Upload
others
View
1
Download
0
Embed Size (px)
Citation preview
1
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
OFISI YA RAIS
TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA
HALMASHAURI YA MANISPAA – MPANDA
MKUTANO WA TATU WA BARAZA LA MADIWANI KWA MWAKA
2016/2017 UTAKAOFANYIKA KWENYE UKUMBI WA MIKUTANO WA
HALMASHAURI YA MANISPAA MPANDA TAREHE 25/04/2017
KUANZIA SAA 4:00 ASUBUHI
Imetayarishwa na:
OFISI YA MKURUGENZI WA MANISPAA,
HALMASHAURI YA MANISPAA,
S.L.P. 216,
MPANDA
SIMU NA 025-252957128,
FAX NA 025-252957129
Email: [email protected] APRILI, 2017
2
YALIYOMO UKURASA
1.DONDOO ZA MKUTANO WA BARAZA LA MADIWANI LA TAREHE
25.04.2017 .............................................................................................. 3
2.MUHTASARI WA MKUTANO WA PILI WA BARAZA LA MADIWANI WA
TAREHE 31.01.2017 ................................................................................ 4
3.YATOKANAYO NA UTEKELEZAJI WA MAAGIZO YA MKUTANO WA PILI WA
BARAZA LA MADIWANI LA TAREHE 31/01/2017 ....................................... 33
4.TAARIFA YA KAMATI YA FEDHA NA UTAWALA ..................................... 38
5.TAARIFA YA KAMATI YA MIPANGO MIJI, UJENZI, NA MAZINGIRA .......... 66
6.TAARIFA YA KAMATI YA UCHUMI, ELIMU, AFYA NA MAJI .................... 75
7.TAARIFA YA KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI ......................................155
3
DONDOO ZA MKUTANO WA BARAZA LA MADIWANI LA TAREHE 25.04.2017
1. KUFUNGUA MKUTANO WA BARAZA LA MADIWANI
2. KURIDHIA DONDOO ZA MKUTANO
3. KUSOMA NA KUTHIBITISHA MUHTASARI WA PILI WA BARAZA LA MADIWANI LA
TAREHE 31.01.2017
4. KUSOMA NA KUJADILI YATOKANAYO NA UTEKELEZAJI WA MAAGIZO YA MKUTANO
WA BARAZA LA MADIWANI LA TAREHE 31.01.2017
5. MASWALI YA PAPO KWA PAPO
6. TAARIFA ZA UTEKELEZAJI ZA KAMATI ZA KUDUMU ZA HALMASHAURI KWA ROBO
YA TATU JANUARI-MACVHI 2017
7. TAARIFA ZA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA MAENDELEO KUTOKA KWENYE KATA
8. TAARIFA KUTOKA KWA WANANCHI
9. MENGINEYO KWA IDHINI YA MWENYEKITI
10. KUFUNGA MKUTANO
4
MUHTASARI WA MKUTANO WA PILI WA BARAZA LA MADIWANI KWA MWAKA
WA FEDHA 2016/2017 ULIOFANYIKA KWENYE UKUMBI WA MIKUTANO WA
MANISPAA YA MPANDA TAREHE 31.01.2017 KUANZIA SAA 4.30 ASUBUHI
KUMB:NA:KTV/MMC/BARAZA/C.60/2/2-2016/2017
WAJUMBE WALIOHUDHURIA
1.
2.
Mhe. William P. Mbogo
Ndg.Michael F.Nzyungu
Diwani Kata ya Majengo
Mkurugenzi wa Manispaa
-Mwenyekiti
-Katibu
3. Mhe.Kanoni M. Lucas Diwani Kata ya Shanwe -Mjumbe
4. Mhe.William K. Liwali Diwani Kata ya Mpanda Hotel -Mjumbe
5. Mhe.Matondo A. Kanyepo Diwani Kata ya Misunkumilo -Mjumbe
6. Mhe.Rose J. Komba Diwani Viti Maalum -Mjumbe
7. Mhe.Bakari M. Kapona Diwani Kata ya Nsemulwa -Mjumbe
8. Mhe. Rhoda J. Mwakalenge Diwani Viti Maalumu -Mjumbe
9. Mhe.Haidary H. Summry Diwani Kata ya Makanyagio -Mjumbe
10. Mhe. Maganga L.Salaganda Diwani Kata ya Kakese -Mjumbe
11. Mhe. Philipo J. Kalyalya Diwani Kata Magamba -Mjumbe
12. Mhe. Elias J. Mwanisawa Diwani Kata ya Kazima -Mjumbe
13. Mhe. Chrisant A.Mwanawima Diwani Kata ya Kasokola -Mjumbe
14. Mhe. Kalipi Katani Diwani Kata ya Mwamkulu -Mjumbe
15. Mhe .Georgina S. Kisalala Diwani Viti Maalum -Mjumbe
16. Mhe.Caritas J. Mangwangwa Diwani Viti Maalum -Mjumbe
17. Mhe. Ediltruda Kaminda Diwani Viti Maalum -Mjumbe
18.
19.
20.
21.
Mhe. Pius M.Buzumale
Mhe.Nuru A. Mkana
Mhe.Stephano A. Mwakabafu
Mhe. Tosigwegwe Mwakyusa
Diwani Kata ya Kawajense
Diwani viti maalum
Diwani Kata ya Uwanja wa Ndege
Diwani Kata ya Ilembo
-Mjumbe
-Mjumbe
-Mjumbe
-Mjumbe
1. 2. 3.
WAJUMBE WASIOHUDHURIA Mhe. Rhoda Kunchela Mhe . John Matongo Mhe. Sebastian S. Kapufi
Mbunge Viti Maalum Diwani wa Kata ya Kashaulili Mbunge wa Jimbo la Mpanda Mjini
-Kwa Taarifa ,, ,,
5
WATAALAM WALIOHUDHURIA
1. Ndg.Enelia Lutungulu Mkuu wa Idara ya Elimu Sekondari
2 Ndg.Hamis Mkelle Mkuu wa Idara ya Utumishi na Utawala
3. Ndg.Mary Luhulula Mkuu wa Idara ya Uchumi,Sera na Mipango
4. Ndg.Paschal Kweya Afisa Afya
5. Ndg.Mohamed Ulenga Kaimu Mkuu wa Idara ya Ujenzi
6. Ndg.Vicent Kayombo Mkuu wa idara ya Elimu Msingi
7. Dkt.Obed Mahenge Kaimu Mkuu wa Idara ya Afya na Ustawi wa Jamii
8. Ndg.Lucas Ndombele Mkuu wa Idara ya Fedha na Biashara
9. Ndg.Hobokela Mwakagamba Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Ugavi
10. Ndg.James Kiango Mkuu wa Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani
11. Ndg.Marietha Mlozi Mkuu wa Idara ya Maendeleo ya Jamii ,Jinsia na Watoto
12 Ndg.Mahija Nyembo Katibu Tawala Wilaya
6
13.
14.
15.
16.
17.
18.
19.
20.
21.
22.
23.
24.
25.
26.
27.
28.
Ndg.Pulkeria Makungu
Ndg.Said Mandua
Ndg.Faraja Mollel
Ndg.Charles Ngonyani
Eng.Magdalena Mkelemi
Ndg.Zobano Omari
Ndg.Gasper Bendera
Ndg.Respister Karugendo
Ndg.Benson Ng’amilo
Ndg.Mohamed Khalifan
Ndg.Federika Longo
Ndg.Lunyilija Kilinga
Ndg.Peter Mkalipa
Ndg.Josephine Chillongozi
Ndg.Frank Nguvumali
Ndg.Oswald Rwezaula
WAALIKWA
WALIOHUDHURIA
1.Ndg.Elizabeth Kasmiri
2.SSP.Zeno Malesa
3.Ndg.Mail Komba
4.ASP.Albert L.Beda
5.Ndg.Revocatus G. Ngomeni
6.Ndg.Jumbe Msekula
7.Ndg.Mary Ngomalufu
8.Ndg. Fulgence Mkulila
9.Ndg.Hamidu Sungura
10.Ndg.Felix Kalonga
11.Ndg.January Kayungilo
Kaimu Afisa Usafirishaji
Afisa Mazingira
Kaimu Mkuu wa Kitengo cha TEHAMA
Mkuu wa Idara ya Kilimo na Ushirika
Mkuu wa Idara ya Maji
Afisa Biashara
Afisa Utamaduni
Mratibu wa TIKA/CHF
katibu TSC
Afisa Mapato
Afisa Utumishi
Kaimu Afisa Habari
Kaimu Mkuu wa Idara ya Mipango Miji,Ardhi na Maliasili
Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Sheria
Mchumi
Kaimu Mkuu wa kitengo cha Uchaguzi
Katibu wa CCM Wilaya ya Mpanda
Mkuu wa polisi Wilaya ya Mpanda
Kaimu Mkuu wa Usalama wa Taifa
Kaimu Mkuu wa Geraza wilaya ya Mpanda
Afisa Mtendaji Kata ya Mpanda Hotel
Afisa Mtendaji Kata ya Nsemulwa
Afisa Mtendaji Kata ya Ilembo
Afisa Mtendaji Kata ya Shanwe
Kaimu Afisa Mtendaji Kata ya Majengo
Afisa Mtendaji Kata ya Kasokola
Afisa Mtendaji Kata ya Misunkumilo
7
12.Ndg.Anna Kapondo
13.Ndg.Sylvanus Kisesa
14.Ndg.Ezekia Bichuro
15.Ndg.John Salanga
16.Ndg.Emil Katendele
17.Ndg.Barthoromeo Mihayo
18.Ndg.George Ilesha
19.Ndg.Ezron Mhanga
20.Ndg.Isaack Gerald
21.Ndg.Paschal Katona
22.Ndg.Adolph Mbata
23.Ndg.Ernest Kibada
24.Ndg. Abdul Sigera
25.Ndg.Adabuu Juma
26.Ndg.Raphael Sangu
27.Ndg.Cyrilvian Mshyota
SEKRETARIETI:
Ndg.Gallus Maembe
Kaimu Afisa Mtendaji Kata ya Kakese
Afisa Mtendaji Kata ya Makanyagio
Afisa Mtendaji Kata ya Kawajense
Afisa Mtendaji Kata ya Kazima
Afisa Mtendaji Kata ya Kashaulili
Afisa Mtendaji Kata ya Magamba
Afisa Mtendaji Kata ya Mwamkulu
Mwandishi wa Habari
Mwandishi wa Habari
Mwandishi wa Habari
Mwandishi wa Habari
Mwandishi wa Habari
Katibu NCCR Wilaya
Katibu ADC Wilaya
Katibu TLP Wilaya
Katibu ACT Wazalendo Wilaya
Katibu wa Kamati
8
MUHT: MMC/BARAZA/02/2016/2017: Agd: 01: KUFUNGUA KIKAO
Kabla ya kumkaribisha Mwenyekiti, Katibu alitoa maelezo kuwa Mkutano ulikuwa wa pili kwa
mwaka wa fedha 2016/2017, pia akidi ya wajumbe waliokuwa wanahitajika katika Mkutano
huo ilikuwa inatosha kutoa maamuzi.Aidha, Katibu alitoa taarifa ya kutambua uwepo wa
mwakilishi wa NIDA mkoa wa Katavi na Meneja wa SIDO Mkoa wa Katavi ambao waliakwa
kwa ajili ya kutoa ufafanuzi mbalimbali kwa wananchi kuhusu huduma wanazozitoa.
Baada ya utangulizi huo alimkaribisha Mwenyekiti ambaye kabla ya kufungua kikao alianza
kwa kutoa shukurani kwa madiwani, wataalam na wananchi wote kwa kuhudhuria kwenye
Mkutano huo.
Baada ya maelezo hayo alifungua kikao saa 4.30 Asubuhi.
Kabla ya kuanza kupitia dondoo za mkutano mwenyekiti aliwakaribisha wageni waalikwa
kutoka taasisi za NIDA na SIDO kutoa ufafanuzi wa shughuli zinazoendeshwa na taasisi zao.
1) MAMLAKA YA VITAMBULISHO VYA TAIFA (NIDA )
Mtaalamu kutoka Mamlaka ya vitambulisho vya Taifa alitoa maelezo kuwa serikali
imekusudia kufanya utambuzi na usajili wa raia wa Tanzania /wageni wakazi na
wakimbizi kwa kutumia daftari la kielekroniki ili kuwa na mfumo mama wa taarifa za
watu utakaiwezesha serikali kuwa na malengo endelevu na mipango madhubuti ya
maendeleo kwa kutumia taarifa sahihi za watu wake.
Aidha, alieleza kuwa zoezi la utambuzi na usajili litafanyika katika awamu mbili ambapo
awamu ya kwanza inawahusu watumishi wa umma na hadi kufikia tarehe ya mkutano ni
watumishi 3334 walikuwa wameandikishwa na zoezi lililokuwa limebakia ni ugawaji wa
vitambulisho kwa watumishi. Baada ya kukamilisha hatua kadhaa za kiutendaji na
awamu ya pili itakuwa utambuzi na usajili wa wananchi wote ambapo zoezi hilo litaanza
mwezi Februari 2017.
Kwa upande mwingine alieleza kuwa nia ya serikali ni kutoa kitambulisho kimoja
ambacho kitatumika kwa matumizi mbalimbali.
Baada ya maelezo hayo wajumbe walitaka kufahamu mambo yafuatayo;
a) Utambuzi wa wananchi wanaotakiwa kusajiliwa utafanyikaje kwani Tanzania ina
mwingiliano mkubwa wa makabila.
Mwakilishi wa NIDA alitoa ufafanuzi kuwa zoezi la utambuzi na usajili utafanywa kwa
kushirikisha mamlaka nyingine kama vile Uhamiaji,wenyeviti wa serikali za mitaa/vijiji.
b) Umri unaotakiwa kuandikishwa
Mwakilishi wa NIDA alitoa ufafanuzi kuwa Mtanzania yeyote mwenye umri wa miaka 18 na
kuendelea atakuwa na sifa ya kusajiliwa.
9
2) SHIRIKA LA KUENDELEZA VIWANDA VIDOGO VIDOGO (SIDO )
Meneja wa uendelezaji wa viwanda vidogo vidogo (SIDO ) Mkoa wa Katavi alitoa maelezo
kuwa jukumu la shirika ni kusimamia na kuendeleza viwanda vidogo vidogo ambapo shirika
hufanya mambo yafuatayo:
i. Kutoa mafunzo elekezi kwa wajasiliamali
ii. Kukuza masoko ya wajasiliamali, kuwaunganisha wajasiliamali na masoko na
kuhakikisha bidhaa za wajasiliamali zinakuwa bora kwa vigezo vya TFDA,TBS
na GSI .
iii. Kusimamia maendeleo ya Technolojia na usambazaji wake kwa kuwa na kituo
cha kulelea mawazo ya kibiashara (Business incubator)
iv. Kutoa huduma ya kifedha kupitia kwenye vikundi vya wajasiliamali ambapo
shirika hutoa kiasi cha kuanzia milioni moja hadi milioni tano.
v. Kusimamia na kushiriki uandaaji wa maandiko kwa ajili ya miradi mbalimbali
ya maendeleo kwa wajasiliamali.
Baada ya maelezo hayo wajumbe walitaka kufahamu mambo yafuatayo;
SIDO inashirikianaje na Idara ya Maendeleo ya Jamii kuvitambua vikundi ambavyo vipo
rasmi
Mtaalam kutoka SIDO alitoa ufafanuzi kuwa kwa kushirikiana na Idara ya Maendeleo ya
Jamii, vikundi vya wajasiliamali vinasajiliwa na kupewa vyeti. Hivyo, wajasiliamali walio
rasmi hutambuliwa kwa kusajiliwa na kupewa vyeti.
MUHT: MMC/BARAZA/02/2016/2017: Agd:02: KURIDHIA DONDOO ZA KIKAO
Katibu alizisoma dondoo zifuatazo;
1) Kufungua mkutano wa Baraza la Madiwani
2) Kuridhia dondoo za Mkutano 3) Kusoma na kuthibitisha muhtasari wa mkutano wa kwanza wa Baraza la Madiwani la
tarehe 13/10/2016
4) Kusoma na kujadili yatokanayo na Mkutano wa Baraza la Madiwani la tarehe
13/10/2016
5) Maswali ya papo kwa papo 6) Taarifa za utekelezaji za kamati za kudumu za halmashauri kwa robo ya pili Oktoba –
Disemba 2016
7) Taarifa za utekelezaji wa shughuli za maendeleo kutoka kwenye kata
8) Taarifa kutoka kwa wananchi
10
9) Mengineyo kwa idhini ya Mwenyekiti 10) Kufunga Mkutano
Baada ya kusomwa dondoo hizo wajumbe kwa kauli moja waliridhia zijadiliwe katika
mkutano huo.
MUHT: MMC/BARAZA/02/2016/2017: Agd: 03: KUSOMA NA KUTHIBITISHA
MUHTASARI WA KIKAO CHA KWANZA CHA BARAZA LA MADIWANI CHA TAREHE
13/10/2016
Mwenyekiti aliwaongoza wajumbe kupitia Muhtasari ukurasa kwa ukurasa ambapo
marekebisho yafuatayo yalifanyika;
Ukurasa 7 isomeke …walialikwa badala ya waliakwa
Ukurasa 9 isomeke …. Baraza la Madiwani halitambui makubaliano ya Mkurugenzi na Jeshi
la wananchi wa Tanzania.
Ukurasa wa 11 isomeke …….kuwasilisha badala ya kuwasilshwa
Ukurasa wa 22 isomeke…………hadi badala ya hadim
Baada ya marekebisho hayo muhtsari ulithibitishwa na kusainiwa pamoja na marekebisho
hayo.
MUHT:MMC/BARAZA/02/2016/2017:Agd:04 KUSOMA NA KUJADILI
UTEKELEZAJI WA YATOKANAYO NA MKUTANO ULIOPIA WA TAREHE 13/10/2016
Taarifa ya utekelezaji wa yatokanayo na Mkutano wa Baraza la Madiwani wa tarehe
13.10.2016 iliwasilishwa ambapo wajumbe waliridhika na utekelezaji wake isipokuwa
utekelezaji wa maagizo yafuatayo;
1) Ukusanyaji wa ushuru wa choo katika eneo la stendi ambapo taarifa iliyotolewa
haikujitosheleza. Mkutano wa Baraza la Madiwani ulihitaji mapitio mapya ya mkataba
wa ukusanyaji wa ushuru wa choo cha stendi.
ILIAZIMIWA KWAMBA
Mkurugenzi aandae na kuwasilisha kwenye mkutano ujao mapitio mkataba wa ushuru wa
choo cha stendi.
2) Suala la kuandika barua za shukrani kwa wadau wote waliochangia utengenezaji wa madawati, mkutano ulishauri kuwepo na mchanganuo mzuri wa wadau
waliochangia.
ILIAZIMIWA KWAMBA
Iandaliwe taarifa yenye mchanganuo wa fedha kiasi gani zilipatikana kwenye zoezi la
uchangiaji wa utengenezaji wa madawati, mangapi yalitengenezwa na watu gani
waliochangia.
MUHT: MMC/BARAZA/02/2016/2017: Agd: 05 MASWALI YA PAPO KWA PAPO
Hapakuwepo na maswali ya papo kwa papo
11
MUHT: MMC/BARAZA/02/2016/2017: Agd: 06: TAARIFA ZA UTEKELEZAJI ZA
KAMATI ZA KUDUMU ZA HALMASHAURI
Wenyeviti wa kamati za kudumu za Halmashauri waliwasilisha utekelezaji wa kamati hizo
kwa kipindi cha Oktoba –Disemba 2016 kama ifuatavyo;
a) KAMATI YA FEDHA NA UTAWALA
Kwa niaba ya Mwenyekiti wa Kamati ,Naibu Meya aliwasilisha taarifa ya kamati kama
ifuatavyo;
1) Taarifa ya mapato na matumizi kwa kipindi cha mwezi Oktoba hadi Disemba 2016
i.MAPATO
Kwa kipindi cha mwezi wa Oktoba 2016 hadi Disemba 2016 Halmashauri ya Manispaa ya
Mpanda ilipokea shilingi 6,585,124,318.62 toka serikali kuu na makusanyo mbalimbali ya
fedha za ndani
ii.MATUMIZI
Kwa kipindi cha mwezi wa Oktoba 2016 hadi Disemba 2016 Halmashauri ya Manispaa ya
Mpanda ilitumia shilingi 5,016,216,135.07 katika matumizi mbalimbali .
2) MAPENDEKEZO YA VIWANGO MFUTO (FLAT RATE) KWA AJILI YA
UKUSANYAJI WA KODI ZA MAJENGO
Kupitisha viwango vya kodi ya majengo itakayokusanywa na mamlaka ya mapato Tanzania
(TRA) Kwa kipindi ambacho zoezi la uthamini wa majengo yaliyomo kwenye Manispaa ya
Mpanda unaendelea hivyo kwa kipindi ambacho Halmashauri inaendeleana zoezi hilo
viwango vifuatavyo vilipitishwa kutozwa kwa mwaka wa fedha wa 2016/2017.
AINA YA JENGO MAELEZO YA ZIADA KIWANGO
(TSHS)
1 Nyumba za Makazi 10,000.00
2 Maduka Jumla 300,000.00
Rejareja 200,000.00
3 Nyumba za wageni 100,000.00
4 Hoteli 300,000.00
5 Taasisi Benki 600,000.00
Shule ,
Zahanati
300,000.00
200,000.00
SACCOSS,Benki ndogo (Mi-
cro finances )
300,000.00
6 Viwanda Vidogo (mahindi ) 100,000.00
Vya Kati (Mpunga ) 300,000.00
7 Magodauni 200,000.00
8 Vituo vya Mafuta 300,000.00
12
3) MWENENDO WA KESI:
Hadi wa tarehe ya Mkutano Halmashauri ya Manispaa ilikuwa na mashauri matatu
Mahakamani na maombi mawili yalikuwasajiliwa yakisubiri kupatiwa tarehe za kesi ambapo
kwa kipindi hicho mahakama ilikuwa likizo mpaka mwezi Februari mwaka 2017.
4) KUAJIRI VIBARUA WA MKATABA KWA AJILI YA KUFUKUA MITARO.
kupitisha ajira ya vibarua 07 kwa ajili ya kufukua mitaro kufuatia mvua zilizokuwa
zinaendelea kunyesha na kupelekea mitaro kujaa taka na kusababisha uharibifu wa
miundombinu ya barabara na nyumba za wananchi kwa kuwa maji yanakosa uelekeo.
Aidha,ajira hiyo ilikuwa ya kwa muda wa miezi mine (4) kuanzia mwezi Januari 2017 hadi
mwezi Aprili 2017.
Maeneo yaliyoathirika sana ni Mji wa Zamani, Majengo A& B na Makanyagio.
Vile vile, Gharama ya malipo kwa vibarua hao ni Tsh. 120,000/=x7 x miezi 4 =3,
360,000/=, fedha zikazolipwa kupitia vyanzo vya ndani vya Halmashauri.
5) KUONGEZA VIWANGO VYA MALIPO YA VIBARUA WA USAFI WA MJI.
Kamati iliagiza menejimenti itenge bajeti ya mabadiliko ya viwango vya ujira wa vibarua
wa usafi kwenye bajeti ya mwaka 2017/2018 kutoka 120,000.00 ya sasa kufikia
Tshs.150,000.00 hiyo ni kutokana na ugumu wa kazi wanayofanya vibarua wa usafi wa mji.
6) TAARIFA YA MANUNUZI YA ROBO YA PILI YA MWAKA WA FEDHA
2016/2017.
Taarifa ya Robo ya Pili kwa mwaka wa Fedha 2016/2017 ambayo ilijumuisha kuhusu
maamuzi ya Bodi ya Zabuni, Mikataba iliyosainiwa, Utekelezaji wa Mpango wa Manunuzi,
Ufuatiliaji wa utekelezaji wa Mikataba na Taarifa zingine zinazohusu Ununuzi na Uuzaji wa
mali za Umma kama ifuatavyo:-
1) Kuhusu maamuzi ya Bodi ya Zabuni katika Robo ya Pili
Kwa Kipindi cha robo ya Pili, Bodi ya Zabuni imekaa vikao na kutoa maamuzi yake kama
ifuatavyo:-
a. Tarehe 05/10/2016 Bodi ya Zabuni ya Manispaa Mpanda ilikaa na kutoa maamuzi
yake kama ifuatavyo:-
1) kupitia taarifa ya timu ya tathimini ya kotesheni ya ujenzi wa matundu manne ya
choo, bafu , shimo la maji taka na kitako cha tenki katika eneo la maegesho ya
magari misunkumilo zabuni NO. LGA.101/2016/2017/CQ/W/02.
2) Kupitia taarifa ya timu ya tathimini ya Mtaalamu Mshauri wa Uthamini wa majengo
katika manispaa ya Mpanda zabuni NO. LGA.101/2016/2017/C/01.
3) Kupitia taarifa ya timu ya tathimini ya ujenzi wa barabara ya lami km 7.7 kwa
kiwango cha lami Mpanda Mjini zabuni NO. LGA.101/2016/2017/WB/W/01.
13
b. Tarehe 26/10/2016 Bodi ya Zabuni ya Manispaa ya Mpanda ilikaa na kutoa maamuzi
yake kama ifuatavyo:-
1. Kupitisha tangazo (Expression of Interest) kwa ajili ya kutafuta Mtaalam Mshauri
(Consultant) kwa ajili ya kuandaa Mpango Kabambe (General Planning Scheme) wa
Manispaa ya Mpanda.
2. Kupitisha Ununuzi na njia ya ununuzi wa vifaa vya Geographical Information System
(GIS).
3. Kupitisha ununuzi kwa ajili ya kutengeneza Kadi za OPD na file za wagonjwa Hospitali ya Manispaa vyenye gharama ya Tshs 8,025,000.00
c. Tarehe 07/11/2016 Bodi ya Zabuni ya Manispaa ya Mpanda ilikaa na kutoa maamuzi
yake kama ifuatavyo:-
1. Kupitia taarifa ya zabuni ya ujenzi wa barabara za lami Mpanda Mjini KM 7.7 na
kuagiza Kitengo cha Manunuzi Kikajiridhishe na baadhi ya mambo.
2. Kupitisha wazabuni kwa ajili ya kutafuta Mtaalam Mshauri (Consultant) kwa ajili ya
kuandaa Mpango Mkakati (Mpanda Municipal Strategic Plan) wa Manispaa ya
Mpanda.
d. Tarehe 05/12/2016 Bodi ya Zabuni ya Manispaa ya Mpanda ilikaa na kutoa maamuzi
yake kama ifuatavyo:-
1. Kupitia taarifa ya zabuni ya ujenzi wa barabara za lami Mpanda Mjini 7.7 KM na kutoa
maamuzi yake.
2. Kupitisha Tangazo na nyaraka kwa ajili ujenzi na matengenezo ya barabara kwa
mwaka wa Fedha 2016/2017.
3. Kupitisha ununuzi wa bahasha za X – Ray zenye gharama ya Tshs 6,000,000.00
2) Mikataba iliyo sainiwa katika Robo ya Pili
Manispaa kwa kipindi cha robo ya Pili imesaini mikataba ifuatayo:-
Jina la Mkataba Mkandarasi/Mt
aalamu
Mshauri
Thamani
ya
Mkataba(
TSHS)
Tarehe
ya
Kusaini
Mkataba
Mkataba wa Mtaalamu
Mshauri wa Uthamini wa
majengo katika Manispaa
ya Mpanda Zabuni Na.
LGA.101/2016/2017/C/01
.
Ms GEO NET-
WORK LTD,
P.O.Box
38037,
MPANDA.
177,000,0
00.00
07/11/20
16
Mkataba wa ujenzi wa
Matundu Manne ya Choo,
Bafu , Shimo la Maji
Ms M/S Rayiva
Investment
Co. Ltd
31,475,06
3.00
21/11/20
16
14
Taka na Kitako cha
Tenki Katika Eneo la
Maegesho ya Magari
Misunkumilo Zabuni No
LGA.101/2016/2017/CQ/
W/02
P.O.BOX 712
MPANDA
7) TAARIFA YA UKAGUZI WA NDANI KIPINDI CHA JULAI HADI SEPTEMBA, 2016.
Kwa kipindi cha Julai hadi Septemba 2016 ambayo ilikuwa na vipengele vifuatavyo;
1) YATOKANAYO NA HOJA ZA USHAURI ULIOPITA. Kumekuwa na uchelewashaji wa kujibu hoja zinazotolewa na Mkaguzi wa Ndani. Hali halisi
ya hoja ni kama ifuatavyo:
Tarehe Aina ya
Ripoti
Hoja Ushauri Hali ya
utekelezaji
14/01/2014 IAR for
OCT-DEC
2013
Fedha ambazo
hazijawasilishwa na
Mawakala
Tshs.3,710,000/=
Menejimenti
ihakikishe fedha hizi
zinawaswilishwa.
Haijatekelezwa.
Mwekahazina
ameandikiwa
barua ya kujieleza
kumb,na
KTV/PF/137/4 ya
4/10/2016.kwa
kushindwa
kuchukua hatua
stahiki.
14/01/2014 IAR for
OCT-DEC
2013
Tozo la riba (5%) kwa
kutokuwasilisha
Mapato kwa wakati
Tshs 3,105,000/=
Mawakala
wawasilishe fedha
Haijatekelezwa.
Mwekahazina
ameandikiwa
barua ya kujieleza
kumb
KTV/PF/137/4 ya
4/10/2016.kwa
kushindwa
kuchukua hatua
stahiki.,
15/07/2014 IAR for
APR-JUNE
2014
Fedha ambazo
hazijawasilishwa na
Mawakala Tshs
2,467,000/=
Menejimenti
ihakikishe Mawakala
wanarejesha fedha
wanazodaiwa.
HOJA
IMEFUNGWA.
Malipo
yamefanywa kwa
stk. Na 79427 ya
31
15
/12/2013.kelezwa
15/07/2014 IAR for
APR-JUNE
2014
Fedha iliyokopwa
kutoka Akaunti moja
kwenda nyingine Tshs
55,000,000/=
Menejimenti
ihakikishe fedha
zinarejeshwa katika
Akaunti husika
Haijatekelezwa
15/07/2015 IAR for
APR-JUNE
2015
Mkopo
ths.82,290,000/
uliochukuliwa kutoka
katika akaunti ya
Amana bila jitahada
za kuzirejesha.
Menejimenti
ihakikishe fedha
zinarejeshwa katika
Akaunti husika ili
kutekeleza kazi
iliyokusudiwa
Imetekelezwa
kwa
kiasi.Zimebaki
ths.21,690,000/=
15/07/2015 IAR for
APR-JUNE
2015
Fedha za fidia ambazo
hazijalipwa kwa
walengwaTshs.2,368,
980/=
Menejimenti
ihakikishe fedha hii
ambayo haikulipwa
kwa walengwa
inarejeshwa benki
Hoja im
Imetekelezwa
kwa kiasi
tsh.1,95,680/=
kupitia. stk
Na113721.BADO
muhusika
hajawasilsha
ths.417,300/=.ziliz
obaki zitakatwa
katika madai yake
ya disturbance al-
lowance.
10/10/2015 IAR for
JUL-SEPT
2015
5:3:2
Kukaa nje ya kituo
cha kazi zaidi ya siku
36 kwa kazi ambazo
zingeweza kufanyika
kwa kipindi kifupi
katika kituo cha kazi.
Menejimenti itoe
ufafanuzi kama haya
sio Matumizi
mabaya ya fedha
HOJA
IMEFUNGWA.
Mkurugenzi
amechukua hatua
na kuonya maombi
yote yafanywe
kwa barua na
kuwekwa ktk
jalada husika.
Rejea bar.
KTV/MMC/A.20/
4/VOL IV/27.
10/10/2015 IAR for Mtumishi kutokulipwa Menejimenti iangalie Imetekelezwa
16
JUL-SEPT
2015
5:3:3
“Outfit Allowance” na
malipo mengine ya
safari ya nje tokea
2014.
Tshs.10,068,480./=
hali hii ya
kutokutendewa haki
kwa Mtumishi huyu
ambaye aliliwakilisha
Taifa nje ya Nchi.
kwa kiasi.
Ths.3,000,000
zimelipwa kupitia
hundi 00629
na006402
za5/8/2015
na17/9/2016.
10/10/2015 IAR for
JUL-SEPT
2015
5:3:5:
• Masurufu Tshs
19,021,200
yaliyochukuliwa kwa
ajili ya ununuzi wa
magunia 300 na
vipuli wakati malipo
haya yangeweza
kufanywa na kitengo
cha manunuzi.
• Ukaguzi wa
kushitukiza
uliofanyika baadae
ulibaini
kutokununuliwa kwa
vifaa hivyo bali
magunia 55 yakiwa
hayana nyaraka za
mapokezi, rejea
KTV/MMC/A.30/I6/1
• Ielezwe kwa nini
kitengo cha
manunuzi
hakikuhusishwa
• Ielezwe vipuli
vilivyoombwa vipo
wapi
• Masulufu yote
yarejeshwe kama
yalivyoombwa.
HOJA
IMEFUNGWA.baru
a
Na.KTV/MTC/A.32
0/4/69
y05/10/2016.
YAHUSIKA.
Hatahivyo kanuni
na taratibu wakati
mwingine
zifuatwe.
01/06/2015 IAR for
JAN-
MARCH
2015
5.5.4
Malipo ya Tshs
2,173,710 yalilipwa
bila taarifa ya
mthamini
Menejimenti ioneshe
uthibitishio wa
taarifa ya mthamini
vinginevyo fedha
hizi zinatakiwa
zirejeshwe
Haijatekelezwa
13/04/2016 IAR for
JAN-
MARCH
2016
5.2.1.1
Mawakala
waliochelewesha
malipo hawajalipa
faini ya jumla ya Tshs.
11,824,000
Menejimenti
ihakikishe faini
ambayo haijalipwa
inalipwa kabla ya
mikataba kuvunjwa.
Haijatekelezwa
13/04/2016 IAR for
JAN-
MARCH
2016
Fedha ambazo
hazijawasilishwa na
Mawakala Tshs
128,740,000
Menejimenti
ihakikishe fedha
ambazo
haijawasilishwa
Haijatekelezwa
17
5.2.1.3 zinalipwa kabla ya
mikataba kuvunjwa.
13/04/2016 IAR for
JAN-
MARCH
2016
5.2.1.4
Mkandarasi wa
Mgahawa hajalipa
malipo na faini kwa
muda wote wa
mkataba
Tshs.2,280,000/=
Menejimenti
ihakikishe fedha
ambazo
haijawasilishwa
zinalipwa kabla ya
mikataba kuvunjwa
Haijatekelezwa
13/04/2016 IAR for
JAN-
MARCH
2016.
5.2,2.4
Eneo la ujenzi na hati
ya umiliki wa soko la
kisasa(Kawajense)
bado halijaidhinishwa
na Wizara
Ufuatiliaji wa karibu
ufanyike kuhakikisha
eneo linapimwa na
hati ya umiliki
inapatikana kabla ya
mradi kuanza.
Imetekelezwa
kwa kiasi.Hati ya
umiliki kiwanja
imeandaliwa
inasubiri
kuwasilishwa kwa
Kamishna wa Kan-
da.
13/04/2016 IAR for
JAN-
MARCH
2016.
5.2.6
Mawakala hawajalipia
gharama za vitabu
vya kukusanyia
ushuru Tshs 900,000/
Mawakala wote
waliochukua vitabu
wanatakiwa
wafuatiliwe ili walipe
vitabu
walivyochukua.
Kuanzia sasa vitabu
visitolewe bila
kulipiwa.
Haijatekelezwa
15/07/2016 IAR for
APR-JUN
2016
3.1.4
Barabara za Manispaa
Mpanda kutokuwa na
majina.
Mhandisi afanye
jitihada za
kuzitambua
Barabara kwa
majina.
Imetekelezwa
kwa kiasi. Kwa
msaada wa kifaa
maluum cha
kompyuta
(DROMAS SOFT-
WARE) wataalam
wameonesha
mtandao wa
barabara zote
zilizopo kwa
kutumia GIS.
Ramani husika
imewasilishwa kwa
Mkaguzi.Hoja
itafungwa
barabara
18
zitakapopewa
majina baada ya
vikao vya
kiutawala
vitakapoidhinisha.
15/07/2016 IAR for
APR-JUN
2016
3.2.1
Halmashauri
haijahamisha Fedha
za mradi wa
umwagiliaji
Kakese/Mwamkulu
kiasi cha Tshs
42,485,546.86
Kiasi cha Tshs
42,485,546.86
ambacho
hakijahamishwa
kipelekwe katika
akaunti ya Mradi.
Haijatekelezwa
15/07/2016 IAR for
APR-JUN
2016
3.2.2
(a) Malipo yalifanywa nje
ya Mpango Kazi
na shughuli za
Mradi Tshs
2,835,000.00
Fedha kiasi Tshs
2,835,000.00
kirejeshwe katika
Akaunti ya Mradi.
Haijatekelezwa.
(b) Fedha ambazo
hazikulipwa
kwa walengwa
tshs
2,205,000.00
kati ya
tshs.2,835,000
zilizochukuliwa.
Yatolewe maelezo
fedha hizi zilikwenda
wapi, vinginevyo
zirejeshwe.
Haijatekelezwa
15/07/2016 IAR for
APR-JUN
2016
3.2.2.2
Malipo yenye shaka
ufungaji wa mtandao
wa Intanenti
ths.7,114,OOO/=
Vifaa vya tshs.1,
415,000/=vimelipiw
a bila
kufungwa.Afisa
husika aliyeidhinisha
malipo arejeshe
fedha husika.
Haijatekelezwa
15/07/2016 IAR for
APR-JUN
2016
Fedha za uthamini wa
Majengo zilizotumika
vibaya Tshs
4,360,000.00
Vifaa vilivyolipiwa
bila kupokelewa
Tshs 1,360,000.00
Tshs 500,000.00
Fedha zilizotolewa
bila walengwa kulipa
tshs 2,500,000.00
Fedha zirejeshwe.
Haijatekelezwa.
15/07/2016 IAR for Kodi ya huduma Kiasi hicho kilipwe Haijatekelezwa.
19
APR-JUN
2016
iliyokatwa bila kulipwa
Akaunti ya
Halmashauri Tshs
525,726.16
kwenye akaunti ya
Halmashauri
15/07/2016 IAR for
APR-JUN
2016
Fedha za Tahadhali
iliyokatwa katika
Malipo ya Mkandarasi
haijahamishwa katika
akaunti ya Amana
Tshs 10,437,251.00
Fedha hiyo
ihamishwe
Haijatekelezwa.
15/07/2016 IAR for
APR-JUN
2016
Masulufu yaliyotolewa
kwa watumishi
mbalimbali bila
kurejeshwa kiasi Tshs
5,445,000.00
Marejesho
yafanywe,
vinginevyo fedha
hizo zikatwe katika
malipo ya Mishahara
yao.
Haijatekelezwa.
2) YATOKANAYO NA UKAGUZI KATIKA KIPINDI CHA OKTOBA- DISEMBA 2016.
Katika kipindi hiki cha OKTOBA- DISEMBA 2016, Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani kilifanya
kazi mbalimbali za kusimamia Taratibu, Kanuni na Sheria kwamba zinafuatwa na kutoa
ushauri katika sehemu zilizokosa ufanisi/ kuwa na dosari kwa kadri ilivyoweza.
Baadhi mambo yaliyobainika ni-
a) UKAGUZI WA MRADI WA ZAHANATI YA MWAMKULU-TASAF.
Hali halisi na mapungufu yaliyobainika katika mradi yalitolewa kwa Mkurugenzi yakitaja
sababu ,athari na ushauri kupitia taarifa kumb.KTV/MMC/C.30/2/23 ya 3/10/2016.
b) KUTOKUHIFADHIWA KWA KUMBUKUMBU ZA MAKATO WANAOKATWA
WATUMISHI KATIKA MISHAHARA YAO YA KILA MWEZI.
Watumishi wamekuwa wakikatwa na kuchangia mifuko mbambali ya jamii, taasisi za fedha
na kodi. Makato haya yote yanaweza kubainika katika orodha ya mishahara PayRoll ya
mwezi husika hata hivyo hakuna jalada maalum linalowekwa kutunza pay roll hizo bali
huambatanishwa katika hati za malipo pekee. Hali hii hufanya ugumu wa kutambua taarifa
sahihi za mishahara na makato yatokanayo na mishahara yalivyolipwa/katwa na
kuwasilishwa katika taasisi hizo. Taasisi hizo ni kama LAPF, NSSF, WADU, BIMA, TRA, nk.
Taarifa hii ya ukaguzi na ushauri ilitolewa kwa Mkurugenzi kupitia barua kumb.Na
KTV/MMC/A.10/4/4/1
20
8) PONGEZI KWA WALIMU/IDARA YA ELIMU MSINGI.
Taarifa iliwasilishwa kuwa, kutokana na matokeo mazuri ya mtihani wa darasa la saba
mwaka 2016, yaliyopelekea Halmashauri ya Manispaa ya Mpanda kushika nafasi ya
KWANZA kitaifa, kuna haja ya kuwapongeza walimu waliowezesha ufaulu huo.
Baada ya taarifa hiyo kuwasilishwa, wajumbe walipendekeza walimu wapongezwe kwa
barua, sherehe na zawadi mbalimbali.
9) UPIMAJI WA VIWANJA KATIKA MAENEO YA SHANWE, KAZIMA NA
UWANJA WA NDEGE.
Taarifa iliwasilishwa kuwa, kuna viwanja vingi katika maeneo tajwa ambayo vinatakiwa
kupimwa na kuuzwa.Upimaji huo ukifanyika utaiingizia Halmashauri kiasi kikubwa cha
fedha zitakazotokana na kuuzwa kwa viwanja hivyo.
10. TAARIFA YA FEDHA CHF/TIKA YA MAPATO YA VITUO VYOTE YA ROBO YA
PILI KUANZIA OKTOBA - DESEMBA 2016
Kwa kipindi cha Oktoba hadi Desemba 2016 Vituo vya kutolea huduma ya Afya
vinavyomilikiwa na serikali (Hospitali, vituo vya afya na zahanati) zilikusanywa
Tshs:32,813,047.00,Bakaa kwa Robo ya kwanza ilikuwa Tshs:88,866,211.00 nakufanya
Jumla ya mapato kuwa Tshs.121,679,258.00 ambapo Matumizi kwa kipindi hicho ni
Tshs.63,957,764.97 Salio katika Akaunti zote ni Tshs:57,721,443.03.
10) MAOMBI YA TSHS 30,000,000 KWA AJILI YA KUTOA MIKOPO NA
MAFUNZO KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE NA VIJANA KIPINDI CHA
OKTOBA HADI DESEMBA 2016.
Idhini ya matumizi ya Tshs 30,000,000 kwa ajili ya kutoa mikopo na mafunzo kwa
vikundi16 vya Wanawake na vikundi 7 vya Vijana. Ambapo, kiasi cha Tshs 27,000,000.00
ni kwa ajili ya Mkopo na Mafunzo ni Tshs 3,000,000.00
12) TAARIFA YA ROBO YA II YA UTEKELEZAJI SHUGHULI ZA TASAF OKTOBA-
DESEMBA 2016:
Katika kipindi cha Oktoba hadi Desemba ,Halmashauri ya Manispaa ilipokea ruzuku ya
mwezi Novemba/ Desemba jumla ya Sh: 59,134,500.00 na kuzipeleka kwa Walengwa
Aidha, Ujenzi wa Zahanati ya Mlima Kipala unaendelea na uko kwenye hatua ya upauaji,
katika hatua hiyo kulijitokeza upungufu wa bati 52 geji 28 futi 10, bati zilizo kuwepo na
kutumika ni 108 gaji 28 futi 10.
13) TAARIFA YA IDARA YA UTUMISHI NA UTAWALA KWA KIPINDI
CHA ROBO YA PILI 2016/2017 – KUANZIA OKTOBA HADI DESEMBA
2016
Kwa kipindi cha robo ya pili 2016/2017 idara ya Utumishi na Utawala iliendelea kutekeleza
majukumu yake kama ifuatavyo,
21
(a) Idara iliendelea na usimamizi wa rasilimali watu katika nidhamu ikiwa ni pamoja na
mahudhurio na utendaji kwa ujumla.
(b) Idara iliratibu vikao vya kisheria kwa mujibu wa kanuni na taratibu ambapo kwa
muda wa miezi mitatu ,ambapo vikao vitatu (03 ) viratibiwa ambayo ni CMT, Kamati
ya Fedha na Utawala na Baraza la bajeti moja..
(c) Taarifa ziliendelea kurekebishwa ambapo kwa robo hii watumishi wanne (04)
waliondolewa kwenye pay roll kwa sababu, watumishi watatu (3) walistaafu kazi na
mmoja (1) aliomba kuacha kazi kwa notisi ya masaa 24.
14) KUPITISHWA KWA MAJINA YA WAJUMBE WA BODI YA ZABUNI
HALMASHAURI YA MANISPAA MPANDA
Majina yafuatayo ya wajumbe wa bodi ya zabuni ya Halmashauri ya Manispaa ya Mpanda
yalipitishwa:-
1. Marietha Mlozi 2. Mary Festo Luhulula 3. Peter C Mkalipa 4. Enelia Lutungulu 5. Obed Peter Mahenge
Kwa kuwa Sheria imewatambua kwa vyeo Mkuu wa Kitengo cha Manunuzi (Katibu) na
Kitengo cha Sheria kuwa wajumbe wa Bodi, wao wataingia kwenye vikao vya Bodi kwa
nyazifa zao.
15) MAOMBI YA KUTUMIA VITABU VYA STAKABADHI (HW5)
Kutokana na hitilafu iliojitokeza katika ukusanyaji wa mapato ya mabango (Bill board)
yanayoendeshwa na mfumo wa kielektronia kusimama, kamati ilipitisha kuendelea na
ukusanyaji kwa kutumia vitabu vya HW5. Mfumo ulisimama tangu tarehe 03/11/2016.
Taarifa ilitolewa kwa mtaalamu wa mfumo wa mfumo aliekuja hapa Manispaa ya Mpanda na
akafahamishwa tatizo hilo mwezi Desemba 2016, na akaahidi suala hili litapatiwa ufumbuzi
mara atakapo rudi Dodoma.
Halmashauri itaendelea kuwatumia mawakala wetu katika kazi ya kukusanya ushuru huo
kwa kutumia HW5.
Baada ya kuwasilishwa kwa taarifa wajumbe alitaka ufafanuzi wa mambo yafuatayo;
1. Eneo gani lililotengwa kwa ajili ya kujenga soko la kisasa Mchumi alitoa ufafanuzi kuwa ujenzi wa soko la kisasa umepangwa kujengewa eneo lililopo
katika kata ya Kazima.
2. Sababu gani zinazosababisha Hoja za Mkaguzi wa Ndani kutojibiwa kwa wakati Mweka Hazina alitoa ufafanuzi kuwa hoja zingine hazjibiki kwa haraka kwa sababu zinahitaji
ushiriki wa watu zaidi ya mmoja katika kuijibu hoja husika.Hivyo kujibu hoja za mkaguzi wa
ndani ni mchakato unaohusisha hatua mbalimbali.
3. Kwa nini ujenzi wa zahanati ya Mwamkulu umechukua muda mrefu bila kukamilika
22
Mratibu alitoa ufafanuzi kuwa ujenzi wa zahanati ya Mwamkulu umepata changamoto ya
ramani iliyoelekezwa kutumika kuwa kubwa ukilinganisha na fedha zilizotengwa kwa ajili
ya mradi huo.
Kutokana na hali hiyo mradi huo unakabiliwa na upungufu mkubwa wa vifaa vya ujenzi
vyenye gharama ya Tshs.25,690,600.00
Kwa upande wake Mkurugenzi aliuomba mkutano wa Baraza la madiwani kuidhinisha
kutumika kwa fedha za mapato ya ndani pindi tathmini itakapo fanyika kwa kupitia hatua
zote za mradi na kubaini kiasi kitakachohitaji kumalizia mradi husika.
Mkutano wa Baraza la madiwani uliagiza mradi huo upitiwe na kubainisha utekelezaji wa
mradi huo kwa maamuzi yafuatayo;
ILIAZIMIWA KWAMBA
i. Kwenye kikao cha kamati ya fedha na utawala iwasilishwe taarifa ya lini mradi wa
ujenzi wa zahanati ya Mwamkulu utakamilika.
ii. Iandaliwe na kuwasilishwa kwenye Baraza la Madiwani taarifa ya Maendeleo ya
ujenzi wa zahanati ya Mwamkulu na miradi mingine iliyotekelezwa na TASAF.
23
b) TAARIFA YA KAMATI YA MIPANGO MIJI, UJENZI, NA MAZINGIRA
Mwenyekiti wa kamati aliwasilisha taarifa ya kamati kwa kipindi cha Oktoba –Disemba 2016
kama ifuatavyo;
i. TAARIFA YA UTEKELEZAJI YA IDARA YA MIPANGO MIJI, ARDHI NA
MALIASILI KATIKA KIPINDI CHA OKTOBA HADI DESEMBA 2016
Idara ya Mipango Miji ,Ardhi na Maliasili ilitekeleza mambo yafuatayo;
Kitengo cha Ardhi
a) Kumilikisha wananchi 117 viwanja
b) Kufanya uhamisho wa miliki 27
c) Kuidhinisha ramani 08 za viwanja
d) Kutoa hati 84 za viwanja Kitengo cha Upimaji
a) Kupima viwanja 378 katika eneo la Kazima
b) Kusaini hati 84 za viwanja c) Kurudiaha mipaka 08 eneo la Kawajense,15 eneo la Kasimba,10 eneo la Ilembo na 04
eneo la Misunkumilo
Kitengo cha Mipango Miji
Kufanya mapitio ya ramani ya mipango Miji ambapo mchoro 01 ulipitiwa ,
Kubadilisha matumizi ya ardhi kwa mwananchi 01,viwanja 35 ramani zake ziliidhinishwa
na vibali 09 vya ujenzi vilitolewa.
Kitengo cha Uthamini
Kufanya uthamini wa fidia katika barabara ya VETA (TANROAD )
Kitengo cha Maliasili
Uoteshaji wa miti 94,450 katika vikundi mbalimbali
Ugawaji wa miti 217,588 kwa wakulima wa tumbaku
ii. TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA KAZI ZA MATENGENEZO YA BARABARA KWA
MWAKA WA FEDHA 2016/2017 KWA KIPINDI CHA OKTOBA HADI
DESEMBA 2016
1. Matengenezo ya wakati maalum barabara za Kawajense Km 8.5 ambayo gharama ya
mkataba ilikuwa Tshs. 151,271,600.00 ambapo kazi hiyo ilikamilika tarehe 18/11/2016
hadi kufikia tarehe ya kikao kazi hiyo ilikuwa imefikia asilimia 100
2. Matengenezo ya maeneo korofi barabara za Kawajense Km 8.22 ambayo gharama ya
mkataba ilikuwa Tshs. 28,723,220 ambapo kazi hiyo ilikamilika tarehe 18/11/2016
hadi kufikia tarehe ya kikao kazi hiyo ilikuwa imefikia asilimia 100
3. Matengenezo ya maeneo korofi barabara za Majengo mapya - Kazima Km 5.5 ambayo
gharama ya mkataba ilikuwa Tshs. 21,344,600.00 ambapo kazi hiyo ilikamilika tarehe
18/11/2016 hadi kufikia tarehe ya kikao kazi hiyo ilikuwa imefikia asilimia 100
24
4. Matengenezo ya wakati maalum barabara za Kasimba B Km 1.5 ambayo gharama ya
mkataba ilikuwa Tshs. 24,570,005.00 ambapo kazi hiyo ilikamilika tarehe 28.10.2016
hadi kufikia tarehe ya kikao kazi hiyo ilikuwa imefikia asilimia 97
5. Matengenezo ya kawaida barabara za Kasimba A Km 6.7 ambayo gharama ya
mkataba ilikuwa Tshs. 21,591,840.00 ambapo kazi hiyo ilikamilika tarehe 28.10.2016
hadi kufikia tarehe ya kikao kazi hiyo ilikuwa imefikia asilimia 65
6. Matengenezo ya kawaida barabara za Airport Km 10. ambayo gharama ya mkataba
ilikuwa Tshs. 26,808,270.00 ambapo kazi hiyo ilikamilika tarehe 28/10/2016 hadi
kufikia tarehe ya kikao kazi hiyo ilikuwa imefikia asilimia87
7. Matengenezo ya maeneo korofi barabara za Mji wa zamani Km 3.3 ambayo gharama
ya mkataba ilikuwa Tshs. 9,501,100.00 ambapo kazi hiyo ilikamilika tarehe
28/10/2016 hadi kufikia tarehe ya kikao kazi hiyo ilikuwa imefikia asilimia 80
8. Ujenzi wa Daraja Kasimba ambayo gharama ya mkataba ilikuwa Tshs. 59,955,700.00
ambapo kazi hiyo ilikamilika tarehe 28/10/2016 hadi kufikia tarehe ya kikao kazi hiyo
ilikuwa imefikia asilimia 98
9. Matengenezo ya maeneo korofi barabara za Mpanda - Shanwe Km 5.5 ambayo
gharama ya mkataba ilikuwa Tshs. 18,651,500.00 ambapo kazi hiyo ilikamilika tarehe
28/10/2016 hadi kufikia tarehe ya kikao kazi hiyo ilikuwa imefikia asilimia 70
10. Matengenezo ya maeneo korofi barabara za Nsemulwa Km 3.3 ambayo gharama ya
mkataba ilikuwa Tshs. 9,856,500.00 ambapo kazi hiyo ilikamilika tarehe 28/10/2016
hadi kufikia tarehe ya kikao kazi hiyo ilikuwa imefikia asilimia 75.
Baada ya kuwasilishwa taarifa hiyo wajumbe walitaka kufahamu mambo yafuatayo;
1. Eneo lililotengwa kwa ajili ya kujengwa dampo la kisasa
Kwa niaba ya Mkurugenzi ,Afisa Afya alitoa ufafanuzi kuwa Halmashauri imetenga eneo
litakalo jengwa dampo katika kijiji cha Manga kilichopo kata ya Kasokola.
2. Ni lini tatizo la upungufu wa watumishi katika idara ya mipango miji ,ardhi na Maliasili
litatatuliwa
Mkuu wa idara ya utumishi na utawala alikiri kuwa upo upungufu mkubwa wa watumishi
katika idara ya Mipango Miji ,Ardhi na Maliasili na kuahidi kuwa tatizo hilo litapatiwa
ufumbuzi baada ya kupata kibali cha ajira kutoka Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi
wa Umma.
Hata hivyo,Mkutano uliagiza suala hilo Mkoa ushirikishwe ili hatua za haraka zichukuliwe
ikiwa ni pamoja na kufanya uhamisho wa ndani ya mkoa wa Katavi.
ILIAZIMIWA KWAMBA
Mkurugenzi afuatilie kwa Katibu Tawala Mkoa kuhusu kuazimwa/kupangiwa watumishi
kutoka Halmashauri nyingine zilizopo kwenye Mkoa wa Katavi zenye watumishi wa idara
hiyo.
25
3. Kwa nini eneo la Makanyagio limetengewa kiasi kidogo cha barabara za lami ikizingatia
eneo haliko vizuri kijiografia.
Mkuu wa idara ya Ujenzi alifafanua kuwa eneo la Makanyagio ilimetengewa umbali wa
kilometa 1.2 kwa ajili ya ujenzi wa barabara ya Lami kupitia ufadhili wa Benki ya Dunia.
4. Ni lini eneo la Kazima lenye makazi holela litapimwa
Kwa niaba ya Mwenyekiti wa kamati ,Mkuu wa Idara ya Mipango Miji alitoa maelezo kuwa
eneo la makazi holela katika kata ya Kazima yatapimwa pindi fedha kwa ajili ya mradi huo
zitakapopatikana
5. Ni lini Barabara ya Mwamkulu-Karema “Junction “ itajengwa
Mkuu wa idara ya Ujenzi alitoa maelezo kuwa ujenzi wa barabara ya Mwamkulu –
Karema Junction utatekelezwa katika mwaka wa fedha 2016/2017 ambapo
Tshs.28,000,000.00 zimetengwa kwa ajili ya shughuli hiyo.
6. Ni lini ujenzi wa soko la kisasa utaanza kutekelezwa Mradi wa ujenzi wa soko la kisasa utaanza kutekelezwa katika mwaka wa fedha wa
2017/2018.
Baada ya majadiliano hayo Mkutano wa Baraza uliipitisha taarifa hiyo.
c) TAARIFA YA KAMATI YA UCHUMI, ELIMU, AFYA NA MAJI Mwenyekiti wa kamati aliwasilisha taarifa ya utekelezaji wa kamati kwa kipindi cha Oktoba –
Desemba 2016 kama ifuatavyo;
i) TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA MIRADI YA MAENDELE0 KWA
KIPINDI CHA JULAI - DESEMBA 2016
Katika bajeti ya mwaka wa fedha 2016/2017 Halmashauri ya Manispaa Mpanda imekisia
kutumia Tshs 8,834,967,000.00 kwa ajili ya utekelezaji wa miradi ya maendeleo sawa na
asilimia 40.38 ya bajeti ya Halmashauri ya Tshs 21,882,670,000.00.kwa mchanganuo
ufuatao;
Chanzo cha Fedha Kiasi (TSHS.)
Mapato ya Ndani .............................................................................. 1,214,106,000.00
Mfuko wa Barabara .......................................................................... 1,551,225,000.00
Programu ya Maji Kitaifa (NWSSP) ....................................................... 380,000,000.00
Mfuko wa Jimbo .................................................................................... 28,816,000.00
Ruzuku ya Maendeleo (LGCDG/DADPs/MMAM) ...................................... 419,219,000.00
Miradi ya Benki ya Dunia Kuendeleza Miji (ULGSP) ............................. 4,248,565,000.00
TASAF ................................................................................................ 366,012,000.00
Miradi ya UKIMWI(NMSF) ........................................................................ 6,014,000.00
Programu ya Maji Vijijini (RWSSP) ....................................................... 190,973,000.00
Programu ya Maendeleo Sekta ya Kilimo (ASDP) ................................... 430,037,000.00
Jumla Kuu Miradi ya Maendeleo (TSHS.) ................................ 8,834,967,000.00
Kwa kipindi cha Julai – Desemba Halmashauri ya Manispaa ya Mpanda ilitumia kiasi cha Tshs.
824,303,768.00 sawa na 9.33% katika kutekeleza shughuli mbalimbali za Miradi ya
26
Maendeleo, kati ya hizo kiasi cha Tshs.256,143,886.00 sawa na asilimia 21.10 ni
mchango wake wa mapato ya ndani kwenda kutekeleza miradi ya maendeleo, na kiasi
kilichobakia cha Tshs.568,159,882.00 ni Ruzuku toka Serikali Kuu na Michango ya
Wafadhili mbalimbali.
NB. Katika Mwaka wa fedha 2016/2017 Makisio ya Mfuko wa Barabara yalikuwa Tshs
1,551,225,000.00 lakini kiasi cha fedha kilichoidhinishwa ni Tshs 1,343,510,000.00
ii) TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA IDARA YA ELIMU MSINGI KWA
KIPINDI CHA OKTOBA - DISEMBA, 2016
1) Ufuatiliaji taaluma shuleni kuhakikisha kuwa walimu wote wanafundisha kwa mfululizo.
2) Kurekebisha ikama ya walimu ili kuwa na uwiano sawa wa walimu kwa kuzingatia
upungufu. Baadhi ya walimu wamehamishwa kutoka kwenye shule zilizo na walimu
wengi kwenda zilizo na upungufu wa walimu. Urekebishaji huu pia umezingatia
walimu wenye matatizo ya afya.
3) Kusimamia zoezi la ukarabati na utengenezaji wa madawati kwa shule zote za Msingi.
Kwa kipindi cha Oktoba –Desemba 2016 madawati 170 yamesambazwa katika shule
za Kawanzige (50), Mkokwa (90) na Kabwaga (30).
4) Kuitisha kikao na Walimu wakuu, Maafisa Elimu kata na walimu wote wa Shule za
Msingi kuwaelekeza mpango mkakati wa kitaaluma wa Magamba na viwango vipya
vya kuongeza ufaulu kwa 99%.
5) Usimamizi na ufuatililiaji wa mara kwa mara kwenye ujenzi wa shule za Mkokwa,
Nsambwe, na Kabwaga. Ujenzi umekamilika kulingana na fedha iliyotengwa na
madarasa yanatumika.
6) Kusimamia mapato na matumizi ya fedha ya elimu bila malipo iliyoanza kutolewa na
serikali kuanzia mwezi Januari, 2016.
7) Usimamizi wa ufanyikaji wa mtihani wa upimaji wa darasa la Nne Novemba, 2016
8) Kushiriki zoezi la uchaguzi wa wanafunzi waliofaulu kuingia kidato cha kwanza. Zoezi limekamilika, matokeo yamebandikwa kwenye mbao za matangazo.
9) Afisa Elimu kuhudhuria mafunzo ya mfumo kwa ajili ya kuingiza taarifa za watumishi
wa Idara ya Elimu yaliyofanyika mwezi Novemba, 2016 na Afisa Elimu Vifaa na
Takwimu kuhudhuria mafunzo ya mfumo wa uingizaji wa takwimu za kielimu
yaliyofanyika Morogoro mwezi Novemba,2016.
iii) TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA IDARA YA ELIMU SEKONDARI KWA
KIPINDI CHA OKTOBA - DISEMBA, 2016
1. Ufuatiliaji taaluma shuleni kuhakikisha kuwa walimu wote wanafundisha kwa mfululizo.
2. Kurekebisha ikama ya walimu ili kuwa na uwiano sawa wa walimu kwa kuzingatia
masomo. Baadhi ya walimu wamehamishiwa kwenye shule zilizo na upungufu wa
walimu kwa baadhi ya masomo. Urekebishaji huu umezingatia pia uwepo wa walimu
wengi wa somo moja katika shule moja
27
3. Kusimamia zoezi la ukarabati na utengenezaji wa viti/meza kwa shule zote za
sekondari. Zoezi limekamilika na jumla ya viti/meza 622 vimepelekwa shuleni.
4. Kikao na Wakuu wa Shule kuwaelekeza mpango mkakati wa kitaaluma na viwango
vipya vya kuongeza ufaulu. Idara imepitisha kiwango cha ufaulu kuwa 77% kwa
mwaka wa masomo 2017.
5. Usimamizi na ufuatililiaji wa mara kwa mara kwenye ukarabati wa jengo la utawala
Shule ya Sekondari Nsemulwa. Ukarabati umekamilika kulingana na fedha iliyotengwa
na jengo linatumika
6. Kusimamia mapato na matumizi ya fedha ya elimu bila malipo iliyoanza kutolewa na
serikali ku anzia mwezi Januari, 2016.
7. Usimamizi na ufuatiliaji wa mtihani wa Taifa wa Kidato cha Nne Novemba, 2016 na
Mtihani wa Upimaji wa kidato cha pili Novemba, 2016
8. Kusimamia na kufuatilia utungaji, ufanyikaji, usahihishaji wa mtihani wa pamoja kwa
wanafunzi wa kidato cha kwanza na cha tatu zoezi lililofanyika mwezi Novemba na
Disemba, 2016. Matokeo yametoka na yamesambazwa katika shule zote za sekondari
ndani ya Manispaa.
9. Kushiriki zoezi la uchaguzi wa wanafunzi waliofaulu kuingia kidato cha kwanza. Zoezi limekamilika, matokeo yamebandikwa kwenye mbao za matangazo na Wakuu wa
Shule wamewatumia wazazi fomu za kujiunga ili wazazi wafanye maandalizi ya
mahitaji ya wanafunzi kabla ya mhula wa masomo haujaanza mwezi Januari, 2017.
10. Kusimamia utengenezaji wa vitanda 45 (double decks) kwa ajili ya wanafunzi wa bweni
wa Shule ya sekondari ya Wasichana Mpanda. Vitanda vimekamilika na viko tayari kwa
ajili ya matumizi shule ikifunguliwa Januari, 2017.
11. Afisa Elimu Vifaa na Takwimu kuhudhuria mafunzo ya mfumo kwa ajili ya kuingiza
taarifa za watumishi wa Idara ya Elimu yaliyofanyika mwezi Novemba, 2016 na pia
mafunzo ya mfumo wa uingizaji wa takwimu za kielimu yaliyofanyika Morogoro mwezi
Novemba,2016.
iv) TAARIFA YA UTEKELEZAJI IDARA YA MAENDELEO YA JAMII, JINSIA, WAZEE
NA WATOTO KWA KIPINDI CHA OKTOBA - DESEMBA, 2016.
Katika kipindi cha Oktoba hadi Desemba, 2016 Idara ya Maendeleo ya Jamii Jinsia
Wazee na Watoto ilitekeleza shughuli mbalimbali kwa kushirikiana na wadau wa
Maendeleo katika kuratibu, kushauri na kutoa mafunzo mbalimbali kwa Jamii.
1. Vikundi 10 vimesajiliwa katika robo hii, kati ya vikundi hivyo 01 ni cha Wanawake
na 01 ni cha vijana na vikundi 08 ni vya mchanganyiko.
2. Vijiji 04 vya kata ya Magamba vimetembelewa na kuhamasishwa shughuli za
maendeleo na uundaji wa vikundi, na Asasi 02 za Usevya Development Society
28
Organization (UDESO) na Grace Community Development Education (GCDE)
zimetambuliwa.
3. Ufuatiliaji wa marejesho ya mikopo kwa vikundi 40 umefanyika na jumla ya Tshs.
5,766,000 zimerejeshwa kwa kipindi hiki, Mfuko wa Maendeleo ya Wanawake na
Vijana Tshs. 2,207,000 na Mfuko wa Wajasiriamali Tsh. 3,759,000.
4. Fedha Tshs 30,000,000 kwa ajili ya mafunzo na utoaji mikopo imeombwa katika Robo ya pili.
v) TAARIFA YA ROBO YA II YA UTEKELEZAJI TASAF OKTOBA-DESEMBA 2016 Katika kipindi cha Oktoba hadi Desemba, Halmashauri ya Manispaa ilipokea ruzuku ya mwezi Novemba/ Desemba jumla ya Sh: 59,134,500.00 na kuzipeleka kwa Walengwa.
vi) TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI IDARA YA KILIMO, MIFUGO, UVUVI NA USHIRIKA
Baadhi ya shughuli zilizofanyika katika kipindi cha mwezi Oktoba hadi Disemba, 2016 ni kama ifuatavyo: I. KITENGO CHA USHIRIKA:
• Ukaguzi wa SACCOS 9 zilizo katika halmashauri ya Manispaa ya Mpanda
• Kutoa mafunzo ya uwekaji wa hesabu kwa viongozi wa vyama 6 vya ushirika
• Kuhudhuria mikutano mikuu ya vyama vikuu vya ushirika vya LATCU na Kasokola
AMCOS
• Kutembelea vyama 12 vya ushirika na kutatua migogoro mbalimbali ya kiuongozi
katika baadhi ya vyama hivyo.
II. KITENGO CHA KILIMO:
• Kusimamia zoezi la usambazaji wa mbolea za ruzuku ya serikali
• Kutoa ushauri wa kitaalam kwa wakulima juu ya kilimo bora cha mazao ya mpunga,
mahindi, karanga, maharage, na mhogo
• Kulima mashamba ya mfano 7 ya mahindi, karanga na maharage
• Kuandaa mpango wa bajeti wa Idara wa mwaka 2017/2018.
• Ukaguzi wa maduka ya pembejeo katika maduka 11, stoo 3 na ghala 1 ili kudhibiti
ubora wa pembejeo za kilimo zinazouzwa na mawakala wa pembejeo.
III. KITENGO CHA MIFUGO:
• Elimu na ushauri kwa wafugaji ambapo jumla ya wafugaji 291 kati ya 350 wamepatiwa
ushauri juu ya ufugaji bora wa Ng’ombe wa maziwa na Ufugaji bora wa kuku wa asili
katika kata 15 za Manispaa ya Mpanda.
29
• Ukaguzi wa mifugo inayochinjwa katika machinjio ya Mpanda Hoteli na sehemu
zingine zilizoainishwa kwa kuchinjia mifugo kama mbuzi na Nguruwe ambazo ni
Kawajense, Kashaulili, Kakese, Mwamkulu na Nsemulwa
• Ujazaji fomu za magonjwa ya mifugo (Disease Survaillance Form) na ujazaji wa
fomu za taarifa za Machinjio (Abattoir Report) ambapo jumla ya fomu 49 zimejazwa
na kutumwa kituo cha ufuatiliaji wa magonjwa ya mifugo kanda ya nyanda za juu
kusini magharibi (ZVC Sumbawanga).
• Usimamizi wa minada ya Kakese na Mwamkulu
• Utoaji chanjo kwa Mbwa ambapo jumla ya Mbwa 5 kati ya 300 wamechanjwa dhidi ya
kichaa cha Mbwa na jumla ya Kuku 796 wamechanjwa dhidi ya Mdondo. Mafunzo kwa
kikundi kimoja cha ufugaji wa maksai juu ya matumizi sahihi ya utumiaji wa maksai
hasa wakati huu wa masika.
a. Tiba dhidi ya magonjwa ya mifugo Jumla ya Ng’ombe 132, Mbuzi 78, Nguruwe 135 na Kuku 287, wametibiwa dhidi ya
magonjwa mbalimbali.
b.Ukaguzi wa nyama
Kwa kipindi cha mwezi Oktoba hadi Desemba jumla ya Ng’ombe 1836, Mbuzi 881Bna
Nguruwe 176 wamechinjwa na kukaguliwa. Aidha hatua mbalimbali zimechukuliwa kwa
mnyama/viungo vilivyoonekana havifai kwa matumizi ya binadamu. Jumla ya ngozi za
ng’ombe 1836 na mbuzi 881 zimesindikwa kwa kutumia chumvi.
Kuku/mayai: Jumla ya kuku wa kienyeji 11,847 wameuzwa kwa wastani wa Tshs
13,000/=
MAZIWA: Jumla ya lita 21,920 za maziwa zimezalishwa na kuuzwa kwa wakazi wa Mpanda
kwa wastani wa Tshs 1000/=kwa lita.
c.Uogeshaji.
Jumla ya Ng’ombe 8734, mbuzi 761, kondoo 113 na mbwa 50 wamenyunyiziwa dawa kwa
kipindi chote cha mwezi Oktoba hadi Desemba. Pia jumla ya Ng’ombe 234 wameogeshwa
katika josho la mtu binafsi iliopo kata ya misumnkumilo kitongoji cha Itogolo.
d.Maduhuli yatokanayo na usafirishaji wa mifugo.
Kwa kipindi chote cha miezi mitatu jumla ya Ng’ombe 304 wamesafirishwa, Kati ya hao
Ng’ombe 265 wamesafirishwa ndani ya Wilaya na Ng’ombe 39 wamesafirishwa nje ya Mkoa.
Aidha jumla ya Tshs 365,500/= zimekusanywa kutokana na usafirishaji huo.
iv.Kitengo cha uvuvi:
• Ukaguzi wa maduka ya samaki wabichi ili kuhakikisha miundombinu sahihi inakuwepo
kwa ajili ya afya ya wateja.
• Kutoa leseni za biashara ya samaki kwa wafanyabiashara 20 wa samaki
• Kuendesha zoezi la kuzuia uuzaji holela wa samaki wabichi mitaani.
30
• Kutoa elimu ya ufugaji samaki kwa wafugaji wa samaki 35 katika kata za Nsemulwa,
Shanwe, Makanyagio, Kawajense, Mwamkulu na Kashaulili.
v.Ufugaji wa samaki:
Jumla ya kilo 133.7 za samaki aina ya Sato na kilo 37 za samaki aina ya kambale zilivuliwa
kwenye mabwawa binafsi 44. Wastani wa bei ya kilo moja ya samaki waliovuliwa ni Tshs
6,000/=
Baada ya kuwasilishwa taarifa hiyo Mkutano wa Baraza la Madiwani ulitaka kufahamu mambo
yafuatayo;
i) Upi ni Mpango mkakati wa Halmashauri wa kudai wadaiwa sugu wa feha za mikopo ya
vikundi vya wanawake na vijana.
Kwa niaba ya Mwenyekiti wa Kamati, Mkuu wa Idara ya Maendeleo ya Jamii alitoa
ufafanuzi kuwa Halmashauri imeendelea kuwafuatilia wadaiwa sugu wa madeni hadi
kufikia tarehe ya mkutano madeni yalikuwa yamepungua kutoka
Tshs.25,389,500.00 zilizokuwa zinadaiwa hadi kufikia Tshs:8,550,030.00
ii) Ni lini chakula kitaanza kutolewa kwa wagonjwa katika Hospitali ya Manispaa ya
Mpanda.
Ufafanuzi ulitolewa kuwa zoezi la utoaji wa chakula katika hospitali ya Manispaa ya Mpanda
litaanza pindi fedha za uendeshaji wa zoezi hilo zitakapopatikana.
d) TAARIFA YA KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI
Mwenyekiti wa kamati ya Kudhibiti UKIMWI aliwasilisha taarifa ifuatayo; a)TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA MRADI WA UKIMWI KWA KIPINDI CHA OKTOBA HADI DESEMBA 2016 KATIKA HALMASHAURI YA MANISPAA MPANDA. Katika kipindi hiki cha mwezi Oktoba hadi Desemba 2016 tumetekeleza shughuli zifuatazo:
Kutembelea watu wanaoishi na maambukizi majumbani, Kutoa elimu ya lishe kwa watu
wanaoishi na maambukizi, kutoa elimu ya kukuza na kongeza kipato, kutoa mafunzo ya
watoa huduma (CHBC), Kufuatilia wateja walio potea kwenye huduma ya tiba (LTFU) na
kuwarudisha kwenye huduma, Kufanya vikao kila mwezi na CHBC na kufanya huduma ya
ushauri nasaha.
(a) kuwatembelea watu 913 wanaoishi na maambukizi na kuwapatia huduma mbalimbali;
kama ufuasi mzuri wa matibabu, huduma za kimwili, huduma za kisaikologia pamoja
na huduma za kiroho Tshs. 19,350,000.
(b) Tumefanikiwa kutafuta wateja 148 na kurudisha wateja 46 kwenye huduma za tiba na
matunzo ambapo zilitumika Tshs.Tshs. 230,000/=
(c) Kuendesha vikao vya watoa huduma za VVU na UKIMWI kila mwezi (HBC PROVID-
ERS) ambapo zilitumika Tshs.1,050,000/=
31
(d) Kutoa mafunzo ya uendeshaji wa vikundi vya kukuza uchumi kwa wawakilishi 5
kutoka kwenye vikundi vitano ambapo zilitumika Tshs. 375,000/=
b) TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA MRADI WA MAPAMBANO DHIDI
YA VVU/UKIMWI KWA KIPINDI CHA MIEZI MITATU (OKTOBA HADI DESEMBA
2016) CHINI YA WAFADHILI
Katika kipindi cha Oktoba – Disemba 2016 Idara ya afya kwa kushirikiana na wadau
mbalimbali katika mapambano dhidi ya VVU/KIMWI ilmetekeleza shughuli zifuatazo;
i) UPIMAJI WA VVU KWA HIARI(HTC)
Katika kipindi cha mwezi Oktoba - Desemba 2016 jumla ya watu 9,875 waliopimwa kati yao
wanawake 5,681 na wanaume 4,194 ambapo wanawake 295 na wanaume 219 waligundulika
na Maambukizi ya VVU.
ii) HUDUMA YA TIBA NA MATUNZO .
Wateja waliopimwa na kubainika kuwa na maambukizi ya VVU walipewa rufaa kwenda katika
vituo vya huduma tiba na matunzo ambapo waliweza kusajiliwa na kuandikishwa pamoja na
kuchunguzwa na kuwatathmini kama wanastahili kuanzishiwa dawa za kupunguza makali ya
VVU au kupewa dawa za kuzuia magonjwa nyemelezi ambapo wateja 430 waliandikishwa
kati yao 156 wanaume na 274 wanawake.
iii) DAWA ZA KUPUNGUZA MAKALI YA VVU
Kwa kipindi cha Oktoba – Desemba 2016 jumla ya wateja walioanzishiwa dawa za
kupunguza makali ya Virusi vya UKIMWI ni 443 kati yao 158 ni wanaume na 285 ni
wanawake
iv) HUDUMA ZA KUZUIA MAAMBUKIZI YA VVU TOKA KWA MAMA KWENDA KWA
MTOTO (PMTCT)
Jumla ya watoto 108 walizaliwa na mama wenye VVU na watoto waliopima VVU ni 104
v) HUDUMA YA TOHARA KWA WANAUME
Tohara kwa wanaume ilifanyika kwa lengo la kuzuia maambukizi ya VVU katika ngazi ya jamii.
Huduma mkoba katika kata ya kakese, Kituo cha Afya Mwangaza na Mpanda Hospital
Jumla ya wateja waliofanyiwa tohara ni 2,471.
Baada ya taarifa kuwasilishwa mkutano wa Baraza uliagiza kuwa kila kata ihakikishe inafanya
vikao vya kujadili masuala ya Kudhibiti UKIMWI.
MUHT: MMC/BARAZA/02/2016/2017:Agd :07 TAARIFA ZA UTEKELEZAJI WA
SHUGHULI KUTOKA KWENYE KATA
Taarifa za utekelezaji wa shughuli kutoka kwenye kata hazikuwasilishwa kutokana na baadhi
ya kata kutokamilisha taarifa zake.
Iliagizwa taarifa hizo zisomwe kwenye Mkutano ujao.
MUHT:MMC/BARAZA/02/2016/2017:8: TAARIFA KUTOKA KWA WANANCHI.
Mwananchi alitaka kufahamu ni lini mafundi seremala waliopo maeneo ya Pasifiki katika Mtaa
wa Majengo watahamishiwa eneo lililotengwa maalum kwa ajili ya kazi zao.
32
Mkurugenzi alitoa ufafanuzi kuwa suala la kuwahamisha wajasiliamali kutoka katika maeneo
yasiyo rasmi wakiwemo mafundi seremala kwenda maeneo yaliyotengwa rasmi yaani
Misunkumilo zoezi la kukamilisha miundombinu linaendelea vizuri.
Hadi kufikia tarehe 28/02/2017 mafundi Seremala wote wanatakiwa wawe wamehamia
Misunkumilo.
MUHT: MMC/BARAZA/02/2016/2017:9: MENGINEYO KWA IDHINI YA
MWENYEKITI
Mwenyekiti alitoa maelezo kuwa wananchi wanaohodhi viwanja pasipo kuviendeleza
wanatakiwa kuviendeleza mapema kabla viwanja hivyo havijarejeshwa kwa mujibu wa
sheria.
MUHT: MMC/BARAZA/02/2016/2017:10: KUFUNGA MKUTANO
Katibu aliwashukuru wajumbe kwa ushiriki wako katika Mkutano. Baadaye alimkaribisha
Mwenyekiti ambaye kabla ya kufunga Mkutano alisisitiza mambo yafuatayo; watendaji
kutekeleza maagizo mbalimbali yanayotolewa na Baraza la Madiwani, kila mmiliki wa nyumba
ambaye ana umeme ahakikishe anaweka taa ya nje kwa ajili ya ulinzi, wananchi wazingatie
suala la usafi na upandaji miti.
Baada ya maelezo hayo aliwashukuru wajumbe na wananchi wote waliohudhuria Mkutano.
Alifunga mkutano mnamo saa 08.44 Mchana.
Umethibitishwa na kusainiwa na:-
…………………………… ……………………………..
KATIBU MWENYEKITI
Jina………………………….. Jina………………………
Tarehe………………………………….
33
YATOKANAYO NA UTEKELEZAJI WA MAAGIZO YA MKUTANO WA PILI WA BARAZA LA MADIWANI LA TAREHE
31/01/2017
AGENDA
AGIZO MTEKELEZAJI UTEKELEZAJI
USHURU WA CHOO CHA STENDI YA MABASI Mkurugenzi awasilishe mapitio ya Mkataba wa ushuru wa choo
Mkurugenzi wa Manispaa Mpanda
Agizo limetekelezwa, mkataba umeandaliwa ataanza kulipa mwezi Aprili 2017, Tsh 500,000.
MICHANGO YA UTENGENEZAJI WA MADAWATI Iandaliwe taarifa yenye Mchanganuo wa uchangiaji wa Madawati unaonesha Madawati mangapi yaliyotengenezwa , watu wangapi waliochangia na Mgawanyo wa Madawati ulivyofanyika.
Mkurugenzi wa
Manispaa
Mpanda
Agizo limezingatiwa taarifa imeambatishwa
UJENZI WA ZAHANATI YA MWAMKULU i.Kwenye kamati ya fedha
iwasilishwe taarifa ya lini mradi
wa kujenga zahanati ya
Mwamkulu utakamilika.
Mkurugenzi wa
Manispaa
Mpanda
Agizo limezingatiwa Taarifa imewasilishwa kwenye kikao cha fedha na Utawala cha tarehe 19.04.2017
ii.Iaandaliwe na kuwasilishwa
kwenye Baraza la Madiwani
taarifa ya utekelezaji wa ujenzi
wa zahanati ya Mwamkulu
Mkurugenzi wa
Manispaa
Mpanda
Agizo limezingatiwa Taarifa imeambatishwa
UPUNGUFU WA WATUMISHI Mkurugenzi wa Agizo limezingatiwa ambapo Mkoa
34
WALIOPO IDARA YA MIPANGO MIJI, ARDHI NA MALIASILI Mkurugenzi afuatilie kwa Katibu Tawala Mkoa kuhusu kuazimwa/kupangiwa watumishi kutoka Halmashauri nyingine zilizopo kwenye Mkoa wa Katavi zenye watumishi wa Idara hiyo.
Manispaa
Mpanda
umeshauri kuwasiliana na OR-TAMISEMI. Aidha, Mkurugenzi amewasiliana na OR-TAMISEMI kupitia barua yenye KUMB:KTV/MMC/S.20/1/28 ya tarehe 29/12/2016 ambayo Mhe.Meya wa Halmashauri ya Manispaa ya Mpanda alifanya ufuatiliaji na tayari Katibu Mkuu OR-TAMISEMI amehamishia watumishi 03.
35
KIAMBATA 01: UCHANGIAJI WA MICHANGO YA UTENGENEZAJI WA MADAWATI
Shule za Msingi
S/NA HALMASHAURI KATA MCHANGO
IDADI YA WACHANGIAJI
MADAWATI MGAWANYO KISHULE
WAHISANI HALMASHAURI
1 MPANDA MC ILEMBO 700,000.00 38 99 ILEMBO 99 99
2 MWAMKULU 700,000.00 307 MWAMKULU 46 20 26
MKOKWA 1O8 18 90
KABWAGA 114 84 30
KAMAKUKA 39 39
3 MAKANYAGIO 941,000.00 22 120 KATAVI 120
4 MAJENGO 1,440,000.00 6 120 AZIMIO 60 34 26
MAJENGO 60 2 58
5 KAKESE 1,500,000.00 SERIKALI YA KIJIJI 79 KAKESE 19 9 10
KAWANZIGE 60 10 50
MBUGANI 40 ( STOO)
6 MAGAMBA 250,000.00 6 175 DIRIFU 39 39
MAKONGOLO 44 3 41
MTAKUMBUKA 33 10 23
MAGAMBA 59 59
7 NSEMULWA 480 NSEMULWA 480 480
8 U/NDEGE 1,084,000.00 90 KASIMBA 90 90
9 KASHAULILI 1,600,000.00 6 179 UHURU 85 85
KASHAULILI 48 48
MWANGAZA 46 6 40
10 MPANDA HOTEL 1,000,000.00 1 63 MPANDA 31 6 25
MUUNGANO 32 7 25
11 SHANWE 2,556,000.00 249 KIVOKONI 27 2 25
MAKANYAGIO 222 8 117
SHANWE
36
12 KASOKOLA 100 KASOKOLA 60 20 40
MANGA 20 20
SUNGAMILA 20 20
13 KAZIMA 1,630,000.00 51 76 MKAPA 76 76
14 MISUNKUMILO 375,000.00 31 161 MISUNKUMILO 86 86
MILALA 5 5
NSAMBWE 70 70
15 KAWAJENSE 1 ,335,000 171 MSAKILA 75 75
MIZENGO PINDA 66 66
NYERERE 30 30
TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA UJENZI WA ZAHANATI YA MLIMA KIPALA MPAKA TAREHE 27/03/2017
S/
N.
Jinala
mradi
Fedha
tengwa
Fedha
idhinishw
a
Fedha
letwa
Fedha ya
mradi
Fedha
tumika
Fedha salia Mchango
wa Jamii
Utekelezaji Kazi ambazo
hazijakamilika
1. Ujenzi wa
zahanati ya
Mlima
Kipala
83,657,952.
00
82,617,912
.00
72,978,444
.00
64,869,728.
00
39,679,719.
50
25,190,008.
50
7,923,312.
00
1: Kujenga
Msingi
2: kujenga boma
3: Kupaua
4: Kupiga
lipu ndani na nje
5:
Kupachika
njia za
umeme
1.Kupachika
madirisha na milango
2: Kusuka dari
3: Kufunga
umeme
4: Kununua sola
5: Kununua vifaa vya
Zahanati
6: Kujenga choo
37
CHANGAMOTO ZILIZO JITOKEZA:
1: Ramani iliyofanyiwa makisio ya gharama za mradi kuwa ndogo kuliko iliyoletwa fedha na kufanya kila hatua ya mradi kuwa na ongezeko la mahitaji ya vifaa na ongezeko la kiasi cha Tsh 25,690,600.00.
2: Mafundi kutotekeleza kwa wakati.
UTATUZI WA CHANGAMOTO:
1: Halmashauri imekubali kuongeza kiasi kilichoongezeka ili mradi uweze kukamilika.
38
TAARIFA YA KAMATI YA FEDHA NA UTAWALA KWENYE MKUTANO WA TATU WA BARAZA
LA MADIWANI KWA MWAKA WA FEDHA 2016/2017 CHA TAREHE 25/04/2017
Mheshimiwa Mwenyekiti,
Kamati ya Fedha na Utawala kwa kipindi cha Januari hadi Machi, 2017, iliketi vikao vitatu (3) kama
ifuatavyo;
Kikao cha kwanza kwenye robo hii kiliketi tarehe 19/01/2017 na kuthibitishwa tarehe 16/02/2017
Kikao cha pili kiliketi tarehe 16/02/2017 na kuthibitishwa tarehe 24/03/2017
Kikao cha tatu kiliketi tarehe 24/03/2017 na kuthibitishwa tarehe 18/04/2017
Kwa kipindi cha Januari hadi Machi, 2017, Kamati ya Fedha na Utawala ilipokea, ilijadili na kupitisha
taarifa mbalimbali za kiutendaji kutoka kwa Watendaji wa Halmashauri yako. Aidha, katika kipindi hicho
Kamati ilitoa maagizo, mapendekezo na ushauri kuhusu utekelezaji wa shughuli mbalimbali za miradi ya
maendeleo na namna bora ya utendaji katika utekelezaji wa shughuli za Halmashauri kama ifuatavyo:-
1.TAARIFA YA MAPATO NA MATUMIZI KWA KIPINDI CHA MWEZI JANUARI HADI MACHI
2017
a.MAPATO
Kwa kipindi cha mwezi wa Januari hadi Machi 2017 Halmashauri ya Manispaa ya Mpanda ilipokea
shilingi 4,429,949,052.52 toka serikali kuu na makusanyo mbalimbali ya fedha za ndani kwa
mchanganuo ufuatao;
i. Mwezi Januari 2017………………………………………..Tshs.1,614,712,901.72
ii. Mwezi Februari 2017…………………………………….Tshs.1,282,598,513.34
iii. Mwezi Machi 2017…………………………………..……Tshs.1,532,637,637.46
Jumla ……………………………………………………….Tshs. 4,429,949,052.52
a. MATUMIZI Kwa kipindi cha mwezi wa Januari hadi Machi 2017Halmashauri ya Manispaa ya Mpanda ilitumia
shilingi 4,190,080,769.33 katika matumizi mbalimbali kwa mchanganuo ufuatao;
i. Mwezi Januari 2017………………………………………..Tshs.1,270,750,931.61
ii. Mwezi Februari 2017……………………………………. Tshs.1,350,255,622.13
iii. Mwezi Machi 2017…………………………………………Tshs.1,569,074,215.59
Jumla Tshs. 4,190,080,769.33
TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA MIRADI YA MAENDELE0 KWA KIPINDI CHA
JANUARI - MACHI 2017
Mheshimiwa Mwenyekiti,
39
Katika bajeti ya mwaka wa fedha 2016/2017 Halmashauri ya Manispaa Mpanda imekisia kutumia
Tshs 8,627,252,000.00 kwa ajili ya utekelezaji wa miradi ya maendeleo sawa na asilimia 39.43 ya
bajeti ya Halmashauri ya Tshs 21,882,670,000.00. kwa mchanganuo ufuatao;
Chanzo cha Fedha Kiasi (TSHS.)
Mapato ya Ndani .............................................................................. 1,214,106,000.00
Mfuko wa Barabara .......................................................................... 1,343,510,000.00
Programu ya Maji Kitaifa (NWSSP)........................................................ 380,000,000.00
Mfuko wa Jimbo .................................................................................... 28,816,000.00
Ruzuku ya Maendeleo (LGCDG/DADPs/MMAM) ...................................... 419,219,000.00
Miradi ya Benki ya Dunia Kuendeleza Miji (ULGSP) ............................. 4,248,565,000.00
TASAF ................................................................................................ 366,012,000.00
Miradi ya UKIMWI (NMSF) ....................................................................... 6,014,000.00
Programu ya Maji Vijijini (RWSSP) ....................................................... 190,973,000.00
Programu ya Maendeleo Sekta ya Kilimo (ASDP) ................................... 430,037,000.00
Jumla Kuu Miradi ya Maendeleo (TSHS.) 8,627,252,000.00 Halmashauri ya Manispaa ya Mpanda Mpaka kufikia tarehe 30 Machi, 2017 ilikuwa imekusanya Tshs
1,542,916,156.01 sawa na 76% ya makisio kwa Mwaka 2016/2017. Kwa kipindi cha Januari -
Machi imekusanya Jumla ya Tshs 562,998,792.29 kutoka vyanzo vyake vya ndani sawa 112% ya
makisio. Aidha katika kipindi tajwa ruzuku ya Serikali kuu iliyopokelewa ni Tshs 4,489,192,553.52
hivyo kufanya Jumla ya Mapato kuwa Tshs 5,052,191,345.81
Halmashauri kwa kipindi tajwa ilikuwa imetumia Tshs. 4,151,321,988.82 sawa na 19.15% katika
kutekeleza shughuli mbalimbali za Miradi ya Maendeleo, kati ya hizo kiasi cha Tshs.
385,064,393.28 sawa na 76.12% ni mchango wake wa mapato ya ndani kwenda kutekeleza Miradi
ya maendeleo.
3.TAARIFA YA MANUNUZI YA ROBO YA TATU YA MWAKA WA FEDHA 2016/2017.
Mheshimiwa Mwenyekiti,
Kamati ilipokea taaifa ya manunuzi ya robo ya tatu ambayo ilikuwa na taarifa zifuatazo;
1) vikao vya Bodi ya Zabuni
Kwa Kipindi cha robo ya Tatu Bodi ya Zabuni imekaa vikao na kutoa maamuzi yake kama ifuatavyo:-
i) Tarehe 17/01/2017, Bodi ya Zabuni ilipitia na kuupitisha muhtasari wa Bodi ya Zabuni wa tarehe
05/12/2017 uliokua unazungumzia Ujenzi wa Barabara kwa kiwango cha lami Mpanda Mjini 7.7km,
Pamoja na kupitisha manunuzi mbalimbali.
ii) Tarehe 15/02/2017 Bodi ya Zabuni ya Manispaa Mpanda ilikaa na kupitisha yafuatayo:-
40
1. Tangazo na Nyaraka kwa ajili ya Ujenzi wa Barabara za lami zenye urefu wa KM 7.7 katika
Manispaa ya Mpanda.
2. Mzabuni atakaye kusanya Ushuru wa Maegesho katika Halmashauri ya Manispaa ya Mpanda
kwa kipindi cha Machi – Desemba 2017.
3. Ujenzi wa kituo cha vijana na Wanawake Misunkumilo.
4. Ujenzi wa Msingi wa hostel ya Sekondari ya Rungwa. 5. Tangazo na nyaraka za kotesheni za ukarabati wa Zahanati kama ifuatavyo:-
• Kufunga mfumo wa uvunaji wa maji ya mvua na ununuzi wa Sim tank 02 zenye ujazo wa lita 5000 Zahanati ya Mwamkulu.\
• Uwekaji wa Solar Power 01, Sim Tank 02 zenye ujazo wa lita 5000 pamoja na kukamilisha ujenzi wa wodi ya wazazi-Zahanati ya Kakese.
• Kumalizia ujenzi wa kituo (Kuezeka, Milango, Rangi, Madirisha, Choo na Bafu) -Zahanati ya Milala.
• Ujenzi wa choo na utengenezaji wa samani – Zahanati ya Mtakumbuka. iii) Tarehe 10/03/2017 bodi ilikaa na kutunuku zabuni za matengenezo ya barabara lot 1-7 kwa mwaka wa fedha 2016/2017. Pia katika Robo ya Tatu ya mwaka wa fedha 2016/2017 Bodi ya Zabuni ilipitisha maamuzi mbalimbali
kwa njia ya Waraka unaozunguka kama ifuatavyo.
Na Tarehe Maelezo
1. 06/01/2017 Ununuzi wa mfumo wa GOTHOMIS katika Hospitali ya Manispaa ya Mpanda.
2. 13/01/2017 Ununuzi wa dawa na vifaa tiba kwa ajili ya vituo vya Afya, Zahanati na Hospitali kwa gharama ya Tshs 41,665,900/=
3. 30/01/2017 Ilipitisha tangazo na nyaraka kwa ajili ya kumpata mkandarasi wa ujenzi wa Skimu ya umwagiliaji Kakese.zabuni NO.LGA.101/2014/2015/IRR/W/02
4. 08/02/2017 • Manunuzi ya vifaa vya kuingiza Maji ya Ikolongo katika Jengo la Makao Makuu ya Ofisi ya Manispaa.
• Manunuzi ya Vifaa kumi vya kukusanyia Mapato (Set of Smart phones and Thermal Printer)
• Ununuzi wa Madawati. • Kupitisha taarifa ya Timu ya Tathimini kuhusu Ubinafsishaji
wa Uzoaji na Udhibiti wa taka katika Maeneo ya Manispaa ya Mpanda.
• Ujenzi wa kibanda cha mlinzi ofisi ya Manispaa Mpanda.
41
5. 14/02/2017 Ilitunuku ununuzi wa kazi ya ujenzi wa vibanda vidogo vya wajasiriamali Misunkumilo.
6. 21/02/2017 Ilitunuku ununuzi wa kazi ya ujenzi wa Choo na ukarabati wa Zahanati ya Milala na ujenzi wa Choo Zahanati ya Mtakumbuka.
7. 23/02/2017 Ilipitisha ongezeko la bei ya chakula Mkataba Na.LGA.101/2016/2017/CQ/04 na kupitisha tangazo na nyaraka za kumpata mzabuni atakaye sambaza vifaa vya kukusanyia mapato (Complete POS).
8. 20/03/2017 Kumpitisha Mzabuni kwa ajili ya kuleta vifaa 40 vya kukusanyia Mapato (Complete Pos) na kumpitisha Mkandarasi wa Ujenzi wa kibanda cha mlinzi kilichopo katika Ofisi ya Halmashari ya Manispaa ya Mpanda
2) Mikataba iliyo sainiwa
Manispaa kwa kipindi cha robo ya tatu imesaini mikataba ifuatayo:-
Na Jina la Mkataba Mkandarasi/Mtaalamu Mshauri
Thamani ya Mkataba(Tshs)
1 Mkataba wa ujenzi wa vibanda vidogo vya wajasiriamali Misunkumilo.Na.LGA.101/2016/2017/CQ/W/05
Ms Kalabash Construction & General Supply, P.O.Box 114 , SUMBAWANGA.
21,399,770.00
2 Mkataba wa ujenzi wa Choo na ukarabati wa Zahanati ya Milala Na.LGA.101/2016/2017/CQ/W/06
Ms Kalabash Construction & General Supply, P.O.Box 114 , SUMBAWANGA.
28,281,000.00
3. Mkataba wa ujenzi wa Choo Zahanati ya Mtakumbuka Na.LGA.101/2016/2017/CQ/W/07
Ms Kalabash Construction & General Supply, P.O.Box 114 , SUMBAWANGA.
9,917,500.00
3)Ununuzi kwa Robo ya Tatu kwa njia ya LPO Manispaa kwa kipindi cha Robo ya Tatu ilifanya Manunuzi ya kila Idara kwa njia ya LPO kama ifuatavyo:
NA IDARA KIASI CHA FEDHA
1 UTAWALA 24,884,416.50
42
2 IDARA YA KILIMO 1,037,574.00
3 IDARA MIPANGO 5,661,078.00
4. ELIMU MSINGI 5,813,150.00
5. IDARA YA MAJI 518,358.00
6. IDARA YA UJENZI 5,137,066.00
7. IDARA YA AFYA 53,765,991.00
JUMLA 96,817,633.5
4.TAARIFA YA UKAGUZI WA NDANI KWA KIPINDI CHA JANUARI HADI MACHI 2017.
Mheshimiwa Mwenyekiti
kamati ilipokea na kupitisha taarifa ya ukaguzi wa ndani katika kipindi cha robo ya tatu yenye taarifa
zifuatazo;
i) YATOKANAYO NA HOJA ZA USHAURI ULIOPITA.
Kumekuwa na uchelewashaji wa kujibu hoja zinazotolewa na Mkaguzi wa Ndani. Hali halisi ya hoja ni
kama ifuatavyo:
Tarehe Aina ya
Ripoti
Hoja Ushauri Hali ya
utekelezaji
14/01/2014 IAR for
OCT-DEC
2013
Fedha ambazo hazi-
jawasilishwa na
Mawakala
Tshs.3,710,000/=
Menejimenti ihakikishe
fedha hizi zi-
nawaswilishwa.
Haijatekelezwa.
Mwekahazina
ameandikiwa ba-
rua ya kujieleza
kumb,na
KTV/PF/137/4 ya
4/10/2016.kwa ku-
shindwa kuchukua
hatua stahiki.
14/01/2014 IAR for
OCT-DEC
2013
Tozo la riba (5%)
kwa kutokuwasilisha
Mapato kwa wakati
Tshs 3,105,000/=
Mawakala wawasilishe
fedha
Haijatekelezwa.
Mwekahazina
ameandikiwa ba-
rua ya kujieleza
43
kumb
KTV/PF/137/4 ya
4/10/2016.kwa ku-
shindwa kuchukua
hatua stahiki.,
15/07/2014 IAR for
APR-
JUNE
2014
Fedha iliyokopwa
kutoka Akaunti moja
kwenda nyingine
Tshs 55,000,000/=
Menejimenti ihakikishe
fedha zinarejeshwa
katika Akaunti husika
Haijatekelezwa
15/07/2015 IAR for
APR-
JUNE
2015
Mkopo
ths.82,290,000/
uliochukuliwa kutoka
katika akaunti ya
Amana bila jitahada
za kuzirejesha.
Menejimenti ihakikishe
fedha zinarejeshwa
katika Akaunti husika ili
kutekeleza kazi iliyoku-
sudiwa
Imetekelezwa
kwa ki-
asi.Zimebaki
ths.21,690,000/=
15/07/2015 IAR for
APR-
JUNE
2015
Fedha za fidia am-
bazo hazijalipwa
kwa walengwa
Tshs.2,368,980/=
Menejimenti ihakikishe
fedha hii ambayo haiku-
lipwa kwa walengwa
inarejeshwa benki
Hoja Ime-
tekelezwa kwa
kiasi
tsh.1,951,680/kupi
tia. stk
Na113721.BADO
muhusika ha-
jawasilisha
ths.417,300/=.ziliz
obaki zitakatwa
katika madai yake
ya disturbance al-
lowance Mhusika
ameearifiwa
KTV/MMC/R.30/04
/59.
44
10/10/2015 IAR for
JUL-SEPT
2015
5:3:3
Mtumishi kutoku-
lipwa “Outfit Allow-
ance” na malipo
mengine ya safari ya
nje tokea 2014.
Tshs.10,068,480./=
Menejimenti iangalie hali
hii ya kutokutendewa
haki kwa Mtumishi huyu
ambaye aliliwakilisha
Taifa nje ya Nchi.
Imetekelezwa
kwa kiasi.
Ths.5,500,000/=
zimelipwa kupitia
hundi 00629,
006402 na 006536
01/06/2015 IAR for
JAN-
MARCH
2015
5.5.4
Malipo ya Tshs
2,173,710 yalilipwa
bila taarifa ya
mthamini
Menejimenti ioneshe
uthibitishio wa taarifa ya
mthamini vinginevyo
fedha hizi zinatakiwa
zirejeshwe
Haijatekelezwa
13/04/2016 IAR for
JAN-
MARCH
2016
5.2.1.1
Mawakala
waliochelewesha
malipo hawajalipa
faini ya jumla ya
Tshs. 11,824,000
Menejimenti ihakikishe
faini ambayo haijalipwa
inalipwa kabla ya mi-
kataba kuvunjwa.
Haijatekelezwa
13/04/2016 IAR for
JAN-
MARCH
2016
5.2.1.3
Fedha ambazo hazi-
jawasilishwa na
Mawakala Tshs
128,740,000
Menejimenti ihakikishe
fedha ambazo
haijawasilishwa
zinalipwa kabla ya
mikataba kuvunjwa.
Imetekelezwa
kwa kiasi Jumla
ya Tshs
116,240,000/=
imeshalipwa Bado
Tshs 12,500,000/=
13/04/2016 IAR for
JAN-
MARCH
2016
5.2.1.4
Mkandarasi wa
Mgahawa hajalipa
malipo na faini kwa
muda wote wa
mkataba
Tshs.2,280,000/=
Menejimenti ihakikishe
fedha ambazo
haijawasilishwa
zinalipwa kabla ya
mikataba kuvunjwa
Haijatekelezwa
45
13/04/2016 IAR for
JAN-
MARCH
2016.
5.2,2.4
Eneo la ujenzi na
hati ya umiliki wa
soko la
kisasa(Kawajense)
bado
halijaidhinishwa na
Wizara
Ufuatiliaji wa karibu
ufanyike kuhakikisha
eneo linapimwa na hati
ya umiliki inapatikana
kabla ya mradi kuanza.
Imetekelezwa
kwa kiasi.Hati ya
umiliki kiwanja
imeandaliwa
inasubiri ku-
wasilishwa kwa
Kamishna wa
Kanda.
13/04/2016 IAR for
JAN-
MARCH
2016.
5.2.6
Mawakala
hawajalipia gharama
za vitabu vya
kukusanyia ushuru
Tshs 900,000/
Mawakala wote
waliochukua vitabu
wanatakiwa wafuatiliwe
ili walipe vitabu
walivyochukua.
Kuanzia sasa vitabu
visitolewe bila kulipiwa.
Haijatekelezwa
15/07/2016 IAR for
APR-JUN
2016
3.1.4
Barabara za
Manispaa Mpanda
kutokuwa na majina.
Mhandisi afanye jitihada
za kuzitambua Barabara
kwa majina.
Imetekelezwa
kwa kiasi. Kwa
msaada wa kifaa
maluum cha kom-
pyuta (DROMAS
SOFTWARE) wa-
taalam wameone-
sha mtandao wa
barabara zote
zilizopo kwa ku-
tumia GIS. Ramani
husika ime-
wasilishwa kwa
Mkaguzi.Hoja ita-
fungwa barabara
46
zitakapopewa ma-
jina baada ya vi-
kao vya kiutawala
vitakapoidhinisha.
15/07/2016 IAR for
APR-JUN
2016
3.2.1
Halmashauri
haijahamisha Fedha
za mradi wa
umwagiliaji kiasi cha
Tshs 42,485,546.86
Kiasi cha Tshs
42,485,546.86 ambacho
hakijahamishwa
kipelekwe katika akaunti
ya Mradi.
Haijatekelezwa
15/07/2016 IAR for
APR-JUN
2016
3.2.2
(c) Malipo yalifanywa
nje ya Mpango
Kazi na shughuli za
Mradi Tshs
2,835,000.00
Fedha kiasi Tshs
2,835,000.00
kirejeshwe katika
Akaunti ya Mradi.
Haijatekelezwa.
(d) Fedha ambazo
hazikulipwa kwa
walengwa tshs
2,205,000.00 kati
ya tshs.2,835,000
zilizochukuliwa.
Yatolewe maelezo fedha
hizi zilikwenda wapi,
vinginevyo zirejeshwe.
Haijatekelezwa
15/07/2016 IAR for
APR-JUN
2016
3.2.2.2
Malipo yenye shaka
ufungaji wa
mtandao wa
Intanenti
ths.7,114,OOO/=
Vifaa vya
tshs.1,415,000/=vimelipi
wa bila kufungwa.Afisa
husika aliyeidhinisha
malipo arejeshe fedha
husika.
Haijatekelezwa
15/07/2016 IAR for
APR-JUN
2016
Fedha za uthamini
wa Majengo
zilizotumika vibaya
Tshs 4,360,000.00
Vifaa vilivyolipiwa bila
kupokelewa Tshs
1,360,000.00
Haijatekelezwa.
47
Tshs 500,000.00
Fedha zilizotolewa bila
walengwa kulipa tshs
2,500,000.00
Fedha zirejeshwe.
15/07/2016 IAR for
APR-JUN
2016
Kodi ya huduma
iliyokatwa bila
kulipwa Akaunti ya
Halmashauri Tshs
525,726.16
Kiasi hicho kilipwe
kwenye akaunti ya
Halmashauri
Haijatekelezwa.
15/07/2016 IAR for
APR-JUN
2016
Fedha za Tahadhali
iliyokatwa katika
Malipo ya
Mkandarasi
haijahamishwa
katika akaunti ya
Amana Tshs
10,437,251.00
Fedha hiyo ihamishwe Haijatekelezwa.
15/07/2016 IAR for
APR-JUN
2016
Masulufu
yaliyotolewa kwa
watumishi
mbalimbali bila
kurejeshwa kiasi
Tshs 5,445,000.00
Marejesho yafanywe,
vinginevyo fedha hizo
zikatwe katika malipo ya
Mishahara yao.
Haijatekelezwa.
14/10/2016 IAR for
JUL-SEPT
2016
Kutokukamilika kwa
mradi wa Zahanati
ya Mwamkulu
Mratibu awashirikishe
wadau ili kupanga
mikakati ya kumaliza
ujenzi wa Zahanati
Haijatekelezwa
14/10/2016 IAR for Zahanati ya Mhandisi aende katika Haijatekelezwa
48
JUL-SEPT
2016
Mwamkulu
imejengwa kwa
ramani iliyokubwa
kuliko
iliyoidhinishwa.
eneo ili kutathimini
ongezeko la kazi na
kuwataarifu TASAF
makao makuu juu ya
ongezeko la gharama.
14/10/2016 IAR for
OCT-DEC
2016
Kutokutumika kwa
vifaa vya kuzimia
moto
Fire extinguisher
zifanyiwe services na
ziwekwe zinapostahili na
zisiwekwe chini kama
zilivyo sasa
Haijatekelezwa
14/10/2016 IAR for
OCT DEC
2016
Kukosa mafunzo
kwa watumiaji wa
vifaa vya kuzimia
moto
Kutolewe mafunzo ya
utumiaji wa fire extin-
guisher kwa watumishi
waliopo jengoni
Haijatekelezwa
13/01/2017 IAR for
OCT-DEC
2016
Masurufu ambayo
hayajarudishwa.
Tshs 1,960,000
-Muhusika alielipwa
Abdallah Towazi afanye
mrejesho wa masurufu
aliyochukua
-malipo yaliidhinishwa
bila kujulikana nini
kinaenda kufanyika.
- Mhusika awalishe
taarifa ya kazi
iliyofanyika.
-kazi za mradi zilipwe
na Kamati ya kijiji
ambayo ina fedha ya
mradi.
Hijatejelezwa
49
13/01/2017 IAR for
OCT-DEC
2016
Fedha zilizotumika
bila idhini ya Mkuu
wa Idara Tshs
3,720,000
Fedha zilirudishwe kwa
Kitengo cha Ukaguzi ili
kukiwezesha kufanya
kazi zake.
Haijatekelezwa
13/01/2017 IAR for
OCT-DEC
2016
Hati za malipo za
kila mradi kwenye
Akaunti ya Devel-
opment ziwekwe
kwenye jalada lake.
Kurahisisha ukaguzi na
utoaji wa taarifa
Haijatekelezwa.
Idara iliahidi ku-
tekeleza lakini
mpaka ukaguzi
unafanyika hamna
kilichofanyika.
13/01/2017 IAR for
OCT-DEC
2016
Makusanyo madogo
ya property tax
Manispaa iwasiliane na
TAMISEMI kujua nini
tutapata/mgawo wetu ,
kwakuwa TRA ndo
wanakusanya kwa sasa.
Haijatekelezwa.
13/01/2017 IAR for
OCT-DEC
2016
Bajeti ya mapato
iliyokosa uhalisia
-Kuwakumbusha
wafanyabiashara kulipia
leseni za biashara
-kufanya uhakiki
kuwatambua
wafanyabiashara
wanaofanya biashara
bila leseni
Imetekelezwa
kwa kiasi
-Wafanya biashara
walitangaziwa
walipie leseni.
-zoezi la uhakiki
lilifanyika kwa siku
moja tu na ku-
shindwa kuendelea
kutokana na
ukosefu wa ma-
kufuli na kukosa
ushirikiano toka
kwa Kitengo cha
biashara,
50
ii) YATOKANAYO NA UKAGUZI KATIKA KIPINDI CHA JANUARI HADI MACHI 2017.
Katika kipindi hiki cha Januari hadi Machi 2017, Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani kilifanya kazi
mbalimbali za kusimamia Taratibu, Kanuni na Sheria kwamba zinafuatwa na kutoa ushauri katika
sehemu zilizokosa ufanisi/ kuwa na dosari kwa kadri ilivyoweza.
Baadhi ya kaguzi na shauri zilizotolewa ni kama ifuatavyo,
1. Kutokupata taarifa za kiutumishi za watumishi waliotoka Halmashauri za Mpanda na
Nsimbo.
Kitengo kilifanya ukaguzi katika baadhi ya majalada ya watumishi waliohamia kutoka Halmashauri za
Nsimbo na Mpanda, kutokana na kuongezewa maeneo ya Utawala baada ya kupata hadhi ya
Manispaa. Majalada yaliyokaguliwa ni ya watumishi wa Idara za Afya, Elimu Msingi na Sekondari
Kilimo na Utawala na kubaini mapungufu yafuatayo;
1. Kutokuwepo kwa taarifa za kiutumishi toka kwa Mkurugenzi wa Halmashauri wanazotoka.
2. Baadhi ya watumishi kutokufunguliwa majalada.
3. Majalada kutokuandikwa namba ya payroll (Check Namba).
4. Hakuna picha za watumishi katika majalada.
2. Kutelekezwa na kutokutumika kwa mashine ya kudurufu michoro ya ramani Ploter Ma-
chine iliyoko Idara ya Ardhi.
Mkaguzi wa ndani alitembelea Idara ya Ardhi na kubaini kuhusu mashine ya kudurufu ramani
iliyopatikana kwa fedha za Plot Development Revolving Fund tangu mwaka 2012.
Mkaguzi alibaini yafuatayo kuhusu mashine hiyo;
• Mashine haitumiki tangu 2013 kutokana na kukosa wino unaokisiwa kugharimu Tshs
2,500,000.
• Mashine iko katika chumba kisicho sahihi, hamna kiyoyozi na inapata vumbi.
• Kutokuwekwa katika daftari la kudumu la mali za Halmashauri na kukosa alama za
kuitambulisha kama inavyoelekezwa katika LAFM Na 63 (5) ya 2009. Pia kutokuwepo katika
kumbukumbu za vifaa vya idara kama inavyotajwa kwenye LAFM (2009) Na 63(1).
Athari ya kutokurekodiwa kifaa hiki na kutokuwekwa kwa alama za utambulisho Code ni uwezekano
wa kifaa kuchukuliwa bila kuwa na taarifa.
51
Ushauri.
1. Mashine hii ifanyiwe service na kupatiwa wino ili ifanye kazi.
2. Mashine iwekwe chumba maalum kama vifaa vingine vilivyopo GPS Room.
3. Mashine iwekewe Asset Identification code.
4. Mkuu wa idara aiingize mashine hii katika orodha ya vifaa vya Idara Inventory.
5. Mashine inatakiwa kuingizwa katika daftari la mali za kudumu za Halmashauri Fixed Asset
Register.
6. Gharama ya mashine ibainishwe kwa kurejea hati za mapokezi au nyaraka za manunuzi
vinginevyo Halmashauri itakuja kupata gharama za kumlipa mthamini ili kupata thamani ya
mashine hii.
Ushauri ulitolewa kupitia barua Kumb. Na.KTV/MMC/A.20/4/VOL II/57 ambapo pia Mkaguzi
alimkumbusha Mkurugenzi kuhakikisha anazilinda mali za Halmashauri kama LAFM Na 7(j)
inavyoelekeza na LAFM Na 8 (h) inayomhesabu Mweka Hazina kama mlinzi na msimamizi wa mali
za Halmashauri.
3, Mapokezi ya vifaa toka taasisi nyingine bila kuonyesha thamani ya fedha.
Katika barua yenye Kumbukumbu namba KTV/MMC/A.20/4/VOL IV/51 Mkaguzi alishauri kuhusu vifaa
vinavyopokelewa kutoka Wizarani na wadau mbalimbali kwa idadi bila kuonyesha thamani yake
kifedha.
Hali hii imewia vigumu katika utoaji wa taarifa za kifedha pia kuandika vifaa vilivyopokelewa katika
vitabu vya Halmashauri kwakuwa taarifa ya idadi na kiasi mdau alichofadhili kutokujulikana.
Vifaa vimekuwa vikipokelewa na kuingizwa katika leja za stoo bila kuingizwa katika taarifa za fedha.
4.Kukosa uthibitisho wa kupokelewa na kukaguliwa vifaa vya kazi vilivyonunuliwa katika
vikundi/mitaa kwa shughuli za miradi PWP (TASAF).
Halmashauri imefanya manunuzi kupitia kitengo cha manunuzi ya vifaa vya kazi za uchimbaji wa
mabwawa na usafishaji wa mitaro katika mitaa na vijiji mbalimbali katika miradi ya TASAF yenye jumla
ya Tshs 26,640,810.
vifaa vimelipiwa bila ushahidi wa vifaa kupokelewa na kukaguliwa kama inavyotakiwa katika kanuni za
manunuzi na fedha LAFM (2009) kifungu 58(1) and 59 (1) and (2).
52
5. Kuondoa barua na madokezo katika majalada wakati wa kufanya malipo.
Maelekezo na madokezo yanayoelekeza ulipaji wa fedha yamekuwa yakiondolewa katika majalada
husika na kuwekwa katika hati za malipo, ambapo jalada hukosa kumbukumbu za malipo
yaliyofanyika na kutoa mianya malipo kulipwa zaidi ya mara moja.
Mkaguzi alishashauri swala hili kipindi cha nyuma lakini bado nyaraka za malipo zinaondolewa katika
majalada bila kuwa na sababu ya msingi zaidi ya kupoteza ushahidi na kusababisha malipo kulipwa
zaidi ya mara mbili.
Mkaguzi alishauri pamoja na kuacha madokezo na barua katika majalada, hati ya malipo ionyeshe
kumbukumbu ya barua na dokezo husika katika jalada ambapo Mkaguzi anaweza kufanya marejeo
(Checking).
iv) SHUGHULI MAALUM.
• Kitengo kilifanya uhakiki wa madeni ya Watumishi Walimu mpaka Desemba 2015 yalitoka
Hazina na badae kutumwa ofisi ya Mkaguzi wa Ndani Mkuu wa Serikali, barua ya kuwasilisha
ilitumwa kwa Katibu Mkuu Hazina kumb Na KTV/MMC/A.20/4/VOL IV/52 ya tarehe 31/01/2017
• Kitengo pia kilifanya uhakiki wa madeni ya Watumishi walimu Msingi na Sekondari kwa kipindi
cha Januari hadi Desemba 2016 taarifa iliwasilishwa ofisi ya RAS kwa barua Kumb Na
KTV/MMC/E.30/1/VOL III/65 ya tarehe 13/02/2017 .
• Kitengo kilifanya uhakiki wa madeni ya watumishi wasio walimu kwa kipindi cha 2013/14 hadi
Juni 2016. Taarifa iliwasilishwa ofisi ya RAS kwa barua Kumb Na KTV/MMC/C.20/3/26.
v) USHAURI WA KIJUMLA
Kitengo kwa ujumla kinashauri mambo yafuatayo:
• Mkurugenzi na menejimenti iongeze na kuimarisha udhibiti wa ndani huku ikifuata taratibu na
sheria.
• Wakuu wa Idara na Vitengo wanapojibu hoja na kuzingatia shauri mbalimbali watoe mrejesho
kwa Mkaguzi ili kujua utekelezaji wake. Sio tu kumpelekea Mkurugenzi na wakati hoja
zimetolewa na Mkaguzi.
53
• Wakuu wa idara na vitengo kila mmoja awe na daftari la kuandika vifaa na mali za Idara yake,
pia kuwe na Invetory sheet itakayoonyesha mali na vifaa vilivyomo katika ofisi yake ili kudhibiti
upotevu wa mali za Halmashauri.
• Kitengo cha biashara kihakikise wafanyabiashara wote wanalipia leseni na siyo kuwapatia wale
tu wenye TIN Namba.wasiokuwa na TIN namba wafunge biashara zao ili iwe kichocheo cha
kuja kulipa leseni, Pia kihakikishe makufuli yanapatikana ili zoezi la uhakiki liendee na kuipatia
Halmashauri mapato.
• Madhaifu yaliyobainishwa katika ukaguzi huu yarekebishwe na yasirudiwe tena.
• Menejimenti kwa ujumla ifanye kazi kwa pamoja (Team work) kuhakikisha malengo ya
Halmashauri yanafikiwa.
Kamati iliagiza Menejimenti ihakikishe inajibu hoja zote ambazo hazijajibiwa sambamba na
kuzingatia ushauri uliotolewa na Mkaguzi wa Ndani.
6. TAARIFA YA UTUMISHI NA UTAWALA KWA KIPINDI CHA ROBO YA TATU
2016/2017 – KUANZIA JANUARI HADI MACHI 2017
Mheshimiwa Mwenyekiti,
Kwa kipindi cha robo ya tatu 2016/2017 idara ya Utumishi na Utawala iliendelea kutekeleza majukumu
yake kama ifuatavyo,
S/Na.
SHUGHULI UTEKELEZAJI
1. Kusimamia masuala ya nidhamu kazini.
Idara imeendelea na usimamizi wa rasilimali watu katika nidhamu ikiwa ni pamoja na mahudhurio na utendaji kwa ujumla.
2. Kuratibu, kusimamia na kuendesha vikao vya kisheria.
Idara imeratibu vikao vya kisheria kwa mujibu wa kanuni na taratibu ambapo kwa muda wa miezi mitatu ,idara imeratibu vikao vitatu(03) vya fedha.
3. Kusimamia suala la Utawala bora.
Idara imeendelea na jukumu lake la kusimamia utekelezaji wa shughuli mbalimbali katika ngazi za Mitaa, kata na Vijiji pamoja na kupokea taarifa kutoka kwenye Kata na Mitaa.
4. Upandishwaji vyeo, kuthibitishwa na urekebishaji wa mishahara
Kwa kipindi cha miezi mitatu hapakuwa na watumishi waliopandishwa vyeo, kuthibitishwa kazini na kurekebishiwa mishahara.
5. Stahili mbalimbali za Watumishi (ruhusa na Likizo).
Watumishi wamepewa likizo kwa mujibu wa mzunguko wa likizo, wazazi wa kike (20) wamepewa likizo za uzazi kwa mujibu wa miongozo, ruhusa za kawaida zimetolewa kwa kuzingatia uzito wa sababu za ruhusa, kwa mfano
54
(matatizo ya kiafya, kufiwa, kuuguza n.k.)
6. Mafao ya uzazi, matibabu, usafirishaji wa mizigo mazishi na uhamisho).
Madai ya mafao ya kustaafu kazi yamewasilishwa kwenye mifuko kabla ya tarehe ya kustaafu, vibali vya kustaafu vimetolewa kwa wakati kwa mujibu wa miongozo, watumishi wamekumbushwa kutoa taarifa ya kustaafu miezi sita (06) kabla. Kwa kipindi hiki jumla ya watumishi watatu (3) wamepewa barua za kibali cha kustaafu kazi vilevile watumishi wanawake watano(5) wenye sifa,wameandikiwa barua za utambulisho na kuwasilishwa katika mifuko husika kwa ajili ya mafao ya uzazi.
7. Usimamizi wa Mafunzo ya Muda mrefu na Mfupi. Idara imeendelea na kazi yake ya usimamizi wa mafunzo
ya muda mrefu kwa watumishi wake ambao wanaendelea na masomo katika vyuo mbalimbali.
8. Uratibu na usimamizi wa vyombo vya Usafiri na usafirishaji katika Halmashauri
Manispaa ina jumla ya Magari 14 kati ya haya magari nane (8) yanafanya kazi.
9. Kuwasilisha taarifa mbalimbali kwa RAS, TAMISEMI na Utumishi.
Kwa kipindi cha robo taarifa za Utumishi TUU, TANGE na CBG zimewasilishwa ofisi ya Rais,TAMISEMI na Utumishi.
10.
Ushughulikiaji wa uingizaji na marekebisho mbalimbali ya taarifa za kiutumishi kwenye mfumo shirikishi wa taarifa za kiutumishi na ulipaji wa mishahara kila siku (HCMIS –LAWSON).
Taarifa zimeendelea kurekebishwa ambapo kwa robo hii shughuli za kawaida kama kushughulikia mikopo kwa watumishi wenye sifa, kusafisha taarifa na kupokea watumishi wa Idara ya Afya (kutoka Halmashauri ya Wilaya) kimfumo zimefanyika.
7. TAARIFA YA KESI MBALIMBALI ZA HALMASHAURI
Mheshimiwa Mwenyekiti,
Kamati ilipokea na kupitisha taarifa ya kesi mbalimbali kama ifuatavyo;
1) THOMAS LEOPALD KAPEMBE-APPLICANTVS.MPANDA TOWN COUNCIL Shauri la madai
jumla ya Tshs. 92, 860, 538/95 Shauri hili linatokana na mdai kutaka fidia ya eneo analodai
kuwa amemilikishwa mtu mwingine na halmashauri ya Mji Mpanda.Pingamizi la awali
limesikilizwa na kinachosubiliwa ni uamuzi wa Mahaka Kuu tarehe 23 Aprili, 2017
2) Sumbwanga high court,land revision n0 1/2016 Mwenyekiti kamati ya shule Shanwe Vs Martine Meli Shauri hili lilitolewa hukumu na mahakama ya ardhi wilaya ya
Mpanda,na haikuwa chini ya Halmashauri .Hivyo baada ya kuzingatia madhara kwa
halmashauri tumeomba revision mahakama kuu ya Sumbawanga ili shule isiathiriwe.(shule ya
msingi Shanwe) Muombwa marerejeo amefariki dunia,kwa taratribu za kisheria,familia
inapaswa kumteua msimamizi ambaye atakuwa na mamlaka ya kujibu maombi ya Manispaa
Kesi itatajwa tarehe 24/04/2017
55
3) ALFRED MSHAJIACK VS MPANDA MUNICIPAL COUNCIL Shauri hili ni la usuluhishi wa madai ya shilingi 154,000,000/= dhidi ya Manispaa ya Mpanda Shauri hili linatokana na madai
ya malipo ya kustaafu ya mwalimu aliyestaafu kwa ugonjwa mwaka 2014 Kesi imesikilizwa kwa
pingamizi la awali na rulling itatolewa tarehe 25/04//2017
4) M/S UPENDO GROUP&NGOTE ENTERPRISES CO. LTD JV VS MPANDA MUNICIPAL COUNCIL Shauri hili lilipelekwa kitengo cha usuluhishi wa rufaa za manunuzi ya umma Dar es
salaam kampuni hiyo ikiomba irejeshwe kwenye mchakato wa zabunu yenye thamani ya bil
6.9 za kitanzania ambapo Halmashauri ililiweka pingamizi la awali na shauri liliondolewa
tarehe 08/02/2017
5) M/S UPENDO GROUP&NGOTE ENTERPRISES CO. LTD JV VS MPANDA MUNICIPAL COUNCIL shauri lilipelekwa kuomba marejeo ya kesi iliyoamuliwa na PPAA, Halmashauri
iliweka pingamizi la awali na Mahakama iliondoa shauri la waomba marejeo tarehe 10/03/2017
56
8.TAARIFA YA MAPATO NA MATUMIZI YA CHF/TIKA KWA ROBO YA TATU (JANUARI HADI MACHI 2017)
MHESHIM Mheshimiwa wenyekiti
Hospitali, vituo vya afya na zahanati katika kipindi cha Januari hadi Machi 2017 vimetekeleza shughuli mbalimbali ikiwa ni pamoja na kukusanya Tshs 46,373,646 Desemba Bakaa ilikuwa 57,731,443 Jumla 104,095,089.00 Matumizi 23,269,557.77 Salio katika Akaunti zote ni Tshs 80,825,531.23 MCHANGANUO WA MAPATO NA MATUMIZI KATIKA VITUO HIVYO NI KAMA IFUATAVYO:-
KITUO CHA HUDUMA
PAPO KWA PAPO ADA NHIF TELE KWA TELE
JUMLA YA MAKUSANY
O (JAN-MACHI)
BAKAA KWA ROBO
YA PILI
SALIO KATIKA
AKAUNTI
MATUMIZI
BAKI
KATIKA AKAUNTI
IDADI
KIASI IDADI
KIASI
Hospital ya
Manispaa
31,996,720
0 - 0 31,996,720 27,097,026 59,093,746 23,269,557.77 35,824,188.
23
Kituo cha Afya Town
Clinic
277 1,385,000 53 530,000 0 890,000 2,805,000 8,121,751 10,926,751 0.00 10,926,751
Kituo cha
Afya Ilembo
29 145,000 12 120,000 573,525 270,000 1,108,525 4,596,200 5,704,725 0.00 5,704,725
Zahanati ya
Kakese
0 0 51 510,000 0 510,000 1,020,000 6,630,000 7,650,000 0 7,650,000
Zahanati ya
Mpanda Girls
0 0 2 20,000 3,629,401 5,280,000 8,929,401 4,406,834 13,336,235 0 13,336,235
Zahanati ya Magamba
39 125,000 25 250,000 0 375,000 2,964,200 3,339,200 0 3,339,200
Zahanati ya
mwamkulu
4 10,000 5 50,000 0 60,000 2,009,800 2,069,800 0 2,069,800
Zahanati ya
Milala
23 59,000 0 0 0 59,000 342,500 401,500 0.00 401,500
Zahanati ya kasokola
0 1 10,000 10,000 1,553,132 1,563,132 1,563,132
Zahanati ya Mtakumbuka
0 0 1
10,000 0 10,000 10,000 10,000 0 10,000
372 33,720,720 150 1,500,000 4,202,926 6,950,000 46,373,646 57,731,443 104,095,089 23,269,557.77 80,825,531.
23
57
9.TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA KITENGO CHA TEHAMA KWA KIPINDI
CHA JANUARI – MACHI, 2017
Mheshimiwa Mwenyekiti,
Katika kipindi cha Januari hadi Machi, kitengo cha TEHAMA kilitekeleza shughuli mbalimbali kama
ifuatavyo;
i. Kuendelea kutoa mafunzo kwa watumishi juu ya matumizi sahihi ya barua pepe za
serikali.
ii. Kupokea na kukagua vifaa vya TEHAMA vilivyonunuliwa katika Idara ya Elimu Msingi
kupitia Kitengo cha Manunuzi.
iii. Kusimamia ufungaji wa mtandao kiambo katika hospitali kuu ya Manispaa ya Mpanda kwa
ajili ya mfumo wa mapato ya Hospitali, GOT-HOMIS
iv. Kurekebisha miundombinu inayopeleka mtandao (internet) katika jengo la BIMA Hospitali
ili kuwezesha utumaji wa taarifa za wagonjwa wanaotumia huduma ya BIMA.
v. Kitengo kimewezesha kusimika mfumo wa mapato katika vifaa kumi vya kukusanyia
mapato vilivyo ongezeka (POS), kuendelea kuratibu na kusimamia matumizi ya vifaa
hivyo.
vi. Kusimamia na kusaidia matumizi ya mfumo wa PREM kwa Idara ya Elimu Msingi katika
zoezi la uingizaji taarifa, usasishaji, usajili na utumaji wa taarifa za wanafuzni kwenda
baraza la mitihani (NECTA)
vii. Kukagua na kubainisha matatizo ya kompyuta za Idara ya Kilimo.
Kitengo cha TEHAMA kupitia sekta ya Habari na Mahusiano:-
i. Kukusanya taarifa na matukio mbalimbali yanayojili katika Halmashauri
ii. Kutoa taarifa na matangazo mbalimbali kwa jamii
iii. Kushirikiana na idara ya maendeleo ya jamii kwa kufanya hamasa juu ya upimaji wa VVU
NA UKIMWI kupitia matamasha yaliyoratibiwa na shirika la Mkapa Foundation.
iv. Kuratibu shughuli ya hamasa, habari na matangazo kwa wananchi juu ya ushiriki wao
kwenye ujio wa mwenge.
58
10. MREJESHO WA MPANGO NA BAJETI KWA MWAKA WA FEDHA 2017/2018 BAADA YA MABADILIKO TOKA HAZINA
MAPENDEKEZO YA BAJETI YA MWAKA 2017/2018
Muhtasari wa Mpango na Bajeti
Awali Halmashauri ilikisia kukusanya na kutumia jumla ya Tshs. 30,493,088,000.00 kati yake
Tshs. 2,378,800,000.00 ni kutoka vyanzo vyake vya mapato ya ndani,
Tshs.28,114,288,000.00 ni kutoka ruzuku ya Serikali kuu na wafadhili mbalimbali. Bajeti
imeshuka hadi kufikia kiasi cha Tshs.27,468,965,783 baada ya mawasilisho kama ifuatavyo:-
MAELEZO BARAZA HAZINA TOFAUTI
Matumizi ya Kawaida (OC) 4,224,262,000 2,644,050,000 (1,580,212,000)
Mishahara (PE) 18,599,776,000 16,445,712,000 (2,154,064,000)
Miradi ya Maendeleo (DEV) 7,669,050,000 8,379,203,783 710,153,783
JUMLA (TSHS.) 30,493,088,000 27,468,965,783 (3,024,122,217)
Mapato ya ndani
Halmashauri inatarajia kukusanya jumla ya Tshs 2,378,800,000.00 kutokana na makusanyo ya vyanzo vya ndani, Muhtasari wa Matumizi: Mapato ya Ndani ya Halmashauri
Maelezo BARAZA HAZINA TOFAUTI
Kiasi (TSHS)
Mishahara 20,112,000.00 15,768,000 (4,344,000.00)
Matumizi Mengineyo 931,408,000.00 935,752,000 4,344,000.00
Miradi ya Maendeleo 1,427,280,000.00 1,427,280,000 0.00
Jumla 2,378,800,000.00 2,378,800,000 0.00
Ruzuku toka Serikali Kuu Muhtasari wa Mapendekezo ya matumizi kwa Ruzuku toka Serikali Kuu ni kama ifuatavyo:-
Maelezo BARAZA HAZINA TOFAUTI
Kiasi Kiasi Kiasi
Mishahara 18,579,664,000 16,429,944,000 (2,149,720,000)
Matumizi mengineyo 2,890,851,000 1,708,298,000 (1,182,553,000)
Miradi ya Maendeleo 2,265,739,000 2,810,321,000 544,582,000
59
Jumla 23,736,254,000 20,948,563,000 (2,787,691,000)
Mabadiliko ya Matumizi kwa kila Kasma.
Mapato ya Ndani
Mapato ya ndani yatatumika kama ifuatavyo:-
Mishahara
Kasma Maelezo Kiasi (TSHS)
BARAZA HAZINA
5000 Idara ya Utawala 20,112,000.00 15,768,000.00
Jumla ya Mishahara-vyanzo vya ndani 20,112,000.00 15,768,000.00
Matumizi mengineyo
Kifungu Maelezo Kiasi cha matumizi mengineyo
BARAZA HAZINA
500A Utawala 13,716,000.00 0
500B Utumishi 537,638,000.00 594,012,000
500C Utawala-Siasa 2,400,000.00 0
501A Mazingira na Usafishaji 48,000,000.00 47,040,000
502A Fedha 103,070,000.00 92,950,000
503A Mipango 43,840,000.00 43,840,000
507B Elimu Msingi 52,696,000.00 15,000,000
507E Michezo 0 12,000,000
508A Afya (CHMT) 0 3,200,000
512A Ardhi Utawala 2,697,500.00 3,990,000
512B Upimaji na Ramani 13,415,000.00 12,255,000
512C Usimamizi wa Ardhi 1,112,500.00 2,285,000
512D Uthamini 2,395,000.00 4,030,000
512E Mipango Miji 8,380,000.00 5,440,000
512H Maliasili Misitu 8,195,000.00 8,095,000
514B Sheria 6,000,000.00 3,402,500
515B Ukaguzi wa ndani 17,550,000.00 17,550,000
516B Ugavi 17,845,000.00 14,290,000
517B Uchaguzi 0 5,000,000
518B Mawasiliano(TEHAMA) 26,935,000.00 26,937,500
60
527A Maendeleo ya Jamii 25,523,000.00 24,435,000
Jumla ya Matumizi Mengineyo 931,408,000.00 935,752,000.00
Miradi ya maendeleo
Kiasi (TSHS)
Kifungu Maelezo BARAZA HAZINA
500A Miradi ya maendeleo (Kata na Vijijini) – 20% 285,456,000 285,456,000
503A Miradi ya Maendeleo (Mipango)- 25% 356,820,000 356,820,000
505B Miradi ya Mifugo (15%) 214,092,000 214,092,000
505D Miradi ya Uvuvi (5%) 71,364,000 71,364,000
506B Miradi ya Kilimo (20%) 285,456,000 285,456,000
511A Kuchangia miradi ya wafadhili (5%) 71,364,000 71,364,000
527B Miradi ya Maendeleo (Vijana) – 5% 71,364,000 71,364,000
527B Miradi ya Maendeleo (Wanawake) – 5% 71,364,000 71,364,000
Jumla ya Miradi – Mapato ya ndani – 60% 1,427,280,000 1,427,280,000
JUMLA KUU- MAPENDEKEZO MATUMIZI MAPATO YA NDANI 2,378,800,000 2,378,800,000
Ruzuku toka Serikali kuu a; Mishahara Ruzuku ya mishahara imebadilika kutoka Tshs. 18,579,664,000.00 hadi Tshs. 16,429,944,000.00 kama ifuatavyo:-
Kasma Maelezo Kiasi cha Ruzuku kutoka Serikali Kuu
BARAZA HAZINA
5000 Utawala Jumla 104,703,760 0
5004 GS2 na Zaidi 1,714,988,400 1,483,752,000
5006 Elimu Utawala na Elimu Watu Wazima 271,022,400 229,680,000
5007 Elimu Msingi 7,110,925,440 6,841,752,000
5008 Elimu Sekondari 4,039,968,360 3,482,610,000
5011 Afya Kinga 1,623,500,600 1,154,916,000
5012 Vituo vya Afya 1,359,827,280 1,167,096,000
5013 Zahanati 1,198,728,960 1,049,112,000
5014 Ujenzi 172,466,440 173,328,000
61
5017 Maji 134,095,200 125,040,000
5031 Watendaji wa Vijiji 229,271,640 190,638,000
5033 Kilimo 227,367,120 332,880,000
5034 Mifugo 392,798,400 199,140,000
Jumla ya Mishahara toka Serikali 18,579,664,000 16,429,944,000
b; Matumizi Mengineyo:- Matumizi mengineyo kutoka Serikali kuu kwa kila Idara kama Ifuatavyo:-
Kasma Maelezo Kiasi cha Ruzuku
BARAZA HAZINA
500A Utawala 6,370,000 5,157,000
500B Utumishi 17,243,000 15,880,000
501A Usafi wa Mazingira 0 6,000,000
502D Fedha 16,760,000 0
502E Biashara 0 6,000,000
503A Mipango 18,000,000 8,996,500
505A Mifugo 0 2,425,000
506A Kilimo 5,080,000 9,000,000
506D Ushirika 3,920,000 6,000,000
507C Elimu Utawala 76,400,000 76,400,000
507D Utamaduni 2,000,000 2,000,000
507E Michezo 4,000,000 4,000,000
507A Elimu Msingi Utawala 46,840,000 15,380,000
507B Elimu ya Msingi Uendeshaji 1,172,653,000 361,627,000
508A Afya Utawala (CHMT) 21,011,000 11,490,000
508B Hospitali ya Wilaya 292,760,000 113,240,000
508D Vituo vya Afya 40,000,000 40,000,000
508E Zahanati/Kliniki 38,000,000 38,000,000
509A Elimu ya Sekondari Utawala 23,475,000 61,510,900
509B Elimu ya Sekondari Uendeshaji 1,057,310,000 563,759,100
510C Maji Vijijini 7,215,000 10,178,000
511A Ujenzi Barabara 8,214,000 6,955,000
512A Ardhi Utawala 10,960,000 6,000,000
512H Misitu 0 3,000,000
515A Ukaguzi wa ndani 10,540,000 8,996,500
519B Nyuki
3,000,000
527B Maendeleo ya Jamii 12,100,000 6,000,000
62
Jumla ya Matumizi Mengineyo - Ruzuku 2,890,851,000 1,390,995,000
Matumizi Mengineyo Kutokana na Michango katika Sekta ya Afya:-
Na Jina la Mchango/Mfuko Kiasi cha fedha (Tshs)
BARAZA HAZINA
1 Mfuko wa Pamoja wa Afya (HSBF) 208,951,000 208,951,000
2 Tiba kwa Kadi (TIKA) 12,000,000 12,000,000
3 Bima ya Afya (NHIF) 20,570,000 20,570,000
4 Papo kwa Papo (User Fee) 55,782,000 55,782,000
5 Fedha za Dawa (DRF) 20,000,000 20,000,000
Jumla ya Michango ya Jamii/Mifuko 317,303,000 317,303,000
Jumla ya Matumizi Mengineyo (Ruzuku + Michango ya Jamii) 3,218,154,000 1,708,298,000
c; Miradi ya maendeleo : Fedha za Ndani (Local Fund)
Na Jina la Mradi Kiasi cha Ruzuku na Mapato ya Ndani
BARAZA HAZINA
1 Mfuko wa Barabara (Road Fund) 1,477,848,000.00 1,477,848,000.00
2 NWSSP 380,000,000.00 380,000,000.00
3 Mfuko wa Jimbo 30,418,000.00 36,748,000.00
4 Ruzuku ya Maendeleo (LGDG-CDG/CBG) 377,473,000.00 916,445,000.00
5 Mapato ya Ndani 1,427,280,000.00 1,427,280,000.00
Jumla ya Miradi-Ruzuku -Fedha za ndani 3,693,019,000.00 4,238,321,000.00
Fedha za Nje (Foreign Fund)
Na Jina la Mradi Fedha inayoombwa
BARAZA HAZINA
1 TASAF 562,443,000.00 562,443,500.00
2 Multisectral Aids (HIV/AIDS) 0.00 0.00
3 Programu ya Maji (RWSSP) 316,500,000.00 316,500,000.00
4 ULGSP 2,507,897,260.00 3,008,038,700.00
5 ASDP-DIDF (JICA) 589,190,000.00 0.00
6 EQUIP TANZANIA
253,900,583.00
Jumla ya Miradi-Ruzuku-Fedha za nje 3,976,030,260.00 4,140,882,783.00
Jumla ya Miradi ya Maendeleo - Ruzuku 7,669,050,000.00 8,379,203,783.00
JUMLA KUU-MAKISIO YA BAJETI 30,493,088,000.00 27,468,965,783.00
63
11.TAARIFA YA HATI YA UKAGUZI WA MAHESABU 2015/2016
Mheshimiwa Mwenyekiti,
Kamati ilipokea taarifa ya hati ya Ukaguzi wa Mahesabu kwa mwaka wa fedha 2015/2016,
ambapo Halmashauri ya Manispaa ya Mpanda iliandaa Hesabu za Mwisho na kuziwasilisha kwa
Mkaguzi Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi.
Kila baada ya kufanya Ukaguzi, Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali hutoa hati
kulingana na ukaguzi huo.
Katika Hesabu za mwaka 2015/2016, Halmashauri ya Manispaa ya Mpanda ni moja kati ya
Halmashauri 138 zilizopata. Hii imewekana kutokana na ushirikiano mzuri uliopo kati ya
Waheshimiwa Madiwani na Wataalamu wa Halmashauri ya Manispaa ya Mpanda.
Tunaomba ushirikiano huu udumishwe kwa manufaa ya wananchi wa Manispaa ya Mpanda.
12.MAOMBI YA IDHINI YA KUTUMIA TSHS. 385,000,000.00 KWA AJILI YA KUNUNUA
GARI LA TAKA(SKIP LOADER) NA GARI LA MSTAHIKI MEYA.
Mheshimiwa Mwenyekiti,
Kamati iliidhinisha maombi ya kutumia kiasi cha Tshs. 385,000,000.00 kwa ajili ya kununua
magari yafuatayo:-
i. Gari la Taka lenye gharama ya Tshs. 235,000,000.00
ii. Gari la Mstahiki Meya lenye gharama ya Tshs. 150,000,000.00(Toyota) Prado
Fedha hizi zitatokana na ongezeko la makusanyo ya fedha kutoka katika uuzaji wa viwanja.
Mheshimiwa Mwenyekiti,
Kama nilivyosema awali vikao hivi vilitoa maazimio, ushauri na mapendekezo mbalimbali,
ambapo utekelezaji wake ni kama ifuatavyo:-
1. AGIZO: Mkurugenzi amtaarifu Mwekezaji wa kituo anayetaka kujenga kituo cha mafuta
jirani na kituo kipya cha mabasi -Ilembo na kumweleza ushauri wa Baraza la Mazingira la
64
Taifa (NEMC), kuwa umbali uliopo kati ya vituo hivyo ni mfupi na hivyo kutofaa kujengwa
kituo cha mafuta. Hata hivyo.
UTEKELEZAJI WAKE: Mwekezaji alitaarifiwa kwa kwa barua yenye kumb.
Na.KTV/MMC/F.30/8/79 ya tarehe 20/03/2017. Hata hivyo, suala hilo litasubiri andiko k
utoka NEMC kwa kuwa ushauri uliokuwa umetolewa ulikuwa wa njia ya domo.
2. AGIZO: Mkurugenzi aandae na kuwasilisha kwenye kikao taarifa ya makusanyo yaushuru wa vyoo kuanzia mwezi Julai 2016
UTEKELEZAJI WAKE: Hadi kufikia tarehe 30/01/2017 Halmashauri ilikusanya kiasi cha Tsh 7,215,300.00.
3. AGIZO: Halmashauri itengeneze na kufunika mfuniko wa choo katika soko kuu ndani ya
wiki moja toka siku ya kikao.
UTEKELEZAJI WAKE: Jumla ya mifuniko saba(7) katika choo cha soko kuu ilifanyiwa
ukarabati na shimo kufunikwa
4. AGIZO: Jitihada za maandalizi ya sherehe ya kuwapongeza walimu kutokana na matokeo mazuri ya Mtihani wa darasa la saba mwaka 2016 ziongezwe ili sherehe hiyo ifanyike mapema. UTEKELEZAJI WAKE: Sherehe hiyo itafanyika tarehe 06/05/2017
5. AGIZO: Menejimenti ihakikishe inapunguza gharama ya ujenzi,ukubwa wa vibanda na
vijengwe kulingana na mahitaji yaliyopo kwenye stendi ya mabasi
UTEKELEZAJI WAKE: Halmashauri ya manispaa ya Mpanda imendaa mpango biashara
wa ujenzi wa vibanda stendi kuu ya Manispaa ya Mpanda. Kibanda kimoja kitajengwa kwa
Tshs 3,569,940/=, jumla ya vibanda 130 vitajengwa kuzunguka eneo la stendi kuu ya
Manispaa. Menejimenti inashauri ujenzi ujengwe na wazabuni watatu (03), kwa
mgawanyo ufuatao, wazabuni wawili watajenga vibanda 86 ikiwa na maana ya kila
mzabuni atajenga vibanda 43, na mazabuni mmoja atajenga vibanda 44. Wazabuni
watakusanya Tshs 150,000/= kwa mwezi kwa kila kibanda ila watarejesha Tshs 50,000/=
kwa Halmashauri ya Manispaa Mpanda na Tshs 100,000/= zitafidia gharama walizo tumia
kujenga kibanda kimoja. Baada ya miaka minne (4) mzabuni atakuwa na rejesho la Tshs
4,800,000/= kwa kila kibanda. Baada ya muda wa miaka minne vibanda vilivyojengwa na
wazabuni vitakuwa mali ya Halmashauri ya Manispaa ya Mpanda. Kwa miaka minne (04)
ya mwanzo Halmshauri ya Manispaa ya Mpanda itapata kipato cha Tshs 312,000,000/=
65
kwa vibanda 130. Ramani na makisio ya gharama za ujenzi ziliambatishwa katika taarifa
hii.
6. AGIZO: Mkurugenzi afuatilie fedha kutokana na kodi ya huduma inayolipwa na
makampuni ya simu ya TIGO na VODACOM.
UTEKELEZAJI WAKE: Halmashauri ilifuatilia makusanyo ya kodi ya huduma ambapo Tshs.6,000,000.00 zimelipwa na Kampuni ya Vodacom tangu tarehe 08/11/2016 Aidha, kampuni ya Tigo iliwasilishiwa taarifa ya kuwasilisha malipo
Naomba kuwasilisha
William Mbogo
Mwenyekiti wa Kamati
Fedha na Utawala
MANISPAA YA MPANDA
66
TAARIFA YA KAMATI YA MIPANGO MIJI, UJENZI, NA MAZINGIRA KWENYE MKUTANO
WA TATU WA BARAZA LA MADIWANI KWA MWAKA WA FEDHA 2016/2017 CHA
TAREHE 25/04/2017
Mheshimiwa Mwenyekiti,
Kamati ya Mipango Miji, Ujenzi, na Mazingira kwa kipindi cha Januari hadi Machi 2017, imeketi
kikao kimoja (1).
Kikao cha Tatu kwa mwaka wa fedha 2016/2017 kilifanyika tarehe 11/04/2017.
Mheshimiwa Mwenyekiti,
Kwa kipindi cha Januari hadi Machi 2017, Kamati ya Mipango Miji, Ardhi, Ujenzi, na Mazingira
ilipokea,ilijadili na kuthibitisha taarifa mbalimbali za kiutendaji kutoka kwa Watendaji wa Halmashauri.
Taarifa hizo ni kama ifuatavyo:-
1.TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA IDARA YA MIPANGO MIJI, ARDHI NA MALIASILI KATIKA KIPINDI CHA JANUARI HADI MACHI 2017
a.Kitengo cha Ardhi
1) Kumilikisha wananchi 59 viwanja
2) Kufanya uhamisho wa miliki 22
3) Kuidhinisha ramani 06 za viwanja
4) Kutoa hati 89 za viwanja
b.Kitengo cha Upimaji
1) Kupima viwanja 191 katika eneo la Airtel
2) Kusaini hati 89 za viwanja 3) Kurudishia mipaka 46 katika maeneo yaliyopimwa
c.Kitengo cha Mipango Miji
1) Kubadilisha matumizi ya ardhi kwa mwananchi 03 na viwanja 03
2) Kuidhinisha ramani za ujenzi 36
3) vibali 14 vya ujenzi vilitolewa. d. Kitengo cha Uthamini
Kufanya uthamini wa mali kwa wananchi 19 kwa ajili ya fidia.
67
e.Kitengo cha Maliasili
1) Uoteshaji wa miti 96,500 katika Vikundi vya Mazingira vya CHRISTIAN GROUP,
WAMWADE, NEEMA na REYO
2) Upandaji Miti 239,800 katika mashamba ya wakulima na maeneo mengine kama
makazi na maeneo ya taasisi.
Aidha, Kamati ilipokea na kujadili taarifa inayojumuisha kazi zilizofanyika kwa kushirikiana na
taasisi zingine kama ifuatavyo:-
1. UTHAMINI WA NYUMBA KWENYE KATA ZA MANISPAA YA MPANDA KWA
AJILI YA KODI YA MAJENGO
Kwa mujibu wa mkataba ulioingiwa kati ya Halmashauri ya Manispaa ya Mpanda na Mzabuni
ni kufanya uthamini wa nyumba zipatazo 10,000 (elfu kumi), hata hivyo Mzabuni alikabidhi
idadi ya nyumba 10,227 kwenye majedwali ya uthamini.
Hivyo kwa vile Mzabuni amekabidhi kazi tayari kwa mujibu wa mkataba, ni wajibu wa
Halmashauri ya Manispaa ya Mpanda kuwatangazia wananchi ndani ya siku 28 wafike kwenye
ofisi zao za kata kuhakiki taarifa za nyumba zao ambazo ni thamani, majina, n.k. Iwapo
watagundua dosari yoyote, kutakuwepo na fomu maalum ya malalamiko ambayo mwananchi
anapaswa kujaza kuhusiana na lalamiko lake. Fomu za malalamiko hufikishwa mbele ya
Baraza la kusikiliza na kutatua hoja na malalamiko ya wananchi waliofanyiwa uthamini (Rat-
ing Valuation Tribunal- RVT), Baraza hili linatoka TAMISEMI na linatakiwa kugharamiwa na
Halmashauri ya Manispaa Mpanda. Baraza hili ndicho chombo maalum kilichoundwa kwa ajili
ya kusikiliza malalamiko ya aina hiyo kwa mujibu wa sheria ya kufanya uthamini kwa ajili
ulipaji wa kodi ya Majengo ya mwaka 1983 (Urban Authorities Rating Act No. 2, 1983). Kati
ya kata 15 zilizomo ndani ya Manispaa ya Mpanda ni kata kumi (10) tu ndizo zilipitiwa na
mradi huu. Makisio ya awali ilikuwa ni kufanyia kazi nyumba 10,000 (Elfu kumi) kwa mujibu
wa mkataba na kazi ingekuwa imekamilika, lakini taarifa ya nyumba 10,227 ndiyo
iliyokabidhiwa kwenye taarifa. Hivyo nyumba 10,624 bado hazijafanyiwa kazi
Kata 10 zilizofanyiwa kazi ni hizi zifuatazo; Nsemulwa, Kashaulili, Mpanda Hotel, Makanyagio,
Ilembo, Uwanja wa Ndege, Majengo, Kawajense, Shanwe na Kazima. Hata hivyo, siyo
nyumba zote zimefanyiwa uthamini katika kata tajwa hapo juu, mfano kata ya Uwanja wa
Ndege imefanyiwa kazi mitaa miwili tu ambayo ni Airtel na Msufini, kata ya Kazima
imefanyiwa kazi mtaa mmoja tu wa Rungwa, n.k.
68
2. KUPOKEA NA KUTATUA MIGOGORO YA ARDHI
Mheshimiwa Mwenyekiti,
Kamati ilipokea taarifa kuwa, katika kipindi cha robo ya tatu ya mwaka wa fedha 2016/2017
yamepokelewa malalamiko kadhaa ya ardhi kupitia dawati la malalamiko linalofanyika kila
Ijumaa ya wiki katika ukumbi wa mikutano wa Ofisi ya Mkurugenzi. Idadi ya malalamiko kwa
kipindi hiki ni 48 ingawa kati ya malalamiko hayo, malalamiko 18 tu ndiyo yanayohusu ardhi,
malalamiko mengine hayahusu ardhi, pia mengine ni malalamiko yanayojirudia kwa kuwa
yalishawasilishwa siku za nyuma. Kati ya Malalamiko 18 yaliyowasilishwa, malalamiko 11
yameshughulikiwa na kuisha.
3. MPANGO MKAKATI WA UPIMAJI WA VIWANJA KATIKA MWAKA
2016/2017
Mheshimiwa Mwenyekiti,
Kamati ilipokea na kujadili taarifa ya mkakati wa upimaji wa viwanja katika mwaka 2016/2017
ambapo, Halmashauri ya Manispaa ya Mpanda kupitia Idara ya Ardhi na Maliasili, imeratibu kazi
za upimaji katika kipindi cha robo ya tatu ya mwaka wa fedha 2016/2017 katika kata za Kazima,
Uwanja wa Ndege na Shanwe. Katika miradi hii ya upimaji Halmashauri inatarajiwa kutumia kiasi
cha Tsh 56,000,000/= na miradi itakapokamilika kiasi cha jumla ya sh 400,500,000/=
kitapatikana.
KAZIMA
Kazima 1
Zoezi la Upimaji eneo la Kazima awamu ya kwanza umehusisha eneo ambalo asilimia kubwa
halijajengwa. Katika eneo hilo jumla ya viwanja 376 vimepimwa na tayari ramani
zimeshaidhinishwa wizarani. Katika zoezi la Upimaji wa viwanja hivyo awamu ya kwanza jumla
Tsh 12,000,000/= zilitumika katika upimaji ikiwa ni gharama ya zoezi zima la upimaji. Katika
mradi huu wa upimaji muda uliotumika ni siku thelathini. Upimaji huu ulianza mwezi Disemba
mwaka jana (2016) na kukamilika mwezi Januari mwaka huu (2017).
Kazima 2
Kazima 2 ni awamu ya pili ya upimaji ambayo inahusisha eneo la Makazi holela Kazima (Kazima
Squater), kutokana na taarifa za awali idadi ya nyumba 300 zinakadiriwa kupimwa na kuingizwa
kwenye mchoro wa Mipango Miji na hatimae ziweze kupimwa kulingana na hali halisi ilivyo.
Kazima 2 inahusisha mazoezi mawili ambayo ni uandaaji wa ramani ya mipango miji (Town plan
drawing ), zoezi la pili ni Upimaji wa viwanja. Mazoezi haya mawili yanakadiriwa kutumia jumla
ya Ths 16,000,000/- ikiwa ni gharama za uaandaaji wa beacons, mafuta, stationaries, kudurufu
69
michoro ya Mipango miji na Upimaji, posho za wataalamu na vibarua, na gharama ya kupeleka
michoro hiyo Wizara ya Ardhi nyumba na maendeleo ya Makazi kwa ajili ya kuidhinishwa. Katika
mradi huu wa upimaji wa makazi holela Kazima inakadiriwa kutumia muda wa siku 45.
Katika miradi hii miwili ya Kazima 1 na Kazima 2, jumla ya Tsh 28,000,000/= zinakadiriwa
kutumika. Mradi mzima utakapokamika Halmashauri itapata viwanja 76 kutokana na makubaliano
ambayo yalifanyika hapo awali kati ya Halmashauri na wamiliki wa maeneo hayo ya Kazima.
Viwanja hivyo 76 vinakadiriwa kuingiza jumla ya Tsh 114,000,000/= ikiwa kila kiwanja
kitakuwa na ukubwa wa mita za mraba 600 na bei ya mita moja ya mraba ya makazi kwa sasa ni
Tsh 2,500/=.
AIRTEL/UWANJA WA NDEGE
Katika mradi upimaji wa viwanja Airtel umetumia siku 30 mpaka kukamilika. Mradi huu ulianza
tarehe 23/01/2017 na kukamilika tarehe 21/02/2017. Upimaji huu umefanywa na wapima watatu
kutoka Halmashauri Wilaya ya Nsimbo kwa kushirikiana na wapima wasaidizi wa Manispaa ya
Mpanda. Kazi inayoendelea kwa sasa ni kufanya mahesabu ya kuandaa faili la kazi hiyo ili
hatimae iweze kupelekwa Wizara ya Ardhi nyumba na maendeleo ya makazi kwa ajili ya
kuidhinishwa.
Aidha mradi huu wa Airtel jumla ya viwanja 191 vimepimwa. Viwanja hivyo vilivyopimwa ni vya
matumizi mbalimbali, jumla ya Tsh 11,000,000/= zimetumika katika mradi huu ikiwa ni
kuwalipa wataalam, vibarua, gharama za kuandaa vifaa vya upimaji, na gharama za kupeleka
mchoro wa upimaji wizarani. Mradi huu wa Airtel utakapokamilika unakadiriwa kuigiza jumla ya
Tshs 286,500,000/= .
SHANWE
Shanwe ni mojawapo ya kata katika Halmashauri ya Manispaa ya Mpanda ambayo ipo upande
wa kaskazini mwa halmashauri ya manispaa. Katika eneo la Shanwe zoezi la upimaji linatarajiwa
kuanza baada ya kumaliza upimaji katika maeneo ya Kazima na Airtel.
Katika eneo la Shanwe zoezi la Uthamini wa mashamba tayari limeshafanyika , pia ramani ya
mipango miji ipo tayari ambayo ina viwanja 600 vya matumizi mbalimbali. Kwahiyo upimaji wa
eneo la Shanwe unatarajiwa kutumia muda wa siku 50 ili kukamilika. Na jumla ya Tsh
17,000,000/= zinatarajiwa kutumika katika mradi huu ikiwa ni gharama za upimaji, na kupelekea
michoro wizarani kuidhinishwa kwa Mkurugenzi wa Upimaji na ramani Dar es salaam.
70
MPANGO KAZI WA UPIMAJI
ENEO DES,2016-JAN 2017
JAN-FEB 2017 MACHI-APRILI 2017
MAY-JUN 2017
KAZIMA 1
AIRTEL
KAZIMA2 (UENYEJINI)
SHANWE
HITIMISHO
Changamoto katika idara ya Ardhi na Maliasili ambazo zinachelewesha au kukwamisha kazi za
idara hususani katika kitengo cha upimaji ni upungufu wa wataalam. Manispaa ya Mpanda ina
mtaalam wa upimaji mmoja (Mpima Ardhi mmoja), ambaye pia amekasimishwa mamlaka ya
kusimamia kazi zote za upimaji za mikoa ya Katavi na Rukwa na Mkurugenzi wa upimaji na
Ramani.
4. TAARIFA YA UUZAJI WA VIWANJA KASIMBA – KATA YA ILEMBO.
Mheshimiwa Mwenyekiti,
Kamati ilipokea na kujadili taarifa ya uuzaji wa viwanja awamu ya pili katika eneo la Kasimba –
Kata ya Ilembo, ambapo Halmashauri ya Manispaa ya Mpanda ilifanya zoezi la kuuza viwanja
vilivyopimwa kwa awamu ya pili.
Zoezi la uuzaji viwanja lilianza tarehe 13/03/2017 ambapo jumla ya viwanja vyote vilivyotarajiwa
kuuzwa ni 107 vyenye jumla ya thamani Tsh. 253,694,500/=. Mpaka zoezi la ugawaji wa
fomu za viwanja linafungwa, jumla ya fomu 104 zilikuwa zimegawiwa na kubaki fomu za viwanja
03 vya shughuli za dini. Wananchi walipewa muda wa siku 14 (hadi tarehe 27/03/2017)
kukamilisha malipo ya viwanja kwa sharti kwamba baada ya muda huo viwanja vyote ambavyo
vingeshindwa kulipiwa ndani ya muda huo vingetangazwa na kuuzwa upya. Hata hivyo tatizo la
mfumo katika kutoa ‘bill’ lilifanya muda wa kulipia viwanja hivyo kuongezwa na kuwa siku 30
ambapo muda uliisha tarehe 13/04/2017.
Hadi kufikia tarehe 11/04/2017 jumla ya viwanja 54 vilikuwa vimelipiwa na jumla ya fedha Tsh.
102,740,500/= zilikuwa zimepatikana.
71
Jedwali lifuatalo linaonesha bei ya kila kiwanja kulingana na vipimo na matumizi yake:-
NA AINA YA KIWANJA BEI YA KUUZIA
1 Makazi 2,500 kwa mita mraba
2 Makazi na biashara 3,000 kwa mita mraba
3 Huduma za jamii 4,000 kwa mita mraba
4 Viwanja kwa ajili ya shughuli za dini (RS) 3,500 kwa mita mraba
5 Eneo la wazi - kwa mita mraba
Baada ya Majadiliano kamati ilishauri na kuagiza mambo yafuatayo;
1) Menejimenti ifanyie kazi suala la viwango vya kodi ya Majengo vilivyopitishwa na
Halmashauri kutokana na malalamiko ya wananchi.
2) Eneo la Kijiji cha Mtakumbuka litengwe kwa ajili ya uwekezaji.
3) Mkurugenzi aandae taarifa ya kuomba vibarua idara ya Ardhi kwa ajili ya kupima maeneo
ya Kazima na Shanwe.
2. TAARIFA YA MATENGENEZO YA BARABARA KWA MWAKA WA FEDHA 2016/2017
KWA KIPINDI CHA JANUARI HADI MACHI 2017
Mheshimiwa Mwenyekiti,
Kamati ilipokea na kujadili taarifa ya utekelezaji wa kazi za barabara kupitia idara ya ujenzi;
Katika kipindi cha robo ya tatu idara imekemilisha mchakato wa zabuni kwa miradi saba ya ujenzi
wa barabara zabuni hizo ni kama zinavyoonekena kwenye jedwali lifuatalo;
NA JINA LA MRADI/AINA
YA MRADI
CHANZO CHA
FEDHA
BAJETI
ILIYOTENGWA
MAELEZO
1 Kufanya matengenezo
ya kawaida ifikapo juni
2017 kwa maeneo
yafuatayo.
Airpot (15km) Mfuko wa
Barabara
30,000,000 Hatua ya kutunuku
zabuni
Kasimba A (6.7km) Mfuko wa 13,400,000 ,,
72
Barabara
Misunkumilo Kakese
(12.6km)
Mfuko wa
Barabara
25,200,000 ,,
Misunkumilo (10km) Mfuko wa
Barabara
20,000,000 ,,
Majengo mapya - Kazima
(16.5km)
Mfuko wa
Barabara
82,500,000 ,,
Kasimba B (14km) Mfuko wa
Barabara
28,000,000 ,,
Mwamkulu - Karema JNC
(14km)
Mfuko wa
Barabara
28,000,000 ,,
Mpanda - Kasokola (7km) Mfuko wa
Barabara
14,000,000 ,,
Kawajense (16km) Mfuko wa
Barabara
32,000,000 ,,
Mtapenda - Kasokola
(12km)
Mfuko wa
Barabara
31,190,000 ,,
Msasani (10.5km) Mfuko wa
Barabara
21,000,000 ,,
JUMLA NDOGO
325,290,000
2 Kufanya matengenezo
ya maeneo korofi ifikapo
juni 2017 kwa barabara
za maeneo yafuatayo
Mji wa zamani (5km) Mfuko wa
Barabara
25,000,000 Hatua ya kutunuku
zabuni
Nsemulwa (6.9km) Mfuko wa
Barabara
34,500,000 ,,
Msasani (6.62km) Mfuko wa
Barabara
33,100,000 ,,
73
Shanwe (7.5km) Mfuko wa
Barabara
37,500,000 ,,
Jumla ndogo
130,100,000
3 Kufanya matengenezo
ya wakati maalumu
ifikapo juni 2017 kwa
barabara za maeneo
yafuatayo
Makanyagio (2.5km) Mfuko wa
Barabara
105,000,000 Hatua ya kutunuku
zabuni
Barabara za lami za
manispaa ya Mpanda
(1km)
Mfuko wa
Barabara
350,000,000 ,,
Majengo mapya - Kazima
(2.5km)
Mfuko wa
Barabara
65,460,000 ,,
Kichangani (1.5km) Mfuko wa
Barabara
43,450,000 ,,
JUMLA NDOGO
563,910,000
4
Ujenzi wa madaraja na
kalvati ifikapo juni 2017
Daraja la Kasimba B Mfuko wa
Barabara
100,000,000 ,,
Daraja la Kamakuka Mfuko wa
Barabara
80,000,000 ,,
Ujenzi wa mitaro ya Mvua
eneo la Airtel
Mfuko wa
Barabara
80,230,000 ,,
JUMLA NDOGO
260,230,000
74
Kufanya ufuatiliaji na
tathimini kwenye
barabara zenye urefu wa
kilometa 460 ifikapo
Juni 2017
Mfuko wa
Barabara
63,980,000
JUMLA KUU 1,343,510,000
Utekelezaji wa miradi hii unatarajiwa kuanza mwishoni mwa mwezi Aprili 2017 baada ya taratibu
za mkataba kukamilika.
Mheshimiwa Mwenyekiti,i ,
Naomba Kuwasilisha.
Chrisant A Mwanawima
Mwenyekiti kamati
KAMATI YA MIPANGO MIJI, UJENZI NA MAZINGIRA
MANISPAA YA MPANDA
75
TAARIFA YA KAMATI YA UCHUMI, ELIMU, AFYA NA MAJI KWENYE MKUTANO WA
TATU WA BARAZA LA MADIWANI KWA MWAKA WA FEDHA 2016/2017 CHA TAREHE
25/04/2017
Mheshimiwa Mwenyekiti
Kamati ya Uchumi, Elimu, Afya, na Maji kwa kipindi cha Januari hadi Machi 2017, iliketi kikao
kimoja cha tarehe 11/04/2017
Kwa kipindi cha Januari hadi Machi 2017, Kamati ya Uchumi, Elimu,Afya,na Maji ilipokea, ilijadili na
kuthibitisha taarifa mbalimbali za kiutendaji kutoka kwa Watendaji wa Halmashauri. Taarifa hizo ni
kama ifuatavyo:-
TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA MIRADI YA MAENDELE0 KWA
KIPINDI CHA JANUARI - MACHI 2017
Mheshimiwa Mwenyekiti,
Katika bajeti ya mwaka wa fedha 2016/2017 Halmashauri ya Manispaa Mpanda imekisia
kutumia Tshs 8,627,252,000.00 kwa ajili ya utekelezaji wa miradi ya maendeleo sawa na 40%
ya bajeti ya Halmashauri ya Tshs 21,882,670,000.00. kwa mchanganuo ufuatao;
Chanzo cha Fedha Kiasi (TSHS)
Mapato ya Ndani .............................................................................. 1,214,106,000.00
Mfuko wa Barabara .......................................................................... 1,343,510,000.00
Programu ya Maji Kitaifa (NWSSP)........................................................ 380,000,000.00
Mfuko wa Jimbo .................................................................................... 28,816,000.00
Ruzuku ya Maendeleo (LGCDG/DADPs/MMAM) ...................................... 419,219,000.00
Miradi ya Benki ya Dunia Kuendeleza Miji (ULGSP) ............................. 4,248,565,000.00
TASAF ................................................................................................ 366,012,000.00
Miradi ya UKIMWI (NMSF) ....................................................................... 6,014,000.00
Programu ya Maji Vijijini (RWSSP) ....................................................... 190,973,000.00
Programu ya Maendeleo Sekta ya Kilimo (ASDP) ................................... 430,037,000.00
76
Jumla Kuu Miradi ya Maendeleo (TSHS.) 8,627,252,000.00
Halmashauri ya Manispaa ya Mpanda Mpaka kufikia tarehe 30 Machi, 2017 ilikuwa imekusanya
Tshs 1,542,916,156.01 sawa na 76% ya makisio kwa Mwaka 2016/2017. Kwa kipindi cha
Januari - Machi Manispaa ilikuwa imekusanya Jumla ya Tshs 4,489,192,553.52 sawa na
82.1% ya makisio kwa robo ya tatu, kati ya kiasi hicho cha fedha Tshs 562,998,792.29 sawa
112% ya makisio ni kutoka vyanzo vyake vya ndani.
Halmashauri Mpaka kufikia tarehe 30 Machi, 2017 ilikuwa imetumia Tshs. 929,184,239.00
sawa na 11% ya bajeti ya miradi ya Maendeleo katika kutekeleza Miradi ya Maendeleo, kati ya
kiasi hicho cha fedha Tshs. 559,999,557.00 sawa na 60% ya fedha zote zilizotekeleza Miradi,
ni Mchango wa mapato ya ndani ya Halmashauri kutekeleza Miradi ya Maendeleo.
77
MCHANGANUO WA MIRADI YA MAENDELEO INAYOTEKELEZWA KWA MWAKA WA FEDHA 2016/2017
NA. JINA LA MRADI/AINA YA MRADI
CHANZO CHA
FEDHA
BAJETI ILIYOTENGW
A
FEDHA ILIYOTOLEWA
NA KUTUMIKA BAKI MAELEZO
1 Kuwezesha mchango wa 20%kwenda ngazi ya mtaa na vijiji ifikapo Juni 2017
Mapato ya
Ndani 242,821,200 64,887,000 177,934,200 Fedha za awamu ya
kwanza na awamu ya pili zimepelekwa. Tupo katika maandalizi ya kupeleka fedha
awamu ya tatu.
2 Kufanyia maboresho Mpango Mkakati wa Halmashauri (Mu-nicipal Strategic Plan) ifikapo Juni 2017
Mapato ya
Ndani 23,700,000 0.00 23,700,000 Kazi ipo katika
mchakato wa manunuzi ya Mtaalam Mshauri
3 Kukamilisha ujenzi wa ofisi 7 za kata pamoja na nyumba 4 za watumishi zilizopo Ilembo ifikapo Juni 2017 (Ilembo, Kashaulili, Shanwe, Nsemulwa, Makanyagio, Kawajense,
Misunkumilo)
Mapato ya Ndani
27,000,000 26,785,827 214,173 Nyumba (01) ya mkuu wa Idara imekamilika na inatumika. Nyumba hii imegharimu fedha tajwa kwa kuwa awali ilifanyiwa matengenezo kwa ajili ya Makazi ya
Mkurugenzi.
4 Kuandaa Mpango na Bajeti ya Halmashauri pamoja na kuziwasilisha OR-TAMISEMI na HAZINA ifikapo Juni 2017
Mapato ya
Ndani 23,800,000 11,040,900 12,759,100 Mpango wa bajeti
2017/2018 tayari umeandaliwa na kuwasilishwa
TAMISEMI
78
NA. JINA LA MRADI/AINA YA
MRADI
CHANZO CHA
FEDHA
BAJETI ILIYOTENGW
A
FEDHA ILIYOTOLEWA NA KUTUMIKA
BAKI MAELEZO
5 Kufanya tathmini na ufuatiliaji wa Miradi ya maendeleo katika
kata zote 15 ifikapo Juni 2017
Mapato ya ndani
27,800,000 11,128,230 16,671,770 Shughuli inaendelea kutekelezwa
6 Kuwezesha utengenezaji wa madawati 460 katika shule za
msingi ifikapo Juni 2017
Mapato ya
Ndani 23,000,000 23,000,000 0.00 Madawati 460
yametengenezwa
7 Kukamilisha ujenzi wa madarasa 6 katika shule za msingi 3 (02 Makanyagio, 02 Kasimba, 02 Kawanzige)
ifikapo Juni 2017
Mapato ya
Ndani 29,000,000 27,500,000 1,500,000 Fedha zimetumika
kutengeneza madawati
8 Kukamilisha ujenzi wa nyumba moja ya Matroni Sekondari ya Rungwa fikapo Juni 2017
Mapato ya
Ndani 27,000,000 25,000,000 2,000,000 Fedha imetumika
kukamilisha ujenzi wa jiko katika
sekondari ya Rungwa
9 Kukamilisha ujenzi wa majengo ya utawala sekondari za Rungwa, Kasimba na Nsemulwa ifikapo Juni 2017
Mapato ya Ndani
15,000,000 15,000,000 0.00 Fedha zimetumika katika ujenzi wa Maabara na ukarabati wa Nyumba ya mkurugenzi. Shughuli ya ukamilishaji wa majengo ya utawala imepangwa katika bajeti ya 2017/2018
10 Kukamilisha ujenzi wa maabara 4 sekondari za Nsemulwa, Kasimba, Rungwa
na Kasokola ifikapo Juni 2017
Mapato ya Ndani
16,000,000 16,000,000 0.00 Maabara mbili (02) katika shule ya sekondari Kasimba na Nsemulwa
79
NA. JINA LA MRADI/AINA YA
MRADI
CHANZO CHA
FEDHA
BAJETI ILIYOTENGW
A
FEDHA ILIYOTOLEWA NA KUTUMIKA
BAKI MAELEZO
zinatumika. Maabara ya Nsemulwa inatumika japokuwa bado mifumo ya gesi
na umeme
11 Kukamilisha ujenzi wa bweni la wanafunzi sekondari ya
Kasokola ifikapo Juni 2017
Mapato ya Ndani
12,000,000 4,000,000 8,000,000 Fedha imetumika kulipia ujenzi wa maabara shule ya sekondari ya
Kasimba.
Shughuli ya ujenzi wa bweni itatekelezwa baada ya marekebisho ya vifungu
12 Kuwezesha utoaji wa mikopo yenye riba nafuu kwa makundi 28 ya vijana na wanawake
ifikapo Juni 2017
Mapato ya Ndani
121,410,600 90,000,000 31,410,600 Utekelezaji unaendelea vizuri jumla ya vikundi 42 vimepatiwa mikopo Mpaka kufikia tarehe
30/03/2017
13 Kujenga vyoo bora na vya kisasa katika zahanati za Mtakumbuka na Mwamkulu ifikapo Juni 2017
Mapato ya
Ndani 8,000,000 2,000,000 6,000,000 Ujenzi wa choo
Zahanati ya Mtakumbuka umekamilika. Michango ya wananchi imepunguza gharama
80
NA. JINA LA MRADI/AINA YA
MRADI
CHANZO CHA
FEDHA
BAJETI ILIYOTENGW
A
FEDHA ILIYOTOLEWA NA KUTUMIKA
BAKI MAELEZO
za ujenzi.
14 Kuwezesha ujenzi wa maabara kwenye kituo cha afya cha Ilembo ifikapo Juni
2017
Mapato ya
Ndani 20,000,000 0.00 20,000,000 Shughuli hii
itatekelezwa katika robo ijayo
15 Kufanya ukarabati mdogo wa jengo la makao makuu ya ofisi za Halmashauri ifikapo Juni 2017
Mapato ya
Ndani 10,000,000 9,865,191 134,809 Ukarabati uliofanyika
ni Pamoja kubadilisha marumaru zilizokuwa zimevunjika,kutoboa Mashimo ya kuondolea maji ya mvua yaliyokuwa yanatuama eneo la mbele ya jengo, kujenga ngazi moja mlango mkuu wa kuingilia na Kuweka tanki la kuhifadhia Maji.
16 Kufanya ukarabati na matunzo ya magari ya Halmashauri
ifikapo Juni 2017
Mapato ya Ndani
28,000,000 18,255,469 9,744,531 Magari yanaendelea kufanyiwa matengenezo pale
inapohitajika.
17 Kufanya ukarabati wa vifaa na vitendea kazi vya ofisi ifikapo Juni 2017
Mapato ya
Ndani 10,705,300 9,678,936 1,026,364 Vifaa na vitendea
kazi vimeendelea kufanyiwa
81
NA. JINA LA MRADI/AINA YA
MRADI
CHANZO CHA
FEDHA
BAJETI ILIYOTENGW
A
FEDHA ILIYOTOLEWA NA KUTUMIKA
BAKI MAELEZO
matengenezo pale inapohitajika
18 Kutenga maeneo kwa ajili ya ujenzi wa masoko maeneo ya Shanwe Kilimahewa na Nsemulwa Uwanja wa Ndege
ifikapo Juni 2017
Mapato ya
Ndani 4,500,000 0.00 4,500,000 Katika miradi ya
upimaji wa viwanja Maeneo ya Shanwe, Nsemulwa na Uwanja wa ndege, utengaji wa maeneo ya Masoko
umezingatiwa.
19 Kuweka umeme kwenye kituo cha kuegesha magari eneo la
Misunkumilo ifikapo Juni 2017
Mapato ya
Ndani 8,776,500 8,776,500 0.00 Umeme tayari
umefika eneo la
mradi.
20 Kukarabati matundu ya vyoo 40 pamoja na kutoa vifaa vya kunawia mikono kwenye shule 5 za msingi (Ilembo, Nsemulwa, Makanyagio, Man-ga na Milala) pamoja na matundu 12 katika shule 3 za sekondari Nsemulwa, Mwangaza na Kasokola ifikapo
Juni 2017
Mapato ya
Ndani 20,000,000 0.00 20,000,000 Shughuli hii
itatekelezwa katika
robo ijayo
21 Kujenga mifumo ya kuvunia maji ya mvua kwenye shule 3 za sekondari Mwangaza, Kasokola na Magamba ifikapo
Mapato ya
Ndani 5,000,000 3,000,000 2,000,000 Fedha imetumika
kulipia ujenzi wa Maabara ya Kasimba
Sekondari.
82
NA. JINA LA MRADI/AINA YA
MRADI
CHANZO CHA
FEDHA
BAJETI ILIYOTENGW
A
FEDHA ILIYOTOLEWA NA KUTUMIKA
BAKI MAELEZO
Juni 2017
22 Kukamilisha ujenzi wa km 2 za skimu ya umwagiliaji Mwamkulu ifikapo Juni 2017
Mapato ya
Ndani 140,000,000 4,590,000 135,410,000 Mkandarasi tayari
amepatikana na anatarajia kuanza
kazi robo ijayo.
23 Kuanzisha shamba la mbogamboga katika kijiji cha
Manga ifikapo Juni 2017
Mapato ya
Ndani 31,058,200 0.00 31,058,200 Shughuli itafanyika
katika robo ijayo.
24 Kuwezesha matumizi ya mpango bora wa ardhi katika vijiji 4 na mitaa 10 ifikapo Juni
2017
Mapato ya Ndani
11,060,000 241,319 10,818,681 Maandalizi ya awali
25 Kuanzisha ekari 479 za kilimo cha alizeti katika vijiji 5 vya Magamba, Kasokola, mbugani, kamakuka na Kakese ifikapo
Juni 2017
Mapato ya
Ndani 33,192,180 0.00 33,192,180 Majaribio ya mbegu
za alzeti yatafanyika katika mashamba baada ya mavuno ya
mpunga.
26 Kujenga nyumba ya afisa ugani katika kijiji cha
Mwamkulu ifikapo Juni 2017
Mapato ya
Ndani 27,510,820 0.00 27,510,820 Shughuli hii
itatekelezwa katika
robo ijayo
27 Kujenga machinjio ya kisasa katka kata ya Kakese ifikapo
Juni 2017
Mapato ya Ndani
149,115,900 149,115,900 0 Fedha imetumika katika kujenga miundombinu eneo la maegesho ya magari makubwa, viwanda
83
NA. JINA LA MRADI/AINA YA
MRADI
CHANZO CHA
FEDHA
BAJETI ILIYOTENGW
A
FEDHA ILIYOTOLEWA NA KUTUMIKA
BAKI MAELEZO
vidogo vidogo na wajasiliamali Misunkumilo. Ujenzi wa machinjio umepangwa katika bajeti ya 2017/2018
28 Kuwawezesha wafugaji wa Kashaulili SACCOS kuanzisha kiwanda cha maziwa ifikapo
Juni 2017
Mapato ya
Ndani 33,000,000 30,104,285 2,895,715 Fedha zimetumika
kulipa gharama za utengenezaji wa
madawati
29 Kuanzisha mabwawa 2 ya samaki katika vjiji vya Manga na Kamakuka ifikapo Juni
2017
Mapato ya Ndani
60,705,300 2,130,000 58,575,300 Maandalizi ya awali yamefanyika kwa kuhamasisha uchimbaji wa Mabwawa ya vikundi katika vijiji vya man-
ga na Kamakuka.
30 Kufanya uthamini wa majengo, kuandaa rejista kwa ajili ya kukusanya kodi za majengo pamoja na kununua
vifaa vya GIS ifikapo Juni 2017
Mapato ya
Ndani 24,950,000 7,900,000 17,050,000 Shuhguli ya uthamini
wa nyumba 10,227 umefanyika, taarifa ya uthamini itawekwa ofisi za kata ili wananchi watoe maoni yao.
JUMLA KUU MAPATO YA NDANI
1,214,106,000
559,999,557 654,106,443
84
NA. JINA LA MRADI/AINA YA
MRADI
CHANZO CHA
FEDHA
BAJETI ILIYOTENGW
A
FEDHA ILIYOTOLEWA NA KUTUMIKA
BAKI MAELEZO
31 Kuwezesha kaya masikini kujikita katika shughuli za kiuchumi zitakazo wawezesha kuzalisha mali ili kuondokana na umasikini wa kipato ifikapo Juni 2017 (Mwamkulu, Kakese, Misumkumilo, Mpanda Hotel, Ilembo, Makanyagio na Shanwe)
TASAF 330,889,638 157,301,103 173,588,535 Utekelezaji wa shughuli hii
unaendelea vizuri
32 Kufanya ufuatiliaji wa kaya masikini katika shughuli zao za kujipatia kipato ifikapo Juni
2017
TASAF 35,122,362 9,700,320 25,422,042 Utekelezaji wa shughuli hii
unaendelea vizuri
JUMLA KUU TASAF 366,012,000 167,001,423 199,010,577
33 Kuwajengea uwezo wananchi kuwa na uelewa wa masuala ya VVU/UKIMWI kupitia vyombo vya habari, sinema, matangazo na warsha
mbalilmbali ifikapo Juni 2017
Benki ya Dunia (NMSF)
3,200,000 0.00 3,200,000 Fedha kwa ajili ya utekelezaji wa shughuli hii
hazijaletwa
34 Kumwezesha Mratibu wa UKIMWI kutekeleza majukumu
yake ya ofisi ifikapo Juni 2017
Benki ya Dunia
(NMSF)
2,814,000 0.00 2,814,000 Fedha kwa ajili ya utekelezaji wa shughuli hii
hazijaletwa
JUMLA KUU MIRADI YA KUDHIBITI UKIMWI (NMSF)
6,014,000 0.00 6,014,000
85
NA. JINA LA MRADI/AINA YA
MRADI
CHANZO CHA
FEDHA
BAJETI ILIYOTENGW
A
FEDHA ILIYOTOLEWA NA KUTUMIKA
BAKI MAELEZO
35 Kutoa mafunzo ya muda mfupi kwa watumishi 6 juu ya mipango ya miradi na usimamizi wa fedha ifikapo
Juni 2017
Benki ya Dunia
(ULGSP)
30,670,000 670,000 30,000,000 Mafunzo yametolewa kwa mtumishi mmoja
Jijini Dar es Salaam
36 Kuwezesha utoaji wa mafunzo ya muda mfupi juu ya usimamizi wa miradi na namna ya kuandaa Mpango Mkatati
ifikapo Juni 2017
Benki ya Dunia
(ULGSP)
26,400,000 24,213,500 2,186,500 Mafunzo yamefanyika
37 Kuwezesha utoaji wa mafunzo juu ya uandaaji wa CBP na CNA kwa wajumbe 7 wa kamati na wakuu wa idara
ifikapo Juni 2017
Benki ya Dunia
(ULGSP)
11,300,000 6,525,000 4,775,000 CBP na CAN zimerekebishwa Pamoja na kutoa Mafunzo kwa
wajumbe husika
38 Kutoa mafunzo ya muda mfupi juu ya usimamizi wa fedha (EPICOR na IPSAS) pamoja na mipango miji kwa
watumishi 10 ifikapo Juni 2017
Benki ya Dunia
(ULGSP)
12,111,870 0.00 12,111,870 Kazi hii itafanyika katika robo ijayo
39 Kuendesha mafunzo ya muda mfupi juu ya mfumo wa kukusanya mapato kwa njia ya kielektroniki LGRCIS na TEHAMA kwa maafisa 03 wa TEHAMA na maafisa mapato 03 ifikapo Juni 2017
Benki ya Dunia
(ULGSP)
6,040,000 0.00 6,040,000 Kazi hii itafanyika katika robo ijayo
86
NA. JINA LA MRADI/AINA YA
MRADI
CHANZO CHA
FEDHA
BAJETI ILIYOTENGW
A
FEDHA ILIYOTOLEWA NA KUTUMIKA
BAKI MAELEZO
40 Kutoa mafunzo ya muda mfupi juu utumiaji wa GIS na Autocard kwa watumishi 6
ifikapo Juni 2017
Benki ya Dunia
(ULGSP)
10,600,000 0.00 10,600,000 Kazi hii itafanyika katika robo ijayo
41 Kuendesha mafunzo juu ya usimamizi wa ubora na uandaaji wa miradi na mifumo wa Wahandisi 3 na Mafundisanifu 5 ifikapo Juni
2017
Benki ya Dunia
(ULGSP)
10,075,000 2,694,000 7,381,000 Wahandisi wawili na fundi sanifu mmoja wamepatiwa mafunzo hayo
mkoani Arusha
42 Kutoa mafunzoya siku 5 kwenye mifumo ya mipango (PLANREP, CDR, CFR, LGMD) kwa watumishi 25 ifikapo Juni
2017
Benki ya Dunia
(ULGSP)
11,000,000 10,940,000 60,000 Mafunzo yametolewa
43 Kuendesha mafunzo ya siku 5 juu ya utatuzi wa migogoro, usafi wa mazingira, usimamizi wa miradi na ufuatiliaji kwa Watendaji 15 na kamati 15 za maendeleo za kata ifikapo Juni
2017
Benki ya Dunia
(ULGSP)
15,000,000 14,000,000 1,000,000 Kikao kazi kwa ajili ya maandalizi ya upimaji kimefanyika kwa watendaji wote wa kata. Mafunzo juu ya utatuzi wa migogoro, usafi wa mazingira, usimamizi wa miradi na ufuatiliaji kamati za maendeleo za kata
44 Kuwezesha utoaji wa mafunzo ya udereva bora kwa
Benki ya Dunia
7,000,000 822,000 6,178,000 Mafunzo yamefanyika kwa dereva mmoja Chuo cha usafirishaji
87
NA. JINA LA MRADI/AINA YA
MRADI
CHANZO CHA
FEDHA
BAJETI ILIYOTENGW
A
FEDHA ILIYOTOLEWA NA KUTUMIKA
BAKI MAELEZO
madereva 4 ifikapo Juni 2017 (ULGSP) Dar es Salaam(NIT)
45 Kuendesha mikutano 15 ya hamasa kwenye kata 15 juu ya masuala ya Rushwa, Jinsia na
VVU/UKIMWI ifikapo Juni 2017
Benki ya Dunia
(ULGSP)
4,700,000 4,100,000 600,000 Mafunzo yamefanyika kwa watendaji wote wa kata na wenyeviti wa Vijiji/mitaa ili wakatoe hamasa katika Jamii.
46 Kuwezesha ufungaji wa POS na kuzitumia kukusanya mapato kwenye kata 15 ifikapo Juni 2017
Benki ya Dunia
(ULGSP)
50,531,380 19,710,720.00 30,820,660.00 Jumla ya POS 25 zimenunuliwa na zinafanya kazi
47 Kuwezesha mazingira bora ya kufanyia kazi kwa watumishi 11 ifikapo Juni 2017
Benki ya Dunia
(ULGSP)
17,000,000 16,348,000 652,000 Jumla ya 'Laptop & HDD 4, Mashine ya Photocopy 1 na Printa 1 vimenunuliwa na vinatumika.
48 Kuwezesha ukamilishaji wa awamu ya pili ya ujenzi wa barabara kwa kiwango cha lami km 7.7 ifikapo Juni 2017
Benki ya Dunia
(ULGSP)
3,431,036,750 0.00 3,431,036,750 Hatua ya manunuzi
49 Kuwezesha utoaji wa ushauri wa kitaalam na usimamizi wa ujenzi wa barabara za lami km
7.7 ifikapo Juni 2017
Benki ya Dunia
(ULGSP)
300,000,000 22,574,000 277,426,000 Fedha imetumika kufanya mapitio ya athari za kimazingira kwa wajumbe wa NEMC na kumtafuta mtaalam mshauri wa
mradi
88
NA. JINA LA MRADI/AINA YA
MRADI
CHANZO CHA
FEDHA
BAJETI ILIYOTENGW
A
FEDHA ILIYOTOLEWA NA KUTUMIKA
BAKI MAELEZO
50 Kuwezesha utoaji wa ushauri wa kitaalam juu ya Skimu ya Mipango Miji (GPS) kwa Manispaa ya Mpanda ifikapo
Juni 2017
Benki ya Dunia
(ULGSP)
105,100,000 450,000 104,650,000 Mtaalam mshauri
ameshapatikana,
anatarajia kuanza
kazi robo ijayo.
51 Kufanya uthamini wa majengo kwa ajili ya ukusanyaji wa kodi ya majengo kwenye kata 15
na mitaa 43 ifikapo Juni 2017
Benki ya Dunia
(ULGSP
200,000,000 41,234,274 158,765,726 Shuhguli ya uthamini
wa nyumba 10,227
umefanyika, taarifa
ya uthamini itawekwa
ofisi za kata ili
wananchi watoe
maoni yao.
JUMLA KUU MIRADI YA UBORESHAJI NA UENDELEZAJI MIJI
(ULGSP)
4,248,565,00
0 164,281,494 4,084,283,506
52 Kufanya matengenezo ya kawaida ifikapo juni 2017
kwa maeneo yafuatayo.
Airpot (15km) Mfuko wa
Barabara 30,000,000 0.00 30,000,000 Hatua za mwisho za
manunuzi.Zimetumw
a barua za kuwaita
wakandarasi
walioshinda zabuni
kuanza kazi
89
NA. JINA LA MRADI/AINA YA
MRADI
CHANZO CHA
FEDHA
BAJETI ILIYOTENGW
A
FEDHA ILIYOTOLEWA NA KUTUMIKA
BAKI MAELEZO
Kasimba A (6.7km) Mfuko wa Barabara
13,400,000 0.00 13,400,000 Hatua za mwisho za
manunuzi.Zimetumw
a barua za kuwaita
wakandarasi
walioshinda zabuni
kuanza kazi
Misunkumilo Kakese
(12.6km)
Mfuko wa
Barabara 20,200,000 0.00 20,200,000 Hatua za mwisho za
manunuzi.Zimetumw
a barua za kuwaita
wakandarasi
walioshinda zabuni
kuanza kazi
Misunkumilo (10km) Mfuko wa
Barabara 25,000,000 0.00 25,000,000 Hatua za mwisho za
manunuzi.Zimetumw
a barua za kuwaita
wakandarasi
walioshinda zabuni
kuanza kazi
Majengo mapya - Kazima (16.5km)
Mfuko wa Barabara
82,500,000 0.00 82,500,000 Hatua za mwisho za
manunuzi.Zimetumw
a barua za kuwaita
wakandarasi
walioshinda zabuni
kuanza kazi
90
NA. JINA LA MRADI/AINA YA
MRADI
CHANZO CHA
FEDHA
BAJETI ILIYOTENGW
A
FEDHA ILIYOTOLEWA NA KUTUMIKA
BAKI MAELEZO
Kasimba B (14km) Mfuko wa Barabara
28,000,000 0.00 28,000,000 Hatua za mwisho za
manunuzi.Zimetumw
a barua za kuwaita
wakandarasi
walioshinda zabuni
kuanza kazi
Mwamkulu - Karema JNC
(14km)
Mfuko wa
Barabara 28,000,000 0.00 28,000,000 Hatua za mwisho za
manunuzi.Zimetumw
a barua za kuwaita
wakandarasi
walioshinda zabuni
kuanza kazi
Mpanda - Kasokola (7km) Mfuko wa
Barabara 14,000,000 0.00 14,000,000 Hatua za mwisho za
manunuzi.
Zimetumwa barua za
kuwaita wakandarasi
walioshinda zabuni
kuanza kazi
Kawajense (16km) Mfuko wa Barabara
32,000,000 0.00 32,000,000 Hatua za mwisho za
manunuzi.Zimetumw
a barua za kuwaita
wakandarasi
walioshinda zabuni
kuanza kazi
91
NA. JINA LA MRADI/AINA YA
MRADI
CHANZO CHA
FEDHA
BAJETI ILIYOTENGW
A
FEDHA ILIYOTOLEWA NA KUTUMIKA
BAKI MAELEZO
Mtapenda - Kasokola (12km) Mfuko wa Barabara
31,190,000 0.00 31,190,000 Hatua za mwisho za
manunuzi.Zimetumw
a barua za kuwaita
wakandarasi
walioshinda zabuni
kuanza kazi
Msasani (10.5km) Mfuko wa
Barabara 21,000,000 0.00 21,000,000 Hatua za mwisho za
manunuzi.Zimetumw
a barua za kuwaita
wakandarasi
walioshinda zabuni
kuanza kazi
JUMLA NDOGO 325,290,000 0.00 325,290,000
53 Kufanya matengenezo ya maeneo korofi ifikapo juni 2017 kwa barabara za
maeneo yafuatayo
Mji wa zamani (5km) Mfuko wa
Barabara 25,000,000 0.00 25,000,000 Hatua za mwisho za
manunuzi.Zimetumw
a barua za kuwaita
wakandarasi
walioshinda zabuni
kuanza kazi
Nsemulwa (6.9km) Mfuko wa 34,500,000 0.00 34,500,000 Hatua za mwisho za
manunuzi.Zimetumw
92
NA. JINA LA MRADI/AINA YA
MRADI
CHANZO CHA
FEDHA
BAJETI ILIYOTENGW
A
FEDHA ILIYOTOLEWA NA KUTUMIKA
BAKI MAELEZO
Barabara a barua za kuwaita
wakandarasi
walioshinda zabuni
kuanza kazi
Msasani (6.62km) Mfuko wa
Barabara 33,100,000 0.00 33,100,000 Hatua za mwisho za
manunuzi.Zimetumw
a barua za kuwaita
wakandarasi
walioshinda zabuni
kuanza kazi
Shanwe (7.5km) Mfuko wa Barabara
37,500,000 0.00 37,500,000 Hatua za mwisho za
manunuzi.Zimetumw
a barua za kuwaita
wakandarasi
walioshinda zabuni
kuanza kazi
JUMLA NDOGO 130,100,000 0.00 130,100,000
54 Kufanya matengenezo ya wakati maalumu ifikapo juni 2017 kwa barabara za
maeneo yafuatayo
Makanyagio (2.5km) Mfuko wa Barabara
105,000,000 0.00 105,000,000 Hatua za mwisho za
manunuzi.Zimetumw
a barua za kuwaita
wakandarasi
93
NA. JINA LA MRADI/AINA YA
MRADI
CHANZO CHA
FEDHA
BAJETI ILIYOTENGW
A
FEDHA ILIYOTOLEWA NA KUTUMIKA
BAKI MAELEZO
walioshinda zabuni
kuanza kazi
Kujenga Barabara za lami za
Manispaa ya Mpanda (1km)
Mfuko wa
Barabara 350,000,000 0.00 350,000,000 Hatua za mwisho za
manunuzi.Zimetumw
a barua za kuwaita
wakandarasi
walioshinda zabuni
kuanza kazi
Majengo mapya - Kazima
(2.5km)
Mfuko wa
Barabara 65,460,000 0.00 65,460,000 Hatua za mwisho za
manunuzi.Zimetumw
a barua za kuwaita
wakandarasi
walioshinda zabuni
kuanza kazi
Kichangani (1.5km) Mfuko wa Barabara
43,450,000 0.00 43,450,000 Hatua za mwisho za
manunuzi.Zimetumw
a barua za kuwaita
wakandarasi
walioshinda zabuni
kuanza kazi
JUMLA NDOGO 563,910,000 0.00 563,910,000
55 Ujenzi wa madaraja na
kalvati ifikapo juni 2017
94
NA. JINA LA MRADI/AINA YA
MRADI
CHANZO CHA
FEDHA
BAJETI ILIYOTENGW
A
FEDHA ILIYOTOLEWA NA KUTUMIKA
BAKI MAELEZO
Daraja la Kasimba B Mfuko wa Barabara
100,000,000 0.00 100,000,000 Hatua za mwisho za
manunuzi.Zimetumw
a barua za kuwaita
wakandarasi
walioshinda zabuni
kuanza kazi
Daraja la Kamakuka Mfuko wa
Barabara 80,000,000 0.00 80,000,000 Hatua za mwisho za
manunuzi.Zimetumw
a barua za kuwaita
wakandarasi
walioshinda zabuni
kuanza kazi
Ujenzi wa mitaro ya Mvua
eneo la Airtel
Mfuko wa
Barabara 80,230,000
0.00 80,230,000 Hatua za mwisho za
manunuzi.Zimetumw
a barua za kuwaita
wakandarasi
walioshinda zabuni
kuanza kazi
JUMLA NDOGO 260,230,000 0.00 260,230,000
56 Kuendesha mafunzo ya siku 3 kwa wakandarasi 15 juu ya kupunguza maambukizi mapya ya VVU/UKIMWI ifikapo Juni 2017
Mfuko wa
Barabara 1,500,000 0.00 1,500,000 Itatekelezwa robo
ijayo
95
NA. JINA LA MRADI/AINA YA
MRADI
CHANZO CHA
FEDHA
BAJETI ILIYOTENGW
A
FEDHA ILIYOTOLEWA NA KUTUMIKA
BAKI MAELEZO
57 Kufanya ufuatiliaji na tathimini kwenye 460km za barabara
ifikapo Juni 2017
Mfuko wa Barabara
63,980,000 0.00 63,980,000 Itatekelezwa robo ijayo
JUMLA NDOGO 63,980,000 00 63,980,000
JUMLA KUU MFUKO WA
BARABARA 1,343,510,00
0 00 1,343,510,000
58 Kutoa mafunzo kwa vitendo kwa viongozi 100 wa vitongoji, 20 wa kata, 20 wa vijiji na watendaji wa kata 3 juu ya ukusanyaji wa data na kuziunganisha ifikapo Juni
2017
Benki ya Dunia (Hand
Wash)
6,441,000 0.00 6,441,000 Fedha haijaletwa
kutoka Hazina
59 Kukusanya data kwa siku 5 katika vitongoji 100 ifikapo
Juni 2017
Benki ya
Dunia
(Hand
Wash)
6,074,900 0.00 6,074,900 Fedha haijaletwa
kutoka Hazina
60 Kufanya mafunzo ya siku 24 kuhamasisha matumizi ya vyoo bora na usafi katika
vitongoji 100 ifikapo Juni 2017
Benki ya Dunia (Hand
Wash)
7,607,100 0.00 7,607,100 Fedha haijaletwa
kutoka Hazina
61 Kuhamasisha mashindano ya usafi wa mazingira ngazi ya
kata na vijiji ifikapo Juni 2017
Benki ya
Dunia
(Hand
Wash)
3,000,000 0.00 3,000,000 Fedha haijaletwa
kutoka Hazina
96
NA. JINA LA MRADI/AINA YA
MRADI
CHANZO CHA
FEDHA
BAJETI ILIYOTENGW
A
FEDHA ILIYOTOLEWA NA KUTUMIKA
BAKI MAELEZO
62 Kufanya ufuatiliaji na usimamizi wa utekelezaji kampeni ya usafi kitaifa ifikapo
Juni 2017
Benki ya Dunia
(Hand
Wash)
5,800,000 389,191 5,410,809 Kazi inaendelea
63 Kuzihakiki takwimu zilizokusanywa kutoka ngazi ya kata, mitaa, vijiji, vitongoji kwa ajili ya kuandaa taarifa ya
robo ifikapo Juni 2017
Benki ya
Dunia
(Hand
Wash)
1,077,000 0.00 1,077,000 Fedha haijaletwa
kutoka Hazina
64 Kuwezesha uundwaji wa klabu za shule 34 za usafi wa
mazingira ifikapo Juni 2017
Benki ya
Dunia
(Hand
Wash)
460,000 0.00 460,000 Fedha haijaletwa
kutoka Hazina
65 Kuendesha mashindano ya usafi kwa shule 5 ifikapo Juni 2017
Benki ya
Dunia
(Hand Wash)
1,777,480 0.00 1,777,480 Fedha haijaletwa
kutoka Hazina
66 Kufanya ukaguzi wa utekelezaji wa kampeni za usafi wa mazingira kwa shule
5 ifikapo Juni 2017
Benki ya Dunia
(Hand
Wash)
1,160,000 0.00 1,160,000 Fedha haijaletwa kutoka Hazina
67 Kufanya ukaguzi wa miundombinu ya afya katika vituo 13 vya afya ifikapo Juni
Benki ya
Dunia
(Hand
602,520 0.00 602,520 Fedha haijaletwa
kutoka Hazina
97
NA. JINA LA MRADI/AINA YA
MRADI
CHANZO CHA
FEDHA
BAJETI ILIYOTENGW
A
FEDHA ILIYOTOLEWA NA KUTUMIKA
BAKI MAELEZO
2017 Wash)
JUMLA KUU RWSSP
(HANDWASH) 34,000,000 389,191 33,610,809
68 Kufanya saveyi, kuchimba visima 6 virefu; 2 Mwamkulu, 2 Kasokola, 1 Magamba na 1 Uwanja wa Ndege ifikapo
Juni, 2017.
Benki ya Dunia
(RWSSP)
156,973,000 0.00 156,973,000 Fedha haijaletwa kutoka Hazina
JUMLA KUU BENKI YA DUNIA (RWSSP-VISIMA)
156,973,000 0.00 156,973,000
69 Kukarabati visima 7; 3 Magamba, 2 Milala, 1 Mwamkulu na 1 Mkwajuni
ifikapo Juni, 2017.
NWSSP 35,000,000 0.00 35,000,000 Fedha haijaletwa kutoka Hazina
70 Kujenga skimu ya maji ya mseleleko ya Manga ili kusambaza maji katika vijiji vya Manga na Kasokola ifikapo
Juni 2017.
NWSSP 325,000,000 0.00 325,000,000 Fedha haijaletwa
kutoka Hazina
71 Kufanya tathmini na ufuatiliaji
wa miradi ifikapo Juni 2017. NWSSP 20,000,000 0.00 20,000,000 Fedha haijaletwa
kutoka Hazina
JUMLA KUU NWSSP 380,000,000 0.00 380,000,000
98
NA. JINA LA MRADI/AINA YA
MRADI
CHANZO CHA
FEDHA
BAJETI ILIYOTENGW
A
FEDHA ILIYOTOLEWA NA KUTUMIKA
BAKI MAELEZO
72 Kuendesha semina na kutoa huduma ya ushauri juu ya masuala ya VVU/UKIMWI kwa wanufaika wa miradi ifikapo
Juni 2017.
ASDP 6,000,000 0.00 6,000,000 Fedha haijaletwa kutoka Hazina
73 Kujenga soko moja la mazao ya kilimo katika kijiji cha
Kasokola ifikapo Juni 2017
ASDP 96,000,000 0.00 96,000,000 Fedha haijaletwa kutoka Hazina
74 Kujenga kituo cha rasilimali za ugani (ward resources center) katika kijiji cha Mbugani ifikapo Juni 2017
ASDP 132,220,000 0.00 132,220,000 Fedha haijaletwa
kutoka Hazina
75 Kujenga nyumba ya afisa ugani katika kijiji cha
Magamba ifikapo Juni 2017
ASDP 27,500,000 0.00 27,500,000 Fedha haijaletwa kutoka Hazina
76 Kuandaa na kuwasilisha mipango ya DADPS kwa mwaka wa fedha 2017/2018 ifikapo Juni 2017
ASDP 12,800,000 0.00 12,800,000 Fedha haijaletwa
kutoka Hazina
77 Kufanya tathmini na ufuatiliaji wa DADPS ifikapo Juni 2017
ASDP 27,100,000 0.00 27,100,000 Fedha haijaletwa kutoka Hazina
78 Kukusanya takwimu za LGMD2
ifikapo Juni 2017 ASDP 5,010,000 0.00 5,010,000 Fedha haijaletwa
kutoka Hazina
79 Kuendesha vikao vya hamasa katika kata 15 ili kuanzisha vyama vipya vya ushirika
ASDP 4,755,000 0.00 4,755,000 Fedha haijaletwa
kutoka Hazina
99
NA. JINA LA MRADI/AINA YA
MRADI
CHANZO CHA
FEDHA
BAJETI ILIYOTENGW
A
FEDHA ILIYOTOLEWA NA KUTUMIKA
BAKI MAELEZO
ifikapo Juni 2017
80 Kufanya ukaguzi na usimamizi wa SACOSS na AMCOS ifikapo Juni 2017
ASDP 1,868,000 0.00 1,868,000 Fedha haijaletwa
kutoka Hazina
81 Kuanzisha bwawa moja kwa ajili ya kuzalishia samaki eneo
la Kawajense ifikapo Juni 2017
ASDP 35,850,000 0.00 35,850,000 Fedha haijaletwa
kutoka Hazina
82 Kusambaza vifaranga 50,000 vya samaki kwa wafugaji wa samaki ifikapo Juni 2017
ASDP 29,784,000 0.00 29,784,000 Fedha haijaletwa
kutoka Hazina
83 Kutoa chanjo ya mifugo kwa ng'ombe 12,000 ifikapo Juni
2017
ASDP 8,500,000 2,630,000 5,870,000 Fedha zimetumika kufanya usanifu wa Mradi wa umwagiliaji
mwamkulu
84 Kujenga josho la mifugo katika kata ya Mwamkulu ifikapo Juni 2017
ASDP 19,000,000 1,637,574 17,362,426 Fedha imetumika kutangaza zabuni ya uendeshaji wa Ma-
chine
85 Kuboresha mbegu ya ngombe wa kienyeji kwa kufanya upandishaji bandia kwa ng'ombe 1,000 ifikapo Juni
2017
ASDP 17,650,000 4,429,000 13,221,000 Maandalizi ya awali
yamefanyika
100
NA. JINA LA MRADI/AINA YA
MRADI
CHANZO CHA
FEDHA
BAJETI ILIYOTENGW
A
FEDHA ILIYOTOLEWA NA KUTUMIKA
BAKI MAELEZO
86 Kukamilisha ujenzi wa josho la mifugo katika kata ya Kakese
ifikapo Juni 2017
ASDP 6,000,000 0.00 6,000,000 Fedha haijaletwa kutoka Hazina
JUMLA KUU ASDP (MFUKO WA MAENDELEO YA
KILIMO)
430,037,000 8,696,574 421,340,426
87 Kuwezesha ukarabati wa machinjio ya Mpanda Hotel ifikapo Juni 2017
DADPs 26,000,000 0.00 26,000,000 Mkandarasi amepatikana na ameanza maandalizi
ya awali.
88 Kuwezesha ukamilishaji wa kiwanda kidogo cha kusindika maziwa kwa wafugaji wa Kashaulili SACCOS ifikapo June
2017
DADPs 40,300,000 0.00 40,300,000 Fedha haijaletwa
kutoka Hazina
JUMLA KUU DADPs 66,300,000 0.00 66,300,000
89 Kuwezesha Ujenzi dampo lakutupia taka katika vilima vya Mkwamba ifikapo Juni 2017
MMAM 22,919,000 0.00 22,919,000 Fedha haijaletwa
kutoka Hazina
90 Kujenga vituo vya afya 2 kulingana muongozo wa Wizara ya Afya katika kata ya Nsemulwa na Kawajense ifikapo Juni 2017
MMAM 150,000,000 40,300,000.00 109,700,000 Ujenzi wa Kituo cha afya Kata ya Nsemulwa upo hatua
za awali.
101
NA. JINA LA MRADI/AINA YA
MRADI
CHANZO CHA
FEDHA
BAJETI ILIYOTENGW
A
FEDHA ILIYOTOLEWA NA KUTUMIKA
BAKI MAELEZO
91 Kujenga nyumba 02 za daktari katika kituo cha afya Ilembo
ifikapo Juni 2017
MMAM 55,000,000 0.00 55,000,000 Fedha haijaletwa kutoka Hazina
92 Kukamilisha ujenzi wa maabara moja katika kituo cha afya Mwangaza ifikapo Juni 2017
MMAM 16,000,000 0.00 16,000,000 Fedha zote za utekelezaji zimeshafika, tunasubiri mchoro
kutoka wizarani.
93 Kujenga zahanati 3 (Mwamkulu, Kamakuka, Magamba) na kuziwekea samani ifikapo June 2017
MMAM 21,000,000 21,000,000 0.00 Ufungaji wa solar zahanati ya Kakese umekamilika, ununuzi wa vifaa vya usafi upo hatua ya manunuzi
94 Kukamilisha ujenzi wa kliniki za RCH katika zahanati ya Kasokola na Kakese ifikapo
June 2017
MMAM 36,000,000 0.00 36,000,000 Fedha haijaletwa kutoka Hazina
95 Kukamilisha ujenzi wa zahanati 2 (Shanwe and Misunkumilo) kulingana na maagizo ya Wizara ya Afya ifikapo Juni
2017
MMAM 40,000,000 31,294,000 8,706,000 Mkandarasi amepatikana ameanza maandalizi ya awali ya ukarabati wa zahanati ya Milala(Misunkumilo). Ujenzi wa Zahanati ya Shanwe umewekwa katika mpango na bajeti ya
102
NA. JINA LA MRADI/AINA YA
MRADI
CHANZO CHA
FEDHA
BAJETI ILIYOTENGW
A
FEDHA ILIYOTOLEWA NA KUTUMIKA
BAKI MAELEZO
2017/2018
96 Kujenga vyoo 2 katika zahanati 2 (Manga na Mtakumbuka) ifikapo June
2017
MMAM 12,000,000 9,500,000 2,500,000 Choo katika Zahanati ya Mtakumbuka kimekamilika na
kinatumika.
JUMLA KUU HSDG/MMAM 352,919,000 0.00 352,919,000
97 Kuwezesha utengenezaji wa madawati 452 kwenye shule
10 za msingi ifikapo Juni 2017
Mfuko wa
Jimbo 28,816,000 28,816,000 00 Miradi
iliyopendekezwa na kamati za Maendeleo ya kata na kuidhinishwa na kikao cha Kamati ya mfuko wa jimbo imepatiwa fedha
JUMLA FEDHA ZA MFUKO WA JIMBO
28,816,000 28,816,000 00
JUMLA KUU BAJETI YA
MIRADI YA MAENDELEO 8,627,252,00
0
929,184,239 7,698,067,761
103
2.TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA IDARA YA ELIMU MSINGI KWA KIPINDI
CHA JANUARI - MACHI, 2017
Mheshimiwa Mwenyekiti,
Taarifa ya utekelezaji wa kazi za Idara ya Elimu Msingi katika kipindi cha mwezi Januari- Machi,
2017, Idara ya Elimu Msingi imetekeleza shughuli mbalimbali ikiwa ni pamoja na zifuatazo;
1.Ufuatiliaji taaluma shuleni kuhakikisha kuwa walimu wote wanafundisha, wanaandaa kwa
mfululizo, wanatoa mazoezi na kuyasahihisha kwa wakati.
2. Kurekebisha IKAMA ya walimu ili kuwa na uwiano sawa wa walimu kwa kuzingatia mradi
wa P4R
3. Kusimamia miradi ya kukamilisha ujenzi wa madarasa,ujenzi wa vyoo,na ujenzi wa
madarasa.
4. Kufanya malipo ya fedha za uhamisho kwa walimu walimu waliohamishwa vituo vyao vya
kazi kwa madi wa P4R. (orodha imeambatishwa)
5.Kikao na Walimu wakuu na Maafisa Elimu Kata kwa utekelezaji wa Mpango Mkakati wa
Magamba wa 2017.
1. Kusimamia mapato na matumizi ya fedha ya elimu bila malipo iliyoanza kutolewa na
serikali kuanzia mwezi Januari, 2016. (Jedwali Na.01 na 02)
2. Kusimamia mtihani wa Mock Kata na kufanya tahimini
3. Kusimamia mpango wa KKK (LANES)
104
Jedwali na.01
TAARIFA YA UTEKELEZAJI IDARA YA ELIMU MSINGI KWA MWEZI JANUARI – MACHI 2017 MWAKA WA
FEDHA 2016/2017
Kasma
ndogo
Kifungu Lengo kuu Lengo
mahsusi
Bajeti ya
mwaka
Utekelezaji Gharama
iliyotumika
Maelezo
509B
Elimu ya
Msingi
shughuli za
uendeshaji
shule
C02S03
Kuimarisha
upatikanaji,
ubora na
usawa wa
utoaji wa
huduma kwa
shule za
sekondari
ifikapo mwaka
2020.
Kuimarisha
ufanisi wa
uendeshaji wa
shule za Msingi
ifikapo Juni
2017.
202,020,000
Ununuzi wa
vifaa vya
kufundishia,uka
barabati,Mitihani
,Utawala na
Michezo
47,601,000
Fedha imeletwa na serikali na kuingizwa kwenye akaunti ya shule kwa Mwezi Januari, Februari na Machi,2017.
105
Kuimarisha
ufanisi wa
uendeshaji wa
shule za Msingi
ifikapo Juni
2017
Ukamilishaji wa
ujenzi wa
madaras
Kabwaga,Mkok
wa na
Nsabwe,ujenzi
wa vyoo
Mkokwa, Mkapa
na Nsambwe na
ujenzi wa
madarasa
Nsemulwa na
Nyerere na
kulipa deni la
madawati
24,619,813.0
0
Ilitumika fedha ya P4R
Kuinua kiwango
cha ufaulu toka
96.5% hadi
99%
Kufanya
mpango wa
semina,kufuatili
a sensa ya
KKK,Kuwajenge
a uwezo walimu
wa MEMKWA na
ufuatuliaji wa
KKK kwa
wanafunzi wote
Kufanyika kwa
mtihani wa
Mock kata
waliofanya wav
19,229,600.0
0
Fedha za Mpango wa LANES
106
987 na was
1087 Jml 2074
waliofaulu ni
wav 633 na was
447 Jml 1080
sawa 52.07%
Kurekebisha
IKAMA ya
walimu
kwampango wa
P4R
Uhamishaji wa
walimu kwa
kurekebisha
IKAMA
13,758,000.0
0
Imetumika fedha ya P4R
107
Jedwali Na. 02 HALMASHAURI YA MANISPAA YA MPANDA
FEDHA LETWA KWA KIPINDI CHA JANUARI HADI MACHI 2017
NA
SHULE
FEDHA
ILIYOPOKELEW
A JANUARI,2017
FEDHA
ILIYOPOKELEW
A
FEBRUARI,2017
FEDHA
ILIYOPOKELEW
A MACHI,2017
JUMLA KUU
1 AZIMIO 891,000 891,000 891,000 2,673,000
2 DIRIFU 162,000 162,000 162,000 486,000
3 ILEMBO 221,000 221,000 221,000 663,000
4 KAKESE 477,000 477,000 477,000 1,431,000
5 KAMAKUKA 142,000 142,000 142,000 426,000
6 KASHATO 1,056,000 1,056,000 1,056,000 3,168,000
7 KASHAULILI 438,000 438,000 438,000 1,314,000
8 KASIMBA 613,000 613,000 613,000 1,839,000
9 KASOKOLA 236,000 236,000 236,000 708,000
10 KATAVI 609,000 609,000 609,000 1,827,000
11 KAWANZIGE 355,000 355,000 355,000 1,065,000
12 KIVUKONI 351,000 351,000 351,000 1,053,000
13 MAGAMBA 270,000 270,000 270,000 810,000
14 MAJENGO 362,000 362,000 362,000 1,086,000
15 MAKANYAGIO 448,000 448,000 448,000 1,344,000
16 MAKONGOLO 67,000 67,000 67,000 201,000
17 MANGA 162,000 162,000 162,000 486,000
18 MAPINDUZI 100,000 100,000 100,000 300,000
19 MBUGANI 621,000 621,000 621,000 1,863,000
20 MILALA 224,000 224,000 224,000 672,000
21 MISUNKUMILO 493,000 493,000 493,000 1,479,000
108
22 MIZENGO PINDA 465,000 465,000 465,000 1,395,000
23 MKAPA 635,000 635,000 635,000 1,905,000
24 MPANDA 802,000 802,000 802,000 2,406,000
25 MSAKILA 560,000 560,000 560,000 1,680,000
26 MTAKUMBUKA 175,000 175,000 175,000 525,000
27 MUUNGANO
727,000 727,000 727,000 2,181,000
28 MWAMKULU 653,000 653,000 653,000 1,959,000
29 MWANGAZA 571,000 571,000 571,000 1,713,000
30 NSEMULWA 776,000 776,000 776,000 2,328,000
31 NYERERE 1,201,000 1,201,000 1,201,000 3,603,000
32 SHANWE 379,000 379,000 379,000 1,137,000
33 SUNGAMILA 156,000 156,000 156,000 468,000
34 UHURU 469,000 469,000 469,000 1,407,000
JUMLA 15,867,000.00 15,867,000.00 15,867,000.00 47,601,000
JEDWALI NA 03: FEDHA ZA P4R
FOMATI YA MPANGO WA KAZI
A:KUREKEBISHA IKAMA
NA
JINA LA
MWWALIMU SHULE ALIYOTOKA SHULE ALIYOHAMIA
KIASI
ALICHOLIPWA
1 Oscar Tembwe
ILEMBO MWAMKULU 2,100,000.00
2 Donatha Vianey
NSEMULWA MAGAMBA 1,482,000.00
3 John Kiyenzi
MILALA KAKESE 3,799,200.00
4 Justin Ndwanga
MUUNGANO MTAKUMBUKA 502,800.00
5 Tumaini Josiha
MAGAMBA KASHAULILI 3,000,000.00
6 Nsindi Lubacha
MAPINDUZI MAKONGOLO 1,202,800.00
7 Mary Msenga
MAGAMBA NSEMULWA 1,035,200.00
8 Aidan Ramadhani KASOKOLA MWAMKULU 636,000.00
13,758,000.00
109
B: UJENZI WA MADARASA NA VYOO
NA
JINA LA
SHULE UJENZI WA MADARASA UJENZI WA VYOO
IDADI
KIASI KWA
DARASA KIASI
IDADI YA
MATUNDU KIASI KWA NDUNDU KIASI
1
Mwamkulu (
Mkokwa) 4 485,514.75 1,942,059
2 Nsemulwa 1 2,000,000 2,000,000
4 Nyerere 1 2,000,000 2,000,000
5 Nsambe 4 462,641.50 1,850,566
6 Mkapa 2 500,000 1,000,000
JUML
A 4,000,000 4,792,625
C: UKAMILISHAJI WA MADARASA
NA JINA LA SHULE MADARASA YALIYOKAMILISHWA
IDADI KIASI KWA DARASA KIASI
Mwamkulu ( Mkokwa) 3 1,260,373 3,781,119.00
Mwamkulu ( Kabwaga) 3 1,265,356.33 3,796,069.00
Misunkumilo ( Nsambwe) 2 1,125,000 2,250,000.00
9,827,188.00
110
NB: MADAWATI
Utengenezaji wa Madawati Tsh: 3,000,000/=
UFUATILIAJI KIASI
MALIPO KWA AJILI YA UANDAAJI NA UJAZAJI WA TAKWIMU 1,230,000
MOTISHA KWA AJILI YA UJAZAJI WA TAKWIMU KWA WAKATI NA KWA USAHIHI 280,000
MALIPO KWA AJILI YA KUZUNGUKIA SHULE ILI KUHAKIKI TAKWIMU (Maafisa Elimu) 2,426,855
JUMLA KUU 3,936,855
111
3.TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA IDARA YA ELIMU SEKONDARI KWA
KIPINDI CHA JANUARI - MACHI, 2017
Mheshimiwa Mwenyekiti,
Katika kipindi cha Robo ya Tatu, Idara ya Elimu Sekondari imetekeleza shughuli mbalimbali ikiwa
ni pamoja na zifuatazo;
1 Ufuatiliaji taaluma shuleni kuhakikisha kuwa walimu wote wanafundisha, wanaandaa kwa
mfululizo, wanatoa mazoezi na kuyasahihisha kwa wakati.
1. Kurekebisha IKAMA ya walimu ili kuwa na uwiano sawa wa walimu kwa kuzingatia
masomo. Baadhi ya walimu wamehamishiwa kwenye shule zilizo na upungufu wa walimu
kwa baadhi ya masomo. Urekebishaji huu umezingatia pia uwepo wa walimu wengi wa
somo moja katika shule moja.
2. Kusimamia zoezi la utengenezaji wa viti/meza 80 vilivyogharimiwa na fedha ya P4R,
vimeshakamilika, arobaini vimepelekwa Mwangaza na arobini nyingine vimepelekwa Shule
ya Sekondari Shanwe.
3. Kufanya malipo ya fedha za uhamisho kwa walimu waliohamishwa vituo vyao vya kazi.
(orodha imeambatishwa)
4. Kufanya kikao na Wakuu wa Shule kuwaelekeza mpango mkakati wa kitaaluma na
viwango vipya vya kuongeza ufaulu. Idara imepitisha kiwango cha ufaulu kutoka 69%
hadi 77% kwa mwaka wa masomo 2017.
5. Kusimamia mapato na matumizi ya fedha ya elimu bila malipo iliyoanza kutolewa na
serikali kuanzia mwezi Januari, 2016. (Jedwali Na.01 na 02)
6. Kufanya tathimini ya matokeo ya mitihani ya kidato cha nne na cha pili mwaka 2016
,tathimini husika imeambatishwa.
7. Mapokezi ya wanafunzi wa kidato cha kwanza mwaka 2017.
8. Kusimamia ufundishaji wa kozi ya kiingereza kwa wanafunzi wa kidato cha kwanza
ambayo kwa sasa imekamilika wanafunzi wameshafanya mtihani na matokeo yao
yameambatishwa.
Majedwali Na.01, 02, 03, 04 na 05 vinaonesha utekelezaji wa shughuli zilizofanywa na Idara.
112
Jedwali 01
TAARIFA YA UTEKELEZAJI IDARA YA ELIMU SEKONDARI KWA MWEZI JANUARI – MACHI 2017
Kasma
ndogo
Kifungu Lengo kuu Lengo
mahsusi
Bajeti ya
mwaka
Utekeleza
ji
Gharama
iliyotumika
Maelezo
509B
Elimu ya
Sekondari
shughuli za
uendeshaji
C01S01
Kuimarisha
upatikanaji,
ubora na
usawa wa
utoaji wa
huduma kwa
shule za
sekondari
ifikapo mwaka
2020.
Kuimarisha
ufanisi wa
uendeshaji
wa shule
za
sekondari
ifikapo Juni
2017.
85,140,000.00
Ununuzi
wa vifaa
vya
kufundishia
pamoja na
kuendesha
shughuli za
taaluma
shuleni.
43,254,000.00
Fedha imeletwa na serikali na kuingizwa kwenye akaunti ya shule kwa Mwezi Januari, Februari na Machi,2017.
Kuimarisha
ufanisi wa
uendeshaji
wa shule
za
sekondari
ifikapo Juni
2017
Utengenez
aji wa
viti/meza
80 kwa ajili
ya shule za
sekondari
za
Mwangaza
na Shanwe
5,600,000 Ilitumika fedha ya P4R na madawati yalishapelekwa shuleni
113
Kuinua
kiwango
cha ufaulu
toka 69%
hadi 77%
Uandaaji
wa Mpango
Kazi na
Malengo ya
mwaka wa
masomo
wa 2017
Mpango Kazi wenye malengo ya mwaka wa masomo wa 2017 ulishakamilika na kugawiwa katika shule zote za sekondari
C02S02 Kuhakikish
a chakula
cha
wanafunzi
kinapatikan
a wakati
wote wa
masomo
yanapoend
elea
446,880,000.0
0
Fedha ya
chakula
80,688,000.00 Fedha imeletwa na serikali na kuingizwa kwenye akaunti ya shule kwa Mwezi Januari, Februari na Machi,2017.
114
Jedwali Na. 02
MIGAWO YA FEDHA JANUARI-MACHI 2017
HALMASHAURI JINA LA SHULE
FEDHA YA CHAKULA
FIDIA YA ADA - KUTWA
RUZUKU (CG)
JUMLA YA FEDHA
MPANDA MC KASHAULILI 3,735,000
3,558,000
7,293,000
MPANDA MC KASIMBA 2,022,000
1,926,000
3,948,000
MPANDA MC KASOKOLA 606,000
576,000
1,182,000
MPANDA MC MAGAMBA 552,000
525,000
1,077,000
MPANDA MC MISUNKUMILO 1,485,000
1,416,000
2,901,000
MPANDA MC MPANDA GIRLS 80,688,000
-
4,014,000
84,702,000
MPANDA MC MWANGAZA 3,855,000
3,669,000
7,524,000
MPANDA MC NSEMULWA 1,812,000
1,725,000
3,537,000
MPANDA MC RUNGWA 3,411,000
3,249,000
6,660,000
MPANDA MC SHANWE 2,622,000
2,496,000
5,118,000
JUMLA 80,688,000
20,100,000
23,154,000 123,942,000
115
Jedwali 03 Mchanganuo wa matumizi ya fedha ya P4R
S/N VIPENGELE MHUSIKA MSHAHARA KIASI
1 Kurekebisha IKAMA ya walimu Abraham Gama 940,000 X 12 x 10% 1,128,000
January Kazonde 1,235,000 X 12 x 10% 1,482,000
Furaha Danken 716,000 X 12 x 10% 859,000
Shukuru Magesa 716,000 X 12 x 10% 859,000
Ayubu Komba 716,000 X 12 x 10% 859,000
Constantino John 530,000 X 12 x 10% 636,000
Thomas Isaya 940,000 X 12 x 10% 1,128,000
Willy Myamba 940,000 X 12 x 10% 1,128,000
Jumla ndogo 8,079,000
VIPENGELE SHUGHULI KIASI
2 Ujenzi wa maabara na matundu ya vyoo Ujenzi wa Hostel Rungwa 11,792,625
3 Ukamilishaji wa maabara na madarasa Ujenzi wa Hostel Rungwa 8,207,375
Ukarabati wa hostel Kasokola 600,000
Ukarabati wa hostel Magamba 400,000
Ukarabati wa matundu ya vyoo Nsemulwa 600,000
Utengenezaji wa viti/meza Shanwe 2,800,000
Utengenezaji wa viti/meza Mwangaza 2,800,000
Jumla ndogo 27,300,000
4 Shughuli za P4R ikiwa ni pamoja na ufuatiliaji Ununuzi computer 849,752
Shughuli za ujazaji takwimu 1,100,000
Motisha kwa ujazaji wa takwimu kwa wakati na kwa
usahihi
300,000
Motisha kwa ujazaji wa takwimu kwa wakati 200,000
Ufuatiliaji wa takwimu shuleni 400,000
Kugharimia safari ya warsha ya P4R kwa ajili ya Mkurugenzi na Afisaelimu iliyofanyika Mbeya
1,080,000
Jumla ndogo 3,929,752
Jumla Kuu 39,308,752
116
Jedwali 04 Wanafunzi walioripoti hadi Machi, 31
URIPOTI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA I - 2017 HADI 24.03.2017
S/N SHULE WALIOPANGWA WALIORIPOTI WALIOKWENDA SHULE BINAFSI
WALIOLETWA TOKA VITUO VINGINE
WALIORIPOTI SHULE ZA SERIKALI +
WALIOKWENDA SHULE BINAFSI
% YA WALIOPO SHULENI DHIDI YA WALIO
PANGWA
WASIORIPOTI
% YA WASIORIPOTI
WAV WAS JML WAV
WAS JML WAV WAS JML WAV WAS JML WAV WAS JML
WAV
WAS
JML
1 MWANGAZA 118 148 266 126 150 276 3 16 19 2 6 8 129 166 295 110.9
-11 -18 -29 -10.9
2 RUNGWA 107 125 232 107 113 220 5 7 12 5 3 8 119 112 231 99.56
-12 13 1 0.43
3 KASHAULILI 114 130 244 106 119 225 11 11 22 2 5 7 115 128 243 99.59
-1 2 1 0.409
4 KASIMBA 134 162 296 135 153 288 4 6 10 9 8 17 138 160 298 100.6
-4 2 -2 -0.67
5 NSEMULWA 74 87 161 67 76 143 4 4 8 3 5 8 71 79 150 93.16 3 8 11 6.83
6 SHANWE 133 145 278 125 137 262 9 5 14 3 8 11 130 138 268 96.40 3 7 10 3.597
7 MISUNKUMILO 99 69 168 102 59 161 1 1 2 7 5 12 86 56 142 84.52
13 13 26 15.47
8 MAGAMBA 104 105 209 83 72 155 1 0 1 0 1 1 84 72 156 74.64
20 33 53
25.358
9 KASOKOLA 91 89 180 87 81 168 2 0 2 1 1 2 87 79 166 92.22 4 10 14 7.777
JUMLA 974 1060 2034 938 960 1898 40 50 90 32 42 74 959 990
1949 95.82
15 70 85
4.178
117
Jedwali 05
(MATOKEO KIDATO CHA NNE 2016 KWA %)
S/N SHULE
DIVISION JUMLA
WALIOFANYA WALIOFAULU
I - IV % YA UFAULU
GRADE
I II III IV 0
1 ST. MARYS 2 12 26 30 0 70 70 100 A
2 MILALA 0 5 31 49 5 90 85 94.44 A
3 ISTIQAMA 0 6 8 19 6 39 33 84.62 A
4 KASOKOLA 0 1 3 16 4 24 20 83.33 A
5 MAGAMBA 0 0 4 9 4 17 13 76.47 A
6 MISUNKUMILO 2 6 6 14 11 39 28 71.79 B
7 RUNGWA 1 9 12 71 42 135 93 68.89 B
8 KASIMBA 0 4 3 21 14 42 28 66.67 B
9 MWANGAZA 5 13 18 80 64 180 116 64.44 C
10 KASHAULILI 0 7 18 56 56 137 81 59.12 C
11 SHANWE 2 2 9 31 46 90 44 48.89 C
12 NSEMULWA 0 2 6 30 42 80 38 47.5 C
JUMLA 12 67 144 426 294 943 649 69 B
118
Jedwali Na. 06
MATOKEO YA MTIHANI WA UPIMAJI KIDATO CHA PILI, 2016
NA SHULE
WALIOSAJILI
WA
WALIOFANY
A
MADARAJA
% I II
III IV
WANAORUDI
A
WALIOFAULU
I-IV
WV
WS
JML WV
WS
JML
WV
WS
JML
WV
WS
JML WV WS
JML
WV
WS JML WV WS
JML
WV
WS
JML
1 ST.MARY'S 31 71 102 28 69 97 13 9 22 10 17 27 5 22 27 0 21 21 0 0 0 28 69 97 100
2 MILALA 30 10 40 29 11 40 9 2 11 9 5 14 7 2 9 4 2 6 0 0 0 29 11 40 100
3 SUN 17 12 29 17 12 29 7 3 10 5 3 8 4 3 7 1 3 4 0 0 0 17 12 29 100
4 MAGAMBA 33 6 39 33 6 39 2 0 2 3 0 3 12 0 12 16 6 22 0 0 0 33 6 39 100
5 KASHAULILI 99 71 170 91 65 156 14 0 14 8 3 11 22 7 29 42 53 95 4 3 7 86 63
149 96
6 MISUNKUMILO 47 45 92 46 39 85 16 1 17 9 5 14 10
12 22 10 18 28 2 3 5 45 36 81 95
7 MWANGAZA 98 96 194 98 95 193 4 4 8 15 12 27 17
17 34 52 60 112 10 2 12 88 93
181 94
8 RUNGWA 81 82 163 77 80
15
7 18 1 19 12 10 22 13
1
8 31 29 46 75 5 5 10 72 75
14
7 94
9 NSEMULWA 58 38 96 54 34 88 3 0 3 7 1 8 9 3 12 30 29 59 5 1 6 49 33 82 93
10 KASIMBA 66 72 138 66 68
134 6 2 8 4 0 4 12 6 18 39 47 86 5
13 18 61 55
116 87
11 ISTIQAMA 7 15 22 7 15 22 0 0 0 1 1 2 5 2 7 1 9 10 0 3 3 7 12 19 86
1
2 SHANWE 86 81 167 80 76
15
6 4 0 4 7 4 11 15
1
0 25 42 48 90 12
1
4 26 68 62
13
0 83
1
3 KASOKOLA 14 15 29 14 13 27 0 0 0 1 0 1 2 2 4 9 7 16 2 4 6 12 9 21 78
JUMLA
66
7
61
4
128
1
64
0
58
3
12
23 96 22
11
8 91 61 152 133
1
0
4
23
7
27
5
34
9 624 45
4
8 93
59
5
53
6
11
31 92
119
4.TAARIFA YA UTEKELEZAJI IDARA YA MAENDELEO YA JAMII, JINSIA NA WATOTO
KWA KIPINDI CHA JANUARI - MACHI, 2017.
Katika kipindi cha Januari hadi Machi, 2017 Idara ya Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto
imetekeleza shughuli mbalimbali kwa kushirikiana na wadau wa Maendeleo katika kuratibu,
kushauri na kutoa mafunzo mbalimbali kwa Jamii.
1. Vikundi 26 vimesajiliwa katika robo hii, kati ya vikundi hivyo 05 ni vya Wanawake na 01
ni cha vijana, vikundi 10 ni vya mchanganyiko na vikundi 10 ni Jumuiya za watumiaji maji
katika vijiji 10.
2. Ufuatiliaji wa marejesho ya mikopo kwa vikundi 45 umefanyika na jumla ya Tshs.
6,245,200 zimerejeshwa kwa kipindi hiki, Mfuko wa Maendeleo ya Wanawake
(2,768,200) na Vijana (1,657,000) na Mfuko wa Wajasiriamali Tsh. 1,820,000.
3. Mikopo ya masharti nafuu imetolewa, Tshs 38,000,000 zimekopeshwa kwa vikundi 19
tarehe 02/04/2017 kwenye Mbio za Mwenge wa Uhuru,kati ya hivyo 12 ni vya wanawake
(23,500,000) na 7 ni vya vijana (14,500,000).
4. Siku ya Mwanamke Duniani iliadhimishwa kwa wanawake kutoa misaada ya vifaa vya
matibabu katika Hospitali ya Manispaa ya Mpanda (Bp mashine 2 zenye thamani ya Tshs
280,000) na sabuni za maji na miche zenye thamani ya Tshs 220,000.Jumla ya wanawake
121 walishiriki kwa michango ya hali na mali,aidha mchango wa Tshs 50,000 ulitolewa na
Mheshimiwa Mstahiki Meya wa Manispaa na Mbunge wa Viti Maalum Mh.Taska Mbogo
Tshs 50,000.
5. Mafunzo ya siku 2 kwa vikundi 19 yametolewa kuhusu utekelezaji wa miradi ya vikundi,
utunzaji wa kumbukumbu na ujazaji wa mikataba ili kuboresha shughuli za vikundi kabla
ya kupewa mikopo.
6. Imefanyika ziara ya kujifunza katika Halmashauri ya Mlele ambapo Afisa Vijana na
Mhandisi walikwenda kujifunza kwa ajili ya kituo cha vijana na wanawake na baadae
kimejengwa kituo cha vijana na wanawake chenye thamani ya Tshs 20,000,000 katika
kata ya Misunkumilo.
120
MAJEDWALI YA MAREJESHO YA MIKOPO YA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WAJASIRIAMALI KATIKA
JANUARI - MACHI, 2017
Kiambata Na: 1
MAREJESHO YA VIKUNDI VYA WANAWAKE (WDF) JANUARI - MACHI 2017 WALIOKOPESHWA MEI, 2014
NA. JINA LA KIKUNDI
KATA MKOPO NA RIBA
MAREJESHO ROBO YA III
JUMLA YA MAREJESHO
DENI MAELEZO
1 KENDMADEVA NSEMULWA 1,100,000.00 0 1,063,000.00 37,000.00 Wanadaiwa
2 PRIBADE NSEMULWA 1,100,000.00 0 950,000.00 150,000.00 Wanadaiwa
JUMLA 2,200,000.00 0 2,013,000.00
187,000.00
Kiambata Na: 2
MAREJESHO YA VIKUNDI VYA WANAWAKE (WDF) JANUARI – MACHI, 2017 WALIKOPESHWA MWEZI MACHI
2015.
NA JINA LA KIKUNDI
KATA MKOPO NA RIBA
MAREJESHO YA ROBO YA TATU
JUMLA YA MAREJESHO
DENI MAELEZO
1 AMANI NSEMULWA 1,320,000.00 0 462,500.00
857,500.00 Wanadaiwa
2 WAJANE KAWAJENSE 1,320,000.00 0 1,100,000.00 220,000.00 Wanadaiwa
3 CHANGES REVOLUTION
ILEMBO 1,320,000.00 0 360,000.00 960,000.00 Wanadaiwa
JUMLA 3,960,000.00
0 1,922,500.00
2,037,500
121
Kiambata Na: 3
MAREJESHO YA VIKUNDI VYA WANAWAKE (WDF) JANUARI –MACHI, 2017 MKOPO ULIOTOLEWA TAREHE
15/7/2015
NA
JINA LA KIKUNDI
KATA MKOPO NA RIBA
ROBO YA TATU
JUMLA YA MARE MAREJESHO
DENI MAELEZO
1 TUMAINI UWANJA WA NDEGE
1,100,000 35,000 673,000 427,000 Wanadaiwa
2 TWIGA KAWAJENSE 1,100,000 280,000 880,000 220,000 Wanadaiwa
3 KIREYUAI MAKANYAGIO 1,100,000 0 1,012,000 88,000 Wanadaiwa
4 AMANI AGRI-CULTURAL
KASHAULILI 1,100,000 0 380,000 720,000 Wanadaiwa
JUMLA 4,400,000 315,000 2,945,000 1,455,000
122
Kiambata Na: 4
MAREJESHO YA VIKUNDI VYA WANAWAKE (WDF) JANUARI–MACHI, 2017 MKOPO ULIOTOLEWA TAREHE
13/7/2016
NA.
JINA LA KIKUNDI
KATA MKOPO MKOPO NA RIBA
MAREJESHO ROBO III
JUMLA YA MAREJESHO
DENI MAELEZO
1. Humbaja Makanyagio 1,000,000 1,100,000 184,000 460,000 640,000 Marejesho
yanaendelea
2. Mwiza Nsemulwa 2,000,000 2,200,000 368,000 368,000 1,832,000 Marejesho
yanaendelea
3. Twafuma Kutali Uwanja Ndege
1,000,000 1,100,000 237,200 501,200 598,800 Marejesho
yanaendelea
JUMLA 4,000,000 4,400,000 789,200 1,329,200 3,070,800
123
Kiambata Na. 5
MAREJESHO YA VIKUNDI VYA VIJANA JANUARI –MACHI, 2017 MKOPO ULIOTOLEWA TAREHE 13/7/2016
NA. JINA LA KIKUNDI
KATA MKOPO MKOPO NA RIBA
MAREJESHO ROBO III
JUMLA YA MAREJESHO
DENI MAELEZO
1. Tujikomboe
Misunkumilo 1,000,000 1,100,000 92,000 368,000 732,000 Marejesho
yanaendelea
2. Mawecamo Kawajense 2,000,000 2,200,000 184,000 276,000 1,924,000 Marejesho
yanaendelea
3. Sukari Kakese 1,000,000 1,100,000 92,000 460,000 640,000 Marejesho
yanaendelea
4. Amakwawo Uwanja/ Ndege
1,000,000 1,100,000 0 0 1,100,000 Marejesho
yanaendelea
5. KCID Makanyagio 2,000,000 2,200,000 0 0 2,200,000 Marejesho
yanaendelea
JUMLA 7,000,000 7,700,000 368,000 1,104,000 6,596,000
124
Kiambata Na: 6
MAREJESHO YA VIKUNDI VYA WANAWAKE (WDF) JANUARI –MACHI, 2017 MKOPO ULIOTOLEWA TAREHE
11/10/2016
NA JINA LA KIKUNDI
KATA MKOPO MKOPO NA RIBA
MAREJESHO ROBO YA III
JUMLA YA MAREJESHO
DENI
MAELEZO
1. Elimisha Kashaulili 1,000,000 1,100,000 184,000 184,000 916,000 Mwisho wa marejesho ni mwezi Novemba 2017
2. Nacarugese Majengo 1,000,000 1,100,000 276,000 368,000 732,000 Mwisho wa
marejesho ni
mwezi Novemba
2017
3. Lekatwezye Misunkumilo 1,500,000 1,650,000 280,000 420,000 1,230,000 Mwisho wa
marejesho ni
mwezi Novemba
2017
4. Anganile Makanyagio 1,000,000 1,100,000 284,000 552,000 548,000 Mwisho wa
marejesho ni
mwezi Novemba
2017
5. Vicinity Shanwe 1,000,000 1,100,000 184,000 276,000 824,000 Mwisho wa
marejesho ni
mwezi Novemba
2017
125
6. Kiwasu Kasokola 1,000,000 1,100,000 92,000 184,000 916,000 Mwisho wa
marejesho ni
mwezi Novemba
2017
7. Huduma Makanyagio 1,000,000 1,100,000 92,000 184,000 916,000 Mwisho wa
marejesho ni
mwezi Novemba
2017
8. Ilakoze Nsemulwa 1,000,000 1,100,000 0 92,000 1,008,000 Mwisho wa
marejesho ni
mwezi Novemba
2017
9. Tuisunge Kasokola 1,000,000 1,100,000 184,000 184,000 916,000 Mwisho wa
marejesho ni
mwezi Novemba
2017
10. Mwembeni Makanyagio 1,500,000 1,650,000 411,000 548,000 1,102,000
Mwisho wa
marejesho ni
mwezi Novemba
2017
JUMLA 11,000,000 12,100,000 1,987,000 2,992,000 9,108,000
126
Kiambata Na. 7
MAREJESHO YA VIKUNDI VYA VIJANA (YDF) JANUARI–MACHI, 2017 MKOPO ULIOTOLEWA TAREHE
11/10/2016
NA JINA LA
KIKUNDI
KATA MKOPO MKOPO NA
RIBA
MAREJESH
O ROBO YA TATU
JUMLA YA
MAREJESHO
DENI MALEJESHO
1. Bwawani
Bustani
Shanwe 2,000,000 2,200,000 275,000 459,000 1,741,000
Marejesho yameanza
mwezi Desemba 2016
2. Hapa Kazi Majengo 1,500,000 1,650,000 300,000 450,000 1,200,000 Marejesho yameanza
mwezi Desemba 2016
3. Katavi Youth
Kashaulili 2,000,000 2,200,000 400,000 400,000 1,800,000 Marejesho yameanza mwezi Desemba 2016
4. Ivikongwa Makanyagio 1,000,000 1,100,000 184,000 276,000 824,000 Marejesho yameanza
mwezi Desemba 2016
5. Maarifa Uwanja/Ndege 1,000,000 1,100,000 184,000 276,000 824,000 Marejesho yameanza
mwezi Desemba 2016
JUMLA 7,500,000 8,250,000 1,343,000 1,861,000 6,389,000
127
Kiambata Na 8
ORODHA YA VIKUNDI VILIVYOKOPESHWA TAREHE 02/04/2017
NA JINA LA KIKUNDI KATA SHUGHULI ZA KIKUNDI KIASI KILICHOKOPESHWA
MKOPO NA RIBA
1 Fikiria Uwanja wa Ndege Usindikaji wa asali na biashara ndogondogo
2,500,000 2,750,000
2 Tujinasue Uwanja wa Ndege Kilimo cha bustani 2,000,000 2,200,000
3 Umoja ni nguvu Shanwe Biashara ndogondogo 1,500,000 1,650,000
4 White Giraffe group Shanwe Kilimo cha mahindi na ufugaji wa ku-ku
2,000,000 2,200,000
5 Mwitikio Mwamkulu Ufugaji wa kuku na kilimo cha mpunga
2,000,000 2,200,000
6 Tumejipanga Majengo Bodaboda na biashara ndogondogo 2,000,000 2,200,000
7 Kivicha Kasokola Kilimo cha karanga na ufugaji wa ku-ku.
2,500,000 2,750,000
8 Magufuli na Maendeleo Kazima Ushonaji,Saloon 2,000,000 2,200,000
9 Ujirani mwema Kawajense Biashara ndogondogo,utengenezaji urembo
1,500,000 1,650,000
10 Tujivune Uwanja wa Ndege Kilimo cha bustani na biashara ndogondogo
2,000,000 2,200,000
11 Prespa Majengo Biashara ndogondogo 2,500,000 2,750,000
12 Neema Kakese Kilimo na biashara ndogondogo 2,500,000 2,750,000
13 Morning star Ilembo Biashara ndogondogo 1,500,000 1,650,000
14 Jipe moyo Misunkumilo Ufugaji wa kuku na bata na biashara ndogondogo.
1,500,000 1,650,000
15 Twijumile Nsemulwa Biashara ndogondogo 2,000,000 2,200,000
16 Tausi Magamba Mgahawa na ufugaji wa kuku 2,000,000 2,200,000
17 Twaweza Mpanda Hotel Ununuzi na uuzaji wa mazao 2,000,000 2,200,000
18 Ubuhanje Mpanda Hotel Mgahawa na kilimo 2,000,000 2,200,000
19 Giftsheza Kashaulili Ushonaji na mgahawa ufinyanzi na biashara ndogondogo
2,000,000 2,200,000
JUMLA KUU 38,000,000 41,800,000
128
Kiambata Na : 9
VIKUNDI VYA WAJASIRIAMALI VILIVYOKOPESHWA HALMASHAURI YA MANISPAA YA MPANDA
MAREJESHO YA MIKOPO MFUKO WA WAJASIRIAMALI WA WILAYA KWA VIKUNDI VILIVYOPEWA MKOPO
AWAMU YA TATU KIPINDI CHA JANUARI –MACHI, 2017.
NA.
JINA LA KIKUNDI NA
KATA KILIPO
MKOPO RIBA 9% JUMLA YA
MKOPO NA RIBA
MAREJESH
O YA ROBO YA TATU
JUMLA YA
MAREJESHO
DENI MAONI
1 TWIYAWE MAKANYAGIO
Wanakikundi 5
1,000,000 90,000 1,090,000 0 874,000 216,000 Mwisho wa
marejesho ni tarehe
30/06/2015
2 MSHIKAMANO ARTS
GROUP
MPANDA HOTEL Wanakikundi 45
5,000,000 450,000 5,450,000 0 2,315,000 3,135,000 Mwisho wa
marejesho ni tarehe
30/06/2015
3 SADEGOESA GROUP
KASHAULILI Wanakikundi 5
5,000,000 450,000 5,450,000 0 4,196,000 1,254,000 Mwisho wa
marejesho ni tarehe
30/06/2015
JUMLA 11,000,000 990,000 11,990,000 0 7,385,000 4,605,000
129
Kiambata Na : 10
MKOPO ULITOLEWA TAREHE 18/12/2015-MAREJESHO YA MIKOPO HADI MACHI 2017 MWISHO WA
MAREJESHO NI DESEMBA 2016
NA
.
JINA LA
KIKUNDI NA KATA
KILIPO
MKOPO RIBA 15% JUMLA YA
MKOPO NA RIBA
MAREJESHO YA
ROBO YA TATU
MAREJESHO
YA MKOPO NA RIBA
DENI MAONI
1.
AMAKWAO U/Ndege
3,000,000 450,000 3,450,000 0 540,000 2,910,000 Ufuatiliaji unaendelea
2. DADA’s Kawajense
2,500,000 375,000 2,875,000 0 480,000 2,395,000 Ufuatiliaji unaendelea
3 CHANGAMKENI Makanyagio
1,500,000 225,000 1,725,000 260,000 1,576,000 149,000 Ufuatiliaji unaendelea
4 QUEEN HELLEN Misunkumilo
1,500,000 225,000 1,725,000 0 400,000 1,325,000 Ufuatiliaji unaendelea
5 SUBIRA YAVUTA HERI
Majengo
2,000,000 225,000 2,300,000 96,000 1,892,000 408,000 Ufuatiliaji unaendelea
JUMLA 10,500,000 1,500,000 12,075,000 356,000 4,888,000 7,187,000
130
Kiambata :11
VIKUNDI VILIVYOKOPESHWA KWENYE MWENGE 2016-2017 TAREHE 15/07/2016- AWAMU YA 6:
NB. MAREJESHO KWA KIPINDI CHA JANUARI HADI MACHI 2017, YATAMALIZIKA AGOSTI 2017.
NA
JINA LA KIKUNDI
NA KATA KILIPO
MKOPO RIBA 15% JUMLA YA
MKOPO NA RIBA
MAREJES
HO YA ROBO YA
TATU
JUMLA YA
MAREJESHO
DENI
1.
EBENEZER GROUP Kawajense
1,000,000 150,000 1,150,000 0 286,000 864,000
2. MPANDA DEVELOPMENT AGENDA
Majengo
2,000,000 300,000 2,300,000 0 192,000 2,108,000
3. JIKWAMUE VIJANA MPANDA SACCOs
Majengo
5,000,000 750,000 5,750,000 480,000 960,000 4,790,000
4 RAHAMAN Kashaulili
1,000,000 150,000 1,150,000 288,000 576,000 574,000
5 KATAVI SALAMU CLUB
Kashaulili
1,000,000 150,000 1,150,000 46,000 334,000 816,000
JUMLA 10,000,000 1,500,000 11,500,000 814,000 2,348,000 9,152,000
131
TAARIFA YA UWEZESHAJI WANANCHI KIUCHUMI KWA KIPINDI CHA JANUARI HADI
MACHI 2017
Halmashauri ya Manispaa ya Mpanda inatekeleza sera ya Taifa ya Uwezeshaji wananchi Kiuchumi
ya mwaka 2004 kupitia sekta na Idara za Halmashuri,sekta binafsi na Mashirika yasiyo ya
Kiserikali kupitia mwongozo wa Utekelezaji wa Mkakati wa Taifa wa Uwezeshaji wananchi
kiuchumi chini ya Ofisi ya Waziri Mkuu.
Sera na mwongozo unahimiza ushiriki wa wananchi wengi katika shughuli za uchumi wa kisasa
kwani kwa muda mrefu uchumi huo umeshikwa na wageni au Watanzania wachache, hali
inayopelekea malalamiko miongoni mwa wananchi.
DIRA NA MWELEKEO
Uwezeshaji wananchi kushiriki kikamilifu katika uchumi ni sehemu ya Dira ya maendeleo ya Taifa
kufikia mwaka 2025, kuwa sehemu kubwa ya uchumi wa Tanzania imilikiwe na Watanzania
wenyewe. Miongoni mwa mambo mengine sera inatoa mwelekeo wa kuitambua na kuipa nafasi
sekta isiyo rasmi kuendeleza na kuendesha uchumi katika mazingira ya nguvu ya soko. Kwa
maana hiyo, mbinu na mikakati itakayotumika katika kuwawezesha wananchi kiuchumi itatambua
mchango wa sekta isiyo rasmi na kuchukua hatua za kuiboresha.
Kutokana na sera hii limeundwa Baraza la Taifa la uwezeshaji wananchi kiuchumi litakalo fanya
kazi na madawati ya uwezeshaji wananchi ngazi za Wizara mbali mbali, Madawati ya uwezeshaji
wananchi kiuchumi ya mikoa,na Halmashauri. Katika ngazi ya Halmashauri Dawati la uwezeshaji
wananchi kiuchumi linaratibiwa na Afisa Maendeleo ya Jamii kwa niaba ya Mkurugenzi chini ya
Kamati ya Afya, Elimu, Uchumi na Maji
132
Kazi inayofanyika kwa sasa ni kuandaa Takwimu (Kanzi data) za uwezeshaji wananchi kupitia
Idara za Serikali na sekta mbali mbali ambazo zinaendelea kuwawezesha wananchi katika
Halmashauri.
Pamoja na taarifa hii taarifa ya utekelezaji kwa kipindi cha Januari hadi Machi imeambatishwa
(iko hatua ya ukusanyaji taarifa kutokana na kuchelewa kupokea fomu zaukusanyajitaarifa).
TAARIFA YA MALIPO YA JANUARI - MACHI 2017 KITENGO CHA TASAF
1. Kwa kipindi cha Januari hadi Marchi, 2017 Halmashauri imepokea jumla ya fedha Tshs.
115,650,000.00 ikiwa ni fedha za malipo ya walengwa kwa mchanguno ufuatao:-
(i) Jumla ya fedha Tshs. 57,406,500 kwa mwezi Januari, 2017
(ii) Jumla ya fedha Tshs. 58,243,500 kwa mwezi Machi, 2017
Jumla ya fedha zilizopokelewa ni Tshs. 115,650,000.00
Pamoja na taarifa hii mchanganuo wa malipo ya mwezi Januari - Februari, Marchi 2017
zimeambatishwa.
2. Ujenzi wa zahanati ya Mwamkulu unaendelea, jengo limepigwa lipu ndani na nje, fedha
zilizotumika ni kama ifuatavyo:-
Na. Jina la mradi Kiasi
kilichotolewa
Kiasi
kilichotumika
Baki Jumla
1 Ujenzi wa
zahanati ya
Mlima Kipala
Mwamkulu
64,869,728.00 39,679,719.50 25,190,008.50 64,869,728.00
133
TAARIFA YA MALIPO YA JANUARI – FEBRUARI, 2017
KIJIJI/MTA
A
FEDHA
ZILIZOTOLE
WA
KIASI
KILICHOLIP
WA
KIASI
AMBACHO
HAKIJALIPWA
ASILIMI
A YA
FEDHA ZILIZOL
IPWA
KAYA
ZILIZOT
AKIWA KULIPW
A
JUMLA
YA
KAYA ZILIZO
LIPWA
JUML
A YA
KAYA AMBA
ZO HAZI
KULIP
WA
ASILIM
IA YA
KAYA ZILIZOL
IPWA
KACHOMA 1,804,000.00 1,732,000.00 72,000.00 96% 54 54 2 96%
MISUNKUMIL
O
4,696,000.00 4,564,000.00 132,000.00 97% 156 156 4 97%
ILEMBO 4,704,000.00 4,472,000.00 232,000.00 97% 170 165 5 97%
TAMBUKAREL
I
3,592,000.00 3,212,000.00 380,000.00 95% 132 119 13 90%
MAJENGO
MAPYA
1,784,000.00 1,612,000.00 172,000.00 90% 46 41 5 89%
KIVUKONI 1,416,000.00 1,376,000.00 40,000.00 97% 53 55 1 98%
KAWAJENSE 3,448,000.00 3,328,000.00 120,000.00 97% 119 113 6 95%
KAKESE 3,944,000.00 3,208,000.00 736,000.00 81% 124 98 26 79%
MBUGANI 5,532,000.00 5,212,000.00 320,000.00 94% 215 203 12 94%
KAMAKUKA 3,120,000.00 2,792,000.00 328,000.00 90% 98 87 11 89%
KAWANZIGE 5,576,000.00 4,128,000.00 1,448,000.00 74% 163 123 40 76%
MWAMKULU 11,412,000.00 10,904,000.00 508,000.00 96% 352 340 12 97%
JUMLA 51,028,000 46,540,000 4,488,000 91% 1682 1545 137 92.00%
134
TAARIFA YA MALIPO YA KAYA MASIKINI MWEZI MARCHI – APRIL, 2017
KIJIJI/MTAA FEDHA ZILIZOTOLEWA
KIASI KILICHOLIPW
A
KIASI AMBACHO
HAKIJALIPWA
ASILIMIA YA
FEDHA ZILIZOLIPWA
KAYA ZILIZOTAKIWA
KULIPWA
JUMLA YA KAYA
ZILIZOLIPWA
JUMLA YA KAYA AMBAZO HAZIKULIPWA
ASILIMIA YA KAYA
ZILIZOLIPWA
KACHOMA 1,876,000.00 1,836,000.00 40,000.00 98% 54 53 1 98%
MISUNKUMILO 4,788,000.00 4,788,000.00 0.00 100% 155 155 0 100%
ILEMBO 4,292,000.00 4,160,000.00 132,000.00 97% 161 156 5 97%
TAMBUKARELI 3,552,000.00 3,356,000.00 196,000.00 94% 131 125 6 95%
MAJENGO MAPYA 1,840,000.00 1,588,000.00 252,000.00 86% 45 40 89%
KIVUKONI 1,336,000.00 1,336,000.00 0.00 100% 52 52 0 100%
KAWAJENSE 3,344,000.00 3,248,000.00 96,000.00 97% 114 110 4 96%
KAKESE 4,532,000.00 4,076,000.00 456,000.00 90% 120 109 11 91%
MBUGANI 5,172,000.00 5,092,000.00 80,000.00 98% 205 201 4 98%
KAMAKUKA 3,304,000.00 2,828,000.00 476,000.00 86% 96 85 11 89%
KAWANZIGE 6,216,000.00 6,024,000.00 192,000.00 97% 157 152 5 97%
MWAMKULU 11,520,000.00 10,692,000.00 828,000.00 93% 349 324 25 93%
JUMLA 51,772,000.00 49,024,000.00 2,748,000.00 95% 1639 1562 77 95.30%
135
5.TAARIFA YA UTEKELEZAJI SHUGULI MBALIMBALI IDARA YA AFYA KWA KIPINDI CHA ROBO YA TATU (JAN -
MARCH) 2017
Mhe: Mwenyekiti
SHUGHULI ZILIOTEKELEZWA KWA MUJIBU WA MPANGO NA BAJETI KIPINDI CHA JAN – MACHI 2017
S/N
LENGO SHUGHULI UTEKELEZAJI GHARAMA MAELEZO
1 Mafunzo Kufanya Mafunzo ya Siku mbili ya STI/kwa watumishi 10 wapya Hospital ya Manispaa Mpanda hadi Juni 2017
Watumishi 10 wa idara ya afya wamepewa mafunzo hayo
1,673,497.75 Imetekelezwa
2 Upatikanaji wa dawa na Vifaa Tiba vya Maabara
Kununua dawa na vifaa Tiba vya Maabara ifikapo Juni 2017
Dawa na vifaa Tiba vimenunuliwa na Kusambazwa katika vituo vya Kutolea huduma
3,346,995.5 Shughuli imetekekezwa
3 Upatikanaji wa dawa na Vifaa Tiba
Ununuzi wa Dawa na vifaa tiba Kwa Matumizi ya Hospitali ya Manispaa
Dawa na vifaa Tiba vimenunuliwa 26,182,866.50 Shuughuli imetekelezwa.
4 Upatikanaji wa dawa Na Vifaa Tiba
Ununuzi wa katoni 24 za Vifaa vya office kwa ajili ya matumizi ya hospitali ya Manispaa Mpanda
Dawa na vifaa Tiba vimenunuliwa na Kusambazwa katika vituo vya Kutolea huduma
2,231,330.25 Shughuli imetekelezwa
5 Kuimarisha Kitengo cha Meno
Ununuzi wa Vifaa vya kutolea huduma yameno
Vifaa vitapatikana baada ya taratibu za manununuzi kukamilika
1,115,665.00 Taratibu za manunuzi zinaendelea. Vifaa vimeagizwa MSD
6 Gharama za uendehaji wa Hospitali ya Manispaa
Ununuzi wa mafuta kwa ajili ya Matumizi ya Jenerator na Ambu-lance
lita 533 1,100,000.00 Shughuli Imetekelezwa
136
7 Huduma za Macho Kutoa huduma za Macho kwa Jamii inayozunguka Halmashauri ifikapo Juni 2017
Upimaji na matibabu ya macho umeimarishwa
830,000 Shughuli Imetekelezwa kama ilivyo kwenye mpango
8 Usimamizi Elekezi Kufanya Usimamizi elekezi kwa watumishi wanaotoa huduma katika Hospitali ya Manispaa Mpanda
Jumla ya Vituo 3 vya Afya, Zahanati 16 na Hospitali 1 vimetembelewa
4,520,000.00 Shughuli imetekelezwa
9 Kulipa deni la posho ya Masaa ya ziada
Kulipa deni la Posho ya Masaa ya ziada Kwa Watumishi wa Hospitali ya Manispaa Mpanda
Watumishi 200 wamelipwa posho ya masaa ya ziada
8,650,000.00 Watumishi 200 wa Hospital ya Manispaa wamelipwa deni la Posho ya Masaa ya ziada
10 Kutengeneza vitabu vya Takwimu
Kutengeneza vitabu vya Mtuha Taratibu za Manunuzi zinaendelea 2,067,000.00 Shughuli inaendelea Kutekelezwa
11 Matemgenezo ya Magari 2 ya wagonjwa
Matengenezo ya Magari ya wagonjwa
Magari 2 ya wagonjwa yanaendelea kufanyiwa matengenezo
3,000,000.00 Shughuli inaendelea Kutekelezwa
12 Vikao vya Robo Kufanya vikao vya robo vya bodi ya Hospitali
Kikao kimefanyika 780,000.00 Imetekelezwa
13 Vikao vya uendeshaji wa Hospitali
Kufanya vikao vya kamati ya uongozi ya Hospitali vya kila Mwezi
Vikao 3 vimefanyika 900,000.00 Imetekelezwa
14 Shajala kwa ajili ya uendeshaji wa Hospitali
Ununuzi wa Shajala kwa Matumizi ya Hospitali ya Halmashauri
Taratibu za manunuzi zinaendelea 3,000,000.00 Inaendelea Kutekelezwa
15 Kifua Kikuu Kutengeneza vipeperushi vinavyotoa ujumbe wa kifua kikuu katika halmashauri
Inaendelea Kutekelezwa 890,000.00 Inaendelea Kutekelezwa
16 Kifua Kikuu Kutengeneza vipeperushi vinavyotoa ujumbe wa kifua kikuu katika halmashauri
inaendelea kutekelezwa 516,435.50 Inaendelea Kutekelezwa
137
17 Dawa na Vifaa Tiba vya Hospitali
Ununuzi wa dawa na Vifaa Tiba vya Hospitali
Dawa na vifaa Tiba vimenunuliwa 24,400,000.00 Imetekelezwa
18 Vifaa Tiba Ununuzi wa Vifaa tiba kwa ajili ya vituo vya kutolea huduma Halmashauri ya Manispaa Mpanda Ifikapo Juni 2017
Dawa na vifaa Tiba vimenunuliwa na Kusambazwa katika vituo vya Kutolea huduma
4,000,000.00 Imetekelezwa
19 Huduma za Chanjo Kufanya huduma za Chanjo mkoba katika vitu vya kutolea huduma
huduma za chanjo zimefanyika katika vituo vyote vya kutolea huduma
1,560,000.00 Imetekelezwa
20 Mpango kabambe wa Afya na bajeti ya Halmashauri
Maandalizi ya mpango kabambe wa afya,vituo vya kutolea huduma,na Hospitali na uwasilishwaji ifikapo Juni 2017
Mpango kabambe unaendelea kutengenezwa kulingana na miongozo ya Sekta ya afya na Bajeti
12,500,000 Shughuli bado inaendelea
21 Gharama za Mashapisho
Ununuzi wa Shajala kwa ajili ya Matumizi ya ofisi
Shajala zimenunuliwa na 2,150,000 Imetekelezwa
22 Umeme wa Jua Ununuzi wa umeme wa Jua zahanati ya Mtakumbuka
Vifaa vya Umeme vimenunuliwa 1,200,000.00 Shughuli imetekelezwa
23 Vifaa vya Usafi Ununuzi wa vifaa vya Usafi Zahanati ya Mtakumbuka
Vifaa vya Usafi 700,000.00 Shughuli Imetekelezwa
JUMLA 107,313,790.5
138
6.TAARIFA YA UTEKELEZAJI IDARA YA USAFISHAJI NA MAZINGIRA KWA MWEZI JANUARI HADI MACHI,
2017
A. USAFI WA MAZINGIRA
Na Lengo kwa mwaka Shughuli Fedha
iliyoombwa
Fedha
iliyotolewa
Fedha
iliyobaki
Hali ya Utekelezaji
01 Kudhibiti taka ngumu Kusimamia uzoaji wa taka
ngumu tani 6,124.5
zizozalishwa
33,000,000
22,000,000
11,000,000
Jumla ya tani 5,224.5 za
taka ngumu zilizolewa
na kudhibitiwa
02 Kudhibiti taka ngumu Kusimamia uzoaji wa taka
uliofanywa siku za
Jumamosi za mwisho wa
mwezi
0 0
0 Idara iliendelea
kusimamia usafi
uliofanywa kila siku za
Jumamosi za mwisho wa
mwezi
03 Kudhibiti maji taka Kusimamia unyonyaji wa
maji taka
0 0 0 Jumla ya lita za ujazo
21,000 zilinyonywa na
kuzikwa
04 Kuondoa Mapori ya
Nyasi mjini
Kuandaa na kutoa barua
za ondoa “Mapori ya
Nyasi”
0 0 0 Barua za “Ondoa
Mapori” 110 zilitolewa
kwa maeneo yafuatayo:-
Misikiti -
14,Makanisa - 17, Ofisi
za kata- 15, Ofisi za
Serikali – 8, Kaya - 56.
05 Kulinda ubora na Kukagua na kuondoa
machukizo katika maduka
0 0 0 Notisi 70 zilitolewa:-
139
usalama wa chakula 70 ya nyama Notisi 48 zilitekelezwa
Notisi 5 waliongezewa
muda,Maduka 11
walipewa onyo, Maduka
6 yalifungwa
06 Kudumisha usafi wa
nyumba za kulala
wageni
Kukagua na kuondoa
machukizo katika nyumba
92 za kulala wageni
0 0 0 Nyumba 92 zilikaguliwa
Nyumba 61 zilikidhi
vigezo, Nyumba 24
walipewa onyo
Nyumba 7 zilifungwa
07 Ujenzi wa nyumba na
makazi bora
Kukagua na kupitisha
ramani za nyumba
0 0 0 Jumla ya ramani 25 za
nyumba zilikaguliwa na
kupitishwa.
140
B. UTEKELEZAJI WA KAMPENI YA KITAIFA YA USAFI WA MAZINGIRA
Na Lengo kwa mwaka Shughuli Fedha
iliyotengwa
Fedha
iliyotumika
Fedha
iliyobak
i
Hali ya
Utekelezaji
01 Kuongeza idadi ya
ujenzi na utumiaji wa
vyoo bora na uwekaji
vifaa vya kutunzia maji
safi na sabuni ya
kunawa mikono baada
ya kutoka chooni
Kufanya mikutano ya
uchefuaji katika vitongoji 17
kwa muda wa siku 7 ifikapo
Juni, 2017
3,431,100.00
3,431,100
0 Vitongoji 10
vimefanyiwa
mikutano ya
uchefuaji
Mikutano ya
uchefuaji inaendelea
katika vitongoji
vingine 7
02 Kufanya mashindano ya
Afya na Usafi wa Mazingira
katika Kata 15 Vijiji 26,
vitongoji 122 ifikapo Juni,
2017
1,791,900.00 1,791,900.00 0 Mashindano ya Afya
na Usafi wa
Mazingira
yanaendelea
kufanyika kama
ilivyopangwa
03 Kufanya mkutano wa
tathimini ili kuona
utekelezaji wa Kampeni
katika Kata, vijiji, mitaa na
vitongoji ifikapo Juni, 2017
800,000 800,000 0 Mchakato wa timu
ya Maji na Usafi wa
Mazingira kufanya
tathimini kwa
kutembelea maeneo
ya Kampeni
unaendelea
141
04 Kufanya ufuatiliaji wa kila
mwezi na robo mwaka ili
kuona utekelezaji wa
Kampeni ya Kitaifa ya Usafi
wa Mazingira katika Kata
15, Vijiji 26 na vitongoji 122
ifikapo Juni, 2017
1,645,000.00 1,645,000.00 0 Mchakato wa Timu
ya uwezeshaji ya
Manispaa wa
kufanya tathimini
unaendelea
05 Kutembelea kata 15 na
viongozi wa vitongoji
kuwasilisha na kujadili
taarifa za utekelezaji wa
Kampeni ifikapo Juni, 2017
2,332,000.00 2,332,000.00 0 Mchakato wa Timu
ya uwezeshaji ya
Manispaa wa
kutembelea,
kupokea taarifa na
kuzijadili unaendelea
142
TAARIFA YA MAPATO NA MATUMIZI YA CHF/TIKA KWA ROBO YA TATU (JANUARI HADI MACHI 2017)
MHESHIM Mheshimiwa Mwenyekiti Hospitali, vituo vya afya na zahanati katika kipindi cha Januari hadi Machi 2017 vimetekeleza shughuli mbalimbali ikiwa
ni pamoja na kukusanya Tshs 46,373,646 Desemba Bakaa ilikuwa 57,731,443 Jumla 104,095,089.00 Matumizi 23,269,557.77 Salio katika Akaunti zote ni Tshs 80,825,531.23 MCHANGANUO WA MAPATO NA MATUMIZI KATIKA VITUO HIVYO NI KAMA IFUATAVYO:-
NA
KITUO CHA HUDUMA
PAPO KWA PAPO ADA NHIF TELE KWA
TELE
JUMLA YA MAKUSAN
YO (JAN-MACHI)
BAKAA KWA
ROBO YA PILI
SALIO KATIKA
AKAUNTI
MATUMIZI BAKI
KATIKA AKAUNTI
IDADI
KIASI IDADI
KIASI
1 Hospital ya
Manispaa
31,996,720
0 - 0 31,996,720 27,097,026 59,093,746 23,269,557.77 35,824,188
.23
2 Kituo cha Afya Town
Clinic
277 1,385,000 53 530,000 0 890,000 2,805,000 8,121,751 10,926,751 0.00 10,926,751
3 Kituo cha
Afya Ilembo
29 145,000 12 120,000 573,525 270,000 1,108,525 4,596,200 5,704,725 0.00 5,704,725
4 Zahanati ya
Kakese
0 0 51 510,000 0 510,000 1,020,000 6,630,000 7,650,000 0 7,650,000
5 Zahanati ya
Mpanda Girls
0 0 2 20,000 3,629,401 5,280,000 8,929,401 4,406,834 13,336,235 0 13,336,235
6 Zahanati ya Magamba
39 125,000 25 250,000 0 375,000 2,964,200 3,339,200 0 3,339,200
7 Zahanati ya
mwamkulu
4 10,000 5 50,000 0 60,000 2,009,800 2,069,800 0 2,069,800
8 Zahanati ya
Milala
23 59,000 0 0 0 59,000 342,500 401,500 0.00 401,500
9 Zahanati ya kasokola
0 1 10,000 10,000 1,553,132 1,563,132 1,563,132
10 Zahanati ya Mtakumbuka
0 0 1
10,000 0 10,000 10,000 10,000 0 10,000
372 33,720,720 150 1,500,000 4,202,926 6,950,000 46,373,646 57,731,443 104,095,089 23,269,557.77 80,825,531
.23
143
8.TAARIFA YA UTEKELEZAJI IDARA YA KILIMO, MIFUGO, UVUVI NA USHIRIKA KWA
KIPINDI CHA JANUARI HADI MACHI 2017.
Kamati ilipokea taarifa ya idara hii kama ifuatavyo ;
i.KITENGO CHA KILIMO:
• Kusimamia zoezi la usambazaji wa mbolea za ruzuku ya serikali • Kutoa ushauri wa kitaalam kwa wakulima juu ya kilimo bora cha mazao ya mpunga,
mahindi, karanga, maharage, na mihogo.
• Kutembelea wafugaji na wakulima katika vijiji 14 na mitaa 43 kwa lengo la kufanya mahojiano nao juu ya dodoso la mkulima na mfugaji ili kuweza kupata wakulima na wafugaji bora ngazi ya kijiji,mtaa na kata.
• Ukusanyaji wa taarifa za takwimu za kilimo umefanyika. • Ukaguzi wa maduka ya pembejeo katika maduka 10, stoo 3 na ghala 1 ili kudhibiti
ubora wa pembejeo za kilimo zinazouzwa na mawakala wa pembejeo.
Utekelezaji wa malengo ya kilimo kwa msimu wa kilimo wa 2016/17
Jumla ya hekta 32,887 zimeandaliwa na hekta 25,517 zimelimwa na kupandwa mazao
mbalimbali kama inavyoonekana katika jedwali hapo chini. Hali ya mimea ya mazao aina
ya mahindi, maharage, na karanga ni nzuri kufuatia uwepo wa mvua za wastani
zinazoendelea kunyesha. Hadi kufikia muda huu mazao yamefikia katika hatua ya
kukomaa(KO) na baadhi yameanza kuvunwa
ZAO LENGO UTEKELEZAJI
Eneo (Ha)
Uzalishaji tija/ha
Matarajio ya mavuno(Tan)
Eneo lililopandwa(ha)
Mavuno/Uzalishaji (Tani)
Mahindi 9,085 2.5 22,713 8759.40
Mpunga 6,702 3.5 23,457 5121.50
Mtama 532 1.5 798 33
Muhogo 7,231 10 72,310 4,892.4
Viazi Vitamu 2,236 10 22,360 1394.30
Maharage 421 1.5 632 378.90
Mikunde 2,813 1.2 9,846 2,250.20
Alizeti 230 1.1 253 47.60
Karanga 2,813 1.5 4,220 2,109.80
Ufuta 824 0.8 618 529.60
JUMLA 32,887 157,207 25,517
144
Tathimini ya hali ya chakula Manispaa ya Mpanda
Chakula katika masoko ya Halmashauri ya Manispaa ya Mpanda kinapatikana kwa wingi kama
vile Mpunga,Maharage,Mihogo,Viazivitamu,Karanga,Mchele,Mahindi,Mbogamboga na
Matunda.Kwasasa Mahindi mapya yameingizwa sokoni na kupelekea mlipuko wa bei kuanza
kushuka sokoni. Hali ya bei ya chakula ni kama inavyoonekana katika jedwali hapo chini.
ZAO BEI YA SOKONI KWA KI-LO MOJA(KG)
MCHELE 1300-1600/=
MAHINDI 700-900/=
MTAMA 2000/=
UNGA WA MAHINDI 1500-1800/=
MAHARAGE 1800-2000/=
MUHOGO 500/=
VIAZI VITAMU 500/=
KARANGA 1600-2000/=
TAARIFA YA USAMBAZAJI NA UCHUKUAJI WA PEMBEJEO ZENYE RUZUKU YA
SERIKALI KWA KILIMO KWA MSIMU WA KILIMO WA 2016/17
Halmashauri ya Manispaa ya Mpanda ina jumla ya kaya 27,964 Kati ya hizo kaya 16,776
zinajishughulisha na kilimo cha mazao ya chakula na biashara. Katika msimu wa kilimo
2016/2017 Manispaa ya Mpanda ilipangiwa mgawo wa pembejeo zenye ruzukuTani 40 za mbegu
bora za mahindi, Tani 199 za mbolea ya kupandia na Tani 199 za mbolea ya kukuzia. Kutokana
na mbolea ya kupandia na mbegu bora kuchelewa kufika kwa Wakala Mkuu wa
Mbolea(TFC)/Mbegu bora na kukuta wakulima wengi wameshapanda mazao yao, hivyo basi
kiasi cha Tani 168 za mbolea ya kupandia kilibadirishwa kuwa mbolea ya kukuzia ili kukidhi
mahitaji ya wakulima wengi ambao mazao yao yalikuwa yamefikia hatua ya kuwekewa mbolea
ya kukuzia. Mgawo wa pembejeo hizo katika kila kijiji/mtaa umeoneshwa kwenye jedwali hapo
chini.
SAMBAZAJI WA PEMBEJEO ZA RUZUKU (MBEGU BORA, MBOLEA YA KUPANDIA NA KUKUZIA) MSIMU WA
2016/2017
SN
KATA IDADI
YAKAYA
ZILIZOTE
ULIWA NA
KAMATI
MGAWO KWA KILA KIJIJI/MTAA KAYA ZILIZONUFAIKA MPAKA SASA
MBEGU
BORA
(10KG)
MBOLEA MBEGU
BORA
KILO 10
MBOLEA KILO 50
MAHIND
I
CHOTAR
KUPAND
IA
KUKUZIA JUMLA MAHINDI KUPAND
IA
(DAP)
KUKUZIA
(UREA na
CAN
145
WANUFAIKAJI= 4,963 NA VIBALI=281
II. KITENGO CHA USHIRIKA
Shughuli zilizofanyika
� Usimamizi (Supervision) na ukaguzi wa ndani (Inspection) vyama vya ushirika katika
Halmashauri ya Manispaa ya Mpanda.
� Kuratibu Mikutano mikuu ya Mwaka katika vyama vya ushirika ndani ya Halmashauri ya
Manispaa ya Mpanda, vyama vya ushirika vilivyofanya mikutano mikuu ni pamoja na
Kasokola AMCOS Ltd, KKKT Mpanda SACCOS Ltd na Kashaulili Livestock Keepers SACCOS
Ltd.
� Kufanya Mafunzo juu ya Mabadiliko ya Kanuni na Sheria ya vyama vya ushirika ambayo
imepelekea vyama vyote vya ushirika kutakiwa kubadilisha Masharti ya vyama hivyo ili
yaendane na matakwa ya Sheria mpya ya vyama vya Ushirika No. 6 ya mwaka 2013
pamoja na Kanuni zake za mwaka 2015
� Kukusanya takwimu zinazohusu hali ya vyama vya ushirika (i.e. Hisa, Akiba, Amana na
Mikopo)
A
1 U/ Ndege 452 245 240 240 480 0 9 324
2 Makanyagio 784 267 265 265 530 3 9 431
3 Kasokola 667 235 242 242 484 0 85 563
4 Ilembo 850 299 270 270 540 0 0 341
5 Kawajense 433 208 225 225 450 0 28 328
6 Kazima 900 267 225 225 450 0 45 446
7 Nsemulwa 1227 301 330 330 660 0 55 474
8 Kashaulili 274 120 126 126 252 0 29 230
9 Mwamkulu 1007 276 350 350 700 0 0 17
10 Shanwe 735 311 302 302 604 0 43 382
11 Misunkumilo 1233 353 335 335 670 0 34 503
12 Kakese 3026 423 396 396 792 0 3 493
13 Majengo 290 100 144 144 288 0 30 211
14 Mpanda ho-
tel
347 186 210 210 420 0 27 226
15 Magamba 1248 398 320 320 640 0 0 171
JUMLA YA
MIFUKO
12959 3975 3980 3 427 5148
146
III. KITENGO CHA MIFUGO
TAARIFA YA MAENDELEO YA MIFUGO KWA KIPINDI CHA MIEZI MITATU JANUARI
HADI MACHI 2017.
1.0 IDADI YA MIFUGO.
Jedwali Na. 1: Idadi ya Mifugo Manispaa ya Mpanda.
Aina ya Mifugo
Ng’ombe Mbuzi Kondoo Nguruwe Kuku Bata Mbwa
Idadi 21, 458 12,807 1,625 3,599 51,579 3,461 6,718
2.0 MIUNDOMBINU YA MIFUGO.
Jedwali Na. 2: Idadi ya miundombinu iliyopo katika Halmashauri,
Aina ya
Miundombinu
Umiliki Hali Jumla
Halmashaur
i
Binafsi Inatumika Haitumiki
Josho 1 2 1 2 3
Cliniki ya Mifugo 1 1 1
Mnada 2 2 2
Machinjio 1 1 1
3.0 KINGA DHIDI YA MAGONJWA YA MIFUGO.
4.1. Uogeshaji/Unyunyizaji Mifugo,
Jedwali Na. 3 Michovyo ya Mifugo iliyoogeshwa.
Aina ya Ng’ombe Mbuzi Kondoo Mbwa
147
Mfugo Josho Bomba Josho Bomba Josho Bomba Josho Bomba
Jumla 106 9274 71 5968 0 126 0 41
4.2 CHANJO
Jedwali Na. 4 Chanjo dhidi ya maradhi mbalimbali ya Mifugo.
4.3 MAGONJWA YA MIFUGO.
Jedwali Na 5 Matukio ya Magonjwa ya Mifugo
Aina ya Mifugo Aina ya Ugonjwa Idadi ya Mifugo
Waliougua
Vifo
Ng’ombe Trypanasomosis 18 3
Anaplasmosis 27 6
ECF 33 11
FMD 3 0
Babesiosis 13 1
Worm Infestation 22 6
Milk Fever 1 1
Lumpy Skin Disease 2 0
Heart water 2 1
Mbuzi Mastitis 1 0
Pneumonia 75 0
Pox 2 0
Worm Infeatation 17 0
Nguruwe Worm and Mange Infestation 103 7
Mbwa Rabies 7 7
Na Aina ya Ugonjwa Aina ya Mifugo Idadi ya Mifugo
iliyochanjwa
1. Newcastlle Disease Kuku 1490
2. Rabbies Mbwa 14
148
TCVT 1 0
Kuku Fowl pox 420 137
Pneumonia 27 27
Salmonellosis 50 3
Fowl Typhoid 17 2
4.0 MAUZO YA MIFUGO MINADANI. Jedwali Na 6 Mauzo ya Mifugo hai minadani kwa kipindi cha miezi mitatu Januari hadi Machi 2017katika minada ya
Kakese na Mwamkulu.
Aina ya Mifugo Mifugo
iliyoletwa
mnadani
Mifugo
iliyouzwa
Wastani wa bei Thamani kwa
kila aina
yamifugo
iliyouzwa
Ng’ombe 1966 1382 450,000 621,900,000
Mbuzi 567 491 40,000 19,640,000
Kondoo 70 56 40,000 2,240,000
Kuku 1563 1563 8,000 12,504,000
5.1 MIFUGO ILIYOCHINJWA.
Jedwali Na 7 Mifugo iliyochinjwa kwa kipindi cha mwezi Januari hadi Machi 2017
Aina ya Mifugo Ng’ombe Mbuzi/Kondoo Nguruwe Kuku/Bata
Idadi iliyochinjwa 1936 1246 252 6573
5.2. ZAO LA NGOZI
Jumla za pc 1936 za ngozi ya Ng’ombe na pc 1246 za ngozi ya Mbuzi zimezalishwa kwa kipindi chote cha miezi
mitatu Januari hadi Machi 2017.
5.0 HUDUMA ZINGINE ZILIZOTOLEWA NA SEKTA YA MIFUGO.
6.1 Ushauri kwa Wafugaji.
Jumla ya Wafugaji 346 wameshauriwa juu ya ufugaji bora wa Ng’ombe wa kisasa na asili pamoja
na Kuku wa asili katika kata zote za Halmashauri ya Manispaa ya Mpanda.
149
6.2 Kuhasi
Jumla ya Ng’ombe 28, Mbuzi 11, Mbwa 3 na Nguruwe 174 wamehasiwa kwa kipindi chote cha
mwezi Januari hadi Machi 2017.
7.0 MAPATO YA SERIKALI
Jedwali Na 9 Ukusanyaji wa maduhuli katika Halmashauri.
Ushuru wa Machinjio
na Ukaguzi wa
nyama
Ushuru wa Mifugo
Minadani
Ushuru wa Serikali
kuu
Mapato yatokanayo
na ngozi
7,744,000 4,693,000 361,000 70,000
IV. KITENGO CHA UVUVI
1.UTEKELEZAJI WA SERA, SHERIA NA MIKAKATI YA UVUVI
1.1. Uzalishaji na Ufugaji wa samaki kwenye mabwawa
Na Kata Malengo Mabwawa yaliyopo (a)
Mabwawa mapya (b)
Jumla (a+b)
Watu waliopewa elimu
Samaki waliopandikizwa
1 U/ Ndege 25 10 0 10 5 -
2 Makanyagio 27 9 2 11 6 -
3 Kasokola 42 7 5 12 34 250
4 Ilembo 31 3 1 4 2 -
5 Kawajense 20 1 2 3 1 -
6 Kazima 24 5 0 5 2 -
7 Nsemulwa 32 4 0 4 4 -
8 Kashaulili 12 4 0 4 3 -
9 Mwamkulu 17 1 0 1 1 -
10 Shanwe 13 3 3 6 2 1,300
11 Misunkumilo 28 0 1 1 1 600
12 Kakese 26 0 0 0 57 -
JUMLA 297 47 14 61 118 2,150
1.2. Takwimu za Uvunaji na uuzaji wa samaki Kata Samaki waliovuliwa
kwenye mabwawa (Kg)
Samaki waliouzwa
(Kg)
Fedha
zilizopatikana (Tsh)
U/ Ndege 30.8 28.4 142,000
Makanyagio 28.2 25.6 128,000
Kasokola 5.3 2.4 12,000
Ilembo 4.9 3.7 18,500
Kawajense 3.4 1.9 9,500
Kazima 4.6 3.3 16,500
150
Nsemulwa 11.5 9.5 47,500
Kashaulili 25.4 22.1 110,500
Mwamkulu 6.6 4.0 20,000
Shanwe 12.0 10.7 53,500
Misunkumilo 0 0 0
JUMLA 132.7 111.6 558,000
1.3. Ukusanyaji wa mapato
Malengo kwa mwaka (a)
Ada za leseni na vibali (b)
Tozo za Faini (c)
Maduhuli (d)
Makusanyo mengine (e)
Jumla (f)
%(f/a)
2,100,000 63,000 - - - 63,000 3%
1.4. Udhibiti wa Ubora na Usalama wa Mazao ya Uvuvi
1.4.1. Ukaguzi katika Masoko na Maghala ya samaki Na JINA LA MMILIKI UWEZO
GHALA (T)
KIASI KINACHOHIFADHIWA KWA SIKU (T)
AINA YA SAMAKI WANAOHIFADHIWA
MAHALI LILIPO
1 Kangeme Fishing Cooperative
6 3 Dagaa, Sangala, Sato, Migebuka
Kashaulili
2 Mzee Hongo 5 1 Dagaa, Migebuka, Sato Majengo
1.4.2. Usimamizi wa mialo na masoko ya samaki Na
Kata Idadi ya Masoko/Magulio
WASTAN WA BEI YA SAMAKI KWA KILO (Tsh/kg)
Sangala Sato Dagaa Samaki wengine
Bichi Kavu Bichi Kavu Bichi Kavu Bichi Kavu
1 Kashaulili 1 5,000 3,500 8,000 6,000 4,000 2,500 5,000 3,500
2 Majengo 1 5,000 3,500 8,000 6,000 4,000 2,500 5,000 3,500
3 Makanyagio
1 5,000 3,500 8,000 6,000 4,000 2,500 5,000 3,500
Na AINA YA MRADI UFADHILI UTEKELEZAJI
1 Kujenga mabwawa mawili ya kufugia samaki katika vijiji vya Manga na Kamakuka
Makusanyo ya ndani
Uundaji wa vikundi vya kijamii vitakavyoendesha mradi huo
151
9.TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA IDARA YA MAJI KWA KIPINDI CHA JANUARI – MACHI
2016/2017
Mhe. Mwenyekiti:
Kamati ilipokea taarifa ya utekelezaji wa idara ya Maji kwa kipindi cha Januari –Machi 2017 kama ifuatayo;
. 1: TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAJI VIPORO
Jina la
Mradi
Malengo ya
Mwaka
Utekelezaji
Januari – Machi
2016 – 2017
Fedha
Pokelewa
2016-2017
Fedha
Tumika
Januari –
Machi 2017
Maelezo
Uuundaji na usajili
wa Jumuiya za
Watumia Maji 10
Kuunda na kusajili Jumuiya
za Watumia Maji kijiji cha
Magamba, Mtakumbuka,
Sungamila, Kasokola, Man-
ga, Mkwajuni, Milala,
Kampuni, Tulieni na
Mwamkulu-Mkwajuni
Jumuiya za
Watumia Maji 10
zimesajiliwa vijiji
vya Magamba,
Mtakumbuka,
Sungamila,
Kasokola, Manga,
Mkwajuni, Milala,
Kampuni, Tulieni na
Mwamkulu-
Mkwajuni
Pia Jumuiya 2
zilihudhuria
mafunzo Morogoro
ya kuzijengea
uwezo
15,222,471 15,280,371
Kazi inayoendelea hivi sasa
ni ufunguaji wa akaunti
Ukarabati wa
visima virefu 3
1,500,000 1,490,000 Ukarabati umekamilika
152
umefanyika kijiji
cha Milala 1,
Kasokola 1 na
Magamba 1
100%
JUMLA 16,722,471 16,770,371
2: TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO YA MAJI KWA KIPINDI CHA JANUARI – MACHI,– 2017
Jina la
Mradi
Malengo ya
Mwaka
Utekelezaji
Januari – Machi
2016 - 2017
Fedha
Bajeti
2016-2017
Fedha
Pokelewa
2016-2017
Fedha
Tumika
Januari
–
Machi-
2017
Maelezo
Mradi wa
maji wa
visima virefu
Uchimbaji na ujenzi
wa visima virefu 2
kata ya Mwamkulu,
2 Kasokola,
1Magamba na 1
Tulieni
Nyaraka za zabuni
zimeandaliwa na
zimewasilishwa
Wizarani kwa
mapitio ili kupata
kibali
150,000,000 -
- Kazi itaanza mara baada ya kupata
kibali na fedha kutoka Wizarani.
Matengenez
o ya visima
vya maji
Kufanya
matengenezo ya
visima virefu 7 vijiji
vya Magamba (3),
Milala (2),
Mwamkulu (1) &
Mkwajuni (1)
Nyaraka
zimewasilishwa
Wizarani kwa ajili
ya kupata kibali cha
kuendelea na kazi
35,000,000 - - Kazi itaanza mara baada ya kupata
kibali na fedha kutoka Wizarani.
153
Ujenzi wa
mradi wa
maji
mseleleko
kutoka
chanzo cha
Kanoge
Kujenga mradi wa
maji mseleleko
kutoka chanzo cha
maji Kanoge
kuhudumia kijiji
cha Manga na
Kasokola
Usanifu umefanyika
na nyaraka za
usanifu
zimewasilishwa
Wizarani
325,000,000 - - Kazi itaanza mara baada ya kupata
kibali na fedha kutoka Wizarani.
Usimamizi
na ufuatiliaji
Kusimamia na
kufuatilia
utekelezaji wa
miradi ya maji
Tumefanya utafiti
wa njia ya bomba
maji mseleleko
kutoka Kanoge hadi
Manga-Kasokola,
tumenunua pikipiki
1, tumevitambua
vituo vya maji vya
Manispaa na
kufanya uendeshaji
wa ofisi kwa
ujumla.
20,000,000 12,681,471.1
5
11,526,6
54.27
Kazi inaendelea
Shughuli za
SWASH
Kufanya
uhamasishaji juu
ya uboreshaji wa
usafi shule za
msingi 34
Timu ya SWASH
imefanya
uhamasishaji juu ya
uboreshaji wa
klabu za usafi shule
34 za msingi za
Manispaa na utoaji
wa elimu ya afya
na upandaji miti na
maua
Pia yamefanyika
3,000,000 3,000,000 3,000,00
0
Hamasa imekamilika kwa 100% na
zawadi kwa washindi watatu yaani
shule tatu zimeandaliwa.
154
mashindano ya
afya na usafi wa
mazingira katika
shule za msingi 34
Kampeni ya
kitaifa ya
usafi wa
Mazingira
Kampeni ya kitaifa
ya usafi wa
Mazingira
- 10,000,000 10,000,000 2,820,00
0
Taarifa itawasilishwa na Afisa Afya
wa Halmashauri
Mheshimiwa Mwenyekiti,,
Naomba Kuwasilisha ,
PHILIP J KALYALYA
Mwenyekiti wa Kamati,
Uchumi,Elimu,Afya na Maji
155
TAARIFA YA KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI KWENYE MKUTANO WA PILI WA BARAZA LA MADIWANI KWA MWAKA WA FEDHA 2016/2017 CHA TAREHE 25/04/2017 Mhe. Mwenyekiti
Kamati ya kudhibiti UKIMWI katika robo hii ilifanya kikao kimoja cha tarehe 10/04/2017 ambacho kitathibitishwa kwenye robo ya NNE ya mwaka 2016/2017. Kamati ilipokea na kujadili taarifa zifuatazo:- 1.TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA UKIMWI KWA JANUARI HADI MACHI 2017.
• Zoezi la sinema lilioneshwa kwa kata zote za manispaa kasoro kata 3 ambazo mvua ilizuia zoezi hili ikiwa ni NSEMULWA,UWANJA WA NDEGE ,ILEMBO.
• Jumla ya caton 15 za kondom ziligawanywa kwa kata 15 zenye jumla ya box 705 zenye pc 101,520.
2.TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA SHUGHURI ZA MRADI WA MAPAMBANO DHIDI YA VVU/UKIMWI KWA KIPINDI CHA MIEZI MITATU (JANUARI HADI MACHI 2017) CHINI YA WAFADHILI S/N SHUGHULI LENGO MAFANIKIO FEDHA
ZILIZOTENGW
A
FEDHA ZILIZOTUMIKA
1. kuwatembelea watu
wanaoishi na
maambukizi na
kuwapatia huduma
mbalimbali; kama
ufuasi mzuri wa
matibabu, huduma
za kimwili, huduma
za kisaikologia
pamoja na huduma
za kiroho.
Kufikia watu 870
wanaoishi na
maambukizi na
kuwapatia
huduma moja
au zaidi
Tumefanikiwa
kuwatembelea
watu 636
wanaoishi na
maambukizi na
kuwapatia
huduma
mbalimbali; ka-
ma ufuasi mzuri
wa matibabu,
huduma za
kimwili, huduma
za kisaikolojia
pamoja na
huduma za
kiroho.
19,350,000/=
Kwaajili ya kulipa
posho za watoa
huduma za VVU
na UKIMWI ngazi
ya jamii
12,900,000/=
Shughuli hii inaendelea
2.
Kufuatilia wateja
waliopotea kwenye
tiba na kuwarudisha
kwenye huduma ya
tiba na matunzo.
Kutafuta wateja
430 waliopotea
kwenye huduma
na matunzo na
kuwarudisha
kwenye
huduma.
Tumefanikiwa
kutafuta wateja
89 na kurudisha
wateja 30
kwenye huduma
za tiba na
matunzo.
350,000/=
Kulipa nauli
kwaajili ya
kuwasindikiza
wateja
waliopotea
kwenye tiba.
150,000/=
156
Kufanya huduma ya
upimaji wa VVU kwa
makundi maalumu
na familia za watu
wanao ishi na
maambukizi
Kufikia watu
903 na huduma
ya upimaji
Tumefikia watu
557 na huduma
ya upimaji kati
ya hao 58
walibainika
kuwa wanaishi
na maambukizi.
780,000/=
Kulipa posho ya
siku kwa
wanasihi (coun-
selors)
525,000/=
Kuendesha vikao
vya watoa huduma
za VVU na UKIMWI
kila mwezi (CBHS
PROVIDERS)
Kujadili
changamoto
mbalimbali za
utekelezaji wa
mradi
Tumefanikiwa
kuendesha vikao
viwili.
1,200,000 Kulipa
nauli za CBHSP
na chakula
800,000/=
Kutoa elimu ya
matumizi sahihi ya
kondomu na kugawa
kondomu
Kuelimisha jamii
jinsi ya kujikinga
na maambukizi
ya VVU
Tumefanikiwa
kutoa elimu ya
matumizi sahihi
ya kondomu
kwa jumla ya
watu 344 kati ya
hao 142 ni
wanawake na
202 ni
wanaume. Jumla
ya pcs 1,415 za
kondomu
ziligawiwa
JUMLA 21, 680,000 14,375,000
3.HUDUMA ZA VVU NA UKIMWI NGAZI YA JAMII.
Katika huduma hii tulifanikiwa kuwatembelea watu 636 wanaoishi na maambukizi ya
VVU/UKIMWI na kuwapatia huduma mbalimbali; kama vile elimu ya ufuasi mzuri wa matibabu,
elimu ya lishe bora, elimu ya kukukaz kipato, huduma za kimwili, huduma za kisaikologia pamoja
na huduma za kiroho.
Watoto chini ya miaka 15 watu wazima kuanzia miaka 15 KATA WANAUME WANAWAKE WANAUME WANAWAKE
NSEMULWA 28 8 53 11
KAWAJENSE 20 6 42 17
KAKESE 18 11 42 15
MWAMKULU 22 0 32 6
KASHAULILI 16 9 39 6
157
MAJENGO 5 3 12 15
MISUNKUMILO 14 11 35 10
MPANDA HOTEL 29 11 68 22
JUMLA 152 59 323 102
4.TAARIFA YA UGAWAJI WA KONDOMU
Kutoa elimu ya matumizi sahihi ya kondomu na kugawa kondomu, jumla ya watu 344
wamefikiwa na elimu hii, pia tumegawa kondomu jumla ya pc 1,415.
KATA ME KE
IDADI YA KONDOMU
(pcs)
KASHAULILI 51 12 232
MWAMKULU 28 22 344
KAKESE 66 65 259
MAKANYAGIO 25 0 119
MISUNKUMILO 10 15 94
MAJENGO 22 28 367
JUMLA 202 142 1,415
TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA MAPAMBANO YA UKIMWI IDARA YA
AFYA .
Katika kipindi cha January March 2017 ,idara ya afya kwa kushirikiana na wadau mbalimbali
katika mapambano dhidi ya VVU/KIMWI ilitekeleza shughuli zifuatazo;
a)UPIMAJI WA VVU KWA HIARI(HTC)
Upimaji na unasihi ulifanyika kwa lengo la kuzuia maambukizi ya VVU katika jamii. Zoezi hili lili-
fanyika katika vituo vya kutolea,tohara kwa wanaume pia huduma mkoba (mobile VCT) kwa
kushirikiana na SHIDEPHA+
Katika kipindi cha miezi miwili Januari- Februari 2017, jumla ya watu walishauriwa na kupima
VVU kwa kupitia huduma mbalimbali ni kama ifuatavyo:
Jumla wanawake wanaume
27,312 14,618 12,694
Positive(CHANYA) 681 404 277
b) HUDUMA YA TIBA NA MATUNZO .
Wateja waliopimwa na kubainika kuwa na maambukizi ya VVU walipewa rufaa kwenda katika
vituo vya huduma tiba na matunzo ambapo waliweza kusajiliwa na kuandikishwa pamoja na
kuwachunguzwa na kuwatathmini kama wanastahili kuanzishiwa dawa za kupunguza makali ya
VVU au kupewa dawa za kuzuia magonjwa nyemelezi. Jedwali hapa chini ni wateja
walioandikishwa.
158
Jumla ya wateja walioandikishwa me ke
430 156 274
c) DAWA ZA KUPUNGUZA MAKALI YA VVU
Wateja waliokidhi vigezo vya kuanza dawa za kupunguza makali ya VVU walianzishiwa dawa hizo
baada ya kupata elimu ya matumizi yake
Jedwali lifuatalo linaonyesha jumla ya wateja walioanzishiwa dawa za kupunguza makali ya
Virusi vya Ukimwi katika kipindi cha January March 2017
WANAUME WANAWAKE JUMLA
158+ 285 433
d) HUDUMA ZA KUZUIA MAAMBUKIZI YA VVU TOKA KWA MAMA KWENDA KWA
MTOTO(PMTCT)
Ili kupunguza maambukizi ya VVU toka kwa mama kwenda kwa mtoto kila mama mjamzito
ahudhuriapo klinik ya wajawazito hupata ushauri na kupima VVU.Lifatalo ni jedwali linaloonyesha
jumla ya akina mama wajawazito waliopima VVU na matokeo ya kipimo
Jumla ya wajawazito waliopima VVU 6234
Jumla ya wajawazito waliothibita kuwa na VVU 128
Jumla ya wenza waliohudhuria kwenye huduma za afya ya uzazi 4739
Jedwali lifuatalo linaonyesha jumla ya watoto waliozaliwa na akina mama wenye maambukizi
ya VVU na kuchukuliwa kipimo cha VVU
Jumla ya watoto waliozaliwa na mama wenye VVU 108
Jumla ya watoto waliopima VVU 104
Jumla ya watoto waliokutwa na maambukizi ya VV kipimo kwa kipimo cha
kwanza
0
e) HUDUMA YA WAGONJWA TOHARA KWA WANAUME
Tohara kwa wanaume ilifanyika kwa lengo la kuzuia maambukizi ya VVU katika ngazi ya ja-
mii.Huduma mkoba katika kata ya kakese na town klinik
Jumla ya wateja waliofanyiwa tohara 586
Mheshimiwa Mwenyekiti,
Naomba Kuwasilisha ,
KANONI LUCAS Mwenyekiti wa Kamati,
KUDHIBITI UKIMWI