kugusia wahusika na mafunzo muhimu kutoka kwa andiko ili kupata picha kamili ya kusudi la mungu. Naamini kwamba wakati kozi hii itakamilika wasomi watakua wana ujuzi wa biblia kwa ujumla. Sehemu tatu za kwanza zinagusia masomo ya kale na masomo mawili ya mwisho yanagusia maisha ya Yesu Christo na Matendo ya Mitume mtawalia. Yesu Christo ndiye egemeo la kusudi la Mungu na lafudhi inapaswa kuwekwa kwenye sehemu za masomo ya kale ambazo yanamtangulia. -1-

UTANGULIZI: SEHEMU YA TATU · Web viewTAA MIGUUNI MWANGU Sehemu ya tatu- (Hatua ya kwanza) Matayarisho ya Ufalme Matamshi yako ni taa miguu ni mw angu na mwanga wa njia yangu (Zaburi

  • Upload
    others

  • View
    8

  • Download
    0

Embed Size (px)

Citation preview

Page 1: UTANGULIZI: SEHEMU YA TATU · Web viewTAA MIGUUNI MWANGU Sehemu ya tatu- (Hatua ya kwanza) Matayarisho ya Ufalme Matamshi yako ni taa miguu ni mw angu na mwanga wa njia yangu (Zaburi

TAA MIGUUNI MWANGU Sehemu ya tatu- (Hatua ya kwanza)

Matayarisho ya Ufalme

Matamshi yako ni taa miguuni mwangu na mwanga wa njia yangu (Zaburi 119 kf 105)

UTANGULIZI

Hii ni kozi ya sehemu nne kuhusu mafunzo ya bibilia ambayo imetegenezwa kumfunza msomaji kuhusu biblia kwa jumla pamoja na wahusika wote walioko ndani. kila kifungu katika sehemu tatu za kwanza zina jumla ya mafunzo mia moja na ishirini na tano yaliyo tengenezwa kutoka na vipengee vikuu vya hadithi za bibilia kama ilivyotokea ili kumpa msomaji msingi wa sehemu ya mwisho. Sehemu ya nne ndio sehemu kubwa na ina masoma elfu moja mia mbili na hamsini na tano na kila somo limetolewa kwa sehemu ya biblia nzima pamoja na mwanzo wa masoma sitini na sita.

Jinsi idadi ya vijana na madada inavyozidi kuongezeka nchini Tanzania imekuwa dhahiri kwamba wanataka mwelekezo katika masomo ya biblia. Kuna wengi ambao wako tayari kufunza njia ya wokovu lakini wachache ndio wana maarifa na ujuzi kutimiza kazi hiyo. Kwa kutumia mafunzo haya pamoja na maandishi kutoka kwa kitabu cha “Schools of the prophets” ndugu na dada zetu wataweza kupata masomo ya biblia na waweze kukua katika imani.

UTANGULIZI: SEHEMU YA TATUMasoma haya mia moja na ishirini na tano katika hii sehemu yamechaguliwa kugusia wahusika na mafunzo muhimu kutoka kwa andiko ili kupata picha kamili ya kusudi la mungu. Naamini kwamba wakati kozi hii itakamilika wasomi watakua wana ujuzi wa biblia kwa ujumla.

Sehemu tatu za kwanza zinagusia masomo ya kale na masomo mawili ya mwisho yanagusia maisha ya Yesu Christo na Matendo ya Mitume mtawalia. Yesu Christo ndiye egemeo la kusudi la Mungu na lafudhi inapaswa kuwekwa kwenye sehemu za masomo ya kale ambazo yanamtangulia.

UTANGULIZI: SEHEMU YA KWANZA

Sehemu ya kwanza inaitwa: “THE PREPARATION OF THE KINGDOM” na inagusia miaka 2,400 ya kwanza ya historia ya mwanadamu- kuanzia (creation) hadi katiba ya Israel kama Ufalme wa Mungu hapa duniani. Msingi wa ufunuo wa Mungu umeelezewa katika hii sehemu na ni muhimu tufahamu ufunuo huu kuanzia mwanzo.

-1-

Page 2: UTANGULIZI: SEHEMU YA TATU · Web viewTAA MIGUUNI MWANGU Sehemu ya tatu- (Hatua ya kwanza) Matayarisho ya Ufalme Matamshi yako ni taa miguu ni mw angu na mwanga wa njia yangu (Zaburi

Kwanza kabisa tutajifunza kuhusu Mungu, Muumba na Biblia inayotuonyesha kusudi lake kwa mwanadamu na kile kilichotendeka alipomtendea Mungu dhambi na akahukumiwa kifo. Baada ya kuona matokea ya dhambi and kifo duniani, tutaona jinsi Mungu alivyo amua kuokoa binadamu kutokana na uharibufi and mapambano yaliyotokea kati ya wema wa Mungu na uovu wa mwanadamu uliozidi. Tutajifunza kuhusu wanaume mashuhuri kama Abeli na Nuhu ambao imani yao kwa Mungu I liwafanya kua shujaa. Wanaume wa kweli ambao walisimama pekee yao badala ya kujisalimisha na njia za kidunia: na wakati Mungu hakuweza kuvumilia tena dhambu za binadamu, hukumu yake ilijaza ulimwengu mzima na gharika, kisha tutaona jinsi Mungu alitaka kumrudisha mwanadamu wa utukufu wake tena na tena.

Kwa hivyo tutajifunza kuhusu Abramu na jinsi alivyokubali wito wa Mungu wa wa kujitenga na kuabudu sanamu kama “Uru wa Wakaldayo” na kusafiri kwa nchi asiyo ijua, nchi aliyoahidiwa kama uridhi.jinsi hadithi inavyo endelea, tutaangalia kwa undani safati za Abramu, ahadi alizopewa na Mungu na jinsi familia yake ilivyoendelea na kusambaa kupitia Isaka na Yakobo kasha taifa zima la waisraeli, watu walichaguliwa na Muumba kudhihirisha jina lake na wema wake duniani.

Tutafuata utajiri wa Waisraeli ambao ulikuja katika wakati ambao Yahweh Mkombozi alikua ameahidi. Jinsi walikua kama taifa, uhamisho wake nchini Misri katika kipindi cha Yosefu na safari ya ukombozi iliyopewa Musa. Wakiongozwa na nguzo la wingu kwa siku na moto wakati wa usiku, tutaelewa pamoja mafunzo waliopata wakiwa jangwani kama Mungu alivyotaka wapata maarifa ili wazidi kumtumainia kwa lolote. Kisha tutafika Mlima Sinai (pale Taifa la Israel lilipobuniwa ufalme wa Mungu) na mazingira maalum ambapo sauti ya Mungu ilisikika ikitangaza Amri zake Kumi and msingi wa sharia zake. Tutazingatia mafunzo ya Ndama wa dhahabu, ufafanuzi wake juu ya udhaifu na dhambi za mwanadamu, na hatimaye tutachuguza jinsi Ufalme wa Mungu juu ya waisraeli ulivyopangwa tukizingatia madhabahu, ukuhani, sadaka na sherehe. Kwa haya yote tutaona jinsi Mungu anavyowaelekeza wati wake kwa njia iliyo ya yaki, ili waweze kupata wokovu kupitia Yesu Christo.

Kabla ya kuanza kujifunza Neno la Mungu tunapaswa kutafuta baraka kutoka kwa Baba yetu wa Mbiguni. Kwani imeandikwa “watafunzwa Neno lake Mungu” (Yoh 6:45) Bila Baraka zake yote ni bure. Atuongoze na atugeuze ili tuweze kukubalika na kupata nafasi katika Utukufu wa Ufalme wake, utaokua huku duniani hivi karibuni.

SEHEMU YA KWANZA: KUTOKA UUMBAJI HADI GHARIKA

Masomo haya yanagusia msingi wa kiukweli kuhusu Mungu

251. MUNGU, MWANDISHI WA BIBLIA

“kila andiko limeandikwa kwa upako wa Mungu”

Kama mtu anaweza kuangalia ukubwa wa bingu ama ulimwegu kupitia ungo wa viumbe , atashangazwa na ubunifu na muundo msingi wa uumbaji. Kila upande wa jinsi dunia ilivyoumbwa ni ushahidi kimya kuwa yupo Muumbaji. Mbali na kitabu tunachojua kama Biblia, Binadamu atazidi kubaki mjinga na ashindwe kuelewa asili na hatima ya dunia. Biblia ndio ufunia wa Mungu kwa binadamu. Inaonyesha ukweli dhahiri kuhusu Mungu na binadamu. Inaonyesha kusudi kuu la uumbaji, asili ya dhambi na kifo,

-2-

Page 3: UTANGULIZI: SEHEMU YA TATU · Web viewTAA MIGUUNI MWANGU Sehemu ya tatu- (Hatua ya kwanza) Matayarisho ya Ufalme Matamshi yako ni taa miguu ni mw angu na mwanga wa njia yangu (Zaburi

kuendelea na hatima ya mataifa na kisha ufalme wa Mungu unaokuja. Lakini Biblia pia ina dhamani ya kibinafsi. Na huwapa vijana na wazee matumaini. Inatuonyesha sababu halisi ya kuishi na pia kufunua ujinga ufuatao wa dunia ambayo imejitenga na Mungu na Uumbaji wake. Kwa kifupi,biblia inaweza kubadilisha maisha yetu.

Lengo la hili somo ni kuonyesha kwamba kuna Muumbaji mmoja mkuu ambaye aliongoza kuandikwa kwa biblia ili kuonyesha tabia zake na kusudio lake kwa mwanadamu.

2Tim: 3:14-17; 2 Pet 1: 19-21

BIBLIA: UFUNUO WA MUNGU KWA BINADAMU

Ijapokuwa Biblia imegawanywa katika sehemu sitini na sita ina ujumbe mmoja dhabiti. Inadai kuwa Neno la Mungu. Kwa vitabu vitano vya kwanza imetajwa mara zaidi ya mia tano “Bwana akasema” au “Bwana akanena” tena kwa mara 300 inarudia maneno hayo kutoka kwa kitabu cha Yoshua hadi Wimbo wa Solomon. Vitabu za manabii zinarudia maneno hayo kwa mara 1200.

Waandishi wa Biblia walikua wanatimiza jukumu kama waalimu wa sheria wa Mungu aliyekua mwandishi Mkuu. Alionyesha mafunzo yake kupitia kwa wanadamu. Waliandika kutokana na upako wake (Heb :1:1-2; Neh 9:20) Aliwaelekeza jinsi watakavyosema ijapokua lugha waliotumia ilikua yao. Kwa kusudi hili Mungu aliwachagua wanaume kutoka kila tabaka la jamii. Wafalme, viongozi, makuhani, wasomi, wachungaji na pia wavuvi walikua kati ya waliochaguliwa. Aliwagawanya kulingana na hadhi, watkat na mahali walikotoka. Mwandishi mmoja akiwa Syria wa pili alikua Uarabuni, wa tatu Italia, wa nne Ugiriki, wa tano Babelli na wasita palestina. Hii inaaanisha walikumua na masasiliano machache sana. Musa ndiye aliyekua mwandishi wa kwanza na aliandika vitabu vitano nya kwanza vya BIblia miaka 1600 kable ya Yohana kuandika kumbukumbu ya ufunuo.

Licha ya tofauti hizi kubwa kuna uwiiano wa ajabu kwa yale yalionadikwa yanavyounganisha vitabu hivi vyote 66 na kuwa moja ili kufanya Biblia kitabu cha kipekee katika ulimwengu wa fasihi. Mungu amempa mwanadamu kitabu hiki ili kumpa matumaini (Warumi 15.4) Biblia pekee ndio inaweza onyesha njia ya wokovu (2Tim 3:15). Kukataa ujumbe huu ni kumaanisha kifo. (Kumb 30:17-20, Mithali 14:12.)

Kwa kawaida Biblia imegawanya katika sehemu mbili; Agano la kale (vitabu 39) na Agano jipya (vitabu 27). Mgao huu umefanywa na mwanadamu kwa sababu Biblia inastahili kuchukuliwa kama kitabu kimoja cha ufunuo wa Mungu kwa binadamu. Agano la kale lilikua limeandikwa kwa kiebrania na Agano jipya na Kigiriki. Mfumo wa kuandika Biblia na Kiingereza ulioidhinishwa na hutumika leo ulichapishwa kwa mara ya kwanza mwaka wa 1611. Pia ilitafsiriwa na Kiswahili kama Biblia Muungano. Ilijulikana kama mfumo ulioidhinishwa kwa sababu mamlaka ya kutasfri kwa kizungu ilipewa Mfalme James wa Uingereza. Kutoka wakati huo tafsiri nyingi zimetolewa zingine zina manufaa na zingine zina manufaa kidogo sana. Nakala rasmi haina makosa lakini hakuna toleo lisilo na makosa. Kwa miaka iliyopita kumekua na makosa ya kutafsiri kwa waandishi kuiga nakala rasmi na kutafsiri kutoka kwa lugha asili kwa lugha nyingine. Lakini makosa haya ni kidoga na hayana umuhimu mkubwa kwa sababu kila toleo lina mafunzo muhimu ya Biblia yanayoeleweka.

-3-

Page 4: UTANGULIZI: SEHEMU YA TATU · Web viewTAA MIGUUNI MWANGU Sehemu ya tatu- (Hatua ya kwanza) Matayarisho ya Ufalme Matamshi yako ni taa miguu ni mw angu na mwanga wa njia yangu (Zaburi

BIBLIA: UPAKO NA UKWELI

Petro aliweka kanuni za msingi kwamba Biblia imechaguliwa (2 Pet. 1:20-21). Alitangaza kwamba “ hakuna nabii wa andiko alikuwa na tafsiri ya kibinafsi; kwa sababu unabii wa kale haukuletwa na mapenzi ya binadamu bali ni wanaume watakatifu walioteuliwa na Mungu kuongeo kama wananvyoongozwa na Roho Mtakatifu.

Kwa hivyo ukweli unaweza patikana kwenya biblia na hakuna yeyyote anaweza kuonyasha uwongo kwenye matokeo ya kihistoria. Wanaopiga Bibliawamelazimika kukubali kwamba kuna ukweli ndani yake. Mashahidi wa manabii wanaonyesha kwamba kuna ukweli dhahiri kwamba Mungu ndiye Mwandishi kwani yeye pekee ndiye anaweza kutabiri siku zijazo. Utabiri wa kushangaza katika Biblia umetimia jinsi ulivyo tabiriwa. Mfano:

Ukuta wa Babelli bado ni vifusi (Isa. 13:19-21, Yer. 51:37). Ninevehe bado ni tupu na imejaa taka ((Nahumu 2:10). Misri ni moja kati ya mataifa duni (Eze. 29:15). Tiro iliyokua bandari imemezwa na bahari (Eze. 26:5). Taifa la Israel limesambaa katika mataifa yote (Kum. 28:64) na sasa wanakusanywa tena Yer.

30:11; Eze. 37:21-22) Nguvu za Kaskazini zina uadui na taifa la Israel kama Urusi iliyoendelea.

MUNGU KATIKA BIBLIA

Biblia inaaza kwa kuongelelea mtu mmoja ambaye ni Mungu (Mwa. 1:1). Na ufunuo unamalizia kwa kuonyesha jinsi Mtu huyu mmoja atakavyo wekwa wazi kwa viumba vyote. “Mungu awe yote katika wote” (1 Wakor. 15:28). Inatuonyesha jinsi kila mmoja wetu anaweza kushiriki katika kukamilisha utukufu wa Mungu. Injili inatuita kila mmoja wetu tujitenge kutokana na wanaume na wanawake ambao wanajitengenezea njia ya kuelekea kuzimu milele. Mungu anachukua watu wake kutoka kwa Gentiles (Matendo. 15).

Jambo la kwanza muhimu ni kuelewa kwa usahihi Mungu ni nani (Yoh 17:3; Waebr. 11:6) lazima tukubali umoja wa Mungu an kwamba kuna Mungu mmoja pekee amabye ni Baba yetu sote. Pia inatubidi tukataane na wazo la wengi kwamba Mungu ni Utatu(Angalia 1 Tim. 2:5; Kumbu. 6:4; Isa. 45:5; 1 Wakor. 8:6; 2 Wakor. 1:3). Ni bora kukumbuka kwamba Yesu Christo alisema yeye ni mtumishi wa babake (Yoh. 12:28; 1 Wakor. 15:24-28) na roho mtakatifu ni nguvu za Mungu (Lk. 1:35; Matendo 3:12).

TABIA ZA MUNGU

Kuna pande mbili katika tabia za Mungu tunapaswa kufikiria. Paulo alisema “ fikirieni kuhusu wema na ukali wa Mungu (Warum. 11:22. Pande hizi mbili za tabia ya mungu zilidhihirishwa na Musa katika Mlima Sinai(Kumb. 34:6-7) n azote zilidhihirika katika uhusiano wake na mwanadamu. Kwa mfano kipindi kile Mungu alimtuma Musa kuwokomboa wana wa Israeli kutoka Misri. Aliwaokoa kutoka kwa bahari ya Shamu lalini aliangamiza majeshi ya Faraoh. Yesu Bwana anakuja kuhukumu dunia kwa haki. Hii

-4-

Page 5: UTANGULIZI: SEHEMU YA TATU · Web viewTAA MIGUUNI MWANGU Sehemu ya tatu- (Hatua ya kwanza) Matayarisho ya Ufalme Matamshi yako ni taa miguu ni mw angu na mwanga wa njia yangu (Zaburi

inammanisha kutakuwa na huruma na ukombozi wa wateule wake na pia kifo na uharibifu kwa wale waovu.

Sababu ya haya ni uasi wa binadamu” hata neema ionyeshwe walio waovu hawatajifunza haki (Isa. 26:10-11) Mungu anafunza binadamu kwa wema wake na wokovu wa milele.

Biblia Inatufundisha kwamba Mungu ni asiyebadilika kwa lengo lake (Mal. 3:6) Yeye ni mwenya kujua yote (Zab. 139:1-6) Yupo kila mahali (vv.7-12); na ni mwenya nguvu (vv. 13-18).

Ni ukweli kwamba Mungu anayajua yote (Wahebr. 4:13; Jer. 23:24) na anaweza kutelekeza mapenzi yake ili kutuonyesha jinsi tunavyostahili kuishi mbele zake. Hata hivyo yeye hutawala kwa maenzi na wala sio woga. Madhumuni ya ufunuo wake ni kubadili tabia zetu ili tupate kuendana na njia zake, na tuwe tunafaa kiakili na kimaadili ili tuweze kupewa uzima wa milele na Kristo anarudi tena( Wafilipi 3:20-21.).

KUSUDI LA MUNGU

Kusudi kuu la Mungu imeelezwa kwa kimsingi katika Numbers 14:21- kama kweli ninavyoishi dunian yote itajazaa utukufu wa bwana.” Hii inamaanisha nini? Dunia nzima itangaa kwa nguvu an utukufu wa mungu lakini utukufu wa mungi ni zaidi ya haya. Inagusia tabia zake. Wakati Musa alimwomba Mungu amwonyeshe utukufu wake, Kwa kumjibu Mungu alimwonyesha tabia zake, mwenye huruma, neema na mwingi wa rehema na ukweli. Kutok. 33:18; 34:6-7)

Utukufu wa Mungu utadhihirika kwa wote himu duniani wakati wanaume na wanawake watakoa uonyesha katika maisha na tabia zao. Yesu alituonyesha maisha yake ya "utukufu wa Baba yake" kwa kuwa alikuwa "amejaa neema na kweli" (Yoh. 1:14). Yeye ni mzaliwa wa kwanza wa ndugu wengi na tunaweza kuwa miongoni mwa wale ambao watakuwa kukombolewa tukifuata mfano wake (1 Petr 2:21;. Warum 8:29-30.).

Mungu anawaita wanaume na wanawake kwa lengo hili.kama tunaweza kuelewa madhumuni ya Mungu na kuonyesha tabia ya Mungu katika maisha yetu, wakati Kristo atakaporudi, tutapewa asili ya Mungu (1 Petr 1:04.), Na kuonyesha tabia za Mungu katika ukamilifu wa uzima wa milele.

Wacha tuangalie Masomo yetu ya Biblia ili tuweze kupata “hekima na hata kupata wokovu” na ili tustahili kuingia katika ufalme wa mbiguni wakati Yesu ataporudi.

MASOMO KWETU

Ni kwa kusoma Biblia tu ndio tunaweza kujua hatima ya mwisho ya dunia na mwanadamu Mungu anataka tujue Ukweli Kumhusu Kusoma Biblia kunaweza kubadili maisha yetu- Jinsi gani kijana kubali njia zake na kutii na kulifuata neon lako? (Zab. 119:9).- Msimkatae yeyote anayeongea (Ebr. 12:25)- Hakikisheni kila jambo huku mkizingatia yaliyo mema. (1 Wathesalonike 5:21.).

-5-

Page 6: UTANGULIZI: SEHEMU YA TATU · Web viewTAA MIGUUNI MWANGU Sehemu ya tatu- (Hatua ya kwanza) Matayarisho ya Ufalme Matamshi yako ni taa miguu ni mw angu na mwanga wa njia yangu (Zaburi

MAKTABA YA KUREJELEA:

"Christadelphian Instructor" (R. Roberts)—Nos. 6-15

"The Ways of Providence" (R. Roberts)—Sura 1 & 2

"Elpis Israel"—Sehemu ya kwanza, Sura 1

"Christendom Astray" (R. Roberts)—Sura 1 & 6

"First Principles Bible Marking Course" (C.S.S.S.) — Kurasa 1-8

"God's Way" (J. Carter)—Sura 1 & 2

MASWALI YA AYA

1. kwa nini Mungu alitaka Bibilia kuandikwa?2. Elezea Matukio mawili ambayo yametokea kwa mataifa katika karne ya ishirini yanayoonyesha kwamba Biblia ni ya ukweli?3. Uthibitisho gani unaweza kutoa kutoka katika Biblia kuonyesha kuwa Mungu ni mmoja?4. Ni mambo gani mawili kuhusu tabia ya Mungu? Toa mfano unaoonyesha jinsi tabia za Mungu zilivyoonyeshwa zamani na siku zijazo.

MASWALI YA INSHA

1. Ni msingi gani tunao wa kuamini Biblia iliandikwa kwa upako?2. Nini kusudi la Mungu huku duniani na litatimizwa aje?3. Kwa ujumla Biblia inatufunza nini kuhusu;

a) Mungub) Kusudi lake

252: UUMBAJI WA MBIGU NA DUNIA

“kwa hivyo mbigu na dunia zikakamilika”

Dunia iliumbwa mwanzoni (Mwanzo 1:1;. Ebr 1:10) wakati usiojulikana na kabla kazi ya ubunifu kuanza kwa siku sita. “Nchi ilikua bila umbo na tupu” (Mwa 1:02) ilikua tupu na imefunikwa na giza, maji na kukosa uhai. Ilikua mpango wa Mungu kuwapa wanadamu nchi ili onyeshe sifa na utukufu wake katika maisha yao (Hesabu 14:21) hii ilitayarisha dunia kwa ajili yamakao ya binadamu. Lengo la somo ni kuonyesha uwezo na hekima ya Mungu kutokana na matendo yake ya ubunifu kuanzia mwanzo.

Mwanzo 1; 2:1-3 KAZI YA MALAIKA (Mwanzo 1:1-2)

-6-

Page 7: UTANGULIZI: SEHEMU YA TATU · Web viewTAA MIGUUNI MWANGU Sehemu ya tatu- (Hatua ya kwanza) Matayarisho ya Ufalme Matamshi yako ni taa miguu ni mw angu na mwanga wa njia yangu (Zaburi

Mungu kupitia kwa malaika alifanya dunia kujaa uhai na kupitia kazi yake inayoelezewa katika Mwanzo 1, neno la Kihebrania ni “Elohim” ambalo linamaanisha Malaika mjumbe wa Mungu (angalia Zaburi 08:05 ambapo "Elohim" limetafsiriwa "malaika” Malaika kufanya amri ya Mungu (Zab. 103:20-21). Mungu alizungumza na Malaika wakafanya mapenzi yake (Zab. 33:6-9). Yote ilifanywa kulingana na mpango wa Mungu. Kwa hivyo anaitwa muumbaji (Mithali 3:19-20; Isa 40:28;. Matendo 17:24) na walipomaliza kazi maliaka walifurahia (Ayubu 38:4-7).

Kazi ya uumbajo ya wiki moja ilianza miaka 6,000 iliyopita wakati roho na nguvu za mungu zilikua zinatembea juu ya maji.

Siku ya kwanza: Mungu alifanya Mwanga kuangaza nchini na kufukuza giza. Siku ya kwanza kama siku zilizofuata kazi ya ubinufu ilielezwa kama usiku na asubuhi. Mf. Kipindi cha masaa isihirini na nne.

SIKU YA PILI (Mwanzo 1:6-8) Mungu aliumba anga (v.6), hewa Mwanzo 1:26 Mungu akaiita Mbigu (v.8) kisha akagawanya maji yalio juu yakawa Mawingu na ya chini yakawa Bahari.

SIKU YA TATU: (Mwanzo 1:9-13): nchi kavu iliibuka kutoka kwa maji yaliyokuwa yamefunika nchi. Kwa amri ya mungu ardhi ilimea nyasi miti na mimea zikiwa na nguvu za kuzaana.

SIKU YA NNE (Mwanzo 1:14-19): Jua, mwezi na nyota ziliwekwa katika mbingu kutoa mwanga juu ya nchi. Nyakati na majira zilipagwa kulingana na uhusiano wa dunia kwa vyombo vya mbinguni.

SIKU YA TANO (Mwanzo 1:20-23): bahari zilijaa na wanyama wa majini na anga ilijaa ndege.

SIKU YA SITA: (Mwanzo 1:24-31;, 2:07 21-22): Ng'ombe, wanyama watambaao na wanyama waliumbwa kutumia udongo (2:19). Mwanadamu aliumbwa katika sura na mfano wa Mungu, yaani "Elohim" au malaika (1:26 "Na tuumbe binadamu kwa mfano wetu, kwa sura yetu"). "Mwanaume na mwanamke wakaumbwa na Yeye" (v.27). Adamu akawapa majina wanyama na ndege, na akapewa mamlaka juu ya kila kitu kilicho hai.

SIKU YA SABA (Mwanzo 2:1-3): Mungu alikamilisha kazi yake ya ubunifu kwa siku sita na siku ya saba alipumzika "kutoka kazi yote aliyoifanya." Neno ya Kiebrania linatafsiri "akapumzika" ni "Shabath" ambapo neno "Sabato" lilitokea. Siku hii ni tofauti na zingine, kwani ni "imetakaswa" na kutengwa na Mungu (v.3). Tunaambiwa kwamba Mungu "alibariki" siku hii. Ilibarikiwa ili iwe siku mwanadamu atapumzika kutoka na na shughuli za kimiwli na kuelekeza mawazo yake kwa matendo ya Mungu, na pia ilibarikiwa kuonyesha umuhimu wake wa kinabii kuonyesha “Pumziko” ambalo litakuja katika Kristo (Mathayo 11: 29-30), na utukufu wa utawala wake wa milenia duniani (Ebr. 4:3-5, 9-11).

VISIOAMBATANA: UUMBAJI NA MAGEUZI

Kujaribu kupatanisha mageuzi na uumbaji ni kuzuia ukweli ulio wazi katika Biblia. Mageuzi yanakanusha kuwepo kwa Muumba. inadai kwamba mtu aligeuka ndani ya mamilioni ya miaka kutoka kwa aina duni ya maisha (kumbuka Zab. 100:3). Biblia inaonyesha kwamba mtu iliumbwa kutoka kwa vumbi ya ardhi. Mageuzi ni mafundisho ya ubinafsi. Uumbaji ni kazi ya Mungu. Viumbe na Mageuzi, ni mawazo tu.

-7-

Page 8: UTANGULIZI: SEHEMU YA TATU · Web viewTAA MIGUUNI MWANGU Sehemu ya tatu- (Hatua ya kwanza) Matayarisho ya Ufalme Matamshi yako ni taa miguu ni mw angu na mwanga wa njia yangu (Zaburi

Nadharia ambayo inayokataana na Muumba anamwondolea mwanadamu wajibu wake kwake. Vizuizi vyote vimeondolewa kutoka kwa dhamiri ya binadamu. Ni ajabu kwamba tunaishi katika dunia iliozama katika uasherati na maovu mengine. Dunia na hekima yote ni upumbavu mtupu mbele ya Mungu (1 Kor 1:20-28.)

TIINI ONYO LA PAULOMungu ana maarifa mengi yanayo pita hata wale wanaoitwa wenye 'busara' katika karne ya ishirini. Mungu alijua kuwa siku itakuja wakati binadamu atapuuza ufunuo(Warumi 1:19-20), na kutaka kumtoa kwenye kiti cha enzi. Alitabiri kuwa hii itasababisha kuvunjika kwa jamii na binadamu kujiharibu mwenyewe katika uhuru aliopewa (Warumi. 1:21-31). Lakini binadamu bado hajaelewa chanzo cha matatizo yake – ni kumkataa Mungu (Warumi 1:18, 32) Kwa sababu inamfaa kuendelea kujihusisha na mambo ya kimwili na anaendelea kuwaelimisha vijana na mambo ya nadharia amabayo hayawezekani.

Hekima ya kweli hutoka kwa Mungu na inahusiana na Mwana wake na kusudi lake tukufu Kwake (1Wakor. 1:18-31.). Elimu ya binadamu ambayo inayopinga haya ni upumbavu. Paulo alikumbana falsafa ya binadamu akiwa Korintho na akaandika, "Mtu asijidanganye. Mtu yeyote miongoni mwenu anayedhani ni mwenye hekima humu duniani, ni heri awe mjinga kusudi apate hekima. Maana, hekima ya kidunia ni upumbavu kwa Mungu Kwa maana imeandikwa, Amewanasa wenye hekima katika ujanja wao na tena, Bwana anajua mawazo ya wenye hekima ni ya bure, kwa hivyo mtu asijivunie watu "(1 Wakor 3:18.... - 21).Basi tutii onyo la Paulo kwa Timotheo: "lindeni yale ambayo niya uaminifu, epukeni maneno ya bure na mambo ya kidunia na upinzani wa sayansi kwani ni ya uongo(1 Tim 6:20-21.).

Mwanzo ni wa KweliMajaribio ya kuuganisha uumbaji na mageuzi huzua swali, "Je, kumbukumbu za Mwanzo (Sura ya 1 hadi 3) ni za kweli? Je zinamaanisha vile zilivyoandikwa, ama ni mfano tu ambao unahitaji kutafsiriwa.

Kusoma kitabu cha Mwanzo wa Uumbaji kina maelezo yote isipokua yale maelezo yake halisi. Hii ni jinsi Mungu aliyvokusudia. Yesu Kristo aliamini katika Uumbaji na alitumia maelezo haya katika kusoma, inathibitisha kesi ya Uumbaji. Anaashiria Adamu na Hawa (Mk. 10:6-8), na Uumbaji (Mk. 13:19).Mtume Paulo pia alikubali Uumbaji bila swali. Alitoa mfano wa Adam na Hawa (Warum. 5:12;. 1 Wakor 15:21-22), nyoka (2 Wakor 11:03.)Nk

Kuna baadhi wanaokadiria kuwa siku za uumbaji zilikua kipindi cha miaka 1,000 iliyopita au zaidi. Pendekezo hili huwacha nafasi kwa mawazo ya uongo. Yaani Mungu alianzisha maisha na mageuzi na kuyakamilisha. Biblia hata hivyo, haituwachi na shaka yoyote na misingi inayofuata inaeleweka. Kuna njia asili kisha maombi ya kiroho au ya kitamathali yanayofuata (1 Wakor 15:46.). kama ilivyo katika Mwanzo. Bila shaka, takwimu na mifano imetokana na rekodi halisi za kitabu cha Mwanzo, lakini hii ni recordi halisi sio kinyume.

Siku za Mwanzo 1 zimetajwa kama jioni na asubuhi na zilikua za kwanza au pili (Mwanzo 1:5, 8, 13, 19, 23, 31). Musa alielewa hizi kuwa siku za kawaida(Kutoka 31:17). Nguvu za Mungu zilitosha kukamilisha kazi ya ubunifu kwa siku sita kila moja ikiwa na masaa 24. Ni mimea gani ingeweza kuvumilia giza kwa

-8-

Page 9: UTANGULIZI: SEHEMU YA TATU · Web viewTAA MIGUUNI MWANGU Sehemu ya tatu- (Hatua ya kwanza) Matayarisho ya Ufalme Matamshi yako ni taa miguu ni mw angu na mwanga wa njia yangu (Zaburi

miaka 500. Na ni vipi Adamu aliweza kuishi miaka 930 (Mwanzo 5:05) ukitumia wakati sawa na siku 1000, ni kumaanisha kitabu cha Mwanzo 1 hadi 3 kimejaa matukio halisi.

FUNDISHO YA SABATO

Siku ya saba, wakati Mungu alipumzika anazungumzia milenia ya saba katika historia ya dunia wakati ufalme wa Mungu utakapo fika huku duniani (Ebr 4:1-11). Huu ni Umpumziko ambao Mungu alituahidi - pumziko kutoka kutumikia dhambi, na wakati wa elimu katika njia za Mungu (Isaya 2:2-4).Chini ya sheria ya Musa, Israeli iliamuriwa kutii Sabato (Kut. 30:10-11;. 9:13-14 Neh). Ilikuwa iwe siku ambayo wanapaswa kusitisha kazi zao na kufanya mapenzi ya Mungu (Isa 58:13-14). Hii ni roho ya kweli ya Sabato inayopaswa kufuatwa leo. Hata kama wafuasi wa Kristo hawatakiwi kufuata kwa kina siku ya sabato kulingana na sheria za Musa (Warum. 14:5-6; Kol 2:16-17;. 4:10-11 Gal), ni lazima waache kutumikia dhambi na badala yake kujitolea kufuata njia za Mungu. Hii si kazi ya siku moja kwa wiki bali inahitaji uwepo wete siku saba kwa wiki.

MASOMO KWETU

• Mageuzi na Uumbaji hayawezi kuwiianiishwa, kwa sababu mageuzi ni kinyume na neno la Mungu.• Kwa kukubali nadharia ya mageuzi, Binadamu amekataa ukweli wa Mungu na sasa anajitumikia mwenyewe badala ya kumtumikia mungu.• kusoma matukio asili ya Uumbaji katika kitabu cha Mwanzo husababisha mtu kukubali maelezo yake halisi.• Yesu na Paulo waliamini katika Uumbaji na kufundisha ipasavyo.

MAKTABA YA KUREJELEA:

"The Visible Hand of God" (R. Roberts) — Sehemu 2

"Elpis Israel" (J. Thomas) — Sehemu ya kwanza, sura 2

"Christadelphian Instructor" (R. Roberts) — Nos. 24-29

"Evolution, Science and the Bible" (H. W. Hathaway)

"The Finger of God: Evolution or Creation?" (D. A. B. Owen)

"Wrested Scriptures" (R. Abel) — Section C

"First Principles Bible Marking Course" (C.S.S.S.) — Kurasa 12-15

MASWALI YA AYA:

1. Jinsi gani tunajua kwamba Paulo na Yesu walikubaliana na kitabu cha Mwanzo kuhusu Uumbaji halisi?2. Jinsi gani tunajua kwamba malaika, kwa niaba ya Mungu, walijumlishwa katika wiki ya uumbaji wa dunia?3. Kwa njia gani waumini wanapaswa kutimiza kanuni za Sabato katika maisha yao?4. Kwa nini binadamu wanapendelea kuamini katika Mageuzi na kukataa kuamini Biblia kuhusu uumbaji.

-9-

Page 10: UTANGULIZI: SEHEMU YA TATU · Web viewTAA MIGUUNI MWANGU Sehemu ya tatu- (Hatua ya kwanza) Matayarisho ya Ufalme Matamshi yako ni taa miguu ni mw angu na mwanga wa njia yangu (Zaburi

MASWALI YA INSHA

1. Toa sababu za kukataa nadharia ya Mageuzi.2. Onyesha kutoka maandiko sababu zako za kuamini kwamba sura za Mwanzo ni halisi.3. Mungu akaibariki siku ya saba, akaitakasa kwa sababu katika siku hiyo Mungu alipumzika na kuacha kufanya kazi ya uumbaji (Mwa 2:03). Toa maoni kuhusuu umuhimu wa maneno haya.

UKWELI UNAO-ONYESHA NADHARIA YA MAGEUZI SI YA KWELI

1. TOFOUTI KATI YA VIUMBE

Kitabu cha Mwanzo Sura ya 1 kinaogeleea kuhusu aina mbalimbali ya viumbe, kwa mfano, "Kila ndege arukaye na aina yake" (v.21) na kila mnyama wa ardhi aina yake (v.24). Biolojia inathibitisha tofauti kubwa kati ya aina mbalimbali ya viumbe vilivyo hai. Kuzaana kati ya viumbe tofauti hakukutokea kamwe laking hutokea kudhibitiwa na binadamu. Mahuluti ndio huzaliwa bila uwezo wa kuzaa na hii ndio pigamizi inayotokea katika viumbekwa kuunganisha aina ya viumbe tofauti.

Taswira hii sio ile mageuzi ingetabiri kama kweli mageuzi yanafanyika, basi kunapaswa kuwa na ushahidi katik mageuzi kutokana kwa aina moja na nyingine. Lakini tofauti kubwa zaidi ambazo wanamageuzi hawakutarajia. Hata pale ambapo uteuzi wa makusudi unafanywa na binadamu hakuna aina mpya ya kiumbe kinachozaliwa. Wafugaji wa Mbwa wanaweza kuzalisha mbwa pekee, wapanzi wa waridi wanaweza zalisha waridi tu. Hata matunda yanaoyopitia vizazi kadhaa kwa mwaka, hawajawahi zalisha matunda tofouti.

Tofauti kubwa kati ya mtu na nyani ni ya kuaimbisha wanamageuzi. Kama binadamu nyani aliye uchi ni vipi yeye alipata ubongo ambao ijapo mkubwa kidogo una uwezo mara milioni zaidi kuliko ule wa nyani? Nini ilifanya mwanadamu awe uwezo wa kufikiri sana, iliweza kuwa mtaalamu wa hisabati, mwanafalsafa, mwanafizikia na mshairi? Mbona ni yeye pekee ana sauti inayomwezesha kuwasilisha mawazo yake, kupitisha elimu yake kutoka kizazi kimoja hadi kingine? Jinsi gani aliwezesha mikono yake ambayo inayomwezesha kutumia ubongo wake? Nini ilimpa binadamu hali yake ya ucheshi, uwezo wake kisanii, muziki, kutambua uzuri na uwezo wake wa kufahamu masuala ya maadili?

Mageuzi yanabaki bila majibu, lakini Biblia inaonyesha wazi kwamba: "Mungu aliumba mtu kwa mfano wake, kwa mfano wa Mungu alimwumba Binadamu" (Mwanzo 1:27).

2. KUKOSA USHAHIDI WA VIFUSIDarwin na washirikarika wake walikuwa na matumaini makubwa kwamba utafiti wa kijiolojia utaonyesha vifusi ambavyo vitaonyesha mabadiliko kati ya viumbe. Baada ya miaka zaidi ya mia moja ya utafiti huo na ugunduzi wa mamilioni ya vifusi, bado kuna tofoauti kati ya viumbe. Aidha tofauti katika rekodi ya vifusi inafanana na tofauti katika dunia tunayoishi leo. Hakuna kitu kinaweza jaza pengo ou tofauti kati ya: samaki na amphibia, amphibia na nyoka, wanyama watambaao, ndege na mamalia.

-10-

Page 11: UTANGULIZI: SEHEMU YA TATU · Web viewTAA MIGUUNI MWANGU Sehemu ya tatu- (Hatua ya kwanza) Matayarisho ya Ufalme Matamshi yako ni taa miguu ni mw angu na mwanga wa njia yangu (Zaburi

Wanamageuzi wamejaribu bila mafanikio kutafuta ushahidi ili kuonyesha mageuzi ya mwanadamu, lakini vifusi vya kwanza kupatikana ni vya wanaume amabo walisimama na kutembea imara na ubongo wao ukiwa mkubwa kama ule ya mtu wa kisasa wa Ulaya. Madai ya vifusi kabla ya binadamu yamekuwa msingi wa ushahidi unaowaletea wanamageuzi jina baya.Kama binadamu alitoka ktika viumbe duni, basi kunapaswa kua na maelfu ya hominoids amabo ni binadamu wa zamani waliohifadhiwa. Huxley, mwanamageuzi maarufu, alisema kua mageuzi yatasimama au kuanguka kutokana na rekodi ya vifusi. Hakukosea mageuzi yalianguka.

3. UTATA WA ASILINadharia ya mageuzi inaamini kwamba mabadiliko yaliitokea hatua kwa hatua miaka ming iliyopita. Jicho na vipengele vyake vyote haliwezi kuona kama haijakomaa kikamilifu. Sikio haliwezi kusikia kama vipengee vyake havipo na vinafanya kazi ipasavyo. Jinsi gani wanamageuzi wanaweza kueleza jinsi viungo kupitia mabadiliko ya polepole?Ndege huruka kwa sababu : (1) manyoya yake (2) mwili mwepesi, (3) nguvu za misuli ya mabawa. Je, ni nini ilisababisha yote haya kutendeka kwa wakati mmoja, ikichukuliwa kua maendeleo kamili ya haya yote matatu yalitakiwa kuwepo kabla ndege angeweza kuruka, Aidha,hii haikuwa kibahati kwamba haya yote yalitendeka kwa pamoja, na sio mara tatu, ili kuweza kuruka lazima wangegeuka tofauti kwa wanyama tofauti kama ndege, popo na wadudu?

Kiungo cha sumu cha nyoka kinahitaji: (1) mtambo wa kemikali wa kutengeneza sumu, (2) mahali pa kuhifadhi sumu, (3) jisi ya kutoa sumu(4) ujuzi wa meno kama silaha (5) ulinzi ili kuhakikisha kwamba nyoka hajidugi sumu mwenyewe. Ni vipi viungo hivi viligeuka kwa hatua?Mazingira yamejaa na hali ya kutatanisha ambazo ni ngumu kuelezea kutumia mageuzi.Jibu la kweli ni: "Ee Bwana, jinsi yalivyo, matendo yako yalivyo ya hekima na uliyafanya yote kua (Zaburi 104:24).

4. MATATIZO YA MAISHA YA ASILI

Maisha yalidhaniwa kubadilika kuanzia chembechembe halisi'. Lakini hata maisha hayo rahisi ni mbali na rahisi. Virusi ndivyo viumbe vinavyo ishi maisha rahisi ambavyo kwa kawaida ni molekuli moja kubwa iliyozungukwa na molekuli za protini.je virusi vilibadilika? Kwanza nucleic asidi ni kemikali imeunganishwa na mamia ya maelfu ya atomi ambazo zimepangwa kwa njia ya utaratibu sahihi kabisa. Pili protini ni molekuli kubwa na zenya utata. Tatu asidi nucleic haiwezi kustawi na kuongezeka bila molekuli yake protini. Nne, na la kutatanisa, virusi ni vimelea na vinaeza kuzaana na kuongeeza ndani ya mwili ya mtu ama mnyama ambapo vinaizi maisha mlefu kuliko mtu ama mnyama mwenyewe.Mageuzi yanahitaji kwanza nafasi ya uzalishaji ya kiumbe kama vile bakteria na hili kufanyika ni vigumu sana.

5. UTARATIBU WA MAGEUZI

Kwanza mageuzi yalidhaniwa kuwa yalitokea na mabadiliko ya kutafuta tabia, matumizi, mazingira, mabadiliko katika mazingira yanapitishwa kwa watoto wetu. Lakini baada ya miaka ya utafiti bila kupata mazao, nadharia hii imetupiliwa mbali.

Kisha kukaja 'neo-Darwinism' ambayo alielezea mabadiliko juu ya msingi wa mabadiliko kwa pamoja, pamoja na maisha ya waliyoafiki. Mabadiliko ya kimsingi yaliyopitishwa kwa vizazi kutoka kutoka kwa

-11-

Page 12: UTANGULIZI: SEHEMU YA TATU · Web viewTAA MIGUUNI MWANGU Sehemu ya tatu- (Hatua ya kwanza) Matayarisho ya Ufalme Matamshi yako ni taa miguu ni mw angu na mwanga wa njia yangu (Zaburi

chembe zilizoharibika. Lakini mabadiliko ni zaidi ya matukio na idadi kubwa ya mabadiliko ni hatari. Mabadiliko ya kisayansi katika matunda husababisha mbawa ngwea, mbawa fupi, mbawa zilizojikunja amabzo haziwezi kupaa. Mabadiliko haya huleta machafuko na ulemavu kwa wanyama walion na maubile mazuri.

Ukosefu wa utaratibu wa mageuzi imesababisha watalamu kudhania kwamba mageuzi yalitokea katika hatua - kwa mfano unyoa ulitokea ghafla juu ya watoto wa reptilia. Binadamu atafanya chochote, ila kurejesha heshima kwa yule aliye muumba.

KUTOKA UUMBAJI HADI MUSA 253. KUSUDI LA MUNGU KATIKA UUMBAJI WA MTU "Na tufanye mtu kwa mfano wetu, kwa sura yetu"

Ndani ya binadamu Mungu aliumba kiumbe ambaye anaweza kujibu upendo wake na utunzaji wake na ambaye angeweza kuchagua, kutii Muumba wake. Lakini wakati anapowekwa kwa mtihani binadamu anachagua vinginevyo. Hivyo dhambi na mauti iliingia duniani na binadamu sasa anakufa na ana asili iiyojaa dhambi. Somo hili inashughulikia kuumbwa kwa binadamu na kuanguka kwake, somo lijalo linagusia kwa undani zaidi kuhusu agano ambalo Mungu alifanya kufuatia kuanguka kwa binadamu. Lengo la somo hili ni kuonyesha jinsi Mungu aliumba mwanamume na mwanamke na jinsi dhambi iliingia ulimwenguni na matokeo yake ya kutisha.

Mwanzo 1:24-31; 2, 3

UUMBAJI WA MWANAUME NA MWANAMKE (Mwanzo 1:24-28; 2:7, 18-24)

Uumbaji wa mtu umeelezewa katika kitabu cha Mwanzo 2:7; " naye Bwana Mungu akamuumba binadamu kwa mavumbi ya ardhi, akampulizia puani mwake pumzi ya uhai na binadamu akawa nafsi hai."Hatima Mungu aliyomtakia binadamu imeelezwa katika kitabu cha Mwanzo 1:26; "Na tufanye mtu kwa mfano wetu, kwa sura yetu na muache akatawale samaki wa baharini, na ndege wa angani, wanyama na dunia yote na chote kitambaacho juu ya nchi. "

Katika aya hii "picha" na "mfano" inamaanisha sura ya kimwili na uwezo wa akili mtawalia kwa hivyo, kama malaika, mtu alikuwa na uwezo wa kuchukua mawazo ya Mungu na hivyo kuendeleza tabia ambazo ziliambatana na tabia za Mungu. Ingawa binadamu aliuumbwa kutumia mavumbi ya ardhi kama wanyama (2:19), na wote walifanywa hai na "pumzi ya uhai" (linganisha 7:21-22), mtu peke yake alikuwa na uwezo wa kuangalia zaidi ya silika yake na kufahamu masuala ya kimaadili. Yeye pekee ndiye anaweza kuelewa maadili na heshima kwa Muumba wake. Kwa hivyo basi mwanadamu aliahidiwa "mamlaka" juu ya wanyama - hatima ambayo ilikatizwa wakati dhambi iliingia ulimwenguni, lakini ambayo itatimizwa wakati dunia itasafishwa kutoka kwa dhambi na binadamu kupewa uhai wa milele.

Adamu aliumbwa kua bora kuliko wanyama, lakini alikuwa duni kwa malaika. Hakuna kiumbe ambacho walishiriki uhusiano kweli karibu. Mungu alitambua kwamba binadamu alikua mpweke na anahitaja

-12-

Page 13: UTANGULIZI: SEHEMU YA TATU · Web viewTAA MIGUUNI MWANGU Sehemu ya tatu- (Hatua ya kwanza) Matayarisho ya Ufalme Matamshi yako ni taa miguu ni mw angu na mwanga wa njia yangu (Zaburi

msaadizi ama rafiki anayefaa (2:18)wanyama walipoletwa mbele ya Adamu ili awape majina yao, hali yake ya upweke ilidhihirika (2:19-20). Yeye alikuwa na uwezo wa kufikiria na kazi, lakini alihitaji wigo wa matumizi katika kujali wengine. Jinsi bora ya kufanya hili ni kumpa mtu ambaye angeweza kumpenda kweli. "Mungu asalibabisha usingizi mzito juu ya Adamu" (v.21). akatoa ubavu mmoja, na kuufanya mwanamke na akamletea Adamu. Adam alimwona mwanamke kama sehemu ya nafsi yake mwenyewe, mtu ambaye angeweza kufikiri na kujisikia kama yeye. Kulikuwa na huruma na upendo kati yao ambayo isingekuwa kama Mungu aliumba mwanamke moja kwa moja kutoka kwa udongo, kama wanawake wa viumbe wanyama

Adamu akasema, "Huu ni mfupa wa mifupa yangu na nyama ya nyama yangu," na alimwita "mwanamke" ambayo ina maana ya "kutoka kwa mtu" (v.23). Andiko linaongeza kusema, "Kwa sababu hiyo mwanamume atamwacha baba na mama yake, naye ataambatana na mkewe, nao watakuwa mwili mmoja" (v.24). kwa hivyo ndoa iliwekwaa na Mungu katika mwanzo na ilikuwa na lengo la kuwa uhusiano wa kudumu (Mathayo 19:09; Marko 10:2-12).Muungano wa Adamu na Hawa unaashiria muungano ujio wa Kristo na bibi yake, Ekklesia (Ufu. 19:7-8;. 2 Kor 11:2-3). Kama vile Adamu alifanywa kulala ndio hawa aumbwe hivyo Kristo, 'Adamu wa pili', aliuawa ili mke wake wa kiroho aumbwe. Kama Adamu wa kwanza ilivyoonyesha huruma, upendo na mapenzi kwa mke ambaye alisema ni "mfupa wa mifupa yangu, na nyama ya nyama yangu," hivyo kuna kuheshimiana, huruma, upendo na mapenzi kati ya Kristo na Ekklesia wake. Katika siku zijazo wakati 'ndoa' ya kiroho itafanyika kati ya hao wawili, watakuwa "moja" kama vile Adamu na Hawa walikuwa "moja" (Efe. 5:25-32; Yohana 17:21).

USHIRIKA WA MUNGU NA BIBADAMU KATIKA BUSTANI YA EDENI (Mwanzo 2:8-15).Baada ya kutenda dhambi Adamu na Hawa "wakajificha kutoka uwepo wa Bwana Mungu miongoni mwa miti ya bustani" (3:8-10). Hii ni kinyume na uhusiano wa karibu waliofurahia na elohim (Malaika) . Walionekana kuma wamekusudiana nao na kufundishwa nao. Katika milki yao ya kwanza walikuwa moja "na Mungu".Yote ambayo Mungu aliumba yalikuwa mazuri sana", hii ni pamoja na mwanaume na mwanamke. Lakini tabia za Adamu na Hawa zilikua bado kuendelezwa. Mungu alitaka upendo na kutii kwa hiari, lakini hii ingeweza tu kuonyeshwa kama wangechagua kutii ama kutotii. Na ni kwa kujaribiwa tu ndio wangeweza kuonyesha kama wangekuwa waaminifu kwake au wangetafuta raha za kibinafsi.

KUWA CHINI YA SHERIA (Mwanzo 2:16-17).Adamu na Hawa walipewa sheria rahisi kutii katika bustani ya Edeni. "Wanaweza kula matunda ya kila mti katika bustani , lakini matunda ya mti wa ujuzi wa mema na mabaya, wasije wakakula. Walipewa ruhusa ya kufurahia raha za "Bustani za neema", isipokuwa mmoja "mti wa ujuzi wa mema na mabaya" (vv. 16-17). Walikuwa na uhuru wa kuchagua hatua zao, lakini walionywa kuhusu matokeo ya kutotii Muumba wao: "Ile siku mtakayo kula hilo tunda bila shaka mtakufa. Kama watatenda dhambi, basi watakufa. Kumbuka kwamba Mwanzo 2:17 haimaanishi kwamba wangekufa punde tu wangekula tunda hilo. Hii nahau ya Kiebrania ("kufa utakufa") ni aina ya msisitizo makini. Katika kutumia kwa tahadhari Adamu, Mungu alikuwa kusisitiza kwa uhakika, si kubainisha namna ya kifo kwa dhambi. Ile siku wangekula lile tunda kifo kingekuwa hakiepukiki.

-13-

Page 14: UTANGULIZI: SEHEMU YA TATU · Web viewTAA MIGUUNI MWANGU Sehemu ya tatu- (Hatua ya kwanza) Matayarisho ya Ufalme Matamshi yako ni taa miguu ni mw angu na mwanga wa njia yangu (Zaburi

MAJARIBU (Mwanzo 3:1-6).Mwanzo 2 unaishia na binadamu kutokuwa na hatia: "Na wote wawili walikuwa uchi, mtu na mkewe na wala hawakuona haya." yote yalienda vizuri jinsi walivyo endelea kuwa waaminifu kwa Mungu.

Kisha Sura ya 3 inafuata majaribu na kuanguka kwa binadamu. Mwanzo 3:1 unatuonyesha nyoka ambaye alikuwa mwerevu (mjanja) kuliko kiumbe yoyote. Alikuwa na uwezo wa kusema na alikuwa na nguvu ya hoja. Lakini hoja zake zilikuwa juu ya rena ngazi ya wanyama – ambao hakuweza kuelewa masuala ya maadili, kwa mfano, kwa nini Adamu na Hawa walitakiwa kutii Muumba wao. Nyoka hakuweza kutambua mema na mabaya. Hivyo tabia za unyama zilimpa hitimisho ambayo ilikuwa kinyume kabisa na ukweli. Nyoka alikuja kwa Hawa na akasema, "si Mungu alisema, Mle matunda ya miti yote ya bustani?" (03:01). Hawa akamjibu wa njia ilionyesha tabia ya utiifu thabiti : “Tunaweza kula matunda yote ya miti ya bustani: ila matunda ya mti ulio katikati ya bustani Mungu amesema, Msile matunda yake , wala msiuguse, msije mkafa. "Kwa ajili ya matunda ni haramu yeye hakua na tamaa. Hali hii ya umoja na utiifu wa sheria za Mungu ni tofauti baada ya kuanguka kwa mwanadamu: maelezo ya moyo wa binadamu kama mdanganyifu na mwovu (Yer. 17:09), na kama chanzo cha dhambi (Marko 7:21 - 23), inaonyesha kwamba baada ya dhambi kiingia asili ya mwanadamu duniani ikawa tofauti - akawa mwepesi wa kutenda dhambi.

Nyoka alipendekeza kwa Hawa ya kwamba yote sio kama Mungu alivyofanya wao kuamini. Kwa kutoa Hoja kwa mambo aliyaona na kusikia, alihitimisha: "Msile hakika mtakufa" (v.4). Huu ulikuwa uongo wa kwanza aliwaambia ukiwa umechanganywa na ukweli fulani: "Kwa maana Mungu anajua ya kwamba siku mtakayokula matunda haya, basi macho yenu yatafumbuliwa, nanyi mtakuwa kama Mungu, mkijua mema na mabaya" (v.5).

Labda nyoka alifikiria kwamba hata kama kula tunda la mti ule ungekua chanzo cha kifo, basi madhara haya yangeweza kuondolewa kwa njia ya kushiriki mti wa uzima - "mti wa uzima" ungekua dawa ya kupunnguza madhara ya kula tunda la "mti wa ujuzi wa mema na mabaya". Sababu pekee ya binadamu kukatazwa tunda ambayo nyoka hakuweza kuiona ilikuwa Mungu hakutaka Adamu na Hawa kuwa sawa na kujua mema na mabaya.

Hoja ya uongo, ulioletwa na nyoka, ilimtia Hawa kiburi na akatamani kuwa "sawa na Mungu." Akiwa na mawazo haya katika akili yake aliukaribia mti na alipoona lile matunda fikra zingine zilijaa ndani yake: "Wakati mwanamke alipoona kuwa mti huo ni mzuri kwa chakula, na ulikua unapendeza macho, basi alitunda lile tunda na akala "(V.6). Hawa aliongozwa na tamaa za kimwili, ambazo mtume Yohana ilitaja: "tamaa ya mwili" ("mti ulikuwa mzuri kwa chakula"), "tamaa ya macho" ("wapendeza macho") na "kiburi cha uzima" ("mti wa kutamanika kumpa mtu busara") - rejea 1 Yohana 2:16. Hawa alipatwa na mchakato ambao sasa ni kawaida kwa binadamu wote - "kila binadamu hujaribiwa na kunaswa wakati yeye anajiondea kutoka kwa tamaa " (Yakobo 1:14-15; linganisha pia Josh 07:21..).

Ingawa mwanamke alidanganywa na nyoka, Adamu hakudanganywa (angalia 1 Tim 2:14.). Mwanamke, baada ya kuuvunja sheria ya Mungu, angehukumiwa kifo. Je, Adamu angemfuate,ama angejitenga? Historia alisimama kwa usawa kama vile yeye kusimama mbele yake. Tatizo lake kwa wakati huo lilikua - je aendelee kufuata njia ya utii na kuendeleza ushirika na Mungu, bila rafiki yake Hawa, au afuate njia ambayo bila ya shaka itaisha kwa kifo?

-14-

Page 15: UTANGULIZI: SEHEMU YA TATU · Web viewTAA MIGUUNI MWANGU Sehemu ya tatu- (Hatua ya kwanza) Matayarisho ya Ufalme Matamshi yako ni taa miguu ni mw angu na mwanga wa njia yangu (Zaburi

Kwa Kujua nini kilikua vizuri na makosa, akili ya Adamu ilisumbuliwa na tatizo hili. Hisia zake kali kwa Hawa zikawa na mgogano. Suala hilo lilitatuliwa haraka wakati Hawa alimpa mumewe tunda, naye akakula.

MADHARA YA DHAMBI (Mwanzo 3:7-19).Macho ya mwanamke na mwanaume wakafunguliwa, lakini si kwa njia ya busara" sio vile Hawa alikuwa anafikiri. Waligundua kuwa walikuwa uchi na wakajawa na aibu - aibu waliojaribu kuficha kwa kujificha na majani ya mtini (3:07). Na pia hakuwa na dhamiri safi mbele za Mungu. Hofu iliwajaa. Sasa walikuwa wamefarakana Mungu na walitaka kujificha kutoka kwake (vv.8-10).Mungu aliwapa hukumu ya kifo - adhabu kali kwa kutotoo sheria yake: "Kwa sababu umeisikiliza sauti ya mke wako, ukala tunda la mti, ambalo mimi niliamuru usiwahi kula, ardhi imelaaniwa kwa ajili yako ... kwa jasho la uso wako utakula chakula, mpaka pale utakaporudi ardhini, kwani uliumbwa kwa udongo na utarudi kwa udongo. Hivyo hali ya Adamu na Hawa ikabidilika - kifo kikaingia ulimwenguni kwa sababu ya dhambi (Rum. 5:12;. 1 Kor 15:21-22), na wakapata hali ya kufa. Sisi Kama wazao wao tunapitia madhara ya dhambi zao - na vifo vya asili ya kutenda na dhambi.

Viumbe vyote iliathiriwa na laana ya Mungu (Rum. 8:22). hukumu ya Mungu ya kifo haikugusia binadamu pekee lakini nyoka pia alilaaniwa kuliko wanyama wote" (Mwanzo 3:14), hivyo kwamba mnyama wote kwa ujumla walihishi madhara na wakawa maadui Mwa 2:19 au Isa 65:25.). Ardhi yenyewe alilaaniwa kwa kuzaa "miiba na michongoma" (Mwa 3:18). Aliyelaaniwa kufa, mwanadamu alikuwa aishi kwa jasho la uso wake", katika kazi ngumu hadi kifo kitakapomkumba (v.19).

KUFA KWA BINADAMU

Nyoka alimwambia hawa ‘kwa uhakika hautakufa’.vizazi za kila aina ya dini zimefuata kusema ivo, Lakini hii ni uongo.

Biblia inaonyesha kwamba kifo ni hali ya kukatisha tamaa. mafundisho ya roho kutokufa ni makosa. Biblia amepiga kifo kama-

• kukoma kwa mawazo, maisha na hatua (Zab. 6 5; 30 9; 88 10-12; ECC 9 5, 6, 10;.. Isa 38 18-19);

• hali ya kunyamaza (1 Sam 2 9;.. Zab 115 17);

• hali ya rushwa na uharibifu (Matendo 13 36; Ayubu 28 22).

Tunafundishwa kwamba Kristo alileta 'uzima na kutokufa kuangaza katika njia ya Injili' (2 Tim 1. 10), ambayo itakuwa ni vibaya kama mtu angakuwa na 'nafsi isiyokufa ' tangu mwanzo. Biblia inaonyesha kwamba, mbali na ufufuo, wale ambao 'waliolala katika Kristo wamepotea' (1 Kor 15 18.). Hii haingesemwa kama nafsi zao zilikuwa tayari zimepaa mbinguni kwa njia ya kifo. Kwa upande mwingine, uzima wa milele unasemwa kuwa ni jambo la tumaini (Tito 1 1-2).

Biblia inafundisha vifo ya nafsi (Eze. 18 4; Zab 78 50;. 89 48; 22 29). Inatumia neno 'nafsi' kwa njia nyingi tofauti lakini kamwe kama cheche milele, inaongelea mtu ambaye anaishi baada ya kifo cha mwili. Katika Mwanzo 12: 5 inafafanua miili ya watu. Katika Hesabu 31: 28 inatumika, kufafanua mtu na wanyama. Na wakati mwingine hutumika kwa maana ya akili , maisha, nk. Nay 'nafsi' inasemwa kuwa na uwezo wa njaa (Mithali 19 15); uwezo wa kutosheka na chakula (Maombolezo 1 11, 19); uwezo wa

-15-

Page 16: UTANGULIZI: SEHEMU YA TATU · Web viewTAA MIGUUNI MWANGU Sehemu ya tatu- (Hatua ya kwanza) Matayarisho ya Ufalme Matamshi yako ni taa miguu ni mw angu na mwanga wa njia yangu (Zaburi

kwenda katika kaburi (Ayubu 33 22 , 28); na wakutoka (Zab. 30 3). Neno linatumika katika uhusiano wa ndege, samaki, wanyama, wakiwemo wanaume na wanawake (Mwanzo 1 20, 30 ), lakini hakuna kamwe , katika mara 800 inayotokea katika Bibilia, inajulikana kama kuwa milele, au kuishi baada ya kifo cha mwili. hakuna kamwe maneno 'milele' na 'nafsi' yanatokea kwa kushirikiana katika Biblia.

Hivyo mbali ya ufufuo kutoka kwa wafu, hali ya mtu ni ya kukatisha.

MAFUNZO KWETU

• Mungu aliumba mtu 'vizuri sana'. Akafanywa kiongozi wa wanyama,niyeye peke mwenye akili, kimaadili na uwezo wa kiroho.

• Katika uumbaji wa Hawa, Mungu 'ulisababisha usingizi mzito kwa Adamu, uzoefu ambao ulitoa picha ya kifo cha Kristo mwenyewe , hapo ndipo akaundiwa bibi yake, ikelezia.

• Ndoa ilianzishwa na Mungu kama uhusiano wa kudumu, na kila mpenzi kuwa msaada kwa wengine.

• Wakati Adamu na Hawa walikuwa hawana makosa, walikuwa na ushirika na amani na Mungu.

• Wakati wanakabiliwa na nyoka, Hawa alidanganywa na sababu zake. kiburi cha uzima, na tamaa za mwili na macho yake yaliangazwa.

• matokeo ya uasi ilikuwa ni aibu, vifo na asili ya kukabiliwa na dhambi. Wazao wa Adamu sisi binaadamu tunarithi hii asili.

MAKTABA YA KUREJEA

"Elpis Israel" (J. Thomas) — Sehemu ya kwanza, Sura 2 and 3

"The Visible Hand of God" (R. Roberts) — sura 4

"Christadelphian Instructor" (R. Roberts)—Nos. 30-36

"Redemption in Christ Jesus" (W. F. Barling)

"First Principles Bible Marking Course" (C.S.S.S.)—Kurasa 16-19, 68-74

MASWALI YA AYA

1.Ni upi ulikuwa uongo wa kwanza kabisa? Elezea jinsi uongo huu ulivyo elezewa.

2. Eleza kwa ufupi majaribu ya Hawa, ukionyesha njia tatu ambazo majaribu huja kwa wanadamu wote.

3. Nini ilikuwa athari za adhabu kwa dhambi juu ya Adamu na Hawa?

4. Jinsi gani unaweza kutumia Biblia ili kuthibitisha kwamba mtu ni wakufa? Toa mifano mitatu.

MASWALI YA INSHA

1. Elezea uumbaji wa mwanadamu. Toa pointi za kulinganisha tofauti kati ya Adamu na malaika?-16-

Page 17: UTANGULIZI: SEHEMU YA TATU · Web viewTAA MIGUUNI MWANGU Sehemu ya tatu- (Hatua ya kwanza) Matayarisho ya Ufalme Matamshi yako ni taa miguu ni mw angu na mwanga wa njia yangu (Zaburi

2. Jinsi gani bibi alitolewa kwa ajili ya Adamu? Ni somo gani tunalojifunza kutokana na hili?

3. Biblia inafundisha nini juu ya 'nafsi' mtu na kutokufa?

254. AGANO LILILIFANYIKA KATIKA SHAMBA LA EDENI

Ahadi ya muhimu zaidi katika Biblia ni moja ile ya kwanza, kwa kuwa ndiyo yenye njia ambayo Mungu ameteua ya kuondoa kwa dhambi, sababu kuu ya matatizo yote ya wanadamu. Maagano mengine alifanya na Ibrahimu na Daudi kuhusu nchi ya ahadi na kiti cha enzi cha Mungu juu ya Israeli, lakini bila ya ushindi wa dhambi na madhara yake, wangeweza kwenda bila kujua. Lengo letu katika somo hili ni kuchunguza ahadi ya mkombozi ambaye atashinda dhambi na kufungua lango la maisha.

Mwanzo 3

MADHARA YA DHAMBI YA ADAMU

Lengo na hatima ya mungu kwa ajili ya mtu inaonyeswa katika Mwanzo 1: 26 - kwamba yeye lazima afikie 'mamlaka' juu ya nchi. Lakini hatima yake inategemea juu ya utii wake kwa sheria ya Mungu (2 17). Hivyo kama Adamu na Hawa walifuata kile Mungu alifundisha, yote yangeenda vizuri.

Katika somo letu la mwisho tunazingatia vile Hawa alijaribiwa na nyoka na jinsi Adamu vivyo hivyo alishiriki kula tunda ambalo Hawa alimpa. Mungu akaeka Sheria yake; kifo kikakuwa adhabu kwa dhambi na hii ilihusisha Adamu na Hawa pamoja na vizazi vyao.

Katika Warumi 5:12, Paulo anagusia jinsi dhambi ya Adamu ilivyoathiri wanadamu kwa ujumal: "Kwa hiyo, kwa njia ya binadamu mmoja dhambi iliingia ulimwenguni, na kwa dhambi hiyo mauti; na hivyo mauti kupita kwa wanadamu wote, kwa hivyo sote tuna dhambi zote(RV).

Kumbuka kwamba Paulo anasema kwamba "kwa njia ya mtu mmoja" mambo manne yalitokea. nayo yalikuwa: -

1. Dhambi iliingia ulimwenguni: Wakati Adamu alitenda dhambi, dhambi kama kanuni ya hatua ya binadamu ikatokea. Kutoka hapo, Dhambi ikatawala kama mfalme juu ya binadamu (Rum 6:12).2. Na kifo kupitia kwa dhambi : Kifo ilikuwa adhabu iliyowekwa na Mungu pale dhambi ilikuwa kawaida (Mwanzo 3:17-19; 15:21-22 linganisha 1 Kor; " kwa binadamu kifo kikaja duniani.".).3. Kwa hivyo mauti yakawa kwa watu wote: wazao wa Adamu waliridhi mwili wake ambao ni wa kufa. Hivyo sote tuko chini ya kifo na rushwa. Nini ilikuwa adhabu kwa Adamu, ikawa sheria ya maumbile ya wengine wote.4. Kwa sababu sote tumefanya dhambi: wazao wa Adamu walirithi si kifo tu lakini asili ya kutenda dhambi (Yer. 17:9, Mk 7:21-23.). Hii asili ya dhambi ina mvuto sana kwamba binadamu lazima atende dhambi. Kwa sababu hii Paulo akasema kupitia dhambi ya Adamu, wanadamu wote wametenda dhambi (taz. Rum 3:23.). Pia, kwa sababu watu lazima watende dhambi, ni haki Mungu kuwafanya wote kuwa chini ya kifo. Kwa sababu ya kosa la Adamu, wanadamu kwa ujumla wako katika mzunguko wa dhambi

-17-

Page 18: UTANGULIZI: SEHEMU YA TATU · Web viewTAA MIGUUNI MWANGU Sehemu ya tatu- (Hatua ya kwanza) Matayarisho ya Ufalme Matamshi yako ni taa miguu ni mw angu na mwanga wa njia yangu (Zaburi

na mauti. Ni kwa njia ya kazi ya Kristo binadamu anaweza kujiokoa kutoka kwa mzunguko huu. Ni kwa kazi hii ambayo ilitabiriwa na Mungu katika adhabu yake kwa nyoka katika shamba la Edeni.

AHADI YA UKOMBOZI (Mwanzo 3:15).Wakati Mungu alimwadhibu nyoka, Alimlaani kuliko wanyama mwingine wote. Nyoka aishi maisha yake yote juu ya tumbo lake akitambaa kwenya mavumbi (v.14). Lakini kitu zaidi kiliongezewa, na ikawa agano kubwa la edini kati ya Mungu na binadamu - "Mimi (Mungu) nitaweka uadui kati yako (nyoka) na mwanamke (Hawa) na kati ya uzao wako na wake ; utapondwa kichwa(nyoka) na wewe (Hawa) utaumwa kisigino "(v.15). Pointi muhimu ya ahadi hii ni: -

• Pande mbili zitashiriki-nyoka na uzao wake, na-mwanamke na uzao ake.• Kutakuwa na uadui kati yao. Pande mbili itakuwa na mgogano kila siku.• mgogoro hatimaye utatuliwa. Uzao wa mwanamke itampa nyoka jeraha baya na la kudumu kwa kichwa). Wakati hayo yanafanyika Nyoka naye atasababisha maumivu ya muda kwa kutia jeraha katika kisigino cha uzao wa mwanamke. Taswira tunayopata katika maneno haya ni kwamba mguu wa binadamu utamkanyaga nyoka kichwani , ili kumponda hadi kufa. Lakini kabla ya mguu wa mwanadamu kumponda nyoka kichwa atakua amemuuma kisigino, na kusababisha maumivu japo kwa muda mdogo.

Maneno ya Mwanzo 3:15 yana maana halisi. Katika historia, nyoka wamekuwa maadui wa binadamu. Watu hawapendi kuona au kufikiria nyoka. Hata hivyo, ukweli halisi wa kitabu cha Mwanzo 3:15 uko katika maana yake halisi: • nyoka alitamka maneno ya uongo, ambayo yalionyesha fikra za kimwili, kinyume na Mungu (3:4-5). Hivyo nyoka inawakilisha chanzo cha dhambi (asili ya binadamu).• Uzao wa nyoka basi ni wale ambao wanaonyesha tabia za nyoka - wale ambao husema na kutenda kwa njia ya mwili (taz. Mt 03:07; 23:33; Rum 8:7-8..).• Mwanamke inawakilisha ukweli wa neno la Mungu, ambayo alizungumza hapo awali (Mwanzo 3:2-3).• Uzao wa mwanamke ni, katika tukio la kwanza, Yesu Kristo. Mungu ni Baba yake, na alionyesha akili, njia na tabia ya Baba yake. Neno "Uzao wa mwanamke" ina maana kwamba yeye alikuwa si Uzao wa mwanadamu. Kwa kweli Mungu alisababisha bikira kupata mimba kupitia nguvu za Roho (Lk 01:35; Isa 7:14.). Kwa njia hii Mungu alitabiri kuwa angehusika katika wokovu wa binadamu.

Migogoro ya muhimu zaidi ilikuwa mapambano kati ya Kristo na Dhambi. Ingawa alikuwa na asili ya binadamu, au katika maneno ya Paulo, alikuwa "katika mfano wa mwili ulio na dhambi" (Warumi 8:03), hakuwahi kamwe kukubali dhambi. Alipata ushindi juu ya dhambi kwa kushinda tamaa zake za asili ya ubinadamu na badala yake akaamua kumtii Mungu. Alifanya hivyo si tu akiwa hai, lakini pia katika kifo chake. Hivyo tunawezasema kwamba, kupitia kifo, Kristo alivunja nguvu za mauti, yaani dhambi. Ebr. 2:14 huonyesha dhana ya kutumia neno "shetani" kama utambulisho wa Dhambi.

Mwanzo 3:15 inaelezea dhana hiyo kama Ebr. 02:14, ila kwa kutumia neno "nyoka" badala ya "shetani". Ilimbidi Kristo kuteswa kwa kifo (kujeruhiwa katika kisigino na nyoka) kwa sababu alikuwa na asili ya binadamu, lakini hili halikua pigo kwani Kristo alifufuliwa kutoka kwa wafu baada ya siku 3 na mwili

-18-

Page 19: UTANGULIZI: SEHEMU YA TATU · Web viewTAA MIGUUNI MWANGU Sehemu ya tatu- (Hatua ya kwanza) Matayarisho ya Ufalme Matamshi yako ni taa miguu ni mw angu na mwanga wa njia yangu (Zaburi

usiokufa. Ushindi alikuja kwa sababu alipiga dhambi pigo. Migogoro haikuwa tu kati ya uzao ya nyoka (Wayahudi na wale walikula njama dhidi yake), lakini na nyoka mwenyewe - asili ya matendo mabaya -ili kwamba, wengine wataokolewa kutoka katika utumwa wa dhambi na mauti.

MPANGO WA MUNGU WA UKOMBOZI (1 Petro 2:21-24).Jina "uzao wa mwanamke" inahusu Bwana Yesu Kristo, pia inahusu wale ambao wamekubali neno la Mungu na kubatizwa katika Kristo. Wao pia wanashiriki katika ushindi juu ya dhambi. Yesu ndiye mfano mkubwa "ambaye hakutenda dhambi, wala hila kuonekana kinywani mwake" (1 Petro 2:21-22.). Katika kifo chake, dhambi ilishindwa (Ebr. 9:26), na Mungu alionyesha kulaani asili ya binadamu kwa mauti (Rum 3:23-26). Baada ya haya kufanyika, Mungu aliweza kufungua njia ya ufufuo wa uzima wa milele.

Ili kushinda dhambi lazima kufuata njia ambayo ni sawa. Kristo alikufa kama sadaka ya dhambi zetu, lakini sisi tunabatizwa katika mauti ya Kristo (Rum 6:3-9).Katika ubatizo wetu, tunakiri kwamba Mungu ana haki ya kulaani asili ya binadamu. Kisha Mungu anatusamehe dhambi zetu zilizopita na kutoka hapo lazima "kutembea katika upya wa uzima", si kwa kujihudumia bali kumtumikia Mungu. Ni lazima kufuata nyayo za Yesu na kuwa watiifu kwa Mungu. Lakini Mungu ametupa njia ili wakati tunapotoka kwa njia ya utii, tunaweza kuombaa msamaha kwa dhambi zetu kwa njia ya Yesu Kristo ambaye hutuombea msamaha kwa Mungu(1 Yohana 2:01).

Ni lazima tuepuke dhambi kila wakati, lakini dhambi haitaondolewa kabisa katikaa maisha yetu hadi Kristo atakaporudi na kutupa uzima wa milele kama sisi tunastahili. Basi kwa kazi ya Kristo,dhambi itaweza kuondoka duniani (Rum. 16:20). Wakati wa mwisho wa milenia, dhambi itaondolowa kabisa na hakutakuwa na kifo tena (Ufu. 20:14-21:04). Kisha ushindi juu ya "uzao wa nyoka" utakua kamili.

UPATANISHO KATIKA SHAMBA LA EDENI (Mwanzo 3:21).Wakati Adamu na Hawa walitenda dhambi, waligundua kuwa walikuwa uchi na kwa aibu yao, walitaka kufunika dhambi zao na majani ya matawii ya mtini (v.7). Lakini Mungu alikataa njia hii ya kujifunika na badala yake akawapa makoti ya ngozi (v.21). Hii ilihitaji kuchinjwa kwa wanyama.Kwa haya, Mungu aliwafundisha somo. Uchi katika Maandiko ina maanisha hali ya dhambi (Ufunuo 16:15). Ili dhambi kufunikwa na ushirika na Mungu kurejeshwa, dhabihu iliyotoka kwa Mungu alhiitajika. "Bila kumwanga damu hakuna ondoleo la dhambi (Ebra 9:22). Adamu na Hawa walifunzwa kwamba njia ya kurudisha urafiki na Mungu inahitajika maisha ya dhabihu kwa Mungu ambayo kujihudumia lazima waweka kando.Kutokana na ukweli kwamba Yesu Kristo ni Mwanakondoo aliyechinjwa tangu kuwekwa kwa msingi wa dunia" (Ufu. 13:08), ni wazi kwamba mnyama aliyechinjwa alikuwa kondoo kama njia ya kumaanisha yeye ni "Mwanakondoo wa Mungu "(Yohana 1:29, 36). Kilichotokea Edeni, kilitabiri kazi ya Mungu ndani ya Kristo. Tuna asili ya dhambi na tuna haja kubwa ya kuficha dhambi kama vile Adamu na Hawa walificha. Ubatizo huwapa binadamu ufuniko. Tunapobatizwa katika Kristo, tunavaa vazi la ukristo(Gal. 3:27). Basi, kuachana na dhambi, tunafunikwa na neema ya Mungu (Rum. 4:07).

ADAMU NA HAWA KUFUKUZWA KUTOKA SHAMBA LA EDINI(Mwanzo 3:22-24).Adamu na Hawa hatimaye walifukuzwa kutoka kwa Bustani ya Edeni. Mungu akasema, "Tazama,

-19-

Page 20: UTANGULIZI: SEHEMU YA TATU · Web viewTAA MIGUUNI MWANGU Sehemu ya tatu- (Hatua ya kwanza) Matayarisho ya Ufalme Matamshi yako ni taa miguu ni mw angu na mwanga wa njia yangu (Zaburi

binadamu amekuwa mmoja wetu, kwa kutambua mema na mabaya." Kulikuwa na hatari kwamba Adamu angenyoosha mkono wake, na kuchukua matunda kutoka kwa mti wa uzima, na kuyala ili aishi milele." kwa upande wa mashariki wa bustani ya Edeni waliwekwa "makerubi, na panga za moto kuulinda mti wa wa uzima".Lakini hata hivyo palikuwa na matumaini. Hata kama Adamu na Hawa walizuiliwa wakati ule mti wa uzima ulihifadhiwa na kwa kazi ya Kristo, waumini watakua na tumaini la uzima wa milele (Ufu. 02:07).

MASOMO KWETU• Kupitia uasi wa Adamu na Hawa, dhambi na kifo ziliingia ulimwenguni, na kugubika viumbe vya Mungu.• Katika shamba la Edeni, Mungu aliahidi kwamba nguvu za dhambi hatimaye zitavunjwa na "uzao wa mwanamke" (yaani Kristo).• Lakini katika kuharibu dhambi, "uzao wa mwanamke" alijeruhiwa katika "kisigino" na "uzao wa nyoka" (yaani Kristo atateswa na kifo japo kwa muda).• Kwa kumwamini Mungu na kubatizwa, tunasamehewa dhambi zetu za zamani. Na ni lazima tuachane naa dhambi, ingawa msamaha wa dhambi unapatikana kwa njia ya Kristo.• Kristo anarudi kuondoa dhambi duniani. Kisha ushindi juu ya Uzao wa nyoka utakuwa kamili.

MAKTABA YA KUREJELEA:

“Elpis Israel" (J. Thomas)—Sehemu ya Kwanza, sura 3 “Key to the Understanding of the Scriptures" (H. P. Mansfield)—uk. 36-54 "First Principles Bible Marking Course" (C.S.S.S.)—uk. 55-56 "The Devil — the Great Deceiver" (P. Watkins)—Pp. 46-50

MASWALI YA AYA:1. Nini ilikua athari ya dhambi ya Adamu na Hawa kwa vizazi vyao?2. Eleza maaana ya maneno "uzao wa mwanamke" na "Uzao wa nyoka."3. Jinsi gani Yesu alivyojeruhi kichwa cha nyoka?

INSHA YA MASWALI:1. Elezea maaana ya maneno ya Agano la Edeni: "itapondwa kichwa nayo itajeruhi kisigino."2. Jinsi gani Agano la Edeni linatabiri mpango wa Mungu katika ukombozi kwa wanadamu?3. Ni mavazi gani Mungu aliwapa Adamu na Hawa na ni funzo gani tunajifunza kutokana na hili?

255. KAINI NA ABELI USHINDI WA IMANI "Bwana aliheshimu Abeli na sadaka yake "

Kwa sababu ya kutokutii kwao, Adamu na Hawa walifukuzwa kutoka Bustani ya Edeni wakaishi maisha ya taabu na mateso chini ya hukumu ya kifo. Lakini Mungu, katika huruma yake, alifungua njia ya wokovu kwa njia ya sadaka. Katika utoaji wa 'makoti ya ngozi', kanuni ilikubali kwamba "pasipo

-20-

Page 21: UTANGULIZI: SEHEMU YA TATU · Web viewTAA MIGUUNI MWANGU Sehemu ya tatu- (Hatua ya kwanza) Matayarisho ya Ufalme Matamshi yako ni taa miguu ni mw angu na mwanga wa njia yangu (Zaburi

kumwaga damu hakuna ondoleo" la dhambi (Ebra 9:22). Mnyama aliyechinjwa na wanyama wote walionchinjwa baadaye ilielekeza dhabihu kubwa kwa Mungu angetoa kwa sadaka ya Bwana Yesu. Lengo la somo hili ni kuonyesha kwamba Mungu anataka binadamu kumwabudu katika njia ambao yeye amemteua ya kumwabudu katika roho na kweli" (Yohana 4:23).

Mwanzo 4

KAINI NA ABELI (Mwanzo 4:1-4).Kufuatia kufukuzwa kwao kutoka Bustani ya Edeni, Hawa akapata mimba na akamzaa Kaini, maana yake "kupata au kupewa", kwani Hawa alisema, "Nimepata mtu kutoka kwa Bwana."Mwana wa pili aliitwa Abeli kumaanisha "ubatili". Hili ni neno sawa kutumika katika Mhubiri kueleza ubure wa kila jitihada za binadamu (1:02), na inaonekana kwamba Abeli alikuja kufahamu hili kwa sababu alitaka kumwabudu Mungu katika njia ambayo Mungu aliiweka.

Kaini na Abeli walifanya kazi tofauti: " Habili alikuwa mchungaji kondoo, na Kaini alikuwa mkulima " ( v.2 ). Tofauti kati ya ndugu ikawa dhahiri walipofika mbele ya Mungu katika ibada : " Kaini akaleta mazao ya shambani kama sadaka kwa Bwana naye Habili akaleta uzao wa kwanza wa mnyama aliyenona( vv.3 -4). Mungu alikua amesema wazi yeye alitaka sadaka ya kumwaga damu. Mbali na maelekezo kwa maneno ambayo ilikua amempa Adamu na labda Elohim, ukweli ni kwamba Mungu alikataa sadaka ya shambani kwani ilitumiwa kama mavazi ya majani na ndio maana akatoa makoti ya ngozi kufunika utupu wa Adamu na Hawa .Abeli alitenda kwa msingi wa yale aliyoelewe na kujua ni haki : "Kwa imani Abeli alimtolea Mungu dhabihu bora kuliko Kaini , kwa hiyo Mungu akashuhudia alikua haki ; Mungu alizikubali sadaka zake na kwa imani. Ebr. 11:04 ). Kwa sababu alitenda katika imani , kulingana na maarifa , "Mungu akawa na heshima kwa Abeli na sadaka yake. Lakini hakuheshimu sadaka ya Kaini . Kaini alikataa kutenda yale alijua ni haki na yanakumpendeza macho ya Mungu.

WIVU WA KAINI (Mwanzo 4:5-7 ).Kaini alikuwa kifungua mimba na alikasirika wakati toleo lake lilikataliwa . Labda aliona kwamba haki na mapendeleo ya mzaliwa wa kwanza (Kum. 21:15-17 ) yanatishiwa. Akawa na wivu kwa ndugu yake na kumkasirikia Mungu. Lakini hata hivyo Mungu bado alitaka ibada yake . Lazima angeheshimu na kufuata kanuni za wenye dhambi wanapomkaribia MUNGU. Kumbuka katika v.7 Mungu anakemea ambapo " neno dhambi" na kusema " sadaka ya dhambi " (yaani Mwanakondoo ). Mungu alimkumbusha Kaini kwamba yeye lazima atoe sadaka ya kondoo kwa wakati huo alikuwa amelala mlangoni. Kama angemtii Mungu kama mzaliwa wa kwanza, angeendelea kuwa na mamlaka juu ya Abeli, mdogo wake. Kwa njia hii, huruma ya Mungu iliongezewa Kaini aliyenuna.

MAUAJI (Mwanzo 4:8-12 ).Badala ya kupunguza hasira zake na kutambua kwamba Mungu alikuwa na haki , Kaini alifikiria juu ya mambo mengi. Akawa mwenye hasira zaidi na kukata tamaa. Alienda kujadili jambo lile na nduguye Abeli,nduguye alimuongelesha kutoka kwa mtazamo wa Mungu, na kumwomba Kaini anyenyekee kwake Mungu.jambo hilo likawa zaidi kwa Kaini na hangeweza kukubali na akamuua ndugu yake (v.8).

-21-

Page 22: UTANGULIZI: SEHEMU YA TATU · Web viewTAA MIGUUNI MWANGU Sehemu ya tatu- (Hatua ya kwanza) Matayarisho ya Ufalme Matamshi yako ni taa miguu ni mw angu na mwanga wa njia yangu (Zaburi

Alipoulizwa na Mungu ndugu yake yuko wapi, yeye alitupilia jambo lile (mst 9). Lakini alikuwa kamwua ndugu yake, na alikuwa aadhimbiwe ipasavyo (v.10). Adhabu yake imeelezwa katika v.12 -

1. hakuna nchi itakayotoa mavuno kwake kikamilifu.

2. Atakua akitangatanga duniani kama mtoro.

HURUMA YA MUNGU BADO INAENDELEZWA (Mwanzo 4:13-16).

Kaini akafukuzwa kutoka mbele ya uso wa Mungu na kwenda nchi ya Nodi (ambayo ina maana ya 'ugeni'). Kaini akahisi hasara yake ya kutisha, akisema, 'Kutoka uso wako nitakuwa najificha' (v.14). hakuwa tayari kuwasilisha kwa Mungu kwa njia maalumu, na sasa alikuwa hawezi kupatana na Mungu. Bado ni kweli kwamba mtu akataapo kurudi kwa mungu mwishowe hujipata hawezi rudi tena.Wakati hili linatokea, hawezi kuendelea kuwa katika uwepo wa Mungu - na ni rehema kumuondoa. Hivyo ilikuwa na Kaini.

Lakini, hata kama ametolewa kutoka uwepo wa Mungu, na kunyimwa uhuru wa kupatana moja kwa moja na Mungu, Mungu bado anaonyesha kumjali Kaini. Hata kwamba alimuuwa ndugu yake Mungu hakutoa leseni kwa wengine kumuua. Ili kuzuia hili, Mungu aliweka alama juu ya Kaini, na akatangaza kwamba kuwa yoyote atakeye muuwa yeye au uzao wake ataadhibiwa 'mara saba'.

Kuhusu Habili? Mungu alimpa Adamu mwana mwingine Aliyeitwa Sethi ambaye alichukua nafasi ya Habili (v.25). Alimwabudu Mungu kwa kweli, tofauti na nduguye Kaini. Sasa tunapata aina mbili za watu; waabudu wa kweli wa Mungu waongo -kizazi cha Kaini, na wafuasi wa Sethi hawa ni aina mbili ya watu tofauti - uzao wa mwanamke na Uzao wa nyoka. Mwanzo 4:16-24 inatoa kumbukumbu ya matendo na Hatari ya wazao wa Kaini, wakati Mwanzo 5 inatoa orodha ya uzao wa Sethi, uzao wa mwanamke.

MAFUNZO KWETU.

(1) KATIKA NGAZI YA KIBINAFSI.

Wote Kaini na Abeli walikuwa waabudu wa Mungu. Sadaka zote mbili zilikuwa dhabihu. Lakini sadaka ya Kaini ilikuwa haikubaliki. Kwa nini? Jibu ni kwamba katika sadaka ya ibada ya Kaini, kulikuwa na kipengele cha binadamu binafsi na alifanya kulingana na mapenzi yake na kwa njia yake mwenyewe. na ukaidi alikataa hoja yoyote ambayo iliendana na njia ya Mungu (1 Yohana 3 12).

Katika Waebrania 11- 4 tunasoma, 'Kwa imani Abeli alimtolea Mungu sadaka ya maana kuliko Kaini ...'ni wazi kuwa Abeli alisikia na alibainisha mahitaji ya Mungu. Wakati wa dhabihu alikuja na kutenda 'kwa imani', kulingana na vile alijua Mungu hupenda. Kwa upande mwingine, Kaini alijua kile Mungu alikuwa anataka, lakini hakuamini kwamba yale Mungu alikuwa akiomba ni kweli aliyataka. Kwa hiyo aliamua kutofautiana na amri ya Mungu, na hivyo sadaka yake ilikataliwa.

Haitoshi kwamba watu wanapaswa kutambua kwamba Mungu yupo, lakini pia wanapaswa kumwabudu kwa ukweli na haki kutoka kwa roho (Yohana 4 23; 17 3). Mtu anaweza kuwa na hamu ya kumwabudu

-22-

Page 23: UTANGULIZI: SEHEMU YA TATU · Web viewTAA MIGUUNI MWANGU Sehemu ya tatu- (Hatua ya kwanza) Matayarisho ya Ufalme Matamshi yako ni taa miguu ni mw angu na mwanga wa njia yangu (Zaburi

Mungu lakini ni lazima afanye hivyo katika njia ya haki. Haya Kaini hakufanya. Alidhani Mungu anapaswa kuwa radhi tu kwa sababu yeye humsujudia.

Hii inaibua kanuni ya kwanza ya mafundisho ya maridhiano ya mtu na Mungu kwamba sheria ya Mungu inapaswa kuzingatiwa kabla ya msamaha kupanuliwa (ona Warumi 3 26.). Bila kufanya mapenzi ya Mungu, kulikuwa hakuna njia ambayo sadaka ya Kaini ingeweza kukubaliwa. Lakini kiwango sawa kutumika kwa sadaka ya Habili na maana kwamba alifanya kwa njia za Mungu alikubaliwa, na huruma zingeweza kupanuliwa kwake.

Kuna haja ya kila wakati kukumbuka nafasi ya Mungu, na mahitaji yetu na kuwa wanyenyekevu ndani ya uwepo wake, milele kuka karibu naye, na kukubaliana na kile Yeye amekisema kama ukweli.

Hivyo tunapaswa kujifunza neno la Mungu, ili tupate kujua nini Yeye anataka sisi kuamini na kufanya.

2. KATIKA NGAZI YA KITAIFA.

Wivu na chuki ambayo ilimfanya Kaini kuelekea Abeli ilikuwa, kwa wakati wa baadaye, inarudia mtazamo wa Wayahudi kuelekea Bwana Yesu Kristo. Waliyachukia Yesu bila sababu '(Zab. 69 4), kukataa kumsikiliza. Chuki yao akageuka kuwa mawazo ya mauaji na wakamuua kama Kaini alimfanya Abeli. Yesu mwenyewe alielezea hii sambamba katika Yohana 8 44 (linganisha Mathayo 23 33-36.).

Adhabu ya Kaini ilikua kupelekwa mbali na uwepo wa Bwana, kuwa mtanga duniani. Wayahudi walifanyiwa adhabu sawa wakati wao waliua mwana wa Mungu. Walichuliwa na kutawanywa katika dunia yote. Hadi hivi karibuni Myahudi imekuwa akitangantangao kati ya mataifa, makazi na wanaoishi katika hofu ya nini wengine wanaweza kufanya na yeye, tu kama Kaini aliishi katika hofu kwamba wengine, kutafuta yake, bila kumuua (Mwanzo 4:14). Pro ¬ tect Kaini, Mungu aliweka alama juu yake na kutishiwa na kisasi yoyote ambao wanapaswa kumgusa (v.15).Katika kesi ya Wayahudi, Mungu imewafanya watu tofauti na, ingawa waliteswa katika mikono ya adui zao, Aliwahifadhi ili waweze kunusurika miaka 1900 ya mateso. Kama ilivyo kuwa na Kaini, na kweli na ahadi yake kwa Ibrahimu, Mungu aliwalaani wale ambao waliwalaani Wayahudi (12:3)

Sethi alichukua nafasi ya Abel, hivyo ukoo haki ukuwa salama. Hawa akampa jina Sethi (ambayo ina maana ya "maalumu") kwa sababu Mungu alikuwa amemteuwa "uzao mwingine badala ya Habili" (4:25). Kifo ya Abeli na badala yake na Seth kilitabiri mauaji ya Yesu na ndugu zake na ufufuo wake tena.

MASOMO YA KWETU:• Haitoshi tu kumwabudu Mungu: ni lazima kumwabudu ipasavyo.• Ni wakati ti tunapofuata njia na kumheshimu Mungu, Ndipo ataonyesha huruma kwetu.• uadui iliokuwepo kati ya Kaini na Abeli ni kwa sababu mmoja alimcha Mungu kwa usahihi na mwengine akakataa, Mungu alisema kuwatakua na uadui kati ya "uzao wa mwanamke" na "uzao wa nyoka". Uadui upo leo kati ya wale wanaofuata njia ya Mungu, na wale wanafuata tamaa ya mwili.• mauaji ya Habili na Kaini na kuzaliwa kwa Sethi ilikuwa ishara ya Yesu kusulubiwa katika mikono ya watu waovu na ufufuo wake wa baadae.

MAKTABA YA KUREJELEA

-23-

Page 24: UTANGULIZI: SEHEMU YA TATU · Web viewTAA MIGUUNI MWANGU Sehemu ya tatu- (Hatua ya kwanza) Matayarisho ya Ufalme Matamshi yako ni taa miguu ni mw angu na mwanga wa njia yangu (Zaburi

"ELPIS Israeli" (J. Thomas)-za 115-120" The Story of the Bible " (H. P. Mansfield)-Vol. 1, 54-60 za

MASWALI YA AYA:1. Kwa nini sadaka ya Kaini ilikataliwa na ya Abel kukubalika na Mungu?2. Juu ya msingi gani ibada yetu inakubalika na Mungu?3. Kwa njia gani matendo ya Kaini kwa Abeli, na adhabu yake ya baadae, imerudiwa kwa uzoefu wa wengine?

MASWALI INSHA:1. Kwa kifupi elezea hadithi ya Kaini na Abeli. Ni somo gani tunajifunza kuhusu ibada yetu kwa Mungu?2. Waebrania 11:04 inasema kwamba: "Kwa imani Abeli alimtolea Mungu sadaka iliyo bora zaidi kuliko Kaini, elezea kwa nini ilikuwa ya haki.3. Jinsi gani Kaini alikua aina ya Israeli?

256. NUHU- KUHARIBIWA KWA ULIMWENGU AWALI "Watu wanne waliokolewa na maji"

Sura ya nne ya katika Mwanzo inaeleza yale yaliyotokea wakati Kaini alifukuzwa mbele ya Bwana, na kuanza maisha kwa njia ambayo inalingana na mapenzi ya binadamu. Roho ya Kaini iliendelezwa katika uzao wake. Ilikuwa sifa ya maisha ya mji (v.17), biashara haramu (mst. 20), kuishi bila kumjali Mungu (v.21), vita (v.22). Walikuwa kweli "wana wa wanadamu".Mwanzo 4 unaeleza kuzaliwa ya Seti. Jina lake lilimaanisha "kuteuliwa", kwa ajili Mungu alimpa Hawa uzao mwingine badala ya Abeli, ambaye Kaini alimuua (v.25). Wakati uzao wa Kaini ilikuwa umejaa wale wanaopenda dunia, na vurugu, uzao wa Sethi ulihifadhi njia za Mungu, na kutambua kwamba maisha yao ya baadaye yalikuwa kwa mikono Yake. Kwa Hivyo walimwita kutimiza ahadi yake ya ukombozi (v.27). Wazao wa Seti wako kwenye kumbukumbu katika Mwanzo 5. Uzao huu unafikia upeo katika Nuhu, wanawe walikua Shemu, Hamu na Yafeti. Uzao huu ukawa "wana wa Mungu".Lengo la somo hili ni kuonyesha jinsi dhambi na uovu waliwaadhibu wana wa Mungu wakati walijiunga na njia ya dunia.

Mwanzo 6-9

NA MKAJITENGE (Mwanzo 6:1, 2).Kwa muda mrefu wazao wa Seti walijitenga kabisa na wazao wa Kaini, wanaume wenye ubinafsi ambao hawakujali chochote kuhusu njia ya Mungu. Kaini maana ya "faida", na wazao wake walitafuta furaha katika dunia bila kujali kutoa chochote ili kukidhi hisia. Walikuwa na mafanikio sana katika kutekeleza azma yao ya utajiri na furaha ya mwili; na walikuwa wakatili sana kwa wale wlijaribu kupinga njia zao.

wazao wa Sethi walikuwa tofauti. Walitupilia mbali mambo hayo ya kuridhisha mwili na wakamtumainia Mungu. Waliwapenda wale ambao walikuwa wa haki kama vile Henoko - yeye "alitembea pamoja na

-24-

Page 25: UTANGULIZI: SEHEMU YA TATU · Web viewTAA MIGUUNI MWANGU Sehemu ya tatu- (Hatua ya kwanza) Matayarisho ya Ufalme Matamshi yako ni taa miguu ni mw angu na mwanga wa njia yangu (Zaburi

Mungu, naye Mungu akamtwaa" (Mwanzo 5:24).Lakini tofauti kati ya makundi haya mawili ikatoweka. Kulikuwa na ongezeko kubwa la idadi ya watu na jinsi wanaume walienea ulimwenguni, "wana wa Mungu" wakaanza kutamani maisha ya raha ya wana wa watu. Na Mwishowe kukawa hakuna tofauti. Baadhi ya "wana wa Mungu" wakawa urafiki na "mabinti wa wanadamu," na kufanya ndoa nao.Kumbuka kuwa Kaini alikuwa amefukuzwa katika uwepo wa Mungu (ambapo wana wa Mungu walimcha) kwa nchi ya Nodi (yaani uhamishoni). Kwa Hivyo mwana wa Mungu kuoa mmoja wa binti ya watu ilikuwa kuondoka katika njia ya haki, na kukubaliana na yale yatasababisha uhamisho wako kutoka kwa Mungu. Ndoa nje ya ukweli ni mbaya (2 Kor 6:14.), Na hii inaongeza maovu zaidi. Ushirikiano imeonekana kuwa na maafa kwani "wana wa Mungu" walitamani njia za kidunia. Vijana wa leo wanatamani njia za dunia. Wako kwenye hatari ya kiungia katika ndoa iliyo tofauti ya ukweli.

DUNIA YA MABAYA (Mwanzo 6:3-7).Katika siku hizo, kulikuwa watu wenye ukubwa katika uhalifu. Wao ni kama "mashujaa" - watu wenye sifa - maarufu kwa uovu wao. Tabia yao inaweza kuonekana katika Ayubu 22:15-17 - "ambapo walimwambia Mungu, ondoka na kipi kizuri unaweza kutufanyia".Uovu ukuja kwa wingi kutoka kila upande. Mioyo ya watu ikajaa ya uasi na uovu (v.5). "Dunia imeharibika mbele ya Mungu na kujazwa na vurugu" (v.11). Rushwa ikawa kubwa na Mungu akaamua kumaliza ustaarabu huu (vv.5-7).

WITO YA NUHU (Mwanzo 6:8-10).Peke yake katika ulimwengu wa uovu, "Nuhu alipata neema machoni pa Bwana" (v.8). Tabia yake na mwenendo ni ilivyoelezwa katika aya ya 9: "Nuhu alikuwa mtu wa haki, na kamilifu aliye na haki, bila lawama) katika kizazi chake, na Nuhu alikwenda pamoja na Mungu." Ingawa amezungukwa na uovu kila upande yeye alisisitiza njia ya haki, na Mungu akamtazama na neema na akakubalika kwake: "sijaona mwengine kama wewe aliye na haki mbele zangu katika kizazi hiki" (07:01; linganisha Ebr 11:07..)

HUKUMU YA MUNGU (Mwanzo 6:11-13).

Dunia ilikuwa iwe chini ya utawala wa binadamu (1:26). Lakini wakati Adamu alitenda dhambi, mwanadamu akawa chini ya utawala wa dhambi. Kama vizazi vyote, binadamu wakawa watumwa wa tamaa zao (Ecc. 7:29). Kwa sababu walimtoroka Mungu, Yeye pia akawaacha (linganisha Warumi 1:28.). Hata hivyo, katika uso wa hukumu, uvumilivu wa Mungu bado upo. Ana nia ya kuwapa wanadamu miaka 100 ya kutubu kwa kutambua dhambi zao, waungame na kumgeukia kwake (v.3;. 1 Pet 3:20). Katika kipindi hiki, Nuhu, baada ya maelekezo kuhusu hukumu ya Mungu inayokuja (v.13), alitangaza neno la Mungu na kuwakaribisha wote waliomsikia kugeuka na kujiunga naye. Hivyo akawa "mhubiri wa haki" (2 Pet 2:05.). Mungu aliamuru Nuhu atengeneze safina ambayo wangeweza kupata malazi kama wangetii onyo lake la mafuriko kuja duniani. Safina lilionyesha imani yake na kutoa ushahidi wazi kwa wote ujumbe aliohubiri.

SAFINA LA USALAMA (Mwanzo 6:14-21)

Jahazi hiyo ilikua mashua kubwa sana, hata kwa viwango vya kisasa. Katika siku hizo, ilionekana kama -25-

Page 26: UTANGULIZI: SEHEMU YA TATU · Web viewTAA MIGUUNI MWANGU Sehemu ya tatu- (Hatua ya kwanza) Matayarisho ya Ufalme Matamshi yako ni taa miguu ni mw angu na mwanga wa njia yangu (Zaburi

chombo cha ajabu. Ukubwa wake ingekuwa karibu mita 150 upana wa mita 25 na urefu wa mita 15.Vipimo vya safina vilikuwa vimetoka kwa Mungu. Ilitumia mti wa mvinje, pamoja na vyumba, wakapanga ndani na nje kwa lami. Wakaweka dirisha na mlango, na ikawa na ghofora tatu.. Nuhu, na vizazi vyake, walikuwa wameelezewa kwamba wokovu utapatikana tu kama maelekezo ya Mungu yangefuatwa.

Kila kiumbe hai duniani kingekufa, isipokuwa wale wangeingia katika safina la Usalama. Ili kulinda maisha, aina mbili ya kila wanyama na ndege, wa kiume na wa kike, wakaongozwa katika safina, na Nuhu na familia yake. Chakula kiliandaliwa na kuhifadhiwa huko kwa muda ambao wangekuwa ndani.

WITO WA WOKOVU (Mwanzo 6:22).Katika haya maandalizi yote Nuhu alihubiria watu. Aliwaonya kuhusu hukumu inayokuja,akiwaomba kuachana na njia zao za dhambi.(Ebr. 11:07). Na kama aliyohubiri, ndivyo aliendelea kujenga Safina, ilionekana ajabu kwa watu kuona mashua kubwa ikijengwa juu ya nchi kavu, mbali na maji. Ni lazima kuwa Nuhu alionekana wazimu kwa ajili ya kufanya jambo kama hilo. Bila shaka walimcheka na kumdharau. Hakuna aliyeonekana kuitikia wito wake kutubu dhambi.Miaka ikapita na jahazi akaendelea kuchukua sura. Nuhu alibakia ushujaa katika haya yote. Lakini kama muda ulivoendelea bila hukumu, watu wakapunguza wasiwasi kidogo kidogo kuhusu yale Nuhu alikuwa amesema.Kama vile watu leo hupuuza ishara ya kurudi kwa Kristo na kujishughulisha kwa raha za ubinafsi (linganisha Mathayo 24:36-39. ).Kuna haja kua na subira sasa kama ilivyokua wakati ule. Ingawa ilionekana kuchelewa, Kristo atakuja kwa wakati uliopangwa (Matendo 17:31), kuharibu waovu na kuokoa wateule wake.

GHARIKA (Mwanzo 7).Safina ilikamilika na maelekezo yote ya Mungu yakafuatwa, Nuhu aliamriwa kuingia na familia yake (v.1). Nuhu alitolewa duniani kabla ya gharika kutokea (v.4), na kwa njia hiyo hiyo, rafiki wa Bwana Yesu watakusanyika kutoka mataifa kabla Mungu kuadhibu dunia (Isa 26:20; 1 Wathesalonike . 4:16-17; Mathayo 24:31)..kulingana na maelekezo ya Mungu, Nuhu alichukua aina saba (kiume na klike)katika safina ya kila nyama safi na ndege, na aina mbili za wanyama na ndege wachafu (v.2;. Linganisha kiasi). Basi, "Bwana akamfungia " (v.16), na kwa kufanya hivyo, akawafungia wengine wote nje.Siku saba zikapita. Dhoruba-mawingu yakakusanyika, na yakawa meusi na ya kutishia. Kisha dhoruba ikaanza kwa hasira kubwa, na maji kutoka angani yakajiunga na maji kutoka chini ya kinana kama chemchemi yakaanza kujaa ulimwenguni.Mvua Ilinyesha bila kukoma kwa siku arobaini mchana na usiku, hivyo kwamba hata milima ya juu walikuwa imefunikwa. Safina alichukuliwa juu ya maji, ambayo pale ilipokaa kwa muda wa siku 150, na kila kilichokuwa hai kiliharibiwa kuanzia, mwanadamu na wanyama, vitambaavyo, ndege wa mbinguni; waliangamia; Nuhu ndiye aliponea na wale waliokuwa pamoja naye katika safina "(v.23).

KUTOKA KWENYE GHARIKAMungu ikasimamisha mvua na chemchemi za kina, na kusababisha upepo kupita juu ya ardhi ili maji yapunguke. Polepole maji yalipungua na katika siku ya 17 ya mwezi wa saba safina ikatua juu ya milima ya Ararati. Siku ya kwanza ya mwezi wa kumi, vilele vya milima viliweza kuonekana. Siku ya arobaini baadaye, Nuhu alifungua dirisha la safina na alimtuma kunguru na njiwa ili kuona kama maji

-26-

Page 27: UTANGULIZI: SEHEMU YA TATU · Web viewTAA MIGUUNI MWANGU Sehemu ya tatu- (Hatua ya kwanza) Matayarisho ya Ufalme Matamshi yako ni taa miguu ni mw angu na mwanga wa njia yangu (Zaburi

yamepunguka. Kunguru hakurudi, lakini njiwa alirudi, baada ya kupata "hakuna pahali pa kutua wayo wa mguu wake" (mst 9). Siku saba baadaye, njiwa alitumwa tena, na akarudi na "jani la mzeituni alilo ng'oa", ambapo Nuhu alijua kuwa maji yalikuwa yameisha (v.1 RSV). Baada ya siku saba zaidi, njiwa alitumwa nje mara ya tatu, lakini hakurudi.

Nuhu alikuwa katika safina kwa zaidi ya mwaka (linganisha 7:11 na 8:13-14). Kisha Mungu amemwagiza kuchukua familia yake na wanyama wote na ndege wote, na kuondoka safina, ili kuanza mwanzo mpya duniani. Nuhu akatoka kama ilivyoamriwa, na tendo lake la kwanza lilikuwa kujenga madhabahu na kutoa sadaka za kuteketezwa kwa Mungu katika shukrani kwa ajili ya ukombozi wake.

ISHARA YA AGANO LA MUNGU (Mwanzo 8:21-22; 9:8-16).Mungu alikubali sadaka ya Nuhu. Aliweka ahadi na kutangaza kwamba tena hatalaani duniani kama alivyokuwa amefanya, kuharibu viumbe hai wote. Laana ya Edeni juu ya ardhi, na ambayo ilizaa 'miiba na michongoma', lakini Mungu hatatuma tena mafuriko kwa ulimwengu wote (linganisha Isa 54:9.).Kama ishara ya agano hili, Mungu aliweka upinde wake katika wingu. Upinde wa mvua hutokea wakati jua limeng'aa na mvua inanyesha kwa wakati mmoja. Kuna rangi saba katika upinde - saba ni namba ya agano - na wakati rangi hizi saba zimeunganishwa, huunda mwanga safi wa jua. Katika Biblia , jua husimamia Yesu, "jua la haki" (Malaki 4:02); wingu husimamia watu wa Mungu (Ebr. 12:01); mvua husimamia mafundisho ya Mungu akishuka kwa ajili ya ardhi (Kum. 32:2). Hivyo, ishara ya upinde wakati watu wote watajua Bwana. Utukufu wa Bwana Yesu Kristo kuonekana kwa njia ya watakatifu, kwa njia mbalimbali, wote wakichanganywa kuonyesha utukufu kamili wa utawala wake.Yohane, katika Ufunuo 4, anatupa picha ya kuanzishwa kwa Ufalme, na Kristo (v.2) ameketi juu ya kiti cha enzi, akizungukwa na watakatifu wake (vv.4, 6), na upinde wa mvua ukiwazunguka.Kadhalika, Ufunuo 10 inatoa picha ya malaika mwenye nguvu (anayewakilisha Kristo na watakatifu wake wa milele), amevaa upinde, akitekeleza hukumu ya Mungu juu ya mataifa.MAELEZO YA UBATIZO.Petro (1 Petro 3:20 .) anailinganisha wokovu wa Nuhu katika jahazi kama ubatizo na Kristo na ubatizo katika maji dhambi zetu huoshwa. Hivyo, katika siku za Nuhu, maji ya gharika yalisafisha dhambi za dunia ya zamani, ili ulimwengu mpya uweze kuanza. Ubatizo ni ishara ya mwanzo wa maisha mapya (linganisha Mdo 2:38;. Rum 6:04). Kwa ubatizo tunaingia ndani ya Kristo (Gal. 3:27), ambaye ni safina ya usalama wetu.Kwa sababu sisi tuko "katika Kristo", sisi tutaokoka wakati hukumu ya Mungu itatolewa kwa dunia ya waovu - dunia ambayo Yesu alisema itakuwa sawa "kama ilivyokuwa siku za Nuhu". Neno "Nuhu" ina maana ya "pumzika", na katika siku ya hukumu, wakati Mungu ataweka utaratibu mpya duniani, kutakuwa na "mapumuziko" kwa waumini (Ebr. 4:09).

MAFUNZO KWETU • Wakati wazao wa Seti walioa "mabinti wa watu", Ukweli ukaoza: na haikuwahi kuwa ya manufaa .• Mungu kuamua kuhukumu dunia kwa gharika, lakini alionyesha uvumilivu na rehema zake kwa kuwapa miaka 120 ili kuendana na haki na mahitaji Yake.• Nuhu, ingawa alikua peke yake, alitangaza uaminifu na haki ya Mungu.• Kwa kukubali njia ya Mungu, Nuhu alikuwa na uwezo wa kuokoa yeye na familia yake.

-27-

Page 28: UTANGULIZI: SEHEMU YA TATU · Web viewTAA MIGUUNI MWANGU Sehemu ya tatu- (Hatua ya kwanza) Matayarisho ya Ufalme Matamshi yako ni taa miguu ni mw angu na mwanga wa njia yangu (Zaburi

• dunia ya leo ni "kama ilivyokuwa siku za Nuhu" - kipindi cha "kula na kunywa, kuoa na kuolewa"; kutojali umri (Luka 17:26-27).• Kama Nuhu aliokolewa na maji, hivyo basi sisis pia tunaweza kuokolewa kwa njia ya ubatizo katika Kristo.

MAKTABA YA KUREJELEA:" The Visible Hand of God" (R. Roberts)—sura ya tano"Elpis Israel" (J. Thomas)—Uk. 118-120"Noah—Preacher of Righteousness" (J. Martin)—C.S.S.S. Study Notes"The Genesis Flood" (Henry M. Morris & John C. Whitcomb Jnr.)"The Story of the Bible" (H. P. Mansfield)—Vol. 1, UK. 61-74

MASWALI YA AYA:1. Eleza jinsi uasi ulisababisha mafuriko katika siku za Nuhu?2. Ni jinsi gani Mungu alionyesha mateso yake ya muda mrefu katika siku za Nuhu? Taja kazi ya Nuhu kwa watu.3. Jinsi gani ulimwengu wa leo unalinganishwa na siku za Nuhu? Tunapaswa kufanya nini ili kuepuka hukumu ya Mungu inayokuja?

MASWALI YA INSHA1. Andika Unachoelewa kuhusu kazi ya Nuhu?.2. Masomo gani tunayojifunza kutokana na mafuriko katika siku za Nuhu?3. Kwa kifupi eleza hadithi ya mafuriko na masomo yake.

sehemu ya pili

INJILI ILIYOHUBIRIWA IBRAHAMUWito wa Ibramu ( aliyeitwa Ibrahamu hapo mbeleni) ulikuwa mwanzo wa enzi mpya katika shughuli za Mungu na watu. miaka ilikuwa imepita tangu Gharika kukomesha dunia. Ilifuatiwa na mnara wa Babeli, na hukumu ya Mungu ambayo ilileta mchanganyo wa lugha na ufanisi ukawagawanya kuwa mataifa.Lakini si Gharika wala machafuko ya lugha iliweza kuzuia wimbi la mauovu, kwa ajili ya tamaa ilibakia kama kanuni ya uovu ndani ya asili ya binadamu, ambao wako tayari kukaidi amri za Mungu.Tunaweza fanya nini ili sauti ya ukweli wa Mungu kuendelea katika nchi? Jibu litapatikana katika wito wa Ibrahimu, na maendeleo kutoka kwake kwa taifa la Israeli. Kutoka mwanzo, ilikuwa wazi nia ya Mungu na kutengeneza Mwanga ili wengine, wavutiwe na uzuri wake,ili waje waokolewa. Mafunzo yanayo fuata yana zungumzia kwa kifupi jinsi haya yalifanyika.

257. KUTOKA MWITO WA IBRAHIMU HADI KUANGAMIZWA KWA SODOMA

"Kwa imani ... akaanza safari bila kujua aendako"

-28-

Page 29: UTANGULIZI: SEHEMU YA TATU · Web viewTAA MIGUUNI MWANGU Sehemu ya tatu- (Hatua ya kwanza) Matayarisho ya Ufalme Matamshi yako ni taa miguu ni mw angu na mwanga wa njia yangu (Zaburi

Wito wa Abramu unawakilishwa mwanzo mpya. Ilikuwa na umuhimu mkubwa kwake na kwa dunia nzima, kwa ajili yake kukazaliwa taifa la Israeli kama kituo cha Ukweli cha Mungu katika ardhi, na ambapo hatimaye patakua pa mwakozi wa kweli . mafunzo mawili yafuatayo yatatoa muhtasari wa matukio katika maisha ya Abramu kama yalivyoandikwa kwa kitabu cha Mwanzo 12-22. Watakuwa makini kwa maelezo ya kuonyesha majaliwa, matukio na mazingira ya Hija ya Abramu. Somo 259 itakusanya pamoja kutoka kwa sura hiyo ili kuonyesha matumaini ya utukufu na ahadi aliyopewa katika nyakati mbalimbali kwa mtu huyu mkubwa wa imani. Lengo la somo hili ni kuonyesha jinsi Abramu ilikuwa na imani kubwa na jinsi alivyoitikia wito wa Mungu na vile Loti, mtu mwema alivyookolewa kutoka Sodoma.Mwanzo 12-19

MWITO WA ABRAMU-NA JIBU LAKE (Mwanzo 11:26-32; 12:1-9).(1) Wito wa kwanza.Abramu aliishi katika Uru wa Wakaldayo, mji muhimu, lakini unaoabudu sanamu, kwenye ukingo wa mto Frati. Mwanaakiolojia L Wolley alibainisha, . katika kitabu chake "Uru wa Wakaldayo," kuwa mji ulikuwa na maktaba kubwa na utamaduni wa wa hali ya juu. kulikua na hekalu kubwa na ilikuwa makao makuu ya kuabudu mungu wa kike wa mwezi.Wakati Mungu alimwita Abramu hapo, alitakiwa kuondoka kwenye ustaarabu iliozama katika ibada ya sanamu. Ni wazi kutoka Matendo 7:02 kwamba wito wa kwanza alikua Babeli ili alekee nchi ya ahadi Abramu alikuwa Uru, kabla ya kuja Harani. Vile vile, Nehemia 09:07 inaonyesha kwamba wito ulikuja kwa Abramu na si baba yake Tera, hata ingawa msimamo Tera kama mkuu wa familia yake ulitajwa katika kitabu cha Mwanzo 11:31. Tera mwenyewe, pamoja na wengine wa familia ya Abramu, walikuwa waabudu michongo (Yos. 24:2).Tena, katika Mwanzo 11:32 inasema kwamba "wakaenda katika nchi ya Kanaani", ardhi ambayo wao waliokuwa wanaenda haikuwa inajulikana . Mwanzoni, hatima ya mwisho haikua inajulikana, kwani imeandikwa kwamba Ibrahimu "akatoka asijue aendako" (Ebr. 11:08).Abramu aliondoka Uru, na Tera baba yake, Nahori, ndugu yake,Lutu mpwa wake na Sarai mke wake. Alisafiri akielekea kaskazini-magharibi karibu na Mto Frati, na hatimaye alikuja Harani. Hapa Abramu alipokea maelekezo zaidi kutoka kwa Mungu, na alitaka kushawishi wengine kujiunga naye katika kuingia kwake katika nchi ambayo Mungu alikuwa anamwongoza (Mwanzo 12:1, 5).

(2) Wito wa Pili.Kuondoka Harani na kuvuka mto Frati ndani ya Kanaani ilimaanisha kuacha ustaarabu wa Babeli kabisa . Kuna wale ambao wataenda mbali na kuacha nyuma ulimwengu wa dhambi, lakini hawatafika kikomo. Ilikuwa ni pamoja na familia ya Abramu. Inaonekana kwamba wao walikuwa wanasita kwenda zaidi. Kisha Tera akafa, na kwa mara nyingine Abramu alisikia Sauti ya Mungu ikimwaamuru , ikawa ni lazima, aenda peke yake. Mwanzo 12:01, ambayo inasomeka Sasa Bwana alimwambia Abramu" , na maneno yafuatayo, "Toka Mwenyewe" kuwa na mkazo juu ya neno "Mwenyewe ", ni kama Mungu alikuwa akisema "Abramu - kwenda kwa ajili ya nafsi yako ".Abramu hakua na uzalendo wa Babeli, nchi alikozaliwa. Zaidi ya hayo, mambo ya familia lazima yangezuia utii wake kwa Mungu, ilibidi aondoke "aache jamaa" zake na kwenda katika nchi ambayo

-29-

Page 30: UTANGULIZI: SEHEMU YA TATU · Web viewTAA MIGUUNI MWANGU Sehemu ya tatu- (Hatua ya kwanza) Matayarisho ya Ufalme Matamshi yako ni taa miguu ni mw angu na mwanga wa njia yangu (Zaburi

Mungu atamwonyesha (v.1). Hivyo Abramu aliitikia wito wa Mungu kwa kuingia katika nchi. Aliyemfuata ni mke wake Sarai na Lutu mpwa wake . Walichukua pamoja nao "mali zao walizokuwa wamejitafutia na zenye walikuwa wamezipata wakiwa Harani", wakafika nchi ya Kanaani (v.5).(3) Abramu HijaBaada ya kuingia Nchi ya Ahadi, Abramu alijulikana kama "Abramu Mwebrania" (14:13). Neno "Mwebrania" maana yake "vuka ". Alikuwa amevuka kutoka njia ya ibada ya sanamu na kwenda njia ya Mungu, kutoka nchi ya Babeli hadi nchi ya Ahadi. Ishara ya hali yake iliyopita ilikuwa kuvuka kwake juu ya mto Frati, kama sisi leo kupita katika maji ya ubatizo katika Kristo.

Angalia mchakato wa maendeleo ya kiroho ya Abramu1 - Kuishi katika mji wa waabudu sanamu;2 - Yeye anasikia wito wa Mungu na anaamua kuacha duniani nyuma;3 - Yeye anakuja Nchi ya Ahadi, ambako anaishi kama mgeni na Hija, kutegemea huduma ya Mungu (Ebr. 11:8- 9).

Baada ya kuingia nchi, Abramu akapita kwa Shekemu (Mwanzo 00:06), ambapo Mungu iliunda upya ahadi yake (v.7), Betheli (v.8), na kisha kusini tena kuelekea Beersheba (mst 9). Njaa ikampeleka hadi Misri (v.10).

KUTENGANA KWA ABRAMU NA LUTU (Mwanzo 13:1-9).Muda waliokaa kule Misri haujulikani, lakini wakiwa huko, Mungu aliwambariki Abramu na Lutu, hivyo kwamba utajiri wao iliongezeka. Na ukame uliisha, walisafiri kaskazini hadi Betheli, ambapo Abramu alikuwa amejenga dhabahu (13:03, 12:08).Hasa dhabahu ilikuwa imejengwa "kati ya Betheli (nyumba ya Mungu) na Hai (uharibifu)." Upande mmoja mwenye tumaini, na mwengine ufukara - tofauti yote kati ya maamuzi ya busara na mwingine usio na hekima . Majina ya mahali hivyo ni muhimu.Wakati Abramu na Lutu walirudi,walipata kondoo zao na ng'ombe wamezaana sana ilibidi washindane kwa ajili ya ardhi kidogo ya malisho kutokana na uwepo wa "Mkanani na mfilisi". Bila ya shaka, ugomvi kati ya wachungaji wao ukaanza, na ikawa wazi ni lazima Abramu na Lutu kutengana .Abramu akaona kutokubalianana kukiwa kubaya. Kama mzee na kiongozi wa chama, angeweza akaamuru Lutu kutii maagizo yake, lakini kama Hija kweli, yeye alikataa kusisitiza juu ya haki yake. Nchi alikuwa ameahidiwa Abramu, si Lutu, lutu anapaswa kuoongoza wachungaji wake kujitenga na ugomvi . Anapaswa kuwa alikubaliana na hukumu ya mjomba wake katika suala hilo, lakini hakufanya hivyo. Basi Abramu alikubaliana na Lutu. Akaalika mpwa wake kuchukua ardhi yenye angependa , ili aweze kuchukua yenye itabaki. Hatimaye nchi yote ingekuwa yake. Lakini imani ya Abramu ilikuwa ile ya Hija ambao walisubiri Ufalme kwa subira (linganisha Ebr 11:13.)

CHAGUO LA LOTI NA MADHARA NA YAKE (Mwanzo 13:10-18).Loti alichagua sehemu tambarare ya Yordani upande wa miji ya Sodoma na Gomora, aliteseka sana baada. aliondoka na kuacha Abramu kwa ajili ya maisha yake mpya akaelekea kwa miji . Kwa kuongozwa na tamaa ya macho yake, uchaguzi wa Loti ulfuatana mambo ambayo yalisababisha umaskini kwake .

-30-

Page 31: UTANGULIZI: SEHEMU YA TATU · Web viewTAA MIGUUNI MWANGU Sehemu ya tatu- (Hatua ya kwanza) Matayarisho ya Ufalme Matamshi yako ni taa miguu ni mw angu na mwanga wa njia yangu (Zaburi

fuata mambo haya katika Biblia yako. Kumbuka kwamba hatma hiyo inaweza tupata sisi tukiyaruhusu. zifuatazo ni hatua sita katika kushuka kwa Loti kufuatia ugomvi wake na Abramu:

1. Aliangalia upande tambarare wenye maji mengi (v 10).2. Yeye alichagua anasa za tambarare (v.11).3. Akasafiri mashariki (v.11).4. Alielekea Sodoma (v.12).5. Akakaa Sodoma (14:12).6. Alikuwa karibu kuzidiwa katika maafa Sodoma (sura 19).

Maisha yalikuwa na matatizo zaidi kwa Abramu, kuona ng'ombe wake na mifugo walinyimwa malisho mazuri ya tambarare, lakini katika kazi yake ya uaminifu na upweke alikuwa na ushirika na Mungu ambao ulimfanya kuwa na amani ya akili na furaha. Ilikuwa si muda mrefu kabla ya Loti kutekwa nyara katika vita ya tembarare ambapo Abramu alimwokoa. Wakati huo Abramu alionyesha wazi kwamba yeye mwenyewe hana ushirika wowote na mambo ya Sodoma (14:14-24).

ZIARA YA MALAIKA KWA IBRAHIMU (Mwanzo 18).Muda ulivyopita. Loti na familia yake wakawa karibu zaidi kushiriki katika maisha ya mji wa Sodoma. Wakati huo huo Mungu aliamuru Abramu kutahiriwa kama ishara ya agano lake na yeye na jina lake lilibadilishwa kuwa Ibrahimu. Alikuwa karibu umri wa miaka mia moja na Sarai (akaitwa Sara) alikuwa miaka kumi nyuma.Wakati ulifika wa Mungu kuhukumu Sodoma na miji tambarare, na kuelekeza huruma yake kwa Ibrahimu katika kutoa ahadi ya uzao. Hivyo Bwana akamtokea Ibrahimu, ambaye alikuwa amekaa katika mlango wa hema yake wakati wa mchana . Ghafla, kuangalia juu, "watu watatu wamesimama mbele yake". Walikuwa malaika wa Bwana .Ibrahimu hakupoteza wakati aliwakalibisha kwa ukarimu. Mwanzoni hakuwajua wageni wake (linganisha Ebr 13:01, 2.), Lakini badaye alitambua kwamba wao walitumwa na Bwana. Sara alipata ni vigumu kukubali ujumbe wao, lakini walihakikishia Ibrahimu kwamba "kwa wakati uliowekwa . kulingana na muda wa maisha ... Sara atapata mtoto" (v.10).Mara baada ya kazi yao na Ibrahimu kukamilika, malaika wakaondoka na kwenda kuelekea Sodoma. Ibrahimu akaenda pamoja nao. Kwa sababu ya uaminifu wake (vv. 18-19), walimwambia kuhusu hukumu inayokuja Sodoma na Gomora. Wawili wa wale malaika walienda huko, wakati mmoja alibaki na Ibrahimu (v.22).Ingawa miaka ilikuwa imepita tangu kutengana Abrahamu alikuwa na upendo mkumbwa kwa Loti. Alijua alikuwa Sodoma, na aliogopa kwamba atazidiwa na hukumu ya mji huo. Pia alijua Loti ni mtu mwema ambaye angeweza kuepuswa na radhi ya Sodoma,kwa hivyo alimuombea radhi. "Je, wewe pia utaangamiza wenye haki pamoja na waovu?" (v.23). Mungu alisema kwamba jiji lingeokolewa kama kutapatikana 50, 45, 40, 30, 20 na hatimaye watu 10 wenye haki (vv.24-32)

LOTI KUOKOLEWA (Mwanzo 19:1-23).Ilikuwa jioni wakati malaika wawili walifika Sodoma. Loti alikuwa amekaa "katika lango la

Sodoma" - (linganisha mst 9, Ayubu 29:7-12). Kama Ibrahimu, yeye hakusita kuonyesha ukarimu kwao,

-31-

Page 32: UTANGULIZI: SEHEMU YA TATU · Web viewTAA MIGUUNI MWANGU Sehemu ya tatu- (Hatua ya kwanza) Matayarisho ya Ufalme Matamshi yako ni taa miguu ni mw angu na mwanga wa njia yangu (Zaburi

aliwafanya wao kukubali hilo wakati wao wangelikataa. Alijua jinsi watu Sodoma walikuwa waovu, na kuwalinda wageni wake kutoka kwa maovu. Watu wa Sodoma waliiona hatua yake kama tusi kwao. Wali zurura nje ya nyumba yake, wakidai awapatie wageni wake. Loti alitoka nje, nakufunga mlango nyuma yake. Alijaribu kuzungumza nao, lakini bila mafanikio. Vile walikua na hasira , maisha yake yalitishiwa. Malaika wakamvuta ndani, na kuwafanya washambuliaji wake vipofu na hivyo yeye akaokolewa.

Wakiwa ndani, malaika walimfahamisha kwamba mji utaharibiwa. , lakini kwanza wangeokoa moja mwenye msafi , na yeyote mwingine mwenye angemsikiza wito wake wa kutengana. Loti alikusanya pamoja jamaa zake zote, na aliwasihi usiku mzima waondoke naye, lakini hawakukubali. Kwa ujio wa alfajiri, malaika walimwambia kwamba anapaswa kuondoka na anayetaka kwenda pamoja naye. Wakati alikaa wakamchukua yeye, mke wake na binti zake wawili nje ya mji, wakisema, "kimbilia maiza yenu: msitazame nyuma, wala msisimame katika hilo bonde ; mkimbilie mlimani " (v.17). Loti aliomba apate kupata kimbilio katika Soari badala ya mlima na Mungu akatimiza ombi lake. Mungu akasimamisha hukumu mpaka Loti afike Soari . Wakati Loti alifikia Soari, jua lilikualimechomoza angani. Kuingia kwake kulikuwa ni ishara Mungu aliyoingonjea kabla ya kumwaga hasira yake.

SODOMA KUHARIBIWA (Mwanzo 19:24-30).Ghafla, hukumu ya Mungu yenye kuogofya ilinyesha . Moto na kiberiti akamwaga juu ya nchi na miji. Majivu ya volkeno yalisunguka nchi hiyo , kuiharibu na kuirarua vibaya . Nchi iyo iligeuzwa kuwa jangwa tasa.Kivutio cha Sodoma kilimvutia sana mke wa Loti - hivo alitazama nyuma kwa macho ya hamu na akawa "nguzo ya chumvi". Yesu alionya sisi aliposema, "Kumbuka mke wa Loti" (Lk. 17:32).

Asubuhi na mapema, Ibrahimu akainuka, akasimama mahali ambapo alikuwa amewasihi malaika kwa ajili ya Loti. Akatazama upande wa Sodoma na Gomora na "Hakika; moshi wa nchi alipaa kama moshi wa tanuru " (v.28). Wakati huo hakujua hilo, lakini Mungu alikuwa amejibu maombi yake, kuokoa Loti kwa ajili yake (mstari 29).

ISHARA YA NYAKATI (Luka 17:28-30).Dhambi ya Sodoma inaelezwa na Ezekiel kama "kiburi, na ukamilifu wa mkate, na wingi wa uvivu wala yeye hakutia nguvu mkono wa maskini na mhitaji" (16:48-49). Sambamba na utajiri uliokithiri tungeweza kupata umaskini uliozidi - na kama ilivyo leo, sisi tuko katiku siku za ujio wa pili kwa Bwana . Siku za Loti zilisemwa na Bwana kuwa kama zile za ujio wake wa pili. Basi, "walikula na kunywa, kununua na kuuza, kupanda na kujenga". Hivyo kutekwa na harakati ya vitu, kwamba mawazo yote ya Mungu yalisukumwa kando mpaka uharibifu ukawapata. Ni hivyo leo, kwa ajili ya dunia inawaita wanaume kujiingiza kwa hamu za kimwili bila ya Mungu.Uharibifu wa Sodoma ulifanyika hasa kwa sababu ya kiwango kikubwa cha dhambi zilizofanya Sodoma kupewa jina lake lile linalomaanisha, kulawiti au ushoga.Ni dhahiri kwamba, dhambi hii imeenea sana katika jamii ya kisasa ya Magharibi, na hata kuhalalishwa katika baadhi ya nchi. Mwisho ya kutisha wa Sodoma ulikuwa kama somo ambalo Mungu alitaka wale wanajihusisha na tabia hizo potovu. (Yuda 7) Katika agano la kale na agano jipya dhambi hii ina hukumiwa na Mungu, licha ya jitihada za kanisa kuhalalisha na hata wakuu wao kuwa mashoga. (Law. 18:22, 20:13; Rum 1:27;.. 1 Kor 06:09). Nukuu hizi

-32-

Page 33: UTANGULIZI: SEHEMU YA TATU · Web viewTAA MIGUUNI MWANGU Sehemu ya tatu- (Hatua ya kwanza) Matayarisho ya Ufalme Matamshi yako ni taa miguu ni mw angu na mwanga wa njia yangu (Zaburi

Hutumika kuonyesha jinsi wengi wamepotea kwa umbali kutoka katika mafundisho ya maandiko.

Ukweli kwamba ushoga umeenea na kukubalika na jamii yetu ya kisasa ni ishara kwamba tunaishi katika siku za mwisho. Historia ya ushahidi kwamba dhambi hii inavyozidi kuenea na maadili ya jamii yanazidi kuzama hivyo ndivyo hukumu ya Mungu inafuata kwa haraka.Kumbuka kwamba Yesu alisema "kama ilivyokuwa katika siku za Lutu, walikula na kunywa ... Lakini siku ile Loti alipoondoka Sodoma, kulinyesha moto kutoka mbinguni na kuwaangamiza wote. hivyo, ndivyo itakavyo kua ile siku Mwana wa Mtu atakapofunuliwa. "(Luka 17:28-30).

MASOMO KWETU:• Kama Ibrahimu alivyoitwa kuachana na ushirikina wa Babeli, hivyo nasi tunaitwa.• Loti, mpwa wa Ibrahimu, kwa uaminifu alimfuata Ibrahimu hadi nchi ya ahadi, lakini alikubali vivutio vya Sodoma kumvutia na akaacha maisha ya kumtumikia mungu.• Lutu aliingiliana na maisha ya Sodoma na akapoteza yote, akikimbilia na maisha yake. Yesu alituonya kwamba hatma sawa inawangoja wanadamu "Kumbuka mke wa Loti."

MAKTABA YA KUREJELEA:

“The Ways of Providence" (R. Roberts)—Sura 3

"The Visible Hand of God" (R. Roberts)—Sura 7

"Elpis Israel" (J. Thomas)—Sehemu ya pili, Sura 1 na 2

"Ur of the Chaldees" (Sir. L. Woolley)

"Story of the Bible" (H. P. Mansfield)—Vol.1, Uk. 77-92, 105-110

"Christadelphian Instructor" (R. Roberts)—Namb. 82-89

MASWALI YA AYA:1. Elezea wito wa Mungu kwa Abramu na jinsi yeye alivyojibu.2. Ni nini maana ya neno "Kiebrania"?3. Ni hatua gani zilisababisha uasi wa Loti?4. Kwa nini Loti aliokolewa kutoka katika uharibifu wa Sodoma?5. Yesu alimaanisha nini aliposema, "Kama ilivyokuwa katika siku za Loti ..."?

MASWALI YA INSHA:1. Andika insha fupi juu ya Hija ya Ibrahimu.2. Jinsi gani Loti alihusika na Sodoma? elezea kutoroka kwake. Jinsi gani hali ya Loti inahusiana na hali yetu sisi?3. Masomo gani tunaweza kujifunza kutoka kwa maisha ya Loti?4. Je, Biblia inasema nini kuhusu dhambi ya Sodoma? Jinsi gani hukumu ya Mungu dhidi ya Sodoma ni onyo kwa jamii ya kisasa?

1. Abramu anafika na Loti na familia yake kutoka Harani na kujenga madhabahu (12:6-7).-33-

Page 34: UTANGULIZI: SEHEMU YA TATU · Web viewTAA MIGUUNI MWANGU Sehemu ya tatu- (Hatua ya kwanza) Matayarisho ya Ufalme Matamshi yako ni taa miguu ni mw angu na mwanga wa njia yangu (Zaburi

2. Abramu anaweka hema yake kati ya Betheli na Hai na kisha anajenga madhabahu (12:08).3. Alielekea Misri ili kuepuka njaa na kurudi Betheli / Hai (12:9-10; 13:1-4).4. Baada ya Lutu kwenda mji wa Sodoma, Abramu anaelekea kusini mwa Hebroni na kujenga madhabahu mengine (13:18).5. Ibrahimu anaishi katika Gerari miongoni mwa Wafilisti (20:01).6. Anaelekea Beersheba pale ambapo anaelekea Mlima Moria kutoa Isaka kama sadaka(21:32-33; 22:02).7. Ibrahimu anamzika Sara katika pango ya Makpela karibu na Hebroni na baadaye anazikwa huko yeye mwenyewe (23:19; 25:8-9).

258.IBRAHIMU NA ISAKA: UZAO ALIYOAAHIDIWA "Ibrahimu alishangilia kuona siku yangu"

Ingawa Ismail alizaliwa kabla ya uharibifu wa Sodoma, kuzaliwa kwake kumetumika katika katika somo hili kutoa mwongozo bora wa mawazo. Tutaona jinsi akili ya Ibrahimu ilikuwa inapokea ufunuo wa Mungu , ingawa funuo hizi zilitengana kwa miaka mingi. Kwa juhudi za ufahamu wa akili yake aliweza "kuona" na kutimiza ahadi, kupitia mwanawe Isaka. Hivyo alikua tayari kumtii Mungu hata kufikia hatua ya kumtoa mwanawe kama sadaka. Imani ya Ibrahimu katika jambo hili ni kielelezo kwa waamini wote wa kweli kufuata. Lengo la somo ni kuona jinsi Mungu alipima imani ya Ibrahimu.

Mwanzo 16, 21 na 22

AHADI YA UZAO (Mwanzo 15-17).Imani ya Ibrahimu ilikuzwa kwa kipindi cha miaka mingi, lakini kwa Mungu alimtokea mara kwa mara. Mungu aliahidi kuwa atamfanya "taifa kubwa" (12:03). Wakati wa siku zake za mwanzo katika nchi, ile Abramu alikuwa na wasiwasi jinsi uzao wake utakavyoendelezwa. Kwa sababu alikuwa hana mtoto, hata akafikiria kumteua mrithi wake kwa mmoja wa watoto mtumishi wake Eliezer (15:2-3). Lakini Mungu alizungumza naye na kumwambia kuwa uzao wake utatoka ndani ya mwili wake mwenyewe (mstari 4), na kuwa wengi kama nyota (v.5).Pamoja na kukosa mtoto tangu ndoa, yeye na Sara walikuwa sasa wamepitisha miaka ya kawaida ya kuzaa, Ibrahimu aliamini Mungu kabisa. Ibrahimu aliamini kwa yale yasiowezekana na kwamba yale mwili hakuweza kufanya Mungu peke aliweza kufanya. Hii alionyesha imani yake kubwa katika Mungu bila kuuliza maswali, aliitwa mwenye haki na Mungu (V.6;. Ebr 11:01, 6). Basi Ibrahimu aliamini haki kwa imani, pasipo matendo.

Katika hili Mungu alionyesha jinsi mtu anaweza kuwa na imani katika Mungu pasipo matendo (Rum. 4:1-3 , 13, 16, 18-25 ).Ili kuwahakikishia Abramu kuwa angetimiza ahadi hii, Mungu alifanya agano la sadaka naye ( vv.9 -10). Sadaka hizi ( ndege na wanyama ) zilikuwa mfano wa sadaka ya Kristo kwa njia ya kifo chake. Hii inatufundisha kwamba Yesu Kristo "alithibitisha ahadi walizopewa baba zetu " (Rum. 15:08 ).Mungu alisababisha Abramu kulala usingizi mzito kisha akamwonyesha yatakayo wakumba wazao wake baada ya yeye kufa. Mistari ya 13-16 unabii wa utumwa wakiwa Misri ya wazao wa Abramu. Katika aya ya 17 tunasoma kuhusu" tanuri ya moshi " ikipita kati ya vipande vya sadaka. " tanuru ya moshi " ikiwakilishwa Mungu na kwa kupita kati ya sadaka kugawanywa Mungu jinsi alifanya agano na Abramu

-34-

Page 35: UTANGULIZI: SEHEMU YA TATU · Web viewTAA MIGUUNI MWANGU Sehemu ya tatu- (Hatua ya kwanza) Matayarisho ya Ufalme Matamshi yako ni taa miguu ni mw angu na mwanga wa njia yangu (Zaburi

(Yer. 34:18 ). Mistari ya 18-21 kufafanua mipaka ya nchi ya ahadi.Mwanzo 16 inaelezea kuzaliwa kwa Ishmaeli Hajiri, mjakazi wa Sara . Hii ilikuwa jaribio la Sarah kutarajia ahadi ya uzao (Gal. 3:29). Abramu aliweka moyo wake kwa Ishmaeli kama uzao ya ahadi, lakini alikuwa "mzaliwa wa mwili" ( Gal. 4:29). Uzao wa ahadi utazaliwa kwa uwezo wa Mungu , na ulikuwa uzao , si tu ya Abramu , lakini pia ya Sarah, ambaye wakati huo alikuwa tasa.Miaka kumi na mitatu baadaye ( sura 17) Mungu akamtokea Abramu na kuthibitisha agano la uzao wa Abramu litakuwa kubwa zaidi . Kusisitiza hili, jina la Abramu likageuka kuwa Ibrahimu ( "Baba wa umati mkubwa wa watu "), na kukawa na agano la tohara ambayo ilikuwa ishara ya imani ya Ibrahimu ( Rum. 4:11 ). Tohara yenyewe haikumaanisha chochote. Ilitumiwa na Mungu kuonyesha kwamba Ibrahimu alikuwa mtu ambaye alikuwa ameacha matamanio yake ya asili na kuweka imani yake yote kwa Mungu, hata katika suala la kujifungua (linganisha Phil 03:03 . ). Paulo anasema kwamba mtu anayetii Mungu na sio mapenzi ya mwili " ana tohora ya moyo " (linganisha Warumi 2:28-29 . ).

Somo la uaminifu kwa Mungu na kuasi kwa mwili iliondolewa kwa Ibrahimu, njia iliandaliwa kwa ajili ya kuzaliwa kwa uzao wa ahadi. Mungu alimtambulisha Ibrahimu kwamba Sara atazaa mwana, Isaka (17:15-22). Ibrahimu, licha ya kwamba kila kitu kilikuwa dhidi yake, alifika hatua ya kukubali ahadi ya Mungu. Alituzwa kwa kuzaliwa kwa Isaka (Rum. 4:17-22). Isaka maana yake "furaha" na kama Mwana wa Ahadi, kuzaliwa kwake kulileta furaha kwa wazazi wake (21:06). Waliona ndani yake kutimizwa kwa matumaini yao yote. Kupitia kwake kutakuja: -

Mshindi wa dhambi: aliyeahidiwa katika Edeni ambao atamuumiza kichwa cha nyoka (Mwa 3:15), na"mrithi wa ulimwengu" (Rum. 4:13), ambaye Mungu alisema, "wote Rangi ma ¬ watabarikiwa" (Mwa.12:03).Kwa kuelewa haya Ibrahimu na Sara wakafurahi kwa Isaka (Yohana 8:56). Ndani yakewaliona kwa uhakika ya matumaini yao yote.

UZAO WAKO UTAITaNISHWA NA ISAKA (Mwanzo 21) Ibrahimu na familia ya walikuwa " waridhi wa agano" na wangelifurahi pamoja naye katika kuzaliwa kwa Isaka. Lakini kulikuwa na wawili ambao hawakuwepo - Hajiri na Ishmaeli (mst 9 ).Wakati Sarah alifanya karamu ya kusherehekea kumwachisha ziwa wa Isaka , alikuta Ishmaeli akimdhihaki . Sara akamwambia Ibrahimu kumfukuza Isimaeli kwani Mungu alithibitisha hili kwani," Alisema, " katika Isaka uzao wako utaitwa " ( v.12 ).Katika Gal. 4:24-31 , Paulo anaona tukio hili kama mfano wa jinsi uzao wa kweli ya Ibrahimu , wale watakobatizwa katika Kristo ( 3:29) , watarithi ahadi , wakati uzao wa asili, Israeli, za kimili, zitatupwa nje .

CHANGAMOTO (Mwanzo 22:1-2).Ni lazima ikumbukwe kwamba Isaka alikuwa mpendwa wa Ibrahimu na mrithi wa ahadi. Maisha yake yalikuwa yamefungwa na yale ya mwanawe. Si vigumu, kwa hiyo , kwa kuelewa kwamba mtihani mkubwa ulikuwa juu ya Ibrahimu. baada ya miaka 100 ya Ibrahimu 100 ( 21:05 , 34 ), na Isaka " kijana " ( 22:05 , 12) - " Mungu akamdhibitishia Ibrahimu " ( v.1 RV ). Imani ya Ibrahimu alikuwa bora katika Hija yake . Imani hii sasa ingejaribiwa kwa jaribio kubwa pale Mungu alitaka ushirikiano na Ibrahimu katika utumbee ambao ungetabirikifo na ufufuo wa mwana wake (linganisha 15:06 na Yakobo 2:23).

-35-

Page 36: UTANGULIZI: SEHEMU YA TATU · Web viewTAA MIGUUNI MWANGU Sehemu ya tatu- (Hatua ya kwanza) Matayarisho ya Ufalme Matamshi yako ni taa miguu ni mw angu na mwanga wa njia yangu (Zaburi

Kama Bwana Yesu Kristo (Yoh. 3:16) , Isaka alikuwa "mwana wa ahadi" (Mwanzo 21:12 ; . 11:17-18 Ebr ). Kama Yesu anaelezwa kama " mwana wa ahadi" " mwana mpendwa wa Mungu" (Yn. 1:18; . MT 03:17 ), hivyo ndivyo Isaka alielezwa kama, mwana wa pekee , ambaye ibrahimu alimpenda . " Ibrahimu aliambiwa kumpeleka hadi nchi ya Moria , “ukamtoe sadaka ya kuteketezwa huko juu ya mlima mmojawapo ambayo Mimi nitakuambia” (mstari wa 2). "Nchi ya Moria " ilikuwa muhimu katika historia ya Israeli baadaye kama mahali ambapo Daudi alitoa sadaka yakusitisha pigo ( 2 Sam 24:18-25 .) , Na ambapo Suleimani alipojenga hekalu la Bwana (1 Nya 22:01 ; . 2 Nya 03:01 . ). Yesu alitolewa sadaka katika sehemu iitwayo Golgotha, ( maana yake ' pa Fuvu la kichwa ' MT 27:33 .) Nje ya kuta za Yerusalemu, karibu na tovuti ya Hekalu . Hivyo mahali ambapo Isaka alikuwa atolewa kafara ilikuwa muhimu sana.

SAFARI YA IMANI (Mwanzo 22:3-10).

Mungu hamwambia Ibrahimu kufanya kitu cha ajabuic, lakini alitaka ushirikiano naye katika kuonyesha jinsi ushindi wa dhambi utapatikana katika Mwana wake mpendwa. Ibrahimu aliitwa kufanya lile Mungu mwenyewe angefanya katika siku zijazo katika sadaka ya Mwana wake wa pekee kama dhabihu kwa dhambi za ulimwengu. Kuangalia kwa mtazamo wa Ibrahimu, mtu anaweza kuona maumivu na uchungu mkubwa alokuwa nao kama Baba wakati Mwana wake aliuawa.Matukio ya mistari 2-14 yanaonyesha upendo mkubwa ambao ulikuwepo kati ya Mungu na Mwana wake ambayo uliwezesha sadaka kwa ajili ya dhambi kuwa hiari ya binadamu.Ibrahimu hakuonyesha kusita katika huduma kwa Mungu, lakini "aliondoka mapema" (v.3) na, kuchukua vyote vilivyotakiwa, akafanya safari hadi Mt. Moria. Umbali kidogo kutoka Mlimani, Abrahamu aliwaacha watumishi, na wakiwa na Isaka wakaendelea kwa miguu (v.5). Imani ya Ibrahimu katika ufufuo wa wafu inaonekana wazi katika taarifa yake kwa watumishi wake, "mimi na mwanangu ... tumerudi kwako tena." Ibrahimu alijua kwamba Isaka lazima angeishii na alijua kwamba Mungu angemhifadhi mwanawe katika tukio lolote.Hatua ya kuwekewa kuni juu ya mabega ya Isaka (V.6) ilikuwa sambamba, na jinsi Yesu "alichukua msalaba wake" (Yohana 19:17). Hivyo pia ni kauli ya "wakaenda wote wawili kwa pamoja" (V.6), kwa ajili ya Yesu alifanya kazi kwa amani ya Baba yake kwa ajili ya wakovu wa binadamu(Yohana 12:27-28; Mathayo 26:36-39;. Ebr. 10:5-7).Isaka sasa anaongea. Amegundua kuna upungufu wa kitu muhimu. "Baba yangu ... yuko wapi kondoo?" Ibrahimu anajibu : "Mungu atatupa mwana kondoo" (v.8), hivyo akionyesha mbele kwa Yesu (Yohana 1:29, 36). je Isaka a;likuwa na ufahamu wa maana ya maneno hayo? Je, alitambua kwamba alikuwa awe kondoo? Kama alikuja kutambua hii bado kungekua hakuna kusita - "Basi wakaendelea wote wawili pamoja" (v.8).

Utoaji wa sadaka unaonekana kuwa ulihitajika ushirikiano wa baba na mwana kwa Ibrahimu alikuwa mzee na inaweza kuwa hakua na uwezo wa kulazimisha utii kutoka kwa Isaka, ambaye alikuwa kijana aliyekomaa (mst 9).USHINDI WA IMANI (Mwanzo 22:10-14).

-36-

Page 37: UTANGULIZI: SEHEMU YA TATU · Web viewTAA MIGUUNI MWANGU Sehemu ya tatu- (Hatua ya kwanza) Matayarisho ya Ufalme Matamshi yako ni taa miguu ni mw angu na mwanga wa njia yangu (Zaburi

Wakati Ibrahimu aliinua kisu chake ili amchinje mwanawe, Isaka alikuwa kama mfu (v.10). Katika hatua hii muhimu sauti ya Bwana alikuja wazi kwa Ibrahimu na kumzuia kuuwa Isaka. Isaka iliachiliwa; alikuwa nikama alifufuliwa kutoka kwa wafu (Ebr 11:19 linganisha.).Ibrahimu alionyeshwa kondoo wa kiuume, aliyekua amekwama kwa kichaka. alimtoa yeye kama sadaka ya kuchomwa. Kwamba Ibrahimu alikusudia maana ya matukio ya siku ile na yalilenga mbele kwa Kristo, kutokana na kauli ya Yesu, "Ibrahimu alishangilia aione siku yangu; naye aliiona, akafurahi" (Yohana 8:56) .Ushuhuda wenye maana sana ulitolewa na Yuda katika sura ya 2:22: "Kwani aliona jinsi imani (kulingana na ahadi za Mungu kwa yeye) kazi pamoja na matendo yake (ushirikiano au kuvutiwa naye) na kwa matendo imani alifanywa kamilifu. "Imani ya Ibrahimu ilikuwa si bwete lakini . Matendo aliyoyafanya ilionyesha kwamba imani yake ilikuwa zaidi kuliko taaluma-ndizo zilijalizwa au kukamilisha imani yake.Ibrahimu alihisi huzuni kuwa Mungu mwenyewe angevumilia wakati Mwana wake atawawa. Naye pia angemwona Mwana wake kwa hiari akihisi uchungu kwamba kizazi kingeweza kuzaliwa (Isa. 53:10-12). Ibrahimu alipaita mahali pale "Bwana-yireh", ambayo ina maana ya "Bwana atatoa" (AV kiasi). Neno lile "yireh" hutokea katika mstari wa 8 katika jibu wa Ibrahimu, "Mwanangu, Mungu atajitolea mwana kondoo". Na baada ya muda Mungu alitoa Mwanakondoo - "akamtoa mwanawe wa pekee ..." (Yohana 3:16, Lk 23:33;.. 1 Petro 1:18-20).

UHAKIKA WA KIMUNGU (Mwanzo 22:15-19).Kwa sababu ya utii wake bora na imani, Mungu alimpa Ibrahimu uhakika hata zaidi - Yeye

alithibitisha agano na kiapo, akisema, "Kwa nafsi nimeapa ..." (v.16; Ebr 6:17-18.). Maelezo zaidi ya agano yalionekana . Bwana alisema ingekuwa: -

• bariki Ibrahimu binafsi: "katika baraka, nitakubariki."• mjalie wazao wasiohesabika: "katika kuzidisha, nitauzidisha uzao wako."• anzisha utawala wa dunia kupitia uzao wake, Bwana Yesu Kristo: "uzao wako utamiliki mlango wa adui zake."• panua wokovu na baraka kwa mataifa yote kwa njia ya Kristo "na katika uzao wako mataifa yote ya dunia yatabarikiwa."

MAFUNZO KWETU:• Ibrahimu alisubiri miaka thelathini kabla ya Mungu kumpa Isaka, uzao wa ahadi. Katika njia hii imani yake katika ahadi ya Mungu ya ulijaribiwa.• Kisha Mungu alifunulia Ibrahimu kwamba wazao wake, Kristo, angekufa , na kufufuka tena kabla ya yeye kurithi ardhi milele.• Wakati Mungu alihitaji Ibrahimu kumtoa mwana wake mpendwa, Uzao wa ahadi, yeye alitii. Yeye aliamini kwamba Mungu alikuwa na uwezo wa kumufufua kutoka wafu.• Kwa sababu ya utii wake ahadi lilithibitishwa kwa Abrahamu kwa kiapo.• Tunaweza kuwa na uhakika huo wa sehemu katika Ufalme kama tutafuata mfano wa Ibrahimu mwaminifu. Mtapewa katika ujio wa pili wa Kristo

MAKTABA YA KUREJELEA:

-37-

Page 38: UTANGULIZI: SEHEMU YA TATU · Web viewTAA MIGUUNI MWANGU Sehemu ya tatu- (Hatua ya kwanza) Matayarisho ya Ufalme Matamshi yako ni taa miguu ni mw angu na mwanga wa njia yangu (Zaburi

"Story of the bible" (H. P. Mansfield)-Vol. 1, za 100-144, 111-127"Letter to the Hebrews" (J. Carter) - za 139-146"The way Providence" (R. Roberts)-Sura ya 3"Elphis isreal" (J. Thomas)-Sehemu ya Pili, sura ya 2

MASWALI YA AYA:1. Kwa kifupi jadili taarifa "Abrahamu alimwamini Mungu, ikahesabiwa kwake kuwa haki" (Mwanzo 15:06).2. Ni nini mipaka ya nchi ya ahadi kwa Ibrahimu? Toa fungu kama uthibitisho3. Kwa nini Ishmaeli hakuwa uzao wa ahadi?4. Jinsi gani Ibrahimu alikuwa aliweza mtihani wa sadaka ya Isaka?5. Ni nini ringanisho kati ya sadaka ya Isaka na kafara ya Kristo?6. Jinsi gani tunaweza kuendeleza imani kama Abrahamu?

MASWALI YA INSHA:1. Eleza yaliyosambabisha na yaliyozunguka sadaka ya Isaka.2. Kwa njia gani sadaka ya Isaka inaeleza kafara ya Kristo?

259. AGANO LA MUNGU KWA IBRAHIMU"Kupitia kwako mataifa yote yatabarikiwa"

Ambayo Mungu aliagana na baba wa Israeli, Ibrahimu, Isaka na Yakobo, . Kwanza agano mkubwa lilifanywa katika bustani ya Edeni kufuatia kuingia kwa dhambi ulimwenguni. Mungu kisha aliahidi kwamba kizazi kingezaliwa na mwanamke ambacho kingeweza kuharibu dhambi na kurejesha amani kama wakati ilikuwepo kati yake na Mutu (Mwanzo 3:15). Agano kubwa la tatu lilifanywa na Mfalme Daudi karibu miaka elfu moja baada ya agano lililofanywa na Ibrahimu. Aliambiwa kwamba mmoja ingekuwa atatokea kwa uzao wake ambaye atakuwa Mwana wa Mungu na ambaye atatawala juu ya kiti chake cha enzi milele (2 Sam 7:12-16;. Lk 1:30-33.).

Lengo letu katika somo hili ni kuonyesha jinsi ahadi zilizotolewa kwa Ibrahimu zinajumuisha ujumbe wa injili, na jinsi yanavyotimizwa ndani ya Yesu Christo.

Mwanzo 12:1-3, 7; 13:14-17; 15:12-18; 22:16-18; Gal. 3

UMUHIMU WA AHADI YA ABRAHAM.Umuhimu wa kimsingi wa agano ambao Mungu alifanya na Ibrahimu unaweza kuonekana kutokana na ukweli kwamba Paulo aliuita ujumbe wake "injili": "Na andiko, kwa vile ailivyoona tangu zamani kwamba Mungu atawapa haki Mataifa kwa imani, kabla ya kuhubiri INJILI Ibrahimu, alisema , 'Kapitia kwako wewe mataifa yote yatabarikiwa. "Hili ikiwa hivyo, sisi tunatarajia kupata ushahidi zaidi kutokana na maandishi ya mitume kwamba matumaini yao kwa wale wanaozingatia utimilifu wake. Kuna mengi ya ushahidi kuonyesha kwamba hii ilikuwa hivyo: Paulo alitazamia sisis, kama "uzao wa Ibrahimu", atarithi nchi ya Caanan milele (Matendo 26:6-8). Hakuamini kwamba angeweza kwenda mbinguni wakati wa kufa. Alifundisha kwamba tumaini ya injili ilikuwa ya "maagano ya ahadi" na nje ya hapo hakuna

-38-

Page 39: UTANGULIZI: SEHEMU YA TATU · Web viewTAA MIGUUNI MWANGU Sehemu ya tatu- (Hatua ya kwanza) Matayarisho ya Ufalme Matamshi yako ni taa miguu ni mw angu na mwanga wa njia yangu (Zaburi

tumaini" (Efe. 2:12).Kama vile sisi tunatarajia, maagano kuhusiana na Yesu Kristo. Maneno ya kwanza ya Agano Jipya yanatujulisha kwamba Yesu Kristo alikuwa mzao wa Ibrahimu na Daudi: yeye ni mmoja ambaye kwa njia yake ahadi zilifanywa kwao itakawa thibitisho (Mathayo 1:01, Warumi 15:08.).

MAELEZO YA AHADI..Matumaini ya Ibrahimu ilikuwa akitizamia siku zijazo. Alikuwa akiutazamia ufalme ujao ambao utakuwa unasimamiwa na uzao wake, na ingawa yeye alikuwa na bidhaa na kondoo na ng'ombe, yeye kamwe hakuruhusu hii kumtoa kwa matumaini yake ya milele. Yeye alivutiwa na ahadi, alikuwa hakika, na kukiri wazi kwamba alikuwa mgeni na hija katika dunia (Ebr. 11:13).Maelezo ya ahadi yanafunuliwa hatua kwa hatua katika maisha ya Ibrahimu. Inavutia kutambua kwamba utii na uaminifu wa Ibrahimu ulikuwa zawadi na ahadi yenye uhakika zaidi. Mungu alimpa Ibrahimu maelezo haya na kutambua asili ya maendeleo

Mwanzo 12:2-3: Katika UR na Harani ahadi ya awali ilifanywa1. Abrahamu aliahidiwa kwamba angeweza kuwa na taifa kubwa na kwamba jina lake lingekuwa kubwa.2. Mungu awabariki wale watampa heri Abramu, na kulaani wale watamlaani.3. Mungu aliahidi kwamba Abramu na familia yake itabarikiwa.

Mwanzo 12:7: Katika Shekemu au Shekemu, baada ya Abramu kuondoka Harani na kuvuka mto Frati na kuingia nchi ya Kanaani. Katika maandishi kuna kutajwa kwa mara ya kwanza juu ya "uzao wake" na "nchi ya ahadi". Abramu alikuwa ameahidiwa kwamba:

4. Atakuwa na watoto ambao watarithi Kanaani: " nitawapa uzao wako nchi hii."

Mwanzo 13:14-17: Haya maelezo waliopewa BETHEL, kufuatia tabia ya ubinafsi ya Lutu.

5. Abram na Uzao wake wataridhi nchi milele.6. Yeye aliiambiwa kwa mara ya kwanza kwamba uzao wake utakuwa mkuu.

Mwanzo 15: Kufuatia imani yake thabiti katika ahadi ya Mungu ya uzao mkubwa, ingawa wakati huu hakuwa na mtoto, Abramu alizawadiwa pale HEBRON:

7. MUNGU alitengeneza agano na sadaka pamoja na Ibrahimu.8. Mungu ilielezea mipaka ya nchi ya ahadi (vv.18-21).

Kumbuka kwamba Mwanzo 15:13-16 inahusiana na wazao wa Abramu haraka, mateso yao, katika nchi ya Kanaani, na Misri, na pia kwa ukombozi wao chini ya Musa katika kizazi cha nne.

wanzo 22:16-18: Katika nchi ya Moria (v.2), baada ya Ibrahimu kuonyesha jinsi imani yake ilivyo kubwa kwa Mungu alipewa wito wa kumtoa mwana wake mpendwa Isaka, Mungu alimzawadi kwa njia ifuatao: -

-39-

Page 40: UTANGULIZI: SEHEMU YA TATU · Web viewTAA MIGUUNI MWANGU Sehemu ya tatu- (Hatua ya kwanza) Matayarisho ya Ufalme Matamshi yako ni taa miguu ni mw angu na mwanga wa njia yangu (Zaburi

9. Uzao wake ungemiliki milango ya maadui wake, yaani kuwa na ushindi juu ya maadui wake (Zaburi 110:1; Isa 60:12;. Mwanzo 3:15).10. katika uzao wake mataifa yote yatabarikiwa.11. Ahadi ilithibitishwa kwa kiapo, "Kwa nafsi yangu nimeapa ..." (Ebr. 6:13-18).

1. MAELEZO YA AHADI

Uzao wa kweli wa Ibrahimu.Yesu Kristo ndiye uzao wa Ibrahimu ambaye kwa njia yake baraka itatimizwa. Kumbuka kwamba nukuu zifuatazo zinathibitisha hili - Mt. 1:01; Gal. 3:16.Nchi ilikuwa imeahidiwa watu wawili, Abramu na uzao wake (Mwanzo 13:15),na yesu kama mmilki wa milele. Walipewa hati miliki". Swali ni jinsi gani wengine watashiriki ahadi?Kwa kubatizwa katika Kristo tunaweza kuwa sehemu na "mwili wa Kristo". Hivyo, kuona Kristo ni wazawa wa Abrahamu, sisi pia tunaweza kuwa uzao wake na "warithi sawasawa na ahadi" (Gal. 3:26-29). Ubatizo hufanya mmoja "KATIKA KRISTO", ambaye ni kwa upande uzao wa Ibrahimu, na masharti ya mise pro ¬ ni, "katika uzao wako mataifa yote watabarikiwa." Ubatizo, basi, ni lango kujiunga na tumaini la ahadi zilizofanywa kwa baba.uzao wa Ibrahimu una kipengele kimoja, akimaanisha Kristo, na pia nyanja tofauti za wale waliobatizwa katika Kristo.

2. Uzao Asili Ya Ibrahimu.

Asili ya kimwili kutoka kwa Ibrahimu haimpi mtu haki ya kurithi ardhi. Imani ilikuwa ubora mkubwa wa maisha ya Ibrahimu ambayo ilimkumbalisha kwa Mungu. Imani na utii basi ni "sifa za familia" ambayo inahusisha Ibrahimu na watoto wake (Gal. 3:7-9). Watoto hawa wanapatikana katika "mataifa yote" (linganisha Mdo 15:14).

Angalia jinsi Yohana Mbatizaji (Mat. 3:09), Bwana Yesu (Yohana 8:33-40), na Paulo (Warumi 9:6-13), wote wana asili ya kimwili kutoka kwa Ibrahimu inawafanya wao kurithi ahadi.

3. Nini baraka ya agano la Ibrahimu?

1. Kwanza "baraka" inahusiana na haki au kusamehea dhambi kwa wale wote wamebatizwa katika uzao wa Ibrahimu, na ndani ya Bwana Yesu Kristo (Gal. 3:08, Matendo 3:25-26) .

2. Pili, wale ambao ni wenye haki watairithi "tumaini la agano," ambayo inahusu maisha ya milele katika Ufalme wa Mungu (Mwanzo 13:14-17; Gal 3:29;. MT 5:05;. Rev . 5:9-10; Rum 4:13-14)..

4. Mafundisho ya Msingi ya Agano la ufufuo.

Ufufuo wa uzima kutoka kifo ni mafundisho ya msingi, ambayo bila kutimiza ahadi haitapatikana. Ufufuo una fundishwa na kutuahidi kitu kisicho cha kulazimisha ; jinsi gani mwanadamu ambaye hufa kuahidiwa urithi wa kuishi milele bila ya kufufuliwa kutoka kaburini na kupewa uzima wa milele? Rejea nukuu zifuatazo kuhusu kutimiza agano la Ibrahimu, ambazo zinaashiria urithi ni kwa njia ya ufufuo (Ebr. 11:12-16, 35, 39-40, Matendo 26:2-9, Lk 20:36. -38; Rum 4:13)..

-40-

Page 41: UTANGULIZI: SEHEMU YA TATU · Web viewTAA MIGUUNI MWANGU Sehemu ya tatu- (Hatua ya kwanza) Matayarisho ya Ufalme Matamshi yako ni taa miguu ni mw angu na mwanga wa njia yangu (Zaburi

5. Roho ya Ahadi.

Agano lilikuwa zawadi ya hiari kutoka kwa Mungu. Na hatukupewa kwa mapendeleo wala malipo , Ni nini mtu anaweza kufanya ili astahili milki ya milele ya nchi? Mungu alisema, "Nami nitawapatia ardhi milele." Ahadi ilitolewa kwa kwa Ibrahimu juu ya msingi wa imani yake na utii wake. Haikupatikana kwa "matendo ya sheria" lakini kwa "neema", hivyo kwamba "hakuna binadamu ana uwezo juu ya utukufu" mbele za Mungu (Efe. 2:6-8).

6. Ahadi ilithibitishwa kwa Agano na Kiapo.

Katika nyakati za kale agano iliadhimishwa kati ya pande mbili kwa kupitisha kati yao vipande ya sadaka na kisha kula pamoja. Maagano yalikuwa masuala ya maana sana, kwani hayakubadilika. Kama agano lingevunjwa upande wenye makosa ungefanywa sadaka na "kukatwa vipande viwili". Kumhakikishia Ibrahimu ahadi, Mungu alifanya agano naye (Mwanzo 15:9-18; 50:5-8 Zaburi;. Yer 34:8, 18;. Isa 42:6;. MT 26:28.; 24:51 "Agano" = agano)

Juu ya ahadi zake Mungu aliongeza kiapo, ambacho ni ushirikisha, uwepo wake, ili kuonyesha Ibrahimu faradhi isiobadilika ya ushauri wake." Hivyo ahadi zilithibitishwa kwa njia ya makini na ya kuunganisha zaidi (Ebr. 6:13-18; Mwa 22:16; Mic 7:20;.. 105:8-9 Zaburi). Ilikuwa pale tu Bwana Yesu alikuja ndipo ahadi ilithibitishwa, Kwani ni kwa njia ya mauti ahadi yake ingeweza kukamilika (Rum. 15:08).

7. Agano bado halijatimizwa.

Wale wanaosema kwamba wakati Israeli walirithi nchi ya Kanaani chini ya Yoshua agano lilititimishzwa. Hiyo hii siyo kweli na tunaona kwa yafuatayo:

1. Masharti yake bado hayajatimizwa (Ebr. 11:13, 39; Matendo 7:05).

2. Manabii wa Mungu wanatangaza kwamba hitimisho litakuwa Kristo akirudi (Mdo. 3:20-21, 24-26)

Kutakuwa hakuna kutajwa kwa kutimizwa siku za baadaye baada ya Yoshua kufanya wana wa israeli kurithi ardhi, kama alikuwa kweli kutimizwa kwa masharti ya agano. Linganisha Mika 7:20imeandikwa miaka 1300 baada ya kupewa; Luka 1:72-73 imeandikwa miaka 2000 baada ya kupewa, Warumi 15:08, imeandikwa miaka 2050 baada ya kupewa.

8. Israeli: Urithi Chini ya Yoshua.

Kutoka namba 7 ni wazi kwamba ahadi haikutimishwa na Yoshua. Hata hivyo, kulikuwa na ishara ya timizo (linganisha Kum 09:05;. 10:22; Yoshua 21:43-44). Hasa masuala ya Mwanzo 15:13-16 yalitimizwa.

Pia chini ya sheria ya Musa ardhi alibakia ya Mungu, na Waisraeli walikuwa wageni na wakimbizi tu, hawakuwa na haki ya kuuza ardhi. Hawakuwa na hati miliki (sher 25:23;. Rum 4:13), ambazo walikuwa wamealiahidiwa.

9. Isaka na Yakobo walipewa ahadi pia.

Isaka na Yakobo walipewa ahadi ile kama wazao wa Ibrahimu (Mwanzo 26:3-4; 28:3, 13-14;. 11:09 Ebr).

-41-

Page 42: UTANGULIZI: SEHEMU YA TATU · Web viewTAA MIGUUNI MWANGU Sehemu ya tatu- (Hatua ya kwanza) Matayarisho ya Ufalme Matamshi yako ni taa miguu ni mw angu na mwanga wa njia yangu (Zaburi

MAFUNZO KWETU:

• Ibrahimu, kwa kumwamini Mungu, aliangalia urithi katika nchi ya Kanaani.

• Tunaweza kuwa uzao wa Ibrahimu kwa imani katika Kristo.

• Ubatizo katika Kristo umetuwezesha kuwa waadilifu kutokana na dhambi na kuwa warithi wa ahadi ya Ibrahimu.

• Hatuwezi kupata zawadi ya Mungu ya wokovu. Mungu alimpa Ibrahimu ahadi na imani. Neema inaweza kufanya kazi kwetu wakati sisi tutamsongelea Mungu katika unyenyekevu na kumtegemea Yeye.

• Mungu ametupa dhibito kamili kwamba atatimiza neno lake Kwa Abrahamu - Agano na kiapo. Historia ya dunia inaongozwa katika mwelekeo huu kama inavyoonekana kutoka marejesho ya Wayahudi kwa Wapalestina.

MAKTABA YA KUREJELEA:

"Elphis Isreal" (J. Thomas)-Sehemu ya Pili, sura ya 2

"Christendom Astray" (R. Roberts)-Mhadhara 9

“First Principles Bible Marking Course” (C.S.S.S)—Kurasa 57-62

MASWALI YA AYA:

1. Ni baraka gani iliyotajwa katika maneno: "Katika wewe mataifa yote yatabarikiwa"kwenye agano la Ibrahimu?

2. Ni jinsi gani Mungu alimpa Ibrahimu hakikisho kwamba ahadi zake kwake zitafanyika?

3. Orodhesha pointi kuu za ahadi ya Ibrahimu.

MASWALI INSHA:

1. Orodhesha maelezo ya ahadi kwa Ibrahimu. Jinsi gani yanahusiana na Kristo, na jinsi gani tunaweza kuhusika nayo.

2. Onyesha jinsi ahadi kwa Ibrahimu zinahusiana na Kristo, na mataifa yote.

3. Paulo anasema kwamba injili ilihubiriwa mbele ya Ibrahimu kwa maneno: "Kapitia kwako mataifa yote yatabarikiwa" (Gal. 3:08). Eleza.

260. MKE WA ISAKA

"Mke mwenye busara hutoka kwa Bwana"

-42-

Page 43: UTANGULIZI: SEHEMU YA TATU · Web viewTAA MIGUUNI MWANGU Sehemu ya tatu- (Hatua ya kwanza) Matayarisho ya Ufalme Matamshi yako ni taa miguu ni mw angu na mwanga wa njia yangu (Zaburi

Ibrahimu alikuwa na wasiwasi juu Isaka kupata mke mzuri. Kwa maoni ya utambulisho wa Mungu wa katika Mwanzo 18:19, hii ilikuwa inatarajiwa . Lakini Ibrahimu alizidi kuzeeka na alidhani kwamba alikuwa karibu kufa. Tangu ahadi ilizofanywa ilitegemea kuzaana na kuongezeka kwa uzao wake, ilikuwa ni muhimu kuwa Isaka anapaswa kuoa na kuzaa watoto.

Miaka arobaini ilikuwa imepita tangu kuzaliwa kwa Isaka (Mwanzo 25:20), lakini alikuwa hajaoa, na hajapata mke mzuri Kanaani . Alihitaji mke ambaye atakubali mambo ya Mungu, awe msaada kwake katika ukuaji wake wa kiroho, na kuwalea watoto wake katika njia ya kuogopa Bwana."

Lengo letu katika somo hili ni kuona: - (i) umuhimu wa ndoa yenye hekima; (ii) ukweli kwamba "mke mwenye busara hutoka kwa Bwana" (Mithali 19:14).

Mwanzo 24 : MJUMBE (Mwanzo 24:1-9).

Ibrahimu aliamuru Eliezeri, mtumishi wake mkubwa (15:02), kurudi katika nchi yake , akamtafutie Isaka mke. Alifanya Eliezeri kuapa kwamba hatachagua mke wa Isaka kutoka "binti za Wakanaani" (v.3). _ Ibrahimu alijua jinsi ndoa ya kigeni ilisababisha uharibifu wa wana wa Mungu katika siku za nyuma (6:1-3). na katika historia ya baadaye ya Israeli hatua kama hiyo ilishuhudiwa.

Kwa ukali alimkataza Eliezeri kumtoa Isaka kutoka nchi ya ahadi (vv. 7, 8), kwa ajili Mungu alimwambia akae humo kama mgeni na Hija. Alimwambia Eliezeri kwamba safari yake itabarikiwa na Mwenyezi Mungu, ambaye atatuma malaika mbele yake.

UMUHIMU WA NDOA YENYE BUSARA .

Mkataba wa ndoa ni kuunganisha, na umakini mkubwa unapaswa kutekelezwa kuanzia siku za mwanzo ili kuhakikisha kwamba maamuzi ya busara yanafanywa. Ni muhimu kwamba mtu na mke wake kuwa na nia moja, au nyumba yao itavunjika na ibada ya Mungu itapuuzwa. Mabishano kisha yatageuza nyumbani kua mahali pa ugomvi na hata chuki. Hivyo umuhimu wa maneno ya Paulo katika 2 Kor. 06:14, na mafundisho katika vifungu kama vile Kumb. 7:3-4; Kut. 34:16 na Josh. 23:11-13. Mafundisho haya yanaonyesha kwamba "mchanganyiko" wa ndoa sio vyema, bali pia ni uvunjaji sheria ya Mungu.

Vijana wanahitaji kukumbuka kwamba uzuri wa kweli una maana zaidi sana kuliko uso mzuri na utajiri na haupimwa kwa mizani ya benki. Uzuri wa kweli mara nyingi huwa umejificha katika moyo, na unaonyeshwa kwa kumtii Mungu, na katika upendo, vitendo vyema kwa wengine. Uso mzuri unaweza kuficha tabia mbaya na hasira ambazo zinaweza kufanya maisha kuwa mabaya na magumu; mali nyingi kwa benki inaweza kuwa ushahidi wa ubinafsi na kupuuza watu wengine. Miaka huenda na, nzuri huisha, na mali ya benki pia huisha, lakini ongezeko la uzuri wa kiroho hupelekana na kupita kwa muda, na utajiri katika mambo ya Mungu haiwezi kuibiwa au kupotea.

Upendo wa kweli kati ya mume na mke hukua na kupita kwa miaka wakisaidiana kuelekea Ufalme wa Mungu. Ndoa ililetwa na Mungu ili kwamba kila upande usaidie mwengine (Mwa 2:20), lakini ubinafsi unaweza kuharibu hilo. Ni bora kusitisha urafiki na mtu ambaye hana nia nzuri kwenye neno la Mungu . Ikiwa mshikamano huo hatimaye utasababisha ndoa, mwisho itakuwa yenye huzuni na inaweza pia

-43-

Page 44: UTANGULIZI: SEHEMU YA TATU · Web viewTAA MIGUUNI MWANGU Sehemu ya tatu- (Hatua ya kwanza) Matayarisho ya Ufalme Matamshi yako ni taa miguu ni mw angu na mwanga wa njia yangu (Zaburi

kukugharamu mahali katika Ufalme. Upendo kwa msingi wa Ukweli ni kitu cha ajabu sana, na kuhusu hii, mtu mwenye hekima aliandika katika Met. 18:22, "Apataye mke hupata kitu kizuri, na hujipatia neema yaBwana."

Kumbuka maneno ya Paulo katika Efe. 5:22-33. Wake wanapasawa kuwa msaada na upendo kwa waume wao, kama vile Ekklesia ni kwa Kristo (v.22); waume wanapaswa kuwapenda wake zao vyenye "Kristo alimpenda Ecclesia" (v.25) - hii ilikuwa dhabibu ya binafsi ya upendo, ndio uliomfanya kutoa uhai wake kwa faida ya bibi yake. Upendo huu wa kujidhabihu unapaswa kuonyeshwa kwa mabibi na mabwana zao.

Lengo la Eliezeri (Mwanzo 24:10-67).

Eliezeri alikuwa mtu wa imani, elielimishwa na Ibrahimu katika "njia ya Bwana, kufanya uadilifu na hukumu" (18:19). Alifanya lengo lake kua maombi, kuomba ishara ya Mungu ambayo ilipewa kwa njia ya ajabu wakati Rebeka alipokuja kwa kisima kuteka maji.

Eliezeri alijua jina la msichana yule ni Rebeka, mpwa wa Ibrahimu Ishara ilikuwa imekamilika. Ali ongozwa mpaka nyumbani kwa Bethueli baba ya Rebeka, ambapo alimwambia Labani, ndugu yake mzee, kuhusu kusudi lake.

Inaonekana kwamba Nahori, ndugu wa Ibrahimu na babu ya Rebeka, alikufa na kwamba Bethueli baba yake, mzee, Labani anachukua sehemu muhimu katika sura hii, (ingawa Bethueli anaungana na Labani katika kukabiliana na suala hili - vv.50-51).

Eliezeri akamwambia Labani ujumbe wake na akaweza kuona kwamba Mungu alikuwa ameelekeza hatua zake. Eliezeri aliipa ile familia zawadi kutoka kwa Ibrahimu na akapewa ruhusa ya Rebeka kurudi pamoja naye.

Rebeka hivyo akaenda katika Nchi ya Ahadi kama mke wa Isaka, kusafiri kwenda nchi ya kusini ambapo Isaka alikuwa akiishi wakati huo. Wakati Rebeka alipomwona Isaka alichukua pazia na kufunika uso wake. Hii ilikuwa ni desturi ya nyakati na ilionyesha unyenyekevu. Rebeka hivyo ilionyesha Isaka kwamba angeweza kuwa mke mwema kwake, kulingana na mfano ambao umepongezwa katika 1 Petro 3:06.

KIELELEZO CHA NDOA YA KIROHO.

Kuna baadhi ya masomo ajabu katika hadithi hii nzuri ambayo yanaongelelea muungano wa Kristo na bibi yake. Hadithi hii ni kama mfano ikizungumzia wakati wa Yesu Kristo (ambaye walifanana na Isaka) itakuwa imeungana na wale ambao watakuwa wakiishi kwa amri za Mungu. Wao wana linganishwa na "bikira safi" karibu kuolewa (2 Kor 11:2.). Wakati Bwana Yesu atakapoarudi duniani, watu hao waaminifu watafufuliwa kutoka kwa wafu, wapewe uzima wa milele na kuungana pamoja naye. Kuungana huku kunafananishwa na ndoa ya ajabu (Ufu. 19:07, 9).

Kama Rebeka alivyokuwa mzuri (Mwanzo 24:16), hivyo pia atakuwa bibi Kristo, Ekklesia (Efe. 5:25-31). Kama vile Rebeka alijitenga mwenyewe kutoka kwa watu wake ili kuoa Isaka, hivyo waaminifu watakuja kutoka kote duanini na kuoa Kristo (2 Kor 6:17.). Kama Labani na Milka walijaribu kuchelewesha Rebeka na yeye alikataa kucheleweshwa, akisema yeye ameamua kwenda na mjumbe kutoka kwa Ibrahimu,

-44-

Page 45: UTANGULIZI: SEHEMU YA TATU · Web viewTAA MIGUUNI MWANGU Sehemu ya tatu- (Hatua ya kwanza) Matayarisho ya Ufalme Matamshi yako ni taa miguu ni mw angu na mwanga wa njia yangu (Zaburi

hivyo waaminifu pia wanapaswa kakataa shauri ya wale ambao wanawakataza kuanza safari ambayo itawapeleka kwa Kristo (1 Pet 1:13;. 2 Pet 3:12.). Kama Rebeka "alivyovuka mto" na hivyo akawa Myahudi, hivyo waamini huwa "Waisraeli kweli kweli" wakati "wanavuka" kutoka dunia kwenda kwa Kristo. Kama vile Rebeka ilificha uso wake, kuonyesha kuwa chini ya mamlaka ya Isaka, hivyo waamini wamejificha (yaani kufunikwa, au kuzamishwa) katika ubatizo, hii ni ishara ya heshima yao na kwa mkuu wao na Bwana. Hatimaye katika " wakati wa jioni" Rebeka alimwona Isaka kwa mara ya kwanza, na, kumwoa, iliwekwa chini ya nyumba ya Ibrahimu (Mwanzo 24:67), hivyo katika "siku za mwisho" watu wa mataifa mengine waaminifu wataona Yesu Kristo, na kama uzao wa Ibrahimu, wata "rithi ahadi" (Gal. 3:29).

MKE MWENYE BUSARA HUTOKA KWA BWANA.

Jambo la pekee kuhusu jitihada za Ibrahimu kwa ajili ya mke wa Isaka ni utegemezi wake juu ya mwongozo wake Mungu. Ibrahimu alijua kwamba mke mwenye busara hutoka kwa Bwana (Mithali 19:14), na alikuwa tayari kusubiri hata kama safari hii ya Eliezeri ilionekana kutozaa matunda. Yeye hakuwa tayari kunugunika katika jambo hili muhimu (Mwanzo 24:7-8).

Katika kutafuta mshirika katika maisha haya ni muhimu kwamba sisi tufanye sehemu yetu wenyewe, lakini daima kwa mujibu wa amri ya Mungu. Tunatakiwa kuangalia sifa za kiroho katika mpenzi kwa ajili ya maisha ya baadaye, kama vile uaminifu, hekima, upendo wa njia za Mungu na neno lake, upole, wema na uadilifu. Kama tunatamani sifa hizi kwa wengine basi ni lazima tupalilie kwetu pia kwa makini (linganisha Daudi na Abigaili, 1 Sam 25:23-35., 39-42).

MAFUNZO KWETU:

• Kama uzao wa Ibrahimu ungeshikiri ukweli, ilikuwa muhimu kwamba wanapaswa kufanya ndoa lenye busara.

• Ibrahimu aliagiza Eliezeri kutafuta mke kwa Isaka kutoka kati ya watu wake mwenyewe na si kati ya Wakanaani.

• Ujume huu ulifanyika kwa njia ya hekima na maombi, na matokeo yake, Mungu alimtukunu katika upatikanaji wa Rebeka. Yeye alikubatia Ukweli na akaolewa na "mwana wa ahadi".

• Ndoa ya Isaka na Rebeka ni mfano wa umoja wa Iklezia na Kristo, Bwana Arusi wa kweli.

MAKTABA YA KUREJELEA

" The Ways of Providence " (R. Roberts)-Sura ya 3

" Story of the Bible " (H. P. Mansfield)-Vol. 1, 130-137 za

MASWALI YA AYA:

1. Kwa nini ni muhimu katika kuchagua mshirika katika maisha yetu?

2. Eleza kwa ufupi nini unajua kuhusu maelekezo ya Paulo kwa waume na wake katika Waefeso 5.

-45-

Page 46: UTANGULIZI: SEHEMU YA TATU · Web viewTAA MIGUUNI MWANGU Sehemu ya tatu- (Hatua ya kwanza) Matayarisho ya Ufalme Matamshi yako ni taa miguu ni mw angu na mwanga wa njia yangu (Zaburi

(a) Jinsi gani Eliezeri alimpata Rebeka?

(b) Jinsi gani mfano wake unatupatia mwongozo wakati wa kuchagua mpenzi kwa ajili ya maisha?

MASWALI YA INSHA:

1. Toa mfano unaoonyesha jinsi uaminifu wa Ibrahimu na Eliezeri alionyeshwa wakati wao walimtafuta mke wa Isaka .

2. Jinsi gani ndoa Isaka na Rebeka ili tabiri ndoa ya Kristo na bibi yake?

261. YAKOBO: BARAKA NA HAKI YA KUZALIWA

"Aina mbili za watu watatengana katika tumbo lako"

Ibrahimu aliendelea kuishi miaka mingi baada ya ndoa ya Isaka na Rebeka, na hakufa mpaka Yakobo, mwana wa Isaka, ilifikisha umri wa miaka 14 . Isaka kamwe hakutoka Ardhi ya Ahadi; hata katika nyakati za ukame na njaa yeye alikaa huko (Mwanzo 26:1-2). Mungu alifanya ahadi za ajabu kwake kama alivyofanya kwa Ibrahimu (Mwanzo 26:3-5). Ingawa alikuwa alisubuana na watu wa nchi (kama ilivyotabiriwa katika Mwanzo 15:13), na alikuwa wakati mwingine analazimishwa kubishana nao, aliendelea kumwabudu Mungu kwa uaminifu, daima kuangalia mbele akijua wakati wote uchungu utakoma, na nyakati za utukufu wa Mungu aliohidi kuonyesha katika dunia (Neh. 11:09, 13).

Lengo la somo hili ni kuonyesha kwa nini Mungu alichagua Yakobo na Esau, na jinsi Mungu aliendeleza riziki umbo la maisha ya wote wanaohusika katika kutekeleza kusudi lake.

Mwanzo 25 na 27: Esau na Yakobo (Mwanzo 25:19-28).

Esau na Yakobo walikuwa Mapacha wa Isaka na Rebeka. Esau alikuwa mwindaji, mtu wa shamba. Alikuwa mkereketwa, hakuwa na msukumo wa masuala ya kiroho. Isaka alimpenda Esau, hasa kwa ajili ya mawindo aliyoyapata na kutayarishwa kwa ajili yake.

Yakobo mdogo, alikuwa mwenye haki, mkweli , akiishi katika hema. Yeye alikuwa na hisia na mambo ya Mungu. Kumbuka kuwa katika Mwanzo 25:27, neno la Kiyahudi "uwanda" ni neno sawa inavyosema "kamili" katika Ayubu 01:01. Maana yake ni (i) kamili, (ii) mcha mungu au mnyofu (iii) hasa mpole (mwenye nguvu). Alikuwa mwenye busara, amani, alipendwa sana na mama yake. Kabla ya kuzaliwa kwao, Mungu alimwambia kuwa "mkumbwa angemtumikia mdogo."

Paulo katika Warumi 9:10-13 inatoa tahadhari kwa ukweli kwamba Yakobo alikuwa chaguo la Mungu. Mungu katika huruma yake alichagua Yakobo na Yakobo hatimaye alijibu upendo wake na alitumikia Mungu kwa uaminifu. Esau hakufanya hivo, ingawa alikuwa na hio fursa.

-46-

Page 47: UTANGULIZI: SEHEMU YA TATU · Web viewTAA MIGUUNI MWANGU Sehemu ya tatu- (Hatua ya kwanza) Matayarisho ya Ufalme Matamshi yako ni taa miguu ni mw angu na mwanga wa njia yangu (Zaburi

Katika historia ifuatayo kuhusu ni ya vizazi hivi viwili, Mungu anaonekana kuwa na haki (linganisha Mal 1:2-3.). vivyo hivyo, "Mungu anachukua watu kutoka Mataifa kwa ajili ya Jina lake" (Matendo 15:14). Sisi tumejumuishwa katika wito huu, lakini ni lazima tujibu katika huduma ya upendo na utii. Kama tutafanya vile, Mungu " atafanya utajiri wa utukufu wake na huruma , ambayo alikuwa ametayarisha kwa utukufu, hata sisi, ambao ametoa ... (kati) ya watu wa Mataifa" (Warumi 9:23-24.).

MAISHA YA YAKUBU NI MFANO WA HISTORIA YA ISRAELI.

Mihtasari ifuatayo ya maisha ya Yakobo na uzoefu wa taifa la Israeli inaonyesha jinsi maisha yake ilikuwa mfano wa taifa kwamba liliitwa na jina lake Ki Mungu lililobadilishwa (Israeli).

Jacob -

• Alipata haki ya kuzaliwa na baraka;

• Alitolewa nyumbani kwake na uadui wa ndugu yake;

• Aliteseka uhamishoni akifanya kazi kwa mjomba wake, Labani;

• Alirudi nyumbani lakini bado alikuwa na hofu ya Esau, ndugu yake;

• Jina lake lilibadilishwa kuwa Israeli (Mwana wa Mungu);

• Alikuwa apatane na ndugu zake;

• Aliishi kwa amani katika Nchi ya Ahadi.

Israeli -

• Ni mataifa ya kwanza ya Mungu;

• Wao walifukuzwa kutoka nchi yao kwa upumbavu wao wenyewe na kwa uadui wa watu wa mataifa;

• Watumwa waliteseka uhamishoni;

• siku za mwisho walirudi katika nchi yao ni alama na wakati wa hofu (Yer. 30:4-9);

• Watabadilishwa moyo Kristo akirudi (Eze. 36:25-27);

• Wao watapatanishwa na mataifa mengine katika ufalme Kristo atakaonzisha (Isaya 19:24-25);

• Wao wataishi kwa amani katika Nchi ya Ahadi (Isa 60:18, nk).

Jina Yakobo ina maana ya mwepesi na rekodi ya maisha yake inaonyesha jinsi wepesi wake katika tukio la kwanza kupitia kuchochewa yeye pamoja na mama yake, lakini baadaye kupitia mwinuko wa Mungu.

ESAU-MTU WA KIMWILI.

-47-

Page 48: UTANGULIZI: SEHEMU YA TATU · Web viewTAA MIGUUNI MWANGU Sehemu ya tatu- (Hatua ya kwanza) Matayarisho ya Ufalme Matamshi yako ni taa miguu ni mw angu na mwanga wa njia yangu (Zaburi

Rebeka aliambiwa kwamba wanawe wawili, Esau na Yakobo, wanawakilishwa "mataifa mbili na watu wawili tofauti ", yaani, watu wawili wa misingi mitazamo tofauti. Esau -

• Alipendelea mambo ya mwili kupita mambo ya Mungu (Mwa. 25:30;. 12:16-17 Ebr);

• Alishindwa kupokea baraka akiba kwa ajili ya mzaliwa wa kwanza;

• alimtesa ndugu yake;

• aliondolewa kutoka nchi ya Ahadi ili kutayarisha nafasi ya Yakobo.

Kama Yakobo aliwakilishwa Israeli, basi Esau aliwakilisha watu wa mataifa mengine ambao bado wahajatafuta taifa la Israeli katika miaka ijao (Zek. 08:23).

ESAU KUUZA HAKI YAKE YA KUZALIWA (Mwanzo 25:29-34).

Esau akarudi kutoka kuwinda akiwa amekata tamaa. Alikuwa mbali na nyumbani kwa muda mrefu na labda hakupata chochote. Hivyo bila chakula, alikuwa amechoka sana, na alionekana akikaribia kifo. Alihitaji chakula na alikuwa tayari kuuza haki yake ya kuzaliwa ile apate chakula. Faida ya kiroho ya haki ya kuzaliwa haikuwa na maana yoyote kwa mtu huyu wa kimwili. "nilishe na hiyo bakuri nyekundu," alidai. (v.29) ina maana ya kitoweo cha kuchemsha au supu. Kiteweo cha Yakobo kilihusisha dengu (v.34). Neno "nyekundu" katika Kiebrania ni "Edomu" na ni kwa sababu hii ya kwamba jina lake lilibadilishwa kuwa Edomu. Katika Isa. 1:18 neno hili limetafsiriwa "nyekundu" na aya inaonyesha kwamba hii ni ya rangi ya dhambi. Neno "Adamu" ni neno la uhusiano wa karibu katika Kiebrania.

HAKI YA KUZALIWA.

Nafasi ya mtoto wa kwanza ilikuwa mojawapo ya heshima kubwa (Kumb 21:15-17). Alikuwa mzaliwa wa kwanza, mkuu wa ndugu yake. Yeye alifanikisha mamlaka ya baba yake rasmi na alikuwa na madai maalum kwa baraka ya baba yake, akapokea sehemu maradufu ya bidhaa za baba yake. Haki ya kuzaliwa inaweza kuhamishwa, au kukataliwa na baba kwa sababu ya haki. Esau alisalimu haki yake ya mzaliwa isiyokadirikika kwa sufuria ya kitoweo!

Angalia nia ya Mungu "kufanya" Yesu "wazaliwa wa kwanza wake" (Zab. 89:27). Ameinuliwa na msimamo kuwa ingawa yeye ni "Adamu wa pili", "Adamu wa kwanza" alikanwa kwa sababu ya dhambi (Wakolosai 1:15, 1 Kor 15:45.).

BARAKA YAKOBO NA MATOKEO (Mwanzo 27:1-40).

Sura hii inaonyesha jinsi Yakobo, alichochea Rebeka, kudanganya baba yake na kupata baraka. Kulingana na ujumbe aliopewa na Mungu kwa Rebeka katika Mwanzo 25:23, alikuwa kweli na haki ya hii, na alikuwa tayari amempa haki ya kuzaliwa ya Esau, lakini Rebeka alichukua mambo kwa mikono yake mwenyewe, badala ya kuaachia Mungu.

-48-

Page 49: UTANGULIZI: SEHEMU YA TATU · Web viewTAA MIGUUNI MWANGU Sehemu ya tatu- (Hatua ya kwanza) Matayarisho ya Ufalme Matamshi yako ni taa miguu ni mw angu na mwanga wa njia yangu (Zaburi

Wakati Esau alikuwa akiwinda kulungu kwa ajili ya baba yake, maandalizi ya kupokea baraka, Rebeka alitayarisha sahani ya kufaa na, akamwambia mwanawe yakobo, alijifanya yeye ni Esau. Isaka alikuwa mnyonge kwamba hakuona udanganyifu. Ingawa kwa kweli yeye aliendelea kuishi miaka mingi, Isaka alikuwa mgonjwa wakati huo, na alihisa kifo kikiwa karibu.

Hivyo Yakobo akapata baraka. "Mataifa" na "wana wa mama yake" walikuwa wamuinamie, naye alibarikiwa kwa umande wa mbinguni na rotuba ya nchi. Yakobo bado hajapokea baraka hii katika ukamilifu wake. Kama ilivyofanywa kwa Ibrahimu na Isaka, itapokelewa katika Ufalme wa Mungu.

Ni ya kuvutia kutambua kwamba Waebrania anasema, "Kwa imani Isaka aliwabariki Yakobo na Esau kuhusu mambo yajayo" (11:20). Hata hivyo rekodi katika Mwanzo huliweka wazi kabisa kwamba Isaka alikuwa na lengo la kubariki hata mtoto mbaya!

Maelezo yanaweza kuonekana katika kile kilichofuata. Wakati udanganyifu alijulikana, Isaka haku hakuonyesha hasira yake kwa yakobo kama ilivyotarajiwa, lakini "alitetemeka sana" (mstari 33). Ni dhahiri kwamba Isaka alijua kwamba alikuwa katika makosa, na ingawa Yeye alitaka kubariki Esau aliitikia kwamba Yakobo alikuw ambaye Mungu alikuwa amebariki. Mungu alikuwa na na matamanio yake ya asili, Imani ya Isaka kisha akaondoka , na pamoja na Esau akiangalia juu kwa msikitiko mkubwa alisema, "Naam, na yeye atabarikiwa!" Kisha aka bariki Esau lakini siyo katika suala la agano la Ibrahimu . Hivyo alitenda "kwa imani".

CHUKI YA ESAU (Mwanzo 27:41-46).

Esau alijaribu kumuua Yakobo ili apate baraka yeye mwenyewe. aliongozwa na husuda na wivu, hata kwa machozi, lakini "hakuona haja ya kutubu" (Ebr. 12:17). Neno "tubu" ina maana ya "kubadili akili". Esau hakukutubu, kwa maana ya kawaida ya neno; alilia mbele ya baba yake katika jitihada za kubadili akili ya baba yake, lakini akili yake ilikuwa tayari kumua ndugu yake!

Kwa kujua hivo, Rebeka alimwambia Yakobo aondoke nyumbani. Alimkumbusha Isaka ndoa isiyo ya hekima ya Esau, na akamshauri Yakobo atumwe nyumbani kwa kaka yake Labani kupata mke wa jamaa yake (linganisha Mwa 26:34-35). Hivyo, Yakobo alisababishwa kuondoka nyumbani kwake kwa kuogopa ndugu yake.

Kabla ya kuondoka, hata hivyo, baba yake alimbariki na alionyesha hamu kwamba: -

1. Mungu atampa baraka ya Ibrahimu;

2. Ataendelea katika umati wa watu;

3. Yeye atarithi nchi ambayo yeye alikuwa mgeni (28:3, 4).

Katika sala hii ahadi ya Ibrahimu ilitunukiwa yeye. Tunapaswa kukumbuka kwamba Yakobo alikufa akiwa Misri, ili kwamba yeye bado hajarithi ahadi hizi.

Hivyo, Yakobo aliondoka nyumbani ya baba yake na kuanza safari kurudi Harani kwa familia ya Labani-49-

Page 50: UTANGULIZI: SEHEMU YA TATU · Web viewTAA MIGUUNI MWANGU Sehemu ya tatu- (Hatua ya kwanza) Matayarisho ya Ufalme Matamshi yako ni taa miguu ni mw angu na mwanga wa njia yangu (Zaburi

MAFUNZO KWETU:

Yakobo na Esau walikuwa mapacha. Esau alikuwa mzaliwa wa kwanza na mtu wa mwili, wakati Yakobo alikuwa mwenye haki,mtu mkweli .

Rebeka aliambiwa walikuwa " watu namna mbili": Yakobo aliwakilisha watu wa Mungu na Esau aliwakilisha Mataifa. Historia imeonyesha mbegu zao kuwa aina tofauti.

Wakati wa kuzaliwa kwao ilikuwa imesemwa kwamba mkubwa atamtumikia mdogo, lakini hii halitafanyika kikamilifu mpaka Ufalme wa Mungu ufike (Yer. 16:19;. Zakaria 8:23).

Esau alidharau haki yake ya kuzaliwa kama alivyofanya Adamu, "mzaliwa wa kwanza" wa mMungu katika Bustani ya Edeni. Yakobo alifanikisha haki ya uzaliwa ya Esau kama Kristo ilivyofanikisha ile ya Adamu (Zab. 89:27, Wakolosai 1:15).

Esau alipoteza haki ya uzaliwa na baraka, ambazo zinazohusiana na baadaye, kwa sababu alikuwa mtu ambaye aliishi kwa sasa.

Ingawa alienda uhamishoni kwa hamu ya Esau kutaka kumuua, Yakobo alilindwa na Mungu: kiasili Israeli vile vile ililindwa kwa muda mrefu "nyakati za mataifa" .

MAKTABA YA KUREJELEA:

"The ways of Providence" (R. Roberts) - Sura ya 5 na 6

"Elphis Israel" (J. Thomas) - za 264-269

"The story of the Bible" (HP Mansfield) - Vol. 1, 141-150 za

MASWALI YA AYA:

1. Ni ujumbe gani Mungu alimpa Rebeka kuhusu wana wake wawili mapacha?

2. Kwa njia gani Esau alidharau haki ya kuzaliwa?

3. Kwa nini Yakobo alichaguliwa na Mungu kwa baraka?

4. Masomo gani tunayojifunza kutokana na Esau?

5. Jinsi gani Isaka alionyesha imani alipowabariki wanawe?

6. Jinsi gani maarifa ya Mungu ilionekana kabla ya Yakobo na Esau kuzaliwa?

MASWALI YA INSHA:

1. Jinsi gani Yakobo aliiba baraka ya baba yake kutoka kwa Esau? Jinsi gani maisha ya Yakobo yalielezea yale ya Israeli? Andika insha kuonyesha tofauti matendo kati ya Esau na Yakobo. Katika jibu lako husisha matukio yanayohusiana na haki ya kuzaliwa na baraka. Bwana akamwambia Rebeka, "Mataifa mawili

-50-

Page 51: UTANGULIZI: SEHEMU YA TATU · Web viewTAA MIGUUNI MWANGU Sehemu ya tatu- (Hatua ya kwanza) Matayarisho ya Ufalme Matamshi yako ni taa miguu ni mw angu na mwanga wa njia yangu (Zaburi

yako katika tumbo lako, na namna mbili za watu zitatenganishwa na tumbo lako, na mtu mmoja atakuwa na nguvu zaidi kuliko yule wengine; na mkumbwa atamtumikia mdogo" (Mwanzo 25 : 23)

Jinsi gani unabii huu umeonyesha kuwa ni kweli katika maisha ya Esau na Yakobo na watoto wao?

Sehemu ya tatu

Sehemu ya 3: MAENDELEO YA ISRAELI

Maendeleo ya Israeli kama taifa alichukua miaka 430 kutoka wito wa Ibrahimu mpaka walipotoka Misri chini ya Musa (Kutoka 12:40-41). Kwanza Ibrahimu akamzaa Isaka, Isaka alimzaa Yakoboambaye wana kumi na wawili wake wakawa mababu wa makabila kumi na mawili ya Israeli.

Kipindi hiki cha historia ya Israeli ni dhahiri kwa watu watatu wa imani: Yakobo ambaye aliangalia Mungu katika majaribu yake yoteYusufu, ambaye maisha yake yalielezea yale ya Bwana Yesu Kristo, na Musa, ambaye maisha yalikuwa umbo lakufaa yeye kwa ajili ya kazi ya kuongoza Israeli kutoka utumwa wa Misri.Mkono wa Bwana uliweza kuonekana katika maisha yao. mkono wake pia uliweza kuonekana katika ongezeko la kasi kwa wakazi wa taifa hilo wakati wao walikaa katika Misri. Yeye "aliongeza watu" (Matendo 13:17). Jamaa 75 wa Yusufu ambao walienda Misri wakawa takriban milioni mbili kwa muda wa karne mbili, na njia ikatengenezwa kwa ajili ya katiba yao kama Ufalme.

262. UHAMISHO NA KURUDI KWA YAKOBO

"Mimi nitakulinda kila mahali unakokwenda"

Nia ya Esau kumwua Yakobo ni kwa sababu alikuwa kwa ghashi amepokea baraka. Wakati habari hii ilifikia Rebeka, alishauri Yakobo kuondoka. alimuomba Isaka kumtuma Yakobo mbali ili akatafute mke mzuri wa Kimungu. Isaka kirasmi alikidhi Agano la Ibrahimu juu ya mtoto wake mdogo na kumtuma Padanaramu, kwa Labani, ndugu wa Rebeka.

Lengo la somo hili ni kuonyesha uaminifu wa Mungu katika huduma yake kwa Yakobo

Mwanzo 28-33

NDOTO NA KIAPO: BETHELI (Mwanzo 28:10-22).

Katika njia yake kwenda kaskaziniYakobo alilala na katika ndoto aliona daraja inayounganisha mbinguni na dunia na malaika wa Mungu wakipanda na kupanda juu yake. Mungu, ambaye katika ndoto alisimama juu ya daraja lile, alizungumza na moja kwa moja alithibitisha ahadi yake kwa Ibrahimu na Isaka - ardhi ambayo Yakobo atalala atapewa na kupitia yeye itakuja mbegu ambayo familia zote za dunia zitabarikiwa.

Kama vile daraja liliunganisha mbingu na ardhi, hivyo mbingu itaungana na ardhi kupitia mbegu hii: Yesu Kristo, Mwana wa Mungu na Mwana wa Mtu (Yohana 1:51). Zaidi ya hayo daraja lile lilieleza

-51-

Page 52: UTANGULIZI: SEHEMU YA TATU · Web viewTAA MIGUUNI MWANGU Sehemu ya tatu- (Hatua ya kwanza) Matayarisho ya Ufalme Matamshi yako ni taa miguu ni mw angu na mwanga wa njia yangu (Zaburi

huduma ya Mungu ya mara kwa mara kwa Yakobo: "Mimi niko pamoja nawe, nitakulinda kila mahali unakokwenda" (v.15)

Yakobo akaamka akiropoka maneno yale juu ya midomo yake, "Jinsi ya kutisha palivyo mahali hapa!" Akijua uwepo wa Mungu alikuwa pale, yeye alipapatia jina 'Betheli' (Nyumba ya Mungu). naye akaapa kwa makini - ikiwa Mungu amenihifadhia na kunitafutia mimi na kunirudisha nyumbani kwa baba yangu kwa amani, " hivyo Bwana atakuwa Mungu wangu" (vv.20-22). Imani ilikuwa imeanza kuchukua mizizi na Yakobo alianzia barabara ya kujinyima binafsi na kutegemea Mungu, ambayo iliishia katika mwisho wa maisha yake katika utii kamili na thabiti, kama vile alikuwa amekiri (48:15-16).

Mungu aliheshimu kiapo chake na Yakobo, na baadaye akamshauri aache Labani na uhakika, "Mimi nitakuwa pamoja nawe" (31:3). Muungano wake wa amani na Esau (33:4), ulinzi wa Mungu aliyopewa wakati aliondoka Shekemu akaja Betheli (35:5), na hatimaye kurudi kwake kwa Isaka (35:27), kushuhudia kwa uaminifu wa Mungu na upendo wa kudumu .

YAKOBO UHAMISHONI (Mwanzo 29)

Kwa mkono wa majaliwaYakobo alikutana Raheli kando ya kisima alikuwa amekuja kupea maji kondoo za baba yake. Yakobo akambusu binamu yake na akalia. Mungu alikuwa amefanikisha safari yake na alipokewa vizuri ndani ya nyumba ya mjomba wake.

Labani alikuwa na binti wawili, Lea na Raheli. Raheli alikuwa mzuri na Yakobo alimpenda sana na alikubali kutumikia Labani miaka saba kwa ajili yake. Wakati wa mwisho wa kipindi hiki, hata hivyo, alikuwa mwathiriwa wa udanganyifu kama ule wa kwanza alioutekeleza dhidi ya baba yake - Alipewa Lea, Labaniakasema, mdogo hapaswi kutolewa mbele ya mkumbwa! Kwa njia hii Labani alihitaji huduma ya Yakobo miaka mingine saba. Hivyo yeye alitumikia Labani miaka 14 kwa ajili ya binti zake wawili.

Leah na Raheli walipewa wajakazi, Zilpa na Bilha. Kutoka kwa wanawake hao wanne wana kumi na wawili wa Yakobo walipatikana . Yakobo alikuwa sasa mtu mwenye majukumu mengi na Aliomba atoke kwa Labani ili akajitafutie mwenyewe (30:1-26). Labani alikuwa na mafanikiyo ya muda mrefu vile Yakobo aliendelea kufanya kazi kwake, lakini Yakobo alimuona msimamizi mngumu sana (31:38-42). Licha ya haya Jacob alikubali kukaa na kufanya kazi ya kulipwa - kondoo na mifugo duni watakuwa wake. Lakini Mungu alimbariki Yakobo sana kwamba sehemu yake ilizidi ya Labani (v.43). Hii ilishambabisha wivu kwa wana wa Labani na kuathiri vibaya nafasi yake kati yao.

KUONDOKA KUTOKA KWA LABANI (Mwanzo 31-32)

Wakati ulikuwa umetimia wa kuondoka na Mungu alishauri Yakobo kurudi katika nyumba ya baba yake. Raheli na Lea walikubali kuondoka kwa siri ili Labani asiweze kuingilia mipango yao. Siku tatu baadaye, wakati Labani aligundua kilichofanyika, akachukua ndugu zake wakafuata na wakamfikia Yakobo, lakini Mungu aliingilia kati na akaonya Labani asidhuru Yakobo .

Labani alituhumu Yakobo kumuibia , lakini hakuweza kuthibitisha madai yake (vv.23-25). Hivyo, Yakobo akaongea na kujitetea mwenyewe. Alikariri utumishi wake mwaminifu ikilinganishwa na dhuluma ya Labani: "Ila Mungu wa baba yangu, Mungu wa Ibrahimu na hofu ya Isaka alikuwa pamoja nami, hakika

-52-

Page 53: UTANGULIZI: SEHEMU YA TATU · Web viewTAA MIGUUNI MWANGU Sehemu ya tatu- (Hatua ya kwanza) Matayarisho ya Ufalme Matamshi yako ni taa miguu ni mw angu na mwanga wa njia yangu (Zaburi

wewe ungeli nifukuza mikono tupu" (v.42). Licha ya shutuma hizo dhidi yao, hekima iliingilia , na wao wakaahidiana mbele ya Mungu kuto fanyana madhara .

Yakobo akaenda njia zake, lakini hofu mpya zikashutumiwa yeye; hivi karibuni alikuwa apatane na Esau, ndugu yake! Na kisha wajumbe wake walirudi na habari ya kushangaza kwamba ndugu yake Esau anakuja kukutana naye pamoja na watu 400 (32:6). Lakini Yakobo alikuwa anajifunza kumtegemea Mungu. kama Mungu alimuonekania katika Betheli, kama ni Mungu alimfanikisha katika Padanaramu na kumuokoa kutoka kwa kisasi cha Labani. Hakika uzoefu alimfundisha kumtumaini Mungu (Rum 5:2-5). Kwake Mungu angependa kwenda. Kwa unyenyekevu mkubwa yeye aliomba ulinzi kwa misingi wa ahadi ya Mungu (32:9-12, 28:13-15 linganisha;. 31:3). Baada ya kutuma zawadi ya ukarimu kwa Esau, Yakobo akatuma familia yake Yaboki kij akabaki peke yake.

YAKOBO ANAITWA ISRAELI (Mwanzo 32:24-32)

usiku wote Yakobo alipigana na malaika . Wakati wa mapumziko ya siku malaika aliomba kuaciliwa . Akaligusa uvungu wa paja la Yakobo walipokuwa wanapigana na kuivuja . Lakini Yakobo bado hakumwachilia. Yeye alitaka malaika kumbariki katika hii saa yake ya hofu na haja.

Ushikamano wa Yakobo ni unajulikana . Baraka za Mungu tu huja kwa wale ambao huzitafuta bila kuchoka. Katika kujibu ombi Yakobo, malaika akamwuliza jina lake. Baraka ilikuwa ndani mabadiliko makubwa ya jina - kutoka Yakobo (SUPPLANTER) wa Israeli (Kimwana na Mungu). msemaji wa Zamani wa binadamu kujitosheleza, masika ya kumtegemea Mungu: "jina lako halitaitwa tena Yakobo, lakini Israeli; kwa kama mkuu unayo nguvu wewe na Mungu na watu, na umeshinda." Katika maneno haya aliambiwa kwamba alikuwa ameshindana na Mungu (Ebr. Elohim, yaani malaika), yeye bila ya shaka itashinda wanaume. Hii akajibu haja yake haraka. Angeweza kukaribia sasa Esau na watu wake 400 kwa kujiamini. Mungu alikuwa pamoja naye nini mtu anaweza mfanya ? Katika hali ile nini ni angeweza kufanya sasa ni kwamba mwili wake ulikuwa dhaifu. Hii ni maana ya jina "Israeli". Yakobo akapaita mahali pale Peniel (uso wa Mungu) kwa sababu alikuwa ameona Mungu uso kwa uso. Kweli aliona malaika (Ebr Elohimu inaashiria, linganisha Zab 08:05...), Maana hakuna mtu anaweza kuona Mungu (linganisha Hosea 12:3;. Yoh 1:18;. 1 Tim 6:16). .

Matokeo yaliyofuata yanaonyesha taswira . Jua lilipochomoza Yakobo alikuwa amechelewa lakini hakuweza kuharakisha kwa sababu ya vile malaika alikuwa amefanya kwa mguu wake. Yeye alijitahidi awezavyo ili afikie familia yake akijua sasa kwamba hakunana kitu angeweza kufanya kwa nguvu zake mwenyewe ili kuwalinda. Lakini bila hofu alipoinua macho yake na kuona Esau inakaribia na watu wake 400. Esau alikuwa aliridhika kumuona : "alimkimbilia kumlaki akamkumbatia kumwangukia shingoni, akambusu wakalia "( 33:4) Hakika Mungu alikuwa pamoja na Jacob kama alivyoahidi ( 28:20-22 ) Alipofika mji wa Shekemu ambapo alikaa kwa muda. . ." Shalom "katika 33 : 18 ina maana ya " amani" na inaeleza hali yake ya akili na si mahali - linganisha RSV " Yakobo akaja kwa amani mpaka mji wa Shekemu ". .

UZOEFU WA YAKOBO KATIKA HISTORIA YA ISRAELI

-53-

Page 54: UTANGULIZI: SEHEMU YA TATU · Web viewTAA MIGUUNI MWANGU Sehemu ya tatu- (Hatua ya kwanza) Matayarisho ya Ufalme Matamshi yako ni taa miguu ni mw angu na mwanga wa njia yangu (Zaburi

kwa sababu ya uhusiano wake na Mungu kwamba Yakobo alisita na kupumzika maisha yake yote, lakini pia alipata ulinzi na wokovu. Hii ni mfano wa uzoefu wa taifa kwamba maendeleo hutoka kwake na ambayo alichukua jina alilopewa .Maarifa yalileta wajibu Israeli. Hawakuweza kutenda dhambi na dharau (Amosi 3:1-2), kwa hivyo walipata mateso zaidi kuliko taifa jingine lolote . Lakini ahadi ya Mungu hawezi kushindwa (Warumi 11:2,28 , 29). Ingawa wao waliteswa , waliishi kama taifa na hatima yao ni kuwa kichwa na wala sio mkia - wakati kwamba Mungu " kukusanyika wale wanaomsikia na kufanya aliyetupwa mbali kuwa taifa lenye nguvu " (Mika 4: 6-7 ; . Sef 3:19). Lakini kama Yakobo , lazima kujifunza hali ya baraka ya Mungu kujisalimisha. Leo Israeli anakaa juu ya mkono wa kimwili na kiburi zaidi. Wakati wanyonge wananyenyekea , yeye atawatumainia kuwapa wimbo wa kuimba wakiwaYuda : "Tuna mji wa nguvu ; Ataamuru Mungu wokovu kuwa kuta na maboma ... Amini Mungu ".Somo linafika kwa mtu binafsi. Je, sisi kunategemea Mungu au sisi binafsi ? Mara kwa mara maombi na shauku ya kila siku kwa Neno la Mungu ushahidi maisha ambayo ni Mungu anataka ili tuhitimu kwa ajili ya baraka zake.

MASOMO YA KWETU:

• Kwa hofu Yakobo alimkimbia Esau na Mungu akamfariji naye na aliahidi kuwa pamoja naye. Yeye ni mmoja na wale wanaomtumikia. (Ebr. 13:05) • Yakobo alimdanganya baba yake ili apate baraka, naye akandanganywa na Labani. "chochote apandacho mtu, ndicho atakachovuna" (Gal. 6:07).• Jacob aliomwogopa Esau na watu 400, lakini malaika aliyepigana naye usiku mzima, alimfunza kutegemea Mungu na sio "mwili".• maana ya "Yakobo" na "Israeli" ni mfano wa historia ya Israeli na vyenye masomo ya kibinafsi kwa ajili ya maisha ya leo. Sisi, kama Yakobo, lazima kujifunza kumtegemea Mungu na wala sio sisi binafsi ubinafsi (Mithali 3:5-6).

MAKTABA YA KUREJELEA

"Elpis Israel" (J. Thomas)—Pages 270-274

"The Ways of Providence" (R. Roberts)—Chapter 6

"Story of the Bible" (H. P. Mansfield)—Vol. 1, Pages 151-176

MASWALI YA AYA:1. Ni kiapo gani Yakobo alifanya na Mungu akiwa Betheli? Jinsi gani kilitimizwa?2. Kwa kifupi elezea uzoefu wa Yakobo na Labani.3. Elezea kukutana kwa Yakobo na malaika, Peniel.

INSHA MASWALI:1. Elezea jinsi Yakobo alijifunza kumtegemea Mungu kwa njia ya uzoefu wake na Labani na Esau.2. Kwa njia gani yakobo alidanganywa na Labani? Na jinsi gani Mungu alimfidia Yakobo?

-54-

Page 55: UTANGULIZI: SEHEMU YA TATU · Web viewTAA MIGUUNI MWANGU Sehemu ya tatu- (Hatua ya kwanza) Matayarisho ya Ufalme Matamshi yako ni taa miguu ni mw angu na mwanga wa njia yangu (Zaburi

3. Kuna umuhimu gani wa Yakobo kubadili jina:(a) katika uhusiano na wakati alipokutana na Esau?(b) katika uhusiano na taifa lililotoka kwake?

(1) Jacob anamkimbia Esau baada ya kupata baraka ya Esau (27:41-46; 28:1-5).(2) Akipumzika usiku akiwa Betheli, Yakobo anapewa maono ya malaika wakipanda na kushuka juu ya gazi (28:10-22).(3) Akiwa Padanaramu Yakobo anamtumikia Labani kwa miaka 14 kwa Lea na Raheli (29:1-30).(4) Baada ya kufanya kazi kwa miaka kadhaa kwa Labani mdanganyifu, Jacob anatoroka kisiri na wake zake, watoto na mifugo zake(31:1-18).(5) Anapigana na malaika akiwa Peniel na siku ya pili anakutana Esau ambaye bila kutarajia hana uadui na yeye. (32:22-32; 33:1-16).(6) Jacob anaweka hema lake karibu na Shekemu, lakini anaondoka kwa haraka wakati wana wake Simeoni na Lawi wanawauua watu wa Shekemu kwa kumsumbua dada yao Dinah (33:18-20; 34:1-31).(7) Jacob anarudi Betheli na kujenga madhabahu (35:1-15).(8) Anarudi kwa baba yake Isaka, ambaye anaishi Hebroni, mji ambapo Ibrahimu alikuwa akikaa (35:27).(9) Baadaye, Yakobo na jamaa yake wanahamia Misri ambapo Yusufu anazinduliwa (46:1-7)

263. JOSEPH'S MAJARIBIO NA USHINDI "Mungu alituma mbele yenu kuhifadhi uhai"

Yakobo aliishi Shekemu, mpaka kuuliwa kwa Washekemu na Simeoni na Lawi kukasababisha aondoke kwa aibu. Alihamia Betheli ambapo Mungu alithibitisha neno lake. Rachel alikufa katika kujifungua kama Yakobo alisafiri zaidi kusini mwa Mamre ambapo walikutana na Isaka. Jacob akafanya makazi Hebroni na palefamilia yake ya wana 12 na binti mmoja ikakua. Upendo wa Yakobo akamgeukia Yusufu, mwana aliye bora wa Rachel. Lengo la somo hili ni kuonyesha jinsi Mungu alimtunuku Yusufu na kuhifadhi Israeli kupitia kwake.

UPENDO NA WIVU WA JOSEPH (Mwanzo 37)

Uadilifu na uzuri wa Yusufu ulimpendekeza kwa baba yake na juu ya ndugu zake. Kuwa mpendwa alipata upendeleo maalum, kati yake kanzu ya rangi tofauti (linganisha 2 Sam 13:18-19 Hii alifanya ndugu zake washikwe na wivu.. alipokua na umri wa miaka 17 lakini , tukio lilitokea na kuzidisha chuki yao: Mungu alimfunulia Yusufu ndoto mbili moja wakimwinamia Wivu na chuki ikajaakatika mioyo ya ndugu zake siku moja Yakobo akatuma Yusufu kwa ndugu zake waliokuwa wakichunga.. kondoo karibu na Shekemu. walimwona kwa mbali na kupanga mauaji yake (v.18) Lakini Mungu alikuwa pamoja na Yusufu na akaingilia kati.. ombi la Reubeni alilikuwa wakamtupa katika shimo lakini ushauri wa Yuda wakaamua itakuwa faida kumuuza katika utumwa kuliko kumuua hivyo wakamuuza kwa bendi ya Wamidiani kwa

-55-

Page 56: UTANGULIZI: SEHEMU YA TATU · Web viewTAA MIGUUNI MWANGU Sehemu ya tatu- (Hatua ya kwanza) Matayarisho ya Ufalme Matamshi yako ni taa miguu ni mw angu na mwanga wa njia yangu (Zaburi

vipande 20 vya fedha, wakachovya kanzu yake kwa damu ya wanyama na iwakamwonyesha Yakobo kama ushahidi kwamba. yeye ameuawa.Miaka ikapita. Yusufu alikuwa 30, aliposimama mbele ya Farao. Mengi ya utekelezaji ya miaka 13 Yusufu alitumia gerezani. Ingawa alitengwa na familia na ushawishi Mungu wa baba yake, imani yake imebaki imara. Yeye aliamini Mungu na katika yote kama kutotendewa haki na kurudishwa nyuma, kamwe hakuwa na shaka kwamba maono ya ndugu zake kumsujudia hayatatimia. Hakika Mungu alikuwa pamoja naye. Hivyo basi : "Kama tukistahimili, tutamiliki" (2 Tim 2:12.). Alimsubiri Mungu mpaka imani ikampa njia ya kuona.

NYUMBA YA POTIFA NA GEREZANI (MWANZO 39).Yusufu katika Misr aklinunuliwa na Potifa, Misri, afisa wa Farao, mkuu wa walinzi. Mungu akafanya yote ili Yusufu alifanikiwa kwa mkono wake. Neema na uadilifu wa Yusufu ulionekana na Potifa. Na akamfanya mwangalizi wa nyumba yake yote na jukumu kubwa ikawekwa ndani yake. Lakini Yusufu alikuwa na sura ya kuvutia na hii ikamvutia mke wa Potifa. Yeye alimtamani Yusufu, lakini alikataa na kusema mumewe alikuwa ameweka imani kubwa ndani yake: "? Jinsi basi angeweza kufanya ubaya huu mkubwa, na dhambi dhidi ya Mungu" (mst 9). Lakini yeye alikuwa amedhamiria kumpata Yusufu, kama angeshindwa basi angemfanya kuwa mwathirika wa kisasi chake. Kama matokeo, Joseph alitupwa gerezani, hatia kwa binadamu, lakini haki mbele ya Mungu. Haki hawezi milele kubaki mfungwa milele "Mungu alikuwa pamoja naye" na Mlinzi wa jela alifurahishwa na uadilifu wake na kumfanya mkubwa wa wafungwa.

Kuna masomo mawili makubwa kwa ajili ya watumishi wa Mungu wa karne ya 20.

1. Njia ya kushinda majaribu (angalia v 12) – iondokee na usiiweke kwa akili kwa kuitafakari sana. Vinginevyo, moja ni hakika itanguka. Harakati za kutafuta haki na kazi kuhusisha maendeleo katika Ukweli inaondoa muda wa 'Ibilisi' (linganisha Rum 13:14;. Gal 5:16;. Yakobo 4:7).2. Mungu ana waliohaki katika mateso yote. Ingawa wao huteseka Yeye atawainua. Shida ni maandalizi kwa ajili ya kuinuliwa (kusoma Zaburi 34).

MWINUKO KWA TAFSIRI (Mwanzo 40:1 - 41:45 )Kwa muda, watumishi wawili mashuhuri wa Farao , mnyweshaji na mwokaji wake zake, wakatupwa gerezani. Wafungwa hawa wakawa na ndoto ambayo iliwatia wasiwasi. Wakamwamini Joseph na kumwambia ndoto zao. Kwa jina la Mungu, yeye alitafsiri ndoto zao , na maneno yake ndoto zao zikatimia. Mnyweshaji alirudi kazini lakini mwokaji alitundikwa . Yosefu aliuliza mnyweshaji amkumbuke atakapo rejeshwa kazini, lakini alishindwa kufanya hivyo, na Yusufu akabakia gerezani kwa miaka mbili zaidi. Jinsi vipofu na wasio na shukrani wamejaa na maslahi ya kibinafsi.Lakini Mungu hakusahau , Farao alisumbuliwa na ndoto mbili ambazo zilikaidi tafsiri za kimwili. Mazingira ikalazimu kumbukumbu kwa mnyweshaji kuhusu uzoefu wake na Joseph kwa Farao. Watumishi wa Farao wakatumwa kwa haraka gerezani; Yusufu alihitajika na mtawala wa Misri ! akonyolewa na kuvikwa , Joseph alichukuliwa kutoka gerezani hadi ikulu. Jinsi mungu alivyo mwaminifu !

-56-

Page 57: UTANGULIZI: SEHEMU YA TATU · Web viewTAA MIGUUNI MWANGU Sehemu ya tatu- (Hatua ya kwanza) Matayarisho ya Ufalme Matamshi yako ni taa miguu ni mw angu na mwanga wa njia yangu (Zaburi

Macho yake iko juu ya walio na haki na masikio yake yako wazi kwa vilio vyao .

Mbele ya Farao , Joseph alikanusha kuwa yeye ana uwezo maalum lakini alisema kwamba " Mungu atampa Farao majibu ya amani." kisha akaelezea ndoto mbili , ambazo zilikuwa na maana moja. Zilifanywa kuwa "mara mbili kwa Farao " ( 41:32) kusisitiza ukweli. Ndoto alimuonya Farao kuwa Misri itakubwa na miaka saba ya shibe ikifuatiwa na miaka saba ya njaa. Hii iliitwa tafsirii ya mtizamo na ushirika. Yosefu alishauri uteuzi wa mtu mwenye akili juu ya Misri ili ahifadhi chakula kwa wakati wa njaa ( 41:33-36 ). Farao alifurahi. Nani angeweza kufanya kazi hii bora zaidi ya kuliko yule aliyetabiri kwa wazi na hekima ya Misri? Yosefu alipandishwa cheo na kuwa ya pili katika nchi. Yeye ilikuwa amewekeza kwa heshima na mali, na mamlaka. Kama Waziri Mkuu wa Misri, Farao ndiye alikuwa mkubwa kuliko Yosefu. Utukufu wa kweli hutoka kwa Mungu (Zab. 75:6-10 ). Hatua ya kwanza kubwa alikuwa imechukuliwa kwa ajili ya wokovu wa Israeli na pia kuendeleza kwa taifa katika nchi ya ajabu (Mwa. 45:5 ; 15:13-16 ).

ATHARI YA NJAA (Mwa 41:53-57).Miaka saba ya shibe alikuja na ikaenda. Joseph alifanya utoaji wa kutosha kwa ajili ya kuhifadhi nafaka, na hivyo, wakati njaa ilianzia, maghala ya Misri yalikuwa yamejaa. Njaa ikaenea zaidi ya nchi zote za ulimwengu wa kale, na wakati wakati walipojua kwamba kuna nafaka katika Misri, kulikuwa na mtiririko mara kwa mara wa wageni wakinunua mahindi.Kanaani vivyo hivyo ililioathirika na njaa, ikiwa ni pamoja na Yakobo na familia yake. Waliamua kwenda Misri. Jacob alikataa kuruhusu Benjamin kwenda pamoja na ndugu yake, usije akapatwa na ufisadi katika akili ya Yakobo, alikuwa ndiye kiungo pekee cha kumuunganisha na Rachel wake mpendwa.

ZIARA YA NDUNGU WA YOSEFU MISRI (Mwanzo 42:1 - 43:14).Siku moja watu 10 walionekana mbele ya Yusufu akiwa Misri. Wao walikuwa na nyuso zenya ndevu na walikuwa wamevaa kama wachungaji. Yeye mara moja aliwatambua kama ndugu zake, lakini wao hawakumtambua. Mkuu enzi wa Misri, na nguo za kifalme, uso kunyolewa na umbo la kupendeza, hakuna vilea alifanana mvulana mchungaji waliyemtupa katika shimo na kumuuza utumwani. Aidha, kulikuwa na kikwazo cha lugha. Hawakuweza kuongea kimisri na matumizi ya mkalimani na Yusufu alifanya kuonekana kuwa yeye hakuongea Kiyahudi, hivyo kuficha utambulisho wake. Yusufu huu ulikuwa wakati wa kufurahisha.

kwa kumuinamia ndoto yake ya miaka ya awali ilitimia (42:6; 37:5-9). Mkono wa Mungu ulikuwa dhahiri mbele ya macho yake .

Yusufu aliwatendea mazuri. Madhumuni yake ilikuwa kuwanyenyekea ili wapate kutambua kosa la njia zao za awali. Aliwatuhumu kuwa wapelelezi akawambia warudi nyumbani na kuleta Benjamini kama ushahidi wa uaminifu wao. Naye ashikilie Simeoni, kama mateka. Walianza safari kurudi nyumbani kwa hofu ya mkuu mbaya wa Misri. Kwa mshangao wao walikuta fedha zao katika magunia yao ya mahindi. Hofu yao ikaongezeka.

Wakati ukapita na haikuwa muda mrefu kabla ya chakula kuisha tena. Ilikuwa wazi kwamba njaa haikuwa inaisha na ni lazma wangeweza kurudi Misri. Lakini Yakobo alikataa kuruhusu Benjamini

-57-

Page 58: UTANGULIZI: SEHEMU YA TATU · Web viewTAA MIGUUNI MWANGU Sehemu ya tatu- (Hatua ya kwanza) Matayarisho ya Ufalme Matamshi yako ni taa miguu ni mw angu na mwanga wa njia yangu (Zaburi

kwenda. Ndugu zake walikataa kwenda bila yeye. Rubeni alijaribu kumtuliza Yakobo bila mafanikio. Hatimaye Yuda alimshawishi baba yake na aliahidi kuhakikisha ustawi wa ndugu yake mdogo. Kwa Kusita mzee, Yakobo, akamuaga mwanawe mdogo. Alifanya kila kitu kuhakikisha kwamba wangeweza kupata neema ya mkuu kama kwamba hii ilikuwa ni muhimu!

ZIARA YA PILI MISRI (Mwanzo 43:15; 44:34).

Waliondoka kwenda Misri na zawadi, fedha mara mbili na sala ya Yakobo: " Mwenyezi Mungu na awape rehema mbele ya mkuu" (43:11-14). Walipokuwa Misri walielekezwa nyumba ya Yusufu ambapo matukio ya ajabu iliwasuburi . Wakihisi hatia kwa sababu ya fedha aliyokuwa kwa magunia yao, walikuwa shangaa wakati karani aliwaambia wasiwe na wasiwasi. Simeoni alilejezwa kwao. waliheshimiwa na Yusufu, haswa Benjamini, ambaye Yusufu alilia kama amejificha kwa sababu furaha. Walishangaa kwa utaratibu ambao wao walikuwa wamekaa, kutoka mkubwa hadi mdogo, katika karamu yenye Waziri Mkuu aliwapa . Hivyo kuheshimiwa, magunia yao yalijazwa, na wakaanza safari kurudi nyumbani wakishangaa sana katika matukio hayo ajabu.

Lakini Yusufu alikuwa mwenye hali hii na alilazimisha mtihani zaidi kwao. alikuwa kisiri ameficha kikombe chake maalum katika gunia la Benyamini. Alitaka kupima upendo wao kwa mwana wa Raheli na kwa baba yao kama mtazamo wao umebadilika? katika safari yao ya kurudi , Wamisri wakawafuata , wakiwatuhumu kuiba kikombe cha Waziri Mkuu! Walikana hilo na magunia yao yakafanywa filigisheni, kuanzia na mkubwa! Wakati gunia la Benjamini lilifunguliwa, na ndani, kulikuwa na kile kikombe. Haraka wakikurudiswa Misri aliomba huruma ya Yusufu. Yuda kibinafsi alitoa wito k Yusufu aadhibiwe badala ya Benjamini kwa sababu ya baba yao. Hapa ilikuwa tubu ya kweli badiliko kubwa katika mtu ambaye mapema aliuuza mdogo wake bila kujali athari juu ya baba yake (37:33-35).

YUSUFU AJITAMBULISHA (Mwanzo 45:1 46:7).

Yusufu hakuweza kustahimili tamaa yake tena. Akaamuru Wamisri wote kuondoka chumbani na kisha, kwa mshangao mkubwa na fadhaa ya ndugu zake, alijitambulisha : ". Mimi ni Yusufu" waliduwaa na wakapatwa na wasiwasi. Yusufu alilia kwa sauti na akatuliza hofu yao. Hakuwa na mpango au hamu ya kulipiza kisasi: "Basi sasa msihuzunike wala mjikasilikie , kwa kuniuza huku; maana Mungu alinituma mimi mbele yenu kuhifadhi maisha" (45:5). Upendo hufunika dhambi (1 Petro 4:08). Mtazamo wake ilikuwa hauna uchungu na wala kisasi.

Yusufu akaongea na nyoyo zao na kueleza kusudi la Mungu kwa yaliyofanyika . Alikuwa ametumwa na "kuhifadhi uzao wa Israeli katika dunia" na "kuokoa _ kwa wokovu mkuu" (45:7). Wakati waliaanza kujua kwamba huyu kijana mkuu kweli alikuwa ndugu yao, aliwaambia waharakishe nyumbani na kuleta baba yake mzee Misri ili apate kumuhudumia, na kutoa chakula na malisho ya mifugo yao katika miaka ya njaa.

Ndugu zake haraka wakarudi nyumbani na kumwambia Yakobo habari ya furaha. "Moyo wa Yakobo ukazimia, kwa sababu hakuwaamini." Lakini alipoona zawadi na mabehewa, alilazimika kuamini na roho yake ikapona . Kwa shukrani na furaha kubwa alimwabudu Mungu katika Beersheba. Mungu akamfariji na alimshauri aondoke. "Mungu ni uwezo wa mfanya mengi mno kuliko yote tuyaombayo au kufikiri" (Efe. 3:20).

-58-

Page 59: UTANGULIZI: SEHEMU YA TATU · Web viewTAA MIGUUNI MWANGU Sehemu ya tatu- (Hatua ya kwanza) Matayarisho ya Ufalme Matamshi yako ni taa miguu ni mw angu na mwanga wa njia yangu (Zaburi

MAFUNZO KWETU :

Ingawa Yusufu aliteseka, Mungu kamwe hakumuacha katika shida . Hata katika Misri yenye giza, "Mungu alikuwa pamoja naye."

Ingawa alikuwa bali na familia yake, Yusufu hakufanya uasherati na mke wa Potifa kwa sababu alijua kwamba kitendo kama hicho kilikuwa dhambi dhidi ya Mungu anaonaye yote. Mtazamo huo lazima udhibiti maisha yetu.

Yusufu alijua kwamba kujiondoa kwa mambo mabaya ni njia bora ya kuepuka dhambi na matokeo yake mabaya.

Mateso yalitayarisha Yusufu kwa mwinuko. Nyakati ngumu katika maisha yetu yanaweza kututayarisha sisi kwa Ufalme.

Yusufu alijua makusudi ya Mungu na yeye na aliwasamehe ndugu zake unyama wao dhidi yake. Hatupaswi kubeba uchungu dhidi ya wengine ambao wametukosea , lakini lazima tuwainue , kama Yusufu alivyofanya kwa ndugu zake.

MAKTABA YA KUREJELEA:

"The ways of Providence" (R. Roberts)-Sura ya 8

"Joseph and his Brenthen" (P. Pickering)-C.S.S.S utafiti

MASWALI YA AYA:

Ni nini kilichofanyika kwa Yusufu katika nyumba ya Potifa? Masomo gani tunaweza kujifunza kutokana na tukio na mke wa Potifa?

Jinsi gani ndugu wa Yusufu walibadilika Walipofika kwake kununua nafaka katika Misri?

Nini madhumuni ya mwisho Yusufu aliona katika mateso yake akiwa Misri?

MASWALI YA INSHA:

Kwa kifupi elezea matukio mbalimbali katika maisha ya Yusufu ambayo ilionyesha kuwa Mungu alikuwa pamoja naye.

Jinsi gani Yusufu alihudumia ndugu zake walipofika Misri ili kununua mikate? Taja matukio mbalimbali ambayo yalitokea na ueleza ni kwa nini Yusufu alitenda kwa njia hii.

Kwa njia ipi Yusufu ni mfano kwa wafuasi wa Yesu Kristo leo?

Andika tunacho jifunza kutoka kwa tabia ya Yusufu.

264. YUSUFU KAMA MFANO WA KRISTO

-59-

Page 60: UTANGULIZI: SEHEMU YA TATU · Web viewTAA MIGUUNI MWANGU Sehemu ya tatu- (Hatua ya kwanza) Matayarisho ya Ufalme Matamshi yako ni taa miguu ni mw angu na mwanga wa njia yangu (Zaburi

"Haya mambo yaliyowapata iwe kielelezo kwa wengine"

Somo liliopita tumeona matukio makubwa katika maisha ya Yusufu. Mateso aliyoteseka katika mikono ya "Myahudi" na "Mataifa" alitoa njia kuhusu kusudi la Mungu kwa utukufu wa kuwa Waziri Mkuu wa Misri, na Mwokozi wa jamaa yake.

Wakati maisha ya Yusufu na Kristo yanalinganishwa, yaonekana kupelekana. Ni dhahiri kwamba maisha ya Yusufu ni mfano kumbwa uliotungwa. Ilikuwa ni kwa makini inaongozwa na aliye juu, ili kueleza kwa undani mpango wake pamoja na Mwana wake kwa manufaa ya Waisraeli na maono ya kiroho.

Lengo letu katika somo hili ni kuona jinsi matukio ya maisha ya Yusufu yalifanikisha maisha ya Bwana Yesu Kristo.

Mwanzo 37, 42, 45

MAAGIZO KUTOKA KWA MFANO .

Kama madhumuni ya Mungu kutoka uumbaji yanazingatia Kristo, Elimu ya kimungu wakati bibilia na kuumbwa kwa kiasi kikubwa inahusika na kuonyesha kusudi la Mungu pamoja naye. "Sheria ilikuwa kama mafundisho ya kutuleta kwa Kristo," Paulo alikuwa anasema (Gal. 3:24). Sheria ya sadaka ya kanuni, maskani, na sikukuu, nk, ilitoa kanuni zitakazo patikana kwa Kristo. Wao wote waliangalia mbele na kuangazia yeye, . Kadhalika maisha ya viongozi wengine maarufu katika Israeli, kwa mfano, Musa, Yoshua, Daudi, Suleimani, Isaya, nk, walikuwa katika mifano fulani ya heshima , yataonekana kwa kikamilifu kuonekana katika Yesu Kristo.

Baada kuhusisanisha dhambi ya Israeli wakizunguka jangwani, Paulo anasema, "Sasa mambo haya yote yanawapata ili iwe kielelezo kwa wengine " (1 Kor 10:11.). Rekodi ya kuzunguka Israeli na kushindwa si rekodiwa tu kama historia lakini kama somo picha linalofundisha kanuni za Mungu katika shughuli zake na mtu. Hivyo ni muungano wa onyo mbaya kwa vizazi vyote. Hii ni kwa sababu njia za Mungu hazibadiliki, hata kama tamaa za watu leo ni sawa na za mbeleni. Kuona Mwili na Roho ni daima, muuingiliano wao kwa kizazi kimoja lazima uonyeshe kielelezo (aina au masomo) kwa ajili ya vizazi vyote.

Lakini aina hizi zilikuwa "vivuli", na si "kiini" au kitu halisi (Ebr. 8:05; Kol 2:17). Kivuli cha kitu hueleza picha lakini hukosa maelezo.

Hivyo aina za Agano la Kale zinamaelezo kwa upana na tahadhari inafaa ichukuliwe wakati kuandaa ufanano ili kukumbuka tofauti. Inawezekana kupeleka aina hizo mbali mno, na vivyo hivyo, si mbali yakutosha. Kuna uwiano sahihi wa kufahamika na sahihi kutunzwa.

KRISTO KAMA ANAVYONEKANA KATIKA MAISHA YUSUFU.

-60-

Page 61: UTANGULIZI: SEHEMU YA TATU · Web viewTAA MIGUUNI MWANGU Sehemu ya tatu- (Hatua ya kwanza) Matayarisho ya Ufalme Matamshi yako ni taa miguu ni mw angu na mwanga wa njia yangu (Zaburi

Mateso ya Yusufu yarimtayalisha kwa ajili ya utukufu. Katika barabara kuelekea Emau, Yesu alisema, "'O wapumbavu na mioyo mizito ya kuamini yote waliyoyasema manabii: hapaswi Kristo kupata mateso haya na kuingia katika utukufu wake?' Akaanza na Musa ... aliwaeleza katika maandiko yote mambo yaliyomhusu yeye mwenyewe "(Lk. 24:25-27). Anaweza pia fananishwa maisha ya Yusufu, ambayo yanaonyesha mateso na utukufu.

Wakati Stefano, katika utetezi wake mbele ya baraza, inajulikana uovu wa ndugu wa Yusufu na jinsi katika muda wao wa mahitaji "Yosefu alijulishwa" kwao "mara ya pili", ni wazi kwamba, katika akili yake, historia itajirudia yenyewe. Wayahudi walimkanau Yesu lakini katika ujio wake wa pili, wakati walidhoofika sana na uvamizi wa kiuadui wa Gogu, wao watamkaribisha kama Mwokozi na kusema, "Abarikiwaye huyo ajaye kwa jina la Bwana" (Matendo 7: 9-13;. Mathayo 23:39).

Charti ifuatayo inaonyesha orodha ya matukio ambayo Yusufu aliashiria Kristo, na ndugu zake Yusufu, taifa la Israeli.

UJIO WA KWANZA

Yusufu Yesu

1. Alikuwa mchungaji. Yeye ni Mchungaji Mwema (Yohana 10:11, 14).

2. Jina lake lina maana ya "ongezeko". Yohana alisema kwa Yesu: "Ni lazima aongezeke" (Yohana 3:30). Isaya alisema, "Ataona uzao wake" (53:10;. Linganisha 22:21).

3. "Yusufu akamletea baba yake ripoti yao mbaya" (37:2).

Yesu aliwapa changamoto viongozi wa Israeli na kuwa "watoto wa wale waliowaua manabii"; na yeye akaongeza : " ninyi basi jazeni kipimo cha baba zenu" (Mathayo 23:31-32; linganisha Yohana 8:37.. , 40, 44, 54-55).

4. "baba alimpenda kuliko ndugu zake wote" (37:4).

"Huyu ni Mwanangu mpendwa, ninayependezwa naye " (Mathayo 3:17).

5. "Ndugu zake walisema: 'Nawe kweli atutawale'?" 37:8).

"Hatumtaki huyu atutawale" (Lk. 19:14)."Sisi hatuna mfalme ila Kaisari" (Yohana 19:15).

6. "Wao walimchukia" (37:8). "Walinichukia bila sababu" (Yohana 15:25).

7. "Kwa sababu ya ndoto zake" (37:8) . "Wakati makuhani wakuu na Mafarisayo waliposikia hiyo mifano yake walitambua kwamba alikuwa anawasema wao" (Mathayo 21:45).

8. "Nitawatuma kwao" (yaani ndugu zako-37: 13). "Yeye alituma mwana wakekwao" (Mathayo 21:37).

-61-

Page 62: UTANGULIZI: SEHEMU YA TATU · Web viewTAA MIGUUNI MWANGU Sehemu ya tatu- (Hatua ya kwanza) Matayarisho ya Ufalme Matamshi yako ni taa miguu ni mw angu na mwanga wa njia yangu (Zaburi

USALITI NA KIFO

Yusufu Yesu

1. " Walimfitini ili wamwue" (37:18). "Wao Wakashauriana kupeleka Yesu nguvuni kwa hila" (Mathayo 26:4).

2. "Tazama mwotaji" (37:19). "Wao wakamdhihaki" (Mathayo 27:29).

3. "Wacha tumuue" (37:20). "Wacha tumuue" (Mathayo 21:38).

4. "Wao walimvua Yusufu kanzu yake 37:23). " Kwa langu vazi Wakajimwagia mengi "(Yohana 19:24).

5. "Tupeni yeye ndani ya shimo kuinuliwa hadi nje ya shimo" (kaburi -. Zab 40:1-3)."Akanileta nje ya ya shimoni kutisha" (37:24, 28). "

Hakuachwa kuzimu (shimo, au kaburi) wala mwili wake haukuona uharibifu" (Matendo 2:31).

6. "Shimo lilikuwa tupu - hakuna maji ndani yake " (37:24).

"shimo lisilo na maji" (yaani kaburi -. Zakaria 9:11).

7. "Yuda akasema ... 'Njoo, tumuuza'" (37:26, 27). "Yuda akazungumza atakavyomsaliti " (Lk. 22:04).

8. " vipande thelathini vya fedha" (37:28). " vipande thelathini vya fedha" (Zekaria 11:12;. 27:3 Mathayo).

9. " walilowesha kanzu ya Yusufu na damu" 37:31). " amevaa vazi lililokuwa limelowa damu" (Ufu. 19:13), ishara ya dhabihu ya Bwana (Yoh. 19:34).

10. "Hii kanzu yenye damu tumeipata" ( walidanganya Yakobo37: 32).

" wanafunzi wake walikuja usiku na wakamwiba sisi tukiwa tumelala" (Mathayo 28:13).

11. Kufungwa katika Misri-kukataliwa na ndugu zake, na sasa kwa Taifa, Potifa (Mwanzo 39, 40).

"Yeye (Pilato) alimpeleka akasulubiwe" (Mathayo 27:26), kukataliwa na Wayahudi na Mataifa.

12. Butler kurejeshwa) - Baker (kunyongwa) (Mwanzo 40).

" wezi wawili waliosulubiwa pamoja naye" - moja kusamehewa (Mathayo 27:38).

UFUFUO

Yusufu Yesu

1. "Wakati wa mwisho wa miaka miwili " 41:1). "Yeye akafufuka siku ya tatu" (1 Kor 15:04.).

-62-

Page 63: UTANGULIZI: SEHEMU YA TATU · Web viewTAA MIGUUNI MWANGU Sehemu ya tatu- (Hatua ya kwanza) Matayarisho ya Ufalme Matamshi yako ni taa miguu ni mw angu na mwanga wa njia yangu (Zaburi

2. "kabadili mavazi yake" (41:14). "Mimi nitakuvika mavazi ya", ishara ya kutokufa (Zek. 03:04).

MWINUKO

Yusufu

1. "Utakuwa juu ya nyumba yangu '(41:38-40).

2. "Akafanywa mtawala" (41:43).

3. "Ndugu zake Yusufu wakaja, wakainama" Hamtaniona mimi mpaka mumuinamie " (42:6).

UJIO WA PILI WAKATI WAYAHUDI WALIMTAMBUA YESU KAMA MASIYA WAO

Yusufu Yesu

1. "Ndugu zake hawakumtambua" (42:8). "Moja atasema, ni nini hawa majeraha katika mikono yako?" (Zek. 13:06)."Nani huyu mfalme wa utukufu?" (Zab. 24:8).

2. "Sisi tuna hatia, kwa hiyo ni shida hii alikuja juu yetu" (42:21).

"Nawe utamwita kujali (dhambi zako) kati ya mataifa kokote Bwana atawaongoza" (Kum. 30:1).

3. "Yusufu alijitambulisha kwa ndugu zake" (45:1). "Watanitegemea mimi waliyemchoma" (Zek. 12:10).

4. "Walikuwa na wasiwasi mbele yake" (45:3). "Nao wataomboleza kwa ajili yake" (Zek. 12:10).

5. msihuzunike" (45:5). "Yeye ndiye huwafariji wote waliao" (Isaya 40:1, 2; 61:3;.. Cf Rum 11:26).

6. "Mungu alinituma mimi mbele yenu kuhifadhi maisha" (45:5).

"Yeye atatokea mara ya pili, pasipo dhambi kwa wokovu", wote kitaifa na mtu binafsi (Ebr. 9:28).

7. "Ili kuhifadhi kwako vizazi katika dunia" (45:7). "Mtumishi wangu ili kuziinua kabila za Yakobo, na kurejesha ulinzi wa Israeli" (Isa. 49:6).

8. "Ili kuokoa maisha yako kwa wokovu mkuu" (45:7).

"Kuna atakuja kutoka Sayuni mkombozi" (Rum. 11:26).

-63-

Page 64: UTANGULIZI: SEHEMU YA TATU · Web viewTAA MIGUUNI MWANGU Sehemu ya tatu- (Hatua ya kwanza) Matayarisho ya Ufalme Matamshi yako ni taa miguu ni mw angu na mwanga wa njia yangu (Zaburi

9. "Haikuwa nyinyi mliyenituma huku, ila Mungu" (45:8).

"Jiwe lililokataliwa na wajenzi ; Hilo limekuwa jiwe kuu la pembeni; haya ni matendo ya Bwana " (Mathayo 21:42).

MATAIFA CHINI KRISTO

Yusufu Yesu

"Yusufu alinunua ardhi yote ya Misri" taifa na ufalme wa watu kwa Firauni "(47:20) . bila Kukutumikia wataangamia" (Isaya 60:12).

"Yeye atakuwa na mamlaka pia toka bahari hata bahari, na toka Mto hata miisho ya dunia" (Zaburi 72:8).

MASOMO KUTOKA KWA YOSEFU.

Yusufu alitambua mkono wa Mungu ukiongoza na kudhibiti matukio ya maisha yake ili kukamilisha kusudi lake (Mwa. 45:5-7; 50:20). Vivyo hivyo Yesu alitambua mapema katika maisha yake majukumu kama Mwana wa Mungu (Lk. 02:49). Sisi pia kama wana wa Mungu lazima kuvumilia adhabu kama maandalizi kwa ajili ya utukufu, heshima na maisha ya milele. Kwa njia ya dhiki tutaingia ufalme wa Mungu (Matendo 14:22). Tunapaswa kuomba na kutambua mkono wa Mungu katika maisha yetu na kumruhusu kukaa ndani yetu na kutuongoza kwa njia ya Neno lake (Yohana 14:23).

MASOMO KWETU:• Sambamba kati ya Yusuf na Kristo ni dhahiri; kwani wote walipitia mateso na kisha wakatukuzwa.• Ndugu zake Yusufu kujibu taifa la Israeli. Kama wauaji wa Kristo, nao atashushwa wakati katika wakati wa hatari kwa taifa, wanalazimika kutambua yeye waliyemuuza.• Maono ya mwisho katika kesi zote mbili ni moja ya upendeleo - Yakobo na familia kuishi katika nchi bora, na Israeli katika nchi ya ahadi iliyorejeshwa na kufanana na Edeni, na Kristo, kama makamu wa Mungu na Mfalme wao.

MAKTABA YA KUREJELEA:

"Elpis Israel" (J. Thomas)—Kurasa 274-279

"The Story of the Bible" (H. P. Mansfield)—Vol. 1, Kurasa 179-207

MASWALI YA AYA:1. Je, Mfano maandishi ni nini? Je yanatumika kwa kusudi gani?2. Jinsi gani zake Yusuf, ni kama aina ya Wayahudi ambao walimuua Yesu?3. Wakati Yosefu alijitambulisha kwa ndugu zake yeye alitabiri kugeuza kwa Wayahudi wakati Kristo atakaporudi. Elezea hii.

-64-

Page 65: UTANGULIZI: SEHEMU YA TATU · Web viewTAA MIGUUNI MWANGU Sehemu ya tatu- (Hatua ya kwanza) Matayarisho ya Ufalme Matamshi yako ni taa miguu ni mw angu na mwanga wa njia yangu (Zaburi

MASWALI YA INSHA:1. Onyesha jinsi maisha ya Yusufu yalitabiri yale ya Yesu Kristo.2. Onyesha mkono wa Mungu katika maisha ya Yusufu. Tunaweza jifunza nini kutokana na hili?3. Tengeneza orodha fupi ya pointi kutoka maisha ya Yusufu ambayo inaonyesha kwamba alikuwa mfano wa Kristo

265. MUNGU ANATOA MKOMBOZI WA ISRAELI "Kuchagua kuteseka pamoja na watu wa Mungu" Yakobo alifurahi wakati alipokutana tena na Yusufu. Upendo wake wa mwanawe mpendwa ulijaribiwa wakati matumaini yote ya kumpata Yosefu yalionekana kupotea, lakini sasa mwisho wa maisha yake, moyo wa Yakobo walifurahi kwa mkono wa elekezi na kubariki maisha yao. Farao alikuwa radhi kwa ombi Yusufu akakubali wamiliki ardhi ya Gosheni. Familia ya Yakobo ilifanikiwa na kukua. Katika maeneo mengine ya Misri, njaa iliwazimisha watu kuuza ardhi yao na maisha yao katika utumwa chini ya Farao (Mwanzo 47:14-22).Matukio yaligeuka kwa njia kubwa na kusikitisha watu wa Yakobo, lakini mgogoro ulitokea nje ya Israeli ili iokolowe.Lengo la somo hili ni kuonyesha jinsi Mungu alimwinua Musa ili aokoe Israeli, watu wake wateule, na kuwaongoza nje ya Misri.

Kutoka 1 na 2: VIFO VYA YAKOBO NA YOSEFU.

Ingawa Yakobo alikufa katika Misri, yeye alikuwa na uhakika kwamba Mungu "atamwinua tena" (Mwanzo 46:4). Hii inapatikana kwa kutimiza ahadi ya awali katika ukombozi wa uzao wake, taifa la Israeli, katika Misri. Lakini utimilifu wake wa kweli kwa Yakobo utokea wakati yeye watafufuliwa kutoka kwa wafu, matumaini ambayo yeye pamoja na ile ya baba walikuwa nayo (Matendo 02:26;.. 20:34-38 linganisha Lk). Kuonyesha ukweli wa tumaini hili, Yakobo aliomba azikwe huko Hebroni na Ibrahimu na Isaka na wake zao (Mwanzo 47:29-31; 49:29-31).Baadaye, Yusufu akafa pia, lakini si kabla ya kuhakikishia watu wake kwamba Mungu wa baba zao angewa tembelea na kuwaokoa kutoka Misri na kuwaleta katika nchi ya ahadi (50:24; linganisha 15:13 -. 16).Yeye pia aliwacha maelekezo maalum kuhusu kuzikwa kwake. Hawakuwa wamzikea Misri, lakini wabebe mabaki yake kutoka Misri na kumzika katika nchi ya ahadi (tazama Kut 13:19;.. Josh 24:32). Yosefu kwa njia hii alionyeshai imani yake katika ahadi za Mungu. Pointi hizi mbili pekee katika maisha yake, ni maalum kutajwa katika kitabu cha Waebrania 11:22

Israeli aliitwa kubeba jeneza la Yusufu katika miaka 40 ya kuzunguka jangwani. Hii ingeonyesha imani yake katika imani na ahadi ya ufufuo wa wafu. Kizazi kile kiliangamia jagwani isipokuwa kwa Yoshua na Kalebu. Lakini Yusufu ataishi tena, pamoja na wale ambao maisha yao yataonyesha imani yake (Ebr. 11:39-40

-65-

Page 66: UTANGULIZI: SEHEMU YA TATU · Web viewTAA MIGUUNI MWANGU Sehemu ya tatu- (Hatua ya kwanza) Matayarisho ya Ufalme Matamshi yako ni taa miguu ni mw angu na mwanga wa njia yangu (Zaburi

ISRAELI UTUMWANI (Kutoka 1)

Unabii wa Yusufu wa ukombozi ulitulia kwa zaidi ya miaka 150. Katika wakati huu watu wake walipoteza maono na matumaini katika ahadi ya Bwana, ingawa walizidi kuongezeka na kufanikiwa (mstari 7).

Lakini basi "akatokea mfalme mpya wa Misri, ambaye hakumjua Yusufu" (v.8). Wafalme walio tawala Misri, katika siku za Yusufu walikuwa Wahiksosi au " Wafalme Wachungaji ". Walikuwa wa asili ya Kisemiti na wenye mtizamo wa kirafiki kwa Waisraeli. Wamisri walipopindua nasaba hii ya wafalme, Waisraeli hawakuwa na ulinzi na wakaanza kuteswa.Wamisri waliogopa nguvu za nambari ya Waisraeli na kuamua kuwaweka kwa kazi ngumu na utumwa (vv. 9-11). Wakati hii alishindwa kuzuia idadi yao kuongezeka "waliwafanya kuwatumikia kwa nguvu zaidi." Kisha wakawateuwa wake wa Kiyahudi kuua kila mtoto wa kiume wakati wa kuzaliwa (vv. 12-16).

KUZALIWA NA MAISHA YA AWALI YA MUSA (Kutoka 2:1-10).Katika matukio haya ya kutisha, Musa alizaliwa. Alikuwa mtoto wa tatu wa Amramu na Yokebedi wa kabila ya Lawi. Haruni na Miriam walikuwa ndugu na dada yake wakubwa. Musa alikuwa mwakilishi wa ukoo wa kizazi cha nne wa wana Israeli katika Misri ambaye Mungu alizungumza na Ibrahim (Kutoka 6:16-18; Mwa 15:16).Wazazi wake waligundua kwamba alikuwa " mtoto maalum" (Ebr. 11:23), kwa maana alikuwa "mzuri sana" Matendo 07:20).Kwa imani (Ebr. 11:23), Amramu na Yokebedi walimjificha Musa kwa miezi mitatu ambapo Musa aliwekwa katika safina karibu na mahali pa kuoga pa binti Farao. Miriam angeweza kumsaidia pale tu angengunduliwa. Hawakumuacha mtoto kwa kukata tamaa, lakini walikuwa wanaonyesha imani kubwa na ujasiri. Kitendo hichi cha wazazi wa Musa ni muhimu kutajwa. katika Ebr. 11:23.Katika kukabiliana na imani yao Mungu aliingilia na kuonyesha mapenzi yake. Musa aliokolewa na kwa maoni ya Miriam, binti wa Farao alimteua Yokebedi kama muuguzi kwa mtoto wake. Katika kufanya hivyo, Musa alikuwa amebarikiwa na malezi ya upendo kutoka kwa mama yake na kwa maelekezo ya Bwana katika mikono ya mwanamke mwenye imani.

MUSA ANAFANYA UAMUZI (Ebr. 11:24-26).Kama mwana wa binti Farao, Musa alipewa elimu na mafunzo bora akiwa Misri. Kulingana na recodi ya Josephus kwamba yeye alifanikiwa kama kiongozi wa jeshi la Misri. Musa alijiandaa kwa ajili ya maisha ya anasa tofauti, na nguvu, labda hata kuwa Farao. Lakini alijua kutoka mafundisho ya mama yake kwamba utii wake wa kiroho upo na Waisraeli. Kama wakati ulivyopita, haja ya kufanya uchaguzi ilimpata. Masuala yaliyomkabili yalikuwa utukufu na utajiri, au mateso na machungu pamoja na watu wa Mungu. Kwa imani kubwa ndani ya Mungu alichagua kuteseka pamoja na watu wake. Alijua kwamba "raha ya dhambi" katika mahakama ya Misri ilikuwa kwa msimu tu, lakini malipo ya Mungu wa baba yake ilikuwa urithi wa milele katika nchi ya ahadi (Mwanzo 13:15;. 11:24 Ebr - 26).Katika kufanya hivi Musa aliweka mfano mzuri wote. Uamuzi huu uko mbele yetu leo. Aidha tuamue kufuata mambo ya dunia au Kristo.Itakuwa lazima kufanya uamuzi huu. Kama sisi tuna busara,kama

-66-

Page 67: UTANGULIZI: SEHEMU YA TATU · Web viewTAA MIGUUNI MWANGU Sehemu ya tatu- (Hatua ya kwanza) Matayarisho ya Ufalme Matamshi yako ni taa miguu ni mw angu na mwanga wa njia yangu (Zaburi

Musa, tutajua yote ya dunia ni ya kuisha na tuchague kutembea katika Kristo tukielekea "urithi, usio na uharibifu, au hitilafu, nawa kudumu milele." (1 Pet 1:04.) .

MUSA ANAWATEMBELEA WATU WAKE (Kutoka 2:11-22).Musa alihisi kwamba ukombozi wake wa ajabu, elimu na msimamo alikuwa unamtayarisha kwa ajili ya kazi kubwa. Stefano anatuambia kwamba ilikuwa wazi kwake kwamba Mungu angewaokoa wana wa Israeli kwa mkono wake (Mdo 7:25). Israeli, hata hivyo, alikuwa imechafuliwa na ibada ya sanamu ya Misri (Yos 24:14;. Zab 106:7), walikuwa wamepoteza imani katika ahadi na hawakujiandaa kwa ajili ya ukombozi kupitia mkono wa Musa (Mdo. 7:25).Wakati Musa alipoona MMisri akimchapa Mwisraeli, alienda na kumwokoa kwa kulipiza kisasi, lakini akawa anakabiliwa na kifo cha Misri (Kutoka 2:11-14)! Musa alijaribu kuficha hili lakini alishtuka kugundua kwamba ilikuwa inajulikana. Kwa Kuogopa hasira ya Farao, Musa alikimbilia Midiani katika Peninsula ya Sinai (vv. 16-22). Wamidiani walikuwa wazao wa Ibrahimu na Ketura (Mwanzo 25:2).

Huko, Musa alikutana na binti saba wa Reueli (pia iitwayo Yethro), kuhani wa Midiani, ambaye alimpa ukarimu na mmoja wa binti zake aowe. Miaka yake 40 ya kwanza aliishi katika mahakama ya Misri. miaka 40 iliyofuatia alikuwa mchungaji katika kanda kali ya Mlima Sinai. Kwa kuongoza kondoo alikuwa anajifunza jinsi ya kuongoza watu. Alijifunza kumtegemea Mungu, na kuwa na subira. Wakati Musa alionekana Israeli kwa mara ya pili, miaka 40 baadaye, alikubali Mungu kumweleke. Hasira na shauku, ya Binadamu Musa hakuwa nayo.Katika Waebrania 11:27 tunaambiwa kwamba Musa kwa imani "alihama nchi ya Misri bila kuogopa hasira ya mfalme.Hii ni kumbukumbu ya kuasi kwake na kurudi kuwakomboa wana wa Israeli kutoka kwa Farao. Neno "kuondoka kabisa ". Neno lile linaelezea madai ya nguvu ambayo Musa alitoa mbele ya Farao alipokua akitaka kila Mwisraeli na makundi yao ya kondoo na ng'ombe waruhusiwe kuondoka.

TABIA YA MUSA.

Musa alikuwa kati ya watu mashuhuri waliowahi kuishi (Kumb 34:10). Yeye anaitwa: -

1. Mtumishi wa Mungu (Zab. 105:26); linganisha na Kristo (Isa 53:11).2. Mteule wa Mungu (Zab. 106:23); linganisha na Kristo (Isa 42:1).3. Mtu wa Mungu (Zab. 90); linganisha na Kristo (Zab. 80:17).4. Mchungaji wa Mungu (Zab. 77:20; 78:52); linganisha na Kristo (Ebr. 13:20).5. Mtume wa Mungu (Kum. 34:10); linganisha na Kristo (Kumb 18:18).6. Mpatanishi wa Mungu (Kutoka 24:2), linganisha na Kristo (1 Tim 2:05.).7. Mkombozi wa Mungu (Kutoka 3:10); linganisha na Kristo (Gal. 4:05;. 3:17 Yohana).8. Mtoa sheria na mtawala wa Mungu (Kum 33:4, 5); linganisha na Kristo (Yoh. 5:22; 1:49).

Ni vizuri kuweka akilini kwamba ingawa Musa alikuwa kubwa, alikuwa mtumishi (Kutoka 14:31), ambapo Yesu alikuwa Mwana juu ya nyumba ya Mungu (Ebr. 3:5-6), na kwa hiyo alikuwa mkuu zaidi.

MUSA KAMA MFANO WA KRISTO.Maisha ya Musa ilikuwa mfano wa maisha ya Bwana Yesu (Kumb 18:15-19, cf. Matendo 3:22-26). Kama

-67-

Page 68: UTANGULIZI: SEHEMU YA TATU · Web viewTAA MIGUUNI MWANGU Sehemu ya tatu- (Hatua ya kwanza) Matayarisho ya Ufalme Matamshi yako ni taa miguu ni mw angu na mwanga wa njia yangu (Zaburi

vile Farao aliwaua watoto wa kiume wakiyahudi watoto wakati wa kuzaliwa wa Musa (Kutoka 1:22), kamavile Herode alifanya wakati Yesu alizaliwa (Mathayo 2:16).Kama vile Musa alitoroka na kukimbia, hivyo, Yesu, alipozaliwa, mama yake, alimchukua mpaka Misri (Mathayo 2:13-15). Musa aliwaongoza watu wake kutoka Misri (Kutoka 13 na 14). Hivyo, katika hali ya kiroho, Yesu anafanya hivyo (Ebr. 3). Watu wa Musa, walibatizwa katika Bahari ya Shamu (1 Kor 10:02.). Wale wanaongozwa Yesu lazima pia wabatizwe (Marko 16:16). Israeli chini ya Musa ilikuwa iwe "ufalme wa makuhani" (Kutoka 19). Chini ya Kristo, Israeli ilikuwa iwe "ukuhani wa kifalme" (1 Pet 2:09.). Chini ya Mungu, Musa alikuwa mkuu wa sheria wa Israeli (Kutoka 20). Kristo alikuwa mkuu wa sheria wa Mungu mkubwa kuliko Musa (Mathayo 5:21-28).

:Katika matukio ya maisha ya Musa tunaona muhtasari wa malengo ya Kristo. Hivyo: -

1. Musa alionekana Israeli mara mbili kama mkombozi; Bwana Yesu atafanya vilevile.2. Mara ya kwanza Musa ilikataliwa na Israeli; na kwa namna hiyo hiyo Yesu mara ya kwanza alikataliwa.3. Musa akakimbia hadi nchi ya mbali, Bwana alipaa mbinguni.4. Musa akarudi kukabiliana na Misri na kuwakomboa watu wake, hivyo atafanya Bwana.

Lakini Musa kama aina, hawezi songwa kwa karibu sana. Jumla muhtasari wa kawaida uko pale - si maelezo. Kinyume na Yesu, wakati Musa kwanza alikuja kwa watu wake, elimu yake ya kiroho haikuwa imekamilika. Musa akakimbia, baada kuonekana kushindwa, lakini Yesu akapaa mbinguni katika ushindi (Matendo 01:09;. Efe 1:20, 21). Musa hakushugulika sana na kurudi, lakini Yesu anakaa upande wa kulia wa Mungu "ambapo anangoja mpaka adui zake wafanywe kama kibao chake cha kukanyangia miguu " (Ebr. 10:12, 13). Ni muhimu kutambua tofauti baina ya aina na hali halisi. Aina unaweza kutufundisha mengi, lakini lazima tuangalie kitu halisi kwa picha kamili.

MAFUNZO KWETU :• maelekezo ya mzazi mwenye busara na mwaminifu alishinda hekima ya Wamisri wakati Musa

alifanya uchaguzi wake kumtumikia Mungu na kusaidia watu wake.• Kwa imani Musa aliweza kuona kwamba zawadi ya dunia hii ni bure, lakini ujira wa Mungu ni wa

milele, na hivyo kupendelewa. (2 Kor 4:18.). Kama matumaini ya ahadi ilikuwa kubwa zaidi kuliko matarajio ya chama tawala kama Farao, ni hakika zaidi kuliko chochote tunachoweza jitahidi kupata leo.

• Ukimya na kutafakari ni muhimu kwa ajili ya uelewa wa uwiano wa njia za Mungu. Katika maeneo ya ndani ya Sinai, wakati kuwatunza kondoo, Musa aliingiwa na sifa ya huruma na uvumilivu, hivyo muhimu katika wale wanaitwa kuongoza.

MAKTABA YA KUREJELEA:" Elpis Israel " (J. Thomas)-za 286-287" The Ways of Providence " (R. Roberts)-Sura ya 9" The Visible Hand of God " (R. Roberts)-Sura ya 9" Moses My Servant " (H. Tennant)-Sura ya 1" Letter to the Hebrews " (J. Carter)-za 151-156

-68-

Page 69: UTANGULIZI: SEHEMU YA TATU · Web viewTAA MIGUUNI MWANGU Sehemu ya tatu- (Hatua ya kwanza) Matayarisho ya Ufalme Matamshi yako ni taa miguu ni mw angu na mwanga wa njia yangu (Zaburi

MASWALI YA AYA:1. Nini ilikuwa pale kuhusu vifo vya Yakobo na Yusufu ambayo ilifundisha Waisraeli kuhusu tumaini

la ahadi zilizofanywa kwa baba?2. Kwa nini Musa kukimbia kutoka Misri?3. Masomo gani Musa alijifunza katika miaka yake arobaini kama mchungaji katika Midiani.4. Ya Mose yanasemwa: "Aliona ni afadhali kuteseka pamoja na watu wa Mungu kuliko kufurahia

raha ya dhambi kwa muda" (Ebr. 11:25). Kwa njia gani hii hutumika kwa sisi leo?

MASWALI YA INSHA:1. Andika insha kuhusu utumwa wa Israeli katika Misri na utoaji wa Mungu wa mkombozi, Musa.2. Jinsi gani Musa alitayarishwa kwa ajili ya kazi yake ya ukombozi? Mafunzo gani tunajifunza kutoka hali zake za mapema?3. Kwa njia gani kazi ya Musa ilitambili ile ya Bwana Yesu?

266. UFUNUO KICHAKANI "Hii ni jina langu milele"Tangu Musa atoke Misri, karibu miaka 40 ilikuwa imepita. Wana wa Israeli walikuwa katika utumwa mgumu sana na vilio vyao vilisikika na Mungu (Kutoka 2:24-25). Sasa wakati ulikuwa umefika kuanza maendeleo zaidi katika mpango wake kama ilivyotabiriwa katika Mwanzo 15:16.Lengo la somo hili ni kuonyesha jinsi jina la Ukumbusho wa Mungu lilifafanua nia yake kuwaokoa watu wake na jinsi Yeye alipanga kulinda lengo lake.

Kutoka 3 na 4 KATIKA MLIMA SINAI (Kutoka 3:1-12).Musa, kama mchungaji wa kondoo za Yethro aliwaongoza kondoo wake na "upande wa jangwa" karibu na Mlima Horebu (karibu na Mlima. Sinai) katika kusaka ardhi ya malisho ya mifugo. Katika jimbo hili lisilo na watu na lenye ukiwa, udogo wa mtu katika uso wa nguvu za Mungu kushangaza niya kuonekana na kuhisika. milima mirefu na vilima , pamoja na ukimya mbali na upepo ilifanya hisia isiosahaulika kwa akili ya binadamu mwenye fikira za kutembea eneo hili.Katika hali ya kutisha na yakupokelewa kwa akili, Musa aliona maajabu. Aliona kichaka kikitetemeka kwa moto lakini hakiku kinachomeka. Musa alishangazwa na akuamua "kusonga kando" ili auone ajabu ile akiwa karibu.Alipokaribia, aliitwa na Malaika, na baada ya kujibu aliambiwa asikaribiye tena lakini atoe viatu vyake, kwa sababu alikuwa amesimama juu ya ardhi takatifu. Malaika alisema zaidi kwake,na kumtangaza kuwa mwakilishi wa Mungu wa Ibrahimu, Isaka na Yakobo.Katika uwepo wa Mungu, Musa daima alionyesha heshima sahihi na kuogopa (angalia Ebr 12:18-21.), Na tukio hili halikuwa ubaguzi. Musa aliogopa. Wakati alisimama akitetemeka aliambiwa sehemu yake katika mpango wa Mungu. Mungu alikuwa awaokoa watu wake kutoka Misri kwa mkono wa Musa, na kuwaongoza Sinai ambapo wangeweza kumwabudu (mstari wa 8-12).

-69-

Page 70: UTANGULIZI: SEHEMU YA TATU · Web viewTAA MIGUUNI MWANGU Sehemu ya tatu- (Hatua ya kwanza) Matayarisho ya Ufalme Matamshi yako ni taa miguu ni mw angu na mwanga wa njia yangu (Zaburi

Hakuna shaka kwamba kichaka ina umuhimu mkumbwa. Mpango wa Mungu ulielezwa kutoka katikati ya kichaka ambacho kiliwaka na kutoa joto mingi, bado hakikuharibiwa. Kupata maana ya ishara hii ni lazima tuangalie Israeli.

1. Wao waliitwa kuwa watu wa Mungu (Kutoka 6:07).2. Walikuwa watangaze haki yake kwa mataifa (Kumb 4:6-8).3. Wao waliendelea kuasi dhidi yake na waliteseka kwa sababu ya hiyo (Kumb 09:24).4. Ingawa waliteswa, hawakuwa kamwe waharibiwe (Yer. 46:28, Mal 3:06.).

Sambamba ni wazi. Kichaka kinaelezea Israeli, ambaye historia yake ya taabu ilionyesha haki ya hukumu ya Bwana kwa dunia, na, pamoja na majanga ya kutisha kitaifa, kuishi kama watu tofauti. Madhumuni ya Mungu, na Israeli katika kituo chake, haiwezi kuzimwa (Isa 43:1-7).

JINA LA UKUMBUSHO (Kutoka 3:13-15).Musa, katika kumuuliza Mungu Jina lake, alikuwa akitafuta zaidi ya mamlaka na ambavyo angekaribia Israeli. Katika baadhi ya jina katika nyakati hizo ilifafanua dhamira ya mtu au kusudi katika maisha. Jina 'Ibrahimu' ina maana ya "Baba wa umati mkubwa wa watu" (Mwanzo 17:05 kiasi). 'Musa' ina maana ya "inayotolewa nje" kwa sababu alikuwa ametolewa kwa maji (Kutoka 2:10 kiasi). 'Yesu' maana yake ni "Wokovu wa Mungu" kwa sababu ni lengo lake (Isa 49:6). Musa alikuwa katika ukweli kumuuliza Mungu afafanue kusudi lake, ilivyoonyeshwa katika Jina (angalia Yer 16:21;.. Zab 08:01;. Ezek 36:22).Jibu la Mungu (m. 14) limetafsiriwa katika toleo letu lililoidhinishwa la Biblia kama "mimi ndimi mimi", lakini maneno ya Kiebrania "Ehyeh Asher Ehyeh" yametolewa kisahihi zaidi , "Mimi nitakuwa ambaye mimi nitakuwa (.. RV mg) Mst 14 inapaswa basi kusoma: -

"Na Mungu akamwambia Musa Mimi NITAKUWA MWENYE mimi NITAKUWA,' na akasema, Hivyo utakavyowambia wana wa Israeli, 'Mimi NITAKUWA' amenituma kwenu."

(Utabaini kuwa EHYEH katika mstari wa 12, "hakika mimi niTAKUWA pamoja nawe", imeonyesha usahihi ). Maana ya jina la Mungu basi inakuwa: -

"Mimi nitapanua nafsi yangu kwa wengine ambao mimi nitakuwa".

Jina la Mungu basi ni unabii makubwa - "Mimi nita" inaeleza, na jina linasemwa kuwa la Mungu "ukumbusho kwa vizazi vyote" (v.15). Ukamilifu wake utaonekana katika wakati wa Ufalme na baadae wakati Mungu ataonekana katika utukufu ambao utaonyesha tabia yake na utukufu na ambaye Mungu atakaa. Hivyo maneno yaliyotumiwa na Paulo, Mungu atakuwa "yote katika wote" (1 Kor 15:28.).

Bwana Yesu Kristo alikuwa mtu wa kwanza kutumia maneno "ambaye mimi nitakuwa". Yesu alikuwa "neno likafanywa mwili", akili ya Mungu ikitembea duniani kama mwanadamu. Kama Mwana wa pekee wa Mungu, alionyesha utukufu wa Baba, akifafanua njia zake kikamilifu katika siku za mwili wake (Yohana 1:14). Yote aliyoyasema na kufanya ilionyesha akili na tabia ya Mungu (Yn. 5:30; 14:10), ili kwamba mtu yeyote aliyemwona "kuona Baba" (Yohana 14:09).

Jina hivyo linaonyesha mbele kwa wakati Mungu atafunuliwa kama Baba, akijifunua mwenyewe kwanza katika Mwana, na kisha katika wana (Rum. 8:19).

-70-

Page 71: UTANGULIZI: SEHEMU YA TATU · Web viewTAA MIGUUNI MWANGU Sehemu ya tatu- (Hatua ya kwanza) Matayarisho ya Ufalme Matamshi yako ni taa miguu ni mw angu na mwanga wa njia yangu (Zaburi

Jina la Mungu, kama anavyosema yeye mwenyewe, ni EHYEH, "Mimi NITAKUWA." Lakini wakati linasemwa na wengine, inakuwa YAHWEH, katika nafsi ya tatu, maana yake, "yeye atakaye KUWA".

Kwa Musa, Jina lilionyesha kazi ya udhihirisho Mungu alikuwa kuanza katika Israeli, mzaliwa wa kwanza wa Mungu taifa, ambaye Mungu ataokoa kuwa watu wa kuonyesha tabia yake. Kusudi la Mungu halitahusisha watu wote, kwa ajili Yeye atajiangaza tu kwa wale "AMBAYE nitakuwa" (taz. Kut 33:19.). Wakati Yeye atahusisha jina lake la Yahwe na Ibrahimu, Isaka na Yakobo (3:15,16; 4:05), Alionyesha kwamba channel ya kusudi lake itapitia Israeli na nje ya Israeli kutakuwa hakuna matumaini (Efe. 2 : 12). Mungu hapo awali alionekana na mababa kama nguvu Mwenye Uwezo lakini sasa katika ukombozi wao kutoka Misri taifa lingemwona kama Yahweh, "Yeye ambaye" atawakomboa watu wake, ili kwamba, kama watu wake, baini Mungu wao (zamani 6:2-8.).

Jina la ukumbusho la Mungu daima husemwa "Bwana" au "MUNGU" katika Biblia zetu, na mengi hukosekana kwa sababu ya hili. Huunganishwa na maneno mengine kuunda majina kadhaa ya Mungu. Haya ni wachache ya majina ya kawaida: BWANA Mungu Yahweh Elohim - "Yeye wenye nguvu" Bwana MUNGU-Adonai Bwana - "Yeye ambaye atakuwa watawala" Bwana wa majeshi-Bwana T'zvaoth-"Yeye ambaye atakuwa majeshi "inaweza kuonekana kwamba haya majina yote yana utimilifu wao katika ufalme, na kwamba maendeleo mbalimbali, kama Israeli itaiitwa kumubaini (Kumbu. 28:10), au Ecclesia" kuchukuliwa kutoka mataifa kama watu wa jina lake "(Matendo 15:14), yote yameundwa kuleta kusudi lake. Katika maana kamili, wale wanaostahili wamehesabiwa watarithi asili ya Mungu mwenyewe , na kumubainisha Yeye kwa uhakika na katika ukweli (Ufu. 3:12; Efe 1:01;. 1 Yohana 3:02). Sifa za Mungu, ambazo ni lazima tuivae wakati wa ubatisho katika jina la Baba, yalifunuliwa kwa Musa chini ya Mlima Sinai wakati yeye alitaka kujua njia ya Mungu. Soma Kutoka 34:6-8 kwa makini. Kuna hatua tatu za kuzaliwa upya ambazo sisi lazima tupitie:

1. Kuzaliwa upya kiakili : kwa kufahamu na kuamini Neno lake (Yohana 3:16).2. kuzaliwa upya Kimaadili : kwa kujenga katika maisha yetu, tabia ya Mungu huthibitisha, upendo,

huruma, uaminifu, nk (Yohana 14:23).3. kuzaliwa upya Kimwili : kwa mabadiliko kutoka wavu kwa wasio kufa s katika ujio wa pili wa

Kristo (Flp 3:20, 21).

Wakati hatua zote ni kamili, Mungu atakuwa "yote katika wote".

MAELEKEZO KWA MUSA (Kutoka 3:16-22).Kwa kufanya Jina lake kubwa lijulikane kwa Musa, Mungu alimwambia arudi Misri, aite wazee wa Israeli pamoja, awaambie kusudi Yeye alikuwa na wao, na kisha aende kwa ujasiri mbele ya Farao na kudai kwamba awaachilie waisraeli kwenda kuabudu katika nyikani. Wakati huo huo, Mungu alimwambia Musa kwamba Farao angekataa ombi lake, lakini hatimaye yeye atalazimishwa kuwaachilia watu waende.Wakati wa Kutoka hatimaye ulifika walikuwa "waulize" au "waagize" (si "kukopa" kama katika 3:22) vyombo na mavazi kutoka kwa Wamisri , na Mungu aliwahakikishia kwamba bila hiari watawapa. Walikuwa wamefanya kazi kwa miaka mingi kama watumwa, na Mungu alidai malipo yao!Katika yote haya, Mungu kuamua kuonyesha nguvu zake juu ya nguvu ya Misri na miungu yake (9:16).

-71-

Page 72: UTANGULIZI: SEHEMU YA TATU · Web viewTAA MIGUUNI MWANGU Sehemu ya tatu- (Hatua ya kwanza) Matayarisho ya Ufalme Matamshi yako ni taa miguu ni mw angu na mwanga wa njia yangu (Zaburi

KUSITA KWA MUSA '(Kutoka 4:1-17).Licha ya msaada wa Mungu ulioahidiwa Musa alikosa ujasiri wa kutenda sehemu ya mkombozi. Miaka arobaini katika jangwa kuchunga kondoo ilikuwa kiasi imebadili Musa. Hakuwa ubinafsi hakika wa kijana. Sasa alikuwa mnyenyekevu na mwenyefikira, lakini katika macho ya Mungu tayari kufanya kazi kubwa ya kuokoa Israeli kutoka Misri.

Musa ingekumbuka jinsi Israeli ilikuwa imekataa msaada wake miaka 40 awali, na bila shaka wangefanya hivyo tena. Mungu alimjalia ishara maalum ambayo itathibitisha mamlaka yake: -

1. Fimbo ikaguka na kuwa nyoka;2. Mkono uliokuwa na ukoma ukapona;3. Kugeuka kwa maji ya mto kuwa damu.

Musa alikuwa bado anasita kutenda. Alidai kuwa yeye hakuwa msemaji (v.10). Lakini Mungu alimjibu, hasa kwa maneno haya: "Nenda, nami nitakuwa kinywa chako na nitakufundisha yale utakayosema" (vv. 11-12). Bado Musa alisita na hii ikamkasirisha Mungu (vv. 13-14). Haruni aliteuliwa kuwa msemaji wa Musa na Musa akaamriwa kurudi, fimbo mkononi, ili akafanye ishara (vv. 15-17).Wakati huo huo, Haruni alitoka, kama alivyokuwa ameambiwa, na kukutana na Musa katika Mlima wa Mungu (vv.27-28). Waliporudi waliwakusanya wazee wa Israeli na Haruni aliwaambia kuhusu kusudi la Mungu. Watu waliposikia maneno ya Musa, na kuziona ishara, waligundua kwamba Mungu kweli alikuwa pamoja naye: "Watu waliamini ... wakainama vichwa na kusujudia" (vv.29-31).

MASOMO KWETU:• kichaka cha moto, ambacho hakiingui, kilikuwa ni ishara ya kusudi la milele la Mungu kuhusu Israeli. Katika karne amewahifadhi na leo katika mkusanyiko wa Palestina alionyesha wazi kwamba Mungu anatawala katika ufalme wa wanadamu.• Jina la Mungu linatukumbusha kusudi lake la kuwakomboa wanadamu. Madhumuni ya Mungu ni kwamba dunia nzima itajaa na utukufu wake na kisha maana ya Jina lake itakuwa imetimia. Sisi tuna rehema "kuchukuliwa kutoka kwa watu wa mataifa na kuitwa watu kwa ajili ya Jina lake" (Matendo 15:14).• Mungu alimchagua Musa kuwaongoza watu wake baada kukomaa kwa muda wa miaka arobaini ambayo yeye alikuwa mchungaji katika mazingira ya Mlima Sinai.

MAKTABA YA KUREJELEA

"Elpis Israel" (J. Thomas) — Kurasa 288-289

"Phanerosis" (J. Thomas) — Kurasa 56-59

"The Visible Hand of God" (R. Roberts) — Sura 10 and 11

"Christadelphian Standards" (H. P. Mansfield)—Kurasa 35-54

"The Story of the Bible" (H. P. Mansfield)— Sehemu. 1, Kurasa 236-257

-72-

Page 73: UTANGULIZI: SEHEMU YA TATU · Web viewTAA MIGUUNI MWANGU Sehemu ya tatu- (Hatua ya kwanza) Matayarisho ya Ufalme Matamshi yako ni taa miguu ni mw angu na mwanga wa njia yangu (Zaburi

MASWALI YA AYA:1. Kuna umuhimu gani wa kichaka cha moto?2. Jina la Mungu lilikuwa gani ambalo alimfunulia Musa. lina maana gani?3. Jinsi gani Bwana Yesu Kristo aliweka wazi Jina la Mungu?4. Ishara gani Mungu aliimpa Musa kuthibitisha ni yeye alikuwa ametuma?5. Kwa nini Musa alisita kuwaongoza wana wa Israeli kutoka Misri?6. Jinsi gani alikuwa amebadilika kwa wakati wa miaka 40 aliyokuwa Midiani?

MASWALI YA INSHA:1. Elezea maana ya Jina la ukumbuho la Mungu. Inatufundisha nini na jinsi gani inahusiana na sisi?2. Elezea matukio yaliyotokea wakati malaika wa Mungu alimtokea Musa katika kichaka cha moto.

267. *Mapigo na PASAKA "Waache watu wangu waende"

Musa alikuwa hayupo katika mahakama ya Farao kwa miaka 40 na sasa, akiwa na umri wa miaka 80, alirudi kutoa ujumbe kutoka kwa Bwana: " Waache watu wangu waende," hadi mwisho wapate kuwa watu "kwa ajili ya Jina lake ", kukombolewa kutoka utumwa na kuletwa katika nchi ya ahadi (Kum. 6:12, 21-24). Lakini kulikuwa na mengi zaidi ya haya na si tu ukombozi wa taifa kutoka utumwa. Madhumuni ya Bwana yalikuwa pia kuonyesha nguvu zake juu ya Misri, taifa lililokuwa lenye nguvu zaidi(Kutoka 9:16).Musa alipewa kazi ya kutangaza neno la Yahweh kwa Farao. haikuwa kazi rahisi, kwa Farao, aliyekuwa mtawala mkuu wa Misri, alikuwa mtu wa mwili: mwenye kiburi na anayeabudu ibada ya sanamu. Haikuwa mpaka pigo la mwisho la kutisha - kifo cha mzaliwa wa kwanza - ndipo alikubali wana wa israeli kutoroka kupitia Bahari ya Shamu. Hata kabla ya kufika Bahari ya Shamu, moyo wake kuwa mgumu tena na akawafuata tena.Lengo la somo hili ni kuonyesha jinsi Mungu alionyesha ukuu wake juu ya miungu ya Misri na akawakomboa wana wa Israeli ikwa njia ya damu ya kondoo wa Pasaka - ambaye kwa njia yake leo tunaweza pata ukombozi kutoka "Misri" ya kiroho.

Kutoka 5-12

MOYO WA FARAO UKAWA MGUMU.Farao kwa hasira alikataa ombi la Musa (5:1-4), na kwa kuonyesha dharau na kiburi, aliwaongezea ya watumwa mizigo (vv. 5-14). Kwa kufuata maagizo ya Bwana, Musa aliomba kuachiliwa kwao, na alionyesha mamlaka yake kwa ishara ambayo Mungu alikuwa amempa. Hii ishara ilifanywa pia wachawi wa Misri, ambao walikuwa na ujuzi wa udanganyifu na hila-ya-mikono, na matokeo yake, Musa na Haruni, walioteuliwa na Mungu kama msemaji wake, wakafukuzwa mahakama ya Farao (7:8-13 ).Hatma Waisraeli ikageuka na ikawa ya kukata tamaa. Farao alikuwa katili na shupavu, na katika mwelekeo wa Bwana, pigo la kwanza likatokea.

-73-

Page 74: UTANGULIZI: SEHEMU YA TATU · Web viewTAA MIGUUNI MWANGU Sehemu ya tatu- (Hatua ya kwanza) Matayarisho ya Ufalme Matamshi yako ni taa miguu ni mw angu na mwanga wa njia yangu (Zaburi

MapigoIlikuwa ni muhimu sana kwamba kila pigo, kwa nji yoyote iligusia dini ya watu wa Misri. Wengi wao walioathirika walikuwa na miungu ya watu; Bwana alitaka kuwaonyesha nguvu zake na Ukuu juu ya maisha yao.

1. Maji kugeuka kuwa damu (Kutoka 7:14-25): Watu wa Misri mwaliucha mto Nile kama mungu na maji yake yalikuwa matamu, na ya kuburudisha kiafya; bila shaka maji haya yalikuwa uti wa mgogo wa maisha ya kilimo nchini Misri, ambayo haikupata mvua (Zek. 14:18). Kwa muujiza huu, , maji ya Nile yaliokuwa matakatifu yakawa machafu na viumbe vyote ndani nyake vikakufa. (7:18).2. Vyura (Kutoka 8:1-15): chura mtakatifu, aliyekuwa ameheshimiwa, sasa alikuwa amechukiwa kwani alijaa kila mahali. Farao aliomba kuondolewa kwao, na ili amwonyeshe nguvu za Mungu, Musa ilimwambia achague wakati wanaopaswa kwenda (vv. 9-10). Lakini wakati vyura walikufa wote, Farao alikataa kuruhusu wana wa Israeli kuondoka (angalia Isa 26:10.).3. Chawa (Kutoka 8:16-19): pigo hili pia liliwathiri wakuu wa kidini kule Misri, kwa ajili makuhani wakiwa wamejaa chawa hawangeweza kutolea miungu ibada. Na chawa hawa walikuwa katika mwanadamu na wanyama". Hadi kufikia sasa, wataalamu wa nyota wa Misri hawakuwa na uwezo wa kuiga yale mapigo Mungu alikuwa ametuma;. Ikawalazimu kukiri nguvu kubwa iliyowekwa ndani ya Musa (v.19). Hivyo lengo kubwa la mapigo ilikuwa imeonekana.

4. Inzi (Kutoka 8:20-24 ): Mapigo matatu ya kwanza yalikuwa mateso ya Waisraeli pamoja na Wamisri , lakini kukawana mgawanyiko kati ya nchi ya Gosheni na Misri. Mungu alikuwa karibu kuthibitisha lengo lake la pili kubwa - kwamba wana wa Israeli walikuwa watu wake maalum. Inzi wengi walisambaa nchini; na hawakuwa inzi wa kawaida lakini wale watu wa Misri waliochukia kwani walikuwa weusi na kama inavyoelezwa "waliharibu ardhi na kuwauma Wamisri (Zaburi 78:45 ).

Farao alimwambia Musa , " nendeni katika nchi yenu mkamtolee Mungu sadaka " ( v.25 ). Lakini Musa hakukubali mapatano hayo kwani Mungu alikuwa ameamuru vinginevyo na akataka dhabihu zinazohusishwa na kuchinjwa kwa wanyama wa kuheshimiwa na Wamisri. Baada ya kulazimishwa kukubaliana na madai ya Musa ( v.28 ) Farao akaufanya moyo wake kuwa mgumu punde tu pigo liliondolewa na alikataa kuruhusu waisraeli waondoke ( v.32 ). Rekodi inasema kwamba Mungu alifanya moya wa Farao kuwa mgumu ( 9:12; 10:01 ). Wakati Farao alikuwa akitenda kulingana na mapenzi yake mwenyewe , Mungu alikuwa amemfanya Firauni awe mtu wa kiburi na ukaidi ili uwezo wake apate kufunuliwa kwa wote ( 9:16 ; . Linganisha Warumi 9:16-18 . )

5. Murrain (Kutoka 9:1-7): Murrain ni ugonjwa kati ya wanyama, na uliwapata wanyama wa Misri. Hapa tena, Mungu alikuwa anaonyesha nguvu zake, kwa sababu ng'ombe walikuwa wamependwa na Wamisri. Hata hivyo, wakati wa pigo hili kwa ng'ombe za Wamisri, Farao, kwa uchunguzi wake akapata kwamba nchi ya Gosheni ilikuwa haina ugonjwa huu (v.7)6. Majipu (Kutoka 9:8-12): majipu yalizuka kwa binadamu na wanyama (v.10), na kuathiri hata waganga (mstari 11). Hata baada ya adhabu na yeye na watu wake kuteseka kwa maumivu ya vidonda, Farao alikataa kuruhusu wana wa Israeli kuondoka.7. Mvua ya mawe (Kutoka 9:18-26): Kabla ya pigo hili Farao alionywa (vv. 15-16). Yeye, kwa wakati huu alikuwa na nguvu nyingi kuliko binadamu yeyote, na ambaye alikuwa anaabudiwa na watumwa wake,

-74-

Page 75: UTANGULIZI: SEHEMU YA TATU · Web viewTAA MIGUUNI MWANGU Sehemu ya tatu- (Hatua ya kwanza) Matayarisho ya Ufalme Matamshi yako ni taa miguu ni mw angu na mwanga wa njia yangu (Zaburi

aliambiwa na kiongozi wa watumwa kwamba aliruhusiwa kuishi kwa neema ya Mungu ambaye alimdharau. Siku iliyofuata, Mvua ya kuogofya ilinyesha Misri. Alikuwa na athari iliyotakikana na Farao aliomba aonewe huruma (vv.27-28), lakini tena, baada ya pigo kuondolewa, akaufanya moyo wake kuwa mgumu tena. (vv.33-34).

8. Nzige (Kutoka 10:1-20): Nzige, kama majeshi na maandamano, walitafuna mimea yote ya Misri, isipokuwa nchi ya Gosheni. Farao na watumishi wake wakamsihi awe na huruma. Walikuwa wamechoka. Lakini ingawa alikuwa karibu akamkubalie nafuu fulani (vv.7, 9), alitaka kuweka wazi na kusisitiza juu ya suala lake kutimizwa.; "Una madhumuni maovu", alisema (v.10), na alikataa wakawaacha waende zao.9. Giza (Kutoka 10:21-29): Wamisri pia walikuwa waabudu wa jua, na Mungu ilionyesha amri yake ya nguvu hii ya asili wakati Yeye aliziba jua. Giza lilikuwa kubwana waliweza kulihisi. Goshen pekee ndiko kulikuwa na mwanga. Farao akamwita Musa na kujaribu kujadiliana naye, lakini Musa alirudia maelezo ya Mungu. Farao alikataa na kwa hasira almtishia Musa na kifo kama angerudi katika mahakama yake. Farao alikuwa ameonyesha dharau yake kwa Bwana na mtumishi wake, na sasa Bwana alikuwa tayari kumwaga ghadhabu yake juu ya Farao na watu wake.10. Mzaliwa wa kwanza (Kutoka 11 na 12): pigo la kumi na la kutisha zaidi lingemfanya Farao kumtii Bwana (11:01). Kifo kingekumba kila familia katika nchi na kila mzaliwa wa kwanza angekufa. Lakini katika nchi ya Gosheni, Waisraeli wangepata msamaha kutoka pigo hili, kama wangemwamini Mungu na kutii Pasaka kama aliwaamuru.

PASAKA (Kutoka 12:1-27)

Maelekezo ya kina kuhusu Pasaka yalipewa na Musa naye akawaelezea waaminifu wake. Maelekezo yalikuwa kama ifuatavyo: -

1. Mwezi wa Abibu ulikuwa uwe mwanzo mpya wa mwaka kwao (v.2) na siku ya kumi ya mwezi huu, kila nyumba katika Gosheni ilikuwa ichague kondoo, kutoka kwa kundi lake, na kumfugia kwa siku nne (vv. 3-5).2. Katika siku ya 14, wakati wa jioni (yaani, 3:00-06:00 majira ya ulaya), walikuwa wamchije kondoo na kuweka damu yake kwa ndoo (V.6, kumbuka kiasi).3. Waliamriwa kuzamisha tawi la hisopo katika damu hii na kuinyunyiza juu ya milango na kwenye vizingiti vya nyumba zao (v.7).4. Jioni ilipofika, waliamriwa kumchoma yule kondoo mzima na kisha kula nyama pamoja na mboga chungu na mkate usiotiwa chachu (vv.8-9). Na wasifunje hata mfupa mmoja wa kondoo(v.46).5. Walitakiwa kubaki ndani ya nyumba usiku wote (v.22).6. Hakuna mgeni aliruhusiwa kula pamoja na wana waIsraeli isipokuwa yule alikuwa amejiunga nao kabisa (v.48).7. Hakuna wa kondoo wa Pasaka alikuwa abakie mpaka asubuhi. kama hawangeweza kula wamalize walikuwa wachome aliyebaki na moto (v.10).8. Walikuwa wale kwa haraka wakiwa na viatu na wafanyakazi karibu, tayari kuondoka kwa harakaMusa anapoamuru (v.11).

-75-

Page 76: UTANGULIZI: SEHEMU YA TATU · Web viewTAA MIGUUNI MWANGU Sehemu ya tatu- (Hatua ya kwanza) Matayarisho ya Ufalme Matamshi yako ni taa miguu ni mw angu na mwanga wa njia yangu (Zaburi

Musa aliwafafanualia Waisraeli maana ya hayo yote . Aliwaambia kwamba Bwana alikuwa karibu kuwaua wazaliwa wote wa kwanza wa nchi ya Misri, lakini wakati Malaika wa Kifo ataona damu juu ya kizingiti na miimo ya nyumba ya Waebrania, atawaacha "mzaliwa wa kwanza" wa Bwana (4 : 22; 12:23). Ili kamwe wasisahau masomo yake, Waisraeli waliagizwa kuweka sikukuu hii kama kumbukumbu kila mwaka (vv.14, 24-27).

USIKU WENYE WAZALIWA WA KWANZA WALIWAWA (Kutoka 12:28-39).

Kwa uaminifu Waisraeli wakanyunyizia damu ya mwana kondoo wa Pasaka kwenye viegemezi vya nyumba zao (Ebra 11:28). Wakati usiku ilifika na watu wakaingia nyumba zao, ukimya ukafunika nchi yote; utulivu wa kutisha, maneno ya Musa yalileta hofu kubwa kwa wakuu wa Misri ambao walikuwa wamejifunza kuheshimu maonyo ya Mungu.

Lakini katika Gosheni, kulikuwa na matarajio na msisimko, kila familia, pamoja na yoyote ambaye alikuwa amejiunga na "tumaini la Israeli", walikusanyika kwa meza zao wakila kondoo wa Pasaka kama walivyoagizwa. wazaliwa wa kwanza wa Bwana walisimama tayari kutoroka amri yake, kilio cha kutisha kilitokea katika moyo wa nchi ya Misri; katika kila familia ya Misri Malaika wa Kifo alikuwa amefanya kazi yake ya kutisha. Katika kila nyumba wazaliwa wa kwanza walilala wakiwa wafu, na nyumba ya Farao haikusamehewa. Hofu ya kutisha na dhiki iliingia watu. Wajumbe walitumwa mara moja kwa Musa katika Gosheni kumsihi aondoke pamoja na watu wake mara moja kutoka nchi ya Misri. Farao hangekataa masharti ya Musa.

Kwa Waebrania, wakati wa ukombozi ulikuwa amefika sasa. lakini pamoja na kutetemeka mikono kwa sababu ya mambo ya kutisha yaliyotendeka ili kupata ukombozi wao, walinyakua mali zao, ikiwa ni pamoja na "zilizokopwa" makala ya thamani kutoka Wamisri. Walifuata Musa katika usiku - wanaume 600,000 na wanawake na watoto wao, kondoo, ng'ombe na wale ambao walikuwa wameeka fungu lao na Israeli. Kabla ya mapigo kuanza Farao alikuwa ameuliza, "Bwana ni nani ati niisikilize sauti yake na kuruhusu Waisraeli kwenda" (Kutoka 05:02). Sasa Mungu alikuwa amempa jibu. Alikuwa ameonyesha nguvu zake na kisasi kama vile Farao hakuwa kamwe ameamini ingewezekana (12:12, linganisha Zab.. 78:43-53).

KRISTO, MWANA KONDOO WA KWELI WA PASAKA.

Mtume Paulo anasema, "Kristo, Pasaka yetu ni sadaka kwa ajili yetu" (1 Kor 5:07walivyoagizwa.). Alikuwa kama wakila kondoo wa Pasaka kwamba: -

1. Katika siku ya 10 ya mwezi wa kwanza wa mwaka wa Wayahudi, aliingia Yerusalemu (Mathayo 21:10).

2. Kutoka ya 10 hadi siku ya 14 alikuwa "ameandikwa juu" katika Yerusalemu, akifundisha kila siku hekaluni , na kila usiku kutembea Mulima wa Mizeituni kupumzika (Luka 21:37, 38).

3. Katika siku hizi nne "ilikagua'' na viongozi wa watu na kuonyeshwa kuwa hana kosa au kilema (Mathayo 27:24; Luka 23:13-16).

4. Katika siku ya 14 katika saa ya 9, aliuawa (Lk. 23:44-46; kulinganisha Kutoka 00:06 kiasi.).5. Alijua uchungu wa mateso ( dawakali ya mimea) na yeye mwenyewe alikuwa bila "chachu ya

uovu" (1 Kor 5:6-8.).-76-

Page 77: UTANGULIZI: SEHEMU YA TATU · Web viewTAA MIGUUNI MWANGU Sehemu ya tatu- (Hatua ya kwanza) Matayarisho ya Ufalme Matamshi yako ni taa miguu ni mw angu na mwanga wa njia yangu (Zaburi

6. Kama damu juu ya miimo ilileta wokovu kwa Waebrania, hivyo ukombozi binafsi ni kwa njia ya damu ya Kristo (1 Petro 1:18, 19;. Ebr 00:24;walivyoagizwa. Ufu. 7:13, 14).

Hivyo kondoo wa Pasaka ilielekezwa kwa Bwana Yesu Kristo; vivuli wote wa maadhimisho walipata riziki zao ndani yake.

ISHALA YA SIKUKUU YA PASAKA SIKUKUU.

Pasaka mpaka leo ina maana kwetu . Bwana alisema kwa Musa, "Wakati nitaona damu, nitapita juu" (Kutoka 12:13). Sisi hujitambulisha na ahadi hii kwa njia ya damu ya Bwana Yesu Kristo kupitia ubatizo, na kwa tendo hili, sisi hufanya mawasiliano na "damu ya thamani (1 Pet 1:19.).

Kwa kuweka damu juu ya milango yao, Israeli walionyesha kukubalika kwao kwa kanuni za upatanisho kama ilivyoelezwa katika sadaka (Ebr. 11:28). Damu ni ishara ya maisha ya mwili ambayo itamwagwa katika utii kwa Mungu (Law 17:11). Kukubalika kwetu kwa kanuni kama hizo lazma tubaini sisi wenyewe maisha yake ya sadaka.

Katika Kutoka 12:13, Bwana anaahidi wale wote ambao huzingatia mahitaji yake, "nitapita juu yenu". Katika Warumi 3:25, Paulo anatuambia kwamba Mungu "amepanga" (kimsingi "yamewekwa mbele", kama damu milangoni) Yesu Kristo , kwa njia ya imani katika damu yake twaweza kupata "ondoleo la dhambi". Neno "ondoleo" likiwa na maana ya "kupita juu" . Basi Bwana ako tayari "kupita juu ya" dhambi zetu za zamani kwa njia ya kumwagiliwa damu ya Kristo, hata wakati Malaika wa Kifo "alipita juu ya" nyumba katika Gosheni.

Sisi pia tumeamriwa kuweka sikukuu ya ukumbusho (Lk. 22:13), tukijua kwamba damu ya Kristo ilitowa njia ya pekee kwa msamaha wa dhambi na ukombozi kutoka "Misri". Sisi lazima tujitenga kutoka kwa dunia (1 Yoh 2:15.), kama vile Israeli ilitengwa kutoka Misri katika nchi ya Gosheni. Lazima "tusafishe " chachu (mabaya) kutoka maisha yetu, na kutambua kwamba kwa njia ya mateso na kesi ( mimea michungu), Mungu ametoa njia ya wokovu.

MAFUNZO KWETU :

• Firauni alikuwa jeuri na inda na alikataa madai ya Bwana. Kwa kirefu, hata hivyo, alikuwa wanyonge na kulazimishwa kukiri ukuu wa Bwana, kama itakavyo dunia nzima.

• Kristo ni kondoo wetu wa Pasaka na isipokuwa tumechukua wenyewe dhambi kifunika jina la Kristo, tutaangamia, kama mzaliwa wa kwanza wa Misri , katika siku ya hukumu ambayo inakuja.

• kumwagiliwa damu ya Kristo hutuwezesha kutoroka machungu ya utumwa wa dhambi.• Kama Misri ilivyohukumiwa, ndivyo ulimwengu wa leo (ambayo ni ya tabia ya Misri) utafanya

katika kurudi kwa Kristo.

-77-

Page 78: UTANGULIZI: SEHEMU YA TATU · Web viewTAA MIGUUNI MWANGU Sehemu ya tatu- (Hatua ya kwanza) Matayarisho ya Ufalme Matamshi yako ni taa miguu ni mw angu na mwanga wa njia yangu (Zaburi

MAKTABA YA KUREJELEA:

"Visible hand of God" (R. Roberts) - Sura 11-13

"Elphis Israel" (J. Thomas)-za 290-291, 295-298

"The way of Providence" (R. Roberts)-Sura ya 10

"Law of Moses" (R. Roberts)-Sura ya 21

"Law and Grace" (WF BARLING)-za 4143, 89-91, 137-140

"Moses My Servant" (H. Tennant)-Sura ya 2

_______________

"The story of the Bible" (H. P. Mansfield)-Vol. 1, 258-277 za

MASWALI YA AYA:1. Ni malengo gani Bwana alithibitisha katika: -

a. Mapigo matatu ya kwanza ?b. Mapigo saba ya mwisho?

2. "Naye Bwana akaufanya moyo wa Farao kuwa mungumu." Eleza kwa ufupi taarifa hii.3. Orodhesha njia ambazo sikukuu ya Pasaka imefananishwa na Bwana Yesu Kristo.

MASWALI INSHA:1. Nini madhumuni ya mapigo juu ya Misri na ni jinsi gani yalidhihirisha ukuu wa Bwana?2. Eleza jinsi Kristo ulionekana katika Pasaka huko Misri3. Ni jinsi gani Pasaka huwa na ujumbe kwetu leo?

(1) Katika usiku wa Pasaka, na baada ya mzaliwa wa kwanza wa Misri kuwaawa, Musa aliongoza wana wa Israeli kutoka Ramesesi mpaka Sukothi (12:31-39).

(2) Kutoka Sukothi waliongozwa na nguzo ya wingu mpaka Ethamu kando ya jangwani (13:20-22).(3) Wanaongozwa upande wa magharibi wa Bahari ya Shamu, wana fuatwa na Farao, wanavuka

Bahari ya Shamu kuonyesha ukumbwa wa nguvu ya Mungu ya kuwakomboa watu wake (14:1-31).

(4) Baada ya siku tatu, walifika Mara ambapo maji machungu yalifanywa kuwa tamu (15:22-25).(5) Waisraeli wakapiga hema katika Elimu ambapo kulikuwa na visima 12 vya maji na miti 70 ya

mitende (15:27).(6) Wanalalamika na wanalishwa kwa Manna na Salwa (16:1-36).(7) Wanaedelea kulalamika, wanapewa maji kutoka kwa mwamba huko Refidimu (17:1-7).(8) Waamaleki wanashindwa wakati mikono ya Musa inapo inuliwa na Haruni na Huri (17:8-16).(9) Wanawasili Mlima Sinai ambapo Sheria inatolewa kupitia Musa (19:1-6)

-78-

Page 79: UTANGULIZI: SEHEMU YA TATU · Web viewTAA MIGUUNI MWANGU Sehemu ya tatu- (Hatua ya kwanza) Matayarisho ya Ufalme Matamshi yako ni taa miguu ni mw angu na mwanga wa njia yangu (Zaburi

268. WALIOBATIZWA NA MUSA"Simama, uone wokovu wa Bwana"

Baadaye, Bwana alisema kwa Waisraeli, "Mmeona nilivyowatendea Wamisri, na jinsi nilivyowachukua ninyi juu ya mabawa ya tai, nikawaleta kwangu" (Kutoka 19:04). Miujiza ya ajabu Mungu alifanya kwa watu wake katika wakati huu na ukombozi wake kwao uliletwa tena kwa Israeli katika miaka ya baadaye ili kuwakumbusha kwamba anawadai kuwepo kwao . Ajabu zaidi ya haya ilikuwa ufunguzi wa Bahari ya Shamu ambayo ilitoa njia ya kutoroka kwa Waisraeli na adhabu kwa Wamisri.

Lengo la somo hili ni kuonyesha jinsi Mungu alitenga watu wa ufalme wake kwake

Kutoka 13-15

KUONDOKA KUTOKA MISRI (Kutoka 13:17-14:12).Kulingana na Kutoka 13:17-22 tunajifunza kwamba Mungu alichagua njia na kuelekeza safari ya

Waebrania kutoka Misri. Katika kichwa cha safari kulikuwa Musa na Haruni (Zab. 77:20) na mbele yao kulikuwa na nguzo ya wingu, ambayo usiku ilibadilika kuwa nguzo ya moto. Hii ilikuwa ni ishara ya uwepo wa Mungu kupitia malaika wake (Neh. 9:19).

Hawakuelekea moja kwa moja mpaka nchi ya Ahadi sababu Mungu alikuwa na kusudi na watu wake. Walikuwa waelimishwe njia za Mungu na mafunzo ya kile alichotaka. Ugumu wa maisha ya jangwa na elimu Yenye atawapa katika sheria, Kuona walikuwa wamekukombolewa kutoka utumwa wao walikosa nidhamu, shirika na ufanisi wa mapigano. Huduma ya Mungu kwao inaonyeswa kutokana na ukweli kwamba Yeye aliwaongoza kupitia njia ambapo hawangekabiliana na maadui (Kutoka 13:17-18).

Aliwaleta kwanza mpaka Sukothi ambapo walipumzika (13:20; 12:37-39). Wanawake walitararisha mkate usiotiwa chachu, watu wakatandaza matawi ya miti ili kuhifadhi familia zao kutokana na jua. Walifurahi pamoja kwa sababu Mungu aliwaokoa kwa mkono wake wenye nguvu. Maana ya Sukothi ni "vibanda" na tukio hili la kufurahisha baadaye lilisherehekewa katika Sikukuu ya Vibanda (Walawi 23:39-43).

Kisha wakaja mpaka Ethamu (Kut. 13:20), ambayo ina maana ya "mwisho" kwa ajili ilikuwa whisho wa jangwani karibu na mpaka wa Misri. Waliona kwa mara ya kwanza asili ya kutisha ya jangwa ambayo walikuwa wapitie . Ilikuwa ni kama Mungu, baada ya kwanza teremshwa kwao furaha ya kweli, sasa aliwaonyesha baadhi ya matatizo yake kabla ya kuwaletea hatua ya ubatizo (1 Kor 10:1-2.).Waisraeli wangeweza kuendelea na safari yao kutoka Ethamu chini upande wa mashariki wa Bahari ya Shamu bila ya kuvuka, lakini wingu liliwaongoza njia ya chini kwa upande wa magharibi umbali wa kilomita 25. Hii iliwafikisha Pihahirothi (14:02). Hapa, waliona mahali pa ukiwa . Kali, milima tasa, mabonde na mwinuko kati yao, kuelekea kulia chini ya ukingo wa bahari yenyewe. Katika mojawapo ya mabonde haya , wana wa Israeli walitembea, mpaka wakasitishwa na maji ya Bahari ya Shamu.FARAO KUFUATA WAISRAELI (Kutoka 14:5-14).

-79-

Page 80: UTANGULIZI: SEHEMU YA TATU · Web viewTAA MIGUUNI MWANGU Sehemu ya tatu- (Hatua ya kwanza) Matayarisho ya Ufalme Matamshi yako ni taa miguu ni mw angu na mwanga wa njia yangu (Zaburi

Habari hii ililetwa kwa Farao. aliona tu kwamba kosa kubwa lilikuwa limefanywa na viongozi wa Israeli. yeye akasema, "jangwa amewafungia ". Akitayasha magari yake, alipanga kuwaangamiza Waebrania aliowachukia.

Hivyo Waisraeli walipatwa na hatari ya kutisha. kupindwa na milima upande mwingine, na bahari mbeleyao, waliona magari ya Farao yakija . Walisahau huruma ya Mungu, na matendo yake ya ajabu. Wakageuka Musa na hasira, wakimkemea kuwaleta nje ya Misri, ili wafe (vv. 10-12). Angalia jibu ajabu la kiongozi huyu mkubwa katika aya ya 13 na 14: "Msiogope, simameni tu muone wokovu wa Bwana ...". Wamisri waliona kama hawatawahiona siku hiyo tena . Musa akageukia Mungu kuomba msaada, na akaambiwa ainue fimbo yake na kuinyoosha juu ya bahari na kuigawanya,ili wana wa Israeli wapitie kwa njia kavu (vv. 15-16).

KATIKA BAHARI YA SHAMU (Kutoka 14:15-31).Wakati huo huo malaika akaenda kati ya Israel na Misri, na nguzo ya wingu akaleta giza kwa wa

Misri, lakini kwa Waisraeli ilikuwa ni nguzo ya mwanga. Musa aliinua fimbo yake kuelekea bahari. Mungu alisababisha upepo wa mashariki kuvuma usiku ule wote, na bahari iligawanywa pakawa njia kavu. Pande mbili kulikuwa kingo kumbwa za maji, zimesimama wima (14:22; 15:08;. Zab 78:13). Katika njia hii Waisraeli walitembea kwa usalama, lakini Wamisri, walijaribu kufanya hivyo, wakazama majini (Zab. 78:53).

Mungu alikuwa ameipumbaza mioyo ya Wamisri kufuata Waisraeli kupitia bahari kuwakamata watumwa wao (v.12). Lakini wakati magurudumu ya magari yao yaliharibika, waliogopa na walitaka kuepuka kuta za maji kando yao (v.28). walikuwa wachelewa mno. Katika kutii sauti ya Mungu, Musa tena aliinyosha fimbo yake, na bahari ikarudi mahali pake na kuaangamiza kabisa jeshi la Farao (vv.23-29).

Hadithi hi ya waisraeli kuvuka bahari ya Shamu ilikuwa tendo la imani kubwa (Ebr. 11:29). Kwa upande wa mashariki ya Bahari ya Shamu, wana wa Israeli wakasimama salama, wakiwa wameokolewa kutoka hatma ya kutisha. Mambo walioyaona yaliwajaza hofu. Wale waliokuwa wamemnung'unikia Musa, wakainama mbele yake na kuomba msamaha wake na katika mioyo ya wote walitambua kwamba Mungu kwa kweli alikuwa na nguvu ya kuokoa. "waliamini Bwana, na Musa mtumishi wake" (Kutoka 14:31).

Wimbo wa shukrani kukumbuka tukio hilo ilitungwa kuimbwa na Musa na watu (15:1-19), naye Miriamu na wanawake wa Israeli walicheza vyombo vya muziki na kujibu usemo: "Mwimbieni Bwana, kwa maana Yeye anao ushindi utukufu, farasi na mwenye kumpanda amewatubukisha baharini (15:20-21).

Ni vizuri kutambua mabadiliko ya haraka yaliyotokea katika matendo ya Waisraeli . Kwanza walifurahia uhuru wao kutoka Misri, lakini wakati wanakabiliwa na hali mbaya, wanakata tamaa na kumshutumu Musa. Mara baada ya kuokolewa, hata hivyo, kukata tamaa ikageuka ushindi walisherehekea ushindi wa Bahari ya Shamu. Asili ya binadamu ni kigeugeu, lakini Mungu ni imara na waaminifu.

Ukombozi wa Bahari ya Shamu ukawa ishara ya huduma kubwa ya Mungu na ulikumbukwa kwa shukrani na vizazi waliofuata (Zab. 106:9-11). Wakati mwingine Mungu aliwakumbusha tukio hili (Amosi 2:10; 3:01). Lakini ukombozi hata zaidi bado unakuja wakati Waisraeli watapelekwa nje ya fitina ya

-80-

Page 81: UTANGULIZI: SEHEMU YA TATU · Web viewTAA MIGUUNI MWANGU Sehemu ya tatu- (Hatua ya kwanza) Matayarisho ya Ufalme Matamshi yako ni taa miguu ni mw angu na mwanga wa njia yangu (Zaburi

Kaskazini na kutoka kila nchi na kurudi kikamilifu kwa ardhi kwa furaha kubwa na shangwe (Yer. 16:14-16).MAISHA MAPYA.

Waisraeli sasa walikuwa watu huru kuanzisha maisha mapya. Utumwa na ibada ya sanamu ya Misri ilikuwa nyuma yao. Wao sasa walimfuata Mungu, ambaye alikuwa Mtawala wao na Kiongozi. Na katika haya haya kuna yametoa funzo la ajabu. Katika 1 Kor. 10:1-5 Paulo anaonyesha kwamba katika kuvuka Bahari ya Shamu Israeli walibatizwa katika Musa. Wao "walizikwa" kwa maji kufichwa kutoka kwa mtazamo na wingu na bahari. Wakaondoka kwa maisha mapya katika pwani ile nyingine .

Mtume anasema kwamba mambo haya yame rekodiwa kama mifano au aina (V.6 kiasi). Ni aina ya ubatizo wetu katika Kristo. Wakati muumini amebatizwa, huaacha maisha yake ya zamani. Mtu wa kale wa mwili huharibiwa (Rum. 6:06), kama walivyokuwa Wamisri. Katika Kristo, hufuata uongozi wa Mungu ambaye hupokea kama Kiongozi wake na Mtawala. Hapo awali aliishi katika utumwa wa mwili, kufuatia maamuzi yake na kutafuta kuridhika kwake, lakini sasa, kwamba hilo halijitokezi tena (ona Warumi 6:16-18;. Mathayo 6:24.).

Kwanza, elewa ya kuwa Waisraeli walikuja kufahamu kwamba walikuwa katika hatari ya kufa. Pili, walikuwa na kukiri nguvu za ukombozi za kondoo ya pasaka. Tatu, wakati huo walibatizwa. Katika hafla yao yote, uharaka wa mahitaji yao ulikuwa kabisa machafu kati yao. Waligundua haja ya njia ya wokovu, na hivyo wakafuata yale Mungu aliagiza . Walikuwa wafanye hivyo, au pengine waharibiwe. Katika mambo ya Ukweli, amri ya Mungu na ni muhimu kwetu kutii. Baada ya kugundua mapenzi yake, ni lazima tuchukue hatua kwa mujibu wake (Lk. 12-47-Yak 4:17;. Yn 00:48;. 9:41; 15:22).MAFUNZO KWETU:

• Wakati Mungu aliwatoa Waisraeli kutoka Misri, hawakuongozwa mara moja hadi nchi ya ahadi, lakini badala walioongozwa kwa hatua za jangwa ambapo ugumu wa maisha ungewakabili. Katika njia sawa, sisi hukabiliwa na adhabu na ugumu wa maisha, hivyo ni muhimu katika ukuzaji tabia, kabla kutunzwa.

• Kama Waisraeli, ambao walilindwa kutoka kwa maadui zao na kupelekwa jangwani, sisi pia huwa chini ya Mkono wa kinga wa Mungu, ambaye anatuokoa kutoka kwa wale ambao hutuangamiza.

• Kwa milima kushoto na kulia, na bahari mbele na nyuma adui, ni somo kumbwa Mungu alifundisha Waisraeli (na sisi) ni kwamba hakuna wokovu mbali na Yeye. Watu lazima "wasimam imara" na kuona wokovu wa Mungu.

• Kutishiwa na kifo lakini kuamini katika Mungu, Waisraeli walivuka Bahari ya Shamu, na hivyo "kubatizwa katika Musa" (1 Kor 10:02.). Sisi pia,wakati tutajua ujuzi wa kweli, lazima tubatizwe katika Kristo Yesu Bwana wetu.

MAKTABA KUREJEA:"Elphis Israel" (J. Thomas) - kurasa 292-293"The visible hand of God" (R. Roberts)-Sura ya 14"Moses my servant" (H. Tennant)-Sura ya 3"The Wilderness of Life" (J. Martin)-CSSS

-81-

Page 82: UTANGULIZI: SEHEMU YA TATU · Web viewTAA MIGUUNI MWANGU Sehemu ya tatu- (Hatua ya kwanza) Matayarisho ya Ufalme Matamshi yako ni taa miguu ni mw angu na mwanga wa njia yangu (Zaburi

MASWALI YA AYA:1. Ni maneno gani Musa alitumia kutuliza hofu ya Israeli wakati Wamisri walikaribia

wakiwa ufuoni wa Bahari ya Shamu? Maneno haya yana somo gani kwetu?2. Kuhusu Waisraeli, Paulo alisema, "Wao walibatizwa na Musa katika wingu na katika

bahari" (1 Kor 10:02.). eleza.3. Ni jinsi gani Mungu aliharibu jeshi la Misri katika Bahari ya Shamu?

INSHA MASWALI:1. Elezea kuvuka Bahari ya Shamu na hatima ya Wamisri.2. Kwa nini kuvuka Bahari ya Shamu ilikuwa muhimu kwa Israeli?3. Nini umuhimu wa kuondoka kwa Waisraeli kutoka Misri na kuvuka kwao Bahari ya Shamu?4. Ni jinsi gani kuvuka Bahari ya Shamu ni aina ya ubatizo katika Kristo?

269. ENDELEVU NA MUNGU KATIKA JANGWANI "Bwana Mungu wako lililokuzaa kama mtu bila ya ameyachukua mwanawe"

Neno la Kigiriki "Kutoka" lilitumiwa na watafsiri wa Septuaginta kutaja kitabu cha pili cha Biblia, ina maana ya "njia ya kutoka". Lakini kuacha Misri nyuma hakika, watu wa Mungu walipaswa kujifunza kugeuka kutoka kwa "ubinafsi" na kutegemea Muumba wao. Ilikuwafundisha somo hili Mungu aliwaleta jangwani (linganisha Kum 08:02.). Ni somo ambalo pia sisi tunafaa kufuata kwa ajili mara tukipokea ujumbe wa kweli, ni lazima tuingie katika uhusiano wa agano na Mungu Baba, kupitia damu ya Mwanakondoo wa Pasaka (linganisha Ex 12:13. Na Yohana. 1:29), na kuanza safari yetu, chini ya uongozi wa Bwana na Kristo kama kiongozi wetu. Itatupitisha "njia ya kutoka" kwa dhambi na mauti na kutuleta katika wakati wa urithi wa ufalme wa Mungu. "Jangwa" ambayo sisi lazima tupitie ni ulimwengu wa dhambi , na njia zake za kimwili zitatuharibu hakika kama ilivyoharibu Waisraeli tukikataa kugeuka kwa Bwana, ili atuendeleze (Hes. 14:29-30; linganisha Ebr.. 3:17-19).

Lengo la somo hili ni kuonyesha jinsi Mungu aliwajali watu wake siku kwa siku, na kujibu maombi yao.

Kutoka 15-17

MARA NA MTI WA UPONYAJI (KUTOKA 15:23-26).Masomo ya kumtegemea Bwana yalifika nyumbani kwa Waisraeli mara baada ya kuondoka

kwao kutoka Misri. Baada ya kuvuka bahari ya Shamu, kwa muda wa siku tatu walijitahidi kuendelea, kwa kupitia eneo hatali . Ukosefu wa . Hali yao ilikuwa ya kukata tamaa na wakati walifika Mara ("machungu"). Lakini pale Mara, walipata maji! Wao walidhani matatizo yao kwa muda yalikuwa yameisha. Lakini bado Katika wakati huu wa haja kumbwa , walipata maji kuwa machungu na yasiyo nyweka! Nini wangeweza kufanya? hakuna.

Hata hivyo, ni Bwana alikuwa amewaongoza hapa. Kwa nini? ili "Kuwathibitisha" na kujua nini kilikuwa "katika mioyo yao" na "kuwanyenyekesha " (Kumb 08:02). Matatizo yao yalikuwa mbali na mwisho. Wangekufa kwa kiu,ila Mungu ashugulikie mahitaji yao. Musa, mpatanishi, akamlilia Mungu na

-82-

Page 83: UTANGULIZI: SEHEMU YA TATU · Web viewTAA MIGUUNI MWANGU Sehemu ya tatu- (Hatua ya kwanza) Matayarisho ya Ufalme Matamshi yako ni taa miguu ni mw angu na mwanga wa njia yangu (Zaburi

juu ya maelekezo yake, mti fulani, wenye nguvu ya uponyaji (linganisha Mwanzo 3:22, Ufunuo 2:07; 22:14), ulikatwa na kutupwa kwa maji yale.

Bwana alikuwa ameweka wazi kwamba bila na anavyoonekana na nje , ama kwa mazuri au mabaya, wangeweza kumtegemea yeye ili kuendeleza safari yao yote hadi nchi ya ahadi.

Somo la Mara lilifundishwa zaidi na neno la Mungu la moja kwa moja: "Kama ukitaka bidii kuisikia sauti ya Bwana, Mungu wako, na kuyafanya yaliyoelekea mbele zake, na kutega masikio usikie maagizo yake, na kuzishika amri zake , mimi sitatia juu yako maradhi haya, ambayo nimeleta juu ya Wamisri, kwa maana mimi ni Bwana nikuponyaye "(mstari 26). katika kauli hii Mungu anaonyesha yeya ni muweza yote kama Muumba wa mwili wa mtu. Anaweza kuuendeleza , kuutesa kwa magonjwa au kuuponya. Ahadi ya afya ilitolewa ikiwa Waisraeli wata skiza na kufanya walivyo amriwa. Kanuni hii hutimizwa katika Kristo. Juu ya msingi wa imani Yesu aliwaponya magonjwa wengi (Matendo 10:38;. Mathayo 9:02). Lakini ugonjwa mkumbwa ambao mwanadamu huuuguaa ni hali ya kufa, ambayo alipata kwa sababu ya dhambi (Rum. 5:12). Iwapo sisi tutasikia na kufanya maagizo yake, ameahidi kuondoa laana hii kutoka kwetu na "kumeza" kifo katika ushindi wa afya na uzima wa milele (1 Kor 15:52-57.).HADI ELIMU (Kut. 15:27).

Baadaye walitembea hadi Elimu ambapo palikuwa pazuri pa kupumzika kwani palikuwa Oasisi ya kupendeza katika jangwani jina lenye maana ya "Wale Mwenye nguvu"). Hapa makabila kumi na mawili waligundua visima 12 vya maji matamu vilivyo zungukwa na mitende 70, ambayo inatukumbusha mataifa 70 ya Mwanzo 10 na tamko la Musa katika Kumb. 32:8. Visima 12 vya maji ni mfano kwa Waisraeli kama njia ambayo mataifa yatateka maji ya uzima (linganisha Yohana 4:13-14;. 7:37-38). Elimu ilikuwa picha ya mfano yenye maono ya matumaini. Waisraeli hatimaye katika mapumziko na nishati, pamoja na mataifa ya dunia kwa amani na kunywa kutoka tumaini la Israeli, mbele ya wale Mwenye nguvu katika maisha ya baadaye (linganisha Zakaria 8:13., 23).MANA KUTOKA MBINGUNI (Kutoka 16).

Waliendelea na Safari kupitia nchi duni, Waisraeli waliingia jangwa la Dhambi mahali pa ravines na vipandikizi katika milima yenye itale nyekundu kwamba kutia drastiskt juu. Ravines ni refu na nyembamba, imesokota na kubigilika katika machafuko ya kutisha miongoni mwa milima , kuifanya ionekane rugged na pori. Mwezi mmoja tu tangu kuondoka Misri (v.1), na sasa bila ya kujali nguzo ya Mungu ya wingu illiyosimamishwa mbele yao, wao walishtuka sana na wakamnung'unikia Musa na Haruni" (v.2). Chakula kilikuwa kidogo , walimtuhumu Musa kuongoza taifa kuwaua, lakini alijibu kuwa ni Mungu aliyekuwa amewaleta hapo (V.6). Katika ishara hii, wangeweza kula nyama jioni, na asubuhi watapewa mkate (v.12). Na jioni , muujiza ulitokea. Kware walifurika pale , na watu walikusanya ya kutosha mahitaji yao. Asubuhi, baada ya jua, walikuta keki ndogo kila mahali , Katika AV, aya ya 15 inasema, "Ni mana", lakini RV ina "ni nini?" - Swali ambalo walijiuliza kwa mshangao kwa sababu hawakujua ilikuwa nini wao waliziita baada ya swali yao , kwa ajili "mana" maana yake ni "ni nini?" (v.31).

Musa alifafanua kwamba hii ilikuwa ni mkate kutoka kwa Mungu. Alituma watu kukusanya na wakati walipima nje, omeri (kama lita mbili) ilikuwa imepeanwa kwa kila mtu, ambayo walipika na kula kwa njia mbalimbali. Utoaji wa mana ilikuwa muujiza ya mara kwa mara aliyokuwa inatokea kila baada ya siku sita za kila saba, katika miaka 40 ya njangwani mpaka wakafikiwa Nchi ya Ahadi. Ni kisha iliacha ghafla kama vyenye ilianza (Yos. 5:12). Kama kondoo ya pasaka, ilibidi kuliwa, bila kubakisha chochote

-83-

Page 84: UTANGULIZI: SEHEMU YA TATU · Web viewTAA MIGUUNI MWANGU Sehemu ya tatu- (Hatua ya kwanza) Matayarisho ya Ufalme Matamshi yako ni taa miguu ni mw angu na mwanga wa njia yangu (Zaburi

asubuhi iliyofuata, ila siku ya sita ya kila wiki, wakati chakula cha siku mbili kimekusanywa hakuna iliyeruhusiwa kukusanywa siku ya saba. mabaki ya Mkate baada ya siku tano za kwanza iliharibika, lakini kimiujiza hii haikuwa hivyo siku ya sita, wakati kile walikuwa wamekusanya siku ya saba hakikuwa inaharibika

Mungu alimwagiza Haruni kuweka baadhi mana kwenye chungu cha dhahabu ambayo baadaye iliwekwa katika sanduku la Agano wakati ilikuwa lilijengwa. Mana hii ilikuwa imehifadhiwa kimiujiza (Kutoka 16:20-26, 33;. Ebr 9:04).

MFANO WA KRISTO (Yohana 6:31-38).Somo kubwa katika haya yote ni kwamba "mtu hataishi kwa mkate tu, ila kwa neno ya Bwana" (Kum. 8:03). Kitu zaidi ya mkate wa kawaida kinahitajika kuendeleza mtu kwa ajili ya uzima wa milele. Kitu hicho ni neno la Mungu. Hivyo Mana ni ilionekana kama aina ya neno la kiroho (linganisha Yohana 6:30-35;. Mathayo 4:4;. Ufu. 2:17). Na wakati Neno hilo linawekwa wazi ndanin ya mwili, (Yn. 6), kama ilivyokuwa katika Bwana Yesu Kristo, basi binadamu anakula chakula ambacho ni cha milele.

Matukio mengi yanayohusiana na Mana yanaashiria Bwana Yesu Kristo. "hii ni nini?" ilikuwa swali aliloulizwa Yesu, wakati hawakuweza kumwelewa (Yoh. 9:29), Kisha wakati wa kuingia Yerusalemu (Mathayo 21:10). Kama Manna, Yesu alitoka kwa Mungu (Yohana 8:23), kwani yeye ni Mwana wa Mungu (Lk 1:32-33). Kama mana iliohifadhiwa, Neno la Mungu ni " mbegu isiyoharibika " inaishi milele kwa maana kwamba utii kwa itasababisha uzima wa milele (1 Pet 1:23, 25.). Kama chungu cha dhahabu ameingia katika mahali patakatifu (Ebr. 9:04), hivyo basi Kristo, "Neno lililofanya mwili" (Yn. 1:14), imeingia Mtakatifu wengi, pasipo na rushwa (Ebr . 9:24). Kama vile walipewa mana kila mwanzo wa siku mpya, hivyo Bwana anaongea kuhusu manna iliyofichwa na itakayofunuliwa wakati wa ujio wake wa pili na kupewa walio watakatifu ndio wawe na maisha ya milele.(Ufu. 2:17) . Kama vile mana ilibidi kukusanywa kila siku, hivyo ni lazima "kula" Kristo kila siku, kwa mafunzo yake ili waweze kuwa sehemu yetu, inasababisha kufikiri na kutenda kama vile Mungu anataka. Ndipo tunafundishwa kuhusu Mungu" (Yohana 6:45), kama vile wana waIsraeli "walilishwa na Mungu" katika jangwa.

Kwa njia ya kusoma Biblia kila siku , kutafakari, na kuomba, Kristo atakuwa chakula na kinywaji chetu cha kiroho. Basi sisi pia tunakula Yesu kama vile wana wa Israeli walivyokula Manna nyikani, na sisi utaimarishwa kwa safari ya maisha "jangwani". Lakini ni lazima tufanye hivi kila siku, na hivyo kujifunza somo, "Mtu hataishi kwa mkate tu, ila kwa kila neno litokalo katika kinywa cha Mungu".

MAJI KUTOKA KWA MWAMBA (KUTOKA 17:1-7).Walipofika kwa Refidimu ("eneo la mapumziko"), watu walikuwa wamechoka na wenye kiu. Lakini "hakukuwa na maji ya kunywa", na watu Walimkosoa na Musa, na kunung'unika dhidi yake. Watu walikuwa na hasira, na Musa akaogopa angepigwa na mawe, basi akamlilia Mungu, na akamriwa kuwachukua wazee waende pamoja naye hadi kwenye jabali la Horebu, na kuligonga na fimbo. Na punde tu alipofanya hivyo, maji yakamwagika ili watu wanywe. Mwamba huu uliashiria Yesu Kristo (1 Kor 10:04.). Kristo ametajwa mara nyingi katika Maandiko kama jiwe la Israeli (Mwanzo 49:24;. Zab 118:22; Isa 8:14;. 28:16;. Rum 9:33;. 1 Pet 2:6-8). Yeye alipigwa na Wayahudi na kusulubiwa, lakini

-84-

Page 85: UTANGULIZI: SEHEMU YA TATU · Web viewTAA MIGUUNI MWANGU Sehemu ya tatu- (Hatua ya kwanza) Matayarisho ya Ufalme Matamshi yako ni taa miguu ni mw angu na mwanga wa njia yangu (Zaburi

kupigwa kwa Kristo ni njia iliyotoa maji ya milele" (Ukweli undani yeye) umemwagika na kukidhi mahitaji wanaume na wanawake katika maiha yao mbali mbali (Yn . 4:14; 7:37, 38; 19:34; 1 Yoh 5:4-6)..

JINSI MAOMBI YALIWASHINDA WAMALEKTTES (Ex, 17:8-16).Ilikuwa wakati watu walikuwa wanapumzika, wakiwa wamechoka, Waamaleki wakashambuliwa kwa ghafla kutoka nyuma, kwa wale waliokuwa dhaifu.(linganisha Kum 25:17-18.). Mashambulizi ya awali aliwarudisha nyuma, Musa akamteua Yoshua "kwenda nje ya mstari wa mapambano dhidi ya Waamaleki. Israeli wakati huu haikuwa na mafunzo au vifaa vya vita, lakini walienda kwa imani, wakitegemea nguvu ya Bwana. Wakati vita vilikuwa vinaendelea katika bonde kule chini, Musa, Haruni na Huri walitizama maendeleo yake. Hatima ya Israeli walionekana hutegemea katika mizani.

Basi, Musa akafanya ishara ya sala, na kuinua mikono yake mbinguni, ishara ya kumwomba msaada kwa Bwana (linganisha Zab. 141:2)punde tu, Wamaleki walionekana kushindwa na jeshi la Israeli. Lakini wakati mikono yake ilianguka kwa uchovu, Wamaleki walionekana kuwashinda na WaIsraeli. Walipotambua kua msaada wa Bwana unapatikana kwa njia ya maombi, Haruni na Huri wakatwaa jiwe, na Musa akakaa juu yake, na wakamwinua mikono juu "mpaka jua lilipoisha". Kwa njia hii Yoshua na Israeli waliwashinda Waamaleki, na Musa akajenga madhabahu kuadhimisha tukio hilo, na jina lake ni "Bwana bendera yangu". Madhabahu hii inaashiria Yesu Kristo (Ebr. 13:10), aitwaye Bendera ya Bwana (Isa 11:10-12). Maombi kwa Mungu kupiti kwa yesu atatuombea ushindi kwa ajili yetu.

TASWIRA YA USHINDI UJAO.Katika ushindi huu wa ajabu juu ya taifa hodari la Waamaleki (lililoitwa "la kwanza katika mataifa" -. s 24:20), hii ni taswira ya ushindi wa ujio wa Kristo juu ya vikosi vya uovu ulimwengu, kwani Waamaleki walikuwa maadui wa Israeli. Zaidi tukio hilo linatuonyesha jinsi gani tunaweza kukabiliana na matatizo mengi ambayo yanatukumba kila siku. Ni kwa nguvu za maombi na kwa njia ya Bwana Yesu Kristo. Taswira ya Musa kupumzika kwenye jiwe, na Haruni na Huri kumsaidia kuinua mikono yake katika sala, wakati Waisraeli wakipgana kwa ustadi, inafundisha somo hilo. Bwana Yesu Kristo ndiye jiwe la Israeli (Mwanzo 49:24;. 21:42 Mathayo), na Mtume Paulo akasema, "Naweza kufanya yote ndani ya Kristo anitiaye nguvu" (Flp 4:13). Musa aliwakilishwa Sheria, Haruni kuhani, na Huri, alikuwa mkuu wa Yuda, nguvu ya kiraia ya Israeli. Bwana Yesu Kristo ndiye Mwanasheria wetu, Kuhani na Mfalme. Mungu amemteua kama mpatanishi wetu (1 Tim 2:05.), Na sala inayotolewa kwa jina lake, Atajibu (Yohana 16:23).

MASOMO YA KWETU:• Ingawa Israeli walitolewa kutoka Misri kwa njia ya damu ya mwana kondoo waliouawa na kwa njia ya ubatizo katika bahari ya Shamu, walistahili kuvumilia hatari za jangwani kabla ya kuingia Nchi ya Ahadi.• Kila hatua katika safari yao ya iliwafundisha masomo ya kumtegemea Mungu na masomo haya yaliashiria ukombokazi tutakao pata kwa njia ya Kristo: -• mti wa uponyaji wa Mara una uhusiano dhahiri na msalaba wa Kristo (Gal. 3:13).• Taswira ya Elim ni yake yatatokea kwa Israeli katika Ufalme wa Mungu.

-85-

Page 86: UTANGULIZI: SEHEMU YA TATU · Web viewTAA MIGUUNI MWANGU Sehemu ya tatu- (Hatua ya kwanza) Matayarisho ya Ufalme Matamshi yako ni taa miguu ni mw angu na mwanga wa njia yangu (Zaburi

• Kama "mkate kutoka mbinguni", manna alisimamia neno la Mungu lilitoka kwa Yesu Kristo, utafiti ya kila siku ya ambayo ni muhimu na unafaa kwa ajili ya Ufalme wa Mungu.• mwamba uliopigwa ni mfano wa Yesu Kristo "jiwe la Israeli" (Mwa 49:24;. 1 Kor 10:04), "ambaye alitolewa kwa ajili ya makosa yetu, na kufufuliwa ili tupate kuamini (Rum 4:25) .•Musa, akisaidiwa na Huri (wa kabila la kifalme) na Haruni (kuhani) waliomba kwa ajili ya Israeli kwa kuinua mikono yake juu kwa Mungu, na Waamaleki walisukumwa nyuma na kushindwa. Kristo ni yeye anaishi milele kuomba kwa ajili yetu katika vita vyetu dhidi ya mwili (Ebr. 7:25; 1 Tim 2:05.).• Kwa imani ya yale Mungu inatuonyesha itatusaidia, kuwa na tumaini katika Kristo atatupa maono ya baadaye, msaada wa Mungu unahitajika kutuendeleza sisi katika njia. Msaada huu ulitolewa ili kujibu maombi kwa njia ya Bwana wetu Yesu Kristo.

MAKTABA YA KUREJELEA

"The Visible Hand of God" (R. Roberts) — Sura 15

"Elpis Israel" (J. Thomas) — Kurasa 294-295

"The Wilderness of Life" (J. Martin) — C.S.S.S. Study Notes

"The Story of the Bible" (H. P. Mansfield)—Vol. 1, Kurasa 290-312

MASWALI YA AYA:1. Maji machungu ya Marah yaliponywa. Masomo gani tunajifunza katika tukio hili?2. Jinsi gani kambi ya Israeli katika Elim ilikuwa maono ya Ufalme wa Mungu?3. Eeleza kwa ufupi masomo ya kiroho tunayofundishwa na utoaji wa Manna.4. Kwa njia gani mwamba uliopigwa katika jangwa ulikuwa mfano wa Kristo?

MASWALI YA INSHA:1. Ni Masomo gani tunayojifunza kutokana na yale wana wa Waisraeli walipitia baada ya kuvuka bahari ya Shamu na kabla kufika Sinai?2. Kwa njia gani Manna katika jangwa ilikuwa mfano wa Kristo?3. Kueleza jinsi ushindi wa Israeli juu ya Waamaleki ulionyesha nguvu za maombi.

sehemu ya 4

KATIBA YA UFALMEBaada ya maadui zao kuharibiwa, na wao kuokolewa kwa nguvu za miujiza, WaIsrael walitia shaka kwamba ilikuwa ni Bwana alifanya hayo, kuwahifadhi walistahili kuumpa uaminifu na ibada yao.

Mali ya taifa ya kipadre, hata hivyo, ilikuwa na matakwa juu ya uaminifu na kuendelea kuwa wakweli. Ili kuendeleza uaminifu huu walipewa sheria ya Musa, maskani ilijengwa, makuhani na Walawi, waliteuliwa na kanuni za sadaka ziliwekwa kwamba Israeli ingeunganishwa na Bwana kila siku, wiki, mwezi na kila mwaka.

-86-

Page 87: UTANGULIZI: SEHEMU YA TATU · Web viewTAA MIGUUNI MWANGU Sehemu ya tatu- (Hatua ya kwanza) Matayarisho ya Ufalme Matamshi yako ni taa miguu ni mw angu na mwanga wa njia yangu (Zaburi

270. ISRAEL PALE SINAI-PALITOKA UFALME "Nanyi mtakuwa kwangu ufalme wa makuhani na taifa takatifu''

Kwa mara ya kwanza katika historia yao, watu wa Israeli walikuwa wanaanza kuhisi kwamba sasa wamekuwa taifa. Walikuwa kuhisi vile wakiwa Misri. Lakini sasa walikuwa wameunganishwa na Mungu wao, na kupewa kiongozi, Musa. Kama mwili mmoja, waliongozwa kutoka Misri na kuanza safari ambayo ingeweza kuwabadilisha na kuwa ufalme wa Mungu.Lengo letu katika somo hili ni kuona jinsi Mungu alianzisha ufalme wake juu ya msingi wa sheria yake.

KUTOKA 19-20

KUWASILI MLIMA SINAI (Kutoka 19)Kwa karibu miezi mitatu Waisraeli walisafiri, na hatimaye kuwasili katika bonde mguu wa Mlima. Sinai. Hapa waliweka hema. Mbele yao waliona nadhari ya kupendeza. njia ya bonde nyembamba kuelekea juu iliwaleta katika tambarare ya kilomita tatu kwa urefu na kilomita moja kwa upana. Mbele ulikuwa mnara mkubwa wa vilele vya mlima. Walikuwa wabaki Sinai kwa muda wa miezi 11 (Kutoka 19:01;. Hes 10:11).

Hapa Musa akapanda mlimani, na Mungu alimweleza kusudi la Kimungu na matatizo na mateso ya waisraeli (Kutoka 19:4-6). Ilikuwa ni yakuwaelimisha na kuwapa nidhamu kwa kazi kubwa. Alikuwa na kwa ajili yao. Ilikuwa ni kuwafanya imara na kujitegemea, na kutambua nguvu za Mungu kuwaokoa na kuwasaidia wakati wa mahitaji. " Nilivyowachukua ninyi juu ya mbawa za tai na kuleta mimi mwenyewe." Tai huwatupa watoto wake nje ya kiota kuwalazimisha kuruka, akiwa makini kuona kwamba hakuna madhara atayowapata. Na wanapoanguka chini wakielekea kifo Tai nashuka mbio na kuwachukua kwa bawa zake.Na hivyo wanajifunza kumwamini mama yao na hatimaye wanaweza kuruka.Mapadre na walimu ni wapatanishi, na ni wazi kwamba kusudi la Mungu katika kuchagua Israeli kuwa "ufalme wa makuhani" kuwashirikish kama msingi wa Haki ya Mungu kwa ulimwengu nzima kwa kufundisha mataifa mengine njia za Mungu (Kum. 4:06).Watu walikubali agano Mungu kama ilivyoainishwa na Musa (Kutoka 19:7-8). Tangu hii iliwataka Waisraeli kutii sauti ya Mungu, basi Musa aliwaambia wajiandae na katika muda wa siku tatu watasikia kile Mungu atatangaza kama msingi wa agano (Kumb 4:13-14;. Ebr 9:04). Walitakiwa kuwa wasafi katika akili na mwili (Kutoka 19:10-11). Mungu alikuwa mtakatifu, nao, watoto wake, walikuwa kuwa watakatifu pia. Vikwazo waliwekwa kuzunguka mlima kuonyesha ni mahali patakatifu. Walionywa kugusa. (vv. 12-13).

Siku ya tatu, katika dhoruba ya kutisha, akifuatana na mtetemeko wa ardhi ma tarumbeta, na mlima ukamezwa na wingu la moshi na cheche za moto za kutisha, Musa akawaleta watu wake mbele ya Mungu (v.17). Kama kiongozi wao aliongea, naye Mungu akamjibu (v.19). Kama mwakilishi wao, alipanda juu ya mlima, na kupokea maelekezo zaidi kutoka malaika wa Mungu, akisha akarudi pamoja nao kwa watu. Na kisha, kwa enzi ya kutisha, watu walisikia amri kumi kubwa muhimu.

-87-

Page 88: UTANGULIZI: SEHEMU YA TATU · Web viewTAA MIGUUNI MWANGU Sehemu ya tatu- (Hatua ya kwanza) Matayarisho ya Ufalme Matamshi yako ni taa miguu ni mw angu na mwanga wa njia yangu (Zaburi

AMRI KUMI (Kutoka 20:1-17).

1-4 Kuhusiana na Mungu:

1. Msiabudu miungu mingine ila Mimi.2. Msiabudu sanamu ya kuchonga .3. Usitaje Jina la Bwana Mungu wako bure ...4. Mkumbuke na Mtii siku ya Sabato.

5 Kuhusiana Wazazi:

5. Waheshimu baba na mama.

6-10 Kuhusiana na Wenzetu:

6. Usiue.7. Usizini. Kuhusu kazi.8. Usiibe.9. Usitoe ushahidi wa uongo ... inahusu maneno.10. Usitamani Kuhusu mawazo

Amri zote kumi zinaonyesha wazi majukumu ya binadamu kwa wengine. Kwanza kwa Bwana; ya pili kwa familia; tatu kwa binadamu wote. Kumbuka kwamba hakuna amri inayojitegemea. Ukarimu ni kipengele kinachopatikana kwa amri kumi. Kwa kila amri kuna wito kujinyima, na kuishi kwa kutumikia wengine.Amri alizopewa Musa zilikuwa ziwe za wana wa Israeli, kanuni zake zinatumika kwa dunia ya sasa. Yesu alionyesha kwamba kiini cha sheria ni "Mpende Bwana Mungu kwa moyo wako wote, na kwa roho yako yote, na kwa akili yako yote ... na umpenda jirani yako kama unavyoipenda nafsi yako" (Mathayo 22:36 - 40). Katika mafundisho na huduma yake, Yesu alisisitiza amri zote 10 (na kuzipa maana kubwa zaidi, mfano Mathayo 5:19-22.) Isipokuwa ya 4 kuhusu Sabato. "Sabato", Yetu au pumziko kutoka kwa njia ya mwili, lazima iwekwe siku saba ya wiki (Ebr. 4:10).

SHERIA ILIYOSALIA.Mbali na amri kumi, hukumu zaidi zilitolewa. Hizi zilionyesha mapenzi ya Mungu kwa mambo tofauti na kutoa, sheria na hukumu ya adhabu ambayo iliwekwa kwa ajili ya wana Israeli kwa Mungu. Hizi sheria pamoja na hukumu zilikuja kujulikana kama sheria za Musa. Utii wa Sheria ukawa uhakika Israeli iingeendelea kukaa kati Nchi ya ahadi hadi mkombozi atakapotokea.

MADHUMUNI YA SHERIA- KWA KIONGOZI.Sababu ya Mungu kutoa Sheria ilikuwa kuanzisha Israeli kama watu wa kipekee, kuelekeza mawazo yao katika njia, ili mataifa mengine yatamani kuwa kama wao. (Kumb 4:6-8), wawaogope (Kumb 28:9-10), na kuwafuata(taz. Yer 16:16;.. Zakaria 8:23). Sheria hii iliwafanya kuwa na fikra za Kimungu. Na kuwaleta

-88-

Page 89: UTANGULIZI: SEHEMU YA TATU · Web viewTAA MIGUUNI MWANGU Sehemu ya tatu- (Hatua ya kwanza) Matayarisho ya Ufalme Matamshi yako ni taa miguu ni mw angu na mwanga wa njia yangu (Zaburi

karibu na Mungu wakiwa - nyumbani, shuleni, shambani na katika ibada zao za kila siku (sio tu mara moja kila wiki).

Lakini, zaidi ya hayo, Sheria ilikuwa ilikuwa ya kuelekeza taifa kwa Kristo, Mkombozi na Mungu alivyoahidi (Gal. 3:24). Ni alifanya hivyo katika dhabihu na sadaka ambayo ilionyesha ahadi ambayo Mungu aliifanya katika shamba la Edeni.(Mwanzo 3:15), na Ibrahimu (Mwanzo 22), na ambayo ilitimizwa na Kristo (Kol. 2:16-17). Sheria ilifunuliwa na kuwekwa wazi kwamba binadamu alikuwa mwenye dhambi mbele ya Mungu na anayehitaji ukombozi (Rum 5:20;. Gal 3:19). Na kama Sheria inavyowalaani wote ambao hawatii (Gal. 3:10), inaweka wqazi kwamba hakuna matumaini ya maisha mbali ya yale Masiahi aliyoahidi (Warumi 3:21, 22), kwa maana hakuna mtu anaweza kuishi bila kutenda dhambi (Rum. 3:23). Mwisraeli, kwa hiyo, alikuwa anatafuta yule ambaye atamwokoa katika utumwa wa dhambi na mauti, na laana ya Sheria (Gal. 3:13). Kila wakati Mwisraeli mwaminifu alipotoa sadaka, alikuwa anaoongozwa kufikiri kuhusu ahadi, na kwa imani kwa kutizama mbele wakati yeye atakuja. Sababu wao walionyesha imani kwa Mungu, sisi pia inatubidi tufanye hivyo leo, na dhambi zetu zitasamehewa na Kristo (ingawa Kristo alikuwa bado hajaonekana), na angeweza kuishi kwa matumaini ya uzima wa milele.

KWA NEEMA MTAOKOLEWA, KUPITIA IMANI.Binadamu hawawezi kujiokoa wenyewe kwa kutumia sheria; kama wangeweza, hawange hitaji Mungu. Hivyo ni "kwa neema mmekombolewa kwa njia ya imani" (Efe. 2:08). Imani thabiti ya kwamba Mungu atatimiza ahadi yake (Ebra 11:01, Warumi 4:20.) Imani ni kwa kusikia neno la Mungu (Rum 10:17), na kumtengemea badala ya kujitegemea. Wakati watu wana imani, wanajaribu kumpendeza Mungu kwani wanaelewa kwamba, bila Mungu, hawawezi kufanya chochote. Mungu kwa upande wake anatambua haja ya wanadamu kwake na kwa, upendo, wanaamua kutii sheria zake, Yeye husamehe dhambi zao kwa ajili ya Kristo (Efe. 4:32). Kuokolewa, ni muhimu kwamba sisi:

1. Tuamini mambo ya ufalme wa Mungu na Jina la Yesu Kristo.2. Tubatizwa katika Yesu Kristo, kwa ajili ya ondoleo la dhambi.3. Tutafute kwa bidii na kwa kuishi kwa utiifu na utakatifu tufuate mafundisho na mfano wa Bwana wetu Yesu Kristo.4. Tuungama dhambi zetu, tuziwaache na tusamehewe.

Wale ambao wamemkubali Bwana wamehesabiwa mbele ya Mungu, kama "wazao wateule, ukuhani wa kifalme, taifa takatifu, kama alivyokuwa Israeli chini ya Musa (linganisha 1 Petro 2:09. Na ex 19:5-6.). Kuja kwa Bwana, mtu lazima ajichukue nira yake mwenyewe lazima pia ajifunze(Mathayo 11:28-30). Hii inahitaji utafiti wa kila siku wa Neno la Mungu, na nia ya kutembea katika njia za Mungu. Dunia inayotuzunguka inatuweka katika shinikizo la kuendana na njia zake; tunahitaji ushawishi wa kila siku wa mawazo ya Mungu na mabadiliko ya njia zetu na kuishinda dunia.

MASOMO YA KWETU:Sheria ya Musa ilikuwa na madhumuni kadhaa:

-89-

Page 90: UTANGULIZI: SEHEMU YA TATU · Web viewTAA MIGUUNI MWANGU Sehemu ya tatu- (Hatua ya kwanza) Matayarisho ya Ufalme Matamshi yako ni taa miguu ni mw angu na mwanga wa njia yangu (Zaburi

• Ilianzisha Israeli kama taifa kipekee, mwanga wa kweli wa kuvutia wengine kwa njia za Mungu.• Kwa sheria zake mbalimbali, aliashiria mkombozi wa ahadi ambaye kuleta wokovu.• Ni ilifundisha wanadamu, kwa sababu hawakuweza kushika sheria, wokovu ingepatikana kwa njia nyingine.kwa hivyo ilikuwa "kiongozi kutuleta kwa Kristo" (Gal. 3:24),

_____________

kutuwezesha sisi kuelewa kuwa ni "kwa neema tunaokolewa kwa njia ya imani" (Efe. 2:08).Kama vile Israeli iliitwa kuwa "ufalme wa makuhani", hivyo eklesia ni "kuhani wa kifalme" ambaye hufundisha injili na kuwaleta wengine kwa Kristo.Imani katika Kristo huhitaji sisi kuamini injili, kubatizwa na utafiti, maombi na matendo mema, na kwenda katika njia za Mungu.

MAKTABA YA KUREJEA:"The Law of Moses" (R. Roberts)-Sura ya 12"The Visible Hand of God" (R. Roberts)-Sura ya 16"Elphis Israel" (J. Thomas)-za 298-299" Christadelphian Instructor "-Nos. 96-102

MASWALI YA AYA:1. Orodhesha amri 10. Zina umuhimu gani kwetu?2. Ni kwa nani Sheria ya moja kwa moja mwaminifu Waisraeli? Jinsi gani ilifanya hivyo?3. Paulo anasema, "Kwa neema ya Mungu tunaokolewa kwa njia ya imani" (Efe 2-8) Fafanua.

MASWALI YA INSHA:1. Eleza habari ya utoaji wa Amri Kumi.2. Mungu alikuwa na Kusudi gani wakati alipea Waisraeli Sheria ya Musa?3. Wokovu ni kwa imani katika Kristo, na si sheria ya Musa. Eleza.

271. DAMA WA DHAHABU"msiwe na miungu mingine ila mimi"

Mungu aliwatembelea na kuwaokoa Waisraeli kutoka Misri. Walikuwa watu wake kwa kila maana ya neno. Ilikuwa ni kusudi lake kuwafanya kama nguzo ya mwanga ili kuvutia wengine kwa ukweli wake (linganisha 2 Pet 3:09.). Alikuwa na lengo la kuwafanya kuwa "ufalme wa makuhani" (Kutoka 19:06) waangaze ukweli wa Mungu kwa ulimwengu. Ilikuwa ni kusisitiza jukumu la Israeli katika dunia, kwamba Mungu alisema atakaa kati yao, (Kutoka 25:8; 29:45, 46). hata hivyo, haitawezekana Mungu kukaa kati yao kama wataendelea kuwa watu wenye dhambi na waabudu sanamu, kuliko vile ingewezekana "Nuru" na "giza" kuwepo (linganisha 2 Kor 6:14. -18;. Efe 5:08).

-90-

Page 91: UTANGULIZI: SEHEMU YA TATU · Web viewTAA MIGUUNI MWANGU Sehemu ya tatu- (Hatua ya kwanza) Matayarisho ya Ufalme Matamshi yako ni taa miguu ni mw angu na mwanga wa njia yangu (Zaburi

Lengo la somo hili ni kuonyesha jinsi asili ya binadamu ni kigeugeu; si muda mrefu baada ya Musa kupanda Mlima. Sinai, Waisraeli walisahau somo la mapigo na maajabu ya Mungu yote, na kurudia uabudu sanamu.

Kutoka 32

MUSA KAPANDA MLIMA (KUTOKA 24).Dhambi ya ndama wa dhahabu ilitokea katika tukio la tano la Musa kupanda Mlima Sinai (vv.9-18), wakati alikuwa anaonyeshwa mfano wa hema.Tukio la tano la kupanda lilikuwa mmoja pekee. Baada ya kushuka mala ya nne, agano lilikuwa limeridhiwa (vv. 3-8). Sasa alikuwa apokea mbao mbili za mawe zilizoandikwa amri kumi kwa "kidole cha Mungu" (Kumb 9:9-11), na pia maelezo ya hema. Ilikuwa ni kazi kubwa, hivyo aliacha Haruni na Huri kuangalia kambi (mstari 14), na kumchukua Joshua pamoja naye angalau amusindikishe. Alikaa hapo mchana arobaini na usiku arobaini (v 13; linganisha 32.: 17).

WATU KATIKA UASI INGAWA MUSA HAYUPO (Kutoka 32:1-6).Musa alikuwa mbali kwa mwezi moja wakati ishara ya kutotulia ilianza kuonekana miongoni mwa watu wa Israeli. Nguzo ya wingu alikuwa imeondolewa kutoka kambi na kukaa juu ya mlima (24:15), watu walidhani Musa alikuwa amekufa, kimadharau walimtamka " Musa huyu". vile siku zilifuatana , kukosa subira kuliongezeka , na kabla ya muda mrefu wa manung'uniko na kutoridhika walikuwa kila mahali katika ushahidi. Watu wakajihudhurisha mbele ya Haruni na kumdai awaudie mungu wa sanamu v.1).Haruni aliogopa vitisho vyao. Akawaamrisha walete pete zao za dhahabu akazitumia kuuda ndama wa dhahabu au ndama dume (vv.2-4). Masikio yao kwa kweli yalikuwa yamegeuka mbali na kusikia neno la Bwana (tofauti Met 25:11-12.). Sauti ya Bwana, ambayo walisikia mapema wiki hiyo, akiwakanya kuwa na miungu yoyote mbele yake na kulaani ibada ya sanamu , alikuwa amesahaurika au kuwekwa kando (Kutoka 20:1-4).Ndama, au ndama mume, alikuwa mmoja wa miungu ya Misri. Ukweli huu ulionekana kuwa katika mawazo ya watu, kwa ajili Stefano anasema kwamba "katika mioyo yao walirudi katika Misri" (Matendo 7:38-41). Baadaye katika historia yao, makabila kumi katika uasi wao walijenga sanamu hii ya Misri kama kituo cha ibada zao: na karibu maneno yale yale yalitamkwa, "Tazama miungu yako, Ee Israeli, iliyowapandisha kutoka nchi ya Misri" (1 kilo 12:28-30.).Watu hawangeweza kusubiri siku ya pili alfajiri, "mapema kesho yake" wakaondoka kuendelea na sherehe yao ya uasherati (V.6). Maoni ya Paulo juu ya ibada ya sanamu zao katika 1 Kor. 10:07 (Kumbuka v.14).

ASILI YA UHARIBIFU WA IBADA YA SANAMU.Amri ya kwanza kati ya kumi ni, "Usiwe na miungu mingine ila mimi"; na ya pili ni, "Usifanye sanamu yoyote wa kuchongwa" (Kutoka 20:3-4). Haruni haonekani kama alikuwa anajali matendo yake kama uvunjaji wa amri hizi. Anaweza kuwa na mawazo ya ndama kama sanamu, kama ukumbusho kwa Israeli kuhusu Bwana-kuhusu sherehe alitangaza kuwa ilikuwa ni kalamu kwa Bwana, si ndama (v.5). Lakini ni hakika kwa upande wake ni uvunjaji wa amri ya pili, na katika Kut. 33:8 watu walihukumiwa kwa kumtenga Bwana kuabudu miungu. Dhambi moja huelekeza kwa ingine. Kumwabudu Mungu kwa njia

-91-

Page 92: UTANGULIZI: SEHEMU YA TATU · Web viewTAA MIGUUNI MWANGU Sehemu ya tatu- (Hatua ya kwanza) Matayarisho ya Ufalme Matamshi yako ni taa miguu ni mw angu na mwanga wa njia yangu (Zaburi

ya picha kunaharibu Mungu katika macho ya wanaomwabudu, ambao akili picha huja usurp nafasi ya Mungu.Mwanadamu husita kukubali nidhamu kutoka kwa Mungu juu ya matendo yake-hivyo "Wanaacha kumwabudu Mungu aishiye na kuabudu sanamu zilizo mfano wa binadamu ambaye hufa, na ndege, na wanyama wenye miguu minne, na vitambaavyo" (Rum. 1: 23; Zab 106:19-20).. Wakati mtu anakataa kutii Mungu wa kweli ambaye anashikilia wanadamu weanaoajibika kwake, hujenga "mungu", inaonyesha viwango anavyotaka kutazama na kisha aniinamia (Kol. 3:05).

MAOMBI YA MUSA (Kutoka 32:7-14).Akiwa juu ya mlima, Musa hakuwa anajua kuhusu uasi. Mungu alimfahamisha na haraka akamwagiza atelemke chini. Bwana, kupitia kwa malaika wake na ambaye Musa alikuwa akitafakari (Matendo 7:38), alisema kuwa agano lilikuwa limevunjwa. Aliambia Musa angeweza kuwamaliza Waisraeli na kuanza tena pamoja naye, kama alivyokuwa amefanya kwa Ibrahimu.Tabia tukufu za Musa huonekana katika jibu lake ambalo yeye aliwaombea Israeli, bila njia yoyote kukanusha dhambi yao. Alisema kuwa-

(1) walikuwa watu wa Mungu aliyokuwa amewakomboa kutoka Misri;(2) Wamisri bila kujali uharibifu wao kama ushindi;(3) ingeadhili ahadi zilizofanywa kwa Abrahamu, Isaka na Israeli-jina hili likitumiwa kwa upendeleo

wa "Yakobo", kwa sababu ilipendekeza "mkuu aliyekuwa na uwezo kwa Mungu na kushinda" (linganisha Mwanzo 32 : 28).

Sababu ya maombezi ya Musa, Mungu akageuka kutoka kwenye malengo yake na hakuwaangamiza (Zaburi 99:6).

UKANDAMIZAJI WA IBADA YA SANAMU (Kutoka 32:15-29).Musa alishuka haraka. Katika mikono yake miwili alibeba mbao za mawe zilizoandikwa amri kumi na Mungu (Kum. 9:15). Akitelemka, alikutana na Yoshua. Wakishuka walikuwa wasikia kelele na shangwe katika kambi. Joshua alidhania ni kelele za vita. Lakini Musa alijua bora (linganisha vv.7-8). Alisema, "Si sauti yao kelele kwa ustadi, wala siyo sauti yao kilio kwa kushinda, lakini kelele za ambao huimba mimi nasikia" (v.19). walipo karibia kambi, Musa "aliona ndama na sherehe," na kwa hasira , "aliachilia zile mbao kutoka kwa mikono yake na kuzivunja chini ya mlima."

Katika hatua tatu za makusudi, Musa alipanga kushinda sanamu:

1) Aliiharibu sanamu, akaisaga kuwa vumbi na kuitupa ndani ya maji yao ya kunywa . Walifanywa kunywa "mungu" wao (mst. 20)!

2) Kisha alimshughukilia Haruni, ambaye udhaifu wake uliendeleza ibada ya sanamu (wakati maandamano ya nguvu ingeweza kuwa simamisha ). Aliachiliwa na kusamehewa kwa sababu Musa alimombea (Kumb 09:20).

-92-

Page 93: UTANGULIZI: SEHEMU YA TATU · Web viewTAA MIGUUNI MWANGU Sehemu ya tatu- (Hatua ya kwanza) Matayarisho ya Ufalme Matamshi yako ni taa miguu ni mw angu na mwanga wa njia yangu (Zaburi

3) Kisha aliwachukuwa wale hasa walianzisha ibada ya sanamu, na kwa msaada wa kabila la Lawi, waliosimama kwa uaminifu naye, akawaua washirikina 3000 (vv.26-28).

OMBI LA MUSA LA PILI ' KWA AJILI YA ISRAELI (Kutoka 32:30-35).Musa aliadhibu dhambi ya Waisraeli, lakini bado alikuwa na ufahamu wa mgawanyiko kati ya Mungu na watu wake. Kile kilichohitajika ni maridhiano, na Kesho yake Musa alipanda mlima mara ya sita, wakati huu kuwaombea msamaha Waisraeli. Alikuwa tayari kufa mwenyewe kama ilimaanisha msamaha wa dhambi zao, na wokovu wao. Hii Mungu alikata kwa misingi mbili kuu:

1. Upatanisho kwa njia ya mbadala si sehemu ya njia ya Mungu (mstari 33;. Ezek 18:04); Israeli walikuwa wametenda dhambi, kwa hiyo wanapaswa kuadhibiwa. Kanuni sawa inatumika katika kesi ya wokovu katika Kristo. Alikufa kwamba dhambi zetu, tupate kusamehewa, lakini pia ni muhimu kwa sisi "kufa kwa dhambi" katika ubatizo kwa jina lake. Kwa njia hii tujiunge wenyewe na kanuni ya msalaba- tuweke kando njia ya dhambi na badala yake tutoe utii kwa Mungu (Rum. 6:4-6). Kama vile Yesu alisema, ni lazima pia tuchukue msalaba wetu na kumfuata (Mathayo 16:24). Si sahihi kusema, kama vyenye makanisa hufanya, kwamba Yesu alikufa badala yetu, au kama mbadala wetu.

2. Dhambi yenyewe inaweza kusamehewa (kama ilivyoelezwa na amri mbele kwa ardhi), ingawa madhara yake hubaki. Hawakutarajia mambo kuwa sawa na kama walikuwa hawanjfanya dhambi. Kinyume chake, wangeweza kuteseka kwa sababu ya hilo (vv.34-35).

Mapambano dhidi ya dhambi lazima yawe mtu binafsi na ya siri, na sisi tusithubutu kihiari kufanya dhambi yoyote (Rum. 6:15). Katika wakati wote wa siku ni lazima tuwe macho, kwa dhambi ambayo "kwa urahisi besets sisi", tupate kujieleza katika mawazo yetu, maneno au matendo.

MASOMO YETU :1. Musa alipanda Mlima apokea maelekezo kutoka kwa Mungu; katika njia hiyo, Bwana wetu Yesu

Kristo alipaa mbinguni kwa msimu (Lk. 19:12, Matendo 1:07, 11).2. Musa alikuwa mbali kwa muda mrefu kwamba Waisraeli walikiwa na shaka kama alikuwa bado

hai. Katika njia sawa, wenye mzaha kusema kuhusu kurudi kwa Kristo, "Iko wapi ahadi ya kuja kwake?" (2 Petro 3:3-4.). Ni lazima tuache kufikiria kutokuwepo kwa Bwana wetu kuwa nafasi ya kujiingiza katika shughuli za kidunia na tamaa tusiwe kama mtumishi mbaya ambaye alisema moyoni mwake, "Bwana wangu anakawia kuja" (Mathayo 24:48-51 ).

3. hamu ya kukidhi tamaa zao ilisababishwa Waisraeli kuabudu sanamu. Tamaa unaweza kusababisha kitu kile kile leo (Kol. 3:05). Dunia ina mengi ya kutoa katika suala la raha na furaha, na tunapaswa kuwa na ufahamu wa hatari katika mambo haya kwa imani yetu.

4. Wakati Musa aalirudi akawa mwamuzi kwa wale ambao walikuwa na hatia ya dhambi, lakini _ katika aliomba Mungu ili kuokoa wale ambao walikuwa waaminifu. Kristo atafanya vivyo hivyo (2 Kor 5:10.).

MAKTABA YA KUREJEA:"The visible Hand of God" (R. Roberts)-Sura ya 17

-93-

Page 94: UTANGULIZI: SEHEMU YA TATU · Web viewTAA MIGUUNI MWANGU Sehemu ya tatu- (Hatua ya kwanza) Matayarisho ya Ufalme Matamshi yako ni taa miguu ni mw angu na mwanga wa njia yangu (Zaburi

"the bible story" (H. P. Mansfield)-Vol. 1, 321-327 za

MASWALI YA AYA:1. Kwa nini Musa alipanda mlima katika tukio la tano? Aliadamana na nani? 2. Kwa nini watu walitaka kujenga ndama wa dhahabu? Ilikuwa makosa gani wao kufanya hivo? 3. Nini hatua ya Musa wakati Mungu alitaka kuangamiza taifa baada ya ibada yao ya ndama wa

dhahabu na kuanzisha taifa mpya?

INSHA MASWALI:1. Eleza tukio la ndama wa dhahabu. Masomo gani linatufundisha sisi?2. Nini sambamba kati ya siku za Musa na wakati wetu iliibuka kutoka tukio la ndama wa

dhahabu?3. Masomo gani tunayojifunza kutokana na maombezi ya Musa kwa niaba ya watu, wakati wao

walikuwa wametenda dhambi katika suala hilo la ndama wa dhahabu?4. Eleza kile ambacho Musa alifanya wakati _ alishuka Mlima Sinai na kugundua kwamba watu

walikuwa wamegeukia sanamu? Jinsi gani hii inaorodhesha kile Yesu Kristo atafanya atakaporudi?

MPANGILIO WA KAMBI MRABA

272. HEMA TAKATIFU LA KUKUTANIAKWA MUNGU NA ISRAELI "Waache wanifanye mahali patakatifu"

Waisraeli walikuwa wameitwa kutoka Misri, kubatizwa katika bahari ya Shamu na kukusanywa pamoja kama mwili wa waumini. Walikuwa waelimishwe ili maisha yao itakutafakari tabia za Bwana. Kwa njia hii wao wapate wokovu. Hema na ibada iliyohusiana na hayo ilikuwa lengo la kutoa elimu.

Lengo la somo hili ni kuonyesha jinsi maelezo ya hema katika nafasi yake, mahakama yake na mahali patakatifu ina orodhesha Kristo. pahali Patakatifu zaidi patazingatiwa katika somo linalofuata.

Kutoka 25:1-22 na tamaa Kutoka 40

KITUO CHA SHERIA.Sheria ya Musa ilikuwa kanuni ya Mungu kwa waisraeli kwa ajili ya maisha na ibada. Ibada yao rasmi kwa Mungu ilikuwa imezingatiwa katika hema.Wakati Musa alipanda Mlima. Sinai kupokea sheria, alionyeshwa "mfano" wa hema. Aliambiwa kwamba lazima afanye vitu vya samani zake kulingana na "muundo ambayo alikuwa ameonyeshwa katika mlima" (Kutoka 25:9, 40; 26:30; 27:8;. Hes 08:04, nk ). Hii inaonyesha kwamba wakati Mungu anatamani sisi

-94-

Page 95: UTANGULIZI: SEHEMU YA TATU · Web viewTAA MIGUUNI MWANGU Sehemu ya tatu- (Hatua ya kwanza) Matayarisho ya Ufalme Matamshi yako ni taa miguu ni mw angu na mwanga wa njia yangu (Zaburi

kumwabudu, hatuwezi kufanya tupendavyo. Maelekezo aliyopewa Musa inaonyesha kwamba Mungu ilitarajiwa kila kitu kufanyika katika njia aliyotoa.Waisraeli walitarajiwa kuabudu Bwana wakati wote na katika maeneo yote. Lakini hema ilitengenezwa kama mahali ambapo Waisraeli wanaweza kuja mbele za Bwana na kuzungumza naye Kut. 25:22): "Waache wanifanye Mimi mahali patakatifu, nipate kukaa kati yao" (25:8). "patakatifu" ina maana ya " mahali kando" na kama tutakavyoona, maskani ambapo Mungu alikaa palikuwa kando na Israeli. Katika njia sawa, tunahitaji kuweka mioyo yetu kama "mahali kando" au "patakatifu" ambayo Mungu anaweza kukaa. Sisi tufanye hii wakati tunatabua uwepo wake , na kwa kutii sheria zake (taz. Isa 66:1.).

NAFASI NA UKUBWA WA HEMA TAKATIFU LA KUKUTANIA (KUTOKA 27:9-19).Hema liliwekwa katikati ya kambi ya Israeli (Hesabu 02:17), lakini lilitengwa kutoka kwa Israeli na ukuta wa kitani nyeupe imeshikiliwa na shaba. ilichukua dhiraa kama 46 cm kwa urefu, hema ilikuwa katikati ya mstatili wa pazia 46 urefu wa mita 23 na upana wa mita (v.18).Hema yenyewe, ilikuwa mita 13.8 kwa muda mrefu, upana wa mita 4.6 na 4.6 mita juu. Ilikuwa imegawanywa mara mbili pahali Patakatifu na Patakatifu zaidi. latter ilikuwa mchemraba kamilifu; 4.6 mita juu, mrefu na mpana.

MFANO WA NAFASI MAOMBI YA HEMA TAKATIFU LA KUKUTANIA.Kambi ya Israeli alikuwa na mpangilio wa mraba. Upande wa mashariki kulikuwa Yuda, Isakari, na Zabuloni, kusini kulikuwa Reubeni, na Simeoni na Gadi; upande wa magharibi, Efraimu, Manase na Beyamini , kaskazini, Dani, Asheri na Naftali (Hes. 2). Ndani ya mraba hii ilikuwa mraba zaidi, aliundwa kwa hema ya Walawi, kabila ya Lawi yenyewe ilikuwa pia imegawanyika katika sehemu nne (Hes. 3). Hema iliwekwa kwenye kitovu cha mraba alifanya juu ya Walawi. Kutoka nyumba ya Haruni, makuhani wanaosimamia vya Taber nacle zilizochukuliwa.Kambi la waisraeli juu hema ilikuwa ishara ya kile Mungu alitaka kutoka kwa kila Misraeli wa kweli; ibada zao na huduma zilielekezwa kwake. Lakini pia walikuwa wamakatazwa kuwasiliana moja kwa moja na Hema la Kukutania na uwepo wa Walawi na Makuhani. Mungu alikuwa hivyo anaonyesha watu wake kwamba alikuwa Mtakatifu au tofauti, na hata kama walikuwa wamechaguliwa juu ya mataifa yote mengine, lazima presume kuwa wanamujua sana na Mtakatifu waliye abudu. Kama vile Mungu baadaye alisema wakati fulani wana wa Haruni iliaibisha wito wao "nitakuwa na kutakaswa kati yao kusogea karibu na mimi" (Law. 10:03). Mawasiliano ilikuwa inawezekana, lakini tu kupitia makuhani wake ulioteuwa na kwa njia ambayo alikuwa ameeka . lazima Mungu aheshimiwe katika mambo yote.Mahema ya Israeli yalikuwa meusi, lakini pazia zilizozunguka hema zilikuwa nyeupe-hii ilikuwa tofauti makusudi ilikufundisha somo. "nyeupe" ni ishara ya uadilifu (Ufu. 19:08), hata kama "nyeusi" inaongea

Hema ya madhabahu ilielekea mashariki, upade wa jua kuchomozaa. Kwa njia hii ilielekeza ujio wa Mwana wa Mungu ujao, kama Jua la haki litachomaza kwa miale yake ya uponyaji (Malaki 4:1-2) Yesu ni "Nuru ya ulimwengu" (Yohana 8:12 ). Bila yeye hatuma matumaini ya siku zijazo, wala njia ya kujiokoa kutoka matatiza yanayomkumba mwanadamu.

MAHAKAMA YA HEMA

-95-

Page 96: UTANGULIZI: SEHEMU YA TATU · Web viewTAA MIGUUNI MWANGU Sehemu ya tatu- (Hatua ya kwanza) Matayarisho ya Ufalme Matamshi yako ni taa miguu ni mw angu na mwanga wa njia yangu (Zaburi

(a) MahakamaKatikati ya pazia la sanda liliotizamia upande wa mashariki palikuwa na mlango uliokuwa na pazia ya kitani iliyopabwa na rangi za buluu, zambarau na nyekundu na ingeweza kufuvtwa kando (Kutoka 27:16, 17). Hema ilijengwa katika njia ambayo iliashiria Yesu Kristo. Mlango uliwakilisha Yesu Kristo ambaye alisema, "Mimi ni mlango; na mtu yeyote atakayeingia, ataokolewa, na ataingia na kutoka, na kupata malisho" (Yohana 10:09).

Rangi ya Buluu inaashiria Mungu na wana Waisraeli, mwito wa mbinguni (Hes. 15:38); nyekundu inaashiria binadamu na ni rangi ya dhambi ambayo inatokana na tamaa ya mwili (Isa. 01:18). Yesu alikuja katika asili ile ile kama binadamu, kwa mwili na damu kama wale aliokuja kuokoa (Ebr. 2:14-17). Hii ilikuwa ni moja ya mahitaji muhimu kwa ajili yake kuwa sadaka ya kufaa kwa ajili ya dhambi za ulimwengu. Hivyo rangi ya bluu na nyekundu zinaashiria Yesu kama Mwana wa Mungu na Mwana wa Mtu mtawalia. Zambarau ni mchanganyiko wa rangi ya bluu na nyekundu na inaashiria njia ambayo Mungu na binadamu wanaweza kuletwa katika maelewano, ikiashiria ukombozi, upatanishi, ukuhani.

(b) Madhabahu ya ShabaHema iliwekwa kwa upande wa mwisho wa mahakama. Kitu cha kwanza ambacho kingeweza kuonekana kutoka mlango kilikuwa madhabahu makubwa ya mbao, yaliyofunikwa na shaba. Ni ilitua juu ya miguu minne fupi ya shaba. Pembe nne za madhabahu zilifananan na pembe za wanyama waliokuwa wamefungwa. Kwa upande wa kusini wa madhabahu kulikuwa na maandishi ya kidunia (Kutoka 20:26;. Law 9:22). Kwa upande wake kulikuwa na vifaa mbalimbali vya matumizi katika sadaka.

Ukweli ni kwamba madhabahu yaliwekwa kwanza, kuwaonyesha wana waIsraeli kwamba Mungu alitaka dhabihu zao(Kutoka 27:1-8). Kristo ni madhabahu yetu, kama tutabatizwa katika jina lake (Ebr. 13:10). Basi tunaweza kuwasilisha dhabihu zetu kwa Baba kwa njia ya Yesu Kristo, kama walivyofanya waisraeli kupitia madhabahu. Mungu aliwasha madhabahu moto na kuwaamuru makuhani wasiuache uzime (Law. 9:24; 6:12-13). Sadaka iliyotolewa juu ya madhabahu hayo ingetetezwa kabisa na moto wa Mungu. Hii iliashiria jinsi sisi pia tunaweza kutoa madhabahu yetu kwa mungu kupitia kwa njia ya Yesu Kristo (Ebr. 12:29; Rum 12:1.).

(c) BirikaKabla ya sadaka ya madhabahu ya shaba kufanyika, Birika lingetumika kwa ajili ya kutakasa(Kutoka 30:20;. 26:6 Zaburi). Birika iliwekwa kati ya madhabahu na hema (Kut 30:17-21). Ilikuwa bakuli kubwa ya shaba, ambayo makuhani walitumia kuosha mikono na miguu yao. Katika Ubatizo dhambi zetu "huoshwa" mbali (1 Kor 6:11.), Na jinsi tunaongozwa kila siku na neno la Mungu, sisi tunawakilishwa na Paulo kama waliosafishwa na "birika" ya maji (Efe . 5:26;. Zab 119:9; Yoh 15:03).. Jinsi tunavyotembea, na kutenda kwa mikono yetu, imetakaswa na na maaarifa na mapenzi ya Mungu kama iliyodhihirishwa katika neno lake. Ni kama birika katika kututakasa kutoka kwa uovu na mvuto wa mambo ya ulimwengu, na ya mwili.

(d) Jengo la MadhabahuHema alikua ya mwisho (Kutoka 26:1-20, 36, 37). Hakuwa na madirisha, kwa hivyo ndani kulikuwa giza

-96-

Page 97: UTANGULIZI: SEHEMU YA TATU · Web viewTAA MIGUUNI MWANGU Sehemu ya tatu- (Hatua ya kwanza) Matayarisho ya Ufalme Matamshi yako ni taa miguu ni mw angu na mwanga wa njia yangu (Zaburi

isipokuwa mwanga wa taa. Kuhani aliyeingia pahali patakatifu ilimbidi kuuwacha mwanga wa jua, kama vile sisi wenyewe tunageuka na kuwacha mambo ya kidunia ili kukubali Kristo. Kuhani alingia kupitia pazia ambayo ilikuwa imetengenezwa na kitambaa majo na mlango wa mahakama.

NDANI YA HEMA.(a) Mnara wa taakwa upande wa kushoto Mahali Mtakatifu palikuwa mnara wa taa wenye matawi saba(Kutoka 25:31-40). Mnara ulitumia mafuta ambayo waisraeli walileta (Walawi 24:2). Ilibidi ijazwe asubuhi na jioni. Hii iliashiria "mwanga wa ujuzi wa utukufu wa Mungu" ambayo "ilingaa katika uso wa Yesu Kristo" (2 Kor 4:06.), Ambayo lazima ionekane katika maisha yetu. Hii inawezekana tu kwa kusoma Biblia ambayo hutoa mafuta. Kama waisraeli walivyosaidiana kukusanya matunda ya mizaituni kuiponda ili wapate mafuta, hivyo ni wajibu wetu binafsi kujifunza Biblia (Kutoka 27:20-21).

Tazama tofauti kati ya mambo ya Mahakama na ya Hema na ya mahali Patakatifu. Moja ikiwa ya shaba, na nyingine kwa dhahabu. Dhahabu inaonyesha ile ambyo ni ya kudumu na ya thamani (Ebr. 10:34). Hivyo ni ishara kamili ya Mungu. (1 Pet 1:07;. Ufu. 3:18). Shaba katika Mahakama inawakilisha Waisraeli au binadamu, na sambamba na rangi nyekundu katika mpango wa rangi (tizama chati). Kioo cha shaba (kiliwakilisha wa ubatili wa maisha ya binadamu) na kiliyeyushwa ilikutengeneza birika (Kutoka 38:8); wakati vyetezo shaba ya wenye dhambi walikuwa kutumika kufanya mavazi kwa ajili ya madhabahu (Hesabu 16:38). Hivyo shaba anasimamia binadamu au "Mwili wenye dhambi "Kama vile mnara wa taa ulitoa mwanga wake kwenya giza ya mahali patakatifu, hivyo sisi tunapaswa kufanya hivyo. (Flp. 2:15).

Meza ya mkateUpande wa kulia kulikuwa na Meza ya mkate (Kutoka 25:23-30). Hii ilikuwa ni meza ya mbao iliyofunikwa na dhahabu, na juu yake kuwekwa mikate 12 isiotiwa chachu ambayo ilibadilishwa kila wiki. Mkate uliiashiria kuwepo kwa Mungu, na kuonyesha Mahali patakatifu. Mikate kumi na miwili iliwakilisha makabila kumi na mawili ya Israeli na kujitolea kwao mbele ya Mungu.Ubani iliwekwa juu yake kuonyesha kwamba maombi lazima yatolowe ili kukubalika na Mungu. Mikate ililiwa na makuhani, ambao wakilishwa Mungu. Katika kula mikate, kukubalika kwa kazi za waisrali na Mungu kulidhibitiswa(Walawi 24:5-9).

c) Madhabahu ya dhahabuMahali Patakatifu na Mahali Safi palikuwa pamegawanywa na pazia (Kutoka 26:31-33), vivyo hivyo na mapambono ya bluu, ya zambarau na nyekundu na kitani-iliyosokotwa. Ndani ya pazia kulikuwa na madhabahu ya dhahabu (Kutoka 30:1-10). Kila asubuhi na jioni makuhani walitakiwa kufukiza uvumba juu ya madhabahu haya ya dhahabu. Harufu tamu ya uvumba ilifananishwa na kupaa kwa sala kuelekea kwa Mungu (Zaburi 141:2). Uvumba ulichukuliwa kutoka kwa mikate iliokuwa imechomwa moto ili iwe madhabahu ya sadaka. Hii inatufundisha kwamba kuna uhusiano kati IMANI, MAOMBI, na DHABIHU. Sala inaweza kukubalika tu wakati inayotolewa katika imani, na ni lazima inayotolewa kwa njia ya sadaka ya Yesu Kristo. Imani huja kwa kusikia neno la Mungu (Rum 10:17), na wakati tunamkubali Yesu Kristo kwa ubatizo, tunaanza kufanya kufanya mapenzi ya Mungu.

-97-

Page 98: UTANGULIZI: SEHEMU YA TATU · Web viewTAA MIGUUNI MWANGU Sehemu ya tatu- (Hatua ya kwanza) Matayarisho ya Ufalme Matamshi yako ni taa miguu ni mw angu na mwanga wa njia yangu (Zaburi

MAFUNZO KWETU• hema inatufundisha kwamba tunapaswa kuwa makini na kumwabudu Mungu kwa njia ambayo yeye ametuonyesha kwa "usafi na kweli."• Samani ya mahakama na hema inatufunza kwamba ili kumkaribia Mungu ni lazima:

o kuingia katika mlango (Kristo)o kutembea na mikono na miguu safi (birika-kuoshwa kwa Neno)o sadaka katika madhabahu ya sadaka (ya ubatizo, ambayo tunasulubiwa pamoja na Kristo)o kujaza taa zetu (kwa kutafuta ukweli wa Mungu)o kuhudhuria kwa mikate iliyokoshwa, kuweka mbele ya Mungu matunda ya kazi yetu (mkate), na kwa maombi (ubani)o kuchoma uvumba asubuhi na jioni (kufanya sala ili kuimarika).

MAKTABA YA KUREJELEA:

"Law and Grace" (W. F. Barling)—kurasa 58-63

"The Visible Hand of God" (R. Roberts)—Sura 17

"The Law of Moses" (R. Roberts)—Sura 14-16

"The Story of the Bible" (H. P. Mansfield)—Vol. 1, Kurasa 335-362

"The Tabernacle" (C.S.S.S.)

MASWALI YA AYA:1. Elezea umuhimu kati ya yafuatayo: a) Madhabahu Shaba;a) Meza ya Mkate iliokoshwab) Mnara wa Taa2. Elezea umuhimu wa yafuatayo:a) Birika;b) Madhabahu ya Uvumba ya Dhahabu3. Tofautisha kati ya nje ya Hema na mahali Patakatifu na uelezee tofauti hizi.

MASWALI YA INSHA:1. Bila ya kushughulikia na vitu ya samani ya hema, Elezea kwa ujumla kwa nini Mungu aliweka hema katikati ya Israeli2. Nini vitu ya Mahakama ya Nje ya Hema inatufudisha juu ya Kristo?3. Elezea umuhimu wa samani katika Mahali Patakatifu ndani ya hema. Kwa njia gani inaashiria Yesu Kristo?4. Vyuma vitatu na rangi tatu zina umuhimu katika ujenzi wa maskani?

UMUHIMU WA VYUMA MATATU NA RANGI

-98-

Page 99: UTANGULIZI: SEHEMU YA TATU · Web viewTAA MIGUUNI MWANGU Sehemu ya tatu- (Hatua ya kwanza) Matayarisho ya Ufalme Matamshi yako ni taa miguu ni mw angu na mwanga wa njia yangu (Zaburi

Mungu Ukombozi Binadamu

Metals (Exod. 25:3) Gold Silver Brass

Colours (Exod. 25:4) Blue Purple Red

Kuna rangi tatu na vyuma vitatu vinavyowakilisha Mungu, binadamu na jinsi anaweza kupatanishwa na Mungu. Utaratibu ambao rangi na vyuma hivi zimetajwa ina umuhimu mkubwa(Kutoka 25:3-4). Blue na Dhahabu zimetajwa kwanza, na zote mbili kuwakilisha Mungu. Nyekundu na Brass zimetajwa mwisho, na zote zinawakilisha binadamu. Zambarau na Shaba, na zote mbili zinawakilisha njia ambayo mtu anaweza patanishwa na Mungu. Utaratibu huu na mafundisho haya yanaonyesha wakati Mungu anatangaza mathumuni yake ya hema kuwa: "ndio nipate kuishi kati yao" (Kutoka 25:8).Katika sura iliyopita, damu nyekundu imetajwa, ambayo inasimamia kwa maisha ya mwanadamu (24:6-8), na pia ya mawe yakuti ambayo yalikuwa ya bluu na walionekana chini ya miguu ya "Mungu wa Israeli" (24 : 10). Kwa njia hii umuhimu wa rangi hizi mbili juu yetu katika mazingira ya haraka.

Kutoka 25:10-22; 37:1-9

273. MAHALI PATAKATIFU KATIKA ISRAELI "Njia ya kuingia Patakatifu wa wote alikuwa bado wazi"

Pahali Patakatifu Israeli palikuwa pali ambapo kuhani pekee aliruhusiwa kuingia pekee, na hata hivyo moja tu kwa mwaka na ni baada kutimiza matakwa kamili. Kwa njia hii, Israeli wote walivutiwa na utakatifu wa Bwana Mungu wao. Yeye ni tofauti na mwili, na mtu lazima anyenyekee mbele zake ili apate kibali machoni mwake. Lengo letu ni kuona masomo yaliyo katika Pahali Patakatifu ndani hema.

Kutoka 25:10-22 ; 37:1-9

PAHALI PALIPO TAKATIFU ZAIDI.Hema ilikuwa imegawanywa katika vyumba viwili na kitambaa kilichojulikana kama Pazia (Kutoka 26:31-37 ). Pahali Patakatifu zaidi palikuwa pa miraba minne kamili, ya mita 4.6 urefu, upana. Na ilikuwa imewekwa mwisho wa hema. Ilikuwa ni hema ya Bwana katika Israeli kutoka hapa angewaongelesha wana wa Israeli. ( Kut 25:22 kusoma , Hes 7:89 . . ). Hapa utukufu wake uling'aa na mwanga wake ungeangaza kote kuliko na giza ndani ya mahali Patakatifu (Zab. 99:1 ; 80:1 ; . Ex 40:34 ).

GHALAWA YA AGANO (Kutoka 25:10-22 ).Samani ya pekee iliyokuwa katika mahali Patakatifu ni saduku lililotengenezwa na mbao , na kufunikwa na dhahabu kwa ndani na nje. Mfuniko wake uliitwa Kiti cha Huruma . ulikuwa umetengenezwa kwa dhahabu safi , na makerubi mbili yenye mabawa yalionyooshwa, moja katika kila mwisho , walipigwa kutoka kipande kimoja cha dhahabu kama Kiti cha Rehema . Nyuso za Makerubi inaonekana chini kuelekea Kiti cha Rehema (mst. 20 ). Ndani ya sanduku kulikuwa na vitu vitatu - Meza mbili za jiwe ambapo sheria iliandikwa ( v.21 ), chungu cha dhahabu kilichokuwa na manna, na, fimbo ya Haruni (Ebr.

-99-

Page 100: UTANGULIZI: SEHEMU YA TATU · Web viewTAA MIGUUNI MWANGU Sehemu ya tatu- (Hatua ya kwanza) Matayarisho ya Ufalme Matamshi yako ni taa miguu ni mw angu na mwanga wa njia yangu (Zaburi

9:4-5 ).Makerubi iliwakilisha Israeli na utukufu ujao (Ufu. 04:07 ; 5:9-10). Ilikuwa imetengenezwa na dhahabu, na "wana wenye thamani wa Sayuni " " walilinganishwa na dhahabu safi " (Maombolezo 4:02 ). Haifananishwi na wana wa israeli walkiopenda kuteta kama vile, tunasoma katika Biblia, lakini Waisraeli wa kweli , wale wanaume na wanawake wa umri tofauti ma walio na tumaini la Israeli na kwa hivyo wakawa "Waisraeli kweli kweli" ( Gal. 3: 26-29). Imani yao ilikuwa imejaribiwa na moto wa mateso na "kutoka kama dhahabu "; na watakuwa wajumbe wa Bwana katika Ufalme ( Job. 23:10 ).Kiti cha Rehema kiliashiria Yesu Kristo. Katika Warumi 3:25 , kwani anaitwa Kiti chetu cha Rehema, kwa neno lililotafsiriwa kama " suluhu " linaweza kusomeka kama " Kiti cha huruma" . Kumbuka kwamba Kerubim na kiti cha rehema zilitengenezwa kutumia kipande kimoja cha dhahabu (Kutoka 25:18-19 ). kerubim ni "mmoja" na kiti cha rehema kama vile waamini wa kweli lazima wawe " moja" na Kristo Yesu (Yohana 17:20-21, nyuso za Makerubi ni ziliangalia Kiti cha Rehema (Kutoka 25:20 ), kama vile nyuso za waamini wa kweli zitaelekea kwa Bwana wao (Zaburi 27:6-9 ).Kutoka kwenye kiti cha rehema Mungu aliongea na watu wa Israeli , kama vile leo ananena nasi kupitia Mwana wake Yesu christo (linganisha Hes 7:89 ; . . Ebr 1:1-2) , na huko "alikutana " na waisraeli , na Yesu Kristo ndiye pekee tunaweza pitia tukitaka kumkaribia (Yohana 14:06 ; . 1 Tim 2:05 ).

DAMU KATIKA PAHALI PA PATAKATIFU.Wakati kuhani mkuu aliingia Pahali Patakatifu mara moja kila mwaka, katika siku ya Upatanisho, aliagizwa kunyunyizia Kiti cha Rehema kwa damu (Law. 16:14). Kama angingia mahali Patakatifu bila kufanya hivyo, angeuliwa na Mungu (Law 16:2). Makerubi ilitazama chini, nyuso zao zikielekea Kiti cha Rehema kilichonyunyuziwa damu. Vivyo hivyo macho yetu yaelekee Bwana Yesu Kristo, na sadaka yake. tunaona sadaka yake kubwa na tunatambua ni kwa ajili yake sisi tutaweza kuokolewa.

Utakatifu wa Mungu unatiliwa mkazo katika mahali patakatifu. Na waisraeli wachache walihusika wakati Mahali Patakatifu palipoingiwa.alifuatwa:1. Nje ya Mahakama palikuwa maelfu ya Israeli;2. Ndani ya Mahakamani Walawi na makuhani;3. KatikaMahali Patakatifu ni makuhani waliruhusiwa;4. Ndani ya Mahali Patakatifu ni kuhani mkuu pekee aliruhusiwa kuingia, mara moja kwa mwaka.

YALIYOMO MERIKEBU.Kila kitu katika Mahali Patakatifu ilikuwa na misitizo kamilifu, hali ya ushirika na maelewano kamili na Mungu milele. Dhahabu, madini iliyotumika, kuonyesha iliyo na thamani na ya kudumu milele. Pia inazungumzia imani iliojaribiwa na inahitajika iwe na kila mmoja wetu.

Tafakari vitu vilivyokuwemo:

1. Mawe mawili, ambayo sheria ya Mungu uliandikwa, kwani yalikuwa ya kudumu.2. Chungu ya dhahabu iliyokuwa na manna iliyowekwa milile bila kuharibiwa. Tazama Ufunuo 02:17.3. Fimbo ya Haruni iliyochipuka matawi baada ya kukauka ilionyesha kwamba Mungu amechagua familia yake peke iwe ya makuhani (tazama Hesabu 17.). vivyo Hivyo, Yesu amefufuliwa kutoka kwa wafu na

-100-

Page 101: UTANGULIZI: SEHEMU YA TATU · Web viewTAA MIGUUNI MWANGU Sehemu ya tatu- (Hatua ya kwanza) Matayarisho ya Ufalme Matamshi yako ni taa miguu ni mw angu na mwanga wa njia yangu (Zaburi

kupewa uzima wa milele, na hii inathibitisha kwamba yeye peke yake ni mpatanishi kati ya Mungu na mwanadamu (Ebr. 7:23-25).

UTUKUFU WA YAHWEH.Hakuna mwanga kutoka nje uliingia Mahali Patakatifu ; hata mwanga wa kinara saba kwani palikuwa na pazia iliogawanya. Ilikuwa imeagazwa na utukufu wa Bwana , ambayo uliangaza katikati ya Makerubi na na Kiti cha Rehema (Kutoka 29:43 ; 40:34 ; 25:22 ; . 80:1 Zab ).Wakati Yesu alitokea miaka 1900 iliyopita, alifananishwa na MWANGA au UTUKUFU wa Mungu unaoangaza mahali penye giza (Yohana 1:05 ). Aliweka wazi utukufu wa kimaadili wa Baba kwa binadamu. Katika yote aliyosema, pamoja na tabia yake ya ajabu , ilikuwa mfano utukufu wa Mungu. hata kwa ufufuo wake na kutukuzwa , Yesu alionyesha Utukufu kamili wa Kimungu. Kama vile kuhani mkuu aliona utukufu wa Mungu juu ya Kiti cha Rehema , tunaweza tasfiri kama ilivyoonyeshwa na Bwana Yesu. Yohana anasema kwamba wanafunzi wamekuwa kwake yeye katika " utukufu wa Baba " (Yohana 1:14). Ulimwengu wote utayaona haya katika ujio wake wa pili.Utukufu wa Bwana ulioangaza katika Kiti cha Rehema unafananishwa na maadili ya kikamilifu , jambo lakutumainiwa na watu wa Mungu , kama vile Yesu alifundisha katika Mathayo. 5:16. Tunatafakari utukufu wa kimaadili wa Bwana akiwa ndni ya mioyo yetu kwa imani ( Efe. 3:17). Kama sisi ni waaminifu , tutapata mwili wa utukufu kama ule wa Bwana Yesu (Flp. 3:21; 1 Yoh 3:1-3. ). Sisi kuishi "katika tumaini la utukufu wa Mungu". Na Yesu atakaporudi na kubadilisha miili yetu " minyonge " na ya kufa na kutupatia miili ya utukufu wa milele, binadamu watakuwa na utukufu wa kimwili wa Mungu , pamoja na utukufu wa kimaadili (Flp. 2:15).

NJIA YA USHINDI.

Mwendo wetu kuelekea ukamilifu wa mwisho ni taswira katika mfano katika hatua mbalimbali za maskani-

1. Maandalizia) mahitaji ya kwanza ni maarifa. Wote lazima tutambue katika Yesu Kristo mlango ambao yeye

hufungua b) Ingawa dhabahu ya shaba ilikuwa kitu ya kwanza kuonekana katika Mahakama ya Nje, makuhani

walibypass na kwanza walinawa mikono yao na miguu katika Birika. Maji ya Neno la Mungu husafisha akili zetu na hivyo hutakasa mwendo wetu (miguu) na vitendo (mikono). Katika ubatizo dhambi zetu huoshwa.

c) Kisha tunaweza kushiriki madhabahu ya Kristo, na ibada yetu na sadaka zinakubaliwa na Mungu kwa sababu tuko ndani yake (Ebr. 13:10). Hapo tu ndipo tuna uwezo wa kuhudumu katika pahali Patakatifu, Ekklesia.

2. Kujitolea au Kutembea katika NuruMtu hufanya hivi wakati, amempokea Kristo katika njia inayofaa, yeye huamua kutembea

pamoja na Kristo katika njia zake zote.a) Anajua kwamba lazima atembee katika nuru ya kinara; lazima awe na sauti ya kiandili, aiishi

kulingana na Ukweli wa Mungu.

-101-

Page 102: UTANGULIZI: SEHEMU YA TATU · Web viewTAA MIGUUNI MWANGU Sehemu ya tatu- (Hatua ya kwanza) Matayarisho ya Ufalme Matamshi yako ni taa miguu ni mw angu na mwanga wa njia yangu (Zaburi

b) Yeye lazima atoe mikate iliyotolewa kwa Mungu na ubani, ni kwamba, lazima amtolee Mungu matunda ya kazi yake, kwa maombi na kwa unyenyekevu.

c) Ni lazima awe mtu wa sala (ubani).

3. Kuadhimishwa au Kugawana UtukufuPazia ni mfano wa "mwili" (Ebr. 10:20). Nje ya pazia uasherati na ushirika kamili na Mungu

zimeashirawa, wakati "mwili" utawekwa kando.

Utukufu mwisho wa watu wa Mungu inaweza kuonekana kwa kuzingatia Yesu wakati aligeuswaa mbele ya ndugu yake (Mathayo 17:02), au wakati yeye alitokea kwa Sauli katika barabara ya Dameski (Matendo 09:03; 22:06; 26:13). Kama yeye , tunaweza kuwa (1 Yohana 3:1-3.).• sehemu tatu za maskani zinahusiana na hatua ambayo utukufu wa Mungu uli vyokuwa umepatikana:

1. Nje ya mahakama Maandalizi utukufu wa akili 2. mahali takatifu -Kutembea katika nuru -utukufu wa kimaadili;3. Patakatifu sana afasi-Kugawana utukufu -utukufu wa kimwili.

• Kadri kukaribia mahali patakatifu sana , ni wachache katika Israeli waliruhusiwa kuingia. Mungu ni mtakatifu na amejitenga kutoka kwa mwili.• Yesu alituambia kuwa wengi wataitwa lakini wachache ndiyo chaguliwa. wao pekee wataingia uzima wa milele, hali ya kimungu , na kuwakilishwa na mahali patakatifu sana. Natujitahidi ili tuweze kuingia katika Ufalme wa Mungu.

MAKTABA YA KUREJEA: " The Visible Hand of God"" ( R. Roberts )- Sura ya 17" The Law of Moses " ( R. Roberts )- Sura ya 13" Law and Grace " ( W. F. BARLING )- za 63-66" The Tabernacle " ( C.S.S.S. )

MASWALI YA AYA:1. Eleza kwa ufupi masomo katika yaliyomo ndani ya sanduku la Agano.2. Kuna umuhimu gani wa Veil kutenganisha mahali patakatifu sana kutoka Patakatifu?3. Nini ilikuwa Makerubi, Kiti cha Rehema na jahazi? zilikuwa nini na ni jinsi gani zilikuwa

zimeshikamana?4. Jinsi gani hema huelezea hatua tatu katika wito wetu?

MASWALI INSHA:1. Eleza uhusiano kati ya makerubi, Kiti cha Rehema na damu iliyonyunyiziwa Mahali Patakatifu

sana toa umuhimu wazo?2. Eleza jinsi utukufu wa Bwana ulivyofunuliwa katika Hema.3. Jinsi gani mahali patakatifu sana na yaliyomo ndani yake hutufundisha juu ya siku za baadaye?

274. WALIMU KATIKA ISRAELI

-102-

Page 103: UTANGULIZI: SEHEMU YA TATU · Web viewTAA MIGUUNI MWANGU Sehemu ya tatu- (Hatua ya kwanza) Matayarisho ya Ufalme Matamshi yako ni taa miguu ni mw angu na mwanga wa njia yangu (Zaburi

"Midomo ya kuhani inafaa ihifadhi maarifa "

Mara nyingi hupitia maneno "Makuhani na Walawi". Wa zamani walikuwa wana wa Haruni na wa baadaye walikuwa hao wengine wa kabila ya Lawi alikotoka Haruni Haruni na wanawe walichaguliwa kama kuhani mkuu na makuhani mtawalia . Baada ya kifo cha kuhani mkuu, mwana wake mkubwa alirithi cheo hicho . Walawi walichaguliwa ili kusaidia makuhani. Hivyo kabila nzima lilikuwa limechaguliwa kwa ajili ya kazi ya Bwana, lakini kila sehemu ilikuwa na utaratibu wake mwenyewe. Lengo la somo hili ni kuonyesha jinsi Mungu alivyowafundisha watu wake na kuonyesha umuhimu wa dhabihu.

Kutoka 40:13-16, Hesabu 18KAZI YA MAKUHANI NA WALAWI.

Katika hema wajibu wa makuhani ulikuwa kuangalia moto wa madhabahu ya sadaka ya kuteketezwa, kuhudhuria dhabihu inayotolewa pale, kuweka ulinzi wa patakatifu. Miongoni mwa mambo zingine, walipeana kondoo kwa taifa kama sadaka kila jioni na asubuhi. Walipokea na kutoa sadaka zilizoletwa na waumini. Walihakikisha kuwa kinara kilichokuwa na matawi saba kimewekwa mafuta. Walibadilisha mikate ya toleo kila wiki, na kuteketeza uvumba.

Walawi walikuwa kama wasaidizi wao. Katika utumishi wa hema Walawi waliruhusiwa katika ua ya nje, lakini walinyimwa ruhusa ya madhabahu, au kuingia ndani ya hema yenyewe (Hes. 18:03).

MISAADA YA MAKUHANI NA WALAWI.Makuhani na Walawi wakupewa urithi wa nchi (Hes. 18:20-23). Walivyofundishwa kutegemea

Bwana kwa ajili ya maisha yao. Watu wa nchi walikuwa wana toa fungu la kumi (asilimia kumi) mafuno yao kwa Walawi (Hesabu 18:24), ambayo walifanya kila miaka mitatu (Kumb 14:28-29). Na, kwa upande wao, Walawi waliwapa makuhani sehemu ya kumi ya zaka walipokea kutoka kwa watu(Hesabu18:26-28).

"Zaka" hii ilikuwa inaitwa "sadaka ya kuinuliwa" (Hes. 18:24). Neno "kuinuliwa" maana yake "kuinuliwa" au "inuliwa", yaani kama zawadi, au sadaka (Kutoka 25:2, 3;, 30:13 14; Law 07:32;. 22:12) . Makuhani wawakilishi wa Mungu kufanya kazi yake na kufundisha sheria zake. Hivyo katika kutoa fungu la kumi kwao, watu walikuwa wanatoa kwa Mungu (Hesabu 18:08). Wakati walikosa kuwapa (ilivyo tokea wakati mwingine ), ilikuwa ni kama kumuibia Bwana kilichokuwa chake (Mal. 3:9-10), kwa ajili walichopokea watu kilitoka kwa Mungu, na kwa kweli kilikuwa chake. Mbali na sehemu ya kumi, makuhani walipewa, kama chakula, baadhi ya vipand vya dhabihu (Hesabu 18:9-13).

WAALIMU WA WATU.Makuhani na Walawi walitarajiwa, kwa upande wake, kutoa maisha yao kwa ajili ya Mungu.

walisoma na kufafanua Sheria (Law 10:11;. Kum 24:8); walikuwa kama majaji (Kum. 17:09; 19:17), na wakati Israeli ilianzishwa katika nchi, walipewa miji 48 iliyo tawanyika katika taifa zima (Hes. 35:2-8). Hivyo wao walikuwa daima wa kufundisha na kuwaelekeza watu (Malaki 2:7). Katika nyakati za wafalme walikuwa wanaiita "Makuhani waliofundisha" (2Nya 17:7-9.). Katika hii walikuwa kama waumini leo miongoni mwa mataifa ya dunia (1 Pet 2:09.).

-103-

Page 104: UTANGULIZI: SEHEMU YA TATU · Web viewTAA MIGUUNI MWANGU Sehemu ya tatu- (Hatua ya kwanza) Matayarisho ya Ufalme Matamshi yako ni taa miguu ni mw angu na mwanga wa njia yangu (Zaburi

DHABIHU.Sehemu kubwa ya kazi ya makuhani ilikuwa kutoa sadaka. Kutoa sadaka kwa Mungu ni kama

kutoa kitu kwake. Wana wa Israeli waliamriwa kutoa kafara mbalimbali kwa kusudi tofauti. Wakati baadhi zilikuwa

za lazima, zingine zilikuwa kwa mapenzi yao Wanyama, ndege unga, na mafuta zilitolewa kulingana na mahitaji, na karibu zote lazma zingekuwa kamili na bila dosari.

Sadaka ilikuwa sehemu kubwa ya ibada ya Israeli. Walikuwa umegawanyika katika makundi mawili: -

1. DHABIHU YA KITAIFAHizi zilitolewa kwa niaba ya taifa kwa ujumla: -

1. Sadaka ya Kila siku -asubuhi na jioni (Hes. 28:1-8).2. Sadaka ya kila wiki -kila siku ya Sabato (vv.9-10).3. Sadaka ya kila mwezi -kila mwezi mpya (vv. 11 -15).4. Sadaka ya kila mwaka -Sikukuu (Pasaka, Pentekoste na Vibanda), Baragumu au Mwaka Mpya na

Siku ya Upatanisho (vv. 16-31; 29:1-38).

2. SADAKA ZA MTU BINAFSI Hizi zikiwemo sadaka za dhambi na hatia, sadaka za kuteketezwa, sadaka ya amani , sadaka ya

unga na kinywaji

(i) Sadaka ya dhambi-Law. 4:1-5, 13; 6:24-30Wakati mtu dhambi kwa sababu ya ujinga na baadaye agundue dhambi yake, alitakiwa kufanya sadaka hili Mnyama alichinjwa, na damu yake ilimwagwa katika Madhabahu ya Sadaka ya Kuteketezwa Damu hii iliwakilishwa "maisha ya mwili" (17:11), na wakati ilimwaga,illisimama kujisalimisha maisha kwa mapenzi ya Mungu. Mwenye dhambi aliwekelea mkono wake juu ya kichwa cha yule mnyama (4:04, 24, 29), hivyo kujibainisha nayo Yeye alifanya ungamo ya dhambi yake (5:5), na kutambua haki ya Mungu kumpa adhabu ya kifo (ambayo ilikuwa hatima ya wanyama), lakini kwa kuomba huruma na msamaha. Mungu alifurahia na kusamehe.

(ii) Sadaka ya kukiuka-Law. 5:14-19; 6:1-7; 7:1-7Wakati mtu anatafuta msamaha kwa kosa, ambayo iliafikiwa kwa kitendo cha "udanganyifu na

vurugu " wakati haki ya mwingine ilikiukwa (6:04), alitakiwa kutoa sadaka hili ambayo kwa karibu alifanana na sadaka ya dhambi (7: 7). Ina nahusiana na mawazo ya: -

a. ukombozi-alikuwa arejee kwa unyenunyenyekevu aliyekuwa amekosea, nab. hukumu - pia ilikuwa aongeze humusi ya thamani ya kitu lilichorejeshwa

(iii) Sadaka ya kuteketezwa-Law. 1:7-17; 6:9-13; 07:08Sadaka hii ilifuata kwa kawaida Dhambi ya kuteketeza, na yenyewe ilifuatwa na sadaka ya amani

(8:14, 18, 22). Wakati Dhambi sadaka ilileta msamaha wa dhambi, sadaka ya kuteketezwa ilibeba wazo la kujisalimisha , na kujitoa mwenyewe katika huduma kamili kwa Mungu (yaani kujitolea) Hivyo mnyama au ndege ilitayarishwa kwa makini kwa makini, kuwekwa katika utaratibu juu ya madhabahu na

-104-

Page 105: UTANGULIZI: SEHEMU YA TATU · Web viewTAA MIGUUNI MWANGU Sehemu ya tatu- (Hatua ya kwanza) Matayarisho ya Ufalme Matamshi yako ni taa miguu ni mw angu na mwanga wa njia yangu (Zaburi

kuteketezwa kikamilifu. Ilikuwa ni sadaka ya harufu nzuri kwa Mungu, kama maisha yetu ni wakati yanatumika katika huduma yake (1:09, 13, 17; Efe 5:02

(iv) Sadaka ya amani-Law. 3:1-17; 7:11-21, 28-34Haya yalisimama mwishoni mwa kanuni za sadaka kuonyesha marejesho ya ushirika na Mungu

uliokuwa umevunjwa na dhambi. zilikuwa sadaka ambazo Mungu, makuhani wake na mtoaji "walikula" chakula pamoja, ishara ya amani na urafiki. Mnyama aliyechinjwa ilikuwa inagawanywa ili Mungu kupokea mafuta (3:11, 16); makuhani, kifua na mguu wa kulia (7:30-34), na mtoaji na familia yake, urari wa mzoga.

Somo rahisi ya Sadaka ya Amani ni amani na Mungu unaweza kuja tu baada ya kutambua na kutelekezwa kwa dhambi, na umuhimu wa maisha ya wakfu

(v) sadaka ya Chakula na kinywaji -Law. 2; Kut. 30:9, Hes. 15:10.Hizi zilikuwa za unga uliochanganywa na mafuta na kuokwa bila chachu, na mvinyo, mtawalia. Kwa pamoja walizungumzia hamu kwa kufanya mapenzi ya Mungu "chakula na kinywaji," yaani daima kuishi kwa kanuni za Neno la Mungu

FUNSHO YA SADAKAKama vile kufundisha misingi ya kimaadili isiyobadilika ambayo watumishi wa Mungu lazima

wasingatie, sadaka zote zililenga Yesu Kristo. Alikuwa mkamilifu, kuwa mkamilifu katika tabia (Efe. 5:1-2; Yn 1:29; Kol 1:16-17; Ebr 9:12; 13:12-13 Yeye alijitoa kwa hiari na Mungu alikubali sadaka kama kifuniko au upatanisho ya dhambi za wale wanaokuja kwake kupitia Kristo (Rum. 4:07; Gal 3:26-29.)

Wakati tumebatizwa katika jina lake, sisi ni hubatizwa katika mauti yake (Rum. 6:03 Kama mwenye dhambi chini ya sheria, sisi kwa mfano kuweka mkono wetu juu ya sadaka na kuungama dhambi zetu, kusihi msamaha. Tunaona kifo cha Bwana kama ishara ya nini ni kutokana na wale ambao huvunja sheria ya Mungu na tunaomba huruma. Na kwa huru tunapewa na Baba wa mbinguni na dhambi inasamehewa.

Kuna tofauti kati ya kutoa dhabihu za wanyama na Kristo . Zamani, alipowawa, alibaki mfu. Lakini Kristo alifufuka kutoka kwa wafu na alivalishwa juu na uzima wa milele. Yeye hivyo akawa ishara ya matumaini kwetu (Rum 4:25 Waisraeli wa kweli waliona katika sadaka zao , aina ya wokovu ambayo Mungu hatimaye alionyesha katika mwenye Yeye aliteua kama Mwokozi wa ulimwengu (Mwanzo 22:14).

DHABIHU YETU.Ni lazima tutoe tamaa zetu, mapenzi yetu, mawazo yetu, matakwa yetu kwa kile Mungu anataka

(Rum. 12:01 Na hii yote yanaweza tu fanyika kwa njia ya sadaka (Bwana Yesu) ambaye Yeye alitoa. kwa Mungu, na tunahitajika kuwa tayari kutoa hii kwake. Mahitaji ya Ukweli na Iklezia wanapaswa kuweka kwanza, kabla ya shughuli nyingine za maisha yetu.

Wakati Israeli alitolewa kutoka Misri kwa njia ya sadaka kondoo ya pasaka na wakaenda hadi Nchi ya Ahadi, wakapita kati ya maji ya Bahari ya Shamu, na katika kufanya hivyo "walibatizwa kwa Musa" (1 Kor 10:02 Katika njia sawa, Kristo Pasaka yetu, amekwisha kufa ili sisi tupate kuokolewa kutoka

-105-

Page 106: UTANGULIZI: SEHEMU YA TATU · Web viewTAA MIGUUNI MWANGU Sehemu ya tatu- (Hatua ya kwanza) Matayarisho ya Ufalme Matamshi yako ni taa miguu ni mw angu na mwanga wa njia yangu (Zaburi

ulimwengu wa dhambi uliyotusungukanasi pia lazima tupitie katika maji ya ubatizo (1 Kor 5:07; Rum 6:3-4).

Hili ni tendo la kwanza la utii, lakini ni lazima lifuatwe na maisha ya kujitoa kwa Mungu kama vile sadaka za Israeli zimebaini na kufundisha.

MASOMO YETU • Ingawa hatuko tena chini ya mfumo wa zaka, tunapaswa kukumbuka kanuni

za utoaji kwa Bwana ambayo ni yake "kwa ajili nchi ni ya Bwana, na ukamilifu wake."

• Sisi ni makuhani chini ya agano jipya (1 Pet 2:09.), Na wajibu wa kufundisha na kuonyesha mwanga wa ukweli wa Mungu.

• Kuna masomo mengi tunaweza kujifunza kutoka chini ya sheria za sadaka. Mungu huhitaji kilicho bora kutoka kwetu ; ni lazima tujitolea kabisa njia zake. Juu ya msingi huu tunaweza kuwa na ushirika naye.

MAKTABA YA KUREJEA:"The Law of Moses" (R. Roberts)-Sura ya 24-25"Law and Grace" (W. F. BARLING)-94-121 za

MASWALI YA AYA

1. Jinsi gani makuhani na Walawi walisaidiwa, kimali, chini ya sheria ya Musa? Je, hii inatufundisha nini?

2. Makuhani walikuwa majukumu tofauti na Walawi. Eleza tofauti hizo?

3. Nini kanuni gani kuu tunajifunza kutoka dhabihu chini ya sheria ya Musa?

MASWALI YA INSHA:

1. Eleza kazi muhimu zilizofanywa na makuhani katika Israeli.

2. Tathmini sadaka ya mtu binafsi chini ya sheria ya Musa na uonyeshe mafunzo tunayojifunza

3. Jinsi gani dhabihu chini ya sheria ya Musa zilielekesha kwa Kristo? Toa mifano.

275. SIKUKUU YA YAHWEH

"Mara tatu nawe kushika sikukuu kwangu katika mwaka"

Katika hekima ya Mungu, kuabudu katika Israeli kulikuwa kumewekwa katika sehemu na mwaka wao wa kilimo. Kwa njia hii taifa alikuwa daima imekumbusha kwamba wao wanamtegemea yeye kwa maisha

-106-

Page 107: UTANGULIZI: SEHEMU YA TATU · Web viewTAA MIGUUNI MWANGU Sehemu ya tatu- (Hatua ya kwanza) Matayarisho ya Ufalme Matamshi yako ni taa miguu ni mw angu na mwanga wa njia yangu (Zaburi

yao na ustawi, na kufunzwa kumshukuru kwa wema wake wote. Lengo la somo hili ni kuonyesha jinsi sikukuu tatu za kila mwaka ya Israeli zilikuwa zimeundwa ili kufunza mafunzo ya kiroho. Mambo ya

Mambo ya Walawi 23

NCHI YA MAZIWA NA ASALI (KUMB 8).

Ardhi ya Ahadi ambayo Mungu aliongoza watu wake _ kutoka Misri ilikuwa inaitwa "nchi ya maziwa na asali." Walikuwa wameagizwa kutii amri za Mungu, na kutembea katika njia yake na kumheshimu _ "kwa ajili ya BwanaMungu wako, amewaleta katika nchi nzuri, nchi ya mito ya maji, na chemchemi zibubujikavyo kwa mabonde na milima; nchi ya nganona shayiri, na mizabibu, na mitini, na mikomamanga; nchi ya mafuta, na asali; nchi mtakayokula mkate bila shida, usio na ukosefu wa kitu ndani yake; nchi ambayo mawe yake ni chuma, na ambaye nje ya milima huchimbwa shaba "(vv. 7-9). Baada ya kula na kuridhika na wema wa ardhi yenye Mungu alikuwa amewapa, walitakiwa kumrudishia shukrani. (v.10). Lakini walifaa kuwa makini isije kuwa nyenzo ya mafanikio yao wanapaswa kusahau Mungu (vv.12-15). Hawakuwa hatarini wakati walipokumbuka kile Mungu alichokifanya kwa ajili yao na amewapa. Lakini mafanikio ni uongo. Israeli "bila nta mafuta, na kick" katika miaka ya mafanikio, hivyo Musa alionya (32:15). Wakifikiria kwamba utajiri wao Walikuwa Wameupata kwa nguvu zao wenyewe, na si ya Bwana, wangeweza hivi karibuni kuanguka mbali na ibada ya sanamu na kupotea (vv. 17-20). Matokeo ya kutisha itakuwa kwamba hawatakuwa na "mwisho mwisho" (v.16), yaani matumaini. Badala ya kuingia mapumziko milele na Mungu katika Kristo, wangeweza kuangamia kama mataifa wasiomjua Mungu. Hivyo kuna haja ya kukumbuka mara kwa mara jinsi Bwana alikuwa Mwokozi wao - sikukuu ya Bwana kutimia hitaji hili.

SIKUKUU YA YAHWEH (Walawi 23).

Neno "sikukuu" linaweza kuwa la kupotosha. Ni kwa usahihi zaidi huwekwa kama "sherehe". Zlilikuwa vipindi katika mwaka ambazo Mungu alidai ni zake (vv.2, 4); mara 11 katika lev. 23 zinaitwa " convoca takatifu " (vv. 2, 3, 4, nk). Katika hafla hii makabila yalifika kutoka maeneo yote ya nchi, na Lengo la kushangilia pamoja kwa sababu ya urithi wao wa ajabu wa roho, ahadi zao na uhusiano na Mungu wa mbinguni na duniani. Katika hali ya kutengwa na kazi zao za kila siku na biashara, walikuwa na uwezo wa kujishughulisha kwa ibada ya Bwana. Wakaingia ndani ya mahitaji zaidi ya kufafanua sadaka za hafla hizi, na kwa pamoja kuzungumza kwa furaha kuhusu matumaini yao ya kawaida. Mbali na Sabato ya kila wiki (v.3), kulikuwa na sherehe tatu kuu za Bwana: -

(1) Sikukuu ya Pasaka au mkate usiochochwa (vv.4-14);(2) Sikukuu ya Pentekoste au Malimbuko (vv. 15-22);(3) Sikukuu ya Vibanda au Makutaniko (vv.33-36).

Mahudhurio ilikuwa ya lazima wakati wa Pasaka, Pentekoste na Sikukuu ya vibanda kwa wana wa Israeli wote wa kiume (Kutoka 23:14-17;. Kumb 16:16). Mungu alihakikishia Israeli kwamba kutakuwepo na ulinzi katika mipaka yao wakati wa karamu (Kutoka 34:22-24).

-107-

Page 108: UTANGULIZI: SEHEMU YA TATU · Web viewTAA MIGUUNI MWANGU Sehemu ya tatu- (Hatua ya kwanza) Matayarisho ya Ufalme Matamshi yako ni taa miguu ni mw angu na mwanga wa njia yangu (Zaburi

Mungu aliona ni muhimu kwa watu wake kufanya hija tatu kwa kila mwaka mahali ambapo angeli weka Jina lake, ili waburudike katika mambo ya kiroho, na kupata kichocheo muhimu katika kuedeleza huduma za waumini. Sikukuu ya

PASAKA AU MKATE USIOTIWA CHACHU (Mambo ya Walawi 23:4-14).

Pasaka ilikuwa sikukuu ya kwanza ya kila mwaka ya Israeli, na wakati mwingine iliitwa "sherehe ya mkate usiochachwa" (V.6). Ni ukumbusho wa matukio ambayo yalitokea wakati Israeli walitolewa kutoka Misri kwa mkono wa Mungu.

Kondoo wa Pasaka alichaguliwa siku ya kumi ya mwezi wa kwanza na kuchinjwa ya kumi na nne. Damu yake ilikuwa inanyunyizawa juu ya kizingiti na pande wa juu ya milango ya nyumba za Israeli. Kwa njia hii malaika aliyeteuliwa kuwauwa wazaliwa wa kwanza wa Misri, "hatawaguza" wazaliwa wa kwanza wa Israeli. Kondoo waliyemwaga damu "aliwaokoa" wao, ilichomwa na kuliwa usiku na mikate isiyotiwa na manji chungu ya miti. Kwa kumkula, kondoo, ambaye kifo chake kilikuwa cha kuwaokoa na pia kudumisha maisha yao. Ili kuwafundisha somo kwamba mfano wa"Mwana-kondoo aliyechinjwa," Bwana Yesu, atafufuka kutoka kwa wafu, hawakufaa kuvunja "mfupa wake " (Kutoka 12:46; Zab 34:19-20.) .

Uharifu wa mzaliwa wa kwanza wa Misri ulivunja upinzani wa Farao, na hivyo kupeana fursa ya Israeli kutolewa kutoka utumwa. Hivyo Pasaka huashilia kuwepo kwa taifa yao, ilikuwa siku ya kuzaliwa kwa taifa (Kutoka 12:02). Matukio yalikuwa pia yaliyotungwa na ukombozi wa mwisho kutoka kifo katika Yerusalemu. Utimilifu wake wa kiroho unapatikana katika Kristo, "Pasaka yetu" (1 Kor 5:07). Alikuwa ni "mwana kondoo asiye na dosari wala doa" (1 Pet 1:19.), Ambaye "damu ya kunyunyika," (1 Pet 1:02.) Inatupa ulinzi kutokana na "Malaika wa Kifo" (Rum. 05:21 ; 6:23). Kama vile kondoo wa Pasaka "ameandika juu ya" siku ya kumi ya Abibu na kuchinjwa kumi na nne, na hivyo ndivyo pia Yesu katika Yerusalemu kabla ya kufa siku ya kumi na nne. Hata wakati alipokuwa amekufa msalabani, miguu yake haikuvunjwa ili andiko litimie: "Hakuna mfupa wake utakaovunjwa" (Yohana 19:36). Katika njia hizi na nyingine, Yesu Kristo alitimiza aina ya kondoo wa Pasaka Kama vile tu Israeli walikula kondoo wa Pasaka na "mkate usiotiwa chachu" na "majani chungu", hivyo lazima pia tuweke mbali njia za dhambi (chachu) na kufuata mfano wa Kristo wa utumishi na kujikana (majaini chungu - 1 Kor 5:08 ). Kama ambavyo Israeli walishiriki kondoo wa pasaka, hivyo sisi twapokea sehemu ya vitu ambavyo ni mfano wa mkate na mvinyo. Kwa njia hii Kristo anakaa "ndani yetu" na yeye unatusimamisha sisi katika kutembea kwetu kutoka "Misri" mpaka nchi ya Ahadi (Yohana 6:56).

SIKUKUU YA PENTEKOSTE(Walawi 23:15-22)

Sikukuu hii iligawanywa katika sehemu mbili. Kwanza, mganda wa shayiri ulitolewa katika siku saba za sherehe ya mkate usiochachwa au Pasaka, "siku ya pili baada ya Sabato." Kisha, wiki saba baadaye, au siku 50 baada ya Sabato, pamoja na dhambi na sadaka ya kuteketezwa na kinywaji, zilitolewa "mikate miwili ya kutikiswa ... ya unga mwepesi ... uliookwa kwa chachu "(v.17).

Shayiri ilikuwa nafaka ya kwanza kuvunwa, kama vile Kristo alikuwa wa kwanza kufufuka kutoka kwa wafu (1 Kor 15:23.). Mganda moja, uliwakilisha Kristo, na ulitolewa "siku ya pili baada ya Sabato." Sabato inayotajwa ni siku 15 ya siku ya Abibu ambayo ilikuwa "siku ya kwanza" ya sikukuu ya mikate

-108-

Page 109: UTANGULIZI: SEHEMU YA TATU · Web viewTAA MIGUUNI MWANGU Sehemu ya tatu- (Hatua ya kwanza) Matayarisho ya Ufalme Matamshi yako ni taa miguu ni mw angu na mwanga wa njia yangu (Zaburi

isiyochachwa katika ambao Waisrael wangepata "kusanyiko takatifu na hawangefanya kazi yoyote" (Walawi 23:6-7). "Siku ya Pili baada ya Sabato" Ilikuwa siku 16, siku ambayo Kristo alifufuka kutoka kwa wafu (Mathayo 28:1, Mk 16:1-2;. Lk 24:21;. 1 Kor 15:04). .

Majuma saba baadaye , mikate miwili ilitolewa. Hii ilikuwa itengenezwe kwa unga mwepesi, na ilikuwa iokwe kwa chachu " ( v.17 ). Mikate hio iliwakilisha nani? Inatubidi kuangalia matukio ya siku ya Pentekoste katika Matendo 2 kujibu swali hili . Siku hiyo waamini wa injili 3000 waliamini injili ilipotangazwa kwa mara ya kwanza hadharani na Petro (Matendo 2:41).Kwa hivyo " Mikate miwili " ilisimamia ongezeko. Katika kutimizwa kwake injili iliwavutia Wayahudi na Mataifa na kwa sababu hii pia " mikate miwili " ilitolewa.Lakini ni kwanini mikate " uliookwa kwa chachu ", ishara ya dhambi (1 Kor 5:08 . )? Wakati Kristo alifufuka siku ya kwanza ( siku ya 16 ya Abibu) kwa uzima wa milele , wale walioamini katika Pentekoste walikuwa bado "katika hali ya kimwili" . ingewabidi kusubiri hadi ujio wa pili wa Kristo ili wapate uzima wa milele. Fundisho hili linafupishwa Paulo katika 1 Wakorintho 15:21-23 Corin ¬ , "Kwa sababu kifo kililetwa na binadamu , kwa binadamu pia kutatotokea ufufuo wa wafu. Kwani kwa Adamu sote tunakufa . , Hata hivyo katika Kristo tunapewa uhai tena. Lakini kila mmoja kwa mpango wake mwenyewe - Kristo kwanza, . halafu wale walio ndani ya Kristo wakati wa kuja kwake ".

SIKU YA UPATANISHO (Mambo ya Walawi 23:26-32 ).Mwezi wa saba alikuwa na shughuli nyingi kwa waisraeli. Katika siku ya 10 " Siku ya Upatanisho " iliadhimishwa, kutoka siku 15 hadi 23 Sikukuu ya Hema iliadhimishwa Kwa kifupi tutazingatia Siku ya Upatanisho na kisha kujifunza kuhusu Sikukuu ya Vibanda , ambayo ilikuwa sikikuu ya tatu kubwa katika kalenda ya Israeli.Siku ya Upatanisho ilikuwa ni siku muhimu kabisa katika kalenda ya Israeli. Ilikuwa ni siku ya kufunga kuliko sikukuu. Madhumuni yake ilikuwa kuleta mkusanyiko wa dhambi za mwaka katika ukumbusho, hivyo kwamba wanaweza kuwa na upatanisho kwa ajili ya sadaka moja. Kazi ya aina yoyote ilikuwa imekatazwa ( v.28 ). , na alitengwa mtu yeyote aliyekataa kujinyima binafsi ( v.29 ). Kama Mambo ya Walawi 16 inavyoelezea , hii ilikuwa ni siku ambayo kuhani mkuu aliingia Mahali Patakatifu, nao watu walikaa nje wakisubiri kurudi kwake. Huku wakiomba Mungu akubali sadaka yao na kusamehe dhambi zao.Paulo anafafanua maana ya mambo haya katika Waebrania 9. Wakati Yesu alikufa, pazia iliyotenganisha mahali Patakatifu ilikatika katikati kutoka juu hadi chini (Mathayo 27:51). Kwa njia hii Mungu alionyesha kwamba njia ya kuingia Patakatifu , " mbinguni kwenyewe " sasa kunawezekana. Alikubali sadak ya Yesu kristo, akamfufua kutoka wafu naye na kumweka kwa mkono wake wa kulia , Mahali Patakatifu . Kama kuhani Mkubwa wa kweli na tunaweza kuwakilishwa mbele ya Mungu kwa njia yake , na dhambi zetu kuoshwa kwa sadaka ya damu yake (Ebr. 9:08 , 12, 14 , 24). Kama vile waisraeli walimsubiri Kuhani Mkuu kuona kama sadaka yao ilikubaliwa , hata hivyo sisi tunapaswa kuangalia mbiguni ili tupate kupokea wokovu (Ebr. 9:28)

SIKUKUU YA HEMA AU MAKUTANIKO (WALAWI 23:33-44 ).Sikukuu ya Vibanda ilisherehekea ukombozi wa Israeli kutoka utumwa wa Misri. Wakati huo Mungu aliwafanya wakae katika vibanda (Law 23:43 ; Kutoka 12:37. ). Ambavyo vilikuwa vimejegwa haraka kwa

-109-

Page 110: UTANGULIZI: SEHEMU YA TATU · Web viewTAA MIGUUNI MWANGU Sehemu ya tatu- (Hatua ya kwanza) Matayarisho ya Ufalme Matamshi yako ni taa miguu ni mw angu na mwanga wa njia yangu (Zaburi

kutumia matawi ya miti minene ( v.40 ). Vibanda hivi vilikuwa dhaifu lakini vilitumika kuonyesha Bwana alikuwa mlinzi wao wa kweli na mkombozi. Kulinganisha Zaburi 27:3-5 . Katika mstari wa 5 neno kwa " mahema " ni " Sukothi ", neno linalotafsiriwa wakati kumbukumbu inafanywa katika Agano la Kale kwa Sikukuu ya Vibanda. Katika Zaburi 31:20 neno " banda " pia ni " Sukothi " na umuhimu wa sikukuu hii unakuwa wazi.Wakati wa sikukuu ng'ombe sabini walitolewa (Hesabu 29). " Sabini " ni idadi ya mataifa yaliyoandikwa katika Mwanzo 10. Idadi hii inatabiri siku ambayo mataifa yote yatasherehekea ukombozi kutokana na ukandamizaji na dhambi, wakati wa utawala wa milenia wa Kristo. Kristo ataharibu Gogu na kuokoa ulimwengu kutoka utumwa wake , kamavile waisraeli walikombolewa kutoka Misri (Zaburi 72:12-14 ). Hapa ndipo dunia nzima itakapofurahia ndani ya Mungu na Mwana wake : " Na itakuja kupita, kwamba kila mtu aliyesalia wa mataifa yote, pamoja na Yerusalemu , wataenda kumwabudu Mfalme, Bwana wa majeshi, na kuadhimisha sikukuu ya vibanda " (Zek. 14:16).

MAFUNZO KWETU• Tunahitaji kukumbuka, kama Waisraeli, mafanikio ni zawadi kutoka kwa Mungu, itumike kwa usawa na busara ili kuendeleza utukufu wake katika maisha yetu.• Sikukuu ya Pasaka inatukumbusha ukombozi wetu katika Kristo, na maisha yetu ya kujinyima na kufuata nyayo zake.• Sikukuu ya Pentekoste inatukumbusha sisi kuhusishwa na Waisraeli. Lazima tujitoe wenyewe kwa Mungu kama vile Waisraeli walivyofanya (Yak. 1:18, Ufunuo 14:04).• Sisi pia, lazima "tuusulubishe mwili na matamanio yake", ili kazi ya upatanisho wa Yesu Kristo iwe na ufanisi kwetu.• Tunaweza kusherehekea katika mioyo yetu ukombozi kutoka kwa utumwa wa dhambi ndani ya Kristo, kama vile Israeli iliendeleza Sikukuu ya hema kama kumbukumbu ya ukombozi wao kutoka utumwa wa Misri

MAKTABA YA KUREJELEA

"The Law of Moses" (R. Roberts)—sura 21

"Law and Grace" (W. F. Barling)—Kurasa 133-150

MASWALI YA AYA:1. Wakati Israeli walipata mafanikio waliacha kumwabudu Mungu na kugeukia ibada ya sanamu. Ni Masomo gani tunaweza kujifunza kutokana na hili?2. Kueleza jinsi Sikukuu ya Hema itakavyokamilishwa katika Ufalme wa Mungu.3. Kwa nini Mungu alihitaji WiIsraeli kufuata sikukuu tatu kubwa kila mwaka?

MASWALI YA INSHA:1. Kwa kifupi elezea umuhimu wa sherehe tatu kubwaa za Bwana.2. Elezea umuhimu wa sikukuu za Bwana na zinavyotumika kuashiria Bwana Yesu Kristo.3. Sikukuu ya Pasaka ilianzisha taifa la Israeli. Elezea asili na umuhimu wa karamu hii.4. Ni matukio makubwa yaliyotokea katika mwezi wa 7 wa mwaka kidini wa Israeli? Masomo gani tunayojifunza kutokana na haya?

-110-

Page 111: UTANGULIZI: SEHEMU YA TATU · Web viewTAA MIGUUNI MWANGU Sehemu ya tatu- (Hatua ya kwanza) Matayarisho ya Ufalme Matamshi yako ni taa miguu ni mw angu na mwanga wa njia yangu (Zaburi

-111-