Upload
others
View
29
Download
0
Embed Size (px)
Citation preview
212
KIPINDI SHABAHANJIA ZA
KUFUNDISHIANYENZO ZA
KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO
HAKIUZWI
Yatumiwe na Kiswahili FasahaKiswahili, Kidato cha Pili, Maazimio ya Kazi: Muhula wa Kwanza
Kusikiliza na kuzungumza (Tunu na matini)
Kusikiliza na kuzungumza pamoja na kuandika
Kusoma kwa ufahamu
Sarufi
Matamshi bora: Silabi tatanishi
Utungaji wa kiuamilifu:Orodha ya mambo
Hadithi ya shujaaMkombozi
Nomino
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza silabi. • kutambua makosa katika silabi.• kusahihisha makosa yanayohusu silabi.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza orodha ya mambo.• kueleza umuhimu na faida ya orodha.• kutengeneza orodha ya mambo.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kusoma kwa sauti na kimya.• kujibu maswali kwa usahihi.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza nomino ni nini.• kutaja na kueleza aina sita za nomino.• kutumia aina mbalimbali za nomino
katika sentensi.• kutambua na kurekebisha makosa ya
sarufi.
1
2
3
4
JUM
A 1
• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 1-2
• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 1-2
• Kamusi ya Kiswahili Sanifu
• Wanafunzi• Kadi za maneno na
silabi• Redio au kanda za
kunasia sauti
• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 2-4
• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 2-3
• Vielelezo vya orodha tofauti
• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 4-5
• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 3-7
• Kamusi ya Kiswahili Sanifu
• Wanafunzi • Makala ya hadithi ya
majitu
• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 6-7
• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 7-8
• Vielelezo vya aina za nomino
• Ufafanuzi • Maswali na majibu• Tajriba
• Majadiliano• Makundi • Maswali na majibu• Tajriba
• Usomaji• Masimulizi• Kuiga na kuigiza• Maswali na majibu
• Ufafanuzi • Majadiliano• Maswali na majibu• Utafiti
213
KIPINDI SHABAHANJIA ZA
KUFUNDISHIANYENZO ZA
KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO
HAKIUZWI
Yatumiwe na Kiswahili FasahaKiswahili, Kidato cha 2
Maazimio ya KaziMuhula wa Kwanza
5
1
2
3
Kusikiliza na kuzungumza (Ufasaha wa lugha)
Kusikiliza na kuzungumza (Fasihi yetu)
Kuandika (Utunzi)
Kuandika (Tunu na matini)
Makosa ya kimantiki
Ukusanyaji na uhifadhi wa fasihi simulizi
Insha ya Mdokezo
Utungaji wa kiuamilifu:Maagizo na maelekezo
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kusikiliza na kuchanganua taarifa.• kutambua na kurekebisha makosa ya
kimantiki katika maandishi.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza njia tatu zinazoweza kutumika
kukusanya kazi za fasihi simulizi.• kutaja na kufafanua njia tatu zinazoweza
kutumika kuhifadhi kazi za fasihi simulizi.
• kueleza udhaifu ulioko katika njia za kuhifadhi fasihi simulizi.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza insha ya mdokezo. • kuandika insha ya mdokezo kwa
ufasaha.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kufafanua sifa za maagizo na maelekezo
mwafaka.• kuandika na kufuata maagizo na
maelekezo ipasavyo.
• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 8
• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 8-10
• Kamusi ya Kiswahili Sanifu
• Vitu halisi• Mikusanyo ya
wanafunzi• Vibonzo • Makala kutoka MwM 2
• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 8-9
• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 10-12
• Vielelezo vya mikusanyo ya kazi za fasihi simulizi
• Kanda za kunasia sauti au video au filamu
• Mwalikwa (Msanii)
• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 10
• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 12
• Vielelezo vya insha
• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 11
• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 12-14
• Mikusanyo kutoka magazetini
• Vielelezo vya maagizo na maelekezo halisi
• Ufahamu wa kusikiliza
• Ugunduzi• Mifano • Kazi mradi• Vichekesho
• Masimulizi• Majadiliano• Makundi• Maelezo na ufafanuzi• Ufahamu wa
kusikiliza
• Ufafanuzi• Majadiliano• Utungaji • Mifano
• Utazamaji• Maelezo• Mifano Ufahamu wa
kusikiliza• Kazi mradi
JUM
A 1
JUM
A 2
214
KIPINDI SHABAHANJIA ZA
KUFUNDISHIANYENZO ZA
KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO
HAKIUZWI
Yatumiwe na Kiswahili FasahaKiswahili, Kidato cha 2
Maazimio ya KaziMuhula wa Kwanza
4
5
1
Kusikiliza na kuzungumza
Kusoma kwa ufahamu
Sarufi
Mazungumzo hotelini
Upishi wa vitumbua
Vitenzi
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kueleza sifa za mazungumzo
ya hotelini.• kuigiza mazungumzo ya hotelini.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kusoma kwa sauti na kimya.• kujibu maswali ya ufahamu.• kueleza maana ya maneno na vifungu.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kueleza maana ya vitenzi vya aina
mbalimbali.• kutoa mifano ya aina sita za vitenzi.• kutumia vitenzi vya aina tofauti
kutungia sentensi.
• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 11-12
• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 14-15
• Picha za mikahawa au hoteli
• Mifano ya menyu
• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 13
• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 15-16
• Kamusi ya Kiswahili Sanifu
• Picha• Kadi za maneno• Chati • Mikusanyo ya resipe• Kitumbua kimeingia
mchanga
• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 14-16
• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 16-17
• Kadi za vitenzi• Makala tofauti• Mazingira ya
wanafunzi• Vielelezo vya
machapisho
• Usomaji• Kuigiza • Maelezo• Majadiliano• Ufaraguzi• Mifano• Kazi mradi• Ufahamu wa
kusikiliza
• Usomaji • Maswali na majibu• Maelezo• Kuigiza• Ugunduzi
• Mifano • Maelezo• Ufafanuzi• Tajriba
JUM
A 2
JUM
A 3
215
KIPINDI SHABAHANJIA ZA
KUFUNDISHIANYENZO ZA
KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO
HAKIUZWI
Yatumiwe na Kiswahili FasahaKiswahili, Kidato cha 2
Maazimio ya KaziMuhula wa Kwanza
2
3
4
Sarufi (Ufasaha wa lugha)
Kusikiliza na kudadisi (Fasihi yetu)
Kuandika (Utunzi)
Uakifishaji
Masimulizi ya hadithi: Fasihi simulizi – Hekaya za Abunuwasi
Uandishi wa kiuamilifu: Resipe
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kueleza maana, aina na umuhimu wa
viwakifishi.• kutumia viwakifishi kwa ufasaha katika
sentensi na vifungu vya habari.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kueleza maana na matumizi ya hekaya.• kusimulia Hekaya ya Abunuwasi.• kueleza mafunzo kutoka kwa hekaya
hiyo.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kutoa tafsili ya neno resipe.• kutaja sababu za kutengeneza resipe.• kueleza mtindo wa kuandika resipe.• kuandika mifano ya resipe.• kutumia msamiati wa mapishi ipasavyo.
• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 16-17
• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 17-18
• Michoro ya alama za kuakifisha
• Kadi za alama za kuakifisha
• Vielelezo vya sentensi na aya
• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 17-18
• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 18
• Vibonzo • Mandhari• Vitu halisi• Maleba
• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 19-20
• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 18-19
• Vielelezo • Picha za vyakula,
viungo na vyombo• Vitu halisi• Kadi za resipe• Mikusanyo ya resipe
• Utafiti• Mifano • Ufafanuzi
• Masimulizi• Utafiti • Maswali na majibu• Maigizo ya
uwasilishaji
• Mifano • Maelezo• Tajriba• Kuandika
JUM
A 3
216
KIPINDI SHABAHANJIA ZA
KUFUNDISHIANYENZO ZA
KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO
HAKIUZWI
Yatumiwe na Kiswahili FasahaKiswahili, Kidato cha 2
Maazimio ya KaziMuhula wa Kwanza
5
1
2
Kusikiliza, kuzungumza na kusoma(Tunu na matini)
Kusikiliza na kuzungumza
Kusoma kwa ufahamu na mapana
Matamshi bora:Sauti tatanishi
Mahojiano baina ya Daktari na Mgonjwa
Ukweli kuhusu uvutaji sigara
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kubainisha sauti za Kiswahili.• kueleza sababu za sauti hizi kutatanisha.• kurekebisha utata unaotokana na sauti
tatanishi.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kueleza mahojiano ni nini.• kueleza sifa za mahojiano.• kueleza mahojiano aliyopewa kwa
ufasaha na mantiki.• kueleza yaliyomo katika mahojiano
hayo.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kusoma kwa ufasaha.• kueleza maana na madhara ya uvutaji
sigara.• kufurahia kusoma maandishi kwa
Kiswahili.
• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 21
• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 19-21
• Kamusi ya Kiswahili Sanifu
• Kadi za maneno• Kanda za sauti• Wanafunzi
• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 22-23
• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 21-23
• Wanafunzi• Kanda za kunasia
sauti au video
• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 23-25
• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 23-26
• Kamusi ya Kiswahili Sanifu
• Vielelezo vya majarida
• Michoro, vibonzo, mabango
• Vitu halisi• Kitumbua kimeingia
mchanga
• Utamkaji • Usomaji• Ufaraguzi• Makundi• Imla• Ufafanuzi• Majadiliano• Utafiti • Maswali na majibu
• Mahojiano• Majadiliano • Kazi ya makundi• Mifano
• Usomaji• Ufafanuzi• Majadiliano• Maswali na majibu
JUM
A 3
JUM
A 4
217
KIPINDI SHABAHANJIA ZA
KUFUNDISHIANYENZO ZA
KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO
HAKIUZWI
Yatumiwe na Kiswahili FasahaKiswahili, Kidato cha 2
Maazimio ya KaziMuhula wa Kwanza
3
4
5
1
Sarufi
Kusikiliza na kuzungumza (Ufasaha wa lugha)
Kusoma kwa kina (Fasihi yetu)
Kuandika (Utunzi)
Vivumishi
Mazungumzo: Lugha ya hospitalini
Mashairi ya arudhi: Mashairi ya ngonjera
Insha ya mazungumzo
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kueleza maana na aina tano za
vivumishi. • kubainisha vivumishi hivyo.• kutumia vivumishi hivyo katika
sentensi.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kueleza sifa za lugha ya hospitali.• kueleza madhumuni ya kutumia lugha
ya hospitali.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza sifa na muundo wa ngonjera.• kukariri ngonjera ifaavyo.• kujibu maswali kwa usahihi.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kueleza sifa na muundo wa insha ya
mazungumzo.• kuandika insha ya mazungumzo
kulingana na kichwa kilichoteuliwa.
• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 25-29
• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 26-28
• Vielelezo vya vivumishi
• Makala tofauti• Majedwali
• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 29-30
• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 28-29
• Kamusi ya Kiswahili Sanifu
• Kadi• Fomu au stakabadhi
za hospitalini
• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 30-31
• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 29-30
• Vielelezo vya ngonjera
• Ngonjera za ukuta
• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 31-32
• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 30-31
• Kielelezo cha insha ya mazungumzo
• Makala tofauti ya mazungumzo kutoka gazeti au jarida
• Ufafanuzi• Maswali na majibu• Majadiliano• Mifano
• Ufafanuzi• Majadiliano• Maswali na majibu• Kazi mradi
• Ufafanuzi• Majadiliano• Kuigiza • Kukariri
• Ufafanuzi • Majadiliano• Utendaji• Mjadala• Kuandika
JUM
A 4
JUM
A 5
218
KIPINDI SHABAHANJIA ZA
KUFUNDISHIANYENZO ZA
KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO
HAKIUZWI
Yatumiwe na Kiswahili FasahaKiswahili, Kidato cha 2
Maazimio ya KaziMuhula wa Kwanza
2
3
4
5
Kuandika (Tunu na matini)
Kusikiliza na kuzungumza
Kusoma kwa ufahamu
Sarufi
Uandishi wa kawaida: Imla – Maendelezo na tahajia
Mazungumzo – Majadiliano:Mwalimu na Mzazi
Kiza katika nuru
Vivumishi
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kusoma kwa ufasaha.• kuandika taarifa kwa usahihi.• kueleza maana ya maneno
yanayokaribiana kimaana.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kuigiza na kuendesha mazungumzo kwa
mtiririko mzuri.• kutumia msamiati ufaao.• kujibu maswali vyema.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kusoma kwa sauti na kimya.• kujibu maswali ya ufahamu.• kueleza maana ya maneno na vifungu.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kutaja na kueleza aina tano za
vivumishi.• kutumia vivumishi hivyo katika
sentensi.
• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 33
• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 31-32
• Kamusi ya Kiswahili Sanifu
• Vinasa sauti• Picha za matukio• Kazi za vitate
• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 33-34
• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 32-33
• Mazingira ya shule• Vifaa, maleba• Kielelezo cha kifungu
• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 35-36
• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 33-34
• Kamusi ya Kiswahili Sanifu
• Mandhari au picha ya ofisi
• Kiza katika nuru
• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 37-41
• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 34-36
• Majedwali• Vitu halisi• Mazingira• Picha na mandhari
tofauti
• Imla• Mashindano• Maswali na majibu• Maelezo• Ufahamu wa
kusikiliza
• Uigizaji• Tajriba• Utatuzi wa mambo
• Usomaji• Uvumbuzi• Maswali na majibu• Ufafanuzi• Uchambuzi
• Maelezo• Mifano• Maswali na majibu• Majadiliano
JUM
A 5
219
KIPINDI SHABAHANJIA ZA
KUFUNDISHIANYENZO ZA
KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO
HAKIUZWI
Yatumiwe na Kiswahili FasahaKiswahili, Kidato cha 2
Maazimio ya KaziMuhula wa Kwanza
1
2
3
Kusoma (Ufasaha wa lugha)
Kusikiliza na kudadisi (Fasihi yetu)
Kuandika (Utunzi)
Matumizi ya kamusi
Maudhui
Utungaji wa kiuamilifu –Ratiba: Siku ya wazazi shuleni
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kueleza makusudio ya kutumia kamusi.• kutafuta mambo kwenye kamusi kwa
kasi.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kueleza maana ya maudhui na jinsi ya
kupata maudhui katika kazi ya fasihi.• kubainisha maudhui katika hadithi ya
“Isiran amwokoa Eng’atuny”.• kukusanya na kuhifadhi kazi mbalimbali
za fasihi.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kutaja sifa za ratiba.• kueleza umuhimu wa ratiba.• kuandika ratiba kwa ufasaha.
• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 42
• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 36-37
• Kamusi tofauti• Kazi za maneno• Majedwali
• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 42-43
• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 37-38
• Kamusi ya Kiswahili Sanifu
• Picha za wanyama husika
• Jedwali la hatua za kupata maudhui
• Mikusanyo ya kazi za fasihi
• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 43-44
• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 38-39
• Ratiba za aina tofauti• Picha na kanda za
sherehe tofauti
• Michezo• Mashindano• Utafiti• Kazi ya makundi• Ufahamu wa
kusikiliza
• Maelezo• Majadiliano• Masimulizi• Uchunguzi
• Tajriba• Mifano• Maelezo• Kuandika • Kulinganisha
JUM
A 6
220
KIPINDI SHABAHANJIA ZA
KUFUNDISHIANYENZO ZA
KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO
HAKIUZWI
Yatumiwe na Kiswahili FasahaKiswahili, Kidato cha 2
Maazimio ya KaziMuhula wa Kwanza
4
5
1
2
Kusikiliza na kudadisi (Tunu na matini)
Kusikiliza na kuzungumza
Kusoma kwa ufahamu
Sarufi
Misemo
Huduma ya dharura
Ajali ilivyoripotiwa
Viwakilishi
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kueleza maana ya misemo.• kutumia misemo katika sentensi kukuza
lugha.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kueleza maana ya huduma ya dharura.• kushauri wakati wa kutolewa huduma
za dharura mbalimbali.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kusoma kifungu cha habari kwa ufasaha.• kujibu maswali kwa usahihi.• kueleza maana ya maneno.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kueleza maana ya viwakilishi.• kujadili na kubainisha viwakilishi kumi
na viwili. • kutunga sentensi sahihi kwa kutumia
viwakilishi vyote.
• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 45
• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 39-40
• Kamusi ya Kiswahili Sanifu
• Kadi za misemo• Magazeti ya Kiswahili• Picha za hali tofauti • Vielelezo
• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 45-46
• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 40-41
• Waalikwa• Kanda za maonyesho
ya huduma za dharura
• Picha au michoro• Mikusanyo ya
masimulizi
• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 46-49
• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 41-42
• Kamusi ya Kiswahili Sanifu
• Picha kutoka magazeti
• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 49-53
• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 42-44
• Jedwali la nomino na viwakilishi
• Maelezo• Mifano• Ufafanuzi• Mashindano• Kuandika
• Masimulizi • Tajriba• Maigizo • Ufahamu wa
kusikiliza• Utatuzi wa mambo
• Mahojiano• Usomaji• Masimulizi• Kuigiza • Ziara• Kazi mradi
• Maelezo• Kuandika • Mifano
JUM
A 6
JUM
A 7
221
KIPINDI SHABAHANJIA ZA
KUFUNDISHIANYENZO ZA
KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO
HAKIUZWI
Yatumiwe na Kiswahili FasahaKiswahili, Kidato cha 2
Maazimio ya KaziMuhula wa Kwanza
3
4
5
1
Sarufi (Ufasaha wa lugha)
Kusikiliza na kudadisi(Fasihi yetu)
Kuandika (Utunzi)
Kusikiliza na kudadisi(Tunu matini)
Usemi halisi na wa taarifa
Tamathali za Usemi
Insha ya maelezo:Ripoti ya ajali
Istiari
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kupambanua usemi wa taarifa na halisi.• kutaja mambo muhimu ya kuzingatiwa
katika usemi halisi na wa taarifa.• kugeuza sentensi kutoka hali moja hadi
nyingine.• kutunga sentensi katika usemi halisi na
wa taarifa.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kuonyesha wasanii, wanavyotumia lugha
katika fasihi.• kutoa mifano ya baadhi ya tamathali za
usemi.• kueleza umuhimu wa tamathali za
usemi katika fasihi.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kueleza mambo ya kuzingatia katika
kutoa maelezo.• kutoa ripoti ya ajali kwa usahihi.• kushauri jinsi ya kupunguza ajali
barabarani.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kufafanua neno istiari.• kutoa na kueleza maana za istiari
mbalimbali.• kutumia istiari tofauti katika sentensi
sahihi.
• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 53-54
• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 44-45
• Kanda za kunasia sauti
• Chati ya mifano ya sentensi
• Vielelezo• Mikusanyo ya ripoti
magazetini
• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 54-55
• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 45-46
• Mikusanyo ya kazi za fasihi
• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 55-56
• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 46
• Picha za ajali mbalimbali
• Mabango• Takwimu za ajali
• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 57
• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 47-48
• Vitabu vya fasihi andishi
• Walimu na wanafunzi• Kamusi
• Mifano • Utafiti• Ufaraguzi• Kazi mradi
• Maelezo• Mifano• Kutunga sentensi• Utafiti
• Kuandika• Kazi mradi• Uigizaji• Uchunguzi• Utatuzi wa mambo• Tajriba
• Tajriba• Utazamaji• Maelezo• Uvumbuzi• Maswali na majibu• Majadiliano
JUM
A 7
JUM
A 8
222
KIPINDI SHABAHANJIA ZA
KUFUNDISHIANYENZO ZA
KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO
HAKIUZWI
Yatumiwe na Kiswahili FasahaKiswahili, Kidato cha 2
Maazimio ya KaziMuhula wa Kwanza
2
3
4
5
1-2
Kusililiza na kudadisi (Kusikiliza na kuzungumza)
Kusoma kwa ufahamu
Sarufi
Sarufi (Ufasaha wa lugha)
Kusikiliza na kudadisi (Fasihi yetu)
Mafumbo
Mbinu za usomaji bora
Vielezi
Ukubwa na udogo wa nomino
Wahusika
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kueleza dhana ya mafumbo na
umuhimu wake.• kufumba na kufumbua mafumbo.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kusoma makala kwa ufasaha.• kueleza mbinu za usomaji bora. • kujibu maswali ya ufahamu kwa usahihi. Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kueleza maana na aina za vielezi vinne.• kutunga sentensi sahihi kwa kutumia
vielezi hivyo.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kufafanua hali za ukubwa, udogo na
wastani.• kueleza mabadiliko ya kisarufi katika
hali tofauti.• kutumia nomino za hali tofauti katika
sentensi.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kueleza maana ya wahusika.• kutaja na kueleza aina za wahusika.• kueleza sifa za wahusika kwa ujumla.
• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 57-58
• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 48-51
• Vielelezo vya mafumbo
• Wanafunzi• Vielelezo vya kujaza
mraba
• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 58-60
• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 51-52
• Kamusi
• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 60-62
• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 52-53
• Jedwali la vielezi• Wanafunzi
• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 62-64
• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 53-54
• Jedwali
• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 64-65
• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 54-55
• Vitabu vya fasihi• Makala kutoka vitabu
• Ufafanuzi • Maelezo• Mifano• Majadiliano• Maswali na majibu• Tajriba• Imla
• Usomaji• Ufafanuzi• Majadiliano• Mjadala• Maswali na majibu
• Maelezo • Mifano• Maswali na majibu• Tajriba
• Maelezo• Ufafanuzi• Mifano• Maswali na majibu• Majadiliano• Tajriba
• Tajriba• Majadiliano• Maswali na majibu• Ufafanuzi• Kazi mradi
JUM
A 8
JUM
A 9
223
KIPINDI SHABAHANJIA ZA
KUFUNDISHIANYENZO ZA
KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO
HAKIUZWI
Yatumiwe na Kiswahili FasahaKiswahili, Kidato cha 2
Maazimio ya KaziMuhula wa Kwanza
3
4
5
1
2
Kuandika (Utunzi)
Kusikiliza na kudadisi (Tunu na matini)
Kusikiliza na kuzungumza
Kusoma kwa ufahamu
Sarufi
Utungaji wa kiuamilifu:Barua ya Mwaliko
Methali
Kamusi za methali
Umekuwa pweza kujipalia makaa?
Viunganishi
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kueleza mtindo wa barua ya mwaliko.• kuandika barua ya mwaliko kwa usahihi.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kueleza maana na matumizi ya methali.• kutumia methali katika mazungumzo na
maandishi.• kueleza mafunzo yatokanayo na methali.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kufafanua maana ya kamusi ya methali.• kutoa mifano ya kamusi za methali.• kueleza sifa na manufaa ya kamusi za
methali.• kutafuta na kueleza maana na matumizi
ya methali.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kusoma taarifa na kujibu maswali kwa
ufasaha.• kueleza maana ya maneno, misemo na
methali.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kueleza maana ya neno viunganishi.• kutoa mifano ya viunganishi.• kufafanua umuhimu wa viunganishi.• kutumia viunganishi katika sentensi.
• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 65-66
• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 55
• Vielelezo vya barua za mialiko
• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 67-68
• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 55-57
• Michoro • Kamusi
• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 68-69
• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 57-58
• Michoro• Kamusi tofauti za
methali
• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 70-72
• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 58-59
• Kamusi • Mchoro• Pweza halisi
• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 72
• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 59-60
• Chati ya viunganishi• Jedwali• Vielelezo
• Ufafanuzi• Utendaji• Majadiliano• Kuandika
• Maelezo• Uigizaji • Mifano• Utoaji visa• Kazi mradi
• Michezo• Tajriba • Utafiti• Maswali na majibu• Maelezo
• Usomaji • Maswali na majibu• Mjadala• Ugunduzi wa
kuongozwa
• Mifano• Mashindano• Ufafanuzi
JUM
A 9
JUM
A 1
0
224
KIPINDI SHABAHANJIA ZA
KUFUNDISHIANYENZO ZA
KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO
HAKIUZWI
Yatumiwe na Kiswahili FasahaKiswahili, Kidato cha 2
Maazimio ya KaziMuhula wa Kwanza
3
4
5
Kuandika (Ufasaha wa lugha)
Kusikiliza na kudadisi (Fasihi yetu)
Kuandika (Utunzi)
Mtihani na kusahihisha
Uandishi wa kawaida: Muhtasari
Fasihi simulizi:Mighani
Insha ya methali
Marudio na mazoezi ya stadi zote
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kueleza umuhimu wa muhtasari.• kutaja hatua za kufupisha.• kufupisha sentensi na vifungu.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kufafanua neno mighani.• kuandika mifano ya mighani.• kupambanua sifa za Siti binti Saad.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kueleza muundo wa insha ya methali.• kuandika insha ya methali.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kupitia yote waliyojifunza.• kubuni na kujieleza.• kusahihisha makosa waliyoyafanya.
• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 73-74
• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 60-61
• Chati• Mikusanyo ya matini
• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 74-77
• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 61-62
• Picha au michoro• Mikusanyo ya wasifu
wa watu tofauti• Kamusi
• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 77-78
• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 62-63
• Mikusanyo ya methali• Picha na michoro• Vielelezo vya insha ya
methali
• Karatasi za mitihani• Kalamu
• Majaribio• Utatuzi wa mambo• Maswali na majibu
• Mifano• Masimulizi• Kuigiza• Mdahalo
• Maelezo • Ufafanuzi• Visa• Masimulizi• Kuandika
• Tajriba ya wanafunzi
JUM
A 1
0JU
MA
11-
13
225
KIPINDI SHABAHANJIA ZA
KUFUNDISHIANYENZO ZA
KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO
HAKIUZWI
Yatumiwe na Kiswahili FasahaJU
MA
1Kiswahili, Kidato cha Pili, Maazimio ya Kazi: Muhula wa Pili
1
2
3
Kusikiliza, kuzungumza na kusoma:Tunu na matini
Kusikiliza na kuzungumza
Kusoma kwa ufahamu
Matamshi bora: Vitate
Hotuba ya kisiasa
Utamaduni ni kitu gani?
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kutamka maneno kwa usahihi.• kuandika sentensi akionyesha maana za
maneno.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kutaja sifa za hotuba.• kueleza hoja kuu katika hotuba teule.• kutoa hotuba.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza maana na kunga za utamaduni
wa Kiafrika.• kuendeleza maneno. • kueleza maana ya maneno.
• Uchunguzi• Majaribio• Mchezo ya lugha• Imla
• Tajriba• Kuigiza • Mifano• Ufafanuzi• Kazi mradi
• Usomaji wa makala• Maswali na majibu• Upambanuzi • Mijadala • Ziara
• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 79
• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 63-64
• Maabara ya lugha• Kanda za sauti• Kadi za maneno• Michoro• Kamusi
• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 79-82
• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 64-65
• Kanda za sauti na video
• Picha za watu wakihutubu
• Maleba na mahambo• Vielelezo vya hotuba• Wanafunzi
• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 82-84
• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 65-66
• Waalikwa • Picha• Makavazi• Kamusi• Ngonjera za ukuta
226
KIPINDI SHABAHANJIA ZA
KUFUNDISHIANYENZO ZA
KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO
HAKIUZWI
Yatumiwe na Kiswahili FasahaKiswahili, Kidato cha 2
Maazimio ya KaziMuhula wa Pili
4
5
1-2
3
Sarufi
Sarufi (Ufasaha wa lugha)
Kusoma kwa kina (Fasihi yetu)
Kuandika (Utunzi)
Vihisishi
Hali na ukanushaji
Ushairi:Tenzi za Shaaban Robert kwa wanawe
Utungaji wa kiuamilifu:Hotuba ya kisiasa
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza maana ya vihisishi.• kubainisha aina mbalimbali za vihisishi.• kutumia vihisishi katika sentensi.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kufafanua matumizi ya hali mbalimbali
za vitenzi.• kutunga sentensi katika hali na nyakati
tofauti.• kukanusha sentensi katika hali na
nyakati mbalimbali.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza maana ya utenzi. • kudondoa ujumbe muhimu.• kuandika maneno kwa lugha nathari. • kueleza maana ya maneno na vifungu.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza sifa za hotuba ya siasa.• kuandika hotuba ya siasa.
• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 84
• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 66-67
• Picha za hali na mandhari tofauti
• Maleba• Kadi za vihisishi
• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 84-87
• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 67-69
• Majedwali ya vitenzi• Vielelezo vya
maumbo ya vitenzi• Kadi za viambishi na
vitenzi
• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 88 -90
• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 69-71
• Pambo la lugha• Chati ya mawaidha
makuu ya gazeti• Kamusi
• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 90
• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 71
• Mikusanyo ya hotuba• Picha gazetini• Wanafunzi • Vyombo vya habari
vikiripoti mikutano ya siasa
• Ufaraguzi wa hisia• Kuigiza • Mifano ya sentensi • Maelezo
• Mifano• Utafiti• Mazoezi• Uvumbuzi
• Maelezo • Kuigiza• Mifano ya tenzi
nyingine
• Utafiti • Mahojiano• Uigizaji• Mifano
JUM
A 1
JUM
A 2
227
KIPINDI SHABAHANJIA ZA
KUFUNDISHIANYENZO ZA
KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO
HAKIUZWI
Yatumiwe na Kiswahili FasahaKiswahili, Kidato cha 2
Maazimio ya KaziMuhula wa Pili
4
5
1
2
Kusikiliza na kuzungumza (Tunu na matini)
Kusikiliza na kuzungumza
Kusoma kwa ufahamu
Sarufi
Vitawe
Kusoma vitabu vya maktaba
Dunia
Vihusishi
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza maana za maneno yenye maana
zaidi ya moja.• kutumia vitawe katika sentensi.• kubainisha maana mbalimbali za
maneno.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kufafanua umuhimu wa maktaba.• kusoma na kudondoa hoja.• kufurahia kusoma.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kusoma na kukariri shairi kwa mahadhi.• kujibu maswali ya shairi kwa usahihi.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza maana na aina za vihusishi.• kutaja mifano ya vihusishi mbalimbali.• kutunga sentensi akionyesha matumizi
ya vihusishi tofauti.
• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 91
• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 72-73
• Kamusi• Jedwali• Kadi za maneno• Picha au michoro
• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 91
• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 73-74
• Vitabu vya maktaba• Wanafunzi• Sheria za maktaba• Wakutubi• Maktaba
• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 92-93
• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 74-75
• Pambo la lugha• Kamusi• Ramani ya dunia• Picha na michoro
• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 93-94
• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 75-76
• Vitu halisi
• Maelezo • Kutunga sentensi• Imla• Ufafanuzi• Mashindano• Michezo ya lugha
• Maelezo• Mifano• Uhakiki
• Kusoma• Maelezo• Mifano• Maswali na majibu• Uchambuzi• Majadialiano
• Maelezo• Mifano• Tajriba• Maswali na majibu• Kazi mradi
JUM
A 2
JUM
A 3
228
KIPINDI SHABAHANJIA ZA
KUFUNDISHIANYENZO ZA
KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO
HAKIUZWI
Yatumiwe na Kiswahili FasahaKiswahili, Kidato cha 2
Maazimio ya KaziMuhula wa Pili
3
4
5
1
Kuandika (Ufasaha wa lugha)
Kusikiliza na kudadisi (Fasihi yetu)
Kuandika (Utunzi)
Kusikiliza na kudadisi (Tunu na matini)
Utungaji wa kiuamilifu:Matangazo ya vifo
Kisasili –Chura aliutaka uzuri
Utungaji wa kiuamilifu:Barua ya risala ya pongezi
Chemsha bongo
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza manufaa na sifa za matangazo
ya vifo. • kuweza kuandika tangazo la kifo kwa
urefu na kwa ufupi.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kusoma na kufurahia kisasili.• kufafanua sifa za visasili.• kutaja mifano mingine ya visasili.• kueleza sifa za wahusika katika kisa
teule.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza risala ni nini.• kuandika barua ya risala ya pongezi.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kufikiria na kupata jibu.• kutega vitendawili. • kutoa majibu ya vitendawili.
• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 94-95
• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk.76-77
• Vielelezo • Kanda za kunasia
sauti• Magazeti
• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 95-97
• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 77-79
• Fanani• Picha na michoro• Kanda za sauti • Kamusi• Vielelezo
• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 97-98
• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 79
• Vielelezo vya barua• Kanda za sauti zenye
risala
• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 99
• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 79-80
• Madhari • Vitendawili kwa
mashairi• Mifano ya mwalimu
na wanafunzi
• Maelezo • Tajriba• Mifano• Maswali na majibu• Ufaraguzi• Majadiliano
• Masimulizi • Kusoma• Uchambuzi• Maswali na majibu• Utafiti
• Maelezo • Mifano • Ufafanuzi • Mjadala
• Maelezo • Mashindano• Ufafanuzi • Uchunguzi• Uigizaji• Kazi mradi
JUM
A 3
JUM
A 4
229
KIPINDI SHABAHANJIA ZA
KUFUNDISHIANYENZO ZA
KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO
HAKIUZWI
Yatumiwe na Kiswahili FasahaKiswahili, Kidato cha 2
Maazimio ya KaziMuhula wa Pili
2
3
4
5
Kusikiliza na kuzungumza
Kusoma kwa ufahamu
Sarufi
Ufasaha wa lugha
Jua na sayari
Uvumbuzi wa anga za juu
Mofimu
Uakifishaji
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kuchora mfumo wa jua na sayari
mbalimbali.• kueleza sifa za sayari mbalimbali.• kujibu maswali kwa usahihi.• kusoma kwa mapana.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kusoma kifungu kwa ufahamu.• kueleza hatua zilizopigwa katika
uvumbuzi wa anga.• kujibu maswali kwa ufasaha.• kusoma kwa mapana majarida na
magazeti.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza maana ya mofimu.• kubainisha mofimu za Kiswahili.• kufafanua dhima ya mofimu.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza umuhimu wa alama za
kuwakifisha.• kufafanua matumizi ya alama za
kuwakifisha.
• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 99-100
• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 80-81
• Michoro • Makala ya habari za
sayari • Majarida
• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 100-102
• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 81-82
• Kamusi • Picha• Majarida• Gazeti
• Kiswahili Fasaha, KcM uk. 102-103
• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 83
• Vielelezo • Kadi za mofimu • Jedwali • Chati
• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 104-105
• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 83-84
• Mabandiko kwenye tarasha
• Ubao wenye alama za uakifishaji
• Uvumbuzi • Maelezo • Ufafanuzi • Mifano• Utafiti
• Usomaji • Mifano• Maswali na majibu• Mjadala
• Mifano• Michezo ya lugha• Maelezo
• Maelezo • Mifano• Utatuzi wa mambo
JUM
A 4
230
KIPINDI SHABAHANJIA ZA
KUFUNDISHIANYENZO ZA
KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO
HAKIUZWI
Yatumiwe na Kiswahili FasahaKiswahili, Kidato cha 2
Maazimio ya KaziMuhula wa Pili
1-2
3-4
5
1-2
Kusoma kwa kina (Fasihi yetu)
Kuandika (Utunzi)
Kusikiliza na kudadisi (Tunu na matini)
Kusikiliza na kuzungumza
Shairi:Titi la mama litamu
Utungaji wa kisanii:Hadithi fupi
Vitendawili
Mjadala: Utangamano shuleni
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kusoma shairi kwa ufasaha.• kufafanua maana ya “Titi la mama
litamu”.• kueleza sifa za lugha. • kujibu maswali kwa usahihi.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kusoma hadithi fupi. • kuandika hadithi fupi.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kufafanua maana ya kitendawili.• kutega na kutegua.• kuandika vitendawili na majibu yao.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kubuni hoja za kuaminika kwa mantiki.• kueleza na kujadili mambo kwa lugha
sahihi.• kuzingatia kanuni za mjadala.
• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 106-108
• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 84-85
• Wanafunzi • Pambo la lugha • Kanda za sauti • Kamusi
• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 108
• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 85-86
• Vielelezo vya hadithi fupi
• Hadithi za Bibi Mahira
• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 109
• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 86-87
• Mikusanyiko ya wanafunzi
• Kanda za sauti
• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 109-112
• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 87
• Picha za mazingira• Makala ya magazeti• Kamusi
• Kukariri • Maelezo • Mifano• Mjadala
• Ufafanuzi • Maelezo • Mifano• Utafiti
• Mashindano• Mjadala • Michoro• Maswali na majibu• Kutega na kutegua• Michezo
• Majaribio• Mjadala• Utafiti• Maelezo• Kazi ya vikundi
JUM
A 5
JUM
A 6
231
KIPINDI SHABAHANJIA ZA
KUFUNDISHIANYENZO ZA
KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO
HAKIUZWI
Yatumiwe na Kiswahili FasahaKiswahili, Kidato cha 2
Maazimio ya KaziMuhula wa Pili
3
4
5
1-2
Kusoma kwa ufahamu
Sarufi
Kusikiliza na kuzungumza (Ufasaha wa lugha)
Kusikiliza na kudadisi (Fasihi yetu)
Michezo
Viambishi
Lugha ya michezoni
Fasihi simulizi:Vitendawili
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kusoma na kujibu maswali ya ufahamu.• kutumia msamiati wa michezo katika
mazungumzo.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza maana ya viambishi.• kutaja aina za viambishi na mifano.• kubainisha viambishi mbalimbali katika
sentensi.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kupambarua sura za lugha ya
michezoni.• kueleza maana ya msamiati na istilahi za
michezoni.• kusimulia habari za michezo.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kutega na kutegua vitendawili.• kueleza umuhimu wa vitendawili.• kufafanua sifa za vitendawili.• kukusanya na kuweka kumbukumbu ya
vitendawili.
• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 112-113
• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 87-89
• Kamusi • Picha au michoro ya
michezo
• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 114-115
• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 89
• Jedwali • Vitu halisi• Mandhari tofauti
• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 115-117
• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 89-90
• Redio• Picha au michoro• Kanda za sauti au
video• Magazeti
• Kiswahili Fasaha KcM 2, uk. 117-119
• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 90-91
• Kamusi • Kadi za vitendawili na
majibu• Mazingira halisi• Picha au michoro
• Ufafanuzi • Tajriba• Mifano• Usomaji• Maswali na majibu• Kazi mradi
• Maelezo • Mifano• Ufafanuzi
• Masimulizi • Maelezo• Maigizo• Mifano
• Mashindano• Utafiti• Tajriba• Michezo• Ukusanyaji na
uhifadhi• Maelezo
JUM
A 6
JUM
A 7
232
KIPINDI SHABAHANJIA ZA
KUFUNDISHIANYENZO ZA
KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO
HAKIUZWI
Yatumiwe na Kiswahili FasahaKiswahili, Kidato cha 2
Maazimio ya KaziMuhula wa Pili
JUM
A 7
3-4
5
1-2
3
Kuandika (Utunzi)
Kusikiliza, kuzungumza na kusoma (Tunu na matini)
Kusikiliza na kuzungumza
Kusoma kwa ufahamu
Insha ya Mjadala
Vitanza ndimi
Vitabu vya maktaba
Ukimwi
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kutaja mambo ya kuzingatia na
kuandika katika insha ya mjadala.• kuandika mjadala kufuata kanuni za
uandishi.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza dhana ya vitanza ndimi na
umuhimu wake.• kutamka na kufafanua vitanza ndimi.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kufafanua umuhimu wa maktaba.• kueleza kazi ya mkutubi.• kueleza hatua za kusoma vitabu vya
maktaba.• kusoma na kudondoa ujumbe.• kufurahia kusoma maandishi
mbalimbali.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kusoma kwa sauti na kimya.• kujibu maswali ya kifungu kwa usahihi.
• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 120
• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 91
• Redio• Kanda za sauti • Makala yafaayo
• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 121 Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 91-93
• Vifaa halisi • Kamusi • Picha na michoro
• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 122-123
• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 93-94
• Maktaba • Fanani au mkutubi• Wanafunzi
• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 123-124
• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 94-95
• Kamusi • Wanafunzi
• Mjadala• Kuigiza• Kuandika• Kazi ya vikundi
• Maelezo • Ufafanuzi• Mifano• Mashindano ya
michezo ya lugha
• Maelezo • Mifano• Ufafanuzi• Ziara maktabani
• Ufafanuzi • Maswali na majibu • Usomaji na kukariri
JUM
A 8
233
KIPINDI SHABAHANJIA ZA
KUFUNDISHIANYENZO ZA
KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO
HAKIUZWI
Yatumiwe na Kiswahili FasahaKiswahili, Kidato cha 2
Maazimio ya KaziMuhula wa Pili
4
5
1-2
Sarufi
Kusoma kwa kina (Ufasaha wa lugha)
Kusoma kwa kina (Fasihi yetu)
Umoja na wingi wa vivumishi vya pekee
Sifa za lugha ya kishairi
Nyimbo
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kutumia vivumishi vya pekee katika
sentensi kwa usahihi ili kupata upatanisho wa kisarufi.
• kubadilisha sentensi kutoka umoja hadi wingi au kinyume chake.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kutaja na kueleza sifa za lugha ya
kishairi.• kutumia sifa za lugha kulihakiki shairi.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza sifa za nyimbo. • kuhakiki nyimbo.
• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 124
• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 95-96
• Jedwali la vivumishi vya pekee
• Jedwali la nomino katika ngeli
• Vielelezo vya sentensi katika hali tofauti
• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 124-126
• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 96-97
• Vielelezo vya mashairi
• Chati za kubainisha mpangilio wa vina na mizani
• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 126-128
• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 97-102
• Kanda za muziki• Fanani • Wanafunzi • Redio• Vielelezo vya nyimbo• Chati
• Maelezo• Ufafanuzi• Mifano• Majadiliano• Maswali na majibu• Kazi mradi
• Ufafanuzi • Maelezo ya istilahi• Kukariri shairi• Uchambuzi
• Ufahamu wa kusikiliza
• Mifano• Ugunduzi • Uimbaji• Ufafanuzi• Uchambuzi• Kazi mradi
JUM
A 8
JUM
A 9
234
KIPINDI SHABAHANJIA ZA
KUFUNDISHIANYENZO ZA
KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO
HAKIUZWI
Yatumiwe na Kiswahili FasahaKiswahili, Kidato cha 2
Maazimio ya KaziMuhula wa Pili
3-4
5
1-2
3
4
Kuandika (Utunzi)
Kusikiliza na kuzungumza (Tunu na matini)
Kusikiliza na kuzungumza
Kusoma kwa ufahamu
Sarufi
Utungaji wa kisanii:Mashairi mepesi
Je, huu ni utu?
Majadiliano:Mwalimu na mwanafunzi
Ujana
Umoja na wingi wa viambishi vya sifa
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza hatua za kutunga shairi.• kuandika beti za mashairi kwa lugha
nathari.• kuandika mashairi mepesi.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza maana ya utu.• kusimulia athari za kukosa utu.• kujadili umuhimu wa kuwa na utu.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kuendesha majadiliano ipasavyo.• kujadili matatizo yanayowakumba
wanafunzi.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kusoma taarifa kwa ufasaha.• kujibu maswali kwa usahihi.• kueleza maana za maneno na vifungu.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kutumia viambishi vya sifa kwa usahihi
katika sentensi.• kubadilisha sentensi kuwa katika hali
tofauti kwa mintarafu ya viambishi vya vivumishi vya sifa.
• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 128
• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 102-104
• Shairi la ukimwi• Vielelezo vya mashairi• Mitungo ya wanafunzi
• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 129
• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 104-105
• Picha au michoro• Makala ya magazeti
• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 129-131
• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 105-106
• Kielelezo cha majadiliano
• Picha za kuzua majadiliano
• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 131-132
• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 106-108
• Picha au michoro• Kamusi
• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 132-134
• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 108-109
• Jedwali la vivumishi vya sifa
• Maelezo • Ugunduzi• Mifano• Maswali na majibu• Kuandika
• Majadiliano• Maswali na majibu• Mjadala• Visa vya kusimulia
• Majadiliano• Maelezo • Maigizo• Mifano• Kazi ya makundi
• Ufahamu• Maelezo na ufafanuzi • Maigizo • Kusoma
• Maelezo• Ufafanuzi • Mifano• Maswali na majibu• Kazi mradi
JUM
A 9
JUM
A 1
0
235
KIPINDI SHABAHANJIA ZA
KUFUNDISHIANYENZO ZA
KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO
HAKIUZWI
Yatumiwe na Kiswahili FasahaKiswahili, Kidato cha 2
Maazimio ya KaziMuhula wa Pili
5
1
2-3
4
Kusikiliza na kuzungumza (Ufasaha wa lugha)
Kusoma kwa kina (Fasihi yetu)
Kuandika (Utunzi)
Kusikiliza na kuzungumza (Tunu na matini)
Lugha katika matatu
Mchezo wa kuigiza 1
Utungaji wa kisanii:Mchezo mfupi wa kuigiza
Vitambulisho
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza tofauti ya matumizi ya
lugha katika biashara ya matatu na kwingineko.
• kueleza na kufafanua sifa za lugha katika biashara hii.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kufafanua kiini cha mchezo.• kuwataja na kuwaeleza wahusika.• kueleza ujumbe wa mchezo.• kufafanua maana ya maneno na vifungu.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kuandika mchezo mfupi.• kuigiza mchezo.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza umuhimu wa vitambulisho. • kutaja aina mbalimbali za vitambulisho.• kuorodhesha mambo muhimu.
• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 134-135
• Kiswahili Fasaha,• MwM 2, uk. 109-112• Mandhari• Vibonzo• Kamusi• Vielelezo• Wanafunzi
• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 135-138
• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 112-114
• Mandhari• Maleba• Vitu halisi• Picha na michoro
• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 138
• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 114-115
• Maleba• Mandhari• Vielelezo
• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 139
• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 115-116
• Vielelezo vya vitambulisho
• Picha za vitambulisho
• Uhakiki• Majadiliano• Maswali na majibu• Ufahamu wa
kusikiliza• Kuigiza• Ufafanuzi• Mifano
• Drama• Uhakiki• Majadiliano• Maswali na majibu
• Ufaraguzi• Maigizo• Maelezo• Ugunduzi• Kuandika• Mifano
• Maelezo• Mifano • Ufahamu wa
kusikiliza
JUM
A 1
0JU
MA
11
236
KIPINDI SHABAHANJIA ZA
KUFUNDISHIANYENZO ZA
KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO
HAKIUZWI
Yatumiwe na Kiswahili FasahaKiswahili, Kidato cha 2
Maazimio ya KaziMuhula wa Pili
5
1
2
3
4
Kusikiliza na kuzungumza
Kusoma kwa ufahamu
Sarufi
Kuandika (Ufasaha wa lugha)
Kusoma kwa kina (Fasihi yetu)
Mazungumzo katika kituo cha polisi
Kazi ni kazi
Umoja na wingi wa viambishi awali vya vitenzi
Uandishi wa kawaida:Muhtasari
Mchezo wa kuigiza 2
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kuendesha mazungumzo baina ya raia
na polisi.• kutumia simu kwa maongezi.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kusoma kwa sauti na kimya.• kujibu maswali ya ufahamu kwa usahihi.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza na kufafanua viambishi awali.• kutunga sentensi kwa usahihi kisarufi.• kubadilisha umoja au wingi.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kuwasilisha mambo kwa jedwali,
kipimapembe au orodha.• kutoa maelezo kwa njia ya mjazo.• kufasiri mambo yaliyofupishwa.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kufafanua kiini cha mchezo.• kueleza ujumbe wa mchezo. • kutaja sifa za wahusika.• kueleza maana ya vifungu na maneno.
• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 139-140
• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 116-117
• Simu• Kanda za sauti• Wanafunzi
• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 140-143
• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 117-118
• Kamusi
• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 143-145
• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 118-119
• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 145-147
• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 119
• Mkusanyo ya data• Vielelezo• Jedwali
• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 147-149
• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 120-121
• Mandhari• Maleba• Vitu halisi
• Uigizaji • Mazungumzo • Ziara ya kituo cha
polisi• Maswali na majibu
• Majadiliano• Tajriba • Utafiti• Maswali na majibu• Usomaji
• Ufafanuzi • Maswali na majibu• Majadiliano ya
makundi
• Maelezo • Mifano• Uchunguzi• Kazi mradi
• Drama • Ugunduzi kifani• Maswali na majibu• Ufaraguzi
JUM
A 1
1JU
MA
12
237
KIPINDI SHABAHANJIA ZA
KUFUNDISHIANYENZO ZA
KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO
HAKIUZWI
Yatumiwe na Kiswahili FasahaKiswahili, Kidato cha 2
Maazimio ya KaziMuhula wa Pili
5 Kuandika (Utunzi)
Mtihani na kusahihisha
Utungaji wa kiuamilifu:Shajara
Marudio na mazoezi ya stadi zote
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kueleza maana na umuhimu wa shajara.• kufafanua jinsi ya kuitumia. • kueleza namna ya kuweka shajara.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze:• kupitia yote waliyojifunza.• kubuni na kujieleza.• kusahihisha makosa waliyoyafanya.
• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 149-150
• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 121
• Vielelezo vya shajara• Wanafunzi
• Karatasi za mtihani• Kalamu
• Utatuzi wa mambo• Mifano • Tajriba• Maelezo• Ufaraguzi
• Tajriba ya wanafunzi
JUM
A 1
2JU
MA
13
238
KIPINDI SHABAHANJIA ZA
KUFUNDISHIANYENZO ZA
KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO
HAKIUZWI
Yatumiwe na Kiswahili Fasaha
1
2
3
4
Kusikiliza na kuzungumza (Tunu na matini)
Kusikiliza, kuzungumza, na kuandika
Kusoma kwa ufahamu
Sarufi
Nahau
Utungaji wa kiuamilifu:Tahadhari
Maafa ya mafuriko
Kauli za vitenzi
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kufafanua maana ya neno au dhana ya
nahau.• kutoa mifano ya nahau.• kutunga sentensi kwa kutumia nahau.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kueleza maana umuhimu wa tahadhari.• kueleza namna shairi laweza kutumiwa
kutoa tahadhari.• kuorodhesha mifano ya tahadhari.• kufafanua maneno ya tahadhari.• kutunga ilani na onyo.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kusoma taarifa ipasavyo.• kujibu maswali ya ufahamu kwa usahihi.• kueleza maana ya maneno.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kutaja na kubainisha kauli mbalimbali.• kutoa mifano ya kauli mbalimbali.• kutunga sentensi kwa kutumia kauli
mbalimbali.
• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 151
• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 121-123
• Vitu halisi• Mandhari• Vitu vya kufaragua
• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 151-153
• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 122-123
• Shairi• Kamusi• Picha
• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 153-155
• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 123-124
• Picha • Michoro• Televisheni• Waalikwa
• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 156-158
• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 124-126
• Kadi za viambishi vya kauli
• Jedwali la vitenzi katika kauli tofauti
• Uigizaji bubu• Mifano• Maelezo • Ufaraguzi
• Uvumbuzi • Majadiliano • Maagizo• Maelezo• Mazungumzo• Kuandika
• Usomaji• Tajriba• Utafiti• Dayolojia ya Kisokrati• Uchunguzi
• Uchunguzi • Majaribio• Mifano• Utafiti• Kazi mradi
JUM
A 1
Kiswahili, Kidato cha Pili, Maazimio ya Kazi: Muhula wa Tatu
239
KIPINDI SHABAHANJIA ZA
KUFUNDISHIANYENZO ZA
KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO
HAKIUZWI
Yatumiwe na Kiswahili FasahaKiswahili, Kidato cha 2
Maazimio ya KaziMuhula wa Tatu
5
1
2
3
Kuandika (Ufasaha wa lugha)
Kusoma kwa kina (Fasihi yetu)
Kuandika (Utunzi)
Kusikiliza na kuzungumza (Tunu na matini)
Utungaji wa kiuamilifu:Taarifa ya habari
Riwaya:Nyota ya Rehema 1
Insha ya maelezo
Kutuma salamu redioni na magazetini
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kueleza sifa na umuhimu wa taarifa ya
habari.• kuandika taarifa ya habari.• kuigiza utoaji wa taarifa ya habari.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kusoma dondoo.• kutaja wahusika na ujumbe.• kuainisha utanzu wa fasihi andishi.• kujibu maswali kwa usahihi.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kueleza maana ya insha ya maelezo.• kupambanua muundo wa insha ya
maelezo.• kuandika insha ya maelezo kikamilifu.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kueleza mahitaji ya kutuma salamu
redioni na magazetini.• kufafanua umuhimu wa kutuma salamu.• kutunga salamu za kutumwa redioni na
magazetini.
• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 159
• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 127-128
• Redio • Televisheni• Kanda za sauti• Vielelezo• Mdahilishi
• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 160-162
• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 128-129
• Nyota ya Rehema
• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 162
• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 129-130
• Vielelezo • Vitu halisi• Mandhari halisi• Mikusanyo ya insha
za maelezo
• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 163-164
• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 130-131
• Ratiba za vipindi vya redio
• Magazeti• Vielelezo
• Maelezo • Utafiti• Maigizo• Kuandika
• Majibu na maswali• Uchunguzi • Maelezo • Tajriba• Usomaji• Uchambuzi• Mjadala
• Mifano• Kuandika • Maelezo • Tajriba
• Maelezo • Maigizo • Ufaraguzi • Kazi ya makundi
JUM
A 1
JUM
A 2
240
KIPINDI SHABAHANJIA ZA
KUFUNDISHIANYENZO ZA
KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO
HAKIUZWI
Yatumiwe na Kiswahili FasahaKiswahili, Kidato cha 2
Maazimio ya KaziMuhula wa Tatu
4
5
1
2
Kusikiliza na kuzungumza
Kusoma kwa ufahamu
Sarufi
Kusikiliza na kuzungumza (Ufasaha wa lugha)
Mazungumzo posta
Simu ya ghafla
Kauli za vitenzi
Lugha ya biashara
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kufafanua shughuli zinazotokea katika
kituo cha posta.• kueleza matumizi ya lugha katika kituo
cha posta.• kueleza maendeleo mapya katika
teknolojia ya mawasiliano.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kusoma kwa ufasaha. • kujibu maswali ya ufahamu kwa usahihi.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kunyambua vitenzi katika kauli
zinazozingatiwa.• kutunga sentensi kwa kutumia vitenzi
katika kauli tofauti.• kueleza maana inayojitokeza katika
vitenzi ambavyo vinanyambuliwa.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kueleza sifa za lugha ya biashara.• kufafanua sababu za matumizi ya lugha
ya biashara.• kutambua msamiati wa biashara.
• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 165-166
• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 131-133
• Mandhari • Vitu halisi • Wanafunzi wenyewe• Kamusi
• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 166-168
• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 133-135
• Mandhari• Vitu halisi • Kamusi• Wanafunzi
• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 168-170
• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 135-137
• Vielelezo vya kauli za mnyambuliko
• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 171-173
• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 137-138
• Makala ya magazeti• Vielelezo vya
msamiati wa kibiashara
• Maigizo• Maelezo na ufafanuzi• Mifano • Ugunduzi
• Usomaji• Maelezo na ufafanuzi • Mazungumzo ya simu• Uigizaji • Majadiliano• Ufaraguzi
• Maelezo na ufafanuzi• Michezo ya lugha• Kuiga• Maswali na majibu• Tajriba
• Maelezo • Ufaraguzi• Ugunduzi • Majadiliano• Maswali na majibu• Maigizo
JUM
A 2
JUM
A 3
241
KIPINDI SHABAHANJIA ZA
KUFUNDISHIANYENZO ZA
KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO
HAKIUZWI
Yatumiwe na Kiswahili FasahaKiswahili, Kidato cha 2
Maazimio ya KaziMuhula wa Tatu
3
4
5
1
Kusoma kwa kina (Fasihi yetu)
Kuandika (Utunzi)
Kusikiliza na kudadisi (Tunu na matini)
Kusikiliza na kuzungumza
Riwaya:Nyota ya Rehema 2
Utungaji wa kiuamilifu: Barua simu
Tanakali za sauti
Mahojiano: Sayansi imeleta maendeleo duniani
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kusoma na kudondoa ujumbe wa
mwandishi.• kueleza tabia za wahusika.• kufafanua maana za maneno na vifungu.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kueleza maana ya barua simu.• kufafanua umuhimu wa barua simu.• kuandika barua simu.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kueleza maana ya tanakali za sauti.• kueleza umuhimu wa tanakali za sauti.• kutunga tanakali za sauti katika
sentensi.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kueleza sifa za mahojiano.• kuendeleza mahojiano.
• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 173-175
• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 138-140
• Nyota ya Rehema
• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 175-176
• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 140
• Picha na michoro• Vielelezo vya barua
simu
• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk 177
• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 140-141
• Wanafunzi• Vielelezo vya tanakali
za sauti• Vitu halisi
• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 178-180
• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 141-143
• Picha na michoro• Magazeti yenye
makala ya kisayansi• Wanafunzi
• Maelezo na ufafanuzi• Ugunduzi • Majadiliano• Masimulizi• Uchambuzi
• Maelezo na ufafanuzi• Mifano• Majadidiano• Utendaji• Maswali na majibu
• Uigizaji • Ufafanuzi • Majadiliano
• Mahojiano• Majadiliano• Makundi • Drama• Mifano• Kazi mradi
JUM
A 3
JUM
A 4
242
KIPINDI SHABAHANJIA ZA
KUFUNDISHIANYENZO ZA
KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO
HAKIUZWI
Yatumiwe na Kiswahili FasahaKiswahili, Kidato cha 2
Maazimio ya KaziMuhula wa Tatu
2
3
4
5
Kusoma kwa ufahamu
Sarufi
Sarufi (Ufasaha wa lugha)
Kusoma kwa kina (Fasihi yetu)
Teknolojia mpya
Vinyume
Uundaji wa maneno
Nyota ya Rehema 3
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kueleza maana, madhara na manufaa ya
teknolojia.• kujibu maswali ya ufahamu kwa usahihi.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kueleza maana ya kinyume.• kufafanua muundo wa vinyume.• kutumia vinyume katika sentensi kwa
usahihi.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kutohoa na kuunda maneno.• kufafanua sababu za kutohoa na
kutunga maneno.• kuunda maneno kutokana na maneno
mengine.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kueleza sifa za wahusika Fuad, Adila, na
Aziza.• kueleza mbinu tano za usanii
zilizotumika katika kifungu.• kujadili manufaa ya miti kwa binadamu.
• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 180-182
• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 143-144
• Vielelezo • Kamusi • Vitu halisi
• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 182-183
• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 144
• Vielelezo vya vinyume
• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 183-185
• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 144-146
• Vielelezo vya jedwali la maneno yaliyotoholewa
• Vitu halisi• Kamusi• Mkusanyo wa
maneno mapya yaliyobuniwa
• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 185-187
• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 146-148
• Nyota ya Rehema• Kanda za video au
kunasia sauti za riwaya
• Usomaji• Maelezo• Uchunguzi• Mifano
• Ufafanuzi • Majadiliano• Maswali na majibu• Tajriba
• Maelezo • Ufafanuzi • Mifano • Majadiliano • Utafiti
• Kusoma taarifa• Kuhakiki taarifa • Maswali na majibu• Majadialiano
JUM
A 4
243
KIPINDI SHABAHANJIA ZA
KUFUNDISHIANYENZO ZA
KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO
HAKIUZWI
Yatumiwe na Kiswahili FasahaKiswahili, Kidato cha 2
Maazimio ya KaziMuhula wa Tatu
1-2
3
4
5
Kuandika (Utunzi)
Kusikiliza na kuzungumza(Tunu na matini)
Kusikiliza na kuzungumza
Kusoma kwa ufahamu
Barua rasmi
Visawe
Drama: Jukwaa la kisiasa
Wimbi la mageuzi
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kueleza maana ya barua rasmi.• kueleza muundo wa barua rasmi.• kuandika barua rasmi kwa usahihi.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kuta mifano ya visawe.• kueleza maana ya visawe.• kutumia visawe kutungia sentensi.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kujibu maswali kwa usahihi.• kueleza maana ya maneno.• kuigiza hotuba ya kisiasa.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kujibu maswali ya ufahamu kwa usahihi.• kufumbua maana iliyofichika.
• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 187-188
• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 148-149
• Vielelezo
• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 189
• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 149
• Kadi za visawe• Mkusanyo wa visawe• Kanda za sauti • Kamusi
• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 189
• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 150-153
• Bullfight• Kanda za sauti• Ripoti za hotuba• Maleba• Kamusi
• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 190-193
• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 153-154
• Kamusi • Ripoti za kisiasa• Redio• Mchezo kitabuni
• Ufafanuzi• Majadiliano• Maswali na majibu• Utendaji• Kuandika
• Kazi ya makundi• Majadiliano • Ufafanuzi • Tajriba• Imla
• Kuigiza • Maelezo• Ufahamu wa
kusikiliza • Tajriba• Maswali na majibu
• Usomaji• Vikundi• Uvumbuzi• Uigizaji• Maswali na majibu
JUM
A 5
244
KIPINDI SHABAHANJIA ZA
KUFUNDISHIANYENZO ZA
KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO
HAKIUZWI
Yatumiwe na Kiswahili FasahaKiswahili, Kidato cha 2
Maazimio ya KaziMuhula wa Tatu
1-3
4-5
1
2
Sarufi
Kuandika (Ufasaha wa lugha)
Kusikiliza na kudadisi (Fasihi yetu)
Kuandika (Utunzi)
Sentensi ambatano
Uandishi wa kawaida:Muhtasari
Maigizo
Utungaji wa kisanii:Maigizo: Mchezo wa kuigiza
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kueleza maana ya sentensi za aina
tofauti kama virai, vishazi, kundi nomino na kundi tenzi.
• kuainisha vipengele vya sentensi.• kutunga sentensi sahili kubainisha aina
za sentensi.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kufafanua maana ya muhtasari.• kueleza matumizi ya muhtasari.• kufupisha sentensi.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kueleza na kufafanua vipengele muhimu
vya maigizo.• kueleza madhumuni ya maigizo.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kuandika mchezo wa kuigiza.• kuigiza mchezo.
• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 194-197
• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 154-155
• Kadi za maneno• Majedwali• Vielelezo vya sentensi
• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 197-200
• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 155-156
• Vielelezo • Kadi za maswali na
hoja
• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 200-201
• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 156-157
• Mandhari • Maleba• Mikusanyo ya
michezo
• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 201-202
• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 157
• Mandhari ya shule• Kanda za sauti na
video• Tarakilishi au
mdahilishi
• Uchunguzi • Uvumbuzi • Maswali na majibu• Kazi mradi• Mifano
• Mifano• Maswali na majibu• Utatuzi wa mambo
• Maigizo• Uchunguzi • Kazi ya makundi• Mifano • Ufaraguzi
• Maigizo• Mjadala• Ugunduzi • Vikundi • Maelezo
JUM
A 6
JUM
A 7
245
KIPINDI SHABAHANJIA ZA
KUFUNDISHIANYENZO ZA
KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO
HAKIUZWI
Yatumiwe na Kiswahili FasahaKiswahili, Kidato cha 2
Maazimio ya KaziMuhula wa Tatu
3
4
5
1
2
Kusikiliza na kuzungumza (Tunu na matini)
Kusikiliza na kuzungumza
Kusoma kwa ufahamu
Sarufi
Kusikiliza na kuzungumza(Ufasaha wa lugha)
Utu na unyama
Kusoma makala katika magazeti na majarida
Haki za Watoto
Upambanuzi wa sentensi ambatano
Tahariri magazetini
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kueleza shani katika visa au dondoo
walizopewa.• kutoa visa vingine vya kustaajabisha.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kueleza sifa za gazeti na umuhimu wake.• kujadili umuhimu wa gazeti katika jamii
na kwa mwanafunzi.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kusoma kwa ufasaha. • kutaja na kujadili haki za watoto.• kujibu maswali ya ufahamu kwa usahihi.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kueleza maana ya upambanuzi wa
sentensi.• kupambanua sentensi kwa njia ya
mistari.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kueleza maaana ya tahariri ya gazeti.• kueleza sifa za tahariri. • kufafanua umuhimu wa tahariri kwa
jamii na mwanafunzi.
• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 203
• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 157-159
• Picha za magazeti• Michoro• Kamusi
• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 203-205
• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 159-160
• Magazeti
• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 205-207
• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 160-162
• Jedwali la haki za watoto
• Picha na michoro • Kanda za video
• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 207-208
• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 162-164
• Vielelezo vya sentensi ambatano
• Kiswahili Fasaha KcM 2, uk. 209-210
• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 164-166
• Vielelezo vya tahariri• Gazeti• Vitabu
• Masimulizi• Majadiliano • Ufahamu wa
kusikiliza• Maelezo
• Majadiliano • Makundi • Utafiti
• Usomaji • Ufafanuzi • Majadiliano • Mjadala• Kutafsiri picha
• Ufafanuzi • Marudio ya uundaji
wa sentensi• Majadiliano • Kazi ya makundi• Maswali na majibu
• Ufafanuzi • Mjadala • Majadiliano • Mifano • Tajriba
JUM
A 7
JUM
A 8
246
KIPINDI SHABAHANJIA ZA
KUFUNDISHIANYENZO ZA
KUFUNDISHIA MAONIMADA KUU MADA NDOGO
HAKIUZWI
Yatumiwe na Kiswahili FasahaKiswahili, Kidato cha 2
Maazimio ya KaziMuhula wa Tatu
3
4-5
Kusikiliza na kudadisi (Fasihi yetu)
Kuandika (Utunzi)
Mtihani na kusahihisha
Ushairi:Mashairi huru
Utungaji wa kiuamilifu:Insha ya dayolojia
Marudio na mazoezi ya stadi zote
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kufafanua sifa za shairi.• kueleza mbinu za kisanii zinazopatikana
katika shairi hili. • kudondoa hoja zinazoshughulikiwa na
mshairi.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kueleza sifa za mtindo wa insha ya
dayolojia.• kuandika insha ya dayolojia maagizo.
Kufikia mwisho wa somo, mwanafunzi aweze: • kupitia yote waliyojifunza.• kubuni na kujieleza.• kusahihisha makosa waliyoyafanya.
• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 211-212
• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 166-167
• Kamusi • Mkusanyo wa
mashairi huru
• Kiswahili Fasaha, KcM 2, uk. 212
• Kiswahili Fasaha, MwM 2, uk. 167-168
• Kielelezo cha insha ya dayolojia
• Makala kuhusu haki za watoto kutoka vitabuni
• Karatasi za mitihani• Kalamu
• Maelezo • Majadiliano• Ufafanuzi• Kukariri
• Ufafanuzi • Mifano• Majadiliano• Mjadala• Utendaji• Kuandika
• Tajriba ya wanafunzi
JUM
A 8
JUM
A 9
-12