66

© KCCB -Tume ya Kikatoliki ya Haki na Amani

  • Upload
    others

  • View
    2

  • Download
    0

Embed Size (px)

Citation preview

Page 1: © KCCB -Tume ya Kikatoliki ya Haki na Amani
Page 2: © KCCB -Tume ya Kikatoliki ya Haki na Amani

2

© KCCB -Tume ya Kikatoliki ya Haki na AmaniMwaka wa kuchapishwa: 2020

Afisi Kuu ya Baraza la Maaskofu Wakatoliki wa KenyaTume ya Kikatoliki ya Haki na AmaniWaumini House, WestlandsS.L.P. 13475-00800, NairobiSimu: (+254) 20 444112/4443906 au 722 457114Barua pepe: [email protected]: www.cjpc.kccb.or.ke www.kccb.or.ke

Wahariri: Wainainah Kiganya, Beatrice Odera and Grainne KidakwaMchoraji: Elijah NjengaMratibu wa michango: Margaret MkavitaMsanifu na mpambaji wa kurasa: Monicah Nyambura

Kimepigwa chapa na Don Bosco Printing PressS.L.P. 158-01020 Makuyu-Kenya

Ubunifu na utayarishajiKCCB-Tume ya Kikatoliki ya Haki na Amani

Page 3: © KCCB -Tume ya Kikatoliki ya Haki na Amani

3

YaliyomoSalaNa Tuuvunje Mnyororo wa Ufisadi................ ...........................................….......4

DibajiUongozi Bora Unaobadilisha Taifa … Wajibu Wangu .................…......... ........5

UtanguliziKwaresima katika Kanisa Katoliki ................................................................................ 7

Wiki ya KwanzaUwajibikaji na Kilimo Endelevu .................................................................................. 9

Wiki ya PiliVijana na Maendeleo ......................................................................................................... 14

Wiki ya TatuUsimamizi wa Mali Asili .................................................................................................. 18

Wiki ya NneUongozi na Uwajibikaji ................................................................................................ 21

Wiki ya TanoUtakatifu wa Uhai na Hadhi ya Binadamu ............................................................ 26

KiambatishoMichango ya Kampeni ya Kwaresima ya 2019 .............................................................. 29

Page 4: © KCCB -Tume ya Kikatoliki ya Haki na Amani

4

NA TUUVUNJE MNYORORO WA UFISADI

Baba yetu uliye mbinguni, umekuwa ukijali viumbe vyako vyote ili tuishi kulingana na mapenzi yako. Umeibariki nchi yetu kwa watu wenye vipawa vingi na kutupatia mali asili za kutumiwa kwa sifa na utukufu wako na kwa

manufaa ya kila Mkenya.

Tunahuzunishwa sana na utumiaji mbaya wa hizi zawadi na baraka zako kwetu kupitia kwa tendo la ufisadi ambalo limesababishia watu wengi njaa, magonjwa, kuwanyima makao na kuwafurusha makwao, kuwaacha wengi bila elimu na kinga yoyote maishani. Baba, ni wewe pekee uwezaye kutuponya kutokana na ugonjwa huu ambao hatima yake ni mauti.

Tunakusihi uguse maisha yetu na ya viongozi wetu ili tutambue uovu wa ufisadi na kujitahidi kikamilifu kuliangamiza jinamizi hilo. Kwa raia yeyote ambaye amejipatia chochote kifisadi, Bwana, mpe nguvu na ujasiri wa kukirudisha na kukurejelea.

Tunakuomba utupe raia wanaomcha Mungu na viongozi wanaotujali na ambao watatuongoza katika njia ya amani, haki, ufanisi, maendeleo, na la muhimu zaidi, upendo.

Tunaomba hayo kupitia kwa Kristo Bwana wetu.

Ee Bwana tunakuomba utusikie.

Page 5: © KCCB -Tume ya Kikatoliki ya Haki na Amani

5

Baraza la Maaskofu Wakatoliki wa Kenya limeanzisha kampeni ya kupambana na ufisadi ambayo ilizinduliwa Oktoba 4, 2019. Hatua hiyo ilifuatia kauli ya wengi kwamba Kanisa lilihitaji kukabiliana kikamilifu na ovu hili linalotishia

kuangamiza nchi yetu.Kampeni ya Kwaresima ya mwaka huu yenye wito Uongozi Bora Unaobadilisha Taifa ... Wajibu Wangu, inapaswa kuushikilia uzi huo huo na kuangazia jinsi tunavyoweza kupigana na kuuangamiza ufisadi.Dhana ya usimamizi na uongozi bora ikifahamika ipasavyo na itekelezwe, inaweza kulisukuma mbele taifa letu kimaendeleo. Kwa kuzingatia usimamizi kamili, tunaamini kwamba vitu vyote vilivyoumbwa na Mungu ni bora. Binadamu aliumbwa kwa mfano wa Mungu na akaagizwa atawale dunia, ailime na kuitunza. Binadamu alipewa mamlaka ya kuitawala dunia kama inavyoelezwa katika Mwanzo 1:26 (jukumu la kifalme), kuwapa majina viumbe wote hai — Mwanzo 2:15-20 (jukumu la kinabii), na kumtii na kumwabudu Mungu kwa kumtolea kafara (jukumu la kichungaji).Waliobatizwa wana wajibu maalumu wa kushiriki majukumu ya kifalme, kinabii na kichungaji aliyokuwa nayo Kristo. Ina maana kuwa usimamizi unapaswa kuiga ule wa Kristo. Vyote tulivyo navyo ni mali ya Mungu. Sisi ni wasimamizi waliopewa kazi na Mungu.Usimamizi ni kujitolea kwa hali na mali kumtumikia Mungu. Siku moja, kila mmoja wetu ataeleza jinsi alivyosimamia vyote ambavyo Bwana wetu alitupatia. Zawadi yake ni kualikwa kushiriki katika furaha ya Bwana wako hapa duniani na katika mbinguni (Mathayo 25:21). Tunahitaji kuwa waaminifu, tutekeleze majukumu yetu ipasavyo na kuwajibika kama inavyoelezwa katika Zaburi 8:3-8:

“Nikiziangalia mbingu zako, kazi ya vidole vyako, mwezi na nyota, ulizoziratibisha, mwanadamu ni kitu gani hata unamfikiria, binadamu ni nani hata unamjali? Umemfanya chini kidogo kuliko viumbe wa mbinguni, ukamvika taji ya utukufu na heshima. Umemfanya mtawala juu ya kazi za mikono yako; umeweka vitu vyote chini ya miguu yake. Mifugo na makundi yote pia, naam, na wanyama wa kondeni, ndege wa angani na samaki wa baharini, naam, kila kiogeleacho katika njia za bahari.”

Lakini tukiyatumia mamlaka yetu kwa njia ambayo matokeo yake ni kuiharibu dunia na viumbe vya Mungu, au kuwanyima wanadamu wengine matunda ya dunia ambayo

UONGOZI BORA UNAOBADILISHATAIFA … WAJIBU WANGU

Dibaji

Page 6: © KCCB -Tume ya Kikatoliki ya Haki na Amani

6

Mungu alituagiza tuilime na kuitunza, tunamkosea Muumba na kwenda kinyume na mpango wake alipoiumba dunia na viumbe vyote hai.Tunahimizwa katika msimu huu wa Kwaresima kujichunguza jinsi tumeitumia zawadi hii ya usimamizi tuliyopewa na Mungu, na kubadilika ipasavyo.Katika Wiki ya Kwanza, tutaangazia suala la uwajibikaji katika kilimo. Tukiwa wasimamizi bora, hatuna budi kuitunza na kuhifadhi dunia iliyo makao yetu. Kwa kufanya hivyo, tutaweza kulisha taifa na kutunza vizazi vijavyo. Vijana na Maendeleo ni suala muhimu siku hizo katika kuhakikisha tunapata wasimamizi bora. Katika Wiki ya Pili, tutaangazia jinsi tunaweza kuchangia katika kuwakuza na kuwaendeleza vijana. Baba Mtakatifu Fransisko katika waraka wake Laudato Si’, ametualika tusiyasahau makao yetu wote, nayo ni dunia. Katika wiki ya tatu tutajadili jinsi tumeshughulikia mali asili na tuwezavyo kuimarisha utumiaji wake kwa manufaa ya wote.Katika Wiki ya Nne, tutajadiliana kuhusu uongozi na uwajibikaji. Wasimamizi bora lazima wawe viongozi walio tayari kuhudumu. La muhimu sio faida ya binafsi ninayopata lakini huduma ninayotoa. Hatuna budi kuwajibika kwa Mungu kwanza kisha kwa watu tunaowahudumia.Mwishowe katika Wiki ya Tano, tutajadiliana kuhusu utakatifu wa uhai na hadhi ya binadamu. Kila mtu ameumbwa kwa mfano wa Mungu. Ni lazima tuheshimu hadhi na uzima wa binadamu kuanzia kutunga mimba hadi kifo cha kawaida. Ni lazima tulinde uhai, tujichunguze na kuzingatia maadili. Tukatae mauaji na tujiepushe kuwafunza watoto mambo yasiyotukuza uhai. Kwa kushughulikia yote hayo, tutakuwa tumeelimisha familia zetu juu ya umuhimu wa usimamizi bora. Familia ni kitovu cha ustaarabu wa binadamu na ndio msingi wa Kanisa. Hatuna budi kupinga mawazo, taasisi na watu wanaotafuta kuangamiza familia na hatimaye jamii. Tukiwa wasimamizi na viongozi bora, tunafaa kuongozwa na mafunzo ya Kanisa. Nawatakieni nyote msimu wa Kwaresima uliojazwa Roho wa Mungu na wenye mafao.

________________________Askofu John Oballa Owaa wa Jimbo la Ngong’Mwenyekiti, Tume ya Kikatoliki ya Haki na Amani

Page 7: © KCCB -Tume ya Kikatoliki ya Haki na Amani

7

Kwaresima katika Kanisa Katoliki

Kwaresima ni kipindi cha siku 40 cha kufunga na kujinyima, kusali na kutubu kabla ya Pasaka. Kulingana na utamaduni wa Kikristo, msimu huu katika mwaka wa kiliturjia huanza Jumatano ya Majivu na kumalizika Jumapili ya Matawi. Ni adhimisho la kila mwaka ambalo

huwatayarisha waumini — kupitia sala, toba, kutoa zaka na kujinyima — kwa matukio yanayohusiana na mateso ya Yesu msalabani, na maadhimisho ya ufufuko wake. Wakatukumeni hubatizwa Jumapili ya Pasaka.

Kwa nini siku 40?

Nambari 40 ni muhimu katika maisha ya Wakristo. Musa na wana wa Israeli, kwa mfano, walitanga jangwani kwa miaka 40 wakijiandaa kwenda katika nchi waliyoahidiwa na Mungu. Musa alikaa juu ya Mlima Sinai kwa siku

40 bila kula wala kunywa alipokuwa ameenda kupokea vibao vya mkataba ambao Mungu aliwawekea Waisraeli. Nyakati za Nuhu, gharika iliendelea kwa siku 40 mchana na usiku. Eliya alikaa siku 40 mchana na usiku juu ya Mlima Horebu bila chakula. Yesu naye alienda jangwani na kufunga kula na kunywa kwa siku 40 mchana na usiku.

Asili ya Kampeni ya Kwaresima Kenya

Kuzingatia wito wa kiroho wa msimu wa Kwaresima, Kanisa Katoliki katika Kenya liliazimia kuwapasha waumini habari kuhusu matatizo yanayokumba jamii na kushirikiana nao kutetea mabadiliko. Kupitia kwa

Kampeni ya Kwaresima, Maaskofu wa Kanisa Katoliki huwaita Wakristo wote na watu wa mapenzi mema kuungana na kukabiliana na matatizo hayo, huku wakitetea mabadiliko. Kwa kuungana na maaskofu katika utetezi huo wa mageuzi, juhudi za kila mtu binafsi pamoja na sauti ndogo ya kila mmoja ikiunganishwa na ya wengine husikika mbali, nayo matendo ya kila mmoja huongezeka yakijumuishwa na ya wengine.

Utangulizi

Page 8: © KCCB -Tume ya Kikatoliki ya Haki na Amani

8

Wiki ya KwanzaU

WA

JIB

IKA

JI N

A K

ILIM

O E

ND

ELEV

U

Page 9: © KCCB -Tume ya Kikatoliki ya Haki na Amani

9

Uwajibikaji na Kilimo Endelevu

Tazama: Simulizi

Kijijini Mwanzo, babu, mwanawe na mjukuu wake walikuwa wakijadiliana kuhusu kilimo. Babu alisimulia jinsi majira ya zamani yalitabirika na watu walitegemea misimu ya mvua. Walipanda kahawa katika matuta

ya mkingamo na katika maeneo yenye unyevu wakatumia mbolea na mbegu za kiasili kukuza matango, kiazi kikuu, nduuma, miwa na mimea mingine ya kiasili. Alikumbusha kuwa mbinu walizotumia zamani zilikuwa na manufaa mengi ambayo ni pamoja na chakula cha kutosha, hewa na maji safi, miamba ya chumvi ya kulambwa na wanyama, na madini mengine. Isitoshe, watu walikuwa na afya nzuri na majanga ya ukame na njaa yalikuwa nadra.

Babu alikumbusha kwamba ilikuwa marufuku kulima katika vianzo vya maji na milimani. Walipanda mimea tofauti kwa msimu, jambo lililowahakikishia mavuno bora. Mifugo walilishwa nyanjani na mashamba yakahifadhiwa kwa kupanda miti ya kiasili. Walitumia mbolea kutoka kwa mifugo wao kurutubisha mchanga, wakafukuza wadudu waharibifu kwa moshi na kuhifadhi nafaka kwa majivu. Maghala yalikuwa na mianya ya kutosha kuingiza hewa na waliweza kuhifadhi nafaka kwa muda mrefu. Biashara kati ya jamii za wakulima, mafundi na wafugaji ilitegemea kubadilishana mali kwa mali. Walishirikiana kwa amani na kugawana kwa haki rasilmali zilizokuwepo

Mwanawe alieleza kwa masikitiko jinsi siku hizi mimea ya kuuzwa kama vile kahawa, majani chai, ngano na miwa imepandwa kwenye vianzo vya maji. Majumba nayo yamejengwa kwenye maeneo ya maji maji, miti ya kisasa imechukua mahali pa ile ya kiasili na maeneo makubwa yanatumiwa kuchimbua madini na mawe ya ujenzi.

Isitoshe, utumiaji wa dawa za kuua wadudu waharibifu na fatalaiza kutoka kwa viwanda vya kigeni umeongezeka. Miti ya kisasa imefukuza nyuki na wadudu wenye manufaa. Ukataji ovyo wa miti ya kiasili umechangia kuleta misimu mirefu ya ukame na kusababisha kuharibika kwa mimea ya chakula na hatimaye maafa ya watu na wanyama.

Serikali nayo imeanzisha sera ambazo zimeathiri biashara ya chakula kinachokuzwa nchini, kama vile kuruhus uagizaji kutoka nje wa chakula ambacho kina madhara mengi kuliko kinachopatikana nchini. Hali hiyo imesababisha pia kufungwa kwa viwanda vinavyotegemea wakulima wa hapa nchini na kusababisha wengi kupoteza nafasi za kazi.

Mjukuu ambaye ni mwanafunzi wa kilimo biashara katika chuo kikuu, alimwambia babu yake anatambua umuhimu wa mfumo unaoshirikisha mbinu

Page 10: © KCCB -Tume ya Kikatoliki ya Haki na Amani

10

bora za kilimo za awali na za kisasa. Aliamua kuwaalika wanakijiji wengine kwa mkutano wa kujadiliana jinsi ya kuimarisha huduma za kilimo nyanjani na umuhimu wa kuzingatia mfumo wa kilimo mseto. Alibuni pia makundi ya kushauriana na wakuu serikalini kuhusu hasara za kuagiza kutoka nje chakula kinachopatikana nchini.

Amua: Utathmini wa Hali HalisiShabaha kuu ya kilimo nchini inapaswa kuwa ni kuiwezesha Kenya kujitosheleza kwa chakula. Katika miaka ya karibuni, nchi yetu imekuwa ikikabiliwa na uhaba mkubwa wa chakula, hali ambayo imewaacha Wakenya wengi bila chakula cha kutosha na cha kiwango kifaacho.

Maboma mengi yanatumia kiasi kikubwa cha pesa kwa chakula kwa sababu ya bei za juu ya vyakula na ongezeko la magonjwa yanayosababishwa na mitindo ya maisha ya kisasa. Hali ya sasa ya uhaba wa chakula inasababishwa na mambo kadhaa kama vile ukame, gharama ya juu ya uzalishaji chakula nchini kwa sababu ya bei za juu za pembejeo — na hasa fatalaiza, kufurushwa kwa wakulima kutoka katika maeneo yatoayo mazao mengi ya kilimo, bei za juu duniani za vyakula, ongezeko la utumiaji wa vyakula kutoka nje vinavyosababisha madhara, na uhaba wa pesa za kununulia chakula unaotokana na viwango vya juu vya umaskini.

Usambazaji wa fatalaiza umekumbwa na changamoto nyingi ambazo zimewaathiri wakulima wenye mashamba madogo na pia makubwa. Tatizo kubwa limekuwa ni kuharibiwa kwa kiwango cha fatalaiza na pia kuingizwa nchini kwa bidhaa hiyo iliyopigwa marufuku katika nchi inakotoka. Ufisadi umepenya ununuzi wa mavuno na kuwaacha wakulima wakilia. Isitoshe, wakulima wengi hukumbwa na uhaba wa fedha kwa sababu ya faida za juu za mikopo. Kuna pia tatizo la uhaba wa matokeo ya utafiti ambayo yangewawezesha wakulima kutambua na kuimarisha mbinu bora za kilimo.

Mtindo wa kuwanyima chakula wenye njaa nchini hata wakati kuna nafaka ya kutosha unahofisha. Uagizaji kutoka nje wa vyakula vinavyokuzwa nchini kwa wingi kama mchele, sukari, vitunguu, samaki, viazi, mayai, mahindi na maziwa, umesababisha kufungwa kwa viwanda vinavyotegemea mali ghafi kutoka kwa wakulima wa nchini. Kadhalika, nafasi nyingi za kazi zimepotea.

Kilimo ndio uti wa mgongo wa uchumi wa Kenya na huchangia asilimia 24 ya mapato ya kitaifa moja kwa moja, na asilimia nyingine 27 kupitia kwa viwanda vya utengenezaji bidhaa, usambazaji na sekta nyingine husika. Karibu asilimia 45 ya mapato ya serikali hutoka kwa kilimo, shughuli ambazo huchangia pia asilimia 75 ya mali ghafi viwandani na zaidi ya nusu ya mapato kutokana na uuzaji nje wa bidhaa na huduma. Kilimo ndio mwajiri mkubwa nchini, kwani kimetoa asilimia 60 ya nafasi zote za kazi. Zaidi ya asilimia 80 ya Wakenya, hasa wanaosihi mashambani,

Page 11: © KCCB -Tume ya Kikatoliki ya Haki na Amani

11

hujikimu maishani kutokana na kilimo. Ajabu ni kwamba hata ukitilia mchango huo mkubwa kwa uchumi na maisha ya Wakenya, kilimo hutengewa asilimia nne pekee ya bajeti ya kitaifa.

Chini ya mpango wa maendeleo wa Kenya Vision 2030 ulioanzishwa na Serikali mnamo 2008 kwa lengo la kustawisha nchi na kuinua kiwango cha maisha ya Wakenya kufikia 2030, juhudi zinafanywa kuanzisha Mkakati wa Kustawisha Kilimo. Shabaha kuu ya mkakati huo ni kugeuza kilimo kuwa shughuli ya kiuchumi yenye faida na kichocheo kikuu cha kuiwezesha nchi kustawisha uchumi wake kwa angalau asilimia 10 kwa mwaka.

Umuhimu wa kilimo umesisitizwa pia kwenye mpango wa Rais wa Ajenda Nne Muhimu kwa msimu wa kuanzia 2017 hadi 2022, ambao unasisitiza umuhimu wa Wakenya wote kujitosheleza kwa chakula. Mojawapo ya masuala yanayoshughulikiwa ni usimamizi wa shughuli za fatalaiza ambazo ni pamoja na uagizaji kutoka nje, utengenezaji, upakiaji na usambazaji wake.

Ili kuinua kiwango cha Wakenya kujitosheleza kwa chakula na kushughulikia sababu za njaa na umaskini, pana haja ya kuzingatia mbinu za kisasa za kilimo na pia mifumo inayolenga jinsi ya kuongezea thamani ya mavuno ya wafugaji, wenye ng’ombe wa maziwa, kilimo cha matunda na mboga na mimea ya vyakula vya kawaida kwa wengi. Wakulima wanahitaji kufikia masoko kwa urahisi, waimarishe utumiaji wa mbolea ya kiasili, mbegu za kiwango cha juu na fedha. Hayo yakitimizwa, biashara nyingi ndogo zitainuka na kuinua mapato ya wengi na kuchangia ustawi wa uchumi kupitia kwa kilimo. Wito wa Siku ya 2019 ya Chakula Ulimwenguni ulikuwa ni kuchukua hatua katika sekta zote ili kuhakikisha tuna chakula kifaacho, nafuu, cha kutosha na ambacho kinafikiwa kwa urahisi na wote.

MasomoMwanzo 2:7-9;3:1-7Warumi 5:12-19Mathayo 4:1-11

Tafakari ya KirohoKatika Jumapili ya kwanza ya msimu wa Kwaresima, tunakumbushwa kuhusu umuhimu wa kufunga. Kufunga hutuwezesha kuepuka kila aina ya majaribio na mishawasha. Tunamwona Yesu akimkabili shetani. Silaha yake kuu ni maandiko matakatifu. Kufunga hutuwezesha kutambua hali yetu halisi.

Somo la kwanza linatueleza kuhusu binadamu ambaye hakuwa mwaminifu na aliyekubali kushawishika kutenda maovu na akaamua kutenda kinyume na mapenzi ya Mungu. Mwanamume huyu amejiangamiza na kujiingiza katika maisha ya huzuni na majonzi. Yesu anawasilishwa kama Adamu wa pili aliye mtiifu. Tunapomtii Mungu, tunaweza kuyashinda majaribio ya aina yoyote.

Page 12: © KCCB -Tume ya Kikatoliki ya Haki na Amani

12

Kila mara huwa tunapatwa na msukumo wa kutaka kutajirika haraka. Tumeshuhudia watu wakiongeza dawa zisizofaa kwa matunda, mboga na hata fatalaiza kusudi watajirike haraka. Athari ya tendo hilo ni kuongezeka kwa idadi ya wagonjwa wa kansa. Tunahimizwa kuwajibika kwa sababu siku moja tutasimama mbele ya Mungu kujibu mashtaka.

Tenda: Maswali ya Kuwazia1. Serikali ya kitaifa na za kaunti zinashirikiana na wakulima kwa njia gani ili

kuimarisha uzingatiaji wa mifumo bora ya kilimo? 2. Kanisa lina wajibu gani katika kutetea mifumo bora ya kilimo? Ni hatua gani

zinazofaa kuchukuliwa kukomesha uagizaji kutoka nje wa chakula duni na badala yake tuimarishe utumiaji wa vyakula vinavyokuzwa nchini?

3. Wakulima nchini Kenya wanapaswa kuchukua hatua gani kuimarisha mazao ya mimea yao, huku wakitilia maanani mifumo bora ya kilimo?

4. Tunawapatia watoto wetu vyakula vya aina gani? Kwa nini?

Kujichunguza1. Ninazingatia na kuunga mkono utumiaji wa mbinu za kilimo endelevu?2. Nimewasaidia wakulima nchini ili waweze kujiinua?3. Nimepatia familia na jamii yangu chakula kinachofaa?

Mpango wa Matendo1. Tuirejelee mifumo yetu asili na kukuza vyakula tukitumia mbolea.2. Tutambue na kula vyakula vyetu vya kiasili badala ya chakula kutoka nje ya

nchi ambacho ni cha kiwango duni na chaweza kudhuru maisha yetu.3. Himiza familia/jamii kula chakula kinachotayarishiwa nyumbani.

Page 13: © KCCB -Tume ya Kikatoliki ya Haki na Amani

13

Wiki ya PiliVI

JAN

A N

A M

AEN

DEL

EO

Page 14: © KCCB -Tume ya Kikatoliki ya Haki na Amani

14

Vijana na MaendeleoTazama: Simulizi

Mjini Kesho Bora, paliishi vijana wanne marafiki wa tangu utotoni. Walisomea Chuo Kikuu cha Tujenge Vijana na walipofuzu mafunzo yao, walijulikana na wengi kwa taaluma zao; Daktari, Wakili, Mkulima na Mwalimu.

Familia za Daktari na Mwalimu zilikuwa matajir na ziliishi mitaani ya kifahali katika mji Kesho Bora, uliokuwa jirani wa mtaa duni wa Vibandani, nyumbani kwa Wakili na Mkulima. Wote wanne walipenda soka, mchezo waliouzoea tangu utotoni katika uwanja wa pekee mjini, bila kujali tabaka zao za jamii.

Chuoni kikuu, Wakili na Mkulima walidumisha urafiki wao, wakasaidiana kwa hali na mali na kuhakikisha kila mmoja wao anazingatia maadili na desturi zifaazo. Hali yao iliwasaidia kuepuka maovu ya kijamii kama vile utumiaji mbaya wa dawa za kulevya na kujihusisha kiholela na ngono, tendo lisababishalo mimba zisizopangiwa, magonjwa ya zinaa na ndoa za mapema. Waliepuka pia kujiunga na magenge yatumiwayo na wanasiasa kuzusha ghasia za kisiasa na kuharibu mali.

Daktari na Mwalimu walijitenga na marafiki zao wa tangu utotoni na kujiunga na wanafunzi wa familia tajiri. Walitumia muda mwingi kwa starehe na anasa, jambo lililowaathiri kimasomo. Ikawabidi wawe wakiwalipa wanafunzi werevu na waliojali uwajibikaji wa kutoka familia maskini kuwafanyia mitihani ya nje ya darasa. Kadhalika, walitumia pesa kununua alama nzuri.

Wote wanne walipata shahada za digrii za ngazi za juu. Daktari na Mwalimu wakapata kazi mara moja kwani familia zao zilijulikana na wakuu wengi wa makampuni binafsi na mshirika ya umma. Lakini kwa bahati mbaya, Wakili na Mkulima walikuwa bado wanatafuta kazi miaka mitano baadaye, jambo lililowakatisha tamaa.

Tatizo la ukosefu wa kazi ambalo liliwakabili Wakili na Mkulima lilizidishwa na upendeleo wa kiukoo na ufisadi katika mashirika ya umma na pia ya binafsi. Wawili hao hawakuwa na wadhamini wa kisiasa wala hawakuwa na namna ya kupata pesa za kutoa hongo ili wapate kazi. Isitoshe, hali yao ya kusikitisha ilizoroteshwa na ada zilizotozwa na mashirika ya umma yaliyotoa hati muhimu zilizohitajika na waajiri kila wakitangaza nafasi za kazi. Juhudi zao za kujiajiri kwa kuanzisha biashara zilikabiliwa na changamoto, kama vile ada na masharti tele ambayo hawangetimiza kwa urahisi katika hali yao.

Umaskini ulimsukuma Wakili kujiunga na genge la walaghai, wengi wao wakiwa vijana waliopata digrii lakini wakakosa ajira. Aliyatumia maarifa yake ya uanasheria kuwakomboa wenzake kila wakitiwa nguvuni. Matendo ya kihalifu ya genge hilo yaliwalazimisha wawekezaji wengi binafsi kufunga biashara zao na kuhama, jambo lililopokonya wengi nafasi za kazi.

Mkulima naye aliuza shamba la ukoo wao na kutumia pesa alizopata kuanzisha biashara ya boda-boda. Ili kustarehe baada ya kazi, akaamua kutumia kipato chake

Page 15: © KCCB -Tume ya Kikatoliki ya Haki na Amani

15

haba kucheza kamari, biashara changa iliyoanzishwa na kampuni mbali mbali za watu waliotarajia kutajirika haraka. Kila alipokosa pesa za kucheza kamari, angekopa akitumia simu yake, bila kujali faida ya juu iliyotozwa. Akanaswa katika utando wa kamari na mikopo kupitia kwa simu.

Nao Daktari na Mwalimu waliandamwa na mikosi, mikasa na vituko kazini, kwani hawakupata vyeti kihalali. Kila kukicha, waliendelea kubaini udhaifu wao kitaalamu. Wagonjwa wengi walipoteza maisha yao mikononi mwa Daktari kutokana na uzembe na uaguzi mbaya. Wanafunzi wa Mwalimu nao walianguka kila mtihani wa kitaifa. Hatimaye, wote wawili walifutwa kazi. Lakini hawakuteseka kwani wazazi wao walikuwa matajiri na wenye ushawishi mkubwa miongoni mwa wanasiasa. Wazazi hao waliwasaidia wanao kuanzisha biashara.

Kwa upande mwingine, hali ya mambo ilibadilika kwa Wakili na Mkulima. Walipata habari kuhusu mikopo ya biashara kwa makundi ya vijana, wakafundishwa kuhusu usimamizi wa fedha. Juhudi zao zilikuza na kustawisha biashara waliozoanzisha. Waliwasaidia wazazi wao na kuinua kiwango cha maisha yao na familia zao.

Amua: Utathmini wa Hali HalisiKwa mujibu wa Katiba, vijana ni wote walio na umri wa kati ya miaka 18 na 35. Hati nyingi zimeeleza kwamba vijana wanakabiliwa na matatizo na changamoto nyingi. Changamoto hizo ni pamoja na ukosefu wa ajira, kutengwa, uhalifu, fujo, HIV/Ukimwi, utumiaji mbaya wa dawa za kulevya, kutoshirikishwa katika masuala ya jamii, umaskini, kuhangaishwa na polisi na pingamizi nyingi wanazokumbana nazo wanapohitaji vifaa na huduma muhimu kama vile elimu na huduma za afya.

Kutokana na hali hiyo, inakuwa ni rahisi kwa vijana kutumiwa vibaya na wanasiasa wenye nia ya kujifaidi kibinafsi na kuchangia kuzorota kwa usalama. Ndiposa wengi katika jamii wanaamini vijana ndio wahusika wakuu katika uhalifu.

Kupitia kwa mafunzo yake, matumaini na imani kwa vijana, Baba Mtakatifu Yohane Paulo wa Pili alisisitiza kila mara jukumu la vijana kwa maisha ya kanisa kama inavyobainika katika himizo lake akifunga Sinodi ya Afrika: “Vijana ndio wainjilisti bora zaidi kwa vijana wenzao. Hakuna awezaye kutenda vyema kuwaliko… Ujana ni kipindi muhimu cha kukua kimwili, kiroho, kiakili na kijamii. Kadhalika, ni kipindi ambapo desturi zao, maarifa kuhusu maisha, azma na maadili huundika...”

Ni kana kwamba jamii imesahau wajibu muhimu wa vijana na watoto, na umuhimu wao kwa jamii na ustawi wake. Wanahitaji maeneo salama ya kujumuika na kujihusisha na mambo mbali mbali yanayohusiana na mahitaji na mapenzi yao, kushirika katika kuchukua maamuzi na kuwa huru kujieleza. Wanahitaji nafasi za kujihusisha na masuala ya uongozi na pia nafasi za umma ili kuwapatia fursa ya kushiriki michezo na shughuli nyingine za nyakati za mapumziko. Uwajibikaji kwenye mitandao ya kidijitali huwasaidia vijana kuwasiliana kwa urahisi na wenzao wa karibu na hata walio mbali. Isitoshe, nafasi za wazi katika maeneo ya makao zinaweza kuwafaidi vijana na kutosheleza mahitaji yao

Page 16: © KCCB -Tume ya Kikatoliki ya Haki na Amani

16

ya kupumzika au kustarehe kwa michezo, na hasa wanaokabiliwa na tisho la kutengwa au mishawasha ya kujiingiza kwa matendo ya kihalifu na fujo.

Jamii inafaa kuwapatia vijana nafasi ya kusherehekea ufanisi wao na pia kueleza hofu zao. La kusikitisha ni kwamba tumewaacha vijana kushughulikia masuala yao kivyao. Vijana wana haja kubwa ya mahusiano na wengine, kushirikishwa katika masuala mbali mbali ya familia na jamii, na kutambuliwa kwa juhudi na nafasi zao.

MasomoMwanzo 12:1-4a2 Timotheo 1:8b-10Mathayo 17:1-9

Tafakari ya KirohoSawa na Ibrahimu, vijana wote wanaitwa kuwa watu mashuhuri katika ufalme wa Mungu. Mungu ameahidi kila mtu ufanisi maishani kwa sharti tunamtii. Kama Ibrahimu, kila kijana anaitwa kuondoka kutoka nchi yake. Kristo hubadilika katika Maisha yetu ili tunapokumbana na majaribu, tunajua ni mwangaza gani tunaofaa kuufuata.

Somo la pili linawahimiza vijana wasivunjike moyo mambo yakiwaendea mrama. Mungu anatuita na kutuangazia mwanga wake hata tukikumbana na matatizo na changamoto. Uongozi bora hujitokeza tukiisikiza sauti ya Mungu katika kila tufanyalo.

Tenda: Maswali ya Kuwazia 1. Ni changamoto gani ambazo zinawakabili vijana katika familia zetu, jamii, kanisa,

vyuo vya elimu na kote nchini?2. Ni miradi gani iwezayo kuanzishwa na Kanisa, jamii na nchi kuinua maslahi ya

vijana?

Kujichunguza1. Nimeimarisha maslahi ya vijana kwenye familia, jamii, kanisa na nchi? 2. Nimewahi kutangaza nafasi katika mitandao yangu ili kuwasaidia vijana katika

jumuia yangu, kanisa ama kundi jingine ninaloshirikiana nalo?3. Nimewasaidia mara ngapi vijana wa kabila langu pekee?

Mpango wa Vitendo 1. Tukiwa jumuia, tunahitaji kutafutia vijana nafasi za kujihusisha na mambo tofauti

ya kuwanufaisha, ikiwa ni pamoja na nafasi za kupevuka kikazi na pia za kazi. 2. Kanisa linapaswa kuanzisha miradi ya kuwajenga vijana na kukuza vipawa vyao,

mbali na mafunzo ya dini. 3. Kanisa, serikali za kaunti na kitaifa zinapaswa kutoa nafasi zaidi za kupevuka kikazi

na za kazi kwa vijana.

Page 17: © KCCB -Tume ya Kikatoliki ya Haki na Amani

17

Wiki ya TatuU

SIM

AM

IZI W

A M

ALI

ASI

LI

Page 18: © KCCB -Tume ya Kikatoliki ya Haki na Amani

18

Usimamizi wa Mali AsiliTazama: Simulizi

Madini ni kijiji kilichokuwa na mali nyingi na tofauti za asili, kama vile maziwa, mito, misitu, mafuta, makaa ya mawe, mchanga, dhahabu na vito vingi vya thamani. Kuvumbuliwa kwa baadhi ya mali hizo za asili

kuliwavutia wawekezaji wa ndani na nje ya nchi ambao haja yao kuu ilikuwa ni kujinufaisha kwa rasilmali hizo.

Kufika kwa wajasiria mali hao kuliwaletea wakazi wa Madini dhiki na mateso mengi na kuvuruga maisha yao ya kijamii. Wanakijiji hawakuwa na taarifa zozote za awali kuhusu shughuli za wageni wao, faida na hata madhara. Maslahi na mahitaji yao hayakutiliwa maanani kamwe, kwani hapakuwa na ushirika wa raia kabla ya kuanzishwa kwa shughuli za utafutaji na uchimbaji wa madini. Maji, hewa na udongo zilichafuliwa, nayo kelele ikazidi. Familia nyingi zilivunjika baada ya wanaume kuhama makwao kwenda kufanya kazi katika migodi ya madini. Magonjwa yasiyo ya kawaida yakasambaa kote kijijini.

Wakazi waliposhindwa kuvumilia matatizo yaliyowakumba, walishauriana na viongozi wa jamii waliokuwa wamewachagua. La kusikitisha ni kwamba viongozi hao waligawanyika makundi mawili; baadhi yao waliwaunga mkono wajasiriamali na kuzidishia jamii dhiki na mateso. Wanakijiji waliwageukia viongozi wa kidini ambao waliitisha mkutano wa washika dau wote.

Masimulizi ya viongozi wa jamii yaliwashangaza wakuu wa serikali, kwani hawakuwa na habari kuhusu kiwango cha madhara kwa wakazi ya shughuli za kutafuta madini na kuchimba migodi. Shughuli hizo zote zilisimamishwa mpaka ilipohakikishwa kuwa taratibu, kanuni na sheria zote zimezingatiwa, ikiwa ni pamoja na ushirikishwaji wa jamii.

Amua: Utathmini wa Hali HalisiKenya ni taifa tajiri ambalo lina madini na mali nyingi za asili. Matarajio ya wengi ni kwamba rasilmali hizo zinapaswa kufaidi nchi, na hasa jamii ambapo mali hizo zinapatikana. La kushangaza ni kwamba jamii nyingi zimebaki nyuma kimaendeleo, huku makampuni na mashirika ya kimataifa yakizidi kunufaika.

Katika baadhi ya maeneo ya Afrika, madini yamegeuka kuwa laana kwa jamii. Uzembe katika uchimbaji na utengenezaji wa madini umesababishia jamii kuzorota kwa mazingira, umaskini, magonjwa na hata vifo. Hali hiyo inatokana na jamii husika kutokuwa na habari muhimu kuhusu shughuli za madini na utepetevu katika kuzingatia na kutekeleza sheria na kanuni za kimataifa zinazokubalika.

Nchini Kenya, upelelezi wa mali asili ni shughuli ibuka yenye uwezo wa kuuinua pakubwa uchumi wa taifa. Hata hivyo, uwezekano huu unatatizwa na uhaba na kutopatikana kwa urahisi kwa data ya kijiolojia, na miundo thabiti ya kitaalamu,

Page 19: © KCCB -Tume ya Kikatoliki ya Haki na Amani

19

taasisi na kifedha. Changamoto zinazohitaji kushughulikiwa ni pamoja na:i. Kupatia jamii husika makao mapya na kulipa fidia;ii. Kuendeleza uwazi, uwajibikaji (ufichuzi kwa umma wa mikataba na taratibu

za kuandaa mikataba hiyo) na ushirika wa raia;iii. Utumiaji wa busara na usimamizi kamili wa mapato/mrabaha miongoni mwa

serikali ya kitaifa na za kaunti, na jamii, na;iv. Usimamizi wa rasilmali kuu, nayo ni miundo, taratibu na asasi za kusimamia

rasilmali, na faida na manufaa yake yote.Ni dhahiri kanisa linahitajika kushiriki kikamilifu katika kuangazia uvunjaji

wa jadi wa haki katika utumiaji wa mali za asili. Katika kutekeleza jukumu lake la kinabii, Kanisa linapaswa: i. Kusimama pamoja na jamii zilizoathiriwa;ii. Kuwa macho kuhakikisha changamoto hizo haziathiri jamii; na;iii. Kushauriana kila mara na watu na mashirika ambayo shughuli zao na maamuzi

zinaweza kunufaisha au kudhuru maisha ya watu.Kanisa Katoliki limetayarisha mfumo wa wote kushiriki katika shughuli za uziduaji, yaani Extractive Industry Engagement Framework ukiwa ni mwongozo kwa Kanisa nchini Kenya kuhusu jinsi ya kushiriki kikamilifu katika masuala ya ugunduzi, uchimbuaji na utengenezaji wa madini kwa manufaa ya wote.

MasomoKutoka 17:1-7Warumi 5:1-11Yohana 4:5-12

Tafakari ya Kiroho Siku hizi, Kanisa limejitahidi kutia nguvu kiwango cha hisia na heshima miongoni mwetu kwa kutuandalia suala la kutafakari, nalo ni umuhimu wa maji katika maandiko matakatifu. Katika somo la kwanza na pia Injili, maji yanawasilishwa kama zawadi, kitu muhimu maishani, zawadi ambayo ni Mungu pekee, yeye pekee aliye asili ya uhai, anayeweza kuitoa.

Akitumia maji, Mungu aliwaweka hai jangwani watu aliowakomboa kutoka utumwani, akawabariki kwa uhuru na kuwatunuku uhusiano wa kudumu kati yake nao. Bwana na Muumba wa dunia, aliyeumba na kutenganisha “maji yaliyo chini” na “maji yaliyo juu yake” (Mwanzo 1:7), Yahweh aliye pia mtunzaji na muumba wa historia ya watu wake. Miongoni mwa Waisraeli, maji yakawa ishara ya jinsi Yahweh anavyowajali kila mara na kuwachunga. La pekee ambalo Waisraeli walilihitaji ni kumwamini Mungu na kiu yao ikakatwa mara moja. (Kutoka 17: 1–7).

Paulo, kwenye waraka wake kwa Warumi, anaeleza kuhusu maji ya wokovu wa Mungu ya upendo ambao ni zawadi inayotiwa nyoyoni za wenye dhambi wanyonge

Page 20: © KCCB -Tume ya Kikatoliki ya Haki na Amani

20

lakini wanaomwamini. Katika Injili, mazungumzo ya Yesu na yule mwanamke kisimani cha Yakobo yanaamsha kiu cha mama huyo cha uzima na uadilifu alioupoteza, mambo ambayo Yesu alikuja kutosheleza. Mwanamke aliisambaza furaha yake kwa wengine na kuamsha kiu yao ya maji ya uhai aliyoyatoa Yesu, na anayoendelea kuwapatia wote wanaomwamini.

Maji hapa ni ishara ya mama yetu dunia. Ni lazima tuzitunze zawadi zote ambazo Mungu ametupatia na kuzitumia kwa utukufu wake. Hiyo ina maana kuwa tunaitwa kuwa wasimamizi wa mali tuliyopewa. Mali asili ni zawadi na tunapaswa kuishughulikia hivyo.

Tenda: Maswali ya Kuwazia1. Ni mali gani asili zinazopatikana kwenye jamii yako?2. Nimehusikaje katika kuharibu rasilmali?3. Katika kutumia rasilmali, ni hatua gani endelezi zilizopo?

Kujichunguza1. Nimehusikaje katika utumiaji wa rasilmali, kwa mfano maji na chochote

kingine ninachopaswa kukitunza?2. Nimehusika katika uchimbaji wa mali nyingine ya asili?

Mpango wa Vitendo 1. Kujifahamisha na mfumo wa Catholic Church Extractive Engagement

Framework.2. Kupanda miti kila mara, kuhifadhi na kufufua misitu. 3. Kuwafunza wananchi kuhusu haki zao katika masuala ya rasilmali.

Page 21: © KCCB -Tume ya Kikatoliki ya Haki na Amani

21

Wiki ya NneU

ON

GO

ZI N

A U

WA

JIB

IKA

JI

Page 22: © KCCB -Tume ya Kikatoliki ya Haki na Amani

22

Uongozi na Uwajibikaji

Tazama: Simulizi

Jamii za Safi na Legea zilikuwa wenyeji wa kijiji cha Kwetu. Wakazi wa Safi waliishi kwa amani na kugawana rasilmali kwa usawa. Mazingira yao yalikuwa safi na yalikalika na watu wote. Kiongozi wa Safi, Bi Kazi, alichaguliwa kutokana na ustahili na sifa

njema. Aliwahusisha wote kuchukua maamuzi ya masuala ya miradi ya maendeleo, ugawaji sawa wa rasilmali na utoaji wa nafasi za kazi. Kupitia kwa mikutano ya jamii, Bi Kazi aliwasilisha mipango aliyonuia kutekeleza kulingana na mahitaji ya watu wake.Aliwapatia wote katika jamii nafasi ya kutoa maoni na pia kufuatilia utekelezwaji wa miradi, na mipango ya siku zijazo.

Kwa upande wao, jamii ya Legea iliyoongozwa na Bw Maneno, ilifanya uchaguzi uliozusha mabishano. Kiongozi wao alihimiza upendeleo wa kiukoo na mbari, ufisadi na utumiaji mbaya wa pesa za umma. Jamii ikakumbwa na tatizo la ukosefu wa kazi, viongozi wafisadi, muundo msingi duni na huduma dhaifu za jamii. Matokeo yakawa ongezeko la visa vya uhalifu, unyanyaswaji wa wanyonge, walemavu na maskini.

Ingawa jamii ya Legea ililipa kodi za juu ikitarajia kupata huduma bora, kiwango chao cha maisha kilikuwa chini. Wakazi waliumezea mate uongozi wa majirani zao na mara nyingi walitafuta huduma kama elimu na matibabu kutoka Safi. Hali yao duni iliwalazimu kulalamika wakitaka mabadiliko.

Wazee wa Legea na viongozi wa kidini walichukua hatua ili kuzuia kuzorota na kusambaratika zaidi kwa jamii. Walifanya mkutano wa pamoja na majirani zao wa eneo la Safi. Kwa kauli moja, walitambua umuhimu wa kupiga msasa maadili na desturi zao zilizozorota. Walikubaliana pia kuwa na mwelekeo wa pamoja. Wakaamua kuelimisha wote katika jamii kupitia kwa makanisa, misikiti na hekalu, mikutano ya hadhara, masoko na mahala pengine ambapo raia walikusanyika katika kujaribu kufufua na kujenga upya eneo lao, huku wakitoa mafunzo kuhusu jinsi ya kuhakikisha viongozi wao wanawajibika. Walihimiza pia jamii iwang’oe mamlakani viongozi wafisadi

Bw Maneno alipobaini kuwa mambo yamebadilika, alianza kushauriana na jamii kuhusu utoaji na uimarishaji wa huduma, uteuzi kwa nyadhifa za umma, na akazingatia uwajibikaji na uwazi. Kwa kuwahusisha viongozi wa kidini na wazee wa jamii, wana-Legea walirejesha mifumo, miundo na taratibu zilizowaunganisha na viongozi wao na jamii kwa jumla, wakadai haki zao, na kutambua na kuheshimu majukumu yao.

Amua: Utathmini wa Hali HalisiKatiba ya Kenya katika utangulizi wake inatambua matarajio ya Wakenya wote kwa Serikali iliyo na misingi bora ya haki za binadamu, usawa, demokrasia, haki za kijamii, utawala wa kisheria na kushiriki kikamilifu kwa umma katika mashauri ya taifa.Matarajio hayo yatatimizwa kwa kuzingatia uongozi bora, uadilifu, uwazi na uwajibikaji

Page 23: © KCCB -Tume ya Kikatoliki ya Haki na Amani

23

kama inavyoelezwa katika Kifungu 10 (2). Sura ya Sita inahusu uongozi na maadili. Kifungu 73(d) kinatambua kanuni za kuzingatiwa za uongozi na uadilifu ambazo ni pamoja na uwajibikaji kwa umma kuhusu maamuzi na hatua zinazochukuliwa.

Uongozi unaozingatia misingi ya utumishi ni wa kidemokrasia na hutoa nafasi kwa ustawishaji wa mawazo yawezayo kutekelezwa katika kuhakikisha uwazi na uwajibikaji, na pia utoaji wa huduma bora za umma kuzingatia viwango vilivyowekwa.

Kenya ilianzisha mfumo wa ugatuzi mnamo 2010. Hatua hiyo ilitokana na dosari zilizosababishwa na mfumo wa tangu uhuru wa kuachia serikali kuu mamlaka yote. Chini ya mfumo huo, Wakenya walilazimika kuvumilia matatizo ya urasmi, kutengwa, kutokuwepo kwa uwajibikaji na uwazi, kutoshiriki kwa watu katika kuchukua maamuzi na hatua, ugawaji usio sawa wa rasilmali za umma, ukabila, na udhamini wa kisiasa.

Hata hivyo, tangu kuanzishwa, ugatuzi umekumbana na changamoto nyingi ambazo ni pamoja na ufisadi katika kaunti, utumiaji mbaya na uharibifu wa rasilmali za umma, upendeleo wa kiukoo na mbari, udhamini wa kisiasa, uvunjaji wa sheria na taratibu bila kujali kuadhibiwa, na kutozingatia uwajibikaji na uwazi. Baadhi ya mambo yanayodunisha maendeleo katika kaunti ni pamoja na uongozi dhaifu, kutoshirikisha watu wote katika kuchukua hatua na maamuzi, mifumo dhaifu ya mashirika yanayotoa huduma kwa wananchi, kutokuwa na mpangilio wa miradi kulingana na umuhimu wake na usimamizi duni wa bunge za kaunti.

Ongezeko la madeni ya kigeni ili kugharamia miradi ni suala ambalo linaangaziwa kwa makini kwa sababu ya usimamizi mbaya wa pesa na uhaba wa miradi ya kutosha ya maendeleo. Yasikitisha kukuta wahusika katika maovu hayo hawachukuliwi hatua zifaazo ili kuhakikisha uwajibikaji unazingatiwa. Matokeo yake yamekuwa ni kuwaongezea raia dhiki na mateso kutokana na kupanda kwa bei za bidhaa kwa sababu ya kodi za juu za serikali ikitafuta pesa za kulipa madeni ya nje.

Huduma thabiti za umma ni mojawapo ya msingi ya ustawi wa kijamii na kiuchumi wa nchi kama inavyotarajiwa katika Kenya Vision 2030. Jambo hilo linaweza tu kutimizwa kwa kupatia kipaumbele mahitaji ya umma na jinsi ya kuyatosheleza katika uandalizi wa sera na miongozo ya taratibu za utawala. Kushiriki kikamilifu kwa raia katika kuchukua maamuzi na hatua, na kuhusika kwao katika uandalizi wa mipango ya maendeleo, ni kigezo muhimu cha uwazi, uwajibikaji na utoaji huduma.. Kanisa halina budi kujitwika jukumu la kimaadili, liwe kwenye mstari wa mbele na kushirikiana na wengine katika kuzuia maovu ya ufisadi kupenya uongozini, kama vile ubinafsi. Kadhalika, lishauriane na serikali, wanaopaswa kuwajibika na kuimarisha uwazi, na jamii kwa jumla kuhusu haja ya kujitahidi kuleta haki kwa manufaa ya wote.

Masomo1 Samueli 16: 1b, 6-7, 10-13aWaefeso 5: 8-14Yohana 9:1-41

Page 24: © KCCB -Tume ya Kikatoliki ya Haki na Amani

24

Tafakari ya KirohoMbinu ambazo Mungu hutumia kuchagua kiongozi ni tofauti kabisa na za binadamu. Masomo yanahimiza uchaguzi wa viongozi kwa kuzingatia mawazo ya kina tukitumia daribini za kiroho; mfumo ambao hauzingatii sura ya nje inayoonekana lakini unaoangazia uadilifu, desturi na maadili.

Kiongozi bora anahitaji mwelekeo, atunze maadili ya maisha na mendeleo ya watu kwa maisha bora ya siku za usoni. Sawa na yule kipofu, tunapaswa kuweka imani yetu kwa Kristo ili atufungue macho na mawazo yetu; kwamba atakuwa mwangaza wetu na hivyo kutuwezesha kuchukua maamuzi ya busara.

Mara nyingi tunaposhiriki katika uchaguzi, huwa tunapofushwa na giza la mali, ukabila na upendeleo wa kiukoo. Masomo yanatukumbusha kwamba yeyote ambaye hajaupokea mwangaza, huchukua maamuzi akizingatia anayoyaona kwa macho ya kibinadamu na kwa lengo la kujiridhisha mara hiyo hiyo. Wakristo wanahimizwa kulishinda giza hili kwa kumgeukia Kristo, mponyaji wa upofu wetu wa kiroho. Kristo ndiye hutupatia mwangaza. Alipoamua kuwachagua wanafunzi wake, alikesha akiomba. Je, sisi huomba kabla ya kuwachagua viongozi wetu?

Tenda: Maswali ya Kuwazia1. Tunakumbana na aina gani za uongozi katika ngazi zote, iwe ni familia, jumuia,

kazini, shule, kaunti na nchi? 2. Matokeo ya baadhi ya uongozi huo ni yapi?3. Tuna wajibu gani katika kuhakikisha tunaleta uongozi kamili?

Kujichunguza1. Huwa ninawajibika uongozini nikipewa jukumu hilo katika ngazi yoyote?2. Nimetumia cheo changu cha uongozi kufuja mali bila kuwajali wengine?3. Nimehusika katika kuwachagua viongozi wasioifaidi jamii kwa njia yoyote?4. Nimewahi kuzembea kwenye jukumu langu la usimamizi au uongozi?

Mpango wa Vitendo1. Tuhimizwe kuchagua viongozi bila kuzingatia ukabila, manufaa ya kifedha au

kulingana na mahusiano yetu lakini tutilie mkazo sifa bora za uongozi.2. Tuazimie kuwaunga mkono viongozi katika kazi wanazofanya na kujiepusha

kutafuta kupendelewa kwani kwa kufanya hivyo tunawahimiza wawe wafisadi.3. Tumeazimia kutafuta mbinu zetu za kuchangia miradi ya kanisa bila kutarajia

kuwategemea pakubwa viongozi wetu wa kisiasa.4. Tuache kuwaitisha viongozi wetu michango mikubwa na badala yake tuzoee

kukubali kidogo wanachotoa kutoka kwa mishahara yao halali waliyoitolea jasho.

Page 25: © KCCB -Tume ya Kikatoliki ya Haki na Amani

25

Wiki ya TanoU

TAK

ATIF

U W

A U

HA

I NA

HA

DH

I YA

BIN

AD

AM

U

Page 26: © KCCB -Tume ya Kikatoliki ya Haki na Amani

26

Utakatifu wa Uhai na Hadhi ya BinadamuTazama: Simulizi

Bw na Bi Mkubwa kutoka Kaunti ya Tumaini walibarikiwa kuwa na watoto wawili, Tatizo and Bahari. Wazazi hao walikuwa wameajiriwa kazi na walizoea kuondoka nyumbani alfajiri na kurudi usiku.

Tatizo alikuwa mwanachuo. Rafiki yake mkubwa chuoni alikwishazoea kutumia dawa za kulevya. Wazazi wa rafikiye walizoea kugombana na kupigana kila mara, kiasi kwamba mamake alizoea kulazwa hospitalini baada ya kuumizwa katika vita hiyo ya nyumbani. Tatizo, kwa kumhurumia rafikiye, alijikuta naye amenaswa kwenye utumiaji mbaya wa dawa na pombe.

Bahari, dadake Tatizo, alishikana na marafiki wabaya na haikuchukua muda mrefu kabla hajatunga mimba. Wenzake walimshauri aitungie mimba, kwani aliogopa kuwapasha wazazi habari za uja uzito wake.

Shuleni, mwalimu wa darasa lake aligundua kwamba Bahari alikuwa mja mzito na alinuia kuitoa mimba hiyo. Mwalimu akafanikiwa kumshawishi atupilie mbali mpango huo na akampangia Bahari na wazazi wake vikao vya ushauri wa kitaalamu.

Bw na Bi Mkubwa na mwalimu walikubaliana kumsaidia Bahari katika safari yake ya uja uzito na hatimaye uzazi. Walimhimiza kuendelea na masomo hata baada ya kujifungua, kwani hiyo ndiyo ingekuwa njia ya pekee ya kujipatia maarifa ya kumwezesha kujitegemea, kumlea mtoto na kuitunza familia yake.

Miezi michache baadaye, Tatizo alitiwa nguvuni akishukiwa kujaribu kumwua mpenzi wake aliyemtoroka baada ya kugundua kwamba alikuwa mtumiaji mzoefu wa dawa za kulevya na mwanagenge wa kundi la kihalifu. Bw na Bi Mkubwa walipopata habari za yaliyomkumba mwanao, walimtetea na kufanya kila wawezalo kumtoa korokoroni, jambo ambalo lilimhimiza Tatizo kuendelea kuhusika na visa vya uhalifu.

Wakati huo huo, Bw Mkubwa alikuwa anapitia wakati mgumu kazini, hali iliyomsababishia matatizo ya pesa kiasi cha kujaribu kujitoa uhai.

Kiongozi wa kanisa moja la karibu na familia hiyo alipata fununu kuhusu changamoto zilizowakabili akina Mkubwa na akawaomba wanajumuia kuwatembelea. Baada ya vikao kadhaa vya kujumuika na Bw na Bi Mkubwa na watoto wao, kusali pamoja na kujenga urafiki, familia hiyo ilitambua thamani, hadhi na utakatifu wa uhai wa binadamu. Walijifunza pia kuwa mali haziwezi kamwe kuchukua nafasi ya uzima wala kununua uhai.

Tatizo alipelekwa katika kituo cha kurekebisha tabia na hatimaye akatoka huko akiwa kiumbe kipya. Alijiunga na kundi la vijana kanisani na wakamchagua kuwa mwenyekiti wao. Waumini kanisani walishangilia kwa vifijo na nderemo wakati familia yote ya Mkubwa ilipojiunga nao na kubadili mwelekeo wao kimaisha. Familia hiyo ilishukuru kanisa na jamii yote kwa jumla kwa kujitolea kuwasaidia.

Amua: Utathmini wa Hali HalisiSisi ni binadamu walioumbwa kwa mfano wa Mungu. Uhai ni wa thamani kubwa na hakuna yeyote ana haki ya kuukatiza isipokuwa Muumba wetu, Mungu. Ni yeye pekee atoaye uzima tele na ni yeye peke yake awezaye kuuchukua uzima huo kwa hiari yake.

Page 27: © KCCB -Tume ya Kikatoliki ya Haki na Amani

27

Katekisimu ya Kanisa Katoliki inatukumbusha kwamba:“Uhai wa mwanadamu ni mtakatifu kwa sababu tangu mwanzo wake, ni Mungu aliyetuumba na una uhusiano maalumu na wa kudumu na Muumba wetu, ambaye ni yeye pekee awezaye kuufikisha kikomo. Mungu pekee ndiye Bwana wa uhai kuanzia mwanzo hadi mwisho; hakuna awezaye katika hali yoyote kudai haki ya kumwangamiza binadamu asiye na hatia.”Pana haja ya kusisitiza moyo wa kuwa mlinzi wa ndugu yako, kutambua njia za

malezi ya uhai wa binadamu kikamilifu, na kuushika moyoni uchaji Mungu. Tuna jukumu la kuwasaidia wale ambao maisha yao ni duni au dhaifu, wagonjwa au walemavu ili kuhakikisha wanaisha maisha ya kawaida kadiri iwezekanavyo. Tendo lolote la kukatiza uhai kwa lengo la kumpunguzia mtu mateso ni mauaji, ni kinyume na hadhi ya binadamu na heshima anayoistahili Mungu anayeishi, Muumba wake.

Mungu alikusudia familia iwe msingi wa binadamu yeyote katika jamii. Ni lazima familia iwe mahali ambapo watoto wanaweza kushuhudia umoja unaowaimarisha katika nafsi zao maalumu na kuwaelimisha kuhusu umoja, na kujitolea kwa upendo. Maisha yenye shughuli nyingi ya maeneo ya miji haiwapatii watu muda wa kutosha wa kujumuika kama familia. Watoto hunyimwa malezi ya wazazi wanayostahili na kupata tabia zisizo za kawaida ambazo zinaweza kudhuru nafsi zao kwa muda mrefu. Vizazi vingi vya jamii kama hizi haviwezi kuwatunza wazee katika jamii na ndiposa wengi hujitenga na kubaki wapweke na hatimaye kudhuru maisha yao.

Maisha ya familia yanazidi kudorora na watu wengi wanaishi kwenye ndoa zilizovunjika ama zinazokumbwa na dhiki, mateso na dhuluma. Changamoto zinazokumba wengi ni pamoja na uzinzi na kutoaminiana, kujamiiana kwa maharimu, utumiaji mbaya wa dawa za kulevya na pombe, tamaa ya kujilimbikia mali, mahusiano ya kimapenzi ya waume kwa waume na wanawake kwa wanawake, utoaji wa mimba na mauaji katika familia na pia nje yake.

Mauaji yanayozidi kutokea kila kukicha na takwimu za vifo vinavyotokea Kenya zinaashiria mtindo wa kutia wasiwasi wa jamii yenye watu wasiotosheka, walioishiwa na subira, na wasioweza kusuluhisha mizozo kwa amani. Ongezeko la visa vya wanandoa wanaouana vinatokana na jinsi tunavyozidi kudunisha thamani ya uhai wa binadamu, mawasiliano duni na msukumo wa kujilimbikia mali bila kufanya bidii.

Kifungu 26 (1) cha Katiba kinaeleza kuwa kila mtu ana haki ya kuishi. Kifungu 26 (2) kinasisitiza kwamba uhai wa mtu huanza baada ya kutunga mimba, ndiposa kutoa mimba ni haramu. Hivyo basi, ni wajibu wa Wakenya wote kudumisha utakatifu wa uhai kuanzia kwa familia hadi kwa jamii. Tunahitaji kulea kizazi ambacho kila mmoja anamjali mwingine na kutekeleza agizo la Yesu kwenye mahubiri yake mlimani: “Kwa hiyo chochote mnachotaka mtendewe na watu, ninyi nanyi watendeeni vivyo hivyo.”

Ndiposa Serikali, Kanisa, familia, jamii, taasisi za elimu na mashirika mengine yanayowajibika kwa jamii yana jukumu muhimu katika kuikuza familia na jamii kwa jumla. Mifumo yote hiyo inapaswa kukuza na kuwezesha jamii kuwa na raia wanaowajibika, wapenda amani na wanaodumisha utakatifu wa uhai na hadhi ya binadamu.

Page 28: © KCCB -Tume ya Kikatoliki ya Haki na Amani

28

Masomo Ezekieli 37:1-14Warumi 8:6-11Yohana 11:1-45Zaburi 130

Tafakari ya Kiroho Yesu Kristo ndiye Bwana wa maisha yetu. Masomo ya leo yanaangazia uzima ambao Mungu huwapatia watu wote. Ezekieli anazungumza kuhusu Mungu aliyetia pumzi katika miili yetu iliyokufa na kutupatia uhai mpya. Kristo alipomfufua Lazaro, alinuia kuonyesha kuwa yeye ndiye ufufuka. Alishinda mauti.

Leo, tuna aina nyingine ya vifo; tuuite utamaduni wa mauti ambapo watu wanauana ovyo ovyo wakitafuta kurithi mali za dunia. Mwaka uliopita tulishuhudia visa vingi vya wanandoa kuuana. Ni lazima tulaani mauaji ya watoto wasio na hatia wakiwa katika mimba za mama zao. Tukianza kuua viumbe wasio na hatia, hapatakuwa na kikomo na hatima yake itakuwa ni kila mmoja wetu kumwua mwingine. Tunahimizwa kumtambua Mungu kuwa Muumba wetu na ni yeye peke yake awezaye kuuchukua uzima aliotupa. Ni lazima tutetetee maisha kwa kupinga taasisi na yeyote anaiyeunga ama kuuendekeza mtindo wa mauaji.

Tenda: Maswali ya Kuwazia1. Je, ufahamu wako wa utakatifu wa maisha ni upi?2. Ni nini asili ya vitishio vya utakatifu wa uhai katika nyakati hizi na tunawezaje

kuvishughulikia?3. Kwenye familia yangu, ujirani, shule, mahala pa kazi au jumuia ya waumini,

ninawezaje kuimarisha na kulinda utakatifu wa uhai na hadhi ya binadamu?

Kujichunguza1. Je, ninaheshimu uzima na hadhi ya kila mwanadamu kuanzia kutunga mimba

hadi kifo cha kawaida?2. Huwa ninajitahidi kulinda hadhi ya wengine inapotishiwa?3. Nimejitolea kulinda uhai wa binadamu na kuhakikisha kila binadamu anaishi

kwa heshima?4. Ninautambua uso wa Mungu kama unavyowakilishwa na wengine karibu nami,

bila kujali kabila, tabaka, umri, hali au uwezo wao?

Mpango wa Vitendo1. Watu na jamii watafute njia mbadala za kutatua matatizo, ikiwa ni pamoja na

changamoto za kitamaduni.2. Jumuia zitambue na kushirikiana na familia zinazokumbwa na changamoto.3. Mwalike mtaalamu wa masuala ya maisha ya familia kuzungumza kuhusu

familia katika ngazi tofauti za mfumo wa kanisa.

Page 29: © KCCB -Tume ya Kikatoliki ya Haki na Amani

29

MICHANGO YA KAMPENI YA KWARESIMA YA 2019 (KSHS)Kiambatisho

Jimbo Kiasi Jimbo Kuu laNairobi

3,534,679.00

Jimbo la Meru 3,066,342.00 Jimbo la Bungoma 2,900,000.00 Jimbo Kuu la Nyeri 2,874,930.00 Jimbo la Kakamega 2,500,000.00 Jimbo la Machakos 2,152,129.00 Jimbo Kuu la Kisumu 2,037,244.00 Jimbo la Eldoret 1,892,129.00 Jimbo la Nyahururu 1,274,376.00 Jimbo la Embu 1,023,894.00 Jimbo la Murang’a 940,000.00 Jimbo la Ngong 819,520.00 Jimbo la Nakuru 650,000.00 Jimbo la Kericho 637,862.50 Jimbo la Kitui 596,248.00 Jimbo Kuu laMombasa

507,400.00

Jimbo la Homa Bay 400,000.00 Jimbo la Kisii 380,000.00 Jimbo la Maralal 350,000.00 Jimbo la Kitale 306,256.00 Jimbo la Marsabit 295,534.00 Jimbo la Lodwar 255,700.00 Jimbo la Garissa 69,150.00 Jimbo la Isiolo 60,000.00 Jimbo la Malindi - Military Ordinariate 863,869.00Jumla ndogo 29,523,393.50

Taasisi/Shirika Association of Sisterhood in Kenya (AOSK)

65,862.50 Religious Superiors Conference of Kenya (RSCK)

60,000.00 Administration Police Service

45,000.00

St Mathias Mulumba Senior

21,823.00

Kenya Wildlife Service

21,500.00

Franciscan Sisters of St Joseph

18,500.00

Catholic University of Eastern Africa

11,000.00

School Sisters of Notre Dame

10,000.00

Jumla ndogo 1,117,554.50

Jumla kuu 30,640,948.00

Page 30: © KCCB -Tume ya Kikatoliki ya Haki na Amani

30

JIMBO KUU LA NAIROBIMakadara Deanery Kiasi Blessed Sacarament Buru Buru 113,561.00Holy Trinity Buru Buru 42,166.00Mary Magdalena Kariokor 99,700.00Our Lady of Visitation Makadara 80,000.00St Joseph and Mary Shauri Moyo 40,210.00St Joseph Jericho 45,000.00St Mary Mukuru 30,950.00St Teresa’s Eastleigh 75,000.00Jumla ndogo 526,587.00

Central DeaneryConsolata Shrine Westlands 200,000.00Don Bosco, Upper Hill 223,824.00Holy Familiy Basilica 589,650.00Holy Rosary, Ridgeways 120,000.00Holy Trinity Kileleshwa 65,500.00Our Lady Queen of Peace, South B 190,000.00St Austin Muthangari 57,390.00St Catherine of Alexandria, South C 44,048.00St Catherine of Sienna, Kitusuru 22,718.00St Francis Xavier, Parklands 72,359.00St Paul’s Chapel UoN 100,000.00St Peter Claver’s 51,200.00Jumla ndogo 1,736,689.00

Eastern DeaneryChrist the King, Embakasi 56,864.00Divine Word, Kayole 64,000.00Holy Family, Utawala 154,000.00

Mary Immaculate, Mihang’o 100,514.00St Annie and Joachim, soweto 235,950.00St Joseph Freinademetz, Ruai 97,400.00St Monica, Njiru 105,255.00St Peter, Ruai 61,200.00St Vincent, Kamulu 41,460.00Jumla ndogo 916,643.00

Outering DeaneryAssumption of Mary, Umoja 1,686,458.00Divine Mercy, Kariobangi South 20,000.00Holy Cross, Dandora 130,000.00Holy Innocent, Tassia 326,617.00Holy Trinity, Kariobangi North 169,154.00St Jude Donholm 344,096.00Jumla ndogo 2,676,325.00

Western DeaneryChrist the King, Kibra 46,667.00Mary Queen of Apostles, Dagoretti 62,000.00Our Lady of Guadalupe, Adams Arcade

200,000.00

Regina Caeli, Karen 129,427.00Sacred Heart, Dagoretti Corner 145,045.00St John the Evangelist, Langat’a 334,000.00St Joseph the Worker, Kangemi 129,206.00St Michael, Otiende 81,900.00Jumla ndogo 1,128,245.00

Ruaraka DeaneryChrist the King, Githurai Kimbo 94,997.00Holy Mary Mother of God, Githurai 167,560.00Madre Teresa, Zimmermann 46,000.00Queen of Apostles, Ruaraka 100,000.00Sacred Heart, BabaDogo 51,000.00St Benedict, Thika Road 70,000.00St Clare, Kasarani 60,000.00St Dominic, Mwiki 30,000.00St Joseph, Kahawa Sukari 268,945.00St Joseph Mukasa, Kahawa West 214,137.00Jumla ndogo 1,102,639.00

Thika Deanery Immaculate Conception, Kilimam-bogo

23,001.00

St Benedetta, Ngoingwa 20,000.00St Maria Magdalena, Munyu 14,700.00St Matia Mulumba Thika 106,050.00St Partick’s Thika 153,687.00Jumla ndogo 317,438.00

Ruiru DeanerySt Augustine, Juja 65,000.00St Christopher, Kembo 63,041.00St Francis of Assisi, Ruiru Town 597,925.00St James , Juja farm 20,000.00St Lucia Membley 55,000.00St Peter, Kwihota 85,550.00St Teresa, Kalimoni 58,673.00Jumla ndogo 945,189.00

Gatundu DeaneryArchangel Gabriel, Mutomo 22,000.00

Page 31: © KCCB -Tume ya Kikatoliki ya Haki na Amani

31

Christ the King Karinga 19,500.00Ituuru 14,930.00 Mary Help of Christian Ndundu 13,000.00Our Lady of Annunciation, Gatitu 4,000.00St John the Baptist, Munyu-ini 4,650.00St Joseph, Kiganjo 40,000.00St Joseph Mutunguru 24000Uganda Martyrs, Gatundu 47,000.00Jumla ndogo 189,080.00

Githunguri Deanery

All Saints, Komothai 14,150.00

Holy Family, Githunguri 15,400.00Holy Spirit, Miguta 15,000.00Nativity of Our Lady, Kagwe 23,382.00Our Lady of Assumption, Kambaa 8,000.00St John the Evangelist, Githiga 16,500.00St Teresa of Child Jesus, Ngenya 7,500.00Jumla ndogo 99,932.00

Kiambu DeaneryAll Saints, Riara 80,000.00Holy Rosary, Ikinu 25,000.00Our Lady of Holy Rosary, Tinga’nga’

80,000.00

Our Lady of Victories, Lioki 48,000.00St Joseph Gathanga 17,000.00St Martin De Porres, Karuri 87,000.00St Peter and Paul Kiambu Town 100,600.00St Stephen, Gachie 36,756.00Jumla ndogo 474,356.00

Kikuyu DeaneryHoly Cross, Thigio 20,000.00Holy Eucharist, Kinge’ero 95,816.00Immacualate Conception, Gicharani 12,850.00Our Lady of Holy Rosary, Ruku 14,190.00

St Charles Lwanga, Waithaka 18,000.00St John the Baptist, Riruta 50,000.00

St Joseph, Kerwa 35,000.00St Joseph, Muguga 11,570.00

St Peter the Apostle, Kikuyu 40,431.00St Peter the Rock, Kinoo 32,320.00Jumla ndogo 330,177.00

Limuru DeaneryOur Lady of Mt Carmel, Ngarariga 15,250.00St Andrew, Rironi 19,210.00St Charles Lwanga, Kamirithu 7,120.00St Charles Lwanga, Githirioni 16,000.00St Francis, Limuru Town 35,000.00St Joseph, Kereita 20,000.00St Joseph, Limuru 9,723.00Jumla ndogo 122,303.00

Mang’u DeaneryOur Lady of Fatima, Kiriko 20,000.00Our Lady of Holy Rosary, Kamwangi 5,000.00St Annie Mataara 10,000.00St John the Baptist, Mang’u 10,000.00St Peter Kairi 23,314.00St Peter, Nyamangara 16,100.00St Teresa Kiangunu 12,000.00St Teresa of Avila Gachege 5,000.00Jumla ndogo 101,414.00

ChaplainciesKamiti Prison 5,050.00Kenyatta National Hospital 23,650.00Kenyatta University 64,522.00National Youth Service 6,069.00Jumla ndogo 99,291.00

Taasisi za kidiniFranciscian Sisters of St AnnaResurrection GardenElite Chris Primary School 5,000.00SMI- St Teresa of Avila Region 30,200.00Mary Hill Girls High SchoolJumla ndogo 35,200.00Jumla 10,801,508.00Fungu lililopewa afisi ya kitaifa ya KCCB-CJPC

3,534,679.00

Page 32: © KCCB -Tume ya Kikatoliki ya Haki na Amani

32

Taasisi

Christ the Sav-iour Meru Prison Chapel

192,955.00

ConsolataHospital Nkubu

35,000.00

Consolata Hos-pital Chaplaincy Nkubu

44,405.00

Our Lady of Grace Marimba Chapel

24,135.00

St Orsola Hos-pital

20,350.00

St Theresa’s Mission Hospital Kiirua

60,000.00

Don Orione Sisters Laare

10,000.00

St Ann Hospital Igoji

10,000.00

Blessed Virgin Sisters Kangeta

10,000.00

Blessed Virgin Sisters Mutuati

10,000.00

Cottolengo Sis-ters Mukothima

6,000.00

St Francis Convent Nchiru

3,000.00

Nkubu FCC Convent

3,000.00

Evangelising Sisters of Mary Mikinduri

3,000.00

Magundu Parish Fathers’ House

1,800.00

Nkabune Dispensary

1,000.00

St Jude Thaddeus Chapel Kangeta Prison

4,760.00

Silverspread Hardwares Ltd

60,000.00

Shule

JIMBO LA MERU Parokia Kiasi

Cathedral 626,840.00

Nkubu 457,700.00

Kangeta 315,000.00

Laare 313,825.00

Tigania 308,500.00

Mikinduri 301,500.00

Chuka 253,700.00

Buuri 224,010.00

St Massimo 204,761.00

Runogone 202,920.00

Tuuru 201,815.00

Maua 201,000.00

Kionyo 190,000.00

Gatimbi 186,000.00

Kariene 180,920.00

Kibirichia 180,690.00

Igoji 180,000.00

Amung’enti 174,545.00

Muthambi 155,275.00

Mutuati 152,745.00

Kinoro 151,550.00

Magundu 150,000.00

Limbine 148,950.00

Mitunguu 137,835.00

Mpukoni 137,160.00

Miruriiri 130,000.00

Timau 128,830.00

Mujwa 128,700.00

Kanyakine 128,641.00

Kajuki 124,350.00

Mbaranga 123,390.00

Chaaria 120,115.00

Gatunga 120,000.00

Athi 118,165.00

Chogoria 110,000.00

Kariakomo 108,800.00

Iruma 107,040.00

Ndagani (Prop) 106,536.00

Kiirua 101,830.00

Nchaure 97,905.00

Irinda 97,240.00

Ruiri 96,040.00

Nkabune 94,345.00

Magumoni 94,020.00

Mikumbune 90,000.00

Giaki 83,370.00

Tunyai 80,500.00

Munga 80,333.00

Michaka 76,400.00

Katheri 73,000.00

Nthare 70,200.00

Mukothima 70,000.00

Munithu 70,000.00

Nthambiro 68,000.00

Chera Parish 67,666.00

Kirogine Pro 65,610.00

Antubetwe 63,000.00

Kianjai 60,200.00

Athiru 60,018.00

Kagaene 57,000.00

Nciru 52,970.00

Mumbuni St Michael

50,310.00

Nkondi 49,015.00

Riiji 48,805.00

Igandene 48,600.00

Kaongo 45,250.00

Marimanti 41,630.00

Charanga 35,200.00

Maraa 30,800.00

Matiri 29,900.00

Mbwiru 25,500.00

Kiamuri 23,320.00

Thanantu 15,435.00

Mukululu 49,465.00

Page 33: © KCCB -Tume ya Kikatoliki ya Haki na Amani

33

Taasisi

Christ the Sav-iour Meru Prison Chapel

192,955.00

ConsolataHospital Nkubu

35,000.00

Consolata Hos-pital Chaplaincy Nkubu

44,405.00

Our Lady of Grace Marimba Chapel

24,135.00

St Orsola Hos-pital

20,350.00

St Theresa’s Mission Hospital Kiirua

60,000.00

Don Orione Sisters Laare

10,000.00

St Ann Hospital Igoji

10,000.00

Blessed Virgin Sisters Kangeta

10,000.00

Blessed Virgin Sisters Mutuati

10,000.00

Cottolengo Sis-ters Mukothima

6,000.00

St Francis Convent Nchiru

3,000.00

Nkubu FCC Convent

3,000.00

Evangelising Sisters of Mary Mikinduri

3,000.00

Magundu Parish Fathers’ House

1,800.00

Nkabune Dispensary

1,000.00

St Jude Thaddeus Chapel Kangeta Prison

4,760.00

Silverspread Hardwares Ltd

60,000.00

Shule

Materi Girls Sec 122,400.00

Chuka Boys Sec 105,000.00

Chuka Girls Sec 83,000.00

Our Lady of Mercy Girls Sec, Magundu

76,650.00

Muthambi Girls Secondary

70,000.00

Ruiri Girls Sec 60,000.00

Allamano School Kangeta

52,000.00

Cottolengo B Pri 50,000.00

Muthara Mixed Day Secondary

50,000.00

St Pius XSeminary

35,935.00

St Angela Nguthi-ru Girls Sec

33,000.00

Kibirichia Girls Secondary

30,000.00

Mfariji Primary 25,500.00

Mikinduri Girls Secondary

25,440.00

St. Joseph’s Sec-ondary, Michaka

23,050.00

Akithi Girls Sec 20,045.00

Karamugi Sec 20,000.00

Magumoni Day Secondary

20,000.00

St Daniel’s Boys High

20,000.00

St Peter & Paul Primary, Laare

20,000.00

St Rita Amwamba Girls Secondary

20,000.00

St. Theresa’s Primary, Riiji

17,200.00

Muthambi Boys Secondary

16,700.00

St Ann Boarding & Day Primary Kariene

15,540.00

St Anselmin Mururi

15,000.00

St Theresa of Avilla MUST

14,000.00

NaikuriuPrimary, Mutuati

11,800.00

Kirindara Day Secondary

10,295.00

Bishop Lawrence Bessone Primary

10,000.00

Kajuki Secondary 10,000.00

Kibirichia Boys Secondary

10,000.00

Kiunguni Sec Sch 10,000.00

Mfariji Girls Sec 10,000.00

St. Massimo Sec 10,000.00

Kirindine Day Secondary

9,715.00

Chuka Catholic Primary

9,696.00

Mutuati Sec 8,900.00

Nkubu High 8,000.00

Kanyuru Sec Sch 7,510.00

Mukuuni YCS Magumoni

7,000.00

Chogoria Girls Secondary

6,500.00

Athwana Sec 6,260.00

Aithu Primary, Mutuati

5,870.00

St Martin’s Boys Secondary

5,800.00

Mpukoni Sec Pri 5,560.00

Kirindara Sec Sch 5,365.00

Ambaru Sec Sch 5,000.00

Kamuwe Primary 5,000.00

Matei Dei Pri Sch 5,000.00

Miurine Mixed Day

5,000.00

Mujwa Girls Sec 5,000.00

Ndumbani Sec 5,000.00

San Panpuri Pri 5,000.00

St Agustine Ruguta

5,000.00

St Theresa Girls Secondary, Riiji

5,000.00

Kithiri Day Sec 4,250.00

Mutuati Primary 4,170.00

Holy Family Pri-mary, Kiamuri

4,100.00

Kaliene Mixed Secondary

4,080.00

Our Lady of Annunciation Pri

4,000.00

Igandene Mixed Day Secondary

3,600.00

Mitunguune Pri 3,500.00

Kitheo Mixed Sec 3,185.00

Gachanka Mixed Day Secondary

3,000.00

Igandene Boys Secondary

3,000.00

Mbayo Secondary 3,000.00

St. Mary Ndoleli Primary

3,000.00

Kiriani Boys 2,995.00

Munga Primary 2,540.00

Marima Primary 2,510.00

Ikuu Girls Sec 2,500.00

St Anthony Kiagu Primary

2,410.00

Naikuru Sec Sch 2,240.00

Munga Day Sec 2,200.00

St Dorothy School Massimo

2,125.00

CCM Good Shepherd Pri Sch

2,100.00

Divine Provi-dence Kiamuri Girls Vocation Centre

2,100.00

Muthambi Pri 2,100.00

CCM Giantune Primary

2,000.00

Kaongo Secondary 2,000.00

Kiamuri Sec YCS 2,000.00

Our Lady of Mt Camel Primary

2,000.00

St Charles Lwanga Day &Boarding

2,000.00

Nkamathi Primary Mutuati

1,765.00

Page 34: © KCCB -Tume ya Kikatoliki ya Haki na Amani

34

Naathu Secondary 1,600.00

Divine Mercy Primary, Kithatu

1,500.00

St Theresa Prima-ry, Magundu

1,400.00

CCM Meru Township Pri Sch

1,250.00

Karomo TTI 1,200.00

Magumoni Girls Secondary

1,100.00

CCM Meru Township Sec

1,000.00

Kagongo Primary 1,000.00

Makuri Girls Sec 1,000.00

Rurea Primary 1,000.00

Thubuku Day Sec 1,000.00

Magundu Pri Sch 900.00

Mucuune Day Secondary

725.00

Muthara Day Sec 725.00

Muroiti Primary, Mutuati

700.00

Ngukirwe Primary, Mutuati

700.00

Muthambi non-teaching staff

700.00

Mbayo Primary, Mutuati

600.00

Mikuu Primary, Magundu

500.00

Mucuune Sec Sch 500.00

Nairuru Sec Sch 500.00

Kajiambaki Pri 400.00

Mumbuni Pri 200.00

Jumla 11,408,491.00

Fungu lililopewa afisi ya kitaifa ya KCCB-CJPC

3,066,342.00

JIMBO LA BUNGOMAParokia Kiasi

Amukura 110,000.00

Buhuyi 92,000.00

Bukembe 100,000.00

Bungoma 865,000.00

Busia 200,000.00

Butula 84,230.00

Butunyi 190,000.00

Chakol 110,000.00

Chebukaka 50,000.00

Chelelemuk 50,065.00

Dahiro 105,000.00

Kabula 136,000.00

Kaptalelio 80,000.00

Kibabii 450,000.00

Kibuk 30,000.00

Kimatuni 133,025.00

Kimwanga 50,580.00

Kimilili 272,500.00

Kisoko 255,460.00

Kocholia 83,000.00

Magombe 81,000.00

Misikhu 260,500.00

Mundika 154,440.00

Myanga 80,000.00

Naitiri 70,000.00

Nangina 155,000.00

Ndalu 75,000.00

Port-Victoria 51,000.00

Samoya 81,150.00

Sikusi 45,000.00

Sirimba 80,000.00

Sirisia 60,000.00

Tongaren 165,000.00

Webuye 240,000.00

Page 35: © KCCB -Tume ya Kikatoliki ya Haki na Amani

35

Taasisi -

St Cecelia Nangina Girls High Sch 90,000.00

St Teresa of Avila-Naitiri RC Pri 3,800.00

Nangwe Girls High School 10,000.00

Cardinal Otunga Girls High School 13,500.00

Little Sisters of St Francis-Kisoko Convent

2,600.00

St Joseph-Kisoko Boys Primary 5,000.00

St Maria Gorreti Kisoko Girls Pri 3,000.00

Kibabii University Catholic Community 6,450.00

Namikelo RC Primary School 2,200.00

St Antony-Walala Primary School 2,000.00

St Bernadette-Samoya Primary 3,300.00

St Francis of Assisi-Wekelekha Pri 5,500.00

St Mary Magdalene-Siloba Primary 2,215.00

St Jude-Muanda Primary 1,500.00

St Agnes-Biliso Primary 2,000.00

St Elizabeth RC-Tulumba Primary 1,200.00

St John the Baptist RC-Namasanda Primary

1,000.00

St Jude-Muanda Secondary 5,450.00

St Mary Magdalene- Siloba Sec Sch 3,200.00

St John the Baptist-Namasanda Sec 2,500.00

St,Thomas Aquinas-Samoya Sec Sch 2,000.00

Nalondo R.C.Primary School 2,000.00

St Agnes-Lapkei Primary-Kibuk 4,300.00

Kibuk Girls Secondary School 6,015.00

St Peter-Cheromis 1,000.00

Nomorio RC Primay School 1,000.00

Bumala RC Primary School 1,500.00

St Mary’s-Siribo Primary School 700.00

Buhuyi Primary School 4,000.00

Isingo Primary School 600.00

Tingolo RC Primary School 1,000.00

St, Romano-Tingolo Secondary 4,100.00

Buhuyi Secondary School 3,100.00

Musibiriri Primary School 500.00

Makwara Primary School 1,000.00

Chemwa Academy 22,000.00

St Mary’s-Mukhuma Secondary 12,000.00

St Teresa -Kabula Primary 3,800.00

St Antony-Naburereya Primary 800.00

St Elizabeth-Malinda Primary 1,500.00

St Peter-Mwiruti Primary 2,000.00

St Elizabeth-Chemululuchi Primary 1,300.00

Mother Kevin Primary 22,400.00

Okisimo Primary School 500.00

Lupida Primary School 1,000.00

Katelenyang Primary School 600.00

St Pius Katelenyang Secondary 2,000.00

Kamarinyang Primary School 500.00

Akatagoroit Primary School 1,925.00

Kocheck Primary School 200.00

Kidera Primary School 450.00

Apokor Special Unit 1,850.00

Akobwait Primary School 1,020.00

St Pauls-Igara Secondary School 8,345.00

Apokor Primary School 1,700.00

Kotur Primary School 1,000.00

St Pauls-Amukura Secondary 8,500.00

Okwata Primary School 1,000.00

St Peters-Kotur Secondary School 1,000.00

St Augustine-Nomorio Secondary 3,000.00

Koshok Primary School 1,500.00

St Teresa’s Girls-Cheptoror 1,000.00

St Stephen-Cheptoror Primary 200.00

Kapkuseng Primary School 500.00

St Cecelia Misikhu Girls High 27,840.00

St Peter’s-Bumala ‘B’ Secondary 3,000.00

Our Lady of Mercy Chebukaka Girls Sec 15,000.00

Our Lady of Assumption-Khachonge Girls

8,000.00

St Emmanuel-Miruri Secondary 1,500.00

St Mary’s-Bokoli Secondary School 3,050.00

St Anne’s-Maloho Secondary School 2,000.00

St Peter’s-Chebukaka Boys Primary 2,700.00

Mary Mother of God Madibo Pri 2,550.00

St Thomas Aquinas Kitayi Primary 2,015.00

St John’s-Miruri Primary School 2,250.00

Our Lady of Peace-Chebukaka Pri 5,000.00

St Michael’s-Bokoli Primary School 1,000.00

St Peter’s-Sikimbilo Primary School 1,760.00

Page 36: © KCCB -Tume ya Kikatoliki ya Haki na Amani

36

KMTC Sichei Campus 1,585.00

St Monica-Butunyi Secondary 3,000.00

St Austin’s-Kingandole Secondary 7,000.00

St Melitus-Saka Primary School 1,250.00

St Augustine-Boys Boarding Pri Sch 8,000.00

Ikonzo Secondary School 13,000.00

St Kizito-Busire Primary 5,300.00

Butunyi Mixed Primary School 6,305.00

Bishop Nicholas Stam Secondary 1,500.00

Bukhwaku Primary School 1,050.00

St Joseph-Bumutiru Secondary 5,300.00

St Michael-Musoma Primary 2,600.00

St Christopher Emagombe Primary 5,000.00

St Simon Elunyiko Primary School 3,020.00

Butunyi Vocational Training Centre 2,000.00

Ikonzo Primary School 1,500.00

St Teresa-Neela Primary School 1,000.00

St Andrew-Sikoma Primary School 1,360.00

Bumala Township 300.00

Buriya Primary School 1,000.00

Burinda Primary School 500.00

St Jude-Khunyangu Primary 2,300.00

Namwitsula Primary School 1,000.00

St Francis-Masebula Secondary 500.00

Kaptalelio Primary School 3,770.00

Kogit RC Primary School 2,060.00

St Susan’s Chemses Primary 1,500.00

Okuleu Primary School 1,330.00

Akapijani Primary School 300.00

Akiriamasit Primary School 925.00

Opedur Primary School 500.00

Kapona Primary School 700.00

Kokare Primary School 2,200.00

Kocholia Primary School 1,000.00

Akudiet Primary School 2,000.00

St Michael-Malaba Township Pri 5,150.00

St Jude-Special School Malaba Pri 500.00

Ekisegere Primary School 500.00

St Mary’s-Osajai Primary School 500.00

Lwanya Girls Secondary School 15,000.00

St Paul’s-Miluki Girls Secondary 10,000.00

St Anne’s-Mukwa Secondary 5,000.00

St Peter’s-Sang’alo Secondary 7,000.00

St Teresa-Sang’alo Primary School 2,000.00

St Mary-Kamba Primary School 1,000.00

ERSF-Namwacha Secondary School 1,560.00

St Mary-Mukhuma Primary School 1,150.00

St Charles-Talitia Primary School 600.00

St Martin-Mwibale Secondary 26,200.00

St Teresa Girls Secondary-Kimilili 20,000.00

St Jan High School-Kimilili 2,800.00

St Joseph -Kamusinde Sec-Kimilili 2,000.00

St, John-Buko Secondary-Kimilili 5,000.00

St Luke-Kimilili Boys 20,000.00

YCS-Moi Girls Kamusinga 850.00

St John-Buko Primary-Kimilili 3,500.00

St Joseph-Kimilili Primary School 6,700.00

St Benedict-Primary-Kimilili 1,000.00

Our Lady of Lourdes Pri-Kimilili 6,710.00

St Josph-Kamusinde Primary 700.00

St Anthony-Matili Primary School 1,000.00

Farcon Academy-Kimilili 2,000.00

St Anne-Royal Academy-Kimilili 1,200.00

Immaculate Academy-Kimilili 2,000.00

St John-Academy Buko 1,000.00

Ng’oli Primary School-Kimilili 1,000.00

Kibuk Primary School 500.00

St Martin-Mwari Secondary School 3,200.00

St Benard-Kakurikiti Secondary 7,000.00

St John-Machakha Secondary 3,000.00

St Elizabeth-Kabukui Secondary 4,000.00

Bishop-Sulumeti Girls Secondary 15,100.00

Kangelemuge Primary School 2,000.00

Kakemeri Primary School 1,200.00

St Luke-Kakemeri Special School 1,500.00

Ataba Oburi Primary School 600.00

Kakoit Primary School 500.00

Komiriai Primary School 800.00

Kaejo Primary School 600.00

Chelelemuk Boys Primary School 1,000.00

Page 37: © KCCB -Tume ya Kikatoliki ya Haki na Amani

37

Chelelemuk Girlss Primary School 1,100.00

St Gabriel-Moru Primary School 400.00

Kabukui Primary School 1,250.00

Katotoi Primary School 200.00

Mwari Primary School 1,000.00

Kakapel Primary School 1,550.00

Kakurikiti Primary School 365.00

Akobwait Primary School 470.00

Kolait Boys Primary School 1,000.00

Kolait Girls Primary School 1,500.00

St Jude-Kaguito Primary School 200.00

Peak Academy Primary School 600.00

St Anthony-Naburereya Secondary 27,000.00

St Peters-Mwiruti Girls Secondary 9,615.00

St Teresa -Kabula Secondary 20,000.00

Machakha Primary 1,000.00

St Joseph-Nalondo Girls Secondary 5,000.00

St Teresa-Kabula Secondary 20,000.00

St Joseph-Nalondo Boys Secondary 10,000.00

Immaculate Heart of Mary-Luuya Girls Sec

20,000.00

St Paul-Kibochi Primary School 2,000.00

St Charles-Lwanga Bwake Primary 1,000.00

St Michael-Nasaka Primary School 600.00

Guadalupe Luuya Primary School 1,500.00

St Peter’s-Lurende Primary School 1,000.00

Friends School-Bukembe Sec Sch 1,100.00

Kukiri Junior Academy 2,000.00

Bukeko Primary School 1,000.00

Nanderema Primary School 1,500.00

Rumbiye Primary School 1,000.00

Bukiri Primary School 1,635.00

Bujwanga Primary School 2,650.00

Nabutuki Primary School 600.00

Bunandi Primary School 700.00

St Thomas Aquinas-Nanderema Boys 7,000.00

St Stephen-Bujwanga Secondary 3,000.00

St Chrispine-Samia Girls Secondary 3,000.00

St Clare-Nanderema Girls Sec Sch 10,000.00

Bumbe Technical Training Institute 2,150.00

Namuduru Primary School 1,000.00

St Mark-Bukiri Secondary School 3,000.00

Kibabii Girls Primary School 11,000.00

St Martin-Special School-Kisoko 3,550.00

St Francis Segero Primary School 8,350.00

St Peter Otiri Primary School 1,200.00

St Francis Makongeni Primary 2,000.00

St John-Sibembe Primary School 2,000.00

St Peter-Nasira Primary School 1,600.00

St Mary-Assumpter Mabunge Pri 2,000.00

Mwenge Primary School 1,000.00

St Monica-Maira Primary School 1,000.00

St Joseph-Buyofu Primary School 1,000.00

St Agnes-Manyole Primary 2,200.00

Rev Garner-Academy Sikinga Pri 500.00

St, John-Musokoto Primary School 800.00

St Mary-Madibo Primary School 2,500.00

St Clare-Academy Madibo 500.00

St James-Model Academy 1,000.00

St Benedict-Academy Mungatsi 3,000.00

St Agatha Kajoro 1,000.00

St Catherine-Tangakona Academy 1,450.00

St Philomena Academy 1,300.00

St Veronica Indoli 500.00

St Augustine Nasira Secondary 8,060.00

St Mary Immaculate Urban Sec 13,000.00

St Mary-Nambale ( Okatekok) 3,400.00

St Joseph-Segero Secondary School 1,330.00

St Charles Lwanga-Emukhuyu -Kisoko 2,000.00

Sikata RC Primary School 3,650.00

Namuninge RC Primary School 500.00

Sango RC Primary School 5,050.00

Kabubero RC Primary School 1,500.00

Chemwa RC Primary School 3,650.00

Buema RC Primary School 2,000.00

Bukusu RC Primary School 1,000.00

Netima RC Primary School 1,050.00

St Monica-Mungeti RC Primary 2,000.00

Khalaba Primary School 800.00

St Mary’s-Kibabii Boys Primary 2,000.00

Page 38: © KCCB -Tume ya Kikatoliki ya Haki na Amani

38

Lumasa RC Primary School 400.00

St Charles-Okanya RC Pri-Samoya 2,000.00

St Charles Lwanga Bungoma Prisons 2,000.00

St Catherine-Nangina Girls Boarding 7,400.00

Sifuyo Primary School 500.00

St Gabriel-Wakhungu Secondary 1,000.00

Sijowa Primary School 1,100.00

Sigulu Primary School 500.00

Nangina Mixed Primary School 1,000.00

Malanga Primary School 200.00

Sichekhe Primary School 2,000.00

Bukhulungu Primary School 1,010.00

Kongit Secondary School 1,000.00

St Mary Magadeline-Namamuka Sec 2,000.00

St Anthony-Sirisia Secondary 3,500.00

St Augustine-Sitabicha-Sirisia 2,000.00

St Thomas Aquinas-Chesikaki 2,000.00

St Mary Immaculate -Mayekwe Sec 1,500.00

St Joseph-Kakala Primary-Sirisia 1,000.00

St Gabriel-Mayekwe Primary-Sirisia 500.00

Mitua Girls Secondary School 8,690.00

St Peters-Secondary School-Ndalu 15,255.00

Sinoko Primary School 2,000.00

Bituyu Primary School 1,300.00

St Peter’s Primary School 3,535.00

St Alphonce-Misanga 5,325.00

St Mary’s-Buyofu Secondary School 2,200.00

St Peter’s- Khwirale Secondary 500.00

St Paul’s-Elwanikha Secondary 2,000.00

St Paul’s-Elwanikha Primary School 1,700.00

St Alex-Sidende Primary School 1,000.00

Mundika Boys Primary School 2,250.00

St Joseph-Keriamat Primary School 1,700.00

St Jude-Okerebwa Primary School 1,200.00

St Peter’s-Ojaamong Secondary 2,500.00

St Patrick-Ong’aroi Primary School 4,430.00

St Peter-Osipat Primary School 1,200.00

St Joseph-Chakol Secondary School 10,500.00

Achit Primary School 1,900.00

Olepito Primary School 1,400.00

Apegei Primary School 500.00

St Anne-Ang’orom Secondary 2,000.00

Otimong Primary School 3,600.00

St Thomas-Chakol Boys 5,000.00

Among’ura Primary School 1,400.00

St Paul-Okokor Primary School 4,510.00

St Mark-Among’ura Secondary 2,510.00

St Karoli-Goria Primary School 1,100.00

St Thomas-Alupe University 2,300.00

Omoloi Primary School 1,200.00

Bukalama Primary School 2,000.00

Sisters of Mary-Nangina Convent 3,000.00

Mugasa Primary School 500.00

Sagaria Primary School 460.00

Sibale Primary School 1,450.00

Moody Awori Primary School 2,000.00

Cardinal Otunga-Bukoma Sec 4,500.00

St Benedict-Budalang’i Secondary 2,700.00

St Triza-Mundere Girls Secondary 2,000.00

Bulemia DEB 1,100.00

Bukoma Primary School 2,500.00

Sisenye Primary School 1,000.00

St Jude Thadeous-Budalang’i Pri 1,000.00

St Andrew-Mundere Primary 1,000.00

St Cecelia Primary School 1,000.00

St Nicholas Mix Primary School 3,000.00

Lake Breeze Academy 1,000.00

St Veronica -Bumadeya Primary 1,000.00

St Peter-Bubango Primary School 1,400.00

Nabutswi Primary School 200.00

John Osogo Secondary School 2,000.00

Budubusi R.C Primary School 500.00

Lunyofu R.C Primary School 1,420.00

St Augustine Girls Sec-Lukhuna 11,500.00

Tongaren DEB Mixed Secondary 3,600.00

St Joseph Secondary-Binyenya 3,000.00

St Mary’s-Mwikhupo Secondary 1,700.00

Tongaren Vocational Training Centre 1,000.00

St Teresa-Kakamwe Primary School 4,380.00

St Mary’s-Mabusi Primary School 2,750.00

Page 39: © KCCB -Tume ya Kikatoliki ya Haki na Amani

39

St Anne-Siangalamwe Primary 2,000.00

St Elizabeth Primary-Binyenya 1,700.00

Maina PAG Primary School 1,500.00

Tongaren DEB Primary School 1,050.00

St Paul’s-Mbirira Primary School 1,000.00

Sang’alo Institute 600.00

St Mary’s-Kibabii Boys High School 40,520.00

St Monica-Bukokholo Girls Sec 15,000.00

St Paul’s-Lwandanyi RC Pri-Sirisia 5,000.00

St Barnabas-Kuafu RC Primary 1,000.00

St Paul-Kimama RC Primary-Sirisia 500.00

St Anne-Chesikaki RC Pri-Sirisia 1,000.00

St Charles Lwanga-Katoboi RC Pri 500.00

St Francis Xaviour-Sitabicha RC Pri 1,000.00

St Teresa’s-Chongoyi RC Primary 500.00

Nangoma Primary School 2,000.00

Chelilde R.C Primary School 1,500.00

St Teresa Girls Primary-Chakol 5,000.00

St Francis-Asinge Secondary School 5,000.00

Ojaamong Primary School 2,200.00

Buriya Secondary School 1,000.00

Immaculate Heart School-Bumala 2,000.00

St Timothy-Bumutiru RC Primary 2,000.00

St Andrew Secondary-Matulo 3,000.00

St Andrew Matulo Primary School 1,000.00

Lutungu RC Primary School 200.00

St John-Lutungu Secondary School 2,050.00

St Angela Primary School-Webuye 8,050.00

St Peters-Matulo RC Primary 2,800.00

St Joseph’s Primary School-Webuye 12,500.00

St John the Baptist-Franciscan- Sisters of St Anne Webuye

2,500.00

Murumba Primary School-Webuye 1,000.00

St Elizabeth -Lunao Secondary 18,000.00

St Stephen-Chiliba Secondary 2,000.00

St Joseph-Bukirimo Secondary 2,500.00

St Anthony-Tulukuyi Secondary 3,000.00

St Peters-Namaika Secondary 2,000.00

St Elizabeth-Bitobo Secondary 5,000.00

St Francis of Assisi-Myanga Sec 29,500.00

St Peters-Namaika Primary School 2,500.00

Tulukuyi Primary School 1,000.00

Napara Primary School 1,400.00

Chiliba Primary School 2,000.00

Sihilila Primary School 1,000.00

Mutuwa Primary School 3,500.00

St Denis-Liborina Special School 3,500.00

Siloba Shine Primary School 1,000.00

Bitobo Primary School 1,000.00

St Monica Primary-Kamurumba 2,500.00

Lunao Primary School 1,000.00

Kimaeti Primary School 3,100.00

St Stephen Primary (Brothers) 1,500.00

St Paul’s-Kibabii Diploma College 3,200.00

Sacred Heart-Wamalwa Kijana Sec 5,000.00

St Christopher-Mabanga Girls Sec 10,000.00

St Mary Magadeline Kimatuni Sec 10,250.00

St Anthony-Mateka Secondary 7,000.00

St Stephen-Buloosi Primary School 3,850.00

St Paul-Lubunda Primary School 3,525.00

St Mary-Namatotoa Primary School 3,300.00

St Mary Magadeline Kimatuni Pri 2,500.00

St Jude Namanze Primary School 2,500.00

St Bartholomayo-Burangasi Pri 2,050.00

St Peter’s-Syekumulo Secondary 2,000.00

St Joseph’s-Lumboka Secondary 2,000.00

St Jude-Namanze Secondary School 1,700.00

YCS-Mungore Girls Secondary 1,550.00

St Veronica-Musuno Secondary 1,500.00

St Veronica- Masuno Primary 1,100.00

YCS-Kimatuni SA Secondary 1,000.00

St Anthony-Mateka Primary School 1,000.00

St Peter’s-Syekumulo Secondary 1,000.00

Burangasi Youth Polytechnic 1,000.00

St Anne-Nandikwa Primary 800.00

St Joseph’s Lumboka Primary 500.00

St John-Nakholo Primary School 500.00

St Wilfridah-Mulukoba Primary 500.00

Centre Academy 500.00

St Aquinas-Mateka Preparatory Sch 350.00

Chesito Secondary School 2,000.00

Page 40: © KCCB -Tume ya Kikatoliki ya Haki na Amani

40

Miluki Primary School 3,000.00

St Mary’s Amukura Girls Secondary 21,000.00

Fr Okodoi Secondary School 5,000.00

St Pauls’Amukura Secondary School 6,500.00

Bwaliro Girls Secondary School 3,000.00

Elukhari Mixed Secondary School 1,000.00

Enakaywa Primary School 1,000.00

Bishop Longinus Atundo-Mung’ambwa Primary

500.00

St Clare-Butula Girls Secondary 1,550.00

Bukhuma Primary School 1,000.00

St Paul-Bukhuma Mixed Secondary 5,000.00

Sacred Heart of Jesus-Butula Parish 810.00

Masendabale Primary School 1,950.00

Bukati Primary School 700.00

Madola Primary School 3,770.00

Kalalani Primary School 1,000.00

Mung’abo Primary School 1,000.00

Siunga Primary School 1,000.00

St Peter’s-Mung’abo Mixed Sec Sch 4,350.00

Sikarira Primary School 1,000.00

St Catherine Special School 5,000.00

St Mary’s-Butula Girls Primary 7,000.00

St Joseph-Butula Boys Primary 1,000.00

Elukhari Primary School 500.00

St Mary’s-Sosio Girls Sec- Misikhu 14,000.00

St Peter’s-Nakalira Boys-Misikhu 1,500.00

St Elizabeth-Sibagala Sec-Misikhu 1,000.00

Sibagala Primary School-Misikhu 1,000.00

St Michael-Musembe Pri-Misikhu 1,000.00

St Francis-Makemo Girls-Misikhu 5,000.00

Makemo Primary School-Misikhu 1,500.00

Holy Family Girls Primary-Misikhu 20,000.00

Sacred Heart Boys Pri Sch-Misikhu 8,500.00

St John-Savana Secondary-Misikhu 2,000.00

St John-Savana Primary-Misikhu 1,000.00

St Thomas Secondary-Misikhu 10,000.00

Madola Mixed Secondary School 1,000.00

St Joseph Girls Primary-Busia 40,000.00

St Teresa Gilrs Primary-Busia 20,000.00

Our Lady of Mercy Girls Sec-Busia 15,000.00

St Rose-Mabale Primary-Busia 7,785.00

St Mary’s Primary School-Busia 5,000.00

St Mary’s Nursery School-Busia 2,000.00

Sisters of Mary Hostel-Busia 2,000.00

St Peters- Bwamani Primary-Busia 5,200.00

St Peters-Bwamani Sec-Busia 2,000.00

St Andrew-Bulanda-Busia 16,000.00

St Joseph-Bulondo Secondary 2,300.00

Mundika Girls Primary School 1,400.00

Esikulu Primary School-Mundika 1,000.00

St Michael-Nambale-Dahiro 1,000.00

St Teresa-Busibwabo 1,000.00

St Patrick-Busibwabo Secondary 3,000.00

St Patrick’s-Naitiri Secondary 3,000.00

Apostolic Carmel (Kimwanga) 5,000.00

Little Sisters of St Francis-Bumula 2,000.00

St Kizito-Mayanja Secondary 15,000.00

St Paul-Bunambobi Secondary 3,000.00

St Kizito-Masielo Secondary School 1,100.00

St Joseph-Bunambobi Primary 8,000.00

St Monica-Mukuyuni RC Primary 5,000.00

Kimwanga RC Primary School 2,700.00

Masielo RC Primary School 2,550.00

Khasolo RC Primary School 2,100.00

Nangata RC Primary School 2,095.00

St Kizito-Mayanja RC Primary 1,950.00

Siboti RC Primary School 1,660.00

Kimwanga School for H.I 1,000.00

Nakalira RC Primary School 300.00

St Longinus-Kongoli Secondary 7,000.00

St Bidgit-Lutaso Primary-Webuye 3,000.00

St Thomas-MMUST-Webuye 1,950.00

St Thomas-Aquinas Khalala Pri Sch 500.00

St Paul-Nzoia Secondary School 450.00

Jumla 6,798,825.00

Fungu lililopewa afisi ya kitaifa ya KCCB-CJPC

2,900,000.00

Page 41: © KCCB -Tume ya Kikatoliki ya Haki na Amani

41

JIMBO KUU LA NYERIParokia Kiasi Our Lady of Conso-lata Nyeri Cathedral

454,310.00

St Teresa Equator 529,233.00 St Jude 171,594.00 Ngandu 190,000.00 Othaya 139,913.00 St Joseph Giakanja 100,000.00 Miiri 97,320.00 Mweiga 158,347.00

King’ong’o 144,497.00

Giakaibei 184,437.00

Kangaita 81,300.00

Matanya 144,000.00

Tetu 101,880.00

Gatarakwa 73,466.00 Kalalu 50,000.00

Ithenguri 95,000.00 Sirima 81,577.00

Gititu 50,000.00 Karima 235,692.00

Kariko 43,500.00

Irigithathi Project 114,330.00

Kiamuiru 60,020.00 Kabiruini 123,896.00 Karatina 113,000.00 Endarasha 65,000.00 Our Lady of Conso-lata Thegu

105,000.00

Nanyuki 173,310.00 Doldol 70,200.00 Mukurweini 125,000.00 Wamagana 80,605.00 St Michael Chaka 34,100.00 Kahiraini 64,013.00 Kigumo 59,300.00 Kigogoini 40,730.00 Gikumbo 90,000.00 Karangia 36,870.00

Mugunda 31,090.00 St Joseph Kamariki 48,700.00 Munyu 33,200.00 St Charles Lwanga Ngangarithi

90,000.00

St Cyprian Kagicha 66,365.00 St Vincet De Paul Giathugu

41,340.00

Kaheti 42,080.00

Mwenji 111,333.00 Our Lady of Conso-lata Birithia

103,500.00

St Charles Lwanga Narumoru Town

85,320.00

Karemeno 43,686.00 Gikondi 42,100.00 Kimondo 22,070.00 Gathugu 83,160.00 St Martin’s Wi-yumiririe Mission

67,150.00

St Joseph Karuthi - Sub-total 5,392,534.00

Taasisi/ShuleChrist the King Major Seminary

110,000.00

ADN Caritas Nyeri 77,500.00

Mary Immaculate Convent

38,755.00

ADN Catholic Action

50,000.00

Blessed Allamano - St Augustine’s Catechist Training institute

30,300.00

Mathari Chap-lainacy

5,000.00

Nyeri High - St Paul Seminary - Othaya Girls Sec - ADN Secretariat - Catholic Bookshop - St Augustine Boys High School

-

Franciscan Sisters of the Immaculate Heart of Mary

-

Bishop Gatimu Ngandu

10,000.00

Mahiga Gakuyu 500.00 Kenyatta Mahiga 1,550.00 Mahiga Girls High 6,000.00 Kihome CA 450.00 ADN Finance 5,225.00 Dedan Kimathi University CA

2,120.00

Brothers of St Joseph Nyeri

-

St Joseph Mission - Archbishop Emiritus Retirement Home

-

Felician Sisters 3,000.00 St Teresa Business & Technical Training Institute

3,000.00

Consolata Fathers Mathari

-

Consolata Cathedral Institute

13,925.00

Friends of Caritas (cash banking)

357,325.00

Jumla 5,749,859 Fungu lililopewa afisi ya kitaifa ya KCCB-CJPC

2,874,930

Page 42: © KCCB -Tume ya Kikatoliki ya Haki na Amani

42

JIMBO LA KAKAMEGAParokia Kiasi St Joseph’s Cathedral Kakamega 381,533.00 Christ the King Amalemba 210,000.00 St Peter’s Mumias 206,796.00 The Sacred Heart of Jesus Mukumu 203,701.00 St Joseph the Worker Shibuye 195,750.00 St Paul Ejinja 176,000.00 All Holy Angels in Heaven Lutonyi 152,000.00 St Pius X Musoli 133,767.00 St Augustine Eregi 129,400.00 St Agnes Mukulusu 125,000.00 St Kizito Lusumu 124,170.00 St Lukes Bumini 122,000.00 Our Lady of Immaculate Conception Chimoi

120,435.00

St Anne Eshisiru 109,645.00 Our Lady of Assumption Mautuma 103,200.00 St Charles Lwanga Hambale 100,000.00 Holy Spirit Bulimbo 100,000.00 St Mark’s Nzoia 99,600.00 Our Lady of the Holy Rosary Shiseso 92,753.00 St Theresa Malava 80,000.00

St Caroli Lwanga Lutaso 75,014.00

St John the Baptist Likuyani 75,000.00 St Joseph the Worker Luanda 73,880.00

St Joseph Kongoni 73,650.00

The Nativity of Our Lady Mutoma 66,700.00 St Paul’s Erusui 65,700.00

St Charles Lwanga Chekalini 65,500.00 St Francis Xavier Shikoti 62,550.00 St Philips Mukomari 60,090.00 St Ursula Chamakanga 59,294.00 Our Lady of the Assumption Shitoli 58,800.00 Holy Family Lubao 51,000.00 Holy Trinity Soy 50,100.00 St Mathias Mulumba Matunda

50,000.00

Corpus Christi Irenji 46,570.00 Our Lady of Assumption Indangalasia 44,917.00 St Josephs Shirotsa 35,000.00 St Patricks Lufumbo 32,370.00 Our Lady of Fatima Buyangu 29,500.00 Our Lady of Consolata Bukaya 26,720.00 Holy Cross Emalindi 20,000.00 Sub-total 4,088,105.00

Chaplaincy/TaasisiMary Seat of Wisdom Mmust Chaplaincy 46,865.00 Mukumu School of Nursing 40,500.00 Diocese of Kakamega Pastoral Office Staff

6,900.00

Diocese of Kakamega Prisons Chaplaincy

6,515.00

St Mary’s Mumias School of Clinical Medicine

5,600.00

Sigalagala National Polytechnic Chaplaincy

5,200.00

Sisters of Mary – Mumias 3,500.00 Jumla ndogo 115,080.00

Shule za sekondariSt Mary’s Mumias 116,120.00 The Sacred Heart Mukumu 110,550.00 St Theresa’s Girls Eregi 108,000.00 St Peter’s Mumias 107,100.00 Archbishop Njenga Girls 90,000.00 Mary Seat of Wisdom Bulimbo 87,600.00 St Agnes Shibuye 87,000.00 Bishop Sulumeti Kakamega 70,000.00 St Cecilia Mautuma 43,600.00 Holy Cross Emalindi 40,000.00 Bishop Sulumeti Lugari 36,000.00 St Bakhita Girls Ebusiratsi 35,100.00 St Augustine Soy Sambu 34,495.00 St Joseph Girls Kakamega 33,620.00 St Peter’s Seminary 32,400.00 St Anne’s Buyangu 31,560.00 St Mary Gorret Shikoti 31,400.00 St Anne’s Nzoia 30,000.00 St Clare’s Girls Maragoli 30,000.00 St Ann’s Musoli Girls 30,000.00 St Patrick’s Ikonyero 29,000.00 St Joseph, Kogo 28,650.00 St Ignatius Mukumu Boys 25,000.00 St Angela Mumias 23,850.00 St John the Baptist Likuyani Boys 23,000.00

St Charles Lwanga Mukumu 20,000.00 St Luke Lumakanda 17,700.00 Holy Family Marukusi 16,000.00 St Beda Bukaya 15,550.00 St Austine Milimani 15,000.00 St Elizabeth Likuyani 15,000.00 St Ursula Chamakanga 15,000.00

Page 43: © KCCB -Tume ya Kikatoliki ya Haki na Amani

43

St Philips Mukomari 15,000.00 Our Lady Queen of Peace Shikondi 15,000.00

Holy Family Musembe 15,000.00 St Paul’s Erusui Girls 14,635.00 St Teresa Itete 14,000.00 St Vincent Butende 13,275.00 St Augutine Rosterman 12,700.00 St Michaels Eshirumbwe 11,500.00 St Gerards Shanjero 11,000.00 St Fracis Xavier Imalaba 10,500.00 St Thomas Aquinas Eshisiru 10,320.00 St Christopher Nyapora 10,300.00 St Teresa Mukunga 10,000.00 St Antony Kakoyi 10,000.00 Fr Joseph Ortiner Girls 10,000.00 St Henry Saisi Wabuge Boys 10,000.00 St Teresa Isanjiro 10,000.00 Chavakali Boys 9,260.00 St Romanus Matawa 9,050.00 St Benedict Lugulu 9,005.00 St Francis Kisigame 8,500.00 St Charles Lunga’nyiro 8,100.00 St Michaels Kilimani 8,000.00 St Francis Xavier Shipalo 8,000.00 St Francis Majengo 7,550.00 St Veronica Mirembe 7,000.00 St Bonventure Shimanyiro 7,000.00 St Joseph Indangalasia 7,000.00 Our Lady of Nativity Mutoma 7,000.00 St Maurice Mwira 6,000.00 St Mukasa Girls Chimoi 6,000.00 St Monica Lubao 6,000.00 St Marthia’s Kholera 5,300.00 St Stephen’s Ebubaka 5,200.00 St Francis of Assisi Kaptik 5,050.00 St Patricks Bubere 5,040.00 St Peter’s Moi’s Bridge Boys 5,000.00 St Cecilia Lufumbo 5,000.00 St John’s Museno 5,000.00 St Joseph Malimili 5,000.00 St Mathia’s Mwitoti 5,000.00 St Elizabeth Bumia 5,000.00 Holy Cross Injira 4,500.00 St Gabriel Mirere 4,300.00 St Joseph Lumino 4,000.00 St Joseph’s Shirotsa 4,000.00 St John’s Shinoyi 4,000.00 St Paul’s Emulakha 4,000.00

St Michael Muluwa 4,000.00 St Teresa Bumini 3,800.00 St Francis Xavier Shikoti M 3,770.00 Our Lady of Assumption. Shitoli 3,500.00 St Joseph Shichinji 3,500.00 St Elizabeth Lureko 3,500.00 St Monica Namatala 3,485.00 St Cecilia Makokhwe 3,400.00 Bushiangala School 3,300.00 Holy Cross Sango Girls 3,030.00 St Pauls Musalia 3,000.00 St Theresa’s Matunda 3,000.00 St Carol Lwanga Maraba 3,000.00 Shitoto Girls High School 3,000.00 St Joseph’s Shibinga “W” 2,785.00 St Charles Khalaba 2,650.00 St Francis Shiyabo 2,550.00 St Paul’s Ebusia 2,120.00 Ack Shinamwenyuli School 2,000.00 St Joseph’s Lukongo 2,000.00 St Mary Gorrett Kalenda 2,000.00 St Joseph’s Mukulusu 2,000.00 St Idda Girls 1,900.00 St Gabriel Mundulu 1,800.00 St Kizito’s Lusumu 1,710.00 Muslim Girls 1,500.00 St Gabriel Isongo 1,500.00 Moi Girls Nangili 1,500.00 St John’s Mutoni 1,426.00 St Teresa Emukhuwa 1,200.00 St Josephs Ugana 1,000.00 Friends School Chandumba 1,000.00 Vihiga High School 1,000.00 St James Shisesia 500.00 Jumla ndogo 1,901,806.00

Shule za msingiSt Francis Hambale 35,220.00 St Marys Mukumu Girls 33,255.00 St Teresas Isanjiro 31,395.00 St Annes Mumias 18,295.00 Lwanda Moi’s Bridge 18,105.00 St Peters Mumias 16,000.00 St Teresas Musaa 13,500.00 St Augustine Mukumu Boys 11,730.00 St Vincent Hirumbi 10,000.00 St Benard Chamakanga 8,550.00 Namayiakalo 8,000.00

Page 44: © KCCB -Tume ya Kikatoliki ya Haki na Amani

44

Shanjero 7,000.00 Lureko 6,400.00 St Pauls Ejinja 6,155.00 St Patrick Sisokhe 6,000.00 St Teresas Itete 6,000.00 Bukhulunya 5,500.00 St Angela Bulimbo 5,500.00 Mayiakalo 5,300.00 Albertos School 5,000.00 St Angela Eregi Girls 5,000.00 St Annes Mundulu 5,000.00 Musoli Girls 4,600.00 St Gerald Injira 4,500.00 Namalenge 4,282.00 Mwilitsa 4,260.00 Kholera 4,200.00 St Maurice Mwira 4,105.00 St Paul’s Emulakha 4,000.00 St Marys Girls Mautuma 4,000.00 St Monica 4,000.00 St Ursula Museno 4,000.00 St Michael Shamusinjiri 4,000.00 St Nicholas 3,915.00 Holy Cross Emalindi 3,800.00 St Francis De Sale Ebukuya Special 3,780.00 Joysil Preparatory School 3,740.00 Shirotsa 3,500.00 Shibuye Girls 3,500.00 Mary Immaculate Chimoi 3,170.00 St Columban Eregi Mixed 3,000.00 St Joseph Simboyi 3,000.00 St Paul’s Shivakala 3,000.00 Shitoli Primary 3,000.00 St Augustine Lubao 3,000.00 St Joseph’s Academy 3,000.00 St Peter’s Ebuhayi 3,000.00 St Peter’s Mautuma Boys 3,000.00 St Peters Moi’s Bridge 3,000.00 St Paul’s Shibuye Pri 3,000.00 St Getrude Sasala Academy 3,000.00 St Lucia Irobo 3,000.00 St Martin Mumias 3,000.00 St Patrick Homunoywa 2,800.00 St Antony Shijiko 2,745.00 Trinity Academy 2,725.00 Chimoi Mhm 2,640.00 Ikulumwoyo 2,630.00 St Elizabeth Erusui Girls 2,600.00

St Louis Saisi Mautuma 2,500.00 Musembe 2,500.00 St Augustine Milimani 2,500.00 St Mathias Mulumba Shisesya 2,450.00 St Joseph Nyorotis 2,300.00 St Benedict Buloma 2,240.00 Shichinji 2,200.00 Lumino 2,200.00 Chamakanga Special 2,150.00 Lutaso 2,100.00 Notre Dame Education Centre 2,000.00 St Christopher Milimani 2,000.00 St Theresa 2,000.00 St Francis Xavier Kilagiru 2,000.00 St Mathews Hamisi 2,000.00 St Paul’s Mwirembe 2,000.00 St Kizito Shihingo – Lubao 2,000.00 Shikoti Girls 2,000.00 St Antony Kakoyi 2,000.00 Shikoti Mixed 2,000.00 Ikonyero 2,000.00 St Cecilia Lunyinya 2,000.00 St Thomas Aquinas Mirembe 2,000.00 Sacred Heart Itenyi 2,000.00 St Thomas Aquinas Musoli Mixed 2,000.00 Mukoye 2,000.00 Isongo 2,000.00 St Christopher Enyapora 2,000.00 St Joseph Lusumu 2,000.00 Shiyabo 1,950.00 St Vincent De Paul 1,800.00 St Peter’s Kalenda 1,600.00 St Beatrice Academy 1,585.00 Nyapwaka 1,540.00 St Monica Shipalo 1,500.00 Malinya 1,500.00 St Cecilia Ichina 1,500.00 St Anne Matende 1,500.00 Iguhu 1,500.00 Mukunyuku 1,500.00 St Ludovic Imalaba 1,430.00 Kaluni Pri. School 1,400.00 Ebukaya 1,200.00 St Mathias Itulubini 1,200.00 St Theresas Nursery Hambale 1,200.00 Sabane 1,200.00 Shivikhwa 1,200.00 St Benedict Binyenya 1,200.00

Page 45: © KCCB -Tume ya Kikatoliki ya Haki na Amani

45

St Basil Lurambi 1,160.00 St Marys Mutenyo 1,070.00 St Emillian Eregi Special 1,000.00 St Theresa Ishieywe 1,000.00 St John Shinoyi 1,000.00 Namatala 1,000.00 Shihome 1,000.00 St Lawrence Ichina 1,000.00 St Joseph’s Ingolomosio 1,000.00 St Emmanuel Masasuli 1,000.00 St Idda Academy 1,000.00 St Michael Irenji 1,000.00 St Kizito Bukusi 1,000.00 St Francis Navangala 1,000.00 St Monica Lugose 1,000.00 Shibuname 1,000.00 Shikulu 1,000.00

Holy Family Marukusi 1,000.00 Mayuge 1,000.00 St Benedict Budonga 1,000.00 St Peter’s Simakina 1,000.00 Kamuli 750.00 Emukhunzulu 720.00 St Don Bosco Special 705.00 St Pauls Mutua 665.00 Lwanaswa 500.00 St Philips Mukomari 500.00 Chirobani 500.00 St Mary’s Ecde Centre Chimoi 500.00 Shisele 500.00 Jumla ndogo 508,612.00 jumla 6,613,603.00 Fungu lililopewa afisi ya kitaifa ya KCCB-CJPC

2,500,000.00

JIMBO LA MACHAKOS Parokia/Taasisi KiasiSyokimau 399,100.00 Tala Central 357,682.00 Kyale 325,565.00 Katangi 255,000.00 Matiliku 250,000.00 Tawa 232,220.00 St Mary’s Tala 231,189.00 Mbumbuni 226,260.00 Ikalaasa 218,350.00 St Jude-Athi River 200,000.00 Kaumoni 183,185.00 Matuu 152,000.00 Our Lady of Lourdes Cathedral

140,000.00

Komarock 128,800.00 Kithimani 126,895.00 Nguluni-Tala 116,455.00 Mlolongo 106,743.00 Kitwii 106,570.00 Kabaa 91,000.00 Muthetheni 90,000.00 Nzaikoni 86,465.00 Kaunguni 86,000.00 Kinyui 80,000.00 Kithangaini 76,500.00

Kathongweni 75,400.00 Kanzalu 75,000.00 Katoloni 73,659.00 Kaewa 73,380.00

Mwala 73,360.00 Mbuvo 70,000.00 Ngunga 70,000.00 Matituni 70,000.00 Mbooni 70,000.00 Donyo Sabuk 70,000.00 Mtito Andei 65,000.00 Mbiuni 62,000.00 Kalawa 61,000.00 Utangwa 60,000.00 Tulimani 60,000.00 Kyumbi 60,000.00 Kikumini 59,550.00 Kilungu 57,000.00 Mbitini 56,300.00 Joska 52,500.00 Mukuyuni 51,976.00 Emali 51,450.00 Miseleni 51,180.00 Kola 50,000.00 Kambu 44,700.00 Mitaboni 44,650.00

Kathongweni 75,400.00 Kanzalu 75,000.00 Katoloni 73,659.00 Kaewa 73,380.00 Mwala 73,360.00 Mbuvo 70,000.00 Ngunga 70,000.00 Matituni 70,000.00 Mbooni 70,000.00 Donyo Sabuk 70,000.00 Mtito Andei 65,000.00 Mbiuni 62,000.00 Kalawa 61,000.00 Utangwa 60,000.00 Tulimani 60,000.00 Kyumbi 60,000.00 Kikumini 59,550.00 Kilungu 57,000.00 Mbitini 56,300.00 Joska 52,500.00 Mukuyuni 51,976.00 Emali 51,450.00 Miseleni 51,180.00 Kola 50,000.00 Kambu 44,700.00

Page 46: © KCCB -Tume ya Kikatoliki ya Haki na Amani

46

Masii 41,900.00 Mary Mount Chaplaincy

41,750.00

Ndithini 40,500.00 Mbuani 40,000.00 Kasikeu 37,050.00 St Camilus Chaplaincy

36,600.00

Ekalakala 36,000.00 Makaveti 33,300.00 Masinga 31,040.00 Kangundo 28,000.00 Kiongwani 27,550.00 St Martin Matuu 27,000.00 Mavoloni 26,050.00 Machakos Univer-sity Chaplaincy

25,419.00

Mananja 25,000.00 Kithyioko 23,500.00 Kavatini 23,300.00 Kawethei 21,700.00 Kinyambu 18,000.00 Nguluni-Kilungu 16,315.00 Kwakathule 15,700.00 St Jude Kivaa 14,100.00 Yathui 14,000.00 Thatha 12,250.00 St Joseph’s Chap-laincy-Prisons

11,000.00

Sultan Hamud 9,000.00 Katheka 4,500.00 Makueni - Makindu -

JIMBO KUU LA KISUMUParokia Kiasi Milimani (St Joseph) 287,598.0 Barkorwa (O.l. Assumption) 250,000.0 Cathedral (St Theresa) 200,000.0 Magadi (St James) 170,420.0 St Paul Kanyakwar 161,754.0 Riwo (St Francis) 150,000.0 Nyabondo (St Joseph) 120,200.0 Ahero (O.l. Perpetual Help) 120,000.0 Bondo (St Andrew) 100,000.0 Nyamasaria (St Monica) 85,000.0 Siaya (Holy Cross) 85,000.0 St Pantaleon Siaya 83,000.0 Bolo (Our Lady of Lourdes) 70,000.0 Nyawita (St Leonida) 67,728.0 Raliew (St Anthony) 60,000.0 Ukwala (O.l. Of Fatima) 53,000.0 Nyangoma (Sacred Heart) 50,000.0 Lwak (St Peter Claver 50,000.0 Sega (St Anne & Jochim) 48,000.0 Mban (St Leo the Great) 47,250.0 Reru (Sacred Heart) 41,900.0 Ojola (St Aloysius) 41,500.0 Uradi (St Lawrence) 40,030.0 Yala (St Peter Claver) 40,000.0 Yogo (St Catherine of Sienna) 40,000.0 Sigomere (St Michael) 40,000.0 Nanga (St Peter the Apostle) 40,000.0 Tamu (Benedict) 39,380.0

Katito (Christ the King) 36,500.0 Kajulu (St Anthony) 35,000.0 Nyagondo (Mary Immaculate) 34,500.0 Ugunja (St Joseph the Worker) 33,515.0 Obambo (St John Paul II) 30,290.0 Uwai (St Joseph) 30,000.0 Rabuor (St John Xxiii) 30,000.0 Madiany (St Sylvester) 30,000.0 Rangala (Holy Trinity) 25,200.0 Kawuondi (St Teresa of Calcutta) 25,000.0 Muhoroni (O. L. Queen of Peace) 25,000.0 Withur (St Raphael) 21,350.0 Nyamonye (St Augustine) 21,000.0 Koru (Holy Family) 20,020.0 Kogola (St Christine) 20,000.0 Chiga (St Mary’s) 20,000.0 Kajimbo (St Zacchaeus) 20,000.0 Awasi (St John the Apostle) 20,000.0 Kowet (St Zacchaeus) 19,000.0 Aluor (St Boniface) 18,000.0 Kianja (St Dominic) 16,846.0 Mbaga (St Paul) 15,000.0 Mutumbu (St Kizito) 10,000.0 Masogo (St Boniface) 10,000.0 Nduru (Our Lady of the Rosary) 5,500.0 Kibuye/Bondo (St Paul Vi) 3,000.0 Usenge-Mageta (St Martin) - Jumla ndogo 3,156,481.00

Mavindini - Kibwezi - Makutano - Jumla ndogo 6,554,608.00

Kaseve Secondary 2,000.00 Ndithini Sec Sch 1,180.00 Precious Blood Secondary

7,000.00

St Teresia Kilungu Academy

1,700.00

Jumla ndogo 11,880.00 Jumla 6,566,488.00 Fungu lililopewa afisi ya kitaifa ya KCCB-CJPC

2,152,129.00

Page 47: © KCCB -Tume ya Kikatoliki ya Haki na Amani

47

Taasisi/ShuleUzima University College-St Paul’s 135,000.00 St Barnabas Girls’ Sec-Barkorwa 62,000.00 St Mary’s Lwak Girls High Sch 50,000.00Kuap Pandi-Milimani 40,000.00 St Anne Ahero Primary -Ahero 30,000.00 Maseno Chaplaincy (St Anne’s) 30,000.00 Holy Family Mission Hospital-Koru 26,250.00 Holy Trinity Rangala Boys High 20,000.00 St Mary’s School Yala 20,000.00 Sianda Secondary-Ojola 18,885.00 Nyabondo High School 17,100.00 Aluor Girls Secondary -Aluor 15,000.00 Xaverian Primary- Milimani 15,000.00 Fr Gullik Girls Sec Sch-Uradi 14,000.00 Nyagondo Secondary-Nyagondo 11,500.00 Raliew Secondary 11,000.00 Koru Girls High 10,405.00 Archbishop Okoth Ojola Girls 10,140.00 St Gabriel’s Minor Seminary-Ojolla 10,000.00 St Monica Hospital-St Paul’s 10,000.00 St Pius Got Mataro Sec-Nyamonye 10,000.00 St Elizabeth Hospital -Chiga 9,200.00 St Ignatius Magadi Sec Sch 8,952.00 St Aloys Ojolla Boys Boarding Pri 8,450.00 Nyabondo Boys Boarding Pri 8,000.00 Joot Mtakatifu-Katito 8,000.00 Nyabondo Mission Hospital 8,000.00 Nyabondo MTC 8,000.00 Rangala Girls Sec Sch 7,600.00 Ragumo Primary-Nyamasa 7,500.00 Bondo University Chaplaincy 7,000.00 St Augustine’s Kandege Sec-Koru 6,500.00 Milimani Parish Fathers’ House 6,300.00 St Joseph Nyalula-St Pantaleon 6,040.00 Our Lady of Grace Pri-St Paul’s 5,560.00 Bethany Community -Lwak 5,550.00 Rambugu Mixed Sec Sch -Lwak 5,500.00 Kanyakwar Primary-St Pauls 5,250.00 St Mary Elizabeth Sec Sch-Riwo 5,050.00 St Elizabeth Barkorwa Girls Pri 5,000.00 Ukwala High School-Ukwala 5,000.00 Ssnd Formation House-St Paul’s 5,000.00 St Mary Magdalene Oasis of Peace-Chiga

5,000.00

Fr Oudera Special Sec-Nyangoma 5,000.00 Xaverian Secondary-Milimani 5,000.00 St Mark’s Kagilo Sec -Nyagondo 4,000.00 Padre Pio Girls’ Masogo 4,000.00

Our Lady Queen of Peace Sec Sch-Muhoroni

4,000.00

St Stephen’s Menara Boys H-Koru 4,000.00 St Patrick Oduwo Sec-Muhoroni 4,000.00 St Agnes Education Centre-Ahero 3,700.00 St Stephen’s Aluor Mixed Sec 3,500.00 Disi Primary School-Ahero 3,455.00 St Elizabeth Lwak Mission Hosp 3,400.00 Ombaka Secondary-Ahero 3,350.00 Nyangoto Secondary -Ahero 3,000.00 St Bede Sirangu Mixed Sec-Ukwala 3,000.00 Sisters of Mary-Milimani Convent 3,000.00 Sisters of Mary-Ojolla Convent 3,000.00 Bolph-Milimani Town Community 3,000.00 Pap Olang Primary-Ukwala 3,000.00

Ahero Father’s House 3,000.00 Adok Secretariat-Kibuye 2,900.00 Lwak Girls Primary Boarding 2,700.00 Ayweyo RC Secondary -Ahero 2,500.00 Sirembe Secondary 2,500.00 Angira Secondary School-Riwo 2,150.00 Nyagondo Primary 2,125.00 Blessed Virgin Nursery-St Paul’s 2,000.00 Ahero Youth Polytechnic 2,000.00 Okanja Secondary-Ahero 2,000.00 Umwend Secondary-Ukwala 2,000.00 Lwak Postulancy 2,000.00 ADOK Marian Catholic Book-shop-Kibuye

2,000.00

Bolph-Koru Formation House 2,000.00 St Charles Lwanga NdoriPrimary-Katito

2,000.00

Kowire Primaryl-Katito 1,850.00 Boya Primary-Ahero 1,750.00 Usenge High School-Nyamonye 1,660.00 Ogwedhi Primary-Koru 1,650.00 Katito Choir-Katito 1,600.00 Kayieye Primary-Nyagondo 1,560.00 Kagilo Primary-Nyagondo 1,560.00 Konim Secondary-Ahero 1,560.00 Obiayo Primary-Ahero 1,550.00 St Dominic Rota Primary -Ojolla 1,540.00 St Aloys Primary-Katito 1,500.00 Lisana Seccondary-Katito 1,500.00 St Lazarus Primary-Lwak 1,500.00 St Patrick Ukwala Girls Primary 1,500.00 Lisana Primary-Katito 1,450.00 Nyasidhi Primary-Nyagondo 1,325.00 Kajimbo Father’s House 1,300.00

Page 48: © KCCB -Tume ya Kikatoliki ya Haki na Amani

48

St Sylvester Primary-Mban 1,300.00 Boi Secondary-Raliew 1,200.00 Highway Academy-Lwak 1,200.00 St Aloys Secondary-Katito 1,050.00 Dura Primary-Uradi 1,050.00 Uradi Primary 1,020.00 St Gabriel’s Barandingo Pri-Ojolla 1,010.00 Kobelo Primary-Katito 1,000.00 Disi Secondary-Ahero 1,000.00 Kochieng Primary-Ahero 1,000.00 St Clare Ecd-Lwak 1,000.00 FSJ Ukwala Convent-Ukwala 1,000.00 FSGS-Muhoroni Convent 1,000.00 FSGS-St Monica Convent -St Paul’s 1,000.00 Sigweny Karuoth Sec Sch-Ukwala 1,000.00 St John’s Primary-Koru 1,000.00 FSGS- Yogo Convent 1,000.00 St Paul Obambo-St Pantaleon 1,000.00 Mariwa Secondary -Muhoroni 1,000.00 Okiro Primary-Ahero 900.00 St Elizabeth Grail Academy-Ojolla 700.00 Ngomo Primary-Katito 620.00 Barkawanda-Nyagondo 600.00 St Magdalene Academy -Ukwala 600.00 St Francis Nyawara Pri-Ojolla 600.00

Daughters of the Holy Spirit-Mili-mani

530.00

Orombe River Pri Sch-Nyagondo 500.00 Obwon Primary-Katito 500.00 Korowe Primary-Ahero 500.00 Bacho Pr School-Ahero 500.00 Bar Oninge Primary-Ukwala 500.00 St Thomas Doho Primary-Ukwala 500.00 Nyanganga Primary-St Pantaleon 500.00 Nyachoda Primary-Ahero 450.00 Lake Lera Academy-Riwo 400.00 Kasao Primary-Katito 300.00 Gangu Primary-Lwak 250.00 Angira Primary-Riwo 200.00 Ulawe Apate Primary -Uradi 160.00 jumla ndogo 868,007.00 Jumla kuu 4,024,488.00 Fungu lililopewa afisi ya kitaifa ya KCCB-CJPC

2,037,244.00

JIMBO LA ELDORET

Parokia KiasiArror 24,250.00 Burnt Forest 35,000.00 Chemnoet 35,000.00 Cheptarit - Chepterit 105,300.00 Chepterwai 54,560.00 Cheptiret 16,000.00 Chepkatet - Chesoi 49,740.00 Chesongoch 22,500.00 Embobut 14,600.00 Endo 26,000.00 Huruma 182,885.00 Iten 30,000.00 Kaiboi 30,700.00 Kabechei 8,360.00 Kabuliot 95,966.00 Kamwosor 5,000.00

Kapcherop 60,000.00 Kapkemich 20,850.00

Kapkeno 5,300.00 Kapsabet 218,526.00 Kapsoya 186,000.00 Kapsowar 43,000.00 Kaptuli 16,450.00 Kaptagat - Kapyemit 200,000.00 Kapkenduiywo 55,000.00 Koptega 12,750.00 Kimumu 173,000.00 Kipsebwa 22,600.00 Kipngeru 10,000.00 Kobujoi 22,385.00 Langas 120,000.00 Lelwak 71,500.00 Majengo 225,840.00 Matunda 35,000.00

Moi University Chaplaincy

56,800.00

Moiben 41,800.00 Moi’s Bridge 91,050.00 Mokwo 36,400.00 Mosop 60,025.00 Nandi Hills 100,000.00 Ndalat 15,625.00 Nerkwo 28,055.00 Ol’Lessos 40,975.00 Ossorongai 73,100.00 Sacred Heart Cathedral

167,650.00

Sangalo 25,000.00 Soy Parish 57,203.00 St Augustine-Em-sea

18,000.00

St John XXIII Parish

88,300.00

Singore Chap-laincy

21,000.00

Page 49: © KCCB -Tume ya Kikatoliki ya Haki na Amani

49

Tambach 21,575.00 Tachasis 9,000.00 Tembeleo 23,550.00 Timboroa 7,400.00 Tindinyo 45,000.00 Tiryo 30,500.00 Turbo 30,000.00 Yamumbi 90,212.00 Turbo Girls Chaplaincy

15,000.00

Ziwa 11,050.00 CUEA Gaba Campus

14,620.00

School of Law Annex

3,030.00

Eldoret Prisons Chaplaincy

15,800.00

Jumla ndogo 3,471,782.00

Shule za msingiOur Lady of Assumption Academy Eldoret

-

St Augustine Tinyo

720.00

St Joseph Kilos Primary

650.00

Kapkenyeloi 1,500.00 St Thomas Kap-chorua

4,975.00

Queen of Angels Academy

15,030.00

Roadmap Acade-my-Mosop

1,400.00

Kamurto-Mosop 600.00

Kapchemurkel-det-Mosop

300.00

St Charles Lwan-ga-Chepkoiyo

3,150.00

Our Lady of Peace Nandi Hills

6,200.00

Apostolic Carmel Pri/Pre

51,750.00

Chorwa-Embobut 1,300.00 St Gabriel Mission School-Lemeiwa

725.00

St Michael Acade-my-Embobut

2,550.00

St Placido Acade-my Kamwosor

2,400.00

St Jude Acade-my-Huruma

9,750.00

St Paul Kabechei 1,250.00 St Patrick Kabirir-sus

1,250.00

Christ the King-Tindinyo

2,500.00

Kapsergong 1,300.00 St Lawrence Acad-emy-Ketigoi

1,500.00

St John Acade-my-Setano

300.00

Holy Family Mission School-Kapsowar

3,000.00

Tugumoi 250.00 St Benedictine Academy-Kab-ichei

515.00

St Vincent Acade-my-Kabirokwo

3,500.00

Bishop Delany 2,500.00 Pilass Preparatory Kamasai-Chepterwai

3,250.00

St Christine -Koria 1,000.00 St Francis - Kasar 600.00 St Mary Kongoro 450.00 Jumla ndogo 126,165.00

MashirikaASE-Novitiate Community

7,950.00

St Brendan Com-munity Ass

2,100.00

SJBS-Cornelian Sisters-Hazina Community

4,030.00

Small Homes 4,000.00 Jumla ndogo 18,080.00

Shule zasekondariSt Francis - Kasar 700.00 Turbo Girls 2,150.00 Fr Mair Girls 6,350.00 St Teresa of Avil-la-Ndalat

24,000.00

St Andrew’s Koibarak

3,550.00

Our Lady of Vic-tory Kapnyeberai

17,000.00

St Peters Kamasai, Chepterwai

5,000.00

St John Paul II Girls-Chepterwai

4,350.00

St Monica-Sinon 3,000.00 Seko Girls High 2,000.00 St Patrick Kabirir-sus

741.00

St Benedict-Teber 450.00 St Elizabeth Chep-kunyuk

10,280.00

St Mary’s High School-Kitany

21,800.00

St Mary’s Tachasis Girls

14,000.00

Kamoi-Kapcherop 8,000.00 Kaptagat Girls 42,000.00 Kondabilet 5,000.00 Apostolic Carmel 7,000.00 St Mary’s Girls-Kapsabet

12,000.00

St Peter’s Kaptata 2,310.00 St Anthony Barsimba

3,400.00

St Andrew’s Chelet 6,000.00 St Anthony Kap-tumek

6,200.00

Maraba 2,000.00 Kabirirsang 10,000.00 St Benedict Arror 5,080.00 St Michael Kap-kenduiywo

2,000.00

Jumla ndogo 226,361.00

VyuoMadonna Teach-ers College

3,000.00

Jumla kamili 3,845,308.00 Fungu lililopewa afisi ya kitaifa ya KCCB-CJPC

1,892,129.00

Page 50: © KCCB -Tume ya Kikatoliki ya Haki na Amani

50

JIMBO LA NYAHURURUParokia KiasiOl Kalou 252,450.00 Cathedral 226,180.00 Ol Joro Orok 184,502.00 Ng’arua 125,000.00 Mairo Inya 117,630.00 Equator 105,000.00 Ndaragwa 102,450.00 Kasuku 100,420.00 Marmanet 93,330.00 Ngano 83,000.00 North Kinangop

80,701.00

Ndunyu Njeru 79,000.00 Mutanga 70,396.00 Shamata 63,050.00 Shamanei 62,638.00 Murungaru 59,750.00 Rironi 54,000.00

Rumuruti 51,620.00 Weru 48,500.00 Muhotetu 47,480.00 Njabini 46,330.00 Magumu 45,600.00 Pondo 45,000.00 Manunga 43,680.00 Geta 40,200.00 Ngorika 35,600.00 Igwamiti 35,565.00 Dundori 31,000.00 Mukeu 31,000.00 Tumaini 30,000.00 Ol Moran 25,000.00 Mochongoi 24,000.00 Sipili 24,000.00 Kanyagia 20,000.00 Maina 8,000.00

JIMBO LA EMBUParokia Kiasi

St Paul’s Kevote 402,000.00

St Joseph Mukasa Mbiruri 353,315.00

Sacred Heart Kyeni Parish 368,697.00

St Francis of Asissi Nthagaiya 260,020.00

Our Lady of Assumption Embu 321,785.00

St Joseph Kianjokoma 236,190.00

Holy Family Nguviu 204,350.00

Saints Peter & Paul Cathedral 153,928.00

St Teresa Kithimu 323,495.00

St Thomas Moore Kairuri 114,000.00

St Francis Xavier Siakago 100,000.00

Our Lady of Consolata Iriamurai 107,501.00

Good Shepherd Ishiara 172,715.00

St Benedict Karau 116,465.00

Mary Mother Of God Karurumo 70,640.00

Sacred Heart Karaba Wango 23,975.00

St Anthony Of Padua Mutuobare 60,475.00

Christ The King Kathunguri 63,130.00

St Lawrence Munyori 72,125.00

St John The Baptist Kirie 45,230.00

St Paul’s Makima 30,000.00

Holy Trinity Gwakaithe 45,000.00

Jumla ndogo 3,645,036.00

Taasisi/Shule

Parokia ya Our Lady of Assumption Embu

Kangaru Girls Secondary 1,380.00

Kangaru Boys Secondary 950.00

Gituri Secondary 1,390.00

St Martha Gatoori Secondary 2,135.00

St Martha Gatoori Primary 2,085.00

St Michael Primary 1,230.00

KMTC - Embu 500.00

Gituri Primary 585.00

Our Lady of Assumption Embu Pri 3,987.00

St Emilio Primary Embu 2,715.00

St Angela Embu Children’s Home 2,790.00

Priests Embu Parish 6,400.00

Embu University 14,500.00

Jumla ndogo 40,647.00

Parokia ya Holy Family Nguviu

TaasisiLaikipia Universi-ty Chaplincy

13,715.00

North Kinangop 11,526.00 Mary Mother of Grace

9,128.00

Ngumo Boys 5,000.00 Ol Joro Orok Boarding Primary

4,650.00

St Anne institute 4,110.00 Kangui Secondary 3,700.00 Leshau Secondary 3,500.00 Ahiti Institute-Ol Joro Orok

1,100.00

Gatundia Sec-ondary

250.00

Jumla ya 2/3 2,548,751.00 Fungu lililopewa afisi ya kitaifa ya KCCB-CJPC

1,274,375.50

Page 51: © KCCB -Tume ya Kikatoliki ya Haki na Amani

51

TaasisiLaikipia Universi-ty Chaplincy

13,715.00

North Kinangop 11,526.00 Mary Mother of Grace

9,128.00

Ngumo Boys 5,000.00 Ol Joro Orok Boarding Primary

4,650.00

St Anne institute 4,110.00 Kangui Secondary 3,700.00 Leshau Secondary 3,500.00 Ahiti Institute-Ol Joro Orok

1,100.00

Gatundia Sec-ondary

250.00

Jumla ya 2/3 2,548,751.00 Fungu lililopewa afisi ya kitaifa ya KCCB-CJPC

1,274,375.50

St John Karumiri Primary School 1,600.00

St Monica Academy 390.00

St Ursula Boarding Primary 2,895.00

Muvandori Secondary 5,470.00

Holy Family Nursery & Primary 1,255.00

St Alphonse Secondary 6,310.00

Gicherori Primary 2,645.00

Mt Kenya Oasis Academy 500.00

St Thomas Moore Nguviu Boys 3,645.00

St Joseph Ndunda Primary 2,285.00

St Peter’s Kathakwa Secondary 1,700.00

Muvandori Primary School 2,720.00

St Angela’s Nguviu Girls 4,295.00

Nazareth Sisters Nguviu Community 500.00

Clergy Nguviu Parish 3,100.00

St Francis Primary School 580.00

Jumla ndogo 39,890.00

Parokia Good Shepherd Ishiara

St Timothy Kianjru Secondary 4,600.00

St Michael Kyenire Scendary 5,745.00

St Thomas Kigwambiti Secondary 7,001.00

St Peter Mbaraga Secondary 1,760.00

Mbaraga Primary 1,255.00

St Peter Upper Primary 11,300.00

Kigwambiti Primary 4,050.00

St Teresa Fasce Primary 12,802.00

St Mary Nthabari Primary 7,496.00

Kambugu Primary 3,240.00

Mang’ote Primary 935.00

Ciaikungugu Primary 1,800.00

St Kizito Primary 4,736.00

Karambare Primary 500.00

Kyenire Primary 1,275.00

St Catherine Polytechnic 500.00

Augustinian Monastery Sisters 2,000.00

S t Monica Girls - Ishiara 46,000.00

Jumla ndogo 116,995.00

Parokia ya St Benedict Karau

St Benedict Karau Primary 8,025.00

Stalite Academy 500.00

St Joseph The Worker Secondary 4,000.00

Kathuniri Primary 2,440.00

Kathunuri Primary Staff 1,000.00

St Hellen Karimari Primary 1,700.00

St. Hellen Karimari Pri School Staff 1,000.00

St Mary Gorette Primary 480.00

St Mary Gorette Primary Staff 1,050.00

Rugumu Primary 1,340.00

Rugumu Primary Staff 510.00

Divine Mercy Secondary 12,600.00

Divine Mercy Secondary Staff 3,100.00

Queen of Wisdom Primary 2,250.00

Ycs Kagumori Secondary 840.00

Karau Secondary Staff 2,200.00

Karau Secondary Student 2,620.00

Jumla ndogo 45,655.00

Parokia ya St Paul’s Kevote

Priests Kevote Parish 5,000.00

St Joseph of Tarbes Primary 9,405.00

St Joseph of Tarbes Secondary 7,355.00

Mt Kenya Academy Pupils 2,235.00

Consolata Primary Staff 900.00

Consolata Primary Pupils 2,905.00

St Michael Primary Staff 1,670.00

St Michael Primary Pupils 8,820.00

St Philip’s Makengi Primary 3,675.00

St Catherine Keruru Primary 1,225.00

St Paul Parochial Primary 4,315.00

St Joseph Kiandari Primary 4,540.00

St Joseph Kiandari Primary Staff 1,300.00

St Francis Ngoire Primary 4,045.00

St Francis Ngoire Primary Staff 500.00

Kianjuki Primary 1,120.00

St Michael Secondary Students 4,245.00

St Michael Secondary Staff 1,250.00

Consolata Girls Secondary 10,000.00

St Francis Ngoire Secondary 1,835.00

St Francis Ngoire Secondary Staff 600.00

Kianjuki Secondary 1,100.00

St Paul’s High 123,020.00

Jumla ndogo 201,060.00

Saints Peter & Paul Cathedral

Rianjeru Primary 650.00

Itabua Primary 3,000.00

Embu High 1,720.00

Page 52: © KCCB -Tume ya Kikatoliki ya Haki na Amani

52

Private Party 300.00

Carlo Liviero Home 6,000.00

Embu Shepherd 2,000.00

Saints Peter & Paul School 1,845.00

Kaninwanthiga Primary 1,700.00

Pmc Muthatari Prayer House 600.00

Pmc Rwika Prayer House 1,270.00

Pmc Njakairi Prayer House 260.00

Pmc Kimangaru Prayer House 830.00

Doe Clergy House 5,000.00

Jumla ndogo 25,175.00

Parokia ya St John the Baptist Kirie

Usambara Primary 415.00

Itururi Primary 405.00

Kingo Primary 530.00

St Elizabeth Parochial Primary 2,000.00

Kirie Primary 3,065.00

Karui Primary 1,845.00

Kirie Secondary 1,510.00

Mbarwari Secondary 640.00

Kirigo Secondary 330.00

Jumla ndogo 10,740.00

Parokia ya St Joseph Kianjokoma

Clergy Kianjokoma Parish 3,500.00

St Joseph Kianjokoma Primary 4,969.00

St John Gaikama Boarding Primary 1,584.00

St Magdaline School 574.00

Kathande Secondary 284.00

Mugui Primary 3,246.00

St Boniface Secondary 2,540.00

Jumla ndogo 16,697.00

Parokia ya St Francis of Assisi Nthagaiya

St Jereme Ugweri Secondary 895.00

Kigaa Primary 2,770.00

Clergy Nthagaiya Parish 4,000.00

Elizabethian Sisters Nthagaiya 1,400.00

Nthagaiya Dispensary 1,100.00

Nthagaiya Primary 1,655.00

St Paul Gatinda Primary 2,230.00

Sub-total 14,050.00

St Teresa’s Kithimu Parish

St Teresa’s Kimu Girls 57,760.00

St Benedicts Day Secondary 570.00

St Mary’s Ithangawe Primary 5,150.00

St Michael Kithimu Primary 1,100.00

St Andrews’ Primary 6,400.00

Bls Joseph Joseph Allamano Pri 1,050.00

St Christopher Day Secondary 600.00

Nembure Primary 6,775.00

Nembure Juniour Academy 1,550.00

Nembure Dispensary 415.00

Mother Angelina Academy 3,315.00

Bethany Academy 455.00

Nembure Polytechnic 1,750.00

St Joseph M’tetu Secondary 655.00

Mbukori Primary 850.00

Kamuthatha Boarding Primary 7,200.00

Rukira Secondary 899.00

Rukira Primary 1,940.00

Kithimu Parish Clergy 1,000.00

Nembure Primary Teachers 1,450.00

St Christopher Day Sec Teachers 1,000.00

Jumla ndogo 101,884.00

Parokia ya St Lawrence Munyori

YCS Nyangwa Boys 1,420.00

YCS Kabururi Secondary 1,650.00

St Clare Girls Kangeta 2,610.00

St John Kangungi Primary 1,785.00

Yoder Karwigi Secondary 1,125.00

Kamunyange Primary 2,600.00

Munyori Primary 1,000.00

St Andrew Mutus Secondary YCS 1,110.00

St Mary’s Gataka Primary 1,860.00

St Mary’s Gataka Secondary 400.00

Rianguu Primary 600.00

Rugakori Primary 600.00

Jumla ndogo 16,760.00

Parokia ya St Joseph Mukasa Mbiruri

Kubukubu Baording Primary 10,020.00

DEB Muragari Primary 190.00

Millenium Academy 1,610.00

Our Lady of Annunciation Mbiruri 3,060.00

SA Nduuri Secondary 1,030.00

Page 53: © KCCB -Tume ya Kikatoliki ya Haki na Amani

53

SA Nduuri Primary 2,835.00

DEB Gitare Secondary 2,385.00

St Joseph Munyutu Primary 1,005.00

DEB Gitare Primary 750.00

ACK Kagaari Secondary 2,725.00

Subrina Academy 1,600.00

DEB Gichiche Primary 1,540.00

Clergy Mbiruri 8,400.00

Jumla ndogo 37,150.00

Parokia ya St Joseph Kianjokoma

St Joseph Primary 4,969.00

St John Fisher Primary 3,824.00

Clergy Kianjokoma 3,500.00

Mugui Primary 3,246.00

St John Fisher Secondary 2,746.00

St Boniface Mugui Secondary 2,540.00

St John Gaikama Boarding Primary 1,584.00

St Mary Magdaline Thigingi Girls 574.00

Kathande Secondary 284.00

Jumla ndogo 23,267.00

Sacred Heart Karaba Wango Parish

Gitaraka Primary 500.00

Consolata Girls Gitaraka Secondary 1,800.00

Koma Primary 500.00

Gitaraka Police Post 400.00

Kaseveni Primary 545.00

Unyuani Primary 480.00

Musingini Primary 580.00

Karaba Primary 605.00

Kikumini Primary 545.00

Kamwiyendei Primary 410.00

Bonzuki Vtc Polytechnic 1,150.00

Bonzuki Secondary 215.00

Fa Masaku & Family 4,190.00

St Rita Iria-Itune Primary 1,475.00

Makawani Primary 550.00

St Brigit Iria-Itune Secondary 1,570.00

Wachoro Boys Secondary 1,860.00

St Mary Primary 1,500.00

Winpride Girls Secondary 150.00

Wakalya Primary 2,340.00

Consolata Karaba Primary 1,650.00

Bonzuki Dispensary 60.00

Jumla ndogo 23,075.00

Parokia ya Sacred Heart Kyeni

Sacred Heart Kyeni Girls High 45,063.00

Sacred Heart Kyeni Girls High - Non Teaching Staff

850.00

Sacred Heart Kyeni Girls High - Teach-ing Staff

1,300.00

Mufu Day Secondary 3,400.00

Sacred Heart Boarding Pri Kyeni 32,020.00

St Luke Primary Rukuriri 1,945.00

Rukuriri Primary 3,130.00

St Mary’s Parochial Primary Kyeni 5,695.00

St Michael Primary -Kiangungi 1,205.00

Sa Secondary Kyeni 2,750.00

Fidenza School of Nursing 1,125.00

Kiangungi Secondary 1,560.00

Kiangungi Deb Primary 200.00

Kiaragana Primary 925.00

Gakwegori Primary 1,170.00

Gakwegori Secondary 10,000.00

Kathari Secondary 1,245.00

Plans View Academy Kathageri 1,160.00

ACK Kathanjuri Primary 410.00

Njeruri Primary 2,150.00

ACK Kathanjuri Secondary 775.00

Felician Sisters Kyeni Community 3,000.00

Sacred Heart Kyeni Parish Clergy 4,700.00

New Kathanjuri Academy 470.00

Kivuria Primary 500.00

St Anthony Kivuria Secondary 500.00

Maria Goretti Girls Rukuriri 5,710.00

Jumla ndogo 132,958.00

Jumla kuu 4,491,039.00

Fungu lililopewa afisi ya kitaifa ya KCCB-CJPC

1,023,894.00

Page 54: © KCCB -Tume ya Kikatoliki ya Haki na Amani

54

JIMBO LA MURANG’A Parokia KiasiKerugoya 326,865.00 Mwea 309,176.00 Gatanga 252,267.00 Kutus 226,081.00 Kiangai 141,600.00 Baricho 134,467.00 Maragua 109,833.00 Mariira 105,500.00 Kagio 102,000.00 Kangaita 100,000.00 Makuyu 99,395.00 Kagumo 92,696.00 Difathas 90,000.00 Kiangunyi 78,545.00 Piai 75,000.00

Kiria-ini 74,000.00 Gaichanjiru 65,000.00 Ithanga 60,000.00 Karumandi 60,000.00 Cathedral 56,964.00 Kanyenya-ini 51,801.00 Sagana 51,490.00 Gacharage 51,000.00 Mukurwe 47,230.00 Karaba 46,297.00 Kianyaga 44,396.00 Mugoiri 41,380.00 Mumbi 37,210.00 Gaturi 34,000.00 Kahatia 30,800.00 Tuthu 27,900.00

JIMBO LA NGONG Parokia/Taasisi Kiasi

Abosi 15,400.00

Embulbul 116,800.00

Enoosupukia -

Entasekera 31,800.00

Ewuaso Kedong 9,780.00

Fatima 213,333.00

Kajiado 33,993.00

Kandisi -

Kibiko 31,688.00

Kilgoris 14,000.00

Kimana - Christ the King 79,514.00

Kiserian 172,647.00

Kisaju 18,500.00

Lemek 29,200.00

Lenkisem 14,518.00

Lolgorien 65,226.00

Loitokitok 32,000.00

Magadi 15,200.00

Mashuru 14,259.00

Matasia 23,760.00

Mulot 57,200.00

N/Enkare 24,950.00

Namanga -

Narosura 15,900.00

St Joseph Cathedral, Ngong -

Nkoroi 141,700.00

Noonkopir 185,450.00

Ololkirikirai 30,150.00

Ongata Rongai 128,651.00

Olokurto - St James 12,000.00

Olooloitikoshi -

Ololulunga -

Rombo 11,200.00

Sultan Hamud 16,100.00

St Joseph HBVM Narok 10,120.00

St Peter Narok 100,000.00

Jumla 1,665,039.00

Fungu lililopewa afisi ya kitaifa ya KCCB- CJPC

819,520.00

Sabasaba 26,605.00

Gatura 26,307.00

Kitito 23,050.00

Ichagaki 21,230.00 Donga 20,000.00 Makomboki 20,000.00 Muthangari 17,400.00 Mahuti 17,000.00 Gitui 15,500.00 Nguthuru 15,000.00 Kibingoti 10,400.00 Jumla 3,235,385.00 Fungu lili-lopewa afisi ya kitaifa ya KCCB-CJPC

940,000.00

Page 55: © KCCB -Tume ya Kikatoliki ya Haki na Amani

55

JIMBO LA NAKURUParokia Kiasi Nakuru DeanerySt Joseph the Worker 128,340.00 St Francis of Assisi Kiti 158,000.00 St Monica-Sec 58 130,000.00 Christ the King Cathedral 82,086.00 Holy Trinity Mlimani Parish 80,000.00 St Augustine Kiamunyi 126,807.00 Holy Cross Parish 75,000.00 St Daniel Comboni-Hekima 37,455.00 Jumla ndogo 817,688.00

Lanet DeanerySt John’s Muguga 150,000.00 St Peter’s Lanet 101,100.00 St Paul’s Wanyororo 39,000.00 St Peter & Paul Kiptangwanyi 40,000.00 St Monica - Lanet 51,000.00 Jumla ndogo 381,100.00

Molo DeanerySt Mary’s Molo 145,990.00 St Timothy Total 55,000.00 St John & Paul Kamwaura 35,000.00 St Simon Peter-Turi 24,700.00 St Kizito Olenguruone 10,000.00 St Veronica Keringet 10,000.00 St Monica Mwaragania 10,000.00 Jumla ndogo 290,690.00

Njoro DeanerySt Lwanga Njoro 62,000.00 Holy Family Mangu 60,000.00 St Peter’s Elburgon 40,000.00 St Joseph Larmudiac 24,000.00 Mary Mother of God Rongai 30,100.00 St Augustine Egerton University 40,666.00 St Francis Lare 38,200.00 Jumla ndogo 294,966.00

Bahati DeanerySt Augustine Bahati 144,560.00 St Michael Kiamaina 103,000.00 St John’s Upper Subukia 95,000.00

St Francis Lower Subukia 60,000.00 All Saints Kabazi 30,000.00 Jumla ndogo 432,560.00

Koibatek DeanerySt Theresa of the Child Marigat 50,000.00 St Patrick’s Eldama Ravine 28,000.00 Holy Cross Mogotio 46,020.00 Jumla ndogo 124,020.00

Kabarnet DeanerySt Joseph’s Kituro 45,000.00 Mary Mother of God Kabarnet 50,000.00 Holy Family Kipsaraman 12,000.00 St Peter’s Kaptere 5,000.00 St Marys Tenges 1,594.00 Holy Rosary Kerio Valley 3,000.00 Jumla ndogo 116,594.00

Naivasha DeanerySt Francis Xavier Naivasha 106,000.00 Holy Spirit Gilgil 102,000.00 St Anthony DCK 100,000.00 St Stephen Karati 30,000.00 Our Lady of Sorrows Kinungi 25,000.00 Saintts Simon & Jude Longonot 20,000.00 St Martin of Tours Gilgil 76,000.00 Sub-total 459,000.00

East Pokot DeanerySt Lukes Tangulbei Mission 17,500.00 Church of Nativity Kositei Mission 4,660.00 Incarnate Word Barpello St Josephine Bakhita-RotuJumla ndogo 22,160.00

TaasisiSt Mary’s Clergy House-Rurii 10,000.00 Bishop’s House 10,000.00 Jumla ndogo 20,000.00 Jumla kuu 2,958,778.00 Fungu lililopewa afisi ya kitaifa ya KCCB-CJPC

650,000.00

Page 56: © KCCB -Tume ya Kikatoliki ya Haki na Amani

56

JIMBO LA KERICHOParokia/Taasisi KiasiBomet 50,000.00 Chebangang 35,000.00 Chebole 12,000.00 Chebunyo 4,000.00 Chemelet 30,000.00 Chepseon 35,080.00 Embomos 4,000.00 Fort-Ternan 30,000.00 Kabianga 14,200.00 Kaboloin 20,000.00 Kapkatet 7,000.00 Kapkilaibei 10,000.00 Kaplomboi 35,000.00 Kaplong 90,000.00 Kapsigiryo 8,200.00 Kebeneti 32,400.00 Keongo 5,000.00 Kimatisio 11,000.00 Kimugul 15,000.00 Kipchimchim 75,200.00 Kipkelion 18,035.00 Kiptere 26,000.00 Koiyet 30,000.00 Litein 100,000.00 Londiani 24,000.00 Longisa 13,500.00

Makimeny 4,000.00 Marinyin 31,200.00 Matobo 150,790.00 Mogogosiek 9,000.00 Mombwo 10,650.00 Mugango 12,000.00 Ndanai 34,000.00 Ndaraweta 13,000.00 Nyagacho 10,500.00 Roret 12,600.00 Sacred Heart Cathedral

13,000.00

Segemik 10,000.00 Segutiet 3,000.00 Sigor 5,000.00 Siongiroi 10,000.00 Sironet 18,000.00 Sotik 50,000.00 Tegat 22,000.00 Telanet 45,000.00 Chepkosiom High 800.00 Kaplong Girls Pri 350.00 Queen of Angels Primary

700.00

Kaplong Boys Pri 430.00 Kaplong Girls High 15,000.00 Queen of Angels High

6,500.00

Kaplong Boys High 5,500.00 St Clare’s Kaplong School of Nursing

1,400.00

Cheptuiyet Girls’ 8,700.00 Sosiot Girls’ 2,300.00 Ndanai Girls’ 5,000.00 Boito Boys’ 2,000.00 St Brigid Girls’ 2,500.00 Chebilat Boys’ 1,220.00 Chebunyo Boys’ 810.00 Chebunyo Girls’ 1,000.00 Bishop Korir Girls Segutiet

1,500.00

Chesoen Girls’ 650.00

Baraka Secondary 800.00

Kaboloin Sec 450.00 Kamungei Sec 760.00 Kiriba Secondary 2,600.00 Kaproron Primary 400.00 Olbutyo Girls High 5,000.00 Kabianga School (Boys High)

2,000.00

Olbutyo Boys High 4,000.00 Mercy Girls Sec-Kipkelion

5,000.00

Jumla 1,275,725.00 Fungu lililopewa afisi ya kitaifa ya KCCB-CJPC

637,862.50

JIMBO LA KITUIParokia Kiasi Migwani 30,000.00 Kabati 66,000.00 Kavisuni 30,400.00 Kyuso 9,000.00 Ikanga 20,100.00 Mutune 38,200.00 Kamuwongo 9,000.00 Nuu 8,900.00 Kiio 11,150.00 Nguutani 40,226.00 Mutomo 94,500.00 Mwingi 75,540.00

Kimangao 8,845.00 Muthale 49,000.00 Mulutu 12,450.00 Boma 100,000.00 Mbitini - Ikutha 9,165.00 Nguni - Miambani 42,000.00 Zombe 15,000.00 Mutito 40,200.00 Museve 40,900.00 Endau 5,970.00 Mbondoni 16,000.00

Page 57: © KCCB -Tume ya Kikatoliki ya Haki na Amani

57

Kaplong Boys High 5,500.00 St Clare’s Kaplong School of Nursing

1,400.00

Cheptuiyet Girls’ 8,700.00 Sosiot Girls’ 2,300.00 Ndanai Girls’ 5,000.00 Boito Boys’ 2,000.00 St Brigid Girls’ 2,500.00 Chebilat Boys’ 1,220.00 Chebunyo Boys’ 810.00 Chebunyo Girls’ 1,000.00 Bishop Korir Girls Segutiet

1,500.00

Chesoen Girls’ 650.00

Baraka Secondary 800.00

Kaboloin Sec 450.00 Kamungei Sec 760.00 Kiriba Secondary 2,600.00 Kaproron Primary 400.00 Olbutyo Girls High 5,000.00 Kabianga School (Boys High)

2,000.00

Olbutyo Boys High 4,000.00 Mercy Girls Sec-Kipkelion

5,000.00

Jumla 1,275,725.00 Fungu lililopewa afisi ya kitaifa ya KCCB-CJPC

637,862.50

Kanyangi 93,000.00 Katutu 21,650.00 Kasyala 27,260.00 Kwa - Vonza - Sub-total 914,456.00

TaasisiFc Assisi Bharan Kamuw’ongo 4,000.00 St Augustine Secretariat 6,200.00 Catholic Women Association 22,000.00 Assumption Sisters of Nairobi (Kitui)

1,000.00

Good Shepherd Primary 8,580.00 St Teresas Ukasi Girls 24,000.00 St Francis Primary, Kamuwongo 6,000.00 Kanginga Oasis Primary 1,000.00 Kathonzweni Secondary 10,000.00 Precious Blood Tyaa Secondary 3,220.00 Katangi Primary 1,065.00 Ikanga Boys Secondary 3,000.00 St Peters Voo Secondary 5,000.00

St Patrick Kyuso Primary 25,000.00 Nguutani Secondary 20,000.00 Ithiani Secondary 4,450.00 St. Stephen Kaveta Secondary 1,000.00 St Angelas Girls Secondary 65,000.00 St Augustines Nguni Secondary 1,800.00 St Francis Of Assis Mwingi Ttc 300.00 St Monica Mulutu Girls 4,000.00 Matinyani Boys 20,500.00 St Josephine Bakhita Pri Zombe 20,000.00 St Gabriel Boarding Primary 40,000.00 Ikanga Girls Secondary 2,000.00 Yambyu Girls 1,000.00 St Johns Kwamulungu Sec Sch 26,950.00 St Ursula Girls 1,690.00 St Michael’s Boarding Primary 88,360.00 Mwingi Secondary 31,544.00 Jumla ndogo 448,659.00 Jumla kuu 1,363,155.00 Fungu lililopewa afisi ya kitaifa ya KCCB-CJPC

596,248.00

JIMBO KUU LA MOMBASA Parokia/Taasisi KiasiBangladesh 31,620.00 Bomu 56,400.00 Bura 8,335.00 Chaani 69,120.00 Chala 8,050.00 Changamwe 168,880.00 Eldoro 5,000.00 Giriama 7,500.00 Holy Ghost Cathedral 215,000.00 Kiembeni 50,800.00 Kikoneni 6,080.00 Kilifi 77,100.00 Kinango 11,100.00 Kitumbi 17,000.00 Kongowea 79,890.00 Likoni 24,000.00 Lushangonyi 15,000.00 Maktau 14,728.00Makupa 30,000.00 Mariakani 28,835.00 Maungu 3,500.00 Mbungoni 43,000.00

Mgange Dawida 16,950.00 Mgange Nyika 11,170.00 Migombani 8,200.00 Mikindani 34,801.00 Mikindani 25,500.00 Miritini 60,000.00 Mtomondoni 17,200.00 Mtopanga 156,572.00 Mtwapa 26,000.00 Ndavaya 4,050.00 Ramisi 26,000.00 Sagalla 4,250.00 Shimba Hills 18,550.00 Sisters of St Joseph-Ukunda 2,000.00 St Angelo Priimary-Ukunda 16,000.00 Customs/Nyali 141,095.00 St George Chaplaincy-Shimo laTewa

6,300.00

St Joseph Nursery & Pri-Tudor 10,000.00 St Joseph Nursery& Primary-Ukunda

12,800.00

Taveta Mjini 32,000.00 St Teresa Girls Secondary 6,800.00

Page 58: © KCCB -Tume ya Kikatoliki ya Haki na Amani

58

St Mary’s Junior Seminary - Kwale 1,880.00 St Joseph Herman Primary-Mto-panga

10,000.00

Star of the Sea Chaplaincy-Pwani University

10,000.00

Taru 10,000.00 Timbila 16,000.00 Timbwani 36,285.00

Tudor 29,570.00 Ukunda 70,000.00 Voi 20,000.00 Wundanyi 7,500.00 Jumla 1,818,411.00 Fungu lililopewa afisi ya kitaifa ya KCCB-CJPC

507,400.00

JIMBO LA HOMA BAYParokia KiasiSacred Heart-Ang’iya 12,000.00 St Theresa’s-Asumbi 91,770.00 St Paul of the Cross-Awendo 45,000.00 St Paul’s Cathedral-Homa Bay 105,450.00 St Thomas More-Isibania 45,330.00 St Michael-Kadem 25,050.00 St Theresa’s-Kakrigu 24,000.00 St Gabirel Our Lady of Sorrows-Karungu

15,280.00

St Charles Lwanga-Kebaroti 9,000.00 St Mathias Mulumba-Kegonga - Our Lady Queen of Martyrs-Kehancha

15,000.00

Our Lady of Immaculate Conception-Kendu Bay

22,150.00

St Mary’s-Mabera 38,318.00 Martyrs of Uganda-Macalder 23,500.00 St Francis of Assisi-Mawego 30,000.00 Star of the Sea-Mbita 22,300.00 St Linus-Mfangano 9,420.00 St Joseph-Migori 10,450.00 St John Mary Vianney-Mirogi 6,030.00 St Peter and Paul-Ntimaru - St Francis of Assisi-Nyagwethe 12,300.00 St Arnold-Nyalienga 27,500.00 St Mary’s-Nyarongi - Blessed Sacrament-Oriang 15,000.00 St Celestino-Oruba 60,000.00 Holy Spirit-Osogo 25,980.00 St Peter’s-Oyugis 108,750.00 Our Lady of Fatima-Rakwaro - St Monica-Rapogi 45,000.00 St Bernadette-Raruowa 7,075.00 St Mary’s-Ringa 10,500.00 St John-Rodi 23,050.00 Emmaus-Rongo 60,000.00

Christ the Good Shepherd-Sindo

12,750.00

St Joseph-Tonga 9,060.00 St Martin De Porres-Ulanda 4,680.00 St Mary’s-Uriri 12,000.00 St Andrew’s Wandiji 12,750.00 Uganda Martyrs-Achego 9,120.00 Holy Family-Ndhiwa 12,750.00 Nyamaharaga 31,320.00 St Anne-Dede 30,000.00 Muhuru Bay - Nyandiwa 6,750.00 St Mary’s Andingo 22,800.00 Jumla ndogo 1,109,183.00

St Mary’s Girls School-Mabera 16,650.00 St John’s Minor Seminary-Rakwaro

7,400.00

St Vincent De Paul RongoUniverity Chaplaincy

9,300.00

St Benedict Parochial Pri-Oruba 11,000.00 St Paul Ageng’a Sec - Macalder 1,500.00 St Gemma Girls Sec-Macalder 3,000.00 YCS Moi Nyatike Boys-Macalder 1,500.00 St Gabriel’s Primary-Macalder 3,000.00 St Peter’s Ofwanga Sec -Rongo 4,800.00 Minyenga Seccondary-Rongo 1,350.00 St Joseph Tuk Jowi Girls Sec-Rongo 20,000.00 Kangeso Seccondary-Rongo 2,200.00 St Mary’s Nyang’ao Sec -Rongo 3,000.00 Nyang’ao Primary-Rongo 150.00 Kodero Obara Sec YCS-Rongo 400.00 Opapo Mixed Secondary-Rongo 2,100.00 Opapo Primary-Rongo 600.00 St Albert Miyare Sec Sch -Rongo 500.00 St Albert’s Girls’H. Sch -Ulanda 157,520.00

Page 59: © KCCB -Tume ya Kikatoliki ya Haki na Amani

59

St Clare’s Nyamasare Girl’s Seccondary-Mbita

4,100.00

Pini Franco Polytechnic-Nyagwethe

500.00

St Monica Devotional Group Nyagwethe

2,100.00

Catechist - Nyagwethe 1,250.00 St Ann Devotional Group-Nyagwethe

2,950.00

Nyagwethe Primary School 1,200.00 Youth Group -Nyagwethe 850.00 Nyagwethe Parish Council Members 1,550.00 St Joseph Ombo Hospital 23,300.00 Orego Primary School-Asumbi 910.00 St Theresa Educational Complex-Asumbi

6,760.00

Fr Scheffer Boy’s Boarding Prima-ry-Asumbi

20,000.00

St William Osodo Mixed Secondary-Mbita

370.00

St Mary’s Primary School-Ringa 1,000.00 Ringa Primary School 2,000.00

Achego Mixed Secondary 9,300.00 Our Lady of Mercy Ringa Boys Secondary

24,025.00

St Francis Nyangajo Girl’s School-Kendu Bay

3,490.00

Uriri Boy’s Secondary 22,600.00 Asumbi Girls National High 60,000.00 St Mary Gorrety Dede High 8,000.00 St Josephine Bakhita Girls’ Sch., Nyalienga

6,500.00

Jumla ndogo 448,725.00 Jumla kuu 1,557,908.00 Fungu lililopewa afisi ya kitaifa ya KCCB-CJPC

400,000.00

JIMBO LA KISIIFungu lililopewa afisi ya kitaifa ya KCCB-CJPC 380,000.00

JIMBO LA MARALAL

Parokia Kiasi

South Horr 91,720.00

Suguta Marmar 48,550.00

Archers Post 110,000.00

Lodokejek 252,000.00

Porro 51,075.00

Morijo 65,200.00

Maralal 144,510.00

Sererit 38,280.00

Barsaloi 21,200.00

Sereolipi 77,365.00

Baragoi 200,000.00

Wamba 151,080.00

Lodungokwe 26,400.00

Tuum 102,000.00

Taasisi

Maralal High School 6,395.00

St Rita - Maralal Catholic Secretariat

23,800.00

Good Shepherd Minor Seminary

12,300.00

KCB Bank 50,000.00

Jumla 1,471,875.00

Fungu lililopewa afisi ya kitaifa ya KCCB-CJPC

350,000.00

JIMBO LA KITALEParokia Kiasi Immaculate 109,986.00 Kipsaina 70,000.00 Christ The King 69,000.00

Kwanza 62,010.00 Kachibora 57,890.00 Kibomet 50,015.00 Kaplamai 45,000.00

Kolongolo 41,000.00 Kapkoi 39,150.00 Kapenguria 38,900.00 Chepchoina 37,950.00 Endebess 35,000.00 Sirende 27,000.00 St Kizito Matisi 25,000.00 Suwerwa 25,000.00

Page 60: © KCCB -Tume ya Kikatoliki ya Haki na Amani

60

JIMBO LA MARSABITParokia/Taasisi Kiasi

Moyale 45,256.00

Loiyangallani 37,000.00

Karare 30,150.00

Marsabit Cathedral 27,300.00

Sololo 26,450.00

Dirib Gombo 20,000.00

North Horr 20,000.00

Korr 15,240.00

Kalacha 14,500.00

Loglogo 14,050.00

Kargi 13,000.00

Dukana 9,500.00

Maikona 8,500.00

Bp Cavallera Girls Secondary

5,380.00

JIMBO LA LODWAR Parokia Taasisi St Augustine Cathedral 145,000.00 Holy Family Kanamkemer 73,850.00

Risen Christ Nakwamekwi 35,700.00 St Dominic Kerio 9,000.00 St Gabriel Kangatosa 3,000.00 St Kizito Turkwel 27,300.00 St Peter Lorugum 35,000.00 Namoruputh 4,000.00 Immaculate Conception Katilu 7,700.00 St Daniel Comboni Lokori 25,000.00 St Lawrence Nakwamoru 7,000.00 St. John Lokichogio 11,600.00 St Benedict Kalobeyei 5,700.00 Good Shephered Kakuma 19,350.00 Holy-Cross Kakuma Refugee Camp 45,000.00 St Mark Lokitaung 10,205.00 St Joseph Lowarengak 10,000.00 St Titus & Timothy Kaeris 14,000.00 St James Kaikor 7,000.00

St Dennis Kataboi 5,000.00 Mary Mother of God Kalokol 32,705.00 St Stephen Losajait 15,340.00 Christ the King Lokichar 50,000.00

Our Lady Queen of Peace Todonyang

7,551.00

Nariokotomoe Mission 13,000.00

St Michael Napetet 43,200.00

Our Lady of Sorrows Oropoi 5,000.00

St Joachim & Anne Kibish 12,800.00 All Saints Kainuk 27,500.00 Jumla ndogo 707,501.00

Taasisi/MashirikaLodwar GK Prison 3,250.00 St Kevin Secondary 2,465.00 Lodwar Girls Secondary 2,700.00 St Monica Girls Primary 2,000.00 Lodwar Vocational Training Centre 7,600.00

Ortum 20,180.00 Kiminini 20,000.00 Tartar 20,000.00 Kacheliba 20,000.00 St Joseph’s 18,000.00 Babaton 15,200.00 Chebararia 15,000.00 Kaptabuk 13,145.00 Amakuriat 12,000.00 Sina 10,120.00 Makutano 10,000.00

Mbara 5,000.00 Lomut 4,690.00 Kabichbich 4,020.00 Chepnyal 20,000.00 P’sigor - Saboti - Jumla 940,256.00 Fungu lililopewa afisi ya kitaifa ya KCCB-CJPC

306,256.00

Laisamis 4,565.00

Illeret 2,643.00

Salesian Sisters – Karare Community

2,000.00

Jumla 295,534.00

Fungu lililopewa afisi ya kitaifa ya KCCB-CJPC

295,534.00

Page 61: © KCCB -Tume ya Kikatoliki ya Haki na Amani

61

Sisters of Mary of Kakamega Lodwar 3,000.00 Sisters of Mary of Kakamega Lorugum

2,000.00

Sisters of Mary of Kakamega Kalobeyei

1,000.00

Lapur Secondary 5,000.00 St James Minor Seminary 15,000.00 PMC Kataboi Parish 1,095.00 PMC DOL 1,000.00 Queen of Peace Girls Primary 7,120.00 Bishop Mahon Primary 1,000.00 PAG Lodwar Mixed Secondary 1,000.00 Turkana Girls Secondary 7,000.00 Principal Loima Girls High 2,000.00 St Daniel Comboni Girls High 15,000.00 Salvation Army SecNawoitorong 1,150.00 St Michael Napetet Youth 1,250.00 St Michael Napetet Parish House 1,000.00 St Michael Napetet PMC 1,000.00 Turkwel Boys Secondary 3,000.00 Kaeris Girls High 3,600.00 St Mary’s Primary 4,000.00 Kakuma Girls Primary 1,550.00 St Augustine Boys Primary 10,000.00 Nadunga Primary 400.00 St Michael Kawalase Primary 880.00 Alfred Powery Primary 3,000.00 Comboni Girls Primary 1,085.00 St Benedict School for the Deaf 160.00 Loyo Primary 870.00 Holy Trinity Milima Tatu Sec 3,000.00 Kaeris Primary 500.00 Kadongolo Primary 330.00 Kekorisogol Primary 440.00

Kapese Primary 2,000.00 Kangakipur Primary 500.00 Lokaburu Primary 1,000.00 St Daniel Comboni Pri Lokichar 780.00 Evangelizing Sisters of Mary 1,000.00 John Paul II Centre 5,000.00 Christ the King Nursery School 2,000.00 National Police Lokichar 2,000.00 Lokori PHC 2,000.00 Mercy Centre 1,500.00 Karuko Primary 500.00 Young KYU Primary 950.00 Lotubae Girls Secondary 1,000.00 Kangitit Girls Secondary 1,000.00 Namalteny Primary 1,760.00 Lokwii Primary 1,025.00

Kapedo Girls Primary 870.00 Kapedo Mixed Primary 1,000.00 Lokori Girls Primary 615.00 Namorutunga Primary 1,000.00 Ngamia One Kochodin Sec 1,500.00 Napeitom Primary 500.00 Nakwamekwi Primary 790.00 Loima Girls High School 2,700.00 Turkana Girls Primary 3,000.00 St Joachim Kacheimeri Primary 2,600.00 St Benedict Boys High - Kalemunyang

1,000.00

Kalemunyang Primary 2,000.00 Kainuk Mixed Secondary 7,000.00 Jumla ndogo 165,035.00Jumla kuu 872,536.00 Fungu lililopewa afisi ya kitaifa ya KCCB-CJPC

255,700.00

JIMBO LA GARISSA Parokia/Taasisi Kiasi

Garissa Cathedral 94,510.00

Wajir 17,550.00

Bura 22,650.00

Mandera Parish 4,200.00

St Kizito SCC Dadaad 13,250.00

Emmaus 11,635.00

St Mary’s Primary, Garissa 1,100.00

Wenje 2,480.00

Hola 10,000.00

Hagdera Dadaab 11,500.00

Jumla 188,875.00

Fungu lililopewa afisi ya kitaifa ya KCCB-CJPC

69,150.00

Page 62: © KCCB -Tume ya Kikatoliki ya Haki na Amani

62

JIMBO LA ISIOLO Parokia/Taasisi Amount (KesSt Charles Lwanga- Kiwanjani 19,000.00 St Eusebius Cathedral 15,600.00 St Antioco-Camp Garba  8,500.00 Galbatulla Mission  8,120.00 St Paul-Kipsing Mission  4,525.00

St Paul-Merti Mission 4,000.00

Ngaremara Mission  3,000.00

St John Paul Ii-Kinna Mission 1,650.00 Leparua Mission 500.00 Our Lady Of Assumption   -  Kambi Juu

-

Oldonyiro Mission - Jumla 64,895.00 Fungu lililopewa afisi ya kitaifa ya KCCB-CJPC

60,000.00

JIMBO LA MALINDIParokia/Misheni/Afisi Kiasi Christ the Sower-Mpeketoni 192,400.00 St Anthony’s-Cathedral 183,215.00 St John the Evangelist-Hindi 162,163.00 St Francis Xavier’s-Kisumu Ndogo 113,300.00 St John The Baptist-Watamu 100,645.00 St. Mary’s Assumption Parish -Hongwe

75,840.00

St Catherine’s-Tarasaa 53,360.00 St Joseph Freinademetz-Witu/Kipini

50,600.00

Sacred Heart of Jesus-Garsen 43,050.00 St Charles Lwanga-Muyeye 42,250.00 St Francis Of Assisi-Baharini 42,000.00 Mere Catholic Mission-Mere 35,535.00 St Mary Help of Christians -Lango Baya

30,600.00

Mary Mother of Jesus-Lamu 30,220.00 St Joseph the Worker-Marafa 28,100.00

St Mary’s-Msabaha 24,000.00 St Joseph the Worker-Wema 22,790.00 Blessed Joseph Allamano Mis-sion-ADU

20,895.00

St Paul’s-Gongoni 18,835.00 Queen of the Holy Rosary Mis-sion-Chakama

13,440.00

St Michael’s Mission-Mida 10,850.00 Bishop’s House&Office-Emmaus 8,750.00 Pope Francis Rescue Home 4,200.00 Bishop Baldacchino Pri-Malindi 4,555.00 Lenten Charity Fund Paybill No 785999

56,511.00

Sanitary Pads Initiative for Needy Girls-Project 720

26,680.00

Diocesan Office of CJPCExecutive Secretary-Staff

5,000.00

Jumla 1,399,784.00 Fungu lililopewa afisi ya kitaifa ya KCCB-CJPC

-

MILITARY ORDINARIATE Parokia (Kikosi/Kambi) Kiasi

Our Lady Star of the Sea–KN Mtongwe

110,000.00

St Charles Lwanga–Kahawa Garrison

104,570.00

St Michael-Dhobley (AMISOM) 68,000.00

Saints Peter & Paul-DHQCAU 58,222.00

Our Lady of Assumption - MAB 55,877.00

St Ignatius of Loyola-Burahache 46,500.00

St Beatrice - AMISOM (2 MIB) 45,000.00

St Luke - Kenyatta Barracks 42,550.00

Our Lady Mother of Mercy- 7KR 35,545.00

St Joseph the Worker - Thika 33,000.00

AMISOM – 2 MIB 32,170.00

Our Lady of Holy Rosary-Embakasi 30,000.00

St Ignatius of Loyola - LAB 29,800.00

St Michael - 5 KR 21,300.00

St Raphael - DFMH 21,015.00

St Augustine - DSC 16,900.00

St Charles Lwanga-Gherille FOB 16,700.00

Our Lady of Consolata-SOI 14,400.00

Page 63: © KCCB -Tume ya Kikatoliki ya Haki na Amani

63

St Anthony of the Desert-Garissa

13,940.00

St Monicah - RTS 11,500.00

St Peter - 4 Bde 10,280.00

St Francis of Assisi - 78 TK Bn 10,050.00

St Thomas Aquinas - Kabete 9,700.00

St Paul - KMA 9,500.00

Buurgabo - AMISON 9,150.00

Sacred Heart of Jesus – Mariakani Barracks

6,200.00

St Don Bosco - SOCE 2,000.00

Jumla 863,869.00

Fungu lililopewa afisi ya kitaifa ya KCCB-CJPC

863,869.00

AOSKShirika/Taasisi Kiasi Daughters of Charity VDP

10,000.00

Sisters of St JB Cottolengo

10,000.00

Isiolo District Unit 10,000.00

Sisters of Mary Kakamega - Nairobi

7,000.00

Meru AOSK Unit 42,000.00

Little Sisters of St Francis East of Rift Valley region

34,625.00

Daughters of the Sa-cred Heart -Mombasa

5,000.00

St Joseph of Tarbes Pri Sch Ngando

6,000.00

Maralal District Unit 16,500.00

Handmaids of the Holy Child Jesus - Kenya

10,100.00

Nakuru AOSK Unit 5,000.00 Jumla 156,225.00 Fungu lililopewa afisi ya kitaifa ya KCCB-CJPC 65,862.00

RSCKShirika KiasiFranciscan Brothers 6,000.00 Monfort Fathers 5,000.00 Society of African Missions 5,000.00 Franciscan Capuchin OFM (St Bridgi Catholic School)

27,210.00

Charity Brothers 10,000.00 De La Salle Brothers 2,000.00 Contemplative Evangelizers 4,000.00 Consolata Missionaries 15,000.00 Missionaries of Africa 5,000.00

Brothers of St Joseph, Nyeri 2,000.00 Congregation of Holy Ghost 20,000.00 Marianist 5,000.00 Dominican Friars 10,000.00 Conosians Sons of Charity 5,000.00 Conventual Franciscan Friars 10,000.00 Missionaries of the Poor 5,000.00 Jumla 136,210.00 Fungu lililopewa afisi ya kitaifa ya KCCB-CJPC

60,000.00

ADMINISTRATION POLICE SERVICE 45,000

ST MATTHIAS MULUMBA SENIOR SEMINARY 21,823

KENYA WILDLIFE SERVICE 21,500

FRANCISCAN SISTERS OF ST JOSEPH 18,500

CATHOLIC UNIVERSITY OF EASTERN AFRICA 11,000

SCHOOL SISTERS OF NOTRE DAME 10,000

Page 64: © KCCB -Tume ya Kikatoliki ya Haki na Amani

64

HATUA ZA KAMPENI YA KUPAMBANA NA UFISADI

Sisi, Baraza la Maaskofu Wakatoliki Kenya, mapadre, wanaume na wanawake watumishi wa Kanisa, na waumini walei wa tabaka zote za jamii yetu, tukiungana pamoja kwa Siku ya Maombi ya Kitaifa yaliyofanyika Oktoba 5, 2019, katika Madhabahu ya

Subukia, Jimbo la Nakuru, tunatangaza hatua kamili tunazonuia kuchukua kwa lengo la kutilia mkazo mazoea ya uadilifu na kuzuia ufisadi kupenya makanisani yetu: 1. Michango ya harambee katika makanisa yetu itakuwa ikitolewa kwa simu ama cheki. Kwa

kufanya hivyo, tutaepuka kuwa na pesa nyingi taslimu na kuweka maelezo kamili kuhusu wafadhili wetu. Lengo letu ni kuwa na mfumo wa michango isiyo ya pesa taslimu.

2. Tutatangaza na kuweka wazi, kama ambavyo tumefanya kufikia sasa, orodha na akaunti za miradi yetu na juhudi zozote za kuchangisha pesa katika makanisa na asasi zetu kwa uchunguzi huru wa raia.

3. Tutaweka rekodi za zawadi yoyote kwa kiongozi wa kidini ambayo thamani yake ni zaidi ya Kshs50,000. Ni lazima zawadi zote ziambatane na barua au barua inaandikwa kuthibitisha kupokewa.

4. Makanisa yetu hayatatumiwa kama majukwaa ya kisiasa ama kwa shabaha nyingine yoyote isipokuwa liturjia na kumwabudu Mungu. Kwa hivyo, hatutakubali hotuba yoyote isiyo ya kiliturjia kutolewa ndani ya Kanisa. Hotuba zozote kama hizo zitatolewa nje ya kanisa na kwa hadhi ifaayo.

5. Hotuba za kisiasa hazitakubaliwa mahala popote penye maadhimishi ya kiliturjia. Tunasihi kwamba hali na hadhi kamili ya mazishi irejeshwe, kuomboleza na kuombea familia, kuheshimu na kuombea waliotuacha. Suala lolote la kisiasa au kimaendeleo linapaswa kuwekwa kando kwa heshima ya Mungu na aliyetuacha.

6. Tutaanzisha meza za kuchukua malalamishi ya ufisadi na kuweka rekodi ya ripoti zote za ufisadi ambazo huenda wananchi wangependa kutoa.

7. Kwa miezi sita ijayo, tutaweka upya nadhiri ya ahadi za ubatizo wetu katika makanisa yote kila Jumapili, tukitumia virai maalumu vya kulikataa ovu la ufisadi.

Tunawahimiza Wakenya kuungana nasi katika kampeni hii na Kupinga Ufisadi kwa Kuuvunja Mnyororo wa Ufisadi. Tumejitolea kupigana na ufisadi na kumwomba Mungu atupe neema na nguvu za kuangamiza ovu hilo. Tumejitolea kupigana na ufisadi na kumwomba Mungu atupe neema ya ujasiri wa kuliangamiza ovu hilo. Mungu akiwa nasi, twaweza kuliangamiza jinamizi hili, sawa na alivyofanya Daudi!Njooni tuushinde na kuuangamiza ufisadi!

Askofu Mkuu Philip Anyolo wa Kisumu/Msimamizi wa Kichungaji, Homa BayMwenyekiti wa KCCB

Page 65: © KCCB -Tume ya Kikatoliki ya Haki na Amani

65

Kuwasaidia Maaskofu Wakatoliki kuueneza ujumbe huu wa uadilifu wakati huu wa kampeni ya kupigana na ufisadi, bonyeza *811*185# ili kujipatia Skiza tune kwa shilingi moja pekee. Usinyamaze. Wapatie marafiki, familia na watu ulio na namba zao za simu katika simu yako nafasi ya kusikia kutoka kwako kupitia kwa skiza tune

Page 66: © KCCB -Tume ya Kikatoliki ya Haki na Amani

66

Waumini House, WestlandsP.O. Box 13475-00800, Nairobi

Tel: (+254) 20 444112/4443906 or (+254)722 457114Email: [email protected]

Website: www.cjpc.kccb.or.kewww.kccb.or.ke

https://facebook.com/CJPCKENYA @CJPCCatholicsKE