158
1 JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA HALMASHAURI YA MANISPAA – MPANDA MKUTANO WA TATU WA BARAZA LA MADIWANI KWA MWAKA 2016/2017 UTAKAOFANYIKA KWENYE UKUMBI WA MIKUTANO WA HALMASHAURI YA MANISPAA MPANDA TAREHE 25/04/2017 KUANZIA SAA 4:00 ASUBUHI Imetayarishwa na: OFISI YA MKURUGENZI WA MANISPAA, HALMASHAURI YA MANISPAA, S.L.P. 216, MPANDA SIMU NA 025-252957128, FAX NA 025-252957129 Email: [email protected] APRILI, 2017

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA …€¦ · 3.Ndg.Mail Komba 4.ASP.Albert L.Beda 5.Ndg.Revocatus G. Ngomeni 6.Ndg.Jumbe Msekula 7.Ndg.Mary Ngomalufu 8.Ndg. Fulgence

  • Upload
    others

  • View
    1

  • Download
    0

Embed Size (px)

Citation preview

Page 1: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA …€¦ · 3.Ndg.Mail Komba 4.ASP.Albert L.Beda 5.Ndg.Revocatus G. Ngomeni 6.Ndg.Jumbe Msekula 7.Ndg.Mary Ngomalufu 8.Ndg. Fulgence

1

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

OFISI YA RAIS

TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA

HALMASHAURI YA MANISPAA – MPANDA

MKUTANO WA TATU WA BARAZA LA MADIWANI KWA MWAKA

2016/2017 UTAKAOFANYIKA KWENYE UKUMBI WA MIKUTANO WA

HALMASHAURI YA MANISPAA MPANDA TAREHE 25/04/2017

KUANZIA SAA 4:00 ASUBUHI

Imetayarishwa na:

OFISI YA MKURUGENZI WA MANISPAA,

HALMASHAURI YA MANISPAA,

S.L.P. 216,

MPANDA

SIMU NA 025-252957128,

FAX NA 025-252957129

Email: [email protected] APRILI, 2017

Page 2: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA …€¦ · 3.Ndg.Mail Komba 4.ASP.Albert L.Beda 5.Ndg.Revocatus G. Ngomeni 6.Ndg.Jumbe Msekula 7.Ndg.Mary Ngomalufu 8.Ndg. Fulgence

2

YALIYOMO UKURASA

1.DONDOO ZA MKUTANO WA BARAZA LA MADIWANI LA TAREHE

25.04.2017 .............................................................................................. 3

2.MUHTASARI WA MKUTANO WA PILI WA BARAZA LA MADIWANI WA

TAREHE 31.01.2017 ................................................................................ 4

3.YATOKANAYO NA UTEKELEZAJI WA MAAGIZO YA MKUTANO WA PILI WA

BARAZA LA MADIWANI LA TAREHE 31/01/2017 ....................................... 33

4.TAARIFA YA KAMATI YA FEDHA NA UTAWALA ..................................... 38

5.TAARIFA YA KAMATI YA MIPANGO MIJI, UJENZI, NA MAZINGIRA .......... 66

6.TAARIFA YA KAMATI YA UCHUMI, ELIMU, AFYA NA MAJI .................... 75

7.TAARIFA YA KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI ......................................155

Page 3: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA …€¦ · 3.Ndg.Mail Komba 4.ASP.Albert L.Beda 5.Ndg.Revocatus G. Ngomeni 6.Ndg.Jumbe Msekula 7.Ndg.Mary Ngomalufu 8.Ndg. Fulgence

3

DONDOO ZA MKUTANO WA BARAZA LA MADIWANI LA TAREHE 25.04.2017

1. KUFUNGUA MKUTANO WA BARAZA LA MADIWANI

2. KURIDHIA DONDOO ZA MKUTANO

3. KUSOMA NA KUTHIBITISHA MUHTASARI WA PILI WA BARAZA LA MADIWANI LA

TAREHE 31.01.2017

4. KUSOMA NA KUJADILI YATOKANAYO NA UTEKELEZAJI WA MAAGIZO YA MKUTANO

WA BARAZA LA MADIWANI LA TAREHE 31.01.2017

5. MASWALI YA PAPO KWA PAPO

6. TAARIFA ZA UTEKELEZAJI ZA KAMATI ZA KUDUMU ZA HALMASHAURI KWA ROBO

YA TATU JANUARI-MACVHI 2017

7. TAARIFA ZA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA MAENDELEO KUTOKA KWENYE KATA

8. TAARIFA KUTOKA KWA WANANCHI

9. MENGINEYO KWA IDHINI YA MWENYEKITI

10. KUFUNGA MKUTANO

Page 4: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA …€¦ · 3.Ndg.Mail Komba 4.ASP.Albert L.Beda 5.Ndg.Revocatus G. Ngomeni 6.Ndg.Jumbe Msekula 7.Ndg.Mary Ngomalufu 8.Ndg. Fulgence

4

MUHTASARI WA MKUTANO WA PILI WA BARAZA LA MADIWANI KWA MWAKA

WA FEDHA 2016/2017 ULIOFANYIKA KWENYE UKUMBI WA MIKUTANO WA

MANISPAA YA MPANDA TAREHE 31.01.2017 KUANZIA SAA 4.30 ASUBUHI

KUMB:NA:KTV/MMC/BARAZA/C.60/2/2-2016/2017

WAJUMBE WALIOHUDHURIA

1.

2.

Mhe. William P. Mbogo

Ndg.Michael F.Nzyungu

Diwani Kata ya Majengo

Mkurugenzi wa Manispaa

-Mwenyekiti

-Katibu

3. Mhe.Kanoni M. Lucas Diwani Kata ya Shanwe -Mjumbe

4. Mhe.William K. Liwali Diwani Kata ya Mpanda Hotel -Mjumbe

5. Mhe.Matondo A. Kanyepo Diwani Kata ya Misunkumilo -Mjumbe

6. Mhe.Rose J. Komba Diwani Viti Maalum -Mjumbe

7. Mhe.Bakari M. Kapona Diwani Kata ya Nsemulwa -Mjumbe

8. Mhe. Rhoda J. Mwakalenge Diwani Viti Maalumu -Mjumbe

9. Mhe.Haidary H. Summry Diwani Kata ya Makanyagio -Mjumbe

10. Mhe. Maganga L.Salaganda Diwani Kata ya Kakese -Mjumbe

11. Mhe. Philipo J. Kalyalya Diwani Kata Magamba -Mjumbe

12. Mhe. Elias J. Mwanisawa Diwani Kata ya Kazima -Mjumbe

13. Mhe. Chrisant A.Mwanawima Diwani Kata ya Kasokola -Mjumbe

14. Mhe. Kalipi Katani Diwani Kata ya Mwamkulu -Mjumbe

15. Mhe .Georgina S. Kisalala Diwani Viti Maalum -Mjumbe

16. Mhe.Caritas J. Mangwangwa Diwani Viti Maalum -Mjumbe

17. Mhe. Ediltruda Kaminda Diwani Viti Maalum -Mjumbe

18.

19.

20.

21.

Mhe. Pius M.Buzumale

Mhe.Nuru A. Mkana

Mhe.Stephano A. Mwakabafu

Mhe. Tosigwegwe Mwakyusa

Diwani Kata ya Kawajense

Diwani viti maalum

Diwani Kata ya Uwanja wa Ndege

Diwani Kata ya Ilembo

-Mjumbe

-Mjumbe

-Mjumbe

-Mjumbe

1. 2. 3.

WAJUMBE WASIOHUDHURIA Mhe. Rhoda Kunchela Mhe . John Matongo Mhe. Sebastian S. Kapufi

Mbunge Viti Maalum Diwani wa Kata ya Kashaulili Mbunge wa Jimbo la Mpanda Mjini

-Kwa Taarifa ,, ,,

Page 5: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA …€¦ · 3.Ndg.Mail Komba 4.ASP.Albert L.Beda 5.Ndg.Revocatus G. Ngomeni 6.Ndg.Jumbe Msekula 7.Ndg.Mary Ngomalufu 8.Ndg. Fulgence

5

WATAALAM WALIOHUDHURIA

1. Ndg.Enelia Lutungulu Mkuu wa Idara ya Elimu Sekondari

2 Ndg.Hamis Mkelle Mkuu wa Idara ya Utumishi na Utawala

3. Ndg.Mary Luhulula Mkuu wa Idara ya Uchumi,Sera na Mipango

4. Ndg.Paschal Kweya Afisa Afya

5. Ndg.Mohamed Ulenga Kaimu Mkuu wa Idara ya Ujenzi

6. Ndg.Vicent Kayombo Mkuu wa idara ya Elimu Msingi

7. Dkt.Obed Mahenge Kaimu Mkuu wa Idara ya Afya na Ustawi wa Jamii

8. Ndg.Lucas Ndombele Mkuu wa Idara ya Fedha na Biashara

9. Ndg.Hobokela Mwakagamba Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Ugavi

10. Ndg.James Kiango Mkuu wa Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani

11. Ndg.Marietha Mlozi Mkuu wa Idara ya Maendeleo ya Jamii ,Jinsia na Watoto

12 Ndg.Mahija Nyembo Katibu Tawala Wilaya

Page 6: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA …€¦ · 3.Ndg.Mail Komba 4.ASP.Albert L.Beda 5.Ndg.Revocatus G. Ngomeni 6.Ndg.Jumbe Msekula 7.Ndg.Mary Ngomalufu 8.Ndg. Fulgence

6

13.

14.

15.

16.

17.

18.

19.

20.

21.

22.

23.

24.

25.

26.

27.

28.

Ndg.Pulkeria Makungu

Ndg.Said Mandua

Ndg.Faraja Mollel

Ndg.Charles Ngonyani

Eng.Magdalena Mkelemi

Ndg.Zobano Omari

Ndg.Gasper Bendera

Ndg.Respister Karugendo

Ndg.Benson Ng’amilo

Ndg.Mohamed Khalifan

Ndg.Federika Longo

Ndg.Lunyilija Kilinga

Ndg.Peter Mkalipa

Ndg.Josephine Chillongozi

Ndg.Frank Nguvumali

Ndg.Oswald Rwezaula

WAALIKWA

WALIOHUDHURIA

1.Ndg.Elizabeth Kasmiri

2.SSP.Zeno Malesa

3.Ndg.Mail Komba

4.ASP.Albert L.Beda

5.Ndg.Revocatus G. Ngomeni

6.Ndg.Jumbe Msekula

7.Ndg.Mary Ngomalufu

8.Ndg. Fulgence Mkulila

9.Ndg.Hamidu Sungura

10.Ndg.Felix Kalonga

11.Ndg.January Kayungilo

Kaimu Afisa Usafirishaji

Afisa Mazingira

Kaimu Mkuu wa Kitengo cha TEHAMA

Mkuu wa Idara ya Kilimo na Ushirika

Mkuu wa Idara ya Maji

Afisa Biashara

Afisa Utamaduni

Mratibu wa TIKA/CHF

katibu TSC

Afisa Mapato

Afisa Utumishi

Kaimu Afisa Habari

Kaimu Mkuu wa Idara ya Mipango Miji,Ardhi na Maliasili

Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Sheria

Mchumi

Kaimu Mkuu wa kitengo cha Uchaguzi

Katibu wa CCM Wilaya ya Mpanda

Mkuu wa polisi Wilaya ya Mpanda

Kaimu Mkuu wa Usalama wa Taifa

Kaimu Mkuu wa Geraza wilaya ya Mpanda

Afisa Mtendaji Kata ya Mpanda Hotel

Afisa Mtendaji Kata ya Nsemulwa

Afisa Mtendaji Kata ya Ilembo

Afisa Mtendaji Kata ya Shanwe

Kaimu Afisa Mtendaji Kata ya Majengo

Afisa Mtendaji Kata ya Kasokola

Afisa Mtendaji Kata ya Misunkumilo

Page 7: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA …€¦ · 3.Ndg.Mail Komba 4.ASP.Albert L.Beda 5.Ndg.Revocatus G. Ngomeni 6.Ndg.Jumbe Msekula 7.Ndg.Mary Ngomalufu 8.Ndg. Fulgence

7

12.Ndg.Anna Kapondo

13.Ndg.Sylvanus Kisesa

14.Ndg.Ezekia Bichuro

15.Ndg.John Salanga

16.Ndg.Emil Katendele

17.Ndg.Barthoromeo Mihayo

18.Ndg.George Ilesha

19.Ndg.Ezron Mhanga

20.Ndg.Isaack Gerald

21.Ndg.Paschal Katona

22.Ndg.Adolph Mbata

23.Ndg.Ernest Kibada

24.Ndg. Abdul Sigera

25.Ndg.Adabuu Juma

26.Ndg.Raphael Sangu

27.Ndg.Cyrilvian Mshyota

SEKRETARIETI:

Ndg.Gallus Maembe

Kaimu Afisa Mtendaji Kata ya Kakese

Afisa Mtendaji Kata ya Makanyagio

Afisa Mtendaji Kata ya Kawajense

Afisa Mtendaji Kata ya Kazima

Afisa Mtendaji Kata ya Kashaulili

Afisa Mtendaji Kata ya Magamba

Afisa Mtendaji Kata ya Mwamkulu

Mwandishi wa Habari

Mwandishi wa Habari

Mwandishi wa Habari

Mwandishi wa Habari

Mwandishi wa Habari

Katibu NCCR Wilaya

Katibu ADC Wilaya

Katibu TLP Wilaya

Katibu ACT Wazalendo Wilaya

Katibu wa Kamati

Page 8: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA …€¦ · 3.Ndg.Mail Komba 4.ASP.Albert L.Beda 5.Ndg.Revocatus G. Ngomeni 6.Ndg.Jumbe Msekula 7.Ndg.Mary Ngomalufu 8.Ndg. Fulgence

8

MUHT: MMC/BARAZA/02/2016/2017: Agd: 01: KUFUNGUA KIKAO

Kabla ya kumkaribisha Mwenyekiti, Katibu alitoa maelezo kuwa Mkutano ulikuwa wa pili kwa

mwaka wa fedha 2016/2017, pia akidi ya wajumbe waliokuwa wanahitajika katika Mkutano

huo ilikuwa inatosha kutoa maamuzi.Aidha, Katibu alitoa taarifa ya kutambua uwepo wa

mwakilishi wa NIDA mkoa wa Katavi na Meneja wa SIDO Mkoa wa Katavi ambao waliakwa

kwa ajili ya kutoa ufafanuzi mbalimbali kwa wananchi kuhusu huduma wanazozitoa.

Baada ya utangulizi huo alimkaribisha Mwenyekiti ambaye kabla ya kufungua kikao alianza

kwa kutoa shukurani kwa madiwani, wataalam na wananchi wote kwa kuhudhuria kwenye

Mkutano huo.

Baada ya maelezo hayo alifungua kikao saa 4.30 Asubuhi.

Kabla ya kuanza kupitia dondoo za mkutano mwenyekiti aliwakaribisha wageni waalikwa

kutoka taasisi za NIDA na SIDO kutoa ufafanuzi wa shughuli zinazoendeshwa na taasisi zao.

1) MAMLAKA YA VITAMBULISHO VYA TAIFA (NIDA )

Mtaalamu kutoka Mamlaka ya vitambulisho vya Taifa alitoa maelezo kuwa serikali

imekusudia kufanya utambuzi na usajili wa raia wa Tanzania /wageni wakazi na

wakimbizi kwa kutumia daftari la kielekroniki ili kuwa na mfumo mama wa taarifa za

watu utakaiwezesha serikali kuwa na malengo endelevu na mipango madhubuti ya

maendeleo kwa kutumia taarifa sahihi za watu wake.

Aidha, alieleza kuwa zoezi la utambuzi na usajili litafanyika katika awamu mbili ambapo

awamu ya kwanza inawahusu watumishi wa umma na hadi kufikia tarehe ya mkutano ni

watumishi 3334 walikuwa wameandikishwa na zoezi lililokuwa limebakia ni ugawaji wa

vitambulisho kwa watumishi. Baada ya kukamilisha hatua kadhaa za kiutendaji na

awamu ya pili itakuwa utambuzi na usajili wa wananchi wote ambapo zoezi hilo litaanza

mwezi Februari 2017.

Kwa upande mwingine alieleza kuwa nia ya serikali ni kutoa kitambulisho kimoja

ambacho kitatumika kwa matumizi mbalimbali.

Baada ya maelezo hayo wajumbe walitaka kufahamu mambo yafuatayo;

a) Utambuzi wa wananchi wanaotakiwa kusajiliwa utafanyikaje kwani Tanzania ina

mwingiliano mkubwa wa makabila.

Mwakilishi wa NIDA alitoa ufafanuzi kuwa zoezi la utambuzi na usajili utafanywa kwa

kushirikisha mamlaka nyingine kama vile Uhamiaji,wenyeviti wa serikali za mitaa/vijiji.

b) Umri unaotakiwa kuandikishwa

Mwakilishi wa NIDA alitoa ufafanuzi kuwa Mtanzania yeyote mwenye umri wa miaka 18 na

kuendelea atakuwa na sifa ya kusajiliwa.

Page 9: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA …€¦ · 3.Ndg.Mail Komba 4.ASP.Albert L.Beda 5.Ndg.Revocatus G. Ngomeni 6.Ndg.Jumbe Msekula 7.Ndg.Mary Ngomalufu 8.Ndg. Fulgence

9

2) SHIRIKA LA KUENDELEZA VIWANDA VIDOGO VIDOGO (SIDO )

Meneja wa uendelezaji wa viwanda vidogo vidogo (SIDO ) Mkoa wa Katavi alitoa maelezo

kuwa jukumu la shirika ni kusimamia na kuendeleza viwanda vidogo vidogo ambapo shirika

hufanya mambo yafuatayo:

i. Kutoa mafunzo elekezi kwa wajasiliamali

ii. Kukuza masoko ya wajasiliamali, kuwaunganisha wajasiliamali na masoko na

kuhakikisha bidhaa za wajasiliamali zinakuwa bora kwa vigezo vya TFDA,TBS

na GSI .

iii. Kusimamia maendeleo ya Technolojia na usambazaji wake kwa kuwa na kituo

cha kulelea mawazo ya kibiashara (Business incubator)

iv. Kutoa huduma ya kifedha kupitia kwenye vikundi vya wajasiliamali ambapo

shirika hutoa kiasi cha kuanzia milioni moja hadi milioni tano.

v. Kusimamia na kushiriki uandaaji wa maandiko kwa ajili ya miradi mbalimbali

ya maendeleo kwa wajasiliamali.

Baada ya maelezo hayo wajumbe walitaka kufahamu mambo yafuatayo;

SIDO inashirikianaje na Idara ya Maendeleo ya Jamii kuvitambua vikundi ambavyo vipo

rasmi

Mtaalam kutoka SIDO alitoa ufafanuzi kuwa kwa kushirikiana na Idara ya Maendeleo ya

Jamii, vikundi vya wajasiliamali vinasajiliwa na kupewa vyeti. Hivyo, wajasiliamali walio

rasmi hutambuliwa kwa kusajiliwa na kupewa vyeti.

MUHT: MMC/BARAZA/02/2016/2017: Agd:02: KURIDHIA DONDOO ZA KIKAO

Katibu alizisoma dondoo zifuatazo;

1) Kufungua mkutano wa Baraza la Madiwani

2) Kuridhia dondoo za Mkutano 3) Kusoma na kuthibitisha muhtasari wa mkutano wa kwanza wa Baraza la Madiwani la

tarehe 13/10/2016

4) Kusoma na kujadili yatokanayo na Mkutano wa Baraza la Madiwani la tarehe

13/10/2016

5) Maswali ya papo kwa papo 6) Taarifa za utekelezaji za kamati za kudumu za halmashauri kwa robo ya pili Oktoba –

Disemba 2016

7) Taarifa za utekelezaji wa shughuli za maendeleo kutoka kwenye kata

8) Taarifa kutoka kwa wananchi

Page 10: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA …€¦ · 3.Ndg.Mail Komba 4.ASP.Albert L.Beda 5.Ndg.Revocatus G. Ngomeni 6.Ndg.Jumbe Msekula 7.Ndg.Mary Ngomalufu 8.Ndg. Fulgence

10

9) Mengineyo kwa idhini ya Mwenyekiti 10) Kufunga Mkutano

Baada ya kusomwa dondoo hizo wajumbe kwa kauli moja waliridhia zijadiliwe katika

mkutano huo.

MUHT: MMC/BARAZA/02/2016/2017: Agd: 03: KUSOMA NA KUTHIBITISHA

MUHTASARI WA KIKAO CHA KWANZA CHA BARAZA LA MADIWANI CHA TAREHE

13/10/2016

Mwenyekiti aliwaongoza wajumbe kupitia Muhtasari ukurasa kwa ukurasa ambapo

marekebisho yafuatayo yalifanyika;

Ukurasa 7 isomeke …walialikwa badala ya waliakwa

Ukurasa 9 isomeke …. Baraza la Madiwani halitambui makubaliano ya Mkurugenzi na Jeshi

la wananchi wa Tanzania.

Ukurasa wa 11 isomeke …….kuwasilisha badala ya kuwasilshwa

Ukurasa wa 22 isomeke…………hadi badala ya hadim

Baada ya marekebisho hayo muhtsari ulithibitishwa na kusainiwa pamoja na marekebisho

hayo.

MUHT:MMC/BARAZA/02/2016/2017:Agd:04 KUSOMA NA KUJADILI

UTEKELEZAJI WA YATOKANAYO NA MKUTANO ULIOPIA WA TAREHE 13/10/2016

Taarifa ya utekelezaji wa yatokanayo na Mkutano wa Baraza la Madiwani wa tarehe

13.10.2016 iliwasilishwa ambapo wajumbe waliridhika na utekelezaji wake isipokuwa

utekelezaji wa maagizo yafuatayo;

1) Ukusanyaji wa ushuru wa choo katika eneo la stendi ambapo taarifa iliyotolewa

haikujitosheleza. Mkutano wa Baraza la Madiwani ulihitaji mapitio mapya ya mkataba

wa ukusanyaji wa ushuru wa choo cha stendi.

ILIAZIMIWA KWAMBA

Mkurugenzi aandae na kuwasilisha kwenye mkutano ujao mapitio mkataba wa ushuru wa

choo cha stendi.

2) Suala la kuandika barua za shukrani kwa wadau wote waliochangia utengenezaji wa madawati, mkutano ulishauri kuwepo na mchanganuo mzuri wa wadau

waliochangia.

ILIAZIMIWA KWAMBA

Iandaliwe taarifa yenye mchanganuo wa fedha kiasi gani zilipatikana kwenye zoezi la

uchangiaji wa utengenezaji wa madawati, mangapi yalitengenezwa na watu gani

waliochangia.

MUHT: MMC/BARAZA/02/2016/2017: Agd: 05 MASWALI YA PAPO KWA PAPO

Hapakuwepo na maswali ya papo kwa papo

Page 11: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA …€¦ · 3.Ndg.Mail Komba 4.ASP.Albert L.Beda 5.Ndg.Revocatus G. Ngomeni 6.Ndg.Jumbe Msekula 7.Ndg.Mary Ngomalufu 8.Ndg. Fulgence

11

MUHT: MMC/BARAZA/02/2016/2017: Agd: 06: TAARIFA ZA UTEKELEZAJI ZA

KAMATI ZA KUDUMU ZA HALMASHAURI

Wenyeviti wa kamati za kudumu za Halmashauri waliwasilisha utekelezaji wa kamati hizo

kwa kipindi cha Oktoba –Disemba 2016 kama ifuatavyo;

a) KAMATI YA FEDHA NA UTAWALA

Kwa niaba ya Mwenyekiti wa Kamati ,Naibu Meya aliwasilisha taarifa ya kamati kama

ifuatavyo;

1) Taarifa ya mapato na matumizi kwa kipindi cha mwezi Oktoba hadi Disemba 2016

i.MAPATO

Kwa kipindi cha mwezi wa Oktoba 2016 hadi Disemba 2016 Halmashauri ya Manispaa ya

Mpanda ilipokea shilingi 6,585,124,318.62 toka serikali kuu na makusanyo mbalimbali ya

fedha za ndani

ii.MATUMIZI

Kwa kipindi cha mwezi wa Oktoba 2016 hadi Disemba 2016 Halmashauri ya Manispaa ya

Mpanda ilitumia shilingi 5,016,216,135.07 katika matumizi mbalimbali .

2) MAPENDEKEZO YA VIWANGO MFUTO (FLAT RATE) KWA AJILI YA

UKUSANYAJI WA KODI ZA MAJENGO

Kupitisha viwango vya kodi ya majengo itakayokusanywa na mamlaka ya mapato Tanzania

(TRA) Kwa kipindi ambacho zoezi la uthamini wa majengo yaliyomo kwenye Manispaa ya

Mpanda unaendelea hivyo kwa kipindi ambacho Halmashauri inaendeleana zoezi hilo

viwango vifuatavyo vilipitishwa kutozwa kwa mwaka wa fedha wa 2016/2017.

AINA YA JENGO MAELEZO YA ZIADA KIWANGO

(TSHS)

1 Nyumba za Makazi 10,000.00

2 Maduka Jumla 300,000.00

Rejareja 200,000.00

3 Nyumba za wageni 100,000.00

4 Hoteli 300,000.00

5 Taasisi Benki 600,000.00

Shule ,

Zahanati

300,000.00

200,000.00

SACCOSS,Benki ndogo (Mi-

cro finances )

300,000.00

6 Viwanda Vidogo (mahindi ) 100,000.00

Vya Kati (Mpunga ) 300,000.00

7 Magodauni 200,000.00

8 Vituo vya Mafuta 300,000.00

Page 12: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA …€¦ · 3.Ndg.Mail Komba 4.ASP.Albert L.Beda 5.Ndg.Revocatus G. Ngomeni 6.Ndg.Jumbe Msekula 7.Ndg.Mary Ngomalufu 8.Ndg. Fulgence

12

3) MWENENDO WA KESI:

Hadi wa tarehe ya Mkutano Halmashauri ya Manispaa ilikuwa na mashauri matatu

Mahakamani na maombi mawili yalikuwasajiliwa yakisubiri kupatiwa tarehe za kesi ambapo

kwa kipindi hicho mahakama ilikuwa likizo mpaka mwezi Februari mwaka 2017.

4) KUAJIRI VIBARUA WA MKATABA KWA AJILI YA KUFUKUA MITARO.

kupitisha ajira ya vibarua 07 kwa ajili ya kufukua mitaro kufuatia mvua zilizokuwa

zinaendelea kunyesha na kupelekea mitaro kujaa taka na kusababisha uharibifu wa

miundombinu ya barabara na nyumba za wananchi kwa kuwa maji yanakosa uelekeo.

Aidha,ajira hiyo ilikuwa ya kwa muda wa miezi mine (4) kuanzia mwezi Januari 2017 hadi

mwezi Aprili 2017.

Maeneo yaliyoathirika sana ni Mji wa Zamani, Majengo A& B na Makanyagio.

Vile vile, Gharama ya malipo kwa vibarua hao ni Tsh. 120,000/=x7 x miezi 4 =3,

360,000/=, fedha zikazolipwa kupitia vyanzo vya ndani vya Halmashauri.

5) KUONGEZA VIWANGO VYA MALIPO YA VIBARUA WA USAFI WA MJI.

Kamati iliagiza menejimenti itenge bajeti ya mabadiliko ya viwango vya ujira wa vibarua

wa usafi kwenye bajeti ya mwaka 2017/2018 kutoka 120,000.00 ya sasa kufikia

Tshs.150,000.00 hiyo ni kutokana na ugumu wa kazi wanayofanya vibarua wa usafi wa mji.

6) TAARIFA YA MANUNUZI YA ROBO YA PILI YA MWAKA WA FEDHA

2016/2017.

Taarifa ya Robo ya Pili kwa mwaka wa Fedha 2016/2017 ambayo ilijumuisha kuhusu

maamuzi ya Bodi ya Zabuni, Mikataba iliyosainiwa, Utekelezaji wa Mpango wa Manunuzi,

Ufuatiliaji wa utekelezaji wa Mikataba na Taarifa zingine zinazohusu Ununuzi na Uuzaji wa

mali za Umma kama ifuatavyo:-

1) Kuhusu maamuzi ya Bodi ya Zabuni katika Robo ya Pili

Kwa Kipindi cha robo ya Pili, Bodi ya Zabuni imekaa vikao na kutoa maamuzi yake kama

ifuatavyo:-

a. Tarehe 05/10/2016 Bodi ya Zabuni ya Manispaa Mpanda ilikaa na kutoa maamuzi

yake kama ifuatavyo:-

1) kupitia taarifa ya timu ya tathimini ya kotesheni ya ujenzi wa matundu manne ya

choo, bafu , shimo la maji taka na kitako cha tenki katika eneo la maegesho ya

magari misunkumilo zabuni NO. LGA.101/2016/2017/CQ/W/02.

2) Kupitia taarifa ya timu ya tathimini ya Mtaalamu Mshauri wa Uthamini wa majengo

katika manispaa ya Mpanda zabuni NO. LGA.101/2016/2017/C/01.

3) Kupitia taarifa ya timu ya tathimini ya ujenzi wa barabara ya lami km 7.7 kwa

kiwango cha lami Mpanda Mjini zabuni NO. LGA.101/2016/2017/WB/W/01.

Page 13: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA …€¦ · 3.Ndg.Mail Komba 4.ASP.Albert L.Beda 5.Ndg.Revocatus G. Ngomeni 6.Ndg.Jumbe Msekula 7.Ndg.Mary Ngomalufu 8.Ndg. Fulgence

13

b. Tarehe 26/10/2016 Bodi ya Zabuni ya Manispaa ya Mpanda ilikaa na kutoa maamuzi

yake kama ifuatavyo:-

1. Kupitisha tangazo (Expression of Interest) kwa ajili ya kutafuta Mtaalam Mshauri

(Consultant) kwa ajili ya kuandaa Mpango Kabambe (General Planning Scheme) wa

Manispaa ya Mpanda.

2. Kupitisha Ununuzi na njia ya ununuzi wa vifaa vya Geographical Information System

(GIS).

3. Kupitisha ununuzi kwa ajili ya kutengeneza Kadi za OPD na file za wagonjwa Hospitali ya Manispaa vyenye gharama ya Tshs 8,025,000.00

c. Tarehe 07/11/2016 Bodi ya Zabuni ya Manispaa ya Mpanda ilikaa na kutoa maamuzi

yake kama ifuatavyo:-

1. Kupitia taarifa ya zabuni ya ujenzi wa barabara za lami Mpanda Mjini KM 7.7 na

kuagiza Kitengo cha Manunuzi Kikajiridhishe na baadhi ya mambo.

2. Kupitisha wazabuni kwa ajili ya kutafuta Mtaalam Mshauri (Consultant) kwa ajili ya

kuandaa Mpango Mkakati (Mpanda Municipal Strategic Plan) wa Manispaa ya

Mpanda.

d. Tarehe 05/12/2016 Bodi ya Zabuni ya Manispaa ya Mpanda ilikaa na kutoa maamuzi

yake kama ifuatavyo:-

1. Kupitia taarifa ya zabuni ya ujenzi wa barabara za lami Mpanda Mjini 7.7 KM na kutoa

maamuzi yake.

2. Kupitisha Tangazo na nyaraka kwa ajili ujenzi na matengenezo ya barabara kwa

mwaka wa Fedha 2016/2017.

3. Kupitisha ununuzi wa bahasha za X – Ray zenye gharama ya Tshs 6,000,000.00

2) Mikataba iliyo sainiwa katika Robo ya Pili

Manispaa kwa kipindi cha robo ya Pili imesaini mikataba ifuatayo:-

Jina la Mkataba Mkandarasi/Mt

aalamu

Mshauri

Thamani

ya

Mkataba(

TSHS)

Tarehe

ya

Kusaini

Mkataba

Mkataba wa Mtaalamu

Mshauri wa Uthamini wa

majengo katika Manispaa

ya Mpanda Zabuni Na.

LGA.101/2016/2017/C/01

.

Ms GEO NET-

WORK LTD,

P.O.Box

38037,

MPANDA.

177,000,0

00.00

07/11/20

16

Mkataba wa ujenzi wa

Matundu Manne ya Choo,

Bafu , Shimo la Maji

Ms M/S Rayiva

Investment

Co. Ltd

31,475,06

3.00

21/11/20

16

Page 14: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA …€¦ · 3.Ndg.Mail Komba 4.ASP.Albert L.Beda 5.Ndg.Revocatus G. Ngomeni 6.Ndg.Jumbe Msekula 7.Ndg.Mary Ngomalufu 8.Ndg. Fulgence

14

Taka na Kitako cha

Tenki Katika Eneo la

Maegesho ya Magari

Misunkumilo Zabuni No

LGA.101/2016/2017/CQ/

W/02

P.O.BOX 712

MPANDA

7) TAARIFA YA UKAGUZI WA NDANI KIPINDI CHA JULAI HADI SEPTEMBA, 2016.

Kwa kipindi cha Julai hadi Septemba 2016 ambayo ilikuwa na vipengele vifuatavyo;

1) YATOKANAYO NA HOJA ZA USHAURI ULIOPITA. Kumekuwa na uchelewashaji wa kujibu hoja zinazotolewa na Mkaguzi wa Ndani. Hali halisi

ya hoja ni kama ifuatavyo:

Tarehe Aina ya

Ripoti

Hoja Ushauri Hali ya

utekelezaji

14/01/2014 IAR for

OCT-DEC

2013

Fedha ambazo

hazijawasilishwa na

Mawakala

Tshs.3,710,000/=

Menejimenti

ihakikishe fedha hizi

zinawaswilishwa.

Haijatekelezwa.

Mwekahazina

ameandikiwa

barua ya kujieleza

kumb,na

KTV/PF/137/4 ya

4/10/2016.kwa

kushindwa

kuchukua hatua

stahiki.

14/01/2014 IAR for

OCT-DEC

2013

Tozo la riba (5%) kwa

kutokuwasilisha

Mapato kwa wakati

Tshs 3,105,000/=

Mawakala

wawasilishe fedha

Haijatekelezwa.

Mwekahazina

ameandikiwa

barua ya kujieleza

kumb

KTV/PF/137/4 ya

4/10/2016.kwa

kushindwa

kuchukua hatua

stahiki.,

15/07/2014 IAR for

APR-JUNE

2014

Fedha ambazo

hazijawasilishwa na

Mawakala Tshs

2,467,000/=

Menejimenti

ihakikishe Mawakala

wanarejesha fedha

wanazodaiwa.

HOJA

IMEFUNGWA.

Malipo

yamefanywa kwa

stk. Na 79427 ya

31

Page 15: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA …€¦ · 3.Ndg.Mail Komba 4.ASP.Albert L.Beda 5.Ndg.Revocatus G. Ngomeni 6.Ndg.Jumbe Msekula 7.Ndg.Mary Ngomalufu 8.Ndg. Fulgence

15

/12/2013.kelezwa

15/07/2014 IAR for

APR-JUNE

2014

Fedha iliyokopwa

kutoka Akaunti moja

kwenda nyingine Tshs

55,000,000/=

Menejimenti

ihakikishe fedha

zinarejeshwa katika

Akaunti husika

Haijatekelezwa

15/07/2015 IAR for

APR-JUNE

2015

Mkopo

ths.82,290,000/

uliochukuliwa kutoka

katika akaunti ya

Amana bila jitahada

za kuzirejesha.

Menejimenti

ihakikishe fedha

zinarejeshwa katika

Akaunti husika ili

kutekeleza kazi

iliyokusudiwa

Imetekelezwa

kwa

kiasi.Zimebaki

ths.21,690,000/=

15/07/2015 IAR for

APR-JUNE

2015

Fedha za fidia ambazo

hazijalipwa kwa

walengwaTshs.2,368,

980/=

Menejimenti

ihakikishe fedha hii

ambayo haikulipwa

kwa walengwa

inarejeshwa benki

Hoja im

Imetekelezwa

kwa kiasi

tsh.1,95,680/=

kupitia. stk

Na113721.BADO

muhusika

hajawasilsha

ths.417,300/=.ziliz

obaki zitakatwa

katika madai yake

ya disturbance al-

lowance.

10/10/2015 IAR for

JUL-SEPT

2015

5:3:2

Kukaa nje ya kituo

cha kazi zaidi ya siku

36 kwa kazi ambazo

zingeweza kufanyika

kwa kipindi kifupi

katika kituo cha kazi.

Menejimenti itoe

ufafanuzi kama haya

sio Matumizi

mabaya ya fedha

HOJA

IMEFUNGWA.

Mkurugenzi

amechukua hatua

na kuonya maombi

yote yafanywe

kwa barua na

kuwekwa ktk

jalada husika.

Rejea bar.

KTV/MMC/A.20/

4/VOL IV/27.

10/10/2015 IAR for Mtumishi kutokulipwa Menejimenti iangalie Imetekelezwa

Page 16: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA …€¦ · 3.Ndg.Mail Komba 4.ASP.Albert L.Beda 5.Ndg.Revocatus G. Ngomeni 6.Ndg.Jumbe Msekula 7.Ndg.Mary Ngomalufu 8.Ndg. Fulgence

16

JUL-SEPT

2015

5:3:3

“Outfit Allowance” na

malipo mengine ya

safari ya nje tokea

2014.

Tshs.10,068,480./=

hali hii ya

kutokutendewa haki

kwa Mtumishi huyu

ambaye aliliwakilisha

Taifa nje ya Nchi.

kwa kiasi.

Ths.3,000,000

zimelipwa kupitia

hundi 00629

na006402

za5/8/2015

na17/9/2016.

10/10/2015 IAR for

JUL-SEPT

2015

5:3:5:

• Masurufu Tshs

19,021,200

yaliyochukuliwa kwa

ajili ya ununuzi wa

magunia 300 na

vipuli wakati malipo

haya yangeweza

kufanywa na kitengo

cha manunuzi.

• Ukaguzi wa

kushitukiza

uliofanyika baadae

ulibaini

kutokununuliwa kwa

vifaa hivyo bali

magunia 55 yakiwa

hayana nyaraka za

mapokezi, rejea

KTV/MMC/A.30/I6/1

• Ielezwe kwa nini

kitengo cha

manunuzi

hakikuhusishwa

• Ielezwe vipuli

vilivyoombwa vipo

wapi

• Masulufu yote

yarejeshwe kama

yalivyoombwa.

HOJA

IMEFUNGWA.baru

a

Na.KTV/MTC/A.32

0/4/69

y05/10/2016.

YAHUSIKA.

Hatahivyo kanuni

na taratibu wakati

mwingine

zifuatwe.

01/06/2015 IAR for

JAN-

MARCH

2015

5.5.4

Malipo ya Tshs

2,173,710 yalilipwa

bila taarifa ya

mthamini

Menejimenti ioneshe

uthibitishio wa

taarifa ya mthamini

vinginevyo fedha

hizi zinatakiwa

zirejeshwe

Haijatekelezwa

13/04/2016 IAR for

JAN-

MARCH

2016

5.2.1.1

Mawakala

waliochelewesha

malipo hawajalipa

faini ya jumla ya Tshs.

11,824,000

Menejimenti

ihakikishe faini

ambayo haijalipwa

inalipwa kabla ya

mikataba kuvunjwa.

Haijatekelezwa

13/04/2016 IAR for

JAN-

MARCH

2016

Fedha ambazo

hazijawasilishwa na

Mawakala Tshs

128,740,000

Menejimenti

ihakikishe fedha

ambazo

haijawasilishwa

Haijatekelezwa

Page 17: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA …€¦ · 3.Ndg.Mail Komba 4.ASP.Albert L.Beda 5.Ndg.Revocatus G. Ngomeni 6.Ndg.Jumbe Msekula 7.Ndg.Mary Ngomalufu 8.Ndg. Fulgence

17

5.2.1.3 zinalipwa kabla ya

mikataba kuvunjwa.

13/04/2016 IAR for

JAN-

MARCH

2016

5.2.1.4

Mkandarasi wa

Mgahawa hajalipa

malipo na faini kwa

muda wote wa

mkataba

Tshs.2,280,000/=

Menejimenti

ihakikishe fedha

ambazo

haijawasilishwa

zinalipwa kabla ya

mikataba kuvunjwa

Haijatekelezwa

13/04/2016 IAR for

JAN-

MARCH

2016.

5.2,2.4

Eneo la ujenzi na hati

ya umiliki wa soko la

kisasa(Kawajense)

bado halijaidhinishwa

na Wizara

Ufuatiliaji wa karibu

ufanyike kuhakikisha

eneo linapimwa na

hati ya umiliki

inapatikana kabla ya

mradi kuanza.

Imetekelezwa

kwa kiasi.Hati ya

umiliki kiwanja

imeandaliwa

inasubiri

kuwasilishwa kwa

Kamishna wa Kan-

da.

13/04/2016 IAR for

JAN-

MARCH

2016.

5.2.6

Mawakala hawajalipia

gharama za vitabu

vya kukusanyia

ushuru Tshs 900,000/

Mawakala wote

waliochukua vitabu

wanatakiwa

wafuatiliwe ili walipe

vitabu

walivyochukua.

Kuanzia sasa vitabu

visitolewe bila

kulipiwa.

Haijatekelezwa

15/07/2016 IAR for

APR-JUN

2016

3.1.4

Barabara za Manispaa

Mpanda kutokuwa na

majina.

Mhandisi afanye

jitihada za

kuzitambua

Barabara kwa

majina.

Imetekelezwa

kwa kiasi. Kwa

msaada wa kifaa

maluum cha

kompyuta

(DROMAS SOFT-

WARE) wataalam

wameonesha

mtandao wa

barabara zote

zilizopo kwa

kutumia GIS.

Ramani husika

imewasilishwa kwa

Mkaguzi.Hoja

itafungwa

barabara

Page 18: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA …€¦ · 3.Ndg.Mail Komba 4.ASP.Albert L.Beda 5.Ndg.Revocatus G. Ngomeni 6.Ndg.Jumbe Msekula 7.Ndg.Mary Ngomalufu 8.Ndg. Fulgence

18

zitakapopewa

majina baada ya

vikao vya

kiutawala

vitakapoidhinisha.

15/07/2016 IAR for

APR-JUN

2016

3.2.1

Halmashauri

haijahamisha Fedha

za mradi wa

umwagiliaji

Kakese/Mwamkulu

kiasi cha Tshs

42,485,546.86

Kiasi cha Tshs

42,485,546.86

ambacho

hakijahamishwa

kipelekwe katika

akaunti ya Mradi.

Haijatekelezwa

15/07/2016 IAR for

APR-JUN

2016

3.2.2

(a) Malipo yalifanywa nje

ya Mpango Kazi

na shughuli za

Mradi Tshs

2,835,000.00

Fedha kiasi Tshs

2,835,000.00

kirejeshwe katika

Akaunti ya Mradi.

Haijatekelezwa.

(b) Fedha ambazo

hazikulipwa

kwa walengwa

tshs

2,205,000.00

kati ya

tshs.2,835,000

zilizochukuliwa.

Yatolewe maelezo

fedha hizi zilikwenda

wapi, vinginevyo

zirejeshwe.

Haijatekelezwa

15/07/2016 IAR for

APR-JUN

2016

3.2.2.2

Malipo yenye shaka

ufungaji wa mtandao

wa Intanenti

ths.7,114,OOO/=

Vifaa vya tshs.1,

415,000/=vimelipiw

a bila

kufungwa.Afisa

husika aliyeidhinisha

malipo arejeshe

fedha husika.

Haijatekelezwa

15/07/2016 IAR for

APR-JUN

2016

Fedha za uthamini wa

Majengo zilizotumika

vibaya Tshs

4,360,000.00

Vifaa vilivyolipiwa

bila kupokelewa

Tshs 1,360,000.00

Tshs 500,000.00

Fedha zilizotolewa

bila walengwa kulipa

tshs 2,500,000.00

Fedha zirejeshwe.

Haijatekelezwa.

15/07/2016 IAR for Kodi ya huduma Kiasi hicho kilipwe Haijatekelezwa.

Page 19: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA …€¦ · 3.Ndg.Mail Komba 4.ASP.Albert L.Beda 5.Ndg.Revocatus G. Ngomeni 6.Ndg.Jumbe Msekula 7.Ndg.Mary Ngomalufu 8.Ndg. Fulgence

19

APR-JUN

2016

iliyokatwa bila kulipwa

Akaunti ya

Halmashauri Tshs

525,726.16

kwenye akaunti ya

Halmashauri

15/07/2016 IAR for

APR-JUN

2016

Fedha za Tahadhali

iliyokatwa katika

Malipo ya Mkandarasi

haijahamishwa katika

akaunti ya Amana

Tshs 10,437,251.00

Fedha hiyo

ihamishwe

Haijatekelezwa.

15/07/2016 IAR for

APR-JUN

2016

Masulufu yaliyotolewa

kwa watumishi

mbalimbali bila

kurejeshwa kiasi Tshs

5,445,000.00

Marejesho

yafanywe,

vinginevyo fedha

hizo zikatwe katika

malipo ya Mishahara

yao.

Haijatekelezwa.

2) YATOKANAYO NA UKAGUZI KATIKA KIPINDI CHA OKTOBA- DISEMBA 2016.

Katika kipindi hiki cha OKTOBA- DISEMBA 2016, Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani kilifanya

kazi mbalimbali za kusimamia Taratibu, Kanuni na Sheria kwamba zinafuatwa na kutoa

ushauri katika sehemu zilizokosa ufanisi/ kuwa na dosari kwa kadri ilivyoweza.

Baadhi mambo yaliyobainika ni-

a) UKAGUZI WA MRADI WA ZAHANATI YA MWAMKULU-TASAF.

Hali halisi na mapungufu yaliyobainika katika mradi yalitolewa kwa Mkurugenzi yakitaja

sababu ,athari na ushauri kupitia taarifa kumb.KTV/MMC/C.30/2/23 ya 3/10/2016.

b) KUTOKUHIFADHIWA KWA KUMBUKUMBU ZA MAKATO WANAOKATWA

WATUMISHI KATIKA MISHAHARA YAO YA KILA MWEZI.

Watumishi wamekuwa wakikatwa na kuchangia mifuko mbambali ya jamii, taasisi za fedha

na kodi. Makato haya yote yanaweza kubainika katika orodha ya mishahara PayRoll ya

mwezi husika hata hivyo hakuna jalada maalum linalowekwa kutunza pay roll hizo bali

huambatanishwa katika hati za malipo pekee. Hali hii hufanya ugumu wa kutambua taarifa

sahihi za mishahara na makato yatokanayo na mishahara yalivyolipwa/katwa na

kuwasilishwa katika taasisi hizo. Taasisi hizo ni kama LAPF, NSSF, WADU, BIMA, TRA, nk.

Taarifa hii ya ukaguzi na ushauri ilitolewa kwa Mkurugenzi kupitia barua kumb.Na

KTV/MMC/A.10/4/4/1

Page 20: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA …€¦ · 3.Ndg.Mail Komba 4.ASP.Albert L.Beda 5.Ndg.Revocatus G. Ngomeni 6.Ndg.Jumbe Msekula 7.Ndg.Mary Ngomalufu 8.Ndg. Fulgence

20

8) PONGEZI KWA WALIMU/IDARA YA ELIMU MSINGI.

Taarifa iliwasilishwa kuwa, kutokana na matokeo mazuri ya mtihani wa darasa la saba

mwaka 2016, yaliyopelekea Halmashauri ya Manispaa ya Mpanda kushika nafasi ya

KWANZA kitaifa, kuna haja ya kuwapongeza walimu waliowezesha ufaulu huo.

Baada ya taarifa hiyo kuwasilishwa, wajumbe walipendekeza walimu wapongezwe kwa

barua, sherehe na zawadi mbalimbali.

9) UPIMAJI WA VIWANJA KATIKA MAENEO YA SHANWE, KAZIMA NA

UWANJA WA NDEGE.

Taarifa iliwasilishwa kuwa, kuna viwanja vingi katika maeneo tajwa ambayo vinatakiwa

kupimwa na kuuzwa.Upimaji huo ukifanyika utaiingizia Halmashauri kiasi kikubwa cha

fedha zitakazotokana na kuuzwa kwa viwanja hivyo.

10. TAARIFA YA FEDHA CHF/TIKA YA MAPATO YA VITUO VYOTE YA ROBO YA

PILI KUANZIA OKTOBA - DESEMBA 2016

Kwa kipindi cha Oktoba hadi Desemba 2016 Vituo vya kutolea huduma ya Afya

vinavyomilikiwa na serikali (Hospitali, vituo vya afya na zahanati) zilikusanywa

Tshs:32,813,047.00,Bakaa kwa Robo ya kwanza ilikuwa Tshs:88,866,211.00 nakufanya

Jumla ya mapato kuwa Tshs.121,679,258.00 ambapo Matumizi kwa kipindi hicho ni

Tshs.63,957,764.97 Salio katika Akaunti zote ni Tshs:57,721,443.03.

10) MAOMBI YA TSHS 30,000,000 KWA AJILI YA KUTOA MIKOPO NA

MAFUNZO KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE NA VIJANA KIPINDI CHA

OKTOBA HADI DESEMBA 2016.

Idhini ya matumizi ya Tshs 30,000,000 kwa ajili ya kutoa mikopo na mafunzo kwa

vikundi16 vya Wanawake na vikundi 7 vya Vijana. Ambapo, kiasi cha Tshs 27,000,000.00

ni kwa ajili ya Mkopo na Mafunzo ni Tshs 3,000,000.00

12) TAARIFA YA ROBO YA II YA UTEKELEZAJI SHUGHULI ZA TASAF OKTOBA-

DESEMBA 2016:

Katika kipindi cha Oktoba hadi Desemba ,Halmashauri ya Manispaa ilipokea ruzuku ya

mwezi Novemba/ Desemba jumla ya Sh: 59,134,500.00 na kuzipeleka kwa Walengwa

Aidha, Ujenzi wa Zahanati ya Mlima Kipala unaendelea na uko kwenye hatua ya upauaji,

katika hatua hiyo kulijitokeza upungufu wa bati 52 geji 28 futi 10, bati zilizo kuwepo na

kutumika ni 108 gaji 28 futi 10.

13) TAARIFA YA IDARA YA UTUMISHI NA UTAWALA KWA KIPINDI

CHA ROBO YA PILI 2016/2017 – KUANZIA OKTOBA HADI DESEMBA

2016

Kwa kipindi cha robo ya pili 2016/2017 idara ya Utumishi na Utawala iliendelea kutekeleza

majukumu yake kama ifuatavyo,

Page 21: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA …€¦ · 3.Ndg.Mail Komba 4.ASP.Albert L.Beda 5.Ndg.Revocatus G. Ngomeni 6.Ndg.Jumbe Msekula 7.Ndg.Mary Ngomalufu 8.Ndg. Fulgence

21

(a) Idara iliendelea na usimamizi wa rasilimali watu katika nidhamu ikiwa ni pamoja na

mahudhurio na utendaji kwa ujumla.

(b) Idara iliratibu vikao vya kisheria kwa mujibu wa kanuni na taratibu ambapo kwa

muda wa miezi mitatu ,ambapo vikao vitatu (03 ) viratibiwa ambayo ni CMT, Kamati

ya Fedha na Utawala na Baraza la bajeti moja..

(c) Taarifa ziliendelea kurekebishwa ambapo kwa robo hii watumishi wanne (04)

waliondolewa kwenye pay roll kwa sababu, watumishi watatu (3) walistaafu kazi na

mmoja (1) aliomba kuacha kazi kwa notisi ya masaa 24.

14) KUPITISHWA KWA MAJINA YA WAJUMBE WA BODI YA ZABUNI

HALMASHAURI YA MANISPAA MPANDA

Majina yafuatayo ya wajumbe wa bodi ya zabuni ya Halmashauri ya Manispaa ya Mpanda

yalipitishwa:-

1. Marietha Mlozi 2. Mary Festo Luhulula 3. Peter C Mkalipa 4. Enelia Lutungulu 5. Obed Peter Mahenge

Kwa kuwa Sheria imewatambua kwa vyeo Mkuu wa Kitengo cha Manunuzi (Katibu) na

Kitengo cha Sheria kuwa wajumbe wa Bodi, wao wataingia kwenye vikao vya Bodi kwa

nyazifa zao.

15) MAOMBI YA KUTUMIA VITABU VYA STAKABADHI (HW5)

Kutokana na hitilafu iliojitokeza katika ukusanyaji wa mapato ya mabango (Bill board)

yanayoendeshwa na mfumo wa kielektronia kusimama, kamati ilipitisha kuendelea na

ukusanyaji kwa kutumia vitabu vya HW5. Mfumo ulisimama tangu tarehe 03/11/2016.

Taarifa ilitolewa kwa mtaalamu wa mfumo wa mfumo aliekuja hapa Manispaa ya Mpanda na

akafahamishwa tatizo hilo mwezi Desemba 2016, na akaahidi suala hili litapatiwa ufumbuzi

mara atakapo rudi Dodoma.

Halmashauri itaendelea kuwatumia mawakala wetu katika kazi ya kukusanya ushuru huo

kwa kutumia HW5.

Baada ya kuwasilishwa kwa taarifa wajumbe alitaka ufafanuzi wa mambo yafuatayo;

1. Eneo gani lililotengwa kwa ajili ya kujenga soko la kisasa Mchumi alitoa ufafanuzi kuwa ujenzi wa soko la kisasa umepangwa kujengewa eneo lililopo

katika kata ya Kazima.

2. Sababu gani zinazosababisha Hoja za Mkaguzi wa Ndani kutojibiwa kwa wakati Mweka Hazina alitoa ufafanuzi kuwa hoja zingine hazjibiki kwa haraka kwa sababu zinahitaji

ushiriki wa watu zaidi ya mmoja katika kuijibu hoja husika.Hivyo kujibu hoja za mkaguzi wa

ndani ni mchakato unaohusisha hatua mbalimbali.

3. Kwa nini ujenzi wa zahanati ya Mwamkulu umechukua muda mrefu bila kukamilika

Page 22: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA …€¦ · 3.Ndg.Mail Komba 4.ASP.Albert L.Beda 5.Ndg.Revocatus G. Ngomeni 6.Ndg.Jumbe Msekula 7.Ndg.Mary Ngomalufu 8.Ndg. Fulgence

22

Mratibu alitoa ufafanuzi kuwa ujenzi wa zahanati ya Mwamkulu umepata changamoto ya

ramani iliyoelekezwa kutumika kuwa kubwa ukilinganisha na fedha zilizotengwa kwa ajili

ya mradi huo.

Kutokana na hali hiyo mradi huo unakabiliwa na upungufu mkubwa wa vifaa vya ujenzi

vyenye gharama ya Tshs.25,690,600.00

Kwa upande wake Mkurugenzi aliuomba mkutano wa Baraza la madiwani kuidhinisha

kutumika kwa fedha za mapato ya ndani pindi tathmini itakapo fanyika kwa kupitia hatua

zote za mradi na kubaini kiasi kitakachohitaji kumalizia mradi husika.

Mkutano wa Baraza la madiwani uliagiza mradi huo upitiwe na kubainisha utekelezaji wa

mradi huo kwa maamuzi yafuatayo;

ILIAZIMIWA KWAMBA

i. Kwenye kikao cha kamati ya fedha na utawala iwasilishwe taarifa ya lini mradi wa

ujenzi wa zahanati ya Mwamkulu utakamilika.

ii. Iandaliwe na kuwasilishwa kwenye Baraza la Madiwani taarifa ya Maendeleo ya

ujenzi wa zahanati ya Mwamkulu na miradi mingine iliyotekelezwa na TASAF.

Page 23: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA …€¦ · 3.Ndg.Mail Komba 4.ASP.Albert L.Beda 5.Ndg.Revocatus G. Ngomeni 6.Ndg.Jumbe Msekula 7.Ndg.Mary Ngomalufu 8.Ndg. Fulgence

23

b) TAARIFA YA KAMATI YA MIPANGO MIJI, UJENZI, NA MAZINGIRA

Mwenyekiti wa kamati aliwasilisha taarifa ya kamati kwa kipindi cha Oktoba –Disemba 2016

kama ifuatavyo;

i. TAARIFA YA UTEKELEZAJI YA IDARA YA MIPANGO MIJI, ARDHI NA

MALIASILI KATIKA KIPINDI CHA OKTOBA HADI DESEMBA 2016

Idara ya Mipango Miji ,Ardhi na Maliasili ilitekeleza mambo yafuatayo;

Kitengo cha Ardhi

a) Kumilikisha wananchi 117 viwanja

b) Kufanya uhamisho wa miliki 27

c) Kuidhinisha ramani 08 za viwanja

d) Kutoa hati 84 za viwanja Kitengo cha Upimaji

a) Kupima viwanja 378 katika eneo la Kazima

b) Kusaini hati 84 za viwanja c) Kurudiaha mipaka 08 eneo la Kawajense,15 eneo la Kasimba,10 eneo la Ilembo na 04

eneo la Misunkumilo

Kitengo cha Mipango Miji

Kufanya mapitio ya ramani ya mipango Miji ambapo mchoro 01 ulipitiwa ,

Kubadilisha matumizi ya ardhi kwa mwananchi 01,viwanja 35 ramani zake ziliidhinishwa

na vibali 09 vya ujenzi vilitolewa.

Kitengo cha Uthamini

Kufanya uthamini wa fidia katika barabara ya VETA (TANROAD )

Kitengo cha Maliasili

Uoteshaji wa miti 94,450 katika vikundi mbalimbali

Ugawaji wa miti 217,588 kwa wakulima wa tumbaku

ii. TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA KAZI ZA MATENGENEZO YA BARABARA KWA

MWAKA WA FEDHA 2016/2017 KWA KIPINDI CHA OKTOBA HADI

DESEMBA 2016

1. Matengenezo ya wakati maalum barabara za Kawajense Km 8.5 ambayo gharama ya

mkataba ilikuwa Tshs. 151,271,600.00 ambapo kazi hiyo ilikamilika tarehe 18/11/2016

hadi kufikia tarehe ya kikao kazi hiyo ilikuwa imefikia asilimia 100

2. Matengenezo ya maeneo korofi barabara za Kawajense Km 8.22 ambayo gharama ya

mkataba ilikuwa Tshs. 28,723,220 ambapo kazi hiyo ilikamilika tarehe 18/11/2016

hadi kufikia tarehe ya kikao kazi hiyo ilikuwa imefikia asilimia 100

3. Matengenezo ya maeneo korofi barabara za Majengo mapya - Kazima Km 5.5 ambayo

gharama ya mkataba ilikuwa Tshs. 21,344,600.00 ambapo kazi hiyo ilikamilika tarehe

18/11/2016 hadi kufikia tarehe ya kikao kazi hiyo ilikuwa imefikia asilimia 100

Page 24: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA …€¦ · 3.Ndg.Mail Komba 4.ASP.Albert L.Beda 5.Ndg.Revocatus G. Ngomeni 6.Ndg.Jumbe Msekula 7.Ndg.Mary Ngomalufu 8.Ndg. Fulgence

24

4. Matengenezo ya wakati maalum barabara za Kasimba B Km 1.5 ambayo gharama ya

mkataba ilikuwa Tshs. 24,570,005.00 ambapo kazi hiyo ilikamilika tarehe 28.10.2016

hadi kufikia tarehe ya kikao kazi hiyo ilikuwa imefikia asilimia 97

5. Matengenezo ya kawaida barabara za Kasimba A Km 6.7 ambayo gharama ya

mkataba ilikuwa Tshs. 21,591,840.00 ambapo kazi hiyo ilikamilika tarehe 28.10.2016

hadi kufikia tarehe ya kikao kazi hiyo ilikuwa imefikia asilimia 65

6. Matengenezo ya kawaida barabara za Airport Km 10. ambayo gharama ya mkataba

ilikuwa Tshs. 26,808,270.00 ambapo kazi hiyo ilikamilika tarehe 28/10/2016 hadi

kufikia tarehe ya kikao kazi hiyo ilikuwa imefikia asilimia87

7. Matengenezo ya maeneo korofi barabara za Mji wa zamani Km 3.3 ambayo gharama

ya mkataba ilikuwa Tshs. 9,501,100.00 ambapo kazi hiyo ilikamilika tarehe

28/10/2016 hadi kufikia tarehe ya kikao kazi hiyo ilikuwa imefikia asilimia 80

8. Ujenzi wa Daraja Kasimba ambayo gharama ya mkataba ilikuwa Tshs. 59,955,700.00

ambapo kazi hiyo ilikamilika tarehe 28/10/2016 hadi kufikia tarehe ya kikao kazi hiyo

ilikuwa imefikia asilimia 98

9. Matengenezo ya maeneo korofi barabara za Mpanda - Shanwe Km 5.5 ambayo

gharama ya mkataba ilikuwa Tshs. 18,651,500.00 ambapo kazi hiyo ilikamilika tarehe

28/10/2016 hadi kufikia tarehe ya kikao kazi hiyo ilikuwa imefikia asilimia 70

10. Matengenezo ya maeneo korofi barabara za Nsemulwa Km 3.3 ambayo gharama ya

mkataba ilikuwa Tshs. 9,856,500.00 ambapo kazi hiyo ilikamilika tarehe 28/10/2016

hadi kufikia tarehe ya kikao kazi hiyo ilikuwa imefikia asilimia 75.

Baada ya kuwasilishwa taarifa hiyo wajumbe walitaka kufahamu mambo yafuatayo;

1. Eneo lililotengwa kwa ajili ya kujengwa dampo la kisasa

Kwa niaba ya Mkurugenzi ,Afisa Afya alitoa ufafanuzi kuwa Halmashauri imetenga eneo

litakalo jengwa dampo katika kijiji cha Manga kilichopo kata ya Kasokola.

2. Ni lini tatizo la upungufu wa watumishi katika idara ya mipango miji ,ardhi na Maliasili

litatatuliwa

Mkuu wa idara ya utumishi na utawala alikiri kuwa upo upungufu mkubwa wa watumishi

katika idara ya Mipango Miji ,Ardhi na Maliasili na kuahidi kuwa tatizo hilo litapatiwa

ufumbuzi baada ya kupata kibali cha ajira kutoka Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi

wa Umma.

Hata hivyo,Mkutano uliagiza suala hilo Mkoa ushirikishwe ili hatua za haraka zichukuliwe

ikiwa ni pamoja na kufanya uhamisho wa ndani ya mkoa wa Katavi.

ILIAZIMIWA KWAMBA

Mkurugenzi afuatilie kwa Katibu Tawala Mkoa kuhusu kuazimwa/kupangiwa watumishi

kutoka Halmashauri nyingine zilizopo kwenye Mkoa wa Katavi zenye watumishi wa idara

hiyo.

Page 25: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA …€¦ · 3.Ndg.Mail Komba 4.ASP.Albert L.Beda 5.Ndg.Revocatus G. Ngomeni 6.Ndg.Jumbe Msekula 7.Ndg.Mary Ngomalufu 8.Ndg. Fulgence

25

3. Kwa nini eneo la Makanyagio limetengewa kiasi kidogo cha barabara za lami ikizingatia

eneo haliko vizuri kijiografia.

Mkuu wa idara ya Ujenzi alifafanua kuwa eneo la Makanyagio ilimetengewa umbali wa

kilometa 1.2 kwa ajili ya ujenzi wa barabara ya Lami kupitia ufadhili wa Benki ya Dunia.

4. Ni lini eneo la Kazima lenye makazi holela litapimwa

Kwa niaba ya Mwenyekiti wa kamati ,Mkuu wa Idara ya Mipango Miji alitoa maelezo kuwa

eneo la makazi holela katika kata ya Kazima yatapimwa pindi fedha kwa ajili ya mradi huo

zitakapopatikana

5. Ni lini Barabara ya Mwamkulu-Karema “Junction “ itajengwa

Mkuu wa idara ya Ujenzi alitoa maelezo kuwa ujenzi wa barabara ya Mwamkulu –

Karema Junction utatekelezwa katika mwaka wa fedha 2016/2017 ambapo

Tshs.28,000,000.00 zimetengwa kwa ajili ya shughuli hiyo.

6. Ni lini ujenzi wa soko la kisasa utaanza kutekelezwa Mradi wa ujenzi wa soko la kisasa utaanza kutekelezwa katika mwaka wa fedha wa

2017/2018.

Baada ya majadiliano hayo Mkutano wa Baraza uliipitisha taarifa hiyo.

c) TAARIFA YA KAMATI YA UCHUMI, ELIMU, AFYA NA MAJI Mwenyekiti wa kamati aliwasilisha taarifa ya utekelezaji wa kamati kwa kipindi cha Oktoba –

Desemba 2016 kama ifuatavyo;

i) TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA MIRADI YA MAENDELE0 KWA

KIPINDI CHA JULAI - DESEMBA 2016

Katika bajeti ya mwaka wa fedha 2016/2017 Halmashauri ya Manispaa Mpanda imekisia

kutumia Tshs 8,834,967,000.00 kwa ajili ya utekelezaji wa miradi ya maendeleo sawa na

asilimia 40.38 ya bajeti ya Halmashauri ya Tshs 21,882,670,000.00.kwa mchanganuo

ufuatao;

Chanzo cha Fedha Kiasi (TSHS.)

Mapato ya Ndani .............................................................................. 1,214,106,000.00

Mfuko wa Barabara .......................................................................... 1,551,225,000.00

Programu ya Maji Kitaifa (NWSSP) ....................................................... 380,000,000.00

Mfuko wa Jimbo .................................................................................... 28,816,000.00

Ruzuku ya Maendeleo (LGCDG/DADPs/MMAM) ...................................... 419,219,000.00

Miradi ya Benki ya Dunia Kuendeleza Miji (ULGSP) ............................. 4,248,565,000.00

TASAF ................................................................................................ 366,012,000.00

Miradi ya UKIMWI(NMSF) ........................................................................ 6,014,000.00

Programu ya Maji Vijijini (RWSSP) ....................................................... 190,973,000.00

Programu ya Maendeleo Sekta ya Kilimo (ASDP) ................................... 430,037,000.00

Jumla Kuu Miradi ya Maendeleo (TSHS.) ................................ 8,834,967,000.00

Kwa kipindi cha Julai – Desemba Halmashauri ya Manispaa ya Mpanda ilitumia kiasi cha Tshs.

824,303,768.00 sawa na 9.33% katika kutekeleza shughuli mbalimbali za Miradi ya

Page 26: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA …€¦ · 3.Ndg.Mail Komba 4.ASP.Albert L.Beda 5.Ndg.Revocatus G. Ngomeni 6.Ndg.Jumbe Msekula 7.Ndg.Mary Ngomalufu 8.Ndg. Fulgence

26

Maendeleo, kati ya hizo kiasi cha Tshs.256,143,886.00 sawa na asilimia 21.10 ni

mchango wake wa mapato ya ndani kwenda kutekeleza miradi ya maendeleo, na kiasi

kilichobakia cha Tshs.568,159,882.00 ni Ruzuku toka Serikali Kuu na Michango ya

Wafadhili mbalimbali.

NB. Katika Mwaka wa fedha 2016/2017 Makisio ya Mfuko wa Barabara yalikuwa Tshs

1,551,225,000.00 lakini kiasi cha fedha kilichoidhinishwa ni Tshs 1,343,510,000.00

ii) TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA IDARA YA ELIMU MSINGI KWA

KIPINDI CHA OKTOBA - DISEMBA, 2016

1) Ufuatiliaji taaluma shuleni kuhakikisha kuwa walimu wote wanafundisha kwa mfululizo.

2) Kurekebisha ikama ya walimu ili kuwa na uwiano sawa wa walimu kwa kuzingatia

upungufu. Baadhi ya walimu wamehamishwa kutoka kwenye shule zilizo na walimu

wengi kwenda zilizo na upungufu wa walimu. Urekebishaji huu pia umezingatia

walimu wenye matatizo ya afya.

3) Kusimamia zoezi la ukarabati na utengenezaji wa madawati kwa shule zote za Msingi.

Kwa kipindi cha Oktoba –Desemba 2016 madawati 170 yamesambazwa katika shule

za Kawanzige (50), Mkokwa (90) na Kabwaga (30).

4) Kuitisha kikao na Walimu wakuu, Maafisa Elimu kata na walimu wote wa Shule za

Msingi kuwaelekeza mpango mkakati wa kitaaluma wa Magamba na viwango vipya

vya kuongeza ufaulu kwa 99%.

5) Usimamizi na ufuatililiaji wa mara kwa mara kwenye ujenzi wa shule za Mkokwa,

Nsambwe, na Kabwaga. Ujenzi umekamilika kulingana na fedha iliyotengwa na

madarasa yanatumika.

6) Kusimamia mapato na matumizi ya fedha ya elimu bila malipo iliyoanza kutolewa na

serikali kuanzia mwezi Januari, 2016.

7) Usimamizi wa ufanyikaji wa mtihani wa upimaji wa darasa la Nne Novemba, 2016

8) Kushiriki zoezi la uchaguzi wa wanafunzi waliofaulu kuingia kidato cha kwanza. Zoezi limekamilika, matokeo yamebandikwa kwenye mbao za matangazo.

9) Afisa Elimu kuhudhuria mafunzo ya mfumo kwa ajili ya kuingiza taarifa za watumishi

wa Idara ya Elimu yaliyofanyika mwezi Novemba, 2016 na Afisa Elimu Vifaa na

Takwimu kuhudhuria mafunzo ya mfumo wa uingizaji wa takwimu za kielimu

yaliyofanyika Morogoro mwezi Novemba,2016.

iii) TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA IDARA YA ELIMU SEKONDARI KWA

KIPINDI CHA OKTOBA - DISEMBA, 2016

1. Ufuatiliaji taaluma shuleni kuhakikisha kuwa walimu wote wanafundisha kwa mfululizo.

2. Kurekebisha ikama ya walimu ili kuwa na uwiano sawa wa walimu kwa kuzingatia

masomo. Baadhi ya walimu wamehamishiwa kwenye shule zilizo na upungufu wa

walimu kwa baadhi ya masomo. Urekebishaji huu umezingatia pia uwepo wa walimu

wengi wa somo moja katika shule moja

Page 27: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA …€¦ · 3.Ndg.Mail Komba 4.ASP.Albert L.Beda 5.Ndg.Revocatus G. Ngomeni 6.Ndg.Jumbe Msekula 7.Ndg.Mary Ngomalufu 8.Ndg. Fulgence

27

3. Kusimamia zoezi la ukarabati na utengenezaji wa viti/meza kwa shule zote za

sekondari. Zoezi limekamilika na jumla ya viti/meza 622 vimepelekwa shuleni.

4. Kikao na Wakuu wa Shule kuwaelekeza mpango mkakati wa kitaaluma na viwango

vipya vya kuongeza ufaulu. Idara imepitisha kiwango cha ufaulu kuwa 77% kwa

mwaka wa masomo 2017.

5. Usimamizi na ufuatililiaji wa mara kwa mara kwenye ukarabati wa jengo la utawala

Shule ya Sekondari Nsemulwa. Ukarabati umekamilika kulingana na fedha iliyotengwa

na jengo linatumika

6. Kusimamia mapato na matumizi ya fedha ya elimu bila malipo iliyoanza kutolewa na

serikali ku anzia mwezi Januari, 2016.

7. Usimamizi na ufuatiliaji wa mtihani wa Taifa wa Kidato cha Nne Novemba, 2016 na

Mtihani wa Upimaji wa kidato cha pili Novemba, 2016

8. Kusimamia na kufuatilia utungaji, ufanyikaji, usahihishaji wa mtihani wa pamoja kwa

wanafunzi wa kidato cha kwanza na cha tatu zoezi lililofanyika mwezi Novemba na

Disemba, 2016. Matokeo yametoka na yamesambazwa katika shule zote za sekondari

ndani ya Manispaa.

9. Kushiriki zoezi la uchaguzi wa wanafunzi waliofaulu kuingia kidato cha kwanza. Zoezi limekamilika, matokeo yamebandikwa kwenye mbao za matangazo na Wakuu wa

Shule wamewatumia wazazi fomu za kujiunga ili wazazi wafanye maandalizi ya

mahitaji ya wanafunzi kabla ya mhula wa masomo haujaanza mwezi Januari, 2017.

10. Kusimamia utengenezaji wa vitanda 45 (double decks) kwa ajili ya wanafunzi wa bweni

wa Shule ya sekondari ya Wasichana Mpanda. Vitanda vimekamilika na viko tayari kwa

ajili ya matumizi shule ikifunguliwa Januari, 2017.

11. Afisa Elimu Vifaa na Takwimu kuhudhuria mafunzo ya mfumo kwa ajili ya kuingiza

taarifa za watumishi wa Idara ya Elimu yaliyofanyika mwezi Novemba, 2016 na pia

mafunzo ya mfumo wa uingizaji wa takwimu za kielimu yaliyofanyika Morogoro mwezi

Novemba,2016.

iv) TAARIFA YA UTEKELEZAJI IDARA YA MAENDELEO YA JAMII, JINSIA, WAZEE

NA WATOTO KWA KIPINDI CHA OKTOBA - DESEMBA, 2016.

Katika kipindi cha Oktoba hadi Desemba, 2016 Idara ya Maendeleo ya Jamii Jinsia

Wazee na Watoto ilitekeleza shughuli mbalimbali kwa kushirikiana na wadau wa

Maendeleo katika kuratibu, kushauri na kutoa mafunzo mbalimbali kwa Jamii.

1. Vikundi 10 vimesajiliwa katika robo hii, kati ya vikundi hivyo 01 ni cha Wanawake

na 01 ni cha vijana na vikundi 08 ni vya mchanganyiko.

2. Vijiji 04 vya kata ya Magamba vimetembelewa na kuhamasishwa shughuli za

maendeleo na uundaji wa vikundi, na Asasi 02 za Usevya Development Society

Page 28: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA …€¦ · 3.Ndg.Mail Komba 4.ASP.Albert L.Beda 5.Ndg.Revocatus G. Ngomeni 6.Ndg.Jumbe Msekula 7.Ndg.Mary Ngomalufu 8.Ndg. Fulgence

28

Organization (UDESO) na Grace Community Development Education (GCDE)

zimetambuliwa.

3. Ufuatiliaji wa marejesho ya mikopo kwa vikundi 40 umefanyika na jumla ya Tshs.

5,766,000 zimerejeshwa kwa kipindi hiki, Mfuko wa Maendeleo ya Wanawake na

Vijana Tshs. 2,207,000 na Mfuko wa Wajasiriamali Tsh. 3,759,000.

4. Fedha Tshs 30,000,000 kwa ajili ya mafunzo na utoaji mikopo imeombwa katika Robo ya pili.

v) TAARIFA YA ROBO YA II YA UTEKELEZAJI TASAF OKTOBA-DESEMBA 2016 Katika kipindi cha Oktoba hadi Desemba, Halmashauri ya Manispaa ilipokea ruzuku ya mwezi Novemba/ Desemba jumla ya Sh: 59,134,500.00 na kuzipeleka kwa Walengwa.

vi) TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI IDARA YA KILIMO, MIFUGO, UVUVI NA USHIRIKA

Baadhi ya shughuli zilizofanyika katika kipindi cha mwezi Oktoba hadi Disemba, 2016 ni kama ifuatavyo: I. KITENGO CHA USHIRIKA:

• Ukaguzi wa SACCOS 9 zilizo katika halmashauri ya Manispaa ya Mpanda

• Kutoa mafunzo ya uwekaji wa hesabu kwa viongozi wa vyama 6 vya ushirika

• Kuhudhuria mikutano mikuu ya vyama vikuu vya ushirika vya LATCU na Kasokola

AMCOS

• Kutembelea vyama 12 vya ushirika na kutatua migogoro mbalimbali ya kiuongozi

katika baadhi ya vyama hivyo.

II. KITENGO CHA KILIMO:

• Kusimamia zoezi la usambazaji wa mbolea za ruzuku ya serikali

• Kutoa ushauri wa kitaalam kwa wakulima juu ya kilimo bora cha mazao ya mpunga,

mahindi, karanga, maharage, na mhogo

• Kulima mashamba ya mfano 7 ya mahindi, karanga na maharage

• Kuandaa mpango wa bajeti wa Idara wa mwaka 2017/2018.

• Ukaguzi wa maduka ya pembejeo katika maduka 11, stoo 3 na ghala 1 ili kudhibiti

ubora wa pembejeo za kilimo zinazouzwa na mawakala wa pembejeo.

III. KITENGO CHA MIFUGO:

• Elimu na ushauri kwa wafugaji ambapo jumla ya wafugaji 291 kati ya 350 wamepatiwa

ushauri juu ya ufugaji bora wa Ng’ombe wa maziwa na Ufugaji bora wa kuku wa asili

katika kata 15 za Manispaa ya Mpanda.

Page 29: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA …€¦ · 3.Ndg.Mail Komba 4.ASP.Albert L.Beda 5.Ndg.Revocatus G. Ngomeni 6.Ndg.Jumbe Msekula 7.Ndg.Mary Ngomalufu 8.Ndg. Fulgence

29

• Ukaguzi wa mifugo inayochinjwa katika machinjio ya Mpanda Hoteli na sehemu

zingine zilizoainishwa kwa kuchinjia mifugo kama mbuzi na Nguruwe ambazo ni

Kawajense, Kashaulili, Kakese, Mwamkulu na Nsemulwa

• Ujazaji fomu za magonjwa ya mifugo (Disease Survaillance Form) na ujazaji wa

fomu za taarifa za Machinjio (Abattoir Report) ambapo jumla ya fomu 49 zimejazwa

na kutumwa kituo cha ufuatiliaji wa magonjwa ya mifugo kanda ya nyanda za juu

kusini magharibi (ZVC Sumbawanga).

• Usimamizi wa minada ya Kakese na Mwamkulu

• Utoaji chanjo kwa Mbwa ambapo jumla ya Mbwa 5 kati ya 300 wamechanjwa dhidi ya

kichaa cha Mbwa na jumla ya Kuku 796 wamechanjwa dhidi ya Mdondo. Mafunzo kwa

kikundi kimoja cha ufugaji wa maksai juu ya matumizi sahihi ya utumiaji wa maksai

hasa wakati huu wa masika.

a. Tiba dhidi ya magonjwa ya mifugo Jumla ya Ng’ombe 132, Mbuzi 78, Nguruwe 135 na Kuku 287, wametibiwa dhidi ya

magonjwa mbalimbali.

b.Ukaguzi wa nyama

Kwa kipindi cha mwezi Oktoba hadi Desemba jumla ya Ng’ombe 1836, Mbuzi 881Bna

Nguruwe 176 wamechinjwa na kukaguliwa. Aidha hatua mbalimbali zimechukuliwa kwa

mnyama/viungo vilivyoonekana havifai kwa matumizi ya binadamu. Jumla ya ngozi za

ng’ombe 1836 na mbuzi 881 zimesindikwa kwa kutumia chumvi.

Kuku/mayai: Jumla ya kuku wa kienyeji 11,847 wameuzwa kwa wastani wa Tshs

13,000/=

MAZIWA: Jumla ya lita 21,920 za maziwa zimezalishwa na kuuzwa kwa wakazi wa Mpanda

kwa wastani wa Tshs 1000/=kwa lita.

c.Uogeshaji.

Jumla ya Ng’ombe 8734, mbuzi 761, kondoo 113 na mbwa 50 wamenyunyiziwa dawa kwa

kipindi chote cha mwezi Oktoba hadi Desemba. Pia jumla ya Ng’ombe 234 wameogeshwa

katika josho la mtu binafsi iliopo kata ya misumnkumilo kitongoji cha Itogolo.

d.Maduhuli yatokanayo na usafirishaji wa mifugo.

Kwa kipindi chote cha miezi mitatu jumla ya Ng’ombe 304 wamesafirishwa, Kati ya hao

Ng’ombe 265 wamesafirishwa ndani ya Wilaya na Ng’ombe 39 wamesafirishwa nje ya Mkoa.

Aidha jumla ya Tshs 365,500/= zimekusanywa kutokana na usafirishaji huo.

iv.Kitengo cha uvuvi:

• Ukaguzi wa maduka ya samaki wabichi ili kuhakikisha miundombinu sahihi inakuwepo

kwa ajili ya afya ya wateja.

• Kutoa leseni za biashara ya samaki kwa wafanyabiashara 20 wa samaki

• Kuendesha zoezi la kuzuia uuzaji holela wa samaki wabichi mitaani.

Page 30: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA …€¦ · 3.Ndg.Mail Komba 4.ASP.Albert L.Beda 5.Ndg.Revocatus G. Ngomeni 6.Ndg.Jumbe Msekula 7.Ndg.Mary Ngomalufu 8.Ndg. Fulgence

30

• Kutoa elimu ya ufugaji samaki kwa wafugaji wa samaki 35 katika kata za Nsemulwa,

Shanwe, Makanyagio, Kawajense, Mwamkulu na Kashaulili.

v.Ufugaji wa samaki:

Jumla ya kilo 133.7 za samaki aina ya Sato na kilo 37 za samaki aina ya kambale zilivuliwa

kwenye mabwawa binafsi 44. Wastani wa bei ya kilo moja ya samaki waliovuliwa ni Tshs

6,000/=

Baada ya kuwasilishwa taarifa hiyo Mkutano wa Baraza la Madiwani ulitaka kufahamu mambo

yafuatayo;

i) Upi ni Mpango mkakati wa Halmashauri wa kudai wadaiwa sugu wa feha za mikopo ya

vikundi vya wanawake na vijana.

Kwa niaba ya Mwenyekiti wa Kamati, Mkuu wa Idara ya Maendeleo ya Jamii alitoa

ufafanuzi kuwa Halmashauri imeendelea kuwafuatilia wadaiwa sugu wa madeni hadi

kufikia tarehe ya mkutano madeni yalikuwa yamepungua kutoka

Tshs.25,389,500.00 zilizokuwa zinadaiwa hadi kufikia Tshs:8,550,030.00

ii) Ni lini chakula kitaanza kutolewa kwa wagonjwa katika Hospitali ya Manispaa ya

Mpanda.

Ufafanuzi ulitolewa kuwa zoezi la utoaji wa chakula katika hospitali ya Manispaa ya Mpanda

litaanza pindi fedha za uendeshaji wa zoezi hilo zitakapopatikana.

d) TAARIFA YA KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI

Mwenyekiti wa kamati ya Kudhibiti UKIMWI aliwasilisha taarifa ifuatayo; a)TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA MRADI WA UKIMWI KWA KIPINDI CHA OKTOBA HADI DESEMBA 2016 KATIKA HALMASHAURI YA MANISPAA MPANDA. Katika kipindi hiki cha mwezi Oktoba hadi Desemba 2016 tumetekeleza shughuli zifuatazo:

Kutembelea watu wanaoishi na maambukizi majumbani, Kutoa elimu ya lishe kwa watu

wanaoishi na maambukizi, kutoa elimu ya kukuza na kongeza kipato, kutoa mafunzo ya

watoa huduma (CHBC), Kufuatilia wateja walio potea kwenye huduma ya tiba (LTFU) na

kuwarudisha kwenye huduma, Kufanya vikao kila mwezi na CHBC na kufanya huduma ya

ushauri nasaha.

(a) kuwatembelea watu 913 wanaoishi na maambukizi na kuwapatia huduma mbalimbali;

kama ufuasi mzuri wa matibabu, huduma za kimwili, huduma za kisaikologia pamoja

na huduma za kiroho Tshs. 19,350,000.

(b) Tumefanikiwa kutafuta wateja 148 na kurudisha wateja 46 kwenye huduma za tiba na

matunzo ambapo zilitumika Tshs.Tshs. 230,000/=

(c) Kuendesha vikao vya watoa huduma za VVU na UKIMWI kila mwezi (HBC PROVID-

ERS) ambapo zilitumika Tshs.1,050,000/=

Page 31: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA …€¦ · 3.Ndg.Mail Komba 4.ASP.Albert L.Beda 5.Ndg.Revocatus G. Ngomeni 6.Ndg.Jumbe Msekula 7.Ndg.Mary Ngomalufu 8.Ndg. Fulgence

31

(d) Kutoa mafunzo ya uendeshaji wa vikundi vya kukuza uchumi kwa wawakilishi 5

kutoka kwenye vikundi vitano ambapo zilitumika Tshs. 375,000/=

b) TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA MRADI WA MAPAMBANO DHIDI

YA VVU/UKIMWI KWA KIPINDI CHA MIEZI MITATU (OKTOBA HADI DESEMBA

2016) CHINI YA WAFADHILI

Katika kipindi cha Oktoba – Disemba 2016 Idara ya afya kwa kushirikiana na wadau

mbalimbali katika mapambano dhidi ya VVU/KIMWI ilmetekeleza shughuli zifuatazo;

i) UPIMAJI WA VVU KWA HIARI(HTC)

Katika kipindi cha mwezi Oktoba - Desemba 2016 jumla ya watu 9,875 waliopimwa kati yao

wanawake 5,681 na wanaume 4,194 ambapo wanawake 295 na wanaume 219 waligundulika

na Maambukizi ya VVU.

ii) HUDUMA YA TIBA NA MATUNZO .

Wateja waliopimwa na kubainika kuwa na maambukizi ya VVU walipewa rufaa kwenda katika

vituo vya huduma tiba na matunzo ambapo waliweza kusajiliwa na kuandikishwa pamoja na

kuchunguzwa na kuwatathmini kama wanastahili kuanzishiwa dawa za kupunguza makali ya

VVU au kupewa dawa za kuzuia magonjwa nyemelezi ambapo wateja 430 waliandikishwa

kati yao 156 wanaume na 274 wanawake.

iii) DAWA ZA KUPUNGUZA MAKALI YA VVU

Kwa kipindi cha Oktoba – Desemba 2016 jumla ya wateja walioanzishiwa dawa za

kupunguza makali ya Virusi vya UKIMWI ni 443 kati yao 158 ni wanaume na 285 ni

wanawake

iv) HUDUMA ZA KUZUIA MAAMBUKIZI YA VVU TOKA KWA MAMA KWENDA KWA

MTOTO (PMTCT)

Jumla ya watoto 108 walizaliwa na mama wenye VVU na watoto waliopima VVU ni 104

v) HUDUMA YA TOHARA KWA WANAUME

Tohara kwa wanaume ilifanyika kwa lengo la kuzuia maambukizi ya VVU katika ngazi ya jamii.

Huduma mkoba katika kata ya kakese, Kituo cha Afya Mwangaza na Mpanda Hospital

Jumla ya wateja waliofanyiwa tohara ni 2,471.

Baada ya taarifa kuwasilishwa mkutano wa Baraza uliagiza kuwa kila kata ihakikishe inafanya

vikao vya kujadili masuala ya Kudhibiti UKIMWI.

MUHT: MMC/BARAZA/02/2016/2017:Agd :07 TAARIFA ZA UTEKELEZAJI WA

SHUGHULI KUTOKA KWENYE KATA

Taarifa za utekelezaji wa shughuli kutoka kwenye kata hazikuwasilishwa kutokana na baadhi

ya kata kutokamilisha taarifa zake.

Iliagizwa taarifa hizo zisomwe kwenye Mkutano ujao.

MUHT:MMC/BARAZA/02/2016/2017:8: TAARIFA KUTOKA KWA WANANCHI.

Mwananchi alitaka kufahamu ni lini mafundi seremala waliopo maeneo ya Pasifiki katika Mtaa

wa Majengo watahamishiwa eneo lililotengwa maalum kwa ajili ya kazi zao.

Page 32: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA …€¦ · 3.Ndg.Mail Komba 4.ASP.Albert L.Beda 5.Ndg.Revocatus G. Ngomeni 6.Ndg.Jumbe Msekula 7.Ndg.Mary Ngomalufu 8.Ndg. Fulgence

32

Mkurugenzi alitoa ufafanuzi kuwa suala la kuwahamisha wajasiliamali kutoka katika maeneo

yasiyo rasmi wakiwemo mafundi seremala kwenda maeneo yaliyotengwa rasmi yaani

Misunkumilo zoezi la kukamilisha miundombinu linaendelea vizuri.

Hadi kufikia tarehe 28/02/2017 mafundi Seremala wote wanatakiwa wawe wamehamia

Misunkumilo.

MUHT: MMC/BARAZA/02/2016/2017:9: MENGINEYO KWA IDHINI YA

MWENYEKITI

Mwenyekiti alitoa maelezo kuwa wananchi wanaohodhi viwanja pasipo kuviendeleza

wanatakiwa kuviendeleza mapema kabla viwanja hivyo havijarejeshwa kwa mujibu wa

sheria.

MUHT: MMC/BARAZA/02/2016/2017:10: KUFUNGA MKUTANO

Katibu aliwashukuru wajumbe kwa ushiriki wako katika Mkutano. Baadaye alimkaribisha

Mwenyekiti ambaye kabla ya kufunga Mkutano alisisitiza mambo yafuatayo; watendaji

kutekeleza maagizo mbalimbali yanayotolewa na Baraza la Madiwani, kila mmiliki wa nyumba

ambaye ana umeme ahakikishe anaweka taa ya nje kwa ajili ya ulinzi, wananchi wazingatie

suala la usafi na upandaji miti.

Baada ya maelezo hayo aliwashukuru wajumbe na wananchi wote waliohudhuria Mkutano.

Alifunga mkutano mnamo saa 08.44 Mchana.

Umethibitishwa na kusainiwa na:-

…………………………… ……………………………..

KATIBU MWENYEKITI

Jina………………………….. Jina………………………

Tarehe………………………………….

Page 33: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA …€¦ · 3.Ndg.Mail Komba 4.ASP.Albert L.Beda 5.Ndg.Revocatus G. Ngomeni 6.Ndg.Jumbe Msekula 7.Ndg.Mary Ngomalufu 8.Ndg. Fulgence

33

YATOKANAYO NA UTEKELEZAJI WA MAAGIZO YA MKUTANO WA PILI WA BARAZA LA MADIWANI LA TAREHE

31/01/2017

AGENDA

AGIZO MTEKELEZAJI UTEKELEZAJI

USHURU WA CHOO CHA STENDI YA MABASI Mkurugenzi awasilishe mapitio ya Mkataba wa ushuru wa choo

Mkurugenzi wa Manispaa Mpanda

Agizo limetekelezwa, mkataba umeandaliwa ataanza kulipa mwezi Aprili 2017, Tsh 500,000.

MICHANGO YA UTENGENEZAJI WA MADAWATI Iandaliwe taarifa yenye Mchanganuo wa uchangiaji wa Madawati unaonesha Madawati mangapi yaliyotengenezwa , watu wangapi waliochangia na Mgawanyo wa Madawati ulivyofanyika.

Mkurugenzi wa

Manispaa

Mpanda

Agizo limezingatiwa taarifa imeambatishwa

UJENZI WA ZAHANATI YA MWAMKULU i.Kwenye kamati ya fedha

iwasilishwe taarifa ya lini mradi

wa kujenga zahanati ya

Mwamkulu utakamilika.

Mkurugenzi wa

Manispaa

Mpanda

Agizo limezingatiwa Taarifa imewasilishwa kwenye kikao cha fedha na Utawala cha tarehe 19.04.2017

ii.Iaandaliwe na kuwasilishwa

kwenye Baraza la Madiwani

taarifa ya utekelezaji wa ujenzi

wa zahanati ya Mwamkulu

Mkurugenzi wa

Manispaa

Mpanda

Agizo limezingatiwa Taarifa imeambatishwa

UPUNGUFU WA WATUMISHI Mkurugenzi wa Agizo limezingatiwa ambapo Mkoa

Page 34: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA …€¦ · 3.Ndg.Mail Komba 4.ASP.Albert L.Beda 5.Ndg.Revocatus G. Ngomeni 6.Ndg.Jumbe Msekula 7.Ndg.Mary Ngomalufu 8.Ndg. Fulgence

34

WALIOPO IDARA YA MIPANGO MIJI, ARDHI NA MALIASILI Mkurugenzi afuatilie kwa Katibu Tawala Mkoa kuhusu kuazimwa/kupangiwa watumishi kutoka Halmashauri nyingine zilizopo kwenye Mkoa wa Katavi zenye watumishi wa Idara hiyo.

Manispaa

Mpanda

umeshauri kuwasiliana na OR-TAMISEMI. Aidha, Mkurugenzi amewasiliana na OR-TAMISEMI kupitia barua yenye KUMB:KTV/MMC/S.20/1/28 ya tarehe 29/12/2016 ambayo Mhe.Meya wa Halmashauri ya Manispaa ya Mpanda alifanya ufuatiliaji na tayari Katibu Mkuu OR-TAMISEMI amehamishia watumishi 03.

Page 35: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA …€¦ · 3.Ndg.Mail Komba 4.ASP.Albert L.Beda 5.Ndg.Revocatus G. Ngomeni 6.Ndg.Jumbe Msekula 7.Ndg.Mary Ngomalufu 8.Ndg. Fulgence

35

KIAMBATA 01: UCHANGIAJI WA MICHANGO YA UTENGENEZAJI WA MADAWATI

Shule za Msingi

S/NA HALMASHAURI KATA MCHANGO

IDADI YA WACHANGIAJI

MADAWATI MGAWANYO KISHULE

WAHISANI HALMASHAURI

1 MPANDA MC ILEMBO 700,000.00 38 99 ILEMBO 99 99

2 MWAMKULU 700,000.00 307 MWAMKULU 46 20 26

MKOKWA 1O8 18 90

KABWAGA 114 84 30

KAMAKUKA 39 39

3 MAKANYAGIO 941,000.00 22 120 KATAVI 120

4 MAJENGO 1,440,000.00 6 120 AZIMIO 60 34 26

MAJENGO 60 2 58

5 KAKESE 1,500,000.00 SERIKALI YA KIJIJI 79 KAKESE 19 9 10

KAWANZIGE 60 10 50

MBUGANI 40 ( STOO)

6 MAGAMBA 250,000.00 6 175 DIRIFU 39 39

MAKONGOLO 44 3 41

MTAKUMBUKA 33 10 23

MAGAMBA 59 59

7 NSEMULWA 480 NSEMULWA 480 480

8 U/NDEGE 1,084,000.00 90 KASIMBA 90 90

9 KASHAULILI 1,600,000.00 6 179 UHURU 85 85

KASHAULILI 48 48

MWANGAZA 46 6 40

10 MPANDA HOTEL 1,000,000.00 1 63 MPANDA 31 6 25

MUUNGANO 32 7 25

11 SHANWE 2,556,000.00 249 KIVOKONI 27 2 25

MAKANYAGIO 222 8 117

SHANWE

Page 36: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA …€¦ · 3.Ndg.Mail Komba 4.ASP.Albert L.Beda 5.Ndg.Revocatus G. Ngomeni 6.Ndg.Jumbe Msekula 7.Ndg.Mary Ngomalufu 8.Ndg. Fulgence

36

12 KASOKOLA 100 KASOKOLA 60 20 40

MANGA 20 20

SUNGAMILA 20 20

13 KAZIMA 1,630,000.00 51 76 MKAPA 76 76

14 MISUNKUMILO 375,000.00 31 161 MISUNKUMILO 86 86

MILALA 5 5

NSAMBWE 70 70

15 KAWAJENSE 1 ,335,000 171 MSAKILA 75 75

MIZENGO PINDA 66 66

NYERERE 30 30

TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA UJENZI WA ZAHANATI YA MLIMA KIPALA MPAKA TAREHE 27/03/2017

S/

N.

Jinala

mradi

Fedha

tengwa

Fedha

idhinishw

a

Fedha

letwa

Fedha ya

mradi

Fedha

tumika

Fedha salia Mchango

wa Jamii

Utekelezaji Kazi ambazo

hazijakamilika

1. Ujenzi wa

zahanati ya

Mlima

Kipala

83,657,952.

00

82,617,912

.00

72,978,444

.00

64,869,728.

00

39,679,719.

50

25,190,008.

50

7,923,312.

00

1: Kujenga

Msingi

2: kujenga boma

3: Kupaua

4: Kupiga

lipu ndani na nje

5:

Kupachika

njia za

umeme

1.Kupachika

madirisha na milango

2: Kusuka dari

3: Kufunga

umeme

4: Kununua sola

5: Kununua vifaa vya

Zahanati

6: Kujenga choo

Page 37: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA …€¦ · 3.Ndg.Mail Komba 4.ASP.Albert L.Beda 5.Ndg.Revocatus G. Ngomeni 6.Ndg.Jumbe Msekula 7.Ndg.Mary Ngomalufu 8.Ndg. Fulgence

37

CHANGAMOTO ZILIZO JITOKEZA:

1: Ramani iliyofanyiwa makisio ya gharama za mradi kuwa ndogo kuliko iliyoletwa fedha na kufanya kila hatua ya mradi kuwa na ongezeko la mahitaji ya vifaa na ongezeko la kiasi cha Tsh 25,690,600.00.

2: Mafundi kutotekeleza kwa wakati.

UTATUZI WA CHANGAMOTO:

1: Halmashauri imekubali kuongeza kiasi kilichoongezeka ili mradi uweze kukamilika.

Page 38: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA …€¦ · 3.Ndg.Mail Komba 4.ASP.Albert L.Beda 5.Ndg.Revocatus G. Ngomeni 6.Ndg.Jumbe Msekula 7.Ndg.Mary Ngomalufu 8.Ndg. Fulgence

38

TAARIFA YA KAMATI YA FEDHA NA UTAWALA KWENYE MKUTANO WA TATU WA BARAZA

LA MADIWANI KWA MWAKA WA FEDHA 2016/2017 CHA TAREHE 25/04/2017

Mheshimiwa Mwenyekiti,

Kamati ya Fedha na Utawala kwa kipindi cha Januari hadi Machi, 2017, iliketi vikao vitatu (3) kama

ifuatavyo;

Kikao cha kwanza kwenye robo hii kiliketi tarehe 19/01/2017 na kuthibitishwa tarehe 16/02/2017

Kikao cha pili kiliketi tarehe 16/02/2017 na kuthibitishwa tarehe 24/03/2017

Kikao cha tatu kiliketi tarehe 24/03/2017 na kuthibitishwa tarehe 18/04/2017

Kwa kipindi cha Januari hadi Machi, 2017, Kamati ya Fedha na Utawala ilipokea, ilijadili na kupitisha

taarifa mbalimbali za kiutendaji kutoka kwa Watendaji wa Halmashauri yako. Aidha, katika kipindi hicho

Kamati ilitoa maagizo, mapendekezo na ushauri kuhusu utekelezaji wa shughuli mbalimbali za miradi ya

maendeleo na namna bora ya utendaji katika utekelezaji wa shughuli za Halmashauri kama ifuatavyo:-

1.TAARIFA YA MAPATO NA MATUMIZI KWA KIPINDI CHA MWEZI JANUARI HADI MACHI

2017

a.MAPATO

Kwa kipindi cha mwezi wa Januari hadi Machi 2017 Halmashauri ya Manispaa ya Mpanda ilipokea

shilingi 4,429,949,052.52 toka serikali kuu na makusanyo mbalimbali ya fedha za ndani kwa

mchanganuo ufuatao;

i. Mwezi Januari 2017………………………………………..Tshs.1,614,712,901.72

ii. Mwezi Februari 2017…………………………………….Tshs.1,282,598,513.34

iii. Mwezi Machi 2017…………………………………..……Tshs.1,532,637,637.46

Jumla ……………………………………………………….Tshs. 4,429,949,052.52

a. MATUMIZI Kwa kipindi cha mwezi wa Januari hadi Machi 2017Halmashauri ya Manispaa ya Mpanda ilitumia

shilingi 4,190,080,769.33 katika matumizi mbalimbali kwa mchanganuo ufuatao;

i. Mwezi Januari 2017………………………………………..Tshs.1,270,750,931.61

ii. Mwezi Februari 2017……………………………………. Tshs.1,350,255,622.13

iii. Mwezi Machi 2017…………………………………………Tshs.1,569,074,215.59

Jumla Tshs. 4,190,080,769.33

TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA MIRADI YA MAENDELE0 KWA KIPINDI CHA

JANUARI - MACHI 2017

Mheshimiwa Mwenyekiti,

Page 39: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA …€¦ · 3.Ndg.Mail Komba 4.ASP.Albert L.Beda 5.Ndg.Revocatus G. Ngomeni 6.Ndg.Jumbe Msekula 7.Ndg.Mary Ngomalufu 8.Ndg. Fulgence

39

Katika bajeti ya mwaka wa fedha 2016/2017 Halmashauri ya Manispaa Mpanda imekisia kutumia

Tshs 8,627,252,000.00 kwa ajili ya utekelezaji wa miradi ya maendeleo sawa na asilimia 39.43 ya

bajeti ya Halmashauri ya Tshs 21,882,670,000.00. kwa mchanganuo ufuatao;

Chanzo cha Fedha Kiasi (TSHS.)

Mapato ya Ndani .............................................................................. 1,214,106,000.00

Mfuko wa Barabara .......................................................................... 1,343,510,000.00

Programu ya Maji Kitaifa (NWSSP)........................................................ 380,000,000.00

Mfuko wa Jimbo .................................................................................... 28,816,000.00

Ruzuku ya Maendeleo (LGCDG/DADPs/MMAM) ...................................... 419,219,000.00

Miradi ya Benki ya Dunia Kuendeleza Miji (ULGSP) ............................. 4,248,565,000.00

TASAF ................................................................................................ 366,012,000.00

Miradi ya UKIMWI (NMSF) ....................................................................... 6,014,000.00

Programu ya Maji Vijijini (RWSSP) ....................................................... 190,973,000.00

Programu ya Maendeleo Sekta ya Kilimo (ASDP) ................................... 430,037,000.00

Jumla Kuu Miradi ya Maendeleo (TSHS.) 8,627,252,000.00 Halmashauri ya Manispaa ya Mpanda Mpaka kufikia tarehe 30 Machi, 2017 ilikuwa imekusanya Tshs

1,542,916,156.01 sawa na 76% ya makisio kwa Mwaka 2016/2017. Kwa kipindi cha Januari -

Machi imekusanya Jumla ya Tshs 562,998,792.29 kutoka vyanzo vyake vya ndani sawa 112% ya

makisio. Aidha katika kipindi tajwa ruzuku ya Serikali kuu iliyopokelewa ni Tshs 4,489,192,553.52

hivyo kufanya Jumla ya Mapato kuwa Tshs 5,052,191,345.81

Halmashauri kwa kipindi tajwa ilikuwa imetumia Tshs. 4,151,321,988.82 sawa na 19.15% katika

kutekeleza shughuli mbalimbali za Miradi ya Maendeleo, kati ya hizo kiasi cha Tshs.

385,064,393.28 sawa na 76.12% ni mchango wake wa mapato ya ndani kwenda kutekeleza Miradi

ya maendeleo.

3.TAARIFA YA MANUNUZI YA ROBO YA TATU YA MWAKA WA FEDHA 2016/2017.

Mheshimiwa Mwenyekiti,

Kamati ilipokea taaifa ya manunuzi ya robo ya tatu ambayo ilikuwa na taarifa zifuatazo;

1) vikao vya Bodi ya Zabuni

Kwa Kipindi cha robo ya Tatu Bodi ya Zabuni imekaa vikao na kutoa maamuzi yake kama ifuatavyo:-

i) Tarehe 17/01/2017, Bodi ya Zabuni ilipitia na kuupitisha muhtasari wa Bodi ya Zabuni wa tarehe

05/12/2017 uliokua unazungumzia Ujenzi wa Barabara kwa kiwango cha lami Mpanda Mjini 7.7km,

Pamoja na kupitisha manunuzi mbalimbali.

ii) Tarehe 15/02/2017 Bodi ya Zabuni ya Manispaa Mpanda ilikaa na kupitisha yafuatayo:-

Page 40: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA …€¦ · 3.Ndg.Mail Komba 4.ASP.Albert L.Beda 5.Ndg.Revocatus G. Ngomeni 6.Ndg.Jumbe Msekula 7.Ndg.Mary Ngomalufu 8.Ndg. Fulgence

40

1. Tangazo na Nyaraka kwa ajili ya Ujenzi wa Barabara za lami zenye urefu wa KM 7.7 katika

Manispaa ya Mpanda.

2. Mzabuni atakaye kusanya Ushuru wa Maegesho katika Halmashauri ya Manispaa ya Mpanda

kwa kipindi cha Machi – Desemba 2017.

3. Ujenzi wa kituo cha vijana na Wanawake Misunkumilo.

4. Ujenzi wa Msingi wa hostel ya Sekondari ya Rungwa. 5. Tangazo na nyaraka za kotesheni za ukarabati wa Zahanati kama ifuatavyo:-

• Kufunga mfumo wa uvunaji wa maji ya mvua na ununuzi wa Sim tank 02 zenye ujazo wa lita 5000 Zahanati ya Mwamkulu.\

• Uwekaji wa Solar Power 01, Sim Tank 02 zenye ujazo wa lita 5000 pamoja na kukamilisha ujenzi wa wodi ya wazazi-Zahanati ya Kakese.

• Kumalizia ujenzi wa kituo (Kuezeka, Milango, Rangi, Madirisha, Choo na Bafu) -Zahanati ya Milala.

• Ujenzi wa choo na utengenezaji wa samani – Zahanati ya Mtakumbuka. iii) Tarehe 10/03/2017 bodi ilikaa na kutunuku zabuni za matengenezo ya barabara lot 1-7 kwa mwaka wa fedha 2016/2017. Pia katika Robo ya Tatu ya mwaka wa fedha 2016/2017 Bodi ya Zabuni ilipitisha maamuzi mbalimbali

kwa njia ya Waraka unaozunguka kama ifuatavyo.

Na Tarehe Maelezo

1. 06/01/2017 Ununuzi wa mfumo wa GOTHOMIS katika Hospitali ya Manispaa ya Mpanda.

2. 13/01/2017 Ununuzi wa dawa na vifaa tiba kwa ajili ya vituo vya Afya, Zahanati na Hospitali kwa gharama ya Tshs 41,665,900/=

3. 30/01/2017 Ilipitisha tangazo na nyaraka kwa ajili ya kumpata mkandarasi wa ujenzi wa Skimu ya umwagiliaji Kakese.zabuni NO.LGA.101/2014/2015/IRR/W/02

4. 08/02/2017 • Manunuzi ya vifaa vya kuingiza Maji ya Ikolongo katika Jengo la Makao Makuu ya Ofisi ya Manispaa.

• Manunuzi ya Vifaa kumi vya kukusanyia Mapato (Set of Smart phones and Thermal Printer)

• Ununuzi wa Madawati. • Kupitisha taarifa ya Timu ya Tathimini kuhusu Ubinafsishaji

wa Uzoaji na Udhibiti wa taka katika Maeneo ya Manispaa ya Mpanda.

• Ujenzi wa kibanda cha mlinzi ofisi ya Manispaa Mpanda.

Page 41: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA …€¦ · 3.Ndg.Mail Komba 4.ASP.Albert L.Beda 5.Ndg.Revocatus G. Ngomeni 6.Ndg.Jumbe Msekula 7.Ndg.Mary Ngomalufu 8.Ndg. Fulgence

41

5. 14/02/2017 Ilitunuku ununuzi wa kazi ya ujenzi wa vibanda vidogo vya wajasiriamali Misunkumilo.

6. 21/02/2017 Ilitunuku ununuzi wa kazi ya ujenzi wa Choo na ukarabati wa Zahanati ya Milala na ujenzi wa Choo Zahanati ya Mtakumbuka.

7. 23/02/2017 Ilipitisha ongezeko la bei ya chakula Mkataba Na.LGA.101/2016/2017/CQ/04 na kupitisha tangazo na nyaraka za kumpata mzabuni atakaye sambaza vifaa vya kukusanyia mapato (Complete POS).

8. 20/03/2017 Kumpitisha Mzabuni kwa ajili ya kuleta vifaa 40 vya kukusanyia Mapato (Complete Pos) na kumpitisha Mkandarasi wa Ujenzi wa kibanda cha mlinzi kilichopo katika Ofisi ya Halmashari ya Manispaa ya Mpanda

2) Mikataba iliyo sainiwa

Manispaa kwa kipindi cha robo ya tatu imesaini mikataba ifuatayo:-

Na Jina la Mkataba Mkandarasi/Mtaalamu Mshauri

Thamani ya Mkataba(Tshs)

1 Mkataba wa ujenzi wa vibanda vidogo vya wajasiriamali Misunkumilo.Na.LGA.101/2016/2017/CQ/W/05

Ms Kalabash Construction & General Supply, P.O.Box 114 , SUMBAWANGA.

21,399,770.00

2 Mkataba wa ujenzi wa Choo na ukarabati wa Zahanati ya Milala Na.LGA.101/2016/2017/CQ/W/06

Ms Kalabash Construction & General Supply, P.O.Box 114 , SUMBAWANGA.

28,281,000.00

3. Mkataba wa ujenzi wa Choo Zahanati ya Mtakumbuka Na.LGA.101/2016/2017/CQ/W/07

Ms Kalabash Construction & General Supply, P.O.Box 114 , SUMBAWANGA.

9,917,500.00

3)Ununuzi kwa Robo ya Tatu kwa njia ya LPO Manispaa kwa kipindi cha Robo ya Tatu ilifanya Manunuzi ya kila Idara kwa njia ya LPO kama ifuatavyo:

NA IDARA KIASI CHA FEDHA

1 UTAWALA 24,884,416.50

Page 42: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA …€¦ · 3.Ndg.Mail Komba 4.ASP.Albert L.Beda 5.Ndg.Revocatus G. Ngomeni 6.Ndg.Jumbe Msekula 7.Ndg.Mary Ngomalufu 8.Ndg. Fulgence

42

2 IDARA YA KILIMO 1,037,574.00

3 IDARA MIPANGO 5,661,078.00

4. ELIMU MSINGI 5,813,150.00

5. IDARA YA MAJI 518,358.00

6. IDARA YA UJENZI 5,137,066.00

7. IDARA YA AFYA 53,765,991.00

JUMLA 96,817,633.5

4.TAARIFA YA UKAGUZI WA NDANI KWA KIPINDI CHA JANUARI HADI MACHI 2017.

Mheshimiwa Mwenyekiti

kamati ilipokea na kupitisha taarifa ya ukaguzi wa ndani katika kipindi cha robo ya tatu yenye taarifa

zifuatazo;

i) YATOKANAYO NA HOJA ZA USHAURI ULIOPITA.

Kumekuwa na uchelewashaji wa kujibu hoja zinazotolewa na Mkaguzi wa Ndani. Hali halisi ya hoja ni

kama ifuatavyo:

Tarehe Aina ya

Ripoti

Hoja Ushauri Hali ya

utekelezaji

14/01/2014 IAR for

OCT-DEC

2013

Fedha ambazo hazi-

jawasilishwa na

Mawakala

Tshs.3,710,000/=

Menejimenti ihakikishe

fedha hizi zi-

nawaswilishwa.

Haijatekelezwa.

Mwekahazina

ameandikiwa ba-

rua ya kujieleza

kumb,na

KTV/PF/137/4 ya

4/10/2016.kwa ku-

shindwa kuchukua

hatua stahiki.

14/01/2014 IAR for

OCT-DEC

2013

Tozo la riba (5%)

kwa kutokuwasilisha

Mapato kwa wakati

Tshs 3,105,000/=

Mawakala wawasilishe

fedha

Haijatekelezwa.

Mwekahazina

ameandikiwa ba-

rua ya kujieleza

Page 43: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA …€¦ · 3.Ndg.Mail Komba 4.ASP.Albert L.Beda 5.Ndg.Revocatus G. Ngomeni 6.Ndg.Jumbe Msekula 7.Ndg.Mary Ngomalufu 8.Ndg. Fulgence

43

kumb

KTV/PF/137/4 ya

4/10/2016.kwa ku-

shindwa kuchukua

hatua stahiki.,

15/07/2014 IAR for

APR-

JUNE

2014

Fedha iliyokopwa

kutoka Akaunti moja

kwenda nyingine

Tshs 55,000,000/=

Menejimenti ihakikishe

fedha zinarejeshwa

katika Akaunti husika

Haijatekelezwa

15/07/2015 IAR for

APR-

JUNE

2015

Mkopo

ths.82,290,000/

uliochukuliwa kutoka

katika akaunti ya

Amana bila jitahada

za kuzirejesha.

Menejimenti ihakikishe

fedha zinarejeshwa

katika Akaunti husika ili

kutekeleza kazi iliyoku-

sudiwa

Imetekelezwa

kwa ki-

asi.Zimebaki

ths.21,690,000/=

15/07/2015 IAR for

APR-

JUNE

2015

Fedha za fidia am-

bazo hazijalipwa

kwa walengwa

Tshs.2,368,980/=

Menejimenti ihakikishe

fedha hii ambayo haiku-

lipwa kwa walengwa

inarejeshwa benki

Hoja Ime-

tekelezwa kwa

kiasi

tsh.1,951,680/kupi

tia. stk

Na113721.BADO

muhusika ha-

jawasilisha

ths.417,300/=.ziliz

obaki zitakatwa

katika madai yake

ya disturbance al-

lowance Mhusika

ameearifiwa

KTV/MMC/R.30/04

/59.

Page 44: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA …€¦ · 3.Ndg.Mail Komba 4.ASP.Albert L.Beda 5.Ndg.Revocatus G. Ngomeni 6.Ndg.Jumbe Msekula 7.Ndg.Mary Ngomalufu 8.Ndg. Fulgence

44

10/10/2015 IAR for

JUL-SEPT

2015

5:3:3

Mtumishi kutoku-

lipwa “Outfit Allow-

ance” na malipo

mengine ya safari ya

nje tokea 2014.

Tshs.10,068,480./=

Menejimenti iangalie hali

hii ya kutokutendewa

haki kwa Mtumishi huyu

ambaye aliliwakilisha

Taifa nje ya Nchi.

Imetekelezwa

kwa kiasi.

Ths.5,500,000/=

zimelipwa kupitia

hundi 00629,

006402 na 006536

01/06/2015 IAR for

JAN-

MARCH

2015

5.5.4

Malipo ya Tshs

2,173,710 yalilipwa

bila taarifa ya

mthamini

Menejimenti ioneshe

uthibitishio wa taarifa ya

mthamini vinginevyo

fedha hizi zinatakiwa

zirejeshwe

Haijatekelezwa

13/04/2016 IAR for

JAN-

MARCH

2016

5.2.1.1

Mawakala

waliochelewesha

malipo hawajalipa

faini ya jumla ya

Tshs. 11,824,000

Menejimenti ihakikishe

faini ambayo haijalipwa

inalipwa kabla ya mi-

kataba kuvunjwa.

Haijatekelezwa

13/04/2016 IAR for

JAN-

MARCH

2016

5.2.1.3

Fedha ambazo hazi-

jawasilishwa na

Mawakala Tshs

128,740,000

Menejimenti ihakikishe

fedha ambazo

haijawasilishwa

zinalipwa kabla ya

mikataba kuvunjwa.

Imetekelezwa

kwa kiasi Jumla

ya Tshs

116,240,000/=

imeshalipwa Bado

Tshs 12,500,000/=

13/04/2016 IAR for

JAN-

MARCH

2016

5.2.1.4

Mkandarasi wa

Mgahawa hajalipa

malipo na faini kwa

muda wote wa

mkataba

Tshs.2,280,000/=

Menejimenti ihakikishe

fedha ambazo

haijawasilishwa

zinalipwa kabla ya

mikataba kuvunjwa

Haijatekelezwa

Page 45: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA …€¦ · 3.Ndg.Mail Komba 4.ASP.Albert L.Beda 5.Ndg.Revocatus G. Ngomeni 6.Ndg.Jumbe Msekula 7.Ndg.Mary Ngomalufu 8.Ndg. Fulgence

45

13/04/2016 IAR for

JAN-

MARCH

2016.

5.2,2.4

Eneo la ujenzi na

hati ya umiliki wa

soko la

kisasa(Kawajense)

bado

halijaidhinishwa na

Wizara

Ufuatiliaji wa karibu

ufanyike kuhakikisha

eneo linapimwa na hati

ya umiliki inapatikana

kabla ya mradi kuanza.

Imetekelezwa

kwa kiasi.Hati ya

umiliki kiwanja

imeandaliwa

inasubiri ku-

wasilishwa kwa

Kamishna wa

Kanda.

13/04/2016 IAR for

JAN-

MARCH

2016.

5.2.6

Mawakala

hawajalipia gharama

za vitabu vya

kukusanyia ushuru

Tshs 900,000/

Mawakala wote

waliochukua vitabu

wanatakiwa wafuatiliwe

ili walipe vitabu

walivyochukua.

Kuanzia sasa vitabu

visitolewe bila kulipiwa.

Haijatekelezwa

15/07/2016 IAR for

APR-JUN

2016

3.1.4

Barabara za

Manispaa Mpanda

kutokuwa na majina.

Mhandisi afanye jitihada

za kuzitambua Barabara

kwa majina.

Imetekelezwa

kwa kiasi. Kwa

msaada wa kifaa

maluum cha kom-

pyuta (DROMAS

SOFTWARE) wa-

taalam wameone-

sha mtandao wa

barabara zote

zilizopo kwa ku-

tumia GIS. Ramani

husika ime-

wasilishwa kwa

Mkaguzi.Hoja ita-

fungwa barabara

Page 46: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA …€¦ · 3.Ndg.Mail Komba 4.ASP.Albert L.Beda 5.Ndg.Revocatus G. Ngomeni 6.Ndg.Jumbe Msekula 7.Ndg.Mary Ngomalufu 8.Ndg. Fulgence

46

zitakapopewa ma-

jina baada ya vi-

kao vya kiutawala

vitakapoidhinisha.

15/07/2016 IAR for

APR-JUN

2016

3.2.1

Halmashauri

haijahamisha Fedha

za mradi wa

umwagiliaji kiasi cha

Tshs 42,485,546.86

Kiasi cha Tshs

42,485,546.86 ambacho

hakijahamishwa

kipelekwe katika akaunti

ya Mradi.

Haijatekelezwa

15/07/2016 IAR for

APR-JUN

2016

3.2.2

(c) Malipo yalifanywa

nje ya Mpango

Kazi na shughuli za

Mradi Tshs

2,835,000.00

Fedha kiasi Tshs

2,835,000.00

kirejeshwe katika

Akaunti ya Mradi.

Haijatekelezwa.

(d) Fedha ambazo

hazikulipwa kwa

walengwa tshs

2,205,000.00 kati

ya tshs.2,835,000

zilizochukuliwa.

Yatolewe maelezo fedha

hizi zilikwenda wapi,

vinginevyo zirejeshwe.

Haijatekelezwa

15/07/2016 IAR for

APR-JUN

2016

3.2.2.2

Malipo yenye shaka

ufungaji wa

mtandao wa

Intanenti

ths.7,114,OOO/=

Vifaa vya

tshs.1,415,000/=vimelipi

wa bila kufungwa.Afisa

husika aliyeidhinisha

malipo arejeshe fedha

husika.

Haijatekelezwa

15/07/2016 IAR for

APR-JUN

2016

Fedha za uthamini

wa Majengo

zilizotumika vibaya

Tshs 4,360,000.00

Vifaa vilivyolipiwa bila

kupokelewa Tshs

1,360,000.00

Haijatekelezwa.

Page 47: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA …€¦ · 3.Ndg.Mail Komba 4.ASP.Albert L.Beda 5.Ndg.Revocatus G. Ngomeni 6.Ndg.Jumbe Msekula 7.Ndg.Mary Ngomalufu 8.Ndg. Fulgence

47

Tshs 500,000.00

Fedha zilizotolewa bila

walengwa kulipa tshs

2,500,000.00

Fedha zirejeshwe.

15/07/2016 IAR for

APR-JUN

2016

Kodi ya huduma

iliyokatwa bila

kulipwa Akaunti ya

Halmashauri Tshs

525,726.16

Kiasi hicho kilipwe

kwenye akaunti ya

Halmashauri

Haijatekelezwa.

15/07/2016 IAR for

APR-JUN

2016

Fedha za Tahadhali

iliyokatwa katika

Malipo ya

Mkandarasi

haijahamishwa

katika akaunti ya

Amana Tshs

10,437,251.00

Fedha hiyo ihamishwe Haijatekelezwa.

15/07/2016 IAR for

APR-JUN

2016

Masulufu

yaliyotolewa kwa

watumishi

mbalimbali bila

kurejeshwa kiasi

Tshs 5,445,000.00

Marejesho yafanywe,

vinginevyo fedha hizo

zikatwe katika malipo ya

Mishahara yao.

Haijatekelezwa.

14/10/2016 IAR for

JUL-SEPT

2016

Kutokukamilika kwa

mradi wa Zahanati

ya Mwamkulu

Mratibu awashirikishe

wadau ili kupanga

mikakati ya kumaliza

ujenzi wa Zahanati

Haijatekelezwa

14/10/2016 IAR for Zahanati ya Mhandisi aende katika Haijatekelezwa

Page 48: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA …€¦ · 3.Ndg.Mail Komba 4.ASP.Albert L.Beda 5.Ndg.Revocatus G. Ngomeni 6.Ndg.Jumbe Msekula 7.Ndg.Mary Ngomalufu 8.Ndg. Fulgence

48

JUL-SEPT

2016

Mwamkulu

imejengwa kwa

ramani iliyokubwa

kuliko

iliyoidhinishwa.

eneo ili kutathimini

ongezeko la kazi na

kuwataarifu TASAF

makao makuu juu ya

ongezeko la gharama.

14/10/2016 IAR for

OCT-DEC

2016

Kutokutumika kwa

vifaa vya kuzimia

moto

Fire extinguisher

zifanyiwe services na

ziwekwe zinapostahili na

zisiwekwe chini kama

zilivyo sasa

Haijatekelezwa

14/10/2016 IAR for

OCT DEC

2016

Kukosa mafunzo

kwa watumiaji wa

vifaa vya kuzimia

moto

Kutolewe mafunzo ya

utumiaji wa fire extin-

guisher kwa watumishi

waliopo jengoni

Haijatekelezwa

13/01/2017 IAR for

OCT-DEC

2016

Masurufu ambayo

hayajarudishwa.

Tshs 1,960,000

-Muhusika alielipwa

Abdallah Towazi afanye

mrejesho wa masurufu

aliyochukua

-malipo yaliidhinishwa

bila kujulikana nini

kinaenda kufanyika.

- Mhusika awalishe

taarifa ya kazi

iliyofanyika.

-kazi za mradi zilipwe

na Kamati ya kijiji

ambayo ina fedha ya

mradi.

Hijatejelezwa

Page 49: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA …€¦ · 3.Ndg.Mail Komba 4.ASP.Albert L.Beda 5.Ndg.Revocatus G. Ngomeni 6.Ndg.Jumbe Msekula 7.Ndg.Mary Ngomalufu 8.Ndg. Fulgence

49

13/01/2017 IAR for

OCT-DEC

2016

Fedha zilizotumika

bila idhini ya Mkuu

wa Idara Tshs

3,720,000

Fedha zilirudishwe kwa

Kitengo cha Ukaguzi ili

kukiwezesha kufanya

kazi zake.

Haijatekelezwa

13/01/2017 IAR for

OCT-DEC

2016

Hati za malipo za

kila mradi kwenye

Akaunti ya Devel-

opment ziwekwe

kwenye jalada lake.

Kurahisisha ukaguzi na

utoaji wa taarifa

Haijatekelezwa.

Idara iliahidi ku-

tekeleza lakini

mpaka ukaguzi

unafanyika hamna

kilichofanyika.

13/01/2017 IAR for

OCT-DEC

2016

Makusanyo madogo

ya property tax

Manispaa iwasiliane na

TAMISEMI kujua nini

tutapata/mgawo wetu ,

kwakuwa TRA ndo

wanakusanya kwa sasa.

Haijatekelezwa.

13/01/2017 IAR for

OCT-DEC

2016

Bajeti ya mapato

iliyokosa uhalisia

-Kuwakumbusha

wafanyabiashara kulipia

leseni za biashara

-kufanya uhakiki

kuwatambua

wafanyabiashara

wanaofanya biashara

bila leseni

Imetekelezwa

kwa kiasi

-Wafanya biashara

walitangaziwa

walipie leseni.

-zoezi la uhakiki

lilifanyika kwa siku

moja tu na ku-

shindwa kuendelea

kutokana na

ukosefu wa ma-

kufuli na kukosa

ushirikiano toka

kwa Kitengo cha

biashara,

Page 50: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA …€¦ · 3.Ndg.Mail Komba 4.ASP.Albert L.Beda 5.Ndg.Revocatus G. Ngomeni 6.Ndg.Jumbe Msekula 7.Ndg.Mary Ngomalufu 8.Ndg. Fulgence

50

ii) YATOKANAYO NA UKAGUZI KATIKA KIPINDI CHA JANUARI HADI MACHI 2017.

Katika kipindi hiki cha Januari hadi Machi 2017, Kitengo cha Ukaguzi wa Ndani kilifanya kazi

mbalimbali za kusimamia Taratibu, Kanuni na Sheria kwamba zinafuatwa na kutoa ushauri katika

sehemu zilizokosa ufanisi/ kuwa na dosari kwa kadri ilivyoweza.

Baadhi ya kaguzi na shauri zilizotolewa ni kama ifuatavyo,

1. Kutokupata taarifa za kiutumishi za watumishi waliotoka Halmashauri za Mpanda na

Nsimbo.

Kitengo kilifanya ukaguzi katika baadhi ya majalada ya watumishi waliohamia kutoka Halmashauri za

Nsimbo na Mpanda, kutokana na kuongezewa maeneo ya Utawala baada ya kupata hadhi ya

Manispaa. Majalada yaliyokaguliwa ni ya watumishi wa Idara za Afya, Elimu Msingi na Sekondari

Kilimo na Utawala na kubaini mapungufu yafuatayo;

1. Kutokuwepo kwa taarifa za kiutumishi toka kwa Mkurugenzi wa Halmashauri wanazotoka.

2. Baadhi ya watumishi kutokufunguliwa majalada.

3. Majalada kutokuandikwa namba ya payroll (Check Namba).

4. Hakuna picha za watumishi katika majalada.

2. Kutelekezwa na kutokutumika kwa mashine ya kudurufu michoro ya ramani Ploter Ma-

chine iliyoko Idara ya Ardhi.

Mkaguzi wa ndani alitembelea Idara ya Ardhi na kubaini kuhusu mashine ya kudurufu ramani

iliyopatikana kwa fedha za Plot Development Revolving Fund tangu mwaka 2012.

Mkaguzi alibaini yafuatayo kuhusu mashine hiyo;

• Mashine haitumiki tangu 2013 kutokana na kukosa wino unaokisiwa kugharimu Tshs

2,500,000.

• Mashine iko katika chumba kisicho sahihi, hamna kiyoyozi na inapata vumbi.

• Kutokuwekwa katika daftari la kudumu la mali za Halmashauri na kukosa alama za

kuitambulisha kama inavyoelekezwa katika LAFM Na 63 (5) ya 2009. Pia kutokuwepo katika

kumbukumbu za vifaa vya idara kama inavyotajwa kwenye LAFM (2009) Na 63(1).

Athari ya kutokurekodiwa kifaa hiki na kutokuwekwa kwa alama za utambulisho Code ni uwezekano

wa kifaa kuchukuliwa bila kuwa na taarifa.

Page 51: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA …€¦ · 3.Ndg.Mail Komba 4.ASP.Albert L.Beda 5.Ndg.Revocatus G. Ngomeni 6.Ndg.Jumbe Msekula 7.Ndg.Mary Ngomalufu 8.Ndg. Fulgence

51

Ushauri.

1. Mashine hii ifanyiwe service na kupatiwa wino ili ifanye kazi.

2. Mashine iwekwe chumba maalum kama vifaa vingine vilivyopo GPS Room.

3. Mashine iwekewe Asset Identification code.

4. Mkuu wa idara aiingize mashine hii katika orodha ya vifaa vya Idara Inventory.

5. Mashine inatakiwa kuingizwa katika daftari la mali za kudumu za Halmashauri Fixed Asset

Register.

6. Gharama ya mashine ibainishwe kwa kurejea hati za mapokezi au nyaraka za manunuzi

vinginevyo Halmashauri itakuja kupata gharama za kumlipa mthamini ili kupata thamani ya

mashine hii.

Ushauri ulitolewa kupitia barua Kumb. Na.KTV/MMC/A.20/4/VOL II/57 ambapo pia Mkaguzi

alimkumbusha Mkurugenzi kuhakikisha anazilinda mali za Halmashauri kama LAFM Na 7(j)

inavyoelekeza na LAFM Na 8 (h) inayomhesabu Mweka Hazina kama mlinzi na msimamizi wa mali

za Halmashauri.

3, Mapokezi ya vifaa toka taasisi nyingine bila kuonyesha thamani ya fedha.

Katika barua yenye Kumbukumbu namba KTV/MMC/A.20/4/VOL IV/51 Mkaguzi alishauri kuhusu vifaa

vinavyopokelewa kutoka Wizarani na wadau mbalimbali kwa idadi bila kuonyesha thamani yake

kifedha.

Hali hii imewia vigumu katika utoaji wa taarifa za kifedha pia kuandika vifaa vilivyopokelewa katika

vitabu vya Halmashauri kwakuwa taarifa ya idadi na kiasi mdau alichofadhili kutokujulikana.

Vifaa vimekuwa vikipokelewa na kuingizwa katika leja za stoo bila kuingizwa katika taarifa za fedha.

4.Kukosa uthibitisho wa kupokelewa na kukaguliwa vifaa vya kazi vilivyonunuliwa katika

vikundi/mitaa kwa shughuli za miradi PWP (TASAF).

Halmashauri imefanya manunuzi kupitia kitengo cha manunuzi ya vifaa vya kazi za uchimbaji wa

mabwawa na usafishaji wa mitaro katika mitaa na vijiji mbalimbali katika miradi ya TASAF yenye jumla

ya Tshs 26,640,810.

vifaa vimelipiwa bila ushahidi wa vifaa kupokelewa na kukaguliwa kama inavyotakiwa katika kanuni za

manunuzi na fedha LAFM (2009) kifungu 58(1) and 59 (1) and (2).

Page 52: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA …€¦ · 3.Ndg.Mail Komba 4.ASP.Albert L.Beda 5.Ndg.Revocatus G. Ngomeni 6.Ndg.Jumbe Msekula 7.Ndg.Mary Ngomalufu 8.Ndg. Fulgence

52

5. Kuondoa barua na madokezo katika majalada wakati wa kufanya malipo.

Maelekezo na madokezo yanayoelekeza ulipaji wa fedha yamekuwa yakiondolewa katika majalada

husika na kuwekwa katika hati za malipo, ambapo jalada hukosa kumbukumbu za malipo

yaliyofanyika na kutoa mianya malipo kulipwa zaidi ya mara moja.

Mkaguzi alishashauri swala hili kipindi cha nyuma lakini bado nyaraka za malipo zinaondolewa katika

majalada bila kuwa na sababu ya msingi zaidi ya kupoteza ushahidi na kusababisha malipo kulipwa

zaidi ya mara mbili.

Mkaguzi alishauri pamoja na kuacha madokezo na barua katika majalada, hati ya malipo ionyeshe

kumbukumbu ya barua na dokezo husika katika jalada ambapo Mkaguzi anaweza kufanya marejeo

(Checking).

iv) SHUGHULI MAALUM.

• Kitengo kilifanya uhakiki wa madeni ya Watumishi Walimu mpaka Desemba 2015 yalitoka

Hazina na badae kutumwa ofisi ya Mkaguzi wa Ndani Mkuu wa Serikali, barua ya kuwasilisha

ilitumwa kwa Katibu Mkuu Hazina kumb Na KTV/MMC/A.20/4/VOL IV/52 ya tarehe 31/01/2017

• Kitengo pia kilifanya uhakiki wa madeni ya Watumishi walimu Msingi na Sekondari kwa kipindi

cha Januari hadi Desemba 2016 taarifa iliwasilishwa ofisi ya RAS kwa barua Kumb Na

KTV/MMC/E.30/1/VOL III/65 ya tarehe 13/02/2017 .

• Kitengo kilifanya uhakiki wa madeni ya watumishi wasio walimu kwa kipindi cha 2013/14 hadi

Juni 2016. Taarifa iliwasilishwa ofisi ya RAS kwa barua Kumb Na KTV/MMC/C.20/3/26.

v) USHAURI WA KIJUMLA

Kitengo kwa ujumla kinashauri mambo yafuatayo:

• Mkurugenzi na menejimenti iongeze na kuimarisha udhibiti wa ndani huku ikifuata taratibu na

sheria.

• Wakuu wa Idara na Vitengo wanapojibu hoja na kuzingatia shauri mbalimbali watoe mrejesho

kwa Mkaguzi ili kujua utekelezaji wake. Sio tu kumpelekea Mkurugenzi na wakati hoja

zimetolewa na Mkaguzi.

Page 53: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA …€¦ · 3.Ndg.Mail Komba 4.ASP.Albert L.Beda 5.Ndg.Revocatus G. Ngomeni 6.Ndg.Jumbe Msekula 7.Ndg.Mary Ngomalufu 8.Ndg. Fulgence

53

• Wakuu wa idara na vitengo kila mmoja awe na daftari la kuandika vifaa na mali za Idara yake,

pia kuwe na Invetory sheet itakayoonyesha mali na vifaa vilivyomo katika ofisi yake ili kudhibiti

upotevu wa mali za Halmashauri.

• Kitengo cha biashara kihakikise wafanyabiashara wote wanalipia leseni na siyo kuwapatia wale

tu wenye TIN Namba.wasiokuwa na TIN namba wafunge biashara zao ili iwe kichocheo cha

kuja kulipa leseni, Pia kihakikishe makufuli yanapatikana ili zoezi la uhakiki liendee na kuipatia

Halmashauri mapato.

• Madhaifu yaliyobainishwa katika ukaguzi huu yarekebishwe na yasirudiwe tena.

• Menejimenti kwa ujumla ifanye kazi kwa pamoja (Team work) kuhakikisha malengo ya

Halmashauri yanafikiwa.

Kamati iliagiza Menejimenti ihakikishe inajibu hoja zote ambazo hazijajibiwa sambamba na

kuzingatia ushauri uliotolewa na Mkaguzi wa Ndani.

6. TAARIFA YA UTUMISHI NA UTAWALA KWA KIPINDI CHA ROBO YA TATU

2016/2017 – KUANZIA JANUARI HADI MACHI 2017

Mheshimiwa Mwenyekiti,

Kwa kipindi cha robo ya tatu 2016/2017 idara ya Utumishi na Utawala iliendelea kutekeleza majukumu

yake kama ifuatavyo,

S/Na.

SHUGHULI UTEKELEZAJI

1. Kusimamia masuala ya nidhamu kazini.

Idara imeendelea na usimamizi wa rasilimali watu katika nidhamu ikiwa ni pamoja na mahudhurio na utendaji kwa ujumla.

2. Kuratibu, kusimamia na kuendesha vikao vya kisheria.

Idara imeratibu vikao vya kisheria kwa mujibu wa kanuni na taratibu ambapo kwa muda wa miezi mitatu ,idara imeratibu vikao vitatu(03) vya fedha.

3. Kusimamia suala la Utawala bora.

Idara imeendelea na jukumu lake la kusimamia utekelezaji wa shughuli mbalimbali katika ngazi za Mitaa, kata na Vijiji pamoja na kupokea taarifa kutoka kwenye Kata na Mitaa.

4. Upandishwaji vyeo, kuthibitishwa na urekebishaji wa mishahara

Kwa kipindi cha miezi mitatu hapakuwa na watumishi waliopandishwa vyeo, kuthibitishwa kazini na kurekebishiwa mishahara.

5. Stahili mbalimbali za Watumishi (ruhusa na Likizo).

Watumishi wamepewa likizo kwa mujibu wa mzunguko wa likizo, wazazi wa kike (20) wamepewa likizo za uzazi kwa mujibu wa miongozo, ruhusa za kawaida zimetolewa kwa kuzingatia uzito wa sababu za ruhusa, kwa mfano

Page 54: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA …€¦ · 3.Ndg.Mail Komba 4.ASP.Albert L.Beda 5.Ndg.Revocatus G. Ngomeni 6.Ndg.Jumbe Msekula 7.Ndg.Mary Ngomalufu 8.Ndg. Fulgence

54

(matatizo ya kiafya, kufiwa, kuuguza n.k.)

6. Mafao ya uzazi, matibabu, usafirishaji wa mizigo mazishi na uhamisho).

Madai ya mafao ya kustaafu kazi yamewasilishwa kwenye mifuko kabla ya tarehe ya kustaafu, vibali vya kustaafu vimetolewa kwa wakati kwa mujibu wa miongozo, watumishi wamekumbushwa kutoa taarifa ya kustaafu miezi sita (06) kabla. Kwa kipindi hiki jumla ya watumishi watatu (3) wamepewa barua za kibali cha kustaafu kazi vilevile watumishi wanawake watano(5) wenye sifa,wameandikiwa barua za utambulisho na kuwasilishwa katika mifuko husika kwa ajili ya mafao ya uzazi.

7. Usimamizi wa Mafunzo ya Muda mrefu na Mfupi. Idara imeendelea na kazi yake ya usimamizi wa mafunzo

ya muda mrefu kwa watumishi wake ambao wanaendelea na masomo katika vyuo mbalimbali.

8. Uratibu na usimamizi wa vyombo vya Usafiri na usafirishaji katika Halmashauri

Manispaa ina jumla ya Magari 14 kati ya haya magari nane (8) yanafanya kazi.

9. Kuwasilisha taarifa mbalimbali kwa RAS, TAMISEMI na Utumishi.

Kwa kipindi cha robo taarifa za Utumishi TUU, TANGE na CBG zimewasilishwa ofisi ya Rais,TAMISEMI na Utumishi.

10.

Ushughulikiaji wa uingizaji na marekebisho mbalimbali ya taarifa za kiutumishi kwenye mfumo shirikishi wa taarifa za kiutumishi na ulipaji wa mishahara kila siku (HCMIS –LAWSON).

Taarifa zimeendelea kurekebishwa ambapo kwa robo hii shughuli za kawaida kama kushughulikia mikopo kwa watumishi wenye sifa, kusafisha taarifa na kupokea watumishi wa Idara ya Afya (kutoka Halmashauri ya Wilaya) kimfumo zimefanyika.

7. TAARIFA YA KESI MBALIMBALI ZA HALMASHAURI

Mheshimiwa Mwenyekiti,

Kamati ilipokea na kupitisha taarifa ya kesi mbalimbali kama ifuatavyo;

1) THOMAS LEOPALD KAPEMBE-APPLICANTVS.MPANDA TOWN COUNCIL Shauri la madai

jumla ya Tshs. 92, 860, 538/95 Shauri hili linatokana na mdai kutaka fidia ya eneo analodai

kuwa amemilikishwa mtu mwingine na halmashauri ya Mji Mpanda.Pingamizi la awali

limesikilizwa na kinachosubiliwa ni uamuzi wa Mahaka Kuu tarehe 23 Aprili, 2017

2) Sumbwanga high court,land revision n0 1/2016 Mwenyekiti kamati ya shule Shanwe Vs Martine Meli Shauri hili lilitolewa hukumu na mahakama ya ardhi wilaya ya

Mpanda,na haikuwa chini ya Halmashauri .Hivyo baada ya kuzingatia madhara kwa

halmashauri tumeomba revision mahakama kuu ya Sumbawanga ili shule isiathiriwe.(shule ya

msingi Shanwe) Muombwa marerejeo amefariki dunia,kwa taratribu za kisheria,familia

inapaswa kumteua msimamizi ambaye atakuwa na mamlaka ya kujibu maombi ya Manispaa

Kesi itatajwa tarehe 24/04/2017

Page 55: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA …€¦ · 3.Ndg.Mail Komba 4.ASP.Albert L.Beda 5.Ndg.Revocatus G. Ngomeni 6.Ndg.Jumbe Msekula 7.Ndg.Mary Ngomalufu 8.Ndg. Fulgence

55

3) ALFRED MSHAJIACK VS MPANDA MUNICIPAL COUNCIL Shauri hili ni la usuluhishi wa madai ya shilingi 154,000,000/= dhidi ya Manispaa ya Mpanda Shauri hili linatokana na madai

ya malipo ya kustaafu ya mwalimu aliyestaafu kwa ugonjwa mwaka 2014 Kesi imesikilizwa kwa

pingamizi la awali na rulling itatolewa tarehe 25/04//2017

4) M/S UPENDO GROUP&NGOTE ENTERPRISES CO. LTD JV VS MPANDA MUNICIPAL COUNCIL Shauri hili lilipelekwa kitengo cha usuluhishi wa rufaa za manunuzi ya umma Dar es

salaam kampuni hiyo ikiomba irejeshwe kwenye mchakato wa zabunu yenye thamani ya bil

6.9 za kitanzania ambapo Halmashauri ililiweka pingamizi la awali na shauri liliondolewa

tarehe 08/02/2017

5) M/S UPENDO GROUP&NGOTE ENTERPRISES CO. LTD JV VS MPANDA MUNICIPAL COUNCIL shauri lilipelekwa kuomba marejeo ya kesi iliyoamuliwa na PPAA, Halmashauri

iliweka pingamizi la awali na Mahakama iliondoa shauri la waomba marejeo tarehe 10/03/2017

Page 56: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA …€¦ · 3.Ndg.Mail Komba 4.ASP.Albert L.Beda 5.Ndg.Revocatus G. Ngomeni 6.Ndg.Jumbe Msekula 7.Ndg.Mary Ngomalufu 8.Ndg. Fulgence

56

8.TAARIFA YA MAPATO NA MATUMIZI YA CHF/TIKA KWA ROBO YA TATU (JANUARI HADI MACHI 2017)

MHESHIM Mheshimiwa wenyekiti

Hospitali, vituo vya afya na zahanati katika kipindi cha Januari hadi Machi 2017 vimetekeleza shughuli mbalimbali ikiwa ni pamoja na kukusanya Tshs 46,373,646 Desemba Bakaa ilikuwa 57,731,443 Jumla 104,095,089.00 Matumizi 23,269,557.77 Salio katika Akaunti zote ni Tshs 80,825,531.23 MCHANGANUO WA MAPATO NA MATUMIZI KATIKA VITUO HIVYO NI KAMA IFUATAVYO:-

KITUO CHA HUDUMA

PAPO KWA PAPO ADA NHIF TELE KWA TELE

JUMLA YA MAKUSANY

O (JAN-MACHI)

BAKAA KWA ROBO

YA PILI

SALIO KATIKA

AKAUNTI

MATUMIZI

BAKI

KATIKA AKAUNTI

IDADI

KIASI IDADI

KIASI

Hospital ya

Manispaa

31,996,720

0 - 0 31,996,720 27,097,026 59,093,746 23,269,557.77 35,824,188.

23

Kituo cha Afya Town

Clinic

277 1,385,000 53 530,000 0 890,000 2,805,000 8,121,751 10,926,751 0.00 10,926,751

Kituo cha

Afya Ilembo

29 145,000 12 120,000 573,525 270,000 1,108,525 4,596,200 5,704,725 0.00 5,704,725

Zahanati ya

Kakese

0 0 51 510,000 0 510,000 1,020,000 6,630,000 7,650,000 0 7,650,000

Zahanati ya

Mpanda Girls

0 0 2 20,000 3,629,401 5,280,000 8,929,401 4,406,834 13,336,235 0 13,336,235

Zahanati ya Magamba

39 125,000 25 250,000 0 375,000 2,964,200 3,339,200 0 3,339,200

Zahanati ya

mwamkulu

4 10,000 5 50,000 0 60,000 2,009,800 2,069,800 0 2,069,800

Zahanati ya

Milala

23 59,000 0 0 0 59,000 342,500 401,500 0.00 401,500

Zahanati ya kasokola

0 1 10,000 10,000 1,553,132 1,563,132 1,563,132

Zahanati ya Mtakumbuka

0 0 1

10,000 0 10,000 10,000 10,000 0 10,000

372 33,720,720 150 1,500,000 4,202,926 6,950,000 46,373,646 57,731,443 104,095,089 23,269,557.77 80,825,531.

23

Page 57: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA …€¦ · 3.Ndg.Mail Komba 4.ASP.Albert L.Beda 5.Ndg.Revocatus G. Ngomeni 6.Ndg.Jumbe Msekula 7.Ndg.Mary Ngomalufu 8.Ndg. Fulgence

57

9.TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA KITENGO CHA TEHAMA KWA KIPINDI

CHA JANUARI – MACHI, 2017

Mheshimiwa Mwenyekiti,

Katika kipindi cha Januari hadi Machi, kitengo cha TEHAMA kilitekeleza shughuli mbalimbali kama

ifuatavyo;

i. Kuendelea kutoa mafunzo kwa watumishi juu ya matumizi sahihi ya barua pepe za

serikali.

ii. Kupokea na kukagua vifaa vya TEHAMA vilivyonunuliwa katika Idara ya Elimu Msingi

kupitia Kitengo cha Manunuzi.

iii. Kusimamia ufungaji wa mtandao kiambo katika hospitali kuu ya Manispaa ya Mpanda kwa

ajili ya mfumo wa mapato ya Hospitali, GOT-HOMIS

iv. Kurekebisha miundombinu inayopeleka mtandao (internet) katika jengo la BIMA Hospitali

ili kuwezesha utumaji wa taarifa za wagonjwa wanaotumia huduma ya BIMA.

v. Kitengo kimewezesha kusimika mfumo wa mapato katika vifaa kumi vya kukusanyia

mapato vilivyo ongezeka (POS), kuendelea kuratibu na kusimamia matumizi ya vifaa

hivyo.

vi. Kusimamia na kusaidia matumizi ya mfumo wa PREM kwa Idara ya Elimu Msingi katika

zoezi la uingizaji taarifa, usasishaji, usajili na utumaji wa taarifa za wanafuzni kwenda

baraza la mitihani (NECTA)

vii. Kukagua na kubainisha matatizo ya kompyuta za Idara ya Kilimo.

Kitengo cha TEHAMA kupitia sekta ya Habari na Mahusiano:-

i. Kukusanya taarifa na matukio mbalimbali yanayojili katika Halmashauri

ii. Kutoa taarifa na matangazo mbalimbali kwa jamii

iii. Kushirikiana na idara ya maendeleo ya jamii kwa kufanya hamasa juu ya upimaji wa VVU

NA UKIMWI kupitia matamasha yaliyoratibiwa na shirika la Mkapa Foundation.

iv. Kuratibu shughuli ya hamasa, habari na matangazo kwa wananchi juu ya ushiriki wao

kwenye ujio wa mwenge.

Page 58: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA …€¦ · 3.Ndg.Mail Komba 4.ASP.Albert L.Beda 5.Ndg.Revocatus G. Ngomeni 6.Ndg.Jumbe Msekula 7.Ndg.Mary Ngomalufu 8.Ndg. Fulgence

58

10. MREJESHO WA MPANGO NA BAJETI KWA MWAKA WA FEDHA 2017/2018 BAADA YA MABADILIKO TOKA HAZINA

MAPENDEKEZO YA BAJETI YA MWAKA 2017/2018

Muhtasari wa Mpango na Bajeti

Awali Halmashauri ilikisia kukusanya na kutumia jumla ya Tshs. 30,493,088,000.00 kati yake

Tshs. 2,378,800,000.00 ni kutoka vyanzo vyake vya mapato ya ndani,

Tshs.28,114,288,000.00 ni kutoka ruzuku ya Serikali kuu na wafadhili mbalimbali. Bajeti

imeshuka hadi kufikia kiasi cha Tshs.27,468,965,783 baada ya mawasilisho kama ifuatavyo:-

MAELEZO BARAZA HAZINA TOFAUTI

Matumizi ya Kawaida (OC) 4,224,262,000 2,644,050,000 (1,580,212,000)

Mishahara (PE) 18,599,776,000 16,445,712,000 (2,154,064,000)

Miradi ya Maendeleo (DEV) 7,669,050,000 8,379,203,783 710,153,783

JUMLA (TSHS.) 30,493,088,000 27,468,965,783 (3,024,122,217)

Mapato ya ndani

Halmashauri inatarajia kukusanya jumla ya Tshs 2,378,800,000.00 kutokana na makusanyo ya vyanzo vya ndani, Muhtasari wa Matumizi: Mapato ya Ndani ya Halmashauri

Maelezo BARAZA HAZINA TOFAUTI

Kiasi (TSHS)

Mishahara 20,112,000.00 15,768,000 (4,344,000.00)

Matumizi Mengineyo 931,408,000.00 935,752,000 4,344,000.00

Miradi ya Maendeleo 1,427,280,000.00 1,427,280,000 0.00

Jumla 2,378,800,000.00 2,378,800,000 0.00

Ruzuku toka Serikali Kuu Muhtasari wa Mapendekezo ya matumizi kwa Ruzuku toka Serikali Kuu ni kama ifuatavyo:-

Maelezo BARAZA HAZINA TOFAUTI

Kiasi Kiasi Kiasi

Mishahara 18,579,664,000 16,429,944,000 (2,149,720,000)

Matumizi mengineyo 2,890,851,000 1,708,298,000 (1,182,553,000)

Miradi ya Maendeleo 2,265,739,000 2,810,321,000 544,582,000

Page 59: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA …€¦ · 3.Ndg.Mail Komba 4.ASP.Albert L.Beda 5.Ndg.Revocatus G. Ngomeni 6.Ndg.Jumbe Msekula 7.Ndg.Mary Ngomalufu 8.Ndg. Fulgence

59

Jumla 23,736,254,000 20,948,563,000 (2,787,691,000)

Mabadiliko ya Matumizi kwa kila Kasma.

Mapato ya Ndani

Mapato ya ndani yatatumika kama ifuatavyo:-

Mishahara

Kasma Maelezo Kiasi (TSHS)

BARAZA HAZINA

5000 Idara ya Utawala 20,112,000.00 15,768,000.00

Jumla ya Mishahara-vyanzo vya ndani 20,112,000.00 15,768,000.00

Matumizi mengineyo

Kifungu Maelezo Kiasi cha matumizi mengineyo

BARAZA HAZINA

500A Utawala 13,716,000.00 0

500B Utumishi 537,638,000.00 594,012,000

500C Utawala-Siasa 2,400,000.00 0

501A Mazingira na Usafishaji 48,000,000.00 47,040,000

502A Fedha 103,070,000.00 92,950,000

503A Mipango 43,840,000.00 43,840,000

507B Elimu Msingi 52,696,000.00 15,000,000

507E Michezo 0 12,000,000

508A Afya (CHMT) 0 3,200,000

512A Ardhi Utawala 2,697,500.00 3,990,000

512B Upimaji na Ramani 13,415,000.00 12,255,000

512C Usimamizi wa Ardhi 1,112,500.00 2,285,000

512D Uthamini 2,395,000.00 4,030,000

512E Mipango Miji 8,380,000.00 5,440,000

512H Maliasili Misitu 8,195,000.00 8,095,000

514B Sheria 6,000,000.00 3,402,500

515B Ukaguzi wa ndani 17,550,000.00 17,550,000

516B Ugavi 17,845,000.00 14,290,000

517B Uchaguzi 0 5,000,000

518B Mawasiliano(TEHAMA) 26,935,000.00 26,937,500

Page 60: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA …€¦ · 3.Ndg.Mail Komba 4.ASP.Albert L.Beda 5.Ndg.Revocatus G. Ngomeni 6.Ndg.Jumbe Msekula 7.Ndg.Mary Ngomalufu 8.Ndg. Fulgence

60

527A Maendeleo ya Jamii 25,523,000.00 24,435,000

Jumla ya Matumizi Mengineyo 931,408,000.00 935,752,000.00

Miradi ya maendeleo

Kiasi (TSHS)

Kifungu Maelezo BARAZA HAZINA

500A Miradi ya maendeleo (Kata na Vijijini) – 20% 285,456,000 285,456,000

503A Miradi ya Maendeleo (Mipango)- 25% 356,820,000 356,820,000

505B Miradi ya Mifugo (15%) 214,092,000 214,092,000

505D Miradi ya Uvuvi (5%) 71,364,000 71,364,000

506B Miradi ya Kilimo (20%) 285,456,000 285,456,000

511A Kuchangia miradi ya wafadhili (5%) 71,364,000 71,364,000

527B Miradi ya Maendeleo (Vijana) – 5% 71,364,000 71,364,000

527B Miradi ya Maendeleo (Wanawake) – 5% 71,364,000 71,364,000

Jumla ya Miradi – Mapato ya ndani – 60% 1,427,280,000 1,427,280,000

JUMLA KUU- MAPENDEKEZO MATUMIZI MAPATO YA NDANI 2,378,800,000 2,378,800,000

Ruzuku toka Serikali kuu a; Mishahara Ruzuku ya mishahara imebadilika kutoka Tshs. 18,579,664,000.00 hadi Tshs. 16,429,944,000.00 kama ifuatavyo:-

Kasma Maelezo Kiasi cha Ruzuku kutoka Serikali Kuu

BARAZA HAZINA

5000 Utawala Jumla 104,703,760 0

5004 GS2 na Zaidi 1,714,988,400 1,483,752,000

5006 Elimu Utawala na Elimu Watu Wazima 271,022,400 229,680,000

5007 Elimu Msingi 7,110,925,440 6,841,752,000

5008 Elimu Sekondari 4,039,968,360 3,482,610,000

5011 Afya Kinga 1,623,500,600 1,154,916,000

5012 Vituo vya Afya 1,359,827,280 1,167,096,000

5013 Zahanati 1,198,728,960 1,049,112,000

5014 Ujenzi 172,466,440 173,328,000

Page 61: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA …€¦ · 3.Ndg.Mail Komba 4.ASP.Albert L.Beda 5.Ndg.Revocatus G. Ngomeni 6.Ndg.Jumbe Msekula 7.Ndg.Mary Ngomalufu 8.Ndg. Fulgence

61

5017 Maji 134,095,200 125,040,000

5031 Watendaji wa Vijiji 229,271,640 190,638,000

5033 Kilimo 227,367,120 332,880,000

5034 Mifugo 392,798,400 199,140,000

Jumla ya Mishahara toka Serikali 18,579,664,000 16,429,944,000

b; Matumizi Mengineyo:- Matumizi mengineyo kutoka Serikali kuu kwa kila Idara kama Ifuatavyo:-

Kasma Maelezo Kiasi cha Ruzuku

BARAZA HAZINA

500A Utawala 6,370,000 5,157,000

500B Utumishi 17,243,000 15,880,000

501A Usafi wa Mazingira 0 6,000,000

502D Fedha 16,760,000 0

502E Biashara 0 6,000,000

503A Mipango 18,000,000 8,996,500

505A Mifugo 0 2,425,000

506A Kilimo 5,080,000 9,000,000

506D Ushirika 3,920,000 6,000,000

507C Elimu Utawala 76,400,000 76,400,000

507D Utamaduni 2,000,000 2,000,000

507E Michezo 4,000,000 4,000,000

507A Elimu Msingi Utawala 46,840,000 15,380,000

507B Elimu ya Msingi Uendeshaji 1,172,653,000 361,627,000

508A Afya Utawala (CHMT) 21,011,000 11,490,000

508B Hospitali ya Wilaya 292,760,000 113,240,000

508D Vituo vya Afya 40,000,000 40,000,000

508E Zahanati/Kliniki 38,000,000 38,000,000

509A Elimu ya Sekondari Utawala 23,475,000 61,510,900

509B Elimu ya Sekondari Uendeshaji 1,057,310,000 563,759,100

510C Maji Vijijini 7,215,000 10,178,000

511A Ujenzi Barabara 8,214,000 6,955,000

512A Ardhi Utawala 10,960,000 6,000,000

512H Misitu 0 3,000,000

515A Ukaguzi wa ndani 10,540,000 8,996,500

519B Nyuki

3,000,000

527B Maendeleo ya Jamii 12,100,000 6,000,000

Page 62: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA …€¦ · 3.Ndg.Mail Komba 4.ASP.Albert L.Beda 5.Ndg.Revocatus G. Ngomeni 6.Ndg.Jumbe Msekula 7.Ndg.Mary Ngomalufu 8.Ndg. Fulgence

62

Jumla ya Matumizi Mengineyo - Ruzuku 2,890,851,000 1,390,995,000

Matumizi Mengineyo Kutokana na Michango katika Sekta ya Afya:-

Na Jina la Mchango/Mfuko Kiasi cha fedha (Tshs)

BARAZA HAZINA

1 Mfuko wa Pamoja wa Afya (HSBF) 208,951,000 208,951,000

2 Tiba kwa Kadi (TIKA) 12,000,000 12,000,000

3 Bima ya Afya (NHIF) 20,570,000 20,570,000

4 Papo kwa Papo (User Fee) 55,782,000 55,782,000

5 Fedha za Dawa (DRF) 20,000,000 20,000,000

Jumla ya Michango ya Jamii/Mifuko 317,303,000 317,303,000

Jumla ya Matumizi Mengineyo (Ruzuku + Michango ya Jamii) 3,218,154,000 1,708,298,000

c; Miradi ya maendeleo : Fedha za Ndani (Local Fund)

Na Jina la Mradi Kiasi cha Ruzuku na Mapato ya Ndani

BARAZA HAZINA

1 Mfuko wa Barabara (Road Fund) 1,477,848,000.00 1,477,848,000.00

2 NWSSP 380,000,000.00 380,000,000.00

3 Mfuko wa Jimbo 30,418,000.00 36,748,000.00

4 Ruzuku ya Maendeleo (LGDG-CDG/CBG) 377,473,000.00 916,445,000.00

5 Mapato ya Ndani 1,427,280,000.00 1,427,280,000.00

Jumla ya Miradi-Ruzuku -Fedha za ndani 3,693,019,000.00 4,238,321,000.00

Fedha za Nje (Foreign Fund)

Na Jina la Mradi Fedha inayoombwa

BARAZA HAZINA

1 TASAF 562,443,000.00 562,443,500.00

2 Multisectral Aids (HIV/AIDS) 0.00 0.00

3 Programu ya Maji (RWSSP) 316,500,000.00 316,500,000.00

4 ULGSP 2,507,897,260.00 3,008,038,700.00

5 ASDP-DIDF (JICA) 589,190,000.00 0.00

6 EQUIP TANZANIA

253,900,583.00

Jumla ya Miradi-Ruzuku-Fedha za nje 3,976,030,260.00 4,140,882,783.00

Jumla ya Miradi ya Maendeleo - Ruzuku 7,669,050,000.00 8,379,203,783.00

JUMLA KUU-MAKISIO YA BAJETI 30,493,088,000.00 27,468,965,783.00

Page 63: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA …€¦ · 3.Ndg.Mail Komba 4.ASP.Albert L.Beda 5.Ndg.Revocatus G. Ngomeni 6.Ndg.Jumbe Msekula 7.Ndg.Mary Ngomalufu 8.Ndg. Fulgence

63

11.TAARIFA YA HATI YA UKAGUZI WA MAHESABU 2015/2016

Mheshimiwa Mwenyekiti,

Kamati ilipokea taarifa ya hati ya Ukaguzi wa Mahesabu kwa mwaka wa fedha 2015/2016,

ambapo Halmashauri ya Manispaa ya Mpanda iliandaa Hesabu za Mwisho na kuziwasilisha kwa

Mkaguzi Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi.

Kila baada ya kufanya Ukaguzi, Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali hutoa hati

kulingana na ukaguzi huo.

Katika Hesabu za mwaka 2015/2016, Halmashauri ya Manispaa ya Mpanda ni moja kati ya

Halmashauri 138 zilizopata. Hii imewekana kutokana na ushirikiano mzuri uliopo kati ya

Waheshimiwa Madiwani na Wataalamu wa Halmashauri ya Manispaa ya Mpanda.

Tunaomba ushirikiano huu udumishwe kwa manufaa ya wananchi wa Manispaa ya Mpanda.

12.MAOMBI YA IDHINI YA KUTUMIA TSHS. 385,000,000.00 KWA AJILI YA KUNUNUA

GARI LA TAKA(SKIP LOADER) NA GARI LA MSTAHIKI MEYA.

Mheshimiwa Mwenyekiti,

Kamati iliidhinisha maombi ya kutumia kiasi cha Tshs. 385,000,000.00 kwa ajili ya kununua

magari yafuatayo:-

i. Gari la Taka lenye gharama ya Tshs. 235,000,000.00

ii. Gari la Mstahiki Meya lenye gharama ya Tshs. 150,000,000.00(Toyota) Prado

Fedha hizi zitatokana na ongezeko la makusanyo ya fedha kutoka katika uuzaji wa viwanja.

Mheshimiwa Mwenyekiti,

Kama nilivyosema awali vikao hivi vilitoa maazimio, ushauri na mapendekezo mbalimbali,

ambapo utekelezaji wake ni kama ifuatavyo:-

1. AGIZO: Mkurugenzi amtaarifu Mwekezaji wa kituo anayetaka kujenga kituo cha mafuta

jirani na kituo kipya cha mabasi -Ilembo na kumweleza ushauri wa Baraza la Mazingira la

Page 64: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA …€¦ · 3.Ndg.Mail Komba 4.ASP.Albert L.Beda 5.Ndg.Revocatus G. Ngomeni 6.Ndg.Jumbe Msekula 7.Ndg.Mary Ngomalufu 8.Ndg. Fulgence

64

Taifa (NEMC), kuwa umbali uliopo kati ya vituo hivyo ni mfupi na hivyo kutofaa kujengwa

kituo cha mafuta. Hata hivyo.

UTEKELEZAJI WAKE: Mwekezaji alitaarifiwa kwa kwa barua yenye kumb.

Na.KTV/MMC/F.30/8/79 ya tarehe 20/03/2017. Hata hivyo, suala hilo litasubiri andiko k

utoka NEMC kwa kuwa ushauri uliokuwa umetolewa ulikuwa wa njia ya domo.

2. AGIZO: Mkurugenzi aandae na kuwasilisha kwenye kikao taarifa ya makusanyo yaushuru wa vyoo kuanzia mwezi Julai 2016

UTEKELEZAJI WAKE: Hadi kufikia tarehe 30/01/2017 Halmashauri ilikusanya kiasi cha Tsh 7,215,300.00.

3. AGIZO: Halmashauri itengeneze na kufunika mfuniko wa choo katika soko kuu ndani ya

wiki moja toka siku ya kikao.

UTEKELEZAJI WAKE: Jumla ya mifuniko saba(7) katika choo cha soko kuu ilifanyiwa

ukarabati na shimo kufunikwa

4. AGIZO: Jitihada za maandalizi ya sherehe ya kuwapongeza walimu kutokana na matokeo mazuri ya Mtihani wa darasa la saba mwaka 2016 ziongezwe ili sherehe hiyo ifanyike mapema. UTEKELEZAJI WAKE: Sherehe hiyo itafanyika tarehe 06/05/2017

5. AGIZO: Menejimenti ihakikishe inapunguza gharama ya ujenzi,ukubwa wa vibanda na

vijengwe kulingana na mahitaji yaliyopo kwenye stendi ya mabasi

UTEKELEZAJI WAKE: Halmashauri ya manispaa ya Mpanda imendaa mpango biashara

wa ujenzi wa vibanda stendi kuu ya Manispaa ya Mpanda. Kibanda kimoja kitajengwa kwa

Tshs 3,569,940/=, jumla ya vibanda 130 vitajengwa kuzunguka eneo la stendi kuu ya

Manispaa. Menejimenti inashauri ujenzi ujengwe na wazabuni watatu (03), kwa

mgawanyo ufuatao, wazabuni wawili watajenga vibanda 86 ikiwa na maana ya kila

mzabuni atajenga vibanda 43, na mazabuni mmoja atajenga vibanda 44. Wazabuni

watakusanya Tshs 150,000/= kwa mwezi kwa kila kibanda ila watarejesha Tshs 50,000/=

kwa Halmashauri ya Manispaa Mpanda na Tshs 100,000/= zitafidia gharama walizo tumia

kujenga kibanda kimoja. Baada ya miaka minne (4) mzabuni atakuwa na rejesho la Tshs

4,800,000/= kwa kila kibanda. Baada ya muda wa miaka minne vibanda vilivyojengwa na

wazabuni vitakuwa mali ya Halmashauri ya Manispaa ya Mpanda. Kwa miaka minne (04)

ya mwanzo Halmshauri ya Manispaa ya Mpanda itapata kipato cha Tshs 312,000,000/=

Page 65: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA …€¦ · 3.Ndg.Mail Komba 4.ASP.Albert L.Beda 5.Ndg.Revocatus G. Ngomeni 6.Ndg.Jumbe Msekula 7.Ndg.Mary Ngomalufu 8.Ndg. Fulgence

65

kwa vibanda 130. Ramani na makisio ya gharama za ujenzi ziliambatishwa katika taarifa

hii.

6. AGIZO: Mkurugenzi afuatilie fedha kutokana na kodi ya huduma inayolipwa na

makampuni ya simu ya TIGO na VODACOM.

UTEKELEZAJI WAKE: Halmashauri ilifuatilia makusanyo ya kodi ya huduma ambapo Tshs.6,000,000.00 zimelipwa na Kampuni ya Vodacom tangu tarehe 08/11/2016 Aidha, kampuni ya Tigo iliwasilishiwa taarifa ya kuwasilisha malipo

Naomba kuwasilisha

William Mbogo

Mwenyekiti wa Kamati

Fedha na Utawala

MANISPAA YA MPANDA

Page 66: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA …€¦ · 3.Ndg.Mail Komba 4.ASP.Albert L.Beda 5.Ndg.Revocatus G. Ngomeni 6.Ndg.Jumbe Msekula 7.Ndg.Mary Ngomalufu 8.Ndg. Fulgence

66

TAARIFA YA KAMATI YA MIPANGO MIJI, UJENZI, NA MAZINGIRA KWENYE MKUTANO

WA TATU WA BARAZA LA MADIWANI KWA MWAKA WA FEDHA 2016/2017 CHA

TAREHE 25/04/2017

Mheshimiwa Mwenyekiti,

Kamati ya Mipango Miji, Ujenzi, na Mazingira kwa kipindi cha Januari hadi Machi 2017, imeketi

kikao kimoja (1).

Kikao cha Tatu kwa mwaka wa fedha 2016/2017 kilifanyika tarehe 11/04/2017.

Mheshimiwa Mwenyekiti,

Kwa kipindi cha Januari hadi Machi 2017, Kamati ya Mipango Miji, Ardhi, Ujenzi, na Mazingira

ilipokea,ilijadili na kuthibitisha taarifa mbalimbali za kiutendaji kutoka kwa Watendaji wa Halmashauri.

Taarifa hizo ni kama ifuatavyo:-

1.TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA IDARA YA MIPANGO MIJI, ARDHI NA MALIASILI KATIKA KIPINDI CHA JANUARI HADI MACHI 2017

a.Kitengo cha Ardhi

1) Kumilikisha wananchi 59 viwanja

2) Kufanya uhamisho wa miliki 22

3) Kuidhinisha ramani 06 za viwanja

4) Kutoa hati 89 za viwanja

b.Kitengo cha Upimaji

1) Kupima viwanja 191 katika eneo la Airtel

2) Kusaini hati 89 za viwanja 3) Kurudishia mipaka 46 katika maeneo yaliyopimwa

c.Kitengo cha Mipango Miji

1) Kubadilisha matumizi ya ardhi kwa mwananchi 03 na viwanja 03

2) Kuidhinisha ramani za ujenzi 36

3) vibali 14 vya ujenzi vilitolewa. d. Kitengo cha Uthamini

Kufanya uthamini wa mali kwa wananchi 19 kwa ajili ya fidia.

Page 67: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA …€¦ · 3.Ndg.Mail Komba 4.ASP.Albert L.Beda 5.Ndg.Revocatus G. Ngomeni 6.Ndg.Jumbe Msekula 7.Ndg.Mary Ngomalufu 8.Ndg. Fulgence

67

e.Kitengo cha Maliasili

1) Uoteshaji wa miti 96,500 katika Vikundi vya Mazingira vya CHRISTIAN GROUP,

WAMWADE, NEEMA na REYO

2) Upandaji Miti 239,800 katika mashamba ya wakulima na maeneo mengine kama

makazi na maeneo ya taasisi.

Aidha, Kamati ilipokea na kujadili taarifa inayojumuisha kazi zilizofanyika kwa kushirikiana na

taasisi zingine kama ifuatavyo:-

1. UTHAMINI WA NYUMBA KWENYE KATA ZA MANISPAA YA MPANDA KWA

AJILI YA KODI YA MAJENGO

Kwa mujibu wa mkataba ulioingiwa kati ya Halmashauri ya Manispaa ya Mpanda na Mzabuni

ni kufanya uthamini wa nyumba zipatazo 10,000 (elfu kumi), hata hivyo Mzabuni alikabidhi

idadi ya nyumba 10,227 kwenye majedwali ya uthamini.

Hivyo kwa vile Mzabuni amekabidhi kazi tayari kwa mujibu wa mkataba, ni wajibu wa

Halmashauri ya Manispaa ya Mpanda kuwatangazia wananchi ndani ya siku 28 wafike kwenye

ofisi zao za kata kuhakiki taarifa za nyumba zao ambazo ni thamani, majina, n.k. Iwapo

watagundua dosari yoyote, kutakuwepo na fomu maalum ya malalamiko ambayo mwananchi

anapaswa kujaza kuhusiana na lalamiko lake. Fomu za malalamiko hufikishwa mbele ya

Baraza la kusikiliza na kutatua hoja na malalamiko ya wananchi waliofanyiwa uthamini (Rat-

ing Valuation Tribunal- RVT), Baraza hili linatoka TAMISEMI na linatakiwa kugharamiwa na

Halmashauri ya Manispaa Mpanda. Baraza hili ndicho chombo maalum kilichoundwa kwa ajili

ya kusikiliza malalamiko ya aina hiyo kwa mujibu wa sheria ya kufanya uthamini kwa ajili

ulipaji wa kodi ya Majengo ya mwaka 1983 (Urban Authorities Rating Act No. 2, 1983). Kati

ya kata 15 zilizomo ndani ya Manispaa ya Mpanda ni kata kumi (10) tu ndizo zilipitiwa na

mradi huu. Makisio ya awali ilikuwa ni kufanyia kazi nyumba 10,000 (Elfu kumi) kwa mujibu

wa mkataba na kazi ingekuwa imekamilika, lakini taarifa ya nyumba 10,227 ndiyo

iliyokabidhiwa kwenye taarifa. Hivyo nyumba 10,624 bado hazijafanyiwa kazi

Kata 10 zilizofanyiwa kazi ni hizi zifuatazo; Nsemulwa, Kashaulili, Mpanda Hotel, Makanyagio,

Ilembo, Uwanja wa Ndege, Majengo, Kawajense, Shanwe na Kazima. Hata hivyo, siyo

nyumba zote zimefanyiwa uthamini katika kata tajwa hapo juu, mfano kata ya Uwanja wa

Ndege imefanyiwa kazi mitaa miwili tu ambayo ni Airtel na Msufini, kata ya Kazima

imefanyiwa kazi mtaa mmoja tu wa Rungwa, n.k.

Page 68: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA …€¦ · 3.Ndg.Mail Komba 4.ASP.Albert L.Beda 5.Ndg.Revocatus G. Ngomeni 6.Ndg.Jumbe Msekula 7.Ndg.Mary Ngomalufu 8.Ndg. Fulgence

68

2. KUPOKEA NA KUTATUA MIGOGORO YA ARDHI

Mheshimiwa Mwenyekiti,

Kamati ilipokea taarifa kuwa, katika kipindi cha robo ya tatu ya mwaka wa fedha 2016/2017

yamepokelewa malalamiko kadhaa ya ardhi kupitia dawati la malalamiko linalofanyika kila

Ijumaa ya wiki katika ukumbi wa mikutano wa Ofisi ya Mkurugenzi. Idadi ya malalamiko kwa

kipindi hiki ni 48 ingawa kati ya malalamiko hayo, malalamiko 18 tu ndiyo yanayohusu ardhi,

malalamiko mengine hayahusu ardhi, pia mengine ni malalamiko yanayojirudia kwa kuwa

yalishawasilishwa siku za nyuma. Kati ya Malalamiko 18 yaliyowasilishwa, malalamiko 11

yameshughulikiwa na kuisha.

3. MPANGO MKAKATI WA UPIMAJI WA VIWANJA KATIKA MWAKA

2016/2017

Mheshimiwa Mwenyekiti,

Kamati ilipokea na kujadili taarifa ya mkakati wa upimaji wa viwanja katika mwaka 2016/2017

ambapo, Halmashauri ya Manispaa ya Mpanda kupitia Idara ya Ardhi na Maliasili, imeratibu kazi

za upimaji katika kipindi cha robo ya tatu ya mwaka wa fedha 2016/2017 katika kata za Kazima,

Uwanja wa Ndege na Shanwe. Katika miradi hii ya upimaji Halmashauri inatarajiwa kutumia kiasi

cha Tsh 56,000,000/= na miradi itakapokamilika kiasi cha jumla ya sh 400,500,000/=

kitapatikana.

KAZIMA

Kazima 1

Zoezi la Upimaji eneo la Kazima awamu ya kwanza umehusisha eneo ambalo asilimia kubwa

halijajengwa. Katika eneo hilo jumla ya viwanja 376 vimepimwa na tayari ramani

zimeshaidhinishwa wizarani. Katika zoezi la Upimaji wa viwanja hivyo awamu ya kwanza jumla

Tsh 12,000,000/= zilitumika katika upimaji ikiwa ni gharama ya zoezi zima la upimaji. Katika

mradi huu wa upimaji muda uliotumika ni siku thelathini. Upimaji huu ulianza mwezi Disemba

mwaka jana (2016) na kukamilika mwezi Januari mwaka huu (2017).

Kazima 2

Kazima 2 ni awamu ya pili ya upimaji ambayo inahusisha eneo la Makazi holela Kazima (Kazima

Squater), kutokana na taarifa za awali idadi ya nyumba 300 zinakadiriwa kupimwa na kuingizwa

kwenye mchoro wa Mipango Miji na hatimae ziweze kupimwa kulingana na hali halisi ilivyo.

Kazima 2 inahusisha mazoezi mawili ambayo ni uandaaji wa ramani ya mipango miji (Town plan

drawing ), zoezi la pili ni Upimaji wa viwanja. Mazoezi haya mawili yanakadiriwa kutumia jumla

ya Ths 16,000,000/- ikiwa ni gharama za uaandaaji wa beacons, mafuta, stationaries, kudurufu

Page 69: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA …€¦ · 3.Ndg.Mail Komba 4.ASP.Albert L.Beda 5.Ndg.Revocatus G. Ngomeni 6.Ndg.Jumbe Msekula 7.Ndg.Mary Ngomalufu 8.Ndg. Fulgence

69

michoro ya Mipango miji na Upimaji, posho za wataalamu na vibarua, na gharama ya kupeleka

michoro hiyo Wizara ya Ardhi nyumba na maendeleo ya Makazi kwa ajili ya kuidhinishwa. Katika

mradi huu wa upimaji wa makazi holela Kazima inakadiriwa kutumia muda wa siku 45.

Katika miradi hii miwili ya Kazima 1 na Kazima 2, jumla ya Tsh 28,000,000/= zinakadiriwa

kutumika. Mradi mzima utakapokamika Halmashauri itapata viwanja 76 kutokana na makubaliano

ambayo yalifanyika hapo awali kati ya Halmashauri na wamiliki wa maeneo hayo ya Kazima.

Viwanja hivyo 76 vinakadiriwa kuingiza jumla ya Tsh 114,000,000/= ikiwa kila kiwanja

kitakuwa na ukubwa wa mita za mraba 600 na bei ya mita moja ya mraba ya makazi kwa sasa ni

Tsh 2,500/=.

AIRTEL/UWANJA WA NDEGE

Katika mradi upimaji wa viwanja Airtel umetumia siku 30 mpaka kukamilika. Mradi huu ulianza

tarehe 23/01/2017 na kukamilika tarehe 21/02/2017. Upimaji huu umefanywa na wapima watatu

kutoka Halmashauri Wilaya ya Nsimbo kwa kushirikiana na wapima wasaidizi wa Manispaa ya

Mpanda. Kazi inayoendelea kwa sasa ni kufanya mahesabu ya kuandaa faili la kazi hiyo ili

hatimae iweze kupelekwa Wizara ya Ardhi nyumba na maendeleo ya makazi kwa ajili ya

kuidhinishwa.

Aidha mradi huu wa Airtel jumla ya viwanja 191 vimepimwa. Viwanja hivyo vilivyopimwa ni vya

matumizi mbalimbali, jumla ya Tsh 11,000,000/= zimetumika katika mradi huu ikiwa ni

kuwalipa wataalam, vibarua, gharama za kuandaa vifaa vya upimaji, na gharama za kupeleka

mchoro wa upimaji wizarani. Mradi huu wa Airtel utakapokamilika unakadiriwa kuigiza jumla ya

Tshs 286,500,000/= .

SHANWE

Shanwe ni mojawapo ya kata katika Halmashauri ya Manispaa ya Mpanda ambayo ipo upande

wa kaskazini mwa halmashauri ya manispaa. Katika eneo la Shanwe zoezi la upimaji linatarajiwa

kuanza baada ya kumaliza upimaji katika maeneo ya Kazima na Airtel.

Katika eneo la Shanwe zoezi la Uthamini wa mashamba tayari limeshafanyika , pia ramani ya

mipango miji ipo tayari ambayo ina viwanja 600 vya matumizi mbalimbali. Kwahiyo upimaji wa

eneo la Shanwe unatarajiwa kutumia muda wa siku 50 ili kukamilika. Na jumla ya Tsh

17,000,000/= zinatarajiwa kutumika katika mradi huu ikiwa ni gharama za upimaji, na kupelekea

michoro wizarani kuidhinishwa kwa Mkurugenzi wa Upimaji na ramani Dar es salaam.

Page 70: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA …€¦ · 3.Ndg.Mail Komba 4.ASP.Albert L.Beda 5.Ndg.Revocatus G. Ngomeni 6.Ndg.Jumbe Msekula 7.Ndg.Mary Ngomalufu 8.Ndg. Fulgence

70

MPANGO KAZI WA UPIMAJI

ENEO DES,2016-JAN 2017

JAN-FEB 2017 MACHI-APRILI 2017

MAY-JUN 2017

KAZIMA 1

AIRTEL

KAZIMA2 (UENYEJINI)

SHANWE

HITIMISHO

Changamoto katika idara ya Ardhi na Maliasili ambazo zinachelewesha au kukwamisha kazi za

idara hususani katika kitengo cha upimaji ni upungufu wa wataalam. Manispaa ya Mpanda ina

mtaalam wa upimaji mmoja (Mpima Ardhi mmoja), ambaye pia amekasimishwa mamlaka ya

kusimamia kazi zote za upimaji za mikoa ya Katavi na Rukwa na Mkurugenzi wa upimaji na

Ramani.

4. TAARIFA YA UUZAJI WA VIWANJA KASIMBA – KATA YA ILEMBO.

Mheshimiwa Mwenyekiti,

Kamati ilipokea na kujadili taarifa ya uuzaji wa viwanja awamu ya pili katika eneo la Kasimba –

Kata ya Ilembo, ambapo Halmashauri ya Manispaa ya Mpanda ilifanya zoezi la kuuza viwanja

vilivyopimwa kwa awamu ya pili.

Zoezi la uuzaji viwanja lilianza tarehe 13/03/2017 ambapo jumla ya viwanja vyote vilivyotarajiwa

kuuzwa ni 107 vyenye jumla ya thamani Tsh. 253,694,500/=. Mpaka zoezi la ugawaji wa

fomu za viwanja linafungwa, jumla ya fomu 104 zilikuwa zimegawiwa na kubaki fomu za viwanja

03 vya shughuli za dini. Wananchi walipewa muda wa siku 14 (hadi tarehe 27/03/2017)

kukamilisha malipo ya viwanja kwa sharti kwamba baada ya muda huo viwanja vyote ambavyo

vingeshindwa kulipiwa ndani ya muda huo vingetangazwa na kuuzwa upya. Hata hivyo tatizo la

mfumo katika kutoa ‘bill’ lilifanya muda wa kulipia viwanja hivyo kuongezwa na kuwa siku 30

ambapo muda uliisha tarehe 13/04/2017.

Hadi kufikia tarehe 11/04/2017 jumla ya viwanja 54 vilikuwa vimelipiwa na jumla ya fedha Tsh.

102,740,500/= zilikuwa zimepatikana.

Page 71: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA …€¦ · 3.Ndg.Mail Komba 4.ASP.Albert L.Beda 5.Ndg.Revocatus G. Ngomeni 6.Ndg.Jumbe Msekula 7.Ndg.Mary Ngomalufu 8.Ndg. Fulgence

71

Jedwali lifuatalo linaonesha bei ya kila kiwanja kulingana na vipimo na matumizi yake:-

NA AINA YA KIWANJA BEI YA KUUZIA

1 Makazi 2,500 kwa mita mraba

2 Makazi na biashara 3,000 kwa mita mraba

3 Huduma za jamii 4,000 kwa mita mraba

4 Viwanja kwa ajili ya shughuli za dini (RS) 3,500 kwa mita mraba

5 Eneo la wazi - kwa mita mraba

Baada ya Majadiliano kamati ilishauri na kuagiza mambo yafuatayo;

1) Menejimenti ifanyie kazi suala la viwango vya kodi ya Majengo vilivyopitishwa na

Halmashauri kutokana na malalamiko ya wananchi.

2) Eneo la Kijiji cha Mtakumbuka litengwe kwa ajili ya uwekezaji.

3) Mkurugenzi aandae taarifa ya kuomba vibarua idara ya Ardhi kwa ajili ya kupima maeneo

ya Kazima na Shanwe.

2. TAARIFA YA MATENGENEZO YA BARABARA KWA MWAKA WA FEDHA 2016/2017

KWA KIPINDI CHA JANUARI HADI MACHI 2017

Mheshimiwa Mwenyekiti,

Kamati ilipokea na kujadili taarifa ya utekelezaji wa kazi za barabara kupitia idara ya ujenzi;

Katika kipindi cha robo ya tatu idara imekemilisha mchakato wa zabuni kwa miradi saba ya ujenzi

wa barabara zabuni hizo ni kama zinavyoonekena kwenye jedwali lifuatalo;

NA JINA LA MRADI/AINA

YA MRADI

CHANZO CHA

FEDHA

BAJETI

ILIYOTENGWA

MAELEZO

1 Kufanya matengenezo

ya kawaida ifikapo juni

2017 kwa maeneo

yafuatayo.

Airpot (15km) Mfuko wa

Barabara

30,000,000 Hatua ya kutunuku

zabuni

Kasimba A (6.7km) Mfuko wa 13,400,000 ,,

Page 72: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA …€¦ · 3.Ndg.Mail Komba 4.ASP.Albert L.Beda 5.Ndg.Revocatus G. Ngomeni 6.Ndg.Jumbe Msekula 7.Ndg.Mary Ngomalufu 8.Ndg. Fulgence

72

Barabara

Misunkumilo Kakese

(12.6km)

Mfuko wa

Barabara

25,200,000 ,,

Misunkumilo (10km) Mfuko wa

Barabara

20,000,000 ,,

Majengo mapya - Kazima

(16.5km)

Mfuko wa

Barabara

82,500,000 ,,

Kasimba B (14km) Mfuko wa

Barabara

28,000,000 ,,

Mwamkulu - Karema JNC

(14km)

Mfuko wa

Barabara

28,000,000 ,,

Mpanda - Kasokola (7km) Mfuko wa

Barabara

14,000,000 ,,

Kawajense (16km) Mfuko wa

Barabara

32,000,000 ,,

Mtapenda - Kasokola

(12km)

Mfuko wa

Barabara

31,190,000 ,,

Msasani (10.5km) Mfuko wa

Barabara

21,000,000 ,,

JUMLA NDOGO

325,290,000

2 Kufanya matengenezo

ya maeneo korofi ifikapo

juni 2017 kwa barabara

za maeneo yafuatayo

Mji wa zamani (5km) Mfuko wa

Barabara

25,000,000 Hatua ya kutunuku

zabuni

Nsemulwa (6.9km) Mfuko wa

Barabara

34,500,000 ,,

Msasani (6.62km) Mfuko wa

Barabara

33,100,000 ,,

Page 73: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA …€¦ · 3.Ndg.Mail Komba 4.ASP.Albert L.Beda 5.Ndg.Revocatus G. Ngomeni 6.Ndg.Jumbe Msekula 7.Ndg.Mary Ngomalufu 8.Ndg. Fulgence

73

Shanwe (7.5km) Mfuko wa

Barabara

37,500,000 ,,

Jumla ndogo

130,100,000

3 Kufanya matengenezo

ya wakati maalumu

ifikapo juni 2017 kwa

barabara za maeneo

yafuatayo

Makanyagio (2.5km) Mfuko wa

Barabara

105,000,000 Hatua ya kutunuku

zabuni

Barabara za lami za

manispaa ya Mpanda

(1km)

Mfuko wa

Barabara

350,000,000 ,,

Majengo mapya - Kazima

(2.5km)

Mfuko wa

Barabara

65,460,000 ,,

Kichangani (1.5km) Mfuko wa

Barabara

43,450,000 ,,

JUMLA NDOGO

563,910,000

4

Ujenzi wa madaraja na

kalvati ifikapo juni 2017

Daraja la Kasimba B Mfuko wa

Barabara

100,000,000 ,,

Daraja la Kamakuka Mfuko wa

Barabara

80,000,000 ,,

Ujenzi wa mitaro ya Mvua

eneo la Airtel

Mfuko wa

Barabara

80,230,000 ,,

JUMLA NDOGO

260,230,000

Page 74: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA …€¦ · 3.Ndg.Mail Komba 4.ASP.Albert L.Beda 5.Ndg.Revocatus G. Ngomeni 6.Ndg.Jumbe Msekula 7.Ndg.Mary Ngomalufu 8.Ndg. Fulgence

74

Kufanya ufuatiliaji na

tathimini kwenye

barabara zenye urefu wa

kilometa 460 ifikapo

Juni 2017

Mfuko wa

Barabara

63,980,000

JUMLA KUU 1,343,510,000

Utekelezaji wa miradi hii unatarajiwa kuanza mwishoni mwa mwezi Aprili 2017 baada ya taratibu

za mkataba kukamilika.

Mheshimiwa Mwenyekiti,i ,

Naomba Kuwasilisha.

Chrisant A Mwanawima

Mwenyekiti kamati

KAMATI YA MIPANGO MIJI, UJENZI NA MAZINGIRA

MANISPAA YA MPANDA

Page 75: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA …€¦ · 3.Ndg.Mail Komba 4.ASP.Albert L.Beda 5.Ndg.Revocatus G. Ngomeni 6.Ndg.Jumbe Msekula 7.Ndg.Mary Ngomalufu 8.Ndg. Fulgence

75

TAARIFA YA KAMATI YA UCHUMI, ELIMU, AFYA NA MAJI KWENYE MKUTANO WA

TATU WA BARAZA LA MADIWANI KWA MWAKA WA FEDHA 2016/2017 CHA TAREHE

25/04/2017

Mheshimiwa Mwenyekiti

Kamati ya Uchumi, Elimu, Afya, na Maji kwa kipindi cha Januari hadi Machi 2017, iliketi kikao

kimoja cha tarehe 11/04/2017

Kwa kipindi cha Januari hadi Machi 2017, Kamati ya Uchumi, Elimu,Afya,na Maji ilipokea, ilijadili na

kuthibitisha taarifa mbalimbali za kiutendaji kutoka kwa Watendaji wa Halmashauri. Taarifa hizo ni

kama ifuatavyo:-

TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA MIRADI YA MAENDELE0 KWA

KIPINDI CHA JANUARI - MACHI 2017

Mheshimiwa Mwenyekiti,

Katika bajeti ya mwaka wa fedha 2016/2017 Halmashauri ya Manispaa Mpanda imekisia

kutumia Tshs 8,627,252,000.00 kwa ajili ya utekelezaji wa miradi ya maendeleo sawa na 40%

ya bajeti ya Halmashauri ya Tshs 21,882,670,000.00. kwa mchanganuo ufuatao;

Chanzo cha Fedha Kiasi (TSHS)

Mapato ya Ndani .............................................................................. 1,214,106,000.00

Mfuko wa Barabara .......................................................................... 1,343,510,000.00

Programu ya Maji Kitaifa (NWSSP)........................................................ 380,000,000.00

Mfuko wa Jimbo .................................................................................... 28,816,000.00

Ruzuku ya Maendeleo (LGCDG/DADPs/MMAM) ...................................... 419,219,000.00

Miradi ya Benki ya Dunia Kuendeleza Miji (ULGSP) ............................. 4,248,565,000.00

TASAF ................................................................................................ 366,012,000.00

Miradi ya UKIMWI (NMSF) ....................................................................... 6,014,000.00

Programu ya Maji Vijijini (RWSSP) ....................................................... 190,973,000.00

Programu ya Maendeleo Sekta ya Kilimo (ASDP) ................................... 430,037,000.00

Page 76: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA …€¦ · 3.Ndg.Mail Komba 4.ASP.Albert L.Beda 5.Ndg.Revocatus G. Ngomeni 6.Ndg.Jumbe Msekula 7.Ndg.Mary Ngomalufu 8.Ndg. Fulgence

76

Jumla Kuu Miradi ya Maendeleo (TSHS.) 8,627,252,000.00

Halmashauri ya Manispaa ya Mpanda Mpaka kufikia tarehe 30 Machi, 2017 ilikuwa imekusanya

Tshs 1,542,916,156.01 sawa na 76% ya makisio kwa Mwaka 2016/2017. Kwa kipindi cha

Januari - Machi Manispaa ilikuwa imekusanya Jumla ya Tshs 4,489,192,553.52 sawa na

82.1% ya makisio kwa robo ya tatu, kati ya kiasi hicho cha fedha Tshs 562,998,792.29 sawa

112% ya makisio ni kutoka vyanzo vyake vya ndani.

Halmashauri Mpaka kufikia tarehe 30 Machi, 2017 ilikuwa imetumia Tshs. 929,184,239.00

sawa na 11% ya bajeti ya miradi ya Maendeleo katika kutekeleza Miradi ya Maendeleo, kati ya

kiasi hicho cha fedha Tshs. 559,999,557.00 sawa na 60% ya fedha zote zilizotekeleza Miradi,

ni Mchango wa mapato ya ndani ya Halmashauri kutekeleza Miradi ya Maendeleo.

Page 77: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA …€¦ · 3.Ndg.Mail Komba 4.ASP.Albert L.Beda 5.Ndg.Revocatus G. Ngomeni 6.Ndg.Jumbe Msekula 7.Ndg.Mary Ngomalufu 8.Ndg. Fulgence

77

MCHANGANUO WA MIRADI YA MAENDELEO INAYOTEKELEZWA KWA MWAKA WA FEDHA 2016/2017

NA. JINA LA MRADI/AINA YA MRADI

CHANZO CHA

FEDHA

BAJETI ILIYOTENGW

A

FEDHA ILIYOTOLEWA

NA KUTUMIKA BAKI MAELEZO

1 Kuwezesha mchango wa 20%kwenda ngazi ya mtaa na vijiji ifikapo Juni 2017

Mapato ya

Ndani 242,821,200 64,887,000 177,934,200 Fedha za awamu ya

kwanza na awamu ya pili zimepelekwa. Tupo katika maandalizi ya kupeleka fedha

awamu ya tatu.

2 Kufanyia maboresho Mpango Mkakati wa Halmashauri (Mu-nicipal Strategic Plan) ifikapo Juni 2017

Mapato ya

Ndani 23,700,000 0.00 23,700,000 Kazi ipo katika

mchakato wa manunuzi ya Mtaalam Mshauri

3 Kukamilisha ujenzi wa ofisi 7 za kata pamoja na nyumba 4 za watumishi zilizopo Ilembo ifikapo Juni 2017 (Ilembo, Kashaulili, Shanwe, Nsemulwa, Makanyagio, Kawajense,

Misunkumilo)

Mapato ya Ndani

27,000,000 26,785,827 214,173 Nyumba (01) ya mkuu wa Idara imekamilika na inatumika. Nyumba hii imegharimu fedha tajwa kwa kuwa awali ilifanyiwa matengenezo kwa ajili ya Makazi ya

Mkurugenzi.

4 Kuandaa Mpango na Bajeti ya Halmashauri pamoja na kuziwasilisha OR-TAMISEMI na HAZINA ifikapo Juni 2017

Mapato ya

Ndani 23,800,000 11,040,900 12,759,100 Mpango wa bajeti

2017/2018 tayari umeandaliwa na kuwasilishwa

TAMISEMI

Page 78: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA …€¦ · 3.Ndg.Mail Komba 4.ASP.Albert L.Beda 5.Ndg.Revocatus G. Ngomeni 6.Ndg.Jumbe Msekula 7.Ndg.Mary Ngomalufu 8.Ndg. Fulgence

78

NA. JINA LA MRADI/AINA YA

MRADI

CHANZO CHA

FEDHA

BAJETI ILIYOTENGW

A

FEDHA ILIYOTOLEWA NA KUTUMIKA

BAKI MAELEZO

5 Kufanya tathmini na ufuatiliaji wa Miradi ya maendeleo katika

kata zote 15 ifikapo Juni 2017

Mapato ya ndani

27,800,000 11,128,230 16,671,770 Shughuli inaendelea kutekelezwa

6 Kuwezesha utengenezaji wa madawati 460 katika shule za

msingi ifikapo Juni 2017

Mapato ya

Ndani 23,000,000 23,000,000 0.00 Madawati 460

yametengenezwa

7 Kukamilisha ujenzi wa madarasa 6 katika shule za msingi 3 (02 Makanyagio, 02 Kasimba, 02 Kawanzige)

ifikapo Juni 2017

Mapato ya

Ndani 29,000,000 27,500,000 1,500,000 Fedha zimetumika

kutengeneza madawati

8 Kukamilisha ujenzi wa nyumba moja ya Matroni Sekondari ya Rungwa fikapo Juni 2017

Mapato ya

Ndani 27,000,000 25,000,000 2,000,000 Fedha imetumika

kukamilisha ujenzi wa jiko katika

sekondari ya Rungwa

9 Kukamilisha ujenzi wa majengo ya utawala sekondari za Rungwa, Kasimba na Nsemulwa ifikapo Juni 2017

Mapato ya Ndani

15,000,000 15,000,000 0.00 Fedha zimetumika katika ujenzi wa Maabara na ukarabati wa Nyumba ya mkurugenzi. Shughuli ya ukamilishaji wa majengo ya utawala imepangwa katika bajeti ya 2017/2018

10 Kukamilisha ujenzi wa maabara 4 sekondari za Nsemulwa, Kasimba, Rungwa

na Kasokola ifikapo Juni 2017

Mapato ya Ndani

16,000,000 16,000,000 0.00 Maabara mbili (02) katika shule ya sekondari Kasimba na Nsemulwa

Page 79: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA …€¦ · 3.Ndg.Mail Komba 4.ASP.Albert L.Beda 5.Ndg.Revocatus G. Ngomeni 6.Ndg.Jumbe Msekula 7.Ndg.Mary Ngomalufu 8.Ndg. Fulgence

79

NA. JINA LA MRADI/AINA YA

MRADI

CHANZO CHA

FEDHA

BAJETI ILIYOTENGW

A

FEDHA ILIYOTOLEWA NA KUTUMIKA

BAKI MAELEZO

zinatumika. Maabara ya Nsemulwa inatumika japokuwa bado mifumo ya gesi

na umeme

11 Kukamilisha ujenzi wa bweni la wanafunzi sekondari ya

Kasokola ifikapo Juni 2017

Mapato ya Ndani

12,000,000 4,000,000 8,000,000 Fedha imetumika kulipia ujenzi wa maabara shule ya sekondari ya

Kasimba.

Shughuli ya ujenzi wa bweni itatekelezwa baada ya marekebisho ya vifungu

12 Kuwezesha utoaji wa mikopo yenye riba nafuu kwa makundi 28 ya vijana na wanawake

ifikapo Juni 2017

Mapato ya Ndani

121,410,600 90,000,000 31,410,600 Utekelezaji unaendelea vizuri jumla ya vikundi 42 vimepatiwa mikopo Mpaka kufikia tarehe

30/03/2017

13 Kujenga vyoo bora na vya kisasa katika zahanati za Mtakumbuka na Mwamkulu ifikapo Juni 2017

Mapato ya

Ndani 8,000,000 2,000,000 6,000,000 Ujenzi wa choo

Zahanati ya Mtakumbuka umekamilika. Michango ya wananchi imepunguza gharama

Page 80: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA …€¦ · 3.Ndg.Mail Komba 4.ASP.Albert L.Beda 5.Ndg.Revocatus G. Ngomeni 6.Ndg.Jumbe Msekula 7.Ndg.Mary Ngomalufu 8.Ndg. Fulgence

80

NA. JINA LA MRADI/AINA YA

MRADI

CHANZO CHA

FEDHA

BAJETI ILIYOTENGW

A

FEDHA ILIYOTOLEWA NA KUTUMIKA

BAKI MAELEZO

za ujenzi.

14 Kuwezesha ujenzi wa maabara kwenye kituo cha afya cha Ilembo ifikapo Juni

2017

Mapato ya

Ndani 20,000,000 0.00 20,000,000 Shughuli hii

itatekelezwa katika robo ijayo

15 Kufanya ukarabati mdogo wa jengo la makao makuu ya ofisi za Halmashauri ifikapo Juni 2017

Mapato ya

Ndani 10,000,000 9,865,191 134,809 Ukarabati uliofanyika

ni Pamoja kubadilisha marumaru zilizokuwa zimevunjika,kutoboa Mashimo ya kuondolea maji ya mvua yaliyokuwa yanatuama eneo la mbele ya jengo, kujenga ngazi moja mlango mkuu wa kuingilia na Kuweka tanki la kuhifadhia Maji.

16 Kufanya ukarabati na matunzo ya magari ya Halmashauri

ifikapo Juni 2017

Mapato ya Ndani

28,000,000 18,255,469 9,744,531 Magari yanaendelea kufanyiwa matengenezo pale

inapohitajika.

17 Kufanya ukarabati wa vifaa na vitendea kazi vya ofisi ifikapo Juni 2017

Mapato ya

Ndani 10,705,300 9,678,936 1,026,364 Vifaa na vitendea

kazi vimeendelea kufanyiwa

Page 81: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA …€¦ · 3.Ndg.Mail Komba 4.ASP.Albert L.Beda 5.Ndg.Revocatus G. Ngomeni 6.Ndg.Jumbe Msekula 7.Ndg.Mary Ngomalufu 8.Ndg. Fulgence

81

NA. JINA LA MRADI/AINA YA

MRADI

CHANZO CHA

FEDHA

BAJETI ILIYOTENGW

A

FEDHA ILIYOTOLEWA NA KUTUMIKA

BAKI MAELEZO

matengenezo pale inapohitajika

18 Kutenga maeneo kwa ajili ya ujenzi wa masoko maeneo ya Shanwe Kilimahewa na Nsemulwa Uwanja wa Ndege

ifikapo Juni 2017

Mapato ya

Ndani 4,500,000 0.00 4,500,000 Katika miradi ya

upimaji wa viwanja Maeneo ya Shanwe, Nsemulwa na Uwanja wa ndege, utengaji wa maeneo ya Masoko

umezingatiwa.

19 Kuweka umeme kwenye kituo cha kuegesha magari eneo la

Misunkumilo ifikapo Juni 2017

Mapato ya

Ndani 8,776,500 8,776,500 0.00 Umeme tayari

umefika eneo la

mradi.

20 Kukarabati matundu ya vyoo 40 pamoja na kutoa vifaa vya kunawia mikono kwenye shule 5 za msingi (Ilembo, Nsemulwa, Makanyagio, Man-ga na Milala) pamoja na matundu 12 katika shule 3 za sekondari Nsemulwa, Mwangaza na Kasokola ifikapo

Juni 2017

Mapato ya

Ndani 20,000,000 0.00 20,000,000 Shughuli hii

itatekelezwa katika

robo ijayo

21 Kujenga mifumo ya kuvunia maji ya mvua kwenye shule 3 za sekondari Mwangaza, Kasokola na Magamba ifikapo

Mapato ya

Ndani 5,000,000 3,000,000 2,000,000 Fedha imetumika

kulipia ujenzi wa Maabara ya Kasimba

Sekondari.

Page 82: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA …€¦ · 3.Ndg.Mail Komba 4.ASP.Albert L.Beda 5.Ndg.Revocatus G. Ngomeni 6.Ndg.Jumbe Msekula 7.Ndg.Mary Ngomalufu 8.Ndg. Fulgence

82

NA. JINA LA MRADI/AINA YA

MRADI

CHANZO CHA

FEDHA

BAJETI ILIYOTENGW

A

FEDHA ILIYOTOLEWA NA KUTUMIKA

BAKI MAELEZO

Juni 2017

22 Kukamilisha ujenzi wa km 2 za skimu ya umwagiliaji Mwamkulu ifikapo Juni 2017

Mapato ya

Ndani 140,000,000 4,590,000 135,410,000 Mkandarasi tayari

amepatikana na anatarajia kuanza

kazi robo ijayo.

23 Kuanzisha shamba la mbogamboga katika kijiji cha

Manga ifikapo Juni 2017

Mapato ya

Ndani 31,058,200 0.00 31,058,200 Shughuli itafanyika

katika robo ijayo.

24 Kuwezesha matumizi ya mpango bora wa ardhi katika vijiji 4 na mitaa 10 ifikapo Juni

2017

Mapato ya Ndani

11,060,000 241,319 10,818,681 Maandalizi ya awali

25 Kuanzisha ekari 479 za kilimo cha alizeti katika vijiji 5 vya Magamba, Kasokola, mbugani, kamakuka na Kakese ifikapo

Juni 2017

Mapato ya

Ndani 33,192,180 0.00 33,192,180 Majaribio ya mbegu

za alzeti yatafanyika katika mashamba baada ya mavuno ya

mpunga.

26 Kujenga nyumba ya afisa ugani katika kijiji cha

Mwamkulu ifikapo Juni 2017

Mapato ya

Ndani 27,510,820 0.00 27,510,820 Shughuli hii

itatekelezwa katika

robo ijayo

27 Kujenga machinjio ya kisasa katka kata ya Kakese ifikapo

Juni 2017

Mapato ya Ndani

149,115,900 149,115,900 0 Fedha imetumika katika kujenga miundombinu eneo la maegesho ya magari makubwa, viwanda

Page 83: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA …€¦ · 3.Ndg.Mail Komba 4.ASP.Albert L.Beda 5.Ndg.Revocatus G. Ngomeni 6.Ndg.Jumbe Msekula 7.Ndg.Mary Ngomalufu 8.Ndg. Fulgence

83

NA. JINA LA MRADI/AINA YA

MRADI

CHANZO CHA

FEDHA

BAJETI ILIYOTENGW

A

FEDHA ILIYOTOLEWA NA KUTUMIKA

BAKI MAELEZO

vidogo vidogo na wajasiliamali Misunkumilo. Ujenzi wa machinjio umepangwa katika bajeti ya 2017/2018

28 Kuwawezesha wafugaji wa Kashaulili SACCOS kuanzisha kiwanda cha maziwa ifikapo

Juni 2017

Mapato ya

Ndani 33,000,000 30,104,285 2,895,715 Fedha zimetumika

kulipa gharama za utengenezaji wa

madawati

29 Kuanzisha mabwawa 2 ya samaki katika vjiji vya Manga na Kamakuka ifikapo Juni

2017

Mapato ya Ndani

60,705,300 2,130,000 58,575,300 Maandalizi ya awali yamefanyika kwa kuhamasisha uchimbaji wa Mabwawa ya vikundi katika vijiji vya man-

ga na Kamakuka.

30 Kufanya uthamini wa majengo, kuandaa rejista kwa ajili ya kukusanya kodi za majengo pamoja na kununua

vifaa vya GIS ifikapo Juni 2017

Mapato ya

Ndani 24,950,000 7,900,000 17,050,000 Shuhguli ya uthamini

wa nyumba 10,227 umefanyika, taarifa ya uthamini itawekwa ofisi za kata ili wananchi watoe maoni yao.

JUMLA KUU MAPATO YA NDANI

1,214,106,000

559,999,557 654,106,443

Page 84: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA …€¦ · 3.Ndg.Mail Komba 4.ASP.Albert L.Beda 5.Ndg.Revocatus G. Ngomeni 6.Ndg.Jumbe Msekula 7.Ndg.Mary Ngomalufu 8.Ndg. Fulgence

84

NA. JINA LA MRADI/AINA YA

MRADI

CHANZO CHA

FEDHA

BAJETI ILIYOTENGW

A

FEDHA ILIYOTOLEWA NA KUTUMIKA

BAKI MAELEZO

31 Kuwezesha kaya masikini kujikita katika shughuli za kiuchumi zitakazo wawezesha kuzalisha mali ili kuondokana na umasikini wa kipato ifikapo Juni 2017 (Mwamkulu, Kakese, Misumkumilo, Mpanda Hotel, Ilembo, Makanyagio na Shanwe)

TASAF 330,889,638 157,301,103 173,588,535 Utekelezaji wa shughuli hii

unaendelea vizuri

32 Kufanya ufuatiliaji wa kaya masikini katika shughuli zao za kujipatia kipato ifikapo Juni

2017

TASAF 35,122,362 9,700,320 25,422,042 Utekelezaji wa shughuli hii

unaendelea vizuri

JUMLA KUU TASAF 366,012,000 167,001,423 199,010,577

33 Kuwajengea uwezo wananchi kuwa na uelewa wa masuala ya VVU/UKIMWI kupitia vyombo vya habari, sinema, matangazo na warsha

mbalilmbali ifikapo Juni 2017

Benki ya Dunia (NMSF)

3,200,000 0.00 3,200,000 Fedha kwa ajili ya utekelezaji wa shughuli hii

hazijaletwa

34 Kumwezesha Mratibu wa UKIMWI kutekeleza majukumu

yake ya ofisi ifikapo Juni 2017

Benki ya Dunia

(NMSF)

2,814,000 0.00 2,814,000 Fedha kwa ajili ya utekelezaji wa shughuli hii

hazijaletwa

JUMLA KUU MIRADI YA KUDHIBITI UKIMWI (NMSF)

6,014,000 0.00 6,014,000

Page 85: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA …€¦ · 3.Ndg.Mail Komba 4.ASP.Albert L.Beda 5.Ndg.Revocatus G. Ngomeni 6.Ndg.Jumbe Msekula 7.Ndg.Mary Ngomalufu 8.Ndg. Fulgence

85

NA. JINA LA MRADI/AINA YA

MRADI

CHANZO CHA

FEDHA

BAJETI ILIYOTENGW

A

FEDHA ILIYOTOLEWA NA KUTUMIKA

BAKI MAELEZO

35 Kutoa mafunzo ya muda mfupi kwa watumishi 6 juu ya mipango ya miradi na usimamizi wa fedha ifikapo

Juni 2017

Benki ya Dunia

(ULGSP)

30,670,000 670,000 30,000,000 Mafunzo yametolewa kwa mtumishi mmoja

Jijini Dar es Salaam

36 Kuwezesha utoaji wa mafunzo ya muda mfupi juu ya usimamizi wa miradi na namna ya kuandaa Mpango Mkatati

ifikapo Juni 2017

Benki ya Dunia

(ULGSP)

26,400,000 24,213,500 2,186,500 Mafunzo yamefanyika

37 Kuwezesha utoaji wa mafunzo juu ya uandaaji wa CBP na CNA kwa wajumbe 7 wa kamati na wakuu wa idara

ifikapo Juni 2017

Benki ya Dunia

(ULGSP)

11,300,000 6,525,000 4,775,000 CBP na CAN zimerekebishwa Pamoja na kutoa Mafunzo kwa

wajumbe husika

38 Kutoa mafunzo ya muda mfupi juu ya usimamizi wa fedha (EPICOR na IPSAS) pamoja na mipango miji kwa

watumishi 10 ifikapo Juni 2017

Benki ya Dunia

(ULGSP)

12,111,870 0.00 12,111,870 Kazi hii itafanyika katika robo ijayo

39 Kuendesha mafunzo ya muda mfupi juu ya mfumo wa kukusanya mapato kwa njia ya kielektroniki LGRCIS na TEHAMA kwa maafisa 03 wa TEHAMA na maafisa mapato 03 ifikapo Juni 2017

Benki ya Dunia

(ULGSP)

6,040,000 0.00 6,040,000 Kazi hii itafanyika katika robo ijayo

Page 86: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA …€¦ · 3.Ndg.Mail Komba 4.ASP.Albert L.Beda 5.Ndg.Revocatus G. Ngomeni 6.Ndg.Jumbe Msekula 7.Ndg.Mary Ngomalufu 8.Ndg. Fulgence

86

NA. JINA LA MRADI/AINA YA

MRADI

CHANZO CHA

FEDHA

BAJETI ILIYOTENGW

A

FEDHA ILIYOTOLEWA NA KUTUMIKA

BAKI MAELEZO

40 Kutoa mafunzo ya muda mfupi juu utumiaji wa GIS na Autocard kwa watumishi 6

ifikapo Juni 2017

Benki ya Dunia

(ULGSP)

10,600,000 0.00 10,600,000 Kazi hii itafanyika katika robo ijayo

41 Kuendesha mafunzo juu ya usimamizi wa ubora na uandaaji wa miradi na mifumo wa Wahandisi 3 na Mafundisanifu 5 ifikapo Juni

2017

Benki ya Dunia

(ULGSP)

10,075,000 2,694,000 7,381,000 Wahandisi wawili na fundi sanifu mmoja wamepatiwa mafunzo hayo

mkoani Arusha

42 Kutoa mafunzoya siku 5 kwenye mifumo ya mipango (PLANREP, CDR, CFR, LGMD) kwa watumishi 25 ifikapo Juni

2017

Benki ya Dunia

(ULGSP)

11,000,000 10,940,000 60,000 Mafunzo yametolewa

43 Kuendesha mafunzo ya siku 5 juu ya utatuzi wa migogoro, usafi wa mazingira, usimamizi wa miradi na ufuatiliaji kwa Watendaji 15 na kamati 15 za maendeleo za kata ifikapo Juni

2017

Benki ya Dunia

(ULGSP)

15,000,000 14,000,000 1,000,000 Kikao kazi kwa ajili ya maandalizi ya upimaji kimefanyika kwa watendaji wote wa kata. Mafunzo juu ya utatuzi wa migogoro, usafi wa mazingira, usimamizi wa miradi na ufuatiliaji kamati za maendeleo za kata

44 Kuwezesha utoaji wa mafunzo ya udereva bora kwa

Benki ya Dunia

7,000,000 822,000 6,178,000 Mafunzo yamefanyika kwa dereva mmoja Chuo cha usafirishaji

Page 87: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA …€¦ · 3.Ndg.Mail Komba 4.ASP.Albert L.Beda 5.Ndg.Revocatus G. Ngomeni 6.Ndg.Jumbe Msekula 7.Ndg.Mary Ngomalufu 8.Ndg. Fulgence

87

NA. JINA LA MRADI/AINA YA

MRADI

CHANZO CHA

FEDHA

BAJETI ILIYOTENGW

A

FEDHA ILIYOTOLEWA NA KUTUMIKA

BAKI MAELEZO

madereva 4 ifikapo Juni 2017 (ULGSP) Dar es Salaam(NIT)

45 Kuendesha mikutano 15 ya hamasa kwenye kata 15 juu ya masuala ya Rushwa, Jinsia na

VVU/UKIMWI ifikapo Juni 2017

Benki ya Dunia

(ULGSP)

4,700,000 4,100,000 600,000 Mafunzo yamefanyika kwa watendaji wote wa kata na wenyeviti wa Vijiji/mitaa ili wakatoe hamasa katika Jamii.

46 Kuwezesha ufungaji wa POS na kuzitumia kukusanya mapato kwenye kata 15 ifikapo Juni 2017

Benki ya Dunia

(ULGSP)

50,531,380 19,710,720.00 30,820,660.00 Jumla ya POS 25 zimenunuliwa na zinafanya kazi

47 Kuwezesha mazingira bora ya kufanyia kazi kwa watumishi 11 ifikapo Juni 2017

Benki ya Dunia

(ULGSP)

17,000,000 16,348,000 652,000 Jumla ya 'Laptop & HDD 4, Mashine ya Photocopy 1 na Printa 1 vimenunuliwa na vinatumika.

48 Kuwezesha ukamilishaji wa awamu ya pili ya ujenzi wa barabara kwa kiwango cha lami km 7.7 ifikapo Juni 2017

Benki ya Dunia

(ULGSP)

3,431,036,750 0.00 3,431,036,750 Hatua ya manunuzi

49 Kuwezesha utoaji wa ushauri wa kitaalam na usimamizi wa ujenzi wa barabara za lami km

7.7 ifikapo Juni 2017

Benki ya Dunia

(ULGSP)

300,000,000 22,574,000 277,426,000 Fedha imetumika kufanya mapitio ya athari za kimazingira kwa wajumbe wa NEMC na kumtafuta mtaalam mshauri wa

mradi

Page 88: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA …€¦ · 3.Ndg.Mail Komba 4.ASP.Albert L.Beda 5.Ndg.Revocatus G. Ngomeni 6.Ndg.Jumbe Msekula 7.Ndg.Mary Ngomalufu 8.Ndg. Fulgence

88

NA. JINA LA MRADI/AINA YA

MRADI

CHANZO CHA

FEDHA

BAJETI ILIYOTENGW

A

FEDHA ILIYOTOLEWA NA KUTUMIKA

BAKI MAELEZO

50 Kuwezesha utoaji wa ushauri wa kitaalam juu ya Skimu ya Mipango Miji (GPS) kwa Manispaa ya Mpanda ifikapo

Juni 2017

Benki ya Dunia

(ULGSP)

105,100,000 450,000 104,650,000 Mtaalam mshauri

ameshapatikana,

anatarajia kuanza

kazi robo ijayo.

51 Kufanya uthamini wa majengo kwa ajili ya ukusanyaji wa kodi ya majengo kwenye kata 15

na mitaa 43 ifikapo Juni 2017

Benki ya Dunia

(ULGSP

200,000,000 41,234,274 158,765,726 Shuhguli ya uthamini

wa nyumba 10,227

umefanyika, taarifa

ya uthamini itawekwa

ofisi za kata ili

wananchi watoe

maoni yao.

JUMLA KUU MIRADI YA UBORESHAJI NA UENDELEZAJI MIJI

(ULGSP)

4,248,565,00

0 164,281,494 4,084,283,506

52 Kufanya matengenezo ya kawaida ifikapo juni 2017

kwa maeneo yafuatayo.

Airpot (15km) Mfuko wa

Barabara 30,000,000 0.00 30,000,000 Hatua za mwisho za

manunuzi.Zimetumw

a barua za kuwaita

wakandarasi

walioshinda zabuni

kuanza kazi

Page 89: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA …€¦ · 3.Ndg.Mail Komba 4.ASP.Albert L.Beda 5.Ndg.Revocatus G. Ngomeni 6.Ndg.Jumbe Msekula 7.Ndg.Mary Ngomalufu 8.Ndg. Fulgence

89

NA. JINA LA MRADI/AINA YA

MRADI

CHANZO CHA

FEDHA

BAJETI ILIYOTENGW

A

FEDHA ILIYOTOLEWA NA KUTUMIKA

BAKI MAELEZO

Kasimba A (6.7km) Mfuko wa Barabara

13,400,000 0.00 13,400,000 Hatua za mwisho za

manunuzi.Zimetumw

a barua za kuwaita

wakandarasi

walioshinda zabuni

kuanza kazi

Misunkumilo Kakese

(12.6km)

Mfuko wa

Barabara 20,200,000 0.00 20,200,000 Hatua za mwisho za

manunuzi.Zimetumw

a barua za kuwaita

wakandarasi

walioshinda zabuni

kuanza kazi

Misunkumilo (10km) Mfuko wa

Barabara 25,000,000 0.00 25,000,000 Hatua za mwisho za

manunuzi.Zimetumw

a barua za kuwaita

wakandarasi

walioshinda zabuni

kuanza kazi

Majengo mapya - Kazima (16.5km)

Mfuko wa Barabara

82,500,000 0.00 82,500,000 Hatua za mwisho za

manunuzi.Zimetumw

a barua za kuwaita

wakandarasi

walioshinda zabuni

kuanza kazi

Page 90: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA …€¦ · 3.Ndg.Mail Komba 4.ASP.Albert L.Beda 5.Ndg.Revocatus G. Ngomeni 6.Ndg.Jumbe Msekula 7.Ndg.Mary Ngomalufu 8.Ndg. Fulgence

90

NA. JINA LA MRADI/AINA YA

MRADI

CHANZO CHA

FEDHA

BAJETI ILIYOTENGW

A

FEDHA ILIYOTOLEWA NA KUTUMIKA

BAKI MAELEZO

Kasimba B (14km) Mfuko wa Barabara

28,000,000 0.00 28,000,000 Hatua za mwisho za

manunuzi.Zimetumw

a barua za kuwaita

wakandarasi

walioshinda zabuni

kuanza kazi

Mwamkulu - Karema JNC

(14km)

Mfuko wa

Barabara 28,000,000 0.00 28,000,000 Hatua za mwisho za

manunuzi.Zimetumw

a barua za kuwaita

wakandarasi

walioshinda zabuni

kuanza kazi

Mpanda - Kasokola (7km) Mfuko wa

Barabara 14,000,000 0.00 14,000,000 Hatua za mwisho za

manunuzi.

Zimetumwa barua za

kuwaita wakandarasi

walioshinda zabuni

kuanza kazi

Kawajense (16km) Mfuko wa Barabara

32,000,000 0.00 32,000,000 Hatua za mwisho za

manunuzi.Zimetumw

a barua za kuwaita

wakandarasi

walioshinda zabuni

kuanza kazi

Page 91: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA …€¦ · 3.Ndg.Mail Komba 4.ASP.Albert L.Beda 5.Ndg.Revocatus G. Ngomeni 6.Ndg.Jumbe Msekula 7.Ndg.Mary Ngomalufu 8.Ndg. Fulgence

91

NA. JINA LA MRADI/AINA YA

MRADI

CHANZO CHA

FEDHA

BAJETI ILIYOTENGW

A

FEDHA ILIYOTOLEWA NA KUTUMIKA

BAKI MAELEZO

Mtapenda - Kasokola (12km) Mfuko wa Barabara

31,190,000 0.00 31,190,000 Hatua za mwisho za

manunuzi.Zimetumw

a barua za kuwaita

wakandarasi

walioshinda zabuni

kuanza kazi

Msasani (10.5km) Mfuko wa

Barabara 21,000,000 0.00 21,000,000 Hatua za mwisho za

manunuzi.Zimetumw

a barua za kuwaita

wakandarasi

walioshinda zabuni

kuanza kazi

JUMLA NDOGO 325,290,000 0.00 325,290,000

53 Kufanya matengenezo ya maeneo korofi ifikapo juni 2017 kwa barabara za

maeneo yafuatayo

Mji wa zamani (5km) Mfuko wa

Barabara 25,000,000 0.00 25,000,000 Hatua za mwisho za

manunuzi.Zimetumw

a barua za kuwaita

wakandarasi

walioshinda zabuni

kuanza kazi

Nsemulwa (6.9km) Mfuko wa 34,500,000 0.00 34,500,000 Hatua za mwisho za

manunuzi.Zimetumw

Page 92: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA …€¦ · 3.Ndg.Mail Komba 4.ASP.Albert L.Beda 5.Ndg.Revocatus G. Ngomeni 6.Ndg.Jumbe Msekula 7.Ndg.Mary Ngomalufu 8.Ndg. Fulgence

92

NA. JINA LA MRADI/AINA YA

MRADI

CHANZO CHA

FEDHA

BAJETI ILIYOTENGW

A

FEDHA ILIYOTOLEWA NA KUTUMIKA

BAKI MAELEZO

Barabara a barua za kuwaita

wakandarasi

walioshinda zabuni

kuanza kazi

Msasani (6.62km) Mfuko wa

Barabara 33,100,000 0.00 33,100,000 Hatua za mwisho za

manunuzi.Zimetumw

a barua za kuwaita

wakandarasi

walioshinda zabuni

kuanza kazi

Shanwe (7.5km) Mfuko wa Barabara

37,500,000 0.00 37,500,000 Hatua za mwisho za

manunuzi.Zimetumw

a barua za kuwaita

wakandarasi

walioshinda zabuni

kuanza kazi

JUMLA NDOGO 130,100,000 0.00 130,100,000

54 Kufanya matengenezo ya wakati maalumu ifikapo juni 2017 kwa barabara za

maeneo yafuatayo

Makanyagio (2.5km) Mfuko wa Barabara

105,000,000 0.00 105,000,000 Hatua za mwisho za

manunuzi.Zimetumw

a barua za kuwaita

wakandarasi

Page 93: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA …€¦ · 3.Ndg.Mail Komba 4.ASP.Albert L.Beda 5.Ndg.Revocatus G. Ngomeni 6.Ndg.Jumbe Msekula 7.Ndg.Mary Ngomalufu 8.Ndg. Fulgence

93

NA. JINA LA MRADI/AINA YA

MRADI

CHANZO CHA

FEDHA

BAJETI ILIYOTENGW

A

FEDHA ILIYOTOLEWA NA KUTUMIKA

BAKI MAELEZO

walioshinda zabuni

kuanza kazi

Kujenga Barabara za lami za

Manispaa ya Mpanda (1km)

Mfuko wa

Barabara 350,000,000 0.00 350,000,000 Hatua za mwisho za

manunuzi.Zimetumw

a barua za kuwaita

wakandarasi

walioshinda zabuni

kuanza kazi

Majengo mapya - Kazima

(2.5km)

Mfuko wa

Barabara 65,460,000 0.00 65,460,000 Hatua za mwisho za

manunuzi.Zimetumw

a barua za kuwaita

wakandarasi

walioshinda zabuni

kuanza kazi

Kichangani (1.5km) Mfuko wa Barabara

43,450,000 0.00 43,450,000 Hatua za mwisho za

manunuzi.Zimetumw

a barua za kuwaita

wakandarasi

walioshinda zabuni

kuanza kazi

JUMLA NDOGO 563,910,000 0.00 563,910,000

55 Ujenzi wa madaraja na

kalvati ifikapo juni 2017

Page 94: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA …€¦ · 3.Ndg.Mail Komba 4.ASP.Albert L.Beda 5.Ndg.Revocatus G. Ngomeni 6.Ndg.Jumbe Msekula 7.Ndg.Mary Ngomalufu 8.Ndg. Fulgence

94

NA. JINA LA MRADI/AINA YA

MRADI

CHANZO CHA

FEDHA

BAJETI ILIYOTENGW

A

FEDHA ILIYOTOLEWA NA KUTUMIKA

BAKI MAELEZO

Daraja la Kasimba B Mfuko wa Barabara

100,000,000 0.00 100,000,000 Hatua za mwisho za

manunuzi.Zimetumw

a barua za kuwaita

wakandarasi

walioshinda zabuni

kuanza kazi

Daraja la Kamakuka Mfuko wa

Barabara 80,000,000 0.00 80,000,000 Hatua za mwisho za

manunuzi.Zimetumw

a barua za kuwaita

wakandarasi

walioshinda zabuni

kuanza kazi

Ujenzi wa mitaro ya Mvua

eneo la Airtel

Mfuko wa

Barabara 80,230,000

0.00 80,230,000 Hatua za mwisho za

manunuzi.Zimetumw

a barua za kuwaita

wakandarasi

walioshinda zabuni

kuanza kazi

JUMLA NDOGO 260,230,000 0.00 260,230,000

56 Kuendesha mafunzo ya siku 3 kwa wakandarasi 15 juu ya kupunguza maambukizi mapya ya VVU/UKIMWI ifikapo Juni 2017

Mfuko wa

Barabara 1,500,000 0.00 1,500,000 Itatekelezwa robo

ijayo

Page 95: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA …€¦ · 3.Ndg.Mail Komba 4.ASP.Albert L.Beda 5.Ndg.Revocatus G. Ngomeni 6.Ndg.Jumbe Msekula 7.Ndg.Mary Ngomalufu 8.Ndg. Fulgence

95

NA. JINA LA MRADI/AINA YA

MRADI

CHANZO CHA

FEDHA

BAJETI ILIYOTENGW

A

FEDHA ILIYOTOLEWA NA KUTUMIKA

BAKI MAELEZO

57 Kufanya ufuatiliaji na tathimini kwenye 460km za barabara

ifikapo Juni 2017

Mfuko wa Barabara

63,980,000 0.00 63,980,000 Itatekelezwa robo ijayo

JUMLA NDOGO 63,980,000 00 63,980,000

JUMLA KUU MFUKO WA

BARABARA 1,343,510,00

0 00 1,343,510,000

58 Kutoa mafunzo kwa vitendo kwa viongozi 100 wa vitongoji, 20 wa kata, 20 wa vijiji na watendaji wa kata 3 juu ya ukusanyaji wa data na kuziunganisha ifikapo Juni

2017

Benki ya Dunia (Hand

Wash)

6,441,000 0.00 6,441,000 Fedha haijaletwa

kutoka Hazina

59 Kukusanya data kwa siku 5 katika vitongoji 100 ifikapo

Juni 2017

Benki ya

Dunia

(Hand

Wash)

6,074,900 0.00 6,074,900 Fedha haijaletwa

kutoka Hazina

60 Kufanya mafunzo ya siku 24 kuhamasisha matumizi ya vyoo bora na usafi katika

vitongoji 100 ifikapo Juni 2017

Benki ya Dunia (Hand

Wash)

7,607,100 0.00 7,607,100 Fedha haijaletwa

kutoka Hazina

61 Kuhamasisha mashindano ya usafi wa mazingira ngazi ya

kata na vijiji ifikapo Juni 2017

Benki ya

Dunia

(Hand

Wash)

3,000,000 0.00 3,000,000 Fedha haijaletwa

kutoka Hazina

Page 96: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA …€¦ · 3.Ndg.Mail Komba 4.ASP.Albert L.Beda 5.Ndg.Revocatus G. Ngomeni 6.Ndg.Jumbe Msekula 7.Ndg.Mary Ngomalufu 8.Ndg. Fulgence

96

NA. JINA LA MRADI/AINA YA

MRADI

CHANZO CHA

FEDHA

BAJETI ILIYOTENGW

A

FEDHA ILIYOTOLEWA NA KUTUMIKA

BAKI MAELEZO

62 Kufanya ufuatiliaji na usimamizi wa utekelezaji kampeni ya usafi kitaifa ifikapo

Juni 2017

Benki ya Dunia

(Hand

Wash)

5,800,000 389,191 5,410,809 Kazi inaendelea

63 Kuzihakiki takwimu zilizokusanywa kutoka ngazi ya kata, mitaa, vijiji, vitongoji kwa ajili ya kuandaa taarifa ya

robo ifikapo Juni 2017

Benki ya

Dunia

(Hand

Wash)

1,077,000 0.00 1,077,000 Fedha haijaletwa

kutoka Hazina

64 Kuwezesha uundwaji wa klabu za shule 34 za usafi wa

mazingira ifikapo Juni 2017

Benki ya

Dunia

(Hand

Wash)

460,000 0.00 460,000 Fedha haijaletwa

kutoka Hazina

65 Kuendesha mashindano ya usafi kwa shule 5 ifikapo Juni 2017

Benki ya

Dunia

(Hand Wash)

1,777,480 0.00 1,777,480 Fedha haijaletwa

kutoka Hazina

66 Kufanya ukaguzi wa utekelezaji wa kampeni za usafi wa mazingira kwa shule

5 ifikapo Juni 2017

Benki ya Dunia

(Hand

Wash)

1,160,000 0.00 1,160,000 Fedha haijaletwa kutoka Hazina

67 Kufanya ukaguzi wa miundombinu ya afya katika vituo 13 vya afya ifikapo Juni

Benki ya

Dunia

(Hand

602,520 0.00 602,520 Fedha haijaletwa

kutoka Hazina

Page 97: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA …€¦ · 3.Ndg.Mail Komba 4.ASP.Albert L.Beda 5.Ndg.Revocatus G. Ngomeni 6.Ndg.Jumbe Msekula 7.Ndg.Mary Ngomalufu 8.Ndg. Fulgence

97

NA. JINA LA MRADI/AINA YA

MRADI

CHANZO CHA

FEDHA

BAJETI ILIYOTENGW

A

FEDHA ILIYOTOLEWA NA KUTUMIKA

BAKI MAELEZO

2017 Wash)

JUMLA KUU RWSSP

(HANDWASH) 34,000,000 389,191 33,610,809

68 Kufanya saveyi, kuchimba visima 6 virefu; 2 Mwamkulu, 2 Kasokola, 1 Magamba na 1 Uwanja wa Ndege ifikapo

Juni, 2017.

Benki ya Dunia

(RWSSP)

156,973,000 0.00 156,973,000 Fedha haijaletwa kutoka Hazina

JUMLA KUU BENKI YA DUNIA (RWSSP-VISIMA)

156,973,000 0.00 156,973,000

69 Kukarabati visima 7; 3 Magamba, 2 Milala, 1 Mwamkulu na 1 Mkwajuni

ifikapo Juni, 2017.

NWSSP 35,000,000 0.00 35,000,000 Fedha haijaletwa kutoka Hazina

70 Kujenga skimu ya maji ya mseleleko ya Manga ili kusambaza maji katika vijiji vya Manga na Kasokola ifikapo

Juni 2017.

NWSSP 325,000,000 0.00 325,000,000 Fedha haijaletwa

kutoka Hazina

71 Kufanya tathmini na ufuatiliaji

wa miradi ifikapo Juni 2017. NWSSP 20,000,000 0.00 20,000,000 Fedha haijaletwa

kutoka Hazina

JUMLA KUU NWSSP 380,000,000 0.00 380,000,000

Page 98: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA …€¦ · 3.Ndg.Mail Komba 4.ASP.Albert L.Beda 5.Ndg.Revocatus G. Ngomeni 6.Ndg.Jumbe Msekula 7.Ndg.Mary Ngomalufu 8.Ndg. Fulgence

98

NA. JINA LA MRADI/AINA YA

MRADI

CHANZO CHA

FEDHA

BAJETI ILIYOTENGW

A

FEDHA ILIYOTOLEWA NA KUTUMIKA

BAKI MAELEZO

72 Kuendesha semina na kutoa huduma ya ushauri juu ya masuala ya VVU/UKIMWI kwa wanufaika wa miradi ifikapo

Juni 2017.

ASDP 6,000,000 0.00 6,000,000 Fedha haijaletwa kutoka Hazina

73 Kujenga soko moja la mazao ya kilimo katika kijiji cha

Kasokola ifikapo Juni 2017

ASDP 96,000,000 0.00 96,000,000 Fedha haijaletwa kutoka Hazina

74 Kujenga kituo cha rasilimali za ugani (ward resources center) katika kijiji cha Mbugani ifikapo Juni 2017

ASDP 132,220,000 0.00 132,220,000 Fedha haijaletwa

kutoka Hazina

75 Kujenga nyumba ya afisa ugani katika kijiji cha

Magamba ifikapo Juni 2017

ASDP 27,500,000 0.00 27,500,000 Fedha haijaletwa kutoka Hazina

76 Kuandaa na kuwasilisha mipango ya DADPS kwa mwaka wa fedha 2017/2018 ifikapo Juni 2017

ASDP 12,800,000 0.00 12,800,000 Fedha haijaletwa

kutoka Hazina

77 Kufanya tathmini na ufuatiliaji wa DADPS ifikapo Juni 2017

ASDP 27,100,000 0.00 27,100,000 Fedha haijaletwa kutoka Hazina

78 Kukusanya takwimu za LGMD2

ifikapo Juni 2017 ASDP 5,010,000 0.00 5,010,000 Fedha haijaletwa

kutoka Hazina

79 Kuendesha vikao vya hamasa katika kata 15 ili kuanzisha vyama vipya vya ushirika

ASDP 4,755,000 0.00 4,755,000 Fedha haijaletwa

kutoka Hazina

Page 99: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA …€¦ · 3.Ndg.Mail Komba 4.ASP.Albert L.Beda 5.Ndg.Revocatus G. Ngomeni 6.Ndg.Jumbe Msekula 7.Ndg.Mary Ngomalufu 8.Ndg. Fulgence

99

NA. JINA LA MRADI/AINA YA

MRADI

CHANZO CHA

FEDHA

BAJETI ILIYOTENGW

A

FEDHA ILIYOTOLEWA NA KUTUMIKA

BAKI MAELEZO

ifikapo Juni 2017

80 Kufanya ukaguzi na usimamizi wa SACOSS na AMCOS ifikapo Juni 2017

ASDP 1,868,000 0.00 1,868,000 Fedha haijaletwa

kutoka Hazina

81 Kuanzisha bwawa moja kwa ajili ya kuzalishia samaki eneo

la Kawajense ifikapo Juni 2017

ASDP 35,850,000 0.00 35,850,000 Fedha haijaletwa

kutoka Hazina

82 Kusambaza vifaranga 50,000 vya samaki kwa wafugaji wa samaki ifikapo Juni 2017

ASDP 29,784,000 0.00 29,784,000 Fedha haijaletwa

kutoka Hazina

83 Kutoa chanjo ya mifugo kwa ng'ombe 12,000 ifikapo Juni

2017

ASDP 8,500,000 2,630,000 5,870,000 Fedha zimetumika kufanya usanifu wa Mradi wa umwagiliaji

mwamkulu

84 Kujenga josho la mifugo katika kata ya Mwamkulu ifikapo Juni 2017

ASDP 19,000,000 1,637,574 17,362,426 Fedha imetumika kutangaza zabuni ya uendeshaji wa Ma-

chine

85 Kuboresha mbegu ya ngombe wa kienyeji kwa kufanya upandishaji bandia kwa ng'ombe 1,000 ifikapo Juni

2017

ASDP 17,650,000 4,429,000 13,221,000 Maandalizi ya awali

yamefanyika

Page 100: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA …€¦ · 3.Ndg.Mail Komba 4.ASP.Albert L.Beda 5.Ndg.Revocatus G. Ngomeni 6.Ndg.Jumbe Msekula 7.Ndg.Mary Ngomalufu 8.Ndg. Fulgence

100

NA. JINA LA MRADI/AINA YA

MRADI

CHANZO CHA

FEDHA

BAJETI ILIYOTENGW

A

FEDHA ILIYOTOLEWA NA KUTUMIKA

BAKI MAELEZO

86 Kukamilisha ujenzi wa josho la mifugo katika kata ya Kakese

ifikapo Juni 2017

ASDP 6,000,000 0.00 6,000,000 Fedha haijaletwa kutoka Hazina

JUMLA KUU ASDP (MFUKO WA MAENDELEO YA

KILIMO)

430,037,000 8,696,574 421,340,426

87 Kuwezesha ukarabati wa machinjio ya Mpanda Hotel ifikapo Juni 2017

DADPs 26,000,000 0.00 26,000,000 Mkandarasi amepatikana na ameanza maandalizi

ya awali.

88 Kuwezesha ukamilishaji wa kiwanda kidogo cha kusindika maziwa kwa wafugaji wa Kashaulili SACCOS ifikapo June

2017

DADPs 40,300,000 0.00 40,300,000 Fedha haijaletwa

kutoka Hazina

JUMLA KUU DADPs 66,300,000 0.00 66,300,000

89 Kuwezesha Ujenzi dampo lakutupia taka katika vilima vya Mkwamba ifikapo Juni 2017

MMAM 22,919,000 0.00 22,919,000 Fedha haijaletwa

kutoka Hazina

90 Kujenga vituo vya afya 2 kulingana muongozo wa Wizara ya Afya katika kata ya Nsemulwa na Kawajense ifikapo Juni 2017

MMAM 150,000,000 40,300,000.00 109,700,000 Ujenzi wa Kituo cha afya Kata ya Nsemulwa upo hatua

za awali.

Page 101: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA …€¦ · 3.Ndg.Mail Komba 4.ASP.Albert L.Beda 5.Ndg.Revocatus G. Ngomeni 6.Ndg.Jumbe Msekula 7.Ndg.Mary Ngomalufu 8.Ndg. Fulgence

101

NA. JINA LA MRADI/AINA YA

MRADI

CHANZO CHA

FEDHA

BAJETI ILIYOTENGW

A

FEDHA ILIYOTOLEWA NA KUTUMIKA

BAKI MAELEZO

91 Kujenga nyumba 02 za daktari katika kituo cha afya Ilembo

ifikapo Juni 2017

MMAM 55,000,000 0.00 55,000,000 Fedha haijaletwa kutoka Hazina

92 Kukamilisha ujenzi wa maabara moja katika kituo cha afya Mwangaza ifikapo Juni 2017

MMAM 16,000,000 0.00 16,000,000 Fedha zote za utekelezaji zimeshafika, tunasubiri mchoro

kutoka wizarani.

93 Kujenga zahanati 3 (Mwamkulu, Kamakuka, Magamba) na kuziwekea samani ifikapo June 2017

MMAM 21,000,000 21,000,000 0.00 Ufungaji wa solar zahanati ya Kakese umekamilika, ununuzi wa vifaa vya usafi upo hatua ya manunuzi

94 Kukamilisha ujenzi wa kliniki za RCH katika zahanati ya Kasokola na Kakese ifikapo

June 2017

MMAM 36,000,000 0.00 36,000,000 Fedha haijaletwa kutoka Hazina

95 Kukamilisha ujenzi wa zahanati 2 (Shanwe and Misunkumilo) kulingana na maagizo ya Wizara ya Afya ifikapo Juni

2017

MMAM 40,000,000 31,294,000 8,706,000 Mkandarasi amepatikana ameanza maandalizi ya awali ya ukarabati wa zahanati ya Milala(Misunkumilo). Ujenzi wa Zahanati ya Shanwe umewekwa katika mpango na bajeti ya

Page 102: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA …€¦ · 3.Ndg.Mail Komba 4.ASP.Albert L.Beda 5.Ndg.Revocatus G. Ngomeni 6.Ndg.Jumbe Msekula 7.Ndg.Mary Ngomalufu 8.Ndg. Fulgence

102

NA. JINA LA MRADI/AINA YA

MRADI

CHANZO CHA

FEDHA

BAJETI ILIYOTENGW

A

FEDHA ILIYOTOLEWA NA KUTUMIKA

BAKI MAELEZO

2017/2018

96 Kujenga vyoo 2 katika zahanati 2 (Manga na Mtakumbuka) ifikapo June

2017

MMAM 12,000,000 9,500,000 2,500,000 Choo katika Zahanati ya Mtakumbuka kimekamilika na

kinatumika.

JUMLA KUU HSDG/MMAM 352,919,000 0.00 352,919,000

97 Kuwezesha utengenezaji wa madawati 452 kwenye shule

10 za msingi ifikapo Juni 2017

Mfuko wa

Jimbo 28,816,000 28,816,000 00 Miradi

iliyopendekezwa na kamati za Maendeleo ya kata na kuidhinishwa na kikao cha Kamati ya mfuko wa jimbo imepatiwa fedha

JUMLA FEDHA ZA MFUKO WA JIMBO

28,816,000 28,816,000 00

JUMLA KUU BAJETI YA

MIRADI YA MAENDELEO 8,627,252,00

0

929,184,239 7,698,067,761

Page 103: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA …€¦ · 3.Ndg.Mail Komba 4.ASP.Albert L.Beda 5.Ndg.Revocatus G. Ngomeni 6.Ndg.Jumbe Msekula 7.Ndg.Mary Ngomalufu 8.Ndg. Fulgence

103

2.TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA IDARA YA ELIMU MSINGI KWA KIPINDI

CHA JANUARI - MACHI, 2017

Mheshimiwa Mwenyekiti,

Taarifa ya utekelezaji wa kazi za Idara ya Elimu Msingi katika kipindi cha mwezi Januari- Machi,

2017, Idara ya Elimu Msingi imetekeleza shughuli mbalimbali ikiwa ni pamoja na zifuatazo;

1.Ufuatiliaji taaluma shuleni kuhakikisha kuwa walimu wote wanafundisha, wanaandaa kwa

mfululizo, wanatoa mazoezi na kuyasahihisha kwa wakati.

2. Kurekebisha IKAMA ya walimu ili kuwa na uwiano sawa wa walimu kwa kuzingatia mradi

wa P4R

3. Kusimamia miradi ya kukamilisha ujenzi wa madarasa,ujenzi wa vyoo,na ujenzi wa

madarasa.

4. Kufanya malipo ya fedha za uhamisho kwa walimu walimu waliohamishwa vituo vyao vya

kazi kwa madi wa P4R. (orodha imeambatishwa)

5.Kikao na Walimu wakuu na Maafisa Elimu Kata kwa utekelezaji wa Mpango Mkakati wa

Magamba wa 2017.

1. Kusimamia mapato na matumizi ya fedha ya elimu bila malipo iliyoanza kutolewa na

serikali kuanzia mwezi Januari, 2016. (Jedwali Na.01 na 02)

2. Kusimamia mtihani wa Mock Kata na kufanya tahimini

3. Kusimamia mpango wa KKK (LANES)

Page 104: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA …€¦ · 3.Ndg.Mail Komba 4.ASP.Albert L.Beda 5.Ndg.Revocatus G. Ngomeni 6.Ndg.Jumbe Msekula 7.Ndg.Mary Ngomalufu 8.Ndg. Fulgence

104

Jedwali na.01

TAARIFA YA UTEKELEZAJI IDARA YA ELIMU MSINGI KWA MWEZI JANUARI – MACHI 2017 MWAKA WA

FEDHA 2016/2017

Kasma

ndogo

Kifungu Lengo kuu Lengo

mahsusi

Bajeti ya

mwaka

Utekelezaji Gharama

iliyotumika

Maelezo

509B

Elimu ya

Msingi

shughuli za

uendeshaji

shule

C02S03

Kuimarisha

upatikanaji,

ubora na

usawa wa

utoaji wa

huduma kwa

shule za

sekondari

ifikapo mwaka

2020.

Kuimarisha

ufanisi wa

uendeshaji wa

shule za Msingi

ifikapo Juni

2017.

202,020,000

Ununuzi wa

vifaa vya

kufundishia,uka

barabati,Mitihani

,Utawala na

Michezo

47,601,000

Fedha imeletwa na serikali na kuingizwa kwenye akaunti ya shule kwa Mwezi Januari, Februari na Machi,2017.

Page 105: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA …€¦ · 3.Ndg.Mail Komba 4.ASP.Albert L.Beda 5.Ndg.Revocatus G. Ngomeni 6.Ndg.Jumbe Msekula 7.Ndg.Mary Ngomalufu 8.Ndg. Fulgence

105

Kuimarisha

ufanisi wa

uendeshaji wa

shule za Msingi

ifikapo Juni

2017

Ukamilishaji wa

ujenzi wa

madaras

Kabwaga,Mkok

wa na

Nsabwe,ujenzi

wa vyoo

Mkokwa, Mkapa

na Nsambwe na

ujenzi wa

madarasa

Nsemulwa na

Nyerere na

kulipa deni la

madawati

24,619,813.0

0

Ilitumika fedha ya P4R

Kuinua kiwango

cha ufaulu toka

96.5% hadi

99%

Kufanya

mpango wa

semina,kufuatili

a sensa ya

KKK,Kuwajenge

a uwezo walimu

wa MEMKWA na

ufuatuliaji wa

KKK kwa

wanafunzi wote

Kufanyika kwa

mtihani wa

Mock kata

waliofanya wav

19,229,600.0

0

Fedha za Mpango wa LANES

Page 106: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA …€¦ · 3.Ndg.Mail Komba 4.ASP.Albert L.Beda 5.Ndg.Revocatus G. Ngomeni 6.Ndg.Jumbe Msekula 7.Ndg.Mary Ngomalufu 8.Ndg. Fulgence

106

987 na was

1087 Jml 2074

waliofaulu ni

wav 633 na was

447 Jml 1080

sawa 52.07%

Kurekebisha

IKAMA ya

walimu

kwampango wa

P4R

Uhamishaji wa

walimu kwa

kurekebisha

IKAMA

13,758,000.0

0

Imetumika fedha ya P4R

Page 107: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA …€¦ · 3.Ndg.Mail Komba 4.ASP.Albert L.Beda 5.Ndg.Revocatus G. Ngomeni 6.Ndg.Jumbe Msekula 7.Ndg.Mary Ngomalufu 8.Ndg. Fulgence

107

Jedwali Na. 02 HALMASHAURI YA MANISPAA YA MPANDA

FEDHA LETWA KWA KIPINDI CHA JANUARI HADI MACHI 2017

NA

SHULE

FEDHA

ILIYOPOKELEW

A JANUARI,2017

FEDHA

ILIYOPOKELEW

A

FEBRUARI,2017

FEDHA

ILIYOPOKELEW

A MACHI,2017

JUMLA KUU

1 AZIMIO 891,000 891,000 891,000 2,673,000

2 DIRIFU 162,000 162,000 162,000 486,000

3 ILEMBO 221,000 221,000 221,000 663,000

4 KAKESE 477,000 477,000 477,000 1,431,000

5 KAMAKUKA 142,000 142,000 142,000 426,000

6 KASHATO 1,056,000 1,056,000 1,056,000 3,168,000

7 KASHAULILI 438,000 438,000 438,000 1,314,000

8 KASIMBA 613,000 613,000 613,000 1,839,000

9 KASOKOLA 236,000 236,000 236,000 708,000

10 KATAVI 609,000 609,000 609,000 1,827,000

11 KAWANZIGE 355,000 355,000 355,000 1,065,000

12 KIVUKONI 351,000 351,000 351,000 1,053,000

13 MAGAMBA 270,000 270,000 270,000 810,000

14 MAJENGO 362,000 362,000 362,000 1,086,000

15 MAKANYAGIO 448,000 448,000 448,000 1,344,000

16 MAKONGOLO 67,000 67,000 67,000 201,000

17 MANGA 162,000 162,000 162,000 486,000

18 MAPINDUZI 100,000 100,000 100,000 300,000

19 MBUGANI 621,000 621,000 621,000 1,863,000

20 MILALA 224,000 224,000 224,000 672,000

21 MISUNKUMILO 493,000 493,000 493,000 1,479,000

Page 108: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA …€¦ · 3.Ndg.Mail Komba 4.ASP.Albert L.Beda 5.Ndg.Revocatus G. Ngomeni 6.Ndg.Jumbe Msekula 7.Ndg.Mary Ngomalufu 8.Ndg. Fulgence

108

22 MIZENGO PINDA 465,000 465,000 465,000 1,395,000

23 MKAPA 635,000 635,000 635,000 1,905,000

24 MPANDA 802,000 802,000 802,000 2,406,000

25 MSAKILA 560,000 560,000 560,000 1,680,000

26 MTAKUMBUKA 175,000 175,000 175,000 525,000

27 MUUNGANO

727,000 727,000 727,000 2,181,000

28 MWAMKULU 653,000 653,000 653,000 1,959,000

29 MWANGAZA 571,000 571,000 571,000 1,713,000

30 NSEMULWA 776,000 776,000 776,000 2,328,000

31 NYERERE 1,201,000 1,201,000 1,201,000 3,603,000

32 SHANWE 379,000 379,000 379,000 1,137,000

33 SUNGAMILA 156,000 156,000 156,000 468,000

34 UHURU 469,000 469,000 469,000 1,407,000

JUMLA 15,867,000.00 15,867,000.00 15,867,000.00 47,601,000

JEDWALI NA 03: FEDHA ZA P4R

FOMATI YA MPANGO WA KAZI

A:KUREKEBISHA IKAMA

NA

JINA LA

MWWALIMU SHULE ALIYOTOKA SHULE ALIYOHAMIA

KIASI

ALICHOLIPWA

1 Oscar Tembwe

ILEMBO MWAMKULU 2,100,000.00

2 Donatha Vianey

NSEMULWA MAGAMBA 1,482,000.00

3 John Kiyenzi

MILALA KAKESE 3,799,200.00

4 Justin Ndwanga

MUUNGANO MTAKUMBUKA 502,800.00

5 Tumaini Josiha

MAGAMBA KASHAULILI 3,000,000.00

6 Nsindi Lubacha

MAPINDUZI MAKONGOLO 1,202,800.00

7 Mary Msenga

MAGAMBA NSEMULWA 1,035,200.00

8 Aidan Ramadhani KASOKOLA MWAMKULU 636,000.00

13,758,000.00

Page 109: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA …€¦ · 3.Ndg.Mail Komba 4.ASP.Albert L.Beda 5.Ndg.Revocatus G. Ngomeni 6.Ndg.Jumbe Msekula 7.Ndg.Mary Ngomalufu 8.Ndg. Fulgence

109

B: UJENZI WA MADARASA NA VYOO

NA

JINA LA

SHULE UJENZI WA MADARASA UJENZI WA VYOO

IDADI

KIASI KWA

DARASA KIASI

IDADI YA

MATUNDU KIASI KWA NDUNDU KIASI

1

Mwamkulu (

Mkokwa) 4 485,514.75 1,942,059

2 Nsemulwa 1 2,000,000 2,000,000

4 Nyerere 1 2,000,000 2,000,000

5 Nsambe 4 462,641.50 1,850,566

6 Mkapa 2 500,000 1,000,000

JUML

A 4,000,000 4,792,625

C: UKAMILISHAJI WA MADARASA

NA JINA LA SHULE MADARASA YALIYOKAMILISHWA

IDADI KIASI KWA DARASA KIASI

Mwamkulu ( Mkokwa) 3 1,260,373 3,781,119.00

Mwamkulu ( Kabwaga) 3 1,265,356.33 3,796,069.00

Misunkumilo ( Nsambwe) 2 1,125,000 2,250,000.00

9,827,188.00

Page 110: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA …€¦ · 3.Ndg.Mail Komba 4.ASP.Albert L.Beda 5.Ndg.Revocatus G. Ngomeni 6.Ndg.Jumbe Msekula 7.Ndg.Mary Ngomalufu 8.Ndg. Fulgence

110

NB: MADAWATI

Utengenezaji wa Madawati Tsh: 3,000,000/=

UFUATILIAJI KIASI

MALIPO KWA AJILI YA UANDAAJI NA UJAZAJI WA TAKWIMU 1,230,000

MOTISHA KWA AJILI YA UJAZAJI WA TAKWIMU KWA WAKATI NA KWA USAHIHI 280,000

MALIPO KWA AJILI YA KUZUNGUKIA SHULE ILI KUHAKIKI TAKWIMU (Maafisa Elimu) 2,426,855

JUMLA KUU 3,936,855

Page 111: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA …€¦ · 3.Ndg.Mail Komba 4.ASP.Albert L.Beda 5.Ndg.Revocatus G. Ngomeni 6.Ndg.Jumbe Msekula 7.Ndg.Mary Ngomalufu 8.Ndg. Fulgence

111

3.TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA IDARA YA ELIMU SEKONDARI KWA

KIPINDI CHA JANUARI - MACHI, 2017

Mheshimiwa Mwenyekiti,

Katika kipindi cha Robo ya Tatu, Idara ya Elimu Sekondari imetekeleza shughuli mbalimbali ikiwa

ni pamoja na zifuatazo;

1 Ufuatiliaji taaluma shuleni kuhakikisha kuwa walimu wote wanafundisha, wanaandaa kwa

mfululizo, wanatoa mazoezi na kuyasahihisha kwa wakati.

1. Kurekebisha IKAMA ya walimu ili kuwa na uwiano sawa wa walimu kwa kuzingatia

masomo. Baadhi ya walimu wamehamishiwa kwenye shule zilizo na upungufu wa walimu

kwa baadhi ya masomo. Urekebishaji huu umezingatia pia uwepo wa walimu wengi wa

somo moja katika shule moja.

2. Kusimamia zoezi la utengenezaji wa viti/meza 80 vilivyogharimiwa na fedha ya P4R,

vimeshakamilika, arobaini vimepelekwa Mwangaza na arobini nyingine vimepelekwa Shule

ya Sekondari Shanwe.

3. Kufanya malipo ya fedha za uhamisho kwa walimu waliohamishwa vituo vyao vya kazi.

(orodha imeambatishwa)

4. Kufanya kikao na Wakuu wa Shule kuwaelekeza mpango mkakati wa kitaaluma na

viwango vipya vya kuongeza ufaulu. Idara imepitisha kiwango cha ufaulu kutoka 69%

hadi 77% kwa mwaka wa masomo 2017.

5. Kusimamia mapato na matumizi ya fedha ya elimu bila malipo iliyoanza kutolewa na

serikali kuanzia mwezi Januari, 2016. (Jedwali Na.01 na 02)

6. Kufanya tathimini ya matokeo ya mitihani ya kidato cha nne na cha pili mwaka 2016

,tathimini husika imeambatishwa.

7. Mapokezi ya wanafunzi wa kidato cha kwanza mwaka 2017.

8. Kusimamia ufundishaji wa kozi ya kiingereza kwa wanafunzi wa kidato cha kwanza

ambayo kwa sasa imekamilika wanafunzi wameshafanya mtihani na matokeo yao

yameambatishwa.

Majedwali Na.01, 02, 03, 04 na 05 vinaonesha utekelezaji wa shughuli zilizofanywa na Idara.

Page 112: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA …€¦ · 3.Ndg.Mail Komba 4.ASP.Albert L.Beda 5.Ndg.Revocatus G. Ngomeni 6.Ndg.Jumbe Msekula 7.Ndg.Mary Ngomalufu 8.Ndg. Fulgence

112

Jedwali 01

TAARIFA YA UTEKELEZAJI IDARA YA ELIMU SEKONDARI KWA MWEZI JANUARI – MACHI 2017

Kasma

ndogo

Kifungu Lengo kuu Lengo

mahsusi

Bajeti ya

mwaka

Utekeleza

ji

Gharama

iliyotumika

Maelezo

509B

Elimu ya

Sekondari

shughuli za

uendeshaji

C01S01

Kuimarisha

upatikanaji,

ubora na

usawa wa

utoaji wa

huduma kwa

shule za

sekondari

ifikapo mwaka

2020.

Kuimarisha

ufanisi wa

uendeshaji

wa shule

za

sekondari

ifikapo Juni

2017.

85,140,000.00

Ununuzi

wa vifaa

vya

kufundishia

pamoja na

kuendesha

shughuli za

taaluma

shuleni.

43,254,000.00

Fedha imeletwa na serikali na kuingizwa kwenye akaunti ya shule kwa Mwezi Januari, Februari na Machi,2017.

Kuimarisha

ufanisi wa

uendeshaji

wa shule

za

sekondari

ifikapo Juni

2017

Utengenez

aji wa

viti/meza

80 kwa ajili

ya shule za

sekondari

za

Mwangaza

na Shanwe

5,600,000 Ilitumika fedha ya P4R na madawati yalishapelekwa shuleni

Page 113: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA …€¦ · 3.Ndg.Mail Komba 4.ASP.Albert L.Beda 5.Ndg.Revocatus G. Ngomeni 6.Ndg.Jumbe Msekula 7.Ndg.Mary Ngomalufu 8.Ndg. Fulgence

113

Kuinua

kiwango

cha ufaulu

toka 69%

hadi 77%

Uandaaji

wa Mpango

Kazi na

Malengo ya

mwaka wa

masomo

wa 2017

Mpango Kazi wenye malengo ya mwaka wa masomo wa 2017 ulishakamilika na kugawiwa katika shule zote za sekondari

C02S02 Kuhakikish

a chakula

cha

wanafunzi

kinapatikan

a wakati

wote wa

masomo

yanapoend

elea

446,880,000.0

0

Fedha ya

chakula

80,688,000.00 Fedha imeletwa na serikali na kuingizwa kwenye akaunti ya shule kwa Mwezi Januari, Februari na Machi,2017.

Page 114: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA …€¦ · 3.Ndg.Mail Komba 4.ASP.Albert L.Beda 5.Ndg.Revocatus G. Ngomeni 6.Ndg.Jumbe Msekula 7.Ndg.Mary Ngomalufu 8.Ndg. Fulgence

114

Jedwali Na. 02

MIGAWO YA FEDHA JANUARI-MACHI 2017

HALMASHAURI JINA LA SHULE

FEDHA YA CHAKULA

FIDIA YA ADA - KUTWA

RUZUKU (CG)

JUMLA YA FEDHA

MPANDA MC KASHAULILI 3,735,000

3,558,000

7,293,000

MPANDA MC KASIMBA 2,022,000

1,926,000

3,948,000

MPANDA MC KASOKOLA 606,000

576,000

1,182,000

MPANDA MC MAGAMBA 552,000

525,000

1,077,000

MPANDA MC MISUNKUMILO 1,485,000

1,416,000

2,901,000

MPANDA MC MPANDA GIRLS 80,688,000

-

4,014,000

84,702,000

MPANDA MC MWANGAZA 3,855,000

3,669,000

7,524,000

MPANDA MC NSEMULWA 1,812,000

1,725,000

3,537,000

MPANDA MC RUNGWA 3,411,000

3,249,000

6,660,000

MPANDA MC SHANWE 2,622,000

2,496,000

5,118,000

JUMLA 80,688,000

20,100,000

23,154,000 123,942,000

Page 115: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA …€¦ · 3.Ndg.Mail Komba 4.ASP.Albert L.Beda 5.Ndg.Revocatus G. Ngomeni 6.Ndg.Jumbe Msekula 7.Ndg.Mary Ngomalufu 8.Ndg. Fulgence

115

Jedwali 03 Mchanganuo wa matumizi ya fedha ya P4R

S/N VIPENGELE MHUSIKA MSHAHARA KIASI

1 Kurekebisha IKAMA ya walimu Abraham Gama 940,000 X 12 x 10% 1,128,000

January Kazonde 1,235,000 X 12 x 10% 1,482,000

Furaha Danken 716,000 X 12 x 10% 859,000

Shukuru Magesa 716,000 X 12 x 10% 859,000

Ayubu Komba 716,000 X 12 x 10% 859,000

Constantino John 530,000 X 12 x 10% 636,000

Thomas Isaya 940,000 X 12 x 10% 1,128,000

Willy Myamba 940,000 X 12 x 10% 1,128,000

Jumla ndogo 8,079,000

VIPENGELE SHUGHULI KIASI

2 Ujenzi wa maabara na matundu ya vyoo Ujenzi wa Hostel Rungwa 11,792,625

3 Ukamilishaji wa maabara na madarasa Ujenzi wa Hostel Rungwa 8,207,375

Ukarabati wa hostel Kasokola 600,000

Ukarabati wa hostel Magamba 400,000

Ukarabati wa matundu ya vyoo Nsemulwa 600,000

Utengenezaji wa viti/meza Shanwe 2,800,000

Utengenezaji wa viti/meza Mwangaza 2,800,000

Jumla ndogo 27,300,000

4 Shughuli za P4R ikiwa ni pamoja na ufuatiliaji Ununuzi computer 849,752

Shughuli za ujazaji takwimu 1,100,000

Motisha kwa ujazaji wa takwimu kwa wakati na kwa

usahihi

300,000

Motisha kwa ujazaji wa takwimu kwa wakati 200,000

Ufuatiliaji wa takwimu shuleni 400,000

Kugharimia safari ya warsha ya P4R kwa ajili ya Mkurugenzi na Afisaelimu iliyofanyika Mbeya

1,080,000

Jumla ndogo 3,929,752

Jumla Kuu 39,308,752

Page 116: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA …€¦ · 3.Ndg.Mail Komba 4.ASP.Albert L.Beda 5.Ndg.Revocatus G. Ngomeni 6.Ndg.Jumbe Msekula 7.Ndg.Mary Ngomalufu 8.Ndg. Fulgence

116

Jedwali 04 Wanafunzi walioripoti hadi Machi, 31

URIPOTI WA WANAFUNZI WA KIDATO CHA I - 2017 HADI 24.03.2017

S/N SHULE WALIOPANGWA WALIORIPOTI WALIOKWENDA SHULE BINAFSI

WALIOLETWA TOKA VITUO VINGINE

WALIORIPOTI SHULE ZA SERIKALI +

WALIOKWENDA SHULE BINAFSI

% YA WALIOPO SHULENI DHIDI YA WALIO

PANGWA

WASIORIPOTI

% YA WASIORIPOTI

WAV WAS JML WAV

WAS JML WAV WAS JML WAV WAS JML WAV WAS JML

WAV

WAS

JML

1 MWANGAZA 118 148 266 126 150 276 3 16 19 2 6 8 129 166 295 110.9

-11 -18 -29 -10.9

2 RUNGWA 107 125 232 107 113 220 5 7 12 5 3 8 119 112 231 99.56

-12 13 1 0.43

3 KASHAULILI 114 130 244 106 119 225 11 11 22 2 5 7 115 128 243 99.59

-1 2 1 0.409

4 KASIMBA 134 162 296 135 153 288 4 6 10 9 8 17 138 160 298 100.6

-4 2 -2 -0.67

5 NSEMULWA 74 87 161 67 76 143 4 4 8 3 5 8 71 79 150 93.16 3 8 11 6.83

6 SHANWE 133 145 278 125 137 262 9 5 14 3 8 11 130 138 268 96.40 3 7 10 3.597

7 MISUNKUMILO 99 69 168 102 59 161 1 1 2 7 5 12 86 56 142 84.52

13 13 26 15.47

8 MAGAMBA 104 105 209 83 72 155 1 0 1 0 1 1 84 72 156 74.64

20 33 53

25.358

9 KASOKOLA 91 89 180 87 81 168 2 0 2 1 1 2 87 79 166 92.22 4 10 14 7.777

JUMLA 974 1060 2034 938 960 1898 40 50 90 32 42 74 959 990

1949 95.82

15 70 85

4.178

Page 117: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA …€¦ · 3.Ndg.Mail Komba 4.ASP.Albert L.Beda 5.Ndg.Revocatus G. Ngomeni 6.Ndg.Jumbe Msekula 7.Ndg.Mary Ngomalufu 8.Ndg. Fulgence

117

Jedwali 05

(MATOKEO KIDATO CHA NNE 2016 KWA %)

S/N SHULE

DIVISION JUMLA

WALIOFANYA WALIOFAULU

I - IV % YA UFAULU

GRADE

I II III IV 0

1 ST. MARYS 2 12 26 30 0 70 70 100 A

2 MILALA 0 5 31 49 5 90 85 94.44 A

3 ISTIQAMA 0 6 8 19 6 39 33 84.62 A

4 KASOKOLA 0 1 3 16 4 24 20 83.33 A

5 MAGAMBA 0 0 4 9 4 17 13 76.47 A

6 MISUNKUMILO 2 6 6 14 11 39 28 71.79 B

7 RUNGWA 1 9 12 71 42 135 93 68.89 B

8 KASIMBA 0 4 3 21 14 42 28 66.67 B

9 MWANGAZA 5 13 18 80 64 180 116 64.44 C

10 KASHAULILI 0 7 18 56 56 137 81 59.12 C

11 SHANWE 2 2 9 31 46 90 44 48.89 C

12 NSEMULWA 0 2 6 30 42 80 38 47.5 C

JUMLA 12 67 144 426 294 943 649 69 B

Page 118: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA …€¦ · 3.Ndg.Mail Komba 4.ASP.Albert L.Beda 5.Ndg.Revocatus G. Ngomeni 6.Ndg.Jumbe Msekula 7.Ndg.Mary Ngomalufu 8.Ndg. Fulgence

118

Jedwali Na. 06

MATOKEO YA MTIHANI WA UPIMAJI KIDATO CHA PILI, 2016

NA SHULE

WALIOSAJILI

WA

WALIOFANY

A

MADARAJA

% I II

III IV

WANAORUDI

A

WALIOFAULU

I-IV

WV

WS

JML WV

WS

JML

WV

WS

JML

WV

WS

JML WV WS

JML

WV

WS JML WV WS

JML

WV

WS

JML

1 ST.MARY'S 31 71 102 28 69 97 13 9 22 10 17 27 5 22 27 0 21 21 0 0 0 28 69 97 100

2 MILALA 30 10 40 29 11 40 9 2 11 9 5 14 7 2 9 4 2 6 0 0 0 29 11 40 100

3 SUN 17 12 29 17 12 29 7 3 10 5 3 8 4 3 7 1 3 4 0 0 0 17 12 29 100

4 MAGAMBA 33 6 39 33 6 39 2 0 2 3 0 3 12 0 12 16 6 22 0 0 0 33 6 39 100

5 KASHAULILI 99 71 170 91 65 156 14 0 14 8 3 11 22 7 29 42 53 95 4 3 7 86 63

149 96

6 MISUNKUMILO 47 45 92 46 39 85 16 1 17 9 5 14 10

12 22 10 18 28 2 3 5 45 36 81 95

7 MWANGAZA 98 96 194 98 95 193 4 4 8 15 12 27 17

17 34 52 60 112 10 2 12 88 93

181 94

8 RUNGWA 81 82 163 77 80

15

7 18 1 19 12 10 22 13

1

8 31 29 46 75 5 5 10 72 75

14

7 94

9 NSEMULWA 58 38 96 54 34 88 3 0 3 7 1 8 9 3 12 30 29 59 5 1 6 49 33 82 93

10 KASIMBA 66 72 138 66 68

134 6 2 8 4 0 4 12 6 18 39 47 86 5

13 18 61 55

116 87

11 ISTIQAMA 7 15 22 7 15 22 0 0 0 1 1 2 5 2 7 1 9 10 0 3 3 7 12 19 86

1

2 SHANWE 86 81 167 80 76

15

6 4 0 4 7 4 11 15

1

0 25 42 48 90 12

1

4 26 68 62

13

0 83

1

3 KASOKOLA 14 15 29 14 13 27 0 0 0 1 0 1 2 2 4 9 7 16 2 4 6 12 9 21 78

JUMLA

66

7

61

4

128

1

64

0

58

3

12

23 96 22

11

8 91 61 152 133

1

0

4

23

7

27

5

34

9 624 45

4

8 93

59

5

53

6

11

31 92

Page 119: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA …€¦ · 3.Ndg.Mail Komba 4.ASP.Albert L.Beda 5.Ndg.Revocatus G. Ngomeni 6.Ndg.Jumbe Msekula 7.Ndg.Mary Ngomalufu 8.Ndg. Fulgence

119

4.TAARIFA YA UTEKELEZAJI IDARA YA MAENDELEO YA JAMII, JINSIA NA WATOTO

KWA KIPINDI CHA JANUARI - MACHI, 2017.

Katika kipindi cha Januari hadi Machi, 2017 Idara ya Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto

imetekeleza shughuli mbalimbali kwa kushirikiana na wadau wa Maendeleo katika kuratibu,

kushauri na kutoa mafunzo mbalimbali kwa Jamii.

1. Vikundi 26 vimesajiliwa katika robo hii, kati ya vikundi hivyo 05 ni vya Wanawake na 01

ni cha vijana, vikundi 10 ni vya mchanganyiko na vikundi 10 ni Jumuiya za watumiaji maji

katika vijiji 10.

2. Ufuatiliaji wa marejesho ya mikopo kwa vikundi 45 umefanyika na jumla ya Tshs.

6,245,200 zimerejeshwa kwa kipindi hiki, Mfuko wa Maendeleo ya Wanawake

(2,768,200) na Vijana (1,657,000) na Mfuko wa Wajasiriamali Tsh. 1,820,000.

3. Mikopo ya masharti nafuu imetolewa, Tshs 38,000,000 zimekopeshwa kwa vikundi 19

tarehe 02/04/2017 kwenye Mbio za Mwenge wa Uhuru,kati ya hivyo 12 ni vya wanawake

(23,500,000) na 7 ni vya vijana (14,500,000).

4. Siku ya Mwanamke Duniani iliadhimishwa kwa wanawake kutoa misaada ya vifaa vya

matibabu katika Hospitali ya Manispaa ya Mpanda (Bp mashine 2 zenye thamani ya Tshs

280,000) na sabuni za maji na miche zenye thamani ya Tshs 220,000.Jumla ya wanawake

121 walishiriki kwa michango ya hali na mali,aidha mchango wa Tshs 50,000 ulitolewa na

Mheshimiwa Mstahiki Meya wa Manispaa na Mbunge wa Viti Maalum Mh.Taska Mbogo

Tshs 50,000.

5. Mafunzo ya siku 2 kwa vikundi 19 yametolewa kuhusu utekelezaji wa miradi ya vikundi,

utunzaji wa kumbukumbu na ujazaji wa mikataba ili kuboresha shughuli za vikundi kabla

ya kupewa mikopo.

6. Imefanyika ziara ya kujifunza katika Halmashauri ya Mlele ambapo Afisa Vijana na

Mhandisi walikwenda kujifunza kwa ajili ya kituo cha vijana na wanawake na baadae

kimejengwa kituo cha vijana na wanawake chenye thamani ya Tshs 20,000,000 katika

kata ya Misunkumilo.

Page 120: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA …€¦ · 3.Ndg.Mail Komba 4.ASP.Albert L.Beda 5.Ndg.Revocatus G. Ngomeni 6.Ndg.Jumbe Msekula 7.Ndg.Mary Ngomalufu 8.Ndg. Fulgence

120

MAJEDWALI YA MAREJESHO YA MIKOPO YA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WAJASIRIAMALI KATIKA

JANUARI - MACHI, 2017

Kiambata Na: 1

MAREJESHO YA VIKUNDI VYA WANAWAKE (WDF) JANUARI - MACHI 2017 WALIOKOPESHWA MEI, 2014

NA. JINA LA KIKUNDI

KATA MKOPO NA RIBA

MAREJESHO ROBO YA III

JUMLA YA MAREJESHO

DENI MAELEZO

1 KENDMADEVA NSEMULWA 1,100,000.00 0 1,063,000.00 37,000.00 Wanadaiwa

2 PRIBADE NSEMULWA 1,100,000.00 0 950,000.00 150,000.00 Wanadaiwa

JUMLA 2,200,000.00 0 2,013,000.00

187,000.00

Kiambata Na: 2

MAREJESHO YA VIKUNDI VYA WANAWAKE (WDF) JANUARI – MACHI, 2017 WALIKOPESHWA MWEZI MACHI

2015.

NA JINA LA KIKUNDI

KATA MKOPO NA RIBA

MAREJESHO YA ROBO YA TATU

JUMLA YA MAREJESHO

DENI MAELEZO

1 AMANI NSEMULWA 1,320,000.00 0 462,500.00

857,500.00 Wanadaiwa

2 WAJANE KAWAJENSE 1,320,000.00 0 1,100,000.00 220,000.00 Wanadaiwa

3 CHANGES REVOLUTION

ILEMBO 1,320,000.00 0 360,000.00 960,000.00 Wanadaiwa

JUMLA 3,960,000.00

0 1,922,500.00

2,037,500

Page 121: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA …€¦ · 3.Ndg.Mail Komba 4.ASP.Albert L.Beda 5.Ndg.Revocatus G. Ngomeni 6.Ndg.Jumbe Msekula 7.Ndg.Mary Ngomalufu 8.Ndg. Fulgence

121

Kiambata Na: 3

MAREJESHO YA VIKUNDI VYA WANAWAKE (WDF) JANUARI –MACHI, 2017 MKOPO ULIOTOLEWA TAREHE

15/7/2015

NA

JINA LA KIKUNDI

KATA MKOPO NA RIBA

ROBO YA TATU

JUMLA YA MARE MAREJESHO

DENI MAELEZO

1 TUMAINI UWANJA WA NDEGE

1,100,000 35,000 673,000 427,000 Wanadaiwa

2 TWIGA KAWAJENSE 1,100,000 280,000 880,000 220,000 Wanadaiwa

3 KIREYUAI MAKANYAGIO 1,100,000 0 1,012,000 88,000 Wanadaiwa

4 AMANI AGRI-CULTURAL

KASHAULILI 1,100,000 0 380,000 720,000 Wanadaiwa

JUMLA 4,400,000 315,000 2,945,000 1,455,000

Page 122: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA …€¦ · 3.Ndg.Mail Komba 4.ASP.Albert L.Beda 5.Ndg.Revocatus G. Ngomeni 6.Ndg.Jumbe Msekula 7.Ndg.Mary Ngomalufu 8.Ndg. Fulgence

122

Kiambata Na: 4

MAREJESHO YA VIKUNDI VYA WANAWAKE (WDF) JANUARI–MACHI, 2017 MKOPO ULIOTOLEWA TAREHE

13/7/2016

NA.

JINA LA KIKUNDI

KATA MKOPO MKOPO NA RIBA

MAREJESHO ROBO III

JUMLA YA MAREJESHO

DENI MAELEZO

1. Humbaja Makanyagio 1,000,000 1,100,000 184,000 460,000 640,000 Marejesho

yanaendelea

2. Mwiza Nsemulwa 2,000,000 2,200,000 368,000 368,000 1,832,000 Marejesho

yanaendelea

3. Twafuma Kutali Uwanja Ndege

1,000,000 1,100,000 237,200 501,200 598,800 Marejesho

yanaendelea

JUMLA 4,000,000 4,400,000 789,200 1,329,200 3,070,800

Page 123: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA …€¦ · 3.Ndg.Mail Komba 4.ASP.Albert L.Beda 5.Ndg.Revocatus G. Ngomeni 6.Ndg.Jumbe Msekula 7.Ndg.Mary Ngomalufu 8.Ndg. Fulgence

123

Kiambata Na. 5

MAREJESHO YA VIKUNDI VYA VIJANA JANUARI –MACHI, 2017 MKOPO ULIOTOLEWA TAREHE 13/7/2016

NA. JINA LA KIKUNDI

KATA MKOPO MKOPO NA RIBA

MAREJESHO ROBO III

JUMLA YA MAREJESHO

DENI MAELEZO

1. Tujikomboe

Misunkumilo 1,000,000 1,100,000 92,000 368,000 732,000 Marejesho

yanaendelea

2. Mawecamo Kawajense 2,000,000 2,200,000 184,000 276,000 1,924,000 Marejesho

yanaendelea

3. Sukari Kakese 1,000,000 1,100,000 92,000 460,000 640,000 Marejesho

yanaendelea

4. Amakwawo Uwanja/ Ndege

1,000,000 1,100,000 0 0 1,100,000 Marejesho

yanaendelea

5. KCID Makanyagio 2,000,000 2,200,000 0 0 2,200,000 Marejesho

yanaendelea

JUMLA 7,000,000 7,700,000 368,000 1,104,000 6,596,000

Page 124: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA …€¦ · 3.Ndg.Mail Komba 4.ASP.Albert L.Beda 5.Ndg.Revocatus G. Ngomeni 6.Ndg.Jumbe Msekula 7.Ndg.Mary Ngomalufu 8.Ndg. Fulgence

124

Kiambata Na: 6

MAREJESHO YA VIKUNDI VYA WANAWAKE (WDF) JANUARI –MACHI, 2017 MKOPO ULIOTOLEWA TAREHE

11/10/2016

NA JINA LA KIKUNDI

KATA MKOPO MKOPO NA RIBA

MAREJESHO ROBO YA III

JUMLA YA MAREJESHO

DENI

MAELEZO

1. Elimisha Kashaulili 1,000,000 1,100,000 184,000 184,000 916,000 Mwisho wa marejesho ni mwezi Novemba 2017

2. Nacarugese Majengo 1,000,000 1,100,000 276,000 368,000 732,000 Mwisho wa

marejesho ni

mwezi Novemba

2017

3. Lekatwezye Misunkumilo 1,500,000 1,650,000 280,000 420,000 1,230,000 Mwisho wa

marejesho ni

mwezi Novemba

2017

4. Anganile Makanyagio 1,000,000 1,100,000 284,000 552,000 548,000 Mwisho wa

marejesho ni

mwezi Novemba

2017

5. Vicinity Shanwe 1,000,000 1,100,000 184,000 276,000 824,000 Mwisho wa

marejesho ni

mwezi Novemba

2017

Page 125: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA …€¦ · 3.Ndg.Mail Komba 4.ASP.Albert L.Beda 5.Ndg.Revocatus G. Ngomeni 6.Ndg.Jumbe Msekula 7.Ndg.Mary Ngomalufu 8.Ndg. Fulgence

125

6. Kiwasu Kasokola 1,000,000 1,100,000 92,000 184,000 916,000 Mwisho wa

marejesho ni

mwezi Novemba

2017

7. Huduma Makanyagio 1,000,000 1,100,000 92,000 184,000 916,000 Mwisho wa

marejesho ni

mwezi Novemba

2017

8. Ilakoze Nsemulwa 1,000,000 1,100,000 0 92,000 1,008,000 Mwisho wa

marejesho ni

mwezi Novemba

2017

9. Tuisunge Kasokola 1,000,000 1,100,000 184,000 184,000 916,000 Mwisho wa

marejesho ni

mwezi Novemba

2017

10. Mwembeni Makanyagio 1,500,000 1,650,000 411,000 548,000 1,102,000

Mwisho wa

marejesho ni

mwezi Novemba

2017

JUMLA 11,000,000 12,100,000 1,987,000 2,992,000 9,108,000

Page 126: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA …€¦ · 3.Ndg.Mail Komba 4.ASP.Albert L.Beda 5.Ndg.Revocatus G. Ngomeni 6.Ndg.Jumbe Msekula 7.Ndg.Mary Ngomalufu 8.Ndg. Fulgence

126

Kiambata Na. 7

MAREJESHO YA VIKUNDI VYA VIJANA (YDF) JANUARI–MACHI, 2017 MKOPO ULIOTOLEWA TAREHE

11/10/2016

NA JINA LA

KIKUNDI

KATA MKOPO MKOPO NA

RIBA

MAREJESH

O ROBO YA TATU

JUMLA YA

MAREJESHO

DENI MALEJESHO

1. Bwawani

Bustani

Shanwe 2,000,000 2,200,000 275,000 459,000 1,741,000

Marejesho yameanza

mwezi Desemba 2016

2. Hapa Kazi Majengo 1,500,000 1,650,000 300,000 450,000 1,200,000 Marejesho yameanza

mwezi Desemba 2016

3. Katavi Youth

Kashaulili 2,000,000 2,200,000 400,000 400,000 1,800,000 Marejesho yameanza mwezi Desemba 2016

4. Ivikongwa Makanyagio 1,000,000 1,100,000 184,000 276,000 824,000 Marejesho yameanza

mwezi Desemba 2016

5. Maarifa Uwanja/Ndege 1,000,000 1,100,000 184,000 276,000 824,000 Marejesho yameanza

mwezi Desemba 2016

JUMLA 7,500,000 8,250,000 1,343,000 1,861,000 6,389,000

Page 127: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA …€¦ · 3.Ndg.Mail Komba 4.ASP.Albert L.Beda 5.Ndg.Revocatus G. Ngomeni 6.Ndg.Jumbe Msekula 7.Ndg.Mary Ngomalufu 8.Ndg. Fulgence

127

Kiambata Na 8

ORODHA YA VIKUNDI VILIVYOKOPESHWA TAREHE 02/04/2017

NA JINA LA KIKUNDI KATA SHUGHULI ZA KIKUNDI KIASI KILICHOKOPESHWA

MKOPO NA RIBA

1 Fikiria Uwanja wa Ndege Usindikaji wa asali na biashara ndogondogo

2,500,000 2,750,000

2 Tujinasue Uwanja wa Ndege Kilimo cha bustani 2,000,000 2,200,000

3 Umoja ni nguvu Shanwe Biashara ndogondogo 1,500,000 1,650,000

4 White Giraffe group Shanwe Kilimo cha mahindi na ufugaji wa ku-ku

2,000,000 2,200,000

5 Mwitikio Mwamkulu Ufugaji wa kuku na kilimo cha mpunga

2,000,000 2,200,000

6 Tumejipanga Majengo Bodaboda na biashara ndogondogo 2,000,000 2,200,000

7 Kivicha Kasokola Kilimo cha karanga na ufugaji wa ku-ku.

2,500,000 2,750,000

8 Magufuli na Maendeleo Kazima Ushonaji,Saloon 2,000,000 2,200,000

9 Ujirani mwema Kawajense Biashara ndogondogo,utengenezaji urembo

1,500,000 1,650,000

10 Tujivune Uwanja wa Ndege Kilimo cha bustani na biashara ndogondogo

2,000,000 2,200,000

11 Prespa Majengo Biashara ndogondogo 2,500,000 2,750,000

12 Neema Kakese Kilimo na biashara ndogondogo 2,500,000 2,750,000

13 Morning star Ilembo Biashara ndogondogo 1,500,000 1,650,000

14 Jipe moyo Misunkumilo Ufugaji wa kuku na bata na biashara ndogondogo.

1,500,000 1,650,000

15 Twijumile Nsemulwa Biashara ndogondogo 2,000,000 2,200,000

16 Tausi Magamba Mgahawa na ufugaji wa kuku 2,000,000 2,200,000

17 Twaweza Mpanda Hotel Ununuzi na uuzaji wa mazao 2,000,000 2,200,000

18 Ubuhanje Mpanda Hotel Mgahawa na kilimo 2,000,000 2,200,000

19 Giftsheza Kashaulili Ushonaji na mgahawa ufinyanzi na biashara ndogondogo

2,000,000 2,200,000

JUMLA KUU 38,000,000 41,800,000

Page 128: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA …€¦ · 3.Ndg.Mail Komba 4.ASP.Albert L.Beda 5.Ndg.Revocatus G. Ngomeni 6.Ndg.Jumbe Msekula 7.Ndg.Mary Ngomalufu 8.Ndg. Fulgence

128

Kiambata Na : 9

VIKUNDI VYA WAJASIRIAMALI VILIVYOKOPESHWA HALMASHAURI YA MANISPAA YA MPANDA

MAREJESHO YA MIKOPO MFUKO WA WAJASIRIAMALI WA WILAYA KWA VIKUNDI VILIVYOPEWA MKOPO

AWAMU YA TATU KIPINDI CHA JANUARI –MACHI, 2017.

NA.

JINA LA KIKUNDI NA

KATA KILIPO

MKOPO RIBA 9% JUMLA YA

MKOPO NA RIBA

MAREJESH

O YA ROBO YA TATU

JUMLA YA

MAREJESHO

DENI MAONI

1 TWIYAWE MAKANYAGIO

Wanakikundi 5

1,000,000 90,000 1,090,000 0 874,000 216,000 Mwisho wa

marejesho ni tarehe

30/06/2015

2 MSHIKAMANO ARTS

GROUP

MPANDA HOTEL Wanakikundi 45

5,000,000 450,000 5,450,000 0 2,315,000 3,135,000 Mwisho wa

marejesho ni tarehe

30/06/2015

3 SADEGOESA GROUP

KASHAULILI Wanakikundi 5

5,000,000 450,000 5,450,000 0 4,196,000 1,254,000 Mwisho wa

marejesho ni tarehe

30/06/2015

JUMLA 11,000,000 990,000 11,990,000 0 7,385,000 4,605,000

Page 129: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA …€¦ · 3.Ndg.Mail Komba 4.ASP.Albert L.Beda 5.Ndg.Revocatus G. Ngomeni 6.Ndg.Jumbe Msekula 7.Ndg.Mary Ngomalufu 8.Ndg. Fulgence

129

Kiambata Na : 10

MKOPO ULITOLEWA TAREHE 18/12/2015-MAREJESHO YA MIKOPO HADI MACHI 2017 MWISHO WA

MAREJESHO NI DESEMBA 2016

NA

.

JINA LA

KIKUNDI NA KATA

KILIPO

MKOPO RIBA 15% JUMLA YA

MKOPO NA RIBA

MAREJESHO YA

ROBO YA TATU

MAREJESHO

YA MKOPO NA RIBA

DENI MAONI

1.

AMAKWAO U/Ndege

3,000,000 450,000 3,450,000 0 540,000 2,910,000 Ufuatiliaji unaendelea

2. DADA’s Kawajense

2,500,000 375,000 2,875,000 0 480,000 2,395,000 Ufuatiliaji unaendelea

3 CHANGAMKENI Makanyagio

1,500,000 225,000 1,725,000 260,000 1,576,000 149,000 Ufuatiliaji unaendelea

4 QUEEN HELLEN Misunkumilo

1,500,000 225,000 1,725,000 0 400,000 1,325,000 Ufuatiliaji unaendelea

5 SUBIRA YAVUTA HERI

Majengo

2,000,000 225,000 2,300,000 96,000 1,892,000 408,000 Ufuatiliaji unaendelea

JUMLA 10,500,000 1,500,000 12,075,000 356,000 4,888,000 7,187,000

Page 130: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA …€¦ · 3.Ndg.Mail Komba 4.ASP.Albert L.Beda 5.Ndg.Revocatus G. Ngomeni 6.Ndg.Jumbe Msekula 7.Ndg.Mary Ngomalufu 8.Ndg. Fulgence

130

Kiambata :11

VIKUNDI VILIVYOKOPESHWA KWENYE MWENGE 2016-2017 TAREHE 15/07/2016- AWAMU YA 6:

NB. MAREJESHO KWA KIPINDI CHA JANUARI HADI MACHI 2017, YATAMALIZIKA AGOSTI 2017.

NA

JINA LA KIKUNDI

NA KATA KILIPO

MKOPO RIBA 15% JUMLA YA

MKOPO NA RIBA

MAREJES

HO YA ROBO YA

TATU

JUMLA YA

MAREJESHO

DENI

1.

EBENEZER GROUP Kawajense

1,000,000 150,000 1,150,000 0 286,000 864,000

2. MPANDA DEVELOPMENT AGENDA

Majengo

2,000,000 300,000 2,300,000 0 192,000 2,108,000

3. JIKWAMUE VIJANA MPANDA SACCOs

Majengo

5,000,000 750,000 5,750,000 480,000 960,000 4,790,000

4 RAHAMAN Kashaulili

1,000,000 150,000 1,150,000 288,000 576,000 574,000

5 KATAVI SALAMU CLUB

Kashaulili

1,000,000 150,000 1,150,000 46,000 334,000 816,000

JUMLA 10,000,000 1,500,000 11,500,000 814,000 2,348,000 9,152,000

Page 131: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA …€¦ · 3.Ndg.Mail Komba 4.ASP.Albert L.Beda 5.Ndg.Revocatus G. Ngomeni 6.Ndg.Jumbe Msekula 7.Ndg.Mary Ngomalufu 8.Ndg. Fulgence

131

TAARIFA YA UWEZESHAJI WANANCHI KIUCHUMI KWA KIPINDI CHA JANUARI HADI

MACHI 2017

Halmashauri ya Manispaa ya Mpanda inatekeleza sera ya Taifa ya Uwezeshaji wananchi Kiuchumi

ya mwaka 2004 kupitia sekta na Idara za Halmashuri,sekta binafsi na Mashirika yasiyo ya

Kiserikali kupitia mwongozo wa Utekelezaji wa Mkakati wa Taifa wa Uwezeshaji wananchi

kiuchumi chini ya Ofisi ya Waziri Mkuu.

Sera na mwongozo unahimiza ushiriki wa wananchi wengi katika shughuli za uchumi wa kisasa

kwani kwa muda mrefu uchumi huo umeshikwa na wageni au Watanzania wachache, hali

inayopelekea malalamiko miongoni mwa wananchi.

DIRA NA MWELEKEO

Uwezeshaji wananchi kushiriki kikamilifu katika uchumi ni sehemu ya Dira ya maendeleo ya Taifa

kufikia mwaka 2025, kuwa sehemu kubwa ya uchumi wa Tanzania imilikiwe na Watanzania

wenyewe. Miongoni mwa mambo mengine sera inatoa mwelekeo wa kuitambua na kuipa nafasi

sekta isiyo rasmi kuendeleza na kuendesha uchumi katika mazingira ya nguvu ya soko. Kwa

maana hiyo, mbinu na mikakati itakayotumika katika kuwawezesha wananchi kiuchumi itatambua

mchango wa sekta isiyo rasmi na kuchukua hatua za kuiboresha.

Kutokana na sera hii limeundwa Baraza la Taifa la uwezeshaji wananchi kiuchumi litakalo fanya

kazi na madawati ya uwezeshaji wananchi ngazi za Wizara mbali mbali, Madawati ya uwezeshaji

wananchi kiuchumi ya mikoa,na Halmashauri. Katika ngazi ya Halmashauri Dawati la uwezeshaji

wananchi kiuchumi linaratibiwa na Afisa Maendeleo ya Jamii kwa niaba ya Mkurugenzi chini ya

Kamati ya Afya, Elimu, Uchumi na Maji

Page 132: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA …€¦ · 3.Ndg.Mail Komba 4.ASP.Albert L.Beda 5.Ndg.Revocatus G. Ngomeni 6.Ndg.Jumbe Msekula 7.Ndg.Mary Ngomalufu 8.Ndg. Fulgence

132

Kazi inayofanyika kwa sasa ni kuandaa Takwimu (Kanzi data) za uwezeshaji wananchi kupitia

Idara za Serikali na sekta mbali mbali ambazo zinaendelea kuwawezesha wananchi katika

Halmashauri.

Pamoja na taarifa hii taarifa ya utekelezaji kwa kipindi cha Januari hadi Machi imeambatishwa

(iko hatua ya ukusanyaji taarifa kutokana na kuchelewa kupokea fomu zaukusanyajitaarifa).

TAARIFA YA MALIPO YA JANUARI - MACHI 2017 KITENGO CHA TASAF

1. Kwa kipindi cha Januari hadi Marchi, 2017 Halmashauri imepokea jumla ya fedha Tshs.

115,650,000.00 ikiwa ni fedha za malipo ya walengwa kwa mchanguno ufuatao:-

(i) Jumla ya fedha Tshs. 57,406,500 kwa mwezi Januari, 2017

(ii) Jumla ya fedha Tshs. 58,243,500 kwa mwezi Machi, 2017

Jumla ya fedha zilizopokelewa ni Tshs. 115,650,000.00

Pamoja na taarifa hii mchanganuo wa malipo ya mwezi Januari - Februari, Marchi 2017

zimeambatishwa.

2. Ujenzi wa zahanati ya Mwamkulu unaendelea, jengo limepigwa lipu ndani na nje, fedha

zilizotumika ni kama ifuatavyo:-

Na. Jina la mradi Kiasi

kilichotolewa

Kiasi

kilichotumika

Baki Jumla

1 Ujenzi wa

zahanati ya

Mlima Kipala

Mwamkulu

64,869,728.00 39,679,719.50 25,190,008.50 64,869,728.00

Page 133: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA …€¦ · 3.Ndg.Mail Komba 4.ASP.Albert L.Beda 5.Ndg.Revocatus G. Ngomeni 6.Ndg.Jumbe Msekula 7.Ndg.Mary Ngomalufu 8.Ndg. Fulgence

133

TAARIFA YA MALIPO YA JANUARI – FEBRUARI, 2017

KIJIJI/MTA

A

FEDHA

ZILIZOTOLE

WA

KIASI

KILICHOLIP

WA

KIASI

AMBACHO

HAKIJALIPWA

ASILIMI

A YA

FEDHA ZILIZOL

IPWA

KAYA

ZILIZOT

AKIWA KULIPW

A

JUMLA

YA

KAYA ZILIZO

LIPWA

JUML

A YA

KAYA AMBA

ZO HAZI

KULIP

WA

ASILIM

IA YA

KAYA ZILIZOL

IPWA

KACHOMA 1,804,000.00 1,732,000.00 72,000.00 96% 54 54 2 96%

MISUNKUMIL

O

4,696,000.00 4,564,000.00 132,000.00 97% 156 156 4 97%

ILEMBO 4,704,000.00 4,472,000.00 232,000.00 97% 170 165 5 97%

TAMBUKAREL

I

3,592,000.00 3,212,000.00 380,000.00 95% 132 119 13 90%

MAJENGO

MAPYA

1,784,000.00 1,612,000.00 172,000.00 90% 46 41 5 89%

KIVUKONI 1,416,000.00 1,376,000.00 40,000.00 97% 53 55 1 98%

KAWAJENSE 3,448,000.00 3,328,000.00 120,000.00 97% 119 113 6 95%

KAKESE 3,944,000.00 3,208,000.00 736,000.00 81% 124 98 26 79%

MBUGANI 5,532,000.00 5,212,000.00 320,000.00 94% 215 203 12 94%

KAMAKUKA 3,120,000.00 2,792,000.00 328,000.00 90% 98 87 11 89%

KAWANZIGE 5,576,000.00 4,128,000.00 1,448,000.00 74% 163 123 40 76%

MWAMKULU 11,412,000.00 10,904,000.00 508,000.00 96% 352 340 12 97%

JUMLA 51,028,000 46,540,000 4,488,000 91% 1682 1545 137 92.00%

Page 134: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA …€¦ · 3.Ndg.Mail Komba 4.ASP.Albert L.Beda 5.Ndg.Revocatus G. Ngomeni 6.Ndg.Jumbe Msekula 7.Ndg.Mary Ngomalufu 8.Ndg. Fulgence

134

TAARIFA YA MALIPO YA KAYA MASIKINI MWEZI MARCHI – APRIL, 2017

KIJIJI/MTAA FEDHA ZILIZOTOLEWA

KIASI KILICHOLIPW

A

KIASI AMBACHO

HAKIJALIPWA

ASILIMIA YA

FEDHA ZILIZOLIPWA

KAYA ZILIZOTAKIWA

KULIPWA

JUMLA YA KAYA

ZILIZOLIPWA

JUMLA YA KAYA AMBAZO HAZIKULIPWA

ASILIMIA YA KAYA

ZILIZOLIPWA

KACHOMA 1,876,000.00 1,836,000.00 40,000.00 98% 54 53 1 98%

MISUNKUMILO 4,788,000.00 4,788,000.00 0.00 100% 155 155 0 100%

ILEMBO 4,292,000.00 4,160,000.00 132,000.00 97% 161 156 5 97%

TAMBUKARELI 3,552,000.00 3,356,000.00 196,000.00 94% 131 125 6 95%

MAJENGO MAPYA 1,840,000.00 1,588,000.00 252,000.00 86% 45 40 89%

KIVUKONI 1,336,000.00 1,336,000.00 0.00 100% 52 52 0 100%

KAWAJENSE 3,344,000.00 3,248,000.00 96,000.00 97% 114 110 4 96%

KAKESE 4,532,000.00 4,076,000.00 456,000.00 90% 120 109 11 91%

MBUGANI 5,172,000.00 5,092,000.00 80,000.00 98% 205 201 4 98%

KAMAKUKA 3,304,000.00 2,828,000.00 476,000.00 86% 96 85 11 89%

KAWANZIGE 6,216,000.00 6,024,000.00 192,000.00 97% 157 152 5 97%

MWAMKULU 11,520,000.00 10,692,000.00 828,000.00 93% 349 324 25 93%

JUMLA 51,772,000.00 49,024,000.00 2,748,000.00 95% 1639 1562 77 95.30%

Page 135: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA …€¦ · 3.Ndg.Mail Komba 4.ASP.Albert L.Beda 5.Ndg.Revocatus G. Ngomeni 6.Ndg.Jumbe Msekula 7.Ndg.Mary Ngomalufu 8.Ndg. Fulgence

135

5.TAARIFA YA UTEKELEZAJI SHUGULI MBALIMBALI IDARA YA AFYA KWA KIPINDI CHA ROBO YA TATU (JAN -

MARCH) 2017

Mhe: Mwenyekiti

SHUGHULI ZILIOTEKELEZWA KWA MUJIBU WA MPANGO NA BAJETI KIPINDI CHA JAN – MACHI 2017

S/N

LENGO SHUGHULI UTEKELEZAJI GHARAMA MAELEZO

1 Mafunzo Kufanya Mafunzo ya Siku mbili ya STI/kwa watumishi 10 wapya Hospital ya Manispaa Mpanda hadi Juni 2017

Watumishi 10 wa idara ya afya wamepewa mafunzo hayo

1,673,497.75 Imetekelezwa

2 Upatikanaji wa dawa na Vifaa Tiba vya Maabara

Kununua dawa na vifaa Tiba vya Maabara ifikapo Juni 2017

Dawa na vifaa Tiba vimenunuliwa na Kusambazwa katika vituo vya Kutolea huduma

3,346,995.5 Shughuli imetekekezwa

3 Upatikanaji wa dawa na Vifaa Tiba

Ununuzi wa Dawa na vifaa tiba Kwa Matumizi ya Hospitali ya Manispaa

Dawa na vifaa Tiba vimenunuliwa 26,182,866.50 Shuughuli imetekelezwa.

4 Upatikanaji wa dawa Na Vifaa Tiba

Ununuzi wa katoni 24 za Vifaa vya office kwa ajili ya matumizi ya hospitali ya Manispaa Mpanda

Dawa na vifaa Tiba vimenunuliwa na Kusambazwa katika vituo vya Kutolea huduma

2,231,330.25 Shughuli imetekelezwa

5 Kuimarisha Kitengo cha Meno

Ununuzi wa Vifaa vya kutolea huduma yameno

Vifaa vitapatikana baada ya taratibu za manununuzi kukamilika

1,115,665.00 Taratibu za manunuzi zinaendelea. Vifaa vimeagizwa MSD

6 Gharama za uendehaji wa Hospitali ya Manispaa

Ununuzi wa mafuta kwa ajili ya Matumizi ya Jenerator na Ambu-lance

lita 533 1,100,000.00 Shughuli Imetekelezwa

Page 136: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA …€¦ · 3.Ndg.Mail Komba 4.ASP.Albert L.Beda 5.Ndg.Revocatus G. Ngomeni 6.Ndg.Jumbe Msekula 7.Ndg.Mary Ngomalufu 8.Ndg. Fulgence

136

7 Huduma za Macho Kutoa huduma za Macho kwa Jamii inayozunguka Halmashauri ifikapo Juni 2017

Upimaji na matibabu ya macho umeimarishwa

830,000 Shughuli Imetekelezwa kama ilivyo kwenye mpango

8 Usimamizi Elekezi Kufanya Usimamizi elekezi kwa watumishi wanaotoa huduma katika Hospitali ya Manispaa Mpanda

Jumla ya Vituo 3 vya Afya, Zahanati 16 na Hospitali 1 vimetembelewa

4,520,000.00 Shughuli imetekelezwa

9 Kulipa deni la posho ya Masaa ya ziada

Kulipa deni la Posho ya Masaa ya ziada Kwa Watumishi wa Hospitali ya Manispaa Mpanda

Watumishi 200 wamelipwa posho ya masaa ya ziada

8,650,000.00 Watumishi 200 wa Hospital ya Manispaa wamelipwa deni la Posho ya Masaa ya ziada

10 Kutengeneza vitabu vya Takwimu

Kutengeneza vitabu vya Mtuha Taratibu za Manunuzi zinaendelea 2,067,000.00 Shughuli inaendelea Kutekelezwa

11 Matemgenezo ya Magari 2 ya wagonjwa

Matengenezo ya Magari ya wagonjwa

Magari 2 ya wagonjwa yanaendelea kufanyiwa matengenezo

3,000,000.00 Shughuli inaendelea Kutekelezwa

12 Vikao vya Robo Kufanya vikao vya robo vya bodi ya Hospitali

Kikao kimefanyika 780,000.00 Imetekelezwa

13 Vikao vya uendeshaji wa Hospitali

Kufanya vikao vya kamati ya uongozi ya Hospitali vya kila Mwezi

Vikao 3 vimefanyika 900,000.00 Imetekelezwa

14 Shajala kwa ajili ya uendeshaji wa Hospitali

Ununuzi wa Shajala kwa Matumizi ya Hospitali ya Halmashauri

Taratibu za manunuzi zinaendelea 3,000,000.00 Inaendelea Kutekelezwa

15 Kifua Kikuu Kutengeneza vipeperushi vinavyotoa ujumbe wa kifua kikuu katika halmashauri

Inaendelea Kutekelezwa 890,000.00 Inaendelea Kutekelezwa

16 Kifua Kikuu Kutengeneza vipeperushi vinavyotoa ujumbe wa kifua kikuu katika halmashauri

inaendelea kutekelezwa 516,435.50 Inaendelea Kutekelezwa

Page 137: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA …€¦ · 3.Ndg.Mail Komba 4.ASP.Albert L.Beda 5.Ndg.Revocatus G. Ngomeni 6.Ndg.Jumbe Msekula 7.Ndg.Mary Ngomalufu 8.Ndg. Fulgence

137

17 Dawa na Vifaa Tiba vya Hospitali

Ununuzi wa dawa na Vifaa Tiba vya Hospitali

Dawa na vifaa Tiba vimenunuliwa 24,400,000.00 Imetekelezwa

18 Vifaa Tiba Ununuzi wa Vifaa tiba kwa ajili ya vituo vya kutolea huduma Halmashauri ya Manispaa Mpanda Ifikapo Juni 2017

Dawa na vifaa Tiba vimenunuliwa na Kusambazwa katika vituo vya Kutolea huduma

4,000,000.00 Imetekelezwa

19 Huduma za Chanjo Kufanya huduma za Chanjo mkoba katika vitu vya kutolea huduma

huduma za chanjo zimefanyika katika vituo vyote vya kutolea huduma

1,560,000.00 Imetekelezwa

20 Mpango kabambe wa Afya na bajeti ya Halmashauri

Maandalizi ya mpango kabambe wa afya,vituo vya kutolea huduma,na Hospitali na uwasilishwaji ifikapo Juni 2017

Mpango kabambe unaendelea kutengenezwa kulingana na miongozo ya Sekta ya afya na Bajeti

12,500,000 Shughuli bado inaendelea

21 Gharama za Mashapisho

Ununuzi wa Shajala kwa ajili ya Matumizi ya ofisi

Shajala zimenunuliwa na 2,150,000 Imetekelezwa

22 Umeme wa Jua Ununuzi wa umeme wa Jua zahanati ya Mtakumbuka

Vifaa vya Umeme vimenunuliwa 1,200,000.00 Shughuli imetekelezwa

23 Vifaa vya Usafi Ununuzi wa vifaa vya Usafi Zahanati ya Mtakumbuka

Vifaa vya Usafi 700,000.00 Shughuli Imetekelezwa

JUMLA 107,313,790.5

Page 138: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA …€¦ · 3.Ndg.Mail Komba 4.ASP.Albert L.Beda 5.Ndg.Revocatus G. Ngomeni 6.Ndg.Jumbe Msekula 7.Ndg.Mary Ngomalufu 8.Ndg. Fulgence

138

6.TAARIFA YA UTEKELEZAJI IDARA YA USAFISHAJI NA MAZINGIRA KWA MWEZI JANUARI HADI MACHI,

2017

A. USAFI WA MAZINGIRA

Na Lengo kwa mwaka Shughuli Fedha

iliyoombwa

Fedha

iliyotolewa

Fedha

iliyobaki

Hali ya Utekelezaji

01 Kudhibiti taka ngumu Kusimamia uzoaji wa taka

ngumu tani 6,124.5

zizozalishwa

33,000,000

22,000,000

11,000,000

Jumla ya tani 5,224.5 za

taka ngumu zilizolewa

na kudhibitiwa

02 Kudhibiti taka ngumu Kusimamia uzoaji wa taka

uliofanywa siku za

Jumamosi za mwisho wa

mwezi

0 0

0 Idara iliendelea

kusimamia usafi

uliofanywa kila siku za

Jumamosi za mwisho wa

mwezi

03 Kudhibiti maji taka Kusimamia unyonyaji wa

maji taka

0 0 0 Jumla ya lita za ujazo

21,000 zilinyonywa na

kuzikwa

04 Kuondoa Mapori ya

Nyasi mjini

Kuandaa na kutoa barua

za ondoa “Mapori ya

Nyasi”

0 0 0 Barua za “Ondoa

Mapori” 110 zilitolewa

kwa maeneo yafuatayo:-

Misikiti -

14,Makanisa - 17, Ofisi

za kata- 15, Ofisi za

Serikali – 8, Kaya - 56.

05 Kulinda ubora na Kukagua na kuondoa

machukizo katika maduka

0 0 0 Notisi 70 zilitolewa:-

Page 139: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA …€¦ · 3.Ndg.Mail Komba 4.ASP.Albert L.Beda 5.Ndg.Revocatus G. Ngomeni 6.Ndg.Jumbe Msekula 7.Ndg.Mary Ngomalufu 8.Ndg. Fulgence

139

usalama wa chakula 70 ya nyama Notisi 48 zilitekelezwa

Notisi 5 waliongezewa

muda,Maduka 11

walipewa onyo, Maduka

6 yalifungwa

06 Kudumisha usafi wa

nyumba za kulala

wageni

Kukagua na kuondoa

machukizo katika nyumba

92 za kulala wageni

0 0 0 Nyumba 92 zilikaguliwa

Nyumba 61 zilikidhi

vigezo, Nyumba 24

walipewa onyo

Nyumba 7 zilifungwa

07 Ujenzi wa nyumba na

makazi bora

Kukagua na kupitisha

ramani za nyumba

0 0 0 Jumla ya ramani 25 za

nyumba zilikaguliwa na

kupitishwa.

Page 140: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA …€¦ · 3.Ndg.Mail Komba 4.ASP.Albert L.Beda 5.Ndg.Revocatus G. Ngomeni 6.Ndg.Jumbe Msekula 7.Ndg.Mary Ngomalufu 8.Ndg. Fulgence

140

B. UTEKELEZAJI WA KAMPENI YA KITAIFA YA USAFI WA MAZINGIRA

Na Lengo kwa mwaka Shughuli Fedha

iliyotengwa

Fedha

iliyotumika

Fedha

iliyobak

i

Hali ya

Utekelezaji

01 Kuongeza idadi ya

ujenzi na utumiaji wa

vyoo bora na uwekaji

vifaa vya kutunzia maji

safi na sabuni ya

kunawa mikono baada

ya kutoka chooni

Kufanya mikutano ya

uchefuaji katika vitongoji 17

kwa muda wa siku 7 ifikapo

Juni, 2017

3,431,100.00

3,431,100

0 Vitongoji 10

vimefanyiwa

mikutano ya

uchefuaji

Mikutano ya

uchefuaji inaendelea

katika vitongoji

vingine 7

02 Kufanya mashindano ya

Afya na Usafi wa Mazingira

katika Kata 15 Vijiji 26,

vitongoji 122 ifikapo Juni,

2017

1,791,900.00 1,791,900.00 0 Mashindano ya Afya

na Usafi wa

Mazingira

yanaendelea

kufanyika kama

ilivyopangwa

03 Kufanya mkutano wa

tathimini ili kuona

utekelezaji wa Kampeni

katika Kata, vijiji, mitaa na

vitongoji ifikapo Juni, 2017

800,000 800,000 0 Mchakato wa timu

ya Maji na Usafi wa

Mazingira kufanya

tathimini kwa

kutembelea maeneo

ya Kampeni

unaendelea

Page 141: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA …€¦ · 3.Ndg.Mail Komba 4.ASP.Albert L.Beda 5.Ndg.Revocatus G. Ngomeni 6.Ndg.Jumbe Msekula 7.Ndg.Mary Ngomalufu 8.Ndg. Fulgence

141

04 Kufanya ufuatiliaji wa kila

mwezi na robo mwaka ili

kuona utekelezaji wa

Kampeni ya Kitaifa ya Usafi

wa Mazingira katika Kata

15, Vijiji 26 na vitongoji 122

ifikapo Juni, 2017

1,645,000.00 1,645,000.00 0 Mchakato wa Timu

ya uwezeshaji ya

Manispaa wa

kufanya tathimini

unaendelea

05 Kutembelea kata 15 na

viongozi wa vitongoji

kuwasilisha na kujadili

taarifa za utekelezaji wa

Kampeni ifikapo Juni, 2017

2,332,000.00 2,332,000.00 0 Mchakato wa Timu

ya uwezeshaji ya

Manispaa wa

kutembelea,

kupokea taarifa na

kuzijadili unaendelea

Page 142: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA …€¦ · 3.Ndg.Mail Komba 4.ASP.Albert L.Beda 5.Ndg.Revocatus G. Ngomeni 6.Ndg.Jumbe Msekula 7.Ndg.Mary Ngomalufu 8.Ndg. Fulgence

142

TAARIFA YA MAPATO NA MATUMIZI YA CHF/TIKA KWA ROBO YA TATU (JANUARI HADI MACHI 2017)

MHESHIM Mheshimiwa Mwenyekiti Hospitali, vituo vya afya na zahanati katika kipindi cha Januari hadi Machi 2017 vimetekeleza shughuli mbalimbali ikiwa

ni pamoja na kukusanya Tshs 46,373,646 Desemba Bakaa ilikuwa 57,731,443 Jumla 104,095,089.00 Matumizi 23,269,557.77 Salio katika Akaunti zote ni Tshs 80,825,531.23 MCHANGANUO WA MAPATO NA MATUMIZI KATIKA VITUO HIVYO NI KAMA IFUATAVYO:-

NA

KITUO CHA HUDUMA

PAPO KWA PAPO ADA NHIF TELE KWA

TELE

JUMLA YA MAKUSAN

YO (JAN-MACHI)

BAKAA KWA

ROBO YA PILI

SALIO KATIKA

AKAUNTI

MATUMIZI BAKI

KATIKA AKAUNTI

IDADI

KIASI IDADI

KIASI

1 Hospital ya

Manispaa

31,996,720

0 - 0 31,996,720 27,097,026 59,093,746 23,269,557.77 35,824,188

.23

2 Kituo cha Afya Town

Clinic

277 1,385,000 53 530,000 0 890,000 2,805,000 8,121,751 10,926,751 0.00 10,926,751

3 Kituo cha

Afya Ilembo

29 145,000 12 120,000 573,525 270,000 1,108,525 4,596,200 5,704,725 0.00 5,704,725

4 Zahanati ya

Kakese

0 0 51 510,000 0 510,000 1,020,000 6,630,000 7,650,000 0 7,650,000

5 Zahanati ya

Mpanda Girls

0 0 2 20,000 3,629,401 5,280,000 8,929,401 4,406,834 13,336,235 0 13,336,235

6 Zahanati ya Magamba

39 125,000 25 250,000 0 375,000 2,964,200 3,339,200 0 3,339,200

7 Zahanati ya

mwamkulu

4 10,000 5 50,000 0 60,000 2,009,800 2,069,800 0 2,069,800

8 Zahanati ya

Milala

23 59,000 0 0 0 59,000 342,500 401,500 0.00 401,500

9 Zahanati ya kasokola

0 1 10,000 10,000 1,553,132 1,563,132 1,563,132

10 Zahanati ya Mtakumbuka

0 0 1

10,000 0 10,000 10,000 10,000 0 10,000

372 33,720,720 150 1,500,000 4,202,926 6,950,000 46,373,646 57,731,443 104,095,089 23,269,557.77 80,825,531

.23

Page 143: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA …€¦ · 3.Ndg.Mail Komba 4.ASP.Albert L.Beda 5.Ndg.Revocatus G. Ngomeni 6.Ndg.Jumbe Msekula 7.Ndg.Mary Ngomalufu 8.Ndg. Fulgence

143

8.TAARIFA YA UTEKELEZAJI IDARA YA KILIMO, MIFUGO, UVUVI NA USHIRIKA KWA

KIPINDI CHA JANUARI HADI MACHI 2017.

Kamati ilipokea taarifa ya idara hii kama ifuatavyo ;

i.KITENGO CHA KILIMO:

• Kusimamia zoezi la usambazaji wa mbolea za ruzuku ya serikali • Kutoa ushauri wa kitaalam kwa wakulima juu ya kilimo bora cha mazao ya mpunga,

mahindi, karanga, maharage, na mihogo.

• Kutembelea wafugaji na wakulima katika vijiji 14 na mitaa 43 kwa lengo la kufanya mahojiano nao juu ya dodoso la mkulima na mfugaji ili kuweza kupata wakulima na wafugaji bora ngazi ya kijiji,mtaa na kata.

• Ukusanyaji wa taarifa za takwimu za kilimo umefanyika. • Ukaguzi wa maduka ya pembejeo katika maduka 10, stoo 3 na ghala 1 ili kudhibiti

ubora wa pembejeo za kilimo zinazouzwa na mawakala wa pembejeo.

Utekelezaji wa malengo ya kilimo kwa msimu wa kilimo wa 2016/17

Jumla ya hekta 32,887 zimeandaliwa na hekta 25,517 zimelimwa na kupandwa mazao

mbalimbali kama inavyoonekana katika jedwali hapo chini. Hali ya mimea ya mazao aina

ya mahindi, maharage, na karanga ni nzuri kufuatia uwepo wa mvua za wastani

zinazoendelea kunyesha. Hadi kufikia muda huu mazao yamefikia katika hatua ya

kukomaa(KO) na baadhi yameanza kuvunwa

ZAO LENGO UTEKELEZAJI

Eneo (Ha)

Uzalishaji tija/ha

Matarajio ya mavuno(Tan)

Eneo lililopandwa(ha)

Mavuno/Uzalishaji (Tani)

Mahindi 9,085 2.5 22,713 8759.40

Mpunga 6,702 3.5 23,457 5121.50

Mtama 532 1.5 798 33

Muhogo 7,231 10 72,310 4,892.4

Viazi Vitamu 2,236 10 22,360 1394.30

Maharage 421 1.5 632 378.90

Mikunde 2,813 1.2 9,846 2,250.20

Alizeti 230 1.1 253 47.60

Karanga 2,813 1.5 4,220 2,109.80

Ufuta 824 0.8 618 529.60

JUMLA 32,887 157,207 25,517

Page 144: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA …€¦ · 3.Ndg.Mail Komba 4.ASP.Albert L.Beda 5.Ndg.Revocatus G. Ngomeni 6.Ndg.Jumbe Msekula 7.Ndg.Mary Ngomalufu 8.Ndg. Fulgence

144

Tathimini ya hali ya chakula Manispaa ya Mpanda

Chakula katika masoko ya Halmashauri ya Manispaa ya Mpanda kinapatikana kwa wingi kama

vile Mpunga,Maharage,Mihogo,Viazivitamu,Karanga,Mchele,Mahindi,Mbogamboga na

Matunda.Kwasasa Mahindi mapya yameingizwa sokoni na kupelekea mlipuko wa bei kuanza

kushuka sokoni. Hali ya bei ya chakula ni kama inavyoonekana katika jedwali hapo chini.

ZAO BEI YA SOKONI KWA KI-LO MOJA(KG)

MCHELE 1300-1600/=

MAHINDI 700-900/=

MTAMA 2000/=

UNGA WA MAHINDI 1500-1800/=

MAHARAGE 1800-2000/=

MUHOGO 500/=

VIAZI VITAMU 500/=

KARANGA 1600-2000/=

TAARIFA YA USAMBAZAJI NA UCHUKUAJI WA PEMBEJEO ZENYE RUZUKU YA

SERIKALI KWA KILIMO KWA MSIMU WA KILIMO WA 2016/17

Halmashauri ya Manispaa ya Mpanda ina jumla ya kaya 27,964 Kati ya hizo kaya 16,776

zinajishughulisha na kilimo cha mazao ya chakula na biashara. Katika msimu wa kilimo

2016/2017 Manispaa ya Mpanda ilipangiwa mgawo wa pembejeo zenye ruzukuTani 40 za mbegu

bora za mahindi, Tani 199 za mbolea ya kupandia na Tani 199 za mbolea ya kukuzia. Kutokana

na mbolea ya kupandia na mbegu bora kuchelewa kufika kwa Wakala Mkuu wa

Mbolea(TFC)/Mbegu bora na kukuta wakulima wengi wameshapanda mazao yao, hivyo basi

kiasi cha Tani 168 za mbolea ya kupandia kilibadirishwa kuwa mbolea ya kukuzia ili kukidhi

mahitaji ya wakulima wengi ambao mazao yao yalikuwa yamefikia hatua ya kuwekewa mbolea

ya kukuzia. Mgawo wa pembejeo hizo katika kila kijiji/mtaa umeoneshwa kwenye jedwali hapo

chini.

SAMBAZAJI WA PEMBEJEO ZA RUZUKU (MBEGU BORA, MBOLEA YA KUPANDIA NA KUKUZIA) MSIMU WA

2016/2017

SN

KATA IDADI

YAKAYA

ZILIZOTE

ULIWA NA

KAMATI

MGAWO KWA KILA KIJIJI/MTAA KAYA ZILIZONUFAIKA MPAKA SASA

MBEGU

BORA

(10KG)

MBOLEA MBEGU

BORA

KILO 10

MBOLEA KILO 50

MAHIND

I

CHOTAR

KUPAND

IA

KUKUZIA JUMLA MAHINDI KUPAND

IA

(DAP)

KUKUZIA

(UREA na

CAN

Page 145: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA …€¦ · 3.Ndg.Mail Komba 4.ASP.Albert L.Beda 5.Ndg.Revocatus G. Ngomeni 6.Ndg.Jumbe Msekula 7.Ndg.Mary Ngomalufu 8.Ndg. Fulgence

145

WANUFAIKAJI= 4,963 NA VIBALI=281

II. KITENGO CHA USHIRIKA

Shughuli zilizofanyika

� Usimamizi (Supervision) na ukaguzi wa ndani (Inspection) vyama vya ushirika katika

Halmashauri ya Manispaa ya Mpanda.

� Kuratibu Mikutano mikuu ya Mwaka katika vyama vya ushirika ndani ya Halmashauri ya

Manispaa ya Mpanda, vyama vya ushirika vilivyofanya mikutano mikuu ni pamoja na

Kasokola AMCOS Ltd, KKKT Mpanda SACCOS Ltd na Kashaulili Livestock Keepers SACCOS

Ltd.

� Kufanya Mafunzo juu ya Mabadiliko ya Kanuni na Sheria ya vyama vya ushirika ambayo

imepelekea vyama vyote vya ushirika kutakiwa kubadilisha Masharti ya vyama hivyo ili

yaendane na matakwa ya Sheria mpya ya vyama vya Ushirika No. 6 ya mwaka 2013

pamoja na Kanuni zake za mwaka 2015

� Kukusanya takwimu zinazohusu hali ya vyama vya ushirika (i.e. Hisa, Akiba, Amana na

Mikopo)

A

1 U/ Ndege 452 245 240 240 480 0 9 324

2 Makanyagio 784 267 265 265 530 3 9 431

3 Kasokola 667 235 242 242 484 0 85 563

4 Ilembo 850 299 270 270 540 0 0 341

5 Kawajense 433 208 225 225 450 0 28 328

6 Kazima 900 267 225 225 450 0 45 446

7 Nsemulwa 1227 301 330 330 660 0 55 474

8 Kashaulili 274 120 126 126 252 0 29 230

9 Mwamkulu 1007 276 350 350 700 0 0 17

10 Shanwe 735 311 302 302 604 0 43 382

11 Misunkumilo 1233 353 335 335 670 0 34 503

12 Kakese 3026 423 396 396 792 0 3 493

13 Majengo 290 100 144 144 288 0 30 211

14 Mpanda ho-

tel

347 186 210 210 420 0 27 226

15 Magamba 1248 398 320 320 640 0 0 171

JUMLA YA

MIFUKO

12959 3975 3980 3 427 5148

Page 146: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA …€¦ · 3.Ndg.Mail Komba 4.ASP.Albert L.Beda 5.Ndg.Revocatus G. Ngomeni 6.Ndg.Jumbe Msekula 7.Ndg.Mary Ngomalufu 8.Ndg. Fulgence

146

III. KITENGO CHA MIFUGO

TAARIFA YA MAENDELEO YA MIFUGO KWA KIPINDI CHA MIEZI MITATU JANUARI

HADI MACHI 2017.

1.0 IDADI YA MIFUGO.

Jedwali Na. 1: Idadi ya Mifugo Manispaa ya Mpanda.

Aina ya Mifugo

Ng’ombe Mbuzi Kondoo Nguruwe Kuku Bata Mbwa

Idadi 21, 458 12,807 1,625 3,599 51,579 3,461 6,718

2.0 MIUNDOMBINU YA MIFUGO.

Jedwali Na. 2: Idadi ya miundombinu iliyopo katika Halmashauri,

Aina ya

Miundombinu

Umiliki Hali Jumla

Halmashaur

i

Binafsi Inatumika Haitumiki

Josho 1 2 1 2 3

Cliniki ya Mifugo 1 1 1

Mnada 2 2 2

Machinjio 1 1 1

3.0 KINGA DHIDI YA MAGONJWA YA MIFUGO.

4.1. Uogeshaji/Unyunyizaji Mifugo,

Jedwali Na. 3 Michovyo ya Mifugo iliyoogeshwa.

Aina ya Ng’ombe Mbuzi Kondoo Mbwa

Page 147: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA …€¦ · 3.Ndg.Mail Komba 4.ASP.Albert L.Beda 5.Ndg.Revocatus G. Ngomeni 6.Ndg.Jumbe Msekula 7.Ndg.Mary Ngomalufu 8.Ndg. Fulgence

147

Mfugo Josho Bomba Josho Bomba Josho Bomba Josho Bomba

Jumla 106 9274 71 5968 0 126 0 41

4.2 CHANJO

Jedwali Na. 4 Chanjo dhidi ya maradhi mbalimbali ya Mifugo.

4.3 MAGONJWA YA MIFUGO.

Jedwali Na 5 Matukio ya Magonjwa ya Mifugo

Aina ya Mifugo Aina ya Ugonjwa Idadi ya Mifugo

Waliougua

Vifo

Ng’ombe Trypanasomosis 18 3

Anaplasmosis 27 6

ECF 33 11

FMD 3 0

Babesiosis 13 1

Worm Infestation 22 6

Milk Fever 1 1

Lumpy Skin Disease 2 0

Heart water 2 1

Mbuzi Mastitis 1 0

Pneumonia 75 0

Pox 2 0

Worm Infeatation 17 0

Nguruwe Worm and Mange Infestation 103 7

Mbwa Rabies 7 7

Na Aina ya Ugonjwa Aina ya Mifugo Idadi ya Mifugo

iliyochanjwa

1. Newcastlle Disease Kuku 1490

2. Rabbies Mbwa 14

Page 148: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA …€¦ · 3.Ndg.Mail Komba 4.ASP.Albert L.Beda 5.Ndg.Revocatus G. Ngomeni 6.Ndg.Jumbe Msekula 7.Ndg.Mary Ngomalufu 8.Ndg. Fulgence

148

TCVT 1 0

Kuku Fowl pox 420 137

Pneumonia 27 27

Salmonellosis 50 3

Fowl Typhoid 17 2

4.0 MAUZO YA MIFUGO MINADANI. Jedwali Na 6 Mauzo ya Mifugo hai minadani kwa kipindi cha miezi mitatu Januari hadi Machi 2017katika minada ya

Kakese na Mwamkulu.

Aina ya Mifugo Mifugo

iliyoletwa

mnadani

Mifugo

iliyouzwa

Wastani wa bei Thamani kwa

kila aina

yamifugo

iliyouzwa

Ng’ombe 1966 1382 450,000 621,900,000

Mbuzi 567 491 40,000 19,640,000

Kondoo 70 56 40,000 2,240,000

Kuku 1563 1563 8,000 12,504,000

5.1 MIFUGO ILIYOCHINJWA.

Jedwali Na 7 Mifugo iliyochinjwa kwa kipindi cha mwezi Januari hadi Machi 2017

Aina ya Mifugo Ng’ombe Mbuzi/Kondoo Nguruwe Kuku/Bata

Idadi iliyochinjwa 1936 1246 252 6573

5.2. ZAO LA NGOZI

Jumla za pc 1936 za ngozi ya Ng’ombe na pc 1246 za ngozi ya Mbuzi zimezalishwa kwa kipindi chote cha miezi

mitatu Januari hadi Machi 2017.

5.0 HUDUMA ZINGINE ZILIZOTOLEWA NA SEKTA YA MIFUGO.

6.1 Ushauri kwa Wafugaji.

Jumla ya Wafugaji 346 wameshauriwa juu ya ufugaji bora wa Ng’ombe wa kisasa na asili pamoja

na Kuku wa asili katika kata zote za Halmashauri ya Manispaa ya Mpanda.

Page 149: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA …€¦ · 3.Ndg.Mail Komba 4.ASP.Albert L.Beda 5.Ndg.Revocatus G. Ngomeni 6.Ndg.Jumbe Msekula 7.Ndg.Mary Ngomalufu 8.Ndg. Fulgence

149

6.2 Kuhasi

Jumla ya Ng’ombe 28, Mbuzi 11, Mbwa 3 na Nguruwe 174 wamehasiwa kwa kipindi chote cha

mwezi Januari hadi Machi 2017.

7.0 MAPATO YA SERIKALI

Jedwali Na 9 Ukusanyaji wa maduhuli katika Halmashauri.

Ushuru wa Machinjio

na Ukaguzi wa

nyama

Ushuru wa Mifugo

Minadani

Ushuru wa Serikali

kuu

Mapato yatokanayo

na ngozi

7,744,000 4,693,000 361,000 70,000

IV. KITENGO CHA UVUVI

1.UTEKELEZAJI WA SERA, SHERIA NA MIKAKATI YA UVUVI

1.1. Uzalishaji na Ufugaji wa samaki kwenye mabwawa

Na Kata Malengo Mabwawa yaliyopo (a)

Mabwawa mapya (b)

Jumla (a+b)

Watu waliopewa elimu

Samaki waliopandikizwa

1 U/ Ndege 25 10 0 10 5 -

2 Makanyagio 27 9 2 11 6 -

3 Kasokola 42 7 5 12 34 250

4 Ilembo 31 3 1 4 2 -

5 Kawajense 20 1 2 3 1 -

6 Kazima 24 5 0 5 2 -

7 Nsemulwa 32 4 0 4 4 -

8 Kashaulili 12 4 0 4 3 -

9 Mwamkulu 17 1 0 1 1 -

10 Shanwe 13 3 3 6 2 1,300

11 Misunkumilo 28 0 1 1 1 600

12 Kakese 26 0 0 0 57 -

JUMLA 297 47 14 61 118 2,150

1.2. Takwimu za Uvunaji na uuzaji wa samaki Kata Samaki waliovuliwa

kwenye mabwawa (Kg)

Samaki waliouzwa

(Kg)

Fedha

zilizopatikana (Tsh)

U/ Ndege 30.8 28.4 142,000

Makanyagio 28.2 25.6 128,000

Kasokola 5.3 2.4 12,000

Ilembo 4.9 3.7 18,500

Kawajense 3.4 1.9 9,500

Kazima 4.6 3.3 16,500

Page 150: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA …€¦ · 3.Ndg.Mail Komba 4.ASP.Albert L.Beda 5.Ndg.Revocatus G. Ngomeni 6.Ndg.Jumbe Msekula 7.Ndg.Mary Ngomalufu 8.Ndg. Fulgence

150

Nsemulwa 11.5 9.5 47,500

Kashaulili 25.4 22.1 110,500

Mwamkulu 6.6 4.0 20,000

Shanwe 12.0 10.7 53,500

Misunkumilo 0 0 0

JUMLA 132.7 111.6 558,000

1.3. Ukusanyaji wa mapato

Malengo kwa mwaka (a)

Ada za leseni na vibali (b)

Tozo za Faini (c)

Maduhuli (d)

Makusanyo mengine (e)

Jumla (f)

%(f/a)

2,100,000 63,000 - - - 63,000 3%

1.4. Udhibiti wa Ubora na Usalama wa Mazao ya Uvuvi

1.4.1. Ukaguzi katika Masoko na Maghala ya samaki Na JINA LA MMILIKI UWEZO

GHALA (T)

KIASI KINACHOHIFADHIWA KWA SIKU (T)

AINA YA SAMAKI WANAOHIFADHIWA

MAHALI LILIPO

1 Kangeme Fishing Cooperative

6 3 Dagaa, Sangala, Sato, Migebuka

Kashaulili

2 Mzee Hongo 5 1 Dagaa, Migebuka, Sato Majengo

1.4.2. Usimamizi wa mialo na masoko ya samaki Na

Kata Idadi ya Masoko/Magulio

WASTAN WA BEI YA SAMAKI KWA KILO (Tsh/kg)

Sangala Sato Dagaa Samaki wengine

Bichi Kavu Bichi Kavu Bichi Kavu Bichi Kavu

1 Kashaulili 1 5,000 3,500 8,000 6,000 4,000 2,500 5,000 3,500

2 Majengo 1 5,000 3,500 8,000 6,000 4,000 2,500 5,000 3,500

3 Makanyagio

1 5,000 3,500 8,000 6,000 4,000 2,500 5,000 3,500

Na AINA YA MRADI UFADHILI UTEKELEZAJI

1 Kujenga mabwawa mawili ya kufugia samaki katika vijiji vya Manga na Kamakuka

Makusanyo ya ndani

Uundaji wa vikundi vya kijamii vitakavyoendesha mradi huo

Page 151: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA …€¦ · 3.Ndg.Mail Komba 4.ASP.Albert L.Beda 5.Ndg.Revocatus G. Ngomeni 6.Ndg.Jumbe Msekula 7.Ndg.Mary Ngomalufu 8.Ndg. Fulgence

151

9.TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA IDARA YA MAJI KWA KIPINDI CHA JANUARI – MACHI

2016/2017

Mhe. Mwenyekiti:

Kamati ilipokea taarifa ya utekelezaji wa idara ya Maji kwa kipindi cha Januari –Machi 2017 kama ifuatayo;

. 1: TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAJI VIPORO

Jina la

Mradi

Malengo ya

Mwaka

Utekelezaji

Januari – Machi

2016 – 2017

Fedha

Pokelewa

2016-2017

Fedha

Tumika

Januari –

Machi 2017

Maelezo

Uuundaji na usajili

wa Jumuiya za

Watumia Maji 10

Kuunda na kusajili Jumuiya

za Watumia Maji kijiji cha

Magamba, Mtakumbuka,

Sungamila, Kasokola, Man-

ga, Mkwajuni, Milala,

Kampuni, Tulieni na

Mwamkulu-Mkwajuni

Jumuiya za

Watumia Maji 10

zimesajiliwa vijiji

vya Magamba,

Mtakumbuka,

Sungamila,

Kasokola, Manga,

Mkwajuni, Milala,

Kampuni, Tulieni na

Mwamkulu-

Mkwajuni

Pia Jumuiya 2

zilihudhuria

mafunzo Morogoro

ya kuzijengea

uwezo

15,222,471 15,280,371

Kazi inayoendelea hivi sasa

ni ufunguaji wa akaunti

Ukarabati wa

visima virefu 3

1,500,000 1,490,000 Ukarabati umekamilika

Page 152: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA …€¦ · 3.Ndg.Mail Komba 4.ASP.Albert L.Beda 5.Ndg.Revocatus G. Ngomeni 6.Ndg.Jumbe Msekula 7.Ndg.Mary Ngomalufu 8.Ndg. Fulgence

152

umefanyika kijiji

cha Milala 1,

Kasokola 1 na

Magamba 1

100%

JUMLA 16,722,471 16,770,371

2: TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO YA MAJI KWA KIPINDI CHA JANUARI – MACHI,– 2017

Jina la

Mradi

Malengo ya

Mwaka

Utekelezaji

Januari – Machi

2016 - 2017

Fedha

Bajeti

2016-2017

Fedha

Pokelewa

2016-2017

Fedha

Tumika

Januari

Machi-

2017

Maelezo

Mradi wa

maji wa

visima virefu

Uchimbaji na ujenzi

wa visima virefu 2

kata ya Mwamkulu,

2 Kasokola,

1Magamba na 1

Tulieni

Nyaraka za zabuni

zimeandaliwa na

zimewasilishwa

Wizarani kwa

mapitio ili kupata

kibali

150,000,000 -

- Kazi itaanza mara baada ya kupata

kibali na fedha kutoka Wizarani.

Matengenez

o ya visima

vya maji

Kufanya

matengenezo ya

visima virefu 7 vijiji

vya Magamba (3),

Milala (2),

Mwamkulu (1) &

Mkwajuni (1)

Nyaraka

zimewasilishwa

Wizarani kwa ajili

ya kupata kibali cha

kuendelea na kazi

35,000,000 - - Kazi itaanza mara baada ya kupata

kibali na fedha kutoka Wizarani.

Page 153: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA …€¦ · 3.Ndg.Mail Komba 4.ASP.Albert L.Beda 5.Ndg.Revocatus G. Ngomeni 6.Ndg.Jumbe Msekula 7.Ndg.Mary Ngomalufu 8.Ndg. Fulgence

153

Ujenzi wa

mradi wa

maji

mseleleko

kutoka

chanzo cha

Kanoge

Kujenga mradi wa

maji mseleleko

kutoka chanzo cha

maji Kanoge

kuhudumia kijiji

cha Manga na

Kasokola

Usanifu umefanyika

na nyaraka za

usanifu

zimewasilishwa

Wizarani

325,000,000 - - Kazi itaanza mara baada ya kupata

kibali na fedha kutoka Wizarani.

Usimamizi

na ufuatiliaji

Kusimamia na

kufuatilia

utekelezaji wa

miradi ya maji

Tumefanya utafiti

wa njia ya bomba

maji mseleleko

kutoka Kanoge hadi

Manga-Kasokola,

tumenunua pikipiki

1, tumevitambua

vituo vya maji vya

Manispaa na

kufanya uendeshaji

wa ofisi kwa

ujumla.

20,000,000 12,681,471.1

5

11,526,6

54.27

Kazi inaendelea

Shughuli za

SWASH

Kufanya

uhamasishaji juu

ya uboreshaji wa

usafi shule za

msingi 34

Timu ya SWASH

imefanya

uhamasishaji juu ya

uboreshaji wa

klabu za usafi shule

34 za msingi za

Manispaa na utoaji

wa elimu ya afya

na upandaji miti na

maua

Pia yamefanyika

3,000,000 3,000,000 3,000,00

0

Hamasa imekamilika kwa 100% na

zawadi kwa washindi watatu yaani

shule tatu zimeandaliwa.

Page 154: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA …€¦ · 3.Ndg.Mail Komba 4.ASP.Albert L.Beda 5.Ndg.Revocatus G. Ngomeni 6.Ndg.Jumbe Msekula 7.Ndg.Mary Ngomalufu 8.Ndg. Fulgence

154

mashindano ya

afya na usafi wa

mazingira katika

shule za msingi 34

Kampeni ya

kitaifa ya

usafi wa

Mazingira

Kampeni ya kitaifa

ya usafi wa

Mazingira

- 10,000,000 10,000,000 2,820,00

0

Taarifa itawasilishwa na Afisa Afya

wa Halmashauri

Mheshimiwa Mwenyekiti,,

Naomba Kuwasilisha ,

PHILIP J KALYALYA

Mwenyekiti wa Kamati,

Uchumi,Elimu,Afya na Maji

Page 155: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA …€¦ · 3.Ndg.Mail Komba 4.ASP.Albert L.Beda 5.Ndg.Revocatus G. Ngomeni 6.Ndg.Jumbe Msekula 7.Ndg.Mary Ngomalufu 8.Ndg. Fulgence

155

TAARIFA YA KAMATI YA KUDHIBITI UKIMWI KWENYE MKUTANO WA PILI WA BARAZA LA MADIWANI KWA MWAKA WA FEDHA 2016/2017 CHA TAREHE 25/04/2017 Mhe. Mwenyekiti

Kamati ya kudhibiti UKIMWI katika robo hii ilifanya kikao kimoja cha tarehe 10/04/2017 ambacho kitathibitishwa kwenye robo ya NNE ya mwaka 2016/2017. Kamati ilipokea na kujadili taarifa zifuatazo:- 1.TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA UKIMWI KWA JANUARI HADI MACHI 2017.

• Zoezi la sinema lilioneshwa kwa kata zote za manispaa kasoro kata 3 ambazo mvua ilizuia zoezi hili ikiwa ni NSEMULWA,UWANJA WA NDEGE ,ILEMBO.

• Jumla ya caton 15 za kondom ziligawanywa kwa kata 15 zenye jumla ya box 705 zenye pc 101,520.

2.TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA SHUGHURI ZA MRADI WA MAPAMBANO DHIDI YA VVU/UKIMWI KWA KIPINDI CHA MIEZI MITATU (JANUARI HADI MACHI 2017) CHINI YA WAFADHILI S/N SHUGHULI LENGO MAFANIKIO FEDHA

ZILIZOTENGW

A

FEDHA ZILIZOTUMIKA

1. kuwatembelea watu

wanaoishi na

maambukizi na

kuwapatia huduma

mbalimbali; kama

ufuasi mzuri wa

matibabu, huduma

za kimwili, huduma

za kisaikologia

pamoja na huduma

za kiroho.

Kufikia watu 870

wanaoishi na

maambukizi na

kuwapatia

huduma moja

au zaidi

Tumefanikiwa

kuwatembelea

watu 636

wanaoishi na

maambukizi na

kuwapatia

huduma

mbalimbali; ka-

ma ufuasi mzuri

wa matibabu,

huduma za

kimwili, huduma

za kisaikolojia

pamoja na

huduma za

kiroho.

19,350,000/=

Kwaajili ya kulipa

posho za watoa

huduma za VVU

na UKIMWI ngazi

ya jamii

12,900,000/=

Shughuli hii inaendelea

2.

Kufuatilia wateja

waliopotea kwenye

tiba na kuwarudisha

kwenye huduma ya

tiba na matunzo.

Kutafuta wateja

430 waliopotea

kwenye huduma

na matunzo na

kuwarudisha

kwenye

huduma.

Tumefanikiwa

kutafuta wateja

89 na kurudisha

wateja 30

kwenye huduma

za tiba na

matunzo.

350,000/=

Kulipa nauli

kwaajili ya

kuwasindikiza

wateja

waliopotea

kwenye tiba.

150,000/=

Page 156: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA …€¦ · 3.Ndg.Mail Komba 4.ASP.Albert L.Beda 5.Ndg.Revocatus G. Ngomeni 6.Ndg.Jumbe Msekula 7.Ndg.Mary Ngomalufu 8.Ndg. Fulgence

156

Kufanya huduma ya

upimaji wa VVU kwa

makundi maalumu

na familia za watu

wanao ishi na

maambukizi

Kufikia watu

903 na huduma

ya upimaji

Tumefikia watu

557 na huduma

ya upimaji kati

ya hao 58

walibainika

kuwa wanaishi

na maambukizi.

780,000/=

Kulipa posho ya

siku kwa

wanasihi (coun-

selors)

525,000/=

Kuendesha vikao

vya watoa huduma

za VVU na UKIMWI

kila mwezi (CBHS

PROVIDERS)

Kujadili

changamoto

mbalimbali za

utekelezaji wa

mradi

Tumefanikiwa

kuendesha vikao

viwili.

1,200,000 Kulipa

nauli za CBHSP

na chakula

800,000/=

Kutoa elimu ya

matumizi sahihi ya

kondomu na kugawa

kondomu

Kuelimisha jamii

jinsi ya kujikinga

na maambukizi

ya VVU

Tumefanikiwa

kutoa elimu ya

matumizi sahihi

ya kondomu

kwa jumla ya

watu 344 kati ya

hao 142 ni

wanawake na

202 ni

wanaume. Jumla

ya pcs 1,415 za

kondomu

ziligawiwa

JUMLA 21, 680,000 14,375,000

3.HUDUMA ZA VVU NA UKIMWI NGAZI YA JAMII.

Katika huduma hii tulifanikiwa kuwatembelea watu 636 wanaoishi na maambukizi ya

VVU/UKIMWI na kuwapatia huduma mbalimbali; kama vile elimu ya ufuasi mzuri wa matibabu,

elimu ya lishe bora, elimu ya kukukaz kipato, huduma za kimwili, huduma za kisaikologia pamoja

na huduma za kiroho.

Watoto chini ya miaka 15 watu wazima kuanzia miaka 15 KATA WANAUME WANAWAKE WANAUME WANAWAKE

NSEMULWA 28 8 53 11

KAWAJENSE 20 6 42 17

KAKESE 18 11 42 15

MWAMKULU 22 0 32 6

KASHAULILI 16 9 39 6

Page 157: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA …€¦ · 3.Ndg.Mail Komba 4.ASP.Albert L.Beda 5.Ndg.Revocatus G. Ngomeni 6.Ndg.Jumbe Msekula 7.Ndg.Mary Ngomalufu 8.Ndg. Fulgence

157

MAJENGO 5 3 12 15

MISUNKUMILO 14 11 35 10

MPANDA HOTEL 29 11 68 22

JUMLA 152 59 323 102

4.TAARIFA YA UGAWAJI WA KONDOMU

Kutoa elimu ya matumizi sahihi ya kondomu na kugawa kondomu, jumla ya watu 344

wamefikiwa na elimu hii, pia tumegawa kondomu jumla ya pc 1,415.

KATA ME KE

IDADI YA KONDOMU

(pcs)

KASHAULILI 51 12 232

MWAMKULU 28 22 344

KAKESE 66 65 259

MAKANYAGIO 25 0 119

MISUNKUMILO 10 15 94

MAJENGO 22 28 367

JUMLA 202 142 1,415

TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA SHUGHULI ZA MAPAMBANO YA UKIMWI IDARA YA

AFYA .

Katika kipindi cha January March 2017 ,idara ya afya kwa kushirikiana na wadau mbalimbali

katika mapambano dhidi ya VVU/KIMWI ilitekeleza shughuli zifuatazo;

a)UPIMAJI WA VVU KWA HIARI(HTC)

Upimaji na unasihi ulifanyika kwa lengo la kuzuia maambukizi ya VVU katika jamii. Zoezi hili lili-

fanyika katika vituo vya kutolea,tohara kwa wanaume pia huduma mkoba (mobile VCT) kwa

kushirikiana na SHIDEPHA+

Katika kipindi cha miezi miwili Januari- Februari 2017, jumla ya watu walishauriwa na kupima

VVU kwa kupitia huduma mbalimbali ni kama ifuatavyo:

Jumla wanawake wanaume

27,312 14,618 12,694

Positive(CHANYA) 681 404 277

b) HUDUMA YA TIBA NA MATUNZO .

Wateja waliopimwa na kubainika kuwa na maambukizi ya VVU walipewa rufaa kwenda katika

vituo vya huduma tiba na matunzo ambapo waliweza kusajiliwa na kuandikishwa pamoja na

kuwachunguzwa na kuwatathmini kama wanastahili kuanzishiwa dawa za kupunguza makali ya

VVU au kupewa dawa za kuzuia magonjwa nyemelezi. Jedwali hapa chini ni wateja

walioandikishwa.

Page 158: JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA OFISI YA RAIS TAWALA …€¦ · 3.Ndg.Mail Komba 4.ASP.Albert L.Beda 5.Ndg.Revocatus G. Ngomeni 6.Ndg.Jumbe Msekula 7.Ndg.Mary Ngomalufu 8.Ndg. Fulgence

158

Jumla ya wateja walioandikishwa me ke

430 156 274

c) DAWA ZA KUPUNGUZA MAKALI YA VVU

Wateja waliokidhi vigezo vya kuanza dawa za kupunguza makali ya VVU walianzishiwa dawa hizo

baada ya kupata elimu ya matumizi yake

Jedwali lifuatalo linaonyesha jumla ya wateja walioanzishiwa dawa za kupunguza makali ya

Virusi vya Ukimwi katika kipindi cha January March 2017

WANAUME WANAWAKE JUMLA

158+ 285 433

d) HUDUMA ZA KUZUIA MAAMBUKIZI YA VVU TOKA KWA MAMA KWENDA KWA

MTOTO(PMTCT)

Ili kupunguza maambukizi ya VVU toka kwa mama kwenda kwa mtoto kila mama mjamzito

ahudhuriapo klinik ya wajawazito hupata ushauri na kupima VVU.Lifatalo ni jedwali linaloonyesha

jumla ya akina mama wajawazito waliopima VVU na matokeo ya kipimo

Jumla ya wajawazito waliopima VVU 6234

Jumla ya wajawazito waliothibita kuwa na VVU 128

Jumla ya wenza waliohudhuria kwenye huduma za afya ya uzazi 4739

Jedwali lifuatalo linaonyesha jumla ya watoto waliozaliwa na akina mama wenye maambukizi

ya VVU na kuchukuliwa kipimo cha VVU

Jumla ya watoto waliozaliwa na mama wenye VVU 108

Jumla ya watoto waliopima VVU 104

Jumla ya watoto waliokutwa na maambukizi ya VV kipimo kwa kipimo cha

kwanza

0

e) HUDUMA YA WAGONJWA TOHARA KWA WANAUME

Tohara kwa wanaume ilifanyika kwa lengo la kuzuia maambukizi ya VVU katika ngazi ya ja-

mii.Huduma mkoba katika kata ya kakese na town klinik

Jumla ya wateja waliofanyiwa tohara 586

Mheshimiwa Mwenyekiti,

Naomba Kuwasilisha ,

KANONI LUCAS Mwenyekiti wa Kamati,

KUDHIBITI UKIMWI