4
r TANZANIA YOUTH COALITION JARIDA Kwa mwaka 2018 TYC imekua ikifanya shughuli mbalimbali katika miradi tofauti inayo tekelezwa chini ya mpango wa malengo endelevu ya dunia wa mwaka 2030. Ikiwa kama kiungo muhimu cha taasisi zinazo tekeleza mpango huu katika sekta ya vijana, kwakushirikiana na serikali kupitia baraza la uwezeshaji wananchi kiuchumi(NEEC), imezishirikisha vema taasisi za ndani na nje ya nchi ili kufikia lengo kuu la miradi inayo tekelezwa;-Kama Utafiti mdogo(Mapping) Kambi ya Vijana (Pan-African Youth Camp) Mkutano wa kuoanisha wabia (Partner matching conference) Jukwaa la Asasi na taasis zisizo za kiserikali (CSOs/NGOs forum) Semina za maandalizi. Kutuma washiriki Vipindi vya mazungumzo ya redio. Mafunzo kwa watu wenye ushawishi(Community Gatekeepers). Jukwaa la vijana. Mafunzo ya uandishi wa habari. Kikao cha undaji Msimbo data. Kutembelea maeneo ya miradi. Toleo la 2 UTAFITI MDOGO TYC imetembelea mikoa 12 ndani ya nchi kuzitambua taasisi zinazo shiriki/zilizo wahi kushiriki katika program za mabadilishano ya vijana baina ya Tanzania na Ujerumani. Hii ni chini ya utekelezaji wa mradi wa Afrikcan Germany Youth Initative. Timu ya utafifiti katika Picha ya pamoja na Wafanyakazi wa Jambo bukoba. Mkoani KAGERA

TANZANIA YOUTH COALITION JARIDAKwa mwaka 2018 TYC imekua ikifanya shughuli mbalimbali katika miradi tofauti inayo tekelezwa chini ya mpango wa malengo endelevu ya dunia wa mwaka 2030

  • Upload
    others

  • View
    5

  • Download
    0

Embed Size (px)

Citation preview

Page 1: TANZANIA YOUTH COALITION JARIDAKwa mwaka 2018 TYC imekua ikifanya shughuli mbalimbali katika miradi tofauti inayo tekelezwa chini ya mpango wa malengo endelevu ya dunia wa mwaka 2030

r

TANZANIA YOUTH COALITION JARIDA

Kwa mwaka 2018 TYC imekua ikifanya shughuli mbalimbali katika miradi tofauti inayo tekelezwa chini ya mpango wa malengo

endelevu ya dunia wa mwaka 2030. Ikiwa kama kiungo muhimu cha taasisi zinazo tekeleza mpango huu katika sekta ya vijana,

kwakushirikiana na serikali kupitia baraza la uwezeshaji wananchi kiuchumi(NEEC), imezishirikisha vema taasisi za ndani na nje

ya nchi ili kufikia lengo kuu la miradi inayo tekelezwa;-Kama

❖ Utafiti mdogo(Mapping)

❖ Kambi ya Vijana (Pan-African Youth Camp)

❖ Mkutano wa kuoanisha wabia (Partner matching conference)

❖ Jukwaa la Asasi na taasis zisizo za kiserikali (CSOs/NGOs forum)

❖ Semina za maandalizi.

❖ Kutuma washiriki

❖ Vipindi vya mazungumzo ya redio.

❖ Mafunzo kwa watu wenye

ushawishi(Community Gatekeepers).

❖ Jukwaa la vijana.

❖ Mafunzo ya uandishi wa habari.

❖ Kikao cha undaji Msimbo data.

❖ Kutembelea maeneo ya miradi.

Toleo la 2

UTAFITI MDOGO

TYC imetembelea mikoa 12 ndani ya nchi kuzitambua taasisi zinazo shiriki/zilizo wahi kushiriki

katika program za mabadilishano ya vijana baina ya Tanzania na Ujerumani. Hii ni chini ya

utekelezaji wa mradi wa Afrikcan Germany Youth Initative.

Timu ya utafifiti katika Picha ya pamoja na Wafanyakazi wa Jambo bukoba. Mkoani KAGERA

Page 2: TANZANIA YOUTH COALITION JARIDAKwa mwaka 2018 TYC imekua ikifanya shughuli mbalimbali katika miradi tofauti inayo tekelezwa chini ya mpango wa malengo endelevu ya dunia wa mwaka 2030

Kutuma washiriki

TYC ilituma vijana 12 wa kitanzania nchini

Urusi kushiriki program ya mabadilishano

iliyo kua na muktadha wa mzunguko wa

chakula(Food cycle). Program hii ilihusisha

nchi tatu(3), Tanzania, Germany and Rusia.

Kambi ya vijana

TYC iliandaa kambi maalum ya

vijana kuhakikisha tanatambua

nafasi ya vijana katika

utekelezaji wa mpango wa

maendeleo endelevu ya

dunia(SDGs). Chini ya mradi wa

African Germany Youth

Initiative. Mkoani Kilimanjaro

Mkutano wa kuoanisha wabia

TYC iliandaa mkutano na

kuzikutanisha taasi zaidi ya 30

kutoka ukanda wa Afrika

mashari na Ujarumani zilizo jikita

katika Tamaduni, Sanaa na

michezo. Chiini ya mradi wa

African Germany Youth

Initiative. Dar es salaam.

Page 3: TANZANIA YOUTH COALITION JARIDAKwa mwaka 2018 TYC imekua ikifanya shughuli mbalimbali katika miradi tofauti inayo tekelezwa chini ya mpango wa malengo endelevu ya dunia wa mwaka 2030

Semina za maandalizi

TYC ilifanya semina za maandallizi

kwa vijana wanaokwenda kujitolea

Ujerumani na wanaukuja kujitolea

Tanzania. Dar es salaam

Vipindi vya Radio

TYC iliandaa vipindi vya Radio

katika stesheni ya Voice Of Africa

(VOA) na kuwaalika washiriki

watatu nakujadili ajenda zinazohusu

ushiriki wa wanawake na vijana

katika uongozi kisiasa na mambo

mengine yanayo husiana nao.

Program hii ilikua chini ya mradi wa

Woman and Youth Political Representation

Enhanced (WYPRE) in 2019 and 2020 Elections

in Tanzania. TANGA

Kutembelea Miradi

Ilipata fursa ya kutembelea

maeneo ya miradi ambayo

tumekua tukiitekeleza.

Page 4: TANZANIA YOUTH COALITION JARIDAKwa mwaka 2018 TYC imekua ikifanya shughuli mbalimbali katika miradi tofauti inayo tekelezwa chini ya mpango wa malengo endelevu ya dunia wa mwaka 2030

Mafunzo kwa watu

wenye ushawishi.

TYC ilitoa mafunzo kwa viongozi wa

dini na watu wenye ushawishi

kwenye jamii

Juu ya usawa wa kijinsia na ushiriki

wa vijana kuwa mawakala wa

mabadiliko katika jamii. WYPRE

Undaji wa Msimbo data

TYC ilifanya kikao cha kuandaa msimbo

data wa vijana na wanawake

wanaotaka mabadiliko kwakuzingatia

mahitaji. Program hii ilikua chini ya

mradi wa Woman and Youth Political

Representation Enhanced (WYPRE) in 2019

and 2020 Elections in Tanzania. TANGA

Jukwa la Vijana

TYC ilikua na jukwaa la wijana na

wanawake 100 kwenye kila wilaya

ambao kazi yao ni kutoa hamasa kwa

jamii juu ya ushiriki wa vijana ktk

uongozi. Program hii ilikua chini

ya mradi wa Woman and Youth Political

Representation Enhanced (WYPRE) in 2019

and 2020 Elections in Tanzania. TANGA