40
Mpango wa Kuinua Ubora wa Elimu Tanzania Awamu ya 2 – Mwongozo wa Ruzuku ya Ushirikiano wa Walimu na Wazazi – ukurasa wa 1 Awamu ya Pili – Mwongozo wa Maombi ya Ruzuku ya Ushirikiano wa Wazazi na Walimu & Miongozo ya Taarifa za Kusaidia Elimu ya Wasichana Shuleni. MPANGO WA KUINUA UBORA WA ELIMU TANZANIA MKUET Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais – Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Imefadhiliwa na Idara ya Maendeleo ya Kimataifa (DFID)

Awamu ya Pili Mwongozo wa Maombi ya Ruzuku ya ......wanaopitia ngazi ya elimu ya msingi na kufanikiwa kujiunga na shule za upili (inaweza kuwa kabla au baada ya mitihani ya kumaliza

  • Upload
    others

  • View
    39

  • Download
    0

Embed Size (px)

Citation preview

Page 1: Awamu ya Pili Mwongozo wa Maombi ya Ruzuku ya ......wanaopitia ngazi ya elimu ya msingi na kufanikiwa kujiunga na shule za upili (inaweza kuwa kabla au baada ya mitihani ya kumaliza

Mpango wa Kuinua Ubora wa Elimu Tanzania

Awamu ya 2 – Mwongozo wa Ruzuku ya Ushirikiano wa Walimu na Wazazi – ukurasa wa 1

Awamu ya Pili – Mwongozo wa Maombi ya Ruzuku ya Ushirikiano wa Wazazi na Walimu & Miongozo ya Taarifa za Kusaidia Elimu ya Wasichana Shuleni.

MPANGO WA KUINUA UBORA WA ELIMU

TANZANIA MKUET

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Ofisi ya Rais – Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa

Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi

Imefadhiliwa na Idara ya Maendeleo ya Kimataifa (DFID)

Page 2: Awamu ya Pili Mwongozo wa Maombi ya Ruzuku ya ......wanaopitia ngazi ya elimu ya msingi na kufanikiwa kujiunga na shule za upili (inaweza kuwa kabla au baada ya mitihani ya kumaliza

Mpango wa Kuinua Ubora wa Elimu Tanzania

Awamu ya 2 – Mwongozo wa Ruzuku ya Ushirikiano wa Walimu na Wazazi – ukurasa wa 2

Faharasa

AEW Afisa Elimu wa Wilaya

AUJW Afisa Ustawi wa Jamii wa Wilaya

UJ Ukatili wa Kijinsia

UW Ukeketaji wa Wanawake

MM Mwalimu Mkuu

JUU Jiamini Uwezo Unao

MSM Mamlaka ya Serikali za Mitaa

UWW Ushirikiano wa Wazazi na Walimu

AEM Afisa Elimu wa Mkoa

KS Kamati ya Shule

BWV Benki ya Wananchi Vijijini

AEK Afisa Elimu wa Kata

MMMS Mpango Mzima wa Maendeleo ya Shule.

Page 3: Awamu ya Pili Mwongozo wa Maombi ya Ruzuku ya ......wanaopitia ngazi ya elimu ya msingi na kufanikiwa kujiunga na shule za upili (inaweza kuwa kabla au baada ya mitihani ya kumaliza

Mpango wa Kuinua Ubora wa Elimu Tanzania

Awamu ya 2 – Mwongozo wa Ruzuku ya Ushirikiano wa Walimu na Wazazi – ukurasa wa 3

Yaliyomo

Sehemu ya 1: Utangulizi .................................................................................... 4

Sehemu ya 2: Shughuli zinazotekelezwa katika Awamu ya Pili ya Ruzuku ya UWW ................................................................................................................... 6

Sehemu ya 3: Shule zinazostahili Ruzuku ya UWW Awamu ya Pili; Wajibu na Majukumu ya Watendaji ................................................................................. 10

Sehemu ya 4: Namna ya kufanya Maombi na Kupata Ruzuku...................... 14

Sehemu ya 5 a: Utunzaji wa Kumbukumbu za Awamu ya Pili ya Ruzuku ya UWW ................................................................................................................. 18

Sehemu ya 5b: Utoaji wa Taarifa za Ruzuku ya UWW................................... 19

Kiambatisho cha 1: Ruzuku ya Pili ya UWW – Fomu ya Mpango Kazi wa Shughuli za Elimu ya Wasichana .................................................................... 20

Kiambatisho cha 2: Fomu ya Kuombea Fedha ............................................... 24

Kiambatisho cha 3: Kigezo cha Kitabu cha Fedha Taslimu .......................... 26

Kiambatisho cha 4: Kigezo cha Taarifa ya kila Robo ya Ulinganifu wa Fedha katika Benki. .................................................................................................... 28

Kiambatisho cha 5: Kigezo cha Taarifa ya Fedha kila Robo ......................... 31

Kiambatisho cha 6: Taarifa Fupi ya Mwaka ya Utendaji na Matumizi ......... 35 Kiambatisho cha 7: Nyenzo ya Ufuatiliaji wa Ruzuku ya UWW ............................................38

Page 4: Awamu ya Pili Mwongozo wa Maombi ya Ruzuku ya ......wanaopitia ngazi ya elimu ya msingi na kufanikiwa kujiunga na shule za upili (inaweza kuwa kabla au baada ya mitihani ya kumaliza

Mpango wa Kuinua Ubora wa Elimu Tanzania

Awamu ya 2 – Mwongozo wa Ruzuku ya Ushirikiano wa Walimu na Wazazi – ukurasa wa 4

Sehemu ya 1: Utangulizi

Mwongozo huu umetayarishwa ili kuwasaidia Afisa Elimu wa Kata, Walimu Wakuu, Kamati za Shule (KS), Wajumbe wa Ushirikiano wa Wazazi na Walimu (UWW), Wanafunzi wa Vilabu vya Shule na Jamii pana zaidi ili kufanya kazi kwa kushirikiana katika kutatua changamoto za elimu kwa wasichana ili kuhakikisha wanaandikishwa, wanaendelea na shule na kujifunza kikamilifu ili waweze kufanikiwa kuhitimu elimu ya msingi na kuendelea na shule za sekondari. Kiwango cha wanafunzi wanaojiunga na shule za sekondari kwa sasa kiko chini kwa wasichana ikilinganishwa na wavulana na Serikali imeweka kipaumbele sana katika kuboresha hali hii.

Awamu ya Kwanza ya Ruzuku ya UWW ilitolewa kwa shule zote ili kusaidia Uanzishwaji wa UWW na shughuli za maendeleo za shule katika ngazi ya shule, na ilikusudiwa kuinua hususani shughuli ambazo zilisaidia wanafunzi kujifunza darasani na kusaidia kutatua maswala ya ustawi. UWW umekusudia kuongeza ushirikishwaji wa wazazi katika maendeleo ya shule na kuinua utendaji kitaaluma shuleni.

UWW ulianzishwa mwanzoni mwa mwaka 2015 baada ya kuendesha mafunzo kwa wajumbe wa Kamati ya Shule, ilikuwa takwa kwamba kuwe na uwakilishi sawa wa wazazi wa kike na kiume pamoja na mwalimu mmoja ambaye anashirikiana na kila ngazi ya darasa shuleni. Hii inafanya jumla ya wazazi 14 na walimu 7 waokuwa wajumbe wa UWW katika kila shule ya msingi.

Kwa kuongezea katika mafanikio yaliyopatikana kutokana na shughuli za UWW katika shule mbalimbali ukihusisha na vipaumbele vya Serikali katika kushungulikia mwaswala ya Elimu kwa wasichana kwa namna dhahiri zaidi, ruzuku ya pili ya UWW imelenga kuwezesha shule mbalimbali ziweze kuwasaidia wasichana wao kulingana na malengo waliojiwekea.

Ushirikishwaji wa wazazi katika maswala ya shule, japo UWW umeleta mafanikio muhimu ya kimaendeleo katika shule nyingi, kusudi ni kuendeleza mafanikio yaliyopatikana mpaka sasa ya shughuli za UWW katika shule mbalimbali wakati wa awamu hii ya pili ya ruzuku ya UWW. Hasa, pamoja na mambo mengine, kushulikia maswala ya wasichana yatakayoleta mabadiliko yanayofaa na kuchangia katika malengo tajwa yafuatayo:-

Page 5: Awamu ya Pili Mwongozo wa Maombi ya Ruzuku ya ......wanaopitia ngazi ya elimu ya msingi na kufanikiwa kujiunga na shule za upili (inaweza kuwa kabla au baada ya mitihani ya kumaliza

Mpango wa Kuinua Ubora wa Elimu Tanzania

Awamu ya 2 – Mwongozo wa Ruzuku ya Ushirikiano wa Walimu na Wazazi – ukurasa wa 5

a. Kuboresha mahudhurio na kuwafanya wasichana walio katika maeneo ya pembezoni na walemavu wakae shuleni.

b. Kuboresha mazingira ya kujifunza na kujifunzia shuleni kwa wasichana wanaoishi maeneo ya pembezoni, ili kuongeza wasichana zaidi watakaojiunga na shule za upili.

c. Kuboresha usalama na ustawi wa wasichana shuleni.

Maswala haya yote yamesisitizwa katika Mpango mpya wa miaka mitano wa Maendeleo ya Sekta ya Elimu kutoka Serikalini. Mpango huu unsasisitizia hitaji la kuzifanya shule ziwe mahali salama na shirikishi, ili kusaidia wanafunzi wanaotoka katika mazingira magumu na kuboresha nyenzo za usafi. Hatua zinazochukuliwa na UWW zimefungamanishwa vizuri kabisa na nia ya Serikali inayotaka kutia moyo na kukuza majawabu yatokanayo na jamii.

Kupitia shughuli za UWW tumeshuhudia wazazi wakichangia katika mafanikio hapo juu kupitia shughuli mbalimbali kama vile kuanzisha mpango wa chakula shuleni, uchangiaji katika ujenzi wa nyumba za walimu, vyumba vya madarasa na mashimo ya vyoo; wakizuia utoro na wanafunzi kuacha shule; pamoja na shule zingine ambapo wazazi wameenda mbali zaidi na kutoa pedi kwa wasichana wa madarasa ya juu ya msingi pamoja na kushiriki katika kuwaeleimisha wanafunzi juu ya maswala ya afya na usafi. Kazi hii imekuwa ya manufaa kwa wasichana kote nchini Tanzania na ruzuku hii imekusudiwa kuongeza nguvu katika shughuli sawa na hizi katika shule zote za msingi.

Mahitaji ya wasichana walemavu na wanaoishi katika maeneo ya pembezoni yanatofautiana kutoka eneo moja hadi jingine, hivyo ruzuku imepangwa kwa ajili ya wajumbe wa UWW, wakishirikiana na Kamati ya Shule, Walimu Wakuu, Walimu, Wazazi na Wanafunzi, ili kuweza kutambua maswala wanayohitaji yashughulikiwe au kuboreshwa, kujadili mambo ya muhimu sana katika shule yao na kufungamanishwa katika mpango mzima wa maendeleo ya shule ili kutengeneza mpango kazi watakaotekeleza.

Hatua sawa na hizo zitafuatwa wakati wa kufanya maombi na usimamizi wa ruzuku ya UWW na mchakato wake umeelezwa kinagaubaga katika sura zifuatazo.

Page 6: Awamu ya Pili Mwongozo wa Maombi ya Ruzuku ya ......wanaopitia ngazi ya elimu ya msingi na kufanikiwa kujiunga na shule za upili (inaweza kuwa kabla au baada ya mitihani ya kumaliza

Mpango wa Kuinua Ubora wa Elimu Tanzania

Awamu ya 2 – Mwongozo wa Ruzuku ya Ushirikiano wa Walimu na Wazazi – ukurasa wa 6

Sehemu ya 2: Shughuli zinazotekelezwa na Awamu ya Pili ya Ruzuku ya UWW.

Ruzuku ya UWW ya awamu ya pili ni kiwango cha juu cha Shilingi za Tanzania 550,000/=. Itatumika katika kuzungumzia maswala ya elimu ya wasichana shuleni kama ifuatavyo: shughuli hizi lazima ziindhinishwe na KS na ni vyema zitokane na mpango kazi wa shule ulioindhinishwa ambao umetokana na Mpango wa Maendeleo ya Shule (MMS); sanduku la maoni (katika shule zilizo nayo) na ushirikishwaji wa wanafunzi kupitia shughuli za Vilabu vya JUU na utetezi.

Sehemu hii inatoa mifano inayopendekezwa ya shughuli za kufanywa na UWW kupitia matumizi ya ruzuku yao ya UWW awamu ya pili kuzungumzia maswala ya elimu ya wasichana na watoto wenye ulemavu katika mada tatu ambazo zimejengwa katika kuboresha mahudhurio na kuwafanya wasichana na walemavu wanaoishi maeneo ya pembezoni wakae shuleni; kuboresha mazingira ya kujifunzia na ustawi kwa wasichana shuleni. Hata hivyo wajumbe wa UWW wanaweza kuibua shughuli zao zinazofanana na hizi za elimu ya wasichana na sio tu kutegemea hizo zilizotajwa katika taarifa hii.

A: Kuboresha mahudhurio na kufanya watoto walemavu na wasichana wanaoishi pembezoni wakae shuleni.

Fedha ya ruzuku ya UWW inaweza kutumika kufanya yafuatayo:-

Kuongeza uelewa wa jamii katika kupunguza tamaduni za ndoa za utotoni na mimba za mapema kwa wasichana wanaokwenda shuleni kupitia maonesho ya ngoma za vijiji, mikutano ya kijiji, UWW/Mikutano wa wazazi, mabaraza ya shule na kama ikiwezekana kupitia radio mahalia.

Shirikiana na washirika wengine kutoka Mashirika yasiyo ya Kiserikali , taasisi za afya na mashirika ya dini kuendesha mafunzo kuhusu ujana/balehe na mabadiliko ya mwili, ngono na elimu ya uzazi pamoja na uelewa juu ya VVU.

Kuunda kikosi kazi kitakachofanya kazi kwa ushirikiano wa karibu na uongozi wa kijiji ili kutambua watoto ambao wako katika ukingo wa kuathiriwa na ndoa za utotoni na kufanya kazi pamoja na familia a

Page 7: Awamu ya Pili Mwongozo wa Maombi ya Ruzuku ya ......wanaopitia ngazi ya elimu ya msingi na kufanikiwa kujiunga na shule za upili (inaweza kuwa kabla au baada ya mitihani ya kumaliza

Mpango wa Kuinua Ubora wa Elimu Tanzania

Awamu ya 2 – Mwongozo wa Ruzuku ya Ushirikiano wa Walimu na Wazazi – ukurasa wa 7

zenye watoto hao ili kupata majawabu yanayohakikisha kwamba wasichana wengi zaidi wanaweza kuendelea na masomo yao.

Endesha kampeni za kuongeza uelewa kijijini ili kushawishi familia zenye watoto walemavu wawaandikishe shuleni. Kuboresha nyenzo za usafi na kudhibiti uchafu kwa wasichana ili wasishindwe kuhudhuria shuleni mara kwa mara kwasababu ya hedhi.

Kujenga miundo mbinu rafiki shuleni ambayo itawarahisishia wanafunzi wenye ulemavu kuweza kufika madarasani au wawe na maliwato yao binafsi ili wajihisi salama na kufurahia shule.

B: Kuboresha mazingira ya kujifunzia wasichana shuleni

Fedha za ruzuku ya UWW zinaweza kutumika kufanya yafuatayo:

Kuweka kambi za mafunzo/masomo ya ziada kwa wasichana wa madarasa ya juu ya msingi ili kuongeza idadi za wasichana wanaopitia ngazi ya elimu ya msingi na kufanikiwa kujiunga na shule za upili (inaweza kuwa kabla au baada ya mitihani ya kumaliza elimu ya shule ya msingi)

Tengeneza mpango wa ushauri nasaha kwa wasichana wa madarasa ya juu ya msingi kutoka kwa akina mama mahalia ambao ambao angalau wana elimu ya kiwango cha sekondari au zaidi.

Wajumbe wa vilabu vya JUU wafanye michezo ya kuigiza, mashindano ya uandishi wa insha au mashairi na ngoma ambazo zitawahamasisha wasichana wakae shuleni na kuongeza idadi ya wanaopitia shule ya msingi na kuendelea hadi secondari.

Karibisha akina mama wa mfano kutoka kijijini waliopata elimu ya msingi na kuendelea zaidi kama wazungumzaji wahamasishaji wa wasichana katika madarasa ya juu ya msingi. Pia waalike wazazi wao wajadili fursa ambazo familia zinaweza kupata kutokana kuwa na wasichana walioelimika vizuri zaidi.

Toa zawadi za motisha kwa wasichana wanaofanya vizuri kitaaluma hususani wale waliochaguliwa kujiunga na masomo katika shule ya upili.

Anzisha uundaji wa Benki ya Wananchi Vijijini, au kutengeneza fursa kwa familia za maeneo ya pembezoni ili ziweze kusawidia wasichana wao ambao wamechaguliwa kujinga na shule ya upili. Kitu kama mfuko wa elimu wa shule za upili. Hii inaweza kufungamanishwa na shughuli za MSMshuleni.

C: Kuboresha ustawi wa wasichana shuleni

Page 8: Awamu ya Pili Mwongozo wa Maombi ya Ruzuku ya ......wanaopitia ngazi ya elimu ya msingi na kufanikiwa kujiunga na shule za upili (inaweza kuwa kabla au baada ya mitihani ya kumaliza

Mpango wa Kuinua Ubora wa Elimu Tanzania

Awamu ya 2 – Mwongozo wa Ruzuku ya Ushirikiano wa Walimu na Wazazi – ukurasa wa 8

Fedha za ruzuku ya UWW zinaweza kutumika kufanya yafuatayo:-

Kuwapa mafunzo wasichana wa madarasa ya juu ya msingi kuhusu swala zima la hedhi ikiwa ni pamoja na kuwaonesha namna ya kutengeneza pedi unazoweza kurudia kuzitumia (angalia maelezo katika kipeperushi kingine kwa ajili ya nyongeza ya maelezo ya namna ya kutengeneza taulo unazoweza kurudia kuzitumia.

Utoaji wa pedi shuleni kwa kusudi la dharura tu kwa ajili ya wasichana ambao wanaweza kuzihitaji wakati wa masaa ya shule.

Kwa ajili ya kuwa na chumba maalum chenye vifaa vyote vizuri vya usafi kwa ajili ya wasichana shuleni.

Kuwawezesha wajumbe wda klabu ya JUU kupitia vipindi vya shule kujadili kwa uwazi kuhusu ukatili wa kijinsia na mbinu za kuepuka ukatili huo na kutetea mabadiliko katika ukatili wa kijinsia na ukatili mwingineo kupitia baraza la shule, makusanyiko ya asubuhi mstarini na kupitia matukio mengine muhimu ya shule.

Wajumbe wa klabu ya JUU wanaweza kuongeza uelewa kwa wanafunzi wengine katika kutoa taarifa za watoto wanaonyanyaswa, Unyanyasaji wa Kijinsia, na namna ya kuepuka unyanyasaji kwa kukuza matumizi bora ya visanduku vya maoni kama njia moja kubwa ya kufanikisha lengo kati ya njia nyingi shuleni.

Mazungumzo baina ya walimu/wazazi kuelezea hatari ya Unyanyasaji wa Kijinsia katika kujifunza kwa mtoto na afya ya akili. Mjadala wa njia mbadala ili kuvutia wanafunzi wawe na tabia njema kuliko unyanyasaji.

Fedha za Ruzuku ya UWW Haziwezi Kutumika

Katika kuzungumzia maswala ya elimu ya wasichana, fedha za ruzuku ya UWW hazikukusudiwa kutumika kwa ajili ya mambo yafuatayo:-

Kununua vifaa vingine muhimu kama vile nguo za ndani, mafuta ya kupaka kwa ajili ya wasichana.

Kuanzisha kambi za maswala ya kitamaduni ya hedhi na ngoma kama vile unyago.

Page 9: Awamu ya Pili Mwongozo wa Maombi ya Ruzuku ya ......wanaopitia ngazi ya elimu ya msingi na kufanikiwa kujiunga na shule za upili (inaweza kuwa kabla au baada ya mitihani ya kumaliza

Mpango wa Kuinua Ubora wa Elimu Tanzania

Awamu ya 2 – Mwongozo wa Ruzuku ya Ushirikiano wa Walimu na Wazazi – ukurasa wa 9

Kununulia vifaa vya kuzuia mimba kwa wasichana kwa lengo la kuzuia mimba za utotoni.

Kulipia gharama za kushtaki/wanasheria kwa wazazi ambao wamewaningiza wasichana wao kwenye ndoa za utotoni.

For establishing girls camps which are deep rooted into cultures like unyago, traditional gatherings and dances for girls etc

Karo ya shule

Kuwasaidia wasichana wachache na kuwaacha wengi wafaidike na ruzuku hii

Kununulia vitabu vya masomo vya kutumia shuleni lakini vitabu vinavyokusudiwa kuongeza maarifa ya wasichana katika maswala yao vinaweza kununuliwa.

Kutumika kama marupurupu kwa walimu, wazazi au mfanyakazi mwingine yeyote.

Page 10: Awamu ya Pili Mwongozo wa Maombi ya Ruzuku ya ......wanaopitia ngazi ya elimu ya msingi na kufanikiwa kujiunga na shule za upili (inaweza kuwa kabla au baada ya mitihani ya kumaliza

Mpango wa Kuinua Ubora wa Elimu Tanzania

Awamu ya 2 – Mwongozo wa Ruzuku ya Ushirikiano wa Walimu na Wazazi – ukurasa wa 10

Sehemu ya 3: Shule zinazostahili ruzuku ya UWW Awamu ya Pili; Wajibu na majukumu ya watendaji mbalimbali.

Kila shule ya Msingi ya Serikali katika malengo 51 ya Mamlaka ya Serilali za Mitaa ndani ya mikoa saba ya Dodoma, Kigoma,Simiyu, Shinyanga, Tabora, Mara na Lindi ndiyo inayostahili kupata awamu ya pili ya ruzuku ya UWW kwa kufuata hatua/utaratibu ulioelekezwa hapo chini:-

i. Lazima shule zikabidhi taarifa ya fedha ya robo ya nne awamu ya kwanza/mwaka wa kwanza.

ii. Lazima shule zikabidhi taarifa fupi ya utekelezaji na matumizi ya mwaka kwa kipindi cha ruzuku za mwaka wa kwanza ambayo inajumuisha kiasi cha fedha zilizoingia na matumizi ya mwaka mzima.

iii. Lazima shule zikabidhi kigezo cha mpango kazi wa ruzuku ya UWW ambao umeambatanishwa ambao lazima ufungamanishwe na shughuli na malengo ya Mpango wa Maendeleo ya Shule.

Kwa kuongezea kutokana na mafunzo yaliyopita ya awamu ya kwanza ya ruzuku ya UWW, ilitamkwa kwamba fedha kwa ajili yam waka wa pili wa ruzuku zitatumwa kwenye shule zinazostahili kwa sharti la matumizi stahiki ya fedha za ruzuku ya mwaka wa kwanza pamoja na viambatanisho katika maombi/shauri lifuatalo.

Wajibu na Majukumu

Katika mfululizo wa kutoa maelezo ya matumizi ya fedha za ruzuku ya UWW na kuzungumzia maswala ya elimu ya wasichana, watu mbalimbali watakuwa na wajibu na majukumu tofauti ili kuleta mabadiliko yanayofaa na ya kudumu. Kamati ya Shule Wajumbe wa Kamati ya Shule watafanya yafuatayo:-

Page 11: Awamu ya Pili Mwongozo wa Maombi ya Ruzuku ya ......wanaopitia ngazi ya elimu ya msingi na kufanikiwa kujiunga na shule za upili (inaweza kuwa kabla au baada ya mitihani ya kumaliza

Mpango wa Kuinua Ubora wa Elimu Tanzania

Awamu ya 2 – Mwongozo wa Ruzuku ya Ushirikiano wa Walimu na Wazazi – ukurasa wa 11

i. Kuandaa makundi yote yaliyolengwa ya watu ambao watahusishwa katika kutengeneza mpango kazi ili waweze kutambua maswala yanayowakabili wasichana ambayo yanahitaji kuzungumziwa.

ii. Kuchambua na kuidhinisha mpango kazi kama unapopendekezwa na wajumbe wa UWW kwa kushirikiana na wajumbe wa klabu ya JUU, jinsia, mwalimu wa ushauri nasaha na maadili, afisa maendeleo ya jamii wa kata na wadau wengine kutoka kwenye jamii kubwa zaidi.

iii. Kuchambua na kuidhinisha bajeti ya kushughulikia maswala ya elimu ya wasichana kama ilivyopendekezwa na wajumbe wa UWW

iv. Kuhakikisha kwamba mpango kazi unaendana na Mpango wa Maendeleo ya Shule – hii inaweza kuhitaji MMS kupitiwa upya katika mpango kazi wa ruzuku ya UWW kwa ajili ya elimu ya wasichana ili kutambua malengo mapya ya kuchukulia hatua.

v. Kuhakikisha kwamba mfumo wa fedha katika kutekeleza maswala ya elimu ya wasichana unafuatwa.

vi. Kufuatilia na kutathmini utekelezaji Wajibu wa Mwalimu Mkuu.

i. Kuhakikisha kwamba kazi yoyote inayohusiana na elimu ya wasichana inafungamanishwa na kuratibiwa vizuri kwa watu muhimu kama vile wajumbe wa kamati ya shule, wajumbe wa UWW, Jinsia, mwalimu wa ushauri nasaha na maadili, wajumbe wa klabu ya JUU, Afisa Maendeleo ya Jamii wa Kata na watu wengine muhimu kutoka katika jamii kubwa zaidi.

ii. Kuhakikisha kwamba mpango kazi unaendana na Mpango wa Maendeleo ya Shule – hii inaweza kuhitaji MMS kupitiwa upya katika mpango kazi wa ruzuku ya UWW kwa ajili ya elimu ya wasichana ili kutambua malengo mapya ya kuchukulia hatua.

iii. Kuhakikisha kwamba taarifa muhimu zinazohusu matumizi ya ruzuku ya UWW zinaoneshwa katika mbao za nje za matangazo. Hii itajumuisha taarifa zote zinazohusiana na Kupanga mipango, utekelezaji na kutoa taarifa.

iv. Yeye ndiye mtu muhimu anayewajibika katika kuweka kumbukumbu, utunzaji wa nyaraka, ukusanyaji wa habari za mienendo bora zaidi ya mabadiliko kuhusiana na hili na kuhakikisha kwamba watu wote muhimu wametaarifiwa kutoa hesabu ya fedha zilizotumika za ruzuku ya UWW.

Page 12: Awamu ya Pili Mwongozo wa Maombi ya Ruzuku ya ......wanaopitia ngazi ya elimu ya msingi na kufanikiwa kujiunga na shule za upili (inaweza kuwa kabla au baada ya mitihani ya kumaliza

Mpango wa Kuinua Ubora wa Elimu Tanzania

Awamu ya 2 – Mwongozo wa Ruzuku ya Ushirikiano wa Walimu na Wazazi – ukurasa wa 12

Wajumbe wa UWW i. Kuandaa/kutengeneza uelewa kwa wanajamii, hususani wazazi,

wanakijiji wengine na wajumbe wa klabu ya JUU ili waibue maswala yanayowaathiri wasichana wasipate elimu katika jamii yao.

ii. Kuimarisha na kuchambua maoni kutoka kwa wadau mbalimbali waliotajwa hapo juu kwa ajili ya kupanga mipango.

iii. Kushiriki kikamilifu katika kutengeneza mpango kazi ambao utatambua maswala ya elimu ya wasichana kwa ajili ya utekelezaji.

iv. Kutekeleza shughuli zilizokubalika kulingana na mpango kazi. v. Kuandika taarifa ya mafanikio ya utekelezaji wa maswala ya

wasichana na kukamata habari za mabadiliko na mambo yaliyofundishwa katika kila darasa.

Vilabu vya Shule - JUU

i. Vinapaswa kushirikishwa katika mchakato wa kupanga mipango kwa kutoa maoni kuhusu maswala yanayoathiri wasichana katika elimu.

ii. Watakuwa mabalozi muhimu sana wa kutetea mabadiliko kwa kusambaza taarifa kwa wanafunzi wengine chini ya uangalizi wa wa mwalimu wa Jinsia na wajumbe wa UWW kwa njia ya michezo ya kuigiza, ngoma, majibishano na njia zingine mbalimbali ndani ya shule.

iii. Watatumia matukio kama mikusanyiko ya asubuhi mstarini, mabaraza ya shule, siku ya wazazi, siku ya mahafali, siku ya Sanaa na michezo, mbao za shule za matangazo, bango la klabu ya JUU na mashindano baina ya shule kama majukwaa ya kuonesha kazi zao na kutetea mabadiliko katika jamii iliyo pana zaidi.

Wajibu wa AEK

i. Kusimamia shule hususani mwalimu mkuu, wajumbe wa KS na wajumbe wa UWW kuhusiana na matumizi ya ruzuku ya pili ya UWW.

ii. Kufuatilia shughuli zinazofanywa shuleni na UWW ambazo zinazungumzia elimu ya wasichana.

iii. Kupitia na kuidhinisha mipango kazi kama ilivyotayarishwa na UWW na kuipeleka kwa AEW.

Wajibu wa AEW

i. Kupitia na kuidhinisha mipango kazi ya UWW na maombi ya fedha.

Page 13: Awamu ya Pili Mwongozo wa Maombi ya Ruzuku ya ......wanaopitia ngazi ya elimu ya msingi na kufanikiwa kujiunga na shule za upili (inaweza kuwa kabla au baada ya mitihani ya kumaliza

Mpango wa Kuinua Ubora wa Elimu Tanzania

Awamu ya 2 – Mwongozo wa Ruzuku ya Ushirikiano wa Walimu na Wazazi – ukurasa wa 13

ii. Kusambaza fedha kwenye shule zinazofaa. iii. Kufuatilia matumizi ya fedha na kupitia taarifa mara kwa mara.

Wajibu wa AEM

i. Kuhakikisha kwamba Mamlaka zote za Serikali za Mitaa zinazingatia matumizi ya fedha za ruzuku ya UWW kulingana na masharti ya mpango huu.

Page 14: Awamu ya Pili Mwongozo wa Maombi ya Ruzuku ya ......wanaopitia ngazi ya elimu ya msingi na kufanikiwa kujiunga na shule za upili (inaweza kuwa kabla au baada ya mitihani ya kumaliza

Mpango wa Kuinua Ubora wa Elimu Tanzania

Awamu ya 2 – Mwongozo wa Ruzuku ya Ushirikiano wa Walimu na Wazazi – ukurasa wa 14

Sehemu ya 4: Jinsi ya Kuomba na Kupata Ruzuku

Zifuatazo ni hatua ambazo shule inapaswa kufuata katika kuomba na kupata ruzuku ya pili ya UWW:

4.1: Mpango Kazi wa Maendeleo

Hatua ya 1: Uandaaji wa mpango kazi

Uandaaji wa mpango kazi unapawa kuzingatia ushirikishwaji wa wadau wengi katika jinsia na wasichana ili kutengenea mpango wenye uhalisia. Wadau hawa ni wajumbe wa Kamati ya Shule, wajumbe wa UWW (lazima awepo mratibu wa UWW na shujaa wa Jinsia wa UWW), Mwalimu mkuu, Jinsia, Mwalimu wa Ushauri Nasaha na Maadili na Mwakilishi kutoka vilabu vya JUU. Mpango kazi unapaswa pia kuzingatia sehemu ya mwitikio wa Jinsia, mazingira chanya ya Mpango wa Maendeleo ya Shule.

Kielelezo hapo chini kinaonesha mchakato wa kuzingatiwa.

Kielelezo cha 1: Mchakato wa kutengeneza mpango kazi.

Pitia shughuli/maswala ya Elimu ya Wasichana katika

MMS

UWW ufanye maamuzi juu ya

shughuli ambazo zitasaidia wasichana shuleni.

Utengenezaji wa mpango kazi

kulingana na maswala yaliyotajwa katika MMS

Kukubaliana kwa mpango kazi

na MM na wajumbe wa KS. Pale inapowezekana pitia upya MMS ili uendane na

mpango kazi wa UWW

Uwasilishwaji wa mpango,

maombi ya ruzuku na uidhinishwaji

Risiti ya ruzuku, Utekelezaji wa shughuli na ufuatiliaji.

Page 15: Awamu ya Pili Mwongozo wa Maombi ya Ruzuku ya ......wanaopitia ngazi ya elimu ya msingi na kufanikiwa kujiunga na shule za upili (inaweza kuwa kabla au baada ya mitihani ya kumaliza

Mpango wa Kuinua Ubora wa Elimu Tanzania

Awamu ya 2 – Mwongozo wa Ruzuku ya Ushirikiano wa Walimu na Wazazi – ukurasa wa 15

Sampuli kielelezo ya mpango kazi kama ilivyoambatanishwa katika kiambatisho cha kwanza kama ilivyooneshwa hapo chini:-

Jedwali la 1: Sampuli kielelezo ya mpango kazi

Hatua ya 2: Kukubaliwa na kuidhinishwa

i. Katika msingi wa hitaji (vizuri zaidi kila robo), Mwalimu Mkuu ataitisha mkutano wa Kamati ya Shule (KS) na wajumbe wa UWW kuamua na kuidhinisha maombi kwa ajili ya kutekeleza shughuli (ziwe zinazotokana na Mpango wa Maendeleo ya Shule (MMS), shughuli zinazohusiana na UWW, sanduku la maoni, vilabu vya JUU vinaweza kutolewa na kujazwa kwenye mpango kazi.

Mikutano ya mara kwa mara ya KS lazima itumike kuidhinisha ruzuku ya pili ya UWW, kama moja kati ya agenda zingine.

Mratibu wa UWW lazima pia ahudhurie mkutano wa KS kushiriki katika mchakato wa kuidhinisha shughuli zinazohusiana na elimu ya msichana za UWW.

Kamati ya Shule inashauriwa kumualika MEK ahudhurie na kuona mikutano ya KS na UWW.

Uidhinishwaji unaofanywa na KS utaandikwa vizuri kwenye kumbukumbu za vikao za Kamati ya Shule.

Page 16: Awamu ya Pili Mwongozo wa Maombi ya Ruzuku ya ......wanaopitia ngazi ya elimu ya msingi na kufanikiwa kujiunga na shule za upili (inaweza kuwa kabla au baada ya mitihani ya kumaliza

Mpango wa Kuinua Ubora wa Elimu Tanzania

Awamu ya 2 – Mwongozo wa Ruzuku ya Ushirikiano wa Walimu na Wazazi – ukurasa wa 16

i. Mwalimu Mkuu, Mwenyekiti wa KS na Mratibu wa UWW wataweka sahihi zao kwenye fomu ya makubaliano ya Utekelezaji wa mpango kazi wa ruzuku ya UWW wa Elimu ya Wasichana.

ii. AEK atapitia na kuweka sahihi fomu ya makubaliano ya utekelezaji wa mpango kazi wa ruzuku ya UWW wa Elimu ya wasichana na kuipeleka kwa Afisa Elimu wa Wilaya (AEW).

ii. AEW akishirikiana na AUJW anashughulikia jinsia watapitia na tia sahihi fomu ya mpango kazi wa ruzuku ya UWW kwa ajili Elimu ya Wasichana na kupeleka nakala halisi iliyotiwa sahihi kwa Wakala Msimamizi wa MKUET Mwakilishi wa Mkoa kwa ajili ya mchakato wa ruzuku. AEW atabaki na nakala moja na kupeleka nakala zingine kwa Afisa Elimu wa Mkoa (AEM) na Mwalimu Mkuu kwa ajili ya rejea.

4.2: Mchakato wa maombi ya fedha

i. Katika msingi wa kuidhinishwa na KS, Mwalimu Mkuu atajaza Fomu ya Maombi ya Fedha (mfano wa fomu hiyo umeambatanishwa katika kiambatisho cha 2).

ii. Mwenyekiti wa KS atatia sahihi Fomu ya Maombi ya Fedha ili kuidhinisha fedha.

iii. Mwalimu Mkuu/Mwalimu anayeshughulikia fedha za shule atatayarisha hati ya malipo na hundi na kuhakikisha zimetiwa sahihi na waweka sahihi wanahusika.

iv. Fomu ya Maombi ya Fedha, KS inaweka kumbukumbu za kuidhinisha maombi, hati ya malipo na hundi iliyotiwa sahihi zinapelekwa kwa MEK kwa ajili ya kupitiwa na kuidhinishwa;

v. Baada ya hapo MEK atapeleka nyaraka zote zilizoidhinishwa ambazo zimetajwa hapo juu na hundi iliyotiwa sahihi kwa AEW kwa ajili ya hatua ya mwisho ya kuidhinishwa na kupitishwa;

vi. AEW atatia sahihi kwenye hundi na Fomu ya Maombi ya Fedha na kuzirudisha kwa MEK ambaye hatimaye atazikabidhi kwa Mwalimu Mkuu.

Page 17: Awamu ya Pili Mwongozo wa Maombi ya Ruzuku ya ......wanaopitia ngazi ya elimu ya msingi na kufanikiwa kujiunga na shule za upili (inaweza kuwa kabla au baada ya mitihani ya kumaliza

Mpango wa Kuinua Ubora wa Elimu Tanzania

Awamu ya 2 – Mwongozo wa Ruzuku ya Ushirikiano wa Walimu na Wazazi – ukurasa wa 17

vii. Mwalimu Mkuu/Mwalimu anayeshughulikia fedha ataenda bank kuchukua hela kwa kutumia hundi na kufanya mchakato wa malipo kutoka kwenye fedha ya maombi yaliyoidhinishwa kwa kuandaa hati za malipo madogo. Baada ya hapo atafanya malipo kwa wasambazaji au watoa huduma na kupewa stakabadhi/Ankara za kodi; na

viii. Mwalimu Mkuu/mwalimu anayeshughulikia fedha za shule anaweka nyaraka zote za malipo kwenye jalada/faili, ikiwa ni pamoja na hati za fedha ndogo taslimu Fomu za Maombi ya Fedha, Kumbukumbu za vikao vya KS na stakabadhi/ankara za kodi katika mpangilio wa matukio na muda.

ix. Baada ya fomu ya Mpango Kazi wa Ruzuku ya UWW kwa ajili ya Elimu kwa Wasichana kuidhinishwa na AEW na MKET, ruzuku itaingizwa moja kwa moja kwenye akaunti ya shule ya ruzuku maalumm ya mtu mzima.

x. Shule zitatoa taarifa ya kuthibitisha kupokea ruzuku kwa AEW na AEM na MKUET na kuijulisha jamii kubwa kwa kutumia mikutano ya wazazi na kwenye mbao za umma za matangazo.

Page 18: Awamu ya Pili Mwongozo wa Maombi ya Ruzuku ya ......wanaopitia ngazi ya elimu ya msingi na kufanikiwa kujiunga na shule za upili (inaweza kuwa kabla au baada ya mitihani ya kumaliza

Mpango wa Kuinua Ubora wa Elimu Tanzania

Awamu ya 2 – Mwongozo wa Ruzuku ya Ushirikiano wa Walimu na Wazazi – ukurasa wa 18

Sehemu ya 5 a: Utunzaji wa Kumbukumbu za Ruzuku ya Pili ya UWW.

Mwalimu Mkuu/Mwalimu anayeshughulikia fedha za shule atatunza kumbukumbu ya stakabadhi zifuatazo na matumizi ya Ruzuku ya UWW:

i. Kitabu cha Fedha cha Shule kwa ajili ya kuweka kumbukumbu ya mapato na matumizi. Kama vitabu vya fedha ambavyo vimeshachapisha vipo vitumike lakini kama havipo, shule inunue kutoka kwenye maduka vya vifaa vya shule. Mfano kwa kitabu cha fedha kinachopendekezwa umeambatanishwa katika kiambatisho cha 3; na

ii. Upatanisho wa Mahesabu ya Bank kila Robo. Hii itahitaji Mwalimu Mkuu/Mwalimu anayeshughulikia fedha za shule apate nakala halisi za taarifa za bank kila robo ili zipatanishwe na Kitabu cha Fedha. Kigezo cha Taarifa ya Upatanisho wa Mahesabu ya Bank kimeambatanishwa katika kiambatisho cha 4.

Page 19: Awamu ya Pili Mwongozo wa Maombi ya Ruzuku ya ......wanaopitia ngazi ya elimu ya msingi na kufanikiwa kujiunga na shule za upili (inaweza kuwa kabla au baada ya mitihani ya kumaliza

Mpango wa Kuinua Ubora wa Elimu Tanzania

Awamu ya 2 – Mwongozo wa Ruzuku ya Ushirikiano wa Walimu na Wazazi – ukurasa wa 19

Sehemu ya 5b: Utoaji wa Taarifa wa Ruzuku ya UWW.

Ufuatao ndio utakuwa utaratibu wa kutoa taarifa ya Ruzuku ya UWW:

i. Kila mwisho wa robo, Mwalimu Mkuu/Mwalimu anayeshughulikia fedha za shule atajaza Taarifa ya Fedha ya Shule ya kila Robo iliyoambatanishwa kama kiambatisho cha 5. Hii inahitaji taarifa za kiasi cha fedha alichopokea na mapato/matumizi halisi. Taarifa ya Upatanisho wa Mahesabu ya Benki kila robo na Taarifa ya Fedha benki zinapaswa kuambatanishwa katika Taarifa ya fedha;

ii. Mratibu wa UWW atatia sahihi katika “kisanduku cha maoni” dhidi ya shughuli za UWW zinazohusiana na Elimu ya Wasichana ili kuthibitisha kuwa bidhaa na huduma zilizotolewa taarifa zimepokelewa, ubora wake unakubalika na matumizi ni yanafanana;

iii. Kwa namna hiyo hiyo, Mwenyekiti wa KS atatia sahihi kwenye “kisanduku cha maoni” dhidi ya shughuli za maendeleo ya shule zilizofadhiliwa na Ruzuku ya pili ya UWW ili kuthibitisha kuwa bidhaa na huduma zilizotolewa taarifa zimepokelewa, ubora wake umekubalika na matumizi yanafanana;

iv. Mwalimu Mkuu ataipeleka Taarifa ya Fedha ya kila Robo kwa Mwenyekiti wa KS na baadaye kwa MEK kwa ajili ya kupitia na kutia sahihi; na

v. MEK ataipeleka Taarifa ya Fedha ya Kila Robo kwa AEW kwa ajili ya kuidhinishwa na kurudisha nakala kwa Mwalimu MKuu kwa kusudi la kutunza kumbukumbu.

vi. Kamati ya Shule chini ya usimamizi wa Mwalimu Mkuu inapaswa kutoa taarifa ya matumizi yote kwa wazazi kupitia mikutano ya wazazi pamoja na kutumia mbao za matangazo za umma.

Page 20: Awamu ya Pili Mwongozo wa Maombi ya Ruzuku ya ......wanaopitia ngazi ya elimu ya msingi na kufanikiwa kujiunga na shule za upili (inaweza kuwa kabla au baada ya mitihani ya kumaliza

Mpango wa Kuinua Ubora wa Elimu Tanzania

Awamu ya 2 – Mwongozo wa Ruzuku ya Ushirikiano wa Walimu na Wazazi – ukurasa wa 20

Kiambatisho cha 1: Ruzuku ya Pili ya UWW – Fomu ya Mpango Kazi wa Shughuli za Elimu ya Wasichana

Kigezo cha Mpango Kazi ufuatao unapaswa kujazwa na kurudishwa kwa MEK ili kuonesha aina ya shughuli zinazotakiwa kufanyika kila mwaka. Hatua za kufuatwa wakaati wa kutengeneza Mpango Kazi…

1. Kazi hii itafanywa na kikundi cha wawakilishi wasiozidi 20 kutoka kwa wajumbe wa Kamati ya Shule, Wajumbe wa Ushirikiano wa Wazazi na

Walimu, Viongozi wa kijiji, Walimu and angalau wawakilishi 2 wa vilabu vya JUU wakae kujadili na:

i. Kutambua na kuchambua Changamoto/Matatizo yanayowakabili wasichana wasiweze kuandikishwa, kukaa shuleni na kumaliza hapo

shuleni kwako.

ii. Geuza/badili changamoto kuwa kauli chanya za mahitaji

iii. Kupitia orodha ya mahitaji, wakiongeza mambo wanayoyatamani na kuweka vipaumbele vya yale mambo muhimu sana. (wanaweza

kuweka vipaumbele vya mambo machache yenye uhalisia ili yatekelezwe kila mwaka)

iv. Kutambua majawabu/kile kinachoweza kufanyika ili kutatua matatizo/kuzungumzia changamoto.

v. Kutambua mbinu za kuchambua changamoto/jinsi gani, kwa kutumia nini, wakati gani, nani anaweza kusaidia kupata mwafaka wa

changamoto.

2. Utekelezaji wa mipango

3. Kuweka kumbukumbu na kutoa taarifa ya athari zilizotokea baada ya utekelezaji wa mipango na kufungamanisha hili pamoja na Mpango wa

Maendeleo ya Shule.

Page 21: Awamu ya Pili Mwongozo wa Maombi ya Ruzuku ya ......wanaopitia ngazi ya elimu ya msingi na kufanikiwa kujiunga na shule za upili (inaweza kuwa kabla au baada ya mitihani ya kumaliza

Mpango wa Kuinua Ubora wa Elimu Tanzania

Awamu ya 2 – Mwongozo wa Ruzuku ya Ushirikiano wa Walimu na Wazazi – ukurasa wa 21

Fomu hii inapaswa kujazwa nakala nne zinazofanana

Ruzuku ya UWW kwa ajili ya Elimu ya Wasichana – Fomu ya Mpango Kazi

Jina la Shule…………………………………………………………………………………….. Kata ……………………..……………………. Tarehe ………….…………………………………

# Swala lililotambulika Shughuli ndogo za kufanya Nani atahusishwa

Rasilimali gani zitatumika?

Itagharimu kiasi gani? Fedha zitatoka wapi?

Itafanyika lini?

Page 22: Awamu ya Pili Mwongozo wa Maombi ya Ruzuku ya ......wanaopitia ngazi ya elimu ya msingi na kufanikiwa kujiunga na shule za upili (inaweza kuwa kabla au baada ya mitihani ya kumaliza

Mpango wa Kuinua Ubora wa Elimu Tanzania

Awamu ya 2 – Mwongozo wa Ruzuku ya Ushirikiano wa Walimu na Wazazi – ukurasa wa 22

Kama Mwalimu Mkuu, Mwenyekiti wa Kamati ya Shule na Mratibu wa UWW wa Shule ya ...………………………, TUNATHIBITISHA na KUKUBALIANA kwenye shughuli za Elimu ya Wasichana zilizopangwa hapo juu.

Chapisha Jina la Mwalimu Mkuu wa Shule…………………………..............

Namba ya Simu ya Mkononi………………………………………………………..

Sahihi: ……………………………………… Tarehe: ……………/………../…………

Chapisha Jina la Mwenyekiti wa Kamati ya Shule……………………………..

Namba ya Simu ya Mkononi………………………………………………………..

Sahihi: ……………………………………… Tarehe: ……………/………../…………

Chapisha Jina la Mratibu wa UWW …………………………………………….……

Namba ya Simu ya Mkononi………………………………………………………..

Sahihi: ……………………………………… Tarehe: ……………/………../…………

Ninathibitisha kwamba taarifa iliyojazwa hapo juu ni sahihi:

Chapisha Jina la Mratibu wa Elimu Kata …………………………………………….…………………………

Namba ya Simu ya Mkononi………………………………………………………..

Sahihi: ……………………………………… Tarehe: ……………/………../…………

Ninakiri kupokea Mpango Kazi wa Elimu ya Wasichana uliotiwa sahihi na ninathibitisha kwamba taarifa zilizojazwa ni sahihi na ninaomba kwamba mchakato wa ruzuku ufanyike

Page 23: Awamu ya Pili Mwongozo wa Maombi ya Ruzuku ya ......wanaopitia ngazi ya elimu ya msingi na kufanikiwa kujiunga na shule za upili (inaweza kuwa kabla au baada ya mitihani ya kumaliza

Mpango wa Kuinua Ubora wa Elimu Tanzania

Awamu ya 2 – Mwongozo wa Ruzuku ya Ushirikiano wa Walimu na Wazazi – ukurasa wa 23

Jina la Afisa Elimu wa Wilaya……………………………………………………………………………………..

Namba ya Simu ya Mkononi………………………………………………………..

Sahihi: ……………………………………… Tarehe: ……………/………../…………

ZINGATIA: Utiwaji sahihi wa Fomu ya Mpango Kazi wa Ruzuku ya UWW ya Elimu ya Wasichana Utaanzisha Makubaliano

kati ya Mwalimu Mkuu, Mwenyekiti wa KS, MEK na AEW kwenye utekelezaji wa shughuli za UWW zilizoidhinishwa na

Matumizi ya Ruzuku ya Pili ya UWW sambamba na Vigezo na Masharti Yaliyotajwa hapo Juu na kama yalivyotajwa katika

Mwongozo wa Ruzuku ya UWW.

Page 24: Awamu ya Pili Mwongozo wa Maombi ya Ruzuku ya ......wanaopitia ngazi ya elimu ya msingi na kufanikiwa kujiunga na shule za upili (inaweza kuwa kabla au baada ya mitihani ya kumaliza

Mpango wa Kuinua Ubora wa Elimu Tanzania

Awamu ya 2 – Mwongozo wa Ruzuku ya Ushirikiano wa Walimu na Wazazi – ukurasa wa 24

Kiambatisho cha 2: Fomu ya Maombi ya Fedha

Fomu ya Maombi ya Fedha ifuatayo inapaswa kujazwa na kutumwa kwa MEK ili kuthibitisha kwamba shughuli za UWW za Elimu ya Wasichana zimeidhinishwa. Fomu ya Maombi ya Fedha inapaswa kuandaliwa pamoja na hundi kwa ajili ya kuidhinishwa na AEW kisha kupitishwa.

Fomu hii inapaswa kujazwa nakala mbili

Maelezo ya Shule:

Jina la Shule ……………………………..……………………..…………

Kijiji ……………………….……….…Kata ………………………….......

Wilaya.……………………………...Mkoa….……………………………

Kiasi Kilichoombwa:

Kiasi cha Ruzuku ya UWW kilichobaki hadi leo (Shs)……………………………

Kiasi Kilichoombwa (Shs)…………………………………………………

Namba ya Hundi..……………………………………………………………

Imeombwa na: Mwalimu Mkuu

………………………………………………Tarehe: …….…/……../………….

Imethibitishwa na: Mwenyekiti wa Kamati ya Shule

………………………….........…………. Tarehe: …….…/……../………….

Imehakikishwa na : Mratibu wa Elimu Kata

…………………………………………….. Tarehe: …….…/……../………….

Imeidhinishwa na: Afisa Elimu wa Wilaya

……………………………..……………... Tarehe: …….…/……../………….

Page 25: Awamu ya Pili Mwongozo wa Maombi ya Ruzuku ya ......wanaopitia ngazi ya elimu ya msingi na kufanikiwa kujiunga na shule za upili (inaweza kuwa kabla au baada ya mitihani ya kumaliza

Mpango wa Kuinua Ubora wa Elimu Tanzania

Awamu ya 2 – Mwongozo wa Ruzuku ya Ushirikiano wa Walimu na Wazazi – ukurasa wa 25

Fedha zimeombwa kwa ajili ya kutekeleza Shughuli za UWW

Zinazohusiana na Elimu ya Wasichanaunds kwa kipindi hiki cha …………….

Melezo ya shughuli kwa Ufupi kama yalivyotajwa katika Mpango Kazi ( kiambatisho cha 1)

Idadi ya vitu

Bei ya kitu kimoja (Shs)

Jumla ya Gharama

(Shs)

Jumla

Page 26: Awamu ya Pili Mwongozo wa Maombi ya Ruzuku ya ......wanaopitia ngazi ya elimu ya msingi na kufanikiwa kujiunga na shule za upili (inaweza kuwa kabla au baada ya mitihani ya kumaliza

Mpango wa Kuinua Ubora wa Elimu Tanzania

Awamu ya 2 – Mwongozo wa Ruzuku ya Ushirikiano wa Walimu na Wazazi – ukurasa wa 26

Kiambatisho cha 3: Kigezo cha Kitabu cha Fedha Taslimu

______________________________________ SHULE YA MSINGI

KITABU CHA FEDHA TASLIMU CHA RUZUKU YA UWW

UPANDE WA MADENI (Mapato) UPANDE WA MALIPO (Matumizi)

Tarehe Maelezo Kiasi

(Shs)

Jumla ya

Mapato

mpaka sasa

(Shs)

Tarehe Maelezo Kiasi

(Shs)

Jumla ya

Matumizi

mpaka sasa

(Shs)

Kiasi cha fedha kilichopandishwa

XX XX Vifaa kwa ajili ya vitambaa vya usafi (pedi) vinavyotengenezwa hapa hapa

XX XX

Fedha zilizopokelewa kutoka MKUET

XX XXX Vipindi vya wasichana, madhara ya ndoa za utotoni

XX XXX

Chumba cha ushauri na matengenezo ya mabadiliko kwa wasichana

XX XXXX

Mashindano ya wasichana kimadarasa

XX XXXXX

Page 27: Awamu ya Pili Mwongozo wa Maombi ya Ruzuku ya ......wanaopitia ngazi ya elimu ya msingi na kufanikiwa kujiunga na shule za upili (inaweza kuwa kabla au baada ya mitihani ya kumaliza

Mpango wa Kuinua Ubora wa Elimu Tanzania

Awamu ya 2 – Mwongozo wa Ruzuku ya Ushirikiano wa Walimu na Wazazi – ukurasa wa 27

Kiasi kilichopandishwa kinahusiana na jumla ya fedha kutoka kwenye kurasa zilizopita za kitabu cha fedha taslimu.

** Vitabu vya Fedha ambavyo vilichapishwa kabla lazima vitumike

Page 28: Awamu ya Pili Mwongozo wa Maombi ya Ruzuku ya ......wanaopitia ngazi ya elimu ya msingi na kufanikiwa kujiunga na shule za upili (inaweza kuwa kabla au baada ya mitihani ya kumaliza

Mpango wa Kuinua Ubora wa Elimu Tanzania

Awamu ya 2 – Mwongozo wa Ruzuku ya Ushirikiano wa Walimu na Wazazi – ukurasa wa 28

Kiambatisho cha 4: Kigezo cha Taarifa ya Upatanisho wa Mahesabu ya Benki kila Robo

Wilaya …………….…………………………………………………..……………………….……………..…...

Kata………………………………………………………………………..………………………..…………..…..

Jona la Shule……………………………………………………………………………………….………....…

Jina la Benki …………….……………………………………………………….…………………………..…...

Namba ya akaunti ………………………………………………….……………..…….……………………..

Jina la Akaunti…………………………………………………………..…………………………………………

Robo (miezi na mwaka)………………………………………………………………………………………..…

Kiasi kilichobaki kwa kila taarifa ya benki XXX

Maelezo Tarehe Taarifa Kiasi

Ongeza: (i) Stakabadhi ambazo hazijaandikwa (stakabadhi zilizooneshwa kwenye kitabu cha fedha taslimu lakini hazijaoneshwa katika taarifa ya benki)

Michango kutoka vikundi vya kijamii ambayo haijapelekwa benki XX

Page 29: Awamu ya Pili Mwongozo wa Maombi ya Ruzuku ya ......wanaopitia ngazi ya elimu ya msingi na kufanikiwa kujiunga na shule za upili (inaweza kuwa kabla au baada ya mitihani ya kumaliza

Mpango wa Kuinua Ubora wa Elimu Tanzania

Awamu ya 2 – Mwongozo wa Ruzuku ya Ushirikiano wa Walimu na Wazazi – ukurasa wa 29

(ii) Malipo ambayo hayakuandikwa (malipo yaliyooneshwa katika taarifa ya benki lakini hayakuandikwa kweye kitabu cha fedha taslimu) Tozo za Benki XX XX

Toa: (i) Hundi ambazo hazijawasilishwa (malipo katika kitabu cha fedha taslimu ambayo hayajaoneshwa katika taarifa ya benki) Mgawaji XYZ XX

(ii) Stakabadhi ambazo hazijaandikwa (stakabadhi zilizooneshwa kwenye taarifa ya benki lakini hazijaoneshwa kwenye kitabu cha fedha taslimu mfano: riba) Pato la riba XX (XX)

Kiasi kinachotegemewa kuwepo kulingana na kitabu cha fedha taslimu XXX

Kiasi halisi kilichopo kulingana na kitabu cha fedha taslimu XXX

Page 30: Awamu ya Pili Mwongozo wa Maombi ya Ruzuku ya ......wanaopitia ngazi ya elimu ya msingi na kufanikiwa kujiunga na shule za upili (inaweza kuwa kabla au baada ya mitihani ya kumaliza

Mpango wa Kuinua Ubora wa Elimu Tanzania

Awamu ya 2 – Mwongozo wa Ruzuku ya Ushirikiano wa Walimu na Wazazi – ukurasa wa 30

Tofauti -

Imetayarishwa na: Jina la Mwalimu Mkuu ……………………………………. Simu na.…………………………Tarehe: ………/………../……....

Imethibitishwa na: Jina la Mwenyekiti wa Kamati ya Shule……………………. Simu na.……………………Tarehe: ………/………../……....

Imeidhinishwa na: Jina la Mratibu wa Elimu Kata ……………………. Simu na.…………………………Tarehe: ………/………../……....

Page 31: Awamu ya Pili Mwongozo wa Maombi ya Ruzuku ya ......wanaopitia ngazi ya elimu ya msingi na kufanikiwa kujiunga na shule za upili (inaweza kuwa kabla au baada ya mitihani ya kumaliza

Mpango wa Kuinua Ubora wa Elimu Tanzania

Awamu ya 2 – Mwongozo wa Ruzuku ya Ushirikiano wa Walimu na Wazazi – ukurasa wa 31

Kiambatisho cha 5: Kigezo cha Taarifa ya Fedha ya kila Robo

Wilaya …………….………………………………………………………………………….………….

Kata………………………………………………………………………………………………...……

Jina la Shule …………….……………………………………………………………...……….

Kipindi cha taarifa…………………………………………………………………………………………

Ambatanisha nakala ya Taarifa ya Upatanisho wa Mahesabu Benki ya kila Robo Fomu hii inapaswa kujazwa nakala mbili UFUPISHO

Ruzuku

Kiasi cha Ruzuku kilichopandishwa - mwanzoni mwa

robo

Fedha zilizopokelewa katika robo hii

(Shs)

Jumla ya Fedha iliyopokelewa

mpaka sasa

(Shs)

Matumizi kwa robo hii

(Shs)

Jumla ya Matumizi mpaka

sasa

(Tsh)

Salio

(Tsh) A B C=A+B D E F=C-E RUZUKU YA MAENDELEO

RUZUKU MAALUM KWA KILA MTU MZIMA

RUZUKU YA UWW

Page 32: Awamu ya Pili Mwongozo wa Maombi ya Ruzuku ya ......wanaopitia ngazi ya elimu ya msingi na kufanikiwa kujiunga na shule za upili (inaweza kuwa kabla au baada ya mitihani ya kumaliza

Mpango wa Kuinua Ubora wa Elimu Tanzania

Awamu ya 2 – Mwongozo wa Ruzuku ya Ushirikiano wa Walimu na Wazazi – ukurasa wa 32

MCHANGANUO WA MATUMIZI Vitu vya Matumizi

Jumla ya Matumizi mwanzoni mwa robo

(Shs)

Matumizi kwa robo hii

(Shs)

Jumla ya Matumizi mpaka sasa

(Shs)

Maoni

A B C=A+B RUZUKU YA MAENDELEO

Madarasa

Nyumba za Walimu

Kazi Kubwa

Vyoo

Madawati

JUMLA NDOGO

RUZUKU MAALUM YA MTU MMOJA

Vitabu

Vifaa vya kufunzishia na kujifunzia

Utawala

Page 33: Awamu ya Pili Mwongozo wa Maombi ya Ruzuku ya ......wanaopitia ngazi ya elimu ya msingi na kufanikiwa kujiunga na shule za upili (inaweza kuwa kabla au baada ya mitihani ya kumaliza

Mpango wa Kuinua Ubora wa Elimu Tanzania

Awamu ya 2 – Mwongozo wa Ruzuku ya Ushirikiano wa Walimu na Wazazi – ukurasa wa 33

Vitu vya Matumizi

Jumla ya Matumizi mwanzoni mwa robo

(Shs)

Matumizi kwa robo hii

(Shs)

Jumla ya Matumizi mpaka sasa

(Shs)

Maoni

A B C=A+B Mitihan

Kazi Ndogo

JUMLA NDOGO

RUZUKU YA UWW

Shughuli zinazohusiana na UWW

Mifano:

1.

2.

3.

4.

JUMLA NDOGO

JUMLA KUU

Page 34: Awamu ya Pili Mwongozo wa Maombi ya Ruzuku ya ......wanaopitia ngazi ya elimu ya msingi na kufanikiwa kujiunga na shule za upili (inaweza kuwa kabla au baada ya mitihani ya kumaliza

Mpango wa Kuinua Ubora wa Elimu Tanzania

Awamu ya 2 – Mwongozo wa Ruzuku ya Ushirikiano wa Walimu na Wazazi – ukurasa wa 34

Imetayarishwa na: Jina: Mwalimu Mkuu …………………………...………Simu na…………………………………Tarehe: ………/………../…………..

Imethibitishwa na: Jina: Mwenyekiti wa Kamati ya Shule ………………………..Simu na…………………….Tarehe: ………/………../………….

.Imepitiwa na: Jina: Mratibu wa Elimu Kata ……………………………..…… Simu na……………………………Tarehe: ………/………../…………..

Imepitiwa na: Jina: Afisa Elimu wa Wilaya ………………………………Simu na…………………………………..Tarehe: ………/………../…………..

Page 35: Awamu ya Pili Mwongozo wa Maombi ya Ruzuku ya ......wanaopitia ngazi ya elimu ya msingi na kufanikiwa kujiunga na shule za upili (inaweza kuwa kabla au baada ya mitihani ya kumaliza

Mpango wa Kuinua Ubora wa Elimu Tanzania

Awamu ya 2 – Mwongozo wa Ruzuku ya Ushirikiano wa Walimu na Wazazi – ukurasa wa 35

Kiambatisho cha 6: Ufupisho wa Taarifa ya Mwaka ya Utendaji na Matumizi

Maelezo ya Shughuli zilizopangwa Hali ya Utekelezaji Jumla ya Matumizi

(Shs)

A Salio la Ruzuku ya UWW – Mwanzoni mwa Mwaka

B Ruzuku ya UWW iliyopokelewa Mwaka huu

MATUMIZI YA MWAKA

Shughuli za Maendeleo ya Shule

Page 36: Awamu ya Pili Mwongozo wa Maombi ya Ruzuku ya ......wanaopitia ngazi ya elimu ya msingi na kufanikiwa kujiunga na shule za upili (inaweza kuwa kabla au baada ya mitihani ya kumaliza

Mpango wa Kuinua Ubora wa Elimu Tanzania

Awamu ya 2 – Mwongozo wa Ruzuku ya Ushirikiano wa Walimu na Wazazi – ukurasa wa 36

Maelezo ya Shughuli zilizopangwa Hali ya Utekelezaji Jumla ya Matumizi

(Shs)

C Jumla ndogo

Shughuli za UWW Zinazohusiana na Elimu ya Wasichana

Page 37: Awamu ya Pili Mwongozo wa Maombi ya Ruzuku ya ......wanaopitia ngazi ya elimu ya msingi na kufanikiwa kujiunga na shule za upili (inaweza kuwa kabla au baada ya mitihani ya kumaliza

Mpango wa Kuinua Ubora wa Elimu Tanzania

Awamu ya 2 – Mwongozo wa Ruzuku ya Ushirikiano wa Walimu na Wazazi – ukurasa wa 37

Maelezo ya Shughuli zilizopangwa Hali ya Utekelezaji Jumla ya Matumizi

(Shs)

D Jumla ndogo

E JUMLA YA MATUMIZI KWA MWAKA (C + D)

F Salio la Ruzuku ya UWW Mwishoni mwa Mwaka (A+B – E)

Imetayarishwa na: Jina: Mwalimu Mkuu……………………………Simu na……………………….Tarehe: ………/………../…………..

Imethibitishwa na: Jina: Mwenyekiti wa Kamati ya Shule……………………Simu na……………….Tarehe: ………/………../………

Page 38: Awamu ya Pili Mwongozo wa Maombi ya Ruzuku ya ......wanaopitia ngazi ya elimu ya msingi na kufanikiwa kujiunga na shule za upili (inaweza kuwa kabla au baada ya mitihani ya kumaliza

Mpango wa Kuinua Ubora wa Elimu Tanzania

Awamu ya 2 – Mwongozo wa Ruzuku ya Ushirikiano wa Walimu na Wazazi – ukurasa wa 38

1.1 Kiambatisho cha 7: Nyenzo ya Ufuatiliaji wa Ruzuku ya UWW

MUUNDO WA UFUATILIAJI utakaotumiwa na Maafisa Elimu Kata (AEK) kufuatilia MKUET na Ruzuku ya UWW.

Ufuatiliaji ni tathmini endelevu inayoingia na mazingira yake katika malengo yaliyopangwa, matokeo, shughuli na mbinu. Ufuatiliaji unatambua kushindwa/mafanikio halisi au yanayoweza kuwepo mapema kadri inavyowezekana na nyezo, kurekebisha mambo kwa wakati kwenye utendaji. Unatumia namna zote mbili za utoaji taarifa rasmi na mawasiliano yasiyo rasmi.

Muundo huu wa kila mwezi wa ufuatiliaji utatumiwa na Waratibu Elimu Kata kusaidia kufuatilia shughuli za UWW za Elimu ya Wasichana zinazofadhiliwa na MKUET. Itakamilishwa pamoja na taarifa zingine za mara kwa mara za ziara za shule na kuambatanishwa kwenye madai ya Matumizi ya MEK kwa ajili ya mapitio na hatua zaidi kwa AEW. Washiriki/Wadau wa ziara za kila mwezi za ufuatiliaji:

MSM: AEK na (pale inapowezekana) AEW Shule: Mwalimu Mkuu Jamii: Wajumbe wa UWW, ukijumuisha Mwenyekiti na Mratibu wa Kamati ya Shule

Monthly WEO PTP Girls Education Monitoring Report Taarifa ya MEK ya UWW Kila Mwezi ya Ufuatiliaji wa Elimu ya Wasichana: (ijazwe wakati wa kutembelea shule na iambatanishwe kwenye Madai ya Matumizi ya MEK) Mwezi na Mwaka: ………………………………….. Jina la Kata: …………………………………… Jina la Shule iliyotembelewa: ………………………………… Tarehe za Kutembelea Shule: ………………………………… 1. Maendeleo ya Utekelezaji wa Ruzuku ya UWW ya Elimu kwa Wasichana:

(isizidi ukurasa 1)

A. Elezea Shughuli ya UWW ya Elimu ya Wasichana

(toa maelezo mafupi ya shughuli ya UWW kama ilivyoelezwa katika Mpango Kazi wa UWW)

B. Elezea madadiliko yoyote yanayopendekezwa katika Shughuli halisi ya UWW ya Elimu ya Wasichana

(kama shughuli ya UWW imebadilika kwenye Mpango Kazi, toa taarifa ya mabadiliko yoyote yaliyofanywa)

C. Elezea maendeleo ya utekelezaji wa Ruzuku ya UWW ya Elimu ya Wasichana.

(onesha iwapo utekelezaji uko mbele ya ratiba/unaenda na ratiba/uko nyuma ya ratiba + sababu za kuwa nyuma ya ratiba)

D. Elezea changamoto zozote zilizopo katika utekelezaji wa Ruzuku ya UWW ya Elimu ya Wasichana

(elezea changamoto zozote zinazohusiana na utekelezaji wa Mpango Kazi kama ilivyotajwa na Mwalimu Mkuu, wajumbe wa UWW na/au kama alivyoona AEK)

Page 39: Awamu ya Pili Mwongozo wa Maombi ya Ruzuku ya ......wanaopitia ngazi ya elimu ya msingi na kufanikiwa kujiunga na shule za upili (inaweza kuwa kabla au baada ya mitihani ya kumaliza

Mpango wa Kuinua Ubora wa Elimu Tanzania

Awamu ya 2 – Mwongozo wa Ruzuku ya Ushirikiano wa Walimu na Wazazi – ukurasa wa 39

2. Maendeleo ya Kifedha ya Ruzuku ya UWW ya Elimu ya Waasichana: (isizidi ukurasa 1) A. Pitia Fomu za Maombi ya Fedha kwa ajili ya utekelezajiwa Ruzuku ya

UWW ya Elimu ya Wasichana zilizoletwa na shule mbalimbali (Kiambatisho cha 2A) Elezea kama Maombi ya fedha yalifuata mwongozo ulioelezwa katika kitabu cha mwongozo cha Ruzuku ya UWWD na kama vitu vilivyoombwa vimeshapokelewa na shughule kutekelezwa.

B. Pitia hali ya Kitabu cha Fedha Taslimu kama kinavyotunzwa na

Mwalimu Mkuu (Kiambatisho cha 3 – Kigezo cha Kitabu cha Ffedha Taslimu Elezea kama Kitabu cha Fedha Taslimu kimekuwa kikijazwa vizuri na kutiwa sahihi. Tathmini na kutoa taarifa kuhusu Mapato na Matumizi ya UWW.

C. Piatia Taarifa ya kila Robo ya Upatanisho wa Mahesabu Benki

(Kiambatisho cha 4) Toa maoni yako kuhusu Taarifa ya kila mwezi ya upatanishowa mahesabu benki na utathmini uone kama inetunzwa vizuri.

D. Pitia Taarifa Fedha ya Shule kila Robo (Kiambatisho cha 5)

Toa maoni yako kuhusu Taarifa ya Fedha ya Shule kila mwezi (ikijumuisha UWW na shughuli zingine zinazohusiana na shule) na utathmini kuona kama zimetunzwa vizuri.

3. Maoni ya Kuhitimisha, Mapendekezo, na Hatua za Ufuatiliaji: (isizidi

¼ ukurasa)

A. Toa mtazamo wa jumla wa maendeleo ya utekelezaji na ubora wa

utekelezaji wa Ruzuku ya UWW ya Elimu ya Wasichana ukiorodhesha mambo yoyote ya kufanyia kazi. AEK atathmini ubora na maendeleo ya jumla ya utekelezaji na kutoa mapendekezo huku akitaja hatua za ufuatiliaji. AEK aweke alama ya vema kwenye kisanduku na kutoa maoni yake; kasi na ubora wa utekelezaji; idadi ya mikutano ya UWW iliyofanyika; kiwango cha ushirikishwaji wa jamii; matumizi ya Ruzuku ya Uww katika kufundisha wanafunzi; ulinganifu na kitabu cha mwongozo wa Ruzuku ya UWW, nk. Maendeleo ya Utekelezaji (weka alama ya vema kwenye kisanduku stahiki) Mbele ya Lengo (jambo la mfano) Kwenye Lengo Chini ya Lengo (mashaka yaliyodhihirika)

B. Toa mtazamo wa jumla kuhusu maendeleo ya kifedha ya utekelezaji wa Ruzuku ya UWW na uorodheshe mambo yoyote ya kufanyia kazi. AEK atathmini maendeleo ya jumla ya kifedha na kutaja hatua za ufuatiliaji. AEK aweke alama ya vema kweye kisanduku na kutoa maoni juu ya: kutofautiana kati ya bajetina matumizi halisi na kuainisha sababu; matumizi ya vigezo kama vilivyotolewa katika mwongozo wa Ruzuku ya UWW, nk. Maendeleo ya Kifedha (weka alama ya vema kwenye kisanduku stahiki) Mbele ya Lengo (jambo la mfano) Kwenye Lengo Chini ya Lengo (mashaka yaliyodhihirika)

4. Mkutano umehudhuriwa na:

AEK jina: Mwenyekiti wa KS jina: Namba ya simu: Namba ya simu:

Page 40: Awamu ya Pili Mwongozo wa Maombi ya Ruzuku ya ......wanaopitia ngazi ya elimu ya msingi na kufanikiwa kujiunga na shule za upili (inaweza kuwa kabla au baada ya mitihani ya kumaliza

Mpango wa Kuinua Ubora wa Elimu Tanzania

Awamu ya 2 – Mwongozo wa Ruzuku ya Ushirikiano wa Walimu na Wazazi – ukurasa wa 40

Sahihi: Sahihi: Tarehe: Tarehe: Mwalimu Mkuu jina: Mwenyekiti wa UWW jina: Namba ya simu Namba ya simu Sahihi Sahihi Tarehe: Tarehe: Imepitiwa na AEW kwa ajili ya hatua zaidi: AEW jina: Sahihi na Namba ya Simu: Tarehe: Zingatia: Fomu hii inapaswa kugongwa mhuri rasmi wa shule (shule iliyotembelewa)).

Nakala 1 itabaki shuleni, nakala 1 kwa AEK, na nakala 1 ipelekwe kwa AEW (kama kiambatanisho kwenye madai ya matumizi ya AEK) kwa ajili ya kupitiwa na hatua zaidi.