36
USAWIRI WA MWANAMKE KATIKA RIWAYA VA SAID A MOHAMED (UTENCANO) NA ADAM SHAFI (KASRI VA MWINYI FUAD) NA CHEROP. C. JANE 1153-07234-02121 TASNIFU ILIYOTOLEWA KWA IDARA VA LUCHA VA KISWAHILI NA MAWASILIANO KATIKA KITOVU CITA ELIMU NA MASOMO YA NJE ILl KUTIMIZA BAADHI VA MAHITAJI VA SIIAHADA VA SANAA NA ELIMU VA dUO KIKUU CHA KIMATAIFA CHA KAMPALA SEPTEMBER 2018

USAWIRI WA MWANAMKE KATIKA RIWAYA VA SAID A …

  • Upload
    others

  • View
    31

  • Download
    0

Embed Size (px)

Citation preview

Page 1: USAWIRI WA MWANAMKE KATIKA RIWAYA VA SAID A …

USAWIRI WA MWANAMKE KATIKA RIWAYA VA SAID A MOHAMED

(UTENCANO) NA ADAM SHAFI (KASRI VA MWINYI FUAD)

NA

CHEROP. C. JANE

1153-07234-02121

TASNIFU ILIYOTOLEWA KWA IDARA VA LUCHA VA KISWAHILI NA

MAWASILIANO KATIKA KITOVU CITA ELIMU NA MASOMO YA NJE ILl

KUTIMIZA BAADHI VA MAHITAJI VA SIIAHADA VA SANAA NA ELIMU VA

dUO KIKUU CHA KIMATAIFA CHA KAMPALA

SEPTEMBER 2018

Page 2: USAWIRI WA MWANAMKE KATIKA RIWAYA VA SAID A …

IDHINI

Tasinifu hii imekubaliwa kwa idhini yangu abaye ni msimamizialiyeteuliwa na chuo kikuu cha kimataifa cha Kampala. Kitovucha elimu na masomo ya nje, idara ya lugha na mawasiliano.

Sairii

MW. BI Mutenyo Aidah

Tarehe. z~~( D ~

Page 3: USAWIRI WA MWANAMKE KATIKA RIWAYA VA SAID A …

IKIRARI

Mimi, Cherop C Jane nathibitisha kuwa tasnifu hii iii kazi yangu binafsi na halisi, na kwarnba

haijawahi kuwasilish\\a na wala haitawasilishwa katika Chuo Kikuu kingine chochote kwa ajili

ya kutunukiwa Shahada nyingine ~oyote.

S~iini

L Q~J~J~•ZO

‘[a rehe

Page 4: USAWIRI WA MWANAMKE KATIKA RIWAYA VA SAID A …

TABARUKU

K\\’a heshima na taadhirna, natabaruku tasnifu liii kwa wazazi wangu wapenzi: Marehemu

bahangu Joseph Kaptugen Cherop na marehernu mama yangu Alice simotwa Cherop kwa

juhudi zao za kunilea na kunisomesha bila ya kuchoka hadi sasaMungu aweke roho zao

mahali pema peponi

III

Page 5: USAWIRI WA MWANAMKE KATIKA RIWAYA VA SAID A …

SF1 UKURANI

Narnshukuru mwenyezi Mungu kwa kunipa uzirna ,nguvu afya njema na Zaidi ya

yote kufugua milango ya fedha kwaajili ya masomo yangu na kunipa busara na hekirna ya

kuil~mya kazi liii ya utafiti hadi kuimaliza.Hakika Mungu ni rnweza wa yote

Shukurani zangu za dhati ziwafikie wazazi wangu wapenzi: Marehernu babangu Joseph

Kaptugen Cherop na marehemu Alice Sirnotwa Cherop kwa juhudi zao kunizaa, kunilea

na kunisomesha bila ya kuchoka hadi sasa. Naomba Mwenyezi Mungu aweke roho zenu

mahali pema peponi

Shukran zangu zisizo na kikorno zimfikie Msirnamizi wangu Daktari Mutenyo Aidah

amhaye aniekuwa msaada na kiongozi mahiri katika tasnifu hii. Mwenyezi mungu amubariki

Sukurani zangu za pekee ziufikie uongozi mzima wa Chuo Kikuu cha kampala international

university

Shukurani zangu za dhati ni kwa , ndugu na dada zangu Silvya, Sophie, Fred , George

Clara winny .Bonny ~Nancy ia Diana ,murne wangu rnpendwa Reuben Wanyama , na

marehemu Robert white kwa busara, juhudi, hamasa na uvumilivu wao rnkubwa katika kipindi

chote cha masomohadi mwisho .Ambayo yamesaidia kufika sasa na kufanikisha vyerna tasnifu

liii. Mungu awatunuku baraka na neerna ,na wengine wote waliochangia kwa namna yeyote

kulanikisha tasnilu liii ambao sikuwataja.

iv

Page 6: USAWIRI WA MWANAMKE KATIKA RIWAYA VA SAID A …

uasuuUtat’iti huu unahusu jinsi wanawake walivyosawiriwa katika riwaya ya kasri ya mwinyi

Fuad na utengano na swala Ia utafiti ni kubaini jinsi waandishi hawa wawili Said A

Mohamed( Utengano 1980) na( Adam Shall :2007) Kasri ya mwinyi Fuad.Lengo kuu ni

kuchanganua usawiri wa mwanamke katika riwaya ya Said A Mohamed (Utengano) na

Adam Shall (Kasri ya mwinyi Fuad ).Maswali kadhaa yanaibuliwa ; je,kuna umuhirnu wa

kumsawiri mwanamke katika tungo za riwaya katika kuendeleza ploti ?nafäsi ya riwaya

inaweza kutathminiwa vipi katika kuendeleza ploti ? ,Je mwanamke anasawiriwa vipi

katika riwaya za Said A Mohamed na Adam Shafi ? .Mbinu za utafiti zilizotumika ni

uanishaji wa utafiti , upeo wa utafiti , sampuli lengwa, mbinu ya ukusanyaji data

iliyotumika ilikua kusoma riwaya hizi mbili , kusoma kazi ya watafiti wengine na kusoma

nyaraka mbalimbali katika maktaba ya chuo kikuu cha kimataith kampala. Katika

uchambuzi inaonekana kuwa hakuna tofauti ya msingi baina ya waandishi hawa , wote

wamemchora mwanamke katika taswira hasi . Jambo hili linatuonyesha kuwa waandishi

huandika wakiamini kwamba, wao ni chombo cha kijamii na ni sehemu ya jamii

wanayoiandikia Jamii hizi ni zile zilizozugukwa na mila , desturi na Zaidi mambo haya

yanakuzwa na mhimili na mawazo yanayoshadidiwa na dini . lJtafiti huu unapendekeza

elimu iwe mkombozj kwa mwananike Hi mwanamke ajikomboe kutokana na mfbmo wa

ukandamizaji . Elimu itasaidia wanajamii kuondpa mawazo potofu ya kusema kuwa nafasi

aliyopewa mwanamke ni mapenzi ya mungu na ndiyo stahili yake.

V

Page 7: USAWIRI WA MWANAMKE KATIKA RIWAYA VA SAID A …

YALIYOMOUI’HIBITIS[-IQ.

IKIRARI

TABARUKU

Si-IUKURAN1

IKISIRI

SURA YA KWANZA I

1.0 Utangulizi 1

1. I Usuli wa Utafiui 1

1.2 Swala Ia iitafltj 2

.3 madhumuni ya utafiri 2

I .4 Maswalj ~va Utafiti 2

1.6 Mehango na umuhimu wa utafiti 3

SURA YA PILl 4

2.0 Utangulizi

2. 1 Wanawake katika hisihi kwa jumla 5

SURA YA TA’lU 8

MI3JNU ZA IYI’AFrrJ 8

3.0 Utangulizi 8

3. I Uainishaji ~va utafiti 8

3.2 Upeo wa ulahti 8

3.3 Sampuli Iengwa 8

3.4 Mbinu za ukusanyaji wa data 9

3.~ Uchambuz~ wa data 9

3.6 Hitimisho

SURA YA NNE 10

UAENISHA,J1 WA DATA ZA UTj\FITJ 10

4.0 Utangulizi 10

4. I Wanawake waIisa\~’jt’j~va kama ~vat1jn~’a 10

4.2 I)huluma katika ndoa 10

4.3 Mwanamke kama kahaba 11

1.4 \‘Vanawake kama watuwanyonge 11

1.5 Wanawake walionyesha kama watu wenye upendo 11

vi

Page 8: USAWIRI WA MWANAMKE KATIKA RIWAYA VA SAID A …

4.6 Wanawake walisawiriwa kama watu wanyonge na wavivu .12

4.7 I%lwananilce Kania Iviuhusilca Ivlwenye . 12

4.8 Mwanamke KamaNuhusika Mwenye Tahia ya Ushawishi Na Uchochezi 13

4.10~ 15

4.11 Mwanamke Kama Muhusika Mlezi wa Familiya 15

4.12 Mwanamke Kama Muhusika Mwenye Msimamomabki 16

4.13 Mwanamke Kama Muhusika Tabibu / Daktari wa Kienyqji 17

4.14 Mwanamke Kama Muhusika Mwenye Mapenzi ya Dhati 18

4.15 MwanamkeKan1aMhusibM~&Rushn 19

4.16 It4~vanainIce ICania Cliornbo cha Starehe 19

SURA YA 22

l%IUIC’rA.544]if, HITI1WISH() NA lbfA.PEN1)EJ(Ezo__...,_......_,..... 22

5.0 22

5.1 22

5.2 Lengo Ia pill 24

5.3 go Ia ~ 24

5.4 Kitimisho 24

5.5 Mapendekezo 25

MAREJELEO 27

vii

Page 9: USAWIRI WA MWANAMKE KATIKA RIWAYA VA SAID A …

SURA YA KWANZAUTANGULIZI

1.0 Utangulizi

Utafiti huu ulizingatiatia baadhi ya maswala kwa mthno; usuli wa utafiti, malengo ya utafiti,

upeo wa utatiti,umuhimu wa utafiti, mahala pa utafiti na mengineo iii kuhakikisha kwamba

utafiti wake ut’anikiwe.

1.1 Usuli wa Utafitl

Utafiti huu ulilenga kuchunguza jinsi wanawake walivysawiriwa katika riwaya za Said A

Mohamed na Adam Shafi.Tunapozugumzia mwanamke huwa tunamrejelea kama mwanadamu

mwenye jinsia ya kike .Ni yule kiumbe ambaye anatarajiwa kushika uja uzito na kuweza

kuzaa.kusawiri ni hali mojawapo ya kuonyesha vile wahusika wameumbwa katika kuendeleza

ploti za Kiswahili.Kutokana na watunzi wa riwaya za Kiswahili walitumia wanawake kuendeleza

ploti za riwaya.Haswa tukirejelea riwaya ya utengano ,Kasri ya mwinyi Fuad.Ili kupata kuelewa

jinsi Said Mohamed na Adam Shafi walivyosawiri wanawake katika kuendeleza ploti kwenye

Mwanamke anasawiriwa kama mW mnyonge ,mtumwa wa mwanamme,mtu mnyenyekevu na

mkarimu,mkuzaji maadili yajamii,Zaidi ya hayo anaonyeshwa kama mtu mwenye ushujaa ndani

yake na mwenye kukuza kipawa.Hii inatokana na enzi za kale ambapo mwanamke alichukuliwa

kama kiumbe msaidizi wa mwanaume.

Hivyo basi leo hii kuna waandishi maarufb sana ambao waliandika riwaya za Kiswahili zenye

dhima kubwa katika jamii.kupitia waandishi hasa kama Said A Mhamed aliye andika riwaya ya

utengano,Adam shafi aliyeandika riwaya ya kasri ya Mwinyi.Kupitia vitabu walizoandika

wamedhihirisha ubunifu mkubwa na wenye ukakamavu kuonyesha jinsi wahusika hasa

wanawake wanavyoweza kusawiriwa katika kuendeleza ploti ya riwaya.

1

Page 10: USAWIRI WA MWANAMKE KATIKA RIWAYA VA SAID A …

L2 Swab Ia utafiti

Kusawiri kwa wanawake ni hail ya kuonesha jinsi mwanamke alivyournbwa. Licha ya kwamba

Mungu alimuurnba mwanarnke kama msaidizi wa rnwanaume, waandishi wa riwaya ya

Kiswahili wamemsawiri kwa njia tofauti ambazo haziambatani na makusudi ya kuurnbwa

kwake. Kwa mfano, waand ish i wenginekarna vile Said A Mohamed wamernd un isha mwanamice

kama chombo cha ngono, kijakazi, kiumbe legevu, dhaifu, wala si rnsaidizi wa mwanaume.

ii ihal I wengi ne wamemwinua mwanamke lakini si kwa kiwango ambacho fvlungu al ikusud Ia.

Ndipo sasa utafiti ulifanywaili kubaini jinsi waandishi wa riwaya za Kiswahiii wanavyo msawiri

m wan am ke.

1.3 rnaclhuinunj ya utafiti

Kuchanganua usawiri wa mwanarnke katia riwaya za SaidA N4ohamed na Adam Shafi.

Kutathmini nafasi ya riwaya katika uendelezaji wa rnwanarnke.

Kuelezea umuhirnu wa kusawiri mwanarnke katika tungo za riwaya katika kuencleleza

pioti

1.4 Maswali ya Utafiti

U La fiti huu unalenga kuj I bu maswai I yafuatayo

~ Je, mwanarnke anasawiriwa vipi katika riwaya za Said A Moharned na Adam Shah

Nafasi ya riwaya inaweza kutathminiwa vipi katika uendeiezaji wa mwanamke.

Je, kuna umuhirnu wa kumsawiri rnwanarnke katika tungo za riwaya katika kuendeleza

pioti?

I .5 Mipaka va utafiti

Utafiti hun ume~ ikita kuchuguza usawiri wa mwanamke katika riwaya za Kiswahih ikil ingan isha

mtazamo wa waandishi hao katika riwaya zifuatazo;

Riwaya ya kasri ya mwinyi[Adarn Shafi;2007].

Riwaya ya utengano[Said A Mohamed: I 980j

2

Page 11: USAWIRI WA MWANAMKE KATIKA RIWAYA VA SAID A …

Uteuzi huu umefanywa kwa kuwa waandishi hawa wamemsawiri mwanamke kwa njia

tofiutitothuti.hivyo basi mtafiti alisoma kazi zao na kulinganisha usawiri wao we

mwanamke katika kazi zao.

1.6 Mehango na umuhimu we utafiti

Kwa kuwa utaflti huu unachuguza jinsi mwanamke alivyosawiriwa na Said A Mohamed na

Adam Shati kwa njia tofauti,utamsaidia kuonyesha na kuweka wazi tofauti za uchoraji we

wahusika we jinsia ya kike katika kazi za fasihi zilizo andikwa na waandishiambaye itakua

mojawapo ya mwangaza kwa waandishi wajao kujikita katika mageuzi ye dhana ya

kumdhahalalisha mwanamke na kujikita kwenye dhamira mpya yenye kumweka mwanamke

kwenye mizani sawa na mwanaume katikajamii zetu.

• lJtafiti utamsadia walengwa kujua vile waandishi huwajenga wanawake na kuwaonyesha

katika riwaya.

• Utatiti huu utamsadia kuhimiza waandishi wajinsia zote kubadili mitazamo yao hasi ye

kuwasawiri wahusika wajinsia ye kike.ili kuleta uwiano halisi we kijinsia kwenye riwaya za

Kiswahili.

• Utafiti huu utamsaidia mtaflti kukamilisha shahada katika chuo kikuu cha KIU.

• Pie matokeo ye utafiti huu yatatumika kama marejeo muhimu kwa watafiti wajao

watakaotaka kufanya utafiti kutokana na suala Ia kusawiri kwa wanawake katika riwaya za

Kiswahili.

3

Page 12: USAWIRI WA MWANAMKE KATIKA RIWAYA VA SAID A …

SURA YA PILlMAPITIO YA MAANDISHJ

2.0 Utangullzi

Sehemu hii mtaflti alipitia machapisho na maandishi mballmbali yanayohusiana na made husika

yaliyoandikwe ne kujadiliwe kabla ya utefiti huu.Udunjsu we maktabani ulitumiwa kupata tarifh

muhimu zinazohusiena na taswire ye mwanamke katike riweya a Kiswahill imeweka wezi kwe

kugewenywa katike sehemu mbalimbali.mtefiti atepata ujuzi we kutoshe katike mapitio

yanayohusiana na miazamo we waadishi katika kumsewiri mwanamke.ilikutjmjza azme ye

utafiti,ilimlazimu mtafiti kuteua sampuli na mbinu a ukusanyeji we date zilizoandikwamaonj

ye watealemu mbelimbali kuhusu dhana ye mwanamke ilimseidia kupate piche helisi ye jinsi

waandishi wanavyotofautiane au kufanane ketika kumchora mwenamke katike kezi a uendishi

wafhsihi.

Mbuguni,P[ 1982] Usawiri wa wanawake katika riwaya a Kiswehili,anadaj kwamba wanawake

wengi wamesawiriwa kama makahaba na kubainisha kuwa kuwepo kwa wahusika wengi

makaheba katika riwaya ,haukumaanisha kwemba nchini Tazania ma idadi kubwa ye makahaba

.Kazi hii ye Mbuguni ni muhimu kwa vile itechangie ketike kutambua chanzo che metatizo ye

waneweke na kwe nini wengi weo huemue kuingilie ye ufbsiki.

Kamunde,S [I 983)kilio che wenyonge katike riweye ye Said A Moheined,emeshugulikie

iñetetizo yanayowekumba wanyonge weneume na wanawake jinsi yenavyo jitokeze kaike

riweye a Said A Mohenied.Kazi hii itetuseidia kutembua jinsi mwenemke anevyosewiriwe

kama kundi linelodhulumiwe,

NdungoC[ I 985]Usewiri we Wenewake ne mebediliko ye kihistoria ketika fbsihi ye Kiswahili

,amemtazama mwenemkejinsi anevyosewiriwe ketike vipindi mbelimbeli vya kihistoria.Pie kazi

hii ni muhimu kwe kwe vile imeangazia vile wanewake wemekue wakisewiriwe kwe njie

isiyolba.

4

Page 13: USAWIRI WA MWANAMKE KATIKA RIWAYA VA SAID A …

Lugano,R[1989](Jsawfrj wa wana

wake katika riwaya katika riwaya za Euphrase Kezilahabi amechunguza jinsi kezilahabi

anavyowasawiH wahusika wa kike katika Nyanja mbalimbali za maisha.Pia ameshughulikia

maoni ya Kezilahabi mwenyewe kumhusu mwanamke katika Nyanja a siasa,uchumçjamii na

elimu.Kazi hii ya Lugano ni mhimu hasa kwa kutudokezeajumla ya matatizo yanayowakum~a

wanawake katika jamii jambo ambalo imechangia pakubwa kwa waandishi hao kusawiri

wanawaJce kwa kutumia matatizo innayowakumba.

Muindi,J[l990]IJsawiri wa wahusika wanawake kama makahaba katika Riwaya a Said A

Mohamed,amechuguza jinsi wanawake wailvyosawiriwa kama makahaba na kutoa sababu zake.

lKwa vile wanawake wengi huingilia ukahaba kwa sababu ya matatizo mbalimbali ya kijamii

ambayo utafiti huu unajishughulisha nayokazi ya Muindi itakua muhimu kwetu kwa

kutudokezea kinachosababisha mwanamke kuingilia tendo Ia ukahaba.

2.1 Wanawake katika faslhl kwa jumla.

Sehemu inachambua usawiri wa mwanamke katika fhsihi ya Kiswahili hub ikilinganisha

wandishi Said A Mohamed na Adam Shall. Uchambuzi huu unaangalia kwa mapana kwa kuanza

na Ibsihi ya dunia iii iii kupata picha halisi ya wanawake .Pia inaangalia fäsihi a kiafiika[fhsihi

za Tanzania zikiwemo]na pia riwaya za Kiswahili zilizoteuIiwajcatj~ nchi ya

rnarekani,Kortenliaus na Demarest[l993]wa~nefanya utafiti kuhusu athari zajinsia katika hadithi

za watoto.Katib hadithi hizi ,mtoto wa kike amechorwa kama tegemezi na

asiyewajibika,ambapo mvulana amechorwa kama siIaha,mpiganajianayewe~ kila kits na

asiyetegemezi kwa jamii.Matokec, ya utafiti huo yameonyesha kwamba,taswfra ya mwanamke

katika hadithi hizo a watoto ni hasi ilihali ya mwanaume ikiwa chanya.Matokeo hayo

yanatushaw!shi kuwa,kunahitajib utatiti wa kuwasawiri waandishi na wachapishaji wa fbsihi

kwa kuzingatia jinsia zaondipo hasa kuzionyesha tofhuti a kimajukumu kati kati ya mwanamke

na mwanaume.Kwa ujumla haya tutayaangalia kwa undani katika utatiti wetu.

Richard na wenzake [2007]wanatueleza kuwa ,maswala ya wanawake yalianza kuzugumziwa

katika karne ya 19 na kutia fora katika miaka ya 60 na 70 ya karne iliyopita.Kwa mjibu watatiti

hawa,waksti huu ndipo wanawake hususan wa magharibi walipoanza kuzugumzia maswala yao

5

Page 14: USAWIRI WA MWANAMKE KATIKA RIWAYA VA SAID A …

katika machapisho.Hata hivyo parnoja na jitihada hizo bado wimbi kubwa Ia malalarniko dhidi

ya dhulurna na uvunjaji wa haki za wanawake kwa takribani Nyanja zote za maisha yalizidi

kuongezeka.Kwa mujibu wa [TGNP200IJ,Katil(a bara Ia Afrika hususan kusini rnwa

Af}ika~wanawal(e wameonekana kuwekwa katika kundi Ia wanyonge na walioachwa nyuma

kiasi kwarnba,bado hawajaifaidi bali ya usawa karna waliokuwa nao wanaurne katika kupata

hud urna m bali mbal i za kijam ii. Hal i hi i inatushawishi kufanya utafiti ili kuweka m ikakati na

mapendekezo ya kumsawiri rnwanamke wa Afrika.

K iango [ l982j anadai kwarnba mkangayi ko kuhusu nafasi ya rnwanarnke husabab ishwa na

ukosefu wa itikadi rnurua za uchambuzi.Anasen~a;

Ku legala na ku kanganyi ka k\va waand ish i kuh usu nafasi ya rnwanarnke kunatokana na

kukosekana kwa itikadi mrua yauchambuzi.lgtll~osel(ana kwa itikadi hiyo ndiko kunakornfanya

mwanarnke apewe picha isiyo nzuri na iliyo potofu.

Kutokana na tamthilia alizozichambua ambazo iii Uasi,Mke Mwenza~Nakupenda

laki ni,N irnesongwa N isiwe na rnapenzi,na j irani kanyolewa,kiango anadai kwamba rnaedeleo

katika teknolojia yanategemewa vile vile kuathiri nafsi ya rnwanarnke katika jamii anadai pia

katika kazi kadha za kifasihi mwanamke amechorwa kama kitega uchurni au chombo clia kuleta

kiidha kwa mwanaume.Lakiiii yote hiyo iii kwa sababu ya kukosekana kwa itikadi murua za

k icham bu zi.

Mwandishi Shaban Robert[I 968]katika riwaya yake ya kufikirika arnernchora rnwanaml(e kama

kiutabe duni kisichokua na rnchango \vowote katika jarnii na ambacho hakiwezi kutoa rnsaada

\\OWOte katika jamii anaserna[UK I)

Hapa mwandishi anaonyeshajinsi watu wanavyornchoi~a rnwanamke karna rntu asiye na msaada

\vowote kati ka jarni i . Lakin i kwa upande mwingine rnwandishi anaonyesha kuwa wanawake nao

wanatenda merna kama wanaume endapo watapewa nafasi. I-laya kwa kusema kuwa;

Katika nchi yake wanawake wengi hukubukwa kwa matendo yao bora waliotenda. Alikua

Eayari kupokea msaada hakupenda.Alioiia kazi na Faraja zitendwazo na wanawake katika maisha

zilitosha kuwa rnzigo mzito juu yao.Kuongeza kitu chochote juu ya uzito wao kwake Iilikua iii

jambo Ia kuarnbaa nyayo elfu moja.

6

Page 15: USAWIRI WA MWANAMKE KATIKA RIWAYA VA SAID A …

Mxvandishi anaonyesha mawazo ya kurnwona mwanarnke karna rntu asiye na jambo lolote Ia

maana yaondele\va katika mawazo ya watu . Wanawake wanao rnchango mkubwa katika

maendeleo ya nch i yoyote.

Kezi lahabi [1971 ]anamsawiri rnhusika Rusia kuwa na rnapenzi ya kweli;jarnbo ambalo ni adirnu

sana katika kipindi hiki.Rusia aliarnua kumsubiri sikarnwona mpaka akarejea toka vitani, hapa

n-nvand ish i anatuonyesha Rusia aki rnweleza si kurnwona kuwa;

Mpenzi nil ikuhah id zawad i ya ush mdi... .n ipokee zawad i yako,tafadhal i nipokee.Tangu leo

mie wako ukitaka nimeze,ukitaka nitafune..[.uk79

Usawiri hun kwa kiasi Fulani unarnpa rnwanamke hadhi kubwa,kwani anaonekana kuwa

m\vaminifu. Suala Ia uarninifu ni mtihani rnkubwa kwa wanadamu ~va jinsia zote rnbili.I—livyo

mwanarnke anachorwa kuwa rnwarninifu na aliye na rnoyo wa uzalendo.

~Vlomanyi[2OO2jkatika utafiti wake warnebainisha kuwa katika fasihi, wahusika wa kike

wanapachikwa tu iii kutekeleza dhamira za watunzi ,arnbao angalabu huwa iii vitegemezi vya

kubiringisha gurudumu Ia maudhi.Ametolea mfano katika kazi za rnwandishi Kezilahabi

akisema kuwa usawiri wa wanawake hauridhishi kwani wahusika wake warnepewa sifa za

kusikitisha,wahusika karna vile Rosa na Regina,rnhusika Tegernezi, mama Resin a Anastasia

katika kazi za kezilahabi[ 1971,1 974,na 1 981 ],ni miongoni rnwa wahusika wal iopewa majukumu

yanayodunisha na kukashifu hulka za rnwanamke.I—livyo kwa mtazarno wa momanyi hapa

mxvandishi Kezilahabi ni rniongoni mwa waandishi wanaomkandarniza mhusika mwanamke

katika kazi yake.

fvlabala[2004lkatika utafiti wake aliangalia taswira ya mwanarnke katika rntazamo yote yaani

hasi aia chanya katika riwaya za Kiswahili ingawa taswira ilionekana kutawala Zaidi.Wakati

utafiti wake ukichambua jinsia katika nafasi na taswira ya rnwanamke katika riwaya ya

Kiswahili,uchambuzi wake ulijikita Zaidi kuangalia taswira ya mwanamke pasipo kulinganisha

~vaandishi wa riwaya hizo.Miongoni rnwa vitu alivyovielezea iii mfumo durne kama tatizo

ku h\va kati ka ku rnchora rnwanamke p ia al ionyesha taswira kadhaa anazochorwa

IT~\Vanarnke,am bazo iii rnwanamke karna chombo cha starehe,rntegernezi,as iyej iweza na rnzin i iii,

Kama tafiti za mu lokozi.

7

Page 16: USAWIRI WA MWANAMKE KATIKA RIWAYA VA SAID A …

SURA VA TATU

MBINU ZA UTA FIT!

3.0 Utangulizi

Katika sura liii uchambuzi wa mbinu na utaratibu mba! imbali ambazo zi 1 itum ikakatika

utaflti.kuna mbinu za jumla kama vile uainishaji wa utafiti,rnahala pa utaflti,vyanzo vya data na

tail ra.ukusanvaji wa data ,rnbinu za ukusanyaji wa data na uchambuzi wa data na rnuhtasari.

3. 1 Uainishaji wa utafiti

Hapa mtat~ti alisoma riwaya ya utengano,kasri ya Mwinyi Fuad,ili kuweza kupata

ujuinbe.Mtalitj alisoma na kucharnbua vitabu hizi moja kwa moja huku akijaribu kuonyesha

kiinaandishi vile wanawake walivvosawiriwa katika riwaya hizi za Kiswahili.l3alj na

kusorna,rntafiti aliweza kuona fi!arnu za riwaya hizi kupitia mtandao ku!e rnaktabani.

3.2 Upeo wa utafiti

Utafiti huu ulifanyiwa rnaktabani. Mtafiti alisoma na kucharnbua kisha alitafakari kwa undani

Zaidi vile wanawake walivyosawiriwa kwenye riwaya ya utengano na kasri ya mwinyi Fuad

.fvliafiti aliendesha shughuli ya kusoma riwaya hizi akiwa rnaktabani.Bali na kusoma aliturnia

mtandao kama nyenzo mojawapo ya kupata ujurnbehaswa karna mapitio ya maandishi na

kureje!ea kazi zingine zinazo husu maswala ya wanawake.

3.3 Sampuli Iengwa

Kothari[2004;55.56] anaserna kuwa karna eneo ni kubwa utafiti utakua rngurnu kufanyika kwa

ajili ya vitendea kazi,rnuda na gharama.Kwa kuzingatia vigezo hivi rntafiti a!itumia rnbinu ya

usampuhshaji lengwa .Ulitumia ama hii katika kuchaganua riwaya kutokana na sababu rnaalum

va usampulishaji.Usamp!ishaji huu u!irnwezesha rntafiti kufanya rnaarnuzi yake katika

kuchanganua riwaya kutokana na sababu rnaa!urn au kusudio maalurn.

8

Page 17: USAWIRI WA MWANAMKE KATIKA RIWAYA VA SAID A …

3.4 Mbinu za ukusanyaji wa data

L~ngo kuu ni kuchambua riwaya za Said A Mohamed na Adam Shafi;Kasri ya mwinyi Fuad na

Utengano.llikubainisha utofauti na uwiano uliopa baina ya waandisbi hao katika kumsawiri

rnwanamke katika kazi yao.Na iii kukamilisha lengo hili Ia mtafiti ,alitumia rnbinu ya

uchambuzi matini

3.5 Uchambuzj wa data

Baada ya kukamilisha kwa zoezi Ia ukusanyaji wa data ,rntafiti alichambua ,akjadili na

kuwasilisha data zilizokusanywa. uchambuzi wa data ni kitendo cha kufupisha na kupangilia

vizuri data zilizosanywa kwa namna ambayo zitakusaidia kujibu rnaswali ya utafiti

husika.Uchamhuzi wa data ni hatua muhimu sana katika kutafuta majibu ya tatizo Ia utafiti.

3.6 Hitimisho

Katika sura hii mtafiti ataeleza mbinu mbalimbali zilizornuongoza mtafiti katika zoezi Ia

ukusanyaji ~va data na uchambuzi wa data.Ambazo zitamwezesha kujibu rnaswali ya utafiti

wake,

9

Page 18: USAWIRI WA MWANAMKE KATIKA RIWAYA VA SAID A …

SURA YA NNE

UAJNISHAJI WA DATA ZA UTAFITI

4.0 Utangullzi

Katika sum ya tatu mbinu mbalimball zilizotumiwa na mtafiti katika utafiti wake. Sum ya nne

sasa inashughulika uwasilishwaji wa data hizo zimekusanywa kutoka katika riwaya ya

kasri ya mwinyi Fuad na utengano

4.1 Wanawake walisawjrjwa kama watumwa

Wanawake walitumiwa kuonyesha utumwa dhidi yao. Katika jamli , mwandishi Adam shafi

alionyesha hii kupitia kijakazi aliyetumiwa kutekeleza nwjukumu yote ya nyumbani kwa

bwana Malik. Bila malipo yeyote anayopewa kwa kazi anayofhnyà, Fuad mwenyewe

aliona ni jukumu Ia kijakazi na alifanya kazi kama punda, hakupewa malipo ya kazi

aliyoifanya ha matusi ilimfata nyuma. Hapa mwandishi alisawiri mwanamke kama mtumwa.

4.2 Dhuluma katika ndoa.

Taasisi nyingine ambayo Said Ahmed Mohamed a metumia kuyaangazia madhila ya

wanaume dhidi ya mwanamke katika ndoa. Mwandishi ametumia ndoa ya bi tamina

kuwasilisha maisha ya mwanamke katika ndoa.

Katika utengano mwandishi ametumia ndoa kumsawiri mwanamke kama mtumwa wa

kumhudumia mwanaume, mwanamke hana uhuru ya kujiamulia kuhusu jambo lolote

maishani.

Bi Taminawa utengano ni mthno mzuri wa mwanamke anaye dhulumiwa katika ndoa. Bi

Tamma amewekwa katika kiwango sawa na bintiye kwa kutomruhusu kutoka nyumbani.

Hali hii inajitokeza wazi kupitia malalamishi ya Bi Tamina.

10

Page 19: USAWIRI WA MWANAMKE KATIKA RIWAYA VA SAID A …

“MM-u,MM-u----bebelco heteki tutoke nje lie kwe ruhuse yeke ne humu asiingie mtu ile

kwe ruhuse yeke “.

Mbali na kutoruhusiwe kutoke nje 81 Temina herusiwi hate kujiemulle mwenyewe

kuyehusu maisha yake hesa pale enepokua keribu kujilbngua .kupingwa enekopingwe 81

Temine , jembo hilo lilimfenye kukosa kuone mezuri ye uiimwengu huu .Hii ni keme msistizo

we beedhi ye madhila mkubwe weneyoyepitia wenawake wekiwa ketika Teesisi ye ndoe.

4.3 Mwenemke kame kehaba.

Meimuna (utengeno) anatoroke meisha ye kiutumwe ketike . nyumba yeo. Kwe vile

hejewehi kutoka nyumbani ne kutembue jinsi meishe yelivyo enepotoroka, Maimune

enetumbukie kwenye shimo Ia ukehebe si ye kiuchumi bali uhuru

Aliyonyimwe ne babeke Bwena Mekusudi. Pie niwandishi enetumie mhusika kazije, kuoneshe

jinsi elivyoendeleze ukehebe. Kujipembe kweke kezije ,kujitia menuketo yenye herutli ye

kuvutie sene , meumbile ye mwili yeke iliwevutie vijene ne wazee ,ingewe kweke hil

ilikue njie mojewepo ye yeye kupete riziki ye meishe

4.4 Wanaweke kame watuwenyonge.

Mwenemke elisewiriwe keme wetu wenyonge ketike jemii ne embeo weiiodheheleliswa

heki zeo ne mebwene no kupitie njie ye unyenyeseji . Welichukuliwe keme wetu

wasioweze mejukumu thebiti mfeno mzuri ulijitokeze ketika riweye ye kasri ye mwinyi

Fued embepo Vuei elipojeribu sene kuwetenge waneweke ketike kujihusishe ketike

kupiganie held yeo embeyo we linyenyaswe shembeni mwe mzee Pued wekilenye kezi

.Vuei eneone mwenemke ni mtu mnyonge ne eneusemi ketike swele ioiote linelomkumbe.

4.5 Wanaweke welionyesha kema wetu wenye upendo.

Katika riweye ye Kasri ye mwinyi Fued , 81 Melik elionyeshe upendo kwe mumeo

Bwane Melik embapo upendo huu unemhadiri bi Meilk anapopashwe hebari kuhusu kilo

U

Page 20: USAWIRI WA MWANAMKE KATIKA RIWAYA VA SAID A …

cha mumeo naye anakata who papo hapo .Hii iaaonyesha kwsmba Alikus snampeads sans

mumewe as kws sababu angestaimili kuishi mwenyewe naye sksksts roho.

4.6 Wanawake walisawiriwa kama waft wanyonge na wavivu.

Waaswake walioayeshwa kama wsW wasiowezs kutekelezs kazi zs nyumbani hasa kams

kupigs deki as hats kuenda shambsni .Wsnsamini kuwa mume adiye anawsajibiks katiks

kits swats Ia boms .Katika riwsys ys Kasri ~s Mwinyi Fusd, Bi Matik stimtegemes

kijskazi kstika kutekeleza kazi zote za nyumbani ilihsli yeye alibaki skijipodoa as

kupoteza wskati kstika kupigs msketele as matusi yssiyo as masna. Vilevile slimtegemea

bwsns Malik katika kuteketeza kazi ys shambani jambo smbato Iitichsngis mao yeye

kupoteza uhai baads ys kupashws habari ys mumeo kupoteza msishs.

4.7 Mwanamke Kama Muhusika Mwenye Mapenzl ya Dhati

Mapeazi ys dhsti ni miongoai mws rsslirnsli sdhimu as illyotukuks kstiks kujengs fhmitia as

jsmii su taifs imsrs popote dunisni. Msiagi ws kuwepo kws mspeazi ys dhsti hsss katika ados

huimsrishs mssikilizsao, mashirikisno, usminifli, matuazo, heshims, nidhsmu, uvumitivu as

kuhurumisns, ussws ws hski as usdilifli kws wshusiks. Mspeazi ys dhsti katiks jsmii yeyote

huhitajiks kwa leago Is kuimsrishs &milia as jsmii husiks. Kstika utafiti huu, mtsfiti

smeguadus susts Is mapeazi ys dhsti limechukus asfssi. kstika riwsys ys Uteagano as kutips

umuhimu mkubws. Mwsndishi katiks kutijaditi hito smemtumiä muhusiks wake Msimuas as

Ksbi. Wow wstikuws wsnspendsns kws dhsti as bssdse wstifuags ados as kuishi psmojs kws

upendo utiotukuks. Mwsndishi snssems:

• . Muds ulipits. Kabi slishsngas sksws snsmtszsms Maimuas as

kusubiri. Mwishowe Ksbi slikuws tsysri kuuetezes uadsai wske,

‘Sikitizs Msimuas, mimi aiko taysri kukuos kwa hsli yoyote...” (Ut

162).

Kws hskiks utsflti huu umedhihirisha dhsns nzims ys mspeazi ys dhsti smbayo huwsfaays

wshusika kuhitajisna as kuthsmiaisns Idis mmojs. Kws mhio mspeazi ys dhsti baias ys Kabi12

Page 21: USAWIRI WA MWANAMKE KATIKA RIWAYA VA SAID A …

na Maimuna yaliwawezesha kuoana na kuishi pamoja bila kujali mapungufb ya kila

mmojawao.Mapenzi ya dhati pia yanalenga dhana nzima ya kusameheana warn / wanaadamu

wanapokoseana au wanapotengana hususan wale ambao ni familiya moja. Misukosuko katika

maisha huweza kupelekea familia kutengana na huweza kusababisha atari kubwa kwa familiya

hiyo najamii kwa ujumla. Mfano mzuri ni fhmiliya ya Bwana Maksuudi. Kutengana hub baina

ya Maksuudi na mkewe Bi Tamima, na watoto wao Mussa na Maimuna. Kwa ujumla pamoja na

tofauti hizo mwishowe waliweza kusameheana na kuishi tena kwa upendo (Uk. 172 - 176)

4.8 Mwanamke Kama Muhusika Mwenye Tabia ya Ushawishi Na Uchochezi

Tabia ya Ushawishi na Uchochezi ni kitendo cha kufanya mazungumzo au mawasiliano na mtu

au watu kwa lengo Ia kuridhia au kukubali kufanya matendo ambayo mara nyingi huwa hayana

faida kwa muhusika au jamii. Mtaflti amebaini kuwepo kwa tabia hii kwa baadhi ya wanawake

ambao ushawishi au uchochezi wao ni kufikia malengo mahsusi binafsi. Mfano mzuri

mwandishi amemtumia muhusika Biti Kocho kumshawishi Maimuna iii atoke na aongozane nae

kwenda kumtatuita mkunga ambaye atamsaidia mama yake kujitbngua. Mwandishi anasema:

“Liwe hili Ia leo, Ia uhai na mauti, aliendelea Biti Kocho, ‘hospitali na

daktari potelea mbali, ham mkunga wa kikwetu? Ndo zitashuka

mbingu akiingia humu huyo mkunga? A-a, makubwajama. Japo

kuwa mtu anakufa? Sana akija babaako sisi tutakufichieni, atajuaje?

Na akijk kwa meno yajuu, nani kamzalisha Tamima? Mimi nitapiga

kifua na kuikabili hiyo na kama atayoiteremsha, si basir...”Lakini

leo kuna fhradhi. l-Iakuna kubwa.lisilokuwa na kubwa mwenzake. MW

kumwokoa mamaake si jambo dogo. ‘Mwana, usifanye mchezo...’

kauli ya Bid Kocho ilimgonga tena Maimuna kichwani mwake.

lkamzindua”. . .“Twende mama, alijibu bila kufikiri zaidi. Mbele ya

mastaajabu ya waliokuwepo, na bila ya taarif’a ya mamaake,Maimuna

alitol buibui lake, yeye na Biti Kocho wakawa wanateremka ngazi

13

Page 22: USAWIRI WA MWANAMKE KATIKA RIWAYA VA SAID A …

kuelekea Madongoporomoka” (Ut 22-24)

Utafiti huu kupitia dondoo hizi zimedhihirisha wazi juhudi za Biti Kocho kumshawishi Maimuna

aridhie kutbatana nae iii watoke nje yajumba Ia Bwana Maksuudi jambo ambalo halikubaliki na

ni hatari kwake na fhmiliya hiyo. Hii ni kwa sababu Maksuudi aliiweka fimiliya yake katika

utawa. Mbali na hilo kutoka nje kwa Maimuna ilikuwa ni sababu kubwa ya kumtoa katika utawa

na kumfanya awe huru na ni mpango wa Bid Kocho, Bi Parashuu na wenzake kumtenganisha na

baba yake au familiya kwa ujumla.

4.9 Mwanamke Kama Muhusika wa Mipango na Hadaa

Mipango na Hadaa ni miongoni mwa matendo ambayo yanaendelea kuchukua nafisi katika

maisha yew ya kila siku. Baadhi ya watu wakiwemo wanawake hubuni mipango ambayo baadae

hula athazi kubwa ham kadka familiya. Mtafiti amebaini mipango na hadaa hizo huchangiwa

na sababu mbalimbali zildwemo kisasi kwa matendo aliyotendewa mtu binafsi, familiya au

raflki.Kwa hakika, mtafiti amegundua juhudi, mipango na hadaa a Kazija, Bid Kocho na Bi

Farashuu walizozitumia.kuwatenganisha Bwana Máksuudi na fhmiliya yake wakiwemo wanawe

Maimuna na Mussa. Mwandishi anaeleza kupitia Biti Kocho kwa Bi Parashuu

“Bibi we, anokutenda mtende, mche asokutenda. Bwana Maksuudi

alivyokutenda weweje? ‘Mimi nitalipa kisasi Biti Kocho. Bado nalia

na kilio changu hakijanyamaza. Lakini sasa saa ngapi? Farashuu

alitazama saa yake mezani. ‘Saa saba, kasorobo. Nadhani tutawahi”

(Uk. 32).

Mbali na hayo mwandishi anafhfanuajuhudi a Biti Kocho na Bi Farashuu

kumtorosha Maimuna kutoka nyumbani kwao kwa Bwana Maksuudi usiku na ikawa ndio sababu

ya kumtenganisha na wazazi wake. Mwandishi anaeleza:

14

Page 23: USAWIRI WA MWANAMKE KATIKA RIWAYA VA SAID A …

lakini ni mtoto wa Bi Chani wa kutea. Mbali na Mwavile, wote

wengine walikuwa hawapo, isipokuwa Tambo ambaye karudi

nyumbani muda mrefu ul iopita “ (Uk. 134)

4.12 Mwananake lLama Muhusika Mwenye Mslmamo Thabiti

Msimamo ni hail ya kushikilia, kusimamia, kutetea, kuunga mkonojuu yajambo,

tendo au matendo flulani kullngana na sababu husika. Binaadarnu anaweza kuwa na

msimamojuu ya kitu aujambo fiuiani kutokana na sababu mbalimball -.yaani sababu

zinazotokana na yeye binafti, Ihmilia,jamii au kundi flulani Ia watu ziwe za ukweii

au baa za uongo. Katika maisha ya kila siku mtu anaweza akawa na msimamo wa

kutenda au kutotendajambo kwa kuwa amesingiziwa/ kuzuliwa au ameshuhudiwa

na watu wengineo. Matokeo ya msimamo wakati mwengine huweza knna matunda au kuieta

athari kwa wahusikaData zilizokusanywa na mtafiti zimedhihirisha tabia ya baadhi ya wahusika

hususan wanawake kuweka msimamo madhubuti baada ya kutuhumiwa au kusingiziwa jambo

baya ambalo hawajalitenda na kusababisha kuhama mazingira yao waliyokuwepo iii kuepuka

bugdha au idhilali kutoka kwa wanaowasingizia. Kwa kurejelea riwaya ya Utengano, mwandishi

ameisawiri hail hiyo kupitia muhusika Maimuna, baada ya kusingiziwa kuwa ameiba na kuitwa

mwizi aiiamua kuweka msimamo wa kuhama Pumziko na kuelekea Bobea kwa Biti Sururu.

Mwandishi ameweka wazi hilo:

“Sirudi Dora, nakwambia sirudi, kwa sababu nimechoka na

shengesha za nyumba lie. Huo wivu na uwe ndivyo, iakini kuitwa

mwizi, ha hilo! Alijibu Maimuna kwa hasira.’ Wewe ndiye

unayenijua zaidi, na kama si wewe, ningalikwisha tokomea zamani.

Sirudi bibi, na han sasa nimeshakuwa debe bovu, sina Ia kukalia.

Sirudi bibi, born niende. Nisamehe Dora au born tusameheane.” (Uk.

83 -).

Katika riwaya ya Kasri ya mwinyi Puad msimamo dhabiti unajitokeza kupitia Maiiamu

paie ambapo Puad aiipojaribu kumnajisi Mariamu, Mariamu aiijitoa mbio hadi nyumbani

16

Page 24: USAWIRI WA MWANAMKE KATIKA RIWAYA VA SAID A …

4.10 Mwai~arnke Karna Muhusika Dhaifu Na Masikini

Dhana ya Udhaifu, kuonewa na kushindwa kujitetea iii miongoni mwa matatizo

makubwayanayoendeJea kuwakabili wanawake wingi duniani kwa sababu ya hali zao kuwa iii

masikini. Mtafiti arnebaini kuwa matatizo ya ama hii huwafanya wanawake wakati mwengine

wakose haki zao za msingi kama rnatunzo, kuhudumikiwa na rnapenzi ya dhati hususan kutoka

kwa wanaume. Wakati nw~’engine matatizo haya huchangiwa kwa kuwa wariawake hao ni

masikini na kiafya ni dhaifuna duni ukilinganisha na wanaurne katika ndoa zao.Utafiti him

umedhihirisha kuwa baadhi ya wanawake ni tegemezi kwa asilirnia karibu mia ya mahitajio yao

yote kwa waurne zao na hulazimika kukubali kukurnbwa na visa na mikasa, maonevu na

udhalilishaji hila ya kujali kipindi walicho kama cha ugonjwa. ujauzito au mara tu baada ya

kuj fungua au ku wa kwenye uta\va wa mume. Hal i hi i inapoj itokeza hushindwa kuthamin ika na

k~vao kukosa mwelekeo p mi wanapoach wa.

Katika kulifafanua hilo, rnwandishi amerntumia Bi Tamirna arnbaye aliadhibiwa vikali na

mumewe Bwana Makusuudi kwa sababu tu ya kujifungua na kutokuwa muwazi kumlaja

aliyernzalisha na pia kwa kutokusema Maimuna arnekwenda wapi; hali ya kuwa hata Bi Tamima

hukujua nainna alivyoloroka Maimuna. Mairnuna alishindwa kujitetea na kwa sababu hakujua

vipi ataendelea kuishi na kwa sababu ni masikini asiye na mwelekeo. Kwa misingi hiyo

aliadhibiwa vikali hata karna aliomba msamaha.

4.11 Mwanarnke Kaina Muhusika Miezi wa Familiya

Lzazi ia haadae ulezi ni katika mambo magumu kwa mwanamke au kwa mzazi na mlezi yeyote.

Li lezi unah itaj i rnatunzo na usimamizi rnzuri, mapenzi na rnaad iii mazuri kwa rntoto au watoto.

Mwanamke ana nafasi kubwa na iii nambari moja katika malezi ya watoto na farniliya ingawaje

hata rnv~’anarnrne iii rnsirnarnizi muhirnu katika l’arniliya hiyo husika. Utafiti huu urnebaini juhudi

kuhwa za Bi Chani katika ulezi wa familiya yake ya watoto wake wa kuwazaa nane na mrnoja

(N4wavi Ic) wa ku lea kwa rnapenzi Ii uruma na matunzo. Mwand i sh i anafafanua:”

Kabla wengine hawajaondoka, kulikuwa na Abuu, Salila, Yasir, Jokha, Sele (Msurupwete kwa

jina jingine Ia utani), Zahran, Sarnira naTambo. Hawa wote walikuwa watoto wa Bi Chani na

Bwana Mansour. Watoto wanane. Bi Chani alikuwa na rnbegu nzuri

lumboni. Si haba! Na Mwavile bila ya shaka. rntoto wao wa tisa,

15

Page 25: USAWIRI WA MWANAMKE KATIKA RIWAYA VA SAID A …

kwao na kuamua msimamo dhabiti ya kuacha kumfanyia Fuad kazi . Licha ya kwamba

alihitaji fedha kupitia kazi hiyo , aliiacha kwa sababu ya tabia mbaya ya Fuad.

4.13 Mwanamke Kama Muhusika Tabibu I Daktarl wa Klenyejl

Udaktari ni katika fani muhimu katika maisha yajamii yeyote. Kuwa daktari au tabibu siojambo

Ia mzaha, inahitajika uwezo mkubwa wa taaluma katika fhni husika iii muhusika aweze

kutumika kusaidia na kuokoa maisha ya binaadamu na viumbe vyengine. Pani ya udaktarl au

utabibu wa kienyeji ni lie thai inayotumia utoaji wa msaada wa kitabibu I kiafya pasi na kutumia

hospitali. Tabibu wa kienyeji ana mchango mkubwa katika kusaidia kuokoa maisha ya

mwanaadamu lakini kwa kutumia matibabu ya kienyeji kama rniti shamba, majani, mizizi, hirizi,

dua nk. Katika riwaya ya Utengano tunamuona Bi Farashuu akiwa tabibu wa kienyeji ambapo

kazi yake hasa ni ukunga (kuzalisha wanawake wajawazito) Bi Farashuu alifhnikiwa kumsaidia

na kumzalisha vyema Bi Tamima akishirikiana na Bid Kocho na watumishi wengine katika

jumba Ia Bwana Maksuudi. Mwandishi anasema: Farashuu alimkuta Bi Tamima tayari tayari.•

Alikuwa kishavunja chupa ya kitoto kingezaliwa dakika yoyote. Farashuu aliingia kazini. 1-lima

alimweka mjamzito katika halt ya kungojea ‘Haya

natumvue nguo’ Farashuu akasaidiana na Kocho wake wakamvua

nguo Bi Tamima na kumtupia kanga. Bi Tamima akaumana na

maumivu yake. Na kama kawaida, uchungu ulipozidi Tamima alianza

kuusia, akadai talaka, akaomboleza. Bi Farashuu aliyekuwa kakaa

kwa makini, alikuwa kimya, ha muda ha muda ahimpa moyo

mzazi.... Wakati ulipofika, Bi Tamima aliuma meno. Hays haya,

kidogo kidogo; hatimaye Farashuu alimpokea mtoto. ... Safari hii

uzazi haukumfanyia taabu. Alijifungua salama usalimini. Farashuu

alipokwisha mpokea mtoto alikamilisha ukunga wake. Akarnhudumia

mtoto na mzazi. (Uk 34-35)

17

Page 26: USAWIRI WA MWANAMKE KATIKA RIWAYA VA SAID A …

4.14 Mwanamke Kama Muhusika Mwenye Mapenzi ya Dhati

Mapenzi ya dhati ni miongoni mwa raslimali adhimu na iliyotukuka katika kujenga

familia najamii au taifa imara popote duniani. Msingi wa kuwepo kwa mapenzi ya

dhati hasa katika ndoa huimarisha masikilizano, mashirikiano, uaminifb, matunzo,

heshima, nidhamu, uvumilivu na kuhurumiana, usawa wa haki na uadilifb kwa

wahusika. Mapenzi ya dhati katikajamil yeyote huhitajika kwa lengo Ia kuimarisha

familia najamli husika. Katika utafiti huu, mtafiti amegundua suala Ia mapenzi ya

dhati Iimechukua nafasi katika riwaya ya Utengano na kulipa umuhimu mkubwa.

Mwandishj katika kulijadili hilo amemtumia muhusika wake Maimuna na Kabi.

Wote walikuwa wanapenclana kwa dhati na baadae walifimga ndoa na kuishi pamoja

kwa upendo uliotukuka. Mwandishi anasema:

“...Muda ulipita. Kabi alishangaa akawa anamtazama Maimuna na

kusubiri. Mwishowe Kabi alikuwa tayari kuuelezea undani wake,

‘Sikiliza Maimuna, mimi niko tayari kukuoa kwa hail yoyote...” (Uk.

162)

“Kijumba kipya cha Kabi na Maimuna kilijengwa 1-litama, kijiji

kimoja cha shamba, huko Liwaioni. Kabi na Maimuna wameoana

sasa inapata mwaka, na wamehama Futoni. Hii ni kwa pendekezo Ia bibi mtu, 81 Farashuu. Bi

Farashuu aiiona wajukuu wake watanufb.ika zaidi huko Hitama, kijiji chenye rutuba ya

nehikavuna baharini “(Uk. 171)

Katika kasri ya mwinyi Fuad kijakazi anaonyesha mapenzi ya dhati kwa majiri wake

Fuad na kazi yake. Licha ya matusi yeye alizidi kuwapenda na kuihnya kazi kama

punda. Yaani mapenzi aIiyonayo dhidi ya familia hii yalifinika maovu yote aiiyotendewa.

18

Page 27: USAWIRI WA MWANAMKE KATIKA RIWAYA VA SAID A …

4.15 Mwanarnke Kama Mhusika Mtenda Rushwa

“Rushwa ni Adui wa Haki” Ni kauli arnbayo hukaririwa katika kilajarnii arnbayo

huchukizwa na tabia hiyo. Pamoja na kelele na rnbinu rnbalimbali zinazotumiwa na

iaasisi kadhau an serekali kupambana na rushwa bado tatizo hill iinaendelea .Kwa mujibu wa

data zilizokusanywa na mtafiti, utafiti huu urnebaini tabia ya baadhi ya wanawake kutoa na

kupokea rushwa ya fedha kwa malengo tu wasaidiwe kufanikisha rnahitajio yao. Katika kulieleza

bib mwandishi arnemtumia muhusika Biti Kocho arnbaye aliomba akopeshwe fedha na Bi

Farashuu iii akampe rushwa karani anayehusika na viwanja iii na yeye ifanyike mipango ya

ku pata kiwanj a. Mwand ishi anafafanua:

“Mm..u na mimi niwache kidogo nijinyooshe. Sijalala usiku kucha.

Nina niavune makubwa... Ee. nisije nikasahau. Vile vipesa vipi

nil ivyokwambia unikaridhi’ ‘Sisahau bibi we, shilingi ngapi vile?’

‘Miteni tu’ alisema kwa mkato. ‘Na tu kweli, ndio maana ukavita

vijipesa. Na nvinyi? Shilingi mia mbih ni tu?’ ‘Ah bibi we, kupeana

iii kikoa. Na~aka kwenda kumpa Yule karani wa viwanja, chai yake,

an I ianyie mipango nikipate kile kiwanja’ Yakaishia hapo” (Uk.62).

4.16 Mwanamke Kama Chombo cha Starehe Kwa Mwanamme

Biashara ya danguro na ukahaba ni lie tabia rnbaya ya baadhi ya wanawake kujishughulisha

katika kuuza mliii yao kwa wanaume kwa lengo Ia wanaume hao kujitosheleza rnahitajio yao

yakimwili. Tabia hii bado inaendelea kushika kasi katika jamii rnbaiimbali .Sarnbamba na bib

baadhi ya wanawake warnekuwa wakiturnika kama chombo cha kumstarehisha rnwanarnrne

Mwandishi katika kulifafanua bib amemturnia mama Jeni ambaye alikuwa mmiliki wa danguro

huko Purnziko. Biashara ya kuuza miili kwa wanaun-ie ibiendeshwa na mama Jeni kupitia

Muimuna na Dora ingawaje Maimuna hakuwa tayari kuuza rnwiii wake kwa James. Mwandishi

ana fafanua:

..Sitaki’ Mairnuna alijikwapua na kuepa mikono ya James kwa

hamaki, Alimgeukia Maimuna, akatanua mikono yake. Tayari

kumwinda tena mwanarnke huyu. Moyo unamtuta, macho kayatoa,

anahema. Kaciharniria moja tu. . . Sasa James alikuwa anakuja kwa

19

Page 28: USAWIRI WA MWANAMKE KATIKA RIWAYA VA SAID A …

metao ye mtu aliyekuwa na uhakika ye ushindi . Na pale alipofika

karibu na Maimuna alichupa kama kirongwe, lakini Maimuna aliepa

na James akapinduka chini ye ukuta. Dakika hiyo hiyo Maimuna

alitimki mbio...” (Uk. 56-57)

Miafiti kupitia dondoo hil inadhihirisha wazi juhudi za baadhi ye wanawakekutokuwa tayari

kLltumika kama bidhaa au chombo cha kumstareheshea mwanamme. Hall hil inastahiki kuungwa

mkono na jamli nzima ye kwamba table ye wanawak.e kutumika kama chombo cha starehe

haistahili kuwepo katika jamii zetu. Kwa upande mwengine mwanamke ametumika kama

chombo cha starehe kwa mwanaume kwa lengo Ia kujipatia fedha na tamaa. Mfhno mzuri ni

kupitia kwa muhusika Dora katika danguro Ia mama Jeni. Mwandishi anathibitisha hayo:

“Kutoka ukumbini alichomoza mwanamke mrnoja aliyekuwa

akimwongoza mwanamme. Mwanamke huyu mwembamba alikuwa

kavaa shad na blauzi manjano iliyoandikwa Toyota. Shingoni mkufij

we shaba ulimning’inia. Walipopishana huyu mwanamke

alichekacheka, akamwamkia Mama Jeni. Shikamoo.... Hatimaye

Yule mwanamke alijichoma chumbani na bwanaake akafbatia huku

akiufunga miango kwa nguvu “ (Uk. 64-65)

Mbali na mwanamke kutumika kama chombo cha starehe kadka mapenzi,

mwanamke pie ametumia kama chombo cha starehe katika kutoa burudani ya kuimba

ikiwanisehemu katika kazi zake. Mfhno mzuri ni kupitia Maimuna alipokinGa muimbaji kule

Rumbalola Hotel. Mwandishi anaeleza:

“Muziki ulianzwa kugongwa kwa mahadhi ye rumba. Maimuna

katikati ye shangwe aliteremka vidaraja kuelekea pale penye zulia

katikati ya ukumbi. Njiani alipokea kikuza saud kutoka kwa yule

mtangazaji. Akaaiiza kuyumbayumba kwa madaha. Alibembea na

mdundo huku mwili wake kaulegeza na macho yanasinzia. Muziki

ulipofika pahala flulani, alianza kuimba,

20

Page 29: USAWIRI WA MWANAMKE KATIKA RIWAYA VA SAID A …

Hitirnisho

Malengoyamtafiti kati kasurah i mi kuwaki I ishadatakamazi Iivyoonekanakatikavitabuteu levyariwaya

vi I ivyotumikakatikautafitihuu~

i m bali kati kaku mchorarnwanam kekati kakazizao. Moj awapoyataswi rali izon irnwanamkekarnakalia

ba,mwanam kekamam tu rnwa, rnwanarnkekamarntuni nyongemwanarn kekarnategernezi , mwanarn k

nakasriyamwinyi Fuad Kati~

21

Page 30: USAWIRI WA MWANAMKE KATIKA RIWAYA VA SAID A …

SURA YA TANO

MUKTASARI, HITIMISI-lO NA MAPENDEKEZO

5.0 tJtangulizi

Sura liii iii sura ya mwisho yenye mada: Muhtasari, Hitirnisho na Mapendekezo. Sura liii

imegawanyika katika sehemu kuu tatu ambazo ni Sehernu ya kwanza ni Muhtasari

1-litirnisho ia sehernu ya tatu iii mapendekezo ya utafiti huu

5.1 fVluhtasari

Muhtasari Utafiti huu ni juu ya jinsi waandishi wa riwaya ya kasri ya rnwinyi Fuad na

ulengano walivyosawiri mwanarnke katika uendelezaji wa riwaya yao . Utafitihuu

uligawanywa katika sura tano zifuatazo: Sura ya kwanzailihusu Utangulizi wa jurnia. Vipengele

vilivyojadili\va Iii pamoja na; Utangulizi, usuli wa utafiti tatizo Ia utafiti, Malengo ya utafiti

(Lengo kuu na malengo rnahsusi), Maswali ya utafiti, Urnuhimu wa utafiti, Mipaka ya utafiti,

Muundo wa taKatika Utafiti, huu mtafiti aliongozwa na malengo ya ama rnbili; Lengo kuu na

• Malengo mahsusi.

Lengo kuu lilikuwa ni: Kuchanganua rnnamwanamke anavyosawiriwa katika riwaya za

SaidAMohamed na Adam Shafi,NA malengo mengine yalikuwa;

• Kutathmini nafasi ya riwaya katika uendelezaji wa rnwanamke.

• Kuelezea umuhirnu wa kusawiri rnwanamke katika tungo za riwaya katika kuendeleza ploti.

Sambarnba na bib utafiti huu uliarnbatana na maswali rnatatu ya msingi:

•.Je.mwanamke anasa\viriwa vipi katika riwaya za Said A Mohamed na Adam Shafi

•Je,kuna umuhimu gani kutatmini nafasi ya riwaya katika uendelezaji warnwanarnke,

.,Je,kuna umuhirnu gani wa waandishi kutumia mwanamke katika uendelezaji wa riwaya yao?

22

Page 31: USAWIRI WA MWANAMKE KATIKA RIWAYA VA SAID A …

Sura ya pili ilihusu Mapitio ya Kazi Tanguiizi na Mkabala wa Kinadharia. Sura hii iiijurnuisha

macla ndogo ndogo zifuatazo; Utangulizi, Ufafanuzi wa istilahi muhirnu Mapitio ya kazi

ii iyotanguiia kisha hitirnisho

.Sura ya tatu ilihusu Mbinu za utafiti. Katika sura hii vipengele vifuatavyo vilijadiliwa:

Utanguiizi,Eneo Ia utafiti, na sababu za Mbinu ya usampulishaji, Ukusanyaji wa data na Mbinu

za ukusanyaji wa data, Mbinu za uchambuzi wa data , vifaa vya utafiti na mwisho ni Hitimisho.

Sura ya nne ii ihusu Uwasi iishaj i, Uchambuzi na rnjadaia wa data za utafiti.

Vi pengele vii ivyoj ad ii iwa: Utangu 1 izi,j insi mwanarnke anavyosawiriwa katika riwaya ya

kasri ya mwinyi Fuad na utengano na kisha hitimisho

I Lengo mahsusi ya kwanza

Lengo kuu liii kuwa ni: Kuchanganua namna mwanamke anavyosawiriwa kati ka riwaya za Said A

Moharned na Adam Shall.

Mwanamke katika riwaya teule za Utengano na Kasri ya rnwinyi Fuad . Lengo hili

liVongozwa na swab Ia msingi Ia kwanza lisernalo: Mwanamke amesawiriwa vipi katika

ri\vaya ya kasri ya mwinyi Fuad na utengano ?

Katika Utafiti huu, mtafiti alibaini kuwa riwaya mbili hizi teuie zirnemsawiri mwanarnke katika

hali rnbili (chanya na hasi). Kwa mfano katika riwaya ya Utengano; Mwanamke arnesawiriwa

kama rnuhusika Mshauri rnwerna, Jasiri na rnwenye kujitoa rnhanga, Mwenye rnsirnamo thabiti,

Miezi wa familiya, Mapenzi ya dhati, Muwajibikaji, Tabibu na daktari wa kienyeji, Ushawishi

na Uchochezi, Mipango na Hadaa, Mievi na Mgomvi I Mshari, Dhaifu na Masikini, Chombo cha

starehe na Mtenda rushwa.Kwa upande wa riwaya ya Kasri ya mwinyi Fuad , mtafiti ahgundua

mwanamke amesawiriwa katika bali / tabia zile ziie mbili (chanya na hasi). Kwa

m l’ano. Mwanamke amesawiriwa kama iii uhusi ka Muwaj ibikaj i, Mtambuzi na Mwanah istoria,

Mpenda dini, Huruma na rnwenye Irnani thabiti, Mwanamabadiliko, Msarnehevu, Tabibu /

daktari wa kienyeji, Miezi wa farniIiya, Chombo cha starehe, Yatirna na anayehitaji msaada,

Kiburi aia rnwenye tama. Ni vyema mema

23

Page 32: USAWIRI WA MWANAMKE KATIKA RIWAYA VA SAID A …

5.2 Lengo Ia pili.

Kutathmini nafasi ya riwaya katika uendelezaji wa rnwanarnke.

IKatika utafiti huu rntafiti alitathimini kuwa katika riwaya hizi rnbili waandishi

warnernendeleza mwanarnke kwa njia tofautitofauti ambazo rnengine yamemuinua

mwanarnke na mengine yanarndunisha . Riwaya imernendeleza rnwanamke karna mwenye

msirnamo dhabiti , mwaajibikaji , Mwenye Mapenzi , daktari wa kienyeji , Mwenye hururna

mshawishi.Mwenye hururna , Mlezi wa farniliya , rnjasiri , Mshauri rnwema na kwa upande

m\vingine riwaya imemendeleza mwanarnke kwa njia ya kumdunisha kwa rnfano dhaifti

na iVlasikini . Chombo cha starehe . Mtenda rushwa , kahaba , Mwenye mipango na hadaa

mwanarnke karna mhusika dhaifu na maskini , rntegernezi , Ushawishi na Uchochezi , katika

kutatmini nafasi ya riwaya katika uendelezaji wa rnwanarnke , utafiti unaonyesha kwamba

m~vanamke amedunishwa katika riwaya hizi mbili , kwa sababu mwanarnke amesawiriwa

kuwa na tabia hasa kuliko tabia chaya

5.3 Lengo Ia tatu.

Kuelezea urn uh i mu wakusawi ri mwanarnke kati ka tungo za riwaya katika kuendeleza ploti.

Mwanamke ni muhusika mhimu katika riwaya hizi mhili katika kuendeleza ploti

Kulingana na utafiti huu , mwanamke amechangia pakubwa katika uendelezaji wa ploti

Katika riwaya ya Kasri ya rnwinyi Fuad na utengano ,waandishi wa riwaya hizi

wametumia rnwanamke katika kuendeleza ploti za riwaya yao ,karna vile Maimuna , Dora

,Jeni ,Binti kocho,Bi Tarnina , kijakazi, Mariamu ,Bi Malik , kazija , Bi kocho

5.4 Hitimisho

lKwa kuhitim ishia, tu naweza kusisitiza kuwa mwanarnke ni muhusika binaadarnu karna wal ivyo

~vanaadarnu wengineo. Ni muhusika rnwenye uwezo mkubwa wa kutenda matendo rnbalimbali

arnbayo hugawanywa katika sehernu rnbili kuu. Matendo merna (chanya) na matendo rnaovu

(hasi).

24

Page 33: USAWIRI WA MWANAMKE KATIKA RIWAYA VA SAID A …

5.5 Mapendekezo

Kwa udhati kabisa, kazi za utafiti wa ama yeyote duniani si kazi nyepesi. Ni kazi zinazohitaji

utulivu, uvumilivu, muda wa kutosha na hata uwezo na taalurna kufanya utafiti wenyewe na hata

gharama ya fedha. Utafiti huu ulizingatia usawiri wa wanawake katika riwaya ya kasri ya

mwi nyi Fuad na utengano .Mtafiti arnefau lu kufanya utafiti al iyokusud ia kwa kuzingatia

malengo na maswali ya utafiti kama ilivyoangaliwa. Licha ya hayo, mtafiti arneona kuwa kuna

ii iii it hi mu m kit bwa wa kutoa mapendekezo yafuatayo

Pendekezo kwa waanclishi

Pc~ndekezo kwa waand ish I n i ku~ a waweze kumsawiri mwanamke kwa nj Ia born si

kumdunisha rnwanamke , kwa sababu riwaya huwa inaangazia sana jamli na hivyo ni bora

kuzingatia uhalisia ill wanaosoma riwaya wasiwe na rntazarno hasa kuhusu mwanamke

bali waweze kuwa na mtazamo wa mwanamke jinsi alivyournbwa na uwezo wake katika

kujenga jamil . Maana fasihi uchangia pakubwa katika maisha yetu na kuelekeza kizazi

chew cha sasa

Pendekezo kwa wizara ya elimu

Pendekezo kwa wizara ya elirnu ni kwamba vitabu vya Kiswahili vichapishwe kwa

wingi na viweze kuh ifadhiwa katika rnaktaba za umaa katika Idle eneo ambayo itasaidia

kati ka utafit ia hata uendelezaj I wa fasihi nchi ii Uganda

.Jambo lingine iii kuwa wizara ya elirnu ikishirikiana na wizara ya sayansi na teknolojia

walungue mbinu rahisi kupitia mtandao ambao wasomaji arnbao wanaweza kusoma vitabu

hivi popote walipo ambayo itarahisisha kazi ya utafiti wowote Ule.

Mapendekezo kw’a Jarnii

Jamli ma dhima kubwa ya kujifunza taaluma mbalimbali ikiwemo taalurna ya Fasihi.

Mtafiti anapendekeza kuwa wanajamii wawe na utamaduni wa kusoma vitabu kwa

bidii ya kusudi. Utamaduni huu wa kusorna vitabu utasaidia sana kuongeza maarifa

25

Page 34: USAWIRI WA MWANAMKE KATIKA RIWAYA VA SAID A …

na kuwatènya wanajamii hao waweze kutenda yallyo mema na kuacha yaliyo

maovu. Sambamba na hilo tabia ya usomaji wa vitabu ikiwa ni pamoja na vitabu vya

Fasihi kama Riwaya, Tamthiliya na Ushairi, Tasnifli na makala mengineyo ya

kitaaluma ikiwemo tasnifb hii ni nyenzo muhimu katika kuinua upeo wa maariffi na

akili kwa maendeleo binañi hadi taiti kwa ujumla.

26

Page 35: USAWIRI WA MWANAMKE KATIKA RIWAYA VA SAID A …

MAREJELEO

Adam Shafi Adam (2007)Kasri ya mwinyi Fuad iliyochapishwa na videmuwa.

BAKIZA , ( 2010) Kamusi Ia Kiswahili Fasaha, Nairobi : Oxford University Press.

BAKIZA, (2010). Kamusi Ia Kiswahili Fasaha, Nairobi: Oxford University Press

Kezilahabi, E (1971),Rosa Mistika, Dares salaam , East Africa Publishing House

Kiango , S.D (1982) ,Tarnthiliya za Kiswahili :Dharnira Chapwa na Usuli katika Uchapwa

katika jarida Ia taasisi ya uchunguzi wa Kiswahili Juzuu 4912, (Mh), chuo kikuu cha

Dares salaam

Kothari , C.R(1992) Research methodology :methods and Techniques . New Delhi, Wiley

Eastern Limited

Lugano, R ( 1989 ) “Mwanarnke katika Riwaya za kezilahabi “Tasnifh ya M.A. Chuo

kikuu cha Nairobi (Haijachapishwa)

Mabala, R (200 ), “Gender in Tazanian Kiswahili Friction “in Njau, A . and T. Mruma.

Mbuguni , P (1982),”The image of woman in Kiswahili prose fiction “ ,Katika jarida Ia

Tuki juzuu 49

Momanyi , C (2004), “Ngome ya NaAi “ Mayai Waziri wa maradhi na Hadithi Nyingine.

Nairobi , Forcus press.

Mulokozi, M.M (1983 ).Utafiti wa Fasihi simulizi . Katika makala za semina za kimataifh

ya waandishi wa Kiswahili . Dares Salaarn :Tuki.

Ndungo , C .W.na Mwai, W . (1991).Kiswahili studies part Two :Msing[ ya Nadharia ya

Fasihi ya Kiswahili . Nairobi :University of Nairobi.

phoenix publishers.

Richard na wenzake 2007 , Nadharia za uhakiki wa Fasihi . Nairobi , sal industries Ltd

Robert , S (1968) ,kufikirika . Nairobi , Oxford

Said A Moharned (l980),Utengano .Nairobi, Longhorn Kenya Ltd27

Page 36: USAWIRI WA MWANAMKE KATIKA RIWAYA VA SAID A …

Tuki (198 I ),Karnusi ya Kiswahili sanifu Nairobi , Oxford University Press

\~1amithiIa K.W (2002) ,uhakiki wa Fasihi misingi na vipengele vyake Nairobi

28