2
Congrats kwa kupata hii ë DO HIVIí guide kutoka ju change NI SISI pekee tunaeza leta na tusingoje gava, politicians na NGOs. DO HIVI ju HAKUNA PLAN B ! Cheki hii story ya I.D ujue kama bado unataka kuwa memba wa gang. Na kama unadai kujua zaidi cheki SHUJAAZ.FM Chapta 36 au www.Shujaaz.fm family yetu ilikuwa ya kawaida tu. nilikuwa first-born. hatukuwa na dooh mob, so sikuwa na vitu poa kama vitabu na nguo zenye mabeste wangu wailkuwa nazo. nikiwa seco, kuna rafiki wangu mwenye nilimu-envy sana maisha yake poa. akani introduce na kuni-recruit kwa gang... nilikuwa 17 nilipoingia hiyo gang. walini-like juu nilijua first aid since nilikuwa red cross cluB. before ku-recruit-iwa, gang members wanakuchecki tu... mkuu wa gang hakuonekana, lakini yeye ndio ali-plan ma-robbery, kama kugonga duka za m-pesa. huyo msee alionekana na wazee wa gang pekee. walini-understand hata kuliko society. wasee wa gang walinichunga, na walini-protect pia, juu society haikutujali. so gang ikawa family yetu. siku mmoja tulikuwa tunaenda ku-rob supaa fulani. nilivaa jumper tofauti badala ya hood za kawaida. kazi yangu ilikuwa ku-scout hiyo area, lakini mmoja wa gang alinisukuma akaingia supaa na gun, aka-show wasee walale chini. hakujua kulikuwa na ma-plain-clothes hapo ndani. so shootout ikaanza. nilijirusha kwa sakafu nikiogopa nitakufa! nilikuwa nafikiria ni lazima nitoke kwa hiyo situation! nilitaka ku-make something of my life, si hizi stori! kila mtu kwa gang alikufa hiyo day, including hao top members... niliweza kupata kazi kwa carpenter fulani jirani wangu. alini saidia kwa transition ya kurudia maisha ya kawaida. hakuna mtu alijua nilikuwa kwa gang au ni nini nilikuwa na-do, juu hatukuiba kwa majirani wetu. boss wangu hakupenda kuona mayut wakibangaiza tu, alitaka kuwa saidia. sikum-show ni nini exactly nilikuwa nafanya, lakini nilisema past yangu haikuwa poa sana, na nilitaka ku-move on. alielewa akanipa hiyo opportunity. mimi nikaenda home, nilikuwa traumatized. nilingoja nyumbanimmoja wa gang aje kuni- punish, lakini hakuna mtu ali-come. a month later nilirudi kwa hideout nikawa- show sirudi, nime-change life yangu. nilikuwa nimeanza kuenda church, nika-get saved. nilikuwa lucky juu hao ma-boss wa gang walikuwa wamekufa na members mpya bado hawakuwa na power, so nilikuwa free! kwa sababu ya activities zenye nilikuwa na-do kwa gang, mabeste wangu walikuwa wasee wa gang tu. lakini haikuwa mbaya: wasee wa gang ni human, kama famo yako... we were always high on bhang to dispel our fears. a few of us used heroin, which would give us the confidence we needed. wanataka kujua wewe si snitch na hauingii kwa sababu ya ulafi. wanataka wasee wa-silent, wa-secretive, na wenye hawaogopi. alikuwa akiwa-show plan yenye wao wana- come kutuelezea. tulikuwa tuna ambiwa tu: “tumeambiwa tunafaa kufanya hivi...” Na-hope hii ‘DO HIVI’ guide itaku- help kujua reasons haufai ku-join gangs. ukiwa na questions, nitumie kwa gangs hu-destroy maisha! umeSoma risto ya I.D kwa shujaaz.fm na sasa ame-share info ju ya kutoka kwa gang-lyf! Hii ni story ya life yangu! Tafadhali usi-mek mistake kama yangu. DO HIVI na uta-succeed! Name: Age: Waks:

Do Hivi Kutoka kwa Gang

Embed Size (px)

DESCRIPTION

Some vile I.Dickson alihepea kifo juu ya kuwa mgondi.

Citation preview

Congrats kwa kupata hii ëDO HIVIí guide kutoka

ju change NI SISI pekee tunaeza leta na tusingoje gava, politicians na NGOs. DO HIVI ju HAKUNA PL AN B !

Cheki hii story ya I.D ujue kama bado unataka kuwa memba wa gang. Na kama unadai kujua zaidi cheki SHUJAAZ.FM Chapta 36 au www.Shujaaz.fm

family yetu ilikuwa ya kawaida tu. nilikuwa

first-born. hatukuwa na dooh mob, so sikuwa

na vitu poa kama vitabu na nguo zenye

mabeste wangu wailkuwa nazo.

nikiwa seco, kuna rafiki wangu mwenye

nilimu-envy sana maisha yake poa. akani

introduce na kuni-recruit kwa gang...

nilikuwa 17 nilipoingia hiyo gang. walini-like

juu nilijua first aid since nilikuwa red cross

cluB. before ku-recruit-iwa, gang members

wanakuchecki tu...mkuu wa gang hakuonekana, lakini yeye

ndio ali-plan ma-robbery, kama kugonga

duka za m-pesa. huyo msee alionekana

na wazee wa gang pekee.

walini-understand hata kuliko society.

wasee wa gang walinichunga, na walini-protect pia,

juu society haikutujali. so gang ikawa family yetu.

siku mmoja tulikuwa tunaenda ku-rob supaa

fulani. nilivaa jumper tofauti badala ya hood za

kawaida. kazi yangu ilikuwa ku-scout hiyo area,

lakini mmoja wa gang alinisukuma akaingia supaa

na gun, aka-show wasee walale chini. hakujua

kulikuwa na ma-plain-clothes hapo ndani.

so shootout ikaanza. nilijirusha kwa sakafu

nikiogopa nitakufa! nilikuwa nafikiria ni lazima

nitoke kwa hiyo situation!

nilitaka ku-make something of my life, si hizi

stori! kila mtu kwa gang alikufa hiyo day,

including hao top members...

niliweza kupata kazi kwa carpenter fulani

jirani wangu. alini saidia kwa transition ya

kurudia maisha ya kawaida.

hakuna mtu alijua nilikuwa kwa gang au

ni nini nilikuwa na-do, juu hatukuiba kwa

majirani wetu.

boss wangu hakupenda kuona mayut

wakibangaiza tu, alitaka kuwa saidia.

sikum-show ni nini exactly nilikuwa nafanya,

lakini nilisema past yangu haikuwa poa

sana, na nilitaka ku-move on. alielewa

akanipa hiyo opportunity.

mimi nikaenda home, nilikuwa traumatized.

nilingoja nyumbanimmoja wa gang aje kuni-

punish, lakini hakuna mtu ali-come.

a month later nilirudi kwa hideout nikawa-

show sirudi, nime-change life yangu. nilikuwa

nimeanza kuenda church, nika-get saved.

nilikuwa lucky juu hao ma-boss wa gang

walikuwa wamekufa na members mpya bado

hawakuwa na power, so nilikuwa free!

kwa sababu ya activities zenye

nilikuwa na-do kwa gang,

mabeste wangu walikuwa

wasee wa gang tu. lakini

haikuwa mbaya: wasee wa gang

ni human, kama famo yako...

we were always high on

bhang to dispel our fears. a

few of us used heroin, which

would give us the confidence

we needed.

wanataka kujua wewe si

snitch na hauingii kwa

sababu ya ulafi. wanataka

wasee wa-silent, wa-secretive,

na wenye hawaogopi.

alikuwa akiwa-show plan yenye wao wana-

come kutuelezea. tulikuwa tuna ambiwa tu:

“tumeambiwa tunafaa kufanya hivi...”

Na-hope hii

‘DO HIVI’ guide itaku-

help kujua reasons haufai

ku-join gangs. ukiwa na

questions, nitumie kwa

gangs

hu-destroy maisha!

umeSoma risto ya I.D

kwa shujaaz.fm na sasa

ame-share info ju ya

kutoka kwa gang-lyf!

Hii ni story ya life yangu! Tafadhali usi-mek mistake kama yangu. DO HIVI na uta-succeed!

Name:

Age:

Waks:

Hakuna vile utawai jua top most leader wa gang yenu lakini we ndio utam-doia vitu zile zinaeza mwingiza kwa noma. Ukiingia gang wasee hukuambia vile nyi ni famo na mnachekiana masilahi, lakini ukikosea au uhepe, wewe au mmoja wa famo yenu anaeza loose lyf au uvunjwe mbaya. Cheki hizi points hapa down:

Mi nilikuwa msee wa RED CROSS kwa hivyo nikawa recruited kama doki wa gang. Lakini lazima hata mi ninge-commit crime ndio niwe ranked kwa crew. Initiation ilikuwa ina-involve:

HAKUNA haja ya kuwa-cheat! Hakuna njia ya kutoka kwa gang kama we ni mmoja wao.

Lazima we na family yako m-dissappear fore kutoka mtaani ju ukijitoa na wewe au

mmoja wao apatikane, utauliwa. Njia ingine ni kutojiingiza kwa hio gang.

Fanya kitu unaambiwa.

Usi -try kuwa hero.

Funga macho hadi waishie.

Ukimezea mmoja wao, jifanye

hauumjui.

Time zingine nilikuwa naona vijana wako kwa gang na gari poa au wameng’ara lebo kali but reality ni uki-join

gang una-risk ku-loose kitu yoyote important kwa life yako. Cheki zile vitu zote nilidhani ni ukweli lakini nikakam

ku-realize ni uongo sana’ Usikose kumada chuo ju baadaye uta-

realize bila masomo utakuwa permanently

kwa crime.

Wacha kutumia madre.

Ji-keep busy na club au team ya chuo ya

sport yoyote.

Ukiona ma-gang za mtaa zinachora, si

kuwa snitch ukisema ni ku-protect

maisha ya wasee wa family yako.

Vitu huanza poa ju gang yako haiezi ku-show vitu tricky ka kuumiza watu unajua na tym zingine hadi utaua.

Ukiingia gang inabidi leaders waku-force u-choose between family yako na geri yako.

LAZIMA UJUE VILE UTATOKAKWA GANG......

UKIKUTANA NA GANG MTAANI UTA DO NINI . . .

Usi - believe uongo

ya gangs ati kuna lyf poa kwa crime. Uki-work hard utamek it !

Motto ya gang yetu ilikuwa

ina-say kifo ni lazima na

kwa hivyo hauta-get chance

ya kuzeeka au ku-mek dooh.

Utafungwa cell au utauliwa.

Unaeza toka ume-make dooh kiasi, lakini most itaishia kwa leaders wa gang.

Hakuna time msee hu-feel poa kwa gang ju raiyaa wa kawa hawataki ubeste yako.

Ukishikwa na karao ni kifo au jela lakini tulikuwa tuna prefer kifo ju karao huku-torture mbaya kama kuna time walitushika bila proof lakini wakatuvunja vidole za mkono na chuma kwa reli.

KUMBUKA!

Drop-outs wa chuo.Yuts wameboeka mtaani bila kitu ya ku-do.Yuts wanapoa na wasee hawajajipanga na ni wezi.Yuts wametoka family za masofara.

M-show lazima aji-keep busy na sports au vitu zingine zinambamba.

Ni poa ku-show beste yako ako poa bila bling au vitu fake.

Unafaa kujua hakuna shortcut ya kuwa sonko.

Ambia beste au mzae una-trust ju ya dilemma yako na asiwe mmoja wa gang.

Usijidanganywe unaezatoka tym yoyote unataka. Njia ya kutoka ni kifo kwako au mmoja wa family yenu.

GanG ItanI-Protect!Gang leaders ndio hu-get dooh mob

kabisa. Members wadogo huwai ganji kiasi tu na ukibambwa uta-loose ganji, madre na nguo!

Neiba alikuwa akishangaa niaje nilikuwa na vitu mob na mbuyu amesota lakini habongi na mimi. Mabeste wangu wa kitambo walikuwa wanani-avoid.

Utaishi na uoga na gang leaders watamek sure we ndio una-do waks ngumu ju ata ukibambwa we ni small fish.

Lazima utakuwa ukitokea maskan zile siku mme-agree ju ukihata utashangaa pano utapewa na ‘family’ yako!

Ukweli ni ukibambwa au umadwe, hakuna msee atakam kukuokolea au kukucheki ju wanaogopa kubambwa.

nIta-Get resPect Kwa streets!

nItaKuwa Free Ku-do KItu YoYote nataKa!

nItaKuwa sonKo M-PowerFul!!

lIFe YanGu ItaKuwa dedlI!

naeza JoIn na KutoKa tIMe YoYote nataKa!

Kuvunjwa na gang members wengine hadi ni submit.

Ku-join crew ikienda missioni ya kusanya shops au supa.

Time zingine hata unajipata umeua na bado ni acceptance unatafuta.

MYTH

MYTH

MYTH

MYTH

MYTH

MYTH

REALITY

REALITY

REALITY

REALITY

REALITY

REALITY

Hakuna mtu ataku-force

kuingia gang lakini

utakuwa forced kuishi

kwa gang ukijiingiza.